\v=3 \v~=Askari waliporudi kambini, wazee wa Israeli wakawauliza, “Kwa nini \nd Bwana\nd* ameruhusu leo tushindwe mbele ya Wafilisti? Tuleteni Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kutoka Shilo, ili lipate kwenda pamoja nasi, na kutuokoa kutoka mikono ya adui zetu.” \¬v \¬p