Freely-Given.org Bible GEN Checks

<Up>

Priority Errors

Extra space after chapter number in GEN 2:0

Showing 1 out of 1846 priority errors

Fix Text Errors

GEN 2:0 Extra space after chapter number

GEN 2:0 Removed trailing space in c: 2

GEN 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.

GEN 2:2 Removed trailing space in v~: Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.

GEN 2:3 Removed trailing space in v~: Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.

GEN 2:3 Removed trailing space in s1: Adamu Na Eva

GEN 2:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maelezo ya mbingu na dunia wakati zilipoumbwa.

GEN 2:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mungu alipoziumba mbingu na dunia,

GEN 2:5 Removed trailing space in v~: hapakuwepo na mche wa shambani uliokuwa umejitokeza ardhini, wala hapakuwepo na mmea wa shamba uliokuwa umeota, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu alikuwa hajanyeshea mvua juu ya nchi, na hapakuwepo mtu wa kuilima ardhi,

GEN 2:6 Removed trailing space in v~: lakini umande ulitokeza kutoka ardhini na kunyesha uso wote wa nchi:

GEN 2:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi\f + \fr 2:7 \ft Neno la Kiebrania la mavumbi ya ardhi ndilo kiini cha jina Adamu.\f* ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai.

GEN 2:8 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* Mungu alikuwa ameotesha bustani upande wa mashariki, katika Edeni, huko akamweka huyo mtu aliyemuumba.

GEN 2:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akafanya aina zote za miti ziote kutoka ardhini, miti yenye kupendeza macho na mizuri kwa chakula. Katikati ya bustani ulikuwepo mti wa uzima na mti wa kujua mema na mabaya.

GEN 2:10 Removed trailing space in v~: Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka Edeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mito minne.

GEN 2:11 Removed trailing space in v~: Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, nao huzunguka nchi yote ya Havila ambako kuna dhahabu.

GEN 2:12 Removed trailing space in v~: (Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.)

GEN 2:13 Removed trailing space in v~: Jina la mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchi yote ya Kushi.

GEN 2:14 Removed trailing space in v~: Jina la mto wa tatu ni Tigrisi, unaopita mashariki ya Ashuru. Mto wa nne ni Frati.

GEN 2:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akamchukua huyo mtu, akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza.

GEN 2:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akamwagiza huyo mtu, akamwambia, “Uko huru kula matunda ya mti wowote katika bustani,

GEN 2:17 Removed trailing space in v~: lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”

GEN 2:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akasema, “Si vyema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

GEN 2:19 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* Mungu alikuwa amefanyiza kutoka ardhi wanyama wote wa porini na ndege wote wa angani. Akawaleta kwa huyu mtu aone atawaitaje, nalo jina lolote alilokiita kila kiumbe hai, likawa ndilo jina lake.

GEN 2:20 Removed trailing space in v~: Hivyo Adamu akawapa majina wanyama wote wa kufugwa, ndege wa angani, na wanyama wote wa porini.

GEN 2:20 Removed trailing space in p~: Lakini kwa Adamu hakupatikana msaidizi wa kumfaa.

GEN 2:21 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* Mungu akamfanya Adamu kulala usingizi mzito, naye alipokuwa amelala akachukua moja ya mbavu zake, akapafunika mahali pale kwa nyama.

GEN 2:22 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* Mungu akamfanya mwanamke kutoka kwenye ule ubavu aliouchukua kutoka kwa huyo mwanaume, akamleta huyo mwanamke kwa huyo mwanaume.

GEN 2:23 Removed trailing space in v~: Huyo mwanaume akasema,

GEN 2:23 Removed trailing space in p~: “Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yangu

GEN 2:23 Removed trailing space in p~: na nyama ya nyama yangu,

GEN 2:23 Removed trailing space in p~: ataitwa ‘mwanamke,’\f + \fr 2:23 \ft Jina la Kiebrania la mwanamke linafanana na lile la mwanaume.\f*

GEN 2:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.”

GEN 2:24 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

GEN 2:25 Removed trailing space in v~: Adamu na mkewe wote wawili walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.

GEN 3:0 Extra space after chapter number

GEN 3:0 Removed trailing space in c: 3

GEN 3:0 Removed trailing space in s1: Kuanguka Kwa Mwanadamu

GEN 3:1 Removed trailing space in v~: Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa porini ambao \nd Bwana\nd* Mungu aliwafanya. Nyoka akamwambia mwanamke, “Ati kweli Mungu alisema, ‘Kamwe msile matunda ya mti wowote wa bustanini’?”

GEN 3:2 Removed trailing space in v~: Mwanamke akamjibu nyoka, “Tunaweza kula matunda ya miti iliyoko bustanini,

GEN 3:3 Removed trailing space in v~: lakini Mungu alisema, ‘Kamwe msile tunda la mti ulio katikati ya bustani, wala kuugusa, la sivyo mtakufa.’ ”

GEN 3:4 Removed trailing space in v~: Lakini nyoka akamwambia mwanamke, “Hakika hamtakufa.

GEN 3:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu anajua ya kuwa wakati mtakapoyala, macho yenu yatafumbuliwa, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.”

GEN 3:6 Removed trailing space in v~: Mwanamke alipoona ya kuwa tunda la mti huo lilikuwa zuri kwa chakula na la kupendeza macho, tena linatamanika kwa kujipatia hekima, basi akachuma katika matunda yake, akala, pia akampa mumewe, aliyekuwa pamoja naye, naye akala.

GEN 3:7 Removed trailing space in v~: Ndipo macho yao wote wawili yakafumbuliwa, wakajiona kwamba walikuwa uchi; hivyo wakashona majani ya mtini, wakajifunika.

GEN 3:8 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mwanaume na mkewe, waliposikia sauti ya \nd Bwana\nd* Mungu alipokuwa akitembea bustanini jioni, wakajificha kutoka mbele za \nd Bwana\nd* Mungu katikati ya miti ya bustani.

GEN 3:9 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* Mungu akamwita Adamu, “Uko wapi?”

GEN 3:10 Removed trailing space in v~: Naye akajibu, “Nilikusikia katika bustani nikaogopa kwa sababu nilikuwa uchi, hivyo nikajificha.”

GEN 3:11 Removed trailing space in v~: Mungu akamuuliza, “Ni nani aliyekuambia ya kuwa ulikuwa uchi? Je, umekula matunda ya mti niliokuamuru usile?”

GEN 3:12 Removed trailing space in v~: Adamu akasema, “Huyu mwanamke uliyenipa awe pamoja nami alinipa sehemu ya tunda kutoka kwenye huo mti, nami nikala.”

GEN 3:13 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* Mungu akamuuliza mwanamke, “Ni nini hili ambalo umelifanya?” Mwanamke akajibu, “Nyoka alinidanganya, nami nikala.”

GEN 3:14 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hili,

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: “Umelaaniwa kuliko wanyama wote

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: wa kufugwa na wa porini!

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: Utatambaa kwa tumbo lako

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: na kula mavumbi

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yako.

GEN 3:15 Removed trailing space in v~: Nami nitaweka uadui

GEN 3:15 Removed trailing space in p~: kati yako na huyo mwanamke,

GEN 3:15 Removed trailing space in p~: na kati ya uzao wako na wake,

GEN 3:15 Removed trailing space in p~: yeye atakuponda kichwa,

GEN 3:15 Removed trailing space in p~: nawe utamuuma kisigino.”

GEN 3:16 Removed trailing space in v~: Kwa mwanamke akasema,

GEN 3:16 Removed trailing space in p~: “Nitakuzidishia sana utungu wakati wa kuzaa kwako;

GEN 3:16 Removed trailing space in p~: kwa utungu utazaa watoto.

GEN 3:16 Removed trailing space in p~: Tamaa yako itakuwa kwa mumeo

GEN 3:16 Removed trailing space in p~: naye atakutawala.”

GEN 3:17 Removed trailing space in v~: Kwa Adamu akasema, “Kwa sababu umemsikiliza mke wako na ukala kutoka kwenye mti niliokuamuru, ‘Msile tunda lake,’

GEN 3:17 Removed trailing space in p~: “Ardhi imelaaniwa kwa sababu yako,

GEN 3:17 Removed trailing space in p~: kwa kazi ngumu utakula chakula kitokacho humo

GEN 3:17 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yako.

GEN 3:18 Removed trailing space in v~: Itazaa miiba na mibaruti kwa ajili yako,

GEN 3:18 Removed trailing space in p~: nawe utakula mimea ya shambani.

GEN 3:19 Removed trailing space in v~: Kwa jasho la uso wako

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: utakula chakula chako

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: hadi utakaporudi ardhini,

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ulitwaliwa kutoka humo,

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wewe u mavumbi

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: na mavumbini wewe utarudi.”

GEN 3:20 Removed trailing space in v~: Adamu akamwita mkewe Eva, kwa kuwa atakuwa mama wa wote walio hai.

GEN 3:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.

GEN 3:22 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* Mungu akasema, “Sasa mtu huyu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya. Sharti asiruhusiwe kunyoosha mkono wake na kuchuma pia kutoka mti wa uzima akala, naye akaishi milele.”

GEN 3:23 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* Mungu akamfukuzia mbali kutoka Bustani ya Edeni, akalime ardhi ambamo alitolewa.

GEN 3:24 Removed trailing space in v~: Baada ya kumfukuzia mbali Adamu, Mungu akaweka makerubi mashariki ya Bustani ya Edeni, pamoja na upanga wa moto ukimulika huku na huko kulinda njia ya kuuendea mti wa uzima.

GEN 4:0 Extra space after chapter number

GEN 4:0 Removed trailing space in c: 4

GEN 4:0 Removed trailing space in s1: Kaini Na Abeli

GEN 4:1 Removed trailing space in v~: Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva akasema, “Kwa msaada wa \nd Bwana\nd* nimemzaa mwanaume.”

GEN 4:2 Removed trailing space in v~: Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake.

GEN 4:2 Removed trailing space in p~: Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima.

GEN 4:3 Removed trailing space in v~: Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*.

GEN 4:4 Removed trailing space in v~: Lakini Abeli akaleta fungu nono kutoka baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake. \nd Bwana\nd* akamkubali Abeli pamoja na sadaka yake,

GEN 4:5 Removed trailing space in v~: lakini Mungu hakumkubali Kaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kaini akakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.

GEN 4:6 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni?

GEN 4:7 Removed trailing space in v~: Ukifanya lililo sawa, je, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde.”

GEN 4:8 Removed trailing space in v~: Basi Kaini akamwambia ndugu yake Abeli, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.

GEN 4:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Abeli yuko wapi?”

GEN 4:9 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”

GEN 4:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia mimi kutoka ardhini.

GEN 4:11 Removed trailing space in v~: Sasa umelaaniwa na umehamishwa kutoka ardhi, ambayo imefungua kinywa chake na kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako.

GEN 4:12 Removed trailing space in v~: Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.”

GEN 4:13 Removed trailing space in v~: Kaini akamwambia \nd Bwana\nd*, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili.

GEN 4:14 Removed trailing space in v~: Leo unanifukuza kutoka nchi, nami nitafichwa mbali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wa kutangatanga asiyetulia duniani na yeyote anionaye ataniua.”

GEN 4:15 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia, “La sivyo, ikiwa mtu yeyote atamuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba zaidi.” Kisha \nd Bwana\nd* akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye angemwona asimuue.

GEN 4:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za \nd Bwana\nd* akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.

GEN 4:17 Removed trailing space in v~: Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye akapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huo Kaini alikuwa anajenga mji, akauita Enoki jina la mtoto wake.

GEN 4:18 Removed trailing space in v~: Enoki akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaa Methushaeli, na Methushaeli akamzaa Lameki.

GEN 4:19 Removed trailing space in v~: Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.

GEN 4:20 Removed trailing space in v~: Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama.

GEN 4:21 Removed trailing space in v~: Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.

GEN 4:22 Removed trailing space in v~: Pia Sila alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Tubali-Kaini ambaye alifua vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. Naama alikuwa dada wa Tubali-Kaini.

GEN 4:23 Removed trailing space in v~: Lameki akawaambia wake zake,

GEN 4:23 Removed trailing space in p~: “Ada na Sila nisikilizeni mimi;

GEN 4:23 Removed trailing space in p~: wake wa Lameki sikieni maneno yangu.

GEN 4:23 Removed trailing space in p~: Nimemuua mtu kwa kunijeruhi,

GEN 4:23 Removed trailing space in p~: kijana mdogo kwa kuniumiza.

GEN 4:24 Removed trailing space in v~: Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba,

GEN 4:24 Removed trailing space in p~: basi Lameki itakuwa mara sabini na saba.”

GEN 4:25 Removed trailing space in v~: Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimuua.”

GEN 4:26 Removed trailing space in v~: Naye Sethi akamzaa mwana, akamwita Enoshi.

GEN 4:26 Removed trailing space in p~: Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la \nd Bwana\nd*.

GEN 5:0 Extra space after chapter number

GEN 5:0 Removed trailing space in c: 5

GEN 5:0 Removed trailing space in s1: Kutoka Adamu Hadi Noa

GEN 5:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 1:1-4)

GEN 5:1 Removed trailing space in v~: Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu.

GEN 5:1 Removed trailing space in p~: Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.

GEN 5:2 Removed trailing space in v~: Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”

GEN 5:3 Removed trailing space in v~: Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.

GEN 5:4 Removed trailing space in v~: Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:5 Removed trailing space in v~: Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.

GEN 5:6 Removed trailing space in v~: Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.

GEN 5:7 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:8 Removed trailing space in v~: Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.

GEN 5:9 Removed trailing space in v~: Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.

GEN 5:10 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:11 Removed trailing space in v~: Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.

GEN 5:12 Removed trailing space in v~: Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.

GEN 5:13 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:14 Removed trailing space in v~: Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.

GEN 5:15 Removed trailing space in v~: Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.

GEN 5:16 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:17 Removed trailing space in v~: Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.

GEN 5:18 Removed trailing space in v~: Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.

GEN 5:19 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:20 Removed trailing space in v~: Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.

GEN 5:21 Removed trailing space in v~: Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.

GEN 5:22 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:23 Removed trailing space in v~: Enoki aliishi jumla ya miaka 365.

GEN 5:24 Removed trailing space in v~: Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.

GEN 5:25 Removed trailing space in v~: Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.

GEN 5:26 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:27 Removed trailing space in v~: Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.

GEN 5:28 Removed trailing space in v~: Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.

GEN 5:29 Removed trailing space in v~: Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na \nd Bwana\nd*.”

GEN 5:30 Removed trailing space in v~: Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:31 Removed trailing space in v~: Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.

GEN 5:32 Removed trailing space in v~: Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.

GEN 6:0 Extra space after chapter number

GEN 6:0 Removed trailing space in c: 6

GEN 6:0 Removed trailing space in s1: Gharika Kuu

GEN 6:1 Removed trailing space in v~: Watu walipoanza kuongezeka idadi katika uso wa dunia na watoto wa kike wakazaliwa kwao,

GEN 6:2 Removed trailing space in v~: wana wa Mungu wakawaona kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri wa sura, wakaoa yeyote miongoni mwao waliyemchagua.

GEN 6:3 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akasema, “Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye ni wa kufa, siku zake zitakuwa miaka 120.”

GEN 6:4 Removed trailing space in v~: Wanefili walikuwako duniani siku hizo, na baadaye, hao wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu na kuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu waliojulikana wa zamani hizo.

GEN 6:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaona jinsi uovu wa mwanadamu ulivyokuwa mkubwa duniani, na ya kuwa kila mwelekeo wa mawazo ya moyo wake wakati wote ulikuwa mbaya tu.

GEN 6:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasikitika kwamba alimuumba mwanadamu duniani, moyo wa Mungu ukajaa masikitiko.

GEN 6:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemuumba kutoka kwenye uso wa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja na viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Kwa maana nasikitika kuwaumba.”

GEN 6:8 Removed trailing space in v~: Lakini Noa akapata kibali machoni pa \nd Bwana\nd*.

GEN 6:9 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vizazi vya Noa.

GEN 6:9 Removed trailing space in p~: Noa alikuwa mtu wa haki, na mkamilifu miongoni mwa watu wa wakati wake, tena alitembea na Mungu.

GEN 6:10 Removed trailing space in v~: Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.

GEN 6:11 Removed trailing space in v~: Wakati huu dunia ilikuwa imejaa uharibifu na ukatili machoni pa Mungu.

GEN 6:12 Removed trailing space in v~: Mungu akaona jinsi dunia ilivyoharibika, kwa maana watu wote duniani walikuwa wameharibu njia zao.

GEN 6:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu akamwambia Noa, “Nitawaangamiza watu wote, kwa kuwa dunia imejaa ukatili kwa sababu yao. Hakika mimi nitaangamiza watu pamoja na dunia.

GEN 6:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo jitengenezee safina kubwa kwa mbao za mvinje, tengeneza vyumba ndani yake na uipake lami ndani na nje.

GEN 6:15 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo utakavyoitengeneza: Safina iwe na urefu wa dhiraa 300,\f + \fr 6:15 \ft Dhiraa 300 ni sawa na mita 135.\f* upana wake dhiraa hamsini\f + \fr 6:15 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22:5.\f* na kimo chake dhiraa thelathini.\f + \fr 6:15 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13:5.\f*

GEN 6:16 Removed trailing space in v~: Itengenezee paa na umalizie safina kwa kuacha nafasi ya dhiraa moja\f + \fr 6:16 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* juu. Weka mlango ubavuni mwa safina, na uifanye ya ghorofa ya chini, ya kati na ya juu.

GEN 6:17 Removed trailing space in v~: Nitaleta gharika ya maji juu ya nchi ili kuangamiza uhai wote chini ya mbingu, kila kiumbe chenye pumzi ya uhai ndani yake. Kila kitu juu ya nchi kitaangamia.

GEN 6:18 Removed trailing space in v~: Lakini Mimi nitaweka Agano langu na wewe, nawe utaingia ndani ya Safina, wewe pamoja na mke wako, wanao na wake zao.

GEN 6:19 Removed trailing space in v~: Utaingiza ndani ya Safina kila aina ya kiumbe hai wawili wawili, wa kiume na wa kike, ili kuwahifadhi hai pamoja na wewe.

GEN 6:20 Removed trailing space in v~: Wawili wa kila aina ya ndege, wa kila aina ya mnyama na wa kila aina ya kitambaacho ardhini watakuja kwako ili wahifadhiwe hai.

GEN 6:21 Removed trailing space in v~: Utachukua kila aina ya chakula kitakacholiwa, na ukiweke akiba kama chakula kwa ajili yako na yao.”

GEN 6:22 Removed trailing space in v~: Noa akafanya kila kitu kama vile Mungu alivyomwamuru.

GEN 7:0 Extra space after chapter number

GEN 7:0 Removed trailing space in c: 7

GEN 7:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Noa, “Ingia katika safina wewe na jamaa yako yote, kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwa wewe ni mwenye haki.

GEN 7:2 Removed trailing space in v~: Uchukue wanyama saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, na wanyama wawili wawili wa kila aina walio najisi wa kiume na wa kike.

GEN 7:3 Removed trailing space in v~: Pia uchukue ndege saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, ili kuhifadhi aina zao mbalimbali katika dunia yote.

GEN 7:4 Removed trailing space in v~: Siku saba kuanzia sasa nitaleta mvua juu ya nchi kwa siku arobaini usiku na mchana, nami nitafutilia mbali kutoka uso wa nchi kila kiumbe hai nilichokiumba.”

GEN 7:5 Removed trailing space in v~: Noa akafanya yote kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru.

GEN 7:6 Removed trailing space in v~: Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia.

GEN 7:7 Removed trailing space in v~: Noa na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika.

GEN 7:8 Removed trailing space in v~: Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo,

GEN 7:9 Removed trailing space in v~: wa kiume na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Noa.

GEN 7:10 Removed trailing space in v~: Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.

GEN 7:11 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa.

GEN 7:12 Removed trailing space in v~: Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.

GEN 7:13 Removed trailing space in v~: Siku hiyo Noa, na mkewe, na wanawe Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao wakaingia katika ile safina.

GEN 7:14 Removed trailing space in v~: Nao walikuwa pamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatana na aina yake, wanyama wote wafugwao kufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi kwa aina yake, na kila ndege kufuatana na aina yake, naam kila kiumbe chenye mabawa.

GEN 7:15 Removed trailing space in v~: Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani yake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katika safina.

GEN 7:16 Removed trailing space in v~: Wanyama walioingia katika safina walikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbe chenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa, ndipo \nd Bwana\nd* akamfungia ndani.

GEN 7:17 Removed trailing space in v~: Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa nchi.

GEN 7:18 Removed trailing space in v~: Maji yakajaa na kuongezeka sana juu ya nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji.

GEN 7:19 Removed trailing space in v~: Maji yakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milima yote mirefu chini ya mbingu yote.

GEN 7:20 Removed trailing space in v~: Maji yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.\f + \fr 7:20 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 7.\f*

GEN 7:21 Removed trailing space in v~: Kila kiumbe hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: Ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote.

GEN 7:22 Removed trailing space in v~: Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya uhai kikafa.

GEN 7:23 Removed trailing space in v~: Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.

GEN 7:24 Removed trailing space in v~: Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.

GEN 8:0 Extra space after chapter number

GEN 8:0 Removed trailing space in c: 8

GEN 8:0 Removed trailing space in s1: Mwisho Wa Gharika

GEN 8:1 Removed trailing space in v~: Mungu akamkumbuka Noa na wanyama wote wa porini na wa kufugwa waliokuwa naye ndani ya safina, akatuma upepo ukavuma katika dunia, nayo maji yakaondoka.

GEN 8:2 Removed trailing space in v~: Zile chemchemi zilizo chini sana ya ardhi pamoja na malango ya mafuriko ya mbinguni yakawa yamefungwa nayo mvua ikawa imekoma kunyesha kutoka angani.

GEN 8:3 Removed trailing space in v~: Maji yakaendelea kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho wa siku ya 150, maji yalikuwa yamepungua,

GEN 8:4 Removed trailing space in v~: katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.

GEN 8:5 Removed trailing space in v~: Maji yakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, na siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima vikaonekana.

GEN 8:6 Removed trailing space in v~: Baada ya siku arobaini Noa akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina

GEN 8:7 Removed trailing space in v~: na akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi.

GEN 8:8 Removed trailing space in v~: Kisha akamtoa hua ili aone kama maji yameondoka juu ya uso wa ardhi.

GEN 8:9 Removed trailing space in v~: Lakini hua hakupata mahali pa kutua kwa kuwa maji yalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyo akarudi kwa Noa ndani ya safina. Noa akanyoosha mkono akamchukua yule hua akamrudisha ndani ya safina.

GEN 8:10 Removed trailing space in v~: Noa akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina.

GEN 8:11 Removed trailing space in v~: Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule! Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu ya uso wa dunia.

GEN 8:12 Removed trailing space in v~: Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Noa.

GEN 8:13 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa, maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noa akafungua mlango wa safina akaona ya kuwa uso wa ardhi ulikuwa umekauka.

GEN 8:14 Removed trailing space in v~: Katika siku ya ishirini na saba ya mwezi wa pili dunia ilikuwa imekauka kabisa.

GEN 8:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamwambia Noa,

GEN 8:16 Removed trailing space in v~: “Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao.

GEN 8:17 Removed trailing space in v~: Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”

GEN 8:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja na mkewe, wanawe na wake zao.

GEN 8:19 Removed trailing space in v~: Wanyama wote na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi na ndege wote, kila kitu kiendacho juu ya nchi, aina moja baada ya nyingine vikatoka katika safina, kila aina ya kiumbe, kimoja baada ya kingine.

GEN 8:19 Removed trailing space in s1: Noa Atoa Dhabihu

GEN 8:20 Removed trailing space in v~: Kisha Noa akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu, akachukua baadhi ya wale wanyama na ndege wote walio safi, akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.

GEN 8:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasikia harufu nzuri ya kupendeza, naye akasema moyoni mwake, “Kamwe sitailaani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, hata ingawa kila mwelekeo wa moyo wake ni mbaya tangu ujana. Kamwe sitaangamiza tena viumbe hai vyote kama nilivyofanya.

GEN 8:22 Removed trailing space in v~: “Kwa muda dunia idumupo,

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: wakati wa kupanda na wa kuvuna,

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: wakati wa baridi na wa joto,

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: wakati wa kiangazi na wa masika,

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: usiku na mchana

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: kamwe havitakoma.”

GEN 9:0 Extra space after chapter number

GEN 9:0 Removed trailing space in c: 9

GEN 9:0 Removed trailing space in s1: Mungu Aweka Agano Na Noa

GEN 9:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akambariki Noa na wanawe, akiwaambia, “Zaeni mkaongezeke kwa idadi na mkaijaze tena dunia.

GEN 9:2 Removed trailing space in v~: Wanyama wote wa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi, na samaki wote wa baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao watawaogopa na kuwahofu.

GEN 9:3 Removed trailing space in v~: Kila kitu chenye uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa nawapa kila kitu.

GEN 9:4 Removed trailing space in v~: “Lakini kamwe msile nyama ambayo bado ina damu ya uhai wake, kwa maana damu ni uhai.

GEN 9:5 Removed trailing space in v~: Hakika damu ya uhai wenu nitaidai. Nitaidai kutoka kwa kila mnyama. Kutoka kwa kila mwanadamu pia nitaidai kwa ajili ya uhai wa mtu mwenzake.

GEN 9:6 Removed trailing space in v~: “Yeyote amwagaye damu ya mwanadamu,

GEN 9:6 Removed trailing space in p~: damu yake itamwagwa na mwanadamu,

GEN 9:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa katika mfano wa Mungu,

GEN 9:6 Removed trailing space in p~: Mungu alimuumba mwanadamu.

GEN 9:7 Removed trailing space in v~: Kuhusu ninyi, zaeni mwongezeke kwa wingi, mzidi katika dunia na kuijaza.”

GEN 9:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamwambia Noa na wanawe pamoja naye:

GEN 9:9 Removed trailing space in v~: “Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,

GEN 9:10 Removed trailing space in v~: pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani.

GEN 9:11 Removed trailing space in v~: Ninaweka Agano nanyi: Kamwe uhai hautafutwa tena kwa gharika, kamwe haitakuwepo tena gharika ya kuangamiza dunia.”

GEN 9:12 Removed trailing space in v~: Mungu akasema, “Hii ni ishara ya Agano ninalofanya kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, Agano kwa vizazi vyote vijavyo:

GEN 9:13 Removed trailing space in v~: Nimeweka upinde wangu wa mvua mawinguni, nao utakuwa ishara ya Agano nifanyalo kati yangu na dunia.

GEN 9:14 Removed trailing space in v~: Wakati wowote ninapotanda mawingu juu ya dunia na upinde wa mvua ukijitokeza mawinguni,

GEN 9:15 Removed trailing space in v~: nitakumbuka Agano langu kati yangu na ninyi na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina. Kamwe maji hayatakuwa tena gharika ya kuangamiza uhai wote.

GEN 9:16 Removed trailing space in v~: Wakati wowote upinde wa mvua unapotokea mawinguni, nitauona na kukumbuka Agano la milele kati ya Mungu na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina duniani.”

GEN 9:17 Removed trailing space in v~: Hivyo Mungu akamwambia Noa, “Hii ndiyo ishara ya Agano ambalo nimelifanya kati yangu na viumbe vyote vilivyo hai duniani.”

GEN 9:17 Removed trailing space in s1: Wana Wa Noa

GEN 9:18 Removed trailing space in v~: Wana wa Noa waliotoka ndani ya safina ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiye alikuwa baba wa Kanaani.)

GEN 9:19 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana watatu wa Noa, kutokana nao watu walienea katika dunia.

GEN 9:20 Removed trailing space in v~: Noa akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.

GEN 9:21 Removed trailing space in v~: Alipokunywa huo mvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenye hema lake.

GEN 9:22 Removed trailing space in v~: Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.

GEN 9:23 Removed trailing space in v~: Lakini Shemu na Yafethi wakachukua nguo wakaitanda mabegani mwao wote wawili, kisha wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zilielekea upande mwingine ili wasiuone uchi wa baba yao.

GEN 9:24 Removed trailing space in v~: Noa alipolevuka kutoka kwenye mvinyo wake na kujua lile ambalo mwanawe mdogo kuliko wote alilokuwa amemtendea,

GEN 9:25 Removed trailing space in v~: akasema,

GEN 9:25 Removed trailing space in p~: “Alaaniwe Kanaani!

GEN 9:25 Removed trailing space in p~: Atakuwa mtumwa wa chini sana

GEN 9:25 Removed trailing space in p~: kuliko watumwa wote kwa ndugu zake.”

GEN 9:26 Removed trailing space in v~: Pia akasema,

GEN 9:26 Removed trailing space in p~: “Abarikiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Shemu!

GEN 9:26 Removed trailing space in p~: Kanaani na awe mtumwa wa Shemu.

GEN 9:27 Removed trailing space in v~: Mungu na apanue mipaka ya Yafethi;

GEN 9:27 Removed trailing space in p~: Yafethi na aishi katika mahema ya Shemu,

GEN 9:27 Removed trailing space in p~: na Kanaani na awe mtumwa wake.”

GEN 9:28 Removed trailing space in v~: Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350.

GEN 9:29 Removed trailing space in v~: Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa.

GEN 11:0 Extra space after chapter number

GEN 11:0 Removed trailing space in c: 11

GEN 11:0 Removed trailing space in s1: Mnara Wa Babeli

GEN 11:1 Removed trailing space in v~: Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.

GEN 11:2 Removed trailing space in v~: Watu walipoelekea upande wa mashariki, wakafika kwenye tambarare katika nchi ya Shinari\f + \fr 11:2 \ft Shinari ndio Babeli.\f* nao wakaishi huko.

GEN 11:3 Removed trailing space in v~: Wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tufyatue matofali na tuyachome vizuri kwa moto.” Walitumia matofali badala ya mawe, na lami kwa ajili ya kushikamanishia hayo matofali.

GEN 11:4 Removed trailing space in v~: Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina tusije tukatawanyika usoni pa dunia yote.”

GEN 11:5 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akashuka ili auone mji na mnara ambao wanadamu waliokuwa wanaujenga.

GEN 11:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao.

GEN 11:7 Removed trailing space in v~: Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”

GEN 11:8 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* akawatawanya kutoka mahali pale kwenda katika dunia yote, nao wakaacha kuujenga huo mji.

GEN 11:9 Removed trailing space in v~: Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo \nd Bwana\nd* alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo \nd Bwana\nd* akawatawanya katika uso wa dunia yote.

GEN 11:9 Removed trailing space in s1: Shemu Hadi Abramu

GEN 11:9 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 1:24-27)

GEN 11:10 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vizazi vya Shemu.

GEN 11:10 Removed trailing space in p~: Miaka miwili baada ya gharika, Shemu alipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi.

GEN 11:11 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:12 Removed trailing space in v~: Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela.

GEN 11:13 Removed trailing space in v~: Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:14 Removed trailing space in v~: Shela alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Eberi.

GEN 11:15 Removed trailing space in v~: Shela baada ya kumzaa Eberi, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:16 Removed trailing space in v~: Eberi alipokuwa na miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.

GEN 11:17 Removed trailing space in v~: Baada ya Eberi kumzaa Pelegi, aliishi miaka 430, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:18 Removed trailing space in v~: Pelegi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Reu.

GEN 11:19 Removed trailing space in v~: Baada ya Pelegi kumzaa Reu, aliishi miaka 209, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:20 Removed trailing space in v~: Reu alipokuwa na miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.

GEN 11:21 Removed trailing space in v~: Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:22 Removed trailing space in v~: Serugi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Nahori.

GEN 11:23 Removed trailing space in v~: Baada ya Serugi kumzaa Nahori, aliishi miaka 200, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:24 Removed trailing space in v~: Nahori alipokuwa na miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.

GEN 11:25 Removed trailing space in v~: Baada ya Nahori kumzaa Tera, aliishi miaka 119, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:26 Removed trailing space in v~: Tera alipokuwa na miaka sabini, akamzaa Abramu, Nahori na Harani.

GEN 11:26 Removed trailing space in s1: Wazao Wa Tera

GEN 11:27 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wazao wa Tera.

GEN 11:27 Removed trailing space in p~: Tera aliwazaa Abramu, Nahori na Harani. Harani akamzaa Loti.

GEN 11:28 Removed trailing space in v~: Tera alipokuwa bado hai, Harani akafa huko Uru ya Wakaldayo, nchi alimozaliwa.

GEN 11:29 Removed trailing space in v~: Abramu na Nahori walioa. Mke wa Abramu aliitwa Sarai, na mke wa Nahori aliitwa Milka; Milka na Iska walikuwa watoto wa Harani.

GEN 11:30 Removed trailing space in v~: Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.

GEN 11:31 Removed trailing space in v~: Tera akamchukua Abramu mwanawe, Loti mwana wa Harani mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka kwa pamoja katika Uru ya Wakaldayo kwenda nchi ya Kanaani. Lakini walipofika Harani, wakaishi huko.

GEN 11:32 Removed trailing space in v~: Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205.

GEN 12:0 Extra space after chapter number

GEN 12:0 Removed trailing space in c: 12

GEN 12:0 Removed trailing space in s1: Wito Wa Abramu

GEN 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawa amemwambia Abramu, “Ondoka kutoka nchi yako, uache jamii yako na nyumba ya baba yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.

GEN 12:2 Removed trailing space in v~: “Mimi nitakufanya taifa kubwa

GEN 12:2 Removed trailing space in p~: na nitakubariki,

GEN 12:2 Removed trailing space in p~: Nitalikuza jina lako,

GEN 12:2 Removed trailing space in p~: nawe utakuwa baraka.

GEN 12:3 Removed trailing space in v~: Nitawabariki wale wanaokubariki,

GEN 12:3 Removed trailing space in p~: na yeyote akulaaniye nitamlaani;

GEN 12:3 Removed trailing space in p~: na kupitia kwako mataifa yote duniani

GEN 12:3 Removed trailing space in p~: yatabarikiwa.”

GEN 12:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Abramu akaondoka kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwambia; naye Loti akaondoka pamoja naye. Wakati Abramu alipoitwa aondoke Harani, alikuwa na miaka sabini na mitano.

GEN 12:5 Removed trailing space in v~: Abramu akamchukua Sarai mkewe pamoja na Loti mwana wa ndugu yake, mali zote walizokuwa nazo pamoja na watu aliokuwa amewapata huko Harani, wakasafiri mpaka nchi ya Kanaani, wakafika huko.

GEN 12:6 Removed trailing space in v~: Abramu akasafiri katika nchi hiyo akafika huko Shekemu, mahali penye mti wa mwaloni ulioko More. Wakati huo Wakanaani walikuwa wanaishi katika nchi hiyo.

GEN 12:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Abramu, akamwambia, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Hivyo hapa akamjengea madhabahu \nd Bwana\nd* aliyekuwa amemtokea.

GEN 12:8 Removed trailing space in v~: Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea kwenye vilima mashariki ya Betheli, naye akapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wa magharibi na Ai upande wa mashariki. Huko alimjengea \nd Bwana\nd* madhabahu na akaliitia jina la \nd Bwana\nd*.

GEN 12:9 Removed trailing space in v~: Kisha Abramu akasafiri kuelekea upande wa Negebu.

GEN 12:9 Removed trailing space in s1: Abramu Katika Nchi Ya Misri

GEN 12:10 Removed trailing space in v~: Basi kulikuwako na njaa katika nchi, naye Abramu akashuka kwenda Misri kukaa huko kwa muda, kwa maana njaa ilikuwa kali.

GEN 12:11 Removed trailing space in v~: Alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, “Ninajua ya kwamba wewe ni mwanamke mzuri wa sura.

GEN 12:12 Removed trailing space in v~: Wakati Wamisri watakapokuona, watasema, ‘Huyu ni mke wake.’ Ndipo wataniua, lakini wewe watakuacha hai.

GEN 12:13 Removed trailing space in v~: Sema wewe ni dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yako, na maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababu yako.”

GEN 12:14 Removed trailing space in v~: Abramu alipoingia Misri, Wamisri wakamwona Sarai kuwa ni mwanamke mzuri sana wa sura.

GEN 12:15 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akapelekwa kwa nyumba ya mfalme.

GEN 12:16 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Sarai, Farao akamtendea Abramu mema, naye Abramu akapata kondoo, ngʼombe, punda, ngamia na watumishi wa kiume na wa kike.

GEN 12:17 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwadhibu Farao na nyumba yake kwa maradhi ya kufisha kwa sababu ya kumchukua Sarai, mke wa Abramu.

GEN 12:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwita Abramu, akamuuliza, “Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mke wako?

GEN 12:19 Removed trailing space in v~: Kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu,’ hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi, mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!”

GEN 12:20 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza pamoja na mke wake na kila alichokuwa nacho.

GEN 13:0 Extra space after chapter number

GEN 13:0 Removed trailing space in c: 13

GEN 13:0 Removed trailing space in s1: Abramu Na Loti Watengana

GEN 13:1 Removed trailing space in v~: Hivyo Abramu akakwea kutoka Misri kwenda Negebu, yeye na mkewe na kila kitu alichokuwa nacho, pia Loti akaenda pamoja naye.

GEN 13:2 Removed trailing space in v~: Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.

GEN 13:3 Removed trailing space in v~: Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahali, hadi akafika Betheli, mahali hapo ambapo mwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai

GEN 13:4 Removed trailing space in v~: hapo ambapo alikuwa amejenga madhabahu ya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina la \nd Bwana\nd*.

GEN 13:5 Removed trailing space in v~: Basi Loti, ambaye alikuwa anafuatana na Abramu, alikuwa pia na makundi ya mbuzi, kondoo, ngʼombe na mahema.

GEN 13:6 Removed trailing space in v~: Lakini nchi haikuwatosha kukaa pamoja kwa ajili ya wingi wa mali zao.

GEN 13:7 Removed trailing space in v~: Ukazuka ugomvi kati ya wachunga mifugo wa Abramu na wale wa Loti. Wakati huo, Wakanaani na Waperizi ndio waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo.

GEN 13:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Abramu akamwambia Loti, “Pasiwe na ugomvi wowote kati yangu na wewe, wala kati ya wachungaji wangu na wako, kwa kuwa sisi ni ndugu.

GEN 13:9 Removed trailing space in v~: Je, nchi yote haiko mbele yako? Tutengane. Kama ukielekea kushoto, nitakwenda kulia; kama ukielekea kulia, mimi nitakwenda kushoto.”

GEN 13:10 Removed trailing space in v~: Loti akatazama akaona lile bonde lote la Yordani kuwa lilikuwa na maji tele, kama bustani ya \nd Bwana\nd*, kama nchi ya Misri, kuelekea Soari. (Hii ilikuwa kabla \nd Bwana\nd* hajaharibu Sodoma na Gomora.)

GEN 13:11 Removed trailing space in v~: Hivyo Loti akajichagulia bonde lote la Yordani, akaelekea upande wa mashariki. Watu hao wawili wakatengana:

GEN 13:12 Removed trailing space in v~: Abramu akaishi katika nchi ya Kanaani, wakati Loti aliishi miongoni mwa miji ya lile bonde na kupiga mahema yake karibu na Sodoma.

GEN 13:13 Removed trailing space in v~: Basi watu wa Sodoma walikuwa waovu, wakifanya sana dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*.

GEN 13:14 Removed trailing space in v~: Baada ya Loti kuondoka \nd Bwana\nd* akamwambia Abramu, “Ukiwa hapo ulipo, inua macho yako utazame kaskazini na kusini, mashariki na magharibi.

GEN 13:15 Removed trailing space in v~: Nchi yote unayoiona nitakupa wewe na uzao wako hata milele.

GEN 13:16 Removed trailing space in v~: Nitaufanya uzao wako uwe mwingi kama mavumbi ya nchi, hivyo kama kuna yeyote awezaye kuhesabu mavumbi, basi uzao wako utahesabika.

GEN 13:17 Removed trailing space in v~: Ondoka, tembea katika marefu na mapana ya nchi, kwa maana ninakupa wewe.”

GEN 13:18 Removed trailing space in v~: Basi Abramu akaondoa mahema yake, akaenda kuishi karibu na mialoni ya Mamre huko Hebroni, huko akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu.

GEN 14:0 Extra space after chapter number

GEN 14:0 Removed trailing space in c: 14

GEN 14:0 Removed trailing space in s1: Abramu Amwokoa Loti

GEN 14:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu Amrafeli mfalme wa Shinari, Arioko mfalme wa Elasari, Kedorlaoma mfalme wa Elamu, na Tidali mfalme wa Goimu

GEN 14:2 Removed trailing space in v~: kwa pamoja walikwenda kupigana vita dhidi ya Bera mfalme wa Sodoma, Birsha mfalme wa Gomora, Shinabu mfalme wa Adma, Shemeberi mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela (yaani Soari).

GEN 14:3 Removed trailing space in v~: Hawa wote waliotajwa mwishoni waliunganisha majeshi yao kutoka Bonde la Sidimu (yaani Bahari ya Chumvi).

GEN 14:4 Removed trailing space in v~: Walikuwa wametawaliwa na Mfalme Kedorlaoma kwa miaka kumi na miwili, lakini mwaka wa kumi na tatu waliasi.

GEN 14:5 Removed trailing space in v~: Mnamo mwaka wa kumi na nne, Mfalme Kedorlaoma na wafalme waliojiunga naye walikwenda kupigana na kuwashinda Warefai katika Ashtaroth-Kanaimu, Wazuzi katika Hamu, Waemi katika Shawe-Kiriathaimu,

GEN 14:6 Removed trailing space in v~: na Wahori katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.

GEN 14:7 Removed trailing space in v~: Kisha wakarudi wakaenda En-Misfati (yaani Kadeshi), wakashinda nchi yote ya Waamaleki, pamoja na Waamori waliokuwa wakiishi Hasason-Tamari.

GEN 14:8 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme wa Sodoma, mfalme wa Gomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela (yaani Soari) wakatoka kupanga majeshi yao kwenye Bonde la Sidimu

GEN 14:9 Removed trailing space in v~: dhidi ya Kedorlaoma, mfalme wa Elamu, Tidali mfalme wa Goimu, Amrafeli mfalme wa Shinari, na Arioko mfalme wa Elasari, yaani wafalme wanne dhidi ya wafalme watano.

GEN 14:10 Removed trailing space in v~: Basi Bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami, nao wafalme wa Sodoma na wa Gomora walipokimbia, baadhi ya watu walitumbukia huko na wengine wakakimbilia vilimani.

GEN 14:11 Removed trailing space in v~: Wale wafalme wanne wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha wakaenda zao.

GEN 14:12 Removed trailing space in v~: Pia walimteka Loti mwana wa ndugu yake Abramu pamoja na mali zake, kwa kuwa alikuwa akiishi Sodoma.

GEN 14:13 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja aliyekuwa ametoroka akaja kumpa Abramu Mwebrania taarifa. Wakati huu Abramu alikuwa anaishi karibu na mialoni ya Mamre Mwamori, aliyekuwa ndugu yake Eshkoli na Aneri, ambao wote walikuwa wameungana na Abramu.

GEN 14:14 Removed trailing space in v~: Abramu alipopata habari kwamba jamaa yake amechukuliwa mateka, akawaita watu 318 wa nyumbani mwake waliokuwa wamefunzwa kupigana vita, wakawafuatilia hadi Dani.

GEN 14:15 Removed trailing space in v~: Wakati wa usiku Abramu aliwagawa watu wake katika vikosi ili awashambulie, na akawafuatilia, akawafukuza hadi Hoba, kaskazini ya Dameski.

GEN 14:16 Removed trailing space in v~: Akarudisha mali zote, na akamrudisha Loti jamaa yake na mali zake, pamoja na wanawake na watu wengine.

GEN 14:17 Removed trailing space in v~: Abramu aliporudi baada ya kumshinda Mfalme Kedorlaoma na wale wafalme waliojiunga naye, mfalme wa Sodoma akatoka kwenda kumlaki katika Bonde la Shawe (yaani Bonde la Mfalme).

GEN 14:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Melkizedeki mfalme wa Salemu alipoleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana.

GEN 14:19 Removed trailing space in v~: Naye akambariki Abramu, akisema,

GEN 14:19 Removed trailing space in p~: “Abarikiwe Abramu na Mungu Aliye Juu Sana,

GEN 14:19 Removed trailing space in p~: Muumba wa mbingu na nchi.

GEN 14:20 Removed trailing space in v~: Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana,

GEN 14:20 Removed trailing space in p~: ambaye amewaweka adui zako mkononi mwako.”

GEN 14:20 Removed trailing space in p~: Ndipo Abramu akampa Melkizedeki sehemu ya kumi ya kila kitu.

GEN 14:21 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Sodoma akamwambia Abramu, “Nipe hao watu na hizo mali uchukue wewe mwenyewe.”

GEN 14:22 Removed trailing space in v~: Lakini Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, “Nimeinua mkono wangu kwa \nd Bwana\nd*, Mungu Aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na dunia, na nimeapa

GEN 14:23 Removed trailing space in v~: kwamba sitapokea kitu chochote kilicho chako, hata kama ni uzi au gidamu ya kiatu, ili kamwe usije ukasema, ‘Nimemtajirisha Abramu.’

GEN 14:24 Removed trailing space in v~: Sitapokea chochote, ila kile tu watu wangu walichokula na sehemu ambayo ni fungu la watu waliokwenda pamoja nami, ambao ni Aneri, Eshkoli na Mamre. Wao na wapewe fungu lao.”

GEN 15:0 Extra space after chapter number

GEN 15:0 Removed trailing space in c: 15

GEN 15:0 Removed trailing space in s1: Agano La Mungu Na Abramu

GEN 15:1 Removed trailing space in v~: Baada ya jambo hili, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Abramu katika maono:

GEN 15:1 Removed trailing space in p~: “Usiogope, Abramu.

GEN 15:1 Removed trailing space in p~: Mimi ni ngao yako,

GEN 15:1 Removed trailing space in p~: na thawabu yako kubwa sana.”

GEN 15:2 Removed trailing space in v~: Lakini Abramu akasema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, utanipa nini na mimi sina hata mtoto na atakayerithi nyumba yangu ni huyu Eliezeri Mdameski?”

GEN 15:3 Removed trailing space in v~: Abramu akasema, “Hukunipa watoto, hivyo mtumishi katika nyumba yangu ndiye atakuwa mrithi wangu.”

GEN 15:4 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* lilipomjia: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, bali mwana atakayetoka katika viuno vyako mwenyewe ndiye atakayekuwa mrithi wako.”

GEN 15:5 Removed trailing space in v~: Akamtoa nje na kusema, “Tazama juu kuelekea mbinguni na uhesabu nyota, kama hakika utaweza kuzihesabu.” Ndipo akamwambia, “Hivyo ndivyo uzao wako utakavyokuwa.”

GEN 15:6 Removed trailing space in v~: Abramu akamwamini \nd Bwana\nd*, naye kwake hili likahesabiwa kuwa haki.

GEN 15:7 Removed trailing space in v~: Pia akamwambia, “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, niliyekutoa toka Uru ya Wakaldayo nikupe nchi hii uimiliki.”

GEN 15:8 Removed trailing space in v~: Lakini Abramu akasema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitapata kuimiliki?”

GEN 15:9 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia, “Niletee mtamba wa ngʼombe, mbuzi na kondoo dume, kila mmoja wa miaka mitatu, pamoja na hua na kinda la njiwa.”

GEN 15:10 Removed trailing space in v~: Abramu akamletea hivi vyote, akampasua kila mnyama vipande viwili, akavipanga kila kimoja kuelekea mwenzake, lakini hata hivyo ndege, hakuwapasua vipande viwili.

GEN 15:11 Removed trailing space in v~: Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.

GEN 15:12 Removed trailing space in v~: Wakati jua lilipokuwa linatua, Abramu akashikwa na usingizi mzito, giza nene na la kutisha likaja juu yake.

GEN 15:13 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia, “Ujue hakika kwamba wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.

GEN 15:14 Removed trailing space in v~: Lakini nitaliadhibu taifa lile watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka huko na mali nyingi.

GEN 15:15 Removed trailing space in v~: Wewe, hata hivyo utakwenda kwa baba zako kwa amani na kuzikwa katika uzee mwema.

GEN 15:16 Removed trailing space in v~: Katika kizazi cha nne wazao wako watarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamori bado haijafikia kipimo kilichojaa.”

GEN 15:17 Removed trailing space in v~: Wakati jua lilipokuwa limezama na giza limeingia, tanuru la moshi na mwali wa moto unaowaka vikatokea na kupita kati ya vile vipande vya nyama.

GEN 15:18 Removed trailing space in v~: Siku hiyo \nd Bwana\nd* akafanya Agano na Abramu, na kumwambia, “Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia Kijito cha Misri\f + \fr 15:18 \fq Kijito cha Misri \ft hapa ina maana \fqa Wadi-el-Arish \ft kwenye mpaka wa kusini wa Yuda.\f* hadi mto ule mkubwa, Frati,

GEN 15:19 Removed trailing space in v~: yaani nchi ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,

GEN 15:20 Removed trailing space in v~: Wahiti, Waperizi, Warefai,

GEN 15:21 Removed trailing space in v~: Waamori, Wakanaani, Wagirgashi na Wayebusi.”

GEN 16:0 Extra space after chapter number

GEN 16:0 Removed trailing space in c: 16

GEN 16:0 Removed trailing space in s1: Hagari Na Ishmaeli

GEN 16:1 Removed trailing space in v~: Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari,

GEN 16:2 Removed trailing space in v~: hivyo Sarai akamwambia Abramu, “\nd Bwana\nd* amenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutane kimwili na mtumishi wangu wa kike, huenda nitaweza kupata watoto kupitia kwake.”

GEN 16:2 Removed trailing space in p~: Abramu akakubaliana na lile Sarai alilosema.

GEN 16:3 Removed trailing space in v~: Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mtumishi wake wa kike wa Kimisri, Hagari na kumpa mumewe awe mke wake.

GEN 16:4 Removed trailing space in v~: Akakutana kimwili na Hagari, naye akapata mimba.

GEN 16:4 Removed trailing space in p~: Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza kumdharau Sarai.

GEN 16:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. \nd Bwana\nd* na aamue kati yako na mimi.”

GEN 16:6 Removed trailing space in v~: Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.

GEN 16:7 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamkuta Hagari karibu na chemchemi huko jangwani; ilikuwa chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara iendayo Shuri.

GEN 16:8 Removed trailing space in v~: Malaika akamwambia, “Hagari, mtumishi wa Sarai, umetokea wapi, na unakwenda wapi?”

GEN 16:8 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Ninamkimbia bibi yangu Sarai.”

GEN 16:9 Removed trailing space in v~: Ndipo malaika wa \nd Bwana\nd* akamwambia, “Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.”

GEN 16:10 Removed trailing space in v~: Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”

GEN 16:11 Removed trailing space in v~: Pia malaika wa \nd Bwana\nd* akamwambia:

GEN 16:11 Removed trailing space in p~: “Wewe sasa una mimba

GEN 16:11 Removed trailing space in p~: nawe utamzaa mwana.

GEN 16:11 Removed trailing space in p~: Utamwita jina lake Ishmaeli,\f + \fr 16:11 \ft Ishmaeli maana yake Mungu husikia.\f*

GEN 16:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* amesikia juu ya huzuni yako.

GEN 16:12 Removed trailing space in v~: Atakuwa punda-mwitu katikati ya wanadamu,

GEN 16:12 Removed trailing space in p~: mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu

GEN 16:12 Removed trailing space in p~: na mkono wa kila mtu dhidi yake,

GEN 16:12 Removed trailing space in p~: naye ataishi kwa uhasama

GEN 16:12 Removed trailing space in p~: na ndugu zake wote.”

GEN 16:13 Removed trailing space in v~: Hagari akampa \nd Bwana\nd* aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.”

GEN 16:14 Removed trailing space in v~: Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi,\f + \fr 16:14 \ft Beer-Lahai-Roi maana yake Yeye Aliye Hai Anionaye Mimi.\f* ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.

GEN 16:15 Removed trailing space in v~: Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwana, naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari aliyemzalia, Ishmaeli.

GEN 16:16 Removed trailing space in v~: Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.

GEN 17:0 Extra space after chapter number

GEN 17:0 Removed trailing space in c: 17

GEN 17:0 Removed trailing space in s1: Agano La Tohara

GEN 17:1 Removed trailing space in v~: Abramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, \nd Bwana\nd* akamtokea akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi;\f + \fr 17:1 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu.

GEN 17:2 Removed trailing space in v~: Nami nitafanya Agano langu kati yangu na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.”

GEN 17:3 Removed trailing space in v~: Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akamwambia,

GEN 17:4 Removed trailing space in v~: “Kwa upande wangu, hili ndilo Agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa mataifa mengi.

GEN 17:5 Removed trailing space in v~: Jina lako hutaitwa tena Abramu, bali jina lako litakuwa Abrahamu,\f + \fr 17:5 \ft Abrahamu maana yake Baba wa watu wengi.\f* kwa maana nimekufanya wewe baba wa mataifa mengi.

GEN 17:6 Removed trailing space in v~: Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, kwako yatatoka mataifa nao wafalme watatoka kwako.

GEN 17:7 Removed trailing space in v~: Nitalithibitisha Agano langu kama Agano la milele kati yangu na wewe na wazao wako baada yako na vizazi vijavyo niwe Mungu wako na Mungu wa wazao wako.

GEN 17:8 Removed trailing space in v~: Nchi yote ya Kanaani, unakoishi sasa kama mgeni, nitakupa kuwa milki yako milele, na uzao wako, nami nitakuwa Mungu wao.”

GEN 17:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wako, lazima ushike Agano langu, wewe na wazao wako kwa ajili ya vizazi vijavyo.

GEN 17:10 Removed trailing space in v~: Hili ni Agano langu na wewe pamoja na wazao wako baada yako, Agano mtakalolishika: Kila mwanaume miongoni mwenu atatahiriwa.

GEN 17:11 Removed trailing space in v~: Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi.

GEN 17:12 Removed trailing space in v~: Kwa vizazi vijavyo, kila mwanaume miongoni mwenu mwenye siku nane ni lazima atahiriwe, pamoja na watakaozaliwa nyumbani mwako au walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, wale ambao sio watoto wako.

GEN 17:13 Removed trailing space in v~: Awe amezaliwa nyumbani mwako au amenunuliwa kwa fedha yako, ni lazima watahiriwe. Agano langu katika mwili wako litakuwa ni Agano la milele.

GEN 17:14 Removed trailing space in v~: Kila mwanaume asiyetahiriwa, ambaye hajapata tohara ya mwilini, atatengwa na watu wake, amelivunja Agano langu.”

GEN 17:15 Removed trailing space in v~: Pia \nd Bwana\nd* akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wa Sarai mkeo, hutamwita tena Sarai bali jina lake litakuwa Sara.

GEN 17:16 Removed trailing space in v~: Nitambariki na hakika nitakupatia mwana kwake. Nitambariki na kwamba atakuwa mama wa mataifa, wafalme wa mataifa watatoka kwake.”

GEN 17:17 Removed trailing space in v~: Abrahamu akaanguka kifudifudi, akacheka na kusema moyoni mwake, “Je, mtu wa miaka mia moja aweza kuzaa mwana? Je, Sara atazaa mtoto katika umri wa miaka tisini?”

GEN 17:18 Removed trailing space in v~: Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti Ishmaeli naye angeshiriki baraka yako!”

GEN 17:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akasema, “Ndiyo, lakini mkeo Sara atakuzalia wewe mwana, nawe utamwita jina lake Isaki.\f + \fr 17:19 \ft Isaki maana yake Kucheka.\f* Nitalithibitisha Agano langu naye kama Agano la milele kwa ajili yake na wazao wake baada yake.

GEN 17:20 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki, nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kubwa.

GEN 17:21 Removed trailing space in v~: Lakini Agano langu nitalithibitisha kwa Isaki, ambaye Sara atakuzalia mwaka ujao majira kama haya.”

GEN 17:22 Removed trailing space in v~: Wakati alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, Mungu akapanda juu akaondoka kwa Abrahamu.

GEN 17:23 Removed trailing space in v~: Siku ile ile, Abrahamu akamchukua Ishmaeli mwanawe na wote waliozaliwa nyumbani mwake pamoja na walionunuliwa kwa fedha zake, kila mwanaume wa nyumbani mwake, akawatahiri, kama Mungu alivyomwagiza.

GEN 17:24 Removed trailing space in v~: Abrahamu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa,

GEN 17:25 Removed trailing space in v~: naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na mitatu.

GEN 17:26 Removed trailing space in v~: Abrahamu na Ishmaeli mwanawe walitahiriwa siku ile ile,

GEN 17:27 Removed trailing space in v~: Kila mwanaume nyumbani mwa Abrahamu, pamoja na wote waliozaliwa nyumbani mwake au aliyenunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, alitahiriwa pamoja naye.

GEN 18:0 Extra space after chapter number

GEN 18:0 Removed trailing space in c: 18

GEN 18:0 Removed trailing space in s1: Wageni Watatu

GEN 18:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Abrahamu karibu na mialoni ya Mamre wakati alipokuwa ameketi kwenye ingilio la hema lake wakati wa adhuhuri.

GEN 18:2 Removed trailing space in v~: Abrahamu akainua macho akaona watu watatu wamesimama karibu naye. Alipowaona, aliharakisha kutoka kwenye ingilio la hema lake kuwalaki na kuwasujudia hadi nchi.

GEN 18:3 Removed trailing space in v~: Akasema, “Kama nimepata kibali machoni penu, ee bwana wangu, usimpite mtumishi wako.

GEN 18:4 Removed trailing space in v~: Acha yaletwe maji kidogo, kisha ninyi nyote mnawe miguu yenu na mpumzike chini ya mti huu.

GEN 18:5 Removed trailing space in v~: Niruhusuni niwapatie chakula kidogo mle, ili mpate nguvu mwendelee na safari yenu, kwa kuwa mmekuja kwa mtumishi wenu.”

GEN 18:5 Removed trailing space in p~: Nao wakamjibu, “Vema sana, fanya kama unavyosema.”

GEN 18:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Abrahamu akaharakisha akaingia hemani kwa Sara, akamwambia, “Chukua vipimo vitatu vya unga laini haraka, ukande na uoke mikate.”

GEN 18:7 Removed trailing space in v~: Kisha Abrahamu akakimbia kwenda kwenye kundi, akachagua ndama mzuri, laini na akampa mtumishi, ambaye aliharakisha kumtayarisha.

GEN 18:8 Removed trailing space in v~: Kisha akaleta jibini, maziwa na nyama ya yule ndama iliyoandaliwa, akaviweka mbele ya wageni. Walipokuwa wakila, alisimama karibu nao chini ya mti.

GEN 18:9 Removed trailing space in v~: Wakamuuliza, “Yuko wapi Sara mkeo?”

GEN 18:9 Removed trailing space in p~: Akasema, “Yuko huko, ndani ya hema.”

GEN 18:10 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema, “Hakika nitakurudia tena majira kama haya mwakani na Sara mkeo atakuwa ana mwana.”

GEN 18:10 Removed trailing space in p~: Sara alikuwa akiwasikiliza kwenye ingilio la hema, lililokuwa nyuma yake.

GEN 18:11 Removed trailing space in v~: Abrahamu na Sara walikuwa wazee tena waliosogea miaka, naye Sara alikuwa amekoma katika desturi ya wanawake.

GEN 18:12 Removed trailing space in v~: Hivyo Sara akacheka kimoyomoyo alipokuwa akiwaza, “Baada ya mimi kuwa mkongwe hivi na bwana wangu amezeeka, je, nitaweza kufurahia jambo hili?”

GEN 18:13 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Abrahamu, “Kwa nini Sara amecheka na kusema, ‘Kweli nitazaa mtoto nami sasa ni mzee?’

GEN 18:14 Removed trailing space in v~: Je, kuna jambo lolote gumu lisilowezekana kwa \nd Bwana\nd*? Nitakurudia mwakani majira kama haya, naye Sara atakuwa na mwana.”

GEN 18:15 Removed trailing space in v~: Sara akaogopa kwa kuwa alidanganya na kusema, “Mimi sikucheka.”

GEN 18:15 Removed trailing space in p~: Lakini Bwana akasema, “Ndiyo, ulicheka!”

GEN 18:15 Removed trailing space in s1: Abrahamu Aiombea Sodoma

GEN 18:16 Removed trailing space in v~: Wakati watu hao waliposimama ili waondoke, walielekeza nyuso zao Sodoma, Abrahamu akawatoa kitambo kidogo ili awasindikize.

GEN 18:17 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akasema, “Je, nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudia kufanya?

GEN 18:18 Removed trailing space in v~: Hakika Abrahamu atakuwa taifa kubwa na lenye nguvu, kupitia kwake mataifa yote ya dunia yatabarikiwa.

GEN 18:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimemchagua yeye, ili awaongoze watoto wake na jamaa yake kufuata njia ya \nd Bwana\nd*, kwa kuwa waadilifu na kutenda haki, ili \nd Bwana\nd* atimize ahadi yake kwa Abrahamu.”

GEN 18:20 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akasema, “Kilio dhidi ya Sodoma na Gomora ni kikubwa sana na dhambi yao inasikitisha sana,

GEN 18:21 Removed trailing space in v~: kwamba nitashuka nione kama waliyoyatenda ni mabaya kiasi cha kilio kilichonifikia. Kama sivyo, nitajua.”

GEN 18:22 Removed trailing space in v~: Basi wale watu wakageuka wakaenda kuelekea Sodoma, lakini Abrahamu akabaki amesimama mbele za \nd Bwana\nd*.

GEN 18:23 Removed trailing space in v~: Ndipo Abrahamu akamsogelea akasema: “Je, utawaangamiza wenye haki na waovu?

GEN 18:24 Removed trailing space in v~: Je, ikiwa watakuwepo watu wenye haki hamsini katika mji huo, hivi kweli utauangamiza na wala hutauacha kwa ajili ya hao watu hamsini wenye haki waliomo ndani yake?

GEN 18:25 Removed trailing space in v~: Hilo na liwe mbali nawe, kufanya jambo kama hilo, kuwaua wenye haki pamoja na waovu, kuwatendea wenye haki sawasawa na waovu. Iwe mbali nawe! Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”

GEN 18:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Kama nikipata watu hamsini wenye haki katika mji wa Sodoma, nitausamehe huo mji wote kwa ajili yao.”

GEN 18:27 Removed trailing space in v~: Kisha Abrahamu akasema tena: “Sasa kwa kuwa nimekuwa na ujasiri wa kuzungumza na Bwana, ingawa mimi si kitu bali ni mavumbi na majivu;

GEN 18:28 Removed trailing space in v~: je, kama hesabu ya wenye haki imepungua watano katika hamsini, utauangamiza huo mji wote kwa ajili ya hao watano waliopungua?”

GEN 18:28 Removed trailing space in p~: Bwana akamwambia, “Kama nikiwakuta huko watu arobaini na watano, sitauangamiza.”

GEN 18:29 Removed trailing space in v~: Abrahamu akazungumza naye kwa mara nyingine, “Je, kama huko watapatikana watu arobaini tu?”

GEN 18:29 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Kwa ajili ya hao arobaini, sitauangamiza.”

GEN 18:30 Removed trailing space in v~: Ndipo akasema, “Bwana na asikasirike, lakini niruhusu nizungumze. Je, kama huko watakuwepo thelathini tu?”

GEN 18:30 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Sitapaangamiza ikiwa nitawakuta huko watu thelathini.”

GEN 18:31 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasema, “Sasa kwa kuwa nimekuwa na ujasiri sana kuzungumza na Bwana, je, kama wakipatikana huko watu ishirini tu?”

GEN 18:31 Removed trailing space in p~: Bwana akajibu, “Kwa ajili ya hao ishirini, sitauangamiza.”

GEN 18:32 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasema, “Bwana na asikasirike, lakini niruhusu nizungumze tena mara moja tu. Itakuwaje kama watapatikana huko watu kumi tu?”

GEN 18:32 Removed trailing space in p~: Bwana akajibu, “Kwa ajili ya hao kumi, sitauangamiza.”

GEN 18:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, akaondoka, naye Abrahamu akarudi nyumbani kwake.

GEN 19:0 Extra space after chapter number

GEN 19:0 Removed trailing space in c: 19

GEN 19:0 Removed trailing space in s1: Kuangamizwa Kwa Sodoma Na Gomora

GEN 19:1 Removed trailing space in v~: Malaika wale wawili wakafika Sodoma wakati wa jioni, naye Loti alikuwa ameketi kwenye lango la mji. Wakati alipowaona, aliondoka kwenda kuwalaki na kuwasujudia hadi chini.

GEN 19:2 Removed trailing space in v~: Akasema, “Bwana zangu, tafadhali karibuni kwenye nyumba ya mtumishi wenu. Mnaweza kunawa miguu na kulala hapa kisha asubuhi na mapema mwendelee na safari yenu.”

GEN 19:2 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “La hasha, tutalala hapa nje uwanjani.”

GEN 19:3 Removed trailing space in v~: Lakini akasisitiza kwa nguvu kwamba waingie pamoja naye nyumbani kwake. Akawaandalia chakula, mikate isiyotiwa chachu, nao wakala.

GEN 19:4 Removed trailing space in v~: Kabla hawajaenda kulala, watu wote kutoka kila sehemu ya mji wa Sodoma, vijana kwa wazee, waliizunguka nyumba.

GEN 19:5 Removed trailing space in v~: Wakamwita Loti wakisema, “Wako wapi wale watu ambao walikuja kwako jioni hii? Watoe nje kwetu ili tuweze kuwalawiti.”

GEN 19:6 Removed trailing space in v~: Loti akatoka nje kuonana nao, akaufunga mlango nyuma yake,

GEN 19:7 Removed trailing space in v~: akasema, “La hasha, rafiki zangu. Msifanye jambo hili ovu.

GEN 19:8 Removed trailing space in v~: Tazama, ninao binti wawili ambao kamwe hawajakutana kimwili na mwanaume. Acha niwatoe nje kwenu, nanyi mnaweza kuwafanyia lolote mnalotaka. Lakini msiwafanyie chochote watu hawa, kwa sababu wako kwenye ulinzi chini ya dari langu.”

GEN 19:9 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Tuondokee mbali.” Wakaendelea kusema, “Huyu mtu alikuja hapa kama mgeni na sasa anataka kuwa mwamuzi wetu! Tutakutenda vibaya kuliko wao.” Waliendelea kumlazimisha Loti na kusonga mbele ili kuvunja mlango.

GEN 19:10 Removed trailing space in v~: Lakini watu wale waliokuwa ndani wakanyoosha mkono wakamvuta Loti ndani ya nyumba na kufunga mlango.

GEN 19:11 Removed trailing space in v~: Kisha wakawapiga kwa upofu wale watu waliokuwa mlangoni mwa ile nyumba, vijana kwa wazee, hivyo hawakuweza kuupata mlango.

GEN 19:12 Removed trailing space in v~: Wale watu wawili wakamwambia Loti, “Una mtu mwingine yeyote hapa, wakwe zako, wana au binti, ama yeyote mwingine aliye wako katika mji huu? Waondoe hapa,

GEN 19:13 Removed trailing space in v~: kwa sababu tunapaangamiza mahali hapa. Kilio kwa \nd Bwana\nd* dhidi ya watu wa hapa ni kikubwa kiasi kwamba ametutuma kupaangamiza.”

GEN 19:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Loti alitoka ili kuzungumza na wakwe zake, waliokuwa wamewaposa binti zake. Akawaambia, “Fanyeni haraka kuondoka mahali hapa, kwa kuwa \nd Bwana\nd* yu karibu kuangamiza mji huu!” Lakini wakwe zake walifikiri kwamba alikuwa akitania.

GEN 19:15 Removed trailing space in v~: Kunako mapambazuko, malaika wakamhimiza Loti, wakamwambia, “Fanya haraka! Mchukue mke wako na binti zako wawili walioko hapa, la sivyo utaangamizwa wakati mji utakapoadhibiwa.”

GEN 19:16 Removed trailing space in v~: Alipositasita, wale watu wakamshika mkono wake na mikono ya mke wake na binti zake wawili na kuwaongoza salama nje ya mji, kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa na huruma kwao.

GEN 19:17 Removed trailing space in v~: Mara walipokwisha kuwatoa nje, mmoja wao akawaambia, “Mkimbie kwa usalama wenu! Msitazame nyuma, wala msisimame popote katika nchi tambarare! Kimbilieni milimani, ama sivyo mtaangamizwa!”

GEN 19:18 Removed trailing space in v~: Lakini Loti akawajibu, “La hasha, bwana zangu, tafadhalini!

GEN 19:19 Removed trailing space in v~: Mtumishi wenu amepata kibali mbele ya macho yenu, nanyi mmeonyesha wema mkubwa kwangu kwa kuokoa maisha yangu. Lakini siwezi kukimbilia milimani, janga hili litanikumba, nami nitakufa.

GEN 19:20 Removed trailing space in v~: Tazama, hapa kuna mji karibu wa kukimbilia, nao ni mdogo. Niruhusuni nikimbilie humo, ni mdogo sana, ama sivyo? Ndipo maisha yangu yatasalimika.”

GEN 19:21 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Vema sana, nitalikubali hili ombi pia, sitauangamiza mji ulioutaja.

GEN 19:22 Removed trailing space in v~: Lakini ukimbilie huko haraka, kwa sababu sitaweza kufanya lolote mpaka ufike huko.” (Ndiyo maana mji huo ukaitwa Soari.\f + \fr 19:22 \ft Soari maana yake Mdogo.\f*)

GEN 19:23 Removed trailing space in v~: Wakati Loti alipofika Soari, jua lilikuwa limechomoza katika nchi.

GEN 19:24 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akanyesha moto wa kiberiti uliotoka mbinguni kwa \nd Bwana\nd* juu ya Sodoma na Gomora.

GEN 19:25 Removed trailing space in v~: Hivyo akaiteketeza miji ile na eneo lote la tambarare, pamoja na wote waliokuwa wanaishi katika miji, hata pia mimea yote katika nchi.

GEN 19:26 Removed trailing space in v~: Lakini mke wa Loti akatazama nyuma, hivyo akawa nguzo ya chumvi.

GEN 19:27 Removed trailing space in v~: Asubuhi na mapema siku iliyofuata, Abrahamu akaamka na kurudi mahali pale aliposimama mbele za \nd Bwana\nd*.

GEN 19:28 Removed trailing space in v~: Akatazama upande wa Sodoma na Gomora, kuelekea nchi yote ya tambarare, akaona moshi mzito ukipanda kutoka kwenye nchi, kama moshi utokao kwenye tanuru.

GEN 19:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu alipoiangamiza miji ya tambarare alimkumbuka Abrahamu, akamtoa Loti kutoka kwenye lile janga lililoharibu miji ile ambamo Loti alikuwa ameishi.

GEN 19:29 Removed trailing space in s1: Loti Na Binti Zake

GEN 19:30 Removed trailing space in v~: Loti na binti zake wawili waliondoka Soari na kufanya makao yao kule milimani, kwa maana aliogopa kukaa Soari. Yeye na binti zake wawili waliishi katika pango.

GEN 19:31 Removed trailing space in v~: Siku moja binti mkubwa akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee na hakuna mwanaume mahali hapa atakayekutana na sisi kimwili, kama ilivyo desturi ya mahali pote duniani.

GEN 19:32 Removed trailing space in v~: Tumnyweshe baba yetu mvinyo kisha tukutane naye kimwili ili tuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.”

GEN 19:33 Removed trailing space in v~: Usiku ule walimnywesha baba yao mvinyo, alipolewa binti yake mkubwa akaingia na kukutana naye kimwili. Baba yao hakujua wakati binti yake alipoingia kulala naye wala alipotoka.

GEN 19:34 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata binti mkubwa akamwambia yule mdogo, “Usiku uliopita mimi nilikutana kimwili na baba yangu. Tumnyweshe divai tena, usiku huu nawe ukutane naye kimwili ili tuweze kuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.”

GEN 19:35 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo tena usiku ule, naye binti yake mdogo akaingia, akakutana naye kimwili. Kwa mara nyingine baba yao hakujua binti yake alipolala naye wala alipoondoka.

GEN 19:36 Removed trailing space in v~: Hivyo binti wawili wa Loti wakapata mimba kwa baba yao.

GEN 19:37 Removed trailing space in v~: Binti mkubwa akamzaa mwana, akamwita jina lake Moabu; ndio baba wa Wamoabu hata leo.

GEN 19:38 Removed trailing space in v~: Binti mdogo naye pia akamzaa mwana, naye akamwita Benami; ndiye baba wa Waamoni hata leo.

GEN 20:0 Extra space after chapter number

GEN 20:0 Removed trailing space in c: 20

GEN 20:0 Removed trailing space in s1: Abrahamu Na Abimeleki

GEN 20:1 Removed trailing space in v~: Basi Abrahamu akaendelea mbele kutoka huko hadi nchi ya Negebu na akaishi kati ya Kadeshi na Shuri. Kwa muda mfupi alikaa Gerari kama mgeni,

GEN 20:2 Removed trailing space in v~: huko Abrahamu akasema kuhusu Sara mkewe, “Huyu ni dada yangu.” Kisha Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma Sara aletwe, naye akamchukua.

GEN 20:3 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto wakati wa usiku na kumwambia, “Wewe ni kama mfu kwa sababu ya huyu mwanamke uliyemchukua; yeye ni mke wa mtu.”

GEN 20:4 Removed trailing space in v~: Wakati huo Abimeleki alikuwa bado hajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwana utaliharibu taifa lisilo na hatia?

GEN 20:5 Removed trailing space in v~: Hakusema kwangu, ‘Huyu ni dada yangu,’ naye Sara pia hakusema, ‘Huyu ni kaka yangu’? Nimefanya haya kwa dhamiri njema na mikono safi.”

GEN 20:6 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akamwambia katika ndoto, “Ndiyo, najua ya kwamba umefanya haya kwa dhamiri safi, kwa hiyo nimekuzuia usinitende dhambi. Ndiyo sababu sikukuacha umguse.

GEN 20:7 Removed trailing space in v~: Sasa umrudishe huyo mke wa mtu, kwa maana ni nabii, naye atakuombea nawe utaishi. Lakini kama hutamrudisha, ujue kwa hakika kuwa wewe na watu wako wote mtakufa.”

GEN 20:8 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema Abimeleki akawaita maafisa wake wote, na baada ya kuwaambia yote yaliyotokea, waliogopa sana.

GEN 20:9 Removed trailing space in v~: Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu na kumwambia, “Wewe umetufanyia nini? Nimekukosea nini hata ukaleta hatia kubwa namna hii juu yangu na ufalme wangu? Umenifanyia mambo ambayo hayakupasa kufanyika.”

GEN 20:10 Removed trailing space in v~: Abimeleki akamuuliza Abrahamu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?”

GEN 20:11 Removed trailing space in v~: Abrahamu akajibu, “Niliwaza kwamba, ‘Hakika hakuna hofu ya Mungu mahali hapa, nao wataniua kwa sababu ya mke wangu.’

GEN 20:12 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, ni kweli kwamba yeye ni dada yangu, binti wa baba yangu ingawa si mtoto wa mama yangu; basi akawa mke wangu.

GEN 20:13 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* aliponifanya nisafiri mbali na nyumbani mwa baba yangu, nilimwambia, ‘Hivi ndivyo utakavyoonyesha pendo lako kwangu: Kila mahali tutakapokwenda, kuhusu mimi sema, “Huyu ni kaka yangu.” ’ ”

GEN 20:14 Removed trailing space in v~: Kisha Abimeleki akatwaa kondoo na ngʼombe, na watumwa wa kiume na wa kike akampa Abrahamu, akamrudisha Sara kwa mumewe.

GEN 20:15 Removed trailing space in v~: Abimeleki akasema, “Nchi yangu iko mbele yako, ishi popote unapotaka.”

GEN 20:16 Removed trailing space in v~: Akamwambia Sara, “Ninampa kaka yako shekeli elfu moja za fedha. Hii ni kufidia kosa lililofanyika dhidi yako mbele ya wote walio pamoja nawe; haki yako imethibitishwa kabisa.”

GEN 20:17 Removed trailing space in v~: Kisha Abrahamu akamwomba Mungu, naye Mungu akamponya Abimeleki, mke wake, na watumwa wake wa kike kwamba waweze kupata watoto tena,

GEN 20:18 Removed trailing space in v~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa ameyafunga matumbo ya wote katika nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.

GEN 21:0 Extra space after chapter number

GEN 21:0 Removed trailing space in c: 21

GEN 21:0 Removed trailing space in s1: Kuzaliwa Kwa Isaki

GEN 21:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu \nd Bwana\nd* akamrehemu Sara kama alivyokuwa amesema, naye \nd Bwana\nd* akamtendea Sara kile alichokuwa ameahidi.

GEN 21:2 Removed trailing space in v~: Sara akapata mimba, akamzalia Abrahamu mwana katika uzee wake, majira yale ya Mungu aliomwahidi.

GEN 21:3 Removed trailing space in v~: Abrahamu akamwita Isaki yule mwana ambaye Sara alimzalia.

GEN 21:4 Removed trailing space in v~: Isaki alipokuwa na umri wa siku nane, Abrahamu akamtahiri, kama Mungu alivyomwamuru.

GEN 21:5 Removed trailing space in v~: Abrahamu alikuwa na miaka 100 wakati Isaki mwanawe alipozaliwa.

GEN 21:6 Removed trailing space in v~: Sara akasema, “Mungu ameniletea kicheko, kila mmoja atakayesikia jambo hili atacheka pamoja nami.”

GEN 21:7 Removed trailing space in v~: Akaongeza kusema, “Nani angemwambia Abrahamu kuwa Sara angenyonyesha watoto? Tena nimemzalia mwana katika uzee wake.”

GEN 21:7 Removed trailing space in s1: Hagari Na Ishmaeli Wafukuzwa

GEN 21:8 Removed trailing space in v~: Mtoto akakua, akaachishwa kunyonya. Siku hiyo Isaki alipoachishwa kunyonya, Abrahamu alifanya sherehe kubwa.

GEN 21:9 Removed trailing space in v~: Lakini Sara aliona kuwa mwana ambaye Hagari, Mmisri, aliyemzalia Abrahamu alikuwa anadhihaki,

GEN 21:10 Removed trailing space in v~: Sara akamwambia Abrahamu, “Mwondoe mwanamke huyo mtumwa pamoja na mwanawe, kwa kuwa mwana wa mwanamke mtumwa kamwe hatarithi pamoja na mwanangu Isaki.”

GEN 21:11 Removed trailing space in v~: Jambo hili lilimhuzunisha sana Abrahamu kwa sababu lilimhusu mwanawe.

GEN 21:12 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akamwambia, “Usihuzunike hivyo kwa sababu ya kijana na mtumishi wako wa kike. Sikiliza lolote Sara analokuambia, kwa sababu uzao wako utahesabiwa kupitia kwake Isaki.

GEN 21:13 Removed trailing space in v~: Nitamfanya huyu mwana wa mtumishi wako wa kike kuwa taifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.”

GEN 21:14 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema, Abrahamu akachukua chakula na kiriba cha maji, akampa Hagari. Akaviweka mabegani mwa Hagari, akamwondoa pamoja na kijana. Hagari akashika njia, akatangatanga katika jangwa la Beer-Sheba.

GEN 21:15 Removed trailing space in v~: Maji yalipokwisha kwenye kiriba, akamwacha kijana chini ya mojawapo ya vichaka.

GEN 21:16 Removed trailing space in v~: Kisha akajiendea zake akaketi karibu, umbali wa kutupa mshale, akawaza, “Siwezi kumwangalia kijana akifa.” Ikawa alipokuwa ameketi pale karibu, akaanza kulia kwa huzuni.

GEN 21:17 Removed trailing space in v~: Mungu akamsikia kijana akilia, malaika wa Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni na kumwambia, “Kuna nini Hagari? Usiogope, Mungu amesikia kijana analia akiwa amelala pale.

GEN 21:18 Removed trailing space in v~: Mwinue kijana na umshike mkono, kwa maana nitamfanya kuwa taifa kubwa.”

GEN 21:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamfumbua Hagari macho yake naye akaona kisima cha maji. Hivyo akaenda akajaza kiriba maji na kumpa kijana anywe.

GEN 21:20 Removed trailing space in v~: Mungu akawa pamoja na huyu kijana alipokuwa akiendelea kukua. Aliishi jangwani na akawa mpiga upinde.

GEN 21:21 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akiishi katika Jangwa la Parani, mama yake akampatia mke kutoka Misri.

GEN 21:21 Removed trailing space in s1: Mapatano Katika Beer-Sheba

GEN 21:22 Removed trailing space in v~: Wakati huo Abimeleki na Fikoli mkuu wa majeshi yake wakamwambia Abrahamu, “Mungu yu pamoja nawe katika kila kitu unachofanya.

GEN 21:23 Removed trailing space in v~: Sasa niapie hapa mbele za Mungu kwamba hutanitenda hila mimi, watoto wangu wala wazao wangu. Nitendee mimi na nchi ambayo unaishi kama mgeni wema ule ule ambao nimekutendea.”

GEN 21:24 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasema, “Ninaapa hivyo.”

GEN 21:25 Removed trailing space in v~: Ndipo Abrahamu akalalamika kwa Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki walikuwa wamekinyangʼanya.

GEN 21:26 Removed trailing space in v~: Lakini Abimeleki akasema, “Sijui ni nani ambaye amefanya hili. Hukuniambia, leo tu ndipo ninasikia habari zake.”

GEN 21:27 Removed trailing space in v~: Hivyo Abrahamu akaleta kondoo na ngʼombe, akampa Abimeleki, nao watu hawa wawili wakafanya mapatano.

GEN 21:28 Removed trailing space in v~: Abrahamu akatenga kondoo wa kike saba kutoka kwenye kundi,

GEN 21:29 Removed trailing space in v~: Abimeleki akamuuliza Abrahamu, “Ni nini maana ya hawa kondoo wa kike saba uliowatenga peke yao?”

GEN 21:30 Removed trailing space in v~: Abrahamu akamjibu, “Upokee hawa kondoo wa kike saba kutoka mkononi mwangu kama ushahidi kuwa nilichimba kisima hiki.”

GEN 21:31 Removed trailing space in v~: Hivyo mahali pale pakaitwa Beer-Sheba, kwa sababu watu wawili waliapiana hapo.

GEN 21:32 Removed trailing space in v~: Baada ya mapatano kufanyika huko Beer-Sheba, Abimeleki na Fikoli mkuu wa majeshi yake wakarudi katika nchi ya Wafilisti.

GEN 21:33 Removed trailing space in v~: Abrahamu akapanda mti wa mkwaju huko Beer-Sheba, na hapo akaliitia jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa milele.

GEN 21:34 Removed trailing space in v~: Naye Abrahamu akakaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda mrefu.

GEN 22:0 Extra space after chapter number

GEN 22:0 Removed trailing space in c: 22

GEN 22:0 Removed trailing space in s1: Kujua Uthabiti Wa Abrahamu

GEN 22:1 Removed trailing space in v~: Baadaye Mungu akamjaribu Abrahamu. Akamwambia, “Abrahamu!”

GEN 22:1 Removed trailing space in p~: Abrahamu akajibu, “Mimi hapa.”

GEN 22:2 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akamwambia, “Umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, Isaki umpendaye, uende katika nchi ya Moria. Mtoe huko kama sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia.”

GEN 22:3 Removed trailing space in v~: Abrahamu akaamka asubuhi na mapema siku iliyofuata, akamtayarisha punda wake. Akawachukua watumishi wake wawili pamoja na Isaki mwanawe. Baada ya kuchanja kuni za kutosha kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa, akaondoka kuelekea mahali Mungu alipokuwa amemwambia.

GEN 22:4 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu Abrahamu akainua macho, akapaona mahali pale kwa mbali.

GEN 22:5 Removed trailing space in v~: Akawaambia watumishi wake, “Kaeni hapa pamoja na punda, wakati mimi na kijana tunakwenda kule. Tutakwenda kuabudu na kisha tutawarudia.”

GEN 22:6 Removed trailing space in v~: Abrahamu akachukua kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, akamtwika Isaki mwanawe, yeye mwenyewe akachukua moto na kisu. Walipokuwa wakienda pamoja,

GEN 22:7 Removed trailing space in v~: Isaki akanena akamwambia Abrahamu baba yake, “Baba yangu!”

GEN 22:7 Removed trailing space in p~: Abrahamu akaitika, “Mimi hapa, mwanangu.”

GEN 22:7 Removed trailing space in p~: Isaki akasema, “Moto na kuni zipo, Je, yuko wapi mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa?”

GEN 22:8 Removed trailing space in v~: Abrahamu akajibu, “Mwanangu, Mungu mwenyewe atajipatia mwana-kondoo kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa.” Nao hawa wawili wakaendelea mbele pamoja.

GEN 22:9 Removed trailing space in v~: Walipofika mahali pale alipokuwa ameambiwa na Mungu, Abrahamu akajenga madhabahu hapo, akaziweka kuni juu yake. Akamfunga Isaki mwanawe na akamlaza kwenye madhabahu, juu ya zile kuni.

GEN 22:10 Removed trailing space in v~: Kisha akanyoosha mkono wake na akachukua kisu ili amchinje mwanawe.

GEN 22:11 Removed trailing space in v~: Lakini malaika wa \nd Bwana\nd* akamwita kutoka mbinguni, akamwambia, “Abrahamu! Abrahamu!”

GEN 22:11 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi hapa.”

GEN 22:12 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Usimdhuru kijana, wala usimtendee jambo lolote. Sasa ninajua kwamba unamcha Mungu, kwa sababu hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee.”

GEN 22:13 Removed trailing space in v~: Abrahamu akainua macho yake, akaona kondoo dume amenaswa pembe zake nyuma yake katika kichaka. Akaenda akamchukua huyo kondoo dume, akamtoa awe sadaka ya kuteketezwa badala ya mwanawe.

GEN 22:14 Removed trailing space in v~: Abrahamu akapaita mahali pale Yehova-Yire.\f + \fr 22:14 \ft Yehova-Yire maana yake \+nd Bwana\+nd* atatupa.\f* Mpaka siku ya leo inasemekana, “Katika mlima wa \nd Bwana\nd* itapatikana.”

GEN 22:15 Removed trailing space in v~: Basi malaika wa \nd Bwana\nd* akamwita Abrahamu kutoka mbinguni mara ya pili,

GEN 22:16 Removed trailing space in v~: akasema, “Ninaapa kwa nafsi yangu, asema \nd Bwana\nd*, kwamba kwa sababu umefanya jambo hili na hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee,

GEN 22:17 Removed trailing space in v~: hakika nitakubariki, na nitauzidisha uzao wako kama nyota za angani na kama mchanga ulioko pwani. Wazao wako watamiliki miji ya adui zao,

GEN 22:18 Removed trailing space in v~: na kupitia uzao wako mataifa yote duniani yatabarikiwa, kwa sababu umenitii.”

GEN 22:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Abrahamu akawarudia watumishi wake, wakaondoka wakaenda wote pamoja mpaka Beer-Sheba. Abrahamu akaishi huko Beer-Sheba.

GEN 22:19 Removed trailing space in s1: Wana Wa Nahori

GEN 22:20 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Abrahamu akaambiwa, “Milka pia amepata watoto, amemzalia ndugu yako Nahori wana:

GEN 22:21 Removed trailing space in v~: Usi mzaliwa wake wa kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu),

GEN 22:22 Removed trailing space in v~: Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu na Bethueli.”

GEN 22:23 Removed trailing space in v~: Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wana wanane.

GEN 22:24 Removed trailing space in v~: Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma pia alikuwa na wana: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.

GEN 23:0 Extra space after chapter number

GEN 23:0 Removed trailing space in c: 23

GEN 23:0 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Sara

GEN 23:1 Removed trailing space in v~: Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba.

GEN 23:2 Removed trailing space in v~: Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Abrahamu akamwombolezea na kumlilia Sara.

GEN 23:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Abrahamu akainuka kutoka pale penye maiti ya mke wake. Akazungumza na Wahiti, akasema,

GEN 23:4 Removed trailing space in v~: “Mimi ni mpitaji na mgeni miongoni mwenu. Niuzieni sehemu ya ardhi yenu ili niweze kumzika maiti wangu.”

GEN 23:5 Removed trailing space in v~: Wahiti wakamjibu Abrahamu,

GEN 23:6 Removed trailing space in v~: “Bwana, tusikilize. Wewe ni mtawala mkuu sana miongoni mwetu. Zika maiti wako katika kaburi unalolipenda kati ya makaburi yetu. Hakuna mtu wa kwetu atakayekuzuia kaburi lake ili kuzika maiti wako.”

GEN 23:7 Removed trailing space in v~: Abrahamu akainuka na akasujudu mbele ya wenyeji wa nchi, yaani Wahiti.

GEN 23:8 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Kama mnaniruhusu kumzika maiti wangu, basi nisikilizeni mkamsihi Efroni mwana wa Sohari kwa niaba yangu

GEN 23:9 Removed trailing space in v~: ili aniuzie pango la Makpela, lililo mali yake, nalo liko mwisho wa shamba lake. Mwambieni aniuzie kwa bei kamili atakayosema ili liwe mahali pangu pa kuzikia miongoni mwenu.”

GEN 23:10 Removed trailing space in v~: Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongoni mwa watu wake, akamjibu Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokuwepo katika lango la mji.

GEN 23:11 Removed trailing space in v~: “La hasha, bwana wangu, nisikilize, nakupa shamba, pia nakupa pango lililomo ndani yake. Nakupa mbele ya watu wangu. Uzike maiti wako.”

GEN 23:12 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasujudu tena, mbele ya wenyeji wa nchi,

GEN 23:13 Removed trailing space in v~: akamwambia Efroni wale watu wakiwa wanasikia, “Tafadhali nisikilize. Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubali kuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu.”

GEN 23:14 Removed trailing space in v~: Efroni akamjibu Abrahamu,

GEN 23:15 Removed trailing space in v~: “Nisikilize, bwana wangu, thamani ya ardhi hiyo ni shekeli 400 za fedha,\f + \fr 23:15 \ft Shekeli 400 za fedha ni sawa na kilo 4.5.\f* lakini hiyo ni nini kati yako na mimi? Mzike maiti wako.”

GEN 23:16 Removed trailing space in v~: Abrahamu akakubali masharti ya Efroni, akampimia ile fedha aliyotaja masikioni mwa Wahiti: Shekeli 400 za fedha kulingana na viwango vya uzito vilivyokuwa vikitumika wakati huo na wafanyabiashara.

GEN 23:17 Removed trailing space in v~: Hivyo shamba la Efroni huko Makpela karibu na Mamre, yaani shamba pamoja na pango lililokuwamo, nayo miti yote iliyokuwamo ndani ya mipaka ya shamba hilo, vilikabidhiwa,

GEN 23:18 Removed trailing space in v~: kwa Abrahamu kuwa mali yake mbele ya Wahiti wote waliokuwa wamekuja kwenye lango la mji.

GEN 23:19 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mkewe kwenye pango ndani ya shamba la Makpela karibu na Mamre (huko Hebroni) katika nchi ya Kanaani.

GEN 23:20 Removed trailing space in v~: Hivyo Wahiti wakamkabidhi Abrahamu shamba pamoja na pango lililokuwa humo kuwa mahali pa kuzikia.

GEN 24:0 Extra space after chapter number

GEN 24:0 Removed trailing space in c: 24

GEN 24:0 Removed trailing space in s1: Isaki Na Rebeka

GEN 24:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu Abrahamu alikuwa mzee mwenye miaka mingi, naye \nd Bwana\nd* alikuwa amembariki katika kila njia.

GEN 24:2 Removed trailing space in v~: Akamwambia mtumishi wake mkuu wa vitu vyote katika nyumba yake, yule aliyekuwa msimamizi wa vitu vyote alivyokuwa navyo, “Weka mkono wako chini ya paja langu,

GEN 24:3 Removed trailing space in v~: Ninataka uape kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa mbingu na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke kutoka binti za Wakanaani, ambao ninaishi miongoni mwao,

GEN 24:4 Removed trailing space in v~: bali utakwenda katika nchi yangu na jamaa zangu umpatie Isaki mwanangu mke.”

GEN 24:5 Removed trailing space in v~: Yule mtumishi akamuuliza, “Je, kama huyo mwanamke atakataa kuja nami katika nchi hii? Je, nimpeleke mwanao katika hiyo nchi uliyotoka?”

GEN 24:6 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasema, “Hakikisha kwamba hutamrudisha mwanangu huko.

GEN 24:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, Mungu wa mbingu, aliyenitoa nyumbani kwa baba yangu na nchi yangu niliyozaliwa na aliyesema nami na akaniahidi kwa kiapo, akisema, ‘Nitawapa watoto wako nchi hii,’ atatuma malaika wake akutangulie ili umpatie mwanangu mke kutoka huko.

GEN 24:8 Removed trailing space in v~: Kama huyo mwanamke asipokubali kufuatana nawe, basi utafunguliwa kutoka kiapo nilichokuapisha. Ila usimrudishe mwanangu huko.”

GEN 24:9 Removed trailing space in v~: Basi yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la bwana wake Abrahamu akamwapia kuhusu shauri hili.

GEN 24:10 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mtumishi akachukua ngamia kumi miongoni mwa ngamia za bwana wake, akaondoka, akiwa amechukua aina zote za vitu vizuri kutoka kwa bwana wake. Akaelekea Aramu-Naharaimu\f + \fr 24:10 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.\f* na kushika njia kwenda mji wa Nahori.

GEN 24:11 Removed trailing space in v~: Akawapigisha ngamia magoti karibu na kisima cha maji nje ya mji, ilikuwa inaelekea jioni, wakati ambapo wanawake wanakuja kuteka maji.

GEN 24:12 Removed trailing space in v~: Kisha akaomba, “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, nipatie ushindi leo, uonyeshe huruma kwa bwana wangu Abrahamu.

GEN 24:13 Removed trailing space in v~: Tazama, nimesimama karibu na kisima hiki cha maji, nao binti za watu wa mji huu wanakuja kuteka maji.

GEN 24:14 Removed trailing space in v~: Basi na iwe hivi, nitakapomwambia binti mmojawapo, ‘Tafadhali tua mtungi wako nipate kunywa maji,’ naye akisema, ‘Kunywa, nitawanywesha na ngamia wako pia.’ Basi na awe ndiye uliyemchagua kwa ajili ya mtumishi wako Isaki. Kwa hili nitajua umemhurumia bwana wangu.”

GEN 24:15 Removed trailing space in v~: Ikawa kabla hajamaliza kuomba, Rebeka akatokea akiwa na mtungi begani mwake. Alikuwa binti wa Bethueli. Bethueli alikuwa mwana wa Milka aliyekuwa mke wa Nahori ndugu wa Abrahamu.

GEN 24:16 Removed trailing space in v~: Huyu msichana alikuwa mzuri sana wa sura, bikira, ambaye hakuna mtu aliyekuwa amekutana naye kimwili. Aliteremka kisimani, akajaza mtungi wake akapanda juu.

GEN 24:17 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtumishi akaharakisha kukutana naye akamwambia, “Tafadhali nipe maji kidogo katika mtungi wako.”

GEN 24:18 Removed trailing space in v~: Yule msichana akasema, “Kunywa, bwana wangu.” Akashusha kwa haraka mtungi mkononi mwake na akampa, akanywa.

GEN 24:19 Removed trailing space in v~: Baada ya kumpa yule mtumishi yale maji, akamwambia, “Nitateka maji kwa ajili ya ngamia zako pia mpaka wote watosheke.”

GEN 24:20 Removed trailing space in v~: Akafanya haraka kumimina maji kwenye birika ya kunyweshea wanyama, akakimbia kisimani kuteka maji mengine na akateka ya kuwatosha ngamia wake wote.

GEN 24:21 Removed trailing space in v~: Pasipo kusema neno, yule mtumishi akamtazama kwa makini aone kama \nd Bwana\nd* ameifanikisha safari yake, au la.

GEN 24:22 Removed trailing space in v~: Ikawa ngamia walipokwisha kunywa wote, yule mtumishi akampa huyo msichana pete ya puani ya dhahabu yenye uzito wa beka moja\f + \fr 24:22 \ft Beka moja ya dhahabu ni sawa na gramu 5.5.\f* na bangili mbili za dhahabu zenye uzito wa shekeli kumi.\f + \fr 24:22 \ft Shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110.\f*

GEN 24:23 Removed trailing space in v~: Kisha akamuuliza, “Wewe ni binti wa nani? Tafadhali uniambie, je, kuna nafasi katika nyumba ya baba yako tutakapoweza kulala?”

GEN 24:24 Removed trailing space in v~: Yule msichana akamjibu, “Mimi ni binti wa Bethueli, mwana wa Milka aliyemzalia Nahori.”

GEN 24:25 Removed trailing space in v~: Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”

GEN 24:26 Removed trailing space in v~: Yule mtumishi akasujudu na kumwabudu \nd Bwana\nd*,

GEN 24:27 Removed trailing space in v~: akisema, “Atukuzwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye hakuondoa wema na uaminifu wake kwa bwana wangu. Mimi nami, \nd Bwana\nd* ameniongoza safarini akanifikisha nyumbani kwa jamaa za bwana wangu.”

GEN 24:28 Removed trailing space in v~: Yule msichana akakimbia akawaeleza watu wa nyumbani mwa mama yake kuhusu mambo haya.

GEN 24:29 Removed trailing space in v~: Rebeka alikuwa na kaka aliyeitwa Labani, huyo akaharakisha kukutana na yule mtumishi kule kisimani.

GEN 24:30 Removed trailing space in v~: Mara alipoiona ile pete puani, na bangili mikononi mwa dada yake na kusikia yale maneno Rebeka aliyoambiwa na huyo mtumishi, alimwendea huyo mtumishi, akamkuta amesimama karibu na ngamia wake pale karibu na kisima.

GEN 24:31 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Karibu nyumbani wewe uliyebarikiwa na \nd Bwana\nd*, kwa nini unasimama huko nje? Mimi nimekuandalia nyumba na mahali kwa ajili ya ngamia.”

GEN 24:32 Removed trailing space in v~: Hivyo yule mtumishi akaenda nyumbani, mizigo ikaondolewa juu ya ngamia. Majani na malisho yakaletwa kwa ajili ya ngamia na maji kwa ajili yake na watu wake ili kunawa miguu.

GEN 24:33 Removed trailing space in v~: Ndipo chakula kikaandaliwa kwa ajili yake, lakini akasema, “Sitakula mpaka niwe nimewaambia yale niliyo nayo ya kusema.”

GEN 24:33 Removed trailing space in p~: Labani akasema, “Basi tuambie.”

GEN 24:34 Removed trailing space in v~: Hivyo akasema, “Mimi ni mtumishi wa Abrahamu.

GEN 24:35 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amembariki sana bwana wangu, amekuwa tajiri. Amempa kondoo na ngʼombe, fedha na dhahabu, watumishi wa kiume na wa kike, ngamia na punda.

GEN 24:36 Removed trailing space in v~: Sara mkewe bwana wangu amemzalia mwana katika uzee wake, naye amempa kila kitu alichokuwa nacho.

GEN 24:37 Removed trailing space in v~: Naye bwana wangu ameniapisha na akasema, ‘Kamwe usimtwalie mwanangu mke katika binti za Wakanaani, ambao ninaishi katika nchi yao,

GEN 24:38 Removed trailing space in v~: ila uende mpaka kwa jamaa ya baba yangu na ukoo wangu mwenyewe, ukamtwalie mwanangu mke huko.’

GEN 24:39 Removed trailing space in v~: “Kisha nikamuuliza bwana wangu, ‘Je, kama huyo mwanamke hatakubali kurudi nami?’

GEN 24:40 Removed trailing space in v~: “Akanijibu, ‘\nd Bwana\nd* ambaye nimetembea mbele zake, atatuma malaika wake pamoja nawe, na kuifanikisha safari yako, ili uweze kupata mke kwa ajili ya mwanangu katika ukoo wangu na kutoka jamaa ya baba yangu.

GEN 24:41 Removed trailing space in v~: Kisha, utakapokwenda kwenye ukoo wangu, utakuwa umefunguliwa kutoka kiapo changu hata kama wakikataa kukupa huyo binti, utakuwa umefunguliwa kutoka kiapo changu.’

GEN 24:42 Removed trailing space in v~: “Nilipokuja kisimani leo nilisema, ‘Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ikikupendeza, naomba uifanikishe safari niliyoijia.

GEN 24:43 Removed trailing space in v~: Tazama, ninasimama kando ya kisima hiki, kama mwanamwali akija kuteka maji nami nikimwambia, tafadhali niruhusu ninywe maji kidogo kutoka kwenye mtungi wako,

GEN 24:44 Removed trailing space in v~: naye kama akiniambia, “Kunywa, nami nitateka maji kwa ajili ya ngamia wako pia,” basi huyo awe ndiye mke ambaye \nd Bwana\nd* amemchagulia mwana wa bwana wangu.’

GEN 24:45 Removed trailing space in v~: “Kabla sijamaliza kuomba moyoni mwangu, Rebeka akatokea, amebeba mtungi begani mwake. Akashuka kisimani akateka maji, nami nikamwambia, ‘Tafadhali nipe maji ninywe.’

GEN 24:46 Removed trailing space in v~: “Akafanya haraka kushusha mtungi wake begani na kusema, ‘Kunywa na nitawanywesha ngamia wako pia,’ basi nikanywa, akawanywesha na ngamia pia.

GEN 24:47 Removed trailing space in v~: “Nikamuuliza, ‘Wewe ni binti wa nani?’

GEN 24:47 Removed trailing space in p~: “Akasema, ‘Mimi ni binti wa Bethueli, mwana wa Nahori, Milka aliyemzalia.’

GEN 24:47 Removed trailing space in p~: “Ndipo nilipotia pete puani mwake na bangili mikononi mwake,

GEN 24:48 Removed trailing space in v~: nikasujudu na nikamwabudu \nd Bwana\nd*. Nikamtukuza \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, aliyeniongoza katika njia sahihi ili nimtwalie mwana na bwana wangu mke katika jamaa zake.

GEN 24:49 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtaonyesha wema na uaminifu kwa bwana wangu, mniambie, la sivyo, mniambie, ili niweze kujua njia ya kugeukia.”

GEN 24:50 Removed trailing space in v~: Labani na Bethueli wakajibu, “Jambo hili limetoka kwa \nd Bwana\nd*, hatuwezi kukuambia jambo lolote baya au jema.

GEN 24:51 Removed trailing space in v~: Rebeka yuko hapa, mchukue na uende, awe mke wa mwana wa bwana wako, sawasawa na \nd Bwana\nd* alivyoongoza.”

GEN 24:52 Removed trailing space in v~: Ikawa huyo mtumishi wa Abrahamu aliposikia waliyosema, alisujudu mpaka nchi mbele za \nd Bwana\nd*.

GEN 24:53 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mtumishi akatoa vitu vilivyotengenezwa kwa dhahabu na kwa fedha pamoja na mavazi, akampa Rebeka, pia akawapa zawadi za thamani kubwa nduguye na mamaye.

GEN 24:54 Removed trailing space in v~: Kisha yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye wakala, wakanywa na kulala palepale.

GEN 24:54 Removed trailing space in p~: Walipoamka asubuhi, yule mtumishi, akasema, “Nipeni ruhusa nirudi kwa bwana wangu.”

GEN 24:55 Removed trailing space in v~: Lakini ndugu yake Rebeka pamoja na mama yake wakajibu, “Acha binti akae kwetu siku kumi au zaidi, ndipo mwondoke.”

GEN 24:56 Removed trailing space in v~: Lakini yule mtumishi akawaambia, “Msinicheleweshe, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amefanikisha safari yangu, nipeni ruhusa nirudi kwa bwana wangu.”

GEN 24:57 Removed trailing space in v~: Ndipo wakasema, “Acha tumwite huyo binti tumuulize, tusikie atakavyosema.”

GEN 24:58 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamwita Rebeka na kumuuliza, “Je, utakwenda na mtu huyu?”

GEN 24:58 Removed trailing space in p~: Akasema, “Nitakwenda.”

GEN 24:59 Removed trailing space in v~: Hivyo wakamwaga ndugu yao Rebeka aondoke, pamoja na mjakazi wake, mtumishi wa Abrahamu na watu wake.

GEN 24:60 Removed trailing space in v~: Wakambariki Rebeka, wakamwambia,

GEN 24:60 Removed trailing space in p~: “Ndugu yetu, uwe wewe kumi elfu,

GEN 24:60 Removed trailing space in p~: mara elfu nyingi,

GEN 24:60 Removed trailing space in p~: nao wazao wako wamiliki

GEN 24:60 Removed trailing space in p~: malango ya adui zao.”

GEN 24:61 Removed trailing space in v~: Rebeka na vijakazi wake wakajiandaa, wakapanda ngamia zao wakafuatana na yule mtu. Hivyo yule mtumishi akamchukua Rebeka akaondoka.

GEN 24:62 Removed trailing space in v~: Basi Isaki alikuwa ametoka Beer-Lahai-Roi, kwa kuwa alikuwa anaishi nchi ya Negebu.

GEN 24:63 Removed trailing space in v~: Isaki akatoka kwenda shambani kutafakari wakati wa jioni, alipoinua macho yake, akaona ngamia wanakuja.

GEN 24:64 Removed trailing space in v~: Rebeka pia akainua macho akamwona Isaki. Akashuka kutoka kwenye ngamia wake

GEN 24:65 Removed trailing space in v~: na akamuuliza yule mtumishi, “Ni nani mtu yule aliye kule shambani anayekuja kutulaki?”

GEN 24:65 Removed trailing space in p~: Yule mtumishi akajibu, “Huyu ndiye bwana wangu.” Hivyo Rebeka akachukua shela yake akajifunika.

GEN 24:66 Removed trailing space in v~: Kisha yule mtumishi akamweleza Isaki mambo yote aliyoyatenda.

GEN 24:67 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaki akamwingiza Rebeka katika hema la Sara mama yake, Isaki akamchukua Rebeka, hivyo akawa mke wake. Isaki akampenda, akafarijika baada ya kifo cha mama yake.

GEN 26:0 Extra space after chapter number

GEN 26:0 Removed trailing space in c: 26

GEN 26:0 Removed trailing space in s1: Isaki Na Abimeleki

GEN 26:1 Removed trailing space in v~: Basi njaa kubwa ikawa katika nchi hiyo, kuliko ile njaa iliyotangulia iliyotokea wakati wa Abrahamu. Isaki akamwendea Abimeleki mfalme wa Wafilisti huko Gerari.

GEN 26:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Isaki, akamwambia, “Usiende Misri, bali ukae katika nchi nitakayokuambia.

GEN 26:3 Removed trailing space in v~: Kaa katika nchi hii kwa kitambo, mimi nitakuwa pamoja na wewe na nitakubariki. Kwa maana nitakupa wewe na uzao wako nchi hizi zote na nitatimiza kiapo nilichomwapia Abrahamu baba yako.

GEN 26:4 Removed trailing space in v~: Nitafanya wazao wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami nitawapa nchi hizi zote na kutokana na uzao wako mataifa yote yatabarikiwa,

GEN 26:5 Removed trailing space in v~: kwa sababu Abrahamu alinitii mimi akatunza kanuni zangu na maagizo yangu, amri zangu pamoja na sheria zangu.”

GEN 26:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Isaki akaishi huko Gerari.

GEN 26:7 Removed trailing space in v~: Watu wa mahali pale walipomuuliza habari za mke wake, akasema, “Huyu ni dada yangu,” kwa sababu aliogopa kusema, “Huyu ni mke wangu.” Alifikiri, “Watu wa mahali pale wataweza kumuua kwa sababu ya Rebeka, kwa kuwa alikuwa mzuri wa sura.”

GEN 26:8 Removed trailing space in v~: Wakati Isaki alipokuwa amekaa huko siku nyingi, Abimeleki mfalme wa Wafilisti akachungulia dirishani, akaona jinsi Isaki alivyomkumbatia Rebeka mke wake.

GEN 26:9 Removed trailing space in v~: Abimeleki akamwita Isaki akamwambia, “Hakika huyu ni mke wako! Mbona uliniambia, ‘Huyu ni dada yangu?’ ”

GEN 26:9 Removed trailing space in p~: Isaki akamjibu, “Kwa sababu nilifikiri ningeweza kuuawa kwa sababu yake.”

GEN 26:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Abimeleki akamjibu, “Ni nini hiki ulichotufanyia? Ingewezekana mtu yeyote akawa amekutana kimwili na mke wako, nawe ungeleta hatia juu yetu.”

GEN 26:11 Removed trailing space in v~: Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu wote, akisema, “Yeyote atakayemnyanyasa mtu huyu au mkewe hakika atauawa.”

GEN 26:12 Removed trailing space in v~: Isaki akapanda mazao katika nchi hiyo, kwa mwaka huo huo, akavuna mara mia, kwa sababu \nd Bwana\nd* alimbariki.

GEN 26:13 Removed trailing space in v~: Isaki akawa tajiri, mali zake zikaendelea kuongezeka mpaka akawa tajiri sana.

GEN 26:14 Removed trailing space in v~: Akawa na mifugo ya kondoo na ngʼombe, na watumishi wengi sana, kiasi kwamba Wafilisti wakamwonea wivu.

GEN 26:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo visima vyote vilivyochimbwa na watumishi wakati wa Abrahamu baba yake, Wafilisti wakavifukia, wakavijaza udongo.

GEN 26:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Abimeleki akamwambia Isaki, “Ondoka kwetu, kwa maana umetuzidi nguvu sana.”

GEN 26:17 Removed trailing space in v~: Basi Isaki akatoka huko akajenga kambi katika Bonde la Gerari, akaishi huko.

GEN 26:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaki akavichimbua tena vile visima vya maji ambavyo vilichimbwa siku zile za Abrahamu baba yake, ambavyo Wafilisti walivifukia baada ya kufa Abrahamu, akavipa majina yale yale ambayo baba yake alikuwa amevipa.

GEN 26:19 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Isaki wakachimba katika lile bonde wakagundua huko kisima chenye maji safi.

GEN 26:20 Removed trailing space in v~: Lakini wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaki wakisema, “Maji haya ni yetu!” Ndipo akakiita kile kisima Eseki,\f + \fr 26:20 \ft Eseki maana yake ni Ugomvi.\f* kwa sababu waligombana naye.

GEN 26:21 Removed trailing space in v~: Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitna.\f + \fr 26:21 \ft Sitna maana yake Upinzani.\f*

GEN 26:22 Removed trailing space in v~: Akaondoka huko, akachimba kisima kingine, wala hakuna yeyote aliyekigombania. Akakiita Rehobothi,\f + \fr 26:22 \ft Rehobothi maana yake ni Mungu ametufanyia nafasi.\f* akisema, “Sasa \nd Bwana\nd* ametufanyia nafasi, nasi tutastawi katika nchi.”

GEN 26:23 Removed trailing space in v~: Kutoka pale akaenda Beer-Sheba.

GEN 26:24 Removed trailing space in v~: Usiku ule \nd Bwana\nd* akamtokea, akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa Abrahamu baba yako. Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe, nitakubariki na kuongeza idadi ya wazao wako kwa ajili ya Abrahamu mtumishi wangu.”

GEN 26:25 Removed trailing space in v~: Isaki akajenga madhabahu huko, akaliitia jina la \nd Bwana\nd*. Akapiga hema lake huko, nao watumishi wake wakachimba kisima.

GEN 26:26 Removed trailing space in v~: Wakati huo, Abimeleki alikuwa amemjia kutoka Gerari, akifuatana na Ahuzathi mshauri wake, pamoja na Fikoli jemadari wa majeshi yake.

GEN 26:27 Removed trailing space in v~: Isaki akawauliza, “Mbona mmekuja kwangu na ninyi mlinichukia na kunifukuza?”

GEN 26:28 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Tuliona wazi kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja nawe, kwa hiyo tukasema, ‘Inabidi kuwe na kiapo cha mapatano kati yetu, kati yetu na wewe. Na tufanye mkataba pamoja nawe

GEN 26:29 Removed trailing space in v~: kwamba hutatudhuru, kama jinsi nasi hatukuwanyanyasa bali tuliwatendea mema wakati wote na kuwaondoa kwetu kwa amani. Tena sasa umebarikiwa na \nd Bwana\nd*.’ ”

GEN 26:30 Removed trailing space in v~: Basi Isaki akawaandalia karamu, nao wakala na kunywa.

GEN 26:31 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema, wakaapizana wao kwa wao. Kisha Isaki akawaruhusu waende zao, wakamwacha Isaki kwa amani.

GEN 26:32 Removed trailing space in v~: Siku hiyo watumishi wa Isaki wakaja wakampa habari kuhusu kisima walichokuwa wamekichimba, wakamwambia, “Tumepata maji!”

GEN 26:33 Removed trailing space in v~: Naye akakiita Shiba,\f + \fr 26:33 \ft Shiba kwa Kiebrania maana yake ni Saba.\f* mpaka leo mji huo unaitwa Beer-Sheba.\f + \fr 26:33 \ft Beer-Sheba maana yake ni Kisima cha wale saba, yaani wale kondoo saba ambao Abrahamu aliwatoa kama ushahidi kati yake na Abimeleki.\f*

GEN 26:34 Removed trailing space in v~: Esau alipokuwa na umri wa miaka arobaini, akamwoa Yudithi binti Beeri Mhiti, kisha akamwoa Basemathi binti Eloni Mhiti.

GEN 26:35 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa chanzo cha huzuni ya Isaki na Rebeka.

GEN 27:0 Extra space after chapter number

GEN 27:0 Removed trailing space in c: 27

GEN 27:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Anaipata Baraka Ya Isaki

GEN 27:1 Removed trailing space in v~: Isaki alipokuwa mzee na macho yake yalipokuwa yamekosa nguvu asiweze kuona tena, akamwita Esau mwanawe mkubwa, akamwambia, “Mwanangu.”

GEN 27:1 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi hapa.”

GEN 27:2 Removed trailing space in v~: Isaki akasema, “Mimi sasa ni mzee na sijui siku ya kifo changu.

GEN 27:3 Removed trailing space in v~: Sasa basi, chukua silaha zako, podo na upinde, uende nyikani, ukawinde nyama pori kwa ajili yangu.

GEN 27:4 Removed trailing space in v~: Uniandalie aina ya chakula kitamu nikipendacho uniletee nile, ili niweze kukubariki kabla sijafa.”

GEN 27:5 Removed trailing space in v~: Basi Rebeka alikuwa akisikiliza Isaki alipokuwa akizungumza na mwanawe Esau. Esau alipoondoka kwenda nyikani kuwinda nyama pori na kuleta,

GEN 27:6 Removed trailing space in v~: Rebeka akamwambia Yakobo mwanawe, “Tazama, nimemsikia baba yako akimwambia ndugu yako Esau,

GEN 27:7 Removed trailing space in v~: ‘Niletee mawindo, kisha ukaniandalie chakula kitamu nile, ili niweze kukubariki mbele za \nd Bwana\nd* kabla sijafa.’

GEN 27:8 Removed trailing space in v~: Sasa, mwanangu, nisikilize kwa makini na ufanye yale ninayokuambia:

GEN 27:9 Removed trailing space in v~: Nenda sasa katika kundi ukaniletee wana-mbuzi wawili wazuri, ili niandalie chakula kitamu kwa ajili ya baba yako, kama vile anavyopenda.

GEN 27:10 Removed trailing space in v~: Kisha umpelekee baba yako ale, ili apate kukubariki kabla hajafa.”

GEN 27:11 Removed trailing space in v~: Yakobo akamwambia Rebeka mama yake, “Lakini ndugu yangu Esau ana nywele mwilini, mimi nina ngozi nyororo.

GEN 27:12 Removed trailing space in v~: Itakuwaje kama baba yangu akinigusa? Itaonekana kwake kama niliyemfanyia ujanja na kuleta laana juu yangu badala ya baraka.”

GEN 27:13 Removed trailing space in v~: Mama yake akamwambia, “Mwanangu, laana na iwe juu yangu. Fanya tu ninalokuambia, nenda ukaniletee hao wana-mbuzi.”

GEN 27:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo alikwenda akawaleta, akampa mama yake, akaandaa chakula kitamu, kama vile alivyopenda baba yake.

GEN 27:15 Removed trailing space in v~: Kisha Rebeka akachukua nguo nzuri za Esau mwanawe wa kwanza, alizokuwa nazo nyumbani, akamvika Yakobo mwanawe mdogo.

GEN 27:16 Removed trailing space in v~: Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.

GEN 27:17 Removed trailing space in v~: Hatimaye akampa Yakobo hicho chakula kitamu pamoja na mkate aliouoka.

GEN 27:18 Removed trailing space in v~: Akamwendea baba yake akasema, “Baba yangu.”

GEN 27:18 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Naam, mwanangu, wewe ni nani?”

GEN 27:19 Removed trailing space in v~: Yakobo akamwambia baba yake, “Mimi ni Esau mzaliwa wako wa kwanza. Nimefanya kama ulivyoniambia. Tafadhali uketi, ule sehemu ya mawindo yangu ili uweze kunibariki.”

GEN 27:20 Removed trailing space in v~: Isaki akamuuliza mwanawe. “Umepataje haraka namna hii, mwanangu?”

GEN 27:20 Removed trailing space in p~: Akajibu, “\nd Bwana\nd* Mungu wako amenifanikisha.”

GEN 27:21 Removed trailing space in v~: Kisha Isaki akamwambia Yakobo, “Mwanangu tafadhali sogea karibu nami ili nikupapase, nione kama hakika ndiwe Esau mwanangu, au la.”

GEN 27:22 Removed trailing space in v~: Yakobo akasogea karibu na baba yake Isaki, ambaye alimpapasa na kusema, “Sauti ni ya Yakobo, bali mikono ni ya Esau.”

GEN 27:23 Removed trailing space in v~: Hakumtambua, kwa sababu mikono yake ilikuwa na nywele kama ya ndugu yake Esau, kwa hiyo akambariki.

GEN 27:24 Removed trailing space in v~: Akamuuliza, “Hivi kweli wewe ni mwanangu Esau?”

GEN 27:24 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi ndiye.”

GEN 27:25 Removed trailing space in v~: Kisha akasema, “Mwanangu, niletee sehemu ya mawindo yako nile, ili nipate kukubariki.”

GEN 27:25 Removed trailing space in p~: Yakobo akamletea naye akala, akamletea na divai akanywa.

GEN 27:26 Removed trailing space in v~: Kisha Isaki baba yake akamwambia, “Njoo hapa, mwanangu, unibusu.”

GEN 27:27 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akamwendea akambusu. Isaki aliposikia harufu ya nguo zake, akambariki, akasema,

GEN 27:27 Removed trailing space in p~: “Aha, harufu ya mwanangu

GEN 27:27 Removed trailing space in p~: ni kama harufu ya shamba

GEN 27:27 Removed trailing space in p~: ambalo \nd Bwana\nd* amelibariki.

GEN 27:28 Removed trailing space in v~: Mungu na akupe umande kutoka mbinguni

GEN 27:28 Removed trailing space in p~: na utajiri wa duniani:

GEN 27:28 Removed trailing space in p~: wingi wa nafaka na divai mpya.

GEN 27:29 Removed trailing space in v~: Mataifa na yakutumikie

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: na mataifa yakusujudie.

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: Uwe bwana juu ya ndugu zako,

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: na wana wa mama yako wakusujudie.

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: Walaaniwe wale wakulaanio,

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: nao wale wakubarikio wabarikiwe.”

GEN 27:30 Removed trailing space in v~: Baada ya Isaki kumaliza kumbariki na baada tu ya Yakobo kuondoka kwa baba yake, ndugu yake Esau akaingia kutoka mawindoni.

GEN 27:31 Removed trailing space in v~: Naye pia akaandaa chakula kitamu akamletea baba yake. Kisha akamwambia, “Baba yangu, keti ule sehemu ya mawindo yangu, ili upate kunibariki.”

GEN 27:32 Removed trailing space in v~: Isaki baba yake akamuuliza, “Wewe ni nani?”

GEN 27:32 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi ni mwanao, mzaliwa wako wa kwanza, Esau.”

GEN 27:33 Removed trailing space in v~: Isaki akatetemeka kwa nguvu sana, akasema, “Alikuwa nani basi, ambaye aliwinda mawindo akaniletea? Nilikula kabla tu hujaja na nikambariki, naye hakika atabarikiwa!”

GEN 27:34 Removed trailing space in v~: Esau aliposikia maneno haya ya baba yake, akalia sauti kubwa na ya uchungu, na kumwambia baba yake, “Nibariki mimi, mimi pia, baba yangu!”

GEN 27:35 Removed trailing space in v~: Lakini akasema, “Ndugu yako amekuja kwa udanganyifu na akachukua baraka yako.”

GEN 27:36 Removed trailing space in v~: Esau akasema, “Si ndiyo sababu anaitwa Yakobo? Amenidanganya mara hizi mbili: Alichukua haki yangu ya kuzaliwa na sasa amechukua baraka yangu!” Kisha akauliza, “Hukubakiza hata baraka moja kwa ajili yangu?”

GEN 27:37 Removed trailing space in v~: Isaki akamjibu Esau, “Nimemfanya yeye kuwa bwana juu yako, pia nimewafanya ndugu zako wote kuwa watumishi wake, nimemtegemeza kwa nafaka na divai mpya. Sasa nitaweza kukufanyia nini, mwanangu?”

GEN 27:38 Removed trailing space in v~: Esau akamwambia baba yake, “Je, baba yangu una baraka moja tu? Unibariki mimi pia, baba yangu!” Kisha Esau akalia kwa sauti kubwa.

GEN 27:39 Removed trailing space in v~: Baba yake Isaki akamjibu, akamwambia,

GEN 27:39 Removed trailing space in p~: “Makao yako yatakuwa

GEN 27:39 Removed trailing space in p~: mbali na utajiri wa dunia,

GEN 27:39 Removed trailing space in p~: mbali na umande wa mbinguni juu.

GEN 27:40 Removed trailing space in v~: Utaishi kwa upanga,

GEN 27:40 Removed trailing space in p~: nawe utamtumikia ndugu yako,

GEN 27:40 Removed trailing space in p~: lakini wakati utakapokuwa umejikomboa,

GEN 27:40 Removed trailing space in p~: utatupa nira yake

GEN 27:40 Removed trailing space in p~: kutoka shingoni mwako.”

GEN 27:40 Removed trailing space in s1: Yakobo Anakimbilia Kwa Labani

GEN 27:41 Removed trailing space in v~: Esau akawa na kinyongo dhidi ya Yakobo kwa ajili ya baraka ambazo baba yake alikuwa amembariki. Akasema moyoni mwake, “Siku za kuomboleza kwa ajili ya baba yangu zimekaribia, ndipo nitamuua ndugu yangu Yakobo.”

GEN 27:42 Removed trailing space in v~: Rebeka alipokwisha kuambiwa yale aliyoyasema Esau mwanawe mkubwa, alimwita Yakobo mwanawe mdogo, akamwambia, “Ndugu yako Esau anajifariji kwa wazo la kukuua.

GEN 27:43 Removed trailing space in v~: Sasa basi, mwanangu, fanya nisemalo: Kimbilia haraka kwa Labani ndugu yangu kule Harani.

GEN 27:44 Removed trailing space in v~: Ukae naye kwa muda mpaka ghadhabu ya ndugu yako itulie.

GEN 27:45 Removed trailing space in v~: Wakati ndugu yako atakapokuwa hana hasira nawe tena na amesahau uliyomtendea, nitakupelekea ujumbe urudi. Kwa nini niwapoteze wote wawili kwa siku moja?”

GEN 27:46 Removed trailing space in v~: Kisha Rebeka akamwambia Isaki, “Nimechukia kuishi kwa sababu ya hawa wanawake wa Kihiti. Ikiwa Yakobo ataoa mke miongoni mwa wanawake wa nchi hii, wanawake wa Kihiti kama hawa, sitakuwa na faida kuendelea kuishi.”

GEN 28:0 Extra space after chapter number

GEN 28:0 Removed trailing space in c: 28

GEN 28:1 Removed trailing space in v~: Basi Isaki akamwita Yakobo, akambariki na akamwamuru, akisema, “Usioe mwanamke wa Kikanaani.

GEN 28:2 Removed trailing space in v~: Nenda mara moja mpaka Padan-Aramu, kwenye nyumba ya Bethueli baba wa mama yako. Uchukue mke kati ya binti za Labani ambaye ni ndugu wa mama yako.

GEN 28:3 Removed trailing space in v~: Mungu Mwenyezi\f + \fr 28:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* na akubariki uwe na uzao uongezeke idadi yako upate kuwa jamii kubwa ya watu.

GEN 28:4 Removed trailing space in v~: Na akupe wewe na uzao wako baraka aliyopewa Abrahamu, upate kumiliki nchi unayoishi sasa kama mgeni, nchi ambayo Mungu alimpa Abrahamu.”

GEN 28:5 Removed trailing space in v~: Kisha Isaki akamuaga Yakobo, naye akaenda Padan-Aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Mwaramu, ndugu wa Rebeka, aliyekuwa mama wa Yakobo na Esau.

GEN 28:6 Removed trailing space in v~: Sasa Esau akajua kuwa Isaki amembariki Yakobo na kumtuma kwenda Padan-Aramu ili achukue mke huko na kwamba alipombariki alimwamuru akisema, “Usioe mke katika binti za Wakanaani,”

GEN 28:7 Removed trailing space in v~: tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake naye amekwenda Padan-Aramu.

GEN 28:8 Removed trailing space in v~: Esau akatambua jinsi ambavyo baba yake Isaki anavyowachukia binti za Wakanaani.

GEN 28:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Esau akaenda kwa Ishmaeli, akamwoa Mahalati, ndugu wa Nebayothi na binti wa Ishmaeli mwana wa Abrahamu, kuongezea wale wake wengine aliokuwa nao.

GEN 28:9 Removed trailing space in s1: Ndoto Ya Yakobo Huko Betheli

GEN 28:10 Removed trailing space in v~: Yakobo akatoka Beer-Sheba kwenda Harani.

GEN 28:11 Removed trailing space in v~: Alipofika mahali fulani, akalala hapo kwa sababu jua lilikuwa limetua. Akachukua jiwe moja la mahali pale, akaliweka chini ya kichwa chake akajinyoosha akalala usingizi.

GEN 28:12 Removed trailing space in v~: Akaota ndoto ambayo aliona ngazi imesimamishwa juu ya ardhi, ncha yake ikiwa imefika mbinguni na malaika wa Mungu wakawa wakipanda na kushuka juu yake.

GEN 28:13 Removed trailing space in v~: Juu yake alisimama \nd Bwana\nd*, akasema, “Mimi ni \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba yako Abrahamu na Mungu wa Isaki. Nchi ambayo umelala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.

GEN 28:14 Removed trailing space in v~: Uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi na mashariki, kaskazini na kusini. Kupitia wewe na uzao wako mataifa yote ya duniani yatabarikiwa.

GEN 28:15 Removed trailing space in v~: Niko pamoja nawe nami nitakulinda kila uendako na nitakurudisha katika nchi hii. Sitakuacha mpaka nitakapofanya hayo niliyokuahidi.”

GEN 28:16 Removed trailing space in v~: Yakobo alipoamka kutoka usingizini, akawaza, “Hakika \nd Bwana\nd* yuko mahali hapa, wala mimi sikujua.”

GEN 28:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaogopa, akasema, “Mahali hapa panatisha kama nini! Bila shaka hapa ndipo nyumba ya Mungu ilipo, hili ni lango la mbinguni.”

GEN 28:18 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake na mapema, Yakobo akalichukua lile jiwe aliloliweka chini ya kichwa chake, akalisimamisha kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.

GEN 28:19 Removed trailing space in v~: Mahali pale akapaita Betheli,\f + \fr 28:19 \ft Betheli maana yake Nyumba ya Mungu.\f* ingawa mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.

GEN 28:20 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akaweka nadhiri, akisema, “Kama Mungu akiwa pamoja nami na kunilinda katika safari niendayo, akinipa chakula nile na nguo nivae

GEN 28:21 Removed trailing space in v~: na nirudi salama nyumbani kwa baba yangu, hapo ndipo \nd Bwana\nd* atakuwa Mungu wangu,

GEN 28:22 Removed trailing space in v~: nalo jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu na katika yote utakayonipa nitakutolea wewe sehemu ya kumi.”

GEN 29:0 Extra space after chapter number

GEN 29:0 Removed trailing space in c: 29

GEN 29:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Awasili Padan-Aramu

GEN 29:1 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akaendelea na safari yake na akafika kwenye nchi za mataifa ya mashariki.

GEN 29:2 Removed trailing space in v~: Huko akaona kisima katika shamba, pamoja na makundi matatu ya kondoo yamelala karibu na kisima hicho kwa sababu walikuwa wanakunywa maji kutoka kwenye kisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwa kisima lilikuwa kubwa.

GEN 29:3 Removed trailing space in v~: Wakati kondoo wanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungaji huvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wa kisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima.

GEN 29:4 Removed trailing space in v~: Yakobo aliwauliza wachungaji, “Ndugu zangu, ninyi mmetoka wapi?”

GEN 29:4 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Tumetoka Harani.”

GEN 29:5 Removed trailing space in v~: Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?”

GEN 29:5 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”

GEN 29:6 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akawauliza, “Je, yeye ni mzima?”

GEN 29:6 Removed trailing space in p~: Wakasema, “Ndiyo, ni mzima, na hapa yuaja Raheli binti yake akiwa na kondoo.”

GEN 29:7 Removed trailing space in v~: Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”

GEN 29:8 Removed trailing space in v~: Walijibu, “Haiwezekani, mpaka kondoo wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha kondoo.”

GEN 29:9 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.

GEN 29:10 Removed trailing space in v~: Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mama yake, pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda na kulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisima na kuwanywesha kondoo wa mjomba wake.

GEN 29:11 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanza kulia kwa sauti.

GEN 29:12 Removed trailing space in v~: Yakobo alikuwa amemwambia Raheli kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake, na kwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Raheli alikimbia na kumweleza baba yake.

GEN 29:13 Removed trailing space in v~: Mara Labani aliposikia habari kuhusu Yakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakisha kwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusu, halafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakobo akamwambia mambo yote.

GEN 29:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni nyama yangu na damu yangu mwenyewe.”

GEN 29:14 Removed trailing space in s1: Yakobo Awaoa Lea Na Raheli

GEN 29:14 Removed trailing space in p~: Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima,

GEN 29:15 Removed trailing space in v~: Labani akamwambia, “Kwa vile wewe ni jamaa yangu, ndiyo sababu unifanyie kazi bila ujira? Niambie ujira wako utakuwa nini.”

GEN 29:16 Removed trailing space in v~: Labani alikuwa na binti wawili, binti mkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwa Raheli.

GEN 29:17 Removed trailing space in v~: Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.

GEN 29:18 Removed trailing space in v~: Yakobo akampenda Raheli, akamwambia Labani, “Nitakutumikia kwa miaka saba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yako mdogo.”

GEN 29:19 Removed trailing space in v~: Labani akasema, “Ni bora zaidi nikupe Raheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaa pamoja na mimi hapa.”

GEN 29:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yakobo akatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakini ilionekana kwake kama siku chache tu kwa sababu ya upendo wake kwa Raheli.

GEN 29:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akamwambia Labani, “Nipe mke wangu. Muda wangu umekamilika, nami nataka nikutane naye kimwili.”

GEN 29:22 Removed trailing space in v~: Basi Labani akaalika watu wote wa mahali pale na akafanya karamu.

GEN 29:23 Removed trailing space in v~: Lakini ilipofika jioni, akamchukua Lea binti yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutana naye kimwili.

GEN 29:24 Removed trailing space in v~: Naye Labani akamtoa Zilpa, mtumishi wake wa kike, kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.

GEN 29:25 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi, Yakobo akagundua kuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia Labani, “Ni jambo gani hili ulilonitendea? Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, sivyo? Kwa nini umenidanganya?”

GEN 29:26 Removed trailing space in v~: Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.

GEN 29:27 Removed trailing space in v~: Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka mingine saba.”

GEN 29:28 Removed trailing space in v~: Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.

GEN 29:29 Removed trailing space in v~: Labani akamtoa Bilha mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake.

GEN 29:30 Removed trailing space in v~: Pia Yakobo akakutana na Raheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidi kuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka mingine saba.

GEN 29:30 Removed trailing space in s1: Wana Wa Yakobo

GEN 29:31 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipoona kwamba Lea hapendwi, akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa.

GEN 29:32 Removed trailing space in v~: Lea akapata mimba akazaa mwana. Akamwita Reubeni,\f + \fr 29:32 \ft Reubeni maana yake Ona mwana, yaani Yehova ameangalia taabu yangu.\f* kwa maana alisema, “Ni kwa sababu \nd Bwana\nd* ameona huzuni yangu. Hakika mume wangu sasa atanipenda.”

GEN 29:33 Removed trailing space in v~: Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Kwa sababu \nd Bwana\nd* alisikia kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.” Kwa hiyo akamwita Simeoni.\f + \fr 29:33 \ft Simeoni maana yake Anasikia, yaani sasa ataungana nami kama Raheli.\f*

GEN 29:34 Removed trailing space in v~: Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Sasa afadhali mume wangu ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akamwita Lawi.\f + \fr 29:34 \ft Lawi maana yake Nimeunganishwa, yaani na mume wangu.\f*

GEN 29:35 Removed trailing space in v~: Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Wakati huu nitamsifu \nd Bwana\nd*.” Kwa hiyo akamwita Yuda.\f + \fr 29:35 \ft Yuda maana yake Sifa, yaani Nitamsifu Yehova.\f* Kisha akaacha kuzaa watoto.

GEN 30:0 Extra space after chapter number

GEN 30:0 Removed trailing space in c: 30

GEN 30:1 Removed trailing space in v~: Raheli alipoona hamzalii Yakobo watoto, akamwonea ndugu yake wivu. Hivyo akamwambia Yakobo, “Nipe watoto, la sivyo nitakufa!”

GEN 30:2 Removed trailing space in v~: Yakobo akamkasirikia, akamwambia, “Je, mimi ni badala ya Mungu, ambaye amekuzuia usizae watoto?”

GEN 30:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Raheli akamwambia, “Hapa yupo Bilha, mtumishi wangu wa kike. Kutana naye kimwili ili aweze kunizalia watoto na kwa kupitia yeye mimi pia niweze kuwa na uzao.”

GEN 30:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Raheli akampa Yakobo Bilha awe mke wake. Yakobo akakutana naye kimwili,

GEN 30:5 Removed trailing space in v~: Bilha akapata mimba, naye akamzalia Yakobo mwana.

GEN 30:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Raheli akasema, “Mungu amenipa haki yangu, amesikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa sababu hiyo akamwita Dani.\f + \fr 30:6 \ft Dani maana yake Anahukumu, yaani Mungu amenipa haki yangu.\f*

GEN 30:7 Removed trailing space in v~: Bilha mtumishi wa kike wa Raheli akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa pili.

GEN 30:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Raheli akasema, “Nilikuwa na mashindano makubwa na ndugu yangu, nami nimeshinda.” Kwa hiyo akamwita Naftali.\f + \fr 30:8 \ft Naftali maana yake Nimeshindana nami nimeshinda.\f*

GEN 30:9 Removed trailing space in v~: Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mtumishi wake wa kike Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.

GEN 30:10 Removed trailing space in v~: Mtumishi wa Lea yaani Zilpa, akamzalia Yakobo mwana.

GEN 30:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Lea akasema, “Hii ni bahati nzuri aje!” Kwa hiyo akamwita Gadi.

GEN 30:12 Removed trailing space in v~: Mtumishi wa kike wa Lea akamzalia Yakobo mwana wa pili.

GEN 30:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Lea aliposema, “Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita Asheri.\f + \fr 30:13 \ft Asheri maana yake Nimefurahi, yaani Mungu amenifurahisha.\f*

GEN 30:14 Removed trailing space in v~: Wakati wa kuvuna ngano, Reubeni akaenda shambani akakuta tunguja, ambazo alizileta kwa Lea mama yake. Raheli akamwambia Lea, “Tafadhali nakuomba unipe baadhi ya tunguja za mwanao.”

GEN 30:15 Removed trailing space in v~: Lakini Lea akamwambia, “Haikukutosha kumtwaa mume wangu? Je, utachukua na tunguja za mwanangu pia?”

GEN 30:15 Removed trailing space in p~: Raheli akasema, “Vema sana! Yakobo atakutana nawe kimwili leo usiku, kwa malipo ya tunguja za mwanao.”

GEN 30:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yakobo alipokuja kutoka shambani jioni ile, Lea akaenda kumlaki, akamwambia, “Lazima ukutane nami kimwili. Nimekukodisha kwa tunguja za mwanangu.” Kwa hiyo akakutana naye kimwili usiku ule.

GEN 30:17 Removed trailing space in v~: Mungu akamsikiliza Lea, naye akapata mimba akamzalia Yakobo mwana wa tano.

GEN 30:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Lea akasema, “Mungu amenizawadia kwa kumpa mume wangu mtumishi wangu wa kike.” Kwa hiyo akamwita Isakari.\f + \fr 30:18 \ft Isakari maana yake Zawadi, yaani Mungu amenizawadia.\f*

GEN 30:19 Removed trailing space in v~: Lea akapata mimba tena akamzalia Yakobo mwana wa sita.

GEN 30:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Lea aliposema, “Mungu amenizawadia kwa zawadi ya thamani sana. Wakati huu mume wangu ataniheshimu kwa sababu nimemzalia wana sita.” Kwa hiyo akamwita Zabuloni.\f + \fr 30:20 \ft Zabuloni maana yake Heshima.\f*

GEN 30:21 Removed trailing space in v~: Baadaye akamzaa mtoto wa kike akamwita Dina.\f + \fr 30:21 \ft Dina maana yake Tetea haki, yaani Mungu amenitetea katika mashindano yangu.\f*

GEN 30:22 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamkumbuka Raheli, akasikia maombi yake na akafungua tumbo lake.

GEN 30:23 Removed trailing space in v~: Akapata mimba na akamzaa mwana na kusema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”

GEN 30:24 Removed trailing space in v~: Akamwita Yosefu\f + \fr 30:24 \ft Yosefu maana yake Yeye na aongeze, yaani Mungu na aniongezee.\f* na kusema, “\nd Bwana\nd* na anipe mwana mwingine.”

GEN 30:24 Removed trailing space in s1: Makundi Ya Yakobo Yaongezeka

GEN 30:25 Removed trailing space in v~: Baada ya Raheli kumzaa Yosefu, Yakobo akamwambia Labani, “Nipe ruhusa nirudi katika nchi yangu.

GEN 30:26 Removed trailing space in v~: Nipe wake zangu na watoto, ambao nimetumika kuwapata, nami niende zangu. Unajua ni kazi kiasi gani ambayo nimekufanyia.”

GEN 30:27 Removed trailing space in v~: Lakini Labani akamwambia, “Ikiwa nimepata kibali machoni pako, tafadhali ukae. Nimegundua kwa njia ya uaguzi kwamba \nd Bwana\nd* amenibariki kwa sababu yako.”

GEN 30:28 Removed trailing space in v~: Akaongeza kumwambia, “Taja ujira wako nami nitakulipa.”

GEN 30:29 Removed trailing space in v~: Yakobo akamwambia, “Unajua jinsi ambavyo nimekutumikia na jinsi ambavyo wanyama wako walivyolishwa vizuri chini ya uangalizi wangu.

GEN 30:30 Removed trailing space in v~: Kidogo ulichokuwa nacho kabla sijaja kimeongezeka sana, naye \nd Bwana\nd* amekubariki popote nilipokuwa. Lakini sasa, ni lini nitashughulikia mambo ya nyumba yangu mwenyewe?”

GEN 30:31 Removed trailing space in v~: Labani akamuuliza, “Nikupe nini?”

GEN 30:31 Removed trailing space in p~: Yakobo akamjibu, “Usinipe chochote lakini kama utanifanyia jambo hili moja, nitaendelea kuchunga na kuyaangalia makundi yako.

GEN 30:32 Removed trailing space in v~: Niruhusu nipite katika makundi yako yote leo niondoe humo kila kondoo mwenye mabakabaka au madoadoa, kila mwana-kondoo mweusi na kila mbuzi mwenye madoadoa au mabakabaka. Hawa watakuwa ujira wangu.

GEN 30:33 Removed trailing space in v~: Uadilifu wangu utanishuhudia siku zijazo, kila utakapochunguza ujira ambao umenilipa mimi. Mbuzi yeyote wangu ambaye hana mabakabaka wala madoadoa, au mwana-kondoo ambaye si mweusi, atahesabika ameibwa.”

GEN 30:34 Removed trailing space in v~: Labani akasema, “Ninakubali na iwe kama ulivyosema.”

GEN 30:35 Removed trailing space in v~: Siku ile ile Yakobo akawaondoa beberu wote waliokuwa na mistari au madoadoa na mbuzi wake wote waliokuwa na mistari au madoadoa (wote waliokuwa na alama nyeupe juu yao) na wana-kondoo weusi wote, akawaweka chini ya uangalizi wa wanawe.

GEN 30:36 Removed trailing space in v~: Kisha Labani akamwacha Yakobo kwa mwendo wa safari ya siku tatu kati yake na Yakobo, wakati Yakobo akiendelea kuchunga lile kundi la Labani lililobaki.

GEN 30:37 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Yakobo, akachukua fito mbichi zilizokatwa wakati huo huo za miti ya mlubna, mlozi na mwaramoni akazibambua ili mistari myeupe ionekane katika fito hizo.

GEN 30:38 Removed trailing space in v~: Kisha akaweka fito alizozibambua kwenye mabirika yote ya kunyweshea mifugo, ili ziwe mbele ya makundi walipokuja kunywa maji. Wanyama walipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitaji mbegu,

GEN 30:39 Removed trailing space in v~: wakapandwa hizo fito zikiwa mbele yao. Wanyama waliopata mimba mbele ya hizo fito walizaa wanyama wenye mistari, madoadoa na mabakabaka.

GEN 30:40 Removed trailing space in v~: Yakobo akawatenga wadogo wa kundi peke yao, lakini akazielekeza nyuso za hao waliobaki kwenye wale wenye mistari na weusi waliokuwa mali ya Labani. Hivyo akatenga makundi yake mwenyewe, na wala hakuwachanganya na wanyama wa Labani.

GEN 30:41 Removed trailing space in v~: Kila mara wanyama wenye nguvu walipohitaji mbegu, Yakobo aliweka zile fito kwenye mabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwe karibu na hizo fito,

GEN 30:42 Removed trailing space in v~: lakini ikiwa wanyama walikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyo wanyama wadhaifu wakawa wa Labani, na wanyama wenye nguvu wakawa wa Yakobo.

GEN 30:43 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii Yakobo akastawi sana, tena akawa na makundi makubwa, watumishi wa kike na wa kiume na ngamia na punda.

GEN 31:0 Extra space after chapter number

GEN 31:0 Removed trailing space in c: 31

GEN 31:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Akimbia Kutoka Kwa Labani

GEN 31:1 Removed trailing space in v~: Yakobo akawasikia wana wa Labani wakisema, “Yakobo amechukua kila kitu kilichokuwa cha baba yetu naye amepata utajiri huu wote kutokana na vile vilivyokuwa mali ya baba yetu.”

GEN 31:2 Removed trailing space in v~: Yakobo akatambua kwamba moyo wa Labani kwake haukuwa kama ulivyokuwa mwanzo.

GEN 31:3 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Yakobo, “Rudi katika nchi ya baba zako na kwa watu wako, nami nitakuwa pamoja nawe.”

GEN 31:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Yakobo akatuma ujumbe kwa Raheli na Lea waje machungani yalikokuwa makundi yake.

GEN 31:5 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Naona moyo wa baba yenu kwangu sivyo kama ulivyokuwa mwanzoni, lakini Mungu wa baba yangu amekuwa pamoja nami.

GEN 31:6 Removed trailing space in v~: Mnajua kwamba nimemtumikia baba yenu kwa nguvu zangu zote,

GEN 31:7 Removed trailing space in v~: hata hivyo baba yenu amenidanganya kwa kubadilisha ujira wangu mara kumi. Hata hivyo, Mungu hakumruhusu kunidhuru.

GEN 31:8 Removed trailing space in v~: Kama alisema, ‘Wenye madoadoa watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye madoadoa, kama alisema, ‘Wenye mistari watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye mistari.

GEN 31:9 Removed trailing space in v~: Hivyo Mungu amechukua mifugo ya baba yenu na amenipa mimi.

GEN 31:10 Removed trailing space in v~: “Wakati fulani majira ya kuzaliana niliota ndoto ambayo niliinua macho na kuona kwamba wale mabeberu waliokuwa wakipanda kundi walikuwa wa mistari, madoadoa na mabakabaka.

GEN 31:11 Removed trailing space in v~: Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’

GEN 31:12 Removed trailing space in v~: Akasema, ‘Inua macho yako uone wale mabeberu wote wanaopanda kundi wana mistari, madoadoa au mabakabaka, kwa maana nimeona yale yote ambayo Labani amekuwa akikutendea.

GEN 31:13 Removed trailing space in v~: Mimi ndiye Mungu wa Betheli, ulikomiminia ile nguzo mafuta na pale mahali uliponiwekea nadhiri. Sasa ondoka katika nchi hii mara moja urudi katika nchi uliyozaliwa.’ ”

GEN 31:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tu tunalo fungu lolote katika urithi wa nyumba ya baba yetu?

GEN 31:15 Removed trailing space in v~: Je, yeye hatuhesabu sisi kama wageni? Sio kwamba ametuuza tu, bali ametumia hata na vile vilivyolipwa kwa ajili yetu.

GEN 31:16 Removed trailing space in v~: Hakika utajiri wote ambao Mungu ameuchukua kutoka kwa baba yetu ni mali yetu na watoto wetu. Hivyo fanya lolote lile Mungu alilokuambia.”

GEN 31:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia,

GEN 31:18 Removed trailing space in v~: naye akawaswaga wanyama wote mbele yake pamoja na vitu vyote alivyokuwa amechuma huko Padan-Aramu kwenda kwa baba yake Isaki katika nchi ya Kanaani.

GEN 31:19 Removed trailing space in v~: Labani alipokuwa amekwenda kukata kondoo wake manyoya, Raheli aliiba miungu ya nyumba ya baba yake.

GEN 31:20 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia.

GEN 31:21 Removed trailing space in v~: Hivyo akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo na kuvuka Mto Frati akaelekea nchi ya vilima katika Gileadi.

GEN 31:21 Removed trailing space in s1: Labani Amfuatilia Yakobo

GEN 31:22 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.

GEN 31:23 Removed trailing space in v~: Akiwachukua jamaa zake, akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta kwenye nchi ya vilima katika Gileadi.

GEN 31:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamjia Labani Mwaramu katika ndoto usiku na kumwambia, “Jihadhari usiseme neno lolote kwa Yakobo, liwe zuri au baya.”

GEN 31:25 Removed trailing space in v~: Yakobo alikuwa amepiga hema lake katika nchi ya vilima katika Gileadi wakati Labani alipomkuta, Labani na jamaa yake wakapiga kambi huko pia.

GEN 31:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na umewachukua binti zangu kama mateka katika vita.

GEN 31:27 Removed trailing space in v~: Kwa nini ulikimbia kwa siri na kunidanganya? Kwa nini hukuniambia ili nikuage kwa furaha na nyimbo za matari na vinubi?

GEN 31:28 Removed trailing space in v~: Hata hukuniruhusu niwabusu wajukuu zangu na kuwaaga binti zangu. Umefanya kitu cha kipumbavu.

GEN 31:29 Removed trailing space in v~: Nina uwezo wa kukudhuru, lakini usiku uliopita Mungu wa baba yako alisema nami, akaniambia, ‘Jihadhari, usiseme neno lolote kwa Yakobo liwe zuri au baya.’

GEN 31:30 Removed trailing space in v~: Sasa umeondoka kwa sababu umetamani kurudi nyumbani kwa baba yako. Lakini kwa nini umeiba miungu yangu?”

GEN 31:31 Removed trailing space in v~: Yakobo akamjibu Labani, “Niliogopa, kwa sababu nilifikiri ungeweza kuninyangʼanya binti zako kwa nguvu.

GEN 31:32 Removed trailing space in v~: Lakini kama ukimkuta yeyote aliye na miungu yako, hataishi. Mbele ya jamaa yetu, angalia mwenyewe uone kama kuna chochote chako hapa nilicho nacho, kama kipo, kichukue.” Basi Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameiba hiyo miungu.

GEN 31:33 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Labani akaingia ndani ya hema la Yakobo na ndani ya hema la Lea na ndani ya hema la watumishi wawili wa kike, lakini hakukuta chochote. Baadaye alipotoka katika hema la Lea, akaingia hema la Raheli.

GEN 31:34 Removed trailing space in v~: Basi Raheli ndiye alikuwa amechukua ile miungu ya nyumbani kwao na kuiweka katika matandiko ya ngamia na kukalia. Labani akatafuta kila mahali kwenye hema lakini hakupata chochote.

GEN 31:35 Removed trailing space in v~: Raheli akamwambia baba yake, “Usikasirike, bwana wangu kwa kuwa siwezi kusimama ukiwepo, niko katika hedhi.” Labani akatafuta lakini hakuweza kuipata miungu ya nyumbani kwake.

GEN 31:36 Removed trailing space in v~: Yakobo akakasirika na kumshutumu Labani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?” Akamuuliza Labani, “Ni dhambi gani niliyofanya hata unaniwinda?

GEN 31:37 Removed trailing space in v~: Sasa kwa kuwa umepekua vitu vyangu vyote umepata nini kilicho cha nyumbani mwako? Kiweke hapa mbele ya jamaa yako na yangu, nao waamue kati yetu sisi wawili.

GEN 31:38 Removed trailing space in v~: “Mpaka sasa nimekuwa pamoja nawe miaka ishirini. Kondoo wako na mbuzi wako hawajaharibu mimba, wala sijala kondoo dume kutoka makundi yako.

GEN 31:39 Removed trailing space in v~: Sikukuletea mfugo aliyeraruliwa na wanyama pori, nilibeba hasara mimi mwenyewe. Tena ulinidai malipo kwa chochote kilichoibwa mchana au usiku.

GEN 31:40 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo iliyokuwa hali yangu: Niliumia kwa joto la mchana na baridi usiku, pia usingizi ulinipa.

GEN 31:41 Removed trailing space in v~: Ilikuwa hivi kwa miaka ile ishirini niliyokuwa nyumbani kwako. Nilikutumikia miaka ile kumi na minne kwa ajili ya binti zako wawili, miaka sita kwa ajili ya makundi yako, nawe ulibadilisha ujira wangu mara kumi.

GEN 31:42 Removed trailing space in v~: Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Abrahamu na Hofu ya Isaki, hakuwa pamoja nami, hakika ungenifukuza mikono mitupu. Lakini Mungu ameona taabu yangu na kazi ngumu ya mikono yangu, naye usiku uliopita amekukemea.”

GEN 31:43 Removed trailing space in v~: Labani akamjibu Yakobo, “Wanawake hawa ni binti zangu, watoto hawa ni watoto wangu na makundi haya ni makundi yangu. Vyote unavyoviona ni vyangu. Lakini hata hivyo ninaweza kufanya nini kuhusu hawa binti zangu, au kuhusu watoto waliowazaa?

GEN 31:44 Removed trailing space in v~: Njoo sasa na tufanye agano, wewe na mimi, na liwe kama shahidi kati yetu.”

GEN 31:45 Removed trailing space in v~: Hivyo Yakobo akachukua jiwe, akalisimamisha kama nguzo.

GEN 31:46 Removed trailing space in v~: Akawaambia jamaa yake, “Kusanyeni mawe.” Hivyo wakachukua mawe na kuyakusanya yakawa lundo, wakala chakula hapo karibu na hilo lundo.

GEN 31:47 Removed trailing space in v~: Labani akaliita Yegar-Sahadutha\f + \fr 31:47 \ft Yegar-Sahadutha maana yake ni Lundo la ushahidi kwa Kiaramu.\f* na Yakobo akaliita Galeedi.\f + \fr 31:47 \ft Galeedi maana yake ni Lundo la ushahidi kwa Kiebrania.\f*

GEN 31:48 Removed trailing space in v~: Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.

GEN 31:49 Removed trailing space in v~: Pia liliitwa Mispa,\f + \fr 31:49 \ft Mispa maana yake Mnara wa ulinzi.\f* kwa sababu alisema, “\nd Bwana\nd* na aweke ulinzi kati yako na mimi wakati kila mmoja akiwa mbali na mwingine.

GEN 31:50 Removed trailing space in v~: Kama ukiwatenda mabaya binti zangu au ukioa wake wengine zaidi ya binti zangu, hata ingawa hakuna hata mmoja aliye pamoja nasi, kumbuka kwamba Mungu ni shahidi kati yako na mimi.”

GEN 31:51 Removed trailing space in v~: Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hili ndilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamisha kati yako na mimi.

GEN 31:52 Removed trailing space in v~: Lundo hili ni shahidi na nguzo hii ni shahidi, kwamba sitavuka lundo hili kuja upande wako kukudhuru, nawe kwamba hutavuka lundo hili na nguzo hii kuja upande wangu kunidhuru.

GEN 31:53 Removed trailing space in v~: Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Nahori, Mungu wa baba zao, aamue kati yetu.”

GEN 31:53 Removed trailing space in p~: Hivyo Yakobo akaapa kwa jina la Hofu ya baba yake Isaki.

GEN 31:54 Removed trailing space in v~: Yakobo akatoa dhabihu juu ya kilima na akawaalika jamaa zake kula chakula. Baada ya kula, wakalala huko.

GEN 31:55 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema, Labani akawabusu wajukuu zake, binti zake na kuwabariki. Kisha akaondoka, akarudi nyumbani.

GEN 32:0 Extra space after chapter number

GEN 32:0 Removed trailing space in c: 32

GEN 32:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Ajiandaa Kukutana Na Esau

GEN 32:1 Removed trailing space in v~: Yakobo pia akaondoka akaenda zake, nao malaika wa Mungu wakakutana naye.

GEN 32:2 Removed trailing space in v~: Yakobo alipowaona, akasema, “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali pale Mahanaimu.\f + \fr 32:2 \ft Mahanaimu maana yake Kambi mbili.\f*

GEN 32:3 Removed trailing space in v~: Yakobo akatuma wajumbe kumtangulia kwa Esau ndugu yake huko Seiri, katika nchi ya Edomu.

GEN 32:4 Removed trailing space in v~: Akawaagiza akisema: “Hili ndilo mtakalomwambia bwana wangu Esau: ‘Mtumishi wako Yakobo anasema, nimekuwa nikiishi pamoja na Labani na nimekuwako huko mpaka sasa.

GEN 32:5 Removed trailing space in v~: Ninao ngʼombe na punda, kondoo na mbuzi, watumishi wa kiume na wa kike. Sasa ninatuma ujumbe huu kwa bwana wangu, ili nipate kibali machoni pako.’ ”

GEN 32:6 Removed trailing space in v~: Wajumbe waliporudi kwa Yakobo, wakamwambia, “Tulikwenda kuonana na ndugu yako Esau, naye sasa anakuja kukulaki akifuatana na wanaume 400.”

GEN 32:7 Removed trailing space in v~: Kwa hofu kuu na huzuni, Yakobo akagawanya watu aliokuwa nao katika makundi mawili, pia akagawanya makundi ya kondoo na mbuzi, na vilevile ngʼombe na ngamia.

GEN 32:8 Removed trailing space in v~: Yakobo alifikiri, “Kama Esau akija na kushambulia kundi moja, kundi lililobaki litaweza likanusurika.”

GEN 32:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akaomba, “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu, Mungu wa baba yangu Isaki, Ee \nd Bwana\nd*, ambaye uliniambia, ‘Rudi katika nchi yako na jamaa yako, nami nitakufanya ustawi,’

GEN 32:10 Removed trailing space in v~: mimi sistahili fadhili na uaminifu wako wote ulionitendea mimi mtumishi wako. Nilikuwa na fimbo tu mkononi mwangu nilipovuka mto huu wa Yordani, lakini sasa ninayo makundi mawili.

GEN 32:11 Removed trailing space in v~: Nakuomba, uniokoe na mkono wa ndugu yangu Esau, kwa maana ninaogopa kuwa atakuja kunishambulia, pia mama pamoja na watoto wao.

GEN 32:12 Removed trailing space in v~: Lakini umeshasema, ‘Hakika nitakufanya ustawi na kuufanya uzao wako kuwa mwingi kama mchanga wa baharini ambao hauwezi kuhesabika!’ ”

GEN 32:13 Removed trailing space in v~: Akalala pale usiku ule, miongoni mwa vitu alivyokuwa navyo, akachagua zawadi kwa ajili ya Esau ndugu yake:

GEN 32:14 Removed trailing space in v~: Mbuzi waume ishirini na mbuzi wake 200, kondoo dume ishirini na kondoo wake 200.

GEN 32:15 Removed trailing space in v~: Ngamia wake thelathini pamoja na ndama zao, ngʼombe wake arobaini na mafahali kumi, punda wake ishirini na punda waume kumi.

GEN 32:16 Removed trailing space in v~: Akaviweka chini ya uangalizi wa watumishi wake, kila kundi peke yake na kuwaambia, “Nitangulieni na kuacha nafasi kati ya makundi.”

GEN 32:17 Removed trailing space in v~: Akamwagiza yule aliyetangulia kuwa, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, ‘Wewe ni wa nani? Unakwenda wapi? Wanyama hawa wote mbele yako ni mali ya nani?’

GEN 32:18 Removed trailing space in v~: Ndipo utakaposema, ‘Ni mali ya mtumishi wako Yakobo. Ni zawadi ambazo zimetumwa kwa bwana wangu Esau, naye anakuja nyuma yetu.’ ”

GEN 32:19 Removed trailing space in v~: Akamwagiza pia yule mtumishi wa kundi la pili, la tatu na yale mengine yote yaliyofuata akiwaambia, “Mtamwambia Esau maneno hayo hayo mtakapokutana naye.

GEN 32:20 Removed trailing space in v~: Hakikisheni mmesema, ‘Mtumishi wako Yakobo anakuja nyuma yetu.’ ” Kwa kuwa alifikiri, “Nitaweza kumtuliza kwa zawadi hizi ninazotanguliza, hatimaye, nitakapomwona, huenda atanikubali.”

GEN 32:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo zawadi za Yakobo zilitangulia mbele yake, lakini yeye mwenyewe alilala kambini usiku ule.

GEN 32:21 Removed trailing space in s1: Yakobo Ashindana Mweleka Na Mungu

GEN 32:22 Removed trailing space in v~: Usiku ule Yakobo akaamka akawachukua wake zake wawili, watumishi wake wawili wa kike na wanawe kumi na mmoja na akavuka kivuko cha Yaboki.

GEN 32:23 Removed trailing space in v~: Baada ya kuwavusha ngʼambo ya kijito, alivusha pia mali zake zote.

GEN 32:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yakobo akaachwa peke yake na mtu mmoja akashikana naye mweleka mpaka mapambazuko.

GEN 32:25 Removed trailing space in v~: Yule mtu alipoona kuwa hawezi kumshinda, aligusa kiungio cha nyonga ya Yakobo kwa hiyo nyonga yake ikateguka wakati alipokuwa akishikana mweleka na yule mtu.

GEN 32:26 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtu akasema, “Niache niende, kwa kuwa ni mapambazuko.”

GEN 32:26 Removed trailing space in p~: Lakini Yakobo akajibu, “Sitakuacha uende usiponibariki.”

GEN 32:27 Removed trailing space in v~: Yule mtu akamuuliza, “Jina lako nani?”

GEN 32:27 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Yakobo.”

GEN 32:28 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtu akasema, “Jina lako halitakuwa tena Yakobo, bali Israeli,\f + \fr 32:28 \ft Israeli maana yake Yeye ashindanaye na Mungu.\f* kwa sababu umeshindana na Mungu na watu pia, nawe umeshinda.”

GEN 32:29 Removed trailing space in v~: Yakobo akasema, “Tafadhali niambie jina lako.”

GEN 32:29 Removed trailing space in p~: Lakini akajibu, “Kwa nini kuniuliza Jina langu?” Ndipo akambariki huko.

GEN 32:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yakobo akapaita mahali pale Penieli,\f + \fr 32:30 \ft Penieli maana yake Uso wa Mungu, ambalo ni sawa na Penueli kwa Kiebrania.\f* akasema, “Ni kwa sababu nimemwona Mungu uso kwa uso na bado maisha yangu yameokoka.”

GEN 32:31 Removed trailing space in v~: Jua lilikuwa linachomoza Yakobo alipoondoka Penueli, naye alikuwa akichechemea kwa sababu ya nyonga yake.

GEN 32:32 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mpaka leo Waisraeli hawali mshipa ulioungana na kiungio cha nyonga, kwa sababu kiungio cha nyonga ya Yakobo kiliteguliwa karibu na mshipa huo.

GEN 33:0 Extra space after chapter number

GEN 33:0 Removed trailing space in c: 33

GEN 33:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Akutana Na Esau

GEN 33:1 Removed trailing space in v~: Yakobo akainua macho akamwona Esau akija na watu wake 400, kwa hiyo akawagawanya watoto kati ya Lea, Raheli na wale watumishi wake wawili wa kike.

GEN 33:2 Removed trailing space in v~: Akawaweka wale watumishi wa kike na watoto wao mbele, Lea na watoto wake wakafuata, Raheli na Yosefu wakaja nyuma.

GEN 33:3 Removed trailing space in v~: Yeye mwenyewe akatangulia mbele na kusujudu mara saba alipomkaribia ndugu yake.

GEN 33:4 Removed trailing space in v~: Lakini Esau akamkimbilia Yakobo kumlaki na kumkumbatia, akamwangukia shingoni na kumbusu. Nao wakalia.

GEN 33:5 Removed trailing space in v~: Esau akainua macho akawaona wale wanawake na watoto. Akauliza, “Hawa uliofuatana nao ni nani?”

GEN 33:5 Removed trailing space in p~: Yakobo akamjibu, “Ni watoto ambao Mungu amempa mtumishi wako kwa neema.”

GEN 33:6 Removed trailing space in v~: Kisha wale watumishi wa kike na watoto wao wakakaribia na kusujudu.

GEN 33:7 Removed trailing space in v~: Kisha Lea na watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa wote wakaja Yosefu na Raheli, nao pia wakasujudu.

GEN 33:8 Removed trailing space in v~: Esau akauliza, “Una maana gani kuhusu makundi hayo yote niliyokutana nayo?”

GEN 33:8 Removed trailing space in p~: Akasema, “Ni ili kupata kibali machoni pako, bwana wangu.”

GEN 33:9 Removed trailing space in v~: Lakini Esau akamwambia, “Ndugu yangu, tayari nina wingi wa mali. Ulivyo navyo viwe vyako mwenyewe.”

GEN 33:10 Removed trailing space in v~: Yakobo akasema, “La hasha! Tafadhali, kama nimepata kibali machoni pako, upokee zawadi hii kutoka kwangu. Kwa maana kuuona uso wako, ni kama kuuona uso wa Mungu, kwa kuwa umenipokea kwa takabali kubwa.

GEN 33:11 Removed trailing space in v~: Tafadhali ukubali zawadi iliyoletwa kwako, kwa kuwa Mungu amenineemesha na ninavyo vyote ninavyohitaji.” Kwa sababu Yakobo alisisitiza, Esau akapokea.

GEN 33:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Esau akasema, “Na tuendelee na safari, nitakuwa pamoja nawe.”

GEN 33:13 Removed trailing space in v~: Lakini Yakobo akamwambia, “Bwana wangu unajua kwamba watoto ni wachanga na kwamba ni lazima nitunze hawa kondoo wake na ngʼombe wanaonyonyesha. Wakipelekwa kwa haraka hata kama ni kwa siku moja tu, wanyama wote watakufa.

GEN 33:14 Removed trailing space in v~: Hivyo bwana wangu umtangulie mtumishi wako, wakati mimi nikija polepole kwa mwendo wa makundi yaliyo mbele yangu na mwendo wa watoto, mpaka nifike kwa bwana wangu huko Seiri.”

GEN 33:15 Removed trailing space in v~: Esau akamwambia, “Basi na niwaache baadhi ya watu wangu pamoja nawe.”

GEN 33:15 Removed trailing space in p~: Yakobo akauliza, “Lakini kwa nini ufanye hivyo, niache tu nipate kibali machoni pa bwana wangu.”

GEN 33:16 Removed trailing space in v~: Hivyo siku hiyo Esau akashika njia akarudi Seiri.

GEN 33:17 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, Yakobo akaenda Sukothi,\f + \fr 33:17 \ft Sukothi maana yake Vibanda.\f* mahali alipojijengea makazi kwa ajili yake na mabanda kwa ajili ya mifugo yake. Hii ndiyo sababu sehemu ile inaitwa Sukothi.

GEN 33:18 Removed trailing space in v~: Baada ya Yakobo kutoka Padan-Aramu, alifika salama katika mji wa Shekemu huko Kanaani na kuweka kambi yake karibu na mji.

GEN 33:19 Removed trailing space in v~: Akanunua kiwanja kutoka kwa wana wa Hamori, baba wa Shekemu, kwa bei ya vipande mia vya fedha, ambapo alipiga hema lake.

GEN 33:20 Removed trailing space in v~: Pale akajenga madhabahu na kupaita El-Elohe-Israeli.\f + \fr 33:20 \ft El-Elohe-Israeli maana yake Mungu, Mungu wa Israeli au Mwenye Nguvu ni Mungu wa Israeli.\f*

GEN 34:0 Extra space after chapter number

GEN 34:0 Removed trailing space in c: 34

GEN 34:0 Removed trailing space in s1: Dina Na Washekemu

GEN 34:1 Removed trailing space in v~: Basi Dina, binti wa Yakobo aliyezaliwa na Lea, akatoka nje kuwatembelea wanawake wa nchi ile.

GEN 34:2 Removed trailing space in v~: Ikawa Shekemu mwana wa Hamori Mhivi, mtawala wa eneo lile alipomwona, akamchukua na kumnajisi.

GEN 34:3 Removed trailing space in v~: Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza.

GEN 34:4 Removed trailing space in v~: Shekemu akamwambia baba yake Hamori, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”

GEN 34:5 Removed trailing space in v~: Yakobo aliposikia kwamba binti yake Dina amenajisiwa, wanawe walikuwa mashambani wakichunga mifugo yake, kwa hiyo akalinyamazia jambo hilo mpaka waliporudi nyumbani.

GEN 34:6 Removed trailing space in v~: Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo.

GEN 34:7 Removed trailing space in v~: Basi wana wa Yakobo walikuwa wamerudi kutoka mashambani mara tu waliposikia kilichotokea. Walikuwa wamejawa na huzuni na ghadhabu, kwa sababu Shekemu alikuwa amefanya jambo la aibu katika Israeli kwa kukutana kimwili na binti wa Yakobo, kitu ambacho hakingepasa kufanyika.

GEN 34:8 Removed trailing space in v~: Lakini Hamori akawaambia, “Moyo wa mwanangu Shekemu umeelekea kwa binti yenu. Tafadhali mpeni awe mke wake.

GEN 34:9 Removed trailing space in v~: Oaneni na sisi, tupeni binti zenu, nanyi mchukue binti zetu.

GEN 34:10 Removed trailing space in v~: Mwaweza kuishi katikati yetu, nchi ni wazi kwenu. Ishini ndani yake, fanyeni biashara humu na mjipatie mali.”

GEN 34:11 Removed trailing space in v~: Kisha Shekemu akamwambia baba yake Dina pamoja na ndugu zake, “Na nipate kibali machoni penu, nami nitawapa chochote mtakachosema.

GEN 34:12 Removed trailing space in v~: Niambieni kiasi cha mahari na zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani, nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipeni tu huyu msichana awe mke wangu.”

GEN 34:13 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ndugu yao Dina alikuwa amenajisiwa, wana wa Yakobo wakajibu kwa udanganyifu walipozungumza na Shekemu pamoja na baba yake Hamori.

GEN 34:14 Removed trailing space in v~: Wakawaambia, “Hatuwezi kufanya jambo kama hili, hatuwezi kumtoa dada yetu kwa mtu ambaye hakutahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu.

GEN 34:15 Removed trailing space in v~: Tutakuruhusu kwa sharti moja tu, kwamba mtakuwa kama sisi kwa kuwatahiri wanaume wenu wote.

GEN 34:16 Removed trailing space in v~: Kisha tutawapa binti zetu na sisi tutawachukua binti zenu. Tutaishi kwenu na tutakuwa watu wamoja nanyi.

GEN 34:17 Removed trailing space in v~: Lakini mkikataa kutahiriwa, tutamchukua ndugu yetu na kuondoka.”

GEN 34:18 Removed trailing space in v~: Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori na Shekemu mwanawe.

GEN 34:19 Removed trailing space in v~: Kijana mdogo, ambaye alikuwa ameheshimiwa kati ya wote walioishi nyumbani mwa baba yake, hakupoteza muda kufanya waliyoyasema, kwa sababu alikuwa amependezwa sana na binti Yakobo.

GEN 34:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Hamori na Shekemu mwanawe walikwenda kwenye lango la mji kuzungumza na wenzao wa mjini.

GEN 34:21 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Hawa watu ni marafiki kwetu, tuwaruhusu waishi katika nchi yetu na kufanya biashara ndani yake, nchi ina nafasi tele kwa ajili yao. Tunaweza kuoa binti zao. Nao wanaweza kuoa binti zetu.

GEN 34:22 Removed trailing space in v~: Lakini watu hao watakuwa tayari kukubali kuishi nasi kama watu wamoja nao kwa sharti kwamba wanaume wetu watahiriwe, kama wao.

GEN 34:23 Removed trailing space in v~: Je, si mifugo yao, mali zao na wanyama wao wengine wote watakuwa wetu? Basi na tuwape kibali, nao wataishi miongoni mwetu.”

GEN 34:24 Removed trailing space in v~: Wanaume wote waliotoka nje ya lango la mji walikubaliana na Hamori na Shekemu mwanawe na kila mwanaume katika mji ule akatahiriwa.

GEN 34:25 Removed trailing space in v~: Baada ya siku tatu, wakati wote wakiwa wangali katika maumivu, wana wawili wa Yakobo, yaani Simeoni na Lawi, ndugu zake Dina, wakachukua panga zao na kuvamia mji ambao haukutazamia vita, wakaua kila mwanaume.

GEN 34:26 Removed trailing space in v~: Wakawaua Hamori na Shekemu mwanawe kwa upanga kisha wakamchukua Dina kutoka nyumba ya Shekemu na kuondoka.

GEN 34:27 Removed trailing space in v~: Wana wa Yakobo walipita juu ya maiti katika kuteka nyara mji ule ambamo dada yao alikuwa amenajisiwa.

GEN 34:28 Removed trailing space in v~: Wakachukua kondoo na mbuzi, ngʼombe, punda na kila kitu kilichokuwa chao ndani ya mji ule na mashambani.

GEN 34:29 Removed trailing space in v~: Walichukua utajiri wao wote pamoja na wanawake na watoto wao, wakachukua nyara kila kitu ndani ya nyumba zao.

GEN 34:30 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, “Mmeleta taabu kwangu kwa kunifanya ninuke kama uvundo kwa Wakanaani na Waperizi, watu waishio katika nchi hii. Sisi ni wachache, kama wakiunganisha nguvu zao dhidi yangu na kunishambulia, mimi na nyumba yangu tutaangamizwa.”

GEN 34:31 Removed trailing space in v~: Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”

GEN 35:0 Extra space after chapter number

GEN 35:0 Removed trailing space in c: 35

GEN 35:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Arudi Betheli

GEN 35:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akamwambia Yakobo, “Panda uende Betheli ukakae huko na ukamjengee Mungu madhabahu huko, Yeye aliyekutokea ulipokuwa unamkimbia Esau ndugu yako.”

GEN 35:2 Removed trailing space in v~: Hivyo Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake pamoja na wote waliokuwa naye, “Iondoeni miungu ya kigeni ile iliyoko katikati yenu, jitakaseni na mkabadilishe nguo zenu.

GEN 35:3 Removed trailing space in v~: Kisha njooni, twende Betheli, mahali nitakapomjengea Mungu madhabahu, aliyenijibu katika siku ya shida yangu, ambaye amekuwa pamoja nami popote nilipokwenda.”

GEN 35:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakampa Yakobo miungu yote ya kigeni waliyokuwa nayo, pamoja na pete zilizokuwa masikioni mwao. Yakobo akavizika chini ya mti wa mwaloni huko Shekemu.

GEN 35:5 Removed trailing space in v~: Kisha wakaondoka, na hofu ya Mungu ikawapata miji yote iliyowazunguka. Kwa hiyo hakuna aliyewafuatia wana wa Yakobo.

GEN 35:6 Removed trailing space in v~: Yakobo na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafika Luzu (ndio Betheli), katika nchi ya Kanaani.

GEN 35:7 Removed trailing space in v~: Huko akajenga madhabahu na akapaita mahali pale El-Betheli,\f + \fr 35:7 \ft El-Betheli maana yake Mungu wa Betheli.\f* kwa sababu mahali pale ndipo Mungu alipojifunua kwake alipokuwa akimkimbia ndugu yake.

GEN 35:8 Removed trailing space in v~: Wakati huu Debora, mlezi wa Rebeka, akafa na akazikwa chini ya mti wa mwaloni ulioko chini ya Betheli. Kwa hiyo pakaitwa Alon-Bakuthi.\f + \fr 35:8 \ft Alon-Bakuthi maana yake Mwaloni wa Kilio.\f*

GEN 35:9 Removed trailing space in v~: Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-Aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.

GEN 35:10 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Jina lako ni Yakobo, lakini hutaitwa tena Yakobo, jina lako utakuwa Israeli.” Kwa hiyo akamwita Israeli.

GEN 35:11 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi,\f + \fr 35:11 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* ukazae na kuongezeka. Taifa na jamii ya mataifa itatoka kwako, nao wafalme watatoka viunoni mwako.

GEN 35:12 Removed trailing space in v~: Nchi niliyowapa Abrahamu na Isaki nakupa wewe pia, nami nitawapa wazao wako baada yako.”

GEN 35:13 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akapanda juu kutoka kwake mahali pale alipozungumza naye.

GEN 35:14 Removed trailing space in v~: Yakobo akasimamisha nguzo ya jiwe mahali pale Mungu alipozungumza naye, akamimina sadaka ya kinywaji juu yake, pia akamimina mafuta juu yake.

GEN 35:15 Removed trailing space in v~: Yakobo akapaita mahali pale Mungu alipozungumza naye Betheli.\f + \fr 35:15 \ft Betheli maana yake Nyumba ya Mungu.\f*

GEN 35:15 Removed trailing space in s1: Vifo Vya Raheli Na Isaki

GEN 35:16 Removed trailing space in v~: Kisha wakaondoka Betheli. Walipokuwa umbali fulani kabla ya kufika Efrathi, Raheli akaanza kusikia uchungu na alipata shida kuu.

GEN 35:17 Removed trailing space in v~: Alipokuwa katika shida hii katika kujifungua, mkunga akamwambia, “Usiogope, kwa sababu umempata mwana mwingine.”

GEN 35:18 Removed trailing space in v~: Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe Benoni.\f + \fr 35:18 \ft Benoni maana yake Mwana wa huzuni yangu.\f* Lakini babaye akamwita Benyamini.\f + \fr 35:18 \ft Benyamini maana yake Mwana wa mkono wangu wa kuume.\f*

GEN 35:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Raheli akafa, akazikwa kando ya njia iendayo Efrathi (ndio Bethlehemu).

GEN 35:20 Removed trailing space in v~: Juu ya kaburi lake, Yakobo akasimamisha nguzo, ambayo mpaka leo inatambulisha kaburi la Raheli.

GEN 35:21 Removed trailing space in v~: Israeli akaendelea tena na safari yake na kupiga hema mbele mnara wa Ederi.

GEN 35:22 Removed trailing space in v~: Wakati Israeli alipokuwa akiishi katika nchi ile, Reubeni mwanawe alikutana kimwili na suria wa baba yake aitwaye Bilha, naye Israeli akasikia jambo hili.

GEN 35:22 Removed trailing space in p~: Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili:

GEN 35:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Lea walikuwa:

GEN 35:23 Removed trailing space in p~: Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo,

GEN 35:23 Removed trailing space in p~: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari na Zabuloni.

GEN 35:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Raheli walikuwa:

GEN 35:24 Removed trailing space in p~: Yosefu na Benyamini.

GEN 35:25 Removed trailing space in v~: Wana waliozaliwa na Bilha mtumishi wa kike wa Raheli walikuwa:

GEN 35:25 Removed trailing space in p~: Dani na Naftali.

GEN 35:26 Removed trailing space in v~: Wana waliozaliwa na Zilpa mtumishi wa kike wa Lea walikuwa:

GEN 35:26 Removed trailing space in p~: Gadi na Asheri.

GEN 35:26 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa wana wa Yakobo, waliozaliwa kwake akiwa Padan-Aramu.

GEN 35:27 Removed trailing space in v~: Yakobo akarudi nyumbani kwa baba yake Isaki huko Mamre, karibu na Kiriath-Arba (yaani Hebroni), ambapo walikuwa wameishi Abrahamu na Isaki.

GEN 35:28 Removed trailing space in v~: Isaki aliishi miaka 180.

GEN 35:29 Removed trailing space in v~: Kisha Isaki akapumua pumzi yake ya mwisho akafa, akakusanywa pamoja na watu wake akiwa mzee wa miaka mingi. Nao wanawe Esau na Yakobo wakamzika.

GEN 36:0 Extra space after chapter number

GEN 36:0 Removed trailing space in c: 36

GEN 36:0 Removed trailing space in s1: Wazao Wa Esau

GEN 36:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 1:34-42)

GEN 36:1 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).

GEN 36:2 Removed trailing space in v~: Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,

GEN 36:3 Removed trailing space in v~: pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

GEN 36:4 Removed trailing space in v~: Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,

GEN 36:5 Removed trailing space in v~: Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.

GEN 36:6 Removed trailing space in v~: Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.

GEN 36:7 Removed trailing space in v~: Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.

GEN 36:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.

GEN 36:9 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.

GEN 36:10 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Esau:

GEN 36:10 Removed trailing space in p~: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

GEN 36:11 Removed trailing space in v~: Wana wa Elifazi ni:

GEN 36:11 Removed trailing space in p~: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

GEN 36:12 Removed trailing space in v~: Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.

GEN 36:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Reueli ni:

GEN 36:13 Removed trailing space in p~: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.

GEN 36:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni:

GEN 36:14 Removed trailing space in p~: Yeushi, Yalamu na Kora.

GEN 36:15 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau:

GEN 36:15 Removed trailing space in p~: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni:

GEN 36:15 Removed trailing space in p~: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,

GEN 36:16 Removed trailing space in v~: Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.

GEN 36:17 Removed trailing space in v~: Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni:

GEN 36:17 Removed trailing space in p~: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.

GEN 36:18 Removed trailing space in v~: Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni:

GEN 36:18 Removed trailing space in p~: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.

GEN 36:19 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.

GEN 36:20 Removed trailing space in v~: Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile:

GEN 36:20 Removed trailing space in p~: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

GEN 36:21 Removed trailing space in v~: Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.

GEN 36:22 Removed trailing space in v~: Wana wa Lotani walikuwa:

GEN 36:22 Removed trailing space in p~: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.

GEN 36:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Shobali walikuwa:

GEN 36:23 Removed trailing space in p~: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

GEN 36:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Sibeoni walikuwa:

GEN 36:24 Removed trailing space in p~: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.

GEN 36:25 Removed trailing space in v~: Watoto wa Ana walikuwa:

GEN 36:25 Removed trailing space in p~: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.

GEN 36:26 Removed trailing space in v~: Wana wa Dishoni walikuwa:

GEN 36:26 Removed trailing space in p~: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

GEN 36:27 Removed trailing space in v~: Wana wa Eseri walikuwa:

GEN 36:27 Removed trailing space in p~: Bilhani, Zaavani na Akani.

GEN 36:28 Removed trailing space in v~: Wana wa Dishani walikuwa:

GEN 36:28 Removed trailing space in p~: Usi na Arani.

GEN 36:29 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori:

GEN 36:29 Removed trailing space in p~: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

GEN 36:30 Removed trailing space in v~: Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.

GEN 36:30 Removed trailing space in s1: Watawala Wa Edomu

GEN 36:30 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 1:43-54)

GEN 36:31 Removed trailing space in v~: Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:

GEN 36:32 Removed trailing space in v~: Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

GEN 36:33 Removed trailing space in v~: Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

GEN 36:34 Removed trailing space in v~: Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

GEN 36:35 Removed trailing space in v~: Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

GEN 36:36 Removed trailing space in v~: Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

GEN 36:37 Removed trailing space in v~: Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

GEN 36:38 Removed trailing space in v~: Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

GEN 36:39 Removed trailing space in v~: Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.

GEN 36:40 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao:

GEN 36:40 Removed trailing space in p~: Timna, Alva, Yethethi,

GEN 36:41 Removed trailing space in v~: Oholibama, Ela, Pinoni,

GEN 36:42 Removed trailing space in v~: Kenazi, Temani, Mibsari,

GEN 36:43 Removed trailing space in v~: Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki.

GEN 36:43 Removed trailing space in p~: Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.

GEN 37:0 Extra space after chapter number

GEN 37:0 Removed trailing space in c: 37

GEN 37:0 Removed trailing space in s1: Ndoto Za Yosefu

GEN 37:1 Removed trailing space in v~: Yakobo akaishi Kanaani katika nchi ambayo baba yake alikuwa ameishi.

GEN 37:2 Removed trailing space in v~: Zifuatazo ni habari za Yakobo.

GEN 37:2 Removed trailing space in p~: Yosefu, kijana wa miaka kumi na saba, alikuwa akichunga makundi ya kondoo na mbuzi pamoja na ndugu zake wa mama wengine, yaani wana wa Bilha na wana wa Zilpa wake za baba yake, naye akawa akimletea baba yake taarifa mbaya kuhusu hao ndugu zake.

GEN 37:3 Removed trailing space in v~: Basi, Israeli akampenda Yosefu kuliko yeyote miongoni mwa kaka zake, kwani ni mwanawe wa uzeeni, akamshonea joho lililorembwa vizuri sana.

GEN 37:4 Removed trailing space in v~: Ndugu zake walipoona kwamba baba yao anampenda Yosefu kuliko yeyote mwingine miongoni mwao, walimchukia na hawakusema naye neno lolote jema.

GEN 37:5 Removed trailing space in v~: Yosefu akaota ndoto, naye alipowaeleza ndugu zake, wakamchukia zaidi.

GEN 37:6 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota:

GEN 37:7 Removed trailing space in v~: Tulikuwa tukifunga miganda ya nafaka shambani, ghafula mganda wangu ukasimama wima, wakati miganda yenu ikiuzunguka na kuuinamia.”

GEN 37:8 Removed trailing space in v~: Ndugu zake wakamwambia, “Wewe unakusudia kututawala? Hivi kweli wewe utatutawala sisi?” Wakaongeza kumchukia zaidi kwa sababu ya ndoto yake pamoja na yale aliyowaambia.

GEN 37:9 Removed trailing space in v~: Kisha akaota ndoto nyingine, akawaambia ndugu zake akisema, “Sikilizeni, nimeota ndoto nyingine, wakati huu jua, mwezi na nyota kumi na moja zilikuwa zinanisujudia.”

GEN 37:10 Removed trailing space in v~: Alipomwambia baba yake pamoja na ndugu zake, baba yake akamkemea akisema, “Ni ndoto gani hii uliyoota? Hivi kweli mama yako na mimi na ndugu zako tutakuja kukusujudia wewe hadi nchi?”

GEN 37:11 Removed trailing space in v~: Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka jambo hilo moyoni.

GEN 37:11 Removed trailing space in s1: Yosefu Auzwa Na Ndugu Zake

GEN 37:12 Removed trailing space in v~: Basi, ndugu zake walikuwa wamekwenda kuchunga makundi ya baba yao karibu na Shekemu,

GEN 37:13 Removed trailing space in v~: naye Israeli akamwambia Yosefu, “Kama ujuavyo, ndugu zako wanachunga makundi huko karibu na Shekemu. Njoo, nitakutuma kwao.”

GEN 37:13 Removed trailing space in p~: Yosefu akajibu, “Vema sana, niko tayari.”

GEN 37:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akamwambia, “Nenda uone kama mambo yote ni salama kwa ndugu zako na makundi, kisha uniletee habari.” Ndipo akamtuma Yosefu kutoka Bonde la Hebroni.

GEN 37:14 Removed trailing space in p~: Yosefu alipofika Shekemu,

GEN 37:15 Removed trailing space in v~: mtu mmoja akamkuta akizungukazunguka mashambani na akamuuliza, “Unatafuta nini?”

GEN 37:16 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Unaweza kuniambia wanachunga wapi makundi yao?”

GEN 37:17 Removed trailing space in v~: Yule mtu akajibu, “Wamehama hapa. Nilisikia wakisema, ‘Twende Dothani.’ ”

GEN 37:17 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Yosefu akawafuatilia ndugu zake na kuwakuta karibu na Dothani.

GEN 37:18 Removed trailing space in v~: Ndugu zake walipomwona akiwa mbali, kabla hajawafikia, wakapanga shauri baya la kumuua.

GEN 37:19 Removed trailing space in v~: Wakaambiana, “Yule mwota ndoto anakuja!

GEN 37:20 Removed trailing space in v~: Njooni sasa, tumuue na kumtupa katika shimo mojawapo na tuseme kwamba mnyama mkali amemrarua. Kisha tutaona matokeo ya ndoto zake.”

GEN 37:21 Removed trailing space in v~: Reubeni aliposikia jambo hili, akajaribu kumwokoa kutoka mikononi mwao akasema, “Tusiutoe uhai wake.

GEN 37:22 Removed trailing space in v~: Tusimwage damu yoyote. Mtupeni katika shimo lililoko hapa jangwani, lakini msimguse.” Reubeni alisema hivyo ili amwokoe kutoka mikononi mwao, kisha amrudishe nyumbani kwa baba yake.

GEN 37:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yosefu alipowafikia ndugu zake, walimvua lile joho lake, lile joho lililorembwa vizuri alilokuwa amevaa.

GEN 37:24 Removed trailing space in v~: Kisha wakamchukua wakamtupa katika shimo. Wakati huo shimo lilikuwa tupu, halikuwa na maji ndani yake.

GEN 37:25 Removed trailing space in v~: Walipokaa ili wale chakula chao, wakainua macho wakaona msafara wa Waishmaeli ukija kutoka Gileadi. Ngamia wao walikuwa wamepakizwa mizigo ya vikolezo, uvumba na manemane, nao walikuwa njiani kuvipeleka Misri.

GEN 37:26 Removed trailing space in v~: Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutafaidi nini ikiwa tutamuua ndugu yetu na kuificha damu yake?

GEN 37:27 Removed trailing space in v~: Njooni, tumuuze kwa hawa Waishmaeli. Tusimguse, kwa kuwa hata hivyo yeye ni ndugu yetu, nyama yetu na damu yetu wenyewe.” Ndugu zake wakakubali.

GEN 37:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wale wafanyabiashara Wamidiani walipofika pale, ndugu zake wakamtoa Yosefu kutoka kwenye lile shimo, na kumuuza kwa shekeli ishirini\f + \fr 37:28 \ft Shekeli 20 ni sawa na gramu 200.\f* za fedha kwa wale Waishmaeli, ambao walimpeleka Misri.

GEN 37:29 Removed trailing space in v~: Reubeni aliporudi kutazama kwenye lile shimo na kuona kwamba Yosefu hayupo, alirarua nguo zake.

GEN 37:30 Removed trailing space in v~: Akawarudia ndugu zake na kusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi sasa?”

GEN 37:31 Removed trailing space in v~: Kisha wakalichukua lile joho la Yosefu, wakachinja mbuzi na kulichovya katika damu.

GEN 37:32 Removed trailing space in v~: Wakalichukua lile joho lililorembwa vizuri na kulipeleka kwa baba yao na kusema, “Tumeliokota hili joho. Uchunguze uone kama ni la mwanao.”

GEN 37:33 Removed trailing space in v~: Baba yao akalitambua akasema, “Hili ni joho la mwanangu! Mnyama mkali amemrarua. Hakika Yosefu ameraruliwa vipande vipande.”

GEN 37:34 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akararua nguo zake, akavaa nguo ya gunia na kumwombolezea mwanawe kwa siku nyingi.

GEN 37:35 Removed trailing space in v~: Wanawe wote na binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali kufarijiwa. Akasema, “Hapana, nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie kaburini.” Kwa hiyo baba yake akaendelea kumlilia.

GEN 37:36 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule, Wamidiani wakamuuza Yosefu huko Misri kwa Potifa, mmojawapo wa maafisa wa Farao, aliyekuwa mkuu wa ulinzi.

GEN 39:0 Extra space after chapter number

GEN 39:0 Removed trailing space in c: 39

GEN 39:0 Removed trailing space in s1: Yosefu Na Mke Wa Potifa

GEN 39:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu Yosefu alikuwa amechukuliwa mpaka Misri. Mmisri aliyeitwa Potifa aliyekuwa mmojawapo wa maafisa wa Farao, mkuu wa ulinzi, akamnunua Yosefu kutoka kwa Waishmaeli waliomleta Misri.

GEN 39:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na Yosefu, naye akastawi, Yosefu akaishi nyumbani kwa bwana wake Mmisri.

GEN 39:3 Removed trailing space in v~: Potifa alipoona kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na Yosefu na kwamba \nd Bwana\nd* alimfanikisha kwa kila kitu alichokifanya,

GEN 39:4 Removed trailing space in v~: Yosefu alipata kibali machoni pa Potifa, akamfanya mhudumu wake. Potifa akamweka kuwa msimamizi wa nyumba yake, naye akamkabidhi kuwa mwangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho.

GEN 39:5 Removed trailing space in v~: Kuanzia wakati huo Potifa alipomweka Yosefu kuwa msimamizi wa nyumba na mali zake zote alizokuwa nazo, \nd Bwana\nd* aliibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu. Baraka ya \nd Bwana\nd* ilikuwa juu ya kila kitu alichokuwa nacho Potifa, nyumbani na shambani.

GEN 39:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Potifa akamwachia Yosefu uangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho, Yosefu alipokuwa katika uongozi, Potifa hakuwa na sababu ya kujishughulisha na kitu chochote isipokuwa chakula alichokula.

GEN 39:6 Removed trailing space in p~: Yosefu alikuwa mwenye umbo zuri na sura ya kuvutia;

GEN 39:7 Removed trailing space in v~: baada ya kitambo mke wa Potifa akamtamani Yosefu, akamwambia, “Njoo, ukutane nami kimwili!”

GEN 39:8 Removed trailing space in v~: Lakini Yosefu akakataa. Akamwambia yule mwanamke, “Mimi nikiwa katika uongozi, bwana wangu hahusiki na kitu chochote katika nyumba hii, kila kitu alicho nacho amenikabidhi.

GEN 39:9 Removed trailing space in v~: Hapa nyumbani hakuna aliye mkuu kuliko mimi. Bwana wangu hakunizuilia kitu chochote isipokuwa wewe, kwa kuwa wewe ni mke wake. Nitawezaje basi kufanya uovu huu na kutenda dhambi dhidi ya Mungu?”

GEN 39:10 Removed trailing space in v~: Ingawa yule mwanamke aliendelea kumshawishi Yosefu siku baada ya siku, Yosefu alikataa kukutana naye kimwili wala kukaa karibu naye.

GEN 39:11 Removed trailing space in v~: Siku moja Yosefu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi zake, wala hapakuwepo na mfanyakazi yeyote ndani ya nyumba.

GEN 39:12 Removed trailing space in v~: Mke wa Potifa akashika vazi Yosefu alilokuwa amevaa, akamwambia, “Njoo tukutane kimwili!” Lakini Yosefu akaacha vazi lake mkononi mwa huyo mwanamke, akatoka nje ya nyumba akikimbia.

GEN 39:13 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke alipoona kwamba Yosefu amemwachia vazi lake mkononi na kukimbilia nje ya nyumba,

GEN 39:14 Removed trailing space in v~: akawaita watumishi wake wa nyumbani, akawaambia, “Tazameni! Huyu Mwebrania ameletwa hapa kutudhihaki! Aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili, lakini nikapiga kelele.

GEN 39:15 Removed trailing space in v~: Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”

GEN 39:16 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akaliweka lile vazi karibu naye mpaka Potifa aliporudi nyumbani.

GEN 39:17 Removed trailing space in v~: Ndipo akamweleza kisa hiki, akisema: “Yule mtumwa wa Kiebrania uliyetuletea alinijia ili kunidhihaki.

GEN 39:18 Removed trailing space in v~: Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia nje ya nyumba.”

GEN 39:19 Removed trailing space in v~: Potifa aliposikia kisa hiki mkewe alichomweleza, akisema, “Hivi ndivyo mtumwa wako alivyonitenda.” Hasira ya Potifa ikawaka.

GEN 39:20 Removed trailing space in v~: Potifa akamchukua Yosefu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa.

GEN 39:20 Removed trailing space in p~: Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko gerezani,

GEN 39:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja naye, akamhurumia na kumpa kibali mbele ya msimamizi wa gereza.

GEN 39:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo msimamizi wa gereza akamweka Yosefu awe mkuu wa wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo yalitendeka mle gerezani.

GEN 39:23 Removed trailing space in v~: Msimamizi wa gereza hakujishughulisha tena na kitu chochote kilichokuwa chini ya uangalizi wa Yosefu, kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na Yosefu akimfanikisha kwa kila alichofanya.

GEN 40:0 Extra space after chapter number

GEN 40:0 Removed trailing space in c: 40

GEN 40:0 Removed trailing space in s1: Mnyweshaji Na Mwokaji

GEN 40:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri, wakamkosea bwana wao, mfalme wa Misri.

GEN 40:2 Removed trailing space in v~: Farao akawakasirikia hawa maafisa wake wawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu,

GEN 40:3 Removed trailing space in v~: akawaweka chini ya ulinzi katika nyumba ya mkuu wa kikosi cha ulinzi katika gereza lile lile alimofungwa Yosefu.

GEN 40:4 Removed trailing space in v~: Mkuu wa kikosi cha ulinzi akawakabidhi kwa Yosefu, naye akawahudumia.

GEN 40:4 Removed trailing space in p~: Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,

GEN 40:5 Removed trailing space in v~: kila mmoja wa hao wawili waliokuwa wamewekwa gerezani, yaani mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri, waliota ndoto usiku mmoja, na kila ndoto ilikuwa na maana yake tofauti.

GEN 40:6 Removed trailing space in v~: Yosefu alipowajia asubuhi yake, akawaona kwamba walikuwa na huzuni.

GEN 40:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawauliza maafisa hao wa Farao waliokuwa chini ya ulinzi pamoja naye nyumbani mwa bwana wake, akasema, “Mbona nyuso zenu zimejaa huzuni leo?”

GEN 40:8 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Sisi sote tuliota ndoto, lakini hapakuwa na mtu yeyote wa kuzifasiri.”

GEN 40:8 Removed trailing space in p~: Ndipo Yosefu akawaambia, “Je, kufasiri ndoto si kazi ya Mungu? Niambieni ndoto zenu.”

GEN 40:9 Removed trailing space in v~: Basi mkuu wa wanyweshaji akamweleza Yosefu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,

GEN 40:10 Removed trailing space in v~: nao mzabibu ulikuwa na matawi matatu. Mara tu ulipoanza kuchipua, maua yalichanua na vishada vyake vikawa zabibu zilizoiva.

GEN 40:11 Removed trailing space in v~: Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu, nikazitwaa zabibu, nikazikamua katika kikombe cha Farao, na nikaweka kikombe mkononi mwake.”

GEN 40:12 Removed trailing space in v~: Yosefu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Matawi matatu ni siku tatu.

GEN 40:13 Removed trailing space in v~: Katika siku hizi tatu, Farao atakutoa gerezani na kukuweka tena kwenye nafasi yako, nawe utaweka kikombe cha Farao mikononi mwake, kama vile ulivyokuwa unafanya ulipokuwa mnyweshaji wake.

GEN 40:14 Removed trailing space in v~: Lakini wakati mambo yatakapokuwia mazuri, unikumbuke, unifanyie wema, useme mema juu yangu kwa Farao ili niondoke huku gerezani.

GEN 40:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana nilichukuliwa kwa nguvu kutoka nchi ya Waebrania, na hata hapa nilipo sikufanya lolote linalostahili niwekwe gerezani.”

GEN 40:16 Removed trailing space in v~: Yule mwokaji mkuu alipoona kuwa Yosefu amefasiri ikiwa na maana nzuri, akamwambia Yosefu, “Mimi pia niliota ndoto: Kichwani mwangu kulikuwepo vikapu vitatu vya mikate.

GEN 40:17 Removed trailing space in v~: Katika kikapu cha juu kulikuwa na aina zote za vyakula vilivyookwa kwa ajili ya Farao, lakini ndege walikuwa wakivila kutoka kwenye kikapu nilichokuwa nimebeba kichwani.”

GEN 40:18 Removed trailing space in v~: Yosefu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Vikapu vitatu ni siku tatu.

GEN 40:19 Removed trailing space in v~: Katika siku hizi tatu, Farao atakata kichwa chako na kukutundika juu ya mti. Nao ndege watakula nyama ya mwili wako.”

GEN 40:20 Removed trailing space in v~: Mnamo siku ya tatu, ilikuwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Farao, naye akawaandalia maafisa wake wote karamu. Akawatoa gerezani mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu, akawaweka mbele ya maafisa wake:

GEN 40:21 Removed trailing space in v~: Ndipo akamrudisha mnyweshaji mkuu kwenye nafasi yake, ili aweke kikombe mikononi mwa Farao tena,

GEN 40:22 Removed trailing space in v~: lakini akamwangika yule mwokaji mkuu, sawasawa na jinsi Yosefu alivyowaambia katika tafsiri yake.

GEN 40:23 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, mnyweshaji mkuu hakumkumbuka Yosefu, bali alimsahau.

GEN 41:0 Extra space after chapter number

GEN 41:0 Removed trailing space in c: 41

GEN 41:0 Removed trailing space in s1: Ndoto Za Farao

GEN 41:1 Removed trailing space in v~: Baada ya miaka miwili kamili kupita, Farao aliota ndoto: Tazama alikuwa amesimama kando ya Mto Naili,

GEN 41:2 Removed trailing space in v~: wakati ngʼombe saba, wazuri na wanono, walitokea mtoni wakajilisha kwenye matete.

GEN 41:3 Removed trailing space in v~: Baada yao ngʼombe wengine saba, wabaya na waliokonda, wakatokea mtoni Naili wakasimama kando ya wale wanono ukingoni mwa mto.

GEN 41:4 Removed trailing space in v~: Wale ngʼombe wabaya na waliokonda wakawala wale saba wazuri na wanono. Kisha Farao akaamka.

GEN 41:5 Removed trailing space in v~: Farao akaingia usingizini tena akaota ndoto ya pili: Akaona masuke saba ya nafaka, yenye afya na mazuri, yanakua katika bua moja.

GEN 41:6 Removed trailing space in v~: Baadaye, masuke mengine saba yakachipua, yakiwa membamba yaliyonyaushwa na upepo wa mashariki.

GEN 41:7 Removed trailing space in v~: Masuke yale membamba yakameza yale masuke saba yenye afya na yaliyojaa. Basi Farao akaamka kutoka usingizini, kumbe ilikuwa ndoto.

GEN 41:8 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake, alifadhaika akilini, hivyo akawaita waaguzi wote pamoja na watu wenye busara wa Misri. Walipokuja, Farao akawaeleza ndoto zake, lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kumfasiria.

GEN 41:9 Removed trailing space in v~: Ndipo mnyweshaji mkuu alipomwambia Farao, “Leo nimekumbushwa kuhusu kosa langu.

GEN 41:10 Removed trailing space in v~: Wakati fulani Farao aliwakasirikia watumishi wake, akanifunga mimi na mwokaji mkuu katika nyumba ya mkuu wa ulinzi.

GEN 41:11 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wetu aliota ndoto katika usiku mmoja na kila ndoto ilikuwa na maana yake tofauti.

GEN 41:12 Removed trailing space in v~: Basi kijana wa Kiebrania aliyekuwa pamoja nasi huko, alikuwa mtumishi wa mkuu wa kikosi cha ulinzi. Tulimweleza ndoto zetu, naye akatufasiria, akitupa kila mtu tafsiri ya ndoto yake.

GEN 41:13 Removed trailing space in v~: Nayo mambo yakawa sawa kabisa na jinsi alivyotufasiria ndoto zetu: Mimi nilirudishwa kazini mwangu na huyo mtu mwingine akaangikwa.”

GEN 41:14 Removed trailing space in v~: Basi, Farao akatuma Yosefu aitwe, naye akatolewa kifungoni haraka. Baada ya kunyoa na kubadilisha nguo zake akaenda mbele ya Farao.

GEN 41:15 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia Yosefu, “Nimeota ndoto, wala hakuna mtu hata mmoja anayeweza kuifasiri. Lakini nimesikia ikisemwa kwa habari yako kwamba unapoelezwa ndoto waweza kuifasiri.”

GEN 41:16 Removed trailing space in v~: Yosefu akamjibu Farao, “Siwezi kuifasiri, lakini Mungu atampa Farao jibu analolihitaji.”

GEN 41:17 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akamwambia Yosefu, “Katika ndoto yangu nilikuwa nimesimama ukingoni mwa Mto Naili,

GEN 41:18 Removed trailing space in v~: nikawaona ngʼombe saba, wazuri na wanono, wakijitokeza kutoka mtoni wakaja kujilisha kwenye matete.

GEN 41:19 Removed trailing space in v~: Baada ya hao, ngʼombe wengine saba wadhaifu wakatokea, wabaya sana na waliokonda. Kamwe sikuwahi kuona ngʼombe wabaya jinsi hiyo katika nchi yote ya Misri.

GEN 41:20 Removed trailing space in v~: Hao ngʼombe waliokonda na wabaya sana wakawala wale ngʼombe saba walionona waliojitokeza kwanza.

GEN 41:21 Removed trailing space in v~: Lakini hata baada ya kuwala, hakuna mtu ambaye angeweza kusema kwamba wamekula, bado walionekana wabaya kama mwanzoni. Kisha nikaamka kutoka usingizini.

GEN 41:22 Removed trailing space in v~: “Pia katika ndoto zangu niliona masuke saba ya nafaka, yamejaa na mazuri, yanakua katika bua moja.

GEN 41:23 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo masuke mengine saba yakachipua, yaliyonyauka, membamba na yamekaushwa na upepo wa mashariki.

GEN 41:24 Removed trailing space in v~: Yale masuke membamba ya nafaka yakayameza yale masuke saba mazuri yaliyojaa nafaka. Nimewaeleza waaguzi, wala hakuna yeyote aliyeweza kunifasiria.”

GEN 41:25 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akamwambia Farao, “Ndoto za Farao ni ndoto iyo hiyo moja. Mungu amemfunulia Farao jambo analokusudia kufanya karibuni.

GEN 41:26 Removed trailing space in v~: Ngʼombe saba wazuri ni miaka saba, nayo masuke saba mazuri yaliyojaa nafaka ni miaka saba, ni ndoto iyo hiyo moja.

GEN 41:27 Removed trailing space in v~: Ngʼombe saba waliokonda na wabaya wale waliojitokeza baadaye ni miaka saba, vivyo hivyo masuke saba ya ngano yaliyodhoofika na kukaushwa na upepo wa mashariki, ni miaka saba ya njaa.

GEN 41:28 Removed trailing space in v~: “Ni kama vile nilivyomwambia Farao: Mungu amemwonyesha Farao jambo analokusudia kufanya karibuni.

GEN 41:29 Removed trailing space in v~: Miaka saba ya neema inakuja katika nchi yote ya Misri,

GEN 41:30 Removed trailing space in v~: lakini itafuata miaka saba ya njaa. Ndipo neema yote ya Misri itasahaulika na njaa itaikumba nchi.

GEN 41:31 Removed trailing space in v~: “Neema iliyokuwa katika nchi haitakumbukwa, kwa sababu njaa itakayofuata itakuwa kali mno.

GEN 41:32 Removed trailing space in v~: Sababu ya ndoto kumjia Farao kwa namna mbili ni kwamba jambo hilo Mungu ameshaamua kwa hakika, naye Mungu atalifanya karibuni.

GEN 41:33 Removed trailing space in v~: “Basi sasa Farao na atafute mtu mwenye akili na hekima ili amweke kuwa msimamizi wa nchi ya Misri.

GEN 41:34 Removed trailing space in v~: Farao na aweke wenye amri nchini kote wakusanye sehemu ya tano ya mavuno ya Misri katika miaka hii saba ya neema.

GEN 41:35 Removed trailing space in v~: Wakusanye chakula chote katika miaka hii saba ya neema inayokuja na kuhifadhi nafaka chini ya mamlaka ya Farao, iwe akiba ya chakula katika miji.

GEN 41:36 Removed trailing space in v~: Chakula hiki kitakuwa akiba ya tahadhari kwa ajili ya nchi, ili kitumike katika ile miaka saba ya njaa itakayokuja Misri, ili nchi isiharibiwe na njaa.”

GEN 41:37 Removed trailing space in v~: Mpango huu ulionekana mzuri kwa Farao na kwa maafisa wake wote.

GEN 41:38 Removed trailing space in v~: Hivyo Farao akawauliza, “Je tunaweza kumpata yeyote kama mtu huyu, ambaye Roho wa Mungu yumo ndani yake?”

GEN 41:39 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwambia Yosefu, “Maadamu Mungu amekufunulia yote haya, hakuna mwingine yeyote mwenye akili na hekima kama wewe.

GEN 41:40 Removed trailing space in v~: Wewe utakuwa msimamizi wa jumba langu la kifalme, na watu wangu wote watatii amri zako. Ni kuhusu kiti cha ufalme tu nitakuwa mkuu kuliko wewe.”

GEN 41:40 Removed trailing space in s1: Yosefu Msimamizi Wa Misri

GEN 41:41 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Farao akamwambia Yosefu, “Sasa nakuweka uwe msimamizi wa nchi yote ya Misri.”

GEN 41:42 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akaivua pete yake ya muhuri kutoka kidoleni mwake na kuivalisha katika kidole cha Yosefu. Akamvika majoho mazuri ya kitani safi na mkufu wa dhahabu shingoni mwake.

GEN 41:43 Removed trailing space in v~: Akampandisha katika gari lake la farasi kama msaidizi wake, watu wakatangulia wakishangilia, wakisema, “Fungueni njia!” Ndivyo Farao alivyomweka Yosefu kuwa msimamizi wa nchi yote ya Misri.

GEN 41:44 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akamwambia Yosefu, “Mimi ni Farao, lakini pasipo neno lako, hakuna mtu mwenye ruhusa kuinua mkono au mguu katika nchi yote ya Misri.”

GEN 41:45 Removed trailing space in v~: Farao akamwita Yosefu Safenath-Panea, pia akampa Asenathi binti Potifera, kuhani wa mji wa Oni,\f + \fr 41:45 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f* kuwa mke wake. Ndipo Yosefu akaitembelea nchi yote ya Misri.

GEN 41:46 Removed trailing space in v~: Yosefu alikuwa na miaka thelathini alipoingia katika utumishi wa Farao mfalme wa Misri. Naye Yosefu akatoka mbele ya Farao akasafiri katika nchi yote ya Misri.

GEN 41:47 Removed trailing space in v~: Katika ile miaka saba ya neema nchi ilizaa mazao kwa wingi sana.

GEN 41:48 Removed trailing space in v~: Yosefu akakusanya chakula chote kilichozalishwa katika ile miaka saba ya neema nchini Misri, akakihifadhi katika ghala za miji. Katika kila mji kulihifadhiwa chakula kilichozalishwa katika mashamba yaliyouzunguka mji huo.

GEN 41:49 Removed trailing space in v~: Yosefu alihifadhi nafaka nyingi, mfano wa mchanga wa bahari, ilikuwa nyingi mno kiasi kwamba walishindwa kuweka kumbukumbu kwa sababu akiba ilizidi sana kupita kipimo.

GEN 41:50 Removed trailing space in v~: Kabla ya miaka ya njaa kuanza, Asenathi binti Potifera, kuhani wa mji wa Oni, alikuwa amemzalia Yosefu wana wawili wa kiume.

GEN 41:51 Removed trailing space in v~: Yosefu akamwita mzaliwa wake wa kwanza Manase, akisema, “Ni kwa sababu Mungu amenifanya nisahau taabu zangu zote pamoja na jamaa yote ya nyumba ya baba yangu.”

GEN 41:52 Removed trailing space in v~: Mwana wa pili akamwita Efraimu, akisema, “Ni kwa sababu Mungu amenistawisha katika nchi ya mateso yangu.”

GEN 41:53 Removed trailing space in v~: Ile miaka saba ya neema huko Misri ikaisha,

GEN 41:54 Removed trailing space in v~: nayo miaka ile saba ya njaa ikaanza, sawasawa na alivyosema Yosefu. Kulikuwa na njaa katika nchi nyingine zote, bali katika nchi yote ya Misri kulikuwa na chakula.

GEN 41:55 Removed trailing space in v~: Wakati nchi yote ya Misri ilipopatwa na njaa, watu wakamlilia Farao ili awape chakula. Ndipo Farao alipowaagiza Wamisri wote, akisema, “Nendeni kwa Yosefu, nanyi mfanye anachowaambia.”

GEN 41:56 Removed trailing space in v~: Wakati njaa ilipokuwa imeenea katika nchi yote, Yosefu akafungua ghala za vyakula na kuwauzia Wamisri nafaka, kwa sababu njaa ilikuwa kali mno katika nchi yote ya Misri.

GEN 41:57 Removed trailing space in v~: Pia nchi nyingine zote zilikuja Misri kununua nafaka kutoka kwa Yosefu, kwa sababu njaa ilikuwa kali mno duniani kote.

GEN 42:0 Extra space after chapter number

GEN 42:0 Removed trailing space in c: 42

GEN 42:0 Removed trailing space in s1: Ndugu Za Yosefu Waenda Misri

GEN 42:1 Removed trailing space in v~: Wakati Yakobo alipofahamu kuwa kuna nafaka huko Misri, akawaambia wanawe, “Mbona mnakaa tu hapa mnatazamana?”

GEN 42:2 Removed trailing space in v~: Akaendelea kuwaambia, “Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Telemkeni huko mkanunue chakula kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi wala tusife.”

GEN 42:3 Removed trailing space in v~: Ndipo wale ndugu kumi wa Yosefu, wakateremka huko Misri kununua nafaka.

GEN 42:4 Removed trailing space in v~: Lakini Yakobo hakumtuma Benyamini, ndugu yake Yosefu, pamoja na wengine, kwa sababu aliogopa asije akapatwa na madhara.

GEN 42:5 Removed trailing space in v~: Hivyo wana wa Israeli walikuwa miongoni mwa wale waliokwenda Misri kununua nafaka, kwani njaa ilikuwa katika nchi ya Kanaani pia.

GEN 42:6 Removed trailing space in v~: Wakati huo Yosefu alikuwa mtawala wa nchi ya Misri, naye alikuwa ndiye aliwauzia watu wote nafaka. Kwa hiyo wakati ndugu zake Yosefu walipofika, wakamsujudia hadi nyuso zao zikagusa ardhi.

GEN 42:7 Removed trailing space in v~: Mara Yosefu alipowaona ndugu zake, akawatambua, lakini akajifanya mgeni na kuzungumza nao kwa ukali, akiwauliza, “Ninyi mnatoka wapi?”

GEN 42:7 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Tumetoka katika nchi ya Kanaani kuja kununua chakula.”

GEN 42:8 Removed trailing space in v~: Ingawa Yosefu aliwatambua ndugu zake, wao hawakumtambua.

GEN 42:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu alipokumbuka ndoto zake kuwahusu wao, akawaambia, “Ninyi ni wapelelezi! Mmekuja kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina ulinzi.”

GEN 42:10 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Sivyo bwana wangu. Watumishi wako wamekuja kununua chakula.

GEN 42:11 Removed trailing space in v~: Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi.”

GEN 42:12 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “La hasha! Mmekuja kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina ulinzi.”

GEN 42:13 Removed trailing space in v~: Lakini wakamjibu, “Watumishi wako walikuwa kumi na wawili, wana wa mtu mmoja ambaye anaishi katika nchi ya Kanaani. Sasa mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu na mwingine alikufa.”

GEN 42:14 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia, “Ni sawa kabisa kama nilivyowaambia: Ninyi ni wapelelezi!

GEN 42:15 Removed trailing space in v~: Na hivi ndivyo mtakavyojaribiwa: Hakika kama Farao aishivyo, hamtaondoka mahali hapa mpaka ndugu yenu mdogo aje hapa.

GEN 42:16 Removed trailing space in v~: Tumeni mmoja wenu akamlete huyo ndugu yenu, wengine mtawekwa gerezani, ili maneno yenu yajaribiwe kuona kama mnasema kweli. La sivyo, hakika kama Farao aishivyo ninyi ni wapelelezi!”

GEN 42:17 Removed trailing space in v~: Akawaweka wote chini ya ulinzi kwa siku tatu.

GEN 42:18 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana namwogopa Mungu:

GEN 42:19 Removed trailing space in v~: Ikiwa ninyi ni watu waaminifu, mmoja wa ndugu zenu na abaki kifungoni, nanyi wengine pelekeni nafaka kwa jamaa yenu wanaoteseka kwa njaa.

GEN 42:20 Removed trailing space in v~: Lakini ni lazima mniletee ndugu yenu mdogo hapa, ili maneno yenu yathibitike na kwamba msife.” Wakakubali kufanya hivyo.

GEN 42:21 Removed trailing space in v~: Wakaambiana wao kwa wao, “Hakika tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu. Tuliona jinsi alivyohuzunika alipokuwa anatusihi kuponya maisha yake, lakini hatukumsikiliza, hiyo ndiyo sababu dhiki hii imetupata.”

GEN 42:22 Removed trailing space in v~: Reubeni akawajibu, “Sikuwaambieni msitende dhambi dhidi ya kijana? Lakini hamkunisikiliza! Sasa ni lazima tuadhibiwe kwa ajili ya damu yake.”

GEN 42:23 Removed trailing space in v~: Hawakujua kuwa Yosefu angewaelewa, kwa sababu alitumia mkalimani.

GEN 42:24 Removed trailing space in v~: Yosefu akajitenga nao akaanza kulia, kisha akawarudia na kuzungumza nao tena. Akataka Simeoni akamatwe na kufungwa mbele yao.

GEN 42:25 Removed trailing space in v~: Yosefu akatoa amri ya kujaza magunia yao nafaka na kuweka fedha ya kila mmoja ndani ya gunia lake, kisha wapewe mahitaji ya njiani. Baada ya kufanyiwa hayo yote,

GEN 42:26 Removed trailing space in v~: wakapakiza nafaka juu ya punda zao, wakaondoka.

GEN 42:27 Removed trailing space in v~: Walipofika mahali pa kulala huko njiani mmoja wao akafungua gunia lake ili amlishe punda wake, akakuta fedha yake kwenye mdomo wa gunia lake.

GEN 42:28 Removed trailing space in v~: Akawaambia ndugu zake, “Fedha yangu imerudishwa. Iko ndani ya gunia langu.”

GEN 42:28 Removed trailing space in p~: Mioyo yao ikazimia, na kila mmoja akamgeukia mwenzake wakitetemeka, wakaulizana, “Ni nini hiki Mungu alichotufanyia?”

GEN 42:29 Removed trailing space in v~: Walipofika kwa Yakobo baba yao katika nchi ya Kanaani, wakamweleza mambo yote yaliyowapata. Wakasema,

GEN 42:30 Removed trailing space in v~: “Huyo mtu ambaye ndiye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa ukali, akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa tunaipeleleza nchi.

GEN 42:31 Removed trailing space in v~: Lakini tulimwambia, ‘Sisi ni watu waaminifu, sio wapelelezi.

GEN 42:32 Removed trailing space in v~: Tulizaliwa ndugu kumi na wawili, wana wa baba mmoja. Mmoja alikufa, na mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu huko Kanaani.’

GEN 42:33 Removed trailing space in v~: “Ndipo huyo mtu aliye bwana katika nchi hiyo alipotuambia, ‘Hivi ndivyo nitafahamu kuwa ninyi ni watu waaminifu: Mwacheni mmoja wa ndugu zenu pamoja nami hapa, kisha nendeni mpeleke chakula kwa ajili ya jamaa yenu inayoteseka kwa njaa.

GEN 42:34 Removed trailing space in v~: Lakini mleteni huyo ndugu yenu mdogo kwangu, ndipo nitajua kuwa ninyi sio wapelelezi, ila ni watu waaminifu. Kisha nitamrudisha ndugu yenu, nanyi mtaweza kufanya biashara katika nchi hii.’ ”

GEN 42:35 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wanamimina nafaka kutoka kwenye magunia yao, ndani ya gunia la kila mtu kulikuwa na mfuko wa fedha! Wakati wao na baba yao walipoona mifuko ya fedha, wakaogopa.

GEN 42:36 Removed trailing space in v~: Yakobo baba yao akawaambia, “Ninyi mmenipokonya watoto wangu. Yosefu hayupo na Simeoni hayupo tena na sasa mnataka kumchukua Benyamini. Kila kitu ni kinyume nami!”

GEN 42:37 Removed trailing space in v~: Ndipo Reubeni akamwambia baba yake, “Waweza kuwaua wanangu wote wawili, ikiwa sitamrudisha Benyamini kwako. Mkabidhi Benyamini katika uangalizi wangu, nami nitamrudisha.”

GEN 42:38 Removed trailing space in v~: Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.”

GEN 43:0 Extra space after chapter number

GEN 43:0 Removed trailing space in c: 43

GEN 43:0 Removed trailing space in s1: Safari Ya Pili Ya Kwenda Misri

GEN 43:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu njaa ilikuwa bado ni kali mno katika nchi.

GEN 43:2 Removed trailing space in v~: Hivyo wakati walikuwa wamemaliza kula nafaka yote waliyoileta kutoka Misri, Yakobo baba yao akawaambia, “Rudini Misri mkatununulie chakula kingine zaidi.”

GEN 43:3 Removed trailing space in v~: Lakini Yuda akamwambia, “Mtu yule alituonya kwa msisitizo, ‘Hamtauona uso wangu tena mpaka mje na ndugu yenu.’

GEN 43:4 Removed trailing space in v~: Kama utakubali ndugu yetu aende pamoja nasi, tutakwenda kuwanunulia chakula.

GEN 43:5 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa hutamruhusu aende, hatutakwenda, kwa sababu mtu yule alituambia, ‘Hamtauona uso wangu tena mpaka mje pamoja na ndugu yenu.’ ”

GEN 43:6 Removed trailing space in v~: Israeli akauliza, “Kwa nini mkaniletea taabu hii kwa kumwambia yule mtu mlikuwa na ndugu mwingine?”

GEN 43:7 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Yule mtu alituhoji kwa undani sana habari zetu na za jamaa yetu. Alituuliza, ‘Je, baba yenu bado yungali hai? Je mnaye ndugu mwingine?’ Sisi tulimjibu maswali yake tu. Tungewezaje kujua kwamba angesema, ‘Mleteni mdogo wenu hapa’?”

GEN 43:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Yuda akamwambia baba yake Israeli, “Mtume kijana pamoja nami, nasi tutaondoka mara, ili sisi na wewe pamoja na watoto wetu tuweze kuishi, wala tusife.

GEN 43:9 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nitakuhakikishia usalama wake, mimi mwenyewe nitawajibika kumrudisha. Ikiwa sitamrudisha kwako na kumweka mbele yako, nitakuwa mwenye lawama mbele yako maisha yangu yote.

GEN 43:10 Removed trailing space in v~: Hakika, kama hatukuchelewa kuondoka, tungekuwa tumekwenda na kurudi mara mbili.”

GEN 43:11 Removed trailing space in v~: Basi baba yao Israeli akawaambia, “Kama ni lazima iwe hivyo, basi fanyeni hivi: Wekeni baadhi ya mazao bora ya nchi katika mifuko yenu na mpelekeeni yule mtu kama zawadi, zeri kidogo, asali kidogo, vikolezo, manemane, kungu na lozi.

GEN 43:12 Removed trailing space in v~: Chukueni fedha mara mbili, kwa kuwa mtazirudisha zile fedha zilizowekwa midomoni mwa magunia yenu. Labda ziliwekwa kwa makosa.

GEN 43:13 Removed trailing space in v~: Mchukueni ndugu yenu pia mrudi kwa huyo mtu mara moja.

GEN 43:14 Removed trailing space in v~: Naye Mungu Mwenyezi\f + \fr 43:14 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* awajalieni rehema mbele ya huyo mtu ili apate kumwachia yule ndugu yenu na Benyamini mweze kurudi pamoja. Kwangu mimi kama nikufiwa nimefiwa.”

GEN 43:15 Removed trailing space in v~: Basi hao watu wakazichukua zile zawadi na zile fedha mara mbili pamoja na Benyamini. Wakafanya haraka kwenda Misri na walipofika wakajionyesha kwa Yosefu.

GEN 43:16 Removed trailing space in v~: Yosefu alipomwona Benyamini pamoja nao, akamwambia msimamizi wa nyumba yake, “Wachukue watu hawa nyumbani kwangu, mchinje mnyama na kuandalia chakula kwa kuwa watakula chakula cha mchana pamoja nami.”

GEN 43:17 Removed trailing space in v~: Yule Msimamizi akafanya kama Yosefu alivyomwambia na akawachukua wale watu nyumbani kwa Yosefu.

GEN 43:18 Removed trailing space in v~: Basi watu hao wakaogopa walipopelekwa nyumbani kwa Yosefu. Wakafikiri, “Tumeletwa hapa kwa ajili ya zile fedha zilizorudishwa katika magunia yetu mara ile ya kwanza. Anataka kutushambulia na kutushinda, atuchukue sisi kama watumwa, na atwae hawa punda zetu.”

GEN 43:19 Removed trailing space in v~: Hivyo wakamwendea msimamizi wa nyumba wa Yosefu na kuzungumza naye kwenye ingilio la nyumbani.

GEN 43:20 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Tafadhali bwana, tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

GEN 43:21 Removed trailing space in v~: Lakini mahali pale tulipotua wakati wa jioni tulifungua magunia yetu, na kila mmoja wetu akakuta fedha zake, kwenye mdomo wa gunia lake kiasi kile kile tulicholeta. Kwa hiyo tumezirudisha.

GEN 43:22 Removed trailing space in v~: Pia tumeleta fedha nyingine kwa ajili ya kununulia chakula. Hatujui ni nani aliziweka fedha hizo katika magunia yetu.”

GEN 43:23 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Vema, msiogope. Mungu wenu, Mungu wa baba yenu, amewapa ninyi hazina katika magunia yenu; mimi nilipokea fedha yenu.” Ndipo akawaletea Simeoni.

GEN 43:24 Removed trailing space in v~: Msimamizi akawapeleka wale watu katika nyumba ya Yosefu, akawapa maji ya kunawa miguu na kuwapa punda wao majani.

GEN 43:25 Removed trailing space in v~: Wakaandaa zawadi zao ili wampe Yosefu wakati atakapofika adhuhuri, kwa kuwa walikuwa wamesikia kwamba watakula chakula huko.

GEN 43:26 Removed trailing space in v~: Yosefu alipokuja nyumbani, walimkabidhi zile zawadi walizokuwa nazo, ambazo walikuwa wamezileta mle nyumbani, nao wakamsujudia hadi nchi.

GEN 43:27 Removed trailing space in v~: Akawauliza kuhusu hali yao, kisha akawaambia, “Yule baba yenu mzee mliyeniambia habari zake, yu hali gani? Je, bado yu hai?”

GEN 43:28 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Mtumishi wako baba yetu bado anaishi na ni mzima.” Kisha wakainama chini kumpa heshima.

GEN 43:29 Removed trailing space in v~: Alipotazama na kumwona Benyamini ndugu yake, mwana wa mama yake hasa, akauliza, “Je, huyu ndiye ndugu yenu wa mwisho, ambaye mlinieleza habari zake?” Ndipo akasema, “Mungu na akufadhili, mwanangu.”

GEN 43:30 Removed trailing space in v~: Akiwa ameguswa sana kwa kumwona ndugu yake, Yosefu akatoka nje kwa haraka na kutafuta mahali pa kulilia. Akaingia kwenye chumba chake cha pekee na kulilia humo.

GEN 43:31 Removed trailing space in v~: Baada ya kunawa uso wake, akatoka nje na huku akijizuia akasema, “Pakueni chakula.”

GEN 43:32 Removed trailing space in v~: Wakampakulia Yosefu peke yake, ndugu zake peke yao na Wamisri waliokula pamoja naye peke yao, kwa sababu Wamisri wasingeweza kula pamoja na Waebrania, kwa maana ilikuwa ni chukizo kwa Wamisri.

GEN 43:33 Removed trailing space in v~: Watu hao walikuwa wameketi mbele yake kwa mfuatano wa umri wao, kuanzia mzaliwa wa kwanza hadi mzaliwa wa mwisho, wakatazamana wao kwa wao kwa mshangao.

GEN 43:34 Removed trailing space in v~: Wakati walipelekewa sehemu ya chakula kutoka mezani mwa Yosefu, sehemu ya Benyamini ilikuwa mara tano zaidi ya sehemu ya wale wengine. Kwa hiyo wakanywa na kufurahi pamoja naye.

GEN 44:0 Extra space after chapter number

GEN 44:0 Removed trailing space in c: 44

GEN 44:0 Removed trailing space in s1: Kikombe Cha Fedha Ndani Ya Gunia

GEN 44:1 Removed trailing space in v~: Kisha Yosefu akampa yule msimamizi wa nyumbani mwake maagizo haya: “Jaza magunia ya watu hawa kiasi cha chakula ambacho wanaweza kuchukua, na uweke fedha ya kila mtu kwenye mdomo wa gunia lake.

GEN 44:2 Removed trailing space in v~: Kisha weka kikombe changu kile cha fedha kwenye mdomo wa gunia la yule mdogo wa wote pamoja na fedha zake ambazo angenunulia nafaka yake.” Naye akafanya kama Yosefu alivyosema.

GEN 44:3 Removed trailing space in v~: Kulipopambazuka, hao watu wakaruhusiwa kuondoka pamoja na punda zao.

GEN 44:4 Removed trailing space in v~: Kabla hawajafika mbali kutoka mjini, Yosefu akamwambia mtumishi wake, “Wafuatilie wale watu mara moja, utakapowakuta, waambie, ‘Kwa nini mmelipiza wema kwa ubaya?

GEN 44:5 Removed trailing space in v~: Je, kikombe hiki sicho anachonywea bwana wangu na pia hukitumia kwa kutabiri mambo yajayo? Hili ni jambo ovu mlilolitenda.’ ”

GEN 44:6 Removed trailing space in v~: Alipowafikia, akarudia maneno haya kwao.

GEN 44:7 Removed trailing space in v~: Lakini wakamwambia mtumishi, “Kwa nini bwana wangu anasema maneno kama haya? Liwe mbali na watumishi wako wasije wakafanya jambo kama hilo!

GEN 44:8 Removed trailing space in v~: Hata hivyo tulikurudishia zile fedha kutoka nchi ya Kanaani ambazo tulizikuta kwenye midomo ya magunia yetu. Hivyo kwa nini tuibe fedha au dhahabu kutoka nyumbani kwa bwana wako?

GEN 44:9 Removed trailing space in v~: Ikiwa yeyote miongoni mwa watumishi wako atapatikana nacho, auawe, na sisi wengine tutakuwa watumwa wa bwana wangu.”

GEN 44:10 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Vema sana; na iwe kama msemavyo. Yeyote atakayekutwa nacho atakuwa mtumwa wangu, lakini ninyi wengine mtakuwa hamna lawama.”

GEN 44:11 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wao akafanya haraka kushusha gunia lake chini na kulifungua.

GEN 44:12 Removed trailing space in v~: Ndipo msimamizi akaendelea kutafuta, akianzia kwa mkubwa wa wote na akaishia kwa mdogo wa wote. Basi kikombe kikapatikana katika gunia la Benyamini.

GEN 44:13 Removed trailing space in v~: Kwa jambo hili, wakararua nguo zao. Ndipo wote wakapakiza mizigo yao juu ya punda zao na kurudi mjini.

GEN 44:14 Removed trailing space in v~: Yosefu alikuwa bado yuko nyumbani mwake wakati Yuda na kaka zake walipoingia, wote wakajitupa chini mbele yake.

GEN 44:15 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia, “Ni jambo gani hili mlilolifanya? Hamjui kuwa mtu kama mimi anaweza kufahamu mambo kwa njia ya kutabiri?”

GEN 44:16 Removed trailing space in v~: Yuda akajibu, “Tutaweza kusema nini kwa bwana wangu? Tutaweza kuzungumza nini? Tutawezaje kuthibitisha kwamba hatuna hatia? Mungu amefunua hatia ya watumishi wako. Sasa sisi tu watumwa wa bwana wangu, sisi wenyewe pamoja na yule aliyepatikana na kikombe.”

GEN 44:17 Removed trailing space in v~: Lakini Yosefu alisema, “Liwe mbali nami kufanya jambo kama hili! Mtu yule tu aliyekutwa na kikombe ndiye atakayekuwa mtumwa wangu. Ninyi wengine, rudini kwa baba yenu kwa amani.”

GEN 44:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Yuda akamwendea na kumwambia: “Tafadhali bwana wangu, mruhusu mtumishi wako aseme neno kwa bwana wangu. Usimkasirikie mtumishi wako, ingawa wewe ni sawa na Farao mwenyewe.

GEN 44:19 Removed trailing space in v~: Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, ‘Mnaye baba au ndugu?’

GEN 44:20 Removed trailing space in v~: Nasi tukakujibu, ‘Tunaye baba yetu ambaye ni mzee; pia yupo mwanawe mdogo aliyezaliwa katika uzee wake. Ndugu yake amekufa, na huyu mdogo ndiye mwana pekee kwa mama yake aliyebaki, naye baba yake anampenda.’ 

GEN 44:21 Removed trailing space in v~: “Ndipo ulipowaambia watumishi wako, ‘Mleteni kwangu ili niweze kumwona kwa macho yangu mwenyewe.’

GEN 44:22 Removed trailing space in v~: Nasi tukamwambia bwana wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake; akimwacha, baba yake atakufa.’

GEN 44:23 Removed trailing space in v~: Lakini ukawaambia watumishi wako, ‘Ndugu yenu mdogo asiposhuka pamoja nanyi, hamtauona uso wangu tena.’

GEN 44:24 Removed trailing space in v~: Tuliporudi nyumbani kwa mtumwa wako baba yangu, tulimwambia lile bwana wangu alilokuwa amesema.

GEN 44:25 Removed trailing space in v~: “Ndipo baba yetu aliposema, ‘Rudini Misri mkanunue chakula kingine.’

GEN 44:26 Removed trailing space in v~: Lakini tukamwambia, ‘Hatuwezi kushuka Misri mpaka ndugu yetu mdogo awe pamoja nasi ndipo tutakapokwenda. Hatutaweza kuuona uso wa yule mtu mpaka ndugu yetu mdogo awe pamoja nasi.’

GEN 44:27 Removed trailing space in v~: “Mtumwa wako baba yangu alituambia, ‘Mnajua mke wangu alinizalia wana wawili.

GEN 44:28 Removed trailing space in v~: Mmojawapo alipotea, nami nikasema, “Hakika ameraruliwa vipande vipande.” Nami sijamwona tangu wakati huo.

GEN 44:29 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’

GEN 44:30 Removed trailing space in v~: “Hivyo sasa, kama kijana hatakuwa pamoja nasi nitakaporudi kwa mtumishi wako baba yangu, na kama baba yangu, ambaye maisha yake yamefungamanishwa na uhai wa kijana huyu,

GEN 44:31 Removed trailing space in v~: akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni.

GEN 44:32 Removed trailing space in v~: Mtumwa wako alimhakikishia baba yangu usalama wa kijana. Nikamwambia, ‘Kama sikumrudisha kwako nitakuwa mwenye lawama mbele yako, baba yangu, maisha yangu yote!’

GEN 44:33 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, tafadhali mruhusu mtumishi abaki hapa kama mtumwa wa bwana wangu badala ya kijana, naye kijana umruhusu arudi na ndugu zake.

GEN 44:34 Removed trailing space in v~: Ninawezaje kurudi kwa baba yangu kama kijana hatakuwa pamoja nami? La hasha! Usiniache nikaone huzuni ile itakayompata baba yangu.”

GEN 45:0 Extra space after chapter number

GEN 45:0 Removed trailing space in c: 45

GEN 45:0 Removed trailing space in s1: Yosefu Anajitambulisha

GEN 45:1 Removed trailing space in v~: Hapo Yosefu hakuweza kujizuia zaidi mbele ya wote waliokuwa wamesimama karibu naye, akapaza sauti, akasema, “Mwondoeni kila mtu mbele yangu!” Kwa hiyo hapakuwepo mtu yeyote pamoja na Yosefu alipojitambulisha kwa ndugu zake.

GEN 45:2 Removed trailing space in v~: Naye akalia kwa sauti kubwa kiasi kwamba Wamisri walimsikia, hata watu wa nyumbani mwa Farao wakapata hizo habari.

GEN 45:3 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi ni Yosefu! Je, baba yangu angali hai bado?” Lakini ndugu zake hawakuweza kumjibu, kwa sababu walipatwa na hofu kuu mbele yake.

GEN 45:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake, “Sogeeni karibu nami.” Waliposogea, akasema, “Mimi ni ndugu yenu Yosefu, yule ambaye mlimuuza Misri!

GEN 45:5 Removed trailing space in v~: Sasa, msihuzunike wala msijichukie wenyewe kwa kuniuza huku, kwa sababu ilikuwa ni ili kuokoa maisha ya watu ndiyo sababu Mungu alinituma niwatangulie ninyi.

GEN 45:6 Removed trailing space in v~: Kwa miaka miwili sasa imekuwepo njaa katika nchi, pia kwa miaka mitano ijayo hapatakuwepo kulima wala kuvuna.

GEN 45:7 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu alinitanguliza mbele yenu ili kuhifadhi mabaki kwa ajili yenu katika nchi, na kuokoa maisha yenu kwa wokovu mkuu.

GEN 45:8 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo basi, si ninyi mlionileta huku, bali ni Mungu. Alinifanya kuwa baba kwa Farao, bwana wa watu wa nyumbani mwake wote, na mtawala wa Misri yote.

GEN 45:9 Removed trailing space in v~: Sasa rudini haraka kwa baba yangu na mwambieni, ‘Hili ndilo mwanao Yosefu asemalo: Mungu amenifanya mimi kuwa bwana wa Misri yote. Shuka uje kwangu, wala usikawie.

GEN 45:10 Removed trailing space in v~: Nawe utaishi katika nchi ya Gosheni na kuwa karibu nami, wewe, watoto wako na wajukuu wako, makundi yako ya kondoo, mbuzi na ngʼombe, pamoja na vyote ulivyo navyo.

GEN 45:11 Removed trailing space in v~: Nitawatunza huko, kwa sababu bado iko miaka mingine mitano inayokuja ya njaa. La sivyo, wewe na nyumba yako na wote ulio nao mtakuwa fukara.’

GEN 45:12 Removed trailing space in v~: “Mnaweza kujionea wenyewe, hata ndugu yangu Benyamini, kwamba hakika ni mimi ninayezungumza nanyi.

GEN 45:13 Removed trailing space in v~: Mwambieni baba yangu juu ya heshima yote niliyopewa huku Misri, na kuhusu kila kitu mlichokiona. Mleteni baba yangu huku haraka.”

GEN 45:14 Removed trailing space in v~: Ndipo akamkumbatia Benyamini ndugu yake na kulia, naye Benyamini akamkumbatia akilia.

GEN 45:15 Removed trailing space in v~: Pia akawabusu ndugu zake wote, huku akilia. Baada ya hayo ndugu zake wakazungumza naye.

GEN 45:16 Removed trailing space in v~: Habari zilipofika kwenye jumba la Farao kwamba ndugu zake Yosefu wamefika, Farao na maafisa wake wote wakafurahi.

GEN 45:17 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia Yosefu, “Waambie ndugu zako, ‘Fanyeni hivi: Pakieni wanyama wenu mrudi mpaka nchi ya Kanaani,

GEN 45:18 Removed trailing space in v~: mkamlete baba yenu na jamaa zenu kwangu. Nitawapa sehemu nzuri sana ya nchi ya Misri nanyi mtafurahia unono wa nchi.’

GEN 45:19 Removed trailing space in v~: “Mnaagizwa pia kuwaambia, ‘Fanyeni hivi: Chukueni magari ya kukokotwa kutoka Misri, kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.

GEN 45:20 Removed trailing space in v~: Msijali kamwe kuhusu mali zenu, kwa sababu mema yote ya Misri yatakuwa yenu.’ ”

GEN 45:21 Removed trailing space in v~: Hivyo wana wa Israeli wakafanya hivyo. Yosefu akawapa magari ya kukokotwa, kama Farao alivyoagiza, pia akawapa mahitaji kwa ajili ya safari yao.

GEN 45:22 Removed trailing space in v~: Kila mmoja mavazi mapya, lakini Benyamini akampa shekeli 300\f + \fr 45:22 \ft Shekeli 300 za fedha ni sawa na kilo 3.4.\f* za fedha, na jozi tano za nguo.

GEN 45:23 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vitu alivyotuma kwa baba yake: punda kumi waliochukua vitu vizuri vya Misri, punda wake kumi waliobeba nafaka, mikate na mahitaji mengine ya safari.

GEN 45:24 Removed trailing space in v~: Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”

GEN 45:25 Removed trailing space in v~: Basi wakatoka Misri na kufika kwa baba yao Yakobo katika nchi ya Kanaani.

GEN 45:26 Removed trailing space in v~: Wakamwambia baba yao, “Yosefu angali hai! Ukweli ni kwamba yeye ndiye mtawala wa Misri yote.” Yakobo akapigwa na bumbuazi; hakuwasadiki.

GEN 45:27 Removed trailing space in v~: Lakini walipokwisha kumweleza kila kitu ambacho Yosefu alikuwa amewaambia, na alipoona magari ya kukokotwa Yosefu aliyokuwa amempelekea ya kumchukua aende Misri, roho ya baba yao Yakobo ikahuishwa.

GEN 45:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Israeli akasema, “Nimesadiki! Mwanangu Yosefu bado yu hai. Nitakwenda nikamwone kabla sijafa.”

GEN 46:0 Extra space after chapter number

GEN 46:0 Removed trailing space in c: 46

GEN 46:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Aenda Misri

GEN 46:1 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli akaondoka na vyote vilivyokuwa mali yake, naye alipofika Beer-Sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki baba yake.

GEN 46:2 Removed trailing space in v~: Mungu akanena na Israeli katika maono usiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!”

GEN 46:2 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi hapa.”

GEN 46:3 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa.

GEN 46:4 Removed trailing space in v~: Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”

GEN 46:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akaondoka Beer-Sheba nao wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobo na watoto wao na wake zao katika magari ya kukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekea kumsafirisha.

GEN 46:6 Removed trailing space in v~: Wakachukua pia mifugo yao na mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo na uzao wake wote wakashuka Misri.

GEN 46:7 Removed trailing space in v~: Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu wake wa kiume na wa kike, yaani uzao wake wote mpaka Misri.

GEN 46:8 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli (Yakobo na wazao wake), waliokwenda Misri:

GEN 46:8 Removed trailing space in p~: Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo.

GEN 46:9 Removed trailing space in v~: Wana wa Reubeni ni:

GEN 46:9 Removed trailing space in p~: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

GEN 46:10 Removed trailing space in v~: Wana wa Simeoni ni:

GEN 46:10 Removed trailing space in p~: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

GEN 46:11 Removed trailing space in v~: Wana wa Lawi ni:

GEN 46:11 Removed trailing space in p~: Gershoni, Kohathi na Merari.

GEN 46:12 Removed trailing space in v~: Wana wa Yuda ni:

GEN 46:12 Removed trailing space in p~: Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera (lakini Eri na Onani walifariki katika nchi ya Kanaani).

GEN 46:12 Removed trailing space in p~: Wana wa Peresi ni:

GEN 46:12 Removed trailing space in p~: Hesroni na Hamuli.

GEN 46:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Isakari ni:

GEN 46:13 Removed trailing space in p~: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

GEN 46:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Zabuloni ni:

GEN 46:14 Removed trailing space in p~: Seredi, Eloni na Yaleeli.

GEN 46:15 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padan-Aramu pamoja na binti yake Dina. Jumla ya wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.

GEN 46:16 Removed trailing space in v~: Wana wa Gadi ni:

GEN 46:16 Removed trailing space in p~: Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

GEN 46:17 Removed trailing space in v~: Wana wa Asheri ni:

GEN 46:17 Removed trailing space in p~: Imna, Ishva, Ishvi na Beria.

GEN 46:17 Removed trailing space in p~: Dada yao alikuwa Sera.

GEN 46:17 Removed trailing space in p~: Wana wa Beria ni:

GEN 46:17 Removed trailing space in p~: Heberi na Malkieli.

GEN 46:18 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.

GEN 46:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni:

GEN 46:19 Removed trailing space in p~: Yosefu na Benyamini.

GEN 46:20 Removed trailing space in v~: Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni,\f + \fr 46:20 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f* alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.

GEN 46:21 Removed trailing space in v~: Wana wa Benyamini ni:

GEN 46:21 Removed trailing space in p~: Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

GEN 46:22 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.

GEN 46:23 Removed trailing space in v~: Mwana wa Dani ni:

GEN 46:23 Removed trailing space in p~: Hushimu.

GEN 46:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Naftali ni:

GEN 46:24 Removed trailing space in p~: Yaseeli, Guni, Yeseri na Shilemu.

GEN 46:25 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.

GEN 46:26 Removed trailing space in v~: Wote waliokwenda Misri pamoja na Yakobo, waliokuwa wazao wake hasa pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watu sitini na sita.

GEN 46:27 Removed trailing space in v~: Pamoja na wana wawili waliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwa sabini.

GEN 46:28 Removed trailing space in v~: Basi Yakobo akamtanguliza Yuda aende kwa Yosefu ili amwelekeze njia ya Gosheni. Walipofika nchi ya Gosheni,

GEN 46:29 Removed trailing space in v~: gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.

GEN 46:30 Removed trailing space in v~: Israeli akamwambia Yosefu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”

GEN 46:31 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na watu wa nyumbani mwa baba yake, “Nitapanda kwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu na watu wa nyumbani mwa baba yangu, waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, wamekuja kwangu.

GEN 46:32 Removed trailing space in v~: Watu hao ni wachunga mifugo, huchunga mifugo, wamekuja na makundi ya kondoo, mbuzi na ngʼombe pamoja na kila kitu walicho nacho.’

GEN 46:33 Removed trailing space in v~: Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’

GEN 46:34 Removed trailing space in v~: Mjibuni, ‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.”

GEN 47:0 Extra space after chapter number

GEN 47:0 Removed trailing space in c: 47

GEN 47:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Ambariki Farao

GEN 47:1 Removed trailing space in v~: Yosefu akaenda na kumwambia Farao, “Baba yangu na ndugu zangu wamekuja kutoka nchi ya Kanaani wakiwa na makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe, pamoja na kila kitu walicho nacho, nao sasa wapo huko Gosheni.”

GEN 47:2 Removed trailing space in v~: Akachagua ndugu zake watano na kuwaonyesha kwa Farao.

GEN 47:3 Removed trailing space in v~: Farao akawauliza hao ndugu zake, “Kazi yenu ni nini?”

GEN 47:3 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Watumishi wako ni wachunga mifugo, kama vile baba zetu walivyokuwa.”

GEN 47:4 Removed trailing space in v~: Pia wakamwambia Farao, “Tumekuja kukaa huku kwa muda mfupi, kwa sababu njaa ni kali huko Kanaani, na mifugo ya watumishi wako haina malisho. Kwa hiyo sasa, tafadhali uruhusu watumishi wako wakae huko Gosheni.”

GEN 47:5 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia Yosefu, “Baba yako na ndugu zako wamekuja kwako,

GEN 47:6 Removed trailing space in v~: nayo nchi ya Misri ipo mbele yako, uwakalishe baba yako na ndugu zako katika sehemu iliyo bora kupita zote katika nchi. Na waishi Gosheni. Kama unamfahamu yeyote miongoni mwao mwenye uwezo maalum, waweke wawe wasimamizi wa mifugo yangu.”

GEN 47:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akamleta Yakobo baba yake na kumtambulisha mbele ya Farao. Baada ya Yakobo kumbariki Farao,

GEN 47:8 Removed trailing space in v~: Farao akamuuliza, “Je una umri gani?”

GEN 47:9 Removed trailing space in v~: Naye Yakobo akamwambia Farao, “Siku za miaka ya kusafiri kwangu ni miaka 130. Miaka yangu imekuwa michache na ya taabu, wala haikufikia miaka ya kusafiri ya baba zangu.”

GEN 47:10 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akambariki Farao, naye akaondoka mbele ya uso wake.

GEN 47:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawakalisha baba yake na ndugu zake katika nchi ya Misri na kuwapa milki katika sehemu bora sana ya nchi, wilaya ya Ramesesi, kama Farao alivyoelekeza.

GEN 47:12 Removed trailing space in v~: Pia Yosefu akampa baba yake, na ndugu zake na wote wa nyumbani mwa baba yake vyakula, kwa kulingana na hesabu ya watoto wao.

GEN 47:12 Removed trailing space in s1: Uongozi Wa Yosefu Wakati Wa Njaa

GEN 47:13 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hapakuwepo chakula katika sehemu yote kwa kuwa njaa ilikuwa kali sana; Misri na Kanaani zote zikaharibiwa kwa sababu ya njaa.

GEN 47:14 Removed trailing space in v~: Yosefu akakusanya fedha zote zilizopatikana kutoka mauzo ya nafaka huko Misri na Kanaani, akazileta kwenye jumba la kifalme la Farao.

GEN 47:15 Removed trailing space in v~: Fedha za watu wa Misri na Kanaani zilipokwisha, Wamisri wote wakamjia Yosefu na kumwambia, “Tupatie chakula. Kwa nini tufe mbele ya macho yako? Fedha zetu zimekwisha.”

GEN 47:16 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia, “Basi leteni mifugo yenu, nitawauzia chakula kwa kubadilisha na mifugo yenu, kwa kuwa fedha zenu zimekwisha.”

GEN 47:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakaleta mifugo yao kwa Yosefu, naye akawapa chakula kwa kubadilishana na farasi zao, kondoo na mbuzi zao, ngʼombe na punda zao. Katika mwaka huo wote Yosefu akawapa chakula kwa kubadilishana na mifugo yao yote.

GEN 47:18 Removed trailing space in v~: Mwaka ule ulipokwisha, wakamjia mwaka uliofuata na kumwambia, “Hatuwezi kuficha ukweli mbele za bwana wetu kwamba, kwa kuwa fedha zetu zimekwisha na wanyama wetu ni mali yako, sasa hakuna chochote kilichosalia kwa ajili ya bwana wetu isipokuwa miili yetu na ardhi yetu.

GEN 47:19 Removed trailing space in v~: Kwa nini tuangamie mbele ya macho yako, sisi pamoja na nchi yetu? Utununue sisi pamoja na ardhi yetu ili kubadilishana kwa chakula. Nasi pamoja na nchi yetu tutakuwa watumwa wa Farao. Tupe sisi mbegu ili tuweze kuishi wala tusife, nchi yetu isije ikawa ukiwa.”

GEN 47:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yosefu akamnunulia Farao nchi yote ya Misri. Wamisri, mmoja baada ya mwingine, waliuza mashamba yao, kwa sababu njaa ilikuwa kali sana kwao. Nchi ikawa mali ya Farao,

GEN 47:21 Removed trailing space in v~: naye Yosefu akawafanya watu watumike kama watumwa, kuanzia upande mmoja wa Misri hadi upande mwingine.

GEN 47:22 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hakununua nchi ya makuhani, kwa sababu walikuwa wanapata mgawo wao wa kawaida kutoka kwa Farao, nao walikuwa na chakula cha kuwatosha kutokana na mgawo waliopewa na Farao. Hii ndiyo sababu hawakuuza ardhi yao.

GEN 47:23 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia watu, “Kwa vile nimewanunua ninyi pamoja na nchi yenu leo kuwa mali ya Farao, hapa kuna mbegu kwa ajili yenu ili mweze kuziotesha.

GEN 47:24 Removed trailing space in v~: Lakini wakati mazao yatakapokuwa tayari, mpeni Farao sehemu ya tano. Sehemu hizo nne zitakazobaki mtaziweka kama mbegu kwa ajili ya mashamba na kwa ajili ya chakula chenu wenyewe na cha watu wa nyumbani mwenu na watoto wenu.”

GEN 47:25 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Umeokoa maisha yetu. Basi na tupate kibali mbele ya macho ya bwana wetu; tutakuwa watumwa wa Farao.”

GEN 47:26 Removed trailing space in v~: Basi Yosefu akaiweka iwe sheria kuhusu nchi ya Misri, ambayo inatumika mpaka leo, kwamba, sehemu ya tano ya mazao ni mali ya Farao. Ni nchi ya makuhani tu ambayo haikuwa ya Farao.

GEN 47:27 Removed trailing space in v~: Basi Waisraeli wakaishi Misri katika nchi ya Gosheni. Wakapata mali huko wakastawi na kuongezeka kwa wingi sana.

GEN 47:28 Removed trailing space in v~: Yakobo akaishi Misri miaka kumi na saba, nayo miaka ya maisha yake ilikuwa 147.

GEN 47:29 Removed trailing space in v~: Wakati ulipokaribia wa Israeli kufa, akamwita mwanawe Yosefu na kumwambia, “Kama nimepata kibali machoni pake, weka mkono wako chini ya paja langu na uniahidi kuwa utanifanyia fadhili na uaminifu. Usinizike Misri,

GEN 47:30 Removed trailing space in v~: lakini nitakapopumzika na baba zangu, unichukue kutoka Misri, ukanizike walipozikwa.”

GEN 47:30 Removed trailing space in p~: Yosefu akamwambia, “Nitafanya kama unavyosema.”

GEN 47:31 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Niapie.” Ndipo Yosefu akamwapia, naye Israeli akaabudu, akiwa ameegemea juu ya kichwa cha fimbo yake.

GEN 48:0 Extra space after chapter number

GEN 48:0 Removed trailing space in c: 48

GEN 48:0 Removed trailing space in s1: Manase Na Efraimu

GEN 48:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda Yosefu akaambiwa kwamba, “Baba yako ni mgonjwa.” Kwa hiyo akawachukua wanawe wawili Manase na Efraimu, pamoja naye.

GEN 48:2 Removed trailing space in v~: Yakobo alipoambiwa, “Mwanao Yosefu amekujia kukuona,” Israeli akakusanya nguvu zake, akaketi kitandani.

GEN 48:3 Removed trailing space in v~: Yakobo akamwambia Yosefu, “Mungu Mwenyezi\f + \fr 48:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* alinitokea huko Luzu katika nchi ya Kanaani, huko akanibariki,

GEN 48:4 Removed trailing space in v~: naye akaniambia, ‘Nitakufanya ustawi na kuongezeka hesabu yako, nitakufanya kuwa jamii ya mataifa, nami nitakupa nchi hii uimiliki milele wewe na wazao wako baada yako.’

GEN 48:5 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, wanao wawili waliozaliwa kwako huku Misri kabla sijaja hapa kwako watahesabiwa kuwa ni wangu; Efraimu na Manase watakuwa wangu, kama vile Reubeni na Simeoni walivyo wangu.

GEN 48:6 Removed trailing space in v~: Lakini watoto utakaowazaa baada yao watakuwa wako. Katika nchi watakayoirithi, watatambuliwa kwa jina la ndugu zao.

GEN 48:7 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa ninarudi kutoka Padani, katika huzuni yangu Raheli alifariki katika nchi ya Kanaani tulipokuwa tungali tukisafiri, tukiwa karibu kufika Efrathi. Kwa hiyo nilimzika huko, kando ya njia iendayo Efrathi” (yaani Bethlehemu).

GEN 48:8 Removed trailing space in v~: Wakati Israeli alipowaona wana wa Yosefu, akauliza, “Hawa ni nani?”

GEN 48:9 Removed trailing space in v~: Yosefu akamjibu baba yake, “Hawa ni wana ambao Mungu amenipa nikiwa huku.”

GEN 48:9 Removed trailing space in p~: Ndipo Israeli akasema, “Walete kwangu ili niwabariki.”

GEN 48:10 Removed trailing space in v~: Basi macho ya Israeli yalikuwa hayaoni vizuri kwa sababu ya uzee, naye aliona kwa shida. Kwa hiyo Yosefu akawaleta wanawe karibu na baba yake, Israeli akawabusu na akawakumbatia.

GEN 48:11 Removed trailing space in v~: Israeli akamwambia Yosefu, “Kamwe sikutazamia kuuona uso wako tena, lakini sasa Mungu ameniruhusu kuwaona watoto wako pia.”

GEN 48:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaondoa wanawe magotini mwa Israeli naye akasujudu hadi nchi.

GEN 48:13 Removed trailing space in v~: Yosefu akachukua wale wana wawili, Efraimu kwenye mkono wake wa kuume akimwelekeza kwenye mkono wa kushoto wa Israeli, na Manase katika mkono wake wa kushoto akimwelekeza kwenye mkono wa kuume wa Israeli, akawaleta karibu na babu yao.

GEN 48:14 Removed trailing space in v~: Lakini Israeli akaupeleka mkono wake wa kuume, akauweka juu ya kichwa cha Efraimu, ingawa alikuwa ndiye mdogo, na mkono wake wa kushoto akaukatisha, akauweka juu ya kichwa cha Manase, ingawa Manase alikuwa ndiye mzaliwa wa kwanza.

GEN 48:15 Removed trailing space in v~: Ndipo akambariki Yosefu akisema,

GEN 48:15 Removed trailing space in p~: “Mungu ambaye baba zangu

GEN 48:15 Removed trailing space in p~: Abrahamu na Isaki walimtii,

GEN 48:15 Removed trailing space in p~: Mungu ambaye amekuwa mchungaji

GEN 48:15 Removed trailing space in p~: wa maisha yangu yote mpaka leo hii,

GEN 48:16 Removed trailing space in v~: Malaika ambaye aliniokoa kutoka madhara yote,

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: yeye na awabariki vijana hawa.

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: Na waitwe kwa jina langu

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: na kwa majina ya baba zangu Abrahamu na Isaki,

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: wao na waongezeke kwa wingi

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: katika dunia.”

GEN 48:17 Removed trailing space in v~: Yosefu alipoona baba yake akiweka mkono wa kuume juu ya kichwa cha Efraimu, hakupendezwa, kwa hiyo akauchukua mkono wa baba yake kutoka kichwa cha Efraimu na kuuweka juu ya kichwa cha Manase.

GEN 48:18 Removed trailing space in v~: Yosefu akamwambia, “Hapana, baba yangu, huyu ndiye mzaliwa wa kwanza; uweke mkono wako wa kuume juu ya kichwa chake.”

GEN 48:19 Removed trailing space in v~: Lakini baba yake akakataa, akasema, “Ninajua, mwanangu, ninajua. Yeye pia atakuwa taifa, naye pia atakuwa mkuu. Hata hivyo, ndugu yake mdogo atakuwa mkuu kuliko yeye, nao wazao wake watakuwa kundi la mataifa.”

GEN 48:20 Removed trailing space in v~: Akawabarikia siku ile na kusema,

GEN 48:20 Removed trailing space in p~: “Kwa jina lenu Israeli watatamka baraka hii:

GEN 48:20 Removed trailing space in p~: ‘Mungu na awafanye kama Efraimu na Manase.’ ”

GEN 48:20 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo akamtanguliza Efraimu mbele ya Manase.

GEN 48:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Israeli akamwambia Yosefu, “Mimi ninakaribia kufa, lakini Mungu atakuwa pamoja nanyi, na atawarudisha katika nchi ya baba zenu.

GEN 48:22 Removed trailing space in v~: Kwako wewe, kama aliye juu ya ndugu zako, ninakupa sehemu moja zaidi ya ndugu zako, lile eneo nililoteka kwa Waamori kwa upanga wangu na upinde wangu.”

GEN 49:0 Extra space after chapter number

GEN 49:0 Removed trailing space in c: 49

GEN 49:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Abariki Wanawe

GEN 49:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akawaita wanawe na kusema: “Kusanyikeni kunizunguka ili niweze kuwaambia lile litakalowatokea siku zijazo.

GEN 49:2 Removed trailing space in v~: “Kusanyikeni na msikilize, enyi wana wa Yakobo,

GEN 49:2 Removed trailing space in p~: msikilizeni baba yenu Israeli.

GEN 49:3 Removed trailing space in v~: “Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza,

GEN 49:3 Removed trailing space in p~: nguvu zangu, tunda la kwanza la nguvu zangu,

GEN 49:3 Removed trailing space in p~: umepita kwa heshima, umepita kwa uwezo.

GEN 49:4 Removed trailing space in v~: Usiyezuiwa kama maji, basi hutakuwa mkuu tena,

GEN 49:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ulipanda kwenye kitanda cha baba yako,

GEN 49:4 Removed trailing space in p~: kwenye kitanda changu na kukinajisi.

GEN 49:5 Removed trailing space in v~: “Simeoni na Lawi ni wana ndugu:

GEN 49:5 Removed trailing space in p~: panga zao ni silaha za jeuri.

GEN 49:6 Removed trailing space in v~: Mimi na nisiingie katika baraza lao,

GEN 49:6 Removed trailing space in p~: nami nisiunganike katika kusanyiko lao,

GEN 49:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamewaua watu katika hasira yao,

GEN 49:6 Removed trailing space in p~: walikata mishipa ya miguu ya mafahali

GEN 49:6 Removed trailing space in p~: kama walivyopenda.

GEN 49:7 Removed trailing space in v~: Hasira yao na ilaaniwe, kwa kuwa ni kali mno,

GEN 49:7 Removed trailing space in p~: nayo ghadhabu yao ni ya ukatili!

GEN 49:7 Removed trailing space in p~: Nitawatawanya katika Yakobo

GEN 49:7 Removed trailing space in p~: Na kuwasambaza katika Israeli.

GEN 49:8 Removed trailing space in v~: “Yuda, ndugu zako watakusifu;

GEN 49:8 Removed trailing space in p~: mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako;

GEN 49:8 Removed trailing space in p~: wana wa baba yako watakusujudia.

GEN 49:9 Removed trailing space in v~: Ee Yuda, wewe ni mwana simba;

GEN 49:9 Removed trailing space in p~: unarudi toka mawindoni, mwanangu.

GEN 49:9 Removed trailing space in p~: Kama simba hunyemelea na kulala chini,

GEN 49:9 Removed trailing space in p~: kama simba jike: nani athubutuye kumwamsha?

GEN 49:10 Removed trailing space in v~: Fimbo ya ufalme haitaondoka kwa Yuda,

GEN 49:10 Removed trailing space in p~: wala fimbo ya mtawala kati ya miguu yake,

GEN 49:10 Removed trailing space in p~: hadi aje yeye ambaye milki ni yake,

GEN 49:10 Removed trailing space in p~: ambaye utii wa mataifa ni wake.

GEN 49:11 Removed trailing space in v~: Atamfunga punda wake katika mzabibu,

GEN 49:11 Removed trailing space in p~: naye mwana-punda wake kwenye tawi lililo bora zaidi;

GEN 49:11 Removed trailing space in p~: atafua mavazi yake katika divai,

GEN 49:11 Removed trailing space in p~: majoho yake katika damu ya mizabibu.

GEN 49:12 Removed trailing space in v~: Macho yake yatakuwa mekundu kwa divai,

GEN 49:12 Removed trailing space in p~: meno yake yatakuwa meupe kwa maziwa.

GEN 49:13 Removed trailing space in v~: “Zabuloni ataishi pwani ya bahari

GEN 49:13 Removed trailing space in p~: na kuwa bandari za kuegesha meli;

GEN 49:13 Removed trailing space in p~: mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.

GEN 49:14 Removed trailing space in v~: “Isakari ni punda mwenye nguvu

GEN 49:14 Removed trailing space in p~: ambaye amelala kati ya mizigo yake.

GEN 49:15 Removed trailing space in v~: Aonapo palivyo pazuri mahali pake pa kupumzika

GEN 49:15 Removed trailing space in p~: na jinsi nchi yake inavyopendeza,

GEN 49:15 Removed trailing space in p~: atainamisha bega lake kwenye mzigo

GEN 49:15 Removed trailing space in p~: na kujitolea kwa ajili ya kazi ngumu.

GEN 49:16 Removed trailing space in v~: “Dani atahukumu watu wake kwa haki

GEN 49:16 Removed trailing space in p~: kama mmoja wa makabila ya Israeli.

GEN 49:17 Removed trailing space in v~: Dani atakuwa nyoka kando ya barabara,

GEN 49:17 Removed trailing space in p~: nyoka mwenye sumu kando ya njia,

GEN 49:17 Removed trailing space in p~: yule aumaye visigino vya farasi

GEN 49:17 Removed trailing space in p~: ili yule ampandaye aanguke chali.

GEN 49:18 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, nautafuta wokovu wako.

GEN 49:19 Removed trailing space in v~: “Gadi atashambuliwa ghafula na kundi la washambuliaji,

GEN 49:19 Removed trailing space in p~: lakini yeye atawageukia na kuwashinda kabisa.

GEN 49:20 Removed trailing space in v~: “Chakula cha Asheri kitakuwa kinono,

GEN 49:20 Removed trailing space in p~: naye atatoa chakula kitamu kimfaacho mfalme.

GEN 49:21 Removed trailing space in v~: “Naftali ni kulungu jike aliyeachiwa huru

GEN 49:21 Removed trailing space in p~: azaaye watoto wazuri.

GEN 49:22 Removed trailing space in v~: “Yosefu ni mzabibu uzaao,

GEN 49:22 Removed trailing space in p~: mzabibu uzaao ulio kando ya chemchemi,

GEN 49:22 Removed trailing space in p~: ambao matawi yake hutanda ukutani.

GEN 49:23 Removed trailing space in v~: Kwa uchungu wapiga mshale walimshambulia,

GEN 49:23 Removed trailing space in p~: wakampiga mshale kwa ukatili.

GEN 49:24 Removed trailing space in v~: Lakini upinde wake ulibaki imara,

GEN 49:24 Removed trailing space in p~: mikono yake ikatiwa nguvu,

GEN 49:24 Removed trailing space in p~: na mkono wa Mwenye Nguvu wa Yakobo,

GEN 49:24 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya Mchungaji, Mwamba wa Israeli,

GEN 49:25 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya Mungu wa baba yako, anayekusaidia,

GEN 49:25 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya Mwenyezi,\f + \fr 49:25 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f* yeye anayekubariki

GEN 49:25 Removed trailing space in p~: kwa baraka za mbinguni juu,

GEN 49:25 Removed trailing space in p~: baraka za kilindi kilichoko chini,

GEN 49:25 Removed trailing space in p~: baraka za matitini na za tumbo la uzazi.

GEN 49:26 Removed trailing space in v~: Baraka za baba yako ni kubwa

GEN 49:26 Removed trailing space in p~: kuliko baraka za milima ya kale,

GEN 49:26 Removed trailing space in p~: nyingi kuliko vilima vya kale.

GEN 49:26 Removed trailing space in p~: Baraka hizo zote na zikae juu ya kichwa cha Yosefu,

GEN 49:26 Removed trailing space in p~: juu ya paji la yule mkuu miongoni mwa ndugu zake.

GEN 49:27 Removed trailing space in v~: “Benyamini ni mbwa mwitu mlafi mwenye njaa kuu;

GEN 49:27 Removed trailing space in p~: asubuhi hurarua mawindo yake,

GEN 49:27 Removed trailing space in p~: jioni hugawa nyara.”

GEN 49:28 Removed trailing space in v~: Haya yote ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hivi ndivyo baba yao alivyowaambia alipowabariki, akimpa kila mmoja baraka inayomfaa.

GEN 49:28 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Yakobo

GEN 49:29 Removed trailing space in v~: Ndipo alipowapa maelekezo haya: “Mimi niko karibu kukusanywa kwa watu wangu. Mnizike pamoja na baba zangu kwenye pango katika shamba la Efroni, Mhiti,

GEN 49:30 Removed trailing space in v~: pango lililoko katika shamba la Makpela, karibu na Mamre huko Kanaani, ambalo Abrahamu alinunua kwa ajili ya mahali pa kuzikia kutoka kwa Efroni, Mhiti, pamoja na shamba.

GEN 49:31 Removed trailing space in v~: Huko ndiko Abrahamu na Sara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isaki na Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea.

GEN 49:32 Removed trailing space in v~: Shamba hilo na pango lililoko ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”

GEN 49:33 Removed trailing space in v~: Baada ya Yakobo kumaliza kutoa maelekezo hayo kwa wanawe, akarudisha miguu yake kitandani, akapumua pumzi ya mwisho, na akakusanywa kwa watu wake.

GEN 50:0 Extra space after chapter number

GEN 50:0 Removed trailing space in c: 50

GEN 50:1 Removed trailing space in v~: Basi Yosefu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu.

GEN 50:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaagiza matabibu waliokuwa wakimhudumia, wamtie baba yake Israeli dawa ili asioze. Hivyo matabibu wakamtia dawa asioze,

GEN 50:3 Removed trailing space in v~: wakatumia siku arobaini, kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa ili asioze. Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa siku sabini.

GEN 50:4 Removed trailing space in v~: Siku za kumwombolezea zilipokwisha, Yosefu akawaambia washauri wa Farao, “Kama nimepata kibali machoni penu semeni na Farao kwa ajili yangu. Mwambieni,

GEN 50:5 Removed trailing space in v~: ‘Baba yangu aliniapisha na kuniambia, “Mimi niko karibu kufa; unizike katika kaburi lile nililochimba kwa ajili yangu mwenyewe katika nchi ya Kanaani.” Sasa nakuomba uniruhusu niende kumzika baba yangu, nami nitarudi.’ ”

GEN 50:6 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “Panda, uende kumzika baba yako, kama alivyokuapiza kufanya.”

GEN 50:7 Removed trailing space in v~: Hivyo Yosefu akapanda kwenda kumzika baba yake. Maafisa wote wa Farao wakaenda pamoja naye, watu mashuhuri wa baraza lake na watu mashuhuri wote wa Misri.

GEN 50:8 Removed trailing space in v~: Hawa ni mbali na watu wote wa nyumbani kwa Yosefu, na ndugu zake, na wale wote wa nyumbani mwa baba yake. Ni watoto wao, makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe tu waliobakia katika nchi ya Gosheni.

GEN 50:9 Removed trailing space in v~: Magari makubwa na wapanda farasi pia walipanda pamoja naye. Likawa kundi kubwa sana.

GEN 50:10 Removed trailing space in v~: Walipofika kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Atadi, karibu na Yordani, wakalia kwa sauti na kwa uchungu; Yosefu akapumzika huko kwa siku saba kumwombolezea baba yake.

GEN 50:11 Removed trailing space in v~: Wakanaani walioishi huko walipoona maombolezo yaliyofanyika katika sakafu ile ya kupuria ya Atadi, wakasema, “Wamisri wanafanya maombolezo makubwa.” Kwa hiyo mahali pale karibu na Yordani pakaitwa Abel-Mizraimu.\f + \fr 50:11 \ft Abel-Mizraimu maana yake Maombolezo ya Wamisri.\f*

GEN 50:12 Removed trailing space in v~: Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama baba yao alivyowaagiza:

GEN 50:13 Removed trailing space in v~: Wakamchukua mpaka nchi ya Kanaani, wakamzika kwenye pango katika shamba la Makpela, karibu na Mamre, ambalo Abrahamu alilinunua kutoka kwa Efroni, Mhiti, pamoja na shamba liwe mahali pa kuzikia.

GEN 50:14 Removed trailing space in v~: Baada ya Yosefu kumzika baba yake, akarudi Misri pamoja na ndugu zake na wale wote waliokuwa wamekwenda naye kumzika baba yake.

GEN 50:14 Removed trailing space in s1: Yosefu Awaondolea Ndugu Zake Mashaka

GEN 50:15 Removed trailing space in v~: Ndugu zake Yosefu walipoona kwamba baba yao amekufa, wakasema, “Itakuwaje kama Yosefu ataweka kinyongo dhidi yetu na kutulipa mabaya yote tuliyomtendea?”

GEN 50:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakampelekea Yosefu ujumbe, wakasema, “Kabla baba yako hajafa aliacha maagizo haya:

GEN 50:17 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo mtakalomwambia Yosefu: Ninakuomba uwasamehe ndugu zako dhambi na mabaya kwa vile walivyokutenda vibaya.’ Sasa tafadhali samehe dhambi za watumishi wa Mungu wa baba yako.” Ujumbe huu ulipomfikia, Yosefu akalia.

GEN 50:18 Removed trailing space in v~: Ndipo ndugu zake wakaja na kujitupa chini mbele yake. Wakasema, “Sisi ni watumwa wako.”

GEN 50:19 Removed trailing space in v~: Lakini Yosefu akawaambia, “Msiogope. Je, mimi ni badala ya Mungu?

GEN 50:20 Removed trailing space in v~: Mlikusudia kunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema, ili litimie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha ya watu wengi.

GEN 50:21 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, msiogope. Mimi nitawatunza ninyi nyote pamoja na watoto wenu.” Akawahakikishia na kusema nao kwa wema.

GEN 50:21 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Yosefu

GEN 50:22 Removed trailing space in v~: Yosefu akakaa katika nchi ya Misri, yeye pamoja na jamaa yote ya baba yake. Akaishi miaka 110,

GEN 50:23 Removed trailing space in v~: naye akaona kizazi cha tatu cha watoto wa Efraimu. Pia akaona watoto wa Makiri mwana wa Manase, wakawekwa magotini mwa Yosefu walipozaliwa.

GEN 50:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi ninakaribia kufa. Lakini kwa hakika Mungu atawasaidia na kuwachukueni kutoka nchi hii na kuwapeleka katika nchi aliyomwahidi kwa kiapo Abrahamu, Isaki na Yakobo.”

GEN 50:25 Removed trailing space in v~: Naye Yosefu akawaapisha wana wa Israeli na kuwaambia, “Hakika Mungu atawasaidia, nanyi ni lazima mhakikishe mmepandisha mifupa yangu kutoka mahali hapa.”

GEN 50:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yosefu akafa akiwa na umri wa miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asioze, akawekwa kwenye jeneza huko Misri.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 44    c: 50    h: 1    id: 1    li1: 58    li2: 53    li3: 1    li4: 1    m: 6    mt1: 1    p: 695    pi1: 7    pm: 3    q1: 93    q2: 108    r: 5    rem: 1    s1: 73    s2: 3    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 2740    v: 1533  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    li4: 1    li3: 1    s2: 3    pm: 3    r: 5    m: 6    pi1: 7    b: 44    c: 50    li2: 53    li1: 58    s1: 73    q1: 93    q2: 108    p: 695    v: 1533    Total: 2740  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 50    Paragraphs: 695    Section Cross-References: 5    Verses: 1533  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 5    Chapters: 50    Paragraphs: 695    Verses: 1533  

Characters

Possible Character Errors

GEN 22:14 Multiple spaces in '22:14 Yehova-Yire maana yake··Bwana atatupa.'

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 7    a: 315    A: 39    b: 48    B: 6    c: 1    C: 5    d: 26    D: 2    E: 7    e: 57    f: 21    F: 3    g: 17    G: 4    H: 6    h: 35    i: 110    I: 8    j: 7    k: 63    K: 22    l: 21    L: 9    M: 26    m: 41    n: 50    N: 46    o: 109    p: 2    P: 3    r: 36    R: 3    S: 10    s: 35    Space: 211    t: 39    T: 3    Total: 1664    u: 72    U: 3    v: 1    V: 2    w: 27    W: 37    y: 8    Y: 38    z: 16    Z: 7  

Letter Counts (sorted by count)

 v: 1    c: 1    D: 2    p: 2    V: 2    U: 3    T: 3    R: 3    P: 3    F: 3    G: 4    C: 5    H: 6    B: 6    Z: 7    j: 7    E: 7    -: 7    y: 8    I: 8    L: 9    S: 10    z: 16    g: 17    l: 21    f: 21    K: 22    M: 26    d: 26    w: 27    h: 35    s: 35    r: 36    W: 37    Y: 38    t: 39    A: 39    m: 41    N: 46    b: 48    n: 50    e: 57    k: 63    u: 72    o: 109    i: 110    Space: 211    a: 315    Total: 1664  

Punctuation Counts

 (: 5    ): 5    :: 5    Total: 15  

Punctuation Counts (sorted by count)

 (: 5    :: 5    ): 5    Total: 15  

Speech Marks

Possible Matching Errors

GEN 3:14 Unclosed “ (opened at 3:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 3:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:14:v)' before v marker or missing reopening quotes at v16

GEN 3:17 Unclosed “ (opened at 3:17:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 3:20 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:17:v)' before v marker or missing reopening quotes at v20

GEN 8:22 Unclosed “ (opened at 8:21:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 9:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 8:21:v)' before p marker

GEN 9:6 Unclosed “ (opened at 9:1:v,9:4:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 9:8 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 9:1:v,9:4:v)' before v marker or missing reopening quotes at v8

GEN 12:2 Unclosed “ (opened at 12:1:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 12:4 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:1:v)' before v marker or missing reopening quotes at v4

GEN 49:2 Unclosed “ (opened at 49:1:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 49:28 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 49:1:v)' before v marker or missing reopening quotes at v28

Words

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

GEN -1:6 Main Title 1:Mwanzo

Section Heading Lines

GEN 1:0Siku Sita Za Uumbaji Na Sabato
GEN 2:3Adamu Na Eva
GEN 3:0Kuanguka Kwa Mwanadamu
GEN 4:0Kaini Na Abeli
GEN 5:0Kutoka Adamu Hadi Noa
GEN 6:0Gharika Kuu
GEN 8:0Mwisho Wa Gharika
GEN 8:19Noa Atoa Dhabihu
GEN 9:0Mungu Aweka Agano Na Noa
GEN 9:17Wana Wa Noa
GEN 10:0Mataifa Yaliyotokana Na Noa
GEN 10:1 (s2)Wazao Wa Yafethi
GEN 10:5 (s2)Wazao Wa Hamu
GEN 10:20 (s2)Wazao Wa Shemu
GEN 11:0Mnara Wa Babeli
GEN 11:9Shemu Hadi Abramu
GEN 11:26Wazao Wa Tera
GEN 12:0Wito Wa Abramu
GEN 12:9Abramu Katika Nchi Ya Misri
GEN 13:0Abramu Na Loti Watengana
GEN 14:0Abramu Amwokoa Loti
GEN 15:0Agano La Mungu Na Abramu
GEN 16:0Hagari Na Ishmaeli
GEN 17:0Agano La Tohara
GEN 18:0Wageni Watatu
GEN 18:15Abrahamu Aiombea Sodoma
GEN 19:0Kuangamizwa Kwa Sodoma Na Gomora
GEN 19:29Loti Na Binti Zake
GEN 20:0Abrahamu Na Abimeleki
GEN 21:0Kuzaliwa Kwa Isaki
GEN 21:7Hagari Na Ishmaeli Wafukuzwa
GEN 21:21Mapatano Katika Beer-Sheba
GEN 22:0Kujua Uthabiti Wa Abrahamu
GEN 22:19Wana Wa Nahori
GEN 23:0Kifo Cha Sara
GEN 24:0Isaki Na Rebeka
GEN 25:0Kifo Cha Abrahamu
GEN 25:11Wana Wa Ishmaeli
GEN 25:18Yakobo Na Esau
GEN 26:0Isaki Na Abimeleki
GEN 27:0Yakobo Anaipata Baraka Ya Isaki
GEN 27:40Yakobo Anakimbilia Kwa Labani
GEN 28:9Ndoto Ya Yakobo Huko Betheli
GEN 29:0Yakobo Awasili Padan-Aramu
GEN 29:14Yakobo Awaoa Lea Na Raheli
GEN 29:30Wana Wa Yakobo
GEN 30:24Makundi Ya Yakobo Yaongezeka
GEN 31:0Yakobo Akimbia Kutoka Kwa Labani
GEN 31:21Labani Amfuatilia Yakobo
GEN 32:0Yakobo Ajiandaa Kukutana Na Esau
GEN 32:21Yakobo Ashindana Mweleka Na Mungu
GEN 33:0Yakobo Akutana Na Esau
GEN 34:0Dina Na Washekemu
GEN 35:0Yakobo Arudi Betheli
GEN 35:15Vifo Vya Raheli Na Isaki
GEN 36:0Wazao Wa Esau
GEN 36:30Watawala Wa Edomu
GEN 37:0Ndoto Za Yosefu
GEN 37:11Yosefu Auzwa Na Ndugu Zake
GEN 38:0Yuda Na Tamari
GEN 39:0Yosefu Na Mke Wa Potifa
GEN 40:0Mnyweshaji Na Mwokaji
GEN 41:0Ndoto Za Farao
GEN 41:40Yosefu Msimamizi Wa Misri
GEN 42:0Ndugu Za Yosefu Waenda Misri
GEN 43:0Safari Ya Pili Ya Kwenda Misri
GEN 44:0Kikombe Cha Fedha Ndani Ya Gunia
GEN 45:0Yosefu Anajitambulisha
GEN 46:0Yakobo Aenda Misri
GEN 47:0Yakobo Ambariki Farao
GEN 47:12Uongozi Wa Yosefu Wakati Wa Njaa
GEN 48:0Manase Na Efraimu
GEN 49:0Yakobo Abariki Wanawe
GEN 49:28Kifo Cha Yakobo
GEN 50:14Yosefu Awaondolea Ndugu Zake Mashaka
GEN 50:21Kifo Cha Yosefu

Section Cross-reference Lines

GEN 5:0(1 Nyakati 1:1-4)
GEN 10:0(1 Nyakati 1:5-23)
GEN 11:9(1 Nyakati 1:24-27)
GEN 36:0(1 Nyakati 1:34-42)
GEN 36:30(1 Nyakati 1:43-54)

Notes

Footnote Lines

GEN 2:7+ \fr 2:7 \ft Neno la Kiebrania la mavumbi ya ardhi ndilo kiini cha jina Adamu.
GEN 2:23+ \fr 2:23 \ft Jina la Kiebrania la mwanamke linafanana na lile la mwanaume.
GEN 6:15+ \fr 6:15 \ft Dhiraa 300 ni sawa na mita 135.
GEN 6:15+ \fr 6:15 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22:5.
GEN 6:15+ \fr 6:15 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13:5.
GEN 6:16+ \fr 6:16 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
GEN 7:20+ \fr 7:20 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 7.
GEN 10:6+ \fr 10:6 \ft Yaani \fqa Misri\ft .
GEN 11:2+ \fr 11:2 \ft Shinari ndio Babeli.
GEN 15:18+ \fr 15:18 \fq Kijito cha Misri \ft hapa ina maana \fqa Wadi-el-Arish…Yuda.
GEN 16:11+ \fr 16:11 \ft Ishmaeli maana yake Mungu husikia.
GEN 16:14+ \fr 16:14 \ft Beer-Lahai-Roi maana yake Yeye Aliye Hai Anionaye Mimi.
GEN 17:1+ \fr 17:1 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (y…ote).
GEN 17:5+ \fr 17:5 \ft Abrahamu maana yake Baba wa watu wengi.
GEN 17:19+ \fr 17:19 \ft Isaki maana yake Kucheka.
GEN 19:22+ \fr 19:22 \ft Soari maana yake Mdogo.
GEN 22:14+ \fr 22:14 \ft Yehova-Yire maana yake \+nd Bwana\+nd* atatupa.
GEN 23:15+ \fr 23:15 \ft Shekeli 400 za fedha ni sawa na kilo 4.5.
GEN 24:10+ \fr 24:10 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
GEN 24:22+ \fr 24:22 \ft Beka moja ya dhahabu ni sawa na gramu 5.5.
GEN 24:22+ \fr 24:22 \ft Shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110.
GEN 25:25+ \fr 25:25 \ft Esau maana yake Mwenye nywele nyingi.
GEN 25:26+ \fr 25:26 \ft Yakobo maana yake Ashikaye kisigino, au Atwaaye mahali…anja.
GEN 25:30+ \fr 25:30 \ft Edomu maana yake Mwekundu.
GEN 26:20+ \fr 26:20 \ft Eseki maana yake ni Ugomvi.
GEN 26:21+ \fr 26:21 \ft Sitna maana yake Upinzani.
GEN 26:22+ \fr 26:22 \ft Rehobothi maana yake ni Mungu ametufanyia nafasi.
GEN 26:33+ \fr 26:33 \ft Shiba kwa Kiebrania maana yake ni Saba.
GEN 26:33+ \fr 26:33 \ft Beer-Sheba maana yake ni Kisima cha wale saba, yaani w…leki.
GEN 28:3+ \fr 28:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (y…ote).
GEN 28:19+ \fr 28:19 \ft Betheli maana yake Nyumba ya Mungu.
GEN 29:32+ \fr 29:32 \ft Reubeni maana yake Ona mwana, yaani Yehova ameangalia …angu.
GEN 29:33+ \fr 29:33 \ft Simeoni maana yake Anasikia, yaani sasa ataungana nami…heli.
GEN 29:34+ \fr 29:34 \ft Lawi maana yake Nimeunganishwa, yaani na mume wangu.
GEN 29:35+ \fr 29:35 \ft Yuda maana yake Sifa, yaani Nitamsifu Yehova.
GEN 30:6+ \fr 30:6 \ft Dani maana yake Anahukumu, yaani Mungu amenipa haki yangu.
GEN 30:8+ \fr 30:8 \ft Naftali maana yake Nimeshindana nami nimeshinda.
GEN 30:13+ \fr 30:13 \ft Asheri maana yake Nimefurahi, yaani Mungu amenifurahisha.
GEN 30:18+ \fr 30:18 \ft Isakari maana yake Zawadi, yaani Mungu amenizawadia.
GEN 30:20+ \fr 30:20 \ft Zabuloni maana yake Heshima.
GEN 30:21+ \fr 30:21 \ft Dina maana yake Tetea haki, yaani Mungu amenitetea kat…angu.
GEN 30:24+ \fr 30:24 \ft Yosefu maana yake Yeye na aongeze, yaani Mungu na aniongezee.
GEN 31:47+ \fr 31:47 \ft Yegar-Sahadutha maana yake ni Lundo la ushahidi kwa Kiaramu.
GEN 31:47+ \fr 31:47 \ft Galeedi maana yake ni Lundo la ushahidi kwa Kiebrania.
GEN 31:49+ \fr 31:49 \ft Mispa maana yake Mnara wa ulinzi.
GEN 32:2+ \fr 32:2 \ft Mahanaimu maana yake Kambi mbili.
GEN 32:28+ \fr 32:28 \ft Israeli maana yake Yeye ashindanaye na Mungu.
GEN 32:30+ \fr 32:30 \ft Penieli maana yake Uso wa Mungu, ambalo ni sawa na Pen…ania.
GEN 33:17+ \fr 33:17 \ft Sukothi maana yake Vibanda.
GEN 33:20+ \fr 33:20 \ft El-Elohe-Israeli maana yake Mungu, Mungu wa Israeli au…aeli.
GEN 35:7+ \fr 35:7 \ft El-Betheli maana yake Mungu wa Betheli.
GEN 35:8+ \fr 35:8 \ft Alon-Bakuthi maana yake Mwaloni wa Kilio.
GEN 35:11+ \fr 35:11 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (…ote).
GEN 35:15+ \fr 35:15 \ft Betheli maana yake Nyumba ya Mungu.
GEN 35:18+ \fr 35:18 \ft Benoni maana yake Mwana wa huzuni yangu.
GEN 35:18+ \fr 35:18 \ft Benyamini maana yake Mwana wa mkono wangu wa kuume.
GEN 37:28+ \fr 37:28 \ft Shekeli 20 ni sawa na gramu 200.
GEN 41:45+ \fr 41:45 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
GEN 43:14+ \fr 43:14 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (…ote).
GEN 45:22+ \fr 45:22 \ft Shekeli 300 za fedha ni sawa na kilo 3.4.
GEN 46:20+ \fr 46:20 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
GEN 48:3+ \fr 48:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (y…ote).
GEN 49:25+ \fr 49:25 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
GEN 50:11+ \fr 50:11 \ft Abel-Mizraimu maana yake Maombolezo ya Wamisri.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 64    Footnotes: 64  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 64    Footnote leader '+': 64