\p \v=17 \v~=“Nao watakuwa watu wangu,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, “katika siku ile nitakapowafanya watu kuwa hazina yangu. Nitawahurumia, kama vile kwa huruma mtu amhurumiavyo mwanawe anayemtumikia. \¬v