\qc=“Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, \qc=ni \nd Bwana\nd* Mungu Mwenyezi, \qc=aliyekuwako, aliyeko na atakayekuja.” \m \v=9 \v~=Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, \¬v