\v=19 \v~=Zaidi ya hayo, \nd Bwana\nd* atawatia Israeli pamoja na wewe mikononi mwa Wafilisti, na kesho wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. \nd Bwana\nd* pia atalitia jeshi la Israeli mikononi mwa Wafilisti.” \¬v \¬p