\p \v=16 \v~=“Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Nitairudia Yerusalemu kwa rehema na huko nyumba yangu itajengwa tena. Nayo kamba ya kupimia itanyooshwa Yerusalemu,’ asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote. \¬v \¬p