Freely-Given.org Bible NUM Checks

<Up>

Priority Errors

Trailing space at end of line in NUM -1:0

Showing 1 out of 1794 priority errors

Fix Text Errors

NUM -1:0 Removed trailing space in id: NUM - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

NUM -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

NUM -1:2 Removed trailing space in h: Hesabu

NUM -1:3 Removed trailing space in toc1: Hesabu

NUM -1:4 Removed trailing space in toc2: Hesabu

NUM -1:5 Removed trailing space in toc3: Hes

NUM -1:6 Removed trailing space in mt1: Hesabu

NUM 1:0 Extra space after chapter number

NUM 1:0 Removed trailing space in c: 1

NUM 1:0 Removed trailing space in s1: Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza

NUM 1:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia,

NUM 1:2 Removed trailing space in v~: “Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, mmoja mmoja.

NUM 1:3 Removed trailing space in v~: Wewe na Aroni mtawahesabu kwa migawanyo yao wanaume wote katika Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao wanaweza kutumika katika jeshi.

NUM 1:4 Removed trailing space in v~: Mwanaume mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jamaa yake, atawasaidia.

NUM 1:5 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia:

NUM 1:5 Removed trailing space in p~: “kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;

NUM 1:6 Removed trailing space in v~: kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;

NUM 1:7 Removed trailing space in v~: kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;

NUM 1:8 Removed trailing space in v~: kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;

NUM 1:9 Removed trailing space in v~: kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;

NUM 1:10 Removed trailing space in v~: kutoka wana wa Yosefu:

NUM 1:10 Removed trailing space in p~: kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi;

NUM 1:10 Removed trailing space in p~: kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;

NUM 1:11 Removed trailing space in v~: kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;

NUM 1:12 Removed trailing space in v~: kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;

NUM 1:13 Removed trailing space in v~: kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;

NUM 1:14 Removed trailing space in v~: kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;

NUM 1:15 Removed trailing space in v~: kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”

NUM 1:16 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wanaume walioteuliwa kutoka jumuiya, viongozi wa makabila ya baba zao. Walikuwa wakuu wa koo za Israeli.

NUM 1:17 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakawachukua wanaume hao waliokuwa wamepewa majina yao,

NUM 1:18 Removed trailing space in v~: wakaita jumuiya yote pamoja katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Watu wakaonyesha nasaba zao kwa koo zao na jamaa zao, nao wanaume waliokuwa na miaka ishirini au zaidi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja,

NUM 1:19 Removed trailing space in v~: kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:

NUM 1:20 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli:

NUM 1:20 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:21 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.

NUM 1:22 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Simeoni:

NUM 1:22 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi walihesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:23 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.

NUM 1:24 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Gadi:

NUM 1:24 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:25 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650.

NUM 1:26 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Yuda:

NUM 1:26 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:27 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600.

NUM 1:28 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Isakari:

NUM 1:28 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:29 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400.

NUM 1:30 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Zabuloni:

NUM 1:30 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:31 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.

NUM 1:32 Removed trailing space in v~: Kutoka wana wa Yosefu:

NUM 1:32 Removed trailing space in p~: Kutoka wazao wa Efraimu:

NUM 1:32 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:33 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500.

NUM 1:34 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Manase:

NUM 1:34 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:35 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200.

NUM 1:36 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Benyamini:

NUM 1:36 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:37 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400.

NUM 1:38 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Dani:

NUM 1:38 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:39 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700.

NUM 1:40 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Asheri:

NUM 1:40 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:41 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500.

NUM 1:42 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Naftali:

NUM 1:42 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:43 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400.

NUM 1:44 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wanaume waliohesabiwa na Mose, Aroni na viongozi kumi na wawili wa Israeli, kila mmoja akiwakilisha jamaa yake.

NUM 1:45 Removed trailing space in v~: Wanaume wote Waisraeli waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi la Israeli walihesabiwa kufuatana na jamaa zao.

NUM 1:46 Removed trailing space in v~: Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550.

NUM 1:47 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine.

NUM 1:48 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose:

NUM 1:49 Removed trailing space in v~: “Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.

NUM 1:50 Removed trailing space in v~: Badala yake, waweke Walawi kuwa viongozi wa Maskani ya Ushuhuda, juu ya samani zake na kila kitu kilichomo ndani yake. Wao watabeba Maskani na samani zake zote; wataitunza na kupiga kambi kuizunguka.

NUM 1:51 Removed trailing space in v~: Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa.

NUM 1:52 Removed trailing space in v~: Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.

NUM 1:53 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Walawi watapiga mahema yao kuzunguka Maskani ya Ushuhuda ili ghadhabu isiipate jumuiya ya Waisraeli. Walawi watawajibika kwa utunzaji wa Maskani ya Ushuhuda.”

NUM 1:54 Removed trailing space in v~: Waisraeli walifanya yote haya sawasawa kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 2:0 Extra space after chapter number

NUM 2:0 Removed trailing space in c: 2

NUM 2:0 Removed trailing space in s1: Mpangilio Wa Kambi Za Makabila

NUM 2:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliwaambia Mose na Aroni:

NUM 2:2 Removed trailing space in v~: “Waisraeli watapiga kambi zao kuzunguka Hema la Kukutania kwa umbali fulani kutoka kwenye hema, kila mwanaume chini ya alama yake pamoja na bendera ya jamaa yake.”

NUM 2:3 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa mashariki kuelekea mawio ya jua, kambi ya makundi ya Yuda watapiga kambi chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Yuda ni Nashoni mwana wa Aminadabu.

NUM 2:4 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 74,600.

NUM 2:5 Removed trailing space in v~: Kabila la Isakari watapiga kambi karibu na Yuda. Kiongozi wa watu wa Isakari ni Nethaneli mwana wa Suari.

NUM 2:6 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 54,400.

NUM 2:7 Removed trailing space in v~: Kabila la Zabuloni litafuata. Kiongozi wa watu wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.

NUM 2:8 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 57,400.

NUM 2:9 Removed trailing space in v~: Wanaume wote walio katika kambi ya Yuda, kufuatana na makundi yao, ni 186,400. Wao watatangulia kuondoka.

NUM 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa kusini kutakuwa kambi ya makundi ya Reubeni chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Reubeni ni Elisuri mwana wa Shedeuri.

NUM 2:11 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 46,500.

NUM 2:12 Removed trailing space in v~: Kabila la Simeoni watapiga kambi karibu na Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Surishadai.

NUM 2:13 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 59,300.

NUM 2:14 Removed trailing space in v~: Kabila la Gadi litafuata. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.

NUM 2:15 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 45,650.

NUM 2:16 Removed trailing space in v~: Wanaume wote walio katika kambi ya Reubeni, kufuatana na makundi yao, ni 151,450. Nao watakuwa nafasi ya pili kuondoka.

NUM 2:17 Removed trailing space in v~: Kisha Hema la Kukutania na kambi ya Walawi vitakuwa katikati ya kambi zote. Wao watasafiri kwa utaratibu ule ule kama walivyopiga kambi, kila mmoja mahali pake mwenyewe chini ya alama yake.

NUM 2:18 Removed trailing space in v~: Upande wa magharibi kutakuwepo na kambi ya makundi ya Efraimu chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Elishama mwana wa Amihudi.

NUM 2:19 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 40,500.

NUM 2:20 Removed trailing space in v~: Kabila la Manase litafuata baada ya Efraimu. Kiongozi wa watu wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri.

NUM 2:21 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 32,200.

NUM 2:22 Removed trailing space in v~: Kabila la Benyamini litafuata baada ya Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.

NUM 2:23 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 35,400.

NUM 2:24 Removed trailing space in v~: Wanaume wote walio katika kambi ya Efraimu kufuatana na makundi yao ni 108,100. Nao watakuwa nafasi ya tatu kuondoka.

NUM 2:25 Removed trailing space in v~: Upande wa kaskazini kutakuwa na makundi ya kambi ya Dani, chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.

NUM 2:26 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 62,700.

NUM 2:27 Removed trailing space in v~: Kabila la Asheri watapiga kambi karibu na Dani. Kiongozi wa watu wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okrani.

NUM 2:28 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 41,500.

NUM 2:29 Removed trailing space in v~: Kabila la Naftali litafuata. Kiongozi wa watu wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani.

NUM 2:30 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 53,400.

NUM 2:31 Removed trailing space in v~: Wanaume wote walio katika kambi ya Dani ni 157,600. Wao watakuwa wa mwisho kuondoka chini ya alama yao.

NUM 2:32 Removed trailing space in v~: Hawa ndio Waisraeli, wakiwa wamehesabiwa kufuatana na jamaa zao. Wote walio kambini kwa makundi yao ni watu 603,550.

NUM 2:33 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Walawi hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

NUM 2:34 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wakafanya kila kitu \nd Bwana\nd* alichomwamuru Mose. Hivyo ndivyo walivyopiga kambi chini ya alama zao, pia hivyo ndivyo walivyoondoka, kila mmoja akiwa na ukoo wake na jamaa yake.

NUM 3:0 Extra space after chapter number

NUM 3:0 Removed trailing space in c: 3

NUM 3:0 Removed trailing space in s1: Walawi

NUM 3:1 Removed trailing space in v~: Hii ni hesabu ya jamaa ya Aroni na Mose kwa wakati ambao \nd Bwana\nd* alizungumza na Mose katika Mlima Sinai.

NUM 3:2 Removed trailing space in v~: Majina ya wana wa Aroni yalikuwa: Nadabu mzaliwa wa kwanza na Abihu, Eleazari na Ithamari.

NUM 3:3 Removed trailing space in v~: Hayo yalikuwa majina ya wana wa Aroni, makuhani wapakwa mafuta, waliokuwa wamesimikwa kuhudumu kama makuhani.

NUM 3:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo Nadabu na Abihu walikufa mbele za \nd Bwana\nd* walipotoa sadaka kwa moto usioruhusiwa mbele zake katika Jangwa la Sinai. Hawakuwa na wana; kwa hiyo Eleazari na Ithamari walihudumu peke yao kama makuhani wakati wote wa maisha ya Aroni baba yao.

NUM 3:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 3:6 Removed trailing space in v~: “Walete watu wa kabila la Lawi mbele ya Aroni kuhani ili wamsaidie.

NUM 3:7 Removed trailing space in v~: Watafanya huduma kwa ajili yake na kwa jumuiya yote katika Hema la Kukutania kwa kufanya kazi za Maskani.

NUM 3:8 Removed trailing space in v~: Watatunza samani zote za Hema la Kukutania, wakitimiza wajibu wa kuhudumia Waisraeli kwa kufanya kazi ya Maskani.

NUM 3:9 Removed trailing space in v~: Wakabidhi Walawi kwa Aroni na wanawe; hao ndio Waisraeli ambao wanakabidhiwa kwake kabisa.

NUM 3:10 Removed trailing space in v~: Waweke Aroni na wanawe kuhudumu kama makuhani; mtu mwingine yeyote atakayesogea mahali patakatifu ni lazima auawe.”

NUM 3:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 3:12 Removed trailing space in v~: “Nimewatwaa Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli badala ya mzaliwa wa kwanza wa kiume wa kila mwanamke wa Mwisraeli. Walawi ni wangu,

NUM 3:13 Removed trailing space in v~: kwa kuwa wazaliwa wote wa kwanza ni wangu. Nilipowaua wazaliwa wa kwanza huko Misri, nilimtenga kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli awe wangu, akiwa mwanadamu au mnyama. Watakuwa wangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

NUM 3:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose katika Jangwa la Sinai,

NUM 3:15 Removed trailing space in v~: “Wahesabu Walawi kwa jamaa zao na koo zao. Mhesabu kila mwanaume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi.”

NUM 3:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawahesabu, kama alivyoamriwa na neno la \nd Bwana\nd*.

NUM 3:17 Removed trailing space in v~: Haya yalikuwa majina ya wana wa Lawi:

NUM 3:17 Removed trailing space in p~: Gershoni, Kohathi na Merari.

NUM 3:18 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni:

NUM 3:18 Removed trailing space in p~: Libni na Shimei.

NUM 3:19 Removed trailing space in v~: Koo za Wakohathi zilikuwa ni:

NUM 3:19 Removed trailing space in p~: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

NUM 3:20 Removed trailing space in v~: Koo za Wamerari zilikuwa ni:

NUM 3:20 Removed trailing space in p~: Mahli na Mushi.

NUM 3:20 Removed trailing space in p~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi, kufuatana na jamaa zao.

NUM 3:21 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na koo za Walibni na Washimei kwa Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wagershoni.

NUM 3:22 Removed trailing space in v~: Idadi ya waume wote waliokuwa na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 7,500.

NUM 3:23 Removed trailing space in v~: Ukoo wa Wagershoni walitakiwa kuweka kambi zao upande wa magharibi, nyuma ya Maskani.

NUM 3:24 Removed trailing space in v~: Kiongozi wa jamaa za Wagershoni alikuwa Eliasafu mwana wa Laeli.

NUM 3:25 Removed trailing space in v~: Katika Hema la Kukutania, Wagershoni walikuwa na wajibu wa kutunza Maskani na hema, vifuniko vyake, pazia katika mlango wa kuingilia ndani ya Hema la Kukutania,

NUM 3:26 Removed trailing space in v~: mapazia ya ua, pazia katika ingilio la ua unaozunguka Maskani na madhabahu, pamoja na kamba, na kila kinachohusika kwa matumizi yake.

NUM 3:27 Removed trailing space in v~: Kwa Kohathi kulikuwepo koo za Waamramu, Waishari, Wahebroni na Wauzieli; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wakohathi.

NUM 3:28 Removed trailing space in v~: Hesabu ya waume wote wenye mwezi mmoja au zaidi ilikuwa watu 8,600. Wakohathi waliwajibika kutunza mahali patakatifu.

NUM 3:29 Removed trailing space in v~: Koo za Wakohathi zilitakiwa kuweka kambi zao upande wa kusini wa Maskani.

NUM 3:30 Removed trailing space in v~: Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.

NUM 3:31 Removed trailing space in v~: Waliwajibika kutunza Sanduku la Agano, meza, kinara cha taa, madhabahu, na vile vyombo vya mahali patakatifu vinavyotumika kuhudumu, pazia, na kila kitu kinachohusika na matumizi yake.

NUM 3:32 Removed trailing space in v~: Kiongozi mkuu wa Walawi alikuwa Eleazari mwana wa kuhani, Aroni. Aliwekwa juu ya wale waliowajibika kutunza mahali patakatifu.

NUM 3:33 Removed trailing space in v~: Kwa Merari kulikuwa na koo za Wamahli na Wamushi; hizi zilikuwa koo za Merari.

NUM 3:34 Removed trailing space in v~: Hesabu ya waume wote wenye umri wa mwaka mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 6,200.

NUM 3:35 Removed trailing space in v~: Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani.

NUM 3:36 Removed trailing space in v~: Wamerari waliwekwa kutunza miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo, vitako na vifaa vyake vyote na kila kitu kilichohusika na matumizi yake,

NUM 3:37 Removed trailing space in v~: na pia nguzo za ua unaozunguka pamoja na vitako vyake, vigingi vya hema na kamba zake.

NUM 3:38 Removed trailing space in v~: Mose, na Aroni na wanawe walitakiwa kuweka kambi zao mashariki mwa Maskani, kuelekea mawio ya jua, mbele ya Hema la Kukutania. Wao walihusika na utunzaji wa mahali patakatifu kwa niaba ya Waisraeli. Mtu mwingine yeyote aliyepasogelea mahali patakatifu angeuawa.

NUM 3:39 Removed trailing space in v~: Jumla ya hesabu ya Walawi waliohesabiwa na Mose na Aroni kwa amri ya \nd Bwana\nd*, kufuatana na koo, pamoja na kila mume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walikuwa 22,000.

NUM 3:40 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Wahesabu wazaliwa wa kwanza wa kiume wote wa Waisraeli wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi na uorodheshe majina yao.

NUM 3:41 Removed trailing space in v~: Nitwalie Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya wazaliwa wa mifugo ya Waisraeli. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

NUM 3:42 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Waisraeli, kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru.

NUM 3:43 Removed trailing space in v~: Jumla ya hesabu ya wazaliwa wa kwanza waume wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walioorodheshwa kwa majina, walikuwa 22,273.

NUM 3:44 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 3:45 Removed trailing space in v~: “Watwae Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya mifugo yao. Walawi watakuwa wangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

NUM 3:46 Removed trailing space in v~: Ili kukomboa wazao wa kwanza 273 wa Waisraeli ambao wamezidi hesabu ya Walawi,

NUM 3:47 Removed trailing space in v~: kusanya shekeli tano\f + \fr 3:47 \ft Shekeli tano ni sawa na gramu 55.\f* kwa kila mmoja, kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu, ambayo ina uzito wa gera ishirini.\f + \fr 3:47 \ft Gera 20 ni sawa na gramu 11.\f*

NUM 3:48 Removed trailing space in v~: Mpe Aroni na wanawe hizo fedha kwa ajili ya ukombozi wa idadi ya Waisraeli waliozidi.”

NUM 3:49 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akakusanya fedha za ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao ilizidi wale waliokombolewa na Walawi.

NUM 3:50 Removed trailing space in v~: Kutokana na wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli alikusanya fedha yenye uzito wa shekeli 1,365\f + \fr 3:50 \ft Shekeli 1,365 ni sawa na kilo 15.5.\f* kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu.

NUM 3:51 Removed trailing space in v~: Mose akampa Aroni na wanawe ile fedha ya ukombozi, kama alivyoamriwa na neno la \nd Bwana\nd*.

NUM 4:0 Extra space after chapter number

NUM 4:0 Removed trailing space in c: 4

NUM 4:0 Removed trailing space in s1: Wakohathi

NUM 4:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia Mose na Aroni,

NUM 4:2 Removed trailing space in v~: “Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:3 Removed trailing space in v~: Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini wanaokuja kutumika katika kazi ya Hema la Kukutania.

NUM 4:4 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo kazi ya Wakohathi katika Hema la Kukutania: Watatunza vitu vilivyo vitakatifu sana.

NUM 4:5 Removed trailing space in v~: Wakati kambi inapohamishwa, Aroni na wanawe wataingia ndani na kushusha lile pazia la kuzuilia na kufunika nalo Sanduku la Ushuhuda.

NUM 4:6 Removed trailing space in v~: Kisha watafunika juu yake na ngozi za pomboo,\f + \fr 4:6 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* na kutandaza juu yake kitambaa cha rangi ya buluu iliyokolea na kuingiza mipiko mahali pake.

NUM 4:6 Found footnote ending with space in \v~: Kisha watafunika juu yake na ngozi za pomboo,\f + \fr 4:6 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* na kutandaza juu yake kitambaa cha rangi ya buluu iliyokolea na kuingiza mipiko mahali pake.

NUM 4:7 Removed trailing space in v~: “Juu ya meza ya mikate ya Wonyesho watatandaza kitambaa cha buluu na waweke sahani juu yake, masinia, bakuli na magudulia kwa ajili ya sadaka za kinywaji; mkate ule ambao upo hapa daima utabaki juu yake.

NUM 4:8 Removed trailing space in v~: Juu ya hivyo vitu watatandaza kitambaa chekundu na kufunika kwa ngozi za pomboo na kuweka mipiko yake mahali pake.

NUM 4:9 Removed trailing space in v~: “Watachukua kitambaa cha buluu na kufunika kinara cha taa kilicho kwa ajili ya nuru, pamoja na taa zake, mikasi yake, sinia zake, magudulia yake yote yaliyotumika kuwekea mafuta.

NUM 4:10 Removed trailing space in v~: Kisha watakisokotea pamoja na vifaa vyake vyote katika ngozi za pomboo na kukiweka kwenye jukwaa lake.

NUM 4:11 Removed trailing space in v~: “Juu ya madhabahu ya dhahabu watatandaza kitambaa cha buluu na kukifunika kwa ngozi za pomboo na kuweka mipiko yake mahali pake.

NUM 4:12 Removed trailing space in v~: “Watavichukua vyombo vyote vinavyotumika kuhudumia mahali patakatifu, watavisokotea kwenye kitambaa cha buluu na kufunika kwa ngozi za pomboo, na kuviweka juu ya miti ya kuchukulia.

NUM 4:13 Removed trailing space in v~: “Wataondoa majivu kutoka madhabahu ya shaba na kutandaza kitambaa cha zambarau juu yake.

NUM 4:14 Removed trailing space in v~: Kisha wataweka vyombo vyote juu yake vinavyotumika kwa kuhudumia madhabahuni pamoja na vyombo vya kutolea moto, nyuma, miiko na mabakuli ya kunyunyizia. Juu yake watatandaza ngozi za pomboo ya kufunika, na kuweka mipiko mahali pake.

NUM 4:15 Removed trailing space in v~: “Baada ya Aroni na wanawe kumaliza kazi ya kufunika samani takatifu na vyombo vyake vyote, watu watakapokuwa tayari kungʼoa kambi, Wakohathi watakuja kufanya kazi ya kubeba. Lakini wasije wakagusa vitu vitakatifu la sivyo watakufa. Wakohathi ndio watakaobeba vile vitu vilivyomo katika Hema la Kukutania.

NUM 4:16 Removed trailing space in v~: “Eleazari mwana wa Aroni, kuhani, ndiye atakayesimamia mafuta kwa ajili ya taa, uvumba wenye harufu nzuri, sadaka za kila siku za nafaka na mafuta ya upako. Ndiye atakayekuwa msimamizi wa maskani yote ya \nd Bwana\nd* na kila kitu kilichomo ndani mwake pamoja na samani takatifu na vyombo vyake.”

NUM 4:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia Mose na Aroni,

NUM 4:18 Removed trailing space in v~: “Hakikisheni kwamba koo za kabila la Wakohathi hawatengwi kutoka Walawi.

NUM 4:19 Removed trailing space in v~: Ili wapate kuishi wala wasife wanapokaribia vitu vitakatifu sana, uwafanyie hivi: Aroni na wanawe watakwenda mahali patakatifu na kumgawia kila mtu kazi yake, na kwamba ni nini atakachochukua.

NUM 4:20 Removed trailing space in v~: Lakini Wakohathi hawaruhusiwi kuingia ndani ili kuangalia vitu vitakatifu, hata kwa kitambo kidogo, la sivyo watakufa.”

NUM 4:20 Removed trailing space in s1: Wagershoni

NUM 4:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 4:22 Removed trailing space in v~: “Wahesabu pia Wagershoni kwa jamaa zao na koo zao.

NUM 4:23 Removed trailing space in v~: Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao huja kutumika katika Hema la Kukutania.

NUM 4:24 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo huduma ya koo za Wagershoni wakati wanapofanya kazi na kubeba mizigo.

NUM 4:25 Removed trailing space in v~: Watabeba mapazia ya maskani. Hema la Kukutania, kifuniko chake na kifuniko cha nje cha ngozi za pomboo, mapazia ya maingilio ya Hema la Kukutania,

NUM 4:26 Removed trailing space in v~: mapazia ya ua unaozunguka Maskani na madhabahu, pazia la maingilio, kamba na vifaa vyote vinavyotumika katika huduma yake. Wagershoni watafanya yote yatakiwayo kufanyika na vitu hivi.

NUM 4:27 Removed trailing space in v~: Utumishi wao wote ukiwa ni kuchukua au wa kufanya kazi nyingine, utafanyika chini ya maelekezo ya Aroni na wanawe. Mtawapangia kama wajibu wao yote watakayoyafanya.

NUM 4:28 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo huduma ya koo za Wagershoni katika Hema la Kukutania. Wajibu wao utakuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani Aroni.

NUM 4:28 Removed trailing space in s1: Wamerari

NUM 4:29 Removed trailing space in v~: “Wahesabu Wamerari kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:30 Removed trailing space in v~: Wahesabu wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao watakuja kutumika katika Hema la Kukutania.

NUM 4:31 Removed trailing space in v~: Huu ndio wajibu wao wanapofanya huduma katika Hema la Kukutania: kubeba miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo na vitako,

NUM 4:32 Removed trailing space in v~: nguzo za ua unaozunguka pamoja na vitako vyake, vigingi vya hema, kamba, vifaa vyake vyote na kila kitu kinachohusiana na matumizi yake. Kila mtu mpangie vitu maalum vya kubeba.

NUM 4:33 Removed trailing space in v~: Huu ndio utumishi wa koo za Merari kama watakavyofanya kazi katika Hema la Kukutania, chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani, Aroni.”

NUM 4:33 Removed trailing space in s1: Kuhesabiwa Kwa Koo Za Walawi

NUM 4:34 Removed trailing space in v~: Mose, Aroni na viongozi wa jumuiya wakawahesabu Wakohathi kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:35 Removed trailing space in v~: Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,

NUM 4:36 Removed trailing space in v~: waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 2,750.

NUM 4:37 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wote wale wa koo za Wakohathi ambao walitumika katika Hema la Kukutania. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatana na amri ya \nd Bwana\nd* kupitia kwa Mose.

NUM 4:38 Removed trailing space in v~: Wagershoni walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:39 Removed trailing space in v~: Watu wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,

NUM 4:40 Removed trailing space in v~: waliohesabiwa kwa koo zao na jamaa zao, walikuwa 2,630.

NUM 4:41 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Gershoni ambao walitumika katika Hema la Kukutania. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatana na amri ya \nd Bwana\nd*.

NUM 4:42 Removed trailing space in v~: Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:43 Removed trailing space in v~: Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,

NUM 4:44 Removed trailing space in v~: waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 3,200.

NUM 4:45 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Wamerari. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatia amri ya \nd Bwana\nd* kupitia kwa Mose.

NUM 4:46 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose, Aroni na viongozi wa Israeli waliwahesabu Walawi wote kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:47 Removed trailing space in v~: Wanaume wote wenye umri kuanzia miaka thelathini hadi hamsini waliokuja kufanya kazi ya kuhudumu na kubeba Hema la Kukutania

NUM 4:48 Removed trailing space in v~: walikuwa watu 8,580.

NUM 4:49 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya \nd Bwana\nd* kupitia Mose, kila mmoja aligawiwa kazi yake na kuambiwa kitu cha kubeba.

NUM 4:49 Removed trailing space in p~: Hivyo ndivyo walivyohesabiwa kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 5:0 Extra space after chapter number

NUM 5:0 Removed trailing space in c: 5

NUM 5:0 Removed trailing space in s1: Utakaso Wa Kambi

NUM 5:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 5:2 Removed trailing space in v~: “Waamuru Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu yeyote ambaye ana ugonjwa wa ngozi uambukizao,\f + \fr 5:2 \ft Ugonjwa wa ngozi uambukizao hapa ina maana ya ukoma.\f* au anayetokwa na majimaji ya aina yoyote, au ambaye ni najisi kwa utaratibu wa ibada kwa sababu ya maiti.

NUM 5:3 Removed trailing space in v~: Hii itakuwa ni kwa wote, yaani, wanaume na wanawake; watoeni nje ya kambi ili wasije wakanajisi kambi yao, ambamo ninaishi miongoni mwao.”

NUM 5:4 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya hivyo; wakawatoa nje ya kambi. Wakafanya kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwelekeza Mose.

NUM 5:4 Removed trailing space in s1: Malipo Kwa Ajili Ya Makosa

NUM 5:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 5:6 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli, ‘Wakati mwanaume au mwanamke akimkosea mwenzake kwa njia yoyote, na kwa hivyo akawa si mwaminifu kwa \nd Bwana\nd*, mtu huyo ana hatia,

NUM 5:7 Removed trailing space in v~: na ni lazima atubu dhambi aliyoifanya. Ni lazima atoe malipo kamili kwa ajili ya kosa lake, aongeze sehemu ya tano juu ya malipo hayo na kutoa yote kwa mtu aliyemkosea.

NUM 5:8 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mtu huyo hana jamaa ya karibu ambaye malipo yanaweza kufanywa kwa ajili ya kosa, malipo yatakuwa mali ya \nd Bwana\nd*, nayo ni lazima apewe kuhani, pamoja na kondoo dume ambaye anatumika kufanyia upatanisho kwa ajili yake.

NUM 5:9 Removed trailing space in v~: Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake.

NUM 5:10 Removed trailing space in v~: Kila kitu cha mtu kilichowekwa wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’ ”

NUM 5:10 Removed trailing space in s1: Jaribio Kwa Ajili Ya Mke Asiye Mwaminifu

NUM 5:11 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 5:12 Removed trailing space in v~: “Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe,

NUM 5:13 Removed trailing space in v~: kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine, tendo hili likafichika kwa mumewe na unajisi wake usigundulike (kwa kuwa hakuna ushahidi dhidi yake, naye hakukamatwa katika tendo hilo),

NUM 5:14 Removed trailing space in v~: nazo hisia za wivu zikamjia mumewe na kumshuku mkewe, naye mke yule ni najisi, au mumewe ana wivu na akamshuku ingawa si najisi,

NUM 5:15 Removed trailing space in v~: basi atampeleka mkewe kwa kuhani. Huyo mume itampasa apeleke pia sadaka ya unga wa shayiri kiasi cha sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 5:15 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.\f* kwa niaba ya mkewe. Huyo mwanaume kamwe asimimine mafuta juu ya huo unga wala asiweke uvumba juu yake, kwa sababu ni sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu, sadaka ya ukumbusho ili kukumbushia uovu.

NUM 5:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani atamleta huyo mwanamke na kumsimamisha mbele za \nd Bwana\nd*.

NUM 5:17 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atachukua sehemu ya maji matakatifu ndani ya gudulia la udongo na kuchanganya na baadhi ya vumbi kutoka sakafu ya Maskani.

NUM 5:18 Removed trailing space in v~: Baada ya kuhani kumsimamisha huyo mwanamke mbele za \nd Bwana\nd*, atazifungua nywele za huyo mwanamke na kuweka sadaka ya ukumbusho mikononi mwake, ile sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu, huku kuhani mwenyewe akishikilia yale maji machungu yaletayo laana.

NUM 5:19 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atamwapiza huyo mwanamke, akimwambia, “Ikiwa hakuna mwanaume mwingine aliyekutana kimwili nawe, wala hujapotoka na kuwa najisi wakati ukiwa umeolewa na mumeo, maji haya machungu yaletayo laana na yasikudhuru.

NUM 5:20 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa umepotoka wakati ukiwa umeolewa na mume wako na umejinajisi mwenyewe kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine asiyekuwa mumeo”;

NUM 5:21 Removed trailing space in v~: hapa kuhani atamweka huyo mwanamke chini ya laana ya kiapo akisema: “\nd Bwana\nd* na awafanye watu wako wakulaani na kukukataa, wakati \nd Bwana\nd* atakapolifanya paja lako kupooza na tumbo lako kuvimba.

NUM 5:22 Removed trailing space in v~: Maji haya yaletayo laana na yaingie ndani ya mwili wako ili tumbo lako livimbe na paja lako lipooze.”\f + \fr 5:22 \ft Paja lipooze hapa ina maana ya kuwa tasa au kuharibu mimba.\f*

NUM 5:22 Removed trailing space in p~: “ ‘Kisha mwanamke atasema, “Amen. Iwe hivyo.”

NUM 5:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani ataandika laana hizi kwenye kitabu, kisha atazioshea laana hizo kwenye yale maji machungu.

NUM 5:24 Removed trailing space in v~: Kuhani atamnywesha yule mwanamke yale maji machungu yaletayo laana, nayo maji haya yatamwingia na kumsababishia maumivu makali.

NUM 5:25 Removed trailing space in v~: Kuhani atachukua sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu kutoka mikononi mwa huyo mwanamke, naye ataipunga mbele za \nd Bwana\nd* na kuileta madhabahuni.

NUM 5:26 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atachota sadaka ya nafaka mkono uliojaa kama sehemu ya kumbukumbu na kuiteketeza juu ya madhabahu, baada ya hayo, atamtaka huyo mwanamke anywe yale maji.

NUM 5:27 Removed trailing space in v~: Kama amejitia unajisi na kukosa uaminifu kwa mumewe, wakati anapotakiwa anywe maji yale yaletayo laana, yatamwingia na kusababisha maumivu makali; tumbo lake litavimba na paja lake litapooza, naye atakuwa amelaaniwa miongoni mwa watu wake.

NUM 5:28 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, ikiwa huyo mwanamke hakujitia unajisi, naye ni safi, atasafishwa hatia na ataweza kuzaa watoto.

NUM 5:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Basi, hii ndiyo sheria ya wivu mwanamke anapopotoka na kujitia unajisi akiwa ameolewa na mumewe,

NUM 5:30 Removed trailing space in v~: au hisia za wivu zinapomjia mwanaume kwa sababu ya kumshuku mkewe. Kuhani atamfanya huyo mwanamke kusimama mbele za \nd Bwana\nd* na atatumia sheria hii yote kwa huyo mwanamke.

NUM 5:31 Removed trailing space in v~: Mume atakuwa hana hatia ya kosa lolote, bali mwanamke atayachukua matokeo ya dhambi yake.’ ”

NUM 6:0 Extra space after chapter number

NUM 6:0 Removed trailing space in c: 6

NUM 6:0 Removed trailing space in s1: Mnadhiri

NUM 6:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 6:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Ikiwa mwanaume au mwanamke anataka kuweka nadhiri maalum, nadhiri ya kutengwa kwa ajili ya \nd Bwana\nd* kama Mnadhiri,

NUM 6:3 Removed trailing space in v~: ni lazima ajitenge na mvinyo na kinywaji kingine chochote chenye chachu, na kamwe asinywe siki itokanayo na mvinyo au itokanayo na kinywaji kingine chenye chachu. Kamwe asinywe maji ya zabibu wala kula zabibu mbichi au kavu.

NUM 6:4 Removed trailing space in v~: Kwa muda wote atakaokuwa Mnadhiri, kamwe hatakula chochote kitokanacho na mzabibu, sio mbegu wala maganda.

NUM 6:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa muda wote wa nadhiri yake ya kujitenga kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, wembe hautapita kichwani mwake. Ni lazima awe mtakatifu mpaka kipindi cha kujitenga kwake kwa ajili ya \nd Bwana\nd* kiishe; ni lazima aache nywele za kichwa chake zirefuke.

NUM 6:6 Removed trailing space in v~: Kwa kipindi chochote cha kujitenga kwa ajili ya \nd Bwana\nd* hatakaribia maiti.

NUM 6:7 Removed trailing space in v~: Hata kama baba yake mwenyewe au mama au kaka au dada akifa, hatajinajisi mwenyewe kwa taratibu za ibada kwa ajili yao, kwa sababu ishara ya kujiweka wakfu kwake kwa Mungu ipo katika kichwa chake.

NUM 6:8 Removed trailing space in v~: Kwa kipindi chote cha kujitenga kwake yeye ni wakfu kwa \nd Bwana\nd*.

NUM 6:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu yeyote akifa ghafula karibu naye, atakuwa ametiwa unajisi nywele zake alizoziweka wakfu, hivyo ni lazima anyoe nywele zake siku ya utakaso wake, yaani siku ya saba.

NUM 6:10 Removed trailing space in v~: Kisha siku ya nane ni lazima alete hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa kuhani katika mlango wa Hema la Kukutania.

NUM 6:11 Removed trailing space in v~: Kuhani atatoa mmoja kama sadaka ya dhambi, na mwingine kama sadaka ya kuteketezwa ili kufanya upatanisho kwa ajili yake kwa sababu ametenda dhambi kwa kuwepo mbele ya maiti. Siku iyo hiyo atakiweka wakfu kichwa chake.

NUM 6:12 Removed trailing space in v~: Ni lazima ajitoe kabisa kwa \nd Bwana\nd* kwa kipindi cha kujitenga kwake, na ni lazima atoe mwana-kondoo wa mwaka mmoja kama sadaka ya hatia. Siku zilizopita hazitahesabiwa kwa sababu alijitia unajisi katika siku zake za kujitenga.

NUM 6:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Basi hii ndiyo sheria kwa ajili ya Mnadhiri baada ya kipindi chake cha kujitenga kupita. Ataletwa kwenye ingilio la Hema la Kukutania.

NUM 6:14 Removed trailing space in v~: Hapo atatoa sadaka zake kwa \nd Bwana\nd*: yaani, mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiye na waa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, kondoo mke wa mwaka mmoja asiye na waa kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo dume asiye na waa kwa ajili ya sadaka ya amani,

NUM 6:15 Removed trailing space in v~: pamoja na sadaka zake za nafaka na za vinywaji, na kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, yaani maandazi yaliyotengenezwa kwa unga laini uliochanganywa na mafuta, na mikate myembamba iliyopakwa mafuta.

NUM 6:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani atavileta vitu hivyo mbele za \nd Bwana\nd* na kufanya sadaka ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa.

NUM 6:17 Removed trailing space in v~: Ataleta pia kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, na atatoa dhabihu kondoo dume kama sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd*, pamoja na sadaka yake ya nafaka na sadaka ya kinywaji.

NUM 6:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Kisha kwenye ingilio la Hema la Kukutania, Mnadhiri ni lazima anyoe nywele zake ambazo alikuwa ameziweka wakfu. Atazichukua hizo nywele na kuziweka ndani ya moto ulio chini ya dhabihu ya sadaka ya amani.

NUM 6:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Baada ya Mnadhiri kunyoa hizo nywele zake za kujitenga kwake, kuhani atampa mikononi mwake bega la kondoo dume lililochemshwa, na pia andazi na mkate mwembamba kutoka kwenye kikapu, vyote vikiwa vimetengenezwa bila kuwekwa chachu.

NUM 6:20 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani ataviinua mbele za \nd Bwana\nd* kama sadaka ya kuinua; ni vitakatifu na ni mali ya kuhani, pamoja na kile kidari kilichoinuliwa na lile paja lililotolewa. Baada ya hayo, Mnadhiri anaweza kunywa divai.

NUM 6:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Hii ndiyo sheria ya Mnadhiri ambaye anaweka nadhiri kwa matoleo yake kwa \nd Bwana\nd* kufuatana na kujitenga kwake, zaidi ya chochote kile anachoweza kupata. Ni lazima atimize nadhiri aliyoiweka kufuatana na sheria ya Mnadhiri.’ ”

NUM 6:21 Removed trailing space in s1: Baraka Ya Kikuhani

NUM 6:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 6:23 Removed trailing space in v~: “Mwambie Aroni na wanawe, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki Waisraeli. Waambieni:

NUM 6:24 Removed trailing space in v~: “ ‘ “\nd Bwana\nd* akubariki

NUM 6:24 Removed trailing space in p~: na kukulinda;

NUM 6:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akuangazie nuru ya uso wake

NUM 6:25 Removed trailing space in p~: na kukufadhili;

NUM 6:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akugeuzie uso wake

NUM 6:26 Removed trailing space in p~: na kukupa amani.” ’

NUM 6:27 Removed trailing space in v~: “Hivyo wataliweka Jina langu juu ya Waisraeli, nami nitawabariki.”

NUM 7:0 Extra space after chapter number

NUM 7:0 Removed trailing space in c: 7

NUM 7:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Wakati Wa Kuweka Wakfu Maskani Ya \nd Bwana\nd*

NUM 7:1 Removed trailing space in v~: Mose alipomaliza kuisimamisha Maskani, aliitia mafuta na kuiweka wakfu pamoja na samani zake zote. Pia alitia madhabahu mafuta na kuiweka wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote.

NUM 7:2 Removed trailing space in v~: Ndipo viongozi wa Israeli, wale wakuu wa jamaa waliokuwa viongozi wa kabila wasimamizi wa wale waliohesabiwa, wakatoa sadaka.

NUM 7:3 Removed trailing space in v~: Walizileta kama matoleo yao mbele za \nd Bwana\nd*: magari sita ya kukokotwa yaliyofunikwa, pamoja na maksai kumi na wawili; yaani maksai mmoja kutoka kwa kila kiongozi, na gari moja la kukokotwa kutoka kwa kila viongozi wawili. Haya waliyaleta mbele ya Maskani.

NUM 7:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 7:5 Removed trailing space in v~: “Vikubali vitu hivi kutoka kwao, ili viweze kutumika katika kazi kwenye Hema la Kukutania. Wapatie Walawi kama kazi ya kila mtu itakavyohitaji.”

NUM 7:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akachukua yale magari ya kukokotwa pamoja na maksai, na kuwapa Walawi.

NUM 7:7 Removed trailing space in v~: Aliwapa Wagershoni magari mawili ya kukokotwa na maksai wanne, kama walivyohitaji kwa kazi yao,

NUM 7:8 Removed trailing space in v~: na pia aliwapa Wamerari magari manne ya kukokotwa na maksai wanane, kama kazi yao ilivyohitaji. Wote walikuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani, Aroni.

NUM 7:9 Removed trailing space in v~: Lakini Mose hakuwapa Wakohathi chochote kati ya hivyo, kwa sababu walitakiwa kubeba vitu vitakatifu mabegani mwao, vile walikuwa wanawajibika.

NUM 7:10 Removed trailing space in v~: Wakati madhabahu yalitiwa mafuta, viongozi walileta sadaka zao kwa ajili ya kule kuwekwa wakfu kwake na kuziweka mbele ya madhabahu.

NUM 7:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose, “Kila siku kiongozi mmoja ataleta sadaka yake ili kuwekwa wakfu madhabahu.”

NUM 7:12 Removed trailing space in v~: Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni, mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.

NUM 7:13 Removed trailing space in v~: Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130,\f + \fr 7:13 \ft Shekeli 130 za fedha ni sawa na kilo 1.5.\f* na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini,\f + \fr 7:13 \ft Shekeli 70 za fedha ni sawa gramu 800.\f* vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:14 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi,\f + \fr 7:14 \ft Shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110.\f* likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:15 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:16 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:17 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.

NUM 7:18 Removed trailing space in v~: Siku ya pili yake Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari, alileta sadaka yake.

NUM 7:19 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:20 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:21 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:22 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:23 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Suari.

NUM 7:24 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zabuloni, alileta sadaka yake.

NUM 7:25 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:26 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:27 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:28 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:29 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana wa Heloni.

NUM 7:30 Removed trailing space in v~: Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni, alileta sadaka yake.

NUM 7:31 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:32 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:33 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:34 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:35 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elisuri mwana wa Shedeuri.

NUM 7:36 Removed trailing space in v~: Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.

NUM 7:37 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:38 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:39 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:40 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:41 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Shelumieli mwana wa Surishadai.

NUM 7:42 Removed trailing space in v~: Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, kiongozi wa watu wa Gadi, alileta sadaka yake.

NUM 7:43 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:44 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:45 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:46 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:47 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deueli.

NUM 7:48 Removed trailing space in v~: Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.

NUM 7:49 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:50 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:51 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:52 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:53 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi.

NUM 7:54 Removed trailing space in v~: Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka yake.

NUM 7:55 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:56 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:57 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:58 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:59 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Gamalieli mwana wa Pedasuri.

NUM 7:60 Removed trailing space in v~: Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa watu wa Benyamini, alileta sadaka yake.

NUM 7:61 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:62 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:63 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:64 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:65 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gideoni.

NUM 7:66 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi Ahiezeri mwana wa Amishadai, kiongozi wa watu wa Dani, alileta sadaka yake.

NUM 7:67 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:68 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:69 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:70 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:71 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahiezeri mwana wa Amishadai.

NUM 7:72 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.

NUM 7:73 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:74 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:75 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:76 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:77 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.

NUM 7:78 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.

NUM 7:79 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:80 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:81 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:82 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:83 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahira mwana wa Enani.

NUM 7:84 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilikuwa sadaka za viongozi wa Israeli madhabahu yalipowekwa wakfu, wakati yalitiwa mafuta: sahani kumi na mbili za fedha, bakuli kumi na mbili za fedha za kunyunyizia, na masinia kumi na mawili ya dhahabu.

NUM 7:85 Removed trailing space in v~: Kila sahani ya fedha ilikuwa na uzito wa shekeli 130, na kila bakuli la fedha la kunyunyizia lilikuwa na uzito wa shekeli sabini. Masinia yote kumi na mawili yalikuwa na uzito wa shekeli 2,400\f + \fr 7:85 \ft Shekeli 2,400 za fedha ni sawa na kilo 28.\f*kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.

NUM 7:86 Removed trailing space in v~: Sahani kumi na mbili za dhahabu zilizojazwa uvumba zilikuwa na uzito wa shekeli kumi kila moja, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Kwa jumla, sahani za dhahabu zilikuwa na uzito wa shekeli 120.\f + \fr 7:86 \ft Shekeli 120 za dhahabu ni sawa na kilo 1.4.\f*

NUM 7:87 Removed trailing space in v~: Jumla ya wanyama waliotolewa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa walikuwa fahali kumi na wawili wachanga, kondoo dume kumi na wawili na wana-kondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja, pamoja na sadaka zao za nafaka. Mbuzi waume kumi na wawili walitolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi.

NUM 7:88 Removed trailing space in v~: Jumla ya wanyama kwa ajili ya dhabihu ya sadaka ya amani walikuwa maksai ishirini na wanne, kondoo dume sitini, mbuzi dume wa mwaka mmoja sitini na wana-kondoo dume wa mwaka mmoja sitini. Hizi ndizo zilikuwa sadaka zilizoletwa kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu baada ya kutiwa mafuta.

NUM 7:89 Removed trailing space in v~: Mose alipoingia kwenye Hema la Kukutania kuzungumza na \nd Bwana\nd*, alisikia sauti ikisema naye kutoka kati ya wale makerubi wawili waliokuwa juu ya kile kiti cha rehema, juu ya Sanduku la Ushuhuda. Mose akazungumza naye.

NUM 8:0 Extra space after chapter number

NUM 8:0 Removed trailing space in c: 8

NUM 8:0 Removed trailing space in s1: Kuwekwa Kwa Taa

NUM 8:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 8:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Aroni umwambie, ‘Wakati utakapoziweka zile taa saba, zinatakiwa kuangaza eneo lililo mbele ya kinara cha taa.’ ”

NUM 8:3 Removed trailing space in v~: Aroni akafanya hivyo; akaziweka zile taa ili zielekee mbele kwenye kinara cha taa, kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 8:4 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo kinara cha taa kilivyotengenezwa: Kilitengenezwa kwa dhahabu iliyofuliwa, kuanzia kwenye kitako chake hadi kwenye maua yake. Kinara cha taa kilitengenezwa sawasawa kabisa na kielelezo ambacho \nd Bwana\nd* alikuwa amemwonyesha Mose.

NUM 8:4 Removed trailing space in s1: Kutengwa Kwa Walawi Kwa Ajili Ya \nd Bwana\nd*

NUM 8:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

NUM 8:6 Removed trailing space in v~: “Watwae Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli wengine na uwatakase kwa kawaida ya ibada.

NUM 8:7 Removed trailing space in v~: Ili kuwatakasa fanya hivi: Nyunyizia maji ya utakaso juu yao; kisha uwaambie wanyoe nywele kwenye mwili mzima, wafue nguo zao na hivyo wajitakase wenyewe.

NUM 8:8 Removed trailing space in v~: Waambie wamchukue fahali mchanga pamoja na sadaka yake ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta; kisha utamchukua fahali mchanga wa pili kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

NUM 8:9 Removed trailing space in v~: Walete Walawi mbele ya Hema la Kukutania na ukusanye jumuiya yote ya Waisraeli.

NUM 8:10 Removed trailing space in v~: Utawaleta Walawi mbele za \nd Bwana\nd*, na Waisraeli wataweka mikono yao juu ya Walawi.

NUM 8:11 Removed trailing space in v~: Aroni atawaweka Walawi mbele za \nd Bwana\nd* kama sadaka ya kuinua kutoka kwa Waisraeli, ili kwamba wawe tayari kuifanya kazi ya \nd Bwana\nd*.

NUM 8:12 Removed trailing space in v~: “Baada ya Walawi kuweka mikono yao juu ya vichwa vya hao mafahali wawili, tumia mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi kwa \nd Bwana\nd*, na mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Walawi.

NUM 8:13 Removed trailing space in v~: Waambie hao Walawi wasimame mbele ya Aroni na wanawe, kisha wawatoe kama sadaka ya kuinuliwa kwa \nd Bwana\nd*.

NUM 8:14 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii utakuwa umewatenga Walawi kutoka kwa Waisraeli wengine, nao Walawi watakuwa wangu.

NUM 8:15 Removed trailing space in v~: “Utakapokuwa umekwisha kuwatakasa Walawi na kuwatoa kama sadaka ya kuinuliwa, watakuja kufanya kazi yao katika Hema la Kukutania.

NUM 8:16 Removed trailing space in v~: Wao ndio Waisraeli ambao watatolewa kabisa kwangu. Nimewatwaa kama mali yangu mwenyewe badala ya mzaliwa wa kwanza, mzaliwa wa kwanza wa kiume kutoka kwa kila mwanamke wa Kiisraeli.

NUM 8:17 Removed trailing space in v~: Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume katika Israeli, awe wa mwanadamu au mnyama, ni wangu. Wakati nilipowaua wazaliwa wote wa kwanza huko Misri, niliwatenga kwa ajili yangu mwenyewe.

NUM 8:18 Removed trailing space in v~: Nami nimewatwaa Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa kiume katika Israeli.

NUM 8:19 Removed trailing space in v~: Kati ya Waisraeli wote, nimempa Aroni na wanawe Walawi kama zawadi ili wafanye kazi katika Hema la Kukutania kwa niaba ya Waisraeli, na kufanya upatanisho kwa ajili yao ili pasiwepo na pigo lolote litakalowapata Waisraeli wakati watakapokaribia mahali patakatifu.”

NUM 8:20 Removed trailing space in v~: Mose, Aroni na jumuiya yote ya Waisraeli wakawafanyia Walawi kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 8:21 Removed trailing space in v~: Walawi wakajitakasa wenyewe na wakafua nguo zao. Kisha Aroni akawasogeza mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa, na kufanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa.

NUM 8:22 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, Walawi walikuja kufanya kazi yao katika Hema la Kukutania chini ya usimamizi wa Aroni na wanawe. Waliwafanyia Walawi kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 8:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 8:24 Removed trailing space in v~: “Hili linawahusu Walawi: Wanaume wenye umri wa miaka ishirini na mitano au zaidi watakuja kushiriki katika kazi kwenye Hema la Kukutania,

NUM 8:25 Removed trailing space in v~: lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.

NUM 8:26 Removed trailing space in v~: Wanaweza kuwasaidia ndugu zao kufanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, lakini wao wenyewe kamwe hawatafanya hiyo kazi. Basi, hivi ndivyo utakavyogawa wajibu kwa Walawi.”

NUM 9:0 Extra space after chapter number

NUM 9:0 Removed trailing space in c: 9

NUM 9:0 Removed trailing space in s1: Pasaka Huko Sinai

NUM 9:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema na Mose katika Jangwa la Sinai katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka Misri. Akasema,

NUM 9:2 Removed trailing space in v~: “Waamuru Waisraeli waadhimishe Pasaka katika wakati ulioamriwa.

NUM 9:3 Removed trailing space in v~: Adhimisheni wakati ulioamriwa, yaani wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi huu, kufuatana na desturi zake zote na masharti yake.”

NUM 9:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akawaambia Waisraeli waiadhimishe Pasaka,

NUM 9:5 Removed trailing space in v~: nao wakafanya hivyo kwenye Jangwa la Sinai wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Waisraeli wakafanya kila kitu kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 9:6 Removed trailing space in v~: Lakini baadhi yao hawakuweza kuadhimisha Pasaka siku ile kwa sababu walikuwa najisi kwa taratibu za kiibada kwa ajili ya kugusa maiti. Kwa hiyo wakamwendea Mose na Aroni siku ile ile,

NUM 9:7 Removed trailing space in v~: wakamwambia Mose, “Tumekuwa najisi kwa sababu tumegusa maiti, lakini kwa nini tuzuiliwe kumtolea \nd Bwana\nd* sadaka yake pamoja na Waisraeli wengine katika wakati ulioamriwa?”

NUM 9:8 Removed trailing space in v~: Mose akawajibu, “Ngojeni mpaka nitafute kile \nd Bwana\nd* anachoagiza kuwahusu ninyi.”

NUM 9:9 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 9:10 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli: ‘Wakati mmoja wenu au wazao wenu wanapokuwa najisi kwa sababu ya maiti au wakiwa safarini, hata hivyo wanaweza kuadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd*.

NUM 9:11 Removed trailing space in v~: Wataiadhimisha wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Watamla mwana-kondoo, pamoja na mkate usiotiwa chachu, na mboga chungu.

NUM 9:12 Removed trailing space in v~: Wasibakize chochote hadi asubuhi wala wasivunje mifupa ya mwana-kondoo. Wakati wanapoadhimisha Pasaka, hawana budi kufuata masharti yote.

NUM 9:13 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu ni safi kwa taratibu za kiibada naye hayuko safarini, asipoadhimisha Pasaka, mtu huyo hana budi kukatiliwa mbali na watu wake kwa sababu hakutoa sadaka ya \nd Bwana\nd* kwa wakati ulioamriwa. Mtu huyo atawajibika kubeba matokeo ya dhambi yake.

NUM 9:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye anataka kuadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd*, lazima afanye hivyo kwa kufuata desturi na masharti. Lazima masharti yawe sawasawa kwa mgeni na mzawa.’ ”

NUM 9:14 Removed trailing space in s1: Wingu La Moto Juu Ya Maskani

NUM 9:14 Removed trailing space in r: (Kutoka 40:34-38)

NUM 9:15 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo ambayo Maskani, Hema la Ushuhuda, iliposimamishwa, wingu liliifunika. Kuanzia jioni mpaka asubuhi wingu lililokuwa juu ya Maskani lilionekana kama moto.

NUM 9:16 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo lilivyoendelea kuwa; wingu liliifunika wakati wa mchana, na usiku lilionekana kama moto.

NUM 9:17 Removed trailing space in v~: Wakati wowote wingu lilipoinuka kutoka juu ya Hema, nao Waisraeli waliondoka; mahali popote wingu liliposimama, Waisraeli walipiga kambi.

NUM 9:18 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya \nd Bwana\nd* Waisraeli waliondoka, na kwa amri yake walipiga kambi. Kwa muda wote wingu liliposimama juu ya Maskani, Waisraeli walibaki wamepiga kambi.

NUM 9:19 Removed trailing space in v~: Wakati wingu lilipobaki juu ya Maskani kwa muda mrefu, Waisraeli walitii amri ya \nd Bwana\nd* nao hawakuondoka.

NUM 9:20 Removed trailing space in v~: Wakati mwingine wingu lilikuwa juu ya Maskani kwa siku chache tu; kwa amri ya \nd Bwana\nd* wangelipiga kambi na kisha kwa amri yake wangeliondoka.

NUM 9:21 Removed trailing space in v~: Wakati mwingine wingu lilikuwepo kuanzia jioni mpaka asubuhi tu, na lilipoinuka asubuhi, nao waliondoka. Ikiwa ni mchana au usiku, wakati wowote wingu lilipoinuka, waliondoka.

NUM 9:22 Removed trailing space in v~: Ikiwa wingu lilikaa juu ya Maskani kwa siku mbili au mwezi au mwaka, Waisraeli wangebaki wamepiga kambi na hawakuondoka; lakini lilipoinuka, wangeondoka.

NUM 9:23 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya \nd Bwana\nd* walipiga kambi, na kwa amri ya \nd Bwana\nd* waliondoka. Walitii amri ya \nd Bwana\nd*, kufuatana na agizo lake kupitia Mose.

NUM 10:0 Extra space after chapter number

NUM 10:0 Removed trailing space in c: 10

NUM 10:0 Removed trailing space in s1: Tarumbeta Za Fedha

NUM 10:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

NUM 10:2 Removed trailing space in v~: “Tengeneza tarumbeta mbili za fedha ya kufua, uzitumie kwa kuita jumuiya pamoja na wakati wa kuvunja makambi ili kuondoka.

NUM 10:3 Removed trailing space in v~: Tarumbeta zote mbili zikipigwa, jumuiya yote itakusanyika mbele yako katika ingilio la Hema la Kukutania.

NUM 10:4 Removed trailing space in v~: Kama tarumbeta moja tu ikipigwa, viongozi, yaani wakuu wa koo za Israeli, ndio watakaokusanyika mbele yako.

NUM 10:5 Removed trailing space in v~: Wakati mlio wa kujulisha hatari ukipigwa, makabila yaliyo na makambi upande wa mashariki yataondoka.

NUM 10:6 Removed trailing space in v~: Ukisikika mlio wa pili wa jinsi hiyo, walioko kwenye makambi ya kusini wataondoka. Mlio huo wa kujulisha hatari utakuwa ishara ya kuondoka.

NUM 10:7 Removed trailing space in v~: Ili kukusanya kusanyiko, piga tarumbeta zote, lakini siyo kwa mlio wa kujulisha hatari.

NUM 10:8 Removed trailing space in v~: “Wana wa Aroni, makuhani, ndio watakaopiga hizo tarumbeta. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu na kwa vizazi vijavyo.

NUM 10:9 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapopigana vita katika nchi yenu wenyewe dhidi ya adui anayewaonea, piga tarumbeta kwa mlio wa kujulisha hatari. Ndipo utakumbukwa na \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuokolewa kutoka kwa adui zenu.

NUM 10:10 Removed trailing space in v~: Pia nyakati za furaha yenu, yaani sikukuu zenu zilizoamriwa na sikukuu za Mwezi Mwandamo, mtapiga tarumbeta juu ya sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za amani, nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Mungu wenu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu.”

NUM 10:10 Removed trailing space in s1: Waisraeli Waondoka Sinai

NUM 10:11 Removed trailing space in v~: Katika siku ya ishirini ya mwezi wa pili wa mwaka wa pili, wingu liliinuka kutoka juu ya maskani ya Ushuhuda.

NUM 10:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli wakaondoka kutoka Jangwa la Sinai wakasafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine mpaka wingu lilipotua katika Jangwa la Parani.

NUM 10:13 Removed trailing space in v~: Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la \nd Bwana\nd* kupitia kwa Mose.

NUM 10:14 Removed trailing space in v~: Vikosi vya kambi ya Yuda vilitangulia kwanza chini ya alama yao. Nashoni mwana wa Aminadabu alikuwa kiongozi wao.

NUM 10:15 Removed trailing space in v~: Nethaneli mwana wa Suari alikuwa kiongozi wa kabila la Isakari,

NUM 10:16 Removed trailing space in v~: naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.

NUM 10:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Maskani iliposhushwa, nao wana wa Gershoni na wana wa Merari ambao waliibeba wakaondoka.

NUM 10:18 Removed trailing space in v~: Vikosi vya kambi ya Reubeni vilifuata, chini ya alama yao. Elisuri mwana wa Shedeuri alikuwa kiongozi wao.

NUM 10:19 Removed trailing space in v~: Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,

NUM 10:20 Removed trailing space in v~: naye Eliasafu mwana wa Deueli aliongoza kikosi cha kabila la Gadi.

NUM 10:21 Removed trailing space in v~: Kisha Wakohathi wakaondoka, wakichukua vitu vitakatifu. Maskani ilikuwa isimamishwe kabla wao hawajafika.

NUM 10:22 Removed trailing space in v~: Vikosi vya kambi ya Efraimu vilifuata, chini ya alama yao. Elishama mwana wa Amihudi alikuwa kiongozi wao.

NUM 10:23 Removed trailing space in v~: Gamalieli mwana wa Pedasuri aliongoza kikosi cha kabila la Manase,

NUM 10:24 Removed trailing space in v~: naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.

NUM 10:25 Removed trailing space in v~: Mwishowe, kama kikosi cha nyuma cha ulinzi wa vikosi vyote, vikosi vya kambi ya Dani viliondoka chini ya alama yao. Ahiezeri mwana wa Amishadai alikuwa kiongozi wao.

NUM 10:26 Removed trailing space in v~: Pagieli mwana wa Okrani aliongoza kikosi cha kabila la Asheri,

NUM 10:27 Removed trailing space in v~: naye Ahira mwana wa Enani aliongoza kikosi cha kabila la Naftali.

NUM 10:28 Removed trailing space in v~: Huu ndio ulikuwa utaratibu wa kuondoka wa vikosi vya Waisraeli walipokuwa wanaondoka.

NUM 10:29 Removed trailing space in v~: Basi Mose akamwambia Hobabu mwana wa Reueli, Mmidiani, mkwewe Mose, “Tunaondoka kwenda mahali ambapo \nd Bwana\nd* amesema ‘Nitawapa ninyi mahali hapo.’ Twende pamoja nasi tutakutendea mema, kwa maana \nd Bwana\nd* ameahidi mambo mema kwa Israeli.”

NUM 10:30 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Hapana, sitakwenda; nitarudi kwenye nchi yangu mwenyewe na watu wangu mwenyewe.”

NUM 10:31 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali ambapo yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.

NUM 10:32 Removed trailing space in v~: Ikiwa utafuatana nasi, tutashirikiana nawe mema yoyote tutakayopewa na \nd Bwana\nd*.”

NUM 10:33 Removed trailing space in v~: Hivyo waliondoka kutoka mlima wa \nd Bwana\nd*, nao wakasafiri kwa siku tatu. Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* liliwatangulia kwa zile siku tatu ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.

NUM 10:34 Removed trailing space in v~: Wingu la \nd Bwana\nd* lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipoondoka kambini.

NUM 10:35 Removed trailing space in v~: Wakati wowote Sanduku lilipoondoka, Mose alisema,

NUM 10:35 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, inuka!

NUM 10:35 Removed trailing space in p~: Watesi wako na watawanyike;

NUM 10:35 Removed trailing space in p~: adui zako na wakimbie mbele zako.”

NUM 10:36 Removed trailing space in v~: Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema,

NUM 10:36 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, rudi,

NUM 10:36 Removed trailing space in p~: kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.”

NUM 11:0 Extra space after chapter number

NUM 11:0 Removed trailing space in c: 11

NUM 11:0 Removed trailing space in s1: Moto Kutoka Kwa \nd Bwana\nd*

NUM 11:1 Removed trailing space in v~: Basi watu wakalalamika kwa habari ya taabu zao masikioni mwa \nd Bwana\nd*, naye alipowasikia, hasira yake ikawaka. Ndipo moto kutoka kwa \nd Bwana\nd* ukawaka miongoni mwao na kuteketeza baadhi ya viunga vya kambi.

NUM 11:2 Removed trailing space in v~: Watu walipomlilia Mose, akamwomba \nd Bwana\nd*, nao moto ukazimika.

NUM 11:3 Removed trailing space in v~: Hivyo mahali pale pakaitwa Tabera,\f + \fr 11:3 \ft Tabera maana yake Kunaungua.\f* kwa sababu moto kutoka kwa \nd Bwana\nd* uliwaka miongoni mwao.

NUM 11:3 Removed trailing space in s1: Kware Kutoka Kwa \nd Bwana\nd*

NUM 11:4 Removed trailing space in v~: Umati wa watu wenye zogo waliokuwa miongoni mwao walitamani sana chakula kingine, Waisraeli wakaanza kulia tena na kusema, “Laiti tungekuwa na nyama tule!

NUM 11:5 Removed trailing space in v~: Tunakumbuka wale samaki tuliokula huko Misri bila gharama, pia yale matango, matikitimaji, mboga, vitunguu, na vitunguu saumu.

NUM 11:6 Removed trailing space in v~: Lakini sasa tumepoteza hamu ya chakula; hatuoni kitu kingine chochote isipokuwa hii mana!”

NUM 11:7 Removed trailing space in v~: Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka.

NUM 11:8 Removed trailing space in v~: Hao watu walikwenda kukusanya, kisha waliisaga kwa mawe ya kusagia ya mkono au kuitwanga kwenye vinu. Waliipika vyunguni au kutengeneza maandazi. Ladha yake ilikuwa kama kitu kilichotengenezwa kwa mafuta ya zeituni.

NUM 11:9 Removed trailing space in v~: Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, pia mana ilianguka pamoja nao.

NUM 11:10 Removed trailing space in v~: Mose akasikia watu wa kila jamaa wakilia, kila mmoja kwenye mlango wa hema lake. \nd Bwana\nd* akakasirika mno, naye Mose akafadhaika.

NUM 11:11 Removed trailing space in v~: Akamuuliza \nd Bwana\nd*, “Kwa nini umeleta taabu hii juu ya mtumishi wako? Nimekufanyia nini cha kukuchukiza hata ukaweka mzigo huu wa watu hawa wote juu yangu?

NUM 11:12 Removed trailing space in v~: Je, watu hawa wote mimi ndiye niliyewatungisha mimba? Je, ni mimi niliyewazaa? Kwa nini unaniambia niwachukue mikononi mwangu, kama vile mlezi abebavyo mtoto mchanga, hadi kwenye nchi uliyowaahidi baba zao?

NUM 11:13 Removed trailing space in v~: Nitapata wapi nyama kwa ajili ya watu wote hawa? Wanaendelea kunililia wakisema, ‘Tupe nyama tule!’

NUM 11:14 Removed trailing space in v~: Mimi siwezi kuwabeba watu hawa wote peke yangu, mzigo ni mzito sana kwangu.

NUM 11:15 Removed trailing space in v~: Kama hivi ndivyo unavyonitendea, uniue sasa hivi, yaani kama nimepata kibali machoni pako, wala usiniache nione maangamizi yangu mwenyewe.”

NUM 11:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose: “Niletee wazee sabini wa Israeli, unaowafahamu kama viongozi na maafisa miongoni mwa watu. Walete katika Hema la Kukutania, ili waweze kusimama huko pamoja nawe.

NUM 11:17 Removed trailing space in v~: Nami nitashuka na kusema nawe huko. Nami nitachukua sehemu ya Roho iliyo juu yako na kuiweka juu yao. Watakusaidia kubeba mzigo wa watu hao ili usije ukaubeba peke yako.

NUM 11:18 Removed trailing space in v~: “Waambie hao watu: ‘Jiwekeni wakfu wenyewe kwa ajili ya kesho, wakati mtakapokula nyama. \nd Bwana\nd* aliwasikia mlipolia, mkisema, “Laiti tungekuwa na nyama tule! Tulikuwa na hali nzuri zaidi katika nchi ya Misri!” Sasa \nd Bwana\nd* atawapa nyama, nanyi mtaila.

NUM 11:19 Removed trailing space in v~: Hamtaila kwa siku moja tu, au siku mbili, au tano, kumi au siku ishirini,

NUM 11:20 Removed trailing space in v~: bali kwa mwezi mzima mpaka iwatokee puani, nanyi mtaichukia kabisa, kwa kuwa mmemkataa \nd Bwana\nd*, ambaye yupo miongoni mwenu, nanyi mmelia mbele zake, mkisema, “Hivi kwa nini tulitoka Misri?” ’ ”

NUM 11:21 Removed trailing space in v~: Lakini Mose alisema, “Mimi niko hapa miongoni mwa watu 600,000 wanaotembea kwa miguu, nawe umesema, ‘Nitawapa nyama ya kula kwa mwezi mzima!’

NUM 11:22 Removed trailing space in v~: Je, wangeweza kupata nyama ya kuwatosha hata kama makundi ya kondoo na ya ngʼombe yangechinjwa kwa ajili yao? Je, wangetosheka hata kama samaki wote wa baharini wangevuliwa kwa ajili yao?”

NUM 11:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu Mose, “Je, mkono wa \nd Bwana\nd* ni mfupi sana? Sasa utaona kama jambo nililolisema litatimizwa kwa ajili yako au la.”

NUM 11:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akatoka na kuwaambia watu lile ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amesema. Akawakusanya wazee wao sabini, akawasimamisha kuzunguka Hema.

NUM 11:25 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akashuka katika wingu na kunena na Mose, naye akachukua sehemu ya Roho iliyokuwa juu ya Mose na kuiweka juu ya wale wazee sabini. Roho aliposhuka juu yao, wakatoa unabii, lakini hawakufanya hivyo tena.

NUM 11:26 Removed trailing space in v~: Lakini, watu wawili, ambao majina yao ni Eldadi na Medadi, walibaki kambini. Walikuwa wameorodheshwa miongoni mwa wale wazee sabini, lakini hawakutoka kwenda kwenye Hema. Lakini Roho pia alishuka juu yao, nao wakatabiri huko kambini.

NUM 11:27 Removed trailing space in v~: Mwanaume mmoja kijana alikimbia na kumwambia Mose, “Eldadi na Medadi wanatoa unabii kambini.”

NUM 11:28 Removed trailing space in v~: Yoshua mwana wa Nuni, ambaye alikuwa msaidizi wa Mose tangu ujana wake, akajibu akasema, “Mose bwana wangu, wanyamazishe!”

NUM 11:29 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akajibu, “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Ningetamani watu wote wa \nd Bwana\nd* wangekuwa manabii na kwamba \nd Bwana\nd* angeweka Roho yake juu yao!”

NUM 11:30 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na wale wazee wa Israeli wakarudi kambini.

NUM 11:31 Removed trailing space in v~: Kisha ukatokea upepo kutoka kwa \nd Bwana\nd*, nao ukawaletea kware kutoka baharini. Ukawaangusha kwenye eneo lote linalozunguka kambi na kujaa ardhini kimo cha mita moja hivi kutoka ardhini kwenye eneo la umbali wa mwendo wa siku moja kila upande.

NUM 11:32 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa na usiku kucha pamoja na siku nzima iliyofuata watu walitoka kwenda kuokota kware. Hakuna mtu yeyote aliyekusanya chini ya homeri kumi.\f + \fr 11:32 \ft Homeri 10 ni sawa na kilo 1,000.\f* Kisha wakazianika kuzunguka kambi yote.

NUM 11:33 Removed trailing space in v~: Lakini walipokuwa wakila nyama, ilipokuwa ingali kati ya meno yao na kabla hawajamaliza kula, hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya watu, naye akawapiga kwa tauni.

NUM 11:34 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava,\f + \fr 11:34 \ft Kibroth-Hataava maana yake Makaburi ya wenye tamaa nyingi.\f* kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine.

NUM 11:35 Removed trailing space in v~: Kutoka Kibroth-Hataava watu wakasafiri mpaka Haserothi na kukaa huko.

NUM 12:0 Extra space after chapter number

NUM 12:0 Removed trailing space in c: 12

NUM 12:0 Removed trailing space in s1: Miriamu Na Aroni Wampinga Mose

NUM 12:1 Removed trailing space in v~: Miriamu na Aroni walianza kuzungumza dhidi ya Mose kwa sababu ya mke wake Mkushi, kwa kuwa alikuwa ameoa Mkushi.

NUM 12:2 Removed trailing space in v~: Waliuliza, “Je, \nd Bwana\nd* amesema kupitia Mose peke yake? Je, hajasema kutupitia sisi pia?” Naye \nd Bwana\nd* akasikia hili.

NUM 12:3 Removed trailing space in v~: (Basi Mose alikuwa mtu mnyenyekevu sana, mnyenyekevu kuliko mtu mwingine yeyote katika uso wa dunia.)

NUM 12:4 Removed trailing space in v~: Ghafula \nd Bwana\nd* akawaambia Mose, Aroni na Miriamu, “Njooni katika Hema la Kukutania, ninyi nyote watatu.” Kwa hiyo wote watatu wakaenda.

NUM 12:5 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akashuka katika nguzo ya wingu, akasimama kwenye ingilio la Hema, akawaita Aroni na Miriamu. Wakati wote wawili waliposogea mbele,

NUM 12:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Sikilizeni maneno yangu:

NUM 12:6 Removed trailing space in p~: “Akiwapo nabii wa \nd Bwana\nd* miongoni mwenu,

NUM 12:6 Removed trailing space in p~: nitajifunua kwake kwa maono,

NUM 12:6 Removed trailing space in p~: nitanena naye katika ndoto.

NUM 12:7 Removed trailing space in v~: Lakini sivyo kwa mtumishi wangu Mose;

NUM 12:7 Removed trailing space in p~: yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu yote.

NUM 12:8 Removed trailing space in v~: Kwake nitanena naye uso kwa uso,

NUM 12:8 Removed trailing space in p~: waziwazi wala si kwa mafumbo;

NUM 12:8 Removed trailing space in p~: yeye ataona umbo la \nd Bwana\nd*.

NUM 12:8 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi ninyi hamkuogopa

NUM 12:8 Removed trailing space in p~: kuzungumza kinyume cha mtumishi wangu Mose?”

NUM 12:9 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi yao, akawaacha.

NUM 12:10 Removed trailing space in v~: Wakati hilo wingu liliinuka kutoka juu ya Hema, Miriamu akawa tayari ana ukoma, mweupe kama theluji. Aroni akamgeukia, akaona ana ukoma.

NUM 12:11 Removed trailing space in v~: Kisha Aroni akamwambia Mose, “Tafadhali, bwana wangu, usituhesabie dhambi hii ambayo tumeifanya kwa upumbavu.

NUM 12:12 Removed trailing space in v~: Usimwache awe kama mtoto mchanga aliyezaliwa akiwa mfu, ambaye nusu ya mwili wake imeharibika hapo atokapo katika tumbo la mama yake.”

NUM 12:13 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akamlilia \nd Bwana\nd* akisema, “Ee Mungu, nakuomba umponye!”

NUM 12:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu Mose, “Je, kama baba yake angemtemea usoni, asingeona aibu kwa siku saba? Mfungie nje ya kambi kwa siku saba; baada ya hapo anaweza kurudishwa kambini.”

NUM 12:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Miriamu akafungiwa nje ya kambi kwa siku saba, nao watu hawakuendelea na safari mpaka aliporudishwa kambini.

NUM 12:16 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, watu waliondoka Haserothi, wakapiga kambi katika Jangwa la Parani.

NUM 13:0 Extra space after chapter number

NUM 13:0 Removed trailing space in c: 13

NUM 13:0 Removed trailing space in s1: Kupeleleza Kanaani

NUM 13:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 1:19-33)

NUM 13:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 13:2 Removed trailing space in v~: “Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.”

NUM 13:3 Removed trailing space in v~: Hivyo kwa agizo la \nd Bwana\nd* Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.

NUM 13:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina yao:

NUM 13:4 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;

NUM 13:5 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;

NUM 13:6 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;

NUM 13:7 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu;

NUM 13:8 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;

NUM 13:9 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu;

NUM 13:10 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi,

NUM 13:11 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Manase (kabila la Yosefu), Gadi mwana wa Susi;

NUM 13:12 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali;

NUM 13:13 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli;

NUM 13:14 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi;

NUM 13:15 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Gadi, Geueli mwana wa Maki.

NUM 13:16 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kuipeleleza nchi. (Mose akampa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.)

NUM 13:17 Removed trailing space in v~: Mose alipowatuma wakaipeleleze Kanaani, alisema, “Pandeni kupitia Negebu, mwende mpaka nchi ya vilima.

NUM 13:18 Removed trailing space in v~: Mwone nchi ni ya namna gani, na kama watu waishio humo wana nguvu au ni wadhaifu, iwapo ni wachache au wengi.

NUM 13:19 Removed trailing space in v~: Wanaishi katika nchi ya namna gani? Je, ni nzuri au mbaya? Wanaishi katika miji ya namna gani? Je, haina kuta au ngome?

NUM 13:20 Removed trailing space in v~: Ardhi iko aje? Ina rutuba au la? Je, kuna miti ndani yake au la? Jitahidini kadiri mwezavyo kuleta baadhi ya matunda ya nchi.” (Ulikuwa msimu wa kuiva zabibu za kwanza.)

NUM 13:21 Removed trailing space in v~: Hivyo wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka Jangwa la Sini hadi Rehobu, kuelekea Lebo-Hamathi.

NUM 13:22 Removed trailing space in v~: Wakapanda kupitia Negebu hadi wakafika Hebroni, mahali ambapo Ahimani, Sheshai na Talmai, wazao wa Anaki, waliishi. (Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba kabla ya mji wa Soani ulioko Misri.)

NUM 13:23 Removed trailing space in v~: Walipofika katika Bonde la Eshkoli, walivunja tawi lililokuwa na kishada kimoja cha zabibu. Wawili wao wakalichukua lile tawi kwenye mti, pamoja na komamanga na tini.

NUM 13:24 Removed trailing space in v~: Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko.

NUM 13:25 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa siku arobaini wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.

NUM 13:25 Removed trailing space in s1: Taarifa Juu Ya Upelelezi

NUM 13:26 Removed trailing space in v~: Wakarudi kwa Mose, Aroni na jumuiya yote ya Waisraeli huko Kadeshi kwenye Jangwa la Parani. Hapo ndipo walipotoa habari kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya hiyo nchi.

NUM 13:27 Removed trailing space in v~: Wakampa Mose taarifa hii: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo inatiririka maziwa na asali! Hili hapa tunda lake.

NUM 13:28 Removed trailing space in v~: Lakini watu wanaoishi huko ni wenye nguvu, na miji yao ina ngome na ni mikubwa sana. Huko tuliona hata wazao wa Anaki.

NUM 13:29 Removed trailing space in v~: Waamaleki wanaishi Negebu; Wahiti, Wayebusi na Waamori wanaishi katika nchi ya vilima; nao Wakanaani wanaishi karibu na bahari na kando ya Yordani.”

NUM 13:30 Removed trailing space in v~: Kisha Kalebu akawanyamazisha watu mbele ya Mose na kusema, “Imetupasa kupanda na kuimiliki nchi, kwa maana hakika tunaweza kufanya hivyo.”

NUM 13:31 Removed trailing space in v~: Lakini watu waliokuwa wamepanda pamoja naye wakasema, “Hatuwezi kuwashambulia wale watu; wana nguvu kutuliko sisi.”

NUM 13:32 Removed trailing space in v~: Wakaeneza taarifa mbaya miongoni mwa Waisraeli kuhusu nchi waliyoipeleleza. Wakasema, “Nchi tuliyoipeleleza hula watu waishio ndani yake. Watu wote tuliowaona huko ni majitu.

NUM 13:33 Removed trailing space in v~: Tuliwaona Wanefili huko (wazao wa Anaki wanatokana na Wanefili.) Tulijiona kama panzi machoni petu wenyewe, nao ndivyo walivyotuona.”

NUM 14:0 Extra space after chapter number

NUM 14:0 Removed trailing space in c: 14

NUM 14:0 Removed trailing space in s1: Watu Wanaasi

NUM 14:1 Removed trailing space in v~: Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu.

NUM 14:2 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, nalo kusanyiko lote wakawaambia, “Laiti tungekuwa tumefia humo nchi ya Misri! Au humu kwenye hili jangwa!

NUM 14:3 Removed trailing space in v~: Kwa nini \nd Bwana\nd* anatuleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watachukuliwa kama nyara. Je, isingekuwa bora kwetu kurudi Misri?”

NUM 14:4 Removed trailing space in v~: Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.”

NUM 14:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Kiisraeli lililokusanyika hapo.

NUM 14:6 Removed trailing space in v~: Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa watu wale waliokwenda kuipeleleza nchi, wakararua nguo zao,

NUM 14:7 Removed trailing space in v~: wakasema na kusanyiko lote la Kiisraeli, wakawaambia, “Nchi tuliyopita katikati yake na kuipeleleza ni nzuri sana sana.

NUM 14:8 Removed trailing space in v~: Ikiwa \nd Bwana\nd* anapendezwa nasi, atatuongoza kuingia katika nchi ile, nchi itiririkayo maziwa na asali, naye atatupa nchi hiyo.

NUM 14:9 Removed trailing space in v~: Ila tu msimwasi \nd Bwana\nd*. Wala msiwaogope watu wa nchi hiyo, kwa sababu tutawameza. Ulinzi wao umeondoka, lakini \nd Bwana\nd* yupo pamoja nasi. Msiwaogope.”

NUM 14:10 Removed trailing space in v~: Lakini kusanyiko lote likazungumza juu ya kuwapiga kwa mawe. Ndipo utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaonekana katika Hema la Kukutania kwa Waisraeli wote.

NUM 14:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Watu hawa watanidharau mpaka lini? Wataendelea kukataa kuniamini mimi mpaka lini, ingawa nimetenda ishara za miujiza miongoni mwao?

NUM 14:12 Removed trailing space in v~: Nitawapiga kwa tauni na kuwaangamiza, lakini nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa lenye nguvu kuliko wao.”

NUM 14:13 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Ndipo Wamisri watasikia juu ya jambo hili! Kwa uweza wako uliwapandisha watu hawa kutoka miongoni mwao.

NUM 14:14 Removed trailing space in v~: Nao watawaambia wenyeji wa nchi hii jambo hili. Wao tayari wameshasikia kwamba wewe, Ee \nd Bwana\nd*, upo pamoja na watu hawa, na kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umeonekana uso kwa uso, nalo wingu lako hukaa juu yao. Tena wewe unawatangulia kwa nguzo ya wingu mchana na kwa nguzo ya moto usiku.

NUM 14:15 Removed trailing space in v~: Ikiwa utawaua watu hawa wote mara moja, mataifa ambayo yamesikia taarifa hii kukuhusu wewe watasema,

NUM 14:16 Removed trailing space in v~: ‘\nd Bwana\nd* alishindwa kuwaingiza watu hawa katika nchi aliyowaahidi kwa kiapo; hivyo akawaua jangwani.’

NUM 14:17 Removed trailing space in v~: “Basi sasa nguvu za Bwana na zionekane, sawasawa na vile ulivyosema:

NUM 14:18 Removed trailing space in v~: ‘\nd Bwana\nd* si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo na mwenye kusamehe dhambi na uasi. Lakini haachi kumwadhibu mwenye hatia, huadhibu watoto kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne.’

NUM 14:19 Removed trailing space in v~: Kwa kadiri ya upendo wako mkuu, usamehe dhambi ya watu hawa, kama vile ulivyowasamehe tangu wakati walitoka Misri mpaka sasa.”

NUM 14:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.

NUM 14:21 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa hakika kama niishivyo, na kwa hakika kama utukufu wa \nd Bwana\nd* uijazavyo dunia yote,

NUM 14:22 Removed trailing space in v~: hakuna hata mmoja wa watu hawa ambao waliuona utukufu wangu na ishara za miujiza niliyotenda huko Misri na huko jangwani, lakini ambaye hakunitii na akanijaribu mara hizi kumi,

NUM 14:23 Removed trailing space in v~: hakuna hata mmoja wao atakayeona nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye amenidharau atakayeiona.

NUM 14:24 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu mtumishi wangu Kalebu ana roho ya tofauti na ananifuata kwa moyo wote, nitamwingiza katika nchi aliyoiendea, nao wazao wake watairithi.

NUM 14:25 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani wanaishi katika mabonde, kesho geukeni mwelekee jangwani kwa kufuata njia iendayo Bahari ya Shamu.”\f + \fr 14:25 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo.\f*

NUM 14:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni:

NUM 14:27 Removed trailing space in v~: “Jumuiya hii ovu itanungʼunika dhidi yangu hadi lini? Nimesikia malalamiko ya hawa Waisraeli wanaonungʼunika.

NUM 14:28 Removed trailing space in v~: Hivyo waambie, ‘Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd*, nitawafanyia vitu vilevile nilivyosikia mkisema:

NUM 14:29 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wenu mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi ambaye alihesabiwa na amenungʼunika dhidi yangu, miili yenu itaanguka katika jangwa hili.

NUM 14:30 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kuwa makao yenu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.

NUM 14:31 Removed trailing space in v~: Lakini watoto wenu ambao mlisema watachukuliwa kama mateka, nitawaingiza humo ili waifurahie nchi ambayo ninyi mmeikataa.

NUM 14:32 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi, miili yenu itaanguka katika jangwa hili.

NUM 14:33 Removed trailing space in v~: Watoto wenu watakuwa wachungaji wa mifugo hapa kwa miaka arobaini, wakiteseka kwa ajili ya kukosa uaminifu kwenu, hadi mwili wa mtu wenu wa mwisho ulale katika jangwa hili.

NUM 14:34 Removed trailing space in v~: Kwa miaka arobaini, mwaka mmoja kwa kila siku katika zile siku arobaini mlizoipeleleza nchi, mtateseka kwa ajili ya dhambi zenu, na kujua jinsi ilivyo vibaya kunifanya mimi kuwa adui yenu.’

NUM 14:35 Removed trailing space in v~: Mimi \nd Bwana\nd* nimesema, na hakika nitafanya mambo haya kwa jumuiya hii yote ovu, ambayo imefungamana pamoja dhidi yangu. Watakutana na mwisho wao katika jangwa hili; hapa ndipo watafia.”

NUM 14:36 Removed trailing space in v~: Hivyo watu wale ambao Mose alikuwa amewatuma kuipeleleza nchi, waliorudi na kuifanya jumuiya nzima kunungʼunika dhidi ya Mose kwa kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi:

NUM 14:37 Removed trailing space in v~: watu hawa waliohusika kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi walipigwa na kuanguka kwa tauni mbele za \nd Bwana\nd*.

NUM 14:38 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.

NUM 14:39 Removed trailing space in v~: Mose alipotoa taarifa hii kwa Waisraeli wote, waliomboleza kwa uchungu.

NUM 14:40 Removed trailing space in v~: Mapema asubuhi siku iliyofuata walipanda juu kuelekea kwenye nchi ya vilima virefu, wakasema, “Tumetenda dhambi. Tutakwea mpaka mahali \nd Bwana\nd* alipotuahidi.”

NUM 14:41 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akasema, “Kwa nini hamtii amri ya \nd Bwana\nd*? Jambo hili halitafanikiwa!

NUM 14:42 Removed trailing space in v~: Msipande juu, kwa kuwa \nd Bwana\nd* hayupo pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu,

NUM 14:43 Removed trailing space in v~: kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani watapambana nanyi huko. Kwa sababu mmemwacha \nd Bwana\nd*, hatakuwa pamoja nanyi, ninyi mtaanguka kwa upanga.”

NUM 14:44 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa kiburi chao walipanda juu kuelekea nchi ya vilima virefu, ijapokuwa Mose hakutoka kambini wala Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*.

NUM 14:45 Removed trailing space in v~: Ndipo Waamaleki na Wakanaani walioishi katika hiyo nchi ya vilima wakateremka na kuwashambulia, wakawapiga njia yote hadi Horma.

NUM 15:0 Extra space after chapter number

NUM 15:0 Removed trailing space in c: 15

NUM 15:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Za Nyongeza

NUM 15:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 15:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani,

NUM 15:3 Removed trailing space in v~: nanyi mkitoa sadaka za kuteketezwa kwa moto, kutoka makundi ya ngʼombe au kondoo, kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*, ikiwa ni sadaka za kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum ama sadaka ya hiari au sadaka ya sikukuu zenu,

NUM 15:4 Removed trailing space in v~: ndipo yeye aletaye sadaka yake ataiweka mbele za \nd Bwana\nd* sadaka ya nafaka, sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 15:4 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.\f* ya unga laini uliochanganywa na robo ya hini\f + \fr 15:4 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.\f* ya mafuta.

NUM 15:5 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, andaa robo ya hini ya divai kwa sadaka ya kinywaji.

NUM 15:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Pamoja na kondoo dume andaa sadaka ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa\f + \fr 15:6 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2.\f* za unga laini uliochanganywa na theluthi moja\f + \fr 15:6 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita moja na nusu.\f* ya hini ya mafuta,

NUM 15:7 Removed trailing space in v~: na theluthi moja ya hini ya divai kama sadaka ya kinywaji. Vitoe kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 15:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Unapoandaa fahali mchanga kama sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum au sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd*,

NUM 15:9 Removed trailing space in v~: leta pamoja na huyo fahali sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa\f + \fr 15:9 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.\f* uliochanganywa na nusu ya hini\f + \fr 15:9 \ft Nusu ya hini ni sawa na lita 2.\f* ya mafuta.

NUM 15:10 Removed trailing space in v~: Pia utaleta nusu ya hini ya divai kama sadaka ya kinywaji. Itakuwa sadaka iliyoteketezwa kwa moto, harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 15:11 Removed trailing space in v~: Kila fahali au kondoo dume, kila mwana-kondoo au mbuzi mchanga, atatayarishwa kwa njia hii.

NUM 15:12 Removed trailing space in v~: Fanyeni hivi kwa ajili ya kila mmoja, kwa kadiri ya wingi wa mtakavyoandaa.

NUM 15:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila mmoja ambaye ni mzawa ni lazima afanye vitu hivi kwa njia hii hapo aletapo sadaka ya kuteketezwa kwa moto kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 15:14 Removed trailing space in v~: Kwa vizazi vijavyo, wakati wowote mgeni au mtu mwingine yeyote anayeishi miongoni mwenu aletapo sadaka ya kuteketezwa kuwa harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*, ni lazima afanye sawasawa kabisa na jinsi mnavyofanya ninyi.

NUM 15:15 Removed trailing space in v~: Jumuiya itakuwa na sheria hizo hizo kwenu na kwa mgeni aishiye miongoni mwenu; hii ni amri ya kudumu kwa vizazi vijavyo. Ninyi na mgeni mtakuwa sawa mbele za \nd Bwana\nd*:

NUM 15:16 Removed trailing space in v~: Sheria hizo hizo na masharti hayo hayo hayo, yatawahusu ninyi na mgeni aishiye miongoni mwenu.’ ”

NUM 15:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 15:18 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapeleka

NUM 15:19 Removed trailing space in v~: nanyi mkala chakula cha nchi hiyo, toeni sehemu ya chakula hicho kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*.

NUM 15:20 Removed trailing space in v~: Toeni andazi kutoka kwa malimbuko ya chakula chenu kitokacho katika ardhi, na mkitoe kama sadaka kutoka sakafu ya kupuria nafaka.

NUM 15:21 Removed trailing space in v~: Kwa vizazi vyote vijavyo hamna budi kutoa sadaka hii kwa \nd Bwana\nd* kutoka kwa malimbuko ya unga wenu.

NUM 15:21 Removed trailing space in s1: Sadaka Kwa Ajili Ya Dhambi Isiyo Ya Makusudi

NUM 15:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Basi kama pasipo kukusudia umeshindwa kushika mojawapo katika amri hizi ambazo \nd Bwana\nd* alimpa Mose,

NUM 15:23 Removed trailing space in v~: amri yoyote ya \nd Bwana\nd* kwenu kupitia Mose, tangu siku ile \nd Bwana\nd* alipowapa na inaendelea hadi vizazi vyote vijavyo;

NUM 15:24 Removed trailing space in v~: ikiwa hili limefanyika pasipo kukusudia bila jumuiya kuwa na habari nalo, basi jumuiya yote itatoa fahali mchanga kuwa sadaka ya kuteketezwa ikiwa harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*, pamoja na sadaka ya nafaka na ya kinywaji zilizoamriwa kwayo, na mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

NUM 15:25 Removed trailing space in v~: Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya jumuiya yote ya Kiisraeli, nao watasamehewa, kwa kuwa haikuwa makusudi nao wamemletea \nd Bwana\nd* sadaka iliyoteketezwa kwa moto na sadaka ya dhambi kwa ajili ya kosa lao.

NUM 15:26 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Kiisraeli pamoja na wageni waishio miongoni mwao watasamehewa, kwa sababu watu wote walihusika katika kosa lile lisilokusudiwa.

NUM 15:27 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama mtu mmoja peke yake akitenda dhambi pasipo kukusudia, ni lazima alete mbuzi mke wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

NUM 15:28 Removed trailing space in v~: Kuhani atafanya upatanisho mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya yule aliyekosa kwa kufanya dhambi pasipo kukusudia, upatanisho utakapofanywa kwa ajili yake, atasamehewa.

NUM 15:29 Removed trailing space in v~: Sheria hiyo moja itamhusu kila mmoja ambaye ametenda dhambi pasipo kukusudia, awe Mwisraeli mzawa ama mgeni.

NUM 15:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini yeyote ambaye amefanya dhambi kwa dharau awe mzawa au mgeni, anamkufuru \nd Bwana\nd*, naye mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.

NUM 15:31 Removed trailing space in v~: Kwa sababu amelidharau neno la \nd Bwana\nd* na kuvunja amri zake, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali; hatia yake inabaki juu yake.’ ”

NUM 15:31 Removed trailing space in s1: Mvunja Sabato Auawe

NUM 15:32 Removed trailing space in v~: Waisraeli walipokuwa jangwani, mtu mmoja alikutwa akikusanya kuni siku ya Sabato.

NUM 15:33 Removed trailing space in v~: Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Mose, Aroni na kusanyiko lote,

NUM 15:34 Removed trailing space in v~: nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.

NUM 15:35 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Huyo mtu ni lazima afe. Kusanyiko lote lazima limpige mawe nje ya kambi.”

NUM 15:36 Removed trailing space in v~: Hivyo kusanyiko likamtoa nje ya kambi na kumpiga mawe hadi akafa, kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 15:36 Removed trailing space in s1: Vifundo Kwenye Mavazi

NUM 15:37 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 15:38 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Kwa vizazi vyote vijavyo jifanyieni vifundo katika pindo za mavazi yenu vikiwa na uzi wa buluu kwenye kila kifundo.

NUM 15:39 Removed trailing space in v~: Mtakuwa mkivitazama vifundo hivyo ili mpate kukumbuka amri zote za \nd Bwana\nd*, ili mpate kuzitii msije mkajitia uzinzi wenyewe kwa kuzifuata tamaa za mioyo yenu na za macho yenu.

NUM 15:40 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakumbuka kuzitii amri zangu zote nanyi mtawekwa wakfu kwa Mungu wenu.

NUM 15:41 Removed trailing space in v~: Mimi Ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu, niliyewatoa Misri niwe Mungu wenu. Mimi Ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.’ ”

NUM 16:0 Extra space after chapter number

NUM 16:0 Removed trailing space in c: 16

NUM 16:0 Removed trailing space in s1: Kora, Dathani Na Abiramu

NUM 16:1 Removed trailing space in v~: Kora mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, pamoja na baadhi ya Wareubeni, yaani Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni mwana wa Pelethi, wakachukua baadhi ya watu,

NUM 16:2 Removed trailing space in v~: wakainuka dhidi ya Mose. Pamoja nao walikuwepo wanaume wa Kiisraeli 250, watu waliojulikana, viongozi wa jumuiya waliokuwa wameteuliwa kuwa wakuu wa kusanyiko.

NUM 16:3 Removed trailing space in v~: Wakaja kama kikundi kuwapinga Mose na Aroni, wakawaambia, “Ninyi mmejitukuza sana! Kusanyiko hili lote ni takatifu, kila mmoja wao, naye \nd Bwana\nd* yu pamoja nao. Kwa nini basi mmejitukuza wenyewe juu ya kusanyiko la \nd Bwana\nd*?”

NUM 16:4 Removed trailing space in v~: Mose aliposikia jambo hili, akaanguka kifudifudi.

NUM 16:5 Removed trailing space in v~: Kisha akamwambia Kora na wafuasi wake wote: “Asubuhi \nd Bwana\nd* ataonyesha ni nani aliye wake na ni nani aliye mtakatifu, tena atamtaka mtu huyo aje kwake. Mtu yule ambaye atamchagua atamfanya kuja karibu naye.

NUM 16:6 Removed trailing space in v~: Wewe Kora na wafuasi wako wote mtafanya hivi: Chukueni vyetezo,

NUM 16:7 Removed trailing space in v~: kesho wekeni moto na uvumba kwenye hivyo vyetezo mbele za \nd Bwana\nd*. Mtu ambaye \nd Bwana\nd* atamchagua atakuwa ndiye mtakatifu. Ninyi Walawi mmejitukuza sana!”

NUM 16:8 Removed trailing space in v~: Pia Mose akamwambia Kora, “Enyi Walawi! Sasa nisikilizeni.

NUM 16:9 Removed trailing space in v~: Haiwatoshi ninyi kwamba Mungu wa Israeli amewateua ninyi kutoka kusanyiko lote la Kiisraeli, na kuwaleta karibu naye mpate kufanya kazi kwenye Maskani ya \nd Bwana\nd*, na kusimama mbele ya kusanyiko ili kuwahudumia?

NUM 16:10 Removed trailing space in v~: Amekuleta wewe na ndugu zako Walawi mwe karibu naye, lakini sasa unajaribu kupata na ukuhani pia.

NUM 16:11 Removed trailing space in v~: Wewe na wafuasi wako wote mmekusanyika pamoja kinyume cha \nd Bwana\nd*. Aroni ni nani kwamba ninyi mnungʼunike dhidi yake?”

NUM 16:12 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaita Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu. Lakini wao wakasema, “Sisi hatuji!

NUM 16:13 Removed trailing space in v~: Haitoshi tu kwamba wewe umetuleta kutoka nchi itiririkayo maziwa na asali ili kutuua sisi jangwani? Nawe sasa pia unataka kuwa mkuu juu yetu?

NUM 16:14 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, hujatuingiza katika nchi inayotiririka maziwa na asali, wala hujatupa urithi wa mashamba na mashamba ya mizabibu. Je, utayangʼoa macho ya watu hawa? Hapana, sisi hatuji!”

NUM 16:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akakasirika sana na kumwambia \nd Bwana\nd*, “Usiikubali sadaka yao. Mimi sikuchukua chochote, hata punda kutoka kwao, wala sijamkosea hata mmoja wao.”

NUM 16:16 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Kora, “Wewe na wafuasi wako wote kesho mtatokea mbele za \nd Bwana\nd*: yaani wewe na hao wenzako, pamoja na Aroni.

NUM 16:17 Removed trailing space in v~: Kila mtu atachukua chetezo chake na kuweka uvumba ndani yake, vyetezo 250 kwa jumla, na kukileta mbele za \nd Bwana\nd*. Wewe na Aroni mtaleta vyetezo vyenu pia.”

NUM 16:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kila mtu akachukua chetezo chake, akaweka moto na uvumba ndani yake, na kusimama pamoja na Mose na Aroni kwenye mlango wa Hema la Kukutania.

NUM 16:19 Removed trailing space in v~: Kora alipokuwa amekusanya wafuasi wake wote kuwapinga Mose na Aroni kwenye mlango wa Hema la Kukutania, utukufu wa \nd Bwana\nd* ukatokea kwa kusanyiko lote.

NUM 16:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni,

NUM 16:21 Removed trailing space in v~: “Jitengeni kutoka kwenye kusanyiko hili ili nipate kuwaangamiza mara moja.”

NUM 16:22 Removed trailing space in v~: Lakini Mose na Aroni wakaanguka kufudifudi na kulia kwa sauti, wakasema, “Ee Mungu, Mungu wa roho za wanadamu wote, utakuwa na hasira na kusanyiko lote wakati ni mtu mmoja tu ametenda dhambi?”

NUM 16:23 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 16:24 Removed trailing space in v~: “Liambie kusanyiko, ‘Ondokeni hapo karibu na mahema ya Kora, Dathani na Abiramu.’ ”

NUM 16:25 Removed trailing space in v~: Mose akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.

NUM 16:26 Removed trailing space in v~: Mose akalionya kusanyiko, “Sogeeni nyuma mbali na mahema ya hawa watu waovu! Msiguse kitu chochote kilicho mali yao, la sivyo mtafagiliwa mbali kwa sababu ya dhambi zao zote.”

NUM 16:27 Removed trailing space in v~: Hivyo wakaondoka karibu na mahema ya Kora, Dathani na Abiramu. Dathani na Abiramu walikuwa wametoka nje, nao walikuwa wamesimama pamoja na wake zao, watoto wao na wale wanyonyao kwenye mlango wa mahema yao.

NUM 16:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akasema, “Hivi ndivyo mtakavyojua kuwa \nd Bwana\nd* amenituma kufanya mambo haya, na kwamba halikuwa wazo langu.

NUM 16:29 Removed trailing space in v~: Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha kawaida na kupatwa na yale ya kawaida yanayowapata wanadamu, basi \nd Bwana\nd* hakunituma mimi.

NUM 16:30 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa \nd Bwana\nd* ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini\f + \fr 16:30 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau \nd Bwana\nd*.”

NUM 16:31 Removed trailing space in v~: Mara Mose alipomaliza kusema haya yote, ardhi iliyokuwa chini yao ikapasuka,

NUM 16:32 Removed trailing space in v~: nchi ikafunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na jamaa zao, na watu wote wa Kora na mali zao zote.

NUM 16:33 Removed trailing space in v~: Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko.

NUM 16:34 Removed trailing space in v~: Kutoka kilio chao, Waisraeli wote waliowazunguka walikimbia, wakipaza sauti, “Nchi inatumeza na sisi pia!”

NUM 16:35 Removed trailing space in v~: Moto ukaja kutoka kwa \nd Bwana\nd*, ukawateketeza wale watu 250 waliokuwa wakifukiza uvumba.

NUM 16:36 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 16:37 Removed trailing space in v~: “Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Aroni, atoe vyetezo kwenye mabaki ya moto na kutawanya makaa mbali kiasi, kwa maana vyetezo ni vitakatifu:

NUM 16:38 Removed trailing space in v~: vyetezo vya watu waliofanya dhambi iliyowagharimu maisha yao. Fua vyetezo hivyo kuwa bamba ili kufunika madhabahu, kwa maana vimeletwa mbele za \nd Bwana\nd* na vimekuwa vitakatifu. Navyo viwe ishara kwa Waisraeli.”

NUM 16:39 Removed trailing space in v~: Hivyo kuhani Eleazari akavikusanya vile vyetezo vya shaba vilivyoletwa na wale waliokuwa wameteketezwa kwa moto, naye akavifua kufunika madhabahu,

NUM 16:40 Removed trailing space in v~: kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwelekeza kupitia Mose. Hili lilikuwa kuwakumbusha Waisraeli kwamba hakuna mtu hata mmoja, isipokuwa mzao wa Aroni, awezaye kuja kufukiza uvumba mbele za \nd Bwana\nd*, la sivyo, angekuwa kama Kora na wafuasi wake.

NUM 16:41 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata jumuiya yote ya Kiisraeli wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, wakisema, “Mmewaua watu wa \nd Bwana\nd*.”

NUM 16:42 Removed trailing space in v~: Lakini wakati kusanyiko lilipokusanyika kupingana na Mose na Aroni, nalo likageuka kuelekea Hema la Kukutania, ghafula wingu likafunika Hema, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukatokea.

NUM 16:43 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakaenda mbele ya Hema la Kukutania,

NUM 16:44 Removed trailing space in v~: naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 16:45 Removed trailing space in v~: “Jitenge mbali na kusanyiko hili ili niweze kuwaangamiza mara moja.” Wakaanguka chini kifudifudi.

NUM 16:46 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia Aroni, “Chukua chetezo chako na uweke uvumba ndani yake, pamoja na moto kutoka madhabahuni, nawe uende haraka kwenye kusanyiko ili kufanya upatanisho kwa ajili yao. Ghadhabu imekuja kutoka kwa \nd Bwana\nd*, na tauni imeanza.”

NUM 16:47 Removed trailing space in v~: Hivyo Aroni akafanya kama Mose alivyosema, akakimbilia katikati ya kusanyiko. Tauni ilikuwa tayari imeanza miongoni mwa watu, lakini Aroni akafukiza uvumba na kufanya upatanisho kwa ajili yao.

NUM 16:48 Removed trailing space in v~: Aroni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma.

NUM 16:49 Removed trailing space in v~: Lakini walikufa watu 14,700 kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora.

NUM 16:50 Removed trailing space in v~: Ndipo Aroni akamrudia Mose kwenye mlango wa Hema la Kukutania, kwa maana tauni ilikuwa imekoma.

NUM 17:0 Extra space after chapter number

NUM 17:0 Removed trailing space in c: 17

NUM 17:0 Removed trailing space in s1: Kuchipuka Kwa Fimbo Ya Aroni

NUM 17:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 17:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli, na ujipatie fimbo kumi na mbili kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la kila mtu kwenye fimbo yake.

NUM 17:3 Removed trailing space in v~: Kwenye fimbo ya Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima iwepo fimbo moja kwa kila kiongozi kwa ajili ya kila kabila la baba zao.

NUM 17:4 Removed trailing space in v~: Ziweke hizo fimbo ndani ya Hema la Kukutania mbele ya Sanduku la Ushuhuda, mahali nikutanapo nawe.

NUM 17:5 Removed trailing space in v~: Fimbo ya mtu nitakayemchagua itachipuka, nami mwenyewe nitayakomesha haya manungʼuniko ya mara kwa mara ya Waisraeli dhidi yako.”

NUM 17:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akasema na Waisraeli, nao viongozi wao wakampa fimbo kumi na mbili, fimbo moja kwa ajili ya kila kabila la baba zao, nayo fimbo ya Aroni ikiwa miongoni mwa hizo.

NUM 17:7 Removed trailing space in v~: Mose akaziweka hizo fimbo mbele za \nd Bwana\nd* ndani ya Hema la Ushuhuda.

NUM 17:8 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.

NUM 17:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akaleta zile fimbo zote kwa Waisraeli wote kutoka mbele za \nd Bwana\nd*. Wakaziangalia, na kila mtu akaichukua fimbo yake mwenyewe.

NUM 17:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.”

NUM 17:11 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru.

NUM 17:12 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakamwambia Mose, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea!

NUM 17:13 Removed trailing space in v~: Yeyote akaribiaye Maskani ya \nd Bwana\nd* atakufa. Je, sisi sote tutakufa?”

NUM 18:0 Extra space after chapter number

NUM 18:0 Removed trailing space in c: 18

NUM 18:0 Removed trailing space in s1: Wajibu Wa Makuhani Na Walawi

NUM 18:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni, “Wewe, wanao na jamaa ya baba yako mtawajibika kwa makosa dhidi ya mahali patakatifu, na wewe na wanao peke yenu ndio mtakaowajibika kwa makosa dhidi ya ukuhani.

NUM 18:2 Removed trailing space in v~: Walete Walawi wenzako kutoka kabila la baba zako ili waungane nanyi na kuwasaidia wakati wewe na wanao mnapohudumu mbele ya Hema la Ushuhuda.

NUM 18:3 Removed trailing space in v~: Watawajibika kwenu na watafanya kazi zote za Hema, lakini kamwe wasisogelee vifaa vya patakatifu au madhabahu, la sivyo wao na ninyi mtakufa.

NUM 18:4 Removed trailing space in v~: Watajiunga nanyi na watawajibika kwa utunzaji wa Hema la Kukutania, yaani kazi zote kwenye Hema, wala hakuna mtu mwingine yeyote atakayeweza kusogea karibu hapo mlipo.

NUM 18:5 Removed trailing space in v~: “Mtawajibika katika utunzaji wa mahali patakatifu na madhabahu, ili kwamba ghadhabu isiwaangukie Waisraeli tena.

NUM 18:6 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nimewachagua Walawi wenzenu kutoka miongoni mwa Waisraeli kama zawadi kwenu, waliowekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd* ili kufanya kazi katika Hema la Kukutania.

NUM 18:7 Removed trailing space in v~: Lakini ni wewe tu na wanao mtakaoweza kutumika kama makuhani kuhusiana na kila kitu kwenye madhabahu na ndani ya pazia. Ninawapa utumishi wa ukuhani kama zawadi. Mtu mwingine yeyote atakayekaribia mahali patakatifu ni lazima auawe.”

NUM 18:7 Removed trailing space in s1: Sadaka Kwa Ajili Ya Makuhani Na Walawi

NUM 18:8 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni, “Mimi mwenyewe nimekuweka kuwa mwangalizi wa sadaka zote zitakazotolewa kwangu; matoleo yote matakatifu Waisraeli wanayonipa ninakupa wewe na wanao kama sehemu yenu na fungu lenu la kawaida.

NUM 18:9 Removed trailing space in v~: Mtachukua sehemu ya yale matoleo matakatifu sana ambayo hayateketezwi kwa moto. Kutoka kwa matoleo yote wanayoniletea kama sadaka takatifu sana, ziwe za nafaka, au za dhambi, au za makosa, sehemu ile itakuwa yako na wanao.

NUM 18:10 Removed trailing space in v~: Mtaila kama kitu kilicho kitakatifu sana; kila mwanaume ataila. Ni lazima mtaiheshimu kama takatifu.

NUM 18:11 Removed trailing space in v~: “Hiki pia ni chako: chochote kilichotengwa kutoka kwenye matoleo yote ya sadaka za kuinuliwa za Waisraeli. Ninakupa wewe haya, wana na binti zako kama sehemu yenu ya kawaida. Kila mmoja wa nyumba yako ambaye ni safi kwa taratibu za ibada anaweza kuyala.

NUM 18:12 Removed trailing space in v~: “Ninawapa mafuta ya zeituni yaliyo bora kuliko yote, na divai mpya iliyo bora kuliko zote na nafaka wanazompa \nd Bwana\nd* kama malimbuko katika mavuno yao.

NUM 18:13 Removed trailing space in v~: Malimbuko yote ya nchi ambayo wanamletea \nd Bwana\nd* yatakuwa yenu. Kila mmoja nyumbani kwako ambaye ni safi kwa taratibu za Ibada anaweza kula.

NUM 18:14 Removed trailing space in v~: “Kila kitu katika Israeli ambacho kimetolewa kwa \nd Bwana\nd* ni chenu.

NUM 18:15 Removed trailing space in v~: Kila mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na wa mnyama, ambaye ametolewa kwa \nd Bwana\nd* ni wenu. Lakini ni lazima mtamkomboa kila mwana mzaliwa wa kwanza na kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wanyama wasio safi.

NUM 18:16 Removed trailing space in v~: Watakapokuwa na umri wa mwezi mmoja, ni lazima mtawakomboa kwa bei ya ukombozi iliyowekwa, kwa shekeli tano\f + \fr 18:16 \ft Shekeli tano za fedha ni sawa na gramu 55.\f* za fedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, yenye uzito wa gera ishirini.\f + \fr 18:16 \ft Gera 20 ni sawa na gramu 55.\f*

NUM 18:17 Removed trailing space in v~: “Lakini kamwe usimkomboe mzaliwa wa kwanza wa maksai, kondoo au mbuzi; hawa ni watakatifu. Nyunyizia damu yao juu ya madhabahu na uchome mafuta yao kama sadaka itolewayo kwa moto, harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 18:18 Removed trailing space in v~: Nyama zao zitakuwa chakula chenu, kama ilivyokuwa kidari cha kuinuliwa na paja la mguu wa kulia.

NUM 18:19 Removed trailing space in v~: Chochote kitakachotengwa kutoka sadaka takatifu ambazo Waisraeli wanamtolea \nd Bwana\nd*, ninakupa wewe, wanao na binti zako kama fungu lenu la kawaida. Ni Agano la milele la chumvi mbele za \nd Bwana\nd* kwako na watoto wako.”

NUM 18:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni, “Hutakuwa na urithi wowote katika nchi yao, wala hutakuwa na sehemu miongoni mwao; Mimi ni fungu lako na urithi wako miongoni mwa Waisraeli.

NUM 18:21 Removed trailing space in v~: “Ninawapa Walawi zaka yote katika Israeli kama urithi wao kuwa kama malipo kwa kazi wanayoifanya wakati wanapohudumu katika Hema la Kukutania.

NUM 18:22 Removed trailing space in v~: Kuanzia sasa, kamwe Waisraeli wasisogelee karibu na Hema la Kukutania, la sivyo watabeba matokeo ya dhambi zao, nao watakufa.

NUM 18:23 Removed trailing space in v~: Ni Walawi watakaofanya kazi katika Hema la Kukutania na kubeba wajibu wa makosa dhidi yake. Hili ni agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo. Hawatapokea urithi wowote miongoni mwa Waisraeli.

NUM 18:24 Removed trailing space in v~: Badala yake, ninawapa Walawi zaka zote zinazotolewa na Waisraeli kama sadaka kwa \nd Bwana\nd* kuwa urithi wao. Hiyo ndiyo sababu nimesema hivi kuhusu wao: ‘Hawatakuwa na urithi miongoni mwa Waisraeli.’ ”

NUM 18:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 18:26 Removed trailing space in v~: “Sema na Walawi na uwaambie: ‘Mtakapopokea zaka kutoka kwa Waisraeli ambayo ninawapa kama urithi wenu kutoka kwao, ni lazima mtoe sehemu ya kumi ya hiyo zaka kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*, iwe zaka ya hiyo zaka.

NUM 18:27 Removed trailing space in v~: Sadaka yenu itahesabiwa kwenu kama nafaka kutoka sakafu ya kupuria, au divai kutoka kwenye shinikizo la kukamulia zabibu.

NUM 18:28 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii, ninyi pia mtatoa sadaka kwa \nd Bwana\nd* kutoka zaka zote mtakazopokea kutoka kwa Waisraeli. Kutoka kwenye zaka hizi, ni lazima mtoe sehemu ya \nd Bwana\nd* kwa Aroni, kuhani.

NUM 18:29 Removed trailing space in v~: Ni lazima mtoe kama sehemu ya \nd Bwana\nd* iliyo nzuri sana tena ile sehemu iliyo takatifu sana kuliko zote ya kile kitu mlichopewa.’

NUM 18:30 Removed trailing space in v~: “Waambie Walawi: ‘Mtakapotoa sehemu zilizo bora sana, itahesabiwa kwenu kama mazao ya sakafu ya kupuria nafaka, au ya shinikizo la kukamulia zabibu.

NUM 18:31 Removed trailing space in v~: Ninyi na watu wa nyumbani mwenu mnaweza kula sehemu iliyobaki mahali popote, kwani ndio ujira wenu kwa ajili ya kazi yenu katika Hema la Kukutania.

NUM 18:32 Removed trailing space in v~: Kwa kutoa sehemu zake zilizo bora sana, hamtakuwa na hatia katika jambo hili; ndipo hamtatia unajisi sadaka takatifu za Waisraeli, nanyi hamtakufa.’ ”

NUM 19:0 Extra space after chapter number

NUM 19:0 Removed trailing space in c: 19

NUM 19:0 Removed trailing space in s1: Maji Ya Utakaso

NUM 19:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni:

NUM 19:2 Removed trailing space in v~: “Hivi ndivyo sheria ambayo \nd Bwana\nd* ameagiza itakavyo: Waambie Waisraeli wakuletee mtamba mwekundu asiye na dosari wala waa, na ambaye hajapata kufungwa nira.

NUM 19:3 Removed trailing space in v~: Mpeni kuhani Eleazari huyo mtamba; naye atatolewa nje ya kambi na kuchinjwa mbele yake huyo kuhani.

NUM 19:4 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani Eleazari atachukua baadhi ya damu yake kwenye kidole chake na kuinyunyiza mara saba kuelekea upande wa mbele ya Hema la Kukutania.

NUM 19:5 Removed trailing space in v~: Wakati angali akitazama, mtamba huyo atateketezwa: ngozi yake, nyama yake, damu na sehemu zake za ndani.

NUM 19:6 Removed trailing space in v~: Kuhani atachukua kuni za mti wa mwerezi, hisopo na sufu nyekundu, na kuvitupa kwenye huyo mtamba anayeungua.

NUM 19:7 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, kuhani lazima afue nguo zake, na aoge mwili wake kwa maji. Kisha anaweza kurudi kambini, lakini atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada mpaka jioni.

NUM 19:8 Removed trailing space in v~: Mtu amchomaye huyo mtamba lazima naye pia afue nguo zake na kuoga kwa maji, naye pia atakuwa najisi mpaka jioni.

NUM 19:9 Removed trailing space in v~: “Mtu ambaye ni safi atakusanya majivu ya mtamba huyo na kuyaweka mahali ambapo ni safi nje ya kambi kwa taratibu za kiibada. Yatahifadhiwa na jumuiya ya Kiisraeli kwa matumizi katika maji ya utakaso; ni kwa ajili ya kutakasa kutoka dhambini.

NUM 19:10 Removed trailing space in v~: Mtu akusanyaye majivu ya huyo mtamba ni lazima pia afue nguo zake, kadhalika naye pia atakuwa najisi hadi jioni. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa Waisraeli na kwa wageni wanaoishi miongoni mwao.

NUM 19:11 Removed trailing space in v~: “Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote atakuwa najisi kwa siku saba.

NUM 19:12 Removed trailing space in v~: Ni lazima ajitakase mwenyewe kwa maji katika siku ya tatu na siku ya saba, ndipo atakuwa safi. Lakini kama hatajitakasa mwenyewe katika siku ya tatu na ya saba, hatakuwa safi.

NUM 19:13 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote na kushindwa kujitakasa mwenyewe hunajisi Maskani ya \nd Bwana\nd*. Mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na Israeli. Kwa sababu hajanyunyiziwa maji ya utakaso, yeye ni najisi; unajisi wake unabaki juu yake.

NUM 19:14 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo sheria itumikayo wakati mtu amekufa ndani ya hema: Yeyote aingiaye ndani ya hema hilo na yeyote aliye ndani yake watakuwa najisi kwa muda wa siku saba,

NUM 19:15 Removed trailing space in v~: nacho kila chombo kisicho na kifuniko juu yake kitakuwa najisi.

NUM 19:16 Removed trailing space in v~: “Mtu yeyote aliyeko nje mahali pa wazi agusaye mtu aliyeuawa kwa upanga au mtu aliyekufa kwa kifo cha kawaida, au mtu yeyote agusaye mfupa wa mtu aliyekufa au kaburi, atakuwa najisi kwa siku saba.

NUM 19:17 Removed trailing space in v~: “Kwa mtu aliye najisi, weka majivu ya sadaka ya utakaso wa dhambi ndani ya chombo, umimine maji safi juu yao.

NUM 19:18 Removed trailing space in v~: Kisha mtu aliye safi kwa kawaida za kiibada atachukua hisopo, achovye ndani ya maji, na kunyunyizia hema na vifaa vyote pamoja na watu ambao walikuwamo. Pia ni lazima amnyunyizie mtu yeyote ambaye amegusa mfupa wa mtu aliyekufa, au kaburi, au mtu ambaye ameuawa, au mtu ambaye amekufa kifo cha kawaida.

NUM 19:19 Removed trailing space in v~: Mtu ambaye ni safi ndiye atakayemnyunyizia yeyote ambaye ni najisi siku ya tatu na siku ya saba, na katika siku ya saba atamtakasa mtu huyo. Mtu ambaye ametakaswa lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji, na jioni ile atakuwa safi.

NUM 19:20 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mtu ambaye ni najisi hakujitakasa mwenyewe, ni lazima akatiliwe mbali na jumuiya, kwa sababu ameinajisi Maskani ya \nd Bwana\nd*. Maji ya utakaso hayajanyunyizwa juu yake, naye ni najisi.

NUM 19:21 Removed trailing space in v~: Hii ni sheria ya kudumu kwao.

NUM 19:21 Removed trailing space in p~: “Mtu yeyote ambaye ananyunyiza yale maji ya utakaso lazima pia afue nguo zake, na yeyote ambaye hugusa maji ya utakaso atakuwa najisi mpaka jioni.

NUM 19:22 Removed trailing space in v~: Kitu chochote anachogusa mtu aliye najisi kitakuwa najisi, na yeyote akigusaye huwa najisi mpaka jioni.”

NUM 20:0 Extra space after chapter number

NUM 20:0 Removed trailing space in c: 20

NUM 20:0 Removed trailing space in s1: Maji Kutoka Kwenye Mwamba

NUM 20:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 17:1-7)

NUM 20:1 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa kwanza jumuiya yote ya Kiisraeli ilifika kwenye Jangwa la Sini, nao wakakaa Kadeshi. Miriamu akafa huko na kuzikwa.

NUM 20:2 Removed trailing space in v~: Mahali hapo hapakuwa na maji kwa ajili ya jumuiya hiyo, nao wakakusanyika ili kumpinga Mose na Aroni.

NUM 20:3 Removed trailing space in v~: Watu wakagombana na Mose, na kusema, “Laiti tungelikufa wakati ndugu zetu walipoanguka na kufa mbele za \nd Bwana\nd*!

NUM 20:4 Removed trailing space in v~: Kwa nini mmeileta jumuiya ya \nd Bwana\nd* kwenye jangwa hili, ili tufe humu, sisi na mifugo yetu?

NUM 20:5 Removed trailing space in v~: Kwa nini mmetupandisha kutoka Misri mpaka mahali hapa pa kutisha? Hapa hakuna nafaka wala tini, zabibu au makomamanga. Wala hapa hakuna maji ya kunywa!”

NUM 20:6 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakaondoka pale kwenye kusanyiko mpaka kwenye mlango wa Hema la Kukutania na kuanguka kifudifudi, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukawatokea.

NUM 20:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 20:8 Removed trailing space in v~: “Chukua ile fimbo, na wewe na ndugu yako Aroni mkusanye kusanyiko pamoja. Nena na ule mwamba mbele ya macho yao, nao utatoa maji yake. Utatoa maji kutoka huo mwamba kwa ajili ya jumuiya ili wao na mifugo yao waweze kunywa.”

NUM 20:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akaichukua hiyo fimbo kutoka pale ilipokuwa mbele za \nd Bwana\nd* kama alivyomwagiza.

NUM 20:10 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakakusanya kusanyiko pamoja mbele ya huo mwamba, naye Mose akawaambia, “Sikilizeni, enyi waasi. Je, ni lazima tuwatoleeni maji kutoka mwamba huu?”

NUM 20:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akainua mkono wake na kuupiga mwamba mara mbili kwa fimbo yake. Maji yakabubujika, nayo jumuiya na mifugo yao wakanywa.

NUM 20:12 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni, “Kwa sababu hamkuniamini mimi kiasi cha kuniheshimu kama mtakatifu machoni pa Waisraeli, hamtaiingiza jumuiya hii katika nchi ninayowapa.”

NUM 20:13 Removed trailing space in v~: Haya yalikuwa maji ya Meriba,\f + \fr 20:13 \ft Meriba maana yake Kugombana.\f* mahali pale ambapo Waisraeli waligombana na \nd Bwana\nd*, naye akajionyesha mwenyewe huko kuwa mtakatifu katikati yao.

NUM 20:13 Removed trailing space in s1: Edomu Wakatalia Israeli Kupita

NUM 20:14 Removed trailing space in v~: Mose akawatuma wajumbe kutoka Kadeshi kwenda kwa mfalme wa Edomu, akisema:

NUM 20:14 Removed trailing space in p~: “Hili ndilo ndugu yako Israeli asemalo: Wewe unafahamu juu ya taabu zote ambazo zimetupata.

NUM 20:15 Removed trailing space in v~: Baba zetu walishuka Misri, nasi tumeishi huko miaka mingi. Wamisri walitutesa sisi na baba zetu,

NUM 20:16 Removed trailing space in v~: lakini tulipomlilia \nd Bwana\nd*, alisikia kilio chetu na akamtuma malaika akatutoa Misri.

NUM 20:16 Removed trailing space in p~: “Sasa tupo hapa Kadeshi, mji ulio mpakani mwa nchi yako.

NUM 20:17 Removed trailing space in v~: Tafadhali turuhusu tupite katika nchi yako. Hatutapita katika shamba lolote, wala shamba la mizabibu, au kunywa maji kutoka kwenye kisima chochote. Tutasafiri kufuata njia kuu ya mfalme, na hatutageuka kulia wala kushoto mpaka tuwe tumeshapita nchi yako.”

NUM 20:18 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme wa Edomu akajibu:

NUM 20:18 Removed trailing space in p~: “Hamtapita hapa; kama mkijaribu kupita, tutatoka na kuwashambulia kwa upanga.”

NUM 20:19 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakajibu:

NUM 20:19 Removed trailing space in p~: “Sisi tutafuata njia kuu; tena ikiwa sisi au mifugo yetu tutakunywa tone la maji yenu, tutalilipia. Sisi tunataka tu kupita kwa miguu, wala si kitu kingine chochote.”

NUM 20:20 Removed trailing space in v~: Watu wa Edomu wakajibu tena:

NUM 20:20 Removed trailing space in p~: “Hamwezi kupita hapa.”

NUM 20:20 Removed trailing space in p~: Ndipo watu wa Edomu wakatoka dhidi ya Waisraeli, jeshi kubwa lenye nguvu.

NUM 20:21 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Waedomu waliwakatalia Waisraeli kupita katika nchi yao, Israeli wakageuka, wakawaacha.

NUM 20:21 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Aroni

NUM 20:22 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka kutoka Kadeshi, wakafika kwenye Mlima Hori.

NUM 20:23 Removed trailing space in v~: Kwenye Mlima Hori, karibu na mpaka wa Edomu, \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni,

NUM 20:24 Removed trailing space in v~: “Aroni atakusanywa pamoja na watu wake. Hataingia katika nchi ninayowapa Waisraeli, kwa sababu ninyi wawili mliasi dhidi ya agizo langu kwenye maji ya Meriba.

NUM 20:25 Removed trailing space in v~: Watwae Aroni na Eleazari mwanawe, na uwapandishe juu katika Mlima wa Hori.

NUM 20:26 Removed trailing space in v~: Mvue Aroni mavazi yake, na umvike Eleazari mwanawe, kwa maana Aroni atakusanywa pamoja na watu wake; atakufa huko.”

NUM 20:27 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza: Wakapanda Mlima Hori mbele ya macho ya jumuiya yote ya Kiisraeli.

NUM 20:28 Removed trailing space in v~: Mose akamvua Aroni mavazi yake na kumvika mwanawe Eleazari mavazi hayo. Naye Aroni akafia pale juu ya mlima. Kisha Mose na Eleazari wakateremka kutoka mlimani.

NUM 20:29 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ilipofahamu kwamba Aroni amekufa, jamaa yote ya Kiisraeli wakamwomboleza kwa siku thelathini.

NUM 21:0 Extra space after chapter number

NUM 21:0 Removed trailing space in c: 21

NUM 21:0 Removed trailing space in s1: Nchi Ya Aradi Yaangamizwa

NUM 21:1 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Kikanaani wa Aradi aliyeishi huko Negebu aliposikia kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atharimu, aliwashambulia Waisraeli na kuwateka baadhi yao.

NUM 21:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Israeli akaweka nadhiri hii kwa \nd Bwana\nd*: “Ikiwa utawatia watu hawa mikononi mwetu, tutaiangamiza kabisa miji yao.”

NUM 21:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasikiliza ombi la Waisraeli, naye akawapa ushindi juu ya Wakanaani. Wakawaangamiza kabisa na miji yao; hivyo mahali pale pakaitwa Horma.\f + \fr 21:3 \ft Horma maana yake Maangamizi.\f*

NUM 21:3 Removed trailing space in s1: Nyoka Wa Shaba

NUM 21:4 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakasafiri kutoka mlima Hori kupitia njia inayoelekea Bahari ya Shamu,\f + \fr 21:4 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo (ona 14:25).\f* kuizunguka Edomu. Lakini watu wakakosa uvumilivu njiani,

NUM 21:5 Removed trailing space in v~: wakamnungʼunikia Mungu na Mose, wakisema, “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili tufe jangwani? Hakuna mkate! Hakuna maji! Nasi tunachukia sana chakula hiki duni!”

NUM 21:6 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akapeleka nyoka wenye sumu katikati yao; wakawauma watu, nao Waisraeli wengi wakafa.

NUM 21:7 Removed trailing space in v~: Watu wakamjia Mose na kusema, “Tumetenda dhambi wakati tuliponena dhidi ya \nd Bwana\nd* na dhidi yako. Mwombe \nd Bwana\nd* ili atuondolee hawa nyoka.” Hivyo Mose akawaombea hao watu.

NUM 21:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa shaba na umweke juu ya mti; yeyote aliyeumwa na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.”

NUM 21:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu yeyote aliumwa na nyoka, naye akamtazama yule nyoka wa shaba, aliishi.

NUM 21:9 Removed trailing space in s1: Safari Kwenda Moabu

NUM 21:10 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliendelea na safari yao na wakapiga kambi huko Obothi.

NUM 21:11 Removed trailing space in v~: Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye-Abarimu, katika jangwa linalotazamana na Moabu kuelekea mawio ya jua.

NUM 21:12 Removed trailing space in v~: Kutoka hapo waliendelea mbele wakapiga kambi kwenye Bonde la Zeredi.

NUM 21:13 Removed trailing space in v~: Wakasafiri kutoka hapo na kupiga kambi kando ya Mto Arnoni, ambao uko katika jangwa lililoenea hadi nchi ya Waamori. Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.

NUM 21:14 Removed trailing space in v~: Ndiyo sababu Kitabu cha Vita vya \nd Bwana\nd* kinasema:

NUM 21:14 Removed trailing space in p~: “…Mji wa Wahebu nchini Seifa na mabonde

NUM 21:14 Removed trailing space in p~: ya Arnoni,

NUM 21:15 Removed trailing space in v~: na miteremko ya mabonde

NUM 21:15 Removed trailing space in p~: inayofika hadi mji wa Ari

NUM 21:15 Removed trailing space in p~: na huelekea mpakani mwa Moabu.”

NUM 21:16 Removed trailing space in v~: Kutoka hapo waliendelea mbele hadi kisima cha Beeri; kwenye kisima ambacho \nd Bwana\nd* alimwambia Mose, “Wakusanye watu pamoja, nami nitawapa maji.”

NUM 21:17 Removed trailing space in v~: Kisha Israeli akaimba wimbo huu:

NUM 21:17 Removed trailing space in p~: “Bubujika, ee kisima!

NUM 21:17 Removed trailing space in p~: Imba kuhusu maji,

NUM 21:18 Removed trailing space in v~: kuhusu kisima ambacho kilichimbwa na wakuu,

NUM 21:18 Removed trailing space in p~: ambacho watu mashuhuri walikifukua,

NUM 21:18 Removed trailing space in p~: watu mashuhuri wakiwa na fimbo za utawala na bakora.”

NUM 21:18 Removed trailing space in p~: Kisha wakatoka jangwani kwenda Matana,

NUM 21:19 Removed trailing space in v~: kutoka Matana wakafika Nahalieli, kutoka Nahalieli wakafika Bamothi,

NUM 21:20 Removed trailing space in v~: na kutoka Bamothi wakafika kwenye bonde lililoko Moabu, mahali ambapo kilele cha Pisga kinatazamana na nyika.

NUM 21:20 Removed trailing space in s1: Kushindwa Kwa Sihoni Na Ogu

NUM 21:20 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 2:26–3:11)

NUM 21:21 Removed trailing space in v~: Israeli akawatuma wajumbe kumwambia Sihoni mfalme wa Waamori:

NUM 21:22 Removed trailing space in v~: “Uturuhusu tupite katika nchi yako. Hatutageuka kando kwenda katika mashamba au mashamba ya mizabibu, ama kunywa maji kutoka kisima chochote. Tutasafiri kwenye njia kuu ya mfalme hata tutakapokuwa tumekwisha kupita katika nchi yako.”

NUM 21:23 Removed trailing space in v~: Lakini Sihoni hakumruhusu Israeli apite katika nchi yake. Alilikutanisha jeshi lake lote, wakaondoka kwenda jangwani ili kupigana na Israeli. Alipofika huko Yahazi, akapigana na Israeli.

NUM 21:24 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Israeli alimshinda kwa upanga na kuiteka ardhi yake kutoka Arnoni mpaka Yaboki, lakini ni hadi kufikia nchi ya Waamoni tu, kwa sababu mipaka yake ilikuwa imezungushwa ukuta.

NUM 21:25 Removed trailing space in v~: Israeli akaiteka miji yote ya Waamori na kuikalia, pamoja na Heshboni na makazi yote yanayoizunguka.

NUM 21:26 Removed trailing space in v~: Heshboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alikuwa amepigana dhidi ya mfalme wa Moabu aliyetangulia na akawa amechukua ardhi yake yote mpaka Arnoni.

NUM 21:27 Removed trailing space in v~: Ndiyo sababu watunga mashairi husema:

NUM 21:27 Removed trailing space in p~: “Njoo Heshboni na ujengwe tena;

NUM 21:27 Removed trailing space in p~: mji wa Sihoni na ufanywe upya.

NUM 21:28 Removed trailing space in v~: “Moto uliwaka kutoka Heshboni,

NUM 21:28 Removed trailing space in p~: mwali wa moto kutoka mji wa Sihoni.

NUM 21:28 Removed trailing space in p~: Uliteketeza Ari ya Moabu,

NUM 21:28 Removed trailing space in p~: raiya wa mahali pa Arnoni palipoinuka.

NUM 21:29 Removed trailing space in v~: Ole wako, ee Moabu!

NUM 21:29 Removed trailing space in p~: Umeharibiwa, enyi watu wa Kemoshi!

NUM 21:29 Removed trailing space in p~: Amewatoa wanawe kuwa wakimbizi,

NUM 21:29 Removed trailing space in p~: na binti zake kama mateka

NUM 21:29 Removed trailing space in p~: kwa Mfalme Sihoni wa Waamori.

NUM 21:30 Removed trailing space in v~: “Lakini tumewashinda;

NUM 21:30 Removed trailing space in p~: Heshboni umeharibiwa hadi Diboni.

NUM 21:30 Removed trailing space in p~: Tumebomoa hadi kufikia Nofa,

NUM 21:30 Removed trailing space in p~: ulioenea hadi Medeba.”

NUM 21:31 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Israeli akaishi katika nchi ya Waamori.

NUM 21:32 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose kutuma wapelelezi kwenda mji wa Yazeri, Waisraeli waliteka viunga vya mji huo na kuwafukuza Waamori waliokuwa wanaishi huko.

NUM 21:33 Removed trailing space in v~: Kisha wakageuka na kwenda katika njia inayoelekea Bashani, naye Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote wakatoka kupigana nao huko Edrei.

NUM 21:34 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Usimwogope Ogu, kwa sababu nimeshamkabidhi mikononi mwako, pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Mtendee kama ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”

NUM 21:35 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamuua, pamoja na wanawe na jeshi lake lote, bila ya kumwacha hata mtu mmoja hai. Nao wakaimiliki nchi yake.

NUM 22:0 Extra space after chapter number

NUM 22:0 Removed trailing space in c: 22

NUM 22:0 Removed trailing space in s1: Balaki Anamwita Balaamu

NUM 22:1 Removed trailing space in v~: Kisha Waisraeli wakasafiri katika tambarare za Moabu na kupiga kambi kando ya Mto Yordani, ngʼambo ya Yeriko.

NUM 22:2 Removed trailing space in v~: Basi Balaki mwana wa Sipori, aliona mambo yale yote ambayo Israeli aliwatendea Waamori,

NUM 22:3 Removed trailing space in v~: Moabu aliogopa, kwa kuwa walikuwepo watu wengi sana. Hakika, Moabu alijawa na hofu kubwa kwa sababu ya Waisraeli.

NUM 22:4 Removed trailing space in v~: Wamoabu wakawaambia wazee wa Midiani, “Umati huu wa watu unakwenda kuramba kila kitu kinachotuzunguka, kama maksai arambavyo majani ya shambani.”

NUM 22:4 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Balaki mwana wa Sipori, ambaye alikuwa mfalme wa Moabu wakati huo,

NUM 22:5 Removed trailing space in v~: akatuma wajumbe kwenda kumwita Balaamu mwana wa Beori, ambaye alikuwa huko Pethori, karibu na Mto Frati, katika nchi yake ya kuzaliwa. Balaki akasema:

NUM 22:5 Removed trailing space in p~: “Taifa limekuja kutoka Misri, nao wamefunika uso wa nchi, nao wametua karibu nami.

NUM 22:6 Removed trailing space in v~: Sasa uje kuwalaani watu hawa, kwa kuwa wana nguvu sana kuniliko. Kisha huenda nikaweza kuwashinda na kuwatoa nje ya nchi. Kwa kuwa ninajua kwamba, wale unaowabariki wanabarikiwa na wale unaowalaani wanalaaniwa.”

NUM 22:7 Removed trailing space in v~: Wazee wa Moabu na wa Midiani wakaondoka, wakiwa wamechukua ada ya uaguzi. Walipokwenda kwa Balaamu, wakamweleza kile Balaki alikuwa amesema.

NUM 22:8 Removed trailing space in v~: Balaamu akawaambia, “Mlale hapa usiku huu, nami nitawaletea jibu lile \nd Bwana\nd* atakalonipa.” Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakakaa naye.

NUM 22:9 Removed trailing space in v~: Mungu akamjia Balaamu na kumuuliza, “Watu gani hawa walio pamoja nawe?”

NUM 22:10 Removed trailing space in v~: Balaamu akamwambia Mungu, “Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alinipelekea ujumbe huu:

NUM 22:11 Removed trailing space in v~: ‘Taifa ambalo limekuja kutoka Misri limefunika uso wa nchi. Sasa uje unilaanie hao watu. Kisha huenda nitaweza kupigana nao na kuwafukuza.’ ”

NUM 22:12 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja nao. Hupaswi kulaani watu hao, kwa kuwa wamebarikiwa.”

NUM 22:13 Removed trailing space in v~: Asubuhi iliyofuata Balaamu akaamka, akawaambia wakuu wa Balaki, “Rudini katika nchi yenu, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amenikataza nisiende pamoja nanyi.”

NUM 22:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakarudi kwa Balaki na kumwambia, “Balaamu amekataa kuja pamoja nasi.”

NUM 22:15 Removed trailing space in v~: Kisha Balaki akatuma wakuu wengine, wengi zaidi na wanaoheshimiwa zaidi kuliko wale wa kwanza.

NUM 22:16 Removed trailing space in v~: Wakafika kwa Balaamu na kumwambia:

NUM 22:16 Removed trailing space in p~: “Balaki mwana wa Sipori amesema hivi: Usiruhusu kitu chochote kikuzuie kuja kwangu,

NUM 22:17 Removed trailing space in v~: kwa sababu nitakulipa vizuri sana na kufanya lolote usemalo. Njoo unilaanie watu hawa.”

NUM 22:18 Removed trailing space in v~: Lakini Balaamu akawajibu, “Hata kama Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, singeweza kufanya kitu chochote kikubwa au kidogo ili kutenda kitu nje ya agizo la \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

NUM 22:19 Removed trailing space in v~: Mlale hapa usiku huu kama wale wengine walivyofanya, nami nitatafuta ni nini kingine \nd Bwana\nd* atakachoniambia.”

NUM 22:20 Removed trailing space in v~: Usiku ule \nd Bwana\nd* akamjia Balaamu na kumwambia, “Kwa kuwa watu hawa wamekuja kukuita wewe, nenda nao, lakini ufanye tu lile nitakalokuambia.”

NUM 22:20 Removed trailing space in s1: Punda Wa Balaamu

NUM 22:21 Removed trailing space in v~: Balaamu akaamka asubuhi, akatandika punda wake akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.

NUM 22:22 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu alikasirika sana alipokwenda, naye malaika wa \nd Bwana\nd* akasimama barabarani kumpinga. Balaamu alikuwa amepanda punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye.

NUM 22:23 Removed trailing space in v~: Wakati punda alipomwona malaika wa \nd Bwana\nd* akiwa amesimama barabarani akiwa na upanga uliofutwa mkononi mwake, punda akageukia upande kuelekea shambani. Balaamu akampiga ili amrudishe barabarani.

NUM 22:24 Removed trailing space in v~: Ndipo malaika wa \nd Bwana\nd* akasimama katika njia nyembamba iliyo kati ya mashamba mawili ya mizabibu, yakiwa na kuta pande zote mbili.

NUM 22:25 Removed trailing space in v~: Punda alipomwona malaika wa \nd Bwana\nd*, alijisukumiza karibu na ukuta, na kugandamiza mguu wa Balaamu ukutani. Ndipo Balaamu akampiga tena punda.

NUM 22:26 Removed trailing space in v~: Kisha malaika wa \nd Bwana\nd* akaendelea mbele na kusimama mahali pembamba ambapo hapakuwepo nafasi ya kugeuka, upande wa kulia wala wa kushoto.

NUM 22:27 Removed trailing space in v~: Punda alipomwona malaika wa \nd Bwana\nd*, alilala chini Balaamu angali amempanda, naye Balaamu akakasirika na kumpiga kwa fimbo yake.

NUM 22:28 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akakifungua kinywa cha punda, akamwambia Balaamu, “Nimekutendea nini kinachokufanya unipige mara hizi tatu?”

NUM 22:29 Removed trailing space in v~: Balaamu akamjibu punda, “Umenifanya mjinga! Kama ningelikuwa na upanga mkononi mwangu, ningelikuua sasa hivi.”

NUM 22:30 Removed trailing space in v~: Punda akamwambia Balaamu, “Je, mimi si punda wako mwenyewe, ambaye umenipanda siku zote, hadi leo? Je, nimekuwa na tabia ya kufanya hivi kwako?”

NUM 22:30 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Hapana.”

NUM 22:31 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akafungua macho ya Balaamu, naye akamwona malaika wa \nd Bwana\nd* amesimama barabarani akiwa ameufuta upanga wake. Balaamu akainama, akaanguka kifudifudi.

NUM 22:32 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamuuliza Balaamu, “Kwa nini umempiga punda wako mara tatu hizi? Nimekuja kukuzuia kwa sababu njia yako imepotoka mbele yangu.

NUM 22:33 Removed trailing space in v~: Punda aliniona na kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda hangenikwepa, hakika ningekuwa nimeshakuua sasa, lakini ningemwacha punda hai.”

NUM 22:34 Removed trailing space in v~: Balaamu akamwambia malaika wa \nd Bwana\nd*, “Nimetenda dhambi. Sikutambua kuwa umesimama barabarani kunizuia. Basi kama haikupendezi, nitarudi.”

NUM 22:35 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamwambia Balaamu, “Uende na watu hao, lakini useme tu lile nikuambialo.” Kwa hiyo Balaamu akaenda na wale wakuu wa Balaki.

NUM 22:36 Removed trailing space in v~: Balaki aliposikia kuwa Balaamu anakuja, akatoka kumlaki katika mji wa Moabu, katika mpaka wa Arnoni, ukingoni mwa nchi yake.

NUM 22:37 Removed trailing space in v~: Balaki akamwambia Balaamu, “Je, sikukupelekea jumbe za haraka? Kwa nini hukuja kwangu? Hivi kweli mimi siwezi kukulipa?”

NUM 22:38 Removed trailing space in v~: Balaamu akajibu, “Vema, sasa nimekuja kwako. Lakini kwani nina uwezo wa kusema tu chochote? Ni lazima niseme tu kile ambacho Mungu ataweka kinywani mwangu.”

NUM 22:39 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu alikwenda na Balaki mpaka Kiriath-Husothi.

NUM 22:40 Removed trailing space in v~: Balaki akatoa dhabihu ya ngʼombe na kondoo; baadhi yake akampa Balaamu na wakuu waliokuwa pamoja naye.

NUM 22:41 Removed trailing space in v~: Asubuhi iliyofuata Balaki akamchukua Balaamu mpaka Bamoth-Baali, na kutoka huko Balaamu akawaona baadhi ya watu.

NUM 23:0 Extra space after chapter number

NUM 23:0 Removed trailing space in c: 23

NUM 23:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Kwanza Wa Balaamu

NUM 23:1 Removed trailing space in v~: Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, mnitayarishie mafahali saba na kondoo dume saba.”

NUM 23:2 Removed trailing space in v~: Balaki akafanya kama Balaamu alivyosema; hao wawili kila mmoja wao akatoa fahali mmoja na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.

NUM 23:3 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu akamwambia Balaki, “Kaa hapa kando ya sadaka yako wakati mimi ninakwenda kando. Huenda \nd Bwana\nd* atakuja kukutana nami. Lolote atakalonifunulia, nitakuambia.” Basi akaenda hata mahali peupe palipoinuka.

NUM 23:4 Removed trailing space in v~: Mungu akakutana naye, kisha Balaamu akasema, “Nimekwisha kutengeneza madhabahu saba, na juu ya kila madhabahu nimetoa sadaka ya fahali mmoja na kondoo dume mmoja.”

NUM 23:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaweka ujumbe katika kinywa cha Balaamu na kusema, “Rudi kwa Balaki umpe ujumbe huu.”

NUM 23:6 Removed trailing space in v~: Basi Balaamu akarudi kwa Balaki, akamkuta amesimama kando ya sadaka yake akiwa na wakuu wote wa Moabu.

NUM 23:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Balaamu akasema ujumbe wake:

NUM 23:7 Removed trailing space in p~: “Balaki amenileta kutoka Aramu,

NUM 23:7 Removed trailing space in p~: mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki.

NUM 23:7 Removed trailing space in p~: Akasema, ‘Njoo, unilaanie Yakobo;

NUM 23:7 Removed trailing space in p~: njoo unishutumie Israeli.’

NUM 23:8 Removed trailing space in v~: Nitawezaje kuwalaani,

NUM 23:8 Removed trailing space in p~: hao ambao Mungu hajawalaani?

NUM 23:8 Removed trailing space in p~: Nitawezaje kuwashutumu

NUM 23:8 Removed trailing space in p~: hao ambao \nd Bwana\nd* hakuwashutumu?

NUM 23:9 Removed trailing space in v~: Kutoka vilele vya miamba ninawaona,

NUM 23:9 Removed trailing space in p~: kutoka mahali palipoinuka ninawatazama.

NUM 23:9 Removed trailing space in p~: Ninaliona taifa ambalo wanaishi peke yao,

NUM 23:9 Removed trailing space in p~: nao hawahesabiwi kama mojawapo ya mataifa.

NUM 23:10 Removed trailing space in v~: Ni nani awezaye kuhesabu mavumbi ya Yakobo,

NUM 23:10 Removed trailing space in p~: au kuhesabu robo ya Israeli?

NUM 23:10 Removed trailing space in p~: Mimi na nife kifo cha mtu mwenye haki,

NUM 23:10 Removed trailing space in p~: na mwisho wangu na uwe kama wao!”

NUM 23:11 Removed trailing space in v~: Balaki akamwambia Balaamu, “Ni nini ulichonitendea? Nimekuleta ulaani adui zangu, lakini wewe badala yake umewabariki!”

NUM 23:12 Removed trailing space in v~: Balaamu akajibu, “Je, hainipasi kusema kile \nd Bwana\nd* anachoweka katika kinywa changu?”

NUM 23:12 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Pili Wa Balaamu

NUM 23:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Balaki akamwambia, “Twende pamoja mahali pengine ambapo unaweza kuwaona; utawaona baadhi tu wala si wote. Nawe kutoka huko, unilaanie hao.”

NUM 23:14 Removed trailing space in v~: Basi akampeleka kwenye shamba la Sofimu, juu ya kilele cha Mlima Pisga. Pale akajenga madhabahu saba na kutoa sadaka ya fahali na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.

NUM 23:15 Removed trailing space in v~: Balaamu akamwambia Balaki, “Kaa hapa kando ya sadaka yako wakati ninapokwenda kuonana na Mungu kule.”

NUM 23:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akakutana na Balaamu, akaweka ujumbe katika kinywa chake akasema, “Rudi kwa Balaki umpe ujumbe huu.”

NUM 23:17 Removed trailing space in v~: Basi Balaamu akarudi kwa Balaki, akamkuta amesimama kando ya sadaka yake, akiwa na wakuu wa Moabu. Balaki akamuuliza, “Je, \nd Bwana\nd* amesema nini?”

NUM 23:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Balaamu akasema ujumbe wake:

NUM 23:18 Removed trailing space in p~: “Balaki, inuka na usikilize,

NUM 23:18 Removed trailing space in p~: nisikie mimi, wewe mwana wa Sipori.

NUM 23:19 Removed trailing space in v~: Mungu si mtu, hata aseme uongo,

NUM 23:19 Removed trailing space in p~: wala yeye si mwanadamu, hata ajute.

NUM 23:19 Removed trailing space in p~: Je, anasema, kisha asitende?

NUM 23:19 Removed trailing space in p~: Je, anaahidi, asitimize?

NUM 23:20 Removed trailing space in v~: Nimepokea agizo kubariki;

NUM 23:20 Removed trailing space in p~: amebariki, nami siwezi kubadilisha.

NUM 23:21 Removed trailing space in v~: “Haijaonekana bahati mbaya katika Yakobo,

NUM 23:21 Removed trailing space in p~: wala taabu katika Israeli.

NUM 23:21 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd*, Mungu wao yu pamoja nao,

NUM 23:21 Removed trailing space in p~: nayo sauti kuu ya Mfalme imo katikati yao.

NUM 23:22 Removed trailing space in v~: Mungu aliwatoa kutoka Misri;

NUM 23:22 Removed trailing space in p~: wao wana nguvu za nyati.

NUM 23:23 Removed trailing space in v~: Hakuna uchawi dhidi ya Yakobo,

NUM 23:23 Removed trailing space in p~: wala hakuna uaguzi dhidi ya Israeli.

NUM 23:23 Removed trailing space in p~: Sasa itasemwa kuhusu Yakobo

NUM 23:23 Removed trailing space in p~: na Israeli, ‘Tazama yale Mungu aliyotenda!’

NUM 23:24 Removed trailing space in v~: Taifa lainuka kama simba jike;

NUM 23:24 Removed trailing space in p~: linajiinua kama simba

NUM 23:24 Removed trailing space in p~: ambaye hatulii mpaka amalize kurarua mawindo yake

NUM 23:24 Removed trailing space in p~: na kunywa damu ya mawindo yake.”

NUM 23:25 Removed trailing space in v~: Kisha Balaki akamwambia Balaamu, “Usiwalaani kabisa, wala usiwabariki kabisa!”

NUM 23:26 Removed trailing space in v~: Balaamu akajibu, “Je, sikukuambia ni lazima nifanye lolote analosema \nd Bwana\nd*?”

NUM 23:26 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Tatu Wa Balaamu

NUM 23:27 Removed trailing space in v~: Basi Balaki akamwambia Balaamu, “Njoo, nikupeleke mahali pengine. Huenda itampendeza Mungu kukuruhusu unilaanie hao watu kutoka mahali hapo.”

NUM 23:28 Removed trailing space in v~: Balaki akamchukua Balaamu juu ya Mlima Peori, unaotazamana na nyika.

NUM 23:29 Removed trailing space in v~: Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, uandae mafahali saba na kondoo dume saba kwa ajili yangu.”

NUM 23:30 Removed trailing space in v~: Balaki akafanya kama Balaamu alivyosema, kisha akatoa sadaka ya fahali mmoja na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.

NUM 24:0 Extra space after chapter number

NUM 24:0 Removed trailing space in c: 24

NUM 24:1 Removed trailing space in v~: Basi Balaamu alipoona imempendeza \nd Bwana\nd* kubariki Israeli, hakuendelea tena kutafuta uchawi kama nyakati nyingine, bali aligeuza uso wake kuelekea nyikani.

NUM 24:2 Removed trailing space in v~: Balaamu alipotazama nje na kuona Israeli amepiga kambi kabila kwa kabila, Roho wa Mungu akawa juu yake,

NUM 24:3 Removed trailing space in v~: naye akatoa ujumbe wake:

NUM 24:3 Removed trailing space in p~: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori,

NUM 24:3 Removed trailing space in p~: ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;

NUM 24:4 Removed trailing space in v~: ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu,

NUM 24:4 Removed trailing space in p~: ambaye huona maono kutoka kwa Mwenyezi,\f + \fr 24:4 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania (pia 24:16).\f*

NUM 24:4 Removed trailing space in p~: ambaye huanguka kifudifudi, na ambaye macho yake yamefunguka:

NUM 24:5 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi yalivyo mazuri mahema yako, ee Yakobo,

NUM 24:5 Removed trailing space in p~: maskani yako, ee Israeli!

NUM 24:6 Removed trailing space in v~: “Kama mabonde, yanaenea,

NUM 24:6 Removed trailing space in p~: kama bustani kando ya mto,

NUM 24:6 Removed trailing space in p~: kama miti ya udi iliyopandwa na \nd Bwana\nd*,

NUM 24:6 Removed trailing space in p~: kama mierezi kando ya maji.

NUM 24:7 Removed trailing space in v~: Maji yatatiririka kutoka ndoo zake;

NUM 24:7 Removed trailing space in p~: mbegu yake itakuwa na maji tele.

NUM 24:7 Removed trailing space in p~: “Mfalme wake atakuwa mkuu kuliko Mfalme Agagi;

NUM 24:7 Removed trailing space in p~: ufalme wake utatukuka.

NUM 24:8 Removed trailing space in v~: “Mungu alimleta kutoka Misri;

NUM 24:8 Removed trailing space in p~: yeye ana nguvu kama nyati.

NUM 24:8 Removed trailing space in p~: Anayararua mataifa yaliyo adui zake,

NUM 24:8 Removed trailing space in p~: na kuvunja mifupa yao vipande vipande;

NUM 24:8 Removed trailing space in p~: huwachoma kwa mishale yake.

NUM 24:9 Removed trailing space in v~: Hujikunyata na kuvizia kama simba,

NUM 24:9 Removed trailing space in p~: kama simba jike; nani anayethubutu kumwamsha?

NUM 24:9 Removed trailing space in p~: “Abarikiwe kila akubarikiye,

NUM 24:9 Removed trailing space in p~: na alaaniwe kila akulaaniye!”

NUM 24:10 Removed trailing space in v~: Ndipo hasira ya Balaki ikawaka dhidi ya Balaamu. Akapiga mikono yake pamoja, akamwambia Balaamu, “Nilikuita uje kuwalaani adui zangu, lakini umewabariki mara hizi tatu.

NUM 24:11 Removed trailing space in v~: Sasa ondoka upesi uende nyumbani! Mimi nilisema nitakuzawadia vizuri sana, lakini \nd Bwana\nd* amekuzuia usizawadiwe.”

NUM 24:12 Removed trailing space in v~: Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi,

NUM 24:13 Removed trailing space in v~: ‘Hata ikiwa Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, nisingeweza kufanya kitu chochote kwa matakwa yangu, kikiwa kizuri au kibaya, kwenda kinyume na agizo la \nd Bwana\nd*, nami imenipasa kusema tu kile \nd Bwana\nd* atakachosema’?

NUM 24:14 Removed trailing space in v~: Sasa ninarudi kwa watu wangu. Lakini njoo, nikuonye kuhusu kile watu hawa watakachowatenda watu wako siku zijazo.”

NUM 24:14 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Nne Wa Balaamu

NUM 24:15 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu akatoa ujumbe wake:

NUM 24:15 Removed trailing space in p~: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori,

NUM 24:15 Removed trailing space in p~: ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;

NUM 24:16 Removed trailing space in v~: ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu,

NUM 24:16 Removed trailing space in p~: ambaye ana maarifa kutoka kwa Aliye Juu Sana,

NUM 24:16 Removed trailing space in p~: huona maono kutoka Mwenyezi,

NUM 24:16 Removed trailing space in p~: ambaye huanguka kifudifudi

NUM 24:16 Removed trailing space in p~: na ambaye macho yake yamefunguka:

NUM 24:17 Removed trailing space in v~: “Namwona yeye, lakini si sasa;

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: namtazama yeye, lakini si karibu.

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: Nyota itatoka kwa Yakobo,

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: fimbo ya ufalme itainuka kutoka kwa Israeli.

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: Atawaponda Wamoabu vipaji vya nyuso

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: na mafuvu yote ya wana wa Shethi.

NUM 24:18 Removed trailing space in v~: Edomu itamilikiwa,

NUM 24:18 Removed trailing space in p~: Seiri, adui wake, itamilikiwa,

NUM 24:18 Removed trailing space in p~: lakini Israeli atakuwa na nguvu.

NUM 24:19 Removed trailing space in v~: Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo

NUM 24:19 Removed trailing space in p~: na kuangamiza walionusurika katika mji.”

NUM 24:19 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Mwisho Wa Balaamu

NUM 24:20 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu akawaona watu wa Amaleki, na kutoa ujumbe wake:

NUM 24:20 Removed trailing space in p~: “Amaleki ilikuwa ya kwanza miongoni mwa mataifa,

NUM 24:20 Removed trailing space in p~: lakini mwisho wake itaangamizwa milele.”

NUM 24:21 Removed trailing space in v~: Kisha akawaona Wakeni, akatoa ujumbe wake:

NUM 24:21 Removed trailing space in p~: “Makao yenu ni salama,

NUM 24:21 Removed trailing space in p~: kiota chenu kiko kwenye mwamba.

NUM 24:22 Removed trailing space in v~: Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa

NUM 24:22 Removed trailing space in p~: Ashuru atakapowachukua mateka.”

NUM 24:23 Removed trailing space in v~: Ndipo akatoa ujumbe wake:

NUM 24:23 Removed trailing space in p~: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?

NUM 24:24 Removed trailing space in v~: Meli zitakuja kutoka pwani za Kitimu,

NUM 24:24 Removed trailing space in p~: zitaitiisha Ashuru na Eberi,

NUM 24:24 Removed trailing space in p~: lakini nao pia wataangamizwa.”

NUM 24:25 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu akainuka na kurudi nyumbani kwake, naye Balaki akashika njia yake.

NUM 25:0 Extra space after chapter number

NUM 25:0 Removed trailing space in c: 25

NUM 25:0 Removed trailing space in s1: Moabu Yashawishi Israeli

NUM 25:1 Removed trailing space in v~: Israeli alipokuwa akikaa Shitimu, wanaume wa Israeli walianza kuzini na wanawake wa Kimoabu,

NUM 25:2 Removed trailing space in v~: ambao waliwaalika kushiriki katika kutoa kafara kwa miungu yao. Watu wakala na kusujudu mbele ya miungu hii.

NUM 25:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Israeli akaungana katika kumwabudu Baali wa Peori. Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi yao.

NUM 25:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Uwachukue viongozi wote wa watu hawa, uwaue na uwaweke hadharani mchana peupe mbele za \nd Bwana\nd*, ili hasira kali ya \nd Bwana\nd* iweze kuondoka kwa Israeli.”

NUM 25:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawaambia waamuzi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awaue wale wanaume wenu, walioshiriki katika kumwabudu Baali wa Peori.”

NUM 25:6 Removed trailing space in v~: Ndipo mwanaume wa Kiisraeli akamleta mwanamke wa Kimidiani katika jamaa yake palepale mbele ya Mose na mkutano wote wa Israeli walipokuwa wakilia kwenye lango la Hema la Kukutania.

NUM 25:7 Removed trailing space in v~: Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, alipoona jambo hili, akaondoka kwenye kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake,

NUM 25:8 Removed trailing space in v~: akamfuata yule Mwisraeli ndani ya hema. Akawachoma mkuki wote wawili kwa pamoja, ukapenya kwenye mwili wa yule Mwisraeli na mwili wa yule mwanamke. Ndipo tauni iliyokuwepo dhidi ya Waisraeli ikakoma.

NUM 25:9 Removed trailing space in v~: Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.

NUM 25:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 25:11 Removed trailing space in v~: “Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza.

NUM 25:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.

NUM 25:13 Removed trailing space in v~: Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”

NUM 25:14 Removed trailing space in v~: Jina la Mwisraeli ambaye aliuawa pamoja na mwanamke wa Kimidiani ni Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa jamaa ya Simeoni.

NUM 25:15 Removed trailing space in v~: Jina la mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa ni Kozbi binti wa Suri, aliyekuwa mkuu wa kabila la jamaa ya Wamidiani.

NUM 25:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 25:17 Removed trailing space in v~: “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,

NUM 25:18 Removed trailing space in v~: kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”

NUM 26:0 Extra space after chapter number

NUM 26:0 Removed trailing space in c: 26

NUM 26:0 Removed trailing space in s1: Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili

NUM 26:1 Removed trailing space in v~: Baada ya hiyo tauni, \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,

NUM 26:2 Removed trailing space in v~: “Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.”

NUM 26:3 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema,

NUM 26:4 Removed trailing space in v~: “Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.”

NUM 26:4 Removed trailing space in p~: Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:

NUM 26:5 Removed trailing space in v~: Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa:

NUM 26:5 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki;

NUM 26:5 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;

NUM 26:6 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

NUM 26:6 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

NUM 26:7 Removed trailing space in v~: Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

NUM 26:8 Removed trailing space in v~: Mwana wa Palu alikuwa Eliabu,

NUM 26:9 Removed trailing space in v~: nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi \nd Bwana\nd*.

NUM 26:10 Removed trailing space in v~: Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo.

NUM 26:11 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.

NUM 26:12 Removed trailing space in v~: Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli;

NUM 26:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini;

NUM 26:12 Removed trailing space in p~: kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

NUM 26:13 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera;

NUM 26:13 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

NUM 26:14 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.

NUM 26:15 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:15 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni;

NUM 26:15 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi;

NUM 26:15 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;

NUM 26:16 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni;

NUM 26:16 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;

NUM 26:17 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi;

NUM 26:17 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.

NUM 26:18 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.

NUM 26:19 Removed trailing space in v~: Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

NUM 26:20 Removed trailing space in v~: Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:20 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela;

NUM 26:20 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi;

NUM 26:20 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.

NUM 26:21 Removed trailing space in v~: Wazao wa Peresi walikuwa:

NUM 26:21 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

NUM 26:21 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

NUM 26:22 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.

NUM 26:23 Removed trailing space in v~: Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:23 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola;

NUM 26:23 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

NUM 26:24 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu;

NUM 26:24 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.

NUM 26:25 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.

NUM 26:26 Removed trailing space in v~: Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:26 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi;

NUM 26:26 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni;

NUM 26:26 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

NUM 26:27 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.

NUM 26:28 Removed trailing space in v~: Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

NUM 26:29 Removed trailing space in v~: Wazao wa Manase:

NUM 26:29 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi);

NUM 26:29 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.

NUM 26:30 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi:

NUM 26:30 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri;

NUM 26:30 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

NUM 26:31 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli;

NUM 26:31 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;

NUM 26:32 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida;

NUM 26:32 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

NUM 26:33 Removed trailing space in v~: (Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)

NUM 26:34 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.

NUM 26:35 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao:

NUM 26:35 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela;

NUM 26:35 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri;

NUM 26:35 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

NUM 26:36 Removed trailing space in v~: Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela:

NUM 26:36 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

NUM 26:37 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500.

NUM 26:37 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.

NUM 26:38 Removed trailing space in v~: Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:38 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela;

NUM 26:38 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli;

NUM 26:38 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;

NUM 26:39 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu;

NUM 26:39 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.

NUM 26:40 Removed trailing space in v~: Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa:

NUM 26:40 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi;

NUM 26:40 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.

NUM 26:41 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.

NUM 26:42 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao:

NUM 26:42 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu.

NUM 26:42 Removed trailing space in p~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani:

NUM 26:43 Removed trailing space in v~: Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.

NUM 26:44 Removed trailing space in v~: Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:44 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna;

NUM 26:44 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi;

NUM 26:44 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;

NUM 26:45 Removed trailing space in v~: kutoka kwa wazao wa Beria:

NUM 26:45 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi;

NUM 26:45 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.

NUM 26:46 Removed trailing space in v~: (Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)

NUM 26:47 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.

NUM 26:48 Removed trailing space in v~: Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:48 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli;

NUM 26:48 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;

NUM 26:49 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri;

NUM 26:49 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.

NUM 26:50 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.

NUM 26:51 Removed trailing space in v~: Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.

NUM 26:52 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 26:53 Removed trailing space in v~: “Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.

NUM 26:54 Removed trailing space in v~: Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa.

NUM 26:55 Removed trailing space in v~: Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao.

NUM 26:56 Removed trailing space in v~: Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

NUM 26:57 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao:

NUM 26:57 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni;

NUM 26:57 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi;

NUM 26:57 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.

NUM 26:58 Removed trailing space in v~: Hizi pia zilikuwa koo za Walawi:

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa Walibni;

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa Wahebroni;

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa Wamahli;

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa Wamushi;

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa wana wa Kora.

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: (Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu;

NUM 26:59 Removed trailing space in v~: jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu.

NUM 26:60 Removed trailing space in v~: Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.

NUM 26:61 Removed trailing space in v~: Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za \nd Bwana\nd* kwa moto usioruhusiwa.)

NUM 26:62 Removed trailing space in v~: Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.

NUM 26:63 Removed trailing space in v~: Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.

NUM 26:64 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai.

NUM 26:65 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.

NUM 27:0 Extra space after chapter number

NUM 27:0 Removed trailing space in c: 27

NUM 27:0 Removed trailing space in s1: Binti Wa Selofehadi

NUM 27:1 Removed trailing space in v~: Binti za Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, walikuwa wa koo za Manase mwana wa Yosefu. Majina ya hao binti yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa. Walikaribia

NUM 27:2 Removed trailing space in v~: ingilio la Hema la Kukutania na kusimama mbele ya Mose, kuhani Eleazari, viongozi na kusanyiko lote, wakasema,

NUM 27:3 Removed trailing space in v~: “Baba yetu alikufa jangwani. Hakuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora, ambao walifungamana pamoja dhidi ya \nd Bwana\nd*, lakini alikufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe na hakuacha wana.

NUM 27:4 Removed trailing space in v~: Kwa nini jina la baba yetu lifutike kutoka ukoo wake kwa sababu hakuwa na mwana? Tupatie milki miongoni mwa ndugu za baba yetu.”

NUM 27:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akalileta shauri lao mbele za \nd Bwana\nd*,

NUM 27:6 Removed trailing space in v~: naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 27:7 Removed trailing space in v~: “Wanachosema binti za Selofehadi ni sawa. Ni lazima kwa hakika uwape milki kama urithi miongoni mwa ndugu za baba yao, na kubadili urithi wa baba yao uwe wao.

NUM 27:8 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli, ‘Ikiwa mtu atakufa naye hakuacha mwana, utampa binti yake urithi wake.

NUM 27:9 Removed trailing space in v~: Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa kiume urithi wake.

NUM 27:10 Removed trailing space in v~: Ikiwa hana ndugu wa kiume toa urithi wake kwa ndugu za baba yake.

NUM 27:11 Removed trailing space in v~: Ikiwa baba yake hakuwa na ndugu wa kiume, toa urithi wake kwa ndugu wa karibu katika ukoo wake, ili aumiliki. Hili litakuwa dai la sheria kwa Waisraeli, kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.’ ”

NUM 27:11 Removed trailing space in s1: Yoshua Kuchukua Nafasi Ya Mose

NUM 27:11 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 31:1-8)

NUM 27:12 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Panda juu ya mlima huu katika kilele cha Abarimu uione nchi ambayo nimewapa Waisraeli.

NUM 27:13 Removed trailing space in v~: Baada ya kuiona, wewe pia utakusanywa pamoja na watu wako kama ndugu yako Aroni alivyokusanywa,

NUM 27:14 Removed trailing space in v~: kwa kuwa jumuiya ilipoasi amri yangu kwenye maji katika Jangwa la Sini, wakati jumuiya ilipogombana nami, nyote wawili mliacha kuitii amri yangu ya kuniheshimu kama mtakatifu mbele ya macho yao.” (Haya yalikuwa maji ya Meriba huko Kadeshi, katika Jangwa la Sini.)

NUM 27:15 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*,

NUM 27:16 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd*, Mungu wa roho zote za wanadamu, na amteue mtu juu ya jumuiya hii

NUM 27:17 Removed trailing space in v~: ili atoke na kuingia mbele yao, atakayewaongoza katika kutoka kwao na kuingia kwao, ili watu wa \nd Bwana\nd* wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”

NUM 27:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yuko ndani yake, uweke mkono juu yake.

NUM 27:19 Removed trailing space in v~: Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao.

NUM 27:20 Removed trailing space in v~: Mpe sehemu ya mamlaka yako ili jumuiya yote ya Waisraeli ipate kumtii.

NUM 27:21 Removed trailing space in v~: Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atapokea maamuzi kwa ajili yake, kwa kuuliza mbele za \nd Bwana\nd* kwa ile Urimu.\f + \fr 27:21 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f* Kwa amri yake, yeye na jumuiya yote ya Waisraeli watatoka, na kwa amri yake, wataingia.”

NUM 27:22 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza. Akamtwaa Yoshua na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na kusanyiko lote.

NUM 27:23 Removed trailing space in v~: Kisha akaweka mikono yake juu ya kichwa cha Yoshua na kumpa maagizo, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoelekeza kupitia kwa Mose.

NUM 28:0 Extra space after chapter number

NUM 28:0 Removed trailing space in c: 28

NUM 28:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Za Kila Siku

NUM 28:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 29:38-46)

NUM 28:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 28:2 Removed trailing space in v~: “Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’

NUM 28:3 Removed trailing space in v~: Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea \nd Bwana\nd*: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.

NUM 28:4 Removed trailing space in v~: Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,

NUM 28:5 Removed trailing space in v~: kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 28:5 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.\f* ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini\f + \fr 28:5 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.\f* ya mafuta ya zeituni.

NUM 28:6 Removed trailing space in v~: Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

NUM 28:7 Removed trailing space in v~: Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa \nd Bwana\nd* mahali patakatifu.

NUM 28:8 Removed trailing space in v~: Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 28:8 Removed trailing space in s1: Sadaka Za Sabato

NUM 28:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa\f + \fr 28:9 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2.\f* za unga laini uliochanganywa na mafuta.

NUM 28:10 Removed trailing space in v~: Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.

NUM 28:10 Removed trailing space in s1: Sadaka Za Kila Mwezi

NUM 28:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea \nd Bwana\nd* sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.

NUM 28:12 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa,\f + \fr 28:12 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.\f* uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;

NUM 28:13 Removed trailing space in v~: pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa \nd Bwana\nd*.

NUM 28:14 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini\f + \fr 28:14 \ft Nusu ya hini ni sawa na lita 2.\f* ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini,\f + \fr 28:14 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.2.\f* na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.

NUM 28:15 Removed trailing space in v~: Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa \nd Bwana\nd* kama sadaka ya dhambi.

NUM 28:15 Removed trailing space in s1: Pasaka

NUM 28:15 Removed trailing space in r: (Walawi 23:5-14)

NUM 28:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya \nd Bwana\nd*.

NUM 28:17 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.

NUM 28:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.

NUM 28:19 Removed trailing space in v~: Leteni mbele za \nd Bwana\nd* sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 28:20 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;

NUM 28:21 Removed trailing space in v~: pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.

NUM 28:22 Removed trailing space in v~: Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.

NUM 28:23 Removed trailing space in v~: Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.

NUM 28:24 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo \nd Bwana\nd*. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.

NUM 28:25 Removed trailing space in v~: Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.

NUM 28:25 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Majuma

NUM 28:25 Removed trailing space in r: (Walawi 23:15-22)

NUM 28:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku ya malimbuko, mnapomletea \nd Bwana\nd* sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.

NUM 28:27 Removed trailing space in v~: Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 28:28 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;

NUM 28:29 Removed trailing space in v~: na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.

NUM 28:30 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

NUM 28:31 Removed trailing space in v~: Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.

NUM 29:0 Extra space after chapter number

NUM 29:0 Removed trailing space in c: 29

NUM 29:0 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Tarumbeta

NUM 29:0 Removed trailing space in r: (Walawi 23:23-25)

NUM 29:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta.

NUM 29:2 Removed trailing space in v~: Mtatayarisha sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo \nd Bwana\nd* ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:3 Removed trailing space in v~: Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume, andaa unga sehemu ya kumi mbili za efa;

NUM 29:4 Removed trailing space in v~: na pamoja na wana-kondoo saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi ya efa ya unga.

NUM 29:5 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

NUM 29:6 Removed trailing space in v~: Hivi ni nyongeza ya sadaka za kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na sadaka zake za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto, harufu inayopendeza.

NUM 29:6 Removed trailing space in s1: Siku Ya Upatanisho

NUM 29:6 Removed trailing space in r: (Walawi 23:26-32)

NUM 29:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwenye siku ya kumi ya mwezi huu wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Mtajikana wenyewe na msifanye kazi.

NUM 29:8 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 29:9 Removed trailing space in v~: Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;

NUM 29:10 Removed trailing space in v~: na kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba andaa sehemu ya kumi ya unga laini kwa kila mmoja.

NUM 29:11 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho, na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, na sadaka zake za vinywaji.

NUM 29:11 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Vibanda

NUM 29:11 Removed trailing space in r: (Walawi 23:33-44)

NUM 29:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni sikukuu kwa \nd Bwana\nd* kwa siku saba.

NUM 29:13 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga kumi na watatu, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 29:14 Removed trailing space in v~: Pamoja na hao mafahali kumi na watatu, kila mmoja aandaliwe na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume wawili, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;

NUM 29:15 Removed trailing space in v~: na kwa wana-kondoo kumi na wanne, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi ya efa ya unga laini.

NUM 29:16 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka ya vinywaji.

NUM 29:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya pili andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:18 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:19 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:21 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:22 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya nne andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:24 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:25 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya tano andaeni mafahali tisa, kondoo dume wawili na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:27 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za kinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:28 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.

NUM 29:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya sita andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:30 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:31 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya saba andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:33 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:34 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:35 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.

NUM 29:36 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:37 Removed trailing space in v~: Pamoja na fahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka, na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:38 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.

NUM 29:39 Removed trailing space in v~: “ ‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya \nd Bwana\nd* kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’ ”

NUM 29:40 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia Waisraeli yale yote \nd Bwana\nd* alimwagiza.

NUM 30:0 Extra space after chapter number

NUM 30:0 Removed trailing space in c: 30

NUM 30:0 Removed trailing space in s1: Nadhiri

NUM 30:1 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia viongozi wa makabila ya Israeli: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* analoagiza:

NUM 30:2 Removed trailing space in v~: Mwanaume awekapo nadhiri kwa \nd Bwana\nd*, au anapoapa kujifunga kwa ahadi, kamwe asitangue neno lake, bali ni lazima afanye kila kitu alichosema.

NUM 30:3 Removed trailing space in v~: “Wakati mwanamwali anayeishi bado nyumbani kwa baba yake atakapoweka nadhiri kwa \nd Bwana\nd*, ama amejifunga mwenyewe kwa ahadi,

NUM 30:4 Removed trailing space in v~: na baba yake akasikia kuhusu nadhiri au ahadi yake lakini asimwambie lolote, ndipo nadhiri zake zote na kila ahadi aliyoiweka na kujifunga kwayo itathibitika.

NUM 30:5 Removed trailing space in v~: Lakini kama baba yake akimkataza wakati anapoisikia, hakuna nadhiri wala ahadi yake yoyote aliyojifunga kwayo itakayosimama; \nd Bwana\nd* atamweka huru huyo mwanamwali kwa sababu baba yake amemkataza.

NUM 30:6 Removed trailing space in v~: “Ikiwa ataolewa baada ya kuweka nadhiri au baada ya midomo yake kutamka ahadi fulani bila kufikiri akawa amejifunga hivyo,

NUM 30:7 Removed trailing space in v~: na mume wake akasikia habari hiyo asimwambie neno lolote, ndipo nadhiri zake ama ahadi zake ambazo alikuwa amejifunga nazo zitathibitika.

NUM 30:8 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mume wake atamkataza atakaposikia kuhusu hilo, atakuwa ametangua nadhiri ambazo zilikuwa zimemfunga mkewe, ama ahadi aliyotamka pasipo kufikiri ambayo amejifunga kwayo, naye \nd Bwana\nd* atamweka huru yule mwanamke.

NUM 30:9 Removed trailing space in v~: “Nadhiri yoyote ama patano ambalo limefanywa na mjane ama mwanamke aliyeachwa vitakuwa vimemfunga.

NUM 30:10 Removed trailing space in v~: “Ikiwa mwanamke anayeishi na mumewe ataweka nadhiri ama kujifunga mwenyewe kwa ahadi chini ya kiapo,

NUM 30:11 Removed trailing space in v~: na mumewe akasikia kuhusu jambo hili lakini asimwambie lolote wala hakumkataza, ndipo viapo vyake vyote au ahadi zinazomfunga zitakapothibitika.

NUM 30:12 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mumewe atabatilisha nadhiri hizo baada ya kuzisikia, basi hakuna nadhiri au ahadi zozote alizoziweka kwa midomo yake zitakazothibitika. Mumewe atakuwa amezibatilisha, na \nd Bwana\nd* atamweka huru yule mwanamke.

NUM 30:13 Removed trailing space in v~: Mumewe anaweza kuthibitisha au kutangua nadhiri yoyote anayoweka, au ahadi yoyote aliyoweka kwa kuapa ili kujikana mwenyewe.

NUM 30:14 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mumewe hasemi lolote kwake kuhusu jambo hilo siku baada ya siku, basi mumewe atakuwa amethibitisha nadhiri zote, na ahadi zote zinazomfunga mkewe. Anavithibitisha kwa kutokusema lolote kwa mkewe anapoyasikia hayo.

NUM 30:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, ikiwa mumewe atavibatilisha baada ya kusikia hayo, basi atawajibika kwa hatia ya mkewe.”

NUM 30:16 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo masharti ambayo \nd Bwana\nd* alimpa Mose kuhusu mahusiano kati ya mtu na mkewe, na kati ya baba na binti yake ambaye bado anaishi nyumbani kwa baba yake.

NUM 31:0 Extra space after chapter number

NUM 31:0 Removed trailing space in c: 31

NUM 31:0 Removed trailing space in s1: Kulipiza Kisasi Juu Ya Wamidiani

NUM 31:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 31:2 Removed trailing space in v~: “Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”

NUM 31:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha \nd Bwana\nd*.

NUM 31:4 Removed trailing space in v~: Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.”

NUM 31:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli.

NUM 31:6 Removed trailing space in v~: Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.

NUM 31:7 Removed trailing space in v~: Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume.

NUM 31:8 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga.

NUM 31:9 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara.

NUM 31:10 Removed trailing space in v~: Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.

NUM 31:11 Removed trailing space in v~: Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama,

NUM 31:12 Removed trailing space in v~: nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.

NUM 31:13 Removed trailing space in v~: Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi.

NUM 31:14 Removed trailing space in v~: Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.

NUM 31:15 Removed trailing space in v~: Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?”

NUM 31:16 Removed trailing space in v~: “Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi \nd Bwana\nd* kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa \nd Bwana\nd*.

NUM 31:17 Removed trailing space in v~: Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa,

NUM 31:18 Removed trailing space in v~: lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.

NUM 31:19 Removed trailing space in v~: “Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu.

NUM 31:20 Removed trailing space in v~: Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”

NUM 31:21 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo \nd Bwana\nd* alimpa Mose:

NUM 31:22 Removed trailing space in v~: Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,

NUM 31:23 Removed trailing space in v~: na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso.

NUM 31:24 Removed trailing space in v~: Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”

NUM 31:24 Removed trailing space in s1: Kugawanya Mateka

NUM 31:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 31:26 Removed trailing space in v~: “Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa.

NUM 31:27 Removed trailing space in v~: Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya.

NUM 31:28 Removed trailing space in v~: Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi.

NUM 31:29 Removed trailing space in v~: Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya \nd Bwana\nd*.

NUM 31:30 Removed trailing space in v~: Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya \nd Bwana\nd*.”

NUM 31:31 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

NUM 31:32 Removed trailing space in v~: Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,

NUM 31:33 Removed trailing space in v~: ngʼombe 72,000,

NUM 31:34 Removed trailing space in v~: punda 61,000,

NUM 31:35 Removed trailing space in v~: na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.

NUM 31:36 Removed trailing space in v~: Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa:

NUM 31:36 Removed trailing space in p~: Kondoo 337,500

NUM 31:37 Removed trailing space in v~: ambayo ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ilikuwa kondoo 675;

NUM 31:38 Removed trailing space in v~: ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ulikuwa ngʼombe 72;

NUM 31:39 Removed trailing space in v~: punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ulikuwa punda 61;

NUM 31:40 Removed trailing space in v~: Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ulikuwa watu 32.

NUM 31:41 Removed trailing space in v~: Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya \nd Bwana\nd*, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

NUM 31:42 Removed trailing space in v~: Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,

NUM 31:43 Removed trailing space in v~: nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500,

NUM 31:44 Removed trailing space in v~: ngʼombe 36,000,

NUM 31:45 Removed trailing space in v~: punda 30,500,

NUM 31:46 Removed trailing space in v~: na wanadamu 16,000.

NUM 31:47 Removed trailing space in v~: Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya \nd Bwana\nd*.

NUM 31:48 Removed trailing space in v~: Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose

NUM 31:49 Removed trailing space in v~: na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana.

NUM 31:50 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa \nd Bwana\nd* vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za \nd Bwana\nd*.”

NUM 31:51 Removed trailing space in v~: Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.

NUM 31:52 Removed trailing space in v~: Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea \nd Bwana\nd* kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750\f + \fr 31:52 \ft Shekeli 16,750 ni sawa na kilo 200.\f*

NUM 31:53 Removed trailing space in v~: Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.

NUM 31:54 Removed trailing space in v~: Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za \nd Bwana\nd*.

NUM 32:0 Extra space after chapter number

NUM 32:0 Removed trailing space in c: 32

NUM 32:0 Removed trailing space in s1: Makabila Ngʼambo Ya Yordani

NUM 32:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 3:12-22)

NUM 32:1 Removed trailing space in v~: Kabila la Wareubeni na Wagadi, waliokuwa na makundi makubwa ya ngʼombe, kondoo na mbuzi, waliona kuwa nchi ya Yazeri na nchi ya Gileadi ni nzuri kwa mifugo.

NUM 32:2 Removed trailing space in v~: Hivyo walimjia Mose, na kuhani Eleazari na viongozi wa jumuiya, na kuwaambia,

NUM 32:3 Removed trailing space in v~: “Atarothi, Diboni, Yazeri, Nimra, Heshboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni,

NUM 32:4 Removed trailing space in v~: nchi ambayo \nd Bwana\nd* ameishinda mbele ya wana wa Israeli, inafaa kwa mifugo, nao watumishi wako wana mifugo.

NUM 32:5 Removed trailing space in v~: Kama tumepata kibali mbele ya macho yako, nchi hii na ipewe watumishi wako kama milki yetu. Usitufanye tuvuke Yordani.”

NUM 32:6 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia Wagadi na Wareubeni, “Je, watu wa nchi yenu watakwenda vitani wakati ninyi mmeketi hapa?

NUM 32:7 Removed trailing space in v~: Kwa nini mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* amewapa?

NUM 32:8 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo baba zenu walivyofanya wakati nilipowatuma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza nchi.

NUM 32:9 Removed trailing space in v~: Baada ya kufika kwenye Bonde la Eshkoli na kuitazama nchi, waliwakatisha tamaa Waisraeli wasiingie katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa amewapa.

NUM 32:10 Removed trailing space in v~: Siku ile hasira ya \nd Bwana\nd* iliwaka naye akaapa kiapo hiki:

NUM 32:11 Removed trailing space in v~: ‘Kwa kuwa hawakunifuata kwa moyo wote, hakuna mtu yeyote mwenye miaka ishirini au zaidi ambaye alikuja kutoka Misri atakayeona nchi niliyoahidi kwa kiapo kwa Abrahamu, Isaki na Yakobo;

NUM 32:12 Removed trailing space in v~: hakuna hata mmoja isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni, kwa sababu walimfuata \nd Bwana\nd* kwa moyo wote.’

NUM 32:13 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* iliwaka dhidi ya Waisraeli na akawafanya watangetange katika jangwa kwa miaka arobaini, mpaka kizazi chote cha wale waliofanya maovu mbele yake kimeangamia.

NUM 32:14 Removed trailing space in v~: “Nanyi mko hapa, uzao wa wenye dhambi, mkisimamia mahali pa baba zenu na mkimfanya \nd Bwana\nd* kuwakasirikia Waisraeli hata zaidi.

NUM 32:15 Removed trailing space in v~: Kama mkigeuka na mkiacha kumfuata, atawaacha tena watu hawa wote jangwani, na mtakuwa sababu ya maangamizi yao.”

NUM 32:16 Removed trailing space in v~: Ndipo wakamjia Mose na kumwambia, “Tungalitaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu na watoto.

NUM 32:17 Removed trailing space in v~: Lakini sisi tuko tayari kuchukua silaha zetu na kutangulia mbele ya Waisraeli mpaka tutakapowaleta mahali pao. Wakati huo wanawake wetu na watoto wataishi katika miji yenye ngome, kwa ajili ya ulinzi dhidi ya wenyeji wa nchi.

NUM 32:18 Removed trailing space in v~: Hatutarudi nyumbani mwetu mpaka kila Mwisraeli apokee urithi wake.

NUM 32:19 Removed trailing space in v~: Hatutapokea urithi wowote pamoja nao ngʼambo ya Yordani, kwa sababu urithi wetu umekuja kwetu upande wa mashariki ya Yordani.”

NUM 32:20 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaambia, “Kama mtafanya jambo hili, kama mtajivika silaha mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya vita,

NUM 32:21 Removed trailing space in v~: na kama ninyi nyote mtakwenda mmejivika silaha ngʼambo ya Yordani mbele za \nd Bwana\nd* mpaka awe amewafukuza adui zake mbele zake,

NUM 32:22 Removed trailing space in v~: hadi wakati nchi itakapokuwa imeshindwa mbele za \nd Bwana\nd*, ndipo mtaweza kurudi na kuwa huru kutoka masharti yenu kwa \nd Bwana\nd* na Israeli. Nayo nchi hii itakuwa milki yenu mbele za \nd Bwana\nd*.

NUM 32:23 Removed trailing space in v~: “Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa mnatenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*; nanyi kuweni na hakika kuwa dhambi yenu itawapata.

NUM 32:24 Removed trailing space in v~: Jengeni miji kwa ajili ya wanawake na watoto wenu, na mazizi kwa ajili ya mbuzi na kondoo zenu, lakini fanyeni yale mliyoahidi.”

NUM 32:25 Removed trailing space in v~: Wagadi na Wareubeni wakamwambia Mose, “Sisi watumishi wako tutafanya kama bwana wetu anavyotuagiza.

NUM 32:26 Removed trailing space in v~: Watoto na wake zetu, makundi ya mbuzi na kondoo, na makundi ya ngʼombe zetu, watabaki hapa katika miji ya Gileadi.

NUM 32:27 Removed trailing space in v~: Lakini watumishi wenu, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, watavuka ngʼambo kupigana mbele za \nd Bwana\nd*, sawa kama bwana wetu anavyosema.”

NUM 32:28 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akatoa amri kuhusu wao kwa kuhani Eleazari, na Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa jamaa za makabila ya Waisraeli.

NUM 32:29 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia, “Ikiwa Wagadi na Wareubeni, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, atavuka Yordani pamoja nanyi mbele za \nd Bwana\nd*, basi wakati mtakapoishinda nchi iliyoko mbele yenu, wapeni nchi ya Gileadi kama milki yao.

NUM 32:30 Removed trailing space in v~: Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa wamevaa silaha za vita, lazima wakubali kupokea milki yao pamoja nanyi katika nchi ya Kanaani.”

NUM 32:31 Removed trailing space in v~: Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile \nd Bwana\nd* alilosema.

NUM 32:32 Removed trailing space in v~: Tutavuka mbele za \nd Bwana\nd* kuingia Kanaani tukiwa tumevaa silaha za vita, lakini mali tutakayoirithi itakuwa ngʼambo hii ya Yordani.”

NUM 32:33 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawapa Wagadi, Wareubeni, na nusu ya kabila la Manase mwana wa Yosefu ufalme wa Sihoni mfalme wa Waamori, na ufalme wa Ogu mfalme wa Bashani, nchi yote pamoja na miji yake, na nchi inayowazunguka.

NUM 32:34 Removed trailing space in v~: Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri,

NUM 32:35 Removed trailing space in v~: Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha,

NUM 32:36 Removed trailing space in v~: Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo.

NUM 32:37 Removed trailing space in v~: Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu,

NUM 32:38 Removed trailing space in v~: pia Nebo na Baal-Meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa) na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.

NUM 32:39 Removed trailing space in v~: Wazao wa Makiri mwana wa Manase walikwenda Gileadi, wakaiteka nchi na kuwafukuza Waamori waliokuwa huko.

NUM 32:40 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.

NUM 32:41 Removed trailing space in v~: Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi.

NUM 32:42 Removed trailing space in v~: Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.

NUM 33:0 Extra space after chapter number

NUM 33:0 Removed trailing space in c: 33

NUM 33:0 Removed trailing space in s1: Vituo Katika Safari Ya Waisraeli

NUM 33:1 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.

NUM 33:2 Removed trailing space in v~: Kwa agizo la \nd Bwana\nd*, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:

NUM 33:3 Removed trailing space in v~: Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,

NUM 33:4 Removed trailing space in v~: waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao \nd Bwana\nd* alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.

NUM 33:5 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.

NUM 33:6 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.

NUM 33:7 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.

NUM 33:8 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.

NUM 33:9 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.

NUM 33:10 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.

NUM 33:11 Removed trailing space in v~: Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.

NUM 33:12 Removed trailing space in v~: Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.

NUM 33:13 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.

NUM 33:14 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.

NUM 33:15 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.

NUM 33:16 Removed trailing space in v~: Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.

NUM 33:17 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.

NUM 33:18 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.

NUM 33:19 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.

NUM 33:20 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.

NUM 33:21 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.

NUM 33:22 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.

NUM 33:23 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.

NUM 33:24 Removed trailing space in v~: Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.

NUM 33:25 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.

NUM 33:26 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.

NUM 33:27 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.

NUM 33:28 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.

NUM 33:29 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.

NUM 33:30 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.

NUM 33:31 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.

NUM 33:32 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.

NUM 33:33 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.

NUM 33:34 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.

NUM 33:35 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.

NUM 33:36 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.

NUM 33:37 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.

NUM 33:38 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya \nd Bwana\nd*, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.

NUM 33:39 Removed trailing space in v~: Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.

NUM 33:40 Removed trailing space in v~: Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.

NUM 33:41 Removed trailing space in v~: Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.

NUM 33:42 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.

NUM 33:43 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.

NUM 33:44 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.

NUM 33:45 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.

NUM 33:46 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.

NUM 33:47 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.

NUM 33:48 Removed trailing space in v~: Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.

NUM 33:49 Removed trailing space in v~: Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.

NUM 33:50 Removed trailing space in v~: Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 33:51 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,

NUM 33:52 Removed trailing space in v~: wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.

NUM 33:53 Removed trailing space in v~: Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.

NUM 33:54 Removed trailing space in v~: Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.

NUM 33:55 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.

NUM 33:56 Removed trailing space in v~: Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’ ”

NUM 34:0 Extra space after chapter number

NUM 34:0 Removed trailing space in c: 34

NUM 34:0 Removed trailing space in s1: Mipaka Ya Kanaani

NUM 34:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 34:2 Removed trailing space in v~: “Waamuru Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia nchi ya Kanaani, nchi ambayo itagawanywa kwenu kama urithi itakuwa na mipaka ifuatayo:

NUM 34:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Upande wenu wa kusini utajumuisha sehemu ya Jangwa la Sini kufuata mpaka wa Edomu. Upande wa mashariki mpaka wenu wa kusini utaanzia mwisho wa Bahari ya Chumvi,\f + \fr 34:3 \ft Yaani Bahari Mfu.\f*

NUM 34:4 Removed trailing space in v~: katiza kusini mwa Pito la Akrabimu, endelea mpaka Sini na kwenda kusini ya Kadesh-Barnea. Kisha mpaka huo utaenda hadi Hasar-Adari hadi Azmoni,

NUM 34:5 Removed trailing space in v~: mahali ambapo utapinda, na kuunganika na Kijito cha Misri na kumalizikia kwenye Bahari ya Kati.\f + \fr 34:5 \ft Yaani Mediterania.\f*

NUM 34:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Mpaka wenu wa magharibi utakuwa Bahari ya Kati. Huu utakuwa mpaka wenu upande wa magharibi.

NUM 34:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa mpaka wenu wa kaskazini, wekeni alama kuanzia Bahari ya Kati hadi mlima Hori,

NUM 34:8 Removed trailing space in v~: na kutoka mlima Hori hadi Pito la Hamathi. Kisha mpaka utaenda hadi Sedadi,

NUM 34:9 Removed trailing space in v~: kuendelea hadi Zifroni, na kuishia Hasar-Enani. Huu utakuwa mpaka wenu upande wa kaskazini.

NUM 34:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa mpaka wenu wa mashariki, wekeni alama kuanzia Hasar-Enani hadi Shefamu.

NUM 34:11 Removed trailing space in v~: Mpaka utaelekea kusini kuanzia Shefamu hadi Ribla upande wa mashariki wa Aini, na kuendelea kwenye miteremko mashariki mwa Bahari ya Kinerethi.\f + \fr 34:11 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.\f*

NUM 34:12 Removed trailing space in v~: Kisha mpaka utashuka kuelekea Mto Yordani na kuishia katika Bahari ya Chumvi.

NUM 34:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Hii itakuwa nchi yenu, ikiwa na mipaka yake kila upande.’ ”

NUM 34:13 Removed trailing space in v~: Mose akawaamuru Waisraeli: “Gawanyeni nchi hii kwa kura kama urithi. \nd Bwana\nd* ameagiza kwamba itolewe kwa yale makabila tisa na nusu,

NUM 34:14 Removed trailing space in v~: kwa sababu jamaa ya kabila la Reubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase wamekwishapokea urithi wao.

NUM 34:15 Removed trailing space in v~: Haya makabila mawili na nusu wamekwishapokea urithi wao upande wa mashariki wa Yordani ngʼambo ya Yeriko, kuelekea mawio ya jua.”

NUM 34:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 34:17 Removed trailing space in v~: “Haya ndiyo majina ya watu ambao watakusaidia kugawanya nchi kama urithi: Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni.

NUM 34:18 Removed trailing space in v~: Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi.

NUM 34:19 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina yao:

NUM 34:19 Removed trailing space in p~: “Kalebu mwana wa Yefune,

NUM 34:19 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Yuda;

NUM 34:20 Removed trailing space in v~: Shemueli mwana wa Amihudi,

NUM 34:20 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Simeoni;

NUM 34:21 Removed trailing space in v~: Elidadi mwana wa Kisloni,

NUM 34:21 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Benyamini;

NUM 34:22 Removed trailing space in v~: Buki mwana wa Yogli,

NUM 34:22 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Dani;

NUM 34:23 Removed trailing space in v~: Hanieli mwana wa Efodi,

NUM 34:23 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Manase mwana wa Yosefu;

NUM 34:24 Removed trailing space in v~: Kemueli mwana wa Shiftani,

NUM 34:24 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yosefu;

NUM 34:25 Removed trailing space in v~: Elisafani mwana wa Parnaki,

NUM 34:25 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Zabuloni;

NUM 34:26 Removed trailing space in v~: Paltieli mwana wa Azani,

NUM 34:26 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Isakari;

NUM 34:27 Removed trailing space in v~: Ahihudi mwana wa Shelomi,

NUM 34:27 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Asheri;

NUM 34:28 Removed trailing space in v~: Pedaheli mwana wa Amihudi,

NUM 34:28 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Naftali.”

NUM 34:29 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu ambao \nd Bwana\nd* aliamuru wagawanye urithi kwa Waisraeli katika nchi ya Kanaani.

NUM 35:0 Extra space after chapter number

NUM 35:0 Removed trailing space in c: 35

NUM 35:0 Removed trailing space in s1: Miji Kwa Ajili Ya Walawi

NUM 35:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose katika nchi tambarare ya Moabu, kando ya Mto Yordani kuvukia Yeriko,

NUM 35:2 Removed trailing space in v~: “Waagize Waisraeli kuwapa Walawi miji ya kuishi kutoka urithi ambao Waisraeli wataumiliki. Wape maeneo ya malisho kuzunguka hiyo miji.

NUM 35:3 Removed trailing space in v~: Kisha watakuwa na miji ya kuishi na maeneo ya malisho kwa ajili ya ngʼombe zao, mbuzi, kondoo na mifugo yao mingine yote.

NUM 35:4 Removed trailing space in v~: “Maeneo ya malisho kuzunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataenea mita 450 kutoka kwenye ukuta wa miji.

NUM 35:5 Removed trailing space in v~: Nje ya mji, pima mita 900 upande wa mashariki, upande wa kusini mita 900, upande wa magharibi mita 900, na upande wa kaskazini mita 900, na mji utakuwa katikati. Eneo hili litakuwa lao kwa ajili ya malisho.

NUM 35:5 Removed trailing space in s1: Miji Ya Makimbilio

NUM 35:5 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 19:1-13; Yoshua 20:1-9)

NUM 35:6 Removed trailing space in v~: “Miji sita mtakayowapa Walawi itakuwa ya makimbilio, ambayo mtu anayemuua mwenzake aweza kukimbilia humo. Zaidi ya hiyo, wapeni miji mingine arobaini na miwili.

NUM 35:7 Removed trailing space in v~: Kwa jumla inawapasa kuwapa Walawi miji arobaini na minane, pamoja na maeneo ya malisho yao.

NUM 35:8 Removed trailing space in v~: Miji ambayo mtawapa Walawi kutoka nchi ambayo Waisraeli wanamiliki itatolewa kwa uwiano wa urithi wa kila kabila. Chukua miji mingi kutoka lile kabila lenye miji mingi, lakini uchukue miji michache kutoka kwa kabila lile lenye miji michache.”

NUM 35:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

NUM 35:10 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,

NUM 35:11 Removed trailing space in v~: chagueni baadhi ya miji iwe miji yenu ya makimbilio, ambayo mtu ambaye ameua mwenzake bila kukusudia aweza kukimbilia humo.

NUM 35:12 Removed trailing space in v~: Itakuwa mahali pa kukimbilia kutoka mlipiza kisasi, ili kwamba mtu aliyeshtakiwa kwa mauaji asife kabla ya kujitetea mbele ya mkutano.

NUM 35:13 Removed trailing space in v~: Miji hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya makimbilio.

NUM 35:14 Removed trailing space in v~: Mtatoa miji mitatu ngʼambo hii ya Yordani na miji mingine mitatu upande wa Kanaani kama miji ya makimbilio.

NUM 35:15 Removed trailing space in v~: Miji hii sita itakuwa mahali pa makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, wageni na watu wengine wanaoishi katikati yenu, ili kwamba mtu yeyote ambaye ameua mtu mwingine pasipo kukusudia aweze kukimbilia humo.

NUM 35:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu akimpiga mwenzake kwa chuma naye mtu huyo akafa, mtu huyo ni muuaji; muuaji sharti atauawa.

NUM 35:17 Removed trailing space in v~: Au kama mtu analo jiwe mkononi mwake ambalo laweza kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni muuaji; muuaji huyo sharti atauawa.

NUM 35:18 Removed trailing space in v~: Au kama mtu ana chombo cha mti mkononi mwake ambacho chaweza kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni muuaji; muuaji huyo sharti atauawa.

NUM 35:19 Removed trailing space in v~: Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji; wakati akikutana naye, atamuua.

NUM 35:20 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu ana chuki ya siku nyingi na mwenzake akamsukuma au akamtupia kitu kwa kukusudia naye akafa,

NUM 35:21 Removed trailing space in v~: au ikiwa katika uadui akampiga ngumi naye akafa, mtu yule sharti atauawa; yeye ni muuaji. Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji atakapokutana naye.

NUM 35:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama mtu akimsukuma mwenziwe ghafula pasipo chuki, au kumtupia kitu pasipo kukusudia,

NUM 35:23 Removed trailing space in v~: au, pasipo kumwona, akimwangushia jiwe ambalo laweza kumuua naye akafa, basi kwa kuwa hakuwa adui yake naye hakukusudia kumuumiza,

NUM 35:24 Removed trailing space in v~: kusanyiko lazima liamue kati yake na mlipiza kisasi wa damu kufuatana na sheria hizi.

NUM 35:25 Removed trailing space in v~: Kusanyiko ni lazima limlinde yule anayeshtakiwa kuua kutoka kwa mlipiza kisasi wa damu, na kumrudisha katika mji wa makimbilio alikokuwa amekimbilia. Lazima akae humo mpaka atakapokufa kuhani mkuu ambaye alikuwa amepakwa mafuta matakatifu.

NUM 35:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama mshtakiwa atatoka nje ya mipaka ya mji wa makimbilio ambao amekimbilia,

NUM 35:27 Removed trailing space in v~: na mlipiza kisasi wa damu akamkuta nje ya mji, mlipiza kisasi wa damu anaweza kumuua mshtakiwa huyo bila kuwa na hatia ya kuua.

NUM 35:28 Removed trailing space in v~: Mshtakiwa lazima akae katika mji wake wa makimbilio mpaka atakapokufa kuhani mkuu; atarudi tu kwenye mali yake baada ya kifo cha kuhani mkuu.

NUM 35:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Hizi ndizo kanuni za sheria zitakazohitajiwa kwenu na katika vizazi vyenu vijavyo, popote mtakapoishi.

NUM 35:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Yeyote anayeua mtu atauawa kama muuaji ikiwa tu kuna ushuhuda wa mashahidi. Lakini hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja tu.

NUM 35:31 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikubali fidia yoyote ya kuokoa uhai wa muuaji ambaye anastahili kufa. Mtu huyo hakika lazima auawe.

NUM 35:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikubali fidia ya mtu yeyote ambaye amekimbilia katika mji wa makimbilio na kumruhusu kurudi kuishi katika nchi yake kabla ya kifo cha kuhani mkuu.

NUM 35:33 Removed trailing space in v~: “ ‘Msiinajisi nchi mnayoishi. Umwagaji damu hunajisi nchi, na upatanisho hauwezekani kufanyika katika nchi ambayo damu imemwagwa, isipokuwa tu kwa damu ya yule aliyeimwaga damu.

NUM 35:34 Removed trailing space in v~: Msiinajisi nchi mnayoishi, ambayo nami ninakaa, kwa kuwa Mimi, \nd Bwana\nd*, ninakaa katikati ya Waisraeli.’ ”

NUM 36:0 Extra space after chapter number

NUM 36:0 Removed trailing space in c: 36

NUM 36:0 Removed trailing space in s1: Urithi Wa Binti Za Selofehadi

NUM 36:1 Removed trailing space in v~: Viongozi wa jamaa ya ukoo wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase, waliokuwa wametoka katika koo za wazao wa Yosefu, walikuja na kuzungumza mbele ya Mose na viongozi, wakuu wa jamaa ya Waisraeli.

NUM 36:2 Removed trailing space in v~: Wakasema, “\nd Bwana\nd* alipomwamuru bwana wangu kuwapa Waisraeli nchi kama urithi kwa kura, alikuamuru kutoa urithi wa ndugu yetu Selofehadi kwa binti zake.

NUM 36:3 Removed trailing space in v~: Sasa ikiwa wataolewa na watu wa makabila mengine ya Kiisraeli, itakuwa kwamba urithi wao utaondolewa kutoka urithi wa mababu zetu na kuongezwa katika urithi wa kabila ambalo dada hao wameolewa. Kwa hiyo sehemu ya urithi tuliyogawiwa itachukuliwa kutoka kwetu.

NUM 36:4 Removed trailing space in v~: Wakati mwaka wa Yubile kwa Waisraeli utafika, urithi wao utaongezwa kwa lile kabila ambalo wameolewa, na mali yao itaondolewa kutoka urithi wa kabila la mababu zetu.”

NUM 36:5 Removed trailing space in v~: Ndipo kwa agizo la \nd Bwana\nd* Mose akatoa amri ifuatayo kwa Waisraeli: “Kile wazao wa kabila la Yosefu wanachosema ni kweli.

NUM 36:6 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* anavyoamuru kwa binti za Selofehadi: Wanaweza kuolewa na mtu yeyote wampendaye, mradi tu waolewe miongoni mwa koo za kabila za baba yao.

NUM 36:7 Removed trailing space in v~: Hakuna urithi katika Israeli utakaohamishwa kutoka kabila moja kwenda kabila jingine, kwa kuwa kila Mwisraeli atatunza ardhi ya kabila lake aliyoirithi kutoka kwa baba zake.

NUM 36:8 Removed trailing space in v~: Kila binti atakayerithi ardhi katika kabila lolote la Israeli ni lazima aolewe na mtu kutoka kabila na ukoo wa baba yake, ili kila Mwisraeli amiliki urithi wa baba zake.

NUM 36:9 Removed trailing space in v~: Hakuna urithi uwezao kuhamishwa kutoka kabila moja kwenda kabila jingine, kwa kuwa kila kabila la Israeli litatunza nchi linayorithi.”

NUM 36:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo binti za Selofehadi wakafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 36:11 Removed trailing space in v~: Binti za Selofehadi, ambao ni Mahla, Tirsa, Hogla, Milka na Noa, wakaolewa na waume, wana wa ndugu za baba yao.

NUM 36:12 Removed trailing space in v~: Waliolewa ndani ya koo za wazao wa Manase mwana wa Yosefu, na urithi wao ukabaki katika ukoo na kabila la baba yao.

NUM 36:13 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maagizo na masharti ambayo \nd Bwana\nd* aliwapa Waisraeli kupitia Mose katika tambarare za Moabu, karibu na Yordani ngʼambo ya Yeriko.

USFMs

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 79    c: 36    h: 1    id: 1    li1: 112    li2: 42    li4: 2    m: 45    mi: 12    mt1: 1    p: 356    pi1: 61    pm: 8    q1: 63    q2: 72    r: 13    rem: 1    s1: 69    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    Total: 2265    v: 1288  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 id: 1    rem: 1    h: 1    toc1: 1    toc2: 1    toc3: 1    mt1: 1    li4: 2    pm: 8    mi: 12    r: 13    c: 36    li2: 42    m: 45    pi1: 61    q1: 63    s1: 69    q2: 72    b: 79    li1: 112    p: 356    v: 1288    Total: 2265  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 4    nd*: 4    Total: 8  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 nd: 4    nd*: 4    Total: 8  

Functional Marker Counts

 Book Header: 1    Book ID: 1    Chapters: 36    Paragraphs: 356    Section Cross-References: 13    Verses: 1288  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Book ID: 1    Book Header: 1    Section Cross-References: 13    Chapters: 36    Paragraphs: 356    Verses: 1288  

Characters

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Special Character Counts

 EN DASH: 1    HYPHEN-MINUS: 13    MODIFIER LETTER APOSTROPHE: 1    Total: 15  

Special Character Counts (sorted by count)

 EN DASH: 1    MODIFIER LETTER APOSTROPHE: 1    HYPHEN-MINUS: 13    Total: 15  

Letter Counts

Letter Counts (sorted by count)

Punctuation Counts

 (: 13    ): 13    ,: 1    :: 15    ;: 1    Total: 44    : 1  

Punctuation Counts (sorted by count)

 ,: 1    : 1    ;: 1    (: 13    ): 13    :: 15    Total: 44  

Speech Marks

Possible Matching Errors

NUM 4:29 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:22:v,4:24:v)' before p marker

NUM 5:16 Unclosed ‘ (opened at 5:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 5:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '“ (opened at 5:19:v)']

NUM 5:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '“ (opened at 5:21:v)']

NUM 5:22 Unclosed ‘ (opened at 5:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 5:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)']

NUM 5:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '“ (opened at 5:22:p)']

NUM 5:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)']

NUM 5:23 Unclosed ‘ (opened at 5:22:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 5:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)']

NUM 5:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)']

NUM 5:29 Unclosed ‘ (opened at 5:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 5:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)', '‘ (opened at 5:29:v)']

NUM 5:31 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)']

NUM 6:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)'] before p marker

NUM 6:5 Unclosed ‘ (opened at 6:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:9 Unclosed ‘ (opened at 6:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)']

NUM 6:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)']

NUM 6:13 Unclosed ‘ (opened at 6:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)']

NUM 6:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)']

NUM 6:16 Unclosed ‘ (opened at 6:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)']

NUM 6:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)']

NUM 6:18 Unclosed ‘ (opened at 6:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)']

NUM 6:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)']

NUM 6:19 Unclosed ‘ (opened at 6:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)']

NUM 6:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)']

NUM 6:21 Unclosed ‘ (opened at 6:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)', '‘ (opened at 6:21:v)']

NUM 6:21 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)']

NUM 6:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)'] before p marker

NUM 6:24 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:23:v)', '‘ (opened at 6:23:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '‘ (opened at 6:24:v)']

NUM 6:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:23:v)', '‘ (opened at 6:23:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '‘ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:24:v)']

NUM 7:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:23:v)', '‘ (opened at 6:23:v)'] before p marker

NUM 9:14 Unclosed ‘ (opened at 9:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 9:14 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 9:10:v)', '‘ (opened at 9:10:v)']

NUM 9:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:10:v)', '‘ (opened at 9:10:v)'] before p marker

NUM 12:6 Unclosed “ (opened at 12:6:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

NUM 12:9 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:6:v)' before v marker or missing reopening quotes at v9

NUM 15:6 Unclosed ‘ (opened at 15:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:8 Unclosed ‘ (opened at 15:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)']

NUM 15:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)']

NUM 15:13 Unclosed ‘ (opened at 15:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:13:v)']

NUM 15:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)']

NUM 15:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

NUM 15:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:18:v)', '‘ (opened at 15:18:v)'] before p marker

NUM 15:27 Unclosed ‘ (opened at 15:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:30 Unclosed ‘ (opened at 15:27:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:30 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:27:v)', '‘ (opened at 15:30:v)']

NUM 15:31 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:27:v)']

NUM 15:32 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:27:v)'] before p marker

NUM 20:16 Unclosed “ (opened at 20:14:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 20:18 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 20:14:pm)' before v marker or missing reopening quotes at v18

NUM 28:9 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:3:v)'] before p marker

NUM 28:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:9:v)', '‘ (opened at 28:9:v)'] before p marker

NUM 28:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:11:v)', '‘ (opened at 28:11:v)'] before p marker

NUM 28:26 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:16:v)', '‘ (opened at 28:16:v)'] before p marker

NUM 29:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:26:v)', '‘ (opened at 28:26:v)'] before p marker

NUM 29:7 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:1:v)', '‘ (opened at 29:1:v)'] before p marker

NUM 29:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:7:v)', '‘ (opened at 29:7:v)'] before p marker

NUM 29:17 Unclosed ‘ (opened at 29:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:20 Unclosed ‘ (opened at 29:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:20 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)']

NUM 29:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)']

NUM 29:23 Unclosed ‘ (opened at 29:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)']

NUM 29:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)']

NUM 29:26 Unclosed ‘ (opened at 29:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)']

NUM 29:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)']

NUM 29:29 Unclosed ‘ (opened at 29:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)']

NUM 29:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)']

NUM 29:32 Unclosed ‘ (opened at 29:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)']

NUM 29:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)']

NUM 29:35 Unclosed ‘ (opened at 29:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)']

NUM 29:39 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)']

NUM 29:39 Unclosed ‘ (opened at 29:35:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:39 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)', '‘ (opened at 29:39:v)']

NUM 29:39 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)']

NUM 29:40 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v40

NUM 33:55 Unclosed ‘ (opened at 33:51:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 33:56 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 33:51:v)', '‘ (opened at 33:51:v)']

NUM 34:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 33:51:v)', '‘ (opened at 33:51:v)'] before p marker

NUM 34:3 Unclosed ‘ (opened at 34:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:6 Unclosed ‘ (opened at 34:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)']

NUM 34:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)']

NUM 34:7 Unclosed ‘ (opened at 34:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)']

NUM 34:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)']

NUM 34:10 Unclosed ‘ (opened at 34:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)']

NUM 34:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)']

NUM 34:12 Unclosed ‘ (opened at 34:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)', '‘ (opened at 34:12:p)']

NUM 34:12 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)']

NUM 34:13 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v13

NUM 35:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 35:2:v,35:4:v)' before p marker

NUM 35:16 Unclosed ‘ (opened at 35:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:22 Unclosed ‘ (opened at 35:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)']

NUM 35:26 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)']

NUM 35:26 Unclosed ‘ (opened at 35:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)']

NUM 35:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)']

NUM 35:29 Unclosed ‘ (opened at 35:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)']

NUM 35:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)']

NUM 35:30 Unclosed ‘ (opened at 35:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)']

NUM 35:31 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)']

NUM 35:31 Unclosed ‘ (opened at 35:30:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:31 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)']

NUM 35:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)']

NUM 35:32 Unclosed ‘ (opened at 35:31:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)']

NUM 35:33 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)']

NUM 35:33 Unclosed ‘ (opened at 35:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:33 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)', '‘ (opened at 35:33:v)']

NUM 35:34 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)']

NUM 36:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)'] before p marker

Words

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Headings

Title Lines

NUM -1:6 Main Title 1:Hesabu

Section Heading Lines

NUM 1:0Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza
NUM 2:0Mpangilio Wa Kambi Za Makabila
NUM 3:0Walawi
NUM 4:0Wakohathi
NUM 4:20Wagershoni
NUM 4:28Wamerari
NUM 4:33Kuhesabiwa Kwa Koo Za Walawi
NUM 5:0Utakaso Wa Kambi
NUM 5:4Malipo Kwa Ajili Ya Makosa
NUM 5:10Jaribio Kwa Ajili Ya Mke Asiye Mwaminifu
NUM 6:0Mnadhiri
NUM 6:21Baraka Ya Kikuhani
NUM 7:0Sadaka Wakati Wa Kuweka Wakfu Maskani Ya \nd Bwana\nd*
NUM 8:0Kuwekwa Kwa Taa
NUM 8:4Kutengwa Kwa Walawi Kwa Ajili Ya \nd Bwana\nd*
NUM 9:0Pasaka Huko Sinai
NUM 9:14Wingu La Moto Juu Ya Maskani
NUM 10:0Tarumbeta Za Fedha
NUM 10:10Waisraeli Waondoka Sinai
NUM 11:0Moto Kutoka Kwa \nd Bwana\nd*
NUM 11:3Kware Kutoka Kwa \nd Bwana\nd*
NUM 12:0Miriamu Na Aroni Wampinga Mose
NUM 13:0Kupeleleza Kanaani
NUM 13:25Taarifa Juu Ya Upelelezi
NUM 14:0Watu Wanaasi
NUM 15:0Sadaka Za Nyongeza
NUM 15:21Sadaka Kwa Ajili Ya Dhambi Isiyo Ya Makusudi
NUM 15:31Mvunja Sabato Auawe
NUM 15:36Vifundo Kwenye Mavazi
NUM 16:0Kora, Dathani Na Abiramu
NUM 17:0Kuchipuka Kwa Fimbo Ya Aroni
NUM 18:0Wajibu Wa Makuhani Na Walawi
NUM 18:7Sadaka Kwa Ajili Ya Makuhani Na Walawi
NUM 19:0Maji Ya Utakaso
NUM 20:0Maji Kutoka Kwenye Mwamba
NUM 20:13Edomu Wakatalia Israeli Kupita
NUM 20:21Kifo Cha Aroni
NUM 21:0Nchi Ya Aradi Yaangamizwa
NUM 21:3Nyoka Wa Shaba
NUM 21:9Safari Kwenda Moabu
NUM 21:20Kushindwa Kwa Sihoni Na Ogu
NUM 22:0Balaki Anamwita Balaamu
NUM 22:20Punda Wa Balaamu
NUM 23:0Ujumbe Wa Kwanza Wa Balaamu
NUM 23:12Ujumbe Wa Pili Wa Balaamu
NUM 23:26Ujumbe Wa Tatu Wa Balaamu
NUM 24:14Ujumbe Wa Nne Wa Balaamu
NUM 24:19Ujumbe Wa Mwisho Wa Balaamu
NUM 25:0Moabu Yashawishi Israeli
NUM 26:0Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili
NUM 27:0Binti Wa Selofehadi
NUM 27:11Yoshua Kuchukua Nafasi Ya Mose
NUM 28:0Sadaka Za Kila Siku
NUM 28:8Sadaka Za Sabato
NUM 28:10Sadaka Za Kila Mwezi
NUM 28:15Pasaka
NUM 28:25Sikukuu Ya Majuma
NUM 29:0Sikukuu Ya Tarumbeta
NUM 29:6Siku Ya Upatanisho
NUM 29:11Sikukuu Ya Vibanda
NUM 30:0Nadhiri
NUM 31:0Kulipiza Kisasi Juu Ya Wamidiani
NUM 31:24Kugawanya Mateka
NUM 32:0Makabila Ngʼambo Ya Yordani
NUM 33:0Vituo Katika Safari Ya Waisraeli
NUM 34:0Mipaka Ya Kanaani
NUM 35:0Miji Kwa Ajili Ya Walawi
NUM 35:5Miji Ya Makimbilio
NUM 36:0Urithi Wa Binti Za Selofehadi

Section Cross-reference Lines

NUM 9:14(Kutoka 40:34-38)
NUM 13:0(Kumbukumbu 1:19-33)
NUM 20:0(Kutoka 17:1-7)
NUM 21:20(Kumbukumbu 2:26–3:11)
NUM 27:11(Kumbukumbu 31:1-8)
NUM 28:0(Kutoka 29:38-46)
NUM 28:15(Walawi 23:5-14)
NUM 28:25(Walawi 23:15-22)
NUM 29:0(Walawi 23:23-25)
NUM 29:6(Walawi 23:26-32)
NUM 29:11(Walawi 23:33-44)
NUM 32:0(Kumbukumbu 3:12-22)
NUM 35:5(Kumbukumbu 19:1-13; Yoshua 20:1-9)

Notes

Footnote Lines

NUM 3:47+ \fr 3:47 \ft Shekeli tano ni sawa na gramu 55.
NUM 3:47+ \fr 3:47 \ft Gera 20 ni sawa na gramu 11.
NUM 3:50+ \fr 3:50 \ft Shekeli 1,365 ni sawa na kilo 15.5.
NUM 4:6+ \fr 4:6 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini a…sili.
NUM 5:2+ \fr 5:2 \ft Ugonjwa wa ngozi uambukizao hapa ina maana ya ukoma.
NUM 5:15+ \fr 5:15 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.
NUM 5:22+ \fr 5:22 \ft Paja lipooze hapa ina maana ya kuwa tasa au kuharibu mimba.
NUM 7:13+ \fr 7:13 \ft Shekeli 130 za fedha ni sawa na kilo 1.5.
NUM 7:13+ \fr 7:13 \ft Shekeli 70 za fedha ni sawa gramu 800.
NUM 7:14+ \fr 7:14 \ft Shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110.
NUM 7:85+ \fr 7:85 \ft Shekeli 2,400 za fedha ni sawa na kilo 28.
NUM 7:86+ \fr 7:86 \ft Shekeli 120 za dhahabu ni sawa na kilo 1.4.
NUM 11:3+ \fr 11:3 \ft Tabera maana yake Kunaungua.
NUM 11:32+ \fr 11:32 \ft Homeri 10 ni sawa na kilo 1,000.
NUM 11:34+ \fr 11:34 \ft Kibroth-Hataava maana yake Makaburi ya wenye tamaa nyingi.
NUM 14:25+ \fr 14:25 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo.
NUM 15:4+ \fr 15:4 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.
NUM 15:4+ \fr 15:4 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.
NUM 15:6+ \fr 15:6 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2.
NUM 15:6+ \fr 15:6 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita moja na nusu.
NUM 15:9+ \fr 15:9 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.
NUM 15:9+ \fr 15:9 \ft Nusu ya hini ni sawa na lita 2.
NUM 16:30+ \fr 16:30 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
NUM 18:16+ \fr 18:16 \ft Shekeli tano za fedha ni sawa na gramu 55.
NUM 18:16+ \fr 18:16 \ft Gera 20 ni sawa na gramu 55.
NUM 20:13+ \fr 20:13 \ft Meriba maana yake Kugombana.
NUM 21:3+ \fr 21:3 \ft Horma maana yake Maangamizi.
NUM 21:4+ \fr 21:4 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo (ona 14:25).
NUM 24:4+ \fr 24:4 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania (pia 24:16).
NUM 27:21+ \fr 27:21 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hi…isha.
NUM 28:5+ \fr 28:5 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.
NUM 28:5+ \fr 28:5 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.
NUM 28:9+ \fr 28:9 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2.
NUM 28:12+ \fr 28:12 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.
NUM 28:14+ \fr 28:14 \ft Nusu ya hini ni sawa na lita 2.
NUM 28:14+ \fr 28:14 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.2.
NUM 31:52+ \fr 31:52 \ft Shekeli 16,750 ni sawa na kilo 200.
NUM 34:3+ \fr 34:3 \ft Yaani Bahari Mfu.
NUM 34:5+ \fr 34:5 \ft Yaani Mediterania.
NUM 34:11+ \fr 34:11 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 40    Footnotes: 40  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 40    Footnote leader '+': 40