\p \v=24 \v~=Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli,\f + \fr 12:24 \ft Beelzebuli au Beelzebubu; pia 12:27.\f* mkuu wa pepo wachafu.” \¬v \¬p