\p \v=16 \v~=“Eleazari mwana wa Aroni, kuhani, ndiye atakayesimamia mafuta kwa ajili ya taa, uvumba wenye harufu nzuri, sadaka za kila siku za nafaka na mafuta ya upako. Ndiye atakayekuwa msimamizi wa maskani yote ya \nd Bwana\nd* na kila kitu kilichomo ndani mwake pamoja na samani takatifu na vyombo vyake.” \¬v \¬p