id = 'PSA - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version' rem = 'Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.' headers = h = 'Zaburi' toc1 = 'Zaburi' toc2 = 'Zaburi' toc3 = 'Za' mt1 = 'Zaburi' ¬headers = chapters = c = '1' ms1 = 'KITABU CHA KWANZA' mr = '(Zaburi 1–41)' cl = 'Zaburi 1' v= = '1' s1 = 'Furaha Ya Kweli' q1 = '' c# = '1' v = '1' v~ = 'Heri mtu yule ambaye' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haendi katika shauri la watu waovu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kuketi katika baraza la wenye mizaha.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Bali huifurahia sheria ya \\nd Bwana\\nd*,' 'Bali huifurahia sheria ya Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mtu huyo ni kama mti uliopandwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kando ya vijito vya maji,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambao huzaa matunda kwa majira yake' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na majani yake hayanyauki.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Lolote afanyalo hufanikiwa.' ¬q2 = ¬v = '3' v= = '4' s1 = 'Huzuni Ya Waovu' q1 = '' v = '4' v~ = 'Sivyo walivyo waovu!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Wao ni kama makapi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yapeperushwayo na upepo.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwa maana \\nd Bwana\\nd* huziangalia njia za mwenye haki,' 'Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali njia ya waovu itaangamia.' ¬v = '6' ¬q2 = ¬c = '1' c = '2' cl = 'Zaburi 2' v= = '1' s1 = 'Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu' q1 = '' c# = '2' v = '1' v~ = 'Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kabila za watu kula njama bure?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wafalme wa dunia wanajipanga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na watawala wanajikusanya pamoja' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'dhidi ya \\nd Bwana\\nd*' 'dhidi ya Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wanasema, “Tuvunje minyororo yao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Yeye atawalaye mbinguni hucheka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Bwana huwadharau.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kisha huwakemea katika hasira yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = '“Nimemtawaza Mfalme wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”' ¬q2 = ¬v = '6' v= = '7' s1 = 'Ushindi Wa Mfalme' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nitatangaza amri ya \\nd Bwana\\nd*:' 'Nitatangaza amri ya Bwana:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'leo mimi nimekuzaa.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Niombe, nami nitayafanya mataifa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwa urithi wako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'miisho ya dunia kuwa milki yako.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Utawatawala kwa fimbo ya chuma' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwonyeke, enyi watawala wa dunia.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mtumikieni \\nd Bwana\\nd* kwa hofu' 'Mtumikieni Bwana kwa hofu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mshangilie kwa kutetemeka.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mbusu Mwana, asije akakasirika' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe ukaangamizwa katika njia yako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Heri wote wanaomkimbilia.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '2' c = '3' cl = 'Zaburi 3' v= = '1' s1 = 'Sala Ya Asubuhi Ya Kuomba Msaada' d = 'Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.' q1 = '' c# = '3' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, tazama adui zangu walivyo wengi!' 'Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wengi wanasema juu yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Mungu hatamwokoa.”' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Lakini wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, ni ngao pande zote;' 'Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ninamlilia \\nd Bwana\\nd* kwa sauti kuu,' 'Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ninajilaza na kupata usingizi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naamka tena, kwa maana \\nd Bwana\\nd* hunitegemeza.' 'naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Sitaogopa makumi elfu ya adui,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaojipanga dhidi yangu kila upande.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, amka!' 'Ee Bwana, amka!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Niokoe, Ee Mungu wangu!' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wapige adui zangu wote kwenye taya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vunja meno ya waovu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kwa maana wokovu watoka kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana.' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Baraka yako na iwe juu ya watu wako.' ¬v = '8' ¬q1 = ¬c = '3' c = '4' cl = 'Zaburi 4' v= = '1' s1 = 'Sala Ya Jioni Ya Kuomba Msaada' d = 'Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '4' v = '1' v~ = 'Nijibu nikuitapo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu wangu mwenye haki!' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nipumzishe katika shida zangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nirehemu, usikie ombi langu.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwa aibu mpaka lini?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mtapenda udanganyifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Fahamuni hakika kwamba \\nd Bwana\\nd* amewatenga' 'Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wamchao kwa ajili yake;' ¬q2 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* atanisikia nimwitapo.' 'Bwana atanisikia nimwitapo.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Katika hasira yako, usitende dhambi.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mkiichunguza mioyo yenu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Toeni dhabihu zilizo haki;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtegemeeni \\nd Bwana\\nd*.' 'mtegemeeni Bwana.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutuonyesha jema lolote?”' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, tuangazie nuru ya uso wako.' 'Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nitajilaza chini na kulala kwa amani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa wewe peke yako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'waniwezesha kukaa kwa salama.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '4' c = '5' cl = 'Zaburi 5' v= = '1' s1 = 'Sala Kwa Ajili Ya Ulinzi Wakati Wa Hatari' d = 'Kwa mwimbishaji. Kwa filimbi. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '5' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, tegea sikio maneno yangu,' 'Ee Bwana, tegea sikio maneno yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uangalie kupiga kite kwangu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Sikiliza kilio changu ili unisaidie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mfalme wangu na Mungu wangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa maana kwako ninaomba.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee \\nd Bwana\\nd*;' 'Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asubuhi naleta haja zangu mbele zako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kusubiri kwa matumaini.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wewe si Mungu unayefurahia uovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwako mtu mwovu hataishi.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wenye kiburi hawawezi kusimama mbele yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unawachukia wote watendao mabaya.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Unawaangamiza wasemao uongo.' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huwachukia' 'Bwana huwachukia' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wamwagao damu na wadanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Lakini mimi, kwa rehema zako kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitakuja katika nyumba yako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa unyenyekevu, nitasujudu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuelekea Hekalu lako takatifu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Niongoze katika haki yako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Niongoze katika haki yako, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya adui zangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nyoosha njia yako mbele yangu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Hakuna neno kinywani mwao linaloweza kuaminika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mioyo yao imejaa maangamizi.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Koo lao ni kaburi lililo wazi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ndimi zao, wao hunena udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Uwatangaze kuwa wenye hatia, Ee Mungu!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Hila zao ziwe anguko lao wenyewe.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wafukuzie mbali kwa sababu ya dhambi zao nyingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa wamekuasi wewe.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Lakini wote wakimbiliao kwako na wafurahi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waimbe kwa shangwe daima.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ueneze ulinzi wako juu yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili wale wapendao jina lako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wapate kukushangilia.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kwa hakika, Ee \\nd Bwana\\nd*, unawabariki wenye haki,' 'Kwa hakika, Ee Bwana, unawabariki wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unawazunguka kwa wema wako kama ngao.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '5' c = '6' cl = 'Zaburi 6' v= = '1' s1 = 'Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu' d = 'Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.' EXTRA( fn @ 66 = '+ \\fr 6:0 \\fq Sheminithi \\ft ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji.') q1 = '' c# = '6' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, usinikemee katika hasira yako,' 'Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Unirehemu \\nd Bwana\\nd*,' 'Unirehemu Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana nimedhoofika;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uniponye,' 'Ee Bwana, uniponye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana mifupa yangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ina maumivu makali.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nafsi yangu ina uchungu mwingi.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mpaka lini, Ee \\nd Bwana\\nd*, mpaka lini?' 'Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Geuka Ee \\nd Bwana\\nd*, unikomboe,' 'Geuka Ee Bwana, unikomboe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Hakuna mtu anayekukumbuka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akiwa amekufa.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ni nani awezaye kukusifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akiwa kuzimu?' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiku kucha nafurikisha' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kitanda changu kwa machozi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nimelowesha viti vyangu vya fahari' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa machozi.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana \\nd Bwana\\nd* amesikia kulia kwangu.' 'kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = '\\nd Bwana\\nd* amesikia kilio changu kwa huruma,' 'Bwana amesikia kilio changu kwa huruma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* amekubali sala yangu.' 'Bwana amekubali sala yangu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.' ¬v = '10' ¬q2 = ¬c = '6' c = '7' cl = 'Zaburi 7' v= = '1' s1 = 'Sala Ya Mtu Anayedhulumiwa' d = 'Ombolezo la Daudi kwa \\nd Bwana\\nd* kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini.' 'Ombolezo la Daudi kwa Bwana kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini.' q1 = '' c# = '7' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe,' 'Ee Bwana, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uniokoe na kunikomboa na wote wanaonifuatia,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'la sivyo watanirarua kama simba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, Mungu wangu, kama nimetenda haya' 'Ee Bwana, Mungu wangu, kama nimetenda haya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuna hatia mikononi mwangu,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au nimemnyangʼanya adui yangu pasipo sababu,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'basi adui anifuatie na kunipata,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'auponde uhai wangu ardhini' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kunilaza mavumbini.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Amka kwa hasira yako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Amka kwa hasira yako, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'inuka dhidi ya ghadhabu ya adui zangu.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Amka, Mungu wangu, uamue haki.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kusanyiko la watu na likuzunguke.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Watawale kutoka juu.' ¬q2 = ¬v = '7' q2 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* na awahukumu kabila za watu.' 'Bwana na awahukumu kabila za watu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nihukumu Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Nihukumu Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kadiri ya haki yangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kadiri ya uadilifu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ewe Uliye Juu Sana.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee Mungu mwenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uchunguzaye mawazo na mioyo,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'komesha ghasia za waovu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ufanye wenye haki waishi kwa amani.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ngao langu ni Mungu Aliye Juu Sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'awaokoaye wanyofu wa moyo.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mungu ni mwamuzi mwenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu aghadhibikaye kila siku.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kama hakutuhurumia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atanoa upanga wake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ataupinda na kuufunga uzi upinde wake.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ameandaa silaha zake kali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ameweka tayari mishale yake ya moto.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Yeye aliye na mimba ya uovu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na achukuaye mimba ya ghasia huzaa uongo.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Yeye achimbaye shimo na kulifukua' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hutumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukatili wake humrudia kichwani.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Nitamshukuru \\nd Bwana\\nd* kwa ajili ya haki yake,' 'Nitamshukuru Bwana kwa ajili ya haki yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nitaliimbia sifa jina la \\nd Bwana\\nd* Aliye Juu Sana.' 'na nitaliimbia sifa jina la Bwana Aliye Juu Sana.' ¬v = '17' ¬q2 = ¬c = '7' c = '8' cl = 'Zaburi 8' v= = '1' s1 = 'Utukufu Wa Mungu Na Heshima Ya Mwanadamu' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '8' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, Bwana wetu,' 'Ee Bwana, Bwana wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Umeuweka utukufu wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya mbingu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeamuru sifa,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa sababu ya watesi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nikiziangalia mbingu zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kazi ya vidole vyako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mwezi na nyota,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulizoziratibisha,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'binadamu ni nani hata unamjali?' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukamvika taji ya utukufu na heshima.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mifugo na makundi yote pia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, na wanyama wa kondeni,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'ndege wa angani na samaki wa baharini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, Bwana wetu,' 'Ee Bwana, Bwana wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '8' c = '9' cl = 'Zaburi 9' EXTRA( fn @ 8 = '+ \\fr 9 \\ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') v= = '1' s1 = 'Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni. Zaburi ya Daudi.' EXTRA( fn @ 39 = '+ \\fr 9:0 \\ft Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki.') q1 = '' c# = '9' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,' 'Ee Bwana, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nitafurahi na kushangilia ndani yako.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Nitaliimbia sifa jina lako, Ewe Uliye Juu Sana.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Adui zangu wamerudi nyuma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamejikwaa na kuangamia mbele zako.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeketi kwenye kiti chako cha enzi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ukihukumu kwa haki.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeyafuta majina yao milele na milele.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Uharibifu usiokoma umempata adui,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeingʼoa miji yao;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hata kumbukumbu lao limetoweka.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anatawala milele,' 'Bwana anatawala milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atatawala mataifa kwa haki.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni kimbilio la watu wanaoonewa,' 'Bwana ni kimbilio la watu wanaoonewa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni ngome imara wakati wa shida.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wewe \\nd Bwana\\nd*,' 'kwa maana wewe Bwana,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hujawaacha kamwe wakutafutao.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mwimbieni \\nd Bwana\\nd* sifa, amefanywa mtawala Sayuni,' 'Mwimbieni Bwana sifa, amefanywa mtawala Sayuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tangazeni miongoni mwa mataifa, yale aliyoyatenda.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kwa maana yeye alipizaye kisasi cha damu hukumbuka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hapuuzi kilio cha wanaoonewa.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa!' 'Ee Bwana, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Nihurumie, uniinue kutoka malango ya mauti,' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'ili niweze kutangaza sifa zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika malango ya Binti Sayuni' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na huko niushangilie wokovu wako.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mataifa wameanguka kwenye shimo walilolichimba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miguu yao imenaswa kwenye wavu waliouficha.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anajulikana kwa haki yake,' 'Bwana anajulikana kwa haki yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waovu wamenaswa katika kazi za mikono yao.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Waovu wataishia kuzimu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala matumaini ya walioonewa hayatapotea.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, inuka, usimwache binadamu ashinde.' 'Ee Bwana, inuka, usimwache binadamu ashinde.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mataifa na yahukumiwe mbele zako.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wapige kwa hofu,' 'Ee Bwana, wapige kwa hofu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mataifa na yajue kuwa wao ni watu tu.' ¬v = '20' ¬q2 = ¬c = '9' c = '10' cl = 'Zaburi 10' EXTRA( fn @ 9 = '+ \\fr 10 \\ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') v= = '1' s1 = 'Sala Kwa Ajili Ya Haki' q1 = '' c# = '10' v = '1' v~ = 'Kwa nini, Ee \\nd Bwana\\nd*, unasimama mbali?' 'Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini unajificha wakati wa shida?' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hujivunia tamaa za moyo wake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'humbariki mlafi na kumtukana \\nd Bwana\\nd*.' 'humbariki mlafi na kumtukana Bwana.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mawazo yake yote' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hakuna nafasi ya Mungu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Njia zake daima hufanikiwa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hujivuna na amri zako ziko mbali naye,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'huwacheka kwa dharau adui zake wote.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'daima nitakuwa na furaha,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kamwe sitakuwa na shida.”' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'shida na ubaya viko chini ya ulimi wake.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Huvizia karibu na vijiji;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'akivizia wapitaji.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Huvizia kama simba aliye mawindoni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huvizia kumkamata mnyonge,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'huwakamata wanyonge na kuwaburuza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika wavu wake.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mateka wake hupondwa, huzimia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaanguka katika nguvu zake.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huficha uso wake na haoni kabisa.”' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Inuka \\nd Bwana\\nd*! Inua mkono wako, Ee Mungu.' 'Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Usiwasahau wanyonge.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini anajiambia mwenyewe,' ¬q2 = q2 = '' p~ = '“Hataniita nitoe hesabu?”' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umekubali kuyapokea mkononi mwako.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mhanga anajisalimisha kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe ni msaada wa yatima.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwite atoe hesabu ya maovu yake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambayo yasingejulikana.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni Mfalme milele na milele,' 'Bwana ni Mfalme milele na milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mataifa wataangamia watoke nchini mwake.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Unasikia, Ee \\nd Bwana\\nd*, shauku ya wanaoonewa,' 'Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'ukiwatetea yatima na walioonewa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.' ¬v = '18' ¬q2 = ¬c = '10' c = '11' cl = 'Zaburi 11' v= = '1' s1 = 'Kumtumaini \\nd Bwana\\nd*' 'Kumtumaini Bwana' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '11' v = '1' v~ = 'Kwa \\nd Bwana\\nd* ninakimbilia,' 'Kwa Bwana ninakimbilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unawezaje basi kuniambia:' ¬q2 = q2 = '' p~ = '“Ruka kama ndege kwenye mlima wako.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huweka mishale kwenye uzi wake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wakiwa gizani ili kuwapiga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanyofu wa moyo.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wakati misingi imeharibiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwenye haki anaweza kufanya nini?”' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = '\\nd Bwana\\nd* yuko ndani ya Hekalu lake takatifu;' 'Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni.' 'Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Huwaangalia wana wa watu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'macho yake yanawajaribu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwajaribu wenye haki,' 'Bwana huwajaribu wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini waovu na wanaopenda jeuri,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nafsi yake huwachukia.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kiberiti kinachowaka,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'upepo wenye joto kali ndio fungu lao.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* ni mwenye haki,' 'Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye hupenda haki.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Wanyofu watauona uso wake.' ¬v = '7' ¬q2 = ¬c = '11' c = '12' cl = 'Zaburi 12' v= = '1' s1 = 'Kuomba Msaada' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '12' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;' 'Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kila mmoja humwambia jirani yake uongo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = '\\nd Bwana\\nd* na akatilie mbali midomo yote ya hila' 'Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kila ulimi uliojaa majivuno,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = '“Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kulia kwa uchungu kwa wahitaji,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nitainuka sasa,” asema \\nd Bwana\\nd*.' 'nitainuka sasa,” asema Bwana.' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Nitawalinda kutokana na wale' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wenye nia mbaya juu yao.”' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Maneno ya \\nd Bwana\\nd* ni safi,' 'Maneno ya Bwana ni safi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'iliyosafishwa mara saba.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, utatuweka salama' 'Ee Bwana, utatuweka salama' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutulinda na kizazi hiki milele.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Watu waovu huenda wakiringa kila mahali' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati ambapo yule aliye mbaya sana' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '12' c = '13' cl = 'Zaburi 13' v= = '1' s1 = 'Sala Ya Kuomba Msaada' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '13' v = '1' v~ = 'Mpaka lini, Ee \\nd Bwana\\nd*? Je, utanisahau milele?' 'Mpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Utanificha uso wako mpaka lini?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu?' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Adui zangu watanishinda mpaka lini?' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nitazame, unijibu, Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu wangu.' 'Nitazame, unijibu, Ee Bwana Mungu wangu.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yatie nuru macho yangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ama sivyo nitalala usingizi wa mauti.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Adui yangu atasema, “Nimemshinda,”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Lakini ninategemea upendo wako usiokoma;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nitamwimbia \\nd Bwana\\nd*,' 'Nitamwimbia Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa amekuwa mwema kwangu.' ¬v = '6' ¬q2 = ¬c = '13' c = '14' cl = 'Zaburi 14' s1 = 'Uovu Wa Wanadamu' r = '(Zaburi 53)' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '14' v = '1' v~ = 'Mpumbavu anasema moyoni mwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Hakuna Mungu.”' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna hata mmoja atendaye mema.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anawachungulia wanadamu chini' 'Bwana anawachungulia wanadamu chini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mbinguni' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'aone kama wako wenye akili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wowote wanaomtafuta Mungu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wote wamepotoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wameharibika wote pamoja,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hakuna atendaye mema.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Naam, hakuna hata mmoja!' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale ambao huwala watu wangu' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama watu walavyo mkate,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hao ambao hawamwiti \\nd Bwana\\nd*?' 'hao ambao hawamwiti Bwana?' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali \\nd Bwana\\nd* ndiye kimbilio lao.' 'bali Bwana ndiye kimbilio lao.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Laiti wokovu wa Israeli' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ungalikuja kutoka Sayuni!' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wakati \\nd Bwana\\nd* arejeshapo' 'Wakati Bwana arejeshapo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wafungwa wa watu wake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Yakobo na ashangilie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Israeli na afurahi!' ¬v = '7' ¬q2 = ¬c = '14' c = '15' cl = 'Zaburi 15' v= = '1' s1 = 'Kitu Mungu Anachotaka' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '15' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd*, ni nani awezaye kukaa' 'Bwana, ni nani awezaye kukaa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika Hekalu lako?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nani awezaye kuishi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mlima wako mtakatifu?' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ni yule aendaye pasipo mawaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atendaye yaliyo haki,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'asemaye kweli toka moyoni mwake,' ¬q1 = ¬v = '2' q2 = '' v = '3' v~ = 'na hana masingizio ulimini mwake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'asiyemtenda jirani yake vibaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na asiyemsingizia mwenzake,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'ambaye humdharau mtu mbaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini huwaheshimu wale wamwogopao \\nd Bwana\\nd*,' 'lakini huwaheshimu wale wamwogopao Bwana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'yule atunzaye kiapo chake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata kama anaumia.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Yeye akopeshaye fedha yake bila riba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hapokei rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Mtu afanyaye haya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kamwe hatatikisika.' ¬v = '5' ¬q2 = ¬c = '15' c = '16' cl = 'Zaburi 16' v= = '1' s1 = 'Sala Ya Matumaini' d = 'Utenzi wa Daudi.' q1 = '' c# = '16' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, uniweke salama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana kwako nimekimbilia.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nilimwambia \\nd Bwana\\nd*, “Wewe ndiwe Bwana wangu;' 'Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pasipo wewe sina jambo jema.”' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa habari ya watakatifu walioko duniani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Huzuni itaongezeka kwa wale' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaokimbilia miungu mingine.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Sitazimimina sadaka zao za damu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kutaja majina yao midomoni mwangu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = '\\nd Bwana\\nd* umeniwekea fungu langu na kikombe changu;' 'Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakika nimepata urithi mzuri.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nitamsifu \\nd Bwana\\nd* ambaye hunishauri,' 'Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nimemweka \\nd Bwana\\nd* mbele yangu daima.' 'Nimemweka Bwana mbele yangu daima.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'sitatikisika.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwili wangu nao utapumzika salama,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'kwa maana hutaniacha kaburini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Umenijulisha njia ya uzima;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utanijaza na furaha mbele zako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'pamoja na furaha za milele' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mkono wako wa kuume.' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '16' c = '17' cl = 'Zaburi 17' v= = '1' s1 = 'Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia' d = 'Sala ya Daudi.' q1 = '' c# = '17' v = '1' v~ = 'Sikia, Ee \\nd Bwana\\nd*, kusihi kwangu kwa haki,' 'Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikiliza kilio changu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Tega sikio kwa ombi langu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Hukumu yangu na itoke kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'macho yako na yaone yale yaliyo haki.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ingawa umenijaribu, hutaona chochote.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nimeamua kwamba kinywa changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakitatenda dhambi.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kuhusu matendo ya wanadamu:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa neno la midomo yako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nimejiepusha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na njia za wenye jeuri.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Hatua zangu zimeshikamana na njia zako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nyayo zangu hazikuteleza.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitegee sikio lako na usikie ombi langu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nilinde kama mboni ya jicho lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'kutokana na waovu wanaonishambulia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Huifunga mioyo yao iliyo migumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vinywa vyao hunena kwa majivuno.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakiwa macho, waniangushe chini.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Inuka, Ee \\nd Bwana\\nd*, pambana nao, uwaangushe,' 'Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii,' 'Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na watu wa ulimwengu huu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambao fungu lao liko katika maisha haya.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Na wapate adhabu ya kuwatosha.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Watoto wao na wapate zaidi ya hayo,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Na mimi katika haki nitauona uso wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.' ¬v = '15' ¬q2 = ¬c = '17' c = '18' cl = 'Zaburi 18' s1 = 'Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi' r = '(2 Samweli 22:1-51)' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \\nd Bwana\\nd* aliyomwimbia \\nd Bwana\\nd* wakati \\nd Bwana\\nd* alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:' 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana aliyomwimbia Bwana wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:' q1 = '' c# = '18' v = '1' v~ = 'Nakupenda wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Nakupenda wewe, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nguvu yangu.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwamba wangu,' 'Bwana ni mwamba wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ngome yangu na mwokozi wangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mungu wangu ni mwamba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye kwake ninakimbilia.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ngome yangu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ninamwita \\nd Bwana\\nd* anayestahili kusifiwa,' 'Ninamwita Bwana anayestahili kusifiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kamba za mauti zilinizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mafuriko ya maangamizi yalinilemea.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kamba za kuzimu zilinizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mitego ya mauti ilinikabili.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Katika shida yangu nalimwita \\nd Bwana\\nd*,' 'Katika shida yangu nalimwita Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilimlilia Mungu wangu anisaidie.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kilio changu kikafika mbele zake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'masikioni mwake.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Dunia ilitetemeka na kutikisika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'misingi ya milima ikatikisika,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Moshi ukapanda kutoka puani mwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'makaa ya moto yawakayo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yakatoka ndani mwake.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Akazipasua mbingu akashuka chini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Alipanda juu ya kerubi akaruka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akapaa juu kwa mbawa za upepo.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Alifanya giza kuwa kitu chake cha kujifunika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hema lake kumzunguka,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mawingu meusi ya mvua ya angani.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kutokana na mwanga wa uwepo wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mawingu yalisogea,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ikanyesha mvua ya mawe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na umeme wa radi.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = '\\nd Bwana\\nd* alinguruma kutoka mbinguni,' 'Bwana alinguruma kutoka mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Aliipiga mishale yake na kutawanya adui,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mabonde ya bahari yalifunuliwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na misingi ya dunia ikawa wazi' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kukaripia kwako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'kwa kukaripia kwako, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwako.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Walinikabili siku ya msiba wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini \\nd Bwana\\nd* alikuwa msaada wangu.' 'lakini Bwana alikuwa msaada wangu.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Alinileta nje mahali penye nafasi tele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = '\\nd Bwana\\nd* alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;' 'Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kwa maana nimezishika njia za \\nd Bwana\\nd*;' 'Kwa maana nimezishika njia za Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Sheria zake zote zi mbele yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala sijayaacha maagizo yake.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Nimekuwa sina hatia mbele zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nimejilinda nisitende dhambi.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = '\\nd Bwana\\nd* amenilipa sawasawa na uadilifu wangu;' 'Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sawasawa na usafi wa mikono yangu machoni pake.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Kwa yeye aliye mwaminifu, unajionyesha kuwa mwaminifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa asiye na hatia, unajionyesha kutokuwa na hatia.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Kwa aliye mtakatifu, unajionyesha kuwa mtakatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini kwa aliyepotoka, unajionyesha kuwa mkaidi.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Wewe huwaokoa wanyenyekevu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini huwashusha wenye kiburi.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, unaifanya taa yangu iendelee kuwaka;' 'Wewe, Ee Bwana, unaifanya taa yangu iendelee kuwaka;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wangu hulifanya giza langu kuwa mwanga.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikiwa pamoja na Mungu wangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nitaweza kuruka ukuta.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'neno la \\nd Bwana\\nd* halina dosari.' 'neno la Bwana halina dosari.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Yeye ni ngao kwa wote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaokimbilia kwake.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Kwa maana ni nani aliye Mungu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zaidi ya \\nd Bwana\\nd*?' 'zaidi ya Bwana?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ni nani aliye Mwamba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'isipokuwa Mungu wetu?' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Mungu ndiye anivikaye nguvu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huniwezesha kusimama mahali palipo juu.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Huifundisha mikono yangu kupigana vita;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Hunipa ngao yako ya ushindi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao mkono wako wa kuume hunitegemeza,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'unajishusha chini ili kuniinua.' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'Huyapanua mapito yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili miguu yangu isiteleze.' ¬q2 = ¬v = '36' b = '' q1 = '' v = '37' v~ = 'Niliwafuatia adui zangu na nikawapata,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.' ¬q2 = ¬v = '37' q1 = '' v = '38' v~ = 'Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walianguka chini ya miguu yangu.' ¬q2 = ¬v = '38' q1 = '' v = '39' v~ = 'Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.' ¬q2 = ¬v = '39' q1 = '' v = '40' v~ = 'Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nikawaangamiza adui zangu.' ¬q2 = ¬v = '40' q1 = '' v = '41' v~ = 'Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walimlilia \\nd Bwana\\nd*, lakini hakuwajibu.' 'walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.' ¬q2 = ¬v = '41' q1 = '' v = '42' v~ = 'Niliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niliwamwaga nje kama tope barabarani.' ¬q2 = ¬v = '42' b = '' q1 = '' v = '43' v~ = 'Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'watu ambao sikuwajua wananitumikia.' ¬q2 = ¬v = '43' q1 = '' v = '44' v~ = 'Mara wanisikiapo hunitii,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wageni hunyenyekea mbele yangu.' ¬q2 = ¬v = '44' q1 = '' v = '45' v~ = 'Wote wanalegea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.' ¬q2 = ¬v = '45' b = '' q1 = '' v = '46' v~ = '\\nd Bwana\\nd* yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!' 'Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!' ¬q2 = ¬v = '46' q1 = '' v = '47' v~ = 'Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'awatiishaye mataifa chini yangu,' ¬q2 = ¬v = '47' q2 = '' v = '48' v~ = 'aniokoaye na adui zangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Uliniinua juu ya adui zangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliniokoa toka kwa watu wajeuri.' ¬q2 = ¬v = '48' q1 = '' v = '49' v~ = 'Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee \\nd Bwana\\nd*;' 'Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaliimbia sifa jina lako.' ¬q2 = ¬v = '49' q1 = '' v = '50' v~ = 'Humpa mfalme wake ushindi mkuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa Daudi na wazao wake milele.' ¬v = '50' ¬q2 = ¬c = '18' c = '19' cl = 'Zaburi 19' v= = '1' s1 = 'Utukufu Wa Mungu Katika Uumbaji' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '19' v = '1' v~ = 'Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anga zahubiri kazi ya mikono yake.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Siku baada ya siku zinatoa habari,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hakuna msemo wala lugha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambapo sauti zao hazisikiki.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Sauti yao imeenea duniani pote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo maneno yao yameenea' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hadi miisho ya ulimwengu.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,' ¬q1 = ¬v = '4' q2 = '' v = '5' v~ = 'linafanana na bwana arusi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'akitoka chumbani mwake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama shujaa afurahiavyo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kukamilisha kushindana kwake.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Huchomoza upande mmoja wa mbingu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufanya mzunguko wake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hadi upande mwingine.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Hakuna kilichojificha joto lake.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Sheria ya \\nd Bwana\\nd* ni kamilifu,' 'Sheria ya Bwana ni kamilifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ikihuisha nafsi.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Shuhuda za \\nd Bwana\\nd* ni za kuaminika,' 'Shuhuda za Bwana ni za kuaminika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zikimpa mjinga hekima.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Maagizo ya \\nd Bwana\\nd* ni kamili,' 'Maagizo ya Bwana ni kamili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo hufurahisha moyo.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Amri za \\nd Bwana\\nd* huangaza,' 'Amri za Bwana huangaza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zatia nuru machoni.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kumcha \\nd Bwana\\nd* ni utakatifu,' 'Kumcha Bwana ni utakatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nako kwadumu milele.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Amri za \\nd Bwana\\nd* ni za hakika,' 'Amri za Bwana ni za hakika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo zina haki.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ni za thamani kuliko dhahabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko dhahabu iliyo safi sana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ni tamu kuliko asali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko asali kutoka kwenye sega.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kwa hizo mtumishi wako anaonywa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika kuzishika kuna thawabu kubwa.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ni nani awezaye kutambua makosa yake?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo zisinitawale.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ndipo nitakapokuwa sina lawama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Maneno ya kinywa changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mawazo ya moyo wangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'yapate kibali mbele zako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'yapate kibali mbele zako, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mwamba wangu na Mkombozi wangu.' ¬v = '14' ¬q2 = ¬c = '19' c = '20' cl = 'Zaburi 20' v= = '1' s1 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '20' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* na akujibu unapokuwa katika dhiki,' 'Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Na akutumie msaada kutoka patakatifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akupatie msaada kutoka Sayuni.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Na azikumbuke dhabihu zako zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Na akujalie haja ya moyo wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na aifanikishe mipango yako yote.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* na akupe haja zako zote.' 'Bwana na akupe haja zako zote.' ¬q1 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Sasa nafahamu kuwa \\nd Bwana\\nd*' 'Sasa nafahamu kuwa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'humwokoa mpakwa mafuta wake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'humjibu kutoka mbingu yake takatifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa nguvu za wokovu wa mkono wake wa kuume.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali sisi tutalitumainia jina la \\nd Bwana\\nd*, Mungu wetu.' 'bali sisi tutalitumainia jina la Bwana, Mungu wetu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Wao wameshushwa chini na kuanguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali sisi tunainuka na kusimama imara.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, mwokoe mfalme!' 'Ee Bwana, mwokoe mfalme!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Tujibu tunapokuita!' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '20' c = '21' cl = 'Zaburi 21' v= = '1' s1 = 'Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Ushindi' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '21' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, mfalme huzifurahia nguvu zako.' 'Ee Bwana, mfalme huzifurahia nguvu zako.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Tazama jinsi ilivyo kuu furaha yake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa ushindi unaompa!' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Umempa haja ya moyo wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hukumzuilia maombi ya midomo yake.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ulimkaribisha kwa baraka tele' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumvika taji ya dhahabu safi kichwani pake.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Alikuomba maisha, nawe ukampa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wingi wa siku milele na milele.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kutokana na ushindi uliompa, utukufu wake ni mkubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeweka juu yake fahari na utukufu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hakika umempa baraka za milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umemfanya awe na furaha' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa shangwe ya uwepo wako.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kwa kuwa mfalme anamtumaini \\nd Bwana\\nd*;' 'Kwa kuwa mfalme anamtumaini Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mkono wako utawashika adui zako wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Wakati utakapojitokeza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utawafanya kama tanuru ya moto.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Katika ghadhabu yake \\nd Bwana\\nd* atawameza,' 'Katika ghadhabu yake Bwana atawameza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moto wake utawateketeza.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uzao wao kutoka wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ingawa watapanga mabaya dhidi yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'kwa kuwa utawafanya wakimbie' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utakapowalenga usoni pao' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa mshale kutoka kwenye upinde wako.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, utukuzwe katika nguvu zako,' 'Ee Bwana, utukuzwe katika nguvu zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tutaimba na kusifu nguvu zako.' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '21' c = '22' cl = 'Zaburi 22' v= = '1' s1 = 'Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '22' v = '1' v~ = 'Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa?' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata usiku, sinyamazi.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe ni sifa ya Israeli.' EXTRA( fn @ 24 = '+ \\fr 22:3 \\ft Tafsiri zingine zinasema: uketiye juu ya sifa za Israeli.') ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walikutumaini nawe ukawaokoa.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Walikulilia wewe na ukawaokoa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walikutegemea wewe nao hawakuaibika.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wote wanionao hunidhihaki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Husema, “Anamtegemea \\nd Bwana\\nd*,' 'Husema, “Anamtegemea Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'basi \\nd Bwana\\nd* na amwokoe.' 'basi Bwana na amwokoe.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Amkomboe basi, kwa maana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anapendezwa naye.”' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Hata hivyo ulinitoa tumboni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukanifanya nikutegemee,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hata nilipokuwa ninanyonya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matiti ya mama yangu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'toka tumboni mwa mama yangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'umekuwa Mungu wangu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Usiwe mbali nami,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana shida iko karibu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na hakuna wa kunisaidia.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mafahali wengi wamenizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mafahali wa Bashani wenye nguvu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wamenizingira.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Simba wangurumao wanaorarua mawindo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Nimemiminwa kama maji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Moyo wangu umegeuka kuwa nta,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeyeyuka ndani yangu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Nguvu zangu zimekauka kama kigae,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulimi wangu umegandamana' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kaakaa la kinywa changu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa sababu umenilaza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mavumbi ya kifo.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mbwa wamenizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kundi la watu waovu limenizingira,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wametoboa mikono yangu na miguu yangu.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Naweza kuhesabu mifupa yangu yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu wananikodolea macho na kunisimanga.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Wanagawana nguo zangu wao kwa wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na vazi langu wanalipigia kura.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Lakini wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Lakini wewe, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiwe mbali.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ee Nguvu yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uje haraka unisaidie.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Okoa maisha yangu na upanga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Niokoe kutoka kinywani mwa simba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika kusanyiko nitakusifu wewe.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Ninyi ambao mnamcha \\nd Bwana\\nd*, msifuni!' 'Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye!' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Kwa maana hakupuuza wala kudharau' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mateso ya aliyeonewa;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hakumficha uso wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Maskini watakula na kushiba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wamtafutao \\nd Bwana\\nd* watamsifu:' 'wale wamtafutao Bwana watamsifu:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mioyo yenu na iishi milele!' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Miisho yote ya dunia itakumbuka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumgeukia \\nd Bwana\\nd*,' 'na kumgeukia Bwana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nazo jamaa zote za mataifa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watasujudu mbele zake,' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'kwa maana ufalme ni wa \\nd Bwana\\nd*' 'kwa maana ufalme ni wa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hutawala juu ya mataifa.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Wote waendao mavumbini' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'watapiga magoti mbele yake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wote ambao hawawezi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kudumisha uhai wao.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Wazao wa baadaye watamtumikia yeye;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Watatangaza haki yake kwa watu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao hawajazaliwa bado,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa maana yeye ametenda hili.' ¬v = '31' ¬q2 = ¬c = '22' c = '23' cl = 'Zaburi 23' v= = '1' s1 = '\\nd Bwana\\nd* Mchungaji Wetu' 'Bwana Mchungaji Wetu' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '23' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ndiye mchungaji wangu,' 'Bwana ndiye mchungaji wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sitapungukiwa na kitu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Hunilaza katika malisho' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya majani mabichi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kando ya maji matulivu huniongoza,' ¬q1 = ¬v = '2' q2 = '' v = '3' v~ = 'hunihuisha nafsi yangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Huniongoza katika njia za haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya jina lake.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Hata kama nikipita katikati' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya bonde la uvuli wa mauti,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'sitaogopa mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wewe upo pamoja nami;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'fimbo yako na mkongojo wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vyanifariji.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Waandaa meza mbele yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'machoni pa adui zangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Umenipaka mafuta kichwani pangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kikombe changu kinafurika.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hakika wema na upendo vitanifuata' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku zote za maisha yangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nami nitakaa nyumbani mwa \\nd Bwana\\nd*' 'nami nitakaa nyumbani mwa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'milele.' ¬v = '6' ¬q2 = ¬c = '23' c = '24' cl = 'Zaburi 24' v= = '1' s1 = 'Mfalme Mkuu' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '24' v = '1' v~ = 'Dunia ni mali ya \\nd Bwana\\nd*, na vyote vilivyomo ndani yake,' 'Dunia ni mali ya Bwana, na vyote vilivyomo ndani yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulimwengu, na wote waishio ndani yake,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'maana aliiwekea misingi yake baharini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuifanya imara juu ya maji.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nani awezaye kuupanda mlima wa \\nd Bwana\\nd*?' 'Nani awezaye kuupanda mlima wa Bwana?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani awezaye kusimama patakatifu pake?' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'au kuapa kwa kitu cha uongo.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Huyo atapokea baraka kutoka kwa \\nd Bwana\\nd*,' 'Huyo atapokea baraka kutoka kwa Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hukumu ya haki kutoka kwa Mungu Mwokozi wake.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wautafutao uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Inueni vichwa vyenu, enyi malango,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'inukeni enyi milango ya kale,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ili mfalme wa utukufu apate kuingia.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ni nani huyu Mfalme wa utukufu?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni \\nd Bwana\\nd* aliye na nguvu na uweza,' 'Ni Bwana aliye na nguvu na uweza,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ni \\nd Bwana\\nd* aliye hodari katika vita.' 'ni Bwana aliye hodari katika vita.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Inueni vichwa vyenu, enyi malango,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'viinueni juu enyi milango ya kale,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ili Mfalme wa utukufu apate kuingia.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni \\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote;' 'Ni Bwana Mwenye Nguvu Zote;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yeye ndiye Mfalme wa utukufu.' ¬v = '10' ¬q2 = ¬c = '24' c = '25' cl = 'Zaburi 25' EXTRA( fn @ 9 = '+ \\fr 25 \\ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') v= = '1' s1 = 'Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '25' v = '1' v~ = 'Kwako wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Kwako wewe, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nainua nafsi yangu,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'ni wewe ninayekutumainia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu wangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Usiniache niaibike,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usiache adui zangu wakanishinda.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atakayeaibishwa,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'bali wataaibishwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wafanyao hila bila sababu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Nionyeshe njia zako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Nionyeshe njia zako, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nifundishe mapito yako,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'niongoze katika kweli yako na kunifundisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wewe ni Mungu Mwokozi wangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nalo tumaini langu liko kwako wakati wote.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kumbuka, Ee \\nd Bwana\\nd*, rehema zako kuu na upendo,' 'Kumbuka, Ee Bwana, rehema zako kuu na upendo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana zimekuwepo tangu zamani.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Usizikumbuke dhambi za ujana wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala njia zangu za uasi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'sawasawa na upendo wako unikumbuke,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wewe ni mwema, Ee \\nd Bwana\\nd*.' 'kwa maana wewe ni mwema, Ee Bwana.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwema na mwenye adili,' 'Bwana ni mwema na mwenye adili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huwafundisha njia yake.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Njia zote za \\nd Bwana\\nd* ni za upendo na uaminifu' 'Njia zote za Bwana ni za upendo na uaminifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wale wanaoshika shuhuda za agano lake.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, kwa ajili ya jina lako,' 'Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unisamehe uovu wangu, ijapokuwa ni mwingi.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ni nani basi, mtu yule anayemcha \\nd Bwana\\nd*?' 'Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Atamfundisha katika njia' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'atakayoichagua kwa ajili yake.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wazao wake watairithi nchi.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Siri ya \\nd Bwana\\nd* iko kwa wale wamchao,' 'Siri ya Bwana iko kwa wale wamchao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye huwajulisha agano lake.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Macho yangu humwelekea \\nd Bwana\\nd* daima,' 'Macho yangu humwelekea Bwana daima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'miguu yangu kutoka mtego.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Nigeukie na unihurumie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Shida za moyo wangu zimeongezeka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niokoe katika dhiki yangu.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Uangalie mateso na shida zangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uniondolee dhambi zangu zote.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Tazama adui zangu walivyo wengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pia uone jinsi wanavyonichukia vikali!' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Uyalinde maisha yangu na uniokoe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiniache niaibike,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa maana nimekukimbilia wewe.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Uadilifu na uaminifu vinilinde,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu tumaini langu ni kwako.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Ee Mungu, wakomboe Israeli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika shida zao zote!' ¬v = '22' ¬q2 = ¬c = '25' c = '26' cl = 'Zaburi 26' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Mtu Mwema' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '26' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nithibitishe katika haki,' 'Ee Bwana, nithibitishe katika haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maana nimeishi maisha yasiyo na lawama;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nimemtumainia \\nd Bwana\\nd*' 'nimemtumainia Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bila kusitasita.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, unijaribu, unipime,' 'Ee Bwana, unijaribu, unipime,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uuchunguze moyo wangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na mawazo yangu;' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'kwa maana upendo wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uko mbele yangu daima,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nami natembea siku zote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika kweli yako.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Siketi pamoja na watu wadanganyifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala siandamani na wanafiki,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'ninachukia kusanyiko la watenda mabaya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ninakataa kuketi pamoja na waovu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naikaribia madhabahu yako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,' 'Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mahali ambapo utukufu wako hukaa.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikomboe na unihurumie.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika kusanyiko kuu nitamsifu \\nd Bwana\\nd*.' 'katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '26' c = '27' cl = 'Zaburi 27' v= = '1' s1 = 'Sala Ya Kusifu' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '27' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni nuru yangu na wokovu wangu,' 'Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimwogope nani?' ¬q2 = q1 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* ni ngome ya uzima wangu,' 'Bwana ni ngome ya uzima wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimhofu nani?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Waovu watakaposogea dhidi yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili wanile nyama yangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watajikwaa na kuanguka.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hata jeshi linizunguke pande zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moyo wangu hautaogopa;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hata vita vitokee dhidi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hapo nitakuwa na ujasiri.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Jambo moja ninamwomba \\nd Bwana\\nd*,' 'Jambo moja ninamwomba Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hili ndilo ninalolitafuta:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'niweze kukaa nyumbani mwa \\nd Bwana\\nd*' 'niweze kukaa nyumbani mwa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku zote za maisha yangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'niutazame uzuri wa \\nd Bwana\\nd*' 'niutazame uzuri wa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumtafuta hekaluni mwake.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa kuwa siku ya shida,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atanihifadhi salama katika maskani yake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'atanificha uvulini mwa hema yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuniweka juu kwenye mwamba.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kisha kichwa changu kitainuliwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya adui zangu wanaonizunguka.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Katika maskani yake nitatoa dhabihu kwa kelele za shangwe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitamwimbia \\nd Bwana\\nd* na kumsifu.' 'nitamwimbia Bwana na kumsifu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unihurumie na unijibu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Moyo wangu unasema kuhusu wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Utafute uso wake!”' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Uso wako, \\nd Bwana\\nd* “Nitautafuta.”' 'Uso wako, Bwana “Nitautafuta.”' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Usinifiche uso wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usimkatae mtumishi wako kwa hasira;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wewe umekuwa msaada wangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Usinikatae wala usiniache,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu Mwokozi wangu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Hata kama baba yangu na mama wakiniacha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* atanipokea.' 'Bwana atanipokea.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Nifundishe njia yako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Nifundishe njia yako, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niongoze katika njia iliyonyooka' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya watesi wangu.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Usiniachilie kwa nia za adui zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana mashahidi wa uongo' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wameinuka dhidi yangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakipumua ujeuri.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Nami bado nina tumaini hili:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitauona wema wa \\nd Bwana\\nd*' 'nitauona wema wa Bwana' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'katika nchi ya walio hai.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Mngojee \\nd Bwana\\nd*,' 'Mngojee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uwe hodari na mwenye moyo mkuu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nawe, umngojee \\nd Bwana\\nd*.' 'nawe, umngojee Bwana.' ¬v = '14' ¬q2 = ¬c = '27' c = '28' cl = 'Zaburi 28' v= = '1' s1 = 'Kuomba Msaada' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '28' v = '1' v~ = 'Ninakuita wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, Mwamba wangu;' 'Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiwe kwangu kama kiziwi.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kwa sababu ukinyamaza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitafanana na walioshuka shimoni.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Sikia kilio changu unihurumie' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapokuita kwa ajili ya msaada,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'niinuapo mikono yangu kuelekea' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Patakatifu pa Patakatifu pako.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Usiniburute pamoja na waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pamoja na hao watendao mabaya,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mioyoni mwao wameficha chuki.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Walipe sawasawa na matendo yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sawasawa na matendo yao maovu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'walipe sawasawa na kazi za mikono yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uwalipe wanavyostahili.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa kuwa hawaheshimu kazi za \\nd Bwana\\nd*,' 'Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na yale ambayo mikono yake imetenda,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'atawabomoa na kamwe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatawajenga tena.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = '\\nd Bwana\\nd* asifiwe,' 'Bwana asifiwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana amesikia kilio changu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nikimwomba anihurumie.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni nguvu zangu na ngao yangu,' 'Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moyo wangu umemtumaini yeye,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nami nimesaidiwa.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Moyo wangu unarukaruka kwa furaha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitamshukuru kwa wimbo.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni nguvu ya watu wake,' 'Bwana ni nguvu ya watu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uwe mchungaji wao na uwabebe milele.' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '28' c = '29' cl = 'Zaburi 29' v= = '1' s1 = 'Sauti Ya \\nd Bwana\\nd* Wakati Wa Dhoruba' 'Sauti Ya Bwana Wakati Wa Dhoruba' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '29' v = '1' v~ = 'Mpeni \\nd Bwana\\nd*, enyi mashujaa,' 'Mpeni Bwana, enyi mashujaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpeni \\nd Bwana\\nd* utukufu na nguvu.' 'mpeni Bwana utukufu na nguvu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mpeni \\nd Bwana\\nd* utukufu unaostahili jina lake;' 'Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwabuduni \\nd Bwana\\nd* katika uzuri wa utakatifu wake.' 'mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Sauti ya \\nd Bwana\\nd* iko juu ya maji;' 'Sauti ya Bwana iko juu ya maji;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wa utukufu hupiga radi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* hupiga radi juu ya maji makuu.' 'Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Sauti ya \\nd Bwana\\nd* ina nguvu;' 'Sauti ya Bwana ina nguvu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sauti ya \\nd Bwana\\nd* ni tukufu.' 'sauti ya Bwana ni tukufu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Sauti ya \\nd Bwana\\nd* huvunja mierezi;' 'Sauti ya Bwana huvunja mierezi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huvunja vipande vipande' 'Bwana huvunja vipande vipande' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mierezi ya Lebanoni.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Sirioni urukaruke kama mwana nyati.' EXTRA( fn @ 7 = '+ \\fr 29:6 \\ft Yaani Mlima Hermoni.') ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Sauti ya \\nd Bwana\\nd* hupiga kwa miali' 'Sauti ya Bwana hupiga kwa miali' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya umeme wa radi.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Sauti ya \\nd Bwana\\nd* hutikisa jangwa;' 'Sauti ya Bwana hutikisa jangwa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* hutikisa Jangwa la Kadeshi.' 'Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Sauti ya \\nd Bwana\\nd* huzalisha ayala,' 'Sauti ya Bwana huzalisha ayala,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na huuacha msitu wazi.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Hekaluni mwake wote wasema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Utukufu!”' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;' 'Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* ametawazwa kuwa Mfalme milele.' 'Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwapa watu wake nguvu;' 'Bwana huwapa watu wake nguvu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.' 'Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '29' c = '30' cl = 'Zaburi 30' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Shukrani' d = 'Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '30' v = '1' v~ = 'Nitakutukuza wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Nitakutukuza wewe, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na hukuacha adui zangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'washangilie juu yangu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, Mungu wangu, nilikuita unisaidie' 'Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wewe umeniponya.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, umenitoa Kuzimu,' 'Ee Bwana, umenitoa Kuzimu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mwimbieni \\nd Bwana\\nd*, enyi watakatifu wake;' 'Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lisifuni jina lake takatifu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali upendo wake hudumu siku zote.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini asubuhi kukawa na furaha.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nilipofanikiwa nilisema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Sitatikiswa kamwe.”' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uliponijalia,' 'Ee Bwana, uliponijalia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliuimarisha mlima wangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'lakini ulipouficha uso wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilifadhaika.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kwako wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, niliita,' 'Kwako wewe, Ee Bwana, niliita,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa Bwana niliomba rehema:' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = '“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Katika kushuka kwangu shimoni?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Je, mavumbi yatakusifu?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, yatatangaza uaminifu wako?' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, unisikie na kunihurumia,' 'Ee Bwana, unisikie na kunihurumia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uwe msaada wangu.”' 'Ee Bwana, uwe msaada wangu.”' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu wangu, nitakushukuru milele.' 'Ee Bwana Mungu wangu, nitakushukuru milele.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '30' c = '31' cl = 'Zaburi 31' v= = '1' s1 = 'Maombi Na Sifa Kwa Kuokolewa Kutoka Kwa Adui' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '31' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nimekukimbilia wewe,' 'Ee Bwana, nimekukimbilia wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiache nikaaibika kamwe,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa haki yako uniokoe.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nitegee sikio lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uje uniokoe haraka;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'uwe kwangu mwamba wa kimbilio,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ngome imara ya kuniokoa.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uniongoze na kunilinda kwa ajili ya jina lako.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Uniepushe na mtego niliotegewa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maana wewe ndiwe kimbilio langu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unikomboe Ee \\nd Bwana\\nd*, uliye Mungu wa kweli.' 'unikomboe Ee Bwana, uliye Mungu wa kweli.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ninawachukia wale wanaongʼangʼania sanamu batili;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mimi ninamtumaini \\nd Bwana\\nd*.' 'mimi ninamtumaini Bwana.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nitafurahia na kushangilia upendo wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa uliona mateso yangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na ulijua maumivu ya nafsi yangu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Hukunikabidhi kwa adui yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali umeiweka miguu yangu mahali penye nafasi.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida;' 'Ee Bwana unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'macho yangu yanafifia kwa huzuni,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nafsi yangu na mwili wangu kwa sikitiko.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, miaka yangu kwa kulia kwa maumivu makali;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nguvu zangu zinaisha kwa ajili ya mateso,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mifupa yangu inachakaa.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kwa sababu ya adui zangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimedharauliwa kabisa na jirani zangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hata kwa rafiki zangu nimekuwa tisho,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanionao barabarani hunikimbia.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Nimesahaulika miongoni mwao kama mtu aliyekufa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimekuwa kama chombo cha mfinyanzi kilichovunjika.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwa maana nimesikia maneno niliyosingiziwa na wengi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vitisho viko pande zote;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kuwa wamefanya mashauri dhidi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kula njama kuniua.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee \\nd Bwana\\nd*;' 'Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.”' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uniokoe mikononi mwa adui zangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na wale wanifuatiao.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mwangazie mtumishi wako uso wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uniokoe kwa ajili ya upendo wako usiokoma.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Usiniache niaibike, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Usiniache niaibike, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana nimekulilia wewe,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'bali waovu waaibishwe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunyamazishwa Kuzimu.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Midomo yao isemayo uongo na inyamazishwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana kwa kiburi na dharau' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wao husema kwa majivuno' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dhidi ya wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliowawekea akiba wakuchao,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambao huwapa wale wakukimbiliao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'machoni pa watu.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Unawahifadhi katika uvuli wa uwepo wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na hila za wanadamu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'katika makao yako huwaweka salama' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na ndimi za mashtaka.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Atukuzwe \\nd Bwana\\nd*,' 'Atukuzwe Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa amenionyesha upendo wake wa ajabu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nilipokuwa katika mji uliozingirwa.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Katika hofu yangu nilisema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Nimekatiliwa mbali na macho yako!”' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Hata hivyo ulisikia kilio changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukanihurumia nilipokuita unisaidie.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Mpendeni \\nd Bwana\\nd* ninyi watakatifu wake wote!' 'Mpendeni Bwana ninyi watakatifu wake wote!' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huwahifadhi waaminifu,' 'Bwana huwahifadhi waaminifu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'lakini wenye kiburi huwalipiza kikamilifu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Kuweni hodari na mjipe moyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi nyote mnaomtumaini \\nd Bwana\\nd*.' 'ninyi nyote mnaomtumaini Bwana.' ¬v = '24' ¬q2 = ¬c = '31' c = '32' cl = 'Zaburi 32' v= = '1' s1 = 'Furaha Ya Msamaha' d = 'Zaburi ya Daudi. Funzo.' q1 = '' c# = '32' v = '1' v~ = 'Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye dhambi zake zimefunikwa.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Heri mtu yule ambaye \\nd Bwana\\nd*' 'Heri mtu yule ambaye Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hamhesabii dhambi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na ambaye rohoni mwake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hamna udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Usiku na mchana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkono wako ulinilemea,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nguvu zangu zilinyonywa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama vile katika joto la kiangazi.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kisha nilikujulisha dhambi yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala sikuficha uovu wangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nilisema, “Nitaungama' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'makosa yangu kwa \\nd Bwana\\nd*.”' 'makosa yangu kwa Bwana.”' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ndipo uliponisamehe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatia ya dhambi yangu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati unapopatikana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hakika maji makuu yatakapofurika' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hayatamfikia yeye.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utaniepusha na taabu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitakushauri na kukuangalia.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Usiwe kama farasi au nyumbu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wasio na akili,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'la sivyo hawatakukaribia.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mtu mwovu ana taabu nyingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali upendo usio na kikomo wa \\nd Bwana\\nd*' 'bali upendo usio na kikomo wa Bwana' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'unamzunguka mtu anayemtumaini.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Shangilieni katika \\nd Bwana\\nd* na mfurahi, enyi wenye haki!' 'Shangilieni katika Bwana na mfurahi, enyi wenye haki!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo!' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '32' c = '33' cl = 'Zaburi 33' v= = '1' s1 = 'Ukuu Na Wema Wa Mungu' q1 = '' c# = '33' v = '1' v~ = 'Mwimbieni \\nd Bwana\\nd* kwa furaha, enyi wenye haki;' 'Mwimbieni Bwana kwa furaha, enyi wenye haki;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd* kwa kinubi,' 'Msifuni Bwana kwa kinubi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mwimbieni wimbo mpya;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Maana neno la \\nd Bwana\\nd* ni haki na kweli,' 'Maana neno la Bwana ni haki na kweli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mwaminifu kwa yote atendayo.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = '\\nd Bwana\\nd* hupenda uadilifu na haki;' 'Bwana hupenda uadilifu na haki;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dunia imejaa upendo wake usiokoma.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwa neno la \\nd Bwana\\nd* mbingu ziliumbwa,' 'Kwa neno la Bwana mbingu ziliumbwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ameyakusanya maji ya bahari' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama kwenye chungu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'vilindi vya bahari' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ameviweka katika ghala.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Dunia yote na imwogope \\nd Bwana\\nd*,' 'Dunia yote na imwogope Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu wote wa dunia wamche.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kwa maana Mungu alisema, na ikawa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliamuru na ikasimama imara.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huzuia mipango ya mataifa,' 'Bwana huzuia mipango ya mataifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupinga makusudi ya mataifa.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Lakini mipango ya \\nd Bwana\\nd* inasimama imara milele,' 'Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Heri taifa ambalo \\nd Bwana\\nd* ni Mungu wao,' 'Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kutoka mbinguni \\nd Bwana\\nd* hutazama chini' 'Kutoka mbinguni Bwana hutazama chini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaona wanadamu wote;' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'kutoka maskani mwake huwaangalia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wote wakaao duniani:' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'yeye ambaye huumba mioyo yao wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna shujaa aokokaye kwa wingi wa nguvu zake.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Lakini macho ya \\nd Bwana\\nd* yako kwa wale wamchao,' 'Lakini macho ya Bwana yako kwa wale wamchao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'ili awaokoe na mauti,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwahifadhi wakati wa njaa.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Sisi tunamngojea \\nd Bwana\\nd* kwa matumaini,' 'Sisi tunamngojea Bwana kwa matumaini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni msaada wetu na ngao yetu.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Mioyo yetu humshangilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tunapoliweka tumaini letu kwako.' ¬v = '22' ¬q2 = ¬c = '33' c = '34' cl = 'Zaburi 34' EXTRA( fn @ 9 = '+ \\fr 34 \\ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') v= = '1' s1 = 'Sifa Na Wema Wa Mungu' d = 'Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.' q1 = '' c# = '34' v = '1' v~ = 'Nitamtukuza \\nd Bwana\\nd* nyakati zote,' 'Nitamtukuza Bwana nyakati zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nafsi yangu itajisifu katika \\nd Bwana\\nd*,' 'Nafsi yangu itajisifu katika Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walioonewa watasikia na wafurahi.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mtukuzeni \\nd Bwana\\nd* pamoja nami,' 'Mtukuzeni Bwana pamoja nami,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, na tulitukuze jina lake pamoja.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Nilimtafuta \\nd Bwana\\nd* naye akanijibu,' 'Nilimtafuta Bwana naye akanijibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akaniokoa kwenye hofu zangu zote.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wale wamtazamao hutiwa nuru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Maskini huyu alimwita \\nd Bwana\\nd*, naye akamsikia,' 'Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akamwokoa katika taabu zake zote.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Malaika wa \\nd Bwana\\nd* hufanya kituo' 'Malaika wa Bwana hufanya kituo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akiwazunguka wale wamchao,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'naye huwaokoa.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Onjeni mwone kwamba \\nd Bwana\\nd* ni mwema,' 'Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'heri mtu yule anayemkimbilia.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mcheni \\nd Bwana\\nd* enyi watakatifu wake,' 'Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wale wamchao' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hawapungukiwi na chochote.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wana simba wenye nguvu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hutindikiwa na kuona njaa,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'bali wale wamtafutao \\nd Bwana\\nd*' 'bali wale wamtafutao Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawatakosa kitu chochote kilicho chema.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Njooni, watoto wangu, mnisikilize,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitawafundisha kumcha \\nd Bwana\\nd*.' 'nitawafundisha kumcha Bwana.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Yeyote kati yenu anayependa uzima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutamani kuziona siku nyingi njema,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'basi auzuie ulimi wake na mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na midomo yake kutokana na kusema uongo.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Aache uovu, atende mema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aitafute amani na kuifuatilia.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Macho ya \\nd Bwana\\nd* huwaelekea wenye haki,' 'Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Uso wa \\nd Bwana\\nd* uko kinyume na watendao maovu,' 'Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili kufuta kumbukumbu lao duniani.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Wenye haki hulia, naye \\nd Bwana\\nd* huwasikia,' 'Wenye haki hulia, naye Bwana huwasikia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huwaokoa katika taabu zao zote.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = '\\nd Bwana\\nd* yu karibu na waliovunjika moyo,' 'Bwana yu karibu na waliovunjika moyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na huwaokoa waliopondeka roho.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Mwenye haki ana mateso mengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini \\nd Bwana\\nd* humwokoa nayo yote,' 'lakini Bwana humwokoa nayo yote,' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'huhifadhi mifupa yake yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata mmoja hautavunjika.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Ubaya utamuua mtu mwovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao adui za mwenye haki watahukumiwa.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwakomboa watumishi wake,' 'Bwana huwakomboa watumishi wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeyote anayemkimbilia yeye' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hatahukumiwa kamwe.' ¬v = '22' ¬q2 = ¬c = '34' c = '35' cl = 'Zaburi 35' v= = '1' s1 = 'Kuomba Msaada: Kuokolewa Kutokana Na Maadui' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '35' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, pingana na wale wanaopingana nami,' 'Ee Bwana, pingana na wale wanaopingana nami,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upigane na hao wanaopigana nami.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Chukua ngao na kigao.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Inuka unisaidie.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Inua mkuki wako na fumo lako' EXTRA( fn @ 23 = '+ \\fr 35:3 \\ft Fumo ni sawa na sagai, maana yake ni mkuki mfupi.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dhidi ya hao wanaonifuatia.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Iambie nafsi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Mimi ni wokovu wako.”' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wafedheheshwe na waaibishwe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanaotafuta uhai wangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wanaofanya shauri kuniangamiza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'warudishwe nyuma kwa hofu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'malaika wa \\nd Bwana\\nd* akiwafukuza.' 'malaika wa Bwana akiwafukuza.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Njia yao na iwe giza na ya utelezi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'malaika wa \\nd Bwana\\nd* akiwafuatilia.' 'malaika wa Bwana akiwafuatilia.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kwa vile walinifichia wavu wao bila sababu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na bila sababu wamenichimbia shimo,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'maafa na yawapate ghafula:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wavu walionifichia na uwatege wenyewe,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na waanguke katika shimo hilo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maangamizo yao.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ndipo nafsi yangu itashangilia katika \\nd Bwana\\nd*' 'Ndipo nafsi yangu itashangilia katika Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuufurahia wokovu wake.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Nitapaza sauti yangu nikisema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Ni nani aliye kama wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*?' '“Ni nani aliye kama wewe, Ee Bwana?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wewe huwaokoa maskini kutokana na wale walio na nguvu kuliko wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maskini na mhitaji kutokana na wanaowanyangʼanya!”' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mashahidi wakatili wanainuka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wananiuliza mambo nisiyoyajua.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Wananilipa baya kwa jema' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuiacha nafsi yangu ukiwa.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa nguo ya gunia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nikajinyenyekesha kwa kufunga.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Maombi yangu yaliponirudia bila kujibiwa,' ¬q1 = ¬v = '13' q2 = '' v = '14' v~ = 'niliendelea kuomboleza' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kama vile wao ni rafiki au ndugu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Niliinamisha kichwa chini kwa huzuni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama ninayemwombolezea mama yangu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Lakini nilipojikwaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walikusanyika kwa shangwe;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'washambuliaji walijikusanya dhidi yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bila mimi kujua.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Walinisingizia pasipo kukoma.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kama watu wasiomcha Mungu, wamenidhihaki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamenisagia meno.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, utatazama mpaka lini?' 'Ee Bwana, utatazama mpaka lini?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Niokoe maisha yangu na maangamizi yao,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'uhai wangu wa thamani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na simba hawa.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Nami nitakushukuru mbele ya kusanyiko kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitakusifu katikati ya watu wengi.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Usiwaache wale wanaonisimanga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale ambao ni adui zangu bila sababu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'usiwaache wale ambao ni adui zangu bila sababu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakonyeze jicho kwa hila.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Hawazungumzi kwa amani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wanatunga mashtaka ya uongo' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'dhidi ya wale wanaoishi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa utulivu katika nchi.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Hunifumbulia vinywa vyao wakisema, “Aha! Aha!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa macho yetu wenyewe tumeliona.”' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, umeona hili, usiwe kimya.' 'Ee Bwana, umeona hili, usiwe kimya.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Usiwe mbali nami, Ee \\nd Bwana\\nd*.' 'Usiwe mbali nami, Ee Bwana.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Amka, inuka unitetee!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Unipiganie Mungu wangu na Bwana wangu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Nihukumu kwa haki yako, Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu wangu,' 'Nihukumu kwa haki yako, Ee Bwana Mungu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sawasawa na haki yako;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'usiwaache wakusimange.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Usiwaache wafikiri, “Aha, hili ndilo tulilotaka!”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Au waseme, “Tumemmeza.”' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Wote wanaofurahia dhiki yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waaibishwe na wachanganyikiwe;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hao wanaojiinua dhidi yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wavikwe aibu na dharau.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Wale wanaofurahia hukumu yangu ya haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wapige kelele za shangwe na furaha;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hebu waseme siku zote, “\\nd Bwana\\nd* atukuzwe,' 'hebu waseme siku zote, “Bwana atukuzwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye amefurahia mafanikio ya mtumishi wake.”' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Ulimi wangu utanena haki yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sifa zako mchana kutwa.' ¬v = '28' ¬q2 = ¬c = '35' c = '36' cl = 'Zaburi 36' v= = '1' s1 = 'Uovu Wa Mwanadamu' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \\nd Bwana\\nd*.' 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana.' q1 = '' c# = '36' v = '1' v~ = 'Kuna neno moyoni mwangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Hakuna hofu ya Mungu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele ya macho yake.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hujitia katika njia ya dhambi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na hakatai lililo baya.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Upendo wako, Ee \\nd Bwana\\nd*, unafika hadi mbinguni,' 'Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uaminifu wako hadi kwenye anga.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Haki yako ni kama milima mikubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hukumu zako ni kama kilindi kikuu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wewe huwahifadhi' 'Ee Bwana, wewe huwahifadhi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwanadamu na mnyama.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Upendo wako usiokoma' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni wa thamani mno!' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Watu wakuu na wadogo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hujificha uvulini wa mbawa zako.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika nuru yako twaona nuru.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala mkono wa mwovu usinifukuze.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wametupwa chini, hawawezi kuinuka!' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '36' c = '37' cl = 'Zaburi 37' EXTRA( fn @ 9 = '+ \\fr 37 \\ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') v= = '1' s1 = 'Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '37' v = '1' v~ = 'Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usiwaonee wivu watendao mabaya,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'kwa maana kama majani watanyauka mara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mimea ya kijani watakufa mara.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mtumaini \\nd Bwana\\nd* na utende yaliyo mema;' 'Mtumaini Bwana na utende yaliyo mema;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Jifurahishe katika \\nd Bwana\\nd*' 'Jifurahishe katika Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atakupa haja za moyo wako.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mkabidhi \\nd Bwana\\nd* njia yako,' 'Mkabidhi Bwana njia yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtumaini yeye, naye atatenda hili:' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Yeye atafanya haki yako ingʼae kama mapambazuko,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hukumu ya shauri lako kama jua la adhuhuri.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Tulia mbele za \\nd Bwana\\nd*' 'Tulia mbele za Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na umngojee kwa uvumilivu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'usisumbuke watu wanapofanikiwa katika njia zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanapotekeleza mipango yao miovu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Epuka hasira na uache ghadhabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usihangaike: itakuongoza tu kutenda uovu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kwa maana waovu watakatiliwa mbali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wale wanaomtumaini \\nd Bwana\\nd* watairithi nchi.' 'bali wale wanaomtumaini Bwana watairithi nchi.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Bado kitambo kidogo, nao waovu hawataonekana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ingawa utawatafuta, hawataonekana.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Bali wanyenyekevu watairithi nchi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wafurahie amani tele.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Waovu hula njama dhidi ya wenye haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwasagia meno,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'bali Bwana huwacheka waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu anajua siku yao inakuja.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Waovu huchomoa upanga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kupinda upinde,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ili wawaangushe maskini na wahitaji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwachinja wale ambao njia zao ni nyofu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Lakini panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na pinde zao zitavunjwa.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Bora kidogo walicho nacho wenye haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko wingi wa mali wa waovu wengi;' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini \\nd Bwana\\nd* humtegemeza mwenye haki.' 'lakini Bwana humtegemeza mwenye haki.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anazifahamu siku za wanyofu,' 'Bwana anazifahamu siku za wanyofu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na urithi wao utadumu milele.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Siku za maafa hawatanyauka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Lakini waovu wataangamia:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Adui za \\nd Bwana\\nd* watakuwa' 'Adui za Bwana watakuwa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kama uzuri wa mashamba,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'watatoweka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watatoweka kama moshi.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Waovu hukopa na hawalipi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wenye haki hutoa kwa ukarimu.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Wale wanaobarikiwa na \\nd Bwana\\nd* watairithi nchi,' 'Wale wanaobarikiwa na Bwana watairithi nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wale anaowalaani watakatiliwa mbali.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kama \\nd Bwana\\nd* akipendezwa na njia ya mtu,' 'Kama Bwana akipendezwa na njia ya mtu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye huimarisha hatua zake,' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'ajapojikwaa, hataanguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana \\nd Bwana\\nd*' 'kwa maana Bwana' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'humtegemeza kwa mkono wake.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini sijaona kamwe wenye haki wameachwa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'au watoto wao wakiombaomba chakula.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Watoto wao watabarikiwa.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Acha ubaya na utende wema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe utaishi katika nchi milele.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* huwapenda wenye haki' 'Kwa kuwa Bwana huwapenda wenye haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hatawaacha waaminifu wake.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Watalindwa milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Wenye haki watairithi nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuishi humo milele.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao ulimi wake huzungumza lililo haki.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nyayo zake hazitelezi.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = 'Watu waovu huvizia wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakitafuta kuwaua;' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'lakini \\nd Bwana\\nd* hatawaacha mikononi mwao' 'lakini Bwana hatawaacha mikononi mwao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hatawaacha wahukumiwe' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kuwa wakosa wanaposhtakiwa.' ¬q2 = ¬v = '33' b = '' q1 = '' v = '34' v~ = 'Mngojee \\nd Bwana\\nd*,' 'Mngojee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uishike njia yake.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Naye atakutukuza uirithi nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waovu watakapokatiliwa mbali,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'utaliona hilo.' ¬q2 = ¬v = '34' b = '' q1 = '' v = '35' v~ = 'Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mwerezi wa Lebanoni,' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'lakini alitoweka mara na hakuonekana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ingawa nilimtafuta, hakupatikana.' ¬q2 = ¬v = '36' b = '' q1 = '' v = '37' v~ = 'Watafakari watu wasio na hatia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wachunguze watu wakamilifu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kuna mafanikio kwa mtu apendaye amani.' ¬q2 = ¬v = '37' q1 = '' v = '38' v~ = 'Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mafanikio yao yatakatiliwa mbali.' ¬q2 = ¬v = '38' b = '' q1 = '' v = '39' v~ = 'Wokovu wa wenye haki hutoka kwa \\nd Bwana\\nd*,' 'Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni ngome yao wakati wa shida.' ¬q2 = ¬v = '39' q1 = '' v = '40' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwasaidia na kuwaokoa,' 'Bwana huwasaidia na kuwaokoa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huwaokoa kutoka kwa waovu na kuwahifadhi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wanamkimbilia.' ¬v = '40' ¬q2 = ¬c = '37' c = '38' cl = 'Zaburi 38' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Mtu Anayeteseka' d = 'Zaburi ya Daudi. Maombi.' q1 = '' c# = '38' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, usinikemee katika hasira yako,' 'Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa kuwa mishale yako imenichoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mkono wako umenishukia.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hakuna afya mwilini mwangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya ghadhabu yako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mifupa yangu haina uzima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya dhambi zangu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Maovu yangu yamenifunika' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mzigo usiochukulika.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Majeraha yangu yameoza na yananuka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna afya mwilini mwangu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nimedhoofika na kupondwa kabisa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, yote ninayoyaonea shauku' 'Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yako wazi mbele zako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kutamani kwangu sana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakufichiki mbele zako.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Moyo wangu unapigapiga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nguvu zangu zimeniishia;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hata macho yangu yametiwa giza.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Rafiki na wenzangu wananikwepa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya majeraha yangu;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'majirani zangu wanakaa mbali nami.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Wale wanaotafuta uhai wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanatega mitego yao,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wale ambao wangetaka kunidhuru' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huongea juu ya maangamizi yangu;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hufanya shauri la hila mchana kutwa.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'nimekuwa kama mtu asiyesikia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninakungojea wewe,' 'Ee Bwana, ninakungojea wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala wasijitukuze juu yangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mguu wangu unapoteleza.”' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Kwa maana ninakaribia kuanguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na maumivu yangu yananiandama siku zote.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Naungama uovu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninataabishwa na dhambi yangu.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Wanaolipa maovu kwa wema wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hunisingizia ninapofuata lililo jema.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, usiniache,' 'Ee Bwana, usiniache,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Ee Bwana Mwokozi wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uje upesi kunisaidia.' ¬v = '22' ¬q2 = ¬c = '38' c = '39' cl = 'Zaburi 39' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Mtu Anayeteseka' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '39' v = '1' v~ = 'Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nitaweka lijamu kinywani mwangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Lakini niliponyamaza kimya na kutulia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata pasipo kusema lolote jema,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'uchungu wangu uliongezeka.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Moyo wangu ulipata moto ndani yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilipotafakari, moto uliwaka,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ndipo nikasema kwa ulimi wangu:' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = '“Ee \\nd Bwana\\nd*, nijulishe mwisho wa maisha yangu' '“Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hesabu ya siku zangu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nijalie kujua jinsi maisha yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yanavyopita upesi.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'muda wangu wa kuishi ni kama' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hauna thamani kwako.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Maisha ya kila mwanadamu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kama pumzi.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hakika kila binadamu ni kama njozi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aendapo huku na huko:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anakusanya mali nyingi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala hajui ni nani atakayeifaidi.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = '“Lakini sasa Bwana, nitafute nini?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Tumaini langu ni kwako.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Nilinyamaza kimya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikufumbua kinywa changu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Niondolee mjeledi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Unakemea na kuadhibu wanadamu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya dhambi zao;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kila mwanadamu ni kama pumzi tu.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = '“Ee \\nd Bwana\\nd*, usikie maombi yangu,' '“Ee Bwana, usikie maombi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usikie kilio changu unisaidie,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'usiwe kiziwi kwa kulia kwangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama walivyokuwa baba zangu wote,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '39' c = '40' cl = 'Zaburi 40' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Sifa' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '40' v = '1' v~ = 'Nilimngoja \\nd Bwana\\nd* kwa saburi,' 'Nilimngoja Bwana kwa saburi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akaniinamia, akasikia kilio changu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka matope na utelezi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'akaiweka miguu yangu juu ya mwamba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunipa mahali imara pa kusimama.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Akaweka wimbo mpya kinywani mwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wimbo wa sifa kwa Mungu wetu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wengi wataona na kuogopa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuweka tumaini lao kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'na kuweka tumaini lao kwa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Heri mtu yule amfanyaye \\nd Bwana\\nd* kuwa tumaini lake,' 'Heri mtu yule amfanyaye Bwana kuwa tumaini lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asiyewategemea wenye kiburi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wale wenye kugeukia miungu ya uongo.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu wangu,' 'Ee Bwana Mungu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umefanya mambo mengi ya ajabu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mambo uliyopanga kwa ajili yetu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna awezaye kukuhesabia;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama ningesema na kuyaelezea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yangekuwa mengi mno kuyaelezea.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Dhabihu na sadaka hukuvitaka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini umefungua masikio yangu;' EXTRA( fn @ 31 = '+ \\fr 40:6 \\ft Au: bali mwili uliniandalia.') ¬q2 = q1 = '' p~ = 'sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hukuzihitaji.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ndipo niliposema, “Mimi hapa, nimekuja:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'imeandikwa kunihusu katika kitabu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee Mungu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'natamani kuyafanya mapenzi yako;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'sheria yako iko ndani ya moyo wangu.”' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Nimehubiri haki katika kusanyiko kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikufunga mdomo wangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, kama ujuavyo.' 'Ee Bwana, kama ujuavyo.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Sikuficha haki yako moyoni mwangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninasema juu ya uaminifu wako na wokovu wako.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Sikuficha upendo wako na kweli yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele ya kusanyiko kubwa.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, usizuilie huruma zako,' 'Ee Bwana, usizuilie huruma zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upendo wako na kweli yako daima vinilinde.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kwa maana taabu zisizo na hesabu zimenizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dhambi zangu zimenikamata, hata nisiweze kuona.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Zimekuwa nyingi kuliko nywele za kichwa changu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao moyo unazimia ndani yangu.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uwe radhi kuniokoa;' 'Ee Bwana, uwe radhi kuniokoa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, njoo hima unisaidie.' 'Ee Bwana, njoo hima unisaidie.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Wote wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waaibishwe na kufadhaishwa;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wote wanaotamani kuangamizwa kwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'warudishwe nyuma kwa aibu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Wale waniambiao, “Aha! Aha!”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wafadhaishwe na iwe aibu yao.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Lakini wote wakutafutao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'washangilie na kukufurahia,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wale wapendao wokovu wako siku zote waseme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“\\nd Bwana\\nd* atukuzwe!”' '“Bwana atukuzwe!”' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Bwana na anifikirie.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wewe ndiwe msaada wangu na Mwokozi wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu wangu, usikawie.' ¬v = '17' ¬q2 = ¬c = '40' c = '41' cl = 'Zaburi 41' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Mtu Mgonjwa' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '41' v = '1' v~ = 'Heri mtu yule anayemjali mnyonge,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* atamwokoa wakati wa shida.' 'Bwana atamwokoa wakati wa shida.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = '\\nd Bwana\\nd* atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,' 'Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atambariki katika nchi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = '\\nd Bwana\\nd* atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,' 'Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atamwinua kutoka kitandani mwake.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Nilisema, “Ee \\nd Bwana\\nd* nihurumie,' 'Nilisema, “Ee Bwana nihurumie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niponye, maana nimekutenda dhambi wewe.”' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Adui zangu wanasema kwa hila,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.”' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kila anapokuja mtu kunitazama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huzungumza uongo,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'huku moyo wake hukusanya masingizio;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kisha huondoka na kuyasambaza huku na huko.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hao huniwazia mabaya sana, wakisema,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = '“Ugonjwa mbaya sana umempata,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kamwe hatainuka tena kitandani mwake.”' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yule aliyekula chakula changu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ameniinulia kisigino chake.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Lakini wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, nihurumie,' 'Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Najua kwamba wapendezwa nami,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa adui yangu hanishindi.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Katika uadilifu wangu unanitegemeza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuniweka kwenye uwepo wako milele.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*, Mungu wa Israeli,' 'Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tangu milele na hata milele.' ¬q2 = ¬v = '13' qc = 'Amen na Amen.' ¬c = '41' c = '42' ¬ms1 = ms1 = 'KITABU CHA PILI' mr = '(Zaburi 42–72)' cl = 'Zaburi 42' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni' d = 'Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.' q1 = '' c# = '42' v = '1' v~ = 'Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Machozi yangu yamekuwa chakula changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiku na mchana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'huku watu wakiniambia mchana kutwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Yuko wapi Mungu wako?”' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mambo haya nayakumbuka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapoimimina nafsi yangu:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikiongoza maandamano kuelekea kwenye nyumba ya Mungu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kelele za shangwe na za shukrani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katikati ya umati uliosherehekea.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Weka tumaini lako kwa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu bado nitamsifu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mwokozi wangu na' ¬v = '5' v = '6' v~ = 'Mungu wangu.' b = '' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nafsi yangu inasononeka ndani yangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo nitakukumbuka' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kutoka nchi ya Yordani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika vilele vya Hermoni,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kutoka Mlima Mizari.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kilindi huita kilindi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika ngurumo za maporomoko ya maji yako;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mawimbi yako yote pamoja na viwimbi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vimepita juu yangu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mchana \\nd Bwana\\nd* huelekeza upendo wake,' 'Mchana Bwana huelekeza upendo wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiku wimbo wake uko nami:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'maombi kwa Mungu wa uzima wangu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Kwa nini umenisahau?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kwa nini niendelee kuomboleza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikiwa nimeonewa na adui?”' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'adui zangu wanaponidhihaki,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wakiniambia mchana kutwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Yuko wapi Mungu wako?”' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Weka tumaini lako kwa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu bado nitamsifu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mwokozi wangu na Mungu wangu.' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '42' c = '43' cl = 'Zaburi 43' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Mtu Aliyeko Uhamishoni Yanaendelea' q1 = '' c# = '43' v = '1' v~ = 'Ee Mungu unihukumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'niokoe na watu wadanganyifu na waovu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wewe ni Mungu ngome yangu.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini umenikataa?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kwa nini niendelee kuomboleza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikiwa nimeonewa na adui?' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Tuma hima nuru yako na kweli yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na viniongoze;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'vinilete mpaka mlima wako mtakatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpaka mahali unapoishi.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ndipo nitakwenda madhabahuni pa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa Mungu, furaha yangu na shangwe yangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nitakusifu kwa kinubi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu, Mungu wangu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Weka tumaini lako kwa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu bado nitamsifu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mwokozi wangu na Mungu wangu.' ¬v = '5' ¬q2 = ¬c = '43' c = '44' cl = 'Zaburi 44' v= = '1' s1 = 'Kuomba Ulinzi Wa Mungu' d = 'Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.' q1 = '' c# = '44' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'baba zetu wametueleza' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'yale uliyotenda katika siku zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku za kale.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa mkono wako uliwafukuza mataifa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ukawapanda baba zetu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'uliangamiza mataifa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwastawisha baba zetu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Sio kwa upanga wao waliipata nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala si mkono wao uliwapatia ushindi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ilikuwa ni kitanga cha mkono wako wa kuume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nuru ya uso wako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa uliwapenda.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unayeamuru ushindi kwa Yakobo.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa uwezo wako tunawasukuma nyuma watesi wetu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa jina lako tunawakanyaga adui zetu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Siutumaini upinde wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upanga wangu hauniletei ushindi;' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unawaaibisha watesi wetu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nasi tutalisifu jina lako milele.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Lakini sasa umetukataa na kutudhili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala huendi tena na jeshi letu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Umetufanya turudi nyuma mbele ya adui,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao watesi wetu wametuteka nyara.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Umetuacha tutafunwe kama kondoo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na umetutawanya katika mataifa.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Umewauza watu wako kwa fedha kidogo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hukupata faida yoyote kwa mauzo yao.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Umetufanya lawama kwa jirani zetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Umetufanya kuwa mithali miongoni mwa mataifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mataifa hutikisa vichwa vyao.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Fedheha yangu iko mbele yangu mchana kutwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uso wangu umejaa aibu tele,' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'kwa ajili ya dhihaka ya wale wanaonilaumu na kunitukana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya adui, ambaye anatamani kulipiza kisasi.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Hayo yote yametutokea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ingawa tulikuwa hatujakusahau' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala hatujaenda kinyume na agano lako.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nyayo zetu zilikuwa hazijaiacha njia yako.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ukatufunika kwa giza nene.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Kama tungalikuwa tumelisahau jina la Mungu wetu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kunyooshea mikono yetu kwa mungu mgeni,' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'je, Mungu hangaligundua hili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa anazijua siri za moyo?' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Hata hivyo kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Amka, Ee \\nd Bwana\\nd*! Kwa nini unalala?' 'Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Zinduka! Usitukatae milele.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Kwa nini unauficha uso wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kusahau taabu na mateso yetu?' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Tumeshushwa hadi mavumbini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miili yetu imegandamana na ardhi.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Inuka na utusaidie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utukomboe kwa sababu ya upendo wako usio na mwisho.' ¬v = '26' ¬q2 = ¬c = '44' c = '45' cl = 'Zaburi 45' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Arusi Ya Kifalme' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi.' q1 = '' c# = '45' v = '1' v~ = 'Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapomsimulia mfalme mabeti yangu;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi stadi.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wewe ni bora kuliko watu wengine wote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na midomo yako imepakwa neema,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa Mungu amekubariki milele.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jivike fahari na utukufu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya kweli, unyenyekevu na haki,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mkono wako wa kuume na uonyeshe matendo ya kutisha.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mataifa na yaanguke chini ya nyayo zako.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ee Mungu, kiti chako cha enzi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kitadumu milele na milele,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'fimbo ya utawala wa haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'itakuwa fimbo ya utawala wa ufalme wako.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Unaipenda haki na kuchukia uovu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo Mungu, Mungu wako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'amekuweka juu ya wenzako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kukupaka mafuta ya furaha.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mavazi yako yote yana harufu nzuri' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya manemane, udi na mdalasini;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kutoka kwenye majumba ya kifalme' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yaliyopambwa kwa pembe za ndovu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'sauti za vinanda vya nyuzi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zinakufanya ufurahi.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuume kwako yupo bibi arusi malkia aliyevaa dhahabu ya Ofiri.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Sahau watu wako na nyumba ya baba yako.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mfalme ameshangazwa na uzuri wako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mheshimu, kwa kuwa yeye ni bwana wako.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Binti wa Tiro atakuletea zawadi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu wenye utajiri watatafuta upendeleo wako.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vazi lake limefumwa kwa nyuzi za dhahabu.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mabikira wenzake wanamfuata' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na wanaletwa kwako.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuingia katika jumba la mfalme.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtawafanya wakuu katika nchi yote.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo mataifa watakusifu milele na milele.' ¬v = '17' ¬q2 = ¬c = '45' c = '46' cl = 'Zaburi 46' v= = '1' s1 = 'Mungu Yuko Pamoja Nasi' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.' q1 = '' c# = '46' v = '1' v~ = 'Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mungu yuko katikati yake, hautaanguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu atausaidia asubuhi na mapema.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = '\\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi,' 'Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Njooni mkaone kazi za \\nd Bwana\\nd*' 'Njooni mkaone kazi za Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Anakomesha vita hata miisho ya dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anakata upinde na kuvunjavunja mkuki,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'anateketeza ngao kwa moto.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = '“Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitatukuzwa katikati ya mataifa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nitatukuzwa katika dunia.”' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = '\\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi;' 'Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '46' c = '47' cl = 'Zaburi 47' v= = '1' s1 = 'Mtawala Mwenye Enzi Yote' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.' q1 = '' c# = '47' v = '1' v~ = 'Pigeni makofi, enyi mataifa yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpigieni Mungu kelele za shangwe!' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Jinsi gani alivyo wa kutisha, \\nd Bwana\\nd* Aliye Juu Sana,' 'Jinsi gani alivyo wa kutisha, Bwana Aliye Juu Sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mfalme mkuu juu ya dunia yote!' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ametiisha mataifa chini yetu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu wengi chini ya miguu yetu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Alituchagulia urithi wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'fahari ya Yakobo, aliyempenda.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mungu amepaa kwa kelele za shangwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* kwa sauti za tarumbeta.' 'Bwana kwa sauti za tarumbeta.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwimbieni zaburi za sifa.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mungu anatawala juu ya mataifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi kitakatifu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Wakuu wa mataifa wanakusanyika' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama watu wa Mungu wa Abrahamu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kuwa wafalme wa dunia ni mali ya Mungu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ametukuka sana.' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '47' c = '48' cl = 'Zaburi 48' v= = '1' s1 = 'Sayuni, Mji Wa Mungu' d = 'Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.' q1 = '' c# = '48' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,' 'Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mji wa Mungu wetu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mlima wake mtakatifu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'furaha ya dunia yote.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni,' EXTRA( fn @ 35 = '+ \\fr 48:2 \\ft Safoni inaweza ikawa na maana ya mlima mtakatifu au upande wa kaskazini.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mji wa Mfalme Mkuu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mungu yuko katika ngome zake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wakati wafalme walipounganisha nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waliposonga mbele pamoja,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'walimwona nao wakashangaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakakimbia kwa hofu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kutetemeka kuliwashika huko,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maumivu kama ya mwanamke' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mwenye utungu wa kuzaa.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zilizovunjwa na upepo wa mashariki.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kama tulivyokuwa tumesikia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo tulivyoona' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'katika mji wa \\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote,' 'katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mji wa Mungu wetu:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mungu ataufanya uwe salama milele.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee Mungu, hekaluni mwako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tunatafakari upendo wako usiokoma.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee Mungu, kama jina lako lilivyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mkono wako wa kuume umejazwa na haki.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mlima Sayuni unashangilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vijiji vya Yuda vinafurahi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya hukumu zako.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Tembeeni katika Sayuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uzungukeni mji,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hesabuni minara yake;' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'yatafakarini vyema maboma yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'angalieni ngome zake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ili mpate kusimulia habari zake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kizazi kijacho.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.' ¬v = '14' ¬q2 = ¬c = '48' c = '49' cl = 'Zaburi 49' v= = '1' s1 = 'Upumbavu Wa Kutegemea Mali' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.' q1 = '' c# = '49' v = '1' v~ = 'Sikieni haya, enyi mataifa yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wakubwa kwa wadogo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matajiri na maskini pamoja:' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kinywa changu kitasema maneno ya hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Nitatega sikio langu nisikilize mithali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitafafanua kitendawili kwa zeze:' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'wale wanaotegemea mali zao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kujivunia utajiri wao mwingi?' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Hakuna mwanadamu awaye yote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'awezaye kuukomboa uhai wa mwingine,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Fidia ya uhai ni gharama kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna malipo yoyote yanayotosha,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'ili kwamba aishi milele' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na asione uharibifu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kuwaachia wengine mali zao.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'makao yao vizazi vyote;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ingawa walikuwa na mashamba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuyaita kwa majina yao.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anafanana na mnyama aangamiaye.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini,' EXTRA( fn @ 40 = '+ \\fr 49:14 \\ft Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nacho kifo kitawala.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wanyofu watawatawala asubuhi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maumbile yao yataozea kaburini,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mbali na majumba yao makubwa ya fahari.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi,' EXTRA( fn @ 27 = '+ \\fr 49:15 \\ft Au: nafsi.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakika atanichukua kwake.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Usitishwe mtu anapotajirika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'fahari ya nyumba yake inapoongezeka,' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'kwa maana hatachukua chochote atakapokufa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'fahari yake haitashuka pamoja naye.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'atajiunga na kizazi cha baba zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kama wanyama waangamiao.' ¬v = '20' ¬q2 = ¬c = '49' c = '50' cl = 'Zaburi 50' v= = '1' s1 = 'Ibada Ya Kweli' d = 'Zaburi ya Asafu.' q1 = '' c# = '50' v = '1' v~ = 'Mwenye Nguvu, Mungu, \\nd Bwana\\nd*,' 'Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asema na kuiita dunia,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'tangu mawio ya jua' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi mahali pake liendapo kutua.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu anaangaza.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moto uteketezao unamtangulia,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'akiwa amezungukwa na tufani kali.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Anaziita mbingu zilizo juu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nchi, ili aweze kuwahukumu watu wake:' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = '“Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waliofanya agano nami kwa dhabihu.”' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nazo mbingu zinatangaza haki yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana Mungu mwenyewe ni hakimu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = '“Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ee Israeli, nami nitashuhudia dhidi yenu:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mimi ndimi Mungu, Mungu wenu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au sadaka zako za kuteketezwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambazo daima ziko mbele zangu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Sina haja ya fahali wa banda lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au mbuzi wa zizi lako.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ninamjua kila ndege mlimani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao viumbe wa kondeni ni wangu.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana ulimwengu ni wangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Je, mimi hula nyama ya mafahali' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kunywa damu ya mbuzi?' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Toa sadaka za shukrani kwa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu Sana,' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'na uniite siku ya taabu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”' ¬q2 = ¬v = '15' p = '' v = '16' v~ = 'Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema:' ¬p = q1 = '' p~ = '“Una haki gani kunena sheria zangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kuchukua agano langu midomoni mwako?' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Unachukia mafundisho yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Unapomwona mwizi, unaungana naye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unapiga kura yako pamoja na wazinzi.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Unakitumia kinywa chako kwa mabaya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuuongoza ulimi wako kwa hila.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Wanena daima dhidi ya ndugu yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumsingizia mwana wa mama yako.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukafikiri Mimi nami ni kama wewe.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Lakini nitakukemea' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuweka mashtaka mbele yako.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = '“Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ama sivyo nitawararua vipande vipande,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwaokoa:' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye aiandaa njia yake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ili nimwonyeshe wokovu wa Mungu.”' ¬v = '23' ¬q2 = ¬c = '50' c = '51' cl = 'Zaburi 51' v= = '1' s1 = 'Kuomba Msamaha' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba.' q1 = '' c# = '51' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, unihurumie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kadiri ya upendo wako usiokoma,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kadiri ya huruma yako kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uyafute makosa yangu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Unioshe na uovu wangu wote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na unitakase dhambi yangu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa maana ninajua makosa yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na dhambi yangu iko mbele yangu daima.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufanya yaliyo mabaya machoni pako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ili uthibitike kuwa wa kweli unenapo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwa na haki utoapo hukumu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Hakika mimi nilizaliwa mwenye dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwenye dhambi tangu nilipotungwa mimba kwa mama yangu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hakika wewe wapendezwa na kweli itokayo moyoni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndani sana ya moyo wangu wanifundisha hekima.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Unipe kusikia furaha na shangwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mifupa uliyoiponda na ifurahi.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uufute uovu wangu wote.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee Mungu, uniumbie moyo safi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Usinitupe kutoka mbele zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Unirudishie tena furaha ya wokovu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unipe roho ya utii, ili initegemeze.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wenye dhambi watakugeukia wewe.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ee Mungu, Mungu uniokoaye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niokoe na hatia ya kumwaga damu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nao ulimi wangu utaimba juu ya haki yako.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, fungua midomo yangu,' 'Ee Bwana, fungua midomo yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kinywa changu kitatangaza sifa zako.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningaliileta,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hufurahii sadaka za kuteketezwa.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Bali dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moyo uliovunjika wenye toba,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu, hutaudharau.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kwa wema wa radhi yako uifanye Sayuni istawi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukazijenge upya kuta za Yerusalemu.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Hapo ndipo kutakapokuwa na dhabihu za haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sadaka nzima za kuteketezwa za kukupendeza sana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'pia mafahali watatolewa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'madhabahuni mwako.' ¬v = '19' ¬q2 = ¬c = '51' c = '52' cl = 'Zaburi 52' v= = '1' s1 = 'Hukumu Ya Mungu' d = 'Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.”' q1 = '' c# = '52' v = '1' v~ = 'Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini unajivuna mchana kutwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni kama wembe mkali, ninyi mfanyao hila.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Unapenda mabaya kuliko mema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uongo kuliko kusema kweli.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Unapenda kila neno lenye kudhuru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ewe ulimi wenye hila!' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Hakika Mungu atakushusha chini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maangamizi ya milele:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka hema yako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'atakungʼoa kutoka nchi ya walio hai.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wenye haki wataona na kuogopa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watamcheka, wakisema,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = '“Huyu ni yule mtu ambaye' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakumfanya Mungu kuwa ngome yake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'bali alitumainia wingi wa utajiri wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”' ¬q2 = ¬v = '7' v= = '8' s1 = 'Neema Ya Mungu' q1 = '' v = '8' v~ = 'Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unaostawi katika nyumba ya Mungu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nautegemea upendo wa Mungu usiokoma' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'milele na milele.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '52' c = '53' cl = 'Zaburi 53' s1 = 'Uovu Wa Wanadamu' r = '(Zaburi 14)' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.' q1 = '' c# = '53' v = '1' v~ = 'Mpumbavu anasema moyoni mwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Hakuna Mungu.”' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna hata mmoja atendaye mema.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mungu anawachungulia wanadamu chini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mbinguni' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'aone kama wako wenye akili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wowote wanaomtafuta Mungu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kila mmoja amegeukia mbali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wameharibika wote pamoja,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hakuna atendaye mema.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Naam, hakuna hata mmoja!' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale ambao huwala watu wangu' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama watu walavyo mkate,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hao ambao hawamwiti Mungu?' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Hapo waliingiwa na hofu kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambapo hapakuwa cha kutetemesha.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!' ¬v = '6' ¬q2 = ¬c = '53' c = '54' cl = 'Zaburi 54' v= = '1' s1 = 'Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui' d = 'Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”' q1 = '' c# = '54' v = '1' v~ = 'Ee Mungu uniokoe kwa jina lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unifanyie hukumu kwa uwezo wako.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ee Mungu, sikia maombi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usikilize maneno ya kinywa changu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wageni wananishambulia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu wakatili wanayatafuta maisha yangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'watu wasiomjali Mungu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Hakika Mungu ni msaada wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Bwana ndiye anayenitegemeza.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa uaminifu wako uwaangamize.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nitakutolea dhabihu za hiari;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nitalisifu jina lako' 'Ee Bwana, nitalisifu jina lako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa ni vyema.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.' ¬v = '7' ¬q2 = ¬c = '54' c = '55' cl = 'Zaburi 55' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Mtu Aliyesalitiwa Na Rafiki' d = 'Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi.' q1 = '' c# = '55' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, sikiliza maombi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usidharau hoja yangu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nisikie na unijibu.' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Mawazo yangu yananisumbua na nimehangaishwa' ¬q1 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'kwa sauti ya adui,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kukaziwa macho na waovu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa sababu wananiletea mateso juu yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunitukana kwa hasira zao.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Moyo wangu umejaa uchungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hofu ya kifo imenishambulia.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Woga na kutetemeka vimenizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hofu kuu imenigharikisha.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ningeruka niende mbali kupumzika.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ningalitorokea mbali sana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukaa jangwani,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'ningaliharakisha kwenda mahali pa salama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbali na tufani kali na dhoruba.”' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uwatahayarishe waovu' 'Ee Bwana, uwatahayarishe waovu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uwachanganyishie semi zao,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'maana nimeona jeuri na ugomvi mjini.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Usiku na mchana wanazunguka juu ya kuta zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uovu na dhuluma vimo ndani yake.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Nguvu za uharibifu zinatenda kazi mjini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vitisho na uongo haviondoki mitaani mwake.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ningejificha asinione.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kumbe ni wewe, mwenzangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mshiriki na rafiki yangu wa karibu,' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tulipokuwa tukienda na umati hekaluni mwa Mungu.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kifo na kiwajie adui zangu ghafula,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na washuke kuzimu wangali hai,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa maana uovu upo ndani yao.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Lakini ninamwita Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye \\nd Bwana\\nd* huniokoa.' 'naye Bwana huniokoa.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Jioni, asubuhi na adhuhuri' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninalia kwa huzuni,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'naye husikia sauti yangu.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Huniokoa nikawa salama katika vita' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vilivyopangwa dhidi yangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ingawa watu wengi hunipinga.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Mungu anayemiliki milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atawasikia na kuwaadhibu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'watu ambao hawabadilishi njia zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hawana hofu ya Mungu.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mwenzangu hushambulia rafiki zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huvunja agano lake.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Mazungumzo yake ni laini kama siagi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo vita vimo moyoni mwake.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Maneno yake ni mororo kuliko mafuta,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo ni upanga mkali uliofutwa.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mtwike \\nd Bwana\\nd* fadhaa zako,' 'Mtwike Bwana fadhaa zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atakutegemeza,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hatamwacha kamwe mwenye haki wake aanguke.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Lakini wewe, Ee Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utawashusha waovu katika shimo la uharibifu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wenye kiu ya kumwaga damu na wenye hila,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawataishi nusu ya siku zao.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Lakini mimi ninakutumaini wewe.' ¬v = '23' ¬q1 = ¬c = '55' c = '56' cl = 'Zaburi 56' v= = '1' s1 = 'Kumtumaini Mungu' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi.' q1 = '' c# = '56' v = '1' v~ = 'Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mchana kutwa wanazidisha mashambulizi yao.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wengi wananishambulia kwa kiburi chao.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wakati ninapoogopa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitakutumaini wewe.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika Mungu ninatumaini; sitaogopa.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mwanadamu apatikanaye na kufa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atanitenda nini?' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wananifanyia hila, wanajificha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanatazama hatua zangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wasiepuke kwa vyovyote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Andika maombolezo yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'orodhesha machozi yangu katika gombo lako:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'je, haya hayapo katika kumbukumbu zako?' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ndipo adui zangu watarudi nyuma' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapoita msaada.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kwa hili nitajua kwamba Mungu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yuko upande wangu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika \\nd Bwana\\nd*, ambaye neno lake ninalisifu,' 'katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mwanadamu anaweza kunitenda nini?' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ee Mungu, nina nadhiri kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na miguu yangu kwenye kujikwaa,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ili niweze kuenenda mbele za Mungu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika nuru ya uzima.' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '56' c = '57' cl = 'Zaburi 57' v= = '1' s1 = 'Kuomba Msaada' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.' q1 = '' c# = '57' v = '1' v~ = 'Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpaka maafa yapite.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Niko katikati ya simba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambao ndimi zao ni panga kali.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utukufu wako na uenee duniani kote.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Waliitegea miguu yangu nyavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikainamishwa chini na dhiki.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wamechimba shimo katika njia yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini wametumbukia humo wao wenyewe.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Amka, nafsi yangu!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Amka, kinubi na zeze!' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Nitayaamsha mapambazuko.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Nitakusifu wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, katikati ya mataifa;' 'Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uaminifu wako unazifikia anga.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utukufu wako na uwe duniani pote.' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '57' c = '58' cl = 'Zaburi 58' v= = '1' s1 = 'Mungu Kuwaadhibu Waovu' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi.' q1 = '' c# = '58' v = '1' v~ = 'Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'La, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mikono yenu hupima jeuri duniani.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Waovu ni wapotovu tangu kuzaliwa kwao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'toka tumboni mwa mama zao' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ni wakaidi na husema uongo.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama ile ya fira ambaye ameziba masikio yake,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'ambaye hatasikia sauti ya kutumbuiza ya mwaguzi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata kama mganga angecheza kwa ustadi kiasi gani.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ee Mungu, yavunje meno katika vinywa vyao;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, vunja meno makali ya hao simba!' 'Ee Bwana, vunja meno makali ya hao simba!' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Na watoweke kama maji yapitayo kwa kasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wavutapo pinde zao, mishale yao na iwe butu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kama konokono ayeyukavyo akitembea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wasilione jua.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kabla vyungu vyenu havijapata moto wa kuni za miiba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zikiwa mbichi au kavu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'waovu watakuwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamefagiliwa mbali.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wenye haki watafurahi waonapo wakilipizwa kisasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watakapochovya nyayo zao katika damu ya waovu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ndipo wanadamu watasema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Hakika utulivu wa wenye haki bado una thawabu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hakika kuna Mungu ahukumuye dunia.”' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '58' c = '59' cl = 'Zaburi 59' v= = '1' s1 = 'Kuomba Ulinzi Wa Mungu' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.' q1 = '' c# = '59' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, uniokoe na adui zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Uniponye na watu watendao mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uniokoe kutokana na wamwagao damu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Tazama wanavyonivizia!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Watu wakali wananifanyia hila,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ingawa Ee \\nd Bwana\\nd*, mimi sijakosea' 'ingawa Ee Bwana, mimi sijakosea' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kutenda dhambi.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!' 'Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Zinduka uyaadhibu mataifa yote,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'usionyeshe huruma kwa wasaliti.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hurudi wakati wa jioni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakibweka kama mbwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakiuzurura mji.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hutema upanga kutoka midomo yao,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Lakini wewe, \\nd Bwana\\nd*, uwacheke;' 'Lakini wewe, Bwana, uwacheke;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unayadharau mataifa hayo yote.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,' ¬q2 = ¬v = '9' q2 = '' v = '10' v~ = 'Mungu wangu unipendaye.' b = '' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mungu atanitangulia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atanifanya niwachekelee' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wale wanaonisingizia.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Lakini usiwaue, Ee \\nd Bwana\\nd*, ngao yetu,' 'Lakini usiwaue, Ee Bwana, ngao yetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au sivyo watu wangu watasahau.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Katika uwezo wako wafanye watangetange' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uwashushe chini.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya maneno ya midomo yao,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'waache wanaswe katika kiburi chao.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,' ¬q1 = ¬v = '12' q2 = '' v = '13' v~ = 'wateketeze katika ghadhabu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wateketeze hadi wasiwepo tena.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Hurudi jioni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakibweka kama mbwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakiuzurura mji.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Wanatangatanga wakitafuta chakula,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wasipotosheka hubweka kama mbwa.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asubuhi nitaimba juu ya upendo wako;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa maana wewe ndiwe ngome yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kimbilio langu wakati wa shida.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mungu unipendaye.' ¬v = '17' ¬q2 = ¬c = '59' c = '60' cl = 'Zaburi 60' v= = '1' s1 = 'Kuomba Kuokolewa' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.' q1 = '' c# = '60' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umekasirika: sasa turejeshe upya!' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Umetetemesha nchi na kuipasua;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa wale wanaokucha wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umewainulia bendera,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili wale uwapendao wapate kuokolewa.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mungu amenena kutoka patakatifu pake:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kulipima Bonde la Sukothi.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Efraimu ni kofia yangu ya chuma,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Moabu ni sinia langu la kunawia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya Edomu natupa kiatu changu;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hutoki tena na majeshi yetu?' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Tuletee msaada dhidi ya adui,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atawaponda adui zetu.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '60' c = '61' cl = 'Zaburi 61' v= = '1' s1 = 'Kuomba Ulinzi' d = 'Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '61' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, sikia kilio changu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usikilize maombi yangu.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kutoka miisho ya dunia ninakuita,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninaita huku moyo wangu unadhoofika;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'uniongoze kwenye mwamba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ule ulio juu kuliko mimi.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ngome imara dhidi ya adui.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Natamani kukaa hemani mwako milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mwongezee mfalme siku za maisha yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miaka yake kwa vizazi vingi.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '61' c = '62' cl = 'Zaburi 62' v= = '1' s1 = 'Mungu Kimbilio La Pekee' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '62' v = '1' v~ = 'Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wokovu wangu watoka kwake.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.' ¬q1 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mtamshambulia mtu hata lini?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, ninyi nyote mtamtupa chini,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Walikusudia kikamilifu kumwangusha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'toka mahali pake pa fahari;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wanafurahia uongo.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kwa vinywa vyao hubariki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini ndani ya mioyo yao hulaani.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tumaini langu latoka kwake.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndiye ngome yangu, sitatikisika.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndiye mwamba wangu wenye nguvu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kimbilio langu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miminieni mioyo yenu kwake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wa ngazi ya juu ni uongo tu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wakipimwa kwenye mizani, si chochote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wote kwa pamoja ni pumzi tu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Usitumainie vya udhalimu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usijivune kwa vitu vya wizi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ingawa utajiri wako utaongezeka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiviwekee moyo wako.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Jambo moja Mungu amelisema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mambo mawili nimeyasikia:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwamba, Ee Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe una nguvu,' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'na kwamba, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'na kwamba, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe ni mwenye upendo.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Hakika utampa kila mtu thawabu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kadiri ya alivyotenda.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '62' c = '63' cl = 'Zaburi 63' v= = '1' s1 = 'Shauku Kwa Ajili Ya Uwepo Wa Mungu' d = 'Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda.' q1 = '' c# = '63' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nakutafuta kwa moyo wote;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nafsi yangu inakuonea kiu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwili wangu unakuonea wewe shauku,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'katika nchi kame na iliyochoka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mahali ambapo hapana maji.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nimekuona katika mahali patakatifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuuona uwezo wako na utukufu wako.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'midomo yangu itakuadhimisha.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Nitakusifu siku zote za maisha yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa jina lako nitainua mikono yangu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Nafsi yangu itatoshelezwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama kwa wingi wa vyakula;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa midomo iimbayo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kinywa changu kitakusifu wewe.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nafsi yangu inaambatana nawe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkono wako wa kuume hunishika.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Watatolewa wafe kwa upanga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao watakuwa chakula cha mbweha.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Bali mfalme atafurahi katika Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '63' c = '64' cl = 'Zaburi 64' v= = '1' s1 = 'Kuomba Ulinzi Dhidi Ya Maadui' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '64' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wananoa ndimi zao kama panga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'humrushia ghafula bila woga.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kila mmoja humtia moyo mwenzake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mipango mibaya;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'huzungumza juu ya kuficha mitego yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao husema, “Ni nani ataiona?”' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Tumebuni mpango mkamilifu!”' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Bali Mungu atawapiga kwa mishale,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao ghafula wataangushwa.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaleta kwenye maangamizi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wote wawaonao watatikisa vichwa vyao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa dharau.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Wanadamu wote wataogopa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watatangaza kazi za Mungu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kutafakari yale aliyoyatenda.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wenye haki na wafurahi katika \\nd Bwana\\nd*,' 'Wenye haki na wafurahi katika Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wakimbilie kwake;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!' ¬v = '10' ¬q2 = ¬c = '64' c = '65' cl = 'Zaburi 65' v= = '1' s1 = 'Kusifu Na Kushukuru' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.' q1 = '' c# = '65' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwako wewe nadhiri zetu zitatimizwa.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ewe usikiaye maombi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwako wewe watu wote watakuja.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe ulisamehe makosa yetu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Heri wale uliowachagua' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaleta karibu ili waishi katika nyua zako!' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Tunashibishwa kwa mema ya nyumba yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mema ya Hekalu lako takatifu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Unatujibu kwa matendo ya kushangaza ya haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu Mwokozi wetu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'tumaini la miisho yote ya duniani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na la bahari zilizo mbali sana,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'uliyeumba milima kwa uwezo wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukiwa umejivika nguvu,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'uliyenyamazisha dhoruba za bahari,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ngurumo za mawimbi yake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na ghasia za mataifa.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Wale wanaoishi mbali sana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaogopa maajabu yako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kule asubuhi ipambazukiapo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kule jioni inakofifilia' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'umeziita nyimbo za furaha.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Waitunza nchi na kuinyeshea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waitajirisha kwa wingi.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Vijito vya Mungu vimejaa maji' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili kuwapa watu nafaka,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wewe umeviamuru.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Umeilowesha mifereji yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kusawazisha kingo zake;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'umeilainisha kwa manyunyu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuibariki mimea yake.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Umeuvika mwaka taji ya baraka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'magari yako yanafurika kwa wingi.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mbuga za majani za jangwani umezineemesha;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vilima vimevikwa furaha.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Penye nyanda za malisho pamejaa makundi ya wanyama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mabonde yamepambwa kwa mavuno;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'vyote vinashangilia kwa furaha na kuimba.' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '65' c = '66' cl = 'Zaburi 66' v= = '1' s1 = 'Kusifu Mungu Kwa Ajili Ya Wema Wake' d = 'Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi.' q1 = '' c# = '66' v = '1' v~ = 'Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!' ¬v = '1' ¬q1 = q2 = '' v = '2' v~ = 'Imbeni utukufu wa jina lake;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mpeni sifa zake kwa utukufu!' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'adui wananyenyekea mbele zako.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Dunia yote yakusujudia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanakuimbia wewe sifa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wanaliimbia sifa jina lako.”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mambo ya kutisha aliyoyatenda' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'miongoni mwa wanadamu!' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Alifanya bahari kuwa nchi kavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakapita kati ya maji kwa miguu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'njooni, tumshangilie.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Yeye hutawala kwa uwezo wake milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'macho yake huangalia mataifa yote:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'waasi wasithubutu kujiinua dhidi yake.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sauti ya sifa yake isikike,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'ameyahifadhi maisha yetu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuizuia miguu yetu kuteleza.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee Mungu, wewe ulitujaribu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukatusafisha kama fedha.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Umetuingiza kwenye nyavu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na umetubebesha mizigo mizito' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'migongoni mwetu.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Uliwaruhusu watu watukalie vichwani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tulipita kwenye moto na kwenye maji,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'lakini ulituleta kwenye nchi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'iliyojaa utajiri tele.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukutimizia nadhiri zangu:' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nilizotamka kwa kinywa changu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nilipokuwa katika shida.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sadaka za kondoo dume,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nitakutolea mafahali na mbuzi.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami niwaambie aliyonitendea.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Nilimlilia kwa kinywa changu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Bwana asingekuwa amenisikiliza;' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'lakini hakika Mungu amenisikiliza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na amesikia sauti yangu katika maombi.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Sifa apewe Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye hakulikataa ombi langu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala kunizuilia upendo wake!' ¬v = '20' ¬q2 = ¬c = '66' c = '67' cl = 'Zaburi 67' v= = '1' s1 = 'Mataifa Yahimizwa Kumsifu Mungu' d = 'Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo.' q1 = '' c# = '67' v = '1' v~ = 'Mungu aturehemu na kutubariki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutuangazia nuru za uso wake,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'ili njia zako zijulikane duniani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wokovu wako katikati ya mataifa yote.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee Mungu, mataifa na wakusifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mataifa yote na wakusifu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mataifa yote wafurahi na kuimba kwa shangwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa unatawala watu kwa haki' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kuongoza mataifa ya dunia.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee Mungu, mataifa na wakusifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mataifa yote na wakusifu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ndipo nchi itatoa mazao yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mungu atatubariki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na miisho yote ya dunia itamcha yeye.' ¬v = '7' ¬q2 = ¬c = '67' c = '68' cl = 'Zaburi 68' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.' q1 = '' c# = '68' v = '1' v~ = 'Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'adui zake na wakimbie mbele zake.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vivyo hivyo uwapeperushe mbali,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Bali wenye haki na wafurahi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'washangilie mbele za Mungu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wafurahi na kushangilia.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'jina lake ni \\nd Bwana\\nd*,' 'jina lake ni Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'furahini mbele zake.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni Mungu katika makao yake matakatifu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huwaongoza wafungwa wakiimba,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali waasi huishi katika nchi kame.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulipopita nyikani,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'dunia ilitikisika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbingu zikanyesha mvua,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mbele za Mungu, Yule wa Sinai,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee Mungu, watu wako waliishi huko,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe kwa wingi wa utajiri wako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'uliwapa maskini mahitaji yao.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Bwana alitangaza neno,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = '“Wafalme na majeshi walikimbia upesi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu waliobaki kambini waligawana nyara.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Wakati Mwenyezi alipowatawanya wafalme katika nchi,' EXTRA( fn @ 15 = '+ \\fr 68:14 \\ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa nini mnakazia macho kwa wivu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'katika mlima Mungu anaochagua kutawala,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambako \\nd Bwana\\nd* mwenyewe ataishi milele?' 'ambako Bwana mwenyewe ataishi milele?' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na maelfu ya maelfu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Bwana amekuja kutoka Sinai' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi katika patakatifu pake.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Ulipopanda juu, uliteka mateka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hata kutoka kwa wale walioasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili wewe, Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu, upate kuishi huko.' 'ili wewe, Ee Bwana Mungu, upate kuishi huko.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mungu wetu ni Mungu aokoaye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* Mwenyezi hutuokoa na kifo.' 'Bwana Mwenyezi hutuokoa na kifo.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yakielekea patakatifu pake.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni \\nd Bwana\\nd* katika kusanyiko la Israeli.' 'msifuni Bwana katika kusanyiko la Israeli.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Ee Mungu, amuru uwezo wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kama ulivyofanya hapo awali.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wafalme watakuletea zawadi.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Tawanya mataifa yapendayo vita.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Wajumbe watakuja kutoka Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kushi atajisalimisha kwa Mungu.' EXTRA( fn @ 5 = '+ \\fr 68:31 \\ft Kushi hapa ina maana maeneo ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.') ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = 'Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwimbieni Bwana sifa,' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye angurumaye kwa sauti kuu.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Tangazeni uwezo wa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye fahari yake iko juu ya Israeli,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambaye uwezo wake uko katika anga.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Mungu Asifiwe!' ¬v = '35' ¬q1 = ¬c = '68' c = '69' cl = 'Zaburi 69' v= = '1' s1 = 'Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '69' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, niokoe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana maji yamenifika shingoni.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ninazama kwenye vilindi vya matope,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pasipo mahali pa kukanyaga,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nimefika kwenye maji makuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mafuriko yamenigharikisha.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nimechoka kwa kuomba msaada,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'koo langu limekauka.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Macho yangu yanafifia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikimtafuta Mungu wangu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wale wanaonichukia bila sababu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni wengi kuliko nywele za kichwa changu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wengi ni adui kwangu bila sababu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanaotafuta kuniangamiza.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ninalazimishwa kurudisha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kitu ambacho sikuiba.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hatia yangu haikufichika kwako.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ee Bwana, ewe \\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote,' 'Ee Bwana, ewe Bwana Mwenye Nguvu Zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakutumainio wasiaibishwe' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili yangu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu wa Israeli.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aibu imefunika uso wangu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ninapolia na kufunga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lazima nivumilie matusi.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ninapovaa nguo ya gunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu hunidharau.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimekuwa wimbo wa walevi.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Lakini Ee \\nd Bwana\\nd*, ninakuomba,' 'Lakini Ee Bwana, ninakuomba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wakati ukupendezao;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'katika upendo wako mkuu, Ee Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unijibu kwa wokovu wako wa hakika.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Uniokoe katika matope,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiniache nizame;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'niokoe na hao wanichukiao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka kwenye vilindi vya maji.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Usiache mafuriko yanigharikishe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au vilindi vinimeze,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'au shimo lifumbe kinywa chake juu yangu.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, unijibu, kwa wema wa upendo wako;' 'Ee Bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa huruma zako nyingi unigeukie.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Usimfiche mtumishi wako uso wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Njoo karibu uniokoe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikomboe kwa sababu ya adui zangu.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Unajua jinsi ninavyodharauliwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kufedheheshwa na kuaibishwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'adui zangu wote unawajua.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Dharau zimenivunja moyo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nimekata tamaa,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nimetafuta wa kunihurumia, lakini sikumpata,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wa kunituliza, lakini sikumpata.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Waliweka nyongo katika chakula changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na walinipa siki nilipokuwa na kiu.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo iwe upatilizo na tanzi.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo migongo yao iinamishwe daima.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Uwamwagie ghadhabu yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hasira yako kali na iwapate.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Mahali pao na pawe ukiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Walipize uovu juu ya uovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiwaache washiriki katika wokovu wako.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Wafutwe kutoka kitabu cha uzima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Mimi niko katika maumivu na dhiki;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Hili litampendeza \\nd Bwana\\nd* kuliko ngʼombe dume,' 'Hili litampendeza Bwana kuliko ngʼombe dume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Maskini wataona na kufurahi:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwasikia wahitaji' 'Bwana huwasikia wahitaji' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hadharau watu wake waliotekwa.' ¬q2 = ¬v = '33' b = '' q1 = '' v = '34' v~ = 'Mbingu na dunia zimsifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bahari na vyote viendavyo ndani yake,' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuijenga tena miji ya Yuda.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kisha watu watafanya makao yao humo na kuimiliki,' ¬q1 = ¬v = '35' q2 = '' v = '36' v~ = 'watoto wa watumishi wake watairithi' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na wale wote walipendao jina lake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wataishi humo.' ¬v = '36' ¬q2 = ¬c = '69' c = '70' cl = 'Zaburi 70' s1 = 'Kuomba Msaada' r = '(Zaburi 40:13-17)' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi.' q1 = '' c# = '70' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, ufanye haraka kuniokoa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, njoo hima unisaidie.' 'Ee Bwana, njoo hima unisaidie.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waaibishwe na kufadhaishwa;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wote wanaotamani kuangamizwa kwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'warudishwe nyuma kwa aibu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wale waniambiao, “Aha! Aha!”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Lakini wote wakutafutao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'washangilie na kukufurahia,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wale wapendao wokovu wako siku zote waseme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Mungu na atukuzwe!”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu, unijie haraka.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Wewe ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, usikawie.' 'Ee Bwana, usikawie.' ¬v = '5' ¬q2 = ¬c = '70' c = '71' cl = 'Zaburi 71' v= = '1' s1 = 'Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha' q1 = '' c# = '71' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nimekukimbilia wewe,' 'Ee Bwana, nimekukimbilia wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiache nikaaibika kamwe.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa haki yako uniponye na kuniokoa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unitegee sikio lako uniokoe.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Uwe kwangu mwamba wa kimbilio,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mahali nitakapokimbilia kila wakati;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mwamba wangu na ngome yangu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenyezi,' 'Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee Bwana Mwenyezi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tegemeo langu tangu ujana wangu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulinitoa tumboni mwa mama yangu.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Nitakusifu wewe daima.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nimekuwa kama kioja kwa wengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini wewe ni kimbilio langu imara.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kinywa changu kimejazwa sifa zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Usinitupe wakati wa uzee,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa maana adui zangu wananisengenya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Wanasema, “Mungu amemwacha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkimbilieni mkamkamate,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwani hakuna wa kumwokoa.”' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ee Mungu, usiwe mbali nami,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanaotaka kunidhuru' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na wafunikwe kwa dharau na fedheha.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Lakini mimi, nitatumaini siku zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitakusifu zaidi na zaidi.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kinywa changu kitasimulia haki yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wokovu wako mchana kutwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ingawa sifahamu kipimo chake.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenyezi, nitakuja' 'Ee Bwana Mwenyezi, nitakuja' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutangaza matendo yako makuu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nitatangaza haki yako, yako peke yako.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi leo ninatangaza matendo yako ya ajabu.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Ee Mungu, usiniache,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata niwapo mzee wa mvi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi kijacho,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nguvu zako kwa wote watakaokuja baadaye.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe ambaye umefanya mambo makuu.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utanihuisha tena,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kutoka vilindi vya dunia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utaniinua tena.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Utaongeza heshima yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunifariji tena.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya uaminifu wako;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ee Uliye Mtakatifu wa Israeli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitakuimbia sifa kwa zeze.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapokuimbia sifa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mimi, ambaye umenikomboa.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mchana kutwa,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa maana wale waliotaka kunidhuru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wameaibishwa na kufadhaishwa.' ¬v = '24' ¬q2 = ¬c = '71' c = '72' cl = 'Zaburi 72' v= = '1' s1 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Mfalme' d = 'Zaburi ya Solomoni.' q1 = '' c# = '72' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwana wa mfalme kwa haki yako.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Atawaamua watu wako kwa haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu wako walioonewa kwa haki.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Milima italeta mafanikio kwa watu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vilima tunda la haki.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na atawaokoa watoto wa wahitaji,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ataponda mdhalimu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.' ¬v = '5' ¬q1 = q1 = '' v = '6' v~ = 'Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama manyunyu yanyeshayo ardhi.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Katika siku zake wenye haki watastawi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi utakapokoma.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Atatawala kutoka bahari hadi bahari' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutoka Mto mpaka miisho ya dunia.' EXTRA( fn @ 13 = '+ \\fr 72:8 \\ft Yaani Mto Frati.') ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Makabila ya jangwani watamsujudia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na adui zake wataramba mavumbi.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watamletea kodi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wafalme wa Sheba na Seba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watampa zawadi.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Wafalme wote watamsujudia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mataifa yote yatamtumikia.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Atawahurumia wanyonge na wahitaji' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Aishi maisha marefu!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Na apewe dhahabu ya Sheba.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Watu wamwombee daima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumbariki mchana kutwa.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Nafaka ijae tele katika nchi yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya vilele vya vilima na istawi.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Tunda lake na listawi kama Lebanoni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'listawi kama majani ya kondeni.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Jina lake na lidumu milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na lidumu kama jua.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Mataifa yote yatabarikiwa kupitia kwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao watamwita aliyebarikiwa.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = '\\nd Bwana\\nd* Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa,' 'Bwana Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Jina lake tukufu lisifiwe milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulimwengu wote ujae utukufu wake.' ¬q2 = ¬v = '19' qc = 'Amen na Amen.' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.' ¬v = '20' ¬c = '72' c = '73' ¬q1 = ¬ms1 = ms1 = 'KITABU CHA TATU' mr = '(Zaburi 73–89)' cl = 'Zaburi 73' v= = '1' s1 = 'Haki Ya Mungu' d = 'Zaburi ya Asafu.' q1 = '' c# = '73' v = '1' v~ = 'Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wale ambao mioyo yao ni safi.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilikuwa karibu mguu wangu kuachia uliposimama.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilipoona kufanikiwa kwa waovu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wao hawana taabu,' EXTRA( fn @ 17 = '+ \\fr 73:4 \\ft Tafsiri nyingine zinasema: hawana maumivu katika kufa kwao.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miili yao ina afya na nguvu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamejivika jeuri.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'majivuno maovu kutoka mioyoni mwao hauna kikomo.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Hudhihaki na kusema kwa ukorofi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika majivuno yao wanatishia kutesa.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo ndimi zao humiliki duniani.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa hiyo watu wao huwageukia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunywa maji tele.' EXTRA( fn @ 20 = '+ \\fr 73:10 \\ft Au: na kupokea yote wasemayo.') ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Wanasema, “Mungu awezaje kujua?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Hivi ndivyo walivyo waovu:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku zote hawajali,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wanaongezeka katika utajiri.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Mchana kutwa nimetaabika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimeadhibiwa kila asubuhi.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kama ningesema, “Nitasema hivi,”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Nilipojaribu kuelewa haya yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yalikuwa magumu kwangu kuelewa.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mpaka nilipoingia patakatifu pa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndipo nilipotambua mwisho wao.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Hakika unawaweka mahali pa utelezi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unawaangusha chini kwa uharibifu.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Tazama jinsi wanavyoangamizwa ghafula,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanatoweshwa kabisa na vitisho!' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Kama ndoto mtu aamkapo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hivyo wakati uinukapo, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'hivyo wakati uinukapo, Ee Bwana,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'utawatowesha kama ndoto.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Wakati moyo wangu ulipohuzunishwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na roho yangu ilipotiwa uchungu,' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'nilikuwa mpumbavu na mjinga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Hata hivyo niko pamoja nawe siku zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umenishika mkono wangu wa kuume.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Unaniongoza kwa shauri lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatimaye utaniingiza katika utukufu.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Nani niliye naye mbinguni ila wewe?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Dunia haina chochote ninachokitamani ila wewe.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na fungu langu milele.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Wale walio mbali nawe wataangamia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Lakini kwangu mimi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni vyema kuwa karibu na Mungu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nimemfanya \\nd Bwana\\nd* Mwenyezi kimbilio langu;' 'Nimemfanya Bwana Mwenyezi kimbilio langu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitayasimulia matendo yako yote.' ¬v = '28' ¬q2 = ¬c = '73' c = '74' cl = 'Zaburi 74' v= = '1' s1 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Taifa Kuokolewa' d = 'Utenzi wa Asafu.' q1 = '' c# = '74' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, mbona umetukataa milele?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mbona hasira yako inatoka moshi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'juu ya kondoo wa malisho yako?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kumbuka watu uliowanunua zamani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kabila la urithi wako, ambao uliwakomboa:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mlima Sayuni, ambamo uliishi.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Geuza hatua zako kuelekea magofu haya ya kudumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uharibifu wote huu ambao adui ameuleta pale patakatifu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Adui zako wamenguruma pale ulipokutana nasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaweka bendera zao kama alama.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Walifanya kama watu wanaotumia mashoka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kukata kichaka cha miti.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa mashoka na vishoka vyao.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakayanajisi makao ya Jina lako.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Walisema mioyoni mwao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Tutawaponda kabisa!”' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Walichoma kila mahali ambapo Mungu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliabudiwa katika nchi.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Hatukupewa ishara za miujiza;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna manabii waliobaki,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hakuna yeyote kati yetu ajuaye' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hali hii itachukua muda gani.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, adui watalitukana jina lako milele?' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kwa nini unazuia mkono wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkono wako wa kuume?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Uutoe kutoka makunjo ya vazi lako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uwaangamize!' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Lakini wewe, Ee Mungu, ni mfalme wangu tangu zamani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unaleta wokovu duniani.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ni wewe uliyeigawanya bahari kwa uweza wako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa kutisha katika maji.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ni wewe uliyeponda vichwa vya Lewiathani' EXTRA( fn @ 40 = '+ \\fr 74:14 \\ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe ukamtoa kama chakula' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa viumbe vya jangwani.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Ni wewe uliyefungua chemchemi na vijito,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulikausha mito ambayo ilikuwa ikitiririka daima.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliziweka jua na mwezi.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Ni wewe uliyeiweka mipaka yote ya dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulifanya kiangazi na masika.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki,' 'Ee Bwana, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jinsi watu wapumbavu walivyolitukana jina lako.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Usiukabidhi uhai wa njiwa wako kwa wanyama wakali wa mwitu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usisahau kabisa uhai wa watu wako wanaoteseka milele.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Likumbuke agano lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maana mara kwa mara mambo ya jeuri' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yamejaa katika sehemu za giza nchini.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Usiruhusu walioonewa warudi nyuma kwa aibu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maskini na wahitaji hebu walisifu jina lako.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Inuka, Ee Mungu, ujitetee;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kumbuka jinsi wapumbavu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wanavyokudhihaki mchana kutwa.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Usipuuze makelele ya watesi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ghasia za adui zako, zinazoinuka mfululizo.' ¬v = '23' ¬q2 = ¬c = '74' c = '75' cl = 'Zaburi 75' v= = '1' s1 = 'Mungu Ni Mwamuzi' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo.' q1 = '' c# = '75' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, tunakushukuru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tunakushukuru wewe,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kuwa jina lako li karibu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu husimulia matendo yako ya ajabu.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Unasema, “Ninachagua wakati maalum;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mimi nihukumuye kwa haki.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa wale wenye majivuno ninasema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '‘Msijisifu tena,’' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’\u2006”' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Bali Mungu ndiye ahukumuye:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Humshusha huyu na kumkweza mwingine.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mkononi mwa \\nd Bwana\\nd* kuna kikombe' 'Mkononi mwa Bwana kuna kikombe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kilichojaa mvinyo unaotoka povu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'uliochanganywa na vikolezo;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'huumimina, nao waovu wote wa dunia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hunywa mpaka tone la mwisho.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Bali mimi, nitatangaza hili milele;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.' ¬v = '10' ¬q2 = ¬c = '75' c = '76' cl = 'Zaburi 76' v= = '1' s1 = 'Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote' d = 'Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.' q1 = '' c# = '76' v = '1' v~ = 'Katika Yuda, Mungu anajulikana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jina lake ni kuu katika Israeli.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Hema lake liko Salemu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'makao yake katika Sayuni.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Huko alivunja mishale imetametayo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ngao na panga, silaha za vita.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wewe unangʼaa kwa mwanga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mashujaa hulala wametekwa nyara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hulala usingizi wao wa mwisho;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hakuna hata mmoja wa watu wa vita' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anayeweza kuinua mikono yake.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'farasi na gari la vita vilikaa kimya.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kutoka mbinguni ulitamka hukumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Wekeni nadhiri kwa \\nd Bwana\\nd* Mungu wenu na kuzitimiza;' 'Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nchi zote za jirani na walete zawadi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa Yule astahiliye kuogopwa.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Huvunja roho za watawala;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anaogopwa na wafalme wa dunia.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '76' c = '77' cl = 'Zaburi 77' v= = '1' s1 = 'Matendo Makuu Ya Mungu Yanakumbukwa' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu.' q1 = '' c# = '77' v = '1' v~ = 'Nilimlilia Mungu ili anisaidie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilimlilia Mungu ili anisikie.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nilipokuwa katika taabu, nilimtafuta Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiku nilinyoosha mikono bila kuchoka' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na nafsi yangu ilikataa kufarijika.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ulizuia macho yangu kufumba;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Nilitafakari juu ya siku zilizopita,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miaka mingi iliyopita,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Moyo wangu ulitafakari' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na roho yangu ikauliza:' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = '“Je, Bwana atakataa milele?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, hatatenda mema tena?' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, ahadi yake imekoma nyakati zote?' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Je, Mungu amesahau kuwa na huruma?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, katika hasira amezuia huruma yake?”' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini nitakumbuka' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'miaka ya mkono wa kuume' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wa Aliye Juu Sana.”' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Nitayakumbuka matendo ya \\nd Bwana\\nd*;' 'Nitayakumbuka matendo ya Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Nitazitafakari kazi zako zote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuyawaza matendo yako makuu.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ee Mungu, njia zako ni takatifu.' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Ni mungu yupi aliye mkuu kama Mungu wetu?' ¬q1 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Wewe ndiwe Mungu utendaye miujiza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeonyesha uwezo wako katikati ya mataifa.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kwa mkono wako wenye nguvu umewakomboa watu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uzao wa Yakobo na Yosefu.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Maji yalikuona, Ee Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maji yalikuona yakakimbia,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'vilindi vilitetemeka.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mawingu yalimwaga maji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbingu zikatoa ngurumo kwa radi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mishale yako ikametameta huku na huko.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Ngurumo yako ilisikika katika upepo wa kisulisuli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeme wako wa radi ukaangaza dunia,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nchi ikatetemeka na kutikisika.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Njia yako ilipita baharini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mapito yako kwenye maji makuu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ingawa nyayo zako hazikuonekana.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Uliongoza watu wako kama kundi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa mkono wa Mose na Aroni.' ¬v = '20' ¬q2 = ¬c = '77' c = '78' cl = 'Zaburi 78' v= = '1' s1 = 'Mungu Na Watu Wake' d = 'Utenzi wa Asafu.' q1 = '' c# = '78' v = '1' v~ = 'Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikilizeni maneno ya kinywa changu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'yale ambayo tuliyasikia na kuyajua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yale ambayo baba zetu walituambia.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Hatutayaficha kwa watoto wao;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tutakiambia kizazi kijacho' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'matendo yastahiliyo sifa ya \\nd Bwana\\nd*,' 'matendo yastahiliyo sifa ya Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Aliagiza amri kwa Yakobo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akaweka sheria katika Israeli,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambazo aliwaamuru baba zetu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wawafundishe watoto wao,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'ili kizazi kijacho kizijue,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pamoja na watoto ambao watazaliwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wasingesahau matendo yake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali wangalizishika amri zake.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ili wasifanane na baba zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waliokuwa kizazi cha ukaidi na uasi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambao roho zao hazikuwa na uaminifu kwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao roho zao hazikumwamini.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walikimbia siku ya vita.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Hawakulishika agano la Mungu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na walikataa kuishi kwa sheria yake.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Walisahau aliyokuwa ameyatenda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maajabu aliyokuwa amewaonyesha.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Alitenda miujiza machoni mwa baba zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huko Soani, katika nchi ya Misri.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Aliigawanya bahari akawapitisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'alifanya maji yasimame imara kama ukuta.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Aliwaongoza kwa wingu mchana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku kucha.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Alipasua miamba jangwani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akawapa maji tele kama bahari,' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'alitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akayafanya maji yatiririke kama mito.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Lakini waliendelea kutenda dhambi dhidi yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakiasi jangwani dhidi ya Aliye Juu Sana.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kwa makusudi walimjaribu Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakidai vyakula walivyovitamani.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Walinena dhidi ya Mungu, wakisema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Je, Mungu aweza kuandaa meza jangwani?' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Alipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vijito vikatiririka maji mengi.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Lakini je, aweza kutupa chakula pia?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = '\\nd Bwana\\nd* alipowasikia, alikasirika sana,' 'Bwana alipowasikia, alikasirika sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moto wake ukawa dhidi ya Yakobo,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na ghadhabu yake ikawaka dhidi ya Israeli,' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'kwa kuwa hawakumwamini Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kuutumainia ukombozi wake.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufungua milango ya mbingu,' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'akawanyeshea mana ili watu wale;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliwapa nafaka ya mbinguni.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Watu walikula mkate wa malaika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Aliwanyeshea nyama kama mavumbi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndege warukao kama mchanga wa pwani.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuzunguka mahema yao yote.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Walikula na kusaza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Kabla hawajamaliza kula walichokitamani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'hasira ya Mungu ikawaka juu yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'akiwaangusha vijana wa Israeli.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = 'Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'licha ya maajabu yake, hawakuamini.' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na miaka yao katika vitisho.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waliosalia walimtafuta,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'walimgeukia tena kwa shauku.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakisema uongo kwa ndimi zao,' ¬q2 = ¬v = '36' q1 = '' v = '37' v~ = 'mioyo yao haikuwa thabiti kwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.' ¬q2 = ¬v = '37' q1 = '' v = '38' v~ = 'Hata hivyo alikuwa na huruma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'alisamehe maovu yao' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na hakuwaangamiza.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mara kwa mara alizuia hasira yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hakuchochea ghadhabu yake yote.' ¬q2 = ¬v = '38' q1 = '' v = '39' v~ = 'Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upepo upitao ambao haurudi.' ¬q2 = ¬v = '39' b = '' q1 = '' v = '40' v~ = 'Mara ngapi walimwasi jangwani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumhuzunisha nyikani!' ¬q2 = ¬v = '40' q1 = '' v = '41' v~ = 'Walimjaribu Mungu mara kwa mara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.' ¬q2 = ¬v = '41' q1 = '' v = '42' v~ = 'Hawakukumbuka uwezo wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,' ¬q2 = ¬v = '42' q1 = '' v = '43' v~ = 'siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maajabu yake huko Soani.' ¬q2 = ¬v = '43' q1 = '' v = '44' v~ = 'Aligeuza mito yao kuwa damu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawakuweza kunywa maji kutoka vijito vyao.' ¬q2 = ¬v = '44' q1 = '' v = '45' v~ = 'Aliwapelekea makundi ya mainzi yakawala,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na vyura wakawaharibu.' ¬q2 = ¬v = '45' q1 = '' v = '46' v~ = 'Aliruhusu tunutu kuharibu mimea yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mazao yao kwa nzige.' ¬q2 = ¬v = '46' q1 = '' v = '47' v~ = 'Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.' ¬q2 = ¬v = '47' q1 = '' v = '48' v~ = 'Aliwaachia mifugo yao mvua ya mawe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akayapiga makundi ya wanyama wao kwa radi.' ¬q2 = ¬v = '48' q1 = '' v = '49' v~ = 'Aliwafungulia hasira yake kali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ghadhabu yake, hasira na uadui,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kundi la malaika wa kuharibu.' ¬q2 = ¬v = '49' q1 = '' v = '50' v~ = 'Aliitengenezea njia hasira yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuwaepusha na kifo,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali aliwaachia tauni.' ¬q2 = ¬v = '50' q1 = '' v = '51' v~ = 'Aliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matunda ya kwanza ya ujana katika mahema ya Hamu.' ¬q2 = ¬v = '51' q1 = '' v = '52' v~ = 'Lakini aliwatoa watu wake kama kundi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akawaongoza kama kondoo kupitia jangwani.' ¬q2 = ¬v = '52' q1 = '' v = '53' v~ = 'Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali bahari iliwameza adui zao.' ¬q2 = ¬v = '53' q1 = '' v = '54' v~ = 'Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.' ¬q2 = ¬v = '54' q1 = '' v = '55' v~ = 'Aliyafukuza mataifa mbele yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwagawia nchi zao kama urithi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.' ¬q2 = ¬v = '55' b = '' q1 = '' v = '56' v~ = 'Lakini wao walimjaribu Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuasi dhidi ya Yeye Aliye Juu Sana,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala hawakuzishika sheria zake.' ¬q2 = ¬v = '56' q1 = '' v = '57' v~ = 'Kama baba zao, hawakuwa thabiti wala waaminifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakawa wasioweza kutegemewa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kama upinde wenye kasoro.' ¬q2 = ¬v = '57' q1 = '' v = '58' v~ = 'Wakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakachochea wivu wake kwa sanamu zao.' ¬q2 = ¬v = '58' q1 = '' v = '59' v~ = 'Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akamkataa Israeli kabisa.' ¬q2 = ¬v = '59' q1 = '' v = '60' v~ = 'Akaiacha hema ya Shilo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '60' q1 = '' v = '61' v~ = 'Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utukufu wake mikononi mwa adui.' ¬q2 = ¬v = '61' q1 = '' v = '62' v~ = 'Aliachia watu wake wauawe kwa upanga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akaukasirikia sana urithi wake.' ¬q2 = ¬v = '62' q1 = '' v = '63' v~ = 'Moto uliwaangamiza vijana wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,' ¬q2 = ¬v = '63' q1 = '' v = '64' v~ = 'makuhani wao waliuawa kwa upanga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala wajane wao hawakuweza kulia.' ¬q2 = ¬v = '64' b = '' q1 = '' v = '65' v~ = 'Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.' ¬q2 = ¬v = '65' q1 = '' v = '66' v~ = 'Aliwapiga na kuwashinda adui zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akawatia katika aibu ya milele.' ¬q2 = ¬v = '66' q1 = '' v = '67' v~ = 'Ndipo alipozikataa hema za Yosefu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakulichagua kabila la Efraimu,' ¬q2 = ¬v = '67' q1 = '' v = '68' v~ = 'lakini alilichagua kabila la Yuda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mlima Sayuni, ambao aliupenda.' ¬q2 = ¬v = '68' q1 = '' v = '69' v~ = 'Alijenga patakatifu pake kama vilele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama dunia ambayo aliimarisha milele.' ¬q2 = ¬v = '69' q1 = '' v = '70' v~ = 'Akamchagua Daudi mtumishi wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.' ¬q2 = ¬v = '70' q1 = '' v = '71' v~ = 'Kutoka kuchunga kondoo alimleta' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwa mchungaji wa watu wake Yakobo,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wa Israeli urithi wake.' ¬q2 = ¬v = '71' q1 = '' v = '72' v~ = 'Naye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa mikono ya ustadi aliwaongoza.' ¬v = '72' ¬q2 = ¬c = '78' c = '79' cl = 'Zaburi 79' v= = '1' s1 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Wokovu Wa Taifa' d = 'Zaburi ya Asafu.' q1 = '' c# = '79' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamelinajisi Hekalu lako takatifu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wameifanya Yerusalemu kuwa magofu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wametoa maiti za watumishi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwa chakula cha ndege wa angani' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na nyama ya watakatifu wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wanyama wa nchi.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wamemwaga damu kama maji' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuzunguka Yerusalemu yote,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala hakuna yeyote wa kuwazika.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Tumekuwa kitu cha aibu kwa jirani zetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'cha dharau na mzaha kwa wale wanaotuzunguka.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Hata lini, Ee \\nd Bwana\\nd*? Je, wewe utakasirika milele?' 'Hata lini, Ee Bwana? Je, wewe utakasirika milele?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Wivu wako utawaka kama moto hadi lini?' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa yasiyokukubali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya falme za hao wasioliitia jina lako,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'kwa maana wamemrarua Yakobo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuharibu nchi ya makao yake.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Usituhesabie dhambi za baba zetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huruma yako na itujie hima,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa maana tu wahitaji mno.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee Mungu Mwokozi wetu, utusaidie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya utukufu wa jina lako;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'tuokoe na kutusamehe dhambi zetu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya jina lako.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa nini mataifa waseme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Yuko wapi Mungu wenu?”' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mbele ya macho yetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dhihirisha kati ya mataifa' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwamba unalipiza kisasi damu iliyomwagwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya watumishi wako.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kilio cha huzuni cha wafungwa kifike mbele zako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa nguvu za mkono wako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hifadhi wale waliohukumiwa kufa.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aibu walizovurumisha juu yako, Ee \\nd Bwana\\nd*.' 'aibu walizovurumisha juu yako, Ee Bwana.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tutakusifu milele;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'toka kizazi hadi kizazi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tutasimulia sifa zako.' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '79' c = '80' cl = 'Zaburi 80' v= = '1' s1 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.' q1 = '' c# = '80' v = '1' v~ = 'Ee Mchungaji wa Israeli tusikie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe umwongozaye Yosefu kama kundi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wewe uketiye katika kiti cha enzi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katikati ya makerubi, angaza' ¬q2 = ¬v = '1' q2 = '' v = '2' v~ = 'mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Uamshe nguvu zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uje utuokoe.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee Mungu, uturejeshe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utuangazie uso wako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ili tuweze kuokolewa.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote,' 'Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'dhidi ya maombi ya watu wako?' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Umewalisha kwa mkate wa machozi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umewafanya wanywe machozi bakuli tele.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na adui zetu wanatudhihaki.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utuangazie uso wako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nasi tuweze kuokolewa.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ulileta mzabibu kutoka Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukawafukuza mataifa, ukaupanda.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Uliandaa shamba kwa ajili yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Matawi yake yalienea mpaka Baharini,' EXTRA( fn @ 36 = '+ \\fr 80:11 \\ft Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'machipukizi yake mpaka kwenye Mto.' EXTRA( fn @ 34 = '+ \\fr 80:11 \\ft Yaani Mto Frati.') ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mbona umebomoa kuta zake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili wote wapitao karibu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wazichume zabibu zake?' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Nguruwe mwitu wanauharibu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wanyama wa kondeni hujilisha humo.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Tazama chini kutoka mbinguni na uone!' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Linda mzabibu huu,' ¬q1 = ¬v = '14' q2 = '' v = '15' v~ = 'mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mwana uliyemlea' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili yako mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unapowakemea, watu wako huangamia.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Ndipo hatutakuacha tena,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;' 'Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utuangazie uso wako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ili tuweze kuokolewa.' ¬v = '19' ¬q2 = ¬c = '80' c = '81' cl = 'Zaburi 81' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Sikukuu' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.' q1 = '' c# = '81' v = '1' v~ = 'Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Anzeni wimbo, pigeni matari,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati wa Mwandamo wa Mwezi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na wakati wa mwezi mpevu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika siku ya Sikukuu yetu;' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'hii ni amri kwa Israeli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'agizo la Mungu wa Yakobo.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'alipotoka dhidi ya Misri,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nilikujaribu katika maji ya Meriba.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = '“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msimsujudie mungu wa kigeni.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mimi ni \\nd Bwana\\nd* Mungu wako,' 'Mimi ni Bwana Mungu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niliyekutoa nchi ya Misri.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Panua sana kinywa chako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitakijaza.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = '“Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Israeli hakutaka kunitii.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wafuate mashauri yao wenyewe.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = '“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama Israeli wangalifuata njia zangu,' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'ningaliwatiisha adui zao kwa haraka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Wale wanaomchukia \\nd Bwana\\nd* wangalinyenyekea mbele zake,' 'Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na adhabu yao ingedumu milele.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”' ¬v = '16' ¬q2 = ¬c = '81' c = '82' cl = 'Zaburi 82' v= = '1' s1 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Kutaka Haki' d = 'Zaburi ya Asafu.' q1 = '' c# = '82' v = '1' v~ = 'Mungu anaongoza kusanyiko kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = '“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuonyesha upendeleo kwa waovu?' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Teteeni wanyonge na yatima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tunzeni haki za maskini na walioonewa.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mwokoeni mnyonge na mhitaji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = '“Hawajui lolote, hawaelewi lolote.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Wanatembea gizani;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'misingi yote ya dunia imetikisika.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = '“Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee Mungu, inuka uihukumu nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '82' c = '83' cl = 'Zaburi 83' v= = '1' s1 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli' d = 'Wimbo. Zaburi ya Asafu.' q1 = '' c# = '83' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, usinyamaze kimya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Tazama watesi wako wanafanya fujo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanafanya muungano dhidi yako,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'mahema ya Edomu na Waishmaeli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya Wamoabu na Wahagari,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Gebali, Amoni na Amaleki,' EXTRA( fn @ 7 = '+ \\fr 83:7 \\ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Hata Ashuru wameungana nao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwapa nguvu wazao wa Loti.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hapo kijito cha Kishoni,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'ambao waliangamia huko Endori' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wakawa kama takataka juu ya nchi.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watawala wao kama Zeba na Salmuna,' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'ambao walisema, “Na tumiliki nchi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya malisho ya Mungu.”' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama makapi yapeperushwayo na upepo.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kama vile moto uteketezavyo msitu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au mwali wa moto unavyounguza milima,' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'wafuatilie kwa tufani yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Funika nyuso zao kwa aibu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili watu walitafute jina lako, Ee \\nd Bwana\\nd*.' 'ili watu walitafute jina lako, Ee Bwana.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na waangamie kwa aibu.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni \\nd Bwana\\nd*,' 'Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.' ¬v = '18' ¬q2 = ¬c = '83' c = '84' cl = 'Zaburi 84' v= = '1' s1 = 'Kuionea Shauku Nyumba Ya Mungu' d = 'Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.' q1 = '' c# = '84' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote,' 'Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'makao yako yapendeza kama nini!' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nafsi yangu inatamani sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, hata kuona shauku,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya nyua za \\nd Bwana\\nd*;' 'kwa ajili ya nyua za Bwana;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'moyo wangu na mwili wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vinamlilia Mungu Aliye Hai.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hata shomoro amejipatia makao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbayuwayu amejipatia kiota' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mahali awezapo kuweka makinda yake:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mahali karibu na madhabahu yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote,' 'Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mfalme wangu na Mungu wangu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Heri wale wanaokaa nyumbani mwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaokusifu wewe daima.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wanapopita katika Bonde la Baka,' EXTRA( fn @ 32 = '+ \\fr 84:6 \\ft Yaani Bonde la Vilio.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hulifanya mahali pa chemchemi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.' EXTRA( fn @ 39 = '+ \\fr 84:6 \\ft Au: baraka.') ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Huendelea toka nguvu hadi nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi kila mmoja afikapo' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mbele za Mungu huko Sayuni.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;' 'Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee Mungu, uitazame ngao yetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Siku moja katika nyua zako ni bora' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko siku elfu mahali pengine;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko kukaa katika mahema ya waovu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* ni jua na ngao,' 'Kwa kuwa Bwana ni jua na ngao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* hutoa wema na heshima;' 'Bwana hutoa wema na heshima;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hakuna kitu chema anachowanyima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale ambao hawana hatia.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote,' 'Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '84' c = '85' cl = 'Zaburi 85' v= = '1' s1 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.' q1 = '' c# = '85' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ulionyesha wema kwa nchi yako.' 'Ee Bwana, ulionyesha wema kwa nchi yako.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.' EXTRA( fn @ 32 = '+ \\fr 85:1 \\ft Au: Uliwarudisha mateka wa Yakobo.') ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ulisamehe uovu wa watu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufunika dhambi zao zote.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Uliweka kando ghadhabu yako yote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ee Mungu Mwokozi wetu, uturejeshe tena,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe uiondoe chuki yako juu yetu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Je, utatukasirikia milele?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Je, hutatuhuisha tena,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili watu wako wakufurahie?' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utupe wokovu wako.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye \\nd Bwana\\nd*;' 'Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'lakini nao wasirudie upumbavu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Upendo na uaminifu hukutana pamoja,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haki na amani hubusiana.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Uaminifu huchipua kutoka nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haki hutazama chini kutoka mbinguni.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Naam, hakika \\nd Bwana\\nd* atatoa kilicho chema,' 'Naam, hakika Bwana atatoa kilicho chema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Haki itatangulia mbele yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '85' c = '86' cl = 'Zaburi 86' v= = '1' s1 = 'Kuomba Msaada' d = 'Maombi ya Daudi.' q1 = '' c# = '86' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, sikia na unijibu,' 'Ee Bwana, sikia na unijibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe ni Mungu wangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nihurumie mimi,' 'Ee Bwana, nihurumie mimi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana ninakuita mchana kutwa.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mpe mtumishi wako furaha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa kwako wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'kwa kuwa kwako wewe, Ee Bwana,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ninainua nafsi yangu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,' 'Ee Bwana, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umejaa upendo kwa wote wakuitao.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, sikia maombi yangu,' 'Ee Bwana, sikia maombi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikiliza kilio changu unihurumie.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Katika siku ya shida yangu nitakuita,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wewe utanijibu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, katikati ya miungu hakuna kama wewe,' 'Ee Bwana, katikati ya miungu hakuna kama wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna matendo ya kulinganishwa na yako.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, mataifa yote uliyoyafanya' 'Ee Bwana, mataifa yote uliyoyafanya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yatakuja na kuabudu mbele zako;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wataliletea utukufu jina lako.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe peke yako ndiwe Mungu.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nifundishe njia yako,' 'Ee Bwana, nifundishe njia yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitakwenda katika kweli yako;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nipe moyo usiositasita,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili niweze kulicha jina lako.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* wangu, nitakusifu kwa moyo wote;' 'Ee Bwana wangu, nitakusifu kwa moyo wote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaliadhimisha jina lako milele.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi.' EXTRA( fn @ 43 = '+ \\fr 86:13 \\ft Yaani Kuzimu.') ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'watu wasiokuheshimu wewe.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Lakini wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, ni Mungu wa huruma na neema,' 'Lakini wewe, Ee Bwana, ni Mungu wa huruma na neema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Nigeukie na unihurumie;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpe mtumishi wako nguvu zako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.' EXTRA( fn @ 38 = '+ \\fr 86:16 \\ft Au: mwokoe mwanao mwaminifu.') ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Nipe ishara ya wema wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili adui zangu waione nao waaibishwe,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kuwa wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'kwa kuwa wewe, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umenisaidia na kunifariji.' ¬v = '17' ¬q2 = ¬c = '86' c = '87' cl = 'Zaburi 87' v= = '1' s1 = 'Sifa Za Yerusalemu' d = 'Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.' q1 = '' c# = '87' v = '1' v~ = 'Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;' ¬v = '1' ¬q1 = q2 = '' v = '2' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anayapenda malango ya Sayuni' 'Bwana anayapenda malango ya Sayuni' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kuliko makao yote ya Yakobo.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mambo matukufu yanasemwa juu yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ee mji wa Mungu:' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = '“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli' EXTRA( fn @ 30 = '+ \\fr 87:4 \\ft Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miongoni mwa wale wanaonikubali mimi:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi,' EXTRA( fn @ 38 = '+ \\fr 87:4 \\ft Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’\u2006”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Huyu na yule walizaliwa humo,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'naye Aliye Juu Sana mwenyewe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atamwimarisha.”' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ataandika katika orodha ya mataifa:' 'Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Huyu alizaliwa Sayuni.”' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Chemchemi zangu zote ziko kwako.”' ¬v = '7' ¬q2 = ¬c = '87' c = '88' cl = 'Zaburi 88' v= = '1' s1 = 'Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada' d = 'Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.' q1 = '' c# = '88' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, Mungu uniokoaye,' 'Ee Bwana, Mungu uniokoaye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimelia mbele zako usiku na mchana.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Maombi yangu yafike mbele zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utegee kilio changu sikio lako.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na maisha yangu yanakaribia kaburi.' EXTRA( fn @ 35 = '+ \\fr 88:3 \\ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.') ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niko kama mtu asiye na nguvu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Nimetengwa pamoja na wafu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama waliochinjwa walalao kaburini,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambao huwakumbuki tena,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika vina vya giza nene.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Umenitenga na rafiki zangu wa karibu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunifanya chukizo kwao.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;' ¬q1 = ¬v = '8' q2 = '' v = '9' v~ = 'nuru ya macho yangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'imefifia kwa ajili ya huzuni.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninakuita kila siku,' 'Ee Bwana, ninakuita kila siku,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninakunyooshea wewe mikono yangu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Je, upendo wako hutangazwa kaburini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uaminifu wako katika Uharibifu?' EXTRA( fn @ 31 = '+ \\fr 88:11 \\ft Yaani \\fqa Abadon\\ft .') ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Lakini ninakulilia wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, unisaidie;' 'Lakini ninakulilia wewe, Ee Bwana, unisaidie;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asubuhi maombi yangu huja mbele zako.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, kwa nini unanikataa' 'Ee Bwana, kwa nini unanikataa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunificha uso wako?' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ghadhabu yako imepita juu yangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hofu zako zimeniangamiza.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zimenimeza kabisa.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.' ¬v = '18' ¬q2 = ¬c = '88' c = '89' cl = 'Zaburi 89' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa' d = 'Utenzi wa Ethani Mwezrahi.' q1 = '' c# = '89' v = '1' v~ = 'Nitaimba juu ya upendo mkuu wa \\nd Bwana\\nd* milele;' 'Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ujulikane kwa vizazi vyote.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimemwapia mtumishi wangu Daudi,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = '‘Nitaimarisha uzao wako milele' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’\u2006”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, mbingu zinayasifu maajabu yako,' 'Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwa kuwa ni nani katika mbingu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anayeweza kulinganishwa na \\nd Bwana\\nd*?' 'anayeweza kulinganishwa na Bwana?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliye kama \\nd Bwana\\nd*?' 'aliye kama Bwana?' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenye Nguvu Zote,' 'Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni nani aliye kama wewe?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wewe ni mwenye nguvu,' 'Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uaminifu wako unakuzunguka.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Wewe unatawala bahari yenye msukosuko;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wewe ulimponda Rahabu' EXTRA( fn @ 21 = '+ \\fr 89:10 \\ft Rahabu hapa ina maana jina la Misri kwa fumbo, yaani mwenye majivuno (lakini sio Rahabu wa Yos 2).') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mmojawapo wa waliochinjwa;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa mkono wako wenye nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliwatawanya adui zako.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliuwekea ulimwengu msingi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'pamoja na vyote vilivyomo.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Uliumba kaskazini na kusini;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mkono wako umejaa uwezo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkono wako una nguvu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mkono wako wa kuume umetukuzwa.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upendo na uaminifu vinakutangulia.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaotembea katika mwanga' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wa uwepo wako, Ee \\nd Bwana\\nd*.' 'wa uwepo wako, Ee Bwana.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanafurahi katika haki yako.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wema wako unatukuza pembe yetu.' EXTRA( fn @ 29 = '+ \\fr 89:17 \\ft Pembe inawakilisha nguvu.') ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Naam, ngao yetu ni mali ya \\nd Bwana\\nd*,' 'Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ulizungumza wakati fulani katika maono,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa watu wako waaminifu, ukasema:' ¬q2 = q1 = '' p~ = '“Nimeweka nguvu kwa shujaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimemwinua kijana miongoni mwa watu.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Nimemwona Daudi, mtumishi wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nimemtia mafuta yangu matakatifu.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kitanga changu kitamtegemeza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakika mkono wangu utamtia nguvu.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Hakuna adui atakayemtoza ushuru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna mtu mwovu atakayemwonea.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Nitawaponda adui zake mbele zake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaangamiza watesi wake.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Nitauweka mkono wake juu ya bahari,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkono wake wa kuume juu ya mito.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Nitadumisha upendo wangu kwake milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na agano langu naye litakuwa imara.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Nitaudumisha uzao wake milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = '“Kama wanae wataacha amri yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wasifuate sheria zangu,' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'kama wakihalifu maagizo yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutoshika amri zangu,' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uovu wao kwa kuwapiga,' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'lakini sitauondoa upendo wangu kwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Mimi sitavunja agano langu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami sitamdanganya Daudi:' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'kwamba uzao wake utaendelea milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;' ¬q2 = ¬v = '36' q1 = '' v = '37' v~ = 'kitaimarishwa milele kama mwezi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'shahidi mwaminifu angani.”' ¬q2 = ¬v = '37' b = '' q1 = '' v = '38' v~ = 'Lakini wewe umemkataa, umemdharau,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.' ¬q2 = ¬v = '38' q1 = '' v = '39' v~ = 'Umelikana agano lako na mtumishi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na umeinajisi taji yake mavumbini.' ¬q2 = ¬v = '39' q1 = '' v = '40' v~ = 'Umebomoa kuta zake zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.' ¬q2 = ¬v = '40' q1 = '' v = '41' v~ = 'Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amekuwa dharau kwa jirani zake.' ¬q2 = ¬v = '41' q1 = '' v = '42' v~ = 'Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umewafanya watesi wake wote washangilie.' ¬q2 = ¬v = '42' q1 = '' v = '43' v~ = 'Umegeuza makali ya upanga wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hukumpa msaada katika vita.' ¬q2 = ¬v = '43' q1 = '' v = '44' v~ = 'Umeikomesha fahari yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukiangusha kiti chake cha enzi.' ¬q2 = ¬v = '44' q1 = '' v = '45' v~ = 'Umezifupisha siku za ujana wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umemfunika kwa vazi la aibu.' ¬q2 = ¬v = '45' b = '' q1 = '' v = '46' v~ = 'Hata lini, Ee \\nd Bwana\\nd*? Utajificha milele?' 'Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?' ¬q2 = ¬v = '46' q1 = '' v = '47' v~ = 'Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!' ¬q2 = ¬v = '47' q1 = '' v = '48' v~ = 'Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi?' EXTRA( fn @ 44 = '+ \\fr 89:48 \\ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.') ¬q2 = ¬v = '48' b = '' q1 = '' v = '49' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni,' 'Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?' ¬q2 = ¬v = '49' q1 = '' v = '50' v~ = 'Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,' ¬q2 = ¬v = '50' q1 = '' v = '51' v~ = 'dhihaka ambazo kwazo adui zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamenisimanga, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'wamenisimanga, Ee Bwana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambazo kwazo wamesimanga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kila hatua ya mpakwa mafuta wako.' ¬q2 = ¬v = '51' b = '' q1 = '' v = '52' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd* milele!' 'Msifuni Bwana milele!' ¬v = '52' ¬q1 = qc = 'Amen na Amen.' ¬c = '89' c = '90' ¬ms1 = ms1 = 'KITABU CHA NNE' mr = '(Zaburi 90–106)' cl = 'Zaburi 90' v= = '1' s1 = 'Umilele Wa Mungu Na Udhaifu Wa Mwanadamu' d = 'Maombi ya Mose, mtu wa Mungu.' q1 = '' c# = '90' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd*, wewe umekuwa makao yetu' 'Bwana, wewe umekuwa makao yetu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika vizazi vyote.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kabla ya kuzaliwa milima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au hujaumba dunia na ulimwengu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wewe ni Mungu tangu milele hata milele.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Huwarudisha watu mavumbini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukisema, “Rudini mavumbini, enyi wanadamu.”' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa maana kwako miaka elfu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kama siku moja iliyokwisha pita,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'au kama kesha la usiku.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Unawatowesha wanadamu katika usingizi wa kifo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao ni kama majani machanga ya asubuhi:' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'ingawa asubuhi yanachipua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ifikapo jioni huwa yamenyauka na kukauka.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Tumeangamizwa kwa hasira yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na tumetishwa kwa ghadhabu yako.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Umeyaweka maovu yetu mbele yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dhambi zetu za siri katika nuru ya uwepo wako.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Tumeishi siku zetu zote chini ya ghadhabu yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tunamaliza miaka yetu kwa kuomboleza.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Siku zetu za kuishi ni miaka sabini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au miaka themanini ikiwa tuna nguvu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'lakini yote ni ya shida na taabu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nazo zapita haraka, nasi twatoweka.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa maana ghadhabu yako ni kubwa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kama hofu tunayopaswa kuwa nayo kwako.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili tujipatie moyo wa hekima.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uwe na huruma! Utakawia hata lini?' 'Ee Bwana, uwe na huruma! Utakawia hata lini?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Wahurumie watumishi wako.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Tushibishe asubuhi kwa upendo wako usiokoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili tuweze kuimba kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kulingana na miaka tuliyotaabika.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utukufu wako kwa watoto wao.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Wema wa \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu uwe juu yetu;' 'Wema wa Bwana Mungu wetu uwe juu yetu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uzithibitishe kazi za mikono yetu:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'naam, uzithibitishe kazi za mikono yetu.' ¬v = '17' ¬q2 = ¬c = '90' c = '91' cl = 'Zaburi 91' v= = '1' s1 = 'Mungu Mlinzi Wetu' q1 = '' c# = '91' v = '1' v~ = 'Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.' EXTRA( fn @ 35 = '+ \\fr 91:1 \\ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.') ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nitasema kumhusu \\nd Bwana\\nd*, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,' 'Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na maradhi ya kuambukiza ya kuua.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Atakufunika kwa manyoya yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'chini ya mbawa zake utapata kimbilio,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Hutaogopa vitisho vya usiku,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala mshale urukao mchana,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'wala maradhi ya kuambukiza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yanayonyemelea gizani,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala tauni iharibuyo adhuhuri.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ijapo watu elfu wataangukia kando yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kumi elfu mkono wako wa kuume,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'lakini haitakukaribia wewe.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Utatazama tu kwa macho yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuona adhabu ya waovu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, \\nd Bwana\\nd* ambaye ni kimbilio langu,' 'naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna maafa yataikaribia hema yako.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakulinde katika njia zako zote.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mikononi mwao watakuinua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Utawakanyaga simba na nyoka wakali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = '\\nd Bwana\\nd* asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;' 'Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Ataniita, nami nitamjibu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitakuwa pamoja naye katika taabu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nitamwokoa na kumheshimu.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kwa siku nyingi nitamshibisha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumwonyesha wokovu wangu.”' ¬v = '16' ¬q2 = ¬c = '91' c = '92' cl = 'Zaburi 92' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Kumsifu Mungu' d = 'Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato.' q1 = '' c# = '92' v = '1' v~ = 'Ni vyema kumshukuru \\nd Bwana\\nd*' 'Ni vyema kumshukuru Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuliimbia jina lako, Ee Uliye Juu Sana,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'kuutangaza upendo wako asubuhi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uaminifu wako wakati wa usiku,' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'kwa zeze yenye nyuzi kumi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa sauti ya kinubi.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, kwa kuwa matendo yako yamenifurahisha,' 'Ee Bwana, kwa kuwa matendo yako yamenifurahisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaziimba kwa shangwe kazi za mikono yako.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, tazama jinsi yalivyo makuu matendo yako,' 'Ee Bwana, tazama jinsi yalivyo makuu matendo yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tazama jinsi yalivyo ya kina mawazo yako!' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mjinga hafahamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpumbavu haelewi,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'ingawa waovu huchipua kama majani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wote watendao mabaya wanastawi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wataangamizwa milele.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Bali wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Bali wewe, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utatukuzwa milele.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, hakika adui zako,' 'Ee Bwana, hakika adui zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakika adui zako wataangamia.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Wote watendao mabaya watatawanyika.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Umeitukuza pembe yangu kama ile ya nyati dume,' EXTRA( fn @ 16 = '+ \\fr 92:10 \\ft Pembe inawakilisha nguvu.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mafuta mazuri yamemiminwa juu yangu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Macho yangu yamewaona adui zangu wakishindwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'masikio yangu yamesikia maangamizi ya adui zangu waovu.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Wenye haki watastawi kama mtende,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'waliopandwa katika nyumba ya \\nd Bwana\\nd*,' 'waliopandwa katika nyumba ya Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watastawi katika nyua za Mungu wetu.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu,' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'wakitangaza, “\\nd Bwana\\nd* ni mkamilifu;' 'wakitangaza, “Bwana ni mkamilifu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni Mwamba wangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na ndani yake hamna uovu.”' ¬v = '15' ¬q2 = ¬c = '92' c = '93' cl = 'Zaburi 93' v= = '1' s1 = 'Mungu Mfalme' q1 = '' c# = '93' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anatawala, amejivika utukufu;' 'Bwana anatawala, amejivika utukufu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* amejivika utukufu' 'Bwana amejivika utukufu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'tena amejivika nguvu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Dunia imewekwa imara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haitaondoshwa.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe umekuwako tangu milele.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Bahari zimeinua, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Bahari zimeinua, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bahari zimeinua sauti zake;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bahari zimeinua sauti za mawimbi yake.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Yeye ni mkuu kuliko ngurumo ya maji makuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mkuu kuliko mawimbi ya bahari:' ¬q2 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* aishiye juu sana ni mkuu.' 'Bwana aishiye juu sana ni mkuu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, sheria zako ni imara;' 'Ee Bwana, sheria zako ni imara;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utakatifu umepamba nyumba yako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'pasipo mwisho.' ¬v = '5' ¬q2 = ¬c = '93' c = '94' cl = 'Zaburi 94' v= = '1' s1 = 'Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki' q1 = '' c# = '94' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ulipizaye kisasi,' 'Ee Bwana, ulipizaye kisasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Mungu ulipizaye kisasi, uangaze sasa.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ee Mhukumu wa dunia, inuka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uwalipize wenye kiburi kama wanavyostahili.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hata lini, waovu, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Hata lini, waovu, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata lini waovu watashangilia?' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wanamimina maneno ya kiburi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watenda mabaya wote wamejaa majivuno.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wanawaponda watu wako,' 'Ee Bwana, wanawaponda watu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanawaonea urithi wako.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wanamchinja mjane na mgeni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaua yatima.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nao husema, “\\nd Bwana\\nd* haoni,' 'Nao husema, “Bwana haoni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wa Yakobo hafahamu.”' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Sikizeni, enyi wajinga miongoni mwa watu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'enyi wapumbavu, lini mtakuwa na hekima?' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Je, aliyeweka sikio asisikie?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Aliyeumba jicho asione?' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Je, anayeadhibisha mataifa asiadhibu?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, awafundishaye wanadamu asiwe na maarifa?' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anajua mawazo ya mwanadamu;' 'Bwana anajua mawazo ya mwanadamu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anajua kwamba ni ubatili.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, heri mtu anayeadhibishwa na wewe,' 'Ee Bwana, heri mtu anayeadhibishwa na wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtu unayemfundisha kwa sheria yako,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'unampa utulivu siku za shida,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya mwovu.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* hatawakataa watu wake,' 'Kwa kuwa Bwana hatawakataa watu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatauacha urithi wake.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Hukumu itasimamishwa tena kwenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wote walio na mioyo minyofu wataifuata.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ni nani atakayeinuka dhidi ya mwovu kwa ajili yangu?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani atakayenikinga dhidi ya watenda maovu?' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Kama \\nd Bwana\\nd* asingelinisaidia upesi,' 'Kama Bwana asingelinisaidia upesi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ningelikuwa ninaishi katika ukimya wa kifo.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Niliposema, “Mguu wangu unateleza,”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, upendo wako ulinishikilia.' 'Ee Bwana, upendo wako ulinishikilia.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Je, kiti cha utawala wa udhalimu kitajiunga nawe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ule utawala uletao taabu kutokana na sheria zake?' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Huungana kuwashambulia wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwahukumu kufa wasio na hatia.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Lakini \\nd Bwana\\nd* amekuwa ngome yangu,' 'Lakini Bwana amekuwa ngome yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na Mungu wangu amekuwa mwamba ninaoukimbilia.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Yeye atawalipa kwa ajili ya dhambi zao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na atawaangamiza kwa ajili ya maovu yao;' ¬q2 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* Mungu wetu atawaangamiza.' 'Bwana Mungu wetu atawaangamiza.' ¬v = '23' ¬q2 = ¬c = '94' c = '95' cl = 'Zaburi 95' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Kumsifu Mungu' q1 = '' c# = '95' v = '1' v~ = 'Njooni, tumwimbie \\nd Bwana\\nd* kwa furaha;' 'Njooni, tumwimbie Bwana kwa furaha;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tumfanyie kelele za shangwe' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Mwamba wa wokovu wetu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Tuje mbele zake kwa shukrani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tumtukuze kwa vinanda na nyimbo.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* ni Mungu mkuu,' 'Kwa kuwa Bwana ni Mungu mkuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mfalme mkuu juu ya miungu yote.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mkononi mwake mna vilindi vya dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na vilele vya milima ni mali yake.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Bahari ni yake, kwani ndiye aliifanya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mikono yake iliumba nchi kavu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Njooni, tusujudu, tumwabudu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tupige magoti mbele za \\nd Bwana\\nd* Muumba wetu,' 'tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'kwa maana yeye ndiye Mungu wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sisi ni watu wa malisho yake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kondoo chini ya utunzaji wake.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Kama mkiisikia sauti yake leo,' ¬q1 = ¬v = '7' q2 = '' v = '8' v~ = 'msiifanye mioyo yenu migumu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kama mlivyofanya kule Meriba,' EXTRA( fn @ 29 = '+ \\fr 95:8 \\ft Meriba maana yake ni Kugombana.') ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama mlivyofanya siku ile' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kule Masa jangwani,' EXTRA( fn @ 9 = '+ \\fr 95:8 \\ft Masa maana yake ni Kujaribiwa.') ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikasema, “Hawa ni taifa ambalo mioyo yao imepotoka,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nao hawajazijua njia zangu.”' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Kamwe hawataingia rahani mwangu.”' ¬v = '11' ¬q2 = ¬c = '95' c = '96' cl = 'Zaburi 96' v= = '1' s1 = 'Mungu Mfalme Mkuu' r = '(1 Nyakati 16:23-33)' q1 = '' c# = '96' v = '1' v~ = 'Mwimbieni \\nd Bwana\\nd* wimbo mpya;' 'Mwimbieni Bwana wimbo mpya;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwimbieni \\nd Bwana\\nd* dunia yote.' 'mwimbieni Bwana dunia yote.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mwimbieni \\nd Bwana\\nd*, lisifuni jina lake;' 'Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;' 'Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini \\nd Bwana\\nd* aliziumba mbingu.' 'lakini Bwana aliziumba mbingu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Fahari na enzi viko mbele yake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mpeni \\nd Bwana\\nd*, enyi jamaa za mataifa,' 'Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpeni \\nd Bwana\\nd* utukufu na nguvu.' 'mpeni Bwana utukufu na nguvu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mpeni \\nd Bwana\\nd* utukufu unaostahili jina lake;' 'Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'leteni sadaka na mje katika nyua zake.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mwabuduni \\nd Bwana\\nd* katika uzuri wa utakatifu wake;' 'Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dunia yote na itetemeke mbele zake.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Katikati ya mataifa semeni, “\\nd Bwana\\nd* anatawala.”' 'Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atawahukumu watu kwa uadilifu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'mashamba na yashangilie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;' ¬q1 = ¬v = '12' q2 = '' v = '13' v~ = 'itaimba mbele za \\nd Bwana\\nd* kwa maana anakuja,' 'itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'anakuja kuihukumu dunia.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ataihukumu dunia kwa haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mataifa katika kweli yake.' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '96' c = '97' cl = 'Zaburi 97' v= = '1' s1 = 'Mungu Mtawala Mkuu' q1 = '' c# = '97' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anatawala, nchi na ifurahi,' 'Bwana anatawala, nchi na ifurahi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'visiwa vyote vishangilie.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mawingu na giza nene vinamzunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Moto hutangulia mbele zake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na huteketeza adui zake pande zote.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Umeme wake wa radi humulika dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nchi huona na kutetemeka.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Milima huyeyuka kama nta mbele za \\nd Bwana\\nd*,' 'Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele za Bwana wa dunia yote.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mbingu zinatangaza haki yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mataifa yote huona utukufu wake.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wote waabuduo sanamu waaibishwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wajisifiao sanamu:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mwabuduni yeye, enyi miungu yote!' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Sayuni husikia na kushangilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vijiji vya Yuda vinafurahi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya hukumu zako, Ee \\nd Bwana\\nd*.' 'kwa sababu ya hukumu zako, Ee Bwana.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kwa kuwa wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;' 'Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umetukuka sana juu ya miungu yote.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wale wanaompenda \\nd Bwana\\nd* na wauchukie uovu,' 'Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Nuru huangaza wenye haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Furahini katika \\nd Bwana\\nd*, ninyi mlio wenye haki,' 'Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lisifuni jina lake takatifu.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '97' c = '98' cl = 'Zaburi 98' v= = '1' s1 = 'Mungu Mtawala Wa Dunia' d = 'Zaburi.' q1 = '' c# = '98' v = '1' v~ = 'Mwimbieni \\nd Bwana\\nd* wimbo mpya,' 'Mwimbieni Bwana wimbo mpya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana ametenda mambo ya ajabu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umemfanyia wokovu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ameufanya wokovu wake ujulikane' 'Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ameukumbuka upendo wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'miisho yote ya dunia imeuona' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wokovu wa Mungu wetu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mpigieni \\nd Bwana\\nd* kelele za shangwe, dunia yote,' 'Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'mwimbieni \\nd Bwana\\nd* kwa kinubi,' 'mwimbieni Bwana kwa kinubi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kinubi na sauti za kuimba,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'shangilieni kwa furaha mbele za \\nd Bwana\\nd*, aliye Mfalme.' 'shangilieni kwa furaha mbele za Bwana, aliye Mfalme.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dunia na wote wakaao ndani yake.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mito na ipige makofi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'milima na iimbe pamoja kwa furaha,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'vyote na viimbe mbele za \\nd Bwana\\nd*,' 'vyote na viimbe mbele za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana yuaja kuhukumu dunia.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Atahukumu dunia kwa haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mataifa kwa haki.' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '98' c = '99' cl = 'Zaburi 99' v= = '1' s1 = 'Mungu Mfalme Mkuu' q1 = '' c# = '99' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anatawala,' 'Bwana anatawala,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mataifa na yatetemeke;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dunia na itikisike.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mkuu katika Sayuni;' 'Bwana ni mkuu katika Sayuni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ametukuzwa juu ya mataifa yote.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni mtakatifu!' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe umethibitisha adili;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'katika Yakobo umefanya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yaliyo haki na sawa.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mtukuzeni \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu,' 'Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yeye ni mtakatifu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'walimwita \\nd Bwana\\nd*,' 'walimwita Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye aliwajibu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walizishika sheria zake na amri alizowapa.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wetu,' 'Ee Bwana, wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndiwe uliyewajibu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mtukuzeni \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu,' 'Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa maana \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu ni mtakatifu.' 'kwa maana Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '99' c = '100' cl = 'Zaburi 100' v= = '1' s1 = 'Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu' d = 'Zaburi ya shukrani.' q1 = '' c# = '100' v = '1' v~ = 'Mpigieni \\nd Bwana\\nd* kelele za shangwe, dunia yote.' 'Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.' ¬v = '1' ¬q1 = q2 = '' v = '2' v~ = 'Mwabuduni \\nd Bwana\\nd* kwa furaha;' 'Mwabuduni Bwana kwa furaha;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Jueni kwamba \\nd Bwana\\nd* ndiye Mungu.' 'Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'sisi tu watu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kondoo wa malisho yake.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ingieni malangoni mwake kwa shukrani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na katika nyua zake kwa kusifu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa maana \\nd Bwana\\nd* ni mwema' 'Kwa maana Bwana ni mwema' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na upendo wake wadumu milele;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.' ¬v = '5' ¬q2 = ¬c = '100' c = '101' cl = 'Zaburi 101' v= = '1' s1 = 'Ahadi Ya Kuishi Kwa Uadilifu Na Kwa Haki' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '101' v = '1' v~ = 'Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwako wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, nitaimba sifa.' 'kwako wewe, Ee Bwana, nitaimba sifa.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utakuja kwangu lini?' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Nitatembea nyumbani mwangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa moyo usio na lawama.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Sitaweka mbele ya macho yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kitu kiovu.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawatashikamana nami.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitajitenga na kila ubaya.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huyo nitamnyamazisha;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huyo sitamvumilia.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili waweze kuishi pamoja nami;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'yeye ambaye moyo wake hauna lawama' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atanitumikia.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mdanganyifu hatakaa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nyumbani mwangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'yeye asemaye kwa uongo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatasimama mbele yangu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kila asubuhi nitawanyamazisha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waovu wote katika nchi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mji wa \\nd Bwana\\nd*.' 'kutoka mji wa Bwana.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '101' c = '102' cl = 'Zaburi 102' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu' d = 'Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa Bwana.' q1 = '' c# = '102' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, usikie maombi yangu,' 'Ee Bwana, usikie maombi yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Usinifiche uso wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapokuwa katika shida.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Unitegee sikio lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapoita, unijibu kwa upesi.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninasahau kula chakula changu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimebakia ngozi na mifupa.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nimekuwa kama bundi wa jangwani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama bundi kwenye magofu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nilalapo sipati usingizi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimekuwa kama ndege mpweke' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwenye paa la nyumba.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ninakula majivu kama chakula changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nimechanganya kinywaji changu na machozi' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'kwa sababu ya ghadhabu yako kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana umeniinua na kunitupa kando.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Siku zangu ni kama kivuli cha jioni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninanyauka kama jani.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Lakini wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, umeketi katika kiti chako cha enzi milele,' 'Lakini wewe, Ee Bwana, umeketi katika kiti chako cha enzi milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Utainuka na kuihurumia Sayuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakati uliokubalika umewadia.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vumbi lake lenyewe hulionea huruma.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mataifa wataogopa jina la \\nd Bwana\\nd*,' 'Mataifa wataogopa jina la Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wafalme wote wa dunia watauheshimu utukufu wako.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kwa maana \\nd Bwana\\nd* ataijenga tena Sayuni' 'Kwa maana Bwana ataijenga tena Sayuni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutokea katika utukufu wake.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Ataitikia maombi ya mtu mkiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hatadharau hoja yao.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu \\nd Bwana\\nd*:' 'ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu Bwana:' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = '“\\nd Bwana\\nd* alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu,' '“Bwana alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mbinguni alitazama dunia,' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kwa hiyo jina la \\nd Bwana\\nd* latangazwa huko Sayuni' 'Kwa hiyo jina la Bwana latangazwa huko Sayuni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sifa zake katika Yerusalemu,' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'wakati mataifa na falme zitakapokusanyika' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili kumwabudu \\nd Bwana\\nd*.' 'ili kumwabudu Bwana.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Katika kuishi kwangu alivunja nguvu zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akafupisha siku zangu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Ndipo niliposema:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Ee Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'miaka yako inaendelea vizazi vyote.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Hapo mwanzo uliweka misingi ya dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Hizi zitatoweka, lakini wewe utadumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zote zitachakaa kama vazi.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Utazibadilisha kama nguo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo zitaondoshwa.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Lakini wewe, U yeye yule,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo miaka yako haikomi kamwe.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Watoto wa watumishi wako wataishi mbele zako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wazao wao wataimarishwa mbele zako.”' ¬v = '28' ¬q2 = ¬c = '102' c = '103' cl = 'Zaburi 103' v= = '1' s1 = 'Upendo Wa Mungu' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '103' v = '1' v~ = 'Ee nafsi yangu, umhimidi \\nd Bwana\\nd*.' 'Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Vyote vilivyomo ndani yangu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'vilihimidi jina lake takatifu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ee nafsi yangu, umhimidi \\nd Bwana\\nd*,' 'Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usisahau wema wake wote,' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'akusamehe dhambi zako zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akuponya magonjwa yako yote,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'aukomboa uhai wako na kaburi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akuvika taji ya upendo na huruma,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = '\\nd Bwana\\nd* hutenda haki,' 'Bwana hutenda haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Alijulisha Mose njia zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wana wa Israeli matendo yake.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwingi wa huruma na mwenye neema;' 'Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Yeye hatalaumu siku zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala haweki hasira yake milele,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo \\nd Bwana\\nd* anavyowahurumia wale wanaomcha;' 'ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anachanua kama ua la shambani;' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mahali pake hapalikumbuki tena.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Lakini kutoka milele hata milele' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upendo wa \\nd Bwana\\nd* uko kwa wale wamchao,' 'upendo wa Bwana uko kwa wale wamchao,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'kwa wale walishikao agano lake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukumbuka kuyatii mausia yake.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,' 'Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ufalme wake unatawala juu ya vyote.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mhimidini \\nd Bwana\\nd*, enyi malaika zake,' 'Mhimidini Bwana, enyi malaika zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ninyi mnaotii neno lake.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Mhimidini \\nd Bwana\\nd*, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,' 'Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mhimidini \\nd Bwana\\nd*, kazi zake zote' 'Mhimidini Bwana, kazi zake zote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kila mahali katika milki yake.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Ee nafsi yangu, umhimidi \\nd Bwana\\nd*.' 'Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.' ¬v = '22' ¬q1 = ¬c = '103' c = '104' cl = 'Zaburi 104' v= = '1' s1 = 'Kumsifu Muumba' q1 = '' c# = '104' v = '1' v~ = 'Ee nafsi yangu, umhimidi \\nd Bwana\\nd*.' 'Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu wangu, wewe ni mkuu sana,' 'Ee Bwana Mungu wangu, wewe ni mkuu sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umejivika utukufu na enzi.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amezitandaza mbingu kama hema' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji.' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Huyafanya mawingu kuwa gari lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hupanda kwenye mbawa za upepo.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Huzifanya pepo kuwa wajumbe wake,' EXTRA( fn @ 27 = '+ \\fr 104:4 \\ft Au: malaika.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miali ya moto watumishi wake.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ameiweka dunia kwenye misingi yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haiwezi kamwe kuondoshwa.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maji yalisimama juu ya milima.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sauti ya radi yako yakatoroka,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'yakapanda milima, yakateremka mabondeni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi mahali pale ulipoyakusudia.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kamwe hayataifunika dunia tena.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hutiririka kati ya milima.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Huwapa maji wanyama wote wa kondeni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'punda-mwitu huzima kiu yao.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huimba katikati ya matawi.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Huinyeshea milima kutoka orofa zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Huyafanya majani ya mifugo yaote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mimea kwa watu kulima,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wajipatie chakula kutoka ardhini:' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na mkate wa kutia mwili nguvu.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Miti ya \\nd Bwana\\nd* inanyeshewa vizuri,' 'Miti ya Bwana inanyeshewa vizuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Humo ndege hufanya viota vyao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'korongo ana nyumba yake kwenye msunobari.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Milima mirefu ni makao ya mbuzi-mwitu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'majabali ni kimbilio la pelele.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Mwezi hugawanya majira,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na jua hutambua wakati wake wa kutua.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Unaleta giza, kunakuwa usiku,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanyama wote wa mwituni huzurura.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Simba hunguruma kwa mawindo yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Jua huchomoza, nao huondoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hurudi na kulala katika mapango yao.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kisha mwanadamu huenda kazini mwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika kazi yake mpaka jioni.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, jinsi matendo yako yalivyo mengi!' 'Ee Bwana, jinsi matendo yako yalivyo mengi!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa hekima ulizifanya zote,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'dunia imejaa viumbe vyako.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Pale kuna bahari, kubwa na yenye nafasi tele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'imejaa viumbe visivyo na idadi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Huko meli huenda na kurudi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pia Lewiathani, uliyemuumba acheze ndani yake.' EXTRA( fn @ 15 = '+ \\fr 104:26 \\ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa.') ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Hawa wote wanakutazamia wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uwape chakula chao kwa wakati wake.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Wakati unapowapa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanakikusanya,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'unapofumbua mkono wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wao wanashibishwa mema.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Unapoficha uso wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanapata hofu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'unapoondoa pumzi yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanakufa na kurudi mavumbini.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Unapopeleka Roho wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaumbwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nawe huufanya upya uso wa dunia.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' q1 = '' v = '31' v~ = 'Utukufu wa \\nd Bwana\\nd* na udumu milele,' 'Utukufu wa Bwana na udumu milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* na azifurahie kazi zake:' 'Bwana na azifurahie kazi zake:' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aigusaye milima, nayo ikatoa moshi.' ¬q2 = ¬v = '32' b = '' q1 = '' v = '33' v~ = 'Nitamwimbia \\nd Bwana\\nd* maisha yangu yote;' 'Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapofurahi katika \\nd Bwana\\nd*.' 'ninapofurahi katika Bwana.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na waovu wasiwepo tena.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Ee nafsi yangu, msifu \\nd Bwana\\nd*.' 'Ee nafsi yangu, msifu Bwana.' ¬q1 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' EXTRA( fn @ 22 = '+ \\fr 104:35 \\ft Msifuni \\+nd Bwana\\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.') ¬v = '35' ¬q1 = ¬c = '104' c = '105' cl = 'Zaburi 105' v= = '1' s1 = 'Uaminifu Wa Mungu Kwa Israeli' r = '(1 Nyakati 16:8-22)' q1 = '' c# = '105' v = '1' v~ = 'Mshukuruni \\nd Bwana\\nd*, liitieni jina lake,' 'Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waambieni matendo yake yote ya ajabu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Lishangilieni jina lake takatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mioyo ya wale wamtafutao \\nd Bwana\\nd* na ifurahi.' 'mioyo ya wale wamtafutao Bwana na ifurahi.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mtafuteni \\nd Bwana\\nd* na nguvu zake,' 'Mtafuteni Bwana na nguvu zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utafuteni uso wake siku zote.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miujiza yake na hukumu alizozitamka,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'enyi wazao wa Abrahamu mtumishi wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'enyi wana wa Yakobo, wateule wake.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Yeye ndiye \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu,' 'Yeye ndiye Bwana Mungu wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hukumu zake zimo duniani pote.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Hulikumbuka agano lake milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'agano alilolifanya na Abrahamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kiapo alichomwapia Isaki.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa Israeli liwe agano la milele:' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = '“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwa sehemu utakayoirithi.”' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Walipokuwa wachache kwa idadi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wachache sana na wageni ndani yake,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = '“Msiwaguse niliowatia mafuta;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msiwadhuru manabii wangu.”' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Akaiita njaa juu ya nchi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuharibu chakula chao chote,' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'naye akatuma mtu mbele yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Walichubua miguu yake kwa minyororo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'shingo yake ilifungwa kwa chuma,' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi neno la \\nd Bwana\\nd* lilipomthibitisha.' 'hadi neno la Bwana lilipomthibitisha.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mfalme alituma watu wakamfungua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtawala wa watu alimwachia huru.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Alimfanya mkuu wa nyumba yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtawala juu ya vyote alivyokuwa navyo,' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwafundisha wazee wake hekima.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kisha Israeli akaingia Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yakobo akaishi kama mgeni katika nchi ya Hamu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = '\\nd Bwana\\nd* aliwafanya watu wake kuzaana sana,' 'Bwana aliwafanya watu wake kuzaana sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akawafanya kuwa wengi sana kuliko adui zao,' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'ndiye aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakatenda hila dhidi ya watumishi wake.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Akamtuma Mose mtumishi wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pamoja na Aroni, aliyemchagua.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Walifanya ishara zake za ajabu miongoni mwao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miujiza yake katika nchi ya Hamu.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Alituma giza na nchi ikajaa giza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Aligeuza maji yao kuwa damu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ikasababisha samaki wao kufa.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Nchi yao ilijaa vyura tele, ambao waliingia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi kwenye vyumba vya kulala vya watawala wao.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Alisema, yakaja makundi ya mainzi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na viroboto katika nchi yao yote.' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Alibadilisha mvua yao ikawa mvua ya mawe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yenye umeme wa radi nchini yao yote,' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'akaharibu mizabibu yao na miti ya tini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akaangamiza miti ya nchi yao.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Alisema, nzige wakaja,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tunutu wasio na idadi,' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'wakala kila jani katika nchi yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakala mazao ya ardhi yao.' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matunda ya kwanza ya ujana wao wote.' ¬q2 = ¬v = '36' b = '' q1 = '' v = '37' v~ = 'Akawatoa Israeli katika nchi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakiwa na fedha na dhahabu nyingi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wala hakuna hata mmoja' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka kabila zao aliyejikwaa.' ¬q2 = ¬v = '37' q1 = '' v = '38' v~ = 'Misri ilifurahi walipoondoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu hofu ya Israeli ilikuwa imewaangukia.' ¬q2 = ¬v = '38' q1 = '' v = '39' v~ = 'Alitandaza wingu kama kifuniko,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na moto kuwamulikia usiku.' ¬q2 = ¬v = '39' q1 = '' v = '40' v~ = 'Waliomba, naye akawaletea kware,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.' ¬q2 = ¬v = '40' q1 = '' v = '41' v~ = 'Alipasua mwamba, maji yakabubujika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yakatiririka jangwani kama mto.' ¬q2 = ¬v = '41' b = '' q1 = '' v = '42' v~ = 'Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliyompa Abrahamu mtumishi wake.' ¬q2 = ¬v = '42' q1 = '' v = '43' v~ = 'Aliwatoa watu wake kwa furaha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wateule wake kwa kelele za shangwe,' ¬q2 = ¬v = '43' q1 = '' v = '44' v~ = 'akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wa mali wengine walikuwa wameitaabikia:' ¬q2 = ¬v = '44' q1 = '' v = '45' v~ = 'alifanya haya ili wayashike mausia yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuzitii sheria zake.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' EXTRA( fn @ 22 = '+ \\fr 105:45 \\ft Msifuni \\+nd Bwana\\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.') ¬v = '45' ¬q1 = ¬c = '105' c = '106' cl = 'Zaburi 106' v= = '1' s1 = 'Wema Wa \\nd Bwana\\nd* Kwa Watu Wake' 'Wema Wa Bwana Kwa Watu Wake' q1 = '' c# = '106' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Mshukuruni \\nd Bwana\\nd*, kwa kuwa ni mwema;' 'Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upendo wake wadumu milele.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya \\nd Bwana\\nd*' 'Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kutangaza kikamilifu sifa zake?' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Heri wale wanaodumisha haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao daima wanafanya yaliyo mema.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, unikumbuke unapowatendea mema watu wako,' 'Ee Bwana, unikumbuke unapowatendea mema watu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uwe msaada wangu unapowaokoa,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kuungana na urithi wako katika kukusifu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tumekosa na tumetenda uovu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wakati baba zetu walipokuwa Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawakuzingatia maajabu yako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Aliwaokoa mikononi mwa adui;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Maji yaliwafunika adui zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakunusurika hata mmoja.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ndipo walipoamini ahadi zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wakaimba sifa zake.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Lakini mara walisahau aliyowatendea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hawakungojea shauri lake.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Jangwani walitawaliwa na tamaa zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walimjaribu Mungu nyikani.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kambini walimwonea wivu Mose,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ikawazika Abiramu na kundi lake.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwali wa moto uliwateketeza waovu.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Huko Horebu walitengeneza ndama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Waliubadilisha Utukufu wao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Walimsahau Mungu aliyewaokoa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'miujiza katika nchi ya Hamu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama Mose mteule wake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'asingesimama kati yao na Mungu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Kisha waliidharau ile nchi nzuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawakuiamini ahadi yake.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Walinungʼunika ndani ya mahema yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hawakumtii \\nd Bwana\\nd*.' 'wala hawakumtii Bwana.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba atawafanya waanguke jangwani,' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwatawanya katika nchi zote.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Walijifunga nira na Baali wa Peori,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Waliichochea hasira ya \\nd Bwana\\nd*,' 'Waliichochea hasira ya Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakamkasirisha kwa matendo yao maovu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nayo tauni ikazuka katikati yao.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo tauni ikazuiliwa.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Hili likahesabiwa kwake haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = 'Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha \\nd Bwana\\nd*,' 'Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'janga likampata Mose kwa sababu yao;' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'kwa maana walimwasi Roho wa Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.' ¬q2 = ¬v = '33' b = '' q1 = '' v = '34' v~ = 'Hawakuyaangamiza yale mataifa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama \\nd Bwana\\nd* alivyowaagiza,' 'kama Bwana alivyowaagiza,' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'bali walijichanganya na mataifa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wakazikubali desturi zao.' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'Waliabudu sanamu zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zikawa mtego kwao.' ¬q2 = ¬v = '36' q1 = '' v = '37' v~ = 'Wakawatoa wana wao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na binti zao dhabihu kwa mashetani.' ¬q2 = ¬v = '37' q1 = '' v = '38' v~ = 'Walimwaga damu isiyo na hatia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'damu za wana wao na binti zao,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.' ¬q2 = ¬v = '38' q1 = '' v = '39' v~ = 'Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.' ¬q2 = ¬v = '39' b = '' q1 = '' v = '40' v~ = 'Kwa hiyo \\nd Bwana\\nd* akawakasirikia watu wake' 'Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akauchukia sana urithi wake.' ¬q2 = ¬v = '40' q1 = '' v = '41' v~ = 'Akawakabidhi kwa mataifa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na adui zao wakawatawala.' ¬q2 = ¬v = '41' q1 = '' v = '42' v~ = 'Adui zao wakawaonea' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwatia chini ya mamlaka yao.' ¬q2 = ¬v = '42' q1 = '' v = '43' v~ = 'Mara nyingi aliwaokoa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini walikuwa wamezama kwenye uasi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nao wakajiharibu katika dhambi zao.' ¬q2 = ¬v = '43' b = '' q1 = '' v = '44' v~ = 'Lakini akaangalia mateso yao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati aliposikia kilio chao;' ¬q2 = ¬v = '44' q1 = '' v = '45' v~ = 'kwa ajili yao akakumbuka agano lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.' ¬q2 = ¬v = '45' q1 = '' v = '46' v~ = 'Akawafanya wahurumiwe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wote waliowashikilia mateka.' ¬q2 = ¬v = '46' b = '' q1 = '' v = '47' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu, tuokoe.' 'Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Tukusanye tena kutoka kwa mataifa,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kushangilia katika sifa zako.' ¬q2 = ¬v = '47' b = '' q1 = '' v = '48' v~ = 'Atukuzwe \\nd Bwana\\nd*, Mungu wa Israeli,' 'Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tangu milele na hata milele.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Watu wote na waseme, “Amen!”' ¬q1 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '48' ¬c = '106' c = '107' ¬q1 = ¬ms1 = ms1 = 'KITABU CHA TANO' mr = '(Zaburi 107–150)' cl = 'Zaburi 107' v= = '1' s1 = 'Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake' q1 = '' c# = '107' v = '1' v~ = 'Mshukuruni \\nd Bwana\\nd*, kwa kuwa yeye ni mwema,' 'Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upendo wake wadumu milele.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Waliokombolewa wa \\nd Bwana\\nd* na waseme hivi,' 'Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mashariki na magharibi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kutoka kaskazini na kusini.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Baadhi yao walitangatanga jangwani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Walikuwa na njaa na kiu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nafsi zao zikadhoofika.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ndipo walipomlilia \\nd Bwana\\nd* katika shida yao,' 'Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akawaokoa kutoka taabu yao.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Akawaongoza kwa njia iliyo sawa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi mji ambao wangeweza kuishi.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Basi na wamshukuru \\nd Bwana\\nd* kwa upendo wake usiokoma,' 'Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wafungwa wakiteseka katika minyororo,' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'kwa sababu walikuwa wameasi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dhidi ya maneno ya Mungu' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na kudharau shauri' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'la Aliye Juu Sana.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Aliwatumikisha kwa kazi ngumu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ndipo walipomlilia \\nd Bwana\\nd* katika shida yao,' 'Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akawaokoa kutoka taabu yao.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Akawatoa katika giza na huzuni kuu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akavunja minyororo yao.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Basi na wamshukuru \\nd Bwana\\nd* kwa upendo wake usiokoma,' 'Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukata mapingo ya chuma.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Wakachukia kabisa vyakula vyote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakakaribia malango ya mauti.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ndipo walipomlilia \\nd Bwana\\nd* katika shida yao,' 'Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akawaokoa kutoka taabu yao.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Akalituma neno lake na kuwaponya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akawaokoa kutoka maangamizo yao.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Basi na wamshukuru \\nd Bwana\\nd* kwa upendo wake usiokoma,' 'Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Na watoe dhabihu za kushukuru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Wengine walisafiri baharini kwa meli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Waliziona kazi za \\nd Bwana\\nd*,' 'Waliziona kazi za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matendo yake ya ajabu kilindini.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Kwa maana alisema na kuamsha tufani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'iliyoinua mawimbi juu.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ujanja wao ukafikia ukomo.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Ndipo walipomlilia \\nd Bwana\\nd* katika shida yao,' 'Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akawatoa kwenye taabu yao.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mawimbi ya bahari yakatulia.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Walifurahi ilipokuwa shwari,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Basi na wamshukuru \\nd Bwana\\nd* kwa upendo wake usiokoma,' 'Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wamsifu katika baraza la wazee.' ¬q2 = ¬v = '32' b = '' q1 = '' v = '33' v~ = 'Yeye aligeuza mito kuwa jangwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'aliwaleta wenye njaa wakaishi humo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wakajenga mji wangeweza kuishi.' ¬q2 = ¬v = '36' q1 = '' v = '37' v~ = 'Walilima mashamba na kupanda mizabibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo ikazaa matunda mengi,' ¬q2 = ¬v = '37' q1 = '' v = '38' v~ = 'Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.' ¬q2 = ¬v = '38' b = '' q1 = '' v = '39' v~ = 'Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuonewa, maafa na huzuni.' ¬q2 = ¬v = '39' q1 = '' v = '40' v~ = 'Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.' ¬q2 = ¬v = '40' q1 = '' v = '41' v~ = 'Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.' ¬q2 = ¬v = '41' q1 = '' v = '42' v~ = 'Wanyofu wataona na kufurahi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.' ¬q2 = ¬v = '42' b = '' q1 = '' v = '43' v~ = 'Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na atafakari upendo mkuu wa \\nd Bwana\\nd*.' 'na atafakari upendo mkuu wa Bwana.' ¬v = '43' ¬q2 = ¬c = '107' c = '108' cl = 'Zaburi 108' s1 = 'Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui' r = '(Zaburi 57:7-11; 60:5-12)' d = 'Wimbo. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '108' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Amka, kinubi na zeze!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Nitayaamsha mapambazuko.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nitakusifu wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, katikati ya mataifa;' 'Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uaminifu wako unazifikia anga.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utukufu wako na uenee duniani kote.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili wale uwapendao wapate kuokolewa.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mungu amenena kutoka patakatifu pake:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kulipima Bonde la Sukothi.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Gileadi ni yangu, Manase ni yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Efraimu ni kofia yangu ya chuma,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Moabu ni sinia langu la kunawia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya Edomu natupa kiatu changu;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hutoki tena na majeshi yetu?' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Tuletee msaada dhidi ya adui,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atawaponda adui zetu.' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '108' c = '109' cl = 'Zaburi 109' v= = '1' s1 = 'Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '109' v = '1' v~ = 'Ee Mungu, ambaye ninakusifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiwe kimya,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'kwa maana watu waovu na wadanganyifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamefungua vinywa vyao dhidi yangu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wasema dhidi yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ndimi za udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wamenizunguka kwa maneno ya chuki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wananishambulia bila sababu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mimi ninawaombea.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wananilipiza mabaya kwa mema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'chuki badala ya urafiki wangu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Agiza mtu mwovu ampinge,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mshtaki asimame mkono wake wa kuume.' EXTRA( fn @ 7 = '+ \\fr 109:6 \\ft Mshtaki hapa maana yake ni Shetani.') ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Anapohukumiwa, apatikane na hatia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo maombi yake yamhukumu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Siku zake za kuishi na ziwe chache,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nafasi yake ya uongozi ichukuliwe na mtu mwingine.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Watoto wake na waachwe yatima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mke wake na awe mjane.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Watoto wake na watangetange wakiomba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala wa kuwahurumia yatima wake.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Uzao wake na ukatiliwe mbali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Maovu ya baba zake na yakumbukwe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele za \\nd Bwana\\nd*,' 'mbele za Bwana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'dhambi ya mama yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'isifutwe kamwe.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Dhambi zao na zibaki daima mbele za \\nd Bwana\\nd*,' 'Dhambi zao na zibaki daima mbele za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili apate kukatilia mbali kumbukumbu lao duniani.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kwa maana kamwe hakuweza kutenda wema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali alimfukuza mnyonge na mhitaji,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'aliwafanyia jeuri wahitaji na waliovunjika moyo.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Alipenda kulaani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo laana ikampata;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hakupenda kubariki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Alivaa kulaani kama vazi lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwenye mifupa yake kama mafuta.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Na iwe kama joho alilozungushiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mshipi aliofungiwa daima.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Haya na yawe malipo ya \\nd Bwana\\nd* kwa washtaki wangu,' 'Haya na yawe malipo ya Bwana kwa washtaki wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wale wanaoninenea mabaya.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Lakini wewe, Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenyezi,' 'Lakini wewe, Ee Bwana Mwenyezi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unitendee wema kwa ajili ya jina lako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'uniokoe kwa wema wa pendo lako.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Maana mimi ni maskini na mhitaji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Ninafifia kama kivuli cha jioni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimerushwa-rushwa kama nzige.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Magoti yangu yamelegea kwa kufunga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwili wangu umedhoofika na kukonda.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Nimekuwa kitu cha kudharauliwa kwa washtaki wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanionapo, hutikisa vichwa vyao.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, Mungu wangu nisaidie,' 'Ee Bwana, Mungu wangu nisaidie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niokoe sawasawa na upendo wako.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, umetenda hili.' 'kwamba wewe, Ee Bwana, umetenda hili.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watakaposhambulia wataaibishwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'lakini mtumishi wako atashangilia.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Washtaki wangu watavikwa fedheha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufunikwa na aibu kama joho.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Kwa kinywa changu nitamtukuza sana \\nd Bwana\\nd*,' 'Kwa kinywa changu nitamtukuza sana Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika umati mkubwa nitamsifu.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.' ¬v = '31' ¬q2 = ¬c = '109' c = '110' cl = 'Zaburi 110' v= = '1' s1 = '\\nd Bwana\\nd* Na Mfalme Wake Mteule' 'Bwana Na Mfalme Wake Mteule' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '110' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* amwambia Bwana wangu:' 'Bwana amwambia Bwana wangu:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Keti mkono wangu wa kuume,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mpaka nitakapowafanya adui zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni;' 'Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utatawala katikati ya adui zako.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Askari wako watajitolea kwa hiari' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika siku yako ya vita.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ukiwa umevikwa fahari takatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka tumbo la mapambazuko' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'utapokea umande wa ujana wako.' EXTRA( fn @ 30 = '+ \\fr 110:3 \\ft Au: vijana wako watakujia kama umande.') ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ameapa,' 'Bwana ameapa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hatabadilisha mawazo yake:' ¬q2 = q2 = '' p~ = '“Wewe ni kuhani milele,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa mfano wa Melkizedeki.”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Bwana yuko mkono wako wa kuume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaponda watawala wa dunia nzima.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Atakunywa maji katika kijito kando ya njia,' EXTRA( fn @ 43 = '+ \\fr 110:7 \\ft Au: Yeye atoaye mtu wa kurithi mwingine atamweka kwenye mamlaka.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo atainua kichwa chake juu.' ¬v = '7' ¬q2 = ¬c = '110' c = '111' cl = 'Zaburi 111' EXTRA( fn @ 10 = '+ \\fr 111 \\ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') v= = '1' s1 = 'Sifa Za \\nd Bwana\\nd* Kwa Matendo Ya Ajabu' 'Sifa Za Bwana Kwa Matendo Ya Ajabu' q1 = '' c# = '111' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Nitamtukuza \\nd Bwana\\nd* kwa moyo wangu wote,' 'Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kazi za \\nd Bwana\\nd* ni kuu,' 'Kazi za Bwana ni kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haki yake hudumu daima.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Amefanya maajabu yake yakumbukwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwenye neema na huruma.' 'Bwana ni mwenye neema na huruma.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Huwapa chakula wale wanaomcha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hulikumbuka agano lake milele.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akiwapa nchi za mataifa mengine.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mausia yake yote ni ya kuaminika.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Zinadumu milele na milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Aliwapa watu wake ukombozi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliamuru agano lake milele:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'jina lake ni takatifu na la kuogopwa.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kumcha \\nd Bwana\\nd* ndicho chanzo cha hekima,' 'Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wote wanaozifuata amri zake wana busara.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Sifa zake zadumu milele.' ¬v = '10' ¬q2 = ¬c = '111' c = '112' cl = 'Zaburi 112' EXTRA( fn @ 10 = '+ \\fr 112 \\ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') v= = '1' s1 = 'Baraka Za Mwenye Haki' q1 = '' c# = '112' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Heri mtu yule amchaye \\nd Bwana\\nd*,' 'Heri mtu yule amchaye Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtu yule apendezwaye sana na amri zake.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haki yake hudumu milele.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yule mwenye rehema, huruma na haki.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anayefanya mambo yake kwa haki.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hakika hatatikisika kamwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtu mwenye haki atakumbukwa milele.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Hataogopa habari mbaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moyo wake ni thabiti, ukimtegemea \\nd Bwana\\nd*.' 'moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haki yake hudumu milele;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'pembe yake itatukuzwa kwa heshima.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atasaga meno yake na kutoweka,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.' ¬v = '10' ¬q2 = ¬c = '112' c = '113' cl = 'Zaburi 113' v= = '1' s1 = 'Kumsifu \\nd Bwana\\nd* Kwa Wema Wake' 'Kumsifu Bwana Kwa Wema Wake' q1 = '' c# = '113' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Enyi watumishi wa \\nd Bwana\\nd* msifuni,' 'Enyi watumishi wa Bwana msifuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lisifuni jina la \\nd Bwana\\nd*.' 'lisifuni jina la Bwana.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Jina la \\nd Bwana\\nd* na lisifiwe,' 'Jina la Bwana na lisifiwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sasa na hata milele.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jina la \\nd Bwana\\nd* linapaswa kusifiwa.' 'jina la Bwana linapaswa kusifiwa.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ametukuka juu ya mataifa yote,' 'Bwana ametukuka juu ya mataifa yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utukufu wake juu ya mbingu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ni nani aliye kama \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu,' 'Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'ambaye huinama atazame chini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aone mbingu na nchi?' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Huwainua maskini kutoka mavumbini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'huwaketisha pamoja na wakuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pamoja na wakuu wa watu wake.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akiwa mama watoto mwenye furaha.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '9' ¬q1 = ¬c = '113' c = '114' cl = 'Zaburi 114' v= = '1' s1 = 'Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri' q1 = '' c# = '114' v = '1' v~ = 'Wakati Israeli walipotoka Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Israeli akawa milki yake.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Bahari ilitazama ikakimbia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yordani ulirudi nyuma,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'milima ilirukaruka kama kondoo dume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vilima kama wana-kondoo.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'enyi vilima, kama wana-kondoo?' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele za Mungu wa Yakobo,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '114' c = '115' cl = 'Zaburi 115' v= = '1' s1 = 'Mungu Mmoja Wa Kweli' q1 = '' c# = '115' v = '1' v~ = 'Sio kwetu sisi, Ee \\nd Bwana\\nd*, sio kwetu sisi,' 'Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali utukufu ni kwa jina lako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa sababu ya upendo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uaminifu wako.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa nini mataifa waseme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Yuko wapi Mungu wao?”' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mungu wetu yuko mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hufanya lolote limpendezalo.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zina macho, lakini haziwezi kuona;' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'zina masikio, lakini haziwezi kusikia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zina pua, lakini haziwezi kunusa;' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'zina mikono, lakini haziwezi kupapasa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zina miguu, lakini haziwezi kutembea;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala koo zao haziwezi kutoa sauti.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee nyumba ya Israeli, mtumainini \\nd Bwana\\nd*,' 'Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni msaada na ngao yao.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee nyumba ya Aroni, mtumainini \\nd Bwana\\nd*,' 'Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni msaada na ngao yao.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ninyi mnaomcha, mtumainini \\nd Bwana\\nd*,' 'Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni msaada na ngao yao.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anatukumbuka na atatubariki:' 'Bwana anatukumbuka na atatubariki:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ataibariki nyumba ya Israeli,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ataibariki nyumba ya Aroni,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'atawabariki wale wanaomcha \\nd Bwana\\nd*,' 'atawabariki wale wanaomcha Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wadogo kwa wakubwa.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = '\\nd Bwana\\nd* na awawezeshe kuongezeka,' 'Bwana na awawezeshe kuongezeka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi na watoto wenu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mbarikiwe na \\nd Bwana\\nd*' 'Mbarikiwe na Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Muumba wa mbingu na dunia.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mbingu zilizo juu sana ni mali ya \\nd Bwana\\nd*,' 'Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini dunia amempa mwanadamu.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Sio wafu wanaomsifu \\nd Bwana\\nd*,' 'Sio wafu wanaomsifu Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale washukao mahali pa kimya,' EXTRA( fn @ 30 = '+ \\fr 115:17 \\ft Mahali pa kimya maana yake ni Kuzimu, yaani Sheol kwa Kiebrania.') ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'bali ni sisi tunaomtukuza \\nd Bwana\\nd*,' 'bali ni sisi tunaomtukuza Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sasa na hata milele.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' EXTRA( fn @ 22 = '+ \\fr 115:18 \\ft Msifuni \\+nd Bwana\\+nd* ni Kiebrania Hallelu Yah.') ¬v = '18' ¬q1 = ¬c = '115' c = '116' cl = 'Zaburi 116' v= = '1' s1 = 'Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti' q1 = '' c# = '116' v = '1' v~ = 'Ninampenda \\nd Bwana\\nd* kwa maana amesikia sauti yangu;' 'Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amesikia kilio changu ili anihurumie.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa sababu amenitegea sikio lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitamwita siku zote za maisha yangu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kamba za mauti zilinizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maumivu makuu ya kuzimu yalinipata,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nikalemewa na taabu na huzuni.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ndipo nikaliitia jina la \\nd Bwana\\nd*:' 'Ndipo nikaliitia jina la Bwana:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Ee \\nd Bwana\\nd*, niokoe!”' '“Ee Bwana, niokoe!”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwenye neema na haki,' 'Bwana ni mwenye neema na haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wetu ni mwingi wa huruma.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwalinda wanyenyekevu,' 'Bwana huwalinda wanyenyekevu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee nafsi yangu, tulia tena,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* amekuwa mwema kwako.' 'kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kwa kuwa wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeniokoa nafsi yangu na mauti,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'macho yangu kutokana na machozi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miguu yangu kutokana na kujikwaa,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'ili niweze kutembea mbele za \\nd Bwana\\nd*,' 'ili niweze kutembea mbele za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika nchi ya walio hai.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Niliamini, kwa hiyo nilisema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Mimi nimeteseka sana.”' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Katika taabu yangu nilisema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Wanadamu wote ni waongo.”' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Nimrudishie \\nd Bwana\\nd* nini' 'Nimrudishie Bwana nini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wema wake wote alionitendea?' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Nitakiinua kikombe cha wokovu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kulitangaza jina la \\nd Bwana\\nd*.' 'na kulitangaza jina la Bwana.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Nitazitimiza nadhiri zangu kwa \\nd Bwana\\nd*' 'Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele za watu wake wote.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kifo cha watakatifu kina thamani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'machoni pa \\nd Bwana\\nd*.' 'machoni pa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, hakika mimi ni mtumishi wako,' 'Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mimi ni mtumishi wako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mwana wa mjakazi wako;' EXTRA( fn @ 22 = '+ \\fr 116:16 \\ft Au: mwanao mwaminifu.') ¬q2 = q1 = '' p~ = 'umeniweka huru' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'toka katika minyororo yangu.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuliita jina la \\nd Bwana\\nd*.' 'na kuliita jina la Bwana.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Nitazitimiza nadhiri zangu kwa \\nd Bwana\\nd*' 'Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele za watu wake wote,' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'katika nyua za nyumba ya \\nd Bwana\\nd*,' 'katika nyua za nyumba ya Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katikati yako, ee Yerusalemu.' ¬q2 = b = '' q2 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '19' ¬q2 = ¬c = '116' c = '117' cl = 'Zaburi 117' v= = '1' s1 = 'Sifa Za \\nd Bwana\\nd*' 'Sifa Za Bwana' q1 = '' c# = '117' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*, enyi mataifa yote;' 'Msifuni Bwana, enyi mataifa yote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtukuzeni yeye, enyi watu wote.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uaminifu wa \\nd Bwana\\nd* unadumu milele.' 'uaminifu wa Bwana unadumu milele.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '2' ¬q1 = ¬c = '117' c = '118' cl = 'Zaburi 118' v= = '1' s1 = 'Shukrani Kwa Ajili Ya Ushindi' q1 = '' c# = '118' v = '1' v~ = 'Mshukuruni \\nd Bwana\\nd*, kwa kuwa ni mwema;' 'Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upendo wake wadumu milele.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Israeli na aseme sasa:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Upendo wake wadumu milele.”' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nyumba ya Aroni na iseme sasa:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Upendo wake wadumu milele.”' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wote wamchao \\nd Bwana\\nd* na waseme sasa:' 'Wote wamchao Bwana na waseme sasa:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Upendo wake wadumu milele.”' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia \\nd Bwana\\nd*,' 'Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akanijibu kwa kuniweka huru.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = '\\nd Bwana\\nd* yuko pamoja nami, sitaogopa.' 'Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mwanadamu anaweza kunitenda nini?' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = '\\nd Bwana\\nd* yuko pamoja nami,' 'Bwana yuko pamoja nami,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni msaidizi wangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nitawatazama adui zangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakiwa wameshindwa.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ni bora kumkimbilia \\nd Bwana\\nd*' 'Ni bora kumkimbilia Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko kumtumainia mwanadamu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ni bora kumkimbilia \\nd Bwana\\nd*' 'Ni bora kumkimbilia Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko kuwatumainia wakuu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mataifa yote yalinizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini kwa jina la \\nd Bwana\\nd* naliwakatilia mbali.' 'lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Walinizunguka pande zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini kwa jina la \\nd Bwana\\nd* naliwakatilia mbali.' 'lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Walinizunguka kama kundi la nyuki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa jina la \\nd Bwana\\nd* naliwakatilia mbali.' 'kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini \\nd Bwana\\nd* alinisaidia.' 'lakini Bwana alinisaidia.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni nguvu yangu na wimbo wangu,' 'Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye amefanyika wokovu wangu.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Sauti za shangwe na ushindi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zinavuma hemani mwa wenye haki:' ¬q2 = q1 = '' p~ = '“Mkono wa kuume wa \\nd Bwana\\nd*' '“Mkono wa kuume wa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umetenda mambo makuu!' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mkono wa kuume wa \\nd Bwana\\nd*' 'Mkono wa kuume wa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeinuliwa juu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mkono wa kuume wa \\nd Bwana\\nd*' 'mkono wa kuume wa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umetenda mambo makuu!”' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Sitakufa, bali nitaishi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitatangaza yale \\nd Bwana\\nd* aliyoyatenda.' 'nami nitatangaza yale Bwana aliyoyatenda.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ameniadhibu vikali,' 'Bwana ameniadhibu vikali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini hakuniacha nife.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Nifungulie malango ya haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitaingia na kumshukuru \\nd Bwana\\nd*.' 'nami nitaingia na kumshukuru Bwana.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Hili ni lango la \\nd Bwana\\nd*' 'Hili ni lango la Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambalo wenye haki wanaweza kuliingia.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umekuwa wokovu wangu.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Jiwe walilolikataa waashi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'limekuwa jiwe kuu la pembeni.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ametenda hili,' 'Bwana ametenda hili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nalo ni la kushangaza machoni petu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Hii ndiyo siku \\nd Bwana\\nd* aliyoifanya,' 'Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tushangilie na kufurahi ndani yake.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, tuokoe,' 'Ee Bwana, tuokoe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, utujalie mafanikio.' 'Ee Bwana, utujalie mafanikio.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Heri yule ajaye kwa jina la \\nd Bwana\\nd*.' 'Heri yule ajaye kwa jina la Bwana.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kutoka nyumba ya \\nd Bwana\\nd* tunakubariki.' 'Kutoka nyumba ya Bwana tunakubariki.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ndiye Mungu,' 'Bwana ndiye Mungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye ametuangazia nuru yake.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Mkiwa na matawi mkononi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unganeni kwenye maandamano ya sikukuu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hadi kwenye pembe za madhabahu.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Mshukuruni \\nd Bwana\\nd* kwa kuwa ni mwema;' 'Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upendo wake wadumu milele.' ¬v = '29' ¬q2 = ¬c = '118' c = '119' cl = 'Zaburi 119' EXTRA( fn @ 10 = '+ \\fr 119:0 \\ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi 22 za alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T).') s1 = 'Sifa Za Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Sifa Za Sheria Ya Bwana' v= = '1' s2 = 'Kujifunza Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Kujifunza Sheria Ya Bwana' q1 = '' c# = '119' v = '1' v~ = 'Heri wale walio waadilifu katika njia zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaoenenda katika sheria ya \\nd Bwana\\nd*.' 'wanaoenenda katika sheria ya Bwana.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Heri wale wanaozishika shuhuda zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamtafutao kwa moyo wao wote.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wasiofanya lolote lililo baya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaoenenda katika njia zake.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Umetoa maagizo yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili tuyatii kwa ukamilifu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika kuyatii maagizo yako!' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Hivyo mimi sitaaibishwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapozingatia amri zako zote.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nitakusifu kwa moyo mnyofu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapojifunza sheria zako za haki.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Nitayatii maagizo yako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiniache kabisa.' ¬q2 = ¬v = '8' v= = '9' s2 = 'Kutii Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Kutii Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ninakutafuta kwa moyo wangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiniache niende mbali na amri zako.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Nimelificha neno lako moyoni mwangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili nisikutende dhambi.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Sifa ni zako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Sifa ni zako, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nifundishe maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zinazotoka katika kinywa chako.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ninafurahia kufuata sheria zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mtu afurahiaye mali nyingi.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Ninatafakari maagizo yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuziangalia njia zako.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ninafurahia maagizo yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala sitalipuuza neno lako.' ¬q2 = ¬v = '16' v= = '17' s2 = 'Furaha Katika Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Furaha Katika Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitalitii neno lako.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Yafungue macho yangu nipate kuona' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mambo ya ajabu katika sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Mimi ni mgeni duniani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usinifiche amri zako.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya sheria zako wakati wote.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waendao mbali na amri zako.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Niondolee dharau na dhihaka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa ninazishika sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Sheria zako ni furaha yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo ni washauri wangu.' ¬q2 = ¬v = '24' v= = '25' s2 = 'Kuamua Kuitii Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Kuamua Kuitii Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '25' v~ = 'Nimelazwa chini mavumbini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Nilikueleza njia zangu ukanijibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nifundishe sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Nijulishe mafundisho ya mausia yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitatafakari maajabu yako.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uniimarishe sawasawa na neno lako.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Niepushe na njia za udanganyifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa neema unifundishe sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Nimechagua njia ya kweli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimekaza moyo wangu katika sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Nimengʼangʼania sheria zako, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Nimengʼangʼania sheria zako, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiniache niaibishwe.' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Nakimbilia katika njia ya maagizo yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.' ¬q2 = ¬v = '32' v= = '33' s2 = 'Maombi Ili Kupata Ufahamu Wa Sheria' q1 = '' v = '33' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nifundishe kuyafuata maagizo yako,' 'Ee Bwana, nifundishe kuyafuata maagizo yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitayashika mpaka mwisho.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuitii kwa moyo wangu wote.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Niongoze kwenye njia ya amri zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa huko napata furaha.' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.' ¬q2 = ¬v = '36' q1 = '' v = '37' v~ = 'Geuza macho yangu kutoka kwenye mambo yasiyofaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uyahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.' ¬q2 = ¬v = '37' q1 = '' v = '38' v~ = 'Mtimizie mtumishi wako ahadi yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili upate kuogopwa.' ¬q2 = ¬v = '38' q1 = '' v = '39' v~ = 'Niondolee aibu ninayoiogopa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa sheria zako ni njema.' ¬q2 = ¬v = '39' q1 = '' v = '40' v~ = 'Tazama jinsi ninavyoonea shauku mausia yako!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Hifadhi maisha yangu katika haki yako.' ¬q2 = ¬v = '40' v= = '41' s2 = 'Kuitumainia Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Kuitumainia Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '41' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, upendo wako usiokoma unijie,' 'Ee Bwana, upendo wako usiokoma unijie,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wokovu wako sawasawa na ahadi yako,' ¬q2 = ¬v = '41' q1 = '' v = '42' v~ = 'ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa ninalitumainia neno lako.' ¬q2 = ¬v = '42' q1 = '' v = '43' v~ = 'Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani mwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika amri zako.' ¬q2 = ¬v = '43' q1 = '' v = '44' v~ = 'Nitaitii amri yako daima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, milele na milele.' ¬q2 = ¬v = '44' q1 = '' v = '45' v~ = 'Nitatembea nikiwa huru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa nimejifunza mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '45' q1 = '' v = '46' v~ = 'Nitasema sheria zako mbele za wafalme' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala sitaaibishwa,' ¬q2 = ¬v = '46' q1 = '' v = '47' v~ = 'kwa kuwa ninazifurahia amri zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ninazipenda.' ¬q2 = ¬v = '47' q1 = '' v = '48' v~ = 'Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami ninatafakari juu ya maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '48' v= = '49' s2 = 'Matumaini Katika Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Matumaini Katika Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '49' v~ = 'Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu umenipa tumaini.' ¬q2 = ¬v = '49' q1 = '' v = '50' v~ = 'Faraja yangu katika mateso yangu ni hii:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.' ¬q2 = ¬v = '50' q1 = '' v = '51' v~ = 'Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo sitaiacha sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '51' q1 = '' v = '52' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninazikumbuka sheria zako za zamani,' 'Ee Bwana, ninazikumbuka sheria zako za zamani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo zinanifariji.' ¬q2 = ¬v = '52' q1 = '' v = '53' v~ = 'Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao wameacha sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '53' q1 = '' v = '54' v~ = 'Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'popote ninapoishi.' ¬q2 = ¬v = '54' q1 = '' v = '55' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako,' 'Ee Bwana, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitatii sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '55' q1 = '' v = '56' v~ = 'Hili limekuwa zoezi langu:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami ninayatii mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '56' v= = '57' s2 = 'Kujitolea Katika Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Kujitolea Katika Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '57' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wewe ni fungu langu,' 'Ee Bwana, wewe ni fungu langu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimeahidi kuyatii maneno yako.' ¬q2 = ¬v = '57' q1 = '' v = '58' v~ = 'Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nihurumie sawasawa na ahadi yako.' ¬q2 = ¬v = '58' q1 = '' v = '59' v~ = 'Nimezifikiri njia zangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nimeelekeza hatua zangu katika mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '59' q1 = '' v = '60' v~ = 'Nitafanya haraka bila kuchelewa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuzitii amri zako.' ¬q2 = ¬v = '60' q1 = '' v = '61' v~ = 'Hata waovu wanifunge kwa kamba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sitasahau sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '61' q1 = '' v = '62' v~ = 'Usiku wa manane ninaamka kukushukuru' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya sheria zako za haki.' ¬q2 = ¬v = '62' q1 = '' v = '63' v~ = 'Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wote wanaofuata mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '63' q1 = '' v = '64' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, dunia imejaa upendo wako,' 'Ee Bwana, dunia imejaa upendo wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nifundishe maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '64' v= = '65' s2 = 'Thamani Ya Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Thamani Ya Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '65' v~ = 'Mtendee wema mtumishi wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, sawasawa na neno lako.' 'Ee Bwana, sawasawa na neno lako.' ¬q2 = ¬v = '65' q1 = '' v = '66' v~ = 'Nifundishe maarifa na uamuzi mzuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa ninaamini amri zako.' ¬q2 = ¬v = '66' q1 = '' v = '67' v~ = 'Kabla sijapata shida nilipotea njia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini sasa ninalitii neno lako.' ¬q2 = ¬v = '67' q1 = '' v = '68' v~ = 'Wewe ni mwema, unalotenda ni jema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nifundishe maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '68' q1 = '' v = '69' v~ = 'Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.' ¬q2 = ¬v = '69' q1 = '' v = '70' v~ = 'Mioyo yao ni katili na migumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mimi napendezwa na sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '70' q1 = '' v = '71' v~ = 'Ilikuwa vyema mimi kupata shida' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili nipate kujifunza maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '71' q1 = '' v = '72' v~ = 'Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.' ¬q2 = ¬v = '72' v= = '73' s2 = 'Haki Ya Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Haki Ya Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '73' v~ = 'Mikono yako ilinifanya na kuniumba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.' ¬q2 = ¬v = '73' q1 = '' v = '74' v~ = 'Wakuchao wafurahie wanaponiona,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.' ¬q2 = ¬v = '74' q1 = '' v = '75' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninajua kwamba sheria zako ni za haki,' 'Ee Bwana, ninajua kwamba sheria zako ni za haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika uaminifu wako umeniadhibu.' ¬q2 = ¬v = '75' q1 = '' v = '76' v~ = 'Upendo wako usiokoma uwe faraja yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako.' ¬q2 = ¬v = '76' q1 = '' v = '77' v~ = 'Huruma yako na inijie ili nipate kuishi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa naifurahia sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '77' q1 = '' v = '78' v~ = 'Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '78' q1 = '' v = '79' v~ = 'Wale wakuchao na wanigeukie mimi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hao ambao wanazielewa sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '79' q1 = '' v = '80' v~ = 'Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili nisiaibishwe.' ¬q2 = ¬v = '80' v= = '81' s2 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa' q1 = '' v = '81' v~ = 'Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako.' ¬q2 = ¬v = '81' q1 = '' v = '82' v~ = 'Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninasema, “Utanifajiri lini?”' ¬q2 = ¬v = '82' q1 = '' v = '83' v~ = 'Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bado sijasahau maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '83' q1 = '' v = '84' v~ = 'Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?' ¬q2 = ¬v = '84' q1 = '' v = '85' v~ = 'Wenye majivuno wananichimbia mashimo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kinyume na sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '85' q1 = '' v = '86' v~ = 'Amri zako zote ni za kuaminika;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.' ¬q2 = ¬v = '86' q1 = '' v = '87' v~ = 'Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini sijaacha mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '87' q1 = '' v = '88' v~ = 'Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitatii sheria za kinywa chako.' ¬q2 = ¬v = '88' v= = '89' s2 = 'Imani Katika Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Imani Katika Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '89' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, neno lako ni la milele,' 'Ee Bwana, neno lako ni la milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'linasimama imara mbinguni.' ¬q2 = ¬v = '89' q1 = '' v = '90' v~ = 'Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeiumba dunia, nayo inadumu.' ¬q2 = ¬v = '90' q1 = '' v = '91' v~ = 'Sheria zako zinadumu hadi leo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.' ¬q2 = ¬v = '91' q1 = '' v = '92' v~ = 'Kama nisingefurahia sheria yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ningeangamia katika taabu zangu.' ¬q2 = ¬v = '92' q1 = '' v = '93' v~ = 'Sitasahau mausia yako kamwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana kwayo umehifadhi maisha yangu.' ¬q2 = ¬v = '93' q1 = '' v = '94' v~ = 'Uniokoe, kwa maana mimi ni wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa nimetafuta mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '94' q1 = '' v = '95' v~ = 'Waovu wanangojea kuniangamiza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mimi ninatafakari sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '95' q1 = '' v = '96' v~ = 'Katika ukamilifu wote ninaona mna kikomo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini amri zako hazina mpaka.' ¬q2 = ¬v = '96' v= = '97' s2 = 'Kuipenda Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Kuipenda Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '97' v~ = 'Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ninaitafakari mchana kutwa.' ¬q2 = ¬v = '97' q1 = '' v = '98' v~ = 'Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa nimezishika daima.' ¬q2 = ¬v = '98' q1 = '' v = '99' v~ = 'Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '99' q1 = '' v = '100' v~ = 'Nina ufahamu zaidi kuliko wazee,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa ninayatii mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '100' q1 = '' v = '101' v~ = 'Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili niweze kutii neno lako.' ¬q2 = ¬v = '101' q1 = '' v = '102' v~ = 'Sijaziacha sheria zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '102' q1 = '' v = '103' v~ = 'Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matamu kuliko asali katika kinywa changu!' ¬q2 = ¬v = '103' q1 = '' v = '104' v~ = 'Ninapata ufahamu kutoka mausia yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.' ¬q2 = ¬v = '104' v= = '105' s2 = 'Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '105' v~ = 'Neno lako ni taa ya miguu yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mwanga katika njia yangu.' ¬q2 = ¬v = '105' q1 = '' v = '106' v~ = 'Nimeapa na nimethibitisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba nitafuata sheria zako za haki.' ¬q2 = ¬v = '106' q1 = '' v = '107' v~ = 'Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sawasawa na neno lako.' ¬q2 = ¬v = '107' q1 = '' v = '108' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, pokea sifa za hiari za kinywa changu,' 'Ee Bwana, pokea sifa za hiari za kinywa changu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nifundishe sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '108' q1 = '' v = '109' v~ = 'Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sitasahau sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '109' q1 = '' v = '110' v~ = 'Waovu wamenitegea mtego,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini sijayakiuka maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '110' q1 = '' v = '111' v~ = 'Sheria zako ni urithi wangu milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam ni furaha ya moyo wangu.' ¬q2 = ¬v = '111' q1 = '' v = '112' v~ = 'Nimekusudia moyoni mwangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.' ¬q2 = ¬v = '112' v= = '113' s2 = 'Usalama Ndani Ya Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Usalama Ndani Ya Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '113' v~ = 'Ninachukia watu wa nia mbili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini ninapenda sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '113' q1 = '' v = '114' v~ = 'Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimeweka tumaini langu katika neno lako.' ¬q2 = ¬v = '114' q1 = '' v = '115' v~ = 'Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili niweze kushika amri za Mungu wangu!' ¬q2 = ¬v = '115' q1 = '' v = '116' v~ = 'Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiache matumaini yangu yakavunjwa.' ¬q2 = ¬v = '116' q1 = '' v = '117' v~ = 'Nitegemeze, nami nitaokolewa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami daima nitayaheshimu maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '117' q1 = '' v = '118' v~ = 'Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana udanganyifu wao ni bure.' ¬q2 = ¬v = '118' q1 = '' v = '119' v~ = 'Waovu wa nchi unawatupa kama takataka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hivyo nazipenda sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '119' q1 = '' v = '120' v~ = 'Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninaziogopa sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '120' v= = '121' s2 = 'Kuitii Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Kuitii Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '121' v~ = 'Nimetenda yaliyo haki na sawa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiniache mikononi mwa watesi wangu.' ¬q2 = ¬v = '121' q1 = '' v = '122' v~ = 'Mhakikishie mtumishi wako usalama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiache wenye kiburi wanionee.' ¬q2 = ¬v = '122' q1 = '' v = '123' v~ = 'Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuitazamia ahadi yako ya kweli.' ¬q2 = ¬v = '123' q1 = '' v = '124' v~ = 'Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na unifundishe maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '124' q1 = '' v = '125' v~ = 'Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili niweze kuelewa sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '125' q1 = '' v = '126' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wakati wako wa kutenda umewadia,' 'Ee Bwana, wakati wako wa kutenda umewadia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa sheria yako inavunjwa.' ¬q2 = ¬v = '126' q1 = '' v = '127' v~ = 'Kwa sababu nazipenda amri zako zaidi ya dhahabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, zaidi ya dhahabu safi,' ¬q2 = ¬v = '127' q1 = '' v = '128' v~ = 'na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nachukia kila njia potovu.' ¬q2 = ¬v = '128' v= = '129' s2 = 'Shauku Ya Kuitii Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Shauku Ya Kuitii Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '129' v~ = 'Sheria zako ni za ajabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hivyo ninazitii.' ¬q2 = ¬v = '129' q1 = '' v = '130' v~ = 'Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kunampa mjinga ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '130' q1 = '' v = '131' v~ = 'Nimefungua kinywa changu na kuhema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikitamani amri zako.' ¬q2 = ¬v = '131' q1 = '' v = '132' v~ = 'Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanaolipenda jina lako.' ¬q2 = ¬v = '132' q1 = '' v = '133' v~ = 'Ongoza hatua zangu kulingana na neno lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiache dhambi yoyote initawale.' ¬q2 = ¬v = '133' q1 = '' v = '134' v~ = 'Niokoe na uonevu wa wanadamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili niweze kutii mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '134' q1 = '' v = '135' v~ = 'Mwangazie mtumishi wako uso wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na unifundishe amri zako.' ¬q2 = ¬v = '135' q1 = '' v = '136' v~ = 'Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa sheria yako haifuatwi.' ¬q2 = ¬v = '136' v= = '137' s2 = 'Haki Ya Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Haki Ya Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '137' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, wewe ni mwenye haki,' 'Ee Bwana, wewe ni mwenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sheria zako ni sahihi.' ¬q2 = ¬v = '137' q1 = '' v = '138' v~ = 'Sheria ulizoziweka ni za haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni za kuaminika kikamilifu.' ¬q2 = ¬v = '138' q1 = '' v = '139' v~ = 'Jitihada yangu imenidhoofisha, kwa kuwa adui zangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanayapuuza maneno yako.' ¬q2 = ¬v = '139' q1 = '' v = '140' v~ = 'Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtumishi wako anazipenda.' ¬q2 = ¬v = '140' q1 = '' v = '141' v~ = 'Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sisahau mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '141' q1 = '' v = '142' v~ = 'Haki yako ni ya milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sheria yako ni kweli.' ¬q2 = ¬v = '142' q1 = '' v = '143' v~ = 'Shida na dhiki zimenipata,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini amri zako ni furaha yangu.' ¬q2 = ¬v = '143' q1 = '' v = '144' v~ = 'Sheria zako ni sahihi milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hunipa ufahamu ili nipate kuishi.' ¬q2 = ¬v = '144' v= = '145' s2 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa' q1 = '' v = '145' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninakuita kwa moyo wangu wote,' 'Ee Bwana, ninakuita kwa moyo wangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitayatii maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '145' q1 = '' v = '146' v~ = 'Ninakuita; niokoe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitazishika sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '146' q1 = '' v = '147' v~ = 'Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimeweka tumaini langu katika neno lako.' ¬q2 = ¬v = '147' q1 = '' v = '148' v~ = 'Sikufumba macho yangu usiku kucha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.' ¬q2 = ¬v = '148' q1 = '' v = '149' v~ = 'Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.' 'Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '149' q1 = '' v = '150' v~ = 'Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini wako mbali na sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '150' q1 = '' v = '151' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, hata hivyo wewe u karibu,' 'Ee Bwana, hata hivyo wewe u karibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na amri zako zote ni za kweli.' ¬q2 = ¬v = '151' q1 = '' v = '152' v~ = 'Tangu zamani nimejifunza kutoka shuhuda zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba umezithibitisha ili zidumu milele.' ¬q2 = ¬v = '152' v= = '153' s2 = 'Maombi Kwa Ajili Ya Msaada' q1 = '' v = '153' v~ = 'Yaangalie mateso yangu, uniokoe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa sijasahau sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '153' q1 = '' v = '154' v~ = 'Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.' ¬q2 = ¬v = '154' q1 = '' v = '155' v~ = 'Wokovu uko mbali na waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '155' q1 = '' v = '156' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, huruma zako ni kuu,' 'Ee Bwana, huruma zako ni kuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '156' q1 = '' v = '157' v~ = 'Adui wanaonitesa ni wengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mimi sitaziacha sheria zako.' ¬q2 = ¬v = '157' q1 = '' v = '158' v~ = 'Ninawatazama wasioamini kwa chuki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa hawalitii neno lako.' ¬q2 = ¬v = '158' q1 = '' v = '159' v~ = 'Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.' 'Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.' ¬q2 = ¬v = '159' q1 = '' v = '160' v~ = 'Maneno yako yote ni kweli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sheria zako zote za haki ni za milele.' ¬q2 = ¬v = '160' v= = '161' s2 = 'Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya \\nd Bwana\\nd*' 'Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya Bwana' q1 = '' v = '161' v~ = 'Watawala wamenitesa bila sababu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.' ¬q2 = ¬v = '161' q1 = '' v = '162' v~ = 'Nafurahia ahadi zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mtu aliyepata mateka mengi.' ¬q2 = ¬v = '162' q1 = '' v = '163' v~ = 'Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini napenda sheria yako.' ¬q2 = ¬v = '163' q1 = '' v = '164' v~ = 'Ninakusifu mara saba kwa siku,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya sheria zako za haki.' ¬q2 = ¬v = '164' q1 = '' v = '165' v~ = 'Wanaopenda sheria yako wana amani tele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.' ¬q2 = ¬v = '165' q1 = '' v = '166' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninangojea wokovu wako,' 'Ee Bwana, ninangojea wokovu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami ninafuata amri zako,' ¬q2 = ¬v = '166' q1 = '' v = '167' v~ = 'Ninazitii sheria zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ninazipenda mno.' ¬q2 = ¬v = '167' q1 = '' v = '168' v~ = 'Nimetii mausia yako na sheria zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.' ¬q2 = ¬v = '168' v= = '169' s2 = 'Kuomba Msaada' q1 = '' v = '169' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, kilio changu na kifike mbele zako,' 'Ee Bwana, kilio changu na kifike mbele zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nipe ufahamu sawasawa na neno lako.' ¬q2 = ¬v = '169' q1 = '' v = '170' v~ = 'Maombi yangu na yafike mbele zako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'niokoe sawasawa na ahadi yako.' ¬q2 = ¬v = '170' q1 = '' v = '171' v~ = 'Midomo yangu na ibubujike sifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa unanifundisha maagizo yako.' ¬q2 = ¬v = '171' q1 = '' v = '172' v~ = 'Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa amri zako zote ni za haki.' ¬q2 = ¬v = '172' q1 = '' v = '173' v~ = 'Mkono wako uwe tayari kunisaidia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa nimechagua mausia yako.' ¬q2 = ¬v = '173' q1 = '' v = '174' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninatamani wokovu wako,' 'Ee Bwana, ninatamani wokovu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sheria yako ni furaha yangu.' ¬q2 = ¬v = '174' q1 = '' v = '175' v~ = 'Nijalie kuishi ili nipate kukusifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sheria zako zinitegemeze.' ¬q2 = ¬v = '175' q1 = '' v = '176' v~ = 'Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mtafute mtumishi wako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa sijasahau amri zako.' ¬v = '176' ¬q2 = ¬c = '119' c = '120' cl = 'Zaburi 120' v= = '1' s1 = 'Kuomba Msaada' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '120' v = '1' v~ = 'Katika dhiki yangu namwita \\nd Bwana\\nd*,' 'Katika dhiki yangu namwita Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hunijibu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uniokoe kutoka midomo ya uongo' 'Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ndimi za udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Atakufanyia nini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nimeishi muda mrefu mno' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miongoni mwa wale wanaochukia amani.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mimi ni mtu wa amani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini ninaposema, wao wanataka vita.' ¬v = '7' ¬q2 = ¬c = '120' c = '121' cl = 'Zaburi 121' v= = '1' s1 = '\\nd Bwana\\nd* Mlinzi Wetu' 'Bwana Mlinzi Wetu' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '121' v = '1' v~ = 'Nayainua macho yangu nitazame vilima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msaada wangu utatoka wapi?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Msaada wangu hutoka kwa \\nd Bwana\\nd*,' 'Msaada wangu hutoka kwa Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Muumba wa mbingu na dunia.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Hatauacha mguu wako uteleze,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye akulindaye hatasinzia,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'hakika, yeye alindaye Israeli' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatasinzia wala hatalala usingizi.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anakulinda,' 'Bwana anakulinda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* ni uvuli wako mkono wako wa kuume,' 'Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'jua halitakudhuru mchana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala mwezi wakati wa usiku.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = '\\nd Bwana\\nd* atakukinga na madhara yote,' 'Bwana atakukinga na madhara yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atayalinda maisha yako,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* atakulinda unapoingia na unapotoka,' 'Bwana atakulinda unapoingia na unapotoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tangu sasa na hata milele.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '121' c = '122' cl = 'Zaburi 122' v= = '1' s1 = 'Sifa Kwa Yerusalemu' d = 'Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.' q1 = '' c# = '122' v = '1' v~ = 'Nilishangilia pamoja na wale walioniambia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Twende nyumbani ya \\nd Bwana\\nd*.”' '“Twende nyumbani ya Bwana.”' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'malangoni mwako.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Yerusalemu imejengwa vyema kama mji' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao umeshikamanishwa pamoja.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Huko ndiko makabila hukwea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'makabila ya \\nd Bwana\\nd*,' 'makabila ya Bwana,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kulisifu jina la \\nd Bwana\\nd* kulingana na maagizo' 'kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waliopewa Israeli.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Wote wakupendao na wawe salama.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Amani na iwepo ndani ya kuta zako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na usalama ndani ya ngome zako.”' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitasema, “Amani iwe ndani yako.”' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kwa ajili ya nyumba ya \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu,' 'Kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitatafuta mafanikio yako.' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '122' c = '123' cl = 'Zaburi 123' v= = '1' s1 = 'Kuomba Rehema' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '123' v = '1' v~ = 'Ninayainua macho yangu kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kama vile macho ya watumwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yatazamavyo mkono wa bwana wao,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama vile macho ya mtumishi wa kike' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yatazamavyo mkono wa bibi yake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ndivyo macho yetu yamtazamavyo \\nd Bwana\\nd* Mungu wetu,' 'ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpaka atakapotuhurumia.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Uturehemu, Ee \\nd Bwana\\nd*, uturehemu,' 'Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana tumevumilia dharau nyingi.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.' ¬v = '4' ¬q2 = ¬c = '123' c = '124' cl = 'Zaburi 124' v= = '1' s1 = 'Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli' d = 'Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.' q1 = '' c# = '124' v = '1' v~ = 'Kama \\nd Bwana\\nd* asingalikuwa upande wetu;' 'Kama Bwana asingalikuwa upande wetu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Israeli na aseme sasa:' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'kama \\nd Bwana\\nd* asingalikuwa upande wetu,' 'kama Bwana asingalikuwa upande wetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati watu walipotushambulia,' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wangalitumeza tungali hai,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'mafuriko yangalitugharikisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maji mengi yangalitufunika,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'maji yaendayo kasi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yangalituchukua.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = '\\nd Bwana\\nd* asifiwe,' 'Bwana asifiwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Tumeponyoka kama ndege' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mtego wa mwindaji;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mtego umevunjika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nasi tukaokoka.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Msaada wetu ni katika jina la \\nd Bwana\\nd*,' 'Msaada wetu ni katika jina la Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Muumba wa mbingu na dunia.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '124' c = '125' cl = 'Zaburi 125' v= = '1' s1 = 'Usalama Wa Watu Wa Mungu' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '125' v = '1' v~ = 'Wale wamtumainio \\nd Bwana\\nd* ni kama mlima Sayuni,' 'Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo \\nd Bwana\\nd* anavyowazunguka watu wake' 'ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'sasa na hata milele.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waliopewa wenye haki,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ili wenye haki wasije wakatumia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mikono yao kutenda ubaya.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, watendee mema walio wema,' 'Ee Bwana, watendee mema walio wema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale walio wanyofu wa moyo.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* atawafukuza pamoja na watenda mabaya.' 'Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Amani iwe juu ya Israeli.' ¬v = '5' ¬q1 = ¬c = '125' c = '126' cl = 'Zaburi 126' v= = '1' s1 = 'Kurejezwa Kutoka Utumwani' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '126' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* alipowarejeza mateka Sayuni,' 'Bwana alipowarejeza mateka Sayuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tulikuwa kama watu walioota ndoto.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Vinywa vyetu vilijaa kicheko,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“\\nd Bwana\\nd* amewatendea mambo makuu.”' '“Bwana amewatendea mambo makuu.”' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ametutendea mambo makuu,' 'Bwana ametutendea mambo makuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nasi tumejaa furaha.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, turejeshee watu wetu waliotekwa,' 'Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama vijito katika Negebu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wapandao kwa machozi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watavuna kwa nyimbo za shangwe.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Yeye azichukuaye mbegu zake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwenda kupanda, huku akilia,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'atarudi kwa nyimbo za shangwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akichukua miganda ya mavuno yake.' ¬v = '6' ¬q2 = ¬c = '126' c = '127' cl = 'Zaburi 127' v= = '1' s1 = 'Bila Mungu, Kazi Ya Mwanadamu Haifai' d = 'Wimbo wa kwenda juu. Wa Solomoni.' q1 = '' c# = '127' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* asipoijenga nyumba,' 'Bwana asipoijenga nyumba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wajengao hufanya kazi bure.' ¬q2 = q1 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* asipoulinda mji,' 'Bwana asipoulinda mji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walinzi wakesha bure.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mnajisumbua bure kuamka mapema' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuchelewa kulala,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mkitaabikia chakula:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana yeye huwapa usingizi wapenzi wake.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wana ni urithi utokao kwa \\nd Bwana\\nd*,' 'Wana ni urithi utokao kwa Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watoto ni zawadi kutoka kwake.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kama mishale mikononi mwa shujaa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Heri mtu ambaye podo lake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'limejazwa nao.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Hawataaibishwa wanaposhindana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na adui zao langoni.' ¬v = '5' ¬q2 = ¬c = '127' c = '128' cl = 'Zaburi 128' v= = '1' s1 = 'Thawabu Ya Kumtii \\nd Bwana\\nd*' 'Thawabu Ya Kumtii Bwana' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '128' v = '1' v~ = 'Heri ni wale wote wamchao \\nd Bwana\\nd*,' 'Heri ni wale wote wamchao Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waendao katika njia zake.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Utakula matunda ya kazi yako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'baraka na mafanikio vitakuwa vyako.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndani ya nyumba yako;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuizunguka meza yako.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtu amchaye \\nd Bwana\\nd*.' 'mtu amchaye Bwana.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = '\\nd Bwana\\nd* na akubariki kutoka Sayuni' 'Bwana na akubariki kutoka Sayuni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku zote za maisha yako,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na uone mafanikio ya Yerusalemu,' ¬q1 = ¬v = '5' q2 = '' v = '6' v~ = 'nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.' b = '' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Amani iwe juu ya Israeli.' ¬v = '6' ¬q1 = ¬c = '128' c = '129' cl = 'Zaburi 129' v= = '1' s1 = 'Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '129' v = '1' v~ = 'Wamenionea mno tangu ujana wangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Israeli na aseme sasa:' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'wamenionea mno tangu ujana wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini bado hawajanishinda.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wakulima wamelima mgongo wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufanya mifereji yao mirefu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Lakini \\nd Bwana\\nd* ni mwenye haki;' 'Lakini Bwana ni mwenye haki;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amenifungua toka kamba za waovu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wale wote waichukiao Sayuni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na warudishwe nyuma kwa aibu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wawe kama majani juu ya paa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambayo hunyauka kabla hayajakua;' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala akusanyaye kujaza mikono yake.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Wale wapitao karibu na wasiseme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Baraka ya \\nd Bwana\\nd* iwe juu yako;' '“Baraka ya Bwana iwe juu yako;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'tunakubariki katika jina la \\nd Bwana\\nd*.”' 'tunakubariki katika jina la Bwana.”' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '129' c = '130' cl = 'Zaburi 130' v= = '1' s1 = 'Kuomba Msaada' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '130' v = '1' v~ = 'Kutoka vilindini ninakulilia, Ee \\nd Bwana\\nd*.' 'Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.' ¬v = '1' ¬q1 = q2 = '' v = '2' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, sikia sauti yangu.' 'Ee Bwana, sikia sauti yangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Masikio yako na yawe masikivu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kilio changu unihurumie.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kama wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,' 'Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Lakini kwako kuna msamaha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo wewe unaogopwa.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Namngojea \\nd Bwana\\nd*, nafsi yangu inangojea,' 'Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika neno lake naweka tumaini langu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nafsi yangu inamngojea Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'naam, kuliko walinzi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waingojeavyo asubuhi.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee Israeli, mtumaini \\nd Bwana\\nd*,' 'Ee Israeli, mtumaini Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maana kwa \\nd Bwana\\nd* kuna upendo usiokoma,' 'maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kwake kuna ukombozi kamili.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka dhambi zao zote.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '130' c = '131' cl = 'Zaburi 131' v= = '1' s1 = 'Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu' d = 'Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.' q1 = '' c# = '131' v = '1' v~ = 'Moyo wangu hauna kiburi, Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'macho yangu hayajivuni;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'sijishughulishi na mambo makuu kunizidi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala mambo ya ajabu mno kwangu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama mtoto aliyeachishwa kunyonya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee Israeli, mtumaini \\nd Bwana\\nd*' 'Ee Israeli, mtumaini Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tangu sasa na hata milele.' ¬v = '3' ¬q2 = ¬c = '131' c = '132' cl = 'Zaburi 132' v= = '1' s1 = 'Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '132' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, mkumbuke Daudi' 'Ee Bwana, mkumbuke Daudi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na taabu zote alizozistahimili.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Aliapa kiapo kwa \\nd Bwana\\nd*' 'Aliapa kiapo kwa Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = '“Sitaingia nyumbani mwangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kwenda kitandani mwangu:' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'sitaruhusu usingizi katika macho yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kope zangu kusinzia,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'mpaka nitakapompatia \\nd Bwana\\nd* mahali,' 'mpaka nitakapompatia Bwana mahali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Tulisikia habari hii huko Efrathi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:' EXTRA( fn @ 41 = '+ \\fr 132:6 \\ft Yaani Kiriath-Yearimu.') ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = '“Twendeni kwenye makao yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'inuka, Ee \\nd Bwana\\nd*, uje mahali pako pa kupumzikia,' 'inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe na Sanduku la nguvu zako.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Makuhani wako na wavikwe haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usimkatae mpakwa mafuta wako.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = '\\nd Bwana\\nd* alimwapia Daudi kiapo,' 'Bwana alimwapia Daudi kiapo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua:' ¬q2 = q1 = '' p~ = '“Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika kiti chako cha enzi,' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'kama wanao watashika Agano langu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sheria ninazowafundisha,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ndipo wana wao watarithi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kiti chako cha enzi milele na milele.”' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwa maana \\nd Bwana\\nd* ameichagua Sayuni,' 'Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amepaonea shauku pawe maskani yake:' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = '“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitashibisha maskini wake kwa chakula.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Nitawavika makuhani wake wokovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = '“Hapa nitamchipushia Daudi pembe,' EXTRA( fn @ 33 = '+ \\fr 132:17 \\ft Pembe inawakilisha nguvu.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.' EXTRA( fn @ 33 = '+ \\fr 132:17 \\ft Masiya yaani mpakwa mafuta.') ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Adui zake nitawavika aibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”' ¬v = '18' ¬q2 = ¬c = '132' c = '133' cl = 'Zaburi 133' v= = '1' s1 = 'Sifa Za Pendo La Undugu' d = 'Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.' q1 = '' c# = '133' v = '1' v~ = 'Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yakitiririka kwenye ndevu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'yakitiririka kwenye ndevu za Aroni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ni kama vile umande wa Hermoni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kwa maana huko ndiko \\nd Bwana\\nd* alikoamuru baraka yake,' 'Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, hata uzima milele.' ¬v = '3' ¬q2 = ¬c = '133' c = '134' cl = 'Zaburi 134' v= = '1' s1 = 'Wito Wa Kumsifu Mungu' d = 'Wimbo wa kwenda juu.' q1 = '' c# = '134' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*, ninyi nyote watumishi wa \\nd Bwana\\nd*,' 'Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya \\nd Bwana\\nd*.' 'ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Inueni mikono yenu katika pale patakatifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumsifu \\nd Bwana\\nd*.' 'na kumsifu Bwana.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Naye \\nd Bwana\\nd*, Muumba wa mbingu na dunia,' 'Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'awabariki kutoka Sayuni.' ¬v = '3' ¬q2 = ¬c = '134' c = '135' cl = 'Zaburi 135' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu' q1 = '' c# = '135' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Lisifuni jina la \\nd Bwana\\nd*,' 'Lisifuni jina la Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni, enyi watumishi wa \\nd Bwana\\nd*,' 'msifuni, enyi watumishi wa Bwana,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya \\nd Bwana\\nd*,' 'ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*, kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* ni mwema,' 'Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa maana \\nd Bwana\\nd* amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,' 'Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Israeli kuwa mali yake ya thamani.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ninajua ya kuwa \\nd Bwana\\nd* ni mkuu,' 'Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = '\\nd Bwana\\nd* hufanya lolote apendalo,' 'Bwana hufanya lolote apendalo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbinguni na duniani,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'katika bahari na vilindi vyake vyote.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na huleta upepo kutoka ghala zake.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'dhidi ya Farao na watumishi wake wote.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Aliyapiga mataifa mengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na akaua wafalme wenye nguvu:' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mfalme Sihoni na Waamori,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ogu mfalme wa Bashani' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na wafalme wote wa Kanaani:' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'akatoa nchi yao kuwa urithi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'urithi kwa watu wake Israeli.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, jina lako ladumu milele,' 'Ee Bwana, jina lako ladumu milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kumbukumbu za fahari zako, Ee \\nd Bwana\\nd*, kwa vizazi vyote.' 'kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Maana \\nd Bwana\\nd* atawathibitisha watu wake,' 'Maana Bwana atawathibitisha watu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwahurumia watumishi wake.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zina macho, lakini haziwezi kuona;' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'zina masikio, lakini haziwezi kusikia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ee nyumba ya Israeli, msifuni \\nd Bwana\\nd*;' 'Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ee nyumba ya Aroni, msifuni \\nd Bwana\\nd*;' 'ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'ee nyumba ya Lawi, msifuni \\nd Bwana\\nd*;' 'ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi mnaomcha, msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd* kutoka Sayuni,' 'Msifuni Bwana kutoka Sayuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni yeye aishiye Yerusalemu.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '21' ¬q1 = ¬c = '135' c = '136' cl = 'Zaburi 136' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Kumshukuru Mungu' q1 = '' c# = '136' v = '1' v~ = 'Mshukuruni \\nd Bwana\\nd*, kwa kuwa ni mwema.' 'Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema.' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mshukuruni Mungu wa miungu.' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mshukuruni Bwana wa mabwana:' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwake yeye pekee atendaye maajabu makuu,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ambaye kwa ufahamu wake aliziumba mbingu,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ambaye aliitandaza dunia juu ya maji,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ambaye aliumba mianga mikubwa,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Jua litawale mchana,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mwezi na nyota vitawale usiku,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwake yeye aliyemuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Na kuwatoa Israeli katikati yao,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kwa mkono wenye nguvu ulionyooshwa,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Na kuwapitisha Israeli katikati yake,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kwake yeye aliyewaongoza watu wake katika jangwa,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Ambaye aliwapiga wafalme wenye nguvu,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Naye aliwaua wafalme wenye nguvu,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Sihoni mfalme wa Waamori,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Ogu mfalme wa Bashani,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Akatoa nchi yao kuwa urithi,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Urithi kwa Israeli mtumishi wake,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Aliyetukumbuka katika unyonge wetu,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Alituweka huru toka adui zetu,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Ambaye humpa chakula kila kiumbe.' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬qr = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Mshukuruni Mungu wa mbinguni,' ¬q1 = qr = '' p~ = '\\it Fadhili zake zadumu milele\\it*.' 'Fadhili zake zadumu milele.' ¬v = '26' ¬qr = ¬c = '136' c = '137' cl = 'Zaburi 137' v= = '1' s1 = 'Maombolezo Ya Israeli Uhamishoni' q1 = '' c# = '137' v = '1' v~ = 'Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tulipokumbuka Sayuni.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwenye miti ya huko' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tulitundika vinubi vyetu,' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'kwa maana huko hao waliotuteka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walitaka tuwaimbie nyimbo,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'watesi wetu walidai nyimbo za furaha;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Tutaimbaje nyimbo za \\nd Bwana\\nd*,' 'Tutaimbaje nyimbo za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tukiwa nchi ya kigeni?' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Nikikusahau wewe, ee Yerusalemu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ulimi wangu ushikamane na kaakaa la kinywa changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama sitakukumbuka wewe,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kama nisipokufikiri Yerusalemu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuwa furaha yangu kubwa.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kumbuka, Ee \\nd Bwana\\nd*, walichokifanya Waedomu,' 'Kumbuka, Ee Bwana, walichokifanya Waedomu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku ile Yerusalemu ilipoanguka.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Walisema, “Bomoa, Bomoa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpaka kwenye misingi yake!”' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'heri yeye atakayekulipiza wewe' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa yale uliyotutenda sisi:' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwaponda juu ya miamba.' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '137' c = '138' cl = 'Zaburi 138' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Shukrani' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '138' v = '1' v~ = 'Nitakusifu wewe, Ee \\nd Bwana\\nd*, kwa moyo wangu wote,' 'Nitakusifu wewe, Ee Bwana, kwa moyo wangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele ya “miungu” nitaimba sifa zako.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitalisifu jina lako' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa ajili ya upendo wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uaminifu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya vitu vyote.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nilipoita, ulinijibu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee \\nd Bwana\\nd*,' 'Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati wanaposikia maneno ya kinywa chako.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wao na waimbe kuhusu njia za \\nd Bwana\\nd*,' 'Wao na waimbe kuhusu njia za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana utukufu wa \\nd Bwana\\nd* ni mkuu.' 'kwa maana utukufu wa Bwana ni mkuu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ingawa \\nd Bwana\\nd* yuko juu,' 'Ingawa Bwana yuko juu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'humwangalia mnyonge,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'bali mwenye kiburi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye anamjua kutokea mbali.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nijapopita katikati ya shida,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe unayahifadhi maisha yangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'unanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa mkono wako wa kuume unaniokoa.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* atatimiza kusudi lake kwangu,' 'Bwana atatimiza kusudi lake kwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, upendo wako wadumu milele:' 'Ee Bwana, upendo wako wadumu milele:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'usiziache kazi za mikono yako.' ¬v = '8' ¬q2 = ¬c = '138' c = '139' cl = 'Zaburi 139' v= = '1' s1 = 'Mungu Asiyeweza Kukwepwa' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '139' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, umenichunguza' 'Ee Bwana, umenichunguza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunijua.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Unajua ninapoketi na ninapoinuka;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unatambua mawazo yangu tokea mbali.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Unafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unaelewa njia zangu zote.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kabla neno halijafika katika ulimi wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe walijua kikamilifu, Ee \\nd Bwana\\nd*.' 'wewe walijua kikamilifu, Ee Bwana.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Umenizunguka nyuma na mbele;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umeweka mkono wako juu yangu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni ya juu sana kwangu kuyafikia.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Niende wapi nijiepushe na Roho yako?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Niende wapi niukimbie uso wako?' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikifanya vilindi kuwa kitanda changu,' EXTRA( fn @ 17 = '+ \\fr 139:8 \\ft Vilindi ina maana ya Kuzimu, ambayo ni Sheol kwa Kiebrania.') ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wewe uko huko.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama nikikaa pande za mbali za bahari,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'hata huko mkono wako utaniongoza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kama nikisema, “Hakika giza litanificha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na nuru inayonizunguka iwe usiku,”' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'hata giza halitakuwa giza kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiku utangʼaa kama mchana,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kwa maana wewe ndiwe uliyeumba utu wangu wa ndani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uliniunga pamoja tumboni mwa mama yangu.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa namna ya ajabu na ya kutisha;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kazi zako ni za ajabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninajua hayo kikamilifu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Umbile langu halikufichika kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilipoumbwa mahali pa siri.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nilipoungwa pamoja kwa ustadi katika vilindi vya nchi,' ¬q1 = ¬v = '15' q2 = '' v = '16' v~ = 'macho yako yaliniona kabla mwili wangu haujakamilika.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Siku zangu zote ulizonipangia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ziliandikwa katika kitabu chako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kabla haijakuwepo hata moja.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Tazama jinsi yalivyo ya thamani mawazo yako kwangu, Ee Mungu!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Jinsi jumla yake ilivyo kubwa!' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kama ningezihesabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zingekuwa nyingi kuliko mchanga.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Niamkapo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bado niko pamoja nawe.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Laiti ungewachinja waovu, Ee Mungu!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ondokeni kwangu, ninyi wamwaga damu!' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'adui zako wanatumia vibaya jina lako.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, je, nisiwachukie wanaokuchukia?' 'Ee Bwana, je, nisiwachukie wanaokuchukia?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Nisiwachukie sana wanaoinuka dhidi yako?' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Sina kitu zaidi ya chuki dhidi yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninawahesabu ni adui zangu.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nijaribu na ujue mawazo yangu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uniongoze katika njia ya milele.' ¬v = '24' ¬q2 = ¬c = '139' c = '140' cl = 'Zaburi 140' v= = '1' s1 = 'Kuomba Ulinzi Wa Mungu' d = 'Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '140' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, niokoe, kutoka kwa watu waovu;' 'Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilinde na watu wenye jeuri,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuchochea vita siku zote.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sumu ya nyoka iko midomoni mwao.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, niepushe na mikono ya waovu;' 'Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilinde na watu wenye jeuri' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wanaopanga kunikwaza miguu yangu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wametandaza kamba za wavu wao,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wametega mitego kwenye njia yangu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”' 'Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, usikie kilio changu na kunihurumia.' 'Ee Bwana, usikie kilio changu na kunihurumia.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,' 'Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unikingaye kichwa changu siku ya vita:' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, usiwape waovu matakwa yao,' 'Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiache mipango yao ikafanikiwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wasije wakajisifu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na shida zinazosababishwa na midomo yao.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Na watupwe motoni,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'katika mashimo ya matope,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wasiinuke tena kamwe.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maafa na yawawinde watu wenye jeuri.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Najua kwamba \\nd Bwana\\nd* huwapatia maskini haki,' 'Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuitegemeza njia ya mhitaji.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Hakika wenye haki watalisifu jina lako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na waadilifu wataishi mbele zako.' ¬v = '13' ¬q2 = ¬c = '140' c = '141' cl = 'Zaburi 141' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '141' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, ninakuita wewe, uje kwangu hima.' 'Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Sikia sauti yangu ninapokuita.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, weka mlinzi kinywani mwangu,' 'Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nisije nikashiriki katika matendo maovu' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'pamoja na watu watendao mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu.' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Kichwa changu hakitalikataa.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Hata hivyo, maombi yangu daima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kinyume cha watenda mabaya,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'watawala wao watatupwa chini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka kwenye majabali,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'waovu watajifunza kwamba maneno yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yalikuwa kweli.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.”' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee \\nd Bwana\\nd* Mwenyezi,' 'Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Niepushe na mitego waliyonitegea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati mimi ninapita salama.' ¬v = '10' ¬q2 = ¬c = '141' c = '142' cl = 'Zaburi 142' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Watesi' d = 'Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.' q1 = '' c# = '142' v = '1' v~ = 'Namlilia \\nd Bwana\\nd* kwa sauti,' 'Namlilia Bwana kwa sauti,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nainua sauti yangu kwa \\nd Bwana\\nd* anihurumie.' 'nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Namimina malalamiko yangu mbele zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele zake naeleza shida zangu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wewe ndiwe unajua njia zangu.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Katika njia ninayopita' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu wameniwekea mtego.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Tazama kuume kwangu na uone,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna hata mmoja anayejihusisha nami.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Sina kimbilio,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna anayejali maisha yangu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, nakulilia wewe,' 'Ee Bwana, nakulilia wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nasema, “Wewe ni kimbilio langu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'fungu langu katika nchi ya walio hai.”' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Sikiliza kilio changu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu mimi ni mhitaji sana;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'niokoe na wale wanaonifuatilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa wamenizidi nguvu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nifungue kutoka kifungo changu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili niweze kulisifu jina lako.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Ndipo wenye haki watanizunguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu ya wema wako kwangu.' ¬v = '7' ¬q2 = ¬c = '142' c = '143' cl = 'Zaburi 143' v= = '1' s1 = 'Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '143' v = '1' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, sikia sala yangu,' 'Ee Bwana, sikia sala yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikiliza kilio changu unihurumie;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'katika uaminifu na haki yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'njoo unisaidie.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Usimhukumu mtumishi wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Adui hunifuatilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hunipondaponda chini;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'hunifanya niishi gizani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama wale waliokufa zamani.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Nakumbuka siku za zamani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'natafakari juu ya kazi zako zote,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'naangalia juu ya kazi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambazo mikono yako imezifanya.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nanyoosha mikono yangu kwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, unijibu haraka,' 'Ee Bwana, unijibu haraka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'roho yangu inazimia.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Usinifiche uso wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nionyeshe njia nitakayoiendea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, uniokoe na adui zangu,' 'Ee Bwana, uniokoe na adui zangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa nimejificha kwako.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Nifundishe kufanya mapenzi yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Roho wako mwema na aniongoze' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika nchi tambarare.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,' 'Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa haki yako nitoe katika taabu.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kwa upendo wako usiokoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nyamazisha adui zangu;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'waangamize watesi wangu wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.' ¬v = '12' ¬q2 = ¬c = '143' c = '144' cl = 'Zaburi 144' v= = '1' s1 = 'Mfalme Amshukuru Mungu Kwa Ushindi' d = 'Zaburi ya Daudi.' q1 = '' c# = '144' v = '1' v~ = 'Sifa ni kwa \\nd Bwana\\nd* Mwamba wangu,' 'Sifa ni kwa Bwana Mwamba wangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aifundishaye mikono yangu vita,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na vidole vyangu kupigana.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ngome yangu na mwokozi wangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ngao yangu ninayemkimbilia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, mwanadamu ni nini hata umjali,' 'Ee Bwana, mwanadamu ni nini hata umjali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Binadamu ni nini hata umfikirie?' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mwanadamu ni kama pumzi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku zake ni kama kivuli kinachopita.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, pasua mbingu zako, ushuke,' 'Ee Bwana, pasua mbingu zako, ushuke,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'gusa milima ili itoe moshi.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Peleka umeme uwatawanye adui,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lenga mishale yako uwashinde.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Nyoosha mkono wako kutoka juu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikomboe na kuniokoa' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kutoka maji makuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mikononi mwa wageni' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'ambao vinywa vyao vimejaa uongo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa zeze yenye nyuzi kumi nitakuimbia,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'kwa Yule awapaye wafalme ushindi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye humwokoa Daudi, mtumishi wake kutokana na upanga hatari.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Nikomboe na uniokoe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mikononi mwa wageni' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ambao vinywa vyao vimejaa uongo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kisha wana wetu wakati wa ujana wao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watakuwa kama mimea iliyotunzwa vizuri,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'binti zetu watakuwa kama nguzo zilizoviringwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kurembesha jumba la kifalme.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ghala zetu zitajazwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aina zote za mahitaji.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kondoo zetu watazaa kwa maelfu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa makumi ya maelfu katika mashamba yetu;' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'maksai wetu watakokota' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mizigo mizito.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Hakutakuwa na kubomoka kuta,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna kuchukuliwa mateka,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wala kilio cha taabu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika barabara zetu.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Heri watu ambao hili ni kweli;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'heri wale ambao \\nd Bwana\\nd* ni Mungu wao.' 'heri wale ambao Bwana ni Mungu wao.' ¬v = '15' ¬q2 = ¬c = '144' c = '145' cl = 'Zaburi 145' EXTRA( fn @ 10 = '+ \\fr 145:1 \\ft Zaburi hii imetungwa kila mstari (ikiwa ni pamoja na 13b) ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Kusifu Ukuu Na Wema Wa Mungu' d = 'Wimbo wa Sifa. Wa Daudi.' q1 = '' c# = '145' v = '1' v~ = 'Nitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitalisifu jina lako milele na milele.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kila siku nitakusifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kulitukuza jina lako milele na milele.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,' 'Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukuu wake haupimiki.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watasimulia matendo yako makuu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nitatangaza matendo yako makuu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wataadhimisha wema wako mwingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wataimba kwa shangwe juu ya haki yako.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwenye neema na mwingi wa huruma,' 'Bwana ni mwenye neema na mwingi wa huruma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwema kwa wote,' 'Bwana ni mwema kwa wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ana huruma kwa vyote alivyovifanya.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ee \\nd Bwana\\nd*, vyote ulivyovifanya vitakusifu,' 'Ee Bwana, vyote ulivyovifanya vitakusifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watakatifu wako watakutukuza.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Watasimulia utukufu wa ufalme wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kusema juu ya ukuu wako,' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'ili watu wote wajue matendo yako makuu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na utukufu wa fahari ya ufalme wako.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ufalme wako ni ufalme wa milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mamlaka yako hudumu vizazi vyote.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwaminifu kwa ahadi zake zote' 'Bwana ni mwaminifu kwa ahadi zake zote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwategemeza wote waangukao,' 'Bwana huwategemeza wote waangukao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na huwainua wote waliolemewa na mizigo yao.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Macho yao wote yanakutazama wewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe huwapa chakula chao wakati wake.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Waufumbua mkono wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watosheleza haja ya kila kitu kilicho hai.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = '\\nd Bwana\\nd* ni mwenye haki katika njia zake zote,' 'Bwana ni mwenye haki katika njia zake zote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = '\\nd Bwana\\nd* yu karibu na wote wamwitao,' 'Bwana yu karibu na wote wamwitao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Huwatimizia wamchao matakwa yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'husikia kilio chao na kuwaokoa.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwalinda wote wampendao,' 'Bwana huwalinda wote wampendao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali waovu wote atawaangamiza.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kinywa changu kitazinena sifa za \\nd Bwana\\nd*.' 'Kinywa changu kitazinena sifa za Bwana.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kila kiumbe na kilisifu jina lake takatifu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'milele na milele.' ¬v = '21' ¬q2 = ¬c = '145' c = '146' cl = 'Zaburi 146' v= = '1' s1 = 'Kumsifu Mungu Mwokozi' q1 = '' c# = '146' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*!' 'Msifuni Bwana!' EXTRA( fn @ 22 = '+ \\fr 146:1 \\ft Msifuni \\+nd Bwana\\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.') b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Ee nafsi yangu, umsifu \\nd Bwana\\nd*,' 'Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,' ¬q1 = ¬v = '1' q2 = '' v = '2' v~ = 'Nitamsifu \\nd Bwana\\nd* maisha yangu yote;' 'Nitamsifu Bwana maisha yangu yote;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nitamwimbia Mungu wangu sifa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati wote niishipo.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Usiweke tumaini lako kwa wakuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa wanadamu ambao hufa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambao hawawezi kuokoa.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Roho yao itokapo hurudi mavumbini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye tumaini lake ni katika \\nd Bwana\\nd*, Mungu wake,' 'ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Muumba wa mbingu na nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na bahari na vyote vilivyomo ndani yake:' ¬q2 = q1 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* anayedumu kuwa mwaminifu' 'Bwana anayedumu kuwa mwaminifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'milele na milele.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Naye huwapatia haki walioonewa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwapa wenye njaa chakula.' ¬q2 = q1 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huwaweka wafungwa huru,' 'Bwana huwaweka wafungwa huru,' ¬q1 = ¬v = '7' q2 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwafumbua vipofu macho,' 'Bwana huwafumbua vipofu macho,' ¬q2 = q1 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huwainua waliolemewa na mizigo yao,' 'Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huwapenda wenye haki.' 'Bwana huwapenda wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwalinda wageni' 'Bwana huwalinda wageni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwategemeza yatima na wajane,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'lakini hupinga njia za waovu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = '\\nd Bwana\\nd* atamiliki milele,' 'Bwana atamiliki milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mungu wako, ee Sayuni,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa vizazi vyote.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '10' ¬q1 = ¬c = '146' c = '147' cl = 'Zaburi 147' v= = '1' s1 = 'Kumsifu Mungu Mwenye Nguvu Zote' q1 = '' c# = '147' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Tazama jinsi ilivyo vyema kumwimbia Mungu wetu sifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jinsi inavyopendeza na kustahili kumsifu yeye!' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = '\\nd Bwana\\nd* hujenga Yerusalemu,' 'Bwana hujenga Yerusalemu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huwakusanya Israeli walio uhamishoni.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Anawaponya waliovunjika mioyo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuvifunga vidonda vyao.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Huzihesabu nyota' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na huipa kila moja jina lake.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Bwana wetu ni mkuu na mwenye uwezo mwingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ufahamu wake hauna kikomo.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwahifadhi wanyenyekevu' 'Bwana huwahifadhi wanyenyekevu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini huwashusha waovu mpaka mavumbini.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mwimbieni \\nd Bwana\\nd* kwa shukrani,' 'Mwimbieni Bwana kwa shukrani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpigieni Mungu wetu kinubi.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Yeye huzifunika anga kwa mawingu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huinyeshea ardhi mvua,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kuzifanya nyasi kuota juu ya vilima.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Huwapa chakula mifugo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na pia makinda ya kunguru yanapolia.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Furaha yake haipo katika nguvu za farasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala furaha yake kwenye miguu ya mwanadamu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = '\\nd Bwana\\nd* hupendezwa na wale wamchao,' 'Bwana hupendezwa na wale wamchao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wanaoweka tumaini lao katika upendo wake usiokoma.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mtukuze \\nd Bwana\\nd*, ee Yerusalemu,' 'Mtukuze Bwana, ee Yerusalemu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifu Mungu wako, ee Sayuni,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'kwa maana huimarisha makomeo ya malango yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na huwabariki watu wako walio ndani yako.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Huwapa amani mipakani mwenu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukushibisha kwa ngano safi kabisa.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Hutuma amri yake duniani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'neno lake hukimbia kasi.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Anatandaza theluji kama sufu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutawanya umande kama majivu.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Huvurumisha mvua yake ya mawe kama changarawe.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani awezaye kustahimili ukali wa baridi yake?' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Hutuma neno lake na kuviyeyusha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huvumisha upepo wake, nayo maji hutiririka.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Amemfunulia Yakobo neno lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sheria zake na maagizo yake kwa Israeli.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Hajafanya hivyo kwa taifa lingine lolote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawazijui sheria zake.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '20' ¬q1 = ¬c = '147' c = '148' cl = 'Zaburi 148' v= = '1' s1 = 'Mwito Kwa Ulimwengu Kumsifu Mungu' q1 = '' c# = '148' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd* kutoka mbinguni,' 'Msifuni Bwana kutoka mbinguni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni juu vileleni.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Msifuni, enyi malaika wake wote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni yeye, enyi jeshi lake lote la mbinguni.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Msifuni yeye, enyi jua na mwezi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni yeye, enyi nyota zote zingʼaazo.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ninyi maji juu ya anga.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Vilisifu jina la \\nd Bwana\\nd*' 'Vilisifu jina la Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Aliviweka mahali pake milele na milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'alitoa amri ambayo haibadiliki milele.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mtukuzeni \\nd Bwana\\nd* kutoka duniani,' 'Mtukuzeni Bwana kutoka duniani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi viumbe vikubwa vya baharini na vilindi vyote vya bahari,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'umeme wa radi na mvua ya mawe, theluji na mawingu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pepo za dhoruba zinazofanya amri zake,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'ninyi milima na vilima vyote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miti ya matunda na mierezi yote,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'wanyama wa mwituni na mifugo yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'viumbe vidogo na ndege warukao,' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'wafalme wa dunia na mataifa yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi wakuu na watawala wote wa dunia,' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'wanaume vijana na wanawali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wazee na watoto.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Wote na walisifu jina la \\nd Bwana\\nd*,' 'Wote na walisifu jina la Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana jina lake pekee limetukuka,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'utukufu wake uko juu ya nchi na mbingu.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Amewainulia watu wake pembe,' EXTRA( fn @ 28 = '+ \\fr 148:14 \\ft Pembe hapa inawakilisha mwenye nguvu, yaani mfalme.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sifa ya watakatifu wake wote,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ya Israeli, watu walio karibu na moyo wake.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '14' ¬q1 = ¬c = '148' c = '149' cl = 'Zaburi 149' v= = '1' s1 = 'Wimbo Wa Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake' q1 = '' c# = '149' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Mwimbieni \\nd Bwana\\nd* wimbo mpya,' 'Mwimbieni Bwana wimbo mpya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Israeli na washangilie katika Muumba wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Na walisifu jina lake kwa kucheza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wampigie muziki kwa matari na kinubi.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa maana \\nd Bwana\\nd* anapendezwa na watu wake,' 'Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Watakatifu washangilie katika heshima hii,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'ili walipize mataifa kisasi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na adhabu juu ya mataifa,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'wawafunge wafalme wao kwa minyororo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakuu wao kwa pingu za chuma,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote.' ¬q2 = b = '' q2 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' ¬v = '9' ¬q2 = ¬c = '149' c = '150' cl = 'Zaburi 150' v= = '1' s1 = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd* Kwa Ukuu Wake' 'Msifuni Bwana Kwa Ukuu Wake' q1 = '' c# = '150' v = '1' v~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*.' 'Msifuni Bwana.' b = '' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'Msifuni Mungu katika patakatifu pake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni katika mbingu zake kuu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Msifuni kwa matendo yake makuu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni kwa kinubi na zeze,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'msifuni kwa matari na kucheza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'msifuni kwa matoazi yaliayo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msifuni kwa matoazi yavumayo sana.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kila chenye pumzi na kimsifu \\nd Bwana\\nd*.' 'Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana.' b = '' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Msifuni \\nd Bwana\\nd*!' 'Msifuni Bwana!' ¬q2 = ¬v = '6' ¬c = '150' ¬ms1 = ¬chapters =