\p \v=15 \v~=Sauli akajibu, “Askari wamewaleta kutoka kwa Waamaleki, waliwaacha wale kondoo na ngʼombe wazuri ili kuwatoa dhabihu kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wako, lakini tuliwaangamiza kabisa wengine wote.” \¬v \¬p