\p \v=11 \v~=Lakini Naamani akaondoka akiwa amekasirika, akasema, “Hakika nilidhani kwamba angetoka nje, asimame na kuliitia jina la \nd Bwana\nd* Mungu wake, na kuweka mkono wake juu ya mahali pagonjwa, aniponye ukoma wangu. \¬v