\v=13 \v~=‘Hata ikiwa Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, nisingeweza kufanya kitu chochote kwa matakwa yangu, kikiwa kizuri au kibaya, kwenda kinyume na agizo la \nd Bwana\nd*, nami imenipasa kusema tu kile \nd Bwana\nd* atakachosema’? \¬v