\p \v=4 \v~=Hivyo wakawatuma watu huko Shilo, nao wakalichukua Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, aliyekaa kwenye kiti chake cha enzi kati ya makerubi. Nao wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, walikuwako huko pamoja na Sanduku la Agano la Mungu. \¬v \¬p