\p \v=15 \v~=Haya ni maelezo kuhusu kazi za kulazimishwa ambazo Mfalme Solomoni, alivyowafanyiza watu ili kulijenga hekalu la \nd Bwana\nd*, na jumba lake la kifalme, na Milo,\f + \fr 9:15 \ft Milo maana yake Boma la Ngome, pia 9:24.\f* ukuta wa Yerusalemu, Hazori, Megido na Gezeri. \¬v