Freely-Given.org Bible KI1 Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in KI1 -1:0

Showing 1 out of 1013 priority errors

Fix Text Errors

KI1 -1:0 Removed trailing space in id: 1KI - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

KI1 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

KI1 -1:2 Removed trailing space in h: 1 Wafalme

KI1 -1:3 Removed trailing space in toc1: 1 Wafalme

KI1 -1:4 Removed trailing space in toc2: 1 Wafalme

KI1 -1:5 Removed trailing space in toc3: 1Fal

KI1 -1:6 Removed trailing space in mt1: 1 Wafalme

KI1 1:0 Extra space after chapter number

KI1 1:0 Removed trailing space in c: 1

KI1 1:0 Removed trailing space in s1: Adoniya Ajitangaza Mfalme

KI1 1:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi alipokuwa mzee umri ukiwa umesogea, hakuweza kupata joto hata walipomfunika kwa nguo.

KI1 1:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, “Turuhusu tumtafute kijana mwanamwali bikira amhudumie mfalme na kumtunza. Anaweza kulala pembeni mwake ili bwana wetu mfalme apate joto.”

KI1 1:3 Removed trailing space in v~: Kisha wakatafuta katika Israeli yote ili kumpata msichana mzuri wa sura na wakampata Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme.

KI1 1:4 Removed trailing space in v~: Msichana huyo alikuwa mzuri sana wa sura, akamtunza mfalme na kumhudumia, lakini mfalme hakufanya naye tendo la ndoa.

KI1 1:5 Removed trailing space in v~: Basi Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi, akajigamba na kusema, “Mimi nitakuwa mfalme.” Hivyo akajiwekea tayari magari na wapanda farasi, pamoja na watu hamsini wa kumtangulia wakikimbia.

KI1 1:6 Removed trailing space in v~: (Baba yake hakuwa ameingilia na kumuuliza, “Kwa nini unafanya hivyo?” Alikuwa pia kijana mzuri sana wa sura, na alizaliwa baada ya Absalomu.)

KI1 1:7 Removed trailing space in v~: Adoniya akashauriana pamoja na Yoabu mwana wa Seruya na kuhani Abiathari, nao wakamsaidia.

KI1 1:8 Removed trailing space in v~: Lakini kuhani Sadoki, Benaya mwana wa Yehoyada, Nathani nabii, Shimei, Rei na walinzi maalum wa Daudi hawakujiunga na Adoniya.

KI1 1:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Adoniya akatoa dhabihu ya kondoo, ngʼombe na ndama walionona kwenye Jiwe la Zohelethi karibu na En-Rogeli. Akawaalika ndugu zake wote, wana wa mfalme na wanaume wote wa Yuda waliokuwa maafisa wa mfalme,

KI1 1:10 Removed trailing space in v~: lakini hakumwalika nabii Nathani, Benaya, walinzi maalum wa mfalme, wala ndugu yake Solomoni.

KI1 1:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Nathani akamuuliza Bathsheba, mama yake Solomoni, “Je, hujasikia kwamba Adoniya, mwana wa Hagithi, amekuwa mfalme pasipo bwana wetu Daudi kujua jambo hili?

KI1 1:12 Removed trailing space in v~: Sasa basi, acha nikushauri jinsi utakavyookoa uhai wako mwenyewe na uhai wa mwanao Solomoni.

KI1 1:13 Removed trailing space in v~: Ingia kwa Mfalme Daudi na umwambie, ‘Bwana wangu mfalme, je hukuniapia mimi mtumishi wako: “Hakika mwanao Solomoni atakuwa mfalme baada yangu na ndiye atakayeketi juu ya kiti changu cha ufalme”? Kwa nini basi Adoniya amekuwa mfalme?’

KI1 1:14 Removed trailing space in v~: Utakapokuwa ukizungumza na mfalme, nitaingia na kuthibitisha hayo uliyoyasema.”

KI1 1:15 Removed trailing space in v~: Hivyo Bathsheba akaenda kumwona mfalme chumbani mwake mahali ambapo Abishagi, Mshunami, alikuwa akimhudumia, naye mfalme alikuwa mzee sana.

KI1 1:16 Removed trailing space in v~: Bathsheba akasujudu na kupiga magoti mbele ya mfalme.

KI1 1:16 Removed trailing space in p~: Mfalme akauliza, “Ni nini hiki unachotaka?”

KI1 1:17 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Bwana wangu, wewe mwenyewe uliniapia mimi mtumishi wako kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako kwamba: ‘Solomoni Mwanao atakuwa mfalme baada yangu na ndiye atakayeketi kwenye kiti changu cha ufalme.’

KI1 1:18 Removed trailing space in v~: Lakini sasa Adoniya amekuwa mfalme, nawe, bwana wangu mfalme huna habari kuhusu jambo hilo.

KI1 1:19 Removed trailing space in v~: Ametoa dhabihu idadi kubwa ya ngʼombe, ndama walionona na kondoo, naye amewaalika wana wa mfalme wote, kuhani Abiathari, na Yoabu jemadari wa jeshi, lakini hakumwalika Solomoni mtumishi wako.

KI1 1:20 Removed trailing space in v~: Bwana wangu mfalme, macho ya Israeli yote yanakutazama wewe wajue kutoka kwako kuwa ni nani atakayeketi katika kiti cha ufalme cha bwana wangu mfalme baada yake.

KI1 1:21 Removed trailing space in v~: Kama sivyo, mara tu bwana wangu mfalme atakapopumzishwa pamoja na baba zake, mimi na mwanangu Solomoni tutatendewa kama wahalifu.”

KI1 1:22 Removed trailing space in v~: Alipokuwa angali anazungumza na mfalme, nabii Nathani akafika.

KI1 1:23 Removed trailing space in v~: Wakamwambia mfalme, “Nabii Nathani yuko hapa.” Kisha akaenda mbele ya mfalme na kumsujudia hadi uso wake ukagusa ardhi.

KI1 1:24 Removed trailing space in v~: Nathani akasema, “Je, bwana wangu mfalme, umetangaza kuwa Adoniya atakuwa mfalme baada yako na kwamba ataketi kwenye kiti chako cha ufalme?

KI1 1:25 Removed trailing space in v~: Leo ameshuka na kutoa dhabihu idadi kubwa ya ngʼombe, ndama walionona na kondoo. Amewaalika wana wote wa mfalme, jemadari wa jeshi na kuhani Abiathari. Sasa hivi, wanakula na kunywa pamoja naye wakisema, ‘Aishi maisha marefu, Mfalme Adoniya!’

KI1 1:26 Removed trailing space in v~: Lakini mimi mtumishi wako, kuhani Sadoki, Benaya mwana wa Yehoyada na mtumishi wako Solomoni hakutualika.

KI1 1:27 Removed trailing space in v~: Je, hili ni jambo ambalo bwana wangu mfalme amelifanya pasipo kuwajulisha watumishi wake ili wapate kujua ni nani atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha bwana wangu mfalme baada yake?”

KI1 1:27 Removed trailing space in s1: Daudi Amfanya Solomoni Kuwa Mfalme

KI1 1:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Daudi akasema, “Mwite Bathsheba, aingie ndani.” Hivyo akaingia mbele ya mfalme na kusimama mbele yake.

KI1 1:29 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akaapa: “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka kila taabu,

KI1 1:30 Removed trailing space in v~: hakika nitatekeleza leo kile nilichokuapia kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Mwanao Solomoni atakuwa mfalme baada yangu, naye ataketi kwenye kiti changu cha ufalme baada yangu.”

KI1 1:31 Removed trailing space in v~: Kisha Bathsheba akasujudu akipiga magoti mbele ya mfalme uso wake ukigusa ardhi akasema, “Bwana wangu Mfalme Daudi na aishi milele!”

KI1 1:32 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akasema, “Mwite kuhani Sadoki ndani, nabii Nathani na Benaya mwana wa Yehoyada.” Walipofika mbele ya mfalme,

KI1 1:33 Removed trailing space in v~: akawaambia: “Wachukueni watumishi wa bwana wenu pamoja nanyi na mkamkalishe mwanangu Solomoni juu ya nyumbu wangu mwenyewe mkamteremshe hadi Gihoni.

KI1 1:34 Removed trailing space in v~: Huko kuhani Sadoki na nabii Nathani wamtie mafuta awe mfalme juu ya Israeli. Pigeni tarumbeta na mpaze sauti, ‘Mfalme Solomoni aishi maisha marefu!’

KI1 1:35 Removed trailing space in v~: Kisha mtapanda pamoja naye, atakuja na kuketi kwenye kiti changu cha ufalme na kutawala badala yangu. Nimemweka awe mtawala juu ya Israeli na Yuda.”

KI1 1:36 Removed trailing space in v~: Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme, “Amen! \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu mfalme, na aseme vivyo hivyo.

KI1 1:37 Removed trailing space in v~: Kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa na bwana wangu mfalme, vivyo hivyo na awe na Solomoni kukifanya kiti chake cha utawala kuwa kikuu kuliko kile cha bwana wangu Mfalme Daudi!”

KI1 1:38 Removed trailing space in v~: Hivyo kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, Wakerethi na Wapelethi wakampandisha Solomoni juu ya nyumbu wa Mfalme Daudi, nao wakamsindikiza hadi Gihoni.

KI1 1:39 Removed trailing space in v~: Kuhani Sadoki akachukua pembe ya mafuta kutoka kwenye hema takatifu na kumtia Solomoni mafuta. Kisha wakapiga tarumbeta na watu wote wakapaza sauti wakisema, “Mfalme Solomoni aishi maisha marefu!”

KI1 1:40 Removed trailing space in v~: Na watu wote wakakwea wakimfuata, wakipiga filimbi na kushangilia sana, hata ardhi ikatikisika kwa ile sauti.

KI1 1:41 Removed trailing space in v~: Adoniya pamoja na wageni wote waliokuwa pamoja naye wakasikia sauti hiyo walipokuwa wakimalizia karamu yao. Waliposikia sauti ya tarumbeta, Yoabu akauliza, “Nini maana ya makelele yote haya katika mji?”

KI1 1:42 Removed trailing space in v~: Hata alipokuwa anasema, Yonathani mwana wa kuhani Abiathari akafika. Adoniya akasema, “Ingia ndani. Mtu mstahiki kama wewe ni lazima alete habari njema.”

KI1 1:43 Removed trailing space in v~: Yonathani akajibu, “La hasha! Mfalme Daudi bwana wetu amemfanya Solomoni kuwa mfalme.

KI1 1:44 Removed trailing space in v~: Mfalme amemtuma pamoja naye kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, Wakerethi na Wapelethi, nao wamempandisha juu ya nyumbu wa mfalme,

KI1 1:45 Removed trailing space in v~: nao kuhani Sadoki na nabii Nathani wamemtia mafuta kuwa mfalme huko Gihoni. Kuanzia hapo wameendelea kushangilia na sauti zimeenea pote mjini. Hizo ndizo kelele unazosikia.

KI1 1:46 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Solomoni ameketi juu ya kiti chake cha ufalme.

KI1 1:47 Removed trailing space in v~: Pia, maafisa wa mfalme wamekuja ili kumtakia heri bwana wetu Mfalme Daudi wakisema, ‘Mungu wako na alifanye jina la Solomoni kuwa mashuhuri kuliko lako na kiti chake cha ufalme kiwe na ukuu kuliko chako!’ Naye mfalme akasujudu akiabudu kitandani mwake

KI1 1:48 Removed trailing space in v~: na kusema, ‘Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye ameruhusu macho yangu kuona mrithi juu ya kiti changu cha ufalme leo hii.’ ”

KI1 1:49 Removed trailing space in v~: Katika hili, wageni wote wa Adoniya wakainuka kwa mshtuko wa hofu na kutawanyika.

KI1 1:50 Removed trailing space in v~: Lakini Adoniya kwa kumwogopa Solomoni, akaenda na kushika pembe za madhabahu.

KI1 1:51 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akaambiwa, “Adoniya anamwogopa Mfalme Solomoni na ameshikilia pembe za madhabahu. Anasema, ‘Mfalme Solomoni na aniapie leo kwamba hatamuua mtumishi wake kwa upanga.’ ”

KI1 1:52 Removed trailing space in v~: Solomoni akajibu, “Kama akijionyesha kuwa mtu mstahiki, hakuna unywele wake utakaoanguka juu ya ardhi, lakini kama uovu ukionekana ndani yake, atakufa.”

KI1 1:53 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Solomoni akawatuma watu, nao wakamshusha kutoka madhabahuni. Naye Adoniya akaja akamwinamia Mfalme Solomoni, naye Solomoni akamwambia, “Nenda nyumbani kwako.”

KI1 2:0 Extra space after chapter number

KI1 2:0 Removed trailing space in c: 2

KI1 2:0 Removed trailing space in s1: Maagizo Ya Daudi Kwa Solomoni

KI1 2:1 Removed trailing space in v~: Siku zilipokaribia za Daudi kufa, akampa mwanawe Solomoni agizo.

KI1 2:2 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mimi ninakaribia kwenda njia ya dunia yote. Hivyo uwe hodari, jionyeshe kuwa mwanaume,

KI1 2:3 Removed trailing space in v~: shika lile \nd Bwana\nd* Mungu wako analokuagiza: Enenda katika njia zake, ushike maagizo na amri zake, sheria zake na kanuni zake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, ili upate kustawi katika yote ufanyayo na popote uendako,

KI1 2:4 Removed trailing space in v~: ili kwamba \nd Bwana\nd* aweze kunitimizia ahadi yake: ‘Kama wazao wako wakiangalia sana wanavyoishi, na kama wakienenda kwa uaminifu mbele zangu kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote, kamwe hutakosa kuwa na mtu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’

KI1 2:5 Removed trailing space in v~: “Sasa wewe mwenyewe unafahamu lile Yoabu mwana wa Seruya alilonitendea, lile alilofanya kwa majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri mwana wa Neri, na Amasa mwana wa Yetheri. Aliwaua, akimwaga damu yao wakati wa amani kama vile ni kwenye vita, tena akaipaka damu ile kwenye mkanda uliokuwa kiunoni mwake na viatu alivyovaa miguuni mwake.

KI1 2:6 Removed trailing space in v~: Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani.

KI1 2:7 Removed trailing space in v~: “Lakini uwaonyeshe wema wana wa Barzilai wa Gileadi na uwaruhusu wawe miongoni mwa wale walao mezani pako. Walisimama nami nilipomkimbia ndugu yako Absalomu.

KI1 2:8 Removed trailing space in v~: “Ukumbuke, unaye Shimei mwana wa Gera, Mbenyamini kutoka Bahurimu, ambaye alinilaani kwa laana kali siku niliyokwenda Mahanaimu. Aliposhuka kunilaki huko Yordani, nilimwapia kwa \nd Bwana\nd*: ‘Sitakuua kwa upanga!’

KI1 2:9 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.”

KI1 2:10 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi.

KI1 2:11 Removed trailing space in v~: Daudi alikuwa ametawala juu ya Israeli miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.

KI1 2:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Solomoni akaketi katika kiti cha ufalme cha baba yake Daudi, nao utawala wake ukaimarika sana.

KI1 2:12 Removed trailing space in s1: Kiti Cha Ufalme Cha Solomoni Chaimarishwa

KI1 2:13 Removed trailing space in v~: Basi Adoniya, mwana wa Hagithi, akaenda kwa Bathsheba, mama yake Solomoni. Bathsheba akamuuliza, “Je, umekuja kwa amani?”

KI1 2:13 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Ndiyo, kwa amani.”

KI1 2:14 Removed trailing space in v~: Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.”

KI1 2:14 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Waweza kulisema.”

KI1 2:15 Removed trailing space in v~: Akasema, “Kama unavyojua, ufalme ulikuwa wangu. Israeli wote waliniangalia mimi kama mfalme wao. Lakini mambo yalibadilika, ufalme umekwenda kwa ndugu yangu, kwa maana umemjia kutoka kwa \nd Bwana\nd*.

KI1 2:16 Removed trailing space in v~: Sasa ninalo ombi moja ninalokuomba. Usinikatalie.”

KI1 2:16 Removed trailing space in p~: Bathsheba akasema, “Waweza kuliomba.”

KI1 2:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaendelea kusema, “Tafadhali mwombe Mfalme Solomoni, anipatie Abishagi, Mshunami, awe mke wangu; hatakukatalia wewe.”

KI1 2:18 Removed trailing space in v~: Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”

KI1 2:19 Removed trailing space in v~: Bathsheba alipokwenda kwa Mfalme Solomoni kuzungumza naye kwa ajili ya Adoniya, mfalme alisimama kumlaki mama yake, akamwinamia na kuketi kwenye kiti chake cha ufalme. Akaamuru kiti cha ufalme kuletwa kwa ajili ya mama yake mfalme, naye akaketi mkono wake wa kuume.

KI1 2:20 Removed trailing space in v~: Bathsheba akamwambia mfalme, “Ninalo ombi moja dogo la kukuomba; usinikatalie.”

KI1 2:20 Removed trailing space in p~: Mfalme akajibu, “Omba, mama yangu; sitakukatalia.”

KI1 2:21 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mruhusu Abishagi, Mshunami, aolewe na ndugu yako Adoniya.”

KI1 2:22 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akamjibu mama yake, “Kwa nini uombe Abishagi, Mshunami, kwa ajili ya Adoniya? Ungeweza pia kuomba ufalme kwa ajili yake, kwani yeye ni ndugu yangu mkubwa: naam, kwa ajili yake, na kwa kuhani Abiathari na Yoabu mwana wa Seruya!”

KI1 2:23 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akaapa kwa \nd Bwana\nd*, akasema: “Mungu na aniulie mbali, tena bila huruma, ikiwa Adoniya hatalipa kwa uhai wake kwa ajili ya ombi hili!

KI1 2:24 Removed trailing space in v~: Basi sasa, hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, yeye ambaye ameniimarisha salama kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu, naye amenipa ufalme wa kudumu kama alivyoahidi, Adoniya atauawa leo!”

KI1 2:25 Removed trailing space in v~: Hivyo Mfalme Solomoni akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akampiga Adoniya akafa.

KI1 2:26 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia kuhani Abiathari, “Nenda huko Anathothi katika mashamba yako. Wewe unastahili kufa, lakini sitakuua sasa, kwa sababu ulilichukua Sanduku la \nd Bwana\nd* Mwenyezi mbele ya Daudi baba yangu na ulishiriki taabu zote za baba yangu.”

KI1 2:27 Removed trailing space in v~: Hivyo Solomoni akamwondoa Abiathari kwenye ukuhani wa \nd Bwana\nd*, akilitimiza neno la \nd Bwana\nd* alilokuwa amenena huko Shilo kuhusu nyumba ya Eli.

KI1 2:28 Removed trailing space in v~: Habari zilipomfikia Yoabu, ambaye alikuwa amefanya shauri baya na Adoniya, lakini sio na Absalomu, alikimbilia kwenye hema la \nd Bwana\nd* na kushika pembe za madhabahu.

KI1 2:29 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akaambiwa kuwa Yoabu amekimbilia kwenye hema la \nd Bwana\nd* naye alikuwa kando ya madhabahu. Basi Solomoni akamwagiza Benaya mwana wa Yehoyada: “Nenda ukamuue!”

KI1 2:30 Removed trailing space in v~: Ndipo Benaya akaingia kwenye hema la \nd Bwana\nd* na kumwambia Yoabu, “Mfalme anasema, ‘Toka nje!’ ”

KI1 2:30 Removed trailing space in p~: Lakini akajibu, “La! Nitafia hapa hapa.”

KI1 2:30 Removed trailing space in p~: Benaya akamwarifu mfalme, “Hivi ndivyo Yoabu alivyonijibu.”

KI1 2:31 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akamwamuru Benaya, “Fanya kama asemavyo. Muue na kumzika, ili uniondolee mimi na nyumba ya baba yangu dhambi ya damu isiyokuwa na hatia ile Yoabu aliyoimwaga.

KI1 2:32 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamlipiza kwa ajili ya damu aliyoimwaga, kwa sababu pasipo Daudi baba yangu kujua, aliwashambulia watu wawili na kuwaua kwa upanga. Wote wawili, Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda, walikuwa watu wazuri na wanyofu kuliko yeye.

KI1 2:33 Removed trailing space in v~: Hatia ya damu yao na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na wazao wake milele. Lakini kwa Daudi na uzao wake, nyumba yake na kiti chake cha ufalme, iwepo amani ya \nd Bwana\nd* milele.”

KI1 2:34 Removed trailing space in v~: Basi Benaya mwana wa Yehoyada akakwea, akampiga na kumuua Yoabu, naye akazikwa katika nchi yake mwenyewe katika jangwa.

KI1 2:35 Removed trailing space in v~: Mfalme akamweka Benaya mwana wa Yehoyada juu ya jeshi kwenye nafasi ya Yoabu na kumweka kuhani Sadoki badala ya Abiathari.

KI1 2:36 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatuma ujumbe kwa Shimei na kumwambia, “Ujijengee nyumba huko Yerusalemu uishi huko, lakini usiende mahali pengine popote.

KI1 2:37 Removed trailing space in v~: Siku utakayoondoka kuvuka Bonde la Kidroni, uwe na hakika utakufa; damu yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”

KI1 2:38 Removed trailing space in v~: Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana wangu mfalme alivyosema.” Naye Shimei akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu.

KI1 2:39 Removed trailing space in v~: Lakini baada ya miaka mitatu, watumwa wawili wa Shimei wakatoroka kwenda kwa Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi, naye Shimei akaambiwa, “Watumwa wako wako Gathi.”

KI1 2:40 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya hili, Shimei akatandika punda wake, akaenda kwa Akishi huko Gathi kuwatafuta watumwa wake. Basi Shimei akaondoka na kuwarudisha watumwa wake kutoka Gathi.

KI1 2:41 Removed trailing space in v~: Solomoni alipoambiwa kuwa Shimei ametoka Yerusalemu na kwenda Gathi na amekwisha kurudi,

KI1 2:42 Removed trailing space in v~: mfalme akamwita Shimei na kumwambia, “Je, sikukuapiza kwa \nd Bwana\nd* na kukuonya kuwa, ‘Siku utakayoondoka kwenda mahali pengine popote, uwe na hakika utakufa?’ Wakati ule uliniambia, ‘Ulilolisema ni jema. Nitatii!’

KI1 2:43 Removed trailing space in v~: Kwa nini basi hukutunza kiapo chako kwa \nd Bwana\nd* na kutii amri niliyokupa?”

KI1 2:44 Removed trailing space in v~: Pia mfalme akamwambia Shimei, “Unajua katika moyo wako makosa uliyomtendea baba yangu Daudi. Sasa \nd Bwana\nd* atakulipiza kwa ajili ya mabaya yako uliyotenda.

KI1 2:45 Removed trailing space in v~: Lakini Mfalme Solomoni atabarikiwa, na kiti cha ufalme cha Daudi kitakuwa imara mbele za \nd Bwana\nd* milele.”

KI1 2:46 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka nje, akampiga Shimei na kumuua.

KI1 2:46 Removed trailing space in p~: Sasa ufalme ukawa umeimarika kikamilifu mikononi mwa Solomoni.

KI1 3:0 Extra space after chapter number

KI1 3:0 Removed trailing space in c: 3

KI1 3:0 Removed trailing space in s1: Solomoni Anaomba Hekima

KI1 3:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 1:3-12)

KI1 3:1 Removed trailing space in v~: Solomoni akafanya urafiki na Mfalme Farao wa Misri na kumwoa binti yake. Akamleta huyo binti katika Mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga jumba lake la kifalme na Hekalu la \nd Bwana\nd*, pamoja na ukuta kuzunguka Yerusalemu.

KI1 3:2 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, watu bado walikuwa wakitoa dhabihu huko kwenye vilima, kwa sababu Hekalu lilikuwa bado halijajengwa kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*.

KI1 3:3 Removed trailing space in v~: Solomoni akaonyesha upendo wake kwa \nd Bwana\nd* kwa kuenenda sawasawa na amri za Daudi baba yake, ila yeye alitoa dhabihu na kufukiza uvumba huko mahali pa juu.

KI1 3:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akaenda Gibeoni kutoa dhabihu, kwa maana ndipo palipokuwa mahali pa juu pa kuabudia, naye Solomoni akatoa sadaka elfu moja za kuteketezwa juu ya hayo madhabahu.

KI1 3:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Solomoni huko Gibeoni wakati wa usiku katika ndoto, naye Mungu akasema, “Omba lolote utakalo nikupe.”

KI1 3:6 Removed trailing space in v~: Solomoni akajibu, “Umemfanyia mtumishi wako, baba yangu Daudi, fadhili nyingi, kwa kuwa alikuwa mwaminifu kwako na mwenye haki, tena mnyofu wa moyo. Nawe umemzidishia fadhili hii kuu kwani umempa mwana wa kuketi kwenye kiti chake cha ufalme, kama ilivyo leo.

KI1 3:7 Removed trailing space in v~: “Sasa, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu, umemfanya mtumishi wako mfalme badala ya baba yangu Daudi. Lakini mimi ni mtoto mdogo tu, wala sijui jinsi ya kutekeleza wajibu wangu.

KI1 3:8 Removed trailing space in v~: Mtumishi wako yuko hapa miongoni mwa watu uliowachagua: taifa kubwa, watu wengi wasioweza kuhesabika wala kutoa idadi yao.

KI1 3:9 Removed trailing space in v~: Hivyo mpe mtumishi wako moyo wa ufahamu ili kutawala watu wako na kupambanua kati ya mema na mabaya. Kwa maana, ni nani awezaye kutawala watu wako hawa walio wengi hivi?”

KI1 3:10 Removed trailing space in v~: Bwana akapendezwa kwamba Solomoni ameliomba jambo hili.

KI1 3:11 Removed trailing space in v~: Basi Mungu akamwambia, “Kwa kuwa umeomba neno hili na hukuomba maisha marefu au upate utajiri kwa nafsi yako, wala adui zako wafe, bali umeomba ufahamu katika kutoa haki,

KI1 3:12 Removed trailing space in v~: nitafanya lile uliloomba. Nitakupa moyo wa hekima na wa ufahamu, kiasi kwamba hajakuwepo mtu mwingine kama wewe, wala kamwe hatakuwepo baada yako.

KI1 3:13 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, nitakupa yale ambayo hukuomba, yaani utajiri na heshima, ili kwamba maisha yako yote hapatakuwa na mtu kama wewe miongoni mwa wafalme.

KI1 3:14 Removed trailing space in v~: Nawe kama ukienenda katika njia zangu na kutii sheria na amri zangu kama baba yako Daudi alivyofanya, nitakupa maisha marefu.”

KI1 3:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akaamka, akatambua kuwa ilikuwa ndoto.

KI1 3:15 Removed trailing space in p~: Akarudi Yerusalemu, akasimama mbele ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, naye akatoa dhabihu za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha akawafanyia watumishi wake wote karamu.

KI1 3:15 Removed trailing space in s1: Utawala Wa Hekima

KI1 3:16 Removed trailing space in v~: Basi wanawake wawili makahaba walikuja kwa mfalme na kusimama mbele yake.

KI1 3:17 Removed trailing space in v~: Mmojawapo akasema, “Bwana wangu, mimi na mwanamke huyu tunaishi kwenye nyumba moja. Nilikuwa nimezaa alipokuwa pamoja nami.

KI1 3:18 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu baada ya mtoto wangu kuzaliwa, mwanamke huyu pia naye akazaa mtoto. Tulikuwa peke yetu, hapakuwa na mtu mwingine yeyote katika nyumba isipokuwa sisi wawili.

KI1 3:19 Removed trailing space in v~: “Wakati wa usiku mwana wa huyu mwanamke akafa kwa sababu alimlalia.

KI1 3:20 Removed trailing space in v~: Hivyo akaondoka katikati ya usiku na kumchukua mwanangu kutoka ubavuni pangu wakati mimi mtumishi wako nilipokuwa nimelala. Akamweka kifuani mwake na kumweka mwanawe aliyekufa kifuani mwangu.

KI1 3:21 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake, nikaamka ili kumnyonyesha mwanangu, naye alikuwa amekufa! Lakini nilipomwangalia sana katika nuru ya asubuhi, niliona kuwa hakuwa yule mwana niliyekuwa nimemzaa.”

KI1 3:22 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke mwingine akasema, “Hapana! Mwana aliye hai ndiye wangu, aliyekufa ni wako.”

KI1 3:22 Removed trailing space in p~: Lakini yule wa kwanza akasisitiza, “Hapana! Mwana aliyekufa ni wako, aliye hai ni wangu.” Hivi ndivyo walivyobishana mbele ya mfalme.

KI1 3:23 Removed trailing space in v~: Mfalme akasema, “Huyu anasema, ‘Mwanangu ndiye aliye hai, na aliyekufa ndiye mwanao,’ maadamu yule anasema, ‘Hapana! Aliyekufa ni wako, na aliye hai ni wangu.’ ”

KI1 3:24 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akasema, “Nileteeni upanga.” Basi wakamletea mfalme upanga.

KI1 3:25 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akatoa amri: “Mkate mtoto aliye hai vipande viwili; mpe huyu nusu na mwingine nusu.”

KI1 3:26 Removed trailing space in v~: Mwanamke ambaye mwanawe alikuwa hai akajawa na huruma kwa ajili ya mwanawe na kumwambia mfalme, “Tafadhali, bwana wangu, mpe yeye mtoto aliye hai! Usimuue!”

KI1 3:26 Removed trailing space in p~: Lakini yule mwanamke mwingine akasema, “Mkate vipande viwili. Asiwe wangu au wake!”

KI1 3:27 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatoa uamuzi wake: “Mpeni mama wa kwanza mtoto aliye hai. Msimuue; ndiye mama yake.”

KI1 3:28 Removed trailing space in v~: Wakati Israeli yote iliposikia hukumu aliyotoa mfalme, wakamwogopa mfalme, kwa sababu waliona kuwa alikuwa na hekima kutoka kwa Mungu kwa kutoa haki.

KI1 4:0 Extra space after chapter number

KI1 4:0 Removed trailing space in c: 4

KI1 4:0 Removed trailing space in s1: Maafisa Wa Solomoni Na Watawala

KI1 4:1 Removed trailing space in v~: Basi Mfalme Solomoni akatawala Israeli yote.

KI1 4:2 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa maafisa wake wakuu:

KI1 4:2 Removed trailing space in p~: Kuhani: Azaria mwana wa Sadoki;

KI1 4:3 Removed trailing space in v~: Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi;

KI1 4:3 Removed trailing space in p~: Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;

KI1 4:4 Removed trailing space in v~: Benaya mwana wa Yehoyada: jemadari mkuu wa jeshi;

KI1 4:4 Removed trailing space in p~: Sadoki na Abiathari: makuhani;

KI1 4:5 Removed trailing space in v~: Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya;

KI1 4:5 Removed trailing space in p~: Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;

KI1 4:6 Removed trailing space in v~: Ahishari: msimamizi wa jumba la kifalme;

KI1 4:6 Removed trailing space in p~: Adoniramu mwana wa Abda: msimamizi wa kazi za kulazimisha.

KI1 4:7 Removed trailing space in v~: Pia Solomoni alikuwa na watawala kumi na wawili wa wilaya katika Israeli yote, walioleta mahitaji kwa mfalme na kwa watu wa nyumbani kwa mfalme. Kila mmoja alitoa chakula kwa mwezi mmoja katika mwaka.

KI1 4:8 Removed trailing space in v~: Majina yao ni haya:

KI1 4:8 Removed trailing space in p~: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;

KI1 4:9 Removed trailing space in v~: Ben-Dekeri: katika Makasi, Shaalbimu, Beth-Shemeshi na Elon-Bethhanani;

KI1 4:10 Removed trailing space in v~: Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);

KI1 4:11 Removed trailing space in v~: Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Solomoni);

KI1 4:12 Removed trailing space in v~: Baana mwana wa Ahiludi: katika Taanaki na Megido, na katika Beth-Shani yote karibu na Sarethani chini ya Yezreeli, kuanzia Beth-Shani hadi Abel-Mehola kupita hadi Yokmeamu;

KI1 4:13 Removed trailing space in v~: Ben-Geberi: katika Ramoth-Gileadi (makao ya Yairi mwana wa Manase katika Gileadi ilikuwa miji yake, pamoja na wilaya ya Argobu katika Bashani na miji yake mikubwa sitini yenye kuzungukwa na kuta zenye makomeo ya shaba);

KI1 4:14 Removed trailing space in v~: Ahinadabu mwana wa Ido: katika Mahanaimu;

KI1 4:15 Removed trailing space in v~: Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Solomoni);

KI1 4:16 Removed trailing space in v~: Baana mwana wa Hushai: katika Asheri na katika Bealothi;

KI1 4:17 Removed trailing space in v~: Yehoshafati mwana wa Parua: katika Isakari;

KI1 4:18 Removed trailing space in v~: Shimei mwana wa Ela: katika Benyamini;

KI1 4:19 Removed trailing space in v~: Geberi mwana wa Uri: katika Gileadi (nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani). Naye alikuwa ndiye mtawala pekee katika eneo hilo.

KI1 4:19 Removed trailing space in s1: Mahitaji Ya Solomoni Ya Kila Siku

KI1 4:20 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.

KI1 4:21 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatawala katika falme zote kuanzia Mto Frati hadi nchi ya Wafilisti, hadi kwenye mpaka wa Misri. Nchi hizi zilileta ushuru na zilikuwa chini ya Solomoni, siku zote za maisha yake.

KI1 4:22 Removed trailing space in v~: Mahitaji ya Solomoni ya kila siku yalikuwa kori thelathini\f + \fr 4:22 \ft Kori 30 ni sawa na madebe 360.\f* za unga laini, kori sitini\f + \fr 4:22 \ft Kori 60 ni sawa na madebe 720.\f* za unga wa kawaida.

KI1 4:23 Removed trailing space in v~: Ngʼombe kumi wa zizini, ngʼombe ishirini wa malisho, kondoo na mbuzi mia moja, pamoja na ayala, paa, kulungu na kuku wazuri sana.

KI1 4:24 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Solomoni alitawala falme zote magharibi ya mto, kuanzia Tifsa hadi Gaza, naye akawa na amani pande zote.

KI1 4:25 Removed trailing space in v~: Wakati wa maisha ya Solomoni Yuda na Israeli, kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba, wakaishi salama kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake.

KI1 4:26 Removed trailing space in v~: Solomoni alikuwa na mabanda 4,000\f + \fr 4:26 \ft Waandishi wengine wanasema 40,000 (angalia \+xt 2Nya 9:25\+xt*).\f* ya magari ya vita, na farasi 12,000.

KI1 4:26 Found unexpected backslash in footnote: 4:26 Waandishi wengine wanasema 40,000 (angalia \+xt 2Nya 9:25\+xt*).

KI1 4:27 Removed trailing space in v~: Maafisa wa eneo hilo, kila mmoja katika mwezi wake, walileta mahitaji kwa ajili ya Mfalme Solomoni na wote waliokula mezani mwa mfalme. Walihakikisha kuwa hakuna chochote kilichopungua.

KI1 4:28 Removed trailing space in v~: Pia walileta sehemu walizopangiwa za shayiri na majani kwa ajili ya farasi wavutao magari na farasi wengine mahali palipostahili.

KI1 4:28 Removed trailing space in s1: Hekima Ya Solomoni

KI1 4:29 Removed trailing space in v~: Mungu akampa Solomoni hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.

KI1 4:30 Removed trailing space in v~: Hekima ya Solomoni ilikuwa kubwa kuliko hekima ya watu wote wa Mashariki na kubwa kuliko hekima yote ya Misri.

KI1 4:31 Removed trailing space in v~: Alikuwa na hekima kuliko kila mwandishi, akiwemo Ethani Mwezrahi: kuliko Hemani, Kalkoli na Darda, wana wa Maholi. Umaarufu wake ukaenea kwa mataifa yote yaliyomzunguka.

KI1 4:32 Removed trailing space in v~: Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005.

KI1 4:33 Removed trailing space in v~: Akaelezea maisha ya mimea kuanzia mwerezi wa Lebanoni hadi hisopo iotayo ukutani. Pia akafundisha kuhusu wanyama na ndege, wanyama wenye damu baridi, wakiwemo samaki.

KI1 4:34 Removed trailing space in v~: Watu wa mataifa yote wakaja kusikiliza hekima ya Solomoni, waliotumwa na wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamesikia juu ya hekima yake.

KI1 5:0 Extra space after chapter number

KI1 5:0 Removed trailing space in c: 5

KI1 5:0 Removed trailing space in s1: Maandalio Ya Ujenzi Wa Hekalu

KI1 5:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 2:1-18)

KI1 5:1 Removed trailing space in v~: Hiramu mfalme wa Tiro aliposikia kuwa Solomoni ametiwa mafuta awe mfalme mahali pa Daudi baba yake, akatuma wajumbe kwa Solomoni, kwa sababu Hiramu siku zote alikuwa na uhusiano mzuri wa kirafiki na Daudi.

KI1 5:2 Removed trailing space in v~: Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Hiramu:

KI1 5:3 Removed trailing space in v~: “Unajua kwamba kwa sababu ya vita vilivyopiganwa dhidi ya baba yangu Daudi kutoka pande zote, hakuweza kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd* Mungu wake, hadi \nd Bwana\nd* alipowaweka adui zake chini ya miguu yake.

KI1 5:4 Removed trailing space in v~: Lakini sasa \nd Bwana\nd* Mungu wangu amenipa utulivu kila upande hakuna adui wala maafa.

KI1 5:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ninakusudia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, kama \nd Bwana\nd* alivyomwambia baba yangu Daudi, wakati aliposema, ‘Mwanao nitakayemweka kwenye kiti cha ufalme mahali pako, ndiye atajenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’

KI1 5:6 Removed trailing space in v~: “Hivyo toa amri ili mierezi ya Lebanoni ikatwe kwa ajili yangu. Watu wangu watafanya kazi na watu wako, nami nitawalipa watu wako kwa ujira wowote utakaoupanga. Unajua kwamba hatuna mtu yeyote mwenye ustadi katika kukata miti kama Wasidoni.”

KI1 5:7 Removed trailing space in v~: Hiramu aliposikia ujumbe wa Solomoni, akafurahishwa sana akasema, “Ahimidiwe \nd Bwana\nd* leo, kwa kuwa amempa Daudi mwana mwenye hekima kutawala juu ya taifa hili kubwa.”

KI1 5:8 Removed trailing space in v~: Hiramu akatuma neno kwa Solomoni:

KI1 5:8 Removed trailing space in p~: “Nimepokea ujumbe ulionipelekea na nitafanya yote unayohitaji katika kukupatia magogo ya mierezi na misunobari.

KI1 5:9 Removed trailing space in v~: Watu wangu watayakokota kutoka Lebanoni hadi kwenye bahari, nami nitayafunga mafungu mafungu yaelee juu ya maji hadi utakapoelekeza. Huko nitayatenganisha, nawe utaweza kuyachukua. Wewe utakidhi haja yangu kwa kunipatia chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwangu.”

KI1 5:10 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii Hiramu akampa Solomoni miti yote ya mierezi na magogo ya misunobari kama alivyohitaji,

KI1 5:11 Removed trailing space in v~: naye Solomoni akampa Hiramu kori 20,000\f + \fr 5:11 \ft Kori 20,000 ni sawa na madebe 240,000.\f* za ngano kama chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake, pamoja na mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa bathi 20,000.\f + \fr 5:11 \ft Bathi 20,000 ni sawa na madebe 200.\f* Solomoni aliendelea kumfanyia Hiramu hivyo mwaka baada ya mwaka.

KI1 5:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akampa Solomoni hekima, kama alivyomwahidi. Palikuwepo na uhusiano wa amani kati ya Hiramu na Solomoni, na wote wawili wakafanya mkataba.

KI1 5:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akakusanya wafanyakazi 30,000 kutoka Israeli yote.

KI1 5:14 Removed trailing space in v~: Akawapeleka Lebanoni kwa zamu za watu 10,000 kwa mwezi, hivyo walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na miezi miwili nyumbani. Adoniramu ndiye alikuwa kiongozi wa shokoa.

KI1 5:15 Removed trailing space in v~: Solomoni alikuwa na wachukuzi wa mizigo 70,000 na wachonga mawe 80,000 huko vilimani,

KI1 5:16 Removed trailing space in v~: pamoja na wasimamizi 3,300 ambao walisimamia kazi hiyo na kuwaongoza wafanyakazi.

KI1 5:17 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya mfalme walitoa kwenye machimbo ya mawe, mawe makubwa, yaliyo bora kwa kujengea msingi wa nyumba yaliyochongwa kwa ajili ya Hekalu.

KI1 5:18 Removed trailing space in v~: Mafundi wa Solomoni, wa Hiramu na watu wa Gebali\f + \fr 5:18 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).\f* walikata na kuandaa mbao na mawe kwa ajili ya ujenzi wa Hekalu.

KI1 6:0 Extra space after chapter number

KI1 6:0 Removed trailing space in c: 6

KI1 6:0 Removed trailing space in s1: Solomoni Ajenga Hekalu

KI1 6:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 3)

KI1 6:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Solomoni katika Israeli, katika mwezi wa Zivu, ambao ndio mwezi wa pili, alianza kujenga Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI1 6:2 Removed trailing space in v~: Hekalu hilo Mfalme Solomoni alilojenga kwa ajili ya \nd Bwana\nd* lilikuwa na urefu wa dhiraa sitini,\f + \fr 6:2 \ft Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.\f* upana wa dhiraa ishirini\f + \fr 6:2 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.\f* na kimo cha dhiraa thelathini\f + \fr 6:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f* kwenda juu.

KI1 6:3 Removed trailing space in v~: Baraza ya mbele ya Hekalu ilienea dhiraa ishirini kulingana na upana wa Hekalu na kujitokeza dhiraa kumi mbele ya Hekalu.

KI1 6:4 Removed trailing space in v~: Akatengeneza madirisha membamba yenye vidirisha vidogo vya juu katika Hekalu.

KI1 6:5 Removed trailing space in v~: Akafanyiza vyumba vya pembeni kulizunguka Hekalu lote vikishikamana na kuta za Hekalu na za Patakatifu pa Patakatifu.

KI1 6:6 Removed trailing space in v~: Ghorofa ya chini kabisa ilikuwa na upana wa dhiraa tano,\f + \fr 6:6 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* ya kati ilikuwa dhiraa sita na ya tatu ilikuwa dhiraa saba.\f + \fr 6:6 \ft Dhiraa saba ni sawa na mita 3.15.\f* Kuzunguka ukuta wa nje wa Hekalu akapunguza ukuta pande zote ili boriti zisishikane kwenye kuta za Hekalu.

KI1 6:7 Removed trailing space in v~: Katika kujenga Hekalu, yalitumika tu mawe yaliyochongwa huko machimboni, wala hakuna nyundo, patasi au chombo kingine chochote cha chuma kilichosikika sauti yake katika eneo la ujenzi wa Hekalu wakati lilipokuwa likijengwa.

KI1 6:8 Removed trailing space in v~: Ingilio la ghorofa ya chini kabisa lilikuwa upande wa kusini wa Hekalu, ngazi ilielekea ghorofa ya kati na kutokea hapo ilielekea hadi ghorofa ya tatu.

KI1 6:9 Removed trailing space in v~: Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha, akiliweka paa za boriti na mbao za mierezi.

KI1 6:10 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akajenga vyumba vya pembeni kuzunguka Hekalu lote. Kimo cha kila kimoja kilikuwa dhiraa tano. Navyo vilikuwa vimeunganishwa na Hekalu kwa boriti za mierezi.

KI1 6:11 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likamjia Solomoni kusema:

KI1 6:12 Removed trailing space in v~: “Kwa habari ya Hekalu hili unalojenga, kama ukifuata amri zangu, ukatunza masharti yangu na kushika maagizo yangu yote na kuyatii, kwa kupitia wewe nitatimiza ahadi niliyomwahidi Daudi baba yako.

KI1 6:13 Removed trailing space in v~: Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”

KI1 6:14 Removed trailing space in v~: Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha.

KI1 6:15 Removed trailing space in v~: Akazifunika kuta zake za ndani kwa mbao za mierezi, akizipigilia ukutani kuanzia sakafuni mwa Hekalu hadi kwenye dari na kufunika sakafu ya Hekalu kwa mbao za misunobari.

KI1 6:16 Removed trailing space in v~: Akagawa dhiraa ishirini sehemu ya nyuma ya Hekalu kwa mbao za mierezi kuanzia kwenye sakafu hadi darini ili kufanya sehemu takatifu ya ndani, yaani Patakatifu pa Patakatifu.

KI1 6:17 Removed trailing space in v~: Ukumbi mkubwa uliokuwa mbele ya chumba hiki ndio ulikuwa na urefu wa dhiraa arobaini.\f + \fr 6:17 \ft Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.\f*

KI1 6:18 Removed trailing space in v~: Hekalu ndani ilikuwa ya mierezi iliyonakshiwa mifano ya maboga na maua yaliyochanua. Kila kitu kilikuwa cha mwerezi, hakuna jiwe ambalo lilionekana.

KI1 6:19 Removed trailing space in v~: Ndani ya Hekalu akatengeneza sehemu takatifu ya ndani, kwa ajili ya kuweka Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*.

KI1 6:20 Removed trailing space in v~: Sehemu takatifu ya ndani ilikuwa na upana, urefu na kimo cha dhiraa ishirini ndani kwa ndani. Akaifunika ndani kwa dhahabu safi, pia akaifunika madhabahu ya mierezi vivyo hivyo.

KI1 6:21 Removed trailing space in v~: Solomoni akaifunika sehemu ya ndani ya Hekalu kwa dhahabu safi, naye akaitandaza mikufu ya dhahabu kutoka upande moja hadi ule mwingine mbele ya Patakatifu pa Patakatifu, ambako palifunikwa kwa dhahabu.

KI1 6:22 Removed trailing space in v~: Basi akafunika sehemu yote ya ndani kwa dhahabu. Pia akafunika madhabahu yale yaliyokuwa ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kwa dhahabu.

KI1 6:23 Removed trailing space in v~: Katika Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza makerubi wawili kwa mzeituni, kila moja likiwa na dhiraa kumi\f + \fr 6:23 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.\f* kwenda juu.

KI1 6:24 Removed trailing space in v~: Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na bawa jingine dhiraa tano, hivyo urefu kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa jingine ulikuwa dhiraa kumi.

KI1 6:25 Removed trailing space in v~: Kerubi wa pili alikuwa na urefu wa dhiraa kumi pia, hivyo makerubi hao wawili walifanana kwa vipimo na kwa umbo.

KI1 6:26 Removed trailing space in v~: Kimo cha kila kerubi kilikuwa dhiraa kumi.

KI1 6:27 Removed trailing space in v~: Aliwaweka makerubi hao ndani ya Patakatifu pa Patakatifu pa Hekalu, mabawa yake yakiwa yamekunjuliwa. Bawa la kerubi mmoja liligusa ukuta mmoja, wakati bawa la yule mwingine liligusa ukuta mwingine, nayo mabawa yao mengine yaligusana katikati ya chumba.

KI1 6:28 Removed trailing space in v~: Akafunika wale makerubi kwa dhahabu.

KI1 6:29 Removed trailing space in v~: Juu ya kuta zote zilizozunguka Hekalu, za vyumba vya ndani na vya nje, zilipambwa kwa nakshi zilizokatwa za makerubi, miti ya mitende na maua yaliyochanua.

KI1 6:30 Removed trailing space in v~: Pia alifunika sakafu zote za vyumba vya ndani na vya nje vya Hekalu kwa dhahabu.

KI1 6:31 Removed trailing space in v~: Kwa ingilio la Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza milango ya mbao za mzeituni, zikiwa na miimo na vizingiti vyenye umbo la pembe tano.

KI1 6:32 Removed trailing space in v~: Juu ya milango miwili ya mbao za mzeituni alinakshi makerubi, miti ya mitende pamoja na maua yaliyochanua na kufunika makerubi na miti ya mitende kwa dhahabu iliyofuliwa.

KI1 6:33 Removed trailing space in v~: Kwa njia iyo hiyo akatengeneza miimo yenye pande nne ya miti ya mizeituni, kwa ajili ya ingilio la ukumbi mkubwa.

KI1 6:34 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na milango miwili iliyoweza kukunjuka iliyotengenezwa kwa mbao za msunobari na kila mmoja ulikuwa na bawaba ambazo zingeuwezesha kujikunja kila kipande juu ya kingine.

KI1 6:35 Removed trailing space in v~: Akanakshi makerubi, miti ya mitende na maua yaliyochanua juu yake na kufunika kwa dhahabu iliyonyooshwa vizuri juu ya michoro.

KI1 6:36 Removed trailing space in v~: Tena akajenga ua wa ndani safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa.

KI1 6:37 Removed trailing space in v~: Msingi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* uliwekwa katika mwaka wa nne, katika mwezi wa Zivu, ndio mwezi wa tano.

KI1 6:38 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, Hekalu lilikamilika katika hatua zake zote kwa kufuatana na maelekezo yake Solomoni. Alilijenga kwa miaka saba.

KI1 7:0 Extra space after chapter number

KI1 7:0 Removed trailing space in c: 7

KI1 7:0 Removed trailing space in s1: Solomoni Ajenga Jumba Lake La Kifalme

KI1 7:1 Removed trailing space in v~: Ilimchukua Solomoni miaka kumi na mitatu kukamilisha ujenzi wa Jumba lake la kifalme.

KI1 7:2 Removed trailing space in v~: Alijenga Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni, urefu wake ulikuwa dhiraa 100,\f + \fr 7:2 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.\f* upana wake dhiraa hamsini na kimo chake dhiraa thelathini,\f + \fr 7:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f* likiwa na safu nne za nguzo za mierezi zikishikilia boriti za mierezi zilizorembwa.

KI1 7:3 Removed trailing space in v~: Ilipauliwa kwa mierezi juu ya boriti zile zilizolala juu ya nguzo arobaini na tano, kumi na tano kwa kila safu.

KI1 7:4 Removed trailing space in v~: Madirisha yake yaliwekwa juu kwa safu tatu, yakielekeana.

KI1 7:5 Removed trailing space in v~: Milango yote ilikuwa na miimo ya mstatili, ilikuwa upande wa mbele katika safu tatu, ikielekeana.

KI1 7:6 Removed trailing space in v~: Akajenga ukumbi wa nguzo, ambao urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini\f + \fr 7:6 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.\f* na upana wake dhiraa thelathini. Mbele ya jengo hilo kulikuwepo baraza. Mbele ya baraza kulikuwepo na nguzo na paa lililoningʼinia.

KI1 7:7 Removed trailing space in v~: Akajenga ukumbi wa kiti cha enzi, Ukumbi wa Hukumu, mahali ambapo angelitolea hukumu, akaufunika kwa mierezi kutoka sakafuni hadi darini.

KI1 7:8 Removed trailing space in v~: Kwenye jumba la kifalme ambamo angeliishi, aliiweka nyuma zaidi, ikiwa na mjengo wa aina moja na hiyo nyingine. Pia Solomoni akajenga jumba la kifalme linalofanana na huo ukumbi mkubwa kwa ajili ya binti Farao, aliyekuwa amemwoa.

KI1 7:9 Removed trailing space in v~: Ujenzi huu wote, kuanzia nje mpaka kwenye ua mkuu na kuanzia kwenye msingi hadi upenuni, ulifanywa kwa mawe ya ubora wa hali ya juu yaliyokuwa yamechongwa kwa vipimo na kusawazishwa kwa msumeno nyuso zake za ndani na za nje.

KI1 7:10 Removed trailing space in v~: Misingi iliwekwa kwa mawe makubwa yaliyo bora, yenye urefu wa dhiraa kumi\f + \fr 7:10 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.\f* na mengine yenye urefu wa dhiraa nane\f + \fr 7:10 \ft Dhiraa nane ni sawa na mita 3.6.\f*

KI1 7:11 Removed trailing space in v~: Sehemu za juu kulikuwepo na mawe yenye ubora wa hali ya juu, yaliyokatwa kwa vipimo na boriti za mierezi.

KI1 7:12 Removed trailing space in v~: Ule ua mkuu ulizungukwa na ukuta wa safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa, kama ulivyokuwa ua wa ndani wa Hekalu la \nd Bwana\nd* na baraza yake.

KI1 7:12 Removed trailing space in s1: Samani Za Hekalu

KI1 7:12 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 4)

KI1 7:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatuma watu Tiro kumleta Hiramu,

KI1 7:14 Removed trailing space in v~: ambaye mama yake alikuwa mjane kutoka kabila la Naftali na baba yake alikuwa mtu wa Tiro tena fundi wa shaba. Hiramu alikuwa na ustadi wa hali ya juu na mzoefu katika aina zote za kazi ya shaba. Alikuja kwa Mfalme Solomoni na kufanya kazi zake zote alizopangiwa.

KI1 7:15 Removed trailing space in v~: Hiramu akasubu nguzo mbili za shaba, kila moja ikiwa na urefu wa dhiraa kumi na nane,\f + \fr 7:15 \ft Dhiraa 18 ni sawa na mita 8.1.\f* kila nguzo ikiwa na mzingo wa dhiraa kumi na mbili\f + \fr 7:15 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.\f* kwa mstari.

KI1 7:16 Removed trailing space in v~: Pia alitengeneza mataji mawili ya shaba ya kusubu ili kuyaweka juu ya hizo nguzo; kila taji lilikuwa na kimo cha dhiraa tano\f + \fr 7:16 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* kwenda juu.

KI1 7:17 Removed trailing space in v~: Wavu wa mikufu iliyosokotewa kwenye zile taji juu ya zile nguzo, saba kwa kila taji.

KI1 7:18 Removed trailing space in v~: Akatengeneza makomamanga katika safu mbili kuzunguka kila wavu kuremba mataji yaliyo juu ya nguzo. Alifanya hivyo kwa kila nguzo.

KI1 7:19 Removed trailing space in v~: Mataji yaliyokuwa juu ya nguzo kwenye baraza, yalikuwa katika umbo la yungiyungi, kimo chake ni dhiraa nne\f + \fr 7:19 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.\f*

KI1 7:20 Removed trailing space in v~: Juu ya mataji ya zile nguzo mbili, juu ya ile sehemu yenye umbo kama bakuli, karibu na ule wavu, kulikuwa na yale makomamanga 200 katika safu kuzunguka pande zote.

KI1 7:21 Removed trailing space in v~: Hiramu akasimamisha nguzo kwenye baraza ya Hekalu. Nguzo ya upande wa kusini akaiita Yakini,\f + \fr 7:21 \ft Yakini maana yake Mungu atafanya imara.\f* na ile ya upande wa kaskazini Boazi.\f + \fr 7:21 \ft Boazi maana yake Ndani ya Mungu kuna nguvu.\f*

KI1 7:22 Removed trailing space in v~: Mataji yaliyokuwa juu yalikuwa na umbo la yungiyungi. Hivyo kazi ya nguzo ikakamilika.

KI1 7:23 Removed trailing space in v~: Hiramu akasubu Bahari ya chuma, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Mzunguko wake ulikuwa dhiraa thelathini.

KI1 7:24 Removed trailing space in v~: Chini ya ukingo, ilizungukwa na maboga, kumi kwenye kila dhiraa moja. Maboga yalikuwa yamesubiwa katika safu mbili ili kuwa kitu kimoja na hiyo bahari.

KI1 7:25 Removed trailing space in v~: Bahari iliwekwa juu ya mafahali kumi na wawili, watatu wakielekea kaskazini, watatu wakielekea magharibi, watatu wakielekea kusini na watatu wakielekea mashariki. Bahari iliwekwa juu yao na sehemu zao za nyuma zilielekeana.

KI1 7:26 Removed trailing space in v~: Ilikuwa na unene wa nyanda nne\f + \fr 7:26 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 32. Nyanda moja ni sawa na upana wa kiganja kimoja, ambacho ni sawasawa na sentimita 8.\f* na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 2,000.\f + \fr 7:26 \ft Bathi 2,000 ni sawa na lita 40,000.\f*

KI1 7:27 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza vitako kumi vya shaba vinavyoweza kuhamishika, kila kimoja kilikuwa na urefu wa dhiraa nne, upana dhiraa nne na kimo chake dhiraa tatu\f + \fr 7:27 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.\f*

KI1 7:28 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vile vitako vilivyotengenezwa: Vilikuwa na mbao za pembeni zilizoshikamanishwa na mihimili.

KI1 7:29 Removed trailing space in v~: Juu ya mbao kati ya hiyo mihimili kulikuwa na simba, mafahali na makerubi, pia kwenye mihimili yake. Juu na chini ya simba na mafahali kulikuwa kumesokotewa taji za kufuliwa.

KI1 7:30 Removed trailing space in v~: Kila kitako kilikuwa na magurudumu manne ya shaba, na vyuma vya katikati vya kuyazungusha hayo magurudumu na kila kimoja kilikuwa na sinia kwenye vishikizo vinne vya taji iliyosubiwa kila upande.

KI1 7:31 Removed trailing space in v~: Ndani ya kitako kulikuwa na nafasi ya wazi iliyokuwa na umbile la mviringo lenye kina cha dhiraa moja.\f + \fr 7:31 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* Nafasi hii ya wazi ilikuwa ya mviringo, pamoja na kitako chake ilikuwa dhiraa moja na nusu.\f + \fr 7:31 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.\f* Kuzunguka huo mdomo wake kulitiwa nakshi. Papi za vitako zilikuwa mraba na si za mviringo.

KI1 7:32 Removed trailing space in v~: Magurudumu manne yalikuwa chini ya papi, na vyuma vya katikati vya kuzungushia magurudumu hayo vilikuwa vimeunganishwa kwenye kitako. Kipenyo cha kila gurudumu kilikuwa dhiraa moja na nusu.

KI1 7:33 Removed trailing space in v~: Magurudumu yalitengenezwa kama ya magari ya vita ya kukokotwa, vyuma vya katikati vya magurudumu, duara zake, matindi yake na vikombe vyake vyote vilikuwa vya kusubu.

KI1 7:34 Removed trailing space in v~: Kila kitako kilikuwa na mikono minne, moja kwenye kila pembe, ukitokeza kutoka kwenye kitako.

KI1 7:35 Removed trailing space in v~: Juu ya kitako kulikuwepo na utepe wa mviringo wenye kina cha nusu dhiraa. Vishikio na papi vilishikamana upande wa juu wa kitako.

KI1 7:36 Removed trailing space in v~: Alitia nakshi za makerubi, simba na miti ya mitende juu ya uso wa vishikio na juu ya papi, katika kila nafasi iliyopatikana, pamoja na mataji yaliyosokotwa kuzunguka pande zote.

KI1 7:37 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo Hiramu alivyotengeneza vile vitako kumi. Vyote vilikuwa vya kusubu kwenye kalibu za kufanana kwa vipimo na kwa umbo.

KI1 7:38 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza masinia kumi ya shaba, kila moja likiwa na ujazo wa bathi arobaini,\f + \fr 7:38 \ft Bathi 40 ni sawa na lita 800.\f* yakiwa na kipenyo cha dhiraa nne\f + \fr 7:38 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.\f* kila sinia moja kwa kila kimoja ya vile vitako kumi.

KI1 7:39 Removed trailing space in v~: Aliweka vitako vitano upande wa kusini wa Hekalu na vingine vitano upande wa kaskazini. Akaweka ile bahari upande wa kusini, katika pembe ya kusini ya Hekalu.

KI1 7:40 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza masinia, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

KI1 7:40 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi zote katika Hekalu la \nd Bwana\nd* kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:

KI1 7:41 Removed trailing space in v~: nguzo mbili;

KI1 7:41 Removed trailing space in p~: mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo;

KI1 7:41 Removed trailing space in p~: nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo;

KI1 7:42 Removed trailing space in v~: makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu, yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);

KI1 7:43 Removed trailing space in v~: vitako kumi pamoja na masinia yake kumi;

KI1 7:44 Removed trailing space in v~: ile Bahari ya chuma na yale mafahali kumi na wawili chini yake;

KI1 7:45 Removed trailing space in v~: masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

KI1 7:45 Removed trailing space in p~: Vyombo hivi vyote ambavyo Huramu alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd* vilikuwa vya shaba iliyongʼarishwa.

KI1 7:46 Removed trailing space in v~: Mfalme akaamuru wavisubu katika kalibu ya udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani ulio kati ya Sukothi na Sarethani.

KI1 7:47 Removed trailing space in v~: Solomoni akaviacha vitu hivi vyote bila kupima uzani wake, kwa sababu vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.

KI1 7:48 Removed trailing space in v~: Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*:

KI1 7:48 Removed trailing space in p~: madhabahu ya dhahabu;

KI1 7:48 Removed trailing space in p~: meza ya dhahabu za kuweka mikate ya Wonyesho;

KI1 7:49 Removed trailing space in v~: vinara vya taa vya dhahabu safi (vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto, mbele ya Patakatifu pa Patakatifu);

KI1 7:49 Removed trailing space in p~: kazi ya maua ya dhahabu na taa na makoleo;

KI1 7:50 Removed trailing space in v~: masinia ya dhahabu safi, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, vyano na vyetezo;

KI1 7:50 Removed trailing space in p~: na bawaba za dhahabu kwa ajili ya milango ya chumba cha ndani sana, yaani Patakatifu pa Patakatifu, na pia kwa ajili ya milango ya ukumbi mkuu wa Hekalu.

KI1 7:51 Removed trailing space in v~: Hivyo Mfalme Solomoni alipomaliza kazi ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, akaviingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa ameviweka wakfu: yaani fedha, dhahabu na samani; kisha akaviweka katika hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI1 8:0 Extra space after chapter number

KI1 8:0 Removed trailing space in c: 8

KI1 8:0 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni

KI1 8:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 5)

KI1 8:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Solomoni akawaita mbele zake huko Yerusalemu wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila na wakuu wa jamaa za Waisraeli, ili walilete Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kutoka Sayuni, Mji wa Daudi.

KI1 8:2 Removed trailing space in v~: Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa Mfalme Solomoni wakati wa sikukuu ya mwezi wa Ethanimu, ndio mwezi wa saba.

KI1 8:3 Removed trailing space in v~: Wazee wote wa Israeli walipofika, makuhani wakajitwika Sanduku la Agano,

KI1 8:4 Removed trailing space in v~: nao wakalipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd*, na Hema la Kukutania pamoja na vyombo vyote vitakatifu vilivyokuwa ndani yake. Makuhani na Walawi wakavibeba,

KI1 8:5 Removed trailing space in v~: naye Mfalme Solomoni na kusanyiko lote la Israeli waliokusanyika kumzunguka walikuwa mbele ya hilo Sanduku, nao wakatoa dhabihu nyingi za kondoo na ngʼombe ambao idadi yao haikuwezekana kuandikwa au kuhesabiwa.

KI1 8:6 Removed trailing space in v~: Makuhani wakalileta Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* hadi mahali pake ndani ya sehemu takatifu ndani ya Hekalu, yaani Patakatifu pa Patakatifu, na kuliweka chini ya mabawa ya makerubi.

KI1 8:7 Removed trailing space in v~: Makerubi yalitandaza mabawa yao juu ya mahali pa Sanduku la Agano na kutia kivuli Sanduku pamoja na mipiko yake ya kubebea.

KI1 8:8 Removed trailing space in v~: Mipiko hiyo ilikuwa mirefu sana kiasi kwamba ncha zake zilionekana kutoka Mahali Patakatifu mbele ya Patakatifu pa Patakatifu, lakini sio nje ya Mahali Patakatifu. Hiyo mipiko ipo hata leo.

KI1 8:9 Removed trailing space in v~: Ndani ya Sanduku hapakuwepo kitu kingine chochote isipokuwa zile mbao mbili za mawe ambazo Mose alikuwa ameziweka ndani yake huko Horebu, mahali ambapo \nd Bwana\nd* alifanya Agano na Waisraeli baada ya kutoka Misri.

KI1 8:10 Removed trailing space in v~: Makuhani walipoondoka katika Mahali Patakatifu, wingu likajaza Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI1 8:11 Removed trailing space in v~: Nao makuhani hawakuweza kufanya huduma yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu wa \nd Bwana\nd* ulijaza Hekalu lake.

KI1 8:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akasema, “\nd Bwana\nd* alisema kwamba ataishi katika giza nene;

KI1 8:13 Removed trailing space in v~: naam, hakika nimekujengea Hekalu zuri sana, mahali pako pa kuishi milele.”

KI1 8:13 Removed trailing space in s1: Hotuba Ya Solomoni

KI1 8:13 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 6:3-11)

KI1 8:14 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote la Israeli lilipokuwa limesimama hapo, mfalme akageuka na kuwabariki.

KI1 8:15 Removed trailing space in v~: Kisha akasema:

KI1 8:15 Removed trailing space in p~: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye kwa mkono wake mwenyewe ametimiza lile alilomwahidi Daudi baba yangu kwa kinywa chake mwenyewe. Kwa kuwa alisema,

KI1 8:16 Removed trailing space in v~: ‘Tangu siku niliyowatoa watu wangu Israeli kutoka Misri, sikuchagua mji katika kabila lolote la Israeli ili Hekalu lijengwe humo ili Jina langu lipate kuwamo humo, bali nimemchagua Daudi kuwatawala watu wangu Israeli.’

KI1 8:17 Removed trailing space in v~: “Ilikuwa moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

KI1 8:18 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu ilikuwa moyoni mwako kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu, ulifanya vyema kuwa na jambo hili moyoni mwako.

KI1 8:19 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, sio wewe utakayenijengea hekalu, bali mwanao, ambaye ni nyama yako na damu yako mwenyewe, yeye ndiye atakayejenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’

KI1 8:20 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* ametimiza ahadi aliyoiweka: Nimeingia mahali pa Daudi baba yangu na sasa ninakikalia kiti cha ufalme cha Israeli, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoahidi, nami nimejenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

KI1 8:21 Removed trailing space in v~: Nimetenga nafasi humo kwa ajili ya Sanduku la Agano, ambamo ndani yake kuna lile Agano la \nd Bwana\nd* alilofanya na baba zetu wakati alipowatoa Misri.”

KI1 8:21 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Hekalu Wakfu

KI1 8:21 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 6:12-42)

KI1 8:22 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akasimama mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* machoni pa kusanyiko lote la Israeli, akakunjua mikono yake kuelekea mbinguni

KI1 8:23 Removed trailing space in v~: na kusema:

KI1 8:23 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe juu mbinguni wala chini duniani, wewe unayetunza Agano lako la upendo na watumishi wanaodumu katika njia yako kwa moyo wote.

KI1 8:24 Removed trailing space in v~: Umetimiza ahadi yako kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, kwa kinywa chako uliahidi na kwa mkono wako umetimiza, kama ilivyo leo.

KI1 8:25 Removed trailing space in v~: “Sasa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, mtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu ahadi zako ulizomwahidi uliposema, ‘Kamwe hutakosa kuwa na mtu atakayeketi mbele zangu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama wanao wakiangalia yote wayafanyayo kuenenda mbele zangu kama vile ulivyofanya.’

KI1 8:26 Removed trailing space in v~: Sasa, Ee Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie.

KI1 8:27 Removed trailing space in v~: “Lakini kweli, je, Mungu atafanya makao duniani? Mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kukutosha wewe. Sembuse Hekalu hili nililojenga!

KI1 8:28 Removed trailing space in v~: Hata hivyo sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi yake kwa huruma, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu. Sikia kilio na dua ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako siku hii ya leo.

KI1 8:29 Removed trailing space in v~: Macho yako na yafumbuke kuelekea Hekalu hili usiku na mchana, mahali hapa ambapo ulisema, ‘Jina langu litakuwako humo,’ ili kwamba upate kusikia maombi ambayo mtumishi wako ataomba kuelekea mahali hapa.

KI1 8:30 Removed trailing space in v~: Usikie maombi ya mtumishi wako na ya watu wako Israeli wakati wanapoomba kuelekea mahali hapa. Sikia kutoka mbinguni, mahali pa makao yako na usikiapo, samehe.

KI1 8:31 Removed trailing space in v~: “Mtu anapomkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili,

KI1 8:32 Removed trailing space in v~: basi, sikia kutoka mbinguni na ukatende. Hukumu kati ya watumishi wako, ukimhukumu yule mwenye hatia na kuleta juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda. Umtangazie mwenye haki kwamba hana hatia, hivyo ukathibitishe kuwa haki kwake.

KI1 8:33 Removed trailing space in v~: “Wakati watu wako Israeli watakapokuwa wameshindwa na adui kwa sababu ya dhambi walizofanya dhidi yako, watakapokugeukia na kulikiri jina lako, wakiomba na kufanya dua kwako katika Hekalu hili,

KI1 8:34 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni, ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba zao.

KI1 8:35 Removed trailing space in v~: “Wakati mbingu zitakapokuwa zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu watu wako wametenda dhambi dhidi yako, watakapoomba kuelekea mahali hapa na kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka dhambi zao kwa sababu umewaadhibu,

KI1 8:36 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni na usamehe dhambi ya watumishi wako, watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi uliyowapa watu wako kuwa urithi.

KI1 8:37 Removed trailing space in v~: “Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati adui atakapowazingira katika mji wao wowote, maafa ya namna yoyote au ugonjwa wowote unaoweza kuwajia,

KI1 8:38 Removed trailing space in v~: wakati dua au maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa watu wako Israeli, kila mmoja akitambua taabu za moyo wake mwenyewe, naye akainyoosha mikono yake kuelekea Hekalu hili:

KI1 8:39 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni, katika makao yako. Usamehe na utende, umpe kila mtu kulingana na matendo yake, kwa kuwa unaujua moyo wake (kwa kuwa ni wewe peke yako ujuaye mioyo ya watu wote),

KI1 8:40 Removed trailing space in v~: ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.

KI1 8:41 Removed trailing space in v~: “Kwa habari ya mgeni ambaye si miongoni mwa watu wako Israeli, lakini amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako,

KI1 8:42 Removed trailing space in v~: kwa maana watu watasikia juu ya Jina lako kuu na juu ya mkono wako wenye nguvu na mkono wako ulionyooshwa, atakapokuja na kuomba kuelekea Hekalu hili,

KI1 8:43 Removed trailing space in v~: basi na usikie kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, ukafanye lolote ambalo mgeni huyo anakuomba, ili mataifa yote ya dunia wapate kujua jina lako na wakuogope kama wafanyavyo watu wako Israeli nao wapate pia kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga imeitwa kwa Jina lako.

KI1 8:44 Removed trailing space in v~: “Wakati watu wako watakapokwenda vitani dhidi ya adui zao, popote utakapowapeleka, wakati watakapoomba kwa \nd Bwana\nd* kuelekea mji ambao umeuchagua, na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,

KI1 8:45 Removed trailing space in v~: basi usikie dua na maombi yao kutoka mbinguni, ukawatetee haki yao.

KI1 8:46 Removed trailing space in v~: “Watakapotenda dhambi dhidi yako, kwa kuwa hakuna mtu yeyote ambaye hatendi dhambi, nawe ukachukizwa nao na kuwakabidhi kwa adui, ambaye atawachukua utumwani katika nchi yake mwenyewe, mbali au karibu;

KI1 8:47 Removed trailing space in v~: na kama watabadilika mioyo yao katika nchi wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na kukulilia katika nchi ya wale waliowashinda na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya makosa, tumetenda uovu’;

KI1 8:48 Removed trailing space in v~: kama wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi zao katika nchi ya adui zao ambao waliwachukua mateka, wakakuomba kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea mji uliouchagua na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako;

KI1 8:49 Removed trailing space in v~: basi kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, usikie dua yao na maombi yao na kuitetea haki yao.

KI1 8:50 Removed trailing space in v~: Uwasamehe watu wako, waliotenda dhambi dhidi yako; uwasamehe makosa yote waliyoyatenda dhidi yako, ukawafanye wale waliowashinda kuwaonea huruma;

KI1 8:51 Removed trailing space in v~: kwa maana ni watu wako na urithi wako, uliowatoa Misri, kutoka kwenye lile tanuru la kuyeyushia chuma.

KI1 8:52 Removed trailing space in v~: “Macho yako na yafumbuke juu ya ombi la mtumishi wako na ombi la watu wako Israeli, nawe uwasikilize wakati wowote wanapokulilia.

KI1 8:53 Removed trailing space in v~: Kwa maana uliwachagua wao kutoka mataifa yote ya ulimwengu kuwa urithi wako mwenyewe, kama ulivyotangaza kupitia mtumishi wako Mose wakati wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, ulipowatoa baba zetu kutoka Misri.”

KI1 8:54 Removed trailing space in v~: Wakati Solomoni alipomaliza dua hizi zote na maombi kwa \nd Bwana\nd*, akainuka kutoka mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd*, mahali alipokuwa amepiga magoti, mikono yake ikawa imekunjuliwa kuelekea juu mbinguni.

KI1 8:55 Removed trailing space in v~: Akasimama na kubariki kusanyiko lote la Israeli kwa sauti kubwa akisema:

KI1 8:56 Removed trailing space in v~: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, aliyewapa pumziko watu wake Israeli kama vile alivyokuwa ameahidi. Hakuna hata neno moja lililopunguka kati ya ahadi zote nzuri alizozitoa kupitia mtumishi wake Mose.

KI1 8:57 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu na awe pamoja nasi kama alivyokuwa na baba zetu, kamwe asituache wala kutukataa.

KI1 8:58 Removed trailing space in v~: Yeye na aielekeze mioyo yetu kwake, ili tutembee katika njia zake zote na kuzishika amri na maagizo na masharti aliyowapa baba zetu.

KI1 8:59 Removed trailing space in v~: Nami maneno yangu haya, ambayo nimeyaomba mbele za \nd Bwana\nd*, yawe karibu na \nd Bwana\nd* Mungu wetu usiku na mchana, ili kwamba atetee shauri la mtumishi wake na la watu wake Israeli kulingana na hitaji lao la kila siku,

KI1 8:60 Removed trailing space in v~: ili kwamba mataifa yote ya dunia wajue kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu na kwamba hakuna mwingine.

KI1 8:61 Removed trailing space in v~: Lakini ni lazima mwiweke mioyo yenu kikamilifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kuishi kwa maagizo yake na kutii amri zake, kama ilivyo wakati huu.”

KI1 8:61 Removed trailing space in s1: Kuwekwa Wakfu Hekalu

KI1 8:61 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 7:4-10)

KI1 8:62 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme na Israeli wote pamoja naye wakatoa dhabihu mbele za \nd Bwana\nd*.

KI1 8:63 Removed trailing space in v~: Solomoni akatoa dhabihu sadaka za amani kwa \nd Bwana\nd*: ngʼombe 22,000, pamoja na kondoo na mbuzi 120,000. Hivyo ndivyo mfalme na Waisraeli wote walivyoweka wakfu Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI1 8:64 Removed trailing space in v~: Siku iyo hiyo mfalme akaweka wakfu sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na hapo akatoa sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba iliyokuwa mbele za \nd Bwana\nd* ilikuwa ndogo sana kuweza kubeba sadaka hizo za kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta ya sadaka ya amani.

KI1 8:65 Removed trailing space in v~: Hivyo Solomoni akaiadhimisha sikukuu kwa wakati ule, na Israeli wote pamoja naye. Walikuwa kusanyiko kubwa sana, watu kutoka Lebo-Hamathi hadi Kijito cha Misri. Wakaiadhimisha mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu kwa siku saba na siku saba zaidi, yaani, jumla siku kumi na nne.

KI1 8:66 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata, aliwaruhusu watu waondoke. Wakambariki mfalme, kisha wakaenda nyumbani, wakiwa na mashangilio na furaha rohoni kwa ajili ya mambo yote mema ambayo \nd Bwana\nd* ametenda kwa ajili ya Daudi mtumishi wake na watu wake Israeli.

KI1 10:0 Extra space after chapter number

KI1 10:0 Removed trailing space in c: 10

KI1 10:0 Removed trailing space in s1: Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni

KI1 10:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 9:1-12)

KI1 10:1 Removed trailing space in v~: Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Solomoni na uhusiano wake na jina la \nd Bwana\nd*, akaja kumjaribu kwa maswali magumu.

KI1 10:2 Removed trailing space in v~: Alifika Yerusalemu akiwa na msafara mkubwa sana: pamoja na ngamia waliobeba vikolezi, kiasi kikubwa cha dhahabu na vito vya thamani; alikuja kwa Solomoni na kuzungumza naye kuhusu yote ambayo alikuwa nayo moyoni mwake.

KI1 10:3 Removed trailing space in v~: Solomoni akamjibu maswali yake yote, hakukuwa na jambo lolote lililokuwa gumu kwa mfalme asiweze kumwelezea.

KI1 10:4 Removed trailing space in v~: Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,

KI1 10:5 Removed trailing space in v~: chakula kilichokuwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa, wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika hekalu la \nd Bwana\nd*, alipatwa na mshangao.

KI1 10:6 Removed trailing space in v~: Akamwambia mfalme, “Taarifa niliyosikia kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu mafanikio na hekima yako ni kweli.

KI1 10:7 Removed trailing space in v~: Lakini sikuamini mambo haya hadi nilipokuja na kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam, sikuambiwa hata nusu yake; katika hekima na mali umezidi sana ile taarifa niliyoisikia.

KI1 10:8 Removed trailing space in v~: Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!

KI1 10:9 Removed trailing space in v~: Ahimidiwe \nd Bwana\nd* Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe na kukuweka juu ya kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya upendo wake \nd Bwana\nd* wa milele ajili ya Israeli, amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na uadilifu.”

KI1 10:10 Removed trailing space in v~: Naye akampa mfalme talanta 120\f + \fr 10:10 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.\f* za dhahabu, kiasi kikubwa sana cha vikolezi na vito vya thamani. Haikuwahi kamwe kuletwa tena vikolezi vingi hivyo kuletwa kama vile malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni.

KI1 10:11 Removed trailing space in v~: (Meli za Hiramu zilileta dhahabu kutoka Ofiri; tena kutoka huko zilileta shehena kubwa ya miti ya msandali na vito vya thamani.

KI1 10:12 Removed trailing space in v~: Mfalme akatumia miti ya msandali kuwa nguzo ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na kwa jumba la kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha msandali hakijawahi kuingizwa au kuonekana humo tangu siku ile.)

KI1 10:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotamani na kukiomba, kando na vile mfalme alivyokuwa amempa kwa ukarimu wake wa kifalme. Kisha malkia akaondoka na kurudi katika nchi yake, yeye na watumishi wake.

KI1 10:13 Removed trailing space in s1: Fahari Ya Solomoni

KI1 10:13 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 9:13-28)

KI1 10:14 Removed trailing space in v~: Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,\f + \fr 10:14 \ft Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25.\f*

KI1 10:15 Removed trailing space in v~: mbali na mapato kutoka kwa wafanyabiashara na wachuuzi, na kutoka kwa wafalme wote wa Kiarabu na watawala wa nchi.

KI1 10:16 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatengeneza ngao kubwa 200 kwa dhahabu iliyofuliwa; kila ngao ilikuwa na dhahabu yenye uzito wa shekeli 600\f + \fr 10:16 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5.\f*

KI1 10:17 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pia ngao ndogo 300 za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa na uzito wa mane tatu\f + \fr 10:17 \ft Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7.\f* za dhahabu. Mfalme akaziweka katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni.

KI1 10:18 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na kukifunika kwa dhahabu safi.

KI1 10:19 Removed trailing space in v~: Kiti hicho kilikuwa na ngazi sita na egemeo la nyuma lilikuwa la mviringo kwa juu. Pande zote za kiti kulikuwa na mahali pa kuegemeza mikono, na simba wawili wakisimama kando ya hiyo mikono.

KI1 10:20 Removed trailing space in v~: Simba kumi na wawili walisimama kwenye ngazi sita, mmoja katika kila upande wa kila ngazi. Hakuna kitu kama hicho kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme mwingine wowote.

KI1 10:21 Removed trailing space in v~: Vikombe vyote vya Mfalme Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo siku za Solomoni.

KI1 10:22 Removed trailing space in v~: Mfalme alikuwa na meli nyingi za biashara\f + \fr 10:22 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).\f* baharini zilizokuwa zikiandamana na meli za Hiramu. Kwa mara moja kila miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe za ndovu na nyani wakubwa na wadogo.

KI1 10:22 Found unexpected backslash in footnote: 10:22 Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).

KI1 10:23 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

KI1 10:24 Removed trailing space in v~: Dunia yote ikatafuta kukutana na Solomoni ili kusikia hekima ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.

KI1 10:25 Removed trailing space in v~: Mwaka baada ya mwaka, kila mmoja ambaye alikuja alileta zawadi: vyombo vya fedha na dhahabu, majoho, silaha na vikolezi, farasi na nyumbu.

KI1 10:26 Removed trailing space in v~: Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu.

KI1 10:27 Removed trailing space in v~: Mfalme akafanya fedha kuwa kitu cha kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.

KI1 10:28 Removed trailing space in v~: Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue.\f + \fr 10:28 \ft Yaani Kilikia ilioko Syria.\f* Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.

KI1 10:29 Removed trailing space in v~: Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha\f + \fr 10:29 \ft Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7.\f* na farasi kwa shekeli 150.\f + \fr 10:29 \ft Shekeli 150 za fedha ni sawa na kilo 1.7.\f* Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.\f + \fr 10:29 \ft Waaramu hapa ina maana ya Washamu.\f*

KI1 11:0 Extra space after chapter number

KI1 11:0 Removed trailing space in c: 11

KI1 11:0 Removed trailing space in s1: Wakeze Solomoni

KI1 11:1 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Mfalme Solomoni akawapenda wanawake wengi wa kigeni zaidi, mbali na binti Farao: wanawake wa Wamoabu, Waamoni, Waedomu, Wasidoni na Wahiti.

KI1 11:2 Removed trailing space in v~: Walitoka katika mataifa ambayo \nd Bwana\nd* aliwaambia Waisraeli, “Msije mkaoana nao, kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu mgeukie miungu yao.” Hata hivyo, Solomoni akakaza kuwapenda.

KI1 11:3 Removed trailing space in v~: Alikuwa na wake 700 mabinti wa uzao wa kifalme, na masuria 300, nao wake zake wakampotosha.

KI1 11:4 Removed trailing space in v~: Kadiri Solomoni alivyozidi kuzeeka, wake zake wakaugeuza moyo wake kuelekea miungu mingine, na moyo wake haukujitolea kikamilifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.

KI1 11:5 Removed trailing space in v~: Solomoni akafuata Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, na Moleki\f + \fr 11:5 \ft Moleki au Milkomu ni mungu aliyekuwa akiabudiwa na Waamoni; alikuwa chukizo kwa sababu watoto walitolewa kafara kwake.\f* mungu aliyekuwa chukizo la Waamoni.

KI1 11:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Solomoni akafanya uovu machoni pa \nd Bwana\nd*; hakumfuata \nd Bwana\nd* kikamilifu kama alivyofanya Daudi baba yake.

KI1 11:7 Removed trailing space in v~: Kwenye kilima mashariki mwa Yerusalemu, Solomoni akajenga mahali pa juu kwa ajili ya Kemoshi chukizo la Wamoabu, na kwa Moleki mungu chukizo la Waamoni.

KI1 11:8 Removed trailing space in v~: Akafanya hivyo kwa wake zake wote wa kigeni, ambao walifukiza uvumba na kutoa dhabihu kwa miungu yao.

KI1 11:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamkasirikia Solomoni kwa sababu moyo wake uligeuka mbali na \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye alikuwa amemtokea mara mbili.

KI1 11:10 Removed trailing space in v~: Ingawa alikuwa amemkataza Solomoni kufuata miungu mingine, Solomoni hakutii amri ya \nd Bwana\nd*.

KI1 11:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa hii ndiyo hali yako na hukushika Agano langu na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme kutoka kwako na kumpa mmoja wa walio chini yako.

KI1 11:12 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi baba yako, sitafanya jambo hili wakati wa uhai wako. Nitaurarua kutoka mikononi mwa mwanao.

KI1 11:13 Removed trailing space in v~: Lakini pia sitaurarua ufalme wote kutoka kwake, bali nitampa kabila moja kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu na kwa ajili ya Yerusalemu, ambao nimeuchagua.”

KI1 11:13 Removed trailing space in s1: Adui Za Solomoni

KI1 11:14 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwinua adui dhidi ya Solomoni, Hadadi, Mwedomu, kutoka ukoo wa ufalme wa Edomu.

KI1 11:15 Removed trailing space in v~: Huko nyuma wakati Daudi alipokuwa akipigana na Edomu, Yoabu jemadari wa jeshi, aliyekuwa amekwenda kuzika waliouawa, alikuwa amewaua wanaume wote waliokuwako Edomu.

KI1 11:16 Removed trailing space in v~: Yoabu na Waisraeli wote walikaa huko kwa miezi sita, mpaka walipomaliza kuwaangamiza wanaume wote huko Edomu.

KI1 11:17 Removed trailing space in v~: Lakini Hadadi, akiwa bado mvulana mdogo, alikimbilia Misri akiwa na baadhi ya maafisa wa Kiedomu waliokuwa wakimhudumia baba yake.

KI1 11:18 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Midiani wakaenda Parani. Basi wakichukua pamoja nao wanaume kutoka Parani, wakaenda Misri, kwa Farao mfalme wa Misri, ambaye alimpa Hadadi nyumba, ardhi na akampatia chakula.

KI1 11:19 Removed trailing space in v~: Farao akapendezwa sana na Hadadi hata akampa ndugu wa mkewe mwenyewe, Malkia Tapenesi, ili aolewe na Hadadi.

KI1 11:20 Removed trailing space in v~: Huyo ndugu wa Tapenesi akamzalia mwana aliyeitwa Genubathi, ambaye alilelewa na Tapenesi katika jumba la kifalme. Huko Genubathi aliishi pamoja na watoto wa Farao mwenyewe.

KI1 11:21 Removed trailing space in v~: Alipokuwa huko Misri, Hadadi alisikia kwamba Daudi amepumzika na baba zake na ya kwamba pia Yoabu aliyekuwa jemadari wa jeshi amekufa. Ndipo Hadadi akamwambia Farao, “Niruhusu niende ili niweze kurudi katika nchi yangu.”

KI1 11:22 Removed trailing space in v~: Farao akauliza, “Umekosa nini hapa, kwamba unataka kurudi katika nchi yako?”

KI1 11:22 Removed trailing space in p~: Hadadi akajibu, “Hakuna, lakini niruhusu niende!”

KI1 11:23 Removed trailing space in v~: Mungu akamwinua adui mwingine dhidi ya Solomoni, Rezoni mwana wa Eliada, ambaye alikuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri, mfalme wa Soba.

KI1 11:24 Removed trailing space in v~: Akawakusanya watu, naye akawa kiongozi wa kundi la waasi, wakati Daudi alipoangamiza majeshi ya Soba; waasi walikwenda Dameski, mahali walipokaa na kumiliki.

KI1 11:25 Removed trailing space in v~: Rezoni alikuwa adui wa Israeli kwa muda wote alioishi Solomoni, ukiongezea matatizo yaliyosababishwa na Hadadi. Kwa hiyo Rezoni akatawala katika Aramu\f + \fr 11:25 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).\f* na alikuwa mkatili kwa Israeli.

KI1 11:25 Removed trailing space in s1: Yeroboamu Anaasi Dhidi Ya Solomoni

KI1 11:26 Removed trailing space in v~: Pia, Yeroboamu mwana wa Nebati aliasi dhidi ya mfalme. Alikuwa mmoja wa maafisa wa Solomoni, Mwefraimu kutoka Sereda, ambaye mama yake alikuwa mjane aliyeitwa Serua.

KI1 11:27 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maelezo ya jinsi alivyomwasi mfalme: Solomoni alikuwa amejenga Milo\f + \fr 11:27 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.\f* naye akawa ameziba mwanya katika ukuta wa mji wa Daudi baba yake.

KI1 11:28 Removed trailing space in v~: Basi Yeroboamu alikuwa mtu shujaa na hodari, naye Solomoni alipoona jinsi kijana alivyofanya kazi yake, akamweka kuwa kiongozi wa kazi yote ya mikono ya nyumba ya Yosefu.

KI1 11:29 Removed trailing space in v~: Karibu na wakati ule Yeroboamu alikuwa anatoka nje ya Yerusalemu, Ahiya nabii Mshiloni akakutana naye njiani, akiwa amevaa joho jipya. Hawa wawili walikuwa peke yao mashambani,

KI1 11:30 Removed trailing space in v~: naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa amevaa akalirarua vipande kumi na viwili.

KI1 11:31 Removed trailing space in v~: Kisha akamwambia Yeroboamu, “Chukua vipande kumi kwa ajili yako, kwa kuwa hivi ndivyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli asemavyo: ‘Tazama, ninakwenda kuuchana ufalme kutoka mikononi mwa Solomoni na kukupa wewe makabila kumi.

KI1 11:32 Removed trailing space in v~: Lakini kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi na mji wa Yerusalemu, ambao nimeuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli, atakuwa na kabila moja.

KI1 11:33 Removed trailing space in v~: Nitafanya hivi kwa sababu wameniacha mimi na kuabudu Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi mungu wa Wamoabu, na Moleki mungu wa Waamoni, nao hawakwenda katika njia zangu ili kufanya yaliyo sawa machoni pangu, wala kushika amri na sheria zangu kama Daudi, babaye Solomoni, alivyofanya.

KI1 11:34 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini sitauondoa ufalme wote kutoka mikononi mwa Solomoni, nimemfanya mtawala siku zote za maisha yake kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, niliyemchagua na ambaye aliyatunza maagizo na amri zangu.

KI1 11:35 Removed trailing space in v~: Nitauondoa ufalme kutoka mikononi mwa mwanawe na kukupa wewe makabila kumi.

KI1 11:36 Removed trailing space in v~: Nitampa mwanawe kabila moja ili kwamba Daudi mtumishi wangu awe na taa mbele zangu daima katika Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua kuweka Jina langu.

KI1 11:37 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kukuhusu wewe Yeroboamu, nitakutwaa, nawe utatawala juu ya yote yale moyo wako unayotamani, utakuwa mfalme juu ya Israeli.

KI1 11:38 Removed trailing space in v~: Ikiwa utafanya kila nitakalokuamuru, kuenenda katika njia zangu na kufanya yaliyo sawa mbele za macho yangu kwa kuzishika amri zangu na maagizo yangu kama alivyofanya Daudi mtumishi wangu, nitakuwa pamoja nawe. Nitakujengea ufalme utakaodumu kama ule niliomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.

KI1 11:39 Removed trailing space in v~: Nitawatesa wazao wa Daudi kwa ajili ya hili, lakini siyo milele.’ ”

KI1 11:40 Removed trailing space in v~: Solomoni akajaribu kumuua Yeroboamu, lakini Yeroboamu akakimbilia Misri, kwa Mfalme Shishaki, naye akakaa huko mpaka Solomoni alipofariki.

KI1 11:40 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Solomoni

KI1 11:40 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 9:29-31)

KI1 11:41 Removed trailing space in v~: Kwa habari za matukio mengine ya utawala wa Solomoni, yote aliyoyafanya na hekima aliyoionyesha, je hayakuandikwa yote katika kitabu cha matendo cha Solomoni?

KI1 11:42 Removed trailing space in v~: Solomoni alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.

KI1 11:43 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 12:0 Extra space after chapter number

KI1 12:0 Removed trailing space in c: 12

KI1 12:0 Removed trailing space in s1: Israeli Yaasi Dhidi Ya Rehoboamu

KI1 12:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 10:1-19)

KI1 12:1 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa kuwa Waisraeli wote walikuwa wamekwenda huko kumfanya yeye kuwa mfalme.

KI1 12:2 Removed trailing space in v~: Yeroboamu mwana wa Nebati aliposikia hili (alikuwa bado yuko Misri alikokuwa amekimbilia awe mbali na Mfalme Solomoni), akarudi kutoka Misri.

KI1 12:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakatuma watu kumwita Yeroboamu, yeye na kusanyiko lote la Israeli wakamwendea Rehoboamu na kumwambia,

KI1 12:4 Removed trailing space in v~: “Baba yako aliweka nira nzito juu yetu, lakini sasa tupunguzie kazi za kikatili na nira nzito aliyoweka juu yetu, nasi tutakutumikia.”

KI1 12:5 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.

KI1 12:6 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee ambao walimtumikia Solomoni baba yake wakati wa uhai wake akawauliza, “Mnanishauri nini katika kuwajibu watu hawa?”

KI1 12:7 Removed trailing space in v~: Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”

KI1 12:8 Removed trailing space in v~: Lakini Rehoboamu akakataa shauri alilopewa na wazee na akataka ushauri kwa vijana wanaume rika lake waliokuwa wakimtumikia.

KI1 12:9 Removed trailing space in v~: Akawauliza, “Ninyi ushauri wenu ni nini? Tutawajibuje watu hawa wanaoniambia, ‘Ifanye nyepesi nira baba yako aliyoweka juu yetu?’ ”

KI1 12:10 Removed trailing space in v~: Wale vijana wa rika lake wakamjibu, “Waambie watu hawa waliokuambia, ‘Baba yako aliweka nira nzito juu yetu, lakini ifanye nira yetu nyepesi,’ kuwa, ‘Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.

KI1 12:11 Removed trailing space in v~: Baba yangu aliweka nira nzito juu yenu, mimi nitaifanya hata iwe nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.’ ”

KI1 12:12 Removed trailing space in v~: Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu wote wakamrudia Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amesema, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.”

KI1 12:13 Removed trailing space in v~: Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee,

KI1 12:14 Removed trailing space in v~: akafuata shauri la vijana wa rika lake na kusema, “Baba yangu alifanya nira yenu kuwa nzito, mimi nitaifanya kuwa nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.”

KI1 12:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa jambo hili lilitoka kwa \nd Bwana\nd*, ili kutimiza neno ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amenena kwa Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya Mshiloni.

KI1 12:16 Removed trailing space in v~: Israeli wote walipoona kuwa mfalme amekataa kuwasikiliza, wakamjibu mfalme:

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: “Tuna fungu gani kwa Daudi?

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: Sisi hatuna urithi kwa mwana wa Yese.

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: Nendeni kwenye mahema yenu, ee Israeli!

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: Angalia nyumba yako mwenyewe, ee Daudi!”

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: Hivyo Waisraeli wakaenda kwenye mahema yao.

KI1 12:17 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari ya Waisraeli waliokuwa wakiishi katika miji ya Yuda, Rehoboamu akaendelea kuwatawala bado.

KI1 12:18 Removed trailing space in v~: Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu, akafanikiwa kuingia kwenye gari lake na kutorokea Yerusalemu.

KI1 12:19 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.

KI1 12:20 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote waliposikia kwamba Yeroboamu amerudi, wakatuma watu na kumwita kwenye kusanyiko na kumfanya mfalme juu ya Israeli yote. Ni kabila la Yuda peke yake lililobaki kuwa tiifu kwa nyumba ya Daudi.

KI1 12:21 Removed trailing space in v~: Ikawa Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akakusanya nyumba yote ya Yuda na kabila la Benyamini, wanaume wapiganaji 180,000, kufanya vita dhidi ya nyumba ya Israeli na kuurudisha tena ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Solomoni.

KI1 12:22 Removed trailing space in v~: Lakini neno hili la Mungu likamjia Shemaya mtu wa Mungu:

KI1 12:23 Removed trailing space in v~: “Mwambie Rehoboamu mwana wa Solomoni mfalme wa Yuda, na nyumba yote ya Yuda na Benyamini, na watu wengine wote,

KI1 12:24 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Msipande kupigana dhidi ya ndugu zenu, Waisraeli. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu, kwa kuwa hili nimelitenda mimi.’ ” Kwa hiyo wakalitii neno la \nd Bwana\nd* na kurudi nyumbani, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa ameagiza.

KI1 12:24 Removed trailing space in s1: Ndama Wa Dhahabu Huko Betheli Na Dani

KI1 12:25 Removed trailing space in v~: Kisha Yeroboamu akajenga Shekemu akaizungushia ngome katika nchi ya vilima ya Efraimu na akaishi huko. Akatoka huko, akaenda akajenga Penueli.\f + \fr 12:25 \ft Jina lingine ni Penieli kwa Kiebrania.\f*

KI1 12:26 Removed trailing space in v~: Yeroboamu akawaza moyoni mwake, “Sasa inawezekana ufalme ukarudi katika nyumba ya Daudi.

KI1 12:27 Removed trailing space in v~: Kama watu hawa watapanda kwenda kutoa dhabihu katika Hekalu la \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu, mioyo yao itamrudia bwana wao, Rehoboamu mfalme wa Yuda. Wataniua mimi na kurudi kwa Mfalme Rehoboamu.”

KI1 12:28 Removed trailing space in v~: Baada ya kutafuta shauri, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu. Akawaambia watu, “Ni gharama kubwa kwenu kukwea kwenda Yerusalemu. Hii hapa miungu yenu, ee Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”

KI1 12:29 Removed trailing space in v~: Ndama mmoja akamweka Betheli na mwingine Dani.

KI1 12:30 Removed trailing space in v~: Nalo jambo hili likawa dhambi, watu wakawa wanaenda hadi Dani kumwabudu huyo aliyewekwa huko.

KI1 12:31 Removed trailing space in v~: Yeroboamu akajenga madhabahu mahali pa juu pa kuabudia miungu na kuwateua makuhani kutoka watu wa aina zote, ijapokuwa hawakuwa Walawi.

KI1 12:32 Removed trailing space in v~: Pia Yeroboamu akaweka sikukuu katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, kama sikukuu iliyokuwa ikifanyika huko Yuda, na akatoa dhabihu juu ya madhabahu. Akafanya hivyo huko Betheli akitoa dhabihu kwa ndama alizotengeneza. Huko Betheli akawaweka makuhani, na pia katika sehemu za juu za kuabudia miungu alizozitengeneza.

KI1 12:33 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, mwezi aliouchagua mwenyewe, alitoa dhabihu juu ya madhabahu aliyokuwa amejenga huko Betheli. Kwa hiyo akaweka sikukuu kwa ajili ya Waisraeli na akapanda madhabahuni kutoa sadaka.

KI1 13:0 Extra space after chapter number

KI1 13:0 Removed trailing space in c: 13

KI1 13:0 Removed trailing space in s1: Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda

KI1 13:1 Removed trailing space in v~: Kwa neno la \nd Bwana\nd*, mtu wa Mungu alifika Betheli kutoka Yuda wakati Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya madhabahu ili kutoa sadaka.

KI1 13:2 Removed trailing space in v~: Akapiga kelele dhidi ya madhabahu kwa neno la \nd Bwana\nd*: “Ee madhabahu, madhabahu! Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Mwana aitwaye Yosia atazaliwa katika nyumba ya Daudi. Juu yako atawatoa dhabihu makuhani wa mahali pa juu pa kuabudia miungu wale ambao wanatoa sadaka hapa sasa, nayo mifupa ya wanadamu itachomwa juu yako.’ ”

KI1 13:3 Removed trailing space in v~: Siku iyo hiyo, mtu wa Mungu akatoa ishara: “Hii ndiyo ishara \nd Bwana\nd* aliyotangaza: Madhabahu haya yatapasuka na majivu yaliyo juu yake yatamwagika.”

KI1 13:4 Removed trailing space in v~: Mfalme Yeroboamu aliposikia kile mtu wa Mungu alichosema, alipopiga kelele dhidi ya madhabahu huko Betheli, akanyoosha mkono wake kutoka madhabahuni na kusema, “Mkamate!” Lakini mkono aliokuwa ameunyoosha kumwelekea yule mtu ukasinyaa na kubaki hapo hapo, kiasi kwamba hakuweza kuurudisha.

KI1 13:5 Removed trailing space in v~: Pia, madhabahu yalipasuka na majivu yakamwagika sawasawa na ishara iliyotolewa na mtu wa Mungu kwa neno la \nd Bwana\nd*.

KI1 13:6 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akamwambia mtu wa Mungu, “Niombee kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako ili mkono wangu upate kupona.” Kwa hiyo mtu wa Mungu akamwombea kwa \nd Bwana\nd*, nao mkono wa mfalme ukapona na kuwa kama ulivyokuwa hapo kwanza.

KI1 13:7 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia yule mtu wa Mungu, “Twende nyumbani kwangu upate chakula, nami nitakupa zawadi.”

KI1 13:8 Removed trailing space in v~: Lakini yule mtu wa Mungu akamjibu mfalme, “Hata kama ungenipa nusu ya mali zako, nisingekwenda pamoja na wewe, wala nisingekula mkate au kunywa maji hapa.

KI1 13:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa niliagizwa kwa neno la \nd Bwana\nd*: ‘Kamwe usile mkate wala usinywe maji au kurudi kwa njia uliyojia.’ ”

KI1 13:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akafuata njia nyingine na hakurudi kupitia njia ile ambayo alikuwa ameijia Betheli.

KI1 13:11 Removed trailing space in v~: Basi kulikuwepo na nabii fulani mzee aliyekuwa anaishi Betheli, ambaye wanawe walikuja kumwambia yote ambayo mtu wa Mungu alikuwa ameyafanya pale siku ile. Pia wakamwambia baba yao yale aliyomwambia mfalme.

KI1 13:12 Removed trailing space in v~: Baba yao akawauliza, “Ameelekea njia gani?” Nao wanawe wakamwonyesha ile njia yule mtu wa Mungu kutoka Yuda aliyopita.

KI1 13:13 Removed trailing space in v~: Hivyo akawaambia wanawe, “Nitandikieni punda.” Walipokwisha kumtandikia punda, akampanda

KI1 13:14 Removed trailing space in v~: na kumfuatilia yule mtu wa Mungu. Akamkuta ameketi chini ya mwaloni na akamuuliza, “Je, wewe ndiwe mtu wa Mungu kutoka Yuda?”

KI1 13:14 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Mimi ndiye.”

KI1 13:15 Removed trailing space in v~: Basi nabii akamwambia, “Karibu nyumbani pamoja na mimi ule.”

KI1 13:16 Removed trailing space in v~: Yule mtu wa Mungu akasema, “Siwezi kurudi na kwenda nawe, wala siwezi kula mkate au kunywa maji pamoja nawe mahali hapa.

KI1 13:17 Removed trailing space in v~: Nimeambiwa kwa neno la \nd Bwana\nd*: ‘Kamwe usile mkate au kunywa maji huko au kurudia njia uliyojia.’ ”

KI1 13:18 Removed trailing space in v~: Yule nabii mzee akajibu, “Mimi pia ni nabii, kama wewe. Naye malaika alisema nami kwa neno la \nd Bwana\nd*: ‘Mrudishe aje katika nyumba yako ili apate kula mkate na kunywa maji.’ ” (Lakini alikuwa akimwambia uongo.)

KI1 13:19 Removed trailing space in v~: Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.

KI1 13:20 Removed trailing space in v~: Wakati walipokuwa wameketi mezani, neno la \nd Bwana\nd* likamjia yule nabii mzee aliyemrudisha huyo mtu wa Mungu.

KI1 13:21 Removed trailing space in v~: Akampazia sauti yule mtu wa Mungu aliyekuwa ametoka Yuda, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Umeasi neno la \nd Bwana\nd* na hukushika amri uliyopewa na \nd Bwana\nd* Mungu wako,

KI1 13:22 Removed trailing space in v~: bali ulirudi na ukala mkate na kunywa maji mahali ambapo alikuambia usile wala usinywe. Kwa hiyo maiti yako haitazikwa katika kaburi la baba zako.’ ”

KI1 13:23 Removed trailing space in v~: Wakati huyo mtu wa Mungu alipomaliza kula na kunywa, nabii aliyekuwa amemrudisha akamtandikia punda wake.

KI1 13:24 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akienda akakutana na simba njiani, akamuua na maiti yake ikabwagwa barabarani, yule punda wake na simba wakiwa wamesimama karibu yake.

KI1 13:25 Removed trailing space in v~: Baadhi ya watu waliopita pale waliona maiti imebwagwa pale chini, simba akiwa amesimama kando ya maiti, wakaenda na kutoa habari katika mji ambao nabii mzee aliishi.

KI1 13:26 Removed trailing space in v~: Yule nabii aliyekuwa amemrudisha kutoka safari yake aliposikia habari hii akasema, “Ni yule mtu wa Mungu ambaye aliasi neno la \nd Bwana\nd*. \nd Bwana\nd* amemtoa kwa simba, ambaye amemrarua na kumuua, sawasawa na neno la \nd Bwana\nd* lilivyokuwa limemwonya.”

KI1 13:27 Removed trailing space in v~: Nabii akawaambia wanawe, “Nitandikieni punda,” nao wakafanya hivyo.

KI1 13:28 Removed trailing space in v~: Kisha akatoka akaenda akakuta maiti imebwagwa chini barabarani, punda na simba wakiwa wamesimama kando yake. Simba hakuwa amekula ile maiti wala kumrarua punda.

KI1 13:29 Removed trailing space in v~: Basi yule nabii mzee akachukua maiti ya mtu wa Mungu, akailaza juu ya punda na akairudisha katika mji wake, ili amwombolezee na kumzika.

KI1 13:30 Removed trailing space in v~: Kisha akailaza ile maiti katika kaburi lake huyo nabii mzee, nao wakaomboleza juu yake na kusema, “Ee ndugu yangu!”

KI1 13:31 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzika, akawaambia wanawe, “Wakati nitakapokufa, mnizike kwenye kaburi alimozikwa huyu mtu wa Mungu; lazeni mifupa yangu kando ya mifupa yake.

KI1 13:32 Removed trailing space in v~: Kwa maana ujumbe alioutangaza kwa neno la \nd Bwana\nd* dhidi ya madhabahu huko Betheli na dhidi ya madhabahu yote katika mahali pa juu pa kuabudia miungu katika miji ya Samaria, hakika yatatokea kweli.”

KI1 13:33 Removed trailing space in v~: Hata baada ya haya, Yeroboamu hakubadili njia zake mbaya, lakini mara nyingine tena akaweka makuhani kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia miungu kutoka watu wa aina zote. Yeyote aliyetaka kuwa kuhani alimweka wakfu kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia miungu.

KI1 13:34 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndiyo dhambi ya nyumba ya Yeroboamu ambayo iliisababishia kuanguka na kuangamia kwake hadi kutoweka kwenye uso wa dunia.

KI1 14:0 Extra space after chapter number

KI1 14:0 Removed trailing space in c: 14

KI1 14:0 Removed trailing space in s1: Unabii Wa Ahiya Dhidi Ya Yeroboamu

KI1 14:1 Removed trailing space in v~: Wakati ule Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,

KI1 14:2 Removed trailing space in v~: naye Yeroboamu akamwambia mke wake, “Nenda ukajibadilishe, ili watu wasijue kwamba wewe ni mke wa Yeroboamu. Kisha uende Shilo. Nabii Ahiya yuko huko, yule aliyeniambia kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.

KI1 14:3 Removed trailing space in v~: Chukua mikate kumi, maandazi kadhaa na gudulia la asali na umwendee. Atakuambia kitakachotokea kwa kijana.”

KI1 14:4 Removed trailing space in v~: Basi mke wa Yeroboamu akafanya kama alivyosema mumewe, akaenda kwenye nyumba ya Ahiya huko Shilo.

KI1 14:4 Removed trailing space in p~: Wakati huu Ahiya alikuwa kipofu naye alishindwa kuona kwa sababu ya umri wake.

KI1 14:5 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Ahiya, “Mke wa Yeroboamu anakuja kukuuliza kuhusu mwanawe, kwa kuwa ni mgonjwa, nawe utamjibu hivi na hivi. Atakapowasili, atajifanya kuwa ni mtu mwingine.”

KI1 14:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Ahiya aliposikia kishindo cha hatua zake mlangoni, akasema, “Karibu ndani, mke wa Yeroboamu. Kwa nini kujibadilisha? Nimetumwa kwako nikiwa na habari mbaya.

KI1 14:7 Removed trailing space in v~: Nenda, ukamwambie Yeroboamu kwamba hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Nilikuinua miongoni mwa watu na kukufanya kiongozi juu ya watu wangu Israeli.

KI1 14:8 Removed trailing space in v~: Nikararua ufalme kutoka kwa nyumba ya Daudi na kukupa wewe, lakini hukuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye aliyashika maagizo yangu na kunifuata kwa moyo wake wote, akifanya tu lile lililokuwa sawa machoni pangu.

KI1 14:9 Removed trailing space in v~: Umefanya maovu mengi kuliko wote waliokutangulia. Umejitengenezea miungu mingine, sanamu za chuma, umenighadhibisha na kunitupa nyuma yako.

KI1 14:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu ya hili, nitaleta maafa juu ya nyumba ya Yeroboamu. Nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu kila mzaliwa wa mwisho wa kiume katika Israeli, mtumwa au mtu huru. Nitachoma nyumba ya Yeroboamu mpaka iteketee yote kama mtu achomaye kinyesi.

KI1 14:11 Removed trailing space in v~: Mbwa watawala wale walio wa nyumba ya Yeroboamu watakaofia ndani ya mji na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani. \nd Bwana\nd* amesema!’

KI1 14:12 Removed trailing space in v~: “Kukuhusu wewe, rudi nyumbani. Wakati utakapotia mguu katika mji wako, kijana atakufa.

KI1 14:13 Removed trailing space in v~: Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Kwa sababu ni yeye pekee wa nyumba ya Yeroboamu atakayezikwa, kwa sababu ni yeye peke yake ndani ya nyumba ya Yeroboamu ambaye \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ameona kitu chema kwake.

KI1 14:14 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* atajiinulia mwenyewe mfalme juu ya Israeli ambaye ataikatilia mbali jamaa ya Yeroboamu. Siku ndiyo hii! Nini? Naam, hata sasa hivi.

KI1 14:15 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* ataipiga Israeli, hata iwe kama unyasi unaosukwasukwa juu ya maji. Ataingʼoa Israeli kutoka nchi hii nzuri aliyowapa baba zao na kuwatawanya ngʼambo ya Mto Frati, kwa sababu wamemghadhibisha \nd Bwana\nd* kwa kutengeneza nguzo za Ashera\f + \fr 14:15 \ft Yaani mfano wa mungu wa kike Ashera.\f*

KI1 14:16 Removed trailing space in v~: Naye atawaacha Israeli kwa ajili ya makosa ya Yeroboamu aliyoyatenda na kusababisha Israeli kuyatenda.”

KI1 14:17 Removed trailing space in v~: Kisha mke wa Yeroboamu akainuka, akaondoka kwenda Tirsa. Mara alipokanyaga kizingiti cha mlango, kijana akafa.

KI1 14:18 Removed trailing space in v~: Wakamzika na Israeli yote ikamwombolezea, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake, nabii Ahiya.

KI1 14:19 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yeroboamu, vita vyake na jinsi alivyotawala, vimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.

KI1 14:20 Removed trailing space in v~: Yeroboamu akawatawala kwa miaka ishirini na miwili, kisha akalala na baba zake. Naye Nadabu mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 14:20 Removed trailing space in s1: Rehoboamu Mfalme Wa Yuda

KI1 14:20 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 11:5–12:15)

KI1 14:21 Removed trailing space in v~: Rehoboamu mwana wa Solomoni alikuwa mfalme wa Yuda. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipoanza kutawala, naye akatawala miaka kumi na saba huko Yerusalemu, mji ambao \nd Bwana\nd* alikuwa ameuchagua kutoka makabila yote ya Israeli ili apate kuliweka humo Jina lake. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni.

KI1 14:22 Removed trailing space in v~: Yuda wakatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*. Kwa dhambi walizotenda wakachochea hasira yake yenye wivu zaidi kuliko baba zao walivyofanya.

KI1 14:23 Removed trailing space in v~: Pia wakajijengea mahali pa juu pa kuabudia miungu, mawe ya kuabudiwa na nguzo za Ashera juu ya kila kilima kilichoinuka na kila mti uliotanda.

KI1 14:24 Removed trailing space in v~: Walikuwepo hata wanaume mahanithi wa mahali pa ibada za sanamu katika nchi; watu wakajiingiza katika kutenda machukizo ya mataifa ambayo \nd Bwana\nd* aliyafukuza mbele ya Waisraeli.

KI1 14:25 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu.

KI1 14:26 Removed trailing space in v~: Akachukua hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao zote za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.

KI1 14:27 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.

KI1 14:28 Removed trailing space in v~: Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, walinzi walizichukua hizo ngao, na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.

KI1 14:29 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI1 14:30 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na vita vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.

KI1 14:31 Removed trailing space in v~: Naye Rehoboamu akalala na baba zake, na akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni. Naye Abiya\f + \fr 14:31 \ft Maandishi mengine ya Kiebrania yanamwita Abiyamu.\f* mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 15:0 Extra space after chapter number

KI1 15:0 Removed trailing space in c: 15

KI1 15:0 Removed trailing space in s1: Abiya Mfalme Wa Yuda

KI1 15:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 13:1–14:1)

KI1 15:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda,

KI1 15:2 Removed trailing space in v~: naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.\f + \fr 15:2 \ft Yaani Absalomu, maana yake Baba wa amani.\f*

KI1 15:3 Removed trailing space in v~: Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda kabla yake; moyo wake haukuwa mkamilifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake ulivyokuwa.

KI1 15:4 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, kwa ajili ya Daudi, \nd Bwana\nd* Mungu wake akampa taa katika Yerusalemu kwa kumwinua mwana atawale badala yake na kwa kuifanya Yerusalemu kuwa imara.

KI1 15:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Daudi alifanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* na hakushindwa kushika maagizo yote ya \nd Bwana\nd* siku zote za uhai wake, isipokuwa katika habari ya Uria, Mhiti.

KI1 15:6 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.

KI1 15:7 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa Abiya na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.

KI1 15:8 Removed trailing space in v~: Naye Abiya akalala na baba zake akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 15:8 Removed trailing space in s1: Asa Mfalme Wa Yuda

KI1 15:8 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 15:16–16:6)

KI1 15:9 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akawa mfalme wa Yuda,

KI1 15:10 Removed trailing space in v~: naye akatawala katika Yerusalemu miaka arobaini na mmoja. Bibi yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.

KI1 15:11 Removed trailing space in v~: Asa akatenda yaliyo mema machoni mwa \nd Bwana\nd*, kama alivyokuwa ametenda Daudi baba yake.

KI1 15:12 Removed trailing space in v~: Akawafukuza mahanithi wa mahali pa kuabudia miungu kutoka nchi na kuondoa sanamu zote ambazo baba zake walikuwa wametengeneza.

KI1 15:13 Removed trailing space in v~: Hata akamwondoa bibi yake Maaka kwenye wadhifa wake kama mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.

KI1 15:14 Removed trailing space in v~: Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa \nd Bwana\nd* kikamilifu maisha yake yote.

KI1 15:15 Removed trailing space in v~: Akaleta ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.

KI1 15:16 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zote za utawala wao.

KI1 15:17 Removed trailing space in v~: Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.

KI1 15:18 Removed trailing space in v~: Kisha Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imeachwa katika hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* na za jumba lake mwenyewe la kifalme. Akawakabidhi maafisa wake na kuwatuma kwa Ben-Hadadi mwana wa Tabrimoni, mwana wa Hezioni, mfalme wa Aramu,\f + \fr 15:18 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).\f* aliyekuwa akitawala Dameski.

KI1 15:19 Removed trailing space in v~: “Akasema na pawepo mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea zawadi ya fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”

KI1 15:20 Removed trailing space in v~: Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Akaishinda miji ya Iyoni, Dani, Abel-Beth-Maaka na Kinerethi yote, pamoja na Naftali.

KI1 15:21 Removed trailing space in v~: Wakati Baasha aliposikia hili, akaacha kuijenga Rama na akaenda kuishi Tirsa.

KI1 15:22 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Asa akatoa amri kwa Yuda yote, pasipo kumbagua hata mmoja, kubeba mawe na mbao kutoka Rama, ambazo Baasha alikuwa akitumia huko. Mfalme Asa akazitumia kujengea Geba iliyoko Benyamini na Mispa pia.

KI1 15:23 Removed trailing space in v~: Kwa matukio yote ya utawala wa Asa, mafanikio yake yote, yote aliyofanya na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Katika uzee wake, hata hivyo, alipata ugonjwa wa miguu.

KI1 15:24 Removed trailing space in v~: Kisha Asa akalala pamoja na baba zake na kuzikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Naye Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 15:24 Removed trailing space in s1: Nadabu Mfalme Wa Israeli

KI1 15:25 Removed trailing space in v~: Nadabu mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Asa wa Yuda, naye akatawala Israeli kwa miaka miwili.

KI1 15:26 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, akienenda katika njia za baba yake na katika dhambi yake, ambayo alisababisha Israeli kuifanya.

KI1 15:27 Removed trailing space in v~: Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akafanya shauri baya dhidi yake, naye akamuua huko Gibethoni, mji wa Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli yote walipokuwa wameuzingira.

KI1 15:28 Removed trailing space in v~: Baasha akamuua Nadabu katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, naye Baasha akaingia mahali pake kuwa mfalme.

KI1 15:29 Removed trailing space in v~: Mara tu alipoanza kutawala, aliua jamaa yote ya Yeroboamu. Hakumwachia Yeroboamu yeyote aliyekuwa hai, bali aliwaangamiza wote, kulingana na neno la \nd Bwana\nd* lililotolewa kupitia kwa mtumishi wake Ahiya Mshiloni,

KI1 15:30 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya dhambi alizokuwa amezitenda Yeroboamu na kusababisha Israeli kuzitenda, tena kwa sababu alimkasirisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

KI1 15:31 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Nadabu na yote aliyofanya, je hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 15:32 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli wakati wote wa utawala wao.

KI1 15:32 Removed trailing space in s1: Baasha Mfalme Wa Israeli

KI1 15:33 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme wa Israeli yote huko Tirsa, naye akatawala kwa miaka ishirini na minne.

KI1 15:34 Removed trailing space in v~: Akatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, akienenda katika njia za Yeroboamu na dhambi yake, ambayo alikuwa amesababisha Israeli kuitenda.

KI1 16:0 Extra space after chapter number

KI1 16:0 Removed trailing space in c: 16

KI1 16:1 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yehu mwana wa Hanani dhidi ya Baasha, kusema:

KI1 16:2 Removed trailing space in v~: “Nilikuinua kutoka mavumbini na kukufanya kiongozi wa watu wangu Israeli, lakini ukaenenda katika njia za Yeroboamu na kusababisha watu wangu Israeli kutenda dhambi na kunikasirisha kwa dhambi zao.

KI1 16:3 Removed trailing space in v~: Basi nitamwangamiza Baasha pamoja na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwanawe Nebati.

KI1 16:4 Removed trailing space in v~: Mbwa watawala watu wa Baasha watakaofia mjini na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani.”

KI1 16:5 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Baasha, aliyoyafanya na mafanikio yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 16:6 Removed trailing space in v~: Baasha akalala na baba zake naye akazikwa huko Tirsa. Naye Ela mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 16:7 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Baasha pamoja na nyumba yake kupitia kwa nabii Yehu mwana wa Hanani, kwa sababu ya maovu yote aliyokuwa ametenda machoni pa \nd Bwana\nd*, akamkasirisha kwa mambo aliyotenda, na kuwa kama nyumba ya Yeroboamu, na pia kwa sababu aliiangamiza.

KI1 16:7 Removed trailing space in s1: Ela Mfalme Wa Israeli

KI1 16:8 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini na sita wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala huko Tirsa kwa miaka miwili.

KI1 16:9 Removed trailing space in v~: Zimri, mmoja wa maafisa wake, aliyekuwa na amri juu ya nusu ya magari yake ya vita, akafanya hila mbaya dhidi ya Ela. Wakati huo Ela alikuwa Tirsa, akilewa katika nyumba ya Arsa, mtu aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme huko Tirsa.

KI1 16:10 Removed trailing space in v~: Zimri akaingia, akampiga na kumuua katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda. Kisha Zimri akaingia mahali pake kuwa mfalme.

KI1 16:11 Removed trailing space in v~: Mara tu alipoanza kutawala na kuketi juu ya kiti cha ufalme, aliua jamaa yote ya Baasha. Hakumwacha mwanaume hata mmoja, akiwa ni ndugu au rafiki.

KI1 16:12 Removed trailing space in v~: Hivyo Zimri akaangamiza jamaa yote ya Baasha, kulingana na neno la \nd Bwana\nd* lililonenwa dhidi ya Baasha kupitia nabii Yehu:

KI1 16:13 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya dhambi zote Baasha na mwanawe Ela walizokuwa wametenda na wakasababisha Israeli kuzitenda, basi wakamkasirisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.

KI1 16:14 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Ela, na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 16:14 Removed trailing space in s1: Zimri Mfalme Wa Israeli

KI1 16:15 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri akatawala huko Tirsa siku saba. Jeshi lilikuwa limepiga kambi karibu na Gibethoni, mji wa Wafilisti.

KI1 16:16 Removed trailing space in v~: Wakati Waisraeli waliokuwa kambini waliposikia kuwa Zimri alikuwa amefanya hila mbaya dhidi ya mfalme na kumuua, wakamtangaza Omri, jemadari wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli siku iyo hiyo huko kambini.

KI1 16:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa.

KI1 16:18 Removed trailing space in v~: Wakati Zimri alipoona kuwa mji umechukuliwa, alikwenda ndani ya ngome ya jumba la kifalme na kulichoma moto jumba la kifalme na kujiteketeza ndani yake. Kwa hiyo akafa,

KI1 16:19 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya dhambi alizofanya, akitenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd* na kuenenda katika njia za Yeroboamu na katika dhambi alizofanya na kusababisha Israeli kuzifanya.

KI1 16:20 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Zimri, na uasi alioutenda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 16:20 Removed trailing space in s1: Omri Mfalme Wa Israeli

KI1 16:21 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa Israeli wakagawanyika katika makundi mawili, nusu wakamuunga mkono Tibni mwana wa Ginathi ili awe mfalme na nusu nyingine wakamuunga mkono Omri.

KI1 16:22 Removed trailing space in v~: Lakini wafuasi wa Omri wakajionyesha wenye nguvu kuliko wale wa Tibni mwana wa Ginathi. Hivyo Tibni akafa na Omri akawa mfalme.

KI1 16:23 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na moja wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala kwa miaka kumi na miwili, sita kati ya hiyo katika Tirsa.

KI1 16:24 Removed trailing space in v~: Alinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili\f + \fr 16:24 \ft Talanta mbili za fedha ni sawa na kilo 70.\f* za fedha na akajenga mji juu ya hicho kilima, akiuita Samaria, kutokana na Shemeri, jina la mmiliki wa kwanza wa kilima hicho.

KI1 16:25 Removed trailing space in v~: Lakini Omri akatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd* na kutenda dhambi kuliko wote waliomtangulia.

KI1 16:26 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake, ambazo alisababisha Israeli kutenda, hivyo basi wakamkasirisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.

KI1 16:27 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Omri, yale aliyofanya na vitu alivyovifanikisha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 16:28 Removed trailing space in v~: Omri akalala pamoja na baba zake na akazikwa huko Samaria. Ahabu mwanawe akatawala mahali pake.

KI1 16:28 Removed trailing space in s1: Ahabu Afanywa Mfalme Wa Israeli

KI1 16:29 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala Israeli akiwa Samaria kwa miaka ishirini na miwili.

KI1 16:30 Removed trailing space in v~: Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni mwa \nd Bwana\nd* kuliko yeyote aliyewatangulia.

KI1 16:31 Removed trailing space in v~: Kama vile haikutosha kuishi kama Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti wa Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, naye akaanza kumtumikia Baali na kumwabudu.

KI1 16:32 Removed trailing space in v~: Akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali lile alilolijenga huko Samaria.

KI1 16:33 Removed trailing space in v~: Pia Ahabu akatengeneza nguzo ya Ashera na kufanya mengi ili kumkasirisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kuliko walivyofanya wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.

KI1 16:34 Removed trailing space in v~: Katika wakati wa Ahabu, Hieli, Mbetheli, akaijenga upya Yeriko. Aliweka misingi yake kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza Abiramu, na kuweka malango yake kwa gharama ya mwanawe mdogo Segubu, kulingana na neno la \nd Bwana\nd* alilosema kupitia Yoshua mwana wa Nuni.

KI1 17:0 Extra space after chapter number

KI1 17:0 Removed trailing space in c: 17

KI1 17:0 Removed trailing space in s1: Eliya Analishwa Na Kunguru

KI1 17:1 Removed trailing space in v~: Basi Eliya, Mtishbi kutoka Tishbi katika Gileadi, akamwambia Ahabu, “Kama \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninamtumikia, hapatakuwa na umande wala mvua katika miaka hii, isipokuwa kwa neno langu.”

KI1 17:2 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likamjia Eliya, kusema,

KI1 17:3 Removed trailing space in v~: “Ondoka hapa, elekea upande wa mashariki ukajifiche katika Kijito cha Kerithi, mashariki mwa Yordani.

KI1 17:4 Removed trailing space in v~: Utakunywa maji kutoka kile kijito, nami nimeagiza kunguru wakulishe huko.”

KI1 17:5 Removed trailing space in v~: Hivyo akafanya kile alichoambiwa na \nd Bwana\nd*. Akaenda katika Kijito cha Kerithi, mashariki ya Yordani na akakaa huko.

KI1 17:6 Removed trailing space in v~: Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi na mkate na nyama jioni, naye akanywa maji kutoka kile kijito.

KI1 17:6 Removed trailing space in s1: Mjane Wa Sarepta

KI1 17:7 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, kile kijito kikakauka kwa sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi.

KI1 17:8 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likamjia, kusema,

KI1 17:9 Removed trailing space in v~: “Ondoka, uende Sarepta ya Sidoni na ukae huko. Nimemwagiza mjane katika sehemu ile akupatie chakula.”

KI1 17:10 Removed trailing space in v~: Hivyo akaenda Sarepta. Alipofika kwenye lango la mji, mjane alikuwa huko akiokota kuni. Akamwita na kumwambia, “Naomba uniletee maji kidogo kwenye gudulia ili niweze kunywa.”

KI1 17:11 Removed trailing space in v~: Alipokuwa anakwenda kumletea, akamwita akasema, “Tafadhali niletee pia kipande cha mkate.”

KI1 17:12 Removed trailing space in v~: Akamjibu, “Hakika kama \nd Bwana\nd* Mungu wako aishivyo, sina mkate wowote, isipokuwa konzi ya unga kwenye gudulia na mafuta kidogo kwenye chupa. Ninakusanya kuni chache nipeleke nyumbani na nikapike chakula kwa ajili yangu na mwanangu, ili kwamba tule, kiishe, tukafe.”

KI1 17:13 Removed trailing space in v~: Eliya akamwambia, “Usiogope. Nenda nyumbani ukafanye kama ulivyosema. Lakini kwanza unitengenezee mimi mkate mdogo kutoka vile ulivyo navyo kisha uniletee na ndipo utayarishe chochote kwa ajili yako na mwanao.

KI1 17:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Lile gudulia la unga halitakwisha wala ile chupa ya mafuta haitakauka hadi siku ile \nd Bwana\nd* atakapoleta mvua juu ya nchi.’ ”

KI1 17:15 Removed trailing space in v~: Akaondoka na kufanya kama Eliya alivyomwambia. Kwa hiyo kukawa na chakula kila siku kwa ajili ya Eliya, yule mwanamke na jamaa yake.

KI1 17:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa lile gudulia la unga halikwisha na ile chupa ya mafuta haikukauka, sawasawa na lile neno la \nd Bwana\nd* alilosema Eliya.

KI1 17:17 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, mwana wa yule mwanamke mwenye nyumba akaugua. Hali yake ikaendelea kuwa mbaya sana, na hatimaye akaacha kupumua.

KI1 17:18 Removed trailing space in v~: Akamwambia Eliya, “Una nini dhidi yangu, ewe mtu wa Mungu? Umekuja ili kukumbushia dhambi yangu na kusababisha kifo cha mwanangu?”

KI1 17:19 Removed trailing space in v~: Eliya akamjibu, “Nipe mwanao.” Eliya akampokea kutoka kifuani mwake, akambeba mpaka chumba cha juu alipokuwa anaishi, akamlaza kitandani mwake.

KI1 17:20 Removed trailing space in v~: Kisha akamlilia \nd Bwana\nd*, akasema “Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu, je, pia umeleta msiba juu ya mjane huyu ninayeishi pamoja naye, kwa kusababisha mwanawe kufa?”

KI1 17:21 Removed trailing space in v~: Kisha akajinyoosha juu ya kijana mara tatu na kumlilia \nd Bwana\nd*, akisema, “Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu, nakuomba roho ya huyu kijana imrudie!”

KI1 17:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasikia kilio cha Eliya, na roho ya kijana ikamrudia, naye akafufuka.

KI1 17:23 Removed trailing space in v~: Eliya akamtwaa kijana na kumbeba kutoka chumbani mwake akamshusha kumpeleka kwenye nyumba. Akampa mama yake na kusema, “Tazama, mwanao yu hai!”

KI1 17:24 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mwanamke akamwambia Eliya, “Sasa ninajua kwamba wewe ni mtu wa Mungu, na kwamba neno la \nd Bwana\nd* kutoka kinywani mwako ni kweli.”

KI1 18:0 Extra space after chapter number

KI1 18:0 Removed trailing space in c: 18

KI1 18:0 Removed trailing space in s1: Eliya Na Obadia

KI1 18:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda mrefu, katika mwaka wa tatu, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Eliya kusema, “Nenda ukajionyeshe kwa Ahabu na mimi nitanyesha mvua juu ya nchi.”

KI1 18:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Eliya akaenda kujionyesha kwa Ahabu.

KI1 18:2 Removed trailing space in p~: Wakati huu njaa ilikuwa kali sana katika Samaria,

KI1 18:3 Removed trailing space in v~: naye Ahabu alikuwa amemwita Obadia ambaye alikuwa msimamizi wa jumba lake la kifalme. (Obadia alimcha \nd Bwana\nd* sana.

KI1 18:4 Removed trailing space in v~: Wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa \nd Bwana\nd*, Obadia alikuwa amewachukua manabii mia moja na kuwaficha katika mapango mawili, hamsini kwenye kila moja na akawa akiwapa chakula na maji.)

KI1 18:5 Removed trailing space in v~: Ahabu alikuwa amemwambia Obadia, “Nenda katika nchi yote kwenye vijito vyote na mabonde. Huenda tunaweza kupata majani ya kuwalisha farasi na nyumbu wapate kuishi ili tusilazimike kuwaua hata mmoja wa wanyama wetu.”

KI1 18:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakagawanya nchi waliyokusudia kutafuta majani, Ahabu akaenda upande mmoja na Obadia upande mwingine.

KI1 18:7 Removed trailing space in v~: Wakati Obadia alipokuwa akitembea njiani, Eliya akakutana naye. Obadia akamtambua, akamsujudia hadi nchi na kusema, “Je, hivi kweli ni wewe, bwana wangu Eliya?”

KI1 18:8 Removed trailing space in v~: Eliya akamjibu, “Ndiyo, nenda ukamwambie bwana wako Ahabu, ‘Eliya yuko hapa.’ ”

KI1 18:9 Removed trailing space in v~: Obadia akamuuliza, “Ni kosa gani nimefanya, hata ukaamua kumkabidhi mtumishi wako mkononi mwa Ahabu ili aniue?

KI1 18:10 Removed trailing space in v~: Hakika kama \nd Bwana\nd* Mungu wako aishivyo, hakuna taifa hata moja au ufalme ambapo bwana wangu hajamtuma mtu kukutafuta. Kila wakati taifa au ufalme walipodai kwamba haupo huko, aliwafanya waape kwamba hawakuweza kukupata.

KI1 18:11 Removed trailing space in v~: Lakini sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na kusema, ‘Eliya yuko hapa.’

KI1 18:12 Removed trailing space in v~: Sijui ni wapi Roho wa \nd Bwana\nd* ataamua kukupeleka wakati nitakapokuacha. Kama nikienda kumwambia Ahabu na asikupate, ataniua. Hata hivyo mimi mtumishi wako nimemwabudu \nd Bwana\nd* tangu ujana wangu.

KI1 18:13 Removed trailing space in v~: Je, hukusikia, bwana wangu, nilifanya nini wakati Yezebeli alipokuwa akiua manabii wa \nd Bwana\nd*? Niliwaficha manabii wa \nd Bwana\nd* mia moja katika mapango mawili, hamsini katika kila moja, nami nikawapatia chakula na maji.

KI1 18:14 Removed trailing space in v~: Nawe sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na kumwambia, ‘Eliya yuko hapa.’ Yeye ataniua!”

KI1 18:15 Removed trailing space in v~: Eliya akasema, “Kama \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote aishivyo, yeye ninayemtumikia, hakika nitajionyesha kwa Ahabu leo.”

KI1 18:15 Removed trailing space in s1: Eliya Juu Ya Mlima Karmeli

KI1 18:16 Removed trailing space in v~: Basi Obadia akaenda kukutana na Ahabu na kumwambia, naye Ahabu akaenda kukutana na Eliya.

KI1 18:17 Removed trailing space in v~: Ahabu alipomwona Eliya, akamwambia, “Je, ni wewe, mtaabishaji wa Israeli?”

KI1 18:18 Removed trailing space in v~: Eliya akamjibu, “Mimi sijaitaabisha Israeli. Lakini wewe na jamaa ya baba yako ndio mnaofanya hivyo. Mmeziacha amri za \nd Bwana\nd* na mkafuata Mabaali.

KI1 18:19 Removed trailing space in v~: Sasa waite watu kutoka Israeli yote tukutane nao juu ya Mlima Karmeli. Nawe uwalete hao manabii wa Baali mia nne na hamsini na hao manabii mia nne wa Ashera, walao chakula mezani mwa Yezebeli.”

KI1 18:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Ahabu akatuma ujumbe katika Israeli yote na kuwakusanya manabii hao juu ya mlima Karmeli.

KI1 18:21 Removed trailing space in v~: Eliya akasimama mbele ya watu na kusema, “Mtasitasita katika mawazo mawili hadi lini? Ikiwa \nd Bwana\nd* ndiye Mungu, mfuateni yeye; lakini ikiwa Baali ni Mungu, basi mfuateni yeye.”

KI1 18:21 Removed trailing space in p~: Lakini watu hawakusema kitu.

KI1 18:22 Removed trailing space in v~: Kisha Eliya akawaambia, “Ni mimi peke yangu nabii wa \nd Bwana\nd* aliyebaki, lakini Baali ana manabii mia nne na hamsini.

KI1 18:23 Removed trailing space in v~: Leteni mafahali wawili. Wao na wajichagulie mmoja, wamkate vipande vipande na waweke juu ya kuni lakini wasiiwashie moto. Nitamwandaa huyo fahali mwingine na kumweka juu ya kuni lakini sitawasha moto.

KI1 18:24 Removed trailing space in v~: Kisha mliitie jina la mungu wenu, nami nitaliitia jina la \nd Bwana\nd* Mungu yule ambaye atajibu kwa moto, huyo ndiye Mungu.”

KI1 18:24 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote wakasema, “Hilo unalosema ni jema.”

KI1 18:25 Removed trailing space in v~: Eliya akawaambia manabii wa Baali, “Chagueni mmoja kati ya hawa mafahali na mwe wa kwanza kumwandaa, kwa kuwa ninyi mko wengi sana. Liitieni jina la mungu wenu, lakini msiwashe moto.”

KI1 18:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamchukua yule fahali waliyepewa, nao wakamwandaa.

KI1 18:26 Removed trailing space in p~: Kisha wakaliitia jina la Baali kutoka asubuhi hadi adhuhuri, wakapiga kelele, “Ee Baali, utujibu!” Lakini hapakuwa na jibu; hakuna aliyejibu. Nao wakacheza kuizunguka madhabahu waliyoijenga.

KI1 18:27 Removed trailing space in v~: Wakati wa adhuhuri, Eliya akaanza kuwadhihaki, akisema, “Pigeni kelele zaidi! Hakika yeye ni mungu! Labda amezama katika mawazo mazito, au ana shughuli nyingi, au amesafiri. Labda amelala usingizi mzito, naye ni lazima aamshwe.”

KI1 18:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakapiga kelele zaidi na kama ilivyokuwa desturi yao wakajichanja wenyewe kwa visu na vyembe, mpaka damu ikachuruzika.

KI1 18:29 Removed trailing space in v~: Adhuhuri ikapita, nao wakaendelea na utabiri wao wa kiwazimu mpaka wakati wa dhabihu ya jioni. Lakini hapakuwa na jibu, hakuna aliyejibu, hakuna aliyeangalia.

KI1 18:30 Removed trailing space in v~: Kisha Eliya akawaambia watu wote, “Sogeeni karibu nami.” Watu wote wakamkaribia, naye akakarabati madhabahu ya \nd Bwana\nd*, ambayo ilikuwa imevunjwa.

KI1 18:31 Removed trailing space in v~: Eliya akachukua mawe kumi na mawili, moja kwa ajili ya kila kabila la wana wa Yakobo, ambaye neno la \nd Bwana\nd* lilimjia, likisema, “Jina lako litakuwa Israeli.”

KI1 18:32 Removed trailing space in v~: Kwa mawe hayo, akajenga madhabahu katika jina la \nd Bwana\nd*, na akachimba handaki kuizunguka, ukubwa wa kutosha vipimo viwili vya mbegu.

KI1 18:33 Removed trailing space in v~: Akapanga kuni, akamkata yule fahali vipande vipande na kuvipanga juu ya kuni. Kisha akawaambia, “Jazeni mapipa manne maji na kuyamwaga juu ya sadaka ya kuteketezwa na juu ya kuni.”

KI1 18:34 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Fanyeni hivyo tena.” Nao wakafanya hivyo tena.

KI1 18:34 Removed trailing space in p~: Akaagiza, “Fanyeni kwa mara ya tatu.” Nao wakafanya hivyo kwa mara ya tatu.

KI1 18:35 Removed trailing space in v~: Maji yakatiririka kuizunguka madhabahu na hata kujaza lile handaki.

KI1 18:36 Removed trailing space in v~: Wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, nabii Eliya akasogea mbele na kuomba, akisema: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Abrahamu, na Isaki na Israeli, ijulikane leo kwamba wewe ndiye Mungu katika Israeli na ya kwamba mimi ni mtumishi wako na nimefanya mambo haya yote kwa neno lako.

KI1 18:37 Removed trailing space in v~: Unijibu mimi, Ee \nd Bwana\nd*, nijibu mimi, ili watu hawa wajue kwamba wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Mungu, na kwamba unaigeuza mioyo yao ikurudie tena.”

KI1 18:38 Removed trailing space in v~: Kisha moto wa \nd Bwana\nd* ukashuka na kuiteketeza ile dhabihu, zile kuni, yale mawe, ule udongo, na pia kuramba yale maji yaliyokuwa ndani ya handaki.

KI1 18:39 Removed trailing space in v~: Wakati watu wote walipoona hili, wakaanguka kifudifudi na kulia, “\nd Bwana\nd*: yeye ndiye Mungu! \nd Bwana\nd*: yeye ndiye Mungu!”

KI1 18:40 Removed trailing space in v~: Kisha Eliya akawaamuru, “Wakamateni hao manabii wa Baali. Msimwache hata mmoja atoroke!” Wakawakamata, naye Eliya akawaleta mpaka Bonde la Kishoni na kuwachinja huko.

KI1 18:41 Removed trailing space in v~: Eliya akamwambia Ahabu, “Nenda, ukale na kunywa, kwa kuwa kuna sauti ya mvua kubwa.”

KI1 18:42 Removed trailing space in v~: Hivyo Ahabu akaondoka ili kula na kunywa. Lakini Eliya akapanda kileleni mwa Karmeli, akasujudu na akaweka kichwa chake katikati ya magoti yake.

KI1 18:43 Removed trailing space in v~: Akamwambia mtumishi wake, “Nenda ukatazame kuelekea bahari.” Akaenda na kutazama.

KI1 18:43 Removed trailing space in p~: Akasema, “Hakuna kitu chochote huko.”

KI1 18:43 Removed trailing space in p~: Mara saba Eliya akasema, “Nenda tena.”

KI1 18:44 Removed trailing space in v~: Mara ya saba, mtumishi akaleta taarifa, “Wingu dogo kama mkono wa mwanadamu linainuka kutoka baharini.”

KI1 18:44 Removed trailing space in p~: Hivyo Eliya akasema, “Nenda ukamwambie Ahabu, ‘Tandika gari lako na ushuke kabla mvua haijakuzuia.’ ”

KI1 18:45 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule anga likawa jeusi kwa mawingu, upepo ukainuka na mvua kubwa ikanyesha, naye Ahabu akaenda zake Yezreeli.

KI1 18:46 Removed trailing space in v~: Nguvu za \nd Bwana\nd* zikamjia Eliya, naye akajikaza viuno, akakimbia mbele ya Ahabu njia yote hadi maingilio ya Yezreeli.

KI1 19:0 Extra space after chapter number

KI1 19:0 Removed trailing space in c: 19

KI1 19:0 Removed trailing space in s1: Eliya Akimbilia Horebu

KI1 19:1 Removed trailing space in v~: Ahabu akamwambia Yezebeli kila kitu Eliya alichokuwa amefanya na jinsi alivyowaua manabii wote kwa upanga.

KI1 19:2 Removed trailing space in v~: Hivyo Yezebeli akamtuma mjumbe kwa Eliya, kusema, “Hao miungu initendee hivyo na kuzidi, kama kufikia kesho wakati kama huu sitaifanya roho yako kama mmojawapo wa hao manabii.”

KI1 19:3 Removed trailing space in v~: Eliya aliogopa, na akakimbia kuokoa maisha yake. Alipofika Beer-Sheba katika Yuda, akamwacha mtumishi wake huko,

KI1 19:4 Removed trailing space in v~: lakini yeye mwenyewe akatembea mwendo wa kutwa nzima katika jangwa. Akafika kwenye mti wa mretemu, akakaa chini yake na kuomba ili afe. Akasema, “Yatosha sasa, \nd Bwana\nd*, ondoa roho yangu, kwani mimi si bora kuliko baba zangu.”

KI1 19:5 Removed trailing space in v~: Kisha akajinyoosha chini ya mti, akalala usingizi.

KI1 19:5 Removed trailing space in p~: Mara malaika akamgusa na akamwambia, “Inuka na ule.”

KI1 19:6 Removed trailing space in v~: Akatazama pande zote, napo hapo karibu na kichwa chake palikuwepo mkate uliookwa kwenye makaa ya moto na gudulia la maji. Akala na kunywa, kisha akajinyoosha tena.

KI1 19:7 Removed trailing space in v~: Yule malaika wa \nd Bwana\nd* akaja tena mara ya pili, akamgusa akamwambia, “Inuka na ule, kwa kuwa safari ni ndefu kwako.”

KI1 19:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akainuka, akala na kunywa. Akiwa ametiwa nguvu na kile chakula, akasafiri siku arobaini usiku na mchana mpaka akafika Horebu, mlima wa Mungu.

KI1 19:9 Removed trailing space in v~: Huko akaingia katika pango, akalala humo usiku ule.

KI1 19:9 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Amtokea Eliya

KI1 19:9 Removed trailing space in p~: Nalo neno la \nd Bwana\nd* likamjia, kusema, “Unafanya nini hapa, Eliya?”

KI1 19:10 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Nimeona wivu mwingi kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote. Waisraeli wamelikataa Agano lako, wamevunja madhabahu zako na kuwaua manabii wako kwa upanga. Ni mimi, mimi peke yangu, niliyebaki, nao sasa wananitafuta ili waniangamize.”

KI1 19:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Toka nje ukasimame juu ya mlima mbele za \nd Bwana\nd*, kwa kuwa \nd Bwana\nd* yu karibu kupita hapo.”

KI1 19:11 Removed trailing space in p~: Kisha upepo mwingi na wenye nguvu ukapasua milima ile na kuvunjavunja miamba mbele za \nd Bwana\nd*, lakini \nd Bwana\nd* hakuwamo katika ule upepo. Baada ya upepo palikuwa na tetemeko la nchi, lakini \nd Bwana\nd* hakuwamo kwenye lile tetemeko.

KI1 19:12 Removed trailing space in v~: Baada ya tetemeko la nchi ukaja moto, lakini \nd Bwana\nd* hakuwamo katika ule moto. Baada ya moto ikaja sauti ya utulivu ya kunongʼona.

KI1 19:13 Removed trailing space in v~: Eliya alipoisikia, akafunika uso kwa vazi lake, akatoka na kusimama kwenye mdomo wa pango.

KI1 19:13 Removed trailing space in p~: Kisha ile sauti ikamwambia, “Eliya, unafanya nini hapa?”

KI1 19:14 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Nimeona wivu mwingi kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote. Waisraeli wamelikataa Agano lako, wamevunja madhabahu zako na kuwaua manabii wako kwa upanga. Ni mimi, mimi peke yangu, niliyebaki, nao sasa wananitafuta ili waniangamize.”

KI1 19:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia, “Rudi kwa njia uliyoijia, uende kwenye Jangwa la Dameski. Wakati utakapofika huko, mtie Hazaeli mafuta awe mfalme wa Aramu\f + \fr 19:15 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).\f*

KI1 19:16 Removed trailing space in v~: Pia mtie mafuta Yehu mwana wa Nimshi awe mfalme wa Israeli, na umtie Elisha mwana wa Shafati kutoka Abel-Mehola mafuta awe nabii badala yako.

KI1 19:17 Removed trailing space in v~: Yehu atamuua yeyote atakayeutoroka upanga wa Hazaeli, naye Elisha atamuua yeyote atakayeutoroka upanga wa Yehu.

KI1 19:18 Removed trailing space in v~: Hata sasa nimeweka akiba watu elfu saba katika Israeli, wote ambao hawajampigia Baali magoti, na wote ambao midomo yao haijambusu.”

KI1 19:18 Removed trailing space in s1: Wito Wa Elisha

KI1 19:19 Removed trailing space in v~: Hivyo Eliya akaondoka kutoka huko na kumkuta Elisha mwana wa Shafati. Alikuwa akilima kwa jozi kumi na mbili za maksai, na yeye mwenyewe aliongoza ile jozi ya kumi na mbili. Eliya akapita karibu naye, akamrushia vazi lake.

KI1 19:20 Removed trailing space in v~: Kisha Elisha akawaacha maksai wake, akamkimbilia Eliya, akamwambia, “Niruhusu nikawabusu baba yangu na mama yangu, halafu nitafuatana nawe.”

KI1 19:20 Removed trailing space in p~: Eliya akajibu, “Rudi zako, kwani nimekutendea nini?”

KI1 19:21 Removed trailing space in v~: Basi Elisha akamwacha Eliya, naye akarudi. Akachukua ile jozi yake ya maksai na kuwachinja. Akaipika ile nyama kwa kutumia miti ya nira kama kuni na kuwapa watu, nao wakala. Kisha akaondoka, akamfuata Eliya, akamtumikia.

KI1 20:0 Extra space after chapter number

KI1 20:0 Removed trailing space in c: 20

KI1 20:0 Removed trailing space in s1: Ben-Hadadi Aishambulia Samaria

KI1 20:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu, Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akakusanya jeshi lake lote. Akifuatana na wafalme thelathini na wawili wakiwa na farasi na magari ya vita, akakwea kuuzingira kwa jeshi Samaria na kuishambulia.

KI1 20:2 Removed trailing space in v~: Akawatuma wajumbe katika mji kwa Ahabu mfalme wa Israeli, kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi:

KI1 20:3 Removed trailing space in v~: ‘Fedha yako na dhahabu ni yangu, nao wake zako walio wazuri sana na watoto ni wangu.’ ”

KI1 20:4 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akajibu, “Iwe kama usemavyo, bwana wangu mfalme. Mimi na vyote nilivyo navyo ni mali yako.”

KI1 20:5 Removed trailing space in v~: Wale wajumbe wakaja tena na kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi: ‘Nimetuma kutaka fedha yako na dhahabu, wake zako na watoto wako.

KI1 20:6 Removed trailing space in v~: Lakini kesho wakati kama huu, nitawatuma maafisa wangu kukagua jumba lako la kifalme na nyumba za maafisa wako. Watatwaa kitu unachokithamini nao watakichukua.’ ”

KI1 20:7 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akawaita wazee wote wa nchi na akawaambia, “Tazama jinsi mtu huyu anavyochokoza! Wakati alipotuma apelekewe wake zangu na watoto wangu, fedha zangu na dhahabu yangu, sikumkatalia.”

KI1 20:8 Removed trailing space in v~: Wazee na watu wote wakajibu, “Usimsikilize, wala usiyakubali matakwa yake.”

KI1 20:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akawajibu wajumbe wa Ben-Hadadi, “Mwambieni bwana wangu mfalme, ‘Mtumishi wako atafanya yote uliyoyadai mwanzoni, lakini dai hili la sasa siwezi kulitekeleza.’ ” Wakaondoka na kupeleka jibu kwa Ben-Hadadi.

KI1 20:10 Removed trailing space in v~: Kisha Ben-Hadadi akatuma ujumbe mwingine kwa Ahabu, kusema “Miungu iniletee maafa, tena makubwa zaidi, ikiwa vumbi la Samaria litatosheleza konzi moja ya kila mtu ya wale wafuatanao nami.”

KI1 20:11 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akajibu, “Mwambieni, ‘Yule anayevaa mavazi ya vita asije akajisifu kama yule anayevua.’ ”

KI1 20:12 Removed trailing space in v~: Ben-Hadadi alisikia ujumbe huu wakati ambapo yeye na wafalme walikuwa wanakunywa katika mahema yao, na akawaamuru watu wake, “Jiandaeni kushambulia.” Kwa hiyo wakajiandaa kuushambulia mji.

KI1 20:12 Removed trailing space in s1: Ahabu Amshinda Ben-Hadadi

KI1 20:13 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule nabii akamjia Ahabu mfalme wa Israeli na kutangaza, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Je, unaona jeshi hili kubwa? Nitalitia mkononi mwako leo, nawe ndipo utajua kwamba mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

KI1 20:14 Removed trailing space in v~: Ahabu akauliza, “Ni nani atakayefanya hili?”

KI1 20:14 Removed trailing space in p~: Nabii akamjibu, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Maafisa vijana majemadari wa majimbo watafanya hili.’ ”

KI1 20:14 Removed trailing space in p~: Akauliza, “Ni nani atakayeanzisha vita?”

KI1 20:14 Removed trailing space in p~: Nabii akamjibu, “Ni wewe.”

KI1 20:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Ahabu akawaita maafisa vijana majemadari wa majimbo, wanaume 232. Kisha akawakusanya Waisraeli wote waliobaki, jumla yao 7,000.

KI1 20:16 Removed trailing space in v~: Wakaondoka wakati wa adhuhuri, Ben-Hadadi na wale wafalme thelathini na wawili walioungana naye walipokuwa katika mahema yao wakilewa.

KI1 20:17 Removed trailing space in v~: Maafisa vijana majemadari wa majimbo waliondoka kwanza.

KI1 20:17 Removed trailing space in p~: Wakati huu Ben-Hadadi alikuwa amewatuma wapelelezi, ambao walileta taarifa kusema kwamba, “Askari wanasonga mbele kutoka Samaria.”

KI1 20:18 Removed trailing space in v~: Akasema, “Ikiwa wamekuja kwa amani, wakamate wakiwa hai; ikiwa wamekuja kwa vita, wakamate wakiwa hai.”

KI1 20:19 Removed trailing space in v~: Wale maafisa vijana majemadari wa majimbo wakatoka nje ya mji jeshi likiwa nyuma yao,

KI1 20:20 Removed trailing space in v~: kila mmoja akamuua adui yake. Hii ilisababisha Waaramu kukimbia, huku Waisraeli wakiwafuatia. Lakini Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akatoroka akiwa amepanda farasi wake pamoja na baadhi ya wapanda farasi wake.

KI1 20:21 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akasonga mbele na kushinda farasi na magari ya vita na kusababisha hasara kubwa kwa Waaramu.

KI1 20:22 Removed trailing space in v~: Baadaye nabii akaja kwa mfalme wa Israeli na kusema, “Jiandae vizuri ufikirie la kufanya, kwa sababu mwakani mfalme wa Aramu atakuja kukushambulia tena.”

KI1 20:23 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule, maafisa wa mfalme wa Aramu wakamshauri, wakamwambia, “Miungu yao ni miungu ya vilimani. Ndiyo sababu walikuwa na nguvu sana kutuzidi. Lakini kama tukipigana nao katika nchi tambarare, hakika tutawashinda.

KI1 20:24 Removed trailing space in v~: Fanya hivi: Waondoe hao wafalme wote thelathini na wawili kutoka nafasi zao na uweke maafisa wengine mahali pao.

KI1 20:25 Removed trailing space in v~: Ni lazima pia uandae jeshi jingine kama lile ulilopoteza, farasi kwa farasi, gari la vita kwa gari la vita, ili tuweze kupigana na Israeli katika nchi tambarare. Kisha kwa hakika tutakuwa na nguvu kuliko wao.” Akakubaliana nao naye akashughulika ipasavyo.

KI1 20:26 Removed trailing space in v~: Mwaka uliofuata, majira kama hayo, Ben-Hadadi akawakusanya Waaramu mpaka Afeki kupigana dhidi ya Israeli.

KI1 20:27 Removed trailing space in v~: Baada ya Waisraeli kukusanywa na kupewa mahitaji, walikwenda kukabiliana nao. Waisraeli wakapiga kambi mkabala nao kama makundi mawili madogo ya mbuzi, wakati Waaramu walienea katika nchi yote.

KI1 20:28 Removed trailing space in v~: Mtu wa Mungu akaja na kumwambia mfalme wa Israeli, “Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo: ‘Kwa sababu Waaramu wanafikiri \nd Bwana\nd* ni Mungu wa vilimani na sio Mungu wa mabondeni, nitatia jeshi hili kubwa mkononi mwako, nawe utajua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

KI1 20:29 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba walipiga kambi wakitazamana na siku ya saba vita vikaanza. Waisraeli wakawajeruhi askari wa miguu wa Waaramu 100,000 kwa siku moja.

KI1 20:30 Removed trailing space in v~: Waliobaki wakatorokea katika mji wa Afeki, mahali ambapo watu 27,000 waliangukiwa na ukuta. Naye Ben-Hadadi akakimbilia mjini na kujificha kwenye chumba cha ndani.

KI1 20:31 Removed trailing space in v~: Maafisa wake wakamwambia, “Tazama, tumesikia kwamba wafalme wa nyumba ya Israeli wana huruma. Twendeni kwa mfalme wa Israeli tukiwa tumevaa nguo za gunia viunoni mwetu na kamba kuzunguka vichwa vyetu. Huenda akakuacha hai.”

KI1 20:32 Removed trailing space in v~: Wakiwa wamevaa nguo za gunia viunoni mwao na kamba kuzunguka vichwa vyao, walikwenda kwa mfalme wa Israeli na kusema, “Mtumishi wako Ben-Hadadi anasema: ‘Tafadhali, naomba uniache hai.’ ”

KI1 20:32 Removed trailing space in p~: Mfalme akajibu, “Je, bado yuko hai? Yeye ni ndugu yangu.”

KI1 20:33 Removed trailing space in v~: Wale watu wakalipokea jambo lile kama dalili nzuri nao wakawa wepesi kulichukua neno lake wakisema, “Ndiyo, yeye ni ndugu yako Ben-Hadadi!”

KI1 20:33 Removed trailing space in p~: Mfalme akawaambia, “Nendeni mkamlete.” Ikawa Ben-Hadadi alipokuja, Ahabu akampandisha katika gari lake la vita.

KI1 20:33 Removed trailing space in p~: Ben-Hadadi akajitolea, akisema,

KI1 20:34 Removed trailing space in v~: “Nitairudisha ile miji ambayo baba yangu aliiteka kutoka kwa baba yako. Unaweza kuweka maeneo yako ya soko katika Dameski, kama baba yangu alivyofanya huko Samaria.”

KI1 20:34 Removed trailing space in p~: Ahabu akasema, “Katika misingi ya mkataba, nitakuachilia huru.” Kwa hiyo akaweka mkataba naye, akamruhusu aende zake.

KI1 20:34 Removed trailing space in s1: Nabii Amlaumu Ahabu

KI1 20:35 Removed trailing space in v~: Kwa neno la \nd Bwana\nd*, mmoja wa wana wa manabii akamwambia mwenzake, “Nipige kwa silaha yako,” lakini yule mtu akakataa.

KI1 20:36 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo yule nabii akasema, “Kwa sababu hukumtii \nd Bwana\nd*, mara tu tutakapoachana utauawa na simba.” Na baada ya yule mtu kuondoka, simba akatokea na kumuua.

KI1 20:37 Removed trailing space in v~: Nabii akamkuta mtu mwingine na kumwambia, “Nipige tafadhali.” Kisha yule mtu akampiga na kumjeruhi.

KI1 20:38 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii akaenda na kusimama barabarani akimsubiri mfalme. Akajibadilisha kwa kushusha kitambaa cha kichwani mwake hadi kwenye macho.

KI1 20:39 Removed trailing space in v~: Mfalme alipopita pale, yule nabii akamwita, “Mtumishi wako alikwenda vitani wakati vita vilipopamba moto, mtu mmoja akanijia na mateka akasema, ‘Mlinde mtu huyu. Kama akitoroka itakuwa uhai wako kwa uhai wake, ama vipande 3,000 vya fedha.’

KI1 20:40 Removed trailing space in v~: Wakati mtumishi wako alipokuwa na shughuli nyingi hapa na pale, yule mtu akatoweka.”

KI1 20:40 Removed trailing space in p~: Mfalme wa Israeli akasema, “Hiyo ndiyo hukumu yako. Wewe umeitaja mwenyewe.”

KI1 20:41 Removed trailing space in v~: Kisha yule nabii akajifunua macho yake haraka, na mfalme wa Israeli akamtambua kama mmoja wa manabii.

KI1 20:42 Removed trailing space in v~: Akamwambia mfalme, “Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo: ‘Umemwacha huru mtu niliyekusudia afe. Kwa hiyo ni uhai wako kwa uhai wake, watu wako kwa watu wake.’ ”

KI1 20:43 Removed trailing space in v~: Kwa uchungu na hasira, mfalme wa Israeli akaenda kwenye jumba lake la kifalme huko Samaria.

KI1 21:0 Extra space after chapter number

KI1 21:0 Removed trailing space in c: 21

KI1 21:0 Removed trailing space in s1: Shamba La Mizabibu La Nabothi

KI1 21:1 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, Nabothi, Myezreeli, alikuwa na shamba la mizabibu jirani na jumba la kifalme la Ahabu mfalme wa Samaria.

KI1 21:2 Removed trailing space in v~: Ahabu akamwambia Nabothi, “Nipe shamba lako la mizabibu nilitumie kwa bustani ya mboga, kwa kuwa liko karibu na jumba langu la kifalme. Badala yake, nitakupa shamba jingine la mizabibu zuri zaidi au, kama utapenda, nitakulipa kiasi chochote unachoona ni thamani yake.”

KI1 21:3 Removed trailing space in v~: Lakini Nabothi akamjibu, “\nd Bwana\nd* na apishe mbali kukupa wewe urithi wa baba zangu.”

KI1 21:4 Removed trailing space in v~: Basi Ahabu akaenda nyumbani, mwenye huzuni na hasira kwa sababu ya yale ambayo Nabothi, Myezreeli, alikuwa amesema, “Sitakupa urithi wa baba zangu.” Akajinyoosha juu ya kitanda akisononeka, na akakataa kula.

KI1 21:5 Removed trailing space in v~: Yezebeli mke wake akaingia na akamuuliza, “Kwa nini unahuzunika hivi? Kwa nini huli chakula?”

KI1 21:6 Removed trailing space in v~: Akamjibu, “Kwa sababu nilimwambia Nabothi, Myezreeli, ‘Niuzie shamba lako la mizabibu, au kama ukipenda, nitakupa shamba jingine la mizabibu badala yake.’ Lakini akasema, ‘Sitakupa shamba langu la mizabibu.’ ”

KI1 21:7 Removed trailing space in v~: Yezebeli mke wake akasema, “Hivi ndivyo unavyofanya, nawe ni mfalme katika Israeli yote? Inuka na ule! Changamka. Nitakupatia shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli.”

KI1 21:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaandika barua kwa jina la Ahabu akaweka muhuri wake juu ya hizo barua, akazipeleka kwa wazee na kwa watu wenye cheo walioishi katika mji pamoja na Nabothi.

KI1 21:9 Removed trailing space in v~: Katika barua hizo aliandika:

KI1 21:9 Removed trailing space in p~: “Tangazeni siku ya watu kufunga na mkamketishe Nabothi mahali pa wazi miongoni mwa watu.

KI1 21:10 Removed trailing space in v~: Lakini waketisheni watu wawili wabaya kabisa mkabala naye, nao washuhudie kuwa yeye amemlaani Mungu na mfalme. Kisha mtoeni nje na kumpiga kwa mawe hadi afe.”

KI1 21:11 Removed trailing space in v~: Hivyo wazee na watu wenye cheo walioishi katika mji wa Nabothi wakafanya kama Yezebeli alivyoelekeza katika barua aliyowaandikia.

KI1 21:12 Removed trailing space in v~: Wakatangaza mfungo na kumketisha Nabothi mahali pa wazi miongoni mwa watu.

KI1 21:13 Removed trailing space in v~: Kisha watu wawili wabaya kabisa wakaja wakaketi mkabala naye, nao wakaleta mashtaka dhidi ya Nabothi mbele ya watu, wakisema, “Nabothi amemlaani Mungu na mfalme.” Kwa hiyo wakamtoa nje na kumpiga kwa mawe hadi akafa.

KI1 21:14 Removed trailing space in v~: Kisha wakatuma ujumbe kwa Yezebeli, kusema, “Nabothi amepigwa mawe na amekufa.”

KI1 21:15 Removed trailing space in v~: Mara tu Yezebeli aliposikia kwamba Nabothi amepigwa mawe na amekufa, akamwambia Ahabu, “Amka na uchukue lile shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli, ambalo alikataa kukuuzia. Hayuko hai tena, bali amekufa.”

KI1 21:16 Removed trailing space in v~: Ahabu aliposikia Nabothi amekufa, akainuka na kushuka ili kulichukua shamba la mizabibu la Nabothi.

KI1 21:17 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likamjia Eliya, Mtishbi:

KI1 21:18 Removed trailing space in v~: “Shuka ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, anayetawala Samaria. Sasa yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ambapo amekwenda alimiliki.

KI1 21:19 Removed trailing space in v~: Umwambie, ‘Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo: Je, hujamuua mtu na kuitwaa mali yake?’ Kisha umwambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Mahali ambapo mbwa waliramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, naam, yako wewe!’ ”

KI1 21:20 Removed trailing space in v~: Ahabu akamwambia Eliya, “Kwa hiyo umenipata, wewe adui yangu!”

KI1 21:20 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Ndiyo, nimekupata. Kwa sababu umejiuza mwenyewe kufanya uovu mbele ya macho ya \nd Bwana\nd*.

KI1 21:21 Removed trailing space in v~: ‘Nitaleta maafa juu yako. Nitaangamiza uzao wako na kukatilia mbali kutoka kwa Ahabu kila mzaliwa wa mwisho wa kiume katika Israeli, wa mtumwa au wa mtu huru.

KI1 21:22 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwana wa Nebati na ile ya Baasha mwana wa Ahiya, kwa sababu umenighadhibisha kwa kuwa umesababisha Israeli kutenda dhambi.’

KI1 21:23 Removed trailing space in v~: “Pia kwa habari ya Yezebeli \nd Bwana\nd* anasema, ‘Mbwa watamla Yezebeli karibu na ukuta wa Yezreeli.’

KI1 21:24 Removed trailing space in v~: “Mbwa watawala wale wa nyumba ya Ahabu watakaofia mjini, nao wale watakaofia mashambani wataliwa na ndege wa angani.”

KI1 21:25 Removed trailing space in v~: (Hapajapata kamwe kuwa na mtu kama Ahabu, aliyejiuza mwenyewe kutenda uovu machoni mwa \nd Bwana\nd*, akiwa anachochewa na Yezebeli mkewe.

KI1 21:26 Removed trailing space in v~: Alitenda kwa uovu sana katika kuabudu sanamu, kama wale Waamori ambao \nd Bwana\nd* aliowafukuza mbele ya Israeli.)

KI1 21:27 Removed trailing space in v~: Ahabu aliposikia maneno haya, akararua nguo zake, akavaa nguo za gunia na kufunga. Akalala na kujifunika nguo za gunia na kwenda kwa unyenyekevu.

KI1 21:28 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* lilipomjia Eliya Mtishbi kusema,

KI1 21:29 Removed trailing space in v~: “Umeona jinsi Ahabu alivyojinyenyekeza mbele zangu? Kwa kuwa amejishusha mwenyewe, sitaleta maafa haya wakati akiwa hai, lakini nitayaleta juu ya nyumba yake katika siku za mwanawe.”

KI1 22:0 Extra space after chapter number

KI1 22:0 Removed trailing space in c: 22

KI1 22:0 Removed trailing space in s1: Mikaya Anatabiri Dhidi Ya Ahabu

KI1 22:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 18:2-27)

KI1 22:1 Removed trailing space in v~: Kwa miaka mitatu hapakuwa na vita kati ya Aramu na Israeli.

KI1 22:2 Removed trailing space in v~: Lakini katika mwaka wa tatu Yehoshafati mfalme wa Yuda akashuka kwenda kumwona mfalme wa Israeli.

KI1 22:3 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli alikuwa amewaambia maafisa wake, “Je, hamjui Ramoth-Gileadi ni mali yetu na bado hatufanyi chochote kuirudisha kwetu kutoka kwa mfalme wa Aramu?”

KI1 22:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akamuuliza Yehoshafati, “Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Ramoth-Gileadi?”

KI1 22:4 Removed trailing space in p~: Yehoshafati akamjibu mfalme wa Israeli, “Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.”

KI1 22:5 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati pia akamwambia mfalme wa Israeli, “Kwanza tafuta shauri la \nd Bwana\nd*.”

KI1 22:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaleta pamoja manabii wanaume wapatao mia nne, akawauliza, “Je, niende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi, au niache?”

KI1 22:6 Removed trailing space in p~: Wakajibu, “Naam, nenda, kwa kuwa Bwana ataiweka Ramoth-Gileadi mkononi mwa mfalme.”

KI1 22:7 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa \nd Bwana\nd* hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”

KI1 22:8 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati, “Bado yupo mtu mmoja ambaye kupitia yeye twaweza kumuuliza shauri la \nd Bwana\nd*, lakini namchukia kwa sababu huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu mimi, lakini kila mara hunitabiria mabaya tu. Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.”

KI1 22:8 Removed trailing space in p~: Yehoshafati akajibu, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”

KI1 22:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwita mmoja wa maafisa wake na kusema, “Mlete Mikaya mwana wa Imla mara moja.”

KI1 22:10 Removed trailing space in v~: Wakiwa wamevalia majoho yao ya kifalme, mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi juu ya viti vyao vya kifalme katika sakafu ya kupuria, kwenye ingilio la lango la Samaria, pamoja na manabii wote wakiwa wakitabiri mbele yao.

KI1 22:11 Removed trailing space in v~: Wakati huu Sedekia mwana wa Kenaana alikuwa ametengeneza pembe za chuma, akatangaza, “Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo, ‘Kwa hizi pembe utawapiga na kuwarudisha Waaramu nyuma mpaka wameangamizwa.’ ”

KI1 22:12 Removed trailing space in v~: Manabii wengine wote walikuwa wanatabiri kitu hicho hicho wakisema, “Ishambulie Ramoth-Gileadi na uwe mshindi. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ataitia mkononi mwa mfalme.”

KI1 22:13 Removed trailing space in v~: Mjumbe aliyekuwa amekwenda kumwita Mikaya akamwambia, “Tazama, manabii wote kama mtu mmoja wanatabiri ushindi kwa mfalme. Neno lako na likubaliane na lao, nawe unene mema kuhusu mfalme.”

KI1 22:14 Removed trailing space in v~: Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, nitamwambia kile tu \nd Bwana\nd* atakachoniambia.”

KI1 22:15 Removed trailing space in v~: Alipofika, mfalme akamuuliza, “Mikaya, je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi au niache?”

KI1 22:15 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Shambulia na ushinde, kwa kuwa \nd Bwana\nd* atawatia mkononi mwa mfalme.”

KI1 22:16 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia, “Je, ni mara ngapi nitakuapisha ili usiniambie kitu chochote ila kweli tu kwa jina la \nd Bwana\nd*?”

KI1 22:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Mikaya akajibu, “Niliona Israeli wote wametawanyika vilimani kama kondoo wasio na mchungaji, naye \nd Bwana\nd* akasema, ‘Watu hawa hawana bwana. Mwache kila mmoja aende nyumbani kwa amani.’ ”

KI1 22:18 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu, bali mabaya tu?”

KI1 22:19 Removed trailing space in v~: Mikaya akaendelea, “Kwa hiyo lisikie neno la \nd Bwana\nd*: Nilimwona \nd Bwana\nd* ameketi juu ya kiti chake cha enzi pamoja na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama kumzunguka upande wa kulia na wa kushoto.

KI1 22:20 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akasema, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu ili aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo chake huko?’

KI1 22:20 Removed trailing space in p~: “Mmoja akapendekeza hili na mwingine lile.

KI1 22:21 Removed trailing space in v~: Mwishoni, pepo mchafu akajitokeza, akasimama mbele za \nd Bwana\nd* na kusema, ‘Nitamshawishi.’

KI1 22:22 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* akauliza, ‘Kwa njia gani?’

KI1 22:22 Removed trailing space in p~: “Akasema, ‘Nitakwenda na kuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’

KI1 22:22 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* akasema, ‘Utafanikiwa katika kumshawishi. Nenda ukafanye hivyo.’

KI1 22:23 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sasa \nd Bwana\nd* ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. \nd Bwana\nd* ameamuru maafa kwa ajili yako.”

KI1 22:24 Removed trailing space in v~: Kisha Sedekia mwana wa Kenaana akatoka na kumpiga Mikaya kofi usoni. Akauliza, “Huyo Roho kutoka kwa \nd Bwana\nd* alipita njia gani alipotoka kwangu ili kusema nawe?”

KI1 22:25 Removed trailing space in v~: Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha ndani.”

KI1 22:26 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme wa Israeli akaagiza, “Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.

KI1 22:27 Removed trailing space in v~: Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi salama.’ ”

KI1 22:28 Removed trailing space in v~: Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, basi \nd Bwana\nd* hajanena kupitia kwangu.” Kisha akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, enyi watu wote!”

KI1 22:28 Removed trailing space in s1: Ahabu Auawa Ramoth-Gileadi

KI1 22:28 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 18:28-34)

KI1 22:29 Removed trailing space in v~: Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda wakaenda Ramoth-Gileadi.

KI1 22:30 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Nitaingia vitani nikiwa nimejibadilisha, lakini wewe uvae majoho yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadilisha na kwenda vitani.

KI1 22:31 Removed trailing space in v~: Wakati huu, mfalme wa Aramu alikuwa amewaagiza majemadari thelathini na wawili wa magari ya vita, “Msipigane na yeyote, mdogo au mkubwa, isipokuwa mfalme wa Israeli.”

KI1 22:32 Removed trailing space in v~: Wakati wale majemadari wa magari ya vita walipomwona Yehoshafati wakafikiri, “Hakika huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo wakageuka ili wamshambulie, lakini Yehoshafati akapiga kelele,

KI1 22:33 Removed trailing space in v~: wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli, nao wakaacha kumfuatilia.

KI1 22:34 Removed trailing space in v~: Lakini mtu fulani akavuta upinde pasipo lengo na kumpiga mfalme wa Israeli katikati ya kiungio cha mavazi yake ya chuma. Mfalme akamwambia mwendesha gari lake, “Geuza gari na uniondoe mimi katika mapigano, nimejeruhiwa.”

KI1 22:35 Removed trailing space in v~: Vita vikaendelea mchana kutwa, naye Mfalme Ahabu akategemezwa ndani ya gari kuelekea Waaramu. Damu kutoka kwenye jeraha lake ikachuruzika ndani ya gari na jioni yake akafa.

KI1 22:36 Removed trailing space in v~: Jua lilipokuwa linazama, mbiu ikaenea katika jeshi lote: “Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake!”

KI1 22:37 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akafa na akaletwa Samaria, nao wakamzika huko.

KI1 22:38 Removed trailing space in v~: Wakasafisha lile gari la vita katika bwawa la Samaria (mahali makahaba walipooga), na mbwa wakaramba damu yake, sawasawa na neno la \nd Bwana\nd* lilivyokuwa limesema.

KI1 22:39 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Ahabu, pamoja na yote aliyoyafanya, jumba la kifalme alilojenga na kupambwa kwa pembe za ndovu, nayo miji aliyoijengea maboma, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 22:40 Removed trailing space in v~: Ahabu akalala pamoja na baba zake. Naye Ahazia mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 22:40 Removed trailing space in s1: Yehoshafati Mfalme Wa Yuda

KI1 22:40 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 20:31–21:1)

KI1 22:41 Removed trailing space in v~: Yehoshafati mwana wa Asa akawa mfalme wa Yuda katika mwaka wa nne wa Ahabu mfalme wa Israeli.

KI1 22:42 Removed trailing space in v~: Yehoshafati alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka ishirini na mitano. Jina la mama yake aliitwa Azuba binti Shilhi.

KI1 22:43 Removed trailing space in v~: Katika kila jambo alitembea katika njia za Asa baba yake wala hakwenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*. Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko.

KI1 22:44 Removed trailing space in v~: Yehoshafati pia alikuwa na amani na mfalme wa Israeli.

KI1 22:45 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa Yehoshafati, mafanikio aliyokuwa nayo na uhodari wake katika vita, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI1 22:46 Removed trailing space in v~: Aliondolea mbali katika nchi mahanithi wa mahali pa kuabudia miungu waliobaki huko hata baada ya utawala wa baba yake Asa.

KI1 22:47 Removed trailing space in v~: Tangu hapo hapakuwepo na mfalme katika Edomu, naibu ndiye alitawala.

KI1 22:48 Removed trailing space in v~: Wakati huu Yehoshafati akaunda merikebu nyingi za biashara\f + \fr 22:48 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).\f* ili kwenda Ofiri kuchukua dhahabu, lakini kamwe hazikusafiri, kwa maana zilivunjika huko Esion-Geberi.

KI1 22:48 Found unexpected backslash in footnote: 22:48 Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).

KI1 22:49 Removed trailing space in v~: Wakati ule, Ahazia mwana wa Ahabu akamwambia Yehoshafati, “Waache watu wangu wasafiri baharini pamoja na watu wako,” lakini Yehoshafati akakataa.

KI1 22:50 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoshafati akalala na baba zake, akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Mwanawe Yehoramu akawa mfalme baada yake.

KI1 22:50 Removed trailing space in s1: Ahazia Mfalme Wa Israeli

KI1 22:51 Removed trailing space in v~: Ahazia mwana wa Ahabu akawa mfalme wa Israeli huko Samaria katika mwaka wa kumi na saba wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye alitawala katika Israeli kwa miaka miwili.

KI1 22:52 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni mwa \nd Bwana\nd* kwa sababu alienenda katika njia za baba yake na mama yake na katika njia za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye alisababisha Israeli itende dhambi.

KI1 22:53 Removed trailing space in v~: Alimtumikia na kumwabudu Baali na kumghadhibisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 7    c: 22    h: 1    id: 1    li1: 34    m: 1    mt1: 1    p: 370    pm: 22    q1: 2    q2: 2    r: 20    rem: 1    s1: 53    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 1356    v: 816  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    m: 1    q1: 2    q2: 2    b: 7    r: 20    c: 22    pm: 22    li1: 34    s1: 53    p: 370    v: 816    Total: 1356  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 2    nd*: 2    Total: 4  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 2    nd*: 2    Total: 4  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 22    Paragraphs: 370    Section Cross-References: 20    Verses: 816  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 20    Chapters: 22    Paragraphs: 370    Verses: 816  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

 -: 15    a: 272    A: 29    b: 29    B: 6    C: 4    d: 24    D: 8    e: 66    E: 7    f: 26    F: 2    g: 9    G: 1    h: 36    H: 14    i: 128    I: 8    j: 6    J: 2    K: 11    k: 44    l: 76    L: 6    m: 68    M: 25    n: 48    N: 29    o: 82    O: 2    p: 1    r: 20    R: 3    S: 27    s: 19    Space: 207    t: 39    Total: 1564    u: 53    U: 4    W: 29    w: 14    y: 32    Y: 23    z: 6    Z: 4  

Letter Counts (sorted by count)

 p: 1    G: 1    F: 2    J: 2    O: 2    R: 3    C: 4    U: 4    Z: 4    j: 6    z: 6    L: 6    B: 6    E: 7    D: 8    I: 8    g: 9    K: 11    w: 14    H: 14    -: 15    s: 19    r: 20    Y: 23    d: 24    M: 25    f: 26    S: 27    W: 29    A: 29    b: 29    N: 29    y: 32    h: 36    t: 39    k: 44    n: 48    u: 53    e: 66    m: 68    l: 76    o: 82    i: 128    Space: 207    a: 272    Total: 1564  

Punctuation Counts

 (: 20    ): 20    :: 20    Total: 64    : 4  

Punctuation Counts (sorted by count)

 : 4    (: 20    :: 20    ): 20    Total: 64  

Speech Marks

Possible Matching Errors

KI1 5:6 Unclosed “ (opened at 5:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 5:7 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:3:v)' before v marker or missing reopening quotes at v7

KI1 8:17 Unclosed “ (opened at 8:15:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:20 Unclosed “ (opened at 8:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:15:pm)', '“ (opened at 8:17:v)'] before p marker

KI1 8:25 Unclosed “ (opened at 8:23:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:27 Unclosed “ (opened at 8:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:29 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '‘ (opened at 8:29:v)']

KI1 8:31 Unclosed “ (opened at 8:27:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:31 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)']

KI1 8:33 Unclosed “ (opened at 8:31:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:33 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)']

KI1 8:35 Unclosed “ (opened at 8:33:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)']

KI1 8:37 Unclosed “ (opened at 8:35:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:37 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)']

KI1 8:41 Unclosed “ (opened at 8:37:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:41 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)']

KI1 8:44 Unclosed “ (opened at 8:41:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)']

KI1 8:46 Unclosed “ (opened at 8:44:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:46 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)', '“ (opened at 8:46:v)']

KI1 8:47 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)', '“ (opened at 8:46:v)', '‘ (opened at 8:47:v)']

KI1 8:52 Unclosed “ (opened at 8:46:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:52 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)', '“ (opened at 8:46:v)', '“ (opened at 8:52:v)']

KI1 8:54 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)', '“ (opened at 8:46:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v54

KI1 9:4 Unclosed “ (opened at 9:3:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 9:6 Unclosed “ (opened at 9:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 9:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:3:pm)', '“ (opened at 9:4:v)', '“ (opened at 9:6:v)', '‘ (opened at 9:8:v)']

KI1 9:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:3:pm)', '“ (opened at 9:4:v)', '“ (opened at 9:6:v)', '‘ (opened at 9:9:v)']

KI1 9:10 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:3:pm)', '“ (opened at 9:4:v)'] before p marker

KI1 11:34 Unclosed ‘ (opened at 11:31:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 11:39 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 11:31:v)', '‘ (opened at 11:31:v)']

KI1 11:40 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 11:31:v)', '‘ (opened at 11:31:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v40

KI1 14:10 Unclosed ‘ (opened at 14:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 14:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)']

KI1 14:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

Words

Possible Word Errors

KI1 4:26 Have unexpected character starting word '+xt'

KI1 10:22 Have unexpected character starting word '+xt'

KI1 22:48 Have unexpected character starting word '+xt'

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

KI1 -1:6 Main Title 1:1 Wafalme

Section Heading Lines

KI1 1:0Adoniya Ajitangaza Mfalme
KI1 1:27Daudi Amfanya Solomoni Kuwa Mfalme
KI1 2:0Maagizo Ya Daudi Kwa Solomoni
KI1 2:12Kiti Cha Ufalme Cha Solomoni Chaimarishwa
KI1 3:0Solomoni Anaomba Hekima
KI1 3:15Utawala Wa Hekima
KI1 4:0Maafisa Wa Solomoni Na Watawala
KI1 4:19Mahitaji Ya Solomoni Ya Kila Siku
KI1 4:28Hekima Ya Solomoni
KI1 5:0Maandalio Ya Ujenzi Wa Hekalu
KI1 6:0Solomoni Ajenga Hekalu
KI1 7:0Solomoni Ajenga Jumba Lake La Kifalme
KI1 7:12Samani Za Hekalu
KI1 8:0Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni
KI1 8:13Hotuba Ya Solomoni
KI1 8:21Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Hekalu Wakfu
KI1 8:61Kuwekwa Wakfu Hekalu
KI1 9:0\nd Bwana\nd* Anamtokea Solomoni
KI1 9:9Shughuli Nyingine Za Solomoni
KI1 10:0Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni
KI1 10:13Fahari Ya Solomoni
KI1 11:0Wakeze Solomoni
KI1 11:13Adui Za Solomoni
KI1 11:25Yeroboamu Anaasi Dhidi Ya Solomoni
KI1 11:40Kifo Cha Solomoni
KI1 12:0Israeli Yaasi Dhidi Ya Rehoboamu
KI1 12:24Ndama Wa Dhahabu Huko Betheli Na Dani
KI1 13:0Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
KI1 14:0Unabii Wa Ahiya Dhidi Ya Yeroboamu
KI1 14:20Rehoboamu Mfalme Wa Yuda
KI1 15:0Abiya Mfalme Wa Yuda
KI1 15:8Asa Mfalme Wa Yuda
KI1 15:24Nadabu Mfalme Wa Israeli
KI1 15:32Baasha Mfalme Wa Israeli
KI1 16:7Ela Mfalme Wa Israeli
KI1 16:14Zimri Mfalme Wa Israeli
KI1 16:20Omri Mfalme Wa Israeli
KI1 16:28Ahabu Afanywa Mfalme Wa Israeli
KI1 17:0Eliya Analishwa Na Kunguru
KI1 17:6Mjane Wa Sarepta
KI1 18:0Eliya Na Obadia
KI1 18:15Eliya Juu Ya Mlima Karmeli
KI1 19:0Eliya Akimbilia Horebu
KI1 19:9\nd Bwana\nd* Amtokea Eliya
KI1 19:18Wito Wa Elisha
KI1 20:0Ben-Hadadi Aishambulia Samaria
KI1 20:12Ahabu Amshinda Ben-Hadadi
KI1 20:34Nabii Amlaumu Ahabu
KI1 21:0Shamba La Mizabibu La Nabothi
KI1 22:0Mikaya Anatabiri Dhidi Ya Ahabu
KI1 22:28Ahabu Auawa Ramoth-Gileadi
KI1 22:40Yehoshafati Mfalme Wa Yuda
KI1 22:50Ahazia Mfalme Wa Israeli

Section Cross-reference Lines

KI1 3:0(2 Nyakati 1:3-12)
KI1 5:0(2 Nyakati 2:1-18)
KI1 6:0(2 Nyakati 3)
KI1 7:12(2 Nyakati 4)
KI1 8:0(2 Nyakati 5)
KI1 8:13(2 Nyakati 6:3-11)
KI1 8:21(2 Nyakati 6:12-42)
KI1 8:61(2 Nyakati 7:4-10)
KI1 9:0(2 Nyakati 7:11-22)
KI1 9:9(2 Nyakati 8)
KI1 10:0(2 Nyakati 9:1-12)
KI1 10:13(2 Nyakati 9:13-28)
KI1 11:40(2 Nyakati 9:29-31)
KI1 12:0(2 Nyakati 10:1-19)
KI1 14:20(2 Nyakati 11:5–12:15)
KI1 15:0(2 Nyakati 13:1–14:1)
KI1 15:8(2 Nyakati 15:16–16:6)
KI1 22:0(2 Nyakati 18:2-27)
KI1 22:28(2 Nyakati 18:28-34)
KI1 22:40(2 Nyakati 20:31–21:1)

Notes

Footnote Lines

KI1 4:22+ \fr 4:22 \ft Kori 30 ni sawa na madebe 360.
KI1 4:22+ \fr 4:22 \ft Kori 60 ni sawa na madebe 720.
KI1 4:26+ \fr 4:26 \ft Waandishi wengine wanasema 40,000 (angalia \+xt 2Nya 9:25\+xt*).
KI1 5:11+ \fr 5:11 \ft Kori 20,000 ni sawa na madebe 240,000.
KI1 5:11+ \fr 5:11 \ft Bathi 20,000 ni sawa na madebe 200.
KI1 5:18+ \fr 5:18 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilo…uti).
KI1 6:2+ \fr 6:2 \ft Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.
KI1 6:2+ \fr 6:2 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
KI1 6:2+ \fr 6:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
KI1 6:6+ \fr 6:6 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
KI1 6:6+ \fr 6:6 \ft Dhiraa saba ni sawa na mita 3.15.
KI1 6:17+ \fr 6:17 \ft Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.
KI1 6:23+ \fr 6:23 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
KI1 7:2+ \fr 7:2 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.
KI1 7:2+ \fr 7:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
KI1 7:6+ \fr 7:6 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
KI1 7:10+ \fr 7:10 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
KI1 7:10+ \fr 7:10 \ft Dhiraa nane ni sawa na mita 3.6.
KI1 7:15+ \fr 7:15 \ft Dhiraa 18 ni sawa na mita 8.1.
KI1 7:15+ \fr 7:15 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.
KI1 7:16+ \fr 7:16 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
KI1 7:19+ \fr 7:19 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
KI1 7:21+ \fr 7:21 \ft Yakini maana yake Mungu atafanya imara.
KI1 7:21+ \fr 7:21 \ft Boazi maana yake Ndani ya Mungu kuna nguvu.
KI1 7:26+ \fr 7:26 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 32. Nyanda moja ni sawa…ta 8.
KI1 7:26+ \fr 7:26 \ft Bathi 2,000 ni sawa na lita 40,000.
KI1 7:27+ \fr 7:27 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
KI1 7:31+ \fr 7:31 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
KI1 7:31+ \fr 7:31 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.
KI1 7:38+ \fr 7:38 \ft Bathi 40 ni sawa na lita 800.
KI1 7:38+ \fr 7:38 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
KI1 9:13+ \fr 9:13 \ft Kabul maana yake isiyofaa kitu.
KI1 9:14+ \fr 9:14 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.
KI1 9:15+ \fr 9:15 \ft Milo maana yake Boma la Ngome, pia 9:24.
KI1 9:26+ \fr 9:26 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo.
KI1 9:28+ \fr 9:28 \ft Talanta 420 za dhahabu ni sawa na tani 14.
KI1 10:10+ \fr 10:10 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.
KI1 10:14+ \fr 10:14 \ft Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25.
KI1 10:16+ \fr 10:16 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5.
KI1 10:17+ \fr 10:17 \ft Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7.
KI1 10:22+ \fr 10:22 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 22:48; 2Nya 9:21; …xt*).
KI1 10:28+ \fr 10:28 \ft Yaani Kilikia ilioko Syria.
KI1 10:29+ \fr 10:29 \ft Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7.
KI1 10:29+ \fr 10:29 \ft Shekeli 150 za fedha ni sawa na kilo 1.7.
KI1 10:29+ \fr 10:29 \ft Waaramu hapa ina maana ya Washamu.
KI1 11:5+ \fr 11:5 \ft Moleki au Milkomu ni mungu aliyekuwa akiabudiwa na Waam…wake.
KI1 11:25+ \fr 11:25 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).
KI1 11:27+ \fr 11:27 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.
KI1 12:25+ \fr 12:25 \ft Jina lingine ni Penieli kwa Kiebrania.
KI1 14:15+ \fr 14:15 \ft Yaani mfano wa mungu wa kike Ashera.
KI1 14:31+ \fr 14:31 \ft Maandishi mengine ya Kiebrania yanamwita Abiyamu.
KI1 15:2+ \fr 15:2 \ft Yaani Absalomu, maana yake Baba wa amani.
KI1 15:18+ \fr 15:18 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).
KI1 16:24+ \fr 16:24 \ft Talanta mbili za fedha ni sawa na kilo 70.
KI1 19:15+ \fr 19:15 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).
KI1 22:48+ \fr 22:48 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 2Nya 9:21; …xt*).

Leader Counts

 Footnote leader '+': 56    Footnotes: 56  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 56    Footnote leader '+': 56