\v=12 \v~=Hili lilitokea kwa sababu hawakumtii \nd Bwana\nd* Mungu wao, lakini walikuwa wamevunja agano lake, yale yote ambayo Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliwaamuru. Hawakuzisikiliza amri wala kuzitimiza. \¬v \¬p