\p \v=20 \v~=Akawaambia, “Msiniite tena Naomi,\f + \fr 1:20 \ft Naomi maana yake Wa Kupendeza, Wa Kufurahisha.\f* niiteni Mara,\f + \fr 1:20 \ft Mara maana yake Chungu.\f* kwa sababu Mwenyezi\f + \fr 1:20 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f* amenitendea mambo machungu sana. \¬v