Freely-Given.org Bible CH2 Checks

<Up>

Priority Errors

Extra space after chapter number in CH2 2:0

Showing 1 out of 1073 priority errors

Fix Text Errors

CH2 2:0 Extra space after chapter number

CH2 2:0 Removed trailing space in c: 2

CH2 2:0 Removed trailing space in s1: Maandalizi Ya Kujenga Hekalu

CH2 2:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 5:1-18)

CH2 2:1 Removed trailing space in v~: Solomoni akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd* na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.

CH2 2:2 Removed trailing space in v~: Solomoni akaandika watu 70,000 kuwa wachukuzi wa mizigo, na watu 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na watu 3,600 kuwa wasimamizi wao.

CH2 2:3 Removed trailing space in v~: Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Mfalme Hiramu wa Tiro:

CH2 2:3 Removed trailing space in p~: “Unitumie magogo ya mierezi kama ulivyomfanyia baba yangu Daudi wakati ulipompelekea mierezi ya kujenga jumba lake la kifalme la kuishi.

CH2 2:4 Removed trailing space in v~: Sasa ninakaribia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd* Mungu wangu na kuliweka wakfu kwake kwa ajili ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri mbele zake, mahali pa kuweka mikate ya Wonyesho kwa kufuata utaratibu na kwa ajili ya mahali pa kutolea sadaka za kuteketezwa kila siku asubuhi na jioni, siku za Sabato na Mwezi Mwandamo pia katika sikukuu zilizoamriwa za \nd Bwana\nd* Mungu wetu. Hili ni agizo la kudumu kwa ajili ya Waisraeli.

CH2 2:5 Removed trailing space in v~: “Hekalu nitakalolijenga litakuwa kubwa, kwa sababu Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote.

CH2 2:6 Removed trailing space in v~: Lakini ni nani awezaye kumjengea Hekalu, maadamu mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kumtosha? Mimi ni nani basi hata nimjengee Hekalu, isipokuwa liwe tu mahali pa kutolea dhabihu za kuteketezwa mbele zake?

CH2 2:7 Removed trailing space in v~: “Hivyo basi nitumie mtu mwenye ustadi wa kufanya kazi ya kutengeneza dhahabu na fedha, shaba na chuma, nyuzi za rangi ya zambarau, nyekundu na buluu, mwenye uzoefu wa kutia nakshi, ili afanye kazi Yuda na Yerusalemu pamoja na mafundi wangu wenye ustadi, ambao baba yangu Daudi aliwaweka.

CH2 2:8 Removed trailing space in v~: “Pia nitumie magogo ya mierezi, miberoshi na misandali kutoka Lebanoni kwa maana najua kwamba watu wako wanao ujuzi wa kupasua mbao huko. Watu wangu watafanya kazi pamoja na watu wako

CH2 2:9 Removed trailing space in v~: ili wanipatie mbao kwa wingi kwa sababu Hekalu nitakalojenga lazima liwe kubwa na zuri kabisa.

CH2 2:10 Removed trailing space in v~: Nitawapa watumishi wako, yaani, maseremala wakatao mbao, kori 20,000\f + \fr 2:10 \ft Kori 20,000 za ngano ni sawa na lita 4,400.\f* za unga wa ngano, kori 20,000 za shayiri, bathi 20,000\f + \fr 2:10 \ft Bathi 20,000 za mvinyo au mafuta ni sawa na lita 440,000.\f* za mvinyo, na bathi 20,000 za mafuta ya zeituni.”

CH2 2:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akamjibu Solomoni kwa barua:

CH2 2:11 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu \nd Bwana\nd* anawapenda watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme wao.”

CH2 2:12 Removed trailing space in v~: Naye Hiramu akaongeza kusema:

CH2 2:12 Removed trailing space in p~: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli aliyezifanya mbingu na nchi! Amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima, aliyejaliwa maarifa na ufahamu, ambaye atajenga Hekalu kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.

CH2 2:13 Removed trailing space in v~: “Mimi nitamtuma kwako Huramu-Abi, mtu mwenye ustadi mwingi,

CH2 2:14 Removed trailing space in v~: ambaye mama yake alitoka Dani na baba yake alitoka Tiro. Yeye ni stadi wa kutengeneza vitu, kufanya kazi zote za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe na mbao pamoja na kufuma. Ni stadi katika kutia rangi ya zambarau, buluu, nyekundu na nguo za kitani safi. Yeye ana ujuzi katika aina zote za kutia nakshi na anaweza kufuatiliza mchoro wowote wa kazi anayopewa. Atafanya kazi na mafundi wako na wale wa bwana wangu, Daudi baba yako.

CH2 2:15 Removed trailing space in v~: “Sasa basi bwana wangu na awapelekee watumishi wake ngano, shayiri, mafuta ya zeituni na mvinyo kama alivyoahidi,

CH2 2:16 Removed trailing space in v~: nasi tutakata magogo yote yale unayohitaji kutoka Lebanoni nasi tutayafunga pamoja na kuyaweka yaelee baharini mpaka Yafa. Kisha utaweza kuyachukua mpaka Yerusalemu.”

CH2 2:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akaamuru ifanyike hesabu ya wageni wote waliokuwa katika Israeli, baada ya ile hesabu iliyofanywa na Daudi; wakapatikana watu 153,600.

CH2 2:18 Removed trailing space in v~: Akawaweka watu 70,000 miongoni mwao kuwa wachukuzi wa mizigo, na 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na 3,600 wakiwa wasimamizi juu yao ili wawahimize watu kufanya kazi.

CH2 3:0 Extra space after chapter number

CH2 3:0 Removed trailing space in c: 3

CH2 3:0 Removed trailing space in s1: Solomoni Ajenga Hekalu

CH2 3:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 6:1-38; 7:15-22)

CH2 3:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akaanza kujenga Hekalu la \nd Bwana\nd* katika Yerusalemu juu ya Mlima Moria, pale ambapo \nd Bwana\nd* alikuwa amemtokea Daudi baba yake. Ilikuwa katika kiwanja cha kupuria cha Arauna,\f + \fr 3:1 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.\f* Myebusi, mahali palipotolewa na Daudi.

CH2 3:2 Removed trailing space in v~: Alianza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa utawala wake.

CH2 3:3 Removed trailing space in v~: Msingi aliouweka Solomoni kwa ajili ya kulijenga Hekalu la Mungu ulikuwa urefu wa dhiraa sitini\f + \fr 3:3 \ft Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.\f* na upana dhiraa ishirini.\f + \fr 3:3 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.\f*

CH2 3:4 Removed trailing space in v~: Ukumbi wa mbele wa Hekalu ulikuwa na urefu wa dhiraa ishirini, yaani, kuanzia upande mmoja hadi upande mwingine wa upana wa nyumba hiyo na kimo chake dhiraa thelathini.\f + \fr 3:4 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f*

CH2 3:4 Removed trailing space in p~: Akaufunika ndani kwa dhahabu safi.

CH2 3:5 Removed trailing space in v~: Akaufunika ukumbi mkuu kwa mbao za miberoshi na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuupamba kwa miti ya mitende na kuifanyizia kwa minyororo.

CH2 3:6 Removed trailing space in v~: Alilipamba Hekalu kwa vito vya thamani. Hiyo dhahabu aliyotumia ilikuwa dhahabu ya Parvaimu.

CH2 3:7 Removed trailing space in v~: Akazifunika boriti za dari, miimo na vizingiti vya milango, kuta na milango ya Hekalu kwa dhahabu, naye akatia nakshi ya makerubi kwenye kuta.

CH2 3:8 Removed trailing space in v~: Akajenga Patakatifu pa Patakatifu, urefu na upana wake ulikuwa dhiraa ishirini, sawasawa na upana wa Hekalu. Alifunika ndani kwa talanta 120\f + \fr 3:8 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 23.\f* za dhahabu safi.

CH2 3:9 Removed trailing space in v~: Misumari ya dhahabu ilikuwa na uzito wa shekeli hamsini.\f + \fr 3:9 \ft Shekeli 50 za dhahabu ni sawa na gramu 600.\f* Alivifunika pia vyumba vya juu kwa dhahabu.

CH2 3:10 Removed trailing space in v~: Katika sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu akafanyiza jozi moja ya makerubi ya kuchongwa na kuyafunika kwa dhahabu.

CH2 3:11 Removed trailing space in v~: Urefu wa mabawa ya hao makerubi ulikuwa jumla ya dhiraa ishirini. Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano,\f + \fr 3:11 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* nalo liligusa ukuta wa Hekalu, bawa lake lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano, ambalo liligusa bawa la kerubi lingine.

CH2 3:12 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo bawa moja la kerubi wa pili lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na liligusa ukuta mwingine wa pili wa Hekalu na bawa lake lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano nalo liligusa bawa la kerubi wa kwanza.

CH2 3:13 Removed trailing space in v~: Mabawa ya makerubi hawa yalitanda dhiraa ishirini. Walisimama kwa miguu yao, nyuso zao zikielekea ukumbi mkubwa.

CH2 3:14 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na za kitani safi, na kutarizi makerubi juu yake.

CH2 3:15 Removed trailing space in v~: Mbele ya Hekalu Solomoni akatengeneza nguzo mbili, ambazo kwa pamoja zilikuwa na dhiraa thelathini na tano kwenda juu kwake, na urefu wa kila moja ilikuwa na taji juu yake yenye dhiraa tano.

CH2 3:16 Removed trailing space in v~: Akatengeneza minyororo iliyosokotwa, na kuiweka juu ya zile nguzo. Pia akatengeneza makomamanga 100, na kuyashikamanisha kwenye minyororo.

CH2 3:17 Removed trailing space in v~: Akazisimamisha hizo nguzo mbele ya Hekalu, moja upande wa kusini na nyingine upande wa kaskazini. Ile moja ya upande wa kusini akaiita Yakini,\f + \fr 3:17 \ft Yakini maana yake Atathibitisha.\f* na ya upande wa kaskazini akaiita Boazi.\f + \fr 3:17 \ft Boazi maana yake Imo nguvu.\f*

CH2 4:0 Extra space after chapter number

CH2 4:0 Removed trailing space in c: 4

CH2 4:0 Removed trailing space in s1: Vifaa Vya Hekalu

CH2 4:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 7:23-51)

CH2 4:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatengeneza madhabahu ya shaba yenye urefu wa dhiraa ishirini,\f + \fr 4:1 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.\f* upana wa dhiraa ishirini na kimo chake dhiraa kumi.\f + \fr 4:1 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.\f*

CH2 4:2 Removed trailing space in v~: Akatengeneza Bahari ya kusubu, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Kamba ya urefu wa dhiraa thelathini\f + \fr 4:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f* ingeweza kuizunguka.

CH2 4:3 Removed trailing space in v~: Chini ya huo ukingo, kulikuwa na mafahali kuizunguka, yaani mafahali kumi katika kila dhiraa moja.\f + \fr 4:3 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* Hayo mafahali waliyasubu katika safu mbili yakiwa ya kitu kimoja na hiyo Bahari.

CH2 4:4 Removed trailing space in v~: Bahari hiyo ilikaa juu ya mafahali kumi na wawili, mafahali watatu walielekeza nyuso zao kaskazini, watatu magharibi, watatu kusini na watatu mashariki. Bahari hiyo ilikaa juu ya hao mafahali, nazo sehemu zao za nyuma zilielekeana.

CH2 4:5 Removed trailing space in v~: Unene wake ulikuwa nyanda nne,\f + \fr 4:5 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 7.5.\f* na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 3,000.\f + \fr 4:5 \ft Bathi 3,000 ni sawa na lita 60,000.\f*

CH2 4:6 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza masinia kumi kwa ajili ya kuoshea vifaa, naye akayaweka matano upande wa kusini na matano upande wa kaskazini. Ndani yake ndimo walioshea vifaa vya kutumika katika sadaka za kuteketezwa, lakini ile Bahari ilikuwa ni kwa ajili ya makuhani kunawia.

CH2 4:7 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vinara vya taa kumi vya dhahabu kama ilivyoainishwa kwao na kuviweka hekaluni, vinara vitano upande wa kusini na vitano upande wa kaskazini.

CH2 4:8 Removed trailing space in v~: Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kusini na tano upande wa kaskazini. Pia akatengeneza mabakuli 100 ya dhahabu ya kunyunyizia.

CH2 4:9 Removed trailing space in v~: Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba.

CH2 4:10 Removed trailing space in v~: Akaweka ile Bahari upande wa kusini, kwenye pembe ya kusini mashariki ya nyumba.

CH2 4:11 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

CH2 4:11 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi katika Hekalu la Mungu kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:

CH2 4:12 Removed trailing space in v~: zile nguzo mbili;

CH2 4:12 Removed trailing space in p~: yale mataji mawili yaliyokuwa juu ya hizo nguzo,

CH2 4:12 Removed trailing space in p~: zile nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli yaliyowekwa juu ya zile nguzo;

CH2 4:13 Removed trailing space in v~: yale makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);

CH2 4:14 Removed trailing space in v~: vishikio pamoja na masinia yake;

CH2 4:15 Removed trailing space in v~: hiyo Bahari na hao mafahali kumi na wawili chini yake;

CH2 4:16 Removed trailing space in v~: pia hayo masufuria, masepetu, uma za nyama na vyombo vingine vyote vilivyohusiana.

CH2 4:16 Removed trailing space in p~: Vitu vyote ambavyo Huramu-Abi alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd* vilikuwa vya shaba iliyosuguliwa.

CH2 4:17 Removed trailing space in v~: Mfalme aliagiza wavisubu vitu hivi kwenye kalibu za udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani kati ya Sukothi na Sereda.\f + \fr 4:17 \ft Au \fqa Sarethani.\f*

CH2 4:18 Removed trailing space in v~: Vitu hivi vyote Mfalme Solomoni alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.

CH2 4:19 Removed trailing space in v~: Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu:

CH2 4:19 Removed trailing space in p~: madhabahu ya dhahabu;

CH2 4:19 Removed trailing space in p~: meza za kuweka mikate ya Wonyesho;

CH2 4:20 Removed trailing space in v~: vinara vya taa vya dhahabu safi pamoja na taa zake ili ziwake mbele ya sehemu takatifu ya ndani kama ilivyoelekezwa;

CH2 4:21 Removed trailing space in v~: maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);

CH2 4:22 Removed trailing space in v~: mikasi ya dhahabu safi, mabakuli ya kunyunyizia, masinia na vyetezo; milango ya dhahabu ya Hekalu: yaani milango ya ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, na milango ya ukumbi mkuu.

CH2 5:0 Extra space after chapter number

CH2 5:0 Removed trailing space in c: 5

CH2 5:1 Removed trailing space in v~: Hivyo Solomoni alipomaliza kazi ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, akaviingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa ameviweka wakfu: yaani, fedha, dhahabu na samani; kisha akaviweka katika hazina za Hekalu la Mungu.

CH2 5:1 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni

CH2 5:1 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 8:1-9)

CH2 5:2 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akawaita huko Yerusalemu wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila na wakuu wa jamaa za Waisraeli, ili walilete Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kutoka Sayuni, Mji wa Daudi.

CH2 5:3 Removed trailing space in v~: Nao wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa mfalme wakati wa sikukuu mwezi wa saba.

CH2 5:4 Removed trailing space in v~: Wazee wote wa Israeli walipofika, Walawi wakajitwika Sanduku la Agano,

CH2 5:5 Removed trailing space in v~: nao wakalipandisha Sanduku na Hema la Kukutania pamoja na vyombo vyote vitakatifu vilivyokuwa ndani yake. Makuhani, waliokuwa Walawi, walivibeba vitu hivyo,

CH2 5:6 Removed trailing space in v~: naye Mfalme Solomoni na kusanyiko lote la Israeli waliokusanyika kumzunguka walikuwa mbele ya hilo Sanduku, nao wakatoa dhabihu nyingi za kondoo na ngʼombe ambao idadi yao haikuwezekana kuandikwa au kuhesabiwa.

CH2 5:7 Removed trailing space in v~: Makuhani wakalileta Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* hadi mahali pake ndani ya sehemu takatifu ndani ya Hekalu, yaani Patakatifu pa Patakatifu, na kuliweka chini ya mabawa ya makerubi.

CH2 5:8 Removed trailing space in v~: Makerubi yalitandaza mabawa yao juu ya mahali pa Sanduku la Agano na kufunika Sanduku na mipiko yake ya kubebea.

CH2 5:9 Removed trailing space in v~: Mipiko hiyo ilikuwa mirefu sana kiasi kwamba ncha zake zilizojitokeza kutoka kwenye Sanduku, nazo zilionekana ukiwa mbele ya Patakatifu pa Patakatifu, lakini sio nje ya Mahali Patakatifu. Hiyo mipiko ipo hata leo.

CH2 5:10 Removed trailing space in v~: Ndani ya Sanduku hapakuwepo kitu kingine chochote isipokuwa zile mbao mbili ambazo Mose alikuwa ameziweka ndani yake huko Horebu, mahali ambapo \nd Bwana\nd* alifanya Agano na Waisraeli baada ya kutoka Misri.

CH2 5:11 Removed trailing space in v~: Basi makuhani wakaondoka hapo Mahali Patakatifu. Makuhani wote waliokuwa huko walikuwa wamejiweka wakfu, bila kujali migawanyo yao.

CH2 5:12 Removed trailing space in v~: Walawi wote waliokuwa waimbaji, yaani, Asafu, Hemani, Yeduthuni, wana wa ndugu zao, walisimama upande wa mashariki wa madhabahu, wakiwa wamevaa kitani safi huku wakipiga matoazi, vinubi na zeze. Walikuwa pamoja na makuhani 120 wakipiga tarumbeta.

CH2 5:13 Removed trailing space in v~: Wapiga tarumbeta na waimbaji wakaungana katika sauti linganifu, ikawa kama vile ni sauti moja, wakimsifu na kumshukuru \nd Bwana\nd*, nao alipoinua sauti zao pamoja na tarumbeta na matoazi na vyombo vingine vya uimbaji, wakamsifu \nd Bwana\nd* wakisema:

CH2 5:13 Removed trailing space in p~: “Yeye ni mwema;

CH2 5:13 Removed trailing space in p~: upendo wake unadumu milele.”

CH2 5:13 Removed trailing space in p~: Ndipo Hekalu la \nd Bwana\nd* likajazwa na wingu,

CH2 5:14 Removed trailing space in v~: nao makuhani hawakuweza kufanya huduma yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu wa \nd Bwana\nd* ulijaza Hekalu la Mungu.

CH2 6:0 Extra space after chapter number

CH2 6:0 Removed trailing space in c: 6

CH2 6:0 Removed trailing space in s1: Kuweka Hekalu Wakfu

CH2 6:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 8:12-21)

CH2 6:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akasema, “\nd Bwana\nd* alisema kwamba ataishi katika giza nene.

CH2 6:2 Removed trailing space in v~: Nimejenga Hekalu zuri kwa ajili yako, mahali pako pa kukaa milele.”

CH2 6:3 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote la Israeli lilipokuwa limesimama hapo, mfalme akageuka na kuwabariki.

CH2 6:4 Removed trailing space in v~: Kisha akasema:

CH2 6:4 Removed trailing space in p~: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye kwa mikono yake mwenyewe ametimiza lile alilomwahidi Daudi baba yangu kwa kinywa chake mwenyewe. Kwa kuwa alisema,

CH2 6:5 Removed trailing space in v~: ‘Tangu siku niliyowatoa watu wangu kutoka Misri, sikuchagua mji katika kabila lolote la Israeli ili Hekalu lijengwe humo ili Jina langu lipate kuwamo humo, wala sikumchagua mtu yeyote kuwa kiongozi wa watu wangu Israeli.

CH2 6:6 Removed trailing space in v~: Lakini sasa nimeuchagua Yerusalemu ili Jina langu lipate kuwamo humo, na nimemchagua Daudi kuwatawala watu wangu Israeli.’

CH2 6:7 Removed trailing space in v~: “Ilikuwa moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 6:8 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu ilikuwa moyoni mwako kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu, ulifanya vyema kuwa na jambo hili moyoni mwako.

CH2 6:9 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, sio wewe utakayenijengea Hekalu, bali mwanao, ambaye ni nyama yako na damu yako mwenyewe, yeye ndiye atakayejenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’

CH2 6:10 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* ametimiza ahadi aliyoiweka: Nimeingia mahali pa Daudi baba yangu na sasa ninakikalia kiti cha ufalme cha Israeli, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoahidi, nami nimejenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 6:11 Removed trailing space in v~: Nimeliweka humo Sanduku la Agano, ambamo ndani yake kuna lile Agano la \nd Bwana\nd* alilofanya na watu wa Israeli.”

CH2 6:11 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Wakfu

CH2 6:11 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 8:22-53)

CH2 6:12 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akasimama mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* machoni pa kusanyiko lote la Israeli, naye akakunjua mikono yake.

CH2 6:13 Removed trailing space in v~: Basi Solomoni alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano na kimo chake dhiraa tatu, naye akaliweka katikati ya ukumbi wa nje. Akapanda juu ya hilo jukwaa kisha akapiga magoti mbele ya kusanyiko lote la Israeli, akanyoosha mikono yake kwelekea mbinguni.

CH2 6:14 Removed trailing space in v~: Akasema:

CH2 6:14 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe juu mbinguni wala chini duniani, wewe unayetunza Agano lako la upendo na watumishi wanaodumu katika njia yako kwa moyo wote.

CH2 6:15 Removed trailing space in v~: Umetimiza ahadi yako kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, kwa kinywa chako uliahidi na kwa mkono wako umetimiza, kama ilivyo leo.

CH2 6:16 Removed trailing space in v~: “Sasa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, mtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu ahadi zako ulizomwahidi uliposema, ‘Kamwe hutakosa kuwa na mtu atakayeketi mbele zangu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama wanao wakiangalia yote wayafanyayo kuenenda mbele zangu kama vile ulivyofanya.’

CH2 6:17 Removed trailing space in v~: Sasa, Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie.

CH2 6:18 Removed trailing space in v~: “Lakini kweli, je, Mungu atafanya makao duniani na wanadamu? Mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kukutosha wewe. Sembuse Hekalu hili nililojenga!

CH2 6:19 Removed trailing space in v~: Hata hivyo sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi yake kwa huruma, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu. Sikia kilio na dua ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako siku hii ya leo.

CH2 6:20 Removed trailing space in v~: Macho yako na yafumbuke kuelekea Hekalu hili usiku na mchana, mahali hapa ambapo ulisema, ‘Jina langu litakuwako humo,’ ili kwamba upate kusikia maombi ambayo mtumishi wako ataomba kuelekea mahali hapa.

CH2 6:21 Removed trailing space in v~: Usikie maombi ya mtumishi wako na ya watu wako Israeli wakati wanapoomba kuelekea mahali hapa. Sikia kutoka mbinguni, mahali pa makao yako na usikiapo, samehe.

CH2 6:22 Removed trailing space in v~: “Mtu anapomkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili,

CH2 6:23 Removed trailing space in v~: basi, sikia kutoka mbinguni na ukatende. Hukumu kati ya watumishi wako, ukimwadhibu yule mwenye hatia kwa kuleta juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda. Umtangazie mwenye haki kwamba hana hatia, hivyo ukathibitishe kuwa haki kwake.

CH2 6:24 Removed trailing space in v~: “Wakati watu wako Israeli watakapokuwa wameshindwa na adui kwa sababu ya dhambi walizofanya dhidi yako, watakapokugeukia na kulikiri jina lako, wakiomba na kufanya dua kwako katika Hekalu hili,

CH2 6:25 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni, ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba zao.

CH2 6:26 Removed trailing space in v~: “Wakati mbingu zitakapokuwa zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu watu wako wametenda dhambi dhidi yako, watakapoomba kuelekea mahali hapa na kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka dhambi zao kwa sababu umewaadhibu,

CH2 6:27 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni na usamehe dhambi ya watumishi wako, watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi uliyowapa watu wako kuwa urithi.

CH2 6:28 Removed trailing space in v~: “Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati adui atakapowazingira katika mji wao wowote, maafa ya namna yoyote au ugonjwa wowote unaoweza kuwajia,

CH2 6:29 Removed trailing space in v~: wakati dua au maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa watu wako Israeli, kila mmoja akitambua taabu zake na uchungu wake, naye akainyoosha mikono yake kuelekea Hekalu hili,

CH2 6:30 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni, katika makao yako. Usamehe na utende, umpe kila mtu kulingana na matendo yake, kwa kuwa unaujua moyo wake (kwa kuwa ni wewe peke yako ujuaye mioyo ya watu wote),

CH2 6:31 Removed trailing space in v~: ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.

CH2 6:32 Removed trailing space in v~: “Kwa habari ya mgeni ambaye si miongoni mwa watu wako Israeli, lakini amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu na mkono wako wenye nguvu ulionyooshwa, atakapokuja kuomba kuelekea Hekalu hili,

CH2 6:33 Removed trailing space in v~: basi na usikie kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, ukafanye lolote ambalo mgeni huyo anakuomba, ili mataifa yote ya dunia wapate kujua jina lako na wakuogope kama wafanyavyo watu wako Israeli nao wapate pia kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga imeitwa kwa Jina lako.

CH2 6:34 Removed trailing space in v~: “Wakati watu wako watakapokwenda vitani dhidi ya adui zao, popote utakapowapeleka, wakati watakapoomba kwa \nd Bwana\nd* kuelekea mji ambao umeuchagua, na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,

CH2 6:35 Removed trailing space in v~: basi usikie dua na maombi yao kutoka mbinguni, ukawatetee haki yao.

CH2 6:36 Removed trailing space in v~: “Watakapotenda dhambi dhidi yako, kwa kuwa hakuna mtu yeyote ambaye hatendi dhambi, nawe ukachukizwa nao na kuwakabidhi kwa adui, ambaye atawachukua utumwani katika nchi iliyo mbali au karibu

CH2 6:37 Removed trailing space in v~: na kama watabadilika mioyo yao katika nchi wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na kukulilia katika nchi ya utumwa na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya makosa na tumetenda uovu’;

CH2 6:38 Removed trailing space in v~: kama wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi zao katika nchi ya adui zao ambao waliwachukua mateka, wakakuomba kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea mji uliouchagua na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,

CH2 6:39 Removed trailing space in v~: basi kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, usikie dua yao na maombi yao na kuitetea haki yao. Uwasamehe watu wako, waliotenda dhambi dhidi yako.

CH2 6:40 Removed trailing space in v~: “Sasa, Mungu wangu, macho yako na yafumbuke na masikio yako yasikie maombi yaombwayo mahali hapa.

CH2 6:41 Removed trailing space in v~: “Sasa inuka, Ee \nd Bwana\nd* Mungu,

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: na uje mahali pako pa kupumzikia,

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: wewe na Sanduku la nguvu zako.

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: Makuhani wako, Ee \nd Bwana\nd* Mungu,

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: na wavikwe wokovu,

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: watakatifu wako na wafurahi

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: katika wema wako.

CH2 6:42 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu, usimkatae

CH2 6:42 Removed trailing space in p~: mpakwa mafuta wako.

CH2 6:42 Removed trailing space in p~: Kumbuka upendo mkuu uliomwahidia

CH2 6:42 Removed trailing space in p~: Daudi mtumishi wako.”

CH2 7:0 Extra space after chapter number

CH2 7:0 Removed trailing space in c: 7

CH2 7:0 Removed trailing space in s1: Hekalu Lawekwa Wakfu

CH2 7:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 8:62-66)

CH2 7:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Solomoni kumaliza kuomba, moto ukashuka kutoka mbinguni na kuteketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukalijaza Hekalu.

CH2 7:2 Removed trailing space in v~: Makuhani hawakuweza kuingia ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* kwa sababu utukufu wa \nd Bwana\nd* ulilijaza.

CH2 7:3 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote walipoona moto ukishuka na utukufu wa \nd Bwana\nd* ukiwa juu ya Hekalu, wakapiga magoti sakafuni wakasujudu nyuso zao mpaka chini, nao wakamwabudu na kumshukuru \nd Bwana\nd* wakisema,

CH2 7:3 Removed trailing space in p~: “Yeye ni mwema;

CH2 7:3 Removed trailing space in p~: upendo wake unadumu milele.”

CH2 7:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme na watu wote wakatoa dhabihu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu.

CH2 7:5 Removed trailing space in v~: Naye Mfalme Solomoni akatoa dhabihu ya ngʼombe 22,000 pamoja na kondoo na mbuzi 120,000. Hivyo ndivyo mfalme na watu wote walivyoweka wakfu Hekalu la Mungu.

CH2 7:6 Removed trailing space in v~: Makuhani wakasimama kwenye nafasi zao, vivyo hivyo Walawi wakiwa na vyombo vya uimbaji vya \nd Bwana\nd* ambavyo Mfalme Daudi alikuwa ametengeneza kwa ajili ya kumsifu \nd Bwana\nd*, navyo vilitumika wakati aliposhukuru, akisema, “Upendo wake wadumu milele.” Mkabala na Walawi, makuhani walipiga tarumbeta zao, nao Waisraeli wote walikuwa wamesimama.

CH2 7:7 Removed trailing space in v~: Solomoni akaweka wakfu sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na hapo akatoa sadaka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba aliyokuwa ametengeneza haikutosha kuweka sadaka hizo zote za kuteketezwa, sadaka za nafaka na za mafuta.

CH2 7:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Solomoni akaiadhimisha sikukuu wakati ule kwa muda wa siku saba, na Israeli wote pamoja naye. Walikuwa kusanyiko kubwa sana, watu kutoka Lebo-Hamathi hadi Kijito cha Misri.

CH2 7:9 Removed trailing space in v~: Katika siku ya nane walifanya kusanyiko, kwa kuwa walikuwa wanaadhimisha kuwekwa wakfu kwa madhabahu kwa muda wa siku saba na sikukuu kwa muda wa siku nyingine saba zaidi.

CH2 7:10 Removed trailing space in v~: Katika siku ya ishirini na tatu ya mwezi wa saba Solomoni akawaaga watu waende nyumbani mwao, wakishangilia na kufurahi mioyoni mwao, kwa wema mwingi \nd Bwana\nd* Mungu aliomtendea Daudi na Solomoni na kwa ajili ya watu wake Israeli.

CH2 7:10 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Mungu Amtokea Solomoni

CH2 7:10 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 9:1-9)

CH2 7:11 Removed trailing space in v~: Solomoni alipomaliza kujenga Hekalu la \nd Bwana\nd* na jumba la kifalme, naye akiwa amefanikiwa kutenda yale yote aliyokuwa nayo moyoni mwake kufanya katika Hekalu la \nd Bwana\nd* na katika jumba lake mwenyewe la kifalme,

CH2 7:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Solomoni usiku na kumwambia:

CH2 7:12 Removed trailing space in p~: “Nimesikia maombi yako nami nimechagua mahali hapa kwa ajili yangu mwenyewe kuwa Hekalu kwa ajili ya dhabihu.

CH2 7:13 Removed trailing space in v~: “Wakati nitakapofunga mbingu ili isiwepo mvua, au nikiamuru nzige kula mazao ya nchi au nikituma tauni miongoni mwa watu wangu,

CH2 7:14 Removed trailing space in v~: kama watu wangu, wanaoitwa kwa Jina langu, watajinyenyekesha na kuomba na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao mbaya, basi nitasikia toka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na nitaiponya nchi yao.

CH2 7:15 Removed trailing space in v~: Sasa macho yangu yatafumbuka na masikio yangu yatasikiliza kwa makini maombi yaombwayo mahali hapa.

CH2 7:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana sasa nimechagua na kutakasa Hekalu hili ili kwamba Jina langu lipate kuwa huko milele. Macho yangu na moyo wangu utakuwepo huko daima.

CH2 7:17 Removed trailing space in v~: “Kwa habari yako wewe, kama ukienenda mbele zangu kama Daudi baba yako alivyoenenda na kufanya yote nikuamuruyo, nawe ukizishika amri zangu na sheria zangu,

CH2 7:18 Removed trailing space in v~: Nitakiimarisha kiti chako cha enzi kama nilivyoagana na Daudi baba yako niliposema, ‘Hutakosa kamwe mtu wa kutawala juu ya Israeli.’

CH2 7:19 Removed trailing space in v~: “Lakini kama ukigeuka na kuyaacha maagizo na amri nilizowapa na kwenda kuitumikia miungu mingine na kuiabudu,

CH2 7:20 Removed trailing space in v~: ndipo nitakapoingʼoa Israeli kutoka nchi yangu niliyowapa, nami nitalikataa Hekalu hili nililolitakasa kwa ajili ya Jina langu. Nitalifanya kitu cha kudharauliwa na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa watu wote.

CH2 7:21 Removed trailing space in v~: Ingawa Hekalu hili linavutia sana sasa, wote watakaolipita watashangaa na kusema, ‘Kwa nini \nd Bwana\nd* amefanya kitu kama hiki katika nchi hii na kwa Hekalu hili?’

CH2 7:22 Removed trailing space in v~: Watu watajibu, ‘Ni kwa sababu wamemwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, aliyewatoa Misri, nao wamekumbatia miungu mingine, wakaiabudu na kuitumikia, ndiyo sababu ameyaleta maafa haya yote juu yao.’ ”

CH2 8:0 Extra space after chapter number

CH2 8:0 Removed trailing space in c: 8

CH2 8:0 Removed trailing space in s1: Shughuli Nyingine Za Solomoni

CH2 8:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 9:10-28)

CH2 8:1 Removed trailing space in v~: Miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Solomoni alilijenga Hekalu la \nd Bwana\nd* na jumba lake mwenyewe la kifalme,

CH2 8:2 Removed trailing space in v~: Solomoni akajenga tena vijiji vile ambavyo Hiramu alikuwa amempa, naye akawapa Waisraeli waishi humo.

CH2 8:3 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akaenda Hamath-Soba na kuuteka.

CH2 8:4 Removed trailing space in v~: Pia akajenga mji wa Tadmori katika jangwa na miji yote ya kuhifadhia vitu katika Hamathi.

CH2 8:5 Removed trailing space in v~: Akajenga tena Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, miji yenye ngome, kuta, malango na makomeo.

CH2 8:6 Removed trailing space in v~: Solomoni pia akajenga Baalathi na miji yake yote ya kuhifadhia vitu, na miji kwa ajili ya magari yake na kwa ajili ya farasi wake, chochote alichotaka kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni na katika nchi yote aliyotawala.

CH2 8:7 Removed trailing space in v~: Watu wote waliosalia kutoka kwa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi (haya mataifa hayakuwa Waisraeli),

CH2 8:8 Removed trailing space in v~: yaani, wazao wao waliobakia katika nchi, ambao Waisraeli hawakuwa wamewaangamiza: hawa Solomoni akawalazimisha kuwa watumwa katika shokoa, kama ilivyo hadi leo.

CH2 8:9 Removed trailing space in v~: Lakini Solomoni hakuwafanya Waisraeli watumwa kwa ajili ya kazi yake, bali walikuwa wapiganaji, majemadari, maafisa wake, majemadari wa magari yake ya vita na waendesha magari ya vita.

CH2 8:10 Removed trailing space in v~: Pia walikuwa maafisa wakuu wa Mfalme Solomoni, yaani, maafisa wakaguzi 250 waliosimamia watu.

CH2 8:11 Removed trailing space in v~: Solomoni akampandisha mke wake binti Farao kutoka Mji wa Daudi na kumleta jumba la kifalme alilokuwa amemjengea, kwa kuwa alisema, “Mke wangu hataishi katika jumba la kifalme la Daudi mfalme wa Israeli, kwa sababu mahali ambapo Sanduku la \nd Bwana\nd* limefika ni patakatifu.”

CH2 8:12 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* ambayo alikuwa ameijenga mbele ya ukumbi,

CH2 8:13 Removed trailing space in v~: kulingana na mahitaji ya kila siku kwa ajili ya sadaka zilizoamriwa na Mose kwa ajili ya Sabato, Mwezi Mwandamo na sikukuu nyingine tatu za mwaka, yaani, Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma na Sikukuu ya Vibanda.

CH2 8:14 Removed trailing space in v~: Kwa kushika maagizo ya Daudi baba yake, aliweka migawanyo ya makuhani kwa ajili ya kazi zao, nao Walawi kuongoza kusifu na kusaidia makuhani kufuatana na mahitaji ya kila siku. Pia akaweka mabawabu katika migawanyo kwa ajili ya malango mbalimbali, kwa sababu hili ndilo Daudi mtu wa Mungu alilokuwa ameagiza.

CH2 8:15 Removed trailing space in v~: Nao hawakuziacha amri za mfalme alizoamuru makuhani au Walawi katika jambo lolote, ikiwa ni pamoja na zile za hazina.

CH2 8:16 Removed trailing space in v~: Kazi yote ya Mfalme Solomoni ilifanyika kuanzia siku msingi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* ulipowekwa mpaka kukamilika kwake. Kwa hiyo Hekalu la \nd Bwana\nd* likamalizika kujengwa.

CH2 8:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu.

CH2 8:18 Removed trailing space in v~: Naye Hiramu alimpelekea meli zilizoongozwa na maafisa wake mwenyewe, watu waliokuwa na ujuzi wa baharini. Hawa watu pamoja na wale wa Solomoni wakasafiri kwa bahari mpaka Ofiri, wakaleta kutoka huko talanta 450 za dhahabu, ambazo walimkabidhi Mfalme Solomoni.

CH2 9:0 Extra space after chapter number

CH2 9:0 Removed trailing space in c: 9

CH2 9:0 Removed trailing space in s1: Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni

CH2 9:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 10:1-13)

CH2 9:1 Removed trailing space in v~: Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Solomoni, huyo malkia akaja Yerusalemu kumjaribu kwa maswali magumu. Alifika akiwa na msafara mkubwa sana, pamoja na ngamia waliobeba vikolezi, kiasi kikubwa cha dhahabu na vito vya thamani, alikuja kwa Solomoni na kuzungumza naye kuhusu yote ambayo alikuwa nayo moyoni mwake.

CH2 9:2 Removed trailing space in v~: Solomoni akamjibu maswali yake yote, wala hakukuwa na jambo lolote lililokuwa gumu kwake asiweze kumwelezea.

CH2 9:3 Removed trailing space in v~: Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,

CH2 9:4 Removed trailing space in v~: chakula kilichokuwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa, wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika Hekalu la \nd Bwana\nd* alipatwa na mshangao.

CH2 9:5 Removed trailing space in v~: Akamwambia mfalme, “Taarifa niliyosikia kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu mafanikio na hekima yako ni kweli.

CH2 9:6 Removed trailing space in v~: Lakini sikuamini yaliyosemwa hadi nilipokuja na kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam, sikuambiwa hata nusu yake; katika hekima na mali umezidi sana kuliko ile taarifa niliyoisikia.

CH2 9:7 Removed trailing space in v~: Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!

CH2 9:8 Removed trailing space in v~: Ahimidiwe \nd Bwana\nd* Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe, na akakuweka juu ya kiti chake cha ufalme utawale kwa niaba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako. Kwa sababu ya upendo wa Mungu wako kwa Israeli na shauku yake ya kuwadhibitisha milele, amekufanya wewe mfalme juu yao, ili kudumisha haki na uadilifu.”

CH2 9:9 Removed trailing space in v~: Naye akampa mfalme talanta 120\f + \fr 9:9 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.\f* za dhahabu, kiasi kikubwa cha vikolezi na vito vya thamani. Haikuwahi kamwe kuletwa vikolezi vizuri kama vile Malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni.

CH2 9:10 Removed trailing space in v~: (Watumishi wa Hiramu na wa Solomoni wakaleta dhahabu kutoka Ofiri, tena wakaleta shehena kubwa ya miti ya msandali na vito vya thamani.

CH2 9:11 Removed trailing space in v~: Mfalme akatumia hiyo miti ya msandali kuwa ngazi kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na kwa jumba la kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha msandali hakijawahi kuingizwa Yuda tangu siku ile.)

CH2 9:12 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akampa Malkia wa Sheba kila kitu alichotamani na kukiomba, zaidi ya vile alivyokuwa amemletea mfalme. Kisha malkia akaondoka na kurudi katika nchi yake, yeye na watumishi wake.

CH2 9:12 Removed trailing space in s1: Fahari Ya Solomoni

CH2 9:12 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 10:14-25)

CH2 9:13 Removed trailing space in v~: Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,\f + \fr 9:13 \ft Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25.\f*

CH2 9:14 Removed trailing space in v~: mbali na mapato yaliyoletwa na wafanyabiashara na wachuuzi. Wafalme wote wa Arabuni na watawala wa nchi wakamletea Solomoni dhahabu na fedha.

CH2 9:15 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatengeneza ngao kubwa 200 kwa dhahabu iliyofuliwa. Kila ngao ilikuwa na dhahabu yenye uzito wa shekeli 600\f + \fr 9:15 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5.\f*

CH2 9:16 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pia ngao ndogo 300 za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa na uzito wa mane tatu\f + \fr 9:16 \ft Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7.\f* za dhahabu. Mfalme akaziweka katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni.

CH2 9:17 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na kukifunika kwa dhahabu safi.

CH2 9:18 Removed trailing space in v~: Kiti hicho kilikuwa na ngazi sita na mahali pa kuwekea miguu vyote vya dhahabu. Pande zote za kiti kulikuwa na mahali pa kuegemeza mikono, na simba wawili wakisimama kando ya hiyo mikono.

CH2 9:19 Removed trailing space in v~: Simba kumi na wawili walisimama kwenye ngazi sita, mmoja katika kila upande wa kila ngazi. Hakuna kitu kama hicho kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme mwingine wowote.

CH2 9:20 Removed trailing space in v~: Vikombe vyote vya Mfalme Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo wakati wa Solomoni.

CH2 9:21 Removed trailing space in v~: Mfalme alikuwa na meli nyingi za biashara\f + \fr 9:21 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).\f* baharini zilizoendeshwa na watu wa Hiramu. Kwa mara moja kila miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe za ndovu na nyani wakubwa na wadogo.

CH2 9:21 Found unexpected backslash in footnote: 9:21 Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).

CH2 9:22 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

CH2 9:23 Removed trailing space in v~: Wafalme wote wa dunia wakatafuta kukutana na Solomoni ili kusikia hekima ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.

CH2 9:24 Removed trailing space in v~: Mwaka baada ya mwaka, kila mmoja ambaye alikuja, alileta zawadi, vyombo vya fedha na dhahabu, majoho, silaha na vikolezi, farasi na nyumbu.

CH2 9:25 Removed trailing space in v~: Solomoni alikuwa na mabanda 4,000 kwa ajili ya farasi na magari ya vita, farasi 12,000 ambao aliwaweka katika miji ya magari ya vita na katika Yerusalemu pamoja naye.

CH2 9:26 Removed trailing space in v~: Solomoni akatawala juu ya wafalme wote kuanzia Mto Frati mpaka kwenye nchi ya Wafilisti na kuendelea hadi mpaka wa Misri.

CH2 9:27 Removed trailing space in v~: Mfalme akafanya fedha kuwa kitu cha kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.

CH2 9:28 Removed trailing space in v~: Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.

CH2 9:28 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Solomoni

CH2 9:28 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 11:41-43)

CH2 9:29 Removed trailing space in v~: Kwa habari za matukio mengine ya utawala wa Solomoni, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Nathani, katika unabii wa Ahiya Mshiloni na katika maono ya Ido mwonaji kuhusu Yeroboamu mwana wa Nebati?

CH2 9:30 Removed trailing space in v~: Solomoni alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.

CH2 9:31 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 10:0 Extra space after chapter number

CH2 10:0 Removed trailing space in c: 10

CH2 10:0 Removed trailing space in s1: Israeli Wanamwasi Rehoboamu

CH2 10:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 12:1-20)

CH2 10:1 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa kuwa Waisraeli wote walikuwa wamekwenda huko kumfanya yeye kuwa mfalme.

CH2 10:2 Removed trailing space in v~: Yeroboamu mwana wa Nebati aliposikia hili (alikuwa bado yuko Misri alikokuwa amekimbilia awe mbali na Mfalme Solomoni), akarudi kutoka Misri.

CH2 10:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakatuma watu kumwita Yeroboamu, yeye na kusanyiko lote la Israeli wakamwendea Rehoboamu na kumwambia,

CH2 10:4 Removed trailing space in v~: “Baba yako aliweka nira nzito, lakini sasa tupunguzie kazi za kikatili na nira nzito aliyoweka juu yetu, nasi tutakutumikia.”

CH2 10:5 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.

CH2 10:6 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee ambao walimtumikia Solomoni baba yake wakati wa uhai wake akawauliza, “Mnanishauri nini katika kuwajibu watu hawa?”

CH2 10:7 Removed trailing space in v~: Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”

CH2 10:8 Removed trailing space in v~: Lakini Rehoboamu akakataa shauri alilopewa na wazee na akataka ushauri kwa vijana wanaume rika lake waliokuwa wakimtumikia.

CH2 10:9 Removed trailing space in v~: Akawauliza, “Ninyi ushauri wenu ni nini? Tutawajibuje watu hawa wanaoniambia, ‘Ifanye nyepesi nira baba yako aliyoweka juu yetu?’ ”

CH2 10:10 Removed trailing space in v~: Wale vijana wa rika lake wakamjibu, “Waambie watu hawa waliokuambia, ‘Baba yako aliweka nira nzito juu yetu, lakini ifanye nira yetu nyepesi,’ kuwa, ‘Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.

CH2 10:11 Removed trailing space in v~: Baba yangu aliweka nira nzito juu yenu, mimi nitaifanya hata iwe nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi; mimi nitawachapa kwa nge.’ ”

CH2 10:12 Removed trailing space in v~: Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu wote wakamrudia Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amesema, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.”

CH2 10:13 Removed trailing space in v~: Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee,

CH2 10:14 Removed trailing space in v~: akafuata shauri la vijana wa rika lake na kusema, “Baba yangu alifanya nira yenu kuwa nzito, mimi nitaifanya kuwa nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.”

CH2 10:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa jambo hili lilitoka kwa Mungu ili kutimiza neno ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amenena kwa Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya Mshiloni.

CH2 10:16 Removed trailing space in v~: Israeli wote walipoona kuwa mfalme amekataa kuwasikiliza, wakamjibu mfalme:

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: “Tuna fungu gani kwa Daudi?

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: Sisi hatuna urithi kwa mwana wa Yese.

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: Nendeni kwenye mahema yenu, ee Israeli,

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: angalia nyumba yako mwenyewe, ee Daudi!”

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: Hivyo Waisraeli wakaenda kwenye mahema yao.

CH2 10:17 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari ya Waisraeli waliokuwa wakiishi katika miji ya Yuda, Rehoboamu akaendelea kuwatawala bado.

CH2 10:18 Removed trailing space in v~: Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoniramu\f + \fr 10:18 \ft Kiebrania ni Hadoramu.\f* aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu, akafanikiwa kuingia kwenye gari lake na kutorokea Yerusalemu.

CH2 10:19 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.

CH2 11:0 Extra space after chapter number

CH2 11:0 Removed trailing space in c: 11

CH2 11:0 Removed trailing space in s1: Utabiri Wa Shamaya

CH2 11:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 12:21-24)

CH2 11:1 Removed trailing space in v~: Ikawa Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akakusanya nyumba ya Yuda na ya Benyamini, wanaume wapiganaji 180,000, kufanya vita dhidi ya nyumba ya Israeli na kuurudisha tena ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Solomoni.

CH2 11:2 Removed trailing space in v~: Lakini neno hili la \nd Bwana\nd* likamjia Shemaya mtu wa Mungu:

CH2 11:3 Removed trailing space in v~: “Mwambie Rehoboamu mwana wa Solomoni mfalme wa Yuda, na Israeli wote walioko Yuda na Benyamini,

CH2 11:4 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Msipande kupigana dhidi ya ndugu zenu. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu, kwa kuwa hili nimelitenda mimi.’ ” Kwa hiyo wakalitii neno la \nd Bwana\nd* na wakaacha kwenda kupigana dhidi ya Yeroboamu.

CH2 11:4 Removed trailing space in s1: Yeroboamu Ajengea Yuda Ngome

CH2 11:5 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji yenye ngome katika Yuda:

CH2 11:6 Removed trailing space in v~: Akajenga Bethlehemu, Etamu, Tekoa,

CH2 11:7 Removed trailing space in v~: Beth-Suri, Soko, Adulamu,

CH2 11:8 Removed trailing space in v~: Gathi, Maresha, Zifu,

CH2 11:9 Removed trailing space in v~: Adoraimu, Lakishi, Azeka,

CH2 11:10 Removed trailing space in v~: Sora, Aiyaloni na Hebroni. Hii ndiyo iliyokuwa miji iliyojengewa ngome katika Yuda na Benyamini.

CH2 11:11 Removed trailing space in v~: Akaimarisha ulinzi wake na kuweka majemadari ndani yake, pamoja na ghala za mahitaji ya vyakula, mafuta ya zeituni na divai.

CH2 11:12 Removed trailing space in v~: Akaweka ngao na mikuki katika miji na kuifanya iwe imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.

CH2 11:13 Removed trailing space in v~: Makuhani na Walawi kutoka sehemu zote za Israeli wakawa upande wake.

CH2 11:14 Removed trailing space in v~: Pia Walawi wakaacha maeneo yao ya malisho na mali zao, wakaja Yuda na Yerusalemu kwa sababu Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewakataa wasiwe makuhani wa \nd Bwana\nd*.

CH2 11:15 Removed trailing space in v~: Naye akawa amechagua makuhani wake mwenyewe kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia sanamu za mbuzi na za ndama ambazo alikuwa ametengeneza.

CH2 11:16 Removed trailing space in v~: Wale waliotoka katika kila kabila la Israeli ambao walielekeza mioyo yao kumtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, wakawafuata Walawi huko Yerusalemu kumtolea \nd Bwana\nd* dhabihu, Mungu wa baba zao.

CH2 11:17 Removed trailing space in v~: Wakaimarisha ufalme wa Yuda na kumuunga mkono Rehoboamu mwana wa Solomoni miaka mitatu, wakienenda katika njia za Daudi na Solomoni katika wakati huu.

CH2 11:17 Removed trailing space in s1: Jamaa Ya Rehoboamu

CH2 11:18 Removed trailing space in v~: Rehoboamu alimwoa Mahalati ambaye alikuwa binti Yeremothi mwana wa Daudi, mamaye alikuwa Abihaili binti Eliabu mwana wa Yese.

CH2 11:19 Removed trailing space in v~: Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.

CH2 11:20 Removed trailing space in v~: Kisha akamwoa Maaka binti Absalomu, ambaye alimzalia: Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi.

CH2 11:21 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu zaidi kuliko wakeze wengine na masuria wake. Kwa jumla alikuwa na wake kumi na wanane na masuria sitini, wana ishirini na wanane na binti sitini.

CH2 11:22 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akamweka Abiya mwana wa Maaka, kuwa mkuu wa wana wa mfalme miongoni mwa ndugu zake ili amfanye mfalme.

CH2 11:23 Removed trailing space in v~: Akatenda kwa busara, akiwasambaza baadhi ya wanawe katika wilaya zote za Yuda na Benyamini, pamoja na miji yote yenye ngome. Akawapa mahitaji tele na kuwaoza wake wengi.

CH2 12:0 Extra space after chapter number

CH2 12:0 Removed trailing space in c: 12

CH2 12:0 Removed trailing space in s1: Shishaki Ashambulia Yerusalemu

CH2 12:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 14:25-28)

CH2 12:1 Removed trailing space in v~: Baada ya nafasi ya Rehoboamu kuimarika na kuwa na nguvu, yeye na Israeli yote waliiacha sheria ya \nd Bwana\nd* Mungu.

CH2 12:2 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hawakuwa waaminifu kwa \nd Bwana\nd*, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu.

CH2 12:3 Removed trailing space in v~: Akiwa na magari ya vita 1,200 na wapanda farasi 60,000 na idadi isiyohesabika ya majeshi ya Walibia, Wasukii na Wakushi\f + \fr 12:3 \ft Yaani watu kutoka sehemu ya Naili ya juu.\f* yaliyokuja pamoja naye kutoka Misri.

CH2 12:4 Removed trailing space in v~: Akateka miji ya Yuda yenye ngome akaendelea mpaka Yerusalemu.

CH2 12:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Shemaya akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda waliokuwa wamekusanyika huko Yerusalemu kwa ajili ya hofu ya Shishaki naye akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, ‘Ninyi mmeniacha mimi, kwa hiyo, mimi nami sasa ninawaacha ninyi mkononi mwa Shishaki.’ ”

CH2 12:6 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “\nd Bwana\nd* Mungu ni mwenye haki.”

CH2 12:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu alipoona kwamba wamejinyenyekeza, neno hili la \nd Bwana\nd* likamjia Shemaya: “Maadamu wamejinyenyekeza, sitawaangamiza bali hivi karibuni nitawapatia wokovu. Ghadhabu yangu haitamwagwa juu ya Yerusalemu kwa kupitia Shishaki.

CH2 12:8 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”

CH2 12:9 Removed trailing space in v~: Shishaki mfalme wa Misri alipoishambulia Yerusalemu, alichukua hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.

CH2 12:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.

CH2 12:11 Removed trailing space in v~: Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la \nd Bwana\nd* walinzi walikwenda pamoja naye wakiwa wamebeba hizo ngao na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.

CH2 12:12 Removed trailing space in v~: Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza, hasira ya \nd Bwana\nd* ikageukia mbali naye, hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri katika Yuda.

CH2 12:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Rehoboamu akajiweka imara katika Yerusalemu na akaendelea kuwa mfalme. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na saba, mji ambao \nd Bwana\nd* alikuwa ameuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili aliweke Jina lake humo. Mama yake aliitwa Naama, alikuwa Mwamoni.

CH2 12:14 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akatenda maovu kwa sababu hakuuelekeza moyo wake katika kumtafuta \nd Bwana\nd* Mungu.

CH2 12:15 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya matukio katika utawala wa Rehoboamu, tangu mwanzo mpaka mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Shemaya na mwonaji Ido zinazohusiana na vizazi? Kulikuwako na vita mara kwa mara kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.

CH2 12:16 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 13:0 Extra space after chapter number

CH2 13:0 Removed trailing space in c: 13

CH2 13:0 Removed trailing space in s1: Abiya Mfalme Wa Yuda

CH2 13:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 15:1-8)

CH2 13:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu, Abiya akawa mfalme wa Yuda,

CH2 13:2 Removed trailing space in v~: naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka, binti Urieli wa Gibea.

CH2 13:2 Removed trailing space in p~: Basi kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.

CH2 13:3 Removed trailing space in v~: Abiya aliingia vitani na jeshi la watu 400,000 wenye uwezo wa kupigana, naye Yeroboamu akapanga jeshi dhidi ya Abiya akiwa na jeshi la watu 800,000 wenye uwezo.

CH2 13:4 Removed trailing space in v~: Abiya akasimama juu ya Mlima Semaraimu, katika nchi ya vilima ya Efraimu, naye akasema, “Yeroboamu na Israeli yote, nisikilizeni mimi!

CH2 13:5 Removed trailing space in v~: Hamfahamu kwamba \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, alimpa Daudi na wazao wake ufalme juu ya Israeli milele kwa Agano la chumvi?

CH2 13:6 Removed trailing space in v~: Hata hivyo Yeroboamu mwana wa Nebati afisa wa Solomoni mwana wa Daudi, aliasi dhidi ya bwana wake.

CH2 13:7 Removed trailing space in v~: Baadhi ya watu wasiofaa kitu, wabaya kabisa walimkusanyikia na kumpinga Rehoboamu mwana wa Solomoni alipokuwa kijana mdogo asiyekuwa na uamuzi, asiye na nguvu za kuweza kupingana nao.

CH2 13:8 Removed trailing space in v~: “Hata sasa unapanga kupingana na ufalme wa \nd Bwana\nd* ambao uko mikononi mwa wazao wa Daudi. Kweli ninyi ni jeshi kubwa nanyi mnazo ndama za dhahabu Yeroboamu alizozitengeneza kuwa miungu yenu.

CH2 13:9 Removed trailing space in v~: Lakini je, hamkuwafukuza makuhani wa \nd Bwana\nd*, wana wa Aroni na Walawi na kujifanyia makuhani wenu wenyewe kama yafanyavyo mataifa ya nchi nyingine? Yeyote anayekuja kujiweka wakfu akiwa na ndama dume na kondoo dume saba aweza kuwa kuhani wa kile ambacho ni miungu kwenu.

CH2 13:10 Removed trailing space in v~: “Lakini kwetu sisi, \nd Bwana\nd* ndiye Mungu wetu, wala hatujamwacha. Makuhani wanaomtumikia \nd Bwana\nd* ni wana wa Aroni, nao Walawi wakiwasaidia.

CH2 13:11 Removed trailing space in v~: Kila asubuhi na jioni wao hutoa sadaka za kuteketezwa na kufukiza uvumba wa harufu nzuri kwa \nd Bwana\nd*. Wao huweka mikate juu ya meza safi kwa taratibu za kiibada na kuwasha taa kwenye kinara cha dhahabu kila jioni. Sisi tunazishika kanuni za \nd Bwana\nd* Mungu wetu. Lakini ninyi mmemwacha Mungu.

CH2 13:12 Removed trailing space in v~: Mungu yu pamoja nasi, yeye ndiye kiongozi wetu. Makuhani wake wakiwa na tarumbeta zao watapiga baragumu ya vita dhidi yenu. Watu wa Israeli, msipigane dhidi ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, kwa maana hamtashinda.”

CH2 13:13 Removed trailing space in v~: Basi Yeroboamu alikuwa ametuma jeshi kuzunguka nyuma ya Yuda ili kwamba akiwa mbele ya Yuda, jeshi liwavizie kwa nyuma.

CH2 13:14 Removed trailing space in v~: Basi Yuda wakageuka na kuona kwamba wanashambuliwa mbele na nyuma. Ndipo wakamlilia \nd Bwana\nd*. Makuhani wakapiga tarumbeta zao,

CH2 13:15 Removed trailing space in v~: nao watu wa Yuda wakapaza sauti ya kilio cha vita. Katika kupiga kelele za vita, Mungu akawafukuza Yeroboamu na Israeli wote mbele ya Mfalme Abiya na Yuda.

CH2 13:16 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakakimbia mbele ya Yuda, naye Mungu akawatia Israeli mikononi mwao.

CH2 13:17 Removed trailing space in v~: Abiya na watu wake wakawachinja kwa machinjo makuu, hata wakawepo majeruhi 500,000 miongoni mwa watu wenye uwezo wa Israeli.

CH2 13:18 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli walitiishwa katika tukio lile, nao watu wa Yuda wakawa washindi kwa sababu walimtegemea \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 13:19 Removed trailing space in v~: Abiya akamfuatia Yeroboamu na kuteka miji ya Betheli, Yeshana na Efroni kutoka kwake, pamoja na vijiji vinavyoizunguka miji hiyo.

CH2 13:20 Removed trailing space in v~: Yeroboamu hakupata nguvu tena wakati wa utawala wa Abiya. Naye \nd Bwana\nd* akampiga Yeroboamu akafa.

CH2 13:21 Removed trailing space in v~: Lakini Abiya akapata nguvu. Alioa wanawake kumi na wanne na alikuwa na wana ishirini na wawili na binti kumi na sita.

CH2 13:22 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Abiya, pamoja na mambo aliyofanya na aliyosema, yameandikwa katika kitabu cha maelezo cha nabii Ido.

CH2 14:0 Extra space after chapter number

CH2 14:0 Removed trailing space in c: 14

CH2 14:0 Removed trailing space in s1: Asa Atawala

CH2 14:1 Removed trailing space in v~: Naye Abiya akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake. Katika siku zake, nchi ikawa na amani kwa miaka kumi.

CH2 14:2 Removed trailing space in v~: Asa akatenda yaliyo mema na haki machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 14:3 Removed trailing space in v~: Akaziondoa madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa kuabudia miungu, akayavunja yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera.

CH2 14:4 Removed trailing space in v~: Akawaamuru Yuda kumtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao na kutii sheria zake na amri zake.

CH2 14:5 Removed trailing space in v~: Akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu za kufukizia uvumba kwenye kila mji katika Yuda, nao ufalme ulikuwa na amani katika utawala wake.

CH2 14:6 Removed trailing space in v~: Akajenga miji yenye ngome katika Yuda, wakati nchi ikiwa na amani. Hakuna mtu yeyote aliyepigana vita naye katika miaka hiyo, kwa kuwa \nd Bwana\nd* alimstarehesha.

CH2 14:7 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaambia Yuda, “Tuijenge hii miji na tuizungushie kuta, pamoja na minara, malango na makomeo. Nchi bado ni yetu, kwa sababu tumemtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tulimtafuta naye ametupa raha kila upande.” Hivyo wakajenga na wakafanikiwa.

CH2 14:8 Removed trailing space in v~: Asa alikuwa na jeshi la watu 300,000 kutoka Yuda, wenye ngao kubwa na mikuki na jeshi la watu 280,000 kutoka Benyamini, wenye ngao ndogo na pinde. Watu hawa wote walikuwa wapiganaji mashujaa.

CH2 14:9 Removed trailing space in v~: Zera Mkushi akatoka kupigana dhidi yao akiwa na jeshi la watu maelfu ya maelfu na magari ya vita 300, nao wakaja mpaka Maresha.

CH2 14:10 Removed trailing space in v~: Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.

CH2 14:11 Removed trailing space in v~: Kisha Asa akamlilia \nd Bwana\nd* Mungu wake na kusema, “Ee \nd Bwana\nd*, hakuna yeyote aliye kama wewe wa kuwasaidia wasio na nguvu dhidi ya wenye nguvu. Utusaidie, Ee \nd Bwana\nd*, wewe ndiwe Mungu wetu, kwa kuwa tunakutumainia wewe, nasi kwa jina lako tumekuja dhidi ya jeshi hili kubwa. Ee \nd Bwana\nd*, wewe ndiwe Mungu wetu, usiwaache wanadamu wakushinde wewe.”

CH2 14:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawapiga Wakushi mbele ya Asa na Yuda. Wakushi wakakimbia,

CH2 14:13 Removed trailing space in v~: naye Asa na jeshi lake wakawafuatia mpaka Gerari. Idadi kubwa ya Wakushi ilianguka hata wasiweze kuinuka tena, wakapondapondwa mbele za \nd Bwana\nd* na majeshi yake.

CH2 14:14 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda wakachukua nyara nyingi sana, wakaangamiza vijiji vyote vinavyoizunguka Gerari, kwa kuwa hofu ya \nd Bwana\nd* ilikuwa imewaangukia. Wakateka nyara vijiji hivi vyote, kwani kulikuwepo nyara nyingi huko.

CH2 14:15 Removed trailing space in v~: Pia wakashambulia kambi za wachunga makundi ya wanyama wakachukua na kuyaswaga makundi ya kondoo, mbuzi na ngamia. Kisha wakarudi Yerusalemu.

CH2 15:0 Extra space after chapter number

CH2 15:0 Removed trailing space in c: 15

CH2 15:0 Removed trailing space in s1: Asa Afanya Matengenezo

CH2 15:1 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* akamjia Azaria mwana wa Odedi.

CH2 15:2 Removed trailing space in v~: Akatoka ili kumlaki Asa na kumwambia, “Nisikilizeni, Asa na Yuda wote na Benyamini. \nd Bwana\nd* yu pamoja nanyi mkiwa pamoja naye. Kama mkimtafuta, ataonekana kwenu, lakini kama mkimwacha yeye, naye atawaacha ninyi.

CH2 15:3 Removed trailing space in v~: Kwa muda mrefu Israeli walikuwa hawana Mungu wa kweli, walikuwa hawana kuhani wa kuwafundisha na wala hawakuwa na sheria.

CH2 15:4 Removed trailing space in v~: Lakini katika taabu yao walimrudia \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli na kumtafuta, naye akaonekana kwao.

CH2 15:5 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo hapakuwa na amani kwa yeyote aliyesafiri, kutoka wala kuingia, kwa kuwa wakazi wote wa nchi walikuwa katika machafuko makubwa.

CH2 15:6 Removed trailing space in v~: Taifa moja lilipigana na taifa lingine na mji mmoja ukapigana na mji mwingine, kwa sababu Mungu alikuwa anawahangaisha kwa taabu za kila aina.

CH2 15:7 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari yenu ninyi, kuweni hodari wala msikate tamaa, kwa kuwa mtapata thawabu kwa kazi yenu.”

CH2 15:8 Removed trailing space in v~: Asa aliposikia maneno haya na unabii wa Azaria mwana wa Odedi nabii, akajipa moyo. Akaziondoa sanamu zote zilizokuwa machukizo katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na kutoka miji aliyoiteka ya vilima vya Efraimu. Akakarabati madhabahu ya \nd Bwana\nd* iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 15:9 Removed trailing space in v~: Kisha akakutanisha Yuda wote, Benyamini na watu kutoka Efraimu, watu wa Manase na Simeoni waliokuwa wanaishi miongoni mwao, kwa maana idadi kubwa walikuwa wamemjia kutoka Israeli walipoona kwamba \nd Bwana\nd* Mungu wake alikuwa pamoja naye.

CH2 15:10 Removed trailing space in v~: Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.

CH2 15:11 Removed trailing space in v~: Wakati huo wakamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu za ngʼombe 700, kondoo na mbuzi 7,000 kutoka zile nyara walizoteka.

CH2 15:12 Removed trailing space in v~: Wakafanya agano kumtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote.

CH2 15:13 Removed trailing space in v~: Wale wote ambao hawangemtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au mkubwa, mwanaume au mwanamke.

CH2 15:14 Removed trailing space in v~: Wakamwapia \nd Bwana\nd* kwa sauti kuu, kwa kupiga kelele, tarumbeta na kwa mabaragumu.

CH2 15:15 Removed trailing space in v~: Yuda wote wakafurahia kile kiapo kwa sababu walikuwa wameapa kwa moyo wao wote. Wakamtafuta Mungu kwa bidii, naye akaonekana kwao. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akawastarehesha pande zote.

CH2 15:16 Removed trailing space in v~: Mfalme Asa akamwondolea Maaka mama yake wadhifa wake kama mama malkia kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo, akaivunjavunja na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.

CH2 15:17 Removed trailing space in v~: Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu katika Israeli, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote.

CH2 15:18 Removed trailing space in v~: Akaleta ndani ya Hekalu la Mungu fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.

CH2 15:19 Removed trailing space in v~: Hapakuwepo vita tena mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

CH2 16:0 Extra space after chapter number

CH2 16:0 Removed trailing space in c: 16

CH2 16:0 Removed trailing space in s1: Miaka Ya Mwisho Ya Mfalme Asa

CH2 16:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 15:17-24)

CH2 16:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.

CH2 16:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu kutoka hazina ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na kutoka jumba lake mwenyewe la kifalme na kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye alikuwa anatawala huko Dameski.

CH2 16:3 Removed trailing space in v~: Akasema, “Pawepo na mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”

CH2 16:4 Removed trailing space in v~: Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Wakashinda Iyoni, Dani, Abel-Maimu na miji yote ya hazina ya Naftali.

CH2 16:5 Removed trailing space in v~: Baasha aliposikia jambo hili, akasimamisha kujenga Rama na kuacha kazi yake.

CH2 16:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Asa akawaleta watu wote wa Yuda, nao wakachukua mawe na miti ambayo Baasha alikuwa anavitumia huko Rama. Kwa vitu hivyo akajenga Geba na Mispa.

CH2 16:7 Removed trailing space in v~: Ikawa wakati huo mwonaji Hanani akamjia Mfalme Asa wa Yuda na kumwambia: “Kwa sababu ulimtegemea mfalme wa Aramu nawe hukumtegemea \nd Bwana\nd* Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limeponyoka mkononi mwako.

CH2 16:8 Removed trailing space in v~: Je, hukumbuki lililotendeka kwa Wakushi na Walibia, hawakuwa jeshi lenye nguvu na magari mengi ya vita na wapanda farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea \nd Bwana\nd* yeye aliwatia mkononi mwako.

CH2 16:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa macho ya \nd Bwana\nd* hukimbiakimbia duniani kote ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita.”

CH2 16:10 Removed trailing space in v~: Asa akamkasirikia mwonaji kwa sababu ya jambo hili. Alikuwa ameghadhibika sana hata akamweka gerezani. Wakati huo huo Asa akaanza kuwatesa na kuwaonea baadhi ya watu kwa ukatili.

CH2 16:11 Removed trailing space in v~: Matukio ya utawala wa Asa, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.

CH2 16:12 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipatwa na ugonjwa kwenye miguu yake. Ingawa ugonjwa wake ulimzidia sana, hata katika kuugua kwake hakutafuta msaada kutoka kwa \nd Bwana\nd* bali kwa matabibu tu.

CH2 16:13 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa arobaini na moja wa utawala wa Asa, alikufa na kulala na baba zake.

CH2 16:14 Removed trailing space in v~: Nao wakamzika katika kaburi lile alilokuwa amejichongea mwenyewe katika Mji wa Daudi. Wakamzika kwa jeneza lililowekwa vikolezi na mchanganyiko wa manukato ya aina mbalimbali yaliyotengenezwa kwa utaalamu wa mtengeneza marashi, nao wakawasha moto mkubwa kwa heshima yake.

CH2 17:0 Extra space after chapter number

CH2 17:0 Removed trailing space in c: 17

CH2 17:0 Removed trailing space in s1: Yehoshafati Mfalme Wa Yuda

CH2 17:1 Removed trailing space in v~: Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli.

CH2 17:2 Removed trailing space in v~: Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.

CH2 17:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu alikuwa na Yehoshafati kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni alienenda katika njia za Daudi baba yake. Hakutafuta Mabaali

CH2 17:4 Removed trailing space in v~: bali alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzifuata amri zake badala ya kufuata desturi za watu wa Israeli.

CH2 17:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akauimarisha ufalme chini ya uongozi wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na heshima.

CH2 17:6 Removed trailing space in v~: Moyo wake ukawa hodari katika njia za \nd Bwana\nd* na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika Yuda.

CH2 17:7 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili, Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili kufundisha katika miji ya Yuda.

CH2 17:8 Removed trailing space in v~: Pamoja nao walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, Tob-Adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu.

CH2 17:9 Removed trailing space in v~: Wakafundisha Yuda yote, wakiwa wamechukua Kitabu cha Sheria ya \nd Bwana\nd* wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha watu.

CH2 17:10 Removed trailing space in v~: Hofu ya \nd Bwana\nd* ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati.

CH2 17:11 Removed trailing space in v~: Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.

CH2 17:12 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika Yuda

CH2 17:13 Removed trailing space in v~: na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye uzoefu huko Yerusalemu.

CH2 17:14 Removed trailing space in v~: Wakaandikishwa katika jamaa zao kama ifuatavyo:

CH2 17:14 Removed trailing space in p~: Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya elfu:

CH2 17:14 Removed trailing space in p~: Jemadari Adna akiwa na askari wa vita 300,000;

CH2 17:15 Removed trailing space in v~: aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;

CH2 17:16 Removed trailing space in v~: aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya \nd Bwana\nd*, akiwa na askari 200,000.

CH2 17:17 Removed trailing space in v~: Kutoka Benyamini:

CH2 17:17 Removed trailing space in p~: Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;

CH2 17:18 Removed trailing space in v~: aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.

CH2 17:19 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.

CH2 18:0 Extra space after chapter number

CH2 18:0 Removed trailing space in c: 18

CH2 18:0 Removed trailing space in s1: Mikaya Atoa Unabii Dhidi Ya Ahabu

CH2 18:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 22:1-28)

CH2 18:1 Removed trailing space in v~: Basi, Yehoshafati alikuwa na mali nyingi sana na heshima. Naye akafanya urafiki na Ahabu kwa mwanawe kumwoa binti wa Ahabu.

CH2 18:2 Removed trailing space in v~: Baada ya miaka kadhaa akashuka kumtembelea Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja ngʼombe na kondoo wengi kwa ajili yake na watu aliokuwa amefuatana nao. Kisha Ahabu akamshawishi Yehoshafati kukwea pamoja naye ili kuishambulia Ramoth-Gileadi.

CH2 18:3 Removed trailing space in v~: Ahabu mfalme wa Israeli akamuuliza Yehoshafati mfalme wa Yuda, “Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Ramoth-Gileadi?”

CH2 18:3 Removed trailing space in p~: Yehoshafati akamjibu mfalme wa Israeli, “Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako. Tutakuwa pamoja nawe vitani.”

CH2 18:4 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati pia akamwambia mfalme wa Israeli, “Kwanza tafuta shauri la \nd Bwana\nd*.”

CH2 18:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaleta pamoja manabii wanaume wapatao mia nne, akawauliza, “Je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi, au niache?”

CH2 18:5 Removed trailing space in p~: Wakajibu, “Naam, nenda kwa kuwa Mungu ataiweka Ramoth-Gileadi mkononi mwa mfalme.”

CH2 18:6 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa \nd Bwana\nd* hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”

CH2 18:7 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati, “Bado yupo mtu mmoja ambaye kupitia yeye twaweza kumuuliza shauri la \nd Bwana\nd*, lakini namchukia kwa sababu huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu mimi, lakini kila mara hunitabiria mabaya tu. Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.”

CH2 18:7 Removed trailing space in p~: Yehoshafati akajibu, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”

CH2 18:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwita mmoja wa maafisa wake na kusema, “Mlete Mikaya mwana wa Imla mara moja.”

CH2 18:9 Removed trailing space in v~: Wakiwa wamevalia majoho yao ya kifalme, mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi juu ya viti vyao vya kifalme katika sakafu ya kupuria, kwenye ingilio la lango la Samaria, pamoja na manabii wote wakiwa wakitabiri mbele yao.

CH2 18:10 Removed trailing space in v~: Wakati huu Sedekia mwana wa Kenaana alikuwa ametengeneza pembe za chuma, akatangaza, “Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo, ‘Kwa hizi pembe utawapiga na kuwarudisha Waaramu nyuma mpaka wameangamizwa.’ ”

CH2 18:11 Removed trailing space in v~: Manabii wengine wote walikuwa wanatabiri kitu hicho hicho, wakisema, “Ishambulie Ramoth-Gileadi na uwe mshindi. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ataitia mkononi mwa mfalme.”

CH2 18:12 Removed trailing space in v~: Mjumbe aliyekuwa amekwenda kumwita Mikaya akamwambia, “Tazama, manabii wote kama mtu mmoja wanatabiri ushindi kwa mfalme. Neno lako na likubaliane na lao, nawe unene mema kuhusu mfalme.”

CH2 18:13 Removed trailing space in v~: Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, nitamwambia kile tu \nd Bwana\nd* atakachoniambia.”

CH2 18:14 Removed trailing space in v~: Alipofika, mfalme akamuuliza, “Mikaya, je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi au niache?”

CH2 18:14 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Shambulia na ushinde, kwa kuwa watatiwa mkononi mwako.”

CH2 18:15 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia, “Je, ni mara ngapi nitakuapisha ili usiniambie kitu chochote ila kweli tu kwa jina la \nd Bwana\nd*?”

CH2 18:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Mikaya akajibu, “Niliona Israeli wote wametawanyika vilimani kama kondoo wasio na mchungaji, naye \nd Bwana\nd* akasema, ‘Watu hawa hawana bwana. Mwache kila mmoja aende nyumbani kwa amani.’ ”

CH2 18:17 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu bali mabaya tu?”

CH2 18:18 Removed trailing space in v~: Mikaya akaendelea, “Kwa hiyo lisikie neno la \nd Bwana\nd*: Nilimwona \nd Bwana\nd* ameketi juu ya kiti chake cha enzi pamoja na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama upande wa kulia na wa kushoto.

CH2 18:19 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akasema, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu, mfalme wa Israeli, ili aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo chake huko?’

CH2 18:19 Removed trailing space in p~: “Mmoja akapendekeza hili na mwingine lile.

CH2 18:20 Removed trailing space in v~: Mwishoni, roho akajitokeza, akasimama mbele za \nd Bwana\nd* na kusema, ‘Nitamshawishi.’

CH2 18:20 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* akauliza, ‘Kwa njia gani?’

CH2 18:21 Removed trailing space in v~: “Akasema, ‘Nitakwenda na kuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’

CH2 18:21 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* akasema, ‘Utafanikiwa katika kumshawishi. Nenda ukafanye hivyo.’

CH2 18:22 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sasa \nd Bwana\nd* ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. \nd Bwana\nd* ameamuru maafa kwa ajili yako.”

CH2 18:23 Removed trailing space in v~: Kisha Sedekia mwana wa Kenaana akatoka na kumpiga Mikaya kofi usoni. Akauliza, “Huyo Roho kutoka kwa \nd Bwana\nd* alipita njia gani alipotoka kwangu ili kusema nawe?”

CH2 18:24 Removed trailing space in v~: Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha ndani.”

CH2 18:25 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme wa Israeli akaagiza, “Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.

CH2 18:26 Removed trailing space in v~: Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi salama.’ ”

CH2 18:27 Removed trailing space in v~: Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, basi \nd Bwana\nd* hajanena kupitia kwangu.” Kisha akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, enyi watu wote!”

CH2 18:27 Removed trailing space in s1: Ahabu Anauawa Huko Ramoth-Gileadi

CH2 18:27 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 22:29-35)

CH2 18:28 Removed trailing space in v~: Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda wakaenda Ramoth-Gileadi.

CH2 18:29 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Nitaingia vitani nikiwa nimejibadilisha, lakini wewe uvae majoho yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadilisha na kwenda vitani.

CH2 18:30 Removed trailing space in v~: Wakati huu, mfalme wa Aramu alikuwa amewaagiza majemadari thelathini na wawili wa magari ya vita, “Msipigane na yeyote, mdogo au mkubwa, isipokuwa mfalme wa Israeli.”

CH2 18:31 Removed trailing space in v~: Wakati wale majemadari wa magari ya vita walipomwona Yehoshafati, wakafikiri, “Hakika huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo wakageuka ili wamshambulie, lakini Yehoshafati akapiga kelele, naye \nd Bwana\nd* akamsaidia. Mungu akawaondoa kwake,

CH2 18:32 Removed trailing space in v~: wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao wakaacha kumfuatilia.

CH2 18:33 Removed trailing space in v~: Lakini mtu fulani akavuta upinde pasipo lengo na kumpiga mfalme wa Israeli katikati ya kiungio cha mavazi yake ya chuma, mfalme akamwambia mwendesha gari lake, “Geuza gari na uniondoe mimi katika mapigano, nimejeruhiwa.”

CH2 18:34 Removed trailing space in v~: Vita vikaendelea mchana kutwa, naye mfalme wa Israeli akajitegemeza ndani ya gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Basi jioni yake akafa.

CH2 19:0 Extra space after chapter number

CH2 19:0 Removed trailing space in c: 19

CH2 19:0 Removed trailing space in s1: Yehu Amkemea Yehoshafati

CH2 19:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.

CH2 19:2 Removed trailing space in v~: Yehu mwonaji, mwana wa Hanani, akapanda kwenda kuonana naye akamwambia Mfalme Yehoshafati, “Je, utawasaidia waovu na kuwapenda wale wanaomchukia \nd Bwana\nd*? Kwa sababu ya jambo hili, ghadhabu ya \nd Bwana\nd* iko juu yako.

CH2 19:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kuna mema yaliyoonekana kwako, kwa kuwa umeondoa katika nchi nguzo za Ashera na umeukaza moyo wako katika kumtafuta Mungu.”

CH2 19:3 Removed trailing space in s1: Yehoshafati Aweka Waamuzi

CH2 19:4 Removed trailing space in v~: Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye akatoka akaenda tena miongoni mwa watu, kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya Efraimu na kuwageuza wakamrudia \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 19:5 Removed trailing space in v~: Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.

CH2 19:6 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Angalieni kwa makini yale mtendayo, kwa kuwa hamkuhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ambaye yu pamoja nanyi kila mtoapo hukumu.

CH2 19:7 Removed trailing space in v~: Basi sasa hofu ya \nd Bwana\nd* na iwe juu yenu. Hukumuni kwa uangalifu, kwa kuwa kwa \nd Bwana\nd* Mungu wetu hakuna jambo lisilo la haki, upendeleo, wala rushwa.”

CH2 19:8 Removed trailing space in v~: Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi, makuhani na viongozi wa jamaa za Waisraeli ili kutoa hukumu kwa ajili ya \nd Bwana\nd* na kuamua magomvi. Nao waliishi huko Yerusalemu.

CH2 19:9 Removed trailing space in v~: Akawapa maagizo haya: “Ni lazima mtumike kwa uaminifu na kwa moyo wote katika kicho cha \nd Bwana\nd*.

CH2 19:10 Removed trailing space in v~: Katika kila shauri lifikalo mbele yenu kutoka kwa ndugu zenu wale waishio katika miji, ikiwa ni la umwagaji wa damu au mambo mengine yahusuyo sheria, amri, hukumu au maagizo, inawapasa ninyi kuwaonya kwamba wasiingie katika hatia dhidi ya \nd Bwana\nd*, la sivyo ghadhabu yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Tendeni hivyo, nanyi hamtatenda dhambi.

CH2 19:11 Removed trailing space in v~: “Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu \nd Bwana\nd* naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye \nd Bwana\nd* atakuwa pamoja na wale watendao vyema.”

CH2 20:0 Extra space after chapter number

CH2 20:0 Removed trailing space in c: 20

CH2 20:1 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya jambo hili, Wamoabu na Waamoni, pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja ili wapigane vita na Yehoshafati.

CH2 20:2 Removed trailing space in v~: Watu fulani wakaja wakamwambia Yehoshafati, “Jeshi kubwa linakuja dhidi yako kutoka Edomu tokea ngʼambo ile nyingine ya Bahari.\f + \fr 20:2 \ft Yaani Bahari ya Chumvi.\f* Tayari liko Hasason-Tamari” (yaani En-Gedi).

CH2 20:3 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akaogopa, akaazimu kumtafuta \nd Bwana\nd*, na akatangaza kwa Yuda wote kufunga.

CH2 20:4 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda wakakusanyika pamoja ili kutafuta msaada kutoka kwa \nd Bwana\nd*. Wakaja kutoka kila mji wa Yuda ili kumtafuta.

CH2 20:5 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, mbele ya ua mpya,

CH2 20:6 Removed trailing space in v~: akasema:

CH2 20:6 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zetu, si wewe ndiwe uliye Mungu mbinguni? Si wewe ndiwe utawalaye juu ya falme zote za mataifa? Uweza na nguvu viko mkononi mwako, wala hakuna yeyote awezaye kushindana nawe.

CH2 20:7 Removed trailing space in v~: Je, si wewe, Ee Mungu wetu, uliyewafukuza wenyeji wa nchi hii mbele ya watu wako Israeli, ukawapa wazao wa Abrahamu, rafiki yako, hata milele?

CH2 20:8 Removed trailing space in v~: Wameishi ndani yake na humo wamekujengea mahali patakatifu kwa ajili ya Jina lako, wakisema:

CH2 20:9 Removed trailing space in v~: ‘Kama maafa yakitujia, ikiwa ni upanga, hukumu, tauni, au njaa, tutasimama mbele zako, mbele ya Hekalu hili ambalo limeitwa kwa Jina lako na kukulilia katika shida yetu, nawe utatusikia na kutuokoa.’

CH2 20:10 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa hawa watu wa kutoka Amoni, Moabu na Mlima Seiri, ambao hukuwaruhusu Israeli wazivamie nchi zao wakati walitoka Misri, hivyo wakageukia mbali nao na hawakuwaangamiza,

CH2 20:11 Removed trailing space in v~: tazama jinsi wanavyotulipa kwa kuja kututupa nje ya milki uliyotupa sisi kuwa urithi.

CH2 20:12 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wetu, je, wewe hutawahukumu? Kwa kuwa sisi hatuna uwezo wa kukabiliana na jeshi hili kubwa linalokuja kutushambulia. Sisi hatujui la kufanya, bali macho yetu yanakutazama wewe.”

CH2 20:13 Removed trailing space in v~: Watu wote wa Yuda pamoja na wake zao, watoto wao na wadogo wao wakasimama pale mbele za \nd Bwana\nd*.

CH2 20:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu ya mtu mmoja jina lake Yahazieli mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, Mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, Mlawi mzao wa Asafu alipokuwa amesimama katika kusanyiko.

CH2 20:15 Removed trailing space in v~: Akasema: “Sikilizeni, enyi Yuda wote nanyi nyote mkaao Yerusalemu, nawe Mfalme Yehoshafati! Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kwenu, ‘Msiogope wala msifadhaike kwa sababu ya jeshi hili kubwa. Kwa maana vita hivi si vyenu, bali ni vya Mungu.

CH2 20:16 Removed trailing space in v~: Kesho shukeni kukabiliana nao. Watakwea kwa kupandia Genge la Sisi, nanyi mtawakuta mwisho wa bonde, kabla ya Jangwa la Yerueli.

CH2 20:17 Removed trailing space in v~: Hamtahitaji kupigana vita hivi. Kaeni kwenye nafasi zenu, simameni imara na mkaone wokovu \nd Bwana\nd* atakaowapatia, enyi Yuda na Yerusalemu. Msiogope, wala msifadhaike. Kesho tokeni mwende mkawakabili, naye \nd Bwana\nd* atakuwa pamoja nanyi.’ ”

CH2 20:18 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akainamisha uso wake chini, nao watu wote wa Yuda na Yerusalemu wakaanguka chini ili kuabudu mbele za \nd Bwana\nd*.

CH2 20:19 Removed trailing space in v~: Ndipo baadhi ya Walawi kutoka kwa Wakohathi na kwa wana wa Kora wakasimama na kumsifu \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kwa sauti kuu sana.

CH2 20:20 Removed trailing space in v~: Asubuhi na mapema wakaondoka kuelekea Jangwa la Tekoa. Walipoanza safari, Yehoshafati akasimama akasema, “Nisikilizeni, enyi Yuda, na watu wa Yerusalemu! Mwaminini \nd Bwana\nd* Mungu wenu, hivyo mtathibitika, wasadikini manabii wake nanyi mtafanikiwa.

CH2 20:21 Removed trailing space in v~: Alipomaliza kushauriana na watu, Yehoshafati akawaweka watu wa kumwimbia \nd Bwana\nd* na kumsifu katika utukufu wa utakatifu wake walipokuwa wametangulia mbele ya jeshi, wakisema:

CH2 20:21 Removed trailing space in p~: “Mshukuruni \nd Bwana\nd*

CH2 20:21 Removed trailing space in p~: kwa kuwa upendo wake wadumu milele.”

CH2 20:22 Removed trailing space in v~: Walipoanza kuimba na kusifu, \nd Bwana\nd* akaweka waviziao dhidi ya watu wa Amoni, Moabu na wale wa Mlima Seiri waliokuwa wamekuja kuishambulia Yuda, nao wakashindwa.

CH2 20:23 Removed trailing space in v~: Watu wa Amoni na Moabu wakawainukia watu wa Mlima Seiri ili kuwaua na kuwaangamiza kabisa. Baada ya kumaliza kuwachinja watu wa Seiri, wakaangamizana wao kwa wao.

CH2 20:24 Removed trailing space in v~: Yuda walipofika katika mnara wa ulinzi wa jangwani, wakaliangalia lile jeshi kubwa, wakaona ni maiti tupu zimetapakaa ardhini, wala hakuna yeyote aliyenusurika.

CH2 20:25 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoshafati na watu wake wakaenda kujitwalia nyara kutoka kwao, nao wakakuta humo wingi wa mifugo, mali, nguo na vitu vya thamani, ambavyo vilikuwa vingi zaidi ya vile walivyoweza kuchukua. Wakakusanya nyara kwa siku tatu kwa sababu zilikuwa nyingi mno.

CH2 20:26 Removed trailing space in v~: Siku ya nne wakakusanyika katika Bonde la Beraka\f + \fr 20:26 \ft Bonde la Beraka maana yake Bonde la Kusifu.\f* kwa maana huko ndiko walikomsifu \nd Bwana\nd*. Ndiyo sababu linaitwa Bonde la Beraka mpaka leo.

CH2 20:27 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu, wakiongozwa na Yehoshafati, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa amewasababisha wafurahi juu ya adui zao.

CH2 20:28 Removed trailing space in v~: Wakaingia Yerusalemu na kwenda hekaluni mwa \nd Bwana\nd* wakiwa na vinubi, zeze na tarumbeta.

CH2 20:29 Removed trailing space in v~: Hofu ya Mungu ikazipata falme zote za nchi waliposikia jinsi \nd Bwana\nd* alivyokuwa amepigana dhidi ya adui za Israeli.

CH2 20:30 Removed trailing space in v~: Ufalme wa Yehoshafati ukawa na amani, kwa kuwa Mungu wake alikuwa amemstarehesha pande zote.

CH2 20:30 Removed trailing space in s1: Mwisho Wa Utawala Wa Yehoshafati

CH2 20:30 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 22:41-50)

CH2 20:31 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoshafati akatawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala, akatawala katika Yerusalemu kwa miaka ishirini na mitano. Mama yake aliitwa Azuba binti Shilhi.

CH2 20:32 Removed trailing space in v~: Alienenda katika njia za Asa baba yake wala hakwenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*.

CH2 20:33 Removed trailing space in v~: Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa, na watu wakawa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa baba zao.

CH2 20:34 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yehoshafati, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Yehu mwana wa Hanani, ambazo zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli.

CH2 20:35 Removed trailing space in v~: Hatimaye Yehoshafati mfalme wa Yuda akafanya urafiki na Ahazia mfalme wa Israeli ambaye alifanya maovu sana.

CH2 20:36 Removed trailing space in v~: Akaungana naye kutengeneza meli nyingi za kwenda Tarshishi,\f + \fr 20:36 \ft Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; Isa 2:16; 60:9\+xt*).\f* nazo zilitengenezwa huko Esion-Geberi.

CH2 20:36 Found unexpected backslash in footnote: 20:36 Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; Isa 2:16; 60:9\+xt*).

CH2 20:37 Removed trailing space in v~: Ndipo Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii dhidi ya Yehoshafati, akasema, “Kwa kuwa umeungana na Ahazia, \nd Bwana\nd* ataangamiza vile mlivyotengeneza.” Zile meli zikavunjika na hazikuweza kungʼoa nanga ili kwenda Tarshishi.

CH2 21:0 Extra space after chapter number

CH2 21:0 Removed trailing space in c: 21

CH2 21:0 Removed trailing space in s1: Yehoramu Atawala

CH2 21:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 8:17-24)

CH2 21:1 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akalala na baba zake, akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Mwanawe Yehoramu akawa mfalme baada yake.

CH2 21:2 Removed trailing space in v~: Ndugu zake Yehoramu, wana wa Yehoshafati walikuwa: Azaria, Yehieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli na Shefatia. Hawa wote walikuwa wana wa Yehoshafati mfalme wa Israeli\f + \fr 21:2 \ft Yaani Yuda.\f*

CH2 21:3 Removed trailing space in v~: Baba yao alikuwa amewapa zawadi nyingi za fedha na dhahabu na vitu vya thamani, pamoja na miji yenye ngome huko Yuda, bali ufalme akampa Yehoramu kwa sababu alikuwa mwanawe mzaliwa wa kwanza.

CH2 21:4 Removed trailing space in v~: Baada ya Yehoramu kujiimarisha katika ufalme wa baba yake, akawaua kwa upanga ndugu zake wote pamoja na baadhi ya wakuu wa Israeli.

CH2 21:5 Removed trailing space in v~: Yehoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.

CH2 21:6 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alimwoa binti wa Ahabu. Akatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*.

CH2 21:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa sababu ya Agano ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amefanya na Daudi, \nd Bwana\nd* hakuwa radhi kuangamiza nyumba ya Daudi. Mungu alikuwa ameahidi kuidumisha taa kwa ajili yake na wazao wake milele.

CH2 21:8 Removed trailing space in v~: Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.

CH2 21:9 Removed trailing space in v~: Basi Yehoramu akaenda huko pamoja na maafisa wake na magari yake ya vita. Waedomu wakamzunguka yeye na majemadari wake wa magari yake ya vita, lakini akaondoka, akapenya usiku na kuwashambulia Waedomu.

CH2 21:10 Removed trailing space in v~: Hadi leo Edomu wameasi dhidi ya Yuda.

CH2 21:10 Removed trailing space in p~: Libna pia wakaasi wakati huo huo kwa sababu Yehoramu alikuwa amemwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zake.

CH2 21:11 Removed trailing space in v~: Alikuwa pia ametengeneza mahali pa juu pa kuabudia miungu katika vilima vya Yuda na akawa amewasababisha watu wa Yerusalemu kufanya uzinzi na akawa amewapotosha watu wa Yuda.

CH2 21:12 Removed trailing space in v~: Yehoramu akapokea barua kutoka kwa nabii Eliya iliyosema:

CH2 21:12 Removed trailing space in p~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Daudi baba yako, asemalo: ‘Hukuenenda katika njia za Yehoshafati baba yako au za Asa mfalme wa Yuda.

CH2 21:13 Removed trailing space in v~: Lakini umeenenda katika njia za wafalme wa Israeli, nawe umewaongoza Yuda na watu wa Yerusalemu kuzini, kama vile nyumba ya Ahabu ilivyofanya. Pia umewaua ndugu zako mwenyewe, watu wa nyumbani mwa baba yako, watu waliokuwa bora kuliko wewe.

CH2 21:14 Removed trailing space in v~: Hivyo basi \nd Bwana\nd* yu karibu kuwapiga watu wako, wanao, wake zako na kila kitu kilicho chako, kwa pigo zito.

CH2 21:15 Removed trailing space in v~: Wewe mwenyewe utaugua sana kwa ugonjwa wa tumbo kwa muda mrefu, hadi ugonjwa utakaposababisha matumbo yako kutoka nje.’ ”

CH2 21:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaamsha chuki ya Wafilisti na ya Waarabu walioishi karibu na Wakushi dhidi ya Yehoramu.

CH2 21:17 Removed trailing space in v~: Wakaishambulia Yuda, wakaivamia na kuchukua mali zote zilizopatikana katika jumba la mfalme pamoja na wanawe na wake zake. Hakubakiziwa mwana yeyote isipokuwa Ahazia aliyekuwa mdogo wa wote.

CH2 21:18 Removed trailing space in v~: Baada ya mambo haya yote, \nd Bwana\nd* akampiga Yehoramu kwa ugonjwa usioponyeka wa matumbo.

CH2 21:19 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya muda, mwisho wa mwaka wa pili, matumbo yake yakatoka nje kwa sababu ya ugonjwa, naye akafa katika maumivu makali sana. Watu wake hawakuwasha moto kwa heshima yake, kama walivyokuwa wamewafanyia baba zake.

CH2 21:20 Removed trailing space in v~: Yehoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipokuwa mfalme, naye akatawala huko Yerusalemu miaka minane. Akafa, bila kusikitikiwa na mtu yeyote, naye akazikwa katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.

CH2 22:0 Extra space after chapter number

CH2 22:0 Removed trailing space in c: 22

CH2 22:0 Removed trailing space in s1: Ahazia Mfalme Wa Yuda

CH2 22:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 8:25-29; 9:21-28)

CH2 22:1 Removed trailing space in v~: Watu wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia, mdogo wa wote wa wana wa Yerohamu, kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwa sababu washambuliaji wa ghafula waliokuwa wameingia kambini pamoja na Waarabu, walikuwa wamewaua wana wakubwa wote wa Yehoramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akaanza kutawala.

CH2 22:2 Removed trailing space in v~: Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri.

CH2 22:3 Removed trailing space in v~: Ahazia naye akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, kwa sababu mama yake alimshawishi katika kutenda maovu.

CH2 22:4 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo maovu machoni pa \nd Bwana\nd* kama walivyokuwa wamefanya nyumba ya Ahabu, kwa kuwa baada ya kufa kwa baba yake nyumba ya Ahabu ndio waliokuwa washauri wake, kwa uangamivu wake.

CH2 22:5 Removed trailing space in v~: Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.

CH2 22:6 Removed trailing space in v~: Hivyo akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa huko Ramothi\f + \fr 22:6 \ft Yaani Rama kwa Kiebrania.\f* alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu.

CH2 22:6 Removed trailing space in p~: Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.

CH2 22:7 Removed trailing space in v~: Mungu alikuwa ameamuru kwamba kuanguka kwa Ahazia kungetokea atakapokwenda kumwona Yoramu. Ahazia alipowasili, wakatoka pamoja na Yoramu ili kwenda kukutana na Yehu mwana wa Nimshi, ambaye \nd Bwana\nd* alikuwa amemtia mafuta kuangamiza nyumba ya Ahabu.

CH2 22:8 Removed trailing space in v~: Yehu alipokuwa anatekeleza hukumu juu ya nyumba ya Ahabu, akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa jamaa ya Ahazia waliokuwa wanamhudumia Ahazia, naye akawaua.

CH2 22:9 Removed trailing space in v~: Ndipo akaenda kumsaka Ahazia, nao watu wake wakamkamata alipokuwa amejificha huko Samaria. Akaletwa kwa Yehu, naye Yehu akamuua. Wakamzika kwani walisema, “Alikuwa mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta \nd Bwana\nd* kwa moyo wake wote.” Hivyo hapakuwa na mtu mwenye uwezo katika nyumba ya Ahazia aliyeweza kushika ufalme.

CH2 22:9 Removed trailing space in s1: Athalia Na Yoashi

CH2 22:9 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 11:1-3)

CH2 22:10 Removed trailing space in v~: Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme ya nyumba ya Yuda.

CH2 22:11 Removed trailing space in v~: Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala. Kwa kuwa Yehosheba, aliyekuwa binti wa Mfalme Yehoramu, na pia alikuwa mke wa kuhani Yehoyada, alikuwa dada yake Ahazia, akamficha huyo mtoto ili Athalia asimuue.

CH2 22:12 Removed trailing space in v~: Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.

CH2 23:0 Extra space after chapter number

CH2 23:0 Removed trailing space in c: 23

CH2 23:0 Removed trailing space in s1: Uasi Dhidi Ya Athalia

CH2 23:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 11:4-20)

CH2 23:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa saba, Yehoyada akaonyesha nguvu zake. Alifanya agano na wakuu wa vikosi vya mamia: yaani Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.

CH2 23:2 Removed trailing space in v~: Wakazunguka katika Yuda yote na kukusanya Walawi na viongozi wa jamaa za Israeli kutoka miji yote. Walipofika Yerusalemu,

CH2 23:3 Removed trailing space in v~: kusanyiko lote likafanya agano na mfalme katika Hekalu la Mungu.

CH2 23:3 Removed trailing space in p~: Yehoyada akawaambia, “Mwana wa mfalme atatawala, kama \nd Bwana\nd* alivyoahidi kuhusu wazao wa Daudi.

CH2 23:4 Removed trailing space in v~: Basi hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Theluthi yenu makuhani na Walawi ambao mnaingia zamu siku ya Sabato mtalinda milangoni,

CH2 23:5 Removed trailing space in v~: theluthi yenu mtalinda jumba la kifalme, na theluthi nyingine mtalinda Lango la Msingi. Walinzi wengine wote mwe ndani ya nyua za Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 23:6 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu yeyote ataingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd* isipokuwa makuhani na Walawi walioko kwenye zamu. Wao wanaweza kuingia kwa sababu ni watakatifu, lakini watu wengine wote itawapasa kulinda kile walichoamriwa na \nd Bwana\nd*.

CH2 23:7 Removed trailing space in v~: Walawi watajipanga kumzunguka mfalme, kila mtu akiwa na silaha zake mkononi. Mtu mwingine yeyote aingiaye Hekaluni lazima auawe. Kaeni karibu na mfalme popote aendapo.”

CH2 23:8 Removed trailing space in v~: Walawi na watu wote wa Yuda wakafanya kama vile kuhani Yehoyada aliagiza. Kila mmoja akawachukua watu wake, wale waliokuwa wakiingia zamu siku ya Sabato na wale waliokuwa wakienda mapumziko, kwa sababu kuhani Yehoyada hakuruhusu kikosi chochote kiondoke.

CH2 23:9 Removed trailing space in v~: Kisha akawapa wakuu wa vikosi vya mamia mikuki na ngao kubwa na ndogo zilizokuwa za Mfalme Daudi, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu.

CH2 23:10 Removed trailing space in v~: Akawapanga walinzi wote kumzunguka mfalme, kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake, karibu na madhabahu na Hekalu, kuanzia upande wa kusini hadi upande wa kaskazini mwa Hekalu.

CH2 23:11 Removed trailing space in v~: Yehoyada na wanawe wakamtoa Yoashi mwana wa mfalme nje na kumvika taji. Wakampa nakala ya agano na kumtangaza kuwa mfalme. Wakamtia mafuta na kupaza sauti, wakisema, “Mfalme aishi maisha marefu!”

CH2 23:12 Removed trailing space in v~: Athalia aliposikia kelele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akawaendea watu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 23:13 Removed trailing space in v~: Athalia akaangalia, tazama alikuwepo mfalme akiwa amesimama karibu na nguzo yake kwenye ingilio. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa kando ya mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wanashangilia na kupiga tarumbeta na waimbaji wakiwa na vyombo vya uimbaji, walikuwa wakiongoza nyimbo za sifa. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kupiga kelele, akisema, “Uhaini! Uhaini!”

CH2 23:14 Removed trailing space in v~: Kuhani Yehoyada akawatuma majemadari wa vikosi vya mamia, waliokuwa viongozi wa jeshi, na kuwaambia: “Mleteni nje kati ya safu, na mkamuue kwa upanga yeyote anayemfuata.” Kwa kuwa kuhani alikuwa amesema, “Msimuulie ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.”

CH2 23:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamkamata alipofika kwenye ingilio la Lango la Farasi katika viwanja vya jumba la mfalme wakamuulia hapo.

CH2 23:16 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoyada akafanya agano kwamba yeye na watu wote na mfalme watakuwa watu wa \nd Bwana\nd*.

CH2 23:17 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wakaenda kwenye hekalu la Baali na kulibomoa. Wakavunjavunja madhabahu pamoja na sanamu na kumuua Matani kuhani wa Baali mbele ya hayo madhabahu.

CH2 23:18 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoyada akaweka uangalizi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* mikononi mwa makuhani, waliokuwa Walawi, ambao Mfalme Daudi alikuwa amewagawa ili wahudumu hekaluni kwa ajili ya kutoa sadaka za kuteketezwa za \nd Bwana\nd* kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, kwa kushangilia na kuimba kama Daudi alivyokuwa ameagiza.

CH2 23:19 Removed trailing space in v~: Pia akawaweka mabawabu kwenye malango ya Hekalu la \nd Bwana\nd* ili kwamba kwa vyovyote asije akaingia mtu yeyote aliye najisi.

CH2 23:20 Removed trailing space in v~: Akawachukua majemadari wa mamia, watu waheshimiwa, viongozi wa watu pamoja na watu wote wa nchi na kumteremsha mfalme kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd*. Wakaingia kwenye jumba la mfalme kupitia Lango la Juu na kumkalisha mfalme kwenye kiti cha enzi,

CH2 23:21 Removed trailing space in v~: nao watu wote wa nchi wakafurahi. Mji ukatulia kwa sababu Athalia alikuwa ameuawa kwa upanga.

CH2 24:0 Extra space after chapter number

CH2 24:0 Removed trailing space in c: 24

CH2 24:0 Removed trailing space in s1: Yoashi Akarabati Hekalu

CH2 24:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 12:1-16)

CH2 24:1 Removed trailing space in v~: Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka arobaini. Mama yake aliitwa Sibia aliyekuwa ametoka Beer-Sheba.

CH2 24:2 Removed trailing space in v~: Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* miaka yote ya Yehoyada kuhani.

CH2 24:3 Removed trailing space in v~: Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.

CH2 24:4 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:5 Removed trailing space in v~: Akawaita pamoja makuhani na Walawi akawaambia, “Nendeni katika miji ya Yuda mkakusanye fedha wanazopaswa kulipa kila mwaka kutoka kwa Israeli wote, ili kukarabati Hekalu la Mungu wenu. Fanyeni hivyo sasa.” Lakini Walawi hawakufanya upesi.

CH2 24:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme akamwita Yehoyada kuhani mkuu na kumwambia, “Kwa nini hukuwaambia Walawi walete kutoka Yuda na Yerusalemu kodi iliyowekwa na Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* pamoja na kusanyiko la Israeli kwa ajili ya Hema ya Ushuhuda?”

CH2 24:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wana wa yule mwanamke mwovu Athalia, walikuwa wamevunja na kuingia katika Hekalu la Mungu, nao wakawa wamevitumia hata vile vitu vilivyowekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd* kwa mabaali.

CH2 24:8 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya mfalme, likatengenezwa kasha, nalo likawekwa nje kwenye lango la Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:9 Removed trailing space in v~: Tangazo likatolewa katika Yuda na Yerusalemu kwamba inapasa wamletee \nd Bwana\nd* kodi ile ambayo Mose, mtumishi wa \nd Bwana\nd* alikuwa amewaagiza Israeli huko jangwani.

CH2 24:10 Removed trailing space in v~: Maafisa wote na watu wote wakaleta michango yao kwa furaha, wakaweka kwenye kasha mpaka likajaa.

CH2 24:11 Removed trailing space in v~: Ikawa kila wakati kasha lilipoletwa ndani na Walawi kwa maafisa wa mfalme na kuona kwamba kuna kiasi kikubwa cha fedha, mwandishi wa mfalme na afisa wa kuhani mkuu walikuwa wanakuja na kumimina, kisha kulirudisha mahali pake. Walifanya hivi mara kwa mara, nao wakakusanya fedha nyingi sana.

CH2 24:12 Removed trailing space in v~: Mfalme na Yehoyada wakawapa wale watu waliofanya kazi iliyotakiwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Wakawaajiri waashi na maseremala ili kutengeneza Hekalu la \nd Bwana\nd*, pia wafanyakazi za chuma na shaba ili kukarabati Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:13 Removed trailing space in v~: Watu walioshughulika na kazi walikuwa wenye bidii, nayo kazi ya kukarabati ikaendelea vizuri mikononi mwao. Wakalitengeneza upya Hekalu la \nd Bwana\nd* likarudi katika hali yake ya awali na kuliimarisha.

CH2 24:14 Removed trailing space in v~: Walipokamilisha kazi hiyo ya kukarabati, wakaleta fedha zilizobaki wakampa mfalme na Yehoyada, nao kwa hizo wakatengeneza vyombo kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*: Vyombo kwa ajili ya huduma na kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia mabakuli na vitu vingine vya dhahabu na fedha. Wakati wote Yehoyada alipokuwa hai, sadaka za kuteketezwa zilitolewa wakati wote katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:15 Removed trailing space in v~: Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba siku wakati alipofariki. Alikufa akiwa na umri wa miaka 130.

CH2 24:16 Removed trailing space in v~: Wakamzika pamoja na wafalme katika Mji wa Daudi, kwa sababu ya mema aliyokuwa ametenda katika Israeli kwa ajili ya Mungu na Hekalu lake.

CH2 24:16 Removed trailing space in s1: Uovu Wa Yoashi

CH2 24:17 Removed trailing space in v~: Baada ya kifo cha Yehoyada, wakuu wa Yuda walikuja kumpa mfalme heshima, naye akawasikiliza.

CH2 24:18 Removed trailing space in v~: Wakaacha Hekalu la \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, wakaabudu nguzo za maashera na sanamu. Kwa sababu ya hatia yao, hasira ya Mungu ikawajia Yuda na Yerusalemu.

CH2 24:19 Removed trailing space in v~: Ingawa \nd Bwana\nd* aliwatuma manabii wawarudishe watu kwake na ingawa waliwaonya, hawakuwasikiliza.

CH2 24:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu ya Zekaria mwana wa Yehoyada kuhani. Akasimama mbele ya watu akasema, “Hili ndilo asemalo Mungu, ‘Kwa nini mnakataa kuzitii amri za \nd Bwana\nd*? Hamtafanikiwa kwa kuwa mmemwacha \nd Bwana\nd*, yeye naye amewaacha ninyi.’ ”

CH2 24:21 Removed trailing space in v~: Lakini wakafanya shauri baya juu yake na kwa amri ya mfalme wakampiga kwa mawe mpaka akafa katika ukumbi wa Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:22 Removed trailing space in v~: Mfalme Yoashi hakukumbuka wema aliotendewa na Yehoyada baba yake Zekaria ila alimuua mwanawe, ambaye alisema wakati akiwa amelala akingojea kufa, “\nd Bwana\nd* na alione hili na alipize kisasi.”

CH2 24:23 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa ule mwaka, jeshi la Waaramu likaja dhidi ya Yoashi, likavamia Yuda na Yerusalemu na kuwaua viongozi wote wa watu. Wakapeleka nyara zao zote kwa mfalme wao huko Dameski.

CH2 24:24 Removed trailing space in v~: Ingawa jeshi la Waaramu lilikuwa limekuja na watu wachache tu, \nd Bwana\nd* akatia mikononi mwao jeshi kubwa kuliko lao. Kwa sababu Yuda walikuwa wamemwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, hukumu ilitekelezwa juu ya Yoashi.

CH2 24:25 Removed trailing space in v~: Waaramu walipoondoka, walimwacha Yoashi akiwa mgonjwa sana. Maafisa wake wakafanya hila dhidi yake kwa sababu alikuwa amemuua mwana wa Kuhani Yehoyada, nao wakamuulia kitandani mwake. Hivyo akafa na wakamzika katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.

CH2 24:26 Removed trailing space in v~: Wale waliofanya hila mbaya dhidi yake walikuwa Zabadi, mwana wa Shimeathi mwanamke Mwamoni, Yehozabadi, mwana wa Shimrithi mwanamke Mmoabu.

CH2 24:27 Removed trailing space in v~: Kwa habari za wanawe, unabii mwingi kumhusu na kumbukumbu za kutengenezwa upya kwa Hekalu la Mungu, zimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme. Amazia mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 25:0 Extra space after chapter number

CH2 25:0 Removed trailing space in c: 25

CH2 25:0 Removed trailing space in s1: Amazia Mfalme Wa Yuda

CH2 25:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 14:2-20)

CH2 25:1 Removed trailing space in v~: Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani kutoka Yerusalemu.

CH2 25:2 Removed trailing space in v~: Akatenda yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*, lakini sio kwa moyo wake wote.

CH2 25:3 Removed trailing space in v~: Baada ya ufalme kuimarika mikononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake.

CH2 25:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo hakuwaua watoto wao, lakini akafanya sawasawa na ilivyoandikwa katika Sheria, katika Kitabu cha Mose, ambako \nd Bwana\nd* aliamuru: “Baba hawatauawa kwa ajili ya watoto wao, wala watoto hawatauawa kwa ajili ya baba zao. Kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”

CH2 25:5 Removed trailing space in v~: Amazia akawaita watu wa Yuda pamoja, akawaweka chini ya majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia kufuatana na jamaa zao katika Yuda yote na Benyamini. Kisha akawahesabu wale wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na akakuta kwamba walikuwa wanaume 300,000 watu walio tayari kwa utumishi wa jeshi, walio na uwezo wa kutumia mkuki na ngao.

CH2 25:6 Removed trailing space in v~: Akawaajiri pia watu 100,000 wapiganaji kutoka Israeli kwa talanta 100 za fedha.\f + \fr 25:6 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.\f*

CH2 25:7 Removed trailing space in v~: Lakini mtu wa Mungu akamjia na kumwambia, “Ee mfalme, haya majeshi kutoka Israeli kamwe usiyaruhusu yaende pamoja na wewe kwa kuwa \nd Bwana\nd* hayuko pamoja na Israeli, wala hayupo pamoja na yeyote wa watu wa Efraimu.

CH2 25:8 Removed trailing space in v~: Hata kama ukienda na kupigana kwa ujasiri katika vita, Mungu atakufanya ukimbie mbele ya adui, kwa kuwa Mungu anao uwezo wa kusaidia au wa kuangusha.”

CH2 25:9 Removed trailing space in v~: Amazia akamuuliza yule mtu wa Mungu, “Lakini itakuwaje kwa zile talanta 100 za fedha nilizolipa kwa ajili ya haya majeshi ya Israeli?”

CH2 25:9 Removed trailing space in p~: Yule mtu wa Mungu akajibu, “\nd Bwana\nd* aweza kukupa zaidi sana ya hizo.”

CH2 25:10 Removed trailing space in v~: Hivyo Amazia akayaondoa yale majeshi yaliyokuwa yamekuja kutoka Efraimu na kuyarudisha nyumbani. Waliwakasirikia sana Yuda, nao wakarudi nyumbani wakiwa na hasira kali.

CH2 25:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Amazia akajitia nguvu na kuliongoza jeshi lake kwenye Bonde la Chumvi, ambako aliua watu 10,000 wa Seiri.

CH2 25:12 Removed trailing space in v~: Jeshi la Yuda pia likawateka watu 10,000 wakiwa hai, likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini kwa nguvu hata wote wakavunjika vipande vipande.

CH2 25:13 Removed trailing space in v~: Wakati huo yale majeshi Amazia aliyoyarudisha na ambayo hakuyaruhusu kushiriki katika vita, yalivamia miji ya Yuda kuanzia Samaria hata Beth-Horoni. Yakawaua watu 3,000 na kuchukua kiasi kikubwa sana cha mateka.

CH2 25:14 Removed trailing space in v~: Amazia aliporudi kutoka kuwachinja Waedomu, alileta pia kutoka huko miungu ya watu wa Seiri. Akaisimamisha kama miungu yake mwenyewe, akaisujudia na kuitolea kafara za kuteketezwa.

CH2 25:15 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Amazia, naye akamtuma nabii kwake, ambaye alisema: “Kwa nini unauliza kwa miungu ya hawa watu, ambayo haikuweza kuwaokoa watu wake wenyewe kutoka mkononi mwako?”

CH2 25:16 Removed trailing space in v~: Wakati nabii alipokuwa angali anazungumza, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekuchagua kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza, ya nini uuawe?”

CH2 25:16 Removed trailing space in p~: Hivyo nabii akanyamaza lakini akasema, “Najua kuwa Mungu ameazimia kukuangamiza kwa sababu umefanya jambo hili na hukusikiliza shauri langu.”

CH2 25:17 Removed trailing space in v~: Baada ya Amazia mfalme wa Yuda kushauriana na washauri wake akatuma ujumbe kwa Yehoashi, mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israeli kusema: “Njoo tukabiliane uso kwa uso.”

CH2 25:18 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akamjibu Amazia mfalme wa Yuda, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi uliokuwa Lebanoni, ‘Mtoe binti yako aolewe na mwanangu.’ Kisha mnyama wa mwituni aliyekuwa Lebanoni akaja na kuukanyaga ule mbaruti.

CH2 25:19 Removed trailing space in v~: Wewe unasema moyoni mwako kwamba umemshinda Edomu, nawe sasa unajigamba na kujivuna. Lakini kaa nyumbani kwako! Kwa nini utafute matatizo na kujiletea anguko lako mwenyewe na la Yuda pia?”

CH2 25:20 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Amazia hakutaka kusikia, kwa kuwa Mungu alifanya hivyo ili awatie mikononi mwa Yehoashi, kwa sababu waliitafuta miungu ya Edomu.

CH2 25:21 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea kuwashambulia. Yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakabiliana uso kwa uso huko Beth-Shemeshi katika Yuda.

CH2 25:22 Removed trailing space in v~: Yuda ikashindwa na Israeli na kila mtu akakimbilia nyumbani kwake.

CH2 25:23 Removed trailing space in v~: Yehoashi mfalme wa Israeli akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akamleta Yerusalemu na kuubomoa ukuta wa Yerusalemu kuanzia lango la Efraimu hadi Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu wa kama dhiraa 400.\f + \fr 25:23 \ft Dhiraa 400 ni sawa na mita 180.\f*

CH2 25:24 Removed trailing space in v~: Akachukua dhahabu yote, fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika Hekalu la Mungu, ambavyo vilikuwa chini ya uangalizi wa Obed-Edomu, pamoja na hazina za jumba la mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.

CH2 25:25 Removed trailing space in v~: Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

CH2 25:26 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya matukio mengine katika utawala wa Amazia, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na wa Israeli?

CH2 25:27 Removed trailing space in v~: Kuanzia wakati ule Amazia alipogeuka na kuacha kumfuata \nd Bwana\nd* walifanya shauri baya dhidi yake huko Yerusalemu naye akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatilie huko Lakishi nao wakamuulia huko.

CH2 25:28 Removed trailing space in v~: Akarudishwa kwa farasi na akazikwa pamoja na baba zake katika Mji wa Yuda.

CH2 26:0 Extra space after chapter number

CH2 26:0 Removed trailing space in c: 26

CH2 26:0 Removed trailing space in s1: Uzia Mfalme Wa Yuda

CH2 26:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 14:21-22; 15:1-7)

CH2 26:1 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wa Yuda wakamtwaa Uzia, aliyekuwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya mfalme mahali pa Amazia baba yake.

CH2 26:2 Removed trailing space in v~: Ndiye alijenga upya Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake.

CH2 26:3 Removed trailing space in v~: Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka hamsini na miwili. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.

CH2 26:4 Removed trailing space in v~: Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.

CH2 26:5 Removed trailing space in v~: Akamtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. Wakati wote alipomtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu alimfanikisha.

CH2 26:6 Removed trailing space in v~: Alipigana vita dhidi ya Wafilisti na kubomoa kuta za Gathi, Yabne na Ashdodi. Kisha akajenga upya miji karibu na Ashdodi na mahali pengine katikati ya Wafilisti.

CH2 26:7 Removed trailing space in v~: Mungu akamsaidia dhidi ya Wafilisti na dhidi ya Waarabu walioishi Gur-Baali na dhidi ya Wameuni.

CH2 26:8 Removed trailing space in v~: Waamoni wakamletea Uzia ushuru, umaarufu wake ukaenea hadi kwenye mpaka wa Misri, kwa sababu alikuwa amekuwa na nguvu sana.

CH2 26:9 Removed trailing space in v~: Uzia akajenga minara huko Yerusalemu katika Lango la Pembeni, katika Lango la Bondeni na katika pembe, mahali kuta zikutanapo, kisha akaijengea ngome.

CH2 26:10 Removed trailing space in v~: Akajenga pia minara jangwani na kuchimba visima vingi vya maji, kwa sababu alikuwa na mifugo mingi chini ya vilimani na kwenye nchi tambarare. Alikuwa na watu wanaofanya kazi katika mashamba yake na kwenye mashamba yake ya mizabibu huko vilimani na katika ardhi zenye rutuba, kwa kuwa aliupenda udongo.

CH2 26:11 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Uzia alikuwa na jeshi lililofunzwa vizuri, lililokuwa tayari kwenda vitani kwa vikosi kufuatana na idadi yao kama walivyokusanywa na Yeieli mwandishi na Maaseya msimamizi chini ya maelekezo ya Hanania, mmojawapo wa maafisa wa mfalme.

CH2 26:12 Removed trailing space in v~: Idadi yote ya viongozi wa jamaa waliowaongoza hawa wapiganaji walikuwa 2,600.

CH2 26:13 Removed trailing space in v~: Chini ya uongozi wao kulikuwa na jeshi la askari 307,500 watu waliofundishwa kwa ajili ya vita, jeshi lenye nguvu la kumsaidia mfalme dhidi ya adui zake.

CH2 26:14 Removed trailing space in v~: Uzia akalipatia jeshi lote ngao, mikuki, chapeo, dirii, pinde na mawe ya kombeo.

CH2 26:15 Removed trailing space in v~: Huko Yerusalemu watu wenye utaalamu mkubwa wakatengeneza mitambo iliyotumika katika minara na kwenye pembe za ulinzi ili kurusha mishale na kuvurumisha mawe makubwa. Sifa zake zikaenea mbali sana kwa sababu alisaidiwa mno mpaka akawa na nguvu sana.

CH2 26:16 Removed trailing space in v~: Lakini baada ya Uzia kuwa na nguvu sana, majivuno yake yakamsababishia kuanguka. Alikosa uaminifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wake, naye akaingia hekaluni mwa \nd Bwana\nd* ili afukize uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba.

CH2 26:17 Removed trailing space in v~: Azaria kuhani akiwa pamoja na makuhani wengine themanini wa \nd Bwana\nd* wenye ujasiri wakamfuata huko ndani.

CH2 26:18 Removed trailing space in v~: Wakamkabili na kumwambia, “Siyo sawa kwako, Uzia, kumfukizia \nd Bwana\nd* uvumba. Hiyo ni kazi ya makuhani, wazao wa Aroni, ambao wamewekwa wakfu ili kufukiza uvumba. Ondoka mahali patakatifu, kwa kuwa umekosa uaminifu nawe hutaheshimiwa na \nd Bwana\nd*.”

CH2 26:19 Removed trailing space in v~: Uzia, ambaye alikuwa na chetezo mkononi mwake tayari kufukiza uvumba, akakasirika. Alipokuwa anawaghadhibikia makuhani mbele ya madhabahu ya kufukizia uvumba katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, ukoma ukamtokea penye kipaji chake cha uso.

CH2 26:20 Removed trailing space in v~: Azaria kuhani mkuu pamoja na makuhani wengine wote walipomtazama wakaona kwamba alikuwa na ukoma penye kipaji chake cha uso wakaharakisha kumtoa nje. Naam, hata yeye mwenyewe alikuwa anatamani kuondoka kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa amempiga.

CH2 26:21 Removed trailing space in v~: Mfalme Uzia alikuwa na ukoma mpaka siku ya kufa kwake. Akatengwa katika nyumba ya pekee akiwa mwenye ukoma, naye akawa ametengwa kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd*. Yothamu mwanawe akawa msimamizi wa jumba la mfalme, pia akawaongoza watu wa nchi.

CH2 26:22 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi.

CH2 26:23 Removed trailing space in v~: Uzia akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika shamba la kuzikia lililokuwa mali ya wafalme, kwa kuwa watu walisema, “Alikuwa na ukoma.” Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 27:0 Extra space after chapter number

CH2 27:0 Removed trailing space in c: 27

CH2 27:0 Removed trailing space in s1: Yothamu Mfalme Wa Yuda

CH2 27:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 15:32-38)

CH2 27:1 Removed trailing space in v~: Yothamu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Mama yake aliitwa Yerusha binti Sadoki.

CH2 27:2 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* kama Uzia baba yake alivyokuwa amefanya, lakini tofauti na yeye, hakuingilia huduma za hekaluni mwa \nd Bwana\nd*. Lakini hata hivyo, watu wakaendelea na desturi zao mbaya.

CH2 27:3 Removed trailing space in v~: Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la \nd Bwana\nd* na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.

CH2 27:4 Removed trailing space in v~: Akajenga miji katika vilima vya Yuda pamoja na ngome na minara mwituni.

CH2 27:5 Removed trailing space in v~: Yothamu akafanya vita na mfalme wa Waamoni na kumshinda. Mwaka ule Waamoni wakamlipa talanta 100\f + \fr 27:5 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.\f* za fedha, kori 10,000\f + \fr 27:5 \ft Kori 10,000 za ngano ni sawa na tani 2.2.\f* za ngano na kori 10,000 za shayiri. Waamoni wakamletea kiasi hicho hicho mwaka wa pili na wa tatu.

CH2 27:6 Removed trailing space in v~: Yothamu akaendelea kuwa na nguvu kwa sababu alienenda kwa ukamilifu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 27:7 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yothamu, pamoja na vita vyake vyote na vitu vingine alivyofanya, vimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.

CH2 27:8 Removed trailing space in v~: Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita.

CH2 27:9 Removed trailing space in v~: Yothamu akalala na baba zake na akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Ahazi mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 28:0 Extra space after chapter number

CH2 28:0 Removed trailing space in c: 28

CH2 28:0 Removed trailing space in s1: Ahazi Mfalme Wa Yuda

CH2 28:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 16:1-6)

CH2 28:1 Removed trailing space in v~: Ahazi alikuwa na miaka ishirini alipoanza kutawala. Akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na sita. Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*.

CH2 28:2 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, na pia akasubu sanamu kwa ajili ya kuabudu Mabaali.

CH2 28:3 Removed trailing space in v~: Akatoa sadaka za kuteketezwa katika Bonde la Ben-Hinomu, na kuwatoa wanawe kafara kwa kuwateketeza kwa moto, akifuata njia za machukizo za yale mataifa \nd Bwana\nd* aliyoyafukuza humo mbele ya Waisraeli.

CH2 28:4 Removed trailing space in v~: Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia miungu, juu ya vilima, na chini ya kila mti uliotanda.

CH2 28:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* Mungu wake akamtia mikononi mwa mfalme wa Aramu. Waaramu wakamshinda, wakachukua watu wake wengi mateka na kuwaleta mpaka Dameski.

CH2 28:5 Removed trailing space in p~: Tena alitiwa mikononi mwa mfalme wa Israeli, ambaye aliwaua watu wake wengi.

CH2 28:6 Removed trailing space in v~: Kwa siku moja Peka mwana wa Remalia aliwaua askari 120,000 katika Yuda, kwa kuwa Yuda walikuwa wamemwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 28:7 Removed trailing space in v~: Zikri, askari shujaa Mwefraimu, akamuua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu mkuu wa jumba la kifalme na Elikana aliyekuwa wa pili kwa mfalme.

CH2 28:8 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakawachukua mateka kutoka ndugu zao, watu wapatao 200,000 hawa wakiwa ni wanawake, watoto wa kiume na wa kike. Wakachukua pia kiasi kikubwa cha nyara, ambazo walirudi nazo Samaria.

CH2 28:9 Removed trailing space in v~: Lakini kulikuwako huko nabii wa \nd Bwana\nd* aliyeitwa Odedi, akaondoka ili kukutana na jeshi liliporejea Samaria. Akawaambia, “Kwa kuwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, aliwakasirikia Yuda, aliwatia mikononi mwenu. Lakini mmewachinja kwa hasira ambayo imefika hadi mbinguni.

CH2 28:10 Removed trailing space in v~: Nanyi sasa mnakusudia kuwafanya wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu watumwa wenu. Lakini ninyi je, hamna pia hatia ya dhambi mliyotenda dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu?

CH2 28:11 Removed trailing space in v~: Basi nisikilizeni! Mkawarudishe mateka mliowachukua kutoka kwa ndugu zenu, kwa kuwa hasira kali ya \nd Bwana\nd* iko juu yenu.”

CH2 28:12 Removed trailing space in v~: Ndipo baadhi ya viongozi katika Efraimu, yaani, Azaria mwana wa Yehohanani, Berekia mwana wa Meshilemothi, Yehizkia mwana wa Shalumu na Amasa mwana wa Hadlai, wakakubaliana na huyo nabii, hivyo wakawapinga wale waliokuwa wanawasili kutoka vitani.

CH2 28:13 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Hamna ruhusa kuwaleta hao wafungwa hapa, ama sivyo tutakuwa na hatia mbele za \nd Bwana\nd*. Je, mnataka kuongezea dhambi yetu na hatia yetu? Kwa sababu hatia yetu tayari ni kubwa, nayo hasira kali ya \nd Bwana\nd* iko juu ya Israeli.”

CH2 28:14 Removed trailing space in v~: Hivyo wale askari wakawaacha wale mateka pamoja na nyara mbele ya hao maafisa na kusanyiko lote.

CH2 28:15 Removed trailing space in v~: Kisha watu waliotajwa kwa majina wakawachukua wale mateka na kutoka zile nyara, wakachukua mavazi wakawavika wale wafungwa wote waliokuwa uchi. Wakawapatia nguo na viatu, chakula na cha kunywa, wakawapa matibabu, wote waliokuwa dhaifu miongoni mwao wakawapandisha juu ya punda, wakawaleta ndugu zao mpaka Yeriko, ndio Mji wa Mitende, kisha wakarudi Samaria.

CH2 28:15 Removed trailing space in s1: Waashuru Wakataa Kusaidia Yuda

CH2 28:15 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 16:7-9)

CH2 28:16 Removed trailing space in v~: Wakati ule, Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa mfalme wa Ashuru kuomba msaada.

CH2 28:17 Removed trailing space in v~: Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuwashambulia Yuda na kuchukua mateka.

CH2 28:18 Removed trailing space in v~: Pia Wafilisti walikuwa wameshambulia miji iliyokuwa chini ya vilima na katika miji ya Negebu ya Yuda. Nao wakawa wametwaa Beth-Shemeshi, Aiyaloni, Gederothi, Soko pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake, Gimzo pia pamoja na vijiji vyake na kuishi humo.

CH2 28:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliishusha Yuda kwa sababu ya Ahazi mfalme wa Israeli, kwa kuwa alikuwa ameongeza uovu katika Yuda na kumkosea \nd Bwana\nd* mno.

CH2 28:20 Removed trailing space in v~: Hivyo Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru akaja kumtesa badala ya kumsaidia.

CH2 28:21 Removed trailing space in v~: Ahazi akachukua baadhi ya vitu kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd*, jumba la kifalme na kutoka kwa wakuu wake na kumpa mfalme wa Ashuru kama ushuru, lakini hilo halikumsaidia.

CH2 28:22 Removed trailing space in v~: Katika wakati wake wa mateso Mfalme Ahazi akazidi kukosa uaminifu kwa \nd Bwana\nd*.

CH2 28:23 Removed trailing space in v~: Akatoa kafara kwa miungu ya Dameski, waliokuwa wamemshinda, kwa kuwa aliwaza, “Kwa kuwa miungu ya mfalme wa Aramu imewasaidia wao, nitaitolea dhabihu ili inisaidie na mimi.” Lakini haya ndiyo yaliyokuwa maangamizi yake na Israeli wote.

CH2 28:24 Removed trailing space in v~: Ahazi akakusanya pamoja vyombo vya nyumba ya Mungu na kuvivunja vipande vipande. Akafunga milango ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na kusimamisha madhabahu katika kila njia panda ya barabara za Yerusalemu.

CH2 28:25 Removed trailing space in v~: Katika kila mji wa Yuda akajenga mahali pa juu pa kuabudia miungu ili kutolea miungu mingine kafara za kuteketezwa na kuchochea hasira ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zake.

CH2 28:26 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wake na njia zake nyingine zote, tangu mwanzo hadi mwisho, zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.

CH2 28:27 Removed trailing space in v~: Ahazi akalala na baba zake na akazikwa katika Mji wa Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 29:0 Extra space after chapter number

CH2 29:0 Removed trailing space in c: 29

CH2 29:0 Removed trailing space in s1: Hezekia Mfalme Wa Yuda

CH2 29:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 18:1-12)

CH2 29:1 Removed trailing space in v~: Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.

CH2 29:2 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* kama Daudi baba yake alivyofanya.

CH2 29:3 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kwanza wa utawala wa alifungua milango ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, na kuikarabati.

CH2 29:4 Removed trailing space in v~: Akawaingiza makuhani na Walawi ndani na kuwakutanisha katika uwanja upande wa mashariki

CH2 29:5 Removed trailing space in v~: na kusema: “Nisikilizeni mimi, enyi Walawi! Jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase na nyumba ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu. Ondoeni uchafu wote kutoka mahali patakatifu.

CH2 29:6 Removed trailing space in v~: Baba zetu hawakuwa waaminifu, walifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wetu na wakamwacha yeye. Wakageuza nyuso zao mbali na Maskani ya \nd Bwana\nd* wakamgeuzia visogo vyao.

CH2 29:7 Removed trailing space in v~: Pia walifunga milango ya ukumbi wa Hekalu na kuzima taa zake. Hawakufukiza uvumba wala kutoa sadaka yoyote ya kuteketezwa katika mahali patakatifu kwa Mungu wa Israeli.

CH2 29:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hasira ya \nd Bwana\nd* ikashuka juu ya Yuda na Yerusalemu, naye akawa amewafanya kitu cha kutisha, cha kushangaza na kitu cha kufanyia mzaha kama mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.

CH2 29:9 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu baba zetu wameanguka kwa upanga na ndiyo sababu wana wetu na binti zetu, pia wake zetu wamekuwa mateka.

CH2 29:10 Removed trailing space in v~: Sasa ninadhamiria moyoni mwangu kuweka Agano na \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nasi.

CH2 29:11 Removed trailing space in v~: Wanangu, basi msipuuze jambo hili sasa, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amewachagua ninyi msimame mbele zake na kumtumikia, mkawe watumishi wake na mkamfukizie uvumba.”

CH2 29:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Walawi wafuatao wakaanza kazi:

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: Kutoka kwa Wakohathi,

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: Mahathi mwana wa Amasai na Yoeli mwana wa Azaria;

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Wamerari,

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: Kishi mwana wa Abdi na Azaria mwana wa Yahaleleli;

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Wagershoni,

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;

CH2 29:13 Removed trailing space in v~: kutoka kwa wana wa Elisafani,

CH2 29:13 Removed trailing space in p~: Shimri na Yeieli;

CH2 29:13 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Asafu,

CH2 29:13 Removed trailing space in p~: Zekaria na Matania;

CH2 29:14 Removed trailing space in v~: kutoka kwa wana wa Hemani,

CH2 29:14 Removed trailing space in p~: Yehieli na Shimei;

CH2 29:14 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Yeduthuni,

CH2 29:14 Removed trailing space in p~: Shemaya na Uzieli.

CH2 29:15 Removed trailing space in v~: Walipomaliza kuwakusanya ndugu zao na kujiweka wakfu, wakaingia ndani ili kutakasa Hekalu la \nd Bwana\nd*, kama vile mfalme alivyokuwa ameagiza, kwa kufuata neno la \nd Bwana\nd*.

CH2 29:16 Removed trailing space in v~: Makuhani wakaingia patakatifu pa Hekalu la \nd Bwana\nd* ili kupatakasa. Wakatoa nje penye ua wa Hekalu la Mungu kila kitu kichafu walichokikuta kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd*. Walawi wakavichukua na kuvipeleka nje katika Bonde la Kidroni.

CH2 29:17 Removed trailing space in v~: Walianza kazi ya utakaso siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza na kufikia siku ya nane ya mwezi huo wakawa wamefikia kwenye ukumbi wa \nd Bwana\nd*. Kwa siku zingine nane wakalitakasa Hekalu lenyewe la \nd Bwana\nd* wakakamilisha katika siku ya kumi na sita ya mwezi huo wa kwanza.

CH2 29:18 Removed trailing space in v~: Kisha wakaingia ndani kwa Mfalme Hezekia kutoa habari na kusema: “Tumelitakasa Hekalu lote la \nd Bwana\nd*, madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa pamoja na vyombo vyake vyote, meza ya kupanga mikate iliyowekwa wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote.

CH2 29:19 Removed trailing space in v~: Tumeviandaa na kuvitakasa vyombo vyote vile ambavyo Mfalme Ahazi, kwa kukosa uaminifu kwake, aliviondoa wakati alipokuwa mfalme. Sasa viko mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd*.”

CH2 29:19 Removed trailing space in s1: Ibada Hekaluni Yarejeshwa

CH2 29:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Hezekia akainuka asubuhi na mapema, akakusanya pamoja maafisa wa mji wakakwea hekaluni mwa \nd Bwana\nd*.

CH2 29:21 Removed trailing space in v~: Wakaleta mafahali saba, kondoo dume saba, wana-kondoo dume saba na mabeberu saba kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya ufalme, kwa ajili ya mahali patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Mfalme akawaamuru makuhani, wazao wa Aroni, kuvitoa vitu hivyo sadaka katika madhabahu ya \nd Bwana\nd*.

CH2 29:22 Removed trailing space in v~: Hivyo wakachinja wale mafahali, nao makuhani wakachukua ile damu na kuinyunyiza kwenye madhabahu, halafu wakawachinja wale kondoo dume saba na kunyunyiza hiyo damu yao kwenye madhabahu, kisha wakawachinja wale wana-kondoo dume na kunyunyiza damu yao kwenye madhabahu.

CH2 29:23 Removed trailing space in v~: Wale mabeberu waliokuwa kwa ajili ya sadaka ya dhambi wakaletwa mbele ya mfalme na kusanyiko nao wakaweka mikono yao juu hao mabeberu.

CH2 29:24 Removed trailing space in v~: Ndipo makuhani wakawachinja hao mabeberu na kuweka damu yao kwenye madhabahu kwa ajili ya sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli yote, kwa sababu mfalme alikuwa ameamuru hiyo sadaka ya kuteketezwa na hiyo sadaka ya dhambi kwa ajili ya Israeli yote.

CH2 29:25 Removed trailing space in v~: Akawaweka Walawi kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd* wakiwa na matoazi, vinubi na zeze kama ilivyoagizwa na Daudi na Gadi mwonaji wa mfalme pamoja na nabii Nathani kwani hili lilikuwa limeamriwa na \nd Bwana\nd* kupitia manabii wake.

CH2 29:26 Removed trailing space in v~: Hivyo Walawi wakasimama tayari wakiwa na ala za uimbaji za Daudi na makuhani walikuwa na tarumbeta zao.

CH2 29:27 Removed trailing space in v~: Hezekia akatoa amri ya kutoa sadaka ya kuteketezwa madhabahuni. Walipoanza kutoa sadaka, wakaanza pia kumwimbia \nd Bwana\nd* pamoja na tarumbeta na zile ala za uimbaji za Daudi mfalme wa Israeli.

CH2 29:28 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote wakaabudu kwa kusujudu, wakati waimbaji wakiwa wanaimba na wenye tarumbeta wakipiga tarumbeta zao. Yote haya yaliendelea mpaka walipomaliza kutoa ile dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa.

CH2 29:29 Removed trailing space in v~: Kutoa sadaka kulipomalizika, mfalme na kila mtu aliyekuwepo pamoja naye wakapiga magoti na kuabudu.

CH2 29:30 Removed trailing space in v~: Mfalme Hezekia na maafisa wake wakawaamuru Walawi kumsifu \nd Bwana\nd* kwa maneno ya Daudi na ya Asafu mwonaji. Hivyo wakaimba sifa kwa furaha nao wakainamisha vichwa vyao na kuabudu.

CH2 29:31 Removed trailing space in v~: Kisha Hezekia akasema, “Sasa mmejiweka wakfu kwa \nd Bwana\nd*. Njooni mlete dhabihu na sadaka za shukrani Hekaluni mwa \nd Bwana\nd*.” Hivyo kusanyiko likaleta dhabihu na sadaka za shukrani, nao wote waliokuwa na mioyo ya hiari wakaleta sadaka za kuteketezwa.

CH2 29:32 Removed trailing space in v~: Idadi ya sadaka za kuteketezwa zilizoletwa na kusanyiko zilikuwa mafahali sabini, kondoo dume 100 na wana-kondoo dume 200. Wote hawa walikuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd*.

CH2 29:33 Removed trailing space in v~: Wanyama waliowekwa wakfu kwa sadaka ya kuteketezwa walikuwa mafahali 600, pamoja na kondoo na mbuzi 3,000.

CH2 29:34 Removed trailing space in v~: Lakini makuhani walikuwa wachache sana kuweza kuchuna wale wanyama wote wa sadaka za kuteketezwa, kwa hiyo ndugu zao Walawi wakawasaidia mpaka kazi ile ikakamilika na mpaka makuhani wengine walipowekwa wakfu, kwa kuwa Walawi walikuwa makini kujiweka wakfu kuliko walivyokuwa makuhani.

CH2 29:35 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na sadaka nyingi za kuteketezwa, pamoja na mafuta ya wanyama ya sadaka za amani na sadaka za kinywaji ambazo ziliambatana na sadaka za kuteketezwa.

CH2 29:35 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo huduma ya Hekalu la \nd Bwana\nd* ikarudishwa kwa upya.

CH2 29:36 Removed trailing space in v~: Hezekia pamoja na watu wote wakafurahi kwa sababu ya lile Mungu alilolifanya kwa ajili ya watu wake, kwa kuwa lilitendeka papo hapo.

CH2 30:0 Extra space after chapter number

CH2 30:0 Removed trailing space in c: 30

CH2 30:0 Removed trailing space in s1: Hezekia Aadhimisha Pasaka

CH2 30:1 Removed trailing space in v~: Hezekia akatuma ujumbe kuwaita Israeli wote na Yuda, pia akaandika barua kwa Efraimu na Manase, kuwakaribisha ili waje hekaluni mwa \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu kuadhimisha Pasaka kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 30:2 Removed trailing space in v~: Mfalme na maafisa wake pamoja na kusanyiko lote katika Yerusalemu waliamua kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili.

CH2 30:3 Removed trailing space in v~: Kwa sababu makuhani hawakuwa wamejitakasa idadi ya kutosha na watu wakawa hawajakusanyika huko Yerusalemu, hawakuwa wameweza kuadhimisha Pasaka kwa wakati wake wa kawaida.

CH2 30:4 Removed trailing space in v~: Mpango huu ukaonekana wafaa kwa mfalme na kusanyiko lote.

CH2 30:5 Removed trailing space in v~: Wakaamua kupeleka tangazo Israeli kote, kuanzia Beer-Sheba hadi Dani, wakiwaita watu waje Yerusalemu kuadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli. Ilikuwa haijaadhimishwa na idadi kubwa ya watu kama hiyo kufuatana na yale yaliyokuwa yameandikwa.

CH2 30:6 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya mfalme, matarishi wakapita katika Israeli na Yuda kote wakiwa na barua kutoka kwa mfalme na kutoka kwa maafisa wake zikisema:

CH2 30:6 Removed trailing space in p~: “Watu wa Israeli, mrudieni \nd Bwana\nd*, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Israeli, ili naye awarudie ninyi mliosalia, mlionusurika kutoka mikononi mwa wafalme wa Ashuru.

CH2 30:7 Removed trailing space in v~: Msiwe kama baba zenu na ndugu zenu, ambao hawakuwa waaminifu kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, hivyo akawafanya kitu cha kushangaza kama mnavyoona.

CH2 30:8 Removed trailing space in v~: Msiwe na shingo ngumu, kama baba zenu walivyokuwa, bali nyenyekeeni kwa \nd Bwana\nd*. Njooni mahali patakatifu, alipopatakasa milele. Mtumikieni \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nanyi.

CH2 30:9 Removed trailing space in v~: Kama mkimrudia \nd Bwana\nd* ndipo wale ndugu zenu waliotekwa pamoja na watoto wenu watakapoonewa huruma na wale waliowateka na kuwaachia warudi katika nchi hii, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni mwenye neema na huruma, hatageuzia uso wake mbali nanyi kama ninyi mkimrudia yeye.”

CH2 30:10 Removed trailing space in v~: Matarishi wakaenda mji hadi mji katika Efraimu na Manase, wakafika mpaka Zabuloni, lakini watu wakawadharau na kuwadhihaki.

CH2 30:11 Removed trailing space in v~: Lakini, baadhi ya watu wa Asheri, Manase na Zabuloni, wakajinyenyekeza wakaja Yerusalemu.

CH2 30:12 Removed trailing space in v~: Pia katika Yuda mkono wa Mungu ulikuwa juu ya watu kuwapa umoja katika kutenda yale ambayo mfalme na maafisa wake waliwaamuru, kulingana na neno la \nd Bwana\nd*.

CH2 30:13 Removed trailing space in v~: Basi umati mkubwa wa watu ukakusanyika huko Yerusalemu kuadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu katika mwezi wa pili.

CH2 30:14 Removed trailing space in v~: Wakajitia kazini kuyaondoa yale madhabahu yaliyokuwa huko Yerusalemu, wakayaondoa pia yale madhabahu ya kufukizia uvumba kwa miungu na kuyatupa Bonde la Kidroni.

CH2 30:15 Removed trailing space in v~: Kisha wakamchinja mwana-kondoo wa Pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi waliona aibu, wakajitakasa na kuleta sadaka za kuteketezwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 30:16 Removed trailing space in v~: Kisha wakachukua nafasi zao za kawaida kama ilivyoelezwa katika Sheria ya Mose mtu wa Mungu. Makuhani wakanyunyiza ile damu waliyokabidhiwa na Walawi.

CH2 30:17 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wengi waliokuwa katika lile kusanyiko walikuwa hawajajitakasa, iliwapasa Walawi wachinje wana-kondoo wengine wa Pasaka kwa ajili ya wale watu ambao hawakuwa safi, kwa kufuata taratibu za ibada ili kuwatakasa kwa \nd Bwana\nd*.

CH2 30:18 Removed trailing space in v~: Ingawa watu wengi miongoni mwa wale waliotoka Efraimu, Manase, Isakari na Zabuloni walikuwa hawajajitakasa, hata hivyo walikula Pasaka kinyume na ilivyoandikwa. Lakini Hezekia akawaombea, akisema, “\nd Bwana\nd*, ambaye ni mwema na amsamehe kila mmoja

CH2 30:19 Removed trailing space in v~: ambaye anauelekeza moyo wake kumtafuta Mungu, \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zake, hata kama yeye si safi kulingana na sheria za mahali patakatifu.”

CH2 30:20 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akamsikia Hezekia akawaponya watu.

CH2 30:21 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliokuwa Yerusalemu wakaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa muda wa siku saba, nao Walawi na makuhani walikuwa wakiimba kila siku, wakiwa na ala za uimbaji za kumsifu \nd Bwana\nd*.

CH2 30:22 Removed trailing space in v~: Hezekia akazungumza akiwatia moyo Walawi wote, ambao walionyesha ustadi katika kumtumikia \nd Bwana\nd*. Hivyo watu wakala chakula cha sikukuu kwa siku saba, wakitoa sadaka za amani na kumshukuru \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 30:23 Removed trailing space in v~: Kisha kusanyiko lote likakubali kuendelea na sikukuu kwa siku saba zaidi, kwa hiyo kwa siku saba nyingine wakaendelea kuiadhimisha kwa furaha.

CH2 30:24 Removed trailing space in v~: Hezekia, mfalme wa Yuda akatoa mafahali 1,000, kondoo na mbuzi 7,000 kwa ajili ya kusanyiko, nao maafisa wakatoa mafahali 1,000 pamoja na kondoo na mbuzi 10,000. Idadi kubwa ya makuhani wakajiweka wakfu.

CH2 30:25 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote la Yuda, pamoja na makuhani na Walawi na lile kusanyiko lote lililotoka Israeli, pamoja na wale wageni waliotoka Israeli na wale walioishi katika Yuda wakafurahi.

CH2 30:26 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na furaha kubwa katika Yerusalemu, kwa sababu tangu siku za Mfalme Solomoni mwana wa Daudi mfalme wa Israeli halijakuwepo jambo kama hili katika Yerusalemu.

CH2 30:27 Removed trailing space in v~: Ndipo makuhani na Walawi wakasimama wakawabariki watu, naye Mungu akawasikia, kwa sababu maombi yao yalifika mbinguni, makao yake matakatifu.

CH2 31:0 Extra space after chapter number

CH2 31:0 Removed trailing space in c: 31

CH2 31:0 Removed trailing space in s1: Sehemu Za Ibada Za Kipagani Zaondolewa

CH2 31:1 Removed trailing space in v~: Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwako huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini na katika Efraimu na Manase. Baada ya kuviharibu hivi vyote, Waisraeli wakarudi katika miji yao wenyewe na kwenye milki zao.

CH2 31:2 Removed trailing space in v~: Hezekia akawapanga makuhani na Walawi katika migawanyo, kila mgawanyo kulingana na wajibu wao, kama ni makuhani au Walawi, ili kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kushukuru na kuimba sifa katika malango ya makao ya \nd Bwana\nd*.

CH2 31:3 Removed trailing space in v~: Mfalme akatoa matoleo kutoka mali zake mwenyewe kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na za jioni na sadaka za kuteketezwa kwa siku za Sabato, kwa Sikukuu za Mwezi Mwandamo na kwa ajili ya sikukuu zilizoamriwa kama ilivyoandikwa katika Sheria ya \nd Bwana\nd*.

CH2 31:4 Removed trailing space in v~: Akawaagiza watu wanaoishi Yerusalemu watoe sehemu iliyo haki ya makuhani na Walawi ili waweze kujitoa kikamilifu kutimiza wajibu wao katika Sheria ya \nd Bwana\nd*.

CH2 31:5 Removed trailing space in v~: Mara tu baada ya kutolewa tangazo hilo, Waisraeli wakatoa kwa ukarimu malimbuko ya nafaka zao, divai mpya, mafuta na asali pamoja na vyote vilivyotoka mashambani. Wakaleta kiasi kikubwa cha fungu la kumi la kila kitu.

CH2 31:6 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli na Yuda walioishi katika miji ya Yuda wakaleta pia fungu la kumi la makundi yao ya ngʼombe na makundi ya kondoo na mbuzi pia na fungu la kumi la vitu vitakatifu vilivyowekwa wakfu kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu wao na kuvikusanya katika malundo.

CH2 31:7 Removed trailing space in v~: Wakaanza kufanya haya katika mwezi wa tatu na kumaliza katika mwezi wa saba.

CH2 31:8 Removed trailing space in v~: Wakati Hezekia na maafisa wake walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu \nd Bwana\nd* na kuwabariki watu wake Israeli.

CH2 31:9 Removed trailing space in v~: Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu yale malundo,

CH2 31:10 Removed trailing space in v~: naye Azaria aliyekuwa kuhani mkuu, kutoka jamaa ya Sadoki, akajibu, “Tangu watu walipoanza kuleta sadaka zao katika Hekalu la \nd Bwana\nd* tumekuwa na chakula cha kutosha na vingi vya kuweka akiba kwa sababu \nd Bwana\nd* amewabariki watu wake, hivyo tumekuwa na kiasi kingi kilichobaki.”

CH2 31:10 Removed trailing space in s1: Kutambuliwa Kwa Makuhani Na Walawi

CH2 31:11 Removed trailing space in v~: Hezekia akatoa agizo la kutengeneza vyumba vya ghala katika Hekalu la \nd Bwana\nd* nalo hili likafanyika.

CH2 31:12 Removed trailing space in v~: Kisha kwa uaminifu wakaleta sadaka zao, mafungu yao ya kumi na vitu vilivyowekwa wakfu. Konania Mlawi, ndiye alikuwa msimamizi wa vitu hivi na Shimei ndugu yake ndiye alikuwa msaidizi wake.

CH2 31:13 Removed trailing space in v~: Yehieli, Azazia, Nahathi, Asaheli, Yeremothi, Yozabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi na Benaya walikuwa waangalizi chini ya Konania na Shimei ndugu yake, waliokuwa wamewekwa na Mfalme Hezekia na Azaria, afisa msimamizi wa Hekalu la Mungu.

CH2 31:14 Removed trailing space in v~: Kore mwana wa Imna, Mlawi, bawabu wa Lango la Mashariki, alikuwa msimamizi wa sadaka za hiari zilizotolewa kwa Mungu, akiyagawanya hayo matoleo yaliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* na pia zile sadaka zilizowekwa wakfu.

CH2 31:15 Removed trailing space in v~: Edeni, Miniamini, Yeshua, Shemaya, Amaria na Shekania walimsaidia kwa uaminifu katika miji ya makuhani, wakiwagawia makuhani wenzao kufuatana na migawanyo yao, wazee kwa vijana sawasawa.

CH2 31:16 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hao wakawagawia wanaume wenye umri wa miaka mitatu au zaidi ambao majina yao yalikuwa kwenye orodha ya vizazi, wale wote ambao wangeingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd* ili kufanya kazi zao mbalimbali za kila siku kulingana na wajibu katika mgawanyo wao.

CH2 31:17 Removed trailing space in v~: Kuandikishwa kwa makuhani kulikuwa kwa kufuata chimbuko la nyumba za baba zao na Walawi kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi ilikuwa kufuatana na huduma zao, kwa migawanyo yao.

CH2 31:18 Removed trailing space in v~: Makuhani waliandikishwa pamoja na watoto wao wadogo, wake zao, watoto wao wa kiume na wa kike, jamii yote iliandikishwa kwa kufuata orodha ya vizazi vyao. Kwa kuwa walikuwa waaminifu katika kujitakasa.

CH2 31:19 Removed trailing space in v~: Kuhusu makuhani, wazao wa Aroni walioishi kwenye mashamba yaliyozunguka miji yao au katika miji mingine yoyote, watu walitajwa majina ili kumgawia kila mwanaume miongoni mwao na kwa wote waliokuwa katika orodha ya vizazi vya Walawi.

CH2 31:20 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo Hezekia alivyofanya katika Yuda yote, akifanya lile lililo jema, sawa na la uaminifu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 31:21 Removed trailing space in v~: Naye katika kila kitu alichofanya katika huduma kwenye Hekalu la Mungu na katika utii kwa sheria na amri, alimtafuta Mungu wake na kufanya kazi kwa moyo wake wote. Naye hivyo akafanikiwa.

CH2 33:0 Extra space after chapter number

CH2 33:0 Removed trailing space in c: 33

CH2 33:0 Removed trailing space in s1: Manase Mfalme Wa Yuda

CH2 33:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 21:1-18)

CH2 33:1 Removed trailing space in v~: Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na mitano.

CH2 33:2 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa Bwana, akafuata desturi za machukizo za mataifa ambayo Bwana aliyafukuza mbele ya Waisraeli.

CH2 33:3 Removed trailing space in v~: Akajenga upya mahali pa juu pa kuabudia miungu ambapo Hezekia baba yake, alikuwa amepabomoa, pia akasimamisha madhabahu za Mabaali na nguzo za Maashera. Akalisujudia jeshi lote la angani na kuliabudu.

CH2 33:4 Removed trailing space in v~: Akajenga madhabahu katika Hekalu la \nd Bwana\nd* ambamo \nd Bwana\nd* alikuwa amesema, “Jina langu litadumu Yerusalemu milele.”

CH2 33:5 Removed trailing space in v~: Katika nyua zote mbili za Hekalu la \nd Bwana\nd* akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la angani.

CH2 33:6 Removed trailing space in v~: Akawatoa wanawe kuwa kafara kwa kuwapitisha katika moto katika Bonde la Ben-Hinomu, akafanya ulozi, uaguzi na uchawi, akataka ushauri kwa wenye pepo wa utambuzi na wenye kuwasiliana na mizimu. Akafanya maovu mengi machoni pa \nd Bwana\nd*, akaichochea hasira yake.

CH2 33:7 Removed trailing space in v~: Akachukua ile sanamu aliyoichonga na kuiweka katika Hekalu la Mungu ambalo Mungu alikuwa amemwambia Daudi na mwanawe Solomoni, “Katika Hekalu hili na katika Yerusalemu niliouchagua kutoka kabila zote za Israeli, nitaliweka Jina langu milele.

CH2 33:8 Removed trailing space in v~: Sitaifanya tena miguu ya Waisraeli iondoke tena katika nchi niliyowapa baba zenu, ikiwa watakuwa waangalifu kufanya kila kitu nilichowaamuru kuhusu sheria zote, maagizo na amri zilizotolewa kwa mkono wa Mose.”

CH2 33:9 Removed trailing space in v~: Lakini Manase akawaongoza Yuda na watu wa Yerusalemu katika upotovu, kiasi kwamba walifanya maovu mengi kuliko mataifa ambayo \nd Bwana\nd* aliwaangamiza mbele ya Waisraeli.

CH2 33:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema na Manase pamoja na watu wake, lakini hawakumjali.

CH2 33:11 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* akaleta juu yao majemadari wa jeshi la mfalme wa Ashuru, ambao walimchukua Manase kwenda kifungoni, wakaweka ndoana katika pua yake, wakamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.

CH2 33:12 Removed trailing space in v~: Katika dhiki yake akamsihi \nd Bwana\nd* Mungu wake na kujinyenyekeza sana mbele za Mungu wa baba zake.

CH2 33:13 Removed trailing space in v~: Naye alipomwomba, \nd Bwana\nd* akaguswa na kule kusihi kwake na akasikiliza kilio chake, kwa hiyo akamrudisha Yerusalemu na kwenye ufalme wake. Ndipo Manase akatambua kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu.

CH2 33:14 Removed trailing space in v~: Baadaye akajenga ukuta wa nje wa Mji wa Daudi, magharibi mwa chemchemi ya Gihoni katika bonde, hadi kufikia ingilio la Lango la Samaki na akakizunguka kilima cha Ofeli, pia akaufanya kuwa mrefu zaidi. Akawaweka majemadari katika miji yote ya Yuda iliyokuwa imejengewa ngome.

CH2 33:15 Removed trailing space in v~: Akaondolea mbali miungu ya kigeni na kuondoa sanamu kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd* pamoja na madhabahu zote alizozijenga katika kile kilima kilichojengwa Hekalu na katika Yerusalemu, akazitupa nje ya mji.

CH2 33:16 Removed trailing space in v~: Kisha akarudisha madhabahu ya \nd Bwana\nd* na kutolea juu yake dhabihu za sadaka za amani pamoja na sadaka za shukrani, naye akawaamuru Yuda wamtumikie \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 33:17 Removed trailing space in v~: Lakini hata hivyo watu wakaendelea kutoa dhabihu mahali pa juu pa kuabudia miungu, lakini wakimtolea \nd Bwana\nd* Mungu wao peke yake.

CH2 33:18 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Manase, maombi yake kwa Mungu wake na maneno aliyoambiwa na waonaji walionena naye kwa jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.

CH2 33:19 Removed trailing space in v~: Maombi yake, pamoja na jinsi Mungu alivyoguswa na kusihi kwake, pia dhambi zake zote na kukosa kwake uaminifu pamoja na sehemu alizojenga mahali pa juu pa kuabudia miungu, kule kusimamisha nguzo za Ashera na sanamu kabla ya kujinyenyekeza kwake, yote yameandikwa katika kumbukumbu za waonaji.

CH2 33:20 Removed trailing space in v~: Manase akalala pamoja na baba zake akazikwa katika jumba lake la kifalme. Naye Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 33:20 Removed trailing space in s1: Amoni Mfalme Wa Yuda

CH2 33:20 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 21:19-26)

CH2 33:21 Removed trailing space in v~: Amoni alikuwa na miaka ishirini na miwili, alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka miwili.

CH2 33:22 Removed trailing space in v~: Akatenda maovu machoni mwa Bwana, kama baba yake Manase alivyofanya. Amoni akaabudu na kutoa dhabihu kwa sanamu zote alizokuwa ametengeneza Manase.

CH2 33:23 Removed trailing space in v~: Lakini tofauti na Manase baba yake, hakujinyenyekeza mbele za \nd Bwana\nd*, badala yake Amoni aliongeza hatia zaidi na zaidi.

CH2 33:24 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Amoni wakafanya fitina juu yake, nao wakamuulia kwake nyumbani.

CH2 33:25 Removed trailing space in v~: Kisha watu wa nchi wakawaua wale wote waliokuwa wamefanya hila dhidi ya Mfalme Amoni. Wakamfanya Yosia mwanawe kuwa mfalme mahali pake.

CH2 34:0 Extra space after chapter number

CH2 34:0 Removed trailing space in c: 34

CH2 34:0 Removed trailing space in s1: Yosia Afanya Matengenezo

CH2 34:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 22:1-2)

CH2 34:1 Removed trailing space in v~: Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja.

CH2 34:2 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* na kuenenda katika njia za Daudi baba yake, hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.

CH2 34:3 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa nane wa utawala wake, alipokuwa angali bado mdogo, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi baba yake. Katika mwaka wake wa kumi na mbili alianza kusafisha mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Yuda na Yerusalemu, akiondoa nguzo za Ashera, sanamu za kuchonga na vinyago vya kusubu.

CH2 34:4 Removed trailing space in v~: Mbele ya macho yake, wakazibomoa madhabahu za Mabaali, wakazivunja madhabahu za kufukizia uvumba zilizokuwa zimesimama juu yake, wakazivunja nguzo za Ashera, sanamu na vinyago. Hivi alivivunja vipande vipande na kuvisambaza juu ya makaburi ya waliokuwa wamevitolea kafara.

CH2 34:5 Removed trailing space in v~: Akachoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao na kwa njia hiyo akaitakasa Yuda na Yerusalemu.

CH2 34:6 Removed trailing space in v~: Katika miji ya Manase, Efraimu na Simeoni, hadi Naftali na kwenye magofu yanayoizunguka,

CH2 34:7 Removed trailing space in v~: akavunja madhabahu na nguzo za Ashera na kuzipondaponda hizo sanamu hadi zikawa unga na kukata vipande vipande madhabahu zote za kufukizia uvumba katika Israeli yote. Kisha akarudi Yerusalemu.

CH2 34:8 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yosia, ili kutakasa nchi na Hekalu, akawatuma Shafani, mwana wa Azalia na Maaseya mtawala wa mji, pamoja na Yoa mwana wa Yoahazi, mwandishi ili kukarabati Hekalu la \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 34:9 Removed trailing space in v~: Wakamwendea Hilkia kuhani mkuu na kumpa fedha ambazo zilikuwa zimeletwa ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* ambazo Walawi waliokuwa mabawabu walikuwa wamezikusanya kutoka kwa watu wa Manase, Efraimu na mabaki wote wa Israeli kutoka kwa watu wote wa Yuda na Benyamini na wakazi wa Yerusalemu.

CH2 34:10 Removed trailing space in v~: Kisha wakazikabidhi hizo fedha kwa watu waliowekwa ili kusimamia kazi ya Hekalu la \nd Bwana\nd*. Hawa watu waliwalipa wafanyakazi waliokarabati na kutengeneza Hekalu lipate kurudi katika hali yake.

CH2 34:11 Removed trailing space in v~: Wakawapa pia mafundi seremala na waashi fedha ili kununua mawe yaliyochongwa, mbao kwa ajili ya kufungia na boriti kwa ajili ya majengo ambayo wafalme wa Yuda walikuwa wameyaacha yakawa magofu.

CH2 34:12 Removed trailing space in v~: Watu wakafanya kazi kwa uaminifu. Waliokuwa wamewekwa juu yao ili kuwaelekeza ni Yahathi na Obadia, Walawi wa uzao wa Merari, Zekaria na Meshulamu, waliotoka kwenye uzao wa Kohathi. Walawi wote waliokuwa na ufundi wa kupiga ala za uimbaji,

CH2 34:13 Removed trailing space in v~: wakawa wasimamizi wa vibarua na kuwaongoza wale waliofanya kila aina ya kazi. Baadhi ya Walawi walikuwa waandishi, maafisa na mabawabu.

CH2 34:13 Removed trailing space in s1: Kitabu Cha Sheria Chapatikana

CH2 34:13 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 22:3-20)

CH2 34:14 Removed trailing space in v~: Wakati walikuwa wakizitoa nje fedha zilizokuwa zimetolewa kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd*, kuhani Hilkia akakipata kile Kitabu cha Sheria ya \nd Bwana\nd* kilichokua kimetolewa kwa mkono wa Mose.

CH2 34:15 Removed trailing space in v~: Hilkia akamwambia Shafani mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Sheria ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.” Akampa Shafani kile Kitabu.

CH2 34:16 Removed trailing space in v~: Kisha Shafani akakipeleka kile Kitabu kwa mfalme na kumwambia, “Maafisa wako wanafanya kila kitu kama walivyokabidhiwa kufanya.

CH2 34:17 Removed trailing space in v~: Wamelipa fedha zilizokuwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd* na wamewakabidhi wasimamizi na wafanyakazi.”

CH2 34:18 Removed trailing space in v~: Kisha Shafani mwandishi akamwarifu mfalme kuwa, “Kuhani Hilkia amenipa Kitabu.” Naye Shafani akakisoma mbele ya mfalme.

CH2 34:19 Removed trailing space in v~: Mfalme aliposikia yale maneno ya Sheria, akayararua mavazi yake.

CH2 34:20 Removed trailing space in v~: Akatoa maagizo haya kwa Hilkia, Ahikamu mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwandishi na Asaya mtumishi wa mfalme,

CH2 34:21 Removed trailing space in v~: “Nendeni mkamuulize \nd Bwana\nd* kwa ajili yangu na kwa ajili ya mabaki walioko Israeli na Yuda kuhusu yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki ambacho kimepatikana. Hasira ya \nd Bwana\nd* ni kubwa mno ambayo imemwagwa juu yetu kwa sababu baba zetu hawakulishika neno la \nd Bwana\nd* wala hawajatenda kulingana na yale yote yaliyoandikwa katika Kitabu hiki.”

CH2 34:22 Removed trailing space in v~: Hilkia pamoja na wale wote mfalme aliokuwa amewatuma pamoja naye wakaenda kuzungumza na nabii mke aitwaye Hulda, aliyekuwa mke wa Shalumu mwana wa Tokhathi, mwana wa Hasra mtunzaji wa chumba cha mavazi. Hulda aliishi Yerusalemu, katika Mtaa wa Pili.

CH2 34:23 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambieni yule mtu aliyewatuma ninyi kwangu,

CH2 34:24 Removed trailing space in v~: ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Nitaleta maafa juu ya mahali hapa na watu wake, laana zote zilizoandikwa ndani ya hicho kitabu ambazo zimesomwa mbele ya mfalme wa Yuda.

CH2 34:25 Removed trailing space in v~: Kwa sababu wameniacha mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine na kunighadhibisha kwa kazi yote ya mikono yao, hivyo hasira yangu itamwagwa juu ya mahali hapa, wala haitatulizwa.’

CH2 34:26 Removed trailing space in v~: Mwambieni mfalme wa Yuda, ambaye amewatuma kumuuliza \nd Bwana\nd*, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli kuhusu maneno uliyoyasikia:

CH2 34:27 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa moyo wako ulikuwa msikivu na ulijinyenyekeza mbele za Mungu uliposikia kile nilichosema dhidi ya mahali hapa na watu wake na kwa sababu ulijinyenyekeza mbele zangu na uliyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, nimekusikia, asema \nd Bwana\nd*.

CH2 34:28 Removed trailing space in v~: Basi nitakukusanya kwa baba zako, nawe utazikwa kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote nitakayoleta juu ya mahali hapa na juu ya wote wanaoishi hapa.’ ”

CH2 34:28 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wakampelekea mfalme jibu lake.

CH2 34:28 Removed trailing space in s1: Yosia Afanya Agano La Kutii

CH2 34:28 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:1-20)

CH2 34:29 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.

CH2 34:30 Removed trailing space in v~: Akapanda kwenda hekaluni mwa \nd Bwana\nd* pamoja na watu wa Yuda, watu wa Yerusalemu, makuhani na Walawi, watu wote, wakubwa kwa wadogo. Akasoma wakiwa wanasikia maneno yote ya Kitabu cha Agano, ambacho kilikuwa kimepatikana katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 34:31 Removed trailing space in v~: Mfalme akasimama karibu na nguzo yake na kufanya upya Agano mbele za \nd Bwana\nd* ili kumfuata \nd Bwana\nd* na kuzishika amri zake, maagizo na sheria kwa moyo wake wote na kwa roho yake yote na ili kuyatii maneno ya Agano yaliyoandikwa katika kitabu hiki.

CH2 34:32 Removed trailing space in v~: Ndipo akamtaka kila mmoja katika Yerusalemu na Benyamini kuweka ahadi zao wenyewe kwa hilo Agano, watu wa Yerusalemu wakafanya hivyo kwa kufuata Agano la \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 34:33 Removed trailing space in v~: Yosia akaondoa machukizo yote ya sanamu kutoka nchi yote iliyokuwa mali ya Waisraeli na akawataka wale wote waliokuwako katika Israeli wamtumikie \nd Bwana\nd* Mungu wao. Kwa muda wote alioishi, hawakushindwa kumfuata \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 35:0 Extra space after chapter number

CH2 35:0 Removed trailing space in c: 35

CH2 35:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Yosia Anaadhimisha Pasaka

CH2 35:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:21-23)

CH2 35:1 Removed trailing space in v~: Yosia akaadhimisha Pasaka kwa \nd Bwana\nd* katika Yerusalemu, mwana-kondoo wa Pasaka akachinjwa siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.

CH2 35:2 Removed trailing space in v~: Akawaweka makuhani kwenye wajibu wao na kuwatia moyo katika utumishi wa Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 35:3 Removed trailing space in v~: Akawaambia Walawi, waliowafundisha Waisraeli wote na waliokuwa wamejiweka wakfu kwa ajili ya kazi ya \nd Bwana\nd*, “Liwekeni hilo Sanduku takatifu katika Hekalu lile alilojenga Solomoni mwana wa Daudi mfalme wa Israeli. Halipaswi kubebwa huku na huko mabegani mwenu. Sasa mtumikieni \nd Bwana\nd* Mungu wenu na watu wake Israeli.

CH2 35:4 Removed trailing space in v~: Jiandaeni kwa kufuata jamaa zenu katika migawanyo yenu, kufuatana na maelezo yaliyoandikwa na Daudi mfalme wa Israeli na mwanawe Solomoni.

CH2 35:5 Removed trailing space in v~: “Simameni mahali patakatifu kwa kufuata migawanyo ya jamaa za baba zenu kulingana na koo zenu na pawepo Walawi kwa ajili ya kila mgawanyo wa nyumba ya baba zenu.

CH2 35:6 Removed trailing space in v~: Chinjeni mwana-kondoo wa Pasaka, jitakaseni, nanyi kwa niaba ya koo zenu fanyeni maandalizi, mkitenda sawasawa na neno la \nd Bwana\nd* kwa mkono wa Mose.”

CH2 35:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosia akawapa watu wote wana-mbuzi waliokuwepo jumla ya kondoo wapatao 30,000 kwa ajili ya sadaka ya Pasaka, pia na ngʼombe 10,000, vyote hivi kutoka mali binafsi ya mfalme.

CH2 35:8 Removed trailing space in v~: Pia maafisa wake, wakatoa kwa hiari yao wakawapa watu, makuhani na Walawi. Hilkia, Zekaria na Yehieli, waliokuwa maafisa wakuu wa Hekalu la Mungu, wakawapa makuhani sadaka za Pasaka wana-kondoo na wana-mbuzi 2,600 na mafahali 300.

CH2 35:9 Removed trailing space in v~: Konania na nduguze wawili, Shemaya na Nethaneli, pamoja na Hashabia, Yeieli na Yozabadi waliokuwa viongozi wa Walawi, nao pia wakawapa Walawi wana-kondoo na wana-mbuzi 5,000 na mafahali 500, kwa ajili ya sadaka za Pasaka.

CH2 35:10 Removed trailing space in v~: Huduma ilipomalizika kuandaliwa makuhani wakasimama mahali pao na Walawi katika migawanyo yao kama mfalme alivyokuwa ameamuru.

CH2 35:11 Removed trailing space in v~: Wana-kondoo wa Pasaka wakachinjwa, nao makuhani wakanyunyiza ile damu waliyokabidhiwa, wakati Walawi wakiwa wanawachuna wale wanyama ngozi.

CH2 35:12 Removed trailing space in v~: Wakatenga sadaka za kuteketezwa ili waweze kugawia ili migawanyo kwa kufuata jamaa za baba zao ili watoe sadaka kwa \nd Bwana\nd* kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Mose. Wakafanya vivyo hivyo kwa wale mafahali.

CH2 35:13 Removed trailing space in v~: Wakawaoka wale wanyama wa Pasaka kwenye moto kama ilivyoamriwa, wakachemsha zile sadaka takatifu kwenye vyungu, masufuria makubwa na vikaango na kuwagawia watu wote upesi.

CH2 35:14 Removed trailing space in v~: Hatimaye wakafanya maandalizi kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu wale makuhani, yaani, wazao wa Aroni, walikuwa wanatoa sadaka za kuteketezwa pamoja na zile sehemu zilizonona mpaka usiku. Hivyo Walawi wakafanya maandalizi kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani wa uzao wa Aroni.

CH2 35:15 Removed trailing space in v~: Waimbaji, wazao wa Asafu, walikuwa katika nafasi zao, kama ilivyoagizwa na Mfalme Daudi, Asafu, Hemani na Yeduthuni mwonaji wa Mfalme. Mabawabu katika kila lango hawakuhitaji kuacha nafasi zao kwa sababu Walawi wenzao walifanya maandalizi kwa ajili yao.

CH2 35:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakati ule huduma yote ya \nd Bwana\nd* ilifanyika katika kuadhimisha Pasaka, kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* kama alivyoamuru Mfalme Yosia.

CH2 35:17 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliokuwepo wakaadhimisha Pasaka wakati huo na Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa siku saba.

CH2 35:18 Removed trailing space in v~: Kulikuwa hakujafanyika Pasaka kama hii katika Israeli tangu siku za nabii Samweli wala hakukuwa na mfalme yeyote wa Israeli ambaye kamwe alishaadhimisha Pasaka kama ile aliyofanya Mfalme Yosia, akiwa na makuhani, Walawi na watu wote wa Yuda na watu wa Israeli waliokuwepo huko, pamoja na watu wa Yerusalemu.

CH2 35:19 Removed trailing space in v~: Pasaka iliadhimishwa katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Yosia.

CH2 35:19 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Yosia

CH2 35:19 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:28-30)

CH2 35:20 Removed trailing space in v~: Baada ya haya yote, Yosia alipomaliza kulitengeneza vizuri Hekalu, Neko mfalme wa Misri, akapanda ili kupigana huko Karkemishi katika Mto Frati, naye Yosia akatoka kwenda kupigana naye.

CH2 35:21 Removed trailing space in v~: Lakini Neko akamtumia wajumbe kusema, “Kuna ugomvi gani kati yangu mimi na wewe, Ee Mfalme wa Yuda? Si wewe ninayekushambulia wakati huu, bali ile nyumba ambayo nina vita nayo, Mungu ameniambia niharakishe, kwa hivyo acha kumpinga Mungu, ambaye yuko pamoja nami, la sivyo atakuangamiza.”

CH2 35:22 Removed trailing space in v~: Lakini hata hivyo, Yosia hakukubali kumwacha, bali alijibadilisha ili kupigana naye vita. Hakusikiliza yale Neko aliyokuwa amemwambia kwa agizo la Mungu bali alikwenda kupigana naye katika tambarare ya Megido.

CH2 35:23 Removed trailing space in v~: Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, naye akawaambia maafisa wake, “Niondoeni, nimejeruhiwa vibaya sana.”

CH2 35:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamshusha kutoka kwenye gari lake la farasi, wakamweka kwenye gari lingine alilokuwa nalo na kumleta Yerusalemu, ambako alifia. Akazikwa katika makaburi ya baba zake, nayo Yuda yote na Yerusalemu wakamwombolezea Yosia.

CH2 35:25 Removed trailing space in v~: Nabii Yeremia akatunga maombolezo kwa ajili ya kifo chake, nao waimbaji wote, wanaume kwa wanawake, hufanya ukumbusho wa Yosia katika maombolezo hadi leo. Haya yakafanywa desturi katika Israeli, nayo yameandikwa katika Maombolezo.

CH2 35:26 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yosia na matendo yake mema, kulingana na yale yaliyoandikwa katika sheria ya \nd Bwana\nd*:

CH2 35:27 Removed trailing space in v~: matukio yote, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.

CH2 36:0 Extra space after chapter number

CH2 36:0 Removed trailing space in c: 36

CH2 36:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Yehoahazi Wa Yuda

CH2 36:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:30-35)

CH2 36:1 Removed trailing space in v~: Watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia na kumfanya mfalme mahali pa baba yake huko Yerusalemu.

CH2 36:2 Removed trailing space in v~: Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu.

CH2 36:3 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri akamwondoa madarakani huko Yerusalemu na akatoza Yuda kodi ya talanta 100\f + \fr 36:3 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.\f* za fedha na talanta moja\f + \fr 36:3 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* ya dhahabu.

CH2 36:4 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri akamweka Eliakimu, nduguye Yehoahazi, kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu na kubadili jina la Eliakimu kuwa Yehoyakimu. Lakini Neko akamchukua Yehoahazi, Nduguye Eliakimu akampeleka Misri.

CH2 36:4 Removed trailing space in s1: Yehoyakimu Mfalme Wa Yuda

CH2 36:4 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:35–24:7)

CH2 36:5 Removed trailing space in v~: Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 36:6 Removed trailing space in v~: Nebukadneza mfalme wa Babeli akamshambulia na kumfunga kwa pingu za shaba akampeleka Babeli.

CH2 36:7 Removed trailing space in v~: Nebukadneza akachukua pia vyombo kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd* na kuviweka katika hekalu lake\f + \fr 36:7 \ft Au: katika jumba lake la kifalme.\f* huko Babeli.

CH2 36:8 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu, machukizo aliyoyafanya na yote yaliyoonekana dhidi yake, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 36:8 Removed trailing space in s1: Yehoyakini Mfalme Wa Yuda

CH2 36:8 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 24:8-17)

CH2 36:9 Removed trailing space in v~: Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu na siku kumi. Akafanya yaliyo maovu machoni pa \nd Bwana\nd*.

CH2 36:10 Removed trailing space in v~: Mnamo majira ya vuli, Mfalme Nebukadneza akatuma watu, nao wakamleta Babeli, pamoja na vyombo vya thamani kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd*. Naye akamfanya Sedekia, ndugu yake Yehoyakimu kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.

CH2 36:10 Removed trailing space in s1: Mfalme Sedekia Wa Yuda

CH2 36:10 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 24:18-20; Yeremia 52:1-3)

CH2 36:11 Removed trailing space in v~: Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja.

CH2 36:12 Removed trailing space in v~: Alifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wake, wala hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia, ambaye alinena neno la \nd Bwana\nd*.

CH2 36:13 Removed trailing space in v~: Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza, ambaye alikuwa amemwapisha kwa jina la Mungu. Akashupaza shingo na akafanya moyo wake kuwa mgumu wala hakutaka kumgeukia \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 36:14 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo viongozi wote wa makuhani pamoja na watu wakazidi kukosa uaminifu zaidi na zaidi, wakafanya machukizo yote kama walivyofanya mataifa wakinajisi Hekalu la \nd Bwana\nd* alilokuwa amelitakasa huko Yerusalemu.

CH2 36:14 Removed trailing space in s1: Kuanguka Kwa Yerusalemu

CH2 36:14 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 25:1-21; Yeremia 52:3-11)

CH2 36:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, akawapelekea neno kupitia wajumbe wake tena na tena, kwa sababu alikuwa anawahurumia watu wake pamoja na mahali pa maskani yake.

CH2 36:16 Removed trailing space in v~: Lakini waliwadhihaki wajumbe wa \nd Bwana\nd* wakayadharau maneno yake na kuwacheka manabii wake mpaka ghadhabu ya \nd Bwana\nd* ikawa kubwa dhidi ya watu wake na hakukuwa na namna ya kuituliza.

CH2 36:17 Removed trailing space in v~: Mungu akamwinua dhidi yao mfalme wa Wakaldayo, aliyewaua vijana wao wa kiume kwa upanga ndani ya mahali patakatifu, ambaye hakumbakiza kijana mwanaume wala kijana mwanamke, wazee wala vikongwe. Mungu akawatia wote mikononi mwa Nebukadneza.

CH2 36:18 Removed trailing space in v~: Akavichukua kwenda Babeli vyombo vyote kutoka Hekalu la Mungu, vikubwa na vidogo, hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* pamoja na hazina za mfalme na za maafisa wake.

CH2 36:19 Removed trailing space in v~: Wakalichoma Hekalu la Mungu na kuzibomoa kuta za Yerusalemu, wakachoma moto majumba yote ya kifalme na kuharibu kila kitu chake cha thamani.

CH2 36:20 Removed trailing space in v~: Wale watu walionusurika kuuawa kwa upanga wakachukuliwa kwenda uhamishoni Babeli. Nao wakawa watumishi wake na wa wanawe mpaka wakati wa utawala wa ufalme wa Uajemi ulifika.

CH2 36:21 Removed trailing space in v~: Nchi ikaendelea kufurahia pumziko lake la Sabato, wakati wote wa kufanywa kwake ukiwa ilipumzika mpaka ile miaka sabini ilipotimia katika kutimiza neno la \nd Bwana\nd* lililonenwa na Yeremia.

CH2 36:21 Removed trailing space in s1: Koreshi Atangaza Uhuru Kwa Waliokuwa Uhamishoni

CH2 36:21 Removed trailing space in r: (Ezra 1:1-4)

CH2 36:22 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la \nd Bwana\nd* lililosemwa na nabii Yeremia, \nd Bwana\nd* aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

CH2 36:23 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:

CH2 36:23 Removed trailing space in p~: “ ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda. Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha huyo mtu na apande.’ ”

USFMs

Newline Marker Errors

CH2 6:40 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:42 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:42 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:42 Marker 'qm2' has no content

CH2 36:22 Marker 'pmo' has no content

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 6    c: 36    h: 1    id: 1    li1: 21    li2: 12    m: 2    mt1: 1    p: 319    pm: 33    pmo: 1    q1: 5    q2: 5    qm1: 5    qm2: 6    r: 48    rem: 1    s1: 60    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 1388    v: 822  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    pmo: 1    m: 2    q1: 5    q2: 5    qm1: 5    b: 6    qm2: 6    li2: 12    li1: 21    pm: 33    c: 36    r: 48    s1: 60    p: 319    v: 822    Total: 1388  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 1    nd*: 1    Total: 2  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 1    nd*: 1    Total: 2  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 36    Paragraphs: 319    Section Cross-References: 48    Verses: 822  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Chapters: 36    Section Cross-References: 48    Paragraphs: 319    Verses: 822  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 60    a: 387    A: 34    b: 23    B: 1    C: 5    d: 28    D: 2    e: 138    E: 1    f: 78    F: 2    g: 14    G: 1    H: 13    h: 59    i: 108    I: 5    j: 4    J: 1    k: 44    K: 17    l: 100    L: 4    M: 32    m: 108    N: 10    n: 45    o: 76    P: 2    p: 2    r: 20    R: 3    S: 18    s: 37    Space: 290    t: 30    Total: 2070    u: 72    U: 8    V: 2    v: 1    W: 75    w: 22    Y: 53    y: 17    z: 14    Z: 4  

Letter Counts (sorted by count)

 B: 1    J: 1    G: 1    v: 1    E: 1    F: 2    V: 2    D: 2    P: 2    p: 2    R: 3    j: 4    L: 4    Z: 4    C: 5    I: 5    U: 8    N: 10    H: 13    z: 14    g: 14    y: 17    K: 17    S: 18    r: 20    w: 22    b: 23    d: 28    t: 30    M: 32    A: 34    s: 37    k: 44    n: 45    Y: 53    h: 59    -: 60    u: 72    W: 75    o: 76    f: 78    l: 100    m: 108    i: 108    e: 138    Space: 290    a: 387    Total: 2070  

Punctuation Counts

 (: 48    ): 48    ,: 3    :: 59    ;: 10    Total: 169    : 1  

Punctuation Counts (sorted by count)

 : 1    ,: 3    ;: 10    (: 48    ): 48    :: 59    Total: 169  

Speech Marks

Possible Matching Errors

CH2 2:5 Unclosed “ (opened at 2:3:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:7 Unclosed “ (opened at 2:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:8 Unclosed “ (opened at 2:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:3:pm)', '“ (opened at 2:5:v)', '“ (opened at 2:7:v)', '“ (opened at 2:8:v)']

CH2 2:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:3:pm)', '“ (opened at 2:5:v)', '“ (opened at 2:7:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v11

CH2 2:13 Unclosed “ (opened at 2:12:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:15 Unclosed “ (opened at 2:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:12:pm)', '“ (opened at 2:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

CH2 6:7 Unclosed “ (opened at 6:4:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:10 Unclosed “ (opened at 6:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:4:pm)', '“ (opened at 6:7:v)'] before p marker

CH2 6:16 Unclosed “ (opened at 6:14:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:18 Unclosed “ (opened at 6:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:20 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:20:v)']

CH2 6:22 Unclosed “ (opened at 6:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)']

CH2 6:24 Unclosed “ (opened at 6:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)']

CH2 6:26 Unclosed “ (opened at 6:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)']

CH2 6:28 Unclosed “ (opened at 6:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)']

CH2 6:32 Unclosed “ (opened at 6:28:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)']

CH2 6:34 Unclosed “ (opened at 6:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:34 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)']

CH2 6:36 Unclosed “ (opened at 6:34:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:36 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)']

CH2 6:37 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)', '‘ (opened at 6:37:v)']

CH2 6:40 Unclosed “ (opened at 6:36:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:40 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)', '“ (opened at 6:40:v)']

CH2 6:41 Unclosed “ (opened at 6:40:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:41 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)', '“ (opened at 6:40:v)', '“ (opened at 6:41:v)']

CH2 7:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)', '“ (opened at 6:40:v)'] before p marker

CH2 7:13 Unclosed “ (opened at 7:12:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 7:17 Unclosed “ (opened at 7:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 7:18 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)', '‘ (opened at 7:18:v)']

CH2 7:19 Unclosed “ (opened at 7:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 7:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)', '“ (opened at 7:19:v)']

CH2 7:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)', '“ (opened at 7:19:v)', '‘ (opened at 7:21:v)']

CH2 7:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)', '“ (opened at 7:19:v)', '‘ (opened at 7:22:v)']

CH2 8:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)'] before p marker

CH2 20:10 Unclosed “ (opened at 20:6:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 20:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 20:6:pm)' before v marker or missing reopening quotes at v13

CH2 20:21 Unclosed “ (opened at 20:20:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

CH2 20:22 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 20:20:v)' before v marker or missing reopening quotes at v22

CH2 32:13 Unclosed “ (opened at 32:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 32:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 32:10:v)' before v marker or missing reopening quotes at v16

CH2 36:23 Unclosed “ (opened at 36:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 36:23 Unclosed ['“ (opened at 36:23:v)'] speech marks at end of book

Words

Possible Word Errors

CH2 9:21 Have unexpected character starting word '+xt'

CH2 20:36 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

CH2 -1:6 Main Title 1:2 Mambo Ya Nyakati

Section Heading Lines

CH2 1:0Solomoni Aomba Hekima
CH2 1:12Fahari Ya Solomoni
CH2 2:0Maandalizi Ya Kujenga Hekalu
CH2 3:0Solomoni Ajenga Hekalu
CH2 4:0Vifaa Vya Hekalu
CH2 5:1Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni
CH2 6:0Kuweka Hekalu Wakfu
CH2 6:11Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Wakfu
CH2 7:0Hekalu Lawekwa Wakfu
CH2 7:10\nd Bwana\nd* Mungu Amtokea Solomoni
CH2 8:0Shughuli Nyingine Za Solomoni
CH2 9:0Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni
CH2 9:12Fahari Ya Solomoni
CH2 9:28Kifo Cha Solomoni
CH2 10:0Israeli Wanamwasi Rehoboamu
CH2 11:0Utabiri Wa Shamaya
CH2 11:4Yeroboamu Ajengea Yuda Ngome
CH2 11:17Jamaa Ya Rehoboamu
CH2 12:0Shishaki Ashambulia Yerusalemu
CH2 13:0Abiya Mfalme Wa Yuda
CH2 14:0Asa Atawala
CH2 15:0Asa Afanya Matengenezo
CH2 16:0Miaka Ya Mwisho Ya Mfalme Asa
CH2 17:0Yehoshafati Mfalme Wa Yuda
CH2 18:0Mikaya Atoa Unabii Dhidi Ya Ahabu
CH2 18:27Ahabu Anauawa Huko Ramoth-Gileadi
CH2 19:0Yehu Amkemea Yehoshafati
CH2 19:3Yehoshafati Aweka Waamuzi
CH2 20:30Mwisho Wa Utawala Wa Yehoshafati
CH2 21:0Yehoramu Atawala
CH2 22:0Ahazia Mfalme Wa Yuda
CH2 22:9Athalia Na Yoashi
CH2 23:0Uasi Dhidi Ya Athalia
CH2 24:0Yoashi Akarabati Hekalu
CH2 24:16Uovu Wa Yoashi
CH2 25:0Amazia Mfalme Wa Yuda
CH2 26:0Uzia Mfalme Wa Yuda
CH2 27:0Yothamu Mfalme Wa Yuda
CH2 28:0Ahazi Mfalme Wa Yuda
CH2 28:15Waashuru Wakataa Kusaidia Yuda
CH2 29:0Hezekia Mfalme Wa Yuda
CH2 29:19Ibada Hekaluni Yarejeshwa
CH2 30:0Hezekia Aadhimisha Pasaka
CH2 31:0Sehemu Za Ibada Za Kipagani Zaondolewa
CH2 31:10Kutambuliwa Kwa Makuhani Na Walawi
CH2 32:0Senakeribu Aitishia Yerusalemu
CH2 32:23Kiburi Cha Hezekia, Mafanikio Na Kifo
CH2 33:0Manase Mfalme Wa Yuda
CH2 33:20Amoni Mfalme Wa Yuda
CH2 34:0Yosia Afanya Matengenezo
CH2 34:13Kitabu Cha Sheria Chapatikana
CH2 34:28Yosia Afanya Agano La Kutii
CH2 35:0Mfalme Yosia Anaadhimisha Pasaka
CH2 35:19Kifo Cha Yosia
CH2 36:0Mfalme Yehoahazi Wa Yuda
CH2 36:4Yehoyakimu Mfalme Wa Yuda
CH2 36:8Yehoyakini Mfalme Wa Yuda
CH2 36:10Mfalme Sedekia Wa Yuda
CH2 36:14Kuanguka Kwa Yerusalemu
CH2 36:21Koreshi Atangaza Uhuru Kwa Waliokuwa Uhamishoni

Section Cross-reference Lines

CH2 1:0(1 Wafalme 3:1-15)
CH2 1:12(1 Wafalme 10:26-29)
CH2 2:0(1 Wafalme 5:1-18)
CH2 3:0(1 Wafalme 6:1-38; 7:15-22)
CH2 4:0(1 Wafalme 7:23-51)
CH2 5:1(1 Wafalme 8:1-9)
CH2 6:0(1 Wafalme 8:12-21)
CH2 6:11(1 Wafalme 8:22-53)
CH2 7:0(1 Wafalme 8:62-66)
CH2 7:10(1 Wafalme 9:1-9)
CH2 8:0(1 Wafalme 9:10-28)
CH2 9:0(1 Wafalme 10:1-13)
CH2 9:12(1 Wafalme 10:14-25)
CH2 9:28(1 Wafalme 11:41-43)
CH2 10:0(1 Wafalme 12:1-20)
CH2 11:0(1 Wafalme 12:21-24)
CH2 12:0(1 Wafalme 14:25-28)
CH2 13:0(1 Wafalme 15:1-8)
CH2 16:0(1 Wafalme 15:17-24)
CH2 18:0(1 Wafalme 22:1-28)
CH2 18:27(1 Wafalme 22:29-35)
CH2 20:30(1 Wafalme 22:41-50)
CH2 21:0(2 Wafalme 8:17-24)
CH2 22:0(2 Wafalme 8:25-29; 9:21-28)
CH2 22:9(2 Wafalme 11:1-3)
CH2 23:0(2 Wafalme 11:4-20)
CH2 24:0(2 Wafalme 12:1-16)
CH2 25:0(2 Wafalme 14:2-20)
CH2 26:0(2 Wafalme 14:21-22; 15:1-7)
CH2 27:0(2 Wafalme 15:32-38)
CH2 28:0(2 Wafalme 16:1-6)
CH2 28:15(2 Wafalme 16:7-9)
CH2 29:0(2 Wafalme 18:1-12)
CH2 32:0(2 Wafalme 18:13-37; 19:14-19, 35-37; Isaya 36:1-22; 37:8-38)
CH2 32:23(2 Wafalme 20:1-3, 12-19; Isaya 38:1-3; 39:1-8)
CH2 33:0(2 Wafalme 21:1-18)
CH2 33:20(2 Wafalme 21:19-26)
CH2 34:0(2 Wafalme 22:1-2)
CH2 34:13(2 Wafalme 22:3-20)
CH2 34:28(2 Wafalme 23:1-20)
CH2 35:0(2 Wafalme 23:21-23)
CH2 35:19(2 Wafalme 23:28-30)
CH2 36:0(2 Wafalme 23:30-35)
CH2 36:4(2 Wafalme 23:35–24:7)
CH2 36:8(2 Wafalme 24:8-17)
CH2 36:10(2 Wafalme 24:18-20; Yeremia 52:1-3)
CH2 36:14(2 Wafalme 25:1-21; Yeremia 52:3-11)
CH2 36:21(Ezra 1:1-4)

Notes

Footnote Lines

CH2 1:16+ \fr 1:16 \ft Yaani Kilikia.
CH2 1:17+ \fr 1:17 \ft Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7.
CH2 1:17+ \fr 1:17 \ft Shekeli 150 ni sawa na kilo 1.7.
CH2 2:10+ \fr 2:10 \ft Kori 20,000 za ngano ni sawa na lita 4,400.
CH2 2:10+ \fr 2:10 \ft Bathi 20,000 za mvinyo au mafuta ni sawa na lita 440,000.
CH2 3:1+ \fr 3:1 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.
CH2 3:3+ \fr 3:3 \ft Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.
CH2 3:3+ \fr 3:3 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
CH2 3:4+ \fr 3:4 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
CH2 3:8+ \fr 3:8 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 23.
CH2 3:9+ \fr 3:9 \ft Shekeli 50 za dhahabu ni sawa na gramu 600.
CH2 3:11+ \fr 3:11 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
CH2 3:17+ \fr 3:17 \ft Yakini maana yake Atathibitisha.
CH2 3:17+ \fr 3:17 \ft Boazi maana yake Imo nguvu.
CH2 4:1+ \fr 4:1 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
CH2 4:1+ \fr 4:1 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
CH2 4:2+ \fr 4:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
CH2 4:3+ \fr 4:3 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
CH2 4:5+ \fr 4:5 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 7.5.
CH2 4:5+ \fr 4:5 \ft Bathi 3,000 ni sawa na lita 60,000.
CH2 4:17+ \fr 4:17 \ft Au \fqa Sarethani.
CH2 9:9+ \fr 9:9 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.
CH2 9:13+ \fr 9:13 \ft Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25.
CH2 9:15+ \fr 9:15 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5.
CH2 9:16+ \fr 9:16 \ft Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7.
CH2 9:21+ \fr 9:21 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya …xt*).
CH2 10:18+ \fr 10:18 \ft Kiebrania ni Hadoramu.
CH2 12:3+ \fr 12:3 \ft Yaani watu kutoka sehemu ya Naili ya juu.
CH2 20:2+ \fr 20:2 \ft Yaani Bahari ya Chumvi.
CH2 20:26+ \fr 20:26 \ft Bonde la Beraka maana yake Bonde la Kusifu.
CH2 20:36+ \fr 20:36 \ft Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya …xt*).
CH2 21:2+ \fr 21:2 \ft Yaani Yuda.
CH2 22:6+ \fr 22:6 \ft Yaani Rama kwa Kiebrania.
CH2 25:6+ \fr 25:6 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.
CH2 25:23+ \fr 25:23 \ft Dhiraa 400 ni sawa na mita 180.
CH2 27:5+ \fr 27:5 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.
CH2 27:5+ \fr 27:5 \ft Kori 10,000 za ngano ni sawa na tani 2.2.
CH2 32:5+ \fr 32:5 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.
CH2 36:3+ \fr 36:3 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.
CH2 36:3+ \fr 36:3 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
CH2 36:7+ \fr 36:7 \ft Au: katika jumba lake la kifalme.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 41    Footnotes: 41  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 41    Footnote leader '+': 41