Freely-Given.org Bible DAN Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in DAN -1:0

Showing 1 out of 452 priority errors

Fix Text Errors

DAN -1:0 Removed trailing space in id: DAN - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

DAN -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

DAN -1:2 Removed trailing space in h: Danieli

DAN -1:3 Removed trailing space in toc1: Danieli

DAN -1:4 Removed trailing space in toc2: Danieli

DAN -1:5 Removed trailing space in toc3: Dan

DAN -1:6 Removed trailing space in mt1: Danieli

DAN 1:0 Extra space after chapter number

DAN 1:0 Removed trailing space in c: 1

DAN 1:0 Removed trailing space in s1: Mafunzo Ya Danieli Huko Babeli

DAN 1:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja akazingira Yerusalemu kwa jeshi.

DAN 1:2 Removed trailing space in v~: Bwana akamtia Yehoyakimu mfalme wa Yuda mkononi mwa Nebukadneza, pamoja na baadhi ya vyombo kutoka Hekalu la Mungu. Hivi akavichukua hadi kwenye hekalu la mungu wake huko Shinari, naye akaviweka nyumbani ya hazina ya mungu wake.

DAN 1:3 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akamwagiza Ashpenazi, mkuu wa maafisa wa mfalme, kumletea baadhi ya Waisraeli kutoka jamaa ya mfalme na kutoka jamaa kuu,

DAN 1:4 Removed trailing space in v~: vijana wanaume wasio na dosari mwilini, wenye sura nzuri, wanaoonyesha kipaji katika kila aina ya elimu, wenye ufahamu mzuri, wepesi kuelewa, na waliofuzu kuhudumu katika jumba la kifalme. Alikuwa awafundishe lugha na maandiko ya Wakaldayo.

DAN 1:5 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaagizia kiasi cha chakula na divai ya kila siku kutoka meza ya mfalme. Walikuwa wafundishwe kwa miaka mitatu, na hatimaye waingie kwenye utumishi wa mfalme.

DAN 1:6 Removed trailing space in v~: Baadhi ya hawa vijana walitoka Yuda: nao ni Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria.

DAN 1:7 Removed trailing space in v~: Mkuu wa maafisa akawapa majina mapya: Danieli akamwita Belteshaza, Hanania akamwita Shadraki, Mishaeli akamwita Meshaki, na Azaria akamwita Abednego.

DAN 1:8 Removed trailing space in v~: Lakini Danieli alikusudia kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme na divai, naye akamwomba mkuu wa maafisa ruhusa ili asijinajisi kwa njia hii.

DAN 1:9 Removed trailing space in v~: Basi Mungu alikuwa amemfanya huyo mkuu wa maafisa kuonyesha upendeleo na huruma kwa Danieli,

DAN 1:10 Removed trailing space in v~: lakini huyo mkuu wa maafisa akamwambia Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme, aliyeagizia chakula na kinywaji chenu. Kwa nini aone nyuso zenu zikiwa mbaya kuliko za vijana wengine wa rika lenu? Mfalme atakata kichwa changu kwa sababu yenu.”

DAN 1:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli akamwambia mlinzi aliyeteuliwa na huyo mkuu wa maafisa kuwasimamia Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria,

DAN 1:12 Removed trailing space in v~: “Tafadhali wajaribu watumishi wako kwa siku kumi. Usitupe chochote ila nafaka na mboga za majani\f + \fr 1:12 \ft Nafaka na mboga za majani, yaani \fqa zeroimu \ft kwa Kiebrania, ina maana ya aina za ngano na shayiri, na jamii ya kunde kama maharagwe, dengu, choroko, n.k.\f* tule, na maji ya kunywa.

DAN 1:13 Removed trailing space in v~: Baadaye ulinganishe sura zetu na vijana wanaokula chakula cha mfalme, ukawatendee watumishi wako kulingana na unachoona.”

DAN 1:14 Removed trailing space in v~: Basi akakubali jambo hili, akawajaribu kwa siku kumi.

DAN 1:15 Removed trailing space in v~: Mwisho wa zile siku kumi, walionekana kuwa na afya na kunawiri zaidi kuliko yeyote kati ya wale vijana waliokula chakula cha mfalme.

DAN 1:16 Removed trailing space in v~: Hivyo mlinzi wao akaondoa chakula chao na divai yao waliopangiwa kula na kunywa, akawapa nafaka na mboga za majani badala yake.

DAN 1:17 Removed trailing space in v~: Mungu akawapa hawa vijana wanne maarifa na ufahamu wa kila aina ya maandiko na elimu. Naye Danieli aliweza kufahamu maono na aina zote za ndoto.

DAN 1:18 Removed trailing space in v~: Mwisho wa muda uliowekwa na mfalme kuwaingiza kwake, mkuu wa maafisa akawaleta mbele ya Mfalme Nebukadneza.

DAN 1:19 Removed trailing space in v~: Mfalme akazungumza nao, akaona hakuna aliyelingana na Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria. Hivyo wakaingia katika utumishi wa mfalme.

DAN 1:20 Removed trailing space in v~: Katika kila jambo la hekima na ufahamu kuhusu kile mfalme alichowauliza, aliwaona bora mara kumi zaidi kuliko waganga na wasihiri wote katika ufalme wake wote.

DAN 1:21 Removed trailing space in v~: Naye Danieli akabaki huko mpaka mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi.

DAN 2:0 Extra space after chapter number

DAN 2:0 Removed trailing space in c: 2

DAN 2:0 Removed trailing space in s1: Ndoto Ya Nebukadneza

DAN 2:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa pili wa utawala wake, Nebukadneza aliota ndoto. Mawazo yake yakasumbuka na hakuweza kulala.

DAN 2:2 Removed trailing space in v~: Hivyo mfalme akawaita waganga, wasihiri, wachawi na wanajimu ili wamwambie ndoto yake aliyokuwa ameota. Walipoingia ndani na kusimama mbele ya mfalme,

DAN 2:3 Removed trailing space in v~: akawaambia, “Niliota ndoto inayonisumbua, nami nataka nijue maana yake.”

DAN 2:4 Removed trailing space in v~: Ndipo wanajimu wakamjibu mfalme kwa lugha ya Kiaramu,\f + \fr 2:4 \ft Kutoka hapa hadi \+xt Dan 7:28,\+xt* mwandishi aliandika na Kiaramu.\f* “Ee mfalme, uishi milele! Waambie watumishi wako hiyo ndoto, nasi tutaifasiri.”

DAN 2:4 Found unexpected backslash in footnote: 2:4 Kutoka hapa hadi \+xt Dan 7:28,\+xt* mwandishi aliandika na Kiaramu.

DAN 2:5 Removed trailing space in v~: Mfalme akawajibu wanajimu, “Nimeamua hivi kwa uthabiti: Ikiwa hamtaniambia ndoto yangu ilikuwa ipi na kuifasiri, mtakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vifusi.

DAN 2:6 Removed trailing space in v~: Lakini mkiniambia ndoto yangu na kuielezea, mtapokea kwangu zawadi, tuzo na heshima kubwa. Basi niambieni ndoto yangu na mnifasirie.”

DAN 2:7 Removed trailing space in v~: Wakajibu kwa mara nyingine, “Mfalme na awaambie watumishi wake ndoto yake, nasi tutaifasiri.”

DAN 2:8 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akajibu, “Nina hakika kuwa mnajaribu kupata muda zaidi, kwa sababu mnatambua kuwa nimeamua hivi kwa uthabiti:

DAN 2:9 Removed trailing space in v~: Ikiwa hamtaniambia ndoto yangu, ipo adhabu moja tu kwenu. Mmefanya shauri kuniambia habari za kunipotosha na mambo maovu, mkitumaini kwamba hali itabadilika. Hivyo basi, niambieni hiyo ndoto, nami nitajua kuwa mwaweza kunifasiria.”

DAN 2:10 Removed trailing space in v~: Wanajimu wakamjibu mfalme, “Hakuna mtu duniani ambaye anaweza kufanya analotaka mfalme! Vilevile hakuna mfalme hata awe mkuu na mwenye uweza namna gani, aliyeuliza kitu kama hicho kwa mganga au kwa msihiri, wala kwa mnajimu yeyote.

DAN 2:11 Removed trailing space in v~: Anachouliza mfalme ni kigumu mno. Hakuna yeyote awezaye kumfunulia mfalme isipokuwa miungu, nao hawaishi miongoni mwa wanadamu.”

DAN 2:12 Removed trailing space in v~: Jambo hili lilimkasirisha na kumghadhibisha mfalme mno hata kuagiza kuuawa kwa wenye hekima wote wa Babeli.

DAN 2:13 Removed trailing space in v~: Hivyo amri ikatolewa ya kuwaua wenye hekima, nao watu wakatumwa kuwatafuta Danieli na rafiki zake ili wawaue.

DAN 2:14 Removed trailing space in v~: Wakati Arioko, mkuu wa askari wa walinzi wa mfalme, alikuwa amekwenda kuwaua watu wenye hekima wa Babeli, Danieli akazungumza naye kwa hekima na busara.

DAN 2:15 Removed trailing space in v~: Akamuuliza huyo afisa wa mfalme, “Kwa nini mfalme ametoa amri kali hivyo?” Ndipo Arioko akamweleza Danieli jambo hilo.

DAN 2:16 Removed trailing space in v~: Aliposikia jambo hili, Danieli akamwendea mfalme, akamwomba ampe muda ili aweze kumfasiria ile ndoto.

DAN 2:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli akarudi nyumbani kwake na kuwaeleza rafiki zake Hanania, Mishaeli na Azaria jambo hilo.

DAN 2:18 Removed trailing space in v~: Aliwasihi waombe rehema kutoka kwa Mungu wa mbinguni kuhusu siri hii, ili yeye na rafiki zake wasije wakauawa pamoja na wenye hekima wengine wa Babeli.

DAN 2:19 Removed trailing space in v~: Wakati wa usiku lile fumbo lilifunuliwa kwa Danieli katika maono. Ndipo Danieli akamhimidi Mungu wa mbinguni,

DAN 2:20 Removed trailing space in v~: na akasema:

DAN 2:20 Removed trailing space in p~: “Lihimidiwe jina la Mungu milele na milele;

DAN 2:20 Removed trailing space in p~: hekima na uweza ni vyake.

DAN 2:21 Removed trailing space in v~: Yeye hubadili nyakati na majira;

DAN 2:21 Removed trailing space in p~: huwaweka wafalme na kuwaondoa.

DAN 2:21 Removed trailing space in p~: Huwapa hekima wenye hekima,

DAN 2:21 Removed trailing space in p~: na maarifa wenye ufahamu.

DAN 2:22 Removed trailing space in v~: Hufunua siri na mambo yaliyofichika;

DAN 2:22 Removed trailing space in p~: anajua yale yaliyo gizani,

DAN 2:22 Removed trailing space in p~: nayo nuru hukaa kwake.

DAN 2:23 Removed trailing space in v~: Ninakushukuru na kukuhimidi,

DAN 2:23 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wa baba zangu:

DAN 2:23 Removed trailing space in p~: Umenipa hekima na uwezo,

DAN 2:23 Removed trailing space in p~: umenijulisha kile tulichokuomba,

DAN 2:23 Removed trailing space in p~: umetujulisha ndoto ya mfalme.”

DAN 2:23 Removed trailing space in s1: Danieli Aifasiri Ndoto

DAN 2:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli akamwendea Arioko, ambaye mfalme alikuwa amemteua kuwaua wenye hekima wa Babeli, akamwambia, “Usiwaue wenye hekima wa Babeli. Nipeleke kwa mfalme, nami nitamfasiria ndoto yake.”

DAN 2:25 Removed trailing space in v~: Arioko akampeleka Danieli kwa mfalme mara moja na kumwambia, “Nimempata mtu miongoni mwa watu wa uhamisho kutoka Yuda ambaye anaweza kumwambia mfalme maana ya ndoto yake.”

DAN 2:26 Removed trailing space in v~: Mfalme akamuuliza Danieli (aliyeitwa pia Belteshaza), “Je, unaweza kuniambia nilichoona katika ndoto yangu na kuifasiri?”

DAN 2:27 Removed trailing space in v~: Danieli akajibu, “Hakuna mwenye hekima, msihiri, mganga au mwaguzi anayeweza kumweleza mfalme siri aliyouliza,

DAN 2:28 Removed trailing space in v~: lakini yuko Mungu mbinguni afunuaye siri. Amemwonyesha Mfalme Nebukadneza kitakachotokea siku zijazo. Ndoto yako na maono yaliyopita mawazoni mwako ulipokuwa umelala kitandani mwako ni haya:

DAN 2:29 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, ulipokuwa umelala kitandani, yalikujia mawazo kuhusu mambo yatakayotokea baadaye, naye mfunuaji wa siri akakuonyesha ni kitu gani kitakachotokea.

DAN 2:30 Removed trailing space in v~: Kwangu mimi, nimefunuliwa siri hii, si kwa sababu nina hekima kubwa kuliko watu wengine wanaoishi, bali ni ili wewe, ee mfalme, upate kujua tafsiri, na ili uweze kuelewa kile kilichopita mawazoni mwako.

DAN 2:31 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, ulitazama, na mbele yako ilisimama sanamu kubwa, kubwa mno kupita kiasi, sanamu iliyongʼaa na kutisha kwa kuonekana kwake.

DAN 2:32 Removed trailing space in v~: Kichwa cha ile sanamu kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi, kifua chake na mikono yake vilikuwa vya fedha, tumbo lake na mapaja yake vilikuwa vya shaba,

DAN 2:33 Removed trailing space in v~: miguu yake ilikuwa ya chuma, na nyayo zake zilikuwa chuma nazo sehemu nyingine zilikuwa udongo wa mfinyanzi uliochomwa.

DAN 2:34 Removed trailing space in v~: Ulipokuwa unaangalia, jiwe lilikatwa, lakini si kwa mikono ya mwanadamu. Lile jiwe liliipiga ile sanamu kwenye nyayo zake za chuma na udongo wa mfinyanzi, na kuivunja.

DAN 2:35 Removed trailing space in v~: Ndipo ile chuma, ule udongo wa mfinyanzi, ile shaba, ile fedha na ile dhahabu vikavunjika vipande vipande kwa wakati mmoja, na vikawa kama makapi katika sakafu ya kupuria nafaka wakati wa kiangazi. Upepo ukavipeperusha bila kuacha hata alama. Lakini lile jiwe lililoipiga ile sanamu likawa mlima mkubwa mno na kuijaza dunia yote.

DAN 2:36 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo iliyokuwa ndoto, nasi sasa tutamfasiria mfalme.

DAN 2:37 Removed trailing space in v~: Ee mfalme, wewe ni mfalme wa wafalme. Mungu wa mbinguni amekupa wewe utawala, uweza, nguvu na utukufu.

DAN 2:38 Removed trailing space in v~: Mikononi mwako amewaweka wanadamu, wanyama wa kondeni, na ndege wa angani. Popote waishipo amekufanya wewe kuwa mtawala juu yao wote. Wewe ndiye kile kichwa cha dhahabu.

DAN 2:39 Removed trailing space in v~: “Baada yako, ufalme mwingine utainuka, ulio dhaifu kuliko wako. Baadaye utafuata ufalme wa tatu, ule wa shaba, nao utatawala juu ya dunia yote.

DAN 2:40 Removed trailing space in v~: Hatimaye, kutakuwako na ufalme wa nne, wenye nguvu kama chuma, kwa maana chuma huvunja na kupondaponda kila kitu; kama vile chuma ivunjavyo vitu vipande vipande, ndivyo ufalme huo utakavyopondaponda na kuvunjavunja nyingine zote.

DAN 2:41 Removed trailing space in v~: Kama vile ulivyoona kuwa kwa sehemu nyayo na vidole vilikuwa vya udongo wa mfinyanzi uliochomwa na kwa sehemu nyingine chuma, hivyo huu utakuwa ufalme uliogawanyika; hata hivyo utakuwa na sehemu zenye nguvu za chuma ndani yake, kama vile ulivyoona chuma imechanganywa na udongo wa mfinyanzi.

DAN 2:42 Removed trailing space in v~: Kama vile vidole vyake vya miguu vilikuwa kwa sehemu chuma na sehemu udongo wa mfinyanzi, hivyo ufalme huo kwa sehemu utakuwa na nguvu na kwa sehemu udhaifu.

DAN 2:43 Removed trailing space in v~: Kama vile ulivyoona chuma kikiwa kimechanganyikana na udongo wa mfinyanzi uliochomwa, ndivyo watu watakavyokuwa mchanganyiko, wala hawatabaki wameungana tena, kama vile chuma kisivyoweza kuchanganyikana na udongo wa mfinyanzi.

DAN 2:44 Removed trailing space in v~: “Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atauweka ufalme ambao kamwe hautaangamizwa, wala hautaachiwa taifa jingine. Utaziponda zile falme zote na kuzikomesha, bali wenyewe utadumu milele.

DAN 2:45 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo maana ya maono ya jiwe lililochongwa kutoka mlimani, lakini si kwa mikono ya mwanadamu, lile jiwe ambalo lilivunja chuma, shaba, udongo wa mfinyanzi, fedha na dhahabu vipande vipande.

DAN 2:45 Removed trailing space in p~: “Mungu Mkuu amemwonyesha mfalme kile kitakachotokea wakati ujao. Ndoto hii ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika.”

DAN 2:46 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Nebukadneza akaanguka kifudifudi mbele ya Danieli kumpa heshima, akaagiza wamtolee Danieli sadaka na uvumba.

DAN 2:47 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Danieli, “Hakika Mungu wako ni Mungu wa miungu, na Bwana wa wafalme, na mfunuaji wa siri zote, kwa maana umeweza kufunua siri hii.”

DAN 2:48 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akamweka Danieli nafasi ya juu, na kumpa zawadi nyingi tele. Akamfanya kuwa mtawala wa jimbo lote la Babeli, na kumweka kuwa mkuu wa wenye hekima wote.

DAN 2:49 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, kwa ombi la Danieli, mfalme akawateua Shadraki, Meshaki na Abednego kuwa wasimamizi wa jimbo la Babeli, huku Danieli akibaki katika ukumbi wa mfalme.

DAN 3:0 Extra space after chapter number

DAN 3:0 Removed trailing space in c: 3

DAN 3:0 Removed trailing space in s1: Sanamu Ya Dhahabu Na Moto Mkali

DAN 3:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu, yenye kimo cha dhiraa sitini,\f + \fr 3:1 \ft Dhiraa sitini ni sawa na mita 27.\f* na upana wa dhiraa sita,\f + \fr 3:1 \ft Dhiraa sita ni sawa na mita 2.7.\f* akaisimamisha kwenye tambarare ya Dura katika jimbo la nchi ya Babeli.

DAN 3:2 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akaita wakuu, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu na maafisa wengine wote wa jimbo kuja kuizindua sanamu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha.

DAN 3:3 Removed trailing space in v~: Basi wakuu, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu na maafisa wengine wa jimbo walikusanyika ili kuizindua sanamu ile Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha, nao wakasimama mbele ya hiyo sanamu.

DAN 3:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mpiga mbiu akatangaza kwa sauti kubwa, “Enyi watu wa kabila zote, mataifa na watu wa kila lugha, hili ndilo mnaloamriwa kulifanya:

DAN 3:5 Removed trailing space in v~: Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za sauti za ala za uimbaji, lazima mwanguke chini na kuabudu sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza ameisimamisha.

DAN 3:6 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu sanamu hiyo, atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto.”

DAN 3:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, mara waliposikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda na aina zote za ala za uimbaji, watu wa kabila zote, mataifa na watu wa kila lugha wakaanguka chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha.

DAN 3:8 Removed trailing space in v~: Wakati huo baadhi ya Wakaldayo walijitokeza na kuwashtaki Wayahudi.

DAN 3:9 Removed trailing space in v~: Wakamwambia Mfalme Nebukadneza, “Ee mfalme, uishi milele!

DAN 3:10 Removed trailing space in v~: Ee mfalme, umetoa amri kwamba kila mmoja atakayesikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda, zumari na aina zote za ala za uimbaji lazima aanguke chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu,

DAN 3:11 Removed trailing space in v~: na kwamba yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto.

DAN 3:12 Removed trailing space in v~: Lakini wako baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu ya mambo ya jimbo la Babeli: yaani, Shadraki, Meshaki na Abednego, ambao hawakujali wewe, ee mfalme. Hawaitumikii miungu yako wala kuiabudu ile sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”

DAN 3:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Nebukadneza, akiwa amekasirika na mwenye ghadhabu kali, akawaita Shadraki, Meshaki na Abednego. Hivyo watu hawa wakaletwa mbele ya mfalme,

DAN 3:14 Removed trailing space in v~: naye Nebukadneza akawauliza, “Je, ni kweli kwamba ninyi Shadraki, Meshaki na Abednego hamuitumikii miungu yangu wala kuiabudu sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha?

DAN 3:15 Removed trailing space in v~: Basi wakati mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za ala za uimbaji, kama mtakuwa tayari kusujudu na kuiabudu hiyo sanamu niliyoitengeneza, vyema sana. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto. Naye ni mungu yupi atakayeweza kuwaokoa ninyi, kutoka mkono wangu?”

DAN 3:16 Removed trailing space in v~: Shadraki, Meshaki na Abednego wakamjibu mfalme, “Ee Nebukadneza, hatuhitaji kujitetea mbele zako kuhusu jambo hili.

DAN 3:17 Removed trailing space in v~: Ikiwa tutatupwa ndani ya tanuru iwakayo moto, Mungu tunayemtumikia anaweza kutuokoa na moto, naye atatuokoa kutoka mkononi mwako, ee mfalme.

DAN 3:18 Removed trailing space in v~: Lakini hata ikiwa hatatuokoa, ee mfalme, tunataka ufahamu kwamba, hatutaitumikia miungu yako wala kuiabudu sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”

DAN 3:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Nebukadneza akawa na ghadhabu kali sana kwa Shadraki, Meshaki na Abednego, nayo nia yake ikabadilika kwao. Akaagiza tanuru ichochewe moto mara saba kuliko kawaida yake

DAN 3:20 Removed trailing space in v~: na kuwaamuru baadhi ya askari wake wenye nguvu zaidi katika jeshi lake kuwafunga Shadraki, Meshaki na Abednego na kuwatupa ndani ya tanuru iwakayo moto.

DAN 3:21 Removed trailing space in v~: Hivyo watu hawa, walifungwa na kutupwa ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa wamevaa majoho yao, suruali, vilemba na nguo zao nyingine.

DAN 3:22 Removed trailing space in v~: Amri ya mfalme ilikuwa ya haraka sana na tanuru ilikuwa na moto mkali kiasi kwamba miali ya moto iliwaua wale askari waliowapeleka Shadraki, Meshaki na Abednego.

DAN 3:23 Removed trailing space in v~: Watu hawa watatu walianguka ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa wamefungwa kwa uthabiti sana.

DAN 3:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Nebukadneza akashangaa, akainuka kwa haraka na kuwauliza washauri wake, “Je, hawakuwa watu watatu ambao tuliwafunga na kuwatupa ndani ya moto?”

DAN 3:24 Removed trailing space in p~: Washauri wakajibu, “Hakika, ee mfalme.”

DAN 3:25 Removed trailing space in v~: Mfalme akasema, “Tazama! Naona watu wanne wakitembeatembea ndani ya moto, hawajafungwa wala kudhurika, naye mtu yule wa nne anaonekana kama mwana wa miungu.”

DAN 3:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Nebukadneza akaukaribia mdomo wa ile tanuru iwakayo moto na kupaza sauti, “Shadraki, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu Sana, tokeni! Njooni hapa!”

DAN 3:26 Removed trailing space in p~: Ndipo Shadraki, Meshaki na Abednego wakatoka ndani ya moto.

DAN 3:27 Removed trailing space in v~: Nao maliwali, wasimamizi, watawala na washauri wa mfalme wakakusanyika kuwazunguka. Waliona kwamba moto haukudhuru miili yao, wala unywele wa vichwa vyao haukuungua, majoho yao hayakuungua, wala hapakuwepo na harufu ya moto kwenye miili yao.

DAN 3:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Nebukadneza akasema, “Ahimidiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego, ambaye amemtuma malaika wake na kuwaokoa watumishi wake. Walimtumaini na kukaidi amri ya mfalme, nao wakawa tayari kufa kuliko kutumikia au kuabudu mungu mwingine yeyote isipokuwa Mungu wao.

DAN 3:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ninaamuru kwamba watu wa taifa lolote au lugha yoyote watakaosema kitu chochote dhidi ya Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego wakatwe vipande vipande na nyumba zao zifanywe kuwa malundo ya kokoto, kwa maana hakuna mungu mwingine awezaye kuokoa namna hii.”

DAN 3:30 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akawapandisha vyeo Shadraki, Meshaki na Abednego katika jimbo la Babeli.

DAN 4:0 Extra space after chapter number

DAN 4:0 Removed trailing space in c: 4

DAN 4:0 Removed trailing space in s1: Ndoto Ya Nebukadneza Ya Mti

DAN 4:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Nebukadneza,

DAN 4:1 Removed trailing space in p~: Kwa kabila za watu, mataifa na watu wa kila lugha, wanaoishi katika ulimwengu wote:

DAN 4:1 Removed trailing space in p~: Mafanikio yawe kwenu sana!

DAN 4:2 Removed trailing space in v~: Ni furaha yangu kuwaambia kuhusu ishara za miujiza na maajabu ambayo Mungu Aliye Juu Sana amenifanyia.

DAN 4:3 Removed trailing space in v~: Ishara zake ni kuu aje,

DAN 4:3 Removed trailing space in p~: na maajabu yake yana nguvu aje!

DAN 4:3 Removed trailing space in p~: Ufalme wake ni ufalme wa milele;

DAN 4:3 Removed trailing space in p~: enzi yake hudumu kutoka kizazi hadi kizazi.

DAN 4:4 Removed trailing space in v~: Mimi, Nebukadneza, nilikuwa nyumbani katika jumba langu la kifalme, nikiwa ninaishi kwa raha na hali ya kufanikiwa.

DAN 4:5 Removed trailing space in v~: Niliota ndoto iliyoniogopesha. Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, njozi na maono yaliyopita mawazoni mwangu vilinitisha.

DAN 4:6 Removed trailing space in v~: Hivyo nikaagiza kwamba watu wote wenye hekima wa Babeli waletwe mbele yangu kunifasiria ndoto yangu.

DAN 4:7 Removed trailing space in v~: Walipokuja waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi, niliwaambia ndoto yangu, lakini hawakuweza kunifasiria.

DAN 4:8 Removed trailing space in v~: Mwishoni, Danieli alikuja mbele yangu nikamweleza hiyo ndoto. (Danieli anaitwa Belteshaza, kwa jina la mungu wangu, nayo roho ya miungu mitakatifu inakaa ndani yake.)

DAN 4:9 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Belteshaza, mkuu wa waganga, ninajua kuwa roho ya miungu mitakatifu iko ndani yako, wala hakuna siri iliyo ngumu kwako. Hii ndiyo ndoto yangu, nifasirie.

DAN 4:10 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maono niliyoona nilipokuwa nimelala kitandani mwangu: Nilitazama, na mbele yangu ulisimama mti katikati ya nchi. Ulikuwa mrefu sana.

DAN 4:11 Removed trailing space in v~: Mti ule ulikua, ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga; ulionekana mpaka miisho ya dunia.

DAN 4:12 Removed trailing space in v~: Majani yake yalikuwa ya kupendeza, matunda yake yalikuwa mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Chini ya kivuli chake wanyama wa kondeni walipata hifadhi, na ndege wa angani waliishi katika matawi yake. Kila kiumbe kililishwa kutokana na mti huo.

DAN 4:13 Removed trailing space in v~: “Katika maono niliyoyaona nikiwa nimelala kitandani mwangu, nilitazama, na mbele yangu alikuwepo mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni.

DAN 4:14 Removed trailing space in v~: Akaita kwa sauti kubwa: ‘Kateni mti huu, myafyeke matawi yake; yaondoeni majani yake na kuyatawanya matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege waondoke kutoka matawi yake.

DAN 4:15 Removed trailing space in v~: Lakini acheni kisiki chake na mizizi, kikiwa kimefungwa kwa chuma na shaba, kibaki ardhini, kwenye majani ya kondeni.

DAN 4:15 Removed trailing space in p~: “ ‘Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, naye aachwe aishi pamoja na wanyama miongoni mwa mimea ya dunia.

DAN 4:16 Removed trailing space in v~: Akili yake na ibadilishwe kutoka ile ya mwanadamu na apewe akili ya mnyama, mpaka nyakati saba zipite juu yake.

DAN 4:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Uamuzi huu umetangazwa na walinzi, hukumu imetangazwa na watakatifu, ili walio hai wajue kuwa Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme zote za wanadamu, naye humpa yeyote amtakaye na kumtawaza juu yake hata yeye aliye mnyonge sana miongoni mwa wanadamu.’

DAN 4:18 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo ndoto niliyoipata mimi, Mfalme Nebukadneza. Sasa Belteshaza, niambie maana yake, kwa maana hakuna hata mmoja wa wenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunifasiria. Bali wewe waweza, kwa sababu roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.”

DAN 4:18 Removed trailing space in s1: Danieli Anafasiri Ndoto

DAN 4:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli (aliyeitwa pia Belteshaza) alipofadhaika sana kwa muda, nayo mawazo yake yakamtia hofu. Basi mfalme akasema, “Belteshaza, usiruhusu ndoto wala maana yake kukutia hofu.”

DAN 4:19 Removed trailing space in p~: Belteshaza akamjibu, “Bwana wangu, laiti ndoto hii ingehusu adui zako, na maana yake iwahusu watesi wako!

DAN 4:20 Removed trailing space in v~: Mti uliouona, uliokua ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga na kuonekana duniani kote,

DAN 4:21 Removed trailing space in v~: ukiwa na majani ya kupendeza na matunda mengi, ukitoa chakula kwa wote, na ukiwapa hifadhi wanyama wa kondeni na kuwa mahali pa viota katika matawi yake kwa ajili ya ndege wa angani.

DAN 4:22 Removed trailing space in v~: Ee mfalme, wewe ndiwe ule mti! Umekuwa mkubwa na mwenye nguvu, nao ukuu wako umekua mpaka kufika juu angani, nayo mamlaka yako yameenea mpaka miisho ya dunia.

DAN 4:23 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, wewe ulimwona mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni na kusema, ‘Ukateni mti na kuuangamiza, lakini kiacheni kisiki kikiwa kimefungwa kwa chuma na kwa shaba, kwenye majani ya kondeni, wakati mizizi yake inabaki ardhini. Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, mwacheni aishi kama wanyama pori mpaka nyakati saba zipite juu yake.’

DAN 4:24 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, hii ndiyo tafsiri, na hii ni amri ya Aliye Juu Sana aliyoitoa dhidi ya bwana wangu mfalme:

DAN 4:25 Removed trailing space in v~: Wewe utafukuzwa mbali na wanadamu, nawe utaishi pamoja na wanyama pori; utakula manyasi kama ngʼombe, na kuloana kwa umande wa mbinguni. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.

DAN 4:26 Removed trailing space in v~: Amri ya kuacha kisiki pamoja na mizizi yake inamaanisha kwamba ufalme wako utarejezwa kwako utakapokubali kwamba Mbingu ndizo zitawalazo.

DAN 4:27 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ee mfalme, uwe radhi kupokea shauri langu: Acha dhambi zako kwa kutenda yaliyo haki, ukaache uovu wako, na uwe na huruma kwa walioonewa. Hivyo itawezekana baada ya hayo, mafanikio yako yakaendelea.”

DAN 4:27 Removed trailing space in s1: Ndoto Inatimia

DAN 4:28 Removed trailing space in v~: Haya yote yalimpata Mfalme Nebukadneza.

DAN 4:29 Removed trailing space in v~: Miezi kumi na miwili baadaye, mfalme alipokuwa akitembea juu ya paa la jumba la kifalme la Babeli,

DAN 4:30 Removed trailing space in v~: alisema, “Je, huu si Babeli mji mkuu nilioujenga kama makao ya kifalme, kwa uwezo wangu mkubwa, na kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”

DAN 4:31 Removed trailing space in v~: Maneno hayo yalikuwa bado katika midomo yake wakati sauti ilipokuja kutoka mbinguni, ikisema, “Mfalme Nebukadneza, hiki ndicho kilichoamriwa kwa ajili yako: Mamlaka yako ya ufalme yameondolewa kutoka kwako.

DAN 4:32 Removed trailing space in v~: Utafukuzwa mbali na wanadamu, ukaishi pamoja na wanyama pori, na utakula manyasi kama ngʼombe. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.”

DAN 4:33 Removed trailing space in v~: Papo hapo yale yaliyokuwa yamesemwa kuhusu Nebukadneza yakatimia. Alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ngʼombe. Mwili wake uliloweshwa kwa umande wa mbinguni mpaka nywele zake zikakua kama manyoya ya tai na kucha zake kama makucha ya ndege.

DAN 4:34 Removed trailing space in v~: Mwisho wa huo wakati, mimi Nebukadneza, niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, nazo fahamu zangu zikanirudia. Ndipo nikamsifu Yeye Aliye Juu Sana, nikamheshimu na kumhimidi yeye aishiye milele.

DAN 4:34 Removed trailing space in p~: Utawala wake ni utawala wa milele;

DAN 4:34 Removed trailing space in p~: ufalme wake hudumu kutoka kizazi na kizazi.

DAN 4:35 Removed trailing space in v~: Mataifa yote ya dunia

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: yanahesabiwa kuwa si kitu.

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: Hufanya kama atakavyo

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: kwa majeshi ya mbinguni,

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: na kwa mataifa ya dunia.

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: Hakuna anayeweza kuuzuia mkono wake

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: au kumwambia, “Umefanya nini wewe?”

DAN 4:36 Removed trailing space in v~: Wakati huo huo fahamu zangu ziliponirudia, nikarudishiwa heshima yangu na fahari yangu kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na wakuu wangu walikuja kunitafuta, nami nikarudishwa kwenye kiti changu cha ufalme hata nikawa mkuu kuliko mwanzoni.

DAN 4:37 Removed trailing space in v~: Basi mimi, Nebukadneza, humhimidi, na humtukuza na kumsifu Mfalme wa mbinguni, kwa sababu kila kitu afanyacho ni haki, na njia zake zote ni adili. Nao waendao kwa kiburi anaweza kuwashusha.

DAN 5:0 Extra space after chapter number

DAN 5:0 Removed trailing space in c: 5

DAN 5:0 Removed trailing space in s1: Maandishi Ukutani

DAN 5:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao.

DAN 5:2 Removed trailing space in v~: Wakati Belshaza alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekaluni huko Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake waweze kuvinywea.

DAN 5:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo vilikuwa vimechukuliwa kutoka Hekalu la Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake wakavinywea.

DAN 5:4 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wakinywa mvinyo, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, ya shaba, chuma, miti na mawe.

DAN 5:5 Removed trailing space in v~: Ghafula vidole vya mkono wa mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta, karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kikiandika.

DAN 5:6 Removed trailing space in v~: Uso wa mfalme ukageuka rangi, naye akaogopa sana, kiasi kwamba magoti yake yaligongana na miguu yake ikalegea.

DAN 5:7 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaita wasihiri, wanajimu na waganga waletwe, naye akawaambia hawa wenye hekima wa Babeli, “Yeyote asomaye maandishi haya na kuniambia maana yake atavikwa nguo za zambarau, na kuvikwa mkufu wa dhahabu shingoni mwake, naye atafanywa mtawala wa cheo cha tatu katika ufalme.”

DAN 5:8 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wote wa mfalme wenye hekima wakaingia, lakini hawakuweza kusoma yale maandishi wala kumwambia mfalme maana yake.

DAN 5:9 Removed trailing space in v~: Basi Mfalme Belshaza akazidi kujawa na hofu, na uso wake ukageuka rangi zaidi. Wakuu wake wakapigwa na bumbuazi.

DAN 5:10 Removed trailing space in v~: Malkia\f + \fr 5:10 \ft Au: Mama yake mfalme.\f* aliposikia sauti za mfalme na wakuu wake, alikuja katika ukumbi wa karamu. Akasema, “Ee mfalme, uishi milele! Usishtuke! Usibadilike rangi kiasi hicho!

DAN 5:11 Removed trailing space in v~: Yuko mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu mitakatifu ndani yake. Wakati wa baba yako, mtu huyo alionekana kuwa na ufahamu, akili na hekima kama ile ya miungu. Mfalme Nebukadneza baba yako, yaani nasema mfalme baba yako, alimweka kuwa mkuu wa waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi.

DAN 5:12 Removed trailing space in v~: Mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza, alionekana kuwa na akili nyepesi, maarifa na ufahamu, pia uwezo wa kufasiri ndoto, kueleza mafumbo na kutatua matatizo magumu. Mwite Danieli, naye atakuambia maana ya haya maandishi.”

DAN 5:13 Removed trailing space in v~: Hivyo Danieli akaletwa mbele ya mfalme, naye mfalme akamuuliza, “Je, wewe ndiwe Danieli, mmoja wa watu wa uhamisho walioletwa na mfalme baba yangu kutoka Yuda?

DAN 5:14 Removed trailing space in v~: Nimesikia kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na kwamba una ufahamu, akili na hekima ya pekee.

DAN 5:15 Removed trailing space in v~: Watu wenye hekima na wasihiri waliletwa mbele yangu ili kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, lakini hawakuweza kunifafanulia.

DAN 5:16 Removed trailing space in v~: Basi nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo magumu. Ikiwa unaweza kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwako, nawe utafanywa mtawala wa tatu katika ufalme.”

DAN 5:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.

DAN 5:18 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Sana alimpa baba yako Nebukadneza utawala, ukuu, utukufu na fahari.

DAN 5:19 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya nafasi ya juu aliyompa baba yako, kabila zote za watu, mataifa na watu wa kila lugha walimhofu na kumwogopa. Wale ambao mfalme alitaka kuwaua, aliwaua; wale aliotaka kuwaacha hai, aliwaacha hai; wale aliotaka kuwapandisha cheo, aliwapandisha; aliotaka kuwashusha, aliwashusha.

DAN 5:20 Removed trailing space in v~: Lakini moyo wake ulipokuwa na majivuno na kuwa mgumu kwa kiburi, aliondolewa kutoka kwa kiti chake cha ufalme na kuvuliwa utukufu wake.

DAN 5:21 Removed trailing space in v~: Akafukuzwa mbali na wanadamu na kupewa akili ya mnyama, akaishi pamoja na punda-mwitu, akala majani kama ngʼombe, nao mwili wake ukaloweshwa kwa umande wa mbingu, mpaka alipotambua kwamba Mungu Aliye Juu Sana ndiye mtawala juu ya falme za wanadamu na kwamba humtawaza juu yao yeyote amtakaye.

DAN 5:22 Removed trailing space in v~: “Lakini wewe mwanawe, ee Belshaza, hukujinyenyekeza, ingawa ulifahamu haya yote.

DAN 5:23 Removed trailing space in v~: Badala yake, umejiinua dhidi ya Bwana wa mbingu. Uliletewa vikombe vya Hekalu lake, nawe na wakuu wako, wake zako na masuria wako mlivitumia kwa kunywea mvinyo. Ukaisifu miungu ya fedha na dhahabu, ya shaba, chuma, miti na mawe, miungu ambayo haiwezi kuona, au kusikia wala kufahamu. Lakini hukumheshimu Mungu ambaye anaushikilia uhai wako na njia zako zote mkononi mwake.

DAN 5:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.

DAN 5:25 Removed trailing space in v~: “Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa:

DAN 5:25 Removed trailing space in p~: mene, mene, tekeli na peresi

DAN 5:26 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo maana ya maneno haya:

DAN 5:26 Removed trailing space in p~: “\tl Mene\tl*: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.

DAN 5:27 Removed trailing space in v~: \tl Tekeli\tl*: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.

DAN 5:28 Removed trailing space in v~: \tl Peresi\tl*: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”

DAN 5:29 Removed trailing space in v~: Ndipo kwa amri ya Belshaza, Danieli akavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni, tena akatangazwa kuwa mtawala wa tatu katika ufalme.

DAN 5:30 Removed trailing space in v~: Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa,

DAN 5:31 Removed trailing space in v~: naye Dario Mmedi akashika ufalme akiwa na miaka sitini na miwili.

DAN 6:0 Extra space after chapter number

DAN 6:0 Removed trailing space in c: 6

DAN 6:0 Removed trailing space in s1: Danieli Katika Tundu La Simba

DAN 6:1 Removed trailing space in v~: Ilimpendeza Dario kuteua wakuu 120 kutawala katika ufalme wake wote,

DAN 6:2 Removed trailing space in v~: pamoja na wasimamizi watatu juu yao, ambao mmoja wao alikuwa Danieli. Wakuu walitoa hesabu kwa hao wasimamizi ili mfalme asipate hasara.

DAN 6:3 Removed trailing space in v~: Basi Danieli alijidhihirisha, miongoni mwa wasimamizi na wakuu kwa sifa zake za kipekee hata mfalme akapanga kumweka juu ya ufalme wote.

DAN 6:4 Removed trailing space in v~: Walipofahamu hilo, wakuu na wasimamizi wakajaribu kutafuta sababu za kumshtaki Danieli kuhusu usimamizi wake wa shughuli za serikali, lakini hawakuweza kufanikiwa. Hawakuweza kupata kosa kwake, kwa sababu alikuwa mwaminifu, wala hakupatikana na upotovu au uzembe.

DAN 6:5 Removed trailing space in v~: Mwishoni watu hawa walisema, “Kamwe hatutapata msingi wa mashtaka dhidi ya huyu Danieli isipokuwa iwe inahusiana na sheria ya Mungu wake.”

DAN 6:6 Removed trailing space in v~: Basi wasimamizi na wakuu wakaingia kwa mfalme kama kikundi wakasema, “Ee Mfalme Dario, uishi milele!

DAN 6:7 Removed trailing space in v~: Wasimamizi wa ufalme, wasaidizi, wakuu, washauri na watawala wote wamekubaliana kwamba mfalme atoe sheria na kukazia amri kuwa yeyote atakayetoa dua kwa mungu au mwanadamu yeyote katika muda huu wa siku thelathini zijazo, isipokuwa kwako wewe, ee mfalme, atupwe ndani ya tundu la simba.

DAN 6:8 Removed trailing space in v~: Sasa, ee mfalme, toa amri na uiandike ili isiweze kubadilishwa: kulingana na sheria za Wamedi na Waajemi, ambazo haziwezi kubatilishwa.”

DAN 6:9 Removed trailing space in v~: Hivyo Mfalme Dario akaiweka amri hiyo katika maandishi.

DAN 6:10 Removed trailing space in v~: Basi Danieli alipofahamu kuwa amri ile imetangazwa, alikwenda nyumbani kwenye chumba chake cha ghorofani ambako madirisha yalifunguka kuelekea Yerusalemu. Akapiga magoti na kuomba mara tatu kwa siku, akimshukuru Mungu wake kama alivyokuwa akifanya mwanzoni.

DAN 6:11 Removed trailing space in v~: Ndipo watu hawa wakaenda kama kikundi na kumkuta Danieli akiomba na kumsihi Mungu kwa ajili ya msaada.

DAN 6:12 Removed trailing space in v~: Basi wakaenda kwa mfalme na kusema naye kuhusu amri ya mfalme: “Je, hukutangaza amri kwamba kwa muda huu wa siku thelathini zijazo mtu yeyote ambaye atamwomba mungu au mwanadamu yeyote isipokuwa wewe, ee mfalme, angetupwa ndani ya tundu la simba?”

DAN 6:12 Removed trailing space in p~: Mfalme akajibu, “Amri ndivyo ilivyo, kulingana na sheria za Wamedi na Waajemi, ambazo haziwezi kubatilishwa.”

DAN 6:13 Removed trailing space in v~: Ndipo wakamwambia mfalme, “Danieli, ambaye ni mmoja wa mahamisho kutoka Yuda, hakuheshimu, ee mfalme, wala hajali amri uliyoiweka kwa maandishi. Bado anaomba mara tatu kwa siku.”

DAN 6:14 Removed trailing space in v~: Wakati mfalme aliposikia hili, akahuzunika mno. Akakusudia kumwokoa Danieli, hivyo akafanya kila jitihada ya kumwokoa hadi jua likatua.

DAN 6:15 Removed trailing space in v~: Ndipo wale watu wakamwendea mfalme kama kikundi na kumwambia, “Ee mfalme, kumbuka kwamba kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi, hakuna amri wala sheria ambayo mfalme ameitoa inayoweza kubadilishwa.”

DAN 6:16 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akatoa amri, nao wakamleta Danieli, na wakamtupa ndani ya tundu la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako unayemtumikia daima na akuokoe!”

DAN 6:17 Removed trailing space in v~: Jiwe likaletwa na kuwekwa kwenye mdomo wa tundu, naye mfalme akalitia muhuri kwa pete yake mwenyewe pamoja na kwa pete za wakuu wake, ili hali ya Danieli isiweze kubadilishwa.

DAN 6:18 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akarudi kwenye jumba lake la kifalme, naye usiku kucha hakula chakula wala kutumia viburudisho alivyoletewa. Lakini hakuweza kulala.

DAN 6:19 Removed trailing space in v~: Asubuhi na mapema, mfalme akaondoka na kuharakisha kwenda kwenye tundu la simba.

DAN 6:20 Removed trailing space in v~: Wakati alipokaribia lile tundu, akamwita Danieli kwa sauti ya uchungu, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai! Je, Mungu wako unayemtumikia daima, ameweza kukuokoa kwa simba?”

DAN 6:21 Removed trailing space in v~: Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele!

DAN 6:22 Removed trailing space in v~: Mungu wangu alimtuma malaika wake, naye akafunga vinywa vya hawa simba. Hawajanidhuru, kwa sababu nilionekana sina hatia mbele zake. Wala kamwe sijafanya jambo lolote baya mbele yako, ee mfalme.”

DAN 6:23 Removed trailing space in v~: Mfalme akafurahi mno, naye akatoa amri Danieli atolewe kutoka kwa lile tundu. Danieli alipotolewa kutoka kwa lile tundu, hakukutwa na jeraha lolote, kwa sababu alikuwa amemtumaini Mungu wake.

DAN 6:24 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya mfalme, wale watu waliokuwa wamemshtaki Danieli kwa uongo waliletwa na kutupwa ndani ya lile tundu la simba, pamoja na wake zao na watoto wao. Nao kabla hawajafika chini kwenye sakafu ya lile tundu, simba wakawakamata na kusaga mifupa yao yote.

DAN 6:25 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Dario akawaandikia kabila zote za watu, mataifa, na watu wa kila lugha katika nchi yote:

DAN 6:25 Removed trailing space in p~: “Ninyi na mstawi sana!

DAN 6:26 Removed trailing space in v~: “Natoa amri hii, kwamba katika kila sehemu ya ufalme wangu, lazima watu wamwogope na kumheshimu Mungu wa Danieli.

DAN 6:26 Removed trailing space in p~: “Kwa maana yeye ni Mungu aliye hai,

DAN 6:26 Removed trailing space in p~: naye hudumu milele,

DAN 6:26 Removed trailing space in p~: ufalme wake hautaangamizwa,

DAN 6:26 Removed trailing space in p~: nao utawala wake hauna mwisho.

DAN 6:27 Removed trailing space in v~: Huponya na kuokoa;

DAN 6:27 Removed trailing space in p~: hufanya ishara na maajabu

DAN 6:27 Removed trailing space in p~: mbinguni na duniani.

DAN 6:27 Removed trailing space in p~: Amemwokoa Danieli

DAN 6:27 Removed trailing space in p~: kutoka nguvu za simba.”

DAN 6:28 Removed trailing space in v~: Hivyo Danieli akastawi wakati wa utawala wa Dario, na utawala wa Koreshi Mwajemi.

DAN 8:0 Extra space after chapter number

DAN 8:0 Removed trailing space in c: 8

DAN 8:0 Removed trailing space in s1: Maono Ya Danieli Ya Kondoo Dume Na Beberu

DAN 8:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza, mimi Danieli, nilipata maono, baada ya maono ambayo yalikuwa yamenitokea mbeleni.

DAN 8:2 Removed trailing space in v~: Katika maono yangu, nilijiona nikiwa ndani ya ngome ya Shushani katika jimbo la Elamu. Katika maono nilikuwa kando ya Mto Ulai.\f + \fr 8:2 \ft Mto Ulai ni mfereji uliokuwa kati ya Shushani na Elymaisi; sasa unaitwa Mto Karuni.\f*

DAN 8:3 Removed trailing space in v~: Nikatazama juu, na hapo mbele yangu kulikuwa na kondoo dume mwenye pembe mbili, akiwa amesimama kando ya mto, nazo pembe zake zilikuwa ndefu. Pembe moja ilikuwa ndefu kuliko hiyo nyingine, lakini iliendelea kukua baadaye.

DAN 8:4 Removed trailing space in v~: Nikamtazama yule kondoo dume alivyokuwa akishambulia kuelekea magharibi, kaskazini na kusini. Hakuna mnyama yeyote aliyeweza kusimama dhidi yake, wala hakuna aliyeweza kuokoa kutoka nguvu zake. Alifanya kama atakavyo, naye akawa mkuu.

DAN 8:5 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa ninatafakari hili, ghafula beberu mwenye pembe moja kubwa sana katikati ya macho yake alikuja kutoka magharibi, akiruka kasi juu ya dunia yote bila kugusa ardhi.

DAN 8:6 Removed trailing space in v~: Alikuja akimwelekea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akisimama kando ya mto, akamshambulia kwa hasira nyingi.

DAN 8:7 Removed trailing space in v~: Nikamwona akimshambulia yule kondoo dume kwa hasira nyingi, akimpiga yule kondoo dume na kuvunja pembe zake mbili. Yule kondoo dume hakuwa na nguvu za kumzuia yule beberu, hivyo akamwangusha yule kondoo dume chini na kumkanyaga, wala hakuna aliyeweza kumwokoa yule kondoo dume kutoka nguvu za huyo beberu.

DAN 8:8 Removed trailing space in v~: Yule beberu akawa mkubwa sana, lakini katika kilele cha nguvu zake ile pembe yake ndefu ilivunjika, na mahali pake pakaota pembe nne kubwa kuelekea pande nne za dunia.

DAN 8:9 Removed trailing space in v~: Kutoka mojawapo ya zile pembe nne palitokea pembe ndogo ukaongezeka nguvu kuelekea kusini, na kuelekea mashariki, na kuelekea Nchi ya Kupendeza.

DAN 8:10 Removed trailing space in v~: Pembe hiyo ikaendelea kukua hadi kufikia jeshi la mbinguni, nayo ikalitupa baadhi ya jeshi la vitu vya angani hapa chini duniani, na kulikanyaga.

DAN 8:11 Removed trailing space in v~: Pembe hiyo ikajikweza ili iwe kama Mkuu wa hilo jeshi; ikamwondolea dhabihu ya kila siku, napo mahali pake patakatifu pakashushwa chini.

DAN 8:12 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya uasi, jeshi la watakatifu na dhabihu za kila siku vikatiwa mikononi mwake. Ikafanikiwa katika kila kitu ilichofanya, nayo kweli ikatupwa chini.

DAN 8:13 Removed trailing space in v~: Kisha nikamsikia mtakatifu mmoja akizungumza na mtakatifu mwingine, akamwambia, “Je, itachukua muda gani maono haya yatimie: maono kuhusu dhabihu ya kila siku, uasi unaosababisha ukiwa, kutwaliwa kwa mahali patakatifu, na jeshi litakalokanyagwa chini ya nyayo?”

DAN 8:14 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Itachukua siku 2,300. Ndipo mahali patakatifu patawekwa wakfu tena.”

DAN 8:14 Removed trailing space in s1: Tafsiri Ya Maono

DAN 8:15 Removed trailing space in v~: Mimi Danieli nilipokuwa ninaangalia maono na kujaribu kuelewa, mbele yangu alisimama mmoja aliyefanana na mwanadamu.

DAN 8:16 Removed trailing space in v~: Kisha nikasikia sauti ya mwanadamu kutoka Mto Ulai ikiita, “Gabrieli, mwambie mtu huyu maana ya maono haya.”

DAN 8:17 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akikaribia pale nilipokuwa nimesimama, niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Akaniambia, “Mwana wa mwanadamu, fahamu kuwa maono haya yanahusu siku za mwisho.”

DAN 8:18 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akinena nami, nilikuwa katika usingizi mzito, huku nimelala kifudifudi. Ndipo aliponigusa na kunisimamisha wima.

DAN 8:19 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Nitakuambia yale yatakayotokea baadaye wakati wa ghadhabu, kwa sababu maono haya yanahusu wakati wa mwisho ulioamriwa.

DAN 8:20 Removed trailing space in v~: Kondoo dume mwenye pembe mbili ambaye ulimwona anawakilisha wafalme wa Umedi na Uajemi.

DAN 8:21 Removed trailing space in v~: Yule beberu mwenye nywele nyingi ni mfalme wa Uyunani, nayo ile pembe ndefu katikati ya macho yake ni mfalme wa kwanza.

DAN 8:22 Removed trailing space in v~: Zile pembe nne zilizoota badala ya ile pembe iliyovunjika zinawakilisha falme nne ambazo zitatokea kutoka taifa lake, lakini hakuna hata mmoja utakaokuwa na nguvu kama ule uliovunjika.

DAN 8:23 Removed trailing space in v~: “Katika sehemu ya mwisho ya utawala wao, wakati waasi watakapokuwa waovu kabisa, atainuka mfalme mwenye uso mkali, aliye stadi wa hila.

DAN 8:24 Removed trailing space in v~: Atakuwa na nguvu nyingi, lakini si kwa uwezo wake mwenyewe. Atasababisha uharibifu wa kutisha, na atafanikiwa kwa chochote anachofanya. Atawaangamiza watu maarufu na watu watakatifu.

DAN 8:25 Removed trailing space in v~: Atasababisha udanganyifu ustawi, naye atajihesabu mwenyewe kuwa bora. Wakati wajisikiapo kuwa wako salama, atawaangamiza wengi, na kushindana na Mkuu wa wakuu. Lakini ataangamizwa, isipokuwa si kwa uwezo wa mwanadamu.

DAN 8:26 Removed trailing space in v~: “Maono kuhusu jioni na asubuhi ambayo umepewa ni kweli, lakini yatie muhuri maono haya, kwa maana yanahusu wakati mrefu ujao.”

DAN 8:27 Removed trailing space in v~: Mimi Danieli nilikuwa nimechoka sana, na nikalala nikiwa mgonjwa kwa siku kadhaa. Ndipo nikaamka, nikaenda kwenye shughuli za mfalme. Nilifadhaishwa na maono hayo, nami sikuweza kuyaelewa.

DAN 9:0 Extra space after chapter number

DAN 9:0 Removed trailing space in c: 9

DAN 9:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Danieli

DAN 9:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario mwana wa Ahasuero (mzaliwa wa Umedi), ambaye alifanywa mtawala juu ya ufalme wa Babeli,

DAN 9:2 Removed trailing space in v~: katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mimi Danieli nilielewa kutokana na Maandiko, kulingana na neno la \nd Bwana\nd* alilopewa nabii Yeremia, kwamba ukiwa wa Yerusalemu ungetimizwa kwa miaka sabini.

DAN 9:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikamgeukia \nd Bwana\nd* Mungu na kumsihi katika maombi na dua, katika kufunga, na kuvaa nguo ya gunia na kujipaka majivu.

DAN 9:4 Removed trailing space in v~: Nikamwomba \nd Bwana\nd* Mungu wangu na kutubu:

DAN 9:4 Removed trailing space in p~: “Ee Bwana, Mungu mkuu na unayetisha, anayeshika agano lake la upendo kwao wanaompenda na kutii maagizo yake,

DAN 9:5 Removed trailing space in v~: tumetenda dhambi na kufanya mabaya. Tumekuwa waovu na tumeasi; tumegeuka mbali na maagizo yako na sheria zako.

DAN 9:6 Removed trailing space in v~: Hatukuwasikiliza watumishi wako manabii, ambao kwa jina lako walisema na wafalme wetu, wakuu wetu, baba zetu, na watu wote wa nchi.

DAN 9:7 Removed trailing space in v~: “Bwana, wewe ni mwenye haki, lakini siku hii ya leo tumefunikwa na aibu: tukiwa wanaume wa Yuda, na watu wa Yerusalemu, na Israeli yote, wote walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ulikotutawanya kwa sababu ya kukosa uaminifu kwako.

DAN 9:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sisi na wafalme wetu, wakuu wetu na baba zetu tumefunikwa na aibu kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako.

DAN 9:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu ni mwenye rehema na anayesamehe, hata ingawa tumefanya uasi dhidi yake.

DAN 9:10 Removed trailing space in v~: Hatukumtii \nd Bwana\nd* Mungu wetu wala kuzishika sheria alizotupa kupitia kwa watumishi wake manabii.

DAN 9:11 Removed trailing space in v~: Israeli yote imekosea sheria yako na kugeuka mbali, nao wamekataa kukutii.

DAN 9:11 Removed trailing space in p~: “Kwa hiyo laana na viapo vya hukumu vilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, mtumishi wa Mungu, vimemiminwa juu yetu, kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako.

DAN 9:12 Removed trailing space in v~: Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu na dhidi ya watawala wetu, kwa kuleta maafa makubwa juu yetu. Chini ya mbingu yote kamwe hapajatendeka kitu kama kile kilichotendeka kwa Yerusalemu.

DAN 9:13 Removed trailing space in v~: Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Mose, misiba hii yote imekuja juu yetu, lakini hatujaomba fadhili kwa \nd Bwana\nd* Mungu wetu kwa kugeuka kutoka dhambi zetu na kuwa wasikivu katika kweli yake.

DAN 9:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hakusita kuleta maafa juu yetu, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wetu ni mwenye haki katika kila afanyalo; lakini hata hivyo hatujamtii.

DAN 9:15 Removed trailing space in v~: “Sasa, Ee Bwana Mungu wetu, ambaye uliwatoa watu wako Misri kwa mkono wenye nguvu, na ambaye umejifanyia Jina linalodumu mpaka leo, tumetenda dhambi, tumefanya mabaya.

DAN 9:16 Removed trailing space in v~: Ee Bwana, wewe kwa kadiri ya matendo yako ya haki, ondoa hasira yako na ghadhabu yako juu ya Yerusalemu, mji wako, mlima wako mtakatifu. Dhambi zetu na maovu ya baba zetu yameifanya Yerusalemu na watu wako kitu cha kudharauliwa kwa wale wote wanaotuzunguka.

DAN 9:17 Removed trailing space in v~: “Basi Mungu wetu, sasa sikia maombi na dua ya mtumishi wako. Ee Bwana, kwa ajili yako angalia kwa huruma ukiwa wa mahali pako patakatifu.

DAN 9:18 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, tega sikio na ukasikie; fumbua macho yako ukaone ukiwa wa mji ule wenye Jina lako. Hatukutolei maombi yetu kwa sababu sisi tuna haki, bali kwa sababu ya rehema zako nyingi.

DAN 9:19 Removed trailing space in v~: Ee Bwana, sikiliza! Ee Bwana, samehe! Ee Bwana, sikia na ukatende! Kwa ajili yako, Ee Mungu wangu, usikawie, kwa sababu mji wako na watu wako wanaitwa kwa Jina lako.”

DAN 9:19 Removed trailing space in s1: Majuma Sabini

DAN 9:20 Removed trailing space in v~: Basi, nilipokuwa bado nikinena na kuomba, nikiungama dhambi yangu na dhambi ya watu wangu Israeli, na nikifanya maombi yangu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wangu kwa ajili ya mlima wake mtakatifu,

DAN 9:21 Removed trailing space in v~: wakati nilipokuwa bado katika maombi, Gabrieli, yule mtu niliyekuwa nimemwona katika maono hapo awali, alinijia kwa kasi karibu wakati wa kutoa dhabihu ya jioni.

DAN 9:22 Removed trailing space in v~: Akanielimisha na kuniambia, “Danieli, sasa nimekuja kukupa akili na ufahamu.

DAN 9:23 Removed trailing space in v~: Mara ulipoanza kuomba, jibu lilitolewa, ambalo nimekuja kukupasha habari, kwa maana wewe unapendwa sana. Kwa hiyo, tafakari ujumbe huu na uelewe maono haya:

DAN 9:24 Removed trailing space in v~: “Majuma sabini yameamriwa kwa ajili ya watu wako na kwa ajili ya mji wako mtakatifu, ili kumaliza makosa, kukomesha dhambi, kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu, kuleta haki ya milele, kutia muhuri maono na unabii, na pia kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu sana.

DAN 9:25 Removed trailing space in v~: “Ujue na kuelewa hili: Tangu kutolewa kwa amri ya kuutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu mpaka kuja kwa Mpakwa mafuta, aliye mtawala, kutakuwako majuma saba na majuma sitini na mawili. Barabara zitajengwa tena pamoja na mahandaki, lakini katika wakati wa taabu.

DAN 9:26 Removed trailing space in v~: Baada ya majuma sitini na mawili, Mpakwa Mafuta atakatiliwa mbali, wala hatabaki na kitu. Watu wa mtawala atakayekuja watauharibu mji pamoja na mahali patakatifu. Mwisho utakuja kama mafuriko: Vita vitaendelea mpaka mwisho, nao ukiwa umeamriwa.

DAN 9:27 Removed trailing space in v~: Mtawala huyo atathibitisha agano na watu wengi kwa juma moja. Katikati ya juma hilo atakomesha dhabihu na sadaka. Mahali pa dhabihu katika Hekalu atasimamisha chukizo la uharibifu, hadi mwisho ulioamriwa utakapomiminwa juu yake yeye aletaye uharibifu.”

DAN 10:0 Extra space after chapter number

DAN 10:0 Removed trailing space in c: 10

DAN 10:0 Removed trailing space in s1: Maono Ya Danieli Kuhusu Mtu

DAN 10:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, Danieli (ambaye aliitwa Belteshaza) alipewa ufunuo. Ujumbe wake ulikuwa kweli, nao ulihusu vita vikubwa. Ufahamu wa ujumbe ulimjia katika maono.

DAN 10:2 Removed trailing space in v~: Wakati huo, mimi Danieli nikaomboleza kwa majuma matatu.

DAN 10:3 Removed trailing space in v~: Sikula chakula kizuri; nyama wala divai havikugusa midomo yangu; nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma matatu yalipotimia.

DAN 10:4 Removed trailing space in v~: Kwenye siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa nimesimama kwenye ukingo wa mto mkubwa Hidekeli,\f + \fr 10:4 \ft Hedekeli ndio Mto Tigrisi.\f*

DAN 10:5 Removed trailing space in v~: nikatazama juu, na mbele yangu alikuwepo mtu aliyevaa mavazi ya kitani na mshipi wa dhahabu safi kutoka ufazi kiunoni mwake.

DAN 10:6 Removed trailing space in v~: Mwili wake ulikuwa kama kito cha zabarajadi safi, uso wake kama umeme wa radi, macho yake kama mwali wa moto, mikono yake na miguu yake kama mngʼao wa shaba iliyosuguliwa sana, nayo sauti yake kama ya umati mkubwa wa watu.

DAN 10:7 Removed trailing space in v~: Mimi Danieli, ni mimi peke yangu niliyeona hayo maono; watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona, lakini waligubikwa na hofu kuu, hata wakakimbia na kujificha.

DAN 10:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliachwa peke yangu, nikikodolea macho maono hayo makubwa; sikubakiwa na nguvu, na rangi ya uso wangu ikabadilika kama aliyekufa, nikakosa nguvu.

DAN 10:9 Removed trailing space in v~: Kisha nikamsikia akisema, nami nilipokuwa nikimsikiliza, nikalala kifudifudi, nikapatwa na usingizi mzito.

DAN 10:10 Removed trailing space in v~: Mkono ulinigusa, ukaninyanyua, na kuniweka nikipiga magoti na mikono yangu ikashika chini, huku nikiwa bado ninatetemeka.

DAN 10:11 Removed trailing space in v~: Akasema, “Danieli, wewe mtu upendwaye sana, fikiri kwa makini maneno ninayokwenda kunena nawe sasa; simama wima, kwa maana sasa nimetumwa kwako.” Naye aliponiambia haya, nikasimama nikitetemeka.

DAN 10:12 Removed trailing space in v~: Ndipo akaendelea kusema, “Danieli, usiogope. Tangu siku ya kwanza ulipotia moyo wako ili kupata ufahamu na kujinyenyekeza mbele ya Mungu wako, maneno yako yalisikiwa, nami nimekuja ili kujibu maneno yako.

DAN 10:13 Removed trailing space in v~: Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku ishirini na moja. Ndipo Mikaeli, mmoja wa malaika wakuu, alikuja kunisaidia, kwa sababu nilikuwa nimezuiliwa huko na mfalme wa Uajemi.

DAN 10:14 Removed trailing space in v~: Sasa nimekuja kukuelezea mambo yatakayowatokea watu wako wakati ujao, kwa maana maono hayo yanahusu wakati ambao haujaja bado.”

DAN 10:15 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akinielezea haya, nilisujudu uso wangu ukiwa umeelekea chini, nikawa bubu.

DAN 10:16 Removed trailing space in v~: Ndipo mmoja aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa midomo yangu, nami nikafungua kinywa changu, nikaanza kunena. Nikamwambia yule aliyesimama mbele yangu, “Nimepatwa na huzuni kubwa kwa sababu ya maono haya, bwana wangu, nami nimeishiwa nguvu.

DAN 10:17 Removed trailing space in v~: Bwana wangu, mimi mtumishi wako nitawezaje kuzungumza na wewe? Nguvu zangu zimeniishia hata ninashindwa kupumua.”

DAN 10:18 Removed trailing space in v~: Tena yule aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa na kunitia nguvu.

DAN 10:19 Removed trailing space in v~: Akasema, “Ee mtu upendwaye sana, usiogope. Amani iwe kwako! Uwe na nguvu sasa; jipe nguvu.”

DAN 10:19 Removed trailing space in p~: Alipozungumza nami, nilipata nguvu, nikasema, “Nena, bwana wangu, kwa kuwa umenipa nguvu.”

DAN 10:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akasema, “Je, unajua kwa nini nimekujia? Sasa hivi nitarudi kupigana dhidi ya mkuu wa Uajemi, nami nikienda, mkuu wa Uyunani atakuja.

DAN 10:21 Removed trailing space in v~: Lakini kwanza nitakuambia kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Kweli. (Hakuna hata mmoja anayenisaidia dhidi yao isipokuwa Mikaeli, mkuu wenu.

DAN 11:0 Extra space after chapter number

DAN 11:0 Removed trailing space in c: 11

DAN 11:1 Removed trailing space in v~: Nami katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario Mmedi, nilisimama kumsaidia na kumlinda.)

DAN 11:1 Removed trailing space in s1: Wafalme Wa Kusini Na Wa Kaskazini

DAN 11:2 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, ninakuambia kweli: Wafalme watatu zaidi watatokea Uajemi, kisha atatokea mfalme wa nne, ambaye atakuwa tajiri sana kuliko wengine wote. Wakati atakapokuwa amekwisha kujipatia nguvu kwa utajiri wake, atamchochea kila mmoja dhidi ya ufalme wa Uyunani.

DAN 11:3 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme mwenye nguvu atatokea, ambaye atatawala kwa nguvu nyingi na kufanya anavyopenda.

DAN 11:4 Removed trailing space in v~: Baada ya kujitokeza, milki yake itavunjwa na kugawanyika katika pande nne za mbinguni. Hautakwenda kwa wazao wake, wala hautakuwa na nguvu alizotumia, kwa sababu milki yake itangʼolewa na kupewa wengine.

DAN 11:5 Removed trailing space in v~: “Mfalme wa Kusini atakuwa na nguvu, lakini mmoja wa majemadari wake atakuwa na nguvu zaidi kuliko mfalme, naye atatawala ufalme wake mwenyewe kwa nguvu nyingi.

DAN 11:6 Removed trailing space in v~: Baada ya miaka kadha, wataungana. Binti wa mfalme wa Kusini ataolewa kwa mfalme wa Kaskazini ili kuimarisha mapatano, lakini huyo binti nguvu zake hazitadumu; hata mfalme hatadumu wala nguvu zake. Katika siku hizo atafukuzwa, pamoja na hao wasindikizaji wake wa kifalme, watoto wake, na yeyote aliyemuunga mkono.

DAN 11:7 Removed trailing space in v~: “Mmoja kutoka jamaa ya huyo binti atainuka na kuchukua nafasi yake. Atashambulia majeshi ya mfalme wa Kaskazini na kuingia katika ngome yake; atapigana dhidi yao naye atashinda.

DAN 11:8 Removed trailing space in v~: Tena ataitwaa miungu yao, vinyago vyao vya chuma, na vitu vyao vya thamani vya fedha na dhahabu, na kuvichukua hadi Misri. Kwa miaka kadha atamwacha mfalme wa Kaskazini bila kumsumbua.

DAN 11:9 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme wa Kaskazini atashambulia nchi ya mfalme wa Kusini, lakini atarudi nyuma hadi kwenye nchi yake.

DAN 11:10 Removed trailing space in v~: Wana wa mfalme wa Kaskazini watajiandaa kwa vita na kukusanya jeshi kubwa, ambalo litafagia nchi kama mafuriko yasiyozuilika na kuendelea na vita hadi kwenye ngome ya mfalme wa Kusini.

DAN 11:11 Removed trailing space in v~: “Kisha mfalme wa Kusini atatoka kwa ghadhabu na kupigana dhidi ya mfalme wa Kaskazini, ambaye ataunda jeshi kubwa, lakini litashindwa.

DAN 11:12 Removed trailing space in v~: Wakati jeshi litakapokuwa limechukuliwa, mfalme wa Kusini atajawa na kiburi na atachinja maelfu mengi, hata hivyo hatabaki na ushindi.

DAN 11:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana mfalme wa Kaskazini atakusanya jeshi jingine kubwa kuliko lile la kwanza; na baada ya miaka kadha, atasonga mbele na jeshi kubwa mno lililoandaliwa vizuri.

DAN 11:14 Removed trailing space in v~: “Katika nyakati hizo wengi watainuka dhidi ya mfalme wa Kusini. Watu wenye ghasia miongoni mwa watu wako mwenyewe wataasi ili kutimiza maono, lakini bila mafanikio.

DAN 11:15 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme wa Kaskazini atakuja na kuuzunguka mji kwa majeshi, na kuuteka mji wa ngome. Majeshi ya Kusini yatakosa nguvu za kuyazuia; naam, hata vikosi vyao vya askari vilivyo bora zaidi, havitakuwa na nguvu ya kuwakabili.

DAN 11:16 Removed trailing space in v~: Huyo mvamia nchi atafanya apendavyo; hakuna yeyote atakayeweza kumpinga. Atajiimarisha katika Nchi ya Kupendeza, na atakuwa na uwezo wa kuiangamiza.

DAN 11:17 Removed trailing space in v~: Ataamua kuja na nguvu za ufalme wake wote na kufanya mapatano ya amani na mfalme wa Kusini. Naye atamtoa binti yake aolewe naye ili kuuangusha ufalme, lakini mipango yake haitafanikiwa wala kumsaidia.

DAN 11:18 Removed trailing space in v~: Ndipo atabadili nia yake kupigana na nchi za pwani na ataziteka nyingi, lakini jemadari mmoja atakomesha ufidhuli wake na kurudisha ufidhuli wake juu yake.

DAN 11:19 Removed trailing space in v~: Baada ya hili atazigeukia ngome za nchi yake mwenyewe, lakini atajikwaa na kuanguka, wala hataonekana tena.

DAN 11:20 Removed trailing space in v~: “Atakayetawala baada yake atamtuma mtoza ushuru ili kudumisha fahari ya kifalme. Hata hivyo, baada ya miaka michache ataangamizwa, lakini si katika hasira wala katika vita.

DAN 11:21 Removed trailing space in v~: “Atakayetawala baada yake atakuwa mtu wa kudharauliwa ambaye hajapewa heshima ya kifalme. Atauvamia ufalme wakati watu wake wanapojiona wako salama, naye atautwaa kwa hila.

DAN 11:22 Removed trailing space in v~: Ndipo jeshi kubwa litafagiliwa mbele yake; jeshi pamoja na mkuu mmoja wa agano wataangamizwa.

DAN 11:23 Removed trailing space in v~: Baada ya kufanya mapatano naye, atatenda kwa udanganyifu, na akitumia watu wachache tu ataingia madarakani.

DAN 11:24 Removed trailing space in v~: Wakati majimbo yaliyo tajiri sana yanajiona salama, atayavamia, naye atafanikisha kile ambacho baba zake wala babu zake hawakuweza. Atagawa nyara, mateka na utajiri miongoni mwa wafuasi wake. Atafanya hila ya kupindua miji yenye maboma, lakini kwa muda mfupi tu.

DAN 11:25 Removed trailing space in v~: “Pamoja na jeshi kubwa atachochea nguvu zake na ushujaa wake dhidi ya mfalme wa Kusini. Mfalme wa Kusini atafanya vita na jeshi lenye nguvu sana, lakini hataweza kusimama kwa sababu ya kwa hila zilizofanywa dhidi yake.

DAN 11:26 Removed trailing space in v~: Wale wanaokula kutoka kwenye ruzuku za mfalme watajaribu kumwangamiza; jeshi lake litafagiliwa mbali, nao wengi watakufa vitani.

DAN 11:27 Removed trailing space in v~: Wafalme hawa wawili, mioyo yao ikiwa imekusudia mabaya, wataketi kwenye meza moja na kudanganyana wao kwa wao, lakini pasipo faida, kwa sababu bado mwisho utakuja katika wakati ulioamriwa.

DAN 11:28 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Kaskazini atarudi katika nchi yake na utajiri mwingi, lakini atakuwa ameukaza moyo wake kinyume na agano takatifu. Atachukua hatua dhidi ya hilo agano, kisha atarudi nchi yake.

DAN 11:29 Removed trailing space in v~: “Wakati ulioamriwa, atavamia tena Kusini, lakini wakati huu matokeo yake yatakuwa tofauti na yale ya wakati wa kwanza.

DAN 11:30 Removed trailing space in v~: Meli za nchi ya Kitimu zitampinga, naye atavunjika moyo. Ndipo atarudi nyuma na kutoa wazi hasira yake dhidi ya agano takatifu. Atarudi na kuonyesha fadhili kwa wale waliachao agano takatifu.

DAN 11:31 Removed trailing space in v~: “Majeshi yake yenye silaha yatainuka ili kunajisi ngome ya Hekalu, na kuondolea mbali sadaka ya kuteketezwa ya kila siku. Ndipo watalisimamisha chukizo la uharibifu lisababishalo ukiwa.

DAN 11:32 Removed trailing space in v~: Kwa udanganyifu atapotosha wale walionajisi agano, lakini watu wanaomjua Mungu wao watampinga kwa uthabiti.

DAN 11:33 Removed trailing space in v~: “Wenye hekima watawafundisha wengi, ingawa kwa kitambo watauawa kwa upanga au kuchomwa moto, au kukamatwa au kufanywa mateka.

DAN 11:34 Removed trailing space in v~: Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi ambao si waaminifu wataungana nao.

DAN 11:35 Removed trailing space in v~: Baadhi ya wenye hekima watajikwaa, ili waweze kusafishwa, kutakaswa na kufanywa wasio na waa mpaka wakati wa mwisho, kwa maana bado litakuja kwa wakati ulioamriwa.

DAN 11:35 Removed trailing space in s1: Mfalme Ajikwezaye Mwenyewe

DAN 11:36 Removed trailing space in v~: “Mfalme atafanya apendavyo. Atajikweza na kujitukuza juu ya kila mungu, naye atasema mambo ambayo hayajasikiwa dhidi ya Mungu wa miungu. Atafanikiwa hadi wakati wa ghadhabu utimie, kwa maana kile kilichokusudiwa lazima kitokee.

DAN 11:37 Removed trailing space in v~: Hataonyesha heshima kwa miungu ya baba zake au kwa yule aliyetamaniwa na wanawake, wala hatajali mungu yeyote, bali atajikweza mwenyewe juu yao wote.

DAN 11:38 Removed trailing space in v~: Badala ya kuwajali miungu, ataheshimu mungu wa ngome; mungu ambaye hakujulikana na baba zake ndiye atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa vito vya thamani na zawadi za thamani kubwa.

DAN 11:39 Removed trailing space in v~: Atashambulia ngome zenye nguvu mno kwa msaada wa mungu wa kigeni naye atawaheshimu sana wale watakaomkubali yeye. Atawafanya watawala juu ya watu wengi, na atagawa nchi kwa gharama.

DAN 11:40 Removed trailing space in v~: “Katika wakati wa mwisho, mfalme wa Kusini atapigana naye vita, naye mfalme wa Kaskazini atamshambulia kwa magari ya vita, askari wapanda farasi, na idadi kubwa ya meli. Atavamia nchi nyingi na kuzikumba nchi hizo kama mafuriko.

DAN 11:41 Removed trailing space in v~: Pia ataivamia Nchi ya Kupendeza. Nchi nyingi zitapinduliwa, bali Edomu, Moabu na viongozi wa Amoni wataokolewa kutoka mkono wake.

DAN 11:42 Removed trailing space in v~: Atapanua mamlaka yake juu ya nchi nyingi; hata Misri haitaepuka.

DAN 11:43 Removed trailing space in v~: Atamiliki hazina za dhahabu, fedha na utajiri wote wa Misri, pamoja na Walibia na Wakushi kwa kujisalimisha.

DAN 11:44 Removed trailing space in v~: Lakini taarifa kutoka mashariki na kaskazini zitamshtua, naye ataondoka kwa ghadhabu nyingi ili kuangamiza na kuharibu kabisa wengi.

DAN 11:45 Removed trailing space in v~: Atasimika hema zake za ufalme kati ya bahari na mlima mtakatifu wa kupendeza. Hata hivyo, atafikia mwisho wake, wala hakuna yeyote atakayemsaidia.

DAN 12:0 Extra space after chapter number

DAN 12:0 Removed trailing space in c: 12

DAN 12:0 Removed trailing space in s1: Nyakati Za Mwisho

DAN 12:1 Removed trailing space in v~: “Katika wakati huo Mikaeli, mtawala mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwako wakati wa taabu ambao haujatokea tangu mwanzo wa mataifa hadi wakati huo. Lakini wakati huo, watu wako, kila mmoja ambaye jina lake litakutwa limeandikwa kwenye kitabu, ataokolewa.

DAN 12:2 Removed trailing space in v~: Wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwa aibu na kudharauliwa milele.

DAN 12:3 Removed trailing space in v~: Wale wenye hekima watangʼaa kama mwanga wa mbingu, nao wale ambao huwaongoza wengi kutenda haki, watangʼaa kama nyota milele na milele.

DAN 12:4 Removed trailing space in v~: Lakini wewe Danieli, yafunge na kuyatia muhuri maneno ya kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho. Wengi watakwenda huku na huko, na maarifa yataongezeka.”

DAN 12:5 Removed trailing space in v~: Ndipo mimi Danieli nikaangalia, nako mbele yangu walisimama wengine wawili, mmoja katika ukingo huu wa mto, na mwingine ukingo wa pili wa mto.

DAN 12:6 Removed trailing space in v~: Mmoja wao akasema na yule mtu aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, “Je, itachukua muda gani kabla mambo haya ya kushangaza hayajatimizwa?”

DAN 12:7 Removed trailing space in v~: Kisha mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, akainua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni, nami nikamsikia akiapa kwa jina lake yeye aishiye milele, akisema, “Itakuwa wakati, nyakati mbili, na nusu wakati.\f + \fr 12:7 \ft Wakati, nyakati mbili na nusu wakati maana yake mwaka mmoja, miaka miwili, na nusu mwaka, yaani miaka mitatu na nusu.\f* Nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimevunjwa kabisa, ndipo mambo haya yote yatakapotimizwa.”

DAN 12:8 Removed trailing space in v~: Nilisikia, lakini sikuelewa. Kwa hiyo nikauliza, “Bwana wangu, matokeo ya haya yote yatakuwa nini?”

DAN 12:9 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Danieli, enenda zako, kwa sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.

DAN 12:10 Removed trailing space in v~: Wengi watatakaswa, na kuondolewa mawaa na kufanywa safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu. Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini wale wenye hekima watafahamu.

DAN 12:11 Removed trailing space in v~: “Tangu wakati ule wa kukomeshwa dhabihu ya kila siku na kusimamishwa kwa chukizo la uharibifu, kutakuwako siku 1,290.

DAN 12:12 Removed trailing space in v~: Amebarikiwa mtu yule atakayevumilia hadi kufikia mwisho wa hizo siku 1,335.

DAN 12:13 Removed trailing space in v~: “Lakini wewe, enenda zako mpaka mwisho. Utapumzika, nawe ndipo mwisho wa hizo siku utafufuka ili kuupokea urithi uliowekewa.”

USFMs

Newline Marker Errors

DAN 4:0 Marker 'pmo' has no content

DAN 4:1 Marker 'pmo' has no content

DAN 4:1 Marker 'pmo' has no content

DAN 6:25 Marker 'pmo' has no content

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 5    c: 12    h: 1    id: 1    li1: 3    mt1: 1    nb: 1    p: 134    pc: 1    pm: 22    pmo: 4    q1: 22    q2: 26    rem: 1    s1: 19    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 613    v: 357  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    pc: 1    nb: 1    li1: 3    pmo: 4    b: 5    c: 12    s1: 19    q1: 22    pm: 22    q2: 26    p: 134    v: 357    Total: 613  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 12    Paragraphs: 134    Verses: 357  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Chapters: 12    Paragraphs: 134    Verses: 357  

Characters

All Character Counts

 0: 31    1: 160    2: 128    3: 70    4: 54    5: 38    6: 37    7: 37    8: 34    9: 32    a: 76    A: 3    B: 2    b: 8    D: 15    d: 12    e: 28    f: 7    H: 1    h: 5    i: 53    I: 1    j: 2    k: 9    K: 5    l: 16    L: 1    M: 14    m: 9    n: 33    N: 13    o: 29    r: 5    s: 9    S: 3    Space: 57    t: 14    T: 3    Total: 1104    u: 17    U: 1    W: 5    w: 4    Y: 13    y: 4    z: 5    Z: 1  

All Character Counts (sorted by count)

 H: 1    I: 1    U: 1    L: 1    Z: 1    B: 2    j: 2    A: 3    S: 3    T: 3    y: 4    w: 4    z: 5    r: 5    h: 5    K: 5    W: 5    f: 7    b: 8    k: 9    s: 9    m: 9    d: 12    Y: 13    N: 13    M: 14    t: 14    D: 15    l: 16    u: 17    e: 28    o: 29    0: 31    9: 32    n: 33    8: 34    6: 37    7: 37    5: 38    i: 53    4: 54    Space: 57    3: 70    a: 76    2: 128    1: 160    Total: 1104  

Letter Counts

 a: 76    A: 3    B: 2    b: 8    D: 15    d: 12    e: 28    f: 7    H: 1    h: 5    i: 53    I: 1    j: 2    k: 9    K: 5    l: 16    L: 1    M: 14    m: 9    n: 33    N: 13    o: 29    r: 5    s: 9    S: 3    Space: 57    t: 14    T: 3    Total: 483    u: 17    U: 1    W: 5    w: 4    Y: 13    y: 4    z: 5    Z: 1  

Letter Counts (sorted by count)

 H: 1    I: 1    U: 1    L: 1    Z: 1    B: 2    j: 2    A: 3    S: 3    T: 3    y: 4    w: 4    z: 5    r: 5    h: 5    K: 5    W: 5    f: 7    b: 8    k: 9    s: 9    m: 9    d: 12    Y: 13    N: 13    M: 14    t: 14    D: 15    l: 16    u: 17    e: 28    o: 29    n: 33    i: 53    Space: 57    a: 76    Total: 483  

Speech Marks

Possible Matching Errors

DAN 4:13 Unclosed “ (opened at 4:9:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

DAN 4:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)']

DAN 4:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)']

DAN 4:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)', '“ (opened at 4:17:v)']

DAN 4:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)', '“ (opened at 4:17:v)', '‘ (opened at 4:17:v)']

DAN 4:18 Unclosed “ (opened at 4:17:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

DAN 4:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)', '“ (opened at 4:17:v)', '“ (opened at 4:18:v)']

DAN 4:19 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)', '“ (opened at 4:17:v)'] before s1 marker

DAN 4:23 Unclosed “ (opened at 4:19:pm) speech marks before s1 (or improperly nested or reopened speech marks after s1)

DAN 4:24 Unclosed “ (opened at 4:23:v) speech marks before s1 (or improperly nested or reopened speech marks after s1)

DAN 4:28 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 4:19:pm)', '“ (opened at 4:23:v)'] before s1 marker

DAN 6:26 Unclosed “ (opened at 6:25:pmo,6:26:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

DAN 6:28 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:25:pmo,6:26:v)' before v marker or missing reopening quotes at v28

DAN 7:9 Unclosed “ (opened at 7:2:v,7:4:v,7:5:v,7:6:v,7:7:v,7:8:v,7:9:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

DAN 7:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:2:v,7:4:v,7:5:v,7:6:v,7:7:v,7:8:v,7:9:v)', '“ (opened at 7:9:q1,7:11:v,7:13:v)'] before p marker

DAN 7:26 Unclosed ‘ (opened at 7:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 7:28 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 7:15:v,7:16:p,7:19:v,7:23:v)', '‘ (opened at 7:23:v)']

DAN 8:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:15:v,7:16:p,7:19:v,7:23:v)', '‘ (opened at 7:23:v)'] before p marker

DAN 9:7 Unclosed “ (opened at 9:4:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 9:11 Unclosed “ (opened at 9:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 9:15 Unclosed “ (opened at 9:11:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 9:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:4:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:11:pm)', '“ (opened at 9:15:v)']

DAN 9:17 Unclosed “ (opened at 9:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 9:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:4:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:11:pm)', '“ (opened at 9:15:v)', '“ (opened at 9:17:v)']

DAN 9:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:4:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:11:pm)', '“ (opened at 9:15:v)'] before p marker

DAN 11:2 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 10:20:v)' before p marker

DAN 11:36 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:2:v,11:5:v,11:7:v,11:11:v,11:14:v,11:20:v,11:21:v,11:25:v,11:29:v,11:31:v,11:33:v)' before p marker

DAN 12:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:36:v,11:40:v)' before p marker

Words

Possible Word Errors

DAN 2:4 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

DAN -1:6 Main Title 1:Danieli

Section Heading Lines

DAN 1:0Mafunzo Ya Danieli Huko Babeli
DAN 2:0Ndoto Ya Nebukadneza
DAN 2:23Danieli Aifasiri Ndoto
DAN 3:0Sanamu Ya Dhahabu Na Moto Mkali
DAN 4:0Ndoto Ya Nebukadneza Ya Mti
DAN 4:18Danieli Anafasiri Ndoto
DAN 4:27Ndoto Inatimia
DAN 5:0Maandishi Ukutani
DAN 6:0Danieli Katika Tundu La Simba
DAN 7:0Ndoto Ya Danieli Ya Wanyama Wanne
DAN 7:14Tafsiri Ya Ndoto
DAN 8:0Maono Ya Danieli Ya Kondoo Dume Na Beberu
DAN 8:14Tafsiri Ya Maono
DAN 9:0Maombi Ya Danieli
DAN 9:19Majuma Sabini
DAN 10:0Maono Ya Danieli Kuhusu Mtu
DAN 11:1Wafalme Wa Kusini Na Wa Kaskazini
DAN 11:35Mfalme Ajikwezaye Mwenyewe
DAN 12:0Nyakati Za Mwisho

Notes

Footnote Lines

DAN 1:12+ \fr 1:12 \ft Nafaka na mboga za majani, yaani \fqa zeroimu \ft kwa K… n.k.
DAN 2:4+ \fr 2:4 \ft Kutoka hapa hadi \+xt Dan 7:28,\+xt* mwandishi aliandika…ramu.
DAN 3:1+ \fr 3:1 \ft Dhiraa sitini ni sawa na mita 27.
DAN 3:1+ \fr 3:1 \ft Dhiraa sita ni sawa na mita 2.7.
DAN 5:10+ \fr 5:10 \ft Au: Mama yake mfalme.
DAN 7:25+ \fr 7:25 \ft Wakati, nyakati mbili, na nusu wakati maana yake ni mwa…nusu.
DAN 8:2+ \fr 8:2 \ft Mto Ulai ni mfereji uliokuwa kati ya Shushani na Elymais…runi.
DAN 10:4+ \fr 10:4 \ft Hedekeli ndio Mto Tigrisi.
DAN 12:7+ \fr 12:7 \ft Wakati, nyakati mbili na nusu wakati maana yake mwaka m…nusu.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 9    Footnotes: 9  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 9    Footnote leader '+': 9