\v=5 \v~=Kwa hiyo, ninakusudia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, kama \nd Bwana\nd* alivyomwambia baba yangu Daudi, wakati aliposema, ‘Mwanao nitakayemweka kwenye kiti cha ufalme mahali pako, ndiye atajenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’ \¬v \¬pm