\v=8 \v~=Akaweka kifuko cha kifuani juu yake, na kuweka Urimu na Thumimu\f + \fr 8:8 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f* kwenye hicho kifuko. \¬v