Freely-Given.org Bible JER Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in JER -1:0

Showing 1 out of 3726 priority errors

Fix Text Errors

JER -1:0 Removed trailing space in id: JER - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

JER -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

JER -1:2 Removed trailing space in h: Yeremia

JER -1:3 Removed trailing space in toc1: Yeremia

JER -1:4 Removed trailing space in toc2: Yeremia

JER -1:5 Removed trailing space in toc3: Yer

JER -1:6 Removed trailing space in mt1: Yeremia

JER 1:0 Extra space after chapter number

JER 1:0 Removed trailing space in c: 1

JER 1:1 Removed trailing space in v~: Maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani katika mji wa Anathothi, katika nchi ya Benyamini.

JER 1:2 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lilimjia katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda,

JER 1:3 Removed trailing space in v~: na pia wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, mpaka mwezi wa tano wa mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, wakati watu wa Yerusalemu walipopelekwa uhamishoni.

JER 1:3 Removed trailing space in s1: Wito Wa Yeremia

JER 1:4 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lilinijia, kusema,

JER 1:5 Removed trailing space in v~: “Kabla sijakuumba ndani ya tumbo la mama yako, nilikujua;

JER 1:5 Removed trailing space in p~: kabla hujazaliwa nilikutenga kwa kazi maalum;

JER 1:5 Removed trailing space in p~: nilikuweka uwe nabii kwa mataifa.”

JER 1:6 Removed trailing space in v~: Nami nikasema, “Aa, \nd Bwana\nd* Mwenyezi, sijui kusema, kwani mimi ni mtoto mdogo tu.”

JER 1:7 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akaniambia, “Usiseme, ‘Mimi ni mtoto mdogo tu.’ Utaenda popote nitakapokutuma na kunena lolote nitakalokuagiza.

JER 1:8 Removed trailing space in v~: Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 1:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu, akaniambia, “Sasa nimeyaweka maneno yangu kinywani mwako.

JER 1:10 Removed trailing space in v~: Tazama, leo nimekuweka juu ya mataifa na falme ili kungʼoa na kubomoa, kuharibu na kuangamiza, kujenga na kupanda.”

JER 1:11 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema, “Je, Yeremia unaona nini?”

JER 1:11 Removed trailing space in p~: Nami nikajibu, “Naona tawi la mti wa mlozi.”

JER 1:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Umeona vyema kwa maana ninaliangalia neno langu ili kuona kwamba limetimizwa.”

JER 1:13 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia tena, “Unaona nini?”

JER 1:13 Removed trailing space in p~: Nikajibu, “Naona chungu kinachochemka, kikiwa kimeinama kutoka kaskazini.”

JER 1:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Kutoka kaskazini maafa yatamwagwa kwa wote waishio katika nchi.

JER 1:15 Removed trailing space in v~: Nitawaita watu wote wa falme za kaskazini,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 1:15 Removed trailing space in p~: “Wafalme wao watakuja na kuweka viti vyao vya enzi

JER 1:15 Removed trailing space in p~: katika maingilio ya malango ya Yerusalemu,

JER 1:15 Removed trailing space in p~: watakuja dhidi ya kuta zake zote zinazouzunguka,

JER 1:15 Removed trailing space in p~: na dhidi ya miji yote ya Yuda.

JER 1:16 Removed trailing space in v~: Nitatoa hukumu zangu kwa watu wangu

JER 1:16 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu wao wa kuniacha mimi,

JER 1:16 Removed trailing space in p~: kwa kufukiza uvumba kwa miungu mingine

JER 1:16 Removed trailing space in p~: na kuabudu kile ambacho mikono yao imekitengeneza.

JER 1:17 Removed trailing space in v~: “Jiandae! Simama useme chochote nitakachokuamuru. Usiwaogope, la sivyo nitakufanya uwaogope wao.

JER 1:18 Removed trailing space in v~: Leo nimekufanya mji wenye ngome, nguzo ya chuma, na ukuta wa shaba ili kusimama dhidi ya nchi yote: dhidi ya wafalme wa Yuda, maafisa wake, makuhani wake na watu wa nchi hiyo.

JER 1:19 Removed trailing space in v~: Watapigana nawe lakini hawatakushinda, kwa kuwa niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:0 Extra space after chapter number

JER 2:0 Removed trailing space in c: 2

JER 2:0 Removed trailing space in s1: Israeli Amwacha Mungu

JER 2:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lilinijia kusema,

JER 2:2 Removed trailing space in v~: “Nenda ukahubiri masikioni mwa watu wa Yerusalemu:

JER 2:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Nakumbuka moyo wako wa uchaji katika ujana wako,

JER 2:2 Removed trailing space in p~: jinsi ulivyonipenda kama bibi arusi

JER 2:2 Removed trailing space in p~: na kunifuata katika jangwa lile lote,

JER 2:2 Removed trailing space in p~: katika nchi isiyopandwa mbegu.

JER 2:3 Removed trailing space in v~: Israeli alikuwa mtakatifu kwa \nd Bwana\nd*,

JER 2:3 Removed trailing space in p~: kama malimbuko ya kwanza ya mavuno yake;

JER 2:3 Removed trailing space in p~: wote waliowaangamiza walihesabiwa kuwa na hatia,

JER 2:3 Removed trailing space in p~: nayo maafa yaliwakumba,’ ”

JER 2:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:4 Removed trailing space in v~: Sikia neno la \nd Bwana\nd*, ee nyumba ya Yakobo,

JER 2:4 Removed trailing space in p~: nanyi nyote jamaa za nyumba ya Israeli.

JER 2:5 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 2:5 Removed trailing space in p~: “Je, baba zenu waliona kosa gani kwangu,

JER 2:5 Removed trailing space in p~: hata wakatangatanga mbali nami hivyo?

JER 2:5 Removed trailing space in p~: Walifuata sanamu zisizofaa,

JER 2:5 Removed trailing space in p~: nao wenyewe wakawa hawafai.

JER 2:6 Removed trailing space in v~: Hawakuuliza, ‘Yuko wapi \nd Bwana\nd*,

JER 2:6 Removed trailing space in p~: aliyetupandisha kutoka Misri

JER 2:6 Removed trailing space in p~: na kutuongoza kupitia nyika kame,

JER 2:6 Removed trailing space in p~: kupitia nchi ya majangwa na mabonde,

JER 2:6 Removed trailing space in p~: nchi ya ukame na giza,

JER 2:6 Removed trailing space in p~: nchi ambayo hakuna mtu asafiriye ndani yake

JER 2:6 Removed trailing space in p~: wala hakuna mtu aishiye humo?’

JER 2:7 Removed trailing space in v~: Niliwaleta katika nchi yenye wingi wa vitu

JER 2:7 Removed trailing space in p~: ili mpate kula matunda yake

JER 2:7 Removed trailing space in p~: na utajiri wa mazao yake.

JER 2:7 Removed trailing space in p~: Lakini mkaja na kuinajisi nchi yangu,

JER 2:7 Removed trailing space in p~: na kuufanya urithi wangu chukizo.

JER 2:8 Removed trailing space in v~: Makuhani hawakuuliza,

JER 2:8 Removed trailing space in p~: ‘Yuko wapi \nd Bwana\nd*?’

JER 2:8 Removed trailing space in p~: Wale wanaoshughulikia sheria hawakunijua mimi;

JER 2:8 Removed trailing space in p~: viongozi waliasi dhidi yangu.

JER 2:8 Removed trailing space in p~: Manabii walitabiri kwa jina la Baali,

JER 2:8 Removed trailing space in p~: wakifuata sanamu zisizofaa.

JER 2:9 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo naleta tena mashtaka dhidi yako,”

JER 2:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:9 Removed trailing space in p~: “Nami nitaleta mashtaka dhidi ya watoto wa watoto wako.

JER 2:10 Removed trailing space in v~: Vuka, nenda ngʼambo mpaka pwani ya Kitimu\f + \fr 2:10 \ft Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.\f* nawe uangalie,

JER 2:10 Removed trailing space in p~: tuma watu waende Kedari, wachunguze kwa makini,

JER 2:10 Removed trailing space in p~: uone kama kumekuwepo kitu kama hiki.

JER 2:11 Removed trailing space in v~: Je, taifa limebadili miungu yake wakati wowote?

JER 2:11 Removed trailing space in p~: (Hata ingawa hao si miungu kamwe.)

JER 2:11 Removed trailing space in p~: Lakini watu wangu wamebadili Utukufu wao

JER 2:11 Removed trailing space in p~: kwa sanamu zisizofaa kitu.

JER 2:12 Removed trailing space in v~: Shangaeni katika hili, ee mbingu,

JER 2:12 Removed trailing space in p~: nanyi tetemekeni kwa hofu kuu,”

JER 2:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:13 Removed trailing space in v~: “Watu wangu wametenda dhambi mbili:

JER 2:13 Removed trailing space in p~: Wameniacha mimi,

JER 2:13 Removed trailing space in p~: niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,

JER 2:13 Removed trailing space in p~: nao wamejichimbia visima vyao wenyewe,

JER 2:13 Removed trailing space in p~: visima vilivyobomoka, visivyoweza kuhifadhi maji.

JER 2:14 Removed trailing space in v~: Je, Israeli ni mtumishi, yaani mtumwa kwa kuzaliwa?

JER 2:14 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi amekuwa mateka?

JER 2:15 Removed trailing space in v~: Simba wamenguruma;

JER 2:15 Removed trailing space in p~: wamemngurumia.

JER 2:15 Removed trailing space in p~: Wameifanya nchi yake kuwa ukiwa;

JER 2:15 Removed trailing space in p~: miji yake imeteketezwa, nayo imeachwa haina watu.

JER 2:16 Removed trailing space in v~: Pia watu wa Memfisi\f + \fr 2:16 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.\f* na Tahpanhesi\f + \fr 2:16 \ft Tahpanhesi ni mji katika nchi ya Misri.\f*

JER 2:16 Removed trailing space in p~: wamevunja taji ya kichwa chako.

JER 2:17 Removed trailing space in v~: Je, hukujiletea hili wewe mwenyewe

JER 2:17 Removed trailing space in p~: kwa kumwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wako

JER 2:17 Removed trailing space in p~: alipowaongoza njiani?

JER 2:18 Removed trailing space in v~: Sasa kwa nini uende Misri

JER 2:18 Removed trailing space in p~: kunywa maji ya Shihori?\f + \fr 2:18 \ft Kijito kinachoelekeza maji katika Mto Naili.\f*

JER 2:18 Removed trailing space in p~: Nawe kwa nini kwenda Ashuru

JER 2:18 Removed trailing space in p~: kunywa maji ya Mto Frati?

JER 2:19 Removed trailing space in v~: Uovu wako utakuadhibu;

JER 2:19 Removed trailing space in p~: kurudi nyuma kwako kutakukemea.

JER 2:19 Removed trailing space in p~: Basi kumbuka, utambue

JER 2:19 Removed trailing space in p~: jinsi lilivyo ovu na chungu kwako

JER 2:19 Removed trailing space in p~: unapomwacha \nd Bwana\nd* Mungu wako

JER 2:19 Removed trailing space in p~: na kutokuwa na hofu yangu,”

JER 2:19 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

JER 2:20 Removed trailing space in v~: “Zamani nilivunja nira yako

JER 2:20 Removed trailing space in p~: na kukatilia mbali vifungo vyako;

JER 2:20 Removed trailing space in p~: ukasema, ‘Sitakutumikia!’

JER 2:20 Removed trailing space in p~: Naam kweli, kwenye kila kilima kirefu

JER 2:20 Removed trailing space in p~: na chini ya kila mti uliotanda matawi yake

JER 2:20 Removed trailing space in p~: ulijilaza kama kahaba.

JER 2:21 Removed trailing space in v~: Nilikupanda ukiwa mzabibu ulio bora sana,

JER 2:21 Removed trailing space in p~: mkamilifu na wa mbegu nzuri.

JER 2:21 Removed trailing space in p~: Ilikuwaje basi ukawa kinyume nami,

JER 2:21 Removed trailing space in p~: ukaharibika na kuwa mzabibu mwitu?

JER 2:22 Removed trailing space in v~: Hata ujisafishe kwa magadi

JER 2:22 Removed trailing space in p~: na kutumia sabuni nyingi,

JER 2:22 Removed trailing space in p~: bado doa la hatia yako liko mbele zangu,”

JER 2:22 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

JER 2:23 Removed trailing space in v~: “Wawezaje kusema, ‘Mimi si najisi,

JER 2:23 Removed trailing space in p~: sijawafuata Mabaali’?

JER 2:23 Removed trailing space in p~: Kumbuka jinsi ulivyotenda kule bondeni;

JER 2:23 Removed trailing space in p~: fikiri uliyoyafanya.

JER 2:23 Removed trailing space in p~: Wewe ni ngamia jike mwenye mbio

JER 2:23 Removed trailing space in p~: ukikimbia hapa na pale,

JER 2:24 Removed trailing space in v~: punda-mwitu aliyezoea jangwa,

JER 2:24 Removed trailing space in p~: anayenusa upepo katika tamaa yake kubwa:

JER 2:24 Removed trailing space in p~: katika wakati wake wa kuhitaji mbegu

JER 2:24 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kumzuia?

JER 2:24 Removed trailing space in p~: Madume yoyote yanayomfuatilia

JER 2:24 Removed trailing space in p~: hayana haja ya kujichosha;

JER 2:24 Removed trailing space in p~: wakati wa kupandwa kwake watampata tu.

JER 2:25 Removed trailing space in v~: Usikimbie hadi miguu yako iwe haina viatu,

JER 2:25 Removed trailing space in p~: na koo lako liwe limekauka.

JER 2:25 Removed trailing space in p~: Lakini ulisema, ‘Haina maana!

JER 2:25 Removed trailing space in p~: Ninaipenda miungu ya kigeni,

JER 2:25 Removed trailing space in p~: nami lazima niifuatie.’

JER 2:26 Removed trailing space in v~: “Kama vile mwizi aaibikavyo wakati amekamatwa,

JER 2:26 Removed trailing space in p~: hivyo ndivyo nyumba ya Israeli inavyoaibishwa:

JER 2:26 Removed trailing space in p~: wao wenyewe, wafalme wao na maafisa wao,

JER 2:26 Removed trailing space in p~: makuhani wao na manabii wao.

JER 2:27 Removed trailing space in v~: Wanaiambia miti, ‘Wewe ndiwe baba yangu,’

JER 2:27 Removed trailing space in p~: nalo jiwe, ‘Wewe ndiwe uliyenizaa.’

JER 2:27 Removed trailing space in p~: Wamenipa visogo vyao

JER 2:27 Removed trailing space in p~: wala hawakunigeuzia nyuso zao;

JER 2:27 Removed trailing space in p~: lakini wakiwa katika taabu, wanasema,

JER 2:27 Removed trailing space in p~: ‘Njoo utuokoe!’

JER 2:28 Removed trailing space in v~: Iko wapi basi ile miungu mliyojitengenezea?

JER 2:28 Removed trailing space in p~: Yenyewe na ije kama inaweza kuwaokoa

JER 2:28 Removed trailing space in p~: wakati mko katika taabu!

JER 2:28 Removed trailing space in p~: Kwa maana mna miungu mingi

JER 2:28 Removed trailing space in p~: kama mlivyo na miji, ee Yuda.

JER 2:29 Removed trailing space in v~: “Kwa nini mnaleta mashtaka dhidi yangu?

JER 2:29 Removed trailing space in p~: Ninyi nyote mmeniasi,”

JER 2:29 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:30 Removed trailing space in v~: “Nimeadhibu watu wako bure tu,

JER 2:30 Removed trailing space in p~: hawakujirekebisha.

JER 2:30 Removed trailing space in p~: Upanga wako umewala manabii wako

JER 2:30 Removed trailing space in p~: kama simba mwenye njaa.

JER 2:31 Removed trailing space in v~: “Enyi wa kizazi hiki, tafakarini neno la \nd Bwana\nd*:

JER 2:31 Removed trailing space in p~: “Je, nimekuwa jangwa kwa Israeli

JER 2:31 Removed trailing space in p~: au nchi ya giza kuu?

JER 2:31 Removed trailing space in p~: Kwa nini watu wangu wanasema, ‘Sisi tuko huru kuzurura,

JER 2:31 Removed trailing space in p~: hatutarudi kwako tena’?

JER 2:32 Removed trailing space in v~: Je, mwanamwali husahau vito vyake,

JER 2:32 Removed trailing space in p~: au bibi arusi mapambo yake ya arusi?

JER 2:32 Removed trailing space in p~: Lakini watu wangu wamenisahau mimi,

JER 2:32 Removed trailing space in p~: tena kwa siku zisizo na hesabu.

JER 2:33 Removed trailing space in v~: Je, wewe una ustadi kiasi gani katika kufuatia mapenzi!

JER 2:33 Removed trailing space in p~: Hata wale wanawake wabaya kuliko wote

JER 2:33 Removed trailing space in p~: wanaweza kujifunza kutokana na njia zako.

JER 2:34 Removed trailing space in v~: Katika nguo zako watu huona

JER 2:34 Removed trailing space in p~: damu ya uhai ya maskini wasio na hatia,

JER 2:34 Removed trailing space in p~: ingawa hukuwakamata wakivunja nyumba.

JER 2:34 Removed trailing space in p~: Lakini katika haya yote

JER 2:35 Removed trailing space in v~: unasema, ‘Sina hatia;

JER 2:35 Removed trailing space in p~: Mungu hajanikasirikia.’

JER 2:35 Removed trailing space in p~: Lakini nitakuhukumu kwa sababu unasema,

JER 2:35 Removed trailing space in p~: ‘Mimi sijatenda dhambi.’

JER 2:36 Removed trailing space in v~: Kwa nini unatangatanga sana,

JER 2:36 Removed trailing space in p~: kubadili njia zako?

JER 2:36 Removed trailing space in p~: Utakatishwa tamaa na Misri

JER 2:36 Removed trailing space in p~: kama ulivyokatishwa na Ashuru.

JER 2:37 Removed trailing space in v~: Pia utaondoka mahali hapo

JER 2:37 Removed trailing space in p~: ukiwa umeweka mikono kichwani,

JER 2:37 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* amewakataa wale unaowatumainia;

JER 2:37 Removed trailing space in p~: hutasaidiwa nao.

JER 3:0 Extra space after chapter number

JER 3:0 Removed trailing space in c: 3

JER 3:0 Removed trailing space in s1: Israeli Asiye Mwaminifu

JER 3:1 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimpa talaka mkewe,

JER 3:1 Removed trailing space in p~: naye akamwacha na akaolewa na mtu mwingine,

JER 3:1 Removed trailing space in p~: je, huyo mume aweza kumrudia tena?

JER 3:1 Removed trailing space in p~: Je, hiyo nchi haitanajisika kabisa?

JER 3:1 Removed trailing space in p~: Lakini umeishi kama kahaba na wapenzi wengi:

JER 3:1 Removed trailing space in p~: je, sasa utanirudia tena?”

JER 3:1 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 3:2 Removed trailing space in v~: “Inua macho utazame miinuko iliyo kame na uone.

JER 3:2 Removed trailing space in p~: Je, pana mahali ambapo hawajalala nawe?

JER 3:2 Removed trailing space in p~: Uliketi kando ya barabara ukiwasubiri wapenzi,

JER 3:2 Removed trailing space in p~: ukakaa kama yeye ahamahamaye jangwani.

JER 3:2 Removed trailing space in p~: Umeinajisi nchi

JER 3:2 Removed trailing space in p~: kwa ukahaba wako na uovu wako.

JER 3:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mvua imezuiliwa,

JER 3:3 Removed trailing space in p~: nazo mvua za vuli hazikunyesha.

JER 3:3 Removed trailing space in p~: Hata hivyo, una uso usio na haya kama wa kahaba;

JER 3:3 Removed trailing space in p~: unakataa kutahayari kwa aibu.

JER 3:4 Removed trailing space in v~: Je, wewe hujaniita hivi punde tu:

JER 3:4 Removed trailing space in p~: ‘Baba yangu, rafiki yangu tangu ujana wangu,

JER 3:5 Removed trailing space in v~: je, utakasirika siku zote?

JER 3:5 Removed trailing space in p~: Je, ghadhabu yako itaendelea milele?’

JER 3:5 Removed trailing space in p~: Hivi ndivyo unavyozungumza,

JER 3:5 Removed trailing space in p~: lakini unafanya maovu yote uwezayo.”

JER 3:5 Removed trailing space in s1: Wito Kwa Ajili Ya Toba

JER 3:6 Removed trailing space in v~: Wakati wa utawala wa Mfalme Yosia, \nd Bwana\nd* aliniambia, “Umeona kile Israeli asiye mwaminifu amekifanya? Amepanda juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti uliotanda na amefanya uzinzi huko.

JER 3:7 Removed trailing space in v~: Mimi nilifikiri kuwa baada ya kuyafanya yote haya angelinirudia, lakini hakurudi, naye dada yake Yuda mdanganyifu aliona hili.

JER 3:8 Removed trailing space in v~: Nilimpa Israeli asiye mwaminifu hati yake ya talaka, na kumfukuza kwa ajili ya uzinzi wake wote. Hata hivyo nikaona kuwa Yuda dada yake mdanganyifu hakuogopa. Yeye pia alitoka na kufanya uzinzi.

JER 3:9 Removed trailing space in v~: Kwa sababu uasherati wa Israeli haukuwa kitu kwake, Yuda aliinajisi nchi kwa kuzini na mawe na miti.

JER 3:10 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo yote, Yuda dada yake mdanganyifu hakunirudia kwa moyo wake wote, bali kwa kujifanya tu,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 3:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Israeli asiye mwaminifu ana haki kuliko Yuda mdanganyifu.

JER 3:12 Removed trailing space in v~: Nenda, ukatangaze ujumbe huu kuelekea kaskazini:

JER 3:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Rudi, Israeli usiye mwaminifu,’ asema \nd Bwana\nd*,

JER 3:12 Removed trailing space in p~: ‘sitakutazama tena kwa uso uliokunjamana,

JER 3:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mimi ni mwenye huruma,’ asema \nd Bwana\nd*,

JER 3:12 Removed trailing space in p~: ‘Sitashika hasira yangu milele.

JER 3:13 Removed trailing space in v~: Ungama dhambi zako tu:

JER 3:13 Removed trailing space in p~: kwamba umemwasi \nd Bwana\nd* Mungu wako,

JER 3:13 Removed trailing space in p~: umetapanya wema wako kwa miungu ya kigeni

JER 3:13 Removed trailing space in p~: chini ya kila mti unaotanda,

JER 3:13 Removed trailing space in p~: nawe hukunitii mimi,’ ”

JER 3:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 3:14 Removed trailing space in v~: “Rudini, enyi watu msio waaminifu, kwa kuwa mimi ni mume wenu,” asema \nd Bwana\nd*. “Nitawachagua ninyi, mmoja kutoka kwenye mji, na wawili kutoka kwenye ukoo, nami nitawaleta Sayuni.

JER 3:15 Removed trailing space in v~: Kisha nitawapeni wachungaji wanipendezao moyo wangu, ambao watawaongoza kwa maarifa na ufahamu.

JER 3:16 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, idadi yenu itakapokuwa imeongezeka sana katika nchi, watu hawatasema tena, ‘Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*,’ ” asema \nd Bwana\nd*. “Halitaingia tena kwenye mawazo yao wala kukumbukwa, hawatalihitaji wala halitatengenezwa jingine.

JER 3:17 Removed trailing space in v~: Wakati huo, wataita Yerusalemu kuwa Kiti cha Enzi cha \nd Bwana\nd*, nayo mataifa yote watakusanyika Yerusalemu kuliheshimu jina la \nd Bwana\nd*. Hawatafuata tena ukaidi wa mioyo yao miovu.

JER 3:18 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, nyumba ya Yuda itaungana na nyumba ya Israeli, wao kwa pamoja watakuja kutoka nchi ya kaskazini hadi nchi niliyowapa baba zenu kama urithi.

JER 3:19 Removed trailing space in v~: “Mimi mwenyewe nilisema,

JER 3:19 Removed trailing space in p~: “ ‘Tazama jinsi nitakavyowatunza kwa furaha kama wana

JER 3:19 Removed trailing space in p~: na kuwapa nchi nzuri,

JER 3:19 Removed trailing space in p~: urithi ulio mzuri kuliko wa taifa jingine lolote.’

JER 3:19 Removed trailing space in p~: Nilidhani mngeniita ‘Baba,’

JER 3:19 Removed trailing space in p~: na msingegeuka, mkaacha kunifuata.

JER 3:20 Removed trailing space in v~: Lakini kama mwanamke asiye mwaminifu kwa mumewe,

JER 3:20 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo mmekosa uaminifu kwangu pia, ee nyumba ya Israeli,”

JER 3:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 3:21 Removed trailing space in v~: Kilio kinasikika juu ya miinuko iliyo kame,

JER 3:21 Removed trailing space in p~: kulia na kuomboleza kwa watu wa Israeli,

JER 3:21 Removed trailing space in p~: kwa sababu wamepotoka katika njia zao

JER 3:21 Removed trailing space in p~: na wamemsahau \nd Bwana\nd* Mungu wao.

JER 3:22 Removed trailing space in v~: “Rudini, enyi watu msio waaminifu,

JER 3:22 Removed trailing space in p~: nami nitawaponya ukengeufu wenu.”

JER 3:22 Removed trailing space in p~: “Naam, tutakuja kwako,

JER 3:22 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ni \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

JER 3:23 Removed trailing space in v~: Hakika zile ghasia za kuabudu sanamu kwenye vilima

JER 3:23 Removed trailing space in p~: na milimani ni udanganyifu;

JER 3:23 Removed trailing space in p~: hakika katika \nd Bwana\nd*, Mungu wetu,

JER 3:23 Removed trailing space in p~: uko wokovu wa Israeli.

JER 3:24 Removed trailing space in v~: Tangu ujana wetu miungu ya aibu imeyala

JER 3:24 Removed trailing space in p~: matunda ya kazi za baba zetu:

JER 3:24 Removed trailing space in p~: makundi yao ya kondoo na ngʼombe,

JER 3:24 Removed trailing space in p~: wana wao na binti zao.

JER 3:25 Removed trailing space in v~: Sisi na tulale chini katika aibu yetu,

JER 3:25 Removed trailing space in p~: na fedheha yetu itufunike.

JER 3:25 Removed trailing space in p~: Tumetenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

JER 3:25 Removed trailing space in p~: sisi na mababa zetu;

JER 3:25 Removed trailing space in p~: tangu ujana wetu hadi leo

JER 3:25 Removed trailing space in p~: hatukumtii \nd Bwana\nd* Mungu wetu.”

JER 4:0 Extra space after chapter number

JER 4:0 Removed trailing space in c: 4

JER 4:1 Removed trailing space in v~: “Ikiwa utataka kurudi, ee Israeli,

JER 4:1 Removed trailing space in p~: nirudie mimi,”

JER 4:1 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 4:1 Removed trailing space in p~: “Ikiwa utaondoa sanamu zako za kuchukiza mbele ya macho yangu

JER 4:1 Removed trailing space in p~: na usiendelee kutangatanga,

JER 4:2 Removed trailing space in v~: ikiwa kwa kweli, kwa haki na kwa unyofu utaapa,

JER 4:2 Removed trailing space in p~: ‘Kwa hakika kama vile \nd Bwana\nd* aishivyo,’

JER 4:2 Removed trailing space in p~: ndipo mataifa yatakapobarikiwa naye

JER 4:2 Removed trailing space in p~: na katika yeye watajitukuza.”

JER 4:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kwa watu wa Yuda na kwa Yerusalemu:

JER 4:3 Removed trailing space in p~: “Vunjeni mabonge kwenye mashamba yenu,

JER 4:3 Removed trailing space in p~: wala msipande katikati ya miiba.

JER 4:4 Removed trailing space in v~: Jitahirini katika \nd Bwana\nd*,

JER 4:4 Removed trailing space in p~: tahirini mioyo yenu,

JER 4:4 Removed trailing space in p~: enyi wanaume wa Yuda

JER 4:4 Removed trailing space in p~: na watu wa Yerusalemu,

JER 4:4 Removed trailing space in p~: la sivyo ghadhabu yangu itatoka kwa nguvu

JER 4:4 Removed trailing space in p~: na kuwaka kama moto

JER 4:4 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu mliotenda,

JER 4:4 Removed trailing space in p~: ikiwaka pasipo wa kuizima.

JER 4:4 Removed trailing space in s1: Maafa Kutoka Kaskazini

JER 4:5 Removed trailing space in v~: “Tangaza katika Yuda na upige mbiu katika Yerusalemu na kusema:

JER 4:5 Removed trailing space in p~: ‘Piga tarumbeta katika nchi yote!’

JER 4:5 Removed trailing space in p~: Piga kelele na kusema:

JER 4:5 Removed trailing space in p~: ‘Kusanyikeni pamoja!

JER 4:5 Removed trailing space in p~: Tukimbilie katika miji yenye maboma!’

JER 4:6 Removed trailing space in v~: Onyesheni ishara ili kwenda Sayuni!

JER 4:6 Removed trailing space in p~: Kimbilieni usalama pasipo kuchelewa!

JER 4:6 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa ninaleta maafa kutoka kaskazini,

JER 4:6 Removed trailing space in p~: maangamizi ya kutisha.”

JER 4:7 Removed trailing space in v~: Simba ametoka nje ya pango lake,

JER 4:7 Removed trailing space in p~: mharabu wa mataifa amejipanga.

JER 4:7 Removed trailing space in p~: Ametoka mahali pake

JER 4:7 Removed trailing space in p~: ili aangamize nchi yenu.

JER 4:7 Removed trailing space in p~: Miji yenu itakuwa magofu

JER 4:7 Removed trailing space in p~: pasipo mtu wa kuishi humo.

JER 4:8 Removed trailing space in v~: Hivyo vaeni nguo za magunia,

JER 4:8 Removed trailing space in p~: ombolezeni na kulia kwa huzuni,

JER 4:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hasira kali ya \nd Bwana\nd*

JER 4:8 Removed trailing space in p~: haijaondolewa kwetu.

JER 4:9 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile,” asema \nd Bwana\nd*

JER 4:9 Removed trailing space in p~: “mfalme na maafisa watakata tamaa,

JER 4:9 Removed trailing space in p~: makuhani watafadhaika,

JER 4:9 Removed trailing space in p~: na manabii watashangazwa mno.”

JER 4:10 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema, “Aa, \nd Bwana\nd* Mwenyezi, umewadanganyaje kabisa watu hawa na Yerusalemu kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’ wakati upanga uko kwenye koo zetu!”

JER 4:11 Removed trailing space in v~: Wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa, “Upepo wa moto kutoka miinuko iliyo kame katika jangwa unavuma kuelekea watu wangu, lakini sio kupepeta au kutakasa,

JER 4:12 Removed trailing space in v~: upepo wenye nguvu sana kuliko wa kupepeta na kutakasa utakuja kwa amri yangu. Sasa natangaza hukumu zangu dhidi yao.”

JER 4:13 Removed trailing space in v~: Tazama! Anakuja kama mawingu,

JER 4:13 Removed trailing space in p~: magari yake yanakuja kama upepo wa kisulisuli,

JER 4:13 Removed trailing space in p~: farasi wake wana mbio kuliko tai.

JER 4:13 Removed trailing space in p~: Ole wetu! Tunaangamia!

JER 4:14 Removed trailing space in v~: Ee Yerusalemu, usafishe uovu kutoka moyoni mwako na uokolewe.

JER 4:14 Removed trailing space in p~: Utaendelea kuficha mawazo mapotovu mpaka lini?

JER 4:15 Removed trailing space in v~: Sauti inatangaza kutoka Dani,

JER 4:15 Removed trailing space in p~: ikipiga mbiu ya maafa kutoka vilima vya Efraimu.

JER 4:16 Removed trailing space in v~: “Waambie mataifa jambo hili,

JER 4:16 Removed trailing space in p~: piga mbiu hii dhidi ya Yerusalemu:

JER 4:16 Removed trailing space in p~: ‘Jeshi la kuzingira linakuja kutoka nchi ya mbali,

JER 4:16 Removed trailing space in p~: likipiga kelele ya vita dhidi ya miji ya Yuda.

JER 4:17 Removed trailing space in v~: Wamemzunguka kama watu walindao shamba,

JER 4:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu amefanya uasi dhidi yangu,’ ”

JER 4:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 4:18 Removed trailing space in v~: “Mwenendo wako na matendo yako mwenyewe

JER 4:18 Removed trailing space in p~: yameleta haya juu yako.

JER 4:18 Removed trailing space in p~: Hii ndiyo adhabu yako.

JER 4:18 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ilivyo chungu!

JER 4:18 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi inavyochoma moyo!”

JER 4:19 Removed trailing space in v~: Ee mtima wangu, mtima wangu!

JER 4:19 Removed trailing space in p~: Ninagaagaa kwa maumivu.

JER 4:19 Removed trailing space in p~: Ee maumivu makuu ya moyo wangu!

JER 4:19 Removed trailing space in p~: Moyo wangu umefadhaika ndani yangu,

JER 4:19 Removed trailing space in p~: siwezi kunyamaza.

JER 4:19 Removed trailing space in p~: Kwa sababu nimesikia sauti ya tarumbeta,

JER 4:19 Removed trailing space in p~: nimesikia kelele ya vita.

JER 4:20 Removed trailing space in v~: Maafa baada ya maafa,

JER 4:20 Removed trailing space in p~: nchi yote imekuwa magofu.

JER 4:20 Removed trailing space in p~: Kwa ghafula mahema yangu yameangamizwa,

JER 4:20 Removed trailing space in p~: makazi yangu kwa muda mfupi.

JER 4:21 Removed trailing space in v~: Hata lini nitaendelea kuona bendera ya vita

JER 4:21 Removed trailing space in p~: na kusikia sauti za tarumbeta?

JER 4:22 Removed trailing space in v~: “Watu wangu ni wapumbavu,

JER 4:22 Removed trailing space in p~: hawanijui mimi.

JER 4:22 Removed trailing space in p~: Ni watoto wasio na akili,

JER 4:22 Removed trailing space in p~: hawana ufahamu.

JER 4:22 Removed trailing space in p~: Ni hodari kutenda mabaya,

JER 4:22 Removed trailing space in p~: hawajui kutenda yaliyo mema.”

JER 4:23 Removed trailing space in v~: Niliitazama dunia,

JER 4:23 Removed trailing space in p~: nayo haikuwa na umbo tena ni tupu;

JER 4:23 Removed trailing space in p~: niliziangalia mbingu,

JER 4:23 Removed trailing space in p~: mianga ilikuwa imetoweka.

JER 4:24 Removed trailing space in v~: Niliitazama milima, nayo ilikuwa ikitetemeka,

JER 4:24 Removed trailing space in p~: vilima vyote vilikuwa vikiyumbayumba.

JER 4:25 Removed trailing space in v~: Nilitazama, wala watu hawakuwepo;

JER 4:25 Removed trailing space in p~: kila ndege wa angani alikuwa ameruka zake.

JER 4:26 Removed trailing space in v~: Nilitazama, hata nchi iliyokuwa imestawi vizuri imekuwa jangwa,

JER 4:26 Removed trailing space in p~: miji yake yote ilikuwa magofu

JER 4:26 Removed trailing space in p~: mbele za \nd Bwana\nd*,

JER 4:26 Removed trailing space in p~: mbele ya hasira yake kali.

JER 4:27 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo:

JER 4:27 Removed trailing space in p~: “Nchi yote itaharibiwa,

JER 4:27 Removed trailing space in p~: ingawa sitaiangamiza kabisa.

JER 4:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo dunia itaomboleza

JER 4:28 Removed trailing space in p~: na mbingu zilizo juu zitakuwa giza,

JER 4:28 Removed trailing space in p~: kwa sababu nimesema nami sitarudi nyuma,

JER 4:28 Removed trailing space in p~: nimeamua na wala sitageuka.”

JER 4:29 Removed trailing space in v~: Kwa sauti ya wapanda farasi na wapiga upinde

JER 4:29 Removed trailing space in p~: kila mji unakimbia.

JER 4:29 Removed trailing space in p~: Baadhi wanakimbilia vichakani,

JER 4:29 Removed trailing space in p~: baadhi wanapanda juu ya miamba.

JER 4:29 Removed trailing space in p~: Miji yote imeachwa,

JER 4:29 Removed trailing space in p~: hakuna aishiye ndani yake.

JER 4:30 Removed trailing space in v~: Unafanya nini, ewe uliyeharibiwa?

JER 4:30 Removed trailing space in p~: Kwa nini unajivika vazi jekundu

JER 4:30 Removed trailing space in p~: na kuvaa vito vya dhahabu?

JER 4:30 Removed trailing space in p~: Kwa nini unapaka macho yako rangi?

JER 4:30 Removed trailing space in p~: Unajipamba bure.

JER 4:30 Removed trailing space in p~: Wapenzi wako wanakudharau,

JER 4:30 Removed trailing space in p~: wanautafuta uhai wako.

JER 4:31 Removed trailing space in v~: Nasikia kilio kama cha mwanamke

JER 4:31 Removed trailing space in p~: katika utungu wa kuzaa,

JER 4:31 Removed trailing space in p~: kilio cha uchungu kama cha anayemzaa

JER 4:31 Removed trailing space in p~: mtoto wake wa kwanza:

JER 4:31 Removed trailing space in p~: kilio cha Binti Sayuni akitweta ili aweze kupumua,

JER 4:31 Removed trailing space in p~: akiinua mikono yake, akisema,

JER 4:31 Removed trailing space in p~: “Ole wangu! Ninazimia;

JER 4:31 Removed trailing space in p~: maisha yangu yamekabidhiwa kwa wauaji.”

JER 5:0 Extra space after chapter number

JER 5:0 Removed trailing space in c: 5

JER 5:0 Removed trailing space in s1: Hakuna Hata Mmoja Aliye Mkamilifu

JER 5:1 Removed trailing space in v~: “Pandeni na kushuka katika mitaa ya Yerusalemu,

JER 5:1 Removed trailing space in p~: tazameni pande zote na mtafakari,

JER 5:1 Removed trailing space in p~: tafuteni katika viwanja vyake.

JER 5:1 Removed trailing space in p~: Kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja tu

JER 5:1 Removed trailing space in p~: atendaye kwa uaminifu na kutafuta kweli,

JER 5:1 Removed trailing space in p~: nitausamehe mji huu.

JER 5:2 Removed trailing space in v~: Ingawa wanasema, ‘Kwa hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo,’

JER 5:2 Removed trailing space in p~: bado wanaapa kwa uongo.”

JER 5:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, je, macho yako hayaitafuti kweli?

JER 5:3 Removed trailing space in p~: Uliwapiga, lakini hawakusikia maumivu,

JER 5:3 Removed trailing space in p~: uliwapondaponda, lakini walikataa maonyo.

JER 5:3 Removed trailing space in p~: Walifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko jiwe

JER 5:3 Removed trailing space in p~: nao walikataa kutubu.

JER 5:4 Removed trailing space in v~: Ndipo nikasema, “Hawa ni maskini tu;

JER 5:4 Removed trailing space in p~: wao ni wapumbavu,

JER 5:4 Removed trailing space in p~: kwa maana hawaijui njia ya \nd Bwana\nd*,

JER 5:4 Removed trailing space in p~: sheria ya Mungu wao.

JER 5:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitakwenda kwa viongozi

JER 5:5 Removed trailing space in p~: na kuzungumza nao,

JER 5:5 Removed trailing space in p~: hakika wao wanaijua njia ya \nd Bwana\nd*,

JER 5:5 Removed trailing space in p~: sheria ya Mungu wao.”

JER 5:5 Removed trailing space in p~: Lakini kwa nia moja nao pia walikuwa wameivunja nira

JER 5:5 Removed trailing space in p~: na kuvivunja vifungo.

JER 5:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo simba kutoka mwituni atawashambulia,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: mbwa mwitu kutoka jangwani atawaangamiza,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: chui atawavizia karibu na miji yao,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: ili kumrarua vipande vipande yeyote atakayethubutu kutoka nje,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: kwa maana maasi yao ni makubwa,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: na kukengeuka kwao kumekuwa ni kwingi.

JER 5:7 Removed trailing space in v~: “Kwa nini niwasamehe?

JER 5:7 Removed trailing space in p~: Watoto wenu wameniacha na kuapa kwa miungu ambayo si miungu.

JER 5:7 Removed trailing space in p~: Niliwapatia mahitaji yao yote,

JER 5:7 Removed trailing space in p~: lakini bado wamefanya uzinzi na kusongana katika nyumba za makahaba.

JER 5:8 Removed trailing space in v~: Wamelishwa vizuri, kama farasi waume wenye tamaa nyingi,

JER 5:8 Removed trailing space in p~: kila mmoja akimlilia mke wa mwanaume mwingine.

JER 5:9 Removed trailing space in v~: Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?”

JER 5:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:9 Removed trailing space in p~: “Je, nisijilipizie kisasi

JER 5:9 Removed trailing space in p~: juu ya taifa kama hili?

JER 5:10 Removed trailing space in v~: “Piteni katika mashamba yake ya mizabibu na kuyaharibu,

JER 5:10 Removed trailing space in p~: lakini msiangamize kabisa.

JER 5:10 Removed trailing space in p~: Pogoeni matawi yake,

JER 5:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa watu hawa sio wa \nd Bwana\nd*.

JER 5:11 Removed trailing space in v~: Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda

JER 5:11 Removed trailing space in p~: wamekuwa si waaminifu kwangu kamwe,”

JER 5:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:12 Removed trailing space in v~: Wamedanganya kuhusu \nd Bwana\nd*.

JER 5:12 Removed trailing space in p~: Wamesema, “Yeye hatafanya jambo lolote!

JER 5:12 Removed trailing space in p~: Hakuna dhara litakalotupata;

JER 5:12 Removed trailing space in p~: kamwe hatutaona upanga wala njaa.

JER 5:13 Removed trailing space in v~: Manabii ni upepo tu, wala neno halimo ndani yao,

JER 5:13 Removed trailing space in p~: kwa hiyo hayo wayasemayo na yatendeke kwao.”

JER 5:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote:

JER 5:14 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu watu hawa wamesema maneno haya,

JER 5:14 Removed trailing space in p~: nitayafanya maneno yangu vinywani mwenu kuwa moto,

JER 5:14 Removed trailing space in p~: na watu hawa wawe kuni

JER 5:14 Removed trailing space in p~: zinazoliwa na huo moto.

JER 5:15 Removed trailing space in v~: Ee nyumba ya Israeli,” asema \nd Bwana\nd*,

JER 5:15 Removed trailing space in p~: “Ninaleta taifa toka mbali dhidi yako,

JER 5:15 Removed trailing space in p~: taifa la kale na linaloendelea kudumu,

JER 5:15 Removed trailing space in p~: taifa ambalo lugha yao huijui,

JER 5:15 Removed trailing space in p~: wala msemo wao huwezi kuuelewa.

JER 5:16 Removed trailing space in v~: Podo zao ni kama kaburi lililo wazi,

JER 5:16 Removed trailing space in p~: wote ni mashujaa hodari wa vita.

JER 5:17 Removed trailing space in v~: Watayaangamiza mazao yenu na chakula chenu,

JER 5:17 Removed trailing space in p~: wataangamiza wana wenu na mabinti zenu;

JER 5:17 Removed trailing space in p~: wataangamiza makundi yenu ya kondoo na ya ngʼombe,

JER 5:17 Removed trailing space in p~: wataangamiza mizabibu yenu na mitini yenu.

JER 5:17 Removed trailing space in p~: Kwa upanga wataangamiza

JER 5:17 Removed trailing space in p~: miji yenye maboma mliyoitumainia.

JER 5:18 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo katika siku hizo, sitakuangamiza kabisa,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:19 Removed trailing space in v~: “Nao watu watakapouliza, ‘Kwa nini \nd Bwana\nd*, Mungu wetu ametufanyia mambo haya yote?’ utawaambia, ‘Kama vile mlivyoniacha mimi na kutumikia miungu migeni katika nchi yenu wenyewe, ndivyo sasa mtakavyowatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.’

JER 5:20 Removed trailing space in v~: “Itangazie nyumba ya Yakobo hili

JER 5:20 Removed trailing space in p~: na ulipigie mbiu katika Yuda:

JER 5:21 Removed trailing space in v~: Sikieni hili, enyi watu wapumbavu, msio na akili,

JER 5:21 Removed trailing space in p~: mlio na macho lakini hamwoni,

JER 5:21 Removed trailing space in p~: mlio na masikio lakini hamsikii:

JER 5:22 Removed trailing space in v~: Je, haiwapasi kuniogopa mimi?” asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:22 Removed trailing space in p~: “Je, haiwapasi kutetemeka mbele zangu?

JER 5:22 Removed trailing space in p~: Niliufanya mchanga kuwa mpaka wa bahari,

JER 5:22 Removed trailing space in p~: kizuizi cha milele ambacho haiwezi kupita.

JER 5:22 Removed trailing space in p~: Mawimbi yanaweza kuumuka, lakini hayawezi kuupita;

JER 5:22 Removed trailing space in p~: yanaweza kunguruma, lakini hayawezi kuuvuka.

JER 5:23 Removed trailing space in v~: Lakini watu hawa wana mioyo ya ukaidi na ya uasi,

JER 5:23 Removed trailing space in p~: wamegeukia mbali na kwenda zao.

JER 5:24 Removed trailing space in v~: Wao hawaambiani wenyewe,

JER 5:24 Removed trailing space in p~: ‘Sisi na tumwogope \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

JER 5:24 Removed trailing space in p~: anayetupatia mvua za masika na za vuli kwa majira yake,

JER 5:24 Removed trailing space in p~: anayetuhakikishia majuma ya mavuno kwa utaratibu.’

JER 5:25 Removed trailing space in v~: Matendo yenu mabaya yamezuia haya yote,

JER 5:25 Removed trailing space in p~: dhambi zenu zimewazuia msipate mema.

JER 5:26 Removed trailing space in v~: “Miongoni mwa watu wangu wamo walio waovu

JER 5:26 Removed trailing space in p~: wanaovizia kama watu wanaotega ndege,

JER 5:26 Removed trailing space in p~: na kama wale wanaoweka mitego

JER 5:26 Removed trailing space in p~: kuwakamata watu.

JER 5:27 Removed trailing space in v~: Kama vitundu vilivyojaa ndege,

JER 5:27 Removed trailing space in p~: nyumba zao zimejaa udanganyifu;

JER 5:27 Removed trailing space in p~: wamekuwa matajiri na wenye nguvu,

JER 5:28 Removed trailing space in v~: wamenenepa na kunawiri.

JER 5:28 Removed trailing space in p~: Matendo yao maovu hayana kikomo;

JER 5:28 Removed trailing space in p~: hawatetei mashauri ya yatima wapate kushinda,

JER 5:28 Removed trailing space in p~: hawatetei haki za maskini.

JER 5:29 Removed trailing space in v~: Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?”

JER 5:29 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:29 Removed trailing space in p~: “Je, nisijilipizie kisasi

JER 5:29 Removed trailing space in p~: juu ya taifa kama hili?

JER 5:30 Removed trailing space in v~: “Jambo la kutisha na kushtusha

JER 5:30 Removed trailing space in p~: limetokea katika nchi hii:

JER 5:31 Removed trailing space in v~: Manabii wanatabiri uongo,

JER 5:31 Removed trailing space in p~: makuhani wanatawala kwa mamlaka yao wenyewe,

JER 5:31 Removed trailing space in p~: nao watu wangu wanapenda hivyo.

JER 5:31 Removed trailing space in p~: Lakini mtafanya nini mwisho wake?

JER 6:0 Extra space after chapter number

JER 6:0 Removed trailing space in c: 6

JER 6:0 Removed trailing space in s1: Yerusalemu Imezingirwa Na Jeshi

JER 6:1 Removed trailing space in v~: “Kimbieni kwa usalama wenu, enyi watu wa Benyamini!

JER 6:1 Removed trailing space in p~: Kimbieni kutoka Yerusalemu!

JER 6:1 Removed trailing space in p~: Pigeni tarumbeta katika Tekoa!

JER 6:1 Removed trailing space in p~: Inueni ishara juu ya Beth-Hakeremu!

JER 6:1 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa maafa yanaonekana yakitoka kaskazini,

JER 6:1 Removed trailing space in p~: na uharibifu wa kutisha.

JER 6:2 Removed trailing space in v~: Nitamwangamiza Binti Sayuni,

JER 6:2 Removed trailing space in p~: aliye mzuri sana na mwororo.

JER 6:3 Removed trailing space in v~: Wachungaji pamoja na makundi yao

JER 6:3 Removed trailing space in p~: watakuja dhidi yake;

JER 6:3 Removed trailing space in p~: watapiga mahema yao kumzunguka,

JER 6:3 Removed trailing space in p~: kila mmoja akichunga kundi lake mwenyewe.”

JER 6:4 Removed trailing space in v~: “Jiandaeni kwa vita dhidi yake!

JER 6:4 Removed trailing space in p~: Inukeni tumshambulie mchana!

JER 6:4 Removed trailing space in p~: Lakini, ole wetu, mchana unaisha,

JER 6:4 Removed trailing space in p~: na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.

JER 6:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo inukeni, tufanye mashambulizi usiku,

JER 6:5 Removed trailing space in p~: na kuharibu ngome zake!”

JER 6:6 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 6:6 Removed trailing space in p~: “Kateni miti mjenge boma

JER 6:6 Removed trailing space in p~: kuzunguka Yerusalemu.

JER 6:6 Removed trailing space in p~: Mji huu ni lazima uadhibiwe,

JER 6:6 Removed trailing space in p~: umejazwa na uonevu.

JER 6:7 Removed trailing space in v~: Kama vile kisima kinavyomwaga maji yake,

JER 6:7 Removed trailing space in p~: ndivyo anavyomwaga uovu wake.

JER 6:7 Removed trailing space in p~: Ukatili na maangamizi yasikika ndani yake,

JER 6:7 Removed trailing space in p~: ugonjwa wake na majeraha yake viko mbele yangu daima.

JER 6:8 Removed trailing space in v~: Pokea onyo, ee Yerusalemu,

JER 6:8 Removed trailing space in p~: la sivyo nitageukia mbali nawe

JER 6:8 Removed trailing space in p~: na kuifanya nchi yako kuwa ukiwa,

JER 6:8 Removed trailing space in p~: asiweze mtu kuishi ndani yake.”

JER 6:9 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 6:9 Removed trailing space in p~: “Wao na wayakusanye mabaki ya Israeli

JER 6:9 Removed trailing space in p~: kwa uangalifu kama kwenye mzabibu;

JER 6:9 Removed trailing space in p~: pitisha mkono wako kwenye matawi tena,

JER 6:9 Removed trailing space in p~: kama yeye avunaye zabibu.”

JER 6:10 Removed trailing space in v~: Niseme na nani na kumpa onyo?

JER 6:10 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayenisikiliza mimi?

JER 6:10 Removed trailing space in p~: Masikio yao yameziba,\f + \fr 6:10 \ft Masikio yameziba kwa Kiebrania ina maana kwamba masikio yao hayajatahiriwa.\f*

JER 6:10 Removed trailing space in p~: kwa hiyo hawawezi kusikia.

JER 6:10 Removed trailing space in p~: Neno la \nd Bwana\nd* ni chukizo kwao,

JER 6:10 Removed trailing space in p~: hawalifurahii.

JER 6:11 Removed trailing space in v~: Lakini nimejaa ghadhabu ya \nd Bwana\nd*,

JER 6:11 Removed trailing space in p~: nami siwezi kuizuia.

JER 6:11 Removed trailing space in p~: “Wamwagie watoto walioko barabarani,

JER 6:11 Removed trailing space in p~: na juu ya vijana waume waliokusanyika;

JER 6:11 Removed trailing space in p~: mume na mke watakumbwa pamoja ndani yake,

JER 6:11 Removed trailing space in p~: hata nao wazee waliolemewa na miaka.

JER 6:12 Removed trailing space in v~: Nyumba zao zitapewa watu wengine,

JER 6:12 Removed trailing space in p~: pamoja na mashamba yao na wake zao,

JER 6:12 Removed trailing space in p~: nitakapounyoosha mkono wangu

JER 6:12 Removed trailing space in p~: dhidi ya wale waishio katika nchi,”

JER 6:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 6:13 Removed trailing space in v~: “Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa,

JER 6:13 Removed trailing space in p~: wote wana tamaa ya kupata faida zaidi;

JER 6:13 Removed trailing space in p~: manabii na makuhani wanafanana,

JER 6:13 Removed trailing space in p~: wote wanafanya udanganyifu.

JER 6:14 Removed trailing space in v~: Wanafunga majeraha ya watu wangu

JER 6:14 Removed trailing space in p~: bila uangalifu.

JER 6:14 Removed trailing space in p~: Wanasema, ‘Amani, amani,’

JER 6:14 Removed trailing space in p~: wakati hakuna amani.

JER 6:15 Removed trailing space in v~: Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao

JER 6:15 Removed trailing space in p~: inayochukiza mno?

JER 6:15 Removed trailing space in p~: Hapana, hawana aibu hata kidogo;

JER 6:15 Removed trailing space in p~: hawajui hata kuona haya.

JER 6:15 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao walioanguka,

JER 6:15 Removed trailing space in p~: watashushwa chini nitakapowaadhibu,”

JER 6:15 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 6:16 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 6:16 Removed trailing space in p~: “Simama kwenye njia panda utazame,

JER 6:16 Removed trailing space in p~: ulizia mapito ya zamani,

JER 6:16 Removed trailing space in p~: ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo,

JER 6:16 Removed trailing space in p~: nanyi mtapata raha nafsini mwenu.

JER 6:16 Removed trailing space in p~: Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita hiyo.’

JER 6:17 Removed trailing space in v~: Niliweka walinzi juu yenu na kusema,

JER 6:17 Removed trailing space in p~: ‘Sikieni sauti ya tarumbeta!’

JER 6:17 Removed trailing space in p~: Lakini mkasema, ‘Hatutasikiliza.’

JER 6:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sikilizeni, enyi mataifa,

JER 6:18 Removed trailing space in p~: angalieni, enyi mashahidi,

JER 6:18 Removed trailing space in p~: lile litakalowatokea.

JER 6:19 Removed trailing space in v~: Sikia, ee nchi:

JER 6:19 Removed trailing space in p~: Ninaleta maafa juu ya watu hawa,

JER 6:19 Removed trailing space in p~: matunda ya mipango yao,

JER 6:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu hawakusikiliza maneno yangu

JER 6:19 Removed trailing space in p~: na wameikataa sheria yangu.

JER 6:20 Removed trailing space in v~: Unanifaa nini uvumba kutoka Sheba,

JER 6:20 Removed trailing space in p~: au udi wa harufu nzuri kutoka nchi ya mbali?

JER 6:20 Removed trailing space in p~: Sadaka zako za kuteketezwa hazikubaliki,

JER 6:20 Removed trailing space in p~: dhabihu zako hazinifurahishi mimi.”

JER 6:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 6:21 Removed trailing space in p~: “Nitaweka vikwazo mbele ya watu hawa.

JER 6:21 Removed trailing space in p~: Baba na wana wao watajikwaa juu yake,

JER 6:21 Removed trailing space in p~: majirani na marafiki wataangamia.”

JER 6:22 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 6:22 Removed trailing space in p~: “Tazama, jeshi linakuja

JER 6:22 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya kaskazini,

JER 6:22 Removed trailing space in p~: taifa kubwa linaamshwa

JER 6:22 Removed trailing space in p~: kutoka miisho ya dunia.

JER 6:23 Removed trailing space in v~: Wamejifunga pinde na mkuki,

JER 6:23 Removed trailing space in p~: ni wakatili na hawana huruma.

JER 6:23 Removed trailing space in p~: Wanatoa sauti kama bahari inayonguruma

JER 6:23 Removed trailing space in p~: wanapoendesha farasi zao.

JER 6:23 Removed trailing space in p~: Wanakuja kama watu waliojipanga tayari kwa vita

JER 6:23 Removed trailing space in p~: ili kukushambulia, ee Binti Sayuni.”

JER 6:24 Removed trailing space in v~: Tumesikia taarifa zao,

JER 6:24 Removed trailing space in p~: nayo mikono yetu imelegea.

JER 6:24 Removed trailing space in p~: Uchungu umetushika,

JER 6:24 Removed trailing space in p~: maumivu kama ya mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 6:25 Removed trailing space in v~: Usitoke kwenda mashambani

JER 6:25 Removed trailing space in p~: au kutembea barabarani,

JER 6:25 Removed trailing space in p~: kwa kuwa adui ana upanga,

JER 6:25 Removed trailing space in p~: na kuna vitisho kila upande.

JER 6:26 Removed trailing space in v~: Enyi watu wangu, vaeni magunia

JER 6:26 Removed trailing space in p~: mjivingirishe kwenye majivu,

JER 6:26 Removed trailing space in p~: ombolezeni kwa kilio cha uchungu

JER 6:26 Removed trailing space in p~: kama amliliaye mwana pekee,

JER 6:26 Removed trailing space in p~: kwa maana ghafula

JER 6:26 Removed trailing space in p~: mharabu atatujia.

JER 6:27 Removed trailing space in v~: “Nimekufanya wewe kuwa kitu cha kujaribu chuma,

JER 6:27 Removed trailing space in p~: nao watu wangu kama mawe yenye madini,

JER 6:27 Removed trailing space in p~: ili upate kuzijua na kuzijaribu njia zao.

JER 6:28 Removed trailing space in v~: Wote ni waasi sugu,

JER 6:28 Removed trailing space in p~: wakienda huku na huko kusengenya.

JER 6:28 Removed trailing space in p~: Wao ni shaba na chuma,

JER 6:28 Removed trailing space in p~: wote wanatenda upotovu.

JER 6:29 Removed trailing space in v~: Mivuo inavuma kwa nguvu,

JER 6:29 Removed trailing space in p~: kinachoungua kwa huo moto ni risasi,

JER 6:29 Removed trailing space in p~: lakini pamoja na kusafisha kote huku ni bure;

JER 6:29 Removed trailing space in p~: waovu hawaondolewi.

JER 6:30 Removed trailing space in v~: Wanaitwa fedha iliyokataliwa,

JER 6:30 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* amewakataa.”

JER 7:0 Extra space after chapter number

JER 7:0 Removed trailing space in c: 7

JER 7:0 Removed trailing space in s1: Dini Za Uongo Hazina Maana

JER 7:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 7:2 Removed trailing space in v~: “Simama kwenye lango la nyumba ya \nd Bwana\nd*, na huko upige mbiu ya ujumbe huu:

JER 7:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi watu wote wa Yuda mliokuja kupitia malango haya ili kumwabudu \nd Bwana\nd*.

JER 7:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Tengenezeni njia zenu na matendo yenu, nami nitawaacha mkae mahali hapa.

JER 7:4 Removed trailing space in v~: Msitumainie maneno ya udanganyifu na kusema, “Hili ni Hekalu la \nd Bwana\nd*, Hekalu la \nd Bwana\nd*, Hekalu la \nd Bwana\nd*!”

JER 7:5 Removed trailing space in v~: Kama kweli mkibadili njia zenu na matendo yenu, mkatendeana haki kila mmoja na mwenzake,

JER 7:6 Removed trailing space in v~: kama msipomwonea mgeni, yatima wala mjane, na kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, nanyi kama msipofuata miungu mingine kwa madhara yenu wenyewe,

JER 7:7 Removed trailing space in v~: ndipo nitawaacha mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa baba zenu milele na milele.

JER 7:8 Removed trailing space in v~: Lakini tazama, mnatumainia maneno ya udanganyifu yasiyo na maana.

JER 7:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Je, mtaiba na kuua, mtazini na kuapa kwa uongo, na kufukiza uvumba kwa Baali, na kufuata miungu mingine ambayo hamkuijua,

JER 7:10 Removed trailing space in v~: kisha mje na kusimama mbele yangu katika nyumba hii inayoitwa kwa Jina langu, mkisema, “Tuko salama.” Salama kwa kufanya mambo haya yote ya kuchukiza?

JER 7:11 Removed trailing space in v~: Je, nyumba hii, iitwayo kwa Jina langu, imekuwa pango la wanyangʼanyi kwenu? Lakini nimekuwa nikiona yanayotendeka! asema \nd Bwana\nd*.

JER 7:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Nendeni sasa mahali pangu palipokuwa huko Shilo, mahali ambapo nilipafanya pa kwanza kuwa makao ya Jina langu, nanyi mwone lile nililopafanyia kwa ajili ya uovu wa watu wangu Israeli.

JER 7:13 Removed trailing space in v~: Mlipokuwa mnafanya yote haya, asema \nd Bwana\nd*, nilisema nanyi tena na tena, lakini hamkusikiliza; niliwaita, lakini hamkujibu.

JER 7:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, nililolifanyia Shilo, nitalifanya sasa kwa nyumba hii iitwayo kwa Jina langu, Hekalu mnalolitumainia, mahali nilipowapa ninyi na baba zenu.

JER 7:15 Removed trailing space in v~: Nitawafukuza mbele yangu, kama nilivyowafanyia ndugu zenu, watu wa Efraimu.’

JER 7:16 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo usiombe kwa ajili ya watu hawa, wala usinililie, na usifanye maombi kwa ajili yao; usinisihi, kwa sababu sitakusikiliza.

JER 7:17 Removed trailing space in v~: Je, huyaoni hayo wanayoyatenda katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu?

JER 7:18 Removed trailing space in v~: Watoto wanakusanya kuni, baba zao wanawasha moto, na wanawake wanakanda unga na kuoka mikate kwa ajili ya Malkia wa Mbinguni. Wanamimina sadaka za vinywaji kwa miungu mingine ili kunikasirisha.

JER 7:19 Removed trailing space in v~: Lakini je, mimi ndiye wanayenikasirisha? asema \nd Bwana\nd*. Je, hawajiumizi wenyewe na kujiaibisha?

JER 7:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi: Hasira yangu na ghadhabu yangu itamwagwa mahali hapa, juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na juu ya matunda ya ardhini, nayo itaungua pasipo kuzimwa.

JER 7:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Endeleeni, ongezeni sadaka zenu za kuteketezwa juu ya dhabihu zenu nyingine, mle nyama hiyo wenyewe!

JER 7:22 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa nilipowaleta baba zenu kutoka Misri na kusema nao, sikuwapa amri kuhusu sadaka za kuteketezwa na dhabihu tu,

JER 7:23 Removed trailing space in v~: lakini niliwapa amri hii nikisema: Nitiini mimi, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu. Enendeni katika njia zote ninazowaamuru ili mpate kufanikiwa.

JER 7:24 Removed trailing space in v~: Lakini hawakusikiliza wala kujali. Badala yake, walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu. Walirudi nyuma badala ya kusonga mbele.

JER 7:25 Removed trailing space in v~: Tangu wakati ule baba zenu walipotoka Misri hadi sasa, siku baada ya siku, tena na tena nimewatumia watumishi wangu manabii.

JER 7:26 Removed trailing space in v~: Lakini hawakunisikiliza wala hawakujali. Walikuwa na shingo ngumu na kufanya maovu kuliko baba zao.’

JER 7:27 Removed trailing space in v~: “Utakapowaambia haya yote, hawatakusikiliza; utakapowaita, hawatajibu.

JER 7:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo waambie, ‘Hili ni taifa ambalo halimtii \nd Bwana\nd*, Mungu wao, wala kukubali maonyo. Kweli imekufa, imetoweka midomoni mwao.

JER 7:29 Removed trailing space in v~: Nyoeni nywele zenu na kuzitupa, ombolezeni katika miinuko iliyo kame, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amekikataa na kukiacha kizazi hiki kilichomkasirisha.

JER 7:29 Removed trailing space in s1: Bonde La Machinjo

JER 7:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Yuda wamefanya maovu machoni pangu, asema \nd Bwana\nd*. Wameziweka sanamu zao za machukizo ndani ya nyumba iitwayo kwa Jina langu, na wameitia unajisi.

JER 7:31 Removed trailing space in v~: Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia sanamu pa Tofethi kwenye Bonde la Ben-Hinomu ili kuwateketeza wana wao na binti zao kwenye moto, kitu ambacho sikuamuru, wala hakikuingia akilini mwangu.

JER 7:32 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mjihadhari, siku zinakuja, asema \nd Bwana\nd*, wakati watu watakapokuwa hawapaiti Tofethi au Bonde la Ben-Hinomu, lakini watapaita Bonde la Machinjo, kwa sababu watawazika wafu huko Tofethi mpaka pasiwe tena nafasi.

JER 7:33 Removed trailing space in v~: Ndipo mizoga ya watu hawa itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi, wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwafukuza.

JER 7:34 Removed trailing space in v~: Nitazikomesha sauti za shangwe na furaha, na sauti za bwana arusi na bibi arusi katikati ya miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu, kwa sababu nchi itakuwa ukiwa.

JER 8:0 Extra space after chapter number

JER 8:0 Removed trailing space in c: 8

JER 8:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati huo, asema \nd Bwana\nd*, mifupa ya wafalme na maafisa wa Yuda, mifupa ya makuhani na manabii, na mifupa ya watu wa Yerusalemu itaondolewa kutoka makaburi yao.

JER 8:2 Removed trailing space in v~: Itawekwa wazi kwa jua, na mwezi, na nyota zote za mbingu, ambazo walizipenda na kuzitumikia, na ambazo wamezifuata kutafuta ushauri na kuziabudu. Hawatakusanywa pamoja au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyotapakaa juu ya ardhi.

JER 8:3 Removed trailing space in v~: Popote nitakapowafukuzia, mabaki wote wa kizazi hiki kiovu watatamani kufa kuliko kuishi, asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.’

JER 8:3 Removed trailing space in s1: Dhambi Na Adhabu

JER 8:4 Removed trailing space in v~: “Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 8:4 Removed trailing space in p~: “ ‘Je, watu wanapoanguka hawainuki?

JER 8:4 Removed trailing space in p~: Je, mtu anapopotea harudi?

JER 8:5 Removed trailing space in v~: Kwa nini basi watu hawa walipotea?

JER 8:5 Removed trailing space in p~: Kwa nini Yerusalemu inapotea kila mara?

JER 8:5 Removed trailing space in p~: Wanangʼangʼania udanganyifu

JER 8:5 Removed trailing space in p~: na wanakataa kurudi.

JER 8:6 Removed trailing space in v~: Nimewasikiliza kwa makini,

JER 8:6 Removed trailing space in p~: lakini hawataki kusema lililo sawa.

JER 8:6 Removed trailing space in p~: Hakuna anayetubia makosa yake

JER 8:6 Removed trailing space in p~: akisema, “Nimefanya nini?”

JER 8:6 Removed trailing space in p~: Kila mmoja hufuata njia yake mwenyewe

JER 8:6 Removed trailing space in p~: kama farasi anayekwenda vitani.

JER 8:7 Removed trailing space in v~: Hata korongo aliyeko angani

JER 8:7 Removed trailing space in p~: anayajua majira yake yaliyoamriwa,

JER 8:7 Removed trailing space in p~: nao njiwa, mbayuwayu na koikoi

JER 8:7 Removed trailing space in p~: hufuata majira yao ya kurudi.

JER 8:7 Removed trailing space in p~: Lakini watu wangu hawajui

JER 8:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* anachotaka kwao.

JER 8:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Mwawezaje kusema, “Sisi tuna busara

JER 8:8 Removed trailing space in p~: kwa sababu tunayo sheria ya \nd Bwana\nd*,”

JER 8:8 Removed trailing space in p~: wakati ambapo kwa hakika kalamu ya uongo ya waandishi

JER 8:8 Removed trailing space in p~: imeandika kwa udanganyifu?

JER 8:9 Removed trailing space in v~: Wenye hekima wataaibika,

JER 8:9 Removed trailing space in p~: watafadhaika na kunaswa.

JER 8:9 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa wamelikataa neno la \nd Bwana\nd*,

JER 8:9 Removed trailing space in p~: hiyo hekima waliyo nayo ni ya namna gani?

JER 8:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitawapa watu wengine wake zao,

JER 8:10 Removed trailing space in p~: na mashamba yao kwa wamiliki wengine.

JER 8:10 Removed trailing space in p~: Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa,

JER 8:10 Removed trailing space in p~: wote wana tamaa ya kupata zaidi;

JER 8:10 Removed trailing space in p~: manabii na makuhani wanafanana,

JER 8:10 Removed trailing space in p~: wote wanafanya udanganyifu.

JER 8:11 Removed trailing space in v~: Wanafunga majeraha ya watu wangu

JER 8:11 Removed trailing space in p~: bila uangalifu.

JER 8:11 Removed trailing space in p~: Wanasema, “Amani, amani,”

JER 8:11 Removed trailing space in p~: wakati hakuna amani.

JER 8:12 Removed trailing space in v~: Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao inayochukiza mno?

JER 8:12 Removed trailing space in p~: Hapana, hawana aibu hata kidogo,

JER 8:12 Removed trailing space in p~: hawajui hata kuona haya.

JER 8:12 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao walioanguka,

JER 8:12 Removed trailing space in p~: watashushwa chini watakapoadhibiwa,

JER 8:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 8:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitayaondoa mavuno yao,

JER 8:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 8:13 Removed trailing space in p~: Hapatakuwepo zabibu kwenye mzabibu.

JER 8:13 Removed trailing space in p~: Hapatakuwepo na tini kwenye mtini,

JER 8:13 Removed trailing space in p~: majani yake yatanyauka.

JER 8:13 Removed trailing space in p~: Kile nilichowapa

JER 8:13 Removed trailing space in p~: watanyangʼanywa.’ ”

JER 8:14 Removed trailing space in v~: “Kwa nini tunaketi hapa?

JER 8:14 Removed trailing space in p~: Kusanyikeni pamoja!

JER 8:14 Removed trailing space in p~: Tukimbilie kwenye miji yenye maboma,

JER 8:14 Removed trailing space in p~: tukaangamie huko!

JER 8:14 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd*, Mungu wetu

JER 8:14 Removed trailing space in p~: ametuhukumu kuangamia,

JER 8:14 Removed trailing space in p~: na kutupa maji yenye sumu tunywe,

JER 8:14 Removed trailing space in p~: kwa sababu tumemtenda dhambi.

JER 8:15 Removed trailing space in v~: Tulitegemea amani,

JER 8:15 Removed trailing space in p~: lakini hakuna jema lililokuja,

JER 8:15 Removed trailing space in p~: tulitegemea wakati wa kupona,

JER 8:15 Removed trailing space in p~: lakini kulikuwa hofu tu.

JER 8:16 Removed trailing space in v~: Mkoromo wa farasi za adui

JER 8:16 Removed trailing space in p~: umesikika kuanzia Dani,

JER 8:16 Removed trailing space in p~: kwa mlio wa madume yao ya farasi,

JER 8:16 Removed trailing space in p~: nchi yote inatetemeka.

JER 8:16 Removed trailing space in p~: Wamekuja kuangamiza nchi na vyote vilivyomo,

JER 8:16 Removed trailing space in p~: mji na wote waishio ndani yake.”

JER 8:17 Removed trailing space in v~: “Tazama, nitatuma nyoka wenye sumu kali katikati yenu,

JER 8:17 Removed trailing space in p~: fira ambao hawawezi kulogwa,

JER 8:17 Removed trailing space in p~: nao watawauma,”

JER 8:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 8:18 Removed trailing space in v~: Ee Mfariji wangu katika huzuni,

JER 8:18 Removed trailing space in p~: moyo wangu umezimia ndani yangu.

JER 8:19 Removed trailing space in v~: Sikia kilio cha watu wangu

JER 8:19 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya mbali:

JER 8:19 Removed trailing space in p~: “Je, \nd Bwana\nd* hayuko Sayuni?

JER 8:19 Removed trailing space in p~: Je, Mfalme wake hayuko tena huko?”

JER 8:19 Removed trailing space in p~: “Kwa nini wamenikasirisha kwa vinyago vyao,

JER 8:19 Removed trailing space in p~: kwa sanamu zao za kigeni zisizofaa?”

JER 8:20 Removed trailing space in v~: “Mavuno yamepita,

JER 8:20 Removed trailing space in p~: kiangazi kimekwisha,

JER 8:20 Removed trailing space in p~: nasi hatujaokolewa.”

JER 8:21 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia;

JER 8:21 Removed trailing space in p~: ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.

JER 8:22 Removed trailing space in v~: Je, hakuna zeri ya kuponya katika Gileadi?

JER 8:22 Removed trailing space in p~: Je, hakuna tabibu huko?

JER 8:22 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi hakuna uponyaji

JER 8:22 Removed trailing space in p~: wa majeraha ya watu wangu?

JER 9:0 Extra space after chapter number

JER 9:0 Removed trailing space in c: 9

JER 9:1 Removed trailing space in v~: Laiti kichwa changu kingekuwa chemchemi ya maji

JER 9:1 Removed trailing space in p~: na macho yangu yangekuwa kisima cha machozi!

JER 9:1 Removed trailing space in p~: Ningelia usiku na mchana

JER 9:1 Removed trailing space in p~: kwa kuuawa kwa watu wangu.

JER 9:2 Removed trailing space in v~: Laiti ningekuwa na nyumba

JER 9:2 Removed trailing space in p~: ya kukaa wasafiri jangwani,

JER 9:2 Removed trailing space in p~: ningewaacha watu wangu

JER 9:2 Removed trailing space in p~: na kwenda mbali nao,

JER 9:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wote ni wazinzi,

JER 9:2 Removed trailing space in p~: kundi la watu wadanganyifu.

JER 9:3 Removed trailing space in v~: “Huweka tayari ndimi zao kama upinde,

JER 9:3 Removed trailing space in p~: ili kurusha uongo;

JER 9:3 Removed trailing space in p~: wamekuwa na nguvu katika nchi

JER 9:3 Removed trailing space in p~: lakini si katika ukweli.

JER 9:3 Removed trailing space in p~: Wanatoka dhambi moja hadi nyingine,

JER 9:3 Removed trailing space in p~: hawanitambui mimi,”

JER 9:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 9:4 Removed trailing space in v~: “Jihadhari na rafiki zako;

JER 9:4 Removed trailing space in p~: usiwaamini ndugu zako.

JER 9:4 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa kila ndugu ni mdanganyifu,

JER 9:4 Removed trailing space in p~: na kila rafiki ni msingiziaji.

JER 9:5 Removed trailing space in v~: Rafiki humdanganya rafiki,

JER 9:5 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote asemaye kweli.

JER 9:5 Removed trailing space in p~: Wamefundisha ndimi zao kudanganya,

JER 9:5 Removed trailing space in p~: wanajichosha wenyewe katika kutenda dhambi.

JER 9:6 Removed trailing space in v~: Unakaa katikati ya udanganyifu;

JER 9:6 Removed trailing space in p~: katika udanganyifu wao wanakataa kunitambua mimi,”

JER 9:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 9:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 9:7 Removed trailing space in p~: “Tazama, nitawasafisha na kuwajaribu,

JER 9:7 Removed trailing space in p~: kwani ni nini kingine niwezacho kufanya

JER 9:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi ya watu wangu?

JER 9:8 Removed trailing space in v~: Ndimi zao ni mshale wenye sumu,

JER 9:8 Removed trailing space in p~: hunena kwa udanganyifu.

JER 9:8 Removed trailing space in p~: Kwa kinywa chake kila mmoja huzungumza maneno mazuri na jirani yake,

JER 9:8 Removed trailing space in p~: lakini moyoni mwake humtegea mtego.

JER 9:9 Removed trailing space in v~: Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya jambo hili?”

JER 9:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 9:9 Removed trailing space in p~: “Je, nisijilipizie kisasi

JER 9:9 Removed trailing space in p~: kwa taifa kama hili?”

JER 9:10 Removed trailing space in v~: Nitalia na kuomboleza kwa ajili ya milima

JER 9:10 Removed trailing space in p~: na kuomboleza kuhusu malisho ya jangwani.

JER 9:10 Removed trailing space in p~: Yamekuwa ukiwa, wala hakuna apitaye humo,

JER 9:10 Removed trailing space in p~: milio ya ngʼombe haisikiki.

JER 9:10 Removed trailing space in p~: Ndege wa angani wametoroka

JER 9:10 Removed trailing space in p~: na wanyama wamekimbia.

JER 9:11 Removed trailing space in v~: “Nitaifanya Yerusalemu lundo la magofu,

JER 9:11 Removed trailing space in p~: makao ya mbweha;

JER 9:11 Removed trailing space in p~: nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa

JER 9:11 Removed trailing space in p~: ili asiwepo atakayeishi humo.”

JER 9:12 Removed trailing space in v~: Ni mtu yupi aliye na hekima ya kutosha ayaelewe haya? Ni nani aliyefundishwa na \nd Bwana\nd* awezaye kuyaeleza haya? Kwa nini nchi imeharibiwa na kufanywa ukiwa kama jangwa ambapo hakuna awezaye kupita?

JER 9:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Ni kwa sababu wameiacha sheria yangu, niliyoiweka mbele yao: hawajaniheshimu mimi wala kufuata sheria yangu.

JER 9:14 Removed trailing space in v~: Badala yake wamefuata ukaidi wa mioyo yao, wamefuata Mabaali, kama vile baba zao walivyowafundisha.”

JER 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: “Tazama, nitawafanya watu hawa wale chakula kichungu na kunywa maji yenye sumu.

JER 9:16 Removed trailing space in v~: Nitawatawanya katika mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuwajua, nikiwafuata kwa upanga mpaka niwe nimewaangamiza kabisa.”

JER 9:17 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 9:17 Removed trailing space in p~: “Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezao waje,

JER 9:17 Removed trailing space in p~: waite wale walio na ustadi kuliko wote.

JER 9:18 Removed trailing space in v~: Nao waje upesi

JER 9:18 Removed trailing space in p~: na kutuombolezea,

JER 9:18 Removed trailing space in p~: mpaka macho yetu yafurike machozi

JER 9:18 Removed trailing space in p~: na vijito vya maji vitoke kwenye kope zetu.

JER 9:19 Removed trailing space in v~: Sauti ya kuomboleza imesikika kutoka Sayuni:

JER 9:19 Removed trailing space in p~: ‘Tazama jinsi tulivyoangamizwa!

JER 9:19 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi aibu yetu ilivyo kubwa!

JER 9:19 Removed trailing space in p~: Ni lazima tuihame nchi yetu

JER 9:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu nyumba zetu zimekuwa magofu.’ ”

JER 9:20 Removed trailing space in v~: Basi, enyi wanawake, sikieni neno la \nd Bwana\nd*;

JER 9:20 Removed trailing space in p~: fungueni masikio yenu msikie maneno ya kinywa chake.

JER 9:20 Removed trailing space in p~: Wafundisheni binti zenu kuomboleza;

JER 9:20 Removed trailing space in p~: fundishaneni kila mmoja na mwenzake maombolezo.

JER 9:21 Removed trailing space in v~: Mauti imeingia ndani kupitia madirishani,

JER 9:21 Removed trailing space in p~: imeingia kwenye majumba yetu ya fahari;

JER 9:21 Removed trailing space in p~: imewakatilia mbali watoto katika barabara

JER 9:21 Removed trailing space in p~: na vijana waume kutoka viwanja vya miji.

JER 9:22 Removed trailing space in v~: Sema, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 9:22 Removed trailing space in p~: “ ‘Maiti za wanaume zitalala

JER 9:22 Removed trailing space in p~: kama mavi katika mashamba,

JER 9:22 Removed trailing space in p~: kama malundo ya nafaka nyuma ya mvunaji,

JER 9:22 Removed trailing space in p~: wala hakuna anayekusanya.’ ”

JER 9:23 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 9:23 Removed trailing space in p~: “Mwenye hekima asijisifu katika hekima yake,

JER 9:23 Removed trailing space in p~: au mwenye nguvu ajisifu katika nguvu zake,

JER 9:23 Removed trailing space in p~: wala tajiri ajisifu katika utajiri wake,

JER 9:24 Removed trailing space in v~: lakini yeye ajisifuye, na ajisifu kwa sababu hili:

JER 9:24 Removed trailing space in p~: kwamba ananifahamu na kunijua mimi,

JER 9:24 Removed trailing space in p~: kwamba mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitendaye wema,

JER 9:24 Removed trailing space in p~: hukumu na haki duniani,

JER 9:24 Removed trailing space in p~: kwa kuwa napendezwa na haya,”

JER 9:24 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 9:25 Removed trailing space in v~: “Siku zinakuja, nitakapowaadhibu wale wote ambao wametahiriwa kimwili tu, asema \nd Bwana\nd*,

JER 9:26 Removed trailing space in v~: yaani Misri, Yuda, Edomu, Amoni, Moabu na wote wanaoishi jangwani sehemu za mbali. Kwa maana mataifa haya yote hayakutahiriwa mioyo yao, nayo nyumba yote ya Israeli haikutahiriwa.”

JER 10:0 Extra space after chapter number

JER 10:0 Removed trailing space in c: 10

JER 10:0 Removed trailing space in s1: Mungu Na Sanamu

JER 10:1 Removed trailing space in v~: Sikieni lile ambalo \nd Bwana\nd*, anena nanyi ee nyumba ya Israeli.

JER 10:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 10:2 Removed trailing space in p~: “Usijifunze njia za mataifa

JER 10:2 Removed trailing space in p~: wala usitishwe na ishara katika anga,

JER 10:2 Removed trailing space in p~: ingawa mataifa yanatishwa nazo.

JER 10:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana desturi za mataifa hazina maana,

JER 10:3 Removed trailing space in p~: wanakata mti msituni,

JER 10:3 Removed trailing space in p~: na fundi anauchonga kwa patasi.

JER 10:4 Removed trailing space in v~: Wanaparemba kwa fedha na dhahabu,

JER 10:4 Removed trailing space in p~: wanakikaza kwa nyundo na misumari ili kisitikisike.

JER 10:5 Removed trailing space in v~: Sanamu zao ni kama sanamu

JER 10:5 Removed trailing space in p~: iliyowekwa shambani la matango kutishia ndege

JER 10:5 Removed trailing space in p~: nazo haziwezi kuongea;

JER 10:5 Removed trailing space in p~: sharti zibebwe

JER 10:5 Removed trailing space in p~: sababu haziwezi kutembea.

JER 10:5 Removed trailing space in p~: Usiziogope; haziwezi kudhuru,

JER 10:5 Removed trailing space in p~: wala kutenda lolote jema.”

JER 10:6 Removed trailing space in v~: Hakuna aliye kama wewe, Ee \nd Bwana\nd*;

JER 10:6 Removed trailing space in p~: wewe ni mkuu,

JER 10:6 Removed trailing space in p~: jina lako ni lenye nguvu katika uweza.

JER 10:7 Removed trailing space in v~: Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe,

JER 10:7 Removed trailing space in p~: Ee Mfalme wa mataifa?

JER 10:7 Removed trailing space in p~: Hii ni stahili yako.

JER 10:7 Removed trailing space in p~: Miongoni mwa watu wote wenye hekima

JER 10:7 Removed trailing space in p~: katika mataifa na katika falme zao zote,

JER 10:7 Removed trailing space in p~: hakuna aliye kama wewe.

JER 10:8 Removed trailing space in v~: Wote hawana akili, tena ni wapumbavu,

JER 10:8 Removed trailing space in p~: wanafundishwa na sanamu za miti zisizofaa lolote.

JER 10:9 Removed trailing space in v~: Huleta fedha iliyofuliwa kutoka Tarshishi

JER 10:9 Removed trailing space in p~: na dhahabu kutoka Ufazi.

JER 10:9 Removed trailing space in p~: Kile ambacho fundi na sonara wametengeneza

JER 10:9 Removed trailing space in p~: huvikwa mavazi ya rangi ya samawi na urujuani:

JER 10:9 Removed trailing space in p~: vyote vikiwa vimetengenezwa

JER 10:9 Removed trailing space in p~: na mafundi stadi.

JER 10:10 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* ni Mungu wa kweli,

JER 10:10 Removed trailing space in p~: yeye ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele.

JER 10:10 Removed trailing space in p~: Anapokasirika, dunia hutetemeka,

JER 10:10 Removed trailing space in p~: mataifa hayawezi kustahimili hasira yake.

JER 10:11 Removed trailing space in v~: “Waambie hivi: ‘Miungu hii, ambayo haikuumba mbingu na dunia, itaangamia kutoka dunia na kutoka chini ya mbingu.’ ”

JER 10:12 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu aliiumba dunia kwa uweza wake,

JER 10:12 Removed trailing space in p~: akaweka misingi ya ulimwengu kwa hekima yake,

JER 10:12 Removed trailing space in p~: na akazitandaza mbingu kwa ufahamu wake.

JER 10:13 Removed trailing space in v~: Atoapo sauti yake, maji yaliyo katika mbingu hunguruma;

JER 10:13 Removed trailing space in p~: huyafanya mawingu yainuke kutoka miisho ya dunia.

JER 10:13 Removed trailing space in p~: Hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua,

JER 10:13 Removed trailing space in p~: naye huuleta upepo kutoka ghala zake.

JER 10:14 Removed trailing space in v~: Kila mmoja ni mjinga na hana maarifa,

JER 10:14 Removed trailing space in p~: kila sonara ameaibishwa na sanamu zake.

JER 10:14 Removed trailing space in p~: Vinyago vyake ni vya udanganyifu,

JER 10:14 Removed trailing space in p~: havina pumzi ndani yavyo.

JER 10:15 Removed trailing space in v~: Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha tu,

JER 10:15 Removed trailing space in p~: hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia.

JER 10:16 Removed trailing space in v~: Yeye aliye Fungu la Yakobo sivyo alivyo,

JER 10:16 Removed trailing space in p~: kwani ndiye Muumba wa vitu vyote,

JER 10:16 Removed trailing space in p~: pamoja na Israeli, kabila la urithi wake:

JER 10:16 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

JER 10:16 Removed trailing space in s1: Maangamizi Yajayo

JER 10:17 Removed trailing space in v~: Kusanyeni mali na vitu vyenu mwondoke nchi hii,

JER 10:17 Removed trailing space in p~: enyi mnaoishi katika hali ya kuzingirwa na jeshi.

JER 10:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 10:18 Removed trailing space in p~: “Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvu

JER 10:18 Removed trailing space in p~: wote waishio katika nchi hii;

JER 10:18 Removed trailing space in p~: nitawataabisha

JER 10:18 Removed trailing space in p~: ili waweze kutekwa.”

JER 10:19 Removed trailing space in v~: Ole wangu mimi kwa ajili ya kuumia kwangu!

JER 10:19 Removed trailing space in p~: Jeraha langu ni kubwa!

JER 10:19 Removed trailing space in p~: Lakini nilisema,

JER 10:19 Removed trailing space in p~: “Kweli hii ni adhabu yangu,

JER 10:19 Removed trailing space in p~: nami sharti niistahimili.”

JER 10:20 Removed trailing space in v~: Hema langu limeangamizwa;

JER 10:20 Removed trailing space in p~: kamba zake zote zimekatwa.

JER 10:20 Removed trailing space in p~: Wana wangu wametekwa na hawapo tena;

JER 10:20 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja aliyebaki wa kusimamisha hema langu

JER 10:20 Removed trailing space in p~: wala wa kusimamisha kibanda changu.

JER 10:21 Removed trailing space in v~: Wachungaji hawana akili

JER 10:21 Removed trailing space in p~: wala hawamuulizi \nd Bwana\nd*,

JER 10:21 Removed trailing space in p~: hivyo hawastawi

JER 10:21 Removed trailing space in p~: na kundi lao lote la kondoo limetawanyika.

JER 10:22 Removed trailing space in v~: Sikilizeni! Taarifa inakuja:

JER 10:22 Removed trailing space in p~: ghasia kubwa kutoka nchi ya kaskazini!

JER 10:22 Removed trailing space in p~: Hii itafanya miji ya Yuda ukiwa,

JER 10:22 Removed trailing space in p~: makao ya mbweha.

JER 10:22 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Yeremia

JER 10:23 Removed trailing space in v~: Ninajua, Ee \nd Bwana\nd*, kwamba maisha ya mwanadamu si yake mwenyewe;

JER 10:23 Removed trailing space in p~: hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe.

JER 10:24 Removed trailing space in v~: Unirudi, Ee \nd Bwana\nd*, lakini kwa kipimo cha haki:

JER 10:24 Removed trailing space in p~: si katika hasira yako,

JER 10:24 Removed trailing space in p~: usije ukaniangamiza.

JER 10:25 Removed trailing space in v~: Umwage ghadhabu yako juu ya mataifa

JER 10:25 Removed trailing space in p~: wasiokujua wewe,

JER 10:25 Removed trailing space in p~: juu ya mataifa wasioliitia jina lako.

JER 10:25 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa wamemwangamiza Yakobo;

JER 10:25 Removed trailing space in p~: wamemwangamiza kabisa

JER 10:25 Removed trailing space in p~: na kuiharibu nchi yake.

JER 11:0 Extra space after chapter number

JER 11:0 Removed trailing space in c: 11

JER 11:0 Removed trailing space in s1: Agano Limevunjwa

JER 11:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 11:2 Removed trailing space in v~: “Sikia maneno ya agano hili, nawe uwaambie watu wa Yuda na wale waishio Yerusalemu.

JER 11:3 Removed trailing space in v~: Waambie kwamba hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Amelaaniwa mtu ambaye hatayatii maneno ya agano hili,

JER 11:4 Removed trailing space in v~: maneno niliyowaamuru baba zenu nilipowatoa katika nchi ya Misri, kutoka tanuru la kuyeyushia vyuma.’ Nilisema, ‘Nitiini mimi na mfanye kila kitu ninachowaamuru, nanyi mtakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu.

JER 11:5 Removed trailing space in v~: Kisha nitatimiza kiapo nilichowaapia baba zenu, kuwapa nchi itiririkayo maziwa na asali,’ nchi ambayo mnaimiliki leo.”

JER 11:5 Removed trailing space in p~: Nikajibu, “Amen, \nd Bwana\nd*.”

JER 11:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Tangaza maneno haya yote katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu: ‘Sikilizeni maneno ya agano hili na kuyafuata.

JER 11:7 Removed trailing space in v~: Tangu wakati ule niliwapandisha baba zenu kutoka Misri mpaka leo, niliwaonya tena na tena, nikisema “Nitiini mimi.”

JER 11:8 Removed trailing space in v~: Lakini hawakusikiliza wala kujali. Badala yake, walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu. Hivyo nikaleta juu yao laana zote za agano nililokuwa nimewaamuru wao kulifuata, lakini wao hawakulishika.’ ”

JER 11:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Kuna shauri baya linaloendelea miongoni mwa watu wa Yuda na wale wanaoishi Yerusalemu.

JER 11:10 Removed trailing space in v~: Wamerudia dhambi za baba zao, waliokataa kusikiliza maneno yangu. Wameifuata miungu mingine kuitumikia. Nyumba zote mbili za Israeli na Yuda zimelivunja agano nililofanya na baba zao.

JER 11:11 Removed trailing space in v~: Kwa hivyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Nitaleta juu yao maafa ambayo hawawezi kuyakimbia. Hata kama wakinililia, sitawasikiliza.

JER 11:12 Removed trailing space in v~: Miji ya Yuda na watu wa Yerusalemu watakwenda kuililia miungu ambayo wameifukizia uvumba, lakini haitawasaidia kamwe wakati maafa yatakapowapiga.

JER 11:13 Removed trailing space in v~: Mnayo miungu mingi kama miji mliyo nayo, ee Yuda, nazo madhabahu mlizozijenga za kufukizia uvumba huyo mungu wa aibu Baali ni nyingi kama barabara za Yerusalemu.’

JER 11:14 Removed trailing space in v~: “Wewe usiwaombee watu hawa wala kufanya maombezi yoyote au kunisihi kwa ajili yao, kwa sababu sitawasikiliza watakaponiita wakati wa taabu yao.

JER 11:15 Removed trailing space in v~: “Mpenzi wangu anafanya nini hekaluni mwangu,

JER 11:15 Removed trailing space in p~: anapofanya mashauri yake maovu na wengi?

JER 11:15 Removed trailing space in p~: Je, nyama iliyowekwa wakfu yaweza

JER 11:15 Removed trailing space in p~: kuondolea mbali adhabu yako?

JER 11:15 Removed trailing space in p~: Unapojiingiza katika ubaya wako,

JER 11:15 Removed trailing space in p~: ndipo unashangilia.”

JER 11:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuita mti wa mzeituni uliostawi

JER 11:16 Removed trailing space in p~: ulio na matunda mazuri kwa sura.

JER 11:16 Removed trailing space in p~: Lakini kwa ngurumo ya mawimbi makuu

JER 11:16 Removed trailing space in p~: atautia moto,

JER 11:16 Removed trailing space in p~: nayo matawi yake yatavunjika.

JER 11:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, aliyekupanda, ametamka maafa kwa ajili yako, kwa sababu nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda mmefanya maovu na kunikasirisha kwa kumfukizia Baali uvumba.

JER 11:17 Removed trailing space in s1: Shauri Baya Dhidi Ya Yeremia

JER 11:18 Removed trailing space in v~: Kwa sababu \nd Bwana\nd* alinifunulia hila zao mbaya, nilizifahamu, kwa kuwa wakati ule alinionyesha yale waliyokuwa wanayafanya.

JER 11:19 Removed trailing space in v~: Nilikuwa kama mwana-kondoo mpole aliyeongozwa machinjoni; mimi sikutambua kwamba walikuwa wamefanya shauri baya dhidi yangu, wakisema,

JER 11:19 Removed trailing space in p~: “Sisi na tuuangamize mti na matunda yake;

JER 11:19 Removed trailing space in p~: nasi tumkatilie mbali kutoka nchi ya walio hai,

JER 11:19 Removed trailing space in p~: ili jina lake lisikumbukwe tena.”

JER 11:20 Removed trailing space in v~: Lakini, Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, wewe uhukumuye kwa haki,

JER 11:20 Removed trailing space in p~: nawe uchunguzaye moyo na akili,

JER 11:20 Removed trailing space in p~: wacha nione ukiwalipiza wao kisasi,

JER 11:20 Removed trailing space in p~: kwa maana kwako nimeweka shauri langu.

JER 11:21 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kuhusu watu wa Anathothi wale wanaotafuta uhai wako wakisema, ‘Usitoe unabii kwa jina la \nd Bwana\nd*, la sivyo utakufa kwa mikono yetu’:

JER 11:22 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu. Vijana wao waume watakufa kwa upanga, wana wao na binti zao kwa njaa.

JER 11:23 Removed trailing space in v~: Hawatasaziwa hata mabaki kwao, kwa sababu nitaleta maafa kwa watu wa Anathothi katika mwaka wa adhabu yao.’ ”

JER 12:0 Extra space after chapter number

JER 12:0 Removed trailing space in c: 12

JER 12:0 Removed trailing space in s1: Lalamiko La Yeremia

JER 12:1 Removed trailing space in v~: Wewe daima u mwenye haki, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 12:1 Removed trailing space in p~: niletapo mashtaka mbele yako.

JER 12:1 Removed trailing space in p~: Hata hivyo nitazungumza nawe kuhusu hukumu yako:

JER 12:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini njia ya waovu inafanikiwa?

JER 12:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini wasio waaminifu

JER 12:1 Removed trailing space in p~: wote wanaishi kwa raha?

JER 12:2 Removed trailing space in v~: Umewapanda, nao wameota,

JER 12:2 Removed trailing space in p~: wanakua na kuzaa matunda.

JER 12:2 Removed trailing space in p~: Daima u midomoni mwao,

JER 12:2 Removed trailing space in p~: lakini mbali na mioyo yao.

JER 12:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo unanijua mimi, Ee \nd Bwana\nd*;

JER 12:3 Removed trailing space in p~: unaniona na kuyachunguza mawazo yangu kukuhusu wewe.

JER 12:3 Removed trailing space in p~: Wakokote kama kondoo wanaokwenda kuchinjwa!

JER 12:3 Removed trailing space in p~: Watenge kwa ajili ya siku ya kuchinjwa!

JER 12:4 Removed trailing space in v~: Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini,

JER 12:4 Removed trailing space in p~: na majani katika kila shamba kunyauka?

JER 12:4 Removed trailing space in p~: Kwa sababu wale waishio ndani yake ni waovu,

JER 12:4 Removed trailing space in p~: wanyama na ndege wameangamia.

JER 12:4 Removed trailing space in p~: Zaidi ya hayo, watu wanasema,

JER 12:4 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* hataona yatakayotupata sisi.”

JER 12:4 Removed trailing space in s1: Jibu La Mungu

JER 12:5 Removed trailing space in v~: “Ikiwa umeshindana mbio na watu kwa mguu na wakakushinda,

JER 12:5 Removed trailing space in p~: unawezaje kushindana na farasi?

JER 12:5 Removed trailing space in p~: Ikiwa unajikwaa kwenye nchi ambayo ni salama,

JER 12:5 Removed trailing space in p~: utawezaje kwenye vichaka kando ya Yordani?

JER 12:6 Removed trailing space in v~: Ndugu zako, watu wa jamaa yako mwenyewe:

JER 12:6 Removed trailing space in p~: hata wao wamekusaliti;

JER 12:6 Removed trailing space in p~: wameinua kilio kikubwa dhidi yako.

JER 12:6 Removed trailing space in p~: Usiwaamini, ingawa wanazungumza

JER 12:6 Removed trailing space in p~: mema juu yako.

JER 12:7 Removed trailing space in v~: “Nitaiacha nyumba yangu,

JER 12:7 Removed trailing space in p~: nitupe urithi wangu;

JER 12:7 Removed trailing space in p~: nitamtia yeye nimpendaye

JER 12:7 Removed trailing space in p~: mikononi mwa adui zake.

JER 12:8 Removed trailing space in v~: Urithi wangu umekuwa kwangu

JER 12:8 Removed trailing space in p~: kama simba wa msituni.

JER 12:8 Removed trailing space in p~: Huningurumia mimi,

JER 12:8 Removed trailing space in p~: kwa hiyo ninamchukia.

JER 12:9 Removed trailing space in v~: Je, urithi wangu haukuwa

JER 12:9 Removed trailing space in p~: kama ndege wa mawindo wa madoadoa

JER 12:9 Removed trailing space in p~: ambaye ndege wengine wawindao

JER 12:9 Removed trailing space in p~: humzunguka na kumshambulia?

JER 12:9 Removed trailing space in p~: Nenda ukawakusanye pamoja wanyama wote wa mwituni;

JER 12:9 Removed trailing space in p~: walete ili wale.

JER 12:10 Removed trailing space in v~: Wachungaji wengi wataliharibu shamba langu la mizabibu

JER 12:10 Removed trailing space in p~: na kulikanyaga shamba langu;

JER 12:10 Removed trailing space in p~: watalifanya shamba langu zuri

JER 12:10 Removed trailing space in p~: kuwa jangwa la ukiwa.

JER 12:11 Removed trailing space in v~: Litafanywa kuwa jangwa,

JER 12:11 Removed trailing space in p~: lililokauka na kuachwa ukiwa mbele zangu;

JER 12:11 Removed trailing space in p~: nchi yote itafanywa jangwa

JER 12:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu hakuna hata mmoja anayejali.

JER 12:12 Removed trailing space in v~: Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwani

JER 12:12 Removed trailing space in p~: mharabu atajaa,

JER 12:12 Removed trailing space in p~: kwa maana upanga wa \nd Bwana\nd* utawala,

JER 12:12 Removed trailing space in p~: kuanzia ncha moja ya nchi hadi nyingine;

JER 12:12 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja atakayekuwa salama.

JER 12:13 Removed trailing space in v~: Watapanda ngano lakini watavuna miiba;

JER 12:13 Removed trailing space in p~: watajitaabisha lakini hawatafaidi chochote.

JER 12:13 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo beba aibu ya mavuno yako

JER 12:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya hasira kali ya \nd Bwana\nd* Mungu.”

JER 12:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Kwa habari ya majirani zangu wote wabaya wanaonyangʼanya urithi ambao ninawapa watu wangu Israeli, nitawangʼoa kutoka nchi zao, nami nitaingʼoa nyumba ya Yuda kutoka katikati yao.

JER 12:15 Removed trailing space in v~: Lakini baada ya kuwangʼoa, nitawahurumia tena na kumrudisha kila mmoja wao kwenye urithi wake mwenyewe na kwenye nchi yake mwenyewe.

JER 12:16 Removed trailing space in v~: Ikiwa watajifunza vyema njia za watu wangu na kuapa kwa Jina langu, wakisema, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo,’ hata kama wakati fulani walifundisha watu wangu kuapa kwa Baali, ndipo watakapofanywa imara katikati ya watu wangu.

JER 12:17 Removed trailing space in v~: Lakini kama taifa lolote halitasikiliza na kutii, nitalingʼoa kabisa na kuliangamiza,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 13:0 Extra space after chapter number

JER 13:0 Removed trailing space in c: 13

JER 13:0 Removed trailing space in s1: Mkanda Wa Kitani

JER 13:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloniambia: “Nenda ununue mkanda wa kitani, ujivike kiunoni mwako, lakini usiuache uguse maji.”

JER 13:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikanunua mkanda, kama \nd Bwana\nd* alivyoniagiza, nikajivika kiunoni.

JER 13:3 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kwa mara ya pili:

JER 13:4 Removed trailing space in v~: “Chukua mkanda ulionunua ambao umeuvaa kiunoni mwako, uende sasa Frati uufiche ndani ya ufa mdogo kwenye mwamba.”

JER 13:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nikaenda na kuuficha ule mkanda huko Frati, kama \nd Bwana\nd* alivyoniamuru.

JER 13:6 Removed trailing space in v~: Baada ya siku nyingi \nd Bwana\nd* akaniambia, “Nenda sasa Frati ukauchukue ule mkanda niliokuambia uufiche huko.”

JER 13:7 Removed trailing space in v~: Hivyo nikaenda Frati na kuuchimbua ule mkanda kutoka pale nilipokuwa nimeuficha, lakini sasa ulikuwa umeharibika na haufai tena kabisa.

JER 13:8 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia:

JER 13:9 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: ‘Vivyo hivyo ndivyo nitakavyokiharibu kiburi cha Yuda na kiburi kikuu cha Yerusalemu.

JER 13:10 Removed trailing space in v~: Watu hawa waovu, wanaokataa kusikiliza maneno yangu, wafuatao ukaidi wa mioyo yao na kufuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu, watakuwa kama mkanda huu ambao haufai kabisa!

JER 13:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama vile mkanda ufungwavyo kiunoni mwa mtu, ndivyo nilivyojifunga nyumba yote ya Israeli na nyumba yote ya Yuda,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘ili wawe watu wangu kwa ajili ya utukufu wangu, sifa na heshima yangu. Lakini hawajasikiliza.’

JER 13:11 Removed trailing space in s1: Viriba Vya Mvinyo

JER 13:12 Removed trailing space in v~: “Waambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo: kila kiriba inapasa kijazwe mvinyo.’ Kama wao wakikuambia, ‘Kwani hatujui kwamba kila kiriba inapasa kijazwe mvinyo?’

JER 13:13 Removed trailing space in v~: Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: nitawajaza ulevi wote waishio katika nchi hii, pamoja na wafalme waketio juu ya kiti cha enzi cha Daudi, makuhani, manabii na wale wote waishio Yerusalemu.

JER 13:14 Removed trailing space in v~: Nitawagonganisha kila mmoja na mwenzake, baba na wana wao, asema \nd Bwana\nd*. Sitawarehemu wala kuwahurumia ili niache kuwaangamiza.’ ”

JER 13:14 Removed trailing space in s1: Tishio La Kutekwa

JER 13:15 Removed trailing space in v~: Sikieni na mzingatie,

JER 13:15 Removed trailing space in p~: msiwe na kiburi,

JER 13:15 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* amenena.

JER 13:16 Removed trailing space in v~: Mpeni utukufu \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JER 13:16 Removed trailing space in p~: kabla hajaleta giza,

JER 13:16 Removed trailing space in p~: kabla miguu yenu haijajikwaa

JER 13:16 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vitakavyotiwa giza.

JER 13:16 Removed trailing space in p~: Mlitarajia nuru,

JER 13:16 Removed trailing space in p~: lakini ataifanya kuwa giza nene

JER 13:16 Removed trailing space in p~: na kuibadili kuwa huzuni kubwa.

JER 13:17 Removed trailing space in v~: Lakini kama hamtasikiliza,

JER 13:17 Removed trailing space in p~: nitalia sirini

JER 13:17 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kiburi chenu;

JER 13:17 Removed trailing space in p~: macho yangu yatalia kwa uchungu,

JER 13:17 Removed trailing space in p~: yakitiririka machozi,

JER 13:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu kundi la kondoo la \nd Bwana\nd*

JER 13:17 Removed trailing space in p~: litachukuliwa mateka.

JER 13:18 Removed trailing space in v~: Mwambie mfalme na mamaye,

JER 13:18 Removed trailing space in p~: “Shukeni kutoka kwenye viti vyenu vya enzi,

JER 13:18 Removed trailing space in p~: kwa kuwa taji zenu za utukufu

JER 13:18 Removed trailing space in p~: zitaanguka kutoka vichwani mwenu.”

JER 13:19 Removed trailing space in v~: Miji iliyoko Negebu itafungwa,

JER 13:19 Removed trailing space in p~: wala hapatakuwa na mtu wa kuifungua.

JER 13:19 Removed trailing space in p~: Watu wa Yuda wote watapelekwa uhamishoni,

JER 13:19 Removed trailing space in p~: wakichukuliwa kabisa waende mbali.

JER 13:20 Removed trailing space in v~: Inua macho yako uone

JER 13:20 Removed trailing space in p~: wale wanaokuja kutoka kaskazini.

JER 13:20 Removed trailing space in p~: Liko wapi lile kundi ulilokabidhiwa,

JER 13:20 Removed trailing space in p~: kondoo wale uliojivunia?

JER 13:21 Removed trailing space in v~: Utasema nini \nd Bwana\nd* atakapowaweka juu yako

JER 13:21 Removed trailing space in p~: wale ulioungana nao kama marafiki wako maalum?

JER 13:21 Removed trailing space in p~: Je, hutapatwa na utungu kama mwanamke

JER 13:21 Removed trailing space in p~: aliye katika utungu wa kuzaa?

JER 13:22 Removed trailing space in v~: Nawe kama ukijiuliza,

JER 13:22 Removed trailing space in p~: “Kwa nini haya yamenitokea?”

JER 13:22 Removed trailing space in p~: Ni kwa sababu ya dhambi zako nyingi

JER 13:22 Removed trailing space in p~: ndipo marinda yako yameraruliwa

JER 13:22 Removed trailing space in p~: na mwili wako umetendewa vibaya.

JER 13:23 Removed trailing space in v~: Je, Mkushi aweza kubadili ngozi yake

JER 13:23 Removed trailing space in p~: au chui kubadili madoadoa yake?

JER 13:23 Removed trailing space in p~: Vivyo hivyo nawe huwezi kufanya mema

JER 13:23 Removed trailing space in p~: wewe uliyezoea kutenda mabaya.

JER 13:24 Removed trailing space in v~: “Nitawatawanya kama makapi

JER 13:24 Removed trailing space in p~: yapeperushwayo na upepo wa jangwani.

JER 13:25 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo kura yako,

JER 13:25 Removed trailing space in p~: fungu nililokuamuria,”

JER 13:25 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 13:25 Removed trailing space in p~: “kwa sababu umenisahau mimi

JER 13:25 Removed trailing space in p~: na kuamini miungu ya uongo.

JER 13:26 Removed trailing space in v~: Nitayafunua marinda yako mpaka juu ya uso wako

JER 13:26 Removed trailing space in p~: ili aibu yako ionekane:

JER 13:27 Removed trailing space in v~: uzinzi wako na kulia kwako kama farasi kulikojaa tamaa,

JER 13:27 Removed trailing space in p~: ukahaba wako usio na aibu!

JER 13:27 Removed trailing space in p~: Nimeyaona matendo yako ya machukizo

JER 13:27 Removed trailing space in p~: juu ya vilima na mashambani.

JER 13:27 Removed trailing space in p~: Ole wako, ee Yerusalemu!

JER 13:27 Removed trailing space in p~: Utaendelea kuwa najisi mpaka lini?”

JER 14:0 Extra space after chapter number

JER 14:0 Removed trailing space in c: 14

JER 14:0 Removed trailing space in s1: Ukame, Njaa Na Upanga

JER 14:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno la \nd Bwana\nd* kwa Yeremia kuhusu ukame:

JER 14:2 Removed trailing space in v~: “Yuda anaomboleza,

JER 14:2 Removed trailing space in p~: miji yake inayodhoofika;

JER 14:2 Removed trailing space in p~: wanaomboleza kwa ajili ya nchi,

JER 14:2 Removed trailing space in p~: nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.

JER 14:3 Removed trailing space in v~: Wakuu wanawatuma watumishi wao maji;

JER 14:3 Removed trailing space in p~: wanakwenda visimani

JER 14:3 Removed trailing space in p~: lakini humo hakuna maji.

JER 14:3 Removed trailing space in p~: Wanarudi na vyombo bila maji;

JER 14:3 Removed trailing space in p~: wakiwa na hofu na kukata tamaa,

JER 14:3 Removed trailing space in p~: wanafunika vichwa vyao.

JER 14:4 Removed trailing space in v~: Ardhi imepasuka nyufa

JER 14:4 Removed trailing space in p~: kwa sababu hakuna mvua katika nchi;

JER 14:4 Removed trailing space in p~: wakulima wana hofu

JER 14:4 Removed trailing space in p~: na wanafunika vichwa vyao.

JER 14:5 Removed trailing space in v~: Hata kulungu mashambani

JER 14:5 Removed trailing space in p~: anamwacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huo

JER 14:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu hakuna majani.

JER 14:6 Removed trailing space in v~: Punda-mwitu wanasimama juu ya miinuko iliyo kame

JER 14:6 Removed trailing space in p~: na kutweta kama mbweha;

JER 14:6 Removed trailing space in p~: macho yao yanakosa nguvu za kuona

JER 14:6 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kukosa malisho.”

JER 14:7 Removed trailing space in v~: Ingawa dhambi zetu zinashuhudia juu yetu,

JER 14:7 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, tenda jambo kwa ajili ya jina lako.

JER 14:7 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa kukengeuka kwetu ni kukubwa,

JER 14:7 Removed trailing space in p~: nasi tumetenda dhambi dhidi yako.

JER 14:8 Removed trailing space in v~: Ee Tumaini la Israeli,

JER 14:8 Removed trailing space in p~: Mwokozi wake wakati wa taabu,

JER 14:8 Removed trailing space in p~: kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi,

JER 14:8 Removed trailing space in p~: kama msafiri anayekaa kwa usiku mmoja tu?

JER 14:9 Removed trailing space in v~: Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa,

JER 14:9 Removed trailing space in p~: kama shujaa asiye na uwezo wa kuokoa?

JER 14:9 Removed trailing space in p~: Wewe uko katikati yetu, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 14:9 Removed trailing space in p~: nasi tunaitwa kwa jina lako;

JER 14:9 Removed trailing space in p~: usituache!

JER 14:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kuhusu watu hawa:

JER 14:10 Removed trailing space in p~: “Wanapenda sana kutangatanga,

JER 14:10 Removed trailing space in p~: hawaizuii miguu yao.

JER 14:10 Removed trailing space in p~: Hivyo \nd Bwana\nd* hawakubali;

JER 14:10 Removed trailing space in p~: sasa ataukumbuka uovu wao

JER 14:10 Removed trailing space in p~: na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.”

JER 14:11 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa.

JER 14:12 Removed trailing space in v~: Ingawa wanafunga, sitasikiliza kilio chao; hata wakitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za nafaka, sitazikubali. Badala yake, nitawaangamiza kwa upanga, njaa na tauni.”

JER 14:13 Removed trailing space in v~: Lakini nikasema, “Aa, \nd Bwana\nd* Mwenyezi, manabii wanaendelea kuwaambia, ‘Hamtaona upanga wala kukabiliwa na njaa. Naam, nitawapa amani ya kudumu mahali hapa.’ ”

JER 14:14 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akaniambia, “Manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwatuma, wala sikuwaweka, wala sikusema nao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi, maono ya sanamu zisizofaa kitu, na madanganyo ya mawazo yao wenyewe.

JER 14:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kuhusu manabii wanaotabiri kwa jina langu: Mimi sikuwatuma, lakini wanasema, ‘Hakuna upanga wala njaa itakayoigusa nchi hii.’ Manabii hao hao watakufa kwa upanga na njaa.

JER 14:16 Removed trailing space in v~: Nao watu hao wanaowatabiria watatupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga. Hapatakuwepo yeyote wa kuwazika wao au wake zao, wana wao au binti zao. Nitawamwagia maafa wanayostahili.

JER 14:17 Removed trailing space in v~: “Nena nao neno hili:

JER 14:17 Removed trailing space in p~: “ ‘Macho yangu na yatiririkwe na machozi

JER 14:17 Removed trailing space in p~: usiku na mchana bila kukoma;

JER 14:17 Removed trailing space in p~: kwa kuwa binti yangu aliye bikira, yaani watu wangu,

JER 14:17 Removed trailing space in p~: amepata jeraha baya,

JER 14:17 Removed trailing space in p~: pigo la kuangamiza.

JER 14:18 Removed trailing space in v~: Kama nikienda mashambani,

JER 14:18 Removed trailing space in p~: ninaona wale waliouawa kwa upanga;

JER 14:18 Removed trailing space in p~: kama nikienda mjini,

JER 14:18 Removed trailing space in p~: ninaona maangamizi ya njaa.

JER 14:18 Removed trailing space in p~: Nabii na kuhani kwa pamoja

JER 14:18 Removed trailing space in p~: wamekwenda katika nchi wasiyoijua.’ ”

JER 14:19 Removed trailing space in v~: Je, umemkataa Yuda kabisa?

JER 14:19 Removed trailing space in p~: Umemchukia Sayuni kabisa?

JER 14:19 Removed trailing space in p~: Kwa nini umetuumiza

JER 14:19 Removed trailing space in p~: hata hatuwezi kuponyeka?

JER 14:19 Removed trailing space in p~: Tulitarajia amani,

JER 14:19 Removed trailing space in p~: lakini hakuna jema lililotujia;

JER 14:19 Removed trailing space in p~: tulitarajia wakati wa kupona

JER 14:19 Removed trailing space in p~: lakini kuna hofu kuu tu.

JER 14:20 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tunatambua uovu wetu

JER 14:20 Removed trailing space in p~: na kosa la baba zetu;

JER 14:20 Removed trailing space in p~: kweli tumetenda dhambi dhidi yako.

JER 14:21 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya jina lako usituchukie kabisa;

JER 14:21 Removed trailing space in p~: usikidharau kiti chako cha enzi kilichotukuka.

JER 14:21 Removed trailing space in p~: Kumbuka agano lako nasi

JER 14:21 Removed trailing space in p~: na usilivunje.

JER 14:22 Removed trailing space in v~: Je, kuna sanamu yoyote isiyofaa kitu ya mataifa

JER 14:22 Removed trailing space in p~: iwezayo kuleta mvua?

JER 14:22 Removed trailing space in p~: Je, anga peke yake zaweza kutoa mvua?

JER 14:22 Removed trailing space in p~: La hasha, ni wewe peke yako,

JER 14:22 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wetu.

JER 14:22 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo tumaini letu liko kwako,

JER 14:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wewe ndiwe ufanyaye haya yote.

JER 15:0 Extra space after chapter number

JER 15:0 Removed trailing space in c: 15

JER 15:0 Removed trailing space in s1: Adhabu Isiyoepukika

JER 15:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia: “Hata kama Mose na Samweli wangesimama mbele zangu, moyo wangu usingewaelekea watu hawa. Waondoe mbele za macho yangu! Waache waende!

JER 15:2 Removed trailing space in v~: Nao kama wakikuuliza, ‘Twende wapi?’ Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

JER 15:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Wale waliowekwa kwa ajili ya kufa, wakafe;

JER 15:2 Removed trailing space in p~: waliowekwa kwa ajili ya upanga, kwa upanga;

JER 15:2 Removed trailing space in p~: waliowekwa kwa ajili ya njaa, kwa njaa:

JER 15:2 Removed trailing space in p~: waliowekwa kwa ajili ya kutekwa, watekwe.’ ”

JER 15:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Nitatuma aina nne za waharabu dhidi yao: nazo ni upanga ili kuua na mbwa ili wakokote mbali, ndege wa angani na wanyama wa nchi ili kula na kuangamiza.

JER 15:4 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wawe machukizo kwa falme zote za dunia kwa sababu ya kile alichofanya Manase mwana wa Hezekia mfalme wa Yuda huko Yerusalemu.

JER 15:5 Removed trailing space in v~: “Ni nani atakayekuhurumia, ee Yerusalemu?

JER 15:5 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayeomboleza kwa ajili yako?

JER 15:5 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayesimama ili kuuliza

JER 15:5 Removed trailing space in p~: kuhusu hali yako?

JER 15:6 Removed trailing space in v~: Umenikataa mimi,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 15:6 Removed trailing space in p~: “Unazidi kukengeuka.

JER 15:6 Removed trailing space in p~: Hivyo nitanyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza,

JER 15:6 Removed trailing space in p~: siwezi kuendelea kukuonea huruma.

JER 15:7 Removed trailing space in v~: Nitawapepeta kwa uma wa kupepetea

JER 15:7 Removed trailing space in p~: kwenye malango ya miji katika nchi.

JER 15:7 Removed trailing space in p~: Nitaleta msiba na maangamizi juu ya watu wangu,

JER 15:7 Removed trailing space in p~: kwa maana hawajabadili njia zao.

JER 15:8 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wajane wao kuwa wengi

JER 15:8 Removed trailing space in p~: kuliko mchanga wa bahari.

JER 15:8 Removed trailing space in p~: Wakati wa adhuhuri nitamleta mharabu

JER 15:8 Removed trailing space in p~: dhidi ya mama wa vijana wao waume;

JER 15:8 Removed trailing space in p~: kwa ghafula nitaleta juu yao

JER 15:8 Removed trailing space in p~: maumivu makuu na hofu kuu.

JER 15:9 Removed trailing space in v~: Mama mwenye watoto saba atazimia

JER 15:9 Removed trailing space in p~: na kupumua pumzi yake ya mwisho.

JER 15:9 Removed trailing space in p~: Jua lake litatua kungali bado mchana,

JER 15:9 Removed trailing space in p~: atatahayarika na kufedheheka.

JER 15:9 Removed trailing space in p~: Wale wote waliobaki nitawaua kwa upanga

JER 15:9 Removed trailing space in p~: mbele ya adui zao,”

JER 15:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 15:10 Removed trailing space in v~: Ole wangu, mama yangu, kwamba ulinizaa,

JER 15:10 Removed trailing space in p~: mtu ambaye ulimwengu wote

JER 15:10 Removed trailing space in p~: unashindana na kugombana naye!

JER 15:10 Removed trailing space in p~: Sikukopa wala sikukopesha,

JER 15:10 Removed trailing space in p~: lakini kila mmoja ananilaani.

JER 15:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema,

JER 15:11 Removed trailing space in p~: “Hakika nitakuokoa kwa kusudi jema,

JER 15:11 Removed trailing space in p~: hakika nitawafanya adui zako wakuombe msaada

JER 15:11 Removed trailing space in p~: nyakati za maafa na nyakati za dhiki.

JER 15:12 Removed trailing space in v~: “Je, mtu aweza kuvunja chuma,

JER 15:12 Removed trailing space in p~: chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

JER 15:13 Removed trailing space in v~: Utajiri wako na hazina zako nitavitoa kuwa nyara,

JER 15:13 Removed trailing space in p~: bila gharama,

JER 15:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi zako zote

JER 15:13 Removed trailing space in p~: katika nchi yako yote.

JER 15:14 Removed trailing space in v~: Nitakufanya uwe mtumwa wa adui zako

JER 15:14 Removed trailing space in p~: katika nchi usiyoijua,

JER 15:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa katika hasira yangu moto umewashwa

JER 15:14 Removed trailing space in p~: utakaowaka juu yako daima.”

JER 15:15 Removed trailing space in v~: Wewe unafahamu, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 15:15 Removed trailing space in p~: unikumbuke na unitunze mimi.

JER 15:15 Removed trailing space in p~: Lipiza kisasi juu ya watesi wangu.

JER 15:15 Removed trailing space in p~: Kwa uvumilivu wako usiniondolee mbali;

JER 15:15 Removed trailing space in p~: kumbuka jinsi ninavyoshutumiwa.

JER 15:16 Removed trailing space in v~: Maneno yako yalipokuja, niliyala;

JER 15:16 Removed trailing space in p~: yakawa shangwe yangu

JER 15:16 Removed trailing space in p~: na furaha ya moyo wangu,

JER 15:16 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimeitwa kwa jina lako,

JER 15:16 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote.

JER 15:17 Removed trailing space in v~: Kamwe sikuketi katika kundi la wafanyao sherehe,

JER 15:17 Removed trailing space in p~: wala kamwe sikujifurahisha pamoja nao;

JER 15:17 Removed trailing space in p~: niliketi peke yangu kwa sababu mkono wako ulikuwa juu yangu,

JER 15:17 Removed trailing space in p~: na wewe ulikuwa umenijaza hasira.

JER 15:18 Removed trailing space in v~: Kwa nini maumivu yangu hayakomi,

JER 15:18 Removed trailing space in p~: na jeraha langu ni la kuhuzunisha,

JER 15:18 Removed trailing space in p~: wala haliponyeki?

JER 15:18 Removed trailing space in p~: Je, utakuwa kwangu kama kijito cha udanganyifu,

JER 15:18 Removed trailing space in p~: kama chemchemi iliyokauka?

JER 15:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 15:19 Removed trailing space in p~: “Kama ukitubu, nitakurejeza

JER 15:19 Removed trailing space in p~: ili uweze kunitumikia;

JER 15:19 Removed trailing space in p~: kama ukinena maneno yenye maana,

JER 15:19 Removed trailing space in p~: wala si ya upuzi,

JER 15:19 Removed trailing space in p~: utakuwa mnenaji wangu.

JER 15:19 Removed trailing space in p~: Watu hawa ndio watakaokugeukia,

JER 15:19 Removed trailing space in p~: wala si wewe utakayewageukia wao.

JER 15:20 Removed trailing space in v~: Nitakufanya wewe uwe ukuta kwa watu hawa,

JER 15:20 Removed trailing space in p~: ngome ya ukuta wa shaba;

JER 15:20 Removed trailing space in p~: watapigana nawe

JER 15:20 Removed trailing space in p~: lakini hawatakushinda,

JER 15:20 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi niko pamoja nawe

JER 15:20 Removed trailing space in p~: kukuponya na kukuokoa,”

JER 15:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 15:21 Removed trailing space in v~: “Nitakuokoa kutoka mikono ya waovu,

JER 15:21 Removed trailing space in p~: na kukukomboa kutoka makucha ya watu wakatili.”

JER 16:0 Extra space after chapter number

JER 16:0 Removed trailing space in c: 16

JER 16:0 Removed trailing space in s1: Siku Ya Maafa

JER 16:1 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likanijia:

JER 16:2 Removed trailing space in v~: “Kamwe usioe na kuwa na wana wala binti mahali hapa.”

JER 16:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu wana na binti wazaliwao katika nchi hii, na kuhusu wale wanawake ambao ni mama zao, na wale wanaume ambao ni baba zao:

JER 16:4 Removed trailing space in v~: “Watakufa kwa magonjwa ya kufisha. Hawataombolezewa wala kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyosambaa juu ya ardhi. Watakufa kwa upanga na kwa njaa, nazo maiti zao zitakuwa chakula cha ndege wa angani, na cha wanyama wa nchi.”

JER 16:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Usiingie katika nyumba ambayo kuna chakula cha matanga, usiende kuwaombolezea wala kuwahurumia, kwa sababu nimeziondoa baraka zangu, upendo wangu na huruma zangu kutoka kwa watu hawa,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 16:6 Removed trailing space in v~: “Wakubwa na wadogo watakufa katika nchi hii. Hawatazikwa wala kuombolezewa, na hakuna atakayejikatakata au kunyoa nywele za kichwa chake kwa ajili yao.

JER 16:7 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote atakayewapa chakula ili kuwafariji wale waombolezao kwa ajili ya wale waliokufa, hata akiwa amefiwa na baba au mama, wala hakuna yeyote atakayewapa kinywaji ili kuwafariji.

JER 16:8 Removed trailing space in v~: “Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa.

JER 16:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli: ‘Mbele ya macho yako na katika siku zako, nitakomesha sauti zote za shangwe na za furaha, na pia sauti za bibi arusi na bwana arusi mahali hapa.’

JER 16:10 Removed trailing space in v~: “Utakapowaambia watu hawa mambo haya yote na wakakuuliza, ‘Kwa nini \nd Bwana\nd* ameamuru maafa makubwa kama haya dhidi yetu? Tumefanya kosa gani? Tumetenda dhambi gani dhidi ya \nd Bwana\nd*, Mungu wetu?’

JER 16:11 Removed trailing space in v~: Basi waambie, ‘Ni kwa sababu baba zenu waliniacha mimi, wakafuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu. Waliniacha mimi na hawakuishika sheria yangu,’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 16:12 Removed trailing space in v~: ‘Lakini ninyi mmetenda uovu zaidi kuliko baba zenu. Tazama jinsi ambavyo kila mmoja wenu anafuata ukaidi wa moyo wake mbaya, badala ya kunitii mimi.

JER 16:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitawaondoa katika nchi hii na kuwatupa katika nchi ambayo ninyi wala baba zenu hamkuijua, nako huko mtaitumikia miungu mingine usiku na mchana, kwa maana sitawapa fadhili zangu huko.’

JER 16:14 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo, siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*, “wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’

JER 16:15 Removed trailing space in v~: bali watasema, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, aliyewatoa wana wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote alizokuwa amewafukuzia.’ Maana nitawarudisha katika nchi niliyowapa baba zao.

JER 16:16 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa nitawaagiza wavuvi wengi,” asema \nd Bwana\nd*, “nao watawavua. Baada ya hilo, nitawaagizia wawindaji wengi, nao watawawinda kwenye kila mlima na kilima, na katika nyufa za miamba.

JER 16:17 Removed trailing space in v~: Macho yangu yanaziona njia zao zote, hazikufichika kwangu, wala dhambi yao haikusitirika.

JER 16:18 Removed trailing space in v~: Nitawalipiza maradufu kwa ajili ya uovu wao na dhambi yao, kwa sababu wameinajisi nchi yangu kwa maumbo yasiyo na uhai ya vinyago vyao vibaya, na kuujaza urithi wangu na sanamu za kuchukiza.”

JER 16:19 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nguvu zangu na ngome yangu,

JER 16:19 Removed trailing space in p~: kimbilio langu wakati wa taabu,

JER 16:19 Removed trailing space in p~: kwako mataifa yatakujia

JER 16:19 Removed trailing space in p~: kutoka miisho ya dunia na kusema,

JER 16:19 Removed trailing space in p~: “Baba zetu hawakuwa na chochote zaidi ya miungu ya uongo,

JER 16:19 Removed trailing space in p~: sanamu zisizofaa kitu

JER 16:19 Removed trailing space in p~: ambazo hazikuwafaidia lolote.

JER 16:20 Removed trailing space in v~: Je, watu hujitengenezea miungu yao wenyewe?

JER 16:20 Removed trailing space in p~: Naam, lakini hao si miungu!”

JER 16:21 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nitawafundisha:

JER 16:21 Removed trailing space in p~: wakati huu nitawafundisha

JER 16:21 Removed trailing space in p~: nguvu zangu na uwezo wangu.

JER 16:21 Removed trailing space in p~: Ndipo watakapojua

JER 16:21 Removed trailing space in p~: kuwa Jina langu ndimi \nd Bwana\nd*.

JER 17:0 Extra space after chapter number

JER 17:0 Removed trailing space in c: 17

JER 17:0 Removed trailing space in s1: Dhambi Ya Yuda Na Adhabu Yake

JER 17:1 Removed trailing space in v~: “Dhambi ya Yuda imechorwa kwa kalamu ya chuma,

JER 17:1 Removed trailing space in p~: imeandikwa kwa ncha ya almasi,

JER 17:1 Removed trailing space in p~: kwenye vibao vya mioyo yao

JER 17:1 Removed trailing space in p~: na kwenye pembe za madhabahu zao.

JER 17:2 Removed trailing space in v~: Hata watoto wao wanakumbuka madhabahu zao

JER 17:2 Removed trailing space in p~: na nguzo za Ashera,\f + \fr 17:2 \ft Ashera ni mungu mke aliyekuwa anaabudiwa na Wakanaani.\f*

JER 17:2 Removed trailing space in p~: kandokando ya miti iliyotanda

JER 17:2 Removed trailing space in p~: na juu ya vilima virefu.

JER 17:3 Removed trailing space in v~: Mlima wangu katika nchi pamoja na utajiri

JER 17:3 Removed trailing space in p~: na hazina zako zote nitazitoa ziwe nyara,

JER 17:3 Removed trailing space in p~: pamoja na mahali pako pa juu pa kuabudia miungu

JER 17:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi katika nchi yako yote.

JER 17:4 Removed trailing space in v~: Kwa kosa lako mwenyewe utaupoteza

JER 17:4 Removed trailing space in p~: urithi niliokupa.

JER 17:4 Removed trailing space in p~: Nitakufanya mtumwa wa adui zako

JER 17:4 Removed trailing space in p~: katika nchi usiyoijua,

JER 17:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeiwasha hasira yangu,

JER 17:4 Removed trailing space in p~: nayo itawaka milele.”

JER 17:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 17:5 Removed trailing space in p~: “Amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu,

JER 17:5 Removed trailing space in p~: ategemeaye mwenye mwili

JER 17:5 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya nguvu zake,

JER 17:5 Removed trailing space in p~: ambaye moyo wake

JER 17:5 Removed trailing space in p~: umemwacha \nd Bwana\nd*.

JER 17:6 Removed trailing space in v~: Atakuwa kama kichaka cha jangwani;

JER 17:6 Removed trailing space in p~: hataona mafanikio yatakapokuja.

JER 17:6 Removed trailing space in p~: Ataishi katika sehemu zisizo na maji,

JER 17:6 Removed trailing space in p~: katika nchi ya chumvi ambapo

JER 17:6 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote aishiye humo.

JER 17:7 Removed trailing space in v~: “Lakini amebarikiwa mtu ambaye tumaini lake ni katika \nd Bwana\nd*,

JER 17:7 Removed trailing space in p~: ambaye matumaini yake ni katika \nd Bwana\nd*.

JER 17:8 Removed trailing space in v~: Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji

JER 17:8 Removed trailing space in p~: uenezao mizizi yake karibu na kijito cha maji.

JER 17:8 Removed trailing space in p~: Hauogopi wakati wa joto ujapo;

JER 17:8 Removed trailing space in p~: majani yake ni mabichi daima.

JER 17:8 Removed trailing space in p~: Hauna hofu katika mwaka wa ukame

JER 17:8 Removed trailing space in p~: na hautaacha kuzaa matunda.”

JER 17:9 Removed trailing space in v~: Moyo ni mdanganyifu kuliko vitu vyote,

JER 17:9 Removed trailing space in p~: ni mwovu kupita kiasi.

JER 17:9 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kuujua?

JER 17:10 Removed trailing space in v~: “Mimi \nd Bwana\nd* huchunguza moyo

JER 17:10 Removed trailing space in p~: na kuzijaribu nia,

JER 17:10 Removed trailing space in p~: ili kumlipa mtu kwa kadiri ya mwenendo wake,

JER 17:10 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya matendo yake yanavyostahili.”

JER 17:11 Removed trailing space in v~: Kama kware aanguaye mayai asiyoyataga,

JER 17:11 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mtu apataye mali kwa njia zisizo za haki.

JER 17:11 Removed trailing space in p~: Maisha yake yafikapo katikati, siku zitamwacha,

JER 17:11 Removed trailing space in p~: na mwishoni atabainika kuwa mpumbavu.

JER 17:12 Removed trailing space in v~: Kiti cha enzi kilichotukuzwa, kilichoinuliwa tangu mwanzo,

JER 17:12 Removed trailing space in p~: ndiyo sehemu yetu ya mahali patakatifu.

JER 17:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uliye tumaini la Israeli,

JER 17:13 Removed trailing space in p~: wote wakuachao wataaibika.

JER 17:13 Removed trailing space in p~: Wale wanaogeukia mbali nawe wataandikwa mavumbini

JER 17:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu wamemwacha \nd Bwana\nd*,

JER 17:13 Removed trailing space in p~: chemchemi ya maji yaliyo hai.

JER 17:14 Removed trailing space in v~: Uniponye, Ee \nd Bwana\nd*, nami nitaponyeka;

JER 17:14 Removed trailing space in p~: uniokoe nami nitaokoka,

JER 17:14 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ndiwe ninayekusifu.

JER 17:15 Removed trailing space in v~: Wao huendelea kuniambia,

JER 17:15 Removed trailing space in p~: “Liko wapi neno la \nd Bwana\nd*?

JER 17:15 Removed trailing space in p~: Sasa na litimie!”

JER 17:16 Removed trailing space in v~: Sijakukimbia na kuacha kuwa mchungaji wako;

JER 17:16 Removed trailing space in p~: unajua sijaitamani siku ya kukata tamaa.

JER 17:16 Removed trailing space in p~: Kile kipitacho midomoni mwangu

JER 17:16 Removed trailing space in p~: ki wazi mbele yako.

JER 17:17 Removed trailing space in v~: Usiwe kwangu kitu cha kunitia hofu kuu;

JER 17:17 Removed trailing space in p~: wewe ndiwe kimbilio langu katika siku ya maafa.

JER 17:18 Removed trailing space in v~: Watesi wangu na waaibishwe,

JER 17:18 Removed trailing space in p~: lakini nilinde mimi nisiaibike;

JER 17:18 Removed trailing space in p~: wao na watiwe hofu kuu,

JER 17:18 Removed trailing space in p~: lakini unilinde mimi na hofu kuu.

JER 17:18 Removed trailing space in p~: Waletee siku ya maafa;

JER 17:18 Removed trailing space in p~: waangamize kwa maangamizi maradufu.

JER 17:18 Removed trailing space in s1: Kuiadhimisha Sabato

JER 17:19 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloniambia: “Nenda ukasimame kwenye lango la watu, mahali ambako wafalme wa Yuda huingilia na kutokea, simama pia kwenye malango mengine yote ya Yerusalemu.

JER 17:20 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi wafalme wa Yuda, nanyi watu wote wa Yuda, na kila mmoja aishiye Yerusalemu apitaye katika malango haya.

JER 17:21 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Jihadharini msije mkabeba mzigo siku ya Sabato, wala kuingiza mzigo kupitia malango ya Yerusalemu.

JER 17:22 Removed trailing space in v~: Msitoe mizigo nje ya nyumba zenu wala kufanya kazi yoyote wakati wa Sabato, lakini itakaseni siku ya Sabato, kama nilivyowaamuru baba zenu.

JER 17:23 Removed trailing space in v~: Hata hivyo hawakusikiliza wala kujali, walishupaza shingo zao, na hawakutaka kusikia wala kukubali adhabu.

JER 17:24 Removed trailing space in v~: Lakini mkiwa waangalifu kunitii, asema \nd Bwana\nd*, nanyi msipoleta mzigo wowote kupitia malango ya mji huu wakati wa Sabato, lakini mkaitakasa siku ya Sabato kwa kutofanya kazi siku hiyo,

JER 17:25 Removed trailing space in v~: ndipo wafalme wakaao juu ya kiti cha enzi cha Daudi wataingia kupitia malango ya mji huu, pamoja na maafisa wao. Wao na maafisa wao watakuja wakiwa wamepanda magari na farasi, wakiandamana na watu wa Yuda na wale waishio Yerusalemu, nao mji huu utakaliwa na watu daima.

JER 17:26 Removed trailing space in v~: Watu watakuja kutoka miji ya Yuda na vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu, kutoka nchi ya Benyamini na chini ya vilima vya magharibi, kutoka nchi ya vilima na Negebu, wakileta sadaka za kuteketezwa na dhabihu, sadaka za nafaka, uvumba na sadaka za shukrani kwenye nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 17:27 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa hamtanitii mimi kwa kuitakasa Sabato na kwa kutochukua mzigo wowote mnapoingia katika malango ya Yerusalemu wakati wa Sabato, basi nitawasha moto usiozimika katika malango ya Yerusalemu utakaoteketeza ngome zake.’ ”

JER 18:0 Extra space after chapter number

JER 18:0 Removed trailing space in c: 18

JER 18:0 Removed trailing space in s1: Katika Nyumba Ya Mfinyanzi

JER 18:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 18:2 Removed trailing space in v~: “Shuka uende mpaka nyumba ya mfinyanzi, nami huko nitakupa ujumbe wangu.”

JER 18:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikashuka mpaka kwenye nyumba ya mfinyanzi, nikamkuta akifinyanga kwa gurudumu lake.

JER 18:4 Removed trailing space in v~: Lakini chombo alichokuwa akikifinyanga kutokana na udongo kilivunjika mikononi mwake, hivyo mfinyanzi akakifanya kuwa chombo kingine, umbo jingine kama vile ilivyoonekana vyema kwake yeye.

JER 18:5 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

JER 18:6 Removed trailing space in v~: “Ee nyumba ya Israeli, je, siwezi kuwafanyia kama huyu mfinyanzi afanyavyo?” asema \nd Bwana\nd*. “Kama vile udongo ulivyo katika mikono ya mfinyanzi, ndivyo mlivyo katika mkono wangu, ee nyumba ya Israeli.

JER 18:7 Removed trailing space in v~: Ikiwa wakati wowote nikitangaza kuwa taifa au ufalme utangʼolewa, utaangushwa na kuangamizwa,

JER 18:8 Removed trailing space in v~: ikiwa lile taifa nililolionya litatubia uovu wake, ndipo nitakapokuwa na huruma, wala sitawapiga kwa maafa niliyokuwa nimewakusudia.

JER 18:9 Removed trailing space in v~: Ikiwa wakati mwingine nitatangaza kuwa taifa ama utawala ujengwe na kuwekwa wakfu,

JER 18:10 Removed trailing space in v~: ikiwa utafanya maovu mbele zangu na hukunitii, ndipo nitakapoghairi makusudio yangu mema niliyokuwa nimeyakusudia.

JER 18:11 Removed trailing space in v~: “Basi kwa hiyo waambie watu wa Yuda na wale waishio Yerusalemu, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Tazama! Ninaandaa maafa kwa ajili yenu, nami ninabuni mabaya dhidi yenu. Kwa hiyo geukeni kutoka njia zenu mbaya, kila mmoja wenu, tengenezeni njia zenu na matendo yenu.’

JER 18:12 Removed trailing space in v~: Lakini wao watajibu, ‘Hakuna faida. Tutaendelea na mipango yetu wenyewe, kila mmoja wetu atafuata ukaidi wa moyo wake mbaya.’ ”

JER 18:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 18:13 Removed trailing space in p~: “Ulizia miongoni mwa mataifa:

JER 18:13 Removed trailing space in p~: Ni nani alishasikia jambo kama hili?

JER 18:13 Removed trailing space in p~: Jambo la kutisha sana limefanywa

JER 18:13 Removed trailing space in p~: na Bikira Israeli.

JER 18:14 Removed trailing space in v~: Je, barafu ya Lebanoni iliwahi kutoweka

JER 18:14 Removed trailing space in p~: kwenye miteremko yake ya mawe wakati wowote?

JER 18:14 Removed trailing space in p~: Je, maji yake baridi yatokayo katika vyanzo vilivyo mbali

JER 18:14 Removed trailing space in p~: yaliwahi kukoma kutiririka wakati wowote?

JER 18:15 Removed trailing space in v~: Lakini watu wangu wamenisahau mimi,

JER 18:15 Removed trailing space in p~: wanafukizia uvumba sanamu zisizofaa kitu,

JER 18:15 Removed trailing space in p~: zilizowafanya wajikwae katika njia zao

JER 18:15 Removed trailing space in p~: na katika mapito ya zamani.

JER 18:15 Removed trailing space in p~: Zimewafanya wapite kwenye vichochoro

JER 18:15 Removed trailing space in p~: na kwenye barabara ambazo hazikujengwa.

JER 18:16 Removed trailing space in v~: Nchi yao itaharibiwa,

JER 18:16 Removed trailing space in p~: itakuwa kitu cha kudharauliwa daima;

JER 18:16 Removed trailing space in p~: wote wapitao karibu nayo watashangaa

JER 18:16 Removed trailing space in p~: na kutikisa vichwa vyao.

JER 18:17 Removed trailing space in v~: Kama upepo utokao mashariki,

JER 18:17 Removed trailing space in p~: nitawatawanya mbele ya adui zao;

JER 18:17 Removed trailing space in p~: nitawapa kisogo wala sio uso,

JER 18:17 Removed trailing space in p~: katika siku ya maafa yao.”

JER 18:18 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Njooni, tutunge hila dhidi ya Yeremia; kwa kuwa kufundisha sheria kwa kuhani hakutapotea, wala shauri litokalo kwa mwenye hekima, wala neno la manabii. Hivyo njooni, tumshambulie kwa ndimi zetu na tusijali chochote asemacho.”

JER 18:19 Removed trailing space in v~: Nisikilize, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 18:19 Removed trailing space in p~: sikia wanayosema washtaki wangu!

JER 18:20 Removed trailing space in v~: Je, mema yalipwe kwa mabaya?

JER 18:20 Removed trailing space in p~: Lakini wao wamenichimbia shimo.

JER 18:20 Removed trailing space in p~: Kumbuka kwamba nilisimama mbele yako

JER 18:20 Removed trailing space in p~: na kunena mema kwa ajili yao,

JER 18:20 Removed trailing space in p~: ili wewe ugeuze hasira yako kali mbali nao.

JER 18:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo uwaache watoto wao waone njaa;

JER 18:21 Removed trailing space in p~: uwaache wauawe kwa makali ya upanga.

JER 18:21 Removed trailing space in p~: Wake zao wasiwe na watoto, na wawe wajane;

JER 18:21 Removed trailing space in p~: waume wao wauawe,

JER 18:21 Removed trailing space in p~: nao vijana wao waume

JER 18:21 Removed trailing space in p~: wachinjwe kwa upanga vitani.

JER 18:22 Removed trailing space in v~: Kilio na kisikike kutoka kwenye nyumba zao

JER 18:22 Removed trailing space in p~: ghafula uwaletapo adui dhidi yao,

JER 18:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamechimba shimo ili kunikamata

JER 18:22 Removed trailing space in p~: na wameitegea miguu yangu mitego.

JER 18:23 Removed trailing space in v~: Lakini unajua, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 18:23 Removed trailing space in p~: hila zao zote za kuniua.

JER 18:23 Removed trailing space in p~: Usiyasamehe makosa yao

JER 18:23 Removed trailing space in p~: wala usifute dhambi zao

JER 18:23 Removed trailing space in p~: mbele za macho yako.

JER 18:23 Removed trailing space in p~: Wao na waangamizwe mbele zako;

JER 18:23 Removed trailing space in p~: uwashughulikie wakati wa hasira yako.

JER 19:0 Extra space after chapter number

JER 19:0 Removed trailing space in c: 19

JER 19:0 Removed trailing space in s1: Gudulia La Udongo Lililovunjika

JER 19:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kutoka kwa mfinyanzi. Wachukue baadhi ya wazee wa watu na wa makuhani

JER 19:2 Removed trailing space in v~: na mtoke mwende mpaka kwenye Bonde la Ben-Hinomu, karibu na ingilio la Lango la Vigae. Huko tangaza maneno ninayokuambia,

JER 19:3 Removed trailing space in v~: nawe useme, ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi wafalme wa Yuda na watu wa Yerusalemu. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Sikilizeni! Nitaleta maafa mahali hapa, ambayo yatafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yawashe.

JER 19:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wameniacha na kupafanya mahali hapa kuwa pa miungu ya kigeni. Wameiteketezea sadaka miungu ambayo wao wala baba zao wala wafalme wa Yuda kamwe hawakuijua, nao wamelijaza eneo hili kwa damu isiyo na hatia.

JER 19:5 Removed trailing space in v~: Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kama sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu.

JER 19:6 Removed trailing space in v~: Hivyo jihadharini, siku zinakuja, asema \nd Bwana\nd*, wakati watu hawatapaita tena mahali hapa Tofethi ama Bonde la Ben-Hinomu, bali Bonde la Machinjo.

JER 19:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitaiharibu mipango ya Yuda na Yerusalemu mahali hapa. Nitawafanya waanguke kwa upanga mbele ya adui zao, katika mikono ya wale watafutao uhai wao, nami nitaitoa mizoga yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi.

JER 19:8 Removed trailing space in v~: Nitauharibu mji huu na kuufanya kitu cha kudharauliwa. Wote wapitao karibu watashangaa na kuudhihaki kwa sababu ya majeraha yake yote.

JER 19:9 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wao kula nyama ya wana wao na binti zao; kila mmoja atakula nyama ya mwenzake wakati wa dhiki ya kuzungukwa na jeshi lililowekwa juu yao na adui wanaotafuta uhai wao.’

JER 19:10 Removed trailing space in v~: “Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,

JER 19:11 Removed trailing space in v~: uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo: Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi.

JER 19:12 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na kwa wale waishio ndani yake, asema \nd Bwana\nd*. Nitaufanya mji huu kama Tofethi.

JER 19:13 Removed trailing space in v~: Nyumba zilizoko Yerusalemu na zile za wafalme wa Yuda zitatiwa unajisi kama mahali hapa, Tofethi: yaani nyumba zote ambazo walifukiza uvumba juu ya mapaa yake kwa jeshi lote la angani, na kumimina dhabihu za vinywaji kwa miungu mingine.’ ”

JER 19:14 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akarudi kutoka Tofethi, mahali ambapo \nd Bwana\nd* alikuwa amemtuma kutoa unabii, akasimama katika ua wa Hekalu la \nd Bwana\nd* na kuwaambia watu wote,

JER 19:15 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya mji huu pamoja na vijiji vinavyouzunguka kila maafa niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa na shingo ngumu, na hawakuyasikiliza maneno yangu.’ ”

JER 20:0 Extra space after chapter number

JER 20:0 Removed trailing space in c: 20

JER 20:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Ateswa Na Pashuri

JER 20:1 Removed trailing space in v~: Ikawa kuhani Pashuri mwana wa Imeri, mkuu wa maafisa wa Hekalu la \nd Bwana\nd*, alipomsikia Yeremia akitoa unabii juu ya mambo haya,

JER 20:2 Removed trailing space in v~: akaamuru Yeremia nabii apigwe na kufungwa kwenye mkatale katika Lango la Juu la Benyamini huko Hekaluni la \nd Bwana\nd*.

JER 20:3 Removed trailing space in v~: Siku ya pili Pashuri alipomwachia kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia, “\nd Bwana\nd* hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali Magor-Misabibu.\f + \fr 20:3 \ft Magor-Misabibu maana yake hapa ni Vitisho pande zote.\f*

JER 20:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Nitakufanya kuwa hofu kuu kwako wewe mwenyewe na rafiki zako wote, na kwa macho yako mwenyewe utawaona wakianguka kwa upanga wa adui zao. Nitawatia Yuda wote mikononi mwa mfalme wa Babeli, ambaye atawachukua na kuwapeleka Babeli, ama awaue kwa upanga.

JER 20:5 Removed trailing space in v~: Nitatia utajiri wote wa mji huu kwa adui zao: yaani mazao yao yote, vitu vyao vyote vya thamani, na hazina zote za wafalme wa Yuda. Watavitwaa kwa nyara na kuvipeleka Babeli.

JER 20:6 Removed trailing space in v~: Nawe Pashuri pamoja na wote waishio katika nyumba yako mtakwenda uhamishoni Babeli. Mtafia humo na kuzikwa, wewe na rafiki zako wote ambao umewatabiria uongo.’ ”

JER 20:6 Removed trailing space in s1: Malalamiko Ya Yeremia

JER 20:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, umenidanganya,

JER 20:7 Removed trailing space in p~: nami nikadanganyika;

JER 20:7 Removed trailing space in p~: wewe una nguvu kuniliko,

JER 20:7 Removed trailing space in p~: nawe umenishinda.

JER 20:7 Removed trailing space in p~: Ninadharauliwa mchana kutwa,

JER 20:7 Removed trailing space in p~: kila mmoja ananidhihaki.

JER 20:8 Removed trailing space in v~: Kila ninenapo, ninapiga kelele

JER 20:8 Removed trailing space in p~: nikitangaza ukatili na uharibifu.

JER 20:8 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo neno la \nd Bwana\nd* limeniletea matukano

JER 20:8 Removed trailing space in p~: na mashutumu mchana kutwa.

JER 20:9 Removed trailing space in v~: Lakini kama nikisema, “Sitamtaja

JER 20:9 Removed trailing space in p~: wala kusema tena kwa jina lake,”

JER 20:9 Removed trailing space in p~: neno lake linawaka ndani ya moyo wangu kama moto,

JER 20:9 Removed trailing space in p~: moto uliofungwa ndani ya mifupa yangu.

JER 20:9 Removed trailing space in p~: Nimechoka sana kwa kulizuia ndani mwangu;

JER 20:9 Removed trailing space in p~: kweli, siwezi kujizuia.

JER 20:10 Removed trailing space in v~: Ninasikia minongʼono mingi,

JER 20:10 Removed trailing space in p~: “Hofu iko pande zote!

JER 20:10 Removed trailing space in p~: Mshtakini! Twendeni tumshtaki!”

JER 20:10 Removed trailing space in p~: Rafiki zangu wote wananisubiri niteleze,

JER 20:10 Removed trailing space in p~: wakisema,

JER 20:10 Removed trailing space in p~: “Labda atadanganyika;

JER 20:10 Removed trailing space in p~: kisha tutamshinda

JER 20:10 Removed trailing space in p~: na kulipiza kisasi juu yake.”

JER 20:11 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* yu pamoja nami

JER 20:11 Removed trailing space in p~: kama shujaa mwenye nguvu;

JER 20:11 Removed trailing space in p~: hivyo washtaki wangu watajikwaa

JER 20:11 Removed trailing space in p~: na kamwe hawatashinda.

JER 20:11 Removed trailing space in p~: Watashindwa, nao wataaibika kabisa;

JER 20:11 Removed trailing space in p~: kukosa adabu kwao hakutasahauliwa.

JER 20:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 20:12 Removed trailing space in p~: wewe umjaribuye mwenye haki

JER 20:12 Removed trailing space in p~: na kupima moyo na nia,

JER 20:12 Removed trailing space in p~: hebu nione ukilipiza kisasi juu yao,

JER 20:12 Removed trailing space in p~: kwa maana kwako

JER 20:12 Removed trailing space in p~: nimeliweka shauri langu.

JER 20:13 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd*!

JER 20:13 Removed trailing space in p~: Mpeni \nd Bwana\nd* sifa!

JER 20:13 Removed trailing space in p~: Yeye huokoa uhai wa mhitaji

JER 20:13 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa waovu.

JER 20:14 Removed trailing space in v~: Ilaaniwe siku niliyozaliwa!

JER 20:14 Removed trailing space in p~: Nayo isibarikiwe ile siku

JER 20:14 Removed trailing space in p~: mama yangu aliyonizaa!

JER 20:15 Removed trailing space in v~: Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari,

JER 20:15 Removed trailing space in p~: yule aliyemfanya afurahi sana, akisema,

JER 20:15 Removed trailing space in p~: “Mtoto amezaliwa kwako,

JER 20:15 Removed trailing space in p~: tena mtoto wa kiume!”

JER 20:16 Removed trailing space in v~: Mtu huyo na awe kama miji ile

JER 20:16 Removed trailing space in p~: ambayo \nd Bwana\nd* Mungu

JER 20:16 Removed trailing space in p~: aliiangamiza bila huruma.

JER 20:16 Removed trailing space in p~: Yeye na asikie maombolezo asubuhi

JER 20:16 Removed trailing space in p~: na kilio cha vita adhuhuri.

JER 20:17 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hakuniua nikiwa tumboni,

JER 20:17 Removed trailing space in p~: hivyo mama yangu angekuwa kaburi langu,

JER 20:17 Removed trailing space in p~: nalo tumbo lake la uzazi

JER 20:17 Removed trailing space in p~: lingebaki kuwa kubwa daima.

JER 20:18 Removed trailing space in v~: Kwa nini basi nilitoka tumboni

JER 20:18 Removed trailing space in p~: ili kuona taabu na huzuni,

JER 20:18 Removed trailing space in p~: na kuzimaliza siku zangu katika aibu?

JER 21:0 Extra space after chapter number

JER 21:0 Removed trailing space in c: 21

JER 21:0 Removed trailing space in s1: Mungu Anakataa Ombi La Sedekia

JER 21:1 Removed trailing space in v~: Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd* wakati Mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake, kusema:

JER 21:2 Removed trailing space in v~: “Tuulizie sasa kwa \nd Bwana\nd*, kwa sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli anatushambulia. Labda \nd Bwana\nd* atatenda maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita, ili Nebukadneza atuondokee.”

JER 21:3 Removed trailing space in v~: Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,

JER 21:4 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kuwageuzia silaha za vita zilizo mikononi mwenu, ambazo mnatumia kupigana na mfalme wa Babeli na Wakaldayo ambao wako nje ya ukuta wakiwazunguka kwa jeshi. Nami nitawakusanya ndani ya mji huu.

JER 21:5 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nitapigana dhidi yenu kwa mkono wangu ulionyooshwa na mkono wa nguvu, kwa hasira na ghadhabu kali na ukali mwingi.

JER 21:6 Removed trailing space in v~: Nitawaangamiza waishio katika mji huu, watu na wanyama, nao watauawa kwa tauni ya kutisha.

JER 21:7 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 21:8 Removed trailing space in v~: “Zaidi ya hayo, waambie watu hawa, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Tazama, naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti.

JER 21:9 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo ambao wameuzunguka mji huu kwa jeshi, atanusurika, naye ataishi.

JER 21:10 Removed trailing space in v~: Nimekusudia kuufanyia mji huu jambo baya, wala si jema. Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto, asema \nd Bwana\nd*.’

JER 21:11 Removed trailing space in v~: “Zaidi ya hayo, ambia nyumba ya mfalme ya Yuda, ‘Sikia neno la \nd Bwana\nd*,

JER 21:12 Removed trailing space in v~: Ewe nyumba ya Daudi, hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

JER 21:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Hukumuni kwa haki kila asubuhi,

JER 21:12 Removed trailing space in p~: mwokoeni mikononi mwa mdhalimu

JER 21:12 Removed trailing space in p~: yeye aliyetekwa nyara,

JER 21:12 Removed trailing space in p~: la sivyo ghadhabu yangu italipuka

JER 21:12 Removed trailing space in p~: na kuwaka kama moto

JER 21:12 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu mlioufanya:

JER 21:12 Removed trailing space in p~: itawaka na hakuna wa kuizima.

JER 21:13 Removed trailing space in v~: Niko kinyume nawe, ee Yerusalemu,

JER 21:13 Removed trailing space in p~: wewe uishiye juu ya bonde hili

JER 21:13 Removed trailing space in p~: kwenye uwanda wa juu wa miamba,

JER 21:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 21:13 Removed trailing space in p~: wewe usemaye, “Ni nani awezaye kuja kinyume chetu?

JER 21:13 Removed trailing space in p~: Nani ataingia mahali pa kimbilio letu?”

JER 21:14 Removed trailing space in v~: Nitawaadhibu kama istahilivyo matendo yenu,

JER 21:14 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 21:14 Removed trailing space in p~: Nitawasha moto katika misitu yenu

JER 21:14 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza kila kitu kinachowazunguka.’ ”

JER 23:0 Extra space after chapter number

JER 23:0 Removed trailing space in c: 23

JER 23:0 Removed trailing space in s1: Tawi La Haki

JER 23:1 Removed trailing space in v~: “Ole wao wachungaji wanaoharibu na kutawanya kondoo wa malisho yangu!” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, analowaambia wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Kwa sababu mmelitawanya kundi langu na kuwafukuzia mbali, wala hamkuwatunza, basi mimi nitawaadhibu kwa ajili ya uovu mliofanya,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:3 Removed trailing space in v~: “Mimi mwenyewe nitayakusanya mabaki ya kundi langu kutoka nchi zote ambazo nimewafukuzia, nami nitawarudisha katika malisho yao, mahali ambapo watazaa na kuongezeka idadi yao.

JER 23:4 Removed trailing space in v~: Nitaweka wachungaji juu yao ambao watawachunga, nao hawataogopa tena au kutishwa, wala hatapotea hata mmoja,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Siku zinakuja,

JER 23:5 Removed trailing space in p~: nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye haki,

JER 23:5 Removed trailing space in p~: Mfalme atakayetawala kwa hekima,

JER 23:5 Removed trailing space in p~: na kutenda lililo haki na sawa katika nchi.

JER 23:6 Removed trailing space in v~: Katika siku zake, Yuda ataokolewa

JER 23:6 Removed trailing space in p~: na Israeli ataishi salama.

JER 23:6 Removed trailing space in p~: Hili ndilo jina atakaloitwa:

JER 23:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Haki Yetu.

JER 23:7 Removed trailing space in v~: “Hivyo basi, siku zinakuja, wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’

JER 23:8 Removed trailing space in v~: bali watasema, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, aliyewatoa wazao wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote alizokuwa amewafukuzia,’ asema \nd Bwana\nd*. Ndipo wataishi katika nchi yao wenyewe.”

JER 23:8 Removed trailing space in s1: Manabii Wasemao Uongo

JER 23:9 Removed trailing space in v~: Kuhusu manabii:

JER 23:9 Removed trailing space in p~: Moyo wangu umevunjika ndani yangu;

JER 23:9 Removed trailing space in p~: mifupa yangu yote inatetemeka.

JER 23:9 Removed trailing space in p~: Nimekuwa kama mtu aliyelewa,

JER 23:9 Removed trailing space in p~: kama mtu aliyelemewa na divai,

JER 23:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya \nd Bwana\nd*

JER 23:9 Removed trailing space in p~: na maneno yake matakatifu.

JER 23:10 Removed trailing space in v~: Nchi imejaa wazinzi;

JER 23:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya laana, nchi imekauka

JER 23:10 Removed trailing space in p~: na malisho yaliyoko nyikani yamekauka.

JER 23:10 Removed trailing space in p~: Mwenendo wa manabii ni mbaya

JER 23:10 Removed trailing space in p~: na mamlaka yao si ya haki.

JER 23:11 Removed trailing space in v~: “Nabii na kuhani wote si wacha Mungu;

JER 23:11 Removed trailing space in p~: hata hekaluni mwangu ninaona uovu wao,”

JER 23:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:12 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo mapito yao yatakuwa utelezi,

JER 23:12 Removed trailing space in p~: watafukuziwa mbali gizani

JER 23:12 Removed trailing space in p~: na huko wataanguka.

JER 23:12 Removed trailing space in p~: Nitaleta maafa juu yao

JER 23:12 Removed trailing space in p~: katika mwaka wa kuadhibiwa kwao,”

JER 23:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:13 Removed trailing space in v~: “Miongoni mwa manabii wa Samaria

JER 23:13 Removed trailing space in p~: nililiona jambo la kuchukiza:

JER 23:13 Removed trailing space in p~: Walitabiri kwa Baali

JER 23:13 Removed trailing space in p~: na kuwapotosha Israeli watu wangu.

JER 23:14 Removed trailing space in v~: Nako miongoni mwa manabii wa Yerusalemu

JER 23:14 Removed trailing space in p~: nimeona jambo baya sana:

JER 23:14 Removed trailing space in p~: Wanafanya uzinzi

JER 23:14 Removed trailing space in p~: na kuenenda katika uongo.

JER 23:14 Removed trailing space in p~: Wanatia nguvu mikono ya watenda mabaya,

JER 23:14 Removed trailing space in p~: kwa ajili hiyo hakuna yeyote

JER 23:14 Removed trailing space in p~: anayeachana na uovu wake.

JER 23:14 Removed trailing space in p~: Wote wako kama Sodoma kwangu;

JER 23:14 Removed trailing space in p~: watu na Yerusalemu wako kama Gomora.”

JER 23:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo kuhusu manabii:

JER 23:15 Removed trailing space in p~: “Nitawafanya wale chakula kichungu

JER 23:15 Removed trailing space in p~: na kunywa maji yaliyotiwa sumu,

JER 23:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu kutokana na manabii wa Yerusalemu

JER 23:15 Removed trailing space in p~: kutokumcha Mungu kumeenea katika nchi yote.”

JER 23:16 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

JER 23:16 Removed trailing space in p~: “Msisikilize wanachowatabiria manabii,

JER 23:16 Removed trailing space in p~: wanawajaza matumaini ya uongo.

JER 23:16 Removed trailing space in p~: Wanasema maono kutoka akili zao wenyewe,

JER 23:16 Removed trailing space in p~: hayatoki katika kinywa cha \nd Bwana\nd*.

JER 23:17 Removed trailing space in v~: Huendelea kuwaambia wale wanaonidharau mimi,

JER 23:17 Removed trailing space in p~: ‘\nd Bwana\nd* asema: Mtakuwa na amani.’

JER 23:17 Removed trailing space in p~: Kwa wale wote wafuatao ugumu wa mioyo yao,

JER 23:17 Removed trailing space in p~: wao husema, ‘Hakuna dhara litakalowapata.’

JER 23:18 Removed trailing space in v~: Lakini ni yupi miongoni mwao aliyesimama katika baraza la \nd Bwana\nd*

JER 23:18 Removed trailing space in p~: ili kuona au kusikia neno lake?

JER 23:18 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyesikiliza

JER 23:18 Removed trailing space in p~: na kusikia neno lake?

JER 23:19 Removed trailing space in v~: Tazama, dhoruba ya \nd Bwana\nd*

JER 23:19 Removed trailing space in p~: itapasuka kwa ghadhabu,

JER 23:19 Removed trailing space in p~: kisulisuli kitazunguka na kuanguka

JER 23:19 Removed trailing space in p~: vichwani vya waovu.

JER 23:20 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* haitageuka mpaka amelitimiza kusudi la moyo wake.

JER 23:20 Removed trailing space in p~: Siku zijazo mtalifahamu kwa wazi.

JER 23:21 Removed trailing space in v~: Mimi sikuwatuma manabii hawa,

JER 23:21 Removed trailing space in p~: lakini bado wamekimbia wakitangaza ujumbe wao.

JER 23:21 Removed trailing space in p~: Mimi sikusema nao,

JER 23:21 Removed trailing space in p~: lakini wametabiri.

JER 23:22 Removed trailing space in v~: Lakini kama wangesimama barazani mwangu,

JER 23:22 Removed trailing space in p~: wangetangaza maneno yangu kwa watu wangu,

JER 23:22 Removed trailing space in p~: nao wangewageuza kutoka njia zao mbaya

JER 23:22 Removed trailing space in p~: na kutoka matendo yao maovu.”

JER 23:23 Removed trailing space in v~: “Je, mimi ni Mungu aliyeko hapa karibu tu,”

JER 23:23 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asema,

JER 23:23 Removed trailing space in p~: “wala si Mungu aliyeko pia mbali?

JER 23:24 Removed trailing space in v~: Je, mtu yeyote aweza kujificha

JER 23:24 Removed trailing space in p~: mahali pa siri ili nisiweze kumwona?”

JER 23:24 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asema.

JER 23:24 Removed trailing space in p~: “Je, mimi sikuijaza mbingu na nchi?”

JER 23:24 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asema.

JER 23:25 Removed trailing space in v~: “Nimesikia wanayoyasema manabii, hao wanaotabiri uongo kwa jina langu. Wanasema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’

JER 23:26 Removed trailing space in v~: Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?

JER 23:27 Removed trailing space in v~: Wanadhani ndoto wanazoambiana wao kwa wao zitawafanya watu wangu walisahau jina langu, kama baba zao walivyolisahau jina langu kwa kumwabudu Baali.

JER 23:28 Removed trailing space in v~: Mwache nabii aliye na ndoto aseme ndoto yake, lakini yule aliye na neno langu na aliseme kwa uaminifu. Kwa maana jani kavu lina uhusiano gani na ngano?” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:29 Removed trailing space in v~: “Je, neno langu si kama moto,” asema \nd Bwana\nd*, “na kama nyundo ivunjayo mwamba vipande vipande?

JER 23:30 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, niko kinyume na manabii wanaoibiana maneno kana kwamba ni yangu,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:31 Removed trailing space in v~: “Naam, mimi niko kinyume na manabii wanaotikisa ndimi zao wenyewe na kusema, ‘\nd Bwana\nd* asema.’

JER 23:32 Removed trailing space in v~: Kweli, niko kinyume na hao wanaotabiri ndoto za uongo,” asema \nd Bwana\nd*. “Wanazisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa uongo wao bila kujali, lakini sikuwatuma wala sikuwaamuru. Hawawafaidi watu hawa hata kidogo,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:32 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Uongo Na Manabii Wa Uongo

JER 23:33 Removed trailing space in v~: “Wakati watu hawa, au nabii, au kuhani watakapokuuliza, ‘Mzigo wa \nd Bwana\nd* ni nini?’ wewe utawaambia, ‘Ninyi ndio mzigo. Nami nitawavua kama vazi, asema \nd Bwana\nd*.’

JER 23:34 Removed trailing space in v~: Nabii, kuhani, au mtu yeyote akisema, ‘Huu ndio mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ nitamwadhibu huyo na nyumba yake.

JER 23:35 Removed trailing space in v~: Hivyo mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘\nd Bwana\nd* amejibu nini?’ au ‘\nd Bwana\nd* amesema nini?’

JER 23:36 Removed trailing space in v~: Lakini kamwe msiseme tena, ‘Nina mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ kwa sababu kila neno la mtu binafsi linakuwa mzigo wake mwenyewe, na hivyo kupotosha maneno ya Mungu aliye hai, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wetu.

JER 23:37 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo utakavyoendelea kumuuliza nabii: ‘\nd Bwana\nd* amekujibu nini?’ au ‘Je, \nd Bwana\nd* amesema nini?’

JER 23:38 Removed trailing space in v~: Ingawa unadai, ‘Huu ndio mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Ulitumia maneno, ‘Huu ndio mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ hata ingawa nilikuambia kuwa kamwe usiseme, ‘Huu ni mzigo wa \nd Bwana\nd*.’

JER 23:39 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hakika nitakusahau na kukutupa mbali na uso wangu pamoja na mji niliowapa ninyi na baba zenu.

JER 23:40 Removed trailing space in v~: Nitaleta juu yako fedheha ya kudumu: yaani aibu ya kudumu ambayo haitasahaulika.”

JER 25:0 Extra space after chapter number

JER 25:0 Removed trailing space in c: 25

JER 25:0 Removed trailing space in s1: Miaka Sabini Ya Kuwa Mateka

JER 25:1 Removed trailing space in v~: Neno likamjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda, katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kwanza wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli.

JER 25:2 Removed trailing space in v~: Hivyo nabii Yeremia akawaambia watu wote wa Yuda na wale wote waishio Yerusalemu:

JER 25:3 Removed trailing space in v~: Kwa miaka ishirini na mitatu, kuanzia mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda, hadi siku hii ya leo, neno la \nd Bwana\nd* limekuwa likinijia, nami nimesema nanyi mara kwa mara, lakini hamkusikiliza.

JER 25:4 Removed trailing space in v~: Ingawa \nd Bwana\nd* amewatuma watumishi wake wote hao manabii kwenu mara kwa mara, hamkusikiliza wala hamkujali.

JER 25:5 Removed trailing space in v~: Walisema, “Geukeni sasa, kila mmoja wenu kutoka njia yake mbaya na matendo yake maovu, ndipo mtaweza kukaa katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliwapa ninyi na baba zenu milele.

JER 25:6 Removed trailing space in v~: Msiifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu. Msinikasirishe kwa vitu ambavyo mmevitengeneza kwa mikono yenu.”

JER 25:7 Removed trailing space in v~: “Lakini ninyi hamkunisikiliza mimi, tena mkanikasirisha kwa vitu mlivyovitengeneza kwa mikono yenu, nanyi mmejiletea madhara juu yenu wenyewe,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 25:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asema hivi: “Kwa sababu hamkuyasikiliza maneno yangu,

JER 25:9 Removed trailing space in v~: nitayaita mataifa yote ya kaskazini na mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli,” asema \nd Bwana\nd*. “Nitawaleta waishambulie nchi hii na wakazi wake wote, na dhidi ya mataifa yote yanayowazunguka. Nitawaangamiza kabisa na kuwafanya kitu cha kuchukiwa na kudharauliwa, na kuwa magofu daima.

JER 25:10 Removed trailing space in v~: Nitawaondolea sauti ya shangwe na furaha, sauti ya bibi na bwana arusi, sauti ya mawe ya kusagia, na mwanga wa taa.

JER 25:11 Removed trailing space in v~: Nchi hii yote itakuwa ukiwa na isiyofaa kitu, nayo mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka sabini.”

JER 25:12 Removed trailing space in v~: “Lakini miaka sabini itakapotimia, nitamwadhibu mfalme wa Babeli na taifa lake na nchi ya Wakaldayo kwa ajili ya hatia yao,” asema \nd Bwana\nd*. “Nitaifanya kuwa ukiwa milele.

JER 25:13 Removed trailing space in v~: Nitaleta juu ya nchi hiyo mambo yote niliyosema dhidi yake, yote yaliyoandikwa katika kitabu hiki, na kutolewa unabii na Yeremia dhidi ya mataifa yote.

JER 25:14 Removed trailing space in v~: Wao wenyewe watakuwa watumwa wa mataifa mengi na wafalme wakuu. Nitawalipizia sawasawa na matendo yao na kazi ya mikono yao.”

JER 25:14 Removed trailing space in s1: Kikombe Cha Ghadhabu Ya Mungu

JER 25:15 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, aliloniambia: “Chukua kutoka mkononi mwangu kikombe hiki kilichojaa divai ya ghadhabu yangu, na kuyanywesha mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.

JER 25:16 Removed trailing space in v~: Watakapoinywa, watapepesuka na kukasirika sana kwa sababu ya upanga nitakaoupeleka katikati yao.”

JER 25:17 Removed trailing space in v~: Hivyo nikakichukua kikombe kutoka mkononi mwa \nd Bwana\nd*, na kuyafanya mataifa yote aliyonituma kwao kukinywa:

JER 25:18 Removed trailing space in v~: Yaani Yerusalemu na miji ya Yuda, wafalme wake na maafisa wake, kuwafanya magofu na kuwa kitu cha kuchukiza, cha dhihaka na laana, kama walivyo leo;

JER 25:19 Removed trailing space in v~: pia Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote,

JER 25:20 Removed trailing space in v~: pia wageni wote walioko huko; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa Wafilisti (wale wa Ashkeloni, Gaza, Ekroni na watu walioachwa huko Ashdodi);

JER 25:21 Removed trailing space in v~: Edomu, Moabu na Amoni;

JER 25:22 Removed trailing space in v~: wafalme wote wa Tiro na Sidoni; wafalme wa nchi za pwani ngʼambo ya bahari;

JER 25:23 Removed trailing space in v~: Dedani, Tema, Buzi na wote walio maeneo ya mbali;

JER 25:24 Removed trailing space in v~: wafalme wote wa Arabuni na wafalme wote wa watu wageni wanaoishi katika jangwa;

JER 25:25 Removed trailing space in v~: wafalme wote wa Zimri, Elamu na Umedi;

JER 25:26 Removed trailing space in v~: na wafalme wote wa pande za kaskazini, wa karibu na wa mbali, mmoja baada ya mwingine; yaani falme zote juu ya uso wa dunia. Baada ya hao wote, mfalme wa Sheshaki\f + \fr 25:26 \ft Sheshaki ni Babeli kwa fumbo.\f* atakunywa pia.

JER 25:27 Removed trailing space in v~: “Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Kunyweni, mlewe na mtapike; angukeni, wala msiinuke tena kwa sababu ya upanga nitakaotuma miongoni mwenu.’

JER 25:28 Removed trailing space in v~: Lakini kama wakikataa kupokea kikombe kutoka mikononi mwako na kunywa, waambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: Ni lazima mnywe!

JER 25:29 Removed trailing space in v~: Tazama, nimeanza kuleta maafa juu ya mji ulio na Jina langu, na je, kweli ninyi mtaepuka kuadhibiwa? Hamwezi kuepuka kuadhibiwa, kwa maana nitaleta vita juu ya wote waishio duniani, asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.’

JER 25:30 Removed trailing space in v~: “Basi sasa toa unabii kwa maneno haya yote dhidi yao, uwaambie:

JER 25:30 Removed trailing space in p~: “ ‘\nd Bwana\nd* atanguruma kutoka juu;

JER 25:30 Removed trailing space in p~: atatoa sauti ya ngurumo

JER 25:30 Removed trailing space in p~: kutoka makao yake matakatifu

JER 25:30 Removed trailing space in p~: na kunguruma kwa nguvu sana

JER 25:30 Removed trailing space in p~: dhidi ya nchi yake.

JER 25:30 Removed trailing space in p~: Atapiga kelele kama wao wakanyagao zabibu,

JER 25:30 Removed trailing space in p~: atapiga kelele dhidi ya wote waishio duniani.

JER 25:31 Removed trailing space in v~: Ghasia zitasikika hadi miisho ya dunia,

JER 25:31 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* ataleta mashtaka dhidi ya mataifa;

JER 25:31 Removed trailing space in p~: ataleta hukumu juu ya wanadamu wote

JER 25:31 Removed trailing space in p~: na kuwaua waovu wote,’ ”

JER 25:31 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 25:32 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

JER 25:32 Removed trailing space in p~: “Tazama! Maafa yanaenea

JER 25:32 Removed trailing space in p~: kutoka taifa moja hadi jingine;

JER 25:32 Removed trailing space in p~: tufani kubwa inainuka

JER 25:32 Removed trailing space in p~: kutoka miisho ya dunia.”

JER 25:33 Removed trailing space in v~: Wakati huo, hao waliouawa na \nd Bwana\nd* watatapakaa kila mahali, kuanzia mwisho mmoja wa dunia hadi mwisho mwingine. Hawataombolezewa wala kukusanywa au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyoenea juu ya ardhi.

JER 25:34 Removed trailing space in v~: Lieni na kuomboleza, enyi wachungaji,

JER 25:34 Removed trailing space in p~: mgaagae mavumbini,

JER 25:34 Removed trailing space in p~: ninyi viongozi wa kundi.

JER 25:34 Removed trailing space in p~: Kwa maana wakati wenu wa kuchinjwa umewadia;

JER 25:34 Removed trailing space in p~: mtaanguka na kuvunjavunjwa

JER 25:34 Removed trailing space in p~: kama vyombo vizuri vya udongo.

JER 25:35 Removed trailing space in v~: Wachungaji hawatakuwa na mahali pa kukimbilia,

JER 25:35 Removed trailing space in p~: viongozi wa kundi hawatapata mahali pa kutorokea.

JER 25:36 Removed trailing space in v~: Sikia kilio cha wachungaji, maombolezo ya viongozi wa kundi,

JER 25:36 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* anayaharibu malisho yao.

JER 25:37 Removed trailing space in v~: Makao yao ya amani yataharibiwa

JER 25:37 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya hasira kali ya \nd Bwana\nd*.

JER 25:38 Removed trailing space in v~: Kama simba ataacha pango lake,

JER 25:38 Removed trailing space in p~: nchi yao itakuwa ukiwa

JER 25:38 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya upanga wa mdhalimu,

JER 25:38 Removed trailing space in p~: na kwa sababu ya hasira kali ya \nd Bwana\nd* Mungu.

JER 26:0 Extra space after chapter number

JER 26:0 Removed trailing space in c: 26

JER 26:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Atishiwa Kuuawa

JER 26:1 Removed trailing space in v~: Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilikuja kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 26:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Simama katika ua wa nyumba ya \nd Bwana\nd* na useme na watu wote wa miji ya Yuda wanaokuja kuabudu katika nyumba ya \nd Bwana\nd*. Waambie kila kitu nitakachokuamuru, usipunguze neno.

JER 26:3 Removed trailing space in v~: Huenda watasikiliza, na kila mmoja akageuka kutoka njia yake mbaya. Kisha nitawahurumia na kuacha kuwaletea maafa niliyokuwa ninapanga kwa sababu ya maovu waliyofanya.

JER 26:4 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ikiwa hamtanisikiliza na kuifuata sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu,

JER 26:5 Removed trailing space in v~: nanyi ikiwa hamtayasikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, ambao nimewatuma kwenu tena na tena (ijapokuwa hamkuwasikiliza),

JER 26:6 Removed trailing space in v~: ndipo nitaifanya nyumba hii kama Shilo na mji huu kuwa kitu cha kulaaniwa na mataifa yote ya dunia.’ ”

JER 26:7 Removed trailing space in v~: Makuhani, manabii na watu wote wakamsikia Yeremia akiyasema maneno haya ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 26:8 Removed trailing space in v~: Lakini mara tu Yeremia alipomaliza kuwaambia watu kila kitu \nd Bwana\nd* alichomwamuru kukisema, basi makuhani, manabii na watu wote walimkamata wakisema, “Ni lazima ufe!

JER 26:9 Removed trailing space in v~: Kwa nini unatoa unabii katika jina la \nd Bwana\nd* kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa na kuachwa tupu?” Nao watu wote wakamkusanyikia na kumzunguka Yeremia ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 26:10 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Yuda waliposikia kuhusu mambo haya, wakapanda kutoka jumba la kifalme, wakaenda katika nyumba ya \nd Bwana\nd* na kushika nafasi zao kwenye ingilio la Lango Jipya la nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 26:11 Removed trailing space in v~: Kisha makuhani na manabii wakawaambia maafisa pamoja na watu wote, “Mtu huyu anastahili ahukumiwe kifo kwa sababu ametoa unabii mbaya dhidi ya mji huu. Mmesikia kwa masikio yenu wenyewe!”

JER 26:12 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akawaambia maafisa wote na watu wote: “\nd Bwana\nd* amenituma kutoa unabii dhidi ya nyumba hii na mji huu mambo yote mliyoyasikia.

JER 26:13 Removed trailing space in v~: Sasa tengenezeni njia zenu na matendo yenu, na kumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Ndipo \nd Bwana\nd* atawahurumia na kuacha kuleta maafa aliyokuwa ameyatamka dhidi yenu.

JER 26:14 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari yangu mimi, niko mikononi mwenu, nifanyieni lolote mnaloona kuwa ni jema na la haki.

JER 26:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, jueni kwa hakika, ikiwa mtaniua, mtakuwa mmejipatia dhambi kwa damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe, na juu ya mji huu na wote wanaoishi ndani yake, kwa maana ni kweli \nd Bwana\nd* amenituma kwenu ili niseme maneno haya yote masikioni mwenu.”

JER 26:16 Removed trailing space in v~: Kisha maafisa na watu wote wakawaambia makuhani na manabii, “Mtu huyu asihukumiwe kifo! Amesema nasi katika jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wetu.”

JER 26:17 Removed trailing space in v~: Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,

JER 26:18 Removed trailing space in v~: “Mika Mmoreshethi alitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 26:18 Removed trailing space in p~: “ ‘Sayuni italimwa kama shamba,

JER 26:18 Removed trailing space in p~: Yerusalemu itakuwa lundo la kokoto,

JER 26:18 Removed trailing space in p~: na kilima cha Hekalu kitakuwa kichuguu

JER 26:18 Removed trailing space in p~: kilichofunikwa na vichaka.’

JER 26:19 Removed trailing space in v~: Je, Hezekia mfalme wa Yuda au mtu mwingine yeyote katika Yuda alimhukumu Mika kufa? Je, Hezekia hakumcha \nd Bwana\nd* na kuhitaji msaada wake? Je, \nd Bwana\nd* hakuwahurumia na akaacha kuleta maafa aliyokuwa ametamka dhidi yao? Tunakaribia sana kujiletea maangamizo ya kutisha sisi wenyewe!”

JER 26:20 Removed trailing space in v~: (Wakati huu, Uria mwana wa Shemaya kutoka mji wa Kiriath-Yearimu alikuwa mtu mwingine aliyetoa unabii kwa jina la \nd Bwana\nd*. Alitoa unabii juu ya mambo yaliyofanana na haya dhidi ya mji huu na nchi hii kama alivyofanya Yeremia.

JER 26:21 Removed trailing space in v~: Mfalme Yehoyakimu na wakuu wake wote na maafisa waliposikia maneno yake, mfalme alitafuta kumuua. Lakini Uria alipata habari, na kwa kuogopa akakimbilia Misri.

JER 26:22 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Mfalme Yehoyakimu alimtuma Elnathani mwana wa Akbori huko Misri, pamoja na watu wengine ili kwenda kumkamata Uria.

JER 26:23 Removed trailing space in v~: Wakamrudisha Uria kutoka Misri na kumpeleka kwa Mfalme Yehoyakimu, ambaye alimuua kwa upanga, na mwili wake kutupwa kwenye eneo la makaburi ya watu wasio na cheo.)

JER 26:24 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Ahikamu mwana wa Shafani akamuunga mkono Yeremia, kwa hiyo hakutiwa tena mikononi mwa watu ili auawe.

JER 27:0 Extra space after chapter number

JER 27:0 Removed trailing space in c: 27

JER 27:0 Removed trailing space in s1: Yuda Kumtumikia Nebukadneza

JER 27:1 Removed trailing space in v~: Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 27:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloniambia: “Tengeneza nira, ujivike shingoni mwako, uifunge kwa kamba za ngozi.

JER 27:3 Removed trailing space in v~: Kisha utume ujumbe kwa wafalme wa Edomu, Moabu, Amoni, Tiro na Sidoni kupitia wajumbe ambao wamekuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.

JER 27:4 Removed trailing space in v~: Wape ujumbe kwa ajili ya mabwana zao na uwaambie: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Waambieni hivi mabwana zenu:

JER 27:5 Removed trailing space in v~: Kwa uwezo wangu mkuu na kwa mkono wangu ulionyooshwa nimeumba dunia na watu wake na wanyama walioko ndani yake, nami humpa yeyote inipendezavyo.

JER 27:6 Removed trailing space in v~: Sasa nitazitia nchi zenu zote mkononi mwa mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, na nitawafanya hata wanyama wa mwituni wamtumikie.

JER 27:7 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yatamtumikia yeye, pamoja na mwanawe na mwana wa mwanawe, hadi wakati wa nchi yake utakapowadia, kisha mataifa mengi na wafalme wenye nguvu nyingi watamshinda.

JER 27:8 Removed trailing space in v~: “ ‘ “Lakini kama kukiwa na taifa lolote au ufalme ambao hautamtumikia Nebukadneza mfalme wa Babeli, ama kuinamisha shingo yake chini ya nira yake, nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa na tauni, asema \nd Bwana\nd*, mpaka nitakapoliangamiza taifa hilo kwa mkono wake.

JER 27:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo msiwasikilize manabii wenu, waaguzi wenu, waota ndoto wenu, watabiri na wachawi wanaowaambia ninyi: Hamtamtumikia mfalme wa Babeli.

JER 27:10 Removed trailing space in v~: Wanawatabiria uongo ambao utawafanya ninyi mhamishwe mbali kutoka nchi yenu. Nitawafukuzia mbali, nanyi mtaangamia.

JER 27:11 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa taifa lolote litainama na kuweka shingo lake katika nira ya mfalme wa Babeli na kumtumikia, nitaliacha taifa hilo katika nchi yake yenyewe ili wailime na kuishi humo, asema \nd Bwana\nd*.” ’ ”

JER 27:12 Removed trailing space in v~: Nilitoa ujumbe huo huo kwa Sedekia mfalme wa Yuda. Nilisema, “Ingiza shingo yako katika nira ya mfalme wa Babeli, umtumikie yeye na watu wake, nawe utaishi.

JER 27:13 Removed trailing space in v~: Kwa nini wewe na watu wako mfe kwa upanga, njaa na tauni, ambazo \nd Bwana\nd* ameonya juu ya taifa lolote ambalo halitamtumikia mfalme wa Babeli?

JER 27:14 Removed trailing space in v~: Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowaambia kwamba, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babeli,’ kwa sababu wanawatabiria uongo.

JER 27:15 Removed trailing space in v~: ‘Sikuwatuma hao,’ asema \nd Bwana\nd*. ‘Wanatabiri uongo kwa jina langu. Kwa hiyo, nitawafukuzia mbali, nanyi mtaangamia, ninyi pamoja na manabii wanaowatabiria.’ ”

JER 27:16 Removed trailing space in v~: Kisha nikawaambia makuhani na watu hawa wote, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Msiwasikilize manabii wanaosema, ‘Hivi karibuni sana vyombo vya nyumba ya \nd Bwana\nd* vitarudishwa kutoka Babeli.’ Wanawatabiria ninyi uongo.

JER 27:17 Removed trailing space in v~: Msiwasikilize. Mtumikieni mfalme wa Babeli, nanyi mtaishi. Kwa nini mji huu uwe magofu?

JER 27:18 Removed trailing space in v~: Kama wao ni manabii na wanalo neno la \nd Bwana\nd*, basi na wamsihi \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ili vyombo vilivyobaki katika nyumba ya \nd Bwana\nd* na katika jumba la kifalme la mfalme wa Yuda na katika Yerusalemu visipelekwe Babeli.

JER 27:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote kuhusu zile nguzo, ile Bahari, vile vishikizo viwezavyo kuhamishika, vinara na vyombo vingine vilivyoachwa katika mji huu,

JER 27:20 Removed trailing space in v~: ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babeli hakuvichukua wakati alipomchukua Yekonia\f + \fr 27:20 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.\f* mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda kwenda uhamishoni huko Babeli kutoka Yerusalemu, pamoja na wakuu wote wa Yuda na Yerusalemu.

JER 27:21 Removed trailing space in v~: Naam, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu vitu ambavyo vimebaki ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*, na ndani ya jumba la kifalme la mfalme wa Yuda, na katika Yerusalemu:

JER 27:22 Removed trailing space in v~: ‘Vitachukuliwa kupelekwa Babeli, nako huko vitabaki mpaka siku nitakayovijilia,’ asema \nd Bwana\nd*. ‘Kisha nitavirudisha na kuvirejesha mahali hapa.’ ”

JER 28:0 Extra space after chapter number

JER 28:0 Removed trailing space in c: 28

JER 28:0 Removed trailing space in s1: Hanania Nabii Wa Uongo

JER 28:1 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa tano wa mwaka ule ule, yaani mwaka wa nne, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, nabii Hanania mwana wa Azuri, ambaye alitoka Gibeoni, akaniambia katika nyumba ya \nd Bwana\nd* mbele ya makuhani na watu wote:

JER 28:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.

JER 28:3 Removed trailing space in v~: Katika muda wa miaka miwili nitavirudisha mahali hapa vyombo vyote vya nyumba ya \nd Bwana\nd* ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babeli aliviondoa kutoka hapa na kuvipeleka Babeli.

JER 28:4 Removed trailing space in v~: Pia nitamrudisha mahali hapa Yekonia\f + \fr 28:4 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.\f* mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, pamoja na wote waliohamishwa kutoka Yuda ambao walikwenda Babeli,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘kwa kuwa nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.’ ”

JER 28:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Yeremia akamjibu nabii Hanania mbele ya makuhani na watu wote waliokuwa wamesimama ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 28:6 Removed trailing space in v~: Akasema, “Amen! \nd Bwana\nd* na afanye hivyo! \nd Bwana\nd* na ayatimize maneno uliyotoa unabii kwa kuvirudisha mahali hapa kutoka Babeli vyombo vya nyumba ya \nd Bwana\nd* pamoja na wote waliohamishwa.

JER 28:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, nisikilize nikuambie yale nitakayoyasema masikioni mwako na masikioni mwa watu hawa wote:

JER 28:8 Removed trailing space in v~: Tangu mwanzo, manabii waliokutangulia wewe na mimi walitabiri vita, maafa na tauni dhidi ya nchi nyingi na falme kubwa.

JER 28:9 Removed trailing space in v~: Lakini nabii atakayetabiri amani atatambuliwa kuwa kweli ametumwa na \nd Bwana\nd* ikiwa unabii wake utatimia.”

JER 28:10 Removed trailing space in v~: Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,

JER 28:11 Removed trailing space in v~: naye akasema mbele ya watu wote, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Vivi hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babeli kutoka kwenye shingo za mataifa katika muda huu wa miaka miwili.’ ” Alipofanya hivi, nabii Yeremia akaondoka zake.

JER 28:12 Removed trailing space in v~: Kitambo kidogo baada ya nabii Hanania kuivunja nira kutoka shingo ya nabii Yeremia, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia:

JER 28:13 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Hanania, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Umevunja nira ya mti, lakini badala yake utapata nira ya chuma.

JER 28:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Nitaweka nira ya chuma kwenye shingo za mataifa haya yote ili kufanya yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babeli, nao watamtumikia. Nitampa kutawala hata wanyama wa mwituni.’ ”

JER 28:15 Removed trailing space in v~: Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii Hanania, “Sikiliza Hanania! \nd Bwana\nd* hajakutuma, lakini wewe umelishawishi taifa hili kuamini uongo.

JER 28:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Hivi karibuni nitakuondoa kutoka juu ya uso wa dunia. Mwaka huu utakufa, kwa sababu umetangaza uasi dhidi ya \nd Bwana\nd*.’ ”

JER 28:17 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.

JER 29:0 Extra space after chapter number

JER 29:0 Removed trailing space in c: 29

JER 29:0 Removed trailing space in s1: Barua Kwa Watu Wa Uhamisho

JER 29:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maneno ya ile barua ambayo nabii Yeremia aliituma kutoka Yerusalemu kwenda kwa wazee waliobaki miongoni mwa wale waliohamishwa, na kwa makuhani, manabii na watu wengine wote ambao Nebukadneza alikuwa amewachukua kwenda uhamishoni Babeli kutoka Yerusalemu.

JER 29:2 Removed trailing space in v~: (Hii ilikuwa ni baada ya Mfalme Yekonia\f + \fr 29:2 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.\f* na malkia mamaye, maafisa wa mahakama, viongozi wa Yuda na wa Yerusalemu, mafundi na wahunzi kwenda uhamishoni kutoka Yerusalemu.)

JER 29:3 Removed trailing space in v~: Barua ilikabidhiwa kwa Elasa mwana wa Shafani, na kwa Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia mfalme wa Yuda aliwatuma kwa Mfalme Nebukadneza huko Babeli. Barua yenyewe ilisema:

JER 29:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, awaambialo wale wote niliowapeleka kutoka Yerusalemu kwenda uhamishoni Babeli:

JER 29:5 Removed trailing space in v~: “Jengeni nyumba na mstarehe, pandeni bustani na mle mazao yake.

JER 29:6 Removed trailing space in v~: Oeni wake na mzae wana na binti, waozeni wana wenu wake, nanyi watoeni binti zenu waolewe, ili nao pia wazae wana na binti. Ongezekeni idadi yenu huko, wala msipungue.

JER 29:7 Removed trailing space in v~: Pia tafuteni amani na mafanikio ya mji ambamo nimewapeleka uhamishoni. Mwombeni \nd Bwana\nd* kwa ajili ya mji huo, kwa sababu ukistawi, ninyi pia mtastawi.”

JER 29:8 Removed trailing space in v~: Naam, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: “Msikubali manabii na wabashiri walioko miongoni mwenu wawadanganye. Msisikilize ndoto ambazo mmewatia moyo kuota.

JER 29:9 Removed trailing space in v~: Wanawatabiria ninyi uongo kwa jina langu. Sikuwatuma,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 29:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Miaka sabini itakapotimia kwa ajili ya Babeli, nitakuja kwenu na kutimiza ahadi yangu ya rehema ya kuwarudisha mahali hapa.

JER 29:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu,” asema \nd Bwana\nd*, “ni mipango ya kuwafanikisha na wala si ya kuwadhuru, ni mipango ya kuwapa tumaini katika siku zijazo.

JER 29:12 Removed trailing space in v~: Kisha mtaniita, na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza.

JER 29:13 Removed trailing space in v~: Mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

JER 29:14 Removed trailing space in v~: Nitaonekana kwenu,” asema \nd Bwana\nd*, “nami nitawarudisha watu wenu waliotekwa. Nitawakusanya kutoka mataifa yote na mahali pote nilipokuwa nimewafukuzia, nami nitawarudisha mahali ambapo nilikuwa nimewatoa walipochukuliwa uhamishoni,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 29:15 Removed trailing space in v~: Mnaweza mkasema, “\nd Bwana\nd* ameinua manabii kwa ajili yetu huku Babeli,”

JER 29:16 Removed trailing space in v~: lakini hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu mfalme aketiaye kiti cha enzi cha Daudi, na watu wa kwenu wote wanaobaki katika mji huu, ndugu zenu ambao hawakwenda pamoja nanyi uhamishoni.

JER 29:17 Removed trailing space in v~: Naam, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: “Nitatuma upanga, njaa na tauni dhidi yao, nami nitawafanya kuwa kama tini dhaifu zile ambazo ni mbovu sana zisizofaa kuliwa.

JER 29:18 Removed trailing space in v~: Nitawafukuza kwa upanga, kwa njaa na kwa tauni, nami nitawafanya kitu cha kuchukiza sana kwa falme zote za dunia, na kuwa kitu cha laana na cha kuogofya, cha dharau na kukemewa, miongoni mwa mataifa yote nitakakowafukuzia.

JER 29:19 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawakuyasikiliza maneno yangu,” asema \nd Bwana\nd*, “maneno ambayo niliwatumia tena na tena kupitia watumishi wangu manabii. Wala ninyi watu wa uhamisho hamkusikiliza pia,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 29:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi nyote mlio uhamishoni, niliowapeleka Babeli kutoka Yerusalemu.

JER 29:21 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu Ahabu mwana wa Kolaya, na Sedekia mwana wa Maaseya, wanaowatabiria uongo kwa jina langu: “Nitawatia mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye atawaua mbele ya macho yenu hasa.

JER 29:22 Removed trailing space in v~: Kwa ajili yao, watu wote wa uhamisho kutoka Yuda walioko Babeli watatumia laana hii: ‘\nd Bwana\nd* na akutendee kama Sedekia na Ahabu, ambao mfalme wa Babeli aliwachoma kwa moto.’

JER 29:23 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wamefanya mambo maovu kabisa katika Israeli, wamezini na wake za majirani zao, tena kwa Jina langu wamesema uongo, mambo ambayo sikuwaambia kuyafanya. Nami nayajua haya, na ni shahidi wa jambo hilo,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 29:23 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kwa Shemaya

JER 29:24 Removed trailing space in v~: Mwambie Shemaya Mnehelami,

JER 29:25 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Ulituma barua kwa jina lako mwenyewe kwa watu wote wa Yerusalemu, kwa Sefania mwana wa kuhani Maaseya na kwa makuhani wengine wote. Ulimwambia Sefania,

JER 29:26 Removed trailing space in v~: ‘\nd Bwana\nd* amekuweka wewe uwe kuhani badala ya Yehoyada ili uwe msimamizi wa nyumba ya \nd Bwana\nd*. Unapaswa kufunga kwa mikatale na mnyororo wa shingoni mwendawazimu yeyote anayejifanya nabii.

JER 29:27 Removed trailing space in v~: Kwa nini basi hukumkemea Yeremia Mwanathothi, aliyejifanya kama nabii miongoni mwenu?

JER 29:28 Removed trailing space in v~: Ametutumia ujumbe huu huku Babeli: Mtakuwako huko muda mrefu. Kwa hiyo jengeni nyumba mkakae; pandeni mashamba na mle mazao yake.’ ”

JER 29:29 Removed trailing space in v~: Kuhani Sefania, hata hivyo, akamsomea nabii Yeremia ile barua.

JER 29:30 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 29:31 Removed trailing space in v~: “Tuma ujumbe huu kwa watu wote walio uhamishoni: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kuhusu Shemaya Mnehelami: Kwa sababu Shemaya amewatabiria ninyi, hata ingawa sikumtuma, naye amewafanya kuamini uongo,

JER 29:32 Removed trailing space in v~: hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Hakika nitamwadhibu Shemaya Mnehelami pamoja na uzao wake. Hapatakuwa na yeyote atakayebaki miongoni mwa watu hawa, wala hataona mema nitakayowatendea watu wangu, asema \nd Bwana\nd*, kwa sababu ametangaza uasi dhidi yangu.’ ”

JER 30:0 Extra space after chapter number

JER 30:0 Removed trailing space in c: 30

JER 30:0 Removed trailing space in s1: Kurudishwa Kwa Israeli

JER 30:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 30:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe.

JER 30:3 Removed trailing space in v~: Siku zinakuja,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema \nd Bwana\nd*.”

JER 30:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maneno \nd Bwana\nd* aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda:

JER 30:5 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 30:5 Removed trailing space in p~: “ ‘Vilio vya woga vinasikika:

JER 30:5 Removed trailing space in p~: hofu kuu, wala si amani.

JER 30:6 Removed trailing space in v~: Ulizeni na mkaone:

JER 30:6 Removed trailing space in p~: Je, mwanaume aweza kuzaa watoto?

JER 30:6 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi ninaona kila mwanaume mwenye nguvu

JER 30:6 Removed trailing space in p~: ameweka mikono yake tumboni

JER 30:6 Removed trailing space in p~: kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa,

JER 30:6 Removed trailing space in p~: kila uso ukigeuka rangi kabisa?

JER 30:7 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya kutisha!

JER 30:7 Removed trailing space in p~: Hakutakuwa na nyingine mfano wake.

JER 30:7 Removed trailing space in p~: Utakuwa wakati wa dhiki kwa Yakobo,

JER 30:7 Removed trailing space in p~: lakini ataokolewa kutoka hiyo.

JER 30:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ile,’ asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 30:8 Removed trailing space in p~: ‘nitaivunja nira kutoka shingoni mwao

JER 30:8 Removed trailing space in p~: na kuvipasua vifungo vyao;

JER 30:8 Removed trailing space in p~: wageni hawatawafanya tena watumwa.

JER 30:9 Removed trailing space in v~: Badala yake, watamtumikia \nd Bwana\nd*, Mungu wao

JER 30:9 Removed trailing space in p~: na Daudi mfalme wao,

JER 30:9 Removed trailing space in p~: nitakayemwinua kwa ajili yao.

JER 30:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Hivyo usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

JER 30:10 Removed trailing space in p~: usifadhaike, ee Israeli,’

JER 30:10 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 30:10 Removed trailing space in p~: ‘Hakika, nitakuokoa kutoka mbali,

JER 30:10 Removed trailing space in p~: wazao wako kutoka nchi ya uhamisho wao.

JER 30:10 Removed trailing space in p~: Yakobo atakuwa tena na amani na usalama,

JER 30:10 Removed trailing space in p~: wala hakuna atakayemtia hofu.

JER 30:11 Removed trailing space in v~: Mimi niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,’

JER 30:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 30:11 Removed trailing space in p~: ‘Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote

JER 30:11 Removed trailing space in p~: ambamo miongoni mwao nimewatawanya,

JER 30:11 Removed trailing space in p~: sitawaangamiza ninyi kabisa.

JER 30:11 Removed trailing space in p~: Nitawaadhibu, lakini kwa haki.

JER 30:11 Removed trailing space in p~: Sitawaacha kabisa bila adhabu.’

JER 30:12 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 30:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Kidonda chako hakina dawa,

JER 30:12 Removed trailing space in p~: jeraha lako haliponyeki.

JER 30:13 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote wa kukutetea shauri lako,

JER 30:13 Removed trailing space in p~: hakuna dawa ya kidonda chako,

JER 30:13 Removed trailing space in p~: wewe hutapona.

JER 30:14 Removed trailing space in v~: Wale walioungana nawe wote wamekusahau,

JER 30:14 Removed trailing space in p~: hawajali chochote kukuhusu wewe.

JER 30:14 Removed trailing space in p~: Nimekupiga kama vile adui angelifanya,

JER 30:14 Removed trailing space in p~: na kukuadhibu kama vile mtu mkatili angelifanya,

JER 30:14 Removed trailing space in p~: kwa sababu hatia yako ni kubwa mno

JER 30:14 Removed trailing space in p~: na dhambi zako ni nyingi sana.

JER 30:15 Removed trailing space in v~: Kwa nini unalia kwa ajili ya jeraha lako,

JER 30:15 Removed trailing space in p~: yale maumivu yako yasiyoponyeka?

JER 30:15 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ya uovu wako mkubwa na dhambi zako nyingi

JER 30:15 Removed trailing space in p~: nimekufanyia mambo haya.

JER 30:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini watu wote wakuangamizao wataangamizwa;

JER 30:16 Removed trailing space in p~: adui zako wote watakwenda uhamishoni.

JER 30:16 Removed trailing space in p~: Wale wote wakutekao nyara watatekwa nyara;

JER 30:16 Removed trailing space in p~: wote wakufanyao mateka nitawafanya mateka.

JER 30:17 Removed trailing space in v~: Lakini nitakurudishia afya yako

JER 30:17 Removed trailing space in p~: na kuyaponya majeraha yako,’

JER 30:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 30:17 Removed trailing space in p~: ‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa,

JER 30:17 Removed trailing space in p~: Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali.’

JER 30:18 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 30:18 Removed trailing space in p~: “ ‘Nitarudisha baraka za mahema ya Yakobo,

JER 30:18 Removed trailing space in p~: na kuhurumia maskani yake.

JER 30:18 Removed trailing space in p~: Mji utajengwa tena juu ya magofu yake,

JER 30:18 Removed trailing space in p~: nalo jumba la kifalme litasimama mahali pake halisi.

JER 30:19 Removed trailing space in v~: Nyimbo za kushukuru zitatoka kwao

JER 30:19 Removed trailing space in p~: na sauti ya furaha.

JER 30:19 Removed trailing space in p~: Nitaiongeza idadi yao

JER 30:19 Removed trailing space in p~: wala hawatapungua,

JER 30:19 Removed trailing space in p~: nitawapa heshima

JER 30:19 Removed trailing space in p~: na hawatadharauliwa.

JER 30:20 Removed trailing space in v~: Watoto wao watakuwa kama walivyokuwa

JER 30:20 Removed trailing space in p~: siku za zamani,

JER 30:20 Removed trailing space in p~: nayo jumuiya yao itaimarishwa mbele yangu;

JER 30:20 Removed trailing space in p~: nitawaadhibu wale wote wawaoneao.

JER 30:21 Removed trailing space in v~: Mmoja wao atakuwa kiongozi wao;

JER 30:21 Removed trailing space in p~: mtawala wao atainuka miongoni mwao.

JER 30:21 Removed trailing space in p~: Nitamleta karibu nami,

JER 30:21 Removed trailing space in p~: naye atanikaribia mimi,

JER 30:21 Removed trailing space in p~: kwa maana ni nani yule atakayejitolea

JER 30:21 Removed trailing space in p~: kuwa karibu nami?’

JER 30:21 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 30:22 Removed trailing space in v~: ‘Kwa hiyo ninyi mtakuwa watu wangu,

JER 30:22 Removed trailing space in p~: nami nitakuwa Mungu wenu.’ ”

JER 30:23 Removed trailing space in v~: Tazama, tufani ya \nd Bwana\nd*

JER 30:23 Removed trailing space in p~: italipuka kwa ghadhabu,

JER 30:23 Removed trailing space in p~: upepo wa kisulisuli uendao kasi

JER 30:23 Removed trailing space in p~: utashuka juu ya vichwa vya waovu.

JER 30:24 Removed trailing space in v~: Hasira kali ya \nd Bwana\nd* haitarudi nyuma

JER 30:24 Removed trailing space in p~: mpaka atakapotimiza makusudi yote ya moyo wake.

JER 30:24 Removed trailing space in p~: Siku zijazo

JER 30:24 Removed trailing space in p~: mtayaelewa haya.

JER 31:0 Extra space after chapter number

JER 31:0 Removed trailing space in c: 31

JER 31:0 Removed trailing space in s1: Mahamisho Kurudi Kwa Shangwe

JER 31:1 Removed trailing space in v~: “Wakati huo, nitakuwa Mungu wa koo zote za Israeli nao watakuwa watu wangu,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:2 Removed trailing space in p~: “Watu watakaopona upanga

JER 31:2 Removed trailing space in p~: watapata upendeleo jangwani;

JER 31:2 Removed trailing space in p~: nitakuja niwape Israeli pumziko.”

JER 31:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alitutokea wakati uliopita, akisema:

JER 31:3 Removed trailing space in p~: “Nimekupenda kwa upendo wa milele,

JER 31:3 Removed trailing space in p~: nimekuvuta kwa wema.

JER 31:4 Removed trailing space in v~: Nitakujenga tena nawe utajengeka upya,

JER 31:4 Removed trailing space in p~: ewe Bikira Israeli.

JER 31:4 Removed trailing space in p~: Utachukua tena matari yako

JER 31:4 Removed trailing space in p~: na kwenda kucheza na wenye furaha.

JER 31:5 Removed trailing space in v~: Utapanda tena shamba la mizabibu

JER 31:5 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vya Samaria,

JER 31:5 Removed trailing space in p~: wakulima watapanda

JER 31:5 Removed trailing space in p~: na kufurahia matunda yake.

JER 31:6 Removed trailing space in v~: Itakuja siku wakati walinzi watakapowapigia kelele

JER 31:6 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vya Efraimu wakisema,

JER 31:6 Removed trailing space in p~: ‘Njooni, twendeni juu Sayuni,

JER 31:6 Removed trailing space in p~: kwake \nd Bwana\nd* Mungu wetu.’ ”

JER 31:7 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:7 Removed trailing space in p~: “Mwimbieni Yakobo kwa furaha,

JER 31:7 Removed trailing space in p~: mpigieni kelele aliye mkuu wa mataifa.

JER 31:7 Removed trailing space in p~: Zifanyeni sifa zenu zisikike, nanyi mseme,

JER 31:7 Removed trailing space in p~: ‘Ee \nd Bwana\nd*, okoa watu wako,

JER 31:7 Removed trailing space in p~: mabaki ya Israeli.’

JER 31:8 Removed trailing space in v~: Tazama, nitawaleta kutoka nchi ya kaskazini

JER 31:8 Removed trailing space in p~: na kuwakusanya kutoka miisho ya dunia.

JER 31:8 Removed trailing space in p~: Miongoni mwao watakuwepo vipofu na viwete,

JER 31:8 Removed trailing space in p~: mama wajawazito na wenye utungu wa kuzaa.

JER 31:8 Removed trailing space in p~: Umati mkubwa wa watu utarudi.

JER 31:9 Removed trailing space in v~: Watakuja wakilia;

JER 31:9 Removed trailing space in p~: wataomba wakati ninawarudisha.

JER 31:9 Removed trailing space in p~: Nitawaongoza kando ya vijito vya maji

JER 31:9 Removed trailing space in p~: katika mapito yaliyo tambarare ambapo hawatajikwaa,

JER 31:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu mimi ndimi baba wa Israeli,

JER 31:9 Removed trailing space in p~: naye Efraimu ni mzaliwa wangu wa kwanza.

JER 31:10 Removed trailing space in v~: “Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi mataifa,

JER 31:10 Removed trailing space in p~: litangazeni katika nchi za pwani ya mbali:

JER 31:10 Removed trailing space in p~: ‘Yeye aliyewatawanya Israeli atawakusanya

JER 31:10 Removed trailing space in p~: na atalichunga kundi lake la kondoo kama mchungaji.’

JER 31:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* atamlipia fidia Yakobo

JER 31:11 Removed trailing space in p~: na kuwakomboa mkononi mwa walio na nguvu kuliko wao.

JER 31:12 Removed trailing space in v~: Watakuja na kupiga kelele kwa furaha katika miinuko ya Sayuni;

JER 31:12 Removed trailing space in p~: watashangilia ukarimu wa \nd Bwana\nd*:

JER 31:12 Removed trailing space in p~: nafaka, divai mpya na mafuta,

JER 31:12 Removed trailing space in p~: wana-kondoo wachanga

JER 31:12 Removed trailing space in p~: na ndama wa makundi ya ngʼombe nitakaowapa.

JER 31:12 Removed trailing space in p~: Watakuwa kama bustani iliyonyeshewa vizuri,

JER 31:12 Removed trailing space in p~: wala hawatahuzunika tena.

JER 31:13 Removed trailing space in v~: Kisha wanawali watacheza na kufurahi,

JER 31:13 Removed trailing space in p~: vijana waume na wazee pia.

JER 31:13 Removed trailing space in p~: Nitageuza maombolezo yao kuwa furaha,

JER 31:13 Removed trailing space in p~: nitawapa faraja na furaha badala ya huzuni.

JER 31:14 Removed trailing space in v~: Nitawashibisha makuhani kwa wingi,

JER 31:14 Removed trailing space in p~: nao watu wangu watajazwa kwa ukarimu wangu,”

JER 31:14 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:15 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:15 Removed trailing space in p~: “Sauti imesikika huko Rama,

JER 31:15 Removed trailing space in p~: maombolezo na kilio kikubwa,

JER 31:15 Removed trailing space in p~: Raheli akiwalilia watoto wake

JER 31:15 Removed trailing space in p~: na anakataa kufarijiwa,

JER 31:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu watoto wake hawako tena.”

JER 31:16 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:16 Removed trailing space in p~: “Izuie sauti yako kulia,

JER 31:16 Removed trailing space in p~: na macho yako yasitoe machozi,

JER 31:16 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kazi yako itapata thawabu,”

JER 31:16 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:16 Removed trailing space in p~: “Watarudi kutoka nchi ya adui.

JER 31:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kuna tumaini kwa siku zijazo,”

JER 31:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:17 Removed trailing space in p~: “Watoto wako watarudi nchi yao yenyewe.

JER 31:18 Removed trailing space in v~: “Hakika nimeyasikia maombolezo ya Efraimu:

JER 31:18 Removed trailing space in p~: ‘Ulinirudi kama ndama mkaidi,

JER 31:18 Removed trailing space in p~: nami nimekubali kutii.

JER 31:18 Removed trailing space in p~: Unirudishe, nami nitarudi,

JER 31:18 Removed trailing space in p~: kwa sababu wewe ndiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wangu.

JER 31:19 Removed trailing space in v~: Baada ya kupotea, nilitubu;

JER 31:19 Removed trailing space in p~: baada ya kuelewa, nilijipiga kifua.

JER 31:19 Removed trailing space in p~: Niliaibika na kuona haya

JER 31:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu niliibeba aibu ya ujana wangu.’

JER 31:20 Removed trailing space in v~: Je, Efraimu si mwanangu mpendwa,

JER 31:20 Removed trailing space in p~: mtoto ninayependezwa naye?

JER 31:20 Removed trailing space in p~: Ingawa mara kwa mara ninanena dhidi yake,

JER 31:20 Removed trailing space in p~: bado ninamkumbuka.

JER 31:20 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo moyo wangu unamwonea shauku,

JER 31:20 Removed trailing space in p~: nina huruma kubwa kwa ajili yake,”

JER 31:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:21 Removed trailing space in v~: “Weka alama za barabara,

JER 31:21 Removed trailing space in p~: weka vibao vya kuelekeza.

JER 31:21 Removed trailing space in p~: Zingatia vyema njia kuu,

JER 31:21 Removed trailing space in p~: barabara ile unayoipita.

JER 31:21 Removed trailing space in p~: Rudi, ee Bikira Israeli,

JER 31:21 Removed trailing space in p~: rudi kwenye miji yako.

JER 31:22 Removed trailing space in v~: Utatangatanga hata lini,

JER 31:22 Removed trailing space in p~: ee binti usiye mwaminifu?

JER 31:22 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ameumba kitu kipya duniani:

JER 31:22 Removed trailing space in p~: mwanamke atamlinda mwanaume.”

JER 31:23 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo, “Nitakapowarudisha toka nchi ya kutekwa kwenu, watu walio katika nchi ya Yuda na miji yake kwa mara nyingine tena watatumia maneno haya: ‘\nd Bwana\nd* akubariki, ee makao ya haki, ee mlima mtakatifu.’

JER 31:24 Removed trailing space in v~: Watu wataishi pamoja katika Yuda na miji yake yote, wakulima na wote wanaohamahama na mifugo yao.

JER 31:25 Removed trailing space in v~: Nitawaburudisha waliochoka na kuwatuliza walio na huzuni.”

JER 31:26 Removed trailing space in v~: Kwa jambo hili niliamka na kuangalia pande zote. Usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.

JER 31:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Siku zinakuja, nitakapoongeza idadi ya watu, na kuzidisha hesabu ya mifugo katika nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.

JER 31:28 Removed trailing space in v~: Kama vile nilivyowaangalia ili kungʼoa na kubomoa, kuharibu, kuangamiza na kuleta maafa juu yao, vivyo hivyo nitawaangalia ili kujenga na kupanda,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:29 Removed trailing space in v~: “Katika siku hizo, watu hawatasema tena,

JER 31:29 Removed trailing space in p~: “ ‘Baba wamekula zabibu chachu,

JER 31:29 Removed trailing space in p~: nayo meno ya watoto yakatiwa ganzi.’

JER 31:30 Removed trailing space in v~: Badala yake, kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe; yeyote alaye zabibu chachu, meno yake mwenyewe yatatiwa ganzi.

JER 31:31 Removed trailing space in v~: “Siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*,

JER 31:31 Removed trailing space in p~: “nitakapofanya agano jipya

JER 31:31 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Israeli

JER 31:31 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Yuda.

JER 31:32 Removed trailing space in v~: Halitafanana na agano

JER 31:32 Removed trailing space in p~: nililofanya na baba zao

JER 31:32 Removed trailing space in p~: wakati nilipowashika mkono

JER 31:32 Removed trailing space in p~: kuwaongoza watoke Misri,

JER 31:32 Removed trailing space in p~: kwa sababu walivunja agano langu,

JER 31:32 Removed trailing space in p~: ijapokuwa nilikuwa mume kwao,”

JER 31:32 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:33 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli

JER 31:33 Removed trailing space in p~: baada ya siku zile,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:33 Removed trailing space in p~: “Nitaweka sheria yangu katika nia zao,

JER 31:33 Removed trailing space in p~: na kuiandika mioyoni mwao.

JER 31:33 Removed trailing space in p~: Nitakuwa Mungu wao,

JER 31:33 Removed trailing space in p~: nao watakuwa watu wangu.

JER 31:34 Removed trailing space in v~: Mtu hatamfundisha tena jirani yake,

JER 31:34 Removed trailing space in p~: wala mtu kumfundisha ndugu yake akisema, ‘Mjue \nd Bwana\nd* Mungu,’

JER 31:34 Removed trailing space in p~: kwa sababu wote watanijua mimi,

JER 31:34 Removed trailing space in p~: tangu aliye mdogo kabisa kwao, hadi aliye mkuu sana,”

JER 31:34 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:34 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu nitasamehe uovu wao,

JER 31:34 Removed trailing space in p~: wala sitazikumbuka dhambi zao tena.”

JER 31:35 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

JER 31:35 Removed trailing space in p~: yeye aliyeweka jua

JER 31:35 Removed trailing space in p~: liwake mchana,

JER 31:35 Removed trailing space in p~: yeye anayeamuru mwezi na nyota

JER 31:35 Removed trailing space in p~: kungʼaa usiku,

JER 31:35 Removed trailing space in p~: yeye aichafuaye bahari

JER 31:35 Removed trailing space in p~: ili mawimbi yake yangurume;

JER 31:35 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake:

JER 31:36 Removed trailing space in v~: “Ikiwa amri hizi zitaondoka machoni pangu,”

JER 31:36 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 31:36 Removed trailing space in p~: “ndipo wazao wa Israeli watakoma

JER 31:36 Removed trailing space in p~: kuwa taifa mbele yangu daima.”

JER 31:37 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:37 Removed trailing space in p~: “Ikiwa mbingu zilizo juu zitaweza kupimika

JER 31:37 Removed trailing space in p~: na misingi ya dunia chini

JER 31:37 Removed trailing space in p~: ikaweza kuchunguzwa,

JER 31:37 Removed trailing space in p~: ndipo nitakapowakataa wazao wote wa Israeli

JER 31:37 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya yote waliyoyatenda,”

JER 31:37 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:38 Removed trailing space in v~: “Siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*, “wakati mji huu utajengwa upya kwa ajili yangu, kuanzia mnara wa Hananeli hadi Lango la Pembeni.

JER 31:39 Removed trailing space in v~: Kamba ya kupimia itaanzia hapo kuendelea hadi kwenye kilima cha Garebu, na kisha kugeuka kuelekea Goa.

JER 31:40 Removed trailing space in v~: Bonde lote watupwapo maiti na majivu pia na matuta yote kutoka Bonde la Kidroni upande wa mashariki hadi pembe ya Lango la Farasi, itakuwa takatifu kwa \nd Bwana\nd*. Kamwe mji huu hautangʼolewa tena wala kubomolewa.”

JER 32:0 Extra space after chapter number

JER 32:0 Removed trailing space in c: 32

JER 32:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Anunua Shamba

JER 32:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*, katika mwaka wa kumi wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Nebukadneza.

JER 32:2 Removed trailing space in v~: Wakati huo jeshi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka mji wa Yerusalemu, naye nabii Yeremia alikuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi katika jumba la kifalme la Yuda.

JER 32:3 Removed trailing space in v~: Basi Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga huko akisema, “Kwa nini unatabiri hivyo? Wewe unasema, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ninakaribia kuutia mji huu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteka.

JER 32:4 Removed trailing space in v~: Sedekia mfalme wa Yuda hataweza kuponyoka mikononi mwa Wakaldayo, lakini kwa hakika atatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atazungumza naye ana kwa ana na kumwona kwa macho yake mwenyewe.

JER 32:5 Removed trailing space in v~: Atamchukua Sedekia hadi Babeli, mahali atakapoishi mpaka nitakapomshughulikia, asema \nd Bwana\nd*. Kama utapigana dhidi ya Wakaldayo, hutashinda.’ ”

JER 32:6 Removed trailing space in v~: Yeremia akasema, “Neno la \nd Bwana\nd* lilinijia kusema:

JER 32:7 Removed trailing space in v~: Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako atakuja kwako na kusema, ‘Nunua shamba langu huko Anathothi, kwa sababu wewe kama jamaa ya karibu ni haki na wajibu wako kulinunua.’

JER 32:8 Removed trailing space in v~: “Kisha, kama \nd Bwana\nd* alivyosema, binamu yangu Hanameli alinijia katika ua wa walinzi na kusema: ‘Nunua shamba langu lililoko Anathothi katika nchi ya Benyamini. Kwa kuwa ni haki yako kulikomboa na kulimiliki, jinunulie.’

JER 32:8 Removed trailing space in p~: “Nilijua kwamba hili lilikuwa neno la \nd Bwana\nd*.

JER 32:9 Removed trailing space in v~: Hivyo nikalinunua shamba hilo lililoko Anathothi kutoka kwa binamu yangu Hanameli, nami nikampimia shekeli kumi na saba\f + \fr 32:9 \ft Shekeli 17 za fedha ni sawa na gramu 200.\f* za fedha.

JER 32:10 Removed trailing space in v~: Nikatia sahihi na kuweka muhuri hati ya kumiliki, nikaweka mashahidi, na kupima ile fedha kwenye mizani.

JER 32:11 Removed trailing space in v~: Nikachukua ile hati ya kununulia, nakala iliyotiwa muhuri yenye makubaliano na masharti, pia pamoja na ile nakala isiyo na muhuri,

JER 32:12 Removed trailing space in v~: nami nikampa Baruku mwana wa Neria, mwana wa Maaseya, hati hii mbele ya binamu yangu Hanameli, na mbele ya mashahidi waliokuwa wameweka sahihi kwenye hati hii na mbele ya Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika ua wa walinzi.

JER 32:13 Removed trailing space in v~: “Nilimpa Baruku maelezo haya mbele yao:

JER 32:14 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Chukua hati hizi, yaani nakala zote zenye muhuri na zisizo na muhuri za hati ya kununulia, na uziweke kwenye gudulia la udongo wa mfinyanzi ili zidumu kwa muda mrefu.

JER 32:15 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Nyumba, mashamba na mashamba ya mizabibu yatanunuliwa tena katika nchi hii.’

JER 32:16 Removed trailing space in v~: “Baada ya kumkabidhi Baruku mwana wa Neria hii hati ya kununulia, nilimwomba \nd Bwana\nd*:

JER 32:17 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, umeumba mbingu na nchi kwa uwezo wako mkuu na kwa mkono ulionyooshwa. Hakuna jambo lililo gumu usiloliweza.

JER 32:18 Removed trailing space in v~: Wewe huonyesha upendo kwa maelfu, lakini huleta adhabu kwa ajili ya dhambi za baba mapajani mwa watoto wao baada yao. Ee Mungu mkuu na mwenye uweza, ambaye jina lako ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 32:19 Removed trailing space in v~: makusudi yako ni makuu, na matendo yako ni yenye uwezo. Macho yako yanaona njia zote za wanadamu, nawe humlipa kila mmoja kulingana na mwenendo wake, na kama yanavyostahili matendo yake.

JER 32:20 Removed trailing space in v~: Ulitenda ishara za miujiza na maajabu huko Misri, na umeyaendeleza mpaka leo, katika Israeli na miongoni mwa wanadamu wote, nawe umejulikana na kufahamika hivyo mpaka leo.

JER 32:21 Removed trailing space in v~: Uliwatoa watu wako Israeli kutoka Misri kwa ishara na maajabu, kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa na kwa matisho makuu.

JER 32:22 Removed trailing space in v~: Uliwapa nchi hii uliyokuwa umeapa kuwapa baba zao, nchi inayotiririka maziwa na asali.

JER 32:23 Removed trailing space in v~: Waliingia na kuimiliki, lakini hawakukutii wala kuifuata sheria yako. Hawakufanya kile ulichowaamuru kufanya. Hivyo ukaleta maafa haya yote juu yao.

JER 32:24 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi tumezungukwa na jeshi ili kuuteka mji huu. Kwa sababu ya upanga, njaa na tauni, mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo ambao wanaushambulia. Ulilosema limetokea kama vile unavyoona sasa.

JER 32:25 Removed trailing space in v~: Ingawa mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo, wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, uliniambia, ‘Nunua shamba kwa fedha, na jambo hilo lishuhudiwe.’ ”

JER 32:26 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 32:27 Removed trailing space in v~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wa wote wenye mwili. Je, kuna jambo lolote lililo gumu nisiloliweza?

JER 32:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ninakaribia kuutia mji huu mikononi mwa Wakaldayo, na mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ambaye atauteka.

JER 32:29 Removed trailing space in v~: Wakaldayo ambao wanaushambulia mji huu watakuja na kuuchoma moto na kuuteketeza, pamoja na nyumba ambamo watu wamenikasirisha kwa kumfukizia Baali uvumba katika mapaa na kumimina sadaka za vinywaji kwa miungu mingine.

JER 32:30 Removed trailing space in v~: “Watu wa Israeli na wa Yuda hawakufanya kitu kingine ila uovu mbele zangu tangu ujana wao. Naam, watu wa Israeli hawakufanya kitu kingine ila kunikasirisha kwa kazi ambazo mikono yao imetengeneza, asema \nd Bwana\nd*.

JER 32:31 Removed trailing space in v~: Tangu siku ulipojengwa hadi sasa, mji huu umenikasirisha na kunighadhibisha kiasi kwamba ni lazima niuondoe machoni pangu.

JER 32:32 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli na wa Yuda wamenikasirisha kwa uovu wote waliofanya: wao, wafalme wao na maafisa wao, makuhani wao na manabii wao, watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu.

JER 32:33 Removed trailing space in v~: Walinigeuzia visogo vyao, wala si nyuso zao. Ingawa niliwafundisha tena na tena, hawakupenda kusikiliza wala kuitikia adhabu.

JER 32:34 Removed trailing space in v~: Waliweka miungu yao ya kuchukiza sana katika nyumba iitwayo kwa Jina langu na kuinajisi.

JER 32:35 Removed trailing space in v~: Wakajenga mahali pa juu pa kuabudia miungu kwa ajili ya Baali katika Bonde la Ben-Hinomu, ambapo walitoa wana wao na binti zao kafara kwa Moleki, ingawa kamwe sikuamuru, wala halikuingia akilini mwangu, kwamba watafanya chukizo kama hilo na kumfanya Yuda atende dhambi.

JER 32:36 Removed trailing space in v~: “Mnasema kuhusu mji huu, ‘Kwa upanga, njaa na tauni, mji utatiwa mkononi mwa mfalme wa Babeli,’ lakini hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli asemalo:

JER 32:37 Removed trailing space in v~: Hakika nitawakusanya kutoka nchi zote nilizowafukuzia katika hasira yangu kali na ghadhabu yangu kuu, nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu waishi kwa salama.

JER 32:38 Removed trailing space in v~: Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.

JER 32:39 Removed trailing space in v~: Nitawapa moyo mmoja na kutenda pamoja, ili kwamba waniche daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema ya watoto wao baada yao.

JER 32:40 Removed trailing space in v~: Nitafanya nao agano la milele: Kamwe sitaacha kuwatendea mema, nami nitawavuvia kunicha mimi, ili kamwe wasigeukie mbali nami.

JER 32:41 Removed trailing space in v~: Nitafurahia kuwatendea mema, na kwa hakika nitawapanda katika nchi hii kwa moyo wangu wote na roho yangu yote.

JER 32:42 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Kama nilivyoleta maafa haya makubwa kwa watu hawa, ndivyo nitakavyowapa mafanikio niliyowaahidi.

JER 32:43 Removed trailing space in v~: Kwa mara nyingine tena mashamba yatanunuliwa katika nchi hii ambayo mlisema, ‘Imekuwa ukiwa, isiyofaa, isiyo na watu wala wanyama, kwa sababu imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.’

JER 32:44 Removed trailing space in v~: Mashamba yatanunuliwa kwa fedha, na hati zitatiwa sahihi, zitatiwa muhuri na kushuhudiwa katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu, katika miji ya Yuda na katika miji ya nchi ya vilima, sehemu za magharibi katika miji ya tambarare na katika Negebu, kwa sababu nitarudisha tena mafanikio yao,\f + \fr 32:44 \ft Au: nitawarudisha tena kutoka utumwani.\f* asema \nd Bwana\nd*.”

JER 33:0 Extra space after chapter number

JER 33:0 Removed trailing space in c: 33

JER 33:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Kurudishwa

JER 33:1 Removed trailing space in v~: Wakati Yeremia alipokuwa angali amefungwa kwenye ua wa walinzi, neno la \nd Bwana\nd* lilimjia mara ya pili kusema:

JER 33:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo, yeye aliyeumba dunia, \nd Bwana\nd* aliyeifanya na kuithibitisha, \nd Bwana\nd* ndilo jina lake:

JER 33:3 Removed trailing space in v~: ‘Niite nami nitakuitika na kukuambia mambo makuu na yasiyochunguzika, usiyoyajua.’

JER 33:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu nyumba katika mji huu na majumba ya kifalme ya Yuda yaliyobomolewa ili yatumiwe dhidi ya kule kuzungukwa na jeshi na upanga

JER 33:5 Removed trailing space in v~: katika kupigana na Wakaldayo: ‘Zitajazwa na maiti za watu nitakaowachinja katika hasira na ghadhabu yangu. Nitauficha uso wangu kwa sababu ya maovu yake yote.

JER 33:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Hata hivyo, nitauletea afya na uponyaji, nitawaponya watu wangu na kuwafanya wafurahie amani tele na salama.

JER 33:7 Removed trailing space in v~: Nitawarudisha Yuda na Israeli kutoka nchi ya kutekwa kwao, na kuwajenga tena kama walivyokuwa hapo awali.

JER 33:8 Removed trailing space in v~: Nitawatakasa dhambi zote walizofanya dhidi yangu, na nitawasamehe dhambi zote za uasi dhidi yangu.

JER 33:9 Removed trailing space in v~: Kisha mji huu utaniletea utukufu, furaha, sifa na heshima mbele ya mataifa yote ya dunia yatakayosikia mambo yote mazuri ninayoufanyia. Nao watashangaa na kutetemeka kwa ajili ya wingi wa mafanikio na amani nitakayoupatia.’

JER 33:10 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Mnasema kuhusu mahali hapa kwamba, “Ni mahali palipoachwa ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama.” Lakini katika miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu ambazo zimeachwa, ambazo hazikaliwi na wanadamu wala wanyama, huko kutasikika kwa mara nyingine

JER 33:11 Removed trailing space in v~: sauti za shangwe na furaha, sauti za bibi na bwana arusi, na sauti za wale waletao sadaka za shukrani katika nyumba ya \nd Bwana\nd*, wakisema,

JER 33:11 Removed trailing space in p~: “ ‘ “Mshukuruni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 33:11 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* ni mwema;

JER 33:11 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.”

JER 33:11 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa nitairudishia nchi baraka kama zilivyokuwa hapo awali,’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 33:12 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: ‘Mahali hapa, ambapo ni ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama: katika miji yake, patakuwepo tena malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao ya kondoo.

JER 33:13 Removed trailing space in v~: Katika miji ya nchi ya vilima, ya vilima vya magharibi na ya Negebu, katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu na katika miji ya Yuda, makundi ya kondoo yatapita tena chini ya mkono wa yeye ayahesabuye,’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 33:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku zinakuja,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘wakati nitakapotimiza ahadi yangu ya rehema niliyoifanya kwa nyumba ya Israeli na kwa nyumba ya Yuda.

JER 33:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku hizo na wakati huo

JER 33:15 Removed trailing space in p~: nitalifanya Tawi la haki lichipuke kutoka ukoo wa Daudi,

JER 33:15 Removed trailing space in p~: naye atafanya lile lililo haki na sawa

JER 33:15 Removed trailing space in p~: katika nchi.

JER 33:16 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, Yuda ataokolewa

JER 33:16 Removed trailing space in p~: na Yerusalemu ataishi salama.

JER 33:16 Removed trailing space in p~: Hili ndilo jina atakaloitwa:

JER 33:16 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Haki Yetu.’

JER 33:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Daudi kamwe hatakosa mtu wa kukalia kiti cha enzi cha nyumba ya Israeli,

JER 33:18 Removed trailing space in v~: wala hata makuhani, ambao ni Walawi, kamwe hawatakosa mtu wa kusimama mbele zangu daima ili kutoa sadaka za kuteketezwa, ili kuteketeza sadaka ya nafaka na kutoa dhabihu.’ ”

JER 33:19 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 33:20 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Ikiwa mtaweza kuvunja agano langu kuhusu usiku na mchana, ili usiku na mchana visiwepo kwa nyakati zake,

JER 33:21 Removed trailing space in v~: basi agano langu na Daudi mtumishi wangu, na agano langu na Walawi ambao ni makuhani wanaohudumu mbele zangu, linaweza kuvunjwa, na Daudi hatakuwa tena na mzao wa kutawala katika kiti chake cha enzi.

JER 33:22 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wazao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi wanaohudumu mbele zangu wengi, wasioweza kuhesabika kama nyota za angani, tena wasiopimika kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.’ ”

JER 33:23 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 33:24 Removed trailing space in v~: “Je, hujasikia kwamba watu hawa wanasema, ‘\nd Bwana\nd* amezikataa zile falme mbili alizozichagua?’ Kwa hiyo wamewadharau watu wangu, na hawawaoni tena kama taifa.

JER 33:25 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Kama sijathibitisha agano langu na usiku na mchana, na kuziweka wakfu sheria za mbingu na nchi,

JER 33:26 Removed trailing space in v~: basi nitawakataa wazao wa Yakobo na Daudi mtumishi wangu, na sitachagua mmoja wa wanawe kutawala juu ya wazao wa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Kwa maana nitawarudisha kutoka nchi ya kutekwa kwao na kuwaonea huruma.’ ”

JER 34:0 Extra space after chapter number

JER 34:0 Removed trailing space in c: 34

JER 34:0 Removed trailing space in s1: Onyo Kwa Sedekia

JER 34:1 Removed trailing space in v~: Wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli na jeshi lake lote, pamoja na falme zote na mataifa katika himaya aliyotawala walipokuwa wakipigana dhidi ya Yerusalemu pamoja na miji yote inayoizunguka, neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 34:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kusema: Nenda kwa Sedekia mfalme wa Yuda umwambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ninakaribia kuutia mji huu mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto.

JER 34:3 Removed trailing space in v~: Hutaweza kuepuka mkono wake, bali hakika utatekwa na kukabidhiwa kwake. Utamwona mfalme wa Babeli kwa macho yako mwenyewe, naye atazungumza nawe ana kwa ana. Nawe utakwenda Babeli.

JER 34:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini sikia ahadi ya \nd Bwana\nd*, ee Sedekia mfalme wa Yuda. Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kukuhusu: Hutakufa kwa upanga,

JER 34:5 Removed trailing space in v~: utakufa kwa amani. Kama vile watu walivyowasha moto wa maziko kwa heshima ya baba zako, wafalme waliokutangulia, ndivyo watu watakavyowasha moto kwa heshima yako na kuomboleza, wakisema: “Ole, Ee \nd Bwana\nd*!” Mimi mwenyewe ninaweka ahadi hii, asema \nd Bwana\nd*.’ ”

JER 34:6 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Yeremia akamwambia Sedekia mfalme wa Yuda mambo haya yote huko Yerusalemu,

JER 34:7 Removed trailing space in v~: wakati jeshi la mfalme wa Babeli lilipokuwa likipigana dhidi ya Yerusalemu na miji mingine ya Yuda ambayo bado ilikuwa imara, yaani Lakishi na Azeka. Hii ilikuwa miji pekee yenye ngome iliyobaki katika Yuda.

JER 34:7 Removed trailing space in s1: Uhuru Kwa Watumwa

JER 34:8 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*, baada ya Mfalme Sedekia kufanya agano na watu wote huko Yerusalemu ili kutangaza uhuru kwa watumwa.

JER 34:9 Removed trailing space in v~: Kila mmoja alipaswa kuwaacha huru watumwa wake wa Kiebrania, wanawake na wanaume. Hakuna yeyote aliyeruhusiwa kumshikilia Myahudi mwenzake kama mtumwa.

JER 34:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo maafisa wote na watu walioingia katika agano hili wakakubali kwamba watawaacha huru watumwa wao wa kiume na wa kike, na hawatawashikilia tena kama watumwa. Wakakubali na wakawaacha huru.

JER 34:11 Removed trailing space in v~: Lakini baadaye wakabadili mawazo yao, na kuwarudisha wale watumwa waliokuwa wamewaacha huru, wakawafanya tena watumwa.

JER 34:12 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 34:13 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Nilifanya agano na baba zenu nilipowatoa Misri, kutoka nchi ya utumwa. Nilisema,

JER 34:14 Removed trailing space in v~: ‘Kila mwaka wa saba, kila mmoja wenu ni lazima amwache huru mtumwa ambaye ni Mwebrania mwenzenu aliyejiuza kwenu. Baada ya kukutumikia kwa miaka sita, ni lazima umwache huru aende zake.’ Hata hivyo baba zenu hawakunisikiliza wala kunijali.

JER 34:15 Removed trailing space in v~: Hivi karibuni tu mlitubu na kufanya yaliyo sawa machoni pangu: Kila mmoja wenu aliwatangazia uhuru Waebrania wake. Hata mlifanya agano mbele zangu ndani ya nyumba iitwayo kwa Jina langu.

JER 34:16 Removed trailing space in v~: Lakini sasa mmegeuka na kulinajisi jina langu. Kila mmoja wenu amemrudisha mtumwa wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaacha huru waende zao walikotaka. Mmewalazimisha kuwa watumwa wenu tena.

JER 34:17 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Hamkunitii mimi. Hamkutangaza uhuru kwa ndugu zenu. Hivyo sasa, ninawatangazia ninyi ‘uhuru,’ asema \nd Bwana\nd*: ‘uhuru’ ili kuanguka kwa upanga, tauni na njaa. Nitawafanya mwe chukizo kwa falme zote za dunia.

JER 34:18 Removed trailing space in v~: Watu waliovunja agano langu, na ambao hawakutunza masharti ya agano walilofanya mbele zangu, nitawafanya kama ndama waliyemkata vipande viwili, kisha wakatembea kati ya vile vipande vya huyo ndama.

JER 34:19 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Yuda na Yerusalemu, maafisa wa mahakama, makuhani na watu wote wa nchi waliopita kati ya vile vipande vya ndama,

JER 34:20 Removed trailing space in v~: nitawatia mikononi mwa adui zao wanaotafuta uhai wao. Maiti zao zitakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi.

JER 34:21 Removed trailing space in v~: “Nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda na maafisa wake mikononi mwa adui zao wanaotafuta uhai wao, kwa jeshi la mfalme wa Babeli, lililokuwa limeondoka kwenu.

JER 34:22 Removed trailing space in v~: Nitatoa amri, asema \nd Bwana\nd*, nami nitawarudisha tena katika mji huu. Watapigana dhidi yake, wautwae na kuuteketeza kwa moto. Nami nitaiangamiza miji ya Yuda hivyo pasiwe na yeyote atakayeweza kuishi humo.”

JER 35:0 Extra space after chapter number

JER 35:0 Removed trailing space in c: 35

JER 35:0 Removed trailing space in s1: Warekabi Wasifiwa

JER 35:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*, wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:

JER 35:2 Removed trailing space in v~: “Nenda kwa jamaa ya Warekabi, uwaalike waje kwenye moja ya vyumba vya pembeni vya nyumba ya \nd Bwana\nd*, na uwape divai wanywe.”

JER 35:3 Removed trailing space in v~: Basi nikaenda kumwita Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake na wanawe wote, yaani jamaa nzima ya Warekabi.

JER 35:4 Removed trailing space in v~: Nikawaleta katika nyumba ya \nd Bwana\nd*, ndani ya chumba cha wana wa Hanani mwana wa Igdalia mtu wa Mungu. Kilikuwa karibu na chumba cha maafisa, ambacho kilikuwa juu ya kile cha Maaseya mwana wa Shalumu, aliyekuwa bawabu.

JER 35:5 Removed trailing space in v~: Kisha nikaweka mabakuli yaliyojaa divai na baadhi ya vikombe mbele ya watu wa jamaa ya Warekabi na kuwaambia, “Kunyweni divai.”

JER 35:6 Removed trailing space in v~: Lakini wao wakajibu, “Sisi hatunywi divai, kwa sababu baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu, alitupa agizo hili: ‘Ninyi wala wazao wenu kamwe msinywe divai.

JER 35:7 Removed trailing space in v~: Pia msijenge nyumba kamwe, wala kuotesha mbegu au kupanda mashamba ya mizabibu. Kamwe msiwe na kitu chochote katika hivi, lakini siku zote lazima muishi kwenye mahema. Ndipo mtakapoishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo ninyi ni wahamiaji.’

JER 35:8 Removed trailing space in v~: Tumetii kila kitu ambacho baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu alituamuru. Sisi wenyewe wala wake zetu wala wana wetu na binti zetu kamwe hatujanywa divai

JER 35:9 Removed trailing space in v~: wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao.

JER 35:10 Removed trailing space in v~: Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.

JER 35:11 Removed trailing space in v~: Lakini wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli alipoivamia nchi hii, tulisema, ‘Njooni, lazima twende Yerusalemu ili kukimbia majeshi ya Wakaldayo na ya Washamu.’ Kwa hiyo tumeishi Yerusalemu.”

JER 35:12 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 35:13 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli, asemalo: Nenda ukawaambie watu wa Yuda na watu wa Yerusalemu, ‘Je, hamwezi kujifunza kutoka kwa wana wa Rekabu, na kuyatii maneno yangu?’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 35:14 Removed trailing space in v~: ‘Yonadabu mwana wa Rekabu aliwaagiza wanawe wasinywe divai, na agizo hilo wamelishika mpaka leo hawanywi divai, kwa sababu wanatii amri ya baba yao. Lakini nimenena nanyi tena na tena, lakini hamkunitii mimi.

JER 35:15 Removed trailing space in v~: Tena na tena nimewatuma watumishi wangu wote manabii kwenu. Wakasema, “Kila mmoja wenu ni lazima ageuke na kuacha njia zake mbaya, na kuyatengeneza matendo yake. Msifuate miungu mingine ili kuitumikia. Ndipo mtakapoishi katika nchi niliyowapa ninyi na baba zenu.” Lakini hamkujali wala kunisikiliza.

JER 35:16 Removed trailing space in v~: Wazao wa Yonadabu mwana wa Rekabu walitimiza amri ambayo baba yao aliwapa, lakini watu hawa hawakunitii mimi.’

JER 35:17 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya Yuda na juu ya kila mmoja aishiye Yerusalemu kila aina ya maafa niliyotamka dhidi yao. Nilinena nao, lakini hawakusikiliza. Niliwaita, lakini hawakujibu.’ ”

JER 35:18 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akaiambia jamaa ya Warekabi, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Mmetii amri ya baba yenu Yonadabu, na mmefuata mafundisho yake yote na mmefanya kila kitu alichowaamuru.’

JER 35:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Yonadabu mwana wa Rekabu hatakosa kamwe kuwa na mtu wa kunitumikia mimi.’ ”

JER 36:0 Extra space after chapter number

JER 36:0 Removed trailing space in c: 36

JER 36:0 Removed trailing space in s1: Yehoyakimu Achoma Kitabu Cha Yeremia

JER 36:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia nabii Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*, kusema:

JER 36:2 Removed trailing space in v~: “Chukua kitabu uandike ndani yake maneno yote niliyonena nawe kuhusu Israeli, Yuda na mataifa mengine yote, tangu nilipoanza kunena nawe wakati wa utawala wa Yosia hadi sasa.

JER 36:3 Removed trailing space in v~: Labda watu wa Yuda watakaposikia juu ya kila maafa ninayokusudia kuwapiga nayo, kila mmoja wao atageuka kutoka njia zake mbaya, kisha nitasamehe uovu wao na dhambi yao.”

JER 36:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Yeremia akamwita Baruku mwana wa Neria, naye Yeremia alipokuwa akiyakariri maneno yote aliyoyasema \nd Bwana\nd*, Baruku akayaandika katika kitabu.

JER 36:5 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akamwambia Baruku, “Nimezuiliwa, mimi siwezi kuingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

JER 36:6 Removed trailing space in v~: Basi wewe nenda katika nyumba ya \nd Bwana\nd* siku ya kufunga, uwasomee watu maneno ya \nd Bwana\nd* kutoka kitabu hiki yale uliyoyaandika kutoka kinywani mwangu. Wasomee watu wote wa Yuda waliofika kutoka miji yao.

JER 36:7 Removed trailing space in v~: Labda wataomba na kusihi mbele za \nd Bwana\nd* na kila mmoja akageuka kutoka njia zake mbaya, kwa sababu hasira na ghadhabu zilizotamkwa dhidi ya watu hawa na \nd Bwana\nd* ni kubwa.”

JER 36:8 Removed trailing space in v~: Baruku mwana wa Neria akafanya kila kitu nabii Yeremia alichomwambia kufanya. Alisoma maneno ya \nd Bwana\nd* katika Hekalu la \nd Bwana\nd* kutoka kile kitabu.

JER 36:9 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa tisa, mnamo mwaka wa tano wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, wakati wa kufunga mbele za \nd Bwana\nd*, ilitangazwa kwa watu wote walioko Yerusalemu, na wale wote waliokuwa wamekuja kutoka miji ya Yuda.

JER 36:10 Removed trailing space in v~: Kutoka chumba cha Gemaria mwana wa Shafani mwandishi, kilichokuwa katika ua wa juu kwenye ingilio la Lango Jipya la Hekalu, Baruku akawasomea watu wote waliokuwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd* maneno ya Yeremia kutoka kwenye kile kitabu.

JER 36:11 Removed trailing space in v~: Basi Mikaya mwana wa Gemaria, mwana wa Shafani, aliposikia maneno yote ya \nd Bwana\nd* kutoka kwenye kile kitabu,

JER 36:12 Removed trailing space in v~: alishuka hadi kwenye chumba cha mwandishi kwenye jumba la kifalme, mahali walipokuwa wameketi maafisa wote: yaani Elishama mwandishi, Delaya mwana wa Shemaya, Elnathani mwana wa Akbori, Gemaria mwana wa Shafani, Sedekia mwana wa Hanania, na maafisa wengine wote.

JER 36:13 Removed trailing space in v~: Baada ya Mikaya kuwaambia kila kitu ambacho alikuwa amesikia Baruku akiwasomea watu kutoka kwenye kile kitabu,

JER 36:14 Removed trailing space in v~: maafisa wote wakamtuma Yehudi mwana wa Nethania, mwana wa Shelemia, mwana wa Kushi, kumwambia Baruku, “Leta hicho kitabu ambacho umewasomea watu, nawe mwenyewe uje.” Ndipo Baruku mwana wa Neria akawaendea akiwa na hicho kitabu mkononi mwake.

JER 36:15 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Tafadhali, keti na utusomee hicho kitabu.”

JER 36:15 Removed trailing space in p~: Ndipo Baruku akawasomea kile kitabu.

JER 36:16 Removed trailing space in v~: Walipoyasikia maneno hayo yote, wakatazamana wao kwa wao kwa woga na kumwambia Baruku, “Lazima tutoe taarifa ya maneno haya yote kwa mfalme.”

JER 36:17 Removed trailing space in v~: Kisha wakamuuliza Baruku, “Tuambie, uliandikaje haya yote? Je, yalitoka kinywani mwa Yeremia?”

JER 36:18 Removed trailing space in v~: Baruku akajibu, “Ndiyo, maneno haya yote yalitoka kinywani mwa Yeremia, nami nikayaandika kwa wino katika hiki kitabu.”

JER 36:19 Removed trailing space in v~: Ndipo wale maafisa wakamwambia Baruku, “Wewe na Yeremia nendeni mkajifiche. Mtu yeyote asijue mahali mlipo.”

JER 36:20 Removed trailing space in v~: Baada ya kuhifadhi kile kitabu ndani ya chumba cha Elishama mwandishi, wakamwendea mfalme katika ua wa nje na kumwarifu kila kitu.

JER 36:21 Removed trailing space in v~: Mfalme akamtuma Yehudi akachukue kile kitabu. Yehudi akakileta hicho kitabu kutoka kwenye chumba cha Elishama mwandishi, na akakisoma mbele ya mfalme na maafisa wakiwa wamesimama kando ya mfalme.

JER 36:22 Removed trailing space in v~: Ulikuwa mwezi wa tisa, na mfalme alikuwa ameketi chumba cha wakati wa baridi akiota moto.

JER 36:23 Removed trailing space in v~: Hata ikawa kila wakati Yehudi alipomaliza kusoma kurasa tatu au nne za hicho kitabu, mfalme alizikata kwa kisu cha mwandishi na kuzitupia motoni, hadi kitabu chote kikateketea.

JER 36:24 Removed trailing space in v~: Mfalme na watumishi wake wote waliosikia yote yaliyosomwa hawakuonyesha hofu yoyote, wala hawakuyararua mavazi yao.

JER 36:25 Removed trailing space in v~: Hata ingawa Elnathani, Delaya na Gemaria walimsihi mfalme asikichome kile kitabu, yeye hakuwasikiliza.

JER 36:26 Removed trailing space in v~: Badala yake, mfalme akamwamuru Yerameeli, mwana wa mfalme, Seraya mwana wa Azrieli, na Shelemia mwana wa Abdeeli kuwakamata mwandishi Baruku na nabii Yeremia. Lakini \nd Bwana\nd* alikuwa amewaficha.

JER 36:27 Removed trailing space in v~: Baada ya mfalme kuchoma kile kitabu kilichokuwa na yale maneno Baruku aliyokuwa ameyaandika kutoka kinywani mwa Yeremia, neno la \nd Bwana\nd* lilimjia Yeremia likisema:

JER 36:28 Removed trailing space in v~: “Chukua kitabu kingine na uandike juu yake maneno yote yaliyokuwa katika kile kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda amekiteketeza kwa moto.

JER 36:29 Removed trailing space in v~: Mwambie pia Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ulikiteketeza kile kitabu ukasema, “Kwa nini uliandika kwenye kitabu kwamba kwa hakika mfalme wa Babeli angekuja na kuangamiza nchi hii, na kuwakatilia mbali watu na wanyama kutoka humo?”

JER 36:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu Yehoyakimu mfalme wa Yuda: Hatakuwa na mtu yeyote atakayekalia kiti cha enzi cha Daudi; maiti yake itatupwa nje kwenye joto wakati wa mchana na kupigwa na baridi wakati wa usiku.

JER 36:31 Removed trailing space in v~: Nitamwadhibu yeye, watoto wake na watumishi wake kwa ajili ya uovu wao. Nitaleta juu yao na wote waishio Yerusalemu na watu wa Yuda kila maafa niliyoyasema dhidi yao, kwa sababu hawajasikiliza.’ ”

JER 36:32 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akachukua kitabu kingine na kumpa mwandishi Baruku mwana wa Neria, naye kama Yeremia alivyosema, Baruku akaandika juu yake maneno yote ya kile kitabu ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikuwa amekichoma moto, na maneno mengine mengi yaliyofanana na hayo yaliyoongezewa humo.

JER 37:0 Extra space after chapter number

JER 37:0 Removed trailing space in c: 37

JER 37:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Gerezani

JER 37:1 Removed trailing space in v~: Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini\f + \fr 37:1 \ft Yehoyakini ni jina jingine la Yekonia au Konia.\f* mwana wa Yehoyakimu.

JER 37:2 Removed trailing space in v~: Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya \nd Bwana\nd* aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.

JER 37:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wetu.”

JER 37:4 Removed trailing space in v~: Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani.

JER 37:5 Removed trailing space in v~: Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu.

JER 37:6 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia nabii Yeremia kusema:

JER 37:7 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri.

JER 37:8 Removed trailing space in v~: Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’

JER 37:9 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha!

JER 37:10 Removed trailing space in v~: Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.”

JER 37:11 Removed trailing space in v~: Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,

JER 37:12 Removed trailing space in v~: Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko.

JER 37:13 Removed trailing space in v~: Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!”

JER 37:14 Removed trailing space in v~: Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa.

JER 37:15 Removed trailing space in v~: Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.

JER 37:16 Removed trailing space in v~: Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu.

JER 37:17 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa \nd Bwana\nd*?”

JER 37:17 Removed trailing space in p~: Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.”

JER 37:18 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani?

JER 37:19 Removed trailing space in v~: Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’

JER 37:20 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.”

JER 37:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.

JER 38:0 Extra space after chapter number

JER 38:0 Removed trailing space in c: 38

JER 38:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Atupwa Kwenye Kisima

JER 38:1 Removed trailing space in v~: Shefatia mwana wa Matani, na Gedalia mwana wa Pashuri, na Yehukali mwana wa Shelemia, na Pashuri mwana wa Malkiya wakasikia kile Yeremia alichokuwa akiwaambia watu wote wakati aliposema,

JER 38:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Yeyote akaaye ndani ya mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni, lakini yeyote atakayejisalimisha kwa Wakaldayo ataishi. Atakayeyatoa maisha yake kama nyara, ataishi.’

JER 38:3 Removed trailing space in v~: Tena hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Mji huu kwa hakika utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babeli, ambaye atauteka.’ ”

JER 38:4 Removed trailing space in v~: Ndipo maafisa wakamwambia mfalme, “Mtu huyu imempasa kuuawa. Anawakatisha tamaa askari waliobaki katika mji huu, vivyo hivyo na watu wote pia, kwa ajili ya mambo anayowaambia. Mtu huyu hawatakii mema watu hawa, bali maangamizi yao.”

JER 38:5 Removed trailing space in v~: Mfalme Sedekia akajibu, “Yeye yuko mikononi mwenu! Mfalme hawezi kufanya lolote kuwapinga ninyi.”

JER 38:6 Removed trailing space in v~: Basi wakamchukua Yeremia na kumtia kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme, kilichokuwa katika ua wa walinzi. Wakamteremsha Yeremia kwa kamba ndani ya kisima. Hakikuwa na maji ndani yake, ila tope tu, naye Yeremia akazama ndani ya matope.

JER 38:7 Removed trailing space in v~: Lakini Ebed-Meleki Mkushi, aliyekuwa afisa katika jumba la kifalme, akasikia kuwa walikuwa wamemtia Yeremia ndani ya kisima. Wakati mfalme alipokuwa ameketi katika Lango la Benyamini,

JER 38:8 Removed trailing space in v~: Ebed-Meleki akatoka nje ya jumba la kifalme na kumwambia,

JER 38:9 Removed trailing space in v~: “Mfalme bwana wangu, watu hawa wamefanya uovu kwa yote waliomtendea nabii Yeremia. Wamemtupa ndani ya kisima, mahali ambapo atakufa kwa njaa wakati ambapo hakuna chakula popote katika mji.”

JER 38:10 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akamwamuru Ebed-Meleki Mkushi, akisema, “Chukua watu thelathini kutoka hapa pamoja nawe, mkamtoe nabii Yeremia huko kwenye kisima kabla hajafa.”

JER 38:11 Removed trailing space in v~: Basi Ebed-Meleki akawachukua watu pamoja naye, wakaenda mpaka kwenye chumba kilichoko chini ya hazina ndani ya jumba la kifalme. Akachukua matambaa makuukuu pamoja na nguo zilizochakaa kutoka huko, na kumshushia Yeremia kwa kamba ndani ya kisima.

JER 38:12 Removed trailing space in v~: Ebed-Meleki Mkushi akamwambia Yeremia, “Weka haya matambaa makuukuu na hizo nguo zilizochakaa makwapani ili kuzuia kamba.” Yeremia akafanya hivyo,

JER 38:13 Removed trailing space in v~: nao wakamvuta juu kwa kamba na kumtoa katika kisima. Yeremia akakaa katika ua wa walinzi.

JER 38:13 Removed trailing space in s1: Sedekia Amhoji Yeremia Tena

JER 38:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Sedekia akatuma watu wamwitie nabii Yeremia wamlete kwake kwenye ingilio la tatu la Hekalu la \nd Bwana\nd*. Mfalme akamwambia Yeremia, “Ninataka kukuuliza jambo fulani, usinifiche kitu chochote.”

JER 38:15 Removed trailing space in v~: Yeremia akamwambia Sedekia, “Nikikupa jibu, je, hutaniua? Hata kama nikikupa shauri, wewe hutanisikiliza.”

JER 38:16 Removed trailing space in v~: Lakini Mfalme Sedekia akamwapia Yeremia kiapo hiki kwa siri, akisema, “Hakika kama aishivyo \nd Bwana\nd*, ambaye ametupa pumzi, sitakuua wala sitakutia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wako.”

JER 38:17 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akamwambia Sedekia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Ikiwa utajisalimisha kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, maisha yako yatasalimika, na mji huu hautateketezwa kwa moto. Pia wewe na jamaa yako mtaishi.

JER 38:18 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa hutajisalimisha kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, mji huu utatiwa mikononi mwa Wakaldayo na watauteketeza kwa moto, nawe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao.’ ”

JER 38:19 Removed trailing space in v~: Mfalme Sedekia akamwambia Yeremia, “Ninawaogopa Wayahudi ambao wamekimbilia kwa Wakaldayo, kwa kuwa Wakaldayo wanaweza kunitia mikononi mwao, nao wakanitenda vibaya.”

JER 38:20 Removed trailing space in v~: Yeremia akajibu, “Hawatakutia mikononi mwao. Mtii \nd Bwana\nd* kwa kufanya kile ninachokuambia. Kisha utafanikiwa na maisha yako yatakuwa salama.

JER 38:21 Removed trailing space in v~: Lakini ukikataa kujisalimisha, hili ndilo \nd Bwana\nd* alilonifunulia:

JER 38:22 Removed trailing space in v~: Wanawake wote walioachwa katika jumba la kifalme la mfalme wa Yuda wataletwa mbele ya maafisa wa mfalme wa Babeli. Wanawake hao watakuambia:

JER 38:22 Removed trailing space in p~: “ ‘Walikupotosha na kukushinda,

JER 38:22 Removed trailing space in p~: wale rafiki zako uliowaamini.

JER 38:22 Removed trailing space in p~: Miguu yako imezama matopeni;

JER 38:22 Removed trailing space in p~: rafiki zako wamekuacha.’

JER 38:23 Removed trailing space in v~: “Wake zako wote na watoto wataletwa na kutiwa mikononi mwa Wakaldayo. Wewe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao. Lakini utatekwa na mfalme wa Babeli, na mji huu utateketezwa kwa moto.”

JER 38:24 Removed trailing space in v~: Kisha Sedekia akamwambia Yeremia, “Usiruhusu mtu yeyote ajue kuhusu haya mazungumzo, la sivyo utakufa.

JER 38:25 Removed trailing space in v~: Maafisa wakisikia kwamba nimezungumza nawe, nao wakakujia na kusema, ‘Tuambie kile ulichozungumza na mfalme na kile mfalme alichokuambia, usitufiche au sivyo tutakuua,’

JER 38:26 Removed trailing space in v~: basi waambie, ‘Nilikuwa ninamsihi mfalme asinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani nisije nikafia humo.’ ”

JER 38:27 Removed trailing space in v~: Maafisa wote wakamjia Yeremia na kumuuliza, naye Yeremia akawaambia kila kitu mfalme alichomwagiza kusema. Kisha hawakusema lolote zaidi na Yeremia kwa sababu hakuna yeyote aliyesikia mazungumzo yake na mfalme.

JER 38:28 Removed trailing space in v~: Naye Yeremia akabaki katika ua wa walinzi hadi siku Yerusalemu ilipotekwa.

JER 39:0 Extra space after chapter number

JER 39:0 Removed trailing space in c: 39

JER 39:0 Removed trailing space in s1: Anguko La Yerusalemu

JER 39:1 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo Yerusalemu ilivyotwaliwa: Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Mfalme Sedekia wa Yuda, katika mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli akiwa na jeshi lake lote alifanya vita dhidi ya Yerusalemu na akauzunguka mji.

JER 39:2 Removed trailing space in v~: Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia, ukuta wa mji ulibomolewa.

JER 39:3 Removed trailing space in v~: Kisha maafisa wote wa mfalme wa Babeli wakaja na kuketi kwenye Lango la Kati, nao ni: Nergal-Shareza wa Samgari, Nebo-Sarsekimu afisa mkuu, Nergal-Shareza afisa mwenye cheo cha juu, na maafisa wengine wote wa mfalme wa Babeli.

JER 39:4 Removed trailing space in v~: Mfalme Sedekia wa Yuda na askari wote walipowaona, wakakimbia na kuondoka mjini usiku kwa njia ya bustani ya mfalme, kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili, wakaelekea Araba.\f + \fr 39:4 \ft Au: kuelekea Bonde la Yordani.\f*

JER 39:5 Removed trailing space in v~: Lakini jeshi la Wakaldayo likawafuatia na kumpata Sedekia katika sehemu tambarare za Yeriko. Wakamkamata na kumpeleka kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mahali ambapo alimtangazia hukumu.

JER 39:6 Removed trailing space in v~: Huko Ribla, mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake, na pia akawaua wakuu wote wa Yuda.

JER 39:7 Removed trailing space in v~: Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia na kumfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.

JER 39:8 Removed trailing space in v~: Jeshi la Wakaldayo likachoma moto jumba la kifalme na nyumba za watu, na kuzibomoa kuta za Yerusalemu.

JER 39:9 Removed trailing space in v~: Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme akawachukua na kuwapeleka uhamishoni Babeli watu waliokuwa wamebaki ndani ya mji, pamoja na wale waliokuwa wamejisalimisha kwake, na watu wengine wote.

JER 39:10 Removed trailing space in v~: Lakini Nebuzaradani kiongozi wa walinzi aliwabakiza baadhi ya watu maskini katika nchi ya Yuda, ambao hawakuwa na kitu. Naye wakati huo akawapa mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.

JER 39:11 Removed trailing space in v~: Basi, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa ametoa maagizo kuhusu Yeremia kupitia Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme akisema:

JER 39:12 Removed trailing space in v~: “Mchukue umtunze. Usimdhuru, lakini umfanyie chochote anachotaka.”

JER 39:13 Removed trailing space in v~: Basi Nebuzaradani kiongozi wa walinzi, Nebushazbani afisa mkuu, Nergal-Shareza afisa wa cheo cha juu, na maafisa wengine wote wa mfalme wa Babeli

JER 39:14 Removed trailing space in v~: wakatuma watu kumwondoa Yeremia kutoka ua wa walinzi. Wakamkabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, ili amrudishe nyumbani kwake. Kwa hiyo akabaki miongoni mwa watu wake mwenyewe.

JER 39:15 Removed trailing space in v~: Wakati Yeremia alipokuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi, neno la \nd Bwana\nd* lilimjia kusema:

JER 39:16 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Ebed-Meleki Mkushi, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kutimiza maneno yangu dhidi ya mji huu kwa njia ya maafa, wala si kwa kuwafanikisha. Wakati huo hayo yatatimizwa mbele ya macho yako.

JER 39:17 Removed trailing space in v~: Lakini siku hiyo nitakuokoa, asema \nd Bwana\nd*; hutatiwa mikononi mwa wale unaowaogopa.

JER 39:18 Removed trailing space in v~: Nitakuokoa; hutaanguka kwa upanga, lakini maisha yako yatakuwa salama, kwa sababu unanitumaini, asema \nd Bwana\nd*.’ ”

JER 40:0 Extra space after chapter number

JER 40:0 Removed trailing space in c: 40

JER 40:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Aachiwa Huru

JER 40:1 Removed trailing space in v~: Neno likamjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd* baada ya Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme kumfungua huko Rama. Alikuwa amemkuta Yeremia akiwa amefungwa kwa minyororo miongoni mwa mateka wote kutoka Yerusalemu na Yuda waliokuwa wakipelekwa uhamishoni Babeli.

JER 40:2 Removed trailing space in v~: Kiongozi wa walinzi alipomwona Yeremia, akamwambia, “\nd Bwana\nd* Mungu wako aliamuru maafa haya kwa mahali hapa.

JER 40:3 Removed trailing space in v~: Sasa \nd Bwana\nd* ameyaleta haya, amefanya sawasawa na vile alivyosema angefanya. Yote haya yametokea kwa sababu ninyi mlifanya dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* na hamkumtii.

JER 40:4 Removed trailing space in v~: Lakini leo ninakufungua minyororo iliyo kwenye viwiko vya mikono yako. Twende pamoja mpaka Babeli ikiwa unataka, nami nitakutunza. Lakini kama hutaki, basi usije. Tazama, nchi yote iko mbele yako, nenda kokote unakotaka.”

JER 40:5 Removed trailing space in v~: Lakini kabla Yeremia hajageuka kuondoka, Nebuzaradani akaongeza kusema, “Rudi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemchagua awe juu ya miji ya Yuda, ukaishi naye miongoni mwa watu, au uende popote panapokupendeza.”

JER 40:5 Removed trailing space in p~: Kisha huyo kiongozi akampa posho yake na zawadi, akamwacha aende zake.

JER 40:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yeremia akaenda kwa Gedalia mwana wa Ahikamu huko Mispa, na kuishi naye miongoni mwa watu walioachwa katika nchi.

JER 40:6 Removed trailing space in s1: Gedalia Auawa

JER 40:6 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 25:22-26)

JER 40:7 Removed trailing space in v~: Maafisa wote wa jeshi na watu wao waliokuwa bado wapo kwenye eneo la wazi waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemteua Gedalia mwana wa Ahikamu kuwa mtawala wa nchi, na amemweka kuwa kiongozi wa wanaume, wanawake na watoto waliokuwa maskini zaidi katika nchi ambao hawakuchukuliwa kwenda uhamishoni Babeli,

JER 40:8 Removed trailing space in v~: wakamjia Gedalia huko Mispa. Hawa walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani na Yonathani wana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi, wana wa Efai Mnetofathi, na Yezania mwana wa Mmaaka, pamoja na watu wao.

JER 40:9 Removed trailing space in v~: Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani akaapa ili kuwatia moyo wao na watu wao. Akasema: “Msiogope kuwatumikia Wakaldayo. Kaeni katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vyema kwenu.

JER 40:10 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nitakaa Mispa ili kuwawakilisha mbele ya Wakaldayo wanaotujia, lakini ninyi mtavuna divai, matunda ya kiangazi na mafuta, nanyi mtaweka katika vyombo vyenu vya kuhifadhia, na kuishi katika miji mliyojitwalia.”

JER 40:11 Removed trailing space in v~: Wayahudi wote waliokuwa Moabu, Amoni, Edomu na nchi nyingine zote waliposikia kwamba mfalme wa Babeli ameacha mabaki ya watu katika Yuda na amemweka Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani kuwa mtawala wao,

JER 40:12 Removed trailing space in v~: wakarudi wote katika nchi ya Yuda kwa Gedalia huko Mispa, kutoka nchi zote ambazo walikuwa wametawanywa. Nao wakavuna divai na matunda tele wakati wa kiangazi.

JER 40:13 Removed trailing space in v~: Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wote wa jeshi waliokuwa bado wapo kwenye eneo la wazi wakamjia Gedalia huko Mispa

JER 40:14 Removed trailing space in v~: na kumwambia, “Je, hujui kwamba Baalisi mfalme wa Waamoni amemtuma Ishmaeli mwana wa Nethania akuue?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu hakuwaamini.

JER 40:15 Removed trailing space in v~: Kisha Yohanani mwana wa Karea akamwambia Gedalia kwa siri huko Mispa, “Acha niende nikamuue Ishmaeli mwana wa Nethania, wala hakuna atakayejua. Kwa nini akuue na kusababisha Wayahudi wote waliokuzunguka watawanyike, na mabaki wa Yuda waangamie?”

JER 40:16 Removed trailing space in v~: Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu akamwambia Yohanani mwana wa Karea, “Usifanye jambo kama hilo! Unalosema kuhusu Ishmaeli si kweli.”

JER 41:0 Extra space after chapter number

JER 41:0 Removed trailing space in c: 41

JER 41:1 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, aliyekuwa wa uzao wa mfalme na pia alikuwa mmoja wa maafisa wa mfalme, akaja pamoja na watu kumi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu huko Mispa. Walipokuwa wakila pamoja huko,

JER 41:2 Removed trailing space in v~: Ishmaeli mwana wa Nethania pamoja na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye waliinuka na kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani kwa upanga, wakamuua yule ambaye mfalme wa Babeli alikuwa amemteua awe mtawala wa nchi.

JER 41:3 Removed trailing space in v~: Ishmaeli akawaua pia Wayahudi wote waliokuwa na Gedalia huko Mispa, pamoja na askari wa Kikaldayo waliokuwa huko.

JER 41:4 Removed trailing space in v~: Siku moja baada ya kuuawa kwa siri kwa Gedalia, kabla mtu yeyote hajafahamu jambo hilo,

JER 41:5 Removed trailing space in v~: watu themanini waliokuwa wamenyoa ndevu zao, waliorarua nguo zao na kujikatakata walikuja kutoka Shekemu, Shilo na Samaria wakileta sadaka za nafaka na uvumba katika nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 41:6 Removed trailing space in v~: Ishmaeli mwana wa Nethania akaondoka Mispa ili kwenda kuwalaki, huku akilia alipokuwa akienda. Alipokutana nao, akasema, “Karibuni kwa Gedalia mwana wa Ahikamu.”

JER 41:7 Removed trailing space in v~: Walipoingia mjini, Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu waliokuwa pamoja naye wakawachinja na kuwatupa ndani ya kisima.

JER 41:8 Removed trailing space in v~: Lakini watu kumi miongoni mwao wakamwambia Ishmaeli, “Sisi usituue! Tuna ngano na shayiri, mafuta na asali, vilivyofichwa katika shamba.” Kwa hiyo akawaacha na hakuwaua pamoja na wale wengine.

JER 41:9 Removed trailing space in v~: Basi kile kisima ambacho alitupa zile maiti za watu aliowaua pamoja na Gedalia kilikuwa ni kile kisima ambacho Mfalme Asa alikifanya sehemu ya ulinzi wake dhidi ya Baasha mfalme wa Israeli. Ishmaeli mwana wa Nethania akakijaza kisima hicho kwa maiti.

JER 41:10 Removed trailing space in v~: Ishmaeli akawafanya mateka watu wote ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha huko Mispa na kumweka Gedalia mwana wa Ahikamu juu yao: walikuwa binti za mfalme pamoja na watu wote aliokuwa amewaacha huko. Ishmaeli mwana wa Nethania akawachukua mateka na kuondoka nao, akavuka kwenda kwa Waamoni.

JER 41:11 Removed trailing space in v~: Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye waliposikia juu ya uhalifu wote ambao Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa ameufanya,

JER 41:12 Removed trailing space in v~: waliwachukua watu wao wote kwenda kupigana na Ishmaeli mwana wa Nethania. Wakakutana naye karibu na bwawa kubwa huko Gibeoni.

JER 41:13 Removed trailing space in v~: Ikawa watu wote waliokuwa na Ishmaeli walipomwona Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wa jeshi waliokuwa pamoja naye, wakafurahi.

JER 41:14 Removed trailing space in v~: Watu wote ambao Ishmaeli alikuwa amewachukua mateka huko Mispa wakageuka na kumfuata Yohanani mwana wa Karea.

JER 41:15 Removed trailing space in v~: Lakini Ishmaeli mwana wa Nethania pamoja na watu wake wanane wakamtoroka Yohanani na kukimbilia kwa Waamoni.

JER 41:15 Removed trailing space in s1: Kukimbilia Misri

JER 41:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye wakawaongoza wote walionusurika kutoka Mispa, ambao walipona kutoka mikononi mwa Ishmaeli mwana wa Nethania baada yake kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu: walikuwa askari, wanawake, watoto na matowashi aliowaleta kutoka Gibeoni.

JER 41:17 Removed trailing space in v~: Kisha wakaenda mbele na kutua Geruth-Kimhamu karibu na Bethlehemu wakiwa njiani kwenda Misri

JER 41:18 Removed trailing space in v~: ili kuwatoroka Wakaldayo. Waliwaogopa kwa sababu Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa amemuua Gedalia mwana wa Ahikamu, ambaye alikuwa amewekwa na mfalme wa Babeli kuwa mtawala wa nchi.

JER 42:0 Extra space after chapter number

JER 42:0 Removed trailing space in c: 42

JER 42:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Ashauri Walionusurika Wasihame Yuda

JER 42:1 Removed trailing space in v~: Ndipo maafisa wote wa jeshi, pamoja na Yohanani mwana wa Karea, na Yezania mwana wa Hoshaya, na watu wote kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana wakamjia

JER 42:2 Removed trailing space in v~: Yeremia nabii na kumwambia, “Tafadhali sikia maombi yetu na umwombe \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa ajili ya watu hawa wote waliosalia. Kwa kuwa kama unavyoona sasa, ingawa wakati fulani tulikuwa wengi, sasa tumesalia wachache tu.

JER 42:3 Removed trailing space in v~: Omba ili \nd Bwana\nd* Mungu wako atuambie twende wapi na tufanye nini.”

JER 42:4 Removed trailing space in v~: Nabii Yeremia akajibu, “Nimewasikia. Kwa hakika nitamwomba \nd Bwana\nd* Mungu wenu kama mlivyoomba. Nitawaambia kila kitu asemacho \nd Bwana\nd*, wala sitawaficha chochote.”

JER 42:5 Removed trailing space in v~: Kisha wakamwambia Yeremia, “\nd Bwana\nd* na awe shahidi wa kweli na mwaminifu kati yetu kama hatutafanya sawasawa na kila kitu \nd Bwana\nd* Mungu wako atakachokutuma utuambie.

JER 42:6 Removed trailing space in v~: Likiwa jema au likiwa baya, tutamtii \nd Bwana\nd* Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake, ili mambo yote yawe mema kwetu, kwa maana tutamtii \nd Bwana\nd* Mungu wetu.”

JER 42:7 Removed trailing space in v~: Baada ya siku kumi, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia.

JER 42:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akawaita pamoja Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye na watu wote kuanzia mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana.

JER 42:9 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye mlinituma kuwasilisha maombi yenu:

JER 42:10 Removed trailing space in v~: ‘Kama mkikaa katika nchi hii, nitawajenga wala sitawabomoa, nitawapanda wala sitawangʼoa, kwani ninahuzunishwa na maafa niliyowapiga nayo.

JER 42:11 Removed trailing space in v~: Msimwogope mfalme wa Babeli, ambaye sasa mnamwogopa. Msimwogope, asema \nd Bwana\nd*, kwa kuwa niko pamoja nanyi, nami nitawaokoa na kuwaponya kutoka mikononi mwake.

JER 42:12 Removed trailing space in v~: Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma nanyi na kuwarudisha katika nchi yenu.’

JER 42:13 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo, kama mkisema, ‘Hatutakaa katika nchi hii,’ hivyo mkaacha kumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JER 42:14 Removed trailing space in v~: nanyi kama mkisema, ‘Hapana, tutakwenda kuishi Misri, mahali ambapo hatutaona vita au kusikia sauti ya tarumbeta au kuwa na njaa ya chakula,’

JER 42:15 Removed trailing space in v~: basi sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi mabaki ya Yuda. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Ikiwa mmekusudia kwenda Misri na kufanya makazi huko,

JER 42:16 Removed trailing space in v~: basi ule upanga mnaouogopa utawapata huko, na njaa mnayoihofia itawafuata huko Misri, nanyi mtafia huko.

JER 42:17 Removed trailing space in v~: Naam, wote waliokusudia kwenda kuishi Misri watakufa kwa upanga, njaa na tauni; hakuna hata mmoja wao atakayenusurika au kuokoka maafa nitakayoyaleta juu yao.’

JER 42:18 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Kama vile hasira yangu na ghadhabu yangu ilivyomwagwa juu ya wale walioishi Yerusalemu, ndivyo ghadhabu yangu itakavyomwagwa juu yenu mtakapokwenda Misri. Mtakuwa kitu cha kulaania na cha kutisha, cha kulaumia na cha kushutumia, nanyi kamwe hamtaona mahali hapa tena.’

JER 42:19 Removed trailing space in v~: “Enyi mabaki ya Yuda, \nd Bwana\nd* amewaambia, ‘Msiende Misri.’ Hakikisheni jambo hili: Ninawaonya leo

JER 42:20 Removed trailing space in v~: kwamba mmefanya kosa kubwa mioyoni mwenu mliponituma kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kusema, ‘Mwombe \nd Bwana\nd* Mungu wetu kwa ajili yetu, nawe utuambie kila kitu atakachosema, nasi tutafanya.’

JER 42:21 Removed trailing space in v~: Nimewaambieni leo, lakini bado ninyi hamtaki kumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu katika yote aliyonituma niwaambie.

JER 42:22 Removed trailing space in v~: Basi sasa, hakikisheni jambo hili: Mtakufa kwa upanga, njaa na tauni mahali ambapo mnataka kwenda kuishi.”

JER 43:0 Extra space after chapter number

JER 43:0 Removed trailing space in c: 43

JER 43:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Apelekwa Misri

JER 43:1 Removed trailing space in v~: Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya \nd Bwana\nd* Mungu wao, yaani kila kitu \nd Bwana\nd* alichokuwa amemtuma kuwaambia,

JER 43:2 Removed trailing space in v~: Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! \nd Bwana\nd* Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’

JER 43:3 Removed trailing space in v~: Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”

JER 43:4 Removed trailing space in v~: Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya \nd Bwana\nd* ya kukaa katika nchi ya Yuda.

JER 43:5 Removed trailing space in v~: Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa.

JER 43:6 Removed trailing space in v~: Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria.

JER 43:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii \nd Bwana\nd*, wakaenda mpaka Tahpanhesi.

JER 43:8 Removed trailing space in v~: Huko Tahpanhesi neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 43:9 Removed trailing space in v~: “Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.

JER 43:10 Removed trailing space in v~: Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake.

JER 43:11 Removed trailing space in v~: Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga.

JER 43:12 Removed trailing space in v~: Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika.

JER 43:13 Removed trailing space in v~: Humo ndani ya hekalu la jua\f + \fr 43:13 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f* nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’ ”

JER 44:0 Extra space after chapter number

JER 44:0 Removed trailing space in c: 44

JER 44:0 Removed trailing space in s1: Maafa Kwa Sababu Ya Ibada Za Sanamu

JER 44:1 Removed trailing space in v~: Neno hili lilimjia Yeremia kuhusu Wayahudi wote waishio Misri, huko Migdoli, Tahpanhesi na Memfisi,\f + \fr 44:1 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.\f* katika nchi ya Pathrosi\f + \fr 44:1 \ft Pathrosi ina maana Misri ya Juu.\f* kusema:

JER 44:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Mliona maangamizi makubwa niliyoyaleta juu ya Yerusalemu na juu ya miji yote ya Yuda. Leo imeachwa ukiwa na magofu

JER 44:3 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya uovu waliokuwa wameufanya. Walinikasirisha kwa kufukiza uvumba na kwa kuabudu miungu mingine ambayo kamwe wao, wala ninyi, wala baba zenu hawakuifahamu.

JER 44:4 Removed trailing space in v~: Tena na tena, niliwatuma watumishi wangu manabii ambao walisema, ‘Msifanye jambo hili la kuchukiza ambalo nalichukia!’

JER 44:5 Removed trailing space in v~: Lakini hawakusikiliza wala hawakujali, hawakugeuka ili kuuacha uovu wao, wala hawakuacha kufukiza uvumba kwa miungu mingine.

JER 44:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hasira yangu kali ilimwagika, ikawaka dhidi ya miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu, na kuifanya ukiwa na magofu kama ilivyo leo.

JER 44:7 Removed trailing space in v~: “Basi hili ndilo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Kwa nini kujiletea maafa makubwa kama haya juu yenu kwa kujikatilia mbali kutoka Yuda wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, hata kujiacha bila mabaki?

JER 44:8 Removed trailing space in v~: Kwa nini kuichochea hasira yangu kwa kile ambacho mikono yenu imekitengeneza, mkaifukizia uvumba miungu mingine huko Misri, mahali mlipokuja kuishi? Mtajiangamiza wenyewe na kujifanya kitu cha kulaania na shutumu miongoni mwa mataifa yote duniani.

JER 44:9 Removed trailing space in v~: Je, mmesahau uovu uliotendwa na baba zenu, na wafalme na malkia wa Yuda, na uovu uliofanywa na ninyi na wake zenu katika nchi ya Yuda na barabara za Yerusalemu?

JER 44:10 Removed trailing space in v~: Mpaka leo hawajajinyenyekeza au kuonyesha heshima, wala hawajafuata sheria yangu na amri nilizoweka mbele yenu na baba zenu.

JER 44:11 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Mimi nimekusudia kuleta maafa juu yenu, na kuiangamiza Yuda yote.

JER 44:12 Removed trailing space in v~: Nitawaondoa mabaki ya Yuda waliokusudia kwenda Misri kukaa humo. Wote wataangamia huko Misri, wataanguka kwa upanga au kufa kwa njaa. Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana, watakufa kwa upanga au njaa. Watakuwa kitu cha kulaania na cha kutisha, cha laumu na shutumu.

JER 44:13 Removed trailing space in v~: Nitawaadhibu wale waishio Misri kwa upanga, njaa na tauni kama nilivyoiadhibu Yerusalemu.

JER 44:14 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja wa mabaki ya Yuda ambaye amekwenda kuishi Misri atakayeepuka au kunusurika ili kurudi katika nchi ya Yuda, ambayo wanaitamani sana kurudi na kuishi ndani yake, hakuna hata mmoja atakayerudi isipokuwa wakimbizi wachache.”

JER 44:15 Removed trailing space in v~: Kisha wanaume wote ambao walijua kwamba wake zao walikuwa wakifukiza uvumba kwa miungu mingine, pamoja na wanawake wote waliokuwako, yaani, kusanyiko kubwa na watu wote walioishi nchi ya Misri na Pathrosi, wakamwambia Yeremia,

JER 44:16 Removed trailing space in v~: “Hatutausikiliza ujumbe uliotuambia katika jina la \nd Bwana\nd*!

JER 44:17 Removed trailing space in v~: Hakika tutafanya kila kitu tulichosema tutakifanya: Tutafukiza uvumba kwa Malkia wa Mbinguni na tutammiminia sadaka zetu za kinywaji kama vile sisi na baba zetu, wafalme wetu na maafisa wetu tulivyofanya katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu. Wakati ule tulikuwa na chakula tele, tulikuwa matajiri wala hatukupata dhara lolote.

JER 44:18 Removed trailing space in v~: Lakini tangu tulipoacha kumfukizia uvumba Malkia wa Mbinguni na kummiminia sadaka za kinywaji, hatupati chochote, na tumekuwa tukiangamizwa kwa upanga na njaa.”

JER 44:19 Removed trailing space in v~: Wanawake wakaongeza kusema, “Wakati tulipomfukizia uvumba Malkia wa Mbinguni na kummiminia sadaka zetu za kinywaji, je, waume zetu hawakujua kwamba tulikuwa tukitengeneza maandazi kwa mfano wake, na kummiminia yeye sadaka za kinywaji?”

JER 44:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Yeremia akawaambia watu wote, wanaume na wanawake waliokuwa wakimjibu,

JER 44:21 Removed trailing space in v~: “Je, \nd Bwana\nd* hakukumbuka na kufikiri juu ya uvumba uliofukizwa katika miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu na ninyi pamoja na baba zenu, wafalme wenu, maafisa wenu na watu wa nchi?

JER 44:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipokuwa hawezi kuendelea kuvumilia matendo yenu maovu na mambo ya machukizo mliyoyafanya, nchi yenu ilikuwa kitu cha kulaania na kuachwa ukiwa pasipo wakazi, kama ilivyo leo.

JER 44:23 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mmefukiza uvumba na kufanya dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*, nanyi hamkumtii wala kufuata sheria yake au amri zake au maagizo yake, maafa haya yamekuja juu yenu, kama mnavyoona sasa.”

JER 44:24 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akawaambia watu wote, pamoja na wanawake, “Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi watu wote wa Yuda mlioko Misri.

JER 44:25 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Ninyi na wake zenu mmeonyesha kwa matendo yenu kile mlichoahidi mliposema, ‘Hakika tutatimiza nadhiri tulizoziweka za kumfukizia uvumba na kummiminia sadaka za kinywaji Malkia wa Mbinguni.’

JER 44:25 Removed trailing space in p~: “Endeleeni basi, fanyeni yale mliyoahidi! Timizeni nadhiri zenu!

JER 44:26 Removed trailing space in v~: Lakini sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi Wayahudi wote mnaoishi Misri: ‘Ninaapa kwa Jina langu lililo kuu,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘kwamba hakuna hata mmoja atokaye Yuda anayeishi popote Misri ambaye kamwe ataomba tena kwa Jina langu au kuapa, akisema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* Mwenyezi aishivyo.”

JER 44:27 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninawaangalia kwa ajili ya madhara, wala sio kwa mema. Wayahudi walioko Misri wataangamia kwa upanga na njaa, hadi wote watakapoangamizwa.

JER 44:28 Removed trailing space in v~: Wale watakaonusurika upanga na kurudi katika nchi ya Yuda kutoka Misri watakuwa wachache sana. Ndipo mabaki wote wa Yuda waliokuja kuishi Misri watakapojua ni neno la nani litakalosimama, kwamba ni langu au lao.

JER 44:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Hii itakuwa ndiyo ishara kwenu kwamba nitawaadhibu mahali hapa, asema \nd Bwana\nd*, ili mpate kujua kuwa onyo langu la madhara dhidi yenu hakika litatimizwa.’

JER 44:30 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Nitamtia Farao Hofra mfalme wa Misri mikononi mwa adui zake wanaoutafuta uhai wake, kama vile nilivyomtia Sedekia mfalme wa Yuda mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, adui aliyekuwa akiutafuta uhai wake.’ ”

JER 45:0 Extra space after chapter number

JER 45:0 Removed trailing space in c: 45

JER 45:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kwa Baruku

JER 45:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:

JER 45:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:

JER 45:3 Removed trailing space in v~: Ulisema, ‘Ole wangu! \nd Bwana\nd* ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’ ”

JER 45:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.

JER 45:5 Removed trailing space in v~: Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema \nd Bwana\nd*, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’ ”

JER 46:0 Extra space after chapter number

JER 46:0 Removed trailing space in c: 46

JER 46:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Misri

JER 46:1 Removed trailing space in v~: Hili ni neno la \nd Bwana\nd* lililomjia nabii Yeremia kuhusu mataifa:

JER 46:2 Removed trailing space in v~: Kuhusu Misri:

JER 46:2 Removed trailing space in p~: Huu ni ujumbe dhidi ya jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri, lililoshindwa huko Karkemishi kwenye Mto Frati na Nebukadneza mfalme wa Babeli, katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:

JER 46:3 Removed trailing space in v~: “Wekeni tayari ngao zenu, kubwa na ndogo,

JER 46:3 Removed trailing space in p~: mtoke kwa ajili ya vita!

JER 46:4 Removed trailing space in v~: Fungieni farasi lijamu,

JER 46:4 Removed trailing space in p~: pandeni farasi!

JER 46:4 Removed trailing space in p~: Shikeni nafasi zenu

JER 46:4 Removed trailing space in p~: mkiwa mmevaa chapeo!

JER 46:4 Removed trailing space in p~: Isugueni mikuki yenu,

JER 46:4 Removed trailing space in p~: vaeni dirii vifuani!

JER 46:5 Removed trailing space in v~: Je, ninaona nini?

JER 46:5 Removed trailing space in p~: Wametiwa hofu,

JER 46:5 Removed trailing space in p~: wanarudi nyuma,

JER 46:5 Removed trailing space in p~: askari wao wameshindwa.

JER 46:5 Removed trailing space in p~: Wanakimbia kwa haraka

JER 46:5 Removed trailing space in p~: pasipo kutazama nyuma,

JER 46:5 Removed trailing space in p~: tena kuna hofu kuu kila upande,”

JER 46:5 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 46:6 Removed trailing space in v~: Walio wepesi na wenye mbio hawawezi kukimbia,

JER 46:6 Removed trailing space in p~: wala wenye nguvu hawawezi kutoroka.

JER 46:6 Removed trailing space in p~: Kaskazini, kando ya Mto Frati,

JER 46:6 Removed trailing space in p~: wanajikwaa na kuanguka.

JER 46:7 Removed trailing space in v~: “Ni nani huyu ajiinuaye kama Mto Naili,

JER 46:7 Removed trailing space in p~: kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi?

JER 46:8 Removed trailing space in v~: Misri hujiinua kama Mto Naili,

JER 46:8 Removed trailing space in p~: kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi.

JER 46:8 Removed trailing space in p~: Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia,

JER 46:8 Removed trailing space in p~: nitaiangamiza miji na watu wake.’

JER 46:9 Removed trailing space in v~: Songeni mbele, enyi farasi!

JER 46:9 Removed trailing space in p~: Endesheni kwa ukali, enyi magari ya farasi,

JER 46:9 Removed trailing space in p~: Endeleeni mbele, enyi mashujaa:

JER 46:9 Removed trailing space in p~: watu wa Kushi\f + \fr 46:9 \ft Kushi ni Naili ya Juu; sasa ni Sudan.\f* na Putu\f + \fr 46:9 \ft Putu sasa ni Libya.\f* wachukuao ngao,

JER 46:9 Removed trailing space in p~: watu wa Ludi\f + \fr 46:9 \ft Nchi iliyo Afrika ya Kaskazini, magharibi ya Mto Naili; sasa ni Libya.\f* wavutao upinde.

JER 46:10 Removed trailing space in v~: Lakini ile siku ni ya Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 46:10 Removed trailing space in p~: siku ya kulipiza kisasi,

JER 46:10 Removed trailing space in p~: kisasi juu ya adui zake.

JER 46:10 Removed trailing space in p~: Upanga utakula hata utakapotosheka,

JER 46:10 Removed trailing space in p~: hadi utakapozima kiu yake kwa damu.

JER 46:10 Removed trailing space in p~: Kwa maana Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, atatoa dhabihu

JER 46:10 Removed trailing space in p~: kwenye nchi ya kaskazini, kando ya Mto Frati.

JER 46:11 Removed trailing space in v~: “Panda hadi Gileadi ukapate zeri,

JER 46:11 Removed trailing space in p~: ee Bikira Binti wa Misri.

JER 46:11 Removed trailing space in p~: Lakini umetumia dawa nyingi bila mafanikio;

JER 46:11 Removed trailing space in p~: huwezi kupona.

JER 46:12 Removed trailing space in v~: Mataifa yatasikia juu ya aibu yako,

JER 46:12 Removed trailing space in p~: kilio chako kitaijaza dunia.

JER 46:12 Removed trailing space in p~: Shujaa mmoja atajikwaa juu ya mwingine,

JER 46:12 Removed trailing space in p~: nao wataanguka chini pamoja.”

JER 46:13 Removed trailing space in v~: Huu ndio ujumbe \nd Bwana\nd* aliomwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ili kuishambulia Misri:

JER 46:14 Removed trailing space in v~: “Tangaza hili katika Misri, nawe ulihubiri katika Migdoli,

JER 46:14 Removed trailing space in p~: hubiri pia katika Memfisi\f + \fr 46:14 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.\f* na Tahpanhesi:\f + \fr 46:14 \ft Ni mji katika Misri.\f*

JER 46:14 Removed trailing space in p~: ‘Shikeni nafasi zenu na mwe tayari,

JER 46:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa upanga unawala wale wanaokuzunguka.’

JER 46:15 Removed trailing space in v~: Kwa nini mashujaa wako wamesombwa

JER 46:15 Removed trailing space in p~: na kupelekwa mbali?

JER 46:15 Removed trailing space in p~: Hawawezi kusimama, kwa maana \nd Bwana\nd*

JER 46:15 Removed trailing space in p~: atawasukuma awaangushe chini.

JER 46:16 Removed trailing space in v~: Watajikwaa mara kwa mara,

JER 46:16 Removed trailing space in p~: wataangukiana wao kwa wao.

JER 46:16 Removed trailing space in p~: Watasema, ‘Amka, turudi

JER 46:16 Removed trailing space in p~: kwa watu wetu na nchi yetu,

JER 46:16 Removed trailing space in p~: mbali na upanga wa mtesi.’

JER 46:17 Removed trailing space in v~: Huko watatangaza,

JER 46:17 Removed trailing space in p~: ‘Farao mfalme wa Misri ni makelele tu,

JER 46:17 Removed trailing space in p~: amekosa wasaa wake.’

JER 46:18 Removed trailing space in v~: “Kwa hakika kama niishivyo,” asema Mfalme,

JER 46:18 Removed trailing space in p~: ambaye jina lake ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 46:18 Removed trailing space in p~: “mmoja atakuja ambaye ni kama Tabori miongoni mwa milima,

JER 46:18 Removed trailing space in p~: kama Karmeli kando ya bahari.

JER 46:19 Removed trailing space in v~: Funga mizigo yako kwenda uhamishoni,

JER 46:19 Removed trailing space in p~: wewe ukaaye Misri,

JER 46:19 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Memfisi utaangamizwa

JER 46:19 Removed trailing space in p~: na kuwa magofu pasipo mkazi.

JER 46:20 Removed trailing space in v~: “Misri ni mtamba mzuri,

JER 46:20 Removed trailing space in p~: lakini kipanga anakuja dhidi yake kutoka kaskazini.

JER 46:21 Removed trailing space in v~: Askari wake waliokodiwa katika safu zake

JER 46:21 Removed trailing space in p~: wako kama ndama walionenepeshwa.

JER 46:21 Removed trailing space in p~: Wao pia watageuka na kukimbia pamoja,

JER 46:21 Removed trailing space in p~: hawataweza kuhimili vita,

JER 46:21 Removed trailing space in p~: kwa maana siku ya msiba inakuja juu yao,

JER 46:21 Removed trailing space in p~: wakati wao wa kuadhibiwa.

JER 46:22 Removed trailing space in v~: Misri atatoa sauti kama ya nyoka anayekimbia

JER 46:22 Removed trailing space in p~: kadiri adui anavyowasogelea na majeshi,

JER 46:22 Removed trailing space in p~: watakuja dhidi yake wakiwa na mashoka,

JER 46:22 Removed trailing space in p~: kama watu wakatao miti.

JER 46:23 Removed trailing space in v~: Wataufyeka msitu wake,”

JER 46:23 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 46:23 Removed trailing space in p~: “hata kama umesongamana kiasi gani.

JER 46:23 Removed trailing space in p~: Ni wengi kuliko nzige,

JER 46:23 Removed trailing space in p~: hawawezi kuhesabika.

JER 46:24 Removed trailing space in v~: Binti wa Misri ataaibishwa,

JER 46:24 Removed trailing space in p~: atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.”

JER 46:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asema: “Nakaribia kuleta adhabu juu ya Amoni mungu wa Thebesi,\f + \fr 46:25 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.\f* na juu ya Farao, Misri na miungu yake, na wafalme wake, pamoja na wale wanaomtegemea Farao.

JER 46:26 Removed trailing space in v~: Nitawatia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wao, yaani Nebukadneza mfalme wa Babeli na maafisa wake. Hatimaye, hata hivyo, Misri itakaliwa kama nyakati zilizopita,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 46:27 Removed trailing space in v~: “Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

JER 46:27 Removed trailing space in p~: usifadhaike, ee Israeli.

JER 46:27 Removed trailing space in p~: Hakika nitakuokoa kutoka nchi za mbali,

JER 46:27 Removed trailing space in p~: uzao wako kutoka nchi ya uhamisho wao.

JER 46:27 Removed trailing space in p~: Yakobo atakuwa tena na amani na salama,

JER 46:27 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja atakayewatia hofu.

JER 46:28 Removed trailing space in v~: Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

JER 46:28 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi niko pamoja nawe,”

JER 46:28 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 46:28 Removed trailing space in p~: “Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote

JER 46:28 Removed trailing space in p~: ambayo miongoni mwake nimekutawanya,

JER 46:28 Removed trailing space in p~: sitakuangamiza wewe kabisa.

JER 46:28 Removed trailing space in p~: Nitakurudi, lakini kwa haki tu,

JER 46:28 Removed trailing space in p~: wala sitakuacha kabisa bila kukuadhibu.”

JER 47:0 Extra space after chapter number

JER 47:0 Removed trailing space in c: 47

JER 47:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Wafilisti

JER 47:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno la \nd Bwana\nd* lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:

JER 47:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 47:2 Removed trailing space in p~: “Tazama jinsi maji yanavyoinuka huko kaskazini,

JER 47:2 Removed trailing space in p~: yatakuwa mafuriko yenye nguvu sana.

JER 47:2 Removed trailing space in p~: Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo ndani yake,

JER 47:2 Removed trailing space in p~: miji na wale waishio ndani yake.

JER 47:2 Removed trailing space in p~: Watu watapiga kelele;

JER 47:2 Removed trailing space in p~: wote waishio katika nchi wataomboleza

JER 47:3 Removed trailing space in v~: kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio,

JER 47:3 Removed trailing space in p~: kwa sauti ya magari ya adui

JER 47:3 Removed trailing space in p~: na mngurumo wa magurudumu yake.

JER 47:3 Removed trailing space in p~: Baba hawatageuka kuwasaidia watoto wao,

JER 47:3 Removed trailing space in p~: mikono yao italegea.

JER 47:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana siku imewadia

JER 47:4 Removed trailing space in p~: kuwaangamiza Wafilisti wote

JER 47:4 Removed trailing space in p~: na kuwakatilia mbali walionusurika wote

JER 47:4 Removed trailing space in p~: ambao wangeweza kusaidia Tiro na Sidoni.

JER 47:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* anakaribia kuwaangamiza Wafilisti,

JER 47:4 Removed trailing space in p~: mabaki toka pwani za Kaftori.\f + \fr 47:4 \ft Kaftori ndio Krete.\f*

JER 47:5 Removed trailing space in v~: Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza,

JER 47:5 Removed trailing space in p~: Ashkeloni atanyamazishwa.

JER 47:5 Removed trailing space in p~: Enyi mabaki kwenye tambarare,

JER 47:5 Removed trailing space in p~: mtajikatakata wenyewe mpaka lini?

JER 47:6 Removed trailing space in v~: “Mnalia, ‘Aa, upanga wa \nd Bwana\nd*,

JER 47:6 Removed trailing space in p~: utaendelea mpaka lini ndipo upumzike?

JER 47:6 Removed trailing space in p~: Rudi ndani ya ala yako;

JER 47:6 Removed trailing space in p~: acha na utulie.’

JER 47:7 Removed trailing space in v~: Lakini upanga utatuliaje

JER 47:7 Removed trailing space in p~: wakati \nd Bwana\nd* ameuamuru,

JER 47:7 Removed trailing space in p~: wakati ameuagiza kuishambulia Ashkeloni

JER 47:7 Removed trailing space in p~: pamoja na pwani yake?”

JER 48:0 Extra space after chapter number

JER 48:0 Removed trailing space in c: 48

JER 48:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Moabu

JER 48:1 Removed trailing space in v~: Kuhusu Moabu:

JER 48:1 Removed trailing space in p~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo:

JER 48:1 Removed trailing space in p~: “Ole wake Nebo, kwa maana utaharibiwa.

JER 48:1 Removed trailing space in p~: Kiriathaimu utaaibishwa na kutekwa;

JER 48:1 Removed trailing space in p~: Misgabu itaaibishwa na kuvunjavunjwa.

JER 48:2 Removed trailing space in v~: Moabu haitasifiwa tena;

JER 48:2 Removed trailing space in p~: huko Heshboni watu watafanya shauri baya la anguko lake:

JER 48:2 Removed trailing space in p~: ‘Njooni na tuangamize taifa lile.’

JER 48:2 Removed trailing space in p~: Wewe nawe, ee Madmena, utanyamazishwa;

JER 48:2 Removed trailing space in p~: upanga utakufuatia.

JER 48:3 Removed trailing space in v~: Sikiliza kilio kutoka Horonaimu,

JER 48:3 Removed trailing space in p~: kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.

JER 48:4 Removed trailing space in v~: Moabu utavunjwa,

JER 48:4 Removed trailing space in p~: wadogo wake watapiga kelele.

JER 48:5 Removed trailing space in v~: Wanapanda kwenda njia ya kuelekea Luhithi,

JER 48:5 Removed trailing space in p~: wakilia kwa uchungu wanapotembea,

JER 48:5 Removed trailing space in p~: kwenye njia inayoshuka kwenda Horonaimu,

JER 48:5 Removed trailing space in p~: kilio cha uchungu kwa ajili ya uharibifu kinasikika.

JER 48:6 Removed trailing space in v~: Kimbieni! Okoeni maisha yenu,

JER 48:6 Removed trailing space in p~: kuweni kama kichaka jangwani.

JER 48:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali zenu,

JER 48:7 Removed trailing space in p~: ninyi pia mtachukuliwa mateka,

JER 48:7 Removed trailing space in p~: naye Kemoshi\f + \fr 48:7 \ft Kemoshi alikuwa mungu wa Wamoabu.\f* atakwenda uhamishoni,

JER 48:7 Removed trailing space in p~: pamoja na makuhani wake na maafisa wake.

JER 48:8 Removed trailing space in v~: Mharabu atakuja dhidi ya kila mji,

JER 48:8 Removed trailing space in p~: wala hakuna mji utakaookoka.

JER 48:8 Removed trailing space in p~: Bonde litaangamizwa na uwanda utaharibiwa,

JER 48:8 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* amesema.

JER 48:9 Removed trailing space in v~: Wekeni chumvi kwa ajili ya Moabu,

JER 48:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ataangamizwa;

JER 48:9 Removed trailing space in p~: miji yake itakuwa ukiwa,

JER 48:9 Removed trailing space in p~: pasipo kuwa na mtu atakayeishi ndani yake.

JER 48:10 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe yeye afanyaye kazi ya \nd Bwana\nd* kwa hila!

JER 48:10 Removed trailing space in p~: Alaaniwe yeye auzuiaye upanga wake usimwage damu!

JER 48:11 Removed trailing space in v~: “Moabu amestarehe tangu ujana wake,

JER 48:11 Removed trailing space in p~: kama divai iliyoachwa kwenye machujo yake,

JER 48:11 Removed trailing space in p~: haikumiminwa kutoka chombo kimoja hadi kingine,

JER 48:11 Removed trailing space in p~: hajaenda uhamishoni.

JER 48:11 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo ana ladha ile ile kama aliyokuwa nayo,

JER 48:11 Removed trailing space in p~: nayo harufu yake haijabadilika.

JER 48:12 Removed trailing space in v~: Lakini siku zinakuja,”

JER 48:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 48:12 Removed trailing space in p~: “nitakapotuma watu wamiminao kutoka kwenye magudulia,

JER 48:12 Removed trailing space in p~: nao watamimina;

JER 48:12 Removed trailing space in p~: wataacha magudulia yake yakiwa matupu

JER 48:12 Removed trailing space in p~: na kuvunja mitungi yake.

JER 48:13 Removed trailing space in v~: Kisha Moabu atamwonea aibu mungu wao Kemoshi,

JER 48:13 Removed trailing space in p~: kama vile nyumba ya Israeli walivyoona aibu

JER 48:13 Removed trailing space in p~: walipotegemea mungu wa Betheli.\f + \fr 48:13 \ft Betheli ina maana ya Nyumba ya Mungu; lakini pia ni mahali ambapo Mfalme Yeroboamu alisimamisha moja ya sanamu za ndama ili kuabudiwa; nyingine aliiweka huko Dani (\+xt 1Fal 12:29-33\+xt*).\f*

JER 48:13 Found unexpected backslash in footnote: 48:13 Betheli ina maana ya Nyumba ya Mungu; lakini pia ni mahali ambapo Mfalme Yeroboamu alisimamisha moja ya sanamu za ndama ili kuabudiwa; nyingine aliiweka huko Dani (\+xt 1Fal 12:29-33\+xt*).

JER 48:14 Removed trailing space in v~: “Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa,

JER 48:14 Removed trailing space in p~: watu jasiri katika vita’?

JER 48:15 Removed trailing space in v~: Moabu ataangamizwa na miji yake itavamiwa,

JER 48:15 Removed trailing space in p~: vijana wake waume walio bora sana watachinjwa,”

JER 48:15 Removed trailing space in p~: asema Mfalme, ambaye jina lake

JER 48:15 Removed trailing space in p~: ni \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote.

JER 48:16 Removed trailing space in v~: “Kuanguka kwa Moabu kumekaribia,

JER 48:16 Removed trailing space in p~: janga kubwa litamjia kwa haraka.

JER 48:17 Removed trailing space in v~: Ombolezeni kwa ajili yake, ninyi nyote mnaomzunguka,

JER 48:17 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mnaojua sifa zake,

JER 48:17 Removed trailing space in p~: semeni, ‘Tazama jinsi ilivyovunjika fimbo ya kifalme yenye nguvu,

JER 48:17 Removed trailing space in p~: tazama jinsi ilivyovunjika fimbo iliyotukuka!’

JER 48:18 Removed trailing space in v~: “Shuka kutoka fahari yako

JER 48:18 Removed trailing space in p~: na uketi katika ardhi iliyokauka,

JER 48:18 Removed trailing space in p~: enyi wenyeji wa Binti wa Diboni,

JER 48:18 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye aangamizaye Moabu atakuja dhidi yako,

JER 48:18 Removed trailing space in p~: na kuangamiza miji yako iliyozungushiwa maboma.

JER 48:19 Removed trailing space in v~: Simama kando ya barabara na utazame,

JER 48:19 Removed trailing space in p~: wewe unayeishi Aroeri.

JER 48:19 Removed trailing space in p~: Muulize mwanaume anayekimbia

JER 48:19 Removed trailing space in p~: na mwanamke anayetoroka,

JER 48:19 Removed trailing space in p~: waulize, ‘Kumetokea nini?’

JER 48:20 Removed trailing space in v~: Moabu amefedheheshwa, kwa kuwa amevunjavunjwa.

JER 48:20 Removed trailing space in p~: Lieni kwa huzuni na kupiga kelele!

JER 48:20 Removed trailing space in p~: Tangazeni kando ya Arnoni

JER 48:20 Removed trailing space in p~: kwamba Moabu ameangamizwa.

JER 48:21 Removed trailing space in v~: Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu:

JER 48:21 Removed trailing space in p~: katika Holoni, Yahasa na Mefaathi,

JER 48:22 Removed trailing space in v~: katika Diboni, Nebo

JER 48:22 Removed trailing space in p~: na Beth-Diblathaimu,

JER 48:23 Removed trailing space in v~: katika Kiriathaimu, Beth-Gamuli

JER 48:23 Removed trailing space in p~: na Beth-Meoni,

JER 48:24 Removed trailing space in v~: katika Keriothi na Bosra;

JER 48:24 Removed trailing space in p~: kwa miji yote ya Moabu,

JER 48:24 Removed trailing space in p~: iliyoko mbali na karibu.

JER 48:25 Removed trailing space in v~: Pembe\f + \fr 48:25 \ft Pembe hapa ni ishara ya nguvu.\f* ya Moabu imekatwa,

JER 48:25 Removed trailing space in p~: mkono wake umevunjwa,”

JER 48:25 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:26 Removed trailing space in v~: “Mlevye,

JER 48:26 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amemdharau \nd Bwana\nd*.

JER 48:26 Removed trailing space in p~: Moabu na agaegae katika matapishi yake,

JER 48:26 Removed trailing space in p~: yeye na awe kitu cha dhihaka.

JER 48:27 Removed trailing space in v~: Je, Israeli hakuwa kitu chako cha kudhihakiwa?

JER 48:27 Removed trailing space in p~: Je, alikamatwa miongoni mwa wezi,

JER 48:27 Removed trailing space in p~: kiasi cha kutikisa kichwa chako kwa dharau

JER 48:27 Removed trailing space in p~: kila mara unapozungumza juu yake?

JER 48:28 Removed trailing space in v~: Ondokeni kwenye miji yenu, mkaishi katikati ya miamba,

JER 48:28 Removed trailing space in p~: enyi mnaoishi Moabu.

JER 48:28 Removed trailing space in p~: Kuweni kama huwa ambaye hutengeneza kiota chake

JER 48:28 Removed trailing space in p~: kwenye mdomo wa pango.

JER 48:29 Removed trailing space in v~: “Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:

JER 48:29 Removed trailing space in p~: kutakabari kwake kwa kiburi na majivuno,

JER 48:29 Removed trailing space in p~: kiburi chake na ufidhuli wake,

JER 48:29 Removed trailing space in p~: na kujivuna kwa moyo wake.

JER 48:30 Removed trailing space in v~: Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,”

JER 48:30 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 48:30 Removed trailing space in p~: “nako kujisifu kwake hakumsaidii chochote.

JER 48:31 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo namlilia Moabu,

JER 48:31 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Moabu yote ninalia,

JER 48:31 Removed trailing space in p~: ninaomboleza kwa ajili

JER 48:31 Removed trailing space in p~: ya watu wa Kir-Haresethi.

JER 48:32 Removed trailing space in v~: Ninalia machozi kwa ajili yenu, kama Yazeri aliavyo,

JER 48:32 Removed trailing space in p~: enyi mizabibu ya Sibma.

JER 48:32 Removed trailing space in p~: Matawi yako yameenea hadi baharini;

JER 48:32 Removed trailing space in p~: yamefika hadi bahari ya Yazeri.

JER 48:32 Removed trailing space in p~: Mharabu ameyaangukia matunda yako yaliyoiva

JER 48:32 Removed trailing space in p~: na mizabibu yako iliyoiva.

JER 48:33 Removed trailing space in v~: Shangwe na furaha vimetoweka

JER 48:33 Removed trailing space in p~: kutoka bustani na mashamba ya Moabu.

JER 48:33 Removed trailing space in p~: Nimekomesha kutiririka kwa divai kutoka mashinikizo;

JER 48:33 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja ayakanyagaye kwa kelele za shangwe.

JER 48:33 Removed trailing space in p~: Ingawa kuna kelele,

JER 48:33 Removed trailing space in p~: sio kelele za shangwe.

JER 48:34 Removed trailing space in v~: “Sauti ya kilio chao inapanda

JER 48:34 Removed trailing space in p~: kutoka Heshboni hadi Eleale na Yahazi,

JER 48:34 Removed trailing space in p~: kutoka Soari hadi Horonaimu na Eglath-Shelishiya,

JER 48:34 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hata maji ya Nimrimu yamekauka.

JER 48:35 Removed trailing space in v~: Nitakomesha wale wote katika Moabu

JER 48:35 Removed trailing space in p~: watoao sadaka mahali pa juu,

JER 48:35 Removed trailing space in p~: na kufukiza uvumba kwa miungu yao,”

JER 48:35 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:36 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama filimbi;

JER 48:36 Removed trailing space in p~: unaomboleza kama filimbi kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.

JER 48:36 Removed trailing space in p~: Utajiri waliojipatia umetoweka.

JER 48:37 Removed trailing space in v~: Kila kichwa kimenyolewa

JER 48:37 Removed trailing space in p~: na kila mwenye ndevu zimekatwa;

JER 48:37 Removed trailing space in p~: kila mkono umekatwa

JER 48:37 Removed trailing space in p~: na kila kiuno kimefunikwa kwa nguo ya gunia.

JER 48:38 Removed trailing space in v~: Juu ya mapaa yote katika Moabu

JER 48:38 Removed trailing space in p~: na katika viwanja

JER 48:38 Removed trailing space in p~: hakuna kitu chochote isipokuwa maombolezo,

JER 48:38 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimemvunja Moabu

JER 48:38 Removed trailing space in p~: kama gudulia ambalo hakuna mtu yeyote anayelitaka,”

JER 48:38 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:39 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi alivyovunjikavunjika!

JER 48:39 Removed trailing space in p~: Jinsi wanavyolia kwa huzuni!

JER 48:39 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi Moabu anavyogeuka kwa aibu!

JER 48:39 Removed trailing space in p~: Moabu amekuwa kitu cha kudhihakiwa,

JER 48:39 Removed trailing space in p~: kitu cha kutisha kwa wale wote

JER 48:39 Removed trailing space in p~: wanaomzunguka.”

JER 48:40 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 48:40 Removed trailing space in p~: “Tazama! Tai anashuka chini,

JER 48:40 Removed trailing space in p~: akitanda mabawa yake juu ya Moabu.

JER 48:41 Removed trailing space in v~: Miji itatekwa na ngome zake

JER 48:41 Removed trailing space in p~: zitatwaliwa.

JER 48:41 Removed trailing space in p~: Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Moabu

JER 48:41 Removed trailing space in p~: itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 48:42 Removed trailing space in v~: Moabu ataangamizwa kama taifa

JER 48:42 Removed trailing space in p~: kwa sababu amemdharau \nd Bwana\nd*.

JER 48:43 Removed trailing space in v~: Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea,

JER 48:43 Removed trailing space in p~: enyi watu wa Moabu,”

JER 48:43 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:44 Removed trailing space in v~: “Yeyote atakayeikimbia hiyo hofu kuu

JER 48:44 Removed trailing space in p~: ataanguka ndani ya shimo,

JER 48:44 Removed trailing space in p~: yeyote atakayepanda kutoka shimoni,

JER 48:44 Removed trailing space in p~: atanaswa katika mtego,

JER 48:44 Removed trailing space in p~: kwa sababu nitaletea Moabu

JER 48:44 Removed trailing space in p~: mwaka wa adhabu yake,”

JER 48:44 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:45 Removed trailing space in v~: “Katika kivuli cha Heshboni,

JER 48:45 Removed trailing space in p~: wakimbizi wamesimama pasipo msaada,

JER 48:45 Removed trailing space in p~: kwa kuwa moto umezimika huko Heshboni,

JER 48:45 Removed trailing space in p~: mwali wa moto kutoka katikati ya Sihoni;

JER 48:45 Removed trailing space in p~: unaunguza vipaji vya nyuso za Moabu,

JER 48:45 Removed trailing space in p~: mafuvu yao wenye kujivuna kwa kelele.

JER 48:46 Removed trailing space in v~: Ole wako, ee Moabu!

JER 48:46 Removed trailing space in p~: Watu wa Kemoshi wameangamizwa;

JER 48:46 Removed trailing space in p~: wana wako wamepelekwa uhamishoni

JER 48:46 Removed trailing space in p~: na binti zako wamechukuliwa mateka.

JER 48:47 Removed trailing space in v~: “Lakini nitarudisha mateka wa Moabu,

JER 48:47 Removed trailing space in p~: katika siku zijazo,”

JER 48:47 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:47 Removed trailing space in p~: Huu ndio mwisho wa hukumu juu ya Moabu.

JER 49:0 Extra space after chapter number

JER 49:0 Removed trailing space in c: 49

JER 49:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Amoni

JER 49:1 Removed trailing space in v~: Kuhusu Waamoni:

JER 49:1 Removed trailing space in p~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 49:1 Removed trailing space in p~: “Je, Israeli hana wana?

JER 49:1 Removed trailing space in p~: Je, hana warithi?

JER 49:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi Moleki amechukua milki ya Gadi?

JER 49:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini watu wake wanaishi katika miji yake?

JER 49:2 Removed trailing space in v~: Lakini siku zinakuja,”

JER 49:2 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 49:2 Removed trailing space in p~: “nitakapopiga kelele ya vita

JER 49:2 Removed trailing space in p~: dhidi ya Raba mji wa Waamoni;

JER 49:2 Removed trailing space in p~: utakuwa kilima cha magofu,

JER 49:2 Removed trailing space in p~: navyo vijiji vinavyouzunguka

JER 49:2 Removed trailing space in p~: vitateketezwa kwa moto.

JER 49:2 Removed trailing space in p~: Kisha Israeli atawafukuza

JER 49:2 Removed trailing space in p~: wale waliomfukuza,”

JER 49:2 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:3 Removed trailing space in v~: “Lia kwa huzuni, ee Heshboni, kwa kuwa Ai umeangamizwa!

JER 49:3 Removed trailing space in p~: Pigeni kelele, enyi wakazi wa Raba!

JER 49:3 Removed trailing space in p~: Vaeni nguo za gunia na kuomboleza,

JER 49:3 Removed trailing space in p~: kimbieni hapa na pale ndani ya kuta,

JER 49:3 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Moleki atakwenda uhamishoni,

JER 49:3 Removed trailing space in p~: yeye pamoja na makuhani na maafisa wake.

JER 49:4 Removed trailing space in v~: Kwa nini unajivunia mabonde yako,

JER 49:4 Removed trailing space in p~: kujivunia mabonde yako yaliyozaa sana?

JER 49:4 Removed trailing space in p~: Ee binti usiye mwaminifu, unayeutumainia utajiri wako na kusema,

JER 49:4 Removed trailing space in p~: ‘Ni nani atakayenishambulia?’

JER 49:5 Removed trailing space in v~: Nitaleta hofu kuu juu yako

JER 49:5 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wale wote wanaokuzunguka,”

JER 49:5 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

JER 49:5 Removed trailing space in p~: “Kila mmoja wenu ataondolewa,

JER 49:5 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja atakayekusanya wakimbizi.

JER 49:6 Removed trailing space in v~: “Lakini hatimaye,

JER 49:6 Removed trailing space in p~: nitarudisha mateka wa Waamoni,”

JER 49:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:6 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Edomu

JER 49:7 Removed trailing space in v~: Kuhusu Edomu:

JER 49:7 Removed trailing space in p~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 49:7 Removed trailing space in p~: “Je, hakuna tena hekima katika Temani?

JER 49:7 Removed trailing space in p~: Je, shauri limewapotea wenye busara?

JER 49:7 Removed trailing space in p~: Je, hekima yao imechakaa?

JER 49:8 Removed trailing space in v~: Geuka na ukimbie, jifiche katika mapango marefu kabisa,

JER 49:8 Removed trailing space in p~: wewe uishiye Dedani,

JER 49:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitaleta maafa juu ya Esau

JER 49:8 Removed trailing space in p~: wakati nitakapomwadhibu.

JER 49:9 Removed trailing space in v~: Je, kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

JER 49:9 Removed trailing space in p~: wasingebakiza zabibu chache?

JER 49:9 Removed trailing space in p~: Kama wezi wangekujia usiku,

JER 49:9 Removed trailing space in p~: je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?

JER 49:10 Removed trailing space in v~: Lakini nitamvua Esau nguo abaki uchi,

JER 49:10 Removed trailing space in p~: nitayafunua maficho yake,

JER 49:10 Removed trailing space in p~: ili asiweze kujificha.

JER 49:10 Removed trailing space in p~: Watoto wake, jamaa na majirani wataangamia,

JER 49:10 Removed trailing space in p~: naye hatakuwepo tena.

JER 49:11 Removed trailing space in v~: Waache yatima wako; nitayalinda maisha yao.

JER 49:11 Removed trailing space in p~: Wajane wako pia

JER 49:11 Removed trailing space in p~: wanaweza kunitumaini mimi.”

JER 49:12 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Kama wale wasiostahili kukinywea kikombe ni lazima wakinywe, kwa nini wewe usiadhibiwe? Hutakwepa kuadhibiwa, ni lazima ukinywe.

JER 49:13 Removed trailing space in v~: Ninaapa kwa nafsi yangu,” asema \nd Bwana\nd*, “kwamba Bosra utakuwa magofu na kitu cha kutisha, cha aibu na cha kulaania; miji yake yote itakuwa magofu milele.”

JER 49:14 Removed trailing space in v~: Nimesikia ujumbe kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 49:14 Removed trailing space in p~: Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema,

JER 49:14 Removed trailing space in p~: “Jikusanyeni ili kuushambulia!

JER 49:14 Removed trailing space in p~: Inukeni kwa ajili ya vita!”

JER 49:15 Removed trailing space in v~: “Sasa nitakufanya uwe mdogo miongoni mwa mataifa,

JER 49:15 Removed trailing space in p~: aliyedharauliwa miongoni mwa watu.

JER 49:16 Removed trailing space in v~: Vitisho vyako na kiburi cha moyo wako

JER 49:16 Removed trailing space in p~: vimekudanganya,

JER 49:16 Removed trailing space in p~: wewe unayeishi katika majabali ya miamba,

JER 49:16 Removed trailing space in p~: wewe unayedumu katika miinuko ya kilima.

JER 49:16 Removed trailing space in p~: Ujapojenga kiota chako juu sana kama cha tai,

JER 49:16 Removed trailing space in p~: nitakushusha chini kutoka huko,”

JER 49:16 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:17 Removed trailing space in v~: “Edomu atakuwa kitu cha kuogofya;

JER 49:17 Removed trailing space in p~: wote wapitao karibu

JER 49:17 Removed trailing space in p~: watashangaa na kuzomea

JER 49:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya majeraha yake yote.

JER 49:18 Removed trailing space in v~: Kama vile Sodoma na Gomora zilivyoangamizwa,

JER 49:18 Removed trailing space in p~: pamoja na miji iliyokuwa jirani nayo,”

JER 49:18 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 49:18 Removed trailing space in p~: “vivyo hivyo hakuna mtu yeyote atakayeishi humo.

JER 49:18 Removed trailing space in p~: Naam, hakuna mtu yeyote atakayekaa humo.

JER 49:19 Removed trailing space in v~: “Kama simba anayepanda kutoka vichaka vya Yordani

JER 49:19 Removed trailing space in p~: kuja kwenye nchi ya malisho mengi,

JER 49:19 Removed trailing space in p~: ndivyo nitamfukuza Edomu kutoka nchi yake ghafula.

JER 49:19 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye mteule nitakayemweka kwa ajili ya jambo hili?

JER 49:19 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye kama mimi,

JER 49:19 Removed trailing space in p~: na ni nani awezaye kunipinga?

JER 49:19 Removed trailing space in p~: Tena ni mchungaji yupi awezaye

JER 49:19 Removed trailing space in p~: kusimama kinyume nami?”

JER 49:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, sikia kile \nd Bwana\nd* alichokipanga dhidi ya Edomu,

JER 49:20 Removed trailing space in p~: kile alichokusudia dhidi ya wale waishio Temani:

JER 49:20 Removed trailing space in p~: Aliye mchanga katika kundi ataburutwa mbali;

JER 49:20 Removed trailing space in p~: yeye ataharibu kabisa malisho yao kwa sababu yao.

JER 49:21 Removed trailing space in v~: Kwa sauti ya anguko lao, dunia itatetemeka.

JER 49:21 Removed trailing space in p~: Kilio chao kitasikika hadi Bahari ya Shamu.\f + \fr 49:21 \ft Kwa Kiebrania ni Bahari ya Mafunjo.\f*

JER 49:22 Removed trailing space in v~: Tazama! Tai atapaa juu angani na kuruka chini kwa ghafula,

JER 49:22 Removed trailing space in p~: akitandaza mabawa yake juu ya Bosra.

JER 49:22 Removed trailing space in p~: Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Edomu

JER 49:22 Removed trailing space in p~: itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 49:22 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Dameski

JER 49:23 Removed trailing space in v~: Kuhusu Dameski:

JER 49:23 Removed trailing space in p~: “Hamathi na Arpadi imetahayarika,

JER 49:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamesikia habari mbaya.

JER 49:23 Removed trailing space in p~: Wamevunjika moyo na wametaabika

JER 49:23 Removed trailing space in p~: kama bahari iliyochafuka.

JER 49:24 Removed trailing space in v~: Dameski amedhoofika,

JER 49:24 Removed trailing space in p~: amegeuka na kukimbia,

JER 49:24 Removed trailing space in p~: hofu ya ghafula imemkamata sana;

JER 49:24 Removed trailing space in p~: amepatwa na uchungu na maumivu,

JER 49:24 Removed trailing space in p~: maumivu kama ya mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 49:25 Removed trailing space in v~: Kwa nini mji ambao unajulikana haujaachwa,

JER 49:25 Removed trailing space in p~: mji ambao ninaupenda?

JER 49:26 Removed trailing space in v~: Hakika, vijana wake wanaume wataanguka barabarani;

JER 49:26 Removed trailing space in p~: askari wake wote watanyamazishwa siku hiyo,”

JER 49:26 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

JER 49:27 Removed trailing space in v~: “Nitatia moto kuta za Dameski;

JER 49:27 Removed trailing space in p~: utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.”

JER 49:27 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Kedari Na Hazori

JER 49:28 Removed trailing space in v~: Kuhusu Kedari na falme za Hazori, ambazo Nebukadneza mfalme wa Babeli alizishambulia:

JER 49:28 Removed trailing space in p~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 49:28 Removed trailing space in p~: “Inuka, ushambulie Kedari

JER 49:28 Removed trailing space in p~: na kuwaangamiza watu wa mashariki.

JER 49:29 Removed trailing space in v~: Hema zao na makundi yao ya kondoo yatachukuliwa;

JER 49:29 Removed trailing space in p~: vibanda vyao vitatwaliwa

JER 49:29 Removed trailing space in p~: pamoja na mali zao zote na ngamia zao.

JER 49:29 Removed trailing space in p~: Watu watawapigia kelele,

JER 49:29 Removed trailing space in p~: ‘Hofu kuu iko kila upande!’

JER 49:30 Removed trailing space in v~: “Kimbieni haraka!

JER 49:30 Removed trailing space in p~: Kaeni kwenye mapango marefu sana, ninyi mkaao Hazori,”

JER 49:30 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:30 Removed trailing space in p~: “Nebukadneza, mfalme wa Babeli amepanga shauri baya dhidi yenu;

JER 49:30 Removed trailing space in p~: amebuni hila dhidi yenu.

JER 49:31 Removed trailing space in v~: “Inuka na ulishambulie taifa lililo starehe,

JER 49:31 Removed trailing space in p~: linaloishi kwa kujiamini,”

JER 49:31 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 49:31 Removed trailing space in p~: “taifa lisilo na malango wala makomeo;

JER 49:31 Removed trailing space in p~: watu wake huishi peke yao.

JER 49:32 Removed trailing space in v~: Ngamia wao watakuwa nyara,

JER 49:32 Removed trailing space in p~: nayo makundi yao makubwa ya ngʼombe yatatekwa.

JER 49:32 Removed trailing space in p~: Wale walio maeneo ya mbali

JER 49:32 Removed trailing space in p~: nitawatawanya pande zote,

JER 49:32 Removed trailing space in p~: nami nitaleta maafa juu yao

JER 49:32 Removed trailing space in p~: kutoka kila upande,”

JER 49:32 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:33 Removed trailing space in v~: “Hazori itakuwa makao ya mbweha,

JER 49:33 Removed trailing space in p~: mahali pa ukiwa milele.

JER 49:33 Removed trailing space in p~: Hakuna yeyote atakayeishi humo;

JER 49:33 Removed trailing space in p~: hakuna mtu atakayekaa ndani yake.”

JER 49:33 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Elamu

JER 49:34 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno la \nd Bwana\nd* lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mapema katika utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda:

JER 49:35 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

JER 49:35 Removed trailing space in p~: “Tazama, nitavunja upinde wa Elamu,

JER 49:35 Removed trailing space in p~: ulio tegemeo la nguvu zao.

JER 49:36 Removed trailing space in v~: Nitaleta pepo nne dhidi ya Elamu

JER 49:36 Removed trailing space in p~: toka pande nne za mbingu,

JER 49:36 Removed trailing space in p~: nitawatawanya katika hizo pande nne,

JER 49:36 Removed trailing space in p~: wala hapatakuwa na taifa

JER 49:36 Removed trailing space in p~: ambalo watu wa Elamu waliofukuzwa

JER 49:36 Removed trailing space in p~: hawatakwenda.

JER 49:37 Removed trailing space in v~: Nitamfadhaisha Elamu mbele ya adui zao,

JER 49:37 Removed trailing space in p~: mbele yao wale wanaotafuta uhai wao;

JER 49:37 Removed trailing space in p~: nitaleta maafa juu yao,

JER 49:37 Removed trailing space in p~: naam, hasira yangu kali,”

JER 49:37 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:37 Removed trailing space in p~: “Nitawafuatia kwa upanga

JER 49:37 Removed trailing space in p~: mpaka nitakapowamaliza.

JER 49:38 Removed trailing space in v~: Nitaweka kiti changu cha enzi huko Elamu

JER 49:38 Removed trailing space in p~: na kumwangamiza mfalme wake na maafisa wake,”

JER 49:38 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:39 Removed trailing space in v~: “Lakini nitarudisha mateka wa Elamu

JER 49:39 Removed trailing space in p~: katika siku zijazo,”

JER 49:39 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 50:0 Extra space after chapter number

JER 50:0 Removed trailing space in c: 50

JER 50:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Babeli

JER 50:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno alilosema \nd Bwana\nd* kupitia nabii Yeremia kuhusu Babeli na nchi ya Wakaldayo:

JER 50:2 Removed trailing space in v~: “Tangazeni na mhubiri katikati ya mataifa,

JER 50:2 Removed trailing space in p~: twekeni bendera na mkahubiri;

JER 50:2 Removed trailing space in p~: msiache kitu chochote, bali semeni,

JER 50:2 Removed trailing space in p~: ‘Babeli utatekwa;

JER 50:2 Removed trailing space in p~: Beli ataaibishwa,

JER 50:2 Removed trailing space in p~: Merodaki atajazwa na hofu kuu.

JER 50:2 Removed trailing space in p~: Sanamu zake zitaaibishwa

JER 50:2 Removed trailing space in p~: na vinyago vyake vitajazwa hofu kuu.’

JER 50:3 Removed trailing space in v~: Taifa kutoka kaskazini litamshambulia,

JER 50:3 Removed trailing space in p~: na kuifanya nchi yake ukiwa.

JER 50:3 Removed trailing space in p~: Hakuna hata mmoja atakayeishi ndani yake,

JER 50:3 Removed trailing space in p~: watu na wanyama wataikimbia.

JER 50:4 Removed trailing space in v~: “Katika siku hizo, wakati huo,”

JER 50:4 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 50:4 Removed trailing space in p~: “watu wa Israeli pamoja na watu wa Yuda

JER 50:4 Removed trailing space in p~: wataenda wakilia ili kumtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wao.

JER 50:5 Removed trailing space in v~: Wataiuliza njia iendayo Sayuni

JER 50:5 Removed trailing space in p~: na kuelekeza nyuso zao huko.

JER 50:5 Removed trailing space in p~: Watakuja na kuambatana na \nd Bwana\nd*

JER 50:5 Removed trailing space in p~: katika agano la milele

JER 50:5 Removed trailing space in p~: ambalo halitasahaulika.

JER 50:6 Removed trailing space in v~: “Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea;

JER 50:6 Removed trailing space in p~: wachungaji wao wamewapotosha

JER 50:6 Removed trailing space in p~: na kuwasababisha kuzurura

JER 50:6 Removed trailing space in p~: juu ya milima.

JER 50:6 Removed trailing space in p~: Walitangatanga juu ya mlima na kilima,

JER 50:6 Removed trailing space in p~: na kusahau mahali pao wenyewe pa kupumzikia.

JER 50:7 Removed trailing space in v~: Yeyote aliyewakuta aliwala;

JER 50:7 Removed trailing space in p~: adui zao walisema, ‘Sisi hatuna hatia,

JER 50:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wao walitenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*, malisho yao halisi,

JER 50:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd*, aliye tumaini la baba zao.’

JER 50:8 Removed trailing space in v~: “Kimbieni kutoka Babeli;

JER 50:8 Removed trailing space in p~: ondokeni katika nchi ya Wakaldayo

JER 50:8 Removed trailing space in p~: tena kuweni kama mbuzi wale waongozao kundi.

JER 50:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana nitaamsha na kuleta dhidi ya Babeli

JER 50:9 Removed trailing space in p~: muungano wa mataifa makubwa kutoka nchi ya kaskazini.

JER 50:9 Removed trailing space in p~: Watashika nafasi zao dhidi yake,

JER 50:9 Removed trailing space in p~: naye kutokea kaskazini atatekwa.

JER 50:9 Removed trailing space in p~: Mishale yao itakuwa kama mishale ya mashujaa walio hodari,

JER 50:9 Removed trailing space in p~: ambao hawawezi kurudi mikono mitupu.

JER 50:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Ukaldayo utatekwa nyara;

JER 50:10 Removed trailing space in p~: wote wamtekao nyara watapata za kutosha,”

JER 50:10 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 50:11 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu hushangilia na kufurahi,

JER 50:11 Removed trailing space in p~: wewe utekaye urithi wangu,

JER 50:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu unachezacheza kama mtamba anayepura nafaka,

JER 50:11 Removed trailing space in p~: na kulia kama farasi dume,

JER 50:12 Removed trailing space in v~: mama yako ataaibika mno,

JER 50:12 Removed trailing space in p~: yeye aliyekuzaa atatahayari.

JER 50:12 Removed trailing space in p~: Atakuwa mdogo kuliko mataifa mengine yote,

JER 50:12 Removed trailing space in p~: atakuwa nyika, nchi kame na jangwa.

JER 50:13 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya hasira ya \nd Bwana\nd* hatakaliwa na mtu,

JER 50:13 Removed trailing space in p~: lakini ataachwa ukiwa kabisa.

JER 50:13 Removed trailing space in p~: Wote watakaopita Babeli watatiwa hofu na kudhihaki

JER 50:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya majeraha yake yote.

JER 50:14 Removed trailing space in v~: “Shikeni nafasi zenu kuzunguka Babeli,

JER 50:14 Removed trailing space in p~: enyi nyote mvutao upinde.

JER 50:14 Removed trailing space in p~: Mpigeni! Msibakize mshale wowote,

JER 50:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ametenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*.

JER 50:15 Removed trailing space in v~: Piga kelele dhidi yake kila upande!

JER 50:15 Removed trailing space in p~: Anajisalimisha, minara yake inaanguka,

JER 50:15 Removed trailing space in p~: kuta zake zimebomoka.

JER 50:15 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa hiki ni kisasi cha \nd Bwana\nd*,

JER 50:15 Removed trailing space in p~: mlipizeni kisasi;

JER 50:15 Removed trailing space in p~: mtendeeni kama alivyowatendea wengine.

JER 50:16 Removed trailing space in v~: Katilieni mbali mpanzi kutoka Babeli,

JER 50:16 Removed trailing space in p~: pamoja na mvunaji na mundu wake akivuna.

JER 50:16 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ya upanga wa mdhalimu

JER 50:16 Removed trailing space in p~: kila mmoja na arejee kwa watu wake mwenyewe,

JER 50:16 Removed trailing space in p~: kila mmoja na akimbilie

JER 50:16 Removed trailing space in p~: kwenye nchi yake mwenyewe.

JER 50:17 Removed trailing space in v~: “Israeli ni kundi lililotawanyika

JER 50:17 Removed trailing space in p~: ambalo simba wamelifukuzia mbali.

JER 50:17 Removed trailing space in p~: Wa kwanza kumla alikuwa mfalme wa Ashuru,

JER 50:17 Removed trailing space in p~: wa mwisho kuponda mifupa yake

JER 50:17 Removed trailing space in p~: alikuwa Nebukadneza mfalme wa Babeli.”

JER 50:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo:

JER 50:18 Removed trailing space in p~: “Nitamwadhibu mfalme wa Babeli na nchi yake

JER 50:18 Removed trailing space in p~: kama nilivyomwadhibu mfalme wa Ashuru.

JER 50:19 Removed trailing space in v~: Lakini nitamrudisha Israeli katika malisho yake mwenyewe

JER 50:19 Removed trailing space in p~: naye atalisha huko Karmeli na Bashani;

JER 50:19 Removed trailing space in p~: njaa yake itashibishwa

JER 50:19 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vya Efraimu na Gileadi.

JER 50:20 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, wakati huo,”

JER 50:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: “uchunguzi utafanyika kwa ajili ya kosa la Israeli,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: lakini halitakuwepo,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi za Yuda,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: lakini haitapatikana hata moja,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitawasamehe

JER 50:20 Removed trailing space in p~: mabaki nitakaowaacha.

JER 50:21 Removed trailing space in v~: “Shambulieni nchi ya Merathaimu

JER 50:21 Removed trailing space in p~: na wale waishio huko Pekodi.

JER 50:21 Removed trailing space in p~: Wafuatieni, waueni

JER 50:21 Removed trailing space in p~: na kuwaangamiza kabisa,”

JER 50:21 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 50:21 Removed trailing space in p~: “Fanyeni kila kitu nilichowaamuru.

JER 50:22 Removed trailing space in v~: Kelele ya vita iko ndani ya nchi,

JER 50:22 Removed trailing space in p~: kelele ya maangamizi makuu!

JER 50:23 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi nyundo ya dunia yote

JER 50:23 Removed trailing space in p~: ilivyovunjika na kuharibika!

JER 50:23 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi Babeli ilivyokuwa ukiwa

JER 50:23 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mataifa!

JER 50:24 Removed trailing space in v~: Nimetega mtego kwa ajili yako, ee Babeli,

JER 50:24 Removed trailing space in p~: nawe ukakamatwa kabla haujafahamu;

JER 50:24 Removed trailing space in p~: ulipatikana na ukakamatwa

JER 50:24 Removed trailing space in p~: kwa sababu ulimpinga \nd Bwana\nd*.

JER 50:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amefungua ghala lake la silaha

JER 50:25 Removed trailing space in p~: na kuzitoa silaha za ghadhabu yake,

JER 50:25 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mwenyezi Mwenye Nguvu Zote

JER 50:25 Removed trailing space in p~: anayo kazi ya kufanya

JER 50:25 Removed trailing space in p~: katika nchi ya Wakaldayo.

JER 50:26 Removed trailing space in v~: Njooni dhidi yake kutoka mbali.

JER 50:26 Removed trailing space in p~: Zifungueni ghala zake za nafaka;

JER 50:26 Removed trailing space in p~: mlundikeni kama lundo la nafaka.

JER 50:26 Removed trailing space in p~: Mwangamizeni kabisa

JER 50:26 Removed trailing space in p~: na msimwachie mabaki yoyote.

JER 50:27 Removed trailing space in v~: Waueni mafahali wake wachanga wote;

JER 50:27 Removed trailing space in p~: waacheni washuke machinjoni!

JER 50:27 Removed trailing space in p~: Ole wao! Kwa kuwa siku yao imewadia,

JER 50:27 Removed trailing space in p~: wakati wao wa kuadhibiwa.

JER 50:28 Removed trailing space in v~: Wasikilizeni watoro na wakimbizi kutoka Babeli

JER 50:28 Removed trailing space in p~: wakitangaza katika Sayuni

JER 50:28 Removed trailing space in p~: jinsi \nd Bwana\nd*, Mungu wetu alivyolipiza kisasi,

JER 50:28 Removed trailing space in p~: kisasi kwa ajili ya Hekalu lake.

JER 50:29 Removed trailing space in v~: “Waiteni wapiga mishale dhidi ya Babeli,

JER 50:29 Removed trailing space in p~: wote wale wavutao upinde.

JER 50:29 Removed trailing space in p~: Pigeni kambi kumzunguka kabisa,

JER 50:29 Removed trailing space in p~: asitoroke mtu yeyote.

JER 50:29 Removed trailing space in p~: Mlipizeni kwa matendo yake;

JER 50:29 Removed trailing space in p~: mtendeeni kama alivyotenda.

JER 50:29 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa alimdharau \nd Bwana\nd*,

JER 50:29 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

JER 50:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, vijana wake wanaume wataanguka barabarani;

JER 50:30 Removed trailing space in p~: askari wake wote watanyamazishwa siku ile,”

JER 50:30 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 50:31 Removed trailing space in v~: “Tazama, niko kinyume nawe, ewe mwenye majivuno,”

JER 50:31 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 50:31 Removed trailing space in p~: “kwa kuwa siku yako imewadia,

JER 50:31 Removed trailing space in p~: yaani, wakati wako wa kuadhibiwa.

JER 50:32 Removed trailing space in v~: Mwenye majivuno atajikwaa na kuanguka,

JER 50:32 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote atakayemuinua;

JER 50:32 Removed trailing space in p~: nitawasha moto katika miji yake,

JER 50:32 Removed trailing space in p~: utakaowateketeza wote wanaomzunguka.”

JER 50:33 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 50:33 Removed trailing space in p~: “Watu wa Israeli wameonewa,

JER 50:33 Removed trailing space in p~: nao watu wa Yuda pia.

JER 50:33 Removed trailing space in p~: Wote waliowateka wamewashikilia sana,

JER 50:33 Removed trailing space in p~: wanakataa kuwaachia waende.

JER 50:34 Removed trailing space in v~: Lakini Mkombozi wao ana nguvu;

JER 50:34 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

JER 50:34 Removed trailing space in p~: Atatetea kwa nguvu shauri lao

JER 50:34 Removed trailing space in p~: ili alete raha katika nchi yao,

JER 50:34 Removed trailing space in p~: lakini ataleta msukosuko

JER 50:34 Removed trailing space in p~: kwa wale waishio Babeli.

JER 50:35 Removed trailing space in v~: “Upanga dhidi ya Wakaldayo!”

JER 50:35 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 50:35 Removed trailing space in p~: “dhidi ya wale waishio Babeli

JER 50:35 Removed trailing space in p~: na dhidi ya maafisa wake na watu wenye busara!

JER 50:36 Removed trailing space in v~: Upanga dhidi ya manabii wake wa uongo!

JER 50:36 Removed trailing space in p~: Watakuwa wapumbavu.

JER 50:36 Removed trailing space in p~: Upanga dhidi ya mashujaa wake!

JER 50:36 Removed trailing space in p~: Watajazwa na hofu kuu

JER 50:37 Removed trailing space in v~: Upanga dhidi ya farasi na magari yake ya vita

JER 50:37 Removed trailing space in p~: pamoja na askari wake wote wa kigeni katika safu zake!

JER 50:37 Removed trailing space in p~: Wao watakuwa kama wanawake.

JER 50:37 Removed trailing space in p~: Upanga dhidi ya hazina zake!

JER 50:37 Removed trailing space in p~: Hizo zitatekwa nyara.

JER 50:38 Removed trailing space in v~: Ukame juu ya maji yake!

JER 50:38 Removed trailing space in p~: Nayo yatakauka.

JER 50:38 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa ni nchi ya sanamu,

JER 50:38 Removed trailing space in p~: wao wanaenda wazimu kwa ajili ya sanamu.

JER 50:39 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, viumbe vya jangwani na fisi wataishi humo,

JER 50:39 Removed trailing space in p~: nao bundi watakaa humo.

JER 50:39 Removed trailing space in p~: Kamwe haitakaliwa tena

JER 50:39 Removed trailing space in p~: wala watu hawataishi humo kutoka kizazi hadi kizazi.

JER 50:40 Removed trailing space in v~: Kama vile Mungu alivyoangamiza Sodoma na Gomora

JER 50:40 Removed trailing space in p~: pamoja na miji iliyokuwa jirani nayo,”

JER 50:40 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 50:40 Removed trailing space in p~: “vivyo hivyo hakuna mtu yeyote

JER 50:40 Removed trailing space in p~: atakayeishi humo.

JER 50:40 Removed trailing space in p~: Naam, hakuna mtu yeyote

JER 50:40 Removed trailing space in p~: atakayekaa humo.

JER 50:41 Removed trailing space in v~: “Tazama! Jeshi linakuja kutoka kaskazini;

JER 50:41 Removed trailing space in p~: taifa kubwa na wafalme wengi

JER 50:41 Removed trailing space in p~: wanaamshwa kutoka miisho ya dunia.

JER 50:42 Removed trailing space in v~: Wamejifunga pinde na mikuki;

JER 50:42 Removed trailing space in p~: ni wakatili na wasio na huruma.

JER 50:42 Removed trailing space in p~: Wanatoa sauti kama bahari inayonguruma

JER 50:42 Removed trailing space in p~: wanapoendesha farasi zao;

JER 50:42 Removed trailing space in p~: wanakuja kama watu waliojipanga tayari kwa vita

JER 50:42 Removed trailing space in p~: ili kukushambulia, ee Binti Babeli.

JER 50:43 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Babeli amesikia habari kuwahusu,

JER 50:43 Removed trailing space in p~: nayo mikono yake imelegea.

JER 50:43 Removed trailing space in p~: Uchungu umemshika,

JER 50:43 Removed trailing space in p~: maumivu kama ya mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 50:44 Removed trailing space in v~: Kama simba anayepanda kutoka vichaka vya Yordani

JER 50:44 Removed trailing space in p~: kuja kwenye nchi ya malisho mengi,

JER 50:44 Removed trailing space in p~: ndivyo nitamfukuza Babeli kutoka nchi yake ghafula.

JER 50:44 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye mteule,

JER 50:44 Removed trailing space in p~: nitakayemweka kwa ajili ya jambo hili?

JER 50:44 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye kama mimi,

JER 50:44 Removed trailing space in p~: na ni nani awezaye kunipinga?

JER 50:44 Removed trailing space in p~: Tena ni mchungaji yupi

JER 50:44 Removed trailing space in p~: awezaye kusimama kinyume nami?”

JER 50:45 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, sikia kile \nd Bwana\nd* alichokipanga dhidi ya Babeli,

JER 50:45 Removed trailing space in p~: kile alichokusudia dhidi ya nchi ya Wakaldayo:

JER 50:45 Removed trailing space in p~: Aliye mchanga katika kundi ataburutwa mbali.

JER 50:45 Removed trailing space in p~: Yeye ataharibu kabisa malisho yao kwa sababu yao.

JER 50:46 Removed trailing space in v~: Kwa sauti ya kutekwa kwa Babeli, dunia itatetemeka;

JER 50:46 Removed trailing space in p~: kilio chake kitasikika pote miongoni mwa mataifa.

JER 51:0 Extra space after chapter number

JER 51:0 Removed trailing space in c: 51

JER 51:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 51:1 Removed trailing space in p~: “Tazama nitaamsha roho ya mwangamizi

JER 51:1 Removed trailing space in p~: dhidi ya Babeli na watu wakaao Leb-Kamai.\f + \fr 51:1 \ft Leb-Kamai ni Ukaldayo, yaani Babeli, kwa fumbo.\f*

JER 51:2 Removed trailing space in v~: Nitawatuma wageni Babeli

JER 51:2 Removed trailing space in p~: kumpepeta na kuiharibu nchi yake;

JER 51:2 Removed trailing space in p~: watampinga kila upande

JER 51:2 Removed trailing space in p~: katika siku ya maafa yake.

JER 51:3 Removed trailing space in v~: Usimwache mpiga upinde afunge kamba upinde wake,

JER 51:3 Removed trailing space in p~: wala usimwache avae silaha zake.

JER 51:3 Removed trailing space in p~: Usiwaonee huruma vijana wake;

JER 51:3 Removed trailing space in p~: angamiza jeshi lake kabisa.

JER 51:4 Removed trailing space in v~: Wataanguka waliouawa katika Babeli,

JER 51:4 Removed trailing space in p~: wakiwa na majeraha ya kutisha barabarani zake.

JER 51:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana Israeli na Yuda hawajaachwa

JER 51:5 Removed trailing space in p~: na Mungu wao, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 51:5 Removed trailing space in p~: ingawa nchi yao imejaa uovu

JER 51:5 Removed trailing space in p~: mbele zake yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

JER 51:6 Removed trailing space in v~: “Kimbieni kutoka Babeli!

JER 51:6 Removed trailing space in p~: Okoeni maisha yenu!

JER 51:6 Removed trailing space in p~: Msiangamizwe kwa sababu ya dhambi zake.

JER 51:6 Removed trailing space in p~: Ni wakati wa kisasi cha \nd Bwana\nd*,

JER 51:6 Removed trailing space in p~: atamlipa kile anachostahili.

JER 51:7 Removed trailing space in v~: Babeli alikuwa kikombe cha dhahabu katika mkono wa \nd Bwana\nd*;

JER 51:7 Removed trailing space in p~: aliufanya ulimwengu wote ulewe.

JER 51:7 Removed trailing space in p~: Mataifa walikunywa mvinyo wake;

JER 51:7 Removed trailing space in p~: kwa hiyo sasa wameingiwa na wazimu.

JER 51:8 Removed trailing space in v~: Babeli ataanguka ghafula na kuvunjika.

JER 51:8 Removed trailing space in p~: Mwombolezeni!

JER 51:8 Removed trailing space in p~: Tafuteni zeri ya kutuliza maumivu yake,

JER 51:8 Removed trailing space in p~: labda anaweza kupona.

JER 51:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Tungemponya Babeli,

JER 51:9 Removed trailing space in p~: lakini hawezi kuponyeka;

JER 51:9 Removed trailing space in p~: tumwacheni, na kila mmoja wetu aende nchi yake mwenyewe,

JER 51:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hukumu yake inafika angani,

JER 51:9 Removed trailing space in p~: inapanda juu hadi mawinguni.’

JER 51:10 Removed trailing space in v~: “ ‘\nd Bwana\nd* amethibitisha haki yetu;

JER 51:10 Removed trailing space in p~: njooni, tutangaze katika Sayuni

JER 51:10 Removed trailing space in p~: kitu ambacho \nd Bwana\nd* Mungu wetu amefanya.’

JER 51:11 Removed trailing space in v~: “Noeni mishale,

JER 51:11 Removed trailing space in p~: chukueni ngao!

JER 51:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amewaamsha wafalme wa Wamedi,

JER 51:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu nia yake ni kuangamiza Babeli.

JER 51:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atalipiza kisasi,

JER 51:11 Removed trailing space in p~: kisasi kwa ajili ya Hekalu lake.

JER 51:12 Removed trailing space in v~: Twekeni bendera juu ya kuta za Babeli!

JER 51:12 Removed trailing space in p~: Imarisheni ulinzi,

JER 51:12 Removed trailing space in p~: wekeni walinzi,

JER 51:12 Removed trailing space in p~: andaeni waviziao!

JER 51:12 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atatimiza kusudi lake,

JER 51:12 Removed trailing space in p~: amri yake juu ya watu wa Babeli.

JER 51:13 Removed trailing space in v~: Wewe uishiye kando ya maji mengi

JER 51:13 Removed trailing space in p~: na uliye na wingi wa hazina,

JER 51:13 Removed trailing space in p~: mwisho wako umekuja,

JER 51:13 Removed trailing space in p~: wakati wako wa kukatiliwa mbali.

JER 51:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

JER 51:14 Removed trailing space in p~: ameapa kwa nafsi yake mwenyewe:

JER 51:14 Removed trailing space in p~: ‘Hakika nitakujaza na watu, kama kundi la nzige,

JER 51:14 Removed trailing space in p~: nao watapiga kelele za ushindi juu yako.’

JER 51:15 Removed trailing space in v~: “Aliiumba dunia kwa uweza wake;

JER 51:15 Removed trailing space in p~: akaweka misingi ya ulimwengu kwa hekima yake

JER 51:15 Removed trailing space in p~: na akazitandaza mbingu kwa ufahamu wake.

JER 51:16 Removed trailing space in v~: Atoapo sauti yake, maji yaliyo katika mbingu hunguruma,

JER 51:16 Removed trailing space in p~: huyafanya mawingu yainuke kutoka miisho ya dunia.

JER 51:16 Removed trailing space in p~: Hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua,

JER 51:16 Removed trailing space in p~: naye huuleta upepo kutoka ghala zake.

JER 51:17 Removed trailing space in v~: “Kila mtu ni mjinga na hana maarifa;

JER 51:17 Removed trailing space in p~: kila sonara ameaibishwa na sanamu zake.

JER 51:17 Removed trailing space in p~: Vinyago vyake ni vya udanganyifu,

JER 51:17 Removed trailing space in p~: havina pumzi ndani yavyo.

JER 51:18 Removed trailing space in v~: Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha,

JER 51:18 Removed trailing space in p~: hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia.

JER 51:19 Removed trailing space in v~: Yeye Aliye Fungu la Yakobo sivyo alivyo,

JER 51:19 Removed trailing space in p~: kwani ndiye Muumba wa vitu vyote,

JER 51:19 Removed trailing space in p~: pamoja na kabila la urithi wake:

JER 51:19 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

JER 51:20 Removed trailing space in v~: “Wewe ndiwe rungu langu la vita,

JER 51:20 Removed trailing space in p~: silaha yangu ya vita:

JER 51:20 Removed trailing space in p~: kwa wewe navunjavunja mataifa,

JER 51:20 Removed trailing space in p~: kwa wewe naangamiza falme,

JER 51:21 Removed trailing space in v~: kwa wewe navunjavunja

JER 51:21 Removed trailing space in p~: farasi na mpanda farasi,

JER 51:21 Removed trailing space in p~: kwa wewe navunjavunja

JER 51:21 Removed trailing space in p~: gari la vita na mwendeshaji wake,

JER 51:22 Removed trailing space in v~: kwa wewe napondaponda

JER 51:22 Removed trailing space in p~: mwanaume na mwanamke,

JER 51:22 Removed trailing space in p~: kwa wewe napondaponda

JER 51:22 Removed trailing space in p~: mzee na kijana,

JER 51:22 Removed trailing space in p~: kwa wewe napondaponda

JER 51:22 Removed trailing space in p~: kijana wa kiume na mwanamwali,

JER 51:23 Removed trailing space in v~: kwa wewe nampondaponda

JER 51:23 Removed trailing space in p~: mchungaji na kundi,

JER 51:23 Removed trailing space in p~: kwa wewe nampondaponda

JER 51:23 Removed trailing space in p~: mkulima na maksai,

JER 51:23 Removed trailing space in p~: kwa wewe nawapondaponda

JER 51:23 Removed trailing space in p~: watawala na maafisa.

JER 51:24 Removed trailing space in v~: “Mbele ya macho yako nitamlipiza Babeli na wote waishio Ukaldayo kwa ajili ya makosa yote waliyofanya katika Sayuni,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:25 Removed trailing space in v~: “Mimi niko kinyume nawe, ee mlima unaoharibu,

JER 51:25 Removed trailing space in p~: wewe uangamizaye dunia yote,”

JER 51:25 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:25 Removed trailing space in p~: “Nitanyoosha mkono wangu dhidi yako,

JER 51:25 Removed trailing space in p~: nikuvingirishe kutoka kwenye kilele cha mwamba,

JER 51:25 Removed trailing space in p~: na kukufanya mlima ulioteketezwa kwa moto.

JER 51:26 Removed trailing space in v~: Hakuna jiwe litakalochukuliwa kutoka kwako

JER 51:26 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kufanywa jiwe la pembeni,

JER 51:26 Removed trailing space in p~: wala jiwe lolote kwa ajili ya msingi,

JER 51:26 Removed trailing space in p~: kwa maana utakuwa ukiwa milele,”

JER 51:26 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:27 Removed trailing space in v~: “Twekeni bendera katika nchi!

JER 51:27 Removed trailing space in p~: Pigeni tarumbeta katikati ya mataifa!

JER 51:27 Removed trailing space in p~: Andaeni mataifa kwa ajili ya vita dhidi yake,

JER 51:27 Removed trailing space in p~: iteni falme hizi dhidi yake:

JER 51:27 Removed trailing space in p~: Ararati, Mini na Ashkenazi.

JER 51:27 Removed trailing space in p~: Wekeni jemadari dhidi yake,

JER 51:27 Removed trailing space in p~: pelekeni farasi wengi kama kundi la nzige.

JER 51:28 Removed trailing space in v~: Andaeni mataifa kwa ajili ya vita dhidi yake,

JER 51:28 Removed trailing space in p~: wafalme wa Wamedi,

JER 51:28 Removed trailing space in p~: watawala wao na maafisa wao wote,

JER 51:28 Removed trailing space in p~: pamoja na nchi zote wanazotawala.

JER 51:29 Removed trailing space in v~: Nchi inatetemeka na kugaagaa,

JER 51:29 Removed trailing space in p~: kwa kuwa makusudi ya \nd Bwana\nd* dhidi ya Babeli yanasimama:

JER 51:29 Removed trailing space in p~: yaani, kuangamiza nchi ya Babeli

JER 51:29 Removed trailing space in p~: ili pasiwe na yeyote atakayeishi humo.

JER 51:30 Removed trailing space in v~: Mashujaa wa Babeli wameacha kupigana,

JER 51:30 Removed trailing space in p~: wamebaki katika ngome zao.

JER 51:30 Removed trailing space in p~: Nguvu zao zimekwisha,

JER 51:30 Removed trailing space in p~: wamekuwa kama wanawake.

JER 51:30 Removed trailing space in p~: Makazi yake yameteketezwa kwa moto,

JER 51:30 Removed trailing space in p~: makomeo ya malango yake yamevunjika.

JER 51:31 Removed trailing space in v~: Tarishi mmoja humfuata mwingine,

JER 51:31 Removed trailing space in p~: na mjumbe humfuata mjumbe,

JER 51:31 Removed trailing space in p~: kumtangazia mfalme wa Babeli

JER 51:31 Removed trailing space in p~: kwamba mji wake wote umetekwa,

JER 51:32 Removed trailing space in v~: Vivuko vya mito vimekamatwa,

JER 51:32 Removed trailing space in p~: mabwawa yenye mafunjo yametiwa moto,

JER 51:32 Removed trailing space in p~: nao askari wameingiwa na hofu kuu.”

JER 51:33 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo:

JER 51:33 Removed trailing space in p~: “Binti Babeli ni kama sakafu ya kupuria

JER 51:33 Removed trailing space in p~: wakati inapokanyagwa;

JER 51:33 Removed trailing space in p~: wakati wa kumvuna utakuja upesi.”

JER 51:34 Removed trailing space in v~: “Nebukadneza mfalme wa Babeli ametula,

JER 51:34 Removed trailing space in p~: ametufanya tuchangayikiwe,

JER 51:34 Removed trailing space in p~: ametufanya tuwe gudulia tupu.

JER 51:34 Removed trailing space in p~: Kama nyoka ametumeza

JER 51:34 Removed trailing space in p~: na kujaza tumbo lake kwa vyakula vyetu vizuri,

JER 51:34 Removed trailing space in p~: kisha akatutapika.

JER 51:35 Removed trailing space in v~: Jeuri iliyofanyiwa miili yetu\f + \fr 51:35 \ft Au: Jeuri tuliyofanyiwa sisi na watoto wetu.\f* na iwe juu ya Babeli,”

JER 51:35 Removed trailing space in p~: ndivyo wasemavyo wakaao Sayuni.

JER 51:35 Removed trailing space in p~: “Damu yetu na iwe juu ya wale waishio Babeli,”

JER 51:35 Removed trailing space in p~: asema Yerusalemu.

JER 51:36 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

JER 51:36 Removed trailing space in p~: “Tazama, nitatetea shauri lako

JER 51:36 Removed trailing space in p~: na kulipiza kisasi kwa ajili yako;

JER 51:36 Removed trailing space in p~: nitaikausha bahari yake

JER 51:36 Removed trailing space in p~: na kuzikausha chemchemi zake.

JER 51:37 Removed trailing space in v~: Babeli utakuwa lundo la magofu

JER 51:37 Removed trailing space in p~: na makao ya mbweha,

JER 51:37 Removed trailing space in p~: kitu cha kutisha na kudharauliwa,

JER 51:37 Removed trailing space in p~: mahali asipoishi mtu.

JER 51:38 Removed trailing space in v~: Watu wake wote wananguruma kama simba wadogo,

JER 51:38 Removed trailing space in p~: wanakoroma kama wana simba.

JER 51:39 Removed trailing space in v~: Lakini wakati wakiwa wameamshwa,

JER 51:39 Removed trailing space in p~: nitawaandalia karamu

JER 51:39 Removed trailing space in p~: na kuwafanya walewe,

JER 51:39 Removed trailing space in p~: ili wapige kelele kwa kicheko,

JER 51:39 Removed trailing space in p~: kisha walale milele na wasiamke,”

JER 51:39 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:40 Removed trailing space in v~: “Nitawateremsha kama wana-kondoo waendao machinjoni,

JER 51:40 Removed trailing space in p~: kama kondoo dume na mbuzi.

JER 51:41 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi Sheshaki\f + \fr 51:41 \ft Sheshaki ni Babeli kwa fumbo.\f* atakamatwa,

JER 51:41 Removed trailing space in p~: majivuno ya dunia yote yatakavyonyakuliwa.

JER 51:41 Removed trailing space in p~: Babeli atakuwa mwenye hofu kiasi gani

JER 51:41 Removed trailing space in p~: kati ya mataifa!

JER 51:42 Removed trailing space in v~: Bahari itainuka juu ya Babeli;

JER 51:42 Removed trailing space in p~: mawimbi yake yenye kunguruma yatamfunika.

JER 51:43 Removed trailing space in v~: Miji yake itakuwa ukiwa,

JER 51:43 Removed trailing space in p~: kame na jangwa,

JER 51:43 Removed trailing space in p~: nchi ambayo hakuna yeyote anayeishi ndani yake,

JER 51:43 Removed trailing space in p~: ambayo hakuna mtu anayepita humo.

JER 51:44 Removed trailing space in v~: Nitamwadhibu Beli katika Babeli,

JER 51:44 Removed trailing space in p~: na kumfanya atapike kile alichokimeza.

JER 51:44 Removed trailing space in p~: Mataifa hayatamiminika tena kwake.

JER 51:44 Removed trailing space in p~: Nao ukuta wa Babeli utaanguka.

JER 51:45 Removed trailing space in v~: “Tokeni ndani yake, enyi watu wangu!

JER 51:45 Removed trailing space in p~: Okoeni maisha yenu!

JER 51:45 Removed trailing space in p~: Ikimbieni hasira kali ya \nd Bwana\nd*.

JER 51:46 Removed trailing space in v~: Msikate tamaa wala msiogope tetesi

JER 51:46 Removed trailing space in p~: zitakaposikika katika nchi;

JER 51:46 Removed trailing space in p~: tetesi moja inasikika mwaka huu,

JER 51:46 Removed trailing space in p~: nyingine mwaka unaofuata;

JER 51:46 Removed trailing space in p~: tetesi juu ya jeuri katika nchi,

JER 51:46 Removed trailing space in p~: na ya mtawala dhidi ya mtawala.

JER 51:47 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hakika wakati utawadia

JER 51:47 Removed trailing space in p~: nitakapoziadhibu sanamu za Babeli;

JER 51:47 Removed trailing space in p~: nchi yake yote itatiwa aibu,

JER 51:47 Removed trailing space in p~: na watu wake wote waliouawa

JER 51:47 Removed trailing space in p~: wataangukia ndani yake.

JER 51:48 Removed trailing space in v~: Ndipo mbingu na dunia na vyote vilivyomo ndani yake

JER 51:48 Removed trailing space in p~: vitapiga kelele za shangwe juu ya Babeli,

JER 51:48 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kutoka kaskazini

JER 51:48 Removed trailing space in p~: waharabu watamshambulia,”

JER 51:48 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:49 Removed trailing space in v~: “Babeli ni lazima aanguke kwa sababu ya kuwaua Waisraeli,

JER 51:49 Removed trailing space in p~: kama vile waliouawa duniani kote

JER 51:49 Removed trailing space in p~: walivyoanguka kwa sababu ya Babeli.

JER 51:50 Removed trailing space in v~: Wewe uliyepona upanga,

JER 51:50 Removed trailing space in p~: ondoka wala usikawie!

JER 51:50 Removed trailing space in p~: Mkumbuke \nd Bwana\nd* ukiwa katika nchi ya mbali,

JER 51:50 Removed trailing space in p~: na utafakari juu ya Yerusalemu.”

JER 51:51 Removed trailing space in v~: “Tumetahayari, kwa maana tumetukanwa

JER 51:51 Removed trailing space in p~: na aibu imefunika nyuso zetu,

JER 51:51 Removed trailing space in p~: kwa sababu wageni wameingia

JER 51:51 Removed trailing space in p~: mahali patakatifu pa nyumba ya \nd Bwana\nd*.”

JER 51:52 Removed trailing space in v~: “Lakini siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*,

JER 51:52 Removed trailing space in p~: “nitakapoadhibu sanamu zake,

JER 51:52 Removed trailing space in p~: na katika nchi yake yote

JER 51:52 Removed trailing space in p~: waliojeruhiwa watalia kwa maumivu makali.

JER 51:53 Removed trailing space in v~: Hata kama Babeli ikifika angani

JER 51:53 Removed trailing space in p~: na kuziimarisha ngome zake ndefu,

JER 51:53 Removed trailing space in p~: nitatuma waharabu dhidi yake,”

JER 51:53 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:54 Removed trailing space in v~: “Sauti ya kilio inasikika kutoka Babeli,

JER 51:54 Removed trailing space in p~: sauti ya uharibifu mkuu

JER 51:54 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya Wakaldayo.

JER 51:55 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataiangamiza Babeli,

JER 51:55 Removed trailing space in p~: atanyamazisha makelele ya kishindo chake.

JER 51:55 Removed trailing space in p~: Mawimbi ya adui yatanguruma kama maji makuu,

JER 51:55 Removed trailing space in p~: ngurumo ya sauti zao itavuma.

JER 51:56 Removed trailing space in v~: Mharabu atakuja dhidi ya Babeli,

JER 51:56 Removed trailing space in p~: mashujaa wake watakamatwa,

JER 51:56 Removed trailing space in p~: nazo pinde zao zitavunjwa.

JER 51:56 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni Mungu wa kisasi,

JER 51:56 Removed trailing space in p~: yeye atalipiza kikamilifu.

JER 51:57 Removed trailing space in v~: Nitawafanya maafisa wake na wenye busara walewe,

JER 51:57 Removed trailing space in p~: watawala wao, maafisa, pamoja na wapiganaji wao;

JER 51:57 Removed trailing space in p~: watalala milele na hawataamka,”

JER 51:57 Removed trailing space in p~: asema Mfalme, ambaye jina lake ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

JER 51:58 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

JER 51:58 Removed trailing space in p~: “Ukuta mnene wa Babeli utasawazishwa,

JER 51:58 Removed trailing space in p~: na malango yaliyoinuka yatateketezwa kwa moto;

JER 51:58 Removed trailing space in p~: mataifa yanajichosha bure,

JER 51:58 Removed trailing space in p~: taabu ya mataifa ni nishati tu ya miali ya moto.”

JER 51:59 Removed trailing space in v~: Huu ndio ujumbe Yeremia aliompa afisa Seraya mwana wa Neria mwana wa Maaseya, alipokwenda Babeli pamoja na Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa nne wa utawala wake.

JER 51:60 Removed trailing space in v~: Yeremia alikuwa ameandika ndani ya kitabu kuhusu maafa yote yatakayoipata Babeli, yaani yote yaliyokuwa yameandikwa kuhusu Babeli.

JER 51:61 Removed trailing space in v~: Yeremia akamwambia Seraya, “Utakapofika Babeli, hakikisha kwamba umesoma maneno haya yote kwa sauti kubwa.

JER 51:62 Removed trailing space in v~: Kisha sema, ‘Ee \nd Bwana\nd*, umesema utaangamiza mahali hapa ili mtu wala mnyama asiishi ndani yake, napo patakuwa ukiwa milele.’

JER 51:63 Removed trailing space in v~: Utakapomaliza kusoma hiki kitabu, kifungie jiwe kisha ukitupe ndani ya Mto Frati.

JER 51:64 Removed trailing space in v~: Kisha sema, ‘Hivi ndivyo Babeli utakavyozama na usiinuke tena, kwa sababu ya maafa nitakayoleta juu yake. Nao watu wake wataanguka.’ ”

JER 51:64 Removed trailing space in p~: Maneno ya Yeremia yanaishia hapa.

JER 52:0 Extra space after chapter number

JER 52:0 Removed trailing space in c: 52

JER 52:0 Removed trailing space in s1: Anguko La Yerusalemu

JER 52:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 24:18–25:30)

JER 52:1 Removed trailing space in v~: Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.

JER 52:2 Removed trailing space in v~: Alifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, kama alivyofanya Yehoyakimu.

JER 52:3 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya \nd Bwana\nd* haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake.

JER 52:3 Removed trailing space in p~: Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

JER 52:4 Removed trailing space in v~: Hivyo katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli akiwa na jeshi lake lote alifanya vita dhidi ya Yerusalemu. Wakapiga kambi nje ya mji na kuuzunguka mji pande zote.

JER 52:5 Removed trailing space in v~: Mji ulizungukwa na jeshi mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Mfalme Sedekia.

JER 52:6 Removed trailing space in v~: Ilipowadia siku ya tisa ya mwezi wa nne, njaa ikazidi kuwa kali sana ndani ya mji, hadi hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu.

JER 52:7 Removed trailing space in v~: Kisha ukuta wa mji ukavunjwa na jeshi lote likakimbia. Wakaondoka mjini usiku kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji. Wakakimbia kuelekea Araba.

JER 52:8 Removed trailing space in v~: Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia Mfalme Sedekia na kumpata katika sehemu tambarare za Yeriko. Askari wake wote wakatengwa naye na kutawanyika,

JER 52:9 Removed trailing space in v~: naye akakamatwa.

JER 52:9 Removed trailing space in p~: Akapelekwa kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mahali ambapo alimtangazia hukumu.

JER 52:10 Removed trailing space in v~: Huko Ribla mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake. Pia akawaua maafisa wote wa Yuda.

JER 52:11 Removed trailing space in v~: Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia, akamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli, alipomweka gerezani mpaka siku ya kifo chake.

JER 52:12 Removed trailing space in v~: Mnamo siku ya kumi ya mwezi wa tano, katika mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme, aliyemtumikia mfalme wa Babeli, alikuja Yerusalemu.

JER 52:13 Removed trailing space in v~: Alichoma moto Hekalu la \nd Bwana\nd*, jumba la kifalme, na nyumba zote za Yerusalemu. Aliteketeza kila jengo muhimu.

JER 52:14 Removed trailing space in v~: Jeshi lote la Wakaldayo chini ya jemadari wa askari walinzi wa mfalme walivunja kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu.

JER 52:15 Removed trailing space in v~: Nebuzaradani, jemadari wa askari walinzi, akawapeleka uhamishoni baadhi ya watu maskini sana na wale waliobaki katika mji, pamoja na mabaki ya watu wa kawaida, na wale waliojisalimisha kwa mfalme wa Babeli.

JER 52:16 Removed trailing space in v~: Lakini Nebuzaradani akawaacha mabaki ya wale watu maskini kabisa ili watunze mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.

JER 52:17 Removed trailing space in v~: Wakaldayo walivunja vipande zile nguzo za shaba, vile vishikilio vya shaba vilivyohamishika, na ile Bahari ya shaba, ambavyo vyote vilikuwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Hivyo wakaichukua hiyo shaba yote na kuipeleka Babeli.

JER 52:18 Removed trailing space in v~: Wakachukua pia vyungu, masepetu, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, sahani na vyombo vyote vya shaba vilivyotumika katika huduma ya Hekalu.

JER 52:19 Removed trailing space in v~: Jemadari wa askari walinzi wa mfalme akachukua yale masinia, vile vyetezo, yale mabakuli ya kunyunyizia, zile sufuria, vile vinara vya taa, zile sahani na yale mabakuli yaliyotumika kwa sadaka za vinywaji, vitu vyote vile vilivyokuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi au fedha.

JER 52:20 Removed trailing space in v~: Shaba iliyotokana na zile nguzo mbili, ile Bahari na wale mafahali kumi na mawili wa shaba waliokuwa chini yake, pamoja na vile vishikilio vilivyohamishika, ambavyo Mfalme Solomoni alikuwa ametengeneza kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, ilikuwa na uzito usioweza kupimika.

JER 52:21 Removed trailing space in v~: Kila nguzo ilikuwa na urefu wa dhiraa kumi na nane, kimo chake na mzunguko dhiraa kumi na mbili, na unene wa nyanda nne, na zote zilikuwa wazi ndani.

JER 52:22 Removed trailing space in v~: Sehemu ya shaba juu ya ile nguzo moja ilikuwa na urefu wa dhiraa tano, na ilikuwa imepambwa kwa wavu na makomamanga ya shaba kuizunguka kote. Ile nguzo nyingine pamoja na makomamanga yake ilifanana na hiyo ya kwanza.

JER 52:23 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na makomamanga tisini na sita pembeni; jumla ya makomamanga juu ya wavu uliokuwa umezunguka yalikuwa mia moja.

JER 52:24 Removed trailing space in v~: Yule jemadari wa askari walinzi akawachukua kama wafungwa Seraya kuhani mkuu, kuhani Sefania aliyefuata kwa cheo, na mabawabu watatu.

JER 52:25 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wale watu waliokuwa wamesalia katika mji, alimchukua afisa kiongozi wa wapiganaji, na washauri saba wa mfalme. Akamchukua pia mwandishi aliyesimamia uandikishaji wa watu wa nchi, pamoja na watu wake sitini waliopatikana ndani ya mji.

JER 52:26 Removed trailing space in v~: Nebuzaradani jemadari akawachukua hao wote na kuwapeleka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla.

JER 52:27 Removed trailing space in v~: Huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mfalme wa Babeli akaamuru wanyongwe.

JER 52:27 Removed trailing space in p~: Hivyo Yuda wakaenda utumwani, mbali na nchi yao.

JER 52:28 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo hesabu ya watu ambao Nebukadneza aliwachukua kwenda uhamishoni:

JER 52:28 Removed trailing space in p~: katika mwaka wa saba,

JER 52:28 Removed trailing space in p~: Wayahudi 3,023;

JER 52:29 Removed trailing space in v~: katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Nebukadneza,

JER 52:29 Removed trailing space in p~: watu 832 kutoka Yerusalemu;

JER 52:30 Removed trailing space in v~: katika mwaka wa ishirini na tatu wa utawala wake,

JER 52:30 Removed trailing space in p~: Wayahudi 745 walichukuliwa kwenda uhamishoni na Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme.

JER 52:30 Removed trailing space in p~: Jumla ya watu wote walikuwa 4,600.

JER 52:30 Removed trailing space in s1: Yehoyakini Anaachiwa Huru

JER 52:31 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini mfalme wa Yuda apelekwe uhamishoni, katika mwaka ule ambao Evil-Merodaki\f + \fr 52:31 \ft Pia aliitwa Ameli-Mariduki.\f* alifanyika mfalme wa Babeli, alimwacha huru Yehoyakini mfalme wa Yuda, na kumfungua kutoka gerezani siku ya ishirini na tano ya mwezi wa kumi na mbili.

JER 52:32 Removed trailing space in v~: Alizungumza naye kwa upole na kumpa kiti cha heshima zaidi kuliko wale wafalme wengine aliokuwa nao huko Babeli.

JER 52:33 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoyakini akayavua mavazi yake ya mfungwa, na siku zote za maisha yake zilizobaki alikula mezani mwa mfalme.

JER 52:34 Removed trailing space in v~: Siku kwa siku mfalme wa Babeli alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake, hadi siku ya kifo chake.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 131    c: 52    h: 1    id: 1    li1: 3    li2: 4    m: 8    mt1: 1    p: 306    pm: 7    q1: 1218    q2: 1387    q4: 71    r: 2    rem: 1    s1: 72    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 4632    v: 1364  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    r: 2    li1: 3    li2: 4    pm: 7    m: 8    c: 52    q4: 71    s1: 72    b: 131    p: 306    q1: 1218    v: 1364    q2: 1387    Total: 4632  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 52    Paragraphs: 306    Section Cross-References: 2    Verses: 1364  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 2    Chapters: 52    Paragraphs: 306    Verses: 1364  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 1    a: 255    A: 24    b: 39    B: 5    c: 5    C: 2    D: 6    d: 26    e: 102    E: 2    f: 11    g: 18    G: 4    h: 48    H: 9    i: 144    I: 6    j: 19    J: 2    K: 36    k: 37    l: 26    L: 12    m: 74    M: 29    n: 55    N: 12    o: 47    O: 2    p: 5    P: 1    r: 47    s: 39    S: 13    Space: 185    t: 18    T: 5    Total: 1642    u: 123    U: 21    v: 4    V: 5    W: 19    w: 31    Y: 43    y: 15    z: 8    Z: 2  

Letter Counts (sorted by count)

 P: 1    -: 1    J: 2    Z: 2    O: 2    C: 2    E: 2    v: 4    G: 4    c: 5    T: 5    B: 5    V: 5    p: 5    I: 6    D: 6    z: 8    H: 9    f: 11    N: 12    L: 12    S: 13    y: 15    t: 18    g: 18    W: 19    j: 19    U: 21    A: 24    l: 26    d: 26    M: 29    w: 31    K: 36    k: 37    s: 39    b: 39    Y: 43    r: 47    o: 47    h: 48    n: 55    m: 74    e: 102    u: 123    i: 144    Space: 185    a: 255    Total: 1642  

Punctuation Counts

 (: 2    ): 2    ,: 1    :: 3    Total: 9    : 1  

Punctuation Counts (sorted by count)

 ,: 1    : 1    (: 2    ): 2    :: 3    Total: 9  

Speech Marks

Possible Matching Errors

JER 2:2 Unclosed “ (opened at 2:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 2:4 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 2:2:v)' before v marker or missing reopening quotes at v4

JER 2:31 Unclosed “ (opened at 2:30:v,2:31:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 3:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:30:v,2:31:v)', '“ (opened at 2:31:q1)'] before q1 marker

JER 3:12 Unclosed “ (opened at 3:11:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 3:19 Unclosed “ (opened at 3:16:v,3:19:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 3:21 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:16:v,3:19:v)' before v marker or missing reopening quotes at v21

JER 4:5 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:3:q1)' before q1 marker

JER 5:20 Unclosed “ (opened at 5:19:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 5:22 Unclosed “ (opened at 5:19:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

JER 5:29 Unclosed “ (opened at 5:19:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 6:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 5:19:v)', '“ (opened at 5:29:q1,5:30:v)'] before q1 marker

JER 7:9 Unclosed ‘ (opened at 7:2:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '“ (opened at 7:10:v)']

JER 7:12 Unclosed ‘ (opened at 7:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:12:v)']

JER 7:20 Unclosed ‘ (opened at 7:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:20 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)']

JER 7:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)']

JER 7:21 Unclosed ‘ (opened at 7:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)', '‘ (opened at 7:21:v)']

JER 7:27 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)']

JER 7:28 Unclosed ‘ (opened at 7:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)', '‘ (opened at 7:28:v)']

JER 7:30 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)', '‘ (opened at 7:28:v)'] before p marker

JER 8:1 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:30:v)', '‘ (opened at 7:30:v)', '“ (opened at 8:1:v)', '‘ (opened at 8:1:v)']

JER 8:4 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:30:v)', '‘ (opened at 7:30:v)', '“ (opened at 8:1:v)'] before p marker

JER 8:4 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)']

JER 8:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '“ (opened at 8:6:q2)']

JER 8:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)']

JER 8:8 Unclosed ‘ (opened at 8:4:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 8:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)', '“ (opened at 8:8:v)']

JER 8:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)', '“ (opened at 8:11:q1)']

JER 8:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:13 Unclosed ‘ (opened at 8:8:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 8:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)', '‘ (opened at 8:13:v)']

JER 8:13 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:17 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:18 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v18

JER 9:22 Unclosed “ (opened at 9:22:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 9:23 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 9:22:v)' before v marker or missing reopening quotes at v23

JER 11:15 Unclosed “ (opened at 11:9:v,11:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 11:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:9:v,11:14:v)' before v marker or missing reopening quotes at v16

JER 13:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:9:v)' before p marker

JER 14:17 Unclosed “ (opened at 14:14:v,14:17:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 14:19 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 14:14:v,14:17:v)' before v marker or missing reopening quotes at v19

JER 15:2 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:1:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '“ (opened at 15:2:q1)', '‘ (opened at 15:2:q1)']

JER 15:3 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:1:v)', '‘ (opened at 15:2:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v3

JER 15:5 Unclosed “ (opened at 15:3:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 15:6 Unclosed “ (opened at 15:3:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

JER 15:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 15:3:v)' before v marker or missing reopening quotes at v10

JER 17:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 16:21:v)' before q1 marker

JER 19:7 Unclosed ‘ (opened at 19:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 19:11 Unclosed ‘ (opened at 19:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 19:13 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 19:1:v)', '‘ (opened at 19:3:v)']

JER 19:14 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 19:1:v)', '‘ (opened at 19:3:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v14

JER 21:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:3:v,21:8:v,21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)', '“ (opened at 21:12:q1)', '‘ (opened at 21:12:q1)']

JER 21:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:3:v,21:8:v,21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)', '“ (opened at 21:12:q1)', '‘ (opened at 21:12:q1)', '“ (opened at 21:13:q1)']

JER 22:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 21:3:v,21:8:v,21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)'] before p marker

JER 24:8 Unclosed ‘ (opened at 24:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 24:8 Unclosed ‘ (opened at 24:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 24:10 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:5:v)']

JER 25:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:5:v)'] before p marker

JER 25:30 Unclosed “ (opened at 25:27:v,25:30:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 25:32 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:27:v,25:30:v)' before v marker or missing reopening quotes at v32

JER 26:18 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '“ (opened at 26:18:q1)', '‘ (opened at 26:18:q1)']

JER 26:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:18:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v20

JER 27:8 Unclosed ‘ (opened at 27:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 27:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:4:v)', '‘ (opened at 27:8:v)', '“ (opened at 27:8:v)']

JER 27:11 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:4:v)']

JER 27:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:4:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v12

JER 30:5 Unclosed “ (opened at 30:5:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:8 Unclosed ‘ (opened at 30:5:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:v)']

JER 30:8 Unclosed ‘ (opened at 30:5:q1) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

JER 30:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)']

JER 30:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)']

JER 30:10 Unclosed ‘ (opened at 30:8:q2) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '‘ (opened at 30:10:v)']

JER 30:10 Unclosed ‘ (opened at 30:8:q2) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '‘ (opened at 30:10:q1)']

JER 30:11 Unclosed ‘ (opened at 30:8:q2) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '‘ (opened at 30:11:q1)']

JER 30:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)']

JER 30:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)']

JER 30:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)']

JER 30:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)']

JER 30:16 Unclosed ‘ (opened at 30:12:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:16:v)']

JER 30:17 Unclosed ‘ (opened at 30:12:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:17:q1)']

JER 30:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)']

JER 30:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '“ (opened at 30:18:q1)']

JER 30:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '“ (opened at 30:18:q1)', '‘ (opened at 30:18:q1)']

JER 30:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '“ (opened at 30:18:q1)', '‘ (opened at 30:22:v)']

JER 30:23 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)'] before v marker or missing reopening quotes at v23

JER 31:29 Unclosed “ (opened at 31:29:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:31 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:31 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

JER 31:33 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:33 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:34 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 31:29:v)', '“ (opened at 31:29:q1)', '“ (opened at 31:33:q1)', '‘ (opened at 31:34:q2)']

JER 31:34 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:35 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 31:29:v)', '“ (opened at 31:29:q1)'] before v marker or missing reopening quotes at v35

JER 32:17 Unclosed “ (opened at 32:6:v,32:8:v,32:8:p,32:13:v,32:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 32:24 Unclosed “ (opened at 32:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 32:25 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 32:6:v,32:8:v,32:8:p,32:13:v,32:16:v)', '“ (opened at 32:17:v)', '“ (opened at 32:24:v)', '‘ (opened at 32:25:v)']

JER 32:26 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 32:6:v,32:8:v,32:8:p,32:13:v,32:16:v)', '“ (opened at 32:17:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v26

JER 33:6 Unclosed ‘ (opened at 33:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 33:10 Unclosed ‘ (opened at 33:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 33:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:10:v)']

JER 33:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1)']

JER 33:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1)', '‘ (opened at 33:11:q1)']

JER 33:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1)', '‘ (opened at 33:11:q1)', '“ (opened at 33:11:q1)']

JER 33:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v)']

JER 33:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v)', '‘ (opened at 33:12:v)']

JER 33:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)']

JER 33:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)']

JER 33:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)']

JER 33:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)', '“ (opened at 33:15:v)']

JER 33:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)', '“ (opened at 33:15:v)', '‘ (opened at 33:15:v)']

JER 33:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)', '“ (opened at 33:15:v)', '‘ (opened at 33:17:v)']

JER 33:19 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v19

JER 34:4 Unclosed ‘ (opened at 34:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 34:5 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:4:v)', '“ (opened at 34:5:v)']

JER 34:5 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)']

JER 34:6 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v6

JER 38:22 Unclosed “ (opened at 38:20:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 38:24 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 38:20:v)' before v marker or missing reopening quotes at v24

JER 44:29 Unclosed ‘ (opened at 44:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 44:30 Unclosed ‘ (opened at 44:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 44:30 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 44:24:v,44:25:p)', '‘ (opened at 44:26:v)']

JER 45:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 44:24:v,44:25:p)', '‘ (opened at 44:26:v)'] before p marker

Words

Possible Word Errors

JER 48:13 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

JER -1:6 Main Title 1:Yeremia

Section Heading Lines

JER 1:3Wito Wa Yeremia
JER 2:0Israeli Amwacha Mungu
JER 3:0Israeli Asiye Mwaminifu
JER 3:5Wito Kwa Ajili Ya Toba
JER 4:4Maafa Kutoka Kaskazini
JER 5:0Hakuna Hata Mmoja Aliye Mkamilifu
JER 6:0Yerusalemu Imezingirwa Na Jeshi
JER 7:0Dini Za Uongo Hazina Maana
JER 7:29Bonde La Machinjo
JER 8:3Dhambi Na Adhabu
JER 10:0Mungu Na Sanamu
JER 10:16Maangamizi Yajayo
JER 10:22Maombi Ya Yeremia
JER 11:0Agano Limevunjwa
JER 11:17Shauri Baya Dhidi Ya Yeremia
JER 12:0Lalamiko La Yeremia
JER 12:4Jibu La Mungu
JER 13:0Mkanda Wa Kitani
JER 13:11Viriba Vya Mvinyo
JER 13:14Tishio La Kutekwa
JER 14:0Ukame, Njaa Na Upanga
JER 15:0Adhabu Isiyoepukika
JER 16:0Siku Ya Maafa
JER 17:0Dhambi Ya Yuda Na Adhabu Yake
JER 17:18Kuiadhimisha Sabato
JER 18:0Katika Nyumba Ya Mfinyanzi
JER 19:0Gudulia La Udongo Lililovunjika
JER 20:0Yeremia Ateswa Na Pashuri
JER 20:6Malalamiko Ya Yeremia
JER 21:0Mungu Anakataa Ombi La Sedekia
JER 22:0Hukumu Dhidi Ya Wafalme Waovu
JER 23:0Tawi La Haki
JER 23:8Manabii Wasemao Uongo
JER 23:32Maneno Ya Uongo Na Manabii Wa Uongo
JER 24:0Vikapu Viwili Vya Tini
JER 25:0Miaka Sabini Ya Kuwa Mateka
JER 25:14Kikombe Cha Ghadhabu Ya Mungu
JER 26:0Yeremia Atishiwa Kuuawa
JER 27:0Yuda Kumtumikia Nebukadneza
JER 28:0Hanania Nabii Wa Uongo
JER 29:0Barua Kwa Watu Wa Uhamisho
JER 29:23Ujumbe Kwa Shemaya
JER 30:0Kurudishwa Kwa Israeli
JER 31:0Mahamisho Kurudi Kwa Shangwe
JER 32:0Yeremia Anunua Shamba
JER 33:0Ahadi Ya Kurudishwa
JER 34:0Onyo Kwa Sedekia
JER 34:7Uhuru Kwa Watumwa
JER 35:0Warekabi Wasifiwa
JER 36:0Yehoyakimu Achoma Kitabu Cha Yeremia
JER 37:0Yeremia Gerezani
JER 38:0Yeremia Atupwa Kwenye Kisima
JER 38:13Sedekia Amhoji Yeremia Tena
JER 39:0Anguko La Yerusalemu
JER 40:0Yeremia Aachiwa Huru
JER 40:6Gedalia Auawa
JER 41:15Kukimbilia Misri
JER 42:0Yeremia Ashauri Walionusurika Wasihame Yuda
JER 43:0Yeremia Apelekwa Misri
JER 44:0Maafa Kwa Sababu Ya Ibada Za Sanamu
JER 45:0Ujumbe Kwa Baruku
JER 46:0Ujumbe Kuhusu Misri
JER 47:0Ujumbe Kuhusu Wafilisti
JER 48:0Ujumbe Kuhusu Moabu
JER 49:0Ujumbe Kuhusu Amoni
JER 49:6Ujumbe Kuhusu Edomu
JER 49:22Ujumbe Kuhusu Dameski
JER 49:27Ujumbe Kuhusu Kedari Na Hazori
JER 49:33Ujumbe Kuhusu Elamu
JER 50:0Ujumbe Kuhusu Babeli
JER 52:0Anguko La Yerusalemu
JER 52:30Yehoyakini Anaachiwa Huru

Section Cross-reference Lines

JER 40:6(2 Wafalme 25:22-26)
JER 52:0(2 Wafalme 24:18–25:30)

Notes

Footnote Lines

JER 2:10+ \fr 2:10 \ft Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.
JER 2:16+ \fr 2:16 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
JER 2:16+ \fr 2:16 \ft Tahpanhesi ni mji katika nchi ya Misri.
JER 2:18+ \fr 2:18 \ft Kijito kinachoelekeza maji katika Mto Naili.
JER 6:10+ \fr 6:10 \ft Masikio yameziba kwa Kiebrania ina maana kwamba masikio…riwa.
JER 17:2+ \fr 17:2 \ft Ashera ni mungu mke aliyekuwa anaabudiwa na Wakanaani.
JER 20:3+ \fr 20:3 \ft Magor-Misabibu maana yake hapa ni Vitisho pande zote.
JER 22:11+ \fr 22:11 \ft Shalumu ndiye pia anaitwa Yehoahazi.
JER 22:24+ \fr 22:24 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 24:1+ \fr 24:1 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 25:26+ \fr 25:26 \ft Sheshaki ni Babeli kwa fumbo.
JER 27:20+ \fr 27:20 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 28:4+ \fr 28:4 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 29:2+ \fr 29:2 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 32:9+ \fr 32:9 \ft Shekeli 17 za fedha ni sawa na gramu 200.
JER 32:44+ \fr 32:44 \ft Au: nitawarudisha tena kutoka utumwani.
JER 37:1+ \fr 37:1 \ft Yehoyakini ni jina jingine la Yekonia au Konia.
JER 39:4+ \fr 39:4 \ft Au: kuelekea Bonde la Yordani.
JER 43:13+ \fr 43:13 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
JER 44:1+ \fr 44:1 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
JER 44:1+ \fr 44:1 \ft Pathrosi ina maana Misri ya Juu.
JER 46:9+ \fr 46:9 \ft Kushi ni Naili ya Juu; sasa ni Sudan.
JER 46:9+ \fr 46:9 \ft Putu sasa ni Libya.
JER 46:9+ \fr 46:9 \ft Nchi iliyo Afrika ya Kaskazini, magharibi ya Mto Naili;…ibya.
JER 46:14+ \fr 46:14 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
JER 46:14+ \fr 46:14 \ft Ni mji katika Misri.
JER 46:25+ \fr 46:25 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.
JER 47:4+ \fr 47:4 \ft Kaftori ndio Krete.
JER 48:7+ \fr 48:7 \ft Kemoshi alikuwa mungu wa Wamoabu.
JER 48:13+ \fr 48:13 \ft Betheli ina maana ya Nyumba ya Mungu; lakini pia ni ma…xt*).
JER 48:25+ \fr 48:25 \ft Pembe hapa ni ishara ya nguvu.
JER 49:21+ \fr 49:21 \ft Kwa Kiebrania ni Bahari ya Mafunjo.
JER 51:1+ \fr 51:1 \ft Leb-Kamai ni Ukaldayo, yaani Babeli, kwa fumbo.
JER 51:35+ \fr 51:35 \ft Au: Jeuri tuliyofanyiwa sisi na watoto wetu.
JER 51:41+ \fr 51:41 \ft Sheshaki ni Babeli kwa fumbo.
JER 52:31+ \fr 52:31 \ft Pia aliitwa Ameli-Mariduki.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 36    Footnotes: 36  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 36    Footnote leader '+': 36