Freely-Given.org Bible DEU Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in DEU -1:0

Showing 1 out of 1331 priority errors

Fix Text Errors

DEU -1:0 Removed trailing space in id: DEU - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

DEU -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

DEU -1:2 Removed trailing space in h: Kumbukumbu La Torati

DEU -1:3 Removed trailing space in toc1: Kumbukumbu La Torati

DEU -1:4 Removed trailing space in toc2: Kumbukumbu

DEU -1:5 Removed trailing space in toc3: Kum

DEU -1:6 Removed trailing space in mt1: Kumbukumbu La Torati

DEU 1:0 Extra space after chapter number

DEU 1:0 Removed trailing space in c: 1

DEU 1:0 Removed trailing space in s1: Amri Ya Kuondoka Mlima Horebu

DEU 1:1 Removed trailing space in v~: Haya ni maneno Mose aliyoyasema kwa Israeli yote jangwani mashariki ya Yordani, ambayo iko Araba, inayokabiliana na Sufu, kati ya Parani na Tofeli, Labani, Haserothi na Dizahabu.

DEU 1:2 Removed trailing space in v~: (Ni mwendo wa siku kumi na moja kutoka Horebu kwa njia ya Mlima Seiri mpaka Kadesh-Barnea.)

DEU 1:3 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa arobaini, siku ya kwanza ya mwezi wa kumi na moja, Mose aliwatangazia Waisraeli yale yote \nd Bwana\nd* aliyomwamuru kuwahusu.

DEU 1:4 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa baada ya kumshinda Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala Heshboni, na pia huko Edrei alikuwa amemshinda Ogu mfalme wa Bashani, ambaye alitawala huko Ashtarothi.

DEU 1:5 Removed trailing space in v~: Huko mashariki ya Yordani katika nchi ya Moabu, Mose alianza kuielezea sheria hii, akisema:

DEU 1:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu alisema nasi huko Horebu, “Mmekaa vya kutosha katika mlima huu.

DEU 1:7 Removed trailing space in v~: Vunjeni kambi, msonge mbele kuelekea nchi ya vilima ya Waamori; nendeni kwa watu wote ambao ni majirani wa Araba, katika milima, upande wa magharibi chini ya vilima, katika Negebu na kandokando ya pwani, mpaka nchi ya Wakanaani hadi Lebanoni, na kufika mto mkubwa Frati.

DEU 1:8 Removed trailing space in v~: Tazama, nimewapa ninyi nchi hii. Ingieni mkaimiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliapa kuwa angaliwapa baba zenu, Abrahamu, Isaki na Yakobo, pamoja na vizazi vyao baada yao.”

DEU 1:8 Removed trailing space in s1: Uteuzi Wa Viongozi

DEU 1:8 Removed trailing space in r: (Kutoka 18:13-27)

DEU 1:9 Removed trailing space in v~: Wakati ule niliwaambia, “Ninyi mmekuwa mzigo mzito sana kwangu kuwachukua peke yangu.

DEU 1:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu ameongeza hesabu yenu, hivi kwamba leo ninyi ni wengi kama nyota za angani.

DEU 1:11 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu na awaongeze mara elfu na kuwabariki kama alivyoahidi!

DEU 1:12 Removed trailing space in v~: Lakini mimi nitawezaje kubeba matatizo yenu, na mizigo yenu, na magomvi yenu peke yangu?

DEU 1:13 Removed trailing space in v~: Chagueni baadhi ya watu wenye hekima, wenye ufahamu na wanaoheshimika kutoka kila kabila lenu, nami nitawaweka juu yenu.”

DEU 1:14 Removed trailing space in v~: Mlinijibu, “Shauri ulilolitoa ni zuri.”

DEU 1:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliwachukua wanaume viongozi wa makabila yenu, wenye hekima na wanaoheshimika, nami nikawateua wawe na mamlaka juu yenu kama majemadari wa maelfu, wa mamia, wa hamsini, na wa makumi, na kama maafisa wa makabila.

DEU 1:16 Removed trailing space in v~: Nami wakati ule nikawaagiza waamuzi wenu: Sikilizeni magomvi kati ya ndugu zenu na mwamue kwa haki, hata kama shauri ni kati ya ndugu wa Kiisraeli, au kati ya mmoja wa ndugu wa Kiisraeli na mgeni.

DEU 1:17 Removed trailing space in v~: Msionyeshe upendeleo katika maamuzi; wasikilizeni wote sawasawa, wadogo kwa wakubwa. Msimwogope mtu yeyote, kwa kuwa hukumu ni ya Mungu. Mniletee mimi shauri lolote lililo gumu sana kwenu, nami nitalisikiliza.

DEU 1:18 Removed trailing space in v~: Nami wakati ule niliwaambia kila kitu ambacho mngefanya.

DEU 1:18 Removed trailing space in s1: Wapelelezi Wanatumwa

DEU 1:18 Removed trailing space in r: (Hesabu 13:1-33)

DEU 1:19 Removed trailing space in v~: Kisha, kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu alivyotuamuru, tuliondoka kutoka Horebu na kwenda kuelekea nchi ya vilima ya Waamori, kupitia jangwa lile kubwa lote la kutisha, lile mliloliona, nasi tukafika Kadesh-Barnea.

DEU 1:20 Removed trailing space in v~: Kisha niliwaambia, “Mmefika katika nchi ya vilima ya Waamori, ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wetu anatupa.

DEU 1:21 Removed trailing space in v~: Tazama, \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa nchi. Pandeni mkaimiliki kama \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, alivyowaambia. Msiogope, wala msikate tamaa.”

DEU 1:22 Removed trailing space in v~: Ndipo ninyi nyote mkanijia na kusema, “Tupeleke watu watutangulie kuipeleleza nchi kwa ajili yetu, na kutuletea taarifa kuhusu njia tutakayopita, na miji tutakayoiendea.”

DEU 1:23 Removed trailing space in v~: Wazo hilo lilionekana zuri kwangu; kwa hiyo niliwachagua watu wenu kumi na wawili, mwanaume mmoja kutoka kila kabila.

DEU 1:24 Removed trailing space in v~: Waliondoka na kukwea katika nchi ya vilima, wakafika katika Bonde la Eshkoli na kuipeleleza.

DEU 1:25 Removed trailing space in v~: Wakachukua baadhi ya matunda ya nchi, wakatuletea na kutuarifu, “Ni nchi nzuri ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wetu anatupa.”

DEU 1:25 Removed trailing space in s1: Uasi Dhidi Ya \nd Bwana\nd*

DEU 1:25 Removed trailing space in r: (Hesabu 14:20-45)

DEU 1:26 Removed trailing space in v~: Lakini hamkuwa tayari kukwea, mkaasi dhidi ya amri ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 1:27 Removed trailing space in v~: Mkanungʼunika ndani ya mahema yenu na kusema, “\nd Bwana\nd* anatuchukia, kwa hiyo alitutoa Misri ili kututia mikononi mwa Waamori kutuangamiza.

DEU 1:28 Removed trailing space in v~: Twende wapi? Ndugu zetu wametufanya kufa moyo. Wanasema, ‘Watu wa huko wana nguvu zaidi na ni warefu kuliko sisi tulivyo; miji ni mikubwa, yenye kuta zilizofika juu angani. Zaidi ya hayo, tumewaona Waanaki huko.’ ”

DEU 1:29 Removed trailing space in v~: Ndipo nikawaambia, “Msihofu, wala msiwaogope.

DEU 1:30 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu anayewatangulia, atawapigania, kama alivyofanya kwa ajili yenu huko Misri, mbele ya macho yenu hasa,

DEU 1:31 Removed trailing space in v~: na pia huko jangwani. Huko mliona jinsi \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowachukua, kama baba amchukuavyo mwanawe, katika njia yote mliyoiendea mpaka mkafika mahali hapa.”

DEU 1:32 Removed trailing space in v~: Pamoja na hili, hamkumtegemea \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

DEU 1:33 Removed trailing space in v~: ambaye aliwatangulia katika safari yenu, kwa moto usiku na kwa wingu mchana, kuwatafutia mahali penu pa kupiga kambi na kuwaonyesha njia mtakayoiendea.

DEU 1:34 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* aliposikia lile mlilosema, alikasirika, akaapa, akasema:

DEU 1:35 Removed trailing space in v~: “Hakuna mtu wa kizazi hiki kiovu atakayeona nchi nzuri niliyoapa kuwapa baba zenu,

DEU 1:36 Removed trailing space in v~: isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune. Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wazao wake nchi aliyoikanyaga kwa miguu, kwa sababu alimfuata \nd Bwana\nd* kwa moyo wote.”

DEU 1:37 Removed trailing space in v~: Kwa sababu yenu \nd Bwana\nd* pia alinikasirikia mimi, akasema, “Hutaingia hiyo nchi pia.

DEU 1:38 Removed trailing space in v~: Lakini msaidizi wako, Yoshua mwana wa Nuni, ataingia. Mtie moyo, kwa sababu atawaongoza Waisraeli kuirithi hiyo nchi.

DEU 1:39 Removed trailing space in v~: Wale watoto ambao mliwasema wangelichukuliwa mateka, yaani watoto wenu ambao bado hawajui jema na baya, wataingia katika nchi. Nitawapa hiyo nchi, nao wataimiliki.

DEU 1:40 Removed trailing space in v~: Bali ninyi geukeni, mwondoke kuelekea jangwani kwa kufuata njia ya Bahari ya Shamu.”

DEU 1:41 Removed trailing space in v~: Ndipo mkanijibu, “Tumemtenda \nd Bwana\nd* dhambi. Tutakwenda kupigana, kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu alivyotuamuru.” Hivyo kila mmoja wenu akachukua silaha zake, huku mkifikiri kuwa ni rahisi kukwea katika nchi ya vilima.

DEU 1:42 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* aliniambia, “Waambie, ‘Msipande kupigana, kwa sababu sitakuwa pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu.’ ”

DEU 1:43 Removed trailing space in v~: Hivyo niliwaambia, lakini hamkutaka kusikia. Mliasi dhidi ya amri ya \nd Bwana\nd*, na katika kiburi chenu mlienda katika nchi ya vilima.

DEU 1:44 Removed trailing space in v~: Waamori ambao waliishi katika vilima hivyo waliinuka dhidi yenu, wakawafukuza kama kundi la nyuki wakiwapiga njia yote ya Seiri mpaka Horma.

DEU 1:45 Removed trailing space in v~: Mlirudi na kulia mbele za \nd Bwana\nd*, lakini Mungu hakusikiliza kilio chenu, wala hakuwajali.

DEU 1:46 Removed trailing space in v~: Hivyo mlikaa Kadeshi kwa siku nyingi, kwa muda ule wote mliokaa huko.

DEU 2:0 Extra space after chapter number

DEU 2:0 Removed trailing space in c: 2

DEU 2:0 Removed trailing space in s1: Kutangatanga Jangwani

DEU 2:1 Removed trailing space in v~: Kisha tukageuka nyuma na kusafiri kuelekea jangwani kwa njia inayoelekea Bahari ya Shamu, kama \nd Bwana\nd* alivyonielekeza. Kwa muda mrefu tulitembea kuzunguka vilima katika nchi ya Seiri.

DEU 2:2 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia,

DEU 2:3 Removed trailing space in v~: “Umetembea kuzunguka hii nchi ya vilima kwa muda wa kutosha; sasa geukia kaskazini.

DEU 2:4 Removed trailing space in v~: Wape watu maagizo haya: ‘Mko karibu kupita katikati ya nchi ya ndugu zako ambao ni wazao wa Esau, ambao wanaishi Seiri. Watawaogopa, lakini mwe waangalifu.

DEU 2:5 Removed trailing space in v~: Msiwachokoze kwa vita kwa maana sitawapa ninyi sehemu yoyote ya nchi yao, hata sehemu ya kutosha kuweka wayo wenu juu yake. Nimempa Esau nchi ya vilima ya Seiri kama yake mwenyewe.

DEU 2:6 Removed trailing space in v~: Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’ ”

DEU 2:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewabariki kwa kazi yote ya mikono yenu. Amewalinda katika safari yenu katikati ya jangwa hili kubwa. Kwa miaka hii arobaini \nd Bwana\nd* Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamkupungukiwa na kitu chochote.

DEU 2:8 Removed trailing space in v~: Basi tulipita kwa ndugu zetu wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri. Tuligeuka kutoka njia ya Araba ambayo inatokea Elathi na Esion-Geberi, tukasafiri kufuata njia ya jangwa la Moabu.

DEU 2:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Usiwasumbue Wamoabu kwa vita, kwa kuwa sitawapa sehemu yoyote ya nchi yao. Nimetoa nchi ya Ari kwa wazao wa Loti kama milki yao.”

DEU 2:10 Removed trailing space in v~: (Waemi walikuwa wakiishi huko hapo zamani, watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki.

DEU 2:11 Removed trailing space in v~: Kama walivyokuwa Waanaki, hao pia walikuwa kama Warefai, lakini Wamoabu waliwaita Waemi.

DEU 2:12 Removed trailing space in v~: Wahori waliishi Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafukuza. Waliwaangamiza Wahori na kukaa mahali pao, kama Waisraeli walivyofanya katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliwapa kama milki yao.)

DEU 2:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Sasa ondokeni mvuke Bonde la Zeredi.” Hivyo tukavuka bonde.

DEU 2:14 Removed trailing space in v~: Miaka thelathini na minane ilipita tangu wakati tulipoondoka Kadesh-Barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi. Kwa wakati huo kile kizazi chote cha wanaume kuanzia wale wawezao kwenda vitani kilikuwa kimekufa, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amewaapia.

DEU 2:15 Removed trailing space in v~: Mkono wa \nd Bwana\nd* uliwakabili hadi alipowaangamiza wote huko kambini.

DEU 2:16 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya mtu wa mwisho kuanzia wale wawezao kwenda vitani kufa,

DEU 2:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia,

DEU 2:18 Removed trailing space in v~: “Leo utapita katika nchi ya Moabu huko Ari.

DEU 2:19 Removed trailing space in v~: Utakapokuja kwa Waamoni, msiwasumbue wala kuwachokoza kwa vita, kwa kuwa sitawapa ardhi yoyote iliyo ya Waamoni kuwa milki yenu. Nimeitoa kama milki ya wazao wa Loti.”

DEU 2:20 Removed trailing space in v~: (Hiyo pia ilidhaniwa kuwa nchi ya Warefai waliokuwa wakiishi huko, lakini Waamoni waliwaita Wazamzumi.

DEU 2:21 Removed trailing space in v~: Walikuwa watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki. \nd Bwana\nd* akawaangamiza kutoka mbele ya Waamoni, ambao waliwafukuza na kukaa mahali pao.

DEU 2:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa amefanya vivyo hivyo kwa wazao wa Esau, ambao waliishi Seiri, wakati alipowaangamiza Wahori watoke mbele yao. Waliwafukuza na wao wakaishi mahali pao mpaka leo.

DEU 2:23 Removed trailing space in v~: Nao Waavi ambao waliishi katika vijiji mpaka Gaza, Wakaftori waliokuja kutoka Kaftori waliwaangamiza na kukaa mahali pao.)

DEU 2:24 Removed trailing space in v~: “Ondoka sasa na uvuke Bonde la Arnoni. Tazama, nimemweka mikononi mwako Sihoni Mwamori, mfalme wa Heshboni na nchi yake. Anza kuimiliki nchi hiyo na umwingize katika vita.

DEU 2:25 Removed trailing space in v~: Siku hii ya leo nitaanza kuwatia hofu na woga mataifa yote chini ya mbingu wawaogope ninyi. Watakaposikia taarifa zenu, watatetemeka na kufadhaika kwa sababu yenu.”

DEU 2:25 Removed trailing space in s1: Kushindwa Kwa Sihoni Mfalme Wa Heshboni

DEU 2:25 Removed trailing space in r: (Hesabu 21:21-30)

DEU 2:26 Removed trailing space in v~: Kutoka jangwa la Kedemothi nilituma wajumbe wenye maneno ya amani kwa Sihoni mfalme wa Heshboni kusema,

DEU 2:27 Removed trailing space in v~: “Turuhusu tupite katika nchi yako. Tutapita katika barabara kuu, hatutageuka kuume wala kushoto.

DEU 2:28 Removed trailing space in v~: Tuuzie chakula tule na maji tunywe kwa thamani yake katika fedha. Turuhusu tu tupite kwa miguu,

DEU 2:29 Removed trailing space in v~: kama wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri na Wamoabu ambao wanaishi Ari walivyotufanyia, mpaka tuvuke Yordani kuingia nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wetu anatupatia.”

DEU 2:30 Removed trailing space in v~: Lakini Sihoni mfalme wa Heshboni alikataa kuturuhusu kupita. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wako alikuwa ameifanya roho yake kuwa ngumu na moyo wake kuwa mkaidi ili amweke kwenye mikono yenu, kama alivyofanya sasa.

DEU 2:31 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Tazama, nimeanza kuwapa Mfalme Sihoni na nchi yake kwako. Sasa anzeni kuishinda na kuimiliki nchi yake.”

DEU 2:32 Removed trailing space in v~: Wakati Sihoni pamoja na jeshi lake lote walipokuja kukutana nasi katika vita huko Yahazi,

DEU 2:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu alimweka mikononi mwetu, nasi tukamwangamiza pamoja na wanawe na jeshi lake lote.

DEU 2:34 Removed trailing space in v~: Kwa wakati ule tuliteka miji yake yote na kuiangamiza kabisa: wanaume, wanawake na watoto. Hatukumwacha yeyote.

DEU 2:35 Removed trailing space in v~: Lakini mifugo na nyara tulizoziteka kutoka ile miji tulijichukulia wenyewe.

DEU 2:36 Removed trailing space in v~: Kutoka Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kutoka mji ulio ndani ya bonde, hata mpaka Gileadi, hapakuwa na mji hata mmoja uliokuwa na nguvu kutushinda. \nd Bwana\nd* Mungu wetu alitupa yote.

DEU 2:37 Removed trailing space in v~: Lakini kulingana na amri ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, hamkujiingiza katika nchi yoyote ya Waamoni, wala katika sehemu yoyote iliyo kandokando ya Mto Yaboki, wala katika miji iliyoko katika vilima.

DEU 3:0 Extra space after chapter number

DEU 3:0 Removed trailing space in c: 3

DEU 3:0 Removed trailing space in s1: Kushindwa Kwa Ogu Mfalme Wa Bashani

DEU 3:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 21:31-35)

DEU 3:1 Removed trailing space in v~: Kisha tukageuka tukakwea kufuata njia iliyoelekea Bashani, Ogu mfalme wa Bashani akaondoka na jeshi lake lote kupigana na sisi huko Edrei.

DEU 3:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Usimwogope kwa kuwa nimekwisha mkabidhi mikononi mwako pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Umfanyie sawasawa na ulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”

DEU 3:3 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* Mungu wetu pia akamweka Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote mikononi mwetu. Tuliwaangamiza wote, hakubakia hata mmoja.

DEU 3:4 Removed trailing space in v~: Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani.

DEU 3:5 Removed trailing space in v~: Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta.

DEU 3:6 Removed trailing space in v~: Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.

DEU 3:7 Removed trailing space in v~: Lakini wanyama wote wa kufuga pamoja na nyara kutoka kwenye miji yao tulichukua vikawa vyetu.

DEU 3:8 Removed trailing space in v~: Hivyo kwa wakati huo tukachukua kutoka kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya mashariki ya Yordani, kutoka Bonde la Arnoni mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni.

DEU 3:9 Removed trailing space in v~: (Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)

DEU 3:10 Removed trailing space in v~: Tuliteka miji yote kwenye uwanda wa juu, Gileadi yote, Bashani yote mpaka kufika Saleka na Edrei, miji ya utawala wa Ogu huko Bashani.

DEU 3:11 Removed trailing space in v~: (Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa\f + \fr 3:11 \ft Dhiraa tisa ni sawa na mita 4.\f* na upana wa dhiraa nne.\f + \fr 3:11 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.\f* Mpaka sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.)

DEU 3:11 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Ya Yordani

DEU 3:11 Removed trailing space in r: (Hesabu 32:1-42)

DEU 3:12 Removed trailing space in v~: Katika nchi tuliyoiteka wakati ule, niliwapa kabila la Reubeni na Gadi eneo lililoko kaskazini la Aroeri kando ya Bonde la Arnoni, na nusu ya eneo la milima ya Gileadi, pamoja na miji yake.

DEU 3:13 Removed trailing space in v~: Kisha nusu ya kabila la Manase niliwapa sehemu ya Gileadi iliyobaki pamoja na Bashani yote, ambayo ilikuwa utawala wa Ogu. (Eneo lote la Argobu katika Bashani lilikuwa linajulikana kama nchi ya Warefai.

DEU 3:14 Removed trailing space in v~: Yairi, mzao wa kabila la Manase, alichukua eneo lote la nchi ya Argobu hadi kufikia mpaka wa Wageshuri na Wamaaka, ukaitwa kwa jina lake; kwa hiyo mpaka leo hii Bashani inaitwa Hawoth-Yairi.)

DEU 3:15 Removed trailing space in v~: Nikampa Makiri nchi ya Gileadi.

DEU 3:16 Removed trailing space in v~: Lakini niliwapa Wareubeni na Wagadi eneo kuanzia Gileadi hadi Bonde la Arnoni (katikati ya bonde ulikuwa ndio mpaka), kuelekea mpaka Mto Yaboki, ambao ndio mpaka wa Waamoni.

DEU 3:17 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa magharibi mpaka wao ulikuwa Yordani katika Araba, toka ziwa Galilaya hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), kwenye miteremko ya Pisga upande wa mashariki.

DEU 3:18 Removed trailing space in v~: Wakati huo nilikuamuru: “\nd Bwana\nd* Mungu wako amekupa nchi hii uimiliki. Lakini ni lazima wanaume wenu wote wenye uwezo, wakiwa wamejiandaa tayari kwa vita, wavuke ngʼambo wakiwatangulia ndugu zako Waisraeli.

DEU 3:19 Removed trailing space in v~: Lakini wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu (kwani najua mnayo mifugo mingi) wanaweza kukaa katika miji niliyowapa,

DEU 3:20 Removed trailing space in v~: mpaka hapo \nd Bwana\nd* atakapowapa ndugu zenu kupumzika kama alivyowapa ninyi, wao pia wamiliki ile nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa, ngʼambo ya Yordani. Baada ya hapo, kila mmoja wenu anaweza kurudi kwenye milki niliyowapa.”

DEU 3:20 Removed trailing space in s1: Mose Akatazwa Kuvuka Yordani

DEU 3:21 Removed trailing space in v~: Wakati huo nilimwamuru Yoshua, “Umejionea kwa macho yako mwenyewe yale yote ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewafanyia wafalme hawa wawili. \nd Bwana\nd* atazifanyia falme zote huko mnakokwenda vivyo hivyo.

DEU 3:22 Removed trailing space in v~: Msiwaogope, \nd Bwana\nd* Mungu wenu atapigana kwa ajili yenu.”

DEU 3:23 Removed trailing space in v~: Wakati huo nilimsihi \nd Bwana\nd*:

DEU 3:24 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, umemwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye uweza. Kwa kuwa ni mungu yupi aliye mbinguni au duniani anayeweza kufanya kazi na matendo makuu kama ufanyayo wewe?

DEU 3:25 Removed trailing space in v~: Acha niende nikaione hiyo nchi nzuri ngʼambo ya Yordani, ile nchi nzuri ya vilima na Lebanoni.”

DEU 3:26 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu yenu \nd Bwana\nd* alinikasirikia na hakutaka kunisikiliza. \nd Bwana\nd* aliniambia, “Hilo latosha; usiseme nami jambo hili tena.

DEU 3:27 Removed trailing space in v~: Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani.

DEU 3:28 Removed trailing space in v~: Lakini mwagize Yoshua, mtie moyo na umtie nguvu, kwa kuwa yeye atawaongoza watu hawa hadi ngʼambo na kuwarithisha nchi utakayoiona.”

DEU 3:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tulikaa kwenye bonde karibu na Beth-Peori.

DEU 4:0 Extra space after chapter number

DEU 4:0 Removed trailing space in c: 4

DEU 4:0 Removed trailing space in s1: Waamriwa Utii

DEU 4:1 Removed trailing space in v~: Sikia sasa, ee Israeli, amri na sheria nitakazokufundisha wewe. Zifuate ili upate kuishi na uingie kuimiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zako anawapa.

DEU 4:2 Removed trailing space in v~: Usiongeze wala usipunguze chochote ninachowaamuru ninyi, ila myashike maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu ambayo nawapa.

DEU 4:3 Removed trailing space in v~: Mliona kwa macho yenu wenyewe kile \nd Bwana\nd* alichokifanya kule Baal-Peori. \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliwaangamiza kutoka miongoni mwenu kila mmoja aliyemfuata Baali wa Peori,

DEU 4:4 Removed trailing space in v~: lakini ninyi nyote mlioshikamana na \nd Bwana\nd* kwa uthabiti, Mungu wenu, mko hai mpaka leo.

DEU 4:5 Removed trailing space in v~: Tazama, nimewafundisha amri na sheria kama \nd Bwana\nd* Mungu wangu alivyoniamuru mimi, ili mzifuate katika nchi mnayoiingia kuimiliki.

DEU 4:6 Removed trailing space in v~: Zishikeni kwa uangalifu, kwa kuwa hii itaonyesha hekima na ufahamu wenu kwa mataifa, ambayo yatasikia kuhusu amri zote hizi, nao watasema, “Hakika taifa hili kubwa ni watu wenye hekima na ufahamu.”

DEU 4:7 Removed trailing space in v~: Ni taifa gani jingine lililo kubwa kiasi cha kuwa na miungu yao iliyo karibu nao kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu alivyo karibu nasi wakati wowote tunapomwomba?

DEU 4:8 Removed trailing space in v~: Nalo ni taifa gani jingine lililo kubwa hivi lenye kuwa na amri na sheria za haki kama hizi ninazoweka mbele yenu leo?

DEU 4:9 Removed trailing space in v~: Mwe waangalifu, na makini ili msije mkasahau mambo ambayo mliyaona kwa macho yenu, wala kuyaacha yaondoke moyoni mwenu siku zote za uhai wenu. Mwafundishe hayo watoto wenu na watoto wao baada yao.

DEU 4:10 Removed trailing space in v~: Kumbuka siku uliyosimama mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako kule Horebu, wakati aliponiambia, “Wakutanishe watu mbele yangu wasikie maneno yangu ili kwamba waweze kujifunza kuniheshimu kwa muda wote watakaoishi katika nchi, nao waweze kuwafundisha watoto wao maneno hayo.”

DEU 4:11 Removed trailing space in v~: Mlisogea karibu na mkasimama chini ya mlima wakati ulipowaka moto mpaka mbinguni juu, pamoja na mawingu meusi na giza nene.

DEU 4:12 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* alipozungumza nanyi kutoka moto. Mkasikia sauti ya maneno lakini hamkuona umbo, kulikuwa na sauti tu.

DEU 4:13 Removed trailing space in v~: Aliwatangazia Agano lake na Amri Kumi, ambazo aliwaamuru mzifuate, kisha akaziandika juu ya vibao viwili vya mawe.

DEU 4:14 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* alinielekeza wakati huo kuwafundisha ninyi sheria na amri ambazo mnapaswa kuzifuata katika nchi ambayo mnavuka Yordani kuimiliki.

DEU 4:14 Removed trailing space in s1: Kuabudu Sanamu Kwakatazwa

DEU 4:15 Removed trailing space in v~: Hamkuona umbo la aina yoyote siku ambayo \nd Bwana\nd* alizungumza nanyi kule Horebu kutoka kwenye moto. Kwa hiyo mjihadhari kwa uangalifu sana,

DEU 4:16 Removed trailing space in v~: ili msije mkajichafua na kujitengenezea sanamu au kinyago chenye umbo lolote kama la mwanaume au mwanamke,

DEU 4:17 Removed trailing space in v~: au kama mnyama aliye juu ya nchi au ndege yeyote arukaye angani,

DEU 4:18 Removed trailing space in v~: au kama kiumbe kitambaacho juu ya ardhi au samaki yeyote aliye ndani ya maji.

DEU 4:19 Removed trailing space in v~: Na utazamapo juu angani na ukaliona jua, mwezi na nyota na vyote vinavyoipamba mbingu, usije ukashawishiwa kuviinamia na kuviabudu vile ambavyo \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyogawia mataifa yote chini ya mbingu.

DEU 4:20 Removed trailing space in v~: Lakini kwenu ninyi, \nd Bwana\nd* amewatoa kutoka kwenye tanuru ya kuyeyushia chuma, katika Misri kuwa watu wa urithi wake kama mlivyo sasa.

DEU 4:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinikasirikia kwa sababu yenu na akaapa kwamba sitavuka Yordani kuingia katika nchi nzuri \nd Bwana\nd* Mungu wenu anayowapa kuwa urithi wenu.

DEU 4:22 Removed trailing space in v~: Nitakufa katika nchi hii; sitavuka Yordani, lakini ninyi ni karibu mvuke mkaimiliki ile nchi nzuri.

DEU 4:23 Removed trailing space in v~: Jihadharini msilisahau Agano la \nd Bwana\nd* Mungu wenu lile alilofanya nanyi; msijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote ambacho \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewakataza.

DEU 4:24 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni moto ulao, Mungu mwenye wivu.

DEU 4:25 Removed trailing space in v~: Baada ya kuwa na watoto na wajukuu na kuishi katika nchi hiyo siku nyingi, tena kama mkijichafua na kutengeneza sanamu ya aina yoyote, mkifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kumfanya awe na hasira,

DEU 4:26 Removed trailing space in v~: ninaziita mbingu na nchi kama mashahidi dhidi yenu siku hii kwamba mtaangamia mara moja kutoka nchi ile ambayo mnavuka Yordani kuimiliki. Hamtaishi kule kwa muda mrefu bali kwa hakika mtaangamizwa.

DEU 4:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawatawanya miongoni mwa mataifa, na ni wachache wenu tu watakaosalia miongoni mwa mataifa hayo ambayo \nd Bwana\nd* atawafukuzia.

DEU 4:28 Removed trailing space in v~: Huko mtaabudu miungu ya miti na mawe iliyotengenezwa na watu, ambayo haiwezi kuona au kusikia wala kula au kunusa.

DEU 4:29 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtamtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mtampata; kama mtamtafuta kwa moyo wenu wote na kwa roho yote.

DEU 4:30 Removed trailing space in v~: Wakati mnapokuwa katika dhiki, nayo mambo haya yote yamewatokea siku hizo, ndipo mtamrudia \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kumtii.

DEU 4:31 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni Mungu mwenye huruma, hatawaacha au kuwaangamiza wala kusahau Agano alilofanya na baba zenu, alilowathibitishia kwa kiapo.

DEU 4:31 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Ndiye Mungu

DEU 4:32 Removed trailing space in v~: Sasa uliza kuhusu siku za zamani, zamani kabla ya wakati wako, tangu siku ile Mungu alipomuumba mtu juu ya nchi, uliza kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho mwingine wa mbingu. Je, kumepata kutokea jambo jingine lililo kubwa kama hili, au kuna jambo jingine kama hilo limepata kusikiwa?

DEU 4:33 Removed trailing space in v~: Je, kuna watu wengine wowote waliosikia sauti ya Mungu ikizungumza kwenye moto, kama mlivyosikia, nao wakaishi?

DEU 4:34 Removed trailing space in v~: Je, kuna mungu yeyote amepata kujaribu mwenyewe kuchukua taifa moja kutoka taifa lingine, kwa mapigo, kwa ishara za miujiza na maajabu, kwa vita, kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa au kwa matendo makuu ya kutisha, kama yale ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyofanya kwa ajili yenu huko Misri mbele ya macho yenu?

DEU 4:35 Removed trailing space in v~: Mlionyeshwa mambo haya ili mpate kujua kuwa \nd Bwana\nd* ndiye Mungu; hakuna mwingine ila yeye.

DEU 4:36 Removed trailing space in v~: Kutoka mbinguni amewasikizisha sauti yake ili kuwaadilisha. Hapa duniani aliwaonyesha moto wake mkubwa, nanyi mlisikia maneno yake kutoka kwenye ule moto.

DEU 4:37 Removed trailing space in v~: Kwa sababu aliwapenda baba zenu na alichagua wazao wao baada yao, aliwatoa katika nchi ya Misri kwa Uwepo wake na kwa uwezo wake mkuu,

DEU 4:38 Removed trailing space in v~: aliwafukuza mbele yenu mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi na kuwaleta ninyi katika nchi yao na akawapa ninyi kuwa urithi wenu, kama ilivyo leo.

DEU 4:39 Removed trailing space in v~: Kubalini na mweke moyoni leo kuwa \nd Bwana\nd* ndiye Mungu mbinguni juu na duniani chini. Hakuna mwingine.

DEU 4:40 Removed trailing space in v~: Mshike amri na maagizo yake ninayowapa leo, ili mpate kufanikiwa ninyi na watoto wenu baada yenu, na mpate kuishi maisha marefu katika nchi awapayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu siku zote.

DEU 4:40 Removed trailing space in s1: Miji Ya Makimbilio

DEU 4:41 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akatenga miji mitatu mashariki ya Yordani,

DEU 4:42 Removed trailing space in v~: ambayo mtu yeyote aliyemuua mtu angeweza kukimbilia ikiwa amemuua jirani yake bila kukusudia na bila kuwa na chuki naye siku zilizopita. Angeweza kukimbilia katika mmojawapo ya miji hii na kuokoa maisha yake.

DEU 4:43 Removed trailing space in v~: Miji hiyo ilikuwa: Bezeri katika tambarare ya jangwa kwa ajili ya Wareubeni; Ramothi katika nchi ya Gileadi kwa ajili ya Wagadi; nao mji wa Golani katika nchi ya Bashani kwa ajili ya Wamanase.

DEU 4:43 Removed trailing space in s1: Utangulizi Wa Sheria

DEU 4:44 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sheria Mose aliyoweka mbele ya Waisraeli.

DEU 4:45 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo masharti, amri na sheria Mose aliyowapa wana wa Israeli wakati walitoka Misri,

DEU 4:46 Removed trailing space in v~: nao walikuwa katika bonde karibu na Beth-Peori mashariki ya Yordani, katika nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala Heshboni, naye alishindwa na Mose na Waisraeli walipokuja toka Misri.

DEU 4:47 Removed trailing space in v~: Waliimiliki nchi yake na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, wafalme wawili Waamori waliotawala mashariki ya Yordani.

DEU 4:48 Removed trailing space in v~: Nchi hii ilienea kutoka Aroeri ukingoni mwa Bonde la Arnoni mpaka Mlima Sioni (yaani Hermoni),

DEU 4:49 Removed trailing space in v~: pamoja na eneo lote la Araba mashariki ya Yordani, na kuenea mpaka Bahari ya Araba kwenye miteremko ya Pisga.

DEU 6:0 Extra space after chapter number

DEU 6:0 Removed trailing space in c: 6

DEU 6:0 Removed trailing space in s1: Mpende \nd Bwana\nd* Mungu Wako

DEU 6:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maagizo, amri na sheria ambazo \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliniagiza niwafundishe ninyi ili mpate kuyashika katika nchi ambayo ninyi mnavuka Yordani kuimiliki,

DEU 6:2 Removed trailing space in v~: ili kwamba ninyi, watoto wenu na watoto wao baada yao wamche \nd Bwana\nd* Mungu wenu siku zote kwa kushika amri na maagizo yake yote ninayowapa, ili mweze kuyafurahia maisha marefu.

DEU 6:3 Removed trailing space in v~: Sikia, ee Israeli, nawe uwe mwangalifu kutii ili upate kufanikiwa na kuongezeka sana katika nchi itiririkayo maziwa na asali, kama \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, alivyowaahidi ninyi.

DEU 6:4 Removed trailing space in v~: Sikia, ee Israeli: \nd Bwana\nd* Mungu wako, \nd Bwana\nd* ni mmoja.

DEU 6:5 Removed trailing space in v~: Mpende \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.

DEU 6:6 Removed trailing space in v~: Amri hizi ninazokupa leo zitakuwa katika moyo wako.

DEU 6:7 Removed trailing space in v~: Wafundishe watoto wako kwa bidii. Nena kuhusu amri hizi uketipo nyumbani na wakati utembeapo njiani, ulalapo na uamkapo.

DEU 6:8 Removed trailing space in v~: Zifunge kama alama juu ya mkono wako, na uzifunge juu ya paji la uso wako.

DEU 6:9 Removed trailing space in v~: Ziandike kwenye miimo ya milango ya nyumba yako na juu ya malango yako.

DEU 6:10 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokuleta katika nchi aliyowaapia baba zako, Abrahamu, Isaki na Yakobo, kukupa wewe, nchi kubwa, ina miji inayopendeza ambayo hukuijenga,

DEU 6:11 Removed trailing space in v~: nyumba zilizojaa vitu vizuri vya aina nyingi ambavyo hukuvijaza, visima ambavyo hukuchimba, na mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukupanda wewe, basi, utakapokula na kushiba,

DEU 6:12 Removed trailing space in v~: jihadhari usije ukamwacha \nd Bwana\nd*, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.

DEU 6:13 Removed trailing space in v~: Utamcha \nd Bwana\nd* Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake na kuapa kwa jina lake.

DEU 6:14 Removed trailing space in v~: Usifuate miungu mingine, miungu ya mataifa yanayokuzunguka;

DEU 6:15 Removed trailing space in v~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wako, ambaye yuko katikati yako, ni Mungu mwenye wivu na hasira yake itawaka dhidi yako, naye atakuangamiza kutoka uso wa nchi.

DEU 6:16 Removed trailing space in v~: Usimjaribu \nd Bwana\nd* Mungu wako kama ulivyofanya huko Masa.

DEU 6:17 Removed trailing space in v~: Utayashika maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa bidii, na masharti na amri alizokupa.

DEU 6:18 Removed trailing space in v~: Fanya lililo haki na jema mbele za \nd Bwana\nd*, ili upate kufanikiwa, uweze kuingia na kuimiliki nchi nzuri ambayo \nd Bwana\nd* aliahidi kwa kiapo kwa baba zako,

DEU 6:19 Removed trailing space in v~: kuwafukuza kwa nguvu adui zako mbele yako kama \nd Bwana\nd* alivyosema.

DEU 6:20 Removed trailing space in v~: Siku zijazo, mtoto wako atakapokuuliza, “Ni nini maana ya masharti haya, amri na sheria hizi ambazo \nd Bwana\nd* Mungu wako alikuagiza wewe?”

DEU 6:21 Removed trailing space in v~: Mwambie: “Tulikuwa watumwa wa Farao huko Misri, lakini \nd Bwana\nd* alitutoa sisi kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu.

DEU 6:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akapeleka mbele yetu ishara za miujiza na maajabu makubwa na ya kutisha mno juu ya Misri na Farao pamoja na nyumba yake yote.

DEU 6:23 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akatutoa huko, akatuleta na kutupa nchi hii ambayo aliwaahidi baba zetu kwa kiapo.

DEU 6:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akatuagiza tutii amri hizi zote na kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wetu, ili tupate kustawi na kuendelea kuwa hai kama ilivyo leo.

DEU 6:25 Removed trailing space in v~: Kama tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.”

DEU 7:0 Extra space after chapter number

DEU 7:0 Removed trailing space in c: 7

DEU 7:0 Removed trailing space in s1: Kuyafukuza Mataifa

DEU 7:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 34:11-16)

DEU 7:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako akuletapo katika nchi unayoingia kuimiliki, na awafukuzapo mbele yako mataifa mengi, yaani Wahiti, Wagirgashi, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, mataifa saba makubwa tena yenye nguvu kuliko wewe,

DEU 7:2 Removed trailing space in v~: pia \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapowatia mkononi mwako na ukawashinda, basi ni lazima uwaangamize wote kabisa. Usifanye agano nao, wala usiwahurumie.

DEU 7:3 Removed trailing space in v~: Usioane nao. Usimtoe binti yako kuolewa na mwanawe, au kumchukua binti yake aolewe na mwanao.

DEU 7:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana watamgeuza mwanao aache kunifuata, ili aitumikia miungu mingine, nayo hasira ya \nd Bwana\nd* itawaka dhidi yako, naye atakuangamiza ghafula.

DEU 7:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo utakalowafanyia: Vunja madhabahu yao, vunja mawe yao ya kuabudia, katakata nguzo zao za Ashera na kuchoma sanamu zao kwa moto.

DEU 7:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe ni taifa takatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako. \nd Bwana\nd* Mungu wako amekuchagua wewe kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia kuwa watu wake, hazina yake ya thamani.

DEU 7:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hakuweka upendo wake juu yenu na kuwachagua kwa sababu mlikuwa wengi mno kuliko watu wengine, kwa maana ninyi ndio mliokuwa wachache sana kuliko mataifa yote.

DEU 7:8 Removed trailing space in v~: Lakini ni kwa sababu \nd Bwana\nd* aliwapenda ninyi na kutunza kiapo alichowaapia babu zenu kwamba atawatoa ninyi kwa mkono wenye nguvu na kuwakomboa kutoka nchi ya utumwa, kutoka nguvu za Farao mfalme wa Misri.

DEU 7:9 Removed trailing space in v~: Basi ujue kwamba \nd Bwana\nd* Mungu wako ndiye Mungu; ni Mungu mwaminifu, anayetunza Agano la upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale wanaompenda na kuzishika amri zake.

DEU 7:10 Removed trailing space in v~: Lakini

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: kwa wale wanaomchukia

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: atawalipiza kwenye nyuso zao

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: kwa maangamizi;

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: hatachelewa kuwalipiza kwenye nyuso zao

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: wale wamchukiao.

DEU 7:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kuweni waangalifu kufuata maagizo, amri na sheria ninazowapa leo.

DEU 7:11 Removed trailing space in s1: Baraka Za Utiifu

DEU 7:11 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 28:1-14)

DEU 7:12 Removed trailing space in v~: Kama mkizingatia sheria hizi na kuzifuata kwa uangalifu, basi \nd Bwana\nd* Mungu wenu atatunza Agano lake la upendo nanyi, kama alivyowaapia baba zenu.

DEU 7:13 Removed trailing space in v~: Atawapenda ninyi na kuwabariki na kuongeza idadi yenu. Atabariki uzao wa tumbo lenu, mazao ya nchi yenu, nafaka, divai mpya na mafuta, ndama za ngʼombe wa makundi yenu, na kondoo za makundi yenu katika nchi ile aliyoapa kuwapa baba zenu.

DEU 7:14 Removed trailing space in v~: Mtabarikiwa kuliko mataifa mengine yote, hakuna wanaume wala wanawake kwenu watakaokosa watoto, wala mifugo yenu haitakuwa tasa.

DEU 7:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawakinga na kila ugonjwa. Mungu hatatia juu yenu ugonjwa wowote mbaya mlioufahamu huko Misri, lakini atatia ugonjwa juu ya wale wote wanaokuchukia.

DEU 7:16 Removed trailing space in v~: Ni lazima mwangamize watu wote ambao \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawatia mikononi mwenu. Msiwatazame kwa kuwahurumia na msiitumikie miungu yao, kwa kuwa itakuwa mtego kwenu.

DEU 7:17 Removed trailing space in v~: Mnaweza kujiuliza wenyewe “Mataifa haya ni yenye nguvu kuliko sisi. Tutawezaje kuwafukuza?”

DEU 7:18 Removed trailing space in v~: Lakini msiwaogope. Kumbukeni vyema jinsi \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyofanya kwa Farao na kwa wote huko Misri.

DEU 7:19 Removed trailing space in v~: Mliona kwa macho yenu wenyewe majaribu makubwa, ishara za miujiza na maajabu, mkono wenye nguvu na ulionyooshwa, ambao kwa huo \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliwatoa mtoke Misri. \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawafanyia hivyo watu wote ambao mnawaogopa sasa.

DEU 7:20 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, \nd Bwana\nd* Mungu wenu atatuma manyigu miongoni mwao hadi yale mabaki watakaojificha waangamie.

DEU 7:21 Removed trailing space in v~: Msiingiwe na hofu kwa sababu yao, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambaye yupo miongoni mwenu ni mkuu naye ni Mungu wa kutisha.

DEU 7:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawafukuza mataifa hayo mbele yenu kidogo kidogo. Hamtaruhusiwa kuwaondoa wote kwa mara moja, la sivyo wanyama mwitu wataongezeka na kuwa karibu nanyi.

DEU 7:23 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, akiwatia katika kuchanganyikiwa kukubwa mpaka wawe wameangamizwa.

DEU 7:24 Removed trailing space in v~: Atawatia wafalme wao mikononi mwenu, nanyi mtayafuta majina yao chini ya mbingu. Hakuna hata mmoja atakayeweza kusimama dhidi yenu bali mtawaangamiza.

DEU 7:25 Removed trailing space in v~: Vinyago vya miungu yao mtavichoma moto. Msitamani fedha wala dhahabu iliyo juu yao, wala msizichukue kwa ajili yenu, la sivyo mtakuwa mmetekwa navyo. Kwa kuwa ni chukizo kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 7:26 Removed trailing space in v~: Msilete vitu vya machukizo katika nyumba zenu kwani ninyi, mtatengwa kama vitu hivyo kwa maangamizo. Ukichukie kabisa kitu hicho kwa kuwa kimetengwa kwa maangamizo.

DEU 8:0 Extra space after chapter number

DEU 8:0 Removed trailing space in c: 8

DEU 8:0 Removed trailing space in s1: Usimsahau \nd Bwana\nd*

DEU 8:1 Removed trailing space in v~: Uwe mwangalifu kufuata kila agizo ninalokupa wewe leo, ili mweze kuishi, kuongezeka na mweze kuingia mkamiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliahidi kwa kiapo kwa baba zenu.

DEU 8:2 Removed trailing space in v~: Kumbuka jinsi \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowaongoza katika njia yote katika jangwa kwa miaka hii arobaini, kukunyenyekeza na kukujaribu ili ajue lililoko moyoni mwako, kwamba utayashika maagizo yake au la.

DEU 8:3 Removed trailing space in v~: Alikudhili na kukufanya uone njaa kisha akulishe kwa mana, ambayo wewe wala baba zako hamkuijua, awafundishe kuwa mwanadamu hataishi kwa mkate tu bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha \nd Bwana\nd*.

DEU 8:4 Removed trailing space in v~: Nguo zenu hazikuchakaa wala miguu yenu haikuvimba kwa miaka hii arobaini.

DEU 8:5 Removed trailing space in v~: Mjue basi ndani ya mioyo yenu kama mtu anavyomwadibisha mwanawe, ndivyo \nd Bwana\nd* Mungu wako atawaadibisha ninyi.

DEU 8:6 Removed trailing space in v~: Shikeni maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu mtembee katika njia zake na kumheshimu.

DEU 8:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi yenye vijito na mabwawa ya maji, yenye chemchemi zinazotiririka mabondeni na katika vilima;

DEU 8:8 Removed trailing space in v~: nchi yenye ngano na shayiri, mizabibu na mitini, mikomamanga, mafuta ya zeituni na asali;

DEU 8:9 Removed trailing space in v~: nchi ambayo chakula hakitapungua na hamtakosa chochote; nchi ambayo miamba yake ni chuma na mnaweza kuchimba shaba kutoka kwenye vilima.

DEU 8:10 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa.

DEU 8:11 Removed trailing space in v~: Jihadharini msimsahau \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mkashindwa kushika maagizo yake, sheria na amri zake ambazo ninawapa leo.

DEU 8:12 Removed trailing space in v~: Angalia wakati mtakapokuwa mmekula na kushiba, mkajenga nyumba nzuri na kukaa humo,

DEU 8:13 Removed trailing space in v~: na wakati makundi yenu ya ngʼombe na mbuzi na kondoo yatakapoongezeka na fedha na dhahabu yenu itakapoongezeka na vyote mlivyo navyo vitakapozidishwa,

DEU 8:14 Removed trailing space in v~: basi mioyo yenu isiwe na kiburi mkamsahau \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyewatoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.

DEU 8:15 Removed trailing space in v~: Aliwaongoza kupitia jangwa lile kubwa na la kutisha, nchi ile ya kiu isiyo na maji, yenye nyoka wa sumu na nge. Aliwatolea maji kutoka kwenye mwamba mgumu.

DEU 8:16 Removed trailing space in v~: Aliwapa mana ya kula jangwani, kitu ambacho baba zenu hawakukijua, ili kuwanyenyekesha na kuwajaribu ninyi ili mwishoni apate kuwatendea mema.

DEU 8:17 Removed trailing space in v~: Mnaweza kusema, “Uwezo wangu na nguvu za mikono yangu ndizo zilizonipatia utajiri huu.”

DEU 8:18 Removed trailing space in v~: Lakini kumbukeni \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ndiye ambaye huwapa uwezo wa kupata utajiri, na hivyo kulithibitisha Agano lake, ambalo aliwaapia baba zenu, kama ilivyo leo.

DEU 8:19 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtamsahau \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mkaifuata miungu mingine, mkaiabudu na kuisujudia, ninashuhudia dhidi yenu leo kwamba hakika mtaangamizwa.

DEU 8:20 Removed trailing space in v~: Kama mataifa \nd Bwana\nd* aliyoyaangamiza mbele yenu, ndivyo ninyi mtakavyoangamizwa kwa kutokumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 9:0 Extra space after chapter number

DEU 9:0 Removed trailing space in c: 9

DEU 9:0 Removed trailing space in s1: Si Kwa Sababu Ya Haki Ya Waisraeli

DEU 9:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 32:1-35)

DEU 9:1 Removed trailing space in v~: Sikiliza, ee Israeli. Sasa mnakaribia kuvuka Yordani mwingie na kuwafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi pamoja na miji mikubwa yenye kuta zilizofika juu angani.

DEU 9:2 Removed trailing space in v~: Watu ni wenye nguvu na warefu, ni wana wa Waanaki! Mnafahamu habari zao na mmesikia inavyosemekana: “Ni nani awezaye kusimama dhidi ya Waanaki?”

DEU 9:3 Removed trailing space in v~: Kuweni na hakika leo kwamba \nd Bwana\nd* Mungu wenu ndiye atakayetangulia kuvuka mbele yenu kama moto uteketezao. Atawaangamiza; atawatiisha mbele yenu. Nanyi mtawafukuza na kuwaangamiza mara moja, kama \nd Bwana\nd* alivyowaahidi.

DEU 9:4 Removed trailing space in v~: Baada ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu kuwafukuza mbele yenu, msiseme mioyoni mwenu, “\nd Bwana\nd* ametuleta hapa kuimiliki nchi hii kwa sababu ya haki yetu.” La, ni kwa sababu ya uovu wa mataifa haya ndiyo \nd Bwana\nd* anawafukuza mbele yenu.

DEU 9:5 Removed trailing space in v~: Si kwa sababu ya haki yenu wala uadilifu wenu kwamba mtaimiliki nchi yao; lakini kwa sababu ya uovu wa mataifa haya, \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawafukuza mbele yenu, ili kutimiza lile alilowaapia baba zenu Abrahamu, Isaki na Yakobo.

DEU 9:6 Removed trailing space in v~: Basi mjue, si kwa sababu ya haki yenu \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa nchi hii nzuri kuimiliki, kwa kuwa ninyi ni taifa lenye shingo ngumu.

DEU 9:6 Removed trailing space in s1: Ndama Ya Dhahabu

DEU 9:7 Removed trailing space in v~: Kumbukeni hili, kamwe msisahau jinsi mlivyomkasirisha \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa hasira huko jangwani. Tangu siku mlipotoka Misri mpaka mlipofika hapa, mmekuwa waasi dhidi ya \nd Bwana\nd*.

DEU 9:8 Removed trailing space in v~: Kule Horebu mliamsha ghadhabu ya \nd Bwana\nd*, kwa hiyo alikasirika vya kutosha hata akataka kuwaangamiza.

DEU 9:9 Removed trailing space in v~: Nilipopanda mlimani kupokea mbao za mawe, mbao za Agano lile \nd Bwana\nd* alilofanya nanyi, nilikaa mlimani siku arobaini usiku na mchana, sikula mkate wala sikunywa maji.

DEU 9:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinipa mbao mbili za mawe zilizoandikwa kwa kidole cha Mungu. Juu ya mbao hizo kulikuwepo amri zote ambazo \nd Bwana\nd* aliwatangazia kule mlimani kwa njia ya moto, siku ya kusanyiko.

DEU 9:11 Removed trailing space in v~: Mwisho wa siku arobaini usiku na mchana, \nd Bwana\nd* alinipa mbao mbili za mawe, mbao za Agano.

DEU 9:12 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Shuka chini mara moja, kwa sababu watu wako ambao umewatoa katika nchi ya Misri wamepotoka. Wamegeukia mbali haraka kutoka lile nililowaagiza, wamejitengenezea sanamu ya kusubu.”

DEU 9:13 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akaniambia, “Nimewaona watu hawa nao ni watu wenye shingo ngumu sana!

DEU 9:14 Removed trailing space in v~: Niache, ili nipate kuwaangamiza na kufuta jina lao kutoka chini ya mbingu. Nami nitakufanya kuwa taifa lenye nguvu zaidi na kuwa wengi kuliko wao.”

DEU 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niligeuka na kuteremka kutoka mlimani kwani mlima ulikuwa ukiwaka moto. Pia vibao vile viwili vya Agano vilikuwa mikononi mwangu.

DEU 9:16 Removed trailing space in v~: Nilipotazama, niliona kuwa mmefanya dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu; mmejifanyia sanamu ya kusubu katika umbo la ndama. Mmegeuka upesi kutoka njia ile \nd Bwana\nd* aliyowaagiza.

DEU 9:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nilichukua vibao vile viwili nikavitupa na kuvipasua vipande vipande mbele ya macho yenu.

DEU 9:18 Removed trailing space in v~: Ndipo tena nikasujudu mbele za \nd Bwana\nd* kwa siku arobaini usiku na mchana. Sikula mkate wala sikunywa maji, kwa sababu ya dhambi yote mliyoifanya, mkifanya lile lililo ovu mbele za \nd Bwana\nd* na kumkasirisha.

DEU 9:19 Removed trailing space in v~: Niliogopa hasira na ghadhabu ya \nd Bwana\nd*, kwa kuwa aliwakasirikia vya kutosha na kutaka kuwaangamiza. Lakini \nd Bwana\nd* alinisikiliza tena.

DEU 9:20 Removed trailing space in v~: Bali yeye alimkasirikia Aroni kiasi cha kutaka kumwangamiza, nami wakati huo nilimwombea Aroni pia.

DEU 9:21 Removed trailing space in v~: Kisha nikachukua ile sanamu ya ndama mliyoitengeneza na kuichoma kwenye moto. Nikaiponda na kuisaga ikawa unga laini kama vumbi, nikatupa lile vumbi kwenye kijito kilichotiririka toka mlimani.

DEU 9:22 Removed trailing space in v~: Pia mlimkasirisha \nd Bwana\nd* huko Tabera, Masa na Kibroth-Hataava.

DEU 9:23 Removed trailing space in v~: Vilevile wakati \nd Bwana\nd* alipowatuma kutoka Kadesh-Barnea, alisema, “Kweeni, mkaimiliki nchi ambayo nimewapa.” Lakini mliasi dhidi ya agizo la \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Hamkumtegemea wala kumtii.

DEU 9:24 Removed trailing space in v~: Mmekuwa waasi dhidi ya \nd Bwana\nd* tangu nilipowajua ninyi.

DEU 9:25 Removed trailing space in v~: Nilianguka kifudifudi mbele za \nd Bwana\nd* kwa zile siku arobaini usiku na mchana kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa amesema angewaangamiza ninyi.

DEU 9:26 Removed trailing space in v~: Nilimwomba \nd Bwana\nd* na kusema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, usiangamize watu wako, urithi wako mwenyewe ule ulioukomboa kwa uweza wako mkuu na kuwatoa katika nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu.

DEU 9:27 Removed trailing space in v~: Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaki na Yakobo. Usiangalie ukaidi wa watu hawa, uovu wao wala dhambi yao.

DEU 9:28 Removed trailing space in v~: Watu wa nchi ile uliyotutoa sisi wasije wakasema, ‘Ni kwa sababu \nd Bwana\nd* hakuweza kuwachukua mpaka nchi aliyokuwa amewaahidia, kwa sababu aliwachukia, akawaleta ili aje kuwaua jangwani.’

DEU 9:29 Removed trailing space in v~: Bali wao ni watu wako, urithi wako ule ulioutoa Misri kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyooka.”

DEU 10:0 Extra space after chapter number

DEU 10:0 Removed trailing space in c: 10

DEU 10:0 Removed trailing space in s1: Vibao Vingine Vya Amri Kumi

DEU 10:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 34:1-10)

DEU 10:1 Removed trailing space in v~: Wakati ule \nd Bwana\nd* aliniambia, “Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza uje kwangu juu mlimani. Pia utengeneze Sanduku la mbao.

DEU 10:2 Removed trailing space in v~: Nitaandika juu ya vibao maneno yaliyokuwa katika vile vibao vya kwanza, ambavyo ulivivunja. Kisha utaviweka ndani ya Sanduku.”

DEU 10:3 Removed trailing space in v~: Hivyo nikatengeneza Sanduku kwa mti wa mshita, nikachonga pia vibao vya mawe kama vile vya kwanza, kisha nikakwea mlimani nikiwa na vibao viwili mikononi mwangu.

DEU 10:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaandika juu ya hivi vibao kile alichokuwa amekiandika kabla, Amri Kumi alizokuwa amewatangazia juu mlimani, kutoka kwenye moto siku ile ya kusanyiko. \nd Bwana\nd* akanikabidhi.

DEU 10:5 Removed trailing space in v~: Kisha nikashuka kutoka mlimani na kuweka vibao ndani ya Sanduku nililokuwa nimelitengeneza, kama \nd Bwana\nd* alivyoniagiza, navyo viko huko sasa.

DEU 10:6 Removed trailing space in v~: (Waisraeli walisafiri kutoka visima vya Yaakani hadi Mosera. Huko Aroni alifariki na kuzikwa, naye Eleazari mwanawe akachukua nafasi yake kama kuhani.

DEU 10:7 Removed trailing space in v~: Kutoka pale, walisafiri hadi Gudgoda wakaendelea mpaka Yotbatha, nchi yenye vijito vya maji.

DEU 10:8 Removed trailing space in v~: Wakati huo \nd Bwana\nd* aliteua kabila la Lawi kulibeba Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, kusimama mbele za \nd Bwana\nd* ili kutoa huduma, na kutangaza baraka kwa Jina lake, kama wanavyofanya mpaka leo.

DEU 10:9 Removed trailing space in v~: Hiyo ndiyo sababu ya Walawi kutokuwa na sehemu wala urithi miongoni mwa ndugu zao; \nd Bwana\nd* ndiye urithi wao, kama \nd Bwana\nd* Mungu wao alivyowaambia.)

DEU 10:10 Removed trailing space in v~: Basi nilikaa mlimani kwa siku arobaini usiku na mchana, kama nilivyofanya mara ya kwanza, pia \nd Bwana\nd* alinisikiliza hata wakati huu. Haikuwa nia yake kuwaangamiza.

DEU 10:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Nenda, ukawaongoze watu katika njia yao ili kwamba waweze kuingia na kuimiliki nchi ile niliyowaapia baba zao kuwapa.”

DEU 10:11 Removed trailing space in s1: Mche \nd Bwana\nd*

DEU 10:12 Removed trailing space in v~: Na sasa, ee Israeli, \nd Bwana\nd* Mungu wako anataka nini kwako ila kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wako, kwenda katika njia zake, kumpenda na kumtumikia \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote,

DEU 10:13 Removed trailing space in v~: na kuyashika maagizo ya \nd Bwana\nd* na amri zake ninazokupa leo kwa mafanikio yako mwenyewe?

DEU 10:14 Removed trailing space in v~: Mbingu, hata mbingu za juu sana, dunia na kila kitu kilichomo ndani yake, ni mali ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 10:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo \nd Bwana\nd* alikuwa na shauku na baba zako, akawapenda na akawachagua ninyi, wazao wao, kuliko mataifa yote, kama ilivyo leo.

DEU 10:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tahirini mioyo yenu, na msiwe na shingo ngumu tena.

DEU 10:17 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni Mungu wa miungu na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye uweza na wa kutisha, ambaye hana upendeleo na hapokei rushwa.

DEU 10:18 Removed trailing space in v~: Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.

DEU 10:19 Removed trailing space in v~: Nanyi wapendeni wageni, kwa kuwa ninyi wenyewe mlikuwa wageni huko Misri.

DEU 10:20 Removed trailing space in v~: Mche \nd Bwana\nd* Mungu wako na umtumikie yeye. Shikamana naye kwa uthabiti na kuapa kwa jina lake.

DEU 10:21 Removed trailing space in v~: Yeye ni sifa yako; yeye ni Mungu wako, ambaye alikutendea yale maajabu makubwa na ya kutisha uliyoyaona kwa macho yako mwenyewe.

DEU 10:22 Removed trailing space in v~: Baba zako walioshuka kwenda Misri jumla yao walikuwa sabini, na sasa \nd Bwana\nd* Mungu wako amekufanya wengi kama nyota za angani.

DEU 11:0 Extra space after chapter number

DEU 11:0 Removed trailing space in c: 11

DEU 11:0 Removed trailing space in s1: Mpende Na Umtii \nd Bwana\nd*

DEU 11:1 Removed trailing space in v~: Mpende \nd Bwana\nd* Mungu wako na kushika masharti yake, amri zake, sheria zake na maagizo yake siku zote.

DEU 11:2 Removed trailing space in v~: Kumbuka hivi leo kwamba sio watoto wako walioona na kujua adhabu ya \nd Bwana\nd* Mungu wako: utukufu wake, mkono wake wenye nguvu, mkono wake ulionyooshwa;

DEU 11:3 Removed trailing space in v~: ishara alizozifanya na mambo aliyoyafanya katikati ya Misri, kwa Farao mfalme wa Misri na kwa nchi yake yote;

DEU 11:4 Removed trailing space in v~: lile alilolifanyia jeshi la Wamisri, farasi na magari yake, jinsi alivyowafurikisha na maji ya Bahari ya Shamu walipokuwa wakiwafuatilia ninyi, na jinsi \nd Bwana\nd* alivyowaletea angamizo la kudumu juu yao.

DEU 11:5 Removed trailing space in v~: Sio watoto wenu walioyaona yale Mungu aliyowafanyia huko jangwani mpaka mkafika mahali hapa,

DEU 11:6 Removed trailing space in v~: wala lile Mungu alilowafanyia Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu wa kabila la Reubeni, wakati ardhi ilipofungua kinywa chake katikati ya Israeli yote, ikawameza pamoja na walio nyumbani mwao, hema zao na kila kitu kilichokuwa hai ambacho kilikuwa mali yao.

DEU 11:7 Removed trailing space in v~: Bali ilikuwa ni macho yenu wenyewe ambayo yaliyaona mambo haya yote makuu \nd Bwana\nd* aliyoyatenda.

DEU 11:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo fuateni maagizo yote ninayowapa leo, ili mpate kuwa na nguvu za kuingia na kuiteka nchi ile ambayo mnavuka Yordani kuimiliki,

DEU 11:9 Removed trailing space in v~: ili mpate kuishi siku nyingi katika nchi ile ambayo \nd Bwana\nd* aliapa kuwapa baba zenu na wazao wao, nchi itiririkayo maziwa na asali.

DEU 11:10 Removed trailing space in v~: Nchi mnayoiingia kuimiliki haifanani na nchi ya Misri mlikotoka ambako mlipanda mbegu yenu na kuinywesha, kama bustani ya mboga.

DEU 11:11 Removed trailing space in v~: Lakini nchi mnayovuka Yordani kuimiliki ni nchi ya milima na mabonde inywayo mvua kutoka mbinguni.

DEU 11:12 Removed trailing space in v~: Ni nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anaitunza; macho ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu yanaitazama daima kutoka mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka.

DEU 11:13 Removed trailing space in v~: Hivyo kama mkiyatii maagizo yangu ninayowapa leo kwa uaminifu, yaani kwa kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu, na kumtumikia kwa moyo wako wote na kwa roho yenu yote,

DEU 11:14 Removed trailing space in v~: ndipo atawanyweshea mvua katika nchi yenu kwa majira yake, mvua ya masika na ya vuli, ili mpate kuvuna nafaka zenu, divai mpya na mafuta.

DEU 11:15 Removed trailing space in v~: Nitawapa majani kwa ajili ya ngʼombe wenu, nanyi mtakula na kushiba.

DEU 11:16 Removed trailing space in v~: Jihadharini, la sivyo mtashawishika kugeuka na kuabudu miungu mingine na kuisujudia.

DEU 11:17 Removed trailing space in v~: Ndipo hasira ya \nd Bwana\nd* itawaka dhidi yenu, naye atafunga mbingu ili mvua isinyeshe nayo ardhi haitatoa mazao, nanyi mtaangamia mara katika nchi nzuri ambayo \nd Bwana\nd* anawapa.

DEU 11:18 Removed trailing space in v~: Yawekeni haya maneno yangu katika mioyo yenu na akili zenu, yafungeni kama alama juu ya mikono yenu na kwenye paji za nyuso zenu.

DEU 11:19 Removed trailing space in v~: Wafundisheni watoto wenu, yazungumzeni wakati mketipo nyumbani na wakati mtembeapo njiani, wakati mlalapo na wakati mwamkapo.

DEU 11:20 Removed trailing space in v~: Yaandikeni juu ya miimo ya nyumba zenu na juu ya malango yenu,

DEU 11:21 Removed trailing space in v~: ili kwamba siku zenu na siku za watoto wenu zipate kuwa nyingi katika nchi ile \nd Bwana\nd* aliyoapa kuwapa baba zenu, kama zilivyo nyingi siku za mbingu juu ya nchi.

DEU 11:22 Removed trailing space in v~: Kama mkishika kwa makini maagizo haya yote ninayowapa kuyafuata, ya kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kuenenda katika njia zake zote na kushikamana naye kwa uthabiti,

DEU 11:23 Removed trailing space in v~: ndipo \nd Bwana\nd* atawafukuza mataifa haya yote mbele yako, nawe utawafukuza mataifa yaliyo makubwa na yenye nguvu kukuliko wewe.

DEU 11:24 Removed trailing space in v~: Kila mahali mtakapoweka mguu wenu patakuwa penu: Nchi yenu itaenea kutoka jangwa la Lebanoni, na kutoka mto wa Frati hadi bahari ya magharibi\f + \fr 11:24 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.\f*

DEU 11:25 Removed trailing space in v~: Hapatakuwa na mtu atakayeweza kusimama dhidi yenu. \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kama alivyoahidi, ataweka juu ya nchi yote utisho na hofu kwa ajili yenu popote mwendako.

DEU 11:26 Removed trailing space in v~: Tazama, leo ninaweka mbele yenu baraka na laana:

DEU 11:27 Removed trailing space in v~: baraka kama mtatii maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambayo ninawapa leo;

DEU 11:28 Removed trailing space in v~: laana kama hamtatii maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuacha njia ambayo ninawaamuru leo kwa kufuata miungu mingine, ambayo hamkuijua.

DEU 11:29 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapokuwa amewaleta katika nchi mnayoiingia kuimiliki, mtatangaza baraka kutoka Mlima Gerizimu, na kutangaza laana kutoka Mlima Ebali.

DEU 11:30 Removed trailing space in v~: Kama mnavyofahamu, milima hii ipo ngʼambo ya Yordani, magharibi ya barabara, kuelekea machweo ya jua, karibu na miti mikubwa ya More, katika nchi ya wale Wakanaani wanaoishi Araba, jirani na Gilgali.

DEU 11:31 Removed trailing space in v~: Karibu mvuke ngʼambo ya Yordani kuingia na kuimiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa. Wakati mtakapokuwa mmeichukua na mnaishi humo,

DEU 11:32 Removed trailing space in v~: hakikisheni kwamba mnatii amri na sheria zote ninazoziweka mbele yenu leo.

DEU 12:0 Extra space after chapter number

DEU 12:0 Removed trailing space in c: 12

DEU 12:0 Removed trailing space in s1: Mahali Pekee Pa Kuabudia

DEU 12:1 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo amri na sheria ambazo ni lazima mwe waangalifu kuzifuata katika nchi ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, amewapa kumiliki, kwa muda wote mtakaoishi katika nchi.

DEU 12:2 Removed trailing space in v~: Haribuni kabisa kila mahali pao pa kuabudia kwenye milima mirefu, vilima na chini ya kila mti mkubwa ambamo mataifa haya mnayokwenda kuchukua ardhi yao huabudia miungu yao.

DEU 12:3 Removed trailing space in v~: Bomoeni madhabahu zao, vunjeni yale mawe wanayoabudu, chomeni moto nguzo zao za Ashera; katilieni mbali sanamu za miungu yao na mfute majina yao mahali hapo.

DEU 12:4 Removed trailing space in v~: Kamwe msimwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wenu kama wanavyoabudu wao.

DEU 12:5 Removed trailing space in v~: Bali mtatafuta mahali \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapopachagua katika makabila yenu yote ili aliweke jina lake huko kuwa makao yake. Mahali hapo ndipo iwapasapo kwenda;

DEU 12:6 Removed trailing space in v~: hapo ndipo mtakapoleta sadaka zenu za kuteketezwa na dhabihu, zaka zenu na changizo zenu, kile ulichoweka nadhiri kutoa, sadaka zenu za hiari na malimbuko ya makundi yenu ya ngʼombe pamoja na mbuzi na kondoo.

DEU 12:7 Removed trailing space in v~: Hapo, katika uwepo wa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ninyi pamoja na jamaa zenu, mtakula na kufurahia kila kitu ambacho mmegusa kwa mikono yenu, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewabariki.

DEU 12:8 Removed trailing space in v~: Msifanye kama tunavyofanya hapa leo, kila mtu anavyopenda mwenyewe,

DEU 12:9 Removed trailing space in v~: kwa kuwa bado hamjafikia mahali pa mapumziko na urithi ambao \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa.

DEU 12:10 Removed trailing space in v~: Lakini mtavuka Yordani na kuishi katika nchi \nd Bwana\nd* Mungu wenu anayowapa kama urithi, naye atawapa pumziko kutokana na adui zenu wote wanaowazunguka ili ninyi mpate kuishi kwa salama.

DEU 12:11 Removed trailing space in v~: Kisha kuhusu mahali \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapopachagua kuwa mahali pa makao ya Jina lake, hapo ndipo inapowapasa kuleta kila kitu ninachowaamuru: sadaka zenu za kuteketezwa na dhabihu, zaka zenu na changizo, pamoja na vitu vyote vyenye thamani ambavyo mmeweka nadhiri kumtolea \nd Bwana\nd*.

DEU 12:12 Removed trailing space in v~: Hapo furahini mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ninyi, wana wenu na binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, pamoja na Walawi kutoka miji yenu ambao hawana mgawo wala urithi wao wenyewe.

DEU 12:13 Removed trailing space in v~: Kuweni waangalifu, msitoe dhabihu zenu za kuteketezwa mahali popote mnapopapenda.

DEU 12:14 Removed trailing space in v~: Mtazitoa tu mahali pale ambapo \nd Bwana\nd* atachagua katika mojawapo ya makabila yenu, nanyi hapo zingatieni kila jambo ninalowaamuru.

DEU 12:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, mnaweza kuwachinja wanyama wenu katika miji yenu yoyote ile na kula nyama nyingi mpendavyo kama vile mmemchinja paa au kulungu, kulingana na baraka mtakazojaliwa na \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Watu walio najisi au walio safi wanaweza kula.

DEU 12:16 Removed trailing space in v~: Lakini kamwe usinywe damu; imwage juu ya ardhi kama maji.

DEU 12:17 Removed trailing space in v~: Hamruhusiwi kula katika miji yenu zaka yenu ya nafaka, ya divai mpya na ya mafuta, au mzaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na makundi yenu ya mbuzi na kondoo, wala chochote ambacho mmeweka nadhiri kukitoa, au sadaka zako za hiari, wala matoleo maalum.

DEU 12:18 Removed trailing space in v~: Badala yake, mtakula vitu hivyo katika uwepo wa \nd Bwana\nd* Mungu wenu mahali ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wenu atapachagua: wewe, wana wako na binti zako, watumishi wako wa kiume na wa kike, na Walawi kutoka miji yenu. Mnatakiwa mfurahi mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa kula kitu mtakachoweka mikono yenu.

DEU 12:19 Removed trailing space in v~: Mwe waangalifu msiwapuuze Walawi kwa muda wote mnaoishi katika nchi yenu.

DEU 12:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapokuwa ameongeza nchi yenu kama alivyowaahidi, nanyi mkitamani nyama na mkisema, “Ningependa nyama,” hapo unaweza kula nyingi upendavyo.

DEU 12:21 Removed trailing space in v~: Kama mahali ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wenu atapachagua kuweka Jina lake ni mbali sana kutoka kwenu, unaweza kuchinja wanyama kutoka makundi yenu ya ngʼombe, ya mbuzi na ya kondoo ambayo \nd Bwana\nd* amewapa, kama nilivyokuamuru, na mkiwa katika miji yenu wenyewe mnaweza kula nyingi mtakavyo.

DEU 12:22 Removed trailing space in v~: Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi kiibada na walio safi mwaweza kula.

DEU 12:23 Removed trailing space in v~: Lakini hakikisheni kwamba hamkunywa damu, kwa sababu damu ni uhai, kamwe msile uhai pamoja na nyama.

DEU 12:24 Removed trailing space in v~: Hamruhusiwi kamwe kunywa damu; imwageni juu ya ardhi kama maji.

DEU 12:25 Removed trailing space in v~: Msinywe damu, ili mweze kufanikiwa ninyi pamoja na watoto wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa mkifanya lililo haki machoni pa \nd Bwana\nd*.

DEU 12:26 Removed trailing space in v~: Lakini vichukueni vitu vyenu vilivyowekwa wakfu pamoja na vile mlivyoweka nadhiri, mwende mahali pale \nd Bwana\nd* atakapopachagua.

DEU 12:27 Removed trailing space in v~: Leteni sadaka zenu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, vyote nyama na damu. Damu ya dhabihu zenu lazima imiminwe kando ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, lakini nyama mnaweza kula.

DEU 12:28 Removed trailing space in v~: Mwe waangalifu kutii masharti haya yote ninayowapa, ili kwamba siku zote mweze kufanikiwa, ninyi pamoja na watoto wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa mkifanya lililo jema na sahihi mbele za macho ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 12:29 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu atayakatilia mbali mbele yenu mataifa ambayo punde kidogo mtayavamia na kuyaondoa. Lakini mtakapokuwa mmeyafukuza na kuishi katika nchi yao,

DEU 12:30 Removed trailing space in v~: na baada ya kuangamizwa mbele yenu, mwe waangalifu msijiingize katika tanzi kwa kuuliza habari za miungu yao, mkisema, “Je, mataifa haya hutumikiaje miungu yao? Nasi tutafanya vivyo hivyo.”

DEU 12:31 Removed trailing space in v~: Kamwe msimwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa njia wanayoabudu miungu yao, kwa sababu katika kuabudu miungu yao, wanafanya aina zote za machukizo anayoyachukia \nd Bwana\nd*. Hata huwateketeza wana wao na binti zao kwa moto kama kafara kwa miungu yao.

DEU 12:32 Removed trailing space in v~: Angalieni kwamba mnafanya yote niliyowaamuru; msiongeze kitu wala msipunguze kitu.

DEU 13:0 Extra space after chapter number

DEU 13:0 Removed trailing space in c: 13

DEU 13:0 Removed trailing space in s1: Kuabudu Miungu Mingine

DEU 13:1 Removed trailing space in v~: Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu,

DEU 13:2 Removed trailing space in v~: ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,”

DEU 13:3 Removed trailing space in v~: kamwe msiyasikilize maneno ya nabii wala mwota ndoto huyo. \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawajaribu kuangalia kama mnampenda kwa moyo wenu wote na kwa roho yenu yote.

DEU 13:4 Removed trailing space in v~: Ni \nd Bwana\nd* Mungu wenu ambaye mnapaswa kumfuata tena ni yeye mnapaswa kumheshimu. Shikeni maagizo yake na kumtii, mtumikieni na kushikamana naye.

DEU 13:5 Removed trailing space in v~: Huyo nabii au mwota ndoto lazima auawe, kwa sababu amehubiri uasi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri na kuwakomboa kutoka nchi ya utumwa; amejaribu kuwageuza kutoka njia ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliwaagiza mfuate. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.

DEU 13:6 Removed trailing space in v~: Kama ndugu yako hasa, au mwanao au binti yako, au mke umpendaye, au rafiki yako wa karibu sana akikushawishi kwa siri, akisema, “Na twende tukaabudu miungu mingine” (miungu ambayo ninyi wala baba zenu hamkuifahamu,

DEU 13:7 Removed trailing space in v~: miungu ya watu wanaowazunguka, ikiwa karibu au mbali, kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwingine),

DEU 13:8 Removed trailing space in v~: usikubali wala usimsikilize. Usimhurumie! Usimwache wala usimkinge.

DEU 13:9 Removed trailing space in v~: Hakika ni lazima auawe. Ni lazima mkono wako uwe wa kwanza katika kumuua kisha mikono ya watu wengine wote.

DEU 13:10 Removed trailing space in v~: Mpigeni kwa mawe mpaka afe, kwa sababu alijaribu kuwageuza mtoke kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ambaye aliwatoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.

DEU 13:11 Removed trailing space in v~: Kisha Israeli wote watasikia na kuogopa, wala hakuna mmoja miongoni mwenu atakayefanya uovu tena.

DEU 13:12 Removed trailing space in v~: Kama mkisikia ikisemwa kwamba moja ya miji ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa mkae ndani yake

DEU 13:13 Removed trailing space in v~: kuna wanaume waovu wameinuka miongoni mwenu na wamewapotosha watu wa mji, wakisema, “Twendeni tukaabudu miungu mingine” (miungu ambayo hamkuifahamu),

DEU 13:14 Removed trailing space in v~: ndipo itakubidi kuuliza, kupima na kuchunguza kwa makini. Kama ni kweli, tena ikihakikishwa kwamba jambo hili lichukizalo limefanyika miongoni mwenu,

DEU 13:15 Removed trailing space in v~: kwa hakika ni lazima mwaue kwa upanga wale wote wanaoishi katika mji ule. Uharibuni kabisa, pamoja na watu wake na mifugo yake.

DEU 13:16 Removed trailing space in v~: Kusanyeni nyara zote za mji katika uwanja wa wazi na kuuchoma mji kabisa pamoja na nyara zake zote kama sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Utabaki kuwa magofu milele na hautajengwa tena.

DEU 13:17 Removed trailing space in v~: Hakuna kimoja kati ya vitu vilivyolaaniwa kitakachokutwa mikononi mwenu, ili \nd Bwana\nd* ageuze hasira yake kali. Atawahurumia na kuwa na rehema kwenu pia kuongeza idadi yenu, kama alivyowaahidi baba zenu,

DEU 13:18 Removed trailing space in v~: kwa sababu mnamtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mkizishika amri zake zote zile ninazowapa leo na kufanya lile lililo jema machoni pake.

DEU 14:0 Extra space after chapter number

DEU 14:0 Removed trailing space in c: 14

DEU 14:0 Removed trailing space in s1: Vyakula Vilivyo Najisi Na Vilivyo Safi

DEU 14:0 Removed trailing space in r: (Walawi 11:1-47)

DEU 14:1 Removed trailing space in v~: Ninyi ni watoto wa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa,

DEU 14:2 Removed trailing space in v~: kwa maana ninyi ni taifa takatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. \nd Bwana\nd* amewachagua ninyi kuwa taifa la kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia, mwe tunu yake.

DEU 14:3 Removed trailing space in v~: Msile kitu chochote ambacho ni machukizo.

DEU 14:4 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi,

DEU 14:5 Removed trailing space in v~: kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani.

DEU 14:6 Removed trailing space in v~: Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua.

DEU 14:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia, sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini hawana kwato zilizogawanyika; ni najisi kwenu kwa taratibu za kiibada.

DEU 14:8 Removed trailing space in v~: Nguruwe pia ni najisi; ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui. Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.

DEU 14:9 Removed trailing space in v~: Katika viumbe hai vyote viishivyo kwenye maji, mnaweza kula yeyote aliye na mapezi na magamba.

DEU 14:10 Removed trailing space in v~: Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.

DEU 14:11 Removed trailing space in v~: Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi.

DEU 14:12 Removed trailing space in v~: Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,

DEU 14:13 Removed trailing space in v~: kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,

DEU 14:14 Removed trailing space in v~: kunguru wa aina yoyote,

DEU 14:15 Removed trailing space in v~: mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,

DEU 14:16 Removed trailing space in v~: bundi, mumbi, bundi mkubwa,

DEU 14:17 Removed trailing space in v~: mwari, nderi, mnandi,

DEU 14:18 Removed trailing space in v~: korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

DEU 14:19 Removed trailing space in v~: Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.

DEU 14:20 Removed trailing space in v~: Lakini viumbe vyote vyenye mabawa vilivyo safi mwaweza kula.

DEU 14:21 Removed trailing space in v~: Msile kitu chochote mtakachokuta kimekufa. Mnaweza kumpa mgeni yeyote anayeishi katika mojawapo ya miji yenu, naye anaweza kula au mnaweza kumuuzia mtu wa nchi nyingine. Lakini ninyi ni watu watakatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 14:21 Removed trailing space in p~: Msitokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.

DEU 14:21 Removed trailing space in s1: Zaka

DEU 14:22 Removed trailing space in v~: Hakikisheni mmetenga sehemu ya kumi ya mazao yote ya mashamba yenu kila mwaka.

DEU 14:23 Removed trailing space in v~: Mtakula zaka za nafaka yenu, divai mpya, mafuta na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na ya kondoo na mbuzi mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu pale mahali atakapopachagua kama maskani kwa ajili ya Jina lake, ili kwamba mpate kujifunza kumheshimu \nd Bwana\nd* Mungu wenu daima.

DEU 14:24 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mahali pale ni mbali sana nanyi mmebarikiwa na \nd Bwana\nd* Mungu wenu na hamwezi kubeba zaka yenu (kwa sababu mahali pale \nd Bwana\nd* atakapopachagua kuliweka Jina lake ni mbali sana),

DEU 14:25 Removed trailing space in v~: basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapopachagua.

DEU 14:26 Removed trailing space in v~: Tumieni hiyo fedha kununua chochote ukitakacho: ngʼombe, kondoo, divai au kinywaji chochote chenye chachu au chochote mnachotaka. Kisha ninyi na wa nyumbani mwenu mtaila mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kufurahi.

DEU 14:27 Removed trailing space in v~: Msiache kuwajali Walawi waishio katika miji yenu, kwa kuwa hao hawana shamba wala urithi wao wenyewe.

DEU 14:28 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni zaka zote za mazao ya miaka ile na uyahifadhi kwenye miji yenu,

DEU 14:29 Removed trailing space in v~: ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili \nd Bwana\nd* Mungu wenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikono yenu.

DEU 15:0 Extra space after chapter number

DEU 15:0 Removed trailing space in c: 15

DEU 15:0 Removed trailing space in s1: Mwaka Wa Kufuta Madeni

DEU 15:0 Removed trailing space in r: (Walawi 25:1-7)

DEU 15:1 Removed trailing space in v~: Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni.

DEU 15:2 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo itakavyofanyika: Kila mkopeshaji atafuta mkopo aliomkopesha Mwisraeli mwenzake. Hatamtaka Mwisraeli mwenzake au ndugu yake amlipe hilo deni, kwa sababu wakati wa \nd Bwana\nd* wa kufuta madeni umetangazwa.

DEU 15:3 Removed trailing space in v~: Unaweza kudai malipo kwa mgeni, lakini lazima ufute kila deni ambalo unamdai ndugu yako.

DEU 15:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hapatakuwepo maskini miongoni mwenu, kwa kuwa katika nchi \nd Bwana\nd* Mungu wenu anayowapa kuimiliki kama urithi wenu, atawabariki sana,

DEU 15:5 Removed trailing space in v~: ikiwa tutamtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu kikamilifu na kuwa waangalifu kuyafuata maagizo haya yote ninayowapa leo.

DEU 15:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawabariki kama alivyoahidi, nanyi mtawakopesha mataifa mengi lakini hamtakopa kwa yeyote. Mtatawala mataifa mengi lakini hakuna taifa litakalowatawala ninyi.

DEU 15:7 Removed trailing space in v~: Ikiwa kuna mtu maskini miongoni mwa ndugu zenu, katika mji wowote wa hiyo nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa, msiwe na moyo mgumu wala usimfumbie mkono ndugu yako aliye maskini.

DEU 15:8 Removed trailing space in v~: Afadhali fungua mikono yako na umkopeshe kwa hiari chochote anachohitaji.

DEU 15:9 Removed trailing space in v~: Jihadhari usijiwekee wazo hili ovu: “Mwaka wa saba, mwaka wa kufuta madeni umekaribia,” usije ukaonyesha nia mbaya kwa ndugu yako mhitaji na ukaacha kumpa chochote. Anaweza kumlalamikia \nd Bwana\nd* dhidi yako nawe utakuwa umepatikana na hatia ya dhambi.

DEU 15:10 Removed trailing space in v~: Mpe kwa ukarimu na ufanye hivyo bila kinyongo moyoni, ndipo kwa sababu ya hili \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakubariki katika kazi zako zote na kwa kila kitu utakachokiwekea mkono wako.

DEU 15:11 Removed trailing space in v~: Siku zote watakuwepo watu maskini katika nchi. Kwa hiyo ninawaamuru mwe na mikono iliyokunjuliwa kuwaelekea ndugu zenu, kuwaelekea maskini na wahitaji katika nchi yenu.

DEU 15:11 Removed trailing space in s1: Kuwaacha Huru Watumwa

DEU 15:11 Removed trailing space in r: (Kutoka 21:1-18)

DEU 15:12 Removed trailing space in v~: Kama Mwebrania mwenzako, mwanaume au mwanamke, akijiuza kwako na kukutumikia miaka sita, katika mwaka wa saba ni lazima umwache aende zake akiwa huru.

DEU 15:13 Removed trailing space in v~: Nawe wakati utakapomwachia usimwache aende mikono mitupu.

DEU 15:14 Removed trailing space in v~: Mpe kwa uhuru kutoka zizi lako la kondoo na mbuzi, kutoka sakafu yako ya kupuria nafaka na kutoka mashinikizo yako ya kukamulia divai. Mpe kama vile ambavyo \nd Bwana\nd* Mungu wako alivyokubariki.

DEU 15:15 Removed trailing space in v~: Kumbukeni kuwa ninyi mlikuwa watumwa huko Misri naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliwakomboa. Ndiyo sababu nimewapa agizo hili leo.

DEU 15:16 Removed trailing space in v~: Lakini mtumishi wako akikuambia, “Sitaki kukuacha,” kwa sababu anakupenda wewe na jamaa yako naye anaridhika nawe,

DEU 15:17 Removed trailing space in v~: ndipo utachukua chuma kidogo utoboe sikio lake mpaka hicho chuma kiingie kwenye ubao wa mlango, naye atakuwa mtumishi wako wa maisha. Ufanye vivyo hivyo kwa mtumishi wa kike.

DEU 15:18 Removed trailing space in v~: Usifikiri kuwa kuna ugumu kumwacha mtumishi wako huru, kwa sababu utumishi wake kwako kwa miaka hii sita umekuwa wa thamani mara mbili ya ujira wa mtumishi wa kuajiriwa. Naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakubarikia kwa kila kitu utakachofanya.

DEU 15:18 Removed trailing space in s1: Wazaliwa Wa Kwanza Wa Wanyama

DEU 15:19 Removed trailing space in v~: Wekeni wakfu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa makundi yenu ya ngʼombe na ya mbuzi na kondoo. Maksai walio wazaliwa wa kwanza msiwafanyize kazi, wala msinyoe manyoya ya wazaliwa wa kwanza wa kondoo.

DEU 15:20 Removed trailing space in v~: Kila mwaka ninyi na jamaa zenu mtapaswa kuwala mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu pale mahali atakapopachagua.

DEU 15:21 Removed trailing space in v~: Kama mnyama ana dosari, akiwa ni kilema au kipofu au kama ana kilema kibaya, kamwe usimtoe dhabihu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 15:22 Removed trailing space in v~: Itawapasa kumla ninyi wenyewe katika miji yenu. Wote wasio safi na walio safi kwa desturi za kiibada mwaweza kula kama vile mnavyokula paa au kulungu.

DEU 15:23 Removed trailing space in v~: Lakini kamwe msinywe damu; imwageni ardhini kama maji.

DEU 16:0 Extra space after chapter number

DEU 16:0 Removed trailing space in c: 16

DEU 16:0 Removed trailing space in s1: Pasaka

DEU 16:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 12:1-20)

DEU 16:1 Removed trailing space in v~: Shikeni mwezi wa Abibu, na kuiadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Mungu aliwatoa Misri usiku.

DEU 16:2 Removed trailing space in v~: Mtatoa dhabihu ya Pasaka ya mnyama kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kutoka kundi lenu la mbuzi na kondoo au la ngʼombe, mahali pale ambapo \nd Bwana\nd* atapachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake.

DEU 16:3 Removed trailing space in v~: Msile nyama hiyo pamoja na mikate iliyotiwa chachu, lakini kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu, mikate ya kujitesa, kwa sababu mliondoka Misri kwa haraka, ili kwamba siku zote za maisha yenu mpate kukumbuka wakati wenu wa kuondoka Misri.

DEU 16:4 Removed trailing space in v~: Chachu isionekane katika mali zenu katika nchi yenu yote kwa siku saba. Nyama yoyote ya dhabihu mtakayotoa jioni ya siku ya kwanza isibakizwe mpaka asubuhi.

DEU 16:5 Removed trailing space in v~: Kamwe msitoe dhabihu ya Pasaka katika mji wowote ambao \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa,

DEU 16:6 Removed trailing space in v~: isipokuwa mahali atakapopachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake. Hapo ndipo lazima mtoe dhabihu ya Pasaka jioni, jua litakapotua, iwe kumbukumbu yenu ya kutoka Misri.

DEU 16:7 Removed trailing space in v~: Okeni na mle mahali pale ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapopachagua, kisha asubuhi mrudi kwenye mahema yenu.

DEU 16:8 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita mtakula mikate isiyotiwa chachu na siku ya saba fanyeni kusanyiko kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu na msifanye kazi.

DEU 16:8 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Mavuno

DEU 16:8 Removed trailing space in r: (Kutoka 34:22; Walawi 23:15-21)

DEU 16:9 Removed trailing space in v~: Mhesabu majuma saba tangu wakati mnapoanza kuchukua mundu kuvuna nafaka.

DEU 16:10 Removed trailing space in v~: Kisha msherehekee Sikukuu ya Majuma kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa kutoa sadaka ya hiari kwa kadiri ya baraka ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa.

DEU 16:11 Removed trailing space in v~: Shangilieni mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu mahali atakapopachagua kama makao ya Jina lake, ninyi, wana wenu na binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi walio katika miji yenu, na wageni, yatima na wajane waishio miongoni mwenu.

DEU 16:12 Removed trailing space in v~: Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu.

DEU 16:12 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Vibanda

DEU 16:12 Removed trailing space in r: (Walawi 23:33-43)

DEU 16:13 Removed trailing space in v~: Adhimisheni sikukuu ya vibanda kwa siku saba baada ya kukusanya mazao yenu ya nafaka na kukamua zabibu.

DEU 16:14 Removed trailing space in v~: Mfurahie sikukuu yenu, ninyi, wana wenu, binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi, wageni, yatima na wajane ambao wanaishi katika miji yenu.

DEU 16:15 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba mtaiadhimisha sikukuu ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu katika mahali atakapopachagua \nd Bwana\nd*. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawabariki katika mavuno yenu na katika kazi zote za mikono yenu na furaha yenu itakamilika.

DEU 16:16 Removed trailing space in v~: Wanaume wenu wote lazima wajitokeze mara tatu kwa mwaka mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu mahali atakapopachagua: kwa ajili ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma, na Sikukuu ya Vibanda. Hakuna mtu atakayejitokeza mbele za \nd Bwana\nd* mikono mitupu:

DEU 16:17 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wenu ni lazima alete zawadi kulingana na jinsi ambavyo \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowabariki.

DEU 16:17 Removed trailing space in s1: Waamuzi

DEU 16:18 Removed trailing space in v~: Wateue waamuzi na maafisa kwa kila kabila lenu katika kila mji ambao \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa, nao watawaamua watu kwa usawa.

DEU 16:19 Removed trailing space in v~: Msipotoshe haki wala msifanye upendeleo. Msikubali rushwa kwa sababu rushwa hupofusha macho ya wenye busara na kugeuza maneno ya wenye haki.

DEU 16:20 Removed trailing space in v~: Mfuate haki na haki peke yake, ili mweze kuishi na kuimiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa.

DEU 16:20 Removed trailing space in s1: Kuabudu Miungu Mingine

DEU 16:21 Removed trailing space in v~: Msisimamishe nguzo yoyote ya Ashera kando ya madhabahu mliyomjengea \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

DEU 16:22 Removed trailing space in v~: wala msisimamishe jiwe la kuabudu, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu anavichukia vitu hivi.

DEU 17:0 Extra space after chapter number

DEU 17:0 Removed trailing space in c: 17

DEU 17:1 Removed trailing space in v~: Msimtolee \nd Bwana\nd* Mungu wenu dhabihu ya maksai au kondoo ambaye ana dosari yoyote au hitilafu ndani yake, kwa kuwa hilo litakuwa chukizo kwake.

DEU 17:2 Removed trailing space in v~: Ikiwa mwanaume au mwanamke anayeishi kati ya mojawapo ya miji akupayo \nd Bwana\nd*, anakutwa anafanya uovu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kwa kuvunja Agano lake,

DEU 17:3 Removed trailing space in v~: naye amekwenda kinyume na agizo langu kuabudu miungu mingine na kuisujudia, kama vile jua, mwezi au nyota za angani,

DEU 17:4 Removed trailing space in v~: hili likiwa limeletwa mbele yenu, ni lazima kulichunguza kikamilifu. Ikiwa ni kweli na kuwa limehakikishwa kwamba hili ni chukizo lililofanyika katika Israeli,

DEU 17:5 Removed trailing space in v~: mchukueni huyo mwanaume au mwanamke ambaye amelifanya tendo hili ovu kwenye lango la mji wenu na kumpiga mawe mtu huyo mpaka afe.

DEU 17:6 Removed trailing space in v~: Kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu mtu huyo atauawa, bali hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja tu.

DEU 17:7 Removed trailing space in v~: Ni lazima kwanza mikono ya mashahidi itangulie kumuua huyo mtu, kisha mikono ya watu wote. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.

DEU 17:7 Removed trailing space in s1: Mahakama Za Sheria

DEU 17:8 Removed trailing space in v~: Kama mashauri yanaletwa katika mahakama zenu ambayo ni magumu zaidi kwenu kuyaamua, ikiwa ni umwagaji wa damu, madai au mashambulio, yapelekeni mahali ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wenu atapachagua.

DEU 17:9 Removed trailing space in v~: Nendeni kwa makuhani, ambao ni Walawi, na kwa mwamuzi ambaye atakuwa kazini wakati huo. Ulizeni kwao nao watawapa maamuzi.

DEU 17:10 Removed trailing space in v~: Ni lazima mtende sawasawa na maamuzi watakayowapa mahali \nd Bwana\nd* atakapopachagua. Kuweni waangalifu kufanya kila kitu watakachowaongoza kufanya.

DEU 17:11 Removed trailing space in v~: Fanyeni sawasawa na sheria wanayowafundisha na maamuzi wanayowapa. Msigeuke mkono wa kuume au kushoto kuacha kufanya yale wanayowaambia.

DEU 17:12 Removed trailing space in v~: Mwanaume atakayeonyesha dharau kwa mwamuzi au kwa kuhani ambaye amewekwa kumtumikia \nd Bwana\nd* Mungu wenu lazima auawe. Lazima mwondoe uovu katika Israeli.

DEU 17:13 Removed trailing space in v~: Watu wote watasikia na kuogopa, nao hawatakuwa wenye kudharau tena.

DEU 17:13 Removed trailing space in s1: Mfalme

DEU 17:14 Removed trailing space in v~: Wakati utakapoingia katika nchi anayowapa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kuimiliki na kukaa humo, nanyi mkasema, “Na tumweke mfalme juu yetu kama mataifa yanayotuzunguka,”

DEU 17:15 Removed trailing space in v~: kuweni na uhakika wa kumweka mfalme juu yenu ambaye \nd Bwana\nd* Mungu wenu atamchagua. Ni lazima atoke miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. Msimweke mgeni juu yenu ambaye si ndugu wa Kiisraeli.

DEU 17:16 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kamwe mfalme asijipatie hesabu kubwa ya farasi kwa ajili yake mwenyewe, au kuwafanya watu warudi Misri ili kupata farasi zaidi, kwa maana \nd Bwana\nd* amekuambia, “Hamtairudia njia ile tena.”

DEU 17:17 Removed trailing space in v~: Kamwe asioe wake wengi, la sivyo moyo wake utapotoka. Kamwe asijilimbikizie kiasi kikubwa cha fedha na dhahabu.

DEU 17:18 Removed trailing space in v~: Atakapokuwa amekalia kiti cha ufalme wake, ajiandikie kwenye kitabu nakala ya sheria kwa ajili yake mwenyewe kutoka zile sheria za makuhani ambao ni Walawi.

DEU 17:19 Removed trailing space in v~: Atakuwa na nakala hiyo, naye ataisoma siku zote za maisha yake ili kwamba ajifunze kumheshimu \nd Bwana\nd* Mungu wake na kufuata kwa uangalifu maneno yote ya sheria hii na amri hizi,

DEU 17:20 Removed trailing space in v~: naye asijifikirie kuwa ni bora kuliko ndugu zake na kuipotosha sheria. Ndipo yeye na wazao wake watatawala katika ufalme wake kwa muda mrefu katika Israeli.

DEU 18:0 Extra space after chapter number

DEU 18:0 Removed trailing space in c: 18

DEU 18:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Kwa Makuhani Na Walawi

DEU 18:1 Removed trailing space in v~: Makuhani ambao ni Walawi, yaani kabila lote la Lawi, hawatakuwa na mgawo wala urithi pamoja na Israeli. Wataishi kwa sadaka zitolewazo kwa ajili ya \nd Bwana\nd* za kuteketezwa kwa moto, kwa maana huo ndio urithi wao.

DEU 18:2 Removed trailing space in v~: Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; \nd Bwana\nd* ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

DEU 18:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo fungu la makuhani kutoka kwa watu watakaotoa dhabihu ya fahali au kondoo: mguu wa mbele, mataya na matumbo.

DEU 18:4 Removed trailing space in v~: Mtawapa malimbuko ya nafaka zenu, divai mpya, mafuta na sufu ya kwanza kutoka manyoya ya kondoo zenu,

DEU 18:5 Removed trailing space in v~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewachagua pamoja na wazao wao kutoka makabila yenu kusimama na kuhudumu katika jina la \nd Bwana\nd* siku zote.

DEU 18:6 Removed trailing space in v~: Ikiwa Mlawi atahama kutoka mmojawapo ya miji yenu popote katika Israeli ambapo anaishi, akaja kwa moyo wote mahali ambapo \nd Bwana\nd* atapachagua,

DEU 18:7 Removed trailing space in v~: anaweza akahudumu katika jina la \nd Bwana\nd* Mungu wake kama Walawi wenzake wote wanaohudumu hapo mbele za \nd Bwana\nd*.

DEU 18:8 Removed trailing space in v~: Atashiriki sawa katika mafao yao, hata kama amepokea fedha kutoka mauzo ya mali ya jamaa yake.

DEU 18:8 Removed trailing space in s1: Matendo Ya Machukizo

DEU 18:9 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapoingia katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa, msijifunze kuiga njia za machukizo za mataifa ya huko.

DEU 18:10 Removed trailing space in v~: Asionekane mtu yeyote miongoni mwenu ampitishaye mwanawe au binti yake katika moto, atakayefanya uaguzi, ulozi, anayetabiri nyakati, anayejishughulisha na uchawi,

DEU 18:11 Removed trailing space in v~: wala arogaye kwa kupiga mafundo, wala mwaguzi au anayeabudu mizimu, wala awaombaye wafu.

DEU 18:12 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote afanyaye mambo haya ni chukizo kwa \nd Bwana\nd*, tena ni kwa sababu ya matendo haya ya kuchukiza wayafanyayo ndiyo maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu atayafukuza mataifa hayo mbele yenu.

DEU 18:13 Removed trailing space in v~: Kamwe msilaumiwe mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 18:13 Removed trailing space in s1: Nabii

DEU 18:14 Removed trailing space in v~: Mataifa mtakayowafukuza husikiliza wale wafanyao ulozi na uaguzi. Lakini kwenu ninyi, \nd Bwana\nd* Mungu wenu hajawaruhusu kufanya hivyo.

DEU 18:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. Msikilizeni yeye.

DEU 18:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hivi ndivyo mlivyomwomba \nd Bwana\nd* Mungu wenu kule Horebu siku ile ya kusanyiko, wakati mliposema, “Na tusiisikie sauti ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, wala kuuona moto huu mkubwa tena, ama sivyo tutakufa.”

DEU 18:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia: “Wanachosema ni vyema.

DEU 18:18 Removed trailing space in v~: Nitawainulia nabii kama wewe kutoka miongoni mwa ndugu zao; nitaweka maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia kila kitu nitakachomwamuru.

DEU 18:19 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote hatasikiliza maneno yangu ambayo huyo nabii atayasema kwa Jina langu, mimi mwenyewe nitamwajibisha.

DEU 18:20 Removed trailing space in v~: Lakini nabii ambaye atathubutu kusema kwa Jina langu kitu chochote ambacho sikumwamuru akiseme, au nabii ambaye husema kwa jina la miungu mingine ni lazima auawe.”

DEU 18:21 Removed trailing space in v~: Mnaweza kuulizana wenyewe, “Tutawezaje kujua wakati ujumbe haukusemwa na \nd Bwana\nd*?”

DEU 18:22 Removed trailing space in v~: Ikiwa kile nabii anachotangaza kwa jina la \nd Bwana\nd* hakikutokea au kutimia, huo ni ujumbe ambao \nd Bwana\nd* hakusema. Nabii huyo amesema kwa ujuaji. Msimwogope huyo.

DEU 19:0 Extra space after chapter number

DEU 19:0 Removed trailing space in c: 19

DEU 19:0 Removed trailing space in s1: Miji Ya Makimbilio

DEU 19:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 35:9-34; Yoshua 20:1-9)

DEU 19:1 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapokuwa amewaangamiza mataifa ambayo nchi yao anawapa ninyi, wakati mtakapokuwa mmewafukuza na kuishi katika miji yao na nyumba zao,

DEU 19:2 Removed trailing space in v~: ndipo mtenge miji mitatu iliyopo katikati ya nchi kwa ajili yenu, katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kuimiliki.

DEU 19:3 Removed trailing space in v~: Jengeni barabara katika miji hiyo na kuigawa mara tatu, nchi anayowapa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kama urithi, ili kwamba yeyote amuuaye mtu aweze kukimbilia humo.

DEU 19:4 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo kanuni kuhusu mtu amuuaye mwingine na kukimbilia humo kuokoa maisha yake, yaani, yeye amuuaye jirani yake bila kukusudia, wala hakumchukia kabla ya hapo.

DEU 19:5 Removed trailing space in v~: Kwa mfano, mtu aweza kwenda msituni na jirani yake kukata miti, naye anapozungusha shoka kuangusha mti, shoka linaweza kuchomoka kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake na kumuua. Yule mtu anaweza kukimbilia katika mmojawapo ya miji hii na kuokoa maisha yake.

DEU 19:6 Removed trailing space in v~: Kama sivyo, mlipiza kisasi cha damu anaweza kumfuatilia kwa hasira kali, naye akamkamata na kumuua kama umbali ni mrefu sana hata ingawa hastahili kifo, kwa sababu amemuua jirani yake bila kukusudia.

DEU 19:7 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu nimewaagiza ninyi kutenga miji mitatu ya makimbilio kwa ajili yenu.

DEU 19:8 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* Mungu wenu akipanua nchi yenu, kama alivyoahidi kwa kiapo kwa baba zenu na kuwapa nchi yote aliyowaahidi,

DEU 19:9 Removed trailing space in v~: kwa sababu mmefuata kwa uangalifu sheria zote ninazowaamuru leo, kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuenenda siku zote katika njia zake, ndipo mtenge miji mingine, mitatu zaidi.

DEU 19:10 Removed trailing space in v~: Fanyeni hivi ili damu isiyo na hatia isimwagwe katika nchi yenu, ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kama urithi wenu, ili kwamba msije mkawa na hatia ya kumwaga damu.

DEU 19:11 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu anamchukia ndugu yake, akamvizia, akamshambulia na kumuua, kisha akakimbilia katika mmojawapo ya miji hii,

DEU 19:12 Removed trailing space in v~: wazee wa mji wake watatuma ujumbe kwake, kumleta kutoka mji ule na kumkabidhi mlipiza kisasi cha damu kumuua.

DEU 19:13 Removed trailing space in v~: Msimwonee huruma. Lazima mwondoe katika Israeli hatia ya umwagaji damu isiyo na hatia ili kwamba mpate kufanikiwa.

DEU 19:14 Removed trailing space in v~: Usisogeze jiwe la mpaka wa jirani yako ambao uliwekwa na wale waliokutangulia katika urithi upokeao katika nchi \nd Bwana\nd* Mungu wako anayowapa kuimiliki.

DEU 19:14 Removed trailing space in s1: Mashahidi

DEU 19:15 Removed trailing space in v~: Shahidi mmoja hatoshi kumtia hatiani mtu kwa uhalifu au kosa lolote ambalo anaweza kuwa amelitenda. Lazima shauri lolote lithibitishwe kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.

DEU 19:16 Removed trailing space in v~: Kama shahidi mwenye nia ya kumdhuru mwingine akisimama kumshtaki mtu kwa uhalifu,

DEU 19:17 Removed trailing space in v~: watu wawili wanaohusika katika mabishano lazima wasimame mbele za \nd Bwana\nd* na mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako kazini wakati huo.

DEU 19:18 Removed trailing space in v~: Waamuzi lazima wafanye uchunguzi kwa makini na shahidi akionekana kuwa ni mwongo, akitoa ushuhuda wa uongo dhidi ya ndugu yake,

DEU 19:19 Removed trailing space in v~: basi mtende kama alivyotaka kumtendea ndugu yake. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.

DEU 19:20 Removed trailing space in v~: Watu watakaosalia watasikia hili na kuogopa, uovu kama huo kamwe hautatendeka tena miongoni mwenu.

DEU 19:21 Removed trailing space in v~: Msionyeshe huruma, uhai kwa uhai, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.

DEU 20:0 Extra space after chapter number

DEU 20:0 Removed trailing space in c: 20

DEU 20:0 Removed trailing space in s1: Kwenda Vitani

DEU 20:1 Removed trailing space in v~: Mtakapokwenda vitani kupigana na adui zenu na mkaona farasi na magari ya vita na jeshi kubwa kuliko lenu, msiwaogope, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyewatoa kutoka Misri, atakuwa pamoja nanyi.

DEU 20:2 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapokaribia kwenda vitani, kuhani atakuja mbele na kuhutubia jeshi.

DEU 20:3 Removed trailing space in v~: Atasema: “Sikia, ee Israeli, leo unakwenda vitani kupigana na adui zako. Usife moyo wala usiogope, usitishwe wala usitiwe hofu mbele yao.

DEU 20:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ndiye huenda pamoja nanyi kuwapigania dhidi ya adui zenu na kuwapatia ushindi.”

DEU 20:5 Removed trailing space in v~: Maafisa wataliambia jeshi: “Je, kuna yeyote aliyejenga nyumba mpya ambayo haijawekwa wakfu? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akaiweka wakfu.

DEU 20:6 Removed trailing space in v~: Je, kuna yeyote aliyepanda shamba la mizabibu na hajaanza kulifurahia? Yeye na arudi nyumbani, au sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akalifurahia.

DEU 20:7 Removed trailing space in v~: Je, kuna yeyote aliyeposa mwanamke na hajamwoa? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akamwoa.”

DEU 20:8 Removed trailing space in v~: Kisha maafisa wataongeza haya, “Je, kuna mtu anayeogopa ama kufa moyo? Yeye na arudi nyumbani ili ndugu zake nao wasije wakafa moyo pia.”

DEU 20:9 Removed trailing space in v~: Wakati maafisa watakapomaliza kuzungumza na jeshi, watawateua wakuu wa vikosi.

DEU 20:10 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapokwenda kushambulia mji, wapeni watu wake masharti ya amani.

DEU 20:11 Removed trailing space in v~: Wakikubali na kuwafungulia malango yao, watu wake wote watawatumikia kwa kufanya kazi ngumu na watawatumikia.

DEU 20:12 Removed trailing space in v~: Ikiwa watakataa kufanya mapatano ya amani na wakiwaingiza katika vita, basi mtauzunguka mji huo kwa vita.

DEU 20:13 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapouweka mji huo mkononi mwenu, waueni kwa upanga wanaume wote waliomo ndani yake.

DEU 20:14 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa wanawake, watoto, mifugo na kila kitu kingine chochote ndani ya huo mji, mnaweza kuvichukua kama nyara kwa ajili yenu. Nanyi mnaweza kuzitumia hizo nyara ambazo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa kutoka kwa adui zenu.

DEU 20:15 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.

DEU 20:16 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kama urithi, msiache kitu chochote hai kinachopumua.

DEU 20:17 Removed trailing space in v~: Waangamizeni kabisa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, kama \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowaamuru.

DEU 20:18 Removed trailing space in v~: La sivyo, watawafundisha kufuata mambo yote ya machukizo wanayofanya wakiabudu miungu yao, nanyi mtatenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 20:19 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapouzunguka mji kwa vita kwa muda mrefu, mkipigana dhidi yake ili kuuteka, msiharibu miti yake kwa kuikata kwa shoka, kwa sababu mtaweza kula matunda yake. Hivyo msiikate. Je, miti hiyo ya mashambani ni watu, hata muizingire?

DEU 20:20 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, mnaweza kuikata miti ambayo sio miti ya matunda na kuitumia kujenga ngome, mpaka mji ulio katika vita na ninyi utakapoanguka.

DEU 21:0 Extra space after chapter number

DEU 21:0 Removed trailing space in c: 21

DEU 21:0 Removed trailing space in s1: Upatanisho Kuhusu Mauaji

DEU 21:1 Removed trailing space in v~: Kama mtu akikutwa ameuawa, naye amelala kwenye shamba katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kuimiliki, wala haijulikani ni nani aliyemuua,

DEU 21:2 Removed trailing space in v~: wazee wenu na waamuzi watatoka na kupima umbali kutoka maiti alipolala mpaka kwenye miji ya jirani.

DEU 21:3 Removed trailing space in v~: Kisha wazee wa ule mji ulio karibu zaidi na yule maiti watamchukua mtamba ambaye hajapata kufanyishwa kazi na ambaye hajafungwa nira,

DEU 21:4 Removed trailing space in v~: na kumpeleka kwenye bonde ambalo halijapata kulimwa au kupandwa mazao na ambapo kuna chemchemi itiririkayo. Huko kwenye hilo bonde, wazee watamvunja yule mtamba shingo.

DEU 21:5 Removed trailing space in v~: Makuhani, hao wana wa Lawi, watasogea mbele, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, amewachagua kuhudumu na kutoa baraka katika jina la \nd Bwana\nd*, na kuamua mashauri yote ya mabishano na mashambulio.

DEU 21:6 Removed trailing space in v~: Ndipo wazee wote wa mji ulio karibu zaidi na huyo maiti watanawa mikono yao juu ya huyo mtamba ambaye shingo yake imevunjwa huko kwenye bonde,

DEU 21:7 Removed trailing space in v~: nao watatangaza: “Mikono yetu haikumwaga damu hii, wala macho yetu hayakuona likifanyika.

DEU 21:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ukubali upatanisho kwa watu wako Israeli, ambao umewakomboa, wala usiwahesabie watu wako hatia ya damu ya mtu asiyekuwa na hatia.” Nayo damu iliyomwagika itakuwa imefanyiwa upatanisho.

DEU 21:9 Removed trailing space in v~: Hivyo mtakuwa mmejitakasa wenyewe kutoka hatia ya kumwaga damu isiyokuwa na hatia, kwa kuwa mmefanya lile lililo sawa mbele za macho ya \nd Bwana\nd*.

DEU 21:9 Removed trailing space in s1: Kuoa Mwanamke Mateka

DEU 21:10 Removed trailing space in v~: Mkienda vitani kupigana na adui zenu naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu akawatia adui mikononi mwenu, nanyi mkachukua mateka,

DEU 21:11 Removed trailing space in v~: kama ukiona miongoni mwa mateka mwanamke mzuri wa sura nawe wavutwa naye, waweza kumwoa akawa mke wako.

DEU 21:12 Removed trailing space in v~: Mlete nyumbani mwako, anyoe nywele na kukata kucha zake,

DEU 21:13 Removed trailing space in v~: avue nguo alizokuwa amevaa alipotekwa. Baada ya kuishi nyumbani mwako na kumwombolezea baba yake na mama yake kwa mwezi mzima, ndipo utakapoweza kumwendea na kuwa mume wake naye atakuwa mke wako.

DEU 21:14 Removed trailing space in v~: Lakini kama hutaendelea kupendezwa naye, mwache aende popote anapotaka. Kamwe huwezi kumuuza au kumtendea kama mtumwa, kwa sababu utakuwa umemvunjia heshima.

DEU 21:14 Removed trailing space in s1: Haki Ya Mzaliwa Wa Kwanza

DEU 21:15 Removed trailing space in v~: Kama mwanaume ana wake wawili, naye anampenda mmoja na mwingine hampendi na wote wawili wamemzalia wana wa kiume, lakini mwana mzaliwa wa kwanza ni wa yule mke asiyempenda,

DEU 21:16 Removed trailing space in v~: wakati anapotoa wosia wa mali yake kwa wanawe, kamwe asitoe haki za mzaliwa wa kwanza kwa mwana wa mke ampendaye kwa upendeleo, badala ya mzaliwa hasa wa kwanza, ambaye ni mwana wa mke ambaye hampendi.

DEU 21:17 Removed trailing space in v~: Ni lazima amkubali mwana wa mke asiyempenda kama mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu ya vile vyote alivyo navyo maradufu. Mwana huyo ni ishara ya kwanza ya nguvu za baba yake. Haki ya mzaliwa wa kwanza ni yake yeye.

DEU 21:17 Removed trailing space in s1: Mwana Mwasi

DEU 21:18 Removed trailing space in v~: Kama mtu ana mwana mkaidi na mwasi ambaye hamtii baba yake na mama yake, na hasikii wazazi wanapomrudi,

DEU 21:19 Removed trailing space in v~: baba yake na mama yake watamleta kwa wazee kwenye lango la mji wake.

DEU 21:20 Removed trailing space in v~: Watawaambia wazee, “Huyu mwanetu ni mkaidi na mwasi. Hatutii sisi, yeye ni mpotovu na mlevi.”

DEU 21:21 Removed trailing space in v~: Kisha wanaume wote wa mjini mwake watampiga kwa mawe mpaka afe. Ndivyo imewapasa kuondoa maovu kati yenu. Israeli yote itasikia hili na kuogopa.

DEU 21:21 Removed trailing space in s1: Sheria Mbalimbali

DEU 21:22 Removed trailing space in v~: Kama mtu ana hatia ya kosa linalompasa kuuawa naye akauawa, mwili wake utaangikwa mtini,

DEU 21:23 Removed trailing space in v~: kamwe msiuache mwili wake mtini usiku kucha. Hakikisheni mnauzika mwili wake siku ile ile, kwa sababu kila mtu anayeangikwa mtini yupo chini ya laana ya Mungu. Msiinajisi nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kama urithi wenu.

DEU 22:0 Extra space after chapter number

DEU 22:0 Removed trailing space in c: 22

DEU 22:1 Removed trailing space in v~: Kama ukimwona ngʼombe au kondoo wa ndugu yako anapotea, usipuuze, bali uhakikishe unamrudisha kwa mwenyewe.

DEU 22:2 Removed trailing space in v~: Ikiwa huyo ndugu haishi karibu nawe au kama hufahamu yeye ni nani, mchukue nyumbani kwako huyo mnyama umweke mpaka mwenyewe aje kumtafuta. Ndipo umrudishie.

DEU 22:3 Removed trailing space in v~: Fanya vivyo hivyo ukimkuta punda wa nduguyo au joho lake au chochote alichopoteza. Usipuuze jambo hilo.

DEU 22:4 Removed trailing space in v~: Kama ukimwona punda wa nduguyo au ngʼombe wake ameanguka barabarani, usipuuze jambo hilo. Msaidie asimame kwa miguu yake.

DEU 22:5 Removed trailing space in v~: Haimpasi mwanamke kuvaa nguo za kiume wala mwanaume kuvaa nguo za kike, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu anachukia yeyote ambaye hufanya hivi.

DEU 22:6 Removed trailing space in v~: Kama ukikuta kiota cha ndege kando ya barabara, iwe juu ya mti au chini, naye ndege amelala juu ya makinda au mayai, usimchukue huyo ndege pamoja na makinda yake.

DEU 22:7 Removed trailing space in v~: Waweza kuchukua makinda, lakini uwe na hakika ya kumwacha huyo ndege, ili upate kufanikiwa na uweze kuishi maisha marefu.

DEU 22:8 Removed trailing space in v~: Wakati unapojenga nyumba mpya, fanya ukuta wa kuzuia kandokando ya dari ili usijiletee hatia ya kumwaga damu juu ya nyumba yako ikiwa yeyote ataanguka kutoka humo.

DEU 22:9 Removed trailing space in v~: Usipande aina mbili za mbegu katika shamba lako la mizabibu; ikiwa utafanya hivyo, si mazao utakayopanda tu yatakuwa najisi, bali nayo matunda ya shamba la mizabibu pia.

DEU 22:10 Removed trailing space in v~: Usilime kwa maksai aliyefungwa nira pamoja na punda.

DEU 22:11 Removed trailing space in v~: Usivae nguo za sufu na kitani zilizofumwa pamoja.

DEU 22:12 Removed trailing space in v~: Fanya vishada kwenye pembe nne za joho unalovaa.

DEU 22:12 Removed trailing space in s1: Kukiuka Taratibu Za Ndoa

DEU 22:13 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu atamwoa mke na, baada ya kufanya naye tendo la ndoa, akamchukia,

DEU 22:14 Removed trailing space in v~: akimsingizia na kumwita jina baya, akisema, “Nilimwoa mwanamke huyu, lakini nilipomkaribia sikupata uthibitisho wa ubikira wake”

DEU 22:15 Removed trailing space in v~: ndipo baba na mama wa msichana wataleta uthibitisho kwamba alikuwa bikira kwa wazee wa mji kwenye lango.

DEU 22:16 Removed trailing space in v~: Baba wa msichana atawaambia wazee, “Nilimwoza binti yangu kwa huyu mwanaume, lakini hampendi.

DEU 22:17 Removed trailing space in v~: Sasa amemsingizia na kusema, ‘Sikumkuta huyu binti akiwa bikira.’ Lakini hapa kuna uthibitisho wa ubikira wa binti yangu.” Kisha wazazi wake wataonyesha nguo zake kwa wazee wa mji,

DEU 22:18 Removed trailing space in v~: nao wazee watamchukua huyo mwanaume na kumwadhibu.

DEU 22:19 Removed trailing space in v~: Watamtoza shekeli mia moja\f + \fr 22:19 \ft Shekeli 100 za fedha ni sawa na kilo moja.\f* za fedha na kupewa wazazi wa msichana, kwa sababu mwanaume huyu amempa bikira wa Kiisraeli jina baya. Ataendelea kuwa mke wake; kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.

DEU 22:20 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama shtaka ni la kweli na hakuna uthibitisho juu ya ubikira wa huyo msichana ulioweza kupatikana,

DEU 22:21 Removed trailing space in v~: huyo msichana ataletwa kwenye mlango wa nyumba ya baba yake, na hapo watu wa mji wake watampiga kwa mawe hadi afe. Amefanya kitu cha aibu katika Israeli kwa kufanya ukahaba akiwa nyumbani kwa babaye. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.

DEU 22:22 Removed trailing space in v~: Ikiwa mwanaume atakutwa akizini na mke wa mtu mwingine, wote wawili, mwanaume na mwanamke aliyezini naye, lazima wauawe. Lazima mwondoe uovu katika Israeli.

DEU 22:23 Removed trailing space in v~: Ikiwa mwanaume atakutana na bikira mjini ambaye ameposwa na mtu akazini naye,

DEU 22:24 Removed trailing space in v~: utawachukua wote wawili kwenye lango la mji na kuwapiga kwa mawe mpaka wafe; yule msichana kwa kuwa alikuwa mjini na hakupiga kelele kuomba msaada, na yule mwanaume kwa sababu amemtenda jeuri mke wa mtu mwingine. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.

DEU 22:25 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa itatokea mwanaume akakutana na msichana aliyeposwa huko mashambani, akambaka, mwanaume aliyefanya hivi peke yake ndiye atakayeuawa.

DEU 22:26 Removed trailing space in v~: Usimtendee msichana yule jambo lolote; hajafanya dhambi inayostahili kifo. Shauri hili ni kama lile la yeyote ambaye anamshambulia na kumuua kwa makusudi jirani yake,

DEU 22:27 Removed trailing space in v~: kwa maana mwanaume huyo alimkuta msichana huko mashambani, na ingawa msichana aliyeposwa alipiga kelele, hapakuwa na mtu wa kumwokoa.

DEU 22:28 Removed trailing space in v~: Ikiwa itatokea mwanaume akutane na bikira ambaye hajaposwa na kumbaka nao wakakutwa,

DEU 22:29 Removed trailing space in v~: mwanaume atamlipa baba wa msichana shekeli hamsini\f + \fr 22:29 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.\f* za fedha. Ni lazima amwoe huyo msichana, kwa maana amemfanyia jeuri. Kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.

DEU 22:30 Removed trailing space in v~: Mwanaume asimwoe mke wa baba yake; kamwe asidhalilishe kitanda cha baba yake.

DEU 23:0 Extra space after chapter number

DEU 23:0 Removed trailing space in c: 23

DEU 23:0 Removed trailing space in s1: Kutengwa Na Mkutano

DEU 23:1 Removed trailing space in v~: Asiingie mtu yeyote aliyehasiwa kwa kupondwa makende au kwa kukatwa uume wake katika kusanyiko la \nd Bwana\nd*.

DEU 23:2 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote ambaye amezaliwa kwenye ndoa isiyo halali au wazao wake wasiingie kwenye kusanyiko la \nd Bwana\nd*, hata mpaka kizazi cha kumi.

DEU 23:3 Removed trailing space in v~: Hapatakuwa na Mwamoni au Mmoabu au yeyote wa wazao wao atakayeruhusiwa kuingia katika kusanyiko la \nd Bwana\nd*, hata mpaka kizazi cha kumi.

DEU 23:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawakuja kuwalaki wakiwa na mkate na maji mlipokuwa njiani mlipotoka Misri, tena walimwajiri Balaamu mwana wa Beori kutoka Pethori iliyoko Aramu-Naharaimu\f + \fr 23:4 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.\f* ili kuwalaani ninyi.

DEU 23:5 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, \nd Bwana\nd* Mungu wenu hakumsikiliza Balaamu bali aligeuza laana kuwa baraka kwenu kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapenda.

DEU 23:6 Removed trailing space in v~: Msitafute mapatano ya urafiki nao maisha yenu yote.

DEU 23:7 Removed trailing space in v~: Usimchukie Mwedomu, kwa kuwa yeye ni ndugu yako. Usimchukie Mmisri, kwa sababu uliishi kama mgeni katika nchi yake.

DEU 23:8 Removed trailing space in v~: Kizazi cha tatu cha watoto watakaozaliwa nao wanaweza kuingia katika kusanyiko la \nd Bwana\nd*.

DEU 23:8 Removed trailing space in s1: Unajisi Katika Kambi

DEU 23:9 Removed trailing space in v~: Unapokuwa umepiga kambi dhidi ya adui zako, jitenge na kitu chochote kisicho safi.

DEU 23:10 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu amechafuka kwa sababu ya kutokwa na shahawa usiku, inampasa atoke nje ya kambi na kukaa huko.

DEU 23:11 Removed trailing space in v~: Lakini jioni ikikaribia ataoga, na baada ya jua kuzama ataingia tena kambini.

DEU 23:12 Removed trailing space in v~: Tengeni mahali nje ya kambi ambapo mnaweza kwenda kujisaidia.

DEU 23:13 Removed trailing space in v~: Kama sehemu ya vifaa vyenu kuweni na kitu cha kulimia, nanyi mnapojisaidia, chimba shimo na kisha funika kile kikutokacho.

DEU 23:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu hutembea katika kambi yenu ili kuwalinda na kuwaweka adui zenu mikononi mwenu. Kambi yenu ni lazima iwe takatifu, ili asione kitu chochote miongoni mwenu kilicho kichafu akageuka na kuwaacha.

DEU 23:14 Removed trailing space in s1: Sheria Mbalimbali

DEU 23:15 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtumwa amekimbilia kwako, usimrudishe kwa bwana wake.

DEU 23:16 Removed trailing space in v~: Mwache aishi miongoni mwenu mahali popote anapopapenda na katika mji wowote anaochagua. Usimwonee.

DEU 23:17 Removed trailing space in v~: Asiwepo Mwisraeli mwanamke kahaba au mwanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.

DEU 23:18 Removed trailing space in v~: Kamwe usilete mapato ya ukahaba ikiwa ni ya mwanamke au ni ya mwanaume katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wako anachukizwa na yote mawili.

DEU 23:19 Removed trailing space in v~: Usimtoze ndugu yako riba, iwe ni fedha ama chakula ama kitu kingine chochote ambacho waweza kupata riba juu yake.

DEU 23:20 Removed trailing space in v~: Unaweza kumtoza mgeni riba, lakini siyo nduguyo Mwisraeli, ili kwamba \nd Bwana\nd* Mungu wako akubariki katika kila kitu unachoweka mkono katika nchi unayoingia kuimiliki.

DEU 23:21 Removed trailing space in v~: Ukiweka nadhiri kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako, usichelewe kuitimiza, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wako atakudai, nawe utakuwa na hatia ya dhambi.

DEU 23:22 Removed trailing space in v~: Lakini ukijizuia kuweka nadhiri, hutakuwa na hatia.

DEU 23:23 Removed trailing space in v~: Chochote kitakachotamkwa kwa midomo yako ni lazima uhakikishe umekifanya, kwa sababu uliweka nadhiri yako kwa hiari mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa kinywa chako mwenyewe.

DEU 23:24 Removed trailing space in v~: Kama ukiingia katika shamba la mizabibu la jirani yako, unaweza kula zabibu kadiri utakavyo, lakini usiweke chochote kwenye kikapu chako.

DEU 23:25 Removed trailing space in v~: Kama ukiingia katika shamba la nafaka la jirani yako, unaweza kukwanyua kwa mikono yako, lakini usikate kwa mundu nafaka iliyosimama.

DEU 24:0 Extra space after chapter number

DEU 24:0 Removed trailing space in c: 24

DEU 24:0 Removed trailing space in s1: Sheria Kuhusu Ndoa Na Talaka

DEU 24:1 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu atamwoa mke na akamchukia kwa sababu ya kukosa adabu, naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake,

DEU 24:2 Removed trailing space in v~: ikiwa baada ya kuondoka nyumbani kwake atakuwa mke wa mtu mwingine,

DEU 24:3 Removed trailing space in v~: ikiwa mume wake wa pili atachukizwa naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake, au kama akifa,

DEU 24:4 Removed trailing space in v~: basi yule mume wake wa kwanza, ambaye alimpa talaka, haruhusiwi kumwoa tena baada ya mwanamke huyo kuwa najisi. Hayo yatakuwa machukizo machoni pa \nd Bwana\nd*. Usilete dhambi juu ya nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wako anakupa kama urithi.

DEU 24:5 Removed trailing space in v~: Kama mtu ameoa karibuni, kamwe asipelekwe vitani au kupewa wajibu mwingine wowote. Kwa mwaka mmoja atakuwa huru kubaki nyumbani ili amfurahishe mke aliyemwoa.

DEU 24:6 Removed trailing space in v~: Usitoe jozi ya mawe ya kusagia, hata ikiwa lile la juu, kuweka rehani kwa ajili ya deni, kwa sababu itakuwa ni kuweka uhai wa mtu kama dhamana.

DEU 24:7 Removed trailing space in v~: Kama mtu akikamatwa akiiba yeyote miongoni mwa ndugu zake wa Waisraeli na kumtenda kama mtumwa au akimuuza, mwizi huyo ni lazima auawe. Nawe utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu.

DEU 24:8 Removed trailing space in v~: Pakitokea magonjwa ya ngozi ya kuambukiza, mwe waangalifu sana kufanya sawasawa na maagizo ya makuhani, ambao ni Walawi. Ni lazima mfuate kwa uangalifu yale niliyowaamuru.

DEU 24:9 Removed trailing space in v~: Kumbukeni kile \nd Bwana\nd* Mungu wenu alichomfanyia Miriamu njiani baada ya ninyi kutoka Misri.

DEU 24:10 Removed trailing space in v~: Unapomkopesha jirani yako chochote, usiingie nyumbani kwake kutwaa kile anachokitoa kama rehani.

DEU 24:11 Removed trailing space in v~: Ukae nje na umwache huyo mtu uliyemkopesha akuletee hiyo rehani.

DEU 24:12 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu huyo ni maskini, usiende kulala ukiwa na hiyo rehani yake katika milki yako.

DEU 24:13 Removed trailing space in v~: Rudisha vazi lake kabla ya machweo ya jua ili apate kulilalia. Kisha atakushukuru na kitaonekana kama kitendo cha haki mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 24:14 Removed trailing space in v~: Usimwonee mtu maskini na mhitaji ambaye umemwajiri, akiwa ni nduguyo Mwisraeli au mgeni anayeishi katika mojawapo ya miji yenu.

DEU 24:15 Removed trailing space in v~: Mlipe ujira wake kila siku kabla ya jua kutua, kwa sababu yeye ni maskini na anautegemea ujira huo. La sivyo, anaweza kumlilia \nd Bwana\nd* dhidi yako, nawe ukapata hatia ya dhambi.

DEU 24:16 Removed trailing space in v~: Baba wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao; kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.

DEU 24:17 Removed trailing space in v~: Usipotoshe hukumu ya mgeni au yatima, au kuchukua vazi la mjane kama rehani.

DEU 24:18 Removed trailing space in v~: Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa huko Misri, naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu akawakomboa kutoka huko. Hii ndiyo sababu ninawaamuru kutenda hili.

DEU 24:19 Removed trailing space in v~: Unapovuna shamba lako na ukasahau mganda, usirudi kuuchukua. Acha kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane, ili \nd Bwana\nd* Mungu wako aweze kukubariki wewe katika kazi zote za mikono yako.

DEU 24:20 Removed trailing space in v~: Unapovuna zeituni kutoka miti yako, usirudie matawi mara ya pili. Acha kilichobaki kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane.

DEU 24:21 Removed trailing space in v~: Unapochuma zabibu katika shamba lako la mizabibu usirudie tena. Acha zinazobaki kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane.

DEU 24:22 Removed trailing space in v~: Kumbuka kwamba mlikuwa watumwa katika nchi ya Misri. Ndiyo sababu ninawaamuru kufanya hili.

DEU 25:0 Extra space after chapter number

DEU 25:0 Removed trailing space in c: 25

DEU 25:1 Removed trailing space in v~: Watu wanapokuwa na ugomvi, wapeleke mahakamani na waamuzi wataamua shauri hilo; watawaachia wasio na kosa na kuwahukumu wenye hatia.

DEU 25:2 Removed trailing space in v~: Kama mtu mwenye hatia anastahili kuchapwa, mwamuzi atamwamuru alale chini ili achapwe mbele yake idadi ya viboko kulingana na kosa lake,

DEU 25:3 Removed trailing space in v~: lakini kamwe asichapwe zaidi ya viboko arobaini. Ikiwa atachapwa zaidi ya viboko arobaini, nduguyo atadhalilika machoni pako.

DEU 25:4 Removed trailing space in v~: Usimfunge maksai kinywa anapopura nafaka.

DEU 25:5 Removed trailing space in v~: Ikiwa ndugu wanaishi pamoja na mmoja wao akafa bila kuacha mwana, kamwe mjane wake asiolewe nje ya jamaa hiyo. Ndugu wa mumewe atamchukua, amwoe na kutimiza wajibu wa shemeji kwake.

DEU 25:6 Removed trailing space in v~: Mwana wa kwanza atakayemzaa atapewa jina la ndugu aliyekufa ili jina lake lisifutike katika Israeli.

DEU 25:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, ikiwa ndugu huyo wa mume hataki kuoa huyo mke wa nduguye, mjane atawaendea wazee kwenye lango la mji na kusema, “Ndugu wa mume wangu anakataa kuendeleza jina la nduguye katika Israeli. Hataki kutimiza wajibu wa shemeji kwangu.”

DEU 25:8 Removed trailing space in v~: Ndipo wazee wa mji wake watamwita na kuzungumza naye. Kama atashikilia kukataa akisema, “Sitaki kumwoa,”

DEU 25:9 Removed trailing space in v~: mjane wa nduguye atamwendea mbele ya wazee, atamvua kiatu kimoja na kumtemea mate usoni, na kusema, “Hivi ndivyo ambavyo hufanywa kwa mtu ambaye atakataa kuendeleza jamaa ya ndugu yake.”

DEU 25:10 Removed trailing space in v~: Jamaa ya mtu huyo itafahamika katika Israeli kama Jamaa ya Aliyevuliwa Kiatu.

DEU 25:11 Removed trailing space in v~: Ikiwa watu wawili wanapigana na mke wa mmoja wao akaja kumwokoa mumewe na yule anayemshambulia, naye mke huyo akifika na kumkamata sehemu za siri,

DEU 25:12 Removed trailing space in v~: huyo mwanamke utamkata mkono wake. Usimhurumie.

DEU 25:13 Removed trailing space in v~: Usiwe na mawe ya kupimia ya aina mbili katika mkoba wako, moja zito na jingine jepesi.

DEU 25:14 Removed trailing space in v~: Usiwe na vipimo viwili tofauti katika nyumba yako, kimoja kikubwa, kingine kidogo.

DEU 25:15 Removed trailing space in v~: Ni lazima uwe na uzito na vipimo sahihi na vya haki, ili upate kuishi maisha marefu katika nchi anayokupa \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 25:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wako humchukia yeyote ambaye hufanya mambo kama haya, yeyote anayetenda kwa udanganyifu.

DEU 25:17 Removed trailing space in v~: Kumbuka kile Waamaleki walichowatendea mlipokuwa njiani mkitoka Misri.

DEU 25:18 Removed trailing space in v~: Wakati mlipokuwa mmechoka na kuishiwa nguvu kwa safari yenu, wakawapiga wale wote waliokuja nyuma. Waamaleki hawakumwogopa Mungu.

DEU 25:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokupa pumziko mbali na adui zako wote wanaokuzunguka katika nchi akupayo kuimiliki kuwa urithi, utafutilia mbali kumbukumbu lote la Waamaleki chini ya mbingu. Usisahau!

DEU 26:0 Extra space after chapter number

DEU 26:0 Removed trailing space in c: 26

DEU 26:0 Removed trailing space in s1: Malimbuko Na Zaka

DEU 26:1 Removed trailing space in v~: Mtakapokuwa mmeingia nchi ile ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kama urithi na mtakapokuwa mmeimiliki na kukaa ndani yake,

DEU 26:2 Removed trailing space in v~: chukueni baadhi ya mavuno ya kwanza ya yale yote mtakayozalisha kutoka udongo wa nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa na mweke kwenye kapu. Kisha uende mahali ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wako atapachagua kuwa makao kwa ajili ya Jina lake

DEU 26:3 Removed trailing space in v~: na umwambie kuhani atakayekuwepo kwa wakati huo, “Ninatangaza leo kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako kwamba nimekuja katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliwaapia baba zetu kwamba atatupa.”

DEU 26:4 Removed trailing space in v~: Kuhani atapokea lile kapu mikononi mwako na kuliweka chini mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 26:5 Removed trailing space in v~: Kisha utatangaza mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako: “Baba yangu alikuwa Mwaramu aliyekuwa anatangatanga, akaenda Misri pamoja na watu wachache, akaishi huko hadi akawa taifa kubwa, lenye nguvu na watu wengi.

DEU 26:6 Removed trailing space in v~: Lakini Wamisri walituonea na kututaabisha, wakitufanyisha kazi ngumu.

DEU 26:7 Removed trailing space in v~: Kisha tulimlilia \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zetu, naye \nd Bwana\nd* akasikia sauti yetu na akaona huzuni yetu, taabu yetu na mateso yetu.

DEU 26:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akatutoa nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa, pamoja na utisho mkuu, ishara za miujiza na maajabu.

DEU 26:9 Removed trailing space in v~: Akatuleta mahali hapa akatupa nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali;

DEU 26:10 Removed trailing space in v~: nami sasa ninaleta malimbuko ya ardhi ambayo wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umenipa.” Weka kapu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako na usujudu mbele zake.

DEU 26:11 Removed trailing space in v~: Kisha wewe pamoja na Walawi na wageni wote walioko miongoni mwenu mtafurahi katika vitu vyote vizuri ambavyo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa pamoja na wa nyumbani mwenu.

DEU 26:12 Removed trailing space in v~: Wakati utakapokuwa umeshatoa zaka zote za mazao yako katika mwaka wa tatu, ambao ni mwaka wa zaka, utampa Mlawi, mgeni, yatima na mjane, ili waweze kula katika miji yenu na kushiba.

DEU 26:13 Removed trailing space in v~: Kisha umwambie \nd Bwana\nd* Mungu wako: “Nimeondoa katika nyumba yangu ile sehemu iliyowekwa wakfu na nimempa Mlawi, mgeni, yatima na mjane, kulingana na yote uliyoamuru. Sijazihalifu amri zako wala kusahau hata mojawapo.

DEU 26:14 Removed trailing space in v~: Sijala sehemu iliyowekwa wakfu wakati nilipokuwa nikiomboleza, wala sijaondoa mojawapo wakati nilipokuwa najisi, wala sijatoa sehemu yake yoyote kwa wafu. Nimemtii \nd Bwana\nd* Mungu wangu; nimefanya kila kitu ulichoniamuru.

DEU 26:15 Removed trailing space in v~: Angalia chini kutoka mbinguni, maskani yako matakatifu, uwabariki watu wako Israeli pamoja na nchi uliyotupa kama ulivyoahidi kwa kiapo kwa baba zetu, nchi inayotiririka maziwa na asali.”

DEU 26:15 Removed trailing space in s1: Fuata Maagizo Ya \nd Bwana\nd*

DEU 26:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako anakuagiza leo kufuata amri hizi na sheria; zishike kwa bidii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote.

DEU 26:17 Removed trailing space in v~: Umetangaza leo kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu wako na kwamba utafuata njia zake, kwamba utayashika maagizo yake, amri zake na sheria zake nawe utamtii.

DEU 26:18 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* ametangaza leo kwamba ninyi ni taifa lake, hazina yake ya thamani kama alivyoahidi, ili kwamba mpate kuyashika maagizo yake yote.

DEU 26:19 Removed trailing space in v~: Ametangaza kwamba atawaweka juu kuliko mataifa mengine aliyoyafanya katika sifa, kuwa fahari na heshima, na kwamba mtakuwa taifa takatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kama alivyoahidi.

DEU 27:0 Extra space after chapter number

DEU 27:0 Removed trailing space in c: 27

DEU 27:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Katika Mlima Ebali

DEU 27:1 Removed trailing space in v~: Mose na wazee wa Israeli wakawaagiza watu: “Yashikeni maagizo haya yote ninayowaagiza leo.

DEU 27:2 Removed trailing space in v~: Mtakapokuwa mmevuka Mto Yordani na kuingia katika nchi awapayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu, msimamishe mawe makubwa na mkayatie lipu.

DEU 27:3 Removed trailing space in v~: Andikeni juu yake maneno yote ya sheria hii wakati mtakapokuwa mmevuka na kuingia katika nchi awapayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu, nchi itiririkayo maziwa na asali, kama vile \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, alivyowaahidi.

DEU 27:4 Removed trailing space in v~: Mtakapokuwa mmevuka Yordani, simamisheni mawe haya juu ya Mlima Ebali, kama ninavyowaagiza leo, mkayatie lipu.

DEU 27:5 Removed trailing space in v~: Huko mjengeeni \nd Bwana\nd* Mungu wenu madhabahu, madhabahu ya mawe. Msitumie kifaa chochote cha chuma juu yake.

DEU 27:6 Removed trailing space in v~: Jengeni madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa mawe ya shambani, na mtoe sadaka za kuteketezwa juu yake kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 27:7 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka za amani juu yake, mkizila na kufurahia mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 27:8 Removed trailing space in v~: Nanyi mtaandika maneno yote ya sheria hii kwa wazi sana juu ya mawe haya ambayo mmesimamisha.”

DEU 27:8 Removed trailing space in s1: Laana Kutoka Mlima Ebali

DEU 27:9 Removed trailing space in v~: Kisha Mose na makuhani, ambao ni Walawi, wakawaambia Israeli wote, “Nyamaza ee Israeli, sikiliza! Sasa umekuwa taifa la \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 27:10 Removed trailing space in v~: Mtii \nd Bwana\nd* Mungu wako, na kufuata amri zake na maagizo ninayokupa leo.”

DEU 27:11 Removed trailing space in v~: Siku ile ile Mose akawaagiza watu:

DEU 27:12 Removed trailing space in v~: Mtakapovuka Mto Yordani, makabila haya yatasimama juu ya Mlima Gerizimu kubariki watu: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yosefu na Benyamini.

DEU 27:13 Removed trailing space in v~: Makabila haya yatasimama juu ya Mlima Ebali kwa kutamka laana: Reubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dani na Naftali.

DEU 27:14 Removed trailing space in v~: Nao Walawi watawasomea watu wote wa Israeli kwa sauti kubwa:

DEU 27:15 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu afanyaye sanamu ya kuchonga au mwenye kusubu sanamu, kitu ambacho ni chukizo kwa \nd Bwana\nd*, kazi ya mikono ya fundi stadi, na kuisimamisha kwa siri.”

DEU 27:15 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:16 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu amdharauye baba yake na mama yake.”

DEU 27:16 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:17 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu asogezaye jiwe la mpaka wa jirani yake.”

DEU 27:17 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:18 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu ampotoshaye kipofu njiani.”

DEU 27:18 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:19 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane.”

DEU 27:19 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:20 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mke wa baba yake, kwa maana anadharau malazi ya baba yake.”

DEU 27:20 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:21 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mnyama yeyote.”

DEU 27:21 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:22 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na dada yake, binti wa baba yake au binti wa mama yake.”

DEU 27:22 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:23 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mama mkwe wake.”

DEU 27:23 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:24 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu amuuaye jirani yake kwa siri.”

DEU 27:24 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:25 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu apokeaye rushwa ili kumuua mtu asiye na hatia.”

DEU 27:25 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:26 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu yule ambaye hatashikilia maneno ya sheria hii kwa kuyatekeleza.”

DEU 27:26 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 28:0 Extra space after chapter number

DEU 28:0 Removed trailing space in c: 28

DEU 28:0 Removed trailing space in s1: Baraka Za Utiifu

DEU 28:0 Removed trailing space in r: (Walawi 26:3-13; Kumbukumbu 7:12-24)

DEU 28:1 Removed trailing space in v~: Kama ukimtii \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa bidii na kufuata amri zake zote ninazokupa leo kwa bidii, \nd Bwana\nd* Mungu wako atakuweka juu ya mataifa yote katika dunia.

DEU 28:2 Removed trailing space in v~: Baraka hizi zote zitakuja juu yako na kukupata, kama ukimtii \nd Bwana\nd* Mungu wako:

DEU 28:3 Removed trailing space in v~: Utabarikiwa mjini na utabarikiwa mashambani.

DEU 28:4 Removed trailing space in v~: Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, na mazao ya nchi yako na wanyama wako wachanga wa kufugwa, yaani ndama wa makundi yako ya ngʼombe, na wana-kondoo wa makundi yako.

DEU 28:5 Removed trailing space in v~: Kapu lako na vyombo vyako vya kukandia vitabarikiwa.

DEU 28:6 Removed trailing space in v~: Utabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.

DEU 28:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atasababisha adui wainukao dhidi yako kushindwa mbele yako. Watakujia kwa njia moja lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.

DEU 28:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataagiza baraka juu ya ghala zako na juu ya kila kitu utakachogusa kwa mkono wako. \nd Bwana\nd* Mungu wako atakubariki katika nchi anayokupa.

DEU 28:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakufanya kuwa taifa lake takatifu, kama alivyokuahidi kwa kiapo, kama ukishika maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wako na kwenda katika njia zake.

DEU 28:10 Removed trailing space in v~: Kisha mataifa yote ya dunia wataona kuwa unaitwa kwa jina la \nd Bwana\nd*, nao watakuogopa.

DEU 28:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupa kustawi kwa wingi, katika tunda la uzao wa tumbo lako, katika wanyama wachanga wa mifugo yako na katika mazao ya ardhi yako, katika nchi aliyowaapia baba zako kuwapa.

DEU 28:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atafungua mbingu, ghala zake za baraka, kukupa mvua kwa majira yake na kubariki kazi zako zote za mikono yako. Utakopesha mataifa mengi lakini hutakopa kwa yeyote.

DEU 28:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakufanya kichwa, wala si mkia. Kama utazingatia maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wako ninayokupa siku hii ya leo na kuyafuata kwa bidii, daima utakuwa juu, kamwe hutakuwa chini.

DEU 28:14 Removed trailing space in v~: Usihalifu amri zangu zozote ninazokupa leo, kwa kwenda kuume au kushoto, kwa kufuata miungu mingine na kuitumikia.

DEU 28:14 Removed trailing space in s1: Laana Kwa Kutokutii

DEU 28:14 Removed trailing space in r: (Walawi 26:14-46)

DEU 28:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama hutamtii \nd Bwana\nd* Mungu wako na kuzishika kwa bidii amri zake zote na maagizo ninayokupa leo, laana hizi zote zitakuja juu yako na kukupata:

DEU 28:16 Removed trailing space in v~: Utalaaniwa mjini na utalaaniwa mashambani.

DEU 28:17 Removed trailing space in v~: Kapu lako na chombo chako cha kukandia kitalaaniwa.

DEU 28:18 Removed trailing space in v~: Uzao wa tumbo lako utalaaniwa, mazao ya ardhi yako, ndama wa makundi yako ya ngʼombe na wana-kondoo wa makundi yako.

DEU 28:19 Removed trailing space in v~: Utalaaniwa uingiapo na utokapo.

DEU 28:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataleta laana juu yako, fadhaa na kukaripiwa katika kila kitu unachokigusa kwa mkono wako, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa ghafula kwa ajili ya maovu uliyoyafanya kwa kumwacha yeye.

DEU 28:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupiga kwa magonjwa mpaka akuangamize kutoka nchi unayoingia kuimiliki.

DEU 28:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupiga kwa magonjwa ya kudhoofisha, kwa homa na kuwashwa, hari na kwa ukame, kutu na kuwa na uchungu ambavyo vitakupiga mpaka uangamie.

DEU 28:23 Removed trailing space in v~: Anga juu yako itakuwa shaba, na ardhi chini yako itakuwa chuma.

DEU 28:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atafanya mvua ya nchi yako kuwa mavumbi na mchanga; vitakujia kutoka angani mpaka uangamie.

DEU 28:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakufanya ushindwe mbele ya adui zako. Utawajia kwa njia moja lakini utawakimbia mbele yao kwa njia saba, nawe utakuwa kitu cha kuchukiza kwa falme zote za dunia.

DEU 28:26 Removed trailing space in v~: Mizoga yenu itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi, wala hapatakuwepo mtu yeyote wa kuwafukuza.

DEU 28:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupiga kwa majipu ya Misri na kwa vidonda vitokavyo usaha na kuwashwa, ambako huwezi kuponywa.

DEU 28:28 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupiga kwa wazimu, upofu na kuchanganyikiwa kwa akili.

DEU 28:29 Removed trailing space in v~: Wakati wa adhuhuri utapapasapapasa huku na huko kama mtu kipofu katika giza. Hutafanikiwa katika lolote ufanyalo; siku baada ya siku utaonewa na kunyangʼanywa, wala hakuna yeyote atakayekuokoa.

DEU 28:30 Removed trailing space in v~: Utaposa mke, lakini mtu mwingine atakutana naye kimwili. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake. Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutakula matunda yake.

DEU 28:31 Removed trailing space in v~: Ngʼombe wako atachinjwa mbele ya macho yako lakini hutakula nyama yake. Punda wako atachukuliwa kwa nguvu kutoka kwako wala hatarudishwa. Kondoo wako watapewa adui zako, wala hakuna mtu yeyote wa kuwaokoa.

DEU 28:32 Removed trailing space in v~: Wanao na binti zako watatolewa kwa mataifa mengine, nawe utayachosha macho yako ukiwatazamia siku baada ya siku, hutakuwa na nguvu kuinua mkono.

DEU 28:33 Removed trailing space in v~: Taifa usilolijua watakula mazao ya nchi yako na taabu ya kazi yako, hutakuwa na chochote, bali kuonewa kikatili siku zako zote.

DEU 28:34 Removed trailing space in v~: Vitu utakavyoviona kwa macho yako vitakufanya wazimu.

DEU 28:35 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atayapiga magoti yako na miguu yako kwa majipu yenye maumivu makali yasiyoponyeka, yakienea kutoka nyayo za miguu yako hadi utosini.

DEU 28:36 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupeleka wewe na mfalme uliyemweka juu yako uende kwenye taifa ambalo hukulijua wewe wala baba zako. Huko utaabudu miungu mingine, miungu ya miti na mawe.

DEU 28:37 Removed trailing space in v~: Utakuwa kitu cha kuchukiza, tena kitu cha kudharauliwa na kudhihakiwa kwa mataifa yote huko \nd Bwana\nd* atakakokupeleka.

DEU 28:38 Removed trailing space in v~: Utapanda mbegu nyingi katika shamba lakini utavuna haba, kwa sababu nzige watazila.

DEU 28:39 Removed trailing space in v~: Utapanda mashamba ya mizabibu na kuyapalilia, lakini hutakunywa divai yake wala hutakusanya zabibu, kwa sababu wadudu watazila.

DEU 28:40 Removed trailing space in v~: Utakuwa na mizeituni katika nchi yako yote, lakini hutatumia hayo mafuta yake, kwa sababu zeituni zitapukutika.

DEU 28:41 Removed trailing space in v~: Utakuwa na wana na binti lakini hawatakuwa nawe, kwa sababu watachukuliwa mateka.

DEU 28:42 Removed trailing space in v~: Makundi ya nzige yatavamia miti yako yote na mazao ya nchi yako.

DEU 28:43 Removed trailing space in v~: Mgeni anayeishi miongoni mwako atainuka juu zaidi na zaidi kuliko wewe, lakini wewe utashuka chini zaidi na zaidi.

DEU 28:44 Removed trailing space in v~: Yeye atakukopesha, lakini wewe hutamkopesha. Yeye atakuwa kichwa, lakini wewe utakuwa mkia.

DEU 28:45 Removed trailing space in v~: Laana hizi zote zitakuja juu yako. Zitakufuatia na kukupata mpaka uangamizwe, kwa sababu hukumtii \nd Bwana\nd* Mungu wako, na kuzishika amri zake na maagizo yake aliyokupa.

DEU 28:46 Removed trailing space in v~: Zitakuwa ishara na ajabu kwako na kwa wazao wako milele.

DEU 28:47 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hukumtumikia \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa furaha na kwa moyo wakati wa kufanikiwa kwako,

DEU 28:48 Removed trailing space in v~: kwa hiyo katika njaa na kiu, katika uchi na umaskini wa kutisha, utawatumikia adui ambao \nd Bwana\nd* atawatuma dhidi yako. Yeye ataweka nira ya chuma shingoni mwako hadi amekwisha kukuangamiza.

DEU 28:49 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataleta taifa dhidi yako kutoka mbali, kutoka miisho ya dunia, kama tai ashukiavyo mawindo chini, taifa ambalo hutaijua lugha yake,

DEU 28:50 Removed trailing space in v~: taifa lenye uso mkali lisilojali wazee wala kuwahurumia vijana.

DEU 28:51 Removed trailing space in v~: Watakula wadogo wa mifugo yako na mazao ya nchi yako mpaka umeangamia. Hawatakuachia nafaka, divai mpya au mafuta, wala ndama wowote wa kundi lako au wana-kondoo wa kundi lako mpaka umekuwa magofu.

DEU 28:52 Removed trailing space in v~: Nao wataizingira miji yote katika nchi yako mpaka kuta ndefu za ngome ambazo unazitegemea zimeanguka. Watazingira miji yote katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wako anakupa.

DEU 28:53 Removed trailing space in v~: Utakula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako ambao \nd Bwana\nd* Mungu wako amekupa, kwa sababu ya mateso yale adui zako watakayokuletea wakati wa kukuzingira.

DEU 28:54 Removed trailing space in v~: Hata yule mtu muungwana sana na makini miongoni mwako hatakuwa na huruma kwa ndugu yake mwenyewe au kwa mke ampendaye au watoto wake waliosalia,

DEU 28:55 Removed trailing space in v~: naye hatampa hata mmoja wao nyama ya watoto wake ambao anawala. Kwa kuwa hakuna kitu kingine kilichosalia kwake katika mazingirwa makali ambayo adui yako watakuletea kwa miji yako yote.

DEU 28:56 Removed trailing space in v~: Mwanamke ambaye ni muungwana sana na makini miongoni mwako, yaani ambaye ni makini sana na muungwana kiasi kwamba asingethubutu kugusa ardhi kwa wayo wa mguu wake, yeye atakuwa mchoyo kwa mume ampendaye na mwanawe mwenyewe au binti yake,

DEU 28:57 Removed trailing space in v~: kondoo wa nyuma kutoka kwenye tumbo lake na watoto anaowazaa. Kwa kuwa anakusudia kuwala kwa siri wakati wa kuzingirwa na katika taabu zile ambazo adui yako atazileta juu yako na miji yako.

DEU 28:58 Removed trailing space in v~: Kama hutafuata kwa bidii maneno yote ya sheria hii, ambayo yameandikwa katika kitabu hiki na kama hutalicha hili jina la fahari na la kutisha, yaani la \nd Bwana\nd* Mungu wako,

DEU 28:59 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataleta mapigo ya kutisha juu yako na kwa wazao wako, maafa makali na ya kudumu, magonjwa mazito na ya kudumu.

DEU 28:60 Removed trailing space in v~: Atakuletea juu yako magonjwa yote ya Misri yale uliyoyaogopa, nayo yataambatana nawe.

DEU 28:61 Removed trailing space in v~: Pia \nd Bwana\nd* atakuletea kila aina ya ugonjwa na maafa ambayo hayakuandikwa humu katika kitabu hiki cha sheria, mpaka utakapokuwa umeangamizwa.

DEU 28:62 Removed trailing space in v~: Ninyi ambao mlikuwa wengi kama nyota za angani mtaachwa wachache tu, kwa sababu hamkumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 28:63 Removed trailing space in v~: Kama ilivyompendeza \nd Bwana\nd* kuwafanya ninyi mstawi na kuongezeka kwa idadi, ndivyo itakavyompendeza kuwaharibu na kuwaangamiza ninyi. Mtangʼolewa kutoka nchi mnayoiingia kuimiliki.

DEU 28:64 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* atawatawanya miongoni mwa mataifa yote, kutoka mwisho mmoja wa dunia hadi mwingine. Huko mtaabudu miungu mingine, miungu ya miti na ya mawe, ambayo ninyi wala baba zenu hamkuijua.

DEU 28:65 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa mataifa hayo hamtapata raha wala mahali pa kupumzisha wayo wa mguu wenu. Huko \nd Bwana\nd* atawapa mahangaiko ya mawazo, macho yaliyochoka kwa kungojea na moyo uliokata tamaa.

DEU 28:66 Removed trailing space in v~: Utaishi katika mahangaiko siku zote, ukiwa umejaa hofu usiku na mchana, wala hutakuwa kamwe na uhakika wa maisha yako.

DEU 28:67 Removed trailing space in v~: Wakati wa asubuhi utasema hivi, “Laiti ingekuwa jioni!” Jioni utasema, “Laiti ingekuwa asubuhi,” kwa sababu ya hofu ile itakayojaza moyo wako na vitu vile macho yako yatakavyoviona.

DEU 28:68 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawarudisha tena Misri kwa meli, safari niliyosema kamwe hamngeenda tena. Huko mtajiuza ninyi wenyewe kwa adui zenu kama watumwa wa kiume na wa kike, lakini hakuna yeyote atakayewanunua.

DEU 29:0 Extra space after chapter number

DEU 29:0 Removed trailing space in c: 29

DEU 29:0 Removed trailing space in s1: Kufanya Upya Agano

DEU 29:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maneno ya Agano \nd Bwana\nd* aliyomwagiza Mose kufanya na Waisraeli huko Moabu, kuwa nyongeza ya Agano alilofanya nao huko Horebu.

DEU 29:2 Removed trailing space in v~: Mose akawaita Waisraeli wote akawaambia:

DEU 29:2 Removed trailing space in p~: Macho yenu yameona yale yote \nd Bwana\nd* aliyofanya kwa Mfalme Farao huko Misri, kwa maafisa wake wote na kwa nchi yake yote.

DEU 29:3 Removed trailing space in v~: Kwa macho yenu wenyewe mliona yale majaribu makubwa, ishara zile za miujiza na maajabu makubwa.

DEU 29:4 Removed trailing space in v~: Lakini mpaka leo \nd Bwana\nd* hajawapa akili ya kuelewa au macho yanayoona au masikio yanayosikia.

DEU 29:5 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa miaka arobaini niliyowaongoza jangwani, nguo zenu hazikuchakaa, wala viatu miguuni mwenu.

DEU 29:6 Removed trailing space in v~: Hamkula mkate na hamkunywa divai wala kileo chochote. Nilifanya hivi ili mpate kujua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 29:7 Removed trailing space in v~: Wakati mlipofika mahali hapa, Sihoni mfalme wa Heshboni na Ogu mfalme wa Bashani walikuja kupigana dhidi yetu, lakini tuliwashinda.

DEU 29:8 Removed trailing space in v~: Tuliichukua nchi yao na kuwapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kama urithi wao.

DEU 29:9 Removed trailing space in v~: Fuateni kwa bidii masharti ya Agano hili, ili kwamba mweze kustawi katika kila kitu mnachofanya.

DEU 29:10 Removed trailing space in v~: Ninyi nyote leo mnasimama mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu; mkiwa viongozi na wakuu wenu, wazee na maafisa wenu, na wanaume wengine wote wa Israeli,

DEU 29:11 Removed trailing space in v~: pamoja na watoto wenu, wake zenu na pia wageni waishio katika kambi zenu wanaowapasulia kuni na kuwachotea maji.

DEU 29:12 Removed trailing space in v~: Mnasimama hapa ili kufanya Agano na \nd Bwana\nd* Mungu wenu, Agano ambalo Mungu analifanya nanyi siku hii ya leo na kulitia muhuri kwa kiapo,

DEU 29:13 Removed trailing space in v~: kuwathibitisha ninyi siku hii ya leo kama taifa lake, ili aweze kuwa Mungu wenu kama alivyowaahidi na kama alivyowaapia baba zenu Abrahamu, Isaki na Yakobo.

DEU 29:14 Removed trailing space in v~: Ninafanya Agano hili pamoja na kiapo chake, sio na ninyi tu

DEU 29:15 Removed trailing space in v~: mnaosimama hapa na sisi leo mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu, bali pia pamoja na wale ambao hawapo hapa leo.

DEU 29:16 Removed trailing space in v~: Ninyi wenyewe mnajua jinsi tulivyoishi nchini Misri na jinsi tulivyopita katikati ya nchi mpaka tukafika hapa.

DEU 29:17 Removed trailing space in v~: Mliona miongoni mwao vinyago vyao vya kuchukiza na sanamu za miti na mawe, za fedha na dhahabu.

DEU 29:18 Removed trailing space in v~: Hakikisheni kwamba hakuna mwanaume au mwanamke, ukoo au kabila miongoni mwenu leo ambalo moyo wake utamwacha \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kwenda kuabudu miungu ya mataifa hayo. Hakikisheni hakuna mzizi miongoni mwenu unaotoa sumu chungu ya namna hii.

DEU 29:19 Removed trailing space in v~: Wakati mtu wa namna hii asikiapo maneno ya kiapo hiki, hujibariki mwenyewe na kisha hufikiri, “Nitakuwa salama, hata kama nikiendelea kuifuata njia yangu mwenyewe.” Hili litaleta maafa juu ya nchi iliyonyeshewa sawasawa na nchi kame.

DEU 29:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* kamwe hatakuwa radhi kumsamehe, ghadhabu na wivu wa Mungu vitawaka dhidi ya mtu huyo. Laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki zitamwangukia na \nd Bwana\nd* atafuta jina lake chini ya mbingu.

DEU 29:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamtwaa peke yake kutoka makabila ya Israeli kwa maangamizo, kulingana na laana zote za Agano zilizoandikwa kwenye Kitabu hiki cha Sheria.

DEU 29:22 Removed trailing space in v~: Watoto wako watakaofuata baada yako katika vizazi vya baadaye na wageni ambao watakuja kutoka nchi za mbali, wataona maafa, yaliyoipata nchi na magonjwa ambayo \nd Bwana\nd* aliyaleta juu yake.

DEU 29:23 Removed trailing space in v~: Nchi yote itakuwa jaa linaloungua la chumvi na kiberiti: hakutakuwa kilichopandwa, hakutakuwa kinachochipua, wala hakutakuwa mimea inayoota juu yake. Itakuwa kama maangamizo ya Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu, ambazo \nd Bwana\nd* aliangamiza kwa hasira kali.

DEU 29:24 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yatauliza: “Kwa nini \nd Bwana\nd* amefanya hivi juu ya nchi hii? Kwa nini hasira hii kali ikawaka?”

DEU 29:25 Removed trailing space in v~: Na jibu litakuwa: “Ni kwa sababu watu hawa waliacha Agano la \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, Agano alilofanya nao wakati alipowatoa katika nchi ya Misri.

DEU 29:26 Removed trailing space in v~: Walienda zao na kuabudu miungu mingine na kuisujudia, miungu wasioijua, miungu ambayo Mungu hakuwapa.

DEU 29:27 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya nchi hii, hivyo Mungu akaleta juu yake laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki.

DEU 29:28 Removed trailing space in v~: Katika hasira kali na katika ghadhabu kuu \nd Bwana\nd* aliwangʼoa kutoka nchi yao na kuwasukumia katika nchi nyingine, kama ilivyo sasa.”

DEU 29:29 Removed trailing space in v~: Mambo ya siri ni ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, bali yaliyofunuliwa ni yetu na watoto wetu milele, ili tuweze kuyafanya maneno yote ya sheria hii.

DEU 30:0 Extra space after chapter number

DEU 30:0 Removed trailing space in c: 30

DEU 30:0 Removed trailing space in s1: Mafanikio Baada Ya Kumgeukia \nd Bwana\nd*

DEU 30:1 Removed trailing space in v~: Wakati baraka hizi zote pamoja na laana nilizoziweka mbele yako zitakapokujia, nawe ukazitafakari moyoni popote \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokutawanya miongoni mwa mataifa,

DEU 30:2 Removed trailing space in v~: hapo wewe na watoto wako mtakapomrudia \nd Bwana\nd* Mungu wako, na kumtii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote kulingana na kila kitu ninachokuamuru leo,

DEU 30:3 Removed trailing space in v~: ndipo \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokurudisha kutoka utumwani na kukuhurumia, naye atakukusanya tena kutoka mataifa yote kule alikutawanya.

DEU 30:4 Removed trailing space in v~: Hata kama umefukuziwa katika nchi ya mbali kiasi gani chini ya mbingu, kutoka huko \nd Bwana\nd* Mungu wako atakukusanya na kukurudisha.

DEU 30:5 Removed trailing space in v~: Yeye \nd Bwana\nd* atakurudisha katika nchi iliyokuwa mali ya baba zako, nawe utaimiliki. Naye atakufanya ufanikiwe sana na kukuzidisha kwa idadi kuliko baba zako.

DEU 30:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako ataitahiri mioyo yenu na mioyo ya wazao wenu ili mweze kumpenda kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote ukaishi.

DEU 30:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako ataweka laana hizi zote juu ya adui zako ambao wanakuchukia na kukutesa.

DEU 30:8 Removed trailing space in v~: Utamtii tena \nd Bwana\nd* na kuzishika amri zake zote ninazokupa leo.

DEU 30:9 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokufanikisha sana katika kazi zote za mikono yako na katika uzao wa tumbo lako, wadogo wa mifugo yako na mazao ya nchi yako. \nd Bwana\nd* atakufurahia tena na kukufanikisha, kama alivyowafurahia baba zako,

DEU 30:10 Removed trailing space in v~: kama ukimtii \nd Bwana\nd* Mungu wako, na kuzishika amri zake na maagizo yake ambayo yameandikwa katika Kitabu hiki cha Sheria, na kumgeukia \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote.

DEU 30:10 Removed trailing space in s1: Uzima Na Mauti

DEU 30:11 Removed trailing space in v~: Ninachokuagiza leo sio kigumu sana kwako au usichokiweza.

DEU 30:12 Removed trailing space in v~: Hakiko juu mbinguni, ili uulize, “Ni nani atakayepanda mbinguni kukileta na kututangazia ili tuweze kutii?”

DEU 30:13 Removed trailing space in v~: Wala hakiko ngʼambo ya bahari, ili uulize, “Ni nani atakayevuka bahari kwenda kukichukua na kututangazia ili tupate kutii?”

DEU 30:14 Removed trailing space in v~: La hasha! Lile neno liko karibu sana nawe; liko kinywani mwako na ndani ya moyo wako ili uweze kulitii.

DEU 30:15 Removed trailing space in v~: Tazama, naweka mbele yako leo uzima na mafanikio, mauti na maangamizo.

DEU 30:16 Removed trailing space in v~: Ninakuamuru leo kwamba umpende \nd Bwana\nd* Mungu wako, utembee katika njia zake, na kutunza maagizo yake, amri na sheria zake; ndipo utakapoishi na kuongezeka, naye \nd Bwana\nd* Mungu wako atakubariki katika nchi unayoingia kuimiliki.

DEU 30:17 Removed trailing space in v~: Lakini kama moyo wako ukigeukia mbali ukawa huna utii, kama umevutwa kuisujudia miungu mingine na kuiabudu,

DEU 30:18 Removed trailing space in v~: nakutangazia leo hii kwamba hakika utaangamizwa. Hutaishi maisha marefu katika nchi unayovuka Yordani kuiingia na kuimiliki.

DEU 30:19 Removed trailing space in v~: Leo ninaziita mbingu na nchi kama mashahidi dhidi yako kwamba nimeweka mbele yako uzima na mauti, baraka na laana. Basi sasa chagueni uzima, ili wewe na watoto wako mpate kuishi,

DEU 30:20 Removed trailing space in v~: na ili upate kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wako, uisikilize sauti yake na kuambatana naye. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ndiye uzima wako, na atakupa wingi wa siku ili upate kuishi katika nchi aliyoapa kuwapa baba zako Abrahamu, Isaki na Yakobo.

DEU 31:0 Extra space after chapter number

DEU 31:0 Removed trailing space in c: 31

DEU 31:0 Removed trailing space in s1: Yoshua Kutawala Baada Ya Mose

DEU 31:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 27:12-23)

DEU 31:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaenda akasema maneno haya kwa Waisraeli wote:

DEU 31:2 Removed trailing space in v~: “Sasa nina miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena kuwaongoza. \nd Bwana\nd* ameniambia, ‘Hutavuka Yordani.’

DEU 31:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu, yeye mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kama \nd Bwana\nd* alivyosema.

DEU 31:4 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* atawafanyia watu hao kile alichowafanyia Sihoni na Ogu, wafalme wa Waamori, ambao aliwaangamiza pamoja na nchi yao.

DEU 31:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawakabidhi kwenu, nanyi lazima mwatendee yale yote niliyowaamuru.

DEU 31:6 Removed trailing space in v~: Kuweni imara na moyo wa ushujaa. Msiogope wala msifadhaike kwa sababu yao, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu anakwenda pamoja nanyi; kamwe hatawaacha wala hatawatupa ninyi.”

DEU 31:7 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwita Yoshua na akamwambia mbele ya Israeli wote, “Uwe imara na moyo wa ushujaa, kwa kuwa ni lazima uende na watu hawa katika nchi ile \nd Bwana\nd* aliyowaapia baba zao kuwapa, nawe ni lazima uwagawie kama urithi wao.

DEU 31:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* mwenyewe atakutangulia naye atakuwa pamoja nawe; kamwe hatakuacha wala hatakutupa. Usiogope, wala usifadhaike.”

DEU 31:8 Removed trailing space in s1: Kusoma Sheria

DEU 31:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akaandika sheria hii na kuwapa makuhani, wana wa Lawi, waliochukua Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* na wazee wote wa Israeli.

DEU 31:10 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaamuru, akasema: “Mwishoni mwa kila miaka saba, katika mwaka wa kufuta madeni, wakati wa Sikukuu ya Vibanda,

DEU 31:11 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote wanapokuja mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu mahali atakapopachagua, utasoma sheria hii mbele yao masikioni mwao.

DEU 31:12 Removed trailing space in v~: Kusanya watu wote, wanaume, wanawake, watoto na wageni wanaoishi katika miji yenu, ili waweze kusikia na kujifunza kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kufuata kwa bidii maneno yote ya sheria hii.

DEU 31:13 Removed trailing space in v~: Watoto wao, ambao hawaijui sheria hii, lazima waisikie na kujifunza kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa muda mtakaoishi katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”

DEU 31:13 Removed trailing space in s1: Kuasi Kwa Waisraeli Kunatabiriwa

DEU 31:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Sasa siku ya kifo chako imekaribia. Mwite Yoshua, mkajihudhurishe katika Hema la Kukutania, mahali nitakapompa maagizo ya kazi.” Kwa hiyo Mose na Yoshua wakaja na kujihudhurisha kwenye Hema la Kukutania.

DEU 31:15 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akatokea katika Hema katika nguzo ya wingu, nalo wingu likasimama juu ya ingilio la Hema.

DEU 31:16 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose: “Unakwenda kupumzika na baba zako, nao watu hawa hivi karibuni watazini na miungu migeni ya nchi wanayoingia. Wataniacha na kuvunja Agano nililofanya nao.

DEU 31:17 Removed trailing space in v~: Siku hiyo nitawakasirikia na kuwaacha; nitawaficha uso wangu, nao wataangamizwa. Maafa mengi na shida nyingi zitakuja juu yao, nao siku hiyo watauliza, ‘Je, maafa haya hayakuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko pamoja nasi?’

DEU 31:18 Removed trailing space in v~: Nami hakika nitauficha uso wangu siku hiyo kwa sababu ya maovu yao yote kwa kugeukia miungu mingine.

DEU 31:19 Removed trailing space in v~: “Sasa ujiandikie wimbo huu,\f + \fr 31:19 \ft Wimbo huu hapa ina maana wimbo wa Mose.\f* uwafundishe Waisraeli na uwaamuru wauimbe, ili upate kuwa ushahidi wangu dhidi yao.

DEU 31:20 Removed trailing space in v~: Nitakapokwisha kuwaingiza katika nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo, nao watakapokula wakashiba na kufanikiwa, watageukia miungu mingine na kuiabudu, wakinikataa mimi na kuvunja Agano langu.

DEU 31:21 Removed trailing space in v~: Maafa na shida zitakapokuja juu yao, wimbo huu utashuhudia dhidi yao, kwa sababu hautasahauliwa na wazao wao. Ninajua lile wanaloandaa kufanya, hata kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo.”

DEU 31:22 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akaandika wimbo huu siku ile na akawafundisha Waisraeli.

DEU 31:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akampa Yoshua mwana wa Nuni agizo hili: “Uwe hodari na shujaa, kwa kuwa utawaleta Waisraeli katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo, nami mwenyewe nitakuwa pamoja nawe.”

DEU 31:24 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose kumaliza kuandika kwenye kitabu maneno ya sheria hii kutoka mwanzo hadi mwisho,

DEU 31:25 Removed trailing space in v~: akawapa Walawi wale waliolibeba Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* agizo hili, akawaambia:

DEU 31:26 Removed trailing space in v~: “Chukueni Kitabu hiki cha Sheria mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu.

DEU 31:27 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ninajua jinsi mlivyo waasi na mlivyo na shingo ngumu. Kama mmekuwa mkiasi dhidi ya \nd Bwana\nd* nikiwa bado niko hai na nikiwa pamoja nanyi, mtaasi mara ngapi baada ya kufa kwangu!

DEU 31:28 Removed trailing space in v~: Kusanyeni mbele yangu wazee wote wa makabila yenu na maafisa wenu wote, ili nipate kusema maneno haya masikioni mwao na kuziita mbingu na nchi ili kushuhudia dhidi yao.

DEU 31:29 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ninajua baada ya kifo changu hakika mtakuwa waovu kabisa na kugeuka kutoka njia niliyowaamuru ninyi. Katika siku zijazo, maafa yatawapata kwa sababu mtafanya maovu mbele ya macho ya \nd Bwana\nd*, na kuchochea hasira yake kwa yale mikono yenu itakayokuwa imefanya.”

DEU 31:29 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Mose

DEU 31:30 Removed trailing space in v~: Mose akayasoma maneno ya wimbo huu kutoka mwanzo hadi mwisho katika masikio ya kusanyiko lote la Israeli:

DEU 32:0 Extra space after chapter number

DEU 32:0 Removed trailing space in c: 32

DEU 32:1 Removed trailing space in v~: Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema;

DEU 32:1 Removed trailing space in p~: sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu.

DEU 32:2 Removed trailing space in v~: Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua,

DEU 32:2 Removed trailing space in p~: na maneno yangu na yashuke kama umande,

DEU 32:2 Removed trailing space in p~: kama manyunyu juu ya majani mabichi,

DEU 32:2 Removed trailing space in p~: kama mvua tele juu ya mimea myororo.

DEU 32:3 Removed trailing space in v~: Nitalitangaza jina la \nd Bwana\nd*.

DEU 32:3 Removed trailing space in p~: Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!

DEU 32:4 Removed trailing space in v~: Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu,

DEU 32:4 Removed trailing space in p~: njia zake zote ni haki.

DEU 32:4 Removed trailing space in p~: Mungu mwaminifu ambaye hakosei,

DEU 32:4 Removed trailing space in p~: yeye ni mnyofu na mwenye haki.

DEU 32:5 Removed trailing space in v~: Wamefanya mambo ya upotovu mbele zake;

DEU 32:5 Removed trailing space in p~: kwa aibu yao, wao si watoto wake tena,

DEU 32:5 Removed trailing space in p~: lakini ni kizazi kilicho kiovu na kilichopotoka.

DEU 32:6 Removed trailing space in v~: Je, hii ndiyo njia ya kumlipa \nd Bwana\nd*,

DEU 32:6 Removed trailing space in p~: enyi watu wajinga na wasio na busara?

DEU 32:6 Removed trailing space in p~: Je, yeye siye Baba yenu, Muumba wenu,

DEU 32:6 Removed trailing space in p~: aliyewafanya ninyi na kuwaumba?

DEU 32:7 Removed trailing space in v~: Kumbuka siku za kale;

DEU 32:7 Removed trailing space in p~: tafakari vizazi vya zamani vilivyopita.

DEU 32:7 Removed trailing space in p~: Uliza baba yako, naye atakuambia,

DEU 32:7 Removed trailing space in p~: wazee wako, nao watakueleza.

DEU 32:8 Removed trailing space in v~: Aliye Juu Sana alipowapa mataifa urithi wao,

DEU 32:8 Removed trailing space in p~: alipogawanya wanadamu wote,

DEU 32:8 Removed trailing space in p~: aliweka mipaka kwa ajili ya mataifa

DEU 32:8 Removed trailing space in p~: sawasawa na hesabu ya wana wa Israeli.

DEU 32:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa fungu la \nd Bwana\nd* ni watu wake,

DEU 32:9 Removed trailing space in p~: Yakobo kura yake ya urithi.

DEU 32:10 Removed trailing space in v~: Katika nchi ya jangwa alimkuta,

DEU 32:10 Removed trailing space in p~: katika nyika tupu ivumayo upepo.

DEU 32:10 Removed trailing space in p~: Alimhifadhi na kumtunza;

DEU 32:10 Removed trailing space in p~: akamlinda kama mboni ya jicho lake,

DEU 32:11 Removed trailing space in v~: kama tai avurugaye kiota chake,

DEU 32:11 Removed trailing space in p~: na kurukaruka juu ya makinda yake,

DEU 32:11 Removed trailing space in p~: ambaye hutanda mabawa yake kuwadaka,

DEU 32:11 Removed trailing space in p~: na huwachukua kwenye mabawa yake.

DEU 32:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* peke yake alimwongoza;

DEU 32:12 Removed trailing space in p~: hakuwepo mungu mgeni pamoja naye.

DEU 32:13 Removed trailing space in v~: Akamfanya apande sehemu zilizoinuka za nchi,

DEU 32:13 Removed trailing space in p~: akamlisha kwa mavuno ya mashamba.

DEU 32:13 Removed trailing space in p~: Akamlea kwa asali toka mwambani,

DEU 32:13 Removed trailing space in p~: na kwa mafuta kutoka mwamba mgumu,

DEU 32:14 Removed trailing space in v~: kwa jibini na maziwa kutoka makundi ya ngʼombe

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: na kutoka makundi ya mbuzi,

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: kwa mafuta ya wana-kondoo na mbuzi,

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: kwa kondoo dume wazuri wa Bashani,

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: na kwa ngano nzuri.

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: Ukanywa damu ya zabibu inayotoa povu.

DEU 32:15 Removed trailing space in v~: Yeshuruni\f + \fr 32:15 \ft Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia \+xt Kum 33:26; Isa 44:2\+xt*).\f* alinenepa na kupiga teke;

DEU 32:15 Found unexpected backslash in footnote: 32:15 Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia \+xt Kum 33:26; Isa 44:2\+xt*).

DEU 32:15 Removed trailing space in p~: alikuwa na chakula tele,

DEU 32:15 Removed trailing space in p~: akawa mzito na akapendeza sana.

DEU 32:15 Removed trailing space in p~: Akamwacha Mungu aliyemuumba,

DEU 32:15 Removed trailing space in p~: na kumkataa Mwamba Mwokozi wake.

DEU 32:16 Removed trailing space in v~: Wakamfanya Mungu kuwa na wivu kwa miungu yao migeni,

DEU 32:16 Removed trailing space in p~: na kumkasirisha kwa sanamu zao

DEU 32:16 Removed trailing space in p~: za machukizo.

DEU 32:17 Removed trailing space in v~: Wakatoa dhabihu kwa pepo, ambao si Mungu:

DEU 32:17 Removed trailing space in p~: miungu wasiyoijua,

DEU 32:17 Removed trailing space in p~: miungu iliyojitokeza siku za karibuni,

DEU 32:17 Removed trailing space in p~: miungu ambayo baba zenu hawakuiogopa.

DEU 32:18 Removed trailing space in v~: Mkamwacha Mwamba, aliyewazaa ninyi;

DEU 32:18 Removed trailing space in p~: mkamsahau Mungu aliyewazaa.

DEU 32:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaona hili, akawakataa,

DEU 32:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu alikasirishwa

DEU 32:19 Removed trailing space in p~: na wanawe na binti zake.

DEU 32:20 Removed trailing space in v~: Akasema, “Nitawaficha uso wangu,

DEU 32:20 Removed trailing space in p~: nami nione mwisho wao utakuwa nini,

DEU 32:20 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wao ni kizazi kilichopotoka,

DEU 32:20 Removed trailing space in p~: watoto ambao si waaminifu.

DEU 32:21 Removed trailing space in v~: Wamenifanya niwe na wivu

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: kwa kile ambacho si mungu,

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: na kunikasirisha kwa sanamu zao

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: zisizokuwa na thamani.

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: Nitawafanya wawaonee wivu wale ambao si taifa.

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: Nitawafanya wakasirishwe

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: na taifa lile lisilo na ufahamu.

DEU 32:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu,

DEU 32:22 Removed trailing space in p~: ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti.

DEU 32:22 Removed trailing space in p~: Utateketeza dunia pamoja na mazao yake,

DEU 32:22 Removed trailing space in p~: na kuwasha moto katika misingi ya milima.

DEU 32:23 Removed trailing space in v~: “Nitalundika majanga juu yao

DEU 32:23 Removed trailing space in p~: na kutumia mishale yangu dhidi yao.

DEU 32:24 Removed trailing space in v~: Nitatuma njaa kali dhidi yao maradhi mabaya,

DEU 32:24 Removed trailing space in p~: yateketezayo na tauni ya kufisha;

DEU 32:24 Removed trailing space in p~: nitawapelekea meno makali ya wanyama mwitu,

DEU 32:24 Removed trailing space in p~: na sumu ya nyoka wale watambaao mavumbini.

DEU 32:25 Removed trailing space in v~: Barabarani upanga utawakosesha watoto;

DEU 32:25 Removed trailing space in p~: nyumbani mwao hofu itatawala.

DEU 32:25 Removed trailing space in p~: Vijana wao wa kiume na wa kike wataangamia,

DEU 32:25 Removed trailing space in p~: pia watoto wachanga na wazee wenye mvi.

DEU 32:26 Removed trailing space in v~: Nilisema ningewatawanya

DEU 32:26 Removed trailing space in p~: na kufuta kumbukumbu lao

DEU 32:26 Removed trailing space in p~: katika mwanadamu.

DEU 32:27 Removed trailing space in v~: Lakini nilihofia dhihaka za adui,

DEU 32:27 Removed trailing space in p~: adui asije akashindwa kuelewa,

DEU 32:27 Removed trailing space in p~: na kusema, ‘Mikono yetu imeshinda;

DEU 32:27 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hakufanya yote haya.’ ”

DEU 32:28 Removed trailing space in v~: Wao ni taifa lisilo na akili,

DEU 32:28 Removed trailing space in p~: hakuna busara ndani yao.

DEU 32:29 Removed trailing space in v~: Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili,

DEU 32:29 Removed trailing space in p~: na kutambua mwisho wao utakuwa aje!

DEU 32:30 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja angewezaje kufukuza elfu moja,

DEU 32:30 Removed trailing space in p~: au wawili kufukuza elfu kumi,

DEU 32:30 Removed trailing space in p~: kama si kwamba Mwamba wao amewauza,

DEU 32:30 Removed trailing space in p~: kama si kwamba \nd Bwana\nd* amewaacha?

DEU 32:31 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mwamba wao si kama Mwamba wetu,

DEU 32:31 Removed trailing space in p~: sawasawa na vile adui zetu wanavyokiri.

DEU 32:32 Removed trailing space in v~: Mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma,

DEU 32:32 Removed trailing space in p~: na kutoka kwenye mashamba ya Gomora.

DEU 32:32 Removed trailing space in p~: Zabibu zake zimejaa sumu,

DEU 32:32 Removed trailing space in p~: na vishada vyake vimejaa uchungu.

DEU 32:33 Removed trailing space in v~: Mvinyo wao ni sumu ya nyoka,

DEU 32:33 Removed trailing space in p~: sumu yenye kufisha ya swila.

DEU 32:34 Removed trailing space in v~: “Je, hili sikuliweka akiba

DEU 32:34 Removed trailing space in p~: na kulifungia kwenye vyumba vyangu vya hazina?

DEU 32:35 Removed trailing space in v~: Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.

DEU 32:35 Removed trailing space in p~: Wakati utakapowadia, mguu wao utateleza;

DEU 32:35 Removed trailing space in p~: siku yao ya maafa ni karibu,

DEU 32:35 Removed trailing space in p~: na maangamizo yao yanawajia haraka.”

DEU 32:36 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawahukumu watu wake,

DEU 32:36 Removed trailing space in p~: na kuwahurumia watumishi wake

DEU 32:36 Removed trailing space in p~: atakapoona nguvu zao zimekwisha

DEU 32:36 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote aliyebaki,

DEU 32:36 Removed trailing space in p~: mtumwa au aliye huru.

DEU 32:37 Removed trailing space in v~: Atasema: “Sasa iko wapi miungu yao,

DEU 32:37 Removed trailing space in p~: mwamba walioukimbilia,

DEU 32:38 Removed trailing space in v~: miungu wale waliokula mafuta ya dhabihu zao

DEU 32:38 Removed trailing space in p~: na kunywa mvinyo wa sadaka zao za vinywaji?

DEU 32:38 Removed trailing space in p~: Wainuke basi, wawasaidie!

DEU 32:38 Removed trailing space in p~: Wawapeni basi ulinzi!

DEU 32:39 Removed trailing space in v~: “Tazama basi, Mimi mwenyewe, Mimi Ndiye!

DEU 32:39 Removed trailing space in p~: Hakuna mungu mwingine ila Mimi.

DEU 32:39 Removed trailing space in p~: Mimi ninaua na Mimi ninafufua,

DEU 32:39 Removed trailing space in p~: Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya,

DEU 32:39 Removed trailing space in p~: wala hakuna awezaye kuokoa kutoka mkononi mwangu.

DEU 32:40 Removed trailing space in v~: Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na kusema:

DEU 32:40 Removed trailing space in p~: Hakika kama niishivyo milele,

DEU 32:41 Removed trailing space in v~: wakati ninapounoa upanga wangu unaometameta

DEU 32:41 Removed trailing space in p~: na mkono wangu unapoushika ili kutoa hukumu,

DEU 32:41 Removed trailing space in p~: nitalipiza kisasi juu ya adui zangu

DEU 32:41 Removed trailing space in p~: na kuwalipiza wale wanaonichukia.

DEU 32:42 Removed trailing space in v~: Nitailevya mishale yangu kwa damu,

DEU 32:42 Removed trailing space in p~: wakati upanga wangu ukitafuna nyama:

DEU 32:42 Removed trailing space in p~: damu ya waliochinjwa pamoja na mateka,

DEU 32:42 Removed trailing space in p~: vichwa vya viongozi wa adui.”

DEU 32:43 Removed trailing space in v~: Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,

DEU 32:43 Removed trailing space in p~: kwa kuwa atailipiza damu ya watumishi wake,

DEU 32:43 Removed trailing space in p~: atalipiza kisasi juu ya adui zake

DEU 32:43 Removed trailing space in p~: na kufanya upatanisho

DEU 32:43 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya nchi na watu wake.

DEU 32:44 Removed trailing space in v~: Mose na Yoshua\f + \fr 32:44 \ft Yoshua, yaani Yehoshea kwa Kiebrania, maana yake ni Yehova ni Mwokozi.\f* mwana wa Nuni wakaja, wakanena maneno yote ya wimbo watu wakiwa wanasikia.

DEU 32:45 Removed trailing space in v~: Mose alipomaliza kuyasoma maneno haya yote kwa Israeli wote,

DEU 32:46 Removed trailing space in v~: akawaambia, “Yawekeni moyoni maneno yote ambayo nimewatangazia kwa makini siku hii ya leo, ili kwamba mpate kuwaagiza watoto wenu wayatii kwa bidii maneno yote ya sheria hii.

DEU 32:47 Removed trailing space in v~: Siyo maneno matupu tu kwenu, bali ni uzima wenu. Kwa hayo mtaishi maisha marefu katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”

DEU 32:47 Removed trailing space in s1: Mose Aelezwa Kuhusu Kifo Chake

DEU 32:48 Removed trailing space in v~: Siku hiyo hiyo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

DEU 32:49 Removed trailing space in v~: “Kwea katika mapangano ya Mlima Abarimu hadi kilima cha Nebo kilichoko Moabu, ngʼambo ya Yeriko, na uitazame Kanaani, nchi ninayowapa Waisraeli kama milki yao wenyewe.

DEU 32:50 Removed trailing space in v~: Utafia kwenye mlima huo unaokwea na kukusanyika pamoja na watu wako, kama ndugu yako Aroni alivyofia juu ya Mlima Hori naye akakusanyika kwa watu wake.

DEU 32:51 Removed trailing space in v~: Hii ni kwa sababu ninyi wawili mlivunja uaminifu nami mbele ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba-Kadeshi katika Jangwa la Sini, na kwa sababu hamkuuinua utakatifu wangu miongoni mwa Waisraeli.

DEU 32:52 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, utaiona tu nchi kwa mbali; wewe hutaingia nchi ninayowapa watu wa Israeli.”

DEU 33:0 Extra space after chapter number

DEU 33:0 Removed trailing space in c: 33

DEU 33:0 Removed trailing space in s1: Mose Anayabariki Makabila

DEU 33:1 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake.

DEU 33:2 Removed trailing space in v~: Alisema:

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* alikuja kutoka Mlima Sinai,

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: akachomoza kama jua juu yao

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: kutoka Mlima Seiri,

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: akaangaza kutoka Mlima Parani.

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: Alikuja pamoja na watakatifu makumi elfu

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: kutoka kusini,

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: kutoka materemko ya mlima wake.

DEU 33:3 Removed trailing space in v~: Hakika ni wewe ambaye huwapenda watu,

DEU 33:3 Removed trailing space in p~: watakatifu wako wote wamo mkononi mwako.

DEU 33:3 Removed trailing space in p~: Miguuni pako wote wanasujudu

DEU 33:3 Removed trailing space in p~: na kutoka kwako wanapokea mafundisho,

DEU 33:4 Removed trailing space in v~: sheria ile Mose aliyotupa sisi,

DEU 33:4 Removed trailing space in p~: tulio milki ya kusanyiko la Yakobo.

DEU 33:5 Removed trailing space in v~: Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni\f + \fr 33:5 \ft Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli.\f*

DEU 33:5 Removed trailing space in p~: wakati viongozi wa watu walipokusanyika,

DEU 33:5 Removed trailing space in p~: pamoja na makabila ya Israeli.

DEU 33:6 Removed trailing space in v~: “Reubeni na aishi, asife,

DEU 33:6 Removed trailing space in p~: wala watu wake wasiwe wachache.”

DEU 33:7 Removed trailing space in v~: Akasema hili kuhusu Yuda:

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, sikia kilio cha Yuda,

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: mlete kwa watu wake.

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: Kwa mikono yake mwenyewe hujitetea.

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: Naam, uwe msaada wake

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: dhidi ya adui zake!”

DEU 33:8 Removed trailing space in v~: Kuhusu Lawi alisema:

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: “Thumimu yako na Urimu\f + \fr 33:8 \ft Thumimu na Urimu maana yake Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f* yako ulimpa,

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: mtu yule uliyemfadhili.

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: Ulimjaribu huko Masa

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: na kushindana naye

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: kwenye maji ya Meriba.

DEU 33:9 Removed trailing space in v~: Alinena hivi kuhusu baba yake na mama yake,

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: ‘Mimi siwahitaji kamwe.’

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: Akawasahau jamaa zake,

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: asiwatambue hata watoto wake,

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: lakini akaliangalia neno lako

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: na kulilinda Agano lako.

DEU 33:10 Removed trailing space in v~: Humfundisha Yakobo mausia yako

DEU 33:10 Removed trailing space in p~: na Israeli sheria yako.

DEU 33:10 Removed trailing space in p~: Hufukiza uvumba mbele zako

DEU 33:10 Removed trailing space in p~: na sadaka nzima za kuteketezwa

DEU 33:10 Removed trailing space in p~: juu ya madhabahu yako.

DEU 33:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, bariki ustadi wake wote,

DEU 33:11 Removed trailing space in p~: nawe upendezwe na kazi ya mikono yake.

DEU 33:11 Removed trailing space in p~: Vipige viuno vya wale wainukao dhidi yake;

DEU 33:11 Removed trailing space in p~: wapige adui zake hata wasiinuke tena.”

DEU 33:12 Removed trailing space in v~: Kuhusu Benyamini akasema:

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: “Mwache mpenzi wa \nd Bwana\nd*

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: apumzike salama kwake,

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: kwa maana humkinga mchana kutwa,

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: na yule \nd Bwana\nd* ampendaye

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: hupumzika kati ya mabega yake.”

DEU 33:13 Removed trailing space in v~: Kuhusu Yosefu akasema:

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* na aibariki nchi yake

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: kwa umande wa thamani

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni juu,

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: na vilindi vya maji

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: vilivyotulia chini;

DEU 33:14 Removed trailing space in v~: pamoja na vitu vilivyo bora sana

DEU 33:14 Removed trailing space in p~: viletwavyo na jua,

DEU 33:14 Removed trailing space in p~: na vitu vizuri sana vinavyoweza

DEU 33:14 Removed trailing space in p~: kutolewa na mwezi;

DEU 33:15 Removed trailing space in v~: pamoja na zawadi bora sana

DEU 33:15 Removed trailing space in p~: za milima ya zamani

DEU 33:15 Removed trailing space in p~: na kwa wingi wa baraka

DEU 33:15 Removed trailing space in p~: za vilima vya milele;

DEU 33:16 Removed trailing space in v~: pamoja na baraka nzuri mno

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: za ardhi na ukamilifu wake,

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: na upendeleo wake yeye

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: aliyeishi kwenye kichaka

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: kilichokuwa kinawaka moto.

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: Hivi vyote na vikae juu ya kichwa cha Yosefu,

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: juu ya paji la uso la aliye mkuu

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: miongoni mwa ndugu zake.

DEU 33:17 Removed trailing space in v~: Katika fahari yeye ni kama fahali mzaliwa wa kwanza;

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: pembe zake ni pembe za nyati,

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: na kwa pembe hizo atapiga mataifa,

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: hata yaliyo miisho ya dunia.

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: Hivyo ndivyo yalivyo makumi elfu ya Efraimu;

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: hivyo ndivyo yalivyo maelfu ya Manase.”

DEU 33:18 Removed trailing space in v~: Kuhusu Zabuloni akasema:

DEU 33:18 Removed trailing space in p~: “Shangilia, Zabuloni, wakati wa kutoka nje,

DEU 33:18 Removed trailing space in p~: nawe Isakari, katika mahema yako.

DEU 33:19 Removed trailing space in v~: Watawaita mataifa kwenye mlima,

DEU 33:19 Removed trailing space in p~: na huko mtatoa dhabihu za haki;

DEU 33:19 Removed trailing space in p~: watajifurahisha kwa wingi uliojaza bahari,

DEU 33:19 Removed trailing space in p~: kwa hazina zilizofichwa mchangani.”

DEU 33:20 Removed trailing space in v~: Kuhusu Gadi akasema:

DEU 33:20 Removed trailing space in p~: “Atabarikiwa yeye aongezaye milki ya Gadi!

DEU 33:20 Removed trailing space in p~: Gadi huishi huko kama simba,

DEU 33:20 Removed trailing space in p~: akirarua kwenye mkono au kichwa.

DEU 33:21 Removed trailing space in v~: Alijichagulia nchi nzuri kuliko zote

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili yake mwenyewe;

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: fungu la kiongozi lilikuwa limehifadhiwa

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili yake.

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: Viongozi wa watu walipokusanyika,

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: alitimiza haki ya mapenzi ya \nd Bwana\nd*,

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: na hukumu zake kuhusu Israeli.”

DEU 33:22 Removed trailing space in v~: Kuhusu Dani akasema:

DEU 33:22 Removed trailing space in p~: “Dani ni mwana simba,

DEU 33:22 Removed trailing space in p~: akiruka kutoka Bashani.”

DEU 33:23 Removed trailing space in v~: Kuhusu Naftali akasema:

DEU 33:23 Removed trailing space in p~: “Naftali amejaa tele upendeleo wa \nd Bwana\nd*,

DEU 33:23 Removed trailing space in p~: naye amejaa baraka yake;

DEU 33:23 Removed trailing space in p~: atarithi magharibi na kusini.”

DEU 33:24 Removed trailing space in v~: Kuhusu Asheri akasema:

DEU 33:24 Removed trailing space in p~: “Aliyebarikiwa zaidi sana katika wana ni Asheri;

DEU 33:24 Removed trailing space in p~: yeye na apate upendeleo kwa ndugu zake,

DEU 33:24 Removed trailing space in p~: yeye na anawe miguu yake kwenye mafuta.

DEU 33:25 Removed trailing space in v~: Makomeo ya malango yako yawe chuma na shaba,

DEU 33:25 Removed trailing space in p~: nazo nguvu zako zitakuwa sawa na siku zako.

DEU 33:26 Removed trailing space in v~: “Hakuna mwingine kama Mungu wa Yeshuruni,

DEU 33:26 Removed trailing space in p~: ambaye hupanda juu ya mbingu ili akusaidie,

DEU 33:26 Removed trailing space in p~: na juu ya mawingu katika utukufu wake.

DEU 33:27 Removed trailing space in v~: Mungu wa milele ni kimbilio lako,

DEU 33:27 Removed trailing space in p~: na chini kuna mikono ya milele.

DEU 33:27 Removed trailing space in p~: Atamfukuza adui yako mbele yako,

DEU 33:27 Removed trailing space in p~: akisema, ‘Mwangamize yeye!’

DEU 33:28 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli ataishi salama peke yake.

DEU 33:28 Removed trailing space in p~: Mzao wa Yakobo ni salama

DEU 33:28 Removed trailing space in p~: katika nchi ya nafaka na divai mpya,

DEU 33:28 Removed trailing space in p~: mahali ambapo mbingu

DEU 33:28 Removed trailing space in p~: hudondosha umande.

DEU 33:29 Removed trailing space in v~: Ee Israeli, wewe umebarikiwa!

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: Ni nani kama wewe,

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: taifa lililookolewa na \nd Bwana\nd*?

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngao yako na msaada wako,

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: na upanga wako uliotukuka.

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: Adui zako watatetemeka mbele yako,

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: nawe utapakanyaga

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: mahali pao pa juu.”\f + \fr 33:29 \ft Utapakanyaga mahali pao pa juu maana yake mtakanyaga juu ya miili yao.\f*

DEU 34:0 Extra space after chapter number

DEU 34:0 Removed trailing space in c: 34

DEU 34:0 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Mose

DEU 34:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaupanda mlima Nebo kutoka tambarare za Moabu mpaka kilele cha Pisga, ngʼambo ya Yeriko. Huko \nd Bwana\nd* akamwonyesha nchi yote: kutoka Gileadi mpaka Dani,

DEU 34:2 Removed trailing space in v~: Naftali yote, nchi ya Efraimu na Manase, nchi yote ya Yuda mpaka bahari ya magharibi,\f + \fr 34:2 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.\f*

DEU 34:3 Removed trailing space in v~: Negebu na nchi yote kuanzia Bonde la Yeriko, Mji wa Mitende, hadi Soari.

DEU 34:4 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia, “Hii ndiyo nchi niliyomwahidi Abrahamu na Isaki na Yakobo kwa kiapo niliposema, ‘Nitawapa wazao wako.’ Nimekuruhusu uione kwa macho yako, lakini hutavuka kuingia.”

DEU 34:5 Removed trailing space in v~: Naye Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* akafa huko Moabu, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

DEU 34:6 Removed trailing space in v~: Mungu akamzika huko Moabu, katika bonde mkabala na Beth-Peori, lakini hakuna ajuaye kaburi lake lilipo mpaka leo.

DEU 34:7 Removed trailing space in v~: Mose alikuwa na umri wa miaka mia moja na ishirini alipofariki; hata hivyo nguvu ya macho yake haikufifia wala mwili wake haukudhoofika.

DEU 34:8 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakaomboleza kwa ajili ya Mose kwenye tambarare za Moabu kwa siku thelathini, mpaka wakati wa kulia na kuomboleza ulipopita.

DEU 34:9 Removed trailing space in v~: Basi Yoshua mwana wa Nuni alijazwa roho ya hekima kwa sababu Mose alikuwa ameweka mikono yake juu yake. Kwa hiyo Waisraeli wakamsikiliza na wakafanya yale ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa amemwagiza Mose.

DEU 34:10 Removed trailing space in v~: Tangu wakati huo, katika Israeli hajainuka nabii mwingine kama Mose, ambaye \nd Bwana\nd* alimjua uso kwa uso,

DEU 34:11 Removed trailing space in v~: aliyetenda ishara zote zile za miujiza na maajabu ambayo \nd Bwana\nd* alimtuma kuyatenda huko Misri, yaani kwa Farao na maafisa wake wote na nchi yake yote.

DEU 34:12 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hakuna mtu yeyote aliyewahi kuonyesha nguvu nyingi ama kutenda matendo ya kutisha ambayo Mose aliwahi kuyafanya mbele ya Israeli yote.

USFMs

Newline Marker Errors

DEU 27:15 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:16 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:17 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:18 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:19 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:20 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:21 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:22 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:23 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:24 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:25 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:26 Marker 'pmr' has no content

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 19    c: 34    h: 1    id: 1    li1: 10    m: 1    mt1: 1    p: 266    pi3: 1    pm: 20    pmr: 12    q1: 123    q2: 154    r: 22    rem: 1    s1: 71    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 1699    v: 959  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    pi3: 1    m: 1    li1: 10    pmr: 12    b: 19    pm: 20    r: 22    c: 34    s1: 71    q1: 123    q2: 154    p: 266    v: 959    Total: 1699  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 8    nd*: 8    Total: 16  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 8    nd*: 8    Total: 16  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 34    Paragraphs: 266    Section Cross-References: 22    Verses: 959  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 22    Chapters: 34    Paragraphs: 266    Verses: 959  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 24    a: 320    A: 7    b: 47    B: 13    c: 4    C: 2    d: 25    D: 2    e: 52    E: 2    f: 13    F: 1    g: 19    H: 12    h: 35    i: 143    J: 1    j: 5    K: 59    k: 58    L: 5    l: 38    m: 46    M: 53    n: 61    N: 14    o: 55    O: 1    p: 5    P: 3    r: 25    s: 36    S: 14    Space: 198    T: 5    t: 43    Total: 1731    u: 132    U: 12    V: 9    v: 4    W: 31    w: 45    Y: 19    y: 11    z: 16    Z: 6  

Letter Counts (sorted by count)

 J: 1    O: 1    F: 1    D: 2    E: 2    C: 2    P: 3    c: 4    v: 4    L: 5    T: 5    p: 5    j: 5    Z: 6    A: 7    V: 9    y: 11    H: 12    U: 12    B: 13    f: 13    S: 14    N: 14    z: 16    Y: 19    g: 19    -: 24    r: 25    d: 25    W: 31    h: 35    s: 36    l: 38    t: 43    w: 45    m: 46    b: 47    e: 52    M: 53    o: 55    k: 58    K: 59    n: 61    u: 132    i: 143    Space: 198    a: 320    Total: 1731  

Punctuation Counts

 (: 22    ): 22    :: 25    ;: 3    Total: 72  

Punctuation Counts (sorted by count)

 ;: 3    (: 22    ): 22    :: 25    Total: 72  

Words

Possible Word Errors

DEU 32:15 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

DEU -1:6 Main Title 1:Kumbukumbu La Torati

Section Heading Lines

DEU 1:0Amri Ya Kuondoka Mlima Horebu
DEU 1:8Uteuzi Wa Viongozi
DEU 1:18Wapelelezi Wanatumwa
DEU 1:25Uasi Dhidi Ya \nd Bwana\nd*
DEU 2:0Kutangatanga Jangwani
DEU 2:25Kushindwa Kwa Sihoni Mfalme Wa Heshboni
DEU 3:0Kushindwa Kwa Ogu Mfalme Wa Bashani
DEU 3:11Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Ya Yordani
DEU 3:20Mose Akatazwa Kuvuka Yordani
DEU 4:0Waamriwa Utii
DEU 4:14Kuabudu Sanamu Kwakatazwa
DEU 4:31\nd Bwana\nd* Ndiye Mungu
DEU 4:40Miji Ya Makimbilio
DEU 4:43Utangulizi Wa Sheria
DEU 5:0Amri Kumi
DEU 5:22Woga Wa Watu Mlimani
DEU 6:0Mpende \nd Bwana\nd* Mungu Wako
DEU 7:0Kuyafukuza Mataifa
DEU 7:11Baraka Za Utiifu
DEU 8:0Usimsahau \nd Bwana\nd*
DEU 9:0Si Kwa Sababu Ya Haki Ya Waisraeli
DEU 9:6Ndama Ya Dhahabu
DEU 10:0Vibao Vingine Vya Amri Kumi
DEU 10:11Mche \nd Bwana\nd*
DEU 11:0Mpende Na Umtii \nd Bwana\nd*
DEU 12:0Mahali Pekee Pa Kuabudia
DEU 13:0Kuabudu Miungu Mingine
DEU 14:0Vyakula Vilivyo Najisi Na Vilivyo Safi
DEU 14:21Zaka
DEU 15:0Mwaka Wa Kufuta Madeni
DEU 15:11Kuwaacha Huru Watumwa
DEU 15:18Wazaliwa Wa Kwanza Wa Wanyama
DEU 16:0Pasaka
DEU 16:8Sikukuu Ya Mavuno
DEU 16:12Sikukuu Ya Vibanda
DEU 16:17Waamuzi
DEU 16:20Kuabudu Miungu Mingine
DEU 17:7Mahakama Za Sheria
DEU 17:13Mfalme
DEU 18:0Sadaka Kwa Makuhani Na Walawi
DEU 18:8Matendo Ya Machukizo
DEU 18:13Nabii
DEU 19:0Miji Ya Makimbilio
DEU 19:14Mashahidi
DEU 20:0Kwenda Vitani
DEU 21:0Upatanisho Kuhusu Mauaji
DEU 21:9Kuoa Mwanamke Mateka
DEU 21:14Haki Ya Mzaliwa Wa Kwanza
DEU 21:17Mwana Mwasi
DEU 21:21Sheria Mbalimbali
DEU 22:12Kukiuka Taratibu Za Ndoa
DEU 23:0Kutengwa Na Mkutano
DEU 23:8Unajisi Katika Kambi
DEU 23:14Sheria Mbalimbali
DEU 24:0Sheria Kuhusu Ndoa Na Talaka
DEU 26:0Malimbuko Na Zaka
DEU 26:15Fuata Maagizo Ya \nd Bwana\nd*
DEU 27:0Madhabahu Katika Mlima Ebali
DEU 27:8Laana Kutoka Mlima Ebali
DEU 28:0Baraka Za Utiifu
DEU 28:14Laana Kwa Kutokutii
DEU 29:0Kufanya Upya Agano
DEU 30:0Mafanikio Baada Ya Kumgeukia \nd Bwana\nd*
DEU 30:10Uzima Na Mauti
DEU 31:0Yoshua Kutawala Baada Ya Mose
DEU 31:8Kusoma Sheria
DEU 31:13Kuasi Kwa Waisraeli Kunatabiriwa
DEU 31:29Wimbo Wa Mose
DEU 32:47Mose Aelezwa Kuhusu Kifo Chake
DEU 33:0Mose Anayabariki Makabila
DEU 34:0Kifo Cha Mose

Section Cross-reference Lines

DEU 1:8(Kutoka 18:13-27)
DEU 1:18(Hesabu 13:1-33)
DEU 1:25(Hesabu 14:20-45)
DEU 2:25(Hesabu 21:21-30)
DEU 3:0(Hesabu 21:31-35)
DEU 3:11(Hesabu 32:1-42)
DEU 5:0(Kutoka 20:1-17)
DEU 5:22(Kutoka 20:18-21)
DEU 7:0(Kutoka 34:11-16)
DEU 7:11(Kumbukumbu 28:1-14)
DEU 9:0(Kutoka 32:1-35)
DEU 10:0(Kutoka 34:1-10)
DEU 14:0(Walawi 11:1-47)
DEU 15:0(Walawi 25:1-7)
DEU 15:11(Kutoka 21:1-18)
DEU 16:0(Kutoka 12:1-20)
DEU 16:8(Kutoka 34:22; Walawi 23:15-21)
DEU 16:12(Walawi 23:33-43)
DEU 19:0(Hesabu 35:9-34; Yoshua 20:1-9)
DEU 28:0(Walawi 26:3-13; Kumbukumbu 7:12-24)
DEU 28:14(Walawi 26:14-46)
DEU 31:0(Hesabu 27:12-23)

Notes

Footnote Lines

DEU 3:11+ \fr 3:11 \ft Dhiraa tisa ni sawa na mita 4.
DEU 3:11+ \fr 3:11 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
DEU 11:24+ \fr 11:24 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.
DEU 22:19+ \fr 22:19 \ft Shekeli 100 za fedha ni sawa na kilo moja.
DEU 22:29+ \fr 22:29 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.
DEU 23:4+ \fr 23:4 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
DEU 31:19+ \fr 31:19 \ft Wimbo huu hapa ina maana wimbo wa Mose.
DEU 32:15+ \fr 32:15 \ft Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israe…xt*).
DEU 32:44+ \fr 32:44 \ft Yoshua, yaani Yehoshea kwa Kiebrania, maana yake ni Ye…kozi.
DEU 33:5+ \fr 33:5 \ft Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli.
DEU 33:8+ \fr 33:8 \ft Thumimu na Urimu maana yake Nuru na Kweli; vifaa hivi v…isha.
DEU 33:29+ \fr 33:29 \ft Utapakanyaga mahali pao pa juu maana yake mtakanyaga j… yao.
DEU 34:2+ \fr 34:2 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 13    Footnotes: 13  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 13    Footnote leader '+': 13