\v=30 \v~=Kuhani atatoa dhabihu, mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na huyo mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa njia hii, atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za \nd Bwana\nd* kwa sababu ya unajisi wa kutokwa damu kwake. \¬v \¬p