\v=12 \v~=Wakaifanya mioyo yao migumu kama jiwe gumu na hawakuisikiliza sheria au maneno ambayo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote aliyatuma kwa njia ya Roho wake kupitia manabii waliotangulia. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote alikasirika sana. \¬v \¬p