\p \v=23 \v~=Kisha Yehu na Yehonadabu mwana wa Rekabu wakaingia ndani ya hekalu la Baali. Yehu akawaambia watumishi wa Baali, “Tazameni kila mahali mhakikishe kwamba hakuna hata mtumishi mmoja wa \nd Bwana\nd* aliye hapa pamoja nanyi, ila ni watumishi wa Baali tu.” \¬v