Freely-Given.org Bible HEB Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in HEB -1:0

Showing 1 out of 462 priority errors

Fix Text Errors

HEB -1:0 Removed trailing space in id: HEB - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

HEB -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

HEB -1:2 Removed trailing space in h: Waebrania

HEB -1:3 Removed trailing space in toc1: Waebrania

HEB -1:4 Removed trailing space in toc2: Waebrania

HEB -1:5 Removed trailing space in toc3: Ebr

HEB -1:6 Removed trailing space in mt1: Waebrania

HEB 1:0 Extra space after chapter number

HEB 1:0 Removed trailing space in c: 1

HEB 1:0 Removed trailing space in s1: Mwana Ni Mkuu Kuliko Malaika

HEB 1:1 Removed trailing space in v~: Zamani Mungu alisema na baba zetu kwa njia ya manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali,

HEB 1:2 Removed trailing space in v~: lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu.

HEB 1:3 Removed trailing space in v~: Mwana ni mngʼao wa utukufu wa Mungu na mfano halisi wa nafsi yake, akivihifadhi vitu vyote kwa neno lake lenye uweza. Akiisha kufanya utakaso kwa ajili ya dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Aliye Mkuu huko mbinguni.

HEB 1:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo alifanyika bora kuliko malaika, kama jina alilorithi lilivyo bora kuliko lao.

HEB 1:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni malaika yupi ambaye wakati wowote Mungu alipata kumwambia,

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: “Wewe ni Mwanangu;

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: leo mimi nimekuzaa?”

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: Au tena,

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: “Mimi nitakuwa Baba yake,

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: naye atakuwa Mwanangu?”

HEB 1:6 Removed trailing space in v~: Tena, Mungu amletapo mzaliwa wake wa kwanza ulimwenguni, anasema,

HEB 1:6 Removed trailing space in p~: “Malaika wote wa Mungu na wamsujudu.”

HEB 1:7 Removed trailing space in v~: Anenapo kuhusu malaika asema,

HEB 1:7 Removed trailing space in p~: “Huwafanya malaika wake kuwa pepo,

HEB 1:7 Removed trailing space in p~: watumishi wake kuwa miali ya moto.”

HEB 1:8 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari za Mwana asema,

HEB 1:8 Removed trailing space in p~: “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu,

HEB 1:8 Removed trailing space in p~: kitadumu milele na milele,

HEB 1:8 Removed trailing space in p~: nayo haki itakuwa fimbo ya utawala

HEB 1:8 Removed trailing space in p~: ya ufalme wako.

HEB 1:9 Removed trailing space in v~: Umependa haki na kuchukia uovu;

HEB 1:9 Removed trailing space in p~: kwa hiyo Mungu, Mungu wako,

HEB 1:9 Removed trailing space in p~: amekuweka juu ya wenzako

HEB 1:9 Removed trailing space in p~: kwa kukupaka mafuta ya furaha.”

HEB 1:10 Removed trailing space in v~: Pia asema,

HEB 1:10 Removed trailing space in p~: “Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia,

HEB 1:10 Removed trailing space in p~: nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.

HEB 1:11 Removed trailing space in v~: Hizo zitatoweka, lakini wewe utadumu;

HEB 1:11 Removed trailing space in p~: zote zitachakaa kama vazi.

HEB 1:12 Removed trailing space in v~: Utazikungʼutakungʼuta kama joho,

HEB 1:12 Removed trailing space in p~: nazo zitachakaa kama vazi.

HEB 1:12 Removed trailing space in p~: Lakini wewe hubadiliki,

HEB 1:12 Removed trailing space in p~: nayo miaka yako haikomi kamwe.”

HEB 1:13 Removed trailing space in v~: Je, ni kwa malaika yupi ambaye Mungu amepata kumwambia wakati wowote,

HEB 1:13 Removed trailing space in p~: “Keti mkono wangu wa kuume,

HEB 1:13 Removed trailing space in p~: hadi nitakapowaweka adui zako

HEB 1:13 Removed trailing space in p~: chini ya miguu yako”?

HEB 1:14 Removed trailing space in v~: Je, malaika wote si roho watumikao, waliotumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?

HEB 2:0 Extra space after chapter number

HEB 2:0 Removed trailing space in c: 2

HEB 2:0 Removed trailing space in s1: Wokovu Mkuu

HEB 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije tukakiacha.

HEB 2:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki,

HEB 2:3 Removed trailing space in v~: je, sisi tutapaje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia.

HEB 2:4 Removed trailing space in v~: Pia Mungu aliushuhudia kwa ishara, maajabu na kwa miujiza mbalimbali, na karama za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake.

HEB 2:4 Removed trailing space in s1: Yesu Alifananishwa Na Ndugu Zake

HEB 2:5 Removed trailing space in v~: Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika.

HEB 2:6 Removed trailing space in v~: Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema:

HEB 2:6 Removed trailing space in p~: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,

HEB 2:6 Removed trailing space in p~: binadamu ni nani hata unamjali?

HEB 2:7 Removed trailing space in v~: Umemfanya chini kidogo kuliko malaika;

HEB 2:7 Removed trailing space in p~: ukamvika taji ya utukufu na heshima,

HEB 2:8 Removed trailing space in v~: nawe umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.”

HEB 2:8 Removed trailing space in p~: Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu hakuacha kitu chochote ambacho hakukiweka chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni kwamba kila kitu kiko chini yake.

HEB 2:9 Removed trailing space in v~: Lakini twamwona Yesu, aliyefanywa chini kidogo kuliko malaika, sasa akiwa amevikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu alistahimili mauti, ili kwamba kwa neema ya Mungu apate kuonja mauti kwa ajili ya kila mtu.

HEB 2:10 Removed trailing space in v~: Ili kuwaleta wana wengi katika utukufu, ilifaa kwamba Mungu, ambaye ni kwa ajili yake na kupitia kwake kila kitu kimekuwepo, amkamilishe mwanzilishi wa wokovu wao kwa njia ya mateso.

HEB 2:11 Removed trailing space in v~: Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu kuwaita ndugu zake.

HEB 2:12 Removed trailing space in v~: Yeye husema,

HEB 2:12 Removed trailing space in p~: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu;

HEB 2:12 Removed trailing space in p~: mbele ya kusanyiko nitaimba sifa zako.”

HEB 2:13 Removed trailing space in v~: Tena,

HEB 2:13 Removed trailing space in p~: “Nitaweka tumaini langu kwake.”

HEB 2:13 Removed trailing space in p~: Tena anasema,

HEB 2:13 Removed trailing space in p~: “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”

HEB 2:14 Removed trailing space in v~: Basi kwa kuwa watoto wana nyama na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo mwenye nguvu za mauti, yaani ibilisi,

HEB 2:15 Removed trailing space in v~: na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti.

HEB 2:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Abrahamu.

HEB 2:17 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii ilibidi afanane na ndugu zake kwa kila hali, ili apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu.

HEB 2:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.

HEB 3:0 Extra space after chapter number

HEB 3:0 Removed trailing space in c: 3

HEB 3:0 Removed trailing space in s1: Yesu Ni Mkuu Kuliko Mose

HEB 3:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ndugu watakatifu, mnaoshiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini Yesu, mtume na Kuhani Mkuu wa ukiri wetu.

HEB 3:2 Removed trailing space in v~: Alikuwa mwaminifu kwa yeye aliyemweka, kama vile Mose alivyokuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu.

HEB 3:3 Removed trailing space in v~: Yesu ameonekana anastahili heshima kubwa kuliko Mose, kama vile mjenzi wa nyumba alivyo wa heshima kubwa kuliko nyumba yenyewe.

HEB 3:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini Mungu ni mjenzi wa kila kitu.

HEB 3:5 Removed trailing space in v~: Basi Mose kama mtumishi alikuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu, akishuhudia kwa yale ambayo yangetamkwa baadaye.

HEB 3:6 Removed trailing space in v~: Lakini Kristo ni mwaminifu kama Mwana katika nyumba ya Mungu. Sisi ndio nyumba yake, kama tutashikilia sana ujasiri wetu na tumaini tunalojivunia.

HEB 3:6 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Kutokuamini

HEB 3:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kama Roho Mtakatifu asemavyo:

HEB 3:7 Removed trailing space in p~: “Leo, kama mkiisikia sauti yake,

HEB 3:8 Removed trailing space in v~: msiifanye mioyo yenu migumu,

HEB 3:8 Removed trailing space in p~: kama mlivyofanya katika uasi,

HEB 3:8 Removed trailing space in p~: wakati ule wa kujaribiwa jangwani,

HEB 3:9 Removed trailing space in v~: ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima

HEB 3:9 Removed trailing space in p~: ingawa kwa miaka arobaini

HEB 3:9 Removed trailing space in p~: walikuwa wameyaona matendo yangu.

HEB 3:10 Removed trailing space in v~: Hiyo ndiyo sababu nilikasirikia kizazi kile,

HEB 3:10 Removed trailing space in p~: nami nikasema, ‘Siku zote mioyo yao imepotoka,

HEB 3:10 Removed trailing space in p~: nao hawajazijua njia zangu.’

HEB 3:11 Removed trailing space in v~: Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu,

HEB 3:11 Removed trailing space in p~: ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”

HEB 3:12 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, angalieni, asiwepo miongoni mwenu mtu mwenye moyo mwovu usioamini, unaojitenga na Mungu aliye hai.

HEB 3:13 Removed trailing space in v~: Lakini mtiane moyo mtu na mwenzake kila siku, maadamu iitwapo Leo, ili asiwepo hata mmoja wenu mwenye kufanywa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.

HEB 3:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tumekuwa washiriki wa Kristo, kama tukishikamana tu kwa uthabiti na tumaini letu la kwanza hadi mwisho.

HEB 3:15 Removed trailing space in v~: Kama ilivyonenwa:

HEB 3:15 Removed trailing space in p~: “Leo, kama mkiisikia sauti yake,

HEB 3:15 Removed trailing space in p~: msiifanye mioyo yenu migumu

HEB 3:15 Removed trailing space in p~: kama mlivyofanya wakati wa kuasi.”

HEB 3:16 Removed trailing space in v~: Basi ni nani waliosikia lakini bado wakaasi? Je, si wale wote waliotoka Misri wakiongozwa na Mose?

HEB 3:17 Removed trailing space in v~: Lakini ni nani aliowakasirikia miaka arobaini? Je, si wale waliofanya dhambi ambao miili yao ilianguka jangwani?

HEB 3:18 Removed trailing space in v~: Ni nani hao ambao Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii?

HEB 3:19 Removed trailing space in v~: Hivyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.

HEB 4:0 Extra space after chapter number

HEB 4:0 Removed trailing space in c: 4

HEB 4:0 Removed trailing space in s1: Pumziko Aliloahidi Mungu

HEB 4:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa.

HEB 4:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana sisi pia tumesikia Injili iliyohubiriwa kwetu, kama nao walivyosikia; lakini ujumbe ule waliousikia haukuwa na maana kwao, kwa sababu wale waliousikia hawakuuchanganya na imani.

HEB 4:3 Removed trailing space in v~: Sasa sisi ambao tumeamini tunaingia katika ile raha, kama vile Mungu alivyosema,

HEB 4:3 Removed trailing space in p~: “Kwa hiyo nikaapa katika hasira yangu,

HEB 4:3 Removed trailing space in p~: ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”

HEB 4:3 Removed trailing space in p~: Lakini kazi yake ilikamilika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.

HEB 4:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.”

HEB 4:5 Removed trailing space in v~: Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”

HEB 4:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo inabaki kuwa wazi kwa wengine kuingia, nao wale wa kwanza waliopokea Injili walishindwa kuingia kwa sababu ya kutokutii.

HEB 4:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu ameweka siku nyingine, akaiita Leo, akisema kwa kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno yaliyotangulia kunenwa:

HEB 4:7 Removed trailing space in p~: “Leo, kama mkiisikia sauti yake,

HEB 4:7 Removed trailing space in p~: msiifanye mioyo yenu migumu.”

HEB 4:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama Yoshua alikuwa amewapa raha, Mungu hangesema tena baadaye kuhusu siku nyingine.

HEB 4:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu;

HEB 4:10 Removed trailing space in v~: kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake.

HEB 4:11 Removed trailing space in v~: Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha hiyo, ili kwamba asiwepo yeyote atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa kutokutii.

HEB 4:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana Neno la Mungu li hai tena lina nguvu. Lina makali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili, hivyo linachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, viungo na mafuta yaliyo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.

HEB 4:13 Removed trailing space in v~: Wala hakuna kiumbe chochote kilichofichika machoni pa Mungu. Kila kitu kimefunuliwa na kiko wazi machoni pake yeye ambaye kwake ni lazima tutatoa hesabu.

HEB 4:13 Removed trailing space in s1: Yesu Kristo Kuhani Mkuu Kuliko Wote

HEB 4:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu kuliko wote ambaye ameingia mbinguni, Yesu Mwana wa Mungu, basi na tushikamane sana kwa uthabiti na ule ukiri wa imani yetu.

HEB 4:15 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi.

HEB 4:16 Removed trailing space in v~: Basi na tukikaribie kiti cha rehema kwa ujasiri, ili tupewe rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.

HEB 5:0 Extra space after chapter number

HEB 5:0 Removed trailing space in c: 5

HEB 5:1 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu anawekwa kuwawakilisha kwa mambo yanayomhusu Mungu, ili apate kutoa matoleo na dhabihu kwa ajili ya dhambi.

HEB 5:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa yeye mwenyewe ni dhaifu, aweza kuwachukulia kwa upole wale wasiojua na kupotoka.

HEB 5:3 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu inampasa kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na vivyo hivyo kwa ajili ya dhambi za watu.

HEB 5:4 Removed trailing space in v~: Hakuna anayejitwalia heshima hii mwenyewe; ni lazima aitwe na Mungu, kama vile Aroni alivyoitwa.

HEB 5:5 Removed trailing space in v~: Pia Kristo hakujitwalia utukufu yeye mwenyewe wa kuwa Kuhani Mkuu, bali Mungu alimwambia,

HEB 5:5 Removed trailing space in p~: “Wewe ni Mwanangu;

HEB 5:5 Removed trailing space in p~: leo mimi nimekuzaa.”

HEB 5:6 Removed trailing space in v~: Pia mahali pengine asema,

HEB 5:6 Removed trailing space in p~: “Wewe ni kuhani milele,

HEB 5:6 Removed trailing space in p~: kwa mfano wa Melkizedeki.”

HEB 5:7 Removed trailing space in v~: Katika siku za maisha ya Yesu hapa duniani, alimtolea maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, yeye awezaye kumwokoa na mauti, naye Mungu akamsikia kwa sababu ya kutii kwake kwa unyenyekevu.

HEB 5:8 Removed trailing space in v~: Ingawa alikuwa Mwana, alijifunza utiifu kutokana na mateso aliyoyapata,

HEB 5:9 Removed trailing space in v~: na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii.

HEB 5:10 Removed trailing space in v~: Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

HEB 5:10 Removed trailing space in s1: Wito Wa Kukua Kiroho

HEB 5:11 Removed trailing space in v~: Tunayo mengi ya kusema kuhusu habari ya ukuhani huu, lakini ni vigumu kuyaeleza, kwa sababu ninyi ni wazito wa kuelewa.

HEB 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa hakika, ingawa mpaka wakati huu ingewapasa kuwa walimu, bado mnahitaji mtu wa kuwafundisha tena hatua za awali za kweli ya Neno la Mungu. Mnahitaji maziwa, wala si chakula kigumu!

HEB 5:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.

HEB 5:14 Removed trailing space in v~: Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu wazima, ambao kwa kujizoeza wamejifunza kupambanua kati ya mema na mabaya.

HEB 6:0 Extra space after chapter number

HEB 6:0 Removed trailing space in c: 6

HEB 6:0 Removed trailing space in s1: Hatari Ya Kuanguka

HEB 6:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, tukiachana na mafundisho yale ya awali kuhusu Kristo na tukisonga mbele ili tufikie utimilifu, sio kuweka tena msingi wa mafundisho ya kuzitubia kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,

HEB 6:2 Removed trailing space in v~: mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele.

HEB 6:3 Removed trailing space in v~: Mungu akitujalia tutafanya hivyo.

HEB 6:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ni vigumu kwa wale ambao wakati fulani walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki katika Roho Mtakatifu,

HEB 6:5 Removed trailing space in v~: ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,

HEB 6:6 Removed trailing space in v~: kisha wakianguka, kuwarejesha tena katika toba. Kwa kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili na kumdhalilisha hadharani, nayo ikawa hasara kwao.

HEB 6:7 Removed trailing space in v~: Ardhi ile ipokeayo mvua inyeshayo juu yake mara kwa mara hutoa mazao yanayowanufaisha wale ambao kwa ajili yao yalimwa, nayo nchi hiyo hupokea baraka kutoka kwa Mungu.

HEB 6:8 Removed trailing space in v~: Lakini ardhi ikizaa miiba na mibaruti, haina thamani na iko hatarini ya kulaaniwa. Mwisho wake ni kuchomwa moto.

HEB 6:9 Removed trailing space in v~: Ingawa tunasema hivi, ndugu zangu wapendwa, kwa upande wenu tuna hakika ya mambo mema zaidi, mambo yale yahusuyo wokovu.

HEB 6:10 Removed trailing space in v~: Mungu si mdhalimu: yeye hataisahau kazi yenu na upendo ule mlioonyesha kwa ajili yake katika kuwahudumia watakatifu na hata sasa mnaendelea kuwahudumia.

HEB 6:11 Removed trailing space in v~: Nasi twataka kila mmoja wenu aonyeshe bidii iyo hiyo ili mpate kujua uhakika kamili wa lile tumaini mpaka mwisho,

HEB 6:12 Removed trailing space in v~: ili msije mkawa wavivu, bali mpate kuwaiga wale ambao kwa imani na saburi hurithi zile ahadi.

HEB 6:12 Removed trailing space in s1: Uhakika Wa Ahadi Ya Mungu

HEB 6:13 Removed trailing space in v~: Mungu alipompa Abrahamu ahadi yake, kwa kuwa hakuwepo mwingine aliyekuwa mkuu kuliko yeye ambaye angeweza kuapa kwa jina lake, aliapa kwa nafsi yake,

HEB 6:14 Removed trailing space in v~: akisema, “Hakika nitakubariki na kukupa wazao wengi.”

HEB 6:15 Removed trailing space in v~: Abrahamu naye, baada ya kungoja kwa saburi, alipokea kile kilichoahidiwa.

HEB 6:16 Removed trailing space in v~: Wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuwaliko, nacho kiapo hicho huthibitisha kile kilichosemwa na hivyo humaliza mabishano yote.

HEB 6:17 Removed trailing space in v~: Mungu alipotaka kuonyesha kwa udhahiri zaidi ile asili ya kutokubadilika kwa ahadi yake kwa warithi wa ahadi, aliithitibisha kwa kiapo.

HEB 6:18 Removed trailing space in v~: Mungu alifanya hivyo ili kwa vitu viwili visivyobadilika, yaani ahadi yake na kiapo chake, ambavyo kwavyo Mungu hawezi kusema uongo, sisi ambao tumemkimbilia ili tulishike lile tumaini lililowekwa mbele yetu tuwe na faraja thabiti.

HEB 6:19 Removed trailing space in v~: Tunalo tumaini hili kama nanga ya roho iliyo imara na thabiti. Tumaini hili huingia katika sehemu takatifu iliyopo nyuma ya pazia,

HEB 6:20 Removed trailing space in v~: mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki.

HEB 7:0 Extra space after chapter number

HEB 7:0 Removed trailing space in c: 7

HEB 7:0 Removed trailing space in s1: Kuhani Melkizedeki

HEB 7:1 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana. Alipokutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwashinda hao wafalme, Melkizedeki alimbariki,

HEB 7:2 Removed trailing space in v~: naye Abrahamu alimpa sehemu ya kumi\f + \fr 7:2 \ft Sehemu ya kumi mahali pengine huitwa fungu la kumi au zaka; sehemu ya kumi ya pato hutolewa kwa Mungu.\f* ya kila kitu. Kwanza, jina hilo Melkizedeki maana yake ni “mfalme wa haki.” Na pia “mfalme wa Salemu” maana yake ni “mfalme wa amani.”

HEB 7:3 Removed trailing space in v~: Hana Baba wala mama, hana ukoo, hana mwanzo wala mwisho wa siku zake. Kama Mwana wa Mungu, yeye adumu akiwa kuhani milele.

HEB 7:4 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi alivyokuwa mkuu: Hata Abrahamu, baba yetu mkuu, alimpa sehemu ya kumi ya nyara zake.

HEB 7:5 Removed trailing space in v~: Basi sheria inawaagiza wana wa Lawi ambao hufanyika makuhani kupokea sehemu ya kumi kutoka kwa watu ambao ni ndugu zao, ingawa ndugu zao ni wazao wa Abrahamu.

HEB 7:6 Removed trailing space in v~: Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake kutoka kwa Lawi, lakini alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye aliyekuwa na zile ahadi.

HEB 7:7 Removed trailing space in v~: Wala hakuna shaka kwamba mdogo hubarikiwa na aliye mkuu kumliko yeye.

HEB 7:8 Removed trailing space in v~: Kwa upande mmoja, sehemu ya kumi hupokelewa na wale ambao hupatikana na kufa; lakini kwa upande mwingine hupokelewa na yeye ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai.

HEB 7:9 Removed trailing space in v~: Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu ya kumi, alitoa hiyo sehemu ya kumi kupitia kwa Abrahamu,

HEB 7:10 Removed trailing space in v~: kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Abrahamu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani.\f + \fr 7:10 \ft Yaani, alikuwa hajazaliwa.\f*

HEB 7:10 Removed trailing space in s1: Yesu Mfano Wa Melkizedeki

HEB 7:11 Removed trailing space in v~: Kama ukamilifu ungeweza kupatikana kwa njia ya ukuhani wa Walawi (kwa kuwa katika msingi huo, sheria ilitolewa kwa watu), kwa nini basi imekuwepo haja ya kuja kuhani mwingine: kuhani kwa mfano wa Melkizedeki, wala si kwa mfano wa Aroni?

HEB 7:12 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria.

HEB 7:13 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye mambo haya yanasemwa alikuwa wa kabila lingine, na hakuna mtu wa kabila hilo aliyewahi kuhudumu katika madhabahu.

HEB 7:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda, tena kuhusu kabila hilo Mose hakusema lolote kwa habari za makuhani.

HEB 7:15 Removed trailing space in v~: Tena hayo tuliyosema yako wazi zaidi kama akitokea kuhani mwingine kama Melkizedeki,

HEB 7:16 Removed trailing space in v~: yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika.

HEB 7:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana imeshuhudiwa kwamba:

HEB 7:17 Removed trailing space in p~: “Wewe ni kuhani milele,

HEB 7:17 Removed trailing space in p~: kwa mfano wa Melkizedeki.”

HEB 7:18 Removed trailing space in v~: Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa

HEB 7:19 Removed trailing space in v~: (kwa maana sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu). Kwa upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora zaidi ambalo linatuleta karibu na Mungu.

HEB 7:20 Removed trailing space in v~: Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,

HEB 7:21 Removed trailing space in v~: lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia:

HEB 7:21 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* ameapa

HEB 7:21 Removed trailing space in p~: naye hatabadilisha mawazo yake:

HEB 7:21 Removed trailing space in p~: ‘Wewe ni kuhani milele.’ ”

HEB 7:22 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya kiapo hiki, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

HEB 7:23 Removed trailing space in v~: Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.

HEB 7:24 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu.

HEB 7:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale wanaomjia Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao.

HEB 7:26 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ilitupasa tuwe na Kuhani Mkuu wa namna hii, yaani, aliye mtakatifu, asiye na lawama, asiye na dosari, aliyetengwa na wenye dhambi na kuinuliwa juu ya mbingu.

HEB 7:27 Removed trailing space in v~: Yeye hahitaji kutoa dhabihu siku kwa siku kwa ajili ya dhambi, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu kama wale makuhani wakuu wengine. Yeye alitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zao mara moja tu, alipojitoa mwenyewe.

HEB 7:28 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele.

HEB 8:0 Extra space after chapter number

HEB 8:0 Removed trailing space in c: 8

HEB 8:0 Removed trailing space in s1: Kuhani Mkuu Wa Agano Jipya

HEB 8:1 Removed trailing space in v~: Basi jambo tunalotaka kulisema ni hili: Tunaye Kuhani Mkuu ambaye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Aliye Mkuu mbinguni,

HEB 8:2 Removed trailing space in v~: yeye ahudumuye katika patakatifu, hema la kweli lililowekwa na Bwana, wala si na mwanadamu.

HEB 8:3 Removed trailing space in v~: Kila kuhani mkuu huwekwa ili atoe sadaka na dhabihu. Vivyo hivyo, ilikuwa jambo muhimu kwa huyu Kuhani naye awe na kitu cha kutoa.

HEB 8:4 Removed trailing space in v~: Kama angekuwa duniani, hangekuwa kuhani, kwa sababu tayari wapo watu watoao sadaka kama ilivyoelekezwa na sheria.

HEB 8:5 Removed trailing space in v~: Wanahudumu katika patakatifu palipo mfano na kivuli cha mambo ya mbinguni. Hii ndiyo sababu Mose alionywa alipokaribia kujenga hema, akiambiwa: “Hakikisha kuwa unavitengeneza vitu vyote kwa mfano ulioonyeshwa kule mlimani.”

HEB 8:6 Removed trailing space in v~: Lakini huduma aliyopewa Yesu ni bora zaidi kuliko yao, kama vile agano ambalo yeye ni mpatanishi wake lilivyo bora zaidi kuliko lile la zamani, nalo limewekwa misingi wa ahadi zilizo bora zaidi.

HEB 8:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama hapakuwa na kasoro katika lile agano la kwanza, pasingekuwa na haja ya kutafuta nafasi kwa ajili ya jingine.

HEB 8:8 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu aliona kosa kwa watu, naye akasema:

HEB 8:8 Removed trailing space in p~: “Siku zinakuja, asema Bwana,

HEB 8:8 Removed trailing space in p~: nitakapofanya agano jipya

HEB 8:8 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Israeli

HEB 8:8 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Yuda.

HEB 8:9 Removed trailing space in v~: Agano langu halitakuwa kama lile

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: nililofanya na baba zao

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: nilipowashika mkono

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: kuwaongoza watoke nchi ya Misri,

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu hawakuendelea kuwa waaminifu katika agano langu,

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: nami nikawaacha,

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: asema Bwana.

HEB 8:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: baada ya siku zile, asema Bwana.

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: Nitaziweka sheria zangu katika nia zao

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: na kuziandika mioyoni mwao.

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: Nitakuwa Mungu wao,

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: nao watakuwa watu wangu.

HEB 8:11 Removed trailing space in v~: Mtu hatamfundisha tena jirani yake,

HEB 8:11 Removed trailing space in p~: wala mtu kumfundisha ndugu yake akisema, ‘Mjue Bwana,’

HEB 8:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu wote watanijua mimi,

HEB 8:11 Removed trailing space in p~: tangu aliye mdogo kabisa kwao, hadi aliye mkuu sana.

HEB 8:12 Removed trailing space in v~: Kwa sababu nitasamehe uovu wao,

HEB 8:12 Removed trailing space in p~: wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”

HEB 8:13 Removed trailing space in v~: Kwa kuliita agano hili “jipya,” Mungu amefanya lile agano la kwanza kuwa kuukuu; nacho kitu kinachoanza kuchakaa na kuwa kikuukuu kiko karibu kutoweka.

HEB 9:0 Extra space after chapter number

HEB 9:0 Removed trailing space in c: 9

HEB 9:0 Removed trailing space in s1: Ibada Katika Hema La Kidunia

HEB 9:1 Removed trailing space in v~: Basi agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni zake za kuabudu na pia patakatifu pake pa kidunia.

HEB 9:2 Removed trailing space in v~: Hema ilitengenezwa. Katika sehemu yake ya kwanza kulikuwa na kinara cha taa, meza na mikate iliyowekwa wakfu; hii sehemu iliitwa Mahali Patakatifu.

HEB 9:3 Removed trailing space in v~: Nyuma ya pazia la pili, palikuwa na sehemu iliyoitwa Patakatifu pa Patakatifu,

HEB 9:4 Removed trailing space in v~: ambapo palikuwa na yale madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba, na lile Sanduku la Agano lililofunikwa kwa dhahabu. Sanduku hili lilikuwa na gudulia la dhahabu lenye mana, ile fimbo ya Aroni iliyochipuka, na vile vibao vya mawe vya Agano.

HEB 9:5 Removed trailing space in v~: Juu ya lile Sanduku kulikuwa na makerubi ya Utukufu yakitilia kivuli kile kifuniko ambacho ndicho kiti cha rehema. Lakini hatuwezi kueleza vitu hivi kwa undani sasa.

HEB 9:6 Removed trailing space in v~: Basi vitu hivi vilipokuwa vimepangwa, makuhani waliingia daima katika sehemu ya kwanza ya hema ili kufanya taratibu zao za ibada.

HEB 9:7 Removed trailing space in v~: Lakini ni kuhani mkuu peke yake aliyeingia ndani ya sehemu ya pili ya hema. Tena hii ilikuwa mara moja tu kwa mwaka, na hakuingia kamwe bila damu, ambayo alitoa kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi za watu walizotenda bila kukusudia.

HEB 9:8 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii, Roho Mtakatifu alikuwa anaonyesha kwamba, maadamu ile hema ya kwanza ilikuwa bado imesimama, njia ya kuingia Patakatifu pa Patakafifu ilikuwa bado haijafunguliwa.

HEB 9:9 Removed trailing space in v~: Huu ulikuwa mfano kwa ajili ya wakati wa sasa, kuonyesha kwamba sadaka na dhabihu zilizokuwa zikitolewa hazikuweza kusafisha dhamiri ya mtu anayeabudu.

HEB 9:10 Removed trailing space in v~: Lakini hizi zilishughulika tu na vyakula na vinywaji, pamoja na taratibu mbalimbali za kunawa kwa nje, kanuni kwa ajili ya mwili zilizowekwa hadi wakati utimie wa matengenezo mapya.

HEB 9:10 Removed trailing space in s1: Damu Ya Kristo

HEB 9:11 Removed trailing space in v~: Kristo alipokuja akiwa Kuhani Mkuu wa mambo mema ambayo tayari yameshawasili, alipitia kwenye hema iliyo kuu zaidi na bora zaidi, ambayo haikutengenezwa kwa mikono ya binadamu, hii ni kusema, ambayo si sehemu ya uumbaji huu.

HEB 9:12 Removed trailing space in v~: Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele.

HEB 9:13 Removed trailing space in v~: Damu ya mbuzi na ya mafahali, na majivu ya mitamba walivyonyunyiziwa wale waliokuwa najisi kwa taratibu za kiibada viliwatakasa, hata kuwaondolea uchafu wa nje.

HEB 9:14 Removed trailing space in v~: Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai!

HEB 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza.

HEB 9:16 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya wosia,\f + \fr 9:16 \ft Wosia hapa kwa neno la Kiyunani ni agano.\f* ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

HEB 9:17 Removed trailing space in v~: kwa sababu wosia huwa na nguvu tu wakati mtu ameshakufa; kamwe hauwezi kutumika wakati yule aliyeuandika bado yuko hai.

HEB 9:18 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu hata lile agano la kwanza halikuweza kutekelezwa pasipo damu.

HEB 9:19 Removed trailing space in v~: Mose alipotangaza kila amri kwa watu wote, alichukua damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja na maji, sufu nyekundu na matawi ya mti wa hisopo, akanyunyizia kile kitabu na watu wote.

HEB 9:20 Removed trailing space in v~: Alisema, “Hii ndiyo damu ya agano, ambalo Mungu amewaamuru kulitii.”

HEB 9:21 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo alinyunyizia damu hiyo kwenye ile hema pamoja na kila kifaa kilichotumika ndani yake kwa taratibu za ibada.

HEB 9:22 Removed trailing space in v~: Kwa kweli sheria hudai kwamba, karibu kila kitu kitakaswe kwa damu, wala pasipo kumwaga damu, hakuna msamaha wa dhambi.

HEB 9:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ilikuwa muhimu kwa nakala za vitu vile vya mbinguni vitakaswe kwa dhabihu hizi, lakini vitu halisi vya mbinguni vilihitaji dhabihu bora kuliko hizi.

HEB 9:24 Removed trailing space in v~: Kwa maana Kristo hakuingia kwenye patakatifu palipofanywa kwa mikono ya mwanadamu, ambao ni mfano wa kile kilicho halisi. Yeye aliingia mbinguni penyewe, ili sasa aonekane mbele za Mungu kwa ajili yetu.

HEB 9:25 Removed trailing space in v~: Wala hakuingia mbinguni ili apate kujitoa mwenyewe mara kwa mara, kama vile kuhani mkuu aingiavyo Patakatifu pa Patakatifu kila mwaka kwa damu ambayo si yake mwenyewe.

HEB 9:26 Removed trailing space in v~: Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu.

HEB 9:27 Removed trailing space in v~: Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu,

HEB 9:28 Removed trailing space in v~: vivyo hivyo Kristo alitolewa mara moja tu kuwa dhabihu ili azichukue dhambi za watu wengi. Naye atakuja mara ya pili, sio kuchukua dhambi, bali kuwaletea wokovu wale wanaomngoja kwa shauku.

HEB 10:0 Extra space after chapter number

HEB 10:0 Removed trailing space in c: 10

HEB 10:0 Removed trailing space in s1: Dhabihu Ya Kristo Ni Mara Moja Tu

HEB 10:1 Removed trailing space in v~: Sheria ni kivuli tu cha mambo mema yajayo, wala si uhalisi wa mambo yenyewe. Kwa sababu hii, haiwezekani kamwe kwa njia ya dhabihu zitolewazo mwaka hadi mwaka kuwakamilisha wale wanaokaribia ili kuabudu.

HEB 10:2 Removed trailing space in v~: Kama dhabihu hizo zingeweza kuwakamilisha, hazingeendelea kutolewa tena. Kwa kuwa hao waabuduo wangekuwa wametakaswa mara moja tu, wala wasingejiona tena kuwa na dhambi.

HEB 10:3 Removed trailing space in v~: Lakini zile dhabihu zilikuwa ukumbusho wa dhambi kila mwaka,

HEB 10:4 Removed trailing space in v~: kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.

HEB 10:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, Kristo alipokuja duniani, alisema:

HEB 10:5 Removed trailing space in p~: “Dhabihu na sadaka hukuzitaka,

HEB 10:5 Removed trailing space in p~: bali mwili uliniandalia;

HEB 10:6 Removed trailing space in v~: sadaka za kuteketezwa na za dhambi

HEB 10:6 Removed trailing space in p~: hukupendezwa nazo.

HEB 10:7 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema, ‘Mimi hapa, nimekuja,

HEB 10:7 Removed trailing space in p~: imeandikwa kunihusu katika kitabu:

HEB 10:7 Removed trailing space in p~: Nimekuja kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu.’ ”

HEB 10:8 Removed trailing space in v~: Kwanza alisema, “Dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa na za dhambi hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo” (ingawa sheria iliagiza zitolewe).

HEB 10:9 Removed trailing space in v~: Kisha akasema “Mimi hapa, nimekuja kuyafanya mapenzi yako.” Aondoa lile Agano la kwanza ili kuimarisha la pili.

HEB 10:10 Removed trailing space in v~: Katika mapenzi hayo sisi tumetakaswa na kufanywa watakatifu kwa njia ya sadaka ya mwili wa Yesu Kristo alioutoa mara moja tu.

HEB 10:11 Removed trailing space in v~: Kila kuhani husimama siku kwa siku akifanya huduma yake ya ibada, na kutoa tena na tena dhabihu zile zile ambazo haziwezi kamwe kuondoa dhambi.

HEB 10:12 Removed trailing space in v~: Lakini huyu kuhani akiisha kutoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi kwa wakati wote, aliketi mkono wa kuume wa Mungu.

HEB 10:13 Removed trailing space in v~: Tangu wakati huo anangoja mpaka adui zake wawekwe chini ya miguu yake,

HEB 10:14 Removed trailing space in v~: kwa sababu kwa dhabihu moja amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa.

HEB 10:15 Removed trailing space in v~: Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:

HEB 10:16 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo Agano nitakalofanya nao

HEB 10:16 Removed trailing space in p~: baada ya siku hizo, asema Bwana.

HEB 10:16 Removed trailing space in p~: Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao,

HEB 10:16 Removed trailing space in p~: na kuziandika katika nia zao.”

HEB 10:17 Removed trailing space in v~: Kisha aongeza kusema:

HEB 10:17 Removed trailing space in p~: “Dhambi zao na kutokutii kwao

HEB 10:17 Removed trailing space in p~: sitakumbuka tena.”

HEB 10:18 Removed trailing space in v~: Basi haya yakiisha kusamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayotolewa kwa ajili ya dhambi.

HEB 10:18 Removed trailing space in s1: Wito Wa Kuvumilia

HEB 10:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ndugu zangu, kwa kuwa tunao ujasiri wa kupaingia Patakatifu pa Patakatifu kwa damu ya Yesu,

HEB 10:20 Removed trailing space in v~: kwa njia mpya iliyo hai tuliyofunguliwa kwa ajili yetu kupitia kwenye lile pazia, yaani, mwili wake,

HEB 10:21 Removed trailing space in v~: basi kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mungu,

HEB 10:22 Removed trailing space in v~: sisi na tumkaribie Mungu kwa moyo mnyofu kwa imani timilifu, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa damu ya Kristo na kuwa safi kutokana na dhamiri mbaya nayo miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.

HEB 10:23 Removed trailing space in v~: Tushike kwa uthabiti lile tumaini la ukiri wetu bila kuyumbayumba, kwa maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu.

HEB 10:24 Removed trailing space in v~: Tuangaliane na kuhimizana sisi kwa sisi katika upendo na katika kutenda mema.

HEB 10:25 Removed trailing space in v~: Wala tusiache kukutana pamoja, kama wengine walivyo na desturi, bali tuhimizane sisi kwa sisi kadiri tuonavyo Siku ile inakaribia.

HEB 10:26 Removed trailing space in v~: Kama tukiendelea kutenda dhambi kwa makusudi baada ya kupokea ufahamu wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi.

HEB 10:27 Removed trailing space in v~: Lakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mungu.

HEB 10:28 Removed trailing space in v~: Yeyote aliyeikataa sheria ya Mose alikufa pasipo huruma kwa ushahidi wa watu wawili au watatu.

HEB 10:29 Removed trailing space in v~: Je, mnadhani ni adhabu kali kiasi gani anayostahili kupewa mtu aliyemkanyaga Mwana wa Mungu chini ya nyayo zake, yeye aliyeifanya damu ya Agano iliyomtakasa kuwa kitu najisi na kumtendea maovu Roho wa neema?

HEB 10:30 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tunamjua yeye aliyesema, “Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.” Tena asema, “Bwana atawahukumu watu wake.”

HEB 10:31 Removed trailing space in v~: Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.

HEB 10:32 Removed trailing space in v~: Kumbukeni siku zile za kwanza, ambazo mkiisha kutiwa nuru mlistahimili mashindano makali ya maumivu.

HEB 10:33 Removed trailing space in v~: Wakati mwingine mlitukanwa na kuteswa hadharani; wakati mwingine mlikuwa radhi kuungana na wale waliofanyiwa hivyo.

HEB 10:34 Removed trailing space in v~: Mliwahurumia wale waliokuwa kifungoni, mkikubali kwa furaha kunyangʼanywa mali zenu kwa maana mlijua kwamba mnayo mali iliyo bora zaidi idumuyo.

HEB 10:35 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kubwa mno.

HEB 10:36 Removed trailing space in v~: Inawapasa kuvumilia ili mkiisha kufanya mapenzi ya Mungu mpate kile alichoahidi.

HEB 10:37 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu,

HEB 10:37 Removed trailing space in p~: “Yeye ajaye atakuja wala hatakawia.

HEB 10:38 Removed trailing space in v~: Lakini mwenye haki wangu

HEB 10:38 Removed trailing space in p~: ataishi kwa imani.

HEB 10:38 Removed trailing space in p~: Naye kama akisitasita,

HEB 10:38 Removed trailing space in p~: sina furaha naye.”

HEB 10:39 Removed trailing space in v~: Lakini sisi hatumo miongoni mwa hao wanaositasita na kuangamia, bali tuko miongoni mwa hao wenye imani na hivyo tunaokolewa.

HEB 11:0 Extra space after chapter number

HEB 11:0 Removed trailing space in c: 11

HEB 11:0 Removed trailing space in s1: Maana Ya Imani

HEB 11:1 Removed trailing space in v~: Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana.

HEB 11:2 Removed trailing space in v~: Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya.

HEB 11:3 Removed trailing space in v~: Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana.

HEB 11:3 Removed trailing space in s1: Mfano Wa Abeli, Enoki Na Noa

HEB 11:4 Removed trailing space in v~: Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu bora zaidi kuliko Kaini. Kwa imani alishuhudiwa kuwa mwenye haki, Mungu mwenyewe akazishuhudia sadaka zake. Kwa imani bado ananena ingawa amekufa.

HEB 11:5 Removed trailing space in v~: Kwa imani Enoki alitwaliwa kutoka maisha haya, kiasi kwamba hakuonja mauti. Hakuonekana, kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Kwa kuwa kabla hajatwaliwa alikuwa ameshuhudiwa kuwa ni mtu aliyempendeza Mungu.

HEB 11:6 Removed trailing space in v~: Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa maana yeyote anayemjia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na ya kuwa huwapa thawabu wale wamtafutao kwa bidii.

HEB 11:7 Removed trailing space in v~: Kwa imani, Noa alipoonywa na Mungu kuhusu mambo ambayo hayajaonekana bado, kwa kumcha Mungu alitengeneza safina ili kuokoa jamaa yake. Kwa imani yake aliuhukumu ulimwengu na akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.

HEB 11:7 Removed trailing space in s1: Imani Ya Abrahamu

HEB 11:8 Removed trailing space in v~: Kwa imani Abrahamu, alipoitwa aende mahali ambapo Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakokwenda.

HEB 11:9 Removed trailing space in v~: Kwa imani alifanya maskani yake katika nchi ya ahadi kama mgeni katika nchi ya kigeni; aliishi katika mahema, kama Isaki na Yakobo walivyofanya, waliokuwa pia warithi pamoja naye wa ahadi ile ile.

HEB 11:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi ya kudumu ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.

HEB 11:11 Removed trailing space in v~: Kwa imani Abrahamu, ingawa alikuwa mzee wa umri, naye Sara mwenyewe aliyekuwa tasa, alipokea uwezo wa kuwa baba kwa sababu alimhesabu Mungu aliyemwahidi kuwa mwaminifu na kwamba angetimiza ahadi yake.

HEB 11:12 Removed trailing space in v~: Hivyo kutokana na huyu huyu ambaye alikuwa sawa na mfu, wakazaliwa wazao wengi kama nyota za mbinguni na kama mchanga wa pwani usiohesabika.

HEB 11:13 Removed trailing space in v~: Watu hawa wote wakafa katika imani bila kuzipokea zile ahadi, lakini waliziona kwa mbali na kuzishangilia. Nao walikubali kwamba walikuwa wageni na wasiokuwa na maskani hapa duniani.

HEB 11:14 Removed trailing space in v~: Watu wasemao mambo kama haya, wanaonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi yao wenyewe.

HEB 11:15 Removed trailing space in v~: Kwa kweli kama wangekuwa wanafikiri kuhusu nchi waliyoiacha, wangalipata nafasi ya kurudi huko.

HEB 11:16 Removed trailing space in v~: Lakini badala yake walitamani nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao, kwa kuwa amekwisha kuandaa mji kwa ajili yao.

HEB 11:17 Removed trailing space in v~: Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa na Mungu, alimtoa Isaki kuwa dhabihu. Yeye aliyekuwa amezipokea ahadi za Mungu alikuwa tayari kumtoa mwanawe, aliyekuwa mwanawe pekee awe dhabihu.

HEB 11:18 Removed trailing space in v~: Ingawa Mungu alikuwa amemwambia Abrahamu, “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwa Isaki,”

HEB 11:19 Removed trailing space in v~: Abrahamu alihesabu kuwa Mungu angaliweza kumfufua Isaki kutoka kwa wafu. Na kwa kusema kwa mfano, alimpata tena Isaki kutoka kwa wafu.

HEB 11:20 Removed trailing space in v~: Kwa imani Isaki alimbariki Yakobo na Esau kuhusu maisha yao ya baadaye.

HEB 11:21 Removed trailing space in v~: Kwa imani Yakobo alipokuwa anakufa, alimbariki kila mmoja wa mtoto wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiwa ameegemea juu ya kichwa cha fimbo yake.

HEB 11:22 Removed trailing space in v~: Kwa imani, Yosefu alipokaribia mwisho wa maisha yake, alinena habari za kutoka kwa wana wa Israeli huko Misri na akatoa maagizo kuhusu mifupa yake.

HEB 11:22 Removed trailing space in s1: Imani Ya Mose

HEB 11:23 Removed trailing space in v~: Kwa imani, wazazi wa Mose walimficha kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa, kwa sababu waliona kuwa si mtoto wa kawaida, wala hawakuiogopa amri ya mfalme.

HEB 11:24 Removed trailing space in v~: Kwa imani, Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.

HEB 11:25 Removed trailing space in v~: Akachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa kitambo kidogo tu.

HEB 11:26 Removed trailing space in v~: Aliona kushutumiwa kwa ajili ya Kristo ni utajiri mkubwa zaidi kuliko hazina za Misri, maana alikuwa anatazamia kupata thawabu baadaye.

HEB 11:27 Removed trailing space in v~: Kwa imani Mose aliondoka Misri bila kuogopa ghadhabu ya mfalme. Alivumilia kwa sababu alimwona yeye asiyeonekana kwa macho.

HEB 11:28 Removed trailing space in v~: Kwa imani akaadhimisha Pasaka na kunyunyiza damu, ili yule mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse wazaliwa wa Israeli.

HEB 11:28 Removed trailing space in s1: Imani Ya Mashujaa Wengine Wa Israeli

HEB 11:29 Removed trailing space in v~: Kwa imani, watu walivuka Bahari ya Shamu\f + \fr 11:29 \ft Yaani Bahari ya Mafunjo.\f* kama vile juu ya nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo, walitoswa ndani ya maji.

HEB 11:30 Removed trailing space in v~: Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka, baada ya watu kuzizunguka kwa siku saba.

HEB 11:31 Removed trailing space in v~: Kwa imani, Rahabu, yule kahaba, hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi.

HEB 11:32 Removed trailing space in v~: Basi niseme nini zaidi? Sina wakati wa kusema habari za Gideoni, Baraka, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii,

HEB 11:33 Removed trailing space in v~: ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitekeleza haki, na wakapokea ahadi za Mungu; walifunga vinywa vya simba,

HEB 11:34 Removed trailing space in v~: wakazima makali ya miali ya moto, na wakaepuka kuuawa kwa upanga; udhaifu wao uligeuka kuwa nguvu; pia walikuwa hodari vitani na kuyafukuza majeshi ya wageni.

HEB 11:35 Removed trailing space in v~: Wanawake walipokea watu wao waliokuwa wamekufa, wakafufuliwa. Lakini wengine waliteswa, nao wakakataa kufunguliwa, ili wapate ufufuo ulio bora zaidi.

HEB 11:36 Removed trailing space in v~: Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani.

HEB 11:37 Removed trailing space in v~: Walipigwa kwa mawe; walipasuliwa vipande viwili kwa msumeno; waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na mbuzi, wakiwa maskini, wakiteswa na kutendwa mabaya,

HEB 11:38 Removed trailing space in v~: watu ambao ulimwengu haukustahili kuwa nao. Walizunguka majangwani na milimani, katika mapango na katika mahandaki ardhini.

HEB 11:39 Removed trailing space in v~: Hawa wote walishuhudiwa vyema kwa sababu ya imani yao, lakini hakuna hata mmoja wao aliyepokea yale yaliyoahidiwa.

HEB 11:40 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Mungu alikuwa ametangulia kutuwekea kitu kilicho bora zaidi ili wao wasikamilishwe pasipo sisi.

HEB 12:0 Extra space after chapter number

HEB 12:0 Removed trailing space in c: 12

HEB 12:0 Removed trailing space in s1: Mungu Huwaadibisha Wanawe

HEB 12:1 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa namna hii la mashahidi, basi na tuweke kando kila kitu kinachotuzuia na ile dhambi inayotuzinga kwa urahisi, nasi tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa kwa ajili yetu.

HEB 12:2 Removed trailing space in v~: Basi na tumtazame sana Yesu mwanzilishi na mkamilishaji wa imani yetu, yeye ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake alistahimili msalaba, bila kujali aibu ya huo msalaba, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.

HEB 12:3 Removed trailing space in v~: Mtafakarini sana yeye aliyestahimili upinzani mkuu namna hii kutoka kwa watu wenye dhambi, ili kwamba msije mkachoka na kukata tamaa.

HEB 12:4 Removed trailing space in v~: Katika kushindana kwenu dhidi ya dhambi, bado hamjapigana kiasi cha kumwaga damu yenu.

HEB 12:5 Removed trailing space in v~: Nanyi mmesahau yale maneno ya kuwaonya yanayowataja ninyi kuwa wana, yakisema:

HEB 12:5 Removed trailing space in p~: “Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana,

HEB 12:5 Removed trailing space in p~: wala usikate tamaa akikukemea,

HEB 12:6 Removed trailing space in v~: kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao,

HEB 12:6 Removed trailing space in p~: na humwadhibu kila mmoja

HEB 12:6 Removed trailing space in p~: anayemkubali kuwa mwana.”

HEB 12:7 Removed trailing space in v~: Vumilieni taabu kwa ajili ya kufunzwa adabu. Mungu anawatendea ninyi kama watoto wake, kwa maana ni mtoto yupi asiyeadibishwa na mzazi wake?

HEB 12:8 Removed trailing space in v~: Kama hakuna kuadibishwa (ambalo ni fungu la watoto wote), basi ninyi ni watoto wa haramu wala si watoto halali.

HEB 12:9 Removed trailing space in v~: Tena, sisi sote tunao baba wa kimwili, waliotuadibisha nasi tukawaheshimu kwa ajili ya hilo. Je, si inatupasa kujinyenyekeza zaidi kwa Baba wa roho zetu ili tuishi?

HEB 12:10 Removed trailing space in v~: Baba zetu walituadibisha kwa kitambo kidogo kama wao wenyewe walivyoona vyema, lakini Mungu hutuadibisha kwa faida yetu ili tupate kushiriki utakatifu wake.

HEB 12:11 Removed trailing space in v~: Kuadibishwa wakati wowote hakuonekani kuwa kitu cha kufurahisha bali chenye maumivu kinapotekelezwa. Lakini baadaye huzaa matunda ya haki na amani kwa wale waliofunzwa nayo.

HEB 12:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, itieni nguvu mikono yenu iliyo dhaifu na magoti yenu yaliyolegea.

HEB 12:13 Removed trailing space in v~: Sawazisheni mapito ya miguu yenu, ili kitu kilicho kiwete kisidhoofishwe bali kiponywe.

HEB 12:13 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Kuikataa Neema Ya Mungu

HEB 12:14 Removed trailing space in v~: Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu, ambao bila kuwa nao hakuna mtu atakayemwona Bwana.

HEB 12:15 Removed trailing space in v~: Angalieni sana mtu yeyote asiikose neema ya Mungu na kwamba shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.

HEB 12:16 Removed trailing space in v~: Angalieni miongoni mwenu asiwepo mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, ambaye kwa ajili ya mlo mmoja aliuza haki ya uzaliwa wake wa kwanza.

HEB 12:17 Removed trailing space in v~: Baadaye kama mnavyofahamu, alipotaka kurithi ile baraka, alikataliwa, maana hakupata nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi.

HEB 12:18 Removed trailing space in v~: Hamjaufikia mlima ule uwezao kuguswa na ambao unawaka moto; wala kwenye giza, utusitusi na dhoruba;

HEB 12:19 Removed trailing space in v~: kwenye mlio wa tarumbeta, au kwenye sauti isemayo maneno ya kutisha kiasi ambacho wale walioisikia waliomba wasiambiwe neno jingine zaidi,

HEB 12:20 Removed trailing space in v~: kwa sababu hawangeweza kustahimili neno lile lililoamriwa: “Hata kama mnyama atagusa mlima huu, atapigwa mawe.”

HEB 12:21 Removed trailing space in v~: Waliyoyaona yalikuwa ya kutisha kiasi kwamba Mose alisema, “Ninatetemeka kwa hofu.”

HEB 12:22 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi mmekuja Mlima Sayuni, Yerusalemu ya mbinguni, mji wa Mungu aliye hai. Mmekuja penye kusanyiko kubwa la malaika maelfu kwa maelfu wasiohesabika wanaoshangilia,

HEB 12:23 Removed trailing space in v~: kwenye kanisa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mmekuja kwa Mungu, mhukumu wa watu wote, kwenye roho za wenye haki waliokamilishwa,

HEB 12:24 Removed trailing space in v~: kwa Yesu mpatanishi wa agano jipya, na kwa damu iliyonyunyizwa, ile inenayo mambo mema kuliko damu ya Abeli.

HEB 12:25 Removed trailing space in v~: Angalieni, msije mkamkataa yeye anenaye. Ikiwa wao hawakuepuka adhabu walipomkataa yeye aliyewaonya hapa duniani, sisi je, tutaokokaje tusipomsikiliza yeye anayetuonya kutoka mbinguni?

HEB 12:26 Removed trailing space in v~: Wakati ule sauti yake ilitetemesha dunia, lakini sasa ameahidi, “Kwa mara moja tena nitatetemesha si nchi tu bali na mbingu pia.”

HEB 12:27 Removed trailing space in v~: Maneno haya “kwa mara moja tena” yanaonyesha kuondoshwa kwa vile vitu vinavyoweza kutetemeshwa, yaani vile vitu vilivyoumbwa, kwa kusudi vile tu visivyoweza kutetemeshwa vibaki.

HEB 12:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kwa kuwa tunapokea ufalme ambao hauwezi kutetemeshwa, basi na tuwe na shukrani, na hivyo tumwabudu Mungu kwa namna inayompendeza, kwa unyenyekevu na uchaji,

HEB 12:29 Removed trailing space in v~: kwa kuwa “Mungu wetu ni moto ulao.”

HEB 13:0 Extra space after chapter number

HEB 13:0 Removed trailing space in c: 13

HEB 13:0 Removed trailing space in s1: Huduma Inayompendeza Mungu

HEB 13:1 Removed trailing space in v~: Endeleeni kupendana kama ndugu.

HEB 13:2 Removed trailing space in v~: Msisahau kuwakaribisha wageni, kwa kuwa kwa kufanya hivyo, watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.

HEB 13:3 Removed trailing space in v~: Wakumbukeni wale waliofungwa gerezani kana kwamba ninyi mmefungwa pamoja nao. Pia wakumbukeni wale wanaotendewa vibaya, kana kwamba ni ninyi wenyewe mnateswa.

HEB 13:4 Removed trailing space in v~: Ndoa na iheshimiwe na watu wote, nayo malazi yawe safi, kwa kuwa Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati wote.

HEB 13:5 Removed trailing space in v~: Yalindeni maisha yenu msiwe na tabia ya kupenda fedha, bali mridhike na vile mlivyo navyo, kwa sababu Mungu amesema,

HEB 13:5 Removed trailing space in p~: “Kamwe sitakuacha,

HEB 13:5 Removed trailing space in p~: wala sitakupungukia.”

HEB 13:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri,

HEB 13:6 Removed trailing space in p~: “Bwana ni msaada wangu; sitaogopa.

HEB 13:6 Removed trailing space in p~: Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”

HEB 13:7 Removed trailing space in v~: Wakumbukeni viongozi wenu, wale waliowaambia neno la Mungu. Angalieni matokeo ya mwenendo wa maisha yao mkaiige imani yao.

HEB 13:8 Removed trailing space in v~: Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele.

HEB 13:9 Removed trailing space in v~: Msichukuliwe na kila aina ya mafundisho ya kigeni. Ni vyema mioyo yenu iimarishwe kwa neema, wala si kwa sheria kuhusu utaratibu wa vyakula, ambavyo havina faida kwa wale wanaozishika hizo sheria.

HEB 13:10 Removed trailing space in v~: Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaohudumu katika hema hawana haki ya kula vile vitu vilivyowekwa juu yake.

HEB 13:11 Removed trailing space in v~: Kuhani mkuu huchukua damu ya wanyama na kuiingiza Patakatifu pa Patakatifu, kama sadaka ya dhambi, lakini miili ya hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.

HEB 13:12 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, Yesu naye aliteswa nje ya lango la mji ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.

HEB 13:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, basi na tumwendee nje ya kambi, tukiichukua aibu aliyobeba.

HEB 13:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hapa hatuna mji udumuo, bali tunautafuta ule ujao.

HEB 13:15 Removed trailing space in v~: Basi kwa njia ya Yesu, tuzidi kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani matunda ya midomo inayolikiri Jina lake.

HEB 13:16 Removed trailing space in v~: Na msiache kutenda mema na kushirikiana vile vitu mlivyo navyo, kwa kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza Mungu.

HEB 13:17 Removed trailing space in v~: Watiini viongozi wenu na kujinyenyekeza chini ya mamlaka yao. Kwa maana wao wanakesha kwa ajili yenu kama watu watakaopaswa kutoa hesabu. Watiini ili wafanye kazi yao kwa furaha, wala si kama mzigo, maana hiyo haitakuwa na faida kwenu.

HEB 13:18 Removed trailing space in v~: Tuombeeni. Tuna hakika kuwa tunayo dhamiri safi na shauku ya kuishi kwa uadilifu kwa kila njia.

HEB 13:19 Removed trailing space in v~: Ninawasihi zaidi mniombee ili nipate kurudishwa kwenu upesi.

HEB 13:19 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Kuwatakia Baraka

HEB 13:20 Removed trailing space in v~: Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo,

HEB 13:21 Removed trailing space in v~: awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen.

HEB 13:21 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho Na Salamu

HEB 13:22 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, nawasihi mchukuliane na maneno yangu ya maonyo, kwa kuwa nimewaandikia waraka mfupi tu.

HEB 13:23 Removed trailing space in v~: Nataka ninyi mjue kwamba ndugu yetu Timotheo amefunguliwa kutoka gerezani. Akifika mapema, nitakuja pamoja naye kuwaona.

HEB 13:24 Removed trailing space in v~: Wasalimuni viongozi wenu wote na watakatifu wote. Wale wa kutoka Italia wanawasalimu.

HEB 13:25 Removed trailing space in v~: Neema iwe nanyi nyote. Amen.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 c: 13    h: 1    id: 1    m: 18    mt1: 1    p: 91    q1: 56    q2: 56    q4: 1    rem: 1    s1: 27    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 572    v: 303  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    q4: 1    c: 13    m: 18    s1: 27    q1: 56    q2: 56    p: 91    v: 303    Total: 572  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 13    Paragraphs: 91    Verses: 303  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Chapters: 13    Paragraphs: 91    Verses: 303  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 a: 110    A: 6    b: 11    B: 1    d: 12    D: 4    e: 29    E: 2    f: 3    g: 9    h: 16    H: 4    i: 60    I: 7    J: 1    j: 2    k: 26    K: 18    l: 13    L: 1    M: 25    m: 15    n: 36    N: 9    o: 30    O: 2    P: 1    p: 2    r: 14    s: 14    S: 1    Space: 87    t: 11    T: 1    Total: 689    u: 54    U: 1    v: 2    W: 17    w: 6    Y: 17    y: 4    Z: 1    z: 4  

Letter Counts (sorted by count)

 Z: 1    P: 1    U: 1    J: 1    L: 1    T: 1    B: 1    S: 1    E: 2    v: 2    O: 2    p: 2    j: 2    f: 3    y: 4    D: 4    z: 4    H: 4    w: 6    A: 6    I: 7    N: 9    g: 9    b: 11    t: 11    d: 12    l: 13    r: 14    s: 14    m: 15    h: 16    W: 17    Y: 17    K: 18    M: 25    k: 26    e: 29    o: 30    n: 36    u: 54    i: 60    Space: 87    a: 110    Total: 689  

Punctuation Counts

 ,: 1    Total: 1  

Punctuation Counts (sorted by count)

 ,: 1    Total: 1  

Words

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

HEB -1:6 Main Title 1:Waebrania

Section Heading Lines

HEB 1:0Mwana Ni Mkuu Kuliko Malaika
HEB 2:0Wokovu Mkuu
HEB 2:4Yesu Alifananishwa Na Ndugu Zake
HEB 3:0Yesu Ni Mkuu Kuliko Mose
HEB 3:6Onyo Dhidi Ya Kutokuamini
HEB 4:0Pumziko Aliloahidi Mungu
HEB 4:13Yesu Kristo Kuhani Mkuu Kuliko Wote
HEB 5:10Wito Wa Kukua Kiroho
HEB 6:0Hatari Ya Kuanguka
HEB 6:12Uhakika Wa Ahadi Ya Mungu
HEB 7:0Kuhani Melkizedeki
HEB 7:10Yesu Mfano Wa Melkizedeki
HEB 8:0Kuhani Mkuu Wa Agano Jipya
HEB 9:0Ibada Katika Hema La Kidunia
HEB 9:10Damu Ya Kristo
HEB 10:0Dhabihu Ya Kristo Ni Mara Moja Tu
HEB 10:18Wito Wa Kuvumilia
HEB 11:0Maana Ya Imani
HEB 11:3Mfano Wa Abeli, Enoki Na Noa
HEB 11:7Imani Ya Abrahamu
HEB 11:22Imani Ya Mose
HEB 11:28Imani Ya Mashujaa Wengine Wa Israeli
HEB 12:0Mungu Huwaadibisha Wanawe
HEB 12:13Onyo Dhidi Ya Kuikataa Neema Ya Mungu
HEB 13:0Huduma Inayompendeza Mungu
HEB 13:19Maombi Ya Kuwatakia Baraka
HEB 13:21Maneno Ya Mwisho Na Salamu

Notes

Footnote Lines

HEB 7:2+ \fr 7:2 \ft Sehemu ya kumi mahali pengine huitwa fungu la kumi au za…ungu.
HEB 7:10+ \fr 7:10 \ft Yaani, alikuwa hajazaliwa.
HEB 9:16+ \fr 9:16 \ft Wosia hapa kwa neno la Kiyunani ni agano.
HEB 11:29+ \fr 11:29 \ft Yaani Bahari ya Mafunjo.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 4    Footnotes: 4  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 4    Footnote leader '+': 4