\v=2 \v~=Yeye na watu wake wote wakatoka Baala ya Yuda\f + \fr 6:2 \ft Baala ya Yuda ni jina la Kiebrania; yaani Kiriath-Yearimu.\f* kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka huko, linaloitwa kwa Jina, naam, jina la \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, ambaye anaketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi walioko juu ya hilo Sanduku. \¬v