\v=3 \v~=Kwa hiyo waambie watu: Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemavyo: ‘Nirudieni mimi,’ asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitawarudia ninyi,’ asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote. \¬v