\v=21 \v~=Kama mtu yeyote akigusa kitu kilicho najisi, iwe ni uchafu wa mwanadamu, au mnyama najisi, au kitu chochote kilicho najisi, kitu cha kuchukiza, kisha akala nyama yoyote ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd*, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.’ ” \¬v \¬p