id = 'PRO - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version' rem = 'Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.' headers = h = 'Mithali' toc1 = 'Mithali' toc2 = 'Mithali' toc3 = 'Mit' mt1 = 'Mithali' ¬headers = chapters = c = '1' v= = '1' s1 = 'Utangulizi: Kusudi Na Kiini' p = '' c# = '1' v = '1' v~ = 'Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:' ¬v = '1' ¬p = q1 = '' v = '2' v~ = 'Kwa kupata hekima na nidhamu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kufahamu maneno ya busara;' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'kwa kujipatia nidhamu na busara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'huwapa busara wajinga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maarifa na akili kwa vijana;' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'wenye hekima na wasikilize nao waongeze elimu yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wenye kupambanua na wapate mwongozo;' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'kwa kufahamu mithali na mifano,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'misemo na vitendawili vya wenye hekima.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kumcha \\nd Bwana\\nd* ndicho chanzo cha maarifa,' 'Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu.' ¬q2 = ¬v = '7' v= = '8' s1 = 'Onyo Dhidi Ya Ushawishi Wa Marafiki Waovu' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usiyaache mafundisho ya mama yako.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Hayo yatakuwa taji la maua la neema kichwani pako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mkufu wa kuipamba shingo yako.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mwanangu, kama wenye dhambi wakikushawishi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usikubaliane nao.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kama wakisema, “Twende tufuatane;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tukamvizie mtu na kumwaga damu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'njoo tukavizie nafsi isiyo na hatia;' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'tuwameze wakiwa hai kama kaburi,' EXTRA( fn @ 32 = '+ \\fr 1:12 \\ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Tutapata aina zote za vitu vya thamani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kujaza nyumba zetu kwa nyara.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Njoo ushirikiane nasi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vitu vyote tutakavyopata tutagawana.”' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mwanangu, usiandamane nao.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Usiweke mguu wako katika njia zao,' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni wepesi kumwaga damu.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati ndege wote wanakuona!' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hujivizia tu wenyewe!' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huuondoa uhai wa wale wenye mali.' ¬q2 = ¬v = '19' v= = '20' s1 = 'Onyo Dhidi Ya Kukataa Hekima' q1 = '' v = '20' v~ = 'Hekima huita kwa sauti kuu barabarani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa;' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'kwenye makutano ya barabara za mji' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zenye makelele mengi hupaza sauti,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = '“Enyi wajinga, mtangʼangʼania ujinga wenu hadi lini?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mpaka lini wenye mizaha watafurahia mizaha,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na wapumbavu kuchukia maarifa?' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kama mngekuwa mmeitikia karipio langu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ningekuwa nimemimina roho yangu kwenu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kuwafahamisha maneno yangu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hakuna yeyote aliyekubali' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'niliponyoosha mkono wangu,' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hamkukubali karipio langu,' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'mimi nami nitawacheka katika maafa yenu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitawadhihaki wakati janga litawapata:' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'wakati janga litawapata kama tufani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakati dhiki na taabu zitawalemea.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = '“Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watanitafuta lakini hawatanipata.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Kwa kuwa walichukia maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hawakuchagua kumcha \\nd Bwana\\nd*,' 'wala hawakuchagua kumcha Bwana,' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukataa maonyo yangu,' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'watakula matunda ya njia zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na watashibishwa matunda ya hila zao.' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nako kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza.' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”' ¬v = '33' ¬q2 = ¬c = '1' c = '2' v= = '1' s1 = 'Faida Za Hekima' q1 = '' c# = '2' v = '1' v~ = 'Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'kutega sikio lako kwenye hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuweka moyo wako katika ufahamu,' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'na kama ukiita busara' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuita kwa sauti ufahamu,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'na kama utaitafuta kama fedha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'ndipo utakapoelewa kumcha \\nd Bwana\\nd*' 'ndipo utakapoelewa kumcha Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kupata maarifa ya Mungu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwa maana \\nd Bwana\\nd* hutoa hekima,' 'Kwa maana Bwana hutoa hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na sawa: yaani kila njia nzuri.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Busara itakuhifadhi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ufahamu utakulinda.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'wale waachao mapito yaliyonyooka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakatembea katika njia za giza,' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'wale wapendao kutenda mabaya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kufurahia upotovu wa ubaya,' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'ambao mapito yao yamepotoka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ambao ni wapotovu katika njia zao.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ya kushawishi kutenda ubaya,' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'aliyemwacha mwenzi wa ujana wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mapito yake kwenye roho za waliokufa.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kufikia mapito ya uzima.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Hivyo utatembea katika njia za watu wema' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kushikamana na mapito ya wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wasio na lawama watabakia ndani yake.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.' ¬v = '22' ¬q2 = ¬c = '2' c = '3' v= = '1' s1 = 'Faida Nyingine Za Hekima' q1 = '' c# = '3' v = '1' v~ = 'Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali zitunze amri zangu moyoni mwako,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukuletea mafanikio.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vifunge shingoni mwako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'viandike katika ubao wa moyo wako.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ndipo utapata kibali na jina zuri' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mbele za Mungu na mwanadamu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mtumaini \\nd Bwana\\nd* kwa moyo wako wote' 'Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usizitegemee akili zako mwenyewe;' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'katika njia zako zote mkiri yeye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atayanyoosha mapito yako.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mche \\nd Bwana\\nd* ukajiepushe na uovu.' 'mche Bwana ukajiepushe na uovu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Hii itakuletea afya mwilini mwako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mafuta kwenye mifupa yako.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mheshimu \\nd Bwana\\nd* kwa mali zako na' 'Mheshimu Bwana kwa mali zako na' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa malimbuko ya mazao yako yote;' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'viriba vyako vitafurika kwa mvinyo mpya.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mwanangu, usiidharau adhabu ya \\nd Bwana\\nd*' 'Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na usichukie kukaripiwa naye,' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'kwa sababu \\nd Bwana\\nd* huwaadibisha wale awapendao,' 'kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama vile baba afanyavyo' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa mwana apendezwaye naye.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Heri mtu yule aonaye hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtu yule apataye ufahamu,' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'kwa maana hekima ana faida kuliko fedha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Hekima ana thamani kuliko marijani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna chochote unachokitamani' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kinachoweza kulinganishwa naye.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mkono wake wa kushoto' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kuna utajiri na heshima.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Njia zake zinapendeza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mapito yake yote ni amani.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wale wamshikao watabarikiwa.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Kwa hekima \\nd Bwana\\nd* aliiweka misingi ya dunia,' 'Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya dunia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake;' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'kwa maarifa yake vilindi viligawanywa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo mawingu yanadondosha umande.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiache vitoke machoni pako;' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na pambo la neema shingoni mwako.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kisha utaenda katika njia yako salama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala mguu wako hautajikwaa;' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'ulalapo, hautaogopa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Usiogope maafa ya ghafula' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au maangamizi yanayowapata waovu,' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* atakuwa tumaini lako' 'kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Usizuie wema kwa wale wanaostahili' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ikiwa katika uwezo wako kutenda.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Usimwambie jirani yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Njoo baadaye, nitakupa kesho”:' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakati wewe unacho kitu kile karibu nawe.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye anaishi karibu na wewe akikuamini.' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Usimshtaki mtu bila sababu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati hajakutenda dhara lolote.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' q1 = '' v = '31' v~ = 'Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kuchagua njia yake iwayo yote,' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'kwa kuwa \\nd Bwana\\nd* humchukia mtu mpotovu,' 'kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini siri yake iko kwa mwenye haki.' ¬q2 = ¬v = '32' b = '' q1 = '' v = '33' v~ = 'Laana ya \\nd Bwana\\nd* i juu ya nyumba ya mwovu,' 'Laana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Huwadhihaki wale wanaodhihaki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Wenye hekima hurithi heshima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali huwaaibisha wapumbavu.' ¬v = '35' ¬q2 = ¬c = '3' c = '4' v= = '1' s1 = 'Hekima Ni Bora Kupita Vitu Vyote' q1 = '' c# = '4' v = '1' v~ = 'Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba yenu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikilizeni kwa makini na mpate ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ninawapa mafundisho ya maana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo msiyaache mafundisho yangu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama yangu,' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'baba alinifundisha akisema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Yashike maneno yangu yote kwa moyo wako wote;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yashike maagizo yangu na wewe utaishi.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Pata hekima, pata ufahamu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Usimwache hekima naye atakuweka salama;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpende, naye atakulinda.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mstahi, naye atakukweza;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkumbatie, naye atakuheshimu.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Atakuvika shada la neema kichwani mwako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukupa taji ya utukufu.”' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Sikiliza mwanangu, kubali ninachokuambia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo miaka ya maisha yako itakuwa mingi.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Ninakuongoza katika njia ya hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukimbiapo, hutajikwaa.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mshike, maana yeye ni uzima wako.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usitembee katika njia ya watu wabaya.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'achana nayo, na uelekee njia yako.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanashindwa hata kusinzia mpaka wamwangushe mtu.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Wanakula mkate wa uovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kunywa mvinyo wa jeuri.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Njia ya wenye haki ni kama nuru ya kwanza ya mapambazuko,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambayo hungʼaa zaidi na zaidi mpaka mchana mkamilifu.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Lakini njia ya waovu ni kama giza nene;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawajui kinachowafanya wajikwae.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mwanangu, yasikilize kwa makini yale ninayokuambia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikiliza kwa makini maneno yangu.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Usiruhusu yaondoke machoni pako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yahifadhi ndani ya moyo wako;' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote uyalindayo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Epusha kinywa chako na ukaidi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'weka mazungumzo machafu mbali na midomo yako.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Macho yako na yatazame mbele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kaza macho yako moja kwa moja mbele yako.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Sawazisha mapito ya miguu yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na njia zako zote ziwe zimethibitika.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Usigeuke kulia wala kushoto;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'epusha mguu wako na ubaya.' ¬v = '27' ¬q2 = ¬c = '4' c = '5' v= = '1' s1 = 'Onyo Dhidi Ya Uzinzi' q1 = '' c# = '5' v = '1' v~ = 'Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'ili uweze kutunza busara' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na midomo yako ihifadhi maarifa.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa maana midomo ya mwanamke kahaba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hudondoza asali,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na maneno ya kinywa chake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni laini kuliko mafuta;' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkali kama upanga ukatao kuwili.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini.' EXTRA( fn @ 43 = '+ \\fr 5:5 \\ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.') ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Yeye hafikiri juu ya njia ya uzima;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'njia zake zimepotoka, lakini yeye hajui.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Sasa basi wanangu, nisikilizeni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msiache ninalowaambia.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Njia zenu ziwe mbali naye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msiende karibu na mlango wa nyumba yake,' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na miaka yako kwa aliye mkatili,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'wageni wasije wakasherehekea utajiri wako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na jitihada yako ikatajirisha' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nyumba ya mwanaume mwingine.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati nyama na mwili wako vimechakaa.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Utasema, “Tazama jinsi gani nilivyochukia adhabu!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Tazama jinsi moyo wangu ulivyodharau maonyo!' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Sikuwatii walimu wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katikati ya kusanyiko lote.”' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima chako mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na vijito vyako vya maji viwanjani?' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Na viwe vyako mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kamwe visishirikishwe wageni.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Chemchemi yako na ibarikiwe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na umfurahie mke wa ujana wako.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Kulungu jike apendaye, kulungu mzuri:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matiti yake na yakutosheleze siku zote,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nawe utekwe daima na upendo wake.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Kwa nini mwanangu, utekwe na mwanamke kahaba?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kwa nini ukumbatie kifua cha mke wa mwanaume mwingine?' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele za \\nd Bwana\\nd*,' 'Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele za Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huyapima mapito yake yote.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Matendo mabaya ya mtu mwovu humnasa yeye mwenyewe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kamba za dhambi yake humkamata kwa nguvu.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Atakufa kwa kukosa nidhamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.' ¬v = '23' ¬q2 = ¬c = '5' c = '6' v= = '1' s1 = 'Maonyo Dhidi Ya Upumbavu' q1 = '' c# = '6' v = '1' v~ = 'Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya mwingine,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'kama umetegwa na ulichosema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani yako:' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nenda ukajinyenyekeshe kwake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msihi jirani yako!' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Usiruhusu usingizi machoni pako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiruhusu kope zako zisinzie.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Jiweke huru, kama swala mkononi mwa mwindaji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama ndege kutoka kwenye mtego wa mwindaji.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Ewe mvivu, mwendee mchwa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zitafakari njia zake ukapate hekima!' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kwa maana yeye hana msimamizi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala mwangalizi, au mtawala,' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ewe mvivu, utalala hata lini?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Utaamka lini kutoka usingizi wako?' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mtu mbaya sana na mlaghai,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye huzungukazunguka' ¬q2 = q3 = '' p~ = 'na maneno ya upotovu,' ¬q3 = ¬v = '12' q2 = '' v = '13' v~ = 'ambaye anakonyeza kwa jicho lake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'anayetoa ishara kwa miguu yake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kuashiria kwa vidole vyake,' ¬q2 = ¬v = '13' q2 = '' v = '14' v~ = 'ambaye hupanga ubaya' ¬q2 = q3 = '' p~ = 'kwa udanganyifu moyoni mwake:' ¬q3 = q2 = '' p~ = 'daima huchochea fitina.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kwa hiyo maafa yatamkumba ghafula;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ataangamizwa mara, pasipo msaada.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kuna vitu sita anavyovichukia \\nd Bwana\\nd*,' 'Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:' ¬q2 = ¬v = '16' q3 = '' v = '17' v~ = 'macho ya kiburi,' ¬q3 = q3 = '' p~ = 'ulimi udanganyao,' ¬q3 = q3 = '' p~ = 'mikono imwagayo damu isiyo na hatia,' ¬q3 = ¬v = '17' q3 = '' v = '18' v~ = 'moyo uwazao mipango miovu,' ¬q3 = q3 = '' p~ = 'miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,' ¬q3 = ¬v = '18' q3 = '' v = '19' v~ = 'shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo,' ¬q3 = q3 = '' p~ = 'na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.' ¬q3 = ¬v = '19' v= = '20' s1 = 'Onyo Dhidi Ya Uasherati' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mwanangu, zishike amri za baba yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usiyaache mafundisho ya mama yako.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Yafunge katika moyo wako daima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yakaze kuizunguka shingo yako.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Wakati utembeapo, yatakuongoza;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati ulalapo, yatakulinda;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakati uamkapo, yatazungumza nawe.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kwa maana amri hizi ni taa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mafundisho haya ni mwanga' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na maonyo ya maadili ni njia ya uzima,' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'yakikulinda na mwanamke aliyepotoka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na maneno laini ya mwanamke aliyepotoka.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Moyo wako usitamani uzuri wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala macho yake yasikuteke,' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'kwa maana kahaba atakufanya uwe maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata ukose kipande cha mkate,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'naye mwanamke mzinzi huwinda maisha yako hasa.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Je, mtu aweza kuchotea moto kwenye paja lake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bila nguo zake kuungua?' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Je, mtu aweza kutembea juu ya makaa ya moto yanayowaka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bila miguu yake kuungua?' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa mwanaume mwingine;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna yeyote amgusaye huyo mwanamke ambaye hataadhibiwa.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Watu hawamdharau mwizi kama akiiba' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kukidhi njaa yake wakati ana njaa.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Pamoja na hayo, kama akikamatwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lazima alipe mara saba,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'Mapigo na aibu ni fungu lake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na aibu yake haitafutika kamwe;' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Hatakubali fidia yoyote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.' ¬v = '35' ¬q2 = ¬c = '6' c = '7' v= = '1' s1 = 'Onyo Dhidi Ya Mwanamke Mzinzi' q1 = '' c# = '7' v = '1' v~ = 'Mwanangu, shika maneno yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Shika amri zangu nawe utaishi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Yafunge katika vidole vyako;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yaandike katika kibao cha moyo wako.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uite ufahamu jamaa yako;' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'watakuepusha na mwanamke mzinzi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na mwanamke mpotovu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na maneno yake ya kubembeleza.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwenye dirisha la nyumba yangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nilitazama nje kupitia upenyo' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwenye mwimo wa dirisha.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Niliona miongoni mwa wajinga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikagundua miongoni mwa wanaume vijana,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kijana asiye na akili.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'wakati wa machweo, jua likipungua nuru yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'giza la usiku lilipokuwa likiingia.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ndipo huyo mwanamke akatoka kumlaki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hali amevaa kama kahaba akiwa na nia ya udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = '(Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miguu yake haitulii nyumbani;' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'mara kwenye barabara za mji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mara kwenye viwanja vikubwa,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwenye kila pembe huvizia.)' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa uso usio na haya akamwambia:' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = '“Nina sadaka za amani nyumbani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'leo nimetimiza nadhiri zangu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nimekutafuta na nimekupata!' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Nimetandika kitanda changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kitani za rangi kutoka Misri.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Nimetia manukato kitanda changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa manemane, udi na mdalasini.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Njoo, tuzame katika mapenzi mpaka asubuhi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tujifurahishe wenyewe kwa mapenzi!' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Mume wangu hayupo nyumbani;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amekwenda safari ya mbali.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Amechukua mkoba uliojazwa fedha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hatakuwepo nyumbani karibuni.”' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'alimshawishi kwa maneno yake laini.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mara huyo kijana alimfuata yule mwanamke' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama fahali aendaye machinjoni,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kama kulungu aingiaye kwenye kitanzi,' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'mpaka mshale umchome ini lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama ndege anayenaswa kwenye mtego,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bila kujua itamgharimu maisha yake.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Sasa basi wanangu, nisikilizeni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sikilizeni kwa makini nisemalo.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo mwanamke,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usitangetange katika mapito yake.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Aliowaangusha ni wengi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aliowachinja ni kundi kubwa.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini,' EXTRA( fn @ 41 = '+ \\fr 7:27 \\ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.') ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti.' ¬v = '27' ¬q2 = ¬c = '7' c = '8' v= = '1' s1 = 'Wito Wa Hekima' q1 = '' c# = '8' v = '1' v~ = 'Je, hekima haitani?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, ufahamu hapazi sauti?' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Juu ya miinuko karibu na njia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'penye njia panda, ndipo asimamapo;' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'kando ya malango yaelekeayo mjini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = '“Ni ninyi wanaume, ninaowaita;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninapaza sauti yangu kwa wanadamu wote.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninyi mlio wapumbavu, pateni ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Sikilizeni, kwa maana nina mambo muhimu ya kusema;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninafungua midomo yangu kusema lililo sawa.' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kinywa changu husema lililo kweli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana midomo yangu huchukia uovu.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Maneno yote ya kinywa changu ni haki;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna mojawapo lililopotoka wala ukaidi.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hayana kasoro kwa wale wenye maarifa.' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'Chagua mafundisho yangu badala ya fedha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maarifa badala ya dhahabu safi,' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hakuna chochote unachohitaji kinacholingana naye.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = '“Mimi hekima, nakaa pamoja na busara;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninamiliki maarifa na busara.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kumcha \\nd Bwana\\nd* ni kuchukia uovu;' 'Kumcha Bwana ni kuchukia uovu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ninachukia kiburi na majivuno,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'tabia mbaya na mazungumzo potovu.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nina ufahamu na nina nguvu.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kwa msaada wangu wafalme hutawala' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na watawala hutunga sheria zilizo za haki,' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'kwa msaada wangu wakuu hutawala,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wenye vyeo wote watawalao dunia.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Nawapenda wale wanipendao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Utajiri na heshima viko kwangu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utajiri udumuo na mafanikio.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kile nitoacho hupita fedha iliyo bora.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Natembea katika njia ya unyofu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mapito ya haki,' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'nawapa utajiri wale wanipendao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuzijaza hazina zao.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = '“\\nd Bwana\\nd* aliniumba mwanzoni mwa kazi yake,' '“Bwana aliniumba mwanzoni mwa kazi yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kabla ya matendo yake ya zamani;' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'niliteuliwa tangu milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tangu mwanzoni, kabla ya dunia kuumbwa.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Wakati hazijakuwepo bahari, nilikwishazaliwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati hazijakuwepo chemchemi zilizojaa maji;' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'kabla milima haijawekwa mahali pake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kabla vilima havijakuwepo, nilikwishazaliwa,' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'kabla hajaumba dunia wala mashamba yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au vumbi lolote la dunia.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Nilikuwepo alipoziweka mbingu mahali pake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati alichora mstari wa upeo wa macho' ¬q2 = q3 = '' p~ = 'juu ya uso wa kilindi,' ¬q3 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'wakati aliweka mawingu juu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuziweka imara chemchemi za bahari,' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'wakati aliiwekea bahari mpaka wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili maji yasivunje agizo lake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'na wakati aliweka misingi ya dunia.' ¬q1 = ¬v = '29' q2 = '' v = '30' v~ = 'Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nilijazwa na furaha siku baada ya siku,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nikifurahi daima mbele zake,' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'nikifurahi katika dunia yake yote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nikiwafurahia wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = '“Basi sasa wanangu, nisikilizeni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'heri wale wanaozishika njia zangu.' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'Sikilizeni mafundisho yangu mwe na hekima;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'msiyapuuze.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Heri mtu yule anisikilizaye mimi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akisubiri siku zote malangoni mwangu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'akingoja kwenye vizingiti vya mlango wangu.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kujipatia kibali kutoka kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'na kujipatia kibali kutoka kwa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '35' q1 = '' v = '36' v~ = 'Lakini yeyote ashindwaye kunipata' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hujiumiza mwenyewe;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na wote wanichukiao mimi hupenda mauti.”' ¬v = '36' ¬q2 = ¬c = '8' c = '9' v= = '1' s1 = 'Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu' q1 = '' c# = '9' v = '1' v~ = 'Hekima amejenga nyumba yake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'amechonga nguzo zake saba.' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pia ameandaa meza yake.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutoka mahali pa juu sana pa mji.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Anawaambia wale wasio na akili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Wote ambao ni wajinga na waje hapa!' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Njooni, mle chakula changu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mnywe divai niliyoichanganya.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tembeeni katika njia ya ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = '“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hukaribisha matukano;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'yeyote anayekemea mtu mwovu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupatwa na matusi.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkemee mwenye hekima naye atakupenda.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mfundishe mtu mwenye hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atakuwa na hekima zaidi;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mfundishe mtu mwadilifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atazidi kufundishika.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = '“Kumcha \\nd Bwana\\nd* ndicho chanzo cha hekima,' '“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kwa maana kwa msaada wangu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku zako zitakuwa nyingi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na miaka itaongezwa katika maisha yako.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama wewe ni mtu wa mzaha,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hana adabu na hana maarifa.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'akiita wale wapitao karibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waendao moja kwa moja kwenye njia yao.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Anawaambia wale wasio na akili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = '“Maji yaliyoibiwa ni matamu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwamba wageni wake huyo mwanamke' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wako katika vilindi vya kuzimu.' ¬v = '18' ¬q2 = ¬c = '9' c = '10' v= = '1' s1 = 'Mithali Za Solomoni' p = '' c# = '10' v = '1' v~ = 'Mithali za Solomoni:' ¬p = q1 = '' p~ = 'Mwana mwenye hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huleta furaha kwa baba yake,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'lakini mwana mpumbavu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huleta huzuni kwa mama yake.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini uadilifu huokoa kutoka mautini.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = '\\nd Bwana\\nd* hawaachi waadilifu kukaa njaa,' 'Bwana hawaachi waadilifu kukaa njaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini hupinga tamaa ya mtu mwovu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mikono yenye bidii huleta utajiri.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mwana mwenye hekima,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'lakini yeye alalaye wakati wa mavuno' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mwana mwenye kuaibisha.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini jina la mwovu litaoza.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mpumbavu apayukaye huangamia.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mtu mwadilifu hutembea salama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka atagunduliwa.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mpumbavu apayukaye huangamia.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Chuki huchochea faraka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini upendo husitiri mabaya yote.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Hekima hupatikana katika midomo ya wenye kupambanua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wake asiye na ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Wenye hekima huhifadhi maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ufukara ni maangamizi ya maskini.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ujira wa wenye haki huwaletea uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mapato ya waovu huwaletea adhabu.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Anayekubali kuadibishwa yuko katika njia ya uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini yeyote anayepuuza maonyo hupotosha wengine.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na yeyote anayeeneza uchonganishi ni mpumbavu.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni mwenye busara.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Midomo ya mwenye haki hulisha wengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini wapumbavu hufa kwa kukosa ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Baraka ya \\nd Bwana\\nd* hutajirisha,' 'Baraka ya Bwana hutajirisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala haichanganyi huzuni.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Mpumbavu hufurahia tabia mbaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mtu mwenye ufahamu hupendezwa na hekima.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Kile anachoogopa mwovu ndicho kitakachompata;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kile anachoonea shauku mwenye haki atapewa.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Tufani inapopita, waovu hutoweka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini wenye haki husimama imara milele.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa macho,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Kumcha \\nd Bwana\\nd* huongeza urefu wa maisha,' 'Kumcha Bwana huongeza urefu wa maisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini miaka ya mwovu inafupishwa.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Tarajio la mwenye haki ni furaha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Njia ya \\nd Bwana\\nd* ni kimbilio kwa wenye haki,' 'Njia ya Bwana ni kimbilio kwa wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini ni maangamizi ya wale watendao mabaya.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Kamwe wenye haki hawataondolewa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali waovu hawatasalia katika nchi.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' q1 = '' v = '31' v~ = 'Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ulimi wa upotovu utakatwa.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = 'Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu.' ¬q2 = ¬v = '32' b = '' ¬c = '10' c = '11' q1 = '' c# = '11' v = '1' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huchukia sana mizani za udanganyifu,' 'Bwana huchukia sana mizani za udanganyifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali vipimo sahihi ni furaha yake.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali unyenyekevu huja na hekima.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Uadilifu wa wenye haki huwaongoza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wasio waaminifu huharibiwa na hila yao.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali haki huokoa kutoka mautini.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Haki ya wanyofu huwaokoa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa mbaya.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu zake huwa si kitu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mtu mwovu huingia humo badala yake.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'humwangamiza jirani yake,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Wakati mwenye haki anapofanikiwa, mji hufurahi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwovu atowekapo, kuna kelele za furaha.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mtu asiye na akili humdharau jirani yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mwenye ufahamu huuzuia ulimi wake.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Masengenyo husaliti tumaini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mwaminifu hutunza siri.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali washauri wengi hufanya ushindi uwe wa hakika.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Yeye amdhaminiye mgeni hakika atateseka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeyote akataaye kuunga mkono dhamana ni salama.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata heshima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wanaume wakorofi hupata mali tu.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu,' 'Bwana huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali hupendezwa na wale ambao njia zao hazina lawama.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wenye haki watakuwa huru.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye hana busara.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwingine huzuia, lakini huwa maskini.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Mtu mkarimu atastawi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye awaburudishaye wengine' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ataburudishwa mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali baraka itamkalia kichwani kama taji' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yeye aliye radhi kuiuza.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Yeye atafutaye mema hupata ukarimu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye hekima.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mwenye hekima huvuta roho za watu.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' q1 = '' v = '31' v~ = 'Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'si zaidi sana yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?' ¬v = '31' ¬q2 = ¬c = '11' c = '12' v= = '1' s1 = 'Mafundisho Ya Kifamilia Na Ya Kijamii' q1 = '' c# = '12' v = '1' v~ = 'Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa \\nd Bwana\\nd*,' 'Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali \\nd Bwana\\nd* humhukumu mwenye hila.' 'bali Bwana humhukumu mwenye hila.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mtu hathibitiki kutokana na uovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye haki hataondolewa.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali aaibishaye ni kama uozo' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'katika mifupa ya mumewe.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Maneno ya waovu huotea kumwaga damu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali maneno ya waadilifu huwaokoa.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Watu waovu huondolewa na kutoweka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Mtu husifiwa kulingana na hekima yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Waovu hutamani mateka ya watu wabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali shina la mwenye haki hustawi.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye haki huepuka taabu.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kutokana na tunda la midomo yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtu hujazwa na mambo mema,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Njia ya mpumbavu huonekana sawa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'machoni pake mwenyewe,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu wa busara hupuuza matukano.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali shahidi wa uongo husema uongo.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Midomo isemayo kweli hudumu milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Upo udanganyifu katika mioyo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya wale ambao hupanga mabaya,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Hakuna dhara linalompata mwenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali waovu wana taabu nyingi.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anachukia sana midomo idanganyayo,' 'Bwana anachukia sana midomo idanganyayo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Mikono yenye bidii itatawala,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Moyo wa wasiwasi humlemea mtu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali neno la huruma humfurahisha.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali njia ya waovu huwapotosha.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Mtu mvivu haoki mawindo yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Katika njia ya haki kuna uzima;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika mapito hayo kuna maisha ya milele.' ¬v = '28' ¬q2 = ¬c = '12' c = '13' v= = '1' s1 = 'Mema Ya Muda Mfupi Na Yale Ya Kudumu' q1 = '' c# = '13' v = '1' v~ = 'Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya babaye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kutoka tunda la midomo yake mtu hufurahia mambo mema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mvivu hutamani sana na hapati kitu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali nafsi ya mwenye bidii' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hutoshelezwa kikamilifu.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mwenye haki huchukia uongo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali waovu huleta aibu na fedheha.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Haki humlinda mtu mwadilifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali uovu humwangusha mwenye dhambi.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mtu mmoja hujifanya tajiri, kumbe hana chochote;' ¬q1 = q1 = '' p~ = 'mwingine hujifanya maskini, kumbe ana utajiri mwingi.' ¬q1 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Utajiri wa mtu waweza kukomboa maisha yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu maskini hasikii kitisho.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Nuru ya mwenye haki hungʼaa sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali taa ya mwovu itazimwa.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kiburi huzalisha magomvi tu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali hekima hupatikana kwa wale wanaozingatia ushauri.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Fedha isiyo ya halali hupungua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye akusanyaye fedha kidogo kidogo huongezeka.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Yeye anayedharau mafundisho anajiletea maangamizi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye anayeheshimu agizo hupewa tuzo.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Ufahamu mzuri hupata upendeleo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali njia ya asiye mwaminifu ni ngumu.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini na aibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Tarajio lililotimizwa ni tamu kwa nafsi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wapumbavu huchukia sana kuacha ubaya.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Yeye atembeaye na mwenye hekima atapata hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali rafiki wa mpumbavu hupata madhara.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Balaa humwandama mtenda dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mafanikio ni thawabu kwa mwenye haki.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mali ya wenye dhambi imehifadhiwa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha chakula kingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali dhuluma hukifutilia mbali.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Yeye aizuiaye fimbo yake hampendi mwanawe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye ampendaye' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'huwa mwangalifu kumwadibisha.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Mwenye haki hula mpaka akaridhisha moyo wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali tumbo la mwovu hutaabika kwa njaa.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' ¬c = '13' c = '14' q1 = '' c# = '14' v = '1' v~ = 'Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mpumbavu huibomoa nyumba yake' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa mikono yake mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Yeye ambaye njia zake ni nyofu humcha \\nd Bwana\\nd*,' 'Yeye ambaye njia zake ni nyofu humcha Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye ambaye njia zake zimepotoka humdharau Mungu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mazungumzo ya mpumbavu huleta fimbo mgongoni mwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye hekima hulindwa na maneno ya midomo yake.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Pale ambapo hakuna mafahali, hori ni tupu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kutokana na nguvu za fahali huja mavuno mengi.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Shahidi mwaminifu hadanganyi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali shahidi wa uongo humimina uongo.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mwenye mzaha huitafuta hekima na haipati,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali maarifa huja kwa urahisi kwa anayepambanua.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kaa mbali na mtu mpumbavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Wapumbavu hudhihaki kujirekebisha kutoka dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wema hupatikana miongoni mwa wanyofu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kila moyo hujua uchungu wake wenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hakuna yeyote awezaye kushiriki furaha yake.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Nyumba ya mwovu itaangamizwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali hema la mnyofu litastawi.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwisho wake huelekeza mautini.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Hata katika kicheko moyo waweza kuuma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Wasio na imani watapatilizwa kikamilifu kwa ajili ya njia zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mtu mwema atapewa thawabu kwa ajili ya njia yake.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mtu mjinga huamini kila kitu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye busara hufikiria hatua zake.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mtu mwenye hekima humcha \\nd Bwana\\nd* na kuepuka mabaya,' 'Mtu mwenye hekima humcha Bwana na kuepuka mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na uzembe.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mtu wa hila huchukiwa.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Mjinga hurithi upumbavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani kama taji.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Watu wabaya watasujudu mbele ya watu wema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao waovu kwenye malango ya wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Maskini huepukwa hata na majirani zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali matajiri wana marafiki wengi.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Je, wale wanaopanga ubaya hawapotoki?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Bali wale wanaopanga kilicho chema' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hupata upendo na uaminifu.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Utajiri wa wenye hekima ni taji yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali upumbavu wa wapumbavu huzaa upumbavu.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Shahidi wa kweli huokoa maisha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Yeye amchaye \\nd Bwana\\nd* ana ngome salama,' 'Yeye amchaye Bwana ana ngome salama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa watoto wake itakuwa kimbilio.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Kumcha \\nd Bwana\\nd* ni chemchemi ya uzima,' 'Kumcha Bwana ni chemchemi ya uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali pasipo watu mkuu huangamia.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali anayekasirika haraka huonyesha upumbavu.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Moyo wenye amani huupa mwili uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wivu huozesha mifupa.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' q1 = '' v = '31' v~ = 'Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau kwa Muumba wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeyote anayemhurumia mhitaji humheshimu Mungu.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = 'Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio.' ¬q2 = ¬v = '32' b = '' q1 = '' v = '33' v~ = 'Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.' ¬q2 = ¬v = '33' b = '' q1 = '' v = '34' v~ = 'Haki huinua taifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali dhambi ni aibu kwa watu wote.' ¬q2 = ¬v = '34' b = '' q1 = '' v = '35' v~ = 'Mfalme hupendezwa na mtumishi mwenye hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ghadhabu yake humwangukia' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mtumishi mwenye kuaibisha.' ¬q2 = ¬v = '35' b = '' ¬c = '14' c = '15' q1 = '' c# = '15' v = '1' v~ = 'Jawabu la upole hugeuza ghadhabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali neno liumizalo huchochea hasira.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ulimi wa mwenye hekima husifu maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kinywa cha mpumbavu hufoka upumbavu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Macho ya \\nd Bwana\\nd* yako kila mahali,' 'Macho ya Bwana yako kila mahali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yakiwaangalia waovu na wema.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ulimi udanganyao huponda roho.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mpumbavu hubeza maonyo ya baba yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeyote akubaliye maonyo huonyesha busara.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Nyumba ya mwenye haki ina hazina kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mapato ya waovu huwaletea taabu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Midomo ya mwenye hekima hueneza maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali sivyo ilivyo mioyo ya wapumbavu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huchukia sana dhabihu za waovu,' 'Bwana huchukia sana dhabihu za waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali maombi ya wanyofu humfurahisha Mungu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huchukia sana njia ya waovu,' 'Bwana huchukia sana njia ya waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali huwapenda wale wafuatao haki.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Adhabu kali humngoja yeye aachaye njia;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye achukiaye maonyo atakufa.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za \\nd Bwana\\nd*:' 'Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Bwana:' EXTRAS( fn@5='+ \\fr 15:11 \\ft Yaani Sheol, maana yake ni Kuzimu.', fn@18='+ \\fr 15:11 \\ft Kwa Kiebrania ni Abadon.' ) ¬q1 = q2 = '' p~ = 'je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu!' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mwenye mzaha huchukia maonyo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatataka shauri kwa mwenye hekima.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Moyo wenye furaha hufanya uso uchangamke,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali maumivu ya moyoni huponda roho.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kinywa cha mpumbavu hujilisha upumbavu.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Siku zote za wanaoonewa ni za taabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali moyo mchangamfu una karamu ya kudumu.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Afadhali kuwa na kidogo pamoja na kumcha \\nd Bwana\\nd*,' 'Afadhali kuwa na kidogo pamoja na kumcha Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko mali nyingi pamoja na ghasia.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Afadhali chakula cha mboga mahali palipo na upendo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko nyama ya ndama iliyonona pamoja na chuki.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Mtu mwepesi wa hasira huchochea ugomvi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mvumilivu hutuliza ugomvi.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Njia ya mvivu imezibwa na miiba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Upumbavu humfurahisha mtu ambaye hana akili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mwenye ufahamu hushika njia iliyonyooka.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mipango hushindwa kufanikiwa kwa ajili ya kukosa ushauri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kukiwa na washauri wengi hufanikiwa.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Mtu hupata furaha katika kutoa jibu linalofaa:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'je, ni zuri namna gani neno lililotoka kwa wakati wake!' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kumwepusha asiende chini kaburini.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = '\\nd Bwana\\nd* hubomoa nyumba ya mtu mwenye kiburi,' 'Bwana hubomoa nyumba ya mtu mwenye kiburi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali huilinda mipaka ya mjane isiguswe.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huchukia sana mawazo ya mwovu,' 'Bwana huchukia sana mawazo ya mwovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mawazo ya wale walio safi humfurahisha yeye.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Mtu mwenye tamaa huletea jamaa yake taabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye achukiaye rushwa ataishi.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = '\\nd Bwana\\nd* yuko mbali na waovu,' 'Bwana yuko mbali na waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali husikia maombi ya wenye haki.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Mtazamo wa tabasamu huleta furaha moyoni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo habari njema huipa mifupa afya.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' q1 = '' v = '31' v~ = 'Yeye asikilizaye maonyo yatoayo uzima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atakuwa miongoni mwa wenye hekima.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = 'Yeye anayedharau maonyo hujidharau mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeyote anayekubali maonyo hupata ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '32' b = '' q1 = '' v = '33' v~ = 'Kumcha \\nd Bwana\\nd* humfundisha mtu hekima,' 'Kumcha Bwana humfundisha mtu hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao unyenyekevu huja kabla ya heshima.' ¬q2 = ¬v = '33' b = '' ¬c = '15' c = '16' q1 = '' c# = '16' v = '1' v~ = 'Mipango ya moyoni ni ya mwanadamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali jibu la ulimi hutoka kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'bali jibu la ulimi hutoka kwa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Njia zote za mtu huonekana safi machoni pake mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali makusudi hupimwa na \\nd Bwana\\nd*.' 'bali makusudi hupimwa na Bwana.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mkabidhi \\nd Bwana\\nd* lolote ufanyalo,' 'Mkabidhi Bwana lolote ufanyalo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo mipango yako itafanikiwa.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = '\\nd Bwana\\nd* hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe;' 'Bwana hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata waovu kwa siku ya maangamizi.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = '\\nd Bwana\\nd* huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo.' 'Bwana huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kumcha \\nd Bwana\\nd* mtu hujiepusha na ubaya.' 'kwa kumcha Bwana mtu hujiepusha na ubaya.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Njia za mtu zinapompendeza \\nd Bwana\\nd*,' 'Njia za mtu zinapompendeza Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huwafanya hata adui zake waishi naye kwa amani.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Afadhali kitu kidogo pamoja na haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Moyo wa mtu huifikiri njia yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali \\nd Bwana\\nd* huelekeza hatua zake.' 'bali Bwana huelekeza hatua zake.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima ya kiungu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kinywa chake hakipotoshi haki.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Vipimo na mizani za halali hutoka kwa \\nd Bwana\\nd*;' 'Vipimo na mizani za halali hutoka kwa Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko ameyafanya yeye.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Wafalme huchukia sana kutenda maovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa njia ya haki.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'humthamini mtu asemaye kweli.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mwenye hekima ataituliza.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Uso wa mfalme ungʼaapo, inamaanisha uhai;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'upendeleo wake ni kama wingu la mvua wakati wa vuli.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuchagua ufahamu kuliko fedha!' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kiburi hutangulia maangamizi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'roho ya majivuno hutangulia maanguko.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'miongoni mwa walioonewa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kuliko kugawana nyara pamoja na wenye kiburi.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Yeyote anayekubali mafundisho hustawi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tena amebarikiwa yeye anayemtumaini \\nd Bwana\\nd*.' 'tena amebarikiwa yeye anayemtumaini Bwana.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na maneno ya kupendeza huchochea mafundisho.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwa wale walio nao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali upumbavu huleta adhabu kwa wapumbavu.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na midomo yake huchochea mafundisho.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwisho wake huelekeza mautini.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya kazi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'njaa yake humsukuma aendelee.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Mtu mbaya kabisa hupanga mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maneno yake ni kama moto uunguzao.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Mtu mpotovu huchochea ugomvi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo maongezi ya upuzi hutenganisha marafiki wa karibu.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Mtu mkali humvuta jirani yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kumwongoza katika mapito yale mabaya.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Yeye akonyezaye kwa jicho lake anapanga upotovu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akazaye midomo yake amenuia mabaya.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' q1 = '' v = '31' v~ = 'Mvi ni taji ya utukufu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupatikana kwa maisha ya uadilifu.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = 'Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mtu anayeitawala hasira yake kuliko yule autekaye mji.' ¬q2 = ¬v = '32' b = '' q1 = '' v = '33' v~ = 'Kura hupigwa kwa siri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini kila uamuzi wake hutoka kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'lakini kila uamuzi wake hutoka kwa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '33' b = '' ¬c = '16' c = '17' q1 = '' c# = '17' v = '1' v~ = 'Afadhali kula ukoko mkavu ukiwa na amani na utulivu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko kukaa kwenye nyumba ya karamu kukiwa na magomvi.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mtumishi mwenye hekima atatawala juu ya mwana aaibishaye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atashirikiana katika urithi kama mmoja wa hao ndugu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali \\nd Bwana\\nd* huujaribu moyo.' 'bali Bwana huujaribu moyo.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwongo husikiliza kwa makini ulimi wa madhara.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Yeye anaye mdhihaki maskini huonyesha dharau kwa Muumba wake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeyote afurahiaye maafa hataepuka kuadhibiwa.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wana wa wana ni taji la wazee,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wazazi ni fahari ya watoto wao.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Midomo yenye uwezo wa ushawishi haimfai mpumbavu:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'je, ni mibaya kiasi gani zaidi midomo ya uongo kwa mtawala!' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kokote kigeukiapo, hufanikiwa.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeyote arudiaye jambo hutenganisha marafiki wa karibu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Karipio humwingia sana mtu mwenye kutambua' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko mapigo mia kwa mpumbavu.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mtu mbaya hupenda kuasi tu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyangʼanywa watoto wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko mpumbavu katika upumbavu wake.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano hayajaanza.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Yeye asemaye kuwa asiye na haki ana haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye asemaye kuwa mwenye haki hana haki:' ¬q2 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huwachukia sana wote wawili.' 'Bwana huwachukia sana wote wawili.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati yeye hana haja ya kupata hekima?' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Rafiki hupenda wakati wote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye ndugu amezaliwa kwa ajili ya wakati wa shida.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huweka dhamana kwa jirani yake.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Yeye apendaye ugomvi apenda dhambi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye ainuaye sana lango lake hutafuta uharibifu.' EXTRA( fn @ 28 = '+ \\fr 17:19 \\ft Kuinua lango maana yake ni kusema kwa majivuno.') ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Moyo wenye furaha ni dawa nzuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali roho iliyopondeka hukausha mifupa.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Mtu mwovu hukubali rushwa kwa siri' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili kupotosha njia ya haki.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Mtu wa ufahamu huitazama hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini macho ya mpumbavu huhangaika' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hadi kwenye miisho ya dunia.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na uchungu kwa yeye aliyemzaa.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima kama akinyamaza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mwenye ufahamu kama akiuzuia ulimi wake.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' ¬c = '17' c = '18' q1 = '' c# = '18' v = '1' v~ = 'Mtu ajitengaye na wengine' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hufuata matakwa yake mwenyewe;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hupiga vita kila shauri jema.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mpumbavu hafurahii ufahamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali hufurahia kutangaza' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'maoni yake mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pamoja na aibu huja lawama.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali chemchemi ya hekima ni kijito kinachobubujika.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kumnyima haki asiye na hatia.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kinywa chake hualika kipigo.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na midomo yake ni mtego kwa nafsi yake.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huingia sehemu za ndani sana za mtu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mtu aliye mlegevu katika kazi yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni ndugu na yule anayeharibu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Jina la \\nd Bwana\\nd* ni ngome imara,' 'Jina la Bwana ni ngome imara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wenye haki huikimbilia na kuwa salama.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wanaudhania kuwa ukuta usioweza kurukwa.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali unyenyekevu hutangulia heshima.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huo ni upumbavu wake na aibu yake.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali roho iliyovunjika ni nani awezaye kuistahimili?' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'masikio ya mwenye hekima huyatafuta maarifa.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Zawadi humfungulia njia mtoaji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo humleta mbele ya wakuu.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hadi mwingine ajitokezapo na kumuuliza maswali.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kupiga kura hukomesha mashindano' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutenganisha wapinzani wakuu wanaopingana.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko mji uliozungushiwa ngome,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'nayo mabishano ni kama malango' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya ngome yenye makomeo.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao waupendao watakula matunda yake.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Apataye mke apata kitu chema' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye ajipatia kibali kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'naye ajipatia kibali kwa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Mtu maskini huomba kuhurumiwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali tajiri hujibu kwa ukali.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Mtu mwenye marafiki wengi wanaweza kumharibu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yuko rafiki aambatanaye na mtu kwa karibu kuliko ndugu.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' ¬c = '18' c = '19' q1 = '' c# = '19' v = '1' v~ = 'Afadhali mtu maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko mpumbavu ambaye midomo yake imepotoka.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kufanya haraka na kuikosa njia.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu maisha yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo moyo wake humkasirikia \\nd Bwana\\nd*.' 'hata hivyo moyo wake humkasirikia Bwana.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mali huleta marafiki wengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali rafiki wa mtu maskini humwacha.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye amwagaye uongo hataachwa huru.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wengi hujipendekeza kwa mtawala' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kila mmoja ni rafiki wa mtu atoaye zawadi.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mtu maskini huepukwa na ndugu zake wote:' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, marafiki zake watamkwepa kiasi gani!' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ingawa huwafuata kwa kuwasihi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hawapatikani popote.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Yeye apataye hekima huipenda nafsi yake mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ahifadhiye ufahamu hustawi.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye amwagaye uongo ataangamia.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Haistahili mpumbavu kuishi katika anasa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'itakuwa vibaya kiasi gani' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwa mtumwa kuwatawala wakuu.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Hekima ya mtu humpa uvumilivu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kwa utukufu wake kusamehe makosa.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Ghadhabu ya mfalme ni kama mngurumo wa simba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wema wake ni kama umande juu ya nyasi.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mke mwenye busara hutoka kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'bali mke mwenye busara hutoka kwa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Uvivu huleta usingizi mzito,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mtu mzembe huona njaa.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Yeye amhurumiaye maskini humkopesha \\nd Bwana\\nd*,' 'Yeye amhurumiaye maskini humkopesha Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atamtuza kwa aliyotenda.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Mrudi mwanao, kwa maana katika hiyo kuna tumaini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usiwe mshirika katika mauti yake.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima atapata adhabu yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama utamwokoa, itakubidi kufanya hivyo tena.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Sikiliza mashauri na ukubali mafundisho,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe mwishoni utakuwa na hekima.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini kusudi la \\nd Bwana\\nd* ndilo litakalosimama.' 'lakini kusudi la Bwana ndilo litakalosimama.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Lile mtu alionealo shauku ni upendo usio na mwisho,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kumcha \\nd Bwana\\nd* huongoza kwenye uzima,' 'Kumcha Bwana huongoza kwenye uzima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kisha mtu hupumzika akiwa ameridhika,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bila kuguswa na shida.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini hawezi hata kuupeleka kwenye kinywa chake!' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Mpige mwenye mzaha, naye mjinga atajifunza busara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mkemee mwenye ufahamu naye atapata maarifa.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mwana aletaye aibu na fedheha.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Mwanangu, ukiacha kusikiliza mafundisho,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'utatangatanga mbali na maneno ya maarifa.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya kwa upesi.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Adhabu zimeandaliwa kwa ajili ya wenye dhihaka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mapigo kwa ajili ya migongo ya wapumbavu.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' ¬c = '19' c = '20' q1 = '' c# = '20' v = '1' v~ = 'Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Mvivu halimi kwa majira;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'lakini hapati chochote.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wamebarikiwa watoto wake baada yake.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupepeta ubaya wote kwa macho yake.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mimi ni safi na sina dhambi?”' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* huchukia vyote viwili.' 'Bwana huchukia vyote viwili.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama tabia yake ni safi na adili.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Masikio yasikiayo na macho yaonayo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* ndiye alivifanya vyote viwili.' 'Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = '“Haifai, haifai!” asema mnunuzi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini midomo inenayo maarifa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ni kito cha thamani kilicho adimu.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Chukua vazi la yule awekaye dhamana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya mgeni;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya mwanamke mpotovu.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Fanya mipango kwa kutafuta mashauri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukipigana vita, tafuta maelekezo.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'taa yake itazimwa katika giza nene.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Urithi upatikanao haraka mwanzoni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hautabarikiwa mwishoni.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Mngojee \\nd Bwana\\nd*, naye atakuokoa.' 'Mngojee Bwana, naye atakuokoa.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = '\\nd Bwana\\nd* anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu,' 'Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Hatua za mtu huongozwa na \\nd Bwana\\nd*.' 'Hatua za mtu huongozwa na Bwana.' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Taa ya \\nd Bwana\\nd* huchunguza roho ya mwanadamu,' 'Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huchunguza utu wake wa ndani.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Upendo na uaminifu humweka mfalme salama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Utukufu wa vijana ni nguvu zao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mvi ni fahari ya uzee.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Mapigo na majeraha huusafisha ubaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo michapo hutakasa utu wa ndani.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' ¬c = '20' c = '21' q1 = '' c# = '21' v = '1' v~ = 'Moyo wa mfalme uko katika mkono wa \\nd Bwana\\nd*;' 'Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huuongoza kama mkondo wa maji, popote apendapo.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Njia zote za mwanadamu huonekana sawa kwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali \\nd Bwana\\nd* huupima moyo.' 'bali Bwana huupima moyo.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'zaidi kwa \\nd Bwana\\nd* kuliko dhabihu.' 'zaidi kwa Bwana kuliko dhabihu.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Macho ya kudharau na moyo wa kiburi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambavyo ni taa ya waovu, vyote ni dhambi!' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye faida,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama vile kwa hakika pupa huelekeza kwenye umaskini.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Jeuri ya waovu itawaburuta mbali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mtu mwovu hutamani sana ubaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jirani yake hapati huruma kutoka kwake.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mjinga hupata hekima;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'wakati mtu mwenye hekima afundishwapo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupata maarifa.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atawaangamiza waovu.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye pia atalia, wala hatajibiwa.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na rushwa iliyofichwa kwenye nguo hutuliza ghadhabu kali.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kitisho kwa watenda mabaya.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupumzika katika kundi la waliokufa.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mtu apendaye anasa atakuwa maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeyote apendaye mvinyo na mafuta kamwe hatakuwa tajiri.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ni afadhali kuishi jangwani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko kuishi na mke mgomvi na mkorofi.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Katika nyumba ya mwenye hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'lakini mtu mpumbavu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hutafuna vyote alivyo navyo.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Yeye afuatiaye haki na upendo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupata uzima, mafanikio na heshima.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa wenye nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuangusha ngome wanazozitegemea.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hujilinda na maafa.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Mchana kutwa hutamani zaidi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Shahidi wa uongo ataangamia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Mtu mwovu ana uso wa ushupavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Hakuna hekima, wala akili, wala mpango' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'unaoweza kufaulu dhidi ya \\nd Bwana\\nd*.' 'unaoweza kufaulu dhidi ya Bwana.' ¬q2 = ¬v = '30' b = '' q1 = '' v = '31' v~ = 'Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ushindi huwa kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'bali ushindi huwa kwa Bwana.' ¬v = '31' ¬q2 = ¬c = '21' c = '22' q1 = '' c# = '22' v = '1' v~ = 'Heri kuchagua jina jema kuliko utajiri mwingi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuheshimiwa ni bora kuliko fedha au dhahabu.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Tajiri na maskini wanafanana kwa hili:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* ni Muumba wao wote.' 'Bwana ni Muumba wao wote.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mjinga huendelea mbele kama kipofu nayo ikamtesa.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Unyenyekevu na kumcha \\nd Bwana\\nd*' 'Unyenyekevu na kumcha Bwana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huleta utajiri, heshima na uzima.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Katika mapito ya waovu kuna miiba na mitego,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye ailindaye nafsi yake hukaa mbali nayo.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mfundishe mtoto njia impasayo kuiendea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hataiacha hata akiwa mzee.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Matajiri huwatawala maskini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Yeye aupandaye uovu huvuna taabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo fimbo ya ghadhabu yake itaangamizwa.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mfukuze mwenye dhihaka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mvutano utatoweka;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ugomvi na matukano vitakoma.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Yeye apendaye moyo safi na yeye ambaye maneno yake ni ya neema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mfalme atakuwa rafiki yake.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Macho ya \\nd Bwana\\nd* hulinda maarifa,' 'Macho ya Bwana hulinda maarifa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali huyapinga maneno ya asiye mwaminifu.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mvivu husema, “Yuko simba nje!”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au, “Nitauawa katika mitaa!”' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kinywa cha mwanamke kahaba ni shimo refu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye aliye chini ya ghadhabu ya \\nd Bwana\\nd*' 'yeye aliye chini ya ghadhabu ya Bwana' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'atatumbukia ndani yake.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Upumbavu umefungwa ndani ya moyo wa mtoto,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali naye.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Yeye amwoneaye maskini ili kujiongezea mali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye ampaye tajiri zawadi, wote huwa maskini.' ¬q2 = ¬v = '16' v= = '17' s1 = 'Misemo Ya Wenye Hekima' q1 = '' v = '17' v~ = 'Tega sikio na usikie misemo ya wenye hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'elekeza moyo wako kwenye yale nifundishayo,' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'kwa maana inapendeza unapoyahifadhi moyoni mwako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwa nayo yote tayari midomoni mwako.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ili tumaini lako liwe katika \\nd Bwana\\nd*,' 'Ili tumaini lako liwe katika Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata wewe, ninakufundisha leo.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Je, sijakuandikia misemo thelathini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'misemo ya mashauri na maarifa,' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'kukufundisha maneno ya kweli na ya kuaminika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili uweze kutoa majibu sahihi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwake yeye aliyekutuma?' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Usiwadhulumu maskini kwa sababu ni maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kumdhulumu mhitaji mahakamani,' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'kwa sababu \\nd Bwana\\nd* atalichukua shauri lao' 'kwa sababu Bwana atalichukua shauri lao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye atawateka wao waliowateka.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira ya haraka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usishirikiane na yule aliye mwepesi kukasirika,' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'la sivyo utajifunza njia zake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kujiingiza mwenyewe kwenye mtego.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Usiwe mwenye kupana mikono katika rehani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kuweka dhamana kwa ajili ya madeni.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Kama ukikosa njia ya kulipa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kitanda chako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kitachukuliwa ukiwa umekilalia.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lililowekwa na baba zako.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Je, unamwona mtu stadi katika kazi yake?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Atahudumu mbele ya wafalme;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hatahudumu mbele ya watu duni.' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' ¬c = '22' c = '23' q1 = '' c# = '23' v = '1' v~ = 'Uketipo kula chakula na mtawala,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'angalia vyema kile kilicho mbele yako,' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'na utie kisu kooni mwako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama ukiwa mlafi.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Usitamani vyakula vyake vitamu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa chakula hicho ni cha hila.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Usijitaabishe ili kuupata utajiri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uwe na hekima kuonyesha kujizuia.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Kufumba na kufumbua utajiri hutoweka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huwa kama umepata mabawa ghafula,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ukaruka na kutoweka angani kama tai.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Usile chakula cha mtu mchoyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usitamani vyakula vyake vitamu,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'kwa maana yeye ni aina ya mtu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambaye kila mara anafikiri juu ya gharama.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Anakuambia, “Kula na kunywa,”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini moyo wake hauko pamoja nawe.' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Utatapika kile kidogo ulichokula,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe utakuwa umepoteza bure' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'maneno yako ya kumsifu.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Usizungumze na mpumbavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana atadhihaki hekima ya maneno yako.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala kunyemelea kwenye mashamba ya yatima,' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atalichukua shauri lao dhidi yako.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Elekeza moyo wako kwenye mafundisho' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Usimnyime mtoto adhabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukimwadhibu kwa fimbo, hatakufa.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Mwadhibu kwa fimbo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini.' EXTRA( fn @ 37 = '+ \\fr 23:14 \\ft Mautini maana yake ni Kuzimu.') ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mwanangu, kama moyo wako una hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'basi moyo wangu utafurahi,' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'utu wangu wa ndani utafurahi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati midomo yako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'itakapozungumza lililo sawa.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Usiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kila mara uwe na bidii katika kumcha \\nd Bwana\\nd*.' 'bali kila mara uwe na bidii katika kumcha Bwana.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nalo tarajio lako halitakatiliwa mbali.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Sikiliza, mwanangu na uwe na hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'weka moyo wako kwenye njia iliyo sawa.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Usiwe miongoni mwa wanywao mvinyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au wale walao nyama kwa pupa,' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'kwa maana walevi na walafi huwa maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nako kusinzia huwavika matambara.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Msikilize baba yako, aliyekuzaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usimdharau mama yako atakapokuwa mzee.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Nunua kweli wala usiiuze,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pata hekima, adabu na ufahamu.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye aliye na mwana mwenye hekima humfurahia.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Baba yako na mama yako na wafurahi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mama aliyekuzaa na ashangilie!' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Mwanangu, nipe moyo wako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'macho yako na yafuate njia zangu,' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'kwa maana kahaba ni shimo refu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mwanamke mpotovu ni kisima chembamba.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Kama mnyangʼanyi, hungojea akivizia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huzidisha wasio waaminifu miongoni mwa wanaume.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = 'Ni nani mwenye ole?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani mwenye huzuni?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ni nani mwenye ugomvi?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani mwenye malalamiko?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ni nani aliye na majeraha yasiyo na sababu?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani mwenye macho mekundu?' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Ni hao wakaao sana kwenye mvinyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hao waendao kuonja mabakuli ya mvinyo uliochanganywa.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Usiukodolee macho mvinyo wakati ukiwa mwekundu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati unapometameta kwenye bilauri,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakati ushukapo taratibu!' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Mwishowe huuma kama nyoka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kutia sumu yake kama nyoka mwenye sumu.' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'Macho yako yataona mambo mageni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na moyo wako kuwazia mambo yaliyopotoka.' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'alalaye juu ya kamba ya merikebu.' ¬q2 = ¬v = '34' q1 = '' v = '35' v~ = 'Utasema, “Wamenipiga lakini sikuumia!' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Wamenichapa, lakini sisikii!' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Nitaamka lini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ili nikanywe tena?”' ¬q2 = ¬v = '35' b = '' ¬c = '23' c = '24' q1 = '' c# = '24' v = '1' v~ = 'Usiwaonee wivu watu waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usitamani ushirika nao;' ¬q2 = ¬v = '1' q1 = '' v = '2' v~ = 'kwa maana mioyo yao hupanga mambo ya jeuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo midomo yao husema juu ya kuleta madhara.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kwa hekima nyumba hujengwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'vitu vya thamani na vya kupendeza.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'kwa kufanya vita unahitaji uongozi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kwa ushindi washauri wengi.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Hekima i juu mno kwa mpumbavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'katika kusanyiko langoni' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hana lolote la kusema.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Yeye apangaye mabaya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atajulikana kama mtu wa hila.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Mipango ya upumbavu ni dhambi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu huchukizwa na mwenye dhihaka.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Ukikata tamaa wakati wa taabu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'jinsi gani nguvu zako ni kidogo!' ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wazuie wote wanaojikokota' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kuelekea machinjoni.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kama mkisema, “Lakini hatukujua lolote kuhusu hili,”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'je, yule apimaye mioyo halitambui hili?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Je, yule awalindaye maisha yenu halijui hili?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Je, hatamlipa kila mtu kulingana na aliyotenda?' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa kuonja.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'makao ya mwenye haki,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wala usiyavamie makazi yake,' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini waovu huangushwa chini na maafa.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wakati ajikwaapo,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'usiruhusu moyo wako ushangilie.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = '\\nd Bwana\\nd* asije akaona na kuchukia' 'Bwana asije akaona na kuchukia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akaiondoa ghadhabu yake mbali naye.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usiwaonee wivu waovu,' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo taa ya waovu itazimwa.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Mwanangu, mche \\nd Bwana\\nd* na mfalme,' 'Mwanangu, mche Bwana na mfalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usijiunge na waasi,' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?' ¬q2 = ¬v = '22' v= = '23' s1 = 'Misemo Zaidi Ya Wenye Hekima' p = '' v = '23' v~ = 'Hii pia ni misemo ya wenye hekima:' ¬p = q1 = '' p~ = 'Kuonyesha upendeleo katika hukumu si vyema:' ¬q1 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Yeyote amwambiaye mwenye hatia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Wewe huna hatia,”' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Kabila zitamlaani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mataifa yatamkana.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Bali itakuwa vyema kwa wale watakaowatia hatiani wenye hatia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo baraka tele zitawajilia juu yao.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Jawabu la uaminifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kama busu la midomoni.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Maliza kazi zako za nje,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe uweke mashamba yako tayari,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'baada ya hayo, jenga nyumba yako.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Usishuhudie dhidi ya jirani yako bila sababu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kutumia midomo yako kudanganya.' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = 'Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”' ¬q2 = ¬v = '29' b = '' q1 = '' v = '30' v~ = 'Nilipita karibu na shamba la mvivu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili,' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'miiba ilikuwa imeota kila mahali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ardhi ilikuwa imefunikwa na magugu, na' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ukuta wa mawe ulikuwa umebomoka.' ¬q2 = ¬v = '31' q1 = '' v = '32' v~ = 'Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nikajifunza somo kutokana na niliyoyaona:' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:' ¬q2 = ¬v = '33' q1 = '' v = '34' v~ = 'hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.' ¬v = '34' ¬q2 = ¬c = '24' c = '25' v= = '1' s1 = 'Mithali Zaidi Za Solomoni' p = '' c# = '25' v = '1' v~ = 'Hizi ni mithali zaidi za Solomoni, zilizonakiliwa na watu wa Hezekia mfalme wa Yuda:' ¬v = '1' ¬p = q1 = '' v = '2' v~ = 'Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme haichunguziki.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ondoa takataka kwenye madini ya fedha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nako ndani yake kutatokea chombo' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'cha mfua fedha.' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'Ondoa waovu mbele ya mfalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nacho kiti chake cha enzi' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kitaimarishwa kwa njia ya haki.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala usidai nafasi miongoni mwa watu wakuu;' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,”' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko yeye kukuaibisha mbele ya mkuu.' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = 'Kile ulichokiona kwa macho yako' ¬q1 = ¬v = '7' q2 = '' v = '8' v~ = 'usiharakishe kukipeleka mahakamani,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'maana utafanya nini mwishoni' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama jirani yako atakuaibisha?' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kama ukifanya shauri na jirani yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usisaliti siri ya mtu mwingine,' ¬q2 = ¬v = '9' q1 = '' v = '10' v~ = 'ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kamwe sifa yako mbaya haitaondoka.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Neno lisemwalo kwa wakati ufaao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kama vile kipuli cha dhahabu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au pambo la dhahabu safi,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ndivyo lilivyo karipio la mtu mwenye hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa sikio lisikilizalo.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'huburudisha roho za bwana zake.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao ulimi laini waweza kuvunja mfupa.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukila zaidi, utatapika.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako mara chache,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukizidisha, atakukinai na atakuchukia.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kama vile rungu au upanga au mshale mkali' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mtu atoaye ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye mwaminifu wakati wa shida.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kama siki iliyomwagwa juu ya magadi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo yeye amuimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama ana kiu, mpe maji anywe.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye \\nd Bwana\\nd* atakupa thawabu.' 'naye Bwana atakupa thawabu.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa hasira.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kisima kilichotiwa taka' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mtu mwenye haki' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akishiriki na waovu.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Si vyema kula asali nyingi sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala si heshima' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kujitafutia heshima yako mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mtu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambaye hawezi kujitawala mwenyewe.' ¬v = '28' ¬q2 = ¬c = '25' c = '26' q1 = '' c# = '26' v = '1' v~ = 'Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Kama shomoro apigapigavyo mabawa yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au mbayuwayu katika kuruka kwake kasi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ilivyo laana isiyo na sababu haimpati mtu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu!' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Mjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ama atakuwa mwenye hekima machoni pake mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Kama vile ilivyo kujikata miguu au kunywa hasara,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ilivyo kutuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Kama miguu ya kiwete inavyoningʼinia' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ilivyo mithali katika kinywa cha mpumbavu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kama kufunga jiwe kwenye kombeo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ilivyo kumpa mpumbavu heshima.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kama mwiba kwenye mkono wa mlevi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ilivyo mithali kinywani mwa mpumbavu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Kama mpiga upinde ambaye hujeruhi ovyo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo yeye aajiriye mpumbavu au yeyote apitaye njiani.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Kama mbwa ayarudiavyo matapiko yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo mpumbavu arudiavyo upumbavu wake.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Je, unamwona mtu ajionaye mwenye hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'machoni pake mwenyewe?' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'Liko tumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mvivu husema, “Yuko simba barabarani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'simba mkali anazunguka mitaa!”' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kama vile mlango ugeukavyo kwenye bawaba zake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo mvivu ajigeuzavyo kitandani mwake.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huchoka kuupeleka kwenye kinywa chake.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Kama yeye amkamataye mbwa kwa masikio,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza kwenye ugomvi usiomhusu.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Kama mtu mwendawazimu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atupaye vijinga vya moto au mishale ya kufisha,' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '“Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Bila kuni moto huzimika;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pasipo uchongezi ugomvi humalizika.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kama makaa juu ya makaa yanayowaka, na kama kuni kwenye moto,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuchochea ugomvi.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huingia sehemu za ndani sana za mtu.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kama rangi ingʼaayo iliyopakwa kwenye vyombo vya udongo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo ilivyo midomo laini pamoja na moyo mbaya.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Mtu mwenye nia ya kudhuru wengine hujificha kwa maneno ya midomo yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini moyoni mwake huficha udanganyifu.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana machukizo saba hujaza moyo wake.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Nia yake ya kudhuru wengine inaweza kufichwa na udanganyifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini uovu wake utafichuliwa kwenye kusanyiko.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Kama mtu akichimba shimo, atatumbukia ndani yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kama mtu akivingirisha jiwe, litamrudia.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Ulimi wa uongo, huwachukia wale unaowaumiza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nacho kinywa cha kujipendekeza hutenda uharibifu.' ¬v = '28' ¬q2 = ¬c = '26' c = '27' q1 = '' c# = '27' v = '1' v~ = 'Usijisifu kwa ajili ya kesho,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa kwa siku moja.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Mwache mwingine akusifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala si kinywa chako mwenyewe;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mtu mwingine afanye hivyo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na si midomo yako mwenyewe.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito kuliko vyote viwili.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Afadhali karipio la wazi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko upendo uliofichika.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali kwa mwenye njaa' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hata kile kilicho kichungu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwake ni kitamu.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mtu atangatangaye' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mbali na nyumbani mwake.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Manukato na uvumba huleta furaha moyoni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao uzuri wa rafiki huchipuka' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kutoka kwenye ushauri wake wa uaminifu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tena usiende nyumbani mwa ndugu yako' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'wakati umepatwa na maafa.' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Bora jirani wa karibu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko ndugu aliye mbali.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mwanangu, uwe na hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nawe ulete furaha moyoni mwangu,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'ndipo nitakapoweza kumjibu yeyote' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anitendaye kwa dharau.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Chukua vazi la yule awekaye dhamana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya mgeni;' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya mwanamke mpotovu.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asubuhi na mapema,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'itahesabiwa kama ni laana.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Mke mgomvi ni kama' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'matone yasiyokoma ya siku ya mvua.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kukamata mafuta kwa kiganja cha mkono.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Kama vile chuma kinoavyo chuma,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye amtunzaye bwana wake ataheshimiwa.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Kama uso uonekanavyo kwenye maji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonyesha alivyo.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Kuzimu na Uharibifu havishibi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kadhalika macho ya mwanadamu.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kalibu ni kwa ajili ya fedha' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na tanuru kwa ajili ya dhahabu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali mtu hupimwa kwa sifa azipokeazo.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ukimtwanga kama nafaka kwa mchi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hutauondoa upumbavu wake.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ya kondoo na mbuzi,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'angalia kwa bidii ngʼombe zako.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Kwa kuwa utajiri haudumu milele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nayo taji haidumu vizazi vyote.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Wakati majani makavu yameondolewa' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mapya yamechipua,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'nayo majani toka milimani yamekusanywa,' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'wana-kondoo watakupatia mavazi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mbuzi thamani ya shamba.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kukulisha wewe na jamaa yako,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na kuwalisha watumishi wako wa kike.' ¬v = '27' ¬q2 = ¬c = '27' c = '28' q1 = '' c# = '28' v = '1' v~ = 'Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayemfukuza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wenye haki ni wajasiri kama simba.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wakati nchi inapokuwa na uasi, inakuwa na viongozi wengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye ufahamu na maarifa hudumisha utaratibu.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mtu maskini amwoneaye yeye aliye maskini zaidi' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza mazao.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Wale waiachao sheria huwasifu waovu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wale waishikao sheria huwapinga.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Watu wabaya hawaelewi haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali wale wamtafutao \\nd Bwana\\nd* wanaielewa kikamilifu.' 'bali wale wamtafutao Bwana wanaielewa kikamilifu.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye ufahamu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa mno' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hukusanya kwa ajili ya mwingine,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'ambaye atawahurumia maskini.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kama mtu yeyote akikataa kusikia sheria,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata maombi yake ni chukizo.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Yeye ambaye humwongoza mwenye haki kwenye mapito mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ataanguka kwenye mtego wake mwenyewe,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali wasio na lawama watapokea urithi mwema.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu maskini mwenye ufahamu atamfichua.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali waovu watawalapo, watu hujificha.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeyote aziungamaye na kuziacha hupata rehema.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha \\nd Bwana\\nd*,' 'Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha Bwana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye afanyaye moyo wake kuwa mgumu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'huangukia kwenye taabu.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Kama simba angurumaye au dubu ashambuliaye,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ndivyo alivyo mtu mwovu atawalaye wanyonge.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Mtawala dhalimu hana akili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'atafurahia maisha marefu.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atakuwa mtoro mpaka kufa;' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'mtu yeyote na asimsaidie.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hulindwa salama,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'bali yeye ambaye njia zake ni potovu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ataanguka ghafula.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yule afuataye mambo ya upuzi atakuwa na umaskini wa kumtosha.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Mtu mwaminifu atabarikiwa sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye atamaniye kupata utajiri kwa haraka' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hataacha kuadhibiwa.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kuonyesha upendeleo si vizuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo mtu atafanya kosa kwa kipande cha mkate.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hana habari kuwa umaskini unamngojea.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Yeye amkemeaye mtu mwishoni hupata kibali zaidi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kuliko mwenye maneno ya kusifu isivyostahili.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Yeye amwibiaye babaye au mamaye' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kusema, “Si kosa,”' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'yeye ni mwenzi wa yule aharibuye.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Mtu mwenye tamaa huchochea fitina,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yule amtegemeaye \\nd Bwana\\nd* atafanikiwa.' 'bali yule amtegemeaye Bwana atafanikiwa.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Yeye ajitumainiaye mwenyewe ni mpumbavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeye atembeaye katika hekima hulindwa salama.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Yeye ampaye maskini' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hatapungukiwa na kitu chochote,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'bali yeye awafumbiaye maskini macho' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hupata laana nyingi.' ¬q2 = ¬v = '27' b = '' q1 = '' v = '28' v~ = 'Wakati waovu watawalapo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'watu huenda mafichoni,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'bali waovu wanapoangamia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wenye haki hufanikiwa.' ¬v = '28' ¬q2 = ¬c = '28' c = '29' q1 = '' c# = '29' v = '1' v~ = 'Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ataangamia ghafula, wala hapati dawa.' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = 'Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.' ¬q2 = ¬v = '2' b = '' q1 = '' v = '3' v~ = 'Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = 'Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = 'Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anautandaza wavu kuitega miguu yake.' ¬q2 = ¬v = '5' b = '' q1 = '' v = '6' v~ = 'Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = 'Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwovu hajishughulishi na hilo.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = 'Wenye mzaha huuchochea mji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.' ¬q2 = ¬v = '8' b = '' q1 = '' v = '9' v~ = 'Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = 'Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na hutafuta kumuua mtu mnyofu.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwenye hekima hujizuia.' ¬q2 = ¬v = '11' b = '' q1 = '' v = '12' v~ = 'Kama mtawala akisikiliza uongo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'maafisa wake wote huwa waovu.' ¬q2 = ¬v = '12' b = '' q1 = '' v = '13' v~ = 'Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili:' ¬q1 = q2 = '' p~ = '\\nd Bwana\\nd* hutia nuru macho yao wote wawili.' 'Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.' ¬q2 = ¬v = '13' b = '' q1 = '' v = '14' v~ = 'Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = 'Fimbo ya maonyo hutia hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'humwaibisha mama yake.' ¬q2 = ¬v = '15' b = '' q1 = '' v = '16' v~ = 'Wakati waovu wanapostawi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'pia dhambi vivyo hivyo,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'lakini wenye haki wataliona anguko lao.' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = 'Mrudi mwanao, naye atakupa amani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atakufurahisha nafsi yako.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = 'Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.' ¬q2 = ¬v = '18' b = '' q1 = '' v = '19' v~ = 'Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ajapoelewa, hataitikia.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = 'Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = 'Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'atamletea sikitiko mwishoni.' ¬q2 = ¬v = '21' b = '' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mtu mwenye hasira ya haraka' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hutenda dhambi nyingi.' ¬q2 = ¬v = '22' b = '' q1 = '' v = '23' v~ = 'Kiburi cha mtu humshusha,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'hupata heshima.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = 'Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.' ¬q2 = ¬v = '24' b = '' q1 = '' v = '25' v~ = 'Kuwaogopa watu huwa ni mtego,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali yeyote amtumainiaye \\nd Bwana\\nd* atakuwa salama.' 'bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.' ¬q2 = ¬v = '25' b = '' q1 = '' v = '26' v~ = 'Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mtu hupata haki kutoka kwa \\nd Bwana\\nd*.' 'bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.' ¬q2 = ¬v = '26' b = '' q1 = '' v = '27' v~ = 'Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'waovu huwachukia sana wenye haki.' ¬v = '27' ¬q2 = ¬c = '29' c = '30' v= = '1' s1 = 'Misemo Ya Aguri' p = '' c# = '30' v = '1' v~ = 'Misemo ya Aguri mwana wa Yake, usia:' ¬p = q1 = '' p~ = 'Huyu mtu alimwambia Ithieli,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, kwa Ithieli na kwa Ukali:' ¬q2 = ¬v = '1' b = '' q1 = '' v = '2' v~ = '“Mimi ni mjinga kuliko wanadamu wote;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'sina ufahamu wa kibinadamu.' ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Sijajifunza hekima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala sina maarifa ya kumjua yeye Aliye Mtakatifu.' ¬q2 = ¬v = '3' q1 = '' v = '4' v~ = 'Ni nani ameshapanda mbinguni na kushuka?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani ameshakusanya upepo' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kwenye vitanga vya mikono yake?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Ni nani ameshafungia maji kwenye nguo yake?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Ni nani ameimarisha miisho yote ya dunia?' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Jina lake ni nani, na mwanawe anaitwa nani?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Niambie kama unajua!' ¬q2 = ¬v = '4' b = '' q1 = '' v = '5' v~ = '“Kila neno la Mungu ni kamilifu;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Usiongeze kwenye maneno yake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ama atakukemea na kukuthibitisha kuwa mwongo.' ¬q2 = ¬v = '6' b = '' q1 = '' v = '7' v~ = '“Ninakuomba vitu viwili, Ee \\nd Bwana\\nd*;' '“Ninakuomba vitu viwili, Ee Bwana;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usininyime kabla sijafa:' ¬q2 = ¬v = '7' q1 = '' v = '8' v~ = 'Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo;' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'usinipe umaskini wala utajiri,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'bali unipe chakula cha kunitosha kila siku.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Nisije nikawa na vingi vya kuzidi nikakukana' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kusema, ‘\\nd Bwana\\nd* ni nani?’' 'na kusema, ‘Bwana ni nani?’' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'Au nisije nikawa maskini nikaiba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nami nikaliaibisha jina la Mungu wangu.' ¬q2 = ¬v = '9' b = '' q1 = '' v = '10' v~ = '“Usimchongee mtumishi kwa bwana wake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asije akakulaani, ukapatilizwa kwalo.' ¬q2 = ¬v = '10' b = '' q1 = '' v = '11' v~ = '“Wako watu wale ambao huwalaani baba zao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wala hawawabariki mama zao;' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'wale ambao ni safi machoni pao wenyewe' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kumbe hawakuoshwa uchafu wao;' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'wale ambao daima macho yao ni ya kiburi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ambao kutazama kwao ni kwa dharau;' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'wale ambao meno yao ni panga' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na ambao mataya yao yamewekwa visu' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'kuwaangamiza maskini katika nchi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wahitaji kutoka miongoni mwa wanadamu.' ¬q2 = ¬v = '14' b = '' q1 = '' v = '15' v~ = '“Mruba anao binti wawili waliao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = '‘Nipe! Nipe!’' ¬q2 = b = '' q1 = '' p~ = '“Kuna vitu vitatu visivyotosheka kamwe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, viko vinne visivyosema, ‘Yatosha!’:' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Ni kaburi, tumbo lisilozaa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nchi isiyoshiba maji kamwe,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’' ¬q2 = ¬v = '16' b = '' q1 = '' v = '17' v~ = '“Jicho lile limdhihakilo baba,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lile linalodharau kumtii mama,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'litangʼolewa na kunguru wa bondeni,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'litaliwa na tai.' ¬q2 = ¬v = '17' b = '' q1 = '' v = '18' v~ = '“Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, vinne nisivyovielewa:' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Ni mwendo wa tai katika anga,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mwendo wa nyoka juu ya mwamba,' ¬q2 = q1 = '' p~ = 'mwendo wa meli katika maji makuu ya bahari,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nao mwendo wa mtu pamoja na msichana.' ¬q2 = ¬v = '19' b = '' q1 = '' v = '20' v~ = '“Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hula akapangusa kinywa chake na kusema,' ¬q2 = q2 = '' p~ = '‘Sikufanya chochote kibaya.’' ¬q2 = ¬v = '20' b = '' q1 = '' v = '21' v~ = '“Kwa mambo matatu nchi hutetemeka,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Mtumwa awapo mfalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mpumbavu ashibapo chakula,' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'mwanamke asiyependwa aolewapo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mtumishi wa kike achukuapo nafasi ya bibi yake.' ¬q2 = ¬v = '23' b = '' q1 = '' v = '24' v~ = '“Vitu vinne duniani vilivyo vidogo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini vina akili nyingi sana:' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Mchwa ni viumbe wenye nguvu ndogo,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo hujiwekea akiba ya chakula chao wakati wa kiangazi.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Pelele ni viumbe vyenye uwezo mdogo' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo hujitengenezea nyumba zao kwenye miamba.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Nzige hawana mfalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo huenda pamoja vikosi vikosi.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'hata hivyo huonekana katika majumba ya kifalme.' ¬q2 = ¬v = '28' b = '' q1 = '' v = '29' v~ = '“Viko vitu vitatu ambavyo vinapendeza katika mwendo wao,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naam, vinne ambavyo hutembea kwa mwendo wa madaha:' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'simba, mwenye nguvu miongoni mwa wanyama,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'asiyerudi nyuma kwa chochote;' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'jogoo atembeaye kwa maringo, pia beberu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye mfalme pamoja na jeshi lake lililomzunguka.' ¬q2 = ¬v = '31' b = '' q1 = '' v = '32' v~ = '“Ikiwa umefanya upumbavu na ukajitukuza mwenyewe,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'au kama umepanga mabaya,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'basi funika mdomo wako na mkono wako.' ¬q2 = ¬v = '32' q1 = '' v = '33' v~ = 'Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa hutoa siagi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na pia kule kufinya pua hutoa damu,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.”' ¬v = '33' ¬q2 = ¬c = '30' c = '31' v= = '1' s1 = 'Misemo Ya Mfalme Lemueli' p = '' c# = '31' v = '1' v~ = 'Misemo ya Mfalme Lemueli, usia wa mama yake aliyomfundisha:' ¬v = '1' ¬p = q1 = '' v = '2' v~ = '“Ee mwanangu, ee mwana wa tumbo langu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'ee mwana wa nadhiri zangu,' EXTRA( fn @ 26 = '+ \\fr 31:2 \\ft Au: Ewe uliye jibu la maombi yangu.') ¬q2 = ¬v = '2' q1 = '' v = '3' v~ = 'Usitumie nguvu zako kwa wanawake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'uhodari wako kwa wale wanaowaharibu wafalme.' ¬q2 = ¬v = '3' b = '' q1 = '' v = '4' v~ = '“Ee Lemueli, haifai wafalme,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'haifai wafalme kunywa mvinyo,' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'haifai watawala kutamani sana kileo,' ¬q2 = ¬v = '4' q1 = '' v = '5' v~ = 'wasije wakanywa na kusahau vile sheria inavyoamuru' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwanyima haki zao wote walioonewa.' ¬q2 = ¬v = '5' q1 = '' v = '6' v~ = 'Wape kileo wale wanaoangamia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mvinyo wale walio na uchungu,' ¬q2 = ¬v = '6' q1 = '' v = '7' v~ = 'Wanywe na kusahau umaskini wao' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na wasikumbuke taabu yao tena.' ¬q2 = ¬v = '7' b = '' q1 = '' v = '8' v~ = '“Sema kwa ajili ya wale wasioweza kujisemea,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa ajili ya haki za wote walioachwa ukiwa.' ¬q2 = ¬v = '8' q1 = '' v = '9' v~ = 'Sema na uamue kwa haki,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'tetea haki za maskini na wahitaji.”' ¬q2 = ¬v = '9' v= = '10' s1 = 'Maneno Ya Mwisho: Mke Mwenye Sifa Nzuri' q1 = '' v = '10' v~ = 'Mke mwenye sifa nzuri, ni nani awezaye kumpata?' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'Yeye ni wa thamani sana kuliko marijani.' EXTRA( fn @ 40 = '+ \\fr 31:10 \\ft \\+rq Mithali 31:10-31\\+rq* imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.') ¬q2 = ¬v = '10' q1 = '' v = '11' v~ = 'Mume wake anamwamini kikamilifu' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hakosi kitu chochote cha thamani.' ¬q2 = ¬v = '11' q1 = '' v = '12' v~ = 'Humtendea mumewe mema, wala si mabaya,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'siku zote za maisha yake.' ¬q2 = ¬v = '12' q1 = '' v = '13' v~ = 'Huchagua sufu na kitani' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye hufanya kazi kwa mikono yenye bidii.' ¬q2 = ¬v = '13' q1 = '' v = '14' v~ = 'Yeye ni kama meli za biashara' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'akileta chakula chake kutoka mbali.' ¬q2 = ¬v = '14' q1 = '' v = '15' v~ = 'Yeye huamka kungali bado giza' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'huwapa jamaa yake chakula' ¬q2 = q2 = '' p~ = 'na mafungu kwa watumishi wake wa kike.' ¬q2 = ¬v = '15' q1 = '' v = '16' v~ = 'Huangalia shamba na kulinunua,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.' ¬q2 = ¬v = '16' q1 = '' v = '17' v~ = 'Hufanya kazi zake kwa nguvu,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mikono yake ina nguvu kwa ajili ya kazi zake.' ¬q2 = ¬v = '17' q1 = '' v = '18' v~ = 'Huona kwamba biashara yake ina faida,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala taa yake haizimiki usiku.' ¬q2 = ¬v = '18' q1 = '' v = '19' v~ = 'Huweka mikono yake kwenye pia,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.' ¬q2 = ¬v = '19' q1 = '' v = '20' v~ = 'Huwanyooshea maskini mikono yake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na kuwakunjulia wahitaji vitanga vyake.' ¬q2 = ¬v = '20' q1 = '' v = '21' v~ = 'Theluji ishukapo, hana hofu kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'kwa maana wote wamevikwa nguo za kutia joto.' ¬q2 = ¬v = '21' q1 = '' v = '22' v~ = 'Hutengeneza mazulia ya urembo ya kufunika kitanda chake,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'yeye huvaa kitani safi na urujuani.' ¬q2 = ¬v = '22' q1 = '' v = '23' v~ = 'Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.' ¬q2 = ¬v = '23' q1 = '' v = '24' v~ = 'Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'naye huwauzia wafanyabiashara mishipi.' ¬q2 = ¬v = '24' q1 = '' v = '25' v~ = 'Amevikwa nguvu na heshima,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa siku zijazo.' ¬q2 = ¬v = '25' q1 = '' v = '26' v~ = 'Huzungumza kwa hekima' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'na mafundisho ya kuaminika yapo ulimini mwake.' ¬q2 = ¬v = '26' q1 = '' v = '27' v~ = 'Huangalia mambo ya nyumbani mwake' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'wala hali chakula cha uvivu.' ¬q2 = ¬v = '27' q1 = '' v = '28' v~ = 'Watoto wake huamka na kumwita aliyebarikiwa,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'mumewe pia humsifu, akisema:' ¬q2 = ¬v = '28' q1 = '' v = '29' v~ = '“Wanawake wengi hufanya vitu vyenye sifa nzuri,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'lakini wewe umewapita wote.”' ¬q2 = ¬v = '29' q1 = '' v = '30' v~ = 'Kujipamba ili kuvutia ni udanganyifu na uzuri unapita upesi,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'bali mwanamke anayemcha \\nd Bwana\\nd* atasifiwa.' 'bali mwanamke anayemcha Bwana atasifiwa.' ¬q2 = ¬v = '30' q1 = '' v = '31' v~ = 'Mpe thawabu anayostahili,' ¬q1 = q2 = '' p~ = 'nazo kazi zake na zimletee sifa kwenye lango la mji.' ¬q2 = ¬v = '31' ¬c = '31' ¬chapters =