\v=8 \v~=Katika siku hiyo, \nd Bwana\nd* atawakinga wale waishio Yerusalemu, ili kwamba aliye dhaifu kupita wote miongoni mwao awe kama Daudi, nayo nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama Malaika wa \nd Bwana\nd* akiwatangulia. \¬v