\p \v=17 \v~=“Endelea kutangaza zaidi kwamba: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: ‘Miji yangu itafurika tena ustawi na \nd Bwana\nd* atamfariji tena Sayuni na kumchagua Yerusalemu.’ ” \¬v \¬p