\v=2 \v~=Akapiga kelele dhidi ya madhabahu kwa neno la \nd Bwana\nd*: “Ee madhabahu, madhabahu! Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Mwana aitwaye Yosia atazaliwa katika nyumba ya Daudi. Juu yako atawatoa dhabihu makuhani wa mahali pa juu pa kuabudia miungu wale ambao wanatoa sadaka hapa sasa, nayo mifupa ya wanadamu itachomwa juu yako.’ ” \¬v