Freely-Given.org Bible EZE Checks

<Up>

Priority Errors

Extra space after chapter number in EZE 2:0

Showing 1 out of 2247 priority errors

Fix Text Errors

EZE 2:0 Extra space after chapter number

EZE 2:0 Removed trailing space in c: 2

EZE 2:0 Removed trailing space in s1: Wito Wa Ezekieli

EZE 2:1 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Mwanadamu, simama kwa miguu yako nami nitasema nawe.”

EZE 2:2 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akiongea nami, Roho akanijia na kunisimamisha wima, nikamsikia akisema nami.

EZE 2:3 Removed trailing space in v~: Akaniambia: “Mwanadamu, ninakutuma kwa Waisraeli, kwa taifa asi ambalo limeniasi mimi, wao na baba zao wananikosea mimi hadi leo.

EZE 2:4 Removed trailing space in v~: Watu ambao ninakutuma kwao ni wapotovu na wakaidi. Waambie, ‘Hivi ndivyo anavyosema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’

EZE 2:5 Removed trailing space in v~: Kama watasikiliza au hawatasikiliza, kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi, watajua nabii amekuwa miongoni mwao.

EZE 2:6 Removed trailing space in v~: Nawe mwanadamu, usiwaogope wao wala maneno yao, usiogope, ingawa michongoma na miiba vinakuzunguka na unaishi katikati ya nge. Usiogope yale wasemayo wala usitishwe nao, ingawa wao ni nyumba ya uasi.

EZE 2:7 Removed trailing space in v~: Wewe lazima uwaambie maneno yangu, ikiwa wanasikiliza au hawasikilizi, kwa kuwa wao ni watu waasi.

EZE 2:8 Removed trailing space in v~: Lakini wewe mwanadamu, sikiliza ninalokuambia. Usiwe mwenye kuasi kama hiyo nyumba ya kuasi. Fungua kinywa chako na ule nikupacho.”

EZE 2:9 Removed trailing space in v~: Ndipo nikatazama, nami nikaona mkono ulionyooshwa kunielekea. Nao ulikuwa na ukurasa wa kitabu,

EZE 2:10 Removed trailing space in v~: ambao aliukunjua mbele yangu. Pande zote mbili ulikuwa umeandikwa maneno ya maombolezo, vilio na ole.

EZE 3:0 Extra space after chapter number

EZE 3:0 Removed trailing space in c: 3

EZE 3:1 Removed trailing space in v~: Naye akaniambia, “Mwanadamu, kula kile kilichoko mbele yako, kula huu ukurasa wa kitabu, kisha uende ukaseme na nyumba ya Israeli.”

EZE 3:2 Removed trailing space in v~: Ndipo nikafungua kinywa changu, naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu.

EZE 3:3 Removed trailing space in v~: Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, kula ukurasa huu wa kitabu ninaokupa ujaze tumbo lako.” Kwa hiyo nikaula, ulikuwa mtamu kama asali kinywani mwangu.

EZE 3:4 Removed trailing space in v~: Kisha akaniambia, “Mwanadamu, sasa nenda katika nyumba ya Israeli ukaseme nao maneno yangu.

EZE 3:5 Removed trailing space in v~: Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli.

EZE 3:6 Removed trailing space in v~: Sikukutuma kwa mataifa mengi yenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu ambao maneno yao hutayaelewa. Hakika ningekutuma kwa watu hao, wangekusikiliza.

EZE 3:7 Removed trailing space in v~: Lakini nyumba ya Israeli haitakusikiliza kwa kuwa hawako radhi kunisikiliza mimi, kwa kuwa nyumba yote ya Israeli ni wenye vipaji vya nyuso vigumu na mioyo ya ukaidi.

EZE 3:8 Removed trailing space in v~: Tazama nimefanya uso wako mgumu dhidi ya nyuso zao na kipaji cha uso wako kigumu dhidi ya vipaji vya nyuso zao.

EZE 3:9 Removed trailing space in v~: Kama vile almasi ilivyo ngumu kuliko gumegume, ndivyo nilivyokifanya kipaji cha uso wako. Usiwaogope wala usiwahofu, ijapokuwa ni nyumba ya kuasi.”

EZE 3:10 Removed trailing space in v~: Naye akaniambia, “Mwanadamu, sikiliza kwa makini na uyatie moyoni mwako maneno yote nitakayosema nawe.

EZE 3:11 Removed trailing space in v~: Kisha nenda kwa watu wa taifa lako walio uhamishoni, ukaseme nao. Waambie, ‘Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemavyo,’ kwamba watasikiliza au hawatasikiliza.”

EZE 3:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho akaniinua, nikasikia sauti kubwa nyuma yangu ya ngurumo. (Utukufu wa \nd Bwana\nd* na utukuzwe katika mahali pa makao yake!)

EZE 3:13 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni sauti ya mabawa ya wale viumbe hai yakisuguana moja kwa jingine, sauti kama ya ngurumo.

EZE 3:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho aliponiinua na kunipeleka mbali. Nikaenda nikiwa na uchungu na hasira moyoni mwangu, nao mkono wa \nd Bwana\nd* ukiwa juu yangu.

EZE 3:15 Removed trailing space in v~: Nikafika kwa wale watu waliokuwa uhamishoni huko Tel-Abibu karibu na Mto Kebari. Nikakaa miongoni mwao kwa muda wa siku saba, nikiwa nimejawa na mshangao.

EZE 3:15 Removed trailing space in s1: Onyo Kwa Israeli

EZE 3:16 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa hizo siku saba neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 3:17 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nimekufanya uwe mlinzi wa nyumba ya Israeli, kwa hiyo sikia neno nisemalo, ukawape onyo litokalo kwangu.

EZE 3:18 Removed trailing space in v~: Nimwambiapo mtu mwovu, ‘Hakika utakufa,’ na wewe usipomwonya mtu huyo au kumshauri aache njia zake mbaya ili kuokoa maisha yake, huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake na damu yake nitaidai mkononi mwako.

EZE 3:19 Removed trailing space in v~: Lakini ukimwonya mtu mwovu naye akakataa kuacha uovu wake na njia zake mbaya, atakufa katika dhambi yake, lakini wewe utakuwa umejiokoa nafsi yako.

EZE 3:20 Removed trailing space in v~: “Tena, mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda maovu, nami nikaweka kikwazo mbele yake mtu huyo atakufa. Kwa kuwa hukumwonya, atakufa katika dhambi yake. Mambo ya haki aliyotenda, hayatakumbukwa, damu yake nitaidai mkononi mwako.

EZE 3:21 Removed trailing space in v~: Lakini ukimwonya mwenye haki asitende dhambi na akaacha kutenda dhambi, hakika ataishi kwa sababu alipokea maonyo na utakuwa umejiokoa nafsi yako.”

EZE 3:22 Removed trailing space in v~: Mkono wa \nd Bwana\nd* ulikuwa juu yangu huko, naye akaniambia, “Simama uende mpaka sehemu tambarare, nami nitasema nawe huko.”

EZE 3:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliinuka nikaenda mpaka mahali pa tambarare. Utukufu wa \nd Bwana\nd* ulikuwa umesimama huko, kama utukufu ule niliouona kando ya Mto Kebari, nami nikaanguka kifudifudi.

EZE 3:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho akaja ndani yangu akanisimamisha kwa miguu yangu. Akasema nami akaniambia: “Nenda ukajifungie ndani ya nyumba yako.

EZE 3:25 Removed trailing space in v~: Nawe, ee mwanadamu, watakufunga kwa kamba, watakufunga ili usiweze kutoka na kuwaendea watu.

EZE 3:26 Removed trailing space in v~: Nitaufanya ulimi wako ushikamane kwenye kaa la kinywa chako, ili uwe kimya usiweze kuwakemea, wajapokuwa ni nyumba ya kuasi.

EZE 3:27 Removed trailing space in v~: Lakini nitakaposema nawe, nitafungua kinywa chako nawe utawaambia, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo.’ Yeyote atakayesikiliza na asikilize, na yeyote atakayekataa na akatae; kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi.

EZE 4:0 Extra space after chapter number

EZE 4:0 Removed trailing space in c: 4

EZE 4:0 Removed trailing space in s1: Kuzingirwa Kwa Yerusalemu Kwaonyeshwa Kwa Mfano

EZE 4:1 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sasa chukua tofali, uliweke mbele yako na uchore juu yake ramani ya mji wa Yerusalemu.

EZE 4:2 Removed trailing space in v~: Kisha uuzingire: Simamisha askari dhidi yake kuuzunguka, uzunguke kwa majeshi, weka kambi dhidi yake pande zote pamoja na magogo ya kubomolea boma vitani.

EZE 4:3 Removed trailing space in v~: Kisha chukua bamba la chuma, ukalisimamishe liwe kama ukuta wa chuma kati yako na huo mji, nawe uuelekeze uso wako. Huo mji utakuwa katika hali ya kuzingirwa, nawe utauzingira. Hii itakuwa ishara kwa nyumba ya Israeli.

EZE 4:4 Removed trailing space in v~: “Kisha ulale kwa upande wako wa kushoto na uweke dhambi za nyumba ya Israeli juu yake. Utazibeba dhambi zao kwa idadi ya siku utakazolala kwa huo upande mmoja.

EZE 4:5 Removed trailing space in v~: Nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya dhambi yao. Kwa hiyo kwa siku 390 utabeba dhambi za nyumba ya Israeli.

EZE 4:6 Removed trailing space in v~: “Baada ya kumaliza hili, lala chini tena, wakati huu ulale chini kwa upande wa kuume, uchukue dhambi za nyumba ya Yuda. Nimekupangia siku arobaini, siku moja kwa kila mwaka mmoja.

EZE 4:7 Removed trailing space in v~: Geuza uso wako uelekeze kwenye kuzingirwa kwa Yerusalemu na mkono wako ambao haukuvikwa nguo tabiri dhidi yake.

EZE 4:8 Removed trailing space in v~: Nitakufunga kwa kamba ili usiweze kugeuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine, mpaka hapo utakapokuwa umetimiza siku za kuzingirwa kwako.

EZE 4:9 Removed trailing space in v~: “Chukua ngano na shayiri, maharagwe na dengu, mtama na mawele, uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia, na uvitumie kujitengenezea mkate. Utaula mkate huo kwa hizo siku 390 utakazokuwa umelala kwa upande mmoja.

EZE 4:10 Removed trailing space in v~: Pima shekeli ishirini\f + \fr 4:10 \ft Shekeli 20 ni sawa na gramu 200.\f* za chakula utakachokula kwa kila siku, nawe utakula kwa wakati uliopangwa.

EZE 4:11 Removed trailing space in v~: Pia pima maji moja ya sita ya hini,\f + \fr 4:11 \ft Moja ya sita ya hini ni sawa na mililita (ml) 600.\f* nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa.

EZE 4:12 Removed trailing space in v~: Nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri, uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia kinyesi cha mwanadamu.”

EZE 4:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Hivi ndivyo watu wa Israeli watakavyokula chakula kilicho najisi miongoni mwa mataifa ninakowapeleka.”

EZE 4:14 Removed trailing space in v~: Ndipo nikasema, “Sivyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Kamwe mimi sijajitia unajisi. Tangu ujana wangu hadi sasa sijala kamwe kitu chochote kilichokufa au kilichoraruliwa na wanyama wa mwituni. Hakuna nyama yeyote najisi iliyoingia kinywani mwangu.”

EZE 4:15 Removed trailing space in v~: Akasema, “Vema sana, basi nitakuruhusu uoke mkate wako kwa kutumia kinyesi cha ngʼombe badala ya kinyesi cha mwanadamu.”

EZE 4:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akaniambia, “Mwanadamu, mimi nitakatilia mbali upatikanaji wa chakula katika Yerusalemu. Watu watakula chakula cha kupimwa kwa wasiwasi pamoja na maji ya kupimiwa kwa kukata tamaa,

EZE 4:17 Removed trailing space in v~: kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu. Watastajabiana kila mmoja, nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao.

EZE 5:0 Extra space after chapter number

EZE 5:0 Removed trailing space in c: 5

EZE 5:0 Removed trailing space in s1: Upanga Dhidi Ya Yerusalemu

EZE 5:1 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sasa chukua upanga mkali na uutumie kama wembe wa kinyozi ili kunyolea nywele za kichwa chako na ndevu zako. Kisha uchukue mizani ya kupimia ukazigawanye nywele hizo.

EZE 5:2 Removed trailing space in v~: Wakati siku zako za kuzingirwa zitakapokwisha, choma theluthi moja ya hizo nywele zako kwa moto ndani ya mji. Chukua theluthi nyingine ya hizo nywele uzipige kwa upanga kuuzunguka mji wote na theluthi nyingine ya mwisho utaitawanya kwa upepo. Kwa kuwa nitawafuatia kwa upanga uliofutwa.

EZE 5:3 Removed trailing space in v~: Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako.

EZE 5:4 Removed trailing space in v~: Tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. Moto utaenea kutoka humo na kufika katika nyumba yote ya Israeli.

EZE 5:5 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Huu ndio Yerusalemu ambao nimeuweka katikati ya mataifa ukiwa umezungukwa na nchi pande zote.

EZE 5:6 Removed trailing space in v~: Lakini katika uovu wake umeasi sheria na amri zangu kuliko mataifa na nchi zinazouzunguka. Umeasi sheria zangu wala haukufuata amri zangu.

EZE 5:7 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninyi mmekuwa wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu. Wala hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa yanayowazunguka.

EZE 5:8 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo, Mimi mwenyewe, niko kinyume nanyi Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa.

EZE 5:9 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena.

EZE 5:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo katikati yenu baba watakula watoto wao na watoto watakula baba zao. Nitawapiga kwa adhabu, nami nitawatawanya watu wenu walionusurika pande zote za dunia.

EZE 5:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, kwa kuwa mmenajisi mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu mbaya sana na desturi zenu za machukizo, mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu.

EZE 5:12 Removed trailing space in v~: Theluthi ya watu wako watakufa kwa tauni au kwa njaa humu ndani yako, theluthi nyingine itaanguka kwa upanga nje ya kuta zako, nayo theluthi nyingine nitaitawanya kwenye pande nne kuwafuatia kwa upanga uliofutwa.

EZE 5:13 Removed trailing space in v~: “Ndipo hasira yangu itakapokoma na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami nitakuwa nimelipiza kisasi. Baada ya kuimaliza ghadhabu yangu juu yao, watajua kuwa mimi \nd Bwana\nd* nimenena katika wivu wangu.

EZE 5:14 Removed trailing space in v~: “Nitakuangamiza na kukufanya kitu cha kudharauliwa miongoni mwa mataifa yanayokuzunguka, machoni pa watu wote wapitao karibu nawe.

EZE 5:15 Removed trailing space in v~: Utakuwa kitu cha kudharauliwa na cha aibu, cha dhihaka, ovyo na kitu cha kutisha kwa mataifa yanayokuzunguka, nitakapokupiga kwa adhabu yangu katika hasira na ghadhabu yangu kwa kukukemea kwa ukali. Mimi \nd Bwana\nd* nimesema.

EZE 5:16 Removed trailing space in v~: Nitakapokupiga kwa mishale yangu ya kufisha na yenye kuharibu ya njaa, nitaipiga ili kukuangamiza. Nitaleta njaa zaidi na zaidi juu yako na kukomesha upatikanaji wa chakula kwako.

EZE 5:17 Removed trailing space in v~: Nitapeleka njaa na wanyama wa mwituni dhidi yenu, navyo vitawaacha bila watoto. Tauni na umwagaji wa damu utapita katikati yenu, nami nitaleta upanga juu yenu. Mimi \nd Bwana\nd* nimenena haya.”

EZE 6:0 Extra space after chapter number

EZE 6:0 Removed trailing space in c: 6

EZE 6:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Milima Ya Israeli

EZE 6:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema,

EZE 6:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako kukabili milima ya Israeli, utabiri dhidi yake

EZE 6:3 Removed trailing space in v~: na useme: ‘Ee milima ya Israeli, sikia neno la \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi aliambiayo milima na vilima, magenge na mabonde: Ninakaribia kuleta upanga dhidi yenu, nami nitapaharibu mahali penu pote pa juu pa kuabudia miungu.

EZE 6:4 Removed trailing space in v~: Madhabahu yenu yatabomolewa na madhabahu yenu ya kufukizia uvumba yatavunjavunjwa, nami nitawachinja watu wenu mbele ya sanamu zenu.

EZE 6:5 Removed trailing space in v~: Nitazilaza maiti za Waisraeli mbele ya sanamu zao, nami nitatawanya mifupa yenu kuzunguka madhabahu yenu.

EZE 6:6 Removed trailing space in v~: Popote mnapoishi, miji hiyo itafanywa ukiwa na mahali pa juu pa kuabudia miungu patabomolewa, ili madhabahu yenu ifanywe ukiwa na kuharibiwa, sanamu zenu zitavunjavunjwa na kuharibiwa, madhabahu yenu ya kufukizia uvumba yatabomolewa na kila mlichokifanya kitakatiliwa mbali.

EZE 6:7 Removed trailing space in v~: Watu wenu watachinjwa katikati yenu, nanyi mtatambua Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 6:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini nitawabakiza hai baadhi yenu, kwa kuwa baadhi yenu watanusurika kuuawa watakapokuwa wametawanyika katika nchi na mataifa.

EZE 6:9 Removed trailing space in v~: Ndipo katika mataifa ambamo watakuwa wamechukuliwa mateka, wale ambao watanusurika watanikumbuka, jinsi ambavyo nimehuzunishwa na mioyo yao ya uzinzi, ambayo imegeukia mbali nami na macho yao ambayo yametamani sanamu zao. Watajichukia wenyewe kwa ajili ya uovu walioutenda na kwa ajili ya desturi zao za kuchukiza.

EZE 6:10 Removed trailing space in v~: Nao watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, sikuwaonya bure kuwa nitaleta maafa hayo yote juu yao.

EZE 6:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Piga makofi, kanyaga chini kwa mguu na upige kelele, “Ole!” kwa sababu ya maovu yote na machukizo yote yanayofanywa na nyumba ya Israeli, kwa kuwa wataanguka kwa upanga, njaa na tauni.

EZE 6:12 Removed trailing space in v~: Yeye aliye mbali sana atakufa kwa tauni, naye aliye karibu atauawa kwa upanga, naye yule atakayenusurika na kubaki atakufa kwa njaa. Hivyo ndivyo nitakavyotimiza ghadhabu yangu dhidi yao.

EZE 6:13 Removed trailing space in v~: Nao watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, wakati maiti za watu wao zitakapokuwa zimelala katikati ya sanamu zao kuzunguka madhabahu yao, juu ya kila kilima kilichoinuka na juu ya vilele vyote vya milima, chini ya kila mti uliotanda na kila mwaloni wenye majani, yaani, sehemu walizofukizia uvumba kwa sanamu zao zote.

EZE 6:14 Removed trailing space in v~: Nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yao na kuifanya nchi yao ukiwa, kuanzia jangwani hadi Dibla, kila mahali wanapoishi. Ndipo watakapojua ya kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 7:0 Extra space after chapter number

EZE 7:0 Removed trailing space in c: 7

EZE 7:0 Removed trailing space in s1: Mwisho Umewadia

EZE 7:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 7:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kwa nchi ya Israeli: Mwisho! Mwisho umekuja juu ya pembe nne za nchi.

EZE 7:3 Removed trailing space in v~: Sasa mwisho umekuja juu yenu nami nitamwaga hasira yangu dhidi yenu. Nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za kuchukiza.

EZE 7:4 Removed trailing space in v~: Sitawaonea huruma wala sitawarehemu, hakika nitalipiza kwa ajili ya matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 7:5 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Maafa! Maafa ambayo hayajasikiwa yanakuja.

EZE 7:6 Removed trailing space in v~: Mwisho umewadia! Mwisho umewadia! Umejiinua wenyewe dhidi yenu. Umewadia!

EZE 7:7 Removed trailing space in v~: Maangamizi yamekuja juu yenu, ninyi mnaoishi katika nchi. Wakati umewadia, siku imekaribia, kuna hofu kuu ya ghafula, wala si furaha, juu ya milima.

EZE 7:8 Removed trailing space in v~: Ninakaribia kumwaga ghadhabu yangu juu yenu na kumaliza hasira yangu dhidi yenu, nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za machukizo.

EZE 7:9 Removed trailing space in v~: Sitawaonea huruma wala sitawarehemu; nitawalipiza sawasawa na matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* ambaye huwapiga kwa mapigo.

EZE 7:10 Removed trailing space in v~: “Siku imefika! Imewadia! Maangamizi yamezuka ghafula, fimbo imechanua majivuno yamechipua!

EZE 7:11 Removed trailing space in v~: Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya kuadhibu uovu, hakuna hata mmoja wa hao watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi lile, hakuna utajiri, hakuna chenye thamani.

EZE 7:12 Removed trailing space in v~: Wakati umewadia, siku imefika. Mnunuzi na asifurahi wala muuzaji asihuzunike, kwa maana ghadhabu iko juu ya kundi lote.

EZE 7:13 Removed trailing space in v~: Muuzaji hatajipatia tena ardhi aliyoiuza wakati wote wawili wangali hai, kwa kuwa maono kuhusu kundi lote hayatatanguka. Kwa sababu ya dhambi zao, hakuna hata mmoja atakayeokoa maisha yake.

EZE 7:14 Removed trailing space in v~: Wajapopiga tarumbeta na kuweka kila kitu tayari, hakuna hata mmoja atakayekwenda vitani, kwa maana ghadhabu yangu iko juu ya kundi lote.

EZE 7:15 Removed trailing space in v~: “Nje ni upanga, ndani ni tauni na njaa, wale walioko shambani watakufa kwa upanga, nao wale waliomo mjini njaa na tauni vitawala.

EZE 7:16 Removed trailing space in v~: Wale wote watakaopona na kutoroka watakuwa milimani, wakiomboleza kama hua wa mabondeni, kila mmoja kwa sababu ya dhambi zake.

EZE 7:17 Removed trailing space in v~: Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji.

EZE 7:18 Removed trailing space in v~: Watavaa nguo ya gunia na kufunikwa na hofu. Nyuso zao zitafunikwa na aibu na nywele za vichwa vyao zitanyolewa.

EZE 7:19 Removed trailing space in v~: Watatupa fedha yao barabarani, nayo dhahabu yao itakuwa najisi. Fedha yao na dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya \nd Bwana\nd*. Hawatashibisha njaa yao au kujaza matumbo yao kwa hiyo fedha wala dhahabu, kwa sababu imewaponza wajikwae dhambini.

EZE 7:20 Removed trailing space in v~: Walijivunia vito vyao vizuri na kuvitumia kufanya sanamu za machukizo na vinyago vya upotovu. Kwa hiyo nitavifanya vitu hivyo kuwa najisi kwao.

EZE 7:21 Removed trailing space in v~: Nitavitia vyote mikononi mwa wageni kuwa nyara na kuwa vitu vilivyotekwa mikononi mwa watu waovu wa dunia, nao watavinajisi.

EZE 7:22 Removed trailing space in v~: Nitageuza uso wangu mbali nao, nao waovu wa dunia watapanajisi mahali pangu pa thamani, wanyangʼanyi watapaingia na kupanajisi.

EZE 7:23 Removed trailing space in v~: “Andaa minyororo, kwa sababu nchi imejaa umwagaji wa damu na mji umejaa udhalimu.

EZE 7:24 Removed trailing space in v~: Nitaleta taifa ovu kuliko yote ili kumiliki nyumba zao, nitakomesha kiburi cha wenye nguvu na mahali pao patakatifu patatiwa unajisi.

EZE 7:25 Removed trailing space in v~: Hofu ya ghafula itakapokuja, watatafuta amani, lakini haitakuwepo.

EZE 7:26 Removed trailing space in v~: Maafa juu ya maafa yatakuja, tetesi ya mabaya juu ya tetesi ya mabaya. Watajitahidi kupata maono kutoka kwa nabii, mafundisho ya sheria toka kwa kuhani yatapotea, vivyo hivyo shauri kutoka kwa wazee.

EZE 7:27 Removed trailing space in v~: Mfalme ataomboleza, mwana wa mfalme atavikwa kukata tamaa, nayo mikono ya watu wa nchi itatetemeka. Nitawashughulikia sawasawa na matendo yao na kwa kanuni zao wenyewe nitawahukumu. Ndipo watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 8:0 Extra space after chapter number

EZE 8:0 Removed trailing space in c: 8

EZE 8:0 Removed trailing space in s1: Ibada Ya Sanamu Hekaluni

EZE 8:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ya tano ya mwezi wa sita mwaka wa sita, baada ya kupelekwa uhamishoni nilipokuwa nimeketi katika nyumba yangu na wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu, mkono wa \nd Bwana\nd* Mwenyezi ulikuja juu yangu.

EZE 8:2 Removed trailing space in v~: Nikatazama, nikaona umbo mfano wa mwanadamu. Kutokana na kile kilichoonekana kuwa kiuno chake kuelekea chini alifanana na moto. Kuanzia kwenye kiuno kuelekea juu sura yake kama chuma kingʼaavyo kikiwa ndani ya moto.

EZE 8:3 Removed trailing space in v~: Akanyoosha kitu kilichoonekana kama mkono, akaniinua kwa kushika nywele za kichwa changu. Roho akaniinua juu kati ya nchi na mbingu nikiwa katika maono ya Mungu akanichukua mpaka Yerusalemu, kwenye ingilio la lango la upande wa kaskazini ya ukumbi wa ndani, mahali iliposimama ile sanamu ichocheayo wivu.

EZE 8:4 Removed trailing space in v~: Hapo mbele yangu palikuwa na utukufu wa Mungu wa Israeli, kama utukufu ule niliouona katika maono kule ua wa ndani.

EZE 8:5 Removed trailing space in v~: Kisha akaniambia, “Mwanadamu, tazama kuelekea kaskazini.” Hivyo nikatazama na kwenye ingilio upande wa kaskazini wa lango la madhabahu, nikaona sanamu hii ya wivu.

EZE 8:6 Removed trailing space in v~: Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, je, unaona yale wanayofanya, haya mambo ya machukizo kabisa nyumba ya Israeli wanayotenda hapa, ambayo yatanifanya niende mbali na mahali pangu patakatifu? Lakini utaona vitu ambavyo vinachukiza zaidi hata kuliko hivi.”

EZE 8:7 Removed trailing space in v~: Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani.

EZE 8:8 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango.

EZE 8:9 Removed trailing space in v~: Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.”

EZE 8:10 Removed trailing space in v~: Hivyo nikaingia ndani na kutazama, nikaona kuta zote zimechorwa kila aina ya vitu vitambaavyo na ya wanyama wachukizao wa kila aina na sanamu zote za nyumba ya Israeli.

EZE 8:11 Removed trailing space in v~: Mbele yao walisimama wazee sabini wa nyumba ya Israeli, naye Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi na moshi wa harufu nzuri ya uvumba ulikuwa unapanda juu.

EZE 8:12 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Mwanadamu, umeona wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake mwenyewe ya kufanyia ibada za sanamu yake? Wao husema, ‘\nd Bwana\nd* hatuoni, \nd Bwana\nd* ameiacha nchi.’ ”

EZE 8:13 Removed trailing space in v~: Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”

EZE 8:14 Removed trailing space in v~: Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya \nd Bwana\nd*, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.

EZE 8:15 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”

EZE 8:16 Removed trailing space in v~: Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani wa nyumba ya \nd Bwana\nd*, nako huko katika ingilio la Hekalu, kati ya baraza na madhabahu, walikuwepo wanaume wapatao ishirini na watano. Wakiwa wamelipa kisogo Hekalu la \nd Bwana\nd* na kuelekeza nyuso zao upande wa mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.

EZE 8:17 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Je, umeona hili mwanadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo wanayoyafanya hapa? Je, ni lazima pia waijaze nchi dhuluma na kuendelea siku zote kunikasirisha? Watazame wanavyonibania pua kana kwamba ninanuka!

EZE 8:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitashughulika nao kwa hasira, sitawaonea huruma wala kuwaachilia. Wajapopiga makelele masikioni mwangu, sitawasikiliza.”

EZE 9:0 Extra space after chapter number

EZE 9:0 Removed trailing space in c: 9

EZE 9:0 Removed trailing space in s1: Waabudu Sanamu Wauawa

EZE 9:1 Removed trailing space in v~: Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa akisema, “Walete wasimamizi wa mji hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi mwake.”

EZE 9:2 Removed trailing space in v~: Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande mmoja. Wakaingia ndani ya Hekalu wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.

EZE 9:3 Removed trailing space in v~: Basi utukufu wa Mungu wa Israeli ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Ndipo \nd Bwana\nd* akamwita yule mtu aliyevaa kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja,

EZE 9:4 Removed trailing space in v~: akamwambia, “Pita katika mji wote wa Yerusalemu ukaweke alama juu ya vipaji vya nyuso za wale watu wanaohuzunika na kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote yanayotendeka katika mji huu.”

EZE 9:5 Removed trailing space in v~: Nikiwa ninasikia, akawaambia wale wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote mkiua, pasipo huruma wala masikitiko.

EZE 9:6 Removed trailing space in v~: Waueni wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na watoto, lakini msimguse mtu yeyote mwenye alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.” Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya Hekalu.

EZE 9:7 Removed trailing space in v~: Ndipo akawaambia, “Linajisini Hekalu na mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. Nendeni!” Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua watu mjini kote.

EZE 9:8 Removed trailing space in v~: Wakati walikuwa wakiwaua watu, nami nilikuwa nimeachwa peke yangu, nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Je, utaangamiza mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”

EZE 9:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘\nd Bwana\nd* ameiacha nchi, \nd Bwana\nd* hauoni.’

EZE 9:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.”

EZE 9:11 Removed trailing space in v~: Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ulivyoniagiza.”

EZE 10:0 Extra space after chapter number

EZE 10:0 Removed trailing space in c: 10

EZE 10:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Unaondoka Hekaluni

EZE 10:1 Removed trailing space in v~: Nikatazama, nikaona juu ya ile nafasi iliyokuwa juu ya vichwa vya wale makerubi kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi.

EZE 10:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia katikati ya yale Magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya makerubi na uyatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.

EZE 10:3 Removed trailing space in v~: Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani.

EZE 10:4 Removed trailing space in v~: Kisha utukufu wa \nd Bwana\nd* ukainuka kutoka juu ya wale makerubi ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Wingu likajaza Hekalu, nao ukumbi ukajawa na mngʼao wa utukufu wa \nd Bwana\nd*.

EZE 10:5 Removed trailing space in v~: Sauti ya mabawa ya wale makerubi ingeweza kusikika mpaka kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi\f + \fr 10:5 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* wakati anapoongea.

EZE 10:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipomwamuru yule mtu aliyevaa nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya makerubi,” yule mtu aliingia ndani akasimama pembeni mwa gurudumu.

EZE 10:7 Removed trailing space in v~: Ndipo mmoja wa wale makerubi akanyoosha mkono wake kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea akatoka nje.

EZE 10:8 Removed trailing space in v~: (Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)

EZE 10:9 Removed trailing space in v~: Nikatazama, nikaona magurudumu manne kando ya makerubi, moja kando ya kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta kama kito cha zabarajadi.

EZE 10:10 Removed trailing space in v~: Kule kuonekana kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine.

EZE 10:11 Removed trailing space in v~: Yalipozunguka, yalikwenda kokote katika pande nne walikoelekea wale makerubi. Magurudumu hayakugeuka wakati makerubi yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wowote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka walipokuwa wakienda.

EZE 10:12 Removed trailing space in v~: Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne.

EZE 10:13 Removed trailing space in v~: Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.”

EZE 10:14 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wa wale makerubi alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.

EZE 10:15 Removed trailing space in v~: Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari.

EZE 10:16 Removed trailing space in v~: Wakati makerubi walipokwenda, magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na wakati makerubi walipotanda mabawa yao wapate kupaa juu kutoka ardhi, magurudumu yale hayakuondoka pembeni mwao.

EZE 10:17 Removed trailing space in v~: Makerubi yaliposimama kimya, nayo pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa ndani yake.

EZE 10:18 Removed trailing space in v~: Kisha utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi.

EZE 10:19 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa nikitazama, makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda, yale magurudumu yakaenda pamoja nao. Wakasimama kwenye ingilio la lango la mashariki la nyumba ya \nd Bwana\nd*, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao.

EZE 10:20 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi.

EZE 10:21 Removed trailing space in v~: Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu.

EZE 10:22 Removed trailing space in v~: Nyuso zao zilifanana kama zile nilizokuwa nimeziona kando ya Mto Kebari. Kila mmoja alikwenda mbele moja kwa moja.

EZE 11:0 Extra space after chapter number

EZE 11:0 Removed trailing space in c: 11

EZE 11:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Juu Ya Viongozi Wa Israeli

EZE 11:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho akaniinua na kunileta mpaka kwenye lango la nyumba ya \nd Bwana\nd* linalotazama upande wa mashariki. Pale kwenye ingilio la lango kulikuwepo wanaume ishirini na watano, nami nikaona miongoni mwao Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, viongozi wa watu.

EZE 11:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Mwanadamu, hawa ndio wafanyao hila na kutoa mashauri potovu katika mji huu.

EZE 11:3 Removed trailing space in v~: Wao husema, ‘Je, hivi karibuni hautakuwa wakati wa kujenga nyumba? Mji huu ni chungu cha kupikia, nasi ndio nyama.’

EZE 11:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo toa unabii dhidi yao, tabiri, Ewe mwanadamu.”

EZE 11:5 Removed trailing space in v~: Kisha Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu yangu, naye akaniambia niseme: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Hili ndilo ninyi mnalosema, ee nyumba ya Israeli, lakini ninajua mnalowaza mioyoni mwenu.

EZE 11:6 Removed trailing space in v~: Mmewaua watu wengi katika mji huu na kujaza barabara zake maiti.

EZE 11:7 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi: maiti ulizozitupa huko ni nyama na mji huu ni chungu, lakini nitawaondoa mtoke huko.

EZE 11:8 Removed trailing space in v~: Mnaogopa upanga, nao upanga huo ndio nitakaouleta juu yenu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 11:9 Removed trailing space in v~: Nitawaondoa mtoke katika mji na kuwatia mikononi mwa wageni nami nitawaadhibu.

EZE 11:10 Removed trailing space in v~: Mtaanguka kwa upanga, nami nitatimiza hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 11:11 Removed trailing space in v~: Mji huu hautakuwa chungu kwa ajili yenu, wala hamtakuwa nyama ndani yake. Nitatoa hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Israeli.

EZE 11:12 Removed trailing space in v~: Nanyi mtajua ya kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, kwa kuwa hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu, bali mmefuata mwenendo wa mataifa yanayowazunguka.”

EZE 11:13 Removed trailing space in v~: Basi nilipokuwa ninatoa unabii, Pelatia mwana wa Benaya akafa. Ndipo nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kuu nikasema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Je utaangamiza kabisa mabaki ya Israeli?”

EZE 11:14 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 11:15 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, ndugu zako, ndugu zako ambao ni wa uhusiano wa damu na nyumba yote ya Israeli, ndio wale ambao watu wa Yerusalemu wamesema, ‘Wako mbali na \nd Bwana\nd*; nchi hii tulipewa sisi kuwa milki yetu.’

EZE 11:15 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Kurudi Kwa Israeli

EZE 11:16 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sema, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ingawa niliwapeleka mbali miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali, lakini kwa kitambo kidogo mimi nimekuwa mahali patakatifu kwao katika nchi walizokwenda.’

EZE 11:17 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sema: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitawakusanyeni kutoka mataifa na kuwarudisha kutoka nchi ambazo mmetawanywa, nami nitawarudishia nchi ya Israeli.’

EZE 11:18 Removed trailing space in v~: “Watairudia nchi na kuondoa vinyago vyote vya upotovu na sanamu zote za machukizo.

EZE 11:19 Removed trailing space in v~: Nitawapa moyo mmoja na kuweka roho mpya ndani yao, nitaondoa kutoka ndani yao moyo wa jiwe na kuwapa moyo wa nyama.

EZE 11:20 Removed trailing space in v~: Kisha watafuata amri zangu na kuwa waangalifu kutii sheria zangu. Watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.

EZE 11:21 Removed trailing space in v~: Lakini kwa wale ambao mioyo yao imeambatana na vinyago vyao vya upotovu na sanamu zao za machukizo, nitaleta juu ya vichwa vyao yale waliyotenda asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 11:22 Removed trailing space in v~: Ndipo wale makerubi, wenye magurudumu pembeni mwao, wakakunjua mabawa yao, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.

EZE 11:23 Removed trailing space in v~: Basi utukufu wa \nd Bwana\nd* ukapaa juu kutoka mji, ukatua juu ya mlima ulio upande wa mashariki ya mji.

EZE 11:24 Removed trailing space in v~: Roho akaniinua na kunileta mpaka kwa watu wa uhamisho huko Ukaldayo nikiwa katika yale maono niliyopewa na Roho wa Mungu.

EZE 11:24 Removed trailing space in p~: Ndipo maono niliyokuwa nimeyaona yakanitoka,

EZE 11:25 Removed trailing space in v~: nami nikawaeleza wale watu wa uhamisho kila kitu \nd Bwana\nd* alichokuwa amenionyesha.

EZE 12:0 Extra space after chapter number

EZE 12:0 Removed trailing space in c: 12

EZE 12:0 Removed trailing space in s1: Kutekwa Kwa Yuda Kwaelezewa

EZE 12:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, unaishi miongoni mwa watu waasi. Wana macho ya kuona, lakini hawaoni na masikio ya kusikia lakini hawasikii, kwa kuwa ni watu waasi.

EZE 12:3 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, mwanadamu, funga mizigo yako kwa kwenda uhamishoni tena wakati wa mchana, wakiwa wanakutazama, toka nje na uende mahali pengine kutoka hapo ulipo. Labda wataelewa, ingawa wao ni nyumba ya kuasi.

EZE 12:4 Removed trailing space in v~: Wakati wa mchana, wakiwa wanakutazama, toa nje mizigo yako iliyofungwa kwa ajili ya kwenda uhamishoni. Kisha wakati wa jioni, wakiwa wanakutazama toka nje kama wale waendao uhamishoni.

EZE 12:5 Removed trailing space in v~: Wakiwa wanakutazama, toboa ukuta utolee mizigo yako hapo.

EZE 12:6 Removed trailing space in v~: Beba mizigo hiyo begani mwako wakikuangalia uichukue nje wakati wa giza la jioni. Funika uso wako ili usione nchi, kwa maana nimekufanya ishara kwa nyumba ya Israeli.”

EZE 12:7 Removed trailing space in v~: Basi nikafanya kama nilivyoamriwa. Wakati wa mchana nilitoa vitu vyangu nje vilivyofungwa tayari kwa uhamishoni. Kisha wakati wa jioni nikatoboa ukuta kwa mikono yangu. Nikachukua mizigo yangu nje wakati wa giza la jioni, nikiwa nimeibeba mabegani mwangu huku wakinitazama.

EZE 12:8 Removed trailing space in v~: Asubuhi neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:9 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, je, nyumba ile ya kuasi ya Israeli haikukuuliza, ‘Unafanya nini?’

EZE 12:10 Removed trailing space in v~: “Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Neno hili linamhusu mkuu aliye katika Yerusalemu na nyumba yote ya Israeli ambao wako huko.’

EZE 12:11 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Mimi ndiye ishara kwenu.’

EZE 12:11 Removed trailing space in p~: “Kama vile nilivyotenda, basi litatendeka vivyo hivyo kwao. Watakwenda uhamishoni kama mateka.

EZE 12:12 Removed trailing space in v~: “Naye mkuu aliye miongoni mwao atabeba mizigo yake begani mwake kwenye giza la jioni na kuondoka na tundu litatobolewa ukutani kwa ajili yake ili kupitia hapo. Atafunika uso wake ili kwamba asiweze kuiona nchi.

EZE 12:13 Removed trailing space in v~: Nitatandaza wavu wangu kwa ajili yake, naye atanaswa kwenye mtego wangu, nitamleta mpaka Babeli, nchi ya Wakaldayo, lakini hataiona, naye atafia huko.

EZE 12:14 Removed trailing space in v~: Wote wanaomzunguka nitawatawanya pande zote, watumishi wake na majeshi yake yote, nami nitawafuatilia kwa upanga uliofutwa.

EZE 12:15 Removed trailing space in v~: “Wao watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapowatawanya miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi zote.

EZE 12:16 Removed trailing space in v~: Lakini nitawaacha wachache wao waokoke na upanga, njaa na tauni, ili kwamba katika mataifa watakakokwenda waweze kutambua matendo ya machukizo waliotenda. Ndipo watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 12:17 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:18 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tetemeka wakati ulapo chakula chako, tetemeka kwa hofu wakati unywapo maji yako.

EZE 12:19 Removed trailing space in v~: Waambie watu wa nchi: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kuhusu hao wanaoishi Yerusalemu na katika nchi ya Israeli: Watakula chakula chao kwa wasiwasi na kunywa maji yao kwa kufadhaika, kwa kuwa nchi yao itanyangʼanywa kila kitu chake kwa sababu ya udhalimu wa wote wanaoishi humo.

EZE 12:20 Removed trailing space in v~: Miji inayokaliwa na watu itaharibiwa na nchi itakuwa ukiwa. Ndipo mtakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 12:21 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:22 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, ni nini hii mithali mlio nayo katika nchi ya Israeli: ‘Siku zinapita na hakuna maono yoyote yanayotimia?’

EZE 12:23 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaikomesha mithali hii, nao hawataitumia tena katika Israeli.’ Waambie, ‘Siku zimekaribia wakati kila maono yatakapotimizwa.

EZE 12:24 Removed trailing space in v~: Kwa maana hapatakuwepo tena na maono ya uongo wala ubashiri wa udanganyifu miongoni mwa watu wa Israeli.

EZE 12:25 Removed trailing space in v~: Lakini Mimi \nd Bwana\nd* nitasema neno nitakalo, nalo litatimizwa bila kuchelewa. Kwa maana katika siku zako, wewe nyumba ya kuasi, nitatimiza kila nisemalo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 12:26 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:27 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nyumba ya Israeli inasema, ‘Maono yale anayoyaona ni kwa ajili ya miaka mingi ijayo, naye hutabiri kuhusu siku zijazo zilizo mbali.’

EZE 12:28 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Hakuna maneno yangu yatakayocheleweshwa tena zaidi, lolote nisemalo litatimizwa, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 13:0 Extra space after chapter number

EZE 13:0 Removed trailing space in c: 13

EZE 13:0 Removed trailing space in s1: Manabii Wa Uongo Walaumiwa

EZE 13:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 13:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli wanaotabiri sasa. Waambie hao ambao hutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe: ‘Sikia neno la \nd Bwana\nd*!

EZE 13:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ole wao manabii wapumbavu wafuatao roho yao wenyewe na wala hawajaona chochote!

EZE 13:4 Removed trailing space in v~: Manabii wako, ee Israeli, ni kama mbweha katikati ya magofu.

EZE 13:5 Removed trailing space in v~: Hamjakwea kwenda kuziba mahali palipobomoka katika ukuta ili kuukarabati kwa ajili ya nyumba ya Israeli, ili kwamba isimame imara kwenye vita katika siku ya \nd Bwana\nd*.

EZE 13:6 Removed trailing space in v~: Maono yao ni ya uongo na ubashiri wao ni wa udanganyifu. Wao husema, “\nd Bwana\nd* amesema,” wakati \nd Bwana\nd* hakuwatuma, bado wakitarajia maneno yao kutimizwa.

EZE 13:7 Removed trailing space in v~: Je, hamjaona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu hapo msemapo, “\nd Bwana\nd* asema,” lakini Mimi sijasema?

EZE 13:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ya uongo wa maneno yenu na kwa madanganyo ya maono yenu, Mimi ni kinyume na ninyi, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 13:9 Removed trailing space in v~: Mkono wangu utakuwa dhidi ya manabii ambao huona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu. Hawatakuwa katika baraza la watu wangu au kuandikwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli wala hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 13:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu ni kweli wanapotosha watu wangu, wakisema, “Amani,” wakati ambapo hakuna amani, pia kwa sababu, wakati ukuta dhaifu unapojengwa, wanaufunika kwa kupaka chokaa,

EZE 13:11 Removed trailing space in v~: kwa hiyo waambie hao wanaoupaka chokaa isiyokorogwa vyema kwamba ukuta huo utaanguka. Mvua kubwa ya mafuriko itanyesha, nami nitaleta mvua ya mawe inyeshe kwa nguvu, nao upepo wa dhoruba utavuma juu yake.

EZE 13:12 Removed trailing space in v~: Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”

EZE 13:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika ghadhabu yangu nitauachia upepo wa dhoruba, pia katika hasira yangu mvua ya mawe na mvua ya mafuriko itanyesha ikiwa na ghadhabu ya kuangamiza.

EZE 13:14 Removed trailing space in v~: Nitaubomoa ukuta mlioupaka chokaa na kuuangusha chini ili msingi wake uachwe wazi. Utakapoanguka, mtaangamizwa ndani yake, nanyi mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 13:15 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo nitakavyoitimiza ghadhabu yangu dhidi ya huo ukuta na dhidi yao walioupaka chokaa. Nitawaambia ninyi, “Ukuta umebomoka na vivyo hivyo wale walioupaka chokaa,

EZE 13:16 Removed trailing space in v~: wale manabii wa Israeli waliotabiri juu ya Yerusalemu na kuona maono ya amani kwa ajili yake wakati kulipokuwa hakuna amani, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.” ’

EZE 13:17 Removed trailing space in v~: “Sasa, mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya binti za watu wako wanaotabiri mambo kutoka mawazo yao wenyewe. Tabiri dhidi yao

EZE 13:18 Removed trailing space in v~: na useme, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ole wao wanawake washonao hirizi za uchawi juu ya viwiko vyao vyote na kutengeneza shela za urefu wa aina mbalimbali kwa ajili ya kufunika vichwa vyao kwa makusudi ya kuwanasa watu. Je, mtatega uhai wa watu wangu lakini ninyi mponye wa kwenu?

EZE 13:19 Removed trailing space in v~: Ninyi mmeninajisi miongoni mwa watu wangu kwa ajili ya konzi chache za shayiri na chembe za mkate. Kwa kuwaambia uongo watu wangu, wale ambao husikiliza uongo, mmewaua wale watu ambao wasingekufa na kuwaacha hai wale ambao wasingeishi.

EZE 13:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na hizo hirizi zenu za uchawi ambazo kwa hizo mnawatega watu kama ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi mwenu, nitawaweka huru watu wale mliowatega kama ndege.

EZE 13:21 Removed trailing space in v~: Nitazirarua shela zenu na kuwaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nao hawatakuwa tena mawindo ya nguvu zenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 13:22 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mliwavunja moyo wenye haki kwa uongo wenu, wakati mimi sikuwaletea huzuni na kwa kuwa mliwatia moyo waovu ili wasiziache njia zao mbaya na hivyo kuokoa maisha yao,

EZE 13:23 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hamtaona tena maono ya uongo wala kufanya ubashiri. Nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu. Nanyi ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 14:0 Extra space after chapter number

EZE 14:0 Removed trailing space in c: 14

EZE 14:0 Removed trailing space in s1: Waabudu Sanamu Walaumiwa

EZE 14:1 Removed trailing space in v~: Baadhi ya wazee wa Israeli walinijia na kuketi mbele yangu.

EZE 14:2 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 14:3 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, watu hawa wameweka sanamu katika mioyo yao na kuweka vitu viovu vya kukwaza mbele ya macho yao. Je, kweli niwaruhusu waniulize jambo lolote?

EZE 14:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sema nao uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Wakati Mwisraeli yeyote anapoweka sanamu moyoni mwake na kuweka kitu kiovu cha kukwaza mbele ya macho yake na kisha akaenda kwa nabii, Mimi \nd Bwana\nd* nitamjibu peke yangu sawasawa na ukubwa wa ibada yake ya sanamu.

EZE 14:5 Removed trailing space in v~: Nitafanya jambo hili ili kukamata tena mioyo ya watu wa Israeli, ambao wote wameniacha kwa ajili ya sanamu zao.’

EZE 14:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Tubuni! Geukeni kutoka kwenye sanamu zenu na mkatae matendo yenu yote ya machukizo!

EZE 14:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi katika Israeli anapojitenga nami na kujiwekea sanamu katika moyo wake na kwa hivyo kuweka kitu kiovu cha kukwaza mbele ya macho yake na kisha akamwendea nabii kuuliza shauri kwangu, mimi \nd Bwana\nd* nitamjibu mwenyewe.

EZE 14:8 Removed trailing space in v~: Nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na kumwadhibu na kumfanya ishara kwa watu. Nitamkatilia mbali kutoka watu wangu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 14:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Naye nabii kama atakuwa ameshawishika kutoa unabii, Mimi \nd Bwana\nd* nitakuwa nimemshawishi nabii huyo, nami nitaunyoosha mkono wangu dhidi yake na kumwangamiza kutoka miongoni mwa watu wangu Israeli.

EZE 14:10 Removed trailing space in v~: Watachukua hatia yao, nabii atakuwa na hatia sawa na yule mtu aliyekuja kuuliza neno kwake.

EZE 14:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Ndipo watu wa Israeli hawataniacha tena, wala kujitia unajisi tena kwa dhambi zao zote. Ndipo watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 14:11 Removed trailing space in s1: Hukumu Isiyoepukika

EZE 14:12 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema,

EZE 14:13 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, kama nchi itanitenda dhambi kwa kutokuwa waaminifu nami nikinyoosha mkono wangu dhidi yake kukatilia mbali upatikanaji wake wa chakula na kuipelekea njaa na kuua watu wake na wanyama wao,

EZE 14:14 Removed trailing space in v~: hata kama watu hawa watatu: Noa, Danieli na Ayubu wangekuwa ndani ya nchi hiyo, ndio hao tu wangeweza kujiokoa wenyewe kwa uadilifu wao, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 14:15 Removed trailing space in v~: “Au kama nikipeleka wanyama pori katika nchi hiyo yote na kuifanya isiwe na watoto, nayo ikawa ukiwa kwamba hakuna mtu apitaye katika nchi hiyo kwa sababu ya wanyama pori,

EZE 14:16 Removed trailing space in v~: hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hata kama watu hawa watatu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kuokoa wana wao wala binti zao. Wao peke yao wangeokolewa, lakini nchi ingekuwa ukiwa.

EZE 14:17 Removed trailing space in v~: “Au kama nikileta upanga dhidi ya nchi hiyo na kusema, ‘Upanga na upite katika nchi yote,’ nami nikiua watu wake na wanyama wao,

EZE 14:18 Removed trailing space in v~: hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hata kama watu hawa watatu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kuokoa wana wao wala binti zao. Wao wenyewe tu wangeokolewa.

EZE 14:19 Removed trailing space in v~: “Au kama nikipeleka tauni katika nchi hiyo na kumwaga ghadhabu yangu juu yake kwa njia ya kumwaga damu, kuua watu wake na wanyama wao,

EZE 14:20 Removed trailing space in v~: hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hata kama Noa, Danieli na Ayubu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kumwokoa mwana wala binti. Wao wangeweza kujiokoa wenyewe tu kwa uadilifu wao.

EZE 14:21 Removed trailing space in v~: “Kwa maana hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Itakuwa vibaya kiasi gani nitakapopeleka dhidi ya Yerusalemu hukumu zangu nne za kutisha, yaani, upanga, njaa, wanyama pori na tauni, ili kuua watu wake na wanyama wao!

EZE 14:22 Removed trailing space in v~: Lakini watakuwepo wenye kuokoka, wana na binti wataletwa kutoka nje ya nchi hiyo. Watawajia ninyi, nanyi mtakapoona mwenendo wao na matendo yao, mtafarijika kuhusu maafa niliyoleta juu ya Yerusalemu, kwa ajili ya yale yote niliyoleta juu yake.

EZE 14:23 Removed trailing space in v~: Mtafarijika wakati mtakapoona mwenendo wao na matendo yao, kwa kuwa mtajua kwamba sikufanya lolote ndani yake bila sababu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 15:0 Extra space after chapter number

EZE 15:0 Removed trailing space in c: 15

EZE 15:0 Removed trailing space in s1: Yerusalemu Mzabibu Usiofaa

EZE 15:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 15:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wowote ndani ya msitu?

EZE 15:3 Removed trailing space in v~: Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza chochote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuningʼinizia vitu kutokana na huo mti wake?

EZE 15:4 Removed trailing space in v~: Nao baada ya kutiwa motoni kama nishati na moto ukateketeza ncha zote mbili na kuunguza sehemu ya kati, je, unafaa kwa lolote?

EZE 15:5 Removed trailing space in v~: Kama haukufaa kitu chochote ulipokuwa mzima, je, si zaidi sana sasa ambapo hauwezekani kufanyishwa chochote cha kufaa baada ya moto kuuchoma na kuuunguza?

EZE 15:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kama nilivyoutoa mti wa mzabibu miongoni mwa miti ya msituni kuwa nishati kwa ajili ya moto, hivyo ndivyo nitakavyowatendea watu waishio Yerusalemu.

EZE 15:7 Removed trailing space in v~: Nitaukaza uso wangu dhidi yao. Ingawa watakuwa wameokoka kwenye moto, bado moto utawateketeza. Nami nitakapoukaza uso wangu dhidi yao, ninyi mtajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 15:8 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekuwa si waaminifu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 16:0 Extra space after chapter number

EZE 16:0 Removed trailing space in c: 16

EZE 16:0 Removed trailing space in s1: Yerusalemu, Mwanamke Asiye Mwaminifu

EZE 16:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 16:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, ijulishe Yerusalemu kuhusu mwenendo wake wa machukizo

EZE 16:3 Removed trailing space in v~: na useme, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi, analomwambia Yerusalemu: Wewe asili yako na kuzaliwa kwako ni katika nchi ya Kanaani, baba yako alikuwa Mwamori, naye mama yako alikuwa Mhiti.

EZE 16:4 Removed trailing space in v~: Siku uliyozaliwa kitovu chako hakikukatwa, wala hukuogeshwa kwa maji ili kukufanya safi, wala hukusuguliwa kwa chumvi wala kufunikwa kwa nguo.

EZE 16:5 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote aliyekuonea huruma au kukusikitikia kiasi cha kukutendea mojawapo ya mambo haya. Badala yake, ulipozaliwa ulitupwa nje penye uwanja, kwa kuwa katika siku uliyozaliwa ulidharauliwa.

EZE 16:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Ndipo nilipopita karibu nawe nikakuona ukigaagaa kwenye damu yako, nawe ulipokuwa umelala hapo penye hiyo damu nikakuambia, “Ishi!”

EZE 16:7 Removed trailing space in v~: Nilikufanya uote kama mmea wa shambani. Ukakua na kuongezeka sana, ukawa kito cha thamani kuliko vyote. Matiti yako yakatokeza na nywele zako zikaota, wewe uliyekuwa uchi na bila kitu chochote.

EZE 16:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Baadaye nikapita karibu nawe, nilipokutazama na kukuona kuwa umefikia umri wa kupendwa, nililitandaza vazi langu juu yako na kuufunika uchi wako. Nikakuapia na kuingia kwenye Agano na wewe, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nawe ukawa wangu.

EZE 16:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Nilikuogesha kwa maji, nikakuosha ile damu na kukupaka mafuta.

EZE 16:10 Removed trailing space in v~: Nikakuvika vazi lililotariziwa na kukuvalisha viatu vya kamba vya ngozi. Nikakuvika nguo za kitani safi na kukufunika kwa mavazi ya thamani kubwa.

EZE 16:11 Removed trailing space in v~: Nikakupamba kwa vito: nikakuvika bangili mikononi mwako na mkufu shingoni mwako,

EZE 16:12 Removed trailing space in v~: nikaweka hazama puani mwako, vipuli masikioni mwako na taji nzuri sana kichwani mwako.

EZE 16:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ulipambwa kwa dhahabu na fedha, nguo zako zilikuwa za kitani safi, hariri na nguo iliyokuwa imetariziwa. Chakula chako kilikuwa unga laini, asali na mafuta ya zeituni. Ukawa mzuri sana ukainuka kuwa malkia.

EZE 16:14 Removed trailing space in v~: Umaarufu wako ulifahamika miongoni mwa mataifa kwa ajili ya uzuri wako, kwani ulikuwa mkamilifu kwa ajili ya utukufu wangu niliokuwa nimeuweka juu yako, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 16:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini ulitumainia uzuri wako na kutumia umaarufu wako kuwa kahaba. Ulifanya uzinzi kwa kila mtu aliyepita, uzuri wako ukawa kwa ajili yake.

EZE 16:16 Removed trailing space in v~: Ulichukua baadhi ya mavazi yako ukayatumia kupamba mahali pako pa juu pa kuabudia miungu, mahali ambapo ulifanyia ukahaba wako. Mambo ya namna hiyo hayastahili kutendeka wala kamwe kutokea.

EZE 16:17 Removed trailing space in v~: Pia ulichukua vito vizuri nilivyokupa, vito vilivyotengenezwa kwa dhahabu yangu na fedha yangu, ukajitengenezea navyo sanamu za kiume na ukafanya ukahaba nazo.

EZE 16:18 Removed trailing space in v~: Ukayachukua mavazi yako niliyokupa yaliyotariziwa na ukazivalisha hizo sanamu, ukatoa mbele ya hizo sanamu mafuta yangu na uvumba wangu.

EZE 16:19 Removed trailing space in v~: Pia chakula changu nilichokupa ili ule: unga laini, mafuta ya zeituni na asali, ulivitoa mbele yao kuwa uvumba wa harufu nzuri. Hayo ndiyo yaliyotokea, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 16:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Nawe uliwachukua wanao na binti zako ulionizalia mimi na kuwatoa kafara kuwa chakula kwa sanamu. Je, ukahaba wako haukukutosha?

EZE 16:21 Removed trailing space in v~: Uliwachinja watoto wangu na kuwatoa kafara kwa sanamu.

EZE 16:22 Removed trailing space in v~: Katika matendo yako yote ya machukizo, pamoja na ukahaba wako hukukumbuka siku za ujana wako, wakati ulipokuwa uchi kabisa bila kitu chochote, ulipokuwa ukigaagaa kwenye damu yako.

EZE 16:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Ole! Ole wako! Asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Pamoja na maovu yako yote mengine,

EZE 16:24 Removed trailing space in v~: Ukajijengea jukwaa na kujifanyia mahali pa fahari pa ibada za miungu kwenye kila uwanja wa mikutano.

EZE 16:25 Removed trailing space in v~: Katika kila mwanzo wa barabara ulijenga mahali pa fahari pa ibada za miungu na kuaibisha uzuri wako, ukiutoa mwili wako kwa kuzidisha uzinzi kwa kila apitaye.

EZE 16:26 Removed trailing space in v~: Ulifanya ukahaba wako na Wamisri, jirani zako waliojaa tamaa, ukaichochea hasira yangu kwa kuongezeka kwa uzinzi wako.

EZE 16:27 Removed trailing space in v~: Hivyo nilinyoosha mkono wangu dhidi yako na kuipunguza nchi yako, nikakutia kwenye ulafi wa adui zako, binti za Wafilisti, walioshtushwa na tabia yako ya uasherati.

EZE 16:28 Removed trailing space in v~: Ulifanya ukahaba na Waashuru pia, kwa kuwa hukuridhika, hata baada ya hayo, ukawa bado hukutosheleka.

EZE 16:29 Removed trailing space in v~: Ndipo ukaongeza uzinzi wako kwa Wakaldayo nchi ya wafanyabiashara, hata katika hili hukutosheka.

EZE 16:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Tazama jinsi ulivyo na dhamiri dhaifu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, unapofanya mambo haya yote, ukifanya kama kahaba asiyekuwa na aibu!

EZE 16:31 Removed trailing space in v~: Unapojenga jukwaa lako kila mwanzo wa barabara na kufanyiza mahali pa fahari pa ibada za miungu katika kila kiwanja cha wazi, lakini hukuwa kama kahaba, kwa sababu ulidharau malipo.

EZE 16:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Wewe mke mzinzi! Unapenda wageni, kuliko mume wako mwenyewe.

EZE 16:33 Removed trailing space in v~: Kila kahaba hupokea malipo, lakini wewe hutoa zawadi kwa wapenzi wako wote, ukiwahonga ili waje kwako kutoka kila mahali kwa ajili ya ukahaba wako.

EZE 16:34 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wewe ulikuwa tofauti na wanawake wengine kwenye ukahaba wako, hakuna aliyekutongoza ili kuzini naye, wewe ndiye uliyelipa wakati hakuna malipo uliyolipwa wewe. Wewe ulikuwa tofauti.

EZE 16:35 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, wewe kahaba, sikia neno la \nd Bwana\nd*!

EZE 16:36 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa umemwaga tamaa zako na kuonyesha uchi wako katika uzinzi wako kwa wapenzi wako na kwa sababu ya sanamu zako zote za machukizo na kwa sababu uliwapa damu ya watoto wako,

EZE 16:37 Removed trailing space in v~: kwa hiyo nitawakusanya wapenzi wako wote, wale ambao ulijifurahisha nao, wale uliowapenda na wale uliowachukia pia. Nitawakusanya wote dhidi yako kutoka pande zote na nitakuvua nguo mbele yao, nao wataona uchi wako wote.

EZE 16:38 Removed trailing space in v~: Nitakuhukumia adhabu wanayopewa wanawake wafanyao uasherati na hao wamwagao damu, nitaleta juu yenu kisasi cha damu cha ghadhabu yangu na wivu wa hasira yangu.

EZE 16:39 Removed trailing space in v~: Kisha nitakutia mikononi mwa wapenzi wako, nao watabomoa majukwaa yako na kuharibu mahali pako pa fahari pa ibada ya miungu. Watakuvua nguo zako na kuchukua vito vyako vya thamani na kukuacha uchi na bila kitu.

EZE 16:40 Removed trailing space in v~: Wataleta kundi la watu dhidi yako, watakaokupiga kwa mawe na kukukatakata vipande vipande kwa panga zao.

EZE 16:41 Removed trailing space in v~: Watachoma nyumba zako na kutekeleza adhabu juu yako machoni pa wanawake wengi. Nitakomesha ukahaba wako, nawe hutawalipa tena wapenzi wako.

EZE 16:42 Removed trailing space in v~: Ndipo ghadhabu yangu dhidi yako itakapopungua na wivu wa hasira yangu utaondoka kwako. Nitatulia wala sitakasirika tena.

EZE 16:43 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu hukuzikumbuka siku za ujana wako, lakini ulinikasirisha kwa mambo haya yote, hakika nitaleta juu ya kichwa chako yale uliyotenda, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Je hukuongeza uasherati juu ya matendo yako yote ya kuchukiza?

EZE 16:44 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila mtu atumiaye maneno ya mithali hii, atayatumia juu yako: “Alivyo mama, ndivyo alivyo bintiye.”

EZE 16:45 Removed trailing space in v~: Wewe ni binti halisi wa mama yako, ambaye alimchukia kabisa mume wake na watoto wake, tena wewe ni dada halisi wa dada zako, waliowachukia kabisa waume zao na watoto wao. Mama yako alikuwa Mhiti na baba yako alikuwa Mwamori.

EZE 16:46 Removed trailing space in v~: Dada yako mkubwa alikuwa Samaria, aliyeishi upande wako wa kaskazini na binti zake, pamoja na dada yake, naye dada yako mdogo, aliyeishi kusini yako pamoja na binti zake, alikuwa Sodoma.

EZE 16:47 Removed trailing space in v~: Hukuziendea njia zao tu na kuiga matendo yao ya kuchukiza, bali kwa muda mfupi katika njia zako zote uliharibika tabia zaidi kuliko wao.

EZE 16:48 Removed trailing space in v~: Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, dada yako Sodoma pamoja na binti zake, kamwe hawakufanya yale ambayo wewe na binti zako mmefanya.

EZE 16:49 Removed trailing space in v~: “ ‘Sasa hii ilikuwa ndiyo dhambi ya dada yako Sodoma: yeye na binti zake walikuwa na majivuno, walafi na wazembe, hawakuwasaidia maskini na wahitaji.

EZE 16:50 Removed trailing space in v~: Walijivuna na kufanya mambo ya machukizo sana mbele zangu. Kwa hiyo niliwakatilia mbali nami kama mlivyoona.

EZE 16:51 Removed trailing space in v~: Samaria hakufanya hata nusu ya dhambi ulizofanya. Wewe umefanya mambo mengi sana ya kuchukiza kuwaliko wao, nawe umewafanya dada zako waonekane kama wenye haki kwa ajili ya mambo haya yote uliyoyafanya.

EZE 16:52 Removed trailing space in v~: Chukua aibu yako, kwa kuwa umefanya uovu wa dada zako uwe si kitu, nao waonekane kama wenye haki. Kwa kuwa dhambi zako zilikuwa mbaya zaidi kuliko zao, wameonekana wenye haki zaidi kuliko wewe. Kwa hiyo basi, chukua aibu yako, kwa kuwa umewafanya dada zako waonekane wenye haki.

EZE 16:53 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini nitarudisha baraka za Sodoma na binti zake na za Samaria na binti zake, nami nitarudisha baraka zako pamoja na zao,

EZE 16:54 Removed trailing space in v~: ili upate kuchukua aibu yako na kufedheheka kwa ajili ya yote uliyotenda ambayo yamekuwa faraja kwao wakijilinganisha na wewe.

EZE 16:55 Removed trailing space in v~: Nao dada zako, Sodoma na binti zake na Samaria na binti zake, watarudishwa kama vile walivyokuwa mwanzoni, nawe pamoja na binti zako mtarudishwa kama mlivyokuwa hapo awali.

EZE 16:56 Removed trailing space in v~: Hukuweza hata kumtaja dada yako Sodoma kwa sababu ya dharau yako katika siku za kiburi chako,

EZE 16:57 Removed trailing space in v~: kabla uovu wako haujafunuliwa. Hata hivyo, sasa unadhihakiwa na binti za Edomu na jirani zake wote, na binti za Wafilisti, wale wote wanaokuzunguka wanakudharau.

EZE 16:58 Removed trailing space in v~: Utachukua matokeo ya uasherati wako na matendo yako ya kuchukiza, asema \nd Bwana\nd*.

EZE 16:59 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitakushughulikia kama unavyostahili, kwa kuwa umedharau kiapo changu kwa kuvunja Agano.

EZE 16:60 Removed trailing space in v~: Lakini nitakumbuka Agano nililolifanya nawe wakati wa ujana wako, nami nitaweka nawe Agano imara la milele.

EZE 16:61 Removed trailing space in v~: Ndipo utakapozikumbuka njia zako na kuona aibu utakapowapokea dada zako, wale walio wakubwa wako na wadogo wako. Nitakupa hao wawe binti zako, lakini si katika msingi wa Agano langu na wewe.

EZE 16:62 Removed trailing space in v~: Hivyo nitalifanya imara Agano langu na wewe, nawe utajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 16:63 Removed trailing space in v~: Basi, nitakapofanya upatanisho kwa ajili yako, kwa yale yote uliyoyatenda, utakumbuka na kuaibika, nawe kamwe hutafumbua tena kinywa chako kwa sababu ya aibu yako, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 17:0 Extra space after chapter number

EZE 17:0 Removed trailing space in c: 17

EZE 17:0 Removed trailing space in s1: Tai Wawili Na Mizabibu

EZE 17:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 17:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tega kitendawili, ukawaambie nyumba ya Israeli fumbo.

EZE 17:3 Removed trailing space in v~: Waambie hivi, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Tai mkubwa mwenye mabawa yenye nguvu, yaliyojaa manyoya marefu ya rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni. Akatua kwenye kilele cha mwerezi,

EZE 17:4 Removed trailing space in v~: akakwanyua ncha yake na kuichukua mpaka nchi ya wafanyabiashara, akaipanda huko katika mji wa wachuuzi.

EZE 17:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Akachukua baadhi ya mbegu za nchi yako na kuziweka katika udongo wenye rutuba. Akazipanda kama mti umeao kando ya maji mengi,

EZE 17:6 Removed trailing space in v~: nazo zikaota na kuwa mzabibu mfupi, unaoeneza matawi yake. Matawi yake yakamwelekea huyo tai, mizizi yake ikabaki chini ya huo mzabibu. Kwa hiyo ukawa mzabibu na kutoa matawi na vitawi vyenye majani mengi.

EZE 17:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kulikuwa na tai mwingine mkubwa, mwenye mabawa yenye nguvu yaliyojaa manyoya. Tazama! Huu mzabibu ukatoa mizizi yake kumwelekea huyo tai kutoka mle kwenye shamba lile ulikopandwa na kutanda matawi yake kumwelekea kwa ajili ya kupata maji.

EZE 17:8 Removed trailing space in v~: Ulikuwa umepandwa katika udongo mzuri wenye maji mengi ili uweze kutoa matawi, kuzaa matunda na uweze kuwa mzabibu mzuri sana.’

EZE 17:9 Removed trailing space in v~: “Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Je, utastawi? Je, hautangʼolewa na kuondolewa matunda yake, ili uweze kunyauka? Majani yake mapya yanayochipua yote yatanyauka. Hautahitaji mkono wenye nguvu au watu wengi kuungʼoa na mizizi yake.

EZE 17:10 Removed trailing space in v~: Hata kama utapandwa pengine, Je, utastawi? Je, hautanyauka kabisa wakati upepo wa mashariki utakapoupiga, yaani, hautanyauka kabisa katika udongo mzuri ambamo ulikuwa umestawi vizuri?’ ”

EZE 17:11 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 17:12 Removed trailing space in v~: “Waambie nyumba hii ya kuasi, ‘Je, mnajua hii ina maana gani?’ Waambie: ‘Mfalme wa Babeli alikwenda Yerusalemu na kumchukua mfalme na watu maarufu, akarudi nao na kuwaleta mpaka Babeli.

EZE 17:13 Removed trailing space in v~: Ndipo akamchukua mmoja wa jamaa ya mfalme na kufanya mapatano naye, akamfanya aape. Akawachukua pia viongozi wa nchi,

EZE 17:14 Removed trailing space in v~: ili kuudhoofisha ufalme huo, usiweze kuinuka tena, ila uweze kuendelea tu chini ya mapatano yake.

EZE 17:15 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme aliasi dhidi yake kwa kutuma wajumbe wake kwenda Misri ili kupatiwa farasi na jeshi kubwa. Je, atashinda? Je, atafanikiwa? Je, mtu afanyaye mambo kama hayo ataokoka? Je, atavunja mapatano na bado aokoke?

EZE 17:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, atafia huko Babeli, katika nchi ya mfalme aliyemketisha katika kiti cha enzi, ambaye alidharau kiapo chake na kuvunja mapatano yake.

EZE 17:17 Removed trailing space in v~: Farao na jeshi lake kubwa, na wingi wake wa watu hawataweza kusaidia chochote katika vita, wakati watakapozungukwa na jeshi ili kukatilia mbali maisha ya watu wengi.

EZE 17:18 Removed trailing space in v~: Alidharau kiapo kwa kuvunja Agano. Kwa sababu aliahidi kwa mkono wake mwenyewe na bado akafanya mambo haya yote, hataokoka.

EZE 17:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Hakika kama niishivyo, nitaleta juu ya kichwa chake kiapo changu, alichokidharau na Agano langu lile alilolivunja.

EZE 17:20 Removed trailing space in v~: Nitautandaza wavu wangu kwa ajili yake, naye atanaswa katika mtego wangu. Nitamleta mpaka Babeli na kutekeleza hukumu juu yake huko kwa kuwa hakuwa mwaminifu kwangu.

EZE 17:21 Removed trailing space in v~: Askari wake wote wanaotoroka wataanguka kwa upanga, nao watakaonusurika watatawanyika katika pande zote za dunia. Ndipo utakapojua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimesema.

EZE 17:21 Removed trailing space in s1: Hatimaye Israeli Kutukuzwa

EZE 17:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitachukua chipukizi kutoka kwenye kilele cha juu sana cha mwerezi na kukipanda, nitavunja kitawi kichanga kutoka matawi yake ya juu kabisa na kukipanda juu ya mlima mrefu ulioinuka sana.

EZE 17:23 Removed trailing space in v~: Katika vilele vya mlima mrefu wa Israeli nitakipanda, kitatoa matawi na kuzaa matunda na kuwa mwerezi mzuri sana. Ndege wa kila aina wataweka viota vyao ndani yake, nao watapata makazi katika kivuli cha matawi yake.

EZE 17:24 Removed trailing space in v~: Miti yote ya kondeni itajua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* ninaishusha miti mirefu na kuikuza miti mifupi kuwa miti mirefu. Mimi naikausha miti mibichi na kuifanya miti mikavu istawi.

EZE 17:24 Removed trailing space in p~: “ ‘Mimi \nd Bwana\nd* nimesema, nami nitatenda.’ ”

EZE 18:0 Extra space after chapter number

EZE 18:0 Removed trailing space in c: 18

EZE 18:0 Removed trailing space in s1: Roho Itendayo Dhambi Itakufa

EZE 18:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 18:2 Removed trailing space in v~: “Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli:

EZE 18:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Baba wamekula zabibu zenye chachu,

EZE 18:2 Removed trailing space in p~: nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’?

EZE 18:3 Removed trailing space in v~: “Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hamtatumia tena mithali hii katika Israeli.

EZE 18:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kila roho ni mali yangu, kama vile ilivyo roho ya baba, vivyo hivyo roho ya mtoto ni mali yangu. Roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa.

EZE 18:5 Removed trailing space in v~: “Mtu aweza kuwa ni mwenye haki

EZE 18:5 Removed trailing space in p~: atendaye yaliyo haki na sawa.

EZE 18:6 Removed trailing space in v~: Hakula katika mahali pa ibada za miungu

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: kwenye milima

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: wala hakuziinulia macho sanamu

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: za nyumba ya Israeli.

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: Hakumtia unajisi mke wa jirani yake,

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: wala hakukutana kimwili na mwanamke

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: wakati wa siku zake za hedhi.

EZE 18:7 Removed trailing space in v~: Hamwonei mtu yeyote,

EZE 18:7 Removed trailing space in p~: bali hurudisha kilichowekwa rehani kwake.

EZE 18:7 Removed trailing space in p~: Hanyangʼanyi, bali huwapa wenye njaa chakula chake

EZE 18:7 Removed trailing space in p~: na huwapa nguo walio uchi.

EZE 18:8 Removed trailing space in v~: Hakopeshi kwa riba

EZE 18:8 Removed trailing space in p~: wala hajipatii faida ya ziada.

EZE 18:8 Removed trailing space in p~: Huuzuia mkono wake usifanye mabaya,

EZE 18:8 Removed trailing space in p~: naye huhukumu kwa haki kati ya mtu na mtu.

EZE 18:9 Removed trailing space in v~: Huzifuata amri zangu

EZE 18:9 Removed trailing space in p~: na kuzishika sheria zangu kwa uaminifu.

EZE 18:9 Removed trailing space in p~: Huyo mtu ni mwenye haki;

EZE 18:9 Removed trailing space in p~: hakika ataishi,

EZE 18:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 18:10 Removed trailing space in v~: “Aweza kuwa ana mwana jeuri, amwagaye damu au atendaye mojawapo ya mambo haya

EZE 18:11 Removed trailing space in v~: (ingawa baba yake hakufanya mojawapo ya haya):

EZE 18:11 Removed trailing space in p~: “Hula katika mahali pa ibada za miungu kwenye milima.

EZE 18:11 Removed trailing space in p~: Humtia unajisi mke wa jirani yake.

EZE 18:12 Removed trailing space in v~: Huwaonea maskini na wahitaji.

EZE 18:12 Removed trailing space in p~: Hunyangʼanyana.

EZE 18:12 Removed trailing space in p~: Harudishi kile kilichowekwa rehani kwake.

EZE 18:12 Removed trailing space in p~: Huziinulia sanamu macho.

EZE 18:12 Removed trailing space in p~: Hufanya mambo ya machukizo.

EZE 18:13 Removed trailing space in v~: Hukopesha kwa riba na kutafuta faida ya ziada.

EZE 18:13 Removed trailing space in p~: Je, mtu wa namna hii ataishi? Hapana, hataishi! Kwa sababu amefanya mambo haya yote ya machukizo, hakika atauawa na damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.

EZE 18:14 Removed trailing space in v~: “Lakini yawezekana mwana huyo ana mwana aonaye dhambi hizi zote anazofanya baba yake, naye ingawa anaziona, yeye hafanyi mabaya kama haya:

EZE 18:15 Removed trailing space in v~: “Hakula katika mahali pa ibada za miungu

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: kwenye milima,

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: wala hainulii macho sanamu

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: za nyumba ya Israeli.

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: Hakumtia unajisi

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: mke wa jirani yake.

EZE 18:16 Removed trailing space in v~: Hakumwonea mtu yeyote

EZE 18:16 Removed trailing space in p~: wala hakutaka rehani kwa ajili ya mkopo.

EZE 18:16 Removed trailing space in p~: Hanyangʼanyi,

EZE 18:16 Removed trailing space in p~: bali huwapa wenye njaa chakula chake

EZE 18:16 Removed trailing space in p~: na huwapa nguo walio uchi.

EZE 18:17 Removed trailing space in v~: Huuzuia mkono wake usitende dhambi,

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: hakopeshi kwa riba

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: wala hajipatii faida ya ziada.

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: Huzishika amri zangu

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: na kuzifuata sheria zangu.

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: Hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake; hakika ataishi.

EZE 18:18 Removed trailing space in v~: Lakini baba yake atakufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe, kwa sababu alitoza bei isiyo halali kwa nguvu, akamnyangʼanya ndugu yake na kufanya yaliyo mabaya miongoni mwa watu wake.

EZE 18:19 Removed trailing space in v~: “Lakini mnauliza, ‘Kwa nini mwana asiadhibiwe kwa uovu wa baba yake?’ Kwa vile mwana ametenda yaliyo haki na sawa na amekuwa mwangalifu kuzishika amri zangu zote, hakika ataishi.

EZE 18:20 Removed trailing space in v~: Roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa. Mwana hataadhibiwa kwa ajili ya makosa ya baba yake, wala baba hataadhibiwa kwa ajili ya makosa ya mwanawe. Haki ya mtu mwenye haki itahesabiwa juu yake na uovu wa mtu mwovu utalipizwa juu yake.

EZE 18:21 Removed trailing space in v~: “Lakini mtu mwovu akiacha dhambi zake zote alizozitenda na kushika amri zangu zote na kufanya lililo haki na sawa, hakika ataishi, hatakufa.

EZE 18:22 Removed trailing space in v~: Hakuna kosa lolote alilotenda litakalokumbukwa juu yake. Kwa ajili ya mambo ya haki aliyoyatenda, ataishi.

EZE 18:23 Removed trailing space in v~: Je, mimi ninafurahia kifo cha mtu mwovu? Asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Je, si mimi ninafurahi wanapogeuka kutoka njia zao mbaya na kuishi?

EZE 18:24 Removed trailing space in v~: “Lakini kama mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda dhambi na kufanya mambo ya machukizo ambayo mtu mwovu hufanya, Je, ataishi? Hakuna hata mojawapo ya matendo ya haki aliyotenda litakalokumbukwa. Kwa sababu ya kukosa uaminifu kwake anayo hatia na kwa sababu ya dhambi alizozitenda, atakufa.

EZE 18:25 Removed trailing space in v~: “Lakini mnasema, ‘Njia ya Bwana si ya haki.’ Sikia, ee nyumba ya Israeli: Njia yangu siyo iliyo ya haki? Je, si njia zenu ndizo ambazo si za haki?

EZE 18:26 Removed trailing space in v~: Kama mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda dhambi, atakufa kwa ajili ya dhambi yake, kwa sababu ya dhambi alizotenda, atakufa.

EZE 18:27 Removed trailing space in v~: Lakini mtu mwovu akigeuka kutoka maovu aliyoyatenda na kufanya yaliyo haki na sawa, ataokoa maisha yake.

EZE 18:28 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa anayafikiria na kugeuka kutoka makosa yake yote aliyoyatenda na kuyaacha, hakika ataishi, hatakufa.

EZE 18:29 Removed trailing space in v~: Lakini nyumba ya Israeli inasema, ‘Njia za Bwana si haki.’ Je, njia zangu si za haki, ee nyumba ya Israeli? Je, si njia zenu ndizo ambazo si za haki?”

EZE 18:30 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, ee nyumba ya Israeli, nitawahukumu, kila mmoja sawasawa na njia zake, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Tubuni! Geukeni kutoka makosa yenu yote, ndipo dhambi haitakuwa anguko lenu.

EZE 18:31 Removed trailing space in v~: Tupilieni mbali makosa yenu yote mliyoyatenda, nanyi mpate moyo mpya na roho mpya. Kwa nini mfe, ee nyumba ya Israeli?

EZE 18:32 Removed trailing space in v~: Kwa maana sifurahii kifo cha mtu awaye yote afaye katika uovu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Tubuni basi, mkaishi!

EZE 19:0 Extra space after chapter number

EZE 19:0 Removed trailing space in c: 19

EZE 19:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Kwa Ajili Ya Wakuu Wa Israeli

EZE 19:1 Removed trailing space in v~: “Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli

EZE 19:2 Removed trailing space in v~: na useme:

EZE 19:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike

EZE 19:2 Removed trailing space in p~: miongoni mwa simba!

EZE 19:2 Removed trailing space in p~: Alilala katikati ya wana simba

EZE 19:2 Removed trailing space in p~: na kulisha watoto wake.

EZE 19:3 Removed trailing space in v~: Alimlea mmoja wa watoto wake,

EZE 19:3 Removed trailing space in p~: naye akawa simba mwenye nguvu.

EZE 19:3 Removed trailing space in p~: Akajifunza kurarua mawindo

EZE 19:3 Removed trailing space in p~: naye akala watu.

EZE 19:4 Removed trailing space in v~: Mataifa wakasikia habari zake,

EZE 19:4 Removed trailing space in p~: naye akanaswa katika shimo lao.

EZE 19:4 Removed trailing space in p~: Wakamwongoza kwa ndoana

EZE 19:4 Removed trailing space in p~: mpaka nchi ya Misri.

EZE 19:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki,

EZE 19:5 Removed trailing space in p~: nayo matarajio yake yametoweka,

EZE 19:5 Removed trailing space in p~: akamchukua mwanawe mwingine

EZE 19:5 Removed trailing space in p~: na kumfanya simba mwenye nguvu.

EZE 19:6 Removed trailing space in v~: Alizungukazunguka miongoni mwa simba,

EZE 19:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye nguvu.

EZE 19:6 Removed trailing space in p~: Akajifunza kurarua mawindo

EZE 19:6 Removed trailing space in p~: naye akala watu.

EZE 19:7 Removed trailing space in v~: Akabomoa ngome zao

EZE 19:7 Removed trailing space in p~: na kuiharibu miji yao.

EZE 19:7 Removed trailing space in p~: Nchi na wote waliokuwa ndani yake

EZE 19:7 Removed trailing space in p~: wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.

EZE 19:8 Removed trailing space in v~: Kisha mataifa wakaja dhidi yake

EZE 19:8 Removed trailing space in p~: kutoka sehemu zilizomzunguka.

EZE 19:8 Removed trailing space in p~: Wakatanda nyavu zao kwa ajili yake,

EZE 19:8 Removed trailing space in p~: naye akanaswa katika shimo lao.

EZE 19:9 Removed trailing space in v~: Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu

EZE 19:9 Removed trailing space in p~: na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli.

EZE 19:9 Removed trailing space in p~: Wakamtia gerezani, hivyo kunguruma kwake

EZE 19:9 Removed trailing space in p~: hakukusikika tena

EZE 19:9 Removed trailing space in p~: katika milima ya Israeli.

EZE 19:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Mama yako alikuwa kama mzabibu

EZE 19:10 Removed trailing space in p~: katika shamba lako la mizabibu

EZE 19:10 Removed trailing space in p~: uliopandwa kando ya maji,

EZE 19:10 Removed trailing space in p~: ukiwa unazaa sana na wenye matawi mengi

EZE 19:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya wingi wa maji.

EZE 19:11 Removed trailing space in v~: Matawi yake yalikuwa na nguvu,

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: yaliyofaa kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: Ulikuwa mrefu kupita miti mingine

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: katikati ya matawi manene;

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: ulionekana kwa urahisi

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya urefu wake

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: na wingi wa matawi yake.

EZE 19:12 Removed trailing space in v~: Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: na kutupwa chini.

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: Upepo wa mashariki uliufanya usinyae,

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: matunda yake yakapukutika,

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: matawi yake yenye nguvu yakanyauka

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: na moto ukayateketeza.

EZE 19:13 Removed trailing space in v~: Sasa umepandwa jangwani

EZE 19:13 Removed trailing space in p~: katika nchi kame na ya kiu.

EZE 19:14 Removed trailing space in v~: Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa

EZE 19:14 Removed trailing space in p~: na kuteketeza matunda yake.

EZE 19:14 Removed trailing space in p~: Hakuna tawi lenye nguvu lililobaki juu yake

EZE 19:14 Removed trailing space in p~: lifaalo kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.’

EZE 19:14 Removed trailing space in p~: Hili ndilo ombolezo, na litumike kama ombolezo.”

EZE 20:0 Extra space after chapter number

EZE 20:0 Removed trailing space in c: 20

EZE 20:0 Removed trailing space in s1: Israeli Waasi

EZE 20:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa saba, mwezi wa tano siku ya kumi, baadhi ya wazee wa Israeli wakaja ili kutaka ushauri kwa \nd Bwana\nd*, wakaketi mbele yangu.

EZE 20:2 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 20:3 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sema na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa nini mmekuja? Je, ni kutaka ushauri kwangu? Hakika kama niishivyo, sitawaruhusu mtake ushauri toka kwangu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’

EZE 20:4 Removed trailing space in v~: “Je, utawahukumu? Je, mwanadamu, utawahukumu? Basi uwakabili kwa ajili ya machukizo ya baba zao

EZE 20:5 Removed trailing space in v~: na uwaambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Siku ile nilipochagua Israeli, niliwaapia wazao wa nyumba ya Yakobo kwa mkono ulioinuliwa nami nikajidhihirisha kwao huko Misri. Kwa mkono ulioinuliwa niliwaambia, “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu.”

EZE 20:6 Removed trailing space in v~: Siku ile niliwaapia wao kwamba nitawatoa katika nchi ya Misri na kuwaleta katika nchi niliyowachagulia, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi nzuri kupita zote.

EZE 20:7 Removed trailing space in v~: Nami nikawaambia, “Kila mmoja wenu aondolee mbali sanamu za chukizo ambazo mmekazia macho, nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za Misri. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu.”

EZE 20:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini waliniasi na hawakunisikiliza, hawakuondolea mbali sanamu za machukizo ambazo walikuwa wamezikazia macho, wala kuondolea mbali sanamu za Misri. Ndipo nikasema, nitawamwagia ghadhabu yangu na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko Misri.

EZE 20:9 Removed trailing space in v~: Lakini kwa ajili ya Jina langu nilifanya kile ambacho kingelifanya lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa waliyoishi miongoni mwao na ambao machoni pao nilikuwa nimejifunua kwa Waisraeli kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.

EZE 20:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikawaongoza watoke Misri na kuwaleta jangwani.

EZE 20:11 Removed trailing space in v~: Nikawapa amri zangu na kuwajulisha sheria zangu, kwa kuwa mtu anayezitii ataishi kwa hizo.

EZE 20:12 Removed trailing space in v~: Pia niliwapa Sabato zangu kama ishara kati yangu nao, ili wapate kujua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* niliwafanya kuwa watakatifu.

EZE 20:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini watu wa Israeli waliniasi Mimi jangwani. Hawakufuata amri zangu, bali walikataa sheria zangu, ingawa mtu yule anayezitii ataishi kwa hizo sheria, nao walizinajisi Sabato zangu kabisa. Hivyo nilisema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na kuwaangamiza huko jangwani.

EZE 20:14 Removed trailing space in v~: Lakini kwa ajili ya Jina langu nikafanya kile ambacho kitalifanya Jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.

EZE 20:15 Removed trailing space in v~: Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba nisingewaingiza katika nchi niliyokuwa nimewapa, yaani, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi nzuri kuliko zote,

EZE 20:16 Removed trailing space in v~: kwa sababu walikataa sheria zangu na hawakufuata amri zangu na wakazinajisi Sabato zangu. Kwa kuwa mioyo yao iliandama sanamu zao.

EZE 20:17 Removed trailing space in v~: Lakini niliwahurumia wala sikuwaangamiza wala hakuwafuta kabisa jangwani.

EZE 20:18 Removed trailing space in v~: Niliwaambia watoto wao kule jangwani, “Msifuate amri za baba zenu wala kushika sheria zao au kujinajisi kwa sanamu zao.

EZE 20:19 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu, fuateni amri zangu tena kuweni waangalifu kushika sheria zangu.

EZE 20:20 Removed trailing space in v~: Zitakaseni Sabato zangu ili ziwe ishara kati yangu nanyi. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu.”

EZE 20:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini watoto hao wakaniasi: Hawakufuata amri zangu, wala hawakuwa waangalifu kushika sheria zangu, ingawa mtu anayezitii anaishi kwa hizo sheria, nao wakazinajisi Sabato zangu. Hivyo nikasema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko jangwani.

EZE 20:22 Removed trailing space in v~: Lakini nikauzuia mkono wangu na kwa ajili ya Jina langu nikafanya kile ambacho kingelifanya Jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.

EZE 20:23 Removed trailing space in v~: Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba ningewatawanya miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali,

EZE 20:24 Removed trailing space in v~: kwa sababu hawakutii sheria zangu lakini walikuwa wamekataa amri zangu na kuzinajisi Sabato zangu, nayo macho yao yakatamani sanamu za baba zao.

EZE 20:25 Removed trailing space in v~: Pia niliwaacha wafuate amri ambazo hazikuwa nzuri na sheria ambazo mtu hawezi kuishi kwa hizo sheria.

EZE 20:26 Removed trailing space in v~: Nikawaacha wanajisiwe kwa matoleo yao, kuwatoa wazaliwa wao wa kwanza kafara kwa sanamu, yaani, kule kuwapitisha wazaliwa wao wa kwanza kwenye moto, nipate kuwajaza na hofu ili wajue kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’

EZE 20:27 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, mwanadamu, sema na watu wa Israeli na uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika hili pia, baba zenu walinikufuru kwa kuniacha mimi:

EZE 20:28 Removed trailing space in v~: Nilipowaleta katika nchi ile ambayo nilikuwa nimeapa kuwapa na kuona kilima chochote kirefu au mti wowote wenye majani mengi, huko walitoa dhabihu zao, wakatoa sadaka ambazo zilichochea hasira yangu, wakafukiza uvumba wenye harufu nzuri na kumimina sadaka zao za kinywaji.

EZE 20:29 Removed trailing space in v~: Ndipo nikawaambia: Ni nini maana yake hapa mahali pa juu pa kuabudia miungu mnapopaendea?’ ” (Basi jina la mahali pale panaitwa Bama\f + \fr 20:29 \ft Bama maana yake ni mahali pa juu pa kuabudia miungu.\f* hata hivi leo.)

EZE 20:29 Removed trailing space in s1: Hukumu Na Kurudishwa

EZE 20:30 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Je, mtajinajisi kama vile baba zenu walivyofanya na kutamani vinyago vyao vya machukizo?

EZE 20:31 Removed trailing space in v~: Mnapotoa matoleo yenu, yaani, wana wenu kafara katika moto, mnaendelea kujinajisi na sanamu zenu zote hadi siku hii ya leo. Je, niulizwe neno na ninyi, ee nyumba ya Israeli? Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, mimi sitaulizwa neno na ninyi.

EZE 20:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Lile lililoko mioyoni mwenu kamwe halitatokea, mnaposema, “Tunataka tuwe kama mataifa mengine, kama watu wengine wa dunia, wanaotumikia miti na mawe.”

EZE 20:33 Removed trailing space in v~: Hakika kama niishivyo asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitatawala juu yenu kwa mkono wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.

EZE 20:34 Removed trailing space in v~: Nitawatoa toka katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mlikotawanywa, kwa mkono wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.

EZE 20:35 Removed trailing space in v~: Nitawaleta katika jangwa la mataifa na huko nitatekeleza hukumu juu yenu uso kwa uso.

EZE 20:36 Removed trailing space in v~: Kama nilivyowahukumu baba zenu katika jangwa la nchi ya Misri, ndivyo nitakavyowahukumu ninyi, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 20:37 Removed trailing space in v~: Nitawafanya mpite chini ya fimbo yangu, nami nitawaleta katika mkataba wa Agano.

EZE 20:38 Removed trailing space in v~: Nitawaondoa miongoni mwenu wale wanaohalifu na wale wanaoasi dhidi yangu. Ingawa nitawatoa katika nchi wanazoishi, hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 20:39 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa habari zenu ninyi, ee nyumba ya Israeli, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nendeni mkatumikie sanamu zenu, kila mmoja wenu! Lakini baadaye hakika mtanisikiliza mimi nanyi hamtalinajisi tena Jina langu takatifu, kwa matoleo yenu na sanamu zenu.

EZE 20:40 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa katika mlima wangu mtakatifu, mlima mrefu wa Israeli, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hapo katika nchi nyumba yote ya Israeli itanitumikia mimi, nami huko nitawakubali. Huko nitataka sadaka zenu na matoleo ya malimbuko yenu, pamoja na dhabihu zenu takatifu zote.

EZE 20:41 Removed trailing space in v~: Nitawakubali ninyi kama uvumba wenye harufu nzuri wakati nitakapowatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mlipokuwa mmetawanyika, nami nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwenu na machoni mwa mataifa.

EZE 20:42 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapowaleta katika nchi ya Israeli, nchi niliyokuwa nimeapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu.

EZE 20:43 Removed trailing space in v~: Hapo ndipo nitakapokumbuka mwenendo wenu na matendo yenu yote ambayo kwayo mlijitia unajisi, nanyi mtajichukia wenyewe kwa ajili ya maovu yote mliyokuwa mmetenda.

EZE 20:44 Removed trailing space in v~: Nanyi mtajua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakaposhughulika nanyi kwa ajili ya Jina langu na wala si sawasawa na njia zenu mbaya na matendo yenu maovu, ee nyumba ya Israeli, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 20:44 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Kusini

EZE 20:45 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 20:46 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, uelekeze uso wako upande wa kusini, hubiri juu ya upande wa kusini na utoe unabii juu ya msitu wa Negebu.

EZE 20:47 Removed trailing space in v~: Waambie watu wa Negebu: ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd*. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninakaribia kukutia moto, nao utateketeza miti yako yote, mibichi na iliyokauka. Miali ya moto haitaweza kuzimwa na kila uso kutoka kusini mpaka kaskazini utakaushwa kwa moto huo.

EZE 20:48 Removed trailing space in v~: Kila mmoja ataona kuwa mimi \nd Bwana\nd* ndiye niliyeuwasha huo moto, nao hautazimwa.’ ”

EZE 20:49 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema, “Aa, \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Wao hunisema, ‘Huyu si huzungumza mafumbo tu?’ ”

EZE 21:0 Extra space after chapter number

EZE 21:0 Removed trailing space in c: 21

EZE 21:0 Removed trailing space in s1: Babeli, Upanga Wa Mungu Wa Hukumu

EZE 21:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 21:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, uelekeze uso wako juu ya Yerusalemu na uhubiri dhidi ya mahali patakatifu. Tabiri dhidi ya nchi ya Israeli

EZE 21:3 Removed trailing space in v~: uiambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Mimi niko kinyume nawe. Nitautoa upanga wangu kwenye ala yake na kumkatilia mbali mwenye haki na mwovu.

EZE 21:4 Removed trailing space in v~: Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye haki na mwovu, upanga wangu utakuwa wazi dhidi ya kila mmoja kuanzia kusini mpaka kaskazini.

EZE 21:5 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wote watajua ya kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimeutoa upanga wangu kwenye ala yake, nao hautarudi humo tena.’

EZE 21:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo lia kwa uchungu, mwanadamu! Lia kwa uchungu mbele yao kwa moyo uliopondeka na kwa huzuni nyingi.

EZE 21:7 Removed trailing space in v~: Nao watakapokuuliza, ‘Kwa nini unalia kwa uchungu?’ Utasema hivi, ‘Kwa sababu ya habari zinazokuja. Kila moyo utayeyuka na kila mkono utalegea, kila roho itazimia na kila goti litalegea kama maji.’ Habari hizo zinakuja! Hakika zitatokea, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 21:8 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema:

EZE 21:9 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo Bwana asemalo:

EZE 21:9 Removed trailing space in p~: “ ‘Upanga, upanga,

EZE 21:9 Removed trailing space in p~: ulionolewa na kusuguliwa:

EZE 21:10 Removed trailing space in v~: umenolewa kwa ajili ya mauaji,

EZE 21:10 Removed trailing space in p~: umesuguliwa ili ungʼae

EZE 21:10 Removed trailing space in p~: kama umeme wa radi!

EZE 21:10 Removed trailing space in p~: “ ‘Je, tuifurahie fimbo ya utawala ya mwanangu Yuda? Upanga unaidharau kila fimbo ya namna hiyo.

EZE 21:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Upanga umewekwa tayari ili kusuguliwa,

EZE 21:11 Removed trailing space in p~: ili upate kushikwa mkononi,

EZE 21:11 Removed trailing space in p~: umenolewa na kusuguliwa,

EZE 21:11 Removed trailing space in p~: umewekwa tayari kwa mkono wa muuaji.

EZE 21:12 Removed trailing space in v~: Piga kelele na uomboleze, ee mwanadamu,

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa upanga u dhidi ya watu wangu;

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: u dhidi ya wakuu wote wa Israeli.

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: Wametolewa wauawe kwa upanga

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: pamoja na watu wangu.

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo pigapiga kifua chako.

EZE 21:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa maana upanga huu umejaribiwa na kuhakikishwa, itakuwaje basi fimbo ya ufalme ya Yuda inayoudharau kama haitakuwepo tena, bali itakuwa imeondolewa kabisa? asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’

EZE 21:14 Removed trailing space in v~: “Hivyo basi, mwanadamu, tabiri

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: na ukapige makofi.

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: Upanga wako na upige mara mbili,

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: naam, hata mara tatu.

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: Ni upanga wa kuchinja,

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: upanga wa mauaji makuu,

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: ukiwashambulia kutoka kila upande.

EZE 21:15 Removed trailing space in v~: Ili mioyo ipate kuyeyuka

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: na wanaouawa wawe wengi,

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: nimeweka upanga wa kuchinja

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: kwenye malango yao yote.

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: Lo! Umetengenezwa

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: umetemete kama umeme wa radi,

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: umeshikwa kwa ajili ya kuua.

EZE 21:16 Removed trailing space in v~: Ee upanga, kata upande wa kuume,

EZE 21:16 Removed trailing space in p~: kisha upande wa kushoto,

EZE 21:16 Removed trailing space in p~: mahali popote makali yako

EZE 21:16 Removed trailing space in p~: yatakapoelekezwa.

EZE 21:17 Removed trailing space in v~: Mimi nami nitapiga makofi,

EZE 21:17 Removed trailing space in p~: nayo ghadhabu yangu itapungua.

EZE 21:17 Removed trailing space in p~: Mimi \nd Bwana\nd* nimesema.”

EZE 21:18 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 21:19 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, weka alama njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babeli utapitia, njia hizo zikianzia katika nchi hiyo hiyo. Weka kibao pale ambapo njia zinagawanyika kuelekea mjini.

EZE 21:20 Removed trailing space in v~: Weka alama njia moja kwa ajili ya upanga upate kuja dhidi ya Raba ya Waamoni na nyingine upate kuja dhidi ya Yuda na Yerusalemu iliyozungushiwa ngome.

EZE 21:21 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mfalme wa Babeli sasa amesimama katika njia panda, katika makutano ya njia mbili, akipiga ramli: anapiga kura kwa kutumia mishale, anataka shauri kwa sanamu zake, anachunguza maini ya wanyama.

EZE 21:22 Removed trailing space in v~: Upande wake wa kuume inakuja kura ya Yerusalemu, ambapo ataweka vyombo vya kuvunjia boma, ili kuamrisha mauaji, kupiga ukelele wa vita, kuweka vyombo vya kuvunjia boma kwenye malango, kuweka jeshi kuzunguka na kufanya uzingiraji.

EZE 21:23 Removed trailing space in v~: Itakuwa kama kupiga ramli kwa uongo kwa wale watu ambao wameapa kumtii yeye. Lakini mfalme wa Babeli atawakumbusha juu ya uovu wao na kuwachukua mateka.

EZE 21:24 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu enyi watu mmekumbusha uovu wenu kwa kuasi waziwazi, mkidhihirisha dhambi zenu katika yale yote mfanyayo, kwa kuwa mmefanya jambo hili, mtachukuliwa mateka.

EZE 21:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Ee mtawala kafiri na mwovu wa Israeli, ambaye siku yako imewadia, ambaye wakati wako wa adhabu umefikia kilele chake,

EZE 21:26 Removed trailing space in v~: hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Vua kilemba, ondoa taji. Kwa kuwa mambo hayatakuwa kama yalivyokuwa. Aliye mnyonge atakwezwa na aliyekwezwa atashushwa.

EZE 21:27 Removed trailing space in v~: Mahame! Mahame! Nitaufanya mji kuwa mahame! Hautajengwa upya mpaka aje yule ambaye ndiye mwenye haki nao; yeye ndiye nitakayempa.’

EZE 21:28 Removed trailing space in v~: “Nawe, mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kuhusu Waamoni na matukano yao.

EZE 21:28 Removed trailing space in p~: “ ‘Upanga, upanga,

EZE 21:28 Removed trailing space in p~: umefutwa kwa ajili ya kuua,

EZE 21:28 Removed trailing space in p~: umesuguliwa ili kuangamiza

EZE 21:28 Removed trailing space in p~: na unametameta kama umeme wa radi!

EZE 21:29 Removed trailing space in v~: Wakati wakitoa maono ya uongo kwa ajili yako,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wanapobashiri uongo kwa ajili yako,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wanakuweka wewe kwenye shingo za watu wapotovu,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wale walio waovu,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wale ambao siku yao imewadia,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wakati wa adhabu yao ya mwisho.

EZE 21:30 Removed trailing space in v~: Urudishe upanga kwenye ala yake!

EZE 21:30 Removed trailing space in p~: Katika mahali ulipoumbiwa,

EZE 21:30 Removed trailing space in p~: katika nchi ya baba zako,

EZE 21:30 Removed trailing space in p~: huko nitakuhukumu.

EZE 21:31 Removed trailing space in v~: Nitamwaga ghadhabu yangu juu yako

EZE 21:31 Removed trailing space in p~: na kupuliza moto wa hasira yangu dhidi yako;

EZE 21:31 Removed trailing space in p~: nitakutia mikononi mwa watu wakatili,

EZE 21:31 Removed trailing space in p~: watu stadi katika kuangamiza.

EZE 21:32 Removed trailing space in v~: Mtakuwa kuni za kuwashia moto,

EZE 21:32 Removed trailing space in p~: damu yenu itamwagwa katika nchi yenu,

EZE 21:32 Removed trailing space in p~: wala hamtakumbukwa tena;

EZE 21:32 Removed trailing space in p~: kwa maana Mimi \nd Bwana\nd* nimesema.’ ”

EZE 22:0 Extra space after chapter number

EZE 22:0 Removed trailing space in c: 22

EZE 22:0 Removed trailing space in s1: Dhambi Za Yerusalemu

EZE 22:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 22:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, je, wewe utauhukumu? Je, utauhukumu huu mji umwagao damu? Basi uujulishe juu ya matendo yake yote ya machukizo

EZE 22:3 Removed trailing space in v~: uuambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ee mji ule ujileteao maangamizi wenyewe kwa kumwaga damu ndani yake na kujinajisi wenyewe kwa kutengeneza sanamu,

EZE 22:4 Removed trailing space in v~: umekuwa na hatia kwa sababu ya damu uliyomwaga na umetiwa unajisi kwa sanamu ulizotengeneza. Umejiletea mwisho wa siku zako na mwisho wa miaka yako umewadia. Kwa hiyo nitakufanya kitu cha kudharauliwa kwa mataifa na kitu cha mzaha kwa nchi zote.

EZE 22:5 Removed trailing space in v~: Wale walio karibu na wale walio mbali watakudhihaki, Ewe mji wenye sifa mbaya, uliyejaa ghasia.

EZE 22:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Ona jinsi kila mkuu wa Israeli aliyeko ndani yako anavyotumia nguvu zake kumwaga damu.

EZE 22:7 Removed trailing space in v~: Ndani yako wamewadharau baba na mama, ndani yako wamewatendea wageni udhalimu na kuwaonea yatima na wajane.

EZE 22:8 Removed trailing space in v~: Mmedharau vitu vyangu vitakatifu na kuzinajisi Sabato zangu.

EZE 22:9 Removed trailing space in v~: Ndani yako wako watu wasingiziaji, watu walio tayari kumwaga damu, ndani yako wako wale wanaokula vyakula vilivyotolewa mahali pa ibada za miungu kwenye milima, na kutenda matendo ya uasherati.

EZE 22:10 Removed trailing space in v~: Ndani yako wako wale wanaovunjia heshima vitanda vya baba zao, ndani yako wamo wale wanaowatendea wanawake jeuri wakiwa katika hedhi, wakati wakiwa si safi.

EZE 22:11 Removed trailing space in v~: Ndani yako mtu hufanya mambo ya machukizo na mke wa jirani yake, mwingine kwa aibu kubwa hukutana kimwili na mke wa mwanawe, mwingine humtenda jeuri dada yake, binti wa baba yake hasa.

EZE 22:12 Removed trailing space in v~: Ndani yako watu hupokea rushwa ili kumwaga damu, mnapokea riba na faida ya ziada na kupata faida isiyokuwa halali kutoka kwa jirani ili kupata faida kubwa kupita kiasi. Nawe umenisahau mimi, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 22:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Hakika nitapiga makofi kwa ajili ya faida isiyo halali uliyojipatia na kwa damu uliyoimwaga ndani yako.

EZE 22:14 Removed trailing space in v~: Je, ujasiri wako utadumu au mikono yako itakuwa na nguvu siku hiyo nitakapokushughulikia? Mimi \nd Bwana\nd* nimesema na nitalifanya.

EZE 22:15 Removed trailing space in v~: Nitakutawanya miongoni mwa mataifa na kukutapanya katika nchi mbalimbali nami nitakomesha unajisi wako.

EZE 22:16 Removed trailing space in v~: Ukiisha kunajisika mbele ya mataifa, utajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 22:17 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 22:18 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa kwangu takataka ya chuma, wote kwangu wamekuwa shaba, bati, chuma na risasi iliyoachwa kalibuni. Wao ni taka ya madini ya fedha tu.

EZE 22:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa kuwa wote mmekuwa takataka ya chuma, nitawakusanya Yerusalemu.

EZE 22:20 Removed trailing space in v~: Kama vile watu wakusanyavyo fedha, shaba, chuma, risasi na bati kalibuni ili kuyeyusha kwa moto mkali, ndivyo nitakavyowakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu kuwaweka ndani ya mji na kuwayeyusha.

EZE 22:21 Removed trailing space in v~: Nitawakusanya na kupuliza juu yenu moto wa hasira yangu na ghadhabu yangu nanyi mtayeyushwa ndani ya huo mji.

EZE 22:22 Removed trailing space in v~: Kama fedha iyeyukavyo kalibuni, ndivyo mtakavyoyeyuka ndani ya huo mji, nanyi mtajua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimemwaga ghadhabu yangu juu yenu.’ ”

EZE 22:23 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia tena kusema:

EZE 22:24 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, iambie nchi, ‘Wewe ni nchi ambayo haijapata mvua wala manyunyu katika siku ya ghadhabu.’

EZE 22:25 Removed trailing space in v~: Kuna hila mbaya ya wakuu ndani yake kama simba angurumaye akirarua mawindo yake, wanakula watu, wanachukua hazina na vitu vya thamani na kuongeza idadi ya wajane ndani yake.

EZE 22:26 Removed trailing space in v~: Makuhani wake wameihalifu sheria yangu na kunajisi vitu vyangu vitakatifu, hawatofautishi kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida. Wanafundisha kuwa hakuna tofauti kati ya vitu vilivyo najisi na visivyo najisi, nao wanafumba macho yao katika kutunza Sabato zangu, hivyo katikati yao nimetiwa unajisi.

EZE 22:27 Removed trailing space in v~: Maafisa wake walioko ndani yake ni kama mbwa mwitu wararuao mawindo yao, wanamwaga damu na kuua watu ili kupata faida ya udhalimu.

EZE 22:28 Removed trailing space in v~: Manabii wake wanapaka chokaa matendo haya kwa maono ya uongo na utabiri wa udanganyifu. Wanasema, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo,’ wakati \nd Bwana\nd* hajasema.

EZE 22:29 Removed trailing space in v~: Watu wa nchi wanatoza kwa nguvu na kufanya unyangʼanyi, wanawatenda jeuri maskini na wahitaji na kuwaonea wageni, wakiwanyima haki.

EZE 22:30 Removed trailing space in v~: “Nami nikatafuta mtu miongoni mwao, ambaye angejenga ukuta na kusimama mbele zangu mahali palipobomoka kwa ajili ya watu wa nchi ili nisije nikaiangamiza, lakini sikumwona mtu yeyote.

EZE 22:31 Removed trailing space in v~: Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao na kuwateketeza kwa moto wa hasira yangu, nikiyaleta juu ya vichwa vyao yale yote waliyotenda, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 23:0 Extra space after chapter number

EZE 23:0 Removed trailing space in c: 23

EZE 23:0 Removed trailing space in s1: Dada Wawili Makahaba

EZE 23:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 23:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, walikuwepo wanawake wawili, binti wa mama mmoja.

EZE 23:3 Removed trailing space in v~: Wakawa makahaba huko Misri, wakajitia kwenye ukahaba tangu ujana wao. Katika nchi ile vifua vyao vya ubikira vikakumbatiwa huko na wakapoteza ubikira wao.

EZE 23:4 Removed trailing space in v~: Mkubwa aliitwa Ohola na mdogo wake Oholiba. Walikuwa wangu nao wakazaa wavulana na msichana. Ohola ni Samaria, Oholiba ni Yerusalemu.

EZE 23:5 Removed trailing space in v~: “Ohola akajitia kwenye ukahaba alipokuwa bado ni wangu, akatamani sana wapenzi wake, mashujaa Waashuru,

EZE 23:6 Removed trailing space in v~: waliovaa nguo za buluu, watawala na majemadari, wote walikuwa wanaume vijana wa kuvutia, wapandao farasi.

EZE 23:7 Removed trailing space in v~: Akafanya ukahaba na wasomi wote wa Ashuru, na kujinajisi kwa sanamu zote za kila mwanaume aliyemtamani.

EZE 23:8 Removed trailing space in v~: Hakuacha ukahaba wake aliouanza huko Misri, wakati ambapo tangu ujana wake wanaume walilala naye, wakikumbatia kifua cha ubikira wake na kumwaga tamaa zao juu yake.

EZE 23:9 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nilimtia mikononi mwa wapenzi wake, Waashuru, kwa kuwa ndio aliowatamani.

EZE 23:10 Removed trailing space in v~: Wakamvua nguo zake wakamwacha uchi, wakawachukua wanawe na binti zake, naye wakamuua kwa upanga. Akawa kitu cha kudharauliwa miongoni mwa wanawake na adhabu ikatolewa dhidi yake.

EZE 23:11 Removed trailing space in v~: “Oholiba dada yake aliliona jambo hili, lakini kwa tamaa zake na ukahaba wake, akaharibu tabia zake kuliko Ohola dada yake.

EZE 23:12 Removed trailing space in v~: Yeye naye aliwatamani Waashuru, watawala na majemadari, mashujaa waliovalia sare, wapandao farasi, wanaume vijana wote waliovutia.

EZE 23:13 Removed trailing space in v~: Nikaona kuwa yeye pia alijinajisi, wote wawili wakaelekea njia moja.

EZE 23:14 Removed trailing space in v~: “Lakini yeye akazidisha ukahaba wake. Akaona wanaume waliochorwa ukutani, picha za Wakaldayo\f + \fr 23:14 \fq Wakaldayo \ft yaani \fqa Wababeli\ft .\f* waliovalia nguo nyekundu,

EZE 23:15 Removed trailing space in v~: wakiwa na mikanda viunoni mwao na vilemba vichwani mwao, wote walifanana na maafisa wa Babeli wapandao magari ya vita, wenyeji wa Ukaldayo.\f + \fr 23:15 \fq Ukaldayo \ft yaani \fqa Babeli\ft .\f*

EZE 23:16 Removed trailing space in v~: Mara tu alipowaona, aliwatamani, akatuma wajumbe kwao huko Ukaldayo.

EZE 23:17 Removed trailing space in v~: Ndipo hao Wababeli wakaja kwake kwenye kitanda cha mapenzi, nao katika tamaa zao wakamtia unajisi. Baada ya kutiwa unajisi, akawaacha kwa kuwachukia.

EZE 23:18 Removed trailing space in v~: Alipofanya ukahaba wake waziwazi na kuonyesha hadharani uchi wake, nilimwacha kwa kumchukia, kama vile nilivyokuwa nimemwacha dada yake.

EZE 23:19 Removed trailing space in v~: Lakini akazidisha zaidi ukahaba wake alipozikumbuka siku zake za ujana, alipokuwa kahaba huko Misri.

EZE 23:20 Removed trailing space in v~: Huko aliwatamani wapenzi wake, ambao viungo vyao vya uzazi ni kama vya punda, na kile kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi.

EZE 23:21 Removed trailing space in v~: Hivyo ulitamani uasherati wa ujana wako wakati ulipokuwa Misri, kifua chako kilipokumbatiwa, na walipokutomasa kwa sababu ya matiti yako machanga.

EZE 23:22 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, Oholiba, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitawachochea wapenzi wako wawe kinyume na wewe, wale uliowaacha kwa kuchukia, nitawaleta dhidi yako kutoka kila upande:

EZE 23:23 Removed trailing space in v~: Wababeli na Wakaldayo wote, watu kutoka Pekodi, na Shoa na Koa, wakiwa pamoja na Waashuru wote, vijana wazuri, wote wakiwa watawala na majemadari, maafisa wa magari ya vita na watu wa vyeo vya juu, wote wakiwa wamepanda farasi.

EZE 23:24 Removed trailing space in v~: Watakuja dhidi yako wakiwa na silaha, magari ya vita, magari ya kukokota, pamoja na umati mkubwa wa watu. Watakuzingira pande zote kwa ngao na vigao na kofia za chuma. Nitakutia mikononi mwao ili wakuadhibu, nao watakuadhibu sawasawa na sheria zao.

EZE 23:25 Removed trailing space in v~: Nitaelekeza wivu wa hasira yangu dhidi yako, nao watakushughulikia kwa hasira kali. Watakatilia mbali pua yako na masikio yako, na wale watakaosalia miongoni mwako watauawa kwa upanga. Watachukua wana wako na binti zako, na wale watakaosalia miongoni mwenu watateketezwa kwa moto.

EZE 23:26 Removed trailing space in v~: Watakuvua pia nguo zako na kuchukua mapambo yako yaliyotengenezwa kwa vito na dhahabu.

EZE 23:27 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo nitakavyokomesha uasherati wako na ukahaba wako uliouanza huko Misri. Hutatazama vitu hivi kwa kuvitamani tena, wala kukumbuka Misri tena.

EZE 23:28 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninakaribia kukutia mikononi mwa wale unaowachukia, kwa wale uliojitenga nao kwa kuwachukia.

EZE 23:29 Removed trailing space in v~: Watakushughulikia kwa chuki na kukunyangʼanya kila kitu ulichokifanyia kazi. Watakuacha uchi na mtupu na aibu ya ukahaba wako itafunuliwa. Uasherati wako na uzinzi wako

EZE 23:30 Removed trailing space in v~: umekuletea haya yote, kwa sababu ulitamani mataifa na kujinajisi kwa sanamu zao.

EZE 23:31 Removed trailing space in v~: Umeiendea njia ya dada yako, hivyo nitakitia kikombe chake mkononi mwako.

EZE 23:32 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 23:32 Removed trailing space in p~: “Utakinywea kikombe cha dada yako,

EZE 23:32 Removed trailing space in p~: kikombe kikubwa na chenye kina kirefu;

EZE 23:32 Removed trailing space in p~: nitaletea juu yako dharau na dhihaka,

EZE 23:32 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kimejaa sana.

EZE 23:33 Removed trailing space in v~: Utalewa ulevi na kujawa huzuni,

EZE 23:33 Removed trailing space in p~: kikombe cha maangamizo na ukiwa,

EZE 23:33 Removed trailing space in p~: kikombe cha dada yako Samaria.

EZE 23:34 Removed trailing space in v~: Utakinywa chote na kukimaliza;

EZE 23:34 Removed trailing space in p~: utakivunja vipande vipande

EZE 23:34 Removed trailing space in p~: na kuyararua matiti yako.

EZE 23:34 Removed trailing space in p~: Nimenena haya, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 23:35 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa tangu uliponisahau mimi na kunitupa nyuma yako, lazima ubebe matokeo ya uasherati wako na ukahaba wako.”

EZE 23:36 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Mwanadamu, Je, utawahukumu Ohola na Oholiba? Basi wakabili kwa ajili ya matendo yao ya machukizo,

EZE 23:37 Removed trailing space in v~: kwa kuwa wamefanya uzinzi na damu imo mikononi mwao. Wamefanya uzinzi na sanamu zao, hata wamewatoa watoto wao walionizalia kuwa kafara, kuwa chakula kwao.

EZE 23:38 Removed trailing space in v~: Pia wamenifanyia hili: wakati huo huo wamenajisi patakatifu pangu na kuzitangua Sabato zangu.

EZE 23:39 Removed trailing space in v~: Siku ile ile walitoa watoto wao kuwa kafara kwa sanamu zao, waliingia patakatifu pangu na kupatia unajisi. Hilo ndilo walilolifanya katika nyumba yangu.

EZE 23:40 Removed trailing space in v~: “Walituma hata wajumbe kuwaita watu kutoka mbali, nao walipowasili ulioga kwa ajili yao, ukapaka macho yako rangi na ukavaa mapambo yako yaliyotengenezwa kwa vito vya dhahabu.

EZE 23:41 Removed trailing space in v~: Ukaketi kwenye kiti cha anasa, kukiwa na meza iliyoandaliwa mbele yake ambayo juu yake ulikuwa umeweka uvumba na mafuta ambayo yalikuwa yangu.

EZE 23:42 Removed trailing space in v~: “Kelele za umati wa watu wasiojali zilikuwa zimemzunguka, wakaleta watu wengi waliokuwa wakifanya makelele na walevi kutoka nyikani, ambao walitia bangili kwenye mikono ya yule mwanamke na dada yake na pia taji nzuri za kupendeza kwenye vichwa vyao.

EZE 23:43 Removed trailing space in v~: Ndipo nikasema kuhusu yule aliyechakazwa na uzinzi, ‘Basi wamtumie kama kahaba, kwa kuwa ndivyo alivyo.’

EZE 23:44 Removed trailing space in v~: Nao wakazini naye. Kama vile watu wazinivyo na kahaba, ndiyo hivyo walivyozini na hao wanawake waasherati, Ohola na Oholiba.

EZE 23:45 Removed trailing space in v~: Lakini watu wenye haki, watawahukumia adhabu wanawake wafanyao uzinzi na kumwaga damu, kwa kuwa ni wazinzi na damu iko mikononi mwao.

EZE 23:46 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo, Leteni watu wengi wenye makelele dhidi yao na uwaache wapate hofu na watekwe nyara.

EZE 23:47 Removed trailing space in v~: Hao watu wengi watawapiga kwa mawe na kuwaua kwa panga zao, watawaua wana wao na binti zao na kuzichoma nyumba zao.

EZE 23:48 Removed trailing space in v~: “Hivyo nitaukomesha uasherati katika nchi, ili wanawake wote wapate onyo nao wasije wakafanya uasherati kama ninyi mlivyofanya.

EZE 23:49 Removed trailing space in v~: Utapata adhabu kwa ajili ya uasherati wako na kuchukua matokeo ya dhambi zako za uasherati. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 24:0 Extra space after chapter number

EZE 24:0 Removed trailing space in c: 24

EZE 24:0 Removed trailing space in s1: Chungu Cha Kupikia

EZE 24:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tisa, mwezi wa kumi, siku ya kumi, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 24:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, weka kumbukumbu ya tarehe hii, tarehe hii hasa, kwa kuwa mfalme wa Babeli ameuzingira mji wa Yerusalemu kwa jeshi siku hii ya leo.

EZE 24:3 Removed trailing space in v~: Iambie nyumba hii ya kuasi fumbo, na uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 24:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Teleka sufuria jikoni; iteleke

EZE 24:3 Removed trailing space in p~: na umimine maji ndani yake,

EZE 24:4 Removed trailing space in v~: Weka vipande vya nyama ndani yake,

EZE 24:4 Removed trailing space in p~: vipande vyote vizuri,

EZE 24:4 Removed trailing space in p~: vya paja na vya bega.

EZE 24:4 Removed trailing space in p~: Ijaze hiyo sufuria kwa mifupa hii mizuri;

EZE 24:5 Removed trailing space in v~: chagua yule aliye bora wa kundi la kondoo.

EZE 24:5 Removed trailing space in p~: Panga kuni chini ya sufuria kwa ajili ya mifupa;

EZE 24:5 Removed trailing space in p~: chochea mpaka ichemke

EZE 24:5 Removed trailing space in p~: na uitokose hiyo mifupa ndani yake.

EZE 24:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Ole wa mji umwagao damu,

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: ole wa sufuria ambayo sasa

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: ina ukoko ndani yake,

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: ambayo ukoko wake hautoki.

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: Kipakue kipande baada ya kipande,

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: bila kuvipigia kura.

EZE 24:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa damu aliyoimwaga ipo katikati yake:

EZE 24:7 Removed trailing space in p~: huyo mwanamke aliimwaga

EZE 24:7 Removed trailing space in p~: juu ya mwamba ulio wazi;

EZE 24:7 Removed trailing space in p~: hakuimwaga kwenye ardhi,

EZE 24:7 Removed trailing space in p~: ambako vumbi lingeifunika.

EZE 24:8 Removed trailing space in v~: Kuchochea ghadhabu na kulipiza kisasi,

EZE 24:8 Removed trailing space in p~: nimemwaga damu yake

EZE 24:8 Removed trailing space in p~: juu ya mwamba ulio wazi,

EZE 24:8 Removed trailing space in p~: ili isifunikwe.

EZE 24:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 24:9 Removed trailing space in p~: “ ‘Ole wa mji umwagao damu!

EZE 24:9 Removed trailing space in p~: Mimi nami nitalundikia kuni nyingi.

EZE 24:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo lundika kuni

EZE 24:10 Removed trailing space in p~: na uwashe moto.

EZE 24:10 Removed trailing space in p~: Pika hiyo nyama vizuri,

EZE 24:10 Removed trailing space in p~: changanya viungo ndani yake,

EZE 24:10 Removed trailing space in p~: na uiache mifupa iungue kwenye moto.

EZE 24:11 Removed trailing space in v~: Kisha teleka sufuria tupu kwenye makaa

EZE 24:11 Removed trailing space in p~: mpaka iwe na moto sana na shaba yake ingʼae,

EZE 24:11 Removed trailing space in p~: ili uchafu wake upate kuyeyuka

EZE 24:11 Removed trailing space in p~: na ukoko wake upate kuungua na kuondoka.

EZE 24:12 Removed trailing space in v~: Imezuia juhudi zote,

EZE 24:12 Removed trailing space in p~: ukoko wake mwingi haujaondoka,

EZE 24:12 Removed trailing space in p~: hata ikiwa ni kwa moto.

EZE 24:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Sasa uchafu wako ni uasherati wako. Kwa sababu nilijaribu kukutakasa lakini haikuwezekana kutakaswa kutoka kwenye huo uchafu wako, hutatakasika tena mpaka ghadhabu yangu dhidi yako iwe imepungua.

EZE 24:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Mimi \nd Bwana\nd* nimesema, wakati umewadia wa mimi kutenda. Mimi sitazuia, mimi sitaona huruma wala sitapunguza hasira yangu, Utahukumiwa sawasawa na mwenendo na matendo yako, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 24:14 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Mke Wa Ezekieli

EZE 24:15 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 24:16 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, kwa pigo moja nakaribia kukuondolea kile kilicho furaha ya macho yako. Lakini usiomboleze au kulia wala kudondosha machozi yoyote.

EZE 24:17 Removed trailing space in v~: Lia kwa uchungu kimya kimya usimwombolezee mtu aliyekufa. Jifunge kilemba chako na uvae viatu vyako miguuni mwako, usifunike sehemu ya chini ya uso wako, wala usile vyakula vya kawaida vya wakati wa matanga.”

EZE 24:18 Removed trailing space in v~: Hivyo nikanena na watu asubuhi na jioni mke wangu akafa. Asubuhi yake nilifanya kama nilivyoamriwa.

EZE 24:19 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wakaniuliza, “Je, jambo hili unalofanya linamaanisha nini kwetu?”

EZE 24:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikawaambia, “Neno la \nd Bwana\nd* lilinijia kusema:

EZE 24:21 Removed trailing space in v~: ‘Sema na nyumba ya Israeli. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninakaribia kupatia unajisi mahali pangu patakatifu, ngome ambayo ndani yake mnaona fahari, furaha ya macho yenu, kitu mnachokipenda. Wana wenu na binti zenu mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.

EZE 24:22 Removed trailing space in v~: Nanyi mtafanya kama nilivyofanya. Hamtafunika sehemu ya chini ya nyuso zenu wala hamtakula vyakula vya kawaida vya waombolezaji.

EZE 24:23 Removed trailing space in v~: Mtajifunga vilemba vichwani mwenu na kuvaa viatu vyenu miguuni mwenu. Hamtaomboleza au kulia, lakini mtadhoofika kwa sababu ya dhambi zenu na kulia kwa uchungu kila mtu na mwenzake.

EZE 24:24 Removed trailing space in v~: Ezekieli atakuwa ishara kwenu, mtafanya kama yeye alivyofanya. Wakati jambo hili litakapotokea, mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’

EZE 24:25 Removed trailing space in v~: “Nawe, mwanadamu, siku ile nitakapoondoa ngome yao iliyo furaha yao na utukufu wao, kitu cha kupendeza macho yao, kile kilicho shauku ya mioyo yao, wana wao na binti zao vilevile,

EZE 24:26 Removed trailing space in v~: siku hiyo atakayetoroka atakuja kuwapasha habari.

EZE 24:27 Removed trailing space in v~: Katika siku ile kinywa chako kitamfumbukia yeye aliyenusurika, nawe utaongea wala hutanyamaza tena. Hivyo wewe utakuwa ishara kwao, nao watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 25:0 Extra space after chapter number

EZE 25:0 Removed trailing space in c: 25

EZE 25:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Amoni

EZE 25:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 25:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Waamoni utabiri dhidi yao.

EZE 25:3 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ulisema, “Aha!” juu ya mahali pangu patakatifu palipotiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli ilipoangamizwa, na juu ya watu wa Yuda walipokwenda uhamishoni,

EZE 25:4 Removed trailing space in v~: kwa hiyo nitawatia mikononi mwa watu wa mashariki mkawe mali yao. Watapiga kambi zao katikati yenu na kufanya makazi miongoni mwenu, watakula matunda yenu na kunywa maziwa yenu.

EZE 25:5 Removed trailing space in v~: Nitaufanya mji wa Raba kuwa malisho ya ngamia na Amoni kuwa mahali pa kondoo pa kupumzikia. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 25:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa umepiga makofi yako na kufanya kishindo kwa miguu, mkifurahia kwa mioyo yenu miovu juu ya yale mabaya yaliyoipata nchi ya Israeli,

EZE 25:7 Removed trailing space in v~: hivyo nitaunyoosha mkono wangu dhidi yako na kukutoa kuwa nyara kwa mataifa. Nitakukatilia mbali kutoka kwenye mataifa na kukungʼoa katika nchi. Nitakuangamiza, nawe utajua ya kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 25:7 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Moabu

EZE 25:8 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu Moabu na Seiri wamesema, “Tazama, nyumba ya Yuda imekuwa kama mataifa mengine yote,”

EZE 25:9 Removed trailing space in v~: kwa hiyo nitaiondoa ile miji iliyo kando ya Moabu, kuanzia miji iliyoko mipakani, yaani: Beth-Yeshimothi, Baal-Meoni na Kiriathaimu, iliyo utukufu wa nchi hiyo.

EZE 25:10 Removed trailing space in v~: Nitaitia Moabu pamoja na Waamoni mikononi mwa watu wa Mashariki kuwa milki yao, ili kwamba Waamoni wasikumbukwe miongoni mwa mataifa,

EZE 25:11 Removed trailing space in v~: nami nitatoa adhabu kwa Moabu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 25:11 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Edomu

EZE 25:12 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu Edomu ulilipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na kukosa sana kwa kufanya hivyo,

EZE 25:13 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya Edomu na kuua watu wake na wanyama wao. Nitaufanya ukiwa, kuanzia Temani hadi Dedani wataanguka kwa upanga.

EZE 25:14 Removed trailing space in v~: Nitalipiza Edomu kisasi kwa mkono wa watu wangu Israeli, nao watawatendea Edomu sawasawa na hasira yangu na ghadhabu yangu, nao watakijua kisasi changu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 25:14 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Ufilisti

EZE 25:15 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu Wafilisti wamewalipiza kisasi kwa uovu wa mioyo yao na kwa uadui wa siku nyingi wakataka kuangamiza Yuda,

EZE 25:16 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi ninakaribia kuunyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti, nami nitawakatilia mbali Wakerethi na kuwaangamiza wale waliosalia katika pwani.

EZE 25:17 Removed trailing space in v~: Nitalipiza kisasi kikubwa juu yao na kuwaadhibu katika ghadhabu yangu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapolipiza kisasi juu yao.’ ”

EZE 26:0 Extra space after chapter number

EZE 26:0 Removed trailing space in c: 26

EZE 26:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Tiro

EZE 26:1 Removed trailing space in v~: Mwaka wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 26:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, kwa sababu Tiro amesema kuhusu Yerusalemu, ‘Aha! Lango la kwenda kwa mataifa limevunjika, nayo milango yake iko wazi mbele yangu, sasa kwa kuwa amekuwa magofu nitastawi.’

EZE 26:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na wewe, ee Tiro, nami nitaleta mataifa mengi dhidi yako, kama bahari inayovurumisha mawimbi yake.

EZE 26:4 Removed trailing space in v~: Watavunja kuta za Tiro na kuibomoa minara yake, nitakwangua udongo wake na kuufanya mwamba mtupu.

EZE 26:5 Removed trailing space in v~: Itakuwa huko katikati ya bahari patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki, kwa maana nimenena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Atakuwa nyara kwa mataifa,

EZE 26:6 Removed trailing space in v~: nayo makao yake huko bara yataangamizwa kwa upanga. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 26:7 Removed trailing space in v~: “Kwa maana hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kutoka kaskazini nitamleta dhidi ya Tiro Mfalme Nebukadneza wa Babeli, mfalme wa wafalme, akiwa na farasi na magari ya vita, wapanda farasi na jeshi kubwa.

EZE 26:8 Removed trailing space in v~: Atayaharibu makao yako huko bara kwa upanga, ataweka jeshi kukuzingira, atakuzingira mpaka kwenye kuta za ngome zako na kuinua ngao zake dhidi yako.

EZE 26:9 Removed trailing space in v~: Ataelekeza mapigo ya vyombo vyake vya kubomolea dhidi ya kuta zako na kubomoa minara yako kwa silaha zake.

EZE 26:10 Removed trailing space in v~: Farasi zake zitakuwa nyingi sana kiasi kwamba utafunikwa na mavumbi watakayotimua. Kuta zako zitatikisika kwa mshindo wa farasi wa vita, magari makubwa na magari ya vita wakati aingiapo malango yako kama watu waingiao mji ambao kuta zake zimebomolewa kote.

EZE 26:11 Removed trailing space in v~: “Kwato za farasi zake zitakanyaga barabara zako zote, atawaua watu wako kwa upanga na nguzo zako zilizo imara zitaanguka chini.

EZE 26:12 Removed trailing space in v~: Watateka utajiri wako na kuchukua nyara bidhaa zako, watazivunja kuta zako na kuzibomoa nyumba zako nzuri, watatupa baharini mawe yako, mbao zako na kifusi chako.

EZE 26:13 Removed trailing space in v~: Nitakomesha kelele za nyimbo zako, na uimbaji wako wa kinubi kamwe hautasikika tena.

EZE 26:14 Removed trailing space in v~: Nitakufanya mwamba mtupu, nawe utakuwa mahali pa kutandazia nyavu za kuvulia samaki. Kamwe hutajengwa tena, kwa maana Mimi \nd Bwana\nd* nimenena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 26:15 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kwa Tiro: ‘Je, nchi za pwani hazitatetemeka kwa kishindo cha anguko lako, wakati majeruhi wanapolia kwa maumivu makali na wakati mauaji yanaendelea ndani yako?

EZE 26:16 Removed trailing space in v~: Ndipo wakuu wote wa mataifa ya pwani watashuka kutoka kwenye viti vyao vya enzi na kuweka kando majoho yao na kuvua nguo zao zilizotariziwa. Wakiwa wamevikwa hofu kuu, wataketi chini ardhini, wakiwa wanatetemeka kila dakika na wakikustajabia.

EZE 26:17 Removed trailing space in v~: Ndipo wao watakuombolezea na kukuambia:

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: “ ‘Tazama jinsi ulivyoharibiwa,

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: ee mji uliokuwa na sifa,

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: wewe uliyekaliwa na mabaharia!

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: Ulikuwa na nguvu kwenye bahari,

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: wewe na watu wako;

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: wote walioishi huko,

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: uliwatia hofu kuu.

EZE 26:18 Removed trailing space in v~: Sasa nchi za pwani zinatetemeka

EZE 26:18 Removed trailing space in p~: katika siku ya anguko lako;

EZE 26:18 Removed trailing space in p~: visiwa vilivyomo baharini

EZE 26:18 Removed trailing space in p~: vinaogopa kwa kuporomoka kwako.’

EZE 26:19 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitakapokufanya uwe mji wa ukiwa, kama miji isiyokaliwa tena na watu, nitakapoleta vilindi vya bahari juu yako na maji yake makuu yatakapokufunika,

EZE 26:20 Removed trailing space in v~: ndipo nitakapokushusha chini pamoja na wale washukao shimoni, kwa watu wa kale, nami nitakufanya uishi katika pande za chini za nchi kama katika magofu ya kale, pamoja na wale washukao shimoni, nawe hutarudi au kurejea kwenye makao yako katika nchi ya walio hai.

EZE 26:21 Removed trailing space in v~: Nitakufikisha mwisho wa kutisha wala hutakuwepo tena. Watu watakutafuta, lakini kamwe hutaonekana tena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 27:0 Extra space after chapter number

EZE 27:0 Removed trailing space in c: 27

EZE 27:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Kwa Ajili Ya Tiro

EZE 27:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 27:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Tiro.

EZE 27:3 Removed trailing space in v~: Umwambie Tiro, ulioko kwenye lango la bahari, ufanyao biashara na mataifa mengi ya pwani, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 27:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Ee Tiro, wewe umesema,

EZE 27:3 Removed trailing space in p~: “Mimi ni mkamilifu katika uzuri.”

EZE 27:4 Removed trailing space in v~: Mipaka yako ilikuwa katika moyo wa bahari,

EZE 27:4 Removed trailing space in p~: wajenzi wako walikamilisha uzuri wako.

EZE 27:5 Removed trailing space in v~: Walizifanya mbao zako zote

EZE 27:5 Removed trailing space in p~: kwa misunobari itokayo Seniri;\f + \fr 27:5 \ft Yaani Hermoni.\f*

EZE 27:5 Removed trailing space in p~: walichukua mierezi kutoka Lebanoni

EZE 27:5 Removed trailing space in p~: kukutengenezea mlingoti.

EZE 27:6 Removed trailing space in v~: Walichukua mialoni toka Bashani

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: wakakutengenezea makasia yako;

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: kwa miti ya msanduku

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: kutoka pwani ya Kitimu

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: wakatengeneza sitaha\f + \fr 27:6 \ft Yaani sakafu ya merikebu au mashua. \f* yako

EZE 27:6 Found footnote ending with space in \p~: wakatengeneza sitaha\f + \fr 27:6 \ft Yaani sakafu ya merikebu au mashua. \f* yako

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: na kuipamba kwa pembe za ndovu.

EZE 27:7 Removed trailing space in v~: Kitani safi kilichotariziwa kutoka Misri kilikuwa tanga lako,

EZE 27:7 Removed trailing space in p~: nacho kilikuwa bendera yako;

EZE 27:7 Removed trailing space in p~: chandarua chako kilikuwa cha rangi ya buluu na ya zambarau

EZE 27:7 Removed trailing space in p~: kutoka visiwa vya Elisha.

EZE 27:8 Removed trailing space in v~: Watu kutoka Sidoni na Arvadi walikuwa wapiga makasia yako;

EZE 27:8 Removed trailing space in p~: watu wako wenye ustadi, ee Tiro,

EZE 27:8 Removed trailing space in p~: walikuwa ndio mabaharia wako.

EZE 27:9 Removed trailing space in v~: Wazee wa Gebali\f + \fr 27:9 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).\f* pamoja na mafundi stadi

EZE 27:9 Removed trailing space in p~: walikuwa mafundi wako melini.

EZE 27:9 Removed trailing space in p~: Meli zote za baharini na mabaharia wao

EZE 27:9 Removed trailing space in p~: walikuja kwako ili kubadilishana bidhaa zako.

EZE 27:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Uajemi, Ludi na Putu

EZE 27:10 Removed trailing space in p~: walikuwa askari katika jeshi lako.

EZE 27:10 Removed trailing space in p~: Walitundika ngao zao na chapeo zao kwenye kuta zako,

EZE 27:10 Removed trailing space in p~: wakileta fahari yako.

EZE 27:11 Removed trailing space in v~: Watu wa Arvadi na wa Heleki

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: walikuwa juu ya kuta zako pande zote;

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: watu wa Gamadi

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: walikuwa kwenye minara yako.

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: Walitundika ngao zao kuzizunguka kuta zako;

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: wakaukamilisha uzuri wako.

EZE 27:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Tarshishi walifanya biashara nawe kwa sababu ya utajiri wako mkubwa wa bidhaa, walibadilisha fedha, chuma, bati na risasi kwa mali zako.

EZE 27:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Uyunani, Tubali na Mesheki, walifanya biashara nawe, walibadilisha watumwa na vyombo vya shaba kwa bidhaa zako.

EZE 27:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Beth-Togarma walibadilisha farasi wa mizigo, farasi wa vita na nyumbu kwa mali zako.

EZE 27:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Dedani\f + \fr 27:15 \ft Yaani \fqa Rhodes\ft .\f* walifanya biashara nawe, watu wengi wa nchi za pwani walikuwa wachuuzi wako, walikulipa kwa pembe za ndovu na mpingo.

EZE 27:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Aramu walifanya biashara nawe kwa ajili ya wingi wa kazi za mikono yako, wakibadilishana kwa almasi, vitambaa vya rangi ya zambarau, vitambaa vilivyotariziwa, kitani safi, matumbawe\f + \fr 27:16 \ft Yaani marijani, jiwe laini la pwani au baharini, kama mawe ya chokaa.\f* na akiki nyekundu.

EZE 27:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Yuda na Israeli walifanya biashara nawe, walibadilishana kwa ngano kutoka Minithi, mtama, asali, mafuta na zeri ya kuponyeshea.

EZE 27:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Dameski, kwa sababu ya wingi wa kazi za mikono yako na ukuu wa utajiri wa mali, walifanya biashara nawe wakibadilishana mvinyo kutoka Helboni na sufu kutoka Zahari.

EZE 27:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Wadani na Wayunani kutoka Uzali, walikuletea mali za biashara, nao wakabadilishana nawe chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai.

EZE 27:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Dedani alifanya biashara nawe kwa matandiko ya farasi.

EZE 27:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wanunuzi wako waliobadilishana bidhaa zako na wana-kondoo, kondoo dume na mbuzi.

EZE 27:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Wafanyabiashara wa Sheba na wa Raama walifanya biashara nawe, wakabadilishana bidhaa zako na aina zote za vikolezi, vito vya thamani na dhahabu.

EZE 27:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Harani, Kane na Edeni na wafanyabiashara wa Sheba, Ashuru na Kilmadi walifanya biashara nawe.

EZE 27:24 Removed trailing space in v~: Kwenye soko lako, walifanya biashara nawe kwa mavazi mazuri, vitambaa vya buluu, nguo za kutariziwa na mazulia ya rangi mbalimbali yenye kamba zilizosokotwa na kuwekwa mafundo imara.

EZE 27:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Merikebu za Tarshishi ndizo

EZE 27:25 Removed trailing space in p~: zinazokusafirishia bidhaa zako.

EZE 27:25 Removed trailing space in p~: Umejazwa shehena kubwa

EZE 27:25 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari.

EZE 27:26 Removed trailing space in v~: Wapiga makasia wako wanakupeleka

EZE 27:26 Removed trailing space in p~: mpaka kwenye maji makavu.

EZE 27:26 Removed trailing space in p~: Lakini upepo wa mashariki umekuvunja vipande vipande

EZE 27:26 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari.

EZE 27:27 Removed trailing space in v~: Utajiri wako, bidhaa zako na mali zako,

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: mabaharia wako, manahodha wako,

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: mafundi wako wa meli,

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: wafanyabiashara wako na askari wako wote,

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: na kila mmoja aliyeko melini

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: atazama kwenye moyo wa bahari

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: siku ile ya kuvunjika kwa meli yako.

EZE 27:28 Removed trailing space in v~: Nchi za pwani zitatetemeka

EZE 27:28 Removed trailing space in p~: wakati mabaharia wako watakapopiga kelele.

EZE 27:29 Removed trailing space in v~: Wote wapigao makasia

EZE 27:29 Removed trailing space in p~: wataacha meli zao,

EZE 27:29 Removed trailing space in p~: mabaharia wote na wanamaji wote

EZE 27:29 Removed trailing space in p~: watasimama pwani.

EZE 27:30 Removed trailing space in v~: Watapaza sauti zao

EZE 27:30 Removed trailing space in p~: na kulia sana kwa ajili yako;

EZE 27:30 Removed trailing space in p~: watajitupia mavumbi juu ya vichwa vyao

EZE 27:30 Removed trailing space in p~: na kujivingirisha kwenye majivu.

EZE 27:31 Removed trailing space in v~: Watanyoa nywele zao kwa ajili yako,

EZE 27:31 Removed trailing space in p~: nao watavaa nguo za magunia.

EZE 27:31 Removed trailing space in p~: Watakulilia kwa uchungu wa moyo

EZE 27:31 Removed trailing space in p~: na kwa maombolezo makuu.

EZE 27:32 Removed trailing space in v~: Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako,

EZE 27:32 Removed trailing space in p~: watafanya maombolezo kukuhusu wakisema:

EZE 27:32 Removed trailing space in p~: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro,

EZE 27:32 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari?”

EZE 27:33 Removed trailing space in v~: Wakati bidhaa zako zilipotoka baharini,

EZE 27:33 Removed trailing space in p~: ulitosheleza mataifa mengi;

EZE 27:33 Removed trailing space in p~: kwa wingi wa utajiri wako na bidhaa zako

EZE 27:33 Removed trailing space in p~: ulitajirisha wafalme wa dunia.

EZE 27:34 Removed trailing space in v~: Sasa umevunjavunjwa na bahari,

EZE 27:34 Removed trailing space in p~: katika vilindi vya maji,

EZE 27:34 Removed trailing space in p~: bidhaa zako na kundi lako lote

EZE 27:34 Removed trailing space in p~: vimezama pamoja nawe.

EZE 27:35 Removed trailing space in v~: Wote waishio katika nchi za pwani

EZE 27:35 Removed trailing space in p~: wanakustaajabia;

EZE 27:35 Removed trailing space in p~: wafalme wao wanatetemeka kwa hofu kuu,

EZE 27:35 Removed trailing space in p~: nazo nyuso zao zimekunjamana kwa woga.

EZE 27:36 Removed trailing space in v~: Wafanyabiashara miongoni mwa mataifa wanakucheka;

EZE 27:36 Removed trailing space in p~: umefikia mwisho wa kutisha

EZE 27:36 Removed trailing space in p~: nawe hutakuwepo tena.’ ”

EZE 28:0 Extra space after chapter number

EZE 28:0 Removed trailing space in c: 28

EZE 28:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Mfalme Wa Tiro

EZE 28:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 28:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, mwambie mfalme wa Tiro, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Kwa sababu moyo wako umejivuna

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: na umesema, “Mimi ni mungu;

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: nami ninaketi katika kiti cha enzi cha mungu

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari.”

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: Lakini wewe ni mwanadamu, wala si mungu,

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: ingawa unafikiri kuwa una hekima kama mungu.

EZE 28:3 Removed trailing space in v~: Je, wewe una hekima kuliko Danieli?

EZE 28:3 Removed trailing space in p~: Je, hakuna siri iliyofichika kwako?

EZE 28:4 Removed trailing space in v~: Kwa hekima yako na ufahamu wako,

EZE 28:4 Removed trailing space in p~: umejipatia utajiri,

EZE 28:4 Removed trailing space in p~: nawe umejikusanyia dhahabu

EZE 28:4 Removed trailing space in p~: na fedha katika hazina zako.

EZE 28:5 Removed trailing space in v~: Kwa werevu wako mwingi katika biashara,

EZE 28:5 Removed trailing space in p~: umeongeza utajiri wako

EZE 28:5 Removed trailing space in p~: na kwa sababu ya utajiri wako

EZE 28:5 Removed trailing space in p~: moyo wako umekuwa na kiburi.

EZE 28:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 28:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Kwa sababu unafikiri una hekima,

EZE 28:6 Removed trailing space in p~: mwenye hekima kama mungu,

EZE 28:7 Removed trailing space in v~: mimi nitawaleta wageni dhidi yako,

EZE 28:7 Removed trailing space in p~: taifa katili kuliko yote;

EZE 28:7 Removed trailing space in p~: watafuta panga zao dhidi ya uzuri wa hekima yako,

EZE 28:7 Removed trailing space in p~: na kuchafua fahari yako inayongʼaa.

EZE 28:8 Removed trailing space in v~: Watakushusha chini shimoni,

EZE 28:8 Removed trailing space in p~: nawe utakufa kifo cha kikatili

EZE 28:8 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari.

EZE 28:9 Removed trailing space in v~: Je, wakati huo utasema, “Mimi ni mungu,”

EZE 28:9 Removed trailing space in p~: mbele ya wale wanaokuua?

EZE 28:9 Removed trailing space in p~: Utakuwa mwanadamu tu, wala si mungu,

EZE 28:9 Removed trailing space in p~: mikononi mwa hao wanaokuua.

EZE 28:10 Removed trailing space in v~: Utakufa kifo cha wasiotahiriwa

EZE 28:10 Removed trailing space in p~: kwa mkono wa wageni.

EZE 28:10 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa mimi nimenena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 28:11 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 28:12 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, mfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, nawe umwambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 28:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Ulikuwa kipeo cha ukamilifu,

EZE 28:12 Removed trailing space in p~: ukiwa umejaa hekima

EZE 28:12 Removed trailing space in p~: na mkamilifu katika uzuri.

EZE 28:13 Removed trailing space in v~: Ulikuwa ndani ya Edeni,

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: bustani ya Mungu;

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: kila kito cha thamani kilikupamba:

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: akiki nyekundu, yakuti manjano na zumaridi,

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: krisolitho, shohamu na yaspi,

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: yakuti samawi, almasi na zabarajadi.

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: Kuwekwa kwa hayo mapambo na kushikizwa kwake

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: kulifanywa kwa dhahabu;

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: siku ile ulipoumbwa yaliandaliwa tayari.

EZE 28:14 Removed trailing space in v~: Ulitiwa mafuta kuwa kerubi mlinzi,

EZE 28:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hivyo ndivyo nilivyokuweka wakfu.

EZE 28:14 Removed trailing space in p~: Ulikuwa kwenye mlima mtakatifu wa Mungu;

EZE 28:14 Removed trailing space in p~: ulitembea katikati ya vito vya moto.

EZE 28:15 Removed trailing space in v~: Ulikuwa mnyofu katika njia zako

EZE 28:15 Removed trailing space in p~: tangu siku ile ya kuumbwa kwako,

EZE 28:15 Removed trailing space in p~: hadi uovu ulipoonekana ndani yako.

EZE 28:16 Removed trailing space in v~: Kutokana na biashara yako iliyoenea,

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: ulijazwa na dhuluma,

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: nawe ukatenda dhambi.

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: Hivyo nilikuondoa kwa aibu kutoka mlima wa Mungu,

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: nami nikakufukuza, ee kerubi mlinzi,

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: kutoka katikati ya vito vya moto.

EZE 28:17 Removed trailing space in v~: Moyo wako ukawa na kiburi

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya uzuri wako,

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: nawe ukaiharibu hekima yako

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya fahari yako.

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nikakutupa chini;

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: nimekufanya kioja mbele ya wafalme.

EZE 28:18 Removed trailing space in v~: Kwa dhambi zako nyingi na biashara yako ya dhuluma,

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: umenajisi mahali pako patakatifu.

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nilifanya moto utoke ndani yako,

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: nao ukakuteketeza,

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: nami nikakufanya majivu juu ya nchi,

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: machoni pa wote waliokuwa wakitazama.

EZE 28:19 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yaliyokujua

EZE 28:19 Removed trailing space in p~: yanakustajabia;

EZE 28:19 Removed trailing space in p~: umefikia mwisho wa kutisha

EZE 28:19 Removed trailing space in p~: na hutakuwepo tena milele.’ ”

EZE 28:19 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Sidoni

EZE 28:20 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 28:21 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Sidoni, ukatabiri dhidi yake,

EZE 28:22 Removed trailing space in v~: nawe useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: “ ‘Mimi ni kinyume chako, ee Sidoni,

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: nami nitapata utukufu ndani yako.

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: Nao watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*,

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: nitakapotekeleza hukumu zangu

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: na kuonyesha utakatifu wangu ndani yake.

EZE 28:23 Removed trailing space in v~: Nitapeleka tauni ndani yake

EZE 28:23 Removed trailing space in p~: na kufanya damu itiririke katika barabara zake.

EZE 28:23 Removed trailing space in p~: Waliochinjwa wataanguka ndani yake,

EZE 28:23 Removed trailing space in p~: kwa upanga dhidi yake kila upande.

EZE 28:23 Removed trailing space in p~: Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 28:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Nyumba ya Israeli hawatakuwa tena na majirani wenye nia ya kuwadhuru wanaoumiza kama michongoma na miiba mikali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 28:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitakapoikusanya nyumba ya Israeli kutoka mataifa ambako wametawanyika, nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwao machoni pa mataifa. Ndipo watakapoishi katika nchi yao wenyewe, niliyompa mtumishi wangu Yakobo.

EZE 28:26 Removed trailing space in v~: Wataishi humo kwa salama na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu, wataishi kwa salama nitakapowaadhibu majirani zao wote ambao waliwafanyia uovu. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wao.’ ”

EZE 29:0 Extra space after chapter number

EZE 29:0 Removed trailing space in c: 29

EZE 29:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Misri

EZE 29:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi, mwezi wa kumi, siku ya kumi na mbili, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 29:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Farao mfalme wa Misri na utabiri dhidi yake na dhidi ya Misri yote.

EZE 29:3 Removed trailing space in v~: Nena, nawe useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 29:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Mimi ni kinyume nawe, Farao, mfalme wa Misri,

EZE 29:3 Removed trailing space in p~: joka kubwa ulalaye katikati ya vijito vyako.

EZE 29:3 Removed trailing space in p~: Unasema, “Mto Naili ni wangu mwenyewe;

EZE 29:3 Removed trailing space in p~: niliufanya kwa ajili yangu mwenyewe.”

EZE 29:4 Removed trailing space in v~: Lakini nitatia ndoana katika mataya yako

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: nami nitawafanya samaki wa vijito vyako

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: washikamane na magamba yako.

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: Nitakutoa katikati ya vijito vyako,

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: pamoja na samaki wote

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: walioshikamana na magamba yako.

EZE 29:5 Removed trailing space in v~: Nitakutupa jangwani,

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: wewe pamoja na samaki wote wa vijito vyako.

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: Utaanguka uwanjani,

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: nawe hutakusanywa au kuchukuliwa.

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: Nitakutoa uwe chakula

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: kwa wanyama wa nchi

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: na ndege wa angani.

EZE 29:6 Removed trailing space in v~: Ndipo wale wote waishio Misri watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 29:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Umekuwa fimbo ya tete kwa nyumba ya Israeli.

EZE 29:7 Removed trailing space in v~: Walipokushika kwa mikono yao, ulivunjika na kuchana mabega yao; walipokuegemea, ulivunjika na migongo yao ikateguka.

EZE 29:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaleta upanga juu yako na kuua watu wako na wanyama wao.

EZE 29:9 Removed trailing space in v~: Misri itakuwa ukiwa na isiyolimwa wala kukaliwa na watu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 29:9 Removed trailing space in p~: “ ‘Kwa sababu ulisema, “Mto Naili ni wangu; mimi niliufanya,”

EZE 29:10 Removed trailing space in v~: kwa hiyo mimi ni kinyume nawe na kinyume na vijito vyako, nami nitaifanya nchi ya Misri kuwa magofu na ukiwa isiyolimwa wala kukaliwa na watu kuanzia Migdoli hadi Aswani, hata kufikia mpakani wa Ethiopia.

EZE 29:11 Removed trailing space in v~: Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita ndani yake, wala hakuna yeyote atakayeishi humo kwa muda wa miaka arobaini.

EZE 29:12 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nchi ya Misri ukiwa, miongoni mwa nchi zilizo ukiwa, nayo miji yake itabaki ukiwa miaka arobaini miongoni mwa miji iliyo magofu. Nami nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi nyingine.

EZE 29:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mwishoni mwa hiyo miaka arobaini, nitawakusanya Wamisri kutoka mataifa walikotawanywa.

EZE 29:14 Removed trailing space in v~: Nitawarudisha hao Wamisri kutoka kwenye kutekwa kwao na kuwaweka katika Pathrosi,\f + \fr 29:14 \ft Pathrosi ni Misri ya Juu.\f* nchi ya baba zao. Huko watakuwa na ufalme usiokuwa na nguvu.

EZE 29:15 Removed trailing space in v~: Utakuwa ufalme dhaifu kuliko zote na kamwe Misri haitajikweza tena juu ya mataifa mengine. Nitaufanya ufalme wake dhaifu sana kiasi kwamba kamwe hautatawala tena juu ya mataifa mengine.

EZE 29:16 Removed trailing space in v~: Misri haitakuwa tena tumaini la watu wa Israeli bali itakuwa kumbukumbu ya dhambi yao kwa kuigeukia kuomba msaada. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 29:17 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza, neno la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema:

EZE 29:18 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliongoza jeshi lake kufanya kazi ngumu dhidi ya Tiro; kila kichwa kilipata upaa na kila bega likachunika. Lakini yeye na jeshi lake hawakupata malipo yoyote kutokana na muda wote aliongoza hiyo vita dhidi ya Tiro.

EZE 29:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaitia Misri mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye atachukua utajiri wa Misri. Atateka mateka na kuchukua nyara mali za Misri kama ujira kwa ajili ya jeshi lake.

EZE 29:20 Removed trailing space in v~: Nimempa mfalme wa Babeli nchi ya Misri kuwa ujira kwa juhudi zake kwa sababu yeye na jeshi lake walifanya kwa ajili yangu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 29:21 Removed trailing space in v~: “Katika siku hiyo nitaifanya nyumba ya Israeli iwe na nguvu nami nitakifungua kinywa chako miongoni mwao. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 30:0 Extra space after chapter number

EZE 30:0 Removed trailing space in c: 30

EZE 30:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Kwa Ajili Ya Misri

EZE 30:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 30:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, toa unabii na useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 30:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Ombolezeni ninyi na mseme,

EZE 30:2 Removed trailing space in p~: “Ole wa siku ile!”

EZE 30:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa siku ile imekaribia,

EZE 30:3 Removed trailing space in p~: siku ya \nd Bwana\nd* imekaribia,

EZE 30:3 Removed trailing space in p~: siku ya mawingu,

EZE 30:3 Removed trailing space in p~: siku ya maangamizi kwa mataifa.

EZE 30:4 Removed trailing space in v~: Upanga utakuja dhidi ya Misri,

EZE 30:4 Removed trailing space in p~: nayo maumivu makuu yataijia Ethiopia.

EZE 30:4 Removed trailing space in p~: Mauaji yatakapoangukia Misri,

EZE 30:4 Removed trailing space in p~: utajiri wake utachukuliwa

EZE 30:4 Removed trailing space in p~: na misingi yake itabomolewa.

EZE 30:5 Removed trailing space in v~: Kushi\f + \fr 30:5 \ft Kushi ndiyo Ethiopia.\f* na Putu, Ludi na Arabia yote, Libya\f + \fr 30:5 \ft Libya ndiyo Kubu.\f* na watu wa nchi ya Agano watauawa kwa upanga pamoja na Misri.

EZE 30:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Wale walioungana na Misri wataanguka

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: na kiburi cha nguvu zake kitashindwa.

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: Kutoka Migdoli hadi Aswani,

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: watauawa ndani yake kwa upanga,

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 30:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Hizo nchi zitakua ukiwa

EZE 30:7 Removed trailing space in p~: miongoni mwa nchi zilizo ukiwa,

EZE 30:7 Removed trailing space in p~: nayo miji yao itakuwa magofu

EZE 30:7 Removed trailing space in p~: miongoni mwa miji iliyo magofu.

EZE 30:8 Removed trailing space in v~: Ndipo watakapojua kwamba mimi ndimi \nd Bwana\nd*,

EZE 30:8 Removed trailing space in p~: nitakapoiwasha Misri moto

EZE 30:8 Removed trailing space in p~: na wote wamsaidiao watapondwa.

EZE 30:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku hiyo wajumbe watatoka kwangu kwa merikebu, ili kuwatia hofu Ethiopia, wakiwa katika hali yao ya kuridhika. Maumivu makali yatawapata siku ya maangamizi ya Misri, kwa kuwa hakika itakuja.

EZE 30:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 30:10 Removed trailing space in p~: “ ‘Nitakomesha makundi ya wajeuri ya Misri

EZE 30:10 Removed trailing space in p~: kwa mkono wa Nebukadneza mfalme wa Babeli.

EZE 30:11 Removed trailing space in v~: Yeye na jeshi lake, taifa lililo katili kuliko mataifa yote,

EZE 30:11 Removed trailing space in p~: litaletwa ili kuangamiza nchi.

EZE 30:11 Removed trailing space in p~: Watafuta panga zao dhidi ya Misri

EZE 30:11 Removed trailing space in p~: na kuijaza nchi kwa waliouawa.

EZE 30:12 Removed trailing space in v~: Nitakausha vijito vya Naili

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: na nitaiuza nchi kwa watu waovu,

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: kwa mkono wa wageni,

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: nitaifanya nchi ukiwa na kila kitu

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: kilichomo ndani yake.

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: Mimi \nd Bwana\nd* nimenena haya.

EZE 30:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 30:13 Removed trailing space in p~: “ ‘Nitaangamiza sanamu

EZE 30:13 Removed trailing space in p~: na kukomesha vinyago katika Memfisi\f + \fr 30:13 \ft Kiebrania ni Nofu.\f*

EZE 30:13 Removed trailing space in p~: Hapatakuwepo tena na mkuu katika nchi ya Misri,

EZE 30:13 Removed trailing space in p~: nami nitaeneza hofu katika nchi nzima.

EZE 30:14 Removed trailing space in v~: Nitaifanya Pathrosi\f + \fr 30:14 \ft Pathrosi ni Misri ya Juu.\f* kuwa ukiwa

EZE 30:14 Removed trailing space in p~: na kuitia moto Soani,

EZE 30:14 Removed trailing space in p~: nami nitaipiga kwa adhabu Thebesi\f + \fr 30:14 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.\f*

EZE 30:15 Removed trailing space in v~: Nitaimwaga ghadhabu yangu juu ya Pelusiumu,\f + \fr 30:15 \ft Kiebrania ni Sini.\f*

EZE 30:15 Removed trailing space in p~: ngome ya Misri,

EZE 30:15 Removed trailing space in p~: nami nitakatilia mbali

EZE 30:15 Removed trailing space in p~: makundi ya wajeuri wa Thebesi.

EZE 30:16 Removed trailing space in v~: Nitaitia moto nchi ya Misri;

EZE 30:16 Removed trailing space in p~: Pelusiumu itagaagaa kwa maumivu makuu.

EZE 30:16 Removed trailing space in p~: Thebesi itachukuliwa na tufani,

EZE 30:16 Removed trailing space in p~: Memfisi itakuwa katika taabu daima.

EZE 30:17 Removed trailing space in v~: Wanaume vijana wa Oni\f + \fr 30:17 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f* na wa Pi-Besethi\f + \fr 30:17 \ft Yaani Bubasti.\f*

EZE 30:17 Removed trailing space in p~: wataanguka kwa upanga

EZE 30:17 Removed trailing space in p~: nayo hiyo miji itatekwa.

EZE 30:18 Removed trailing space in v~: Huko Tahpanhesi mchana utatiwa giza

EZE 30:18 Removed trailing space in p~: nitakapovunja kongwa la Misri;

EZE 30:18 Removed trailing space in p~: hapo kiburi cha nguvu zake kitakoma.

EZE 30:18 Removed trailing space in p~: Atafunikwa na mawingu

EZE 30:18 Removed trailing space in p~: na vijiji vyake vitatekwa.

EZE 30:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitaipiga Misri kwa adhabu,

EZE 30:19 Removed trailing space in p~: nao watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 30:20 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa kwanza, siku ya saba, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 30:21 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nimevunja mkono wa Farao mfalme wa Misri. Haukufungwa ili upone au kuwekewa kipande cha ubao ili upate nguvu za kuweza kuchukua upanga.

EZE 30:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na Farao mfalme wa Misri. Nitavunja mikono yake yote miwili, ule mkono ulio mzima pia na ule uliovunjika na kuufanya upanga uanguke toka mkononi mwake.

EZE 30:23 Removed trailing space in v~: Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi zote.

EZE 30:24 Removed trailing space in v~: Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli na kuutia upanga wangu mkononi mwake, lakini nitavunja mikono ya Farao, naye atalia kwa huzuni mbele yake kama mtu aliyetiwa jeraha la kumfisha.

EZE 30:25 Removed trailing space in v~: Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli, lakini mikono ya Farao italegea. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye ataunyoosha dhidi ya Misri.

EZE 30:26 Removed trailing space in v~: Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi mbalimbali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 31:0 Extra space after chapter number

EZE 31:0 Removed trailing space in c: 31

EZE 31:0 Removed trailing space in s1: Mwerezi Katika Lebanoni

EZE 31:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza, neno la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema:

EZE 31:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake ya wajeuri:

EZE 31:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa

EZE 31:2 Removed trailing space in p~: na wewe katika fahari.

EZE 31:3 Removed trailing space in v~: Angalia Ashuru, wakati fulani ilikuwa mwerezi huko Lebanoni,

EZE 31:3 Removed trailing space in p~: ukiwa na matawi mazuri ukitia msitu kivuli;

EZE 31:3 Removed trailing space in p~: ulikuwa mrefu sana,

EZE 31:3 Removed trailing space in p~: kilele chake kilipita majani ya miti yote.

EZE 31:4 Removed trailing space in v~: Maji mengi yaliustawisha,

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: chemchemi zenye maji mengi ziliufanya urefuke;

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: vijito vyake vilitiririka pale

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: ulipoota pande zote

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: na kupeleka mifereji yake

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: kwenye miti yote ya shambani.

EZE 31:5 Removed trailing space in v~: Hivyo ukarefuka

EZE 31:5 Removed trailing space in p~: kupita miti yote ya shambani;

EZE 31:5 Removed trailing space in p~: vitawi vyake viliongezeka

EZE 31:5 Removed trailing space in p~: na matawi yake yakawa marefu,

EZE 31:5 Removed trailing space in p~: yakitanda kwa sababu ya wingi wa maji.

EZE 31:6 Removed trailing space in v~: Ndege wote wa angani

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: wakaweka viota kwenye vitawi vyake,

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: wanyama wote wa shambani

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: wakazaana chini ya matawi yake,

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: mataifa makubwa yote

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: yaliishi chini ya kivuli chake.

EZE 31:7 Removed trailing space in v~: Ulikuwa na fahari katika uzuri,

EZE 31:7 Removed trailing space in p~: ukiwa na matawi yaliyotanda,

EZE 31:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mizizi yake ilikwenda chini

EZE 31:7 Removed trailing space in p~: mpaka kwenye maji mengi.

EZE 31:8 Removed trailing space in v~: Mierezi katika bustani ya Mungu

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: haikuweza kushindana nao,

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: wala misunobari haikuweza

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: kulingana na vitawi vyake,

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: wala miaramoni

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: haikulinganishwa na matawi yake,

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: wala hakukuwa na mti katika bustani ya Mungu

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: wa kulinganisha na uzuri wake.

EZE 31:9 Removed trailing space in v~: Niliufanya kuwa mzuri

EZE 31:9 Removed trailing space in p~: ukiwa na matawi mengi,

EZE 31:9 Removed trailing space in p~: ulionewa wivu na miti yote ya Edeni

EZE 31:9 Removed trailing space in p~: katika bustani ya Mungu.

EZE 31:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ulikuwa mrefu sana, kilele chake kikiwa juu ya majani manene ya miti na kwa sababu ulikuwa na kiburi cha urefu wake,

EZE 31:11 Removed trailing space in v~: niliutia mikononi mwa mtawala wa mataifa, ili yeye aushughulikie sawasawa na uovu wake. Nikaukatilia mbali,

EZE 31:12 Removed trailing space in v~: nayo mataifa mageni yaliyo makatili sana yaliukata huo mti na kuuacha. Matawi yake yalianguka juu ya milima na kwenye mabonde yote, vitawi vyake vikavunjika na kusambaa katika makorongo yote ya nchi. Mataifa yote ya duniani yakaondoka kutoka kwenye kivuli chake na kuuacha.

EZE 31:13 Removed trailing space in v~: Ndege wote wa angani wakakaa kwenye ule mti ulioanguka na wanyama pori wote wakakaa katikati ya vitawi vyake.

EZE 31:14 Removed trailing space in v~: Kamwe hakutakuwa na miti mingine kando ya hayo maji itakayorefuka zaidi ya huo, vilele vyake vikiwa juu ya majani yote ya miti. Hakuna miti mingine, hata kama imekunywa maji vizuri namna gani, itakayofikia urefu huo. Yote mwisho wake ni kifo, na kuingia ardhini, kama vile ilivyo kwa wanadamu, pamoja na wale waendao shimoni.

EZE 31:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini\f + \fr 31:15 \ft Yaani Kuzimu, Sheol kwa Kiebrania; pia mstari 16, 17.\f* nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka.

EZE 31:16 Removed trailing space in v~: Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani.

EZE 31:17 Removed trailing space in v~: Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga.

EZE 31:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.

EZE 31:18 Removed trailing space in p~: “ ‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 32:0 Extra space after chapter number

EZE 32:0 Removed trailing space in c: 32

EZE 32:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Kwa Ajili Ya Farao

EZE 32:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, neno la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema:

EZE 32:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Farao mfalme wa Misri na umwambie:

EZE 32:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Wewe ni kama simba miongoni mwa mataifa,

EZE 32:2 Removed trailing space in p~: wewe ni kama joka kubwa baharini,

EZE 32:2 Removed trailing space in p~: unayevuruga maji kwa miguu yako

EZE 32:2 Removed trailing space in p~: na kuchafua vijito.

EZE 32:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 32:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Nikiwa pamoja na wingi mkubwa wa watu

EZE 32:3 Removed trailing space in p~: nitautupa wavu wangu juu yako,

EZE 32:3 Removed trailing space in p~: nao watakukokota katika wavu wangu.

EZE 32:4 Removed trailing space in v~: Nitakutupa nchi kavu

EZE 32:4 Removed trailing space in p~: na kukuvurumisha uwanjani.

EZE 32:4 Removed trailing space in p~: Nitawafanya ndege wote wa angani watue juu yako

EZE 32:4 Removed trailing space in p~: na wanyama wote wa nchi

EZE 32:4 Removed trailing space in p~: watajishibisha nyama yako.

EZE 32:5 Removed trailing space in v~: Nitatawanya nyama yako juu ya milima

EZE 32:5 Removed trailing space in p~: na kujaza mabonde kwa mabaki yako.

EZE 32:6 Removed trailing space in v~: Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka

EZE 32:6 Removed trailing space in p~: njia yote hadi milimani,

EZE 32:6 Removed trailing space in p~: nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.

EZE 32:7 Removed trailing space in v~: Nitakapokuzimisha, nitafunika mbingu

EZE 32:7 Removed trailing space in p~: na kuzitia nyota zake giza;

EZE 32:7 Removed trailing space in p~: nitalifunika jua kwa wingu,

EZE 32:7 Removed trailing space in p~: nao mwezi hautatoa nuru yake.

EZE 32:8 Removed trailing space in v~: Mianga yote itoayo nuru angani

EZE 32:8 Removed trailing space in p~: nitaitia giza juu yako;

EZE 32:8 Removed trailing space in p~: nitaleta giza juu ya nchi yako,

EZE 32:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 32:9 Removed trailing space in v~: Nitaifadhaisha mioyo ya mataifa mengi

EZE 32:9 Removed trailing space in p~: nitakapokuangamiza miongoni mwa mataifa,

EZE 32:9 Removed trailing space in p~: nikikuleta uhamishoni miongoni mwa nchi

EZE 32:9 Removed trailing space in p~: ambazo haujapata kuzijua.

EZE 32:10 Removed trailing space in v~: Nitayafanya mataifa mengi wakustaajabie,

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: wafalme wao watatetemeka

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: kwa hofu kwa ajili yako

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: nitakapotikisa upanga wangu mbele yao.

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: Siku ya anguko lako

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: kila mmoja wao atatetemeka

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: kila dakika kwa ajili ya maisha yake.

EZE 32:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 32:11 Removed trailing space in p~: “ ‘Upanga wa mfalme wa Babeli

EZE 32:11 Removed trailing space in p~: utakuja dhidi yako.

EZE 32:12 Removed trailing space in v~: Nitafanya makundi yako ya wajeuri kuanguka

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: kwa panga za watu mashujaa,

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: taifa katili kuliko mataifa yote.

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: Watakivunjavunja kiburi cha Misri,

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: nayo makundi yake yote

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: ya wajeuri yatashindwa.

EZE 32:13 Removed trailing space in v~: Nitaangamiza mifugo yake yote

EZE 32:13 Removed trailing space in p~: wanaojilisha kando ya maji mengi,

EZE 32:13 Removed trailing space in p~: hayatavurugwa tena kwa mguu wa mwanadamu

EZE 32:13 Removed trailing space in p~: wala kwato za mnyama

EZE 32:13 Removed trailing space in p~: hazitayachafua tena.

EZE 32:14 Removed trailing space in v~: Kisha nitafanya maji yake yatulie

EZE 32:14 Removed trailing space in p~: na kufanya vijito vyake

EZE 32:14 Removed trailing space in p~: vitiririke kama mafuta,

EZE 32:14 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 32:15 Removed trailing space in v~: Nitakapoifanya Misri kuwa ukiwa

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: na kuiondolea nchi kila kitu

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: kilichomo ndani yake,

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: nitakapowapiga wote waishio humo,

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: ndipo watakapojua kuwa

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’

EZE 32:16 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo ombolezo watakalomwimbia. Binti za mataifa wataliimba, kwa kuwa Misri na makundi yake yote ya wajeuri wataliimba, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 32:17 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 32:18 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni.

EZE 32:19 Removed trailing space in v~: Je, ninyi mnamzidi nani kwa uzuri? Shukeni chini! Nanyi mkalazwe pamoja na hao wasiotahiriwa!

EZE 32:20 Removed trailing space in v~: Wataanguka miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga. Upanga umefutwa, mwache aburutwe mbali pamoja na hao wajeuri wake wote.

EZE 32:21 Removed trailing space in v~: Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’

EZE 32:22 Removed trailing space in v~: “Ashuru yuko huko pamoja na jeshi lake lote, amezungukwa na makaburi ya watu wake wote waliouawa, wale wote walioanguka kwa upanga.

EZE 32:23 Removed trailing space in v~: Makaburi yao yako kwenye kina cha chini cha shimo na jeshi lake limelala kulizunguka kaburi lake. Wote waliokuwa wameeneza hofu kuu katika nchi ya walio hai wameuawa, wameanguka kwa upanga.

EZE 32:24 Removed trailing space in v~: “Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni.

EZE 32:25 Removed trailing space in v~: Kitanda kimetandikwa kwa ajili yake miongoni mwa waliouawa, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote ni watu wasiotahiriwa, wameuawa kwa upanga. Kwa sababu vitisho vyao vilienea katika nchi ya walio hai, wameichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni, nao wamewekwa miongoni mwa waliouawa.

EZE 32:26 Removed trailing space in v~: “Mesheki na Tubali wako humo, pamoja na makundi yao ya wajeuri wakiwa wameyazunguka makaburi yao. Wote hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga kwa sababu walieneza vitisho vyao katika nchi ya walio hai.

EZE 32:27 Removed trailing space in v~: Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai.

EZE 32:28 Removed trailing space in v~: “Wewe pia, ee Farao, utavunjwa nawe utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.

EZE 32:29 Removed trailing space in v~: “Edomu yuko humo, wafalme wake wote na wakuu wake wote, ambao ijapokuwa wana nguvu, wamelazwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga. Wamelala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale washukao shimoni.

EZE 32:30 Removed trailing space in v~: “Wakuu wote wa kaskazini na Wasidoni wote wako huko, wameshuka chini pamoja na waliouawa kwa aibu ijapokuwa kuna vitisho vilivyosababishwa na nguvu zao. Wamelala bila kutahiriwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga na kuchukua aibu yao pamoja na wale washukao chini shimoni.

EZE 32:31 Removed trailing space in v~: “Farao, yeye pamoja na jeshi lake lote, atakapowaona atafarijiwa kwa ajili ya makundi yake yote ya wajeuri, wale waliouawa kwa upanga, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 32:32 Removed trailing space in v~: Ingawa nilimfanya Farao aeneze vitisho vyake katika nchi ya walio hai, Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri watalazwa miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 33:0 Extra space after chapter number

EZE 33:0 Removed trailing space in c: 33

EZE 33:0 Removed trailing space in s1: Wajibu Wa Ezekieli Kuwa Mlinzi Kwa Watu Wake

EZE 33:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 33:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sema na watu wako uwaambie, ‘Nitakapoleta upanga dhidi ya nchi, nao watu wa nchi wakamchagua mmoja wa watu wao na kumfanya awe mlinzi wao,

EZE 33:3 Removed trailing space in v~: naye auonapo upanga unakuja dhidi ya nchi na kupiga tarumbeta kuonya watu,

EZE 33:4 Removed trailing space in v~: kama mtu yeyote asikiapo sauti ya tarumbeta hakukubali kuonywa, basi upanga ujapo na kuutoa uhai wake, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.

EZE 33:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa alisikia sauti ya tarumbeta lakini hakukubali maonyo, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe. Kama angekubali maonyo, angelijiokoa mwenyewe.

EZE 33:6 Removed trailing space in v~: Lakini kama mlinzi akiona upanga unakuja na asipige tarumbeta kuonya watu na upanga ukija na kutoa uhai wa mmoja wao, yule mtu ataondolewa kwa sababu ya dhambi yake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwa mlinzi huyo.’

EZE 33:7 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nimekufanya wewe kuwa mlinzi kwa ajili ya nyumba ya Israeli, kwa hiyo sikia neno nisemalo na uwape maonyo kutoka kwangu.

EZE 33:8 Removed trailing space in v~: Nimwambiapo mtu mwovu, ‘Ewe mtu mwovu, hakika utakufa,’ nawe hukusema neno la kumwonya ili atoke katika njia zake, yule mtu mwovu atakufa kwa ajili ya dhambi yake, mimi nitaitaka damu yake mkononi mwako.

EZE 33:9 Removed trailing space in v~: Lakini kama utamwonya huyo mtu mwovu aache njia zake mbaya naye hafanyi hivyo, atakufa kwa ajili ya dhambi yake, lakini utakuwa umejiokoa mwenyewe.

EZE 33:10 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sema na nyumba ya Israeli uwaambie, ‘Hili ndilo mnalosema: “Makosa yetu na dhambi zetu zimetulemea, nasi tunadhoofika kwa sababu ya hayo. Tutawezaje basi kuishi?” ’

EZE 33:11 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Hakika kama mimi niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, sifurahii kifo cha watu waovu, bali kwamba wageuke kutoka njia zao mbaya wapate kuishi. Geukeni! Geukeni kutoka njia zenu mbaya! Kwa nini mkafe, ee nyumba ya Israeli?’

EZE 33:12 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, mwanadamu, waambie watu wako, ‘Haki ya mtu mwenye haki haitamwokoa wakati anapoacha kutii, wala uovu wa mtu mwovu hautamsababisha yeye kuanguka anapotubu na kuacha uovu. Mtu mwenye haki, kama akitenda dhambi, hataishi kwa sababu ya uadilifu wake wa awali.’

EZE 33:13 Removed trailing space in v~: Kama nikimwambia mtu mwenye haki kwamba hakika utaishi, lakini akategemea hiyo haki yake na kutenda uovu, hakuna tendo lolote la haki alilotenda litakalokumbukwa, atakufa kwa ajili ya uovu alioutenda.

EZE 33:14 Removed trailing space in v~: Nami kama nikimwambia mtu mwovu, ‘Hakika utakufa,’ kisha akageuka kutoka dhambi yake na kufanya lile lililo haki na sawa,

EZE 33:15 Removed trailing space in v~: kama akirudisha kile alichochukua rehani kwa ajili ya deni, akarudisha alichoiba na kufuata amri zile ziletazo uzima, wala hafanyi uovu, hakika ataishi, hatakufa.

EZE 33:16 Removed trailing space in v~: Hakuna dhambi yoyote aliyoitenda itakayokumbukwa juu yake. Ametenda lile lililo haki na sawa, hakika ataishi.

EZE 33:17 Removed trailing space in v~: “Lakini watu wako wanasema, ‘Njia ya Bwana si sawa.’ Lakini ni njia zao ambazo si sawa.

EZE 33:18 Removed trailing space in v~: Kama mtu mwenye haki akigeuka kutoka uadilifu wake na kufanya uovu, atakufa kwa ajili ya huo uovu.

EZE 33:19 Removed trailing space in v~: Naye mtu mwovu kama akigeuka kutoka uovu wake na kufanya lile lililo haki na sawa, kwa kufanya hivyo ataishi.

EZE 33:20 Removed trailing space in v~: Lakini, ee nyumba ya Israeli, unasema, ‘Njia ya Bwana si sawa.’ Lakini nitamhukumu kila mmoja wenu sawasawa na njia zake mwenyewe.”

EZE 33:20 Removed trailing space in s1: Anguko La Yerusalemu Laelezewa

EZE 33:21 Removed trailing space in v~: Mwaka wa kumi na mbili wa uhamisho wetu, mwezi wa kumi, siku ya tano, mtu aliyekuwa ametoroka kutoka Yerusalemu akanijia na kusema, “Mji wa Yerusalemu umeanguka!”

EZE 33:22 Removed trailing space in v~: Basi jioni kabla mtu huyo hajaja, mkono wa \nd Bwana\nd*, ulikuwa juu yangu, naye alifungua kinywa changu kabla ya mtu yule aliyenijia asubuhi hajafika. Basi kinywa changu kilifunguliwa na sikuweza tena kunyamaza.

EZE 33:23 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 33:24 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, watu wanaoishi katika magofu hayo katika nchi ya Israeli wanasema hivi, ‘Abrahamu alikuwa mtu mmoja tu, hata hivyo akaimiliki nchi. Lakini sisi ni wengi, hakika tumepewa nchi kuwa milki yetu.’

EZE 33:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa mnakula nyama pamoja na damu na kuinulia sanamu zenu macho na kumwaga damu, je, mtaimiliki nchi?

EZE 33:26 Removed trailing space in v~: Mnategemea panga zenu, mnafanya mambo ya machukizo na kila mmoja wenu humtia unajisi mke wa jirani yake. Je, mtaimiliki nchi?’

EZE 33:27 Removed trailing space in v~: “Waambie hivi: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Hakika kama niishivyo, wale waliobaki katika magofu wataanguka kwa upanga, wale walio nje mashambani nitawatoa wararuliwe na wanyama pori, nao wale walio katika ngome na kwenye mapango watakufa kwa tauni.

EZE 33:28 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nchi kuwa ukiwa na utupu na kiburi cha nguvu zake zitafikia mwisho, nayo milima ya Israeli itakuwa ukiwa ili mtu yeyote asipite huko.

EZE 33:29 Removed trailing space in v~: Kisha watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapokuwa nimeifanya nchi kuwa ukiwa na utupu kwa sababu ya mambo yote ya machukizo waliyotenda.’

EZE 33:30 Removed trailing space in v~: “Kwa habari yako wewe, mwanadamu, watu wako wanaongea habari zako wakiwa karibu na kuta na kwenye milango ya nyumba, wakiambiana kila mmoja na mwenzake, ‘Njooni msikie ujumbe ule utokao kwa \nd Bwana\nd*.’

EZE 33:31 Removed trailing space in v~: Watu wangu wanakujia, kama wafanyavyo, nao wanaketi mbele yako kama watu wangu na kusikiliza maneno yako, lakini hawayatendi. Kwa maana udanganyifu u katika midomo yao, lakini mioyo yao ina tamaa ya faida isiyo halali.

EZE 33:32 Removed trailing space in v~: Naam, mbele yao umekuwa tu kama yeye aimbaye nyimbo za mapenzi kwa sauti nzuri za kuvutia na kupiga vyombo kwa ustadi, kwa kuwa wanasikia maneno yako lakini hawayatendi.

EZE 33:33 Removed trailing space in v~: “Wakati mambo haya yote yatakapotimia, kwa kuwa hakika yatatokea, ndipo watakapojua kwamba nabii amekuwepo miongoni mwao.”

EZE 34:0 Extra space after chapter number

EZE 34:0 Removed trailing space in c: 34

EZE 34:0 Removed trailing space in s1: Wachungaji Na Kondoo

EZE 34:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 34:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tabiri juu ya wachungaji wa Israeli, tabiri na uwaambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ole wa wachungaji wa Israeli ambao hujitunza wenyewe tu! Je, haiwapasi wachungaji kutunza kundi la kondoo?

EZE 34:3 Removed trailing space in v~: Mnakula mafuta ya wanyama, mnavaa mavazi ya sufu na kuchinja kondoo walionona, lakini hamlitunzi kundi.

EZE 34:4 Removed trailing space in v~: Hamkuwatia nguvu walio dhaifu wala hamkuwaganga wenye maradhi wala kuwafunga waliojeruhiwa. Hamkuwarudisha waliotangatanga wala kuwatafuta wale waliopotea. Badala yake mmewatawala kwa ukali na kwa ukatili.

EZE 34:5 Removed trailing space in v~: Hivyo walitawanyika kwa sababu hapakuwepo mchungaji, nao walipotawanyika, wakawa chakula cha wanyama wa mwitu wote.

EZE 34:6 Removed trailing space in v~: Kondoo wangu walitawanyika, wakatangatanga kwenye milima yote na kwenye kila kilima kirefu. Kondoo wangu walitawanyika juu ya uso wa dunia yote bila kuwa na yeyote wa kuwaulizia wala wa kuwatafuta.

EZE 34:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, ninyi wachungaji, lisikieni neno la \nd Bwana\nd*:

EZE 34:8 Removed trailing space in v~: Kwa hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, kwa sababu kondoo zangu wamekosa mchungaji na hivyo wametekwa nyara na kuwa chakula cha wanyama wote wa mwituni na kwa sababu wachungaji wangu, hawakuwatafuta kondoo zangu, bali wachungaji wamejitunza wenyewe, nao hawakuwalisha kondoo zangu,

EZE 34:9 Removed trailing space in v~: kwa hiyo enyi wachungaji, sikieni neno la \nd Bwana\nd*:

EZE 34:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na wachungaji nami nitawadai kondoo zangu mikononi mwao. Nitawafukuza kutoka kwenye kuchunga kundi langu, ili wachungaji wasiendelee kujitunza wenyewe. Nitaokoa kondoo zangu kutoka kwenye vinywa vyao, nao kondoo hawatakuwa tena chakula chao.

EZE 34:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitawaulizia kondoo wangu na kuwatafuta.

EZE 34:12 Removed trailing space in v~: Kama vile mchungaji atafutavyo kundi lake lililotawanyika wakati akiwa pamoja nalo, hivyo ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu. Nitawaokoa kutoka mahali pote walipokuwa wametawanyikia katika siku ya mawingu na giza nene.

EZE 34:13 Removed trailing space in v~: Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mbalimbali, nami nitawaleta katika nchi yao wenyewe. Nitawalisha kwenye milima ya Israeli, katika mabonde na mahali pote panapokalika katika nchi.

EZE 34:14 Removed trailing space in v~: Nitawachunga kwenye malisho mazuri na miinuko ya mlima wa Israeli patakuwa mahali pao pa malisho. Huko watajipumzisha kwa amani katika nchi ya malisho mazuri, nao watajilisha huko katika malisho tele katika milima ya Israeli.

EZE 34:15 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nitawachunga kondoo zangu na kuwafanya wapumzike, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 34:16 Removed trailing space in v~: Nitawaulizia kondoo waliopotea na kuwaleta waliotangatanga. Nitawafunga waliojeruhiwa na kuwatia nguvu walio dhaifu lakini wale waliojikinai na wenye nguvu nitawaangamiza. Nitalichunga kundi kwa haki.

EZE 34:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa habari yenu, enyi kundi langu, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo dume na mbuzi.

EZE 34:18 Removed trailing space in v~: Je, haiwatoshi ninyi kujilisha kwenye malisho mazuri? Je, ni lazima ninyi kuyakanyaga pia malisho yenu yaliyobaki kwa miguu yenu? Je, haiwatoshi ninyi kunywa maji safi? Je, ni lazima kuyachafua maji mengine kwa miguu yenu?

EZE 34:19 Removed trailing space in v~: Je, ni lazima kundi langu wajilishe kwa yale mliyoyakanyaga na kunywa maji mliyoyachafua kwa miguu yenu?

EZE 34:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi awaambialo: Tazama, mimi mwenyewe nitahukumu kati ya kondoo wanono na waliokonda.

EZE 34:21 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mmewapiga kikumbo na kuwapiga kwa pembe zenu kondoo wote walio dhaifu mpaka wakawafukuza,

EZE 34:22 Removed trailing space in v~: nitaliokoa kundi langu na hawatatekwa nyara tena. Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo.

EZE 34:23 Removed trailing space in v~: Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi, naye atawachunga, atawachunga na kuwa mchungaji wao.

EZE 34:24 Removed trailing space in v~: Mimi \nd Bwana\nd* nitakuwa Mungu wao, naye mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu miongoni mwao. Mimi \nd Bwana\nd* nimenena.

EZE 34:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitafanya nao Agano la amani na kuwaondoa wanyama wa mwitu kutoka nchi yao ili kondoo wangu waweze kupumzika nyikani na msituni kwa salama.

EZE 34:26 Removed trailing space in v~: Nitawabariki wao pamoja na maeneo yanayozunguka kilima changu. Nitawanyeshea mvua kwa majira yake, kutakuwepo mvua za baraka.

EZE 34:27 Removed trailing space in v~: Miti ya shambani itatoa matunda yake na ardhi itatoa mazao yake, watu watakaa salama katika nchi yao. Watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapovunja vifungo vya nira zao na kuwaokoa kutoka mikono ya wale waliowafanya watumwa.

EZE 34:28 Removed trailing space in v~: Hawatatekwa tena nyara na mataifa, wala wanyama pori hawatawala tena. Wataishi kwa salama, wala hakuna yeyote atakayewatia hofu.

EZE 34:29 Removed trailing space in v~: Nitawapa nchi yenye sifa kutokana na mazao yake, hawatapatwa na njaa katika nchi tena wala hawatadharauliwa na mataifa.

EZE 34:30 Removed trailing space in v~: Ndipo watakapojua kuwa Mimi, \nd Bwana\nd*, Mungu wao, niko pamoja nao, na kwamba wao, nyumba ya Israeli, ni watu wangu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 34:31 Removed trailing space in v~: Ninyi ni kondoo wangu, kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wangu, nami ni Mungu wenu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 35:0 Extra space after chapter number

EZE 35:0 Removed trailing space in c: 35

EZE 35:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Edomu

EZE 35:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 35:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake

EZE 35:3 Removed trailing space in v~: na useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume nawe, ee mlima Seiri, nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yako na kukufanya ukiwa na usiyekaliwa na watu wala kulimika.

EZE 35:4 Removed trailing space in v~: Nitaifanya miji yako kuwa magofu nawe utakuwa ukiwa. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 35:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu ulificha moyoni uadui wa siku nyingi nawe ukawatoa Waisraeli wauawe kwa upanga wakati wa maafa yao, wakati adhabu yake ilipofikia kilele chake,

EZE 35:6 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitakutia katika umwagaji damu nao utakufuatia. Kwa kuwa hakuchukia kumwaga damu, kumwaga damu kutakufuatia.

EZE 35:7 Removed trailing space in v~: Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda.

EZE 35:8 Removed trailing space in v~: Nitaijaza milima yenu kwa watu wake waliouawa, wale waliouawa kwa upanga wataanguka juu ya vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo yako yote.

EZE 35:9 Removed trailing space in v~: Nitakufanya ukiwa milele, watu hawataishi katika miji yako. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 35:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu umesema, “Mataifa haya mawili na nchi hizi zitakuwa zetu nasi tutazimiliki,” ingawa hata mimi \nd Bwana\nd* nilikuwa huko,

EZE 35:11 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni mwao wakati nitakapokuhukumu.

EZE 35:12 Removed trailing space in v~: Ndipo utakapojua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimesikia mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.”

EZE 35:13 Removed trailing space in v~: Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia.

EZE 35:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Wakati dunia yote inashangilia nitakufanya ukiwa.

EZE 35:15 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, ee mlima Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 36:0 Extra space after chapter number

EZE 36:0 Removed trailing space in c: 36

EZE 36:0 Removed trailing space in s1: Unabii Kwa Milima Ya Israeli

EZE 36:1 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, itabirie milima ya Israeli na useme, ‘Ee milima ya Israeli, sikieni neno la \nd Bwana\nd*.

EZE 36:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu adui wanasema juu yako, “Aha! Mahali palipoinuka pa zamani pamekuwa milki yetu.” ’

EZE 36:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tabiri na useme, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu wamewafanya ukiwa na kuwagandamiza kila upande ili mpate kuwa milki ya mataifa mengine na kuwa kitu cha kusimangwa na kudhihakiwa miongoni mwa watu,

EZE 36:4 Removed trailing space in v~: kwa hiyo, ee milima ya Israeli, sikieni neno la \nd Bwana\nd* Mwenyezi: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kwa milima na vilima, kwa makorongo na mabonde, kwa mahame yaliyo ukiwa, miji iliyoachwa ambayo imetekwa nyara na kudharauliwa na mataifa mengine yanayowazunguka,

EZE 36:5 Removed trailing space in v~: hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika wivu wangu uwakao nimenena dhidi ya mataifa mengine na dhidi ya Edomu yote, kwa maana kwa furaha na hila katika mioyo yao waliifanya nchi yangu kuwa milki yao ili wapate kuteka nyara sehemu yake ya malisho.’

EZE 36:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tabiri kuhusu nchi ya Israeli na uiambie milima na vilima, makorongo na vijito na mabonde: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninanena katika wivu wa ghadhabu yangu kwa sababu mmedharauliwa na mataifa.

EZE 36:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninaapa kwa mkono wangu ulioinuliwa kwamba mataifa wanaowazunguka nao pia watadharauliwa.

EZE 36:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini ninyi, ee milima ya Israeli, mtatoa matawi na matunda kwa ajili ya watu wangu Israeli, kwa sababu hivi karibuni watakuja nyumbani.

EZE 36:9 Removed trailing space in v~: Mimi ninawajibika nanyi na nitawaangalia kwa upendeleo, mtalimwa na kupandwa mbegu,

EZE 36:10 Removed trailing space in v~: nami nitaizidisha idadi ya watu kwenu, naam, nyumba yote ya Israeli. Miji itakaliwa na watu na magofu yatajengwa upya.

EZE 36:11 Removed trailing space in v~: Nitaongeza idadi ya watu na wanyama juu yenu, nao watazaana sana na kuwa wengi mno. Nitawakalisha watu ndani yenu kama ilivyokuwa wakati uliopita, nami nitawafanya mfanikiwe kuliko hapo kwanza. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 36:12 Removed trailing space in v~: Nitawafanya watu, watu wangu Israeli, kutembea juu yenu. Watawamiliki ninyi, nanyi mtakuwa urithi wao, kamwe hamtawaondolea tena watoto wao.

EZE 36:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu watu wanakuambia, “Unawala watu na kuliondolea taifa lako watoto wake,”

EZE 36:14 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hutakula tena watu wala kulifanya tena taifa lako lisiwe na watoto, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 36:15 Removed trailing space in v~: Sitakufanya tena usikie dhihaka za mataifa, wala kudharauliwa na kabila za watu, wala kulifanya taifa lako lianguke, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 36:16 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia tena, kusema:

EZE 36:17 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nyumba ya Israeli walipokuwa wakiishi katika nchi yao wenyewe, waliinajisi kwa mwenendo wao na matendo yao. Mwenendo wao mbele zangu ulikuwa kama mwanamke aliye katika hedhi.

EZE 36:18 Removed trailing space in v~: Hivyo nilimwaga ghadhabu yangu juu yao kwa sababu walikuwa wamemwaga damu katika nchi na kwa sababu walikuwa wameitia nchi unajisi kwa sanamu zao.

EZE 36:19 Removed trailing space in v~: Nikawatawanya miongoni mwa mataifa, nao wakaenda huku na huko katika nchi mbalimbali, nikawahukumu sawasawa na mwenendo wao na matendo yao.

EZE 36:20 Removed trailing space in v~: Tena popote walipokwenda miongoni mwa mataifa walilitia unajisi Jina langu takatifu, kwa kuwa watu walisema kuwahusu, ‘Hawa ndio watu wa \nd Bwana\nd*, lakini imewapasa kuondoka katika nchi yake.’

EZE 36:21 Removed trailing space in v~: Lakini niliwahurumia kwa ajili ya Jina langu takatifu, ambalo nyumba ya Israeli imelitia unajisi miongoni mwa mataifa huko walikokwenda.

EZE 36:22 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Si kwa ajili yako, ee nyumba ya Israeli, kwamba ninafanya mambo haya, bali ni kwa ajili ya Jina langu takatifu, ambalo mmelitia unajisi miongoni mwa mataifa mliyoyaendea.

EZE 36:23 Removed trailing space in v~: Nitauonyesha utakatifu wa Jina langu kuu, ambalo limetiwa unajisi miongoni mwa mataifa, jina ambalo limetiwa unajisi miongoni mwao. Ndipo mataifa watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitakapojionyesha mwenyewe kuwa mtakatifu kwa kuwapitia ninyi mbele ya macho yao.

EZE 36:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa nitawaondoa ninyi toka mataifa, nitawakusanya kutoka nchi zote na kuwarudisha kwenye nchi yenu wenyewe.

EZE 36:25 Removed trailing space in v~: Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi, nitawatakasa kutoka uchafu wenu wote na kutoka sanamu zenu zote.

EZE 36:26 Removed trailing space in v~: Nitawapa moyo mpya na kuweka roho mpya ndani yenu, nitaondoa ndani yenu moyo wenu wa jiwe na kuwapa moyo wa nyama.

EZE 36:27 Removed trailing space in v~: Nami nitaweka Roho yangu ndani yenu na kuwafanya ninyi mfuate amri zangu na kuwafanya kuwa waangalifu kuzishika sheria zangu.

EZE 36:28 Removed trailing space in v~: Mtaishi katika nchi niliyowapa baba zenu, ninyi mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.

EZE 36:29 Removed trailing space in v~: Nitawaokoa ninyi kutoka unajisi wenu wote. Nitaiita nafaka na kuiongeza iwe nyingi sana nami sitaleta njaa juu yenu.

EZE 36:30 Removed trailing space in v~: Nitaongeza matunda ya miti na mazao ya mashamba, ili kwamba msipate tena aibu miongoni mwa mataifa kwa ajili ya njaa.

EZE 36:31 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakapozikumbuka njia zenu za uovu na matendo yenu maovu, nanyi mtajichukia wenyewe kwa ajili ya dhambi zote na matendo yenu ya kuchukiza.

EZE 36:32 Removed trailing space in v~: Ninataka ninyi mjue kwamba sifanyi hili kwa ajili yenu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Oneni aibu na mkatahayari kwa ajili ya mwenendo wenu, ee nyumba ya Israeli!

EZE 36:33 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Siku ile nitakapowasafisha kutoka dhambi zenu zote, nitarudisha watu waishi katika miji yenu na magofu yatajengwa upya.

EZE 36:34 Removed trailing space in v~: Nchi iliyokuwa ukiwa italimwa badala ya kukaa ukiwa machoni mwa wale wote wanaopita ndani yake.

EZE 36:35 Removed trailing space in v~: Watasema, “Hii nchi iliyokuwa imeachwa ukiwa sasa imekuwa kama bustani ya Edeni, miji ile iliyokuwa magofu, ukiwa na kuangamizwa, sasa imejengewa ngome na kukaliwa na watu.”

EZE 36:36 Removed trailing space in v~: Ndipo mataifa yanayowazunguka yaliyobakia watakapojua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimejenga tena kile kilichoharibiwa na nimepanda tena kile kilichokuwa ukiwa. Mimi \nd Bwana\nd* nimenena, nami nitalifanya.’

EZE 36:37 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mara nyingine tena nitasikia maombi ya nyumba ya Israeli na kuwatendea jambo hili: Nitawafanya watu wake kuwa wengi kama kondoo,

EZE 36:38 Removed trailing space in v~: kuwa wengi kama kundi la kondoo kwa ajili ya dhabihu huko Yerusalemu wakati wa sikukuu zao za wakati ulioamriwa. Hivyo ndivyo miji iliyokuwa magofu itajazwa na makundi ya watu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 37:0 Extra space after chapter number

EZE 37:0 Removed trailing space in c: 37

EZE 37:0 Removed trailing space in s1: Bonde La Mifupa Mikavu

EZE 37:1 Removed trailing space in v~: Mkono wa \nd Bwana\nd* ulikuwa juu yangu, naye akanitoa nje kwa Roho wa \nd Bwana\nd* na kuniweka katikati ya bonde lililokuwa limejaa mifupa tele.

EZE 37:2 Removed trailing space in v~: Akanipitisha pande zote kwenye hiyo mifupa, nami nikaona mifupa mingi sana ndani ya lile bonde, mifupa iliyokuwa imekauka sana.

EZE 37:3 Removed trailing space in v~: Akaniuliza, “Mwanadamu, mifupa hii yaweza kuishi?”

EZE 37:3 Removed trailing space in p~: Nikajibu, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, wewe peke yako wajua.”

EZE 37:4 Removed trailing space in v~: Ndipo akaniambia, “Itabirie mifupa hii na uiambie, ‘Enyi mifupa mikavu, sikieni neno la \nd Bwana\nd*!

EZE 37:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kwa hii mifupa: Nitatia pumzi\f + \fr 37:5 \ft Pumzi pia ina maana ya roho kwa Kiebrania.\f* ndani yenu, nanyi mtaishi.

EZE 37:6 Removed trailing space in v~: Nitawawekea mishipa, nami nitaifanya nyama ije juu yenu na kuwafunika kwa ngozi. Nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtakuwa hai. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 37:7 Removed trailing space in v~: Basi nikatabiri kama nilivyoamriwa. Wakati nilipokuwa ninatabiri, kukawa na sauti, sauti ya kugongana, nayo mifupa ikasogeleana, mfupa kwa mfupa mwenziwe.

EZE 37:8 Removed trailing space in v~: Nikatazama, mishipa na nyama vikatokea juu ya mifupa na ngozi ikaifunika, lakini hapakuwepo pumzi ndani yake.

EZE 37:9 Removed trailing space in v~: Ndipo aliponiambia, “Utabirie upepo, tabiri, mwanadamu na uuambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Njoo kutoka pande nne, ee pumzi, nawe upulizie pumzi ndani ya hawa waliouawa, ili wapate kuishi.’ ”

EZE 37:10 Removed trailing space in v~: Hivyo nikatabiri kama alivyoniamuru, nayo pumzi ikawaingia, wakawa hai na wakasimama kwa miguu yao, jeshi kubwa mno.

EZE 37:11 Removed trailing space in v~: Ndipo akaniambia: “Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli. Nao wanasema, ‘Mifupa yetu imekauka na tumaini letu limetoweka, tumekatiliwa mbali.’

EZE 37:12 Removed trailing space in v~: Hivyo watabirie na uwaambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Enyi watu wangu, nitayafunua makaburi yenu na kuwatoa ndani yake, nami nitawarudisha tena katika nchi ya Israeli.

EZE 37:13 Removed trailing space in v~: Ndipo ninyi watu wangu, mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapoyafunua makaburi yenu na kuwatoa humo.

EZE 37:14 Removed trailing space in v~: Nitatia Roho yangu ndani yenu nanyi mtaishi, nami nitawakalisha katika nchi yenu wenyewe. Ndipo mtakapojua kwamba Mimi \nd Bwana\nd* nimenena, nami nitalitenda, asema \nd Bwana\nd*!’ ”

EZE 37:14 Removed trailing space in s1: Taifa Moja Chini Ya Mfalme Mmoja

EZE 37:15 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 37:16 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, chukua fimbo na uandike juu yake, ‘Hii ni kwa ajili ya Yuda na Waisraeli waliofungamana naye.’ Kisha chukua fimbo nyingine, uandike juu yake, ‘Fimbo ya Efraimu, ni kwa ajili ya Yosefu na nyumba yote ya Israeli wanaofungamana naye.’

EZE 37:17 Removed trailing space in v~: Ziunganishe pamoja kuwa fimbo moja ili kwamba ziwe fimbo moja katika mkono wako.

EZE 37:18 Removed trailing space in v~: “Watu wako watakapokuuliza, ‘Je, hutatuambia ni nini maana ya jambo hili?’

EZE 37:19 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaichukua fimbo ya Yosefu, iliyoko mikononi mwa Efraimu na ya makabila ya Israeli yanayofungamana naye na kuiunganisha na fimbo ya Yuda, nikizifanya kuwa fimbo moja, nao watakuwa wamoja katika mkono wangu.’

EZE 37:20 Removed trailing space in v~: Inua mbele ya macho yao zile fimbo ulizoziandika

EZE 37:21 Removed trailing space in v~: kisha waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitawatoa Waisraeli katika mataifa walikokuwa wamekwenda. Nitawakusanya popote walipo na kuwarudisha katika nchi yao wenyewe.

EZE 37:22 Removed trailing space in v~: Nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi, katika milima ya Israeli. Patakuwa na mfalme mmoja juu yao wote na kamwe hawatagawanyika tena kuwa mataifa mawili au kugawanyika katika falme mbili.

EZE 37:23 Removed trailing space in v~: Hawatajitia tena unajisi kwa sanamu zao na vinyago vyao visivyo na maana wala kwa makosa yao yoyote, kwa maana nitawaokoa kutoka dhambi zao zote zilizowarudisha nyuma, nami nitawatakasa. Wao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.

EZE 37:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme juu yao, nao wote watakuwa na mchungaji mmoja. Watafuata sheria zangu na kuzishika amri zangu kwa uangalifu.

EZE 37:25 Removed trailing space in v~: Wataishi katika nchi niliyompa mtumishi wangu Yakobo, nchi ambamo baba zenu waliishi. Wao na watoto wao na watoto wa watoto wao wataishi humo milele, naye Daudi mtumishi wangu atakuwa mkuu wao milele.

EZE 37:26 Removed trailing space in v~: Nitafanya nao Agano la amani, litakuwa Agano la milele. Nitawafanya imara na kuongeza idadi yao, nami nitaweka mahali patakatifu pangu miongoni mwao milele.

EZE 37:27 Removed trailing space in v~: Maskani yangu yatakuwa pamoja nao, nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.

EZE 37:28 Removed trailing space in v~: Ndipo mataifa watakapojua kwamba Mimi \nd Bwana\nd* ndiye ninayeifanya Israeli kuwa takatifu, wakati mahali patakatifu pangu patakapokuwa miongoni mwao milele.’ ”

EZE 38:0 Extra space after chapter number

EZE 38:0 Removed trailing space in c: 38

EZE 38:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Gogu

EZE 38:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 38:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya Gogu, katika nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali, tabiri dhidi yake

EZE 38:3 Removed trailing space in v~: na useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ee Gogu, mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.

EZE 38:4 Removed trailing space in v~: Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukutia ndoana kwenye mataya yako na kukutoa nje wewe pamoja na jeshi lako lote, yaani, farasi wako, wapanda farasi wako waliojiandaa tayari kwa vita, pamoja na kundi kubwa la wajeuri wakiwa na ngao na vigao, wote wakipunga panga zao.

EZE 38:5 Removed trailing space in v~: Uajemi, Kushi\f + \fr 38:5 \ft Kushi ni Ethiopia.\f* na Putu watakuwa pamoja nao, wote wakiwa na ngao na kofia za chuma,

EZE 38:6 Removed trailing space in v~: pia Gomeri pamoja na vikosi vyake vyote, na Beth-Togarma kutoka kaskazini ya mbali pamoja na vikosi vyake vyote, mataifa mengi wakiwa pamoja nawe.

EZE 38:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Jiandae, uwe tayari, wewe na makundi yako yote ya wajeuri yaliyokusanyika pamoja nawe, nawe waamrishe.

EZE 38:8 Removed trailing space in v~: Baada ya siku nyingi utaitwa vitani. Katika miaka ijayo, utaivamia nchi ile ambayo imepona kutoka vita, ambayo watu wake walikusanywa kutoka mataifa mengi kuja katika milima ya Israeli, ambayo kwa muda mrefu ilikuwa imeachwa ukiwa. Wameletwa kutoka mataifa na sasa wote wanaishi katika hali ya salama.

EZE 38:9 Removed trailing space in v~: Wewe na vikosi vyako vyote na mataifa mengi yaliyo pamoja nawe mtapanda juu, mtawazoa kama tufani na kuifunika nchi kama wingu.

EZE 38:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mawazo yataingia moyoni mwako nawe utapanga mipango mibaya.

EZE 38:11 Removed trailing space in v~: Utasema, “Nitapigana vita na nchi ambayo vijiji vyake havina maboma. Nitawashambulia watu wanaoishi kwa amani na wasiotarajia vita: wote wanaishi bila maboma na bila malango na makomeo.

EZE 38:12 Removed trailing space in v~: Nitateka mateka na kuchukua nyara mali za wale waliorudi kuishi katika mahame na wale watu waliokusanywa kutoka kwa mataifa, ambao sasa wana mifugo na mali nyingi, wanaoishi katikati ya nchi.”

EZE 38:13 Removed trailing space in v~: Sheba na Dedani pamoja na wafanyabiashara wa Tarshishi na vijiji vyake vyote watakuambia, “Je, umekuja kuteka mateka? Je, umekusanya makundi yako ya wajeuri ili kuchukua nyara mali, kutwaa fedha na dhahabu, kutunyangʼanya mifugo na mali na kuteka nyara nyingi zaidi?” ’

EZE 38:14 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, mwanadamu, tabiri na umwambie Gogu: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika siku ile, watu wangu Israeli watakapokuwa wanaishi salama, Je, wewe mwenyewe hutalijua hilo?

EZE 38:15 Removed trailing space in v~: Utakuja kutoka kwako huko kaskazini ya mbali, ukiwa pamoja na mataifa mengi, wote wakiwa wamepanda farasi, kundi kubwa, jeshi kuu.

EZE 38:16 Removed trailing space in v~: Utakuja dhidi ya watu wangu Israeli kama wingu lifunikavyo nchi. Siku zijazo, ee Gogu, nitakuleta wewe dhidi ya nchi yangu, ili kwamba mataifa wapate kunijua Mimi nitakapojionyesha mtakatifu kwa kukupitia wewe mbele ya macho yao.

EZE 38:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Je, wewe si yule niliyenena juu yako katika siku za zamani kwa kupitia kwa watumishi wangu manabii wa Israeli? Wakati ule walitabiri kwa miaka mingi kwamba ningekuleta upigane nao.

EZE 38:18 Removed trailing space in v~: Hili ndilo litakalotokea katika siku ile: Gogu atakaposhambulia nchi ya Israeli, hasira yangu kali itaamka, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 38:19 Removed trailing space in v~: Katika wivu wangu na ghadhabu yangu kali ninasema kuwa wakati ule patakuwepo tetemeko kuu katika nchi ya Israeli.

EZE 38:20 Removed trailing space in v~: Samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kondeni, kila kiumbe kitambaacho ardhini, na watu wote walio juu ya uso wa nchi watatetemeka mbele zangu. Milima itapinduka, majabali yatapasuka na kila ukuta utaanguka chini.

EZE 38:21 Removed trailing space in v~: Nitaita upanga vita dhidi ya Gogu juu ya milima yangu yote, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Upanga wa kila mtu utakuwa dhidi ya ndugu yake.

EZE 38:22 Removed trailing space in v~: Nitatekeleza hukumu juu yake kwa tauni na kwa umwagaji wa damu. Nitaifanya mvua ya mafuriko kunyesha, mvua ya mawe na moto wa kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya mataifa mengi walio pamoja naye.

EZE 38:23 Removed trailing space in v~: Nami hivyo ndivyo nitakavyoonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu, nami nitajijulisha mbele ya macho ya mataifa mengi. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’

EZE 39:0 Extra space after chapter number

EZE 39:0 Removed trailing space in c: 39

EZE 39:0 Removed trailing space in s1: Majeshi Ya Gogu Yataangamizwa

EZE 39:1 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ee Gogu mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.

EZE 39:2 Removed trailing space in v~: Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukuburuta. Nitakuleta kutoka kaskazini ya mbali na kukupeleka wewe dhidi ya milima ya Israeli.

EZE 39:3 Removed trailing space in v~: Kisha nitaupiga upinde wako kutoka mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale ianguke kutoka mkono wako wa kuume.

EZE 39:4 Removed trailing space in v~: Utaanguka kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa aina zote walao nyama na cha wanyama wa mwituni.

EZE 39:5 Removed trailing space in v~: Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 39:6 Removed trailing space in v~: Nitatuma moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 39:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitalifanya Jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha tena Jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mataifa watajua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* ndimi Aliye Mtakatifu wa Israeli.

EZE 39:8 Removed trailing space in v~: Hili jambo linakuja! Hakika litatokea, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Hii ndiyo siku ile niliyosema habari zake.

EZE 39:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Ndipo wale wanaoishi katika miji ya Israeli watakapotoka na kutumia hizo silaha kuwashia moto na kuziteketeza, yaani, kigao na ngao, pinde na mishale, rungu za vita na mikuki. Kwa miaka saba watavitumia kama kuni.

EZE 39:10 Removed trailing space in v~: Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka mashambani wala kukata kuni kutoka kwenye misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. Nao watawateka mateka wale waliowateka na kuchukua nyara mali za wale waliochukua mali zao nyara, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 39:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio upande wa mashariki kuelekea baharini. Jambo hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na makundi yake yote ya wajeuri watazikwa huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu.\f + \fr 39:11 \ft Hamon-Gogu maana yake Makundi ya wajeuri wa Gogu.\f*

EZE 39:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi.

EZE 39:13 Removed trailing space in v~: Watu wote wa nchi watawazika, nayo siku nitakayotukuzwa itakuwa siku ya kumbukumbu kwa ajili yao, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 39:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wataajiriwa mara kwa mara kuisafisha nchi. Baadhi yao watapita nchini kote na zaidi yao hao wengine, watawazika wale waliosalia juu ya uso wa nchi. Mwisho wa hiyo miezi saba wataanza upekuzi wao.

EZE 39:15 Removed trailing space in v~: Wakati wanapopita nchini kote na mmoja wao akaona mfupa wa mwanadamu, ataweka alama kando yake mpaka wachimba kaburi wawe wameuzika katika Bonde la Hamon-Gogu.

EZE 39:16 Removed trailing space in v~: (Pia mji uitwao Hamona\f + \fr 39:16 \ft Hamona maana yake Kundi (la wajeuri).\f* utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’

EZE 39:17 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ita kila aina ya ndege na wanyama wote wa mwituni, waambie: ‘Kusanyikeni mje pamoja kutoka pande zote kwa ajili ya dhabihu ninayowaandalia, dhabihu kuu katika milima ya Israeli. Huko mtakula nyama na kunywa damu.

EZE 39:18 Removed trailing space in v~: Mtakula nyama za watu mashujaa na kunywa damu za wakuu wa dunia kana kwamba ni za kondoo dume na kondoo wake, mbuzi na mafahali, wote walionona kutoka Bashani.

EZE 39:19 Removed trailing space in v~: Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe.

EZE 39:20 Removed trailing space in v~: Kwenye meza yangu watajishibisha kwa farasi na wapanda farasi, watu mashujaa na askari wa kila aina,’ asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 39:21 Removed trailing space in v~: “Nitauonyesha utukufu wangu miongoni mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona adhabu nitakayotoa na mkono wangu nitakaouweka juu yao.

EZE 39:22 Removed trailing space in v~: Kuanzia siku ile na kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wao.

EZE 39:23 Removed trailing space in v~: Na mataifa watajua kuwa nyumba ya Israeli walikwenda utumwani kwa ajili ya dhambi yao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu. Hivyo niliwaficha uso wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao, nao wote wakaanguka kwa upanga.

EZE 39:24 Removed trailing space in v~: Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.

EZE 39:25 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya Jina langu takatifu.

EZE 39:26 Removed trailing space in v~: Wataisahau aibu yao na jinsi walivyoonyesha kutokuwa waaminifu kwangu mimi wakati waliishi salama katika nchi yao, bila kuwa na mtu yeyote wa kuwatia hofu.

EZE 39:27 Removed trailing space in v~: Nitakapokuwa nimewarudisha kutoka mataifa na kuwakusanya kutoka nchi za adui zao, mimi nitajionyesha kuwa mtakatifu kwa kupitia kwao machoni mwa mataifa mengi.

EZE 39:28 Removed trailing space in v~: Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wao, ingawa niliwapeleka uhamishoni miongoni mwa mataifa, nitawakusanya tena katika nchi yao wenyewe, bila kumwacha yeyote nyuma.

EZE 39:29 Removed trailing space in v~: Sitawaficha tena uso wangu, kwa maana nitamimina Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 41:0 Extra space after chapter number

EZE 41:0 Removed trailing space in c: 41

EZE 41:1 Removed trailing space in v~: Kisha yule mtu akanileta katika sehemu ya nje ya patakatifu, naye akaipima miimo; upana wake ulikuwa dhiraa sita\f + \fr 41:1 \ft Dhiraa 6 ni sawa na mita 2.7.\f* kila upande.

EZE 41:2 Removed trailing space in v~: Ingilio lilikuwa la upana wa dhiraa kumi na kuta zilizojitokeza kila upande zilikuwa na upana wa dhiraa tano. Pia akapima sehemu ya nje ya patakatifu, nayo ilikuwa na urefu wa dhiraa arobaini\f + \fr 41:2 \ft Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.\f* na upana wa dhiraa ishirini.

EZE 41:3 Removed trailing space in v~: Kisha akaingia sehemu takatifu ndani ya Hekalu na kupima miimo ya ingilio, kila mmoja ulikuwa na upana wa dhiraa mbili. Ingilio lilikuwa na upana wa dhiraa sita, na kuta zilizotokeza kila upande zilikuwa na upana wa dhiraa saba.\f + \fr 41:3 \ft Dhiraa 7 ni sawa na mita 3.15.\f*

EZE 41:4 Removed trailing space in v~: Naye akapima urefu wa sehemu takatifu ndani, nao ulikuwa dhiraa ishirini, na upana wake ulikuwa dhiraa ishirini hadi mwisho wa sehemu ya nje ya sehemu takatifu. Akaniambia, “Hapa ndipo Patakatifu pa Patakatifu.”

EZE 41:5 Removed trailing space in v~: Kisha akapima ukuta wa Hekalu, nao ulikuwa na unene wa dhiraa sita, na kila chumba cha pembeni kuzunguka Hekalu kilikuwa na upana wa dhiraa nne.

EZE 41:6 Removed trailing space in v~: Vyumba vya pembeni vilikuwa na ghorofa tatu, kimoja juu ya kingine, kila ghorofa ilikuwa na vyumba thelathini. Kulikuwa na boriti katika ukuta wote wa Hekalu ili kuimarisha vyumba vya pembeni, kwa hiyo boriti hizo hazikushikamanishwa kwenye ukuta wa Hekalu.

EZE 41:7 Removed trailing space in v~: Vyumba vya pembeni vilivyozunguka Hekalu vilizidi kupanuka kulingana na sakafu zilivyokwenda juu. Ujenzi uliozunguka Hekalu ulijengwa kukwea juu, kwa hiyo vyumba vilipanuka kwa kadiri ya kila kimoja kilivyokwenda juu. Ngazi za kupandia zilianzia sakafu ya chini hadi sakafu ya juu kabisa kwa kupitia sakafu ya kati.

EZE 41:8 Removed trailing space in v~: Nikaona pia kuwa Hekalu lilikuwa na kitako kilichoinuliwa pande zote, huu ulikuwa ndio msingi wa vile vyumba vya pembeni ambao ulikuwa na urefu wa ule ufito mmoja wa kupimia, yaani, dhiraa ndefu sita.

EZE 41:9 Removed trailing space in v~: Ukuta wa nje wa vyumba vya pembeni ulikuwa na unene wa dhiraa tano. Eneo la wazi katikati ya vyumba vya pembeni vya Hekalu

EZE 41:10 Removed trailing space in v~: na vyumba vya makuhani lilikuwa na upana wa dhiraa ishirini kuzunguka Hekalu pande zote.

EZE 41:11 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na maingilio kwenye vyumba vya pembeni kutokea eneo lililo wazi, moja upande wa kaskazini na lingine upande wa kusini, nao msingi uliounganisha lile eneo la wazi ulikuwa na upana wa dhiraa tano ukilizunguka lote.

EZE 41:12 Removed trailing space in v~: Jengo lililoelekeana na ua wa Hekalu upande wa magharibi lilikuwa na upana wa dhiraa sabini. Ukuta wa jengo hilo ulikuwa na unene wa dhiraa tano, kulizunguka lote, urefu ulikuwa wa dhiraa tisini.\f + \fr 41:12 \ft Dhiraa 90 ni sawa na mita 40.5.\f*

EZE 41:13 Removed trailing space in v~: Kisha akapima Hekalu, lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na ua wa Hekalu na jengo pamoja na kuta zake vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja pia.

EZE 41:14 Removed trailing space in v~: Upana wa ua wa Hekalu upande wa mashariki, pamoja na upande wa mbele wa Hekalu ulikuwa dhiraa mia moja.

EZE 41:15 Removed trailing space in v~: Kisha akapima urefu wa jengo linaloelekeana na ua upande wa nyuma wa Hekalu, pamoja na vyumba vyake kila upande, ilikuwa dhiraa mia moja.

EZE 41:15 Removed trailing space in p~: Sehemu takatifu ya nje, sehemu takatifu ya ndani, pamoja na baraza inayoelekeana na ukumbi,

EZE 41:16 Removed trailing space in v~: pamoja na vizingiti, madirisha membamba na vyumba vyote vitatu, kila kimoja pamoja na kizingiti vilifunikwa kwa mbao. Sakafu, ukuta mpaka kwenye madirisha na madirisha yenyewe vilifunikwa kwa mbao.

EZE 41:17 Removed trailing space in v~: Katika nafasi iliyokuwa juu ya upande wa nje wa ingilio la sehemu takatifu ya ndani, na katika kuta zilizozunguka sehemu takatifu ya ndani na sehemu takatifu ya nje, kwa nafasi zilizo sawa,

EZE 41:18 Removed trailing space in v~: kulinakshiwa makerubi na miti ya mitende. Miti ya mitende ilikuwa kati ya kerubi na kerubi. Kila kerubi alikuwa na nyuso mbili:

EZE 41:19 Removed trailing space in v~: upande mmoja uso wa mwanadamu kuelekea mti wa mtende na upande mwingine uso wa simba ukielekea mti mwingine wa mtende. Ilinakshiwa kuzunguka Hekalu lote.

EZE 41:20 Removed trailing space in v~: Kuanzia sakafu mpaka eneo lililo juu ya ingilio, palinakshiwa makerubi na miti ya mitende pamoja na kwenye ukuta wa nje wa patakatifu.

EZE 41:21 Removed trailing space in v~: Mahali patakatifu pa nje palikuwa na miimo ya mlango uliokuwa mraba na ule uliokuwa katika Patakatifu Pa Patakatifu ulikuwa unafanana na huo mwingine.

EZE 41:22 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na madhabahu ya mbao kimo chake dhiraa tatu na ilikuwa dhiraa mbili mraba pande zote, tako lake na pande zake zilikuwa za mbao. Yule mtu akaniambia, “Hii ni meza ambayo iko mbele za \nd Bwana\nd*.”

EZE 41:23 Removed trailing space in v~: Mahali patakatifu pa nje na Patakatifu Pa Patakatifu zilikuwa na milango miwili.

EZE 41:24 Removed trailing space in v~: Kila mlango ulikuwa na vipande viwili, vipande viwili vilivyoshikwa na bawaba vyenye kufunguka kwa kila mlango.

EZE 41:25 Removed trailing space in v~: Juu ya hiyo milango ya Patakatifu palinakshiwa makerubi na miti ya mitende kama yale yaliyonakshiwa kwenye kuta, na kulikuwa na ubao ulioningʼinia mbele ya baraza kwa nje.

EZE 41:26 Removed trailing space in v~: Katika kuta za pembeni za ukumbi kulikuwa na madirisha membamba yaliyonakshiwa miti ya mitende kila upande. Vyumba vya pembeni vya Hekalu pia vilikuwa vimefunikwa kwa mbao.

EZE 42:0 Extra space after chapter number

EZE 42:0 Removed trailing space in c: 42

EZE 42:0 Removed trailing space in s1: Vyumba Vya Makuhani

EZE 42:1 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtu akaniongoza kuelekea kaskazini mpaka kwenye ua wa nje na kunileta mpaka kwenye vyumba vinavyoelekeana na ua wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje upande wa kaskazini.

EZE 42:2 Removed trailing space in v~: Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.

EZE 42:3 Removed trailing space in v~: Mbele ya zile dhiraa ishirini za ule ua wa ndani unaoelekeana na ile njia ya ua wa nje, kuliinuka vyumba virefu kimoja baada ya kingine vya ghorofa tatu.

EZE 42:4 Removed trailing space in v~: Mbele ya hivi vyumba kulikuwa na njia ya ndani yenye upana wa dhiraa kumi na urefu wa dhiraa mia moja. Milango yake ilikuwa upande wa kaskazini.

EZE 42:5 Removed trailing space in v~: Basi vyumba vya juu vilikuwa vyembamba zaidi, kwa kuwa ujia\f + \fr 42:5 \fq Ujia \ft ina maana ya njia ndani ya nyumba.\f* ulichukua nafasi zaidi ndani yake kuliko katika vyumba vya sakafu ya chini na vya katikati ya jengo.

EZE 42:6 Removed trailing space in v~: Vyumba katika ghorofa ya tatu havikuwa na nguzo, kama kumbi zilivyokuwa nazo, kwa hiyo eneo la sakafu ya vyumba vya juu lilikuwa ni dogo kuliko la sakafu ya chini na ya kati.

EZE 42:7 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini.

EZE 42:8 Removed trailing space in v~: Wakati safu ya vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu zaidi na Hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja.

EZE 42:9 Removed trailing space in v~: Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.

EZE 42:10 Removed trailing space in v~: Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba

EZE 42:11 Removed trailing space in v~: vyenye ujia unayopita mbele yake. Hivi vilifanana na vile vyumba vya upande wa kaskazini, vilikuwa na urefu na upana ulio sawa, mahali pa kutokea na vipimo vyake vilikuwa sawa. Kama ilivyokuwa milango ya upande wa kaskazini,

EZE 42:12 Removed trailing space in v~: ndivyo ilivyokuwa milango ya vyumba vya upande wa kusini. Kulikuwa na ingilio kuanzia mwanzo wa njia ambao ulikuwa sambamba na ukuta wa pili uliokuwa upande wa mashariki, ambako ndiko kwa kuingia vyumbani.

EZE 42:13 Removed trailing space in v~: Kisha akaniambia, “Vyumba vya upande wa kaskazini na vya upande wa kusini ambavyo vinaelekeana na ukumbi wa Hekalu ni vyumba vya makuhani, mahali ambapo wale makuhani ambao humkaribia \nd Bwana\nd* watakula zile sadaka takatifu sana. Huko ndiko watakakoweka zile sadaka takatifu sana, yaani, sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia, kwa kuwa mahali ni patakatifu.

EZE 42:14 Removed trailing space in v~: Mara makuhani waingiapo mahali patakatifu, hawaruhusiwi kwenda kwenye ukumbi wa nje mpaka wayaache mavazi ambayo walivaa wakiwa wanahudumu, kwa kuwa hayo mavazi ni matakatifu. Inawapasa kuvaa mavazi mengine kabla hawajakaribia eneo lililo wazi kwa ajili ya watu.”

EZE 42:15 Removed trailing space in v~: Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:

EZE 42:16 Removed trailing space in v~: Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 500\f + \fr 42:16 \ft Dhiraa 500 ni sawa na mita 225.\f*

EZE 42:17 Removed trailing space in v~: Akapima upande wa kaskazini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.

EZE 42:18 Removed trailing space in v~: Tena akapima upande wa kusini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.

EZE 42:19 Removed trailing space in v~: Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.

EZE 42:20 Removed trailing space in v~: Hivyo akapima eneo katika pande zote nne. Lilikuwa na ukuta kulizunguka wenye urefu wa dhiraa 500 na upana wa dhiraa 500, uliotenganisha mahali Patakatifu na eneo la watu wote.

EZE 43:0 Extra space after chapter number

EZE 43:0 Removed trailing space in c: 43

EZE 43:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Warudi Hekaluni

EZE 43:1 Removed trailing space in v~: Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,

EZE 43:2 Removed trailing space in v~: nami nikaona utukufu wa Mungu wa Israeli ukija kutoka upande wa mashariki. Sauti yake ilikuwa kama ya ngurumo ya maji yaendayo kasi, nayo nchi ikangʼaa kwa utukufu wake.

EZE 43:3 Removed trailing space in v~: Maono niliyoyaona yalikuwa kama maono yale niliyokuwa nimeyaona wakati Mungu alipokuja kuangamiza mji na kama maono niliyokuwa nimeyaona kando ya Mto wa Kebari, nami nikaanguka kifudifudi.

EZE 43:4 Removed trailing space in v~: Utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaingia hekaluni kwa kupitia lango linaloelekea upande wa mashariki.

EZE 43:5 Removed trailing space in v~: Kisha Roho akanichukua na kunileta katika ule ua wa ndani, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ulilijaza Hekalu.

EZE 43:6 Removed trailing space in v~: Wakati yule mtu akiwa amesimama kando yangu, nilisikia mtu mmoja akisema nami kutoka ndani ya Hekalu.

EZE 43:7 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mwanadamu, hapa ni mahali pa kiti changu cha enzi na mahali pa kuweka nyayo za miguu yangu. Hapa ndipo nitakapoishi miongoni mwa Waisraeli milele. Kamwe nyumba ya Israeli hawatalinajisi tena Jina langu takatifu, yaani, wao wala wafalme wao, kwa ukahaba wao na kwa sanamu zao zisizokuwa na uhai za wafalme wao katika mahali pao pa juu pa kuabudia miungu.

EZE 43:8 Removed trailing space in v~: Walipoweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu na miimo yao ya milango karibu na miimo yangu, pakiwa na ukuta tu kati yangu na wao, walilinajisi Jina langu takatifu kwa matendo yao ya machukizo. Kwa sababu hiyo niliwaangamiza kwa hasira yangu.

EZE 43:9 Removed trailing space in v~: Basi sasa na waweke mbali nami ukahaba wao na sanamu za wafalme wao zisizo na uhai, nami nitakaa miongoni mwao milele.

EZE 43:10 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elezea hilo Hekalu kwa watu wa Israeli, ili wapate kuona aibu kwa ajili ya dhambi zao. Wao na wapime hicho kielelezo.

EZE 43:11 Removed trailing space in v~: Wakishaona aibu kwa ajili ya yale yote waliyotenda, wafahamishe kielelezo cha hilo Hekalu, yaani mpangilio wake, maingilio yake ya kutoka na kuingia, kielelezo chake chote, na masharti yake yote na sheria zake zote. Yaandike haya mbele yao ili wapate kuwa waaminifu kwa hicho kielelezo chake na kufuata masharti yake yote.

EZE 43:12 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo sheria ya Hekalu: Eneo lote linalozunguka Hekalu juu ya mlima litakuwa takatifu kuliko yote. Hii ndiyo sheria ya Hekalu.

EZE 43:12 Removed trailing space in s1: Madhabahu

EZE 43:13 Removed trailing space in v~: “Hivi ndivyo vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ndefu, yaani, dhiraa moja na nyanda nne:\f + \fr 43:13 \ft Dhiraa 1 na nyanda 4 ni sawa na sentimita 53.\f* Tako lake liwe na kina cha hiyo dhiraa moja na upana wa hiyo dhiraa moja, ikiwa na ukingo wa shibiri moja\f + \fr 43:13 \ft Shibiri 1 ni sawa na sentimita 22.5.\f* kuizunguka pembeni. Hiki kitakuwa ndicho kimo cha madhabahu:

EZE 43:14 Removed trailing space in v~: Kimo cha msingi kuanzia usawa wa ardhi mpaka kwenye mfereji sehemu ya chini kimo chake ni dhiraa mbili na upana wake ni dhiraa moja na kuanzia kwenye ukingo mdogo hadi kwenye ukingo mpana kimo chake ni dhiraa nne na upana wake ni dhiraa moja.

EZE 43:15 Removed trailing space in v~: Pale pawashwapo moto madhabahuni kimo chake kitakuwa dhiraa nne, na pembe nne zinazoelekeza juu kutoka pale pawashwapo moto.

EZE 43:16 Removed trailing space in v~: Pale pawashwapo moto pa madhabahu ni mraba, urefu wake ni dhiraa kumi na mbili\f + \fr 43:16 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.\f* na upana wa dhiraa kumi na mbili.

EZE 43:17 Removed trailing space in v~: Pia sehemu ya juu ni mraba, urefu wake dhiraa kumi na nne na upana wa dhiraa kumi na nne, ikiwa na ukingo wa nusu dhiraa na mfereji kuizunguka madhabahu. Ngazi za kupandia madhabahuni zitaelekea upande wa mashariki.”

EZE 43:18 Removed trailing space in v~: Kisha akaniambia, “Mwanadamu, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Haya ndiyo yatakayokuwa masharti ya kutoa dhabihu za kuteketezwa na kunyunyiza damu juu ya madhabahu itakapokuwa imejengwa.

EZE 43:19 Removed trailing space in v~: Utatoa fahali mchanga kuwa sadaka ya dhambi kwa makuhani, ambao ni Walawi, wa jamaa ya Sadoki, ndio watakaonikaribia kuhudumu mbele zangu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 43:20 Removed trailing space in v~: Itakupasa kuchukua baadhi ya hiyo damu ya mnyama huyo na kuiweka juu ya hizo pembe nne za madhabahu na juu ya ncha zake nne za sehemu ya juu kuzunguka ukingo wote, ili kuitakasa madhabahu na kufanya upatanisho kwa ajili yake.

EZE 43:21 Removed trailing space in v~: Itakupasa kumchukua huyo fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi na kumteketeza mahali palipoagizwa katika eneo la Hekalu nje ya mahali Patakatifu.

EZE 43:22 Removed trailing space in v~: “Siku ya pili yake utamtoa beberu asiye na dosari kwa ajili ya sadaka ya dhambi, nayo madhabahu itatakaswa kama ilivyotakaswa kwa yule fahali.

EZE 43:23 Removed trailing space in v~: Utakapokuwa umemaliza kazi ya kuitakasa, utamtoa fahali mchanga pamoja na kondoo dume toka kwenye kundi, wote wawe hawana dosari.

EZE 43:24 Removed trailing space in v~: Utawatoa mbele za \nd Bwana\nd*, nao makuhani watanyunyizia chumvi juu yao na kuwatoa kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd*.

EZE 43:25 Removed trailing space in v~: “Kwa siku saba itakupasa kutoa beberu kila siku kwa ajili ya sadaka ya dhambi, pia itakupasa kutoa fahali mchanga na kondoo dume kutoka zizini, wote wawe hawana dosari.

EZE 43:26 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba itawapasa kufanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu na kuitakasa na hivyo ndivyo watakavyoiweka wakfu.

EZE 43:27 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa hizi siku saba, kuanzia siku ya nane na kuendelea, itawapasa makuhani kutoa sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya madhabahu. Kisha nitawakubali ninyi, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 44:0 Extra space after chapter number

EZE 44:0 Removed trailing space in c: 44

EZE 44:0 Removed trailing space in s1: Mkuu, Walawi, Makuhani

EZE 44:1 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtu akanirudisha mpaka kwenye lango la nje la mahali Patakatifu, lile linaloelekea upande wa mashariki, nalo lilikuwa limefungwa.

EZE 44:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Lango hili litabaki limefungwa. Haliruhusiwi kufunguliwa, wala hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kuingilia kwenye lango hili. Litabaki limefungwa kwa sababu \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ameingia kwa kupitia lango hili.

EZE 44:3 Removed trailing space in v~: Yeye aliye mkuu peke yake ndiye anayeweza kukaa penye njia ya hilo lango na kula chakula mbele za \nd Bwana\nd*. Itampasa aingie kwa njia hiyo ya lango la ukumbini na kutokea njia iyo hiyo.”

EZE 44:4 Removed trailing space in v~: Kisha yule mtu akanileta kwa njia ya lango la kaskazini mpaka mbele ya Hekalu. Nikatazama nami nikauona utukufu wa \nd Bwana\nd* ukilijaza Hekalu la \nd Bwana\nd*, nami nikaanguka kifudifudi.

EZE 44:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa uangalifu, usikilize kwa bidii na uzingatie kila kitu ninachokuambia kuhusu masharti yote yanayohusu Hekalu la \nd Bwana\nd*. Uwe mwangalifu kuhusu wale wanaoruhusiwa hekaluni na wale wasioruhusiwa kuingia mahali patakatifu.

EZE 44:6 Removed trailing space in v~: Iambie nyumba ya kuasi ya Israeli, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Matendo yenu ya machukizo yatosha, ee nyumba ya Israeli!

EZE 44:7 Removed trailing space in v~: Zaidi ya matendo yenu yote ya machukizo, mmewaleta wageni wasiotahiriwa mioyo na miili katika patakatifu pangu, mkilinajisi Hekalu langu, huku mkinitolea chakula, mafuta ya wanyama na damu, nanyi mmevunja Agano langu.

EZE 44:8 Removed trailing space in v~: Badala ya kutimiza wajibu wenu kuhusiana na vitu vyangu vitakatifu, mmeweka watu wengine kuwa viongozi katika patakatifu pangu.

EZE 44:9 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Hakuna mgeni asiyetahiriwa moyo na mwilini anayeruhusiwa kuingia patakatifu pangu, wala hata wageni wanaoishi miongoni mwa Waisraeli.

EZE 44:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Walawi walioniacha wakati Waisraeli walipopotoka wakatoka kwangu na kutangatanga kwa kufuata sanamu zao, watachukua adhabu ya dhambi zao.

EZE 44:11 Removed trailing space in v~: Wanaweza wakatumika katika mahali patakatifu pangu, wakiwa na uangalizi wa malango ya Hekalu, nao watachinja sadaka za kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu na kusimama mbele ya watu ili kuwahudumia.

EZE 44:12 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu waliwatumikia watu mbele ya sanamu zao na kuifanya nyumba ya Israeli ianguke kwenye dhambi, kwa hiyo nimeapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba ni lazima wachukue matokeo ya dhambi yao, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 44:13 Removed trailing space in v~: Hawaruhusiwi kukaribia ili kunitumikia kama makuhani wala kukaribia chochote changu kilicho kitakatifu au sadaka iliyo takatifu kupita zote, bali watachukua aibu ya matendo yao ya kuchukiza.

EZE 44:14 Removed trailing space in v~: Lakini nitawaweka katika uangalizi wa Hekalu na kazi zote zile zinazotakiwa kufanyika ndani yake.

EZE 44:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini makuhani, ambao ni Walawi na wazao wa Sadoki, ambao walitimiza wajibu wao kwa uaminifu katika patakatifu pangu wakati Waisraeli walipopotoka, watakaribia ili kutumika mbele zangu. Itawapasa wasimame mbele zangu ili kutoa dhabihu za mafuta ya wanyama na damu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 44:16 Removed trailing space in v~: Wao peke yao ndio wenye ruhusa ya kuingia mahali patakatifu pangu. Wao peke yao ndio watakaokaribia meza yangu ili kuhudumu mbele zangu na kufanya utumishi wangu.

EZE 44:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Watakapoingia kwenye malango ya ukumbi wa ndani, watavaa nguo za kitani safi, hawaruhusiwi kamwe kuvaa mavazi ya sufu wakati wanapokuwa wakihudumu kwenye malango ya ukumbi wa ndani wala ndani ya Hekalu.

EZE 44:18 Removed trailing space in v~: Watavaa vilemba vya kitani safi vichwani mwao na nguo za ndani za kitani safi viunoni mwao. Hawatavaa chochote kitakachowafanya kutoa jasho.

EZE 44:19 Removed trailing space in v~: Watakapotoka ili kuingia katika ukumbi wa nje mahali watu walipo, watavua nguo walizokuwa wakihudumu nazo na wataziacha katika vyumba vitakatifu nao watavaa nguo nyingine, ili kwamba wasije wakaambukiza watu utakatifu kwa njia ya mavazi yao.

EZE 44:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Hawatanyoa nywele za vichwa vyao wala kuziacha ziwe ndefu, bali watazipunguza.

EZE 44:21 Removed trailing space in v~: Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.

EZE 44:22 Removed trailing space in v~: Wasioe wanawake wajane wala walioachika, inawapasa kuoa wanawake bikira wenye heshima wa Israeli au wajane wa makuhani.

EZE 44:23 Removed trailing space in v~: Watawafundisha watu wangu tofauti kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida na kuwaonyesha jinsi ya kupambanua kati ya vitu najisi na vitu safi.

EZE 44:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika magombano yoyote, makuhani watatumika kama mahakimu na kuamua hilo jambo kufuatana na sheria zangu. Watazishika sheria zangu na maagizo yangu katika sikukuu zangu zote zilizoamriwa, nao watatakasa Sabato zangu.

EZE 44:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani asijitie unajisi kwa kukaribia maiti, lakini, kama mtu aliyekufa alikuwa baba yake au mama yake, mwana au binti yake, ndugu yake au dada ambaye hajaolewa, basi aweza kujitia unajisi kwa hao.

EZE 44:26 Removed trailing space in v~: Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.

EZE 44:27 Removed trailing space in v~: Siku atakapoingia katika ukumbi wa ndani wa mahali patakatifu ili kuhudumu, atatoa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 44:28 Removed trailing space in v~: “ ‘Mimi nitakuwa ndio urithi pekee walio nao makuhani katika Israeli. Msiwape wao milki, mimi nitakuwa milki yao.

EZE 44:29 Removed trailing space in v~: Wao watakula sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia na kila kitu kitakachotolewa kwa \nd Bwana\nd* katika Israeli kitakuwa chao.

EZE 44:30 Removed trailing space in v~: Yote yaliyo bora ya malimbuko ya vitu vyote na matoleo yenu maalum vitakuwa vya makuhani. Inawapasa kuwapa malimbuko ya kwanza ya unga wenu ili kwamba baraka ipate kuwa katika nyumba zenu.

EZE 44:31 Removed trailing space in v~: Makuhani hawaruhusiwi kula chochote, ikiwa ni ndege au mnyama, aliyekutwa akiwa amekufa au aliyeraruliwa na wanyama pori.

EZE 45:0 Extra space after chapter number

EZE 45:0 Removed trailing space in c: 45

EZE 45:0 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi

EZE 45:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtakapogawa nchi kuwa urithi, mtaitoa sehemu ya nchi kwa \nd Bwana\nd* kuwa eneo takatifu, urefu wake dhiraa 25,000,\f + \fr 45:1 \ft Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.\f* upana wake dhiraa 20,000\f + \fr 45:1 \ft Dhiraa 20,000 ni sawa na kilomita 9.\f* eneo hili lote litakuwa takatifu.

EZE 45:2 Removed trailing space in v~: Katika hiyo, itakuwepo sehemu mraba ambayo ni mahali patakatifu kila upande dhiraa 500 ikiwa imezungukwa na eneo la wazi lenye upana wa dhiraa hamsini.

EZE 45:3 Removed trailing space in v~: Katika eneo takatifu, pima sehemu yenye urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.\f + \fr 45:3 \ft Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.\f* Ndani ya hilo eneo kutakuwa mahali patakatifu, Patakatifu pa Patakatifu.

EZE 45:4 Removed trailing space in v~: Itakuwa sehemu takatifu ya nchi kwa ajili ya makuhani, wale wanaohudumu ndani ya mahali patakatifu na ambao hukaribia ili kuhudumu mbele za \nd Bwana\nd*. Patakuwa mahali pa nyumba zao pamoja na sehemu kwa ajili ya mahali patakatifu.

EZE 45:5 Removed trailing space in v~: Eneo la urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000 litakuwa la Walawi wale wanaotumika hekaluni, kama milki yao kwa ajili ya miji ya kuishi.

EZE 45:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Utatoa mji kama mali yao wenye upana wa dhiraa 5,000\f + \fr 45:6 \ft Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.\f* na urefu wa dhiraa 25,000, karibu na sehemu takatifu, itakuwa mali ya nyumba yote ya Israeli.

EZE 45:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Mkuu anayetawala atakuwa na lile eneo linalopakana na lile eneo lililowekwa wakfu upande huu na upande huu na eneo la mji. Eneo la mji litaenea upande wa magharibi kuanzia upande wa magharibi na upande wa mashariki kuanzia upande wa mashariki, likiendelea kwa urefu kutoka magharibi hadi mpaka wa mashariki sambamba na mojawapo ya sehemu za makabila.

EZE 45:8 Removed trailing space in v~: Nchi hii itakuwa milki yake katika Israeli. Nao wakuu wangu hawataonea tena watu wangu bali watairuhusu nyumba ya Israeli kuimiliki nchi kulingana na makabila yao.

EZE 45:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Yatosha, enyi wakuu wa Israeli! Acheni mbali ukatili wenu na uonevu wenu mkafanye lile lililo haki na sawa. Acheni kuwatoza watu wangu isivyo haki, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 45:10 Removed trailing space in v~: Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa\f + \fr 45:10 \ft Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambacho ni sawa na omeri 10; efa 1 ni sawa na kilo 22.\f* na bathi.\f + \fr 45:10 \ft Bathi ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vya humiminika ambacho ni sawa na 1/10 ya homeri; homeri 1 ni bathi 10 au efa 10.\f*

EZE 45:11 Removed trailing space in v~: Efa na bathi viwe sawa, bathi iwe sehemu ya kumi ya homeri na efa iwe sehemu ya kumi ya homeri, homeri itakuwa ndicho kiwango cha kukubalika kwa vyote viwili.

EZE 45:12 Removed trailing space in v~: Shekeli moja itakuwa gera ishirini.\f + \fr 45:12 \ft Gera 20 ni sawa na shekeli 1.\f* Shekeli ishirini, jumlisha na shekeli ishirini na tano, jumlisha na shekeli kumi na tano zitakuwa mina moja.\f + \fr 45:12 \ft Mina 1 hapa ni sawa na shekeli 60; mina ya kawaida ilikuwa sawa na shekeli 50.\f*

EZE 45:12 Removed trailing space in s1: Sadaka Na Siku Takatifu

EZE 45:12 Removed trailing space in r: (Kutoka 12:1-20; Walawi 23:33-43)

EZE 45:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo toleo maalum mtakalotoa: moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya ngano na moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya shayiri.

EZE 45:14 Removed trailing space in v~: Sehemu ya mafuta iliyoamriwa, yaliyopimwa kwa bathi, ni sehemu ya kumi ya bathi kutoka kila kori moja\f + \fr 45:14 \ft Kori 1 ni sawa na bathi 10 au homeri 1.\f* (ambayo ina bathi kumi au homeri moja.)

EZE 45:15 Removed trailing space in v~: Pia kondoo mmoja atachukuliwa kutoka kwenye kila kundi la kondoo mia mbili kutoka kwenye malisho yaliyonyeshewa vizuri ya Israeli. Hivi vitatumika kwa ajili ya sadaka ya nafaka, sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani ili kufanya upatanisho kwa ajili ya watu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 45:16 Removed trailing space in v~: Watu wote wa nchi wataungana pamoja na mkuu anayetawala Israeli ili kutoa hii sadaka maalum.

EZE 45:17 Removed trailing space in v~: Huu utakuwa ndio wajibu wa mkuu anayetawala kutoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kwenye sikukuu, Mwezi Mwandamo na Sabato, kwenye sikukuu zote zilizoamriwa za nyumba ya Israeli. Atatoa sadaka za dhambi, sadaka za nafaka, sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nyumba ya Israeli.

EZE 45:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya huo mwezi utamchukua fahali mchanga asiye na dosari na kutakasa mahali patakatifu.

EZE 45:19 Removed trailing space in v~: Kuhani itampasa achukue sehemu ya hiyo damu ya sadaka ya dhambi na kuipaka kwenye miimo ya Hekalu, kwenye pembe nne za juu za ukingo wa hayo madhabahu na juu ya miimo ya lango la ukumbi wa ndani.

EZE 45:20 Removed trailing space in v~: Itakupasa kufanya vivyo hivyo katika siku ya saba ya mwezi huo kwa ajili ya mtu yeyote ambaye hutenda dhambi bila kukusudia au bila kujua, hivyo utafanya upatanisho kwa ajili ya Hekalu.

EZE 45:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika mwezi wa kwanza siku ya kumi na nne utaadhimisha Pasaka. Sikukuu itaendelea kwa siku saba, wakati huo wa hizo siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.

EZE 45:22 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo mkuu anayetawala atatoa fahali kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu wote wa nchi.

EZE 45:23 Removed trailing space in v~: Kila siku wakati wa hizo siku saba za sikukuu atatoa mafahali saba na kondoo dume saba wasio na dosari kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd* na beberu kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

EZE 45:24 Removed trailing space in v~: Pia atatoa sadaka ya nafaka efa moja kwa kila fahali na efa moja kwa kila kondoo dume, pamoja na hini moja\f + \fr 45:24 \ft Hini ni kipimo cha kupimia vitu vya humiminika chenye ujazo wa 1/6 ya bathi, na ni sawa na lita 4.\f* ya mafuta kwa kila efa.

EZE 45:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati wa hizo siku saba za sikukuu, ambayo huanza katika mwezi wa saba kwenye siku ya kumi na tano, mkuu anayetawala atatoa mahitaji yale yale kwa ajili ya sadaka za dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta.

EZE 46:0 Extra space after chapter number

EZE 46:0 Removed trailing space in c: 46

EZE 46:0 Removed trailing space in s1: Sheria Nyingine Mbalimbali

EZE 46:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Lango la ukumbi wa ndani linaloelekea upande wa mashariki litakuwa linafungwa kwa siku sita za juma, ila siku ya Sabato na siku ya Mwezi Mwandamo litafunguliwa.

EZE 46:2 Removed trailing space in v~: Mkuu anayetawala ataingia kupitia baraza ya njia ya lango la ukumbi na kusimama karibu na nguzo ya lango. Makuhani watatoa sadaka za mkuu anayetawala za kuteketezwa na sadaka za amani. Mkuu anayetawala atasujudu kwenye kizingiti cha njia ya lango, kisha atatoka nje, lakini lango halitafungwa mpaka jioni.

EZE 46:3 Removed trailing space in v~: Siku za Sabato na za Mwezi mwandamo watu wote wa nchi wataabudu mbele za \nd Bwana\nd* penye lile ingilio la ile njia.

EZE 46:4 Removed trailing space in v~: Sadaka ya kuteketezwa aletazo mkuu anayetawala kwa \nd Bwana\nd* siku ya Sabato itakuwa ni wana-kondoo sita na kondoo dume mmoja, wote wasiwe na dosari.

EZE 46:5 Removed trailing space in v~: Sadaka ya nafaka inayotolewa pamoja na huyo kondoo dume itakuwa efa moja na sadaka ya nafaka inayotolewa na hao wana-kondoo itakuwa kiasi apendacho mtu pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.

EZE 46:6 Removed trailing space in v~: Siku ya mwezi mwandamo atatoa fahali mchanga, wana-kondoo sita na kondoo dume, wote wasiwe na dosari.

EZE 46:7 Removed trailing space in v~: Atatoa kuwa sadaka ya nafaka efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja na kondoo dume mmoja na pamoja na wana-kondoo kama atakavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.

EZE 46:8 Removed trailing space in v~: Wakati mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo.

EZE 46:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati watu wa nchi wanapokuja mbele za \nd Bwana\nd* katika sikukuu zilizoamriwa, yeyote aingiaye kwa lango la kaskazini kuabudu atatoka nje kwa lango la kusini na yeyote aingiaye kwa lango la kusini atatoka nje kwa lango la kaskazini. Hakuna mtu yeyote atakayerudi kwa kupitia lango lile aliloingilia, lakini kila mmoja atatoka nje kwa lango linalokabili lile aliloingilia.

EZE 46:10 Removed trailing space in v~: Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, akiingia nao ndani wanapoingia, naye atatoka nao nje wanapotoka.

EZE 46:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwenye sikukuu na kwenye sikukuu zilizoamriwa, sadaka ya nafaka itakuwa efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja pamoja na kondoo dume mmoja, pamoja na idadi ya wana-kondoo kama mtu apendavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.

EZE 46:12 Removed trailing space in v~: Mkuu anayetawala anapotoa sadaka ya hiari kwa \nd Bwana\nd*, ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, lango linaloelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka yake ya amani kama afanyavyo katika siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, naye akiisha kutoka nje, lango litafungwa.

EZE 46:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila siku utamtoa mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiyekuwa na dosari kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd*, utaitoa kila siku asubuhi.

EZE 46:14 Removed trailing space in v~: Pia kila siku asubuhi pamoja na hiyo sadaka utatoa sadaka ya nafaka, ikiwa na sehemu ya sita ya efa pamoja na theluthi moja ya hini\f + \fr 46:14 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.3.\f* ya mafuta ya kuchanganya na ule unga. Utoaji wa sadaka hii ya nafaka kwa \nd Bwana\nd* ni amri ya daima.

EZE 46:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mwana-kondoo na sadaka ya nafaka na mafuta vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka ya daima ya kuteketezwa.

EZE 46:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ikiwa mkuu atawalaye atatoa zawadi kutoka kwenye urithi wake na kumpa mmoja wa wanawe, hiyo zawadi itakuwa pia kwa wazao wake, itakuwa mali yao kwa urithi.

EZE 46:17 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama atatoa zawadi kutoka urithi wake na kumpa mmoja wa watumishi wake, mtumishi anaweza kuiweka mpaka mwaka wa uhuru, kisha itarudishwa kwa mkuu anayetawala. Urithi wake ni wa wanawe peke yao, ni mali yao.

EZE 46:18 Removed trailing space in v~: Mkuu anayetawala hana ruhusa kuchukua urithi wowote wa watu na kuwaondoa kwenye mali zao. Mkuu atawalaye atawapa wanawe urithi wao, kutoka kwenye mali zake mwenyewe, ili kwamba pasiwe na mtu wangu yeyote atakayetengwa na urithi wake.’ ”

EZE 46:19 Removed trailing space in v~: Kisha mtu yule akanileta kwa kupitia kwenye ingilio lililokuwa kando ya lango mpaka kwenye vyumba vitakatifu vinavyoelekea kaskazini, ambavyo ni vya makuhani, naye akanionyesha mahali fulani upande wa mwisho wa magharibi.

EZE 46:20 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Mahali hapa ndipo makuhani watakapotokosea sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na kuoka sadaka ya nafaka, kuepuka kuzileta katika ukumbi wa nje na kushirikisha utakatifu kwa watu.”

EZE 46:21 Removed trailing space in v~: Baada ya hapo akanileta kwenye ukumbi wa nje na kunizungusha kwenye pembe zake nne, nami nikaona katika kila pembe ya huo ukumbi kulikuwa na ukumbi mwingine.

EZE 46:22 Removed trailing space in v~: Katika pembe nne za huo ukumbi wa nje kulikuwa na kumbi nyingine, zenye urefu wa dhiraa arobaini na upana wake dhiraa thelathini, ambapo hizo kumbi kwenye hizo pembe nne zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.

EZE 46:23 Removed trailing space in v~: Mzunguko wa ndani wa hizo kumbi nne ulikuwa na ukingo wa jiwe, zikiwa na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya moto kuzunguka chini ya huo ukingo.

EZE 46:24 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale wanaohudumu kwenye Hekalu watatokosea dhabihu za watu.”

EZE 47:0 Extra space after chapter number

EZE 47:0 Removed trailing space in c: 47

EZE 47:0 Removed trailing space in s1: Mto Kutoka Hekaluni

EZE 47:1 Removed trailing space in v~: Yule mtu akanirudisha mpaka kwenye ingilio la Hekalu, nami nikaona maji yakitoka chini ya kizingiti cha Hekalu yakitiririkia upande wa mashariki (kwa maana upande wa mbele wa Hekalu ulielekea mashariki). Maji yalikuwa yakitoka chini upande wa kusini wa Hekalu, kusini mwa madhabahu.

EZE 47:2 Removed trailing space in v~: Ndipo akanitoa nje kupitia lango la kaskazini na kunizungusha mpaka kwenye lango la nje linaloelekea mashariki, nayo maji yalikuwa yakitiririka kutoka upande wa kusini.

EZE 47:3 Removed trailing space in v~: Mtu yule alipokwenda upande wa mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake, akapima dhiraa 1,000\f + \fr 47:3 \ft Dhiraa 1,000 ni sawa na mita 450.\f* kisha akanipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kwenye vifundo vya miguu.

EZE 47:4 Removed trailing space in v~: Akapima dhiraa 1,000 nyingine na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika magotini. Akapima dhiraa nyingine 1,000 na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kiunoni.

EZE 47:5 Removed trailing space in v~: Akapima tena dhiraa 1,000 nyingine, lakini wakati huu yalikuwa mto ambao sikuweza kuvuka, kwa kuwa maji yalikuwa na kina kirefu ambacho ni cha kuogelea, mto ambao hakuna mtu yeyote ambaye angeweza kuvuka.

EZE 47:6 Removed trailing space in v~: Akaniuliza, “Je, mwanadamu, unaona hili?”

EZE 47:6 Removed trailing space in p~: Kisha akanirudisha mpaka kwenye ukingo wa huo mto.

EZE 47:7 Removed trailing space in v~: Nilipofika pale, nikaona idadi kubwa ya miti kila upande wa ule mto.

EZE 47:8 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Haya maji yanatiririka kuelekea nchi ya mashariki na kushuka mpaka Araba,\f + \fr 47:8 \ft Araba hapa ina maana ya Bonde la Yordani.\f* ambapo huingia Baharini. Yanapomwagikia kwenye hiyo Bahari,\f + \fr 47:8 \ft Bahari hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi.\f* maji yaliyoko humo huponywa na kuwa safi.

EZE 47:9 Removed trailing space in v~: Popote mto huu uendapo kila kiumbe hai kinachoyaparamia hayo maji kitaishi, nako kutakuwa na samaki wengi mno, mara maji haya yafikapo huko. Maji hayo yatakuwa hai na kila kitu kitakachoishi kule mto uendako.

EZE 47:10 Removed trailing space in v~: Wavuvi watasimama kando ya bahari, kuanzia En-Gedi hadi En-Eglaimu huko patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki. Samaki watakuwa wa aina nyingi, kama samaki wa Bahari Kuu\f + \fr 47:10 \ft Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania.\f*

EZE 47:11 Removed trailing space in v~: Lakini madimbwi yake na mabwawa yake hayatakuwa na maji yanayofaa kunywa, bali yatabakia kuwa maji ya chumvi.

EZE 47:12 Removed trailing space in v~: Miti ya matunda ya kila aina itaota kwenye kingo zote mbili za mto huu. Majani yake hayatanyauka wala haitaacha kuwa na matunda katika matawi yake. Kila mwezi kutakuwa na matunda, kwa sababu maji yatokayo patakatifu yanaitiririkia. Matunda yake yatakuwa chakula na majani yake yatakuwa dawa.”

EZE 47:12 Removed trailing space in s1: Mipaka Mipya Ya Nchi

EZE 47:13 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: “Hii ndiyo mipaka ambayo kwayo mtagawanya hiyo nchi kuwa urithi miongoni mwa hayo makabila kumi na mawili ya Israeli, pamoja na mafungu mawili ya Yosefu.

EZE 47:14 Removed trailing space in v~: Mtagawa kwa usawa miongoni mwao. Kwa sababu niliapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu, nchi hii itakuwa urithi wenu.

EZE 47:15 Removed trailing space in v~: “Huu ndio utakuwa mpaka wa hiyo nchi:

EZE 47:15 Removed trailing space in p~: “Upande wa kaskazini utaanzia Bahari Kuu kwa njia ya Hethloni kupitia Lebo-Hamathi hadi maingilio ya Sedadi.

EZE 47:16 Removed trailing space in v~: Berotha na Sibraimu (ambao uko kwenye mpaka kati ya Dameski na Hamathi), hadi kufikia Haser-Hatikoni, ambao uko katika mpaka wa Haurani.

EZE 47:17 Removed trailing space in v~: Hivyo mpaka utaendelea kuanzia Baharini hadi Hasar-Enoni, ukiambaa na mpaka wa kaskazini wa Dameski, pamoja na mpaka wa Hamathi upande wa kaskazini. Huu utakuwa ndio mpaka wa kaskazini.

EZE 47:18 Removed trailing space in v~: Upande wa mashariki mpaka utapita kati ya Haurani na Dameski, kuambaa Yordani na kati ya Gileadi na nchi ya Israeli, hadi bahari ya mashariki\f + \fr 47:18 \ft Bahari ya mashariki hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi.\f* na kufika Tamari. Huu utakuwa ndio mpaka wa mashariki.

EZE 47:19 Removed trailing space in v~: Upande wa kusini utaanzia Tamari hadi kufikia maji ya Meriba-Kadeshi, kisha utaambaa na Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu. Huu utakuwa ndio mpaka wa kusini.

EZE 47:20 Removed trailing space in v~: Upande wa magharibi, Bahari Kuu itakuwa ndio mpaka hadi kwenye sehemu mkabala na Lebo-Hamathi. Huu utakuwa ndio mpaka wa magharibi.

EZE 47:21 Removed trailing space in v~: “Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu kufuatana na makabila ya Israeli.

EZE 47:22 Removed trailing space in v~: Mtaigawanya kuwa urithi kwa ajili yenu na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwenu na ambao wana watoto. Wao watakuwa kwenu kama wenyeji wazawa wa Israeli, pamoja na ninyi watagawiwa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.

EZE 47:23 Removed trailing space in v~: Katika kabila lolote mgeni atakapoishi hapo ndipo mtakapompatia urithi wake,” asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 48:0 Extra space after chapter number

EZE 48:0 Removed trailing space in c: 48

EZE 48:0 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi

EZE 48:1 Removed trailing space in v~: “Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.

EZE 48:2 Removed trailing space in v~: “Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.

EZE 48:3 Removed trailing space in v~: “Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:4 Removed trailing space in v~: “Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:5 Removed trailing space in v~: “Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:6 Removed trailing space in v~: “Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:7 Removed trailing space in v~: “Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:8 Removed trailing space in v~: “Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000\f + \fr 48:8 \ft Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.\f* na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.

EZE 48:9 Removed trailing space in v~: “Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa \nd Bwana\nd* itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000\f + \fr 48:9 \ft Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.\f*

EZE 48:10 Removed trailing space in v~: Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa \nd Bwana\nd*.

EZE 48:11 Removed trailing space in v~: Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.

EZE 48:12 Removed trailing space in v~: Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.

EZE 48:13 Removed trailing space in v~: “Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.

EZE 48:14 Removed trailing space in v~: Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa \nd Bwana\nd*.

EZE 48:15 Removed trailing space in v~: “Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000\f + \fr 48:15 \ft Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.\f* na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake

EZE 48:16 Removed trailing space in v~: nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500,\f + \fr 48:16 \ft Dhiraa 4,500 ni sawa na kilomita 2.025.\f* upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.

EZE 48:17 Removed trailing space in v~: Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250\f + \fr 48:17 \ft Dhiraa 250 ni sawa na sentimita 112.5.\f* upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.

EZE 48:18 Removed trailing space in v~: Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.

EZE 48:19 Removed trailing space in v~: Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.

EZE 48:20 Removed trailing space in v~: Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.

EZE 48:21 Removed trailing space in v~: “Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.

EZE 48:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.

EZE 48:23 Removed trailing space in v~: “Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.

EZE 48:24 Removed trailing space in v~: “Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:25 Removed trailing space in v~: “Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:26 Removed trailing space in v~: “Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:27 Removed trailing space in v~: “Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:28 Removed trailing space in v~: “Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.\f + \fr 48:28 \ft Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania.\f*

EZE 48:29 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 48:29 Removed trailing space in s1: Malango Ya Mji

EZE 48:30 Removed trailing space in v~: “Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,

EZE 48:31 Removed trailing space in v~: malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.

EZE 48:32 Removed trailing space in v~: “Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.

EZE 48:33 Removed trailing space in v~: “Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.

EZE 48:34 Removed trailing space in v~: “Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.

EZE 48:35 Removed trailing space in v~: “Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000.\f + \fr 48:35 \ft Dhiraa 18,000 ni sawa na kilomita 8.1.\f*

EZE 48:35 Removed trailing space in p~: “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa:

EZE 48:35 Removed trailing space in p~: Bwana yupo hapa.”

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 12    c: 48    h: 1    id: 1    li1: 4    m: 8    mt1: 1    p: 390    pc: 1    q1: 257    q2: 302    q4: 3    r: 1    rem: 1    s1: 71    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 2377    v: 1273  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    r: 1    pc: 1    q4: 3    li1: 4    m: 8    b: 12    c: 48    s1: 71    q1: 257    q2: 302    p: 390    v: 1273    Total: 2377  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 1    nd*: 1    Total: 2  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 1    nd*: 1    Total: 2  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 48    Paragraphs: 390    Section Cross-References: 1    Verses: 1273  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 1    Chapters: 48    Paragraphs: 390    Verses: 1273  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

Letter Counts (sorted by count)

Punctuation Counts

 (: 1    ): 1    ,: 4    :: 2    ;: 1    Total: 9  

Punctuation Counts (sorted by count)

 (: 1    ;: 1    ): 1    :: 2    ,: 4    Total: 9  

Speech Marks

Possible Matching Errors

EZE 4:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:24:v)' before p marker

EZE 5:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:16:v)' before p marker

EZE 6:8 Unclosed ‘ (opened at 6:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 6:11 Unclosed ‘ (opened at 6:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 6:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:3:v)', '‘ (opened at 6:8:v)', '‘ (opened at 6:11:v)']

EZE 6:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:3:v)', '‘ (opened at 6:8:v)', '‘ (opened at 6:11:v)', '“ (opened at 6:11:v)']

EZE 6:14 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:3:v)', '‘ (opened at 6:8:v)']

EZE 7:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:3:v)', '‘ (opened at 6:8:v)'] before p marker

EZE 11:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:15:v)' before p marker

EZE 13:8 Unclosed ‘ (opened at 13:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:10 Unclosed ‘ (opened at 13:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)']

EZE 13:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '“ (opened at 13:10:v)']

EZE 13:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '“ (opened at 13:12:v)']

EZE 13:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)']

EZE 13:13 Unclosed ‘ (opened at 13:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:13:v)']

EZE 13:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:13:v)', '“ (opened at 13:15:v)']

EZE 13:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)']

EZE 13:18 Unclosed ‘ (opened at 13:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)']

EZE 13:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)']

EZE 13:20 Unclosed ‘ (opened at 13:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)', '‘ (opened at 13:20:v)']

EZE 13:23 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)']

EZE 14:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)'] before p marker

EZE 14:7 Unclosed ‘ (opened at 14:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 14:9 Unclosed ‘ (opened at 14:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 14:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)']

EZE 14:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)']

EZE 14:11 Unclosed ‘ (opened at 14:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 14:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)', '‘ (opened at 14:11:v)']

EZE 14:11 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)']

EZE 14:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)'] before p marker

EZE 16:6 Unclosed ‘ (opened at 16:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '“ (opened at 16:6:v)']

EZE 16:8 Unclosed ‘ (opened at 16:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)']

EZE 16:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)']

EZE 16:9 Unclosed ‘ (opened at 16:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)']

EZE 16:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)']

EZE 16:15 Unclosed ‘ (opened at 16:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)']

EZE 16:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)']

EZE 16:20 Unclosed ‘ (opened at 16:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)']

EZE 16:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)']

EZE 16:23 Unclosed ‘ (opened at 16:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)']

EZE 16:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)']

EZE 16:30 Unclosed ‘ (opened at 16:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)']

EZE 16:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)']

EZE 16:32 Unclosed ‘ (opened at 16:30:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)']

EZE 16:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)']

EZE 16:35 Unclosed ‘ (opened at 16:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)']

EZE 16:43 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)']

EZE 16:43 Unclosed ‘ (opened at 16:35:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:43 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)']

EZE 16:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)']

EZE 16:44 Unclosed ‘ (opened at 16:43:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)']

EZE 16:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '“ (opened at 16:44:v)']

EZE 16:49 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)']

EZE 16:49 Unclosed ‘ (opened at 16:44:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:49 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)']

EZE 16:53 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)']

EZE 16:53 Unclosed ‘ (opened at 16:49:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:53 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)']

EZE 16:59 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)']

EZE 16:59 Unclosed ‘ (opened at 16:53:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:59 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)', '‘ (opened at 16:59:v)']

EZE 16:63 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)']

EZE 17:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)'] before p marker

EZE 17:5 Unclosed ‘ (opened at 17:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:7 Unclosed ‘ (opened at 17:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v)', '‘ (opened at 17:3:v)', '‘ (opened at 17:5:v)', '‘ (opened at 17:7:v)']

EZE 17:9 Unclosed ‘ (opened at 17:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v)', '‘ (opened at 17:3:v)', '‘ (opened at 17:5:v)', '‘ (opened at 17:9:v)']

EZE 17:10 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 17:2:v)', '‘ (opened at 17:3:v)', '‘ (opened at 17:5:v)']

EZE 17:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:2:v)', '‘ (opened at 17:3:v)', '‘ (opened at 17:5:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v11

EZE 17:16 Unclosed ‘ (opened at 17:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:19 Unclosed ‘ (opened at 17:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:12:v)', '‘ (opened at 17:12:v)', '‘ (opened at 17:16:v)', '‘ (opened at 17:19:v)']

EZE 17:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:12:v)', '‘ (opened at 17:12:v)', '‘ (opened at 17:16:v)', '‘ (opened at 17:19:v)'] before p marker

EZE 17:24 Unclosed ‘ (opened at 17:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:24 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 17:22:v)', '‘ (opened at 17:22:v)']

EZE 18:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:22:v)', '‘ (opened at 17:22:v)'] before p marker

EZE 18:2 Unclosed “ (opened at 18:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 18:5 Unclosed “ (opened at 18:2:q1,18:3:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 18:11 Unclosed “ (opened at 18:5:v,18:10:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 18:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1)']

EZE 18:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)']

EZE 18:15 Unclosed “ (opened at 18:11:q1,18:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 18:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v)']

EZE 18:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v)']

EZE 18:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v)', '‘ (opened at 18:19:v)']

EZE 18:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v)']

EZE 18:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v,18:24:v)']

EZE 18:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v,18:24:v,18:25:v)']

EZE 18:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v,18:24:v,18:25:v)', '‘ (opened at 18:25:v)']

EZE 18:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v,18:24:v,18:25:v)', '‘ (opened at 18:29:v)']

EZE 18:30 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v,18:30:v)']

EZE 19:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v,18:30:v)'] before p marker

EZE 19:2 Unclosed “ (opened at 19:1:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 19:5 Unclosed ‘ (opened at 19:2:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 19:5 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)']

EZE 19:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)']

EZE 19:10 Unclosed ‘ (opened at 19:5:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 19:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:10:v)']

EZE 19:14 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)']

EZE 20:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)'] before p marker

EZE 20:8 Unclosed ‘ (opened at 20:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:13 Unclosed ‘ (opened at 20:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

EZE 20:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '“ (opened at 20:18:v)']

EZE 20:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

EZE 20:21 Unclosed ‘ (opened at 20:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:21:v)']

EZE 20:27 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

EZE 20:27 Unclosed ‘ (opened at 20:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:27:v)']

EZE 20:29 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

EZE 20:30 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)'] before p marker

EZE 20:32 Unclosed ‘ (opened at 20:30:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:32 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:32:v)', '“ (opened at 20:32:v)']

EZE 20:39 Unclosed ‘ (opened at 20:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:39 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:32:v)', '‘ (opened at 20:39:v)']

EZE 20:44 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:32:v)']

EZE 20:45 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:32:v)'] before p marker

EZE 21:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)']

EZE 21:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)']

EZE 21:10 Unclosed ‘ (opened at 21:9:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 21:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)']

EZE 21:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)']

EZE 21:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)']

EZE 21:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)']

EZE 21:13 Unclosed ‘ (opened at 21:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 21:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:13:v)']

EZE 21:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)', '“ (opened at 21:14:v)']

EZE 21:18 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v18

EZE 21:25 Unclosed ‘ (opened at 21:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 21:28 Unclosed ‘ (opened at 21:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 21:28 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:19:v,21:24:v)', '‘ (opened at 21:24:v)', '‘ (opened at 21:28:v)', '“ (opened at 21:28:q1)']

EZE 21:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:19:v,21:24:v)', '‘ (opened at 21:24:v)', '‘ (opened at 21:28:v)', '“ (opened at 21:28:q1)', '‘ (opened at 21:28:q1)']

EZE 22:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 21:19:v,21:24:v)', '‘ (opened at 21:24:v)', '‘ (opened at 21:28:v)'] before p marker

EZE 22:6 Unclosed ‘ (opened at 22:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 22:13 Unclosed ‘ (opened at 22:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 22:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 22:2:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:6:v)', '‘ (opened at 22:13:v)']

EZE 22:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 22:2:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:6:v)']

EZE 22:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 22:2:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:6:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

EZE 23:32 Unclosed “ (opened at 23:2:v,23:5:v,23:9:v,23:11:v,23:14:v,23:22:v,23:28:v,23:32:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 23:36 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:2:v,23:5:v,23:9:v,23:11:v,23:14:v,23:22:v,23:28:v,23:32:v)' before v marker or missing reopening quotes at v36

EZE 24:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)']

EZE 24:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)']

EZE 24:6 Unclosed ‘ (opened at 24:3:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 24:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)']

EZE 24:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)']

EZE 24:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)']

EZE 24:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)']

EZE 24:7 Unclosed ‘ (opened at 24:6:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 24:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)']

EZE 24:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)']

EZE 24:9 Unclosed ‘ (opened at 24:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 24:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)']

EZE 24:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)']

EZE 24:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)']

EZE 24:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)']

EZE 24:13 Unclosed ‘ (opened at 24:9:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 24:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)']

EZE 24:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)']

EZE 24:14 Unclosed ‘ (opened at 24:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 24:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)', '‘ (opened at 24:14:v)']

EZE 24:14 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)']

EZE 24:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)'] before p marker

EZE 26:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 26:2:v,26:7:v,26:11:v,26:15:v)', '‘ (opened at 26:15:v)', '“ (opened at 26:17:q1)', '‘ (opened at 26:17:q1)']

EZE 27:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 26:2:v,26:7:v,26:11:v,26:15:v)', '‘ (opened at 26:15:v)'] before p marker

EZE 27:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)']

EZE 27:3 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '“ (opened at 27:3:q2)']

EZE 27:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)']

EZE 27:10 Unclosed ‘ (opened at 27:3:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 27:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)']

EZE 27:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)']

EZE 27:12 Unclosed ‘ (opened at 27:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)']

EZE 27:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)']

EZE 27:13 Unclosed ‘ (opened at 27:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)']

EZE 27:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)']

EZE 27:14 Unclosed ‘ (opened at 27:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)']

EZE 27:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)']

EZE 27:15 Unclosed ‘ (opened at 27:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)']

EZE 27:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)']

EZE 27:16 Unclosed ‘ (opened at 27:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)']

EZE 27:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)']

EZE 27:17 Unclosed ‘ (opened at 27:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)']

EZE 27:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)']

EZE 27:18 Unclosed ‘ (opened at 27:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)']

EZE 27:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)']

EZE 27:19 Unclosed ‘ (opened at 27:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)']

EZE 27:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)']

EZE 27:20 Unclosed ‘ (opened at 27:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)']

EZE 27:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)']

EZE 27:21 Unclosed ‘ (opened at 27:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)']

EZE 27:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)']

EZE 27:22 Unclosed ‘ (opened at 27:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)']

EZE 27:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)']

EZE 27:23 Unclosed ‘ (opened at 27:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)']

EZE 27:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)', '“ (opened at 27:25:v)']

EZE 27:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)', '“ (opened at 27:25:v)', '‘ (opened at 27:25:v)']

EZE 27:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)', '“ (opened at 27:25:v)', '‘ (opened at 27:25:v)', '“ (opened at 27:32:q1)']

EZE 28:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)'] before p marker

EZE 28:2 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)']

EZE 28:2 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '“ (opened at 28:2:q2)']

EZE 28:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)']

EZE 28:6 Unclosed ‘ (opened at 28:2:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 28:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)']

EZE 28:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)', '“ (opened at 28:6:q1)']

EZE 28:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)', '“ (opened at 28:6:q1)', '‘ (opened at 28:6:q1)']

EZE 28:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)', '“ (opened at 28:6:q1)', '‘ (opened at 28:6:q1)', '“ (opened at 28:9:v)']

EZE 28:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v11

EZE 28:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:12:v)', '‘ (opened at 28:12:v)', '“ (opened at 28:12:q1)', '‘ (opened at 28:12:q1)']

EZE 28:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:12:v)', '‘ (opened at 28:12:v)'] before p marker

EZE 28:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)']

EZE 28:24 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)']

EZE 28:24 Unclosed ‘ (opened at 28:22:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 28:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)']

EZE 28:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)']

EZE 28:25 Unclosed ‘ (opened at 28:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 28:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)', '‘ (opened at 28:25:v)']

EZE 28:26 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)']

EZE 29:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)'] before p marker

EZE 29:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)']

EZE 29:3 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '“ (opened at 29:3:q1)']

EZE 29:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)']

EZE 29:6 Unclosed ‘ (opened at 29:3:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 29:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)']

EZE 29:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)']

EZE 29:8 Unclosed ‘ (opened at 29:6:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 29:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)']

EZE 29:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)']

EZE 29:9 Unclosed ‘ (opened at 29:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 29:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)']

EZE 29:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)', '“ (opened at 29:9:p)']

EZE 29:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)']

EZE 29:13 Unclosed ‘ (opened at 29:9:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 29:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)', '‘ (opened at 29:13:v)']

EZE 29:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)']

EZE 29:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

EZE 30:2 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)']

EZE 30:2 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '“ (opened at 30:2:q2)']

EZE 30:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)']

EZE 30:6 Unclosed ‘ (opened at 30:2:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 30:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)']

EZE 30:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)']

EZE 30:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)']

EZE 30:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)']

EZE 30:7 Unclosed ‘ (opened at 30:6:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 30:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)']

EZE 30:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)']

EZE 30:9 Unclosed ‘ (opened at 30:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 30:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)']

EZE 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)']

EZE 30:10 Unclosed ‘ (opened at 30:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)']

EZE 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)']

EZE 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)']

EZE 30:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)']

EZE 30:13 Unclosed ‘ (opened at 30:10:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 30:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:13:v)']

EZE 30:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:13:v)', '“ (opened at 30:13:q1)']

EZE 30:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:13:v)', '“ (opened at 30:13:q1)', '‘ (opened at 30:13:q1)']

EZE 30:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v20

EZE 31:2 Unclosed “ (opened at 31:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 31:10 Unclosed ‘ (opened at 31:2:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 31:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)']

EZE 31:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)']

EZE 31:15 Unclosed ‘ (opened at 31:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 31:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)']

EZE 31:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)']

EZE 31:18 Unclosed ‘ (opened at 31:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 31:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)']

EZE 31:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)']

EZE 31:18 Unclosed ‘ (opened at 31:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 31:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)', '‘ (opened at 31:18:p)']

EZE 31:18 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)']

EZE 32:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)'] before p marker

EZE 32:2 Unclosed “ (opened at 32:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 32:3 Unclosed ‘ (opened at 32:2:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 32:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)']

EZE 32:3 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)']

EZE 32:3 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)']

EZE 32:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)']

EZE 32:11 Unclosed ‘ (opened at 32:3:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 32:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)']

EZE 32:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)', '“ (opened at 32:11:q1)']

EZE 32:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)', '“ (opened at 32:11:q1)', '‘ (opened at 32:11:q1)']

EZE 32:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)', '“ (opened at 32:11:q1,32:16:v)']

EZE 32:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

EZE 34:7 Unclosed ‘ (opened at 34:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:11 Unclosed ‘ (opened at 34:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)']

EZE 34:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)']

EZE 34:17 Unclosed ‘ (opened at 34:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)']

EZE 34:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)']

EZE 34:20 Unclosed ‘ (opened at 34:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)']

EZE 34:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)']

EZE 34:25 Unclosed ‘ (opened at 34:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)', '‘ (opened at 34:25:v)']

EZE 34:31 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)']

EZE 35:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)'] before p marker

EZE 35:5 Unclosed ‘ (opened at 35:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 35:10 Unclosed ‘ (opened at 35:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 35:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)', '‘ (opened at 35:10:v)']

EZE 35:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '“ (opened at 35:10:v)']

EZE 35:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '“ (opened at 35:12:v)']

EZE 35:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)']

EZE 36:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)'] before p marker

EZE 36:8 Unclosed ‘ (opened at 36:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 36:13 Unclosed ‘ (opened at 36:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 36:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:1:v)', '‘ (opened at 36:6:v)', '‘ (opened at 36:8:v)', '‘ (opened at 36:13:v)']

EZE 36:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 36:1:v)', '‘ (opened at 36:6:v)', '‘ (opened at 36:8:v)', '‘ (opened at 36:13:v)', '“ (opened at 36:13:v)']

EZE 36:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 36:1:v)', '‘ (opened at 36:6:v)', '‘ (opened at 36:8:v)']

EZE 36:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 36:1:v)', '‘ (opened at 36:6:v)', '‘ (opened at 36:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v16

EZE 36:24 Unclosed ‘ (opened at 36:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 36:33 Unclosed ‘ (opened at 36:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 36:33 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:17:v,36:22:v)', '‘ (opened at 36:22:v)', '‘ (opened at 36:24:v)', '‘ (opened at 36:33:v)']

EZE 36:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 36:17:v,36:22:v)', '‘ (opened at 36:22:v)', '‘ (opened at 36:24:v)', '‘ (opened at 36:33:v)', '“ (opened at 36:35:v)']

EZE 36:38 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 36:17:v,36:22:v)', '‘ (opened at 36:22:v)', '‘ (opened at 36:24:v)']

EZE 37:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 36:17:v,36:22:v)', '‘ (opened at 36:22:v)', '‘ (opened at 36:24:v)'] before p marker

EZE 37:24 Unclosed ‘ (opened at 37:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 37:28 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 37:16:v,37:18:v)', '‘ (opened at 37:21:v)']

EZE 38:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 37:16:v,37:18:v)', '‘ (opened at 37:21:v)'] before p marker

EZE 38:7 Unclosed ‘ (opened at 38:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 38:10 Unclosed ‘ (opened at 38:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 38:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:10:v)']

EZE 38:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:10:v)', '“ (opened at 38:11:v)']

EZE 38:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:10:v)', '“ (opened at 38:13:v)']

EZE 38:14 Unclosed ‘ (opened at 38:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 38:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:14:v)']

EZE 38:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:14:v)']

EZE 38:17 Unclosed ‘ (opened at 38:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 38:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:14:v)', '‘ (opened at 38:17:v)']

EZE 39:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:14:v)'] before p marker

EZE 39:7 Unclosed ‘ (opened at 39:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:9 Unclosed ‘ (opened at 39:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)']

EZE 39:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)']

EZE 39:11 Unclosed ‘ (opened at 39:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)']

EZE 39:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)']

EZE 39:12 Unclosed ‘ (opened at 39:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:14 Unclosed ‘ (opened at 39:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)', '‘ (opened at 39:14:v)']

EZE 39:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:17 Unclosed ‘ (opened at 39:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)', '‘ (opened at 39:17:v)']

EZE 39:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:29 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 40:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)'] before p marker

EZE 43:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 43:7:v,43:10:v,43:12:v)' before p marker

EZE 44:10 Unclosed ‘ (opened at 44:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:15 Unclosed ‘ (opened at 44:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)']

EZE 44:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)']

EZE 44:17 Unclosed ‘ (opened at 44:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)']

EZE 44:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)']

EZE 44:20 Unclosed ‘ (opened at 44:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)']

EZE 44:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)']

EZE 44:24 Unclosed ‘ (opened at 44:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)']

EZE 44:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)']

EZE 44:25 Unclosed ‘ (opened at 44:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)', '‘ (opened at 44:25:v)']

EZE 44:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)', '‘ (opened at 44:25:v)']

EZE 44:28 Unclosed ‘ (opened at 44:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)', '‘ (opened at 44:25:v)', '‘ (opened at 44:28:v)']

EZE 45:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)', '‘ (opened at 44:25:v)', '‘ (opened at 44:28:v)'] before p marker

EZE 45:6 Unclosed ‘ (opened at 45:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:7 Unclosed ‘ (opened at 45:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:6:v)', '‘ (opened at 45:7:v)']

EZE 45:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:6:v)', '‘ (opened at 45:7:v)']

EZE 45:9 Unclosed ‘ (opened at 45:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:6:v)', '‘ (opened at 45:7:v)', '‘ (opened at 45:9:v)']

EZE 45:13 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:6:v)', '‘ (opened at 45:7:v)', '‘ (opened at 45:9:v)'] before p marker

EZE 45:18 Unclosed ‘ (opened at 45:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:21 Unclosed ‘ (opened at 45:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:18:v)', '‘ (opened at 45:21:v)']

EZE 45:25 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:18:v)', '‘ (opened at 45:21:v)']

EZE 45:25 Unclosed ‘ (opened at 45:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:18:v)', '‘ (opened at 45:21:v)', '‘ (opened at 45:25:v)']

EZE 46:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:18:v)', '‘ (opened at 45:21:v)', '‘ (opened at 45:25:v)'] before p marker

EZE 46:9 Unclosed ‘ (opened at 46:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 46:11 Unclosed ‘ (opened at 46:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 46:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)']

EZE 46:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)']

EZE 46:13 Unclosed ‘ (opened at 46:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 46:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)']

EZE 46:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)']

EZE 46:16 Unclosed ‘ (opened at 46:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 46:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)', '‘ (opened at 46:16:v)']

EZE 46:18 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)']

EZE 46:19 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v19

EZE 48:35 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 48:30:v,48:32:v,48:33:v,48:34:v,48:35:v,48:35:p)' before pc marker or missing reopening quotes at v35

EZE 48:35 Unexpected '”' speech closing character

Words

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

EZE -1:6 Main Title 1:Ezekieli

Section Heading Lines

EZE 1:0Viumbe Hai Na Utukufu Wa \nd Bwana\nd*
EZE 2:0Wito Wa Ezekieli
EZE 3:15Onyo Kwa Israeli
EZE 4:0Kuzingirwa Kwa Yerusalemu Kwaonyeshwa Kwa Mfano
EZE 5:0Upanga Dhidi Ya Yerusalemu
EZE 6:0Unabii Dhidi Ya Milima Ya Israeli
EZE 7:0Mwisho Umewadia
EZE 8:0Ibada Ya Sanamu Hekaluni
EZE 9:0Waabudu Sanamu Wauawa
EZE 10:0Utukufu Unaondoka Hekaluni
EZE 11:0Hukumu Juu Ya Viongozi Wa Israeli
EZE 11:15Ahadi Ya Kurudi Kwa Israeli
EZE 12:0Kutekwa Kwa Yuda Kwaelezewa
EZE 13:0Manabii Wa Uongo Walaumiwa
EZE 14:0Waabudu Sanamu Walaumiwa
EZE 14:11Hukumu Isiyoepukika
EZE 15:0Yerusalemu Mzabibu Usiofaa
EZE 16:0Yerusalemu, Mwanamke Asiye Mwaminifu
EZE 17:0Tai Wawili Na Mizabibu
EZE 17:21Hatimaye Israeli Kutukuzwa
EZE 18:0Roho Itendayo Dhambi Itakufa
EZE 19:0Maombolezo Kwa Ajili Ya Wakuu Wa Israeli
EZE 20:0Israeli Waasi
EZE 20:29Hukumu Na Kurudishwa
EZE 20:44Unabii Dhidi Ya Kusini
EZE 21:0Babeli, Upanga Wa Mungu Wa Hukumu
EZE 22:0Dhambi Za Yerusalemu
EZE 23:0Dada Wawili Makahaba
EZE 24:0Chungu Cha Kupikia
EZE 24:14Kifo Cha Mke Wa Ezekieli
EZE 25:0Unabii Dhidi Ya Amoni
EZE 25:7Unabii Dhidi Ya Moabu
EZE 25:11Unabii Dhidi Ya Edomu
EZE 25:14Unabii Dhidi Ya Ufilisti
EZE 26:0Unabii Dhidi Ya Tiro
EZE 27:0Maombolezo Kwa Ajili Ya Tiro
EZE 28:0Unabii Dhidi Ya Mfalme Wa Tiro
EZE 28:19Unabii Dhidi Ya Sidoni
EZE 29:0Unabii Dhidi Ya Misri
EZE 30:0Maombolezo Kwa Ajili Ya Misri
EZE 31:0Mwerezi Katika Lebanoni
EZE 32:0Maombolezo Kwa Ajili Ya Farao
EZE 33:0Wajibu Wa Ezekieli Kuwa Mlinzi Kwa Watu Wake
EZE 33:20Anguko La Yerusalemu Laelezewa
EZE 34:0Wachungaji Na Kondoo
EZE 35:0Unabii Dhidi Ya Edomu
EZE 36:0Unabii Kwa Milima Ya Israeli
EZE 37:0Bonde La Mifupa Mikavu
EZE 37:14Taifa Moja Chini Ya Mfalme Mmoja
EZE 38:0Unabii Dhidi Ya Gogu
EZE 39:0Majeshi Ya Gogu Yataangamizwa
EZE 40:0Eneo La Hekalu Jipya
EZE 40:4Lango La Mashariki Kuelekea Ukumbi Wa Nje
EZE 40:16Ukumbi Wa Nje
EZE 40:19Lango La Kaskazini
EZE 40:23Lango La Kusini
EZE 40:27Malango Ya Kuelekea Ukumbi Wa Ndani
EZE 40:37Vyumba Vya Kutayarishia Dhabihu
EZE 40:43Vyumba Kwa Ajili Ya Makuhani
EZE 40:47Hekalu
EZE 42:0Vyumba Vya Makuhani
EZE 43:0Utukufu Warudi Hekaluni
EZE 43:12Madhabahu
EZE 44:0Mkuu, Walawi, Makuhani
EZE 45:0Mgawanyo Wa Nchi
EZE 45:12Sadaka Na Siku Takatifu
EZE 46:0Sheria Nyingine Mbalimbali
EZE 47:0Mto Kutoka Hekaluni
EZE 47:12Mipaka Mipya Ya Nchi
EZE 48:0Mgawanyo Wa Nchi
EZE 48:29Malango Ya Mji

Section Cross-reference Lines

EZE 45:12(Kutoka 12:1-20; Walawi 23:33-43)

Notes

Footnote Lines

EZE 1:24+ \fr 1:24 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
EZE 4:10+ \fr 4:10 \ft Shekeli 20 ni sawa na gramu 200.
EZE 4:11+ \fr 4:11 \ft Moja ya sita ya hini ni sawa na mililita (ml) 600.
EZE 10:5+ \fr 10:5 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (y…ote).
EZE 20:29+ \fr 20:29 \ft Bama maana yake ni mahali pa juu pa kuabudia miungu.
EZE 23:14+ \fr 23:14 \fq Wakaldayo \ft yaani \fqa Wababeli\ft .
EZE 23:15+ \fr 23:15 \fq Ukaldayo \ft yaani \fqa Babeli\ft .
EZE 27:5+ \fr 27:5 \ft Yaani Hermoni.
EZE 27:6+ \fr 27:6 \ft Yaani sakafu ya merikebu au mashua.
EZE 27:9+ \fr 27:9 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilo…uti).
EZE 27:15+ \fr 27:15 \ft Yaani \fqa Rhodes\ft .
EZE 27:16+ \fr 27:16 \ft Yaani marijani, jiwe laini la pwani au baharini, kama …okaa.
EZE 29:14+ \fr 29:14 \ft Pathrosi ni Misri ya Juu.
EZE 30:5+ \fr 30:5 \ft Kushi ndiyo Ethiopia.
EZE 30:5+ \fr 30:5 \ft Libya ndiyo Kubu.
EZE 30:13+ \fr 30:13 \ft Kiebrania ni Nofu.
EZE 30:14+ \fr 30:14 \ft Pathrosi ni Misri ya Juu.
EZE 30:14+ \fr 30:14 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.
EZE 30:15+ \fr 30:15 \ft Kiebrania ni Sini.
EZE 30:17+ \fr 30:17 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
EZE 30:17+ \fr 30:17 \ft Yaani Bubasti.
EZE 31:15+ \fr 31:15 \ft Yaani Kuzimu, Sheol kwa Kiebrania; pia mstari 16, 17.
EZE 37:5+ \fr 37:5 \ft Pumzi pia ina maana ya roho kwa Kiebrania.
EZE 38:5+ \fr 38:5 \ft Kushi ni Ethiopia.
EZE 39:11+ \fr 39:11 \ft Hamon-Gogu maana yake Makundi ya wajeuri wa Gogu.
EZE 39:16+ \fr 39:16 \ft Hamona maana yake Kundi (la wajeuri).
EZE 40:5+ \fr 40:5 \ft Dhiraa ndefu 6 ni sawa na mita 3.18.
EZE 40:7+ \fr 40:7 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
EZE 40:9+ \fr 40:9 \ft Dhiraa 8 ni sawa na mita 3.6.
EZE 40:9+ \fr 40:9 \ft Dhiraa 2 ni sawa na sentimita 90.
EZE 40:12+ \fr 40:12 \ft Dhiraa 1 ni sawa na sentimita 45.
EZE 40:14+ \fr 40:14 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
EZE 40:15+ \fr 40:15 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
EZE 40:19+ \fr 40:19 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.
EZE 40:21+ \fr 40:21 \ft Dhiraa 25 ni sawa na mita 11.25.
EZE 40:42+ \fr 40:42 \ft Dhiraa 1.5 ni sawa na sentimita 67.5.
EZE 40:43+ \fr 40:43 \ft Nyanda 4 ni sawa na sentimita 8.
EZE 40:48+ \fr 40:48 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
EZE 40:48+ \fr 40:48 \ft Dhiraa 14 ni sawa na mita 6.3.
EZE 40:49+ \fr 40:49 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.
EZE 41:1+ \fr 41:1 \ft Dhiraa 6 ni sawa na mita 2.7.
EZE 41:2+ \fr 41:2 \ft Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.
EZE 41:3+ \fr 41:3 \ft Dhiraa 7 ni sawa na mita 3.15.
EZE 41:12+ \fr 41:12 \ft Dhiraa 90 ni sawa na mita 40.5.
EZE 42:5+ \fr 42:5 \fq Ujia \ft ina maana ya njia ndani ya nyumba.
EZE 42:16+ \fr 42:16 \ft Dhiraa 500 ni sawa na mita 225.
EZE 43:13+ \fr 43:13 \ft Dhiraa 1 na nyanda 4 ni sawa na sentimita 53.
EZE 43:13+ \fr 43:13 \ft Shibiri 1 ni sawa na sentimita 22.5.
EZE 43:16+ \fr 43:16 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.
EZE 45:1+ \fr 45:1 \ft Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.
EZE 45:1+ \fr 45:1 \ft Dhiraa 20,000 ni sawa na kilomita 9.
EZE 45:3+ \fr 45:3 \ft Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.
EZE 45:6+ \fr 45:6 \ft Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.
EZE 45:10+ \fr 45:10 \ft Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambach…o 22.
EZE 45:10+ \fr 45:10 \ft Bathi ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vya humimin…a 10.
EZE 45:12+ \fr 45:12 \ft Gera 20 ni sawa na shekeli 1.
EZE 45:12+ \fr 45:12 \ft Mina 1 hapa ni sawa na shekeli 60; mina ya kawaida ili…i 50.
EZE 45:14+ \fr 45:14 \ft Kori 1 ni sawa na bathi 10 au homeri 1.
EZE 45:24+ \fr 45:24 \ft Hini ni kipimo cha kupimia vitu vya humiminika chenye …ta 4.
EZE 46:14+ \fr 46:14 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.3.
EZE 47:3+ \fr 47:3 \ft Dhiraa 1,000 ni sawa na mita 450.
EZE 47:8+ \fr 47:8 \ft Araba hapa ina maana ya Bonde la Yordani.
EZE 47:8+ \fr 47:8 \ft Bahari hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi.
EZE 47:10+ \fr 47:10 \ft Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania.
EZE 47:18+ \fr 47:18 \ft Bahari ya mashariki hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi.
EZE 48:8+ \fr 48:8 \ft Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.
EZE 48:9+ \fr 48:9 \ft Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.
EZE 48:15+ \fr 48:15 \ft Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.
EZE 48:16+ \fr 48:16 \ft Dhiraa 4,500 ni sawa na kilomita 2.025.
EZE 48:17+ \fr 48:17 \ft Dhiraa 250 ni sawa na sentimita 112.5.
EZE 48:28+ \fr 48:28 \ft Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania.
EZE 48:35+ \fr 48:35 \ft Dhiraa 18,000 ni sawa na kilomita 8.1.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 72    Footnotes: 72  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 72    Footnote leader '+': 72