Freely-Given.org Bible JOS Checks

<Up>

Priority Errors

Extra space after chapter number in JOS 2:0

Showing 1 out of 518 priority errors

Fix Text Errors

JOS 2:0 Extra space after chapter number

JOS 2:0 Removed trailing space in c: 2

JOS 2:0 Removed trailing space in s1: Rahabu Na Wapelelezi

JOS 2:1 Removed trailing space in v~: Kisha Yoshua mwana wa Nuni kwa siri akawatuma wapelelezi wawili kutoka Shitimu, akawaambia, “Nendeni mkaikague hiyo nchi, hasa Yeriko.” Kwa hiyo wakaenda na kuingia kwenye nyumba ya kahaba mmoja jina lake Rahabu na kukaa humo.

JOS 2:2 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Yeriko akaambiwa, “Tazama! Baadhi ya Waisraeli wamekuja huku usiku huu kuipeleleza nchi.”

JOS 2:3 Removed trailing space in v~: Hivyo mfalme wa Yeriko akatuma huu ujumbe kwa Rahabu: “Watoe wale watu waliokujia na kuingia nyumbani mwako, kwa sababu wamekuja kuipeleleza nchi yote.”

JOS 2:4 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mwanamke alikuwa amewachukua hao watu wawili na kuwaficha. Akasema, “Naam, watu hao walikuja kwangu, lakini sikujua walikotoka.

JOS 2:5 Removed trailing space in v~: Kulipoingia giza, wakati wa kufunga lango la mji, watu hao waliondoka. Sijui njia waliyoiendea. Wafuatilieni haraka. Huenda mkawapata.”

JOS 2:6 Removed trailing space in v~: (Lakini alikuwa amewapandisha darini akawafunika kwa mabua ya kitani aliyokuwa ameyatandika darini.)

JOS 2:7 Removed trailing space in v~: Basi hao watu wakaondoka kuwafuatilia hao wapelelezi katika njia ile inayoelekea vivuko vya Yordani, mara tu wafuatiliaji walipotoka nje, lango likafungwa.

JOS 2:8 Removed trailing space in v~: Kabla wale wapelelezi hawajalala, Rahabu akawaendea huko juu darini,

JOS 2:9 Removed trailing space in v~: akawaambia, “Ninajua kuwa \nd Bwana\nd* amewapa nchi hii na hofu kuu imetuangukia kwa sababu yenu, kiasi kwamba wote waishio katika nchi hii wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yenu.

JOS 2:10 Removed trailing space in v~: Tumesikia jinsi \nd Bwana\nd* alivyokausha maji ya Bahari ya Shamu kwa ajili yenu mlipotoka Misri, pia lile mlilowatendea Sihoni na Ogu, wafalme wawili wa Waamori mashariki mwa Yordani, ambao mliwaangamiza kabisa.

JOS 2:11 Removed trailing space in v~: Tuliposikia juu ya hili, mioyo yetu iliyeyuka na kila mmoja alikosa ujasiri kwa sababu yenu, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na duniani chini.

JOS 2:12 Removed trailing space in v~: Sasa basi, tafadhali niapieni kwa \nd Bwana\nd*, kwamba mtaitendea hisani jamaa ya baba yangu, kwa kuwa mimi nimewatendea hisani. Nipeni ishara ya uaminifu

JOS 2:13 Removed trailing space in v~: kwamba mtayahifadhi maisha ya baba yangu na mama yangu, ndugu zangu wa kiume na wa kike, pamoja na wale wote walio wa kwao na kwamba mtatuokoa na kifo.”

JOS 2:14 Removed trailing space in v~: Wale watu wakamhakikishia Rahabu, “Uhai wetu kwa uhai wenu! Ikiwa hutatoa habari ya nini tunachofanya, wakati \nd Bwana\nd* atakapotupa nchi hii, tutawatendea kwa hisani na kwa uaminifu.”

JOS 2:15 Removed trailing space in v~: Kisha akawateremsha dirishani kwa kamba, kwa kuwa nyumba yake aliyokuwa anaishi ilikuwa sehemu ya ukuta wa mji.

JOS 2:16 Removed trailing space in v~: Alikuwa amewaambia, “Nendeni vilimani ili wale wafuatiliaji wasiwapate. Jificheni huko kwa siku tatu mpaka watakaporudi, hatimaye mwende zenu.”

JOS 2:17 Removed trailing space in v~: Wale watu wakamwambia, “Hiki kiapo ulichotuapisha hakitatufunga,

JOS 2:18 Removed trailing space in v~: isipokuwa, hapo tutakapoingia katika nchi hii, utakuwa umefunga hii kamba nyekundu dirishani pale ulipotuteremshia na kama utakuwa umewaleta baba yako na mama yako, ndugu zako na jamaa yako yote ndani ya nyumba yako.

JOS 2:19 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu yeyote atatoka nje ya nyumba yako akaenda mtaani, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe, hatutawajibika. Lakini yule ambaye atakuwa ndani pamoja nawe, kama mkono wa mtu yeyote ukiwa juu yake damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu.

JOS 2:20 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa utatoa habari ya shughuli yetu tunayofanya, tutakuwa tumefunguliwa kutoka kwenye kiapo hiki ulichotufanya tuape.”

JOS 2:21 Removed trailing space in v~: Naye akajibu, “Nimekubali. Na iwe kama mnavyosema.” Kwa hiyo akaagana nao, nao wakaondoka. Yeye akaifunga ile kamba nyekundu dirishani.

JOS 2:22 Removed trailing space in v~: Walipoondoka, wakaelekea vilimani na kukaa huko siku tatu, hadi wale waliokuwa wakiwafuatilia wakawa wamewatafuta njia nzima na kurudi pasipo kuwapata.

JOS 2:23 Removed trailing space in v~: Ndipo wale watu wawili wakaanza kurudi. Wakashuka kutoka kule vilimani, wakavuka mto na kuja kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kumweleza kila kitu kilichowapata.

JOS 2:24 Removed trailing space in v~: Wakamwambia Yoshua, “Hakika \nd Bwana\nd* ametupa nchi yote mikononi mwetu; watu wote wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yetu.”

JOS 3:0 Extra space after chapter number

JOS 3:0 Removed trailing space in c: 3

JOS 3:0 Removed trailing space in s1: Kuvuka Yordani

JOS 3:1 Removed trailing space in v~: Yoshua na Waisraeli wote wakaondoka asubuhi na mapema kutoka Shitimu, wakaenda mpaka Mto Yordani, ambako walipiga kambi kabla ya kuvuka.

JOS 3:2 Removed trailing space in v~: Baada ya siku tatu maafisa wakapita katika kambi yote,

JOS 3:3 Removed trailing space in v~: wakitoa maagizo kwa watu, wakiwaambia: “Mtakapoona Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* Mungu wenu, likichukuliwa na Walawi ambao ndio makuhani, mtaondoka hapo mlipo na kulifuata.

JOS 3:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakapotambua njia mtakayoiendea, kwa kuwa hamjawahi kuipita kabla. Lakini msisogee karibu, bali kuwe na umbali wa dhiraa 2,000\f + \fr 3:4 \ft Dhiraa 2,000 ni sawa na mita 900.\f* kati yenu na Sanduku.”

JOS 3:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akawaambia hao watu, “Jitakaseni, kwa kuwa kesho \nd Bwana\nd* atatenda mambo ya kushangaza katikati yenu.”

JOS 3:6 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia makuhani, “Liinueni Sanduku la Agano mkatangulie mbele ya watu.” Hivyo wakaliinua na kutangulia mbele yao.

JOS 3:7 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Mose.

JOS 3:8 Removed trailing space in v~: Uwaambie makuhani wanaochukua Sanduku la Agano, ‘Mnapofika kwenye ukingo wa maji ya Yordani, nendeni mkasimame ndani ya mto.’ ”

JOS 3:9 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia Waisraeli, “Njooni hapa msikilize maneno ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

JOS 3:10 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo mtakavyojua ya kuwa Mungu aliye hai yupo katikati yenu, na kwamba kwa hakika atawafukuza mbele yenu hao Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagirgashi, Waamori na Wayebusi.

JOS 3:11 Removed trailing space in v~: Tazameni, Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* wa dunia yote litaingia ndani ya Mto Yordani likiwa limewatangulia.

JOS 3:12 Removed trailing space in v~: Sasa basi, chagueni watu kumi na wawili kutoka makabila ya Israeli, mtu mmoja kutoka kila kabila.

JOS 3:13 Removed trailing space in v~: Mara tu nyayo za makuhani walichukualo Sanduku la \nd Bwana\nd*, Bwana wa dunia yote, zitakapokanyaga ndani ya Mto Yordani, maji hayo yatiririkayo kutoka juu yatatindika na kusimama kama chuguu.”

JOS 3:14 Removed trailing space in v~: Basi, watu walipovunja kambi ili kuvuka Yordani, makuhani wakiwa wamebeba Sanduku la Agano waliwatangulia.

JOS 3:15 Removed trailing space in v~: Wakati huu ulikuwa wakati wa mavuno, nao Mto Yordani ulikuwa umefurika hadi kwenye kingo zake. Ilikuwa kawaida ya Yordani kufurika nyakati zote za mavuno. Mara tu makuhani wale waliokuwa wamebeba Sanduku la Agano walipofika mtoni na nyayo zao kuzama ndani ya yale maji,

JOS 3:16 Removed trailing space in v~: maji hayo yaliyotiririka kutoka upande wa juu yaliacha kutiririka yakasimama kama chuguu mbali kabisa nao, kwenye mji ulioitwa Adamu kwenye eneo la Sarethani, wakati yale maji yaliyokuwa yanatiririka kuingia kwenye Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), yalitindika kabisa. Hivyo watu wakavuka kukabili Yeriko.

JOS 3:17 Removed trailing space in v~: Wale makuhani waliobeba Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, wakasimama imara mahali pakavu katikati ya Mto Yordani, wakati Waisraeli wote wakiwa wanapita hadi taifa lote likaisha kuvuka mahali pakavu.

JOS 4:0 Extra space after chapter number

JOS 4:0 Removed trailing space in c: 4

JOS 4:0 Removed trailing space in s1: Ukumbusho Wa Kuvuka Mto Yordani

JOS 4:1 Removed trailing space in v~: Wakati taifa lote lilipokwisha kuvuka Mto Yordani, \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua,

JOS 4:2 Removed trailing space in v~: “Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa watu, kila kabila mtu mmoja,

JOS 4:3 Removed trailing space in v~: nawe uwaambie wachukue mawe kumi na mawili katikati ya Mto Yordani, palepale makuhani waliposimama, wayachukue na kuyaweka mahali mtakapokaa usiku huu wa leo.”

JOS 4:4 Removed trailing space in v~: Basi Yoshua akawaita watu kumi na wawili ambao alikuwa amewachagua kutoka miongoni mwa Waisraeli, mtu mmoja kutoka kila kabila,

JOS 4:5 Removed trailing space in v~: naye akawaambia, “Mtangulie mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mwende katikati ya Mto Yordani. Kila mmoja wenu atainua jiwe begani mwake, kufuatana na hesabu ya makabila ya Waisraeli,

JOS 4:6 Removed trailing space in v~: kuwa kama ishara katikati yenu. Siku zijazo, wakati watoto wenu watakapowauliza, ‘Ni nini maana ya mawe haya?’

JOS 4:7 Removed trailing space in v~: waambieni kwamba maji ya Mto Yordani yaliyokuwa yakitiririka yalitindika mbele ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*. Wakati lilipovuka Yordani, maji ya Yordani yalitindika. Mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.”

JOS 4:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Waisraeli wakafanya kama Yoshua alivyowaagiza. Wakachukua mawe kumi na mawili kutoka katikati ya Mto Yordani, kulingana na hesabu ya kabila za Waisraeli kama \nd Bwana\nd* alivyomwambia Yoshua, nao wakayabeba hadi kambini mwao, mahali walipoyatua chini.

JOS 4:9 Removed trailing space in v~: Yoshua akayasimamisha yale mawe kumi na mawili ambayo yalikuwa katikati ya Mto Yordani, mahali pale ambapo miguu ya makuhani waliobeba Sanduku la Agano iliposimama. Nayo yako huko mpaka leo.

JOS 4:10 Removed trailing space in v~: Makuhani waliobeba lile Sanduku walibakia wakiwa wamesimama katikati ya Mto Yordani mpaka kila kitu \nd Bwana\nd* alichomwamuru Yoshua kilipokuwa kimefanywa na watu, sawasawa na vile Mose alivyokuwa amemwamuru Yoshua. Watu wakafanya haraka kuvuka,

JOS 4:11 Removed trailing space in v~: na mara tu watu wote walipokwisha kuvuka, Sanduku la \nd Bwana\nd* na makuhani wakavuka watu wakiwa wanatazama.

JOS 4:12 Removed trailing space in v~: Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakavuka mbele ya Waisraeli, wakiwa wamevaa silaha, kama Mose alivyowaamuru.

JOS 4:13 Removed trailing space in v~: Kiasi cha watu 40,000 waliojiandaa kwa vita walivuka mbele za \nd Bwana\nd* hadi nchi tambarare za Yeriko kwa ajili ya vita.

JOS 4:14 Removed trailing space in v~: Siku ile \nd Bwana\nd* akamtukuza Yoshua mbele ya Israeli yote, nao wakamheshimu siku zote za maisha yake, kama vile walivyomheshimu Mose.

JOS 4:15 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua,

JOS 4:16 Removed trailing space in v~: “Waamuru hao makuhani wanaolibeba Sanduku la Ushuhuda, wapande kutoka ndani ya Mto Yordani.”

JOS 4:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”

JOS 4:18 Removed trailing space in v~: Nao makuhani wakapanda kutoka ndani ya Mto Yordani wakilibeba hilo Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*. Mara tu walipoiweka miguu yao penye kingo, nje ya mto, maji ya Yordani yakarudi kufurika kama ilivyokuwa kabla.

JOS 4:19 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi ya mwezi wa kwanza watu walipanda kutoka Yordani na kupiga kambi huko Gilgali, kwenye mpaka wa mashariki ya Yeriko.

JOS 4:20 Removed trailing space in v~: Naye Yoshua akayasimamisha huko Gilgali yale mawe kumi na mawili ambayo walikuwa wameyachukua katikati ya Mto Yordani.

JOS 4:21 Removed trailing space in v~: Akawaambia Waisraeli, “Wazao wenu watakapowauliza baba zao siku zijazo wakisema, ‘Mawe haya maana yake ni nini?’

JOS 4:22 Removed trailing space in v~: Basi waambieni, ‘Israeli ilivukia mahali pakavu katika Mto Yordani.’

JOS 4:23 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu alikausha maji ya Yordani mbele yenu, hadi mlipomaliza kuvuka. \nd Bwana\nd* Mungu wenu alifanya haya kwa Mto Yordani sawasawa na kile alichoifanyia Bahari ya Shamu wakati alipoikausha mbele yetu hadi tulipomaliza kuvuka.

JOS 4:24 Removed trailing space in v~: Alifanya hivi ili kwamba mataifa yote ya dunia yapate kujua kuwa mkono wa \nd Bwana\nd* ni wenye nguvu, na ili kwamba kila wakati mpate kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wenu.”

JOS 5:0 Extra space after chapter number

JOS 5:0 Removed trailing space in c: 5

JOS 5:1 Removed trailing space in v~: Basi wafalme wote wa Waamori magharibi ya Yordani na wafalme wote wa Kanaani waliokuwa kwenye pwani waliposikia jinsi \nd Bwana\nd* alivyoukausha Mto Yordani mbele ya Waisraeli hata tulipokwisha kuvuka, mioyo yao ikayeyuka kwa hofu, wala hawakuwa na ujasiri kuwakabili Waisraeli.

JOS 5:1 Removed trailing space in s1: Tohara Huko Gilgali

JOS 5:2 Removed trailing space in v~: Wakati huo \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua, “Tengeneza visu vya mawe magumu sana na uwatahiri Waisraeli tena.”

JOS 5:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akatengeneza visu vya mawe magumu sana na kutahiri Waisraeli huko Gibeath-Haaralothi.\f + \fr 5:3 \ft Gibeath-Haaralothi maana yake ni Kilima cha Magovi.\f*

JOS 5:4 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu ya Yoshua kufanya hivyo: Wanaume wote waliotoka Misri, wote wenye umri wa kwenda vitani, walikufa jangwani wakiwa njiani baada ya kuondoka Misri.

JOS 5:5 Removed trailing space in v~: Watu wote waliotoka Misri walikuwa wametahiriwa, lakini watu wote waliozaliwa jangwani wakiwa safarini toka Misri walikuwa hawajatahiriwa.

JOS 5:6 Removed trailing space in v~: Waisraeli walitembea jangwani miaka arobaini mpaka wanaume wote wale waliokuwa na umri wa kwenda vitani wakati waliondoka Misri walipokwisha kufa, kwa kuwa hawakumtii \nd Bwana\nd*. Kwa maana \nd Bwana\nd* alikuwa amewaapia kuwa wasingeweza kuona nchi ambayo alikuwa amewaahidi baba zao katika kuapa kutupatia, nchi inayotiririka maziwa na asali.

JOS 5:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akawainua wana wao baada yao na hawa ndio hao ambao Yoshua aliwatahiri. Walikuwa hawajatahiriwa bado kwa sababu walikuwa safarini.

JOS 5:8 Removed trailing space in v~: Baada ya taifa lote kutahiriwa, waliendelea kukaa kambini mpaka walipokuwa wamepona.

JOS 5:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua, “Leo nimeiondoa aibu ya Wamisri kutoka kwenu.” Basi mahali pale pakaitwa Gilgali hadi leo.

JOS 5:10 Removed trailing space in v~: Jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi, wakiwa kambini huko Gilgali katika tambarare za Yeriko, Waisraeli wakaadhimisha Pasaka.

JOS 5:11 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata Pasaka, katika siku ile ile, wakala mazao ya nchi, mikate isiyotiwa chachu na nafaka za kukaanga.

JOS 5:12 Removed trailing space in v~: Mana ilikoma siku iliyofuata baada ya Waisraeli kula chakula kilichotoka katika nchi; hapakuwa na mana tena kwa ajili ya Waisraeli, ila mwaka huo walikula mazao ya nchi ya Kanaani.

JOS 5:12 Removed trailing space in s1: Jemadari Wa Jeshi La \nd Bwana\nd*

JOS 5:13 Removed trailing space in v~: Basi wakati Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, akainua macho, akaona mtu aliyesimama mbele yake, akiwa na upanga mkononi uliofutwa kwenye ala. Yoshua akamwendea na kumuuliza, “Je, wewe uko upande wetu au upande wa adui zetu?”

JOS 5:14 Removed trailing space in v~: Akajibu, “La, siko upande wowote, lakini mimi nimekuja nikiwa jemadari wa jeshi la \nd Bwana\nd*.” Yoshua akaanguka kifudifudi hadi chini, akasujudu, akamuuliza, “Je, Bwana, una ujumbe gani kwa mtumishi wako?”

JOS 5:15 Removed trailing space in v~: Jemadari wa jeshi la \nd Bwana\nd* akajibu, “Vua viatu vyako, kwa maana mahali hapa unaposimama ni patakatifu.” Naye Yoshua akafanya hivyo.

JOS 6:0 Extra space after chapter number

JOS 6:0 Removed trailing space in c: 6

JOS 6:0 Removed trailing space in s1: Yeriko Yatekwa Na Kuangamizwa

JOS 6:1 Removed trailing space in v~: Basi malango ya Yeriko yalifungwa kwa uthabiti kwa ajili ya Waisraeli. Hakuna mtu yeyote aliyetoka au kuingia.

JOS 6:2 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeitia Yeriko mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na watu wake wa vita.

JOS 6:3 Removed trailing space in v~: Zunguka mji mara moja pamoja na watu wote wenye silaha. Fanya hivi kwa siku sita.

JOS 6:4 Removed trailing space in v~: Uwe na makuhani saba wakibeba mabaragumu ya pembe za kondoo dume mbele ya Sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.

JOS 6:5 Removed trailing space in v~: Utakapowasikia wamepaliza sauti kubwa ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na watu watapanda, kila mtu akiendelea mbele.”

JOS 6:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua mwana wa Nuni akaita makuhani na kuwaambia, “Chukueni Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* na makuhani saba wachukue baragumu za pembe za kondoo dume mbele yake.”

JOS 6:7 Removed trailing space in v~: Naye akawaagiza watu, “Songeni mbele! Mkauzunguke mji, na walinzi wenye silaha watangulie mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd*.”

JOS 6:8 Removed trailing space in v~: Baada ya Yoshua kuzungumza na watu, wale makuhani saba wenye kuzibeba zile baragumu saba mbele za \nd Bwana\nd*, wakatangulia mbele, wakipiga baragumu zao na Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* likawafuata.

JOS 6:9 Removed trailing space in v~: Walinzi waliokuwa na silaha wakaenda mbele ya hao makuhani waliopiga hizo baragumu na hao walinzi wa nyuma wakafuata Sanduku. Wakati wote huu baragumu zilikuwa zikipigwa.

JOS 6:10 Removed trailing space in v~: Bali Yoshua alikuwa amewaagiza watu, “Msipige kelele ya vita, msipaze sauti zenu, wala kusema neno lolote mpaka siku ile nitakayowaambia mpige kelele. Ndipo mtapiga kelele!”

JOS 6:11 Removed trailing space in v~: Basi akalipeleka Sanduku la \nd Bwana\nd* kuzungushwa huo mji, likizungushwa mara moja. Kisha watu wakarudi kambini kulala.

JOS 6:12 Removed trailing space in v~: Yoshua akaamka mapema asubuhi iliyofuata nao makuhani wakalichukua Sanduku la \nd Bwana\nd*.

JOS 6:13 Removed trailing space in v~: Wale Makuhani saba wakizibeba zile baragumu saba wakatangulia mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd* wakizipiga. Watu wenye silaha wakatangulia mbele yao na walinzi wa nyuma wakalifuata Sanduku la \nd Bwana\nd*, huku baragumu hizo zikiendelea kulia.

JOS 6:14 Removed trailing space in v~: Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja na kurudi kambini. Wakafanya hivi kwa siku sita.

JOS 6:15 Removed trailing space in v~: Siku ya saba, wakaamka asubuhi na mapema wakauzunguka mji kama walivyokuwa wakifanya, isipokuwa siku ile waliuzunguka mji mara saba.

JOS 6:16 Removed trailing space in v~: Walipouzunguka mara ya saba, makuhani walipopiga baragumu kwa sauti kubwa, Yoshua akawaamuru watu akisema, “Pigeni kelele! Kwa maana \nd Bwana\nd* amewapa mji huu!

JOS 6:17 Removed trailing space in v~: Mji huu pamoja na vyote vilivyomo ndani yake utawekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd*. Ila Rahabu tu, yule kahaba na wote ambao wako pamoja naye nyumbani mwake ndio watakaosalimishwa, kwa sababu aliwaficha wale wapelelezi tuliowatuma.

JOS 6:18 Removed trailing space in v~: Lakini mjiepushe na vitu vilivyowekwa wakfu, msije mkachukua chochote katika hivyo, msije mkajiletea maangamizi katika maskani ya Israeli na kuiletea taabu.

JOS 6:19 Removed trailing space in v~: Fedha yote na dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa \nd Bwana\nd*, lazima viletwe katika hazina yake.”

JOS 6:20 Removed trailing space in v~: Wakati baragumu zilipopigwa, watu walipiga kelele, na katika sauti ya baragumu, na watu kupaza sauti, ukuta ukaanguka; hivyo kila mtu akapanda akiendelea mbele na kuuteka mji.

JOS 6:21 Removed trailing space in v~: Wakauweka mji wakfu kwa \nd Bwana\nd*, na kila chenye uhai ndani yake walikiangamiza kwa upanga, wanaume kwa wanawake, vijana kwa wazee, ngʼombe, kondoo na punda.

JOS 6:22 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia wale watu wawili waliokuwa wameipeleleza nchi, “Nendeni nyumbani kwa yule kahaba, mleteni pamoja na wote waliomo nyumbani mwake, kulingana na kiapo chenu kwake.”

JOS 6:23 Removed trailing space in v~: Basi wale vijana waliofanya upelelezi wakaenda kumleta Rahabu, baba yake na mama yake, na ndugu zake na watu wote waliokuwa pamoja naye. Wakaleta jamaa yake yote na kuwaweka mahali nje ya kambi ya Israeli.

JOS 6:24 Removed trailing space in v~: Kisha wakauchoma mji wote na kila kitu kilichokuwamo ndani yake. Lakini fedha, dhahabu, vyombo vya shaba na vya chuma wakaviweka katika hazina ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JOS 6:25 Removed trailing space in v~: Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu yule kahaba, jamaa yake yote na wote waliokuwa wa kwake, kwa sababu aliwaficha watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko, naye anaishi miongoni mwa Waisraeli hata leo.

JOS 6:26 Removed trailing space in v~: Wakati ule Yoshua akatamka kiapo hiki akasema, “Aliyelaaniwa mbele za \nd Bwana\nd* ni mtu atakayeinuka kuujenga tena mji huu wa Yeriko:

JOS 6:26 Removed trailing space in p~: “Kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza wa kiume

JOS 6:26 Removed trailing space in p~: ataiweka misingi yake;

JOS 6:26 Removed trailing space in p~: kwa gharama ya mtoto wake wa mwisho

JOS 6:26 Removed trailing space in p~: atayaweka malango yake.”

JOS 6:27 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na Yoshua, na sifa zake zikaenea katika nchi yote.

JOS 9:0 Extra space after chapter number

JOS 9:0 Removed trailing space in c: 9

JOS 9:0 Removed trailing space in s1: Udanganyifu Wa Wagibeoni

JOS 9:1 Removed trailing space in v~: Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia juu ya haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, upande wa magharibi mwa vilima na katika pwani yote ya hiyo Bahari Kuu,\f + \fr 9:1 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.\f* hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi),

JOS 9:2 Removed trailing space in v~: wakajiunga pamoja ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.

JOS 9:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, watu wa Gibeoni waliposikia juu ya hayo yote Yoshua aliyowatendea watu wa Yeriko na Ai,

JOS 9:4 Removed trailing space in v~: nao wakaamua kufanya hila: Wakajifanya kama wajumbe wakiwa na punda waliobebeshwa mizigo wakiwa na magunia yaliyochakaa na viriba vya mvinyo vikuukuu vyenye nyufa zilizozibwa.

JOS 9:5 Removed trailing space in v~: Walivaa miguuni mwao viatu vilivyoraruka na kushonwa kisha wakavaa nguo kuukuu. Chakula chao kilikuwa mkate uliokauka na kuingia koga.

JOS 9:6 Removed trailing space in v~: Ndipo wakamwendea Yoshua kambini huko Gilgali wakamwambia yeye pamoja na watu wa Israeli, “Tumetoka katika nchi ya mbali, fanyeni mkataba nasi.”

JOS 9:7 Removed trailing space in v~: Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, “Lakini huenda mnakaa karibu nasi, twawezaje basi kufanya mapatano nanyi?”

JOS 9:8 Removed trailing space in v~: Wakamwambia Yoshua, “Sisi ni watumishi wako.”

JOS 9:8 Removed trailing space in p~: Yoshua akawauliza, “Ninyi ni nani, nanyi mnatoka wapi?”

JOS 9:9 Removed trailing space in v~: Nao wakamjibu: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana kwa ajili ya umaarufu wa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Kwa kuwa tumesikia taarifa zake: hayo yote aliyofanya huko Misri,

JOS 9:10 Removed trailing space in v~: pia yale yote aliyowatendea wafalme wawili wa Waamori mashariki ya Yordani; huyo Sihoni mfalme wa Heshboni na Ogu mfalme wa Bashani, aliyetawala huko Ashtarothi.

JOS 9:11 Removed trailing space in v~: Basi wazee wetu na wale wote wanaoishi katika nchi yetu walituambia, ‘Chukueni chakula cha safari; nendeni mkakutane na watu hao na kuwaambia, “Sisi tu watumishi wenu, fanyeni mapatano nasi.” ’

JOS 9:12 Removed trailing space in v~: Mkate huu wetu ulikuwa wa moto tulipoufunga siku tulipoanza safari kuja kwenu, lakini sasa angalia jinsi ulivyokauka na kuota ukungu.

JOS 9:13 Removed trailing space in v~: Viriba hivi vya mvinyo vilikuwa vipya tulipovijaza, lakini ona jinsi vilivyo na nyufa. Nguo zetu na viatu vimechakaa kwa ajili ya safari ndefu.”

JOS 9:14 Removed trailing space in v~: Basi watu wa Israeli wakavikagua vyakula vyao bila kupata shauri kutoka kwa \nd Bwana\nd*.

JOS 9:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akafanya mapatano ya amani pamoja nao kuwaacha waishi, nao viongozi wa kusanyiko wakathibitisha kwa kiapo.

JOS 9:16 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu baada ya hao kufanya mapatano na Wagibeoni, Waisraeli wakapata habari kuwa hao watu ni jirani zao waliokuwa wanaishi karibu nao.

JOS 9:17 Removed trailing space in v~: Ndipo wana wa Israeli wakasafiri na siku ya tatu wakafika kwenye miji yao ya Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-Yearimu.

JOS 9:18 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli hawakuwashambulia kwa kuwa viongozi wa kusanyiko walikuwa wamewaapia kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

JOS 9:18 Removed trailing space in p~: Kusanyiko lote likanungʼunika dhidi ya hao viongozi,

JOS 9:19 Removed trailing space in v~: lakini viongozi wote wakawajibu, “Tumeshawaapia kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kwa hiyo hatuwezi kuwagusa sasa.

JOS 9:20 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.”

JOS 9:21 Removed trailing space in v~: Wakaendelea kusema, “Waacheni waishi, lakini wawe wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii yote.” Hivyo ahadi waliyoweka viongozi kwao ikawa hivyo.

JOS 9:22 Removed trailing space in v~: Kisha Yoshua akawaita Wagibeoni na kuwaambia, “Kwa nini mmetudanganya kwa kutuambia, ‘Tunaishi mbali nanyi,’ wakati ambapo ninyi mnaishi karibu nasi?

JOS 9:23 Removed trailing space in v~: Sasa mko chini ya laana: Daima mtakuwa wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”

JOS 9:24 Removed trailing space in v~: Wakamjibu Yoshua, “Watumwa wako waliambiwa waziwazi jinsi \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyomwamuru mtumishi wake Mose kuwapa ninyi nchi hii yote na kuwaangamiza wakazi wake wote toka mbele zenu. Kwa hiyo tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, ndiyo maana tukafanya neno hili.

JOS 9:25 Removed trailing space in v~: Sasa tupo mikononi mwako. Tufanyieni lolote mnaloona kuwa jema na haki kwako.”

JOS 9:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi mwa Waisraeli, nao hawakuuawa.

JOS 9:27 Removed trailing space in v~: Siku hiyo Yoshua akawafanya Wagibeoni wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii na kwa ajili ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* mahali pale ambapo \nd Bwana\nd* angepachagua. Hivyo ndivyo walivyo hadi hivi leo.

JOS 12:0 Extra space after chapter number

JOS 12:0 Removed trailing space in c: 12

JOS 12:0 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Wafalme Walioshindwa

JOS 12:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:

JOS 12:2 Removed trailing space in v~: Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.

JOS 12:2 Removed trailing space in p~: Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.

JOS 12:3 Removed trailing space in v~: Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi\f + \fr 12:3 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.\f* hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi\f + \fr 12:3 \ft Yaani Bahari Mfu.\f*), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.

JOS 12:4 Removed trailing space in v~: Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.

JOS 12:5 Removed trailing space in v~: Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.

JOS 12:6 Removed trailing space in v~: Mose, mtumishi wa \nd Bwana,\nd* na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.

JOS 12:7 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:

JOS 12:8 Removed trailing space in v~: nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):

JOS 12:8 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:9 Removed trailing space in v~: mfalme wa Yeriko \tcr2 mmoja

JOS 12:9 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Ai (karibu na Betheli) \tcr2 mmoja

JOS 12:9 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:10 Removed trailing space in v~: mfalme wa Yerusalemu \tcr2 mmoja

JOS 12:10 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Hebroni \tcr2 mmoja

JOS 12:10 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:11 Removed trailing space in v~: mfalme wa Yarmuthi \tcr2 mmoja

JOS 12:11 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Lakishi \tcr2 mmoja

JOS 12:11 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:12 Removed trailing space in v~: mfalme wa Egloni \tcr2 mmoja

JOS 12:12 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Gezeri \tcr2 mmoja

JOS 12:12 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:13 Removed trailing space in v~: mfalme wa Debiri \tcr2 mmoja

JOS 12:13 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Gederi \tcr2 mmoja

JOS 12:13 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:14 Removed trailing space in v~: mfalme wa Horma \tcr2 mmoja

JOS 12:14 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Aradi \tcr2 mmoja

JOS 12:14 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:15 Removed trailing space in v~: mfalme wa Libna \tcr2 mmoja

JOS 12:15 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Adulamu \tcr2 mmoja

JOS 12:15 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:16 Removed trailing space in v~: mfalme wa Makeda \tcr2 mmoja

JOS 12:16 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Betheli \tcr2 mmoja

JOS 12:16 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:17 Removed trailing space in v~: mfalme wa Tapua \tcr2 mmoja

JOS 12:17 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Heferi \tcr2 mmoja

JOS 12:17 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:18 Removed trailing space in v~: mfalme wa Afeki \tcr2 mmoja

JOS 12:18 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Lasharoni \tcr2 mmoja

JOS 12:18 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:19 Removed trailing space in v~: mfalme wa Madoni \tcr2 mmoja

JOS 12:19 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Hazori \tcr2 mmoja

JOS 12:19 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:20 Removed trailing space in v~: mfalme wa Shimron-Meroni \tcr2 mmoja

JOS 12:20 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Akishafu \tcr2 mmoja

JOS 12:20 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:21 Removed trailing space in v~: mfalme wa Taanaki \tcr2 mmoja

JOS 12:21 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Megido \tcr2 mmoja

JOS 12:21 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:22 Removed trailing space in v~: mfalme wa Kedeshi \tcr2 mmoja

JOS 12:22 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Yokneamu katika Karmeli \tcr2 mmoja

JOS 12:22 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:23 Removed trailing space in v~: mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) \f + \fr 12:23 \ft Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori.\f*\tcr2 mmoja

JOS 12:23 Found footnote preceded by a space in \v~: mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) \f + \fr 12:23 \ft Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori.\f*\tcr2 mmoja

JOS 12:23 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Goimu katika Gilgali \tcr2 mmoja

JOS 12:23 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:24 Removed trailing space in v~: mfalme wa Tirsa \tcr2 mmoja

JOS 12:24 Removed trailing space in p~: wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

JOS 13:0 Extra space after chapter number

JOS 13:0 Removed trailing space in c: 13

JOS 13:0 Removed trailing space in s1: Sehemu Za Kanaani Ambazo Hazijatwaliwa

JOS 13:1 Removed trailing space in v~: Yoshua alipokuwa mzee na umri wake ukiwa umesogea sana, \nd Bwana\nd* akamwambia, “Wewe ni mzee sana, na bado kumesalia sehemu kubwa sana za nchi ambazo ni za kutwaliwa.

JOS 13:2 Removed trailing space in v~: “Nchi iliyosalia ni hii: maeneo yote ya Wafilisti na Wageshuri:

JOS 13:3 Removed trailing space in v~: kutoka Mto Shihori ulioko mashariki mwa Misri, kuelekea kaskazini kwenye eneo la Ekroni, ambayo yote ilihesabika kama ya Wakanaani (maeneo yale matano ya watawala wa Kifilisti, ambayo ni Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi na Ekroni: ndiyo nchi ya Waavi);

JOS 13:4 Removed trailing space in v~: kuanzia kusini, nchi yote ya Wakanaani, kuanzia Ara ambayo ni ya Wasidoni, ikienea hadi Afeki, na eneo la Waamori,

JOS 13:5 Removed trailing space in v~: eneo la Wagebali;\f + \fr 13:5 \ft Yaani eneo la Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).\f* Lebanoni yote kuelekea mashariki, kuanzia Baal-Gadi chini ya Mlima Hermoni hadi Lebo-Hamathi.

JOS 13:6 Removed trailing space in v~: “Na kuhusu wakaaji wote katika maeneo ya milima, kuanzia Lebanoni hadi Misrefoth-Maimu, pamoja na eneo lote la Wasidoni, mimi mwenyewe nitawafukuza watoke mbele ya Waisraeli. Hakikisha umegawa nchi hii kwa Israeli kuwa urithi, kama nilivyokuagiza,

JOS 13:7 Removed trailing space in v~: sasa basi, ligawanye eneo hili kwa yale makabila tisa na ile nusu ya kabila la Manase kuwa urithi.”

JOS 13:7 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Mwa Yordani

JOS 13:8 Removed trailing space in v~: Ile nusu nyingine ya Manase, Wareubeni na Wagadi, walishapokea urithi Mose aliokuwa amewapa mashariki mwa Yordani, sawasawa na mtumishi wa \nd Bwana\nd* alivyowagawia.

JOS 13:9 Removed trailing space in v~: Eneo lao lilienea toka Aroeri, iliyoko ukingoni mwa Bonde la Arnoni kuanzia mji ulio katikati ya bonde, likijumlisha nchi ya uwanda wa juu wote wa Medeba mpaka Diboni,

JOS 13:10 Removed trailing space in v~: nayo miji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala Heshboni, hadi mpakani mwa Waamoni.

JOS 13:11 Removed trailing space in v~: Vilevile ilijumlisha Gileadi, eneo la Wageshuri na Wamaaka, mlima wote wa Hermoni na Bashani yote ikienea hadi Saleka:

JOS 13:12 Removed trailing space in v~: yaani ufalme wote wa Ogu katika Bashani, aliyekuwa ametawala katika Ashtarothi na Edrei, na ndiye pekee alisalia kwa Warefai. Mose alikuwa amewashinda na kuteka nchi yao.

JOS 13:13 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli hawakuwafukuza watu wa Geshuri na wa Maaka, kwa hiyo wanaendelea kuishi miongoni mwa Waisraeli mpaka leo hii.

JOS 13:14 Removed trailing space in v~: Lakini kwa kabila la Lawi, Mose hakupeana urithi, kwa kuwa sadaka za kuteketezwa kwa moto zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ndizo zilizokuwa urithi wao, kama alivyowaahidi.

JOS 13:15 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Reubeni ukoo kwa ukoo:

JOS 13:16 Removed trailing space in v~: Eneo la Aroeri lililo ukingoni mwa Bonde la Arnoni, na kuanzia mji ulio katikati ya bonde, pia uwanda wote wa juu kupita Medeba

JOS 13:17 Removed trailing space in v~: hadi Heshboni na miji yake yote kwenye uwanda wa juu, ikijumlishwa miji ya Diboni, Bamoth-Baali, Beth-Baal-Meoni,

JOS 13:18 Removed trailing space in v~: Yahasa, Kedemothi, Mefaathi,

JOS 13:19 Removed trailing space in v~: Kiriathaimu, Sibma, Sereth-Shahari juu ya kilima kilicho katika bonde,

JOS 13:20 Removed trailing space in v~: Beth-Peori, materemko ya Pisga na Beth-Yeshimothi:

JOS 13:21 Removed trailing space in v~: miji yote ya uwanda wa juu na eneo lote la utawala wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni. Mose alikuwa amemshinda Sihoni, pia watawala wakuu wa Wamidiani, ambao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba, waliokuwa wameungana na Sihoni, ambao waliishi katika nchi ile.

JOS 13:22 Removed trailing space in v~: Pamoja na wale waliouawa katika vita, Waisraeli walikuwa wamemuua kwa upanga Balaamu mwana wa Beori aliyekuwa mchawi.

JOS 13:23 Removed trailing space in v~: Mpaka wa Wareubeni ulikuwa ni ukingo wa Mto Yordani. Miji hii na vijiji vyake ndiyo iliyokuwa urithi wa Wareubeni ukoo kwa ukoo.

JOS 13:24 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo:

JOS 13:25 Removed trailing space in v~: Nchi ya Yazeri, miji yote ya Gileadi na nusu ya nchi ya Amoni iliyoenea hadi Aroeri, karibu na Raba;

JOS 13:26 Removed trailing space in v~: na kuanzia Heshboni mpaka Ramath-Mispa na Betonimu, na kutoka Mahanaimu hadi eneo la Debiri;

JOS 13:27 Removed trailing space in v~: na katika bonde, Beth-Haramu, Beth-Nimra, Sukothi na Safoni na sehemu iliyobaki ya eneo la utawala wa Sihoni mfalme wa Heshboni (upande wa mashariki mwa Mto Yordani, eneo inayoishia kwenye Bahari ya Kinerethi\f + \fr 13:27 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.\f*).

JOS 13:28 Removed trailing space in v~: Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi ukoo kwa ukoo.

JOS 13:29 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa hiyo nusu ya kabila la Manase, yaani kwa nusu ya jamaa ya uzao wa Manase, ukoo kwa ukoo:

JOS 13:30 Removed trailing space in v~: Eneo lililoenea kuanzia Mahanaimu, na kujumlisha Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani, makazi yote ya Yairi huko Bashani, miji sitini,

JOS 13:31 Removed trailing space in v~: nusu ya Gileadi, na Ashtarothi na Edrei (miji ya kifalme ya Ogu katika Bashani). Hii ilikuwa kwa ajili ya wazao wa Makiri mwana wa Manase, kwa ajili ya nusu ya wana wa Makiri, ukoo kwa ukoo.

JOS 13:32 Removed trailing space in v~: Huu ndio urithi alioupeana Mose wakati alipokuwa katika tambarare za Moabu, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko.

JOS 13:33 Removed trailing space in v~: Lakini kwa kabila la Walawi, Mose hakuwapa urithi; \nd Bwana\nd* Mungu, Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

JOS 14:0 Extra space after chapter number

JOS 14:0 Removed trailing space in c: 14

JOS 14:0 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi Magharibi Mwa Yordani

JOS 14:1 Removed trailing space in v~: Basi haya ndiyo maeneo Waisraeli waliyopokea kama urithi katika nchi ya Kanaani, ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliwagawia.

JOS 14:2 Removed trailing space in v~: Urithi wao uligawanywa kwa kura kwa yale makabila tisa na nusu, kama \nd Bwana\nd* alivyoamuru Mose.

JOS 14:3 Removed trailing space in v~: Mose alikuwa amewapa yale makabila mawili na nusu urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi miongoni mwa hao wengine,

JOS 14:4 Removed trailing space in v~: kwa kuwa wana wa Yosefu walikuwa makabila mawili; Manase na Efraimu. Walawi hawakupata mgawo wa ardhi, bali walipewa miji tu kwa ajili ya kuishi, pamoja na maeneo ya malisho kwa ajili ya makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe wao.

JOS 14:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wakagawana ile nchi, kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

JOS 14:5 Removed trailing space in s1: Kalebu Anapewa Mji Wa Hebroni

JOS 14:6 Removed trailing space in v~: Kisha watu wa Yuda wakamwendea Yoshua huko Gilgali, naye Kalebu mwana wa Yefune yule Mkenizi, akamwambia, “Unajua jambo ambalo \nd Bwana\nd* alimwambia Mose mtu wa Mungu huko Kadesh-Barnea kukuhusu wewe na mimi.

JOS 14:7 Removed trailing space in v~: Nilikuwa na umri wa miaka arobaini, wakati Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd*, aliponituma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza hiyo nchi. Nami nikamletea taarifa kama kulingana na nilivyosadiki moyoni.

JOS 14:8 Removed trailing space in v~: Lakini ndugu zangu tuliopanda nao waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa hofu. Bali mimi, nilimfuata \nd Bwana\nd* Mungu wangu kwa moyo wote.

JOS 14:9 Removed trailing space in v~: Hivyo katika siku ile, Mose akaniapia, ‘Nchi ambayo umeikanyaga kwa miguu yako itakuwa urithi wako na wa watoto wako milele, kwa sababu umemfuata \nd Bwana\nd* Mungu wangu kwa moyo wote.’

JOS 14:10 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoahidi, ameniweka hai kwa miaka arobaini na mitano tangu wakati alipomwambia Mose jambo hili, wakati Waisraeli wakiwa wanazunguka jangwani. Hivyo mimi hapa leo, nina umri wa miaka themanini na mitano!

JOS 14:11 Removed trailing space in v~: Bado ninazo nguvu kama siku ile Mose aliponituma. Bado ninazo nguvu za kwenda vitani sasa kama vile nilivyokuwa wakati ule.

JOS 14:12 Removed trailing space in v~: Basi nipe nchi hii ya vilima, ambayo \nd Bwana\nd* aliniahidi siku ile. Wewe mwenyewe ulisikia wakati ule kwamba Waanaki walikuwako huko na miji yao ilikuwa mikubwa na yenye maboma, lakini, kwa msaada wa \nd Bwana\nd*, nitawafukuza watoke huko kama vile alivyonena.”

JOS 14:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana wa Yefune, na akampa Hebroni kama urithi wake.

JOS 14:14 Removed trailing space in v~: Hivyo Hebroni imekuwa mali ya Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi tangu wakati ule, kwa sababu alimwandama \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kwa moyo wote.

JOS 14:15 Removed trailing space in v~: (Hebroni uliitwa Kiriath-Arba hapo mwanzo, kutokana na huyo Arba ambaye alikuwa mtu mkuu kupita wote miongoni mwa Waanaki.)

JOS 14:15 Removed trailing space in p~: Kisha nchi ikawa na amani bila vita.

JOS 17:0 Extra space after chapter number

JOS 17:0 Removed trailing space in c: 17

JOS 17:0 Removed trailing space in s1: Mgawo Wa Nusu Nyingine Ya Manase Upande Wa Magharibi

JOS 17:1 Removed trailing space in v~: Huu ndio mgawo wa kabila la Manase kama mzaliwa wa kwanza wa Yosefu, yaani kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase. Makiri alikuwa baba wa Wagileadi, ambao walipokea Gileadi na Bashani kwa sababu Wamakiri walikuwa askari wakuu.

JOS 17:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mgawo huu ulikuwa kwa ajili ya watu wa Manase waliokuwa wamebaki, ambao ni koo za Abiezeri, Heleki, Asirieli, Shekemu, Heferi na Shemida. Hawa ndio wanaume wale wengine wa uzao wa Manase mwana wa Yosefu kwa koo zao.

JOS 17:3 Removed trailing space in v~: Basi Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase hakuwa na wana waume ila mabinti tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.

JOS 17:4 Removed trailing space in v~: Wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi, wakasema: “\nd Bwana\nd* alimwagiza Mose atupatie urithi miongoni mwa ndugu zetu.” Kwa hiyo Yoshua akawapa urithi pamoja na ndugu wa baba yao, kufuatana na agizo la \nd Bwana\nd*.

JOS 17:5 Removed trailing space in v~: Fungu la Manase lilikuwa na sehemu kumi za nchi, licha ya Gileadi na Bashani mashariki mwa Yordani,

JOS 17:6 Removed trailing space in v~: kwa sababu wale binti za kabila la Manase walipokea urithi miongoni mwa wana wa kiume. Nchi ya Gileadi ilikuwa mali ya wazao wa Manase waliobaki.

JOS 17:7 Removed trailing space in v~: Eneo la Manase lilienea kuanzia Asheri hadi Mikmeta mashariki mwa Shekemu. Mpaka ule ulielekea upande wa kusini kutoka pale kujumuisha watu walioishi En-Tapua.

JOS 17:8 Removed trailing space in v~: (Nchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini Tapua yenyewe iliyo mpakani mwa nchi ya Manase ilikuwa ya Waefraimu.)

JOS 17:9 Removed trailing space in v~: Kisha mpaka ule uliendelea kuelekea kusini hadi Bonde la Kana. Kulikuwepo miji ya Efraimu iliyokuwa miongoni mwa miji ya Manase, lakini mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa lile bonde na kuishia kwenye bahari.

JOS 17:10 Removed trailing space in v~: Nchi ya kusini ilikuwa ya Efraimu, na ile iliyokuwa upande wa kaskazini ilikuwa ya Manase. Eneo la Manase lilifika bahari na ikapakana na Asheri upande wa kaskazini, na Isakari upande wa mashariki.

JOS 17:11 Removed trailing space in v~: Katika Isakari na Asheri Manase alikuwa na miji pia: Beth-Shani, Ibleamu na watu wa Dori,\f + \fr 17:11 \ft Ndiyo Nafoth-Dori.\f* Endori, Taanaki na Megido, pamoja na vijiji vyote vinavyohusika na miji hiyo (ya tatu katika orodha ni Nafothi).

JOS 17:12 Removed trailing space in v~: Lakini Wamanase hawakuweza kuimiliki miji hii, kwa kuwa Wakanaani walikazana kuishi katika maeneo hayo.

JOS 17:13 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Waisraeli walivyoendelea kupata nguvu waliwatumikisha Wakanaani na kuwatia katika kazi za kulazimishwa, lakini hawakuwafukuza kabisa.

JOS 17:13 Removed trailing space in s1: Kabila La Yosefu Lakataa

JOS 17:14 Removed trailing space in v~: Watu wa Yosefu wakamwambia Yoshua, “Kwa nini umetupa sisi mgawo mmoja tu na sehemu moja tu kuwa urithi? Sisi tu watu wengi sana, na \nd Bwana\nd* ametubariki kwa wingi.”

JOS 17:15 Removed trailing space in v~: Yoshua akajibu, “Kama ninyi ni wengi sana, na kama nchi ya vilima ya Efraimu ni ndogo sana kwenu, pandeni msituni mkafyeke eneo kwa ajili yenu wenyewe huko kwenye nchi ya Waperizi na Warefai.”

JOS 17:16 Removed trailing space in v~: Watu wa Yosefu wakajibu, “Hiyo nchi ya vilima haitutoshi, nao Wakanaani wote wanaoishi katika tambarare wanayo magari ya vita ya chuma, wote wa Beth-Shani na miji yake, na wale walio katika Bonde la Yezreeli.”

JOS 17:17 Removed trailing space in v~: Lakini Yoshua akanena na nyumba ya Yosefu, yaani Efraimu na Manase: “Ninyi ni wengi sana na wenye nguvu sana. Hamtakuwa na mgawo mmoja tu,

JOS 17:18 Removed trailing space in v~: bali pia nchi hii ya kilima yenye msitu. Ifyekeni, nayo mipaka yake itakuwa yenu umbali mtakaoweza kufika. Ingawa Wakanaani wana magari ya chuma, nao wana nguvu, mwaweza kuwafukuza humo.”

JOS 18:0 Extra space after chapter number

JOS 18:0 Removed trailing space in c: 18

JOS 18:0 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi Iliyobaki

JOS 18:1 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote la Waisraeli likakusanyika huko Shilo na kusimamisha Hema la Kukutania. Nchi ikawa chini ya utawala wao,

JOS 18:2 Removed trailing space in v~: lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.

JOS 18:3 Removed trailing space in v~: Hivyo Yoshua akawaambia Waisraeli, “Je, mtasubiri hata lini ili kuingia kumiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, amewapa?

JOS 18:4 Removed trailing space in v~: Chagueni watu watatu kutoka kwenye kila kabila. Nitawatuma hao watu kukagua hiyo nchi na kuniandikia mapendekezo ya mgawanyo wa urithi wa kila kabila. Nao watanirudia.

JOS 18:5 Removed trailing space in v~: Mtaigawanya hiyo nchi katika sehemu saba. Yuda atabaki katika eneo lake upande wa kusini na nyumba ya Yosefu katika nchi yake upande wa kaskazini.

JOS 18:6 Removed trailing space in v~: Baada ya kuandika maelezo ya hizo sehemu saba za nchi, yaleteni kwangu, nami nitawapigia kura kwa kura mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

JOS 18:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Walawi hawatakuwa na sehemu miongoni mwenu, kwa maana huduma ya ukuhani kwa \nd Bwana\nd* ndio urithi wao. Nao Gadi, Reubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapata urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, ambako Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliwapa.”

JOS 18:8 Removed trailing space in v~: Watu hao walipokuwa wanaondoka kwenda kuandika vizuri kuhusu hiyo nchi, Yoshua akawaagiza, “Nendeni mkakague hiyo nchi na mwandike maelezo kuihusu. Kisha mrudi kwangu, nami nitawapigia kura hapa Shilo mbele za \nd Bwana\nd*.”

JOS 18:9 Removed trailing space in v~: Ndipo hao watu walipoondoka na kupita katika ile nchi. Wakaandika maelezo yake kwenye kitabu, mji kwa mji, katika sehemu saba na kurudisha taarifa kwa Yoshua huko kambini Shilo.

JOS 18:10 Removed trailing space in v~: Basi Yoshua akawapigia kura huko Shilo mbele za \nd Bwana\nd*, na hapo akagawanya ile nchi kwa Waisraeli kufuatana na mgawanyo wa kabila zao.

JOS 18:10 Removed trailing space in s1: Mgawo Kwa Benyamini

JOS 18:11 Removed trailing space in v~: Kura iliangukia kabila la Benyamini, ukoo kwa ukoo. Eneo lao walilogawiwa lilikuwa kati ya kabila la Yuda na la Yosefu.

JOS 18:12 Removed trailing space in v~: Upande wa kaskazini mpaka wao ulianzia pale Yordani, kupitia kaskazini ya mteremko wa Yeriko na kuendelea magharibi kuingia katika nchi ya vilima, ukitokea kwenye jangwa la Beth-Aveni.

JOS 18:13 Removed trailing space in v~: Kutoka hapo ulikatiza kwenye mteremko wa kusini mwa Luzu (yaani Betheli) na kushuka hadi Ataroth-Adari katika kilima kusini mwa Beth-Horoni ya Chini.

JOS 18:14 Removed trailing space in v~: Kutoka kilima kinachotazamana na Beth-Horoni upande wa kusini mpaka ule ukazunguka kusini kufuatia upande wa magharibi, na ukatokezea Kiriath-Baali (yaani Kiriath-Yearimu), mji wa watu wa Yuda. Huu ndio uliokuwa upande wa magharibi.

JOS 18:15 Removed trailing space in v~: Upande wa kusini mpaka ulianzia kwenye viunga vya Kiriath-Yearimu kwa upande wa magharibi, nao ukatokeza kwenye chemchemi ya maji ya Neftoa.

JOS 18:16 Removed trailing space in v~: Mpaka ukateremka hadi shefela inayotazamana na Bonde la Ben-Hinomu, kaskazini mwa Bonde la Refaimu. Ukaendelea chini kwenye Bonde la Hinomu sambamba na mteremko wa kusini mwa mji mkubwa wa Wayebusi na kisha hadi En-Rogeli.

JOS 18:17 Removed trailing space in v~: Kisha ukapinda kuelekea kaskazini, ukaenda hadi En-Shemeshi na kuendelea mpaka Gelilothi, inayotazamana na Njia ya Adumimu, ukateremka hadi kwenye Jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.

JOS 18:18 Removed trailing space in v~: Ukaendelea upande wa mteremko wa kaskazini wa Beth-Araba ukateremka hadi Araba.

JOS 18:19 Removed trailing space in v~: Kisha ukaenda mpaka kwenye mteremko wa kaskazini wa Beth-Hogla na kujitokeza kwenye ghuba ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, kwenye maingilio ya Yordani upande wa kusini. Huo ulikuwa mpaka wa kusini.

JOS 18:20 Removed trailing space in v~: Nayo Yordani ikawa ndio mpaka wa upande wa mashariki.

JOS 18:20 Removed trailing space in p~: Hii ilikuwa ndiyo mipaka iliyoonyesha urithi wa koo za Benyamini pande zote.

JOS 18:21 Removed trailing space in v~: Kabila ya Benyamini, ukoo kwa ukoo, ilikuwa na miji mikubwa ifuatayo:

JOS 18:21 Removed trailing space in p~: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi,

JOS 18:22 Removed trailing space in v~: Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,

JOS 18:23 Removed trailing space in v~: Avimu, Para na Ofra,

JOS 18:24 Removed trailing space in v~: Kefar-Amoni, Ofni, na Geba; miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

JOS 18:25 Removed trailing space in v~: Gibeoni, Rama na Beerothi,

JOS 18:26 Removed trailing space in v~: Mispa, Kefira, Moza,

JOS 18:27 Removed trailing space in v~: Rekemu, Irpeeli, Tarala,

JOS 18:28 Removed trailing space in v~: Zela, Elefu, mji wa Wayebusi (yaani Yerusalemu), Gibea na Kiriathi; miji kumi na minne pamoja na vijiji vyake.

JOS 18:28 Removed trailing space in p~: Huu ndio uliokuwa urithi wa Benyamini kwa ajili ya koo zake.

JOS 19:50 Found unexpected backslash in footnote: 19:50 Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 24:30; Amu 2:9\+xt*.

JOS 20:0 Extra space after chapter number

JOS 20:0 Removed trailing space in c: 20

JOS 20:0 Removed trailing space in s1: Miji Ya Makimbilio

JOS 20:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 35:9-34)

JOS 20:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua,

JOS 20:2 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli, watenge miji mikubwa ya kukimbilia, kama nilivyokuagiza kupitia Mose,

JOS 20:3 Removed trailing space in v~: ili mtu yeyote atakayemuua mtu kwa bahati mbaya na pasipo kukusudia aweze kukimbilia huko na kujiepusha na mlipiza kisasi wa damu.

JOS 20:4 Removed trailing space in v~: “Anapokimbilia mojawapo ya hii miji mikubwa atasimama kwenye maingilio ya lango la mji mkuu na kueleza wazee wa mji kuhusu shauri lake. Kisha watampokea katika mji wao na kumpa mahali pa kuishi nao.

JOS 20:5 Removed trailing space in v~: Kama mlipiza kisasi wa damu akimfuatilia, wasimkabidhi yule mshtakiwa, kwa sababu alimuua jirani yake bila kukusudia, na bila kuwa na nia ya kudhuru.

JOS 20:6 Removed trailing space in v~: Huyu aliyeua atakaa kwenye mji mkubwa huo mpaka awe amesimama kukabili mashtaka yake mbele ya kusanyiko na mpaka kuhani mkuu anayehudumu kwa wakati huo atakapokufa. Ndipo atakapoweza kurudi nyumbani kwake katika mji ambao aliukimbia.”

JOS 20:7 Removed trailing space in v~: Basi wakatenga Kedeshi katika Galilaya kwenye nchi ya vilima ya Naftali, Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na Kiriath-Arba (yaani Hebroni) kwenye nchi ya vilima ya Yuda.

JOS 20:8 Removed trailing space in v~: Katika upande wa mashariki mwa Yordani ya Yeriko wakatenga Bezeri katika jangwa katika uwanda wa juu katika kabila la Reubeni, Ramothi katika Gileadi katika kabila la Gadi, na Golani huko Bashani katika kabila la Manase.

JOS 20:9 Removed trailing space in v~: Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote aishiye miongoni mwao aliyemuua mtu kwa bahati mbaya, angeweza kukimbilia katika miji mikubwa hiyo iliyotengwa na asiuawe na mlipiza kisasi wa damu kabla hajasimama kukabili mashtaka mbele ya kusanyiko.

JOS 21:0 Extra space after chapter number

JOS 21:0 Removed trailing space in c: 21

JOS 21:0 Removed trailing space in s1: Miji Kwa Walawi

JOS 21:1 Removed trailing space in v~: Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli

JOS 21:2 Removed trailing space in v~: huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “\nd Bwana\nd* aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.”

JOS 21:3 Removed trailing space in v~: Hivyo kama vile \nd Bwana\nd* alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.

JOS 21:4 Removed trailing space in v~: Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini.

JOS 21:5 Removed trailing space in v~: Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.

JOS 21:6 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

JOS 21:7 Removed trailing space in v~: Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

JOS 21:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.

JOS 21:9 Removed trailing space in v~: Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina

JOS 21:10 Removed trailing space in v~: (miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

JOS 21:11 Removed trailing space in v~: Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.)

JOS 21:12 Removed trailing space in v~: Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.

JOS 21:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna,

JOS 21:14 Removed trailing space in v~: Yatiri, Eshtemoa,

JOS 21:15 Removed trailing space in v~: Holoni, Debiri,

JOS 21:16 Removed trailing space in v~: Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.

JOS 21:17 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba,

JOS 21:18 Removed trailing space in v~: Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

JOS 21:19 Removed trailing space in v~: Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

JOS 21:20 Removed trailing space in v~: Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

JOS 21:21 Removed trailing space in v~: Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri,

JOS 21:22 Removed trailing space in v~: Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

JOS 21:23 Removed trailing space in v~: Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni,

JOS 21:24 Removed trailing space in v~: Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

JOS 21:25 Removed trailing space in v~: Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.

JOS 21:26 Removed trailing space in v~: Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.

JOS 21:27 Removed trailing space in v~: Koo za Walawi za Wagershoni walipewa:

JOS 21:27 Removed trailing space in p~: kutoka nusu ya kabila la Manase,

JOS 21:27 Removed trailing space in p~: Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

JOS 21:28 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Isakari walipewa,

JOS 21:28 Removed trailing space in p~: Kishioni, Daberathi,

JOS 21:29 Removed trailing space in v~: Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

JOS 21:30 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Asheri walipewa,

JOS 21:30 Removed trailing space in p~: Mishali, Abdoni,

JOS 21:31 Removed trailing space in v~: Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

JOS 21:32 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Naftali walipewa,

JOS 21:32 Removed trailing space in p~: Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.

JOS 21:33 Removed trailing space in v~: Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

JOS 21:34 Removed trailing space in v~: Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa:

JOS 21:34 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Zabuloni,

JOS 21:34 Removed trailing space in p~: Yokneamu, Karta,

JOS 21:35 Removed trailing space in v~: Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

JOS 21:36 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Reubeni walipewa

JOS 21:36 Removed trailing space in p~: Bezeri, Yahasa,

JOS 21:37 Removed trailing space in v~: Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

JOS 21:38 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Gadi walipewa,

JOS 21:38 Removed trailing space in p~: Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu,

JOS 21:39 Removed trailing space in v~: Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

JOS 21:40 Removed trailing space in v~: Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.

JOS 21:41 Removed trailing space in v~: Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho.

JOS 21:42 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.

JOS 21:43 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo.

JOS 21:44 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, \nd Bwana\nd* akawatia adui zao wote mikononi mwao.

JOS 21:45 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya \nd Bwana\nd* kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.

JOS 22:0 Extra space after chapter number

JOS 22:0 Removed trailing space in c: 22

JOS 22:0 Removed trailing space in s1: Makabila Ya Mashariki Yarudi Nyumbani

JOS 22:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akawaita Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase,

JOS 22:2 Removed trailing space in v~: naye akawaambia, “Mmeshafanya yale yote Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliyowaamuru, nanyi mmenitii kwa kila jambo nililowaamuru.

JOS 22:3 Removed trailing space in v~: Kwa muda mrefu sasa, hadi siku hii ya leo, hamkuwaacha ndugu zenu, bali ninyi mmetimiza ile kazi \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyowapa.

JOS 22:4 Removed trailing space in v~: Sasa kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa ndugu zenu pumziko kama alivyoahidi, rudini nyumbani mwenu katika nchi ile ambayo Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliwapa ngʼambo ya Yordani.

JOS 22:5 Removed trailing space in v~: Lakini mwe waangalifu sana kushika amri na sheria zile Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* alizowapa: yaani kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuenenda katika njia zake zote, kutii amri zake, kushikamana naye kwa uthabiti na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho yenu yote.”

JOS 22:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akawabariki na kuwaaga waende zao, nao wakaenda nyumbani mwao.

JOS 22:7 Removed trailing space in v~: (Kwa nusu ya kabila la Manase Mose alikuwa amewapa eneo katika Bashani na ile nusu nyingine ya hilo kabila Yoshua aliwapa eneo upande wa magharibi ya Yordani pamoja na ndugu zao). Yoshua alipowaaga waende zao nyumbani, aliwabariki,

JOS 22:8 Removed trailing space in v~: akisema, “Rudini nyumbani mwenu na utajiri wenu mwingi, yaani makundi makubwa ya mifugo, mkiwa na fedha, dhahabu, shaba na chuma, pia wingi wa nguo, nanyi mkagawane na ndugu zenu hizo nyara zilizotoka kwa adui zenu.”

JOS 22:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Wareubeni, Wagadi na hiyo nusu ya kabila la Manase wakawaacha Waisraeli huko Shilo katika nchi ya Kanaani ili kurudi Gileadi, nchi yao wenyewe waliyoipata sawasawa na agizo la \nd Bwana\nd* kupitia Mose.

JOS 22:10 Removed trailing space in v~: Walipofika Gelilothi karibu na Yordani, katika nchi ya Kanaani, Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakajenga madhabahu ya fahari kubwa huko kando ya Yordani.

JOS 22:11 Removed trailing space in v~: Waisraeli wengine waliposikia kwamba Wareubeni, Wagadi na ile nusu ya kabila la Manase walikuwa wamejenga madhabahu kwenye mpaka wa Kanaani huko Gelilothi karibu na Yordani kwenye upande wa Israeli,

JOS 22:12 Removed trailing space in v~: kusanyiko lote la Israeli wakakusanyika huko Shilo ili wakapigane vita dhidi yao.

JOS 22:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wengine wakamtuma Finehasi mwana wa kuhani Eleazari katika nchi ya Gileadi, kwa Wareubeni, Wagadi na hiyo nusu ya kabila la Manase.

JOS 22:14 Removed trailing space in v~: Wakatuma pamoja naye watu kumi ambao ni viongozi, mmoja kwa kila kabila la Israeli, kila mmoja aliyekuwa kiongozi katika mgawanyiko wa jamaa miongoni mwa koo za Israeli.

JOS 22:15 Removed trailing space in v~: Walipofika Gileadi, kwa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, wakawaambia:

JOS 22:16 Removed trailing space in v~: “Kusanyiko lote la \nd Bwana\nd* lasema: ‘Je, mmewezaje kuacha kumwamini Mungu wa Israeli jinsi hii? Mmewezaje kumwacha \nd Bwana\nd* na kujijengea madhabahu dhidi yake na kumwasi?

JOS 22:17 Removed trailing space in v~: Je, dhambi ya Peori haikutosha? Hata ingawa kulikuja tauni juu ya kusanyiko la \nd Bwana\nd*, mpaka leo hii hatujatakasika kutokana na dhambi hiyo!

JOS 22:18 Removed trailing space in v~: Je, sasa ndiyo mnamwacha \nd Bwana\nd*?

JOS 22:18 Removed trailing space in p~: “ ‘Kama mkimwasi \nd Bwana\nd* leo, kesho atalikasirikia kusanyiko lote la Israeli.

JOS 22:19 Removed trailing space in v~: Kama nchi mnayomiliki imenajisika, vukeni mje katika nchi ya \nd Bwana\nd*, mahali Maskani ya \nd Bwana\nd* ilipo, nanyi mkajitwalie sehemu miongoni mwetu, lakini msije mkaasi dhidi ya \nd Bwana\nd* wala dhidi yetu sisi kwa kujijengea madhabahu, zaidi ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

JOS 22:20 Removed trailing space in v~: Wakati Akani mwana wa Zera alipokosa uaminifu kwa vitu vilivyowekwa wakfu, je, ghadhabu haikulipata kusanyiko lote la Israeli? Hakuwa yeye peke yake aliyekufa kwa ajili ya dhambi yake.’ ”

JOS 22:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walipowajibu viongozi wa koo za Israeli, wakisema:

JOS 22:22 Removed trailing space in v~: “Yeye Mwenye Nguvu, Mungu, \nd Bwana\nd*! Yeye Mwenye Nguvu, Mungu, \nd Bwana\nd*! Yeye anajua! Israeli na wajue! Kama huu umekuwa ni uasi au kukosa utii kwa \nd Bwana\nd*, msituache hai siku hii ya leo.

JOS 22:23 Removed trailing space in v~: Kama tumejijengea madhabahu yetu wenyewe ili kumwacha \nd Bwana\nd* na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka, au kutoa sadaka za amani juu yake, \nd Bwana\nd* mwenyewe na atupatilize leo.

JOS 22:24 Removed trailing space in v~: “Sivyo! Tulifanya hivyo kwa hofu kwamba siku zijazo wazao wenu wanaweza wakawaambia wazao wetu, ‘Mna uhusiano gani na \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli?

JOS 22:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameifanya Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi, ninyi Wareubeni na Wagadi! Hamna fungu kwa \nd Bwana\nd*.’ Kwa hiyo wazao wenu wanaweza wakawasababisha wazao wetu wakaacha kumcha \nd Bwana\nd*.

JOS 22:26 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo sababu tulisema, ‘Tujiweke tayari na tujenge madhabahu, lakini si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa au dhabihu.’

JOS 22:27 Removed trailing space in v~: Badala yake, itakuwa ni ushahidi kati yetu na ninyi na vizazi vijavyo, kwamba tutamwabudu \nd Bwana\nd* katika mahali patakatifu pake pamoja na sadaka zetu za kuteketezwa, dhabihu na sadaka za amani. Ndipo katika siku zijazo, wazao wenu hawataweza kuwaambia wazao wetu, ‘Ninyi hamna fungu katika \nd Bwana\nd*.’

JOS 22:28 Removed trailing space in v~: “Nasi tulisema, ‘Ikiwa wakati wowote watatuambia hilo, au kuwaambia uzao wetu, tutawajibu hivi: Angalieni nakala hii ya madhabahu ya \nd Bwana\nd*, ambayo baba zetu waliijenga, si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu, bali kama ushahidi kati yetu na ninyi.’

JOS 22:29 Removed trailing space in v~: “Hili jambo la kumwasi \nd Bwana\nd* na kumwacha siku hii ya leo kwa kujenga madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na dhabihu, zaidi ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu iliyo mbele ya maskani yake na liwe mbali nasi.”

JOS 22:30 Removed trailing space in v~: Wakati kuhani Finehasi na viongozi wa kusanyiko na wakuu wa koo za Israeli, waliposikia hayo waliyosema Wareubeni, Wagadi na Manase, wakaridhika.

JOS 22:31 Removed trailing space in v~: Naye Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, akawaambia Wareubeni, Wagadi na Manase, “Leo tunajua kwamba \nd Bwana\nd* yuko pamoja nasi, kwa sababu hamkukosa uaminifu kwa \nd Bwana\nd* katika jambo hili. Sasa mmewaokoa Waisraeli na mkono wa \nd Bwana\nd*.”

JOS 22:32 Removed trailing space in v~: Ndipo Finehasi, mwana wa kuhani Eleazari na viongozi wakarudi Kanaani kutoka kwenye kukutana kwao na Wareubeni na Wagadi huko Gileadi nao wakatoa taarifa kwa Waisraeli.

JOS 22:33 Removed trailing space in v~: Walifurahi kusikia taarifa hiyo, na wakamhimidi Mungu. Wala hawakuzungumza tena habari za kupigana vita dhidi yao ili kuharibu nchi ambayo Wareubeni na Wagadi waliishi.

JOS 22:34 Removed trailing space in v~: Nao Wareubeni na Wagadi wakayaita yale madhabahu Edi, yaani Shahidi: kwa kuwa itakuwa shahidi kati yetu na ninyi kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu.

JOS 23:0 Extra space after chapter number

JOS 23:0 Removed trailing space in c: 23

JOS 23:0 Removed trailing space in s1: Yoshua Anawaaga Viongozi

JOS 23:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda mrefu kupita, naye \nd Bwana\nd* akawa amewapa Israeli pumziko mbele ya adui zao wote waliowazunguka, Yoshua, wakati huo akiwa mzee na umri ukiwa umeendelea sana,

JOS 23:2 Removed trailing space in v~: akawaita Israeli wote, wazee wao, viongozi, waamuzi na maafisa Yoshua akawaambia: “Mimi ni mzee na umri wangu umeendelea sana.

JOS 23:3 Removed trailing space in v~: Ninyi wenyewe mmeona kila kitu \nd Bwana\nd* Mungu wenu, alichowatendea mataifa haya yote kwa ajili yenu. Ilikuwa ni \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyewapigania.

JOS 23:4 Removed trailing space in v~: Kumbukeni jinsi nilivyowagawia kama urithi kwa makabila yenu yote nchi ya mataifa yaliyobaki, yaani mataifa niliyowashinda, kati ya Mto Yordani na Bahari kuu upande wa magharibi.

JOS 23:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu mwenyewe atawaondoa watoke mbele yenu. Atawafukuza mbele yenu, nanyi mtamiliki nchi yao, kama vile \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowaahidi.

JOS 23:6 Removed trailing space in v~: “Kuweni hodari sana, kuweni waangalifu kutii yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria ya Mose, pasipo kugeuka upande wa kuume au kushoto.

JOS 23:7 Removed trailing space in v~: Msishirikiane na mataifa yaliyobakia katikati yenu, wala msiombe kwa majina ya miungu yao au kuapa kwayo. Msiitumikie wala kuisujudia.

JOS 23:8 Removed trailing space in v~: Bali mtashikamana kwa uthabiti na \nd Bwana\nd*, Mungu wenu, kama vile ambavyo mmefanya mpaka sasa.

JOS 23:9 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* amewafukuza mbele yenu mataifa makubwa na yenye nguvu, mpaka siku ya leo hakuna yeyote aliyeweza kusimama mbele yenu.

JOS 23:10 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja miongoni mwenu anafukuza watu elfu, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapigania, kama alivyoahidi.

JOS 23:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kuweni waangalifu sana kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

JOS 23:12 Removed trailing space in v~: “Lakini ikiwa mtageuka na kushikamana na mabaki ya mataifa haya yaliyosalia katikati yenu na kama mtaoana na kushirikiana nao,

JOS 23:13 Removed trailing space in v~: basi mwe na hakika kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu hatawafukuza tena mataifa hayo mbele yenu. Badala yake, watakuwa tanzi na mitego kwenu, mijeledi migongoni mwenu, na miiba machoni mwenu, mpaka mwangamie kutoka nchi hii nzuri, ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa.

JOS 23:14 Removed trailing space in v~: “Sasa mimi ninakaribia kwenda katika njia ya watu wote wa dunia. Mnajua kwa mioyo yenu na roho zenu kwamba hakuna ahadi zozote njema \nd Bwana\nd* Mungu wenu alizowaahidia, ambazo hazikutimia. Kila ahadi imetimizwa, hakuna hata moja ambayo haikutimia.

JOS 23:15 Removed trailing space in v~: Lakini kama vile kila ahadi njema ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu imekuwa kweli, vivyo hivyo \nd Bwana\nd* ataleta maovu yote kama alivyo onya, mpaka awe amewaangamiza kutoka nchi hii nzuri aliyowapa.

JOS 23:16 Removed trailing space in v~: Kama mkilivunja agano la \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambalo aliwaamuru ninyi, mkaenda na kuitumikia miungu mingine na kuisujudia, hasira ya \nd Bwana\nd* itawaka dhidi yenu, nanyi mtaangamia kutoka nchi nzuri aliyowapa ninyi.”

JOS 24:0 Extra space after chapter number

JOS 24:0 Removed trailing space in c: 24

JOS 24:0 Removed trailing space in s1: Agano Lafanywa Upya Huko Shekemu

JOS 24:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akaita pamoja makabila yote ya Israeli huko Shekemu. Akawaita wazee, viongozi, waamuzi na maafisa wa Israeli, nao wakaja mbele za Mungu.

JOS 24:2 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia watu wote, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Hapo zamani baba zenu, pamoja na Tera baba yake Abrahamu na Nahori, waliishi ngʼambo ya Mto nao waliiabudu miungu mingine.

JOS 24:3 Removed trailing space in v~: Lakini nilimwondoa baba yenu Abrahamu kutoka nchi hiyo ngʼambo ya Mto, nami nikamwongoza katika nchi yote ya Kanaani, nikampa wazao wengi. Nikampa Isaki,

JOS 24:4 Removed trailing space in v~: naye Isaki nikampa Yakobo na Esau. Esau nikampa nchi ya vilima ya Seiri, lakini Yakobo pamoja na wanawe wakashuka Misri.

JOS 24:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Kisha nikawatuma Mose na Aroni, nami nikawapiga Wamisri kwa kile nilichokitenda huko, tena nikawatoa ninyi huko.

JOS 24:6 Removed trailing space in v~: Nilipowatoa baba zenu Misri, mlifika kwenye bahari, nao Wamisri wakawafuatia baba zenu kwa magari na wapanda farasi mpaka kwenye Bahari ya Shamu.

JOS 24:7 Removed trailing space in v~: Lakini wakamlilia \nd Bwana\nd* wakitaka msaada, naye akaweka giza kati yenu na Wamisri, akaileta bahari juu yao ikawafunika. Ninyi mliona kwa macho yenu wenyewe kile nilichowatendea Wamisri. Kisha mliishi jangwani kwa muda mrefu.

JOS 24:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Nikawaleta katika nchi ya Waamori ambao waliishi mashariki mwa Yordani. Wakapigana nanyi, lakini nikawatia mikononi mwenu. Nikawaangamiza mbele yenu nanyi mkaimiliki nchi yao.

JOS 24:9 Removed trailing space in v~: Wakati Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alipojiandaa kupigana dhidi ya Israeli, alimwita Balaamu mwana wa Beori apate kuwalaani.

JOS 24:10 Removed trailing space in v~: Lakini sikumkubali Balaamu, kwa hiyo aliwabariki tena na tena, nami niliwaokoa toka mkononi mwake.

JOS 24:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Ndipo mlipovuka Yordani mkafika Yeriko. Raiya wa Yeriko wakapigana nanyi, kama walivyofanya Waamori, Waperizi, Wakanaani, Wahiti, Wagirgashi, Wahivi na Wayebusi, lakini niliwatia mikononi mwenu.

JOS 24:12 Removed trailing space in v~: Nikatuma manyigu mbele yenu, ambao pia waliwafukuza mbele yenu, hao wafalme wawili wa Waamori. Siyo upanga au upinde wenu wenyewe vilivyowapatia ushindi.

JOS 24:13 Removed trailing space in v~: Hivyo nikawapa ninyi nchi ambayo hamkuitaabikia na miji ambayo hamkuijenga na mnaishi ndani yake na kula toka kwa mashamba ya mizabibu na mizeituni msiyoipanda.’

JOS 24:14 Removed trailing space in v~: “Sasa basi mcheni \nd Bwana\nd* na kumtumikia kwa uaminifu wote. Itupeni mbali miungu ambayo baba zenu waliiabudu huko ngʼambo ya Mto Frati na huko Misri, nanyi mtumikieni \nd Bwana\nd*.

JOS 24:15 Removed trailing space in v~: Lakini msipoona vyema kumtumikia \nd Bwana\nd*, chagueni hivi leo mtakayemtumikia, kama ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ngʼambo Frati, au miungu ya Waamori, ambao mnakaa katika nchi yao. Lakini mimi na nyumba yangu, tutamtumikia \nd Bwana\nd*.”

JOS 24:16 Removed trailing space in v~: Ndipo hao watu wakajibu, “Hili jambo liwe mbali nasi la kumsahau \nd Bwana\nd* na kuitumikia miungu mingine!

JOS 24:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu mwenyewe ndiye alitutoa sisi na baba zetu akatupandisha kutoka Misri, kutoka nchi ile ya utumwa, na kutenda zile ishara kubwa mbele ya macho yetu. Ndiye aliyetulinda katika safari yetu yote na kutokana na mataifa yote ambayo tulipita katikati yao.

JOS 24:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akayafukuza mbele yetu mataifa yote pamoja na Waamori, walioishi katika nchi hii. Hivyo sisi nasi tutamtumikia \nd Bwana\nd* kwa kuwa yeye ndiye Mungu wetu.”

JOS 24:19 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia \nd Bwana\nd*. Yeye ni Mungu Mtakatifu, ni Mungu mwenye wivu. Hatasamehe uasi wenu na dhambi zenu.

JOS 24:20 Removed trailing space in v~: Ikiwa mkimwacha \nd Bwana\nd* na kuitumikia miungu migeni, atageuka na kuwaleteeni maafa na kuwaangamiza, baada ya kuwa mwema kwenu.”

JOS 24:21 Removed trailing space in v~: Lakini watu wakamwambia Yoshua, “Sivyo! Sisi tutamtumikia \nd Bwana\nd*.”

JOS 24:22 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akawaambia, “Ninyi mmekuwa mashahidi juu yenu wenyewe kuwa mmechagua kumtumikia \nd Bwana\nd*.”

JOS 24:22 Removed trailing space in p~: Nao wakajibu, “Ndiyo, tu mashahidi.”

JOS 24:23 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia, “Sasa basi, itupeni mbali hiyo miungu migeni iliyo katikati yenu, nanyi mtoleeni \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, mioyo yenu.”

JOS 24:24 Removed trailing space in v~: Nao watu wakamwambia Yoshua, “Tutamtumikia \nd Bwana\nd* Mungu wetu na kumtii yeye.”

JOS 24:25 Removed trailing space in v~: Siku ile Yoshua akafanya agano kwa ajili ya watu na hapo Shekemu ndipo alipowaandikia amri na sheria.

JOS 24:26 Removed trailing space in v~: Naye Yoshua akayaandika mambo haya katika Kitabu cha Sheria ya Mungu. Ndipo akalitwaa jiwe kubwa, akalisimamisha huko chini ya mwaloni, karibu na mahali patakatifu pa \nd Bwana\nd*.

JOS 24:27 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia watu wote, “Angalieni! Jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu. Limesikia maneno yote \nd Bwana\nd* aliyotuambia. Litakuwa shahidi juu yenu kama mtakuwa waongo kwa Mungu wenu.”

JOS 24:27 Removed trailing space in s1: Kuzikwa Katika Nchi Ya Ahadi

JOS 24:28 Removed trailing space in v~: Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.

JOS 24:29 Removed trailing space in v~: Baada ya mambo haya, Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa \nd Bwana\nd* akafa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.

JOS 24:30 Removed trailing space in v~: Nao wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Sera\f + \fr 24:30 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 19:50; Amu 2:9\+xt*.\f* katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima wa Gaashi.

JOS 24:30 Found unexpected backslash in footnote: 24:30 Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 19:50; Amu 2:9\+xt*.

JOS 24:31 Removed trailing space in v~: Israeli wakamtumikia \nd Bwana\nd* siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, ambao waliona kila kitu \nd Bwana\nd* alichowatendea Israeli.

JOS 24:32 Removed trailing space in v~: Nayo ile mifupa ya Yosefu, ambayo Waisraeli waliipandisha kutoka huko Misri, wakaizika huko Shekemu kwenye eneo, ambalo Yakobo alilinunua kwa wana wa Hamori baba yake Shekemu, kwa vipande mia vya fedha. Eneo hili likawa ni urithi wa uzao wa Yosefu.

JOS 24:33 Removed trailing space in v~: Naye Eleazari mwana wa Aroni akafariki akazikwa huko Gibea, mlima aliokuwa amepewa mtoto wake Finehasi, kwenye nchi ya vilima ya Efraimu.

USFMs

Newline Marker Errors

JOS 12:9 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:11 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:12 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:13 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:14 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:15 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:16 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:17 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:18 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:19 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:20 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:21 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:22 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:23 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:24 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 26    c: 24    h: 1    id: 1    li4: 14    m: 39    mi: 7    mt1: 1    p: 195    pi1: 38    q1: 5    q2: 5    r: 2    rem: 1    s1: 41    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 1092    tr: 31    v: 658  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    r: 2    q1: 5    q2: 5    mi: 7    li4: 14    c: 24    b: 26    tr: 31    pi1: 38    m: 39    s1: 41    p: 195    v: 658    Total: 1092  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 2    nd*: 2    tc: 16    tc1: 15    tcr2: 15    Total: 50  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 2    nd*: 2    tc1: 15    tcr2: 15    tc: 16    Total: 50  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 24    Paragraphs: 195    Section Cross-References: 2    Verses: 658  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 2    Chapters: 24    Paragraphs: 195    Verses: 658  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 2    a: 264    A: 15    B: 5    b: 20    c: 5    d: 18    D: 2    e: 59    E: 2    f: 26    g: 30    G: 5    h: 33    H: 8    i: 112    I: 3    J: 3    j: 22    K: 24    k: 28    l: 43    L: 8    m: 87    M: 33    n: 49    N: 12    o: 70    O: 1    p: 6    R: 1    r: 28    s: 28    S: 3    Space: 175    t: 12    T: 1    Total: 1435    u: 43    U: 5    v: 2    V: 1    w: 60    W: 25    Y: 28    y: 13    z: 13    Z: 2  

Letter Counts (sorted by count)

 R: 1    T: 1    O: 1    V: 1    v: 2    D: 2    E: 2    Z: 2    -: 2    J: 3    I: 3    S: 3    B: 5    U: 5    G: 5    c: 5    p: 6    H: 8    L: 8    N: 12    t: 12    z: 13    y: 13    A: 15    d: 18    b: 20    j: 22    K: 24    W: 25    f: 26    Y: 28    s: 28    k: 28    r: 28    g: 30    h: 33    M: 33    u: 43    l: 43    n: 49    e: 59    w: 60    o: 70    m: 87    i: 112    Space: 175    a: 264    Total: 1435  

Punctuation Counts

 (: 3    ): 3    :: 2    Total: 8  

Punctuation Counts (sorted by count)

 :: 2    (: 3    ): 3    Total: 8  

Speech Marks

Possible Matching Errors

JOS 6:26 Unclosed “ (opened at 6:26:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOS 6:27 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:26:v)' before v marker or missing reopening quotes at v27

JOS 7:14 Unclosed ‘ (opened at 7:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 7:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 7:10:v,7:13:v)', '‘ (opened at 7:13:v)']

JOS 7:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:10:v,7:13:v)', '‘ (opened at 7:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v16

JOS 22:18 Unclosed ‘ (opened at 22:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 22:20 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 22:16:v)', '‘ (opened at 22:16:v)']

JOS 22:21 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 22:16:v)', '‘ (opened at 22:16:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v21

JOS 24:5 Unclosed ‘ (opened at 24:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 24:8 Unclosed ‘ (opened at 24:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 24:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)']

JOS 24:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)']

JOS 24:11 Unclosed ‘ (opened at 24:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 24:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)', '‘ (opened at 24:11:v)']

JOS 24:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)']

JOS 24:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)']

JOS 24:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v16

Words

Possible Word Errors

JOS 19:50 Have unexpected character starting word '+xt'

JOS 24:30 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

JOS -1:6 Main Title 1:Yoshua

Section Heading Lines

JOS 1:0\nd Bwana\nd* Anamwagiza Yoshua
JOS 2:0Rahabu Na Wapelelezi
JOS 3:0Kuvuka Yordani
JOS 4:0Ukumbusho Wa Kuvuka Mto Yordani
JOS 5:1Tohara Huko Gilgali
JOS 5:12Jemadari Wa Jeshi La \nd Bwana\nd*
JOS 6:0Yeriko Yatekwa Na Kuangamizwa
JOS 7:0Dhambi Ya Akani
JOS 8:0Mji Wa Ai Waangamizwa
JOS 8:29Agano Linafanywa Upya Katika Mlima Ebali
JOS 9:0Udanganyifu Wa Wagibeoni
JOS 10:0Jua Linasimama
JOS 10:15Wafalme Watano Wa Waamori Wauawa
JOS 10:28Israeli Yaangamiza Miji Ya Kusini
JOS 11:0Wafalme Wa Kaskazini Washindwa
JOS 12:0Orodha Ya Wafalme Walioshindwa
JOS 13:0Sehemu Za Kanaani Ambazo Hazijatwaliwa
JOS 13:7Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Mwa Yordani
JOS 14:0Mgawanyo Wa Nchi Magharibi Mwa Yordani
JOS 14:5Kalebu Anapewa Mji Wa Hebroni
JOS 15:0Mgawo Kwa Yuda
JOS 15:12Nchi Aliyopewa Kalebu
JOS 15:19Miji Ya Yuda
JOS 16:0Mgawo Kwa Efraimu Na Manase
JOS 17:0Mgawo Wa Nusu Nyingine Ya Manase Upande Wa Magharibi
JOS 17:13Kabila La Yosefu Lakataa
JOS 18:0Mgawanyo Wa Nchi Iliyobaki
JOS 18:10Mgawo Kwa Benyamini
JOS 19:0Mgawo Kwa Simeoni
JOS 19:9Mgawo Kwa Zabuloni
JOS 19:16Mgawo Kwa Isakari
JOS 19:23Mgawo Kwa Asheri
JOS 19:31Mgawo Kwa Naftali
JOS 19:39Mgawo Kwa Dani
JOS 19:48Mgawo Kwa Yoshua
JOS 20:0Miji Ya Makimbilio
JOS 21:0Miji Kwa Walawi
JOS 22:0Makabila Ya Mashariki Yarudi Nyumbani
JOS 23:0Yoshua Anawaaga Viongozi
JOS 24:0Agano Lafanywa Upya Huko Shekemu
JOS 24:27Kuzikwa Katika Nchi Ya Ahadi

Section Cross-reference Lines

JOS 15:12(Waamuzi 1:11-15)
JOS 20:0(Hesabu 35:9-34)

Notes

Footnote Lines

JOS 1:4+ \fr 1:4 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.
JOS 3:4+ \fr 3:4 \ft Dhiraa 2,000 ni sawa na mita 900.
JOS 5:3+ \fr 5:3 \ft Gibeath-Haaralothi maana yake ni Kilima cha Magovi.
JOS 7:21+ \fr 7:21 \ft Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3.
JOS 7:21+ \fr 7:21 \ft Shekeli 50 ni sawa na gramu 600.
JOS 7:26+ \fr 7:26 \ft Akori yamaanisha taabu\ft*.
JOS 8:31+ \fr 8:31 \ft Sadaka za ushirika\ft*.
JOS 9:1+ \fr 9:1 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.
JOS 12:3+ \fr 12:3 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.
JOS 12:3+ \fr 12:3 \ft Yaani Bahari Mfu.
JOS 12:23+ \fr 12:23 \ft Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori.
JOS 13:5+ \fr 13:5 \ft Yaani eneo la Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (k…uti).
JOS 13:27+ \fr 13:27 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.
JOS 17:11+ \fr 17:11 \ft Ndiyo Nafoth-Dori.
JOS 19:50+ \fr 19:50 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 24:3…+xt*.
JOS 24:30+ \fr 24:30 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 19:5…+xt*.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 16    Footnotes: 16  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 16    Footnote leader '+': 16