\p \v=20 \v~=Katika siku hiyo, kengele zilizofungwa kwenye farasi zitaandikwa maneno haya: \sc Takatifu kwa Bwana\sc*, navyo vyungu vya kupikia katika nyumba ya \nd Bwana\nd* vitakuwa kama bakuli takatifu mbele ya madhabahu. \¬v