Hili ndilo asemalo
Tumesikia ujumbe kutoka kwaBwana :
“Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”
2 1:2 “Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,
3 1:3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,
wewe unayejiambia mwenyewe,
4 1:4 Ingawa unapaa juu kama tai
5 1:5 “Ikiwa wevi wangekuja kwako,
Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea:
Kama wachuma zabibu wangekuja kwako,
6 1:6 Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,
7 1:7 Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,
wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego,
8 1:8 “Katika siku hiyo,” asemaBwana ,
9 1:9 Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,
10 1:10 Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,
11 1:11 Siku ile ulisimama mbali ukiangalia
na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake
12 1:12 Usingemdharau ndugu yako
wala kufurahia juu ya watu wa Yuda
wala kujigamba sana
13 1:13 Usingeingia katika malango ya watu wangu
wala kuwadharau katika janga lao
wala kunyangʼanya mali zao
14 1:14 Usingengoja kwenye njia panda
wala kuwatoa watu wake waliosalia
15 1:15 “Siku yaBwana iko karibu
Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo,
16 1:16 Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,
watakunywa na kunywa,
17 1:17 Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo
nayo nyumba ya Yakobo
18 1:18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,
nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu,
Hakutakuwa na watakaosalimika
19 1:19 Watu kutoka nchi ya Negebu
na watu kutoka miteremko ya vilima
Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria,
20 1:20 Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani
Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu
21 1:21 Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni