\v=21 \v~=Kisha akamsafisha sehemu za ndani na miguu kwa maji, na kumteketeza yule kondoo dume mzima juu ya madhabahu kuwa sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose. \¬v \¬p