Freely-Given.org Bible EZR Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in EZR -1:0

Showing 1 out of 415 priority errors

Fix Text Errors

EZR -1:0 Removed trailing space in id: EZR - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

EZR -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

EZR -1:2 Removed trailing space in h: Ezra

EZR -1:3 Removed trailing space in toc1: Ezra

EZR -1:4 Removed trailing space in toc2: Ezra

EZR -1:5 Removed trailing space in toc3: Ezr

EZR -1:6 Removed trailing space in mt1: Ezra

EZR 1:0 Extra space after chapter number

EZR 1:0 Removed trailing space in c: 1

EZR 1:0 Removed trailing space in s1: Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka Uhamishoni

EZR 1:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la \nd Bwana\nd* lililosemwa na nabii Yeremia, \nd Bwana\nd* aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

EZR 1:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:

EZR 1:2 Removed trailing space in p~: “ ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda.

EZR 1:3 Removed trailing space in v~: Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha apande kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Hekalu la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, Mungu aliyeko huko Yerusalemu.

EZR 1:4 Removed trailing space in v~: Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’ ”

EZR 1:5 Removed trailing space in v~: Kisha viongozi wa jamaa ya Yuda na Benyamini na makuhani na Walawi kila mmoja ambaye moyo wake ulisukumwa na Mungu, akajiandaa kupanda ili kuijenga nyumba ya \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu.

EZR 1:6 Removed trailing space in v~: Majirani zao wote wakawasaidia vyombo vya fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, pia na zawadi za thamani, pamoja na sadaka zote za hiari.

EZR 1:7 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Mfalme Koreshi akavitoa vyombo vilivyokuwa mali ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la mungu wake.

EZR 1:8 Removed trailing space in v~: Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa kwa mkono wa Mithredathi mtunza hazina, aliyevihesabu mbele ya Sheshbaza mkuu wa Yuda.

EZR 1:9 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa:

EZR 1:9 Removed trailing space in tr: \tc1 masinia ya dhahabu yalikuwa \tcr2 30

EZR 1:9 Removed trailing space in tr: \tc1 masinia ya fedha yalikuwa \tcr2 1,000

EZR 1:9 Removed trailing space in tr: \tc1 vyetezo vya fedha vilikuwa \tcr2 29

EZR 1:9 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 1:10 Removed trailing space in v~: mabakuli ya dhahabu yalikuwa \tcr2 30

EZR 1:10 Removed trailing space in tr: \tc1 mabakuli ya fedha yanayofanana yalikuwa \tcr2 410

EZR 1:10 Removed trailing space in tr: \tc1 vifaa vingine vilikuwa \tcr2 1,000.

EZR 1:11 Removed trailing space in v~: Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu.

EZR 2:0 Extra space after chapter number

EZR 2:0 Removed trailing space in c: 2

EZR 2:0 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

EZR 2:0 Removed trailing space in r: (Nehemia 7:4-73)

EZR 2:1 Removed trailing space in v~: Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,

EZR 2:2 Removed trailing space in v~: wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

EZR 2:2 Removed trailing space in p~: Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:

EZR 2:2 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:3 Removed trailing space in v~: wazao wa Paroshi \tcr2 2,172

EZR 2:3 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:4 Removed trailing space in v~: wazao wa Shefatia \tcr2 372

EZR 2:4 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:5 Removed trailing space in v~: wazao wa Ara \tcr2 775

EZR 2:5 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:6 Removed trailing space in v~: wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) \tcr2 2,812

EZR 2:6 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:7 Removed trailing space in v~: wazao wa Elamu \tcr2 1,254

EZR 2:7 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:8 Removed trailing space in v~: wazao wa Zatu \tcr2 945

EZR 2:8 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:9 Removed trailing space in v~: wazao wa Zakai \tcr2 760

EZR 2:9 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:10 Removed trailing space in v~: wazao wa Bani \tcr2 642

EZR 2:10 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:11 Removed trailing space in v~: wazao wa Bebai \tcr2 623

EZR 2:11 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:12 Removed trailing space in v~: wazao wa Azgadi \tcr2 1,222

EZR 2:12 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:13 Removed trailing space in v~: wazao wa Adonikamu \tcr2 666

EZR 2:13 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:14 Removed trailing space in v~: wazao wa Bigwai \tcr2 2,056

EZR 2:14 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:15 Removed trailing space in v~: wazao wa Adini \tcr2 454

EZR 2:15 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:16 Removed trailing space in v~: wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) \tcr2 98

EZR 2:16 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:17 Removed trailing space in v~: wazao wa Besai \tcr2 323

EZR 2:17 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:18 Removed trailing space in v~: wazao wa Yora \tcr2 112

EZR 2:18 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:19 Removed trailing space in v~: wazao wa Hashumu \tcr2 223

EZR 2:19 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:20 Removed trailing space in v~: wazao wa Gibari \tcr2 95

EZR 2:20 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:21 Removed trailing space in v~: watu wa Bethlehemu \tcr2 123

EZR 2:21 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:22 Removed trailing space in v~: watu wa Netofa \tcr2 56

EZR 2:22 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:23 Removed trailing space in v~: watu wa Anathothi \tcr2 128

EZR 2:23 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:24 Removed trailing space in v~: watu wa Azmawethi \tcr2 42

EZR 2:24 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:25 Removed trailing space in v~: wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi \tcr2 743

EZR 2:25 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:26 Removed trailing space in v~: wazao wa Rama na Geba \tcr2 621

EZR 2:26 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:27 Removed trailing space in v~: watu wa Mikmashi \tcr2 122

EZR 2:27 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:28 Removed trailing space in v~: watu wa Betheli na Ai \tcr2 223

EZR 2:28 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:29 Removed trailing space in v~: wazao wa Nebo \tcr2 52

EZR 2:29 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:30 Removed trailing space in v~: wazao wa Magbishi \tcr2 156

EZR 2:30 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:31 Removed trailing space in v~: wazao wa Elamu ile ingine \tcr2 1,254

EZR 2:31 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:32 Removed trailing space in v~: wazao wa Harimu \tcr2 320

EZR 2:32 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:33 Removed trailing space in v~: wazao wa Lodi, Hadidi na Ono \tcr2 725

EZR 2:33 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:34 Removed trailing space in v~: wazao wa Yeriko \tcr2 345

EZR 2:34 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:35 Removed trailing space in v~: wazao wa Senaa \tcr2 3,630

EZR 2:36 Removed trailing space in v~: Makuhani:

EZR 2:36 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) \tcr2 973

EZR 2:36 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:37 Removed trailing space in v~: wazao wa Imeri \tcr2 1,052

EZR 2:37 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:38 Removed trailing space in v~: wazao wa Pashuri \tcr2 1,247

EZR 2:38 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:39 Removed trailing space in v~: wazao wa Harimu \tcr2 1,017

EZR 2:40 Removed trailing space in v~: Walawi:

EZR 2:40 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) \tcr2 74

EZR 2:41 Removed trailing space in v~: Waimbaji:

EZR 2:41 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Asafu \tcr2 128

EZR 2:42 Removed trailing space in v~: Mabawabu wa lango la Hekalu:

EZR 2:42 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa //Shalumu, Ateri, Talmoni, //Akubu, Hatita na Shobai \tcr2 139

EZR 2:43 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Hekalu:\f + \fr 2:43 \ft Yaani \fqa Wanethini \ft (pia \+xt 2:58, 70\+xt*).\f*

EZR 2:43 Found unexpected backslash in footnote: 2:43 Yaani Wanethini (pia \+xt 2:58, 70\+xt*).

EZR 2:43 Removed trailing space in p~: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

EZR 2:44 Removed trailing space in v~: wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,

EZR 2:45 Removed trailing space in v~: wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,

EZR 2:46 Removed trailing space in v~: wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,

EZR 2:47 Removed trailing space in v~: wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,

EZR 2:48 Removed trailing space in v~: wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,

EZR 2:49 Removed trailing space in v~: wazao wa Uza, Pasea, Besai,

EZR 2:50 Removed trailing space in v~: wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,

EZR 2:51 Removed trailing space in v~: wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

EZR 2:52 Removed trailing space in v~: wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

EZR 2:53 Removed trailing space in v~: wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

EZR 2:54 Removed trailing space in v~: wazao wa Nesia na Hatifa.

EZR 2:55 Removed trailing space in v~: Wazao wa watumishi wa Solomoni:

EZR 2:55 Removed trailing space in p~: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

EZR 2:56 Removed trailing space in v~: wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

EZR 2:57 Removed trailing space in v~: wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

EZR 2:57 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:58 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Hekalu wote na //wazao wa watumishi //wa Solomoni \tcr2 392

EZR 2:59 Removed trailing space in v~: Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

EZR 2:59 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:60 Removed trailing space in v~: wazao wa //Delaya, Tobia na Nekoda \tcr2 652

EZR 2:61 Removed trailing space in v~: Kutoka miongoni mwa makuhani:

EZR 2:61 Removed trailing space in p~: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

EZR 2:62 Removed trailing space in v~: Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.

EZR 2:63 Removed trailing space in v~: Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.\f + \fr 2:63 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f*

EZR 2:64 Removed trailing space in v~: Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;

EZR 2:65 Removed trailing space in v~: tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.

EZR 2:66 Removed trailing space in v~: Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,

EZR 2:67 Removed trailing space in v~: ngamia 435 na punda 6,720.

EZR 2:68 Removed trailing space in v~: Walipofika kwenye nyumba ya \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.

EZR 2:69 Removed trailing space in v~: Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000\f + \fr 2:69 \ft Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500.\f* za dhahabu, mane 5,000\f + \fr 2:69 \ft Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900.\f* za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

EZR 2:70 Removed trailing space in v~: Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

EZR 3:0 Extra space after chapter number

EZR 3:0 Removed trailing space in c: 3

EZR 3:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Yajengwa Tena

EZR 3:1 Removed trailing space in v~: Mwezi wa saba ulipowadia baada ya Waisraeli kukaa katika miji yao, watu wote walikusanyika huko Yerusalemu kama mtu mmoja.

EZR 3:2 Removed trailing space in v~: Yeshua mwana wa Yosadaki na makuhani wenzake, Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na wenzake walianza kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli ili kumtolea dhabihu za sadaka za kuteketezwa kwa moto juu yake, kulingana na ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose mtu wa Mungu.

EZR 3:3 Removed trailing space in v~: Ingawa waliwaogopa watu waliowazunguka, walijenga madhabahu juu ya ule msingi wake, wakamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu za sadaka za kuteketezwa kwa moto juu yake za asubuhi na za jioni.

EZR 3:4 Removed trailing space in v~: Kisha kulingana na kile kilichoandikwa, wakaiadhimisha Sikukuu ya Vibanda wakitoa idadi ya sadaka za kuteketezwa kama ilivyohitajika kila siku sawasawa na ilivyoagizwa.

EZR 3:5 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, walitoa sadaka za kuteketezwa za kawaida, sadaka za Mwezi Mwandamo na dhabihu zote za sikukuu takatifu za \nd Bwana\nd* zilizoamriwa, pamoja na zile sadaka za hiari zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd*.

EZR 3:6 Removed trailing space in v~: Ingawa bado msingi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* ulikuwa haujawekwa, watu walianza kutoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa \nd Bwana\nd* tangu siku ya kwanza ya mwezi wa saba.

EZR 3:6 Removed trailing space in s1: Kujenga Upya Hekalu

EZR 3:7 Removed trailing space in v~: Kisha watu wakawapa mafundi wa uashi na useremala fedha, wakawapa watu wa Sidoni na Tiro vyakula, vinywaji na mafuta ili waweze kuleta magogo ya mierezi kwa njia ya bahari kutoka Lebanoni hadi Yafa, kama alivyoagiza Koreshi mfalme wa Uajemi.

EZR 3:8 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa pili wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kufika kwenye nyumba ya Mungu huko Yerusalemu, Zerubabeli mwana wa Shealtieli, Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zao wengine (makuhani, Walawi na wote waliorejea Yerusalemu kutoka uhamishoni) walianza kazi, wakiteua Walawi wenye umri kuanzia miaka ishirini au zaidi kusimamia ujenzi wa nyumba ya \nd Bwana\nd*.

EZR 3:9 Removed trailing space in v~: Yeshua na wanawe, pamoja na ndugu zake, Kadmieli na wanawe (wazao wa Hodavia), wana wa Henadadi na wana wao na ndugu zao, Walawi wote walijiunga pamoja kusimamia wale waliofanya kazi katika nyumba ya Mungu.

EZR 3:10 Removed trailing space in v~: Wajenzi walipoweka msingi wa Hekalu la \nd Bwana\nd*, makuhani wakiwa wamevalia mavazi yao wakiwa na tarumbeta na Walawi (wana wa Asafu) wakiwa na matoazi, walishika nafasi zao za kumtukuza \nd Bwana\nd*, kama ilivyoagizwa na Daudi mfalme wa Israeli.

EZR 3:11 Removed trailing space in v~: Waliimba nyimbo za sifa na za shukrani kwa \nd Bwana\nd* hivi:

EZR 3:11 Removed trailing space in p~: “Yeye ni mwema;

EZR 3:11 Removed trailing space in p~: upendo wake kwa Israeli

EZR 3:11 Removed trailing space in p~: wadumu milele.”

EZR 3:11 Removed trailing space in p~: Watu wote wakapaza sauti kubwa za sifa kwa \nd Bwana\nd*, kwa sababu msingi wa nyumba ya \nd Bwana\nd* ulikuwa umewekwa.

EZR 3:12 Removed trailing space in v~: Lakini wengi wa makuhani wazee, Walawi na viongozi wa jamaa waliokuwa wameona Hekalu la mwanzoni, walilia kwa sauti walipoona msingi wa Hekalu hili ukiwekwa, huku wengine wengi wakipiga kelele kwa furaha.

EZR 3:13 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu ambaye angeweza kutofautisha sauti hizo za furaha na za kilio, kwa sababu watu walipiga kelele sana. Nayo hiyo sauti ikasikika mbali.

EZR 4:0 Extra space after chapter number

EZR 4:0 Removed trailing space in c: 4

EZR 4:0 Removed trailing space in s1: Upinzani Kuhusu Ujenzi Mpya

EZR 4:1 Removed trailing space in v~: Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

EZR 4:2 Removed trailing space in v~: wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-Hadoni mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”

EZR 4:3 Removed trailing space in v~: Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa jamaa ya Israeli wakawajibu, “Ninyi hamna sehemu nasi katika kujenga Hekalu la Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga Hekalu kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kama Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi alivyotuagiza.”

EZR 4:4 Removed trailing space in v~: Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga kuwakatisha tamaa watu wa Yuda na kuwafanya waogope walipokuwa wakiendelea na ujenzi.

EZR 4:5 Removed trailing space in v~: Wakaajiri washauri kuwapinga katika kazi yao, nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.

EZR 4:5 Removed trailing space in s1: Upinzani Mwingine Chini Ya Ahasuero Na Artashasta

EZR 4:6 Removed trailing space in v~: Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero, hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu.

EZR 4:7 Removed trailing space in v~: Pia katika siku za utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli pamoja na wenzao waliandika barua kwa Artashasta. Barua hiyo iliandikwa kwa mwandiko wa Kiaramu na katika lugha ya Kiaramu.

EZR 4:8 Removed trailing space in v~: Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai waliandika barua kwa Mfalme Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama ifuatavyo:

EZR 4:9 Removed trailing space in v~: Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,

EZR 4:10 Removed trailing space in v~: na watu wengine ambao mheshimiwa Asur-Banipali\f + \fr 4:10 \ft Yaani Osnapali au Asnapali kwa Kiaramu.\f* aliwahamisha na kuwakalisha katika mji wa Samaria na mahali pengine Ngʼambo ya Mto Frati.

EZR 4:11 Removed trailing space in v~: (Hii ndiyo nakala ya barua waliyompelekea.)

EZR 4:11 Removed trailing space in p~: Kwa Mfalme Artashasta,

EZR 4:11 Removed trailing space in p~: Kutoka kwa watumishi wako, watu wa Ngʼambo ya Mto Frati:

EZR 4:12 Removed trailing space in v~: Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga upya ule mji wa uasi na uovu. Wanajenga kuta upya na kukarabati misingi yake.

EZR 4:13 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikafanywa upya, hakutakuwa na ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo hazina za mfalme zitaathirika.

EZR 4:14 Removed trailing space in v~: Sisi sasa kwa kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na kwamba siyo sawasawa kwetu kuona mfalme akidharauliwa, basi tunatuma ujumbe huu kumtaarifu mfalme,

EZR 4:15 Removed trailing space in v~: ili kwamba ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu ya maandishi ya waliokutangulia. Katika kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme na majimbo, ni mahali pa maasi tangu zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa.

EZR 4:16 Removed trailing space in v~: Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa upya, hutabakiwa na chochote Ngʼambo ya Mto Frati.

EZR 4:17 Removed trailing space in v~: Mfalme alirudisha jibu hili:

EZR 4:17 Removed trailing space in p~: Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika Samaria na penginepo Ngʼambo ya Mto Frati:

EZR 4:17 Removed trailing space in p~: Salamu.

EZR 4:18 Removed trailing space in v~: Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.

EZR 4:19 Removed trailing space in v~: Nilitoa amri na uchunguzi ukafanyika na imegundulika kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa maasi na uchochezi.

EZR 4:20 Removed trailing space in v~: Yerusalemu umepata kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala nchi yote iliyo Ngʼambo ya Mto Frati, wakitoza kodi, ada na ushuru huko.

EZR 4:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo toeni amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi nitakapoagiza.

EZR 4:22 Removed trailing space in v~: Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?

EZR 4:23 Removed trailing space in v~: Mara waliposomewa nakala ya barua ya Mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.

EZR 4:24 Removed trailing space in v~: Hivyo kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.

EZR 5:0 Extra space after chapter number

EZR 5:0 Removed trailing space in c: 5

EZR 5:0 Removed trailing space in s1: Barua Ya Tatenai Kwa Dario

EZR 5:1 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Hagai na nabii Zekaria mzao wa Ido, wakawatolea unabii Wayahudi waliokuwa Yuda na Yerusalemu kwa jina la Mungu wa Israeli, aliyekuwa pamoja nao.

EZR 5:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Zerubabeli mwana wa Shealtieli na Yeshua mwana wa Yosadaki wakaanza kujenga tena nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Nao manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao, wakiwasaidia.

EZR 5:3 Removed trailing space in v~: Wakati ule Tatenai mtawala wa ngʼambo ya mto Frati na Shethar-Bozenai na wenzao waliwaendea, wakawauliza, “Ni nani aliyewapa ruhusa ya kujenga tena Hekalu hili na kurudishia upya kama lilivyokuwa?”

EZR 5:4 Removed trailing space in v~: Pia waliwauliza, “Je, majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani?”

EZR 5:5 Removed trailing space in v~: Lakini jicho la Mungu wao lilikuwa likiwaangalia wazee wa Wayahudi, nao hawakuzuiliwa kujenga mpaka taarifa ikaandikwa kwa Dario na majibu yake kupokelewa.

EZR 5:6 Removed trailing space in v~: Hii ni nakala ya barua ile Tatenai, mtawala wa ngʼambo ya mto Frati na Shethar-Bozenai na wenzao maafisa wa ngʼambo ya mto Frati waliyompelekea Mfalme Dario.

EZR 5:7 Removed trailing space in v~: Taarifa waliyompelekea ilisomeka kama ifuatavyo:

EZR 5:7 Removed trailing space in p~: Kwa Mfalme Dario:

EZR 5:7 Removed trailing space in p~: Salamu kwa moyo mkunjufu.

EZR 5:8 Removed trailing space in v~: Inampasa Mfalme ajue kwamba tulikwenda katika eneo la Yuda, kwenye Hekalu la Mungu mkuu. Watu wanalijenga kwa mawe makubwa na kuweka mbao kwenye kuta. Kazi inafanyika kwa bidii na inaendelea kwa haraka chini ya uongozi wao.

EZR 5:9 Removed trailing space in v~: Tuliwauliza viongozi, “Ni nani aliyewapa ruhusa kujenga upya Hekalu hili na kurejeza hali ya jengo kama lilivyokuwa?”

EZR 5:10 Removed trailing space in v~: Pia tuliwauliza majina yao, ili tukuandikie kukujulisha majina ya viongozi wao.

EZR 5:11 Removed trailing space in v~: Hili ndilo jibu walilotupa:

EZR 5:11 Removed trailing space in p~: “Sisi ni watumishi wa Mungu wa mbingu na nchi, nasi tunalijenga upya Hekalu ambalo lilijengwa miaka mingi iliyopita, lile ambalo mfalme mkuu wa Israeli alilijenga na kulikamilisha.

EZR 5:12 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu baba zetu walimkasirisha Mungu wa mbinguni, basi aliwatia mkononi mwa Nebukadneza, Mkaldayo, mfalme wa Babeli, ambaye aliliharibu Hekalu hili na kuwaondoa watu na kuwapeleka uhamishoni huko Babeli.

EZR 5:13 Removed trailing space in v~: “Pamoja na hayo, katika mwaka wa kwanza wa kutawala Koreshi mfalme wa Babeli, Mfalme Koreshi alitoa amri ya kujengwa upya nyumba hii ya Mungu.

EZR 5:14 Removed trailing space in v~: Yeye hata aliviondoa vyombo vya dhahabu na fedha vya nyumba ya Mungu, kutoka Hekalu la Babeli ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka ndani ya Hekalu huko Yerusalemu na kuvileta katika Hekalu la Babeli.

EZR 5:14 Removed trailing space in p~: “Vyombo hivyo Mfalme Koreshi alimkabidhi mtu aliyeitwa Sheshbaza, ambaye Koreshi alikuwa amemteua awe mtawala,

EZR 5:15 Removed trailing space in v~: naye akamwambia, ‘Chukua vyombo hivi uende ukaviweke ndani ya Hekalu huko Yerusalemu. Nawe uijenge upya nyumba ya Mungu mahali pake.’

EZR 5:16 Removed trailing space in v~: Hivyo huyu Sheshbaza alikuja na kuweka misingi ya nyumba ya Mungu iliyoko Yerusalemu. Tangu siku hiyo hadi sasa imekuwa ikiendelea kujengwa lakini bado haijamalizika.”

EZR 5:17 Removed trailing space in v~: Sasa kama ikimpendeza mfalme, uchunguzi na ufanyike katika kumbukumbu za maandishi ya ufalme mjini Babeli, kuona kama kweli Mfalme Koreshi alitoa amri ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika Yerusalemu. Kisha tunaomba mfalme na atutumie uamuzi wake kuhusu jambo hili.

EZR 6:0 Extra space after chapter number

EZR 6:0 Removed trailing space in c: 6

EZR 6:0 Removed trailing space in s1: Amri Ya Dario

EZR 6:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Dario alitoa amri, nao wakafanya uchunguzi katika kumbukumbu zilizohifadhiwa katika hazina huko Babeli.

EZR 6:2 Removed trailing space in v~: Karatasi moja ndefu ya maandishi ilipatikana huko Ekbatana katika jimbo la Umedi. Haya ndiyo yaliyokuwa yameandikwa humo:

EZR 6:2 Removed trailing space in p~: Kumbukumbu:

EZR 6:3 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kwanza wa kutawala Mfalme Koreshi, mfalme alitoa amri kuhusu Hekalu la Mungu katika Yerusalemu:

EZR 6:3 Removed trailing space in p~: Hekalu na lijengwe tena mahali palepale Wayahudi walipokuwa wakitoa dhabihu, kwenye msingi ule ule. Iwe na kimo cha mikono sitini,\f + \fr 6:3 \ft Mikono 60 ni sawa na mita 27.\f* upana wa mikono sitini,

EZR 6:4 Removed trailing space in v~: kuta zijengwe kwa safu tatu za mawe makubwa kisha ifuate safu moja ya mbao. Gharama zitalipwa kutoka hazina ya mfalme.

EZR 6:5 Removed trailing space in v~: Pia, vyombo vya dhahabu na vya fedha vya nyumba ya Mungu, ambavyo Nebukadneza alivichukua kutoka kwenye Hekalu huko Yerusalemu akavileta Babeli, yapasa virudishwe mahali pake ndani ya Hekalu huko Yerusalemu, yapasa viwekwe ndani ya nyumba ya Mungu.

EZR 6:6 Removed trailing space in v~: Sasa basi, Tatenai, mtawala wa Ngʼambo ya Mto Frati na Shethar-Bozenai pamoja na ninyi, maafisa wenzao wa jimbo hilo kaeni mbali na mahali hapo.

EZR 6:7 Removed trailing space in v~: Msiingilie kazi ya Hekalu hili la Mungu. Mwacheni mtawala wa Wayahudi na viongozi Wayahudi wajenge upya nyumba hii ya Mungu mahali pake.

EZR 6:8 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, hapa natoa amri kuhusu mtakalofanya kwa ajili ya wazee wa Wayahudi katika ujenzi wa nyumba hii ya Mungu:

EZR 6:8 Removed trailing space in p~: Gharama za watu hawa zitalipwa kikamilifu kutoka hazina ya mfalme, kutoka kwenye mapato ya Ngʼambo ya Mto Frati, ili ujenzi usisimame.

EZR 6:9 Removed trailing space in v~: Chochote kinachohitajika kama mafahali wachanga, kondoo dume, wana-kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Mungu wa mbinguni, ngano, chumvi, divai na mafuta kama vitakavyohitajika na makuhani huko Yerusalemu, lazima wapewe kila siku pasipo kukosa,

EZR 6:10 Removed trailing space in v~: ili waweze kutoa dhabihu inayompendeza Mungu wa mbinguni na kumwombea mfalme na wanawe hali njema.

EZR 6:11 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, ninaamuru kwamba mtu yeyote atakayebadilisha amri hii, boriti itangʼolewa kutoka nyumba yake, ichongwe upande mmoja na atumbuliwe nayo. Kwa ajili ya kosa hili nyumba yake ifanywe lundo la taka.

EZR 6:12 Removed trailing space in v~: Naye Mungu, aliyeliweka Jina lake huko, amwangushe mfalme yeyote au watu watakaoinua mikono kubadili amri hii au kuharibu Hekalu hili lililoko Yerusalemu.

EZR 6:12 Removed trailing space in p~: Mimi Dario nimetoa amri hii. Nayo itekelezwe kwa bidii na kwa makini.

EZR 6:12 Removed trailing space in s1: Jengo Linakamilika Na Kuwekwa Wakfu

EZR 6:13 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya amri aliyotoa Mfalme Dario, Tatenai mtawala wa Ngʼambo ya Mto Frati na Shethar-Bozenai na wenzao wakaitekeleza kwa bidii na kwa makini.

EZR 6:14 Removed trailing space in v~: Hivyo wazee wa Wayahudi waliendelea kujenga na kustawi kutokana na mahubiri ya manabii Hagai na Zekaria, mwana wa Ido. Wakakamilisha ujenzi wa Hekalu kulingana na agizo la Mungu wa Israeli na amri ya Koreshi, Dario na Artashasta wafalme wa Uajemi.

EZR 6:15 Removed trailing space in v~: Hekalu lilikamilika siku ya kumi na mbili ya mwezi wa Adari, ndio mwezi wa tatu, katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Dario.

EZR 6:16 Removed trailing space in v~: Kisha watu wa Israeli: makuhani, Walawi na wengine wote waliohamishwa, wakaadhimisha kule kuwekwa wakfu nyumba ya Mungu kwa shangwe.

EZR 6:17 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya kuwekwa wakfu nyumba hii ya Mungu walitoa mafahali mia moja, kondoo dume mia mbili, wana-kondoo mia nne, sadaka kwa ajili ya dhambi ya Israeli yote walitoa mbuzi dume kumi na wawili, mmoja kwa ajili ya kila kabila la Israeli.

EZR 6:18 Removed trailing space in v~: Wakawaweka makuhani katika nafasi zao na Walawi wakawekwa katika makundi yao ya huduma kwa Mungu huko Yerusalemu, kulingana na ilivyoandikwa katika Kitabu cha Mose.

EZR 6:18 Removed trailing space in s1: Pasaka

EZR 6:19 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, waliorudi kutoka uhamishoni wakaadhimisha Pasaka.

EZR 6:20 Removed trailing space in v~: Makuhani na Walawi walikuwa wamekwisha kujitakasa nao wamekuwa safi kwa kufuata kawaida za ibada. Walawi wakachinja kondoo wa Pasaka kwa ajili ya wana wa waliorudi kutoka utumwani uhamishoni, kwa ajili ya ndugu zao makuhani na wao wenyewe.

EZR 6:21 Removed trailing space in v~: Hivyo Waisraeli waliokuwa wamerudi kutoka utumwani uhamishoni wakaila Pasaka, pamoja na wale waliokuwa wamejitenga na matendo ya unajisi wa Mataifa ya jirani ili kumtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

EZR 6:22 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa siku saba waliiadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa furaha, kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa amewajaza furaha kwa kubadilisha nia ya mfalme wa Ashuru kwamba awasaidie ujenzi wa nyumba ya Mungu, Mungu wa Israeli.

EZR 8:0 Extra space after chapter number

EZR 8:0 Removed trailing space in c: 8

EZR 8:0 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Viongozi Wa Jamaa Waliorudi Na Ezra

EZR 8:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio viongozi wa jamaa pamoja na wale walioandikwa ambao walikuja pamoja nami kutoka Babeli wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta:

EZR 8:2 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Finehasi, alikuwa Gershoni;

EZR 8:2 Removed trailing space in p~: wa wazao wa Ithamari, alikuwa Danieli;

EZR 8:2 Removed trailing space in p~: wa wazao wa Daudi, alikuwa Hatushi

EZR 8:3 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Shekania;

EZR 8:3 Removed trailing space in p~: wa wazao wa Paroshi, alikuwa Zekaria, na watu 150 walioandikishwa pamoja naye;

EZR 8:4 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Pahath-Moabu, alikuwa Eliehoenai mwana wa Zerahia na wanaume 200 pamoja naye;

EZR 8:5 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Zatu, alikuwa Shekania mwana wa Yahazieli na wanaume 300 pamoja naye;

EZR 8:6 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume 50 pamoja naye;

EZR 8:7 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume 70 pamoja naye;

EZR 8:8 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Shefatia, alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli na wanaume 80 pamoja naye;

EZR 8:9 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Yoabu, alikuwa Obadia mwana wa Yehieli na wanaume 218 pamoja naye;

EZR 8:10 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Bani, alikuwa Shelomithi mwana wa Yosifia na wanaume 160 pamoja naye;

EZR 8:11 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume 28 pamoja naye;

EZR 8:12 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Azgadi, alikuwa Yohanani mwana wa Hakatani na wanaume 110 pamoja naye;

EZR 8:13 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Adonikamu, hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume 60 pamoja nao;

EZR 8:14 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Bigwai, walikuwa Uthai na Zakuri na wanaume 70 pamoja nao.

EZR 8:14 Removed trailing space in s1: Kurudi Yerusalemu

EZR 8:15 Removed trailing space in v~: Niliwakusanya kwenye mto utiririkao kuelekea Ahava, nasi tukapiga kambi pale siku tatu. Wakati nilipokagua kati ya watu na makuhani, sikuwapata Walawi.

EZR 8:16 Removed trailing space in v~: Basi niliwaita Eliezeri, Arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu, Elnathani, Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na Yoyaribu na Elnathani waliokuwa wasomi,

EZR 8:17 Removed trailing space in v~: nikawatuma kwa Ido kiongozi huko Kasifia. Niliwaambia watakayomwambia Ido na ndugu zake, watumishi wa Hekalu\f + \fr 8:17 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 8:20).\f* huko Kasifia, ili waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

EZR 8:18 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mkono wa neema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea Sherebia, mtu mwenye uwezo kutoka wazao wa Mahli mwana wa Lawi, mwana wa Israeli, na wana wa Sherebia pamoja na ndugu zao wanaume kumi na wanane.

EZR 8:19 Removed trailing space in v~: Naye Hashabia, pamoja na Yeshaya kutoka wazao wa Merari na ndugu zake na wapwa wake wanaume ishirini.

EZR 8:20 Removed trailing space in v~: Vilevile walileta watumishi wa Hekalu 220, kikundi ambacho Daudi na maafisa walikuwa wamekiweka kusaidia Walawi. Wote walikuwa wameorodheshwa kwa majina.

EZR 8:21 Removed trailing space in v~: Kando ya Mto Ahava, hapo nilitangaza kufunga, ili tujinyenyekeshe mbele za Mungu wetu na kumwomba kwa ajili ya kutujalia safari ya amani sisi na watoto wetu, pamoja na mali zetu zote.

EZR 8:22 Removed trailing space in v~: Niliona aibu kumwomba mfalme askari na wapanda farasi wa kutulinda njiani kutokana na adui zetu, kwa sababu tulikwisha kumwambia mfalme, “Mkono wa neema wa Mungu wetu uko juu ya kila mmoja anayemtafuta, lakini hasira yake kubwa ni dhidi ya wote wamwachao.”

EZR 8:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu wetu kuhusu jambo hili, naye akajibu maombi yetu.

EZR 8:24 Removed trailing space in v~: Kisha niliwatenga viongozi wa makuhani kumi na wawili, pamoja na Sherebia, Hashabia na ndugu zao kumi,

EZR 8:25 Removed trailing space in v~: nami nikawapimia fedha, dhahabu na vifaa ambavyo mfalme, washauri wake, maafisa wake na Israeli wote waliokuwepo walikuwa wamevitoa sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

EZR 8:26 Removed trailing space in v~: Niliwapimia talanta 650\f + \fr 8:26 \ft Talanta 650 za fedha ni sawa na tani 25.\f* za fedha, vifaa vingine vya fedha vya uzito wa talanta mia moja,\f + \fr 8:26 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.\f* talanta mia moja za dhahabu,

EZR 8:27 Removed trailing space in v~: mabakuli ishirini ya dhahabu ya thamani ya darkoni elfu moja,\f + \fr 8:27 \ft Darkoni 1,000 ni sawa na kilo 8.5.\f* na vyombo viwili vya shaba iliyosuguliwa, ya thamani kama dhahabu.

EZR 8:28 Removed trailing space in v~: Niliwaambia, “Ninyi pamoja na vyombo hivi ni wakfu kwa \nd Bwana\nd*. Fedha na dhahabu ni sadaka ya hiari kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu.

EZR 8:29 Removed trailing space in v~: Vilindeni kwa uangalifu mpaka mtakapovipima ndani ya vyumba vya nyumba ya \nd Bwana\nd* katika Yerusalemu mbele ya makuhani, viongozi na Walawi pamoja na wakuu wa jamaa za Israeli.”

EZR 8:30 Removed trailing space in v~: Ndipo makuhani na Walawi wakapokea fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu ambavyo vilipimwa na kupelekwa katika nyumba ya Mungu wetu mjini Yerusalemu.

EZR 8:31 Removed trailing space in v~: Tulianza safari kutoka Mto Ahava kwenda Yerusalemu kwenye siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza. Mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye njiani alitulinda dhidi ya adui na wanyangʼanyi.

EZR 8:32 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.

EZR 8:33 Removed trailing space in v~: Katika siku ya nne, ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tulipima fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu, tukakabidhi mikononi mwa kuhani Meremothi mwana wa Uria. Eleazari mwana wa Finehasi alikuwa pamoja naye, pia walikuwako Walawi wawili, Yozabadi mwana wa Yeshua na Noadia mwana wa Binui.

EZR 8:34 Removed trailing space in v~: Kila kitu kilihesabiwa kwa idadi na kupimwa kwa uzito, nao uzito wote uliandikwa wakati ule.

EZR 8:35 Removed trailing space in v~: Kisha mateka waliokuwa wamerudi kutoka utumwani wakatoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa Mungu wa Israeli: mafahali kumi na wawili kwa ajili ya Israeli wote, kondoo dume tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi dume kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi. Hii yote ilikuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto kwa \nd Bwana\nd*.

EZR 8:36 Removed trailing space in v~: Pia walikabidhi manaibu wa mfalme na watawala wa Ngʼambo ya Mto Frati maagizo ya mfalme, ambao baadaye walitoa msaada kwa watu na kwa nyumba ya Mungu.

EZR 9:0 Extra space after chapter number

EZR 9:0 Removed trailing space in c: 9

EZR 9:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Ezra Kuhusu Kuoa Wake Wa Kigeni

EZR 9:1 Removed trailing space in v~: Baada ya mambo haya kutendeka, viongozi walinijia na kusema, “Watu wa Israeli, wakiwemo makuhani na Walawi, hawakujitenga na majirani zao katika kufanya machukizo, kama yale ya Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.

EZR 9:2 Removed trailing space in v~: Wamewaoa baadhi ya binti zao kuwa wake zao na wake za wana wao, nao wamechanganya taifa takatifu na watu waliowazunguka. Nao viongozi na maafisa wamekuwa mstari wa mbele katika njia hii potovu.”

EZR 9:3 Removed trailing space in v~: Niliposikia jambo hili nilirarua koti langu na joho langu, nikazingʼoa nywele za kichwa changu na ndevu zangu na kuketi nikishangaa.

EZR 9:4 Removed trailing space in v~: Kisha kila mmoja aliyetetemeshwa na maneno ya Mungu wa Israeli alikusanyika kunizunguka kwa sababu ya upotovu huu wa hao watu waliorudi kutoka utumwani. Nami niliketi pale nikishangaa mpaka wakati wa dhabihu ya jioni.

EZR 9:5 Removed trailing space in v~: Ndipo wakati wa kutoa dhabihu ya jioni nikainuka kutoka kujidhili kwangu nikiwa na koti na joho langu lililoraruka, nikapiga magoti mikono yangu ikiwa imeinuliwa kwa \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

EZR 9:6 Removed trailing space in v~: Nami nikaomba:

EZR 9:6 Removed trailing space in p~: “Ee Mungu wangu, natahayari na kuona aibu kukuinulia uso wangu Mungu wangu, kwa sababu dhambi zetu zimejikusanya hata kupita juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imefika mbinguni.

EZR 9:7 Removed trailing space in v~: Tokea siku za babu zetu mpaka sasa, hatia yetu imekuwa kubwa. Kwa sababu ya dhambi zetu, sisi na wafalme wetu na makuhani wetu tumekabiliwa na vita, utumwa, kutekwa na kudhiliwa katika mikono ya wafalme wa kigeni, kama ilivyo leo.

EZR 9:8 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa, kwa muda mfupi, \nd Bwana\nd* Mungu wetu amekuwa na neema kwa kutuachia mabaki na kutupa mahali imara katika mahali pake patakatifu, hivyo Mungu wetu atupa mwanga machoni petu na unafuu katika utumwa wetu.

EZR 9:9 Removed trailing space in v~: Ingawa tu watumwa, Mungu wetu hajatuacha katika kufungwa kwetu. Ametuonyesha huruma mbele ya wafalme wa Uajemi: Ametujalia maisha mapya kwa kujenga upya nyumba ya Mungu wetu na kukarabati magofu yake, naye ametupa ukuta wa ulinzi katika Yuda na Yerusalemu.

EZR 9:10 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa, Ee Mungu wetu, tunaweza kusema nini baada ya hili? Kwa maana tumedharau maagizo

EZR 9:11 Removed trailing space in v~: uliyoyatoa kupitia watumishi wako manabii uliposema: ‘Nchi mnayoiingia kuimiliki ni nchi iliyochafuliwa na uovu wa watu wake. Kwa matendo yao ya machukizo wameijaza nchi kwa unajisi wao kutoka mwisho mmoja hadi mwingine.

EZR 9:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, msiwaoze binti zenu kwa wana wao wala binti zao kwa wana wenu. Msitafute mkataba wa urafiki nao kwa wakati wowote. Ndipo mtakapofanikiwa na kula mema ya nchi na kuwaachia watoto wenu nchi hiyo kama urithi wao wa milele.’

EZR 9:13 Removed trailing space in v~: “Yale yaliyotupata ni matokeo ya matendo yetu mabaya, pia hatia yetu kubwa. Hata hivyo, wewe Mungu wetu, umetuadhibu kidogo kuliko dhambi zetu zilivyostahili na umetupa mabaki kama haya.

EZR 9:14 Removed trailing space in v~: Je, tutavunja maagizo yako tena na kuoana na watu ambao hufanya mambo ya machukizo? Je, hutakuwa na hasira ya kutosha juu yetu na kutuangamiza, bila kutuachia mabaki wala atakayenusurika?

EZR 9:15 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, wewe ni mwenye haki! Leo hii tumeachwa kama mabaki. Tupo hapa mbele zako na hatia yetu, ingawa katika hali hii hakuna hata mmoja wetu anayeweza kusimama mbele zako.”

EZR 10:0 Extra space after chapter number

EZR 10:0 Removed trailing space in c: 10

EZR 10:0 Removed trailing space in s1: Toba Ya Watu

EZR 10:1 Removed trailing space in v~: Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana.

EZR 10:2 Removed trailing space in v~: Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli.

EZR 10:3 Removed trailing space in v~: Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria.

EZR 10:4 Removed trailing space in v~: Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”

EZR 10:5 Removed trailing space in v~: Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa.

EZR 10:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.

EZR 10:7 Removed trailing space in v~: Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu.

EZR 10:8 Removed trailing space in v~: Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.

EZR 10:9 Removed trailing space in v~: Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa.

EZR 10:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli.

EZR 10:11 Removed trailing space in v~: Sasa tubuni kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”

EZR 10:12 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.

EZR 10:13 Removed trailing space in v~: Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili.

EZR 10:14 Removed trailing space in v~: Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.”

EZR 10:15 Removed trailing space in v~: Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.

EZR 10:16 Removed trailing space in v~: Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.

EZR 10:17 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.

EZR 10:17 Removed trailing space in s1: Wenye Hatia Ya Kuoa Wake Wa Kigeni

EZR 10:18 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni:

EZR 10:18 Removed trailing space in p~: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.

EZR 10:19 Removed trailing space in v~: (Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)

EZR 10:20 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Imeri:

EZR 10:20 Removed trailing space in p~: Hanani na Zebadia.

EZR 10:21 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Harimu:

EZR 10:21 Removed trailing space in p~: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.

EZR 10:22 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Pashuri:

EZR 10:22 Removed trailing space in p~: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.

EZR 10:23 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa Walawi:

EZR 10:23 Removed trailing space in p~: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

EZR 10:24 Removed trailing space in v~: Kutoka waimbaji:

EZR 10:24 Removed trailing space in p~: Eliashibu.

EZR 10:24 Removed trailing space in p~: Kutoka mabawabu:

EZR 10:24 Removed trailing space in p~: Shalumu, Telemu na Uri.

EZR 10:25 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa Waisraeli wengine:

EZR 10:25 Removed trailing space in p~: Kutoka wazao wa Paroshi:

EZR 10:25 Removed trailing space in p~: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

EZR 10:26 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Elamu:

EZR 10:26 Removed trailing space in p~: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.

EZR 10:27 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Zatu:

EZR 10:27 Removed trailing space in p~: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.

EZR 10:28 Removed trailing space in v~: Kutoka uzao wa Bebai:

EZR 10:28 Removed trailing space in p~: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

EZR 10:29 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Bani:

EZR 10:29 Removed trailing space in p~: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.

EZR 10:30 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Pahath-Moabu:

EZR 10:30 Removed trailing space in p~: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.

EZR 10:31 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Harimu:

EZR 10:31 Removed trailing space in p~: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,

EZR 10:32 Removed trailing space in v~: Benyamini, Maluki, na Shemaria.

EZR 10:33 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Hashumu:

EZR 10:33 Removed trailing space in p~: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.

EZR 10:34 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Bani:

EZR 10:34 Removed trailing space in p~: Maadai, Amramu, Ueli,

EZR 10:35 Removed trailing space in v~: Benaya, Bedeya, Keluhi,

EZR 10:36 Removed trailing space in v~: Vania, Meremothi, Eliashibu,

EZR 10:37 Removed trailing space in v~: Matania, Matenai na Yaasu.

EZR 10:38 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Binui:

EZR 10:38 Removed trailing space in p~: Shimei,

EZR 10:39 Removed trailing space in v~: Shelemia, Nathani, Adaya,

EZR 10:40 Removed trailing space in v~: Maknadebai, Shashai, Sharai,

EZR 10:41 Removed trailing space in v~: Azareli, Shelemia, Shemaria,

EZR 10:42 Removed trailing space in v~: Shalumu, Amaria na Yosefu.

EZR 10:43 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Nebo:

EZR 10:43 Removed trailing space in p~: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.

EZR 10:44 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.

USFMs

Newline Marker Errors

EZR 1:1 Marker 'pmo' has no content

EZR 1:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:3 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:4 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:5 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:6 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:7 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:8 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:9 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:11 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:12 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:13 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:14 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:15 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:16 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:17 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:18 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:19 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:20 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:21 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:22 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:23 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:24 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:25 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:26 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:27 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:28 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:29 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:30 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:31 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:32 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:33 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:34 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:35 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:37 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:38 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:39 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:58 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:60 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 4:8 Marker 'pmo' has no content

EZR 4:11 Marker 'pmo' has no content

EZR 4:11 Marker 'pmo' has no content

EZR 4:17 Marker 'pmo' has no content

EZR 4:17 Marker 'pmo' has no content

EZR 5:7 Marker 'pmo' has no content

EZR 5:7 Marker 'pmo' has no content

EZR 6:2 Marker 'pmo' has no content

EZR 7:11 Marker 'pmo' has no content

EZR 7:12 Marker 'pmo' has no content

EZR 7:12 Marker 'pmo' has no content

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 31    c: 10    h: 1    id: 1    li1: 51    li2: 17    li4: 12    m: 1    mt1: 1    p: 49    pm: 26    pmo: 12    q1: 1    q2: 2    r: 1    rem: 1    s1: 17    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 565    tr: 48    v: 280  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    r: 1    q1: 1    m: 1    q2: 2    c: 10    pmo: 12    li4: 12    s1: 17    li2: 17    pm: 26    b: 31    tr: 48    p: 49    li1: 51    v: 280    Total: 565  

All Text Internal Marker Counts

 tc: 39    tc1: 9    tcr2: 9    Total: 57  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 tc1: 9    tcr2: 9    tc: 39    Total: 57  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 10    Paragraphs: 49    Section Cross-References: 1    Verses: 280  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 1    Chapters: 10    Paragraphs: 49    Verses: 280  

Characters

Possible Character Errors

EZR 2:42 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

EZR 2:42 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

EZR 2:42 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

EZR 2:42 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 1    a: 157    A: 9    b: 7    B: 2    C: 1    d: 15    D: 2    E: 9    e: 35    f: 8    g: 8    h: 25    H: 4    i: 64    j: 5    J: 2    K: 17    k: 20    l: 17    L: 1    m: 18    M: 5    n: 30    N: 4    o: 29    O: 2    p: 5    P: 1    r: 27    s: 20    S: 2    Space: 113    t: 17    T: 4    Total: 829    u: 47    U: 6    v: 7    V: 1    W: 12    w: 21    y: 16    Y: 15    z: 18  

Letter Counts (sorted by count)

 -: 1    C: 1    L: 1    P: 1    V: 1    O: 2    S: 2    B: 2    D: 2    J: 2    N: 4    H: 4    T: 4    j: 5    p: 5    M: 5    U: 6    b: 7    v: 7    f: 8    g: 8    E: 9    A: 9    W: 12    d: 15    Y: 15    y: 16    K: 17    t: 17    l: 17    z: 18    m: 18    s: 20    k: 20    w: 21    h: 25    r: 27    o: 29    n: 30    e: 35    u: 47    i: 64    Space: 113    a: 157    Total: 829  

Punctuation Counts

 (: 3    ): 3    ,: 6    .: 1    /: 4    :: 1    Total: 18  

Punctuation Counts (sorted by count)

 .: 1    :: 1    (: 3    ): 3    /: 4    ,: 6    Total: 18  

Speech Marks

Possible Matching Errors

EZR 1:2 Unclosed “ (opened at 1:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZR 1:5 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 1:2:v)' before v marker or missing reopening quotes at v5

EZR 5:13 Unclosed “ (opened at 5:11:pm) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

EZR 5:14 Unclosed “ (opened at 5:13:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

EZR 5:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:11:pm)', '“ (opened at 5:13:v)', '“ (opened at 5:14:pm)', '‘ (opened at 5:15:v)']

EZR 5:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 5:11:pm)', '“ (opened at 5:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

EZR 9:8 Unclosed “ (opened at 9:6:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZR 9:10 Unclosed “ (opened at 9:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZR 9:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:6:pm)', '“ (opened at 9:8:v)', '“ (opened at 9:10:v)', '‘ (opened at 9:11:v)']

EZR 9:13 Unclosed “ (opened at 9:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZR 9:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:6:pm)', '“ (opened at 9:8:v)', '“ (opened at 9:10:v)', '“ (opened at 9:13:v)']

EZR 10:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:6:pm)', '“ (opened at 9:8:v)', '“ (opened at 9:10:v)'] before p marker

Words

Possible Word Errors

EZR 2:42 Have unexpected character starting word '//Shalumu'

EZR 2:42 Have unexpected character starting word '//Akubu'

EZR 2:43 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

EZR -1:6 Main Title 1:Ezra

Section Heading Lines

EZR 1:0Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka Uhamishoni
EZR 2:0Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni
EZR 3:0Madhabahu Yajengwa Tena
EZR 3:6Kujenga Upya Hekalu
EZR 4:0Upinzani Kuhusu Ujenzi Mpya
EZR 4:5Upinzani Mwingine Chini Ya Ahasuero Na Artashasta
EZR 5:0Barua Ya Tatenai Kwa Dario
EZR 6:0Amri Ya Dario
EZR 6:12Jengo Linakamilika Na Kuwekwa Wakfu
EZR 6:18Pasaka
EZR 7:0Ezra Awasili Yerusalemu
EZR 7:10Barua Ya Ezra Kutoka Kwa Mfalme Artashasta
EZR 8:0Orodha Ya Viongozi Wa Jamaa Waliorudi Na Ezra
EZR 8:14Kurudi Yerusalemu
EZR 9:0Maombi Ya Ezra Kuhusu Kuoa Wake Wa Kigeni
EZR 10:0Toba Ya Watu
EZR 10:17Wenye Hatia Ya Kuoa Wake Wa Kigeni

Section Cross-reference Lines

EZR 2:0(Nehemia 7:4-73)

Notes

Footnote Lines

EZR 2:43+ \fr 2:43 \ft Yaani \fqa Wanethini \ft (pia \+xt 2:58, 70\+xt*).
EZR 2:63+ \fr 2:63 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hiv…isha.
EZR 2:69+ \fr 2:69 \ft Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500.
EZR 2:69+ \fr 2:69 \ft Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900.
EZR 4:10+ \fr 4:10 \ft Yaani Osnapali au Asnapali kwa Kiaramu.
EZR 6:3+ \fr 6:3 \ft Mikono 60 ni sawa na mita 27.
EZR 7:7+ \fr 7:7 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 7:24).
EZR 7:22+ \fr 7:22 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na kilo 3,400.
EZR 7:22+ \fr 7:22 \ft Kori 100 za ngano ni sawa na kilo 10,000.
EZR 7:22+ \fr 7:22 \ft Bathi 100 za divai ni sawa na lita 2,000.
EZR 8:17+ \fr 8:17 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 8:20).
EZR 8:26+ \fr 8:26 \ft Talanta 650 za fedha ni sawa na tani 25.
EZR 8:26+ \fr 8:26 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.
EZR 8:27+ \fr 8:27 \ft Darkoni 1,000 ni sawa na kilo 8.5.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 14    Footnotes: 14  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 14    Footnote leader '+': 14