\v=9 \v~=Watu watajibu, ‘Kwa sababu wamemwacha \nd Bwana\nd* Mungu wao, aliyewatoa baba zao Misri, nao wamekumbatia miungu mingine, wakaiabudu na kuitumikia, ndiyo sababu \nd Bwana\nd* ameyaleta maafa haya yote juu yao.’ ” \¬v \¬pm