\v=16 \v~=Malaika aliponyoosha mkono wake ili kuangamiza Yerusalemu, \nd Bwana\nd* akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anawadhuru watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa \nd Bwana\nd* alikuwa kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna,\f + \fr 24:16 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.\f* Myebusi. \¬v \¬p