Freely-Given.org Bible CH1 Checks

<Up>

Priority Errors

Extra space after chapter number in CH1 2:0

Showing 1 out of 1459 priority errors

Fix Text Errors

CH1 2:0 Extra space after chapter number

CH1 2:0 Removed trailing space in c: 2

CH1 2:0 Removed trailing space in s1: Wana Wa Israeli

CH1 2:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:

CH1 2:1 Removed trailing space in p~: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni,

CH1 2:2 Removed trailing space in v~: Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

CH1 2:2 Removed trailing space in s1: Yuda

CH1 2:2 Removed trailing space in s2: Hadi Wana Wa Hesroni

CH1 2:3 Removed trailing space in v~: Wana wa Yuda walikuwa:

CH1 2:3 Removed trailing space in p~: Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa \nd Bwana\nd*, kwa hiyo \nd Bwana\nd* alimuua.

CH1 2:4 Removed trailing space in v~: Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

CH1 2:5 Removed trailing space in v~: Wana wa Peresi walikuwa:

CH1 2:5 Removed trailing space in p~: Hesroni na Hamuli.

CH1 2:6 Removed trailing space in v~: Wana wa Zera walikuwa:

CH1 2:6 Removed trailing space in p~: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.

CH1 2:7 Removed trailing space in v~: Mwana wa Karmi alikuwa:

CH1 2:7 Removed trailing space in p~: Akari,\f + \fr 2:7 \ft Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (\+xt Yos 6:1-26; 22:20\+xt*).\f* ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.

CH1 2:7 Found unexpected backslash in footnote: 2:7 Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (\+xt Yos 6:1-26; 22:20\+xt*).

CH1 2:8 Removed trailing space in v~: Mwana wa Ethani alikuwa:

CH1 2:8 Removed trailing space in p~: Azariya.

CH1 2:9 Removed trailing space in v~: Wana wa Hesroni walikuwa:

CH1 2:9 Removed trailing space in p~: Yerameeli, Ramu na Kalebu.

CH1 2:9 Removed trailing space in s2: Kuanzia Ramu Mwana Wa Hesroni

CH1 2:10 Removed trailing space in v~: Ramu alimzaa

CH1 2:10 Removed trailing space in p~: Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.

CH1 2:11 Removed trailing space in v~: Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi,

CH1 2:12 Removed trailing space in v~: Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

CH1 2:13 Removed trailing space in v~: Yese akawazaa

CH1 2:13 Removed trailing space in p~: Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,\f + \fr 2:13 \ft Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia \+xt 1Sam 16:9; 17:13\+xt*).\f*

CH1 2:13 Found unexpected backslash in footnote: 2:13 Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia \+xt 1Sam 16:9; 17:13\+xt*).

CH1 2:14 Removed trailing space in v~: wa nne Nethaneli, wa tano Radai,

CH1 2:15 Removed trailing space in v~: wa sita Osemu, na wa saba Daudi.

CH1 2:16 Removed trailing space in v~: Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.

CH1 2:17 Removed trailing space in v~: Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

CH1 2:17 Removed trailing space in s2: Kalebu Mwana Wa Hesroni

CH1 2:18 Removed trailing space in v~: Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.

CH1 2:19 Removed trailing space in v~: Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.

CH1 2:20 Removed trailing space in v~: Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.

CH1 2:21 Removed trailing space in v~: Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu.

CH1 2:22 Removed trailing space in v~: Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi.

CH1 2:23 Removed trailing space in v~: (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.

CH1 2:24 Removed trailing space in v~: Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.

CH1 2:24 Removed trailing space in s2: Yerameeli Mwana Wa Hesroni

CH1 2:25 Removed trailing space in v~: Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa:

CH1 2:25 Removed trailing space in p~: Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya.

CH1 2:26 Removed trailing space in v~: Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.

CH1 2:27 Removed trailing space in v~: Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa:

CH1 2:27 Removed trailing space in p~: Maasi, Yamini na Ekeri.

CH1 2:28 Removed trailing space in v~: Wana wa Onamu walikuwa:

CH1 2:28 Removed trailing space in p~: Shamai na Yada.

CH1 2:28 Removed trailing space in p~: Wana wa Shamai walikuwa:

CH1 2:28 Removed trailing space in p~: Nadabu na Abishuri.

CH1 2:29 Removed trailing space in v~: Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.

CH1 2:30 Removed trailing space in v~: Wana wa Nadabu walikuwa

CH1 2:30 Removed trailing space in p~: Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.

CH1 2:31 Removed trailing space in v~: Apaimu akamzaa:

CH1 2:31 Removed trailing space in p~: Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani.

CH1 2:31 Removed trailing space in p~: Sheshani akamzaa Alai.

CH1 2:32 Removed trailing space in v~: Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:

CH1 2:32 Removed trailing space in p~: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.

CH1 2:33 Removed trailing space in v~: Wana wa Yonathani walikuwa:

CH1 2:33 Removed trailing space in p~: Pelethi na Zaza.

CH1 2:33 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.

CH1 2:34 Removed trailing space in v~: Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu.

CH1 2:34 Removed trailing space in p~: Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.

CH1 2:35 Removed trailing space in v~: Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.

CH1 2:36 Removed trailing space in v~: Atai akamzaa Nathani,

CH1 2:36 Removed trailing space in p~: Nathani akamzaa Zabadi,

CH1 2:37 Removed trailing space in v~: Zabadi akamzaa Eflali,

CH1 2:37 Removed trailing space in p~: Eflali akamzaa Obedi,

CH1 2:38 Removed trailing space in v~: Obedi akamzaa Yehu,

CH1 2:38 Removed trailing space in p~: Yehu akamzaa Azaria,

CH1 2:39 Removed trailing space in v~: Azaria akamzaa Helesi,

CH1 2:39 Removed trailing space in p~: Helesi akamzaa Eleasa,

CH1 2:40 Removed trailing space in v~: Eleasa akamzaa Sismai,

CH1 2:40 Removed trailing space in p~: Sismai akamzaa Shalumu,

CH1 2:41 Removed trailing space in v~: Shalumu akamzaa Yekamia,

CH1 2:41 Removed trailing space in p~: naye Yekamia akamzaa Elishama.

CH1 2:41 Removed trailing space in s2: Koo Za Kalebu

CH1 2:42 Removed trailing space in v~: Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa:

CH1 2:42 Removed trailing space in p~: Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.

CH1 2:43 Removed trailing space in v~: Hebroni alikuwa na wana wanne:

CH1 2:43 Removed trailing space in p~: Kora, Tapua, Rekemu na Shema.

CH1 2:44 Removed trailing space in v~: Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai.

CH1 2:45 Removed trailing space in v~: Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.

CH1 2:46 Removed trailing space in v~: Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.

CH1 2:47 Removed trailing space in v~: Wana wa Yadai walikuwa:

CH1 2:47 Removed trailing space in p~: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.

CH1 2:48 Removed trailing space in v~: Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana.

CH1 2:49 Removed trailing space in v~: Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa.

CH1 2:50 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu.

CH1 2:50 Removed trailing space in p~: Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa:

CH1 2:50 Removed trailing space in p~: Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu,

CH1 2:51 Removed trailing space in v~: Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.

CH1 2:52 Removed trailing space in v~: Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa:

CH1 2:52 Removed trailing space in p~: Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi,

CH1 2:53 Removed trailing space in v~: pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.

CH1 2:54 Removed trailing space in v~: Wazao wa Salma walikuwa:

CH1 2:54 Removed trailing space in p~: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori,

CH1 2:55 Removed trailing space in v~: pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.

CH1 3:0 Extra space after chapter number

CH1 3:0 Removed trailing space in c: 3

CH1 3:0 Removed trailing space in s2: Wana Wa Daudi

CH1 3:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni:

CH1 3:1 Removed trailing space in p~: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli;

CH1 3:1 Removed trailing space in p~: wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;

CH1 3:2 Removed trailing space in v~: wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;

CH1 3:2 Removed trailing space in p~: wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;

CH1 3:3 Removed trailing space in v~: wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali;

CH1 3:3 Removed trailing space in p~: wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.

CH1 3:4 Removed trailing space in v~: Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita.

CH1 3:4 Removed trailing space in p~: Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,

CH1 3:5 Removed trailing space in v~: nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu:

CH1 3:5 Removed trailing space in p~: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua,\f + \fr 3:5 \ft Sawa na Shimea; maana yake ni Mashuhuri, Maarufu.\f* Shobabu, Nathani na Solomoni.

CH1 3:6 Removed trailing space in v~: Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,

CH1 3:7 Removed trailing space in v~: Noga, Nefegi, Yafia,

CH1 3:8 Removed trailing space in v~: Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.

CH1 3:9 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.

CH1 3:9 Removed trailing space in s2: Wafalme Wa Yuda

CH1 3:10 Removed trailing space in v~: Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu,

CH1 3:10 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Abiya,

CH1 3:10 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati,

CH1 3:10 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Asa,

CH1 3:11 Removed trailing space in v~: mwanawe huyo alikuwa Yehoramu,

CH1 3:11 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Ahazia,

CH1 3:11 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Yoashi,

CH1 3:12 Removed trailing space in v~: mwanawe huyo alikuwa Amazia,

CH1 3:12 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Azaria,

CH1 3:12 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Yothamu,

CH1 3:13 Removed trailing space in v~: mwanawe huyo alikuwa Ahazi,

CH1 3:13 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Hezekia,

CH1 3:13 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Manase,

CH1 3:14 Removed trailing space in v~: mwanawe huyo alikuwa Amoni

CH1 3:14 Removed trailing space in p~: na mwanawe huyo alikuwa Yosia.

CH1 3:15 Removed trailing space in v~: Wana wa Yosia walikuwa:

CH1 3:15 Removed trailing space in p~: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza,

CH1 3:15 Removed trailing space in p~: Yehoyakimu mwanawe wa pili,

CH1 3:15 Removed trailing space in p~: wa tatu Sedekia,

CH1 3:15 Removed trailing space in p~: wa nne Shalumu.

CH1 3:16 Removed trailing space in v~: Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni:

CH1 3:16 Removed trailing space in p~: Yekonia mwanawe,

CH1 3:16 Removed trailing space in p~: na Sedekia.

CH1 3:16 Removed trailing space in s2: Ukoo Wa Kifalme Baada Ya Uhamisho

CH1 3:17 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka:

CH1 3:17 Removed trailing space in p~: Shealtieli mwanawe,

CH1 3:18 Removed trailing space in v~: Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

CH1 3:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Pedaya walikuwa:

CH1 3:19 Removed trailing space in p~: Zerubabeli na Shimei.

CH1 3:19 Removed trailing space in p~: Wana wa Zerubabeli walikuwa:

CH1 3:19 Removed trailing space in p~: Meshulamu na Hanania.

CH1 3:19 Removed trailing space in p~: Shelomithi alikuwa dada yao.

CH1 3:20 Removed trailing space in v~: Pia walikuwepo wengine watano:

CH1 3:20 Removed trailing space in p~: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.

CH1 3:21 Removed trailing space in v~: Wazao wa Hanania walikuwa:

CH1 3:21 Removed trailing space in p~: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

CH1 3:22 Removed trailing space in v~: Wazao wa Shekania:

CH1 3:22 Removed trailing space in p~: Shemaya na wanawe:

CH1 3:22 Removed trailing space in p~: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.

CH1 3:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Nearia walikuwa:

CH1 3:23 Removed trailing space in p~: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.

CH1 3:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Elioenai walikuwa:

CH1 3:24 Removed trailing space in p~: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

CH1 4:0 Extra space after chapter number

CH1 4:0 Removed trailing space in c: 4

CH1 4:0 Removed trailing space in s2: Koo Nyingine Za Yuda

CH1 4:1 Removed trailing space in v~: Wana wa Yuda walikuwa:

CH1 4:1 Removed trailing space in p~: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

CH1 4:2 Removed trailing space in v~: Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.

CH1 4:3 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu:

CH1 4:3 Removed trailing space in p~: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.

CH1 4:4 Removed trailing space in v~: Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha.

CH1 4:4 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.

CH1 4:5 Removed trailing space in v~: Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.

CH1 4:6 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.

CH1 4:7 Removed trailing space in v~: Wana wa Hela walikuwa:

CH1 4:7 Removed trailing space in p~: Serethi, Sohari, Ethnani,

CH1 4:8 Removed trailing space in v~: na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.

CH1 4:9 Removed trailing space in v~: Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”

CH1 4:10 Removed trailing space in v~: Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.

CH1 4:11 Removed trailing space in v~: Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.

CH1 4:12 Removed trailing space in v~: Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.

CH1 4:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Kenazi walikuwa:

CH1 4:13 Removed trailing space in p~: Othnieli na Seraya.

CH1 4:13 Removed trailing space in p~: Wana wa Othnieli walikuwa:

CH1 4:13 Removed trailing space in p~: Hathathi na Meonathai.

CH1 4:14 Removed trailing space in v~: Meonathai akamzaa Ofra.

CH1 4:14 Removed trailing space in p~: Seraya akamzaa Yoabu,

CH1 4:14 Removed trailing space in p~: baba wa Ge-Harashimu.\f + \fr 4:14 \ft Maana yake Bonde la Mafundi.\f* Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.

CH1 4:15 Removed trailing space in v~: Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu:

CH1 4:15 Removed trailing space in p~: Iru, Ela na Naamu.

CH1 4:15 Removed trailing space in p~: Naye mwana wa Ela alikuwa:

CH1 4:15 Removed trailing space in p~: Kenazi.

CH1 4:16 Removed trailing space in v~: Wana wa Yahaleleli walikuwa:

CH1 4:16 Removed trailing space in p~: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.

CH1 4:17 Removed trailing space in v~: Wana wa Ezra walikuwa:

CH1 4:17 Removed trailing space in p~: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.

CH1 4:18 Removed trailing space in v~: Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.

CH1 4:19 Removed trailing space in v~: Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa:

CH1 4:19 Removed trailing space in p~: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.

CH1 4:20 Removed trailing space in v~: Wana wa Shimoni walikuwa:

CH1 4:20 Removed trailing space in p~: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni.

CH1 4:20 Removed trailing space in p~: Wazao wa Ishi walikuwa:

CH1 4:20 Removed trailing space in p~: Zohethi na Ben-Zohethi.

CH1 4:21 Removed trailing space in v~: Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa:

CH1 4:21 Removed trailing space in p~: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,

CH1 4:22 Removed trailing space in v~: Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)

CH1 4:23 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.

CH1 4:23 Removed trailing space in s1: Simeoni

CH1 4:24 Removed trailing space in v~: Wazao wa Simeoni walikuwa:

CH1 4:24 Removed trailing space in p~: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.

CH1 4:25 Removed trailing space in v~: Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.

CH1 4:26 Removed trailing space in v~: Wazao wa Mishma walikuwa:

CH1 4:26 Removed trailing space in p~: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.

CH1 4:27 Removed trailing space in v~: Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.

CH1 4:28 Removed trailing space in v~: Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,

CH1 4:29 Removed trailing space in v~: Bilha, Esemu, Toladi,

CH1 4:30 Removed trailing space in v~: Bethueli, Horma, Siklagi,

CH1 4:31 Removed trailing space in v~: Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.

CH1 4:32 Removed trailing space in v~: Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:

CH1 4:33 Removed trailing space in v~: pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.

CH1 4:34 Removed trailing space in v~: Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,

CH1 4:35 Removed trailing space in v~: Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.

CH1 4:36 Removed trailing space in v~: Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,

CH1 4:37 Removed trailing space in v~: Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.

CH1 4:38 Removed trailing space in v~: Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,

CH1 4:39 Removed trailing space in v~: wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.

CH1 4:40 Removed trailing space in v~: Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.

CH1 4:41 Removed trailing space in v~: Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.

CH1 4:42 Removed trailing space in v~: Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.

CH1 4:43 Removed trailing space in v~: Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.

CH1 5:0 Extra space after chapter number

CH1 5:0 Removed trailing space in c: 5

CH1 5:0 Removed trailing space in s1: Wana Wa Reubeni

CH1 5:1 Removed trailing space in v~: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli (yeye alikuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa kuwa alikinajisi kitanda cha baba yake, haki zake za mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu mwana wa Israeli. Hivyo hakuorodheshwa kwenye orodha ya ukoo wao kulingana na haki yake ya kuzaliwa.

CH1 5:2 Removed trailing space in v~: Na ingawa Yuda alikuwa na nguvu zaidi ya ndugu zake wote, na mtawala alitoka kwake, haki za mzaliwa wa kwanza zilikuwa za Yosefu.)

CH1 5:3 Removed trailing space in v~: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli walikuwa:

CH1 5:3 Removed trailing space in p~: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

CH1 5:4 Removed trailing space in v~: Wazao wa Yoeli walikuwa:

CH1 5:4 Removed trailing space in p~: Shemaya mwanawe, Gogu mwanawe;

CH1 5:4 Removed trailing space in p~: Shimei mwanawe,

CH1 5:5 Removed trailing space in v~: Mika mwanawe,

CH1 5:5 Removed trailing space in p~: Reaya mwanawe, Baali mwanawe,

CH1 5:6 Removed trailing space in v~: na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.

CH1 5:7 Removed trailing space in v~: Jamaa zao kulingana na koo zao, walioorodheshwa kwa kufuata koo zao kama ifuatavyo:

CH1 5:7 Removed trailing space in p~: Yeieli aliyekuwa mkuu wao, Zekaria,

CH1 5:8 Removed trailing space in v~: Bela mwana wa Azazi, mwana wa Shema, mwana wa Yoeli. Hao waliishi katika eneo kuanzia Aroeri mpaka Nebo na Baal-Meoni.

CH1 5:9 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa mashariki walienea hadi pembeni mwa jangwa linaloenea mpaka kwenye Mto Frati, kwa sababu mifugo yao ilikuwa imeongezeka huko Gileadi.

CH1 5:10 Removed trailing space in v~: Wakati wa utawala wa Mfalme Sauli, walipigana vita dhidi ya Wahagari, wakaanguka kwa mikono yao, kisha wakaishi katika mahema ya Wahagari katika eneo lote la mashariki ya Gileadi.

CH1 5:10 Removed trailing space in s1: Wana Wa Gadi

CH1 5:11 Removed trailing space in v~: Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, mpaka Saleka.

CH1 5:12 Removed trailing space in v~: Yoeli ndiye alikuwa mkuu wao, Shafamu wa pili, na wakafuata Yanai na Shafati, huko Bashani.

CH1 5:13 Removed trailing space in v~: Ndugu zao kulingana na koo zao walikuwa saba:

CH1 5:13 Removed trailing space in p~: Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, Zia na Eberi.

CH1 5:14 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa ndio wana wa Abihaili mwana wa Huri, mwana wa Yaroa, mwana wa Gileadi, mwana wa Mikaeli, mwana wa Yeshishai, mwana wa Yahdo, mwana wa Buzi.

CH1 5:15 Removed trailing space in v~: Ahi mwana wa Abdieli, mwana wa Guni, alikuwa ndiye kiongozi wa jamaa yao.

CH1 5:16 Removed trailing space in v~: Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja na vijiji vilivyoizunguka, pia katika nchi yote ya malisho ya Sharoni kote walikoenea.

CH1 5:17 Removed trailing space in v~: Yote haya yaliwekwa katika kumbukumbu za ukoo wao wakati wa utawala wa Yothamu, mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.

CH1 5:18 Removed trailing space in v~: Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walikuwa na watu mashujaa 44,760 waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya vita: watu wenye nguvu, hodari wa kutumia ngao na upanga, mashujaa wa kutumia upinde, waliokuwa tayari kwa ajili ya kazi hiyo.

CH1 5:19 Removed trailing space in v~: Walipigana vita dhidi ya Wahagari, Yeturi, Nafishi na Nodabu.

CH1 5:20 Removed trailing space in v~: Walisaidiwa katika kupigana nao, Mungu akawatia Wahagari pamoja na wote walioungana nao mikononi mwao, kwa sababu walimlilia Mungu wakati wa vita. Alijibu maombi yao, kwa sababu walimtegemea.

CH1 5:21 Removed trailing space in v~: Walitwaa mifugo ya Wahagari: ngamia 50,000, kondoo 250,000, punda 2,000. Pia wakateka watu 100,000,

CH1 5:22 Removed trailing space in v~: na wengine wengi waliuawa kwa sababu vita vilikuwa ni vya Mungu. Nao waliendelea kuikalia nchi hiyo mpaka wakati wa uhamisho.

CH1 5:22 Removed trailing space in s1: Nusu Ya Kabila La Manase

CH1 5:23 Removed trailing space in v~: Idadi ya nusu ya kabila la Manase walikuwa wengi sana, Wakakaa kuanzia Bashani hadi Baal-Hermoni, yaani mpaka Seniri na mlima Hermoni.

CH1 5:24 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa viongozi wa jamaa za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yahdieli. Walikuwa askari shujaa watu maarufu, viongozi wa jamaa zao.

CH1 5:25 Removed trailing space in v~: Lakini hawakuwa waaminifu kwa Mungu wa baba zao, nao wakafanya ukahaba kwa miungu ya mataifa, ambayo Mungu alikuwa ameyaangamiza mbele yao.

CH1 5:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu wa Israeli akaiamsha roho ya Pulu, mfalme wa Ashuru (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-Pileseri), ambaye aliwachukua Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kwenda uhamishoni. Akawapeleka huko Hala, Habori, Hara na mto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.

CH1 6:0 Extra space after chapter number

CH1 6:0 Removed trailing space in c: 6

CH1 6:0 Removed trailing space in s1: Wana Wa Lawi

CH1 6:1 Removed trailing space in v~: Wana wa Lawi walikuwa:

CH1 6:1 Removed trailing space in p~: Gershoni, Kohathi na Merari.

CH1 6:2 Removed trailing space in v~: Wana wa Kohathi walikuwa:

CH1 6:2 Removed trailing space in p~: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

CH1 6:3 Removed trailing space in v~: Amramu alikuwa na wana:

CH1 6:3 Removed trailing space in p~: Aroni, Mose, na Miriamu.

CH1 6:3 Removed trailing space in p~: Aroni alikuwa na wana:

CH1 6:3 Removed trailing space in p~: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

CH1 6:4 Removed trailing space in v~: Eleazari akamzaa Finehasi,

CH1 6:4 Removed trailing space in p~: Finehasi akamzaa Abishua,

CH1 6:5 Removed trailing space in v~: Abishua akamzaa Buki,

CH1 6:5 Removed trailing space in p~: Buki akamzaa Uzi,

CH1 6:6 Removed trailing space in v~: Uzi akamzaa Zerahia,

CH1 6:6 Removed trailing space in p~: Zerahia akamzaa Merayothi,

CH1 6:7 Removed trailing space in v~: Merayothi akamzaa Amaria,

CH1 6:7 Removed trailing space in p~: Amaria akamzaa Ahitubu,

CH1 6:8 Removed trailing space in v~: Ahitubu akamzaa Sadoki,

CH1 6:8 Removed trailing space in p~: Sadoki akamzaa Ahimaasi,

CH1 6:9 Removed trailing space in v~: Ahimaasi akamzaa Azaria,

CH1 6:9 Removed trailing space in p~: Azaria akamzaa Yohanani,

CH1 6:10 Removed trailing space in v~: Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),

CH1 6:11 Removed trailing space in v~: Azaria akamzaa Amaria,

CH1 6:11 Removed trailing space in p~: Amaria akamzaa Ahitubu,

CH1 6:12 Removed trailing space in v~: Ahitubu akamzaa Sadoki,

CH1 6:12 Removed trailing space in p~: Sadoki akamzaa Shalumu,

CH1 6:13 Removed trailing space in v~: Shalumu akamzaa Hilkia,

CH1 6:13 Removed trailing space in p~: Hilkia akamzaa Azaria,

CH1 6:14 Removed trailing space in v~: Azaria akamzaa Seraya,

CH1 6:14 Removed trailing space in p~: Seraya akamzaa Yehosadaki.

CH1 6:15 Removed trailing space in v~: Yehosadaki alihamishwa wakati \nd Bwana\nd* aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.

CH1 6:16 Removed trailing space in v~: Wana wa Lawi walikuwa:

CH1 6:16 Removed trailing space in p~: Gershoni, Kohathi na Merari.

CH1 6:17 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni:

CH1 6:17 Removed trailing space in p~: Libni na Shimei.

CH1 6:18 Removed trailing space in v~: Wana wa Kohathi walikuwa:

CH1 6:18 Removed trailing space in p~: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

CH1 6:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari walikuwa:

CH1 6:19 Removed trailing space in p~: Mahli na Mushi.

CH1 6:19 Removed trailing space in p~: Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:

CH1 6:20 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gershoni:

CH1 6:20 Removed trailing space in p~: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi,

CH1 6:20 Removed trailing space in p~: Yahathi akamzaa Zima,

CH1 6:21 Removed trailing space in v~: Zima akamzaa Yoa,

CH1 6:21 Removed trailing space in p~: Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera,

CH1 6:21 Removed trailing space in p~: Zera akamzaa Yeatherai.

CH1 6:22 Removed trailing space in v~: Wazao wa Kohathi:

CH1 6:22 Removed trailing space in p~: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora,

CH1 6:22 Removed trailing space in p~: Kora akamzaa Asiri,

CH1 6:23 Removed trailing space in v~: Asiri akamzaa Elikana,

CH1 6:23 Removed trailing space in p~: Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,

CH1 6:24 Removed trailing space in v~: Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli,

CH1 6:24 Removed trailing space in p~: Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.

CH1 6:25 Removed trailing space in v~: Wazao wa Elikana walikuwa:

CH1 6:25 Removed trailing space in p~: Amasai na Ahimothi,

CH1 6:26 Removed trailing space in v~: Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai,

CH1 6:26 Removed trailing space in p~: Sofai akamzaa Nahathi,

CH1 6:27 Removed trailing space in v~: Nahathi akamzaa Eliabu,

CH1 6:27 Removed trailing space in p~: Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana,

CH1 6:27 Removed trailing space in p~: Elikana akamzaa Samweli.

CH1 6:28 Removed trailing space in v~: Wana wa Samweli walikuwa:

CH1 6:28 Removed trailing space in p~: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza,

CH1 6:28 Removed trailing space in p~: na Abiya mwanawe wa pili.

CH1 6:29 Removed trailing space in v~: Wafuatao ndio wazao wa Merari:

CH1 6:29 Removed trailing space in p~: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni,

CH1 6:29 Removed trailing space in p~: Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,

CH1 6:30 Removed trailing space in v~: Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia,

CH1 6:30 Removed trailing space in p~: Hagia akamzaa Asaya.

CH1 6:30 Removed trailing space in s2: Waimbaji Wa Hekalu

CH1 6:31 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya \nd Bwana\nd*, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.

CH1 6:32 Removed trailing space in v~: Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.

CH1 6:33 Removed trailing space in v~: Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao:

CH1 6:33 Removed trailing space in p~: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa:

CH1 6:33 Removed trailing space in p~: Hemani, mpiga kinanda,

CH1 6:33 Removed trailing space in p~: alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,

CH1 6:34 Removed trailing space in v~: mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu,

CH1 6:34 Removed trailing space in p~: mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

CH1 6:35 Removed trailing space in v~: mwana wa Sufu, mwana wa Elikana,

CH1 6:35 Removed trailing space in p~: mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,

CH1 6:36 Removed trailing space in v~: mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli,

CH1 6:36 Removed trailing space in p~: mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,

CH1 6:37 Removed trailing space in v~: mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri,

CH1 6:37 Removed trailing space in p~: mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,

CH1 6:38 Removed trailing space in v~: mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi,

CH1 6:38 Removed trailing space in p~: mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;

CH1 6:39 Removed trailing space in v~: na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume:

CH1 6:39 Removed trailing space in p~: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,

CH1 6:40 Removed trailing space in v~: mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya,

CH1 6:40 Removed trailing space in p~: mwana wa Malkiya,

CH1 6:41 Removed trailing space in v~: mwana wa Ethni,

CH1 6:41 Removed trailing space in p~: mwana wa Zera, mwana wa Adaya,

CH1 6:42 Removed trailing space in v~: mwana wa Ethani, mwana wa Zima,

CH1 6:42 Removed trailing space in p~: mwana wa Shimei,

CH1 6:43 Removed trailing space in v~: mwana wa Yahathi,

CH1 6:43 Removed trailing space in p~: mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.

CH1 6:44 Removed trailing space in v~: Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto:

CH1 6:44 Removed trailing space in p~: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi,

CH1 6:44 Removed trailing space in p~: mwana wa Maluki,

CH1 6:45 Removed trailing space in v~: mwana wa Hashabia,

CH1 6:45 Removed trailing space in p~: mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,

CH1 6:46 Removed trailing space in v~: mwana wa Amsi, mwana wa Bani,

CH1 6:46 Removed trailing space in p~: mwana wa Shemeri,

CH1 6:47 Removed trailing space in v~: mwana wa Mahli,

CH1 6:47 Removed trailing space in p~: mwana wa Mushi, mwana wa Merari,

CH1 6:47 Removed trailing space in p~: mwana wa Lawi.

CH1 6:48 Removed trailing space in v~: Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.

CH1 6:49 Removed trailing space in v~: Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.

CH1 6:50 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni:

CH1 6:50 Removed trailing space in p~: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi,

CH1 6:50 Removed trailing space in p~: Finehasi akamzaa Abishua,

CH1 6:51 Removed trailing space in v~: Abishua akamzaa Buki,

CH1 6:51 Removed trailing space in p~: Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,

CH1 6:52 Removed trailing space in v~: Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria,

CH1 6:52 Removed trailing space in p~: Amaria akamzaa Ahitubu,

CH1 6:53 Removed trailing space in v~: Ahitubu akamzaa Sadoki,

CH1 6:53 Removed trailing space in p~: Sadoki akamzaa Ahimaasi.

CH1 6:54 Removed trailing space in v~: Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

CH1 6:55 Removed trailing space in v~: Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.

CH1 6:56 Removed trailing space in v~: Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.

CH1 6:57 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,

CH1 6:58 Removed trailing space in v~: Hileni, Debiri,

CH1 6:59 Removed trailing space in v~: Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:60 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:60 Removed trailing space in p~: Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.

CH1 6:61 Removed trailing space in v~: Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.

CH1 6:62 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.

CH1 6:63 Removed trailing space in v~: Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

CH1 6:64 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:65 Removed trailing space in v~: Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.

CH1 6:66 Removed trailing space in v~: Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.

CH1 6:67 Removed trailing space in v~: Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,

CH1 6:68 Removed trailing space in v~: Yokmeamu, Beth-Horoni,

CH1 6:69 Removed trailing space in v~: Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:70 Removed trailing space in v~: Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:71 Removed trailing space in v~: Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho:

CH1 6:71 Removed trailing space in p~: Katika nusu ya kabila la Manase:

CH1 6:71 Removed trailing space in p~: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.

CH1 6:72 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Isakari

CH1 6:72 Removed trailing space in p~: walipokea Kedeshi, Daberathi,

CH1 6:73 Removed trailing space in v~: Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:74 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Asheri

CH1 6:74 Removed trailing space in p~: walipokea Mashali, Abdoni,

CH1 6:75 Removed trailing space in v~: Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:76 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Naftali

CH1 6:76 Removed trailing space in p~: walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:77 Removed trailing space in v~: Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo:

CH1 6:77 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Zabuloni

CH1 6:77 Removed trailing space in p~: walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:78 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko

CH1 6:78 Removed trailing space in p~: walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,

CH1 6:79 Removed trailing space in v~: Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:80 Removed trailing space in v~: Na kutoka kabila la Gadi

CH1 6:80 Removed trailing space in p~: walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,

CH1 6:81 Removed trailing space in v~: Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 7:0 Extra space after chapter number

CH1 7:0 Removed trailing space in c: 7

CH1 7:0 Removed trailing space in s1: Wana Wa Isakari

CH1 7:1 Removed trailing space in v~: Wana wa Isakari walikuwa:

CH1 7:1 Removed trailing space in p~: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.

CH1 7:2 Removed trailing space in v~: Wana wa Tola walikuwa:

CH1 7:2 Removed trailing space in p~: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.

CH1 7:3 Removed trailing space in v~: Mwana wa Uzi alikuwa:

CH1 7:3 Removed trailing space in p~: Izrahia.

CH1 7:3 Removed trailing space in p~: Wana wa Izrahia walikuwa:

CH1 7:3 Removed trailing space in p~: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.

CH1 7:4 Removed trailing space in v~: Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.

CH1 7:5 Removed trailing space in v~: Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.

CH1 7:5 Removed trailing space in s1: Wana Wa Benyamini

CH1 7:6 Removed trailing space in v~: Wana watatu wa Benyamini walikuwa:

CH1 7:6 Removed trailing space in p~: Bela, Bekeri na Yediaeli.

CH1 7:7 Removed trailing space in v~: Wana wa Bela walikuwa:

CH1 7:7 Removed trailing space in p~: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.

CH1 7:8 Removed trailing space in v~: Wana wa Bekeri walikuwa:

CH1 7:8 Removed trailing space in p~: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.

CH1 7:9 Removed trailing space in v~: Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.

CH1 7:10 Removed trailing space in v~: Mwana wa Yediaeli alikuwa:

CH1 7:10 Removed trailing space in p~: Bilhani.

CH1 7:10 Removed trailing space in p~: Wana wa Bilhani walikuwa:

CH1 7:10 Removed trailing space in p~: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.

CH1 7:11 Removed trailing space in v~: Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.

CH1 7:12 Removed trailing space in v~: Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.

CH1 7:12 Removed trailing space in s1: Wana Wa Naftali

CH1 7:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Naftali walikuwa:

CH1 7:13 Removed trailing space in p~: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.

CH1 7:13 Removed trailing space in s1: Wana Wa Manase

CH1 7:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Manase walikuwa:

CH1 7:14 Removed trailing space in p~: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.

CH1 7:15 Removed trailing space in v~: Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka.

CH1 7:15 Removed trailing space in p~: Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.

CH1 7:16 Removed trailing space in v~: Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.

CH1 7:17 Removed trailing space in v~: Mwana wa Ulamu alikuwa:

CH1 7:17 Removed trailing space in p~: Bedani.

CH1 7:17 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.

CH1 7:18 Removed trailing space in v~: Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.

CH1 7:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Shemida walikuwa:

CH1 7:19 Removed trailing space in p~: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.

CH1 7:19 Removed trailing space in s1: Wana Wa Efraimu

CH1 7:20 Removed trailing space in v~: Wana wa Efraimu walikuwa:

CH1 7:20 Removed trailing space in p~: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi,

CH1 7:20 Removed trailing space in p~: Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada,

CH1 7:20 Removed trailing space in p~: Eleada akamzaa Tahathi,

CH1 7:21 Removed trailing space in v~: Tahathi akamzaa Zabadi,

CH1 7:21 Removed trailing space in p~: na Zabadi akamzaa Shuthela.

CH1 7:21 Removed trailing space in p~: Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.

CH1 7:22 Removed trailing space in v~: Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.

CH1 7:23 Removed trailing space in v~: Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.

CH1 7:24 Removed trailing space in v~: Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.

CH1 7:25 Removed trailing space in v~: Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu,

CH1 7:25 Removed trailing space in p~: Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,

CH1 7:26 Removed trailing space in v~: Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi,

CH1 7:26 Removed trailing space in p~: Amihudi akamzaa Elishama,

CH1 7:27 Removed trailing space in v~: Elishama akamzaa Nuni,

CH1 7:27 Removed trailing space in p~: Nuni akamzaa Yoshua.

CH1 7:28 Removed trailing space in v~: Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.

CH1 7:29 Removed trailing space in v~: Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.

CH1 7:29 Removed trailing space in s1: Wana Wa Asheri

CH1 7:30 Removed trailing space in v~: Wana wa Asheri walikuwa:

CH1 7:30 Removed trailing space in p~: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.

CH1 7:31 Removed trailing space in v~: Wana wa Beria walikuwa:

CH1 7:31 Removed trailing space in p~: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.

CH1 7:32 Removed trailing space in v~: Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.

CH1 7:33 Removed trailing space in v~: Wana wa Yafleti walikuwa:

CH1 7:33 Removed trailing space in p~: Pasaki, Bimhali na Ashvathi.

CH1 7:33 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa wana wa Yafleti.

CH1 7:34 Removed trailing space in v~: Wana wa Shemeri walikuwa:

CH1 7:34 Removed trailing space in p~: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.

CH1 7:35 Removed trailing space in v~: Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa:

CH1 7:35 Removed trailing space in p~: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.

CH1 7:36 Removed trailing space in v~: Wana wa Sofa walikuwa:

CH1 7:36 Removed trailing space in p~: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,

CH1 7:37 Removed trailing space in v~: Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani\f + \fr 7:37 \ft Kwa jina lingine Yetheri.\f* na Beera.

CH1 7:38 Removed trailing space in v~: Wana wa Yetheri walikuwa:

CH1 7:38 Removed trailing space in p~: Yefune, Pispa na Ara.

CH1 7:39 Removed trailing space in v~: Wana wa Ula walikuwa:

CH1 7:39 Removed trailing space in p~: Ara, Hanieli na Risia.

CH1 7:40 Removed trailing space in v~: Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.

CH1 8:0 Extra space after chapter number

CH1 8:0 Removed trailing space in c: 8

CH1 8:0 Removed trailing space in s1: Ukoo Wa Sauli Mbenyamini

CH1 8:1 Removed trailing space in v~: Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza,

CH1 8:1 Removed trailing space in p~: Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,

CH1 8:2 Removed trailing space in v~: Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.

CH1 8:3 Removed trailing space in v~: Wana wa Bela walikuwa:

CH1 8:3 Removed trailing space in p~: Adari, Gera, Abihudi,

CH1 8:4 Removed trailing space in v~: Abishua, Naamani, Ahoa,

CH1 8:5 Removed trailing space in v~: Gera, Shefufani na Huramu.

CH1 8:6 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:

CH1 8:7 Removed trailing space in v~: Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.

CH1 8:8 Removed trailing space in v~: Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.

CH1 8:9 Removed trailing space in v~: Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,

CH1 8:10 Removed trailing space in v~: Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.

CH1 8:11 Removed trailing space in v~: Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.

CH1 8:12 Removed trailing space in v~: Wana wa Elpaali walikuwa:

CH1 8:12 Removed trailing space in p~: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),

CH1 8:13 Removed trailing space in v~: na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.

CH1 8:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,

CH1 8:15 Removed trailing space in v~: Zebadia, Aradi, Ederi,

CH1 8:16 Removed trailing space in v~: Mikaeli, Ishpa, na Yoha.

CH1 8:17 Removed trailing space in v~: Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,

CH1 8:18 Removed trailing space in v~: Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.

CH1 8:19 Removed trailing space in v~: Yakimu, Zikri, Zabdi,

CH1 8:20 Removed trailing space in v~: Elienai, Silethai, Elieli,

CH1 8:21 Removed trailing space in v~: Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.

CH1 8:22 Removed trailing space in v~: Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,

CH1 8:23 Removed trailing space in v~: Abdoni, Zikri, Hanani,

CH1 8:24 Removed trailing space in v~: Hanania, Elamu, Anthothiya,

CH1 8:25 Removed trailing space in v~: Ifdeya na Penueli.

CH1 8:26 Removed trailing space in v~: Shamsherai, Sheharia, Athalia,

CH1 8:27 Removed trailing space in v~: Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.

CH1 8:28 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

CH1 8:29 Removed trailing space in v~: Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni.

CH1 8:29 Removed trailing space in p~: Mke wake aliitwa Maaka.

CH1 8:30 Removed trailing space in v~: Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,

CH1 8:31 Removed trailing space in v~: Gedori, Ahio, Zekeri,

CH1 8:32 Removed trailing space in v~: na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

CH1 8:33 Removed trailing space in v~: Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.

CH1 8:34 Removed trailing space in v~: Yonathani akamzaa:

CH1 8:34 Removed trailing space in p~: Merib-Baali,\f + \fr 8:34 \ft Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (\+xt Amu 6:32\+xt*); ni jina lingine la mwana wa Yonathani, Mefiboshethi ambalo nalo maana yake ni Mtu wa Aibu (ona \+xt 2Sam 4:4\+xt*).\f* naye Merib-Baali akamzaa Mika.

CH1 8:34 Found unexpected backslash in footnote: 8:34 Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (\+xt Amu 6:32\+xt*); ni jina lingine la mwana wa Yonathani, Mefiboshethi ambalo nalo maana yake ni Mtu wa Aibu (ona \+xt 2Sam 4:4\+xt*).

CH1 8:35 Removed trailing space in v~: Wana wa Mika walikuwa:

CH1 8:35 Removed trailing space in p~: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

CH1 8:36 Removed trailing space in v~: Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.

CH1 8:37 Removed trailing space in v~: Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

CH1 8:38 Removed trailing space in v~: Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao:

CH1 8:38 Removed trailing space in p~: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.

CH1 8:39 Removed trailing space in v~: Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa:

CH1 8:39 Removed trailing space in p~: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.

CH1 8:40 Removed trailing space in v~: Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150.

CH1 8:40 Removed trailing space in p~: Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

CH1 9:0 Extra space after chapter number

CH1 9:0 Removed trailing space in c: 9

CH1 9:1 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli.

CH1 9:1 Removed trailing space in s1: Watu Katika Yerusalemu

CH1 9:1 Removed trailing space in p~: Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.

CH1 9:2 Removed trailing space in v~: Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.\f + \fr 9:2 \ft Yaani \fqa Wanethini.\f*

CH1 9:3 Removed trailing space in v~: Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:

CH1 9:3 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Yuda

CH1 9:4 Removed trailing space in v~: Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.

CH1 9:5 Removed trailing space in v~: Wazao wa Washiloni waliorudi ni:

CH1 9:5 Removed trailing space in p~: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.

CH1 9:6 Removed trailing space in v~: Kwa wana wa Zera:

CH1 9:6 Removed trailing space in p~: Yeueli.

CH1 9:6 Removed trailing space in p~: Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.

CH1 9:6 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Benyamini

CH1 9:7 Removed trailing space in v~: Kwa Benyamini walikuwa:

CH1 9:7 Removed trailing space in p~: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;

CH1 9:8 Removed trailing space in v~: Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.

CH1 9:9 Removed trailing space in v~: Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.

CH1 9:9 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Makuhani

CH1 9:10 Removed trailing space in v~: Wa jamaa za makuhani walikuwa:

CH1 9:10 Removed trailing space in p~: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;

CH1 9:11 Removed trailing space in v~: Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.

CH1 9:12 Removed trailing space in v~: Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.

CH1 9:13 Removed trailing space in v~: Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.

CH1 9:13 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Walawi

CH1 9:14 Removed trailing space in v~: Jamaa za Walawi walikuwa:

CH1 9:14 Removed trailing space in p~: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.

CH1 9:15 Removed trailing space in v~: Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.

CH1 9:16 Removed trailing space in v~: Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.

CH1 9:16 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Mabawabu

CH1 9:17 Removed trailing space in v~: Mabawabu katika Hekalu la \nd Bwana\nd* waliorudi walikuwa:

CH1 9:17 Removed trailing space in p~: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.

CH1 9:18 Removed trailing space in v~: Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.

CH1 9:19 Removed trailing space in v~: Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya \nd Bwana\nd*.

CH1 9:20 Removed trailing space in v~: Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja naye:

CH1 9:21 Removed trailing space in v~: Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.

CH1 9:22 Removed trailing space in v~: Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.

CH1 9:23 Removed trailing space in v~: Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya \nd Bwana\nd*, nyumba iliyoitwa Hema.

CH1 9:24 Removed trailing space in v~: Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.

CH1 9:25 Removed trailing space in v~: Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.

CH1 9:26 Removed trailing space in v~: Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.

CH1 9:27 Removed trailing space in v~: Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.

CH1 9:28 Removed trailing space in v~: Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.

CH1 9:29 Removed trailing space in v~: Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.

CH1 9:30 Removed trailing space in v~: Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.

CH1 9:31 Removed trailing space in v~: Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.

CH1 9:32 Removed trailing space in v~: Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.

CH1 9:33 Removed trailing space in v~: Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.

CH1 9:34 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

CH1 9:34 Removed trailing space in s1: Ukoo Wa Sauli

CH1 9:34 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 8:29-38)

CH1 9:35 Removed trailing space in v~: Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,

CH1 9:36 Removed trailing space in v~: mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,

CH1 9:37 Removed trailing space in v~: Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.

CH1 9:38 Removed trailing space in v~: Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

CH1 9:39 Removed trailing space in v~: Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.\f + \fr 9:39 \ft Anajulikana pia kwa jina la Ish-Boshethi, maana yake Mtu wa Aibu (\+xt 2Sam 2:8\+xt*).\f*

CH1 9:39 Found unexpected backslash in footnote: 9:39 Anajulikana pia kwa jina la Ish-Boshethi, maana yake Mtu wa Aibu (\+xt 2Sam 2:8\+xt*).

CH1 9:40 Removed trailing space in v~: Yonathani akamzaa Merib-Baali,\f + \fr 9:40 \ft Pia anajulikana kwa jina la Mefiboshethi.\f*

CH1 9:40 Removed trailing space in p~: naye Merib-Baali akamzaa Mika.

CH1 9:41 Removed trailing space in v~: Wana wa Mika walikuwa:

CH1 9:41 Removed trailing space in p~: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.

CH1 9:42 Removed trailing space in v~: Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.

CH1 9:43 Removed trailing space in v~: Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

CH1 9:44 Removed trailing space in v~: Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao:

CH1 9:44 Removed trailing space in p~: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.

CH1 10:0 Extra space after chapter number

CH1 10:0 Removed trailing space in c: 10

CH1 10:0 Removed trailing space in s1: Sauli Ajiua

CH1 10:0 Removed trailing space in r: (1 Samweli 31:1-13)

CH1 10:1 Removed trailing space in v~: Basi Wafilisti wakapigana na Israeli. Waisraeli wakawakimbia, na wengi wakauawa katika mlima Gilboa.

CH1 10:2 Removed trailing space in v~: Wafilisti wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe, wakawaua Yonathani, Abinadabu na Malki-Shua.

CH1 10:3 Removed trailing space in v~: Mapigano yakawa makali kumzunguka Sauli na wakati wapiga mishale walipompata, wakamjeruhi.

CH1 10:4 Removed trailing space in v~: Sauli akamwambia mbeba silaha wake, “Futa upanga wako unichome nao, la sivyo hawa watu wasiotahiriwa watakuja na kunidhalilisha.”

CH1 10:4 Removed trailing space in p~: Lakini mbeba silaha wake akaogopa sana wala hakuweza kufanya hivyo. Kwa hiyo Sauli akachukua upanga wake mwenyewe na kuuangukia.

CH1 10:5 Removed trailing space in v~: Mbeba silaha wake alipoona kwamba Sauli amekufa, naye pia akauangukia upanga wake akafa.

CH1 10:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Sauli na wanawe watatu wakafa, pamoja na nyumba yake yote.

CH1 10:7 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote waliokuwa bondeni walipoona kwamba jeshi limekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, waliacha miji yao wakakimbia. Nao Wafilisti wakaja na kukaa humo.

CH1 10:8 Removed trailing space in v~: Kesho yake Wafilisti walipokuja kuwavua maiti silaha, walimkuta Sauli na wanawe wameanguka katika Mlima Gilboa.

CH1 10:9 Removed trailing space in v~: Wakamvua mavazi, wakachukua kichwa chake pamoja na silaha zake, wakawatuma wajumbe katika nchi yote ya Wafilisti kutangaza habari hizi miongoni mwa sanamu zao na watu wao.

CH1 10:10 Removed trailing space in v~: Waliweka silaha zake katika hekalu la miungu yao, wakatundika kichwa chake katika hekalu la Dagoni.

CH1 10:11 Removed trailing space in v~: Wakazi wote wa Yabeshi-Gileadi waliposikia yote Wafilisti waliyomtendea Sauli,

CH1 10:12 Removed trailing space in v~: mashujaa wao wote wakaondoka, wakautwaa mwili wa Sauli na miili ya wanawe, wakaileta Yabeshi. Wakaizika mifupa yao chini ya mti mkubwa huko Yabeshi, nao wakafunga kwa siku saba.

CH1 10:13 Removed trailing space in v~: Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa \nd Bwana\nd*. Hakulishika neno la \nd Bwana\nd*, hata akataka shauri kwa mwaguzi kwa ajili ya uongozi,

CH1 10:14 Removed trailing space in v~: hakumuuliza \nd Bwana\nd*. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* alimuua, na ufalme akampa Daudi mwana wa Yese.

CH1 11:0 Extra space after chapter number

CH1 11:0 Removed trailing space in c: 11

CH1 11:0 Removed trailing space in s1: Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Israeli

CH1 11:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 5:1-10)

CH1 11:1 Removed trailing space in v~: Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako.

CH1 11:2 Removed trailing space in v~: Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, naye \nd Bwana\nd* Mungu wako alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’ ”

CH1 11:3 Removed trailing space in v~: Wazee wote wa Israeli walipokuwa wamewasili kwa Mfalme Daudi huko Hebroni, alifanya mapatano nao huko Hebroni mbele za \nd Bwana\nd*, nao wakamtia Daudi mafuta awe mfalme wa Israeli, sawasawa na \nd Bwana\nd* alivyoahidi kupitia kwa Samweli.

CH1 11:3 Removed trailing space in s1: Daudi Ateka Yerusalemu

CH1 11:4 Removed trailing space in v~: Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo

CH1 11:5 Removed trailing space in v~: wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu.” Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.

CH1 11:6 Removed trailing space in v~: Daudi alikuwa amesema, “Yeyote aongozaye mashambulizi dhidi ya Wayebusi, atakuwa jemadari mkuu.” Yoabu mwana wa Seruya akawa wa kwanza kukwea, naye akawa mkuu.

CH1 11:7 Removed trailing space in v~: Daudi akafanya makao yake kwenye ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi.

CH1 11:8 Removed trailing space in v~: Akajenga mji pande zote, kuanzia kwenye mito hadi kwenye ukuta kuzunguka, wakati huo huo Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za Yerusalemu.

CH1 11:9 Removed trailing space in v~: Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.

CH1 11:9 Removed trailing space in s1: Mashujaa Wa Daudi

CH1 11:9 Removed trailing space in r: (2 Samweli 23:8-39)

CH1 11:10 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wakuu wa mashujaa wa Daudi: wao pamoja na Israeli wote wakauimarisha ufalme wake ili kuenea katika nchi yote, kama \nd Bwana\nd* alivyoahidi.

CH1 11:11 Removed trailing space in v~: Hii ndio orodha ya mashujaa wa Daudi:

CH1 11:11 Removed trailing space in p~: Yashobeamu, Mhakmoni, alikuwa mkuu wa maafisa; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua katika pambano moja.

CH1 11:12 Removed trailing space in v~: Aliyefuata alikuwa Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu.

CH1 11:13 Removed trailing space in v~: Huyo alikuwa pamoja na Daudi huko Pas-Damimu, wakati Wafilisti walikusanyika huko kwa ajili ya vita. Huko ambapo kulikuwa na shamba lililokuwa limejaa shayiri, vikosi vya Israeli vikawakimbia Wafilisti.

CH1 11:14 Removed trailing space in v~: Lakini Eleazari na Daudi wakasimama imara katikati ya lile shamba, nao wakalishindania na wakawaua Wafilisti. Naye \nd Bwana\nd* akawapa ushindi mkubwa.

CH1 11:15 Removed trailing space in v~: Wakuu watatu miongoni mwa wale thelathini, walimwendea Daudi katika mwamba huko kwenye pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.

CH1 11:16 Removed trailing space in v~: Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.

CH1 11:17 Removed trailing space in v~: Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilichoko karibu na lango la Bethlehemu!”

CH1 11:18 Removed trailing space in v~: Kwa hivyo wale watatu, wakapita katikati ya safu za Wafilisti, wakachota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za \nd Bwana\nd*.

CH1 11:19 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mungu apishie mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe damu ya watu hawa waliohatarisha maisha yao?” Kwa sababu walihatarisha maisha yao kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa.

CH1 11:19 Removed trailing space in p~: Huo ndio uliokuwa ujasiri wa wale mashujaa watatu.

CH1 11:20 Removed trailing space in v~: Abishai, ndugu yake Yoabu ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.

CH1 11:21 Removed trailing space in v~: Alitunukiwa heshima maradufu ya wale Watatu, akawa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.

CH1 11:22 Removed trailing space in v~: Benaya, mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.

CH1 11:23 Removed trailing space in v~: Alimuua Mmisri aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano.\f + \fr 11:23 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki kama mti wa mfumaji mkononi mwake, Benaya alimwendea na rungu. Akamnyangʼanya Mmisri mkuki wake na kumuua nao.

CH1 11:24 Removed trailing space in v~: Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.

CH1 11:25 Removed trailing space in v~: Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu: Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.

CH1 11:26 Removed trailing space in v~: Wale watu mashujaa walikuwa:

CH1 11:26 Removed trailing space in p~: Asaheli nduguye Yoabu,

CH1 11:26 Removed trailing space in p~: Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,

CH1 11:27 Removed trailing space in v~: Shamothi Mharori,

CH1 11:27 Removed trailing space in p~: Helesi Mpeloni,

CH1 11:28 Removed trailing space in v~: Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa,

CH1 11:28 Removed trailing space in p~: Abiezeri kutoka Anathothi,

CH1 11:29 Removed trailing space in v~: Sibekai Mhushathi,

CH1 11:29 Removed trailing space in p~: Ilai Mwahohi,

CH1 11:30 Removed trailing space in v~: Maharai Mnetofathi,

CH1 11:30 Removed trailing space in p~: Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi,

CH1 11:31 Removed trailing space in v~: Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini,

CH1 11:31 Removed trailing space in p~: Benaya Mpirathoni,

CH1 11:32 Removed trailing space in v~: Hurai kutoka mabonde ya Gaashi,

CH1 11:32 Removed trailing space in p~: Abieli Mwaribathi,

CH1 11:33 Removed trailing space in v~: Azmawethi Mbaharumi,

CH1 11:33 Removed trailing space in p~: Eliaba Mshaalboni,

CH1 11:34 Removed trailing space in v~: wana wa Hashemu Mgiloni,

CH1 11:34 Removed trailing space in p~: Yonathani mwana wa Shagee Mharari,

CH1 11:35 Removed trailing space in v~: Ahiamu mwana wa Sakari Mharari,

CH1 11:35 Removed trailing space in p~: Elifale mwana wa Uru,

CH1 11:36 Removed trailing space in v~: Heferi Mmekerathi,

CH1 11:36 Removed trailing space in p~: Ahiya Mpeloni,

CH1 11:37 Removed trailing space in v~: Hezro Mkarmeli,

CH1 11:37 Removed trailing space in p~: Naarai mwana wa Ezbai,

CH1 11:38 Removed trailing space in v~: Yoeli nduguye Nathani,

CH1 11:38 Removed trailing space in p~: Mibhari mwana wa Hagri,

CH1 11:39 Removed trailing space in v~: Seleki Mwamoni,

CH1 11:39 Removed trailing space in p~: Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,

CH1 11:40 Removed trailing space in v~: Ira Mwithiri,

CH1 11:40 Removed trailing space in p~: Garebu Mwithiri,

CH1 11:41 Removed trailing space in v~: Uria Mhiti,

CH1 11:41 Removed trailing space in p~: Zabadi mwana wa Alai,

CH1 11:42 Removed trailing space in v~: Adina mwana wa Shiza Mreubeni, ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini,

CH1 11:43 Removed trailing space in v~: Hanani mwana wa Maaka,

CH1 11:43 Removed trailing space in p~: Yoshafati Mmithni,

CH1 11:44 Removed trailing space in v~: Uzia Mwashterathi,

CH1 11:44 Removed trailing space in p~: Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri,

CH1 11:45 Removed trailing space in v~: Yediaeli mwana wa Shimri,

CH1 11:45 Removed trailing space in p~: nduguye Yoha Mtizi,

CH1 11:46 Removed trailing space in v~: Elieli Mmahawi,

CH1 11:46 Removed trailing space in p~: Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu,

CH1 11:46 Removed trailing space in p~: Ithma Mmoabu,

CH1 11:47 Removed trailing space in v~: Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.

CH1 12:0 Extra space after chapter number

CH1 12:0 Removed trailing space in c: 12

CH1 12:0 Removed trailing space in s1: Mashujaa Waungana Na Daudi

CH1 12:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu waliomjia Daudi huko Siklagi, wakati alikuwa amefukuzwa mbele ya Sauli mwana wa Kishi (walikuwa miongoni mwa mashujaa waliomsaidia Daudi vitani,

CH1 12:2 Removed trailing space in v~: walikuwa na pinde na walikuwa na uwezo wa kupiga mishale au kutupa mawe kwa kombeo wakitumia mkono wa kushoto au wa kulia; hawa walikuwa ndugu zake Sauli kutoka kabila la Benyamini):

CH1 12:3 Removed trailing space in v~: Mkuu wao alikuwa Ahiezeri, na wa pili Yoashi, wote wana wa Shemaa Mgibeathi; pia Yezieli na Peleti wana wa Azmawethi; Beraka, Yehu Mwanathothi,

CH1 12:4 Removed trailing space in v~: na Ishmaya Mgibeoni, shujaa miongoni mwa wale Thelathini, ambaye alikuwa kiongozi wa wale Thelathini; Yeremia, Yahazieli, Yohanani, Yozabadi, Mgederathi,

CH1 12:5 Removed trailing space in v~: Eluzai, Yeremothi, Bealia, Shemaria, Shefatia, Mharufi;

CH1 12:6 Removed trailing space in v~: Elikana, Ishia, Azareli, Yoezeri na Yashobeamu, wana wa Kora;

CH1 12:7 Removed trailing space in v~: Yoela na Zebadia, wana wa Yerohamu, kutoka Gedori.

CH1 12:8 Removed trailing space in v~: Baadhi ya Wagadi wakajitenga na kujiunga na Daudi katika ngome yake huko jangwani. Walikuwa mashujaa hodari, waliokuwa tayari kwa vita na wenye uwezo wa kutumia ngao na mkuki. Nyuso zao zilikuwa nyuso za simba na walikuwa na wepesi kama paa milimani.

CH1 12:9 Removed trailing space in v~: Ezeri alikuwa mkuu wao,

CH1 12:9 Removed trailing space in p~: Obadia alikuwa wa pili katika uongozi, Eliabu wa tatu,

CH1 12:10 Removed trailing space in v~: Mishmana wa nne, Yeremia wa tano,

CH1 12:11 Removed trailing space in v~: Atai wa sita, Elieli wa saba,

CH1 12:12 Removed trailing space in v~: Yohanani wa nane, Elzabadi wa tisa,

CH1 12:13 Removed trailing space in v~: Yeremia wa kumi, na Makbanai wa kumi na moja.

CH1 12:14 Removed trailing space in v~: Hawa Wagadi walikuwa majemadari. Aliyekuwa wa mwisho kuliko wote aliweza kuongoza askari 100, na aliyekuwa na uweza zaidi ya wote aliongoza 1,000.

CH1 12:15 Removed trailing space in v~: Wao ndio walivuka Mto Yordani katika mwezi wa kwanza ukiwa umefurika hadi kwenye kingo zake zote na kusababisha watu wote waliokuwa wanaishi kwenye mabonde kukimbilia mashariki na wengine magharibi.

CH1 12:16 Removed trailing space in v~: Wabenyamini wengine na baadhi ya watu kutoka Yuda pia walikuja kwa Daudi katika ngome yake.

CH1 12:17 Removed trailing space in v~: Daudi akatoka nje kuwalaki na akawaambia, “Kama mmekuja kwangu kwa amani, kunisaidia, mimi niko tayari kuwaruhusu ninyi kuungana nami. Lakini kama mmekuja ili kunisaliti kwa adui zangu wakati mimi mikono yangu haina hatia, basi Mungu wa baba zetu aone na awahukumu.”

CH1 12:18 Removed trailing space in v~: Kisha Roho akaja juu ya Amasai, mkuu wa wale Thelathini, naye akasema:

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: “Sisi tu watu wako, ee Daudi!

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: Nasi tuko pamoja na wewe, ee mwana wa Yese!

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: Ushindi, naam, ushindi uwe kwako,

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: pia ushindi kwa wale walio upande wako,

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Mungu wako atakusaidia.”

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Daudi akawapokea na kuwafanya viongozi wa vikosi vyake vya uvamizi.

CH1 12:19 Removed trailing space in v~: Baadhi ya watu kutoka kabila la Manase wakajiunga na Daudi wakati alikwenda pamoja na Wafilisti, kupigana na Sauli. (Daudi na watu wake hawakuwasaidia Wafilisti kwa sababu, baada ya ushauri, watawala wao walimrudisha. Wakasema, “Itatugharimu vichwa vyetu kama Daudi atatuasi na kurudi kwa Sauli bwana wake.”)

CH1 12:20 Removed trailing space in v~: Daudi alipokwenda Siklagi, hawa ndio watu wa kabila la Manase waliojiunga naye: Adna, Yozabadi, Yediaeli, Mikaeli, Yozabadi, Elihu na Silethai, viongozi wa vikosi vya watu 1,000 katika kabila la Manase.

CH1 12:21 Removed trailing space in v~: Walimsaidia Daudi dhidi ya makundi ya uvamizi, kwa kuwa wote walikuwa mashujaa hodari na walikuwa majemadari katika jeshi lake.

CH1 12:22 Removed trailing space in v~: Siku baada ya siku watu walikuja kumsaidia Daudi, mpaka akawa na jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.

CH1 12:22 Removed trailing space in s1: Wengine Waungana Na Daudi Huko Hebroni

CH1 12:23 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu waliojiandaa kwa ajili ya vita waliokuja kwa Daudi huko Hebroni ili kumtwalia ufalme kutoka kwa Sauli, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema:

CH1 12:24 Removed trailing space in v~: watu wa Yuda, wanaochukua ngao na mikuki walikuwa 6,800 wote wakiwa tayari kwa vita.

CH1 12:25 Removed trailing space in v~: Watu wa Simeoni, mashujaa waliokuwa tayari kwa vita walikuwa 7,100.

CH1 12:26 Removed trailing space in v~: Watu wa Lawi walikuwa 4,600,

CH1 12:27 Removed trailing space in v~: pamoja na Yehoyada, kiongozi wa jamaa ya Aroni, aliyekuwa pamoja na watu 3,700,

CH1 12:28 Removed trailing space in v~: na Sadoki, kijana shujaa na hodari, aliyekuwa pamoja na maafisa ishirini na wawili kutoka jamaa yake.

CH1 12:29 Removed trailing space in v~: Watu wa Benyamini, ndugu zake Sauli, walikuwa 3,000; wengi wao walikuwa wameendelea kuwa waaminifu kwa Sauli mpaka wakati huo.

CH1 12:30 Removed trailing space in v~: Watu wa Efraimu, mashujaa hodari 20,800, watu waliokuwa maarufu katika koo zao.

CH1 12:31 Removed trailing space in v~: Watu wa nusu ya kabila la Manase, waliotajwa kwa majina ili waje kumweka Daudi kuwa mfalme, watu 18,000.

CH1 12:32 Removed trailing space in v~: Watu wa Isakari, waliofahamu majira na kujua kile ambacho Israeli inapasa kufanya, walikuwa viongozi 200, pamoja na jamaa zao wote chini ya uongozi wao.

CH1 12:33 Removed trailing space in v~: Watu wa Zabuloni, askari wenye uzoefu mkubwa walioandaliwa tayari kwa vita wakiwa na silaha za kila aina, ili kumsaidia Daudi kwa uaminifu thabiti, walikuwa 50,000.

CH1 12:34 Removed trailing space in v~: Watu wa Naftali, maafisa 1,000, pamoja na watu 37,000 waliochukua ngao na mikuki.

CH1 12:35 Removed trailing space in v~: Watu wa Dani 28,600 waliokuwa tayari kwa vita.

CH1 12:36 Removed trailing space in v~: Watu wa Asheri, askari 40,000 wenye uzoefu mkubwa waliondaliwa kwa ajili ya vita.

CH1 12:37 Removed trailing space in v~: Na pia watu kutoka mashariki ya Yordani, watu wa Reubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase, wakiwa na kila aina ya silaha, watu 120,000.

CH1 12:38 Removed trailing space in v~: Wote hawa walikuwa watu wapiganaji waliojitolea kutumika katika safu zao. Walikuja Hebroni wakiwa wameamua kikamilifu kumfanya Daudi mfalme juu ya Israeli yote. Waisraeli wengine wote walikuwa pia na nia hiyo moja ya kumfanya Daudi kuwa mfalme.

CH1 12:39 Removed trailing space in v~: Watu hawa wakakaa huko na Daudi siku tatu, wakila na kunywa, kwa sababu jamaa zao zilikuwa zimewapatia mahitaji yao.

CH1 12:40 Removed trailing space in v~: Pia, majirani zao hata wale walio mbali hadi Isakari, Zabuloni na Naftali, walikuja wakiwaletea vyakula walivyovibeba kwa punda, ngamia, nyumbu na maksai. Kulikuwepo na wingi wa unga, maandazi ya tini, maandazi ya zabibu kavu, divai, mafuta, ngʼombe na kondoo, kwa maana kulikuwa na furaha katika Israeli.

CH1 13:0 Extra space after chapter number

CH1 13:0 Removed trailing space in c: 13

CH1 13:0 Removed trailing space in s1: Kurudishwa Kwa Sanduku La Mungu

CH1 13:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 6:1-11)

CH1 13:1 Removed trailing space in v~: Daudi alishauriana na kila afisa wake, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia.

CH1 13:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akaliambia kusanyiko lote la Israeli, “Kama mkiona ni vyema, na kama ni mapenzi ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tupeleke ujumbe kwa ndugu zetu wengine walio mbali na walio karibu katika nchi yote ya Israeli, pia kwa makuhani na Walawi walio pamoja nao katika miji yao na katika sehemu zao za malisho yao, waje waungane na sisi.

CH1 13:3 Removed trailing space in v~: Sisi na tulirudishe Sanduku la Mungu wetu kwetu kwa maana hatukujali wakati wa utawala wa Sauli.”

CH1 13:4 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote likakubaliana kufanya hivyo, kwa sababu ilionekana vyema kwa watu wote.

CH1 13:5 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akawakusanya Waisraeli wote, kuanzia Mto Shihori ulioko Misri hadi Lebo-Hamathi, ili kulileta Sanduku la Mungu kutoka Kiriath-Yearimu.

CH1 13:6 Removed trailing space in v~: Daudi akiwa pamoja na Waisraeli wote wakaenda Baala ya Yuda (yaani Kiriath-Yearimu) kulipandisha Sanduku la Mungu \nd Bwana\nd*, yeye anayeketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi: Sanduku linaloitwa kwa Jina lake, kutoka huko.

CH1 13:7 Removed trailing space in v~: Wakalisafirisha Sanduku la Mungu kwa gari jipya la kukokotwa na maksai kutoka nyumba ya Abinadabu, Uza na Ahio wakiliongoza gari hilo.

CH1 13:8 Removed trailing space in v~: Daudi pamoja na Waisraeli wote walikuwa wanasifu kwa nguvu zao zote mbele za Mungu, kwa nyimbo na kwa vinubi, zeze, matari, matoazi na tarumbeta.

CH1 13:9 Removed trailing space in v~: Walipofika kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Kidoni, Uza akaunyoosha mkono wake ili kulizuia Sanduku, kwa sababu maksai walijikwaa.

CH1 13:10 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Uza, akampiga kwa sababu aliuweka mkono wake kwenye Sanduku. Kwa hiyo akafa pale mbele za Mungu.

CH1 13:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya \nd Bwana\nd* ilifurika dhidi ya Uza, mahali pale pakaitwa Peres-Uza\f + \fr 13:11 \ft Maana yake ni Gadhabu dhidi ya Uza.\f* hadi leo.

CH1 13:12 Removed trailing space in v~: Siku ile Daudi akamwogopa Mungu naye akauliza. “Nitawezaje kulichukua Sanduku la Mungu kwangu?”

CH1 13:13 Removed trailing space in v~: Hakulichukua hilo Sanduku akae nalo katika Mji wa Daudi. Badala yake, akalipeleka nyumbani kwa Obed-Edomu, Mgiti.

CH1 13:14 Removed trailing space in v~: Sanduku la Mungu likabaki pamoja na jamaa ya Obed-Edomu, nyumbani kwake kwa miezi mitatu, naye \nd Bwana\nd* akaibariki nyumba yake pamoja na kila kitu alichokuwa nacho.

CH1 14:0 Extra space after chapter number

CH1 14:0 Removed trailing space in c: 14

CH1 14:0 Removed trailing space in s1: Nyumba Ya Daudi Na Jamaa Yake

CH1 14:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 5:11-16)

CH1 14:1 Removed trailing space in v~: Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, waashi na maseremala ili kumjengea jumba la kifalme.

CH1 14:2 Removed trailing space in v~: Naye Daudi akatambua kwamba \nd Bwana\nd* amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na kwamba ufalme wake umetukuzwa kwa ajili ya Israeli, watu wake.

CH1 14:3 Removed trailing space in v~: Huko Yerusalemu Daudi akaoa wake wengine zaidi na akawa baba wa wana na mabinti wengi.

CH1 14:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,

CH1 14:5 Removed trailing space in v~: Ibihari, Elishua, Elpeleti,

CH1 14:6 Removed trailing space in v~: Noga, Nefegi, Yafia,

CH1 14:7 Removed trailing space in v~: Elishama, Beeliada na Elifeleti.

CH1 14:7 Removed trailing space in s1: Daudi Awashinda Wafilisti

CH1 14:7 Removed trailing space in r: (2 Samweli 5:17-25)

CH1 14:8 Removed trailing space in v~: Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli yote, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akatoka ili kwenda kukabiliana nao.

CH1 14:9 Removed trailing space in v~: Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,

CH1 14:10 Removed trailing space in v~: Hivyo Daudi akamuuliza Mungu: “Je, niende kuwashambulia hao Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?”

CH1 14:10 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akamjibu, “Nenda, nitawatia mikononi mwako.”

CH1 14:11 Removed trailing space in v~: Hivyo Daudi pamoja na watu wake wakakwea mpaka Baal-Perasimu,\f + \fr 14:11 \ft Maana yake ni Bwana Afurikae.\f* akawashinda huko. Akasema, “Kama maji yafurikavyo, Mungu amewafurikia adui zangu kwa kutumia mkono wangu.” Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Baal-Perasimu.

CH1 14:12 Removed trailing space in v~: Wafilisti walikuwa wameacha miungu yao huko, Daudi akaamuru iteketezwe kwa moto.

CH1 14:13 Removed trailing space in v~: Kwa mara nyingine Wafilisti wakavamia lile bonde;

CH1 14:14 Removed trailing space in v~: hivyo Daudi akamuuliza Mungu tena, naye Mungu akamjibu, “Usiwapandie moja kwa moja, bali wazungukie na uwashambulie kutoka mbele ya hiyo miti ya miforosadi.

CH1 14:15 Removed trailing space in v~: Mara usikiapo sauti ya kwenda juu ya hiyo miti ya miforosadi, hapo ndipo utoke upigane vita, kwa sababu hiyo itaonyesha kwamba Mungu amekutangulia ili kupiga jeshi la Wafilisti.”

CH1 14:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akafanya kama alivyoagizwa na Mungu, wakalipiga jeshi la Wafilisti kuanzia Gibeoni hadi Gezeri.

CH1 14:17 Removed trailing space in v~: Hivyo umaarufu wa Daudi ukaenea katika kila nchi, naye \nd Bwana\nd* akayafanya mataifa yote kumwogopa Daudi.

CH1 15:0 Extra space after chapter number

CH1 15:0 Removed trailing space in c: 15

CH1 15:0 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano Laletwa Yerusalemu

CH1 15:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 6:12-22)

CH1 15:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Daudi kujijengea nyumba zake katika Mji wa Daudi, akatengeneza sehemu kwa ajili ya Sanduku la Mungu, kisha akasimamisha hema kwa ajili yake.

CH1 15:2 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akasema, “Hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kulibeba Sanduku la Mungu isipokuwa Walawi peke yao, kwa sababu \nd Bwana\nd* aliwachagua kulibeba Sanduku la \nd Bwana\nd* na kuhudumu mbele zake milele.”

CH1 15:3 Removed trailing space in v~: Daudi akawakusanya Israeli wote huko Yerusalemu ili kulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd* na kulileta hadi kwenye sehemu aliyokuwa ametengeneza kwa ajili yake.

CH1 15:4 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akawakusanya pamoja wazao wa Aroni na Walawi:

CH1 15:5 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Kohathi,

CH1 15:5 Removed trailing space in p~: Urieli kiongozi na ndugu zake 120,

CH1 15:6 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Merari,

CH1 15:6 Removed trailing space in p~: Asaya kiongozi na ndugu zake 220.

CH1 15:7 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Gershoni,\f + \fr 15:7 \ft Namna nyingine ya kutaja Gershomu.\f*

CH1 15:7 Removed trailing space in p~: Yoeli kiongozi na ndugu zake 130.

CH1 15:8 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Elisafani,

CH1 15:8 Removed trailing space in p~: Shemaya kiongozi na ndugu zake 200.

CH1 15:9 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Hebroni,

CH1 15:9 Removed trailing space in p~: Elieli kiongozi na ndugu zake 80.

CH1 15:10 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Uzieli,

CH1 15:10 Removed trailing space in p~: Aminadabu kiongozi na ndugu zake 112.

CH1 15:11 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akawaita makuhani Sadoki na Abiathari, pamoja na Walawi Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli na Aminadabu.

CH1 15:12 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Ninyi ndio viongozi wa jamaa za Walawi. Ninyi pamoja na Walawi wenzenu inawapasa mjitakase na kulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli hadi mahali ambapo nimetengeneza kwa ajili yake.

CH1 15:13 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni kwa sababu hii, ninyi Walawi, hamkulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd* mara ya kwanza, hata ikasababisha \nd Bwana\nd* Mungu wetu kuwaka hasira dhidi yetu. Hatukumuuliza jinsi ya kufanya ili tupate kulileta jinsi alivyoagiza.”

CH1 15:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo makuhani pamoja na Walawi wakajitakasa ili kulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH1 15:15 Removed trailing space in v~: Nao Walawi wakalichukua Sanduku la Mungu mabegani mwao wakitumia mipiko, kama vile Mose alivyoamuru sawasawa na neno la \nd Bwana\nd*.

CH1 15:16 Removed trailing space in v~: Daudi akawaambia viongozi wa Walawi kuwaweka ndugu zao waimbaji ili waimbe nyimbo za shangwe, wakiwa na vyombo vya uimbaji: zeze, vinubi na matoazi.

CH1 15:17 Removed trailing space in v~: Basi Walawi wakawaweka Hemani mwana wa Yoeli; kutoka miongoni mwa ndugu zake, Asafu mwana wa Berekia; kutoka miongoni mwa ndugu zao Wamerari, Ethani mwana wa Kushaiya;

CH1 15:18 Removed trailing space in v~: hawa ndio waliochaguliwa kuwa wasaidizi wao: Zekaria, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaya, Maaseya, Matithia, Elifelehu, Mikneya, pamoja na mabawabu Obed-Edomu na Yehieli.

CH1 15:19 Removed trailing space in v~: Waimbaji Hemani, Asafu na Ethani walichaguliwa kupiga matoazi ya shaba;

CH1 15:20 Removed trailing space in v~: Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Maaseya na Benaya walikuwa wapiga zeze kufuatana na sauti ya \it alamothi\it*,\f + \fr 15:20 \ft Huenda ni aina ya uimbaji.\f*

CH1 15:21 Removed trailing space in v~: na Matithia, Elifelehu, Mikneya, Obed-Edomu, Yehieli na Azazia walikuwa wapiga vinubi, wakiongozwa kwa kufuata sauti ya \it sheminithi\it*.\f + \fr 15:21 \ft Huenda ni aina ya uimbaji.\f*

CH1 15:22 Removed trailing space in v~: Kenania kiongozi wa Walawi alikuwa msimamizi wa uimbaji; huu ndio uliokuwa wajibu wake kwa sababu alikuwa stadi katika hilo.

CH1 15:23 Removed trailing space in v~: Berekia na Elikana walikuwa mabawabu kwa ajili ya Sanduku.

CH1 15:24 Removed trailing space in v~: Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, makuhani, walikuwa wapiga tarumbeta mbele ya Sanduku la Mungu. Obed-Edomu na Yehiya waliwekwa pia kuwa mabawabu wa Sanduku.

CH1 15:25 Removed trailing space in v~: Basi Daudi pamoja na wazee wa Israeli na majemadari wa vikosi vya elfu wakaenda ili kulipandisha Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kutoka nyumba ya Obed-Edomu kwa shangwe.

CH1 15:26 Removed trailing space in v~: Kwa sababu Mungu alikuwa amewasaidia Walawi waliokuwa wanalichukua Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, mafahali saba na kondoo dume saba walitolewa dhabihu.

CH1 15:27 Removed trailing space in v~: Basi Daudi alikuwa amevaa joho la kitani safi, kama walivyokuwa wamevaa Walawi wote waliokuwa wanalichukua lile Sanduku, waimbaji nao walivaa vivyo hivyo, pamoja na Kenania aliyekuwa anaongoza nyimbo za waimbaji. Daudi alivaa pia kisibau cha kitani safi.

CH1 15:28 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli wote wakalipandisha Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kwa shangwe, wakipiga pembe za kondoo dume, tarumbeta, matoazi, wakipiga zeze na vinubi.

CH1 15:29 Removed trailing space in v~: Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* lilipokuwa linaingia katika Mji wa Daudi, Mikali binti Sauli akachungulia dirishani. Naye alipomwona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea, akamdharau moyoni mwake.

CH1 16:0 Extra space after chapter number

CH1 16:0 Removed trailing space in c: 16

CH1 16:0 Removed trailing space in s1: Sanduku Lawekwa Ndani Ya Hema

CH1 16:1 Removed trailing space in v~: Wakaleta Sanduku la Mungu na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha kwa ajili yake, na wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Mungu.

CH1 16:2 Removed trailing space in v~: Baada ya Daudi kumaliza kutoa hizo sadaka za kuteketezwa na hizo sadaka za amani, akawabariki watu katika jina la \nd Bwana\nd*.

CH1 16:3 Removed trailing space in v~: Kisha akamgawia kila Mwisraeli mwanaume na mwanamke mkate, andazi la tende na andazi la zabibu kavu.

CH1 16:4 Removed trailing space in v~: Akawaweka pia baadhi ya Walawi ili wahudumu mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd* kufanya maombi, kumshukuru na kumsifu \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli:

CH1 16:5 Removed trailing space in v~: Asafu ndiye alikuwa mkuu wao, akisaidiwa na Zekaria, Yeieli, Shemiramothi, Yehieli, Matithia, Eliabu, Benaya, Obed-Edomu na Yeieli. Hawa ndio wangepiga zeze na vinubi, Asafu angepiga matoazi,

CH1 16:6 Removed trailing space in v~: nao Benaya na Yahazieli makuhani, ndio wangepiga tarumbeta mara kwa mara mbele ya Sanduku la Agano la Mungu.

CH1 16:6 Removed trailing space in s1: Zaburi Ya Daudi Ya Shukrani

CH1 16:6 Removed trailing space in r: (Zaburi 105:1-15; 96:1-13; 106:1, 47-48)

CH1 16:7 Removed trailing space in v~: Siku ile, kitu cha kwanza Daudi alichofanya ni kumkabidhi Asafu na wenzake zaburi hii ya shukrani kwa \nd Bwana\nd*:

CH1 16:8 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, liitieni jina lake;

CH1 16:8 Removed trailing space in p~: wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.

CH1 16:9 Removed trailing space in v~: Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa;

CH1 16:9 Removed trailing space in p~: waambieni matendo yake yote ya ajabu.

CH1 16:10 Removed trailing space in v~: Lishangilieni jina lake takatifu;

CH1 16:10 Removed trailing space in p~: mioyo ya wale wamtafutao \nd Bwana\nd* na ifurahi.

CH1 16:11 Removed trailing space in v~: Mtafuteni \nd Bwana\nd* na nguvu zake;

CH1 16:11 Removed trailing space in p~: utafuteni uso wake siku zote.

CH1 16:12 Removed trailing space in v~: Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,

CH1 16:12 Removed trailing space in p~: miujiza yake na hukumu alizozitamka,

CH1 16:13 Removed trailing space in v~: enyi wazao wa Israeli mtumishi wake,

CH1 16:13 Removed trailing space in p~: enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

CH1 16:14 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye \nd Bwana\nd* Mungu wetu;

CH1 16:14 Removed trailing space in p~: hukumu zake zimo duniani pote.

CH1 16:15 Removed trailing space in v~: Hulikumbuka agano lake milele,

CH1 16:15 Removed trailing space in p~: neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,

CH1 16:16 Removed trailing space in v~: agano alilolifanya na Abrahamu,

CH1 16:16 Removed trailing space in p~: kiapo alichomwapia Isaki.

CH1 16:17 Removed trailing space in v~: Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,

CH1 16:17 Removed trailing space in p~: kwa Israeli liwe agano la milele:

CH1 16:18 Removed trailing space in v~: “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani

CH1 16:18 Removed trailing space in p~: kuwa sehemu utakayoirithi.”

CH1 16:19 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wachache kwa idadi,

CH1 16:19 Removed trailing space in p~: wachache sana na wageni ndani yake,

CH1 16:20 Removed trailing space in v~: walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine,

CH1 16:20 Removed trailing space in p~: kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

CH1 16:21 Removed trailing space in v~: Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;

CH1 16:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:

CH1 16:22 Removed trailing space in v~: “Msiwaguse niliowatia mafuta;

CH1 16:22 Removed trailing space in p~: msiwadhuru manabii wangu.”

CH1 16:23 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* dunia yote;

CH1 16:23 Removed trailing space in p~: tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

CH1 16:24 Removed trailing space in v~: Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

CH1 16:24 Removed trailing space in p~: matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

CH1 16:25 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mkuu,

CH1 16:25 Removed trailing space in p~: mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

CH1 16:25 Removed trailing space in p~: yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

CH1 16:26 Removed trailing space in v~: Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

CH1 16:26 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* aliziumba mbingu.

CH1 16:27 Removed trailing space in v~: Fahari na enzi viko mbele yake;

CH1 16:27 Removed trailing space in p~: nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

CH1 16:28 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd*, enyi jamaa za mataifa,

CH1 16:28 Removed trailing space in p~: mpeni \nd Bwana\nd* utukufu na nguvu,

CH1 16:29 Removed trailing space in v~: mpeni \nd Bwana\nd* utukufu

CH1 16:29 Removed trailing space in p~: unaostahili jina lake.

CH1 16:29 Removed trailing space in p~: Leteni sadaka na mje katika nyua zake;

CH1 16:29 Removed trailing space in p~: mwabuduni \nd Bwana\nd* katika uzuri wa utakatifu wake.

CH1 16:30 Removed trailing space in v~: Dunia yote na itetemeke mbele zake!

CH1 16:30 Removed trailing space in p~: Ulimwengu ameuweka imara; hauwezi kusogezwa.

CH1 16:31 Removed trailing space in v~: Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

CH1 16:31 Removed trailing space in p~: semeni katikati ya mataifa, “\nd Bwana\nd* anatawala!”

CH1 16:32 Removed trailing space in v~: Bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

CH1 16:32 Removed trailing space in p~: mashamba na yashangilie, na vyote vilivyomo ndani yake.

CH1 16:33 Removed trailing space in v~: Kisha miti ya msituni itaimba,

CH1 16:33 Removed trailing space in p~: itaimba kwa furaha mbele za \nd Bwana\nd*,

CH1 16:33 Removed trailing space in p~: kwa maana anakuja kuihukumu dunia.

CH1 16:34 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd* kwa kuwa ni mwema;

CH1 16:34 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

CH1 16:35 Removed trailing space in v~: Mlilieni, “Ee Mungu Mwokozi wetu, tuokoe.

CH1 16:35 Removed trailing space in p~: Tukusanye tena na utukomboe kutoka kwa mataifa,

CH1 16:35 Removed trailing space in p~: ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu,

CH1 16:35 Removed trailing space in p~: na kushangilia katika sifa zako.”

CH1 16:36 Removed trailing space in v~: Atukuzwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

CH1 16:36 Removed trailing space in p~: tangu milele na hata milele.

CH1 16:36 Removed trailing space in p~: Nao watu wote wakasema, “Amen,” na “Msifuni \nd Bwana\nd*.”

CH1 16:37 Removed trailing space in v~: Daudi akamwacha Asafu na wenzake mbele ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* ili wahudumu humo mara kwa mara, kulingana na mahitaji ya kila siku.

CH1 16:38 Removed trailing space in v~: Pia akamwacha Obed-Edomu pamoja na wenzake sitini na wanane wahudumu pamoja nao. Obed-Edomu mwana wa Yeduthuni na pia Hosa walikuwa mabawabu wa lango.

CH1 16:39 Removed trailing space in v~: Daudi akamwacha kuhani Sadoki pamoja na makuhani wenzake mbele ya hema ya ibada ya \nd Bwana\nd* katika mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni

CH1 16:40 Removed trailing space in v~: ili kutoa sadaka za kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd* kwenye madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa mara kwa mara, asubuhi na jioni, sawasawa na kila kitu kilichoandikwa katika sheria ya \nd Bwana\nd* ambayo alikuwa amempa Israeli.

CH1 16:41 Removed trailing space in v~: Waliohudumu pamoja nao walikuwa Hemani, Yeduthuni na wale wote waliochaguliwa na kutajwa kwa jina kumpa \nd Bwana\nd* shukrani, “Kwa maana fadhili zake zadumu milele.”

CH1 16:42 Removed trailing space in v~: Hemani na Yeduthuni walikuwa na wajibu wa kupiga tarumbeta, matoazi na kutumia vyombo vingine kwa ajili ya nyimbo za sifa kwa Mungu. Wana wa Yeduthuni waliwekwa langoni.

CH1 16:43 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wakaondoka, kila mmoja akarudi nyumbani kwake, naye Daudi akarudi nyumbani kuibariki jamaa yake.

CH1 17:0 Extra space after chapter number

CH1 17:0 Removed trailing space in c: 17

CH1 17:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi

CH1 17:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 7:1-17)

CH1 17:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Daudi kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, akamwambia nabii Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi, wakati Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* liko ndani ya hema.”

CH1 17:2 Removed trailing space in v~: Nathani akamjibu Daudi, “Lolote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa maana Mungu yu pamoja nawe.”

CH1 17:3 Removed trailing space in v~: Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani, kusema:

CH1 17:4 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Wewe hutanijengea mimi nyumba ili nikae humo.

CH1 17:5 Removed trailing space in v~: Mimi sijakaa ndani ya nyumba tangu siku ile niliyowatoa Israeli kutoka Misri mpaka leo. Nimehama kutoka hema moja hadi jingine na kutoka mahali pamoja hadi pengine.

CH1 17:6 Removed trailing space in v~: Je, popote nilipokwenda pamoja na Waisraeli wote, wakati wowote nilimwambia kiongozi yeyote niliyemwagiza kuwachunga watu wangu, kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?’ 

CH1 17:7 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, mwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: Nilikuchukua machungani na kutoka kuandama kondoo ili uwatawale watu wangu Israeli.

CH1 17:8 Removed trailing space in v~: Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda, nami nimekuondolea mbali adui zako wote mbele yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kuu kama majina ya watu walio wakuu sana duniani.

CH1 17:9 Removed trailing space in v~: Nami nitawapatia watu wangu Israeli mahali na nitawapa ili wawe na mahali pao wenyewe pa kuishi na wasisumbuliwe tena. Watu waovu hawatawaonea tena, kama walivyofanya mwanzoni,

CH1 17:10 Removed trailing space in v~: na ambavyo wamefanya siku zote tangu nilipowachagua viongozi kwa ajili ya watu wangu Israeli. Pia nitawatiisha adui zenu wote.

CH1 17:10 Removed trailing space in p~: “ ‘Pamoja na hayo ninakuambia kwamba \nd Bwana\nd* atakujengea nyumba:

CH1 17:11 Removed trailing space in v~: Wakati wako utakapokuwa umekwisha, nawe ukawa umekwenda kukaa na baba zako, nitamwinua mzao wako aingie mahali pako kuwa mfalme, mmoja wa wana wako mwenyewe, nami nitaufanya imara ufalme wake.

CH1 17:12 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili yangu, nami nitakifanya imara kiti cha ufalme wake milele.

CH1 17:13 Removed trailing space in v~: Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu. Kamwe sitaondoa upendo wangu kwake, kama nilivyouondoa kwa yeye aliyekutangulia.

CH1 17:14 Removed trailing space in v~: Nitamweka juu ya nyumba yangu na ufalme wangu milele; kiti chake cha enzi nitakifanya imara milele.’ ”

CH1 17:15 Removed trailing space in v~: Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

CH1 17:15 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Daudi

CH1 17:15 Removed trailing space in r: (2 Samweli 7:18-29)

CH1 17:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za \nd Bwana\nd*, akasema:

CH1 17:16 Removed trailing space in p~: “Mimi ni nani, Ee \nd Bwana\nd* Mungu, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo?

CH1 17:17 Removed trailing space in v~: Kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee Mungu, umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Umeniangalia kama mtu aliyetukuka kuliko watu wote, Ee \nd Bwana\nd* Mungu.

CH1 17:18 Removed trailing space in v~: “Daudi aweza kukuambia nini zaidi kuhusu kumheshimu mtumishi wako? Kwa maana wewe unamjua mtumishi wako,

CH1 17:19 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu. Kwa ajili ya mtumishi wako, tena sawasawa na mapenzi yako, umefanya jambo hili kubwa sana na kujulisha ahadi hizi zote zilizo kubwa sana.

CH1 17:20 Removed trailing space in v~: “Hakuna aliye kama wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mungu, wala hakuna Mungu ila wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe.

CH1 17:21 Removed trailing space in v~: Naye ni nani aliye kama watu wako Israeli: taifa pekee duniani ambalo Mungu wake alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe na kujifanyia jina kwa ajili yake mwenyewe, kwa kufanya maajabu makubwa na ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa mbele ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri?

CH1 17:22 Removed trailing space in v~: Uliwafanya watu wako Israeli kuwa watu wako wewe mwenyewe milele, nawe, Ee \nd Bwana\nd* Mungu, umekuwa Mungu wao.

CH1 17:23 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, \nd Bwana\nd* ahadi uliyoweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake na uithibitishe milele. Fanya kama ulivyoahidi,

CH1 17:24 Removed trailing space in v~: ili ithibitike na jina lako litakuwa kuu milele. Kisha watu watasema, ‘\nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu aliye juu ya Israeli, ndiye Mungu wa Israeli.’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itafanywa imara mbele zako.

CH1 17:25 Removed trailing space in v~: “Wewe, Mungu wangu, umemfunulia mtumishi wako Daudi kwamba utamjengea yeye nyumba. Hivyo mtumishi wako amekuwa na ujasiri wa kukuomba maombi haya.

CH1 17:26 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ndiwe Mungu! Umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri.

CH1 17:27 Removed trailing space in v~: Basi imekupendeza kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili idumu milele machoni pako; kwa ajili yako, Ee \nd Bwana\nd*, umeibariki, nayo itabarikiwa milele.”

CH1 18:0 Extra space after chapter number

CH1 18:0 Removed trailing space in c: 18

CH1 18:0 Removed trailing space in s1: Ushindi Wa Daudi

CH1 18:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 8:1-18)

CH1 18:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka utawala wa Wafilisti.

CH1 18:2 Removed trailing space in v~: Pia Daudi akawashinda Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru.

CH1 18:3 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mfalme wa Soba, hadi Hamathi, wakati alikwenda kuimarisha utawala wake katika Mto Frati.

CH1 18:4 Removed trailing space in v~: Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100.

CH1 18:5 Removed trailing space in v~: Waaramu wa Dameski, walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.

CH1 18:6 Removed trailing space in v~: Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski. Basi Waaramu wakawa watumwa wa Daudi, na kumlipa ushuru. \nd Bwana\nd* akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.

CH1 18:7 Removed trailing space in v~: Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.

CH1 18:8 Removed trailing space in v~: Kutoka miji ya Tibhathi na Kuni, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Daudi akatwaa shaba nyingi sana, ambayo Solomoni aliitumia kutengenezea ile Bahari ya shaba, zile nguzo na vifaa mbalimbali vya shaba.

CH1 18:9 Removed trailing space in v~: Tou mfalme wa Hamathi aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri mfalme wa Soba,

CH1 18:10 Removed trailing space in v~: akamtuma mwanawe, Hadoramu kwa Mfalme Daudi ili kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Mfalme Hadadezeri, kwa kuwa alikuwa amepigana vita mara nyingi na Tou. Hadoramu akamletea Daudi vifaa mbalimbali vya dhahabu, fedha na shaba.

CH1 18:11 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa \nd Bwana\nd* kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu aliyokuwa ameitwaa katika mataifa yote haya: Edomu na Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki.

CH1 18:12 Removed trailing space in v~: Abishai mwana wa Seruya akawaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.

CH1 18:13 Removed trailing space in v~: Akaweka kambi za askari walinzi huko Edomu, nao Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi. \nd Bwana\nd* akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.

CH1 18:13 Removed trailing space in s1: Maafisa Wa Daudi

CH1 18:14 Removed trailing space in v~: Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.

CH1 18:15 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;

CH1 18:16 Removed trailing space in v~: Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Shausha alikuwa mwandishi;

CH1 18:17 Removed trailing space in v~: naye Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa maafisa wakuu katika utumishi wa mfalme.

CH1 19:0 Extra space after chapter number

CH1 19:0 Removed trailing space in c: 19

CH1 19:0 Removed trailing space in s1: Vita Dhidi Ya Waamoni

CH1 19:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 10:1-19)

CH1 19:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Nahashi mfalme wa Waamoni akafa, mwanawe akaingia mahali pake.

CH1 19:2 Removed trailing space in v~: Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea wema.”

CH1 19:2 Removed trailing space in p~: Hivyo Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji Hanuni kwa ajili ya kifo cha baba yake. Watu wa Daudi walipofika kwa Hanuni katika nchi ya Waamoni ili kumfariji,

CH1 19:3 Removed trailing space in v~: wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni, “Hivi unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kuwatuma wajumbe kukufariji? Je, hawa watu hawakuja kuipeleleza na kuidadisi nchi ili waishinde?”

CH1 19:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa ndevu akakata nguo zao katikati kwenye matako, akawaacha waende zao.

CH1 19:5 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja alipofika na kumpasha Daudi habari za watu hawa, akawatuma wajumbe wengine kuwalaki, kwa maana walikuwa wamevunjiwa heshima sana. Mfalme akasema, “Kaeni huko Yeriko mpaka ndevu zenu ziote, ndipo mje.”

CH1 19:6 Removed trailing space in v~: Waamoni walipotambua kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, Hanuni na Waamoni wakatuma talanta 1,000\f + \fr 19:6 \ft Talanta 1,000 za fedha ni sawa na tani 34.\f* za fedha ili kukodisha magari ya vita pamoja na waendeshaji wa hayo magari ya kukokotwa na farasi, kutoka Aramu-Naharaimu,\f + \fr 19:6 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.\f* Aramu-Maaka na Soba.

CH1 19:7 Removed trailing space in v~: Wakakodisha magari ya vita 32,000 yakiwa na waendeshaji wake, pamoja na mfalme wa Maaka na vikosi vyake, wakaja na kupiga kambi karibu na Medeba. Waamoni nao wakakusanyika toka miji yao, wakatoka ili kupigana vita.

CH1 19:8 Removed trailing space in v~: Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

CH1 19:9 Removed trailing space in v~: Waamoni wakatoka wakajipanga wakiwa tayari kwa vita langoni la mji wao, wakati wale wafalme wengine waliokuja nao walijipanga kwa vita uwanjani.

CH1 19:10 Removed trailing space in v~: Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma yake kumepangwa vita; kwa hiyo akachagua baadhi ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli akavipanga dhidi ya Waaramu.

CH1 19:11 Removed trailing space in v~: Akawaweka wale wanajeshi wengine waliobaki chini ya amri ya Abishai ndugu yake, nao wakapangwa ili wakabiliane na Waamoni.

CH1 19:12 Removed trailing space in v~: Yoabu akasema, “Kama Waaramu watanizidi nguvu, basi itakupasa wewe unisaidie; lakini kama Waamoni watakuzidi nguvu, basi mimi nitakusaidia.

CH1 19:13 Removed trailing space in v~: Uwe hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu. \nd Bwana\nd* atafanya lile lililo jema machoni pake.”

CH1 19:14 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu na vikosi vyake wakasonga mbele kupigana na Waaramu, nao Waaramu wakakimbia mbele yake.

CH1 19:15 Removed trailing space in v~: Waamoni walipoona Waaramu wanakimbia, nao pia wakakimbia mbele ya nduguye Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu akarudi Yerusalemu.

CH1 19:16 Removed trailing space in v~: Baada ya Waaramu kuona kwamba wameshindwa na Israeli, wakapeleka wajumbe na kuwataka Waaramu wengine kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakiongozwa na Shofaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri.

CH1 19:17 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa haya, akawakusanya Israeli wote na kuvuka Yordani. Akasonga mbele dhidi yao na akajipanga kuwakabili. Daudi akapanga vita ili kupigana na Waaramu, nao wakapigana dhidi yake.

CH1 19:18 Removed trailing space in v~: Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari 7,000 na askari wao wa miguu 40,000. Pia akamuua Shofaki, jemadari wa jeshi lao.

CH1 19:19 Removed trailing space in v~: Raiya wa Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya mapatano ya amani na Daudi, wakawa watumishi wake.

CH1 19:19 Removed trailing space in p~: Hivyo Waaramu hawakukubali kuwasaidia Waamoni tena.

CH1 20:0 Extra space after chapter number

CH1 20:0 Removed trailing space in c: 20

CH1 20:0 Removed trailing space in s1: Kutekwa Kwa Raba

CH1 20:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 12:26-31)

CH1 20:1 Removed trailing space in v~: Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni, na akaenda Raba na kuuzingira, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akashambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu.

CH1 20:2 Removed trailing space in v~: Daudi akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu,\f + \fr 20:2 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.

CH1 20:3 Removed trailing space in v~: Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka. Daudi akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.

CH1 20:3 Removed trailing space in s1: Vita Na Wafilisti

CH1 20:3 Removed trailing space in r: (2 Samweli 21:15-22)

CH1 20:4 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai,\f + \fr 20:4 \ft Yaani majitu.\f* nao Wafilisti wakashindwa.

CH1 20:5 Removed trailing space in v~: Katika vita vingine na Wafilisti, Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.

CH1 20:6 Removed trailing space in v~: Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu: jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.

CH1 20:7 Removed trailing space in v~: Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.

CH1 20:8 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.

CH1 21:0 Extra space after chapter number

CH1 21:0 Removed trailing space in c: 21

CH1 21:0 Removed trailing space in s1: Daudi Ahesabu Wapiganaji

CH1 21:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 24:1-25)

CH1 21:1 Removed trailing space in v~: Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu watu wa Israeli.

CH1 21:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akamwambia Yoabu na majemadari wa jeshi, “Nendeni mkawahesabu Waisraeli kuanzia Beer-Sheba mpaka Dani. Kisha nileteeni taarifa ili kwamba niweze kufahamu wako wangapi.”

CH1 21:3 Removed trailing space in v~: Yoabu akajibu, “\nd Bwana\nd* na aongeze jeshi lake mara mia na zaidi. Mfalme bwana wangu, kwani hawa wote si raiya wa bwana wangu? Kwa nini bwana wangu unataka kufanya hivi? Kwa nini kuleta hatia juu ya Israeli?”

CH1 21:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu; kwa hiyo Yoabu akaondoka na kuzunguka Israeli yote kisha akarudi Yerusalemu.

CH1 21:5 Removed trailing space in v~: Yoabu akampa Daudi jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 ambao wangeweza kutumia upanga na katika Yuda watu 470,000.

CH1 21:6 Removed trailing space in v~: Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.

CH1 21:7 Removed trailing space in v~: Amri hii ilikuwa mbaya machoni pa Mungu pia; hivyo akaiadhibu Israeli.

CH1 21:8 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Sasa, ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”

CH1 21:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Gadi, mwonaji wa Daudi,

CH1 21:10 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Daudi, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’ ”

CH1 21:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Gadi akamwendea Daudi akamwambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: ‘Chagua:

CH1 21:12 Removed trailing space in v~: miaka mitatu ya njaa, au miezi mitatu ya kushindwa na adui zako, ukipatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa \nd Bwana\nd*, yaani, siku tatu za tauni katika nchi na malaika wa \nd Bwana\nd* akiangamiza kila mahali katika Israeli.’ Sasa basi, amua jinsi nitakavyomjibu yeye aliyenituma.”

CH1 21:13 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Gadi, “Ninayo mahangaiko makubwa. Mimi na nianguke mikononi mwa \nd Bwana\nd* kwa maana rehema zake ni kuu mno, lakini usiniache niangukie mikononi mwa wanadamu.”

CH1 21:14 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akatuma tauni katika Israeli, watu 70,000 wa Israeli wakafa.

CH1 21:15 Removed trailing space in v~: Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, \nd Bwana\nd* akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa \nd Bwana\nd* alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna\f + \fr 21:15 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.\f* Myebusi.

CH1 21:16 Removed trailing space in v~: Daudi akayainua macho yake akamwona huyo malaika wa \nd Bwana\nd* akiwa amesimama katikati ya mbingu na dunia, naye ameunyoosha upanga wake juu ya Yerusalemu tayari kuangamiza. Kisha Daudi na wazee, waliokuwa wamevaa nguo za gunia, wakaanguka kifudifudi.

CH1 21:17 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Mungu, “Je, si mimi ndiye niliyeamuru watu wahesabiwe? Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, mkono wako na uwe juu yangu mimi na jamaa yangu, lakini usiache tauni hii iendelee juu ya watu wako.”

CH1 21:18 Removed trailing space in v~: Kisha malaika wa \nd Bwana\nd* akamwamuru Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea \nd Bwana\nd* madhabahu kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.

CH1 21:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akakwea, akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa amelisema katika jina la \nd Bwana\nd*.

CH1 21:20 Removed trailing space in v~: Arauna alipokuwa akipura ngano, akageuka akamwona yule malaika. Wanawe wanne waliokuwa pamoja naye wakajificha, yeye akaendelea kupura ngano.

CH1 21:21 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akakaribia, Arauna alipotazama na kumwona, akaondoka kwenye uwanja wa kupuria nafaka akamsujudia Daudi akiuinamisha uso wake ardhini.

CH1 21:22 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia, “Nipatie huu uwanja wako wa kupuria nafaka ili niweze kujenga madhabahu ya \nd Bwana\nd* tauni ipate kukomeshwa katika watu. Niuzie kwa bei yake kamili.”

CH1 21:23 Removed trailing space in v~: Arauna akamwambia Daudi, “Uchukue huo uwanja. Mfalme bwana wangu na afanye lolote analopenda. Tazama, nitatoa maksai kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, vifaa vya kupuria kuwa kuni, pamoja na ngano kwa ajili ya dhabihu ya nafaka. Natoa hivi vyote.”

CH1 21:24 Removed trailing space in v~: Lakini Mfalme Daudi akamjibu Arauna, “La hasha! Lakini ninasisitiza kwamba nitalipa bei yake kamili. Sitachukua kilicho chako kwa ajili ya \nd Bwana\nd* au kutoa sadaka ya kuteketezwa ambayo hainigharimu chochote.”

CH1 21:25 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akamlipa Arauna shekeli za dhahabu 600\f + \fr 21:25 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 7.\f* kwa ajili ya ule uwanja.

CH1 21:26 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Akamwita \nd Bwana\nd* naye \nd Bwana\nd* akajibu maombi yake kwa moto toka mbinguni juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.

CH1 21:27 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akanena na yule malaika, naye akarudisha upanga wake katika ala yake.

CH1 21:28 Removed trailing space in v~: Wakati huo, Daudi alipoona kwamba \nd Bwana\nd* amemjibu kule kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna Myebusi, akatoa dhabihu huko.

CH1 21:29 Removed trailing space in v~: Maskani ya \nd Bwana\nd* ambayo Mose aliitengeneza kule jangwani, pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa wakati huo vilikuwa viko mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni.

CH1 21:30 Removed trailing space in v~: Lakini Daudi hakuthubutu kuisogelea ili kumuuliza Mungu, kwa sababu aliuogopa upanga wa yule malaika wa \nd Bwana\nd*.

CH1 22:0 Extra space after chapter number

CH1 22:0 Removed trailing space in c: 22

CH1 22:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akasema, “Nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu itakuwa mahali hapa, pia pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”

CH1 22:1 Removed trailing space in s1: Maandalizi Kwa Ajili Ya Hekalu

CH1 22:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akatoa amri wakusanyike wageni wote waliokuwa wanaishi Israeli, na kutoka miongoni mwao akaweka waashi ili kuchonga mawe kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu.

CH1 22:3 Removed trailing space in v~: Daudi akatoa chuma tele ili kutengenezea misumari kwa ajili ya mafungo ya malango ya nyumba na shaba tele isiyopimika.

CH1 22:4 Removed trailing space in v~: Pia akatoa magogo ya mierezi yasiyohesabika, kwa kuwa Wasidoni na Watiro walikuwa wamemletea Daudi idadi kubwa ya mierezi.

CH1 22:5 Removed trailing space in v~: Daudi akasema, “Mwanangu Solomoni bado ni mdogo wa umri na hana uzoefu. Nyumba itakayojengwa kwa ajili ya \nd Bwana\nd* inatakiwa iwe yenye uzuri mwingi na sifa na fahari mbele ya mataifa yote. Kwa hiyo nitaifanyia matayarisho.” Daudi akafanya matayarisho makubwa kabla ya kifo chake.

CH1 22:6 Removed trailing space in v~: Kisha akamwita Solomoni mwanawe akamwagiza kujenga nyumba kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH1 22:7 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Solomoni: “Mwanangu, nilikuwa na jambo hili ndani ya moyo wangu kujenga nyumba kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

CH1 22:8 Removed trailing space in v~: Lakini neno hili la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema: ‘Wewe umemwaga damu nyingi na kupigana vita vingi. Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, kwa sababu umemwaga damu nyingi juu ya nchi machoni pangu.

CH1 22:9 Removed trailing space in v~: Lakini utakuwa na mwana ambaye atakuwa mtu wa amani na utulivu nami nitampa utulivu mbele ya adui zake wote pande zote. Jina lake ataitwa Solomoni, nami nitawapa Israeli amani na utulivu wakati wa utawala wake.

CH1 22:10 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu. Yeye atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake. Nami nitakifanya imara kiti chake cha enzi cha utawala wake katika Israeli milele.’

CH1 22:11 Removed trailing space in v~: “Sasa, mwanangu, \nd Bwana\nd* awe pamoja nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako, kama alivyosema utafanya.

CH1 22:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akupe hekima na ufahamu wakati atakuweka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

CH1 22:13 Removed trailing space in v~: Ndipo utakapofanikiwa, ikiwa utakuwa na bidii kutii amri na sheria \nd Bwana\nd* alizompa Mose kwa ajili ya Israeli. Uwe hodari na ushujaa. Usiogope wala usikate tamaa.

CH1 22:14 Removed trailing space in v~: “Nimejitaabisha sana ili kupata mahitaji kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*: talanta 100,000\f + \fr 22:14 \ft Talanta 100,000 za dhahabu ni sawa na tani 3,750.\f* za dhahabu, talanta 1,000,000\f + \fr 22:14 \ft Talanta 1,000,000 za fedha ni sawa na tani 37,500.\f* za fedha na kiasi kisichopimika cha shaba na chuma, pia mbao na mawe. Nawe waweza kuviongeza.

CH1 22:15 Removed trailing space in v~: Unao wafanyakazi wengi: Wachonga mawe, waashi na maseremala, pamoja na watu walio na ustadi katika kila kazi

CH1 22:16 Removed trailing space in v~: wa kufua dhahabu, fedha, shaba na chuma, mafundi wasiohesabika. Sasa basi anza kazi hii, naye \nd Bwana\nd* awe pamoja nawe.”

CH1 22:17 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akawaamuru viongozi wote wa Israeli wamsaidie Solomoni mwanawe.

CH1 22:18 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Je, \nd Bwana\nd* Mungu wenu si yuko pamoja na ninyi? Pia si amewapa raha pande zote? Kwa maana amewatia wenyeji wa nchi mkononi mwangu, nayo nchi iko chini ya \nd Bwana\nd* na watu wake.

CH1 22:19 Removed trailing space in v~: Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya \nd Bwana\nd* Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*.”

CH1 23:0 Extra space after chapter number

CH1 23:0 Removed trailing space in c: 23

CH1 23:0 Removed trailing space in s1: Jamaa Za Walawi Na Utendaji Wao

CH1 23:1 Removed trailing space in v~: Daudi alipokuwa mzee aliyeshiba siku, akamfanya Solomoni mwanawe kuwa mfalme juu ya Israeli.

CH1 23:2 Removed trailing space in v~: Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.

CH1 23:3 Removed trailing space in v~: Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini au zaidi walihesabiwa, nayo hesabu ya wanaume ilikuwa 38,000.

CH1 23:4 Removed trailing space in v~: Daudi akasema, “Miongoni mwa hawa, 24,000 watasimamia kazi ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na 6,000 watakuwa maafisa na waamuzi,

CH1 23:5 Removed trailing space in v~: na 4,000 watakuwa mabawabu, na wengine 4,000 watamsifu \nd Bwana\nd* kwa ala za uimbaji nilizotoa kwa ajili ya kusudi hilo.”

CH1 23:6 Removed trailing space in v~: Daudi akawagawa Walawi katika makundi kufuatana na wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.

CH1 23:6 Removed trailing space in s1: Wagershoni

CH1 23:7 Removed trailing space in v~: Wana wa Wagershoni walikuwa wawili:

CH1 23:7 Removed trailing space in p~: Ladani na Shimei.

CH1 23:8 Removed trailing space in v~: Wana wa Ladani walikuwa watatu:

CH1 23:8 Removed trailing space in p~: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.

CH1 23:9 Removed trailing space in v~: Wana wa Shimei walikuwa watatu:

CH1 23:9 Removed trailing space in p~: Shelomothi,\f + \fr 23:9 \ft Yaani Shelomithi; maana yake ni Mpenda amani.\f* Hazieli na Harani.

CH1 23:9 Removed trailing space in p~: Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.

CH1 23:10 Removed trailing space in v~: Nao wana wa Shimei walikuwa wanne:

CH1 23:10 Removed trailing space in p~: Yahathi, Zina,\f + \fr 23:10 \ft Tafsiri zingine zinamwita Ziza.\f* Yeushi na Beria.

CH1 23:11 Removed trailing space in v~: Yahathi alikuwa wa kwanza na Ziza wa pili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo walihesabiwa kama jamaa moja, wakapewa wajibu kwa pamoja.

CH1 23:11 Removed trailing space in s1: Wakohathi

CH1 23:12 Removed trailing space in v~: Wana wa Kohathi walikuwa wanne:

CH1 23:12 Removed trailing space in p~: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

CH1 23:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Amramu walikuwa:

CH1 23:13 Removed trailing space in p~: Aroni na Mose.

CH1 23:13 Removed trailing space in p~: Aroni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za \nd Bwana\nd*, kuhudumu mbele zake na kutamka baraka katika Jina la \nd Bwana\nd* milele.

CH1 23:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Mose mtu wa Mungu walihesabiwa kama sehemu ya kabila la Lawi.

CH1 23:15 Removed trailing space in v~: Wana wa Mose walikuwa:

CH1 23:15 Removed trailing space in p~: Gershomu na Eliezeri.

CH1 23:16 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gershomu:

CH1 23:16 Removed trailing space in p~: Shebueli alikuwa wa kwanza.

CH1 23:17 Removed trailing space in v~: Wazao wa Eliezeri:

CH1 23:17 Removed trailing space in p~: Rehabia alikuwa wa kwanza.

CH1 23:17 Removed trailing space in p~: Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.

CH1 23:18 Removed trailing space in v~: Wana wa Ishari:

CH1 23:18 Removed trailing space in p~: Shelomithi alikuwa wa kwanza.

CH1 23:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Hebroni walikuwa:

CH1 23:19 Removed trailing space in p~: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.

CH1 23:20 Removed trailing space in v~: Wana wa Uzieli walikuwa:

CH1 23:20 Removed trailing space in p~: Mika wa kwanza na Ishia wa pili.

CH1 23:20 Removed trailing space in s1: Wamerari

CH1 23:21 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari walikuwa:

CH1 23:21 Removed trailing space in p~: Mahli na Mushi.

CH1 23:21 Removed trailing space in p~: Wana wa Mahli walikuwa:

CH1 23:21 Removed trailing space in p~: Eleazari na Kishi.

CH1 23:22 Removed trailing space in v~: Eleazari akafa bila ya kuwa na wana: alikuwa na binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.

CH1 23:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Mushi:

CH1 23:23 Removed trailing space in p~: Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.

CH1 23:24 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wazao wa Lawi kwa jamaa zao. Wakuu wa jamaa kama walivyoandikwa kwa majina yao na kuhesabiwa kila mmoja, yaani, wenye uwezo wa kufanya kazi kuanzia miaka ishirini au zaidi, waliohudumu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH1 23:25 Removed trailing space in v~: Kwa maana Daudi alikuwa amesema, “Kwa vile \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli amewapa watu wake raha na amekuja kuishi Yerusalemu milele,

CH1 23:26 Removed trailing space in v~: Walawi hawahitaji tena kubeba Maskani wala chombo chochote cha utumishi wake.”

CH1 23:27 Removed trailing space in v~: Kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi waliohesabiwa ni wale wa kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi.

CH1 23:28 Removed trailing space in v~: Wajibu wa Walawi ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aroni kuhudumu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*: Kuwa wasimamizi wa nyua, vyumba vya pembeni, kutakasa vyombo vitakatifu na utendaji mwingine wowote katika nyumba ya Mungu.

CH1 23:29 Removed trailing space in v~: Walikuwa wasimamizi wa mikate iliyowekwa mezani, unga kwa ajili ya sadaka za nafaka, mikate isiyotiwa chachu, uokaji na uchanganyaji, pamoja na vipimo vyote vya wingi na ukubwa.

CH1 23:30 Removed trailing space in v~: Pia ulikuwa wajibu wao kila asubuhi kumshukuru na kumsifu \nd Bwana\nd*. Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni

CH1 23:31 Removed trailing space in v~: na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa \nd Bwana\nd* siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za \nd Bwana\nd* mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.

CH1 23:32 Removed trailing space in v~: Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, katika Mahali Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH1 24:0 Extra space after chapter number

CH1 24:0 Removed trailing space in c: 24

CH1 24:0 Removed trailing space in s1: Migawanyo Ya Makuhani

CH1 24:1 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni:

CH1 24:1 Removed trailing space in p~: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

CH1 24:2 Removed trailing space in v~: Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.

CH1 24:3 Removed trailing space in v~: Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.

CH1 24:4 Removed trailing space in v~: Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.

CH1 24:5 Removed trailing space in v~: Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.

CH1 24:6 Removed trailing space in v~: Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.

CH1 24:7 Removed trailing space in v~: Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu,

CH1 24:7 Removed trailing space in p~: ya pili Yedaya,

CH1 24:8 Removed trailing space in v~: ya tatu Harimu,

CH1 24:8 Removed trailing space in p~: ya nne Seorimu,

CH1 24:9 Removed trailing space in v~: ya tano Malkiya,

CH1 24:9 Removed trailing space in p~: ya sita Miyamini,

CH1 24:10 Removed trailing space in v~: ya saba Hakosi,

CH1 24:10 Removed trailing space in p~: ya nane Abiya,

CH1 24:11 Removed trailing space in v~: ya tisa Yeshua,

CH1 24:11 Removed trailing space in p~: ya kumi Shekania,

CH1 24:12 Removed trailing space in v~: ya kumi na moja Eliashibu,

CH1 24:12 Removed trailing space in p~: ya kumi na mbili Yakimu,

CH1 24:13 Removed trailing space in v~: ya kumi na tatu Hupa,

CH1 24:13 Removed trailing space in p~: ya kumi na nne Yeshebeabu,

CH1 24:14 Removed trailing space in v~: ya kumi na tano Bilga,

CH1 24:14 Removed trailing space in p~: ya kumi na sita Imeri,

CH1 24:15 Removed trailing space in v~: ya kumi na saba Heziri,

CH1 24:15 Removed trailing space in p~: ya kumi na nane Hapisesi,

CH1 24:16 Removed trailing space in v~: ya kumi na tisa Pethahia,

CH1 24:16 Removed trailing space in p~: ya ishirini Yehezkeli,

CH1 24:17 Removed trailing space in v~: ya ishirini na moja Yakini,

CH1 24:17 Removed trailing space in p~: ya ishirini na mbili Gamuli,

CH1 24:18 Removed trailing space in v~: ya ishirini na tatu Delaya,

CH1 24:18 Removed trailing space in p~: ya ishirini na nne Maazia.

CH1 24:19 Removed trailing space in v~: Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd* kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.

CH1 24:19 Removed trailing space in s1: Walawi Waliobaki

CH1 24:20 Removed trailing space in v~: Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki:

CH1 24:20 Removed trailing space in p~: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli;

CH1 24:20 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.

CH1 24:21 Removed trailing space in v~: Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe:

CH1 24:21 Removed trailing space in p~: Ishia alikuwa wa kwanza.

CH1 24:22 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi,

CH1 24:22 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.

CH1 24:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.

CH1 24:24 Removed trailing space in v~: Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika;

CH1 24:24 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.

CH1 24:25 Removed trailing space in v~: Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia;

CH1 24:25 Removed trailing space in p~: na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.

CH1 24:26 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi.

CH1 24:26 Removed trailing space in p~: Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.

CH1 24:27 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari:

CH1 24:27 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.

CH1 24:28 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.

CH1 24:29 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi:

CH1 24:29 Removed trailing space in p~: alikuwa Yerameeli.

CH1 24:30 Removed trailing space in v~: Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi.

CH1 24:30 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.

CH1 24:31 Removed trailing space in v~: Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.

CH1 25:0 Extra space after chapter number

CH1 25:0 Removed trailing space in c: 25

CH1 25:0 Removed trailing space in s1: Waimbaji

CH1 25:1 Removed trailing space in v~: Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:

CH1 25:2 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa:

CH1 25:2 Removed trailing space in p~: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.

CH1 25:3 Removed trailing space in v~: Wana wa Yeduthuni walikuwa sita:

CH1 25:3 Removed trailing space in p~: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza \nd Bwana\nd*.

CH1 25:4 Removed trailing space in v~: Wana wa Hemani walikuwa:

CH1 25:4 Removed trailing space in p~: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.

CH1 25:5 Removed trailing space in v~: Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.

CH1 25:6 Removed trailing space in v~: Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la \nd Bwana\nd* wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.

CH1 25:7 Removed trailing space in v~: Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa \nd Bwana\nd*. Idadi yao walikuwa 288.

CH1 25:8 Removed trailing space in v~: Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.

CH1 25:8 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:9 Removed trailing space in v~: Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:9 Removed trailing space in tr: \tc1 Ya pili ikamwangukia Gedalia, //yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:9 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:10 Removed trailing space in v~: Ya tatu ikamwangukia Zakuri, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:10 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:11 Removed trailing space in v~: ya nne ikamwangukia Isri,\f + \fr 25:11 \ft Isri jina lingine ni Seri.\f* //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:11 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:12 Removed trailing space in v~: ya tano ikamwangukia Nethania, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:12 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:13 Removed trailing space in v~: ya sita ikamwangukia Bukia, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:13 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:14 Removed trailing space in v~: ya saba ikamwangukia Yesarela,\f + \fr 25:14 \ft Yesarela jina lingine ni Asarela.\f* //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:14 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:15 Removed trailing space in v~: ya nane ikamwangukia Yeshaya, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:15 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:16 Removed trailing space in v~: ya tisa ikamwangukia Matania, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:16 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:17 Removed trailing space in v~: ya kumi ikamwangukia Shimei, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:17 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:18 Removed trailing space in v~: ya kumi na moja ikamwangukia Azareli,\f + \fr 25:18 \ft Azareli jina lingine ni Uzieli.\f* //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:18 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:19 Removed trailing space in v~: ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:19 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:20 Removed trailing space in v~: ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:20 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:21 Removed trailing space in v~: ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:21 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:22 Removed trailing space in v~: ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:22 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:23 Removed trailing space in v~: Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:23 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:24 Removed trailing space in v~: ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:24 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:25 Removed trailing space in v~: ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:25 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:26 Removed trailing space in v~: ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:26 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:27 Removed trailing space in v~: ya ishirini ikamwangukia Eliatha, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:27 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:28 Removed trailing space in v~: ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:28 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:29 Removed trailing space in v~: ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:29 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:30 Removed trailing space in v~: ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:30 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:31 Removed trailing space in v~: ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12.

CH1 26:0 Extra space after chapter number

CH1 26:0 Removed trailing space in c: 26

CH1 26:0 Removed trailing space in s1: Mabawabu

CH1 26:1 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu:

CH1 26:1 Removed trailing space in p~: Kutoka kwa wana wa Kora alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu.

CH1 26:2 Removed trailing space in v~: Meshelemia alikuwa na wana wafuatao:

CH1 26:2 Removed trailing space in p~: Zekaria mzaliwa wa kwanza,

CH1 26:2 Removed trailing space in p~: Yediaeli wa pili,

CH1 26:2 Removed trailing space in p~: Zebadia wa tatu,

CH1 26:2 Removed trailing space in p~: Yathnieli wa nne,

CH1 26:3 Removed trailing space in v~: Elamu wa tano

CH1 26:3 Removed trailing space in p~: Yehohanani wa sita

CH1 26:3 Removed trailing space in p~: na Eliehoenai wa saba.

CH1 26:4 Removed trailing space in v~: Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao:

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Shemaya mzaliwa wa kwanza,

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Yehozabadi wa pili,

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Yoa wa tatu,

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Sakari wa nne,

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Nethaneli wa tano,

CH1 26:5 Removed trailing space in v~: Amieli wa sita,

CH1 26:5 Removed trailing space in p~: Isakari wa saba,

CH1 26:5 Removed trailing space in p~: na Peulethai wa nane.

CH1 26:5 Removed trailing space in p~: (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)

CH1 26:6 Removed trailing space in v~: Shemaya mwanawe pia alikuwa na wana, waliokuwa viongozi katika jamaa ya baba yao kwa sababu walikuwa watu wenye uwezo mkubwa.

CH1 26:7 Removed trailing space in v~: Wana wa Shemaya ni: Othni, Refaeli, Obedi na Elizabadi; jamaa zake Elihu na Semakia walikuwa pia watu wenye uwezo.

CH1 26:8 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa wazao wa Obed-Edomu; wao na wana wao na jamaa zao walikuwa watu wenye uwezo pamoja na nguvu za kufanya kazi. Wazao wa Obed-Edomu jumla yao walikuwa sitini na wawili.

CH1 26:9 Removed trailing space in v~: Meshelemia alikuwa na wana na jamaa zake, waliokuwa watu wenye uwezo: jumla yao watu kumi na wanane.

CH1 26:10 Removed trailing space in v~: Hosa, Mmerari, alikuwa na wana wafuatao: Shimri alikuwa mkuu wao (baba yake alikuwa amemweka yeye kuwa mkuu ijapokuwa hakuwa mzaliwa wa kwanza),

CH1 26:11 Removed trailing space in v~: Hilkia wa pili, Tabalia wa tatu na Zekaria wa nne. Wana na jamaa za Hosa jumla yao walikuwa watu kumi na watatu.

CH1 26:12 Removed trailing space in v~: Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu hekaluni mwa \nd Bwana\nd* kama jamaa zao walivyokuwa nazo.

CH1 26:13 Removed trailing space in v~: Kura zilipigwa kwa kila lango, kufuatana na jamaa zao, wakubwa kwa wadogo.

CH1 26:14 Removed trailing space in v~: Kura ya Lango la Mashariki ilimwangukia Shelemia.\f + \fr 26:14 \ft Shelemia jina lingine ni Meshelemia.\f* Kisha wakapiga kura kwa Zekaria mwanawe, aliyekuwa mshauri mwenye hekima, nayo kura ya Lango la Kaskazini ikamwangukia.

CH1 26:15 Removed trailing space in v~: Kura ya Lango la Kusini ikamwangukia Obed-Edomu, nayo kura ya maghala ikawaangukia wanawe.

CH1 26:16 Removed trailing space in v~: Kura za Lango la Magharibi na Lango la Shalekethi kwenye barabara ya juu zikawaangukia Shupimu na Hosa.

CH1 26:16 Removed trailing space in p~: Zamu za walinzi ziligawanywa kwa usawa:

CH1 26:17 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na Walawi sita kila siku upande wa mashariki, wanne upande wa kaskazini, wanne upande wa kusini, na wawili wawili kwa mara moja kwenye ghala.

CH1 26:18 Removed trailing space in v~: Kuhusu ukumbi kuelekea magharibi, kulikuwa na wanne barabarani na wawili kwenye ukumbi wenyewe.

CH1 26:19 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo iliyokuwa migawanyo ya mabawabu waliokuwa wazao wa Kora na wa Merari.

CH1 26:19 Removed trailing space in s1: Watunza Hazina Na Maafisa Wengine

CH1 26:20 Removed trailing space in v~: Katika Walawi, Ahiya alikuwa mwangalizi wa hazina za nyumba ya Mungu na mwangalizi wa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu.

CH1 26:21 Removed trailing space in v~: Wazao wa Ladani, waliokuwa Wagershoni kupitia Ladani na waliokuwa viongozi wa jamaa za Ladani Mgershoni, walikuwa Yehieli,

CH1 26:22 Removed trailing space in v~: wana wa Yehieli, wana wa Zethamu na wa nduguye Yoeli. Wao walikuwa waangalizi wa hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH1 26:23 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa wana wa Amramu, wana wa Ishari, wana wa Hebroni na wana wa Uzieli:

CH1 26:24 Removed trailing space in v~: Shebueli, mzao wa Gershomu mwana wa Mose, alikuwa afisa mwangalizi wa hazina.

CH1 26:25 Removed trailing space in v~: Jamaa zake kutoka kwa Eliezeri, wanawe walikuwa: Rehabia, Yeshaya, Yoramu, Zikri na Shelomithi.

CH1 26:26 Removed trailing space in v~: Shelomithi na jamaa zake walikuwa waangalizi wa hazina zote za vitu vile vilivyowekwa wakfu na Mfalme Daudi, kwa viongozi wa jamaa waliokuwa majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, na kwa maafisa wengine wa jeshi.

CH1 26:27 Removed trailing space in v~: Baadhi ya nyara zilizotekwa vitani waliziweka wakfu kwa ajili ya ukarabati wa Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH1 26:28 Removed trailing space in v~: Kila kitu kilichokuwa kimewekwa wakfu na Samweli mwonaji, na Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Seruya, pamoja na vitu vingine vyote vilivyokuwa vimewekwa wakfu, vyote vilikuwa chini ya uangalizi wa Shelomithi na jamaa zake.

CH1 26:29 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa wana wa Ishari: Kenania na wanawe walipewa kazi nje ya Hekalu kama maafisa na waamuzi juu ya Israeli.

CH1 26:30 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa wana wa Hebroni: Hashabia na jamaa zake, watu 1,700 wenye uwezo, waliwajibika katika Israeli magharibi ya Yordani kwa ajili ya kazi zote za \nd Bwana\nd* na utumishi wa mfalme.

CH1 26:31 Removed trailing space in v~: Kuhusu wana wa Hebroni, Yeria alikuwa mkuu wao kufuatana na orodha ya jamaa yao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi uchunguzi ulifanyika katika kumbukumbu, nao watu wenye uwezo miongoni mwa wana wa Hebroni wakapatikana huko Yazeri katika Gileadi.

CH1 26:32 Removed trailing space in v~: Yeria alikuwa na jamaa ya watu 2,700 waliokuwa watu wenye uwezo na viongozi wa jamaa, naye Mfalme Daudi akawaweka kuangalia Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila Manase kuhusu kila jambo lililomhusu Mungu na shughuli za mfalme.

CH1 27:0 Extra space after chapter number

CH1 27:0 Removed trailing space in c: 27

CH1 27:0 Removed trailing space in s1: Vikosi Vya Jeshi

CH1 27:1 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:2 Removed trailing space in v~: Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.

CH1 27:3 Removed trailing space in v~: Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.

CH1 27:4 Removed trailing space in v~: Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:5 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.

CH1 27:6 Removed trailing space in v~: Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.

CH1 27:7 Removed trailing space in v~: Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:8 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:9 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:10 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:11 Removed trailing space in v~: Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:12 Removed trailing space in v~: Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:13 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:14 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:15 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:15 Removed trailing space in s1: Maafisa Wa Makabila

CH1 27:16 Removed trailing space in v~: Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa:

CH1 27:16 Removed trailing space in p~: Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri;

CH1 27:16 Removed trailing space in p~: kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;

CH1 27:17 Removed trailing space in v~: kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli;

CH1 27:17 Removed trailing space in p~: kwa Aroni: Sadoki;

CH1 27:18 Removed trailing space in v~: kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi;

CH1 27:18 Removed trailing space in p~: kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;

CH1 27:19 Removed trailing space in v~: kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia;

CH1 27:19 Removed trailing space in p~: kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;

CH1 27:20 Removed trailing space in v~: kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia;

CH1 27:20 Removed trailing space in p~: kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;

CH1 27:21 Removed trailing space in v~: kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria;

CH1 27:21 Removed trailing space in p~: kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;

CH1 27:22 Removed trailing space in v~: kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu.

CH1 27:22 Removed trailing space in p~: Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.

CH1 27:23 Removed trailing space in v~: Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.

CH1 27:24 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.

CH1 27:24 Removed trailing space in s1: Wasimamizi Wa Mali Za Mfalme

CH1 27:25 Removed trailing space in v~: Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme.

CH1 27:25 Removed trailing space in p~: Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.

CH1 27:26 Removed trailing space in v~: Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.

CH1 27:27 Removed trailing space in v~: Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu.

CH1 27:27 Removed trailing space in p~: Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.

CH1 27:28 Removed trailing space in v~: Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi.

CH1 27:28 Removed trailing space in p~: Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.

CH1 27:29 Removed trailing space in v~: Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni.

CH1 27:29 Removed trailing space in p~: Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.

CH1 27:30 Removed trailing space in v~: Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia.

CH1 27:30 Removed trailing space in p~: Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.

CH1 27:31 Removed trailing space in v~: Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi.

CH1 27:31 Removed trailing space in p~: Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.

CH1 27:32 Removed trailing space in v~: Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.

CH1 27:33 Removed trailing space in v~: Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme.

CH1 27:33 Removed trailing space in p~: Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme.

CH1 27:34 Removed trailing space in v~: Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari.

CH1 27:34 Removed trailing space in p~: Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.

CH1 28:0 Extra space after chapter number

CH1 28:0 Removed trailing space in c: 28

CH1 28:0 Removed trailing space in s1: Maandalizi Ya Daudi Ya Kujenga Hekalu

CH1 28:1 Removed trailing space in v~: Daudi akawaita maafisa wote wa Israeli wakusanyike huko Yerusalemu: yaani, maafisa walio juu ya makabila, majemadari wa vikosi katika utumishi wa mfalme, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, maafisa wanaosimamia mali zote na mifugo ya mfalme na wanawe, wakiwemo maafisa wa jumba la kifalme, mashujaa na askari wote walio hodari.

CH1 28:2 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akainuka na kusema: “Nisikilizeni ndugu zangu nanyi watu wangu. Nilikuwa na nia ya kujenga nyumba ili iwe mahali pa kukaa Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kwa ajili ya kuwa mahali pa kuwekea miguu ya Mungu wetu, nami nikafanya maandalizi ya kuijenga.

CH1 28:3 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akaniambia, ‘Wewe hutajenga nyumba kwa Jina langu, kwa sababu wewe umepigana vita na umemwaga damu.’

CH1 28:4 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo, \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, alinichagua mimi kutoka jamaa yangu yote niwe mfalme juu ya Israeli milele. Alimchagua Yuda kuwa kiongozi na kutoka nyumba ya Yuda akaichagua jamaa yangu na kutoka wana wa baba yangu ikampendeza kunifanya niwe mfalme juu ya Israeli yote.

CH1 28:5 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wanangu wote, naye \nd Bwana\nd* amenipa wengi, amemchagua Solomoni mwanangu ili kukikalia kiti cha enzi cha ufalme wa \nd Bwana\nd* juu ya Israeli.

CH1 28:6 Removed trailing space in v~: Aliniambia, ‘Solomoni mwanao ndiye atakayejenga nyumba yangu na nyua zangu, kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake.

CH1 28:7 Removed trailing space in v~: Nitaufanya imara ufalme wake milele kama akiendelea kuzishika amri zangu na sheria zangu, kama afanyavyo hivi leo.’

CH1 28:8 Removed trailing space in v~: “Hivyo basi ninawaagiza mbele za Israeli yote na kusanyiko hili la \nd Bwana\nd* naye Mungu wetu akiwa anasikia: Kuweni na bidii kuzifuata amri za \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ili mpate kumiliki nchi hii nzuri na kuwaachia wana wenu kuwa urithi milele.

CH1 28:9 Removed trailing space in v~: “Nawe Solomoni mwanangu, mjue Mungu wa baba yako, ukamtumikie kwa kujitoa kwa moyo wote na kwa nia ya kumkubali, kwa maana \nd Bwana\nd* huuchunguza kila moyo na kujua kila kusudi la kila fikira. Ukimtafuta, ataonekana kwako; bali kama ukimwacha, yeye atakukataa milele.

CH1 28:10 Removed trailing space in v~: Angalia basi, kwa maana \nd Bwana\nd* amekuchagua wewe ili ujenge Hekalu kuwa mahali patakatifu. Uwe hodari ukafanye kazi hiyo.”

CH1 28:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akampa Solomoni mwanawe kielelezo kwa ajili ya ukumbi wa Hekalu, nyumba zake, vyumba vyake vya hazina, ghorofa zake, vyumba vyake vya ndani na mahali pa kufanyia upatanisho.

CH1 28:12 Removed trailing space in v~: Akampa vielelezo vya yote Roho alikuwa ameviweka moyoni mwake kwa ajili ya kumbi za Hekalu la \nd Bwana\nd* na vyumba vyote vilivyolizunguka, kwa ajili ya hazina za Hekalu la Mungu na kwa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu.

CH1 28:13 Removed trailing space in v~: Mfalme pia akampa Solomoni maelekezo kwa ajili ya migawanyo ya huduma za makuhani na Walawi, pia kwa ajili ya kazi zote za huduma katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Akampa pia maelezo kuhusu vifaa vyote vya kutumika katika huduma ya Hekalu.

CH1 28:14 Removed trailing space in v~: Akamwagizia uzito wa dhahabu kwa ajili ya vitu vyote vya dhahabu vya kutumika katika huduma mbalimbali, uzito wa fedha kwa ajili ya vitu vyote vya fedha vya kutumika katika huduma mbalimbali.

CH1 28:15 Removed trailing space in v~: Uzito wa dhahabu kwa ajili ya vinara vya dhahabu na taa zake, kukiwa na uzito kwa ajili ya kila kinara na taa zake, pamoja na uzito wa fedha kwa ajili ya kila kinara cha fedha na taa zake, kulingana na matumizi ya kila kinara;

CH1 28:16 Removed trailing space in v~: uzito wa dhahabu kwa ajili ya meza ya mikate iliyowekwa wakfu, uzito wa fedha kwa ajili ya meza ya fedha;

CH1 28:17 Removed trailing space in v~: uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya nyuma, mabakuli ya kunyunyizia na vikombe, masinia; uzito wa dhahabu kwa ajili ya kila bakuli la dhahabu; uzito wa fedha kwa ajili ya kila bakuli la fedha;

CH1 28:18 Removed trailing space in v~: na uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya madhabahu ya kufukizia uvumba. Pia alimpa kielelezo kwa ajili ya gari, yaani, wale makerubi wa dhahabu waliokunjua mbawa zao na kuweka kivuli juu ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*.

CH1 28:19 Removed trailing space in v~: Daudi akasema, “Hii yote, ninayo kwa maandishi kutoka mkononi mwa \nd Bwana\nd* ulio juu yangu, naye amenipa ufahamu kwa ajili ya habari zote za kielelezo hiki.”

CH1 28:20 Removed trailing space in v~: Daudi pia akamwambia Solomoni mwanawe, “Uwe hodari na moyo mkuu, ukafanye kazi hii. Usiogope wala usifadhaike, kwa maana \nd Bwana\nd* aliye Mungu, Mungu wangu yu pamoja nawe. Hatakuacha wala hatakupungukia mpaka kazi hii yote kwa ajili ya utumishi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* itakapokamilika.

CH1 28:21 Removed trailing space in v~: Migawanyo ya makuhani na Walawi iko tayari kwa ajili ya kazi yote katika Hekalu la Mungu, naye kila mtu mwenye moyo wa kupenda mwenye ustadi katika aina yoyote ya ufundi atakusaidia katika kazi yote. Maafisa na watu wote watatii kila agizo lako.”

CH1 29:0 Extra space after chapter number

CH1 29:0 Removed trailing space in c: 29

CH1 29:0 Removed trailing space in s1: Matoleo Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Hekalu

CH1 29:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Daudi akaliambia kusanyiko lote: “Mwanangu Solomoni, yeye ambaye Mungu amemchagua, ni kijana mdogo na asiye na uzoefu. Kazi hii ni kubwa, kwa sababu Hekalu hili la fahari si kwa ajili ya mwanadamu bali ni kwa ajili ya \nd Bwana\nd*.

CH1 29:2 Removed trailing space in v~: Kwa uwezo wangu wote nimetenga mali kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu: dhahabu kwa kazi za dhahabu, fedha kwa ajili ya fedha, shaba kwa kazi za shaba, chuma kwa kazi za chuma na miti kwa kazi za miti, vivyo hivyo vito vya shohamu kwa ajili ya kutia kwenye vijalizo, almasi, mawe ya rangi mbalimbali, aina zote za vito vya thamani na marmar; yote haya kwa wingi mno.

CH1 29:3 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, kwa kujitolea kwangu kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu, sasa ninatoa hazina zangu mwenyewe za dhahabu na fedha kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu, zaidi ya mali niliyotoa kwa ajili ya Hekalu hili takatifu:

CH1 29:4 Removed trailing space in v~: talanta 3,000\f + \fr 29:4 \ft Talanta 3,000 za dhahabu sawa na tani 110.\f* za dhahabu (dhahabu ya Ofiri) na talanta 7,000\f + \fr 29:4 \ft Talanta 7,000 za fedha ni sawa na tani 260.\f* za fedha safi iliyosafishwa, kwa ajili ya kufunika kuta za Hekalu,

CH1 29:5 Removed trailing space in v~: kwa kazi ya dhahabu na kazi ya fedha na kwa kazi yote itakayofanywa na mafundi. Basi, ni nani anayependa kujitoa kwa \nd Bwana\nd* leo?”

CH1 29:6 Removed trailing space in v~: Ndipo viongozi wa jamaa, maafisa wa kabila za Israeli, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, pamoja na maafisa waliokuwa wasimamizi wa kazi za mfalme wakatoa kwa hiari yao.

CH1 29:7 Removed trailing space in v~: Wakatoa kwa ajili ya kazi ya Hekalu la Mungu talanta 5,000\f + \fr 29:7 \ft Talanta 5,000 za dhahabu ni sawa na tani 190.\f* na darkoni 10,000\f + \fr 29:7 \ft Darkoni 10,000 za dhahabu ni sawa na kilo 84.\f* za dhahabu, talanta 10,000\f + \fr 29:7 \ft Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 375.\f* za fedha, talanta 18,000\f + \fr 29:7 \ft Talanta 18,000 za shaba ni sawa na tani 675.\f* za shaba na talanta 100,000\f + \fr 29:7 \ft Talanta 100,000 za chuma ni sawa na tani 3,750.\f* za chuma.

CH1 29:8 Removed trailing space in v~: Kila mmoja aliyekuwa na vito vya thamani akavitoa katika hazina ya Hekalu la \nd Bwana\nd* chini ya uangalizi wa Yehieli Mgershoni.

CH1 29:9 Removed trailing space in v~: Watu wakafurahi kwa sababu ya itikio la hiari la viongozi wao, kwa kuwa walikuwa wametoa kwa hiari na kwa moyo wote kwa \nd Bwana\nd*. Mfalme Daudi pia akafurahi sana.

CH1 29:9 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Daudi

CH1 29:10 Removed trailing space in v~: Daudi akamhimidi \nd Bwana\nd* mbele ya kusanyiko lote, akisema:

CH1 29:10 Removed trailing space in p~: “Uhimidiwe wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

CH1 29:10 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli baba yetu,

CH1 29:10 Removed trailing space in p~: tangu milele hata milele.

CH1 29:11 Removed trailing space in v~: Ukuu na uweza, ni vyako, Ee \nd Bwana\nd*,

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: na utukufu na enzi na uzuri,

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kila kilichoko mbinguni na duniani

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: ni chako wewe.

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, ufalme ni wako;

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: umetukuzwa kuwa mkuu juu ya yote.

CH1 29:12 Removed trailing space in v~: Utajiri na heshima vyatoka kwako;

CH1 29:12 Removed trailing space in p~: wewe ndiwe utawalaye vitu vyote.

CH1 29:12 Removed trailing space in p~: Mikononi mwako kuna nguvu na uweza

CH1 29:12 Removed trailing space in p~: ili kuinua na kuwapa wote nguvu,

CH1 29:13 Removed trailing space in v~: Sasa, Mungu wetu, tunakushukuru

CH1 29:13 Removed trailing space in p~: na kulisifu Jina lako tukufu.

CH1 29:14 Removed trailing space in v~: “Lakini mimi ni nani, nao watu wangu ni nani, hata tuweze kukutolea kwa ukarimu namna hii? Vitu vyote vyatoka kwako, nasi tumekutolea tu vile vitokavyo mkononi mwako.

CH1 29:15 Removed trailing space in v~: Sisi ni wageni na wapitaji machoni pako, kama walivyokuwa baba zetu wote. Siku zetu duniani ni kama kivuli, bila tumaini.

CH1 29:16 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kwa wingi wote huu ambao tumekutolea kwa kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina lako Takatifu, vimetoka mkononi mwako, navyo vyote ni mali yako.

CH1 29:17 Removed trailing space in v~: Ninajua, Mungu wangu, kwamba wewe huujaribu moyo na unapendezwa na unyofu. Vitu hivi vyote nimetoa kwa hiari na kwa moyo mnyofu. Nami sasa nimeona kwa furaha jinsi watu wako walioko hapa kwa hiari yao walivyokutolea wewe.

CH1 29:18 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zetu Abrahamu, Isaki na Israeli, weka shauku hii ndani ya mioyo ya watu wako daima na uifanye mioyo yao iwe na uaminifu kwako.

CH1 29:19 Removed trailing space in v~: Nawe umpe mwanangu Solomoni kujitolea kwako kwa moyo wote ili kuzishika amri zako, masharti yako, maagizo yako na kufanya kila kitu ili kujenga Hekalu hili la fahari ambalo kwa ajili yake nimetoa.”

CH1 29:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akaliambia kusanyiko lote, “Mhimidini \nd Bwana\nd* Mungu wenu.” Hivyo wote wakamhimidi \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao. Wakasujudu na kuanguka kifudifudi mbele za \nd Bwana\nd* na mfalme.

CH1 29:20 Removed trailing space in s1: Solomoni Akubalika Kuwa Mfalme

CH1 29:21 Removed trailing space in v~: Siku ya pili yake wakamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu na sadaka za kuteketezwa: mafahali 1,000, kondoo dume 1,000 na wana-kondoo dume 1,000, pamoja na sadaka za kinywaji na sadaka nyingine nyingi sana kwa ajili ya Israeli.

CH1 29:22 Removed trailing space in v~: Wakala na kunywa kwa furaha kubwa mbele za \nd Bwana\nd* siku ile.

CH1 29:22 Removed trailing space in p~: Wakamtawaza Solomoni mwana wa Daudi mara ya pili kuwa mfalme, wakamtia mafuta kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ili awe mfalme na Sadoki kuwa kuhani.

CH1 29:23 Removed trailing space in v~: Solomoni akaketi kwenye kiti cha enzi cha \nd Bwana\nd* kuwa mfalme mahali pa Daudi baba yake. Akafanikiwa sana na Israeli wote wakamtii.

CH1 29:24 Removed trailing space in v~: Maafisa wote na mashujaa, pamoja na wana wote wa Daudi, wakaahidi kumtii Mfalme Solomoni.

CH1 29:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtukuza sana Solomoni mbele ya Israeli wote na kumvika fahari ya kifalme ambayo hakuna mfalme yeyote wa Israeli kabla yake aliwahi kuwa nayo.

CH1 29:25 Removed trailing space in s1: Muhtasari Wa Utawala Wa Daudi

CH1 29:26 Removed trailing space in v~: Daudi mwana wa Yese alikuwa mfalme wa Israeli yote.

CH1 29:27 Removed trailing space in v~: Alitawala Israeli kwa miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.

CH1 29:28 Removed trailing space in v~: Daudi akafa akiwa mzee mwenye umri mwema, akiwa ameshiba siku, utajiri na heshima. Naye Solomoni mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH1 29:29 Removed trailing space in v~: Kuhusu matukio ya utawala wa Mfalme Daudi, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kumbukumbu za mwonaji Samweli, na kumbukumbu za nabii Nathani na kumbukumbu za mwonaji Gadi,

CH1 29:30 Removed trailing space in v~: pamoja na habari zote za utawala wake, nguvu zake na matukio yaliyompata yeye, na Israeli, na falme za nchi nyingine zote.

USFMs

Newline Marker Errors

CH1 25:9 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:11 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:12 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:13 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:14 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:15 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:16 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:17 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:18 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:19 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:20 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:21 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:22 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:23 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:24 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:25 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:26 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:27 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:28 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:29 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:30 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:31 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 43    c: 29    h: 1    id: 1    li1: 299    li2: 391    li4: 1    m: 3    mi: 2    mt1: 1    p: 200    pi1: 5    pi2: 5    pm: 8    q1: 40    q2: 43    q3: 1    r: 21    rem: 1    s1: 58    s2: 23    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 2145    tr: 24    v: 942  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    li4: 1    q3: 1    mi: 2    m: 3    pi2: 5    pi1: 5    pm: 8    r: 21    s2: 23    tr: 24    c: 29    q1: 40    b: 43    q2: 43    s1: 58    p: 200    li1: 299    li2: 391    v: 942    Total: 2145  

All Text Internal Marker Counts

 tc: 23    tc1: 1    tcr2: 1    Total: 25  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 tc1: 1    tcr2: 1    tc: 23    Total: 25  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 29    Paragraphs: 200    Section Cross-References: 21    Verses: 942  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 21    Chapters: 29    Paragraphs: 200    Verses: 942  

Characters

Possible Character Errors

CH1 25:9 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

CH1 25:9 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 25    a: 416    A: 15    b: 29    B: 3    d: 43    D: 18    e: 78    E: 4    f: 14    g: 14    G: 2    H: 18    h: 23    i: 153    I: 3    J: 9    j: 13    k: 36    K: 21    l: 57    L: 6    M: 38    m: 65    N: 18    n: 80    o: 50    p: 3    r: 29    R: 3    s: 33    S: 26    Space: 269    t: 28    Total: 1957    u: 96    U: 8    V: 4    w: 49    W: 84    Y: 30    y: 15    Z: 12    z: 17  

Letter Counts (sorted by count)

 G: 2    I: 3    R: 3    B: 3    p: 3    E: 4    V: 4    L: 6    U: 8    J: 9    Z: 12    j: 13    f: 14    g: 14    y: 15    A: 15    z: 17    N: 18    H: 18    D: 18    K: 21    h: 23    -: 25    S: 26    t: 28    b: 29    r: 29    Y: 30    s: 33    k: 36    M: 38    d: 43    w: 49    o: 50    l: 57    m: 65    e: 78    n: 80    W: 84    u: 96    i: 153    Space: 269    a: 416    Total: 1957  

Punctuation Counts

 (: 21    ): 21    ,: 3    /: 2    :: 25    ;: 4    Total: 76  

Punctuation Counts (sorted by count)

 /: 2    ,: 3    ;: 4    (: 21    ): 21    :: 25    Total: 76  

Speech Marks

Possible Matching Errors

CH1 17:7 Unclosed “ (opened at 17:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:4:v)', '“ (opened at 17:7:v)', '‘ (opened at 17:7:v)', '“ (opened at 17:10:pm)']

CH1 17:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 17:4:v)', '“ (opened at 17:7:v)', '‘ (opened at 17:7:v)', '“ (opened at 17:10:pm)', '‘ (opened at 17:10:pm)']

CH1 17:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:4:v)', '“ (opened at 17:7:v)', '‘ (opened at 17:7:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v15

CH1 17:18 Unclosed “ (opened at 17:16:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:20 Unclosed “ (opened at 17:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:23 Unclosed “ (opened at 17:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:16:pm)', '“ (opened at 17:18:v)', '“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:23:v)']

CH1 17:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 17:16:pm)', '“ (opened at 17:18:v)', '“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:23:v)', '‘ (opened at 17:24:v)']

CH1 17:25 Unclosed “ (opened at 17:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 17:16:pm)', '“ (opened at 17:18:v)', '“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:23:v)', '“ (opened at 17:25:v)']

CH1 18:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:16:pm)', '“ (opened at 17:18:v)', '“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:23:v)'] before p marker

Words

Possible Word Errors

CH1 2:7 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 2:13 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 8:34 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 8:34 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 9:39 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 25:9 Have unexpected character starting word '//yeye'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

CH1 -1:6 Main Title 1:1 Mambo Ya Nyakati

Section Heading Lines

CH1 1:0Kumbukumbu Za Historia Kuanzia Adamu Hadi Abrahamu
CH1 1:0 (s2)Adamu Hadi Wana Wa Noa
CH1 1:4 (s2)Wana Wa Yafethi
CH1 1:7 (s2)Wana Wa Hamu
CH1 1:16 (s2)Wana Wa Shemu
CH1 1:27Jamaa Ya Abrahamu
CH1 1:28 (s2)Wazao Wa Hagari
CH1 1:31 (s2)Wazao Wa Ketura
CH1 1:33 (s2)Wazao Wa Sara
CH1 1:34Wana Wa Esau
CH1 1:37Watu Wa Seiri Waliokuwa Edomu
CH1 1:42 (s2)Watawala Wa Edomu
CH1 2:0Wana Wa Israeli
CH1 2:2Yuda
CH1 2:2 (s2)Hadi Wana Wa Hesroni
CH1 2:9 (s2)Kuanzia Ramu Mwana Wa Hesroni
CH1 2:17 (s2)Kalebu Mwana Wa Hesroni
CH1 2:24 (s2)Yerameeli Mwana Wa Hesroni
CH1 2:41 (s2)Koo Za Kalebu
CH1 3:0 (s2)Wana Wa Daudi
CH1 3:9 (s2)Wafalme Wa Yuda
CH1 3:16 (s2)Ukoo Wa Kifalme Baada Ya Uhamisho
CH1 4:0 (s2)Koo Nyingine Za Yuda
CH1 4:23Simeoni
CH1 5:0Wana Wa Reubeni
CH1 5:10Wana Wa Gadi
CH1 5:22Nusu Ya Kabila La Manase
CH1 6:0Wana Wa Lawi
CH1 6:30 (s2)Waimbaji Wa Hekalu
CH1 7:0Wana Wa Isakari
CH1 7:5Wana Wa Benyamini
CH1 7:12Wana Wa Naftali
CH1 7:13Wana Wa Manase
CH1 7:19Wana Wa Efraimu
CH1 7:29Wana Wa Asheri
CH1 8:0Ukoo Wa Sauli Mbenyamini
CH1 9:1Watu Katika Yerusalemu
CH1 9:3 (s2)Jamaa Za Yuda
CH1 9:6 (s2)Jamaa Za Benyamini
CH1 9:9 (s2)Jamaa Za Makuhani
CH1 9:13 (s2)Jamaa Za Walawi
CH1 9:16 (s2)Jamaa Za Mabawabu
CH1 9:34Ukoo Wa Sauli
CH1 10:0Sauli Ajiua
CH1 11:0Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Israeli
CH1 11:3Daudi Ateka Yerusalemu
CH1 11:9Mashujaa Wa Daudi
CH1 12:0Mashujaa Waungana Na Daudi
CH1 12:22Wengine Waungana Na Daudi Huko Hebroni
CH1 13:0Kurudishwa Kwa Sanduku La Mungu
CH1 14:0Nyumba Ya Daudi Na Jamaa Yake
CH1 14:7Daudi Awashinda Wafilisti
CH1 15:0Sanduku La Agano Laletwa Yerusalemu
CH1 16:0Sanduku Lawekwa Ndani Ya Hema
CH1 16:6Zaburi Ya Daudi Ya Shukrani
CH1 17:0Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi
CH1 17:15Maombi Ya Daudi
CH1 18:0Ushindi Wa Daudi
CH1 18:13Maafisa Wa Daudi
CH1 19:0Vita Dhidi Ya Waamoni
CH1 20:0Kutekwa Kwa Raba
CH1 20:3Vita Na Wafilisti
CH1 21:0Daudi Ahesabu Wapiganaji
CH1 22:1Maandalizi Kwa Ajili Ya Hekalu
CH1 23:0Jamaa Za Walawi Na Utendaji Wao
CH1 23:6Wagershoni
CH1 23:11Wakohathi
CH1 23:20Wamerari
CH1 24:0Migawanyo Ya Makuhani
CH1 24:19Walawi Waliobaki
CH1 25:0Waimbaji
CH1 26:0Mabawabu
CH1 26:19Watunza Hazina Na Maafisa Wengine
CH1 27:0Vikosi Vya Jeshi
CH1 27:15Maafisa Wa Makabila
CH1 27:24Wasimamizi Wa Mali Za Mfalme
CH1 28:0Maandalizi Ya Daudi Ya Kujenga Hekalu
CH1 29:0Matoleo Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Hekalu
CH1 29:9Maombi Ya Daudi
CH1 29:20Solomoni Akubalika Kuwa Mfalme
CH1 29:25Muhtasari Wa Utawala Wa Daudi

Section Cross-reference Lines

CH1 1:0(Mwanzo 5:1-32; 10:1-32; 11:10-26)
CH1 1:28(Mwanzo 25:12-16)
CH1 1:34(Mwanzo 36:1-19)
CH1 1:37(Mwanzo 36:20-30)
CH1 1:42(Mwanzo 36:31-43)
CH1 9:34(1 Nyakati 8:29-38)
CH1 10:0(1 Samweli 31:1-13)
CH1 11:0(2 Samweli 5:1-10)
CH1 11:9(2 Samweli 23:8-39)
CH1 13:0(2 Samweli 6:1-11)
CH1 14:0(2 Samweli 5:11-16)
CH1 14:7(2 Samweli 5:17-25)
CH1 15:0(2 Samweli 6:12-22)
CH1 16:6(Zaburi 105:1-15; 96:1-13; 106:1, 47-48)
CH1 17:0(2 Samweli 7:1-17)
CH1 17:15(2 Samweli 7:18-29)
CH1 18:0(2 Samweli 8:1-18)
CH1 19:0(2 Samweli 10:1-19)
CH1 20:0(2 Samweli 12:26-31)
CH1 20:3(2 Samweli 21:15-22)
CH1 21:0(2 Samweli 24:1-25)

Notes

Footnote Lines

CH1 1:8+ \fr 1:8 \ft Yaani Misri.
CH1 1:19+ \fr 1:19 \ft Pelegi maana yake Mgawanyiko.
CH1 1:40+ \fr 1:40 \ft Maandishi ya Kiebrania yanamwita Alian.
CH1 2:7+ \fr 2:7 \ft Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (\+xt Yos 6…xt*).
CH1 2:13+ \fr 2:13 \ft Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia \+xt 1Sam 16:9; 1…xt*).
CH1 3:5+ \fr 3:5 \ft Sawa na Shimea; maana yake ni Mashuhuri, Maarufu.
CH1 4:14+ \fr 4:14 \ft Maana yake Bonde la Mafundi.
CH1 7:37+ \fr 7:37 \ft Kwa jina lingine Yetheri.
CH1 8:34+ \fr 8:34 \ft Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (\+xt…xt*).
CH1 9:2+ \fr 9:2 \ft Yaani \fqa Wanethini.
CH1 9:39+ \fr 9:39 \ft Anajulikana pia kwa jina la Ish-Boshethi, maana yake Mt…xt*).
CH1 9:40+ \fr 9:40 \ft Pia anajulikana kwa jina la Mefiboshethi.
CH1 11:23+ \fr 11:23 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
CH1 13:11+ \fr 13:11 \ft Maana yake ni Gadhabu dhidi ya Uza.
CH1 14:11+ \fr 14:11 \ft Maana yake ni Bwana Afurikae.
CH1 15:7+ \fr 15:7 \ft Namna nyingine ya kutaja Gershomu.
CH1 15:20+ \fr 15:20 \ft Huenda ni aina ya uimbaji.
CH1 15:21+ \fr 15:21 \ft Huenda ni aina ya uimbaji.
CH1 19:6+ \fr 19:6 \ft Talanta 1,000 za fedha ni sawa na tani 34.
CH1 19:6+ \fr 19:6 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
CH1 20:2+ \fr 20:2 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
CH1 20:4+ \fr 20:4 \ft Yaani majitu.
CH1 21:15+ \fr 21:15 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.
CH1 21:25+ \fr 21:25 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 7.
CH1 22:14+ \fr 22:14 \ft Talanta 100,000 za dhahabu ni sawa na tani 3,750.
CH1 22:14+ \fr 22:14 \ft Talanta 1,000,000 za fedha ni sawa na tani 37,500.
CH1 23:9+ \fr 23:9 \ft Yaani Shelomithi; maana yake ni Mpenda amani.
CH1 23:10+ \fr 23:10 \ft Tafsiri zingine zinamwita Ziza.
CH1 25:11+ \fr 25:11 \ft Isri jina lingine ni Seri.
CH1 25:14+ \fr 25:14 \ft Yesarela jina lingine ni Asarela.
CH1 25:18+ \fr 25:18 \ft Azareli jina lingine ni Uzieli.
CH1 26:14+ \fr 26:14 \ft Shelemia jina lingine ni Meshelemia.
CH1 29:4+ \fr 29:4 \ft Talanta 3,000 za dhahabu sawa na tani 110.
CH1 29:4+ \fr 29:4 \ft Talanta 7,000 za fedha ni sawa na tani 260.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Talanta 5,000 za dhahabu ni sawa na tani 190.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Darkoni 10,000 za dhahabu ni sawa na kilo 84.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 375.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Talanta 18,000 za shaba ni sawa na tani 675.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Talanta 100,000 za chuma ni sawa na tani 3,750.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 39    Footnotes: 39  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 39    Footnote leader '+': 39