Freely-Given.org Bible JDG Checks

<Up>

Priority Errors

Extra space after chapter number in JDG 2:0

Showing 1 out of 644 priority errors

Fix Text Errors

JDG 2:0 Extra space after chapter number

JDG 2:0 Removed trailing space in c: 2

JDG 2:0 Removed trailing space in s1: Malaika Wa \nd Bwana\nd* Huko Bokimu

JDG 2:1 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akakwea kutoka Gilgali hadi Bokimu, naye akasema, “Niliwapandisha kutoka Misri na kuwaingiza katika nchi niliyoapa kuwapa baba zenu. Nikasema, ‘Kamwe sitalivunja Agano langu nanyi.

JDG 2:2 Removed trailing space in v~: Nanyi msifanye agano na watu wa nchi hii, bali mtazibomoa madhabahu yao.’ Lakini ninyi hamkunitii mimi. Kwa nini mmefanya jambo hili?

JDG 2:3 Removed trailing space in v~: Sasa basi ninawaambia kuwa sitawafukuza watoke katikati yenu ila watakuwa miiba kwenu, nao miungu yao itakuwa tanzi kwenu.”

JDG 2:4 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* alipomaliza kusema mambo haya kwa Waisraeli wote, watu wakalia kwa sauti kuu.

JDG 2:5 Removed trailing space in v~: Wakapaita mahali pale Bokimu. Nao wakamtolea \nd Bwana\nd* sadaka.

JDG 2:5 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Yoshua

JDG 2:6 Removed trailing space in v~: Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao.

JDG 2:7 Removed trailing space in v~: Watu wakamtumikia \nd Bwana\nd* siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, waliokuwa wameona mambo makuu ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli.

JDG 2:8 Removed trailing space in v~: Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa \nd Bwana\nd*, akafa akiwa na umri wa miaka 110.

JDG 2:9 Removed trailing space in v~: Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Heresi\f + \fr 2:9 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona \+xt Yos 19:50; 24:30\+xt*.\f* katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima Gaashi.

JDG 2:9 Found unexpected backslash in footnote: 2:9 Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona \+xt Yos 19:50; 24:30\+xt*.

JDG 2:10 Removed trailing space in v~: Baada ya kizazi kile chote kukusanywa pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine baada yao ambacho hakikumjua \nd Bwana\nd*, wala matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya Waisraeli.

JDG 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd* na kuwatumikia Mabaali.

JDG 2:12 Removed trailing space in v~: Wakamwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka. Wakamkasirisha \nd Bwana\nd*,

JDG 2:13 Removed trailing space in v~: kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi.

JDG 2:14 Removed trailing space in v~: Hivyo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao.

JDG 2:15 Removed trailing space in v~: Popote Israeli walipotoka kwenda kupigana, mkono wa \nd Bwana\nd* ulikuwa kinyume nao ili kuwashinda, kama vile alivyokuwa amewaapia. Nao wakawa katika taabu kubwa.

JDG 2:16 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akawainua waamuzi, ambao waliwaokoa katika mikono ya hao watu waliowashambulia.

JDG 2:17 Removed trailing space in v~: Lakini hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, bali walifanya uasherati kwa kuifuata miungu mingine na kuiabudu. Waligeuka mara na kuiacha njia ambayo baba zao waliiendea, yaani, njia ya kutii amri za \nd Bwana\nd*.

JDG 2:18 Removed trailing space in v~: Kila mara \nd Bwana\nd* alipowainulia mwamuzi, \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha.

JDG 2:19 Removed trailing space in v~: Lakini kila mara mwamuzi alipofariki, watu walirudia katika hali mbaya ya uovu zaidi kuliko baba zao, wakiifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao maovu na njia zao za ukaidi.

JDG 2:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza,

JDG 2:21 Removed trailing space in v~: mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki.

JDG 2:22 Removed trailing space in v~: Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya \nd Bwana\nd* na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.”

JDG 2:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.

JDG 3:0 Extra space after chapter number

JDG 3:0 Removed trailing space in c: 3

JDG 3:0 Removed trailing space in s1: Mataifa Yaliyobaki Katika Ile Nchi

JDG 3:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo mataifa \nd Bwana\nd* aliyoyaacha ili kuwajaribu Waisraeli wote ambao hawakujua vita vyovyote vya Kanaani

JDG 3:2 Removed trailing space in v~: (alifanya hivi ili tu kuwafundisha wazao wa Waisraeli ambao hawakuwa wamejua vita hapo awali):

JDG 3:3 Removed trailing space in v~: wafalme watano wa Wafilisti, Wakanaani wote, Wasidoni, Wahivi waishio katika milima ya Lebanoni kuanzia Mlima wa Baal-Hermoni hadi Lebo-Hamathi.

JDG 3:4 Removed trailing space in v~: Waliachwa ili kuwajaribu Waisraeli kuona kama wangetii amri za \nd Bwana\nd*, alizokuwa amewapa baba zao kwa mkono wa Mose.

JDG 3:5 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakaishi miongoni mwa Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

JDG 3:6 Removed trailing space in v~: Wakawaoa binti zao, nao wakawatoa binti zao waolewe na wana wa hayo mataifa, na kuitumikia miungu yao.

JDG 3:6 Removed trailing space in s1: Othnieli

JDG 3:7 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, wakamsahau \nd Bwana\nd* Mungu wao na kutumikia Mabaali na Maashera.

JDG 3:8 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Israeli, hivyo akawauza na kuwatia mikononi mwa Kushan-Rishathaimu mfalme wa Aramu-Naharaimu\f + \fr 3:8 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.\f* ambaye Israeli walikuwa chini yake wakimtumikia kwa muda wa miaka minane.

JDG 3:9 Removed trailing space in v~: Waisraeli walipomlilia \nd Bwana\nd*, yeye akawainulia mwokozi, Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa Kalebu, ambaye aliwaokoa.

JDG 3:10 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu yake, hivyo akawa mwamuzi wa Israeli, akaenda vitani. \nd Bwana\nd* akamtia Kushan-Rishathaimu mfalme wa Aramu mikononi mwa Othnieli, naye akamshinda.

JDG 3:11 Removed trailing space in v~: Hivyo nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka arobaini, mpaka Othnieli mwana wa Kenazi alipofariki.

JDG 3:11 Removed trailing space in s1: Ehudi

JDG 3:12 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya maovu mbele za \nd Bwana\nd* tena, kwa kuwa walifanya maovu hayo \nd Bwana\nd* akamtia nguvu Egloni mfalme wa Moabu dhidi ya Israeli.

JDG 3:13 Removed trailing space in v~: Egloni akawataka Waamoni na Waamaleki waungane naye, akaja kuishambulia Israeli, nao wakatwaa Mji wa Mitende\f + \fr 3:13 \ft Yaani Yeriko.\f*

JDG 3:14 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakawa chini ya Egloni mfalme wa Moabu kwa muda wa miaka kumi na minane.

JDG 3:15 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakamlilia tena \nd Bwana\nd*, naye akawapa mwokozi: Ehudi, mtu wa shoto, mwana wa Gera, Mbenyamini. Waisraeli wakatuma kwa Egloni mfalme wa Moabu ushuru kwa mkono wa Ehudi.

JDG 3:16 Removed trailing space in v~: Basi Ehudi alikuwa ametengeneza upanga wenye ukatao kuwili, urefu wake ni kama dhiraa moja,\f + \fr 3:16 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* akaufunga upanga huo ndani ya nguo yake kwenye paja lake la mkono wa kuume.

JDG 3:17 Removed trailing space in v~: Akamkabidhi ushuru Egloni mfalme wa Moabu, ambaye alikuwa mtu mnene sana.

JDG 3:18 Removed trailing space in v~: Baada ya Ehudi kumkabidhi ule ushuru, wale watu waliokuwa wameubeba huo ushuru aliwaruhusu waende zao.

JDG 3:19 Removed trailing space in v~: Yeye mwenyewe akafuatana nao hadi kwenye sanamu ya kuchora kwenye mawe karibu na Gilgali, ndipo yeye akarudi, akafika kwa Egloni na kusema, “Ee Mfalme, ninao ujumbe wa siri kwa ajili yako.”

JDG 3:19 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Nyamazeni kimya!” Nao wale waliomhudumia wote wakamwacha, wakatoka nje.

JDG 3:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Ehudi akamsogelea alipokuwa ameketi peke yake kwenye chumba cha juu cha jumba lake la kifalme la majira ya kiangazi, na kusema, “Ninao ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili yako.” Mfalme alipokuwa anainuka kutoka kwenye kiti chake,

JDG 3:21 Removed trailing space in v~: Ehudi akaunyoosha mkono wake wa kushoto na kuufuta ule upanga aliokuwa ameufunga kwenye paja lake la kulia, akamdunga Mfalme Egloni tumboni mwake.

JDG 3:22 Removed trailing space in v~: Hata mpini nao ukazama tumboni pamoja na upanga wenyewe, nao upanga ukatokea mgongoni mwake. Ehudi hakuuchomoa huo upanga, nayo mafuta yakashikamana juu ya upanga.

JDG 3:23 Removed trailing space in v~: Ehudi akatoka nje barazani; akamfungia milango ya chumba cha juu na kuifunga kwa funguo.

JDG 3:24 Removed trailing space in v~: Baada ya kuondoka, watumishi wakaja na kukuta milango ya chumba cha juu imefungwa kwa funguo. Wakasema, “Bila shaka amejipumzisha kwenye chumba cha ndani cha nyumba yake ya majira ya kiangazi.”

JDG 3:25 Removed trailing space in v~: Wakangoja hata wakawa na fadhaa, basi wakati hakufungua milango ya chumba, wakachukua funguo na kuifungua. Tazama wakaona bwana wao amelala sakafuni, amekufa.

JDG 3:26 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wangali wanangoja, Ehudi akatoroka, akapita hapo kwenye sanamu ya kuchora kwenye mawe na kukimbilia Seira.

JDG 3:27 Removed trailing space in v~: Alipofika huko, akapiga tarumbeta katika nchi ya vilima ya Efraimu, nao Waisraeli wakateremka pamoja naye kutoka vilimani, yeye akiwa anawaongoza.

JDG 3:28 Removed trailing space in v~: Akawaagiza, “Nifuateni, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amewatia Moabu, adui zenu, mikononi mwenu.” Kwa hiyo wakateremka wakamfuata, wakavishika vivuko vya Yordani kuelekea Moabu, wala hawakuacha mtu yeyote kuvuka.

JDG 3:29 Removed trailing space in v~: Wakati huo wakawaua Wamoabu watu waume wapatao 10,000 ambao wote walikuwa wenye nguvu na mashujaa; hakuna mtu yeyote aliyetoroka.

JDG 3:30 Removed trailing space in v~: Siku ile Moabu wakashindwa na Israeli, nayo nchi ikawa na amani kwa miaka themanini.

JDG 3:30 Removed trailing space in s1: Shamgari

JDG 3:31 Removed trailing space in v~: Baada ya Ehudi akaja Shamgari mwana wa Anathi, aliyewapiga Wafilisti 600 kwa fimbo iliyochongoka ya kuongozea ngʼombe. Naye pia akawaokoa Waisraeli.

JDG 4:0 Extra space after chapter number

JDG 4:0 Removed trailing space in c: 4

JDG 4:0 Removed trailing space in s1: Debora

JDG 4:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakafanya tena maovu machoni pa \nd Bwana\nd*.

JDG 4:2 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* akawatia mikononi mwa Yabini, mfalme wa Kanaani, aliyetawala huko Hazori. Jemadari wa jeshi lake alikuwa Sisera, aliyeishi huko Haroshethi-Hagoyimu\f + \fr 4:2 \ft Haroshethi-Hagoyimu ina maana Haroshethi ya Mataifa.\f*

JDG 4:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma yapatayo 900, naye alikuwa amewatesa Waisraeli kwa ukatili kwa muda wa miaka ishirini, Waisraeli wakamlilia \nd Bwana\nd* wakaomba msaada.

JDG 4:4 Removed trailing space in v~: Debora, nabii mwanamke, mkewe Lapidothi, ndiye alikuwa anaamua Israeli wakati ule.

JDG 4:5 Removed trailing space in v~: Debora alikuwa akiketi chini ya Mtende wa Debora uliokuwa kati ya Rama na Betheli katika nchi ya vilima ya Efraimu, nao Waisraeli wakaja kwake ili awaamue.

JDG 4:6 Removed trailing space in v~: Akatuma wamwite Baraka mwana wa Abinoamu kutoka Kedeshi huko Naftali na kumwambia, “\nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, anakuagiza: ‘Nenda, chukua wanaume 10,000 toka Naftali na Zabuloni, mwende Mlima Tabori.

JDG 4:7 Removed trailing space in v~: Nitamshawishi Sisera, jemadari wa jeshi la Yabini, pamoja na magari yake na jeshi lake, hadi Mto Kishoni na kumtia mikononi mwako.’ ”

JDG 4:8 Removed trailing space in v~: Baraka akamwambia, “Ukienda pamoja nami nitakwenda, lakini usipokwenda pamoja nami, sitakwenda.”

JDG 4:9 Removed trailing space in v~: Debora akamwambia, “Hakika nitakwenda pamoja nawe, lakini njia unayoiendea haitakupa heshima wewe, kwa kuwa \nd Bwana\nd* atamtia Sisera mikononi mwa mwanamke.” Hivyo Debora akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi,

JDG 4:10 Removed trailing space in v~: mahali ambapo Baraka aliwaita Zabuloni na Naftali. Watu 10,000 wakamfuata Baraka, na Debora pia akaenda pamoja naye.

JDG 4:11 Removed trailing space in v~: Basi Heberi, Mkeni, alikuwa amejitenga na Wakeni wengine, yaani, wazao wa Hobabu, mkwewe Mose, naye akapiga hema lake karibu na ule mti mkubwa wa mwaloni ulioko Saananimu, karibu na Kedeshi.

JDG 4:12 Removed trailing space in v~: Sisera alipoambiwa kuwa Baraka mwana wa Abinoamu alikuwa amepanda Mlima Tabori,

JDG 4:13 Removed trailing space in v~: Sisera akakusanya pamoja magari yake yote 600 ya chuma na watu wote waliokuwa pamoja naye, kuanzia Haroshethi-Hagoyimu mpaka Mto wa Kishoni.

JDG 4:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Debora akamwambia Baraka, “Nenda! Hii ndiyo siku ambayo \nd Bwana\nd* amemtia Sisera mikononi mwako. Je, \nd Bwana\nd* hakukutangulia mbele yako?” Hivyo Baraka akashuka kutoka Mlima Tabori, akifuatwa na watu 10,000.

JDG 4:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamfadhaisha Sisera na magari yake yote, pamoja na jeshi lake lote kwa upanga mbele ya Baraka, naye Sisera akaliacha gari lake na kukimbia kwa miguu.

JDG 4:16 Removed trailing space in v~: Lakini Baraka akafuata magari pamoja na jeshi mpaka Haroshethi-Hagoyimu. Jeshi lote la Sisera likaanguka kwa upanga, wala hakuna hata mtu mmoja aliyesalia.

JDG 4:17 Removed trailing space in v~: Sisera, hata hivyo, akakimbia kwa miguu mpaka kwenye hema la Yaeli, mkewe Heberi, Mkeni, kwa sababu palikuwa na uhusiano wa kirafiki kati ya Yabini mfalme wa Hazori na ukoo wa Heberi, Mkeni.

JDG 4:18 Removed trailing space in v~: Yaeli akaenda kumlaki Sisera na kumwambia, “Karibu, bwana wangu, karibu ingia ndani kabisa. Usiogope.” Basi Sisera akaingia ndani ya hema ya Yaeli, naye akamfunika kwa blanketi nene.

JDG 4:19 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Nina kiu, tafadhali nipe maji ya kunywa.” Ndipo akafungua kiriba cha maziwa na kumpa akanywa, kisha akamfunika.

JDG 4:20 Removed trailing space in v~: Naye Sisera akamwambia, “Simama mlangoni pa hema na mtu yeyote akija na kukuuliza, ‘Je, kuna mtu yeyote hapa?’ sema, ‘Hapana.’ ”

JDG 4:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Yaeli, mkewe Heberi, akatwaa kigingi cha hema, akachukua nyundo mkononi mwake, akamwendea polepole, akiwa amelala usingizi, akiwa amechoka. Akakigongomea kile kigingi kwenye paji la uso wake, kikapenya hata kuingia ardhini, naye akafa.

JDG 4:22 Removed trailing space in v~: Baraka akakaribia akimfuatia Sisera, Yaeli akatoka kumlaki. Akamwambia, “Njoo, nitakuonyesha mtu unayemtafuta.” Hivyo wakaingia ndani ya hema wakiwa wamefuatana na tazama Sisera alikuwa amelala humo, akiwa amekufa, na hicho kigingi cha hema kikiwa kimegongomewa kupitia paji la uso wake.

JDG 4:23 Removed trailing space in v~: Basi siku ile Mungu akamshinda Yabini, mfalme wa Kanaani, mbele ya Israeli.

JDG 4:24 Removed trailing space in v~: Nao mkono wa Waisraeli ukaendelea kuwa na nguvu zaidi na zaidi dhidi ya Yabini, mfalme wa Kanaani, mpaka wakamwangamiza.

JDG 5:0 Extra space after chapter number

JDG 5:0 Removed trailing space in c: 5

JDG 5:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Debora

JDG 5:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:

JDG 5:2 Removed trailing space in v~: “Wakuu katika Israeli wanapoongoza,

JDG 5:2 Removed trailing space in p~: wakati watu wanapojitoa

JDG 5:2 Removed trailing space in p~: kwa hiari yao wenyewe:

JDG 5:2 Removed trailing space in p~: mhimidini \nd Bwana\nd*!

JDG 5:3 Removed trailing space in v~: “Sikieni hili, enyi wafalme!

JDG 5:3 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, enyi watawala!

JDG 5:3 Removed trailing space in p~: Nitamwimbia \nd Bwana\nd*, nitaimba;

JDG 5:3 Removed trailing space in p~: kwa wimbo nitamhimidi \nd Bwana\nd*,

JDG 5:3 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli.

JDG 5:4 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, ulipotoka katika Seiri,

JDG 5:4 Removed trailing space in p~: ulipopita katika mashamba ya Edomu,

JDG 5:4 Removed trailing space in p~: nchi ilitetemeka, mbingu nazo zikamwaga,

JDG 5:4 Removed trailing space in p~: naam, mawingu yakamwaga maji.

JDG 5:5 Removed trailing space in v~: Milima ilitetemeka mbele za \nd Bwana\nd*,

JDG 5:5 Removed trailing space in p~: hata ule wa Sinai,

JDG 5:5 Removed trailing space in p~: mbele za \nd Bwana\nd*,

JDG 5:5 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli.

JDG 5:6 Removed trailing space in v~: “Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi,

JDG 5:6 Removed trailing space in p~: katika siku za Yaeli,

JDG 5:6 Removed trailing space in p~: barabara kuu hazikuwa na watu;

JDG 5:6 Removed trailing space in p~: wasafiri walipita njia za kando.

JDG 5:7 Removed trailing space in v~: Mashujaa walikoma katika Israeli,

JDG 5:7 Removed trailing space in p~: walikoma mpaka mimi, Debora, nilipoinuka,

JDG 5:7 Removed trailing space in p~: nilipoinuka kama mama katika Israeli.

JDG 5:8 Removed trailing space in v~: Walipochagua miungu migeni,

JDG 5:8 Removed trailing space in p~: vita vilikuja katika malango ya mji,

JDG 5:8 Removed trailing space in p~: hapakuonekana ngao wala mkuki

JDG 5:8 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mashujaa 40,000 katika Israeli.

JDG 5:9 Removed trailing space in v~: Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli,

JDG 5:9 Removed trailing space in p~: pamoja na wale wanaojitoa wenyewe

JDG 5:9 Removed trailing space in p~: kwa hiari yao miongoni mwa watu.

JDG 5:9 Removed trailing space in p~: Mhimidini \nd Bwana\nd*!

JDG 5:10 Removed trailing space in v~: “Nanyi mpandao punda weupe,

JDG 5:10 Removed trailing space in p~: mkiketi juu ya matandiko ya thamani,

JDG 5:10 Removed trailing space in p~: nanyi mtembeao barabarani,

JDG 5:10 Removed trailing space in p~: fikirini

JDG 5:11 Removed trailing space in v~: juu ya sauti za waimbaji

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: mahali pa kunyweshea maji.

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: Wanasimulia matendo ya haki ya \nd Bwana\nd*,

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: matendo ya haki ya mashujaa wake

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: katika Israeli.

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: “Ndipo watu wa \nd Bwana\nd*

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: walipoteremka malangoni pa mji.

JDG 5:12 Removed trailing space in v~: ‘Amka, amka! Debora!

JDG 5:12 Removed trailing space in p~: Amka, amka, uimbe!

JDG 5:12 Removed trailing space in p~: Ee Baraka! Inuka,

JDG 5:12 Removed trailing space in p~: chukua mateka wako uliowateka,

JDG 5:12 Removed trailing space in p~: ee mwana wa Abinoamu.’

JDG 5:13 Removed trailing space in v~: “Ndipo mabaki ya watu

JDG 5:13 Removed trailing space in p~: wakashuka dhidi ya wenye nguvu,

JDG 5:13 Removed trailing space in p~: watu wa \nd Bwana\nd*,

JDG 5:13 Removed trailing space in p~: wakashuka dhidi ya mashujaa wenye nguvu.

JDG 5:14 Removed trailing space in v~: Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki;

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: Benyamini akiwa miongoni

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: mwa watu waliokufuata.

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: Kutoka Makiri wakashuka viongozi,

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: na kutoka Zabuloni wale washikao

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: fimbo ya jemadari.

JDG 5:15 Removed trailing space in v~: Wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora;

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: naam, Isakari alikuwa pamoja na Baraka,

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: wakija nyuma yake kwa mbio

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: wakielekea bondeni.

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: Katika jamaa za Reubeni,

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.

JDG 5:16 Removed trailing space in v~: Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo

JDG 5:16 Removed trailing space in p~: kusikiliza sauti ya filimbi zinazoita makundi?

JDG 5:16 Removed trailing space in p~: Kwa jamaa za Reubeni,

JDG 5:16 Removed trailing space in p~: palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.

JDG 5:17 Removed trailing space in v~: Gileadi alikaa ngʼambo ya Yordani.

JDG 5:17 Removed trailing space in p~: Naye Dani, kwa nini alikaa

JDG 5:17 Removed trailing space in p~: kwenye merikebu siku nyingi?

JDG 5:17 Removed trailing space in p~: Asheri alikaa kwa utulivu ufuoni mwa bahari,

JDG 5:17 Removed trailing space in p~: akikaa kwenye ghuba zake ndogo.

JDG 5:18 Removed trailing space in v~: Watu wa Zabuloni walihatarisha maisha yao,

JDG 5:18 Removed trailing space in p~: vilevile nao watu wa Naftali.

JDG 5:19 Removed trailing space in v~: “Wafalme walikuja na kufanya vita;

JDG 5:19 Removed trailing space in p~: wafalme wa Kanaani walipigana

JDG 5:19 Removed trailing space in p~: huko Taanaki karibu na maji ya Megido,

JDG 5:19 Removed trailing space in p~: lakini hawakuchukua fedha wala nyara.

JDG 5:20 Removed trailing space in v~: Kutoka mbinguni nyota zilipigana,

JDG 5:20 Removed trailing space in p~: nyota kutoka njia zake

JDG 5:20 Removed trailing space in p~: zilipigana na Sisera.

JDG 5:21 Removed trailing space in v~: Mto wa Kishoni uliwasomba,

JDG 5:21 Removed trailing space in p~: ule mto wa zamani, mto wa Kishoni.

JDG 5:21 Removed trailing space in p~: Songa mbele, ee nafsi yangu,

JDG 5:21 Removed trailing space in p~: kwa ujasiri!

JDG 5:22 Removed trailing space in v~: Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo:

JDG 5:22 Removed trailing space in p~: farasi wake wenye nguvu

JDG 5:22 Removed trailing space in p~: huenda mbio kwa kurukaruka.

JDG 5:23 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akasema, ‘Merozi alaaniwe.

JDG 5:23 Removed trailing space in p~: Walaaniwe watu wake kwa uchungu,

JDG 5:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hawakuja kumsaidia \nd Bwana\nd*,

JDG 5:23 Removed trailing space in p~: kumsaidia \nd Bwana\nd* dhidi ya hao wenye nguvu.’

JDG 5:24 Removed trailing space in v~: “Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote,

JDG 5:24 Removed trailing space in p~: mkewe Heberi, Mkeni,

JDG 5:24 Removed trailing space in p~: abarikiwe kuliko wanawake wote

JDG 5:24 Removed trailing space in p~: waishio kwenye mahema.

JDG 5:25 Removed trailing space in v~: Aliomba maji, naye akampa maziwa;

JDG 5:25 Removed trailing space in p~: kwenye bakuli la heshima

JDG 5:25 Removed trailing space in p~: akamletea maziwa mgando.

JDG 5:26 Removed trailing space in v~: Akanyoosha mkono wake

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: akashika kigingi cha hema,

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: mkono wake wa kuume

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: ukashika nyundo ya fundi.

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: Akampiga Sisera kwa nyundo,

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: akamponda kichwa chake,

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: akamvunjavunja na kumtoboa

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: paji lake la uso.

JDG 5:27 Removed trailing space in v~: Aliinama miguuni pa Yaeli,

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: akaanguka; akalala hapo.

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: Pale alipoinama miguuni pake,

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: alianguka;

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: pale alipoinamia, ndipo alipoanguka,

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: akiwa amekufa.

JDG 5:28 Removed trailing space in v~: “Kupitia dirishani mamaye Sisera alichungulia;

JDG 5:28 Removed trailing space in p~: nyuma ya dirisha alilia, akasema,

JDG 5:28 Removed trailing space in p~: ‘Mbona gari lake linachelewa kufika?

JDG 5:28 Removed trailing space in p~: Mbona vishindo vya magari yake

JDG 5:28 Removed trailing space in p~: vimechelewa?’

JDG 5:29 Removed trailing space in v~: Wanawake wenye busara

JDG 5:29 Removed trailing space in p~: kuliko wengine wote wakamjibu;

JDG 5:29 Removed trailing space in p~: naam, husema moyoni mwake,

JDG 5:30 Removed trailing space in v~: ‘Je, hawapati na kugawanya nyara:

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: msichana mmoja au wawili kwa kila mtu,

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: mavazi ya rangi mbalimbali kwa Sisera kuwa nyara,

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: mavazi ya rangi mbalimbali yaliyotariziwa,

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: mavazi yaliyotariziwa vizuri kwa ajili ya shingo yangu:

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: yote haya yakiwa nyara?’

JDG 5:31 Removed trailing space in v~: “Adui zako wote na waangamie, Ee \nd Bwana\nd*!

JDG 5:31 Removed trailing space in p~: Bali wote wakupendao na wawe kama jua

JDG 5:31 Removed trailing space in p~: lichomozavyo kwa nguvu zake.”

JDG 5:31 Removed trailing space in p~: Hivyo nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.

JDG 6:0 Extra space after chapter number

JDG 6:0 Removed trailing space in c: 6

JDG 6:0 Removed trailing space in s1: Gideoni

JDG 6:1 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya tena yaliyo maovu mbele za \nd Bwana\nd*, naye kwa miaka saba \nd Bwana\nd* akawatia mikononi mwa Wamidiani.

JDG 6:2 Removed trailing space in v~: Mkono wa Midiani ukawa na nguvu dhidi ya Israeli na kwa ajili ya Wamidiani, Waisraeli wakajitengenezea mahali pa kujificha milimani, kwenye mapango na ngome.

JDG 6:3 Removed trailing space in v~: Kila wakati Waisraeli walipopanda mazao mashambani, Wamidiani, Waamaleki na mataifa mengine ya mashariki walivamia nchi yao.

JDG 6:4 Removed trailing space in v~: Wakapiga kambi katika mashamba yao na kuharibu mazao ya nchi yote hadi kufikia Gaza, wala hawakuacha kiumbe chochote kilicho hai kwa Waisraeli, iwe kondoo au ngʼombe au punda.

JDG 6:5 Removed trailing space in v~: Walipanda na mifugo yao na mahema yao, mfano wa makundi ya nzige. Ilikuwa haiwezekani kuwahesabu watu na ngamia zao; wakavamia nchi ili kuiharibu.

JDG 6:6 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanywa kuwa maskini sana na Wamidiani, hata Israeli wakamlilia \nd Bwana\nd* kuomba msaada.

JDG 6:7 Removed trailing space in v~: Waisraeli walipomlilia \nd Bwana\nd* kwa sababu ya Wamidiani,

JDG 6:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawapelekea nabii, ambaye aliwaambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo: Niliwapandisha mtoke Misri, toka nchi ya utumwa.

JDG 6:9 Removed trailing space in v~: Nikawanyakua kutoka mikononi mwa Wamisri na kutoka mikononi mwa watesi wenu wote. Nikawafukuza watoke mbele yenu nami nikawapa ninyi nchi yao.

JDG 6:10 Removed trailing space in v~: Nikawaambia, ‘Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu; msiiabudu miungu ya Waamori, ambayo mnakaa katika nchi yao!’ Lakini ninyi hamkuitii sauti yangu.”

JDG 6:11 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akaja akaketi chini ya mti wa mwaloni huko Ofra, ambao ulikuwa mali ya Yoashi, Mwabiezeri, ambako Gideoni mwanawe alikuwa akipepeta ngano penye shinikizo la kukamulia zabibu, ili kuificha Wamidiani wasiione.

JDG 6:12 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* alipomtokea Gideoni, akamwambia, “\nd Bwana\nd* yu pamoja nawe, Ewe shujaa mwenye nguvu.”

JDG 6:13 Removed trailing space in v~: Gideoni akajibu, “Ee Bwana wangu, kama \nd Bwana\nd* yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametutokea? Yako wapi basi yale matendo yake makuu baba zetu waliyotusimulia juu yake waliposema, ‘Je, \nd Bwana\nd* hakutupandisha kutoka Misri?’ Lakini sasa \nd Bwana\nd* ametuacha na kututia katika mkono wa Midiani.”

JDG 6:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamgeukia na kusema “Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli kutoka mikononi mwa Wamidiani. Je, si mimi ninayekutuma wewe?”

JDG 6:15 Removed trailing space in v~: Gideoni akauliza, “Ee Bwana wangu, nitawezaje kuwaokoa Israeli? Ukoo wangu ndio dhaifu kuliko zote katika Manase, nami ndiye mdogo wa wote katika jamaa yangu.”

JDG 6:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu, “Nitakuwa pamoja nawe, nawe utawapiga Wamidiani kana kwamba walikuwa ni mtu mmoja.”

JDG 6:17 Removed trailing space in v~: Gideoni akajibu, “Kama basi nimepata kibali machoni pako, nipe ishara kuonyesha kweli kwamba ni wewe unayesema nami.

JDG 6:18 Removed trailing space in v~: Tafadhali ninakuomba usiondoke hapa mpaka nitakaporudi na kukuletea sadaka yangu na kuiweka mbele yako.”

JDG 6:18 Removed trailing space in p~: Naye \nd Bwana\nd* akamwambia, “Nitangoja mpaka utakaporudi.”

JDG 6:19 Removed trailing space in v~: Gideoni akaingia ndani ya nyumba yake na kuandaa mwana-mbuzi pamoja na kuoka mikate isiyotiwa chachu kutokana na efa moja\f + \fr 6:19 \ft Efa moja ni sawa na lita 22.\f* ya unga. Akaweka nyama kwenye kikapu na mchuzi kwenye chungu, akamletea huyo malaika hapo nje chini ya mti wa mwaloni na kumpa.

JDG 6:20 Removed trailing space in v~: Malaika wa Mungu akamwambia, “Itwae nyama na mikate isiyotiwa chachu, uviweke juu ya mwamba huu na umimine huo mchuzi juu yake.” Gideoni akafanya hivyo.

JDG 6:21 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akainyoosha fimbo iliyokuwa mkononi mwake, ncha yake ikagusa ile nyama na ile mikate isiyotiwa chachu, nao moto ukatoka kwenye mwamba ukateketeza ile nyama na ile mikate. Malaika wa \nd Bwana\nd* akatoweka kutoka machoni pake.

JDG 6:22 Removed trailing space in v~: Gideoni alipotambua kuwa ni malaika wa \nd Bwana\nd*, akapiga kelele kwa mshangao, akasema, “Ole wangu, \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Kwa kuwa nimemwona malaika wa \nd Bwana\nd* uso kwa uso!”

JDG 6:23 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia, “Amani iwe kwako! Usiogope. Hutakufa.”

JDG 6:24 Removed trailing space in v~: Hivyo Gideoni akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu mahali pale na kupaita, Yehova-Shalom.\f + \fr 6:24 \ft Yehova-Shalom maana yake Bwana ni Amani.\f* Mpaka leo ingalipo imesimama huko Ofra ya Waabiezeri.

JDG 6:25 Removed trailing space in v~: Usiku ule ule \nd Bwana\nd* akamwambia, “Mchukue ngʼombe dume wa baba yako, yaani, yule wa pili mwenye miaka saba, na ubomoe madhabahu ya Baali aliyo nayo baba yako, na ukaikate Ashera iliyo karibu nayo.

JDG 6:26 Removed trailing space in v~: Kisha mjengee \nd Bwana\nd* Mungu wako, madhabahu halisi, kwa taratibu zake, juu ya huu mwamba. Kwa kutumia kuni za hiyo nguzo ya Ashera uliyoikatakata, mtoe sadaka huyo dume wa pili kuwa sadaka ya kuteketezwa.”

JDG 6:27 Removed trailing space in v~: Basi Gideoni akawachukua watumishi wake kumi na kufanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwambia. Lakini kwa kuwa aliwaogopa jamaa yake na watu wa mji, akafanya haya usiku badala ya mchana.

JDG 6:28 Removed trailing space in v~: Watu wa mji walipoamka asubuhi, tazama madhabahu ya Baali imebomolewa na nguzo ya Ashera iliyokuwa karibu nayo imekatwakatwa na yule ngʼombe wa pili ametolewa sadaka juu ya madhabahu yaliyojengwa upya!

JDG 6:29 Removed trailing space in v~: Wakaulizana, “Ni nani aliyetenda mambo haya?”

JDG 6:29 Removed trailing space in p~: Walipochunguza kwa makini, wakaambiwa, “Ni Gideoni mwana wa Yoashi, ndiye alitenda hivi.”

JDG 6:30 Removed trailing space in v~: Watu wa mji wakamwambia Yoashi, “Mlete mwanao hapa. Ni lazima afe, kwa sababu amebomoa madhabahu ya Baali na kukatakata nguzo ya Ashera iliyokuwa karibu nayo.”

JDG 6:31 Removed trailing space in v~: Lakini Yoashi akauambia ule umati uliokuwa umezunguka ukiwa kinyume naye, “Je, ninyi mtamtetea Baali? Mnajaribu kumwokoa? Yeyote mwenye kumpigania atauawa kufikia kesho asubuhi! Kama Baali ni mungu kweli, anaweza kujitetea mwenyewe wakati mtu anapobomoa madhabahu yake.”

JDG 6:32 Removed trailing space in v~: Basi siku ile wakamwita Gideoni “Yerub-Baali,” yaani, “Baali na ashindane naye,” kwa sababu alibomoa madhabahu yake.

JDG 6:33 Removed trailing space in v~: Basi Wamidiani wote, Waamaleki na mataifa mengine ya mashariki wakaunganisha majeshi yao, wakavuka ngʼambo ya Yordani na kupiga kambi katika Bonde la Yezreeli.

JDG 6:34 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho wa \nd Bwana\nd* akamjia Gideoni, akapiga tarumbeta, akiwaita Waabiezeri ili wamfuate.

JDG 6:35 Removed trailing space in v~: Akatuma wajumbe waende katika Manase yote, akiwataka wachukue silaha na pia katika Asheri, Zabuloni na Naftali, nao wakakwea ili kukutana nao.

JDG 6:36 Removed trailing space in v~: Gideoni akamwambia Mungu, “Kama utawaokoa Waisraeli kwa mkono wangu, kama ulivyoahidi:

JDG 6:37 Removed trailing space in v~: tazama, nitaweka ngozi ya kondoo kwenye kiwanja cha kupuria nafaka, na kama utakuwepo umande juu ya ngozi tu, nayo ardhi yote ikiwa kavu, ndipo nitakapojua kuwa utaokoa Israeli kwa mkono wangu, kama ulivyosema.”

JDG 6:38 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo ilivyotokea. Gideoni akaamka asubuhi na mapema kesho yake, akaikamua ile ngozi, umande ukatoka, maji ya kujaa bakuli.

JDG 6:39 Removed trailing space in v~: Kisha Gideoni akamwambia \nd Bwana\nd*, “Usinikasirikie. Ninaomba nifanye ombi moja lingine. Niruhusu nifanye jaribio jingine moja kwa ngozi hii. Wakati huu uifanye ngozi hii kavu na ardhi yote ifunikwe na umande.”

JDG 6:40 Removed trailing space in v~: Usiku ule Mungu akafanya hivyo. Ngozi ile ilikuwa kavu, nayo ardhi yote ikafunikwa na umande.

JDG 7:0 Extra space after chapter number

JDG 7:0 Removed trailing space in c: 7

JDG 7:0 Removed trailing space in s1: Gideoni Awashinda Wamidiani

JDG 7:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Yerub-Baali (yaani Gideoni) na lile jeshi lililokuwa pamoja naye, wakaondoka asubuhi na mapema na kupiga kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Wamidiani ilikuwa kaskazini yao katika bonde karibu na kilima cha More.

JDG 7:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Jeshi lililo pamoja nawe ni kubwa sana kwa mimi kuwatia Wamidiani mikononi mwao. Ili kwamba Israeli asije akajisifu juu yangu akisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa,

JDG 7:3 Removed trailing space in v~: kwa hiyo sasa tangaza jeshi lote likiwa linasikia, kwamba: Yeyote anayeogopa na kutetemeka, yeye na arudi nyumbani, aondoke katika Mlima Gileadi.’ ” Hivyo watu 22,000 walirudi, wakabaki 10,000.

JDG 7:4 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Idadi ya jeshi bado ni kubwa. Wapeleke chini katika maji nami nitawajaribu huko kwa ajili yako. Kama nikikuambia, ‘Huyu atakwenda pamoja nawe,’ yeye atakwenda; lakini kama nikisema, ‘Huyu hatakwenda pamoja nawe,’ yeye hatakwenda.”

JDG 7:5 Removed trailing space in v~: Hivyo Gideoni akalileta lile jeshi chini kwenye maji naye \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Watenge upande mmoja wale wote wanywao maji kwa ulimi, kama vile mbwa anywavyo, wale wote wapigao magoti ili kunywa wakipeleka mikono yao vinywani mwao, waweke upande mwingine.”

JDG 7:6 Removed trailing space in v~: Idadi ya wale waliokunywa kwa kuramba ramba walikuwa 300, lakini wengine wote katika jeshi walipiga magoti ili kunywa.

JDG 7:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Kwa hao watu 300 walioramba maji nitawaokoa ninyi, nami nitawatia Wamidiani mkononi mwako. Waache hao watu wengine wote warudi kila mmoja nyumbani mwake.”

JDG 7:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Gideoni akawaacha wale Waisraeli wengine kila mmoja aende kwenye hema yake. Akabakia na wale 300, ambao walichukua vyakula na tarumbeta za wale wenzao.

JDG 7:8 Removed trailing space in p~: Basi kambi ya Wamidiani ilikuwa chini yake bondeni.

JDG 7:9 Removed trailing space in v~: Usiku ule ule \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Ondoka, ushuke kambini, kwa kuwa nimeitia mkononi mwako.

JDG 7:10 Removed trailing space in v~: Lakini kama unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja na mtumishi wako Pura,

JDG 7:11 Removed trailing space in v~: nawe sikiliza wanayosema. Hatimaye, utatiwa moyo kushambulia kambi.” Basi yeye na Pura mtumishi wake wakashuka na kufikia walinzi wa mbele wenye silaha waliokuwa mle kambini.

JDG 7:12 Removed trailing space in v~: Wamidiani, Waamaleki na mataifa mengine yote ya mashariki walikaa bondeni, nao walikuwa mfano wa nzige kwa wingi wao. Ngamia zao hazikuhesabika, wingi wao ulikuwa kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.

JDG 7:13 Removed trailing space in v~: Gideoni alifika wakati huo huo kukiwa na mtu mmoja aliyekuwa anamweleza mwenzake ndoto yake, akisema, “Niliota ndoto: Tazama mkate wa shayiri ulioviringana ulianguka katika kambi moja ya Wamidiani, ukaipiga na ikaanguka nao ukaipindua juu chini na hema ikaporomoka chini.”

JDG 7:14 Removed trailing space in v~: Rafiki yake akamjibu, “Habari hii si kitu kingine zaidi ya upanga wa Gideoni mwana wa Yoashi, Mwisraeli. Mungu amewatia Wamidiani na jeshi lote mkononi mwake.”

JDG 7:15 Removed trailing space in v~: Gideoni alipoisikia hiyo ndoto na tafsiri yake, akamwabudu Mungu. Akarudi kwenye kambi ya Israeli na kusema, “Inukeni! \nd Bwana\nd* amelitia jeshi la Wamidiani mikononi mwenu.”

JDG 7:16 Removed trailing space in v~: Akawagawa wale watu 300 katika makundi matatu, akawakabidhi tarumbeta mikononi mwao wote na mitungi isiyokuwa na maji yenye mienge ndani yake.

JDG 7:17 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Nitazameni, fanyeni kama nitakavyofanya, nitakapofika mwisho wa kambi mfanye kama nitakavyofanya.

JDG 7:18 Removed trailing space in v~: Wakati mimi na wale walio pamoja nami wote, tutakapopiga tarumbeta zetu, ninyi nanyi pigeni tarumbeta pande zote za kambi na mpige kelele, mseme, ‘Upanga wa \nd Bwana\nd* na wa Gideoni.’ ”

JDG 7:19 Removed trailing space in v~: Gideoni na wale watu 100 waliokuwa pamoja naye wakafika mwisho wa kambi usiku mwanzoni mwa zamu ya kati, mara tu walipokuwa wamebadili zamu. Wakapiga zile tarumbeta zao na kuvunja ile mitungi iliyokuwa mikononi mwao.

JDG 7:20 Removed trailing space in v~: Yale makundi matatu yakapiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Wakashika mienge kwa mikono yao ya kushoto na katika mikono yao ya kuume tarumbeta ili kuzipiga, wakapaza sauti zao, “Upanga wa \nd Bwana\nd* na wa Gideoni!”

JDG 7:21 Removed trailing space in v~: Wakasimama kila mtu mahali pake kuizunguka kambi pande zote, Wamidiani wote wakakimbia, huku wakipiga kelele.

JDG 7:22 Removed trailing space in v~: Walipozipiga zile tarumbeta 300, \nd Bwana\nd* akafanya watu katika kambi yote kugeuziana upanga kila mmoja na mwenziwe. Jeshi likakimbia mpaka Beth-Shita kuelekea Serera\f + \fr 7:22 \ft Au: Seretha.\f* hadi mpakani mwa Abel-Mehola karibu na Tabathi.

JDG 7:23 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase, wakawafuatia Wamidiani.

JDG 7:24 Removed trailing space in v~: Gideoni akatuma wajumbe katika nchi yote ya vilima vya Efraimu akisema, “Teremkeni dhidi ya Wamidiani na mkazuie vivuko vya maji mbele yao hadi Beth-Bara na pia Yordani.”

JDG 7:24 Removed trailing space in p~: Hivyo watu wote wa Efraimu wakakutanika pamoja na kuzingira mto wa Yordani hadi Beth-Bara.

JDG 7:25 Removed trailing space in v~: Wakawakamata wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu. Wakamuulia Orebu pale penye mwamba wa Orebu, na Zeebu wakamuulia penye shinikizo la kukamulia divai la Zeebu. Wakawafuatia Wamidiani na kuleta vichwa vya Orebu na Zeebu kwa Gideoni, huko ngʼambo ya Yordani.

JDG 8:0 Extra space after chapter number

JDG 8:0 Removed trailing space in c: 8

JDG 8:0 Removed trailing space in s1: Ushindi Wa Gideoni Na Kulipiza Kisasi

JDG 8:1 Removed trailing space in v~: Basi Waefraimu wakamuuliza Gideoni, “Mbona mmetutenda hivi? Kwa nini hukutuita ulipokwenda kupigana na Wamidiani?” Wakawalaumu kwa ukali sana.

JDG 8:2 Removed trailing space in v~: Gideoni akawajibu, “Nilichofanya mimi ni nini kulinganisha na kile ninyi mlichofanya? Je, kuokoa masazo ya zabibu za Efraimu si bora kuliko mavuno kamili ya zabibu ya Abiezeri?

JDG 8:3 Removed trailing space in v~: Mungu amewatia Orebu na Zeebu, hao viongozi wa Wamidiani, mikononi mwenu. Je, mimi niliweza kufanya nini kulinganisha na mlichofanya ninyi?” Aliposema hili, hasira yao dhidi yake ikatulia.

JDG 8:4 Removed trailing space in v~: Gideoni akiwa pamoja na wale watu 300 waliofuatana naye, wakiwa wamechoka na wenye njaa lakini bado wakiwafuatia, wakafika Yordani na kuuvuka.

JDG 8:5 Removed trailing space in v~: Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali lipatieni jeshi langu mikate, kwa maana wamechoka, nami ningali ninawafuatia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.”

JDG 8:6 Removed trailing space in v~: Lakini maafisa wa Sukothi wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna tayari mnayo sasa ili tuweze kulipatia jeshi lako mikate?”

JDG 8:7 Removed trailing space in v~: Gideoni akajibu, “Kwa ajili ya hilo tu, \nd Bwana\nd* atakapowatia Zeba na Salmuna mkononi mwangu, nitaichana nyama ya miili yenu kwenye miiba ya nyikani na kwenye michongoma.”

JDG 8:8 Removed trailing space in v~: Kutoka hapo alikwea mpaka Penieli na kutoa ombi lile lile, lakini nao watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyokuwa wamemjibu.

JDG 8:9 Removed trailing space in v~: Hivyo akawaambia watu wa Penieli, “Nitakaporudi baada ya kushinda, nitaubomoa mnara huu.”

JDG 8:10 Removed trailing space in v~: Wakati huu Zeba na Salmuna walikuwa Karkori wakiwa na jeshi lenye watu wapatao 15,000 wale wote waliokuwa wamesalia wa mataifa ya mashariki, kwa kuwa watu wapatao 120,000 wenye panga walikuwa wameuawa.

JDG 8:11 Removed trailing space in v~: Basi Gideoni akakwea kwa njia ya wasafiri mashariki ya Noba na Yogbeha na kulishambulia jeshi ambalo halikushuku lolote.

JDG 8:12 Removed trailing space in v~: Zeba na Salmuna, hao wafalme wawili wa Midiani, wakakimbia lakini yeye Gideoni akawafuata na kuwakamata, akalishinda hilo jeshi lao lote.

JDG 8:13 Removed trailing space in v~: Gideoni mwana wa Yoashi akarudi kutoka vitani kwa kupitia Mwinuko wa Heresi.

JDG 8:14 Removed trailing space in v~: Akamkamata kijana mmoja wa Sukothi na kumuuliza maswali, naye yule kijana akamwandikia majina ya maafisa sabini wa Sukothi, ambao ni viongozi wa mji.

JDG 8:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Gideoni akaja na kuwaambia watu wa Sukothi, “Tazama, hapa wapo Zeba na Salmuna mlionisimanga kwa ajili yao mkisema, ‘Je, mikono ya Zeba na Salmuna tayari mnayo sasa ili tuweze kulipatia jeshi lako mikate?’ ”

JDG 8:16 Removed trailing space in v~: Akawachukua hao viongozi wa mji na kuwafundisha watu wa Sukothi somo kwa kuwaadhibu kwa miiba na michongoma ya nyikani.

JDG 8:17 Removed trailing space in v~: Pia akaubomoa mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji.

JDG 8:18 Removed trailing space in v~: Kisha akawauliza Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliowaua huko Tabori?”

JDG 8:18 Removed trailing space in p~: Wakajibu, “Ni watu kama wewe, kila mmoja wao akiwa na nafasi ya uana wa mfalme.”

JDG 8:19 Removed trailing space in v~: Gideoni akajibu, “Hao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu hasa. Hakika kama aishivyo \nd Bwana\nd*, kama mngekuwa mmewaacha hai, mimi nisingewaua ninyi.”

JDG 8:20 Removed trailing space in v~: Akamgeukia Yetheri, mwanawe mzaliwa wa kwanza, akasema, “Waue hawa!” Lakini Yetheri hakuufuta upanga wake, kwa sababu aliogopa, kwa kuwa alikuwa bado kijana mdogo tu.

JDG 8:21 Removed trailing space in v~: Zeba na Salmuna wakasema, “Njoo ufanye hivyo wewe mwenyewe. ‘Alivyo mtu, ndivyo zilivyo nguvu zake.’ ” Hivyo Gideoni akatoka mbele na kuwaua, naye akayaondoa mapambo kwenye shingo za ngamia zao.

JDG 8:21 Removed trailing space in s1: Kisibau Cha Gideoni

JDG 8:22 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, wanao na wana wa wana wako, kwa kuwa umetuokoa kutoka mikononi mwa Wamidiani.”

JDG 8:23 Removed trailing space in v~: Lakini Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala wanangu hawatatawala juu yenu. \nd Bwana\nd* ndiye atakayetawala juu yenu ninyi.”

JDG 8:24 Removed trailing space in v~: Naye akasema, “Ninalo ombi moja, kwamba kila mmoja wenu anipatie kipuli kutoka kwenye fungu lake la nyara.” (Ilikuwa desturi ya Waishmaeli kuvaa vipuli vya dhahabu.)

JDG 8:25 Removed trailing space in v~: Wakajibu, “Tutafurahi kuvitoa.” Hivyo wakatanda vazi chini na kila mwanaume akatupia juu yake pete kutoka kwenye fungu lake la nyara.

JDG 8:26 Removed trailing space in v~: Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilifikia shekeli 1,700,\f + \fr 8:26 \ft Shekeli 1,700 ni sawa na kilo 19.5.\f* bila kuhesabu mapambo mengine, pete za masikio na mavazi ya zambarau yaliyovaliwa na wafalme wa Midiani, au mikufu iliyokuwa kwenye shingo za ngamia zao.

JDG 8:27 Removed trailing space in v~: Gideoni akatengeneza kisibau kwa kutumia ile dhahabu, ambacho alikiweka katika mji wake, yaani, Ofra. Waisraeli wote wakafanya uasherati kwa kukiabudu huko, nacho kikawa mtego kwa Gideoni na jamaa yake.

JDG 8:28 Removed trailing space in v~: Hivyo Midiani ikashindwa mbele ya Israeli nayo haikuinua kichwa chake tena. Wakati wa siku za uhai wa Gideoni, nchi ikafurahia amani miaka arobaini.

JDG 8:28 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Gideoni

JDG 8:29 Removed trailing space in v~: Yerub-Baali mwana wa Yoashi akarudi kwenda kuishi katika nyumba yake.

JDG 8:30 Removed trailing space in v~: Alikuwa na wana sabini wa kwake mwenyewe, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.

JDG 8:31 Removed trailing space in v~: Suria wake, aliyekuwa anaishi huko Shekemu, pia alimzalia mwana, ambaye alimwita Abimeleki.

JDG 8:32 Removed trailing space in v~: Gideoni mwana wa Yoashi akafa akiwa na umri mzuri wa uzee, na akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake huko Ofra ya Waabiezeri.

JDG 8:33 Removed trailing space in v~: Mara tu alipofariki Gideoni, Waisraeli wakarudia hali ya uovu na kufanya uasherati kwa kuabudu Mabaali. Wakamsimamisha Baal-Berithi kuwa mungu wao na

JDG 8:34 Removed trailing space in v~: wala hawakumkumbuka \nd Bwana\nd* Mungu wao, aliyewaokoa kutoka mikononi mwa adui zao wote kutoka kila upande.

JDG 8:35 Removed trailing space in v~: Pia wakashindwa kuitendea mema jamaa ya Yerub-Baali (yaani Gideoni) kwa ajili ya mambo yote mema aliyokuwa amefanya kwa ajili yao.

JDG 10:0 Extra space after chapter number

JDG 10:0 Removed trailing space in c: 10

JDG 10:0 Removed trailing space in s1: Tola

JDG 10:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Abimeleki, Tola mwana wa Pua mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, aliyeishi huko Shamiri, katika nchi ya vilima ya Efraimu, akainuka kuokoa Israeli.

JDG 10:2 Removed trailing space in v~: Akaamua Israeli kwa miaka ishirini na mitatu. Ndipo akafa, naye akazikwa huko Shamiri.

JDG 10:2 Removed trailing space in s1: Yairi

JDG 10:3 Removed trailing space in v~: Baada yake akafuatiwa na Yairi, Mgileadi, ambaye aliamua Israeli kwa miaka ishirini na miwili.

JDG 10:4 Removed trailing space in v~: Alikuwa na wana thelathini waliopanda punda thelathini. Nao walikuwa na miji thelathini iliyoko Gileadi, inayoitwa Hawoth-Yairi mpaka leo.

JDG 10:5 Removed trailing space in v~: Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.

JDG 10:5 Removed trailing space in s1: Yefta

JDG 10:6 Removed trailing space in v~: Wana wa Israeli wakatenda tena maovu machoni pa \nd Bwana\nd*. Wakaabudu Mabaali na Maashtorethi, miungu ya Aramu, miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu, miungu ya Waamoni na miungu ya Wafilisti. Kwa kuwa Waisraeli walimwacha \nd Bwana\nd* wala hawakuendelea kumtumikia,

JDG 10:7 Removed trailing space in v~: hivyo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa Wafilisti na Waamoni,

JDG 10:8 Removed trailing space in v~: ambao waliwaonea na kuwatesa mwaka ule. Kwa miaka kumi na minane wakawatesa Waisraeli wote upande wa mashariki ya Mto Yordani katika Gileadi, nchi ya Waamori.

JDG 10:9 Removed trailing space in v~: Waamoni nao wakavuka Yordani ili kupigana na Yuda, Benyamini na nyumba ya Efraimu, nayo nyumba ya Israeli ikawa katika taabu kubwa.

JDG 10:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli wakamlilia \nd Bwana\nd* wakasema, “Tumetenda dhambi dhidi yako, kumwacha Mungu wetu na kutumikia Mabaali.”

JDG 10:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia, “Wakati Wamisri, Waamori, Waamoni, Wafilisti,

JDG 10:12 Removed trailing space in v~: Wasidoni, Waamaleki na Wamaoni walipowaonea na ninyi mkanililia na kuomba msaada, je, sikuwaokoa kutoka mikononi mwao?

JDG 10:13 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi mmeniacha mimi na kutumikia miungu mingine, kwa hiyo sitawaokoa tena.

JDG 10:14 Removed trailing space in v~: Nendeni mkaililie ile miungu mlioichagua. Hiyo miungu na iwaokoe mnapokuwa katika taabu!”

JDG 10:15 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli wakamwambia \nd Bwana\nd*, “Tumetenda dhambi. Ututendee lile unaloona kuwa jema kwako, lakini twakusihi utuokoe sasa.”

JDG 10:16 Removed trailing space in v~: Nao wakaiondoa hiyo miungu migeni katikati yao nao wakamtumikia \nd Bwana\nd*. Naye akahuzunika kwa sababu ya taabu ya Israeli.

JDG 10:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Waamoni wakaitwa vitani na kupiga kambi huko Gileadi, Waisraeli wakakusanyika na kupiga kambi huko Mispa.

JDG 10:18 Removed trailing space in v~: Viongozi wa watu wa Gileadi wakaambiana wao kwa wao, “Yeyote yule atakayeanzisha mashambulizi dhidi ya Waamoni atakuwa kiongozi wa wote wakaao Gileadi.”

JDG 12:0 Extra space after chapter number

JDG 12:0 Removed trailing space in c: 12

JDG 12:0 Removed trailing space in s1: Yefta Na Efraimu

JDG 12:1 Removed trailing space in v~: Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao, wakavuka kwenda Zafoni, wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda kupigana na Waamoni bila kutuita ili twende pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.”

JDG 12:2 Removed trailing space in v~: Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono wao.

JDG 12:3 Removed trailing space in v~: Nilipoona kuwa hamkunipa msaada nikauhatarisha uhai wangu na nikavuka kupigana na Waamoni. Naye \nd Bwana\nd* akanipatia ushindi dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili kupigana nami?”

JDG 12:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Efraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni watoro mliotoroka toka Efraimu na Manase.”

JDG 12:5 Removed trailing space in v~: Wagileadi wakaviteka vivuko vya Yordani dhidi ya hao Waefraimu, kisha ilikuwa yeyote yule aliyenusurika katika Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao watu wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Kama alijibu “Hapana,”

JDG 12:6 Removed trailing space in v~: walimwambia, “Sawa, sema ‘Shibolethi.’ ” Iwapo alitamka, “Sibolethi,” kwa sababu hakuweza kutamka hilo neno sawasawa, walimkamata na kumuua hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefraimu 42,000 waliuawa wakati huo.

JDG 12:7 Removed trailing space in v~: Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa, akazikwa katika mmojawapo wa miji ya Gileadi.

JDG 12:7 Removed trailing space in s1: Ibzani, Eloni Na Abdoni

JDG 12:8 Removed trailing space in v~: Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.

JDG 12:9 Removed trailing space in v~: Alikuwa na wana thelathini na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa watu wengine nje ya ukoo wake, na kuwatwalia wanawe wanawake thelathini toka nje ya ukoo wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka saba.

JDG 12:10 Removed trailing space in v~: Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu.

JDG 12:11 Removed trailing space in v~: Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi.

JDG 12:12 Removed trailing space in v~: Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni.

JDG 12:13 Removed trailing space in v~: Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.

JDG 12:14 Removed trailing space in v~: Naye akazaa wana arobaini na wana wa wanawe thelathini waliopanda punda sabini. Akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka minane.

JDG 12:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.

JDG 13:0 Extra space after chapter number

JDG 13:0 Removed trailing space in c: 13

JDG 13:0 Removed trailing space in s1: Kuzaliwa Kwa Samsoni

JDG 13:1 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya maovu tena mbele za \nd Bwana\nd*. Hivyo \nd Bwana\nd* akawatia mikononi mwa Wafilisti kwa muda wa miaka arobaini.

JDG 13:2 Removed trailing space in v~: Basi palikuwa na mtu mmoja wa Sora, aliyeitwa Manoa, wa kabila la Wadani, naye alikuwa na mke ambaye alikuwa tasa na hakuwa na mtoto.

JDG 13:3 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamtokea huyo mwanamke na kumwambia, “Wewe ni tasa na huna mtoto, lakini utachukua mimba na utamzaa mtoto mwanaume.

JDG 13:4 Removed trailing space in v~: Lakini ujihadhari sana usinywe mvinyo wala kileo kingine chochote, wala usile kitu chochote kilicho najisi,

JDG 13:5 Removed trailing space in v~: kwa kuwa utachukua mimba na utamzaa mtoto mwanaume. Wembe usipite kichwani pake, kwa kuwa huyo mwana atakuwa Mnadhiri wa Mungu, aliyewekwa wakfu kwa ajili ya Mungu tangu tumboni mwa mama yake, naye ataanza kuwaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wafilisti.”

JDG 13:6 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mwanamke akamwendea mumewe na kumweleza kuwa, “Mtu wa Mungu alinijia. Kule kuonekana kwake kulikuwa kama kwa malaika wa Mungu, wa kutisha sana. Sikumuuliza alikotoka wala hakuniambia jina lake.

JDG 13:7 Removed trailing space in v~: Lakini aliniambia, ‘Utachukua mimba na utazaa mtoto mwanaume. Basi sasa, usinywe mvinyo wala kileo kingine chochote wala usile kitu kilicho najisi, kwa kuwa huyo mtoto atakuwa Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yake mpaka kufa kwake.’ ”

JDG 13:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Manoa akamwomba \nd Bwana\nd*, akasema: “Ee Bwana, nakusihi, huyo mtu wa Mungu uliyemtuma kwetu aje tena ili atufundishe jinsi ya kumlea huyo mwana atakayezaliwa.”

JDG 13:9 Removed trailing space in v~: Mungu akamsikia Manoa, naye malaika wa Mungu akamjia tena huyo mwanamke alipokuwa shambani, lakini mumewe Manoa hakuwepo.

JDG 13:10 Removed trailing space in v~: Basi yule mwanamke akaenda haraka na kumwambia mumewe, “Tazama mtu yule aliyenitokea siku ile yupo hapa!”

JDG 13:11 Removed trailing space in v~: Manoa akainuka akaandamana na mkewe. Alipomfikia yule mtu akamuuliza, “Je, wewe ndiye yule uliyesema na mke wangu?”

JDG 13:11 Removed trailing space in p~: Akasema, “Mimi ndiye.”

JDG 13:12 Removed trailing space in v~: Basi Manoa akamuuliza, “Wakati maneno yako yatakapotimia, masharti ya maisha ya mtoto huyu yatakuwa nini na kazi yake itakuwa ni nini?”

JDG 13:13 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamjibu, “Mke wako hana budi kufanya yale yote niliyomwambia.

JDG 13:14 Removed trailing space in v~: Kamwe asile kitu chochote kitakachotoka katika mzabibu, wala asinywe mvinyo wa aina yoyote wala kileo chochote wala asile kitu chochote kilicho najisi. Hana budi kufanya kila kitu nilichomwagiza.”

JDG 13:15 Removed trailing space in v~: Manoa akamjibu yule malaika wa \nd Bwana\nd*, “Twakuomba usubiri kwanza ili tuweze kuandaa mwana-mbuzi kwa ajili yako.”

JDG 13:16 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamjibu, “Hata kama utanizuia, sitakula chochote kwako. Lakini ukitaka kuandaa sadaka ya kuteketezwa, mtolee \nd Bwana\nd* hiyo sadaka.” (Kwa kuwa Manoa hakujua kuwa alikuwa malaika wa \nd Bwana\nd*.)

JDG 13:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Manoa akamuuliza yule malaika wa \nd Bwana\nd*, “Jina lako ni nani, ili kwamba tuweze kukupa heshima hapo hayo uliyonena yatakapotimia?”

JDG 13:18 Removed trailing space in v~: Akamjibu, “Kwa nini unauliza Jina langu? Ni Jina la ajabu.”

JDG 13:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Manoa akamchukua mwana-mbuzi, pamoja na sadaka ya unga, naye akamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu hapo juu ya mwamba. Naye yule malaika wa \nd Bwana\nd* akafanya jambo la ajabu wakati Manoa na mkewe wakiwa wanaangalia:

JDG 13:20 Removed trailing space in v~: Mwali wa moto kutoka hapo madhabahuni ulipowaka kuelekea mbinguni, malaika wa \nd Bwana\nd* akapaa ndani ya huo mwali. Manoa na mkewe, kwa kuona jambo hili, wakaanguka chini kifudifudi.

JDG 13:21 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* hakumtokea tena Manoa na mkewe. Ndipo Manoa akatambua kuwa huyo alikuwa malaika wa \nd Bwana\nd*.

JDG 13:22 Removed trailing space in v~: Manoa akamwambia mkewe, “Hakika tutakufa, kwa kuwa tumemwona Mungu.”

JDG 13:23 Removed trailing space in v~: Lakini mkewe akamwambia, “Ikiwa \nd Bwana\nd* alikuwa amekusudia kutuua, asingelipokea sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya unga kutoka mikononi mwetu, wala asingelituonyesha mambo haya yote wala kututangazia mambo kama haya wakati huu.”

JDG 13:24 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akazaa mtoto wa kiume akamwita jina lake Samsoni. Kijana akakua, naye \nd Bwana\nd* akambariki.

JDG 13:25 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* akaanza kumsukuma wakati alipokuwa huko Mahane-Dani, kati ya Sora na Eshtaoli.

JDG 14:0 Extra space after chapter number

JDG 14:0 Removed trailing space in c: 14

JDG 14:0 Removed trailing space in s1: Ndoa Ya Samsoni

JDG 14:1 Removed trailing space in v~: Samsoni akateremkia Timna, akamwona mwanamke wa Kifilisti.

JDG 14:2 Removed trailing space in v~: Alipopanda kutoka huko, akawaambia baba yake na mama yake, “Nimemwona mwanamke wa Kifilisti huko Timna; basi mnipe ili awe mke wangu.”

JDG 14:3 Removed trailing space in v~: Baba yake na mama yake wakamjibu, “Je, hakuna mwanamke miongoni mwa jamaa yako au miongoni mwa ndugu zako, hata ulazimike kwenda kujitwalia mwanamke kutoka kwa hawa Wafilisti wasiotahiriwa?”

JDG 14:3 Removed trailing space in p~: Lakini Samsoni akamwambia baba yake, “Nipatieni huyo kwa maana ndiye alinipendeza.”

JDG 14:4 Removed trailing space in v~: (Baba yake na mama yake hawakujua kuwa jambo hili limetoka kwa \nd Bwana\nd*, kwani alikuwa akitafuta sababu ya kukabiliana na Wafilisti; kwa kuwa wakati huo walikuwa wakiwatawala Waisraeli.)

JDG 14:5 Removed trailing space in v~: Samsoni akateremkia Timna pamoja na baba yake na mama yake. Walipofika kwenye mashamba ya mizabibu huko Timna, ghafula mwana simba akamjia akimngurumia.

JDG 14:6 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu yake kwa nguvu, naye akampasua yule simba kwa mikono yake bila silaha yoyote kama vile mtu ampasuavyo mwana-mbuzi, wala hakumwambia baba yake wala mama yake aliyoyafanya.

JDG 14:7 Removed trailing space in v~: Basi akateremka na kuongea na yule mwanamke, naye akampendeza Samsoni.

JDG 14:8 Removed trailing space in v~: Baada ya muda aliporudi ili akamwoe, akatazama kando ili kuutazama mzoga wa yule simba, na tazama, kulikuwa na kundi la nyuki ndani ya ule mzoga wa simba na kulikuwa na asali;

JDG 14:9 Removed trailing space in v~: akachukua asali mkononi mwake akaendelea huku akila. Alipowafikia baba yake na mama yake, akawapa ile asali nao wakala. Lakini hakuwaambia kuwa alitwaa asali kutoka kwenye mzoga wa simba.

JDG 14:10 Removed trailing space in v~: Basi baba yake akateremka kumwona huyo mwanamke. Samsoni akafanya karamu huko, kama ilivyokuwa desturi ya vijana.

JDG 14:11 Removed trailing space in v~: Watu walipomwona, wakaleta vijana wenzake thelathini ili kuwa pamoja naye.

JDG 14:12 Removed trailing space in v~: Samsoni akawaambia, “Niwape kitendawili, mkiweza kunipa jibu katika muda wa siku hizi saba za karamu, nitawapa mavazi thelathini ya kitani na mavazi mengine mivao thelathini.

JDG 14:13 Removed trailing space in v~: Lakini msipoweza kufumbua, ndipo ninyi mtanipa mavazi thelathini ya kitani na mavazi mengine mivao thelathini.”

JDG 14:13 Removed trailing space in p~: Wakamwambia, “Tuambie hicho kitendawili, hebu na tukisikie.”

JDG 14:14 Removed trailing space in v~: Akawaambia,

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: “Ndani ya mlaji,

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: kulitoka kitu cha kuliwa,

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: ndani ya mwenye nguvu,

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: kulitoka kitu kitamu.”

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: Kwa muda wa siku tatu hawakuweza kutoa jibu.

JDG 14:15 Removed trailing space in v~: Siku ya saba, wakamwambia mkewe Samsoni, “Mbembeleze mumeo ili atueleze hicho kitendawili, la sivyo tutakuchoma moto wewe na wa nyumba ya baba yako. Je, mmetualika ili mpate kutunyangʼanya kile tulicho nacho?”

JDG 14:16 Removed trailing space in v~: Basi mke wa Samsoni akalia mbele yake na kumwambia, “Unanichukia! Hunipendi kabisa. Umewategea watu wangu kitendawili, lakini mimi hujaniambia jibu.”

JDG 14:16 Removed trailing space in p~: Samsoni akamwambia, “Wala sijamweleza baba yangu wala mama yangu, kwa nini nikufumbulie?”

JDG 14:17 Removed trailing space in v~: Mkewe akalia kwa muda wa zile siku zote saba za karamu. Hivyo siku ile ya saba Samsoni akamweleza, kwa kuwa aliendelea kumsisitiza sana. Naye akawaeleza watu wake kile kitendawili.

JDG 14:18 Removed trailing space in v~: Siku ya saba kabla ya jua kutua, watu wa mji wakamwambia Samsoni,

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: “Ni nini kitamu kama asali?

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: Ni nini chenye nguvu kama simba?”

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: Samsoni akawaambia,

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: “Kama hamkulima na mtamba wangu,

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: hamngeweza kufumbua

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: kitendawili changu.”

JDG 14:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho wa \nd Bwana\nd* akamjia Samsoni kwa nguvu. Akateremka mpaka Ashkeloni, akawaua watu waume thelathini miongoni mwa watu wa mji, akatwaa mali zao na nguo zao, akawapa watu wale waliofumbua kile kitendawili. Akiwa na hasira, akakwea kurudi nyumbani kwa baba yake.

JDG 14:20 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mke wa Samsoni akakabidhiwa kwa rafiki yake Samsoni ambaye alikuwa rafiki yake msaidizi siku ya arusi.

JDG 15:0 Extra space after chapter number

JDG 15:0 Removed trailing space in c: 15

JDG 15:0 Removed trailing space in s1: Kisasi Cha Samsoni Kwa Wafilisti

JDG 15:1 Removed trailing space in v~: Baada ya kitambo kidogo, wakati wa mavuno ya ngano, Samsoni akachukua mwana-mbuzi, kwenda kumzuru mkewe. Akasema, “Nataka kuingia chumbani kwa mke wangu.” Lakini baba yake huyo mwanamke hakumruhusu kuingia.

JDG 15:2 Removed trailing space in v~: Huyo baba mkwe wake akamwambia, “Nilikuwa na hakika kwamba ulimkataa, hivyo mimi nikampa rafiki yako. Je, mdogo wake wa kike si mzuri zaidi kuliko yeye? Mchukue huyo badala yake.”

JDG 15:3 Removed trailing space in v~: Samsoni akawaambia, “Wakati huu, nitakapowadhuru Wafilisti, sitakuwa na lawama.”

JDG 15:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Samsoni akatoka akawakamata mbweha 300 na kuwafunga wawili wawili kwa mikia yao kila mmoja kwa mwingine. Kisha akafungia mwenge wa moto, kwenye mikia ya kila jozi moja ya mbweha aliyokuwa ameifunga,

JDG 15:5 Removed trailing space in v~: akawasha ile mienge na kuwaachia wale mbweha katika mashamba ya Wafilisti ya nafaka zilizosimamishwa katika matita. Akateketeza matita ya nafaka zilizosimama, pamoja na mashamba ya mizabibu na viunga vya mizeituni.

JDG 15:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Wafilisti wakauliza, “Ni nani aliyetenda jambo hili?” Wakaambiwa, “Ni Samsoni, yule mkwewe Mtimna, kwa sababu alimchukua mkewe akampa mwenzake.”

JDG 15:6 Removed trailing space in p~: Hivyo Wafilisti wakapanda wakamteketeza kwa moto yeye huyo mwanamke pamoja na baba yake.

JDG 15:7 Removed trailing space in v~: Samsoni akawaambia, “Kwa kuwa mmetenda hivyo, hakika sitatulia mpaka niwe nimelipiza kisasi juu yenu.”

JDG 15:8 Removed trailing space in v~: Akawashambulia kwa ukali kwa mapigo makuu na kuwaua watu wengi sana. Kisha akateremka na kukaa katika ufa kwenye mwamba wa Etamu.

JDG 15:9 Removed trailing space in v~: Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko Yuda na kuenea huko Lehi.

JDG 15:10 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda wakawauliza, “Kwa nini mmekuja kupigana nasi?”

JDG 15:10 Removed trailing space in p~: Wakawajibu, “Tumekuja ili kumkamata Samsoni na kumtenda kama alivyotutendea.”

JDG 15:11 Removed trailing space in v~: Ndipo watu 3,000 toka Yuda walipoteremka na kwenda kwenye ufa wa mwamba huko Etamu, na kumwambia Samsoni, “Je, hujatambua kuwa Wafilisti wanatutawala? Ni nini hiki ulichotutendea?”

JDG 15:11 Removed trailing space in p~: Akawajibu, “Mimi nimewatendea tu kile walichonitendea.”

JDG 15:12 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Tumekuja kukufunga na kukutia mikononi mwa Wafilisti.”

JDG 15:12 Removed trailing space in p~: Samsoni akawaambia, “Niapieni kuwa hamtaniua ninyi wenyewe.”

JDG 15:13 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Sisi hatutakuua, bali tutakufunga tu na kukutia mikononi mwao.” Basi wakamfunga kwa kamba mbili mpya. Wakamchukua toka huko kwenye ufa katika mwamba.

JDG 15:14 Removed trailing space in v~: Alipokaribia Lehi, Wafilisti wakamjia wakipiga kelele. Roho wa \nd Bwana\nd* akamjia juu yake kwa nguvu. Kamba zilizomfunga mikono yake zikawa kama kitani iliyochomwa kwa moto, na vifungo vyake vikaanguka chini toka mikononi mwake.

JDG 15:15 Removed trailing space in v~: Ndipo akaona mfupa mpya wa taya la punda, akanyoosha mkono, akauchukua na kuua nao Wafilisti wapatao 1,000.

JDG 15:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Samsoni akasema,

JDG 15:16 Removed trailing space in p~: “Kwa taya la punda

JDG 15:16 Removed trailing space in p~: malundo juu ya malundo.

JDG 15:16 Removed trailing space in p~: Kwa taya la punda

JDG 15:16 Removed trailing space in p~: nimeua watu 1,000.”

JDG 15:17 Removed trailing space in v~: Alipomaliza kusema, akautupa ule mfupa wa taya; na mahali pale pakaitwa Ramath-Lehi.\f + \fr 15:17 \ft Ramath-Lehi maana yake Kilima cha Taya.\f*

JDG 15:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa alikuwa amesikia kiu sana, akamlilia \nd Bwana\nd* akisema, “Umempa mtumishi wako ushindi huu mkuu. Je, sasa nife kwa kiu na kuangukia mikononi mwa hawa watu wasiotahiriwa?”

JDG 15:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akafunua shimo huko Lehi, pakatoka maji. Samsoni alipoyanywa, nguvu zikamrudia na kuhuika. Hivyo chemchemi ile ikaitwa En-Hakore,\f + \fr 15:19 \ft En-Hakore maana yake ni Chemchemi ya Aliyeita.\f* nayo iko mpaka leo huko Lehi.

JDG 15:20 Removed trailing space in v~: Samsoni akawa mwamuzi wa Waisraeli katika siku za Wafilisti kwa muda wa miaka ishirini.

JDG 16:0 Extra space after chapter number

JDG 16:0 Removed trailing space in c: 16

JDG 16:0 Removed trailing space in s1: Samsoni Na Delila

JDG 16:1 Removed trailing space in v~: Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake.

JDG 16:2 Removed trailing space in v~: Watu wa Gaza wakaambiwa, “Samsoni amekuja huku!” Hivyo wakapazingira mahali pale nao wakamvizia usiku kucha, penye lango la mji. Wakanyamaza kimya usiku kucha, wakisema, “Tumvizie hadi mapambazuko, ndipo tutamuua.”

JDG 16:3 Removed trailing space in v~: Samsoni akalala mpaka usiku wa manane. Akaondoka katikati ya usiku, akashika milango ya lango la mji pamoja na miimo yake miwili, akaingʼoa, makomeo yake na vyote. Akaviweka mabegani mwake na kuvipeleka mpaka kwenye kilele cha mlima ule unaokabili Hebroni.

JDG 16:4 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika Bonde la Soreki aliyeitwa Delila.

JDG 16:5 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Wafilisti wakamwendea yule mwanamke na kumwambia, “Umbembeleze ili upate kujua siri za nguvu zake zilizo nyingi na jinsi tutakavyoweza kumshinda ili tuweze kumfunga na kumtiisha. Nasi kila mmoja wetu tutakupa shekeli 1,100 za fedha.”\f + \fr 16:5 \ft Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha.\f*

JDG 16:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Delila akamwambia Samsoni, “Naomba niambie siri ya hizi nguvu zako nyingi na jinsi utakavyoweza kufungwa ili kukutiisha.”

JDG 16:7 Removed trailing space in v~: Samsoni akamjibu, “Kama wakinifunga kwa kamba saba za upinde ambazo hazijakauka bado, hapo ndipo nitakapokuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.”

JDG 16:8 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Wafilisti wakamletea yule mwanamke kamba saba za upinde ambazo hazijakauka bado, akamfunga nazo Samsoni.

JDG 16:9 Removed trailing space in v~: Wakati watu wakiwa wanamvizia katika chumba cha ndani, yule mwanamke akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Lakini yeye akazikata zile kamba za upinde, kama vile uzi wa pamba unapoguswa na moto. Hivyo siri ya nguvu zake haikujulikana.

JDG 16:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. Tafadhali niambie waweza kufungwa kwa kitu gani?”

JDG 16:11 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Wakinifunga kwa uthabiti kwa kamba mpya ambazo hazijatumika, basi nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.”

JDG 16:12 Removed trailing space in v~: Hivyo Delila akachukua kamba mpya na kumfunga nazo. Kisha akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Wale watu waliokuwa wanamvizia walikuwa katika chumba cha ndani. Lakini akazikata zile kamba zilizokuwa zimefunga mikono yake kama akatavyo uzi.

JDG 16:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa, umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. Nieleze ni jinsi gani utakavyoweza kufungwa.”

JDG 16:13 Removed trailing space in p~: Samsoni akamwambia, “Kama ukivisuka hivi vishungi saba vya nywele za kichwa changu katika mtande wa nguo na kukaza kwa msumari, ndipo nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.” Hivyo Samsoni alipokuwa amelala, Delila akachukua vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake na kuvifunga kwenye mtande wa nguo,

JDG 16:14 Removed trailing space in v~: na kuvikaza kwa msumari.

JDG 16:14 Removed trailing space in p~: Kisha akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Lakini akaamka kutoka usingizini na kuungʼoa ule msumari na ule mtande.

JDG 16:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Delila akamwambia, “Wawezaje kusema, ‘Nakupenda,’ wakati moyo wako haupo pamoja nami? Umenifanyia mzaha mara hizi tatu na hujaniambia siri ya hizi nguvu zako nyingi.”

JDG 16:16 Removed trailing space in v~: Hatimaye, baada ya kuwa anamsumbua kwa maneno siku kwa siku na kumuudhi, roho yake ikataabika hata kufa.

JDG 16:17 Removed trailing space in v~: Hivyo akamwambia yule mwanamke siri yake yote, akamwambia, “Wembe haujapita kamwe kichwani mwangu, kwa kuwa mimi ni Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yangu. Kama nywele za kichwa changu zikinyolewa, nguvu zangu zitanitoka, na nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote!”

JDG 16:18 Removed trailing space in v~: Delila alipoona kuwa amemweleza siri yake yote, akatuma ujumbe kwa viongozi wa Wafilisti na kusema, “Njooni tena mara nyingine, maana amenieleza siri yake yote.” Basi viongozi wa Wafilisti wakaja kwa Delila, wakiwa na fedha mikononi mwao.

JDG 16:19 Removed trailing space in v~: Delila akamfanya alale usingizi magotini pake, akamwita mtu akamnyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake. Akaanza kumsumbua ili aamke nazo nguvu zake zikamtoka.

JDG 16:20 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akamwita, “Samsoni, hao Wafilisti wanakujia!”

JDG 16:20 Removed trailing space in p~: Akaamka toka usingizini akasema, “Nitatoka nje kama hapo awali, nitawakungʼutia mbali na kuwa huru.” Lakini hakujua kuwa \nd Bwana\nd* amemwacha.

JDG 16:21 Removed trailing space in v~: Basi Wafilisti wakamkamata, wakamngʼoa macho yake, wakamchukua wakamteremsha mpaka Gaza. Wakiwa wamemfunga kwa pingu za shaba, wakamweka ili asage ngano huko gerezani.

JDG 16:22 Removed trailing space in v~: Wakati huo nywele za kichwa chake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa.

JDG 16:22 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Samsoni

JDG 16:23 Removed trailing space in v~: Basi viongozi wa Wafilisti wakakusanyika pamoja ili kutoa kafara kwa mungu wao Dagoni na kufanya karamu, wakisema, “Mungu wetu amemtia adui yetu Samsoni mikononi mwetu.”

JDG 16:24 Removed trailing space in v~: Watu walipomwona Samsoni wakamsifu mungu wao, wakisema:

JDG 16:24 Removed trailing space in p~: “Sasa mungu wetu amemtia adui yetu

JDG 16:24 Removed trailing space in p~: mikononi mwetu,

JDG 16:24 Removed trailing space in p~: yule aliyeharibu nchi yetu

JDG 16:24 Removed trailing space in p~: na kuwaua watu wengi miongoni mwetu.”

JDG 16:25 Removed trailing space in v~: Mioyo yao ilipokuwa imefurahishwa wakasema, “Mleteni Samsoni aje acheze ili tufurahi.” Basi wakamleta Samsoni kutoka mle gerezani naye akacheza mbele yao.

JDG 16:25 Removed trailing space in p~: Wakamweka kati ya nguzo mbili.

JDG 16:26 Removed trailing space in v~: Samsoni akamwambia mtumishi aliyeshika mkono wake, “Niweke mahali ambapo ninaweza kuzigusa nguzo ambazo zinategemeza jengo ili nipate kuziegemea.”

JDG 16:27 Removed trailing space in v~: Basi lile jengo lilikuwa na wingi wa watu waume kwa wake; viongozi wote wa Wafilisti walikuwamo humo, na kwenye sakafu ya juu walikuwepo watu 3,000 waume kwa wake, waliokuwa wakimtazama Samsoni wakati anacheza.

JDG 16:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Samsoni akamwomba \nd Bwana\nd*, akasema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, unikumbuke. Ee Mungu, nakusihi ukanitie nguvu mara hii moja tena, ili kwa tendo hili nipate kulipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili.”

JDG 16:29 Removed trailing space in v~: Ndipo Samsoni akazikaribia zile nguzo mbili za katikati ambazo lile jengo lilikuwa linazitegemea. Akazishika moja kwa mkono wa kuume na nyingine mkono wa kushoto.

JDG 16:30 Removed trailing space in v~: Samsoni akasema, “Nife pamoja na Wafilisti!” Ndipo akazisukuma zile nguzo kwa nguvu zake zote, lile jengo likaanguka juu ya viongozi na watu wote waliokuwamo mle ndani yake. Hivyo akawaua watu wengi wakati wa kufa kwake kuliko siku za uhai wake.

JDG 16:31 Removed trailing space in v~: Basi ndugu zake na jamaa yote ya baba yake wakateremka kwenda kumchukua. Wakampandisha na kumzika kati ya Sora na Eshtaoli kwenye kaburi la Manoa baba yake. Naye Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini.

JDG 17:0 Extra space after chapter number

JDG 17:0 Removed trailing space in c: 17

JDG 17:0 Removed trailing space in s1: Sanamu Za Mika

JDG 17:1 Removed trailing space in v~: Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu.

JDG 17:2 Removed trailing space in v~: Akamwambia mama yake, “Zile shekeli 1,100\f + \fr 17:2 \ft Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha.\f* za fedha zilizochukuliwa kwako, ambazo nilisikia ukizinenea maneno ya laana, hizi hapa; mimi ndiye niliyezichukua, lakini sasa ninakurudishia.”

JDG 17:2 Removed trailing space in p~: Ndipo mama yake akamwambia, “\nd Bwana\nd* na akubariki, mwanangu.”

JDG 17:3 Removed trailing space in v~: Alipozirudisha zile shekeli 1,100 za fedha kwa mama yake, mama yake akamwambia, “Mimi nimeiweka fedha hii wakfu kwa \nd Bwana\nd* kwa ajili ya mwanangu kutengenezea kinyago cha kuchonga na sanamu ya kusubu. Mimi nitakurudishia wewe.”

JDG 17:4 Removed trailing space in v~: Hivyo akamrudishia mama yake ile fedha, naye mama yake akachukua shekeli mia mbili\f + \fr 17:4 \ft Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3 za fedha.\f* za hiyo fedha na kumpa mfua fedha, ambaye aliifanyiza kinyago na sanamu. Navyo vikawekwa ndani ya nyumba ya Mika.

JDG 17:5 Removed trailing space in v~: Basi Mika alikuwa na mahali pa kuabudia miungu, akatengeneza naivera, pamoja na vinyago, na kumweka mmoja wa wanawe kuwa kuhani wake.

JDG 17:6 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme, kila mmoja akafanya kama alivyoona vyema machoni pake mwenyewe.

JDG 17:7 Removed trailing space in v~: Basi palikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu ya Yuda. Yeye alikuwa Mlawi aliyeishi miongoni mwa kabila la Yuda.

JDG 17:8 Removed trailing space in v~: Huyu kijana akatoka katika mji huo wa Bethlehemu ya Yuda na kutafuta mahali pengine ambapo angeweza kuishi. Alipokuwa akisafiri, akafika nyumbani kwa Mika katika vilima vya Efraimu.

JDG 17:9 Removed trailing space in v~: Mika akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?”

JDG 17:9 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Mimi ni Mlawi kutoka Bethlehemu ya Yuda, ninatafuta mahali pa kuishi.”

JDG 17:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Mika akamwambia, “Ishi pamoja nami, uwe baba yangu na kuhani wangu, nami nitakupa shekeli kumi\f + \fr 17:10 \ft Shekeli 10 za fedha ni sawa na gramu 115 za fedha.\f* za fedha, nguo na chakula.”

JDG 17:11 Removed trailing space in v~: Hivyo yule Mlawi akakubali kuishi pamoja naye, naye huyo kijana akawa kwake kama mmoja wa wanawe.

JDG 17:12 Removed trailing space in v~: Hivyo Mika akamweka wakfu huyo kijana Mlawi, naye huyo akawa kuhani wake na kuishi nyumbani mwake.

JDG 17:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Mika akasema, “Sasa najua \nd Bwana\nd* atanitendea mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.”

JDG 19:0 Extra space after chapter number

JDG 19:0 Removed trailing space in c: 19

JDG 19:0 Removed trailing space in s1: Mlawi Na Suria Wake

JDG 19:1 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme.

JDG 19:1 Removed trailing space in p~: Basi Mlawi mmoja aliyeishi sehemu za mbali katika nchi ya vilima ya Efraimu, akamchukua suria mmoja kutoka Bethlehemu ya Yuda.

JDG 19:2 Removed trailing space in v~: Lakini suria wake akafanya ukahaba dhidi yake, naye akamwacha akarudi nyumbani kwa baba yake huko Bethlehemu ya Yuda. Baada ya kukaa huko kwa muda wa miezi minne,

JDG 19:3 Removed trailing space in v~: mume wake akaenda kumsihi ili arudi. Alikwenda na mtumishi wake na punda wawili. Yule mwanamke akamkaribisha nyumbani mwa baba yake, baba yake alipomwona akamkaribisha kwa furaha.

JDG 19:4 Removed trailing space in v~: Baba mkwe wake, yaani, baba yake yule msichana, akamzuia ili akae, hivyo akakaa na huyo baba mkwe wake kwa siku tatu, wakila, wakinywa na kulala huko.

JDG 19:5 Removed trailing space in v~: Siku ya nne wakaamka mapema naye akajiandaa kuondoka, lakini baba wa yule msichana akamwambia mkwewe, “Ujiburudishe kwa kula kitu chochote, ndipo uweze kwenda.”

JDG 19:6 Removed trailing space in v~: Basi wakaketi wote wawili ili kula na kunywa pamoja. Baadaye baba wa msichana akamwambia, “Tafadhali ubakie usiku huu upate kujifurahisha nafsi yako.”

JDG 19:7 Removed trailing space in v~: Basi yule mtu alipotaka kuondoka baba wa yule msichana akamsihi, basi akabaki usiku ule.

JDG 19:8 Removed trailing space in v~: Asubuhi ya siku ya tano, alipoamka ili aondoke, baba wa yule msichana akamwambia, “Jiburudishe nafsi yako. Ngoja mpaka mchana!” Kwa hiyo wote wawili wakala chakula pamoja.

JDG 19:9 Removed trailing space in v~: Basi wakati yule mtu alipoinuka aende zake, pamoja na suria wake na mtumishi wake, baba mkwe wake, yaani, baba wa yule msichana akamwambia, “Tazama sasa jioni inakaribia. Ulale hapa usiku unakaribia. Ukae, ukajifurahishe nafsi yako. Kesho unaweza kuamka mapema asubuhi na uende nyumbani kwako.”

JDG 19:10 Removed trailing space in v~: Lakini akakataa kulala tena, akaondoka na kwenda mpaka Yebusi (ndio Yerusalemu), akiwa na punda wake wawili waliotandikiwa, pamoja na suria wake.

JDG 19:11 Removed trailing space in v~: Alipokaribia Yebusi na usiku ukiwa umekaribia, mtumishi akamwambia bwana wake, “Haya sasa natuingie katika mji huu wa Wayebusi tulale humo.”

JDG 19:12 Removed trailing space in v~: Lakini bwana wake akamjibu, “Hapana. Hatutaingia kwenye mji wa kigeni, ambao watu wake si Waisraeli. Tutaendelea mpaka tufike Gibea.”

JDG 19:13 Removed trailing space in v~: Akasema, “Haya, tujitahidi tufike Gibea au Rama, nasi tutalala katika mji mmojawapo.”

JDG 19:14 Removed trailing space in v~: Hivyo wakaendelea na safari, jua likachwea walipokaribia Gibea ambao ni mji wa Benyamini.

JDG 19:15 Removed trailing space in v~: Wakageuka ili kuingia na kulala Gibea. Wakaingia humo, wakaketi kwenye uwanja wa mji, wala hakuna mtu yeyote aliyewakaribisha kwake ili wapate kulala.

JDG 19:16 Removed trailing space in v~: Jioni ile mtu mmoja mzee toka nchi ya vilima ya Efraimu, aliyekuwa anaishi huko Gibea (watu wa sehemu ile walikuwa Wabenyamini), akarudi kutoka kwenye kazi za shamba.

JDG 19:17 Removed trailing space in v~: Alipotazama na kuwaona hao wasafiri katika uwanja wa mji, yule mzee akawauliza, “Ninyi mnakwenda wapi? Nanyi mmetoka wapi?”

JDG 19:18 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Tumepita kutoka Bethlehemu ya Yuda, tunaelekea katika nchi ya vilima ya Efraimu, ambako ndiko ninakoishi. Nilikwenda Bethlehemu ya Yuda na sasa ninakwenda katika nyumba ya \nd Bwana\nd*. Hakuna mtu yeyote aliyenikaribisha katika nyumba yake.

JDG 19:19 Removed trailing space in v~: Tunazo nyasi na chakula cha punda wetu na mkate na divai kwa ajili yetu sisi watumishi wako, yaani mimi, mtumishi wako mwanamke, pamoja na huyu kijana tuliyefuatana naye. Hatuhitaji kitu chochote.”

JDG 19:20 Removed trailing space in v~: Yule mzee akawaambia, “Amani iwe kwenu! Karibuni nyumbani mwangu. Nitawapa mahitaji yenu yote, msilale katika uwanja huu wa mji.”

JDG 19:21 Removed trailing space in v~: Hivyo akamwingiza nyumbani mwake na kuwalisha punda wake. Baada ya kunawa miguu yao, wakala na kunywa.

JDG 19:22 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wakijiburudisha, watu waovu wa mji huo, wakaizingira ile nyumba. Wakagonga mlango na kusema na yule mzee mwenye nyumba, “Mtoe nje yule mtu aliyeingia kwako, tupate kumlawiti.”

JDG 19:23 Removed trailing space in v~: Yule mwenye nyumba akatoka nje na kuwaambia, “Hapana, ndugu zangu msiwe waovu namna hii, ninawasihi. Kwa kuwa huyu mtu ni mgeni wangu msifanye jambo hili la aibu.

JDG 19:24 Removed trailing space in v~: Tazameni, hapa yupo binti yangu ambaye ni bikira na suria wa huyu mtu. Nitawatoleeni hawa sasa, mkawatwae kwa nguvu na kuwafanyia lolote mtakalo. Lakini kwa mtu huyu msimfanyie jambo ovu hivyo.”

JDG 19:25 Removed trailing space in v~: Lakini wale watu hawakumsikia. Hivyo yule mtu akamtoa yule suria wake nje kwa wale watu, nao wakambaka na kumnajisi usiku ule kucha mpaka asubuhi. Kulipoanza kupambazuka wakamwachia aende.

JDG 19:26 Removed trailing space in v~: Alfajiri yule mwanamke akarudi kwenye ile nyumba bwana wake alikokuwa, akaanguka chini mlangoni, akalala pale hata kulipopambazuka.

JDG 19:27 Removed trailing space in v~: Bwana wake alipoamka asubuhi na kufungua mlango wa nyumba na kutoka nje ili kuendelea na safari yake, tazama, yule suria wake alikuwa ameanguka pale penye ingilio la nyumba na mikono yake ikiwa penye kizingiti cha chini.

JDG 19:28 Removed trailing space in v~: Akamwambia yule suria, “Inuka, twende.” Lakini hakujibu. Yule bwana akamwinua akampandisha juu ya punda wake, wakaondoka kwenda nyumbani.

JDG 19:29 Removed trailing space in v~: Alipofika nyumbani, akachukua kisu na kumkatakata yule suria kiungo kwa kiungo, sehemu kumi na mbili, na kuvipeleka hivyo vipande katika sehemu zote za Israeli.

JDG 19:30 Removed trailing space in v~: Kila mtu aliyeona akasema, “Jambo la namna hii halijaonekana wala kutendeka, tangu Israeli walipopanda kutoka Misri. Fikirini juu ya jambo hili! Tafakarini juu ya jambo hili! Tuambieni tufanye nini!”

JDG 20:0 Extra space after chapter number

JDG 20:0 Removed trailing space in c: 20

JDG 20:0 Removed trailing space in s1: Waisraeli Wapigana Na Wabenyamini

JDG 20:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli wote kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na wa kutoka nchi ya Gileadi wakatoka kama mtu mmoja wakakusanyika mbele za \nd Bwana\nd* huko Mispa.

JDG 20:2 Removed trailing space in v~: Viongozi wote wa kabila za Israeli wakakaa kwenye nafasi zao katika kusanyiko la watu wa Mungu, askari 400,000 waendao kwa miguu wenye panga.

JDG 20:3 Removed trailing space in v~: (Wabenyamini wakasikia kuwa Waisraeli wamepanda kwenda Mispa.) Ndipo Waisraeli wakasema, “Tuelezeni jinsi jambo hili ovu lilivyotendeka.”

JDG 20:4 Removed trailing space in v~: Hivyo yule Mlawi, mume wa yule mwanamke aliyeuawa, akasema, “Mimi na suria wangu tulifika Gibea ya Benyamini ili tulale huko.

JDG 20:5 Removed trailing space in v~: Wakati wa usiku watu wa Gibea wakanijia na kuizingira nyumba, wakitaka kuniua. Wakambaka suria wangu mpaka akafa.

JDG 20:6 Removed trailing space in v~: Ndipo nikamchukua suria wangu, nikamkatakata vipande vipande na kuvipeleka katika nchi yote ya urithi wa Israeli, kwa kuwa wametenda uasherati mkubwa na jambo la aibu katika Israeli.

JDG 20:7 Removed trailing space in v~: Sasa, ninyi Waisraeli wote, semeni na mtoe uamuzi wenu.”

JDG 20:8 Removed trailing space in v~: Watu wote wakainuka wakasema, kama mtu mmoja, “Hakuna hata mmoja wetu atakayekwenda nyumbani. Wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.

JDG 20:9 Removed trailing space in v~: Sasa hili ndilo tutakaloitendea Gibea: Tutaikabili jinsi kura itakavyotuongoza.

JDG 20:10 Removed trailing space in v~: Tutatoa watu kumi katika kila 100 kutoka kwenye kabila zote za Israeli, watu 100 katika watu 1,000 na watu 1,000 katika 10,000, ili waende wakalete mahitaji kwa ajili ya jeshi. Basi wakati jeshi litakapofika Gibea ya Benyamini, watawatendea yale wanayostahili, kwa ajili ya uovu huu wa aibu waliotenda katika Israeli.”

JDG 20:11 Removed trailing space in v~: Hivyo wanaume wote wa Israeli wakakutanika pamoja na kujiunga kama mtu mmoja dhidi ya huo mji.

JDG 20:12 Removed trailing space in v~: Makabila ya Israeli yakatuma watu kwenda katika kabila la Benyamini lote na kuwaambia, “Ni uovu gani huu wa kutisha uliotendeka katikati yenu?

JDG 20:13 Removed trailing space in v~: Basi watoeni hao watu waovu kabisa walioko Gibea, ili tupate kuwaua na kuondoa uovu katika Israeli.”

JDG 20:13 Removed trailing space in p~: Lakini Wabenyamini hawakuwasikia ndugu zao, Waisraeli.

JDG 20:14 Removed trailing space in v~: Wakatoka katika miji yao, wakakutanika Gibea ili kupigana na Waisraeli.

JDG 20:15 Removed trailing space in v~: Siku ile Wabenyamini wakakusanya watu 26,000 kutoka miji yao, waliojifunga panga, mbali na hao 700 waliochaguliwa miongoni mwa hao waliokaa Gibea.

JDG 20:16 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa hao askari wote kulikuwa na watu 700 bora waliochaguliwa watumiao mkono wa kushoto, kila mmoja wao aliweza kutupa jiwe kwa kombeo na kulenga unywele mmoja bila kukosa.

JDG 20:17 Removed trailing space in v~: Nao watu wa Israeli, mbali na hao wa Benyamini, wakakusanya watu waume 400,000, wenye kutumia panga, wote hao walikuwa mashujaa.

JDG 20:18 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakapanda Betheli na kumuuliza Mungu, “Ni nani miongoni mwetu atakayetangulia mbele yetu ili kupigana na Wabenyamini?”

JDG 20:18 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akawajibu, “Yuda ndiye atakayetangulia.”

JDG 20:19 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake Waisraeli wakaamka na kupiga kambi karibu na Gibea.

JDG 20:20 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakatoka kupigana na Wabenyamini, nao Waisraeli wakajiweka kwenye nafasi zao katika vita dhidi yao huko Gibea.

JDG 20:21 Removed trailing space in v~: Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua watu 22,000 wa Israeli siku ile.

JDG 20:22 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli wakatiana moyo kila mmoja na mwenzake, nao wakajiweka kwenye nafasi zao katika vile vita mara ya pili mahali pale walipokuwa wamejiweka mara ya kwanza.

JDG 20:23 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakapanda mbele za \nd Bwana\nd* na kulia mbele zake mpaka jioni, nao wakamuuliza \nd Bwana\nd* wakisema, “Je, tupande tena kupigana vita na Wabenyamini, ndugu zetu?”

JDG 20:23 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Pandeni mkapigane nao.”

JDG 20:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli wakawakaribia Wabenyamini siku ya pili.

JDG 20:25 Removed trailing space in v~: Wakati huu, Wabenyamini walipotoka Gibea ili kupigana nao, wakawaua watu Waisraeli 18,000, wote wakiwa wamejifunga panga.

JDG 20:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli, watu wote, wakapanda Betheli, huko wakakaa mbele za \nd Bwana\nd* wakilia. Wakafunga siku ile mpaka jioni na kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd*.

JDG 20:27 Removed trailing space in v~: Nao Waisraeli wakauliza kwa \nd Bwana\nd*. (Katika siku hizo Sanduku la Agano la Mungu lilikuwa huko

JDG 20:28 Removed trailing space in v~: na Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa Aroni, alikuwa anahudumu mbele za hilo Sanduku.) Wakauliza, “Je, tupande kwenda vitani kupigana tena na Wabenyamini ndugu zetu, au la?”

JDG 20:28 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Nendeni, kwa kuwa kesho nitawatia mikononi mwenu.”

JDG 20:29 Removed trailing space in v~: Basi Waisraeli wakaweka waviziao kuizunguka Gibea.

JDG 20:30 Removed trailing space in v~: Kisha Waisraeli wakapanda kupigana na Wabenyamini katika siku ya tatu na kujiweka kwenye nafasi zao dhidi ya Gibea kama walivyokuwa wamefanya hapo kwanza.

JDG 20:31 Removed trailing space in v~: Wabenyamini wakatoka ili kukabiliana nao, Waisraeli wakawavuta Wabenyamini watoke katika mji. Wakaanza kupigana na kuua watu wapatao thelathini wa Israeli, kama walivyofanya nyakati nyingine, katika njia kuu, moja iendayo Betheli na nyingine Gibea.

JDG 20:32 Removed trailing space in v~: Wabenyamini wakafikiri, “Wanapigwa mbele yetu kama hapo kwanza.” Waisraeli wakasema, “Sisi na turudi nyuma ili tuwavute wauache mji waende kuelekea barabarani.”

JDG 20:33 Removed trailing space in v~: Watu wote wa Israeli wakaondoka kwenye sehemu zao na kujipanga huko Baal-Tamari, nao wale waviziaji wa Waisraeli, wakatoka hapo walipokuwa kwenye uwanda wa magharibi ya Gibea.

JDG 20:34 Removed trailing space in v~: Ndipo watu 10,000 bora waliochaguliwa katika Israeli wote, wakaja kuishambulia Gibea. Vita vilikuwa vikali sana, hata Wabenyamini hawakutambua kuwa maangamizi yalikuwa karibu nao kwa kiasi hicho.

JDG 20:35 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawashinda Wabenyamini mbele ya Waisraeli na siku ile Waisraeli wakawaua Wabenyamini watu waume 25,100, wote wakiwa wenye kujifunga silaha za vita.

JDG 20:36 Removed trailing space in v~: Hivyo Wabenyamini wakaona kuwa wamepigwa.

JDG 20:36 Removed trailing space in p~: Basi Waisraeli walikuwa wameondoka mbele ya Wabenyamini, kwa sababu Waisraeli waliwategemea hao waviziaji waliokuwa wamewaweka dhidi ya Gibea.

JDG 20:37 Removed trailing space in v~: Wale waviziaji wakafanya haraka kuingia Gibea, wakasambaa na kuwaua watu wote wa mji kwa upanga.

JDG 20:38 Removed trailing space in v~: Waisraeli walikuwa wamepatana na hao waviziaji kuwa wangefanya lipande wingu kubwa la moshi kutoka huo mji,

JDG 20:39 Removed trailing space in v~: ndipo watu wa Waisraeli wangegeuka kupigana.

JDG 20:39 Removed trailing space in p~: Watu wa Benyamini walikuwa wameanza kuwapiga na kuua watu wa Israeli (wapatao thelathini), hivyo wakafikiri, “Hakika tutawapiga, kama tulivyowashinda katika vita hapo kwanza.”

JDG 20:40 Removed trailing space in v~: Lakini wakati lile wingu la moshi lilipoanza kupanda kutoka ule mji, Wabenyamini wakageuka na kuona moshi wa mji mzima unapaa juu angani.

JDG 20:41 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa Israeli wakawageukia, nao Wabenyamini wakatiwa hofu, kwa kuwa walitambua kwamba maafa yamewajia.

JDG 20:42 Removed trailing space in v~: Basi wakakimbia mbele ya Waisraeli kuelekea nyikani, lakini hawakuweza kukwepa vile vita. Nao watu wa Israeli waliotoka katika ile miji wakawaua huko.

JDG 20:43 Removed trailing space in v~: Wakawazingira Wabenyamini pande zote, wakawafuatia na kuwapata hapo walipopumzika katika viunga vya Gibea upande wa mashariki.

JDG 20:44 Removed trailing space in v~: Wakaanguka Wabenyamini 18,000 ambao wote ni mashujaa.

JDG 20:45 Removed trailing space in v~: Walipogeuka na kukimbia kuelekea nyikani hata kufikia mwamba wa Rimoni, Waisraeli wakawaua watu 5,000 wakiwa njiani. Wakawafuata kwa kasi mpaka Gidomu huko wakawaua watu wengine 2,000.

JDG 20:46 Removed trailing space in v~: Siku ile wakawaua Wabenyamini 25,000 waliokuwa mashujaa wa vita.

JDG 20:47 Removed trailing space in v~: Lakini watu 600 wakakimbia kuelekea nyikani katika mwamba wa Rimoni, na kukaa huko muda wa miezi minne.

JDG 20:48 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakarudi na kuua watu wote wa Benyamini, pamoja na wanyama na kila walichokikuta. Pia kila mji waliouona waliuchoma moto.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 10    c: 21    h: 1    id: 1    m: 3    mt1: 1    p: 296    pm: 5    q1: 61    q2: 86    rem: 1    s1: 30    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 1137    v: 618  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    m: 3    pm: 5    b: 10    c: 21    s1: 30    q1: 61    q2: 86    p: 296    v: 618    Total: 1137  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 1    nd*: 1    Total: 2  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 1    nd*: 1    Total: 2  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 21    Paragraphs: 296    Verses: 618  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Chapters: 21    Paragraphs: 296    Verses: 618  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 a: 107    A: 5    b: 12    B: 2    C: 5    c: 1    d: 12    D: 3    e: 21    E: 3    f: 10    g: 3    G: 5    H: 1    h: 15    i: 83    I: 3    j: 1    k: 11    K: 12    l: 17    L: 1    m: 21    M: 4    n: 29    N: 9    o: 25    O: 1    p: 3    r: 9    s: 18    S: 8    Space: 59    t: 8    T: 1    Total: 595    u: 18    U: 2    W: 22    w: 7    Y: 6    y: 3    z: 8    Z: 1  

Letter Counts (sorted by count)

 H: 1    c: 1    O: 1    j: 1    T: 1    Z: 1    L: 1    B: 2    U: 2    I: 3    p: 3    g: 3    y: 3    E: 3    D: 3    M: 4    A: 5    C: 5    G: 5    Y: 6    w: 7    z: 8    t: 8    S: 8    r: 9    N: 9    f: 10    k: 11    b: 12    K: 12    d: 12    h: 15    l: 17    u: 18    s: 18    m: 21    e: 21    W: 22    o: 25    n: 29    Space: 59    i: 83    a: 107    Total: 595  

Punctuation Counts

 ,: 1    Total: 1  

Punctuation Counts (sorted by count)

 ,: 1    Total: 1  

Speech Marks

Possible Matching Errors

JDG 11:18 Unclosed “ (opened at 11:15:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JDG 11:19 Unclosed “ (opened at 11:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JDG 11:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:15:pm)', '“ (opened at 11:18:v)', '“ (opened at 11:19:v)', '‘ (opened at 11:19:v)']

JDG 11:21 Unclosed “ (opened at 11:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JDG 11:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:15:pm)', '“ (opened at 11:18:v)', '“ (opened at 11:19:v)', '“ (opened at 11:21:v)']

JDG 11:23 Unclosed “ (opened at 11:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JDG 11:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:15:pm)', '“ (opened at 11:18:v)', '“ (opened at 11:19:v)', '“ (opened at 11:21:v)', '“ (opened at 11:23:v)']

JDG 11:29 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 11:15:pm)', '“ (opened at 11:18:v)', '“ (opened at 11:19:v)', '“ (opened at 11:21:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v29

Words

Possible Word Errors

JDG 2:9 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

JDG -1:6 Main Title 1:Waamuzi

Section Heading Lines

JDG 1:0Israeli Wapigana Na Wakanaani Waliobaki
JDG 2:0Malaika Wa \nd Bwana\nd* Huko Bokimu
JDG 2:5Kifo Cha Yoshua
JDG 3:0Mataifa Yaliyobaki Katika Ile Nchi
JDG 3:6Othnieli
JDG 3:11Ehudi
JDG 3:30Shamgari
JDG 4:0Debora
JDG 5:0Wimbo Wa Debora
JDG 6:0Gideoni
JDG 7:0Gideoni Awashinda Wamidiani
JDG 8:0Ushindi Wa Gideoni Na Kulipiza Kisasi
JDG 8:21Kisibau Cha Gideoni
JDG 8:28Kifo Cha Gideoni
JDG 9:0Abimeleki Ajaribu Kuanzisha Ufalme
JDG 10:0Tola
JDG 10:2Yairi
JDG 10:5Yefta
JDG 12:0Yefta Na Efraimu
JDG 12:7Ibzani, Eloni Na Abdoni
JDG 13:0Kuzaliwa Kwa Samsoni
JDG 14:0Ndoa Ya Samsoni
JDG 15:0Kisasi Cha Samsoni Kwa Wafilisti
JDG 16:0Samsoni Na Delila
JDG 16:22Kifo Cha Samsoni
JDG 17:0Sanamu Za Mika
JDG 18:0Wadani Wahamia Laishi
JDG 19:0Mlawi Na Suria Wake
JDG 20:0Waisraeli Wapigana Na Wabenyamini
JDG 21:0Wabenyamini Watafutiwa Wake

Notes

Footnote Lines

JDG 1:16+ \fr 1:16 \ft Yaani Yeriko.
JDG 1:17+ \fr 1:17 \ft Horma maana yake ni Maangamizi.
JDG 2:9+ \fr 2:9 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona \+xt Yos 19:50; 24:30\+xt*.
JDG 3:8+ \fr 3:8 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
JDG 3:13+ \fr 3:13 \ft Yaani Yeriko.
JDG 3:16+ \fr 3:16 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
JDG 4:2+ \fr 4:2 \ft Haroshethi-Hagoyimu ina maana Haroshethi ya Mataifa.
JDG 6:19+ \fr 6:19 \ft Efa moja ni sawa na lita 22.
JDG 6:24+ \fr 6:24 \ft Yehova-Shalom maana yake Bwana ni Amani.
JDG 7:22+ \fr 7:22 \ft Au: Seretha.
JDG 8:26+ \fr 8:26 \ft Shekeli 1,700 ni sawa na kilo 19.5.
JDG 9:4+ \fr 9:4 \ft Shekeli 70 za fedha ni sawa na gramu 800.
JDG 15:17+ \fr 15:17 \ft Ramath-Lehi maana yake Kilima cha Taya.
JDG 15:19+ \fr 15:19 \ft En-Hakore maana yake ni Chemchemi ya Aliyeita.
JDG 16:5+ \fr 16:5 \ft Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha.
JDG 17:2+ \fr 17:2 \ft Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha.
JDG 17:4+ \fr 17:4 \ft Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3 za fedha.
JDG 17:10+ \fr 17:10 \ft Shekeli 10 za fedha ni sawa na gramu 115 za fedha.
JDG 18:12+ \fr 18:12 \ft Mahane-Dani maana yake Kambi ya Dani.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 19    Footnotes: 19  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 19    Footnote leader '+': 19