\v=34 \v~=Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava,\f + \fr 11:34 \ft Kibroth-Hataava maana yake Makaburi ya wenye tamaa nyingi.\f* kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine. \¬v \¬p