\p \v=6 \v~=Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: “Mambo haya yanaweza kuonekana ya ajabu kwa mabaki ya watu wakati huo, lakini yaweza kuwa ya ajabu kwangu?” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote. \¬v \¬p