Freely-Given.org Bible ISA Checks

<Up>

Priority Errors

Extra space after chapter number in ISA 2:0

Showing 1 out of 4858 priority errors

Fix Text Errors

ISA 2:0 Extra space after chapter number

ISA 2:0 Removed trailing space in c: 2

ISA 2:0 Removed trailing space in s1: Mlima Wa \nd Bwana\nd*

ISA 2:0 Removed trailing space in r: (Mika 4:1-3)

ISA 2:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu:

ISA 2:2 Removed trailing space in v~: Katika siku za mwisho

ISA 2:2 Removed trailing space in p~: mlima wa Hekalu la \nd Bwana\nd* utaimarishwa

ISA 2:2 Removed trailing space in p~: kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote,

ISA 2:2 Removed trailing space in p~: utainuliwa juu ya vilima,

ISA 2:2 Removed trailing space in p~: na mataifa yote yatamiminika huko.

ISA 2:3 Removed trailing space in v~: Mataifa mengi yatakuja na kusema,

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: “Njooni, twendeni mlimani mwa \nd Bwana\nd*,

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: Atatufundisha njia zake,

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuenenda katika mapito yake.”

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: Sheria itatoka Sayuni,

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: neno la \nd Bwana\nd* litatoka Yerusalemu.

ISA 2:4 Removed trailing space in v~: Atahukumu kati ya mataifa

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: na ataamua migogoro ya mataifa mengi.

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: Watafua panga zao ziwe majembe,

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi.

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine,

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: wala hawatajifunza vita tena.

ISA 2:5 Removed trailing space in v~: Njooni, enyi nyumba ya Yakobo,

ISA 2:5 Removed trailing space in p~: tutembeeni katika nuru ya \nd Bwana\nd*.

ISA 2:5 Removed trailing space in s1: Siku Ya \nd Bwana\nd*

ISA 2:6 Removed trailing space in v~: Umewatelekeza watu wako,

ISA 2:6 Removed trailing space in p~: nyumba ya Yakobo.

ISA 2:6 Removed trailing space in p~: Wamejaa ushirikina utokao Mashariki,

ISA 2:6 Removed trailing space in p~: wanapiga ramli kama Wafilisti

ISA 2:6 Removed trailing space in p~: na wanashikana mikono na wapagani.

ISA 2:7 Removed trailing space in v~: Nchi yao imejaa fedha na dhahabu,

ISA 2:7 Removed trailing space in p~: hakuna mwisho wa hazina zao.

ISA 2:7 Removed trailing space in p~: Nchi yao imejaa farasi,

ISA 2:7 Removed trailing space in p~: hakuna mwisho wa magari yao.

ISA 2:8 Removed trailing space in v~: Nchi yao imejaa sanamu,

ISA 2:8 Removed trailing space in p~: wanasujudia kazi za mikono yao,

ISA 2:8 Removed trailing space in p~: vitu vile vidole vyao vimevitengeneza.

ISA 2:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mwanadamu atashushwa

ISA 2:9 Removed trailing space in p~: na binadamu atanyenyekezwa:

ISA 2:9 Removed trailing space in p~: usiwasamehe.

ISA 2:10 Removed trailing space in v~: Ingieni kwenye miamba,

ISA 2:10 Removed trailing space in p~: jificheni ardhini

ISA 2:10 Removed trailing space in p~: kutokana na utisho wa \nd Bwana\nd*

ISA 2:10 Removed trailing space in p~: na utukufu wa enzi yake!

ISA 2:11 Removed trailing space in v~: Macho ya mtu mwenye majivuno yatanyenyekezwa

ISA 2:11 Removed trailing space in p~: na kiburi cha wanadamu kitashushwa,

ISA 2:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* peke yake ndiye atakayetukuzwa siku hiyo.

ISA 2:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anayo siku aliyoiweka akiba

ISA 2:12 Removed trailing space in p~: kwa wote wenye kujivuna na wenye kiburi,

ISA 2:12 Removed trailing space in p~: kwa wote wanaojikweza

ISA 2:12 Removed trailing space in p~: (nao watanyenyekezwa),

ISA 2:13 Removed trailing space in v~: kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana,

ISA 2:13 Removed trailing space in p~: na mialoni yote ya Bashani,

ISA 2:14 Removed trailing space in v~: kwa milima yote mirefu

ISA 2:14 Removed trailing space in p~: na vilima vyote vilivyoinuka,

ISA 2:15 Removed trailing space in v~: kwa kila mnara ulio mrefu sana

ISA 2:15 Removed trailing space in p~: na kila ukuta wenye ngome,

ISA 2:16 Removed trailing space in v~: kwa kila meli ya biashara,\f + \fr 2:16 \ft Au: ya Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 60:9\+xt*.)\f*

ISA 2:16 Found unexpected backslash in footnote: 2:16 Au: ya Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 60:9\+xt*.)

ISA 2:16 Removed trailing space in p~: na kila chombo cha baharini cha fahari.

ISA 2:17 Removed trailing space in v~: Majivuno ya mwanadamu yatashushwa,

ISA 2:17 Removed trailing space in p~: na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa,

ISA 2:17 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo,

ISA 2:18 Removed trailing space in v~: nazo sanamu zitatoweka kabisa.

ISA 2:19 Removed trailing space in v~: Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba,

ISA 2:19 Removed trailing space in p~: na kwenye mahandaki ardhini

ISA 2:19 Removed trailing space in p~: kutokana na utisho wa \nd Bwana\nd*

ISA 2:19 Removed trailing space in p~: na utukufu wa enzi yake,

ISA 2:19 Removed trailing space in p~: ainukapo kuitikisa dunia.

ISA 2:20 Removed trailing space in v~: Siku ile, watu watawatupia

ISA 2:20 Removed trailing space in p~: panya na popo

ISA 2:20 Removed trailing space in p~: sanamu zao za fedha na za dhahabu,

ISA 2:20 Removed trailing space in p~: walizozitengeneza ili waziabudu.

ISA 2:21 Removed trailing space in v~: Watakimbilia kwenye mapango miambani

ISA 2:21 Removed trailing space in p~: na kwenye nyufa za miamba

ISA 2:21 Removed trailing space in p~: kutokana na utisho wa \nd Bwana\nd*

ISA 2:21 Removed trailing space in p~: na utukufu wa enzi yake,

ISA 2:21 Removed trailing space in p~: ainukapo kuitikisa dunia.

ISA 2:22 Removed trailing space in v~: Acheni kumtumainia mwanadamu,

ISA 2:22 Removed trailing space in p~: ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake.

ISA 2:22 Removed trailing space in p~: Yeye ana thamani gani?

ISA 3:0 Extra space after chapter number

ISA 3:0 Removed trailing space in c: 3

ISA 3:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.

ISA 3:1 Removed trailing space in v~: Tazama sasa, Bwana,

ISA 3:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 3:1 Removed trailing space in p~: yu karibu kuwaondolea Yerusalemu na Yuda

ISA 3:1 Removed trailing space in p~: upatikanaji wa mahitaji na misaada,

ISA 3:1 Removed trailing space in p~: upatikanaji wote wa chakula na tegemeo lote la maji,

ISA 3:2 Removed trailing space in v~: shujaa na mtu wa vita,

ISA 3:2 Removed trailing space in p~: mwamuzi na nabii,

ISA 3:2 Removed trailing space in p~: mwaguzi na mzee,

ISA 3:3 Removed trailing space in v~: jemadari wa kikosi cha watu hamsini

ISA 3:3 Removed trailing space in p~: na mtu mwenye cheo, mshauri,

ISA 3:3 Removed trailing space in p~: fundi stadi na mlozi mjanja.

ISA 3:4 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao,

ISA 3:4 Removed trailing space in p~: watoto ndio watakaowatawala.

ISA 3:5 Removed trailing space in v~: Watu wataoneana wao kwa wao:

ISA 3:5 Removed trailing space in p~: mtu dhidi ya mtu, na jirani dhidi ya jirani yake.

ISA 3:5 Removed trailing space in p~: Kijana atainuka dhidi ya mzee,

ISA 3:5 Removed trailing space in p~: mtu mnyonge dhidi ya mtu mwenye heshima.

ISA 3:6 Removed trailing space in v~: Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake

ISA 3:6 Removed trailing space in p~: katika nyumba ya baba yake na kusema,

ISA 3:6 Removed trailing space in p~: “Unalo joho, sasa uwe kiongozi wetu,

ISA 3:6 Removed trailing space in p~: tawala lundo hili la magofu!”

ISA 3:7 Removed trailing space in v~: Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema,

ISA 3:7 Removed trailing space in p~: “Sina uponyaji.

ISA 3:7 Removed trailing space in p~: Sina chakula wala mavazi katika nyumba yangu,

ISA 3:7 Removed trailing space in p~: msinifanye niwe kiongozi wa watu.”

ISA 3:8 Removed trailing space in v~: Yerusalemu inapepesuka,

ISA 3:8 Removed trailing space in p~: Yuda inaanguka;

ISA 3:8 Removed trailing space in p~: maneno yao na matendo yao ni kinyume na \nd Bwana\nd*,

ISA 3:8 Removed trailing space in p~: wakiudharau uwepo wake uliotukuka.

ISA 3:9 Removed trailing space in v~: Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao,

ISA 3:9 Removed trailing space in p~: hujivunia dhambi yao kama Sodoma,

ISA 3:9 Removed trailing space in p~: wala hawaifichi.

ISA 3:9 Removed trailing space in p~: Ole wao!

ISA 3:9 Removed trailing space in p~: Wamejiletea maafa juu yao wenyewe.

ISA 3:10 Removed trailing space in v~: Waambie wanyofu itakuwa heri kwao,

ISA 3:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.

ISA 3:11 Removed trailing space in v~: Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao!

ISA 3:11 Removed trailing space in p~: Watalipwa kwa ajili ya yale mikono yao iliyotenda.

ISA 3:12 Removed trailing space in v~: Vijana wanawatesa watu wangu,

ISA 3:12 Removed trailing space in p~: wanawake wanawatawala.

ISA 3:12 Removed trailing space in p~: Enyi watu wangu, viongozi wenu wanawapotosha,

ISA 3:12 Removed trailing space in p~: wanawapoteza njia.

ISA 3:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anachukua nafasi yake mahakamani,

ISA 3:13 Removed trailing space in p~: anasimama kuhukumu watu.

ISA 3:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anaingia katika hukumu

ISA 3:14 Removed trailing space in p~: dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake:

ISA 3:14 Removed trailing space in p~: “Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu,

ISA 3:14 Removed trailing space in p~: mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.

ISA 3:15 Removed trailing space in v~: Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu

ISA 3:15 Removed trailing space in p~: na kuzisaga nyuso za maskini?”

ISA 3:15 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 3:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: “Wanawake wa Sayuni wana kiburi,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: wanatembea na shingo ndefu,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: wakikonyeza kwa macho yao,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: wanatembea kwa hatua za madaha,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: wakiwa na mapambo ya njuga kwenye vifundo vya miguu yao.

ISA 3:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni;

ISA 3:17 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.”

ISA 3:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo,

ISA 3:19 Removed trailing space in v~: vipuli, vikuku, shela,

ISA 3:20 Removed trailing space in v~: vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi,

ISA 3:21 Removed trailing space in v~: pete zenye muhuri, pete za puani,

ISA 3:22 Removed trailing space in v~: majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha,

ISA 3:23 Removed trailing space in v~: vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.

ISA 3:24 Removed trailing space in v~: Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo;

ISA 3:24 Removed trailing space in p~: badala ya mishipi, ni kamba;

ISA 3:24 Removed trailing space in p~: badala ya nywele zilizotengenezwa vizuri, ni upara;

ISA 3:24 Removed trailing space in p~: badala ya mavazi mazuri, ni nguo za magunia;

ISA 3:24 Removed trailing space in p~: badala ya uzuri, ni alama ya aibu kwa chuma cha moto.

ISA 3:25 Removed trailing space in v~: Wanaume wako watauawa kwa upanga,

ISA 3:25 Removed trailing space in p~: nao mashujaa wako watauawa vitani.

ISA 3:26 Removed trailing space in v~: Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia,

ISA 3:26 Removed trailing space in p~: ataketi mavumbini akiwa fukara.

ISA 4:0 Extra space after chapter number

ISA 4:0 Removed trailing space in c: 4

ISA 4:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ile wanawake saba

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: watamshika mwanaume mmoja

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: na kuvaa nguo zetu wenyewe,

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako.

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: Utuondolee aibu yetu!”

ISA 4:1 Removed trailing space in s1: Tawi La \nd Bwana\nd*

ISA 4:2 Removed trailing space in v~: Katika siku ile Tawi la \nd Bwana\nd* litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.

ISA 4:3 Removed trailing space in v~: Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.

ISA 4:4 Removed trailing space in v~: Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.

ISA 4:5 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.

ISA 4:6 Removed trailing space in v~: Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.

ISA 5:0 Extra space after chapter number

ISA 5:0 Removed trailing space in c: 5

ISA 5:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Shamba La Mizabibu

ISA 5:1 Removed trailing space in v~: Nitaimba wimbo kwa ajili ya mmoja nimpendaye,

ISA 5:1 Removed trailing space in p~: kuhusu shamba lake la mizabibu:

ISA 5:1 Removed trailing space in p~: Mpendwa wangu alikuwa na shamba la mizabibu

ISA 5:1 Removed trailing space in p~: kwenye kilima chenye rutuba.

ISA 5:2 Removed trailing space in v~: Alililima na kuondoa mawe

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: na akaliotesha mizabibu bora sana.

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: Akajenga mnara wa ulinzi ndani yake,

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: na kutengeneza shinikizo la kukamulia divai pia.

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: Kisha akatazamia kupata mazao ya zabibu nzuri,

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: lakini lilizaa matunda mabaya tu.

ISA 5:3 Removed trailing space in v~: “Basi enyi wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda,

ISA 5:3 Removed trailing space in p~: hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.

ISA 5:4 Removed trailing space in v~: Ni nini zaidi ambacho kingeweza kufanyika kwa shamba langu la mizabibu

ISA 5:4 Removed trailing space in p~: kuliko yale niliyofanya?

ISA 5:4 Removed trailing space in p~: Nilipotazamia kupata zabibu nzuri,

ISA 5:4 Removed trailing space in p~: kwa nini lilizaa zabibu mbaya tu?

ISA 5:5 Removed trailing space in v~: Sasa nitawaambia lile nitakalolitendea

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: shamba langu la mizabibu:

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: Nitaondoa uzio wake,

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: nalo litaharibiwa,

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: nitabomoa ukuta wake,

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: nalo litakanyagwa.

ISA 5:6 Removed trailing space in v~: Nitalifanya nchi ya ukiwa isiyokaliwa na watu,

ISA 5:6 Removed trailing space in p~: halitakatiwa matawi wala kulimwa,

ISA 5:6 Removed trailing space in p~: nayo michongoma na miiba itamea huko,

ISA 5:6 Removed trailing space in p~: nitaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.”

ISA 5:7 Removed trailing space in v~: Shamba la mzabibu la \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: ni nyumba ya Israeli,

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: na watu wa Yuda

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: ni bustani yake ya kumpendeza.

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: Alitazamia haki, lakini akaona umwagaji damu,

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: alitazamia uadilifu, lakini akasikia vilio vya taabu.

ISA 5:7 Removed trailing space in s1: Ole Na Hukumu

ISA 5:8 Removed trailing space in v~: Ole wenu mnaoongeza nyumba baada ya nyumba

ISA 5:8 Removed trailing space in p~: na kuunganisha mashamba baada ya mashamba

ISA 5:8 Removed trailing space in p~: hadi hakuna nafasi iliyobaki,

ISA 5:8 Removed trailing space in p~: nanyi mnaishi peke yenu katika nchi.

ISA 5:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote amesema nikisikia:

ISA 5:9 Removed trailing space in p~: “Hakika nyumba kubwa zitakuwa ukiwa,

ISA 5:9 Removed trailing space in p~: nayo majumba ya fahari yatabaki bila kukaliwa.

ISA 5:10 Removed trailing space in v~: Shamba la mizabibu la eka kumi

ISA 5:10 Removed trailing space in p~: litatoa bathi\f + \fr 5:10 \ft Bathi moja ni sawa na lita 22.\f* moja ya divai,

ISA 5:10 Removed trailing space in p~: na homeri\f + \fr 5:10 \ft Homeri moja ni sawa na lita 220.\f* ya mbegu zilizopandwa

ISA 5:10 Removed trailing space in p~: itatoa efa\f + \fr 5:10 \ft Efa moja ni sawa na lita 22.\f* moja tu ya nafaka.”

ISA 5:11 Removed trailing space in v~: Ole wao wale waamkao asubuhi na mapema

ISA 5:11 Removed trailing space in p~: wakikimbilia kunywa vileo,

ISA 5:11 Removed trailing space in p~: wale wakawiao sana mpaka usiku,

ISA 5:11 Removed trailing space in p~: mpaka wamewaka kwa mvinyo.

ISA 5:12 Removed trailing space in v~: Wana vinubi na zeze kwenye karamu zao,

ISA 5:12 Removed trailing space in p~: matari, filimbi na mvinyo,

ISA 5:12 Removed trailing space in p~: lakini hawayajali matendo ya \nd Bwana\nd*,

ISA 5:12 Removed trailing space in p~: wala hawana heshima kwa ajili ya kazi ya mikono yake.

ISA 5:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wangu watakwenda uhamishoni

ISA 5:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya kukosa ufahamu,

ISA 5:13 Removed trailing space in p~: watu wao wenye vyeo watakufa kwa njaa

ISA 5:13 Removed trailing space in p~: na watu wao wengi watakauka kwa kiu.

ISA 5:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kaburi\f + \fr 5:14 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* limeongeza hamu yake

ISA 5:14 Removed trailing space in p~: na kupanua mdomo wake bila kikomo,

ISA 5:14 Removed trailing space in p~: ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu,

ISA 5:14 Removed trailing space in p~: pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote.

ISA 5:15 Removed trailing space in v~: Hivyo mwanadamu atashushwa,

ISA 5:15 Removed trailing space in p~: na binadamu kunyenyekezwa,

ISA 5:15 Removed trailing space in p~: macho ya wenye majivuno yatanyenyekezwa.

ISA 5:16 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atatukuzwa

ISA 5:16 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya haki yake,

ISA 5:16 Removed trailing space in p~: naye Mungu Mtakatifu atajionyesha mwenyewe

ISA 5:16 Removed trailing space in p~: kuwa mtakatifu kwa haki yake.

ISA 5:17 Removed trailing space in v~: Kondoo watajilisha kwenye malisho yao wenyewe,

ISA 5:17 Removed trailing space in p~: wana-kondoo watajilisha katika magofu ya matajiri.

ISA 5:18 Removed trailing space in v~: Ole wao wanaovuta dhambi kwa kamba za udanganyifu

ISA 5:18 Removed trailing space in p~: na uovu kama kwa kamba za mkokoteni,

ISA 5:19 Removed trailing space in v~: kwa wale wanaosema, “Mungu na afanye haraka,

ISA 5:19 Removed trailing space in p~: aharakishe kazi yake ili tupate kuiona.

ISA 5:19 Removed trailing space in p~: Huo mpango wa Aliye Mtakatifu wa Israeli na ukamilike,

ISA 5:19 Removed trailing space in p~: tena udhihirike ili tupate kuujua.”

ISA 5:20 Removed trailing space in v~: Ole wao wanaoita ubaya ni wema,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: na wema ni ubaya,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: wawekao giza badala ya nuru,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: na nuru badala ya giza,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: wawekao uchungu badala ya utamu,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: na utamu badala ya uchungu.

ISA 5:21 Removed trailing space in v~: Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe,

ISA 5:21 Removed trailing space in p~: na kujiona wenye akili machoni pao wenyewe.

ISA 5:22 Removed trailing space in v~: Ole wao walio mashujaa kwa kunywa mvinyo,

ISA 5:22 Removed trailing space in p~: nao walio hodari katika kuchanganya vileo,

ISA 5:23 Removed trailing space in v~: wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo,

ISA 5:23 Removed trailing space in p~: lakini huwanyima haki wasio na hatia.

ISA 5:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kama ndimi za moto zirambavyo nyasi,

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: na kama vile majani makavu yazamavyo katika miali ya moto,

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: ndivyo mizizi yao itakavyooza

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: na maua yao yatakavyopeperushwa kama mavumbi;

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wameikataa sheria ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: na kulisukumia mbali neno la Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 5:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hasira ya \nd Bwana\nd* inawaka dhidi ya watu wake,

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: mkono wake umeinuliwa na anawapiga.

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: Milima inatetemeka,

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: maiti ni kama takataka kwenye barabara.

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 5:26 Removed trailing space in v~: Yeye anainua bendera kwa ajili ya mataifa yaliyo mbali,

ISA 5:26 Removed trailing space in p~: anapiga filimbi kwa ajili ya wale walio kwenye miisho ya dunia.

ISA 5:26 Removed trailing space in p~: Tazama wamekuja,

ISA 5:26 Removed trailing space in p~: kwa kasi na kwa haraka!

ISA 5:27 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja wao anayechoka wala kujikwaa,

ISA 5:27 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja anayesinzia wala kulala,

ISA 5:27 Removed trailing space in p~: hakuna mkanda uliolegezwa kiunoni,

ISA 5:27 Removed trailing space in p~: hakuna gidamu ya kiatu iliyokatika.

ISA 5:28 Removed trailing space in v~: Mishale yao ni mikali,

ISA 5:28 Removed trailing space in p~: pinde zao zote zimevutwa,

ISA 5:28 Removed trailing space in p~: kwato za farasi wao ziko kama jiwe la gumegume,

ISA 5:28 Removed trailing space in p~: magurudumu ya magari yao ya vita ni kama upepo wa kisulisuli.

ISA 5:29 Removed trailing space in v~: Ngurumo yao ni kama ile ya simba,

ISA 5:29 Removed trailing space in p~: wananguruma kama wana simba,

ISA 5:29 Removed trailing space in p~: wanakoroma wanapokamata mawindo yao,

ISA 5:29 Removed trailing space in p~: na kuondoka nayo pasipo yeyote wa kuokoa.

ISA 5:30 Removed trailing space in v~: Katika siku ile watanguruma juu yake

ISA 5:30 Removed trailing space in p~: kama ngurumo za bahari.

ISA 5:30 Removed trailing space in p~: Kama mtu akiitazama nchi,

ISA 5:30 Removed trailing space in p~: ataona giza na dhiki;

ISA 5:30 Removed trailing space in p~: hata nuru itatiwa giza kwa mawingu.

ISA 6:0 Extra space after chapter number

ISA 6:0 Removed trailing space in c: 6

ISA 6:0 Removed trailing space in s1: Agizo Kwa Isaya

ISA 6:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka ule Mfalme Uzia alikufa, nilimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu na kilichotukuzwa sana, nalo pindo la joho lake likajaza Hekalu.

ISA 6:2 Removed trailing space in v~: Juu yake walikuwepo maserafi, kila mmoja alikuwa na mabawa sita: Kwa mabawa mawili walifunika nyuso zao, kwa mengine mawili walifunika miguu yao, na kwa mawili walikuwa wakiruka.

ISA 6:3 Removed trailing space in v~: Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na mwenzake:

ISA 6:3 Removed trailing space in p~: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu

ISA 6:3 Removed trailing space in p~: ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote;

ISA 6:3 Removed trailing space in p~: dunia yote imejaa utukufu wake.”

ISA 6:4 Removed trailing space in v~: Kwa sauti zao, miimo ya milango na vizingiti vilitikisika, nalo Hekalu likajaa moshi.

ISA 6:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nikalia, “Ole wangu! Nimeangamia! Kwa kuwa mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninaishi katikati ya watu wenye midomo michafu, nayo macho yangu yamemwona Mfalme, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.”

ISA 6:6 Removed trailing space in v~: Ndipo mmoja wa wale maserafi akaruka kunijia akiwa na kaa la moto linalowaka mkononi mwake, ambalo alikuwa amelichukua kwa koleo kutoka madhabahuni.

ISA 6:7 Removed trailing space in v~: Akanigusa nalo kinywa changu na kusema, “Tazama, hili limegusa midomo yako, uovu wako umeondolewa, nayo dhambi yako imesamehewa.”

ISA 6:8 Removed trailing space in v~: Kisha nikasikia sauti ya Bwana ikisema, “Nimtume nani? Ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu?”

ISA 6:8 Removed trailing space in p~: Nami nikasema, “Mimi hapa. Nitume mimi!”

ISA 6:9 Removed trailing space in v~: Akasema, “Nenda ukawaambie watu hawa:

ISA 6:9 Removed trailing space in p~: “ ‘Mtaendelea daima kusikiliza,

ISA 6:9 Removed trailing space in p~: lakini kamwe hamtaelewa;

ISA 6:9 Removed trailing space in p~: mtaendelea daima kutazama,

ISA 6:9 Removed trailing space in p~: lakini kamwe hamtatambua.’

ISA 6:10 Removed trailing space in v~: Fanya mioyo ya watu hawa kuwa migumu,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: fanya masikio yao yasisikie,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: na upofushe macho yao.

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: Wasije wakaona kwa macho yao,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: na wakasikiliza kwa masikio yao,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: wakaelewa kwa mioyo yao,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: nao wakageuka, nikawaponywa.”

ISA 6:11 Removed trailing space in v~: Ndipo nikasema, “Hadi lini, Ee Bwana?”

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: Naye akanijibu:

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: “Hadi miji iwe imeachwa magofu

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: na bila wakazi,

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: hadi nyumba zitakapobaki bila watu,

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: na mashamba yatakapoharibiwa na kuangamizwa,

ISA 6:12 Removed trailing space in v~: hadi \nd Bwana\nd* atakapokuwa amekwisha kumpeleka kila mmoja mbali sana,

ISA 6:12 Removed trailing space in p~: na nchi itakapokuwa imeachwa kabisa.

ISA 6:13 Removed trailing space in v~: Hata kama sehemu ya kumi ya watu watabaki katika nchi,

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: itaharibiwa tena.

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: Lakini kama vile mvinje na mwaloni

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: ibakizavyo visiki inapokatwa,

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: ndivyo mbegu takatifu

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: itakavyokuwa kisiki katika nchi.”

ISA 7:0 Extra space after chapter number

ISA 7:0 Removed trailing space in c: 7

ISA 7:0 Removed trailing space in s1: Ishara Ya Imanueli

ISA 7:1 Removed trailing space in v~: Wakati Ahazi mwana wa Yothamu, mwana wa Uzia, alipokuwa mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Aramu,\f + \fr 7:1 \ft Yaani Shamu.\f* na Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli walipanda kupigana dhidi ya Yerusalemu, lakini hawakuweza kuushinda.

ISA 7:2 Removed trailing space in v~: Wakati huu nyumba ya Daudi iliambiwa, “Aramu wameungana na Efraimu.” Kwa hiyo mioyo ya Ahazi na watu wake ilitikiswa, kama miti ya msituni inavyotikiswa na upepo.

ISA 7:3 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Isaya, “Toka uende, wewe na mwanao Shear-Yashubu,\f + \fr 7:3 \ft Shear-Yashubu maana yake Mabaki Watarudi.\f* mkutane na Ahazi huko mwisho wa mfereji wa Bwawa la Juu, kwenye barabara iendayo Shamba la Dobi.

ISA 7:4 Removed trailing space in v~: Mwambie, ‘Uwe mwangalifu, utulie na usiogope. Usife moyo kwa ajili ya watu hawa wawili walio kama visiki vya kuni vifukavyo moshi, kwa ajili ya hasira kali ya Resini na Aramu na ya mwana wa Remalia.

ISA 7:5 Removed trailing space in v~: Aramu, Efraimu na mwana wa Remalia wamepanga shauri baya ili wakuangamize, wakisema,

ISA 7:6 Removed trailing space in v~: “Tuishambulie Yuda, naam, tuirarue vipande vipande na kuigawa miongoni mwetu, na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme juu yake.”

ISA 7:7 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* Mwenyezi asema hivi:

ISA 7:7 Removed trailing space in p~: “ ‘Jambo hili halitatendeka,

ISA 7:7 Removed trailing space in p~: halitatokea,

ISA 7:8 Removed trailing space in v~: kwa kuwa kichwa cha Aramu ni Dameski,

ISA 7:8 Removed trailing space in p~: na kichwa cha Dameski ni Resini peke yake.

ISA 7:8 Removed trailing space in p~: Katika muda wa miaka sitini na mitano,

ISA 7:8 Removed trailing space in p~: Efraimu atakuwa ameharibiwa

ISA 7:8 Removed trailing space in p~: kiasi kwamba hataweza tena kuwa taifa.

ISA 7:9 Removed trailing space in v~: Kichwa cha Efraimu ni Samaria,

ISA 7:9 Removed trailing space in p~: na kichwa cha Samaria

ISA 7:9 Removed trailing space in p~: ni mwana wa Remalia peke yake.

ISA 7:9 Removed trailing space in p~: Kama hamtasimama thabiti katika imani yenu,

ISA 7:9 Removed trailing space in p~: hamtaimarika kamwe.’ ”

ISA 7:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema na Ahazi tena,

ISA 7:11 Removed trailing space in v~: “Mwombe \nd Bwana\nd* Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.”

ISA 7:12 Removed trailing space in v~: Lakini Ahazi akasema, “Sitaomba; sitamjaribu \nd Bwana\nd*.”

ISA 7:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaya akasema, “Sikia sasa, ewe nyumba ya Daudi! Je, haitoshi kujaribu uvumilivu wa wanadamu? Je, mtaujaribu uvumilivu wa Mungu wangu pia?

ISA 7:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara: Bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, na ataitwa Imanueli.\f + \fr 7:14 \ft Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.\f*

ISA 7:15 Removed trailing space in v~: Atakula jibini na asali atakapokuwa ameweza kukataa mabaya na kuchagua mema.

ISA 7:16 Removed trailing space in v~: Lakini kabla mtoto hajajua kukataa mabaya na kuchagua mema, nchi ya wafalme hao wawili unaowaogopa itafanywa ukiwa.

ISA 7:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako wakati ambao haujawahi kuwako tangu Efraimu alipojitenga na Yuda: yeye atawaleteeni mfalme wa Ashuru.”

ISA 7:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ile \nd Bwana\nd* atawapigia filimbi mainzi kutoka vijito vya mbali vya Misri, na nyuki kutoka nchi ya Ashuru.

ISA 7:19 Removed trailing space in v~: Wote watakuja na kukaa kwenye mabonde yenye miteremko, na kwenye nyufa za miamba, kwenye vichaka vyote vyenye miiba, na kwenye mashimo yote ya maji.

ISA 7:20 Removed trailing space in v~: Katika siku ile Bwana atatumia wembe ulioajiriwa kutoka ngʼambo ya Mto,\f + \fr 7:20 \ft Yaani Frati.\f* yaani mfalme wa Ashuru, kunyoa nywele za kichwa chako na malaika ya miguu yako, na kuziondoa ndevu zako pia.

ISA 7:21 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, mtu atahifadhi hai ndama mmoja na kondoo wawili.

ISA 7:22 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya wingi wa maziwa watakayotoa, atapata jibini ya kula. Wote watakaobakia katika nchi watakula jibini na asali.

ISA 7:23 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, kila mahali palipokuwa na mizabibu elfu moja yenye thamani ya shekeli 1,000\f + \fr 7:23 \ft Shekeli 1,000 ni kama kilo 11.5.\f* za fedha, patakuwa na michongoma na miiba tu.

ISA 7:24 Removed trailing space in v~: Watu watakwenda huko wakiwa na upinde na mshale, kwa maana nchi itafunikwa na michongoma na miiba.

ISA 7:25 Removed trailing space in v~: Kuhusu vilima vyote vilivyokuwa vikilimwa kwa jembe, hamtakwenda huko tena kwa ajili ya hofu ya michongoma na miiba. Patakuwa mahali ambapo ngʼombe wataachiwa huru, na kondoo kukimbia kimbia.

ISA 8:0 Extra space after chapter number

ISA 8:0 Removed trailing space in c: 8

ISA 8:0 Removed trailing space in s1: Ashuru, Chombo Cha \nd Bwana\nd*

ISA 8:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Chukua gombo kubwa, uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida jina: Maher-Shalal-Hash-Bazi.\f + \fr 8:1 \ft Maher-Shalal-Hash-Bazi maana yake ni Haraka kuteka nyara, Upesi kwenye hizo nyara.\f*

ISA 8:2 Removed trailing space in v~: Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”

ISA 8:3 Removed trailing space in v~: Kisha nikaenda kwa nabii mke, naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Mwite huyo mtoto Maher-Shalal-Hash-Bazi.

ISA 8:4 Removed trailing space in v~: Kabla mtoto hajaweza kusema ‘Baba yangu’ au ‘Mama yangu,’ utajiri wa Dameski na nyara za Samaria zitachukuliwa na mfalme wa Ashuru.”

ISA 8:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema nami tena:

ISA 8:6 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu watu hawa wamekataa maji ya Shilo yatiririkayo taratibu

ISA 8:6 Removed trailing space in p~: wakamfurahia Resini na mwana wa Remalia,

ISA 8:7 Removed trailing space in v~: kwa hiyo Bwana yu karibu kuleta dhidi yao

ISA 8:7 Removed trailing space in p~: mafuriko makubwa ya Mto:\f + \fr 8:7 \ft Yaani Frati.\f*

ISA 8:7 Removed trailing space in p~: yaani mfalme wa Ashuru na fahari yake yote.

ISA 8:7 Removed trailing space in p~: Yatafurika juu ya mifereji yake yote,

ISA 8:7 Removed trailing space in p~: yatamwagikia juu ya kingo zake zote,

ISA 8:8 Removed trailing space in v~: na kufika hadi Yuda, yakizunguka kwa kasi juu yake,

ISA 8:8 Removed trailing space in p~: yakipita katikati na yakifika hadi shingoni.

ISA 8:8 Removed trailing space in p~: Mabawa yake yaliyokunjuliwa

ISA 8:8 Removed trailing space in p~: yatafunika upana wa nchi yako,

ISA 8:8 Removed trailing space in p~: Ee Imanueli!”\f + \fr 8:8 \ft Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.\f*

ISA 8:9 Removed trailing space in v~: Inueni kilio cha vita, enyi mataifa,

ISA 8:9 Removed trailing space in p~: na mkavunjwevunjwe!

ISA 8:9 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, enyi nyote nchi za mbali.

ISA 8:9 Removed trailing space in p~: Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe!

ISA 8:9 Removed trailing space in p~: Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe!

ISA 8:10 Removed trailing space in v~: Wekeni mikakati yenu, lakini itashindwa;

ISA 8:10 Removed trailing space in p~: fanyeni mipango yenu, lakini haitafanikiwa,

ISA 8:10 Removed trailing space in p~: kwa maana Mungu yu pamoja nasi.\f + \fr 8:10 \ft Kiebrania ni Imanueli.\f*

ISA 8:10 Removed trailing space in s1: Mwogope Mungu

ISA 8:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alisema nami mkono wake wenye nguvu ukiwa juu yangu, akinionya nisifuate njia za taifa hili. Akasema:

ISA 8:12 Removed trailing space in v~: “Usiite fitina kila kitu ambacho watu hawa hukiita fitina,

ISA 8:12 Removed trailing space in p~: usiogope kile wanachokiogopa,

ISA 8:12 Removed trailing space in p~: wala usikihofu.

ISA 8:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndiye peke yake

ISA 8:13 Removed trailing space in p~: ikupasaye kumheshimu kuwa mtakatifu,

ISA 8:13 Removed trailing space in p~: ndiye peke yake utakayemwogopa,

ISA 8:13 Removed trailing space in p~: ndiye peke yake utakayemhofu,

ISA 8:14 Removed trailing space in v~: naye atakuwa mahali patakatifu;

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: lakini kwa nyumba zote mbili za Israeli atakuwa

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: jiwe lile linalosababisha watu kujikwaa

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: na mwamba wa kuwaangusha.

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: Kwa watu wa Yerusalemu,

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: atakuwa mtego na tanzi.

ISA 8:15 Removed trailing space in v~: Wengi wao watajikwaa;

ISA 8:15 Removed trailing space in p~: wataanguka na kuvunjika,

ISA 8:15 Removed trailing space in p~: watategwa na kunaswa.”

ISA 8:16 Removed trailing space in v~: Funga ushuhuda na kutia muhuri sheria

ISA 8:16 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wanafunzi wangu.

ISA 8:17 Removed trailing space in v~: Nitamngojea \nd Bwana\nd*,

ISA 8:17 Removed trailing space in p~: ambaye ameificha nyumba ya Yakobo uso wake.

ISA 8:17 Removed trailing space in p~: Nitaliweka tumaini langu kwake.

ISA 8:18 Removed trailing space in v~: Niko hapa, pamoja na watoto ambao \nd Bwana\nd* amenipa. Sisi ni ishara na mfano wake katika Israeli, kutoka kwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, anayeishi juu ya Mlima Sayuni.

ISA 8:19 Removed trailing space in v~: Wakati watu wanapowaambia ninyi kutafuta ushauri kwa waaguzi na wenye kuongea na mizimu, ambao hunongʼona na kunungʼunika, je, watu wasingeuliza kwa Mungu wao? Kwa nini watake shauri kwa wafu kwa ajili ya walio hai?

ISA 8:20 Removed trailing space in v~: Kwa sheria na kwa ushuhuda! Kama hawatasema sawasawa na neno hili, hawana mwanga wa mapambazuko.

ISA 8:21 Removed trailing space in v~: Watazunguka katika nchi yote, wakiwa na dhiki na njaa. Watakapotaabika kwa njaa, watapatwa na hasira kali, nao, wakiwa wanatazama juu, watamlaani mfalme wao na Mungu wao.

ISA 8:22 Removed trailing space in v~: Kisha wataangalia duniani na kuona tu dhiki na giza, hofu na huzuni tupu, nao watasukumiwa kwenye giza nene kabisa.

ISA 9:0 Extra space after chapter number

ISA 9:0 Removed trailing space in c: 9

ISA 9:0 Removed trailing space in s1: Kwa Ajili Yetu Mtoto Amezaliwa

ISA 9:1 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni tena kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, kando ya Yordani:

ISA 9:2 Removed trailing space in v~: Watu wanaotembea katika giza

ISA 9:2 Removed trailing space in p~: wameona nuru kuu,

ISA 9:2 Removed trailing space in p~: wale wanaoishi katika nchi ya uvuli wa mauti,

ISA 9:2 Removed trailing space in p~: nuru imewazukia.

ISA 9:3 Removed trailing space in v~: Umelikuza taifa,

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: na kuzidisha furaha yao,

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: wanafurahia mbele zako,

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: kama watu wanavyofurahia wakati wa mavuno,

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: kama watu wafurahivyo

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: wagawanyapo nyara.

ISA 9:4 Removed trailing space in v~: Kama vile siku ya kushindwa kwa Wamidiani,

ISA 9:4 Removed trailing space in p~: umevunja nira iliyowalemea,

ISA 9:4 Removed trailing space in p~: ile gongo mabegani mwao na

ISA 9:4 Removed trailing space in p~: fimbo yake yeye aliyewaonea.

ISA 9:5 Removed trailing space in v~: Kila kiatu cha askari kilichotumiwa vitani,

ISA 9:5 Removed trailing space in p~: na kila vazi lililovingirishwa katika damu

ISA 9:5 Removed trailing space in p~: vitawekwa kwa ajili ya kuchomwa,

ISA 9:5 Removed trailing space in p~: vitakuwa kuni za kuwasha moto.

ISA 9:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: tumepewa mtoto mwanaume,

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: nao utawala utakuwa mabegani mwake.

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: Naye ataitwa

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.

ISA 9:7 Removed trailing space in v~: Kuongezeka kwa utawala wake na amani

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: hakutakuwa na mwisho.

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: Atatawala katika kiti cha enzi cha Daudi

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: na juu ya ufalme wake,

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: akiuthibitisha na kuutegemeza

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: kwa haki na kwa adili,

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: tangu wakati huo na hata milele.

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: Wivu wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: utatimiza haya.

ISA 9:7 Removed trailing space in s1: Hasira Ya \nd Bwana\nd* Dhidi Ya Israeli

ISA 9:8 Removed trailing space in v~: Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo,

ISA 9:8 Removed trailing space in p~: utamwangukia Israeli.

ISA 9:9 Removed trailing space in v~: Watu wote watajua hili:

ISA 9:9 Removed trailing space in p~: Efraimu na wakazi wa Samaria,

ISA 9:9 Removed trailing space in p~: wanaosema kwa kiburi

ISA 9:9 Removed trailing space in p~: na majivuno ya mioyo,

ISA 9:10 Removed trailing space in v~: “Matofali yameanguka chini,

ISA 9:10 Removed trailing space in p~: lakini tutajenga tena kwa mawe yaliyochongwa,

ISA 9:10 Removed trailing space in p~: mitini imeangushwa,

ISA 9:10 Removed trailing space in p~: lakini tutapanda mierezi badala yake.”

ISA 9:11 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* amemtia nguvu adui wa Resini dhidi yao

ISA 9:11 Removed trailing space in p~: na kuchochea watesi wao.

ISA 9:12 Removed trailing space in v~: Waashuru kutoka upande wa mashariki

ISA 9:12 Removed trailing space in p~: na Wafilisti kutoka upande wa magharibi

ISA 9:12 Removed trailing space in p~: wameila Israeli kwa kinywa kilichopanuliwa.

ISA 9:12 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 9:12 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 9:13 Removed trailing space in v~: Lakini watu hawajamrudia yeye aliyewapiga,

ISA 9:13 Removed trailing space in p~: wala hawajamtafuta \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 9:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* atakatilia mbali kutoka Israeli kichwa na mkia,

ISA 9:14 Removed trailing space in p~: tawi la mtende na tete katika siku moja.

ISA 9:15 Removed trailing space in v~: Wazee na watu mashuhuri ndio vichwa,

ISA 9:15 Removed trailing space in p~: nao manabii wanaofundisha uongo ndio mkia.

ISA 9:16 Removed trailing space in v~: Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha,

ISA 9:16 Removed trailing space in p~: nao wale wanaoongozwa wamepotoka.

ISA 9:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana,

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: wala hatawahurumia yatima na wajane,

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kila mmoja wao hamchi Mungu, nao ni waovu,

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: na kila kinywa kinanena upotovu.

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 9:18 Removed trailing space in v~: Hakika uovu huwaka kama moto;

ISA 9:18 Removed trailing space in p~: huteketeza michongoma na miiba,

ISA 9:18 Removed trailing space in p~: huwasha moto vichaka vya msituni,

ISA 9:18 Removed trailing space in p~: hujiviringisha kuelekea juu kama nguzo ya moshi.

ISA 9:19 Removed trailing space in v~: Kwa hasira ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 9:19 Removed trailing space in p~: nchi itachomwa kwa moto,

ISA 9:19 Removed trailing space in p~: nao watu watakuwa kuni za kuchochea moto.

ISA 9:19 Removed trailing space in p~: Hakuna mtu atakayemhurumia ndugu yake.

ISA 9:20 Removed trailing space in v~: Upande wa kuume watakuwa wakitafuna,

ISA 9:20 Removed trailing space in p~: lakini bado wataona njaa;

ISA 9:20 Removed trailing space in p~: upande wa kushoto watakuwa wakila,

ISA 9:20 Removed trailing space in p~: lakini hawatashiba.

ISA 9:20 Removed trailing space in p~: Kila mmoja atajilisha kwa nyama ya mtoto wake mwenyewe:

ISA 9:21 Removed trailing space in v~: Manase atamla Efraimu,

ISA 9:21 Removed trailing space in p~: naye Efraimu atamla Manase;

ISA 9:21 Removed trailing space in p~: nao pamoja watakuwa kinyume na Yuda.

ISA 9:21 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 9:21 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 10:0 Extra space after chapter number

ISA 10:0 Removed trailing space in c: 10

ISA 10:1 Removed trailing space in v~: Ole wao wawekao sheria zisizo za haki,

ISA 10:1 Removed trailing space in p~: kwa wale watoao amri za kuonea,

ISA 10:2 Removed trailing space in v~: kuwanyima maskini haki zao

ISA 10:2 Removed trailing space in p~: na kuzuilia haki za watu wangu walioonewa,

ISA 10:2 Removed trailing space in p~: kuwafanya wajane mawindo yao

ISA 10:2 Removed trailing space in p~: na kuwanyangʼanya yatima.

ISA 10:3 Removed trailing space in v~: Mtafanya nini siku ya kutoa hesabu,

ISA 10:3 Removed trailing space in p~: wakati maafa yatakapokuja kutoka mbali?

ISA 10:3 Removed trailing space in p~: Mtamkimbilia nani awape msaada?

ISA 10:3 Removed trailing space in p~: Mtaacha wapi mali zenu?

ISA 10:4 Removed trailing space in v~: Hakutasalia kitu chochote,

ISA 10:4 Removed trailing space in p~: isipokuwa kujikunyata miongoni mwa mateka,

ISA 10:4 Removed trailing space in p~: au kuanguka miongoni mwa waliouawa.

ISA 10:4 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 10:4 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 10:4 Removed trailing space in s1: Hukumu Ya Mungu Juu Ya Ashuru

ISA 10:5 Removed trailing space in v~: “Ole kwa Ashuru, fimbo ya hasira yangu,

ISA 10:5 Removed trailing space in p~: ambaye mkononi mwake ana rungu ya ghadhabu yangu!

ISA 10:6 Removed trailing space in v~: Ninamtuma dhidi ya taifa lisilomjua Mungu,

ISA 10:6 Removed trailing space in p~: ninamtuma dhidi ya taifa linalonikasirisha,

ISA 10:6 Removed trailing space in p~: kukamata mateka na kunyakua nyara,

ISA 10:6 Removed trailing space in p~: pia kuwakanyaga chini kama matope ya barabarani.

ISA 10:7 Removed trailing space in v~: Lakini hili silo analokusudia,

ISA 10:7 Removed trailing space in p~: hili silo alilo nalo akilini;

ISA 10:7 Removed trailing space in p~: kusudi lake ni kuangamiza,

ISA 10:7 Removed trailing space in p~: kuyakomesha mataifa mengi.

ISA 10:8 Removed trailing space in v~: Maana asema, ‘Je, wafalme wote

ISA 10:8 Removed trailing space in p~: si majemadari wangu?

ISA 10:9 Removed trailing space in v~: Je, Kalno hakutendwa kama Karkemishi?

ISA 10:9 Removed trailing space in p~: Hamathi si kama Arpadi,

ISA 10:9 Removed trailing space in p~: nayo Samaria si kama Dameski?

ISA 10:10 Removed trailing space in v~: Kama vile mkono wangu ulivyotwaa falme za sanamu,

ISA 10:10 Removed trailing space in p~: falme ambazo vinyago vyao vilizidi vile vya Yerusalemu na Samaria:

ISA 10:11 Removed trailing space in v~: je, nisiishughulikie Yerusalemu na sanamu zake

ISA 10:11 Removed trailing space in p~: kama nilivyoshughulikia Samaria na vinyago vyake?’ ”

ISA 10:12 Removed trailing space in v~: Bwana atakapokuwa amemaliza kazi yake yote dhidi ya Mlima Sayuni na Yerusalemu, atasema, “Nitamwadhibu mfalme wa Ashuru kwa ajili ya majivuno ya ukaidi wa moyo wake na kutazama kwa macho yenye dharau.”

ISA 10:13 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa anasema:

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: “ ‘Kwa nguvu za mkono wangu nimefanya hili,

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: kwa hekima yangu, kwa sababu nina ufahamu.

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: Niliondoa mipaka ya mataifa,

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: niliteka nyara hazina zao,

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: kama yeye aliye shujaa

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: niliwatiisha wafalme wao.

ISA 10:14 Removed trailing space in v~: Kama mtu atiavyo mkono kwenye kiota,

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: ndivyo mkono wangu ulivyochukua utajiri wa mataifa;

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: kama watu wakusanyavyo mayai yaliyoachwa,

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: ndivyo nilivyokusanya nchi zote;

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja aliyepiga bawa

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: au kufungua kinywa chake kutoa mlio.’ ”

ISA 10:15 Removed trailing space in v~: Je, shoka laweza kujigamba kuwa na nguvu zaidi

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: kuliko yule anayelitumia,

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: au msumeno kujisifu

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: dhidi ya yule anayeutumia?

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: Ni kana kwamba fimbo ingeweza kumwinua yeye aichukuaye,

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: au mkongojo ungemwinua mwenye kuutumia!

ISA 10:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 10:16 Removed trailing space in p~: atatuma ugonjwa wa kudhoofisha kwa askari wake walio hodari,

ISA 10:16 Removed trailing space in p~: katika fahari yake moto utawaka

ISA 10:16 Removed trailing space in p~: kama mwali wa moto.

ISA 10:17 Removed trailing space in v~: Nuru ya Israeli itakuwa moto,

ISA 10:17 Removed trailing space in p~: Aliye Mtakatifu wao mwali wa moto;

ISA 10:17 Removed trailing space in p~: katika siku moja utaunguza na kuteketeza miiba

ISA 10:17 Removed trailing space in p~: na michongoma yake.

ISA 10:18 Removed trailing space in v~: Fahari ya misitu yake na mashamba yenye rutuba

ISA 10:18 Removed trailing space in p~: utateketeza kabisa,

ISA 10:18 Removed trailing space in p~: kama vile mtu mgonjwa adhoofikavyo.

ISA 10:19 Removed trailing space in v~: Nayo miti inayobaki katika misitu yake itakuwa michache sana

ISA 10:19 Removed trailing space in p~: hata mtoto mdogo angeweza kuihesabu.

ISA 10:19 Removed trailing space in s1: Mabaki Ya Israeli

ISA 10:20 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, mabaki ya Israeli,

ISA 10:20 Removed trailing space in p~: walionusurika wa nyumba ya Yakobo,

ISA 10:20 Removed trailing space in p~: hawatamtegemea tena yeye aliyewapiga,

ISA 10:20 Removed trailing space in p~: lakini watamtegemea kwa kweli

ISA 10:20 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 10:21 Removed trailing space in v~: Mabaki watarudi,\f + \fr 10:21 \ft Kiebrania ni Shear-Yashubu, pia 22.\f* mabaki wa Yakobo

ISA 10:21 Removed trailing space in p~: watamrudia Mungu Mwenye Nguvu.

ISA 10:22 Removed trailing space in v~: Ingawa watu wako, ee Israeli, ni wengi kama mchanga wa pwani,

ISA 10:22 Removed trailing space in p~: ni mabaki yao tu watakaorudi.

ISA 10:22 Removed trailing space in p~: Maangamizi yamekwisha amriwa,

ISA 10:22 Removed trailing space in p~: ni mengi tena ni haki.

ISA 10:23 Removed trailing space in v~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, atatekeleza

ISA 10:23 Removed trailing space in p~: maangamizi yaliyoamriwa juu ya nchi yote.

ISA 10:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

ISA 10:24 Removed trailing space in p~: “Enyi watu wangu mkaao Sayuni,

ISA 10:24 Removed trailing space in p~: msiwaogope Waashuru,

ISA 10:24 Removed trailing space in p~: wanaowapiga ninyi kwa fimbo

ISA 10:24 Removed trailing space in p~: na kuinua rungu dhidi yenu, kama Misri ilivyofanya.

ISA 10:25 Removed trailing space in v~: Bado kitambo kidogo sana hasira yangu dhidi yenu itakoma,

ISA 10:25 Removed trailing space in p~: na ghadhabu yangu itaelekezwa kwenye maangamizi yao.”

ISA 10:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atawachapa kwa mjeledi,

ISA 10:26 Removed trailing space in p~: kama alivyowapiga Wamidiani katika mwamba wa Orebu,

ISA 10:26 Removed trailing space in p~: naye atainua fimbo yake juu ya maji,

ISA 10:26 Removed trailing space in p~: kama alivyofanya huko Misri.

ISA 10:27 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo mzigo wao utainuliwa kutoka mabegani mwenu,

ISA 10:27 Removed trailing space in p~: na nira yao kutoka shingoni mwenu;

ISA 10:27 Removed trailing space in p~: nira itavunjwa

ISA 10:27 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya kutiwa mafuta.

ISA 10:28 Removed trailing space in v~: Wanaingia Ayathi,

ISA 10:28 Removed trailing space in p~: wanapita katikati ya Migroni,

ISA 10:28 Removed trailing space in p~: wanahifadhi mahitaji huko Mikmashi.

ISA 10:29 Removed trailing space in v~: Wanavuka kivukoni, nao wanasema,

ISA 10:29 Removed trailing space in p~: “Tutapiga kambi huko Geba usiku kucha.”

ISA 10:29 Removed trailing space in p~: Rama inatetemeka;

ISA 10:29 Removed trailing space in p~: Gibea ya Sauli inakimbia.

ISA 10:30 Removed trailing space in v~: Piga kelele, ee Binti Galimu!

ISA 10:30 Removed trailing space in p~: Sikiliza, ee Laisha!

ISA 10:30 Removed trailing space in p~: Maskini Anathothi!

ISA 10:31 Removed trailing space in v~: Madmena inakimbia;

ISA 10:31 Removed trailing space in p~: watu wa Gebimu wanajificha.

ISA 10:32 Removed trailing space in v~: Siku hii ya leo watasimama Nobu;

ISA 10:32 Removed trailing space in p~: watatikisa ngumi zao

ISA 10:32 Removed trailing space in p~: kwa mlima wa Binti Sayuni,

ISA 10:32 Removed trailing space in p~: kwa kilima cha Yerusalemu.

ISA 10:33 Removed trailing space in v~: Tazama, Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 10:33 Removed trailing space in p~: atayakata matawi kwa nguvu kuu.

ISA 10:33 Removed trailing space in p~: Miti mirefu sana itaangushwa,

ISA 10:33 Removed trailing space in p~: ile mirefu itashushwa chini.

ISA 10:34 Removed trailing space in v~: Atakata vichaka vya msitu kwa shoka;

ISA 10:34 Removed trailing space in p~: Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu.

ISA 11:0 Extra space after chapter number

ISA 11:0 Removed trailing space in c: 11

ISA 11:0 Removed trailing space in s1: Tawi Kutoka Kwa Yese

ISA 11:1 Removed trailing space in v~: Chipukizi litatokea kutoka shina la Yese,

ISA 11:1 Removed trailing space in p~: kutoka mizizi yake Tawi litazaa tunda.

ISA 11:2 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* atakaa juu yake,

ISA 11:2 Removed trailing space in p~: Roho wa hekima na wa ufahamu,

ISA 11:2 Removed trailing space in p~: Roho wa shauri na wa uweza,

ISA 11:2 Removed trailing space in p~: Roho wa maarifa na wa kumcha \nd Bwana\nd*

ISA 11:3 Removed trailing space in v~: naye atafurahia kumcha \nd Bwana\nd*.

ISA 11:3 Removed trailing space in p~: Hatahukumu kwa yale ayaonayo kwa macho yake,

ISA 11:3 Removed trailing space in p~: wala kuamua kwa yale ayasikiayo kwa masikio yake,

ISA 11:4 Removed trailing space in v~: bali kwa uadilifu atahukumu wahitaji,

ISA 11:4 Removed trailing space in p~: kwa haki ataamua wanyenyekevu wa dunia.

ISA 11:4 Removed trailing space in p~: Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake,

ISA 11:4 Removed trailing space in p~: kwa pumzi ya midomo yake atawaua waovu.

ISA 11:5 Removed trailing space in v~: Haki itakuwa mkanda wake

ISA 11:5 Removed trailing space in p~: na uaminifu utakuwa mshipi kiunoni mwake.

ISA 11:6 Removed trailing space in v~: Mbwa mwitu ataishi pamoja na mwana-kondoo,

ISA 11:6 Removed trailing space in p~: naye chui atalala pamoja na mbuzi,

ISA 11:6 Removed trailing space in p~: ndama, mwana simba na ngʼombe wa mwaka mmoja watakaa pamoja,

ISA 11:6 Removed trailing space in p~: naye mtoto mdogo atawaongoza.

ISA 11:7 Removed trailing space in v~: Ngʼombe na dubu watalisha pamoja,

ISA 11:7 Removed trailing space in p~: watoto wao watalala pamoja,

ISA 11:7 Removed trailing space in p~: na simba atakula majani makavu kama maksai.

ISA 11:8 Removed trailing space in v~: Mtoto mchanga atacheza karibu na shimo la nyoka,

ISA 11:8 Removed trailing space in p~: naye mtoto mdogo ataweka mkono wake

ISA 11:8 Removed trailing space in p~: kwenye kiota cha fira.

ISA 11:9 Removed trailing space in v~: Hawatadhuru wala kuharibu

ISA 11:9 Removed trailing space in p~: juu ya mlima wangu mtakatifu wote,

ISA 11:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa dunia itajawa na kumjua \nd Bwana\nd*

ISA 11:9 Removed trailing space in p~: kama maji yajazavyo bahari.

ISA 11:10 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo, Shina la Yese atasimama kama bendera kwa ajili ya mataifa. Mataifa yatakusanyika kwake, na mahali pake pa kupumzikia patakuwa utukufu.

ISA 11:11 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo Bwana atanyoosha mkono wake mara ya pili kurudisha mabaki ya watu wake waliosalia kutoka Ashuru, Misri, Pathrosi,\f + \fr 11:11 \ft Pathrosi ina maana Misri ya Juu.\f* Kushi, Elamu, Babeli, Hamathi na kutoka visiwa vya baharini.

ISA 11:12 Removed trailing space in v~: Atainua bendera kwa mataifa

ISA 11:12 Removed trailing space in p~: na kuwakusanya Waisraeli walioko uhamishoni;

ISA 11:12 Removed trailing space in p~: atawakusanya watu wa Yuda waliotawanyika

ISA 11:12 Removed trailing space in p~: kutoka pembe nne za dunia.

ISA 11:13 Removed trailing space in v~: Wivu wa Efraimu utatoweka,

ISA 11:13 Removed trailing space in p~: na adui wa Yuda watakatiliwa mbali;

ISA 11:13 Removed trailing space in p~: Efraimu hatamwonea Yuda wivu,

ISA 11:13 Removed trailing space in p~: wala Yuda hatakuwa na uadui na Efraimu.

ISA 11:14 Removed trailing space in v~: Watawashukia katika miteremko ya Wafilisti

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: hadi upande wa magharibi,

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: kwa pamoja watawateka watu nyara

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: hadi upande wa mashariki.

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: Watawapiga Edomu na Moabu,

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: na Waamoni watatawaliwa nao.

ISA 11:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakausha

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: ghuba ya bahari ya Misri;

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: kwa upepo mkavu ataupeleka mkono wake

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: juu ya Mto Frati.

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: Ataugawanya katika vijito saba

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: ili watu waweze kuuvuka wakiwa wamevaa viatu.

ISA 11:16 Removed trailing space in v~: Itakuwepo njia kuu kwa mabaki ya watu wake

ISA 11:16 Removed trailing space in p~: wale waliosalia kutoka Ashuru,

ISA 11:16 Removed trailing space in p~: kama ilivyokuwa kwa Israeli

ISA 11:16 Removed trailing space in p~: walipopanda kutoka Misri.

ISA 12:0 Extra space after chapter number

ISA 12:0 Removed trailing space in c: 12

ISA 12:0 Removed trailing space in s1: Kushukuru Na Kusifu

ISA 12:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ile utasema:

ISA 12:1 Removed trailing space in p~: “Nitakusifu wewe, Ee \nd Bwana\nd*.

ISA 12:1 Removed trailing space in p~: Ingawa ulinikasirikia,

ISA 12:1 Removed trailing space in p~: hasira yako imegeukia mbali

ISA 12:1 Removed trailing space in p~: nawe umenifariji.

ISA 12:2 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu ni wokovu wangu;

ISA 12:2 Removed trailing space in p~: nitamtumaini wala sitaogopa.

ISA 12:2 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd*, \nd Bwana\nd*, ni nguvu zangu na wimbo wangu;

ISA 12:2 Removed trailing space in p~: amekuwa wokovu wangu.”

ISA 12:3 Removed trailing space in v~: Kwa furaha mtachota maji

ISA 12:3 Removed trailing space in p~: kutoka visima vya wokovu.

ISA 12:4 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo mtasema:

ISA 12:4 Removed trailing space in p~: “Mshukuruni \nd Bwana\nd*, mliitie jina lake;

ISA 12:4 Removed trailing space in p~: julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya,

ISA 12:4 Removed trailing space in p~: tangazeni kuwa jina lake limetukuka.

ISA 12:5 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa ametenda mambo makuu,

ISA 12:5 Removed trailing space in p~: hili na lijulikane duniani kote.

ISA 12:6 Removed trailing space in v~: Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,

ISA 12:6 Removed trailing space in p~: kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”

ISA 13:0 Extra space after chapter number

ISA 13:0 Removed trailing space in c: 13

ISA 13:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Babeli

ISA 13:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:

ISA 13:2 Removed trailing space in v~: Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu,

ISA 13:2 Removed trailing space in p~: wapazieni sauti,

ISA 13:2 Removed trailing space in p~: wapungieni mkono waingie

ISA 13:2 Removed trailing space in p~: katika malango ya wenye heshima.

ISA 13:3 Removed trailing space in v~: Nimewaamuru watakatifu wangu;

ISA 13:3 Removed trailing space in p~: nimewaita mashujaa wangu waitimize hasira yangu:

ISA 13:3 Removed trailing space in p~: wale wanaoshangilia ushindi wangu.

ISA 13:4 Removed trailing space in v~: Sikilizeni kelele juu ya milima,

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: kama ile ya umati mkubwa wa watu!

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, makelele katikati ya falme,

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: kama mataifa yanayokusanyika pamoja!

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anakusanya

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: jeshi kwa ajili ya vita.

ISA 13:5 Removed trailing space in v~: Wanakuja kutoka nchi za mbali sana,

ISA 13:5 Removed trailing space in p~: kutoka miisho ya mbingu,

ISA 13:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* na silaha za ghadhabu yake,

ISA 13:5 Removed trailing space in p~: kuangamiza nchi yote.

ISA 13:6 Removed trailing space in v~: Ombolezeni, kwa maana siku ya \nd Bwana\nd* i karibu,

ISA 13:6 Removed trailing space in p~: itakuja kama uharibifu kutoka kwa Mwenyezi.\f + \fr 13:6 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f*

ISA 13:7 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea,

ISA 13:7 Removed trailing space in p~: moyo wa kila mtu utayeyuka.

ISA 13:8 Removed trailing space in v~: Hofu itawakamata,

ISA 13:8 Removed trailing space in p~: uchungu na maumivu makali yatawashika,

ISA 13:8 Removed trailing space in p~: watagaagaa kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa.

ISA 13:8 Removed trailing space in p~: Watatazamana kwa hofu kila mtu na mwenzake,

ISA 13:8 Removed trailing space in p~: nyuso zao zikiwaka kama moto.

ISA 13:9 Removed trailing space in v~: Tazameni, siku ya \nd Bwana\nd* inakuja,

ISA 13:9 Removed trailing space in p~: siku katili, yenye ghadhabu na hasira kali,

ISA 13:9 Removed trailing space in p~: kuifanya nchi kuwa ukiwa

ISA 13:9 Removed trailing space in p~: na kuwaangamiza wenye dhambi waliomo ndani yake.

ISA 13:10 Removed trailing space in v~: Nyota za mbinguni na makundi ya nyota

ISA 13:10 Removed trailing space in p~: havitatoa mwanga wake.

ISA 13:10 Removed trailing space in p~: Jua linalochomoza litatiwa giza

ISA 13:10 Removed trailing space in p~: na mwezi hautatoa nuru yake.

ISA 13:11 Removed trailing space in v~: Nitauadhibu ulimwengu kwa ajili ya uovu wake,

ISA 13:11 Removed trailing space in p~: waovu kwa ajili ya dhambi zao.

ISA 13:11 Removed trailing space in p~: Nitakomesha majivuno ya wenye kiburi,

ISA 13:11 Removed trailing space in p~: na nitakishusha kiburi cha watu wakatili.

ISA 13:12 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wanadamu kuwa adimu kuliko dhahabu safi,

ISA 13:12 Removed trailing space in p~: watakuwa wachache sana kuliko dhahabu ya Ofiri.

ISA 13:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke,

ISA 13:13 Removed trailing space in p~: nayo dunia itatikisika kutoka mahali pake

ISA 13:13 Removed trailing space in p~: katika ghadhabu ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 13:13 Removed trailing space in p~: katika siku ya hasira yake iwakayo.

ISA 13:14 Removed trailing space in v~: Kama swala awindwaye,

ISA 13:14 Removed trailing space in p~: kama kondoo wasio na mchungaji,

ISA 13:14 Removed trailing space in p~: kila mmoja atarudi kwa watu wake mwenyewe,

ISA 13:14 Removed trailing space in p~: kila mmoja atakimbilia nchi yake ya kuzaliwa.

ISA 13:15 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayetekwa atapasuliwa tumbo,

ISA 13:15 Removed trailing space in p~: wote watakaokamatwa watauawa kwa upanga.

ISA 13:16 Removed trailing space in v~: Watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande

ISA 13:16 Removed trailing space in p~: mbele ya macho yao;

ISA 13:16 Removed trailing space in p~: nyumba zao zitatekwa

ISA 13:16 Removed trailing space in p~: na wake zao watatendwa jeuri.

ISA 13:17 Removed trailing space in v~: Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao,

ISA 13:17 Removed trailing space in p~: ambao hawajali fedha

ISA 13:17 Removed trailing space in p~: wala hawafurahii dhahabu.

ISA 13:18 Removed trailing space in v~: Mishale yao itawaangusha vijana,

ISA 13:18 Removed trailing space in p~: hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga

ISA 13:18 Removed trailing space in p~: wala hawataangalia watoto kwa huruma.

ISA 13:19 Removed trailing space in v~: Babeli, johari ya falme,

ISA 13:19 Removed trailing space in p~: utukufu wa kiburi cha Wababeli,\f + \fr 13:19 \ft Wababeli hapa maana yake ni Wakaldayo.\f*

ISA 13:19 Removed trailing space in p~: itaangushwa na Mungu

ISA 13:19 Removed trailing space in p~: kama Sodoma na Gomora.

ISA 13:20 Removed trailing space in v~: Hautakaliwa na watu kamwe

ISA 13:20 Removed trailing space in p~: wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote.

ISA 13:20 Removed trailing space in p~: Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake huko,

ISA 13:20 Removed trailing space in p~: hakuna mchungaji atakayepumzisha makundi yake huko.

ISA 13:21 Removed trailing space in v~: Lakini viumbe wa jangwani watalala huko,

ISA 13:21 Removed trailing space in p~: mbweha watajaza nyumba zake,

ISA 13:21 Removed trailing space in p~: bundi wataishi humo

ISA 13:21 Removed trailing space in p~: nao mbuzi-mwitu watarukaruka humo.

ISA 13:22 Removed trailing space in v~: Fisi watalia ndani ya ngome zake,

ISA 13:22 Removed trailing space in p~: mbweha ndani ya majumba yake ya kifahari.

ISA 13:22 Removed trailing space in p~: Wakati wake umewadia,

ISA 13:22 Removed trailing space in p~: na siku zake hazitaongezwa.

ISA 14:0 Extra space after chapter number

ISA 14:0 Removed trailing space in c: 14

ISA 14:0 Removed trailing space in s1: Yuda Kufanywa Upya

ISA 14:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamhurumia Yakobo,

ISA 14:1 Removed trailing space in p~: atamchagua Israeli tena,

ISA 14:1 Removed trailing space in p~: na kuwakalisha katika nchi yao wenyewe.

ISA 14:1 Removed trailing space in p~: Wageni wataungana nao

ISA 14:1 Removed trailing space in p~: na kujiunga na nyumba ya Yakobo.

ISA 14:2 Removed trailing space in v~: Mataifa watawachukua

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: na kuwaleta mahali pao wenyewe.

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: Nayo nyumba ya Israeli itamiliki mataifa

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: kama watumishi na wajakazi katika nchi ya \nd Bwana\nd*.

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: Watawafanya watekaji wao kuwa mateka,

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: na kutawala juu ya wale waliowaonea.

ISA 14:3 Removed trailing space in v~: Katika siku \nd Bwana\nd* atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili,

ISA 14:4 Removed trailing space in v~: utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa Babeli:

ISA 14:4 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi mtesi alivyofikia mwisho!

ISA 14:4 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ghadhabu yake kali ilivyokoma!

ISA 14:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amevunja fimbo ya mwovu,

ISA 14:5 Removed trailing space in p~: fimbo ya utawala ya watawala,

ISA 14:6 Removed trailing space in v~: ambayo kwa hasira waliyapiga mataifa

ISA 14:6 Removed trailing space in p~: kwa mapigo yasiyo na kikomo,

ISA 14:6 Removed trailing space in p~: nao kwa ghadhabu kali waliwatiisha mataifa

ISA 14:6 Removed trailing space in p~: kwa jeuri pasipo huruma.

ISA 14:7 Removed trailing space in v~: Nchi zote ziko kwenye mapumziko na kwenye amani,

ISA 14:7 Removed trailing space in p~: wanabubujika kwa kuimba.

ISA 14:8 Removed trailing space in v~: Hata misunobari na mierezi ya Lebanoni

ISA 14:8 Removed trailing space in p~: inashangilia mbele yako na kusema,

ISA 14:8 Removed trailing space in p~: “Basi kwa sababu umeangushwa chini,

ISA 14:8 Removed trailing space in p~: hakuna mkata miti atakayekuja kutukata.”

ISA 14:9 Removed trailing space in v~: Kuzimu kote kumetaharuki

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: kukulaki unapokuja,

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea,

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu,

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme:

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa.

ISA 14:10 Removed trailing space in v~: Wote wataitikia,

ISA 14:10 Removed trailing space in p~: watakuambia,

ISA 14:10 Removed trailing space in p~: “Wewe pia umekuwa dhaifu, kama sisi tulivyo;

ISA 14:10 Removed trailing space in p~: wewe umekuwa kama sisi.”

ISA 14:11 Removed trailing space in v~: Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu,

ISA 14:11 Removed trailing space in p~: pamoja na kelele ya vinubi vyako,

ISA 14:11 Removed trailing space in p~: mafunza yametanda chini yako,

ISA 14:11 Removed trailing space in p~: na minyoo imekufunika.

ISA 14:12 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,

ISA 14:12 Removed trailing space in p~: ewe nyota ya asubuhi, mwana wa mapambazuko!

ISA 14:12 Removed trailing space in p~: Umetupwa chini duniani,

ISA 14:12 Removed trailing space in p~: wewe uliyepata kuangusha mataifa!

ISA 14:13 Removed trailing space in v~: Ulisema moyoni mwako,

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: “Nitapanda juu hadi mbinguni,

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: nitakiinua kiti changu cha enzi

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: juu ya nyota za Mungu,

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: nitaketi nimetawazwa

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: juu ya mlima wa kusanyiko,

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: kwenye vimo vya juu sana vya Mlima Mtakatifu.

ISA 14:14 Removed trailing space in v~: Nitapaa juu kupita mawingu,

ISA 14:14 Removed trailing space in p~: nitajifanya kama Yeye Aliye Juu Sana.”

ISA 14:15 Removed trailing space in v~: Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu,

ISA 14:15 Removed trailing space in p~: hadi kwenye vina vya shimo.

ISA 14:16 Removed trailing space in v~: Wale wanaokuona wanakukazia macho,

ISA 14:16 Removed trailing space in p~: wanatafakari hatima yako:

ISA 14:16 Removed trailing space in p~: “Je, huyu ndiye yule aliyetikisa dunia

ISA 14:16 Removed trailing space in p~: na kufanya falme zitetemeke,

ISA 14:17 Removed trailing space in v~: yule aliyeifanya dunia kuwa jangwa,

ISA 14:17 Removed trailing space in p~: aliyeipindua miji yake,

ISA 14:17 Removed trailing space in p~: na ambaye hakuwaachia mateka wake

ISA 14:17 Removed trailing space in p~: waende nyumbani?”

ISA 14:18 Removed trailing space in v~: Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa heshima

ISA 14:18 Removed trailing space in p~: kila mmoja katika kaburi lake.

ISA 14:19 Removed trailing space in v~: Lakini wewe umetupwa nje ya kaburi lako

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: kama tawi lililokataliwa,

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: umefunikwa na waliouawa

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: pamoja na wale waliochomwa kwa upanga,

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: wale washukao mpaka

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: kwenye mawe ya shimo.

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: Kama mzoga uliokanyagwa chini ya nyayo,

ISA 14:20 Removed trailing space in v~: Hutajumuika nao kwenye mazishi,

ISA 14:20 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeharibu nchi yako

ISA 14:20 Removed trailing space in p~: na kuwaua watu wako.

ISA 14:20 Removed trailing space in p~: Mzao wa mwovu

ISA 14:20 Removed trailing space in p~: hatatajwa tena kamwe.

ISA 14:21 Removed trailing space in v~: Andaa mahali pa kuwachinjia wanawe

ISA 14:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi za baba zao,

ISA 14:21 Removed trailing space in p~: wasije wakainuka ili kuirithi nchi

ISA 14:21 Removed trailing space in p~: na kuijaza dunia kwa miji yao.

ISA 14:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asema,

ISA 14:22 Removed trailing space in p~: “Nitainuka dhidi yao,

ISA 14:22 Removed trailing space in p~: nitalikatilia mbali jina lake kutoka Babeli pamoja na watu wake walionusurika,

ISA 14:22 Removed trailing space in p~: watoto wake na wazao wake,”

ISA 14:22 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 14:23 Removed trailing space in v~: “Nitaifanya kuwa mahali pa bundi,

ISA 14:23 Removed trailing space in p~: na kuwa nchi ya matope;

ISA 14:23 Removed trailing space in p~: nitaifagia kwa ufagio wa maangamizi,”

ISA 14:23 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 14:23 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Ashuru

ISA 14:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ameapa,

ISA 14:24 Removed trailing space in p~: “Hakika, kama vile nilivyopanga, ndivyo itakavyokuwa,

ISA 14:24 Removed trailing space in p~: nami kama nilivyokusudia, ndivyo itakavyosimama.

ISA 14:25 Removed trailing space in v~: Nitamponda Mwashuru katika nchi yangu,

ISA 14:25 Removed trailing space in p~: juu ya milima yangu nitawakanyagia chini.

ISA 14:25 Removed trailing space in p~: Nira yake itaondolewa kutoka kwa watu wangu,

ISA 14:25 Removed trailing space in p~: nao mzigo wake utaondolewa kutoka mabegani mwao.”

ISA 14:26 Removed trailing space in v~: Huu ndio mpango uliokusudiwa kwa ajili ya ulimwengu wote,

ISA 14:26 Removed trailing space in p~: huu ni mkono ulionyooshwa juu ya mataifa yote.

ISA 14:27 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote amekusudia,

ISA 14:27 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kumzuia?

ISA 14:27 Removed trailing space in p~: Mkono wake umenyooshwa,

ISA 14:27 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kuurudisha?

ISA 14:27 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Wafilisti

ISA 14:28 Removed trailing space in v~: Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:

ISA 14:29 Removed trailing space in v~: Msifurahi, enyi Wafilisti wote,

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: kwamba fimbo iliyowapiga imevunjika;

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: kutoka mzizi wa huyo nyoka

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: atachipuka nyoka mwenye sumu kali,

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: uzao wake utakuwa joka lirukalo,

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: lenye sumu kali.

ISA 14:30 Removed trailing space in v~: Maskini kuliko maskini wote watapata malisho,

ISA 14:30 Removed trailing space in p~: nao wahitaji watalala salama.

ISA 14:30 Removed trailing space in p~: Lakini mzizi wako nitauangamiza kwa njaa,

ISA 14:30 Removed trailing space in p~: nayo njaa itawaua walionusurika.

ISA 14:31 Removed trailing space in v~: Piga yowe, ee lango! Bweka, ee mji!

ISA 14:31 Removed trailing space in p~: Yeyukeni, enyi Wafilisti wote!

ISA 14:31 Removed trailing space in p~: Wingu la moshi linakuja toka kaskazini,

ISA 14:31 Removed trailing space in p~: wala hakuna atakayechelewa katika safu zake.

ISA 14:32 Removed trailing space in v~: Ni jibu gani litakalotolewa

ISA 14:32 Removed trailing space in p~: kwa wajumbe wa taifa hilo?

ISA 14:32 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* ameifanya imara Sayuni,

ISA 14:32 Removed trailing space in p~: nako ndani yake watu wake walioonewa watapata kimbilio.”

ISA 15:0 Extra space after chapter number

ISA 15:0 Removed trailing space in c: 15

ISA 15:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Moabu

ISA 15:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Moabu:

ISA 15:1 Removed trailing space in p~: Ari iliyo Moabu imeangamizwa:

ISA 15:1 Removed trailing space in p~: imeharibiwa kwa usiku mmoja!

ISA 15:1 Removed trailing space in p~: Kiri iliyo Moabu imeangamizwa,

ISA 15:1 Removed trailing space in p~: imeharibiwa kwa usiku mmoja!

ISA 15:2 Removed trailing space in v~: Diboni anakwea hadi kwenye hekalu lake,

ISA 15:2 Removed trailing space in p~: mpaka mahali pake pa juu ili walie,

ISA 15:2 Removed trailing space in p~: Moabu anaombolezea Nebo na Medeba.

ISA 15:2 Removed trailing space in p~: Kila kichwa kimenyolewa

ISA 15:2 Removed trailing space in p~: na kila ndevu limeondolewa.

ISA 15:3 Removed trailing space in v~: Wamevaa nguo za magunia barabarani,

ISA 15:3 Removed trailing space in p~: juu ya mapaa na kwenye viwanja

ISA 15:3 Removed trailing space in p~: wote wanaomboleza,

ISA 15:3 Removed trailing space in p~: wamelala kifudifudi kwa kulia.

ISA 15:4 Removed trailing space in v~: Heshboni na Eleale wanalia,

ISA 15:4 Removed trailing space in p~: sauti zao zinasikika hadi Yahazi.

ISA 15:4 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo watu wenye silaha wa Moabu wanapiga kelele,

ISA 15:4 Removed trailing space in p~: nayo mioyo yao imezimia.

ISA 15:5 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unamlilia Moabu;

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: wakimbizi wake wanakimbilia Soari,

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: hadi Eglath-Shelishiya.

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: Wanapanda njia ya kwenda Luhithi,

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: wanakwenda huku wanalia;

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: barabarani iendayo Horonaimu

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: wanaombolezea maangamizi yao.

ISA 15:6 Removed trailing space in v~: Maji ya Nimrimu yamekauka

ISA 15:6 Removed trailing space in p~: na majani yamenyauka;

ISA 15:6 Removed trailing space in p~: mimea imekauka wala hakuna

ISA 15:6 Removed trailing space in p~: kitu chochote kibichi kilichobaki.

ISA 15:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mali waliyoipata na kujiwekea akiba

ISA 15:7 Removed trailing space in p~: wamezichukua na kuvuka Bonde la Mierebi.

ISA 15:8 Removed trailing space in v~: Mwangwi wa kilio chao umefika hadi mpakani mwa Moabu,

ISA 15:8 Removed trailing space in p~: kilio chao cha huzuni kimefika hadi Eglaimu,

ISA 15:8 Removed trailing space in p~: maombolezo yao hadi Beer-Elimu.

ISA 15:9 Removed trailing space in v~: Maji ya Dimoni yamejaa damu,

ISA 15:9 Removed trailing space in p~: lakini bado nitaleta pigo jingine juu ya Dimoni:

ISA 15:9 Removed trailing space in p~: simba juu ya wakimbizi wa Moabu

ISA 15:9 Removed trailing space in p~: na juu ya wale wanaobaki katika nchi.

ISA 16:0 Extra space after chapter number

ISA 16:0 Removed trailing space in c: 16

ISA 16:0 Removed trailing space in s1: Hali Ya Kukata Tamaa Ya Moabu

ISA 16:1 Removed trailing space in v~: Pelekeni wana-kondoo kama ushuru

ISA 16:1 Removed trailing space in p~: kwa mtawala wa nchi,

ISA 16:1 Removed trailing space in p~: Kutoka Sela, kupitia jangwani,

ISA 16:1 Removed trailing space in p~: hadi mlima wa Binti Sayuni.

ISA 16:2 Removed trailing space in v~: Kama ndege wanaopapatika

ISA 16:2 Removed trailing space in p~: waliofukuzwa kutoka kwenye kiota,

ISA 16:2 Removed trailing space in p~: ndivyo walivyo wanawake wa Moabu

ISA 16:2 Removed trailing space in p~: kwenye vivuko vya Arnoni.

ISA 16:3 Removed trailing space in v~: “Tupeni shauri,

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: toeni uamuzi.

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: Wakati wa adhuhuri,

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: fanyeni kivuli chenu kama usiku.

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: Waficheni watoro,

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: msisaliti wakimbizi.

ISA 16:4 Removed trailing space in v~: Waacheni watoro wa Moabu wakae pamoja nanyi;

ISA 16:4 Removed trailing space in p~: kuweni mahali pao pa salama ili kuepuka mharabu.”

ISA 16:4 Removed trailing space in p~: Mtesi atafikia mwisho na maangamizi yatakoma,

ISA 16:4 Removed trailing space in p~: aletaye vita atatoweka kutoka nchi.

ISA 16:5 Removed trailing space in v~: Kwa upendo kiti cha enzi kitaimarishwa,

ISA 16:5 Removed trailing space in p~: kwa uaminifu mtu ataketi juu yake,

ISA 16:5 Removed trailing space in p~: yeye atokaye nyumba ya Daudi:

ISA 16:5 Removed trailing space in p~: yeye ambaye katika kuhukumu hutafuta haki,

ISA 16:5 Removed trailing space in p~: na huhimiza njia ya haki.

ISA 16:6 Removed trailing space in v~: Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:

ISA 16:6 Removed trailing space in p~: kiburi chake cha kujivuna na udanganyifu,

ISA 16:6 Removed trailing space in p~: kiburi chake na ufidhuli wake,

ISA 16:6 Removed trailing space in p~: lakini majivuno yake si kitu.

ISA 16:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Wamoabu wanaomboleza,

ISA 16:7 Removed trailing space in p~: wanaiombolezea Moabu kwa pamoja.

ISA 16:7 Removed trailing space in p~: Wanaomboleza na kuhuzunika

ISA 16:7 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.

ISA 16:8 Removed trailing space in v~: Mashamba ya Heshboni yananyauka,

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: pia na mizabibu ya Sibma.

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: Watawala wa mataifa

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: wamekanyaga mizabibu iliyo mizuri sana,

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: ambayo ilipata kufika Yazeri

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: na kuenea kuelekea jangwani.

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: Machipukizi yake yalienea

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: yakafika hadi baharini.

ISA 16:9 Removed trailing space in v~: Hivyo ninalia kama Yazeri aliavyo,

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mizabibu ya Sibma.

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: Ee Heshboni, ee Eleale,

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: ninakulowesha kwa machozi!

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: Kelele za furaha kwa ajili ya tunda lako lililoiva

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: na kwa ajili ya mavuno zimekomeshwa.

ISA 16:10 Removed trailing space in v~: Furaha na shangwe zimeondolewa

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: kutoka mashamba ya matunda;

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote aimbaye wala apazaye sauti

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: katika mashamba ya mizabibu;

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote akanyagaye zabibu shinikizoni,

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimekomesha makelele.

ISA 16:11 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama kinubi,

ISA 16:11 Removed trailing space in p~: nafsi yangu yote kwa ajili ya Kir-Haresethi.

ISA 16:12 Removed trailing space in v~: Wakati Moabu anapojitokeza mahali pake pa juu,

ISA 16:12 Removed trailing space in p~: anajichosha mwenyewe tu;

ISA 16:12 Removed trailing space in p~: anapokwenda mahali pake pa kuabudia miungu ili kuomba,

ISA 16:12 Removed trailing space in p~: haitamfaidi lolote.

ISA 16:13 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno ambalo \nd Bwana\nd* ameshasema kuhusu Moabu.

ISA 16:14 Removed trailing space in v~: Lakini sasa \nd Bwana\nd* anasema: “Katika miaka mitatu, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, fahari ya Moabu na watu wake wengi watadharauliwa, nao walionusurika watakuwa wachache sana, tena wanyonge.”

ISA 17:0 Extra space after chapter number

ISA 17:0 Removed trailing space in c: 17

ISA 17:0 Removed trailing space in s1: Neno Dhidi Ya Dameski

ISA 17:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Dameski:

ISA 17:1 Removed trailing space in p~: “Tazama, Dameski haitakuwa tena mji

ISA 17:1 Removed trailing space in p~: bali itakuwa lundo la magofu.

ISA 17:2 Removed trailing space in v~: Miji ya Aroeri itaachwa

ISA 17:2 Removed trailing space in p~: na itaachiwa mifugo ambayo italala huko,

ISA 17:2 Removed trailing space in p~: bila yeyote wa kuyaogopesha.

ISA 17:3 Removed trailing space in v~: Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu,

ISA 17:3 Removed trailing space in p~: nao uweza wa ufalme kutoka Dameski;

ISA 17:3 Removed trailing space in p~: mabaki ya Aramu yatakuwa

ISA 17:3 Removed trailing space in p~: kama utukufu wa Waisraeli,”

ISA 17:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 17:4 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia,

ISA 17:4 Removed trailing space in p~: unono wa mwili wake utadhoofika.

ISA 17:5 Removed trailing space in v~: Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka

ISA 17:5 Removed trailing space in p~: na kuvuna nafaka kwa mikono yake,

ISA 17:5 Removed trailing space in p~: kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke

ISA 17:5 Removed trailing space in p~: katika Bonde la Warefai.

ISA 17:6 Removed trailing space in v~: Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki,

ISA 17:6 Removed trailing space in p~: kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa,

ISA 17:6 Removed trailing space in p~: kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni,

ISA 17:6 Removed trailing space in p~: nne au tano katika matawi yazaayo sana,”

ISA 17:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

ISA 17:7 Removed trailing space in v~: Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao,

ISA 17:7 Removed trailing space in p~: na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 17:8 Removed trailing space in v~: Hawataziangalia tena madhabahu,

ISA 17:8 Removed trailing space in p~: kazi za mikono yao,

ISA 17:8 Removed trailing space in p~: nao hawataheshimu nguzo za Ashera,\f + \fr 17:8 \ft Ashera hapa maana yake ni mungu mke aliyekuwa akiabudiwa pamoja na Baali.\f*

ISA 17:8 Removed trailing space in p~: na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.

ISA 17:9 Removed trailing space in v~: Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.

ISA 17:10 Removed trailing space in v~: Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu,

ISA 17:10 Removed trailing space in p~: hamkumkumbuka Mwamba aliye ngome yenu.

ISA 17:10 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo, hata ingawa mlipandikiza mimea iliyo mizuri sana

ISA 17:10 Removed trailing space in p~: na kuotesha mizabibu ya kigeni,

ISA 17:11 Removed trailing space in v~: hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote

ISA 17:11 Removed trailing space in p~: na asubuhi ile ile unayoipanda, unaifanya ichipue,

ISA 17:11 Removed trailing space in p~: hata hivyo mavuno yatakuwa kama si kitu

ISA 17:11 Removed trailing space in p~: katika siku ile ya ugonjwa na maumivu yasiyoponyeka.

ISA 17:12 Removed trailing space in v~: Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi,

ISA 17:12 Removed trailing space in p~: wanaghadhibika kama bahari iliyochafuka!

ISA 17:12 Removed trailing space in p~: Lo! Makelele ya mataifa

ISA 17:12 Removed trailing space in p~: wanavuma kama ngurumo za maji mengi!

ISA 17:13 Removed trailing space in v~: Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi,

ISA 17:13 Removed trailing space in p~: wakati anapoyakemea yanakimbia mbali,

ISA 17:13 Removed trailing space in p~: yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi juu ya milima,

ISA 17:13 Removed trailing space in p~: kama jani livingirishwapo na dhoruba.

ISA 17:14 Removed trailing space in v~: Wakati wa jioni, hofu ya ghafula!

ISA 17:14 Removed trailing space in p~: Kabla ya asubuhi, wametoweka!

ISA 17:14 Removed trailing space in p~: Hili ndilo fungu la wale wanaotupora,

ISA 17:14 Removed trailing space in p~: fungu la wale wanaotunyangʼanya mali zetu.

ISA 18:0 Extra space after chapter number

ISA 18:0 Removed trailing space in c: 18

ISA 18:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Kushi

ISA 18:1 Removed trailing space in v~: Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa,\f + \fr 18:1 \ft Au: wa nzige.\f*

ISA 18:1 Removed trailing space in p~: kando ya mito ya Kushi,

ISA 18:2 Removed trailing space in v~: iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: kwa mashua za mafunjo juu ya maji.

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: Nendeni, wajumbe wepesi,

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: taifa gomvi lenye lugha ngeni,

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.

ISA 18:3 Removed trailing space in v~: Enyi mataifa yote ya ulimwengu,

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoishi duniani

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: wakati bendera itakapoinuliwa milimani,

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: mtaiona,

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: nayo tarumbeta itakapolia,

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: mtaisikia.

ISA 18:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloniambia:

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: “Nitatulia kimya na kutazama

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: kutoka maskani yangu,

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: kama joto linalometameta katika mwanga wa jua,

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: kama wingu la umande

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: katika joto la wakati wa mavuno.”

ISA 18:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana, kabla ya mavuno,

ISA 18:5 Removed trailing space in p~: wakati wa kuchanua ukishapita

ISA 18:5 Removed trailing space in p~: na maua yakawa zabibu zinazoiva,

ISA 18:5 Removed trailing space in p~: atayakata machipukizi kwa mundu wa kupogolea matawi,

ISA 18:5 Removed trailing space in p~: naye atakata na kuyaondoa matawi yaliyopanuka.

ISA 18:6 Removed trailing space in v~: Yote yataachwa kwa ajili ya ndege wawindao wa mlimani

ISA 18:6 Removed trailing space in p~: na wanyama pori,

ISA 18:6 Removed trailing space in p~: ndege watajilisha juu yake wakati wote wa kiangazi,

ISA 18:6 Removed trailing space in p~: nao wanyama pori wakati wote wa masika.

ISA 18:7 Removed trailing space in v~: Wakati huo matoleo yataletwa kwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: kutoka kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: kutoka taifa gomvi lenye lugha ngeni,

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito,

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali pa Jina la \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 19:0 Extra space after chapter number

ISA 19:0 Removed trailing space in c: 19

ISA 19:0 Removed trailing space in s1: Unabii Kuhusu Misri

ISA 19:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Misri:

ISA 19:1 Removed trailing space in p~: Tazama, \nd Bwana\nd* amepanda juu ya wingu liendalo kwa haraka

ISA 19:1 Removed trailing space in p~: naye anakuja Misri.

ISA 19:1 Removed trailing space in p~: Sanamu za Misri zinatetemeka mbele yake,

ISA 19:1 Removed trailing space in p~: nayo mioyo ya Wamisri inayeyuka ndani yao.

ISA 19:2 Removed trailing space in v~: “Nitamchochea Mmisri dhidi ya Mmisri,

ISA 19:2 Removed trailing space in p~: ndugu atapigana dhidi ya ndugu,

ISA 19:2 Removed trailing space in p~: jirani dhidi ya jirani,

ISA 19:2 Removed trailing space in p~: mji dhidi ya mji,

ISA 19:2 Removed trailing space in p~: ufalme dhidi ya ufalme.

ISA 19:3 Removed trailing space in v~: Wamisri watakufa moyo,

ISA 19:3 Removed trailing space in p~: na nitaibatilisha mipango yao.

ISA 19:3 Removed trailing space in p~: Watatafuta ushauri kwa sanamu na kwa roho za waliokufa,

ISA 19:3 Removed trailing space in p~: kwa waaguzi na kwa wale waongeao na mizimu.

ISA 19:4 Removed trailing space in v~: Nitawatia Wamisri

ISA 19:4 Removed trailing space in p~: mikononi mwa bwana mkatili

ISA 19:4 Removed trailing space in p~: na mfalme mkali atatawala juu yao,”

ISA 19:4 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 19:5 Removed trailing space in v~: Maji ya mito yatakauka,

ISA 19:5 Removed trailing space in p~: chini ya mto kutakauka kwa jua.

ISA 19:6 Removed trailing space in v~: Mifereji itanuka;

ISA 19:6 Removed trailing space in p~: vijito vya Misri vitapungua

ISA 19:6 Removed trailing space in p~: na kukauka.

ISA 19:6 Removed trailing space in p~: Mafunjo na nyasi vitanyauka,

ISA 19:7 Removed trailing space in v~: pia mimea iliyoko kando ya Mto Naili,

ISA 19:7 Removed trailing space in p~: pale mto unapomwaga maji baharini.

ISA 19:7 Removed trailing space in p~: Kila shamba lililopandwa kando ya Mto Naili litakauka,

ISA 19:7 Removed trailing space in p~: litapeperushwa na kutoweka kabisa.

ISA 19:8 Removed trailing space in v~: Wavuvi watalia na kuomboleza,

ISA 19:8 Removed trailing space in p~: wale wote watupao ndoano katika Mto Naili,

ISA 19:8 Removed trailing space in p~: watadhoofika kwa majonzi.

ISA 19:9 Removed trailing space in v~: Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa,

ISA 19:9 Removed trailing space in p~: wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.

ISA 19:10 Removed trailing space in v~: Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa,

ISA 19:10 Removed trailing space in p~: nao vibarua wataugua moyoni.

ISA 19:11 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Soani ni wapumbavu kabisa,

ISA 19:11 Removed trailing space in p~: washauri wa Farao wenye busara wanatoa ushauri wa kijinga.

ISA 19:11 Removed trailing space in p~: Unawezaje kumwambia Farao,

ISA 19:11 Removed trailing space in p~: “Mimi ni mmojawapo wa watu wenye hekima,

ISA 19:11 Removed trailing space in p~: mwanafunzi wa wafalme wa zamani”?

ISA 19:12 Removed trailing space in v~: Wako wapi sasa watu wako wenye hekima?

ISA 19:12 Removed trailing space in p~: Wao wakuonyeshe na kukufahamisha

ISA 19:12 Removed trailing space in p~: ni nini \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 19:12 Removed trailing space in p~: amepanga dhidi ya Misri.

ISA 19:13 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Soani wamekuwa wapumbavu,

ISA 19:13 Removed trailing space in p~: viongozi wa Memfisi\f + \fr 19:13 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.\f* wamedanganyika,

ISA 19:13 Removed trailing space in p~: walio mawe ya pembe ya taifa lake

ISA 19:13 Removed trailing space in p~: wameipotosha Misri.

ISA 19:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amewamwagia

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: roho ya kizunguzungu;

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: wanaifanya Misri iyumbayumbe

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: katika yale yote inayoyafanya,

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: kama vile mlevi ayumbayumbavyo

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: katika kutapika kwake.

ISA 19:15 Removed trailing space in v~: Misri haiwezi kufanya kitu chochote,

ISA 19:15 Removed trailing space in p~: cha kichwa wala cha mkia,

ISA 19:15 Removed trailing space in p~: cha tawi la mtende wala cha tete.

ISA 19:16 Removed trailing space in v~: Katika siku ile Wamisri watakuwa kama wanawake. Watatetemeka kwa hofu mbele ya mkono wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anaoinua dhidi yao.

ISA 19:17 Removed trailing space in v~: Nayo nchi ya Yuda itawatia hofu Wamisri, kila mmoja atakayetajiwa Yuda ataingiwa na hofu, kwa sababu ya kile ambacho \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anapanga dhidi yao.

ISA 19:18 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo miji mitano ya Misri, itazungumza lugha ya Kanaani, na kuapa kumtii \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote. Mji mmojawapo utaitwa Mji wa Uharibifu.\f + \fr 19:18 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f*

ISA 19:19 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo patakuwepo madhabahu ya \nd Bwana\nd* katikati ya Misri na mnara wa kumbukumbu kwa \nd Bwana\nd* kwenye mpaka wa Misri.

ISA 19:20 Removed trailing space in v~: Itakuwa alama na ushahidi kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote katika nchi ya Misri. Watakapomlilia \nd Bwana\nd* kwa sababu ya watesi wao, Mungu atawapelekea mwokozi na mtetezi, naye atawaokoa.

ISA 19:21 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* atajijulisha mwenyewe kwa Wamisri, nao katika siku hiyo watamkubali \nd Bwana\nd*. Wataabudu kwa kumtolea dhabihu na sadaka za nafaka, watamwekea \nd Bwana\nd* nadhiri na kuzitimiza.

ISA 19:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataipiga Misri kwa tauni; atawapiga na kuwaponya. Watamgeukia \nd Bwana\nd*, naye atayasikia maombi yao na kuwaponya.

ISA 19:23 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo kutakuwepo na njia kuu kutoka Misri hadi Ashuru. Waashuru watakwenda Misri, na Wamisri watakwenda Ashuru. Wamisri na Waashuru wataabudu pamoja.

ISA 19:24 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo Israeli itakuwa ya tatu, pamoja na Misri na Ashuru, nao watakuwa baraka kwa dunia.

ISA 19:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atawabariki, akisema, “Baraka iwe kwa Misri watu wangu, kwa Ashuru kazi ya mikono yangu, na kwa Israeli urithi wangu.”

ISA 20:0 Extra space after chapter number

ISA 20:0 Removed trailing space in c: 20

ISA 20:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Misri Na Kushi

ISA 20:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,

ISA 20:2 Removed trailing space in v~: wakati ule \nd Bwana\nd* alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.

ISA 20:3 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,

ISA 20:4 Removed trailing space in v~: vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.

ISA 20:5 Removed trailing space in v~: Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.

ISA 20:6 Removed trailing space in v~: Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’ ”

ISA 21:0 Extra space after chapter number

ISA 21:0 Removed trailing space in c: 21

ISA 21:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Babeli

ISA 21:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari:

ISA 21:1 Removed trailing space in p~: Kama upepo wa kisulisuli unaopita katika nchi hadi kusini,

ISA 21:1 Removed trailing space in p~: mshambuliaji anakuja kutoka jangwani,

ISA 21:1 Removed trailing space in p~: kutoka nchi inayotisha.

ISA 21:2 Removed trailing space in v~: Nimeonyeshwa maono ya kutisha:

ISA 21:2 Removed trailing space in p~: Msaliti anasaliti, mteka nyara anateka nyara.

ISA 21:2 Removed trailing space in p~: Elamu, shambulia! Umedi, izunguke kwa jeshi!

ISA 21:2 Removed trailing space in p~: Nitakomesha huzuni zote alizosababisha.

ISA 21:3 Removed trailing space in v~: Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu,

ISA 21:3 Removed trailing space in p~: maumivu makali ya ghafula yamenishika,

ISA 21:3 Removed trailing space in p~: kama yale ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.

ISA 21:3 Removed trailing space in p~: Nimeduwazwa na lile ninalolisikia,

ISA 21:3 Removed trailing space in p~: nimeshangazwa na lile ninaloliona.

ISA 21:4 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unababaika,

ISA 21:4 Removed trailing space in p~: woga unanifanya nitetemeke,

ISA 21:4 Removed trailing space in p~: gizagiza la jioni nililolitamani sana,

ISA 21:4 Removed trailing space in p~: limekuwa hofu kuu kwangu.

ISA 21:5 Removed trailing space in v~: Wanaandaa meza,

ISA 21:5 Removed trailing space in p~: wanatandaza mazulia,

ISA 21:5 Removed trailing space in p~: wanakula, wanakunywa!

ISA 21:5 Removed trailing space in p~: Amkeni, enyi maafisa,

ISA 21:5 Removed trailing space in p~: zitieni ngao mafuta!

ISA 21:6 Removed trailing space in v~: Hili ndilo Bwana analoniambia:

ISA 21:6 Removed trailing space in p~: “Nenda, weka mlinzi,

ISA 21:6 Removed trailing space in p~: na atoe taarifa ya kile anachokiona.

ISA 21:7 Removed trailing space in v~: Anapoona magari ya vita

ISA 21:7 Removed trailing space in p~: pamoja na kundi la farasi,

ISA 21:7 Removed trailing space in p~: wapanda punda au wapanda ngamia,

ISA 21:7 Removed trailing space in p~: na awe macho, awe macho kikamilifu.”

ISA 21:8 Removed trailing space in v~: Naye mlinzi alipaza sauti,

ISA 21:8 Removed trailing space in p~: “Mchana baada ya mchana, bwana wangu, ninasimama katika mnara wa ulinzi,

ISA 21:8 Removed trailing space in p~: kila usiku ninakaa mahali pangu nilipoamriwa.

ISA 21:9 Removed trailing space in v~: Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: pamoja na kundi la farasi.

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: Naye anajibu:

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: ‘Babeli umeanguka, umeanguka!

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: Vinyago vyote vya miungu yake

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: vimelala chini vikiwa vimevunjwa!’ ”

ISA 21:10 Removed trailing space in v~: Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria,

ISA 21:10 Removed trailing space in p~: ninawaambia kile nilichokisikia

ISA 21:10 Removed trailing space in p~: kutoka kwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 21:10 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Mungu wa Israeli.

ISA 21:10 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Edomu

ISA 21:11 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Duma:

ISA 21:11 Removed trailing space in p~: Mtu fulani ananiita kutoka Seiri,

ISA 21:11 Removed trailing space in p~: “Mlinzi, usiku utaisha lini?

ISA 21:11 Removed trailing space in p~: Mlinzi, usiku utaisha lini?”

ISA 21:12 Removed trailing space in v~: Mlinzi anajibu,

ISA 21:12 Removed trailing space in p~: “Asubuhi inakuja, lakini pia usiku.

ISA 21:12 Removed trailing space in p~: Kama ungeliuliza, basi uliza;

ISA 21:12 Removed trailing space in p~: bado na urudi tena.”

ISA 21:12 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Arabia

ISA 21:13 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Arabia:

ISA 21:13 Removed trailing space in p~: Enyi misafara ya Wadedani,

ISA 21:13 Removed trailing space in p~: mnaopiga kambi katika vichaka vya Arabia,

ISA 21:14 Removed trailing space in v~: leteni maji kwa wenye kiu,

ISA 21:14 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoishi Tema,

ISA 21:14 Removed trailing space in p~: leteni chakula kwa ajili ya wakimbizi.

ISA 21:15 Removed trailing space in v~: Wanaukimbia upanga,

ISA 21:15 Removed trailing space in p~: kutoka upanga uliochomolewa alani,

ISA 21:15 Removed trailing space in p~: kutoka upinde uliopindwa,

ISA 21:15 Removed trailing space in p~: na kutoka kwenye joto la vita.

ISA 21:16 Removed trailing space in v~: Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.

ISA 21:17 Removed trailing space in v~: Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, amesema.

ISA 22:0 Extra space after chapter number

ISA 22:0 Removed trailing space in c: 22

ISA 22:0 Removed trailing space in s1: Unabii Kuhusu Yerusalemu

ISA 22:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Bonde la Maono:

ISA 22:1 Removed trailing space in p~: Nini kinachokutaabisha sasa,

ISA 22:1 Removed trailing space in p~: kwamba ninyi nyote mmepanda juu ya mapaa?

ISA 22:2 Removed trailing space in v~: Ewe mji uliojaa ghasia,

ISA 22:2 Removed trailing space in p~: ewe mji wa makelele na sherehe!

ISA 22:2 Removed trailing space in p~: Watu wenu waliokufa hawakuuawa kwa upanga,

ISA 22:2 Removed trailing space in p~: wala hawakufa vitani.

ISA 22:3 Removed trailing space in v~: Viongozi wako wote wamekimbia pamoja,

ISA 22:3 Removed trailing space in p~: wamekamatwa bila kutumia upinde.

ISA 22:3 Removed trailing space in p~: Ninyi nyote mliokamatwa mlichukuliwa wafungwa pamoja,

ISA 22:3 Removed trailing space in p~: mlikimbia wakati adui alipokuwa bado mbali.

ISA 22:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nilisema, “Geukia mbali nami,

ISA 22:4 Removed trailing space in p~: niache nilie kwa uchungu.

ISA 22:4 Removed trailing space in p~: Usijaribu kunifariji

ISA 22:4 Removed trailing space in p~: juu ya maangamizi ya watu wangu.”

ISA 22:5 Removed trailing space in v~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, anayo siku

ISA 22:5 Removed trailing space in p~: ya ghasia, ya kukanyaga, na ya kuogofya

ISA 22:5 Removed trailing space in p~: katika Bonde la Maono,

ISA 22:5 Removed trailing space in p~: siku ya kuangusha kuta

ISA 22:5 Removed trailing space in p~: na ya kupiga kelele mpaka milimani.

ISA 22:6 Removed trailing space in v~: Elamu analichukua podo,

ISA 22:6 Removed trailing space in p~: pamoja na waendesha magari ya vita na farasi.

ISA 22:6 Removed trailing space in p~: Kiri anaifungua ngao.

ISA 22:7 Removed trailing space in v~: Mabonde yako yaliyo mazuri sana yamejaa magari ya vita,

ISA 22:7 Removed trailing space in p~: nao wapanda farasi wamewekwa kwenye malango ya mji;

ISA 22:8 Removed trailing space in v~: ulinzi wa Yuda umeondolewa.

ISA 22:8 Removed trailing space in p~: Nawe ulitazama siku ile

ISA 22:8 Removed trailing space in p~: silaha katika Jumba la Kifalme la Mwituni,

ISA 22:9 Removed trailing space in v~: mkaona kuwa Mji wa Daudi

ISA 22:9 Removed trailing space in p~: una matundu mengi katika ulinzi wake,

ISA 22:9 Removed trailing space in p~: mkaweka akiba ya maji

ISA 22:9 Removed trailing space in p~: kwenye Bwawa la Chini.

ISA 22:10 Removed trailing space in v~: Mlihesabu majengo katika Yerusalemu

ISA 22:10 Removed trailing space in p~: nanyi mkabomoa nyumba ili kuimarisha ukuta.

ISA 22:11 Removed trailing space in v~: Mlijenga bwawa la maji katikati ya kuta mbili

ISA 22:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya maji ya Bwawa la Zamani,

ISA 22:11 Removed trailing space in p~: lakini hamkumtazama Yule aliyelitengeneza,

ISA 22:11 Removed trailing space in p~: au kuwa na heshima kwa Yule aliyeubuni tangu zamani za kale.

ISA 22:12 Removed trailing space in v~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 22:12 Removed trailing space in p~: aliwaita siku ile

ISA 22:12 Removed trailing space in p~: ili kulia na kuomboleza,

ISA 22:12 Removed trailing space in p~: kungʼoa nywele zenu na kuvaa nguo ya gunia.

ISA 22:13 Removed trailing space in v~: Lakini tazama, kuna furaha na sherehe,

ISA 22:13 Removed trailing space in p~: kuchinja ngʼombe na kuchinja kondoo,

ISA 22:13 Removed trailing space in p~: kula nyama na kunywa mvinyo!

ISA 22:13 Removed trailing space in p~: Mnasema, “Tuleni na kunywa,

ISA 22:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kesho tutakufa!”

ISA 22:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote amelifunua hili nikiwa ninasikia: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, asema: “Mpaka siku ya kufa kwenu, dhambi hii haitafanyiwa upatanisho.”

ISA 22:15 Removed trailing space in v~: Hili ndilo Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, asemalo:

ISA 22:15 Removed trailing space in p~: “Nenda ukamwambie huyu wakili Shebna,

ISA 22:15 Removed trailing space in p~: ambaye ni msimamizi wa jumba la kifalme:

ISA 22:16 Removed trailing space in v~: Unafanya nini hapa, na ni nani aliyekupa ruhusa

ISA 22:16 Removed trailing space in p~: kujikatia kaburi lako mwenyewe,

ISA 22:16 Removed trailing space in p~: ukichonga kaburi lako mahali palipo juu,

ISA 22:16 Removed trailing space in p~: na kutoboa kwa patasi mahali pako pa kupumzikia katika mwamba?

ISA 22:17 Removed trailing space in v~: “Jihadhari, \nd Bwana\nd* yu karibu kukukamata thabiti,

ISA 22:17 Removed trailing space in p~: na kukutupa mbali, ewe mtu mwenye nguvu.

ISA 22:18 Removed trailing space in v~: Atakuvingirisha uwe kama mpira

ISA 22:18 Removed trailing space in p~: na kukutupa katika nchi kubwa.

ISA 22:18 Removed trailing space in p~: Huko ndiko utakakofia,

ISA 22:18 Removed trailing space in p~: na huko ndiko magari yako ya vita ya fahari yatabakia,

ISA 22:18 Removed trailing space in p~: wewe unayeifedhehesha nyumba ya bwana wako!

ISA 22:19 Removed trailing space in v~: Nitakuondoa kutoka kazi yako,

ISA 22:19 Removed trailing space in p~: nawe utaondoshwa kutoka nafasi yako.

ISA 22:20 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile, nitamwita mtumishi wangu, Eliakimu mwana wa Hilkia.

ISA 22:21 Removed trailing space in v~: Nitamvika joho lako, nami nitamfunga mshipi wako kiunoni mwake, na kumkabidhi mamlaka yako. Yeye atakuwa baba kwa wale wanaoishi Yerusalemu na kwa nyumba ya Yuda.

ISA 22:22 Removed trailing space in v~: Nitaweka mabegani mwake ufunguo wa nyumba ya Daudi. Kile afunguacho hakuna awezaye kufunga, na kile afungacho hakuna awezaye kufungua.

ISA 22:23 Removed trailing space in v~: Nitamgongomea kama kigingi kilicho mahali palipo imara, naye atakuwa kiti cha enzi cha heshima kwa ajili ya nyumba ya baba yake.

ISA 22:24 Removed trailing space in v~: Utukufu wote wa jamaa yake utakuwa juu yake: Watoto wa jamaa hiyo na machipukizi yake, vyombo vyake vyote vidogo, tangu bakuli hadi magudulia yote.”

ISA 22:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asema, “Katika siku ile, kigingi kilichogongomewa mahali imara kitaachia njia. Kitakatwa, nacho kitaanguka na mzigo ulioningʼinia juu yake utaanguka chini.” \nd Bwana\nd* amesema.

ISA 23:0 Extra space after chapter number

ISA 23:0 Removed trailing space in c: 23

ISA 23:0 Removed trailing space in s1: Unabii Kuhusu Tiro

ISA 23:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Tiro:

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: Ombolezeni, enyi meli za Tarshishi!

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa Tiro imeangamizwa,

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: imeachwa bila nyumba wala bandari.

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: Kuanzia nchi ya Kitimu\f + \fr 23:1 \ft Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.\f*

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: neno limewajia.

ISA 23:2 Removed trailing space in v~: Nyamazeni kimya, enyi watu wa kisiwani,

ISA 23:2 Removed trailing space in p~: pia ninyi wafanyabiashara wa Sidoni,

ISA 23:2 Removed trailing space in p~: ambao mabaharia wamewatajirisha.

ISA 23:3 Removed trailing space in v~: Kwenye maji makuu

ISA 23:3 Removed trailing space in p~: nafaka za Shihori zilikuja;

ISA 23:3 Removed trailing space in p~: mavuno ya Naili yalikuwa mapato ya Tiro,

ISA 23:3 Removed trailing space in p~: naye akawa soko la mataifa.

ISA 23:4 Removed trailing space in v~: Uaibishwe ee Sidoni, nawe ee ngome la bahari,

ISA 23:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa bahari imesema:

ISA 23:4 Removed trailing space in p~: “Sijapata kuwa na uchungu wa kuzaa wala sijapata kuzaa,

ISA 23:4 Removed trailing space in p~: wala sijapata kulea wana wala kutunza mabinti.”

ISA 23:5 Removed trailing space in v~: Habari ifikapo Misri,

ISA 23:5 Removed trailing space in p~: watakuwa katika maumivu makuu kwa ajili ya taarifa kutoka Tiro.

ISA 23:6 Removed trailing space in v~: Vukeni mpaka Tarshishi,

ISA 23:6 Removed trailing space in p~: ombolezeni, enyi watu wa kisiwani.

ISA 23:7 Removed trailing space in v~: Je, huu ndio mji wenu uliojaa sherehe,

ISA 23:7 Removed trailing space in p~: mji wa zamani, zamani kabisa

ISA 23:7 Removed trailing space in p~: ambao miguu yake imeuchukua

ISA 23:7 Removed trailing space in p~: kufanya makao nchi za mbali sana?

ISA 23:8 Removed trailing space in v~: Ni nani amepanga hili dhidi ya Tiro,

ISA 23:8 Removed trailing space in p~: mji utoao mataji,

ISA 23:8 Removed trailing space in p~: ambao wafanyabiashara wake ni wana wa mfalme

ISA 23:8 Removed trailing space in p~: na wachuuzi wake ni watu mashuhuri wa dunia?

ISA 23:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndiye alipanga jambo hili,

ISA 23:9 Removed trailing space in p~: ili kukishusha kiburi cha utukufu wote

ISA 23:9 Removed trailing space in p~: na kuwanyenyekesha wale wote

ISA 23:9 Removed trailing space in p~: ambao ni mashuhuri duniani.

ISA 23:10 Removed trailing space in v~: Ee Binti Tarshishi,

ISA 23:10 Removed trailing space in p~: pita katika nchi yako kama vile Mto Naili

ISA 23:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa huna tena bandari.

ISA 23:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amenyoosha mkono wake juu ya bahari

ISA 23:11 Removed trailing space in p~: na kuzifanya falme zake zitetemeke.

ISA 23:11 Removed trailing space in p~: Ametoa amri kuhusu Kanaani

ISA 23:11 Removed trailing space in p~: kwamba ngome zake ziangamizwe.

ISA 23:12 Removed trailing space in v~: Alisema, “Usizidi kufurahi,

ISA 23:12 Removed trailing space in p~: ee Bikira Binti Sidoni, sasa umepondwa!

ISA 23:12 Removed trailing space in p~: “Simama, vuka uende Kitimu;

ISA 23:12 Removed trailing space in p~: hata huko hutapata pumziko.”

ISA 23:13 Removed trailing space in v~: Tazama katika nchi ya Wakaldayo,

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: watu hawa ambao sasa hawaonekani kama wapo!

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: Waashuru wameifanya nchi hiyo

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: kuwa mahali pa viumbe wa jangwani.

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: Wamesimamisha minara yao ya vita kuuzunguka,

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: wameziteka ngome zake na kuziacha tupu

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: na kuufanya kuwa magofu.

ISA 23:14 Removed trailing space in v~: Ombolezeni, enyi meli za Tarshishi;

ISA 23:14 Removed trailing space in p~: ngome yenu imeangamizwa!

ISA 23:15 Removed trailing space in v~: Wakati huo Tiro utasahauliwa kwa miaka sabini, muda wa maisha ya mfalme. Lakini mwisho wa miaka hiyo sabini, itakuwa kwa Tiro kama ilivyo katika wimbo wa kahaba:

ISA 23:16 Removed trailing space in v~: “Twaa kinubi, tembea mjini kote,

ISA 23:16 Removed trailing space in p~: ewe kahaba uliyesahauliwa;

ISA 23:16 Removed trailing space in p~: piga kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi,

ISA 23:16 Removed trailing space in p~: ili upate kukumbukwa.”

ISA 23:17 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa miaka sabini, \nd Bwana\nd* atashughulika na Tiro. Naye atarudia ajira yake ya ukahaba, na atafanya biashara yake na falme zote juu ya uso wa dunia.

ISA 23:18 Removed trailing space in v~: Lakini faida na mapato yake yatawekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd*; hayatahifadhiwa wala kufichwa. Faida zake zitakwenda kwa wale wakaao mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya chakula tele na mavazi mazuri.

ISA 24:0 Extra space after chapter number

ISA 24:0 Removed trailing space in c: 24

ISA 24:0 Removed trailing space in s1: Dunia Kuharibiwa Upesi

ISA 24:1 Removed trailing space in v~: Tazama, \nd Bwana\nd* ataifanya dunia kuwa ukiwa

ISA 24:1 Removed trailing space in p~: na kuiharibu,

ISA 24:1 Removed trailing space in p~: naye atauharibu uso wake

ISA 24:1 Removed trailing space in p~: na kutawanya wakaao ndani yake:

ISA 24:2 Removed trailing space in v~: ndivyo itakavyokuwa

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa makuhani na kwa watu,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa bwana na kwa mtumishi,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa bibi na kwa mtumishi wake wa kike,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa muuzaji na kwa mnunuzi,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa mkopaji na kwa mkopeshaji,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa mdaiwa na kwa mdai.

ISA 24:3 Removed trailing space in v~: Dunia itaharibiwa kabisa

ISA 24:3 Removed trailing space in p~: na kutekwa nyara kabisa.

ISA 24:3 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amesema neno hili.

ISA 24:4 Removed trailing space in v~: Dunia inakauka na kunyauka,

ISA 24:4 Removed trailing space in p~: dunia inanyongʼonyea na kunyauka,

ISA 24:4 Removed trailing space in p~: waliotukuzwa wa dunia wananyongʼonyea.

ISA 24:5 Removed trailing space in v~: Dunia imetiwa unajisi na watu wake;

ISA 24:5 Removed trailing space in p~: wameacha kutii sheria,

ISA 24:5 Removed trailing space in p~: wamevunja amri

ISA 24:5 Removed trailing space in p~: na kuvunja agano la milele.

ISA 24:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo laana inaiteketeza dunia,

ISA 24:6 Removed trailing space in p~: watu wake lazima waichukue hatia yao.

ISA 24:6 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wakazi wa dunia wameteketezwa,

ISA 24:6 Removed trailing space in p~: nao waliosalia ni wachache sana.

ISA 24:7 Removed trailing space in v~: Divai mpya inakauka na mzabibu unanyauka,

ISA 24:7 Removed trailing space in p~: watu wote wafurahishao wanalia kwa huzuni.

ISA 24:8 Removed trailing space in v~: Furaha ya matoazi imekoma,

ISA 24:8 Removed trailing space in p~: kelele za wenye furaha zimekoma,

ISA 24:8 Removed trailing space in p~: shangwe za kinubi zimenyamaza.

ISA 24:9 Removed trailing space in v~: Hawanywi tena mvinyo pamoja na wimbo,

ISA 24:9 Removed trailing space in p~: kileo ni kichungu kwa wanywaji wake.

ISA 24:10 Removed trailing space in v~: Mji ulioharibiwa umekuwa ukiwa,

ISA 24:10 Removed trailing space in p~: mlango wa kila nyumba umefungwa.

ISA 24:11 Removed trailing space in v~: Barabarani wanalilia kupata mvinyo,

ISA 24:11 Removed trailing space in p~: furaha yote imegeuka kuwa majonzi,

ISA 24:11 Removed trailing space in p~: furaha yote imefukuziwa mbali na dunia.

ISA 24:12 Removed trailing space in v~: Mji umeachwa katika uharibifu,

ISA 24:12 Removed trailing space in p~: lango lake limevunjwa vipande.

ISA 24:13 Removed trailing space in v~: Ndivyo itakavyokuwa duniani

ISA 24:13 Removed trailing space in p~: na miongoni mwa mataifa,

ISA 24:13 Removed trailing space in p~: kama vile wakati mzeituni upigwavyo,

ISA 24:13 Removed trailing space in p~: au kama vile wakati masazo yabakiavyo baada ya zabibu kuvunwa.

ISA 24:14 Removed trailing space in v~: Wanainua sauti zao, wanapiga kelele kwa furaha,

ISA 24:14 Removed trailing space in p~: kutoka magharibi wanasifu kwa ukelele utukufu wa \nd Bwana\nd*.

ISA 24:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo upande wa mashariki mpeni \nd Bwana\nd* utukufu,

ISA 24:15 Removed trailing space in p~: liadhimisheni jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

ISA 24:15 Removed trailing space in p~: katika visiwa vya bahari.

ISA 24:16 Removed trailing space in v~: Kutoka miisho ya dunia tunasikia uimbaji:

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: “Utukufu kwa Yule Mwenye Haki.”

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: Lakini nilisema, “Ninadhoofika, ninadhoofika!

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: Ole wangu!

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: Watenda hila wanasaliti!

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: Kwa hila watenda hila wanasaliti!”

ISA 24:17 Removed trailing space in v~: Hofu, shimo na mtego vinakungojea,

ISA 24:17 Removed trailing space in p~: ewe mtu ukaaye duniani.

ISA 24:18 Removed trailing space in v~: Kila akimbiaye asikiapo sauti ya hofu

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: atatumbukia shimoni,

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: naye yeyote apandaye kutoka shimoni,

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: atanaswa kwenye mtego.

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: Malango ya gharika ya mbinguni yamefunguliwa,

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: misingi ya dunia inatikisika.

ISA 24:19 Removed trailing space in v~: Dunia imepasuka,

ISA 24:19 Removed trailing space in p~: dunia imechanika,

ISA 24:19 Removed trailing space in p~: dunia imetikiswa kabisa.

ISA 24:20 Removed trailing space in v~: Dunia inapepesuka kama mlevi,

ISA 24:20 Removed trailing space in p~: inayumbayumba kama kibanda kwenye upepo;

ISA 24:20 Removed trailing space in p~: imelemewa sana na mzigo wa hatia ya uasi wake

ISA 24:20 Removed trailing space in p~: na ikianguka kamwe haitainuka tena.

ISA 24:21 Removed trailing space in v~: Katika siku ile \nd Bwana\nd* ataadhibu

ISA 24:21 Removed trailing space in p~: nguvu zilizoko mbinguni juu,

ISA 24:21 Removed trailing space in p~: na wafalme walioko duniani chini.

ISA 24:22 Removed trailing space in v~: Watakusanywa pamoja

ISA 24:22 Removed trailing space in p~: kama wafungwa waliofungwa gerezani,

ISA 24:22 Removed trailing space in p~: watafungiwa gerezani

ISA 24:22 Removed trailing space in p~: na kuadhibiwa baada ya siku nyingi.

ISA 24:23 Removed trailing space in v~: Mwezi utatiwa haya, nalo jua litaaibishwa;

ISA 24:23 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atawala

ISA 24:23 Removed trailing space in p~: juu ya Mlima Sayuni na katika Yerusalemu,

ISA 24:23 Removed trailing space in p~: tena mbele ya wazee wake kwa utukufu.

ISA 25:0 Extra space after chapter number

ISA 25:0 Removed trailing space in c: 25

ISA 25:0 Removed trailing space in s1: Msifuni \nd Bwana\nd*

ISA 25:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni Mungu wangu,

ISA 25:1 Removed trailing space in p~: nitakutukuza na kulisifu jina lako,

ISA 25:1 Removed trailing space in p~: kwa maana katika ukamilifu wa uaminifu

ISA 25:1 Removed trailing space in p~: umetenda mambo ya ajabu,

ISA 25:1 Removed trailing space in p~: mambo yaliyokusudiwa tangu zamani.

ISA 25:2 Removed trailing space in v~: Umeufanya mji kuwa lundo la kifusi,

ISA 25:2 Removed trailing space in p~: mji wenye ngome kuwa magofu,

ISA 25:2 Removed trailing space in p~: ngome imara ya wageni kuwa si mji tena,

ISA 25:2 Removed trailing space in p~: wala hautajengwa tena kamwe.

ISA 25:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu,

ISA 25:3 Removed trailing space in p~: miji ya mataifa katili itakuheshimu wewe.

ISA 25:4 Removed trailing space in v~: Umekuwa kimbilio la watu maskini,

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: kimbilio la mhitaji katika taabu yake,

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: hifadhi wakati wa dhoruba

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: na kivuli wakati wa hari.

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: Kwa maana pumzi ya wakatili

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: ni kama dhoruba ipigayo ukuta

ISA 25:5 Removed trailing space in v~: na kama joto la jangwani.

ISA 25:5 Removed trailing space in p~: Wewe wanyamazisha makelele ya wageni;

ISA 25:5 Removed trailing space in p~: kama vile hari ipunguzwavyo na kivuli cha wingu,

ISA 25:5 Removed trailing space in p~: ndivyo wimbo wa wakatili unyamazishwavyo.

ISA 25:6 Removed trailing space in v~: Juu ya mlima huu \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ataandaa

ISA 25:6 Removed trailing space in p~: karamu ya vinono kwa mataifa yote,

ISA 25:6 Removed trailing space in p~: karamu ya mvinyo wa zamani,

ISA 25:6 Removed trailing space in p~: nyama nzuri sana na divai zilizo bora sana.

ISA 25:7 Removed trailing space in v~: Juu ya mlima huu ataharibu

ISA 25:7 Removed trailing space in p~: sitara ihifadhiyo mataifa yote,

ISA 25:7 Removed trailing space in p~: kile kifuniko kifunikacho mataifa yote,

ISA 25:8 Removed trailing space in v~: yeye atameza mauti milele.

ISA 25:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote;

ISA 25:8 Removed trailing space in p~: ataondoa aibu ya watu wake duniani kote.

ISA 25:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amesema hili.

ISA 25:9 Removed trailing space in v~: Katika siku ile watasema,

ISA 25:9 Removed trailing space in p~: “Hakika huyu ndiye Mungu wetu;

ISA 25:9 Removed trailing space in p~: tulimtumaini, naye akatuokoa.

ISA 25:9 Removed trailing space in p~: Huyu ndiye \nd Bwana\nd*, tuliyemtumaini;

ISA 25:9 Removed trailing space in p~: sisi tushangilie na kufurahia katika wokovu wake.”

ISA 25:10 Removed trailing space in v~: Mkono wa \nd Bwana\nd* utatulia juu ya mlima huu,

ISA 25:10 Removed trailing space in p~: bali Moabu atakanyagwa chini

ISA 25:10 Removed trailing space in p~: kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea.

ISA 25:11 Removed trailing space in v~: Watakunjua mikono yao katikati yake,

ISA 25:11 Removed trailing space in p~: kama vile mwogeleaji akunjuavyo mikono yake ili aogelee.

ISA 25:11 Removed trailing space in p~: Mungu atashusha kiburi chao

ISA 25:11 Removed trailing space in p~: licha ya ujanja wa mikono yao.

ISA 25:12 Removed trailing space in v~: Atabomoa kuta ndefu za maboma yako

ISA 25:12 Removed trailing space in p~: na kuziangusha chini,

ISA 25:12 Removed trailing space in p~: atazishusha chini ardhini,

ISA 25:12 Removed trailing space in p~: mpaka mavumbini kabisa.

ISA 26:0 Extra space after chapter number

ISA 26:0 Removed trailing space in c: 26

ISA 26:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Ushindi

ISA 26:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda:

ISA 26:1 Removed trailing space in p~: Tuna mji ulio na nguvu,

ISA 26:1 Removed trailing space in p~: Mungu huufanya wokovu kuwa kuta zake na maboma yake.

ISA 26:2 Removed trailing space in v~: Fungua malango ili taifa lenye haki lipate kuingia,

ISA 26:2 Removed trailing space in p~: taifa lile lidumishalo imani.

ISA 26:3 Removed trailing space in v~: Utamlinda katika amani kamilifu

ISA 26:3 Removed trailing space in p~: yeye ambaye moyo wake ni thabiti

ISA 26:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu anakutumaini wewe.

ISA 26:4 Removed trailing space in v~: Mtumaini \nd Bwana\nd* milele,

ISA 26:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd*, \nd Bwana\nd*, ni Mwamba wa milele.

ISA 26:5 Removed trailing space in v~: Huwashusha wale wajikwezao,

ISA 26:5 Removed trailing space in p~: huushusha chini mji wenye kiburi,

ISA 26:5 Removed trailing space in p~: huushusha hadi ardhini

ISA 26:5 Removed trailing space in p~: na kuutupa chini mavumbini.

ISA 26:6 Removed trailing space in v~: Miguu huukanyaga chini,

ISA 26:6 Removed trailing space in p~: miguu ya hao walioonewa,

ISA 26:6 Removed trailing space in p~: hatua za hao maskini.

ISA 26:7 Removed trailing space in v~: Mapito ya wenye haki yamenyooka.

ISA 26:7 Removed trailing space in p~: Ewe uliye Mwenye Haki,

ISA 26:7 Removed trailing space in p~: waisawazisha njia ya mtu mnyofu.

ISA 26:8 Removed trailing space in v~: Naam, \nd Bwana\nd*, tukienenda katika sheria zako,

ISA 26:8 Removed trailing space in p~: twakungojea wewe,

ISA 26:8 Removed trailing space in p~: jina lako na sifa zako

ISA 26:8 Removed trailing space in p~: ndizo shauku za mioyo yetu.

ISA 26:9 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu yakutamani wakati wa usiku,

ISA 26:9 Removed trailing space in p~: wakati wa asubuhi roho yangu yakuonea shauku.

ISA 26:9 Removed trailing space in p~: Wakati hukumu zako zinapokuja juu ya dunia,

ISA 26:9 Removed trailing space in p~: watu wa ulimwengu hujifunza haki.

ISA 26:10 Removed trailing space in v~: Ingawa neema yaonyeshwa kwa waovu,

ISA 26:10 Removed trailing space in p~: hawajifunzi haki,

ISA 26:10 Removed trailing space in p~: hata katika nchi ya unyofu huendelea kutenda mabaya

ISA 26:10 Removed trailing space in p~: wala hawazingatii utukufu wa \nd Bwana\nd*.

ISA 26:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mkono wako umeinuliwa juu,

ISA 26:11 Removed trailing space in p~: lakini hawauoni.

ISA 26:11 Removed trailing space in p~: Wao na waone wivu wako kwa ajili ya watu wako tena waaibishwe,

ISA 26:11 Removed trailing space in p~: moto uliowekwa akiba kwa ajili ya adui zako na uwateketeze.

ISA 26:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, unaamuru amani kwa ajili yetu,

ISA 26:12 Removed trailing space in p~: yale yote tuliyoweza kuyakamilisha ni wewe uliyetenda kwa ajili yetu.

ISA 26:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametutawala,

ISA 26:13 Removed trailing space in p~: lakini jina lako pekee ndilo tunaloliheshimu.

ISA 26:14 Removed trailing space in v~: Wao sasa wamekufa, wala hawako tena hai,

ISA 26:14 Removed trailing space in p~: roho za waliokufa hazitarudi tena.

ISA 26:14 Removed trailing space in p~: Uliwaadhibu na kuwaangamiza,

ISA 26:14 Removed trailing space in p~: umefuta kumbukumbu lao lote.

ISA 26:15 Removed trailing space in v~: Umeliongeza hilo taifa, Ee \nd Bwana\nd*,

ISA 26:15 Removed trailing space in p~: umeliongeza hilo taifa.

ISA 26:15 Removed trailing space in p~: Umejipatia utukufu kwa ajili yako mwenyewe,

ISA 26:15 Removed trailing space in p~: umepanua mipaka yote ya nchi.

ISA 26:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, walikujia katika taabu yao,

ISA 26:16 Removed trailing space in p~: wewe ulipowarudi,

ISA 26:16 Removed trailing space in p~: waliweza kuomba kwa kunongʼona tu.

ISA 26:17 Removed trailing space in v~: Kama mwanamke mwenye mimba aliyekaribia kuzaa

ISA 26:17 Removed trailing space in p~: anavyogaagaa na kulia kwa ajili ya maumivu yake,

ISA 26:17 Removed trailing space in p~: ndivyo tulivyokuwa mbele zako, Ee \nd Bwana\nd*.

ISA 26:18 Removed trailing space in v~: Tulikuwa na mimba, tuligaagaa kwa maumivu,

ISA 26:18 Removed trailing space in p~: lakini tulizaa upepo.

ISA 26:18 Removed trailing space in p~: Hatukuleta wokovu duniani,

ISA 26:18 Removed trailing space in p~: hatujazaa watu katika ulimwengu huu.

ISA 26:19 Removed trailing space in v~: Lakini wafu wenu wataishi,

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: nayo miili yao itafufuka.

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: Ninyi mnaokaa katika mavumbi,

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: amkeni mkapige kelele kwa furaha.

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: Umande wenu ni kama umande wa asubuhi,

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: dunia itawazaa wafu wake.

ISA 26:20 Removed trailing space in v~: Nendeni, watu wangu, ingieni vyumbani mwenu

ISA 26:20 Removed trailing space in p~: na mfunge milango nyuma yenu,

ISA 26:20 Removed trailing space in p~: jificheni kwa kitambo kidogo

ISA 26:20 Removed trailing space in p~: mpaka ghadhabu yake ipite.

ISA 26:21 Removed trailing space in v~: Tazama, \nd Bwana\nd* anakuja kutoka makao yake

ISA 26:21 Removed trailing space in p~: ili kuwaadhibu watu wa dunia kwa ajili ya dhambi zao.

ISA 26:21 Removed trailing space in p~: Dunia itadhihirisha umwagaji damu juu yake,

ISA 26:21 Removed trailing space in p~: wala haitaendelea kuwaficha watu wake waliouawa.

ISA 27:0 Extra space after chapter number

ISA 27:0 Removed trailing space in c: 27

ISA 27:0 Removed trailing space in s1: Wokovu Kwa Ajili Ya Israeli

ISA 27:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ile,

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ataadhibu kwa upanga wake,

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: upanga wake mkali, mkubwa na wenye nguvu,

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: ataadhibu Lewiathani\f + \fr 27:1 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa.\f* yule nyoka apitaye kwa mwendo laini,

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: Lewiathani yule nyoka mwenye kujipinda;

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: atamuua joka huyo mkubwa sana wa baharini.

ISA 27:2 Removed trailing space in v~: Katika siku ile:

ISA 27:2 Removed trailing space in p~: “Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa:

ISA 27:3 Removed trailing space in v~: Mimi, \nd Bwana\nd*, ninalitunza,

ISA 27:3 Removed trailing space in p~: nalinyweshea maji mfululizo.

ISA 27:3 Removed trailing space in p~: Ninalichunga usiku na mchana

ISA 27:3 Removed trailing space in p~: ili mtu yeyote asije akalidhuru.

ISA 27:4 Removed trailing space in v~: Mimi sijakasirika.

ISA 27:4 Removed trailing space in p~: Licha pangekuwepo michongoma na miiba kunikabili!

ISA 27:4 Removed trailing space in p~: Ningepambana dhidi yake katika vita,

ISA 27:4 Removed trailing space in p~: ningeliichoma moto yote.

ISA 27:5 Removed trailing space in v~: Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio,

ISA 27:5 Removed trailing space in p~: wao na wafanye amani nami,

ISA 27:5 Removed trailing space in p~: naam, wafanye amani nami.”

ISA 27:6 Removed trailing space in v~: Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi,

ISA 27:6 Removed trailing space in p~: Israeli atatoa chipukizi na kuchanua maua,

ISA 27:6 Removed trailing space in p~: naye atajaza ulimwengu wote kwa matunda.

ISA 27:7 Removed trailing space in v~: Je, \nd Bwana\nd* amempiga

ISA 27:7 Removed trailing space in p~: vile alivyowapiga wale waliompiga?

ISA 27:7 Removed trailing space in p~: Je, yeye ameuawa

ISA 27:7 Removed trailing space in p~: vile walivyouawa wale waliomuua yeye?

ISA 27:8 Removed trailing space in v~: Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye:

ISA 27:8 Removed trailing space in p~: kwa mshindo wake mkali anamfukuza,

ISA 27:8 Removed trailing space in p~: kama siku ile uvumapo upepo wa mashariki.

ISA 27:9 Removed trailing space in v~: Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho,

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: nalo hili litakuwa matunda ya utimilizo wa kuondolewa kwa dhambi yake:

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: Wakati atakapoyafanya mawe yote ya madhabahu

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa vipande vipande,

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: hakuna nguzo za Ashera au madhabahu za kufukizia uvumba

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: zitakazobaki zimesimama.

ISA 27:10 Removed trailing space in v~: Mji ulio na boma umebaki ukiwa,

ISA 27:10 Removed trailing space in p~: makao yaliyotelekezwa, yaliyoachwa kama jangwa.

ISA 27:10 Removed trailing space in p~: Huko ndama hulisha,

ISA 27:10 Removed trailing space in p~: huko hujilaza,

ISA 27:10 Removed trailing space in p~: wanakwanyua matawi yake.

ISA 27:11 Removed trailing space in v~: Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa

ISA 27:11 Removed trailing space in p~: nao wanawake huja na kuwasha navyo moto.

ISA 27:11 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa hili ni taifa lisilo na ufahamu,

ISA 27:11 Removed trailing space in p~: kwa hiyo yeye aliyewafanya hana huruma juu yao,

ISA 27:11 Removed trailing space in p~: Muumba wao hawaonyeshi fadhili.

ISA 27:12 Removed trailing space in v~: Katika siku ile \nd Bwana\nd* atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja.

ISA 27:13 Removed trailing space in v~: Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu \nd Bwana\nd* katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.

ISA 28:0 Extra space after chapter number

ISA 28:0 Removed trailing space in c: 28

ISA 28:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Efraimu

ISA 28:1 Removed trailing space in v~: Ole kwa lile taji la maua, kiburi cha walevi wa Efraimu,

ISA 28:1 Removed trailing space in p~: kwa ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,

ISA 28:1 Removed trailing space in p~: uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba:

ISA 28:1 Removed trailing space in p~: kwa ule mji, kiburi cha wale walioshushwa na mvinyo!

ISA 28:2 Removed trailing space in v~: Tazama, Bwana anaye mmoja aliye na uwezo na nguvu.

ISA 28:2 Removed trailing space in p~: Kama dhoruba ya mvua ya mawe na upepo uharibuo,

ISA 28:2 Removed trailing space in p~: kama mvua inyeshayo kwa nguvu na mafuriko yashukayo,

ISA 28:2 Removed trailing space in p~: atakiangusha chini kwa nguvu.

ISA 28:3 Removed trailing space in v~: Lile taji la maua, kiburi cha walevi cha Efraimu,

ISA 28:3 Removed trailing space in p~: kitakanyagwa chini ya nyayo.

ISA 28:4 Removed trailing space in v~: Lile ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,

ISA 28:4 Removed trailing space in p~: uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba,

ISA 28:4 Removed trailing space in p~: litakuwa kama tini iliyoiva kabla ya mavuno:

ISA 28:4 Removed trailing space in p~: mara mtu aionapo, huichuma na kuila.

ISA 28:5 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 28:5 Removed trailing space in p~: atakuwa taji la utukufu,

ISA 28:5 Removed trailing space in p~: taji zuri la maua

ISA 28:5 Removed trailing space in p~: kwa mabaki ya watu wake.

ISA 28:6 Removed trailing space in v~: Atakuwa roho ya haki

ISA 28:6 Removed trailing space in p~: kwa yeye aketiye katika kiti cha hukumu,

ISA 28:6 Removed trailing space in p~: chanzo cha nguvu

ISA 28:6 Removed trailing space in p~: kwa wale wazuiao vita langoni.

ISA 28:7 Removed trailing space in v~: Hawa pia wanapepesuka kwa sababu ya mvinyo,

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: wanayumbayumba kwa sababu ya kileo:

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: Makuhani na manabii wanapepesuka kwa sababu ya kileo,

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: wanachanganyikiwa kwa sababu ya mvinyo;

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: wanapepesuka wanapoona maono,

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: wanajikwaa wanapotoa maamuzi.

ISA 28:8 Removed trailing space in v~: Meza zote zimejawa na matapishi

ISA 28:8 Removed trailing space in p~: wala hakuna sehemu hata ndogo

ISA 28:8 Removed trailing space in p~: isiyokuwa na uchafu.

ISA 28:9 Removed trailing space in v~: “Yeye anajaribu kumfundisha nani?

ISA 28:9 Removed trailing space in p~: Yeye anamwelezea nani ujumbe wake?

ISA 28:9 Removed trailing space in p~: Je, ni kwa watoto walioachishwa kunyonya?

ISA 28:9 Removed trailing space in p~: Je, ni wale ambao ndipo tu wametolewa matitini?

ISA 28:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni:

ISA 28:10 Removed trailing space in p~: Amri juu ya amri, amri juu ya amri,

ISA 28:10 Removed trailing space in p~: kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni;

ISA 28:10 Removed trailing space in p~: hapa kidogo, kule kidogo.”

ISA 28:11 Removed trailing space in v~: Sawa kabisa, kwa midomo migeni

ISA 28:11 Removed trailing space in p~: na kwa lugha ngeni,

ISA 28:11 Removed trailing space in p~: Mungu atasema na watu hawa,

ISA 28:12 Removed trailing space in v~: wale ambao aliwaambia,

ISA 28:12 Removed trailing space in p~: “Hapa ni mahali pa kupumzika,

ISA 28:12 Removed trailing space in p~: waliochoka na wapumzike,”

ISA 28:12 Removed trailing space in p~: na, “Hapa ni mahali pa mapumziko,”

ISA 28:12 Removed trailing space in p~: lakini hawakutaka kusikiliza.

ISA 28:13 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, neno la \nd Bwana\nd* kwao litakuwa:

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: Amri juu ya amri, amri juu ya amri,

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni,

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: hapa kidogo, kule kidogo:

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: ili waende na kuanguka chali,

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: wakijeruhiwa, wakinaswa na kukamatwa.

ISA 28:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi watu wenye dharau

ISA 28:14 Removed trailing space in p~: mnaotawala watu hawa wa Yerusalemu.

ISA 28:15 Removed trailing space in v~: Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti,

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: tumefanya mapatano na kuzimu.

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: Wakati pigo lifurikalo litakapopita,

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: haliwezi kutugusa sisi,

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.”

ISA 28:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hivi ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemavyo:

ISA 28:16 Removed trailing space in p~: “Tazama, ninaweka jiwe katika Sayuni,

ISA 28:16 Removed trailing space in p~: jiwe lililojaribiwa,

ISA 28:16 Removed trailing space in p~: jiwe la pembeni la thamani kwa ajili ya msingi thabiti.

ISA 28:16 Removed trailing space in p~: Yeye atumainiye kamwe hatatiwa hofu.

ISA 28:17 Removed trailing space in v~: Nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia

ISA 28:17 Removed trailing space in p~: na uadilifu kuwa timazi;

ISA 28:17 Removed trailing space in p~: mvua ya mawe itafagia kimbilio lenu, huo uongo,

ISA 28:17 Removed trailing space in p~: nayo maji yatafurikia mahali penu pa kujificha.

ISA 28:18 Removed trailing space in v~: Agano lenu na kifo litabatilishwa,

ISA 28:18 Removed trailing space in p~: patano lenu na kuzimu halitasimama.

ISA 28:18 Removed trailing space in p~: Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba,

ISA 28:18 Removed trailing space in p~: litawaangusha chini.

ISA 28:19 Removed trailing space in v~: Kila mara lijapo litawachukua,

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: asubuhi baada ya asubuhi,

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: wakati wa mchana na wakati wa usiku,

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: litawakumba tangu mwanzo hadi mwisho.”

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: Kuuelewa ujumbe huu

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: utaleta hofu tupu.

ISA 28:20 Removed trailing space in v~: Kitanda ni kifupi mno kujinyoosha juu yake,

ISA 28:20 Removed trailing space in p~: nguo ya kujifunikia ni nyembamba mno

ISA 28:20 Removed trailing space in p~: mtu hawezi kujifunikia.

ISA 28:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atainuka kama alivyofanya kwenye Mlima Perasimu,

ISA 28:21 Removed trailing space in p~: ataghadhibika kama alivyofanya katika Bonde la Gibeoni:

ISA 28:21 Removed trailing space in p~: ili kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu,

ISA 28:21 Removed trailing space in p~: ili kutimiza kazi yake, kazi yake ngeni.

ISA 28:22 Removed trailing space in v~: Sasa acheni dharau zenu,

ISA 28:22 Removed trailing space in p~: la sivyo minyororo yenu itakuwa mizito zaidi.

ISA 28:22 Removed trailing space in p~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, ameniambia

ISA 28:22 Removed trailing space in p~: habari za maangamizi yaliyoamriwa dhidi ya nchi yote.

ISA 28:23 Removed trailing space in v~: Sikilizeni msikie sauti yangu,

ISA 28:23 Removed trailing space in p~: tegeni masikio na msikie niyasemayo.

ISA 28:24 Removed trailing space in v~: Wakati mkulima alimapo ili apande,

ISA 28:24 Removed trailing space in p~: je, hulima siku zote?

ISA 28:24 Removed trailing space in p~: Je, huendelea kubomoa ardhi

ISA 28:24 Removed trailing space in p~: na kusawazisha udongo?

ISA 28:25 Removed trailing space in v~: Akiisha kusawazisha shamba,

ISA 28:25 Removed trailing space in p~: je, hatapanyi mbegu za bizari na kutawanya jira?

ISA 28:25 Removed trailing space in p~: Je, hapandi ngano katika sehemu yake,

ISA 28:25 Removed trailing space in p~: shayiri katika eneo lake,

ISA 28:25 Removed trailing space in p~: na nafaka nyingine katika shamba lake?

ISA 28:26 Removed trailing space in v~: Mungu wake humwelekeza

ISA 28:26 Removed trailing space in p~: na kumfundisha njia iliyo sahihi.

ISA 28:27 Removed trailing space in v~: Iliki haipurwi kwa nyundo,

ISA 28:27 Removed trailing space in p~: wala gurudumu la gari halivingirishwi juu ya jira;

ISA 28:27 Removed trailing space in p~: iliki hupurwa kwa fimbo,

ISA 28:27 Removed trailing space in p~: na jira kwa ufito.

ISA 28:28 Removed trailing space in v~: Nafaka lazima isagwe ili kutengeneza mkate,

ISA 28:28 Removed trailing space in p~: kwa hiyo mtu haendelei kuipura daima.

ISA 28:28 Removed trailing space in p~: Ingawa huendesha magurudumu ya gari lake la kupuria juu yake,

ISA 28:28 Removed trailing space in p~: farasi wake hawasagi.

ISA 28:29 Removed trailing space in v~: Haya yote pia hutoka kwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 28:29 Removed trailing space in p~: mwenye mashauri ya ajabu, na anayepita wote kwa hekima.

ISA 29:0 Extra space after chapter number

ISA 29:0 Removed trailing space in c: 29

ISA 29:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Mji Wa Daudi

ISA 29:1 Removed trailing space in v~: Ole wako, wewe Arieli, Arieli,

ISA 29:1 Removed trailing space in p~: mji alimokaa Daudi!

ISA 29:1 Removed trailing space in p~: Ongezeni mwaka kwa mwaka,

ISA 29:1 Removed trailing space in p~: na mzunguko wa sikukuu zenu uendelee.

ISA 29:2 Removed trailing space in v~: Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi,

ISA 29:2 Removed trailing space in p~: utalia na kuomboleza,

ISA 29:2 Removed trailing space in p~: utakuwa kwangu kama mahali

ISA 29:2 Removed trailing space in p~: pa kuwashia moto madhabahuni.

ISA 29:3 Removed trailing space in v~: Nitapiga kambi pande zote dhidi yako,

ISA 29:3 Removed trailing space in p~: nitakuzunguka kwa minara

ISA 29:3 Removed trailing space in p~: na kupanga mazingirwa yangu dhidi yako.

ISA 29:4 Removed trailing space in v~: Utakaposhushwa, utanena kutoka ardhini,

ISA 29:4 Removed trailing space in p~: utamumunya maneno yako kutoka mavumbini.

ISA 29:4 Removed trailing space in p~: Sauti yako itatoka katika nchi kama vile ya mzimu,

ISA 29:4 Removed trailing space in p~: utanongʼona maneno yako toka mavumbini.

ISA 29:5 Removed trailing space in v~: Lakini adui zako wengi watakuwa kama vumbi laini,

ISA 29:5 Removed trailing space in p~: kundi la wakatili watakuwa

ISA 29:5 Removed trailing space in p~: kama makapi yapeperushwayo.

ISA 29:5 Removed trailing space in p~: Naam, ghafula, mara moja,

ISA 29:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atakuja

ISA 29:6 Removed trailing space in p~: na ngurumo, tetemeko la ardhi, na kwa sauti kuu,

ISA 29:6 Removed trailing space in p~: atakuja na dhoruba, tufani na miali ya moto iteketezayo.

ISA 29:7 Removed trailing space in v~: Kisha makundi ya mataifa yote yale yapiganayo dhidi ya Arieli,

ISA 29:7 Removed trailing space in p~: yale yanayomshambulia yeye na ngome zake, na kumzunguka kwa jeshi,

ISA 29:7 Removed trailing space in p~: watakuwa kama ilivyo ndoto,

ISA 29:7 Removed trailing space in p~: kama maono wakati wa usiku:

ISA 29:8 Removed trailing space in v~: kama vile mtu aliye na njaa aotavyo kuwa anakula,

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: lakini huamka, bado njaa yake ingalipo,

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: kama vile mtu mwenye kiu aotavyo kuwa anakunywa maji,

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: lakini huamka akiwa anazimia, akiwa bado angali ana kiu.

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa makundi yote ya mataifa

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: yanayopigana dhidi ya Mlima Sayuni.

ISA 29:9 Removed trailing space in v~: Duwaeni na kushangaa,

ISA 29:9 Removed trailing space in p~: jifanyeni vipofu wenyewe na msione,

ISA 29:9 Removed trailing space in p~: leweni, lakini si kwa mvinyo,

ISA 29:9 Removed trailing space in p~: pepesukeni lakini si kwa kileo.

ISA 29:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amewaleteeni usingizi mzito:

ISA 29:10 Removed trailing space in p~: Ameziba macho yenu (ninyi manabii);

ISA 29:10 Removed trailing space in p~: amefunika vichwa vyenu (ninyi waonaji).

ISA 29:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwenu ninyi, maono haya yote si kitu ila maneno yaliyotiwa lakiri katika kitabu. Kama mkimpa mtu yeyote awezaye kusoma kitabu hiki, nanyi mkamwambia, “Tafadhali kisome,” yeye atajibu, “Mimi siwezi, kwa kuwa kimetiwa lakiri.”

ISA 29:12 Removed trailing space in v~: Au kama mkimpa mtu yeyote kitabu hiki asiyeweza kusoma na kumwambia, “Tafadhali kisome,” atajibu, “Mimi sijui kusoma.”

ISA 29:13 Removed trailing space in v~: Bwana anasema:

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: na kuniheshimu kwa midomo yao,

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: lakini mioyo yao iko mbali nami.

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: Ibada yao kwangu inatokana na maagizo

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: waliyofundishwa na wanadamu.

ISA 29:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza watu hawa,

ISA 29:14 Removed trailing space in p~: kwa ajabu juu ya ajabu.

ISA 29:14 Removed trailing space in p~: Hekima ya wenye hekima itapotea,

ISA 29:14 Removed trailing space in p~: nayo akili ya wenye akili itatoweka.”

ISA 29:15 Removed trailing space in v~: Ole kwa wale wanaokwenda kwenye vilindi virefu

ISA 29:15 Removed trailing space in p~: kumficha \nd Bwana\nd* mipango yao,

ISA 29:15 Removed trailing space in p~: wafanyao kazi zao gizani na kufikiri,

ISA 29:15 Removed trailing space in p~: “Ni nani anayetuona? Ni nani atakayejua?”

ISA 29:16 Removed trailing space in v~: Mnapindua mambo juu chini,

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: kana kwamba mfinyanzi aweza kufikiriwa kuwa kama udongo wa mfinyanzi!

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: Je, kile kilichofinyangwa chaweza kumwambia yule aliyekifinyanga,

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: “Wewe hukunifinyanga mimi?”

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: Je, chungu kinaweza kumwambia mfinyanzi,

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: “Wewe hujui chochote?”

ISA 29:17 Removed trailing space in v~: Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba,

ISA 29:17 Removed trailing space in p~: na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?

ISA 29:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ile viziwi watasikia maneno ya kitabu,

ISA 29:18 Removed trailing space in p~: na katika utusitusi na giza

ISA 29:18 Removed trailing space in p~: macho ya kipofu yataona.

ISA 29:19 Removed trailing space in v~: Mara nyingine tena wanyenyekevu watafurahi katika \nd Bwana\nd*,

ISA 29:19 Removed trailing space in p~: wahitaji watafurahi katika yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 29:20 Removed trailing space in v~: Wakatili watatoweka na wenye kudhihaki watatokomea,

ISA 29:20 Removed trailing space in p~: nao wote wenye jicho la uovu watakatiliwa mbali,

ISA 29:21 Removed trailing space in v~: wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia,

ISA 29:21 Removed trailing space in p~: wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama,

ISA 29:21 Removed trailing space in p~: na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki

ISA 29:21 Removed trailing space in p~: yeye asiye na hatia.

ISA 29:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd*, aliyemkomboa Abrahamu, analosema kwa nyumba ya Yakobo:

ISA 29:22 Removed trailing space in p~: “Yakobo hataaibishwa tena,

ISA 29:22 Removed trailing space in p~: wala nyuso zao hazitabadilika sura tena.

ISA 29:23 Removed trailing space in v~: Wakati watakapoona watoto wao miongoni mwao,

ISA 29:23 Removed trailing space in p~: kazi ya mikono yangu,

ISA 29:23 Removed trailing space in p~: watalitakasa Jina langu takatifu;

ISA 29:23 Removed trailing space in p~: wataukubali utakatifu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Yakobo,

ISA 29:23 Removed trailing space in p~: nao watamcha Mungu wa Israeli.

ISA 29:24 Removed trailing space in v~: Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu,

ISA 29:24 Removed trailing space in p~: nao wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”

ISA 30:0 Extra space after chapter number

ISA 30:0 Removed trailing space in c: 30

ISA 30:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Taifa Kaidi

ISA 30:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema,

ISA 30:1 Removed trailing space in p~: “Ole kwa watoto wakaidi,

ISA 30:1 Removed trailing space in p~: kwa wale wanaotimiza mipango ambayo si yangu,

ISA 30:1 Removed trailing space in p~: wakifanya makubaliano, lakini si kwa Roho wangu,

ISA 30:1 Removed trailing space in p~: wakilundika dhambi juu ya dhambi,

ISA 30:2 Removed trailing space in v~: wale washukao kwenda Misri

ISA 30:2 Removed trailing space in p~: bila kutaka shauri langu,

ISA 30:2 Removed trailing space in p~: wanaotafuta msaada wa ulinzi wa Farao,

ISA 30:2 Removed trailing space in p~: watafutao kivuli cha Misri kwa ajili ya kimbilio.

ISA 30:3 Removed trailing space in v~: Lakini ulinzi wa Farao utakuwa kwa aibu yenu,

ISA 30:3 Removed trailing space in p~: kivuli cha Misri kitawaletea fedheha.

ISA 30:4 Removed trailing space in v~: Ingawa wana maafisa katika Soani

ISA 30:4 Removed trailing space in p~: na wajumbe wamewasili katika Hanesi,

ISA 30:5 Removed trailing space in v~: kila mmoja ataaibishwa

ISA 30:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya taifa lisilowafaa kitu,

ISA 30:5 Removed trailing space in p~: ambalo haliwaletei msaada wala faida,

ISA 30:5 Removed trailing space in p~: bali aibu tu na fedheha.”

ISA 30:6 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu wanyama wa Negebu:

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: Katika nchi ya taabu na shida,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: ya simba za dume na jike,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: ya nyoka mwenye sumu kali na nyoka warukao,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: wajumbe huchukua utajiri wao juu ya migongo ya punda,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: hazina zao juu ya nundu za ngamia,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: kwa lile taifa lisilokuwa na faida,

ISA 30:7 Removed trailing space in v~: kuvipeleka Misri,

ISA 30:7 Removed trailing space in p~: ambaye msaada wake haufai kabisa.

ISA 30:7 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nimemwita “Rahabu Asiyefanya Chochote.”

ISA 30:8 Removed trailing space in v~: Nenda sasa, liandike neno hili juu ya kibao kwa ajili yao,

ISA 30:8 Removed trailing space in p~: liandike kwenye kitabu,

ISA 30:8 Removed trailing space in p~: ili liweze kuwa shahidi milele

ISA 30:8 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya siku zijazo.

ISA 30:9 Removed trailing space in v~: Hawa ni watu waasi, watoto wadanganyifu,

ISA 30:9 Removed trailing space in p~: watoto ambao hawataki kusikiliza mafundisho ya \nd Bwana\nd*.

ISA 30:10 Removed trailing space in v~: Wanawaambia waonaji,

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: “Msione maono tena!”

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: Nako kwa manabii wanasema,

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: “Msiendelee kutupatia maono

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: ambayo ni ya kweli!

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: Tuambieni mambo ya kupendeza,

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: tabirini mambo ya uongo.

ISA 30:11 Removed trailing space in v~: Acheni njia hii,

ISA 30:11 Removed trailing space in p~: ondokeni katika mapito haya,

ISA 30:11 Removed trailing space in p~: nanyi acheni kutukabili pamoja

ISA 30:11 Removed trailing space in p~: na yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli!”

ISA 30:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo asemalo yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

ISA 30:12 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu mmekataa ujumbe huu,

ISA 30:12 Removed trailing space in p~: mkategemea uonevu na kutumainia udanganyifu,

ISA 30:13 Removed trailing space in v~: dhambi hii itakuwa kwenu

ISA 30:13 Removed trailing space in p~: kama ukuta mrefu,

ISA 30:13 Removed trailing space in p~: wenye ufa na wenye kubetuka,

ISA 30:13 Removed trailing space in p~: ambao unaanguka ghafula,

ISA 30:13 Removed trailing space in p~: mara moja.

ISA 30:14 Removed trailing space in v~: Utavunjika vipande vipande kama chombo cha udongo

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: ukipasuka pasipo huruma

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: ambapo katika vipande vyake

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: hakuna kipande kitakachopatikana

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: kwa kuukulia makaa kutoka jikoni

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: au kuchotea maji kisimani.”

ISA 30:15 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, asemalo:

ISA 30:15 Removed trailing space in p~: “Katika kutubu na kupumzika ndio wokovu wenu,

ISA 30:15 Removed trailing space in p~: katika kutulia na kutumaini ndizo nguvu zenu,

ISA 30:15 Removed trailing space in p~: lakini hamkutaka.

ISA 30:16 Removed trailing space in v~: Mlisema, ‘Hapana, tutakimbia kwa farasi.’

ISA 30:16 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo mtakimbia!

ISA 30:16 Removed trailing space in p~: Mlisema, ‘Tutakimbia kwa farasi waendao kasi.’

ISA 30:16 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wanaowafukuza watakwenda kasi!

ISA 30:17 Removed trailing space in v~: Watu 1,000 watakimbia

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kitisho cha mtu mmoja,

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: kwa vitishio vya watu watano

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: wote mtakimbia,

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: hadi mtakapoachwa kama mlingoti wa bendera

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: juu ya kilele cha mlima,

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: kama bendera juu ya kilima.”

ISA 30:18 Removed trailing space in v~: Hata hivyo \nd Bwana\nd* anatamani kutupatia neema,

ISA 30:18 Removed trailing space in p~: anainuka ili kuwaonyesha huruma.

ISA 30:18 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni Mungu wa haki.

ISA 30:18 Removed trailing space in p~: Wamebarikiwa wote wanaomngojea yeye!

ISA 30:19 Removed trailing space in v~: Enyi watu wa Sayuni, mnaoishi Yerusalemu, hamtalia tena. Tazameni jinsi atakavyokuwa na huruma mtakapolia kwa kumwomba msaada! Mara asikiapo, atawajibu.

ISA 30:20 Removed trailing space in v~: Ingawa Bwana huwapa chakula cha shida na maji ya taabu, walimu wenu hawatafichwa tena, kwa macho yenu wenyewe mtawaona.

ISA 30:21 Removed trailing space in v~: Mkigeuka kuume au kushoto, masikio yenu yatasikia sauti nyuma yenu ikisema, “Hii ndiyo njia, ifuateni.”

ISA 30:22 Removed trailing space in v~: Kisha mtanajisi sanamu zenu zilizofunikwa kwa fedha, na vinyago vyenu vilivyofunikwa kwa dhahabu. Mtazitupilia mbali kama vitambaa vya wakati wa hedhi na kuziambia, “Haya, tokeni hapa!”

ISA 30:23 Removed trailing space in v~: Pia atawapa mvua kwa ajili ya mbegu mnazootesha ardhini, chakula kinachotoka ardhini kitakuwa kizuri sana, tena tele. Katika siku ile, ngʼombe wenu watalisha katika shamba pana la majani.

ISA 30:24 Removed trailing space in v~: Maksai na punda walimao watakula majani makavu na vyakula vilivyotengenezwa, vinavyotandazwa kwa uma na sepeto.

ISA 30:25 Removed trailing space in v~: Katika siku ile ya mauaji makuu, wakati minara itakapoanguka, vijito vya maji vitatiririka juu ya kila mlima mrefu na kila kilima kilichoinuka sana.

ISA 30:26 Removed trailing space in v~: Mwezi utaangaza kama jua, nao mwanga wa jua utangʼaa mara saba zaidi, kama nuru ya siku saba, wakati \nd Bwana\nd* atakapoyafunga majeraha ya watu wake na kuwaponya vidonda alivyowatia.

ISA 30:27 Removed trailing space in v~: Tazama, Jina la \nd Bwana\nd* linakuja kutoka mbali,

ISA 30:27 Removed trailing space in p~: likiwa na hasira kali inayowaka

ISA 30:27 Removed trailing space in p~: pamoja na wingu zito la moshi,

ISA 30:27 Removed trailing space in p~: midomo yake imejaa ghadhabu

ISA 30:27 Removed trailing space in p~: na ulimi wake ni moto ulao.

ISA 30:28 Removed trailing space in v~: Pumzi yake ni kama mkondo wa maji yaendayo kasi,

ISA 30:28 Removed trailing space in p~: yakipanda hadi shingoni.

ISA 30:28 Removed trailing space in p~: Hutikisa mataifa katika chekecheke ya uharibifu,

ISA 30:28 Removed trailing space in p~: huweka lijamu katika mataya ya mataifa

ISA 30:28 Removed trailing space in p~: ambayo huwaongoza upotevuni.

ISA 30:29 Removed trailing space in v~: Nanyi mtaimba kama usiku ule mnaadhimisha

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: sikukuu takatifu.

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: Mioyo yenu itashangilia

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: kama vile watu wanapokwea na filimbi

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: kwenye mlima wa \nd Bwana\nd*,

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: kwa Mwamba wa Israeli.

ISA 30:30 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawasababisha watu waisikie sauti yake ya utukufu,

ISA 30:30 Removed trailing space in p~: naye atawafanya wauone mkono wake ukishuka

ISA 30:30 Removed trailing space in p~: pamoja na hasira yake kali na moto ulao,

ISA 30:30 Removed trailing space in p~: kukiwa na tufani ya mvua,

ISA 30:30 Removed trailing space in p~: ngurumo za radi na mvua ya mawe.

ISA 30:31 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* itaivunjavunja Ashuru,

ISA 30:31 Removed trailing space in p~: kwa fimbo yake ya utawala atawapiga.

ISA 30:32 Removed trailing space in v~: Kila pigo \nd Bwana\nd* atakaloliweka juu yao

ISA 30:32 Removed trailing space in p~: kwa fimbo yake ya kuadhibu,

ISA 30:32 Removed trailing space in p~: litakuwa kwa wimbo wa matari na vinubi,

ISA 30:32 Removed trailing space in p~: anapopigana nao katika vita

ISA 30:32 Removed trailing space in p~: kwa mapigo ya mkono wake.

ISA 30:33 Removed trailing space in v~: Tofethi imeandaliwa toka zamani,

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: imewekwa tayari kwa ajili ya mfalme.

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: Shimo lake la moto limetengenezwa kwa kina kirefu

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: na kwa upana mkubwa,

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: likiwa na moto na kuni tele;

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: pumzi ya \nd Bwana\nd*,

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: kama kijito cha kiberiti,

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: huuwasha moto.

ISA 31:0 Extra space after chapter number

ISA 31:0 Removed trailing space in c: 31

ISA 31:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Wale Wanaotegemea Misri

ISA 31:1 Removed trailing space in v~: Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: wale wategemeao farasi,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: na katika nguvu nyingi za wapanda farasi,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: wala hawatafuti msaada kwa \nd Bwana\nd*.

ISA 31:2 Removed trailing space in v~: Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa,

ISA 31:2 Removed trailing space in p~: wala hayatangui maneno yake.

ISA 31:2 Removed trailing space in p~: Yeye atainuka dhidi ya nyumba ya mwovu,

ISA 31:2 Removed trailing space in p~: dhidi ya wale ambao huwasaidia watenda mabaya.

ISA 31:3 Removed trailing space in v~: Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu,

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: farasi wao ni nyama, wala si roho.

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: Wakati \nd Bwana\nd* atakaponyoosha Mkono wake,

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: yeye anayesaidia atajikwaa,

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: naye anayesaidiwa ataanguka,

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: wote wawili wataangamia pamoja.

ISA 31:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* analoniambia:

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: “Kama vile simba angurumavyo,

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: simba mkubwa juu ya mawindo yake:

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: hata ingawa kundi lote la wachunga mifugo

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: huitwa pamoja dhidi yake,

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: hatiwi hofu na kelele zao

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: wala kusumbuliwa na ghasia zao;

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atakavyoshuka

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: kufanya vita juu ya Mlima Sayuni

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: na juu ya vilele vyake.

ISA 31:5 Removed trailing space in v~: Kama ndege warukao,

ISA 31:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ataukinga Yerusalemu;

ISA 31:5 Removed trailing space in p~: ataukinga na kuuokoa,

ISA 31:5 Removed trailing space in p~: atapita juu yake na kuufanya salama.”

ISA 31:6 Removed trailing space in v~: Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.

ISA 31:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.

ISA 31:8 Removed trailing space in v~: “Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu;

ISA 31:8 Removed trailing space in p~: upanga usio wa kibinadamu utawaangamiza.

ISA 31:8 Removed trailing space in p~: Watakimbia mbele ya upanga

ISA 31:8 Removed trailing space in p~: na vijana wao wa kiume watafanyizwa kazi kwa lazima.

ISA 31:9 Removed trailing space in v~: Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu;

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: kwa kuona bendera ya vita,

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,”

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: ambaye moto wake uko Sayuni,

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: nayo tanuru yake iko Yerusalemu.

ISA 32:0 Extra space after chapter number

ISA 32:0 Removed trailing space in c: 32

ISA 32:0 Removed trailing space in s1: Ufalme Wa Haki

ISA 32:1 Removed trailing space in v~: Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu

ISA 32:1 Removed trailing space in p~: na watawala watatawala kwa haki.

ISA 32:2 Removed trailing space in v~: Kila mtu atakuwa kama kivuli cha kujificha kutokana na upepo

ISA 32:2 Removed trailing space in p~: na kimbilio kutokana na dhoruba,

ISA 32:2 Removed trailing space in p~: kama vijito vya maji jangwani

ISA 32:2 Removed trailing space in p~: na kivuli cha mwamba mkubwa katika ardhi yenye kiu.

ISA 32:3 Removed trailing space in v~: Ndipo macho ya wale wanaoona hayatafumbwa tena,

ISA 32:3 Removed trailing space in p~: nayo masikio ya wale wanaosikia yatasikiliza.

ISA 32:4 Removed trailing space in v~: Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa,

ISA 32:4 Removed trailing space in p~: nao ulimi wenye kigugumizi utanena kwa ufasaha.

ISA 32:5 Removed trailing space in v~: Mpumbavu hataitwa tena muungwana,

ISA 32:5 Removed trailing space in p~: wala mtu mbaya kabisa kupewa heshima ya juu.

ISA 32:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mpumbavu hunena upumbavu,

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: moyo wake hushughulika na uovu:

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: Hutenda mambo yasiyo ya kumcha Mungu,

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: na hueneza habari za makosa kuhusu \nd Bwana\nd*;

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: yeye huwaacha wenye njaa bila kitu,

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: na wenye kiu huwanyima maji.

ISA 32:7 Removed trailing space in v~: Taratibu za mtu mbaya kabisa ni ovu,

ISA 32:7 Removed trailing space in p~: hufanya mipango miovu

ISA 32:7 Removed trailing space in p~: ili kumwangamiza maskini kwa uongo,

ISA 32:7 Removed trailing space in p~: hata wakati ambapo hoja za mhitaji ni za haki.

ISA 32:8 Removed trailing space in v~: Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana,

ISA 32:8 Removed trailing space in p~: na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.

ISA 32:8 Removed trailing space in s1: Wanawake Wa Yerusalemu

ISA 32:9 Removed trailing space in v~: Enyi wanawake wenye kuridhika sana,

ISA 32:9 Removed trailing space in p~: amkeni na mnisikilize.

ISA 32:9 Removed trailing space in p~: Enyi binti mnaojisikia kuwa salama,

ISA 32:9 Removed trailing space in p~: sikieni lile ninalotaka kuwaambia!

ISA 32:10 Removed trailing space in v~: Muda zaidi kidogo ya mwaka mmoja,

ISA 32:10 Removed trailing space in p~: ninyi mnaojisikia salama mtatetemeka,

ISA 32:10 Removed trailing space in p~: mavuno ya zabibu yatakoma

ISA 32:10 Removed trailing space in p~: na mavuno ya matunda hayatakuwepo.

ISA 32:11 Removed trailing space in v~: Tetemekeni, enyi wanawake wenye kuridhika,

ISA 32:11 Removed trailing space in p~: tetemekeni kwa hofu, enyi binti mnaojisikia salama!

ISA 32:11 Removed trailing space in p~: Vueni nguo zenu,

ISA 32:11 Removed trailing space in p~: vaeni nguo ya gunia viunoni mwenu.

ISA 32:12 Removed trailing space in v~: Pigeni matiti yenu kwa ajili ya mashamba mazuri,

ISA 32:12 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mizabibu iliyozaa vizuri

ISA 32:13 Removed trailing space in v~: na kwa ajili ya nchi ya watu wangu,

ISA 32:13 Removed trailing space in p~: nchi ambayo miiba na michongoma imemea:

ISA 32:13 Removed trailing space in p~: naam, ombolezeni kwa ajili ya nyumba zote za furaha

ISA 32:13 Removed trailing space in p~: na kwa ajili ya mji huu wenye kufanya sherehe.

ISA 32:14 Removed trailing space in v~: Ngome itaachwa,

ISA 32:14 Removed trailing space in p~: mji wenye kelele nyingi utahamwa,

ISA 32:14 Removed trailing space in p~: ngome ndani ya mji na mnara wa ulinzi vitakuwa ukiwa milele,

ISA 32:14 Removed trailing space in p~: mahali pazuri pa punda na malisho ya makundi ya kondoo,

ISA 32:15 Removed trailing space in v~: mpaka Roho amwagwe juu yetu kutoka juu,

ISA 32:15 Removed trailing space in p~: nalo jangwa kuwa shamba lenye rutuba,

ISA 32:15 Removed trailing space in p~: na shamba lenye rutuba kuwa kama msitu.

ISA 32:16 Removed trailing space in v~: Haki itakaa katika jangwa,

ISA 32:16 Removed trailing space in p~: na uadilifu utakaa katika shamba lenye rutuba.

ISA 32:17 Removed trailing space in v~: Matunda ya haki yatakuwa amani,

ISA 32:17 Removed trailing space in p~: matokeo ya haki yatakuwa utulivu

ISA 32:17 Removed trailing space in p~: na matumaini milele.

ISA 32:18 Removed trailing space in v~: Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani,

ISA 32:18 Removed trailing space in p~: katika nyumba zilizo salama,

ISA 32:18 Removed trailing space in p~: katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.

ISA 32:19 Removed trailing space in v~: Hata kama mvua ya mawe iangushe msitu

ISA 32:19 Removed trailing space in p~: na mji ubomolewe kabisa,

ISA 32:20 Removed trailing space in v~: tazama jinsi utakavyobarikiwa,

ISA 32:20 Removed trailing space in p~: ukipanda mbegu yako katika kila kijito,

ISA 32:20 Removed trailing space in p~: na kuwaacha ngʼombe wako

ISA 32:20 Removed trailing space in p~: na punda wajilishe kwa uhuru.

ISA 33:0 Extra space after chapter number

ISA 33:0 Removed trailing space in c: 33

ISA 33:0 Removed trailing space in s1: Taabu Na Msaada

ISA 33:1 Removed trailing space in v~: Ole wako wewe, ee mharabu,

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye hukuharibiwa!

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: Ole wako, ee msaliti,

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye hukusalitiwa!

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: Utakapokwisha kuharibu,

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: utaharibiwa;

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: utakapokwisha kusaliti,

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: utasalitiwa.

ISA 33:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uturehemu,

ISA 33:2 Removed trailing space in p~: tunakutamani.

ISA 33:2 Removed trailing space in p~: Uwe nguvu yetu kila asubuhi

ISA 33:2 Removed trailing space in p~: na wokovu wetu wakati wa taabu.

ISA 33:3 Removed trailing space in v~: Kwa ngurumo ya sauti yako, mataifa yanakimbia;

ISA 33:3 Removed trailing space in p~: unapoinuka, mataifa hutawanyika.

ISA 33:4 Removed trailing space in v~: Mateka yenu, enyi mataifa, yamevunwa kama vile wafanyavyo madumadu,

ISA 33:4 Removed trailing space in p~: kama kundi la nzige watu huvamia juu yake.

ISA 33:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametukuka, kwa kuwa anakaa mahali palipoinuka,

ISA 33:5 Removed trailing space in p~: ataijaza Sayuni kwa haki na uadilifu.

ISA 33:6 Removed trailing space in v~: Atakuwa msingi ulio imara kwa wakati wenu,

ISA 33:6 Removed trailing space in p~: ghala za wokovu tele, hekima na maarifa;

ISA 33:6 Removed trailing space in p~: kumcha \nd Bwana\nd* ni ufunguo wa hazina hii.

ISA 33:7 Removed trailing space in v~: Angalia, watu wake mashujaa wanapiga kelele kwa nguvu barabarani,

ISA 33:7 Removed trailing space in p~: wajumbe wa amani wanalia kwa uchungu.

ISA 33:8 Removed trailing space in v~: Njia kuu zimeachwa,

ISA 33:8 Removed trailing space in p~: hakuna wasafiri barabarani.

ISA 33:8 Removed trailing space in p~: Mkataba umevunjika,

ISA 33:8 Removed trailing space in p~: mashahidi wake wamedharauliwa,\f + \fr 33:8 \ft Au: miji yake imedharauliwa.\f*

ISA 33:8 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote anayeheshimiwa.

ISA 33:9 Removed trailing space in v~: Ardhi inaomboleza\f + \fr 33:9 \ft Au: Ardhi inakauka.\f* na kuchakaa,

ISA 33:9 Removed trailing space in p~: Lebanoni imeaibika na kunyauka,

ISA 33:9 Removed trailing space in p~: Sharoni ni kama Araba,

ISA 33:9 Removed trailing space in p~: nayo Bashani na Karmeli

ISA 33:9 Removed trailing space in p~: wanapukutisha majani yao.

ISA 33:10 Removed trailing space in v~: “Sasa nitainuka,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 33:10 Removed trailing space in p~: “Sasa nitatukuzwa;

ISA 33:10 Removed trailing space in p~: sasa nitainuliwa juu.

ISA 33:11 Removed trailing space in v~: Mlichukua mimba ya makapi,

ISA 33:11 Removed trailing space in p~: mkazaa mabua,

ISA 33:11 Removed trailing space in p~: pumzi yenu ni moto uwateketezao.

ISA 33:12 Removed trailing space in v~: Mataifa yatachomwa kama ichomwavyo chokaa,

ISA 33:12 Removed trailing space in p~: kama vichaka vya miiba vilivyokatwa ndivyo watakavyochomwa.”

ISA 33:13 Removed trailing space in v~: Ninyi mlio mbali sana, sikieni lile nililofanya;

ISA 33:13 Removed trailing space in p~: ninyi mlio karibu, tambueni uweza wangu!

ISA 33:14 Removed trailing space in v~: Wenye dhambi katika Sayuni wametiwa hofu,

ISA 33:14 Removed trailing space in p~: kutetemeka kumewakumba wasiomcha Mungu:

ISA 33:14 Removed trailing space in p~: “Ni nani miongoni mwetu awezaye kuishi na moto ulao?

ISA 33:14 Removed trailing space in p~: Ni nani miongoni mwetu awezaye kuishi na moto unaowaka milele?”

ISA 33:15 Removed trailing space in v~: Yeye aendaye kwa uadilifu

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: na kusema lililo haki,

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: yeye anayekataa faida ipatikanayo kwa dhuluma

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: na kuizuia mikono yake isipokee rushwa,

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: yeye azuiaye masikio yake dhidi ya mashauri ya mauaji,

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: na yeye afumbaye macho yake yasitazame sana uovu:

ISA 33:16 Removed trailing space in v~: huyu ndiye mtu atakayeishi mahali pa juu,

ISA 33:16 Removed trailing space in p~: ambaye kimbilio lake litakuwa ngome ya mlimani.

ISA 33:16 Removed trailing space in p~: Atapewa mkate wake,

ISA 33:16 Removed trailing space in p~: na maji yake hayatakoma.

ISA 33:17 Removed trailing space in v~: Macho yenu yatamwona mfalme katika uzuri wake

ISA 33:17 Removed trailing space in p~: na kuiona nchi inayoenea mbali.

ISA 33:18 Removed trailing space in v~: Katika mawazo yenu mtaifikiria hofu iliyopita:

ISA 33:18 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi yule afisa mkuu?

ISA 33:18 Removed trailing space in p~: Yuko wapi yule aliyechukua ushuru?

ISA 33:18 Removed trailing space in p~: Yuko wapi afisa msimamizi wa minara?”

ISA 33:19 Removed trailing space in v~: Hutawaona tena wale watu wenye kiburi,

ISA 33:19 Removed trailing space in p~: wale watu wenye usemi wa mafumbo,

ISA 33:19 Removed trailing space in p~: wenye lugha ngeni, isiyoeleweka.

ISA 33:20 Removed trailing space in v~: Mtazame Sayuni, mji wa sikukuu zetu;

ISA 33:20 Removed trailing space in p~: macho yenu yatauona Yerusalemu,

ISA 33:20 Removed trailing space in p~: mahali pa amani pa kuishi, hema ambalo halitaondolewa,

ISA 33:20 Removed trailing space in p~: nguzo zake hazitangʼolewa kamwe,

ISA 33:20 Removed trailing space in p~: wala hakuna kamba yake yoyote itakayokatika.

ISA 33:21 Removed trailing space in v~: Huko \nd Bwana\nd* atakuwa Mwenye Nguvu wetu.

ISA 33:21 Removed trailing space in p~: Patakuwa kama mahali pa mito mipana na vijito.

ISA 33:21 Removed trailing space in p~: Hakuna jahazi lenye makasia litakalopita huko,

ISA 33:21 Removed trailing space in p~: wala hakuna meli yenye nguvu itakayopita huko.

ISA 33:22 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mwamuzi wetu,

ISA 33:22 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ndiye mtoa sheria wetu,

ISA 33:22 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni mfalme wetu,

ISA 33:22 Removed trailing space in p~: yeye ndiye atakayetuokoa.

ISA 33:23 Removed trailing space in v~: Kamba zenu za merikebu zimelegea:

ISA 33:23 Removed trailing space in p~: Mlingoti haukusimama imara,

ISA 33:23 Removed trailing space in p~: nalo tanga halikukunjuliwa.

ISA 33:23 Removed trailing space in p~: Wingi wa mateka yatagawanywa,

ISA 33:23 Removed trailing space in p~: hata yeye aliye mlemavu atachukua nyara.

ISA 33:24 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote aishiye Sayuni atakayesema, “Mimi ni mgonjwa”;

ISA 33:24 Removed trailing space in p~: nazo dhambi za wale waishio humo zitasamehewa.

ISA 34:0 Extra space after chapter number

ISA 34:0 Removed trailing space in c: 34

ISA 34:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Dhidi Ya Mataifa

ISA 34:1 Removed trailing space in v~: Njooni karibu, enyi mataifa, nanyi msikilize;

ISA 34:1 Removed trailing space in p~: sikilizeni kwa makini,

ISA 34:1 Removed trailing space in p~: enyi kabila za watu!

ISA 34:1 Removed trailing space in p~: Dunia na isikie, navyo vyote vilivyo ndani yake,

ISA 34:1 Removed trailing space in p~: ulimwengu na vyote vitokavyo ndani yake!

ISA 34:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameyakasirikia mataifa yote;

ISA 34:2 Removed trailing space in p~: ghadhabu yake ni juu ya majeshi yao yote.

ISA 34:2 Removed trailing space in p~: Atawaangamiza kabisa,

ISA 34:2 Removed trailing space in p~: atawatia mikononi mwa wachinjaji.

ISA 34:3 Removed trailing space in v~: Waliouawa watatupwa nje,

ISA 34:3 Removed trailing space in p~: maiti zao zitatoa uvundo,

ISA 34:3 Removed trailing space in p~: milima itatota kwa damu zao.

ISA 34:4 Removed trailing space in v~: Nyota zote za mbinguni zitayeyuka

ISA 34:4 Removed trailing space in p~: na anga litasokotwa kama kitabu,

ISA 34:4 Removed trailing space in p~: jeshi lote la angani litaanguka

ISA 34:4 Removed trailing space in p~: kama majani yaliyonyauka kutoka kwenye mzabibu,

ISA 34:4 Removed trailing space in p~: kama tini iliyonyauka kutoka kwenye mtini.

ISA 34:5 Removed trailing space in v~: Upanga wangu umekunywa na kushiba huko mbinguni,

ISA 34:5 Removed trailing space in p~: tazama, unashuka katika hukumu juu ya Edomu,

ISA 34:5 Removed trailing space in p~: wale watu ambao nimeshawahukumu,

ISA 34:5 Removed trailing space in p~: kuwaangamiza kabisa.

ISA 34:6 Removed trailing space in v~: Upanga wa \nd Bwana\nd* umeoga katika damu,

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: umefunikwa na mafuta ya nyama:

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: damu ya kondoo na mbuzi,

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: mafuta kutoka figo za kondoo dume.

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: Kwa maana \nd Bwana\nd* ana dhabihu huko Bosra,

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: na machinjo makuu huko Edomu.

ISA 34:7 Removed trailing space in v~: Nyati wataanguka pamoja nao,

ISA 34:7 Removed trailing space in p~: ndama waume na mafahali wakubwa.

ISA 34:7 Removed trailing space in p~: Nchi yao italowana kwa damu,

ISA 34:7 Removed trailing space in p~: nayo mavumbi yataloa mafuta ya nyama.

ISA 34:8 Removed trailing space in v~: Kwa sababu \nd Bwana\nd* anayo siku ya kulipiza kisasi,

ISA 34:8 Removed trailing space in p~: mwaka wa malipo,

ISA 34:8 Removed trailing space in p~: siku ya kushindania shauri la Sayuni.

ISA 34:9 Removed trailing space in v~: Vijito vya Edomu vitageuka kuwa lami,

ISA 34:9 Removed trailing space in p~: mavumbi yake yatakuwa kiberiti kiunguzacho,

ISA 34:9 Removed trailing space in p~: nchi yake itakuwa lami iwakayo!

ISA 34:10 Removed trailing space in v~: Haitazimishwa usiku wala mchana,

ISA 34:10 Removed trailing space in p~: moshi wake utapaa juu milele.

ISA 34:10 Removed trailing space in p~: Kutoka kizazi hadi kizazi itakuwa ukiwa,

ISA 34:10 Removed trailing space in p~: hakuna mtu yeyote atakayepita huko tena.

ISA 34:11 Removed trailing space in v~: Bundi wa jangwani na bundi mwenye sauti nyembamba wataimiliki,

ISA 34:11 Removed trailing space in p~: bundi wakubwa na kunguru wataweka viota humo.

ISA 34:11 Removed trailing space in p~: Mungu atanyoosha juu ya Edomu

ISA 34:11 Removed trailing space in p~: kamba ya kupimia ya machafuko matupu,

ISA 34:11 Removed trailing space in p~: na timazi ya ukiwa.

ISA 34:12 Removed trailing space in v~: Watu wake wa kuheshimiwa hawatakuwa na chochote

ISA 34:12 Removed trailing space in p~: kitakachoitwa ufalme huko,

ISA 34:12 Removed trailing space in p~: nao wakuu wao wote watatoweka.

ISA 34:13 Removed trailing space in v~: Miiba itaenea katika ngome za ndani,

ISA 34:13 Removed trailing space in p~: viwawi na michongoma itaota

ISA 34:13 Removed trailing space in p~: kwenye ngome zake.

ISA 34:13 Removed trailing space in p~: Itakuwa maskani ya mbweha,

ISA 34:13 Removed trailing space in p~: makao ya bundi.

ISA 34:14 Removed trailing space in v~: Viumbe vya jangwani vitakutana na fisi,

ISA 34:14 Removed trailing space in p~: nao mbuzi-mwitu watalia wakiitana;

ISA 34:14 Removed trailing space in p~: huko viumbe vya usiku vitastarehe pia

ISA 34:14 Removed trailing space in p~: na kujitafutia mahali pa kupumzika.

ISA 34:15 Removed trailing space in v~: Bundi wataweka viota huko na kutaga mayai,

ISA 34:15 Removed trailing space in p~: atayaangua na kutunza makinda yake

ISA 34:15 Removed trailing space in p~: chini ya uvuli wa mabawa yake;

ISA 34:15 Removed trailing space in p~: pia huko vipanga watakusanyika,

ISA 34:15 Removed trailing space in p~: kila mmoja na mwenzi wake.

ISA 34:16 Removed trailing space in v~: Angalieni katika gombo la \nd Bwana\nd* na msome:

ISA 34:16 Removed trailing space in p~: Hakuna hata mmoja katika hawa atakayekosekana,

ISA 34:16 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja atakayemkosa mwenzi wake.

ISA 34:16 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa ni kinywa chake Mungu kimeagiza,

ISA 34:16 Removed trailing space in p~: na Roho wake atawakusanya pamoja.

ISA 34:17 Removed trailing space in v~: Huwagawia sehemu zao,

ISA 34:17 Removed trailing space in p~: mkono wake huwagawanyia kwa kipimo.

ISA 34:17 Removed trailing space in p~: Wataimiliki hata milele

ISA 34:17 Removed trailing space in p~: na kuishi humo kutoka kizazi hadi kizazi.

ISA 35:0 Extra space after chapter number

ISA 35:0 Removed trailing space in c: 35

ISA 35:0 Removed trailing space in s1: Furaha Ya Waliokombolewa

ISA 35:1 Removed trailing space in v~: Jangwa na nchi kame vitafurahi;

ISA 35:1 Removed trailing space in p~: nyika itashangilia na kuchanua maua.

ISA 35:1 Removed trailing space in p~: Kama waridi,

ISA 35:2 Removed trailing space in v~: litachanua maua,

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: litashangilia sana na kupaza sauti kwa furaha.

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: Litapewa utukufu wa Lebanoni,

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: fahari ya Karmeli na Sharoni;

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: wataona utukufu wa \nd Bwana\nd*,

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: fahari ya Mungu wetu.

ISA 35:3 Removed trailing space in v~: Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu,

ISA 35:3 Removed trailing space in p~: yafanyeni imara magoti yaliyolegea,

ISA 35:4 Removed trailing space in v~: waambieni wale wenye mioyo ya hofu,

ISA 35:4 Removed trailing space in p~: “Kuweni hodari, msiogope;

ISA 35:4 Removed trailing space in p~: tazama, Mungu wenu atakuja,

ISA 35:4 Removed trailing space in p~: pamoja na malipo ya Mungu,

ISA 35:4 Removed trailing space in p~: atakuja na kuwaokoa ninyi.”

ISA 35:5 Removed trailing space in v~: Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa

ISA 35:5 Removed trailing space in p~: na masikio ya viziwi yatazibuliwa.

ISA 35:6 Removed trailing space in v~: Ndipo kilema atarukaruka kama kulungu,

ISA 35:6 Removed trailing space in p~: nao ulimi wa aliye bubu utapaza sauti kwa shangwe.

ISA 35:6 Removed trailing space in p~: Maji yatatiririka kwa kasi katika nyika,

ISA 35:6 Removed trailing space in p~: na vijito katika jangwa.

ISA 35:7 Removed trailing space in v~: Mchanga wa moto utakuwa bwawa la maji,

ISA 35:7 Removed trailing space in p~: ardhi yenye kiu itabubujika chemchemi.

ISA 35:7 Removed trailing space in p~: Maskani ya mbweha walikolala hapo awali

ISA 35:7 Removed trailing space in p~: patamea majani, matete na mafunjo.

ISA 35:8 Removed trailing space in v~: Nako kutakuwa na njia kuu,

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: Wasio safi hawatapita juu yake;

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: itakuwa ya wale watembeao katika Njia ile;

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: yeye asafiriye juu yake,

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: ajapokuwa mjinga, hatapotea.

ISA 35:9 Removed trailing space in v~: Huko hakutakuwepo na simba,

ISA 35:9 Removed trailing space in p~: wala mnyama mkali hatapita njia hiyo,

ISA 35:9 Removed trailing space in p~: wala hawatapatikana humo.

ISA 35:9 Removed trailing space in p~: Ila waliokombolewa tu ndio watakaopita huko,

ISA 35:10 Removed trailing space in v~: waliokombolewa na \nd Bwana\nd* watarudi.

ISA 35:10 Removed trailing space in p~: Wataingia Sayuni wakiimba;

ISA 35:10 Removed trailing space in p~: furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao.

ISA 35:10 Removed trailing space in p~: Watapata furaha na shangwe;

ISA 35:10 Removed trailing space in p~: huzuni na majonzi vitakimbia.

ISA 36:0 Extra space after chapter number

ISA 36:0 Removed trailing space in c: 36

ISA 36:0 Removed trailing space in s1: Senakeribu Atishia Yerusalemu

ISA 36:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 18:13-27; 2 Nyakati 32:1-19)

ISA 36:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nne wa utawala wa Mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa Ashuru akaishambulia miji yote ya Yuda yenye ngome na kuiteka.

ISA 36:2 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme wa Ashuru akamtuma jemadari wa jeshi pamoja na jeshi kubwa kutoka Lakishi hadi kwa Mfalme Hezekia huko Yerusalemu. Jemadari wa jeshi akasimama kwenye mfereji wa Bwawa la Juu, lililojengwa katika barabara iendayo kwenye Uwanja wa Dobi.

ISA 36:3 Removed trailing space in v~: Eliakimu mwana wa Hilkia aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna aliyekuwa katibu, na Yoa mwana wa Asafu mwandishi wakamwendea.

ISA 36:4 Removed trailing space in v~: Jemadari wa jeshi akawaambia, “Mwambieni Hezekia,

ISA 36:4 Removed trailing space in p~: “ ‘Hili ndilo asemalo mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru: Ni wapi unapoweka hili tumaini lako?

ISA 36:5 Removed trailing space in v~: Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?

ISA 36:6 Removed trailing space in v~: Tazama sasa, unaitegemea Misri, fimbo ile ya mwanzi uliopasuka, ambayo huuchoma na kuujeruhi mkono wa mtu akiiegemea! Hivyo ndivyo alivyo Farao mfalme wa Misri, kwa wote wanaomtegemea.

ISA 36:7 Removed trailing space in v~: Nawe kama ukiniambia, “Tunamtumainia \nd Bwana\nd* Mungu wetu”: je, siyo yeye ambaye Hezekia aliondoa mahali pake pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu zake, akiwaambia Yuda na Yerusalemu, “Ni lazima mwabudu mbele ya madhabahu haya”?

ISA 36:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Njooni sasa, fanyeni mapatano na bwana wangu, mfalme wa Ashuru: Nitakupa farasi elfu mbili, kama unaweza kuwapandisha waendesha farasi juu yao!

ISA 36:9 Removed trailing space in v~: Utawezaje kumzuia hata afisa mmoja aliye mdogo kati ya maafisa wa bwana wangu, ijapo unategemea Misri kwa magari ya vita na wapanda farasi?

ISA 36:10 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, je, nimekuja kushambulia na kuangamiza nchi hii bila \nd Bwana\nd*? \nd Bwana\nd* mwenyewe ndiye aliniambia niishambulie nchi hii na kuiangamiza.’ ”

ISA 36:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Eliakimu, Shebna na Yoa wakamwambia yule jemadari wa jeshi, “Tafadhali zungumza na watumishi wako kwa lugha ya Kiaramu, kwa kuwa tunaifahamu. Usiseme nasi kwa Kiebrania watu walioko juu ya ukuta wakiwa wanasikia.”

ISA 36:12 Removed trailing space in v~: Lakini yule jemadari wa jeshi akajibu, “Je, bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kwa bwana wenu na kwenu tu? Je, hakunituma pia kwa watu walioketi ukutani, ambao, kama ninyi, itawabidi kula mavi yao na kunywa mikojo yao wenyewe?”

ISA 36:13 Removed trailing space in v~: Kisha yule jemadari wa jeshi akasimama na kuita kwa lugha ya Kiebrania, akasema: “Sikieni maneno ya mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru!

ISA 36:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa!

ISA 36:15 Removed trailing space in v~: Msikubali Hezekia awashawishi kumtumaini \nd Bwana\nd* kwa kuwaambia, ‘Hakika \nd Bwana\nd* atatuokoa. Mji huu hautaangukia mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’

ISA 36:16 Removed trailing space in v~: “Msimsikilize Hezekia. Hili ndilo mfalme wa Ashuru asemalo: Fanyeni amani nami na mje kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwa mzabibu wake na mtini wake mwenyewe, na kunywa maji kutoka kisima chake mwenyewe,

ISA 36:17 Removed trailing space in v~: mpaka nije nikawapeleke katika nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe, nchi ya nafaka na divai mpya, nchi ya mkate na ya mashamba ya mizabibu.

ISA 36:18 Removed trailing space in v~: “Msikubali Hezekia awapotoshe asemapo, ‘\nd Bwana\nd* atatuokoa.’ Je, yuko mungu wa taifa lolote aliyewahi kuokoa nchi yake kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?

ISA 36:19 Removed trailing space in v~: Iko wapi miungu ya Hamathi na ya Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu? Je, imeokoa Samaria kutoka mkononi mwangu?

ISA 36:20 Removed trailing space in v~: Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya nchi hizi ameweza kuokoa nchi yake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi \nd Bwana\nd* aiokoe Yerusalemu mkononi mwangu?”

ISA 36:21 Removed trailing space in v~: Lakini wale watu wakakaa kimya, wala hawakujibu lolote, kwa kuwa mfalme alikuwa amewaamuru, “Msimjibu lolote.”

ISA 36:22 Removed trailing space in v~: Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna katibu, na Yoa mwana wa Asafu, mwandishi wakamwendea Hezekia, nguo zao zikiwa zimeraruliwa, na kumwambia yale jemadari wa jeshi aliyoyasema.

ISA 37:0 Extra space after chapter number

ISA 37:0 Removed trailing space in c: 37

ISA 37:0 Removed trailing space in s1: Kuokolewa Kwa Yerusalemu Kunatabiriwa

ISA 37:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 19:1-7)

ISA 37:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Hezekia aliposikia haya, akararua nguo zake na kuvaa nguo ya gunia, naye akaenda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

ISA 37:2 Removed trailing space in v~: Akawatuma Eliakimu msimamizi wa nyumba ya mfalme, Shebna mwandishi, na viongozi wa makuhani, wote wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya mwana wa Amozi.

ISA 37:3 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Hezekia: Siku hii ni siku ya dhiki, ya kukaripiwa na ya aibu, kama wakati watoto wanapofikia karibu kuzaliwa na kumbe hakuna nguvu ya kuwazaa.

ISA 37:4 Removed trailing space in v~: Yamkini \nd Bwana\nd*, Mungu wako atayasikia maneno ya jemadari wa jeshi, ambaye bwana wake, mfalme wa Ashuru, amemtuma kumdhihaki Mungu aliye hai, tena kwamba atamkemea kwa maneno ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wako ameyasikia. Kwa hiyo omba kwa ajili ya mabaki ambao bado wako.”

ISA 37:5 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya,

ISA 37:6 Removed trailing space in v~: Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana wenu, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Usiogope kwa hayo uliyoyasikia, yale maneno ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana nayo.

ISA 37:7 Removed trailing space in v~: Sikiliza! Nitatia roho fulani ndani yake ili kwamba atakaposikia taarifa fulani, atarudi nchi yake mwenyewe, nami huko nitafanya auawe kwa upanga.’ ”

ISA 37:8 Removed trailing space in v~: Jemadari wa jeshi aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi, alirudi, akamkuta mfalme akipigana na Libna.

ISA 37:9 Removed trailing space in v~: Basi Senakeribu akapata taarifa kwamba Tirhaka, Mkushi mfalme wa Misri, alikuwa anaenda kupigana naye. Aliposikia jambo hili akatuma wajumbe kwa Hezekia na neno hili:

ISA 37:10 Removed trailing space in v~: “Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda: Usikubali huyo Mungu unayemtumainia akudanganye wakati anaposema, ‘Yerusalemu haitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.’

ISA 37:11 Removed trailing space in v~: Hakika umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru wametenda kwa nchi zote, wakiwaangamiza kabisa. Je, wewe utaokolewa?

ISA 37:12 Removed trailing space in v~: Je, miungu ya mataifa ambayo yaliangamizwa na baba zangu iliweza kuwaokoa? Yaani miungu ya Gozani, Harani, Resefu, na ya watu wa Edeni waliokuwa Telasari?

ISA 37:13 Removed trailing space in v~: Yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme wa Arpadi, mfalme wa mji wa Sefarvaimu, au wa Hena au wa Iva?”

ISA 37:13 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Hezekia

ISA 37:14 Removed trailing space in v~: Hezekia akapokea barua kutoka kwa wale wajumbe naye akaisoma. Kisha akapanda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, akaikunjua mbele za \nd Bwana\nd*.

ISA 37:15 Removed trailing space in v~: Naye Hezekia akamwomba \nd Bwana\nd* akisema:

ISA 37:16 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya kiti cha enzi kati ya makerubi, wewe peke yako ndiwe Mungu juu ya falme zote za dunia. Wewe umeumba mbingu na nchi.

ISA 37:17 Removed trailing space in v~: Tega sikio, Ee \nd Bwana\nd*, usikie; fungua macho yako, Ee \nd Bwana\nd*, uone; sikiliza maneno yote ambayo Senakeribu ametuma kumtukana Mungu aliye hai.

ISA 37:18 Removed trailing space in v~: “Ni kweli, Ee \nd Bwana\nd*, kwamba wafalme wa Ashuru wameyaangamiza mataifa haya yote pamoja na nchi zao.

ISA 37:19 Removed trailing space in v~: Wameitupa miungu yao kwenye moto na kuiangamiza, kwa kuwa haikuwa miungu, bali miti na mawe tu, iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

ISA 37:20 Removed trailing space in v~: Sasa basi, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tuokoe kutoka mkononi mwake, ili kwamba falme zote duniani zipate kujua kwamba wewe peke yako, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Mungu.”

ISA 37:20 Removed trailing space in s1: Kuanguka Kwa Senakeribu

ISA 37:20 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 19:20-37)

ISA 37:21 Removed trailing space in v~: Kisha Isaya mwana wa Amozi akapeleka ujumbe kwa Hezekia, akasema: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Kwa sababu umeniomba kuhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru,

ISA 37:22 Removed trailing space in v~: hili ndilo neno ambalo \nd Bwana\nd* amelisema dhidi yake:

ISA 37:22 Removed trailing space in p~: “Bikira binti Sayuni anakudharau na kukudhihaki.

ISA 37:22 Removed trailing space in p~: Binti Yerusalemu anatikisa kichwa chake unapokimbia.

ISA 37:23 Removed trailing space in v~: Ni nani uliyemtukana na kumkufuru?

ISA 37:23 Removed trailing space in p~: Ni nani uliyeinua sauti yako dhidi yake,

ISA 37:23 Removed trailing space in p~: na kumwinulia macho yako kwa kiburi?

ISA 37:23 Removed trailing space in p~: Ni dhidi ya yule Aliye Mtakatifu wa Israeli!

ISA 37:24 Removed trailing space in v~: Kupitia kwa wajumbe wako

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: umelundika matukano juu ya Bwana.

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: Nawe umesema,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: ‘Kwa magari yangu mengi ya vita,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: nimepanda juu ya vilele vya milima,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: vilele vya juu sana katika Lebanoni.

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: Nami nimeiangusha mierezi yake mirefu,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: misunobari yake iliyo bora sana.

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: Nimefikia sehemu zake zilizoinuka juu sana,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: misitu yake iliyo mizuri sana.

ISA 37:25 Removed trailing space in v~: Nimechimba visima katika nchi za kigeni

ISA 37:25 Removed trailing space in p~: na kunywa maji yake.

ISA 37:25 Removed trailing space in p~: Kwa nyayo za miguu yangu

ISA 37:25 Removed trailing space in p~: nimekausha vijito vyote vya Misri.’

ISA 37:26 Removed trailing space in v~: “Je, hujasikia?

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: Zamani sana niliamuru hili.

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: Siku za kale nilipanga hili;

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: sasa nimelifanya litokee,

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: kwamba umegeuza miji yenye ngome

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: kuwa malundo ya mawe.

ISA 37:27 Removed trailing space in v~: Watu wa miji hiyo wameishiwa nguvu,

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: wanavunjika mioyo na kuaibishwa.

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: Wao ni kama mimea katika shamba,

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: kama machipukizi mororo ya kijani,

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: kama majani yachipuayo juu ya paa la nyumba,

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: ambayo hukauka kabla ya kukua.

ISA 37:28 Removed trailing space in v~: “Lakini ninajua mahali ukaapo,

ISA 37:28 Removed trailing space in p~: kutoka kwako na kuingia kwako,

ISA 37:28 Removed trailing space in p~: na jinsi unavyoghadhibika dhidi yangu.

ISA 37:29 Removed trailing space in v~: Kwa sababu unaghadhibika na ufidhuli dhidi yangu,

ISA 37:29 Removed trailing space in p~: na kwa sababu ufidhuli wako umefika masikioni mwangu,

ISA 37:29 Removed trailing space in p~: nitaweka ndoana yangu puani mwako

ISA 37:29 Removed trailing space in p~: na hatamu yangu kinywani mwako,

ISA 37:29 Removed trailing space in p~: nami nitakufanya urudi kwa njia ile uliyoijia.

ISA 37:30 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo itakuwa ishara kwako, ee Hezekia:

ISA 37:30 Removed trailing space in p~: “Mwaka huu utakula kile kiotacho chenyewe,

ISA 37:30 Removed trailing space in p~: na mwaka wa pili utakula kutoka machipukizi yake.

ISA 37:30 Removed trailing space in p~: Lakini katika mwaka wa tatu panda na uvune,

ISA 37:30 Removed trailing space in p~: panda mashamba ya mizabibu na ule matunda yake.

ISA 37:31 Removed trailing space in v~: Mara nyingine tena mabaki ya nyumba ya Yuda

ISA 37:31 Removed trailing space in p~: wataeneza mizizi chini na kuzaa matunda juu.

ISA 37:32 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kutoka Yerusalemu watakuja mabaki,

ISA 37:32 Removed trailing space in p~: na kutoka Mlima Sayuni kundi la walionusurika.

ISA 37:32 Removed trailing space in p~: Wivu wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 37:32 Removed trailing space in p~: ndio utatimiza jambo hili.

ISA 37:33 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu mfalme wa Ashuru:

ISA 37:33 Removed trailing space in p~: “Hataingia katika mji huu

ISA 37:33 Removed trailing space in p~: wala hatapiga mshale hapa.

ISA 37:33 Removed trailing space in p~: Hatakuja mbele yake na ngao

ISA 37:33 Removed trailing space in p~: wala kupanga majeshi kuuzingira.

ISA 37:34 Removed trailing space in v~: Kwa njia ile aliyoijia ndiyo atakayorudi;

ISA 37:34 Removed trailing space in p~: hataingia katika mji huu,”

ISA 37:34 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 37:35 Removed trailing space in v~: “Nitaulinda mji huu na kuuokoa,

ISA 37:35 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu mwenyewe,

ISA 37:35 Removed trailing space in p~: na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu!”

ISA 37:36 Removed trailing space in v~: Ndipo malaika wa \nd Bwana\nd* akaenda, akawaua wanajeshi 185,000 katika kambi ya Waashuru. Wenzao walipoamka asubuhi yake, walikuta maiti kila mahali!

ISA 37:37 Removed trailing space in v~: Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akavunja kambi na kuondoka. Akarudi Ninawi na kukaa huko.

ISA 37:38 Removed trailing space in v~: Siku moja, alipokuwa akiabudu katika hekalu la mungu wake Nisroki, wanawe Adrameleki na Shareza wakamuua kwa upanga, nao wakakimbilia nchi ya Ararati. Naye Esar-Hadoni mwanawe akawa mfalme badala yake.

ISA 38:0 Extra space after chapter number

ISA 38:0 Removed trailing space in c: 38

ISA 38:0 Removed trailing space in s1: Kuugua Kwa Mfalme Hezekia

ISA 38:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 20:1-11; 2 Nyakati 32:24-26)

ISA 38:1 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Nabii Isaya mwana wa Amozi akaenda kwake na kumwambia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Tengeneza mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, hutapona.”

ISA 38:2 Removed trailing space in v~: Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba \nd Bwana\nd*:

ISA 38:3 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa uaminifu na kujitoa kwa moyo wangu wote, na kufanya yaliyo mema machoni pako.” Naye Hezekia akalia kwa uchungu.

ISA 38:4 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Isaya, kusema:

ISA 38:5 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Hezekia, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba yako Daudi: Nimeyasikia maombi yako na nimeona machozi yako. Nitakuongezea miaka kumi na mitano katika maisha yako.

ISA 38:6 Removed trailing space in v~: Nami nitakuokoa wewe pamoja na mji huu mkononi mwa mfalme wa Ashuru. Nitaulinda mji huu.

ISA 38:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Hii ndiyo ishara ya \nd Bwana\nd* kwako ya kwamba \nd Bwana\nd* atafanya kile alichoahidi:

ISA 38:8 Removed trailing space in v~: Nitafanya kivuli cha jua kwenye ngazi iliyojengwa na Ahazi kirudi nyuma madaraja kumi.’ ” Hivyo jua likarudi nyuma madaraja kumi ambayo lilikuwa limeshuka.

ISA 38:9 Removed trailing space in v~: Maandiko ya Hezekia mfalme wa Yuda baada ya kuugua kwake na kupona:

ISA 38:10 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu,

ISA 38:10 Removed trailing space in p~: je, ni lazima nipite katika malango ya mauti,\f + \fr 38:10 \ft Mauti hapa maana yake ni Kuzimu.\f*

ISA 38:10 Removed trailing space in p~: na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?”

ISA 38:11 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Sitamwona tena \nd Bwana\nd*,

ISA 38:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* katika nchi ya walio hai,

ISA 38:11 Removed trailing space in p~: wala sitamtazama tena mwanadamu,

ISA 38:11 Removed trailing space in p~: wala kuwa na wale ambao sasa wanakaa katika ulimwengu huu.

ISA 38:12 Removed trailing space in v~: Kama hema la mchunga mifugo,

ISA 38:12 Removed trailing space in p~: nyumba yangu imebomolewa na kutwaliwa kutoka kwangu.

ISA 38:12 Removed trailing space in p~: Kama mfumaji nimevingirisha maisha yangu,

ISA 38:12 Removed trailing space in p~: naye amenikatilia mbali kutoka kitanda cha mfumi.

ISA 38:12 Removed trailing space in p~: Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.

ISA 38:13 Removed trailing space in v~: Nilingoja kwa uvumilivu hadi mapambazuko,

ISA 38:13 Removed trailing space in p~: lakini alivunja mifupa yangu yote kama simba.

ISA 38:13 Removed trailing space in p~: Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.

ISA 38:14 Removed trailing space in v~: Nililia kama mbayuwayu au korongo,

ISA 38:14 Removed trailing space in p~: niliomboleza kama hua aombolezaye.

ISA 38:14 Removed trailing space in p~: Macho yangu yalififia nilipotazama mbinguni.

ISA 38:14 Removed trailing space in p~: Ee Bwana, ninataabika, njoo unisaidie!”

ISA 38:15 Removed trailing space in v~: Lakini niseme nini?

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: Amesema nami, naye yeye mwenyewe amelitenda hili.

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: Nitatembea kwa unyenyekevu

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: katika miaka yangu yote

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya haya maumivu makali

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: ya nafsi yangu.

ISA 38:16 Removed trailing space in v~: Bwana, kwa mambo kama haya watu huishi,

ISA 38:16 Removed trailing space in p~: nayo roho yangu hupata uzima katika hayo pia.

ISA 38:16 Removed trailing space in p~: Uliniponya

ISA 38:16 Removed trailing space in p~: na kuniacha niishi.

ISA 38:17 Removed trailing space in v~: Hakika ilikuwa ya faida yangu

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: ndiyo maana nikapata maumivu makali.

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: Katika upendo wako ukaniokoa

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: kutoka shimo la uharibifu;

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: umeziweka dhambi zangu zote

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: nyuma yako.

ISA 38:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana kaburi\f + \fr 38:18 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* haliwezi kukusifu,

ISA 38:18 Removed trailing space in p~: mauti haiwezi kuimba sifa zako;

ISA 38:18 Removed trailing space in p~: wale washukao chini shimoni

ISA 38:18 Removed trailing space in p~: hawawezi kuutarajia uaminifu wako.

ISA 38:19 Removed trailing space in v~: Walio hai, walio hai: hao wanakusifu,

ISA 38:19 Removed trailing space in p~: kama ninavyofanya leo.

ISA 38:19 Removed trailing space in p~: Baba huwaambia watoto wao

ISA 38:19 Removed trailing space in p~: habari za uaminifu wako.

ISA 38:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataniokoa,

ISA 38:20 Removed trailing space in p~: nasi tutaimba kwa vyombo vya nyuzi

ISA 38:20 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yetu

ISA 38:20 Removed trailing space in p~: katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

ISA 38:21 Removed trailing space in v~: Isaya alikuwa amesema, “Tengenezeni dawa ya kubandika ya tini, mweke juu ya jipu, naye atapona.”

ISA 38:22 Removed trailing space in v~: Hezekia alikuwa ameuliza, “Kutakuwa na ishara gani kwamba nitapanda kwenda Hekalu la \nd Bwana\nd*?”

ISA 39:0 Extra space after chapter number

ISA 39:0 Removed trailing space in c: 39

ISA 39:0 Removed trailing space in s1: Wajumbe Kutoka Babeli

ISA 39:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 20:12-19)

ISA 39:1 Removed trailing space in v~: Wakati huo Merodaki-Baladani, mwana wa Baladani mfalme wa Babeli, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa sababu alikuwa amesikia habari za kuugua na kupona kwake.

ISA 39:2 Removed trailing space in v~: Hezekia akawapokea wale wajumbe kwa furaha na kuwaonyesha vitu vile vilivyokuwa katika ghala zake: yaani fedha, dhahabu, vikolezo na mafuta safi, ghala la silaha lote, na kila kitu kilichokuwa katika hazina zake. Hapakuwa na kitu chochote katika jumba lake la kifalme au katika ufalme wake wote ambacho Hezekia hakuwaonyesha.

ISA 39:3 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Isaya akaenda kwa Mfalme Hezekia na kumuuliza, “Watu hao walisema nini, na wametoka wapi?”

ISA 39:3 Removed trailing space in p~: Hezekia akamjibu, “Wametoka nchi ya mbali. Walikuja kwangu kutoka Babeli.”

ISA 39:4 Removed trailing space in v~: Nabii akauliza, “Waliona nini katika jumba lako la kifalme?”

ISA 39:4 Removed trailing space in p~: Hezekia akajibu, “Waliona kila kitu katika jumba langu la kifalme. Hakuna kitu chochote katika hazina yangu ambacho sikuwaonyesha.”

ISA 39:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

ISA 39:6 Removed trailing space in v~: Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema \nd Bwana\nd*.

ISA 39:7 Removed trailing space in v~: Nao baadhi ya wazao wako, nyama yako na damu yako mwenyewe watakaozaliwa kwako, watachukuliwa mbali, nao watakuwa matowashi katika jumba la mfalme wa Babeli.”

ISA 39:8 Removed trailing space in v~: Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la \nd Bwana\nd* ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Patakuwepo amani na usalama wakati wa uhai wangu.”

ISA 40:0 Extra space after chapter number

ISA 40:0 Removed trailing space in c: 40

ISA 40:0 Removed trailing space in s1: Faraja Kwa Watu Wa Mungu

ISA 40:1 Removed trailing space in v~: Wafarijini, wafarijini watu wangu,

ISA 40:1 Removed trailing space in p~: asema Mungu wenu.

ISA 40:2 Removed trailing space in v~: Sema na Yerusalemu kwa upole,

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: umtangazie

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: kwamba kazi yake ngumu imekamilika,

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: kwamba dhambi yake imefanyiwa fidia,

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: kwamba amepokea kutoka mkononi mwa \nd Bwana\nd*

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: maradufu kwa ajili ya dhambi zake zote.

ISA 40:3 Removed trailing space in v~: Sauti ya mtu aliaye:

ISA 40:3 Removed trailing space in p~: “Itengenezeni jangwani njia ya \nd Bwana\nd*,

ISA 40:3 Removed trailing space in p~: nyoosheni njia kuu nyikani

ISA 40:3 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Mungu wetu.

ISA 40:4 Removed trailing space in v~: Kila bonde litainuliwa,

ISA 40:4 Removed trailing space in p~: kila mlima na kilima kitashushwa;

ISA 40:4 Removed trailing space in p~: penye mabonde patanyooshwa,

ISA 40:4 Removed trailing space in p~: napo palipoparuza patasawazishwa.

ISA 40:5 Removed trailing space in v~: Utukufu wa \nd Bwana\nd* utafunuliwa,

ISA 40:5 Removed trailing space in p~: nao wanadamu wote watauona pamoja.

ISA 40:5 Removed trailing space in p~: Kwa maana kinywa cha \nd Bwana\nd* kimenena.”

ISA 40:6 Removed trailing space in v~: Sauti husema, “Piga kelele.”

ISA 40:6 Removed trailing space in p~: Nami nikasema, “Nipige kelele gani?”

ISA 40:6 Removed trailing space in p~: “Wanadamu wote ni kama majani,

ISA 40:6 Removed trailing space in p~: nao utukufu wao wote

ISA 40:6 Removed trailing space in p~: ni kama maua ya kondeni.

ISA 40:7 Removed trailing space in v~: Majani hunyauka na maua huanguka,

ISA 40:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu pumzi ya \nd Bwana\nd* huyapuliza.

ISA 40:7 Removed trailing space in p~: Hakika wanadamu ni majani.

ISA 40:8 Removed trailing space in v~: Majani hunyauka na maua huanguka,

ISA 40:8 Removed trailing space in p~: lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”

ISA 40:9 Removed trailing space in v~: Wewe uletaye habari njema Sayuni,

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: panda juu ya mlima mrefu.

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: Wewe uletaye habari njema Yerusalemu,

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: inua sauti yako kwa kupiga kelele,

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: inua sauti, usiogope;

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: iambie miji ya Yuda,

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: “Yuko hapa Mungu wenu!”

ISA 40:10 Removed trailing space in v~: Tazameni, \nd Bwana\nd* Mwenyezi anakuja na nguvu,

ISA 40:10 Removed trailing space in p~: nao mkono wake ndio utawalao kwa ajili yake.

ISA 40:10 Removed trailing space in p~: Tazameni, ujira wake u pamoja naye,

ISA 40:10 Removed trailing space in p~: nayo malipo yake yanafuatana naye.

ISA 40:11 Removed trailing space in v~: Huchunga kundi lake kama mchungaji wa mifugo:

ISA 40:11 Removed trailing space in p~: Hukusanya wana-kondoo katika mikono yake

ISA 40:11 Removed trailing space in p~: na kuwachukua karibu na moyo wake,

ISA 40:11 Removed trailing space in p~: huwaongoza taratibu wale wanyonyeshao.

ISA 40:12 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyepima maji ya bahari

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: kwenye konzi ya mkono wake,

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: au kuzipima mbingu kwa shibiri\f + \fr 40:12 \ft Shibiri ni sawa na sentimita 20 au inchi 8.\f* yake?

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyeyashika mavumbi ya dunia katika kikapu,

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: au kupima milima kwenye kipimio

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: na vilima kwenye mizani?

ISA 40:13 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya \nd Bwana\nd*,

ISA 40:13 Removed trailing space in p~: au kumfundisha akiwa kama mshauri wake?

ISA 40:14 Removed trailing space in v~: Ni nani ambaye \nd Bwana\nd* ametaka shauri kwake ili kumwelimisha,

ISA 40:14 Removed trailing space in p~: naye ni nani aliyemfundisha njia iliyo sawa?

ISA 40:14 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyemfundisha maarifa

ISA 40:14 Removed trailing space in p~: au kumwonyesha mapito ya ufahamu?

ISA 40:15 Removed trailing space in v~: Hakika mataifa ni kama tone ndani ya ndoo,

ISA 40:15 Removed trailing space in p~: ni kama vumbi jembamba juu ya mizani,

ISA 40:15 Removed trailing space in p~: huvipima visiwa kana kwamba vilikuwa vumbi laini.

ISA 40:16 Removed trailing space in v~: Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni,

ISA 40:16 Removed trailing space in p~: wala wanyama wake hawatoshi kwa sadaka za kuteketezwa.

ISA 40:17 Removed trailing space in v~: Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu,

ISA 40:17 Removed trailing space in p~: yanaonekana yasio na thamani

ISA 40:17 Removed trailing space in p~: na zaidi ya bure kabisa.

ISA 40:18 Removed trailing space in v~: Basi, utamlinganisha Mungu na nani?

ISA 40:18 Removed trailing space in p~: Utamlinganisha na kitu gani?

ISA 40:19 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya sanamu, fundi huisubu,

ISA 40:19 Removed trailing space in p~: naye mfua dhahabu huifunika kwa dhahabu

ISA 40:19 Removed trailing space in p~: na kuitengenezea mikufu ya fedha.

ISA 40:20 Removed trailing space in v~: Mtu aliye maskini sana asiyeweza kuleta sadaka kama hii

ISA 40:20 Removed trailing space in p~: huuchagua mti usiooza.

ISA 40:20 Removed trailing space in p~: Humtafuta fundi stadi

ISA 40:20 Removed trailing space in p~: wa kusimamisha sanamu ambayo haitatikisika.

ISA 40:21 Removed trailing space in v~: Je, hujui?

ISA 40:21 Removed trailing space in p~: Je, hujasikia?

ISA 40:21 Removed trailing space in p~: Je, hujaambiwa tangu mwanzo?

ISA 40:21 Removed trailing space in p~: Je, hujafahamu tangu kuumbwa kwa dunia?

ISA 40:22 Removed trailing space in v~: Anakaa kwenye kiti cha enzi juu ya duara ya dunia,

ISA 40:22 Removed trailing space in p~: nao watu wakaao ndani yake ni kama panzi.

ISA 40:22 Removed trailing space in p~: Huzitandaza mbingu kama chandarua,

ISA 40:22 Removed trailing space in p~: na kuzitandaza kama hema la kuishi.

ISA 40:23 Removed trailing space in v~: Huwafanya wakuu kuwa si kitu,

ISA 40:23 Removed trailing space in p~: na kuwashusha watawala wa dunia hii kuwa kitu bure.

ISA 40:24 Removed trailing space in v~: Mara baada ya kupandwa,

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: mara baada ya kutiwa ardhini,

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: mara baada ya kutoa mizizi yao ardhini,

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: ndipo huwapulizia nao wakanyauka,

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: nao upepo wa kisulisuli

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: huwapeperusha kama makapi.

ISA 40:25 Removed trailing space in v~: “Utanilinganisha mimi na nani?

ISA 40:25 Removed trailing space in p~: Au ni nani anayelingana nami?” asema yeye Aliye Mtakatifu.

ISA 40:26 Removed trailing space in v~: Inueni macho yenu mtazame mbinguni:

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyeumba hivi vyote?

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: Ni yeye aletaye nje jeshi la nyota moja baada ya nyingine

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: na kuziita kila moja kwa jina lake.

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ya uweza wake mkuu na nguvu zake kuu,

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: hakuna hata mojawapo inayokosekana.

ISA 40:27 Removed trailing space in v~: Kwa nini unasema, ee Yakobo,

ISA 40:27 Removed trailing space in p~: nanyi ee Israeli, kulalamika,

ISA 40:27 Removed trailing space in p~: “Njia yangu imefichwa \nd Bwana\nd* asiione,

ISA 40:27 Removed trailing space in p~: Mungu wangu hajali shauri langu?”

ISA 40:28 Removed trailing space in v~: Je wewe, hufahamu?

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: Je wewe, hujasikia?

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni Mungu wa milele,

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: Muumba wa miisho ya dunia.

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: Hatachoka wala kulegea,

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: awezaye kuupima ufahamu wake.

ISA 40:29 Removed trailing space in v~: Huwapa nguvu waliolegea

ISA 40:29 Removed trailing space in p~: na huongeza nguvu za wadhaifu.

ISA 40:30 Removed trailing space in v~: Hata vijana huchoka na kulegea,

ISA 40:30 Removed trailing space in p~: nao vijana wanaume hujikwaa na kuanguka,

ISA 40:31 Removed trailing space in v~: bali wale wamtumainio \nd Bwana\nd*

ISA 40:31 Removed trailing space in p~: atafanya upya nguvu zao.

ISA 40:31 Removed trailing space in p~: Watapaa juu kwa mbawa kama tai;

ISA 40:31 Removed trailing space in p~: watapiga mbio wala hawatachoka,

ISA 40:31 Removed trailing space in p~: watatembea kwa miguu wala hawatazimia.

ISA 41:0 Extra space after chapter number

ISA 41:0 Removed trailing space in c: 41

ISA 41:0 Removed trailing space in s1: Msaidizi Wa Israeli

ISA 41:1 Removed trailing space in v~: “Nyamazeni kimya mbele zangu, enyi visiwa!

ISA 41:1 Removed trailing space in p~: Mataifa na wafanye upya nguvu zao!

ISA 41:1 Removed trailing space in p~: Wao na wajitokeze, kisha waseme,

ISA 41:1 Removed trailing space in p~: tukutane pamoja mahali pa hukumu.

ISA 41:2 Removed trailing space in v~: “Ni nani aliyemchochea mmoja kutoka mashariki,

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: akimwita katika haki kwa utumishi wake?

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: Huyatia mataifa mikononi mwake,

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: na kuwatiisha wafalme mbele zake.

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: Huwafanya kuwa mavumbi kwa upanga wake,

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: huwafanya makapi yapeperushwayo na upepo kwa upinde wake.

ISA 41:3 Removed trailing space in v~: Huwafuatia na kuendelea salama,

ISA 41:3 Removed trailing space in p~: katika njia ambayo miguu yake haijawahi kupita.

ISA 41:4 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyefanya jambo hili na kulitimiliza,

ISA 41:4 Removed trailing space in p~: akiita vizazi tangu mwanzo?

ISA 41:4 Removed trailing space in p~: Mimi, \nd Bwana\nd*, ni wa kwanza

ISA 41:4 Removed trailing space in p~: nami nitakuwa pamoja na wa mwisho:

ISA 41:4 Removed trailing space in p~: mimi \nd Bwana\nd* ndiye.”

ISA 41:5 Removed trailing space in v~: Visiwa vimeliona na kuogopa,

ISA 41:5 Removed trailing space in p~: miisho ya dunia inatetemeka.

ISA 41:5 Removed trailing space in p~: Wanakaribia na kuja mbele,

ISA 41:6 Removed trailing space in v~: kila mmoja humsaidia mwingine

ISA 41:6 Removed trailing space in p~: na kusema kwa ndugu yake, “Uwe hodari!”

ISA 41:7 Removed trailing space in v~: Fundi humtia moyo sonara,

ISA 41:7 Removed trailing space in p~: yeye alainishaye kwa nyundo

ISA 41:7 Removed trailing space in p~: humhimiza yeye agongeaye kwenye fuawe,

ISA 41:7 Removed trailing space in p~: Humwambia yeye aunganishaye, “Ni kazi njema.”

ISA 41:7 Removed trailing space in p~: Naye huikaza sanamu kwa misumari ili isitikisike.

ISA 41:8 Removed trailing space in v~: “Lakini wewe, ee Israeli, mtumishi wangu,

ISA 41:8 Removed trailing space in p~: Yakobo, niliyemchagua,

ISA 41:8 Removed trailing space in p~: ninyi wazao wa Abrahamu rafiki yangu,

ISA 41:9 Removed trailing space in v~: nilikuchukua toka miisho ya dunia,

ISA 41:9 Removed trailing space in p~: nilikuita kutoka pembe zake za mbali.

ISA 41:9 Removed trailing space in p~: Nilisema, ‘Wewe ni mtumishi wangu’;

ISA 41:9 Removed trailing space in p~: nimekuchagua, wala sikukukataa.

ISA 41:10 Removed trailing space in v~: Hivyo usiogope, kwa maana niko pamoja nawe;

ISA 41:10 Removed trailing space in p~: usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.

ISA 41:10 Removed trailing space in p~: Nitakutia nguvu na kukusaidia;

ISA 41:10 Removed trailing space in p~: nitakutegemeza kwa mkono wa kuume wa haki yangu.

ISA 41:11 Removed trailing space in v~: “Wote walioona hasira dhidi yako

ISA 41:11 Removed trailing space in p~: hakika wataaibika na kutahayarika,

ISA 41:11 Removed trailing space in p~: wale wakupingao

ISA 41:11 Removed trailing space in p~: watakuwa kama vile si kitu, na kuangamia.

ISA 41:12 Removed trailing space in v~: Ingawa utawatafuta adui zako,

ISA 41:12 Removed trailing space in p~: hutawaona.

ISA 41:12 Removed trailing space in p~: Wale wanaopigana vita dhidi yako

ISA 41:12 Removed trailing space in p~: watakuwa kama vile si kitu kabisa.

ISA 41:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wako,

ISA 41:13 Removed trailing space in p~: nikushikaye mkono wako wa kuume

ISA 41:13 Removed trailing space in p~: na kukuambia, Usiwe na hofu,

ISA 41:13 Removed trailing space in p~: nitakusaidia.

ISA 41:14 Removed trailing space in v~: Usiogope, ee Yakobo uliye mdudu,

ISA 41:14 Removed trailing space in p~: ee Israeli uliye mdogo,

ISA 41:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Mimi mwenyewe nitakusaidia,” asema \nd Bwana\nd*,

ISA 41:14 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 41:15 Removed trailing space in v~: “Tazama, nitakufanya chombo cha kupuria,

ISA 41:15 Removed trailing space in p~: kipya na chenye makali, chenye meno mengi.

ISA 41:15 Removed trailing space in p~: Utaipura milima na kuiponda

ISA 41:15 Removed trailing space in p~: na kuvifanya vilima kuwa kama makapi.

ISA 41:16 Removed trailing space in v~: Utaipepeta, nao upepo utaichukua,

ISA 41:16 Removed trailing space in p~: dhoruba itaipeperushia mbali.

ISA 41:16 Removed trailing space in p~: Bali wewe utajifurahisha katika \nd Bwana\nd*

ISA 41:16 Removed trailing space in p~: na katika utukufu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 41:17 Removed trailing space in v~: “Maskini na wahitaji wanatafuta maji,

ISA 41:17 Removed trailing space in p~: lakini hayapo,

ISA 41:17 Removed trailing space in p~: ndimi zao zimekauka kwa kiu.

ISA 41:17 Removed trailing space in p~: Lakini Mimi \nd Bwana\nd* nitawajibu,

ISA 41:17 Removed trailing space in p~: Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.

ISA 41:18 Removed trailing space in v~: Nitaifanya mito itiririke juu ya vilima vilivyo kame,

ISA 41:18 Removed trailing space in p~: nazo chemchemi ndani ya mabonde.

ISA 41:18 Removed trailing space in p~: Nitaligeuza jangwa liwe mabwawa ya maji,

ISA 41:18 Removed trailing space in p~: nayo ardhi iliyokauka kuwa chemchemi za maji.

ISA 41:19 Removed trailing space in v~: Katika jangwa nitaotesha

ISA 41:19 Removed trailing space in p~: mwerezi, mshita, mhadasi na mzeituni.

ISA 41:19 Removed trailing space in p~: Nitaweka misunobari, mivinje na misanduku

ISA 41:19 Removed trailing space in p~: pamoja huko nyikani,

ISA 41:20 Removed trailing space in v~: ili kwamba watu wapate kuona na kujua,

ISA 41:20 Removed trailing space in p~: wapate kufikiri na kuelewa,

ISA 41:20 Removed trailing space in p~: kwamba mkono wa \nd Bwana\nd* umetenda hili,

ISA 41:20 Removed trailing space in p~: kwamba yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ndiye alilifanya.”

ISA 41:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Leta shauri lako.

ISA 41:21 Removed trailing space in p~: Toa hoja yako,” asema Mfalme wa Yakobo.

ISA 41:22 Removed trailing space in v~: “Leteni sanamu zenu zituambie

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: ni nini kitakachotokea.

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: Tuambieni mambo ya zamani yalikuwa nini,

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: ili tupate kuyatafakari

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: na kujua matokeo yake ya mwisho.

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: Au tutangazieni mambo yatakayokuja,

ISA 41:23 Removed trailing space in v~: tuambieni ni nini kitakachotokea baadaye,

ISA 41:23 Removed trailing space in p~: ili tupate kujua kuwa ninyi ni miungu.

ISA 41:23 Removed trailing space in p~: Fanyeni jambo lolote zuri au baya,

ISA 41:23 Removed trailing space in p~: ili tupate kutishika na kujazwa na hofu.

ISA 41:24 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi ni zaidi ya bure kabisa,

ISA 41:24 Removed trailing space in p~: na kazi zenu hazifai kitu kabisa;

ISA 41:24 Removed trailing space in p~: yeye awachaguaye ni chukizo sana.

ISA 41:25 Removed trailing space in v~: “Nimemchochea mtu mmoja kutoka kaskazini,

ISA 41:25 Removed trailing space in p~: naye yuaja, mmoja toka mawio ya jua aliitaye Jina langu.

ISA 41:25 Removed trailing space in p~: Huwakanyaga watawala kana kwamba ni matope,

ISA 41:25 Removed trailing space in p~: kama mfinyanzi akanyagavyo udongo wa kufinyangia.

ISA 41:26 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyenena hili tokea mwanzoni, ili tupate kujua,

ISA 41:26 Removed trailing space in p~: au kabla, ili tuweze kusema, ‘Alikuwa sawa’?

ISA 41:26 Removed trailing space in p~: Hakuna aliyenena hili,

ISA 41:26 Removed trailing space in p~: hakuna aliyetangulia kusema hili,

ISA 41:26 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote aliyesikia maneno kutoka kwenu.

ISA 41:27 Removed trailing space in v~: Nilikuwa wa kwanza kumwambia Sayuni,

ISA 41:27 Removed trailing space in p~: ‘Tazama, wako hapa!’

ISA 41:27 Removed trailing space in p~: Nilimpa Yerusalemu mjumbe wa habari njema.

ISA 41:28 Removed trailing space in v~: Ninatazama, lakini hakuna yeyote:

ISA 41:28 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote miongoni mwao awezaye kutoa shauri,

ISA 41:28 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote wa kutoa jibu wakati ninapowauliza.

ISA 41:29 Removed trailing space in v~: Tazama, wote ni ubatili!

ISA 41:29 Removed trailing space in p~: Matendo yao ni bure;

ISA 41:29 Removed trailing space in p~: vinyago vyao ni upepo mtupu na machafuko.

ISA 42:0 Extra space after chapter number

ISA 42:0 Removed trailing space in c: 42

ISA 42:0 Removed trailing space in s1: Mtumishi Wa \nd Bwana\nd*

ISA 42:1 Removed trailing space in v~: “Huyu hapa mtumishi wangu, ninayemtegemeza,

ISA 42:1 Removed trailing space in p~: mteule wangu, ambaye ninapendezwa naye;

ISA 42:1 Removed trailing space in p~: nitaweka Roho yangu juu yake,

ISA 42:1 Removed trailing space in p~: naye ataleta haki kwa mataifa.

ISA 42:2 Removed trailing space in v~: Hatapaza sauti wala kupiga kelele,

ISA 42:2 Removed trailing space in p~: wala hataiinua sauti yake barabarani.

ISA 42:3 Removed trailing space in v~: Mwanzi uliopondeka hatauvunja,

ISA 42:3 Removed trailing space in p~: na utambi unaofuka moshi hatauzima.

ISA 42:3 Removed trailing space in p~: Kwa uaminifu ataleta haki,

ISA 42:4 Removed trailing space in v~: hatazimia roho wala kukata tamaa,

ISA 42:4 Removed trailing space in p~: mpaka atakaposimamisha haki juu ya dunia.

ISA 42:4 Removed trailing space in p~: Visiwa vitaweka tumaini lao katika sheria yake.”

ISA 42:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo Mungu, \nd Bwana\nd*,

ISA 42:5 Removed trailing space in p~: yeye aliyeziumba mbingu na kuzitanda,

ISA 42:5 Removed trailing space in p~: aliyeitandaza dunia na vyote vitokavyo humo,

ISA 42:5 Removed trailing space in p~: awapaye watu wake pumzi,

ISA 42:5 Removed trailing space in p~: na uzima kwa wale waendao humo:

ISA 42:6 Removed trailing space in v~: “Mimi, \nd Bwana\nd*, nimekuita katika haki;

ISA 42:6 Removed trailing space in p~: nitakushika mkono wako.

ISA 42:6 Removed trailing space in p~: Nitakulinda na kukufanya

ISA 42:6 Removed trailing space in p~: kuwa Agano kwa ajili ya watu

ISA 42:6 Removed trailing space in p~: na nuru kwa Mataifa,

ISA 42:7 Removed trailing space in v~: kuwafungua macho wale wasioona,

ISA 42:7 Removed trailing space in p~: kuwaacha huru kutoka kifungoni waliofungwa jela,

ISA 42:7 Removed trailing space in p~: na kuwafungua kutoka gerezani

ISA 42:7 Removed trailing space in p~: wale wanaokaa gizani.

ISA 42:8 Removed trailing space in v~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*; hilo ndilo Jina langu!

ISA 42:8 Removed trailing space in p~: Sitampa mwingine utukufu wangu

ISA 42:8 Removed trailing space in p~: wala sanamu sifa zangu.

ISA 42:9 Removed trailing space in v~: Tazama, mambo ya kwanza yametokea,

ISA 42:9 Removed trailing space in p~: nami natangaza mambo mapya;

ISA 42:9 Removed trailing space in p~: kabla hayajatokea

ISA 42:9 Removed trailing space in p~: nawatangazia habari zake.”

ISA 42:9 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumsifu \nd Bwana\nd*

ISA 42:10 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* wimbo mpya,

ISA 42:10 Removed trailing space in p~: sifa zake toka miisho ya dunia,

ISA 42:10 Removed trailing space in p~: ninyi mshukao chini baharini,

ISA 42:10 Removed trailing space in p~: na vyote vilivyomo ndani yake,

ISA 42:10 Removed trailing space in p~: enyi visiwa na wote wakaao ndani yake.

ISA 42:11 Removed trailing space in v~: Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao;

ISA 42:11 Removed trailing space in p~: makao anamoishi Kedari na yashangilie.

ISA 42:11 Removed trailing space in p~: Watu wa Sela waimbe kwa furaha,

ISA 42:11 Removed trailing space in p~: na wapige kelele kutoka vilele vya milima.

ISA 42:12 Removed trailing space in v~: Wampe \nd Bwana\nd* utukufu,

ISA 42:12 Removed trailing space in p~: na kutangaza sifa zake katika visiwa.

ISA 42:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataenda kama mtu mwenye nguvu,

ISA 42:13 Removed trailing space in p~: kama shujaa atachochea shauku yake,

ISA 42:13 Removed trailing space in p~: kwa kelele ataamsha kilio cha vita,

ISA 42:13 Removed trailing space in p~: naye atashinda adui zake.

ISA 42:14 Removed trailing space in v~: “Kwa muda mrefu nimenyamaza kimya,

ISA 42:14 Removed trailing space in p~: nimekaa kimya na kujizuia.

ISA 42:14 Removed trailing space in p~: Lakini sasa, kama mwanamke wakati wa kujifungua,

ISA 42:14 Removed trailing space in p~: ninapiga kelele, ninatweta na kushusha pumzi.

ISA 42:15 Removed trailing space in v~: Nitaharibu milima na vilima

ISA 42:15 Removed trailing space in p~: na kukausha mimea yako yote;

ISA 42:15 Removed trailing space in p~: nitafanya mito kuwa visiwa

ISA 42:15 Removed trailing space in p~: na kukausha mabwawa.

ISA 42:16 Removed trailing space in v~: Nitawaongoza vipofu kwenye njia ambayo hawajaijua,

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: kwenye mapito wasiyoyazoea nitawaongoza;

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: nitafanya giza kuwa nuru mbele yao,

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: na kufanya mahali palipoparuza kuwa laini.

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: Haya ndiyo mambo nitakayofanya;

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: mimi sitawaacha.

ISA 42:17 Removed trailing space in v~: Lakini wale wanaotumaini sanamu,

ISA 42:17 Removed trailing space in p~: wanaoviambia vinyago, ‘Ninyi ndio miungu yetu,’

ISA 42:17 Removed trailing space in p~: watarudishwa nyuma kwa aibu kubwa.

ISA 42:17 Removed trailing space in s1: Israeli Kipofu Na Kiziwi

ISA 42:18 Removed trailing space in v~: “Sikieni, enyi viziwi;

ISA 42:18 Removed trailing space in p~: tazameni, enyi vipofu, mpate kuona!

ISA 42:19 Removed trailing space in v~: Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu,

ISA 42:19 Removed trailing space in p~: na kiziwi kama mjumbe ninayemtuma?

ISA 42:19 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye kipofu kama yeye aliyejitoa kwangu,

ISA 42:19 Removed trailing space in p~: aliye kipofu kama mtumishi wa \nd Bwana\nd*?

ISA 42:20 Removed trailing space in v~: Mmeona vitu vingi, lakini hamkuzingatia;

ISA 42:20 Removed trailing space in p~: masikio yenu yako wazi, lakini hamsikii chochote.”

ISA 42:21 Removed trailing space in v~: Ilimpendeza \nd Bwana\nd*

ISA 42:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya haki yake

ISA 42:21 Removed trailing space in p~: kufanya sheria yake kuwa kuu na tukufu.

ISA 42:22 Removed trailing space in v~: Lakini hili ni taifa lililoibwa na kutekwa nyara,

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: wote wamenaswa katika mashimo,

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: au wamefichwa katika magereza.

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: Wamekuwa nyara,

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: wala hapana yeyote awaokoaye.

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: Wamefanywa mateka,

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: wala hapana yeyote asemaye, “Warudishe.”

ISA 42:23 Removed trailing space in v~: Ni nani miongoni mwenu atakayesikiliza hili,

ISA 42:23 Removed trailing space in p~: au atakayezingatia kwa makini katika wakati ujao?

ISA 42:24 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyemtoa Yakobo kuwa mateka,

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: na Israeli kwa wateka nyara?

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: Je, hakuwa yeye, \nd Bwana\nd*,

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: ambaye tumetenda dhambi dhidi yake?

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa hawakufuata njia zake,

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: hawakutii sheria zake.

ISA 42:25 Removed trailing space in v~: Hivyo akawamwagia hasira yake inayowaka,

ISA 42:25 Removed trailing space in p~: ukali wa vita.

ISA 42:25 Removed trailing space in p~: Iliwazunguka kwa miali ya moto, lakini hata hivyo hawakuelewa;

ISA 42:25 Removed trailing space in p~: iliwateketeza, lakini hawakuyatia moyoni.

ISA 43:0 Extra space after chapter number

ISA 43:0 Removed trailing space in c: 43

ISA 43:0 Removed trailing space in s1: Mwokozi Pekee Wa Israeli

ISA 43:1 Removed trailing space in v~: Lakini sasa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 43:1 Removed trailing space in p~: yeye aliyekuumba, ee Yakobo,

ISA 43:1 Removed trailing space in p~: yeye aliyekuhuluku, ee Israeli:

ISA 43:1 Removed trailing space in p~: “Usiogope kwa maana nimekukomboa,

ISA 43:1 Removed trailing space in p~: nimekuita wewe kwa jina lako, wewe u wangu.

ISA 43:2 Removed trailing space in v~: Unapopita kwenye maji makuu,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: nitakuwa pamoja nawe,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: unapopita katika mito ya maji,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: hayatakugharikisha.

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: Utakapopita katika moto,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: hutaungua,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: miali ya moto haitakuunguza.

ISA 43:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wako,

ISA 43:3 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wako.

ISA 43:3 Removed trailing space in p~: Ninaitoa Misri kuwa fidia yako,

ISA 43:3 Removed trailing space in p~: Kushi na Seba badala yako.

ISA 43:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe ni wa thamani na wa kuheshimiwa machoni pangu,

ISA 43:4 Removed trailing space in p~: nami kwa kuwa ninakupenda,

ISA 43:4 Removed trailing space in p~: nitatoa watu badala yako

ISA 43:4 Removed trailing space in p~: na mataifa badala ya maisha yako.

ISA 43:5 Removed trailing space in v~: Usiogope, kwa kuwa mimi nipo pamoja nawe,

ISA 43:5 Removed trailing space in p~: nitawaleta watoto wako kutoka mashariki,

ISA 43:5 Removed trailing space in p~: na kukukusanya kutoka magharibi.

ISA 43:6 Removed trailing space in v~: Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’

ISA 43:6 Removed trailing space in p~: nayo kusini, ‘Usiwazuie.’

ISA 43:6 Removed trailing space in p~: Walete wana wangu kutoka mbali,

ISA 43:6 Removed trailing space in p~: na binti zangu kutoka miisho ya dunia:

ISA 43:7 Removed trailing space in v~: kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu,

ISA 43:7 Removed trailing space in p~: niliyemuumba kwa utukufu wangu,

ISA 43:7 Removed trailing space in p~: niliyemhuluku na kumfanya.”

ISA 43:8 Removed trailing space in v~: Uwaongoze wale wenye macho lakini hawaoni,

ISA 43:8 Removed trailing space in p~: wenye masikio lakini hawasikii.

ISA 43:9 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yanakutanika pamoja,

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: na makabila yanakusanyika.

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: Ni nani miongoni mwao aliyetangulia kutuambia haya,

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: na kututangazia mambo yaliyopita?

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: Walete mashahidi wao ili kuwathibitisha kuwa walikuwa sahihi,

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: ili wengine waweze kusikia, waseme, “Ni kweli.”

ISA 43:10 Removed trailing space in v~: “Ninyi ni mashahidi wangu,” asema \nd Bwana\nd*,

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: “na mtumishi wangu niliyemchagua,

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: ili mpate kunijua na kuniamini,

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: na kutambua kwamba Mimi ndiye.

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: Kabla yangu hakuna mungu aliyefanyizwa,

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: wala hatakuwepo mwingine baada yangu.

ISA 43:11 Removed trailing space in v~: Mimi, naam mimi, ndimi \nd Bwana\nd*,

ISA 43:11 Removed trailing space in p~: zaidi yangu hakuna mwokozi.

ISA 43:12 Removed trailing space in v~: Nimedhihirisha, kuokoa na kutangaza:

ISA 43:12 Removed trailing space in p~: Mimi, wala si mungu mgeni katikati yenu.

ISA 43:12 Removed trailing space in p~: Ninyi ni mashahidi wangu,” asema \nd Bwana\nd*,

ISA 43:12 Removed trailing space in p~: “kwamba Mimi ndimi Mungu.

ISA 43:13 Removed trailing space in v~: Naam, tangu siku za kale, Mimi ndiye.

ISA 43:13 Removed trailing space in p~: Hakuna hata mmoja awezaye kuokoa

ISA 43:13 Removed trailing space in p~: kutoka mkononi wangu.

ISA 43:13 Removed trailing space in p~: Mimi ninapotenda,

ISA 43:13 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kutangua?”

ISA 43:13 Removed trailing space in s1: Huruma Za Mungu, Na Kukosa Uaminifu Kwa Israeli

ISA 43:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo,

ISA 43:14 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

ISA 43:14 Removed trailing space in p~: “Kwa ajili yenu nitatumana Babeli

ISA 43:14 Removed trailing space in p~: na kuwaleta Wakaldayo wote kama wakimbizi,

ISA 43:14 Removed trailing space in p~: katika meli walizozionea fahari.

ISA 43:15 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, yeye Aliye Mtakatifu wako,

ISA 43:15 Removed trailing space in p~: Muumba wa Israeli, Mfalme wako.”

ISA 43:16 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 43:16 Removed trailing space in p~: yeye aliyefanya njia baharini,

ISA 43:16 Removed trailing space in p~: mahali pa kupita kwenye maji mengi,

ISA 43:17 Removed trailing space in v~: aliyeyakokota magari ya vita na farasi,

ISA 43:17 Removed trailing space in p~: jeshi pamoja na askari wa msaada,

ISA 43:17 Removed trailing space in p~: nao wakalala huko, wala hawatainuka tena kamwe,

ISA 43:17 Removed trailing space in p~: wakakomeshwa, na wakazimika kama utambi:

ISA 43:18 Removed trailing space in v~: “Msiyakumbuke mambo yaliyopita,

ISA 43:18 Removed trailing space in p~: wala msiyatafakari mambo ya zamani.

ISA 43:19 Removed trailing space in v~: Tazama, nitafanya jambo jipya!

ISA 43:19 Removed trailing space in p~: Sasa litachipuka, je, hamtalitambua?

ISA 43:19 Removed trailing space in p~: Nitafanya njia jangwani

ISA 43:19 Removed trailing space in p~: na vijito vya maji katika nchi kame.

ISA 43:20 Removed trailing space in v~: Wanyama wa mwituni wataniheshimu,

ISA 43:20 Removed trailing space in p~: mbweha na bundi,

ISA 43:20 Removed trailing space in p~: kwa sababu ninawapatia maji jangwani,

ISA 43:20 Removed trailing space in p~: na vijito katika nchi kame,

ISA 43:20 Removed trailing space in p~: ili kuwapa watu wangu maji, wale niliowachagua,

ISA 43:21 Removed trailing space in v~: watu wale niliowaumba kwa ajili yangu,

ISA 43:21 Removed trailing space in p~: ili wapate kutangaza sifa zangu.

ISA 43:22 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo hukuniita mimi, ee Yakobo,

ISA 43:22 Removed trailing space in p~: hujajitaabisha kwa ajili yangu, ee Israeli.

ISA 43:23 Removed trailing space in v~: Hujaniletea kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa,

ISA 43:23 Removed trailing space in p~: wala kuniheshimu kwa dhabihu zako.

ISA 43:23 Removed trailing space in p~: Sikukulemea kwa sadaka za nafaka

ISA 43:23 Removed trailing space in p~: wala kukuchosha kwa kuhitaji uvumba.

ISA 43:24 Removed trailing space in v~: Hukuninunulia uvumba wowote wenye manukato,

ISA 43:24 Removed trailing space in p~: wala hukunipa kwa ukarimu

ISA 43:24 Removed trailing space in p~: mafuta ya wanyama wa dhabihu zako.

ISA 43:24 Removed trailing space in p~: Lakini umenilemea kwa dhambi zako,

ISA 43:24 Removed trailing space in p~: na kunitaabisha kwa makosa yako.

ISA 43:25 Removed trailing space in v~: “Mimi, naam mimi, ndimi nizifutaye dhambi zako,

ISA 43:25 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu mwenyewe,

ISA 43:25 Removed trailing space in p~: wala sizikumbuki dhambi zako tena.

ISA 43:26 Removed trailing space in v~: Tafakari mambo yaliyopita,

ISA 43:26 Removed trailing space in p~: njoo na tuhojiane,

ISA 43:26 Removed trailing space in p~: leta shauri lako uweze kupewa haki yako.

ISA 43:27 Removed trailing space in v~: Baba yako wa kwanza alitenda dhambi,

ISA 43:27 Removed trailing space in p~: wasemaji wako wameasi dhidi yangu.

ISA 43:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitawaaibisha wakuu wa Hekalu lako,

ISA 43:28 Removed trailing space in p~: nami nitamtoa Yakobo aangamizwe,

ISA 43:28 Removed trailing space in p~: na Israeli adhihakiwe.

ISA 44:0 Extra space after chapter number

ISA 44:0 Removed trailing space in c: 44

ISA 44:0 Removed trailing space in s1: Israeli Aliyechaguliwa

ISA 44:1 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa sikiliza, ee Yakobo, mtumishi wangu,

ISA 44:1 Removed trailing space in p~: Israeli, niliyemchagua.

ISA 44:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 44:2 Removed trailing space in p~: yeye aliyekuhuluku, aliyekuumba tumboni,

ISA 44:2 Removed trailing space in p~: yeye atakayekusaidia:

ISA 44:2 Removed trailing space in p~: Usiogope, ee Yakobo, mtumishi wangu,

ISA 44:2 Removed trailing space in p~: Yeshuruni,\f + \fr 44:2 \ft Yeshuruni hapa maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia \+xt Kum 32:15\+xt*).\f* niliyekuchagua.

ISA 44:2 Found unexpected backslash in footnote: 44:2 Yeshuruni hapa maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia \+xt Kum 32:15\+xt*).

ISA 44:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana nitamimina maji juu ya nchi yenye kiu,

ISA 44:3 Removed trailing space in p~: na vijito vya maji juu ya ardhi iliyokauka;

ISA 44:3 Removed trailing space in p~: nitamimina Roho wangu juu ya watoto wako,

ISA 44:3 Removed trailing space in p~: nayo baraka yangu juu ya wazao wako.

ISA 44:4 Removed trailing space in v~: Nao watachipua kama manyasi katika shamba la majani,

ISA 44:4 Removed trailing space in p~: kama mierezi kando ya vijito vya maji yatiririkayo.

ISA 44:5 Removed trailing space in v~: Mmoja atasema, ‘Mimi ni wa \nd Bwana\nd*’;

ISA 44:5 Removed trailing space in p~: mwingine atajiita kwa jina la Yakobo;

ISA 44:5 Removed trailing space in p~: vilevile mwingine ataandika juu ya mkono wake, ‘Wa \nd Bwana\nd*,’

ISA 44:5 Removed trailing space in p~: na kujiita kwa jina la Israeli.

ISA 44:5 Removed trailing space in s1: Ni \nd Bwana\nd*, Siyo Sanamu

ISA 44:6 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 44:6 Removed trailing space in p~: Mfalme wa Israeli na Mkombozi,

ISA 44:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

ISA 44:6 Removed trailing space in p~: Mimi ni wa kwanza na Mimi ni wa mwisho;

ISA 44:6 Removed trailing space in p~: zaidi yangu hakuna Mungu.

ISA 44:7 Removed trailing space in v~: Ni nani basi aliye kama mimi? Yeye na atangaze.

ISA 44:7 Removed trailing space in p~: Yeye atangaze na kuweka mbele yangu

ISA 44:7 Removed trailing space in p~: ni kitu gani kilichotokea tangu nilipoumba watu wangu wa kale,

ISA 44:7 Removed trailing space in p~: tena ni nini kitakachotokea:

ISA 44:7 Removed trailing space in p~: naam, yeye na atoe unabii ni nini kitakachokuja.

ISA 44:8 Removed trailing space in v~: Msitetemeke, msiogope.

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: Je, sikutangaza hili, na kutoa unabii tangu zamani?

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: Ninyi ni mashahidi wangu.

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: Je, yuko Mungu zaidi yangu mimi?

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: Hasha, hakuna Mwamba mwingine;

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: mimi simjui mwingine.”

ISA 44:9 Removed trailing space in v~: Wote wachongao sanamu ni ubatili,

ISA 44:9 Removed trailing space in p~: navyo vitu wanavyovithamini havifai kitu.

ISA 44:9 Removed trailing space in p~: Wale ambao wanazitetea ni vipofu,

ISA 44:9 Removed trailing space in p~: ni wajinga, nao waaibika.

ISA 44:10 Removed trailing space in v~: Ni nani atengenezaye mungu na kusubu sanamu,

ISA 44:10 Removed trailing space in p~: ambayo haiwezi kumfaidia kitu chochote?

ISA 44:11 Removed trailing space in v~: Yeye pamoja na wenziwe wa aina yake wataaibishwa,

ISA 44:11 Removed trailing space in p~: mafundi wao si kitu ila ni wanadamu tu.

ISA 44:11 Removed trailing space in p~: Wote wakusanyike pamoja na kuwa na msimamo wao,

ISA 44:11 Removed trailing space in p~: watashushwa chini kwa hofu na kwa fedheha.

ISA 44:12 Removed trailing space in v~: Muhunzi huchukua kifaa

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: na kukifanyia kazi kwenye makaa ya moto,

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: hutengeneza sanamu kwa nyundo,

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: huifanyiza kwa nguvu za mkono wake.

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: Huona njaa na kupoteza nguvu zake,

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: asipokunywa maji huzimia.

ISA 44:13 Removed trailing space in v~: Seremala hupima kwa kutumia kamba

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: na huuchora mstari kwa kalamu;

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: huchonga kwa patasi

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: na kutia alama kwa bikari.

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: Huifanyiza katika umbo la binadamu,

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: la mwanadamu katika utukufu wake wote,

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: ili iweze kukaa katika sehemu yake ya ibada ya miungu.

ISA 44:14 Removed trailing space in v~: Hukata miti ya mierezi,

ISA 44:14 Removed trailing space in p~: huchukua mtiriza au mwaloni.

ISA 44:14 Removed trailing space in p~: Huuacha ukue miongoni mwa miti ya msituni,

ISA 44:14 Removed trailing space in p~: au hupanda msunobari, nayo mvua huufanya ukue.

ISA 44:15 Removed trailing space in v~: Ni kuni ya binadamu:

ISA 44:15 Removed trailing space in p~: yeye huchukua baadhi yake na kuota moto,

ISA 44:15 Removed trailing space in p~: huwasha moto na kuoka mkate.

ISA 44:15 Removed trailing space in p~: Lakini pia huutumia kumtengeneza mungu na akamwabudu,

ISA 44:15 Removed trailing space in p~: huitengeneza sanamu na kuisujudia.

ISA 44:16 Removed trailing space in v~: Sehemu ya kuni huziweka motoni,

ISA 44:16 Removed trailing space in p~: akapikia chakula chake,

ISA 44:16 Removed trailing space in p~: hubanika nyama na kula hadi ashibe.

ISA 44:16 Removed trailing space in p~: Huota moto na kusema,

ISA 44:16 Removed trailing space in p~: “Aha! Ninahisi joto, ninaona moto.”

ISA 44:17 Removed trailing space in v~: Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake;

ISA 44:17 Removed trailing space in p~: yeye huisujudia na kuiabudu.

ISA 44:17 Removed trailing space in p~: Huiomba na kusema,

ISA 44:17 Removed trailing space in p~: “Niokoe; wewe ni mungu wangu.”

ISA 44:18 Removed trailing space in v~: Hawajui chochote, hawaelewi chochote,

ISA 44:18 Removed trailing space in p~: macho yao yamefungwa hata hawawezi kuona,

ISA 44:18 Removed trailing space in p~: akili zao zimefungwa hata hawawezi kufahamu.

ISA 44:19 Removed trailing space in v~: Hakuna anayefikiri,

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: hakuna mwenye maarifa wala ufahamu wa kusema,

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: “Sehemu yake nilitumia kwa kuni;

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: hata pia nilioka mkate juu ya makaa yake,

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: nikabanika nyama na kuila.

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: Je, nifanye machukizo kwa kile kilichobaki?

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: Je, nisujudie gogo la mti?”

ISA 44:20 Removed trailing space in v~: Hujilisha kwa majivu, moyo uliodanganyika humpotosha;

ISA 44:20 Removed trailing space in p~: hawezi kujiokoa mwenyewe, au kusema,

ISA 44:20 Removed trailing space in p~: “Je, kitu hiki kilichoko katika mkono wangu wa kuume si ni uongo?”

ISA 44:21 Removed trailing space in v~: “Ee Yakobo, kumbuka mambo haya,

ISA 44:21 Removed trailing space in p~: ee Israeli, kwa kuwa wewe ni mtumishi wangu.

ISA 44:21 Removed trailing space in p~: Nimekuumba wewe, wewe ni mtumishi wangu.

ISA 44:21 Removed trailing space in p~: Ee Israeli, sitakusahau.

ISA 44:22 Removed trailing space in v~: Nimeyafuta makosa yako kama wingu,

ISA 44:22 Removed trailing space in p~: dhambi zako kama ukungu wa asubuhi.

ISA 44:22 Removed trailing space in p~: Nirudie mimi,

ISA 44:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimekukomboa wewe.”

ISA 44:23 Removed trailing space in v~: Enyi mbingu, imbeni kwa furaha,

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* amefanya jambo hili.

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: Ee vilindi vya dunia, piga kelele.

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: Enyi milima, pazeni sauti kwa nyimbo,

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: enyi misitu na miti yenu yote,

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* amemkomboa Yakobo,

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: ameuonyesha utukufu wake katika Israeli.

ISA 44:23 Removed trailing space in s1: Yerusalemu Kukaliwa

ISA 44:24 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, aliyekuumba tumboni:

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: “Mimi ni \nd Bwana\nd*,

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: niliyeumba vitu vyote,

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: niliyezitanda mbingu peke yangu,

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: niliyeitandaza nchi mwenyewe,

ISA 44:25 Removed trailing space in v~: “mimi huzipinga ishara za manabii wa uongo,

ISA 44:25 Removed trailing space in p~: na kuwatia upumbavu waaguzi,

ISA 44:25 Removed trailing space in p~: niyapinduaye maarifa ya wenye hekima,

ISA 44:25 Removed trailing space in p~: na kuyafanya kuwa upuzi,

ISA 44:26 Removed trailing space in v~: niyathibitishaye maneno ya watumishi wake,

ISA 44:26 Removed trailing space in p~: na kutimiza utabiri wa wajumbe wake,

ISA 44:26 Removed trailing space in p~: “niambiaye Yerusalemu, ‘Itakaliwa na watu,’

ISA 44:26 Removed trailing space in p~: niambiaye miji ya Yuda kuwa, ‘Itajengwa,’

ISA 44:26 Removed trailing space in p~: na kuhusu magofu yake, ‘Mimi nitayatengeneza,’

ISA 44:27 Removed trailing space in v~: niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,

ISA 44:27 Removed trailing space in p~: nami nitakausha vijito vyako,’

ISA 44:28 Removed trailing space in v~: nisemaye kuhusu Koreshi, ‘Yeye ni mchungaji wangu,

ISA 44:28 Removed trailing space in p~: naye atatimiza yote yanipendezayo;

ISA 44:28 Removed trailing space in p~: atauambia Yerusalemu, “Ukajengwe tena,”

ISA 44:28 Removed trailing space in p~: na kuhusu Hekalu, “Misingi yake na iwekwe.” ’

ISA 45:0 Extra space after chapter number

ISA 45:0 Removed trailing space in c: 45

ISA 45:0 Removed trailing space in s1: Koreshi Chombo Cha Mungu

ISA 45:1 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kwa mpakwa mafuta wake,

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: Koreshi, ambaye nimemshika mkono wake wa kuume

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: kutiisha mataifa mbele yake

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: na kuwavua wafalme silaha zao,

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: kufungua milango mbele yake

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: ili malango yasije yakafungwa:

ISA 45:2 Removed trailing space in v~: Nitakwenda mbele yako

ISA 45:2 Removed trailing space in p~: na kusawazisha milima;

ISA 45:2 Removed trailing space in p~: nitavunjavunja malango ya shaba

ISA 45:2 Removed trailing space in p~: na kukatakata mapingo ya chuma.

ISA 45:3 Removed trailing space in v~: Nitakupa hazina za gizani,

ISA 45:3 Removed trailing space in p~: mali zilizofichwa mahali pa siri,

ISA 45:3 Removed trailing space in p~: ili upate kujua ya kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*,

ISA 45:3 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli, akuitaye kwa jina lako.

ISA 45:4 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Yakobo mtumishi wangu,

ISA 45:4 Removed trailing space in p~: Israeli niliyemchagua,

ISA 45:4 Removed trailing space in p~: nimekuita wewe kwa jina lako,

ISA 45:4 Removed trailing space in p~: na kukupa jina la heshima,

ISA 45:4 Removed trailing space in p~: ingawa wewe hunitambui.

ISA 45:5 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, wala hakuna mwingine,

ISA 45:5 Removed trailing space in p~: zaidi yangu hakuna Mungu.

ISA 45:5 Removed trailing space in p~: Nitakutia nguvu,

ISA 45:5 Removed trailing space in p~: ingawa wewe hujanitambua,

ISA 45:6 Removed trailing space in v~: ili kutoka mawio ya jua

ISA 45:6 Removed trailing space in p~: mpaka machweo yake,

ISA 45:6 Removed trailing space in p~: watu wapate kujua kwamba hakuna Mungu mwingine ila Mimi.

ISA 45:6 Removed trailing space in p~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd* wala hakuna mwingine.

ISA 45:7 Removed trailing space in v~: Mimi ninaumba nuru na kuhuluku giza,

ISA 45:7 Removed trailing space in p~: ninaleta mafanikio na kusababisha maafa.

ISA 45:7 Removed trailing space in p~: Mimi, \nd Bwana\nd*, huyatenda haya yote.

ISA 45:8 Removed trailing space in v~: “Enyi mbingu juu, nyesheni haki,

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: mawingu na yaidondoshe.

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: Dunia na ifunguke sana,

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: wokovu na uchipuke,

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: haki na ikue pamoja nao.

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: Mimi, \nd Bwana\nd*, ndiye niliyeiumba.

ISA 45:9 Removed trailing space in v~: “Ole wake yeye ashindanaye na Muumba wake,

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: yeye ambaye ni kigae tu kati ya vigae juu ya ardhi.

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: Je, udongo wa kufinyangia humwambia mfinyanzi,

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: ‘Unatengeneza nini wewe?’

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: Je, kazi yako husema,

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: ‘Hana mikono’?

ISA 45:10 Removed trailing space in v~: Ole wake amwambiaye baba yake,

ISA 45:10 Removed trailing space in p~: ‘Umezaa nini?’

ISA 45:10 Removed trailing space in p~: Au kumwambia mama yake,

ISA 45:10 Removed trailing space in p~: ‘Umezaa kitu gani?’

ISA 45:11 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 45:11 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli na Muumba wake:

ISA 45:11 Removed trailing space in p~: Kuhusu mambo yatakayokuja,

ISA 45:11 Removed trailing space in p~: je, unaniuliza habari za watoto wangu,

ISA 45:11 Removed trailing space in p~: au kunipa amri kuhusu kazi za mikono yangu?

ISA 45:12 Removed trailing space in v~: Mimi ndiye niliyeumba dunia

ISA 45:12 Removed trailing space in p~: na kumuumba mwanadamu juu yake.

ISA 45:12 Removed trailing space in p~: Mikono yangu mwenyewe ndiyo iliyozitanda mbingu,

ISA 45:12 Removed trailing space in p~: nikayapanga majeshi yake yote ya angani.

ISA 45:13 Removed trailing space in v~: Mimi nitamwinua Koreshi katika haki yangu:

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: nitazinyoosha njia zake zote.

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: Yeye atajenga mji wangu upya,

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: na kuwaweka huru watu wangu walio uhamishoni,

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: lakini si kwa kulipiwa fedha wala kupewa zawadi,

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.”

ISA 45:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: “Mazao ya Misri na bidhaa za Kushi,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: nao wale Waseba warefu,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: watakujia na kuwa wako,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: watakujia wakijikokota nyuma yako,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: watakujia wamefungwa minyororo.

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: Watasujudu mbele yako

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: wakikusihi na kusema,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: ‘Hakika Mungu yu pamoja nawe,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: wala hakuna mwingine;

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: hakuna Mungu mwingine.’ ”

ISA 45:15 Removed trailing space in v~: Hakika wewe u Mungu unayejificha,

ISA 45:15 Removed trailing space in p~: Ee Mungu na Mwokozi wa Israeli.

ISA 45:16 Removed trailing space in v~: Wote watengenezao sanamu wataaibika na kutahayarika;

ISA 45:16 Removed trailing space in p~: wataenda kutahayarika pamoja.

ISA 45:17 Removed trailing space in v~: Lakini Israeli ataokolewa na \nd Bwana\nd*

ISA 45:17 Removed trailing space in p~: kwa wokovu wa milele;

ISA 45:17 Removed trailing space in p~: kamwe hutaaibika wala kutatahayarika,

ISA 45:17 Removed trailing space in p~: milele yote.

ISA 45:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: yeye aliyeumba mbingu,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: ndiye Mungu;

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: yeye aliyeifanya dunia na kuiumba,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: yeye ndiye aliiwekea misingi imara,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: hakuiumba ili iwe tupu,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: bali aliiumba ikaliwe na viumbe vyake.

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: Anasema:

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: wala hakuna mwingine.

ISA 45:19 Removed trailing space in v~: Sijasema sirini,

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: kutoka mahali fulani katika nchi ya giza;

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: sijawaambia wazao wa Yakobo,

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: ‘Nitafuteni bure.’

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: Mimi, \nd Bwana\nd*, nasema kweli;

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: ninatangaza lililo sahihi.

ISA 45:20 Removed trailing space in v~: “Kusanyikeni pamoja mje,

ISA 45:20 Removed trailing space in p~: enyi wakimbizi kutoka mataifa.

ISA 45:20 Removed trailing space in p~: Wale wabebao sanamu za mti ni watu wasio na akili,

ISA 45:20 Removed trailing space in p~: wale waombao miungu isiyoweza kuokoa.

ISA 45:21 Removed trailing space in v~: Tangazeni litakalokuwepo, lisemeni hilo,

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: wao na wafanye shauri pamoja.

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyetangulia kusema hili tangu zamani,

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: aliyetangaza tangu zamani za kale?

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: Je, haikuwa Mimi, \nd Bwana\nd*?

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: Wala hapana Mungu mwingine

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: zaidi yangu mimi,

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: Mungu mwenye haki na Mwokozi;

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: hapana mwingine ila mimi.

ISA 45:22 Removed trailing space in v~: “Nigeukieni mimi, nanyi mkaokolewe,

ISA 45:22 Removed trailing space in p~: enyi miisho yote ya dunia;

ISA 45:22 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi ndimi Mungu,

ISA 45:22 Removed trailing space in p~: wala hapana mwingine.

ISA 45:23 Removed trailing space in v~: Nimeapa kwa nafsi yangu,

ISA 45:23 Removed trailing space in p~: kinywa changu kimenena katika uadilifu wote

ISA 45:23 Removed trailing space in p~: neno ambalo halitatanguka:

ISA 45:23 Removed trailing space in p~: Kila goti litapigwa mbele zangu,

ISA 45:23 Removed trailing space in p~: kwangu mimi kila ulimi utaapa.

ISA 45:24 Removed trailing space in v~: Watasema kuhusu mimi,

ISA 45:24 Removed trailing space in p~: ‘Katika \nd Bwana\nd* peke yake

ISA 45:24 Removed trailing space in p~: ndiko kuna haki na nguvu.’ ”

ISA 45:24 Removed trailing space in p~: Wote ambao wamemkasirikia Mungu

ISA 45:24 Removed trailing space in p~: watamjia yeye, nao watatahayarika.

ISA 45:25 Removed trailing space in v~: Lakini katika \nd Bwana\nd* wazao wote wa Israeli

ISA 45:25 Removed trailing space in p~: wataonekana wenye haki na watashangilia.

ISA 46:0 Extra space after chapter number

ISA 46:0 Removed trailing space in c: 46

ISA 46:0 Removed trailing space in s1: Miungu Ya Babeli

ISA 46:1 Removed trailing space in v~: Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama;

ISA 46:1 Removed trailing space in p~: sanamu zao zabebwa na wanyama wa mizigo.

ISA 46:1 Removed trailing space in p~: Vinyago hivi mnavyobeba kila mahali ni mzigo wa kulemea,

ISA 46:1 Removed trailing space in p~: mzigo kwa waliochoka.

ISA 46:2 Removed trailing space in v~: Vinyago pamoja na wale wanaovibeba wanainama chini;

ISA 46:2 Removed trailing space in p~: hiyo miungu haiwezi kuwaokoa watu,

ISA 46:2 Removed trailing space in p~: wote wanakwenda utumwani pamoja.

ISA 46:3 Removed trailing space in v~: “Nisikilizeni mimi, ee nyumba ya Yakobo,

ISA 46:3 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mliobaki wa nyumba ya Israeli,

ISA 46:3 Removed trailing space in p~: ninyi ambao nimewategemeza tangu mlipotungwa mimba,

ISA 46:3 Removed trailing space in p~: nami nimewabeba tangu kuzaliwa kwenu.

ISA 46:4 Removed trailing space in v~: Hata mpaka wakati wa uzee wenu na mvi, Mimi ndiye,

ISA 46:4 Removed trailing space in p~: Mimi ndiye nitakayewasaidia ninyi.

ISA 46:4 Removed trailing space in p~: Nimewahuluku, nami nitawabeba,

ISA 46:4 Removed trailing space in p~: nitawasaidia ninyi na kuwaokoa.

ISA 46:5 Removed trailing space in v~: “Mtanilinganisha na nani, au mtanihesabu kuwa sawa na nani?

ISA 46:5 Removed trailing space in p~: Ni nani mtakayenifananisha naye ili tuweze kulinganishwa?

ISA 46:6 Removed trailing space in v~: Wengine humwaga dhahabu kutoka kwenye mifuko yao,

ISA 46:6 Removed trailing space in p~: na kupima fedha kwenye mizani;

ISA 46:6 Removed trailing space in p~: huajiri mfua dhahabu kutengeneza mungu,

ISA 46:6 Removed trailing space in p~: kisha huisujudia na kuiabudu.

ISA 46:7 Removed trailing space in v~: Huiinua mabegani na kuichukua;

ISA 46:7 Removed trailing space in p~: huiweka mahali pake, papo hapo ndipo isimamapo.

ISA 46:7 Removed trailing space in p~: Wala haiwezi kusogea kutoka mahali pale.

ISA 46:7 Removed trailing space in p~: Ingawa mtu huililia, haimjibu;

ISA 46:7 Removed trailing space in p~: haiwezi kumwokoa kwenye taabu zake.

ISA 46:8 Removed trailing space in v~: “Kumbukeni hili, litieni akilini,

ISA 46:8 Removed trailing space in p~: liwekeni moyoni, enyi waasi.

ISA 46:9 Removed trailing space in v~: Kumbukeni mambo yaliyopita, yale ya zamani za kale;

ISA 46:9 Removed trailing space in p~: mimi ndimi Mungu, wala hakuna mwingine;

ISA 46:9 Removed trailing space in p~: mimi ndimi Mungu,

ISA 46:9 Removed trailing space in p~: wala hakuna mwingine aliye kama mimi.

ISA 46:10 Removed trailing space in v~: Ni mimi nitangazaye mwisho tangu mwanzo,

ISA 46:10 Removed trailing space in p~: naam, tangu zamani za kale,

ISA 46:10 Removed trailing space in p~: mambo ambayo hayajatendeka.

ISA 46:10 Removed trailing space in p~: Ninasema: Kusudi langu ndilo litakalosimama,

ISA 46:10 Removed trailing space in p~: nami nitatenda mapenzi yangu yote.

ISA 46:11 Removed trailing space in v~: Kutoka mashariki ninaita ndege awindaye;

ISA 46:11 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya mbali,

ISA 46:11 Removed trailing space in p~: mtu atakayetimiza kusudi langu.

ISA 46:11 Removed trailing space in p~: Lile ambalo nimelisema, ndilo nitakalolitimiza;

ISA 46:11 Removed trailing space in p~: lile nililolipanga, ndilo nitakalolitenda.

ISA 46:12 Removed trailing space in v~: Nisikilizeni, ninyi wenye mioyo migumu,

ISA 46:12 Removed trailing space in p~: ninyi mlio mbali na haki.

ISA 46:13 Removed trailing space in v~: Ninaleta haki yangu karibu,

ISA 46:13 Removed trailing space in p~: haiko mbali;

ISA 46:13 Removed trailing space in p~: wala wokovu wangu hautachelewa.

ISA 46:13 Removed trailing space in p~: Nitawapa Sayuni wokovu,

ISA 46:13 Removed trailing space in p~: Israeli utukufu wangu.

ISA 47:0 Extra space after chapter number

ISA 47:0 Removed trailing space in c: 47

ISA 47:0 Removed trailing space in s1: Anguko La Babeli

ISA 47:1 Removed trailing space in v~: “Shuka uketi mavumbini,

ISA 47:1 Removed trailing space in p~: ee Bikira Binti Babeli;

ISA 47:1 Removed trailing space in p~: keti chini pasipo na kiti cha enzi,

ISA 47:1 Removed trailing space in p~: ee binti wa Wakaldayo.

ISA 47:1 Removed trailing space in p~: Hutaitwa tena mwororo wala wa kupendeza.

ISA 47:2 Removed trailing space in v~: Chukua mawe ya kusagia, usage unga,

ISA 47:2 Removed trailing space in p~: vua shela yako.

ISA 47:2 Removed trailing space in p~: Pandisha mavazi yako, ondoa viatu vyako,

ISA 47:2 Removed trailing space in p~: vuka vijito kwa shida.

ISA 47:3 Removed trailing space in v~: Uchi wako utafunuliwa

ISA 47:3 Removed trailing space in p~: na aibu yako itaonekana.

ISA 47:3 Removed trailing space in p~: Nitalipa kisasi;

ISA 47:3 Removed trailing space in p~: sitamhurumia hata mmoja.”

ISA 47:4 Removed trailing space in v~: Mkombozi wetu: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake;

ISA 47:4 Removed trailing space in p~: ndiye yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 47:5 Removed trailing space in v~: “Keti kimya, ingia gizani,

ISA 47:5 Removed trailing space in p~: Binti wa Wakaldayo,

ISA 47:5 Removed trailing space in p~: hutaitwa tena malkia wa falme.

ISA 47:6 Removed trailing space in v~: Niliwakasirikia watu wangu

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: na kuaibisha urithi wangu;

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: niliwatia mikononi mwako,

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: nawe hukuwaonea huruma.

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: Hata juu ya wazee

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: uliweka nira nzito sana.

ISA 47:7 Removed trailing space in v~: Ukasema, ‘Nitaendelea

ISA 47:7 Removed trailing space in p~: kuwa malkia milele!’

ISA 47:7 Removed trailing space in p~: Lakini hukutafakari mambo haya

ISA 47:7 Removed trailing space in p~: wala hukuwaza juu ya kile kingeweza kutokea.

ISA 47:8 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, sikiliza, ewe kiumbe mpenda anasa,

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: ukaaye mahali pako pa salama,

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: na kujiambia mwenyewe,

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine zaidi yangu.

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: Kamwe sitakuwa mjane,

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: wala sitafiwa na watoto.’

ISA 47:9 Removed trailing space in v~: Haya mawili yatakupata, kufumba na kufumbua,

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: katika siku moja:

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: kufiwa na watoto, na ujane.

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: Yote yatakupata kwa kipimo kikamilifu,

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: ijapokuwa uchawi wako ni mwingi,

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: na uaguzi wako ni mwingi.

ISA 47:10 Removed trailing space in v~: Umeutegemea uovu wako,

ISA 47:10 Removed trailing space in p~: nawe umesema, ‘Hakuna yeyote anionaye.’

ISA 47:10 Removed trailing space in p~: Hekima yako na maarifa yako vinakupoteza

ISA 47:10 Removed trailing space in p~: unapojiambia mwenyewe,

ISA 47:10 Removed trailing space in p~: ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine zaidi yangu.’

ISA 47:11 Removed trailing space in v~: Maafa yatakujia,

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: nawe hutaweza kuyaondoa kwa uaguzi.

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: Janga litakuangukia,

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: wala hutaweza kulikinga kwa fidia;

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: msiba mkuu usioweza kuutabiri

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: utakujia ghafula.

ISA 47:12 Removed trailing space in v~: “Endelea basi na uaguzi wako,

ISA 47:12 Removed trailing space in p~: na wingi wa uchawi wako,

ISA 47:12 Removed trailing space in p~: ambao umeutumikia tangu utoto wako.

ISA 47:12 Removed trailing space in p~: Labda utafanikiwa,

ISA 47:12 Removed trailing space in p~: labda unaweza ukasababisha hofu kuu.

ISA 47:13 Removed trailing space in v~: Ushauri wote uliopokea umekuchosha bure!

ISA 47:13 Removed trailing space in p~: Wanajimu wako na waje mbele,

ISA 47:13 Removed trailing space in p~: wale watazama nyota watabiriao mwezi baada ya mwezi,

ISA 47:13 Removed trailing space in p~: wao na wawaokoe na lile linalokuja juu yenu.

ISA 47:14 Removed trailing space in v~: Hakika wako kama mabua makavu;

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: moto utawateketeza.

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: Hawawezi hata kujiokoa wao wenyewe

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: kutokana na nguvu za mwali wa moto.

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: Hapa hakuna makaa ya kumtia mtu yeyote joto;

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: hapa hakuna moto wa kuota.

ISA 47:15 Removed trailing space in v~: Hayo ndiyo yote wanayoweza kuwatendea ninyi,

ISA 47:15 Removed trailing space in p~: hawa ambao umetaabika nao

ISA 47:15 Removed trailing space in p~: na kufanya nao biashara tangu utoto.

ISA 47:15 Removed trailing space in p~: Kila mmoja atatoroka;

ISA 47:15 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote awezaye kukuokoa.

ISA 48:0 Extra space after chapter number

ISA 48:0 Removed trailing space in c: 48

ISA 48:0 Removed trailing space in s1: Israeli Mkaidi

ISA 48:1 Removed trailing space in v~: “Sikilizeni hili, ee nyumba ya Yakobo,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoitwa kwa jina la Israeli,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: na mnaotoka katika ukoo wa Yuda,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoapa kwa jina la \nd Bwana\nd*,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: mnaomwomba Mungu wa Israeli,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: lakini si katika kweli au kwa haki;

ISA 48:2 Removed trailing space in v~: ninyi mnaojiita raiya wa mji mtakatifu,

ISA 48:2 Removed trailing space in p~: na kumtegemea Mungu wa Israeli,

ISA 48:2 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake:

ISA 48:3 Removed trailing space in v~: Nilitoa unabii mambo ya kwanza tangu zamani,

ISA 48:3 Removed trailing space in p~: kinywa changu kiliyatangaza na kuyafanya yajulikane;

ISA 48:3 Removed trailing space in p~: kisha ghafula nikayatenda, nayo yakatokea.

ISA 48:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa nalijua jinsi ulivyokuwa mkaidi;

ISA 48:4 Removed trailing space in p~: mishipa ya shingo yako ilikuwa chuma,

ISA 48:4 Removed trailing space in p~: kipaji chako cha uso kilikuwa shaba.

ISA 48:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nilikuambia mambo haya tangu zamani,

ISA 48:5 Removed trailing space in p~: kabla hayajatokea nilikutangazia

ISA 48:5 Removed trailing space in p~: ili usije ukasema,

ISA 48:5 Removed trailing space in p~: ‘Sanamu zangu zilifanya hayo;

ISA 48:5 Removed trailing space in p~: kinyago changu cha mti na mungu wangu wa chuma aliyaamuru.’

ISA 48:6 Removed trailing space in v~: Umesikia mambo haya; yaangalie hayo yote.

ISA 48:6 Removed trailing space in p~: Je, hutayakubali?

ISA 48:6 Removed trailing space in p~: “Kuanzia sasa na kuendelea nitakueleza mambo mapya,

ISA 48:6 Removed trailing space in p~: juu ya mambo yaliyofichika usiyoyajua.

ISA 48:7 Removed trailing space in v~: Yameumbwa sasa, wala si tangu zamani;

ISA 48:7 Removed trailing space in p~: hukupata kuyasikia kabla ya siku ya leo.

ISA 48:7 Removed trailing space in p~: Hivyo huwezi kusema,

ISA 48:7 Removed trailing space in p~: ‘Naam, niliyajua hayo.’

ISA 48:8 Removed trailing space in v~: Hujayasikia wala kuyaelewa,

ISA 48:8 Removed trailing space in p~: tangu zamani sikio lako halikufunguka.

ISA 48:8 Removed trailing space in p~: Ninafahamu vyema jinsi ulivyo mdanganyifu,

ISA 48:8 Removed trailing space in p~: uliitwa mwasi tangu kuzaliwa kwako.

ISA 48:9 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Jina langu mwenyewe

ISA 48:9 Removed trailing space in p~: ninaichelewesha ghadhabu yangu,

ISA 48:9 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya sifa zangu nimeizuia isikupate,

ISA 48:9 Removed trailing space in p~: ili nisije nikakukatilia mbali.

ISA 48:10 Removed trailing space in v~: Tazama, nimekusafisha, ingawa si kama fedha,

ISA 48:10 Removed trailing space in p~: nimekujaribu katika tanuru ya mateso.

ISA 48:11 Removed trailing space in v~: Kwa ajili yangu mwenyewe,

ISA 48:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu mwenyewe, nafanya hili.

ISA 48:11 Removed trailing space in p~: Jinsi gani niliache Jina langu lichafuliwe?

ISA 48:11 Removed trailing space in p~: Sitautoa utukufu wangu kwa mwingine.

ISA 48:11 Removed trailing space in s1: Israeli Anawekwa Huru

ISA 48:12 Removed trailing space in v~: “Ee Yakobo, nisikilize mimi,

ISA 48:12 Removed trailing space in p~: Israeli, ambaye nimekuita:

ISA 48:12 Removed trailing space in p~: Mimi ndiye;

ISA 48:12 Removed trailing space in p~: mimi ndimi mwanzo na mwisho.

ISA 48:13 Removed trailing space in v~: Mkono wangu mwenyewe uliweka misingi ya dunia,

ISA 48:13 Removed trailing space in p~: nao mkono wangu wa kuume umezitanda mbingu;

ISA 48:13 Removed trailing space in p~: niziitapo, zote husimama pamoja.

ISA 48:14 Removed trailing space in v~: “Kusanyikeni, ninyi nyote, msikilize:

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: Ni ipi miongoni mwa hizo sanamu

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: ambayo imetabiri vitu hivi?

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: Watu wa \nd Bwana\nd* waliochaguliwa na kuungana

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: watatimiza kusudi lake dhidi ya Babeli;

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: mkono wa Mungu utakuwa dhidi ya Wakaldayo.

ISA 48:15 Removed trailing space in v~: Mimi, naam, Mimi, nimenena;

ISA 48:15 Removed trailing space in p~: naam, nimemwita yeye.

ISA 48:15 Removed trailing space in p~: Nitamleta,

ISA 48:15 Removed trailing space in p~: naye atafanikiwa katika lile nililomtuma.

ISA 48:16 Removed trailing space in v~: “Nikaribieni na msikilize hili:

ISA 48:16 Removed trailing space in p~: “Tangu tangazo la kwanza sikusema kwa siri;

ISA 48:16 Removed trailing space in p~: wakati litokeapo, nitakuwako hapo.”

ISA 48:16 Removed trailing space in p~: Sasa \nd Bwana\nd* Mwenyezi amenituma,

ISA 48:16 Removed trailing space in p~: kwa Roho wake.

ISA 48:17 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 48:17 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

ISA 48:17 Removed trailing space in p~: “Mimi ni \nd Bwana\nd*, Mungu wako,

ISA 48:17 Removed trailing space in p~: nikufundishaye ili upate faida,

ISA 48:17 Removed trailing space in p~: nikuongozaye katika njia ikupasayo kuiendea.

ISA 48:18 Removed trailing space in v~: Laiti ungesikiliza kwa makini maagizo yangu,

ISA 48:18 Removed trailing space in p~: amani yako ingekuwa kama mto,

ISA 48:18 Removed trailing space in p~: haki yako kama mawimbi ya bahari.

ISA 48:19 Removed trailing space in v~: Wazao wako wangekuwa kama mchanga,

ISA 48:19 Removed trailing space in p~: watoto wako kama chembe zake zisizohesabika;

ISA 48:19 Removed trailing space in p~: kamwe jina lao lisingefutiliwa mbali,

ISA 48:19 Removed trailing space in p~: wala kuangamizwa kutoka mbele zangu.”

ISA 48:20 Removed trailing space in v~: Tokeni huko Babeli,

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: kimbieni kutoka kwa Wakaldayo!

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: Tangazeni hili kwa kelele za shangwe

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: na kulihubiri.

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: Lipelekeni mpaka miisho ya dunia;

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: semeni, “\nd Bwana\nd* amemkomboa

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: mtumishi wake Yakobo.”

ISA 48:21 Removed trailing space in v~: Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani;

ISA 48:21 Removed trailing space in p~: alifanya maji yatiririke kutoka kwenye mwamba kwa ajili yao;

ISA 48:21 Removed trailing space in p~: akapasua mwamba

ISA 48:21 Removed trailing space in p~: na maji yakatoka kwa nguvu.

ISA 48:22 Removed trailing space in v~: “Hakuna amani kwa waovu,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 49:0 Extra space after chapter number

ISA 49:0 Removed trailing space in c: 49

ISA 49:0 Removed trailing space in s1: Mtumishi Wa \nd Bwana\nd*

ISA 49:1 Removed trailing space in v~: Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili,

ISA 49:1 Removed trailing space in p~: ninyi mataifa mlio mbali:

ISA 49:1 Removed trailing space in p~: Kabla sijazaliwa, \nd Bwana\nd* aliniita,

ISA 49:1 Removed trailing space in p~: tangu kuzaliwa kwangu, amelitaja jina langu.

ISA 49:2 Removed trailing space in v~: Akafanya kinywa changu kuwa kama upanga ulionolewa,

ISA 49:2 Removed trailing space in p~: katika uvuli wa mkono wake akanificha;

ISA 49:2 Removed trailing space in p~: akanifanya kuwa mshale uliosuguliwa,

ISA 49:2 Removed trailing space in p~: na kunificha katika podo lake.

ISA 49:3 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Wewe u mtumishi wangu,

ISA 49:3 Removed trailing space in p~: Israeli, ambaye katika yeye

ISA 49:3 Removed trailing space in p~: nitaonyesha utukufu wangu.”

ISA 49:4 Removed trailing space in v~: Lakini nilisema, “Nimetumika bure,

ISA 49:4 Removed trailing space in p~: nimetumia nguvu zangu bure bila faida.

ISA 49:4 Removed trailing space in p~: Hata hivyo linalonistahili liko mkononi mwa \nd Bwana\nd*,

ISA 49:4 Removed trailing space in p~: nao ujira wangu uko kwa Mungu wangu.”

ISA 49:5 Removed trailing space in v~: Sasa \nd Bwana\nd* asema:

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: yeye aliyeniumba tumboni kuwa mtumishi wake,

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: kumrudisha tena Yakobo kwake

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: na kumkusanyia Israeli,

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: kwa maana nimepata heshima machoni pa \nd Bwana\nd*,

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: naye Mungu wangu amekuwa nguvu yangu;

ISA 49:6 Removed trailing space in v~: yeye asema:

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: “Je, ni jambo dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: ili kurejeza makabila ya Yakobo,

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: na kuwarudisha wale Waisraeli niliowahifadhi?

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: Pia nitakufanya uwe nuru kwa ajili ya watu wa Mataifa,

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: ili upate kuleta wokovu wangu hata miisho ya dunia.”

ISA 49:7 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: yeye Mkombozi na Aliye Mtakatifu wa Israeli,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: kwake yeye aliyedharauliwa na kuchukiwa na taifa,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: kwa mtumishi wa watawala:

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: “Wafalme watakuona na kusimama,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: wakuu wataona na kuanguka kifudifudi,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya \nd Bwana\nd*, aliye mwaminifu,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, aliyekuchagua wewe.”

ISA 49:7 Removed trailing space in s1: Kurejezwa Kwa Israeli

ISA 49:8 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: “Wakati wangu uliokubalika nitakujibu,

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: nami katika siku ya wokovu nitakusaidia;

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: nitakuhifadhi, nami nitakufanya

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: kuwa agano kwa ajili ya watu,

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: ili kurudisha nchi

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: na kugawanyia urithi tena wale waliokuwa ukiwa,

ISA 49:9 Removed trailing space in v~: kuwaambia mateka, ‘Tokeni nje,’

ISA 49:9 Removed trailing space in p~: nao wale walio gizani, ‘Kuweni huru!’

ISA 49:9 Removed trailing space in p~: “Watajilisha kando ya barabara

ISA 49:9 Removed trailing space in p~: na kupata malisho yao juu ya kila kilima kilicho kitupu.

ISA 49:10 Removed trailing space in v~: Hawataona njaa wala kuona kiu,

ISA 49:10 Removed trailing space in p~: wala hari ya jangwani au jua halitawapiga.

ISA 49:10 Removed trailing space in p~: Yeye mwenye huruma juu yao atawaonyesha njia,

ISA 49:10 Removed trailing space in p~: na kuwaongoza kando ya chemchemi za maji.

ISA 49:11 Removed trailing space in v~: Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara,

ISA 49:11 Removed trailing space in p~: na njia kuu zangu zitainuliwa.

ISA 49:12 Removed trailing space in v~: Tazama, watakuja kutoka mbali:

ISA 49:12 Removed trailing space in p~: wengine kutoka kaskazini, wengine kutoka magharibi,

ISA 49:12 Removed trailing space in p~: wengine kutoka nchi ya Sinimu.”\f + \fr 49:12 \ft Sinimu hapa ina maana ya Aswani.\f*

ISA 49:13 Removed trailing space in v~: Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;

ISA 49:13 Removed trailing space in p~: furahi, ee dunia;

ISA 49:13 Removed trailing space in p~: pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!

ISA 49:13 Removed trailing space in p~: Kwa maana \nd Bwana\nd* anawafariji watu wake,

ISA 49:13 Removed trailing space in p~: naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.

ISA 49:14 Removed trailing space in v~: Lakini Sayuni alisema, “\nd Bwana\nd* ameniacha,

ISA 49:14 Removed trailing space in p~: Bwana amenisahau.”

ISA 49:15 Removed trailing space in v~: “Je, mama aweza kumsahau mtoto

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: aliyeko matitini mwake akinyonya,

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: wala asiwe na huruma

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: juu ya mtoto aliyemzaa?

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: Ingawa anaweza kusahau,

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: mimi sitakusahau wewe!

ISA 49:16 Removed trailing space in v~: Tazama, nimekuchora kama muhuri

ISA 49:16 Removed trailing space in p~: katika vitanga vya mikono yangu,

ISA 49:16 Removed trailing space in p~: kuta zako zi mbele yangu daima.

ISA 49:17 Removed trailing space in v~: Wana wako wanaharakisha kurudi,

ISA 49:17 Removed trailing space in p~: nao wale waliokuteka wanaondoka kwako.

ISA 49:18 Removed trailing space in v~: Inua macho yako ukatazame pande zote:

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: wana wako wote wanakusanyika na kukujia.

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: Kwa hakika kama vile niishivyo,

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: utawavaa wote kama mapambo,

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: na kujifunga nao kama bibi arusi,”

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 49:19 Removed trailing space in v~: “Ingawa uliangamizwa na kufanywa ukiwa,

ISA 49:19 Removed trailing space in p~: na nchi yako ikaharibiwa,

ISA 49:19 Removed trailing space in p~: sasa nafasi itakuwa finyu kwa ajili ya watu wako,

ISA 49:19 Removed trailing space in p~: nao wale waliokuangamiza watakuwa mbali sana.

ISA 49:20 Removed trailing space in v~: Watoto waliozaliwa wakati wa msiba wako

ISA 49:20 Removed trailing space in p~: bado watakuambia,

ISA 49:20 Removed trailing space in p~: ‘Mahali hapa ni finyu sana kwetu,

ISA 49:20 Removed trailing space in p~: tupe eneo kubwa zaidi la kuishi.’

ISA 49:21 Removed trailing space in v~: Ndipo utasema moyoni mwako,

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: ‘Ni nani aliyenizalia hawa?

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: Nilikuwa nimefiwa, tena tasa;

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: nilikuwa nimehamishwa na kukataliwa.

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyewalea hawa?

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: Niliachwa peke yangu,

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: lakini hawa wametoka wapi?’ ”

ISA 49:22 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi:

ISA 49:22 Removed trailing space in p~: “Tazama, nitawaashiria watu wa Mataifa,

ISA 49:22 Removed trailing space in p~: nitainua bendera yangu kwa mataifa;

ISA 49:22 Removed trailing space in p~: watawaleta wana wako mikononi yao,

ISA 49:22 Removed trailing space in p~: na kuwabeba binti zenu juu ya mabega yao.

ISA 49:23 Removed trailing space in v~: Wafalme watakuwa baba zenu wa kuwalea,

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: na malkia wao watakuwa mama zenu wa kuwalea.

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: Watasujudu mbele yako nyuso zao zikigusa ardhi;

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: wataramba mavumbi yaliyo miguuni mwako.

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: Ndipo utajua ya kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*;

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: wale wanaonitumaini mimi hawataaibika.”

ISA 49:24 Removed trailing space in v~: Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita,

ISA 49:24 Removed trailing space in p~: au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali?

ISA 49:25 Removed trailing space in v~: Lakini hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 49:25 Removed trailing space in p~: “Naam, mateka watachukuliwa kutoka kwa mashujaa,

ISA 49:25 Removed trailing space in p~: na nyara zitapokonywa kutoka kwa watu wakali.

ISA 49:25 Removed trailing space in p~: Nitashindana na wale wanaoshindana nawe,

ISA 49:25 Removed trailing space in p~: nami nitawaokoa watoto wako.

ISA 49:26 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wale wanaokuonea kula nyama yao wenyewe,

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: watalewa kwa damu yao wenyewe,

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: kama vile kwa mvinyo.

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: Ndipo wanadamu wote watajua

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: ya kuwa Mimi, \nd Bwana\nd*, ni Mwokozi wako,

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

ISA 50:0 Extra space after chapter number

ISA 50:0 Removed trailing space in c: 50

ISA 50:0 Removed trailing space in s1: Dhambi Ya Israeli Na Utii Wa Mtumishi

ISA 50:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: “Iko wapi hati ya talaka ya mama yako

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: ambayo kwayo niliachana naye?

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: Au nimewauza ninyi kwa nani

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: miongoni mwa watu wanaonidai?

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: Kwa ajili ya dhambi zenu mliuzwa,

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya makosa, mama yenu aliachwa.

ISA 50:2 Removed trailing space in v~: Nilipokuja, kwa nini hakuwepo hata mmoja?

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: Nilipoita, kwa nini hakuwepo hata mmoja wa kujibu?

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: Je, mkono wangu ni mfupi mno hata nisiweze kuwakomboa?

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: Je, mimi sina nguvu za kukuokoa?

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: Kwa kukemea tu naikausha bahari,

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: naigeuza mito ya maji kuwa jangwa;

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: samaki wake wanaoza kwa kukosa maji

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: na kufa kwa ajili ya kiu.

ISA 50:3 Removed trailing space in v~: Ninalivika anga weusi na kufanya nguo ya gunia

ISA 50:3 Removed trailing space in p~: kuwa kifuniko chake.”

ISA 50:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi amenipa ulimi uliofundishwa,

ISA 50:4 Removed trailing space in p~: ili kujua neno limtegemezalo aliyechoka.

ISA 50:4 Removed trailing space in p~: Huniamsha asubuhi kwa asubuhi,

ISA 50:4 Removed trailing space in p~: huamsha sikio langu lisikie kama mtu afundishwaye.

ISA 50:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi amezibua masikio yangu,

ISA 50:5 Removed trailing space in p~: nami sikuwa mwasi,

ISA 50:5 Removed trailing space in p~: wala sikurudi nyuma.

ISA 50:6 Removed trailing space in v~: Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao,

ISA 50:6 Removed trailing space in p~: mashavu yangu wale wangʼoao ndevu zangu;

ISA 50:6 Removed trailing space in p~: sikuuficha uso wangu kutokana na fedheha

ISA 50:6 Removed trailing space in p~: na kutemewa mate.

ISA 50:7 Removed trailing space in v~: Kwa sababu \nd Bwana\nd* Mwenyezi ananisaidia,

ISA 50:7 Removed trailing space in p~: sitatahayarika.

ISA 50:7 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nimekaza uso wangu kama jiwe la gumegume,

ISA 50:7 Removed trailing space in p~: nami ninajua sitaaibika.

ISA 50:8 Removed trailing space in v~: Yeye anipatiaye haki yangu yu karibu.

ISA 50:8 Removed trailing space in p~: Ni nani basi atakayeleta mashtaka dhidi yangu?

ISA 50:8 Removed trailing space in p~: Tukabiliane uso kwa uso!

ISA 50:8 Removed trailing space in p~: Mshtaki wangu ni nani?

ISA 50:8 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye mshtaki wangu?

ISA 50:9 Removed trailing space in v~: Ni \nd Bwana\nd* Mwenyezi anisaidiaye mimi.

ISA 50:9 Removed trailing space in p~: Ni nani huyo atakayenihukumu?

ISA 50:9 Removed trailing space in p~: Wote watachakaa kama vazi,

ISA 50:9 Removed trailing space in p~: nondo watawala wawamalize.

ISA 50:10 Removed trailing space in v~: Ni nani miongoni mwenu amchaye \nd Bwana\nd*,

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: na kulitii neno la mtumishi wake?

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: Yeye atembeaye gizani,

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: yeye asiye na nuru,

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: na alitumainie jina la \nd Bwana\nd*,

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: na amtegemee Mungu wake.

ISA 50:11 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, ninyi nyote mnaowasha mioto,

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: na kupeana mienge iwakayo ninyi kwa ninyi,

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: nendeni, tembeeni katika nuru ya moto wenu

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: na ya mienge mliyoiwasha.

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: Hili ndilo mtakalolipokea kutoka mkononi mwangu:

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: Mtalala chini kwa mateso makali.

ISA 51:0 Extra space after chapter number

ISA 51:0 Removed trailing space in c: 51

ISA 51:0 Removed trailing space in s1: Wokovu Wa Milele Kwa Sayuni

ISA 51:1 Removed trailing space in v~: “Nisikilizeni, ninyi mnaofuatia haki

ISA 51:1 Removed trailing space in p~: na mnaomtafuta \nd Bwana\nd*:

ISA 51:1 Removed trailing space in p~: Tazameni mwamba ambako mlichongwa,

ISA 51:1 Removed trailing space in p~: na mahali pa kuvunjia mawe ambako mlichimbwa;

ISA 51:2 Removed trailing space in v~: mwangalieni Abrahamu, baba yenu,

ISA 51:2 Removed trailing space in p~: na Sara, ambaye aliwazaa.

ISA 51:2 Removed trailing space in p~: Wakati nilipomwita alikuwa mmoja tu,

ISA 51:2 Removed trailing space in p~: nami nikambariki na kumfanya kuwa wengi.

ISA 51:3 Removed trailing space in v~: Hakika \nd Bwana\nd* ataifariji Sayuni,

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: naye atayaangalia kwa huruma magofu yake yote;

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: atayafanya majangwa yake yawe kama Edeni,

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: nazo sehemu zake zisizolimika ziwe kama bustani ya \nd Bwana\nd*.

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: Shangwe na furaha zitakuwako ndani yake,

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: shukrani na sauti za kuimba.

ISA 51:4 Removed trailing space in v~: “Nisikilizeni, watu wangu;

ISA 51:4 Removed trailing space in p~: nisikieni, taifa langu:

ISA 51:4 Removed trailing space in p~: Sheria itatoka kwangu;

ISA 51:4 Removed trailing space in p~: haki yangu itakuwa nuru kwa mataifa.

ISA 51:5 Removed trailing space in v~: Haki yangu inakaribia mbio,

ISA 51:5 Removed trailing space in p~: wokovu wangu unakuja,

ISA 51:5 Removed trailing space in p~: nao mkono wangu utaleta hukumu kwa mataifa.

ISA 51:5 Removed trailing space in p~: Visiwa vitanitegemea

ISA 51:5 Removed trailing space in p~: na kungojea mkono wangu kwa matumaini.

ISA 51:6 Removed trailing space in v~: Inueni macho yenu mbinguni,

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: mkaitazame dunia chini;

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: mbingu zitatoweka kama moshi,

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: dunia itachakaa kama vazi,

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: na wakazi wake kufa kama mainzi.

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: Bali wokovu wangu utadumu milele,

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: haki yangu haitakoma kamwe.

ISA 51:7 Removed trailing space in v~: “Nisikieni, ninyi mnaojua lililo sawa,

ISA 51:7 Removed trailing space in p~: ninyi watu ambao mna sheria yangu mioyoni mwenu:

ISA 51:7 Removed trailing space in p~: Msiogope mashutumu ya wanadamu

ISA 51:7 Removed trailing space in p~: wala msitiwe hofu na matukano yao.

ISA 51:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana nondo atawala kama vazi,

ISA 51:8 Removed trailing space in p~: nao funza atawatafuna kama sufu.

ISA 51:8 Removed trailing space in p~: Lakini haki yangu itadumu milele,

ISA 51:8 Removed trailing space in p~: wokovu wangu kwa vizazi vyote.”

ISA 51:9 Removed trailing space in v~: Amka, Amka! Jivike nguvu,

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: ewe mkono wa \nd Bwana\nd*,

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: Amka, kama siku zilizopita,

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: kama vile vizazi vya zamani.

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: Si ni wewe uliyemkata Rahabu vipande vipande,

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: uliyemchoma yule joka?

ISA 51:10 Removed trailing space in v~: Si ni wewe uliyekausha bahari,

ISA 51:10 Removed trailing space in p~: maji ya kilindi kikuu,

ISA 51:10 Removed trailing space in p~: uliyefanya barabara katika vilindi vya bahari

ISA 51:10 Removed trailing space in p~: ili waliokombolewa wapate kuvuka?

ISA 51:11 Removed trailing space in v~: Wale waliolipiwa fidia na \nd Bwana\nd* watarudi.

ISA 51:11 Removed trailing space in p~: Wataingia Sayuni wakiimba;

ISA 51:11 Removed trailing space in p~: furaha ya milele itakuwa taji juu ya vichwa vyao.

ISA 51:11 Removed trailing space in p~: Furaha na shangwe zitawapata,

ISA 51:11 Removed trailing space in p~: huzuni na kulia kwa uchungu kutatoweka.

ISA 51:12 Removed trailing space in v~: “Mimi, naam mimi,

ISA 51:12 Removed trailing space in p~: ndimi niwafarijie ninyi.

ISA 51:12 Removed trailing space in p~: Ninyi ni nani hata kuwaogopa

ISA 51:12 Removed trailing space in p~: wanadamu wanaokufa,

ISA 51:12 Removed trailing space in p~: wanadamu ambao ni majani tu,

ISA 51:13 Removed trailing space in v~: kwamba mnamsahau \nd Bwana\nd* Muumba wenu,

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: aliyezitanda mbingu

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: na kuiweka misingi ya dunia,

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: kwamba mnaishi katika hofu siku zote

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya ghadhabu ya mdhalimu,

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: ambaye nia yake ni kuangamiza?

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: Iko wapi basi ghadhabu ya mdhalimu?

ISA 51:14 Removed trailing space in v~: Wafungwa waliojikunyata kwa hofu

ISA 51:14 Removed trailing space in p~: watawekwa huru karibuni;

ISA 51:14 Removed trailing space in p~: hawatafia kwenye gereza lao,

ISA 51:14 Removed trailing space in p~: wala hawatakosa chakula.

ISA 51:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wako,

ISA 51:15 Removed trailing space in p~: ambaye huisukasuka bahari ili mawimbi yake yangurume:

ISA 51:15 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

ISA 51:16 Removed trailing space in v~: Nimeweka maneno yangu kinywani mwako

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: na kukufunika kwa uvuli wa mkono wangu:

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: Mimi niliyeweka mbingu mahali pake,

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: niliyeweka misingi ya dunia,

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: niwaambiaye Sayuni,

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: ‘Ninyi ni watu wangu.’ ”

ISA 51:16 Removed trailing space in s1: Kikombe Cha Ghadhabu Ya \nd Bwana\nd*

ISA 51:17 Removed trailing space in v~: Amka, amka!

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: Simama, ee Yerusalemu,

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: wewe uliyekunywa kutoka mkono wa \nd Bwana\nd*

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: kikombe cha ghadhabu yake,

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: wewe uliyekunywa mpaka kufikia machujo yake,

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: kikombe kile cha kunywea

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: kiwafanyacho watu kuyumbayumba.

ISA 51:18 Removed trailing space in v~: Kati ya wana wote aliowazaa

ISA 51:18 Removed trailing space in p~: hakuwepo hata mmoja wa kumwongoza,

ISA 51:18 Removed trailing space in p~: kati ya wana wote aliowalea

ISA 51:18 Removed trailing space in p~: hakuwepo hata mmoja wa kumshika mkono.

ISA 51:19 Removed trailing space in v~: Majanga haya mawili yamekuja juu yako:

ISA 51:19 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kukufariji?

ISA 51:19 Removed trailing space in p~: Maangamizi, uharibifu, njaa na upanga:

ISA 51:19 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kukutuliza?

ISA 51:20 Removed trailing space in v~: Wana wako wamezimia,

ISA 51:20 Removed trailing space in p~: wamelala kwenye mwanzo wa kila barabara,

ISA 51:20 Removed trailing space in p~: kama swala aliyenaswa kwenye wavu.

ISA 51:20 Removed trailing space in p~: Wamejazwa na ghadhabu ya \nd Bwana\nd*

ISA 51:20 Removed trailing space in p~: na makaripio ya Mungu wako.

ISA 51:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sikiliza hili, wewe uliyeteswa,

ISA 51:21 Removed trailing space in p~: uliyelewa, lakini si kwa mvinyo.

ISA 51:22 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi wako,

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: Mungu wako, yeye ambaye huwatetea watu wake:

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: “Tazama, nimeondoa mkononi mwako

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: kikombe kilichokufanya uyumbayumbe;

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: kutoka kikombe hicho,

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: kikombe cha kunywa cha ghadhabu yangu,

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: kamwe hutakunywa tena.

ISA 51:23 Removed trailing space in v~: Nitakiweka mikononi mwa watesi wako,

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: wale waliokuambia,

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: ‘Anguka kifudifudi

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: ili tuweze kutembea juu yako.’

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: Ukaufanya mgongo wako kama ardhi,

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: kama njia yao ya kupita.”

ISA 52:0 Extra space after chapter number

ISA 52:0 Removed trailing space in c: 52

ISA 52:1 Removed trailing space in v~: Amka, amka, ee Sayuni,

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: jivike nguvu.

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: Vaa mavazi yako ya fahari,

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: ee Yerusalemu, mji mtakatifu.

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: Asiyetahiriwa na aliye najisi

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: hataingia kwako tena.

ISA 52:2 Removed trailing space in v~: Jikungʼute mavumbi yako,

ISA 52:2 Removed trailing space in p~: inuka, uketi kwenye kiti cha enzi, ee Yerusalemu.

ISA 52:2 Removed trailing space in p~: Jifungue minyororo iliyo shingoni mwako,

ISA 52:2 Removed trailing space in p~: ee Binti Sayuni uliye mateka.

ISA 52:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 52:3 Removed trailing space in p~: “Mliuzwa pasipo malipo,

ISA 52:3 Removed trailing space in p~: nanyi mtakombolewa bila fedha.”

ISA 52:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi:

ISA 52:4 Removed trailing space in p~: “Hapo kwanza watu wangu walishuka Misri kuishi,

ISA 52:4 Removed trailing space in p~: hatimaye, Ashuru wakawaonea.

ISA 52:5 Removed trailing space in v~: “Basi sasa nina nini hapa?” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: “Kwa kuwa watu wangu wamechukuliwa pasipo malipo,

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: nao wale wanaowatawala wanawadhihaki,”

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: “Mchana kutwa

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: jina langu limetukanwa bila kikomo.

ISA 52:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wangu watalijua Jina langu;

ISA 52:6 Removed trailing space in p~: kwa hiyo katika siku ile watajua

ISA 52:6 Removed trailing space in p~: kwamba ndimi niliyetangulia kulisema.

ISA 52:6 Removed trailing space in p~: Naam, ni mimi.”

ISA 52:7 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi miguu ya wale waletao habari njema

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: ilivyo mizuri juu ya milima,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: wale wanaotangaza amani,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: wanaoleta habari njema,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: wanaotangaza wokovu,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: wauambiao Sayuni,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: “Mungu wako anatawala!”

ISA 52:8 Removed trailing space in v~: Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti zao,

ISA 52:8 Removed trailing space in p~: pamoja wanapaza sauti zao kwa furaha.

ISA 52:8 Removed trailing space in p~: Wakati \nd Bwana\nd* atakaporejea Sayuni,

ISA 52:8 Removed trailing space in p~: wataliona kwa macho yao wenyewe.

ISA 52:9 Removed trailing space in v~: Pazeni sauti ya nyimbo za furaha pamoja,

ISA 52:9 Removed trailing space in p~: enyi magofu ya Yerusalemu,

ISA 52:9 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* amewafariji watu wake,

ISA 52:9 Removed trailing space in p~: ameikomboa Yerusalemu.

ISA 52:10 Removed trailing space in v~: Mkono mtakatifu wa \nd Bwana\nd* umefunuliwa

ISA 52:10 Removed trailing space in p~: machoni pa mataifa yote,

ISA 52:10 Removed trailing space in p~: nayo miisho yote ya dunia itaona

ISA 52:10 Removed trailing space in p~: wokovu wa Mungu wetu.

ISA 52:11 Removed trailing space in v~: Ondokeni, ondokeni, tokeni huko!

ISA 52:11 Removed trailing space in p~: Msiguse kitu chochote kilicho najisi!

ISA 52:11 Removed trailing space in p~: Tokeni kati yake mwe safi,

ISA 52:11 Removed trailing space in p~: ninyi mchukuao vyombo vya \nd Bwana\nd*.

ISA 52:12 Removed trailing space in v~: Lakini hamtaondoka kwa haraka,

ISA 52:12 Removed trailing space in p~: wala hamtakwenda kwa kukimbia;

ISA 52:12 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* atatangulia mbele yenu,

ISA 52:12 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.

ISA 52:12 Removed trailing space in s1: Mateso Na Utukufu Wa Mtumishi

ISA 52:13 Removed trailing space in v~: Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa hekima;

ISA 52:13 Removed trailing space in p~: atatukuzwa, na kuinuliwa juu, na kukwezwa sana.

ISA 52:14 Removed trailing space in v~: Kama walivyokuwa wengi

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: walioshangazwa naye,

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: kwani uso wake ulikuwa umeharibiwa sana

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: zaidi ya mtu yeyote

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: na umbo lake kuharibiwa

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: zaidi ya mfano wa mwanadamu:

ISA 52:15 Removed trailing space in v~: hivyo atayashangaza mataifa mengi,

ISA 52:15 Removed trailing space in p~: nao wafalme watafunga vinywa vyao kwa sababu yake.

ISA 52:15 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa yale ambayo hawakuambiwa, watayaona,

ISA 52:15 Removed trailing space in p~: nayo yale wasiyoyasikia, watayafahamu.

ISA 53:0 Extra space after chapter number

ISA 53:0 Removed trailing space in c: 53

ISA 53:1 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyeamini ujumbe wetu,

ISA 53:1 Removed trailing space in p~: na mkono wa \nd Bwana\nd* umefunuliwa kwa nani?

ISA 53:2 Removed trailing space in v~: Alikua mbele yake kama mche mwororo

ISA 53:2 Removed trailing space in p~: na kama mzizi katika nchi kavu.

ISA 53:2 Removed trailing space in p~: Hakuwa na uzuri wala utukufu wa kutuvutia kwake,

ISA 53:2 Removed trailing space in p~: hakuwa na chochote katika sura yake cha kutufanya tumtamani.

ISA 53:3 Removed trailing space in v~: Alidharauliwa na kukataliwa na wanadamu,

ISA 53:3 Removed trailing space in p~: mtu wa huzuni nyingi, ajuaye mateso.

ISA 53:3 Removed trailing space in p~: Kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao,

ISA 53:3 Removed trailing space in p~: alidharauliwa, wala hatukumhesabu kuwa kitu.

ISA 53:4 Removed trailing space in v~: Hakika alichukua udhaifu wetu

ISA 53:4 Removed trailing space in p~: na akajitwika huzuni zetu,

ISA 53:4 Removed trailing space in p~: hata hivyo tulidhania kuwa amepigwa na Mungu,

ISA 53:4 Removed trailing space in p~: akapigwa sana naye, na kuteswa.

ISA 53:5 Removed trailing space in v~: Lakini alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu,

ISA 53:5 Removed trailing space in p~: alichubuliwa kwa ajili ya maovu yetu;

ISA 53:5 Removed trailing space in p~: adhabu iliyotuletea sisi amani ilikuwa juu yake,

ISA 53:5 Removed trailing space in p~: na kwa majeraha yake sisi tumepona.

ISA 53:6 Removed trailing space in v~: Sisi sote, kama kondoo, tumepotea,

ISA 53:6 Removed trailing space in p~: kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe,

ISA 53:6 Removed trailing space in p~: naye \nd Bwana\nd* aliweka juu yake

ISA 53:6 Removed trailing space in p~: maovu yetu sisi sote.

ISA 53:7 Removed trailing space in v~: Alionewa na kuteswa,

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: hata hivyo hakufungua kinywa chake;

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: aliongozwa kama mwana-kondoo

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: apelekwaye machinjoni,

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: kama vile kondoo anyamazavyo mbele ya wao wamkataye manyoya,

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: hivyo hakufungua kinywa chake.

ISA 53:8 Removed trailing space in v~: Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa.

ISA 53:8 Removed trailing space in p~: Nani awezaye kueleza kuhusu kizazi chake?

ISA 53:8 Removed trailing space in p~: Kwa maana alikatiliwa mbali na nchi ya walio hai,

ISA 53:8 Removed trailing space in p~: alipigwa kwa ajili ya makosa ya watu wangu.

ISA 53:9 Removed trailing space in v~: Wakamfanyia kaburi pamoja na waovu,

ISA 53:9 Removed trailing space in p~: pamoja na matajiri katika kifo chake,

ISA 53:9 Removed trailing space in p~: ingawa hakutenda jeuri,

ISA 53:9 Removed trailing space in p~: wala hapakuwa na hila kinywani mwake.

ISA 53:10 Removed trailing space in v~: Lakini yalikuwa ni mapenzi ya \nd Bwana\nd*

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: kumchubua na kumsababisha ateseke.

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: Ingawa \nd Bwana\nd* amefanya maisha yake

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: kuwa sadaka ya hatia,

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: ataona uzao wake na kuishi siku nyingi,

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: nayo mapenzi ya \nd Bwana\nd* yatafanikiwa mkononi mwake.

ISA 53:11 Removed trailing space in v~: Baada ya maumivu ya nafsi yake,

ISA 53:11 Removed trailing space in p~: ataona nuru ya uzima na kuridhika;

ISA 53:11 Removed trailing space in p~: kwa maarifa yake, mtumishi wangu mwenye haki

ISA 53:11 Removed trailing space in p~: atawafanya wengi kuwa wenye haki,

ISA 53:11 Removed trailing space in p~: naye atayachukua maovu yao.

ISA 53:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitamgawia sehemu miongoni mwa wakuu,

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: naye atagawana nyara pamoja na wenye nguvu,

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: kwa sababu aliyamimina maisha yake hadi mauti,

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: naye alihesabiwa pamoja na wakosaji.

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa alichukua dhambi za wengi,

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: na kuwaombea wakosaji.

ISA 54:0 Extra space after chapter number

ISA 54:0 Removed trailing space in c: 54

ISA 54:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa Baadaye Wa Sayuni

ISA 54:1 Removed trailing space in v~: “Imba, ewe mwanamke tasa,

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye kamwe hukuzaa mtoto;

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: paza sauti kwa kuimba, piga kelele kwa furaha,

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye kamwe hukupata utungu;

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu watoto wa mwanamke aliyeachwa ukiwa ni wengi

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: kuliko wa mwanamke mwenye mume,”

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 54:2 Removed trailing space in v~: “Panua mahali pa hema lako,

ISA 54:2 Removed trailing space in p~: tandaza mapazia ya hema lako uyaeneze mbali,

ISA 54:2 Removed trailing space in p~: wala usiyazuie;

ISA 54:2 Removed trailing space in p~: ongeza urefu wa kamba zako,

ISA 54:2 Removed trailing space in p~: imarisha vigingi vyako.

ISA 54:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana utaenea upande wa kuume

ISA 54:3 Removed trailing space in p~: na upande wa kushoto;

ISA 54:3 Removed trailing space in p~: wazao wako watayamiliki mataifa

ISA 54:3 Removed trailing space in p~: na kukaa katika miji yao iliyoachwa ukiwa.

ISA 54:4 Removed trailing space in v~: “Usiogope, wewe hutaaibika.

ISA 54:4 Removed trailing space in p~: Usiogope aibu, wewe hutaaibishwa.

ISA 54:4 Removed trailing space in p~: Wewe utasahau aibu ya ujana wako,

ISA 54:4 Removed trailing space in p~: wala hutakumbuka tena mashutumu ya ujane wako.

ISA 54:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana Muumba wako ndiye mume wako,

ISA 54:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake,

ISA 54:5 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako,

ISA 54:5 Removed trailing space in p~: yeye anaitwa Mungu wa dunia yote.

ISA 54:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakuita urudi

ISA 54:6 Removed trailing space in p~: kana kwamba ulikuwa mke aliyeachwa na kuhuzunishwa rohoni;

ISA 54:6 Removed trailing space in p~: kama mke aliyeolewa bado angali kijana

ISA 54:6 Removed trailing space in p~: na kukataliwa,” asema Mungu wako.

ISA 54:7 Removed trailing space in v~: “Kwa kitambo kidogo nilikuacha,

ISA 54:7 Removed trailing space in p~: lakini kwa huruma nyingi nitakurudisha.

ISA 54:8 Removed trailing space in v~: Katika ukali wa hasira

ISA 54:8 Removed trailing space in p~: nilikuficha uso wangu kwa kitambo,

ISA 54:8 Removed trailing space in p~: lakini kwa fadhili za milele

ISA 54:8 Removed trailing space in p~: nitakuwa na huruma juu yako,”

ISA 54:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mkombozi wako.

ISA 54:9 Removed trailing space in v~: “Kwangu mimi jambo hili ni kama siku za Noa,

ISA 54:9 Removed trailing space in p~: nilipoapa kuwa maji ya Noa kamwe hayatafunika tena dunia.

ISA 54:9 Removed trailing space in p~: Hivyo sasa nimeapa sitawakasirikia ninyi,

ISA 54:9 Removed trailing space in p~: kamwe sitawakemea tena.

ISA 54:10 Removed trailing space in v~: Ijapotikisika milima, na vilima viondolewe,

ISA 54:10 Removed trailing space in p~: hata hivyo upendo wangu usiokoma kwenu hautatikisika,

ISA 54:10 Removed trailing space in p~: wala agano langu la amani halitaondolewa,”

ISA 54:10 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*, mwenye huruma juu yenu.

ISA 54:11 Removed trailing space in v~: “Ewe mji uliyeteswa, uliyepigwa kwa dhoruba na usiyetulizwa,

ISA 54:11 Removed trailing space in p~: nitakujenga kwa almasi, nitaweka misingi yako kwa yakuti samawi.

ISA 54:12 Removed trailing space in v~: Nitafanya minara yako ya akiki,

ISA 54:12 Removed trailing space in p~: malango yako kwa vito vingʼaavyo,

ISA 54:12 Removed trailing space in p~: nazo kuta zako zote za vito vya thamani.

ISA 54:13 Removed trailing space in v~: Watoto wako wote watafundishwa na \nd Bwana\nd*,

ISA 54:13 Removed trailing space in p~: nayo amani ya watoto wako itakuwa kuu.

ISA 54:14 Removed trailing space in v~: Kwa haki utathibitika:

ISA 54:14 Removed trailing space in p~: Kuonewa kutakuwa mbali nawe;

ISA 54:14 Removed trailing space in p~: hutaogopa chochote.

ISA 54:14 Removed trailing space in p~: Hofu itakuwa mbali nawe;

ISA 54:14 Removed trailing space in p~: haitakukaribia wewe.

ISA 54:15 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote akikushambulia,

ISA 54:15 Removed trailing space in p~: haitakuwa kwa ruhusa yangu;

ISA 54:15 Removed trailing space in p~: yeyote akushambuliaye

ISA 54:15 Removed trailing space in p~: atajisalimisha kwako.

ISA 54:16 Removed trailing space in v~: “Tazama, ni mimi niliyemuumba mhunzi,

ISA 54:16 Removed trailing space in p~: yeye afukutaye makaa kuwa moto,

ISA 54:16 Removed trailing space in p~: na kutengeneza silaha inayofaa kwa kazi yake.

ISA 54:16 Removed trailing space in p~: Tena ni mimi niliyemwambia mharabu

ISA 54:16 Removed trailing space in p~: kufanya uharibifu mwingi.

ISA 54:17 Removed trailing space in v~: Hakuna silaha itakayofanyizwa dhidi yako

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: itakayofanikiwa,

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: nawe utauthibitisha kuwa mwongo

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: kila ulimi utakaokushtaki.

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: Huu ndio urithi wa watumishi wa \nd Bwana\nd*

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: na hii ndiyo haki yao itokayo kwangu,”

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 55:0 Extra space after chapter number

ISA 55:0 Removed trailing space in c: 55

ISA 55:0 Removed trailing space in s1: Mwaliko Kwa Wenye Kiu

ISA 55:1 Removed trailing space in v~: “Njooni, ninyi nyote wenye kiu,

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: njooni kwenye maji;

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: nanyi ambao hamna fedha,

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: njooni, nunueni na mle!

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: Njooni, nunueni divai na maziwa

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: bila fedha na bila gharama.

ISA 55:2 Removed trailing space in v~: Kwa nini kutumia fedha kwa kitu ambacho si chakula,

ISA 55:2 Removed trailing space in p~: na kutaabikia kitu kisichoshibisha?

ISA 55:2 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, nisikilizeni mimi na mle kilicho kizuri,

ISA 55:2 Removed trailing space in p~: nazo nafsi zenu zitafurahia utajiri wa unono.

ISA 55:3 Removed trailing space in v~: Tegeni sikio mje kwangu,

ISA 55:3 Removed trailing space in p~: nisikieni mimi, ili nafsi zenu zipate kuishi.

ISA 55:3 Removed trailing space in p~: Nitafanya agano la milele nanyi,

ISA 55:3 Removed trailing space in p~: pendo la uaminifu nililomwahidi Daudi.

ISA 55:4 Removed trailing space in v~: Tazama, nimemfanya kuwa shahidi wa mataifa,

ISA 55:4 Removed trailing space in p~: kiongozi na jemadari wa mataifa.

ISA 55:5 Removed trailing space in v~: Hakika utaita mataifa usiyoyajua,

ISA 55:5 Removed trailing space in p~: nayo mataifa yale yasiyokujua yataharakisha kukujia,

ISA 55:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya \nd Bwana\nd* Mungu wako,

ISA 55:5 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,

ISA 55:5 Removed trailing space in p~: kwa maana amekutukuza.”

ISA 55:6 Removed trailing space in v~: Mtafuteni \nd Bwana\nd* maadamu anapatikana;

ISA 55:6 Removed trailing space in p~: mwiteni maadamu yu karibu.

ISA 55:7 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu na aiache njia yake,

ISA 55:7 Removed trailing space in p~: na mtu mbaya na ayaache mawazo yake.

ISA 55:7 Removed trailing space in p~: Yeye na amrudie \nd Bwana\nd*, naye atamrehemu,

ISA 55:7 Removed trailing space in p~: arudi kwa Mungu wetu, kwa kuwa atamsamehe bure kabisa.

ISA 55:8 Removed trailing space in v~: “Kwa kuwa mawazo yangu si mawazo yenu,

ISA 55:8 Removed trailing space in p~: wala njia zenu si njia zangu,”

ISA 55:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 55:9 Removed trailing space in v~: “Kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,

ISA 55:9 Removed trailing space in p~: ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu

ISA 55:9 Removed trailing space in p~: na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

ISA 55:10 Removed trailing space in v~: Kama vile mvua na theluji

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: ishukavyo kutoka mbinguni,

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: nayo hairudi tena huko

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: bila kunywesha dunia

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: na kuichipusha na kuistawisha,

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: hivyo hutoa mbegu kwa mpanzi

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: na mkate kwa mlaji,

ISA 55:11 Removed trailing space in v~: ndivyo lilivyo neno langu lile litokalo kinywani mwangu:

ISA 55:11 Removed trailing space in p~: Halitanirudia tupu,

ISA 55:11 Removed trailing space in p~: bali litatimiliza lile nililokusudia

ISA 55:11 Removed trailing space in p~: na litafanikiwa katika kusudi lile nililolituma.

ISA 55:12 Removed trailing space in v~: Mtatoka nje kwa furaha

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: na kuongozwa kwa amani;

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: milima na vilima

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: vitapaza sauti kwa nyimbo mbele yenu,

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: nayo miti yote ya shambani

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: itapiga makofi.

ISA 55:13 Removed trailing space in v~: Badala ya kichaka cha miiba

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: itaota miti ya misunobari,

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: na badala ya michongoma

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: utaota mhadasi.\f + \fr 55:13 \ft Mhadasi ni aina ya mti ambao huota milimani karibu na Yerusalemu, hutoa harufu nzuri itumikayo kutengeneza manukato; kwa Kiebrania ni “hadas”, na ilikuwa inatumika kujenga vibanda wakati wa Sikukuu ya Vibanda (ona pia \+xt Neh 8:15\+xt*).\f*

ISA 55:13 Found unexpected backslash in footnote: 55:13 Mhadasi ni aina ya mti ambao huota milimani karibu na Yerusalemu, hutoa harufu nzuri itumikayo kutengeneza manukato; kwa Kiebrania ni “hadas”, na ilikuwa inatumika kujenga vibanda wakati wa Sikukuu ya Vibanda (ona pia \+xt Neh 8:15\+xt*).

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: Hili litakuwa jambo la kumpatia \nd Bwana\nd* jina,

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya ishara ya milele,

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: ambayo haitaharibiwa.”

ISA 56:0 Extra space after chapter number

ISA 56:0 Removed trailing space in c: 56

ISA 56:0 Removed trailing space in s1: Wokovu Kwa Ajili Ya Wengine

ISA 56:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 56:1 Removed trailing space in p~: “Dumisheni haki

ISA 56:1 Removed trailing space in p~: na mkatende lile lililo sawa,

ISA 56:1 Removed trailing space in p~: kwa maana wokovu wangu u karibu

ISA 56:1 Removed trailing space in p~: na haki yangu itafunuliwa upesi.

ISA 56:2 Removed trailing space in v~: Amebarikiwa mtu yule atendaye hili,

ISA 56:2 Removed trailing space in p~: mtu yule alishikaye kwa uthabiti,

ISA 56:2 Removed trailing space in p~: yeye ashikaye Sabato bila kuinajisi,

ISA 56:2 Removed trailing space in p~: auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.”

ISA 56:3 Removed trailing space in v~: Usimwache mgeni aambatanaye na \nd Bwana\nd* aseme,

ISA 56:3 Removed trailing space in p~: “Hakika \nd Bwana\nd* atanitenga na watu wake.”

ISA 56:3 Removed trailing space in p~: Usimwache towashi yeyote alalamike akisema,

ISA 56:3 Removed trailing space in p~: “Mimi ni mti mkavu tu.”

ISA 56:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 56:4 Removed trailing space in p~: “Kwa matowashi washikao Sabato zangu,

ISA 56:4 Removed trailing space in p~: ambao huchagua kile kinachonipendeza

ISA 56:4 Removed trailing space in p~: na kulishika sana agano langu:

ISA 56:5 Removed trailing space in v~: hao nitawapa ndani ya Hekalu langu na kuta zake

ISA 56:5 Removed trailing space in p~: kumbukumbu na jina bora

ISA 56:5 Removed trailing space in p~: kuliko kuwa na watoto wa kiume na wa kike:

ISA 56:5 Removed trailing space in p~: nitawapa jina lidumulo milele,

ISA 56:5 Removed trailing space in p~: ambalo halitakatiliwa mbali.

ISA 56:6 Removed trailing space in v~: Wageni wanaoambatana na \nd Bwana\nd*

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: ili kumtumikia,

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: kulipenda jina la \nd Bwana\nd*,

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: na kumwabudu yeye,

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: wote washikao Sabato bila kuinajisi

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: na ambao hushika sana agano langu:

ISA 56:7 Removed trailing space in v~: hawa nitawaleta kwenye mlima wangu mtakatifu

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: na kuwapa furaha ndani ya nyumba yangu ya sala.

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: Sadaka zao za kuteketeza na dhabihu zao

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: zitakubalika juu ya madhabahu yangu;

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: kwa maana nyumba yangu itaitwa

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: nyumba ya sala kwa mataifa yote.”

ISA 56:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi asema, yeye awakusanyaye

ISA 56:8 Removed trailing space in p~: Waisraeli waliohamishwa:

ISA 56:8 Removed trailing space in p~: “Bado nitawakusanya wengine kwao

ISA 56:8 Removed trailing space in p~: zaidi ya hao ambao wamekusanywa tayari.”

ISA 56:8 Removed trailing space in s1: Mashtaka Ya Mungu Dhidi Ya Waovu

ISA 56:9 Removed trailing space in v~: Njooni, enyi wanyama wote wa kondeni,

ISA 56:9 Removed trailing space in p~: njooni mle, ninyi wanyama wote wa mwituni!

ISA 56:10 Removed trailing space in v~: Walinzi wa Israeli ni vipofu,

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: wote wamepungukiwa na maarifa;

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: wote ni mbwa walio bubu,

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: hawawezi kubweka;

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: hulala na kuota ndoto,

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: hupenda kulala.

ISA 56:11 Removed trailing space in v~: Ni mbwa wenye tamaa kubwa,

ISA 56:11 Removed trailing space in p~: kamwe hawatosheki.

ISA 56:11 Removed trailing space in p~: Wao ni wachungaji waliopungukiwa na ufahamu;

ISA 56:11 Removed trailing space in p~: wote wamegeukia njia yao wenyewe,

ISA 56:11 Removed trailing space in p~: kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.

ISA 56:12 Removed trailing space in v~: Kila mmoja hulia, “Njooni, tupate mvinyo!

ISA 56:12 Removed trailing space in p~: Tunywe kileo sana!

ISA 56:12 Removed trailing space in p~: Kesho itakuwa kama leo,

ISA 56:12 Removed trailing space in p~: au hata bora zaidi.”

ISA 57:0 Extra space after chapter number

ISA 57:0 Removed trailing space in c: 57

ISA 57:0 Removed trailing space in s1: Ibada Ya Sanamu Ya Israeli Iliyo Batili

ISA 57:1 Removed trailing space in v~: Mwenye haki hupotea,

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja awazaye hilo moyoni mwake;

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: watu wanaomcha Mungu huondolewa,

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja anayeelewa

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: kuwa wenye haki wameondolewa

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: ili wasipatikane na maovu.

ISA 57:2 Removed trailing space in v~: Wale waendao kwa unyofu

ISA 57:2 Removed trailing space in p~: huwa na amani;

ISA 57:2 Removed trailing space in p~: hupata pumziko walalapo mautini.

ISA 57:3 Removed trailing space in v~: “Lakini ninyi:

ISA 57:3 Removed trailing space in p~: Njooni hapa, ninyi wana wa wachawi,

ISA 57:3 Removed trailing space in p~: ninyi wazao wa wazinzi na makahaba!

ISA 57:4 Removed trailing space in v~: Mnamdhihaki nani?

ISA 57:4 Removed trailing space in p~: Ni nani mnayemcheka kwa dharau,

ISA 57:4 Removed trailing space in p~: na kumtolea ndimi zenu?

ISA 57:4 Removed trailing space in p~: Je, ninyi si watoto wa waasi,

ISA 57:4 Removed trailing space in p~: uzao wa waongo?

ISA 57:5 Removed trailing space in v~: Mnawaka tamaa katikati ya mialoni

ISA 57:5 Removed trailing space in p~: na chini ya kila mti uliotanda matawi;

ISA 57:5 Removed trailing space in p~: mnawatoa kafara watoto wenu kwenye mabonde

ISA 57:5 Removed trailing space in p~: na chini ya majabali yenye mianya.

ISA 57:6 Removed trailing space in v~: “Sanamu zilizo katikati ya mawe laini ya mabondeni ndizo fungu lenu;

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: hizo ndizo sehemu yenu.

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: Naam, kwa hizo mmemimina sadaka za vinywaji,

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: na kutoa sadaka za nafaka.

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: Katika haya yote,

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: niendelee kuona huruma?

ISA 57:7 Removed trailing space in v~: Umeweka kitanda chako juu kwenye kilima kirefu kilichoinuka,

ISA 57:7 Removed trailing space in p~: huko ulikwenda kutoa dhabihu zako.

ISA 57:8 Removed trailing space in v~: Nyuma ya milango yako na miimo yako

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: umeweka alama zako za kipagani.

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: Kwa kuniacha mimi, ulifunua kitanda chako,

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: umepanda juu yake na kukipanua sana;

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: ulifanya patano na wale ambao unapenda vitanda vyao,

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: nawe uliangalia uchi wao.

ISA 57:9 Removed trailing space in v~: Ulikwenda kwa Moleki\f + \fr 57:9 \ft Moleki alikuwa mungu aliyekuwa anaabudiwa na Waamoni; pia alijulikana kama Malkomu, Maloki au Kemoshi wa Moabu.\f* ukiwa na mafuta ya zeituni,

ISA 57:9 Removed trailing space in p~: na ukaongeza manukato yako.

ISA 57:9 Removed trailing space in p~: Ukawatuma wajumbe wako mbali sana,

ISA 57:9 Removed trailing space in p~: ukashuka kwenye kaburi\f + \fr 57:9 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* lenyewe!

ISA 57:10 Removed trailing space in v~: Ulikuwa umechoshwa na njia zako zote,

ISA 57:10 Removed trailing space in p~: lakini hukusema, ‘Hakuna tumaini.’

ISA 57:10 Removed trailing space in p~: Ulipata uhuisho wa nguvu zako,

ISA 57:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu hiyo hukuzimia.

ISA 57:11 Removed trailing space in v~: “Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: hata ukawa mwongo kwangu,

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: wala hukunikumbuka

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: au kutafakari hili moyoni mwako?

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: Si ni kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: hata huniogopi?

ISA 57:12 Removed trailing space in v~: Nitaifunua haki yako na matendo yako,

ISA 57:12 Removed trailing space in p~: nayo hayatakufaidi.

ISA 57:13 Removed trailing space in v~: Utakapolia kwa kuhitaji msaada,

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: sanamu zako ulizojikusanyia na zikuokoe!

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: Upepo utazipeperusha zote,

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: pumzi peke yake itazipeperusha,

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: Lakini mtu atakayenifanya kimbilio lake,

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: atairithi nchi

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: na kuumiliki mlima wangu mtakatifu.”

ISA 57:13 Removed trailing space in s1: Faraja Kwa Wenye Majuto

ISA 57:14 Removed trailing space in v~: Tena itasemwa:

ISA 57:14 Removed trailing space in p~: “Jengeni, jengeni, itengenezeni njia!

ISA 57:14 Removed trailing space in p~: Ondoeni vikwazo katika njia ya watu wangu.”

ISA 57:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo Aliye juu, yeye aliyeinuliwa sana,

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: yeye aishiye milele, ambaye jina lake ni Mtakatifu:

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: “Ninaishi mimi mahali palipoinuka na patakatifu,

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: lakini pia pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: na mwenye roho ya unyenyekevu,

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: ili kuzihuisha roho za wanyenyekevu

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: na kuihuisha mioyo yao waliotubu.

ISA 57:16 Removed trailing space in v~: Sitaendelea kulaumu milele,

ISA 57:16 Removed trailing space in p~: wala sitakasirika siku zote,

ISA 57:16 Removed trailing space in p~: kwa kuwa roho ya mwanadamu

ISA 57:16 Removed trailing space in p~: ingezimia mbele zangu:

ISA 57:16 Removed trailing space in p~: yaani pumzi ya mwanadamu niliyemuumba.

ISA 57:17 Removed trailing space in v~: Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi;

ISA 57:17 Removed trailing space in p~: nilimwadhibu, nikauficha uso wangu kwa hasira,

ISA 57:17 Removed trailing space in p~: na bado aliendelea katika njia zake za tamaa.

ISA 57:18 Removed trailing space in v~: Nimeziona njia zake, lakini nitamponya,

ISA 57:18 Removed trailing space in p~: nitamwongoza na kumrudishia upya faraja,

ISA 57:19 Removed trailing space in v~: nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji

ISA 57:19 Removed trailing space in p~: katika Israeli.

ISA 57:19 Removed trailing space in p~: Amani, amani, kwa wale walio mbali

ISA 57:19 Removed trailing space in p~: na kwa wale walio karibu,”

ISA 57:19 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*. “Nami nitawaponya.”

ISA 57:20 Removed trailing space in v~: Bali waovu ni kama bahari ichafukayo,

ISA 57:20 Removed trailing space in p~: ambayo haiwezi kutulia,

ISA 57:20 Removed trailing space in p~: mawimbi yake hutupa takataka na matope.

ISA 57:21 Removed trailing space in v~: Mungu wangu asema,

ISA 57:21 Removed trailing space in p~: “Hakuna amani kwa waovu.”

ISA 58:0 Extra space after chapter number

ISA 58:0 Removed trailing space in c: 58

ISA 58:0 Removed trailing space in s1: Mfungo Wa Kweli

ISA 58:1 Removed trailing space in v~: “Piga kelele, usizuie.

ISA 58:1 Removed trailing space in p~: Paza sauti yako kama tarumbeta.

ISA 58:1 Removed trailing space in p~: Watangazieni watu wangu uasi wao,

ISA 58:1 Removed trailing space in p~: na kwa nyumba ya Yakobo dhambi zao.

ISA 58:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila siku hunitafuta,

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: wanaonekana kutaka kujua njia zangu,

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: kana kwamba walikuwa taifa linalotenda lililo sawa,

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: na ambalo halijaziacha amri za Mungu wake.

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: Hutaka kwangu maamuzi ya haki,

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: nao hutamani Mungu awakaribie.

ISA 58:3 Removed trailing space in v~: Wao husema, ‘Mbona tumefunga, nawe hujaona?

ISA 58:3 Removed trailing space in p~: Mbona tumejinyenyekeza, nawe huangalii?’

ISA 58:3 Removed trailing space in p~: “Lakini katika siku ya kufunga kwenu, mnafanya mnavyotaka

ISA 58:3 Removed trailing space in p~: na kuwadhulumu wafanyakazi wenu wote.

ISA 58:4 Removed trailing space in v~: Kufunga kwenu huishia kwenye magomvi na mapigano,

ISA 58:4 Removed trailing space in p~: na kupigana ninyi kwa ninyi kwa ngumi za uovu.

ISA 58:4 Removed trailing space in p~: Hamwezi kufunga kama mnavyofanya leo

ISA 58:4 Removed trailing space in p~: na kutazamia sauti zenu kusikiwa huko juu.

ISA 58:5 Removed trailing space in v~: Je, hii ndiyo aina ya mfungo niliouchagua,

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: siku moja tu ya mtu kujinyenyekeza?

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: Je, ni kwa kuinamisha kichwa chini kama tete,

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: na kwa kujilaza juu ya nguo ya gunia na majivu?

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: Je, huo ndio mnaouita mfungo,

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: siku iliyokubalika kwa \nd Bwana\nd*?

ISA 58:6 Removed trailing space in v~: “Je, hii si ndiyo aina ya mfungo niliyoichagua:

ISA 58:6 Removed trailing space in p~: kufungua minyororo ya udhalimu,

ISA 58:6 Removed trailing space in p~: na kufungua kamba za nira,

ISA 58:6 Removed trailing space in p~: kuwaweka huru walioonewa,

ISA 58:6 Removed trailing space in p~: na kuvunja kila nira?

ISA 58:7 Removed trailing space in v~: Je, sio kushirikiana chakula chako na wenye njaa

ISA 58:7 Removed trailing space in p~: na kuwapatia maskini wasiokuwa na makao hifadhi,

ISA 58:7 Removed trailing space in p~: unapomwona aliye uchi, umvike,

ISA 58:7 Removed trailing space in p~: wala si kumkimbia mtu wa nyama na damu yako mwenyewe?

ISA 58:8 Removed trailing space in v~: Ndipo nuru yako itajitokeza kama mapambazuko

ISA 58:8 Removed trailing space in p~: na uponyaji wako utatokea upesi;

ISA 58:8 Removed trailing space in p~: ndipo haki yako itakapokutangulia mbele yako,

ISA 58:8 Removed trailing space in p~: na utukufu wa \nd Bwana\nd* utakuwa mlinzi nyuma yako.

ISA 58:9 Removed trailing space in v~: Ndipo utaita, naye \nd Bwana\nd* atajibu,

ISA 58:9 Removed trailing space in p~: utalia kuomba msaada,

ISA 58:9 Removed trailing space in p~: naye atasema: Mimi hapa.

ISA 58:9 Removed trailing space in p~: “Kama ukiiondoa nira ya udhalimu,

ISA 58:9 Removed trailing space in p~: na kunyoosha kidole na kuzungumza maovu,

ISA 58:10 Removed trailing space in v~: nanyi kama mkimkunjulia mtu mwenye njaa nafsi zenu

ISA 58:10 Removed trailing space in p~: na kutosheleza mahitaji ya walioonewa,

ISA 58:10 Removed trailing space in p~: ndipo nuru yenu itakapongʼaa gizani,

ISA 58:10 Removed trailing space in p~: nao usiku wenu utakuwa kama adhuhuri.

ISA 58:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakuongoza siku zote,

ISA 58:11 Removed trailing space in p~: atayatosheleza mahitaji yako katika nchi kame,

ISA 58:11 Removed trailing space in p~: naye ataitia nguvu mifupa yako.

ISA 58:11 Removed trailing space in p~: Utakuwa kama bustani iliyonyweshwa vizuri,

ISA 58:11 Removed trailing space in p~: kama chemchemi ambayo maji yake hayakauki kamwe.

ISA 58:12 Removed trailing space in v~: Watu wako watajenga tena magofu ya zamani

ISA 58:12 Removed trailing space in p~: na kuinua misingi ya kale;

ISA 58:12 Removed trailing space in p~: utaitwa Mwenye Kukarabati Kuta Zilizobomoka,

ISA 58:12 Removed trailing space in p~: Mwenye Kurejeza Barabara za Makao.

ISA 58:13 Removed trailing space in v~: “Kama ukitunza miguu yako isivunje Sabato,

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: na kutokufanya kama vile upendavyo katika siku yangu takatifu,

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: kama ukiita Sabato siku ya furaha

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: na siku takatifu ya \nd Bwana\nd* ya kuheshimiwa,

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: kama utaiheshimu kwa kutoenenda

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: katika njia zako mwenyewe,

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: na kutokufanya yakupendezayo

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: au kusema maneno ya upuzi,

ISA 58:14 Removed trailing space in v~: ndipo utakapojipatia furaha yako katika \nd Bwana\nd*,

ISA 58:14 Removed trailing space in p~: nami nitakufanya upande juu ya miinuko ya nchi

ISA 58:14 Removed trailing space in p~: na kusherehekea urithi wa Yakobo baba yako.”

ISA 58:14 Removed trailing space in p~: Kinywa cha \nd Bwana\nd* kimenena haya.

ISA 59:0 Extra space after chapter number

ISA 59:0 Removed trailing space in c: 59

ISA 59:0 Removed trailing space in s1: Dhambi, Toba Na Ukombozi

ISA 59:1 Removed trailing space in v~: Hakika mkono wa \nd Bwana\nd* si mfupi hata usiweze kuokoa,

ISA 59:1 Removed trailing space in p~: wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia.

ISA 59:2 Removed trailing space in v~: Lakini maovu yenu yamewatenga

ISA 59:2 Removed trailing space in p~: ninyi na Mungu wenu,

ISA 59:2 Removed trailing space in p~: dhambi zenu zimewaficha ninyi uso wake,

ISA 59:2 Removed trailing space in p~: ili asisikie.

ISA 59:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana mikono yenu imetiwa mawaa kwa damu

ISA 59:3 Removed trailing space in p~: na vidole vyenu kwa hatia.

ISA 59:3 Removed trailing space in p~: Midomo yenu imenena uongo,

ISA 59:3 Removed trailing space in p~: nazo ndimi zenu zimenongʼona mambo maovu.

ISA 59:4 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja anayedai kwa haki;

ISA 59:4 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja anayetetea shauri lake kwa haki.

ISA 59:4 Removed trailing space in p~: Wanategemea mabishano matupu na kusema uongo,

ISA 59:4 Removed trailing space in p~: huchukua mimba ya magomvi na kuzaa uovu.

ISA 59:5 Removed trailing space in v~: Huangua mayai ya nyoka wenye sumu kali

ISA 59:5 Removed trailing space in p~: na kutanda wavu wa buibui.

ISA 59:5 Removed trailing space in p~: Yeyote alaye mayai yao atakufa,

ISA 59:5 Removed trailing space in p~: na wakati moja lianguliwapo, nyoka hutoka humo.

ISA 59:6 Removed trailing space in v~: Utando wao wa buibui haufai kwa nguo;

ISA 59:6 Removed trailing space in p~: hawawezi kujifunika kwa kile walichokitengeneza.

ISA 59:6 Removed trailing space in p~: Matendo yao ni matendo maovu,

ISA 59:6 Removed trailing space in p~: vitendo vya jeuri vipo mikononi mwao.

ISA 59:7 Removed trailing space in v~: Miguu yao hukimbilia kwenye dhambi,

ISA 59:7 Removed trailing space in p~: ni myepesi kumwaga damu isiyo na hatia.

ISA 59:7 Removed trailing space in p~: Mawazo yao ni mawazo maovu;

ISA 59:7 Removed trailing space in p~: uharibifu na maangamizi huonekana katika njia zao.

ISA 59:8 Removed trailing space in v~: Hawajui njia ya amani,

ISA 59:8 Removed trailing space in p~: hakuna haki katika mapito yao.

ISA 59:8 Removed trailing space in p~: Wameyageuza kuwa njia za upotovu,

ISA 59:8 Removed trailing space in p~: hakuna apitaye njia hizo atakayeifahamu amani.

ISA 59:9 Removed trailing space in v~: Hivyo uadilifu uko mbali nasi,

ISA 59:9 Removed trailing space in p~: nayo haki haitufikii.

ISA 59:9 Removed trailing space in p~: Tunatazamia nuru, kumbe! Yote ni giza,

ISA 59:9 Removed trailing space in p~: tunatazamia mwanga, lakini tunatembea katika giza kuu.

ISA 59:10 Removed trailing space in v~: Tunapapasa ukuta kama kipofu,

ISA 59:10 Removed trailing space in p~: tunapapasa katika njia zetu kama watu wasio na macho.

ISA 59:10 Removed trailing space in p~: Adhuhuri tunajikwaa kama wakati wa gizagiza;

ISA 59:10 Removed trailing space in p~: katikati ya wenye nguvu, tuko kama wafu.

ISA 59:11 Removed trailing space in v~: Wote tunanguruma kama dubu;

ISA 59:11 Removed trailing space in p~: tunalia kwa maombolezo kama hua.

ISA 59:11 Removed trailing space in p~: Tunatafuta haki, kumbe hakuna kabisa;

ISA 59:11 Removed trailing space in p~: tunatafuta wokovu, lakini uko mbali.

ISA 59:12 Removed trailing space in v~: Kwa sababu makosa yetu ni mengi machoni pako,

ISA 59:12 Removed trailing space in p~: na dhambi zetu zinashuhudia dhidi yetu.

ISA 59:12 Removed trailing space in p~: Makosa yetu yako pamoja nasi daima,

ISA 59:12 Removed trailing space in p~: nasi tunayatambua maovu yetu:

ISA 59:13 Removed trailing space in v~: Uasi na udanganyifu dhidi ya \nd Bwana\nd*,

ISA 59:13 Removed trailing space in p~: kumgeuzia Mungu wetu kisogo,

ISA 59:13 Removed trailing space in p~: tukichochea udhalimu na maasi,

ISA 59:13 Removed trailing space in p~: tukinena uongo ambao mioyo yetu imeuhifadhi.

ISA 59:14 Removed trailing space in v~: Hivyo uadilifu umerudishwa nyuma,

ISA 59:14 Removed trailing space in p~: nayo haki inasimama mbali,

ISA 59:14 Removed trailing space in p~: kweli imejikwaa njiani,

ISA 59:14 Removed trailing space in p~: uaminifu hauwezi kuingia.

ISA 59:15 Removed trailing space in v~: Kweli haipatikani popote,

ISA 59:15 Removed trailing space in p~: na yeyote aepukaye uovu huwa mawindo.

ISA 59:15 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* alitazama naye akachukizwa

ISA 59:15 Removed trailing space in p~: kwamba hapakuwepo haki.

ISA 59:16 Removed trailing space in v~: Aliona kuwa hakuwepo hata mtu mmoja,

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: akashangaa kwamba hakuwepo hata mmoja wa kuingilia kati;

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: hivyo mkono wake mwenyewe

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: ndio uliomfanyia wokovu,

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: nayo haki yake mwenyewe

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: ndiyo iliyomtegemeza.

ISA 59:17 Removed trailing space in v~: Alivaa haki kama dirii kifuani mwake,

ISA 59:17 Removed trailing space in p~: na chapeo ya wokovu kichwani mwake,

ISA 59:17 Removed trailing space in p~: alivaa mavazi ya kisasi

ISA 59:17 Removed trailing space in p~: naye akajifunga wivu kama joho.

ISA 59:18 Removed trailing space in v~: Kulingana na kile walichokuwa wametenda,

ISA 59:18 Removed trailing space in p~: ndivyo atakavyolipa

ISA 59:18 Removed trailing space in p~: ghadhabu kwa watesi wake

ISA 59:18 Removed trailing space in p~: na kisasi kwa adui zake,

ISA 59:18 Removed trailing space in p~: atavilipa visiwa sawa na wanavyostahili.

ISA 59:19 Removed trailing space in v~: Kuanzia magharibi, watu wataliogopa jina la \nd Bwana\nd*

ISA 59:19 Removed trailing space in p~: na kuanzia mawio ya jua, watauheshimu utukufu wake.

ISA 59:19 Removed trailing space in p~: Wakati adui atakapokuja kama mafuriko,

ISA 59:19 Removed trailing space in p~: Roho wa \nd Bwana\nd* atainua kiwango dhidi yake na kumshinda.

ISA 59:20 Removed trailing space in v~: “Mkombozi atakuja Sayuni,

ISA 59:20 Removed trailing space in p~: kwa wale wa Yakobo

ISA 59:20 Removed trailing space in p~: wanaozitubu dhambi zao,”

ISA 59:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 59:21 Removed trailing space in v~: “Kwa habari yangu mimi, hili ndilo agano langu nao,” asema \nd Bwana\nd*. “Roho wangu, aliye juu yenu, na maneno yangu ambayo nimeyaweka katika vinywa vyenu, havitaondoka vinywani mwenu, wala kutoka vinywani mwa watoto wenu, wala kutoka vinywani mwa wazao wao, kuanzia sasa na hata milele,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 60:0 Extra space after chapter number

ISA 60:0 Removed trailing space in c: 60

ISA 60:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa Sayuni

ISA 60:1 Removed trailing space in v~: “Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja

ISA 60:1 Removed trailing space in p~: na utukufu wa \nd Bwana\nd* umezuka juu yako.

ISA 60:2 Removed trailing space in v~: Tazama, giza litaifunika dunia

ISA 60:2 Removed trailing space in p~: na giza kuu litayafunika mataifa,

ISA 60:2 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* atazuka juu yako

ISA 60:2 Removed trailing space in p~: na utukufu wake utaonekana juu yako.

ISA 60:3 Removed trailing space in v~: Mataifa watakuja kwenye nuru yako

ISA 60:3 Removed trailing space in p~: na wafalme kwa mwanga wa mapambazuko yako.

ISA 60:4 Removed trailing space in v~: “Inua macho yako na utazame pande zote:

ISA 60:4 Removed trailing space in p~: Wote wanakusanyika na kukujia,

ISA 60:4 Removed trailing space in p~: wana wako wanakuja toka mbali,

ISA 60:4 Removed trailing space in p~: nao binti zako wanabebwa mikononi.

ISA 60:5 Removed trailing space in v~: Ndipo utatazama na kutiwa nuru,

ISA 60:5 Removed trailing space in p~: moyo wako utasisimka na kujaa furaha,

ISA 60:5 Removed trailing space in p~: mali zilizo baharini zitaletwa kwako,

ISA 60:5 Removed trailing space in p~: utajiri wa mataifa utakujilia.

ISA 60:6 Removed trailing space in v~: Makundi ya ngamia yatajaa katika nchi yako,

ISA 60:6 Removed trailing space in p~: ngamia vijana wa Midiani na Efa.

ISA 60:6 Removed trailing space in p~: Nao wote watokao Sheba watakuja,

ISA 60:6 Removed trailing space in p~: wakichukua dhahabu na uvumba

ISA 60:6 Removed trailing space in p~: na kutangaza sifa za \nd Bwana\nd*.

ISA 60:7 Removed trailing space in v~: Makundi yote ya Kedari yatakusanyika kwako,

ISA 60:7 Removed trailing space in p~: kondoo dume wa Nebayothi watakutumikia,

ISA 60:7 Removed trailing space in p~: watakubalika kama sadaka juu ya madhabahu yangu,

ISA 60:7 Removed trailing space in p~: nami nitalipamba Hekalu langu tukufu.

ISA 60:8 Removed trailing space in v~: “Ni nani hawa warukao kama mawingu,

ISA 60:8 Removed trailing space in p~: kama hua kuelekea kwenye viota vyao?

ISA 60:9 Removed trailing space in v~: Hakika visiwa vinanitazama,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: merikebu za Tarshishi\f + \fr 60:9 \ft Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16\+xt*).\f* ndizo zinazotangulia,

ISA 60:9 Found unexpected backslash in footnote: 60:9 Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16\+xt*).

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: zikiwaleta wana wenu kutoka mbali,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: wakiwa na fedha na dhahabu zao,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: kwa heshima ya \nd Bwana\nd*, Mungu wenu,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: kwa maana amekujalia utukufu.

ISA 60:10 Removed trailing space in v~: “Wageni watazijenga upya kuta zako,

ISA 60:10 Removed trailing space in p~: na wafalme wao watakutumikia.

ISA 60:10 Removed trailing space in p~: Ingawa katika hasira nilikupiga,

ISA 60:10 Removed trailing space in p~: lakini katika upendeleo wangu

ISA 60:10 Removed trailing space in p~: nitakuonyesha huruma.

ISA 60:11 Removed trailing space in v~: Malango yako yatakuwa wazi siku zote,

ISA 60:11 Removed trailing space in p~: kamwe hayatafungwa, mchana wala usiku,

ISA 60:11 Removed trailing space in p~: ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa:

ISA 60:11 Removed trailing space in p~: wafalme wao wakiongoza maandamano ya ushindi.

ISA 60:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana taifa au ufalme ule ambao hautakutumikia utaangamia;

ISA 60:12 Removed trailing space in p~: utaharibiwa kabisa.

ISA 60:13 Removed trailing space in v~: “Utukufu wa Lebanoni utakujilia,

ISA 60:13 Removed trailing space in p~: msunobari, mvinje pamoja na mteashuri,

ISA 60:13 Removed trailing space in p~: ili kupapamba mahali pangu patakatifu,

ISA 60:13 Removed trailing space in p~: nami nitapatukuza mahali pa miguu yangu.

ISA 60:14 Removed trailing space in v~: Wana wa wale waliokuonea watakuja wakisujudu mbele yako,

ISA 60:14 Removed trailing space in p~: wote wanaokudharau watasujudu kwenye miguu yako,

ISA 60:14 Removed trailing space in p~: nao watakuita Mji wa \nd Bwana\nd*,

ISA 60:14 Removed trailing space in p~: Sayuni ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 60:15 Removed trailing space in v~: “Ingawa umeachwa na kuchukiwa,

ISA 60:15 Removed trailing space in p~: bila yeyote anayesafiri ndani yako,

ISA 60:15 Removed trailing space in p~: nitakufanya kuwa fahari ya milele,

ISA 60:15 Removed trailing space in p~: na furaha ya vizazi vyote.

ISA 60:16 Removed trailing space in v~: Utanyonya maziwa ya mataifa,

ISA 60:16 Removed trailing space in p~: na kunyonyeshwa matiti ya wafalme.

ISA 60:16 Removed trailing space in p~: Ndipo utakapojua kwamba Mimi, \nd Bwana\nd*, ni Mwokozi wako,

ISA 60:16 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.

ISA 60:17 Removed trailing space in v~: Badala ya shaba nitakuletea dhahabu,

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: na fedha badala ya chuma.

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: Badala ya mti nitakuletea shaba,

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: na chuma badala ya mawe.

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: Nitafanya amani kuwa mtawala wako,

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: na haki kuwa mfalme wako.

ISA 60:18 Removed trailing space in v~: Jeuri hazitasikika tena katika nchi yako,

ISA 60:18 Removed trailing space in p~: wala maangamizi au uharibifu ndani ya mipaka yako,

ISA 60:18 Removed trailing space in p~: lakini utaita kuta zako Wokovu,

ISA 60:18 Removed trailing space in p~: na malango yako Sifa.

ISA 60:19 Removed trailing space in v~: Jua halitakuwa tena nuru yako mchana,

ISA 60:19 Removed trailing space in p~: wala mwangaza wa mwezi hautakuangazia,

ISA 60:19 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* atakuwa nuru yako ya milele,

ISA 60:19 Removed trailing space in p~: naye Mungu wako atakuwa utukufu wako.

ISA 60:20 Removed trailing space in v~: Jua lako halitazama tena,

ISA 60:20 Removed trailing space in p~: nao mwezi wako hautafifia tena;

ISA 60:20 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atakuwa nuru yako milele,

ISA 60:20 Removed trailing space in p~: nazo siku zako za huzuni zitakoma.

ISA 60:21 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wako wote watakuwa waadilifu,

ISA 60:21 Removed trailing space in p~: nao wataimiliki nchi milele.

ISA 60:21 Removed trailing space in p~: Wao ni chipukizi nililolipanda,

ISA 60:21 Removed trailing space in p~: kazi ya mikono yangu,

ISA 60:21 Removed trailing space in p~: ili kuonyesha utukufu wangu.

ISA 60:22 Removed trailing space in v~: Aliye mdogo kwenu atakuwa elfu,

ISA 60:22 Removed trailing space in p~: mdogo kuliko wote atakuwa taifa lenye nguvu.

ISA 60:22 Removed trailing space in p~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*;

ISA 60:22 Removed trailing space in p~: katika wakati wake nitayatimiza haya upesi.”

ISA 61:0 Extra space after chapter number

ISA 61:0 Removed trailing space in c: 61

ISA 61:0 Removed trailing space in s1: Mwaka Wa Upendeleo Wa \nd Bwana\nd*

ISA 61:1 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* Mwenyezi yu juu yangu,

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* amenitia mafuta

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: kuwahubiria maskini habari njema.

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: Amenituma kuwaganga waliovunjika moyo,

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: kuwatangazia mateka uhuru wao,

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: na hao waliofungwa

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: habari za kufunguliwa kwao;

ISA 61:2 Removed trailing space in v~: kutangaza mwaka wa \nd Bwana\nd* uliokubaliwa,

ISA 61:2 Removed trailing space in p~: na siku ya kisasi ya Mungu wetu,

ISA 61:2 Removed trailing space in p~: kuwafariji wote waombolezao,

ISA 61:3 Removed trailing space in v~: na kuwapa mahitaji

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: wale wanaohuzunika katika Sayuni,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: ili kuwapa taji ya uzuri badala ya majivu,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: mafuta ya furaha badala ya maombolezo,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: vazi la sifa badala ya roho ya kukata tamaa.

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: Nao wataitwa mialoni ya haki,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: pando la \nd Bwana\nd*,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: ili kuonyesha utukufu wake.

ISA 61:4 Removed trailing space in v~: Watajenga upya magofu ya zamani

ISA 61:4 Removed trailing space in p~: na kupatengeneza mahali palipoachwa ukiwa zamani;

ISA 61:4 Removed trailing space in p~: watafanya upya miji iliyoharibiwa,

ISA 61:4 Removed trailing space in p~: iliyoachwa ukiwa kwa vizazi vingi.

ISA 61:5 Removed trailing space in v~: Wageni watayachunga makundi yenu,

ISA 61:5 Removed trailing space in p~: wageni watafanya kazi katika mashamba yenu,

ISA 61:5 Removed trailing space in p~: na kutunza mashamba yenu ya mizabibu.

ISA 61:6 Removed trailing space in v~: Nanyi mtaitwa makuhani wa \nd Bwana\nd*,

ISA 61:6 Removed trailing space in p~: mtaitwa watumishi wa Mungu wetu.

ISA 61:6 Removed trailing space in p~: Mtakula utajiri wa mataifa,

ISA 61:6 Removed trailing space in p~: nanyi katika utajiri wao mtajisifu.

ISA 61:7 Removed trailing space in v~: Badala ya aibu yao

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: watu wangu watapokea sehemu maradufu,

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: na badala ya fedheha

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: watafurahia katika urithi wao;

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: hivyo watarithi sehemu maradufu katika nchi yao,

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: nayo furaha ya milele itakuwa yao.

ISA 61:8 Removed trailing space in v~: “Kwa maana Mimi, \nd Bwana\nd*, napenda haki,

ISA 61:8 Removed trailing space in p~: na ninachukia unyangʼanyi na uovu.

ISA 61:8 Removed trailing space in p~: Katika uaminifu wangu nitawapa malipo yao

ISA 61:8 Removed trailing space in p~: na kufanya agano la milele nao.

ISA 61:9 Removed trailing space in v~: Wazao wao watajulikana miongoni mwa mataifa,

ISA 61:9 Removed trailing space in p~: na uzao wao miongoni mwa kabila za watu.

ISA 61:9 Removed trailing space in p~: Wale wote watakaowaona watatambua

ISA 61:9 Removed trailing space in p~: kuwa ni taifa ambalo \nd Bwana\nd* amelibariki.”

ISA 61:10 Removed trailing space in v~: Ninafurahia sana katika \nd Bwana\nd*,

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: nafsi yangu inashangilia katika Mungu wangu.

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu,

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: na kunipamba kwa joho la haki,

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: kama vile bwana arusi apambavyo

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: kichwa chake kama kuhani,

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: na kama bibi arusi ajipambavyo

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: kwa vito vyake vya thamani.

ISA 61:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama vile ardhi ifanyavyo chipukizi kuota,

ISA 61:11 Removed trailing space in p~: na bustani isababishavyo mbegu kuota,

ISA 61:11 Removed trailing space in p~: ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi atafanya haki na sifa

ISA 61:11 Removed trailing space in p~: zichipuke mbele ya mataifa yote.

ISA 62:0 Extra space after chapter number

ISA 62:0 Removed trailing space in c: 62

ISA 62:0 Removed trailing space in s1: Jina Jipya La Sayuni

ISA 62:1 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Sayuni sitanyamaza,

ISA 62:1 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Yerusalemu sitatulia,

ISA 62:1 Removed trailing space in p~: mpaka haki yake itakapoangaza kama mapambazuko,

ISA 62:1 Removed trailing space in p~: wokovu wake kama mwanga wa moto.

ISA 62:2 Removed trailing space in v~: Mataifa wataona haki yako,

ISA 62:2 Removed trailing space in p~: nao wafalme wote wataona utukufu wako;

ISA 62:2 Removed trailing space in p~: wewe utaitwa kwa jina jipya

ISA 62:2 Removed trailing space in p~: lile ambalo kinywa cha \nd Bwana\nd* kitatamka.

ISA 62:3 Removed trailing space in v~: Utakuwa taji ya fahari mkononi mwa \nd Bwana\nd*,

ISA 62:3 Removed trailing space in p~: taji ya kifalme mkononi mwa Mungu wako.

ISA 62:4 Removed trailing space in v~: Hawatakuita tena Aliyeachwa,

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: wala nchi yako kuiita Ukiwa.

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: Bali utaitwa Hefsiba,\f + \fr 62:4 \ft Hefsiba maana yake Yeye ninayemfurahia.\f*

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: nayo nchi yako itaitwa Beula,\f + \fr 62:4 \ft Beula maana yake Aliyeolewa.\f*

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* atakufurahia,

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: nayo nchi yako itaolewa.

ISA 62:5 Removed trailing space in v~: Kama vile kijana aoavyo mwanamwali,

ISA 62:5 Removed trailing space in p~: ndivyo wanao\f + \fr 62:5 \ft Au: wajenzi wako.\f* watakavyokuoa wewe;

ISA 62:5 Removed trailing space in p~: kama bwana arusi amfurahiavyo bibi arusi wake,

ISA 62:5 Removed trailing space in p~: ndivyo Mungu wako atakavyokufurahia wewe.

ISA 62:6 Removed trailing space in v~: Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, ee Yerusalemu,

ISA 62:6 Removed trailing space in p~: hawatanyamaza mchana wala usiku.

ISA 62:6 Removed trailing space in p~: Ninyi wenye kumwita \nd Bwana\nd*,

ISA 62:6 Removed trailing space in p~: msitulie,

ISA 62:7 Removed trailing space in v~: msimwache apumzike hadi atakapoufanya imara Yerusalemu

ISA 62:7 Removed trailing space in p~: na kuufanya uwe sifa ya dunia.

ISA 62:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameapa kwa mkono wake wa kuume

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: na kwa mkono wake wenye nguvu:

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: “Kamwe sitawapa tena adui zenu

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: nafaka zenu kama chakula chao;

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: kamwe wageni hawatakunywa tena

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: divai mpya ambayo mmeitaabikia,

ISA 62:9 Removed trailing space in v~: lakini wale waivunao nafaka wataila

ISA 62:9 Removed trailing space in p~: na kumsifu \nd Bwana\nd*,

ISA 62:9 Removed trailing space in p~: nao wale wakusanyao zabibu watainywa divai yake

ISA 62:9 Removed trailing space in p~: katika nyua za patakatifu pangu.”

ISA 62:10 Removed trailing space in v~: Piteni, piteni katika malango!

ISA 62:10 Removed trailing space in p~: Tengenezeni njia kwa ajili ya watu.

ISA 62:10 Removed trailing space in p~: Jengeni, jengeni njia kuu!

ISA 62:10 Removed trailing space in p~: Ondoeni mawe.

ISA 62:10 Removed trailing space in p~: Inueni bendera kwa ajili ya mataifa.

ISA 62:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametoa tangazo

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: mpaka miisho ya dunia:

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: “Mwambie Binti Sayuni,

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: ‘Tazama, mwokozi wako anakuja!

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: Tazama ujira wake uko pamoja naye,

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: na malipo yake yanafuatana naye!’ ”

ISA 62:12 Removed trailing space in v~: Wataitwa Watu Watakatifu,

ISA 62:12 Removed trailing space in p~: Waliokombolewa na \nd Bwana\nd*;

ISA 62:12 Removed trailing space in p~: nawe utaitwa Aliyetafutwa,

ISA 62:12 Removed trailing space in p~: Mji Usioachwa Tena.

ISA 63:0 Extra space after chapter number

ISA 63:0 Removed trailing space in c: 63

ISA 63:0 Removed trailing space in s1: Siku Ya Mungu Ya Kisasi Na Ukombozi

ISA 63:1 Removed trailing space in v~: Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu?

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari,

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake?

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: “Mimi ndimi, nisemaye katika haki,

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: mwenye nguvu wa kuokoa.”

ISA 63:2 Removed trailing space in v~: Kwa nini mavazi yako ni mekundu,

ISA 63:2 Removed trailing space in p~: kama ya yule akanyagaye shinikizo la zabibu?

ISA 63:3 Removed trailing space in v~: “Nimekanyaga shinikizo la zabibu peke yangu;

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: kutoka mataifa hakuna mtu aliyekuwa pamoja nami.

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: Nimewaponda kwa miguu katika hasira yangu

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: na kuwakanyaga chini katika ghadhabu yangu;

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: damu yao ilitia matone kwenye mavazi yangu,

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: na kutia madoa nguo zangu zote.

ISA 63:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa siku ya kisasi ilikuwa moyoni mwangu,

ISA 63:4 Removed trailing space in p~: mwaka wa ukombozi wangu umefika.

ISA 63:5 Removed trailing space in v~: Nilitazama, lakini hakuwepo yeyote wa kunisaidia,

ISA 63:5 Removed trailing space in p~: nilishangaa kwa kuwa hakuwepo yeyote aliyetoa msaada;

ISA 63:5 Removed trailing space in p~: hivyo mkono wangu wenyewe ndio ulionifanyia wokovu,

ISA 63:5 Removed trailing space in p~: na ghadhabu yangu mwenyewe ndiyo iliyonitegemeza.

ISA 63:6 Removed trailing space in v~: Nilikanyaga mataifa kwa miguu katika hasira yangu,

ISA 63:6 Removed trailing space in p~: katika ghadhabu yangu niliwalewesha,

ISA 63:6 Removed trailing space in p~: na kumwaga damu yao juu ya ardhi.”

ISA 63:6 Removed trailing space in s1: Kusifu Na Kuomba

ISA 63:7 Removed trailing space in v~: Nitasimulia juu ya wema wa \nd Bwana\nd*,

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: kwa matendo ambayo apaswa kusifiwa,

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: sawasawa na yote ambayo \nd Bwana\nd*

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: ametenda kwa ajili yetu:

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: naam, mambo mengi mema aliyoyatenda

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya nyumba ya Israeli,

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: sawasawa na huruma zake

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: na wema wake mwingi.

ISA 63:8 Removed trailing space in v~: Alisema, “Hakika wao ni watu wangu,

ISA 63:8 Removed trailing space in p~: wana ambao hawatanidanganya”;

ISA 63:8 Removed trailing space in p~: hivyo akawa Mwokozi wao.

ISA 63:9 Removed trailing space in v~: Katika taabu zao zote naye alitaabika,

ISA 63:9 Removed trailing space in p~: na malaika wa uso wake akawaokoa.

ISA 63:9 Removed trailing space in p~: Katika upendo wake na rehema zake aliwakomboa,

ISA 63:9 Removed trailing space in p~: akawainua na kuwachukua siku zote zilizopita.

ISA 63:10 Removed trailing space in v~: Lakini waliasi,

ISA 63:10 Removed trailing space in p~: na kumhuzunisha Roho Mtakatifu wake.

ISA 63:10 Removed trailing space in p~: Hivyo aligeuka na kuwa adui yao,

ISA 63:10 Removed trailing space in p~: na yeye mwenyewe akapigana dhidi yao.

ISA 63:11 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wake wakazikumbuka siku zilizopita,

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: siku za Mose na watu wake:

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: yuko wapi yeye aliyewaleta kupitia katikati ya bahari,

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: pamoja na wachungaji wa kundi lake?

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: Yuko wapi yule aliyeweka

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: Roho wake Mtakatifu katikati yao,

ISA 63:12 Removed trailing space in v~: aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu

ISA 63:12 Removed trailing space in p~: kuwa katika mkono wa kuume wa Mose,

ISA 63:12 Removed trailing space in p~: aliyegawa maji ya bahari mbele yao,

ISA 63:12 Removed trailing space in p~: ili kujipatia jina milele,

ISA 63:13 Removed trailing space in v~: aliyewaongoza kupitia kwenye vilindi?

ISA 63:13 Removed trailing space in p~: Kama farasi katika nchi iliyo wazi,

ISA 63:13 Removed trailing space in p~: wao hawakujikwaa,

ISA 63:14 Removed trailing space in v~: kama ngʼombe washukao bondeni kwenye malisho,

ISA 63:14 Removed trailing space in p~: walipewa pumziko na Roho wa \nd Bwana\nd*.

ISA 63:14 Removed trailing space in p~: Hivi ndivyo ulivyowaongoza watu wako

ISA 63:14 Removed trailing space in p~: ili kujipatia mwenyewe jina tukufu.

ISA 63:15 Removed trailing space in v~: Tazama chini kutoka mbinguni ukaone

ISA 63:15 Removed trailing space in p~: kutoka kiti chako cha enzi

ISA 63:15 Removed trailing space in p~: kilichoinuliwa juu, kitakatifu na kitukufu.

ISA 63:15 Removed trailing space in p~: Uko wapi wivu wako na uweza wako?

ISA 63:15 Removed trailing space in p~: Umetuzuilia wema wako na huruma zako.

ISA 63:16 Removed trailing space in v~: Lakini wewe ni Baba yetu,

ISA 63:16 Removed trailing space in p~: ingawa Abrahamu hatufahamu sisi

ISA 63:16 Removed trailing space in p~: wala Israeli hatutambui;

ISA 63:16 Removed trailing space in p~: wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Baba yetu,

ISA 63:16 Removed trailing space in p~: Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako.

ISA 63:17 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa nini unatuacha twende mbali na njia zako,

ISA 63:17 Removed trailing space in p~: na kuifanya mioyo yetu migumu hata hatukukuheshimu?

ISA 63:17 Removed trailing space in p~: Rudi kwa ajili ya watumishi wako,

ISA 63:17 Removed trailing space in p~: yale makabila ambayo ni urithi wako.

ISA 63:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa muda mfupi watu wako walimiliki mahali pako patakatifu,

ISA 63:18 Removed trailing space in p~: lakini sasa adui zetu wamepakanyaga mahali patakatifu pako.

ISA 63:19 Removed trailing space in v~: Sisi tumekuwa kama wale ambao hujawatawala kamwe,

ISA 63:19 Removed trailing space in p~: kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.

ISA 64:0 Extra space after chapter number

ISA 64:0 Removed trailing space in c: 64

ISA 64:1 Removed trailing space in v~: Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini,

ISA 64:1 Removed trailing space in p~: ili milima ingelitetemeka mbele zako!

ISA 64:2 Removed trailing space in v~: Kama vile moto uteketezavyo vijiti

ISA 64:2 Removed trailing space in p~: na kusababisha maji kuchemka,

ISA 64:2 Removed trailing space in p~: shuka ukafanye jina lako lijulikane kwa adui zako,

ISA 64:2 Removed trailing space in p~: na kusababisha mataifa yatetemeke mbele zako!

ISA 64:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia,

ISA 64:3 Removed trailing space in p~: ulishuka, nayo milima ikatetemeka mbele zako.

ISA 64:4 Removed trailing space in v~: Tangu nyakati za zamani hakuna yeyote aliyesikia,

ISA 64:4 Removed trailing space in p~: hakuna sikio lililotambua,

ISA 64:4 Removed trailing space in p~: hakuna jicho lililomwona Mungu mwingine ila wewe,

ISA 64:4 Removed trailing space in p~: anayetenda mambo kwa ajili ya wale wamngojeao.

ISA 64:5 Removed trailing space in v~: Uliwasaidia watu wale watendao yaliyo haki kwa furaha,

ISA 64:5 Removed trailing space in p~: wale wazikumbukao njia zako.

ISA 64:5 Removed trailing space in p~: Lakini wakati tulipoendelea kutenda dhambi kinyume na njia zako,

ISA 64:5 Removed trailing space in p~: ulikasirika.

ISA 64:5 Removed trailing space in p~: Tutawezaje basi kuokolewa?

ISA 64:6 Removed trailing space in v~: Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi,

ISA 64:6 Removed trailing space in p~: nayo matendo yetu yote ya uadilifu ni kama matambaa machafu;

ISA 64:6 Removed trailing space in p~: sisi sote tunasinyaa kama jani,

ISA 64:6 Removed trailing space in p~: na kama upepo maovu yetu hutupeperusha.

ISA 64:7 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote anayeliitia jina lako

ISA 64:7 Removed trailing space in p~: wala anayejitahidi kukushika,

ISA 64:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umetuficha uso wako

ISA 64:7 Removed trailing space in p~: na kutuacha tudhoofike kwa sababu ya dhambi zetu.

ISA 64:8 Removed trailing space in v~: Lakini, Ee \nd Bwana\nd*, wewe ndiwe Baba yetu.

ISA 64:8 Removed trailing space in p~: Sisi ni udongo, wewe ndiye mfinyanzi;

ISA 64:8 Removed trailing space in p~: sisi sote tu kazi ya mkono wako.

ISA 64:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usikasirike kupita kiasi,

ISA 64:9 Removed trailing space in p~: usizikumbuke dhambi zetu milele.

ISA 64:9 Removed trailing space in p~: Ee Bwana, utuangalie, twakuomba,

ISA 64:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sisi sote tu watu wako.

ISA 64:10 Removed trailing space in v~: Miji yako mitakatifu imekuwa jangwa;

ISA 64:10 Removed trailing space in p~: hata Sayuni ni jangwa, Yerusalemu ni ukiwa.

ISA 64:11 Removed trailing space in v~: Hekalu letu takatifu na tukufu, mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe,

ISA 64:11 Removed trailing space in p~: limechomwa kwa moto,

ISA 64:11 Removed trailing space in p~: navyo vitu vyote tulivyovithamini vimeharibika.

ISA 64:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, baada ya haya yote, utajizuia?

ISA 64:12 Removed trailing space in p~: Je, utanyamaza kimya na kutuadhibu kupita kiasi?

ISA 65:0 Extra space after chapter number

ISA 65:0 Removed trailing space in c: 65

ISA 65:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Na Wokovu

ISA 65:1 Removed trailing space in v~: “Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakuniulizia.

ISA 65:1 Removed trailing space in p~: Nimeonekana na watu wale ambao hawakunitafuta.

ISA 65:1 Removed trailing space in p~: Kwa taifa lile ambalo halikuliita Jina langu,

ISA 65:1 Removed trailing space in p~: nilisema, ‘Niko hapa, niko hapa.’

ISA 65:2 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa nimeinyoosha mikono yangu

ISA 65:2 Removed trailing space in p~: kwa watu wakaidi,

ISA 65:2 Removed trailing space in p~: wanaokwenda katika njia ambazo si nzuri,

ISA 65:2 Removed trailing space in p~: wafuatao mawazo yao wenyewe:

ISA 65:3 Removed trailing space in v~: taifa ambalo daima hunikasirisha

ISA 65:3 Removed trailing space in p~: machoni pangu,

ISA 65:3 Removed trailing space in p~: wakitoa dhabihu katika bustani

ISA 65:3 Removed trailing space in p~: na kufukiza uvumba juu ya madhabahu za matofali;

ISA 65:4 Removed trailing space in v~: watu waketio katikati ya makaburi

ISA 65:4 Removed trailing space in p~: na kukesha mahali pa siri,

ISA 65:4 Removed trailing space in p~: walao nyama za nguruwe,

ISA 65:4 Removed trailing space in p~: nazo sufuria zao zina mchuzi wa nyama zilizo najisi,

ISA 65:5 Removed trailing space in v~: wasemao, ‘Kaa mbali; usinikaribie,

ISA 65:5 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi ni mtakatifu mno kwako!’

ISA 65:5 Removed trailing space in p~: Watu wa aina hiyo ni moshi katika pua zangu,

ISA 65:5 Removed trailing space in p~: ni moto uwakao mchana kutwa.

ISA 65:6 Removed trailing space in v~: “Tazama, jambo hili hubakia limeandikwa mbele zangu:

ISA 65:6 Removed trailing space in p~: sitanyamaza, bali nitalipiza kwa ukamilifu;

ISA 65:6 Removed trailing space in p~: nitalipiza mapajani mwao:

ISA 65:7 Removed trailing space in v~: dhambi zenu na dhambi za baba zenu,”

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu walitoa dhabihu za kuteketezwa juu ya milima

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: na kunichokoza mimi juu ya vilima,

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: nitawapimia mapajani mwao

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: malipo makamilifu kwa matendo yao ya zamani.”

ISA 65:8 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: “Kama vile divai mpya ingali bado inapatikana

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: katika kishada cha zabibu,

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: nao watu husema, ‘Usikiharibu,

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa bado kuna kitu kizuri ndani yake,’

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: hivyo ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu;

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: sitawaangamiza wote.

ISA 65:9 Removed trailing space in v~: Nitawaleta wazao kutoka kwa Yakobo,

ISA 65:9 Removed trailing space in p~: na kutoka kwa Yuda wale watakaomiliki milima yangu,

ISA 65:9 Removed trailing space in p~: nao watu wangu wateule watairithi,

ISA 65:9 Removed trailing space in p~: nako huko wataishi watumishi wangu.

ISA 65:10 Removed trailing space in v~: Sharoni itakuwa malisho

ISA 65:10 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya makundi ya kondoo,

ISA 65:10 Removed trailing space in p~: na Bonde la Akori mahali pa kupumzikia

ISA 65:10 Removed trailing space in p~: kwa makundi ya ngʼombe,

ISA 65:10 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.

ISA 65:11 Removed trailing space in v~: “Bali kwenu ninyi mnaomwacha \nd Bwana\nd*

ISA 65:11 Removed trailing space in p~: na kuusahau mlima wangu mtakatifu,

ISA 65:11 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoandaa meza kwa ajili ya Bahati,\f + \fr 65:11 \ft Bahati alikuwa mungu wa Wakaldayo ambaye pia alijulikana kama Gadi.\f*

ISA 65:11 Removed trailing space in p~: na kujaza mabakuli ya mvinyo uliochanganywa

ISA 65:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Ajali,\f + \fr 65:11 \ft Ajali au Meni alikuwa mungu wa majaliwa.\f*

ISA 65:12 Removed trailing space in v~: nitawaagiza mfe kwa upanga,

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: nanyi nyote mtainama chini ili kuchinjwa;

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa niliwaita lakini hamkuitika,

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: nilisema lakini hamkusikiliza.

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: Mlitenda maovu machoni pangu,

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: nanyi mkachagua mambo yale yanayonichukiza.”

ISA 65:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi:

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: “Watumishi wangu watakula,

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: lakini ninyi mtaona njaa;

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: watumishi wangu watakunywa

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: lakini ninyi mtaona kiu;

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: watumishi wangu watafurahi,

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: lakini ninyi mtaona haya.

ISA 65:14 Removed trailing space in v~: Watumishi wangu wataimba

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: kwa furaha ya mioyo yao,

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: lakini ninyi mtalia

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: kutokana na uchungu wa moyoni,

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: na kupiga yowe kwa sababu

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: ya uchungu wa roho zenu.

ISA 65:15 Removed trailing space in v~: Mtaliacha jina lenu

ISA 65:15 Removed trailing space in p~: kuwa laana kwa watu wangu waliochaguliwa;

ISA 65:15 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi atawaua ninyi,

ISA 65:15 Removed trailing space in p~: lakini watumishi wake atawapa jina jingine.

ISA 65:16 Removed trailing space in v~: Yeye aombaye baraka katika nchi

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: atafanya hivyo kwa Mungu wa kweli;

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: yeye aapaye katika nchi

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: ataapa kwa Mungu wa kweli.

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa taabu za zamani zitasahaulika

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: na kufichwa kutoka machoni pangu.

ISA 65:16 Removed trailing space in s1: Mbingu Mpya Na Dunia Mpya

ISA 65:17 Removed trailing space in v~: “Tazama, nitaumba

ISA 65:17 Removed trailing space in p~: mbingu mpya na dunia mpya.

ISA 65:17 Removed trailing space in p~: Mambo ya zamani hayatakumbukwa,

ISA 65:17 Removed trailing space in p~: wala hayatakuja akilini.

ISA 65:18 Removed trailing space in v~: Lakini furahini na kushangilia daima

ISA 65:18 Removed trailing space in p~: katika hivi nitakavyoumba,

ISA 65:18 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitaumba Yerusalemu uwe wa kupendeza,

ISA 65:18 Removed trailing space in p~: nao watu wake wawe furaha.

ISA 65:19 Removed trailing space in v~: Nami nitaifurahia Yerusalemu

ISA 65:19 Removed trailing space in p~: na kuwafurahia watu wangu;

ISA 65:19 Removed trailing space in p~: sauti ya maombolezo na ya kilio

ISA 65:19 Removed trailing space in p~: haitasikika humo tena.

ISA 65:20 Removed trailing space in v~: “Kamwe hatakuwepo tena ndani yake

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: mtoto mchanga atakayeishi siku chache tu,

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: au mzee ambaye hataishi akatimiza miaka yake.

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: Yeye atakayekufa akiwa na umri wa miaka mia moja

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: atahesabiwa kwamba ni kijana tu,

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: yeye ambaye hatafika miaka mia moja,

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: atahesabiwa kuwa amelaaniwa.

ISA 65:21 Removed trailing space in v~: Watajenga nyumba na kuishi ndani yake;

ISA 65:21 Removed trailing space in p~: watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.

ISA 65:22 Removed trailing space in v~: Hawatajenga nyumba, nao watu wengine waishi ndani yake,

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: au kupanda mazao na wengine wale.

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa kama zilivyo siku za mti,

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu,

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: wateule wangu watafurahia kwa siku nyingi

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: kazi za mikono yao.

ISA 65:23 Removed trailing space in v~: Hawatajitaabisha kwa kazi bure,

ISA 65:23 Removed trailing space in p~: wala hawatazaa watoto ili wapatwe na majanga,

ISA 65:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa watakuwa taifa lililobarikiwa na \nd Bwana\nd*,

ISA 65:23 Removed trailing space in p~: wao na wazao wao pamoja nao.

ISA 65:24 Removed trailing space in v~: Kabla hawajaita, nitajibu,

ISA 65:24 Removed trailing space in p~: nao wakiwa katika kunena, nitasikia.

ISA 65:25 Removed trailing space in v~: Mbwa mwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja,

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: naye simba atakula nyasi kama maksai,

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: lakini mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka.

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: Hawatadhuru wala kuharibu

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: katika mlima wangu mtakatifu wote,”

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:0 Extra space after chapter number

ISA 66:0 Removed trailing space in c: 66

ISA 66:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Na Matumaini

ISA 66:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 66:1 Removed trailing space in p~: “Mbingu ni kiti changu cha enzi,

ISA 66:1 Removed trailing space in p~: nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu.

ISA 66:1 Removed trailing space in p~: Iko wapi nyumba mtakayoijenga kwa ajili yangu?

ISA 66:1 Removed trailing space in p~: Mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?

ISA 66:2 Removed trailing space in v~: Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote,

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: hivyo vikapata kuwepo?”

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: “Mtu huyu ndiye ninayemthamini:

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: yeye ambaye ni mnyenyekevu

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: na mwenye roho yenye toba,

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: atetemekaye asikiapo neno langu.

ISA 66:3 Removed trailing space in v~: Lakini yeyote atoaye dhabihu ya fahali

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: ni kama yeye auaye mtu,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: na yeyote atoaye sadaka ya mwana-kondoo,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: ni kama yule avunjaye shingo ya mbwa.

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: Yeyote atoaye sadaka ya nafaka,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: ni kama yule aletaye damu ya nguruwe,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: na yeyote afukizaye uvumba wa kumbukumbu,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: ni kama yule aabuduye sanamu.

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: Wamejichagulia njia zao wenyewe,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: nazo nafsi zao zinafurahia machukizo yao.

ISA 66:4 Removed trailing space in v~: Hivyo, mimi pia nitawachagulia mapigo makali,

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: nami nitaleta juu yao kile wanachokiogopa.

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: Kwa maana nilipoita, hakuna yeyote aliyejibu,

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: niliposema, hakuna yeyote aliyesikiliza.

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: Walifanya maovu machoni pangu

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: na kuchagua lile linalonichukiza.”

ISA 66:5 Removed trailing space in v~: Sikieni neno la \nd Bwana\nd*,

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: ninyi mtetemekao kwa neno lake:

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: “Ndugu zenu wanaowachukia ninyi

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: na kuwatenga ninyi kwa sababu ya Jina langu, wamesema,

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: ‘\nd Bwana\nd* na atukuzwe,

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: ili tupate kuona furaha yenu!’

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: Hata sasa wataaibika.

ISA 66:6 Removed trailing space in v~: Sikieni hizo ghasia kutoka mjini,

ISA 66:6 Removed trailing space in p~: sikieni hizo kelele kutoka hekaluni!

ISA 66:6 Removed trailing space in p~: Ni sauti ya \nd Bwana\nd* ikiwalipa adui zake

ISA 66:6 Removed trailing space in p~: yote wanayostahili.

ISA 66:7 Removed trailing space in v~: “Kabla hajasikia utungu, alizaa;

ISA 66:7 Removed trailing space in p~: kabla hajapata maumivu,

ISA 66:7 Removed trailing space in p~: alizaa mtoto mwanaume.

ISA 66:8 Removed trailing space in v~: Ni nani amepata kusikia jambo kama hili?

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: Ni nani amepata kuona mambo kama haya?

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: Je, nchi yaweza kuzaliwa kwa siku moja,

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: au taifa laweza kutokea mara?

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: Mara Sayuni alipoona utungu,

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: alizaa watoto wake.

ISA 66:9 Removed trailing space in v~: Je, nilete mwana hadi wakati wa kuzaliwa

ISA 66:9 Removed trailing space in p~: na nisizalishe?” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:9 Removed trailing space in p~: “Je, nifunge tumbo la uzazi

ISA 66:9 Removed trailing space in p~: wakati mimi ndiye nizalishaye?”

ISA 66:9 Removed trailing space in p~: asema Mungu wako.

ISA 66:10 Removed trailing space in v~: “Shangilieni pamoja na Yerusalemu na mfurahi kwa ajili yake,

ISA 66:10 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mnaompenda,

ISA 66:10 Removed trailing space in p~: shangilieni kwa nguvu pamoja naye,

ISA 66:10 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mnaoomboleza juu yake.

ISA 66:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mtanyonya na kutosheka

ISA 66:11 Removed trailing space in p~: katika faraja ya matiti yake;

ISA 66:11 Removed trailing space in p~: mtakunywa sana,

ISA 66:11 Removed trailing space in p~: na kuufurahia wingi wa mafuriko ya ustawi wake.”

ISA 66:12 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 66:12 Removed trailing space in p~: “Nitamwongezea amani kama mto,

ISA 66:12 Removed trailing space in p~: nao utajiri wa mataifa kama kijito kifurikacho;

ISA 66:12 Removed trailing space in p~: utanyonya na kuchukuliwa mikononi mwake

ISA 66:12 Removed trailing space in p~: na kubembelezwa magotini pake.

ISA 66:13 Removed trailing space in v~: Kama mama anavyomfariji mtoto wake,

ISA 66:13 Removed trailing space in p~: ndivyo nitakavyokufariji wewe,

ISA 66:13 Removed trailing space in p~: nawe utafarijiwa huko Yerusalemu.”

ISA 66:14 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia,

ISA 66:14 Removed trailing space in p~: nanyi mtastawi kama majani;

ISA 66:14 Removed trailing space in p~: mkono wa \nd Bwana\nd* utajulikana kwa watumishi wake,

ISA 66:14 Removed trailing space in p~: bali ghadhabu yake kali

ISA 66:14 Removed trailing space in p~: itaonyeshwa kwa adui zake.

ISA 66:15 Removed trailing space in v~: Tazama, \nd Bwana\nd* anakuja na moto,

ISA 66:15 Removed trailing space in p~: magari yake ya vita ni kama upepo wa kisulisuli,

ISA 66:15 Removed trailing space in p~: atateremsha hasira yake kwa ghadhabu kali,

ISA 66:15 Removed trailing space in p~: na karipio lake pamoja na miali ya moto.

ISA 66:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake

ISA 66:16 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atatekeleza hukumu juu ya watu wote,

ISA 66:16 Removed trailing space in p~: nao wengi watakuwa ni wale

ISA 66:16 Removed trailing space in p~: waliouawa na \nd Bwana\nd*.

ISA 66:17 Removed trailing space in v~: “Watu wote wanaojiweka wakfu na kujitakasa wenyewe ili kwenda bustanini, wakimfuata aliye katikati ya wale ambao hula nyama za nguruwe na panya pamoja na vitu vingine vilivyo machukizo, watafikia mwisho wao pamoja,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:18 Removed trailing space in v~: “Nami, kwa sababu ya matendo yao na mawazo yao, niko karibu kuja na kukusanya mataifa yote na lugha zote, nao watakuja na kuuona utukufu wangu.

ISA 66:19 Removed trailing space in v~: “Nitaweka ishara katikati yao, nami nitapeleka baadhi ya hao walionusurika kwa mataifa, hadi Tarshishi, kwa Puli\f + \fr 66:19 \ft Puli hapa inamaanisha Libya.\f* na Waludi (wanaojulikana kama wapiga upinde), kwa Tubali na Uyunani, hadi visiwa vya mbali ambavyo havijasikia juu ya sifa zangu au kuuona utukufu wangu. Watatangaza utukufu wangu miongoni mwa mataifa.

ISA 66:20 Removed trailing space in v~: Nao watawaleta ndugu zenu wote, kutoka mataifa yote, mpaka kwenye mlima wangu mtakatifu katika Yerusalemu kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*, juu ya farasi, katika magari ya vita na magari makubwa, juu ya nyumbu na ngamia,” asema \nd Bwana\nd*. “Watawaleta, kama Waisraeli waletavyo sadaka zao za nafaka, katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, katika vyombo safi kwa kufuata desturi za ibada.

ISA 66:21 Removed trailing space in v~: Nami nitachagua baadhi yao pia wawe makuhani na Walawi,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:22 Removed trailing space in v~: “Kama vile mbingu mpya na nchi mpya ninazozifanya zitakavyodumu mbele zangu,” asema \nd Bwana\nd*, “ndivyo jina lenu na wazao wenu watakavyodumu.

ISA 66:23 Removed trailing space in v~: Kutoka Mwezi Mpya hata mwingine, na kutoka Sabato hadi nyingine, wanadamu wote watakuja na kusujudu mbele zangu,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:24 Removed trailing space in v~: “Nao watatoka nje na kuona maiti za wale walioniasi mimi. Funza wao hawatakufa, wala moto wao hautazimika, nao watakuwa kitu cha kuchukiza sana kwa wanadamu wote.”

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 254    c: 66    h: 1    id: 1    m: 2    mt1: 1    p: 133    pm: 2    q1: 2069    q2: 2398    q4: 17    r: 6    rem: 1    s1: 88    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 6334    v: 1292  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    m: 2    pm: 2    r: 6    q4: 17    c: 66    s1: 88    p: 133    b: 254    v: 1292    q1: 2069    q2: 2398    Total: 6334  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 12    nd*: 12    Total: 24  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 12    nd*: 12    Total: 24  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 66    Paragraphs: 133    Section Cross-References: 6    Verses: 1292  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 6    Chapters: 66    Paragraphs: 133    Verses: 1292  

Characters

Possible Character Errors

ISA 1:9 Multiple spaces in '1:9 Bwana Mwenye Nguvu Zote hapa ni Yehova Sabaoth, yaani Bwana wa Majeshi; pia··Warumi 9:29 na··Yakobo 5:4.'

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 8    a: 318    A: 14    B: 19    b: 47    C: 5    c: 1    d: 26    D: 19    e: 90    E: 2    f: 23    F: 3    g: 18    G: 1    H: 13    h: 44    I: 23    i: 192    J: 4    j: 9    k: 46    K: 44    l: 58    L: 4    M: 43    m: 52    n: 63    N: 19    o: 55    O: 5    p: 8    P: 1    r: 42    s: 62    S: 12    Space: 272    T: 8    t: 27    Total: 2053    u: 152    U: 24    v: 5    W: 48    w: 46    y: 22    Y: 44    z: 11    Z: 1  

Letter Counts (sorted by count)

 P: 1    Z: 1    c: 1    G: 1    E: 2    F: 3    J: 4    L: 4    O: 5    C: 5    v: 5    T: 8    -: 8    p: 8    j: 9    z: 11    S: 12    H: 13    A: 14    g: 18    B: 19    N: 19    D: 19    y: 22    I: 23    f: 23    U: 24    d: 26    t: 27    r: 42    M: 43    Y: 44    h: 44    K: 44    w: 46    k: 46    b: 47    W: 48    m: 52    o: 55    l: 58    s: 62    n: 63    e: 90    u: 152    i: 192    Space: 272    a: 318    Total: 2053  

Punctuation Counts

 (: 6    ): 6    ,: 4    .: 1    :: 8    ;: 2    Total: 27  

Punctuation Counts (sorted by count)

 .: 1    ;: 2    ,: 4    (: 6    ): 6    :: 8    Total: 27  

Speech Marks

Possible Matching Errors

ISA 6:9 Unclosed “ (opened at 6:9:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 6:11 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:9:v)' before v marker or missing reopening quotes at v11

ISA 7:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:3:v)', '‘ (opened at 7:4:v)', '“ (opened at 7:7:q1)', '‘ (opened at 7:7:q1)']

ISA 7:10 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:3:v)', '‘ (opened at 7:4:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v10

ISA 36:4 Unclosed “ (opened at 36:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

ISA 36:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)', '“ (opened at 36:7:v)']

ISA 36:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)', '“ (opened at 36:7:v)']

ISA 36:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)', '“ (opened at 36:8:v)']

ISA 36:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)', '“ (opened at 36:8:v)', '‘ (opened at 36:8:v)']

ISA 36:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)'] before v marker or missing reopening quotes at v11

ISA 37:22 Unclosed “ (opened at 37:21:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 37:30 Unclosed “ (opened at 37:22:q1,37:26:v,37:28:v,37:30:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 37:33 Unclosed “ (opened at 37:30:q1,37:33:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 37:33 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 37:21:v)', '“ (opened at 37:22:q1,37:26:v,37:28:v,37:30:v)', '“ (opened at 37:30:q1,37:33:v)', '“ (opened at 37:33:q1)']

ISA 37:35 Unclosed “ (opened at 37:30:q1,37:33:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 37:35 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 37:21:v)', '“ (opened at 37:22:q1,37:26:v,37:28:v,37:30:v)', '“ (opened at 37:30:q1,37:33:v)', '“ (opened at 37:35:v)']

ISA 37:36 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 37:21:v)', '“ (opened at 37:22:q1,37:26:v,37:28:v,37:30:v)', '“ (opened at 37:30:q1,37:33:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v36

ISA 38:7 Unclosed ‘ (opened at 38:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

ISA 38:8 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 38:5:v)', '‘ (opened at 38:5:v)']

ISA 38:9 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 38:5:v)', '‘ (opened at 38:5:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v9

ISA 42:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 41:22:v,41:25:v)' before q1 marker

ISA 42:18 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 42:14:v)' before q1 marker

ISA 44:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 43:18:v,43:22:v,43:25:v)' before q1 marker

ISA 44:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 44:1:v)' before q1 marker

ISA 45:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 44:24:v,44:24:q1,44:25:v,44:26:q1)' before q1 marker

ISA 47:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 46:3:v,46:5:v,46:8:v)' before q1 marker

ISA 48:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 47:5:v,47:8:v,47:12:v)' before q1 marker

ISA 48:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 48:1:v,48:6:q1)' before q1 marker

ISA 48:16 Unclosed “ (opened at 48:12:v,48:14:v,48:16:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 48:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 48:12:v,48:14:v,48:16:v)' before q1 marker or missing reopening quotes at v16

ISA 65:17 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 65:13:q1)' before q1 marker

Words

Possible Word Errors

ISA 2:16 Have unexpected character starting word '+xt'

ISA 44:2 Have unexpected character starting word '+xt'

ISA 55:13 Have unexpected character starting word '+xt'

ISA 60:9 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Possible Heading Errors

ISA 3:0 s1 heading ends with a period: Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.

Title Lines

ISA -1:6 Main Title 1:Isaya

Section Heading Lines

ISA 1:1Taifa Asi
ISA 2:0Mlima Wa \nd Bwana\nd*
ISA 2:5Siku Ya \nd Bwana\nd*
ISA 3:0Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.
ISA 4:1Tawi La \nd Bwana\nd*
ISA 5:0Wimbo Wa Shamba La Mizabibu
ISA 5:7Ole Na Hukumu
ISA 6:0Agizo Kwa Isaya
ISA 7:0Ishara Ya Imanueli
ISA 8:0Ashuru, Chombo Cha \nd Bwana\nd*
ISA 8:10Mwogope Mungu
ISA 9:0Kwa Ajili Yetu Mtoto Amezaliwa
ISA 9:7Hasira Ya \nd Bwana\nd* Dhidi Ya Israeli
ISA 10:4Hukumu Ya Mungu Juu Ya Ashuru
ISA 10:19Mabaki Ya Israeli
ISA 11:0Tawi Kutoka Kwa Yese
ISA 12:0Kushukuru Na Kusifu
ISA 13:0Unabii Dhidi Ya Babeli
ISA 14:0Yuda Kufanywa Upya
ISA 14:23Unabii Dhidi Ya Ashuru
ISA 14:27Unabii Dhidi Ya Wafilisti
ISA 15:0Unabii Dhidi Ya Moabu
ISA 16:0Hali Ya Kukata Tamaa Ya Moabu
ISA 17:0Neno Dhidi Ya Dameski
ISA 18:0Unabii Dhidi Ya Kushi
ISA 19:0Unabii Kuhusu Misri
ISA 20:0Unabii Dhidi Ya Misri Na Kushi
ISA 21:0Unabii Dhidi Ya Babeli
ISA 21:10Unabii Dhidi Ya Edomu
ISA 21:12Unabii Dhidi Ya Arabia
ISA 22:0Unabii Kuhusu Yerusalemu
ISA 23:0Unabii Kuhusu Tiro
ISA 24:0Dunia Kuharibiwa Upesi
ISA 25:0Msifuni \nd Bwana\nd*
ISA 26:0Wimbo Wa Ushindi
ISA 27:0Wokovu Kwa Ajili Ya Israeli
ISA 28:0Ole Wa Efraimu
ISA 29:0Ole Wa Mji Wa Daudi
ISA 30:0Ole Wa Taifa Kaidi
ISA 31:0Ole Wa Wale Wanaotegemea Misri
ISA 32:0Ufalme Wa Haki
ISA 32:8Wanawake Wa Yerusalemu
ISA 33:0Taabu Na Msaada
ISA 34:0Hukumu Dhidi Ya Mataifa
ISA 35:0Furaha Ya Waliokombolewa
ISA 36:0Senakeribu Atishia Yerusalemu
ISA 37:0Kuokolewa Kwa Yerusalemu Kunatabiriwa
ISA 37:13Maombi Ya Hezekia
ISA 37:20Kuanguka Kwa Senakeribu
ISA 38:0Kuugua Kwa Mfalme Hezekia
ISA 39:0Wajumbe Kutoka Babeli
ISA 40:0Faraja Kwa Watu Wa Mungu
ISA 41:0Msaidizi Wa Israeli
ISA 42:0Mtumishi Wa \nd Bwana\nd*
ISA 42:9Wimbo Wa Kumsifu \nd Bwana\nd*
ISA 42:17Israeli Kipofu Na Kiziwi
ISA 43:0Mwokozi Pekee Wa Israeli
ISA 43:13Huruma Za Mungu, Na Kukosa Uaminifu Kwa Israeli
ISA 44:0Israeli Aliyechaguliwa
ISA 44:5Ni \nd Bwana\nd*, Siyo Sanamu
ISA 44:23Yerusalemu Kukaliwa
ISA 45:0Koreshi Chombo Cha Mungu
ISA 46:0Miungu Ya Babeli
ISA 47:0Anguko La Babeli
ISA 48:0Israeli Mkaidi
ISA 48:11Israeli Anawekwa Huru
ISA 49:0Mtumishi Wa \nd Bwana\nd*
ISA 49:7Kurejezwa Kwa Israeli
ISA 50:0Dhambi Ya Israeli Na Utii Wa Mtumishi
ISA 51:0Wokovu Wa Milele Kwa Sayuni
ISA 51:16Kikombe Cha Ghadhabu Ya \nd Bwana\nd*
ISA 52:12Mateso Na Utukufu Wa Mtumishi
ISA 54:0Utukufu Wa Baadaye Wa Sayuni
ISA 55:0Mwaliko Kwa Wenye Kiu
ISA 56:0Wokovu Kwa Ajili Ya Wengine
ISA 56:8Mashtaka Ya Mungu Dhidi Ya Waovu
ISA 57:0Ibada Ya Sanamu Ya Israeli Iliyo Batili
ISA 57:13Faraja Kwa Wenye Majuto
ISA 58:0Mfungo Wa Kweli
ISA 59:0Dhambi, Toba Na Ukombozi
ISA 60:0Utukufu Wa Sayuni
ISA 61:0Mwaka Wa Upendeleo Wa \nd Bwana\nd*
ISA 62:0Jina Jipya La Sayuni
ISA 63:0Siku Ya Mungu Ya Kisasi Na Ukombozi
ISA 63:6Kusifu Na Kuomba
ISA 65:0Hukumu Na Wokovu
ISA 65:16Mbingu Mpya Na Dunia Mpya
ISA 66:0Hukumu Na Matumaini

Section Cross-reference Lines

ISA 2:0(Mika 4:1-3)
ISA 36:0(2 Wafalme 18:13-27; 2 Nyakati 32:1-19)
ISA 37:0(2 Wafalme 19:1-7)
ISA 37:20(2 Wafalme 19:20-37)
ISA 38:0(2 Wafalme 20:1-11; 2 Nyakati 32:24-26)
ISA 39:0(2 Wafalme 20:12-19)

Notes

Footnote Lines

ISA 1:9+ \fr 1:9 \ft Bwana Mwenye Nguvu Zote hapa ni Yehova Sabaoth, yaani Bw…+rq*.
ISA 2:16+ \fr 2:16 \ft Au: ya Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya …xt*.)
ISA 5:10+ \fr 5:10 \ft Bathi moja ni sawa na lita 22.
ISA 5:10+ \fr 5:10 \ft Homeri moja ni sawa na lita 220.
ISA 5:10+ \fr 5:10 \ft Efa moja ni sawa na lita 22.
ISA 5:14+ \fr 5:14 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
ISA 7:1+ \fr 7:1 \ft Yaani Shamu.
ISA 7:3+ \fr 7:3 \ft Shear-Yashubu maana yake Mabaki Watarudi.
ISA 7:14+ \fr 7:14 \ft Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.
ISA 7:20+ \fr 7:20 \ft Yaani Frati.
ISA 7:23+ \fr 7:23 \ft Shekeli 1,000 ni kama kilo 11.5.
ISA 8:1+ \fr 8:1 \ft Maher-Shalal-Hash-Bazi maana yake ni Haraka kuteka nyara…yara.
ISA 8:7+ \fr 8:7 \ft Yaani Frati.
ISA 8:8+ \fr 8:8 \ft Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.
ISA 8:10+ \fr 8:10 \ft Kiebrania ni Imanueli.
ISA 10:21+ \fr 10:21 \ft Kiebrania ni Shear-Yashubu, pia 22.
ISA 11:11+ \fr 11:11 \ft Pathrosi ina maana Misri ya Juu.
ISA 13:6+ \fr 13:6 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
ISA 13:19+ \fr 13:19 \ft Wababeli hapa maana yake ni Wakaldayo.
ISA 17:8+ \fr 17:8 \ft Ashera hapa maana yake ni mungu mke aliyekuwa akiabudiw…aali.
ISA 18:1+ \fr 18:1 \ft Au: wa nzige.
ISA 19:13+ \fr 19:13 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
ISA 19:18+ \fr 19:18 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
ISA 23:1+ \fr 23:1 \ft Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.
ISA 27:1+ \fr 27:1 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba …liwa.
ISA 33:8+ \fr 33:8 \ft Au: miji yake imedharauliwa.
ISA 33:9+ \fr 33:9 \ft Au: Ardhi inakauka.
ISA 38:10+ \fr 38:10 \ft Mauti hapa maana yake ni Kuzimu.
ISA 38:18+ \fr 38:18 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
ISA 40:12+ \fr 40:12 \ft Shibiri ni sawa na sentimita 20 au inchi 8.
ISA 44:2+ \fr 44:2 \ft Yeshuruni hapa maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani I…xt*).
ISA 49:12+ \fr 49:12 \ft Sinimu hapa ina maana ya Aswani.
ISA 55:13+ \fr 55:13 \ft Mhadasi ni aina ya mti ambao huota milimani karibu na …xt*).
ISA 57:9+ \fr 57:9 \ft Moleki alikuwa mungu aliyekuwa anaabudiwa na Waamoni; p…oabu.
ISA 57:9+ \fr 57:9 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
ISA 60:9+ \fr 60:9 \ft Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9…xt*).
ISA 62:4+ \fr 62:4 \ft Hefsiba maana yake Yeye ninayemfurahia.
ISA 62:4+ \fr 62:4 \ft Beula maana yake Aliyeolewa.
ISA 62:5+ \fr 62:5 \ft Au: wajenzi wako.
ISA 65:11+ \fr 65:11 \ft Bahati alikuwa mungu wa Wakaldayo ambaye pia alijulika…Gadi.
ISA 65:11+ \fr 65:11 \ft Ajali au Meni alikuwa mungu wa majaliwa.
ISA 66:19+ \fr 66:19 \ft Puli hapa inamaanisha Libya.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 42    Footnotes: 42  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 42    Footnote leader '+': 42