Freely-Given.org Bible EXO Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in EXO -1:0

Showing 1 out of 1503 priority errors

Fix Text Errors

EXO -1:0 Removed trailing space in id: EXO - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

EXO -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

EXO -1:2 Removed trailing space in h: Kutoka

EXO -1:3 Removed trailing space in toc1: Kutoka

EXO -1:4 Removed trailing space in toc2: Kutoka

EXO -1:5 Removed trailing space in toc3: Kut

EXO -1:6 Removed trailing space in mt1: Kutoka

EXO 1:0 Extra space after chapter number

EXO 1:0 Removed trailing space in c: 1

EXO 1:0 Removed trailing space in s1: Waisraeli Waonewa

EXO 1:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli ambao walikwenda Misri na Yakobo, kila mmoja akiwa pamoja na jamaa yake:

EXO 1:2 Removed trailing space in v~: Reubeni, Simeoni, Lawi na Yuda;

EXO 1:3 Removed trailing space in v~: Isakari, Zabuloni na Benyamini;

EXO 1:4 Removed trailing space in v~: Dani na Naftali, Gadi na Asheri.

EXO 1:5 Removed trailing space in v~: Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini; Yosefu alikuwa tayari yuko Misri.

EXO 1:6 Removed trailing space in v~: Basi Yosefu na kaka zake wote na kizazi kile chote walikufa,

EXO 1:7 Removed trailing space in v~: lakini Waisraeli walikuwa wamezaana na kuongezeka sana, idadi yao ikawa kubwa mno, kwa hiyo wakaijaza nchi.

EXO 1:8 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme mpya ambaye hakufahamu habari za Yosefu akatawala Misri.

EXO 1:9 Removed trailing space in v~: Akawaambia watu wake, “Tazameni, Waisraeli wamekuwa wengi mno kwa idadi kutuliko sisi.

EXO 1:10 Removed trailing space in v~: Njooni, ni lazima tuwashughulikie kwa uangalifu, la sivyo watazidi kuwa wengi zaidi, na ikiwa patatokea vita, watajiunga na adui zetu kupigana dhidi yetu na kuondoka katika nchi hii.”

EXO 1:11 Removed trailing space in v~: Basi Wamisri wakaweka wasimamizi wa kuwasimamia na kuwatesa Waisraeli kwa kazi ngumu, nao wakajenga miji ya Pithomu na Ramesesi ya kuweka akiba ya Farao.

EXO 1:12 Removed trailing space in v~: Lakini walivyozidi kuteswa ndivyo walivyozidi kuongezeka na kuenea katika nchi; Wamisri wakawaogopa Waisraeli,

EXO 1:13 Removed trailing space in v~: kwa hiyo wakawatumikisha kwa ukatili.

EXO 1:14 Removed trailing space in v~: Wakafanya maisha ya Waisraeli kuwa machungu kwa kufanya kazi ngumu ya kutengeneza lami na kufyatua matofali, na kazi zote za mashambani; katika kazi zao zote ngumu, Wamisri waliwatumia Waisraeli kwa ukatili.

EXO 1:15 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri akawaambia wakunga wa Kimisri waliowazalisha wanawake wa Kiebrania, ambao majina yao ni Shifra na Pua,

EXO 1:16 Removed trailing space in v~: “Mtakapowazalisha wanawake wa Kiebrania, chunguzeni wanapojifungua. Ikiwa ni mtoto wa kiume, muueni, lakini ikiwa ni msichana, mwacheni aishi.”

EXO 1:17 Removed trailing space in v~: Lakini hao wakunga walimcha Mungu na hawakufanya kile mfalme wa Misri alichowaambia kufanya, bali wakawaacha watoto wa kiume waishi.

EXO 1:18 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme wa Misri akawaita hao wakunga, akawauliza, “Kwa nini mmefanya hivi? Mbona mmeacha watoto wa kiume waishi?”

EXO 1:19 Removed trailing space in v~: Wakunga wakamjibu Farao, “Wanawake wa Kiebrania ni tofauti na wanawake wa Kimisri; wao wana nguvu, nao hujifungua watoto kabla wakunga hawajafika.”

EXO 1:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu akawatendea mema wakunga hao. Waisraeli wakaongezeka na kuendelea kuwa wengi zaidi.

EXO 1:21 Removed trailing space in v~: Kwa vile hao wakunga walimcha Mungu, Mungu akawajalia kuwa na jamaa zao wenyewe.

EXO 1:22 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akatoa agizo hili kwa watu wake wote: “Kila mtoto wa kiume atakayezaliwa kwa Waebrania lazima atupwe katika Mto Naili, bali kila mtoto wa kike aachwe aishi.”

EXO 2:0 Extra space after chapter number

EXO 2:0 Removed trailing space in c: 2

EXO 2:0 Removed trailing space in s1: Kuzaliwa Kwa Mose

EXO 2:1 Removed trailing space in v~: Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,

EXO 2:2 Removed trailing space in v~: naye mwanamke huyo akapata mimba, akazaa mtoto wa kiume. Alipoona mtoto huyo ni mzuri, akamficha kwa miezi mitatu.

EXO 2:3 Removed trailing space in v~: Lakini alipoona hawezi kumficha zaidi, akamtengenezea kisafina cha mafunjo, akakipaka lami. Kisha akamweka huyo mtoto ndani yake, akakificha katikati ya matete kando ya ukingo wa Mto Naili.

EXO 2:4 Removed trailing space in v~: Dada ya huyo mtoto akasimama mbali ili kuona kitakachompata mtoto.

EXO 2:5 Removed trailing space in v~: Ndipo binti Farao akateremka mtoni Naili kuoga, nao wahudumu wake wakawa wanatembea ukingoni mwa mto. Binti mfalme akaona kisafina katikati ya manyasi, akamtuma mmoja wa watumwa wake wa kike kukichukua.

EXO 2:6 Removed trailing space in v~: Alifungua kisafina akaona mtoto ndani yake. Mtoto alikuwa akilia, akamhurumia. Akasema, “Huyu ni mmoja wa watoto wa Kiebrania.”

EXO 2:7 Removed trailing space in v~: Ndipo dada wa huyo mtoto akamuuliza binti Farao, “Je, niende nikakutafutie mmoja wa wanawake wa Kiebrania akulelee huyu mtoto?”

EXO 2:8 Removed trailing space in v~: Binti Farao akamjibu, “Ndiyo, nenda.” Yule msichana akaenda akamleta mama wa mtoto.

EXO 2:9 Removed trailing space in v~: Binti Farao akamwambia, “Mchukue huyu mtoto unisaidie kumlea, nami nitakulipa.” Basi yule mwanamke akamchukua mtoto na kumlea.

EXO 2:10 Removed trailing space in v~: Mtoto alipokua, akampeleka kwa binti Farao, naye akawa mwanawe. Akamwita jina lake Mose akisema, “Nilimtoa kwenye maji.”

EXO 2:10 Removed trailing space in s1: Mose Akimbilia Midiani

EXO 2:11 Removed trailing space in v~: Siku moja, baada ya Mose kukua, akaondoka kwenda walikokuwa watu wake, na akachunguza jinsi walivyokuwa wakifanya kazi ngumu. Akamwona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmojawapo wa watu wake.

EXO 2:12 Removed trailing space in v~: Mose akatazama huku na huko asione mtu yeyote, akamuua yule Mmisri, akamficha mchangani.

EXO 2:13 Removed trailing space in v~: Kesho yake akatoka, akaona Waebrania wawili wakipigana. Akamuuliza yule aliyekosa, “Mbona unampiga Mwebrania mwenzako?”

EXO 2:14 Removed trailing space in v~: Yule mtu akamjibu, “Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu? Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri?” Ndipo Mose akaogopa na kuwaza, “Jambo lile nililofanya lazima limefahamika.”

EXO 2:15 Removed trailing space in v~: Farao aliposikia jambo hili, alijaribu kumuua Mose, lakini Mose akamkimbia Farao na kwenda kuishi katika nchi ya Midiani, akaketi kando ya kisima.

EXO 2:16 Removed trailing space in v~: Kuhani wa Midiani alikuwa na binti saba, nao wakaja kisimani ili kuchota maji na kujaza hori kwa ajili ya kunyweshea mifugo ya baba yao.

EXO 2:17 Removed trailing space in v~: Baadhi ya wachungaji wakaja wakawafukuza hao wasichana. Ndipo Mose akainuka, akawasaidia na kunywesha mifugo yao.

EXO 2:18 Removed trailing space in v~: Hao wasichana waliporudi nyumbani kwa Reueli baba yao, akawauliza, “Imekuwaje leo mmerudi mapema hivyo?”

EXO 2:19 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Mmisri mmoja alituokoa kutoka mikononi mwa wachungaji. Pia mtu huyo alituchotea maji na kunywesha mifugo.”

EXO 2:20 Removed trailing space in v~: Akawauliza binti zake, “Yuko wapi? Mbona mmemwacha? Mkaribisheni ale chakula.”

EXO 2:21 Removed trailing space in v~: Mose akakubali kukaa kwa huyo mtu, ambaye alimpa Mose binti yake aliyeitwa Sipora amwoe.

EXO 2:22 Removed trailing space in v~: Sipora alizaa mtoto wa kiume, naye Mose akamwita Gershomu, akisema, “Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.”

EXO 2:23 Removed trailing space in v~: Baada ya muda mrefu, mfalme wa Misri akafa. Waisraeli wakalia kwa huzuni katika utumwa wao, walilia na kilio chao cha kutaka msaada kwa ajili ya utumwa kikamfikia Mungu.

EXO 2:24 Removed trailing space in v~: Mungu akasikia kilio chao cha huzuni, akakumbuka Agano alilofanya na Abrahamu pamoja na Isaki na Yakobo.

EXO 2:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu akawaangalia Waisraeli na kuwahurumia.

EXO 3:0 Extra space after chapter number

EXO 3:0 Removed trailing space in c: 3

EXO 3:0 Removed trailing space in s1: Mose Na Kichaka Kinachowaka Moto

EXO 3:1 Removed trailing space in v~: Basi Mose alikuwa anachunga mifugo ya Yethro mkwewe, kuhani wa Midiani. Mose akapeleka mifugo mbali nyuma ya jangwa, naye akafika Horebu, mlima wa Mungu.

EXO 3:2 Removed trailing space in v~: Huko malaika wa \nd Bwana\nd* akamtokea Mose katika mwali wa moto kutoka kichakani. Mose akaona kwamba ingawa kile kichaka kilikuwa kinawaka moto, kilikuwa hakiteketei.

EXO 3:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akawaza, “Nitageuka sasa nione kitu hiki cha ajabu, nami nione ni kwa nini kichaka hiki hakiteketei.”

EXO 3:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipoona kuwa amegeuka ili aone, Mungu akamwita kutoka ndani ya kile kichaka, “Mose! Mose!”

EXO 3:4 Removed trailing space in p~: Naye Mose akajibu, “Mimi hapa.”

EXO 3:5 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Usikaribie zaidi. Vua viatu vyako, kwa maana mahali unaposimama ni patakatifu.”

EXO 3:6 Removed trailing space in v~: Kisha akamwambia, “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo.” Mose aliposikia hayo, akafunika uso wake kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu.

EXO 3:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia, “Hakika nimeona mateso ya watu wangu katika Misri. Nimesikia kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao, nami naguswa na mateso yao.

EXO 3:8 Removed trailing space in v~: Basi nimeshuka niwaokoe kutoka mkono wa Wamisri, niwatoe na kuwapandisha kutoka nchi hiyo, niwapeleke katika nchi nzuri na kubwa, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

EXO 3:9 Removed trailing space in v~: Sasa kilio cha Waisraeli kimenifikia, nami nimeona jinsi Wamisri wanavyowatesa.

EXO 3:10 Removed trailing space in v~: Basi, sasa nenda. Ninakutuma kwa Farao ili kuwatoa watu wangu Waisraeli kutoka Misri.”

EXO 3:11 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamwambia Mungu, “Mimi ni nani hata niende kwa Farao kuwatoa Waisraeli nchini Misri?”

EXO 3:12 Removed trailing space in v~: Naye Mungu akasema, “Mimi nitakuwa pamoja nawe. Hii itakuwa ishara kwako kwamba ni Mimi nimekutuma: Hapo utakapokuwa umewatoa watu Misri, mtamwabudu Mungu katika mlima huu.”

EXO 3:13 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Mungu, “Ikiwa nitawaendea Waisraeli na kuwaambia, ‘Mungu wa baba zenu amenituma kwenu,’ nao wakiniuliza, ‘Jina lake ni nani?’ Nitawaambia nini?”

EXO 3:14 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia Mose, “\nd Mimi niko ambaye niko\nd*. Hivyo ndivyo utakavyowaambia Waisraeli: ‘\nd Mimi niko\nd* amenituma kwenu.’ ”

EXO 3:15 Removed trailing space in v~: Vilevile Mungu akamwambia Mose, “Waambie Waisraeli, ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo amenituma kwenu.’ Hili ndilo Jina langu milele, Jina ambalo mtanikumbuka kwalo kutoka kizazi hadi kizazi.

EXO 3:16 Removed trailing space in v~: “Nenda, ukawakusanye wazee wa Israeli, uwaambie, ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo, alinitokea akaniambia: Nimewatazama, nami nimeona mliyofanyiwa katika Misri.

EXO 3:17 Removed trailing space in v~: Nami nimeahidi kuwapandisha kutoka mateso yenu katika nchi ya Misri, niwapeleke nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, nchi itiririkayo maziwa na asali.’

EXO 3:18 Removed trailing space in v~: “Wazee wa Israeli watakusikiliza. Kisha wewe na wazee mtakwenda kwa mfalme wa Misri na kumwambia, ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania ametutokea. Turuhusu twende safari ya siku tatu huko jangwani kutoa dhabihu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wetu.’

EXO 3:19 Removed trailing space in v~: Lakini nafahamu kwamba mfalme wa Misri hatawaruhusu kwenda, mpaka mkono wenye nguvu umlazimishe.

EXO 3:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitaunyoosha mkono wangu na kuwapiga Wamisri kwa maajabu yote nitakayofanya miongoni mwao. Baada ya hayo, atawaruhusu mwondoke.

EXO 3:21 Removed trailing space in v~: “Nami nitawapa hawa watu upendeleo mbele ya Wamisri, kwa hiyo mtakapoondoka nchini hamtaondoka mikono mitupu.

EXO 3:22 Removed trailing space in v~: Kila mwanamke Mwisraeli atamwomba jirani yake Mmisri na mwanamke yeyote anayeishi nyumbani kwake ampe vyombo vya fedha, dhahabu na nguo, ambavyo mtawavika wana wenu na binti zenu. Hivyo mtawateka nyara Wamisri.”

EXO 4:0 Extra space after chapter number

EXO 4:0 Removed trailing space in c: 4

EXO 4:0 Removed trailing space in s1: Ishara Za Mose

EXO 4:1 Removed trailing space in v~: Mose akamjibu, “Itakuwaje kama hawataniamini au kunisikiliza, waseme, ‘\nd Bwana\nd* hakukutokea’?”

EXO 4:2 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia, “Ni nini hicho kilicho mkononi mwako?”

EXO 4:2 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Fimbo.”

EXO 4:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Itupe chini.”

EXO 4:3 Removed trailing space in p~: Mose akaitupa chini hiyo fimbo nayo ikawa nyoka, naye akaikimbia.

EXO 4:4 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia, “Nyoosha mkono wako umkamate mkiani.” Basi Mose akanyoosha mkono akamkamata yule nyoka, naye akabadilika tena kuwa fimbo mkononi mwake.

EXO 4:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Hivi ndivyo Waisraeli watakavyoamini kuwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo, amekutokea wewe.”

EXO 4:6 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia, “Weka mkono wako ndani ya joho lako.” Basi Mose akaweka mkono wake ndani ya joho lake, naye alipoutoa, ulikuwa na ukoma, mweupe kama theluji.

EXO 4:7 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Sasa urudishe tena huo mkono ndani ya joho lako.” Basi Mose akaurudisha mkono wake ndani ya joho lake na alipoutoa, ulikuwa mzima, kama sehemu zingine za mwili wake.

EXO 4:8 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia, “Kama hawatakuamini wewe, au kutojali ishara ya kwanza, wataamini ishara ya pili.

EXO 4:9 Removed trailing space in v~: Lakini kama hawataamini ishara hizi mbili au hawatawasikiliza ninyi, chukua kiasi cha maji kutoka Mto Naili uyamimine juu ya ardhi kavu. Maji mtakayotoa mtoni yatakuwa damu juu ya ardhi.”

EXO 4:10 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Ee Bwana, kamwe sijapata kuwa msemaji kwa ufasaha wakati uliopita wala tangu ulipoanza kuzungumza na mtumishi wako. Ulimi wangu ni mzito kuzungumza.”

EXO 4:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia, “Ni nani aliyempa mwanadamu kinywa? Ni nani aliyemfanya mtu kuwa kiziwi au bubu? Ni nani anayempa mtu kuona au upofu? Je, si mimi, \nd Bwana\nd*?

EXO 4:12 Removed trailing space in v~: Sasa nenda, nitakusaidia kusema, nami nitakufundisha jambo la kusema.”

EXO 4:13 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akasema, “Ee Bwana, tafadhali mtume mtu mwingine kufanya kazi hiyo.”

EXO 4:14 Removed trailing space in v~: Ndipo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Mose, akamwambia, “Vipi kuhusu ndugu yako, Aroni Mlawi? Ninajua yeye anaweza kuzungumza vizuri. Naye yuko tayari njiani kukulaki, na moyo wake utafurahi wakati atakapokuona.

EXO 4:15 Removed trailing space in v~: Utazungumza naye na kuweka maneno kinywani mwake. Nitawasaidia ninyi wawili kusema, nami nitawafundisha jambo la kufanya.

EXO 4:16 Removed trailing space in v~: Aroni ataongea na watu badala yako na itakuwa kwamba yeye amekuwa kinywa chako nawe utakuwa kama Mungu kwake.

EXO 4:17 Removed trailing space in v~: Lakini chukua fimbo hii mkononi mwako ili uweze kuitumia kufanya ishara hizo za ajabu.”

EXO 4:17 Removed trailing space in s1: Mose Anarudi Misri

EXO 4:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akarudi kwa Yethro mkwewe akamwambia, “Niruhusu nirudi kwa watu wangu Misri kuona kama yuko hata mmoja wao ambaye bado anaishi.”

EXO 4:18 Removed trailing space in p~: Yethro akamwambia, “Nenda, nami nakutakia mema.”

EXO 4:19 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose huko Midiani, “Rudi Misri kwa maana watu wote waliotaka kukuua wamekufa.”

EXO 4:20 Removed trailing space in v~: Basi Mose akamchukua mkewe na wanawe, akawapandisha juu ya punda na kuanza safari kurudi Misri. Naye akaichukua ile fimbo ya Mungu mkononi mwake.

EXO 4:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Utakaporudi Misri, hakikisha kwamba utafanya mbele ya Farao maajabu yote niliyokupa uwezo wa kuyafanya. Lakini nitafanya moyo wake kuwa mgumu ili kwamba asiwaruhusu watu waende.

EXO 4:22 Removed trailing space in v~: Kisha mwambie Farao, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Israeli ni mwanangu mzaliwa wa kwanza,

EXO 4:23 Removed trailing space in v~: nami nilikuambia, “Ruhusu mwanangu aondoke, ili aweze kuniabudu mimi.” Lakini ukakataa kumruhusu kwenda, basi nitaua mwana wako mzaliwa wa kwanza.’ ”

EXO 4:24 Removed trailing space in v~: Mose alipokuwa mahali pa kulala wageni akiwa njiani kurudi Misri, \nd Bwana\nd* akakutana naye, akataka kumuua.

EXO 4:25 Removed trailing space in v~: Lakini Sipora akachukua jiwe gumu, akakata govi la mwanawe na kugusa nalo miguu ya Mose. Sipora akasema, “Hakika wewe ni bwana arusi wa damu kwangu.”

EXO 4:26 Removed trailing space in v~: Sipora alipomwita Mose, “Bwana arusi wa damu,” alikuwa anamaanisha ile tohara. Baada ya hayo \nd Bwana\nd* akamwacha.

EXO 4:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni, “Nenda jangwani ukamlaki Mose.” Basi akakutana na Mose kwenye mlima wa Mungu, akambusu.

EXO 4:28 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia Aroni kila kitu \nd Bwana\nd* alichomtuma kusema, vilevile habari za ishara na maajabu alizokuwa amemwamuru kufanya.

EXO 4:29 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakawakusanya wazee wote wa Waisraeli,

EXO 4:30 Removed trailing space in v~: naye Aroni akawaambia kila kitu \nd Bwana\nd* alichokuwa amemwambia Mose. Pia akafanya ishara mbele ya watu,

EXO 4:31 Removed trailing space in v~: nao wakaamini. Nao waliposikia kuwa \nd Bwana\nd* anajishughulisha nao, na kwamba ameona mateso yao, walisujudu na kuabudu.

EXO 5:0 Extra space after chapter number

EXO 5:0 Removed trailing space in c: 5

EXO 5:0 Removed trailing space in s1: Matofali Bila Nyasi

EXO 5:1 Removed trailing space in v~: Baadaye Mose na Aroni wakaenda kwa Farao, wakamwambia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Waruhusu watu wangu waende, ili waweze kunifanyia sikukuu huko jangwani.’ ”

EXO 5:2 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “Huyo \nd Bwana\nd* ni nani, hata nimtii na kuruhusu Israeli uende? Simjui huyo \nd Bwana\nd* wala sitawaruhusu Israeli waende.”

EXO 5:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakasema, “Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Sasa turuhusu tuwe na safari ya siku tatu ya jangwani ili tukamtolee \nd Bwana\nd* Mungu wetu dhabihu, la sivyo aweza kutupiga sisi kwa tauni au kwa upanga.”

EXO 5:4 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme wa Misri akasema, “Mbona ninyi Mose na Aroni mnawachukua watu waache kazi zao? Rudini kwenye kazi zenu!”

EXO 5:5 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akasema, “Tazama, sasa watu hawa ni wengi, nanyi mnawazuia kufanya kazi.”

EXO 5:6 Removed trailing space in v~: Siku iyo hiyo Farao akatoa amri hii kwa viongozi wa watumwa na wasimamizi wa watu akawaambia:

EXO 5:7 Removed trailing space in v~: “Tangu sasa msiwape hawa watu nyasi za kutengenezea matofali. Wao wakusanye nyasi zao wenyewe.

EXO 5:8 Removed trailing space in v~: Lakini watakeni kutengeneza matofali kiasi kile kile cha mwanzo, kiwango kisipunguzwe. Wao ni wavivu, ndiyo sababu wanalia, wakisema, ‘Turuhusiwe twende kumtolea Mungu wetu dhabihu.’

EXO 5:9 Removed trailing space in v~: Fanyeni kazi kuwa ngumu zaidi kwa watu hao ili kwamba wakazane na kazi na kuacha kusikiliza uongo.”

EXO 5:10 Removed trailing space in v~: Basi viongozi wa watumwa na wasimamizi wakaenda kuwaambia watu, “Hivi ndivyo Farao asemavyo: ‘Sitawapa tena nyasi.

EXO 5:11 Removed trailing space in v~: Nendeni mkatafute nyasi wenyewe popote mnapoweza kuzipata, lakini kazi yenu haitapunguzwa hata kidogo.’ ”

EXO 5:12 Removed trailing space in v~: Basi watu wakatawanyika kote nchini Misri kukusanya mabua ya kutumia badala ya nyasi.

EXO 5:13 Removed trailing space in v~: Viongozi wa watumwa wakasisitiza, wakisema, “Timizeni kazi mnayotakiwa kwa kila siku, kama wakati ule mlipokuwa mkipewa nyasi.”

EXO 5:14 Removed trailing space in v~: Wasimamizi wa Kiisraeli waliochaguliwa na viongozi wa watumwa wa Farao walipigwa na kuulizwa, “Kwa nini hamkutimiza kiwango chenu cha kutengeneza matofali jana na leo, kama mwanzoni?”

EXO 5:15 Removed trailing space in v~: Ndipo wasimamizi wa Kiisraeli wakaenda kumlilia Farao, wakisema: “Mbona umewatendea watumishi wako hivi?

EXO 5:16 Removed trailing space in v~: Watumishi wako hawapewi nyasi, hata hivyo tumeambiwa, ‘Tengenezeni matofali!’ Watumishi wako wanapigwa, lakini kosa ni la watu wako wenyewe.”

EXO 5:17 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “Ninyi ni wavivu ndiyo sababu mnasema, ‘Turuhusu twende tukamtolee \nd Bwana\nd* dhabihu.’

EXO 5:18 Removed trailing space in v~: Sasa nendeni kazini. Hamtapewa nyasi zozote, nanyi ni lazima mtengeneze matofali.”

EXO 5:19 Removed trailing space in v~: Wasimamizi wa Kiisraeli walitambua kuwa wako taabani walipoambiwa, “Hamtakiwi kupunguza idadi ya matofali mliotakiwa kutengeneza kila siku.”

EXO 5:20 Removed trailing space in v~: Walipoondoka kwa Farao, wakawakuta Mose na Aroni wakingojea kukutana nao,

EXO 5:21 Removed trailing space in v~: wakawaambia Mose na Aroni, “\nd Bwana\nd* na awaangalie awahukumu ninyi! Mmetufanya tunuke kwa Farao na maafisa wake, nanyi mmeweka upanga mikononi mwao ili kutuua sisi.”

EXO 5:21 Removed trailing space in s1: Mungu Anaahidi Ukombozi

EXO 5:22 Removed trailing space in v~: Mose akarudi kwa \nd Bwana\nd* na kumwambia, “Ee Bwana, mbona umewaletea watu hawa taabu? Kwa nini basi ukanituma mimi?

EXO 5:23 Removed trailing space in v~: Tangu nilipomwendea Farao kuzungumza naye kwa jina lako, amewaletea taabu watu hawa, nawe kamwe hujawakomboa watu wako.”

EXO 6:0 Extra space after chapter number

EXO 6:0 Removed trailing space in c: 6

EXO 6:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Sasa utaona kitu nitakachomfanyia Farao: Kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawaachia watu waende; kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawafukuza waondoke nchini mwake.”

EXO 6:2 Removed trailing space in v~: Pia Mungu akamwambia Mose, “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EXO 6:3 Removed trailing space in v~: Nilimtokea Abrahamu, Isaki na Yakobo kama Mungu Mwenyezi,\f + \fr 6:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.

EXO 6:4 Removed trailing space in v~: Pia niliweka Agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, ambako waliishi kama wageni.

EXO 6:5 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, nimesikia kilio cha huzuni cha Waisraeli ambao Wamisri wamewatia utumwani, nami nimelikumbuka Agano langu.

EXO 6:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nami nitawatoa mtoke katika kongwa la Wamisri. Nitawaweka huru mtoke kuwa watumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa pamoja na matendo makuu ya hukumu.

EXO 6:7 Removed trailing space in v~: Nitawatwaa mwe watu wangu mwenyewe, nami nitakuwa Mungu wenu. Ndipo mtajua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu, niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisri.

EXO 6:8 Removed trailing space in v~: Nami nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EXO 6:9 Removed trailing space in v~: Mose akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini hawakumsikiliza kwa sababu ya maumivu makuu ya moyoni na utumwa wa kikatili.

EXO 6:10 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 6:11 Removed trailing space in v~: “Nenda, mwambie Farao mfalme wa Misri awaachie Waisraeli waondoke nchini mwake.”

EXO 6:12 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Ikiwa Waisraeli hawatanisikiliza, kwa nini yeye Farao anisikilize mimi, ambaye huzungumza kwa kigugumizi?”

EXO 6:12 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Jamaa Ya Mose Na Aroni

EXO 6:13 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akanena na Mose na Aroni kuhusu Waisraeli na Farao mfalme wa Misri, naye akawaamuru wawatoe Waisraeli kutoka Misri.

EXO 6:14 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao:

EXO 6:14 Removed trailing space in p~: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo za Reubeni.

EXO 6:15 Removed trailing space in v~: Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa walikuwa ndio koo za Simeoni.

EXO 6:16 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137.

EXO 6:17 Removed trailing space in v~: Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa Libni na Shimei.

EXO 6:18 Removed trailing space in v~: Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

EXO 6:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi.

EXO 6:19 Removed trailing space in p~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.

EXO 6:20 Removed trailing space in v~: Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137.

EXO 6:21 Removed trailing space in v~: Wana wa Ishari walikuwa Kora, Nefegi na Zikri.

EXO 6:22 Removed trailing space in v~: Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.

EXO 6:23 Removed trailing space in v~: Aroni akamwoa Elisheba binti wa Aminadabu ndugu yake Nashoni, naye akamzalia Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

EXO 6:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za Kora.

EXO 6:25 Removed trailing space in v~: Eleazari mwana wa Aroni akamwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi.

EXO 6:25 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa za Walawi, ukoo kwa ukoo.

EXO 6:26 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale ambao \nd Bwana\nd* aliwaambia, “Watoeni Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.”

EXO 6:27 Removed trailing space in v~: Ndio hao hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Mose na huyo Aroni.

EXO 6:27 Removed trailing space in s1: Aroni Kuzungumza Badala Ya Mose

EXO 6:28 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliponena na Mose huko Misri,

EXO 6:29 Removed trailing space in v~: akamwambia, “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*. Mwambie Farao mfalme wa Misri kila kitu nikuambiacho.”

EXO 6:30 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?”

EXO 7:0 Extra space after chapter number

EXO 7:0 Removed trailing space in c: 7

EXO 7:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu yako, atakuwa nabii wako.

EXO 7:2 Removed trailing space in v~: Utasema kila kitu nitakachokuagiza, naye Aroni ndugu yako atamwambia Farao awaachie Waisraeli watoke katika nchi yake.

EXO 7:3 Removed trailing space in v~: Lakini nitaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu. Ingawa nitazidisha ishara na maajabu katika Misri,

EXO 7:4 Removed trailing space in v~: hatawasikiliza. Kisha nitaupeleka mkono wangu juu ya Misri, na kwa matendo makuu ya hukumu nitavitoa vikundi vyangu, watu wangu Waisraeli.

EXO 7:5 Removed trailing space in v~: Nao Wamisri watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* nitakapounyoosha mkono wangu dhidi ya Misri na kuwatoa Waisraeli watoke humo.”

EXO 7:6 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakafanya sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyowaagiza.

EXO 7:7 Removed trailing space in v~: Mose alikuwa na umri wa miaka themanini na Aroni alikuwa na umri wa miaka themanini na mitatu walipozungumza na Farao.

EXO 7:7 Removed trailing space in s1: Fimbo Ya Aroni Yawa Nyoka

EXO 7:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni,

EXO 7:9 Removed trailing space in v~: “Farao atakapowaambia, ‘Fanyeni muujiza,’ basi mwambie Aroni, ‘Chukua fimbo yako na uitupe chini mbele ya Farao,’ nayo fimbo itakuwa nyoka.”

EXO 7:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao wakafanya sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyoagiza. Aroni akaitupa ile fimbo yake chini mbele ya Farao na maafisa wake, nayo ikawa nyoka.

EXO 7:11 Removed trailing space in v~: Farao naye akawaita watu wenye maarifa na wachawi na waganga wa Kimisri, nao wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao.

EXO 7:12 Removed trailing space in v~: Kila mmoja alitupa fimbo yake chini, nayo ikawa nyoka. Lakini fimbo ya Aroni ikazimeza zile fimbo zao.

EXO 7:13 Removed trailing space in v~: Hata hivyo moyo wa Farao ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni, sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

EXO 7:13 Removed trailing space in s1: Pigo La Kwanza: Damu

EXO 7:14 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Moyo wa Farao ni mgumu, anakataa kuwaachia watu kuondoka.

EXO 7:15 Removed trailing space in v~: Nenda kwa Farao asubuhi wakati anapokwenda mtoni. Ngoja ukingoni mwa Naili ili uonane naye, na uchukue mkononi mwako fimbo ile iliyobadilishwa kuwa nyoka.

EXO 7:16 Removed trailing space in v~: Kisha umwambie, ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania, amenituma nikuambie: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu jangwani. Lakini hadi sasa hujasikiliza.

EXO 7:17 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Kwa hili utajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*: Fimbo iliyo mkononi mwangu nitapiga nayo maji ya Naili nayo yatabadilika kuwa damu.

EXO 7:18 Removed trailing space in v~: Samaki waliomo katika Mto Naili watakufa, nao mto utanuka vibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji yake.’ ”

EXO 7:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Chukua ile fimbo yako unyooshe mkono wako juu ya maji ya Misri, juu ya chemchemi na mifereji, juu ya madimbwi na mabwawa yote,’ navyo vitabadilika kuwa damu. Damu itakuwa kila mahali katika Misri, hata kwenye vyombo vya miti na vya mawe.”

EXO 7:20 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakafanya kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amewaagiza. Akainua fimbo yake machoni pa Farao na maafisa wake na kuyapiga maji ya Mto Naili, na maji yote yakabadilika kuwa damu.

EXO 7:21 Removed trailing space in v~: Samaki katika Mto Naili wakafa, nao mto ukanuka vibaya sana kiasi kwamba Wamisri hawakuweza kunywa maji yake. Damu ilikuwa kila mahali katika nchi ya Misri.

EXO 7:22 Removed trailing space in v~: Lakini waganga wa Misri kwa kutumia siri ya uganga wao wakafanya vivyo hivyo, nao moyo wa Farao ukawa mgumu, hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

EXO 7:23 Removed trailing space in v~: Badala yake, Farao akageuka, akaenda kwenye jumba lake la kifalme, wala hakulitia hili moyoni.

EXO 7:24 Removed trailing space in v~: Nao Wamisri wote wakachimba kandokando ya Mto Naili kupata maji ya kunywa, kwa sababu hawakuweza kunywa maji ya mto.

EXO 7:24 Removed trailing space in s1: Pigo La Pili: Vyura

EXO 7:25 Removed trailing space in v~: Zilipita siku saba baada ya \nd Bwana\nd* kuyapiga maji ya Mto Naili.

EXO 8:0 Extra space after chapter number

EXO 8:0 Removed trailing space in c: 8

EXO 8:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.

EXO 8:2 Removed trailing space in v~: Kama ukikataa kuwaruhusu kuondoka, basi nitaipiga nchi yako yote kwa kuwaletea vyura.

EXO 8:3 Removed trailing space in v~: Mto Naili utafurika vyura. Watakuja kwenye jumba lako la kifalme na katika chumba chako cha kulala na kitandani mwako, katika nyumba za maafisa wako na kwa watu wako, vyura hao wataingia katika meko yenu na kwenye vyombo vya kukandia unga.

EXO 8:4 Removed trailing space in v~: Vyura watapanda juu yako, juu ya watu wako na maafisa wako wote.’ ”

EXO 8:5 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Nyoosha mkono wako ukiwa na ile fimbo yako juu ya vijito, mifereji na madimbwi, fanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’ ”

EXO 8:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Aroni akaunyoosha mkono wake juu ya maji ya Misri, nao vyura wakatokea na kuifunika nchi.

EXO 8:7 Removed trailing space in v~: Lakini waganga wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao, nao pia wakafanya vyura kuja juu ya nchi ya Misri.

EXO 8:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na kusema, “Mwombeni \nd Bwana\nd* awaondoe vyura kutoka kwangu na kwa watu wangu, nami nitawaachia watu wenu waende kumtolea \nd Bwana\nd* dhabihu.”

EXO 8:9 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Farao, “Ninakupa heshima ya kuamua ni wakati gani wa kukuombea wewe, maafisa wako na watu wako ili kwamba vyura watoke kwenu na kwenye nyumba zenu. Isipokuwa wale walio katika Mto Naili.”

EXO 8:10 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “Kesho.”

EXO 8:10 Removed trailing space in p~: Mose akamjibu, “Itakuwa kama unavyosema, ili upate kujua kwamba hakuna yeyote kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

EXO 8:11 Removed trailing space in v~: Vyura wataondoka kwako na katika nyumba zako, kwa maafisa wako na kwa watu wako, ila watabakia katika Mto Naili tu.”

EXO 8:12 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose na Aroni kuondoka kwa Farao, Mose akamlilia \nd Bwana\nd* kuhusu vyura aliokuwa amewaleta kwa Farao.

EXO 8:13 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akafanya lile Mose alilomwomba. Vyura wakafia ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani.

EXO 8:14 Removed trailing space in v~: Wakayakusanya malundo, nchi nzima ikanuka.

EXO 8:15 Removed trailing space in v~: Lakini Farao alipoona pametokea nafuu, akaushupaza moyo wake na hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

EXO 8:15 Removed trailing space in s1: Pigo La Tatu: Viroboto

EXO 8:16 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Nyoosha fimbo yako uyapige mavumbi ya ardhi,’ nayo nchi yote ya Misri mavumbi yatakuwa viroboto.”

EXO 8:17 Removed trailing space in v~: Wakafanya hivyo, Aroni aliponyoosha mkono wake wenye fimbo na kuyapiga mavumbi ya nchi, viroboto wakawajia watu na wanyama. Mavumbi yote katika nchi ya Misri yakawa viroboto.

EXO 8:18 Removed trailing space in v~: Lakini waganga walipojaribu kutengeneza viroboto kwa siri ya uganga wao, hawakuweza. Nao viroboto walikuwa juu ya watu na wanyama.

EXO 8:19 Removed trailing space in v~: Waganga wale wakamwambia Farao, “Hiki ni kidole cha Mungu.” Lakini moyo wa Farao ukawa mgumu naye hakuwasikiliza, kama vile \nd Bwana\nd* alivyosema.

EXO 8:19 Removed trailing space in s1: Pigo La Nne: Mainzi

EXO 8:20 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Amka mapema asubuhi na usimame mbele ya Farao wakati anapokwenda mtoni nawe umwambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.

EXO 8:21 Removed trailing space in v~: Kama hutawaachia watu wangu waondoke nitakupelekea makundi ya mainzi juu yako, kwa maafisa wako, kwa watu wako na kwenye nyumba zenu. Nyumba za Wamisri zitajazwa mainzi, hata na ardhi yote ya Misri.

EXO 8:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini siku ile nitafanya kitu tofauti katika nchi ya Gosheni, ambapo watu wangu wanaishi, hapatakuwepo na makundi ya mainzi, ili mpate kujua kwamba Mimi, \nd Bwana\nd*, niko katika nchi hii.

EXO 8:23 Removed trailing space in v~: Nitaweka tofauti kati ya watu wangu na watu wenu. Ishara hii ya ajabu itatokea kesho.’ ”

EXO 8:24 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akafanya hivyo. Makundi makubwa ya mainzi yalimiminika katika jumba la kifalme la Farao na katika nyumba za maafisa wake, pia nchi yote ya Misri ikaharibiwa na mainzi.

EXO 8:25 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na kuwaambia, “Nendeni mkamtolee Mungu wenu dhabihu katika nchi hii.”

EXO 8:26 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamwambia, “Hilo halitakuwa sawa. Dhabihu tutakazomtolea \nd Bwana\nd* Mungu wetu zitakuwa chukizo kwa Wamisri. Kama tukitoa dhabihu ambazo ni chukizo mbele yao, je, hawatatupiga mawe?

EXO 8:27 Removed trailing space in v~: Ni lazima twende mwendo wa siku tatu mpaka tufike jangwani ili tumtolee \nd Bwana\nd* Mungu wetu dhabihu, kama alivyotuagiza.”

EXO 8:28 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia, “Nitawaruhusu mwende kumtolea \nd Bwana\nd* Mungu wenu dhabihu huko jangwani, lakini hamna ruhusa kwenda mbali sana. Sasa mniombee.”

EXO 8:29 Removed trailing space in v~: Mose akajibu, “Mara tu nitakapoondoka, nitamwomba \nd Bwana\nd* na kesho mainzi yataondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake. Hakikisha tu kwamba Farao hatatenda kwa udanganyifu tena kwa kutokuwaachia watu waende kumtolea \nd Bwana\nd* dhabihu.”

EXO 8:30 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akamwacha Farao na kumwomba \nd Bwana\nd*,

EXO 8:31 Removed trailing space in v~: naye \nd Bwana\nd* akafanya lile Mose alilomwomba. Mainzi yakaondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake, wala hakuna hata inzi aliyebakia.

EXO 8:32 Removed trailing space in v~: Lakini wakati huu pia Farao akaushupaza moyo wake, wala hakuwaruhusu Waisraeli waondoke.

EXO 9:0 Extra space after chapter number

EXO 9:0 Removed trailing space in c: 9

EXO 9:0 Removed trailing space in s1: Pigo La Tano: Vifo Vya Mifugo

EXO 9:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania asemalo: “Waachie watu wangu waende ili wapate kuniabudu.”

EXO 9:2 Removed trailing space in v~: Kama ukikataa kuwaachia waende, nawe ukiendelea kuwashikilia,

EXO 9:3 Removed trailing space in v~: mkono wa \nd Bwana\nd* utaleta pigo baya kwa mifugo yako, juu ya farasi wako, punda, ngamia, ngʼombe wako, kondoo na mbuzi.

EXO 9:4 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* ataweka tofauti kati ya mifugo ya Israeli na ile ya Misri, kwamba hakuna mnyama wa Mwisraeli atakayekufa.’ ”

EXO 9:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaweka wakati na kusema, “Kesho \nd Bwana\nd* atalitenda hili katika nchi.”

EXO 9:6 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata \nd Bwana\nd* akalitenda: Mifugo yote ya Wamisri ikafa, lakini hakuna hata mnyama mmoja wa wana wa Israeli aliyekufa.

EXO 9:7 Removed trailing space in v~: Farao akatuma watu kuchunguza, nao wakakuta kuwa hakuna hata mnyama mmoja wa Waisraeli aliyekufa. Lakini moyo wa Farao haukukubali kuwaachia watu waende.

EXO 9:7 Removed trailing space in s1: Pigo La Sita: Majipu

EXO 9:8 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni, “Chukueni majivu ya tanuru, naye Mose ayarushe angani mbele ya Farao.

EXO 9:9 Removed trailing space in v~: Yatakuwa vumbi jepesi juu ya nchi yote ya Misri, pia yatatokea majipu yenye kufura juu ya watu na wanyama katika nchi yote.”

EXO 9:10 Removed trailing space in v~: Basi wakachukua majivu kwenye tanuru na kusimama mbele ya Farao. Mose akayarusha hewani, nayo majipu yenye kufura yakatokea miilini mwa watu na wanyama.

EXO 9:11 Removed trailing space in v~: Waganga hawakuweza kusimama mbele ya Mose kwa sababu ya majipu yale yaliyokuwa miilini mwao na juu ya miili ya Wamisri wote.

EXO 9:12 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni, sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwambia Mose.

EXO 9:12 Removed trailing space in s1: Pigo La Saba: Mvua Ya Mawe

EXO 9:13 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Amka mapema asubuhi, usimame mbele ya Farao, umwambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania: Waachie watu wangu waende, ili kwamba waweze kuniabudu,

EXO 9:14 Removed trailing space in v~: au wakati huu nitaleta mapigo yangu yenye nguvu dhidi yako, maafisa wako na watu wako, ili upate kujua kuwa hakuna mwingine kama Mimi katika dunia yote.

EXO 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mpaka sasa ningelikuwa nimenyoosha mkono wangu na kukupiga wewe na watu wako kwa pigo ambalo lingekufutilia mbali juu ya nchi.

EXO 9:16 Removed trailing space in v~: Lakini nimekuinua wewe kwa kusudi hili hasa, ili nipate kukuonyesha uwezo wangu, na ili Jina langu lipate kutangazwa duniani yote.

EXO 9:17 Removed trailing space in v~: Bado unaendelea kujiinua juu ya watu wangu, wala hutaki kuwaachia waende.

EXO 9:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kesho wakati kama huu nitaleta mvua mbaya sana ya mawe ambayo haijapata kunyesha katika nchi ya Misri, tangu siku ilipoumbwa mpaka leo.

EXO 9:19 Removed trailing space in v~: Sasa toa amri urudishe wanyama wote watoke malishoni na chochote ambacho kipo mashambani waje mpaka mahali pa usalama, kwa sababu mvua ya mawe itanyesha juu ya kila mtu na kila mnyama ambaye hajaletwa ndani ambao bado wako nje mashambani, nao watakufa.’ ”

EXO 9:20 Removed trailing space in v~: Wale maafisa wa Farao ambao waliliogopa neno la \nd Bwana\nd* wakafanya haraka kuwaleta watumwa wao na mifugo yao ndani.

EXO 9:21 Removed trailing space in v~: Lakini wale waliopuuza neno la \nd Bwana\nd* wakawaacha watumwa wao na mifugo yao shambani.

EXO 9:22 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako kuelekea angani ili kwamba mvua ya mawe inyeshe juu ya Misri yote, juu ya watu, wanyama na juu ya kila kitu kiotacho katika mashamba ya Misri.”

EXO 9:23 Removed trailing space in v~: Mose alipoinyoosha fimbo yake kuelekea angani, \nd Bwana\nd* akatuma ngurumo na mvua ya mawe, umeme wa radi ulimulika hadi nchi. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akaifanya mvua ya mawe kunyesha juu ya nchi ya Misri,

EXO 9:24 Removed trailing space in v~: mvua ya mawe ikanyesha na radi ikamulika pote. Ikawa dhoruba ya kutisha ambayo haijakuwako katika nchi ya Misri, tangu nchi hiyo iwe taifa.

EXO 9:25 Removed trailing space in v~: Mvua ya mawe ikaharibu kila kitu katika nchi ya Misri kilichokuwa katika mashamba, watu na wanyama, ikaharibu kila kitu kinachoota mashambani na kuvunja kila mti.

EXO 9:26 Removed trailing space in v~: Mahali pekee ambapo mvua ya mawe haikunyesha ni nchi ya Gosheni, ambako Waisraeli waliishi.

EXO 9:27 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akawaita Mose na Aroni akawaambia, “Wakati huu nimetenda dhambi. \nd Bwana\nd* ni mwenye haki, mimi na watu wangu ni wakosaji.

EXO 9:28 Removed trailing space in v~: Mwombeni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa tumepata ngurumo na mvua za mawe za kututosha. Nitawaachia mwondoke; hamtahitaji kungoja zaidi.”

EXO 9:29 Removed trailing space in v~: Mose akamjibu, “Nitakapokuwa nimetoka nje ya mji, nitanyoosha mikono yangu juu kumwomba \nd Bwana\nd*. Ngurumo zitakoma na hapatakuwepo mvua ya mawe tena, ili upate kujua kuwa, nchi ni mali ya \nd Bwana\nd*.

EXO 9:30 Removed trailing space in v~: Lakini ninajua kuwa wewe na maafisa wako bado hammwogopi \nd Bwana\nd* Mungu.”

EXO 9:31 Removed trailing space in v~: (Kitani na shayiri viliharibiwa, kwa kuwa shayiri ilikuwa na masuke, na kitani ilikuwa katika kutoa maua.

EXO 9:32 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, ngano na jamii nyingine ya ngano hazikuharibiwa kwa sababu zilikuwa hazijakomaa bado.)

EXO 9:33 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaondoka kwa Farao akaenda nje ya mji. Mose akanyoosha mikono yake kuelekea kwa \nd Bwana\nd*, ngurumo na mvua ya mawe vikakoma, mvua haikuendelea tena kunyesha nchini.

EXO 9:34 Removed trailing space in v~: Farao alipoona kwamba mvua ya mawe na ngurumo zimekoma, akafanya dhambi tena. Yeye na maafisa wake wakafanya mioyo yao kuwa migumu.

EXO 9:35 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo moyo wa Farao ukawa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waende, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema kupitia Mose.

EXO 10:0 Extra space after chapter number

EXO 10:0 Removed trailing space in c: 10

EXO 10:0 Removed trailing space in s1: Pigo La Nane: Nzige

EXO 10:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao, kwa kuwa nimeufanya moyo wake kuwa mgumu na mioyo ya maafisa wake ili kwamba nipate kutenda ishara hizi zangu za ajabu miongoni mwao

EXO 10:2 Removed trailing space in v~: ili upate kuwaeleza watoto wako na wajukuu wako jinsi nilivyowatendea Wamisri kwa ukali na jinsi nilivyofanya ishara zangu miongoni mwao, nanyi mpate kujua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EXO 10:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao na kumwambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania, asemalo: ‘Utaendelea hata lini kukataa kunyenyekea mbele yangu? Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.

EXO 10:4 Removed trailing space in v~: Kama ukikataa kuwaachia waende, kesho nitaleta nzige katika nchi yako.

EXO 10:5 Removed trailing space in v~: Nao watafunika uso wa ardhi hata usionekane. Watatafuna mabaki machache yaliyobakizwa baada ya ile mvua ya mawe, yaani pamoja na kila mti unaoota katika mashamba yenu.

EXO 10:6 Removed trailing space in v~: Nzige hao watajaza nyumba zako, za maafisa wako wote na za Wamisri wote. Jambo ambalo baba zenu wala babu zenu hawajapata kuona tangu siku ile walipoanza kuishi katika nchi hii mpaka leo hii.’ ” Ndipo Mose akageuka na kumwacha Farao.

EXO 10:7 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Farao wakamwambia, “Mpaka lini huyu mtu atakuwa tanzi kwetu? Waachie hao watu waende zao, ili wapate kumwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wao. Je, bado hutambui kuwa Misri imeangamia?”

EXO 10:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakaletwa kwa Farao. Farao akawaambia, “Nendeni, mkamwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Lakini ni nani hasa watakaokwenda?”

EXO 10:9 Removed trailing space in v~: Mose akajibu, “Tutakwenda na vijana wetu na wazee, pamoja na wana wetu na binti zetu, pia pamoja na kondoo zetu, ngʼombe, mbuzi, farasi na punda kwa sababu tutaadhimisha sikukuu kwa \nd Bwana\nd*.”

EXO 10:10 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “\nd Bwana\nd* awe pamoja nanyi, kama nikiwaruhusu mwondoke pamoja na wanawake wenu na watoto wenu! Ni wazi kwamba mna makusudi mabaya.

EXO 10:11 Removed trailing space in v~: La hasha! Wanaume peke yao na waende, wakamwabudu \nd Bwana\nd*, kwa kuwa hilo ndilo mmekuwa mkiomba.” Kwa hiyo Mose na Aroni wakaondolewa mbele ya Farao.

EXO 10:12 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya Misri ili kundi la nzige liweze kuingia juu ya nchi na kutafuna kila kitu kiotacho katika mashamba na kila kitu kilichosazwa na ile mvua ya mawe.”

EXO 10:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akanyoosha fimbo yake juu ya Misri, \nd Bwana\nd* akauleta upepo wa mashariki ukavuma katika nchi yote mchana wote na usiku kucha, kufikia asubuhi upepo ukawa umeleta nzige.

EXO 10:14 Removed trailing space in v~: Wakaivamia Misri yote na kukaa kila eneo la nchi kwa wingi. Kamwe hapajapata kuwepo pigo la nzige kama hilo, wala halitakuwepo tena.

EXO 10:15 Removed trailing space in v~: Wakafunika ardhi yote mpaka ardhi ikawa nyeusi. Wakatafuna kile chote kilichokuwa kimebakizwa na ile mvua ya mawe, kila kitu kiotacho mashambani pamoja na matunda kwenye miti. Hakuna kitu chochote cha kijani kilichosalia katika miti au mmea katika nchi yote ya Misri.

EXO 10:16 Removed trailing space in v~: Farao akawaita Mose na Aroni kwa haraka na kuwaambia, “Nimetenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu na dhidi yenu pia.

EXO 10:17 Removed trailing space in v~: Sasa unisamehe dhambi yangu mara moja tena na umwombe \nd Bwana\nd* Mungu wako aondoe pigo hili baya kwangu.”

EXO 10:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaondoka kwa Farao akamwomba \nd Bwana\nd*.

EXO 10:19 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akaugeuza upepo ukavuma kutoka magharibi, wenye nguvu nyingi, ambao uliwaondoa wale nzige na kuwapeleka kwenye Bahari ya Shamu. Hakuna nzige hata mmoja aliyebaki popote katika nchi ya Misri.

EXO 10:20 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke.

EXO 10:20 Removed trailing space in s1: Pigo La Tisa: Giza

EXO 10:21 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako kuelekea angani ili giza litande katika nchi ya Misri, giza ambalo watu wanaweza kulipapasa na kulihisi.”

EXO 10:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akaunyoosha mkono wake kuelekea angani, na giza nene likafunika pote katika nchi ya Misri kwa muda wa siku tatu.

EXO 10:23 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumwona mwenzake, wala kuondoka mahali alipokuwa kwa muda wa siku tatu. Lakini Waisraeli wote walikuwa na mwanga katika maeneo yao waliyokuwa wanaishi.

EXO 10:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwita Mose na kusema, “Nendeni, mkamwabudu \nd Bwana\nd*. Hata wanawake na watoto wenu mwaweza kwenda nao pia, lakini kondoo, mbuzi na ngʼombe wenu waacheni.”

EXO 10:25 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akasema, “Huna budi kuturuhusu tuwe na dhabihu na sadaka za kuteketezwa za kutoa mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

EXO 10:26 Removed trailing space in v~: Sisi ni lazima tuondoke na mifugo yetu pia, wala hakuna ukwato utakaoachwa nyuma. Inatupasa kutumia baadhi ya hiyo mifugo katika kumwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kwa kuwa mpaka tutakapofika huko hatutakuwa tumefahamu ni nini tutakachotumia katika kumwabudu \nd Bwana\nd*.”

EXO 10:27 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, hakuwa radhi kuwaachia waondoke.

EXO 10:28 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia Mose, “Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso wangu utakufa.”

EXO 10:29 Removed trailing space in v~: Mose akamjibu, “Iwe kama ulivyosema! Kamwe sitauona uso wako tena.”

EXO 11:0 Extra space after chapter number

EXO 11:0 Removed trailing space in c: 11

EXO 11:0 Removed trailing space in s1: Pigo La Kumi: Kuuawa Wazaliwa Wa Kwanza

EXO 11:1 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa.

EXO 11:2 Removed trailing space in v~: Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.”

EXO 11:3 Removed trailing space in v~: (\nd Bwana\nd* akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)

EXO 11:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.

EXO 11:5 Removed trailing space in v~: Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.

EXO 11:6 Removed trailing space in v~: Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena.

EXO 11:7 Removed trailing space in v~: Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa \nd Bwana\nd* huweka tofauti kati ya Misri na Israeli.

EXO 11:8 Removed trailing space in v~: Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.

EXO 11:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”

EXO 11:10 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini \nd Bwana\nd* akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.

EXO 12:0 Extra space after chapter number

EXO 12:0 Removed trailing space in c: 12

EXO 12:0 Removed trailing space in s1: Pasaka

EXO 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni katika nchi ya Misri,

EXO 12:2 Removed trailing space in v~: “Mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi kwenu, yaani mwezi wa kwanza wa mwaka wenu.

EXO 12:3 Removed trailing space in v~: Iambie jumuiya yote ya Israeli kwamba katika siku ya kumi ya mwezi huu, kila mtu atatwaa mwana-kondoo mmoja kwa ajili ya familia yake, mmoja kwa kila nyumba.

EXO 12:4 Removed trailing space in v~: Ikiwa nyumba yoyote ina watu wachache wasioweza kumaliza huyo mwana-kondoo mzima, nyumba hiyo itabidi ishirikiane na nyumba ya jirani wa karibu, baada ya kuzingatia idadi ya watu waliomo. Mtaangalia ni kiasi gani cha nyama kitahitajika kulingana na mahitaji ya kila mtu.

EXO 12:5 Removed trailing space in v~: Wanyama mtakaowachagua, lazima wawe wa kiume wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari, mwaweza kuwachukua kati ya kondoo au mbuzi.

EXO 12:6 Removed trailing space in v~: Tunzeni wanyama hao mpaka siku ya kumi na nne ya mwezi, ambapo lazima watu wa jumuiya yote ya Israeli wachinje wanyama hao wakati wa jioni.

EXO 12:7 Removed trailing space in v~: Ndipo watakapochukua baadhi ya hiyo damu na kuipaka kwenye vizingiti vya juu na miimo ya milango ya nyumba ambamo watakula wana-kondoo hao.

EXO 12:8 Removed trailing space in v~: Usiku huo huo watakula nyama iliyookwa kwenye moto, pamoja na mboga chungu za majani na mikate isiyotiwa chachu.

EXO 12:9 Removed trailing space in v~: Msile nyama mbichi wala iliyochemshwa, lakini iwe imeokwa kwenye moto, kichwa, miguu na nyama zake za ndani.

EXO 12:10 Removed trailing space in v~: Msibakize nyama yoyote mpaka asubuhi; nazo kama zitabakia mpaka asubuhi, lazima mziteketeze kwa moto.

EXO 12:11 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo mtakavyokula: Mtajifunga mikanda viunoni, mtakuwa mmevaa viatu vyenu miguuni na kushika fimbo zenu mkononi mwenu. Mle kwa haraka; hii ni Pasaka ya \nd Bwana\nd*.

EXO 12:12 Removed trailing space in v~: “Usiku huo huo nitapita katika nchi yote ya Misri na kumuua kila mzaliwa wa kwanza, wa wanadamu na wa wanyama, nami nitaihukumu miungu yote ya Misri. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EXO 12:13 Removed trailing space in v~: Damu itakuwa ishara kwa ajili yenu ya kuonyesha nyumba ambazo mtakuwamo; nami nitakapoiona damu, nitapita juu yenu. Hakuna pigo la uharibifu litakalowagusa ninyi nitakapoipiga Misri.

EXO 12:14 Removed trailing space in v~: “Siku hii itakuwa kumbukumbu kwenu, mtaiadhimisha kuwa sikukuu kwa \nd Bwana\nd*, katika vizazi vyenu vyote: mtaishika kuwa amri ya kudumu.

EXO 12:15 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu. Katika siku ya kwanza mtaondoa chachu yote ndani ya nyumba zenu, kwa maana yeyote atakayekula chochote chenye chachu kuanzia siku ya kwanza hadi ya saba lazima akatiliwe mbali kutoka Israeli.

EXO 12:16 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, na kusanyiko jingine katika siku ya saba. Katika siku hizo msifanye kazi kamwe isipokuwa kutayarisha chakula cha kila mmoja; hilo ndilo tu mtakalofanya.

EXO 12:17 Removed trailing space in v~: “Mtaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, kwa sababu hiyo ndiyo siku ile niliyovitoa vikosi vyenu kutoka Misri. Mtaiadhimisha siku hii kwa vizazi vyenu vyote kuwa amri ya kudumu.

EXO 12:18 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa kwanza mtakula mikate isiyotiwa chachu, kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne hadi jioni ya siku ya ishirini na moja.

EXO 12:19 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa siku saba isionekane chachu yoyote katika nyumba zenu. Yeyote alaye chochote chenye chachu ndani yake, lazima akatiliwe mbali kutoka jumuiya ya Israeli, akiwa ni mgeni au mzawa.

EXO 12:20 Removed trailing space in v~: Msile chochote kilichotiwa chachu. Popote muishipo, ni lazima mle mikate isiyotiwa chachu.”

EXO 12:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akawaita wazee wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni mara moja mkachague wanyama kwa ajili ya jamaa zenu, mkachinje mwana-kondoo wa Pasaka.

EXO 12:22 Removed trailing space in v~: Chukueni kitawi cha hisopo, kichovyeni kwenye damu iliyopo kwenye sinia na kuipaka baadhi ya hiyo damu kwenye vizingiti na kwenye miimo yote miwili ya milango. Mtu yeyote asitoke nje ya mlango wa nyumba yake mpaka asubuhi.

EXO 12:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* apitapo katika nchi yote kuwapiga Wamisri, ataiona damu juu ya vizingiti na kwenye miimo ya milango, naye atapita juu, wala hatamruhusu mwangamizi kuingia katika nyumba zenu na kuwapiga ninyi.

EXO 12:24 Removed trailing space in v~: “Shikeni maagizo haya yawe kanuni ya kudumu kwenu na kwa ajili ya wazao wenu.

EXO 12:25 Removed trailing space in v~: Mtakapoingia katika nchi \nd Bwana\nd* atakayowapa kama alivyoahidi, shikeni desturi hii.

EXO 12:26 Removed trailing space in v~: Watoto wenu watakapowauliza, ‘Sikukuu hii ina maana gani kwenu?’

EXO 12:27 Removed trailing space in v~: Basi waambieni, ‘Hii ni dhabihu ya Pasaka kwa \nd Bwana\nd*, ambaye alipita juu ya nyumba za Waisraeli katika nchi ya Misri na hakudhuru nyumba zetu alipowapiga Wamisri.’ ” Ndipo watu wa Israeli waliposujudu na kuabudu.

EXO 12:28 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose na Aroni.

EXO 12:29 Removed trailing space in v~: Ilipofika usiku wa manane, \nd Bwana\nd* akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, mrithi wa kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa mfungwa, aliyekuwa gerezani, na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yote pia.

EXO 12:30 Removed trailing space in v~: Farao, na maafisa wake wote, na Wamisri wote wakaamka usiku, na kulikuwa na kilio kikubwa katika nchi ya Misri, kwa kuwa haikuwepo nyumba ambayo hakufa mtu.

EXO 12:30 Removed trailing space in s1: Kutoka

EXO 12:31 Removed trailing space in v~: Wakati huo Farao akawaita Mose na Aroni na kuwaambia, “Ondokeni! Tokeni kwa watu wangu, ninyi pamoja na Waisraeli! Nendeni mkamwabudu \nd Bwana\nd* kama mlivyoomba.

EXO 12:32 Removed trailing space in v~: Chukueni makundi yenu ya kondoo na mbuzi pamoja na ngʼombe, kama mlivyosema, nanyi mwende zenu. Nanyi pia mnibariki.”

EXO 12:33 Removed trailing space in v~: Wamisri wakawahimiza Waisraeli waondoke kwa haraka na kuacha nchi yao. Kwa kuwa walisema, “La sivyo, tutakufa wote!”

EXO 12:34 Removed trailing space in v~: Hivyo watu wakachukua donge lao la unga kabla ya kutiwa chachu, wakaweka ndani ya mabakuli ya kukandia, wakayaviringisha katika vitambaa na kuyabeba mabegani mwao.

EXO 12:35 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya kama Mose alivyowaelekeza, nao wakawaomba Wamisri wawapatie vitu vya fedha, dhahabu na nguo.

EXO 12:36 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* alikuwa amewafanya Wamisri kuwa wakarimu kwa hawa watu, wakawapatia Waisraeli vile walivyotaka kwao; kwa hiyo wakawateka nyara Wamisri.

EXO 12:37 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesesi mpaka Sukothi. Walikuwepo wanaume wapatao 600,000 waendao kwa miguu bila kuhesabu wanawake na watoto.

EXO 12:38 Removed trailing space in v~: Watu wengine wengi wakafuatana nao, pamoja na makundi makubwa ya mifugo wakiwemo kondoo, mbuzi na ngʼombe.

EXO 12:39 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza maandazi yasiyotiwa chachu kwa ule unga uliokandwa waliokuwa wameutoa Misri, donge hilo la unga halikuwa limetiwa chachu, kwa kuwa walikuwa wameondolewa Misri kwa haraka nao hawakuwa na muda wa kuandaa chakula chao.

EXO 12:40 Removed trailing space in v~: Waisraeli walikuwa wameishi Misri kwa muda wa miaka 430.

EXO 12:41 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni siku ya mwisho ya hiyo miaka 430, vikosi vyote vya \nd Bwana\nd* vilipokuwa vimeondoka Misri.

EXO 12:42 Removed trailing space in v~: Kwa sababu \nd Bwana\nd* aliutenga usiku ule ili kuwatoa Waisraeli katika nchi ya Misri, katika usiku huu Waisraeli wote wanapaswa kuadhimisha kwa kukesha ili kumheshimu \nd Bwana\nd* katika vizazi vijavyo.

EXO 12:42 Removed trailing space in s1: Masharti Kwa Ajili Ya Pasaka

EXO 12:43 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni, “Haya ndiyo masharti kwa ajili ya Pasaka:

EXO 12:43 Removed trailing space in p~: “Mgeni hataruhusiwa kula Pasaka.

EXO 12:44 Removed trailing space in v~: Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,

EXO 12:45 Removed trailing space in v~: lakini kibarua yeyote au msafiri haruhusiwi kula.

EXO 12:46 Removed trailing space in v~: “Sharti iliwe ndani ya nyumba; msichukue nyama yoyote nje ya nyumba hiyo. Msiuvunje mfupa wowote.

EXO 12:47 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Israeli ni lazima waiadhimishe Pasaka hiyo.

EXO 12:48 Removed trailing space in v~: “Mgeni aishiye miongoni mwenu ambaye anataka kuadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd* ni lazima wanaume wote waliomo nyumbani mwake wawe wametahiriwa, ndipo aweze kushiriki kama mzawa. Mwanaume yeyote asiyetahiriwa haruhusiwi kuila.

EXO 12:49 Removed trailing space in v~: Sheria iyo hiyo itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”

EXO 12:50 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote walifanya kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose na Aroni.

EXO 12:51 Removed trailing space in v~: Siku ile ile \nd Bwana\nd* akawatoa Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.

EXO 13:0 Extra space after chapter number

EXO 13:0 Removed trailing space in c: 13

EXO 13:0 Removed trailing space in s1: Kuwekwa Wakfu Kwa Wazaliwa Wa Kwanza

EXO 13:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 13:2 Removed trailing space in v~: “Niwekeeni wakfu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume. Kila mtoto wa kwanza aliye kifungua tumbo miongoni mwa Waisraeli ni mali yangu, akiwa wa mwanadamu au wa mnyama.”

EXO 13:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akawaambia watu, “Ikumbukeni siku hii, siku ambayo mlitoka katika nchi ya Misri, katika nchi ya utumwa, kwa sababu \nd Bwana\nd* aliwatoa humo kwa mkono wenye nguvu. Msile chochote kilichotiwa chachu.

EXO 13:4 Removed trailing space in v~: Leo, katika mwezi wa Abibu,\f + \fr 13:4 \ft Abibu ni jina la mwezi wa kwanza kwa Wayahudi, ambao ni mwezi wa nne katika kalenda yetu.\f* mnatoka.

EXO 13:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakapokuleta katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Wahivi na Wayebusi, nchi aliyowaapia baba zako kukupa, nchi itiririkayo maziwa na asali, utaiadhimisha sikukuu hii katika mwezi huu:

EXO 13:6 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu na katika siku ya saba utamfanyia \nd Bwana\nd* sikukuu.

EXO 13:7 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu, pasionekane kitu chochote kilicho na chachu miongoni mwako, wala chachu yoyote isionekane popote ndani ya mipaka yako.

EXO 13:8 Removed trailing space in v~: Siku ile utamwambia mwanao, ‘Nafanya hivi kwa sababu ya jambo ambalo \nd Bwana\nd* alinitendea nilipotoka katika nchi ya Misri.’

EXO 13:9 Removed trailing space in v~: Adhimisho hili, litakuwa kama alama kwenye mkono wako na ukumbusho katika paji lako la uso, kwamba sheria ya \nd Bwana\nd* inapaswa iwe kinywani mwako. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.

EXO 13:10 Removed trailing space in v~: Ni lazima uishike amri hii kwa wakati uliopangwa mwaka baada ya mwaka.

EXO 13:11 Removed trailing space in v~: “Baada ya \nd Bwana\nd* kukuingiza katika nchi ya Wakanaani na kukupa nchi hiyo, kama alivyokuahidi kwa kiapo na kwa baba zako,

EXO 13:12 Removed trailing space in v~: inakupasa kumtolea \nd Bwana\nd* mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo. Wazaliwa wote wa kwanza wa kiume wa mifugo yako ni mali ya \nd Bwana\nd*.

EXO 13:13 Removed trailing space in v~: Kila mzaliwa wa kwanza wa punda utamkomboa kwa mwana-kondoo, lakini kama hukumkomboa, utamvunja shingo yake. Kila mzaliwa wa kwanza mwanaume miongoni mwa wana wenu utamkomboa.

EXO 13:14 Removed trailing space in v~: “Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye nguvu \nd Bwana\nd* alitutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.

EXO 13:15 Removed trailing space in v~: Farao alipokataa kwa ukaidi kuturuhusu kuondoka, \nd Bwana\nd* aliua kila mzaliwa wa kwanza wa Wamisri, mwanadamu na wa mnyama. Hii ndiyo sababu ninatoa dhabihu kwa \nd Bwana\nd* mzaliwa wa kwanza wa kiume, wa kila tumbo na kumkomboa kila mzaliwa wa kwanza wa wana wangu.’

EXO 13:16 Removed trailing space in v~: Jambo hili litakuwa kama ishara kwenye mkono wako na kama alama kwenye paji la uso wako, kwamba \nd Bwana\nd* alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.”

EXO 13:16 Removed trailing space in s1: Nguzo Ya Wingu Na Moto

EXO 13:17 Removed trailing space in v~: Farao alipowaachia watu waende, Mungu hakuwaongoza kufuata njia ipitiayo katika nchi ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa fupi zaidi. Kwa maana Mungu alisema, “Wakikabiliana na vita, wanaweza kubadili mawazo yao na kurudi Misri.”

EXO 13:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu akawaongoza watu kupitia njia ya kuzunguka kupitia jangwani, kuelekea Bahari ya Shamu. Waisraeli walipanda kutoka nchi ya Misri wakiwa wamejiandaa kwa vita.

EXO 13:19 Removed trailing space in v~: Mose akachukua mifupa ya Yosefu kwa sababu Yosefu alikuwa amewaapisha wana wa Israeli. Alikuwa amewaambia, “Hakika Mungu atakuja kuwasaidia, nanyi ni lazima mwiichukue mifupa yangu mwende nayo kutoka mahali hapa.”

EXO 13:20 Removed trailing space in v~: Baada ya Waisraeli kuondoka Sukothi wakapiga kambi huko Ethamu pembeni mwa jangwa.

EXO 13:21 Removed trailing space in v~: Wakati wa mchana \nd Bwana\nd* aliwatangulia kwa nguzo ya wingu kuwaongoza katika njia yao, na wakati wa usiku aliwatangulia kwa nguzo ya moto kuwaangazia, ili waweze kusafiri mchana au usiku.

EXO 13:22 Removed trailing space in v~: Ile nguzo ya wingu wakati wa mchana au ile nguzo ya moto wakati wa usiku haikuondoka mahali pake mbele ya watu.

EXO 14:0 Extra space after chapter number

EXO 14:0 Removed trailing space in c: 14

EXO 14:0 Removed trailing space in s1: Kuvuka Bahari Ya Shamu

EXO 14:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 14:2 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli wageuke nyuma na wapige kambi karibu na Pi-Hahirothi, kati ya Migdoli na bahari. Watapiga kambi kando ya bahari, mkabala na Baal-Sefoni.

EXO 14:3 Removed trailing space in v~: Farao atafikiri kwamba, ‘Hao Waisraeli wanatangatanga katika nchi kwa kuchanganyikiwa, nalo jangwa limewafungia.’

EXO 14:4 Removed trailing space in v~: Nami nitaufanya moyo wa Farao mgumu, naye atawafuatilia. Lakini nitajipatia utukufu kwa ajili yangu mwenyewe kupitia Farao na jeshi lake lote, nao Wamisri watajua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd*.” Kwa hiyo Waisraeli wakafanya hivyo.

EXO 14:5 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi wao!”

EXO 14:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake.

EXO 14:7 Removed trailing space in v~: Akachukua magari bora mia sita, pamoja na magari mengine yote ya Misri, pamoja na maafisa wa magari hayo yote.

EXO 14:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaufanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, kwa hiyo akawafuatia Waisraeli, waliokuwa wakiondoka Misri kwa ujasiri.

EXO 14:9 Removed trailing space in v~: Nao Wamisri, yaani farasi wote wa Farao na magari ya vita, wapanda farasi na vikosi vya askari, wakawafuatia Waisraeli, wakawakuta karibu na Pi-Hahirothi, mkabala na Baal-Sefoni walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari.

EXO 14:10 Removed trailing space in v~: Farao alipokaribia, Waisraeli wakainua macho yao, wakawaona Wamisri wakija nyuma yao. Wakashikwa na hofu, wakamlilia \nd Bwana\nd*.

EXO 14:11 Removed trailing space in v~: Wakamwambia Mose, “Je, ni kwamba hayakuwako makaburi huko Misri hata umetuleta tufe huku jangwani? Umetufanyia nini kututoa Misri?

EXO 14:12 Removed trailing space in v~: Hatukukuambia tulipokuwa huko Misri, tuache tuwatumikie Wamisri? Ingekuwa vyema zaidi kwetu kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani!”

EXO 14:13 Removed trailing space in v~: Mose akawajibu Waisraeli, “Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu \nd Bwana\nd* atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena.

EXO 14:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu.”

EXO 14:15 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Kwa nini wewe unanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.

EXO 14:16 Removed trailing space in v~: Inua fimbo yako na unyooshe mkono wako juu ya bahari ili kuyagawa maji, hivyo kwamba Waisraeli wapate kupita mahali pakavu baharini.

EXO 14:17 Removed trailing space in v~: Nitaifanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu kusudi waingie baharini wakiwafuatia. Nami nitajipatia utukufu kupitia Farao pamoja na jeshi lake lote, kupitia magari yake ya vita na wapanda farasi wake.

EXO 14:18 Removed trailing space in v~: Nao Wamisri watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd* nitakapojipatia utukufu kupitia Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake.”

EXO 14:19 Removed trailing space in v~: Ndipo malaika wa Mungu, aliyekuwa akisafiri mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akakaa nyuma yao. Pia ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao na kusimama nyuma,

EXO 14:20 Removed trailing space in v~: ikakaa kati ya majeshi ya Misri na Israeli. Usiku kucha wingu likaleta giza upande mmoja na nuru kwa upande mwingine, kwa hiyo hakuna aliyemkaribia mwenzake usiku kucha.

EXO 14:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, naye \nd Bwana\nd* akayasukuma maji ya bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku ule wote na kupafanya nchi kavu. Maji yakagawanyika,

EXO 14:22 Removed trailing space in v~: nao Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, maji yakiwa ukuta upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.

EXO 14:23 Removed trailing space in v~: Wamisri wakawafuatia ndani ya bahari, pamoja na farasi wote wa Farao, magari ya vita na wapanda farasi.

EXO 14:24 Removed trailing space in v~: Karibia mapambazuko, \nd Bwana\nd* akaliangalia jeshi la Wamisri kutoka ile nguzo ya moto na ya wingu, akalifadhaisha.

EXO 14:25 Removed trailing space in v~: Mungu akayaondoa magurudumu ya magari yao, kwa hivyo wakayaendesha kwa shida. Nao Wamisri wakasema, “Tuachane na Waisraeli! \nd Bwana\nd* anawapigania dhidi ya Misri.”

EXO 14:25 Removed trailing space in s1: Wafuatiaji Wazama

EXO 14:26 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya bahari ili maji yarudiane yawafunike Wamisri, magari yao ya vita na wapanda farasi wao.”

EXO 14:27 Removed trailing space in v~: Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, wakati wa mapambazuko bahari ikarudiana na kuwa kama kawaida. Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji, lakini \nd Bwana\nd* akawasukumia ndani ya bahari.

EXO 14:28 Removed trailing space in v~: Maji yakarudiana na kuyafunika magari ya vita na wapanda farasi pamoja na jeshi lote la Farao lililokuwa limewafuata Waisraeli ndani ya bahari. Hakuna hata mmoja wao aliyenusurika.

EXO 14:29 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, ukiwepo ukuta wa maji upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.

EXO 14:30 Removed trailing space in v~: Siku ile \nd Bwana\nd* akawaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wamisri, nao Waisraeli wakawaona Wamisri wamelala ufuoni mwa bahari wakiwa wamekufa.

EXO 14:31 Removed trailing space in v~: Basi Waisraeli walipoona uwezo mkubwa \nd Bwana\nd* aliodhihirisha dhidi ya Wamisri, watu wakamwogopa \nd Bwana\nd* na wakaweka tumaini lao kwake na kwa Mose mtumishi wake.

EXO 15:0 Extra space after chapter number

EXO 15:0 Removed trailing space in c: 15

EXO 15:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Mose Na Miriamu

EXO 15:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Waisraeli wakamwimbia \nd Bwana\nd* wimbo huu:

EXO 15:1 Removed trailing space in p~: “Nitamwimbia \nd Bwana\nd*,

EXO 15:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ametukuzwa sana.

EXO 15:1 Removed trailing space in p~: Farasi na mpanda farasi

EXO 15:1 Removed trailing space in p~: amewatosa baharini.

EXO 15:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nguvu zangu na wimbo wangu;

EXO 15:2 Removed trailing space in p~: amekuwa wokovu wangu.

EXO 15:2 Removed trailing space in p~: Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu,

EXO 15:2 Removed trailing space in p~: Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza.

EXO 15:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni shujaa wa vita;

EXO 15:3 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ndilo jina lake.

EXO 15:4 Removed trailing space in v~: Magari ya vita ya Farao na jeshi lake

EXO 15:4 Removed trailing space in p~: amewatosa baharini.

EXO 15:4 Removed trailing space in p~: Maafisa wa Farao walio bora sana

EXO 15:4 Removed trailing space in p~: wamezamishwa katika Bahari ya Shamu.

EXO 15:5 Removed trailing space in v~: Maji yenye kina yamewafunika,

EXO 15:5 Removed trailing space in p~: wamezama mpaka vilindini kama jiwe.

EXO 15:6 Removed trailing space in v~: “Mkono wako wa kuume, Ee \nd Bwana\nd*

EXO 15:6 Removed trailing space in p~: ulitukuka kwa uweza.

EXO 15:6 Removed trailing space in p~: Mkono wako wa kuume, Ee \nd Bwana\nd*,

EXO 15:6 Removed trailing space in p~: ukamponda adui.

EXO 15:7 Removed trailing space in v~: Katika ukuu wa utukufu wako,

EXO 15:7 Removed trailing space in p~: ukawaangusha chini wale waliokupinga.

EXO 15:7 Removed trailing space in p~: Uliachia hasira yako kali,

EXO 15:7 Removed trailing space in p~: ikawateketeza kama kapi.

EXO 15:8 Removed trailing space in v~: Kwa pumzi ya pua zako

EXO 15:8 Removed trailing space in p~: maji yalijilundika.

EXO 15:8 Removed trailing space in p~: Mawimbi ya maji yakasimama imara kama ukuta,

EXO 15:8 Removed trailing space in p~: vilindi vikagandamana ndani ya moyo wa bahari.

EXO 15:9 Removed trailing space in v~: “Adui alijivuna,

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: ‘Nitawafuatia, nitawapata.

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: Nitagawanya nyara;

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: nitajishibisha kwa wao.

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: Nitafuta upanga wangu

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: na mkono wangu utawaangamiza.’

EXO 15:10 Removed trailing space in v~: Lakini ulipuliza kwa pumzi yako,

EXO 15:10 Removed trailing space in p~: bahari ikawafunika.

EXO 15:10 Removed trailing space in p~: Wakazama kama risasi

EXO 15:10 Removed trailing space in p~: kwenye maji makuu.

EXO 15:11 Removed trailing space in v~: “Ni nani miongoni mwa miungu aliye kama wewe, Ee \nd Bwana\nd*?

EXO 15:11 Removed trailing space in p~: Ni nani kama Wewe:

EXO 15:11 Removed trailing space in p~: uliyetukuka katika utakatifu,

EXO 15:11 Removed trailing space in p~: utishaye katika utukufu,

EXO 15:11 Removed trailing space in p~: ukitenda maajabu?

EXO 15:12 Removed trailing space in v~: Uliunyoosha mkono wako wa kuume

EXO 15:12 Removed trailing space in p~: na nchi ikawameza.

EXO 15:13 Removed trailing space in v~: “Katika upendo wako usiokoma utawaongoza

EXO 15:13 Removed trailing space in p~: watu uliowakomboa.

EXO 15:13 Removed trailing space in p~: Katika nguvu zako utawaongoza

EXO 15:13 Removed trailing space in p~: mpaka makao yako matakatifu.

EXO 15:14 Removed trailing space in v~: Mataifa watasikia na kutetemeka,

EXO 15:14 Removed trailing space in p~: uchungu utawakamata watu wa Ufilisti.

EXO 15:15 Removed trailing space in v~: Wakuu wa Edomu wataogopa,

EXO 15:15 Removed trailing space in p~: viongozi wa Moabu watatetemeka kwa hofu,

EXO 15:15 Removed trailing space in p~: watu wa Kanaani watayeyuka,

EXO 15:16 Removed trailing space in v~: vitisho na hofu vitawaangukia.

EXO 15:16 Removed trailing space in p~: Kwa nguvu ya mkono wako

EXO 15:16 Removed trailing space in p~: watatulia kama jiwe,

EXO 15:16 Removed trailing space in p~: mpaka watu wako waishe kupita, Ee \nd Bwana\nd*,

EXO 15:16 Removed trailing space in p~: mpaka watu uliowanunua wapite.

EXO 15:17 Removed trailing space in v~: Utawaingiza na kuwapandikiza

EXO 15:17 Removed trailing space in p~: juu ya mlima wa urithi wako:

EXO 15:17 Removed trailing space in p~: hapo mahali, Ee \nd Bwana\nd*, ulipopafanya kuwa makao yako,

EXO 15:17 Removed trailing space in p~: mahali patakatifu, Ee \nd Bwana\nd*, ulipopajenga kwa mikono yako.

EXO 15:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atatawala

EXO 15:18 Removed trailing space in p~: milele na milele.”

EXO 15:19 Removed trailing space in v~: Farasi wa Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake walipoingia baharini, \nd Bwana\nd* aliyarudisha maji ya bahari yakawafunika, lakini wana wa Israeli walipita baharini mahali pakavu.

EXO 15:20 Removed trailing space in v~: Kisha Miriamu yule nabii mke, ndugu yake Aroni, akachukua matari mkononi mwake na wanawake wote wakamfuata na matari yao wakicheza.

EXO 15:21 Removed trailing space in v~: Miriamu akawaimbia:

EXO 15:21 Removed trailing space in p~: “Mwimbieni \nd Bwana\nd*,

EXO 15:21 Removed trailing space in p~: kwa maana ametukuka sana.

EXO 15:21 Removed trailing space in p~: Farasi na mpanda farasi

EXO 15:21 Removed trailing space in p~: amewatosa baharini.”

EXO 15:21 Removed trailing space in s1: Maji Ya Mara Na Elimu

EXO 15:22 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaongoza Israeli kutoka Bahari ya Shamu na kuingia katika Jangwa la Shuri. Kwa siku tatu walisafiri jangwani bila kupata maji.

EXO 15:23 Removed trailing space in v~: Walipofika Mara, hawakuweza kunywa maji yake kwa sababu yalikuwa machungu. (Ndiyo sababu mahali hapo panaitwa Mara\f + \fr 15:23 \ft Mara maana yake ni Chungu.\f*)

EXO 15:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wakamnungʼunikia Mose, wakisema, “Tunywe nini?”

EXO 15:25 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akamlilia \nd Bwana\nd*, naye \nd Bwana\nd* akamwonyesha kipande cha mti. Akakitupa ndani ya maji, nayo maji yakawa matamu.

EXO 15:25 Removed trailing space in p~: Huko \nd Bwana\nd* akawapa amri na sheria na huko akawajaribu.

EXO 15:26 Removed trailing space in v~: Mungu akasema, “Kama mkisikiliza kwa bidii sauti ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuyafanya yaliyo sawa machoni pake, kama mkiyatii maagizo yake na kuzishika amri zake zote, sitaleta juu yenu ugonjwa wowote niliowaletea Wamisri, kwa kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, niwaponyaye.”

EXO 15:27 Removed trailing space in v~: Kisha wakafika Elimu, mahali palipokuwa na chemchemi kumi na mbili, na miti sabini ya mitende, wakapiga kambi huko karibu na maji.

EXO 16:0 Extra space after chapter number

EXO 16:0 Removed trailing space in c: 16

EXO 16:0 Removed trailing space in s1: Mana Na Kware

EXO 16:1 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka Elimu, wakafika Jangwa la Sini, lililokuwa kati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili baada ya kutoka Misri.

EXO 16:2 Removed trailing space in v~: Huko jangwani hiyo jumuiya yote wakawanungʼunikia Mose na Aroni.

EXO 16:3 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakawaambia, “Laiti tungelikufa kwa mkono wa \nd Bwana\nd* huko Misri! Huko tuliketi tukizunguka masufuria ya nyama na tukala vyakula tulivyovitaka, lakini ninyi mmetuleta huku jangwani ili mpate kuua mkutano huu wote kwa njaa.”

EXO 16:4 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nitanyesha mikate kutoka mbinguni kwa ajili yenu. Watu watatoka kila siku na kukusanya kitakachowatosha kwa siku ile, kwa njia hii, nitawajaribu nione kama watafuata maelekezo yangu.

EXO 16:5 Removed trailing space in v~: Siku ya sita watatayarisha kile waletacho ndani, nacho kitakuwa mara mbili kuliko ya kile walichokusanya kila siku.”

EXO 16:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose na Aroni wakawaambia Waisraeli wote, “Jioni mtajua kwamba \nd Bwana\nd* ndiye aliwatoa Misri,

EXO 16:7 Removed trailing space in v~: kisha asubuhi mtauona utukufu wa \nd Bwana\nd*, kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani hata mtunungʼunikie?”

EXO 16:8 Removed trailing space in v~: Pia Mose akasema, “Mtajua kuwa alikuwa \nd Bwana\nd* wakati atakapowapa nyama mle ifikapo jioni na mikate yote mtakayohitaji asubuhi kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani? Hamnungʼuniki dhidi yetu, bali dhidi ya \nd Bwana\nd*.”

EXO 16:9 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia Aroni, “Iambie jumuiya yote ya Waisraeli kwamba, ‘Mje mbele zake \nd Bwana\nd*, kwa maana amesikia manungʼuniko yenu.’ ”

EXO 16:10 Removed trailing space in v~: Aroni alipokuwa akizungumza na jumuiya yote ya Waisraeli, wakatazama kuelekea jangwani, na huko wakaona utukufu wa \nd Bwana\nd* ukitokeza katika wingu.

EXO 16:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 16:12 Removed trailing space in v~: “Nimesikia manungʼuniko ya Waisraeli. Waambie, ‘Jioni mtakula nyama, na asubuhi mtashiba mikate. Ndipo mtajua ya kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.’ ”

EXO 16:13 Removed trailing space in v~: Jioni ile kware wakaja wakaifunika kambi na asubuhi kulikuwa na tabaka la umande kuzunguka kambi.

EXO 16:14 Removed trailing space in v~: Wakati umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya uso wa jangwa.

EXO 16:15 Removed trailing space in v~: Waisraeli walipoona, wakaambiana, “Hiki ni nini?” Kwa kuwa hawakujua kilikuwa kitu gani.

EXO 16:15 Removed trailing space in p~: Mose akawaambia, “Huu ndio mkate ambao \nd Bwana\nd* amewapa mle.

EXO 16:16 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* alivyoamuru: ‘Kila mmoja akusanye kiasi anachohitaji. Chukueni pishi\f + \fr 16:16 \ft Pishi ni kipimo cha ujazo, kwa Kiebrania ni omeri, ambacho ni sawa na kilo mbili.\f* moja kwa kila mtu mliye naye katika hema yenu.’ ”

EXO 16:17 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya kama walivyoambiwa, baadhi yao wakakusanya zaidi, wengine pungufu.

EXO 16:18 Removed trailing space in v~: Nao walipopima katika pishi, yule aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa. Kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji.

EXO 16:19 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaambia, “Mtu yeyote asibakize chochote mpaka asubuhi.”

EXO 16:20 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, wengine hawakuzingatia aliyosema Mose, wakahifadhi kiasi fulani mpaka asubuhi, lakini kile alichohifadhi kikajaa mabuu na kuanza kunuka. Kwa hiyo Mose akawakasirikia.

EXO 16:21 Removed trailing space in v~: Kila asubuhi, kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji na jua lilipokuwa kali, iliyeyuka.

EXO 16:22 Removed trailing space in v~: Siku ya sita, wakakusanya mara mbili, kiasi cha pishi mbili kwa kila mtu, nao viongozi wa jumuiya wakaja kumwarifu Mose.

EXO 16:23 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia, “Hivi ndivyo alivyoagiza \nd Bwana\nd*: ‘Kesho itakuwa siku ya mapumziko, Sabato takatifu kwa \nd Bwana\nd*. Kwa hiyo okeni kile mnachotaka kuoka na mchemshe kile mnachotaka kuchemsha. Hifadhini chochote kinachobaki na mkiweke mpaka asubuhi.’ ”

EXO 16:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakavihifadhi mpaka asubuhi, kama Mose alivyoagiza, na havikunuka wala kuwa na mabuu.

EXO 16:25 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia, “Kuleni leo, kwa sababu leo ni Sabato kwa \nd Bwana\nd*. Hamtapata chochote juu ya nchi leo.

EXO 16:26 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani Sabato, hakutakuwepo chochote.”

EXO 16:27 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, baadhi ya watu wakatoka kwenda kukusanya siku ya saba, lakini hawakupata chochote.

EXO 16:28 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Je, mtaacha kushika maagizo na maelekezo yangu mpaka lini?

EXO 16:29 Removed trailing space in v~: Fahamuni kuwa \nd Bwana\nd* amewapa ninyi Sabato, ndiyo sababu katika siku ya sita amewapa mikate ya siku mbili. Kila mmoja inampasa kukaa pale alipo katika siku ya saba. Hata mmoja haruhusiwi kutoka.”

EXO 16:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wakapumzika siku ya saba.

EXO 16:31 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli wakaita ile mikate mana\f + \fr 16:31 \ft Mana maana yake ni mkate kutoka mbinguni.\f* Ilikuwa myeupe kama mbegu za mtama na ladha yake ilikuwa kama mkate mwembamba uliotengenezwa kwa asali.

EXO 16:32 Removed trailing space in v~: Mose akasema, “Hivi ndivyo alivyoagiza \nd Bwana\nd*: ‘Chukueni pishi ya mana na kuhifadhi kwa ajili ya vizazi vijavyo ili vione mikate niliyowapa mle jangwani nilipowatoa katika nchi ya Misri.’ ”

EXO 16:33 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akamwambia Aroni, “Chukua gudulia na uweke pishi moja ya mana ndani yake. Kisha uweke mbele za \nd Bwana\nd* ili kihifadhiwe kwa ajili ya vizazi vijavyo.”

EXO 16:34 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose, hatimaye Aroni alikuja kuihifadhi ndani ya Sanduku la Ushuhuda.

EXO 16:35 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakala mana kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu; walikula mana hadi walipofika mpakani mwa Kanaani.

EXO 16:36 Removed trailing space in v~: (Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa.\f + \fr 16:36 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.\f*)

EXO 17:0 Extra space after chapter number

EXO 17:0 Removed trailing space in c: 17

EXO 17:0 Removed trailing space in s1: Maji Kutoka Kwenye Mwamba

EXO 17:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 20:1-13)

EXO 17:1 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Israeli ikaondoka kutoka Jangwa la Sini, ikisafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine kama \nd Bwana\nd* alivyoagiza. Wakapiga kambi huko Refidimu, lakini hapakuwa na maji ya watu kunywa.

EXO 17:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakagombana na Mose wakisema, “Tupe maji ya kunywa.”

EXO 17:2 Removed trailing space in p~: Mose akajibu, “Mbona mnagombana nami? Kwa nini mnamjaribu \nd Bwana\nd*?”

EXO 17:3 Removed trailing space in v~: Lakini watu walikuwa na kiu huko, wakanungʼunika dhidi ya Mose, wakisema, “Kwa nini ulitutoa kule Misri, ukatuleta hapa utuue kwa kiu sisi, watoto wetu na mifugo yetu?”

EXO 17:4 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamlilia \nd Bwana\nd*, akasema, “Niwafanyie nini watu hawa? Sasa wanakaribia kunipiga kwa mawe.”

EXO 17:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu Mose, “Pita mbele ya watu. Wachukue pamoja nawe baadhi ya wazee wa Israeli, ichukue mkononi mwako ile fimbo uliyopiga nayo Mto Naili, nawe uende.

EXO 17:6 Removed trailing space in v~: Huko nitasimama mbele yako karibu na mwamba wa Horebu. Uupige mwamba na maji yatatoka ndani yake kwa ajili ya watu kunywa.” Kwa hiyo Mose akafanya haya mbele ya wazee wa Israeli.

EXO 17:7 Removed trailing space in v~: Naye akapaita mahali pale Masa,\f + \fr 17:7 \ft Masa maana yake ni Kujaribu.\f* na Meriba\f + \fr 17:7 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.\f* kwa sababu Waisraeli waligombana na kumjaribu \nd Bwana\nd* wakisema, “Je, \nd Bwana\nd* yu pamoja nasi au la?”

EXO 17:7 Removed trailing space in s1: Vita Na Waamaleki

EXO 17:8 Removed trailing space in v~: Waamaleki wakaja na kuwashambulia Waisraeli huko Refidimu.

EXO 17:9 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Yoshua, “Chagua baadhi ya watu wetu na uende kupigana na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilima nikiwa na fimbo ya Mungu mkononi mwangu.”

EXO 17:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akapigana na Waamaleki kama Mose alivyomwagiza, nao Mose, Aroni na Huri wakapanda juu ya kilima.

EXO 17:11 Removed trailing space in v~: Ikawa wakati wote Mose alipokuwa amenyanyua mikono yake, Waisraeli walikuwa wakishinda, lakini kila aliposhusha mikono yake Waamaleki walishinda.

EXO 17:12 Removed trailing space in v~: Mikono ya Mose ilipochoka, wakachukua jiwe na kumpa alikalie. Aroni na Huri wakaishikilia juu mikono ya Mose, mmoja upande huu na mwingine upande huu. Wakaitegemeza mikono yake ikabaki thabiti mpaka jua lilipozama.

EXO 17:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akalishinda jeshi la Waamaleki kwa upanga.

EXO 17:14 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Andika mambo haya katika kitabu ili yakumbukwe, na uhakikishe kwamba Yoshua amesikia, kwa sababu nitafuta kabisa kumbukumbu la Amaleki chini ya mbingu.”

EXO 17:15 Removed trailing space in v~: Mose akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.\f + \fr 17:15 \ft Yehova Nisi maana yake ni \+nd Bwana\+nd* ni Bendera yangu.\f*

EXO 17:16 Removed trailing space in v~: Mose akasema, “Kwa maana mikono iliinuliwa mpaka kwenye kiti cha enzi cha \nd Bwana\nd*. \nd Bwana\nd* atakuwa na vita dhidi ya Waamaleki kutoka kizazi hata kizazi.”

EXO 18:0 Extra space after chapter number

EXO 18:0 Removed trailing space in c: 18

EXO 18:0 Removed trailing space in s1: Yethro Amtembelea Mose

EXO 18:1 Removed trailing space in v~: Basi Yethro, kuhani wa Midiani, baba mkwe wa Mose, akawa amesikia kila kitu Mungu alichomfanyia Mose na watu wake wa Israeli, pia jinsi \nd Bwana\nd* alivyowatoa Israeli Misri.

EXO 18:2 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose kumrudisha mkewe Sipora, Yethro baba mkwe wake alimpokea

EXO 18:3 Removed trailing space in v~: pamoja na wanawe wawili. Jina la mmoja aliitwa Gershomu, kwa kuwa Mose alisema, “Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.”

EXO 18:4 Removed trailing space in v~: Mwingine aliitwa Eliezeri, kwa kuwa alisema, “Mungu wa baba yangu alikuwa msaada wangu, akaniokoa kutoka upanga wa Farao.”

EXO 18:5 Removed trailing space in v~: Yethro, baba mkwe wa Mose, pamoja na wana wawili wa Mose na mkewe, wakamjia Mose huko jangwani, mahali alipokuwa amepiga kambi karibu na mlima wa Mungu.

EXO 18:6 Removed trailing space in v~: Yethro alikuwa ametuma ujumbe kwake Mose, kusema, “Mimi Yethro baba mkwe wako ninakuja kwako pamoja na mke wako na wanao wawili.”

EXO 18:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akatoka kumlaki baba mkwe wake, akainama na kumbusu. Wakasalimiana, kisha wakaingia hemani.

EXO 18:8 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia baba mkwe wake kuhusu kila kitu \nd Bwana\nd* alichomfanyia Farao na Wamisri kwa ajili ya Israeli, na pia kuhusu shida zote walizokutana nazo njiani na jinsi \nd Bwana\nd* alivyowaokoa.

EXO 18:9 Removed trailing space in v~: Yethro akafurahishwa sana kusikia juu ya mambo yote mazuri \nd Bwana\nd* aliyowatendea Waisraeli kuwaokoa kutoka mkono wa Wamisri.

EXO 18:10 Removed trailing space in v~: Yethro akasema, “Sifa na ziwe kwa \nd Bwana\nd*, aliyekuokoa wewe kutoka mikononi mwa Wamisri na Farao, na aliyewaokoa watu kutoka mikononi mwa Wamisri.

EXO 18:11 Removed trailing space in v~: Sasa najua ya kuwa \nd Bwana\nd* ni mkuu kuliko miungu mingine yote, kwa kuwa amewatendea hivi wale waliowatenda Israeli kwa ujeuri.”

EXO 18:12 Removed trailing space in v~: Kisha Yethro, baba mkwe wa Mose, akaleta sadaka ya kuteketezwa na dhabihu nyingine kwa Mungu, naye Aroni pamoja na wazee wote wa Israeli wakaja kula chakula pamoja na baba mkwe wa Mose mbele za Mungu.

EXO 18:12 Removed trailing space in s1: Ushauri Wa Yethro

EXO 18:12 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 1:9-18)

EXO 18:13 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata, Mose akachukua nafasi yake kama hakimu wa watu, nao wakasimama kumzunguka kuanzia asubuhi hadi jioni.

EXO 18:14 Removed trailing space in v~: Baba mkwe wake alipoona yote Mose anayowafanyia watu, akasema, “Ni nini hiki unachowafanyia watu? Kwa nini wewe unakuwa mwamuzi wa watu hawa peke yako, wakati watu hawa wamesimama wakikuzunguka tangu asubuhi mpaka jioni?”

EXO 18:15 Removed trailing space in v~: Mose akamjibu, “Kwa sababu watu wananijia kutaka mapenzi ya Mungu.

EXO 18:16 Removed trailing space in v~: Kila wakiwa na shauri huletwa kwangu, nami huamua kati ya mtu na mwenzake na kuwajulisha juu ya amri na sheria za Mungu.”

EXO 18:17 Removed trailing space in v~: Baba mkwe wa Mose akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.

EXO 18:18 Removed trailing space in v~: Wewe pamoja na watu hawa wanaokujia mtajichosha bure. Kazi ni nzito sana kwako, huwezi kuibeba mwenyewe.

EXO 18:19 Removed trailing space in v~: Sasa nisikilize mimi, nitakupa shauri, naye Mungu na awe pamoja nawe. Yapasa wewe uwe mwakilishi wa watu mbele za Mungu na ulete mashauri yao kwake.

EXO 18:20 Removed trailing space in v~: Uwafundishe amri na sheria, tena uwaonyeshe namna ya kuishi na kazi zinazowapasa wao kufanya.

EXO 18:21 Removed trailing space in v~: Lakini uchague watu wenye uwezo miongoni mwa watu wote, watu wanaomwogopa Mungu, watu waaminifu wanaochukia mali ya dhuluma, uwateuwe wawe maafisa juu ya maelfu, mamia, hamsini na makumi.

EXO 18:22 Removed trailing space in v~: Waweke wawe waamuzi wa watu kwa wakati wote, lakini waambie wakuletee kila shauri lililo gumu; yale yaliyo rahisi wayaamue wao wenyewe. Hii itafanya mzigo wako kuwa mwepesi, kwa sababu watashirikiana nawe.

EXO 18:23 Removed trailing space in v~: Kama ukifanya hivi, na ikiwa Mungu ameagiza hivyo, utaweza kushinda uchovu, nao watu hawa wote watarudi nyumbani wameridhika.”

EXO 18:23 Removed trailing space in s1: Kuchaguliwa Kwa Waamuzi

EXO 18:24 Removed trailing space in v~: Mose akamsikiliza baba mkwe wake na kufanya kila kitu alichosema.

EXO 18:25 Removed trailing space in v~: Mose akawachagua watu wenye uwezo kutoka Israeli yote, akawafanya kuwa viongozi wa watu, maafisa juu ya maelfu, mamia, hamsini na makumi.

EXO 18:26 Removed trailing space in v~: Wakatumika kama waamuzi wa watu kwa wakati wote. Mashauri magumu wakayaleta kwa Mose, lakini yale yaliyo rahisi wakayaamua wenyewe.

EXO 18:27 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaagana na Yethro baba mkwe wake, naye akarudi kwa nchi yake.

EXO 19:0 Extra space after chapter number

EXO 19:0 Removed trailing space in c: 19

EXO 19:0 Removed trailing space in s1: Waisraeli Kwenye Mlima Sinai

EXO 19:1 Removed trailing space in v~: Mnamo mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kuondoka Misri, siku kama iyo hiyo, wakafika katika Jangwa la Sinai.

EXO 19:2 Removed trailing space in v~: Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.

EXO 19:3 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akakwea kwenda kwa Mungu, naye \nd Bwana\nd* akamwita kutoka kwenye ule mlima akasema, “Hivi ndivyo utakavyosema na nyumba ya Yakobo na utakachowaambia watu wa Israeli:

EXO 19:4 Removed trailing space in v~: ‘Ninyi wenyewe mmeona nililofanya huko Misri, jinsi nilivyowabeba kwenye mbawa za tai na kuwaleta kwangu.

EXO 19:5 Removed trailing space in v~: Sasa kama mkinitii kikamilifu na kutunza Agano langu, basi ninyi mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia yote ni mali yangu,

EXO 19:6 Removed trailing space in v~: ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.”

EXO 19:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akarudi, akawaita wazee wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa amemwamuru ayaseme.

EXO 19:8 Removed trailing space in v~: Watu wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu \nd Bwana\nd* alichokisema.” Naye Mose akarudisha majibu yao kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 19:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nitakujia katika wingu zito, ili watu wanisikie nikinena nawe na kila mara waweke tumaini lao kwako.” Kisha Mose akamwambia \nd Bwana\nd* yale ambayo watu walikuwa wamesema.

EXO 19:10 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nenda kwa watu ukawaweke wakfu leo na kesho. Waambie wafue nguo zao

EXO 19:11 Removed trailing space in v~: na wawe tayari siku ya tatu, kwa sababu siku hiyo, \nd Bwana\nd* atashuka juu ya mlima Sinai machoni pa watu wote.

EXO 19:12 Removed trailing space in v~: Weka mipaka kuzunguka mlima kwa ajili ya watu, uwaambie, ‘Mwe waangalifu, msije mkapanda mlimani au kuugusa. Yeyote atakayeugusa mlima hakika atauawa.

EXO 19:13 Removed trailing space in v~: Hakika atapigwa mawe au kupigwa mishale; mkono wa mtu hautamgusa. Akiwa mwanadamu au mnyama, hataruhusiwa kuishi.’ Ila tu wakati baragumu itakapopigwa kwa mfululizo, ndipo watu wote watakapopanda mlimani.”

EXO 19:14 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua nguo zao.

EXO 19:15 Removed trailing space in v~: Kisha akawaambia watu, “Jitayarisheni kwa ajili ya siku ya tatu. Mwanaume yeyote asimkaribie mwanamke.”

EXO 19:16 Removed trailing space in v~: Asubuhi ya siku ya tatu kulikuwa na ngurumo na radi pamoja na wingu nene juu ya mlima na mlio mkubwa sana wa tarumbeta. Kila mmoja aliyekuwa kambini akatetemeka.

EXO 19:17 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaongoza watu kutoka kambini kukutana na Mungu, nao wakasimama chini ya mlima.

EXO 19:18 Removed trailing space in v~: Mlima Sinai ulikuwa umefunikwa na moshi, kwa sababu \nd Bwana\nd* alishuka juu yake katika moto. Moshi wa moto huo ulipanda juu kama moshi kutoka kwenye tanuru kubwa na mlima wote ukatetemeka kwa nguvu nyingi,

EXO 19:19 Removed trailing space in v~: nayo sauti ya tarumbeta ikawa kubwa zaidi na zaidi. Kisha Mose akazungumza na sauti ya \nd Bwana\nd* ikamjibu.

EXO 19:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akashuka juu ya Mlima Sinai na akamwita Mose apande juu mlimani. Kwa hiyo Mose akapanda juu,

EXO 19:21 Removed trailing space in v~: naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze kutafuta kumwona \nd Bwana\nd* na wengi wao wakafa.

EXO 19:22 Removed trailing space in v~: Hata makuhani, watakaomkaribia \nd Bwana\nd* ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo \nd Bwana\nd* atawaadhibu.”

EXO 19:23 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Watu hawawezi kupanda mlima Sinai kwa sababu wewe mwenyewe ulituonya ukisema, ‘Wekeni mipaka kuuzunguka mlima na kuutenga kama patakatifu.’ ”

EXO 19:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Shuka ukamlete Aroni pamoja nawe. Lakini makuhani pamoja na watu wasije wakalazimisha kuja kwa \nd Bwana\nd*, nisije nikawaadhibu.”

EXO 19:25 Removed trailing space in v~: Basi Mose akashuka kwa watu na kuwaambia lile aliloambiwa.

EXO 20:0 Extra space after chapter number

EXO 20:0 Removed trailing space in c: 20

EXO 20:0 Removed trailing space in s1: Amri Kumi

EXO 20:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 5:1-21)

EXO 20:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akasema maneno haya yote:

EXO 20:2 Removed trailing space in v~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako, niliyekutoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.

EXO 20:3 Removed trailing space in v~: Usiwe na miungu mingine ila mimi.

EXO 20:4 Removed trailing space in v~: Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni, au duniani chini, au ndani ya maji.

EXO 20:5 Removed trailing space in v~: Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, \nd Bwana\nd* Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

EXO 20:6 Removed trailing space in v~: lakini ninaonyesha upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale wanipendao na kuzishika amri zangu.

EXO 20:7 Removed trailing space in v~: Usilitaje bure jina la \nd Bwana\nd* Mungu wako, kwa kuwa \nd Bwana\nd* hataacha kumhesabia hatia yeye alitajaye jina lake bure.

EXO 20:8 Removed trailing space in v~: Ikumbuke siku ya Sabato, uitakase.

EXO 20:9 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita utafanya kazi na kutenda shughuli zako zote,

EXO 20:10 Removed trailing space in v~: lakini siku ya saba ni Sabato kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako. Siku hiyo hutafanya kazi yoyote, wewe, wala mwanao au binti yako, wala mtumishi wako wa kiume au wa kike, wala wanyama wako, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.

EXO 20:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kwa siku sita, \nd Bwana\nd* aliumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo, lakini akapumzika siku ya saba. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akaibariki siku ya Sabato na kuifanya takatifu.

EXO 20:12 Removed trailing space in v~: Waheshimu baba yako na mama yako, ili upate kuishi siku nyingi katika nchi anayokupa \nd Bwana\nd* Mungu wako.

EXO 20:13 Removed trailing space in v~: Usiue.

EXO 20:14 Removed trailing space in v~: Usizini.

EXO 20:15 Removed trailing space in v~: Usiibe.

EXO 20:16 Removed trailing space in v~: Usimshuhudie jirani yako uongo.

EXO 20:17 Removed trailing space in v~: Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wa kiume au wa kike, wala ngʼombe wake au punda wake, wala chochote kile alicho nacho jirani yako.”

EXO 20:17 Removed trailing space in s1: Watu Wanaogopa

EXO 20:17 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 5:22-33)

EXO 20:18 Removed trailing space in v~: Watu walipoona ngurumo na radi, na kusikia mlio wa tarumbeta, na kuuona mlima katika moshi, walitetemeka kwa woga. Wakasimama mbali

EXO 20:19 Removed trailing space in v~: na wakamwambia Mose, “Sema nasi wewe mwenyewe, nasi tutakusikiliza. Lakini usimwache Mungu aseme nasi, la sivyo tutakufa.”

EXO 20:20 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia watu, “Msiogope! Mungu amekuja kuwajaribu, ili kwamba hofu ya Mungu iwakalie, msitende dhambi.”

EXO 20:21 Removed trailing space in v~: Watu wakabaki mbali, wakati Mose alipolisogelea lile giza nene mahali pale Mungu alipokuwa.

EXO 20:21 Removed trailing space in s1: Sanamu Na Madhabahu

EXO 20:22 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Waambie Waisraeli hivi: ‘Mmejionea wenyewe kwamba nimesema nanyi kutoka mbinguni:

EXO 20:23 Removed trailing space in v~: Msijifanyizie miungu yoyote na kuilinganisha nami, msijitengenezee miungu ya fedha wala miungu ya dhahabu.

EXO 20:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Utanitengenezea madhabahu ya udongo, na juu yake utoe sadaka za kuteketezwa kwa moto na sadaka za amani, kondoo zako, mbuzi na ngʼombe zako. Popote nitakapofanya Jina langu liheshimiwe, nitakuja kwenu na kuwabariki.

EXO 20:25 Removed trailing space in v~: Ikiwa unanitengenezea madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe ya kuchonga, maana mkitumia chombo cha kuchongea mtaitia unajisi.

EXO 20:26 Removed trailing space in v~: Msitumie ngazi kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako usije ukadhihirika kwa chini.’

EXO 21:0 Extra space after chapter number

EXO 21:0 Removed trailing space in c: 21

EXO 21:0 Removed trailing space in s1: Watumishi Wa Kiebrania

EXO 21:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 15:12-18)

EXO 21:1 Removed trailing space in v~: “Hizi ndizo sheria utakazoweka mbele ya Waisraeli:

EXO 21:2 Removed trailing space in v~: “Kama ukimnunua mtumwa wa Kiebrania, atakutumikia kwa miaka sita. Lakini katika mwaka wa saba, atakuwa huru naye atakwenda zake pasipo kulipa chochote.

EXO 21:3 Removed trailing space in v~: Kama akija peke yake, atakwenda huru peke yake, lakini kama akija na mke, ataondoka pamoja naye.

EXO 21:4 Removed trailing space in v~: Kama bwana wake alimpatia mke naye akamzalia wana au binti, mwanamke pamoja na watoto wake watakuwa mali ya bwana wake na huyo mwanaume ataondoka peke yake.

EXO 21:5 Removed trailing space in v~: “Lakini kama mtumishi akisema, ‘Ninampenda bwana wangu, mke wangu pamoja na watoto na sitaki kuwa huru,’

EXO 21:6 Removed trailing space in v~: ndipo bwana wake atakapolazimika kumpeleka mbele ya waamuzi. Kisha atampeleka kwenye mlango au kizingiti na kutoboa sikio lake kwa shazia. Naye atamtumikia bwana wake maisha yake yote.

EXO 21:7 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimuuza binti yake kuwa mtumwa, hataachwa huru kama watumwa wa kiume waachiwavyo.

EXO 21:8 Removed trailing space in v~: Kama hakumpendeza bwana wake aliyemchagua, huyo bwana atamwacha akombolewe. Hatakuwa na haki ya kumuuza kwa wageni, kwa sababu huyo bwana atakuwa amekosa uaminifu.

EXO 21:9 Removed trailing space in v~: Kama akimchagua aolewe na mwanawe, ni lazima ampe haki za kuwa binti yake.

EXO 21:10 Removed trailing space in v~: Ikiwa huyo mwana aliyeozwa mtumwa mwanamke ataoa mwanamke mwingine, ni lazima aendelee kumtosheleza huyo mke wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zote za ndoa.

EXO 21:11 Removed trailing space in v~: Iwapo hatamtosheleza kwa mambo hayo matatu, huyo mke wa kwanza ataondoka na kuwa huru bila malipo yoyote ya fedha.

EXO 21:11 Removed trailing space in s1: Majeraha Ya Mwilini

EXO 21:12 Removed trailing space in v~: “Yeyote ampigaye mtu na kumuua ni lazima auawe hakika.

EXO 21:13 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama hakumuua kwa makusudi, lakini Mungu akaruhusu itendeke, basi atakimbilia mahali nitakapomchagulia.

EXO 21:14 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu akipanga na kumuua mwingine kwa makusudi, mwondoe katika madhabahu yangu na kumuua.

EXO 21:15 Removed trailing space in v~: “Yeyote amshambuliaye baba yake au mama yake ni lazima auawe.

EXO 21:16 Removed trailing space in v~: “Yeyote amtekaye nyara mwingine akamuuza au akamweka kwake, akikamatwa ni lazima auawe.

EXO 21:17 Removed trailing space in v~: “Yeyote atakayemlaani baba yake au mama yake ni lazima auawe.

EXO 21:18 Removed trailing space in v~: “Kama watu wakigombana na mmoja akimpiga mwingine kwa jiwe au kwa ngumi yake na hakufa bali akaugua na kulala kitandani,

EXO 21:19 Removed trailing space in v~: yule aliyempiga ngumi hatahesabiwa kuwa na hatia kama mwenzake ataamka na kujikongoja kwa fimbo yake, lakini hata hivyo, ni lazima amlipe fidia ya muda wake aliopoteza na awajibike mpaka apone kabisa.

EXO 21:20 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimpiga mtumwa wake wa kiume au wa kike kwa fimbo na mtumwa huyo akafa papo hapo, ni lazima aadhibiwe

EXO 21:21 Removed trailing space in v~: lakini ikiwa mtumwa ataamka baada ya siku moja au mbili, hataadhibiwa, kwa sababu yule mtumwa ni mali yake.

EXO 21:22 Removed trailing space in v~: “Ikiwa watu wawili wanapigana na wakamuumiza mwanamke mjamzito, naye akazaa kabla ya wakati lakini hakuna majeraha makubwa, mhalifu atatozwa mali kiasi cha madai ya mume wa yule mwanamke, na jinsi mahakama itakavyoamua.

EXO 21:23 Removed trailing space in v~: Lakini kukiwa na jeraha kubwa, ni lazima ulipe uhai kwa uhai,

EXO 21:24 Removed trailing space in v~: jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,

EXO 21:25 Removed trailing space in v~: kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, mchubuko kwa mchubuko.

EXO 21:26 Removed trailing space in v~: “Ikiwa mtu atampiga mtumwa mwanaume au mwanamke kwenye jicho na kuliharibu, ni lazima amwache huru yule mtumwa kama fidia ya hilo jicho.

EXO 21:27 Removed trailing space in v~: Kama akimvunja jino mtumwa wa kiume au wa kike, ni lazima amwache huru huyo mtumwa kwa kufidia hilo jino.

EXO 21:28 Removed trailing space in v~: “Kama fahali akimuua mwanaume au mwanamke kwa kumpiga kwa pembe, fahali huyo ni lazima auawe kwa kupigwa mawe, na nyama yake haitaliwa. Lakini mwenye fahali huyo hatawajibika.

EXO 21:29 Removed trailing space in v~: Lakini hata hivyo, ikiwa huyo fahali amekuwa na tabia ya kupiga kwa pembe, na mwenyewe ameonywa na hakutaka kumfungia naye akamuua mwanaume au mwanamke, huyo fahali ni lazima auawe kwa mawe na mwenye fahali pia auawe.

EXO 21:30 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa malipo yatatakiwa kwake, basi anaweza kulipa kinachodaiwa ili kuukomboa uhai wake.

EXO 21:31 Removed trailing space in v~: Sheria hii pia itatumika ikiwa fahali atampiga kwa pembe mwana au binti.

EXO 21:32 Removed trailing space in v~: Ikiwa fahali atampiga mtumwa wa kike au wa kiume, mwenye fahali atalipa shekeli thelathini\f + \fr 21:32 \ft Shekeli 30 ni sawa na gramu 300.\f* za fedha kwa bwana mwenye mtumwa, na fahali ni lazima auawe kwa mawe.

EXO 21:33 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akiacha shimo wazi, ama akachimba shimo kisha asilifukie, na ngʼombe au punda akatumbukia ndani yake,

EXO 21:34 Removed trailing space in v~: mwenye shimo ni lazima alipe hasara iliyotokea; ni lazima amlipe mwenye mnyama. Mnyama aliyekufa atakuwa wake.

EXO 21:35 Removed trailing space in v~: “Kama fahali wa mtu fulani atamuumiza fahali wa mtu mwingine na akafa, watamuuza yule aliye hai na wagawane sawa fedha pamoja na mnyama aliyekufa.

EXO 21:36 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama ikifahamika kwamba fahali huyo alikuwa na tabia ya kupiga kwa pembe na mwenyewe hakumfunga, ni lazima mwenye fahali alipe mnyama kwa mnyama, na mnyama aliyekufa atakuwa wake.

EXO 22:0 Extra space after chapter number

EXO 22:0 Removed trailing space in c: 22

EXO 22:0 Removed trailing space in s1: Ulinzi Wa Mali

EXO 22:1 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akiiba maksai au kondoo na kumchinja au kumuuza, ni lazima alipe ngʼombe watano badala ya maksai mmoja na kondoo wanne badala ya kondoo mmoja.

EXO 22:2 Removed trailing space in v~: “Kama mwizi akishikwa anavunja nyumba akapigwa hata akafa, aliyemuua hana hatia ya kumwaga damu;

EXO 22:3 Removed trailing space in v~: lakini jambo hilo likitokea wakati jua limechomoza, huyo mtu atakuwa na hatia ya kumwaga damu.

EXO 22:3 Removed trailing space in p~: “Mwizi huyo sharti alipe, lakini kama hana kitu, lazima auzwe ili alipe kwa ajili ya wizi wake.

EXO 22:4 Removed trailing space in v~: “Kama mnyama aliyeibwa akikutwa hai mikononi mwake, ikiwa ni maksai au punda au kondoo, lazima alipe mara mbili.

EXO 22:5 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akichunga mifugo yake katika shamba au shamba la mizabibu, na akawaachia wajilishe katika shamba la mtu mwingine, ni lazima alipe vitu bora kutoka kwenye shamba lake mwenyewe au kutoka shamba lake la mizabibu.

EXO 22:6 Removed trailing space in v~: “Kama moto ukiwaka na kuenea kwenye vichaka vya miiba na kuteketeza miganda ya nafaka au nafaka ambayo haijavunwa, au kuteketeza shamba lote, mtu yule aliyewasha moto lazima alipe.

EXO 22:7 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimpa jirani yake fedha au mali nyingine amtunzie, na kama vikiibwa kutoka nyumba ya huyo jirani, kama mwizi atashikwa, lazima alipe mara mbili.

EXO 22:8 Removed trailing space in v~: Lakini mwizi asipopatikana, mwenye nyumba atafika mbele ya waamuzi ili kuthibitisha kuwa hakuchukua mali ya mwenzake.

EXO 22:9 Removed trailing space in v~: Pakiwepo jambo lolote la mali isiyo halali, ikiwa ni maksai, punda, kondoo, mavazi, ama mali yoyote iliyopotea ambayo fulani atasema, ‘Hii ni mali yangu,’ pande zote mbili wataleta mashauri yao mbele ya waamuzi. Yule ambaye waamuzi watamwona kuwa na hatia atamlipa jirani yake mara mbili.

EXO 22:10 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimpa jirani yake punda, ngʼombe, kondoo au mnyama mwingine yeyote amtunzie, akifa au akijeruhiwa au akichukuliwa wakati haonekani na mtu yeyote,

EXO 22:11 Removed trailing space in v~: jambo hili kati yao wawili litaamuliwa kwa kuapa kiapo mbele za \nd Bwana\nd*, kwamba huyo jirani hakuhusika na wizi wa mali ya jirani yake. Mwenye mali itampasa akubali jambo hili, na hakuna malipo yatakayohitajika.

EXO 22:12 Removed trailing space in v~: Lakini kama mnyama aliibwa kwa jirani, itampasa amlipe mwenye mnyama.

EXO 22:13 Removed trailing space in v~: Kama ameraruliwa na mnyama pori, ataleta mabaki ya mnyama kama ushahidi, naye hatadaiwa kulipa mnyama aliyeraruliwa.

EXO 22:14 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimwazima mnyama kutoka kwa jirani yake, na kama akiumia au akafa na mwenye mnyama hayupo, lazima amlipe huyo mnyama.

EXO 22:15 Removed trailing space in v~: Lakini mwenye mnyama akiwa angalipo na mnyama wake, mwazimaji hatalazimika kumlipa. Kama mnyama alikuwa amekodishwa, fedha iliyolipwa kwa kukodisha inatosha kwa kufidia hasara.

EXO 22:15 Removed trailing space in s1: Uwajibikaji Wa Kijamii

EXO 22:16 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimshawishi bikira ambaye hajaposwa na akilala naye, lazima alipe mahari, kisha atamwoa msichana huyo.

EXO 22:17 Removed trailing space in v~: Baba wa msichana akikataa katakata kumpa huyo mtu huyo msichana wake, bado ni lazima huyo mtu atalipa mahari kama inavyostahili malipo ya ubikira.

EXO 22:18 Removed trailing space in v~: “Usiruhusu mwanamke mchawi aishi.

EXO 22:19 Removed trailing space in v~: “Mtu yeyote aziniye na mnyama lazima auawe.

EXO 22:20 Removed trailing space in v~: “Mtu awaye yote anayemtolea mungu mwingine dhabihu isipokuwa \nd Bwana\nd*, lazima aangamizwe.

EXO 22:21 Removed trailing space in v~: “Usimtendee mgeni vibaya au kumwonea, kwa kuwa nanyi mlikuwa wageni huko Misri.

EXO 22:22 Removed trailing space in v~: “Usimdhulumu mjane wala yatima.

EXO 22:23 Removed trailing space in v~: Kama ukifanya hivyo nao wakinililia, hakika nitasikia kilio chao.

EXO 22:24 Removed trailing space in v~: Hasira yangu itawaka, nami nitawaua kwa upanga, wake zenu watakuwa wajane na watoto wenu watakuwa yatima.

EXO 22:25 Removed trailing space in v~: “Kama ukimkopesha mmojawapo wa watu wangu fedha ambaye ni mhitaji, usiwe kama mtu mkopesha fedha; usimtoze riba.

EXO 22:26 Removed trailing space in v~: Kama ukichukua vazi la jirani kama rehani, ulirudishe kwake kabla jua kuzama,

EXO 22:27 Removed trailing space in v~: kwa kuwa vazi lake ndilo pekee alilo nalo la kumfunika mwili wake. Ni nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.

EXO 22:28 Removed trailing space in v~: “Usimkufuru Mungu au kumlaani mtawala wa watu wako.

EXO 22:29 Removed trailing space in v~: “Usiache kutoa sadaka kutoka ghala lako au mapipa yako.

EXO 22:29 Removed trailing space in p~: “Lazima unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako.

EXO 22:30 Removed trailing space in v~: Ufanye vivyo hivyo kwa ngʼombe wako na kwa kondoo wako. Waache wakae na mama zao kwa siku saba, lakini siku ya nane unipe.

EXO 22:31 Removed trailing space in v~: “Ninyi mtakuwa watu wangu watakatifu. Kwa hiyo msile nyama ya mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori; mtupieni mbwa.

EXO 23:0 Extra space after chapter number

EXO 23:0 Removed trailing space in c: 23

EXO 23:0 Removed trailing space in s1: Sheria Za Haki Na Rehema

EXO 23:1 Removed trailing space in v~: “Usieneze habari za uongo. Usimsaidie mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye nia ya kudhuru wengine.

EXO 23:2 Removed trailing space in v~: “Usifuate umati wa watu katika kutenda mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka, usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,

EXO 23:3 Removed trailing space in v~: nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.

EXO 23:4 Removed trailing space in v~: “Kama ukikutana na maksai au punda wa adui yako anapotea, hakikisha umemrudisha kwake.

EXO 23:5 Removed trailing space in v~: Ukiona punda wa mtu anayekuchukia ameanguka na mzigo wake, usimwache hapo alipoangukia; hakikisha kuwa umemsaidia.

EXO 23:6 Removed trailing space in v~: “Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao.

EXO 23:7 Removed trailing space in v~: Ujiepushe na mashtaka ya uongo, wala usimuue mtu asiye na hatia au mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana hatia yeye aliye na hatia.

EXO 23:8 Removed trailing space in v~: “Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.

EXO 23:9 Removed trailing space in v~: “Usimwonee mgeni; ninyi wenyewe mnajua jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa wageni Misri.

EXO 23:9 Removed trailing space in s1: Sheria Za Sabato

EXO 23:10 Removed trailing space in v~: “Kwa muda wa miaka sita mtapanda mashamba yenu na kuvuna mazao,

EXO 23:11 Removed trailing space in v~: lakini katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala kuitumia, ili watu walio maskini miongoni mwenu waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo mashamba, nao wanyama pori wapate chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.

EXO 23:12 Removed trailing space in v~: “Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda wako wapate kupumzika, naye mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni, wapate kustarehe.

EXO 23:13 Removed trailing space in v~: “Uzingatie kutenda kila kitu nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani mwako.

EXO 23:13 Removed trailing space in s1: Sikukuu Tatu Za Mwaka

EXO 23:13 Removed trailing space in r: (Kutoka 34:18-26; Kumbukumbu 16:1-17)

EXO 23:14 Removed trailing space in v~: “Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.

EXO 23:15 Removed trailing space in v~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu; kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu kama nilivyokuagiza. Fanya jambo hili kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri.

EXO 23:15 Removed trailing space in p~: “Mtu yeyote asije mbele yangu mikono mitupu.

EXO 23:16 Removed trailing space in v~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika shamba lako.

EXO 23:16 Removed trailing space in p~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mavuno yako toka shambani.

EXO 23:17 Removed trailing space in v~: “Mara tatu kwa mwaka wanaume wote watakuja mbele za \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EXO 23:18 Removed trailing space in v~: “Msitoe damu ya dhabihu kwangu pamoja na kitu chochote kilicho na chachu.

EXO 23:18 Removed trailing space in p~: “Mafuta ya mnyama wa sadaka ya sikukuu yangu yasibakizwe mpaka asubuhi.

EXO 23:19 Removed trailing space in v~: “Utaleta malimbuko bora ya ardhi yako katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

EXO 23:19 Removed trailing space in p~: “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.

EXO 23:19 Removed trailing space in s1: Malaika Wa Mungu Kuandaa Njia

EXO 23:20 Removed trailing space in v~: “Tazama, ninamtuma malaika akutangulie mbele yako akulinde njiani na kukuleta mpaka mahali nilipoandaa.

EXO 23:21 Removed trailing space in v~: Mtamtii na kusikiliza kile anachokisema. Usiasi dhidi yake; hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina langu limo ndani yake.

EXO 23:22 Removed trailing space in v~: Kama ukitii kweli kweli kile asemacho na kufanya yote nisemayo, nitakuwa adui wa adui zako, na nitawapinga wale wakupingao.

EXO 23:23 Removed trailing space in v~: Malaika wangu atatangulia mbele yako na kukuleta katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na Wayebusi, nami nitawafutilia mbali.

EXO 23:24 Removed trailing space in v~: Usiisujudie miungu yao, au kuiabudu, wala kufuata desturi yao. Utayabomoa kabisa na kuvunjavunja mawe yao ya ibada vipande vipande.

EXO 23:25 Removed trailing space in v~: Utamwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,

EXO 23:26 Removed trailing space in v~: na hakuna atakayeharibu mimba wala atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami nitakupa maisha makamilifu.

EXO 23:27 Removed trailing space in v~: “Nitapeleka utisho wangu mbele yako na kufadhaisha kila taifa utakalolifikia. Nitafanya adui zako wote wakupe kisogo na kukimbia.

EXO 23:28 Removed trailing space in v~: Nitatanguliza manyigu mbele yako kuwafukuza Wahivi, Wakanaani na Wahiti waondoke njiani mwako.

EXO 23:29 Removed trailing space in v~: Lakini sitawafukuza kwa mara moja, kwa sababu nchi itabaki ukiwa na wanyama pori watakuwa wengi mno kwako.

EXO 23:30 Removed trailing space in v~: Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha kuimiliki nchi.

EXO 23:31 Removed trailing space in v~: “Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti, na kuanzia jangwani hadi Mto Frati. Nitawatia watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako.

EXO 23:32 Removed trailing space in v~: Usifanye agano lolote nao wala na miungu yao.

EXO 23:33 Removed trailing space in v~: Usiwaache waishi katika nchi yako, la sivyo watakusababisha utende dhambi dhidi yangu, kwa sababu ibada ya miungu yao hakika itakuwa mtego kwako.”

EXO 24:0 Extra space after chapter number

EXO 24:0 Removed trailing space in c: 24

EXO 24:0 Removed trailing space in s1: Agano Lathibitishwa

EXO 24:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akamwambia Mose, “Njooni huku juu kwa \nd Bwana\nd*, wewe na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee sabini wa Israeli. Mniabudu kwa mbali,

EXO 24:2 Removed trailing space in v~: lakini Mose peke yake ndiye atakayemkaribia \nd Bwana\nd*; wengine wasije karibu. Nao watu wasije wakapanda pamoja naye.”

EXO 24:3 Removed trailing space in v~: Mose alipokwenda na kuwaambia watu maneno yote na sheria zote za \nd Bwana\nd*, wakaitikia kwa sauti moja, “Kila kitu alichosema \nd Bwana\nd* tutakifanya.”

EXO 24:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akaandika kila kitu \nd Bwana\nd* alichokuwa amesema.

EXO 24:4 Removed trailing space in p~: Akaamka kesho yake asubuhi na mapema na kujenga madhabahu chini ya mlima na kusimamisha nguzo kumi na mbili za mawe kuwakilisha makabila kumi na mawili ya Israeli.

EXO 24:5 Removed trailing space in v~: Kisha akawatuma vijana wanaume wa Kiisraeli, nao wakatoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu za mafahali wachanga kuwa sadaka za amani kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 24:6 Removed trailing space in v~: Mose akachukua nusu ya damu ya wale wanyama na kuiweka kwenye mabakuli na nusu nyingine akainyunyiza juu ya madhabahu.

EXO 24:7 Removed trailing space in v~: Kisha akachukua kile Kitabu cha Agano na kuwasomea watu. Nao wakajibu, “Tutafanya kila kitu alichosema \nd Bwana\nd*, nasi tutatii.”

EXO 24:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akachukua ile damu, akawanyunyizia wale watu, akasema, “Hii ni damu ya agano ambalo \nd Bwana\nd* amelifanya nanyi kufuatana na maneno haya yote.”

EXO 24:9 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee sabini wa Israeli wakapanda mlimani,

EXO 24:10 Removed trailing space in v~: nao wakamwona Mungu wa Israeli. Chini ya miguu yake kulikuwa na kitu kama sakafu ya mawe ya yakuti samawi, iliyo safi kama anga angavu.

EXO 24:11 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu hakuinua mkono wake dhidi ya hawa viongozi wa Waisraeli; walimwona Mungu, nao wakala na kunywa.

EXO 24:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Panda uje kwangu huku mlimani na ukae hapa, nami nitakupa vibao vya mawe, vyenye sheria na amri ambazo nimeziandika ziwe mwongozo wao.”

EXO 24:13 Removed trailing space in v~: Basi Mose akaondoka na Yoshua mtumishi wake, naye Mose akapanda juu kwenye mlima wa Mungu.

EXO 24:14 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia wazee wa Israeli, “Tungojeni hapa mpaka tutakapowarudia. Aroni na Huri wako pamoja nanyi, na kila aliye na neno aweza kuwaendea wao.”

EXO 24:15 Removed trailing space in v~: Mose alipopanda juu mlimani, wingu liliufunika huo mlima,

EXO 24:16 Removed trailing space in v~: nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukatua juu ya Mlima Sinai. Kwa muda wa siku sita wingu lilifunika mlima, na siku ya saba \nd Bwana\nd* akamwita Mose kutoka katikati ya lile wingu.

EXO 24:17 Removed trailing space in v~: Kwa Waisraeli utukufu wa \nd Bwana\nd* ulionekana kama moto uteketezao juu ya mlima.

EXO 24:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaingia ndani ya lile wingu alivyokuwa akipanda mlimani. Naye akakaa huko mlimani kwa muda wa siku arobaini, usiku na mchana.

EXO 25:0 Extra space after chapter number

EXO 25:0 Removed trailing space in c: 25

EXO 25:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu

EXO 25:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 35:4-9)

EXO 25:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 25:2 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli waniletee sadaka. Utapokea sadaka kwa niaba yangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake wapenda kutoa.

EXO 25:3 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao: dhahabu, fedha na shaba;

EXO 25:4 Removed trailing space in v~: nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu, pamoja na kitani safi; singa za mbuzi;

EXO 25:5 Removed trailing space in v~: ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;\f + \fr 25:5 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* mbao za mshita;

EXO 25:5 Found footnote ending with space in \v~: ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;\f + \fr 25:5 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* mbao za mshita;

EXO 25:6 Removed trailing space in v~: mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri;

EXO 25:7 Removed trailing space in v~: na vito vya shohamu na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.

EXO 25:8 Removed trailing space in v~: “Kisha uwaamuru wanitengenezee mahali patakatifu, nami nitakaa miongoni mwao.

EXO 25:9 Removed trailing space in v~: Tengeneza hema hili na vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo nitakachokuonyesha.

EXO 25:9 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano

EXO 25:9 Removed trailing space in r: (Kutoka 37:1-9)

EXO 25:10 Removed trailing space in v~: “Nao watatengeneza Sanduku la mbao za mshita, lenye urefu wa dhiraa mbili na nusu,\f + \fr 25:10 \ft Dhiraa mbili na nusu ni sawa na sentimita 112.5.\f* upana wa dhiraa moja na nusu,\f + \fr 25:10 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.\f* na kimo cha dhiraa moja na nusu.

EXO 25:11 Removed trailing space in v~: Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.

EXO 25:12 Removed trailing space in v~: Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.

EXO 25:13 Removed trailing space in v~: Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.

EXO 25:14 Removed trailing space in v~: Utaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.

EXO 25:15 Removed trailing space in v~: Hiyo mipiko itabakia daima katika hizo pete za hilo Sanduku; haitaondolewa.

EXO 25:16 Removed trailing space in v~: Kisha weka ndani ya hilo Sanduku ule Ushuhuda nitakaokupa.

EXO 25:17 Removed trailing space in v~: “Tengeneza kifuniko cha upatanisho cha dhahabu safi, chenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, na upana wa dhiraa moja na nusu.

EXO 25:18 Removed trailing space in v~: Tengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko.

EXO 25:19 Removed trailing space in v~: Tengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; watengeneze makerubi hao wawe kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili.

EXO 25:20 Removed trailing space in v~: Makerubi hao watakuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, yakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao wataelekeana, wakitazama hicho kifuniko.

EXO 25:21 Removed trailing space in v~: Weka huo Ushuhuda nitakaokupa ndani ya hilo Sanduku la Agano, na uweke hicho kifuniko juu ya hilo Sanduku.

EXO 25:22 Removed trailing space in v~: Hapo juu ya hicho kifuniko, kati ya hao makerubi wawili walioko juu ya hilo Sanduku la Ushuhuda, hapo ndipo nitakapokutana nawe na kukupa maagizo yangu kwa ajili ya Waisraeli.

EXO 25:22 Removed trailing space in s1: Meza Ya Mikate Ya Wonyesho

EXO 25:22 Removed trailing space in r: (Kutoka 37:10-16)

EXO 25:23 Removed trailing space in v~: “Tengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili,\f + \fr 25:23 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.\f* upana wa dhiraa moja, na kimo cha dhiraa moja na nusu.

EXO 25:24 Removed trailing space in v~: Ifunike kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.

EXO 25:25 Removed trailing space in v~: Kisha tengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne,\f + \fr 25:25 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 8.\f* na ufanyie ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote.

EXO 25:26 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na uzifungie kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne.

EXO 25:27 Removed trailing space in v~: Pete hizo zitakuwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko itakayotumika kuibebea hiyo meza.

EXO 25:28 Removed trailing space in v~: Tengeneza mipiko hiyo kwa mbao za mshita, uifunike na dhahabu, uitumie kubeba hiyo meza.

EXO 25:29 Removed trailing space in v~: Tengeneza sahani zake na masinia yake kwa dhahabu safi, pamoja na bilauri na bakuli zake kwa ajili ya kumiminia sadaka.

EXO 25:30 Removed trailing space in v~: Utaweka mikate ya Wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu daima.

EXO 25:30 Removed trailing space in s1: Kinara Cha Taa

EXO 25:30 Removed trailing space in r: (Kutoka 37:17-24)

EXO 25:31 Removed trailing space in v~: “Tengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vinavyofanana na ua, matovu yake na maua yake viwe kitu kimoja.

EXO 25:32 Removed trailing space in v~: Matawi sita yatatokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine.

EXO 25:33 Removed trailing space in v~: Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vitakuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yanayotokeza kwenye kile kinara cha taa.

EXO 25:34 Removed trailing space in v~: Juu ya kinara chenyewe vitakuwepo vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake.

EXO 25:35 Removed trailing space in v~: Tovu moja litakuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani matawi sita kwa jumla.

EXO 25:36 Removed trailing space in v~: Matovu na matawi yote yatakuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakifuliwa kwa dhahabu safi.

EXO 25:37 Removed trailing space in v~: “Kisha tengeneza taa zake saba na uziweke juu ya kinara hicho ili ziangaze mbele yake.

EXO 25:38 Removed trailing space in v~: Mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote zitakuwa za dhahabu safi.

EXO 25:39 Removed trailing space in v~: Utatumia talanta moja\f + \fr 25:39 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* ya dhahabu safi kutengeneza hicho kinara na vifaa vyake vyote.

EXO 25:40 Removed trailing space in v~: Hakikisha kuwa umevitengeneza sawasawa na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.

EXO 26:14 Found footnote ending with space in \v~: Tengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.\f + \fr 26:14 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f*

EXO 27:0 Extra space after chapter number

EXO 27:0 Removed trailing space in c: 27

EXO 27:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa

EXO 27:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 38:1-7)

EXO 27:1 Removed trailing space in v~: “Jenga madhabahu ya mbao za mti wa mshita, kimo chake kiwe dhiraa tatu;\f + \fr 27:1 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.\f* itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano,\f + \fr 27:1 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* na upana wake dhiraa tano.

EXO 27:2 Removed trailing space in v~: Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.

EXO 27:3 Removed trailing space in v~: Tengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama, na vyombo vya kuchukulia moto.

EXO 27:4 Removed trailing space in v~: Kisha tengenezea hayo madhabahu wavu wa shaba, na utengeneze pete za shaba kwenye kila moja ya hizo pembe nne za huo wavu.

EXO 27:5 Removed trailing space in v~: Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.

EXO 27:6 Removed trailing space in v~: Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba.

EXO 27:7 Removed trailing space in v~: Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa.

EXO 27:8 Removed trailing space in v~: Tengeneza madhabahu yawe na uvungu ndani yake ukitumia mbao. Utaitengeneza sawasawa na vile ulivyoonyeshwa mlimani.

EXO 27:8 Removed trailing space in s1: Ua Wa Kukutania

EXO 27:8 Removed trailing space in r: (Kutoka 38:9-20)

EXO 27:9 Removed trailing space in v~: “Tengeneza ua kwa ajili ya Hema la Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja,\f + \fr 27:9 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.\f* na utakuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,

EXO 27:10 Removed trailing space in v~: pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 27:11 Removed trailing space in v~: Upande wa kaskazini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, nao utakuwa na mapazia, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 27:12 Removed trailing space in v~: “Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini,\f + \fr 27:12 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.\f* nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi.

EXO 27:13 Removed trailing space in v~: Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, ua pia utakuwa na upana wa dhiraa hamsini.

EXO 27:14 Removed trailing space in v~: Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yatakuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

EXO 27:15 Removed trailing space in v~: Kutakuwepo tena na mapazia ya dhiraa kumi na tano\f + \fr 27:15 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75.\f* kwa upande mwingine wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

EXO 27:16 Removed trailing space in v~: “Kuhusu ingilio la ua, weka pazia lenye urefu wa dhiraa ishirini\f + \fr 27:16 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.\f* la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo litashikiliwa na nguzo nne na vitako vinne.

EXO 27:17 Removed trailing space in v~: Nguzo zote zinazozunguka ua zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako vya shaba.

EXO 27:18 Removed trailing space in v~: Ua wa kukutania utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini, ukiwa na mapazia ya kitani yaliyosokotwa vizuri yenye urefu wa dhiraa tano kwenda juu na vitako vya shaba.

EXO 27:19 Removed trailing space in v~: Vyombo vingine vyote vinavyotumika katika maskani kwa shughuli yoyote, pamoja na vigingi vyote na hata vile vya ua, vitakuwa vya shaba.

EXO 27:19 Removed trailing space in s1: Mafuta Ya Kinara Cha Taa

EXO 27:19 Removed trailing space in r: (Walawi 24:1-4)

EXO 27:20 Removed trailing space in v~: “Utawaamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili zile taa ziwake mfululizo.

EXO 27:21 Removed trailing space in v~: Katika Hema la Kukutania, nje ya pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, Aroni na wanawe watahakikisha kuwa taa hizo zinawaka kuanzia jioni mpaka asubuhi mbele za \nd Bwana\nd*. Hili litakuwa agizo la milele miongoni mwa Waisraeli kwa vizazi vyote vijavyo.

EXO 28:0 Extra space after chapter number

EXO 28:0 Removed trailing space in c: 28

EXO 28:0 Removed trailing space in s1: Mavazi Ya Kikuhani

EXO 28:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 39:1-7)

EXO 28:1 Removed trailing space in v~: “Mtwae Aroni ndugu yako aliyeletwa kwako kutoka miongoni mwa Waisraeli, pamoja na wanawe Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.

EXO 28:2 Removed trailing space in v~: Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.

EXO 28:3 Removed trailing space in v~: Waambie mafundi stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani.

EXO 28:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo mavazi watakayoshona: kifuko cha kifuani, kisibau, kanzu, joho lililorembwa, kilemba na mshipi. Mavazi haya yatashonwa kwa ajili ya ndugu yako Aroni na wanawe ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.

EXO 28:5 Removed trailing space in v~: Waambie watumie dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani safi.

EXO 28:5 Removed trailing space in s1: Kisibau

EXO 28:6 Removed trailing space in v~: “Tengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa, kazi ya fundi stadi.

EXO 28:7 Removed trailing space in v~: Kitakuwa na vipande viwili vya mabegani vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kufungia kisibau.

EXO 28:8 Removed trailing space in v~: Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi utafanana nacho: utakuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao utengenezwe kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri.

EXO 28:9 Removed trailing space in v~: “Chukua vito viwili vya shohamu, na uchore juu yake majina ya wana wa Israeli

EXO 28:10 Removed trailing space in v~: kufuatana na walivyozaliwa: majina sita katika kito kimoja, na mengine sita katika kito kingine.

EXO 28:11 Removed trailing space in v~: Yachore majina ya wana wa Israeli juu ya vito hivyo viwili kama vile sonara anavyochonga muhuri. Kisha uvitie vito hivyo katika vijalizo vya dhahabu,

EXO 28:12 Removed trailing space in v~: na uvifungie juu ya vipande vya mabega ya kisibau yawe kama vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli. Aroni atavaa majina hayo mabegani mwake kama kumbukumbu mbele za \nd Bwana\nd*.

EXO 28:13 Removed trailing space in v~: Tengeneza vijalizo vya dhahabu

EXO 28:14 Removed trailing space in v~: na mikufu miwili ya dhahabu safi iliyosokotwa kama kamba, na uifunge mikufu hiyo kwenye vijalizo.

EXO 28:14 Removed trailing space in s1: Kifuko Cha Kifuani

EXO 28:14 Removed trailing space in r: (Kutoka 39:8-21)

EXO 28:15 Removed trailing space in v~: “Fanyiza kifuko cha kifuani kwa ajili ya kufanya maamuzi, kazi ya fundi stadi. Kitengeneze kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.

EXO 28:16 Removed trailing space in v~: Kitakuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja\f + \fr 28:16 \ft Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.\f* na upana wa shibiri moja, na kikunjwe mara mbili.

EXO 28:17 Removed trailing space in v~: Kisha weka safu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya kwanza itakuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;

EXO 28:18 Removed trailing space in v~: katika safu ya pili itakuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;

EXO 28:19 Removed trailing space in v~: safu ya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;

EXO 28:20 Removed trailing space in v~: na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu.

EXO 28:21 Removed trailing space in v~: Patakuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kwa jina mojawapo la wana wa Israeli, kila kimoja kichorwe kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.

EXO 28:22 Removed trailing space in v~: “Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani, tengeneza mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.

EXO 28:23 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili yake, uzifungie kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.

EXO 28:24 Removed trailing space in v~: Funga ile mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete zilizo katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,

EXO 28:25 Removed trailing space in v~: nazo zile ncha nyingine za mkufu zifunge kwenye vile vijalizo viwili, na uzishikamanishe na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.

EXO 28:26 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete mbili za dhahabu, uzishikamanishe kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.

EXO 28:27 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete nyingine mbili za dhahabu, na uzishikamanishe sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.

EXO 28:28 Removed trailing space in v~: Pete za kifuko cha kifuani zitafungwa kwenye pete zile za kisibau kwa kamba ya buluu, ziunganishwe na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau.

EXO 28:29 Removed trailing space in v~: “Wakati wowote Aroni aingiapo Mahali Patakatifu, atakuwa na yale majina ya wana wa Israeli moyoni mwake juu ya kile kifuko cha kifuani cha uamuzi kama kumbukumbu ya kudumu mbele za \nd Bwana\nd*.

EXO 28:30 Removed trailing space in v~: Pia weka Urimu na Thumimu\f + \fr 28:30 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f* ndani ya kifuko cha kifuani, yawe juu ya moyo wa Aroni kila mara aingiapo mbele za \nd Bwana\nd*. Kwa hiyo siku zote Aroni atakuwa na uwezo kufanya maamuzi kwa ajili ya wana wa Israeli mbele za \nd Bwana\nd*.

EXO 28:30 Removed trailing space in s1: Mavazi Mengine Ya Kikuhani

EXO 28:30 Removed trailing space in r: (Kutoka 39:22-31)

EXO 28:31 Removed trailing space in v~: “Shona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu,

EXO 28:32 Removed trailing space in v~: na katikati uweke nafasi ya kuingizia kichwa. Kutakuwa na utepe uliofumwa, unaofanana na ukosi kuizunguka nafasi hiyo, ili isichanike.

EXO 28:33 Removed trailing space in v~: Tengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu kuzunguka pindo la hilo joho, na uweke pia vikengele vya dhahabu kati ya hayo makomamanga.

EXO 28:34 Removed trailing space in v~: Hivyo vikengele vya dhahabu na makomamanga vitapishana kuzunguka upindo wa joho lile.

EXO 28:35 Removed trailing space in v~: Ni lazima Aroni alivae anapofanya huduma. Sauti ya hivyo vikengele itasikika anapoingia na kutoka Mahali Patakatifu mbele za \nd Bwana\nd*, ili asije akafa.

EXO 28:36 Removed trailing space in v~: “Tengeneza bamba la dhahabu safi na uchore juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: \sc Mtakatifu kwa Bwana\sc*.

EXO 28:37 Removed trailing space in v~: Lifunge hilo bamba kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni lazima liwe mbele ya kilemba.

EXO 28:38 Removed trailing space in v~: Aroni alivae bamba hilo kwenye paji la uso wake, naye atachukua hatia kuhusu sadaka takatifu za Waisraeli wanazoweka wakfu, sadaka za aina yoyote. Litakuwa kwenye paji la uso wa Aroni daima ili zikubalike kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 28:39 Removed trailing space in v~: “Fuma koti la kitani safi na ufanye kilemba cha kitani safi. Mshipi uwe ni kazi ya mtarizi.

EXO 28:40 Removed trailing space in v~: Watengenezee wana wa Aroni makoti, mishipi na kofia, ili kuwapa ukuu na heshima.

EXO 28:41 Removed trailing space in v~: Baada ya kumvika Aroni ndugu yako pamoja na wanawe nguo hizi, watie mafuta na kuwabariki. Waweke wakfu ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.

EXO 28:42 Removed trailing space in v~: “Watengenezee nguo za ndani za kitani zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi mapajani.

EXO 28:43 Removed trailing space in v~: Aroni na wanawe ni lazima wavae haya kila wanapoingia katika Hema la Kukutania au wanaposogelea madhabahu wakati wa kutoa huduma katika Mahali Patakatifu, ili wasije wakafanya kosa wakafa.

EXO 28:43 Removed trailing space in p~: “Haya yawe maagizo ya kudumu kwa Aroni na vizazi vyake.

EXO 29:0 Extra space after chapter number

EXO 29:0 Removed trailing space in c: 29

EXO 29:0 Removed trailing space in s1: Kuweka Wakfu Makuhani

EXO 29:0 Removed trailing space in r: (Walawi 8:1-36)

EXO 29:1 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo utakalofanya ili kuwaweka wakfu makuhani ili wanitumikie mimi katika kazi ya ukuhani: Chukua fahali mchanga mmoja na kondoo dume wawili wasio na dosari.

EXO 29:2 Removed trailing space in v~: Kutokana na unga laini wa ngano usiotiwa chachu, tengeneza mikate na maandazi yaliyokandwa kwa mafuta, pamoja na mikate midogo myembamba.

EXO 29:3 Removed trailing space in v~: Viwekwe vyote ndani ya kikapu na kuvitoa pamoja na yule fahali na wale kondoo dume wawili.

EXO 29:4 Removed trailing space in v~: Kisha mlete Aroni na wanawe kwenye lango la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.

EXO 29:5 Removed trailing space in v~: Chukua yale mavazi na umvike Aroni koti, joho la kisibau na kisibau chenyewe pamoja na kile kifuko cha kifuani. Mfungie hicho kisibau kwa ule mshipi wa kiunoni uliosukwa kwa ustadi.

EXO 29:6 Removed trailing space in v~: Weka kilemba kichwani mwake na kuweka taji takatifu ishikamane na hicho kilemba.

EXO 29:7 Removed trailing space in v~: Chukua yale mafuta ya upako umimine juu ya kichwa chake.

EXO 29:8 Removed trailing space in v~: Walete wanawe na uwavike makoti,

EXO 29:9 Removed trailing space in v~: pia uwavike zile tepe za kichwani. Ndipo uwafunge Aroni na wanawe mishipi. Ukuhani ni wao kwa agizo la kudumu. Kwa njia hii utamweka wakfu Aroni na wanawe.

EXO 29:10 Removed trailing space in v~: “Mlete yule fahali mbele ya Hema la Kukutania, naye Aroni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake.

EXO 29:11 Removed trailing space in v~: Mchinje huyo fahali mbele za \nd Bwana\nd* kwenye mlango wa Hema la Kukutania.

EXO 29:12 Removed trailing space in v~: Chukua sehemu ya damu ya huyo fahali na kuipaka kwenye pembe za hayo madhabahu kwa kidole chako, na damu iliyobaki uimwage sehemu ya chini ya madhabahu.

EXO 29:13 Removed trailing space in v~: Kisha chukua mafuta yote ya huyo mnyama ya sehemu za ndani, yale yanayofunika ini, figo zote mbili pamoja na mafuta yake, uviteketeze juu ya madhabahu.

EXO 29:14 Removed trailing space in v~: Lakini nyama ya huyo fahali na ngozi yake na matumbo yake utavichoma nje ya kambi. Hii ni sadaka ya dhambi.

EXO 29:15 Removed trailing space in v~: “Chukua mmoja wa wale kondoo dume, naye Aroni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake.

EXO 29:16 Removed trailing space in v~: Mchinje huyo kondoo dume, chukua damu yake na uinyunyize pande zote za hayo madhabahu.

EXO 29:17 Removed trailing space in v~: Mkate huyo kondoo dume vipande vipande na usafishe sehemu za ndani pamoja na miguu, ukiviweka pamoja na kichwa na vipande vingine.

EXO 29:18 Removed trailing space in v~: Kisha mteketeze huyo kondoo dume mzima juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd*, harufu ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

EXO 29:19 Removed trailing space in v~: “Mchukue yule kondoo dume mwingine, naye Aroni na wanawe waweke mikono yao juu ya kichwa chake.

EXO 29:20 Removed trailing space in v~: Mchinje, uchukue sehemu ya damu yake na kuipaka kwenye masikio ya Aroni na wanawe, kwenye vidole gumba vya mikono yao ya kuume, pia kwenye vidole gumba vya miguu yao ya kuume. Kisha nyunyiza hiyo damu pande zote za madhabahu.

EXO 29:21 Removed trailing space in v~: Pia chukua sehemu ya damu iliyo juu ya madhabahu na sehemu ya mafuta ya upako, umnyunyizie Aroni na mavazi yake, pia wanawe na mavazi yao. Ndipo Aroni na wanawe pamoja na mavazi yao watakuwa wamewekwa wakfu.

EXO 29:22 Removed trailing space in v~: “Chukua mafuta ya huyu kondoo dume, mafuta ya mkia, mafuta ya sehemu za ndani yale yanayofunika ini, figo zote mbili na mafuta yake, pamoja na paja la kulia. (Huyo ndiye kondoo dume kwa ajili ya kuwaweka wakfu.)

EXO 29:23 Removed trailing space in v~: Kutoka kwenye kile kikapu chenye mikate iliyotengenezwa bila chachu, kilichoko mbele za \nd Bwana\nd*, chukua mkate, andazi lililokandwa kwa mafuta na mkate mdogo mwembamba.

EXO 29:24 Removed trailing space in v~: Viweke vitu hivi vyote mikononi mwa Aroni na wanawe na uviinue mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa.

EXO 29:25 Removed trailing space in v~: Kisha vichukue vitu hivyo kutoka mikononi mwao, uviteketeze juu ya madhabahu pamoja na sadaka ya kuteketezwa kuwa harufu nzuri ya kupendeza kwa \nd Bwana\nd*, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

EXO 29:26 Removed trailing space in v~: Baada ya kuchukua kidari cha huyo kondoo dume wa kuwekwa wakfu kwa Aroni, kiinue mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa, nayo itakuwa fungu lako.

EXO 29:27 Removed trailing space in v~: “Weka wakfu zile sehemu za kondoo dume aliyetumika kwa kumweka wakfu Aroni na wanawe: kidari kile kilichoinuliwa na lile paja lililotolewa.

EXO 29:28 Removed trailing space in v~: Siku zote hili litakuwa fungu la kawaida kutoka kwa Waisraeli kwa ajili ya Aroni na wanawe. Hili ni toleo la Waisraeli watakalotoa kwa \nd Bwana\nd* kutoka sadaka zao za amani.

EXO 29:29 Removed trailing space in v~: “Mavazi matakatifu ya Aroni yatakuwa ya wazao wake ili kwamba waweze kutiwa mafuta na kuwekwa wakfu wakiwa wameyavaa.

EXO 29:30 Removed trailing space in v~: Mwana atakayeingia mahali pake kuwa kuhani na kuja kwenye Hema la Kukutania kuhudumu katika Mahali Patakatifu atayavaa kwa siku saba.

EXO 29:31 Removed trailing space in v~: “Chukua nyama ya huyo kondoo dume wa kuwaweka wakfu uipike katika Mahali Patakatifu.

EXO 29:32 Removed trailing space in v~: Aroni na wanawe wataila ile nyama ya huyo kondoo dume pamoja na ile mikate iliyo kwenye hicho kikapu wakiwa hapo ingilio la Hema la Kukutania.

EXO 29:33 Removed trailing space in v~: Watakula sadaka hizi ambazo upatanisho ulifanywa kwazo kwa ajili ya kuwaweka wakfu na kuwatakasa. Lakini hakuna mtu mwingine yeyote anayeruhusiwa kuvila, kwa sababu ni vitakatifu.

EXO 29:34 Removed trailing space in v~: Ikiwa nyama yoyote ya huyo kondoo dume iliyotumika kwa kuwaweka wakfu au mkate wowote umebaki mpaka asubuhi, vichomwe. Kamwe visiliwe, kwa sababu ni vitakatifu.

EXO 29:35 Removed trailing space in v~: “Hivyo utamfanyia Aroni na wanawe kila kitu kama vile nilivyokuamuru: Utachukua muda wa siku saba kuwaweka wakfu.

EXO 29:36 Removed trailing space in v~: Utatoa dhabihu ya fahali kila siku kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho. Takasa madhabahu kwa kufanya upatanisho kwa ajili yake, nayo uitie mafuta na kuiweka wakfu.

EXO 29:37 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa siku saba fanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu na kuiweka wakfu. Ndipo madhabahu itakuwa takatifu sana na chochote kitakachoigusa kitakuwa kitakatifu.

EXO 29:38 Removed trailing space in v~: “Kwa kawaida hiki ndicho utakachotoa juu ya madhabahu kila siku: wana-kondoo wawili wenye umri wa mwaka mmoja.

EXO 29:39 Removed trailing space in v~: Utamtoa mmoja asubuhi na huyo mwingine jioni.

EXO 29:40 Removed trailing space in v~: Pamoja na mwana-kondoo wa kwanza utatoa efa moja\f + \fr 29:40 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.\f* ya unga wa ngano laini uliochanganywa na robo ya hini\f + \fr 29:40 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.\f* ya mafuta yaliyokamuliwa, pamoja na robo ya hini ya divai kuwa sadaka ya kinywaji.

EXO 29:41 Removed trailing space in v~: Huyo mwana-kondoo mwingine mtoe dhabihu wakati wa machweo pamoja na sadaka za unga na za kinywaji kama vile ulivyofanya asubuhi, kuwa harufu ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

EXO 29:42 Removed trailing space in v~: “Kwa vizazi vijavyo itakuwa kawaida kutoa sadaka hii ya kuteketezwa kila mara kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za \nd Bwana\nd*. Hapo ndipo nitakapokutana na ninyi na kusema nanyi,

EXO 29:43 Removed trailing space in v~: Huko ndipo nitakapokutana na Waisraeli, nalo Hema la Kukutania litatakaswa na utukufu wangu.

EXO 29:44 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nitaliweka wakfu Hema la Kukutania pamoja na madhabahu, nami nitamweka wakfu Aroni na wanawe ili wanitumikie mimi katika kazi ya ukuhani.

EXO 29:45 Removed trailing space in v~: Ndipo nitakapofanya makao miongoni mwa Waisraeli na kuwa Mungu wao.

EXO 29:46 Removed trailing space in v~: Nao watajua kuwa Mimi Ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wao, aliyewatoa Misri ili nipate kufanya makao miongoni mwao. Mimi Ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wao.

EXO 30:0 Extra space after chapter number

EXO 30:0 Removed trailing space in c: 30

EXO 30:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba

EXO 30:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 37:25-28)

EXO 30:1 Removed trailing space in v~: “Tengeneza madhabahu kwa mbao za mshita kwa ajili ya kufukizia uvumba.

EXO 30:2 Removed trailing space in v~: Madhabahu hayo yawe mraba, urefu na upana wake dhiraa moja,\f + \fr 30:2 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* na kimo cha dhiraa mbili,\f + \fr 30:2 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.\f* nazo pembe zake zitakuwa kitu kimoja nayo.

EXO 30:3 Removed trailing space in v~: Funika hayo madhabahu juu na pande zote na pia pembe zake kwa dhahabu safi, na uifanyizie ukingo wa dhahabu kuizunguka.

EXO 30:4 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo ukingo, ziwe mbili kila upande, za kushikilia hiyo mipiko itumikayo kuibebea madhabahu.

EXO 30:5 Removed trailing space in v~: Tengeneza mipiko kwa miti ya mshita na uifunike kwa dhahabu.

EXO 30:6 Removed trailing space in v~: Weka hayo madhabahu mbele ya lile pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya Sanduku la Ushuhuda, mahali ambapo nitakutana nawe.

EXO 30:7 Removed trailing space in v~: “Itampasa Aroni kufukiza uvumba wenye harufu nzuri juu ya madhabahu kila siku asubuhi wakati anapowasha zile taa.

EXO 30:8 Removed trailing space in v~: Itampasa afukize uvumba tena wakati anapowasha taa wakati wa machweo ili uvumba ufukizwe daima mbele za \nd Bwana\nd* kwa vizazi vijavyo.

EXO 30:9 Removed trailing space in v~: Usifukize uvumba mwingine wowote juu ya madhabahu haya au sadaka nyingine yoyote ya kuteketezwa wala sadaka ya nafaka, wala usimimine sadaka ya kinywaji juu yake.

EXO 30:10 Removed trailing space in v~: Mara moja kwa mwaka Aroni atafanya upatanisho juu ya pembe za hayo madhabahu. Upatanisho huu wa mwaka lazima ufanywe kwa damu ya sadaka ya upatanisho kwa ajili ya dhambi kwa vizazi vijavyo. Ni takatifu sana kwa \nd Bwana\nd*.”

EXO 30:10 Removed trailing space in s1: Fedha Ya Upatanisho

EXO 30:11 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 30:12 Removed trailing space in v~: “Utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja lazima alipe kwa \nd Bwana\nd* fidia kwa ajili ya nafsi yake wakati wa kuhesabiwa kwake. Ndipo hakutakuwa na pigo juu yao unapowahesabu.

EXO 30:13 Removed trailing space in v~: Kila mmoja anayekwenda upande wa wale waliokwisha hesabiwa atatoa nusu shekeli,\f + \fr 30:13 \ft Nusu shekeli ni sawa na gramu 6.\f* kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, ambayo ina uzito wa gera ishirini.\f + \fr 30:13 \ft Gera 20 ni sawa na shekeli moja au gramu 12.\f* Hii nusu shekeli ni sadaka kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 30:14 Removed trailing space in v~: Wote wale wanaovuka, wenye umri wa miaka ishirini au zaidi, watatoa sadaka kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 30:15 Removed trailing space in v~: Matajiri hawatalipa zaidi ya nusu shekeli, nao maskini hawatatoa pungufu wakati mnatoa sadaka kwa \nd Bwana\nd* kwa kufanya upatanisho wa nafsi zenu.

EXO 30:16 Removed trailing space in v~: Utapokea fedha ya upatanisho kutoka kwa Waisraeli na uzitumie kwa ajili ya huduma ya Hema la Kukutania. Itakuwa ni ukumbusho kwa Waisraeli mbele za \nd Bwana\nd* kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu.”

EXO 30:16 Removed trailing space in s1: Sinia La Kunawia

EXO 30:17 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 30:18 Removed trailing space in v~: “Tengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, kisha uweke maji ndani yake.

EXO 30:19 Removed trailing space in v~: Aroni na wanawe watanawa mikono na miguu yao kwa maji yatokayo katika hilo sinia.

EXO 30:20 Removed trailing space in v~: Wakati wowote wanapoingia katika Hema la Kukutania, watanawa kwa maji ili kwamba wasije wakafa. Pia, wanapokaribia madhabahu ili kuhudumu kwa kuleta sadaka zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto,

EXO 30:21 Removed trailing space in v~: watanawa mikono na miguu yao ili kwamba wasije wakafa. Hii itakuwa ni amri ya kudumu kwa ajili ya Aroni na wazao wake kwa vizazi vijavyo.”

EXO 30:21 Removed trailing space in s1: Mafuta Ya Upako

EXO 30:22 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 30:23 Removed trailing space in v~: “Chukua vikolezi bora vifuatavyo: shekeli 500\f + \fr 30:23 \ft Shekeli 500 ni sawa na kilo 6.\f* za manemane ya maji, shekeli 250\f + \fr 30:23 \ft Shekeli 250 ni sawa na kilo 3.\f* za mdalasini wenye harufu nzuri, shekeli 250 za miwa yenye harufu nzuri,

EXO 30:24 Removed trailing space in v~: shekeli 500 za aina nyingine ya mdalasini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, pia hini\f + \fr 30:24 \ft Hini moja ni sawa na lita 4.\f* ya mafuta ya zeituni.

EXO 30:25 Removed trailing space in v~: Vitengeneze vikolezi hivi kuwa mafuta matakatifu ya upako yenye harufu nzuri, kazi ya mtengeneza manukato. Yatakuwa mafuta matakatifu ya upako.

EXO 30:26 Removed trailing space in v~: Kisha yatumie kupaka hilo Hema la Kukutania, Sanduku la Ushuhuda,

EXO 30:27 Removed trailing space in v~: meza na vifaa vyake vyote, kinara cha taa na vifaa vyake vyote, madhabahu ya kufukizia uvumba,

EXO 30:28 Removed trailing space in v~: madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake vyote na sinia pamoja na kitako chake.

EXO 30:29 Removed trailing space in v~: Utaviweka wakfu ili viwe vitakatifu sana na kila kitakachoigusa kitakuwa kitakatifu.

EXO 30:30 Removed trailing space in v~: “Mtie Aroni na wanawe mafuta na uwaweke wakfu ili waweze kunitumikia katika kazi ya ukuhani.

EXO 30:31 Removed trailing space in v~: Waambie Waisraeli, ‘Haya yatakuwa mafuta matakatifu yangu ya upako kwa vizazi vijavyo.

EXO 30:32 Removed trailing space in v~: Usiyamimine juu ya miili ya wanadamu wala usitengeneze mafuta ya aina nyingine kwa utaratibu huu. Ni mafuta matakatifu na ni lazima myaone kuwa ni matakatifu.

EXO 30:33 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote atakayetengeneza manukato kama hayo na yeyote atakayeyamimina juu ya mtu yeyote ambaye si kuhani atakatiliwa mbali na watu wake.’ ”

EXO 30:33 Removed trailing space in s1: Uvumba

EXO 30:34 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Chukua vikolezi vyenye harufu nzuri vifuatavyo: natafi, shekelethi, kelbena na uvumba safi vyote vikiwa na vipimo sawa,

EXO 30:35 Removed trailing space in v~: pia tengeneza mchanganyiko wa uvumba wenye harufu nzuri, kazi ya mtengeneza manukato. Utiwe chumvi ili upate kuwa safi na mtakatifu.

EXO 30:36 Removed trailing space in v~: Saga baadhi yake kuwa unga na uweke mbele ya Sanduku la Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, mahali ambapo nitakutana nawe. Itakuwa takatifu sana kwenu.

EXO 30:37 Removed trailing space in v~: Msitengeneze uvumba mwingine wowote wa namna hii kwa ajili yenu wenyewe; uoneni kuwa ni mtakatifu kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 30:38 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayetengeneza uvumba kama huu ili kufurahia harufu yake nzuri lazima akatiliwe mbali na watu wake.”

EXO 31:0 Extra space after chapter number

EXO 31:0 Removed trailing space in c: 31

EXO 31:0 Removed trailing space in s1: Bezaleli Na Oholiabu

EXO 31:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 35:30–36:1)

EXO 31:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 31:2 Removed trailing space in v~: “Tazama, nimemchagua Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda,

EXO 31:3 Removed trailing space in v~: nami nimemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi,

EXO 31:4 Removed trailing space in v~: ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba,

EXO 31:5 Removed trailing space in v~: kuchonga vito na kuvitia mahali, kufanya ufundi kwa mbao, na kujishughulisha na aina zote za ufundi.

EXO 31:6 Removed trailing space in v~: Tena nimemteua Oholiabu mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, ili kumsaidia. Pia mafundi wote nimewapa ustadi wa kutengeneza kila kitu nilichokuamuru wewe:

EXO 31:7 Removed trailing space in v~: Hema la Kukutania, Sanduku la Ushuhuda pamoja na kiti cha rehema juu yake, pia na vifaa vyote vya kwenye hema,

EXO 31:8 Removed trailing space in v~: meza na vifaa vyake, kinara cha taa cha dhahabu safi na vifaa vyake vyote, madhabahu ya kufukizia uvumba,

EXO 31:9 Removed trailing space in v~: madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake vyote, sinia na kinara chake,

EXO 31:10 Removed trailing space in v~: pamoja na mavazi matakatifu yaliyofumwa ya kuhani Aroni, na mavazi kwa ajili ya wanawe wakati wanahudumu katika kazi ya ukuhani,

EXO 31:11 Removed trailing space in v~: pia mafuta ya upako na uvumba wenye harufu nzuri kwa ajili ya Mahali Patakatifu. Watavitengeneza sawasawa kama vile nilivyokuagiza wewe.”

EXO 31:11 Removed trailing space in s1: Sabato

EXO 31:12 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 31:13 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli, ‘Ninyi ni lazima mzishike Sabato zangu. Hii itakuwa ni ishara kati yangu na ninyi kwa ajili ya vizazi vijavyo, ili mpate kujua kwamba Mimi Ndimi \nd Bwana\nd*, niwafanyaye ninyi watakatifu.

EXO 31:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtaishika Sabato, kwa sababu ni takatifu kwenu. Yeyote atakayeinajisi lazima auawe, yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima akafie mbali na watu wake.

EXO 31:15 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, takatifu kwa \nd Bwana\nd*. Yeyote afanyaye kazi yoyote siku ya Sabato ni lazima auawe.

EXO 31:16 Removed trailing space in v~: Waisraeli wataishika Sabato, kuiadhimisha kwa vizazi vijavyo kuwa Agano la milele.

EXO 31:17 Removed trailing space in v~: Itakuwa ishara kati yangu na Waisraeli milele, kwa kuwa kwa muda wa siku sita \nd Bwana\nd* aliumba mbingu na dunia, na siku ya saba akaacha kufanya kazi, akapumzika.’ ”

EXO 31:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipomaliza kusema na Mose juu ya Mlima Sinai, Mungu akampa vile vibao viwili vya Ushuhuda, vibao vya mawe vilivyoandikwa kwa kidole cha Mungu.

EXO 32:0 Extra space after chapter number

EXO 32:0 Removed trailing space in c: 32

EXO 32:0 Removed trailing space in s1: Ndama Wa Dhahabu

EXO 32:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 9:6-29)

EXO 32:1 Removed trailing space in v~: Watu walipoona kuwa Mose amekawia sana kushuka kutoka mlimani, walimkusanyikia Aroni na kumwambia, “Njoo, tutengenezee miungu itakayotutangulia. Kwa maana huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatujui jambo lililompata.”

EXO 32:2 Removed trailing space in v~: Aroni akawajibu, “Vueni vipuli vya dhahabu ambavyo wake zenu, wana wenu na binti zenu wamevaa, mkaniletee.”

EXO 32:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wote wakavua vipuli vyao, wakavileta kwa Aroni.

EXO 32:4 Removed trailing space in v~: Akavichukua vile vitu walivyomkabidhi, akavifanyiza kwa kusubu sanamu yenye umbo la ndama, akaichonga kwa kutumia chombo. Kisha wakasema, “Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”

EXO 32:5 Removed trailing space in v~: Aroni alipoona hili, akajenga madhabahu mbele ya yule ndama na kutangaza, “Kesho kutakuwa na sikukuu kwa \nd Bwana\nd*.”

EXO 32:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo siku iliyofuata watu wakaamka asubuhi na mapema na kutoa sadaka za kuteketeza na sadaka za amani. Baadaye watu wakaketi kula na kunywa, nao wakasimama, wakajizamisha katika sherehe.

EXO 32:7 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Shuka, kwa sababu watu wako, uliowatoa Misri, wamepotoka.

EXO 32:8 Removed trailing space in v~: Wamekuwa wepesi kugeuka na kuacha niliyowaamuru, na wamejitengenezea sanamu ya kuyeyusha yenye umbo la ndama. Wameisujudia na kuitolea dhabihu, nao wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli iliyokupandisha kutoka Misri.’ ”

EXO 32:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nimeona watu hawa, nao ni watu wenye shingo ngumu.

EXO 32:10 Removed trailing space in v~: Sasa niache ili hasira yangu ipate kuwaka dhidi yao, nami nipate kuwaangamiza. Kisha nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa.”

EXO 32:11 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamsihi \nd Bwana\nd* Mungu wake, akasema, “Ee \nd Bwana\nd*, kwa nini hasira yako iwake dhidi ya watu wako, wale uliowatoa Misri kwa uweza mkuu na mkono wenye nguvu?

EXO 32:12 Removed trailing space in v~: Kwa nini Wamisri waseme, ‘Ni kwa nia mbaya aliwatoa Misri, ili awaue milimani na kuwafuta usoni mwa dunia’? Achilia mbali hasira yako kali, waonee huruma na usilete maafa juu ya watu wako.

EXO 32:13 Removed trailing space in v~: Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaki na Israeli, ambao uliwaapia kwa nafsi yako mwenyewe: ‘Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami nitawapa wazao wako nchi hii yote ambayo niliwaahidia, nayo itakuwa urithi wao milele.’ ”

EXO 32:14 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akawaonea huruma, wala hakuleta juu ya watu wake maafa aliyokuwa amekusudia.

EXO 32:15 Removed trailing space in v~: Mose akageuka, akashuka kutoka mlimani akiwa na vibao viwili vya Ushuhuda mikononi mwake. Vilikuwa vimeandikwa pande zote mbili, mbele na nyuma.

EXO 32:16 Removed trailing space in v~: Vibao hivyo vilikuwa kazi ya Mungu; maandishi yalikuwa mwandiko wa Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao.

EXO 32:17 Removed trailing space in v~: Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga kelele, akamwambia Mose, “Kuna sauti ya vita kambini.”

EXO 32:18 Removed trailing space in v~: Mose akajibu:

EXO 32:18 Removed trailing space in p~: “Si sauti ya ushindi,

EXO 32:18 Removed trailing space in p~: wala si sauti ya kushindwa;

EXO 32:18 Removed trailing space in p~: ni sauti ya kuimba ninayosikia.”

EXO 32:19 Removed trailing space in v~: Mose alipoikaribia kambi na kuona yule ndama na ile michezo, hasira yake ikawaka, akatupa vile vibao vilivyokuwa mikononi mwake, akavipasua vipande vipande pale chini ya mlima.

EXO 32:20 Removed trailing space in v~: Kisha akamchukua yule ndama waliokuwa wamemtengeneza na kumchoma kwenye moto, kisha akamsaga kuwa unga, akanyunyiza kwenye maji na kuwafanya Waisraeli wanywe.

EXO 32:21 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Aroni, “Watu hawa walikufanyia nini, hata ukawaongoza kufanya dhambi kubwa hivyo?”

EXO 32:22 Removed trailing space in v~: Aroni akamwambia, “Usikasirike bwana wangu. Unajua jinsi watu hawa walivyo tayari kwa maovu.

EXO 32:23 Removed trailing space in v~: Wao waliniambia, ‘Tufanyie miungu itakayotuongoza. Kwa kuwa huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatufahamu yaliyompata.’

EXO 32:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikawaambia, ‘Yeyote aliye na kito chochote cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo dhahabu, nami nikaitupa motoni, akatokea huyu ndama!”

EXO 32:25 Removed trailing space in v~: Mose akaona kuwa watu wameasi, kwa kuwa Aroni alikuwa amewaacha waasi, na hivyo kuwa kichekesho kwa adui zao.

EXO 32:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akasimama kwenye ingilio la kambi, akasema, “Yeyote aliye upande wa \nd Bwana\nd*, aje upande wangu.” Walawi wote wakamjia.

EXO 32:27 Removed trailing space in v~: Ndipo alipowaambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kila mmoja wenu ajifunge upanga wake kiunoni aende huku na huko kambi yote mwisho hadi mwisho mwingine, kila mmoja amuue ndugu yake, na rafiki yake na jirani yake.’ ”

EXO 32:28 Removed trailing space in v~: Walawi wakafanya kama Mose alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao 3,000.

EXO 32:29 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akasema, “Leo mmewekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd*, kwa kuwa mlikuwa kinyume na wana wenu wenyewe na ndugu zenu, naye Mungu amewabariki leo.”

EXO 32:30 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata Mose akawaambia watu, “Mmefanya dhambi kubwa. Lakini sasa nitapanda juu kwa \nd Bwana\nd*, labda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”

EXO 32:31 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akarudi kwa \nd Bwana\nd* na kumwambia, “Lo! Hawa watu wamefanya dhambi kubwa namna gani! Wamejitengenezea miungu ya dhahabu.

EXO 32:32 Removed trailing space in v~: Lakini sasa nakusihi, wasamehe dhambi yao; lakini kama sivyo, basi nifute kutoka kwenye kitabu ulichoandika.”

EXO 32:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu Mose, “Yeyote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta kutoka kwenye kitabu changu.

EXO 32:34 Removed trailing space in v~: Sasa nenda, uongoze hao watu mpaka mahali nilipokuambia, naye malaika wangu atakutangulia. Pamoja na hayo, wakati utakapofika wa mimi kuwaadhibu, nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi yao.”

EXO 32:35 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akawapiga watu kwa ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye alitengenezwa na Aroni.

EXO 33:0 Extra space after chapter number

EXO 33:0 Removed trailing space in c: 33

EXO 33:0 Removed trailing space in s1: Amri Ya Kuondoka Sinai

EXO 33:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Ondoka mahali hapa, wewe pamoja na hao watu uliowapandisha kutoka Misri, mpande mpaka nchi niliyomwahidi Abrahamu, Isaki na Yakobo kwa kiapo, nikisema, ‘Nitawapa wazao wenu nchi hii.’

EXO 33:2 Removed trailing space in v~: Nitamtuma malaika mbele yenu, naye atawafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

EXO 33:3 Removed trailing space in v~: Pandeni mwende katika nchi itiririkayo maziwa na asali. Lakini mimi sitakwenda pamoja nanyi, kwa sababu ninyi ni watu wenye shingo ngumu, nisije nikawaangamiza njiani.”

EXO 33:4 Removed trailing space in v~: Watu waliposikia habari hizo za huzuni, wakaanza kuomboleza wala hakuna mtu aliyevaa mapambo yoyote.

EXO 33:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose, “Waambie Waisraeli, ‘Ninyi ni watu wenye shingo ngumu. Kama ningefuatana nanyi hata kwa muda mfupi, ningewaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu, nami nitaamua nitakalowatendea.’ ”

EXO 33:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wa Horebu.

EXO 33:6 Removed trailing space in s1: Hema La Kukutania

EXO 33:7 Removed trailing space in v~: Basi Mose alikuwa na desturi ya kuchukua hema na kuliweka wakfu nje ya kambi umbali kiasi, akaliita “Hema la Kukutania.” Kila aliyekuwa akiulizia shauri kwa \nd Bwana\nd*, angelikwenda katika Hema la Kukutania nje ya kambi.

EXO 33:8 Removed trailing space in v~: Wakati wowote Mose alipokwenda kwenye Hema, watu wote waliinuka na kusimama kwenye maingilio ya mahema yao, wakimwangalia Mose mpaka aingie kwenye Hema.

EXO 33:9 Removed trailing space in v~: Kila mara Mose alipoingia ndani ya hema, nguzo ya wingu ingeshuka chini na kukaa kwenye ingilio, wakati Mungu akizungumza na Mose.

EXO 33:10 Removed trailing space in v~: Kila mara watu walipoona hiyo nguzo ya wingu ikiwa imesimama kwenye ingilio la hema, wote walisimama wakaabudu, kila mmoja kwenye ingilio la hema lake.

EXO 33:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* angezungumza na Mose uso kwa uso, kama vile mtu azungumzavyo na rafiki yake. Kisha Mose angerudi kambini, lakini msaidizi wake kijana Yoshua mwana wa Nuni hakuondoka mle Hemani.

EXO 33:11 Removed trailing space in s1: Mose Na Utukufu Wa \nd Bwana\nd*

EXO 33:12 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Umekuwa ukiniambia, ‘Ongoza watu hawa,’ lakini hujanifahamisha ni nani utakayemtuma pamoja nami. Umesema, ‘Ninakujua wewe kwa jina lako, nawe umepata kibali mbele zangu.’

EXO 33:13 Removed trailing space in v~: Ikiwa umependezwa nami, nifundishe njia zako ili nipate kukujua, nami nizidi kupata kibali mbele zako. Kumbuka kuwa taifa hili ni watu wako.”

EXO 33:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.”

EXO 33:15 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia, “Kama Uso wako hauendi pamoja nasi, usituondoe hapa.

EXO 33:16 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote atajuaje kuwa mimi pamoja na watu wako tumepata kibali mbele zako, usipokwenda pamoja nasi? Ni nini kingine kitakachoweza kututofautisha mimi na watu wako miongoni mwa watu wengine wote walio katika uso wa dunia?”

EXO 33:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nitakufanyia jambo lile uliloomba, kwa sababu ninapendezwa nawe, nami ninakujua kwa jina lako.”

EXO 33:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akasema, “Basi nionyeshe utukufu wako.”

EXO 33:19 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akasema, “Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza Jina langu, \nd Bwana\nd*, mbele ya uso wako. Nitamrehemu yeye nimrehemuye, na pia nitamhurumia yeye nimhurumiaye.”

EXO 33:20 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.”

EXO 33:21 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema, “Kuna mahali karibu nami ambapo unaweza kusimama juu ya mwamba.

EXO 33:22 Removed trailing space in v~: Utukufu wangu unapopita, nitakuweka gengeni kwenye mwamba na kukufunika kwa mkono wangu mpaka nitakapokwisha kupita.

EXO 33:23 Removed trailing space in v~: Kisha nitaondoa mkono wangu nawe utaona mgongo wangu; lakini kamwe uso wangu hautaonekana.”

EXO 34:0 Extra space after chapter number

EXO 34:0 Removed trailing space in c: 34

EXO 34:0 Removed trailing space in s1: Vibao Vipya Vya Mawe

EXO 34:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 10:1-5)

EXO 34:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, nami nitaandika juu yake maneno yale yaliyokuwa kwenye vile vibao vya kwanza, ulivyovivunja.

EXO 34:2 Removed trailing space in v~: Uwe tayari asubuhi, kisha upande juu ya Mlima Sinai. Uje mbele zangu kukutana nami huko juu ya mlima.

EXO 34:3 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote asije pamoja nawe, wala asionekane mtu popote juu ya mlima, wala kondoo na mbuzi au ngʼombe wasilishe karibu mbele ya huo mlima.”

EXO 34:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akachonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, naye akapanda juu ya Mlima Sinai asubuhi na mapema, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwagiza, akachukua vile vibao viwili vya mawe mikononi mwake.

EXO 34:5 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akashuka katika wingu akasimama pamoja naye huko, akalitangaza jina lake, \nd Bwana\nd*.

EXO 34:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akapita mbele ya Mose, akitangaza, “\nd Bwana\nd*, \nd Bwana\nd*, Mungu mwenye huruma na neema, asiye mwepesi wa hasira, mwingi wa upendo na uaminifu,

EXO 34:7 Removed trailing space in v~: akidumisha upendo kwa maelfu, pia akisamehe uovu, uasi na dhambi. Lakini haachi kuadhibu mwenye hatia; huwaadhibu watoto na watoto wao kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata katika kizazi cha tatu na cha nne.”

EXO 34:8 Removed trailing space in v~: Mara Mose akasujudu na kuabudu.

EXO 34:9 Removed trailing space in v~: Mose akasema, “Ee \nd Bwana\nd*, kama nimepata kibali mbele zako, basi \nd Bwana\nd* uende pamoja nasi. Ingawa watu hawa ni wenye shingo ngumu, samehe uovu wetu na dhambi yetu, tuchukue kuwa urithi wako.”

EXO 34:9 Removed trailing space in s1: Kufanya Agano Upya

EXO 34:9 Removed trailing space in r: (Kutoka 23:14-19; Kumbukumbu 7:1-5; 16:1-17)

EXO 34:10 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema: “Tazama ninafanya Agano mbele ya watu wako wote. Mbele ya watu wako wote nitafanya maajabu ambayo hayajafanyika katika taifa lolote katika ulimwengu wote. Watu wale mnaoishi miongoni mwao wataona jinsi ilivyo ya kushangaza ile kazi nitakayowafanyia mimi \nd Bwana\nd* wenu.

EXO 34:11 Removed trailing space in v~: Tii yale ninayokuamuru leo. Tazama nawafukuza mbele yako Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

EXO 34:12 Removed trailing space in v~: Uwe mwangalifu, usifanye agano na wale wanaokaa katika nchi ile unayoiendea, la sivyo watakuwa mtego katikati yako.

EXO 34:13 Removed trailing space in v~: Bomoa madhabahu yao, vunja mawe yao ya kuabudia na ukatekate nguzo zao za Ashera.

EXO 34:14 Removed trailing space in v~: Usiabudu mungu mwingine, kwa kuwa \nd Bwana\nd*, ambaye jina lake ni Wivu, ni Mungu mwenye wivu.

EXO 34:15 Removed trailing space in v~: “Uwe mwangalifu usifanye agano na wale watu wanaoishi katika nchi, kwa maana wakati wanapojifanyia ukahaba kwa miungu yao na kuwatolea kafara, watakualika wewe nawe utakula sadaka za matambiko yao.

EXO 34:16 Removed trailing space in v~: Unapowachagua baadhi ya binti zao kuwa wake wa wana wenu na binti hao wakajifanyia ukahaba kwa miungu yao, watawaongoza wana wenu kufanya vivyo hivyo.

EXO 34:17 Removed trailing space in v~: “Usijifanyie sanamu za kusubu.

EXO 34:18 Removed trailing space in v~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu, kama nilivyokuamuru. Fanya hivi kwa wakati ulioamriwa, katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa kuwa katika mwezi huo ndipo wewe ulipotoka Misri.

EXO 34:19 Removed trailing space in v~: “Mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo ni mali yangu, pamoja na wazaliwa wa kwanza wote wa kiume wa mifugo yako, ikiwa ni wa ngʼombe au wa kondoo au mbuzi.

EXO 34:20 Removed trailing space in v~: Utakomboa mzaliwa wa kwanza wa punda kwa mwana-kondoo, lakini kama humkomboi, utavunja shingo yake. Utakomboa wazaliwa wako wa kwanza wote wa kiume.

EXO 34:20 Removed trailing space in p~: “Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.

EXO 34:21 Removed trailing space in v~: “Kwa siku sita utafanya kazi, lakini siku ya saba utapumzika, hata ikiwa ni majira ya kulima au ya kuvuna lazima upumzike.

EXO 34:22 Removed trailing space in v~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Majuma kwa malimbuko ya mavuno ya ngano, na Sikukuu ya Mavuno mwishoni mwa mwaka.

EXO 34:23 Removed trailing space in v~: Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote watakuja mbele za \nd Bwana\nd* Mwenyezi, Mungu wa Israeli.

EXO 34:24 Removed trailing space in v~: Nitawafukuza mataifa mbele yako na kupanua mipaka ya nchi yako, wala hakuna mtu yeyote atakayeitamani nchi yako wakati unapokwenda mara tatu kila mwaka kuonana na \nd Bwana\nd* Mungu wako.

EXO 34:25 Removed trailing space in v~: “Usinitolee damu ya dhabihu pamoja na kitu chochote chenye chachu, wala usibakize dhabihu yoyote ya Sikukuu ya Pasaka mpaka asubuhi.

EXO 34:26 Removed trailing space in v~: “Leta matunda ya kwanza yaliyo bora zaidi ya ardhi yako katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

EXO 34:26 Removed trailing space in p~: “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.”

EXO 34:27 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Andika maneno haya, kwa maana kulingana na maneno haya, nimefanya Agano na wewe pamoja na Israeli.”

EXO 34:28 Removed trailing space in v~: Mose alikuwa huko pamoja na \nd Bwana\nd* kwa siku arobaini usiku na mchana bila kula chakula wala kunywa maji. Naye akaandika juu ya vibao maneno ya Agano, yaani zile Amri Kumi.

EXO 34:28 Removed trailing space in s1: Mngʼao Wa Uso Wa Mose

EXO 34:29 Removed trailing space in v~: Mose alipoteremka kutoka Mlima Sinai akiwa na vile vibao viwili vya Ushuhuda mikononi mwake, hakujua kuwa uso wake ulikuwa ukingʼaa, kwa sababu alikuwa amezungumza na \nd Bwana\nd*.

EXO 34:30 Removed trailing space in v~: Aroni na Waisraeli wote walipomwona Mose, kuwa uso wake unangʼaa, waliogopa kumkaribia.

EXO 34:31 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akawaita, kwa hiyo Aroni na viongozi wote wa jumuiya wakarudi, naye akazungumza nao.

EXO 34:32 Removed trailing space in v~: Baadaye Waisraeli wote wakamkaribia, naye akawapa amri zote \nd Bwana\nd* alizompa katika Mlima wa Sinai.

EXO 34:33 Removed trailing space in v~: Mose alipomaliza kuzungumza nao, akaweka utaji kwenye uso wake.

EXO 34:34 Removed trailing space in v~: Lakini kila wakati Mose alipoingia mbele za \nd Bwana\nd* kuzungumza naye, aliondoa ule utaji mpaka alipotoka nje. Naye alipotoka nje na kuwaambia Waisraeli lile ambalo ameagizwa,

EXO 34:35 Removed trailing space in v~: waliona kuwa uso wake unangʼaa. Kisha Mose angeliweka tena utaji juu ya uso wake mpaka alipokwenda kuzungumza na \nd Bwana\nd*.

EXO 35:0 Extra space after chapter number

EXO 35:0 Removed trailing space in c: 35

EXO 35:0 Removed trailing space in s1: Masharti Ya Sabato

EXO 35:1 Removed trailing space in v~: Mose akakusanya jumuiya yote ya Waisraeli na kuwaambia, “Haya ndiyo mambo ambayo \nd Bwana\nd* amewaamuru ninyi mfanye:

EXO 35:2 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, Sabato ya kupumzika kwa \nd Bwana\nd*. Yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe.

EXO 35:3 Removed trailing space in v~: Msiwashe moto mahali popote katika makazi yenu siku ya Sabato.”

EXO 35:3 Removed trailing space in s1: Vifaa Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu

EXO 35:3 Removed trailing space in r: (Kutoka 25:1-9)

EXO 35:4 Removed trailing space in v~: Mose akaiambia jumuiya yote ya Waisraeli, “Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloamuru:

EXO 35:5 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka kwa \nd Bwana\nd* kutoka mali mliyo nayo. Kila mmoja aliye na moyo wa kupenda atamletea \nd Bwana\nd* sadaka ya dhahabu, fedha na shaba;

EXO 35:6 Removed trailing space in v~: nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi; singa za mbuzi;

EXO 35:7 Removed trailing space in v~: ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;\f + \fr 35:7 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* mbao za mshita;

EXO 35:7 Found footnote ending with space in \v~: ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;\f + \fr 35:7 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* mbao za mshita;

EXO 35:8 Removed trailing space in v~: mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri;

EXO 35:9 Removed trailing space in v~: vito vya shohamu, na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.

EXO 35:10 Removed trailing space in v~: “Wote wenye ujuzi miongoni mwenu inawapasa kuja na kutengeneza kila kitu \nd Bwana\nd* alichoamuru:

EXO 35:11 Removed trailing space in v~: Maskani pamoja na hema lake na kifuniko chake, vibanio, mihimili, mataruma, nguzo na vitako;

EXO 35:12 Removed trailing space in v~: Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;

EXO 35:13 Removed trailing space in v~: meza na mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote, mikate ya Wonyesho;

EXO 35:14 Removed trailing space in v~: kinara cha taa kwa ajili ya mwanga pamoja na vifaa vyake vyote, taa na mafuta kwa ajili ya mwanga;

EXO 35:15 Removed trailing space in v~: madhabahu ya kufukiza uvumba pamoja na mipiko yake, mafuta ya upako na uvumba wenye harufu nzuri; pazia la mlangoni mahali pa kuingilia ndani ya maskani;

EXO 35:16 Removed trailing space in v~: madhabahu ya sadaka za kuteketeza pamoja na wavu wake wa shaba, mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote; sinia la shaba pamoja na tako lake;

EXO 35:17 Removed trailing space in v~: pazia la eneo la ua pamoja na nguzo zake na vitako vyake, pazia la ingilio la kwenye ua;

EXO 35:18 Removed trailing space in v~: vigingi vya hema kwa ajili ya maskani pamoja na ua na kamba zake;

EXO 35:19 Removed trailing space in v~: mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu kwa ajili ya kuhani Aroni, na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.”

EXO 35:20 Removed trailing space in v~: Ndipo jumuiya yote ya Waisraeli ilipoondoka mbele ya Mose,

EXO 35:21 Removed trailing space in v~: na kila mmoja aliyependa na ambaye moyo wake ulimsukuma alikuja na kuleta sadaka kwa \nd Bwana\nd*, kwa ajili ya kazi katika Hema la Kukutania, kwa ajili ya huduma yake yote na kwa ajili ya mavazi matakatifu.

EXO 35:22 Removed trailing space in v~: Wote waliokuwa na utayari, wanaume kwa wanawake, wakaja wakaleta vito vya dhahabu vya kila aina: vipini, vipuli, pete na mapambo. Wote wakatoa dhahabu zao kama sadaka ya kuinuliwa kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 35:23 Removed trailing space in v~: Kila mmoja aliyekuwa na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, au za rangi nyekundu au kitani safi, au singa za mbuzi, ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, au ngozi za pomboo, wakavileta.

EXO 35:24 Removed trailing space in v~: Wale waliotoa sadaka ya fedha au shaba wakavileta kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*, na kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi yoyote ile akauleta.

EXO 35:25 Removed trailing space in v~: Kila mwanamke aliyekuwa na ujuzi alisokota kwa mikono yake na alileta kile alichosokota, iwe ni nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, au za rangi nyekundu au kitani safi.

EXO 35:26 Removed trailing space in v~: Wanawake wote waliopenda na waliokuwa na ujuzi wakasokota singa za mbuzi.

EXO 35:27 Removed trailing space in v~: Viongozi wakaleta vito vya shohamu pamoja na vito vingine vya thamani kwa ajili ya kuweka kwenye kisibau na kwenye kifuko cha kifuani.

EXO 35:28 Removed trailing space in v~: Wakaleta pia vikolezi na mafuta ya zeituni kwa ajili ya mwanga, kwa ajili ya mafuta ya upako na kwa ajili ya uvumba wenye harufu nzuri.

EXO 35:29 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote waume kwa wake waliokuwa wanapenda wakaleta mbele za \nd Bwana\nd* kwa hiari yao wenyewe sadaka kwa ajili ya kazi yote ya \nd Bwana\nd* aliyokuwa amewaagiza kuifanya kupitia kwa Mose.

EXO 35:29 Removed trailing space in s1: Bezaleli Na Oholiabu

EXO 35:29 Removed trailing space in r: (Kutoka 31:1-11)

EXO 35:30 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaambia Waisraeli, “Tazameni, \nd Bwana\nd* amemchagua Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda,

EXO 35:31 Removed trailing space in v~: naye amemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, na uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi,

EXO 35:32 Removed trailing space in v~: ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba,

EXO 35:33 Removed trailing space in v~: kuchonga vito na kuvitia mahali, kufanya ufundi kwa mbao, na kujishughulisha na aina zote za ufundi wa kupendeza.

EXO 35:34 Removed trailing space in v~: Tena amempa yeye pamoja na Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, uwezo wa kufundisha wengine.

EXO 35:35 Removed trailing space in v~: Amewajaza ustadi wa kufanya kazi za aina zote zifanywazo na mafundi, na wenye kubuni michoro, pia na watarizi kwa rangi za buluu, zambarau, nyekundu na kitani safi, na wafumaji: wote wakiwa mafundi na wabunifu hodari.

EXO 36:0 Extra space after chapter number

EXO 36:0 Removed trailing space in c: 36

EXO 36:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bezaleli, Oholiabu na kila mtu \nd Bwana\nd* aliyempa ustadi na uwezo wa kujua jinsi ya kufanya kazi zote za kujenga mahali patakatifu wataifanya hiyo kazi kama vile \nd Bwana\nd* alivyoagiza.”

EXO 36:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye \nd Bwana\nd* alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.

EXO 36:3 Removed trailing space in v~: Wakapokea kutoka kwa Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta sadaka za hiari kila asubuhi.

EXO 36:4 Removed trailing space in v~: Ikafika wakati mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha kazi zao,

EXO 36:5 Removed trailing space in v~: wakaja na kumwambia Mose, “Watu wanaleta vitu vingi kuliko tunavyohitaji kwa ajili ya kazi hii ambayo \nd Bwana\nd* ameagiza ifanyike.”

EXO 36:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi,

EXO 36:7 Removed trailing space in v~: kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.

EXO 36:7 Removed trailing space in s1: Maskani Ya Mungu

EXO 36:7 Removed trailing space in r: (Kutoka 26:1-37)

EXO 36:8 Removed trailing space in v~: Watu wote wenye ustadi miongoni mwa wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye mapazia hayo.

EXO 36:9 Removed trailing space in v~: Mapazia yote yalitoshana kwa ukubwa: kila moja lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane,\f + \fr 36:9 \ft Dhiraa 28 ni sawa na mita 12.6.\f* na upana wa dhiraa nne\f + \fr 36:9 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.\f*

EXO 36:10 Removed trailing space in v~: Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.

EXO 36:11 Removed trailing space in v~: Kisha wakatengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, pia wakafanya vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho.

EXO 36:12 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vikaelekeana.

EXO 36:13 Removed trailing space in v~: Kisha wakatengeneza vifungo hamsini vya dhahabu, na wakavitumia kufunga na kuunganisha zile fungu mbili za mapazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.

EXO 36:14 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.

EXO 36:15 Removed trailing space in v~: Mapazia hayo kumi na moja yalikuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini,\f + \fr 36:15 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f* na upana wa dhiraa nne.

EXO 36:16 Removed trailing space in v~: Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine.

EXO 36:17 Removed trailing space in v~: Kisha wakatengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine.

EXO 36:18 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja.

EXO 36:19 Removed trailing space in v~: Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.\f + \fr 36:19 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f*

EXO 36:19 Found footnote ending with space in \v~: Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.\f + \fr 36:19 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f*

EXO 36:20 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.

EXO 36:21 Removed trailing space in v~: Kila mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi,\f + \fr 36:21 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.\f* na upana wa dhiraa moja na nusu,\f + \fr 36:21 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.\f*

EXO 36:22 Removed trailing space in v~: zikiwa na ndimi mbili zilizokuwa sambamba kila mmoja na mwingine. Wakatengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii.

EXO 36:23 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani,

EXO 36:24 Removed trailing space in v~: na wakatengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi.

EXO 36:25 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa kaskazini wa maskani wakatengeneza mihimili ishirini

EXO 36:26 Removed trailing space in v~: na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

EXO 36:27 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani,

EXO 36:28 Removed trailing space in v~: na mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe za maskani za upande uliokuwa mbali.

EXO 36:29 Removed trailing space in v~: Katika pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa miwili kuanzia chini mpaka juu, na ikaingizwa kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili ilifanana.

EXO 36:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

EXO 36:31 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani,

EXO 36:32 Removed trailing space in v~: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani.

EXO 36:33 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza taruma la katikati, likapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine.

EXO 36:34 Removed trailing space in v~: Wakaifunika hiyo mihimili kwa dhahabu, na wakatengeneza pete za dhahabu za kushikilia hayo mataruma. Pia wakayafunika hayo mataruma kwa dhahabu.

EXO 36:35 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye hilo pazia.

EXO 36:36 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya nguzo hizo, na kusubu vitako vinne vya fedha.

EXO 36:37 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya ingilio la hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi.

EXO 36:38 Removed trailing space in v~: Pia wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo pamoja na tepe zake kwa dhahabu, na pia wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.

EXO 37:0 Extra space after chapter number

EXO 37:0 Removed trailing space in c: 37

EXO 37:0 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano

EXO 37:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 25:10-22)

EXO 37:1 Removed trailing space in v~: Bezaleli akatengeneza Sanduku la mbao za mshita: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu,\f + \fr 37:1 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na mita 1.13.\f* upana wake dhiraa moja na nusu, na kimo chake dhiraa moja na nusu.

EXO 37:2 Removed trailing space in v~: Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.

EXO 37:3 Removed trailing space in v~: Akasubu pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.

EXO 37:4 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.

EXO 37:5 Removed trailing space in v~: Akaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.

EXO 37:6 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kifuniko cha upatanisho kwa dhahabu safi: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake dhiraa moja na nusu.

EXO 37:7 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko.

EXO 37:8 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; akawatengeneza kuwa kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili.

EXO 37:9 Removed trailing space in v~: Makerubi hao walikuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, wakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao walielekeana, wakitazama hicho kifuniko.

EXO 37:9 Removed trailing space in s1: Meza

EXO 37:9 Removed trailing space in r: (Kutoka 25:23-30)

EXO 37:10 Removed trailing space in v~: Akatengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili,\f + \fr 37:10 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.\f* upana wa dhiraa moja,\f + \fr 37:10 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* na kimo cha dhiraa moja na nusu.

EXO 37:11 Removed trailing space in v~: Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.

EXO 37:12 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne,\f + \fr 37:12 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 8.\f* na kuufanyia ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote.

EXO 37:13 Removed trailing space in v~: Akasubu pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na kuzifungia kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne.

EXO 37:14 Removed trailing space in v~: Pete hizo ziliwekwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko iliyotumika kuibebea hiyo meza.

EXO 37:15 Removed trailing space in v~: Mipiko hiyo ya kubebea meza ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.

EXO 37:16 Removed trailing space in v~: Vyombo vyote vya mezani vilitengenezwa kwa dhahabu safi: yaani sahani zake, masinia, na bakuli na bilauri zake kwa ajili ya kumiminia sadaka za vinywaji.

EXO 37:16 Removed trailing space in s1: Kinara Cha Taa

EXO 37:16 Removed trailing space in r: (Kutoka 25:31-40)

EXO 37:17 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vilivyofanana na ua, matovu na maua vilikuwa kitu kimoja.

EXO 37:18 Removed trailing space in v~: Matawi sita yalitokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine.

EXO 37:19 Removed trailing space in v~: Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vilikuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yaliyotokeza kwenye kile kinara cha taa.

EXO 37:20 Removed trailing space in v~: Juu ya kinara chenyewe kulikuwepo na vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake.

EXO 37:21 Removed trailing space in v~: Tovu moja lilikuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani, matawi sita kwa jumla.

EXO 37:22 Removed trailing space in v~: Matovu na matawi yote yalikuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakiwa yamefuliwa kwa dhahabu safi.

EXO 37:23 Removed trailing space in v~: Akatengeneza taa zake saba, na pia mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote kwa dhahabu safi.

EXO 37:24 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kinara hicho cha taa pamoja na vifaa vyake vyote kutumia talanta\f + \fr 37:24 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* moja ya dhahabu safi.

EXO 37:24 Removed trailing space in s1: Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba

EXO 37:24 Removed trailing space in r: (Kutoka 30:1-5)

EXO 37:25 Removed trailing space in v~: Akatengeneza madhabahu ya kufukizia uvumba kwa mbao za mshita. Ilikuwa ya mraba, urefu na upana wake dhiraa moja, na kimo cha dhiraa mbili, nazo pembe zake zilikuwa kitu kimoja nayo.

EXO 37:26 Removed trailing space in v~: Akafunika hayo madhabahu juu na pande zote na pia zile pembe zake kwa dhahabu safi, na akayafanyizia ukingo wa dhahabu kuizunguka.

EXO 37:27 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo ukingo, zikiwa mbili kila upande, za kushikilia hiyo mipiko iliyotumika kuyabebea madhabahu.

EXO 37:28 Removed trailing space in v~: Akatengeneza mipiko kwa miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.

EXO 37:29 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza mafuta matakatifu ya upako, na uvumba safi wenye harufu nzuri, kazi ya mtengeneza manukato.

EXO 38:0 Extra space after chapter number

EXO 38:0 Removed trailing space in c: 38

EXO 38:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa

EXO 38:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 27:1-8)

EXO 38:1 Removed trailing space in v~: Akatengeneza madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa mbao za mti wa mshita, kimo chake dhiraa tatu;\f + \fr 38:1 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.\f* nayo ilikuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wa dhiraa tano\f + \fr 38:1 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f*

EXO 38:2 Removed trailing space in v~: Akatengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu zikawa zimeungana, akafunika madhabahu kwa shaba.

EXO 38:3 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama na vyombo vya kuchukulia moto.

EXO 38:4 Removed trailing space in v~: Akatengeneza wavu wa shaba chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.

EXO 38:5 Removed trailing space in v~: Akasubu pete za shaba za kushikilia ile mipiko kwa ajili ya zile pembe nne za huo wavu wa shaba.

EXO 38:6 Removed trailing space in v~: Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.

EXO 38:7 Removed trailing space in v~: Akaiingiza ile mipiko kwenye zile pete, ili iwe pande mbili za madhabahu kwa ajili ya kuibeba. Akaitengeneza madhabahu yenye uvungu ndani yake akitumia mbao.

EXO 38:7 Removed trailing space in s1: Sinia La Kunawia

EXO 38:7 Removed trailing space in r: (Kutoka 30:18)

EXO 38:8 Removed trailing space in v~: Akatengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kutoka kwa vioo vya shaba vilivyotolewa na wanawake waliohudumu pale ingilio la Hema la Kukutania.

EXO 38:8 Removed trailing space in s1: Ua Wa Hema La Kukutania

EXO 38:8 Removed trailing space in r: (Kutoka 27:9-19)

EXO 38:9 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza ua. Upande wa kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja,\f + \fr 38:9 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.\f* na ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,

EXO 38:10 Removed trailing space in v~: pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 38:11 Removed trailing space in v~: Upande wa kaskazini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 38:12 Removed trailing space in v~: Upande wa mwisho wa magharibi ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini\f + \fr 38:12 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.\f* na ulikuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 38:13 Removed trailing space in v~: Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, pia ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini.

EXO 38:14 Removed trailing space in v~: Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano\f + \fr 38:14 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75.\f* yalikuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

EXO 38:15 Removed trailing space in v~: Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yalikuwa upande mwingine wa ingilio la ua, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

EXO 38:16 Removed trailing space in v~: Mapazia yote yaliyozunguka ua yalikuwa ya kitani iliyosokotwa vizuri.

EXO 38:17 Removed trailing space in v~: Vitako vya nguzo vilikuwa vya shaba. Kulabu na tepe juu ya nguzo zilikuwa za fedha, na ncha zake zilifunikwa kwa fedha. Kwa hiyo nguzo zote za ua zilikuwa na tepe za fedha.

EXO 38:18 Removed trailing space in v~: Pazia la ingilio la ua lilikuwa la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini kama zile za kwenye ua, na kimo chake kilikuwa dhiraa tano,

EXO 38:19 Removed trailing space in v~: likiwa na nguzo nne na vitako vinne vya shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za fedha, na ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa fedha.

EXO 38:20 Removed trailing space in v~: Vigingi vyote vya maskani na vya ua ulioizunguka vilikuwa vya shaba.

EXO 38:20 Removed trailing space in s1: Vifaa Vilivyotumika

EXO 38:21 Removed trailing space in v~: Ifuatayo ni orodha ya vifaa vilivyotumika kwa ajili ya ujenzi wa maskani, maskani ya Ushuhuda, ambavyo vilitayarishwa na Walawi kama alivyoagiza Mose, chini ya usimamizi wa Ithamari, mwana wa kuhani Aroni.

EXO 38:22 Removed trailing space in v~: (Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda, alifanya kila kitu \nd Bwana\nd* alichomwamuru Mose,

EXO 38:23 Removed trailing space in v~: akiwa pamoja na Oholiabu mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, fundi stadi wa kutia nakshi, kubuni michoro, mtarizi kwa rangi ya buluu, ya zambarau, nyekundu na kitani safi.)

EXO 38:24 Removed trailing space in v~: Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta 29 na shekeli 730,\f + \fr 38:24 \ft Talanta 29 na shekeli 730 ni sawa na tani moja.\f* kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.

EXO 38:25 Removed trailing space in v~: Fedha iliyopatikana kutokana na jumuiya ya watu waliohesabiwa ilikuwa yenye uzito wa talanta mia moja na shekeli 1,775,\f + \fr 38:25 \ft Talanta 100 na shekeli 1,775 za fedha ni sawa na tani 3.4.\f* kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.

EXO 38:26 Removed trailing space in v~: Kila mtu alitoa beka moja, ambayo ni sawa na nusu shekeli ya fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao walikuwa wanaume 603,550.

EXO 38:27 Removed trailing space in v~: Talanta hizo 100 za fedha zilitumika kusubu vile vitako mia moja kwa ajili ya mahali patakatifu na pazia: vitako mia moja kwa talanta mia, yaani, talanta moja kwa kila kitako.

EXO 38:28 Removed trailing space in v~: Akatumia zile shekeli hizo 1,775 kutengeneza kulabu za nguzo, kufunika ncha za nguzo na kutengeneza vitanzi vyake.

EXO 38:29 Removed trailing space in v~: Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta 70 na shekeli 2,400.\f + \fr 38:29 \ft Talanta 70 na shekeli 2,400 ni sawa na tani 2.4.\f*

EXO 38:30 Removed trailing space in v~: Akaitumia hiyo shaba kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule wavu wake na vyombo vyake vyote,

EXO 38:31 Removed trailing space in v~: vile vitako vya ule ua uliozunguka na vile vya ingilio, na vigingi vyote vya Maskani pamoja na ule ua uliozunguka.

EXO 39:0 Extra space after chapter number

EXO 39:0 Removed trailing space in c: 39

EXO 39:0 Removed trailing space in s1: Mavazi Ya Kikuhani

EXO 39:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 28:1-14)

EXO 39:1 Removed trailing space in v~: Kutokana na nyuzi za rangi ya buluu, ya zambarau na nyekundu akatengeneza mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika mahali patakatifu. Pia akamshonea Aroni mavazi matakatifu, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:1 Removed trailing space in s1: Kisibau

EXO 39:2 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kitani iliyosokotwa vizuri.

EXO 39:3 Removed trailing space in v~: Akafua vipande vyembamba vya dhahabu kwa nyundo na kutengeneza nyuzi nyembamba ili kuzifuma pamoja na hizo nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi, kazi ya fundi stadi.

EXO 39:4 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vipande vya mabegani vya kisibau, vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kukifungia kisibau.

EXO 39:5 Removed trailing space in v~: Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi ulifanana nacho: ulikuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao ulitengenezwa kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:6 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vito vya shohamu vilivyowekwa katika vijalizo vya dhahabu, navyo vilichorwa na majina ya wana wa Israeli kama vile muhuri huchorwa.

EXO 39:7 Removed trailing space in v~: Kisha akavifungia kwenye vipande vya mabega ya kisibau kuwa vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:7 Removed trailing space in s1: Kifuko Cha Kifuani

EXO 39:7 Removed trailing space in r: (Kutoka 28:15-30)

EXO 39:8 Removed trailing space in v~: Akafanyiza kifuko cha kifuani, kazi ya fundi stadi. Akakitengeneza kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.

EXO 39:9 Removed trailing space in v~: Kifuko hicho kilikuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja\f + \fr 39:9 \ft Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.\f* na upana wa shibiri moja, nacho kilikunjwa mara mbili.

EXO 39:10 Removed trailing space in v~: Kifuko hicho kilipambwa kwa safu nne za vito vya thamani. Safu ya kwanza ilikuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;

EXO 39:11 Removed trailing space in v~: safu ya pili ilikuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;

EXO 39:12 Removed trailing space in v~: safu ya tatu ilikuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;

EXO 39:13 Removed trailing space in v~: katika safu ya nne ilikuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Vito hivyo vilitiwa kwenye vijalizo vya dhahabu.

EXO 39:14 Removed trailing space in v~: Palikuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kikiwa na jina mojawapo la wana wa Israeli; kila kimoja kilichorwa kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.

EXO 39:15 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani akakitengenezea mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.

EXO 39:16 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vijalizo viwili vya dhahabu na pete mbili za dhahabu, na kuzifungia pete hizo kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.

EXO 39:17 Removed trailing space in v~: Akafunga hiyo mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,

EXO 39:18 Removed trailing space in v~: nazo zile ncha nyingine za mkufu akazifunga kwenye vile vijalizo viwili, na kuzishikamanisha na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.

EXO 39:19 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pete mbili za dhahabu na kuzishikamanisha kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.

EXO 39:20 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza pete nyingine mbili za dhahabu na kuzishikamanisha sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.

EXO 39:21 Removed trailing space in v~: Akafunga pete za hicho kifuko cha kifuani kwenye pete za kisibau kwa kamba ya buluu, wakiziunganisha na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:21 Removed trailing space in s1: Mavazi Mengine Ya Kikuhani

EXO 39:21 Removed trailing space in r: (Kutoka 28:31-43)

EXO 39:22 Removed trailing space in v~: Akashona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu, kazi ya mfumaji,

EXO 39:23 Removed trailing space in v~: na lilikuwa na nafasi ya shingo katikati ya joho lile iliyofanana na ukosi, na utepe ulioshonwa kuizunguka nafasi hiyo ili isichanike.

EXO 39:24 Removed trailing space in v~: Akatengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na ya kitani iliyosokotwa vizuri kuzunguka pindo la hilo joho.

EXO 39:25 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza vikengele vya dhahabu safi na kuvishikamanisha kuzunguka pindo hilo kati ya hayo makomamanga.

EXO 39:26 Removed trailing space in v~: Hivyo vikengele na makomamanga vilipishana kuzunguka upindo wa joho ili livaliwe kwa kuhudumu, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:27 Removed trailing space in v~: Pia akamtengenezea Aroni na wanawe makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji,

EXO 39:28 Removed trailing space in v~: na kilemba cha kitani safi, tepe za kichwani za kitani, na nguo za ndani za kitani iliyosokotwa vizuri.

EXO 39:29 Removed trailing space in v~: Mshipi ulikuwa wa kitani iliyosokotwa vizuri ya rangi ya buluu, na zambarau, na nyekundu, kazi ya mtarizi, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:30 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza lile bamba, taji takatifu, kwa dhahabu safi na kuchora juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: \sc Mtakatifu kwa Bwana\sc*.

EXO 39:31 Removed trailing space in v~: Kisha wakalifunga kwa kamba ya rangi ya buluu ili kulishikamanisha na kile kilemba kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:31 Removed trailing space in s1: Mose Akagua Maskani Ya Mungu

EXO 39:31 Removed trailing space in r: (Kutoka 35:10-19)

EXO 39:32 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kazi yote ya maskani, Hema la Kukutania ikakamilika. Waisraeli wakafanya kila kitu sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:33 Removed trailing space in v~: Ndipo wakaleta maskani kwa Mose: hema pamoja na vifaa vyake vyote, vibanio vyake, mihimili yake, mataruma yake, nguzo na vitako vyake;

EXO 39:34 Removed trailing space in v~: kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo,\f + \fr 39:34 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* pazia la kufunikia;

EXO 39:34 Found footnote ending with space in \v~: kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo,\f + \fr 39:34 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* pazia la kufunikia;

EXO 39:35 Removed trailing space in v~: Sanduku la Ushuhuda pamoja na mipiko yake na kiti cha rehema,

EXO 39:36 Removed trailing space in v~: meza pamoja na vyombo vyake vyote na mikate ya Wonyesho;

EXO 39:37 Removed trailing space in v~: kinara cha taa cha dhahabu safi, safu zake za taa pamoja na vifaa vyake vyote pamoja na mafuta kwa ajili ya taa;

EXO 39:38 Removed trailing space in v~: madhabahu ya dhahabu, mafuta ya upako, uvumba wenye harufu nzuri na pazia la ingilio la hema;

EXO 39:39 Removed trailing space in v~: madhabahu ya shaba, pamoja na wavu wa shaba, nguzo zake na vyombo vyake vyote, sinia, na tako lake;

EXO 39:40 Removed trailing space in v~: mapazia ya ua pamoja na nguzo na vitako vyake, pia na pazia kwa ajili ya ingilio la kwenye ua; kamba zake na vigingi vya hema kwa ajili ya ua; vyombo vyote vilivyohitajiwa kwa ajili ya maskani, Hema la Kukutania;

EXO 39:41 Removed trailing space in v~: na mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu ya kuhani Aroni na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.

EXO 39:42 Removed trailing space in v~: Waisraeli walikuwa wamefanya kazi yote sawasawa na vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwagiza Mose.

EXO 39:43 Removed trailing space in v~: Mose akakagua kazi na kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa ameagiza. Kwa hiyo Mose akawabariki.

EXO 40:0 Extra space after chapter number

EXO 40:0 Removed trailing space in c: 40

EXO 40:0 Removed trailing space in s1: Kuweka Wakfu Maskani Ya Mungu

EXO 40:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

EXO 40:2 Removed trailing space in v~: “Simika Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza.

EXO 40:3 Removed trailing space in v~: Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.

EXO 40:4 Removed trailing space in v~: Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake.

EXO 40:5 Removed trailing space in v~: Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.

EXO 40:6 Removed trailing space in v~: “Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania;

EXO 40:7 Removed trailing space in v~: weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.

EXO 40:8 Removed trailing space in v~: Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.

EXO 40:9 Removed trailing space in v~: “Chukua mafuta ya upako, ipake Maskani ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake; iweke wakfu pamoja na vitu vyote vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu.

EXO 40:10 Removed trailing space in v~: Kisha yapake mafuta hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake vyote; weka wakfu madhabahu nayo yatakuwa takatifu sana.

EXO 40:11 Removed trailing space in v~: Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.

EXO 40:12 Removed trailing space in v~: “Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.

EXO 40:13 Removed trailing space in v~: Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.

EXO 40:14 Removed trailing space in v~: Walete wanawe na uwavike makoti.

EXO 40:15 Removed trailing space in v~: Kisha watie mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.”

EXO 40:16 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kila kitu sawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili.

EXO 40:18 Removed trailing space in v~: Mose alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo.

EXO 40:19 Removed trailing space in v~: Kisha akalitandaza hema juu ya Maskani ya Mungu na kuifunika hema, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:20 Removed trailing space in v~: Akachukua ule Ushuhuda na kuuweka ndani ya Sanduku la Agano, akaweka ile mipiko ya kubebea hilo Sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake.

EXO 40:21 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akalileta Sanduku ndani ya Maskani ya Mungu, akatundika pazia ili kulifunika Sanduku la Ushuhuda, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:22 Removed trailing space in v~: Mose akaweka meza ndani ya Hema la Kukutania, upande wa kaskazini ya Maskani ya Mungu nje ya pazia

EXO 40:23 Removed trailing space in v~: na kupanga mikate juu yake mbele za \nd Bwana\nd*, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:24 Removed trailing space in v~: Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu

EXO 40:25 Removed trailing space in v~: na kuziweka taa mbele za \nd Bwana\nd*, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:26 Removed trailing space in v~: Mose akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia

EXO 40:27 Removed trailing space in v~: na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:28 Removed trailing space in v~: Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.

EXO 40:29 Removed trailing space in v~: Mose akaweka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa karibu na ingilio la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:30 Removed trailing space in v~: Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia,

EXO 40:31 Removed trailing space in v~: Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.

EXO 40:32 Removed trailing space in v~: Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 40:33 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akafanya ua kuizunguka Maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose akaikamilisha kazi.

EXO 40:33 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa \nd Bwana\nd*

EXO 40:33 Removed trailing space in r: (Hesabu 9:15-23)

EXO 40:34 Removed trailing space in v~: Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania, na utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaijaza Maskani ya Mungu.

EXO 40:35 Removed trailing space in v~: Mose hakuweza kuingia ndani ya Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaijaza Maskani ya Mungu.

EXO 40:36 Removed trailing space in v~: Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka;

EXO 40:37 Removed trailing space in v~: lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka.

EXO 40:38 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wingu la \nd Bwana\nd* lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 10    c: 40    h: 1    id: 1    li1: 10    mi: 1    mt1: 1    nb: 1    p: 435    pi1: 14    pi3: 1    q1: 34    q2: 35    q3: 3    r: 38    rem: 1    s1: 95    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 1937    v: 1213  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    mi: 1    pi3: 1    nb: 1    q3: 3    b: 10    li1: 10    pi1: 14    q1: 34    q2: 35    r: 38    c: 40    s1: 95    p: 435    v: 1213    Total: 1937  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 2    nd*: 2    Total: 4  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 2    nd*: 2    Total: 4  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 40    Paragraphs: 435    Section Cross-References: 38    Verses: 1213  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 38    Chapters: 40    Paragraphs: 435    Verses: 1213  

Characters

Possible Character Errors

EXO 17:15 Multiple spaces in '17:15 Yehova Nisi maana yake ni··Bwana ni Bendera yangu.'

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Special Character Counts

 EN DASH: 1    HYPHEN-MINUS: 39    MODIFIER LETTER APOSTROPHE: 1    Total: 41  

Special Character Counts (sorted by count)

 EN DASH: 1    MODIFIER LETTER APOSTROPHE: 1    HYPHEN-MINUS: 39    Total: 41  

Letter Counts

Letter Counts (sorted by count)

Punctuation Counts

 (: 38    ): 38    :: 52    ;: 3    Total: 132    : 1  

Punctuation Counts (sorted by count)

 : 1    ;: 3    (: 38    ): 38    :: 52    Total: 132  

Speech Marks

Possible Matching Errors

EXO 8:22 Unclosed ‘ (opened at 8:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EXO 8:23 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 8:20:v)', '‘ (opened at 8:20:v)']

EXO 8:24 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:20:v)', '‘ (opened at 8:20:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v24

EXO 20:24 Unclosed ‘ (opened at 20:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EXO 21:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 20:22:v)', '‘ (opened at 20:22:v)'] before p marker

EXO 21:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:1:v,21:2:v,21:5:v,21:7:v)' before p marker

EXO 22:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:12:v,21:15:v,21:16:v,21:17:v,21:18:v,21:20:v,21:22:v,21:26:v,21:28:v,21:33:v,21:35:v)' before p marker

EXO 22:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 22:1:v,22:2:v,22:3:p,22:4:v,22:5:v,22:6:v,22:7:v,22:10:v,22:14:v)' before p marker

EXO 23:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 22:16:v,22:18:v,22:19:v,22:20:v,22:21:v,22:22:v,22:25:v,22:28:v,22:29:v,22:29:p,22:31:v)' before p marker

EXO 23:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:1:v,23:2:v,23:4:v,23:6:v,23:8:v,23:9:v)' before p marker

EXO 23:14 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:10:v,23:12:v,23:13:v)' before p marker

EXO 23:20 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:14:v,23:15:v,23:15:p,23:16:v,23:16:p,23:17:v,23:18:v,23:18:p,23:19:v,23:19:p)' before p marker

EXO 25:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:2:v,25:8:v)' before p marker

EXO 25:23 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:10:v,25:17:v)' before p marker

EXO 25:31 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:23:v)' before p marker

EXO 26:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:31:v,25:37:v)' before p marker

EXO 27:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 26:1:v,26:7:v,26:15:v,26:26:v,26:30:v,26:31:v,26:36:v)' before p marker

EXO 27:9 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 27:1:v)' before p marker

EXO 27:20 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 27:9:v,27:12:v,27:16:v)' before p marker

EXO 28:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 27:20:v)' before p marker

EXO 28:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:1:v)' before p marker

EXO 28:15 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:6:v,28:9:v)' before p marker

EXO 28:31 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:15:v,28:22:v,28:29:v)' before p marker

EXO 29:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:31:v,28:36:v,28:39:v,28:42:v,28:43:p)' before p marker

EXO 30:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 29:1:v,29:10:v,29:15:v,29:19:v,29:22:v,29:27:v,29:29:v,29:31:v,29:35:v,29:38:v,29:42:v,29:44:v)' before p marker

EXO 31:14 Unclosed ‘ (opened at 31:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EXO 31:17 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 31:13:v)', '‘ (opened at 31:13:v)']

EXO 31:18 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 31:13:v)', '‘ (opened at 31:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v18

Words

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

EXO -1:6 Main Title 1:Kutoka

Section Heading Lines

EXO 1:0Waisraeli Waonewa
EXO 2:0Kuzaliwa Kwa Mose
EXO 2:10Mose Akimbilia Midiani
EXO 3:0Mose Na Kichaka Kinachowaka Moto
EXO 4:0Ishara Za Mose
EXO 4:17Mose Anarudi Misri
EXO 5:0Matofali Bila Nyasi
EXO 5:21Mungu Anaahidi Ukombozi
EXO 6:12Orodha Ya Jamaa Ya Mose Na Aroni
EXO 6:27Aroni Kuzungumza Badala Ya Mose
EXO 7:7Fimbo Ya Aroni Yawa Nyoka
EXO 7:13Pigo La Kwanza: Damu
EXO 7:24Pigo La Pili: Vyura
EXO 8:15Pigo La Tatu: Viroboto
EXO 8:19Pigo La Nne: Mainzi
EXO 9:0Pigo La Tano: Vifo Vya Mifugo
EXO 9:7Pigo La Sita: Majipu
EXO 9:12Pigo La Saba: Mvua Ya Mawe
EXO 10:0Pigo La Nane: Nzige
EXO 10:20Pigo La Tisa: Giza
EXO 11:0Pigo La Kumi: Kuuawa Wazaliwa Wa Kwanza
EXO 12:0Pasaka
EXO 12:30Kutoka
EXO 12:42Masharti Kwa Ajili Ya Pasaka
EXO 13:0Kuwekwa Wakfu Kwa Wazaliwa Wa Kwanza
EXO 13:16Nguzo Ya Wingu Na Moto
EXO 14:0Kuvuka Bahari Ya Shamu
EXO 14:25Wafuatiaji Wazama
EXO 15:0Wimbo Wa Mose Na Miriamu
EXO 15:21Maji Ya Mara Na Elimu
EXO 16:0Mana Na Kware
EXO 17:0Maji Kutoka Kwenye Mwamba
EXO 17:7Vita Na Waamaleki
EXO 18:0Yethro Amtembelea Mose
EXO 18:12Ushauri Wa Yethro
EXO 18:23Kuchaguliwa Kwa Waamuzi
EXO 19:0Waisraeli Kwenye Mlima Sinai
EXO 20:0Amri Kumi
EXO 20:17Watu Wanaogopa
EXO 20:21Sanamu Na Madhabahu
EXO 21:0Watumishi Wa Kiebrania
EXO 21:11Majeraha Ya Mwilini
EXO 22:0Ulinzi Wa Mali
EXO 22:15Uwajibikaji Wa Kijamii
EXO 23:0Sheria Za Haki Na Rehema
EXO 23:9Sheria Za Sabato
EXO 23:13Sikukuu Tatu Za Mwaka
EXO 23:19Malaika Wa Mungu Kuandaa Njia
EXO 24:0Agano Lathibitishwa
EXO 25:0Sadaka Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu
EXO 25:9Sanduku La Agano
EXO 25:22Meza Ya Mikate Ya Wonyesho
EXO 25:30Kinara Cha Taa
EXO 26:0Maskani Ya Mungu
EXO 27:0Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa
EXO 27:8Ua Wa Kukutania
EXO 27:19Mafuta Ya Kinara Cha Taa
EXO 28:0Mavazi Ya Kikuhani
EXO 28:5Kisibau
EXO 28:14Kifuko Cha Kifuani
EXO 28:30Mavazi Mengine Ya Kikuhani
EXO 29:0Kuweka Wakfu Makuhani
EXO 30:0Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba
EXO 30:10Fedha Ya Upatanisho
EXO 30:16Sinia La Kunawia
EXO 30:21Mafuta Ya Upako
EXO 30:33Uvumba
EXO 31:0Bezaleli Na Oholiabu
EXO 31:11Sabato
EXO 32:0Ndama Wa Dhahabu
EXO 33:0Amri Ya Kuondoka Sinai
EXO 33:6Hema La Kukutania
EXO 33:11Mose Na Utukufu Wa \nd Bwana\nd*
EXO 34:0Vibao Vipya Vya Mawe
EXO 34:9Kufanya Agano Upya
EXO 34:28Mngʼao Wa Uso Wa Mose
EXO 35:0Masharti Ya Sabato
EXO 35:3Vifaa Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu
EXO 35:29Bezaleli Na Oholiabu
EXO 36:7Maskani Ya Mungu
EXO 37:0Sanduku La Agano
EXO 37:9Meza
EXO 37:16Kinara Cha Taa
EXO 37:24Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba
EXO 38:0Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa
EXO 38:7Sinia La Kunawia
EXO 38:8Ua Wa Hema La Kukutania
EXO 38:20Vifaa Vilivyotumika
EXO 39:0Mavazi Ya Kikuhani
EXO 39:1Kisibau
EXO 39:7Kifuko Cha Kifuani
EXO 39:21Mavazi Mengine Ya Kikuhani
EXO 39:31Mose Akagua Maskani Ya Mungu
EXO 40:0Kuweka Wakfu Maskani Ya Mungu
EXO 40:33Utukufu Wa \nd Bwana\nd*

Section Cross-reference Lines

EXO 17:0(Hesabu 20:1-13)
EXO 18:12(Kumbukumbu 1:9-18)
EXO 20:0(Kumbukumbu 5:1-21)
EXO 20:17(Kumbukumbu 5:22-33)
EXO 21:0(Kumbukumbu 15:12-18)
EXO 23:13(Kutoka 34:18-26; Kumbukumbu 16:1-17)
EXO 25:0(Kutoka 35:4-9)
EXO 25:9(Kutoka 37:1-9)
EXO 25:22(Kutoka 37:10-16)
EXO 25:30(Kutoka 37:17-24)
EXO 26:0(Kutoka 36:8-38)
EXO 27:0(Kutoka 38:1-7)
EXO 27:8(Kutoka 38:9-20)
EXO 27:19(Walawi 24:1-4)
EXO 28:0(Kutoka 39:1-7)
EXO 28:14(Kutoka 39:8-21)
EXO 28:30(Kutoka 39:22-31)
EXO 29:0(Walawi 8:1-36)
EXO 30:0(Kutoka 37:25-28)
EXO 31:0(Kutoka 35:30–36:1)
EXO 32:0(Kumbukumbu 9:6-29)
EXO 34:0(Kumbukumbu 10:1-5)
EXO 34:9(Kutoka 23:14-19; Kumbukumbu 7:1-5; 16:1-17)
EXO 35:3(Kutoka 25:1-9)
EXO 35:29(Kutoka 31:1-11)
EXO 36:7(Kutoka 26:1-37)
EXO 37:0(Kutoka 25:10-22)
EXO 37:9(Kutoka 25:23-30)
EXO 37:16(Kutoka 25:31-40)
EXO 37:24(Kutoka 30:1-5)
EXO 38:0(Kutoka 27:1-8)
EXO 38:7(Kutoka 30:18)
EXO 38:8(Kutoka 27:9-19)
EXO 39:0(Kutoka 28:1-14)
EXO 39:7(Kutoka 28:15-30)
EXO 39:21(Kutoka 28:31-43)
EXO 39:31(Kutoka 35:10-19)
EXO 40:33(Hesabu 9:15-23)

Notes

Footnote Lines

EXO 6:3+ \fr 6:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (ya…ote).
EXO 13:4+ \fr 13:4 \ft Abibu ni jina la mwezi wa kwanza kwa Wayahudi, ambao ni…yetu.
EXO 15:23+ \fr 15:23 \ft Mara maana yake ni Chungu.
EXO 16:16+ \fr 16:16 \ft Pishi ni kipimo cha ujazo, kwa Kiebrania ni omeri, amb…bili.
EXO 16:31+ \fr 16:31 \ft Mana maana yake ni mkate kutoka mbinguni.
EXO 16:36+ \fr 16:36 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.
EXO 17:7+ \fr 17:7 \ft Masa maana yake ni Kujaribu.
EXO 17:7+ \fr 17:7 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.
EXO 17:15+ \fr 17:15 \ft Yehova Nisi maana yake ni \+nd Bwana\+nd* ni Bendera yangu.
EXO 21:32+ \fr 21:32 \ft Shekeli 30 ni sawa na gramu 300.
EXO 25:5+ \fr 25:5 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini …sili.
EXO 25:10+ \fr 25:10 \ft Dhiraa mbili na nusu ni sawa na sentimita 112.5.
EXO 25:10+ \fr 25:10 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.
EXO 25:23+ \fr 25:23 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.
EXO 25:25+ \fr 25:25 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 8.
EXO 25:39+ \fr 25:39 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
EXO 26:2+ \fr 26:2 \ft Dhiraa 28 ni sawa na mita 13.
EXO 26:2+ \fr 26:2 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
EXO 26:8+ \fr 26:8 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
EXO 26:14+ \fr 26:14 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini…sili.
EXO 26:16+ \fr 26:16 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
EXO 27:1+ \fr 27:1 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
EXO 27:1+ \fr 27:1 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
EXO 27:9+ \fr 27:9 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.
EXO 27:12+ \fr 27:12 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
EXO 27:15+ \fr 27:15 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75.
EXO 27:16+ \fr 27:16 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
EXO 28:16+ \fr 28:16 \ft Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.
EXO 28:30+ \fr 28:30 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hi…isha.
EXO 29:40+ \fr 29:40 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.
EXO 29:40+ \fr 29:40 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.
EXO 30:2+ \fr 30:2 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
EXO 30:2+ \fr 30:2 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.
EXO 30:13+ \fr 30:13 \ft Nusu shekeli ni sawa na gramu 6.
EXO 30:13+ \fr 30:13 \ft Gera 20 ni sawa na shekeli moja au gramu 12.
EXO 30:23+ \fr 30:23 \ft Shekeli 500 ni sawa na kilo 6.
EXO 30:23+ \fr 30:23 \ft Shekeli 250 ni sawa na kilo 3.
EXO 30:24+ \fr 30:24 \ft Hini moja ni sawa na lita 4.
EXO 35:7+ \fr 35:7 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini …sili.
EXO 36:9+ \fr 36:9 \ft Dhiraa 28 ni sawa na mita 12.6.
EXO 36:9+ \fr 36:9 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
EXO 36:15+ \fr 36:15 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
EXO 36:19+ \fr 36:19 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini…sili.
EXO 36:21+ \fr 36:21 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
EXO 36:21+ \fr 36:21 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.
EXO 37:1+ \fr 37:1 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na mita 1.13.
EXO 37:10+ \fr 37:10 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.
EXO 37:10+ \fr 37:10 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
EXO 37:12+ \fr 37:12 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 8.
EXO 37:24+ \fr 37:24 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
EXO 38:1+ \fr 38:1 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
EXO 38:1+ \fr 38:1 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
EXO 38:9+ \fr 38:9 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.
EXO 38:12+ \fr 38:12 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
EXO 38:14+ \fr 38:14 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75.
EXO 38:24+ \fr 38:24 \ft Talanta 29 na shekeli 730 ni sawa na tani moja.
EXO 38:25+ \fr 38:25 \ft Talanta 100 na shekeli 1,775 za fedha ni sawa na tani 3.4.
EXO 38:29+ \fr 38:29 \ft Talanta 70 na shekeli 2,400 ni sawa na tani 2.4.
EXO 39:9+ \fr 39:9 \ft Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.
EXO 39:34+ \fr 39:34 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini…sili.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 60    Footnotes: 60  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 60    Footnote leader '+': 60