\v=21 \v~=Hiramu akasimamisha nguzo kwenye baraza ya Hekalu. Nguzo ya upande wa kusini akaiita Yakini,\f + \fr 7:21 \ft Yakini maana yake Mungu atafanya imara.\f* na ile ya upande wa kaskazini Boazi.\f + \fr 7:21 \ft Boazi maana yake Ndani ya Mungu kuna nguvu.\f* \¬v